huduma na karama za roho mtakatifu

Post on 27-Jan-2016

595 Views

Category:

Documents

89 Downloads

Preview:

Click to see full reader

DESCRIPTION

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU. D’Salaam Christian Workers 25 Agosti , 2011 Mwl . Mgisa Mtebe 0713 497 654. ROHO MTAKATIFU NI NANI. Roho Mtakatifu ni ; 1. Ni Mungu Mwenyezi 2. Ni Nguvu ya Mungu 3. Roho Mtakatifu ni Mtu. UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU. Siri ya Ushindi wetu - PowerPoint PPT Presentation

TRANSCRIPT

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU

D’Salaam Christian Workers

25 Agosti, 2011

Mwl. Mgisa Mtebe0713 497 654

ROHO MTAKATIFU NI NANI

Roho Mtakatifu ni;

1. Ni Mungu Mwenyezi2. Ni Nguvu ya Mungu3. Roho Mtakatifu ni Mtu

UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Siri ya Ushindi wetuUpo katika Kumtambua Roho Mtakatifu, katika Nafasi zake;1.Yeye ni Mungu2.Yeye ni Nguvu ya Mungu3.Yeye ni Mtu - Nafsi hai

UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Kumtambua Roho Mtakatifu,

Kama Mtu – Kumshirikisha yote Nguvu ya Mungu – Kumtegemea Kama Mungu – Kumtii 100%

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

Kutokana na uthamani wa Roho Mtakatifu (delicate) na tabia yake ya

umakini (sensitive) na Mwitikio wake (response); Yesu alijua,

asipomtambulisha Roho Mtakaifu vizuri kwa kanisa, watamdharau na kumpuuza, eti kwasababu anatajwa

namba tatu.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

Matokeo yake ni kwamba, Roho Mtakatifu ataumia sana na

kuhuzunishwa sana; kwahiyo, na yeye atazificha nguvu zake na

atazima uwezo wake na msaada wake, aliokuja nao kwa kanisa.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

Kwa tabia za Roho Mtakatifu, Yaani, • Kwa jinsi alivyo mtulivu, • Kwa jinsi alivyo mtaratibu,• Kwa jinsi alivyo mkimya,• Kwa jinsi alivyo mpole, na • Kwa jinsi anavyoumia haraka• Kwa vile alivyo ‘delicate’ (kama glass ya thamani, lakini rahisi kuvunjika,)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

Ndio maana, Bwana Yesu alichukua muda mrefu sana,

kumtambulisha Roho mtakatifu kwa kanisa, ili kanisa lisije

kufanya kosa hilo, la kumtompa Roho heshima yake.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

Pamoja na upole wake, Bwana Yesu pia alijua jinsi Roho Mtakatifu alivyo ‘very strict’ (jinsi alivyo na msimamo mkali sana), yaani yuko ‘very strict’

kuliko Mungu Baba na ni ‘strict’ kuliko Mungu Mwana Bwana Yesu

mwenyewe.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

Pamoja na upole wake, Roho Mtakatifu yuko ‘very strict’ kuliko

Baba na Mwana.

Soma mwenyewe uone, Mathayo 12:22-32

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kanisa la leo, ipo katika;1. Kumtambua Roho Mtakatifu 2. Kumthamini Roho Mtakatifu 3. Kumshirikisha Roho Mtakatifu4. Kumsikiliza Roho Mtakatifu5. Kumtii Roho Mtakatifu

SIRI YA KANISA LA LEO

Bwana Yesu alisema; ‘Ulimwengu hauwezi kumpokea kwasababu haumtambui, bali ninyi mnamtambua, kwahiyo

atakaa kwenu na kuwa ndani yenu’

(Yohana 14:17).

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kanisa la leo, ipo katika; Kumbe siri ya ushindi na nguvu za Mungu maishani mwako, ni kumjua au kumtambua na kumheshimu tu Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu akipata heshima yake, anafungulia mito ya Baraka na nguvu za Mungu kwako.

ROHO MTAKATIFU

ROHO MTAKATIFU YUKO WAPI?

