advanced 2 cbi swahili - amazon s3

16
Kitengo cha 2 Iliyoendelea sana Kitabu cha mwanafunzi Iliyoendelea sana

Upload: others

Post on 24-Jan-2022

2 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Kitengo cha 2

Iliy

oendelea s

ana

Kitabu cha mwanafunziIliyoendelea sana

1

Je,

Munguanakuambia nini

Munguhutumia neno

lake kuongea nasi kila wiki.

el día de

Leo?

“Suala la spishi zinazotishiwa”

Ninaweza kuwa mwenye haki wakati kuna uovu kila mahali.

Tafuta katika google Safina ya Nuhu na Mafuriko | Taasisi ya Utafiti wa UumbajiAngalia jinsi dinosau zinavyotoshea kwenye safina.

“Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu...” Waefeso 6:13

Inaweza kuwa ngumu kumtii Mungu wakati wengine walio karibu hawatii.Tafuta nafasi ya kufanya kile unajua ni haki lakini si kawaida kufanywa na wengine. Mfano: Rudisha fedha za ziada wakati mtu anakupa za ziada kwa sababu amekosea hesabu .

(Hadithi ya Biblia)

kesi(siku) (mwezi) (mwaka)

2

#01

Kutafuta

Neno:

Oo. Ujumbe muhimu unakuja.

Anza kwenye mraba nyeupe na kisha enda kwenye mraba nyeusi ukigusa. Kisha nenda nyeupe, nyeusi, nyeupe, na mengineyo. (Usiende kona kwa kona.)

1. Mbona ni ngumu kufuata maelekezo ya Mungu? Wakati Mungu anataka tufanye kitu fulani, je anatutarajia tufanye hivyo? 2. Je, mbona Mungu huruhusu mambo mabaya yetendeke? Je Mungu bado ana udhibiti wakati mambo mabaya yanapotokea?

3. Nitajuaje kuwa sauti niniayosikia kichwani mwangu imetoka kwa Mungu?

MNYAMADUNIAMVUANUHUMUNGUSAFINAHAMUNJIWASHEMUYAFETHIUPINDE WADHABIHU

H A M U D E

A U M E H S

F N H Y A A

M V U A B F

J U U F I I

M P G E H N

N I N T U A

Y N U H U D

A D M I U V

M E F N E T

A W I J N B

S A P U H I

“Kesi ya kuona UFO”

Kwa kutumia Wikipedia tafuta

eneo la Bethlehemu katika Israeli na

kugundua kile kilichopo kwenye

mlango wa kaskazini.

Nitaweka nafasi kwa Yesu katika maisha yangu.

“Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.” Ufunuo 3:20

Mwambie Yesu kuja maishani mwako na kuwa bwana wako.Kiri kwa Mungu kwamba huwezi kuwa mzuri kivyako na hivyo unahitaji zawadi yake ya wokovu. Ikiwa tayari wewe ni Mkristo na unafahamu wakati na mahali ulipomkubali, elezea rafiki yako. Muulize rafiki yako kama angetaka kumwalika Yesu maishani mwake na kama angependa msaada wako kufanya maombi.

KUTAFUTA NENO:

#02

3

(Hadithi ya Biblia)

kesi(siku) (mwezi) (mwaka)

1. Je! Yesu angeweza kuishi pamoja na marafiki zangu? Je! Yesu angekuwa mimi, angetumia muda wake kufanya nini?2. Kwa nini si kila mtu huamini katika Yesu?3. Je, nini kizuri na mbinguni?

MARIA

YOSEFU

PUNDA

YESUNYOTA

DHAHABU

UBANI

HERODE

WAFALME

MANEMANE

BETHLEHEMU

Y E M L A F A W J P

D H A H A B U S E Y

P U N D A T O Y N D

U M E H E L H T E B

F A M E U

E R A R B

S I N O A

O A E D N

J B H E I

Eeh, wadudu zaidi!

“Kesi ya desibeli za sauti ya juu”

Angalia picha katika google ili kupata picha tofauti za baragumu na kuamua ni

gani ungependa kupuliza.

Nitaitii kwa sababu maagizo ya Mungu hufanya kazi.

“Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika” (Luka 11:28).

