academic excellence
Embed Size (px)
DESCRIPTION
Academic excellenceTRANSCRIPT

MAFANIKIO KATIKA MASOMO
KATIKA MTAZAMO WA KIBIBLIA
ACADEMIC EXCELLENCEIN A BIBLICAL PERSPECTIVE
Mwl. Mgisa [email protected]
+255-713-497-654

MAFANIKIO KATIKA MASOMOKATIKA MTAZAMO WA KIBIBLIA
Kujifunza namna Mungu anavyoweza kumpa mtu
wake mafanikio, kwa lengo la kumwezesha kuishi ili kulitimiza kusudi lake.

KUSUDI KUU LA MUNGU
Ni kuwawezesha watu wake, Kuimiliki na Kutawala dunia,
ili binadamu aishi maisha mazuri, na kuwa chombo
kizuri cha Ibada, ili kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Wakorintho 4:1-21 Basi, mtu na atuhesabu hivi, kwamba sisi ni watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za Mungu. 2 Na linalotakiwa ni
watumishi na mawakili waonekane kuwa waaminifu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Wakorintho 4:1-2Zingatia neno “Utumishi”
‘Kila mmoja wetu ana wito maalum duniani unaofanya kuwa mtumishi wa Mungu, katika eneo
alilojaliwa zaidi kuliko wengine na kuliko maeneo mengine’.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Wakorintho 4:1-2Zingatia neno “Uaminifu”
‘Kila wito wa mtu, ni maalum’ (specific) katika;
Kusudi, Mpango, Aina, Eneo, Uwezo, Kiasi, Muda, n.k

Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-11

Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-114 Basi kuna aina mbali mbali za
karama, lakini Roho ni yule yule. 5 Pia kuna huduma za
aina mbali mbali, lakini Bwana ni yule yule.

Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-116 Kisha kuna tofauti za kutenda
kazi, lakini ni Mungu yule yule atendaye kazi zote kwa watu
wote.

Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-117 Basi kila mmoja hupewa
ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.
8 Maana mtu mmoja kwa Roho hupewa neno la hekima na
mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo.

Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-119 Mtu mwingine imani kwa huyo
Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Kwa mwingine
matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa
mwingine kupambanua roho;

Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-1110 … kwa mwingine aina mbali
mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha. 11 Haya yote
hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia
kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.

Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-1110 … kwa mwingine aina mbali
mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha. 11 Haya yote
hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia
kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.

Huduma na Karama
Warumi 12:3-8

Huduma na Karama
Warumi 12:3-83 Kwa ajili ya neema niliyopewa
nawaambia kila mmoja miongoni mwenu, asijidhinie kuwa bora kuliko impasavyo,
bali afikiri kwa busara kwa kulingana na kipimo cha imani
Mungu aliyompa.

Huduma na Karama
Warumi 12:3-84 Kama vile katika mwili mmoja
tulivyo na viungo vingi, navyo viungo vyote havina kazi moja,
5 vivyo hivyo na sisi tulio wengi, tu mwili mmoja katika Kristo, nasi kila mmoja ni kiungo cha
mwenzake.

Huduma na Karama
Warumi 12:3-86 Tuna karama zilizotofautiana kila mmoja kutokana na neema tuliyopewa. Kama ni unabii na
tutoe unabii kwa kadiri ya imani.
7 Kama ni kuhudumu na tuhudumu, mwenye
kufundisha na afundishe,

Huduma na Karama
Warumi 12:3-8 8 kama ni kutia moyo na atie moyo, kama ni kuchangia kwa ajili ya mahitaji ya wengine na
atoe kwa ukarimu, kama ni uongozi na aongoze kwa bidii,
kama ni kuhurumia wengine na afanye hivyo kwa furaha.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Utumishi wetu kwa Mungu

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake
(huduma/karama) 2. Wito wa mtu (Huduma na
Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
KUSUDI LA KANISANi Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira
yake, ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo
kizuri cha Ibada, kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
KWANINI IBADA ?

SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza
kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu
MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe
“UNAKETI” juu ya sifa za Israel
“Inhabit” “Unaishi”

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Yohana 4:23 Kwa maana Baba anawatafuta watu kama hao, ili wamwabudu;Na saa ipo na sasa saa imefika,
ambapo waabuduo halisi, watamwabudu Baba katika roho na
kweli;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka
katik maisha yako.(Yohana 4:23)

SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa
sana na mazingira mazuri.Kumbukumbu 8:6-18

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka, na maisha yakitibuka, ibada kwa Mungu pia, inatibuka.
Hivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira
yake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka duniani.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa
vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa
kulitimiza kusudi la Mungu.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Kila Mtu katika jamii ya watu wa Mungu ana Karama na Kipawa
fulani kilichowekwa na Roho Mtakatifu wa Mungu,
kinavyochomwezesha kutenda kazi duniani ili kulitimiza
kusudi la Mungu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Kipawa hicho, ndicho kinachotenda kazi ili mtu aweze kuishi na
kuyatawala mazingira yake, hata kumwezesha mtu huyo kulitimiza
kusudi la Mungu, yaani kuwa ‘chombo kizuri cha ibada’.

KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU
Kutoka 31:1-5Bwana akamwambia Musa, kwa ajili ya ufundi wa vyombo vyote vya hekalu, nimempaka mafuta
(uwezo) Bezaleli mwana wa Huri, kwa ajili ya kazi zote za kuchora, kuchonga, kukata na ufundi wote
wa fedha na dhahabu.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Kwahiyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira
yake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka duniani
(kwa watoto wa Mungu).(Ufunuo 12:17)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima katika maisha, ili kumwezesha mwanadamu, kumshinda adui
shetani na vizuizi vyake na kumwezesha kutawala maisha
yake na mazingira yake. (Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)

VITA VYA ROHONI
Ni kwamba, kuna mapambano, kuna vita na upinzani
(mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu (kanisa la
Bwana Yesu Kristo).”(Mathayo 16:18-19)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda
wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha
yako (inayotoka duniani).(Yohana 4:23)

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
KUSUDI LA KANISANi Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira
yake, ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo
kizuri cha Ibada, kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
Kanisa la Mungu ni Ofisi ya Mungu na Ubalozi wa Mbinguni duniani. Hivyo Mungu anataka Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na
watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma bora zaidi kuliko
taasisi zingine za duniani.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
Mfano wa Kwanza;Kutumika chini ya Kiwango
1Wakorintho 3:10-15

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Wakorintho 3:10-1510 Kwa neema Mungu aliyonipa,
niliweka msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine anajenga juu ya huo msingi. Lakini kila mtu inampasa awe mwangalifu jinsi
anavyojenga juu yake.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Wakorintho 3:10-1512 Kama mtu ye yote akijenga juu
ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, au kwa fedha, au kwa mawe ya thamani, au kwa miti, au kwa majani au kwa nyasi …

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Wakorintho 3:10-1513 kazi yake itaonekana kuwa
ikoje, kwa kuwa siku ile itaidhihirisha kazi yake.
Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya
kila mtu.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
14 Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu.
15 Kama kazi ya mtu itateketea, atapata hasara, ila yeye
mwenyewe ataokolewa, lakini kama mtu aliyenusurika kwenye
moto.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
Mfano wa Pili;Kutumika nje ya Wito
Mathayo 25:14-30

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3014 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni
kama mtu (Bwana) anayetaka kusafiri, akawaita watumishi wake na kuweka mali yake
kwenye uangalizi wao (Uwakili) ili kuitunza na kuizalisha.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3015 Mmoja akampa talanta tano
(5) mwingine talanta mbili (2) na mwingine talanta moja (1), kila mmoja alipewa kwa kadiri
ya uwezo wake. Kisha yeye akasafiri kwenda mbali.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3019 “Baada ya muda mrefu yule
bwana wa wale watumishi akarudi na kufanya hesabu nao.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3020 Yule mtumishi aliyepokea
talanta 5 akaja, akaleta nyingine 5 zaidi. Akasema, ‘Bwana uliweka kwenye uangalizi wangu talanta 5. Tazama,
nimepata faida talanta 5 zaidi.’