ROHO MTAKATIFU

ROHO MTAKATIFU YUKO WAPI?Yohana 16:7

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 16:7“Lakini amin nawaambia, yafaa

Mimi niondoke kwa kuwa nisipoondoka, huyo Msaidizi (Roho Mtakatifu) hatakuja

kwenu, lakini nikienda nitamtuma kwenu.”

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 7:37-39

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 7:37-3937 Siku ile ya mwisho ya Sikukuu,

siku ile kuu, wakati Yesu akiwa amesimama huko, akapaza sauti

Yake akasema, “Kama mtu ye yote anaona kiu na aje Kwangu

anywe.

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 7:37-3939 Yesu aliposema haya alimaanisha

Roho Mtakatifu ambaye wote waliomwamini wangempokea,

kwani mpaka wakati huo, kwasababu …

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 7:37-3939 Roho alikuwa hajaletwa,

kwa kuwa Yesu alikuwa bado hajatukuzwa (hajaondoka

kwenda katika Utukufu).

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 14:12-17

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 14:12-1712 Amin, amin, nawaambia, ye yote

aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa

kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba...

16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae

nanyi milele.

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 14:12-1717 Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi

kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumjui. Ninyi mnamjua kwa

kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa ndani yenu. 18 Sitawaacha

ninyi yatima, naja kwenu.

ROHO MTAKATIFU

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI?

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 14:12-171. Yupo Pamoja Nawe

(He is with you)

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yoel 2:28 ‘Katika siku za mwisho,

asema Bwana, nitamwaga Roho wangu juu ya wote

wenye mwili’.i.e. Kila mwenye mwili, Roho Mtakatifu yupo pamoja naye

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 14:12-171. Yupo Pamoja Nawe

(He is with you)Kazi yake:

Kukushuhudia(Yoh 16:8)

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yoh 16:8 “Huyo Roho atakapokuja, atashuhudia ulimwengu

kwa habari ya dhambi, haki na hukumu.”

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 14:12-172. Yupo Ndani yako

(He is in you)

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yoh 14:17Kwasasa, Roho Yupo nanyi, (lakini baadaye) atakuwa

ndani yenu.

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Rum 8:9Yeye asiye naye Roho, huyo si mali ya Kristo.

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yoh 3:3-6 Amini amini nakwambia, mtu

asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuona Ufalme wa Mungu. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili, kilichozaliwa

kwa Roho ni Roho.

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Yohana 14:12-172. Yupo Ndani yako

(He is in you)Kazi yake:

Kutuzaa mara ya pilikatika Uzima wa milele.

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

3. Huwa anakuja juu yako(He is upon you)

Matendo 1:8Luka 24:49

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Matendo 1:8“Lakini mtapokea nguvu akiisha

kuwajilia Roho Mtakatifu juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu …

hadi miisho ya dunia.’’

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Luka 24:49 “Tazama nawaletea juu yenu ahadi ya Baba Yangu (RohoMtakatifu), lakini kaeni (subirini) humu mjini

Yerusalemu mpaka mtakapovikwa uwezo utokao juu.”

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Matendo 1:83. Huwa anakuja juu yako

(He is upon you)Kazi yake:

Kutupa uwezo (upako) waKuifanya kazi ya Mungu.

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

1Petro 4:11 “ …Ye yote ahudumuye maneno hana budi kuhudumu kwa nguvu zile apewazo na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo…”

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

Matendo 10:38 “ … Jinsi Mungu alivyompaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho Mtakatifu na Nguvu; naye akawa akizunguka katika miji na vijiji, akiwaponya watu na kuwafungua wote walioonewa na ibilisi…”

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU

Kumbe basi;Pasipo nguvu za Mungu,

(UTUKUFU) mtu wa Mungu huwezi kufanikiwa katika

maisha yako hapa duniani.