Mungu anatupa maagizo ambayo yatatusaidia pia kushinda vita. Anasema, “Uwatii wazazi wako.” Wiki hii sikiliza kwa makini kile wazazi wako wanasema na kutii kila neno, mara moja, bila kusubiri. Pengine utapata si rahisi kufanya, kama tu Yoshua, lakini ina thamani yake.

A B C D

DCBA

2

1

1

2

1A2D1B1D

2C1C

2A2B

#03

4

(Hadithi ya Biblia)

kesi(siku) (mwezi) (mwaka)

1. Itakuwaje nikikosea? Je, zipi baadhi ya dhambi na makosa makubwa uliyoona au kusikia hivi karibuni? Nini kingetokea ikiwa ungefanya makosa hayo maishani mwako? 2. Je! Nitajipataje kuwa kiongozi? Je! Mungu anawajenga viongozi vipi? 3. Tutajuaje wakati unaofaa kusema uongo? Je! Uongo mdogo si muhimu, lakini mkubwa ni muhimu?

A T E B M U R A T JJ E G R K Y E R I K O U MK I R A O I G L I H S E JP A M S U B M A E I R I SR A H A B U L Y P L I G AT U K U T A U H A U E S BA N D A M A N A B I R K A

YOSHUAYERIKO MALAIKAPIGA KELELE

JESHIKIMYASABASIRI

TARUMBETAUKUTARAHABUANDAMANA

Ninawezaje kuwa nyota? Ninakuwa

Nakili kila mraba

kwenye mahali

sahihi katika gridi.

k tik oogle ili kupata

KUTAFUTA NENO:

“Kesi ya mtumiaji mjeuri”

Namikaribishwa wakati wowote kurudi kwa Mungu.

“Mtu huyu huwakaribisha wenye dhambi, tena hula nao.” Luka 15: 2b

Kuna wanafunzi walioenda kanisani mara moja tu, labda muda mrefu uliopita.Shauriana na mwalimu wako wa Biblia kwa mapendekezo fulani ya wanafunzi ikiwa huna habari yoyote. Waalike kurudi kanisani na uwe makini kuwafanya wahisi wamekaribishwa vizuri.

Kutafuta Neno:

#04

5

(Hadithi ya Biblia)

(siku) (mwezi) (mwaka) kesi

1. Nitawezaje kumtambua rafiki wa kweli?Je! Umewahi kudhani kwamba mtu fulani ni rafiki lakini ukagundua baadaye kwamba alikuwa tu anakutumia kupata kitu? 2. Je, itakuwaje wazazi wangu wakikosa kutenda haki?3. Je, itakuwaje wazazi wangu wakiniamrisha kufanya kitu kibaya?

NGURUWE

CHAKULA

MPOTEVU

URITHI

KUTUMIA

MTUMISHI

NDUGU

SHEREHEKEAMWANAPETE BABA PESA

N G U R U W E N G U B

D U V E T O P M K R A

U R B T K U T U M I A

G I A E G S B A B A N

U T S P C H A K U L A

S H E R E H E K E A W

T I P I H S I M U T M

Buscar slop del cerdo en las imá-genes de Google

ydecidir si te gusta

comer.

Na sasa, wimbo wa kijani ... j

Angalia katika google kwa picha za kile

ambacho nguruwe hula na kuamua ikiwa

ungependa kula.

Angalia katika google

Je! Miduara huenda wapi katika picha?

1

2

3

4

5

“Kesi ya mgeni katika mashamba”

Mungu anaweza kufanya kitu kizuri kutokana na hali yangu mbaya.

“Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.”Warumi 8:28

Aamua kuimarisha urafiki wako na mtu unayemjua. Unahitaji kuwasaidia ili kuwa upande wao katika mazingira magumu. Kwa mfano, unaweza kuwasaidia kusoma kwa ajili ya mtihani, kumaliza kazi haraka au kufanya mazoezi ya michezo (kushika mipira ya besiboli, mazoezi ya miguu ya soka, mipira ya vikapu amabyo mara nyingi inagonga neti, nk) Kama Ruthu tu, hata wakati wanasema, “Hapana, naweza kufanya hilo peke yangu,” kuwa katika upande wao na kuwa rafiki mzuri anayewasaidia.