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3021 “Bwana wake akamwambia,
‘Umefanya vizuri sana, mtumishi mwema na
mwaminifu …!

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3021 “… Umekuwa mwaminifu kwa
vitu vichache, nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo
ushiriki katika furaha ya bwana wako!”

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3022 “Yule mwenye talanta 2, naye
akaja. Akasema, `Bwana, uliweka kwenye uangalizi wangu talanta 2. Tazama
nimepata hapa faida ya talanta mbili (2) zaidi.’

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-30“Bwana wake akajibu, ‘Umefanya
vizuri sana, mtumishi mwema na mwaminifu, na wewe
nakulipa kama mwenzako wa kwanza kwa kutimiza kusudi la wito wenu kwa kipimo chake.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3024 “Kisha yule mtumishi aliyepokea
talanta 1 akaja, akasema, ‘Bwana, nilijua kwamba wewe ni mtu mgumu, unayevuna mahali
usipopanda na kukusanya mahali usipotawanya.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3025 Kwa hiyo niliogopa, nikaenda,
nikaificha talanta yako ardhini. Tazama, hii hapa ile iliyo mali
yako.’

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3026 Bwana wake akajibu, ‘Wewe
mtumishi mwovu na mvivu! Ulijua yote hayo lakini
hukufanya ulichotakiwa kufanya (wewe ni mpumbavu).

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3027 Basi, ilikupasa kuweka fedha
yangu kwa watoa riba, ili nirudipo, nichukue ile iliyo
yangu na faida yake?

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3030 “Nanyi mtupeni huyo
mtumishi asiyefaa nje, kwenye giza, mahali ambako kutakuwa
na kilio na kusaga meno.’

Viashiria vya Wito wa Mtu
Kipimo (Kiasi) cha Kazi
Luka 12:48 “… aliyepewa vingi, kwake
huyo vitatakwa vingi …”

Viashiria vya Wito wa Mtu
Kipimo (Kiasi) cha Kazi
1Wakorintho 3:13 “… Kazi ya kila mtu itapiwa, tena kwa moto wa Mungu …”

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
Mathayo 25:14-30Mtumishi huyu wa Mungu hakuwa mwizi au mzinzi au
mchawi, lakini alitupwa nje ya Ufalme wa Mungu kwasababu hakuzalisha faida katika kazi ya
Ufalme wa Mungu …

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHOMathayo 25:14-30
Udhaifu huo ulisababisha kupunguza uwezo wa kazi ya
Mungu ya kutawala dunia.Kwa Mfano;
Injili, Elimu, Afya, Udiakonia, Ukarimu, Utaalamu, Ujuzi, n.k.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
Kanisa la Mungu ni Ofisi ya Mungu na Ubalozi wa Mbinguni duniani. Hivyo Mungu anataka Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na
watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma bora zaidi kuliko
taasisi zingine za duniani.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHOMathayo 25:14-30
Mungu hawezi kuivumilia jambo lolote linalozuia kazi ya Ufalme
wake duniani; ni lazima atalishughulikia kwa nguvu ili kurekebisha kikwazo hicho na kutoa fundisho kwa wengine.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Kusudi la Somo;Kuwaanda Waaumini
Kutoa Kumtumikia Mungu katika ufanisi na ubora.

Huduma na Karama
2Timotheo 4:6-8 5 Kwa habari yako wewe,
vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiza wajibu
wote wa huduma yako.

Huduma na Karama
2Timotheo 4:6-8 6 Kwa maana wakati umefika, mimi sasa ni tayari kumiminwa kama sadaka ya kinywaji, nayo
saa yangu ya kuondoka duniani imefika.

Huduma na Karama
2Timotheo 4:6-87 Nimevipiga vita vizuri,
mwendo nimeumaliza, Mashindano nimeyamaliza,
imani nimelinda.

Huduma na Karama
2Timotheo 4:6-88 Sasa, nimewekewa taji ya haki
ambayo Bwana, mwamuzi wa haki, atanitunukia siku ile, wala si
mimi tu, bali pia wote ambao wamengoja kwa shauku kuja
Kwake.

Huduma na Karama
Matendo 17:30-3130 Zamani wakati wa ujinga,
Mungu alijifanya kama haoni, lakini sasa anawaamuru watu
wote kila mahali watubu.

Huduma na Karama
Matendo 17:30-3131 Kwa kuwa ameweka siku
ambayo atauhukumu ulimwengu kwa haki, akimtumia mtu
aliyemchagua (Yaani Yesu), kwake huyo amewahakikishia watu
wote, kwa kumfufua kutoka kwa wafu.’’

Huduma na Karama
Ufunuo 22:10-1210 Kisha akaniambia, “Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika
kitabu hiki, kwa sababu wakati umekaribia.

Huduma na Karama
Ufunuo 22:10-1211 Atendaye mabaya na azidi
kutenda mabaya, aliye mchafu na azidi kuwa mchafu, yeye atendaye haki na azidi kutenda haki na yeye
aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu.’’

Huduma na Karama
Ufunuo 22:10-12 12 “Tazama, naja upesi! nikiwa
na ujira (mshahara) wangu, nami nitamlipa kila mtu sawasawa na
alivyotenda.

Huduma na Karama
Mathayo 7:21-23 21 “Si kila mtu aniambiaye,
‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika Ufalme wa Mbinguni bali
ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.

Huduma na Karama
Mathayo 7:21-23 22 Katika siku hiyo, wengi
wataniambia siku ile, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii kwa
jina lako na kwa jina lako kutoa pepo na kufanya miujiza mingi?

Huduma na Karama
Mathayo 7:21-23 23 Ndipo nitakapowaambia wazi,
Sikuwajua kamwe. Ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!’

Huduma na Karama
Mathayo 7:21-23Kumbe, uovu si mpaka umefanya
ambacho hukutakiwa kufanya, kumbe hata kutofanya
ulichotakiwa kufanya, pia ni uovu mbele za Mungu.

Huduma na Karama
Mathayo 7:21-23
Sins of Sins of Commission Ommission
Dhambi za Dhambi za Kutenda Kutokutenda

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Amos 4:1212 “Kwa hiyo hili ndilo
nitakalowafanyia Israeli na kwa sababu nitawafanyia hili,
jiandaeni kukutana na Mungu wenu, Ee Israeli.’’

SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Kila Mtu katika jamii ya watu wa Mungu ana Karama na Kipawa
fulani kilichowekwa na Roho Mtakatifu wa Mungu,
kinavyochomwezesha kutenda kazi duniani ili kulitimiza
kusudi la Mungu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Kipawa hicho, ndicho kinachotenda kazi ili mtu aweze kuishi na
kuyatawala mazingira yake, hata kumwezesha mtu huyo kulitimiza
kusudi la Mungu, yaani kuwa ‘chombo kizuri cha ibada’.

AINA YA WITO
MASAIDIANOMaombeziUimbajiUtoajiUjuziUfundiUratibu UsimamiziUkarimuUhudumu
KARAMANeno MaarifaNeno HekimaKupambanuaKarama UnabiiAina za LughaTafsiri LughaKarama ImaniKaram KuponyaKarama Miujiza
HUDUMAMitumeManabiiWaalimuWachungajiWainjilisti

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Wakorintho 4:1-21 Basi, mtu na atuhesabu hivi, kwamba sisi ni watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za Mungu. 2 Na linalotakiwa ni
watumishi na mawakili waonekane kuwa waaminifu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Wakorintho 4:1-2Zingatia neno “Utumishi”
‘Kila mmoja wetu ana wito maalum duniani unaofanya kuwa mtumishi wa Mungu, katika eneo
alilojaliwa zaidi kuliko wengine na kuliko maeneo mengine’.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Wakorintho 4:1-2Zingatia neno “Uaminifu”
‘Kila wito wa mtu, ni maalum’ (specific) katika;
Kusudi, Mpango, Aina, Eneo, Uwezo, Kiasi, Muda, n.k

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Ishara au Viashiria Wito wa mtu.
(Signals za Huduma na Karama)

Kuthibitisha Wito wako
Kuthibitisha Wito Wako (Comfirmation)

Kuthibitisha Wito wako
1.
Amani na Furaha ya moyoni (Peace n’ Joy)Isaya 55:12, Filipi 4:4-7,
Kolosai 3:15

Kuthibitisha Wito wako
2.
Kupenda na Kuridhika (Passion) Kut 33:12-14, Math 17:1-7
Zab 37:4, Zab 16:11,

Kuthibitisha Wito wako
3.
Bajeti ya Muda zaidi Kut 33:7-11, Math 14:22-23,
Mark 1:35, Yoh 8:1

Kuthibitisha Wito wako
4.
Uwezo mkubwa wa Kazi hiyo (Ability)
Kutoka 33:1-5,Matendo 6:7-10.

Kuthibitisha Wito wako
5.
Matokeo Mazuri Yohana 5:31-36, Marko 16:15-20.

Kuthibitisha Wito wako
6.
Baraka na Mafanikio Zaburi 1:1-3, Mithali 10:22
Mith 17:8, Mith 18:16

Kuthibitisha Wito wako
7.
Ushuhuda mzuri wa Watu wengine
Math 18:16, Yoh 6:11-14Yoh 3:1-2, Mdo 6:1-8.

Kuthibitisha Wito wako
1. Amani na Furaha ya moyoni2. Kupenda na Kuridhika3. Kutumia Muda Zaidi4. Uwezo mkubwa ktk hilo 5. Matokeo Mazuri 6. Baraka na Mafanikio7. Ushuhuda mzuri wa wengine

Huduma na Karama
Namna ya Kutambua Huduma na Karama
yako

Kutambua Huduma na Karama
1. Mwombe Mungu (Omba)Fanya Maombi ya Muda mrefu
Yeremia 29:11-13Isaya 43:26
Wafilipi 4:6-7Zaburi 32:8

Kutambua Huduma na Karama
2. Tumika katika Kazi ya Mungu bila mipaka.
Panda mbegu asubuhi na jioni, hujui ni ipi itakayoota
Mhubiri 11:6

Kutambua Huduma na Karama
3. Sikiliza Sauti ya Mungu (Uongozi wa Mungu) na Uangalie Uwezo Binafsi
ulionao (Neema).Chunguza Eneo unalotumika
vizuri zaidi kuliko mengine.Matendo 6:8

Kutambua Huduma na KaramaUwezo Binafsi (Neema).
Chunguza eneo unalotumika vizuri zaidi kuliko mengine (matokeo mazuri
zaidi).
Matendo 6:8‘Filipo akijaa Neema na Nguvu,
alifanya maajabu na ishara kubwa kati ya watu’

Kutambua Huduma na Karama
4. Mwombe Mungu Tena akupe Uthibitisho.(Comfirmation)
Fanya Maombi ya Muda mrefuLuka 4:1-14,18-19
Luka 6:12-19

Kutambua Huduma na Karama
5. Sikiliza ushauri (Uliza) Sikiliza ushauri kutoka kwa watendakazi na walezi wako
wa kiroho au kihuduma.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Mambo Muhimu Ya Kuombea.
Vipimo vya Aina ya Wito wa mtu.
(Specificacations)

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake
(huduma/karama) 2. Wito wa mtu (Huduma na
Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)

Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la Wito2. Mpango wa Wito3. Uwezo na Nguvu (Matokeo)4. Ngazi au Kiwango cha Wito5. Eneo la Wito 6. Kipimo au Kiasi cha Wito7. Muda wa Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili
wa Kristo ) Kinafanya kazi duniani ili kutimiza Kusudi
moja Kuu la Mungu, la Kuujunga Ufalme wa Mungu
duniani.

Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la Wito
Kusudi Kuu la Mungu duniani lina sura Kuu Nne (4).

Viashiria vya Wito wa Mtu
Sura Nne za Kusudi la Mungu.1.Kumiliki na Kutawala Dunia2.Kumsifu + Kumwabudu Mungu3.Kufanikiwa na Kuongezeka4.Kuwarudisha na kuwatafuta
walio nje Mungu Walio Nje.

Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili
wa Kristo ) Kinafanya kazi duniani ili kutimiza Kusudi
moja Kuu la Mungu, la Kuujunga Ufalme wa Mungu
duniani.

Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la Wito
Matendo 26:12-18Yohana 4:23-24
Mwanzo 1:26-28Marko 16:15-20

Viashiria vya Wito wa Mtu
2. Mpango wa Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu
Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una mpango
na mchepuo wake maalum, uliowekewa na Mungu, kwa
kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu; lenga kufanya wito
wako katika mchepuo uliopewa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
2. Mpango wa WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili
wa Kristo ) Kimetengenezewa na Mungu, Mpango wake
maalum wa kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani.

Viashiria vya Wito wa Mtu
2. Mpango wa WitoMpango wake maalum wa
kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani, ni Mungu kuweka
Huduma na Karama mbalimbali katika Waumini wa Kanisa lake (Viungo vya Mwili wa Kristo).

Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili
ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika
nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
2. Mpango wa WitoMpango wake maalum wa
kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani, ni Mungu kuweka
Huduma na Karama mbalimbali katika Waumini wa Kanisa lake (Viungo vya Mwili wa Kristo).

UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2714 Basi mwili si kiungo kimoja,
bali ni viungo vingi. 15 Kama mguu ungesema, “Kwa kuwa
mimi si mkono basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya huo
mguu usiwe sehemu ya mwili.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2716 Na kama sikio lingesema, “Kwa kuwa mimi si jicho, basi
mimi si la mwili,” hiyo isingefanya hilo sikio lisiwe
sehemu ya mwili.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2717 Kama mwili wote ungelikuwa
jicho, kusikia kungekuwa wapi? Au kama mwili wote
ungelikuwa sikio, kunusa kungekuwa wapi?

UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2718 Lakini kama ilivyo, Mungu ameweka viungo katika mwili, kila kimoja kama alivyopenda.
19 Kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa
wapi?

UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2720 Kama ulivyo, kuna viungo
vingi, lakini mwili ni mmoja. 21 Jicho haliwezi kuuambia
mkono, “Sina haja nawe!” Wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu, “Sina haja na ninyi!”

UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-27
22 Lakini badala yake, vile viungo vya mwili
vinavyoonekana kuwa dhaifu, ndivyo ambavyo ni vya muhimu
sana.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2723 Navyo vile viungo vya mwili tunavyoviona havina heshima,
ndivyo tunavipa heshima maalum. Vile viungo vya mwili
ambavyo havina uzuri, tunavipa heshima ya pekee.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2724 Wakati vile viungo vyenye
uzuri havihitaji utunzaji wa pekee. Lakini Mungu
ameviweka pamoja viungo vya mwili na akavipa heshima zaidi
vile vilivyopungukiwa

UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-27
25 ili pasiwe na mafarakano katika mwili, bali viungo vyote vihudumiane usawa kila kimoja
na mwenzake.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2726 Kama kiungo kimoja kikiumia,
viungo vyote huumia pamoja nacho, kama kiungo kimoja kikipewa heshima, viungo
vyote hufurahi pamoja nacho.

Viashiria vya Wito wa Mtu
2. Mpango wa WitoKila kiungo katika Mwili wa Yesu
(Kanisa), kina uwezo binafsi ambao kimeumbiwa (kimejaliwa) na Mungu, kwa makusudi kamili
ya kutenda kazi kwa kutimiza kusudi maalumu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake
(huduma/karama) 2. Wito wa mtu (Huduma na
Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Timotheo 2:7Nami kwa kusudi hili
nimewekwa niwe Mhubiri na Mtume na Mwalimu wa watu
wa Mataifa katika imani na kweli.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Yermia 1:5-10Kabla hujaumbika kwenye
tumbo la mamako, nilishakutenga uwe Nabii. Usiseme wewe ni mtoto,
kwamaana nimeshakuandaa kuwa Nabii kwa Mataifa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una mpango
na mchepuo wake maalum, uliowekewa na Mungu, kwa
kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu; lenga kufanya wito
wako katika mchepuo uliopewa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na Nguvu
(Matokeo)

Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8
Yohana 20:21-22Luka 24:49Luka 4:1,14
Matendo 10:38

Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8
‘Naye Stephano, akijaa Neema na Nguvu za Mungu, alifanya
ishara na miujiza mikubwa miongoni mwa watu’

Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuYohana 20:21-22
‘Kama Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi; pokeeni
Roho Mtakatifu’ (Kwa kazi hiyo)

Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8
Yohana 20:21-22Luka 24:49Luka 4:1,14
Matendo 10:38

Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8-10
Wayahudi wakatoka kujadiliana na Stefano juu ya Yesu; naye
Stefano akijaa neema na uwezo, akahojiana nao kwa nguvu na ishara za miujiza.

Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8-10
Nao hawakuweza kumshinda kwa yule Roho aliyekuwa akisema naye; kwakuwa
stefano alijaa neema na uwezo mwingi

Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuLuka 24:49
‘Tazama nawaletea ahadi ya Baba; Lakini msitoke mjini
mpaka mtakapovikwa uweza utokao juu.’

Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuLuka 4:1,14
‘Baada ya Yesu kujazwa na Roho Mtakatifu, aliingia katika maombi ya siku 40; naye
akarudi katika nguvu za Roho’

Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuMatendo 10:38
‘Naye Mungu alimpaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho
Mtakatifu na Nguvu, naye akawafungua wote
walioonewa na ibilisi shetani ’

Viashiria vya Wito wa Mtu
Marko 16:15-2015 Akawaambia, “Enendeni
ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16 Ye yote aaminiye na kubatizwa ataokoka.
Lakini ye yote asiyeamini atahukumiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Marko 16:15-2017 “Nazo ishara hizi zitafuatana
na wale waaminio: Kwa Jina Langu watatoa pepo wachafu, watasema kwa lugha mpya …

Viashiria vya Wito wa Mtu
Marko 16:15-2018 watashika nyoka kwa mikono yao na hata wakinywa kitu cho chote cha kuua, hakitawadhuru kamwe, wataweka mikono yao
juu ya wagonjwa, nao watapona.”

Viashiria vya Wito wa Mtu
Marko 16:15-2019 Baada ya Bwana Yesu kusema nao, alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa
Mungu.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Marko 16:15-2020 Kisha wanafunzi Wake wakatoka, wakahubiri kila
mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha
Neno Lake kwa ishara zilizofuatana nao.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una viashiria vyake maalum, vilivyowekewa na
Mungu kuthibitisha wito huo. Usitafute kufanya kila kitu; lenga
kufanya wito wako katika mchepuo uliopewa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
4. Eneo la Wito(Location + Group)

Viashiria vya Wito wa Mtu
Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una eneo lake maalum, lililowekewa na
Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya wito kila
mahali, lenga kufanya wito wako katika eneo uliopangiwa.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Timotheo 2:7Nami kwa kusudi hili
nimewekwa niwe Mhubiri na Mtume na Mwalimu wa watu
wa Mataifa katika imani na kweli.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Wagalatia 2:8Aliyemwezesha Petro kuwa
mhubiri wa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha mimi kuwa
mhubiri wa Mataifa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12
7 Walipofika kwenye mpaka wa Misia, wakajaribu kuingia
Bithinia lakini Roho wa Yesu hakuwaruhusu.

Viashiria vya Wito wa Mtu
4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12
8 Kwa hiyo wakapita Misia, wakafika Troa. 9 Wakati wa usiku Paulo akaona maono,
mtu wa Makedonia amesimama akimsihi akisema,

Viashiria vya Wito wa Mtu
4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12
9 … “Vuka uje huku Makedonia ukatusaidie.” 10 Baada ya Paulo kuona maono haya, mara tulijiandaa kuondoka
kwenda Makedonia…

Viashiria vya Wito wa Mtu
4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12
10 … tukiwa tumesadiki kwa sababu tuliona kwa hakika kwamba Mungu ametuita
kuhubiri habari njema huko.

Viashiria vya Wito wa Mtu
4. Eneo la Wito
Yeremia 1:9-10‘Kabla hujaumbika tumboni mwa
mamako, nilikwisha kukutenga uwe Nabii kwa Mataifa’

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2821:4 Baada ya kuwatafuta wanafunzi wa huko, tukakaa
nao kwa siku saba. Wale wanafunzi wakiongozwa na Roho walimwambia Mtume Paulo asiende Yerusalemu.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2810 Baada ya kukaa kwa siku
kadhaa, akatelemka nabii mmoja kutoka Uyahudi jina
lake Agabo.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2811 Alipotufikia akachukua mshipi
wa Paulo akajifunga, akautumia kufunga mikono na
miguu yake mwenyewe akasema, “Roho Mtakatifu
anasema:

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2811 … ‘Hivi ndivyo Wayahudi wa
Yerusalemu watakavyomfunga mwenye mshipi huu na kumkabidhi kwa watu
Mataifa.’