ROHO MTAKATIFU

Kazi za Roho Mtakatifu

Yohana 14:26Yohana 16:13

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

1.Kutushuhudia kuhusu

Dhambi, Haki na Hukumu(Conviction)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

1. Kutushuhudia na Kutushawishi Yohana 16:7-8, Warumi 8:16,

Mfano;Matendo 2:37-41

‘wakachomwa mioyo yao’

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

2.Kutuzaa mara ya Pili na

Kuumba Wokovu Ndani yetu(Salvation)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

2. Kutuzaa ktk Maisha Mapya (Wokovu/Kuokoka)

Yohana 1:12-13, Yohana 3:3-6, 1Wakorintho 12:3

Mfano;Matendo 2:37-41

‘wakachomwa mioyo yao’

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

3.Kutujaza Nguvu za Mungu

Ndani yetu na Juu yetu(Power)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

3. Kutujaza Nguvu za Mungu Luka 24:49, Matendo 1:8

Mfano;Luka 4:1,14, 18-19

‘Akatembea kwa Nguvu za Roho na kuwa mtu maarufu ktk Uyahudi’

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

4.Kutuongoza katika Maisha

ya Kila siku(Guide)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

4. Kutuongoza na Kutupasha habari Yohana 16:13, Warumi 8:14

Mfano;Matendo 16:6;

‘Wakakatazwa na Roho kwenda kuhubiri Asia, nao wakatii!’

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

5.Kutufundisha Neno la Mungu kwa Ufunuo

(Revelation)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

5. Kutufundisha na Kutufunulia Siri za Neno la Mungu

Yohana 14:26, 1Wakor 2:9-12

Mfano;Luka 24:44-49;

‘Akawafunulia akili zao, wapate kuelewa maandiko!’

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

6.Kutusaidia katika Kuomba

na Kutuombea(Intercession)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

6. Kutuwezesha Kuomba sawa na Mapenzi ya Mungu

Warumi 8:26-27, 1Wakor 2:9-11

Mfano;Matendo 12:1-5-17;

Kanisa linatiwa nguvu na Roho, ili kuomba kwa ajili ya Petro gerezani.

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

7.Kutusaidia katika

Kuamwabudu Mungu katika Roho na Kweli

(Spiritual Worship)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU7. Kutuwezesha Kumwabudu Mungu

katika Roho na Kweli Yohana 4:23-24,

Mfano;Matendo 2:1-13-18;

Walipojazwa Roho Mtakatifu, waliweza kumwadhimisha Mungu

kwa matendo yake makuu.

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

8.Kuusulubisha Mwili na

Tamaa zake(Crucify the Flesh)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU8. Kutuwezesha Kuusulubisha mwili

pamoja na tamaa zake. 1Wathes 4:1-4-7, Wagalt 5:16-24

Mfano;Warumi 7:15-25, Warumi 8:5-12

Paulo: Mambo mabaya nisiyotaka, nilijikuta ninayafanya, Yesu kwa Roho wake, akampa kuyashinda.

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

9.Kuvunja Pingu na Vifungo

(Deliverance)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU9. Kuvunja Vifungo na Vizuizi

maishani mwetu. 2Wakor 3:17, Luk 4:18-19

Isaya 10:27, Mathayo 12:28Mfano;

Luka 11:201Samweli 16:17-23Matendo 9:17-19,.

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

10.Kutuwezesha Kukua Kiroho

(Spiritual Growth)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU10. Kutuwezesha Kukua Kiroho. 2Wakor 3:6, 17-18, 2Petro 3:18

Waefes 4:11-15Mfano;

1Wakorintho 3:6-9Mimi nilipanda, Apolo akatia

maji, bali akuzae ni Mungu

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

11.Kuchipusha Karama na

Vipawa vya Kiroho(Spiritual Gifts)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU11. Kutupa Karama na Vipawa vya

Kiroho. 1Wakor 12:4-11, Warumi 12:6-13

1Wakorintho 14:1-5Mfano;

Kutoka 31:1-11Nimempa Bezaleli Upako (Roho) wa

kuchonga na kuchora kwa ustadi vitu vya nyumba ya Mungu

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

12.Kutunyakua kwenda

Mbinguni(Kutubadilisha Asili)(Change of Nature)

KAZI ZA ROHO MTAKATIFU12. Kubadilisha asili yetu na kutunyakua kwenda Mbinguni.Luka 1:30-38, Mdo 1:1-2,9

Mfano;Matendo 8:38-40

Walipomaliza ubatizo, Roho wa Mungu akamyakua Filipo kutoka Samaria mpaka Azoto bila usafiri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Pasipo, Nguvu za Mungu, (nguvu za kiroho)

mwanadamu hataweza kutawala mazingira yake kwa ukamilifu; hataweza kuwa na

ushindi kamili maishani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu, duniani.