#05

6

(Hadithi ya Biblia)

kesi(siku) (mwezi) (mwaka)

RUTHU MOABU ISRAELI ALIKUFABETHLEHEMUIMEREJESHWA ELIMELEKI UPENDO

WANA NAOMI ORPA

1 6 2 9 5 3 8 7 6 3

0 3 7 5 6 1 3 4 9 4

1 5 3 4 3 5 9 2 1 8

5 6 2 8 2 6 3 7 5 2

2 3 4 6 1 5 8 6 3 8

5 8 3 6 7 2 4 5 2 4

9 2 5 1 8 1 3 9 1 6

Enda kutoka kwenye sanduku moja hadi

lingine kwa nambari ambayo aidha ni

kubwa zaidi kuliko nambari ya sasa au nusu ya

nambari ya sasa. Usiende mshazari. Kuna zaidi

ya jibu moja sahihi.

Je, unaweza kupata njia kutoka Moabu hadi Bethlehemu?

Ungependa kuitembea?

Lazima nipate kutunza

nyoyo hizi.

ya aidi

1. Nini hutokea unapotoroka matatizo?Ni kwa njia gani umeona watu wakijaribu kukimbia kutoka kwa matatizo? Nini kiliwafanyikia?2. Mpango wa Mungu ni upi katika uhusiano wa mwanamume/mwanamke?

3. Ni kwa njia ipi imani yangu huleta utofauti kwa marafiki zangu?

E I I A R

L O S W U

I D R H B

M N A S EE E E E TL P L J HE U I E LK A M R E

I L O E H

W I A M E

A K N I M

R U T H U

M F U B P

A A A K I

B O R P A

M W A N A

“Kesi ya binamu maarufu”

Mungu ananihitaji niwe tofauti na watu mwingine.

“Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu.” Warumi 12: 2

Mungu anaweza kuhitaji uwe tofauti na wengine katika rika lako.Labda huruhusiwi kutazama filamu sawa kama marafiki wengine au kuangalia vipindi vya TV au kusikiliza muziki sawa, au kuvaa mavazi sawa. Kazi yako ni kuacha kunung’unika na kuwashukuru wazazi wako kwa kushauri kuwa tofauti. Labda unajua mtu ambaye wazazi wake wanataka awe tofauti, waheshimu kwa kuitikia kufuata maagizo ya wazazi wao na kuwaunga mkono wakati wengine wanawacheka kwa kuwa tofauti.

Kutafuta Neno:

#06

7

(Hadithi ya Biblia)

(siku) (mwezi) (mwaka) kesi

- Nenda katika mwelekeo wa mshale.

- Chagua njia unataka kwenda ( ).

- Endelea katika mwelekeo ulio tayari kwenda.

Usigeuke.

MAJIMAJIMTOMTOYESUYESUYUDEAYUDEA

ASALIASALINZIGENZIGEYORDANIYORDANIROHO ROHO

MTAKATIFUMTAKATIFUSAMEHESAMEHEUBATIZO UBATIZO DHAMBI DHAMBI YOHANAYOHANA

R Y O R D A N I M T Y

I U F I T A K A T M E

B D D J R E H E M A S

M E H A O G U B A T U

A A A M H I N Z I G O

H I M B O Z I T A B U

D Y O H A N A S A L I

Je! Ungetaka

kuwa rafiki

Angalia katika Wikipedia mchakato wa kutengeneza nguo kutoka kwa manyoya ya ngamia.Kisha amua kama ungependa kuvaa nguo zilizotengenezwa hivyo.

1. Je, mimi ni mwenye dhambi? Ni nini inaweza kuwa dhambi kati ya shughuli zangu za kila siku? 2. Je! kitu kinakuwa dhambi kama hujui?3. Wengine wanasema kwamba kuwa bora ndilo la muhimu, unaona aje?

“Kesi ya msafiri aliyechanganyikiwa”

Angalia katika Wikipedia kwa magari ya farasi ya vita na ya usafiri. Gundua ni aina gani inayoweza kutumiwa na zaidi ya mtu mmoja.

Nitatafuta fursa ya kuwaambia watu kuhusu Yesu.

“Vivyo hivyo nasi tukiwatumaini kwa upendo mwingi, tuliona furaha kuwapa, si Injili ya Mungu tu, bali na roho zetu pia” 1 Wathesalonike 2: 8a

Tumia kichochea kuanza majadiliano kuhusu Yesu na watu wa karibu.Baadhi ya vichochea maarufu (vianza) ni kucheza muziki wa Kikristo ili wengine wasikilize, kubeba Biblia, kuisoma katika maeneo ya umma, na kupeana maandishi inayotoa ushuhuda.