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2812 Tuliposika maneno haya sisi
na ndugu wengine tukamsihi Paulo asiende Yerusalemu.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2813 Lakini Paulo akajibu, “Kwa
nini mnalia na kunivunja moyo? Mimi niko tayari si
kufungwa tu, bali hata kufa huko Yerusalemu kwa ajili ya
jina la Bwana Yesu.”

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2814 Alipokuwa hashawishiki, tukaacha kumsihi, tukasema,
“Mapenzi ya Bwana na yatendeke.”

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2814 Alipokuwa hashawishiki, tukaacha kumsihi, tukasema,
“Mapenzi ya Bwana na yatendeke.”

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21:17-26Askofu Yakobo alijaribu
kumtengenezea Paulo mazingira ya kukubalika kwa Wayahudi, (kwa kufanya ibada kwa sheria za Torati ya Musa) lakini bado
haikusaidia; walimkataa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2830 Mji wote ukataharuki, watu
wakaja wakikimbia kutoka pande zote wakamkamata
Paulo, wakamburuta kutoka mle hekaluni. Milango ya
hekalu ikafungwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2831 Walipokuwa wakitaka kumwua, habari zikamfikia
jemadari wa jeshi la askari wa Kirumi kwamba mji wa
Yerusalemu wote ulikuwa katika machafuko.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2832 Mara yule jemadari
akachukua maafisa wengine wa jeshi pamoja na maaskari
wakakimbilia kwenye ile ghasia …

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2832 … wale watu waliokuwa
wakifanya ghasia walipomwona yule jemadari na
askari wakija, wakaacha kumpiga Paulo.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21:30-32Ulinzi wa Mungu (Baraka za Mungu) hazikuwepo juu yake,
kwasababu Mtume Paolo alitoka nje ya wito wake.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21:30-32Wayahudi wakampiga Paulo kwa
mawe, nusu ya kumuua, ndipo kwa rehema zake, Mungu,
akaamua kumrudisha Paulo katika mwili wake, ila aende
Rumi, kwa Wamataifa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2822:17 “Baada ya kurudi
Yerusalemu, wakati nikiwa ninaomba hekaluni, nilipatwa
na usingizi mzito

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 21-2822:18 nikamwona Yesu
akiniambia, ‘Harakisha utoke Yerusalemu upesi, maana
hawataukubali ushuhuda wako kunihusu mimi.’ (kwasababu Wito wako si kwa Wayahudi)

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 23-26Paulo anahudhuria mahakama;
1. Baraza/Wazee – Jerusalem2. Liwali Felix – Kaisaria3. Gavana Festo – Kaisaria4. Mfalme Agripa - Kaisaria

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 23-26Kesi za Paulo hazikupata suluhu;
hatimaye wakaamua kesi yake ikasikilizwe Rumi (kwa
Wamataifa) na sio Jerusalem (kwa Wayahudi).

Viashiria vya Wito wa Mtu
Matendo 27-28 Paulo anasafirishwa mpaka Rumi kwa pingu, chini ya ulinzi mkali wa binadamu na malaika,
kwenda kutimiza wito wake! Na huko ndipo alipotimiza na
kumalizia wito wake.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Wagalatia 2:8Aliyemwezesha Petro kuwa
mhubiri wa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha mimi kuwa
mhubiri wa Mataifa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una eneo lake maalum, lililowekewa na
Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya wito kila
mahali, lenga kufanya wito wako katika eneo uliopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
5. Muda wa Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu
Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una muda wake maalum, uliowekwa na
Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya wito kila
wakati, lenga kufanya wito wako kwa muda uliopangiwa.

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
5. Kipimo cha mudaYohana 7:37-39
37 Siku ile ya mwisho ya Sikukuu, siku ile kuu, wakati Yesu akiwa
amesimama huko, akapaza sauti Yake akasema, “Kama mtu ye
yote anaona kiu na aje Kwangu anywe.

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
5. Kipimo cha mudaYohana 7:37-39
39 Yesu aliposema haya alimaanisha Roho Mtakatifu ambaye wote waliomwamini wangempokea, kwani mpaka
wakati huo, kwasababu …

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
5. Kipimo cha mudaYohana 7:37-39
39 Roho alikuwa hajaletwa, kwa kuwa Yesu alikuwa bado hajatukuzwa (hajaondoka
kwenda katika Utukufu).

Viashiria vya Wito wa Mtu
5. Kipimo cha muda2Timotheo 4:5-8
“…wakati wa kufariki kwangu, umefika, nimevipiga vile vita
vizuri vya imani, mwendo nimeumaliza, imani nimeilinda, sasa naingejea taji ya uzima...”

Viashiria vya Wito wa Mtu
5. Kipimo cha muda
Wafilipi 3:13-14“…sijidhanii kwamba nimekwisha
kufika, bali nakaza mwendo, ili niifikie mede ya thawabu…”

Viashiria vya Wito wa Mtu
5. Kipimo cha mudaYohana 16:12-13
“…bado nina mambo mengi sana ya kuwaambia, lakini kwa sasa,
hamyawezi bado; wakati utafika, Roho atakuja na
kuyaachilia kwenu…”

Viashiria vya Wito wa Mtu
5. Kipimo cha mudaWaebrania 5:11-15
“nashangaa kwamba bado mnahitaji maziwa badala ya
makande, kwasababu wakati mwingi umepita, tangu
mlipoamini…!

Viashiria vya Wito wa Mtu
5. Kipimo cha mudaWaebrania 5:11-15
“saa hii mlitakiwa kuwa waalimu wa watu wengine, lakini bado
ni watoto, mnaotakiwa kulishwa maziwa wala sio
makande…”

Viashiria vya Wito wa Mtu
5. Muda wa WitoWagalatia 4:1-2
“japo mrithi ndiye Bwana wa yote, lakini awapo mtoto, mali zake hawezi pewa, bali zitabaki
chini ya waangalizi, mpaka wakati sahihi utakapofika”

Viashiria vya Wito wa Mtu
5. Muda wa WitoWagalatia 4:1-2
Kuna baadhi ya vitu vyako, hautaviona vinakutokea,
mpaka utakapokua na kufika kiwango fulani cha ukomavu
(maturity)

Viashiria vya Wito wa Mtu
Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una muda wake maalum, uliowekwa na
Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya wito kila
wakati, lenga kufanya wito wako kwa muda uliopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi
(Measure/Length) (Standard/Quality)

Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi
Katika Idadi (Quantity)Mathayo 25:14-30

Viashiria vya Wito wa Mtu
Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una kipimo chake maalum, kilichowekwa na
Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu, lenga kufanya wito wako kwa kipimo
ulichopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3014 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni
kama mtu (Bwana) anayetaka kusafiri, akawaita watumishi wake na kuweka mali yake
kwenye uangalizi wao (Uwakili) ili kuitunza na kuizalisha.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3015 Mmoja akampa talanta tano
(5) mwingine talanta mbili (2) na mwingine talanta moja (1), kila mmoja alipewa kwa kadiri
ya uwezo wake. Kisha yeye akasafiri kwenda mbali.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3019 “Baada ya muda mrefu yule
bwana wa wale watumishi akarudi na kufanya hesabu nao.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3020 Yule mtumishi aliyepokea
talanta 5 akaja, akaleta nyingine 5 zaidi. Akasema, ‘Bwana uliweka kwenye uangalizi wangu talanta 5. Tazama,
nimepata faida talanta 5 zaidi.’