(‘It’s a necessity’)

KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, Bwana Yesu

Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja

ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za

Roho Mtakatifu”.

KWANINI ROHO MTAKATIFUNdio maana, na Bwana Yesu, aliwakataza wanafunzi wake

kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja

ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za

Roho Mtakatifu”.

KAZI YA ROHO MTAKATIFU

Kusudi kubwa mojawapo ambalo Mungu amemleta

Roho Mtakatifu kwalo, ni kuwa Kiongozi wa Kanisa katika nafasi ile ya Bwana Yesu

alipokuwa na kanisa siku zile za mwili wake.

KAZI YA ROHO MTAKATIFU

UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU

ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29

“16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi

mwingine akae nanyi milele.

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12-29‘’17 Huyo ndiye Roho wa kweli

ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu

haumwoni wala haumtambui.

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12-29‘’17 … Ninyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa

ndani yenu.

SIRI YA KANISA LA LEO

“Msaidizi Mwingine”Ina maana ni

“Kama Yesu”(Katika Nafai ya Yesu).

Si mpungufu

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kutembea na Nguvu za Mungu ipo katika utii wa

uongozi wa Roho Mtakatifu maishani mwako.

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea

kiwango cha utii unaompa Roho Mtakatifu, ambaye ni

Msaidizi wako.

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu wako ktk • kuitambua sauti yake (signal)• kuisikia sauti yake (kuelewa) • kuitii sauti yake (kutenda)

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu ulionao

kwa uongozi wa Msaidizi wako, Roho Mtakatifu.

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

NAMNA YA KUSIKIA SAUTI YA MUNGU NA

UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A.Namna za KAWAIDAB.Namba ZISIZO KAWAIDA

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. NAMNA ZA KAWAIDA

A. Namna za KAWAIDA

1. Kwa Neno lake (Logos);

(Zab 119:105, 2Tim 3;16-17)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

2. Kwa Ushuhuda wa moyoni (Sauti ya Ndani – ‘Rhema’) Isaya 55:8-11, Yer 29: 11

(1Kor 2:16, Rum 8:16) (2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

3. Kwa Amani ya rohoni (Furaha/Uhuru)

(Isa 55:12, Kol 3:15)(Fil 4:6-7, Efe 4:1-3)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

4. Kwa njia ya Ndoto

(Math 1:18-25 Math 2;19-21)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

5. Kwa kutumia watu wengine.

(Math18:16, Mdo 6:3-6)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. NAMNA ZISIZO

ZA KAWAIDA

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

6. Kwa njia ya Maono

(Mdo 10:1-19, Mdo 9:10-12)

(Mdo 16:9-10)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

7. Kwa Neno la Maarifa

(1Kor 12:4-8; Mdo 5:1-11)(Math 12:22-28)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

8. Kwa Neno la Hekima

(1Kor 12:4-8; 2Fal 2:19-21)(Yoh 9:1-7)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. Namna ZISIZO KAWAIDA

9. Kwa njia ya Unabii.

(1Kor 12;7-10, 1Kor 14:10) (Mdo 13:1-3)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. Namna ZISIZO KAWAIDA

10. Kwa Sauti ya Nje

(Mk 9:1-8, Mdo 9:1-9)(Yoh 12:28-30)

KUONGOZWA NA ROHO

KUONGEZA USIKIVU KWA SAUTI YA

ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

1. Maisha ya Utakatifu (Yoh 9:31, 2Wakor 6:14-18)

(1Pet 1:15-16, Isa 57:17)

VITA YA MWILI NA ROHO

(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

2. Kusifu na Kuabudu (Yoh 4:23-24, Zab 22:3)

(2Nyak 5:13-14)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

3. Kusoma Neno kwa Bidii (Waebr 4:12, Wakol 3:16-17)

(2Tim 3:16-17)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

4. Maombi ya Muda Mrefu (Wakol 4:2, 1Thes 5:17)

(Luka 6:12/18:1)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

5. Kukusanyika katika Ibada (Math 18:19-20, Waebr 10:25)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

6. Kuenenda kiroho(Katika Roho)

Wagal 5:16-25, Warum 8:5-121Wakor 1:1-9

KIROHO NA KIMWILI

Rohoni Mwilini

Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo, Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi Utoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya, n.k.