1B1D2A2D

2C1A2B1C

Nakili kila mraba kwenye mahali sahihi katika gridi.

AB

CD

DC

BA

2

1

1

2

Kutafu-

ta Neno:

#07

8

(Hadithi ya Biblia)

kesi(siku) (mwezi) (mwaka)

MAJIMAJIGAZAGAZAISAYA ISAYA MALAIKA MALAIKA

YERUSALEMU YERUSALEMU

UBATIZO

KUHUBIRI KUHUBIRI

BARABARA BARABARA

BIBLIA BIBLIA

U M E L A S U R E Y

K U H U B I R I B I

A K I A L A M G A S

G B A R A B A R A

Z U B A T I Z O Y

I S Y I J A M A

U B A I L B I B

Sasa jicho langu

linaonekana vizuri.

o:::::::::::::::::::::::::::::::::::::::

1. Je! Biblia ina tofauti na vitabu vingine? 2. Kwa nini Biblia inafaa kwangu?3. Kwa nini nisibatizwe? Unadhani ni wakti upi mzuri wa kubatizwa?

“Kesi ya mzazi anayeasi”

Mungu ana mpango juu yangu.

“Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema Bwana, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.” Yeremia 29:11

Uliza watu katika familia yako wanachodhani ni hatima yao ya baadaye. Chukua mapendekezo haya kwa Mungu kwa njia ya maombi na kumwuliza ikiwa anakubali au ana mipango tofauti kwako.

#08

9

(Hadithi ya Biblia)

(siku) (mwezi) (mwaka) kesi

MUSA MUSA NILE NILE MTOMTOMAMABINTIALIZALIWAKIMYAFARAO

DADA DADA FICHWAFICHWAKIKAPU KIKAPU MIRIAMU MIRIAMU UFUKWEUFUKWEMFALMEMFALME

K Z M M I T N I BI W U F U K U M F

K U S A M A M T IA F A R A O A O CP U D A D A I N HU K I M Y A R I WA W I L A Z I L AB E M L A F M E Z

BINBINALALKIMKIMFARFAR

Ole, pikipiki yangu

hairuki juu.

Pata kujua jinsi mto wa Nile unavyokaa kwa sasa? Fikiria kuhusu mtoto katika kikapu ukingoni.

1. Nini humfanya Mungu kuchukua muda mrefu? Je! Ni tofauti gani kati ya kuwa na uvumilivu katika maombi na kumsumbua Mungu? 2. Mbona nimwamini Mungu hata? Je! Tunaweza kuamini kwamba Mungu atafanya tunachotaka?3. Itakuwaje ikiwa mtu fulani ananichukia?

“Kesi ya umati ambao haukukanyagana”

Nitashukuru kwa kile ambacho Mungu amenijalia.

“Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake; Wajulisheni watu matendo yake.” 1 Mambo ya Nyakati 16:8

Inamisha kichwa chako kabla ya kula (hata ukiwa shuleni au mgahawani) na kumshukuru Mungu, “shukrani kwa kunipa hii.”

#09

10

(Hadithi ya Biblia)

kesi(siku) (mwezi) (mwaka)

ANDREAANDREAYESU YESU TANO TANO SAMAKISAMAKIVIKAPUVIKAPU

KUMI NA KUMI NA

MBILI MBILI KAMBI KAMBI WATUWATUKIKUNDIKIKUNDI

NUNUA NUNUA KAA CHINIKAA CHINI

MKATE MKATE CHAKULA CHAKULA

Kutafuta Neno:

Tafuta Bahari ya Galilaya na kugundua

umbali walivyotembea watu.

Tamuu. Juisi ya wadudu.

1. Kwa nini hakuna vitu vya kutosha kwa kila mtu? Kuna wengine walio na zaidi kunipita. Lakini pia kuna wengine walio na ndogo zaidi yangu. Tutawezaje kumaliza wivu? 2. Je, naweza kuleta mabadiliko ipi kwa sasa, ingawa mimi ni mchanga?

3. Je, muujiza ni nini? Je, Ni miujiza ipi ambayo umesikia imewafanyikia wengine? Je! Umewahi kuona muujiza maishani mwako?