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3021 “Bwana wake akamwambia,
‘Umefanya vizuri sana, mtumishi mwema na
mwaminifu …!

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3021 “… Umekuwa mwaminifu kwa
vitu vichache, nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo
ushiriki katika furaha ya bwana wako!”

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3022 “Yule mwenye talanta 2, naye
akaja. Akasema, `Bwana, uliweka kwenye uangalizi wangu talanta 2. Tazama
nimepata hapa faida ya talanta mbili (2) zaidi.’

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-30“Bwana wake akajibu, ‘Umefanya
vizuri sana, mtumishi mwema na mwaminifu, na wewe
nakulipa kama mwenzako wa kwanza kwa kutimiza kusudi la wito wenu kwa kipimo chake.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3024 “Kisha yule mtumishi aliyepokea
talanta 1 akaja, akasema, ‘Bwana, nilijua kwamba wewe ni mtu mgumu, unayevuna mahali
usipopanda na kukusanya mahali usipotawanya.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3025 Kwa hiyo niliogopa, nikaenda,
nikaificha talanta yako ardhini. Tazama, hii hapa ile iliyo mali
yako.’

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3026 Bwana wake akajibu, ‘Wewe
mtumishi mwovu na mvivu! Ulijua yote hayo lakini
hukufanya ulichotakiwa kufanya (wewe ni mpumbavu).

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3027 Basi, ilikupasa kuweka fedha
yangu kwa watoa riba, ili nirudipo, nichukue ile iliyo
yangu na faida yake?

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mathayo 25:14-3030 “Nanyi mtupeni huyo
mtumishi asiyefaa nje, kwenye giza, mahali ambako kutakuwa
na kilio na kusaga meno.’

Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi
Luka 12:48 “… aliyepewa vingi, kwake
huyo vitatakwa vingi …”

Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi
1Wakorintho 3:13 “… Kazi ya kila mtu itapiwa, tena kwa moto wa Mungu …”

Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi
Wafilipi 3:13-14“…sijidhanii kwamba nimekwisha
kufika, bali nakaza mwendo, ili niifikie mede ya thawabu…”

Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi2Timotheo 4:5-8
“…wakati wa kufariki kwangu, umefika, nimevipiga vile vita
vizuri vya imani, mwendo nimeumaliza, imani nimeilinda, sasa naingejea taji ya uzima...”

Viashiria vya Wito wa Mtu6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi
2Timotheo 4:5-8Kwa Mtume Paulo kusema kwamba,
“mwendo nimeumaliza,” ni hakika ya kwamba, alikuwa anajua kiasi cha umbali alichotakiwa kutimiza
katika wito wake.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una kipimo chake maalum, kilichowekwa na
Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu, lenga kufanya wito wako kwa kipimo
ulichopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi
Luka 12:48 12 Nilipokuwa pamoja nao,
niliwalinda, wakawa salama kwa lile Jina ulilonipa. Hakuna hata
mmoja aliyepotea, isipokuwa yule aliyekusudiwa, ili Maandiko
yapate kutimia.

Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi
Yohana 19:30 30 Baada ya kuionja hiyo siki, Yesu
akasema, “Imekwisha.’’ Akainamisha kichwa chake,
akakata roho.

Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha KaziYohana 19:30
30 Bwana Yesu alikuwa na ujasiri wa kumwambia Mungu kwamba ‘Kazi uliyonituma “Imekwisha.’’
kwasababu alijua kwa hakika kipimo cha kazi alichopewa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha KaziYohana 5:30
30 Mimi siwezi kufanya jambo lo lote peke Yangu … kwa kuwa
sitafuti kufanya mapenzi Yangu mwenyewe, bali mapenzi Yake
Yeye aliyenituma.’’

Viashiria vya Wito wa Mtu
Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una kipimo chake maalum, kilichowekwa na
Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu, lenga kufanya wito wako kwa kipimo
ulichopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi
Katika Kiwango (Quality)2Wakorintho 3:10-15

Viashiria vya Wito wa Mtu
1Wakorintho 3:10-1510 Kwa neema Mungu aliyonipa,
niliweka msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine anajenga juu ya huo msingi. Lakini kila mtu inampasa awe mwangalifu jinsi
anavyojenga juu yake.

Viashiria vya Wito wa Mtu
1Wakorintho 3:10-1512 Kama mtu ye yote akijenga juu
ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, au kwa fedha, au kwa mawe ya thamani, au kwa miti, au kwa majani au kwa nyasi …

Viashiria vya Wito wa Mtu
1Wakorintho 3:10-1513 kazi yake itaonekana kuwa
ikoje, kwa kuwa siku ile itaidhihirisha kazi yake.
Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya
kila mtu.

Viashiria vya Wito wa Mtu
14 Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu.
15 Kama kazi ya mtu itateketea, atapata hasara, ila yeye
mwenyewe ataokolewa, lakini kama mtu aliyenusurika kwenye
moto.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una kipimo chake maalum, kilichowekwa na
Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu, lenga kufanya wito wako kwa kipimo
ulichopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
7. Ngazi ya Wito
(Level)

Viashiria vya Wito wa MtuMuhimu sana!
Kila wito wa Mungu una kipimo cha ngazi yake maalum, kilichowekwa
na Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kuliko ngazi
(level) yako, lenga kufanya wito kwa kipimo cha ngazi uliyopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
7. Kutembea katika kiwango
Waebrania 5:11-14Wagalatia 4:1
Mathayo 17:1-9

Viashiria vya Wito wa Mtu
7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge)
(1Sam 16:13, Zab 23:5) (Matendo 4:31)

Viashiria vya Wito wa Mtu
Kujaa Nguvu za Mungu
Kiwango, Kipimo, Ujazo

Viashiria vya Wito wa Mtu
7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho
(Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16) Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)

Viashiria vya Wito wa Mtu
Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi
katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi
katika viwango vyake maalum.

Viashiria vya Wito wa Mtu
Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.
Kutoka 24:1-18

Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18
^ 1st Class
^^^ 2nd Class
^^^^^^^^^^ 3rd Class

Viashiria vya Wito wa Mtu
NGAZI YA WITO WAKO
Usiridhike kuwa Mwana wa Mungu tu, bali tafuta kuongezeka katika
ngazi ya uhusiano na utumishi wako ndani ya Mungu.

Viashiria vya Wito wa Mtu
KIWANGO CHA WITO WAKO
Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.
Luka 6:13-16

1 (Yoh 21:19-24)
3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)
2 70 (Luka 10:1,17)
3 120 (Mdo 1:15)
500 (1Kor 15:3-8)
NGUVU YA SADAKA

Viashiria vya Wito wa Mtu
NGAZI YA WITO WAKO
Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu tu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi ya utumishi wako
ndani ya Mungu, katika wito ambao Mungu amekupa.