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

7. Kutembea katika kiwango

Waebrania 5:11-14Wagalatia 4:1

Mathayo 17:1-9

KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;

7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge)

(1Sam 16:13, Zab 23:5) (Matendo 4:31)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kujaa Nguvu za Mungu

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;

7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho

(Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16) Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi

katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi

katika viwango vyake maalum.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.

Kutoka 24:1-18

7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18

^ 1st Class

^^^ 2nd Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13-16

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU 1

3 122 70

3 120 500

1 (Yoh 21:19-24)

3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

NGUVU YA SADAKA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGAZI YA IMANILuka 6:13-16

Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu, bali tafuta kuongezeka katika

ngazi yako ndani ya Mungu

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Kuongozwa/Usikivu;

1. Utakatifu (1Pet 1:15-16, Isa 57:17)2. Kuabudu (John 4:23-24, Psa 22:3) 3. Maombi (Exo 24:12-18, Luk6:1219)4. Neno (Heb 4:12, Col 3:16)5. Ibada (Math 18:19-20)6. Kiroho (Wag 5:16, War 8:5-8)7. Kiwango (Efes 4:11-15, Ebr 5:11-14)

KUONGOZWA NA ROHO

VIZUIZI VYA KUSIKIA UONGOZI WA

ROHO MTAKATIFU

VIZUIZI VYA KUONGOZWA Maisha ya Kinyume cha Masharti;

1. Kuishi katika Dhambi na Uasi.2. Kukosa kuabudu kirefu (binafsi).3. Kukosa maombi ya kutosha.4. Kukosa mafundisho ya Neno la Mungu5. Kukosa ibada (za pamoja).6. Kuenenda kimwili (Tabia za kimwili). 7. Kukosa Ujazo na Kiwango cha kiroho.

SIRI YA KANISA LA LEO

SIRI YA USHINDI WA

KANISA LA LEO

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA LEO;Ipo katika …

Kumtambua na kumpokea Roho Mtakatifu katika maisha yetu, sisi

kama kanisa la Kristo, na kumfanya Roho Mtakatifu kama mwenzetu au

mwenza wetu (partner)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA LEO;Ipo katika …

Kumtambua na kumpokea Roho Mtakatifu katika maisha yetu, sisi

kama kanisa la Kristo, na kumfanya Roho Mtakatifu kama mwenzetu au

mwenza wetu (partner)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

Kwasababu …

ROHO MTAKATIFU

Roho Mtakatifu ni;

1. Ni Mungu Mwenyezi2. Ni Nguvu ya Mungu3. Roho Mtakatifu ni Mtu

(Nafsi iliyo hai)

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za

Roho MtakatifuKatika Kanisa.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

KUSUDI LA KANISANi Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira

yake, ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo

kizuri cha kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima katika maisha, ili kumwezesha mwanadamu, kumshinda adui

shetani na vizuizi vyake na kumwezesha kutawala maisha

yake na mazingira yake. (Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha

mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, na

kumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada,

(Mwanzo 1:26-28)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda

wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha

yako (inayotoka duniani).(Yohana 4:23)

VITA VYA ROHONI

Ni kwamba, kuna mapambano, kuna vita na upinzani

(mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu (kanisa la

Bwana Yesu Kristo).”(Mathayo 16:18-19)

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Summary KUSUDI LA KANISA – AWALI

1.KUMILIKI NA KUTAWALA2.KUSTAWI NA KUONGEZEKA3.KUMSIFU NA KUMWABUDU (KUMFANYIA IBADA)

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

KWANINI IBADA ?