Anza kwenye mraba nyeupe na kisha enda kwenye mraba nyeusi ukigusa. Kisha nenda nyeupe, nyeusi, nyeupe, na mengineyo. (Usiende kona kwa kona.)

M K U S E Y S M A

A E T A K M W A N

M K A A C H I N I

A I W K H I K D M

I K A M A S A R U

L U B K K M A E K

I N U N U A B A T

B D W K L C H I A

M I U P A K I V N

B I B L I A M K O

“Kesi ya watumishi wa Mfalme wasiotii ”

Tafuta tanuri ili kujua kile tunachotumia kwa sasa kwa ajili ya kutengeneza chuma

na kuyeyusha kioo, nk. Je! Ungependa kufanya kazi karibu na moja?

Hata nikishawishiwa kufanya kitu kibaya, sitakubali.

“Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali..” Mithali 1:10

Usishawishiwe kudanganya au kuangalia majibu wakati wa mtihani.Iwapo rafiki anataka umsaidie na majibu, sema “hapana.” Unapokuwa katika duka na hakuna anayeangalia, usiibe kitu

#10

11

(Hadithi ya Biblia)

(siku) (mwezi) (mwaka) kesi

Kutafuta Neno:

Kunaendelea vipi?

1. Je, nitafanyaje nikipoteza umaarufu kwa sababu ya kuwa Mkristo?Nitawezaje kusawazisha tamaa yangu ya kupendwa na hamu yangu ya kufuata Mungu? 2. Je, ikiwa sihisi vibaya? Naweza kuamini hisia zangu?3. Je, itakuwaje ikiwa ni mimi pekee ambaye nakataa?

T I K A H S E M U Z I SI D U T D H A H A B U IR M B E S A N A M U N KU U A B E D N E G O E IN Z B M P R D H L O N LA I I U I A B I K I D IT K Z R G K B S H D A ZP I G A M A G O T I B AS I K T B U D U B A U K

- Nenda katika mwelekeo wa mshale.

- Chagua njia unataka kwenda ( ).

- Endelea katika mwelekeo ulio tayari kwenda.

Usigeuke.

DHAHABU SANAMUMUZIKI TANURI

TARUMBETA PIGA MAGOTISIKILIZA BABILONI SHADRAKA

MESHAKI ABEDNEGOKUABUDU

“Kesi ya kutoroka gerezani”

1. Ni njia gani sahihi au isiyofaa ya kuomba? Maombi inafaa kuchukua muda upi? Tunawezaje kujitambua katika maombi ili tusiwe wanafiki lakini tufanye maombi kwa usahihi? 2. Ni kwa njia zipi naweza kujisikia niko mbali na Mungu? Nafaa kufanya nini ninapohisi hivyo?

3. Je, ikiwa nimeumia moyoni, nitafanyaje?

Ninaposhutumiwa kufanya kitu ambacho sikufanya Mungu ana baraka maalum kwa ajili yangu.

“Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu.” Mathayo 5:11

Kuwa na uwazi na kuzungumzia kuhusu wokovu wako, ya kwamba wewe ni Mkristo halisi.Watu wanapokutukana, na kukucheka, usijilipishie. Badala yake, nyamaza na uombe Mungu akuonyeshe njia tofauti ambazo umebarikiwa.

#11

12

(Hadithi ya Biblia)

kesi(siku) (mwezi) (mwaka)

2B

1C

2D

1A

1B

1D

2A

2C

Nakili kila mraba kwenye mahali sahihi katika gridi.

A B C D

DCBA

2

1

1

2

Hii ni chumba cha gereza cha Paulo na Sila.

Tafuta picha katika Google

ili kupata picha zingine.

Masanduku mawili ya wadudu

kutoka eBay!

F A G J P U M O N O K I M

S I L A Z U L H K G U K O

W A U I L G I J I E T E K

P L U L M I N Y O R O R O

O S M I G M Z P B E R E B

W A A M I N I F U Z O Z I

A W A A M I A K A K

F H M A J E R A H A

PAULO PAULO SILA SILA MIGUU MIGUU MIKONO MIKONO

FAMILIA FAMILIA GEREZAGEREZAMLINZI MLINZI KIBOKO KIBOKO

MINYORORO MINYORORO

MAJERAHA MAJERAHA WAAMINIFU WAAMINIFU

KUTOROKA KUTOROKA

“Kesi ya uamuzi wa kutumia fedha ovyo”

Nitakapokiri dhambi zangu, Yesu atanisamehe.

“Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote.” 1 Yohana 1:9

Cheza katika uchafu, angalia mikono yako, waza kwamba unachokiona katika uchafu ni dhambi kwako. Sasa safisha mikono yako, na kuwaza kwamba kutubu kwa Yesu kile ulichofanya kibaya leo ni kama kuoshwa na kuwa safi. Omba na kumwambia kuwa unasikitika kwa yale uliyoyafanya ambayo hayajampendeza, ukiamini ni Yeye tu anaweza kukuosha ndani jinsi ulivyoosha mikono yako michafu.

#12

13

(Hadithi ya Biblia)

(siku) (mwezi) (mwaka) kesi

Kutafuta Neno:

Kutafuta Neno:

YESUYESUSIMONISIMONIMWANAMKEMWANAMKEKULIAKULIAPOLEPOLEIMEOSHWAIMEOSHWAMACHOZI MACHOZI ASANTEASANTEALITEMBEAALITEMBEAKRISTO KRISTO MIKONOMIKONOMIGUUMIGUU

Tafuta katika Google kwa manukato ya gharama ya juu ambayo yanaweza kulipa mshahara wa mwaka kwa sasa. Oooh

dooby-Oo

doo

Picha za mafuta ya nardo kama yale Maria angeweza kutumia.

1. Nitawezaje kuonyesha upendo na shukrani zangu kwa Mungu ikiwa siwezi kumwona wala kumgusa?

2. Tutawezaje kuwa wenye haki ilhali tunatenda dhambi kimakusudi?

3. Je! Itakuwaje nikikosea? Je! Mtu huhisi vipi unapotazama na kufikiri “Nilijipataje katika mahali hapa?”

M M A B Y P L A MA W H S O E M I IC A K L A Z S L GH N E O E N O U UO A M T B B T K UZ M W S M I P E YI K A I E NZ E N R T OO N O K I MM G U U L IY E S O A S

“Kesi: Je, ilikuwa dawa, homoni, au steroidi?”

1. Je! Ni nini hasa kinafaa katika uhusiano wa kijana/msichana? Ni mipaka gani inayofaa kuwekwa?

2. Je, nafsi yangu ya usiri iko sawa, ikiwa hakuna mtu anayejua kuihusu?3. . Ni aina ngapi za nguvu na urembo

unazoweza kutaja? Je, ni zipi unapenda zaidi?

Mungu amenipa vipawa ili kuvitumia kutimiza mpango Wake.

“Lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye. 1 Wakorintho 12:11

Patia mtu katika familia zawadi itakayomsaidia kufanya kazi yake. Mfano: kijiko cha kugawa kwa mama, mmea kwa mababu wako, glavu kwa baba, penseli nzuri kwa kaka au dada yako. Fikiria jinsi Mungu amekupa yote unayohitaji kutimiza mpango Wake kwako.

#13

14

(Hadithi ya Biblia)

kesi(siku) (mwezi) (mwaka)

Kutafuta Neno:

SAMSONISAMSONIDELILA DELILA KIONGOZIKIONGOZINYWELENYWELE

KATAKATAGAZA GAZA MLANGOMLANGOMJIMJI

ISRAELIISRAELIWAFILISTIWAFILISTIMWENYE NGUVU MWENYE NGUVU

Hii ni rahisi kuliko kuruka. uka.

Tafuta katika Wikipedia: “Wafilisti” ili kupata sehemu walimoishi na kugundua ni nani aliyekuwa adui wake hatari zaidi.

Je! Miduara huenda wapi katika picha?

1 2 3 4 5 6

D E L I K U R U E K I A J

A I F M W A F I L I S T I

L N G U L V T Z E W R N Y

I N O S M A S A W S A M O

L K U V U G N E Y N E W M

E A L J A Z A G N V L J W

D E T K I O N G O Z I G A

W A L I M O I S H I W O F

Advanced 2 CBI Swahili

[email protected] are located in Mexico.00-52-592-924-9041

lake la Neno

thamani kazi 23:12

Nimeyatunza maneno ya

kinywa

chake zaidi ya

riziki ya

ngu,

Sikurudi nyuma kuiacha amri ya

midomo yake;