Viashiria vya Wito wa MtuMuhimu sana!
Kila wito wa Mungu una kipimo cha ngazi yake maalum, kilichowekwa
na Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kuliko ngazi
(level) yako, lenga kufanya wito kwa kipimo cha ngazi uliyopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu
7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18
Luka 6:12/10:1-2,17-20Matendo 5:12-13Matendo 15:1-22
Wagalatia 1:18-19/2:11-12

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa
vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa
kulitimiza kusudi la Mungu.

Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili
ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika
nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.

Huduma na Karama
Lakini katika Kanisa la leo, maswala ya Karama na
huduma yamechanganwa sana na yamechakachuliwa sana
kiasi cha kuleta mvurugano na matatizo makubwa katika
utendaji wa kazi ya Mungu.

Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31Na kuna waumini wengi sana
katika kanisa, hawajui wito wao, karama zao na huduma
zao katika kanisa la Yesu, japo wana miaka mingi kanisani.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

AINA YA WITO
MASAIDIANOMaombeziUimbajiUtoajiUjuziUfundiUratibu UsimamiziUkarimuUhudumu
KARAMANeno MaarifaNeno HekimaKupambanuaKarama UnabiiAina za LughaTafsiri LughaKarama ImaniKaram KuponyaKarama Miujiza
HUDUMAMitumeManabiiWaalimuWachungajiWainjilisti

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
BASIC PRINCIPLES OF SUCCESS

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Case StudyGenesis 32:9-12.

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
MfanoMwa 32:9-12.
“Nilivuka mto huu nikiwa na fimbo tu, leo hii ninarudi nikiwa
matuo mawili”

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
MfanoMwa 32:9-12.
Tuo 1 = watu 600 (kundi) (Matuo 2 = 600 x 2)(Matuo 2= 1,200)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
MfanoMwa 32:9-12.
“Nilivuka mto huu nikiwa na peke yangu na fimbo tu, lakini
leo hii ninarudi nyumbani nikiwa na wafanyakazi 1,200”

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
MfanoMwa 28:3/32:9-12.
“Nitakubariki na kukuzidisha”

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Mwa 32:9-12
Mwaka 1 Mwaka 20
1 1,200

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Mwa 28:3/32:9-12.
What were His Principles of Success?

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 1. Maono –Vision (Prov 29:18)
‘Without Vision, the people perish’(Prov 29: 18)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 1. Maono –Vision (Prov 29:18)
‘Nawe utakusudia neno, nalo litathibitika kwako; na mwanga
utaziangazia njia zako’ (Ayubu 22:28)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 2. Mpango – Plan (Prov 29:11)
‘For I know the plans that I have for you, the plans to give you hope, success and
victory, in your future.’ (Jer 29:11)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 2. Mpango – Plan (Prov 29:11)
‘I will take your flocks for a 3 day journey; I will keep hem there for 3
years. Afterwards, the spotless will all belong to you”
(Gen 30:36)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 3. Ujuzi – Knowledge (Hosea 4:6)
‘My people perish, for the lack of knowledge.’
(Hosea 4:6)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 3. Ujuzi – Knowledge (Hosea 4:6)
‘My people perish, for the lack of knowledge.’
(Hosea 4:6)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 4. Mtaji – Capital (Math 25:20)
‘Behold, you gave me 5 talents, and I have worked to a profit gain
of 5 more talents.’ (Math 25:20)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 4. Mtaji – Capital (Mith 25:20)
It was by the flocks of his Uncle, Laban, that Jacob worked to his fortune, of 1,200 employees.’
(Gen 32:9-12)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 5. Bidii – Deligence (Mith 10:4)
‘Atendaye mambo kwa mkono mlegevu, atakuwa maskini; bali mkono wake yeye aliye na bidii,
hutajirisha.’ (Mithali 10:4)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 5. Bidii – Deligence (Mith 10:4)
‘mkono wa mwenye bidii, utatawalaBali mvivu, atalipishwa kodi’
(Mithali 12:24)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 5. Bidii – Deligence (Mith 10:4)
‘Lolote mkono wako upatalo kulifanya, lifanye kwa nguvu na kwa bidii;
kwasababu baada ya kufa, hakuna kazi tena’
(Mhubiri 10:19)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)
‘Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea, na jicho langu
litakutazama’ (Zab 32:8)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIOBasic Principles of Success
6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)
37 ‘Hata hivyo, Yakobo, akachukua fito mbichi zilizokatwa wakati huo huo za miti
ya mlubna, mlozi na mwaramoni akazibambua ili mistari myeupe ionekane
katika fito hizo. ’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIOBasic Principles of Success
6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)
38 ‘Kisha akaweka fito alizozibambua kwenye mabirika yote ya kunyweshea
mifugo, ili ziwe mbele ya makundi walipokuja kunywa maji. Wanyama
walipokuja kunywa maji, hali wakiwa wanahitaji mbegu …’
(Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)
39 ‘wakapandwa hizo fito zikiwa mbele yao, wanyama waliopata mimba mbele ya hizo
fito, walizaa wanyama wenye mistari, madoadoa na mabakabaka.’
(Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)
40 ‘Yakobo akawatenga wadogo wa kundi peke yao, lakini akazielekeza nyuso za hao waliobaki kwenye wale wenye mistari na
weusi waliokuwa mali ya Labani …’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)
40 ‘… Hivyo akatenga makundi yake mwenyewe na wala hakuwachanganya
na wanyama wa Labani.’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)
41 ‘Kila mara wanyama wenye nguvu walipohitaji mbegu, Yakobo aliweka zile
fito kwenye mabirika mbele ya hao wanyama, ili wapandwe karibu na hizo
fito zenye michirizi.’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)
42 ‘lakini ikiwa wanyama walikuwa wadhaifu hakuziweka hizo fito. Hivyo
wanyama dhaifu wakawa wa Labani na wanyama wenye nguvu wakawa wa
Yakobo.’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)
42 ‘lakini ikiwa wanyama walikuwa wadhaifu hakuziweka hizo fito. Hivyo
wanyama dhaifu wakawa wa Labani na wanyama wenye nguvu wakawa wa
Yakobo.’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)
43 ‘Kwa njia hii Yakobo akastawi sana, tena akawa na makundi makubwa, watumishi wa kike na wa kiume na
ngamia na punda.’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 7. Marafiki – Company (1Kor 15:33)
‘Msidanganyike, mazungumzo mabaya (marafiki wabaya) huharibu tabia njema.’
(Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO
Basic Principles of Success 1. Maono – Vision (Prov 29:18) 2. Mpango – Plan (Jer 29:11) 3. Ujuzi – Knowledge (Hos 4:6) 4. Mtaji – Capital (Math 25:20) 5. Bidii – Deligence (Mith 12:24) 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8) 7. Marafiki – Company (1Kor 15:33)

MBINU ZA MAFANIKIO KATIKA MASOMO
Techniques for Academic Excellence

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
1.Major in your Divine Calling

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
1.Major in your divine calling
‘For I know the plans I have for you, the plans to give you hope, success
and victory, in your future.’ (Jeremia 29:11)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
1.Major in your divine calling
‘There are many plans in the hearts of men, but the purpose of the Lord
will succeed.’ (Proverbs 19:21)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
2.Do not Miss Lectures

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
2. Do not Miss Lectures/Classes
‘Sow seeds in he morning, sow seeds in the evening, because you dont know which one come-up.’
(Ecclesiastes 11:6)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
3. Know your Strong and Weak points