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Ni Kwasababu, IDABA ndio kitu cha

kwanza kabisa katika moyo wa Mungu.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza

kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

UFUNUO 4:9-11/5:11-14

Mbinguni kuna malaika elfu elfu, wanaomsifu na

kumwabudu Mungu, usiku na mchana wakisema …

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

UFUNUO 4:9-11/5:11-14

… Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu, Bwana Mungu mwenyezi, mbingu na nchi

zimejaa utukufu wako …

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

UFUNUO 4:9-11/5:11-14

… Kwa maana wewe ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na

kwasababu ya mapenzi yako (matakwa yako na mahitaji

yako), vitu vyote vimeumbwa na vimekuwepo.…

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Yohana 4:23 Kwa maana Baba anawatafuta watu kama hao, ili wamwabudu;Na saa ipo na sasa saa imefika,

ambapo waabuduo halisi, watamwabudu Baba katika roho na

kweli;

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe

“UNAKETI” juu ya sifa za Israel

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe

“UNAKETI” juu ya sifa za Israel

“Inhabit” “Unaishi”

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza

kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kumnyima Mungu ibada Ni kama kumnyima • Samaki maji• Mimea udongo• Binadamu hewa

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

“Kwa maana, Baba anawatafuta watu wa aina hiyo ili wamwabudu.” (Yohana 4: 23)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka

katik maisha yako.(Yohana 4:23)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha

mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, na

kumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada,

(Mwanzo 1:26-28)

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza

kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Malaika Ufunuo 4:9-11

Ufunuo 5:11-14

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Malaika Mwanzo 1:26-28

Zaburi 148 na 150

Adam

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Malaika

Kwasababu ya asili yetu na uhusiano tuliyonayo Adam na Mungu …

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Malaika … sisi binadamu tunaweza kumsifu na kumwabudu Adam Mungu, vizuri zaidi kuliko malaika wa mbinguni

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Malaika Ibada Nchi Adam

8/24=1/3

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Kwahiyo, kusudi la Mungu ni kumwezesha mwanadamu

kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, kwasababu ana maisha

mazuri duniani …(Mwanzo 1:26-28)

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Kwasababu, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira yake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka duniani

(kwa watoto wa Mungu).(Ufunuo 12:17)

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa

sana na mazingira mazuri.Kumbukumbu 8:6-18

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka, na maisha yakitibuka, ibada kwa Mungu pia, inatibuka.

Hivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira

yake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka duniani.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Kwahiyo, kusudi la Mungu ni kumwezesha mwanadamu

kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, kwasababu ana maisha

mazuri duniani …(Mwanzo 1:26-28)

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ndio maana tunapokumbuka kuzaliwa kwa Bwana Yesu

duniani, (kama Adam wa pili), tunakumbushwa kwamba,

alizaliwa kwanza kama Mfalme na sio Kuhani, ili kurudisha

mamlaka ya Mungu duniani.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Kusudi la kanisa, ni Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira yake, ili

binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo kizuri

cha kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu za Mungu ni za lazima katika kumwezesha mwanadamu

kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, kwasababu ana maisha

mazuri duniani …(Mwanzo 1:26-28)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ili kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu,

Mungu alimuumbia mfumo wa uungu katika utu wake wa ndani, ili

atende kazi duniani kwa kutumia Nguvu za Mungu.(Mwanzo 1:26-28)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kumbe basi; (Zaburi 8:4-8)Pasipo kuwa na Sura ya Mungu

na Mfano wa Mungu (yaani UTUKUFU au Nguvu za Mungu), mtu wa Mungu huwezi kumiliki

na kuitawala dunia yake. (mambo yake)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

• Biashara Zaburi 8:4-8• Shamba• Mifugo • Masomo • Familia • Kazi • Afya• Mipango

Haiwezekani kuitawala Dunia

pasipo nguvu (utukufu) wa

Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda

wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katik maisha

yako.(Yohana 4:23)

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3 MUNGU ANAISHI KATIKA

IBADA na SIFA.Kwahiyo, Ibada ndio kitu cha

kwanza kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu

Neno;

Yohana 4:23 Kwa maana saa ipo na sasa saa imefika, ambapo waabuduo halisi,

watamwabudu Baba katika roho na kweli; kwa maana Baba anawatafuta

watu kama hao, ili wamwabudu.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Na ndio maana hata Mfalme Daudi anaandika kutukumbusha akisema;

“… Kila mwenye pumzi Na amsifu Bwana. ”

(Zaburi 150:1,6)

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Viumbe wote tumeumbwa kama vyombo vya ibada kwa Mungu.