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
3. Know your Strong and Weak points
Do not carry extra load, above your capacity

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
3. Know your Strong and Weak points
‘God is faithful not to let you be tempted/tried above your capacity.’
(1Wakorintho 10:13)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
3. Know your Strong and Weak points
‘To one, he gave 5 talents, to another he gave 2 talents and to another, he
gave 1 talent; each one according to his ability (capacity).’(Mathew 25:15)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
4. Apply Personal Studying Techniques
(Ref: Strong and Weak Points)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
4. Apply Personal Studying Techniques(Ref: Strong and Weak Points)
‘They have deligence in the Lord,
but not in Knowledge.’(Romans 10:2)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
4. Apply Personal Studying Techniques(Ref: Strong and Weak Points)
Best time to studyEnvironment of StudyLength of StudyStyle of Study

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
5. Join up Serious Group discussions

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
5. Join up Serious Group discussions
‘Two are better than one; because as one falls, the other one will pick
him up’(Ecclesiastes 4:9-10)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
5. Join up Serious Group discussions
‘God has granted to each one a special unique gift (revelation), for
the benefit/profit of all’(1Corinthians 12:7)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
6. Maintain Personal Health Requirements

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
6. Maintain Personal Health Requirements
‘Don’t you knw that you have become the temple of the God, and
the Holy Spirit dwells in you?’(1Corinthians 3:16-17/6:19-20)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
6. Maintain Personal Health Requirements
‘If anyone destroys the temple of the Holy Spirit, God will destroy that
person; for the temple of God is Holy, meaning you, therefore Glorify God
through your bodies?’(1Corinthians 3:16-17/6:19-20)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
6. Maintain Personal Health Requirements
‘The Lord made man out of the dust of the ground (Body), and breathed in him
a life giving breath (Spirit), then man became a living Soul.
(Genesisi 2:7, 1Thes 5:23)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
6. Maintain Personal Health Requirements
(Holistic; Body, Soul, Spirit) Adequate SleepAdequate WaterBalanced DietProtection and HygieneSports and Games

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
6. Maintain Personal Health Requirements
(Holistic; Body, Soul, Spirit) Sports and GamesRecreation and hobbiesFun time and good timeWalking and VisitationOpposite Friendship

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
6. Maintain Personal Health Requirements
(Holistic; Body, Soul, Spirit)
Chapel Activities

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
6. Maintain Personal Health Requirements
(Holistic; Body, Soul, Spirit)Praise and WorshipBible StudyingPrayer and IntercessionEvangelistic OutreachActs of Mercy and Charity

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
7. Proper Planning and Time Management

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
7. Proper Planning and Time Management
‘There is season and a time for everything purpose under the sun’
(Ecclesiastes 3:1-8)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
7. Proper Planning and Time Management
‘Sit down before you start construction, to see and plan for the necessary
requirements needed to complete the job, less people laugh at your on your
failure to complete’(Luka 14:28-30)

ULIMWENGU WA ROHO
Kwa Mfano Uumbaji wa DuniaWaebrania 11:3

ULIMWENGU WA ROHO
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili)
havikuumbwa kwa vitu vilivyo dhahiri (wazi wazi)’

ULIMWENGU WA ROHO
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu
visivyo dhahiri (wazi wazi)’- (vitu vya kiroho) -

Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7 33 30 3 ½ 3 ½ 3 ½
Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki
Milele

Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7
33 30 3 ½ 3 ½ 3 ½ 600 Injili Ulimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki 700
Ulimwengu wa Mwili (4) Daniel 7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15
(3) Isaya 9: 6
Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo 33 AD 33 AD
Milele

ULIMWENGU WA ROHO
Kwahiyo
Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake
Every Physical/Natural thing has its Spiritual Form
1 Wakorintho 15:44

ULIMWENGU WA ROHO
1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili, Basi na mwili wa roho pia”
If there is a Physical/Natural bodyThere is a Spiritual body too.

ULIMWENGU WA ROHO
Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina
original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy
yake (yaani kina upande wa rohoni na wa upande wa mwilini).

ULIMWENGU WA ROHO
Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,
wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -

ULIMWENGU WA ROHO
Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko
kama kivuli”- Photocopy -

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).

ULIMWENGU WA ROHO
2 Corinthians 4:18Do not focus on the visible things (Physical) they are temporary; but
put your focus on the invisible thing (Spiritual) for they are
permanent.

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
7. Proper Planning and Time Management
‘If you fail to plan, then you are planning to fail’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
7. Proper Planning and Time Management
‘God is a God of Purpose, Plan and Strategies’

Mon Tues Wed Thur Fri Sat Sun
Week1
Week2
Week3
Week4
Proper Time Management - Plan

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
8. Build Healthy Personal Relationships

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
8. Build Healthy Personal Relationships(Opposite Sex)
‘For Stronger as death, many waters can not quench love’
(Songs 8:6-7)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
8. Build Healthy Personal Relationships(Opposite Sex)
‘Opposite Sex relationships are very strong relationships, strongly bonded
with ‘Eros’ love. An unstable relationship can very much touch one’s
heart and mind to affect studies and ruin his results’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
8. Build Healthy Personal Relationships
(Room n’ Class mates)‘Strive to live in peace
with all men …’(Hebrews 12:14)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
9. Pray for a Stable Family Relationship

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
9. Stable Family Relationship
‘Family members are connected with a very strong love called ‘Storge’. An unstable home can very much touch
one’s heart and mind to affect studies and results’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
9. Stable Family Relationship
‘Praye for the stability of your family, to have maximum
concentration and good results.’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
10. Proper Financial Management
‘Budgeting’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
10. Proper Financial Management ‘Budgeting’
‘A Budget is an income and expenditure plan. If you fail to plan,
then you are planning to fail’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
10. Proper Financial Management ‘Budgeting’
‘I have been praying for you, that may the Lord give you the spirit of wisdom
and understanding (revelation), so that you may know …’(Ephesian 1:15-19)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
10. Proper Financial Management ‘Budgeting’
‘Carefully observe how you live, wisely, purposefully and accuratelly; not as the unwise and foolish people, but as wise,
sensible and intelligent people’(Ephesian 5:15)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
1. Major in You Divine Calling2. Know Strong and Weak Points3. Never Miss Lectures and Classes4. Personal Studying Techniques5. Join Serious Group Discussions

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
6. Maintain a good Health7. Proper Time Management8. Healthy Personal Relationships9. Stable Family Relationship10. Proper Financial Management

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence
May these Principles help you live a better and succesful life, for the
aim of fulfilling God’s Purpose and Plan over your life.
(Proverbs 19:21)

LENGO KUU LA SOMO;
Kujifunza namna Mungu anavyoweza kumpa mtu
wake mafanikio, kwa lengo la kumwezesha kuishi ili kulitimiza kusudi lake.

KUSUDI KUU LA MUNGU
Ni kuwawezesha watu wake, Kuimiliki na Kutawala dunia,
ili binadamu aishi maisha mazuri, na kuwa chombo
kizuri cha Ibada, ili kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

Mafundisho Mengine
Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa
Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la
Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive
Dar es Salaam.

Kwa mawasiliano zaidi,
Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)
P. O. Box 837,Dar es Salaam, Tanzania.
+255 713 497 654+255 783 497 654