Kumsifu na Kumwabudu Mungu ndio sababu kuu na ya kwanza

kwanini sisi viumbe wote tumeumba na Mungu.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

IBADA NA SADAKAYohana 4:23-24

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Yohana 4:23-24 Na saa ipo na sasa saa imefika,

ambapo waabuduo halisi, watamwabudu Baba katika roho na kweli; Kwa maana

Baba anawatafuta watu kama hao, ili wamwabudu;

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe

“UNAKETI” juu ya sifa za Israel

NGAZI (LEVELS) ZA KANISA

WEWE BINAFSI NI HEKALU 1Wakorintho 6:19-20 ‘Mwili wako ni Hekalu (Nyumba ya Ibada) ya Roho

Mtakatifu; kwa ajili ya kumsifu na kumtukuza Mungu aliyekuumba.

KANISA LA MTU BINAFSI1Wakorintho 6:19-20

19 Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho

Mtakatifu, akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe;

KANISA LA MTU BINAFSI1Wakorintho 6:19-20

20 kwa maana mmenunuliwa kwa gharama. Kwa hiyo

mtukuzeni Mungu katika miili yenu na katika roho zenu

ambazo ni mali ya Mungu.

KANISA LA MTU BINAFSIZABURI 150:1-6

6 Kila mwenye pumzi amsifu Bwana, kwa sauti kuu, kwa

zeze, kwa filimbi, kwa zomari, kwa matari, kwa vinubi na kwa

matoazi yavumayo sana.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

SummaryKUSUDI LA KANISA – AWALI

1.KUMILIKI NA KUTAWALA2.KUSTAWI NA KUONGEZEKA3.KUMSIFU NA KUMWABUDU

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,2826 Tufanye mtu kwa sura yetu na

kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso

wa dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26-1828 Mungu akaumba Mwanaume na

Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia,

zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.

KUSUDI LA KANISA

Ufunuo 5:9-109 Wewe Mungu … unastahili

heshima zote, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako

ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa.

(yaani kanisa).

KUSUDI LA KANISA

Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa

wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao

wanamiliki dunia.’’

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ufunuo 5:8-10

Ufalme Makuhani

Kutawala Ibada

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ndio maana tunapokumbuka kuzaliwa kwa Bwana Yesu

duniani, (kama Adam wa pili), tunakumbushwa kwamba,

alizaliwa kwanza kama Mfalme na sio Kuhani, ili kurudisha

mamlaka ya Mungu duniani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha

mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili

mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa

chombo kizuri cha ibada.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 8:4-8Mwanadamu ni nani hata

umemwangalia hivi? Umemfanya mdogo

kidogo tu kuliko Mungu,

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 8:4-8ukamvika taji ya Utukufu na

heshima, ukamtawaza juu ya kazi za mikono yako, ukavitia vitu vyote chini

ya miguu yake…

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 8:4-8Hilo neno “juu ya” = (Over All)

= Mkuu = Mtawala

“Mashal” = Mfalme (Kiebrania) = Mwakilishi

= Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-19

18 Na milango ya kuzimu haitaweza kulishinda kanisa

langu nitakalolijenga (kwa mfumo huu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-19

19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo

mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa

(mbinguni);

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-19

19 … na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa

(mbinguni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana,

bali nchi amewapa wanadamu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha

mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili

mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa

chombo kizuri cha ibada.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ili kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu,

Mungu alimuumbia mfumo wa uungu katika utu wake wa ndani, ili

atende kazi duniani kwa kutumia Nguvu za Mungu.(Mwanzo 1:26-28)

1. WOKOVU - KUOKOKA

Mwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8Mungu aliitengeneza dunia katika

namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.

1. WOKOVU - KUOKOKA

Mtu wa Mungu, hataweza kuuathiri na kuutawala

Ulimwengu wa roho na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa

mwili, kama hajaketishwa na kumilikishwa Ulimwengu wa

roho kupitia Wokovu wa Bwana Yesu.

1. WOKOVU - KUOKOKAWaefeso 1:18-23/2:1-6

Mungu hawezi kukurithisha mamlaka ya Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika

ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili kwa njia

ya Wokovu wa Bwana Yesu.

1. WOKOVU - KUOKOKA

Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,

alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na

kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,

ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KABLA YA DHAMBI UTARATIBU ULIKUWA HIVI

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)

Msaada Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 8:4-8

‘Mwanadamu ni nani hata umejalia kiasi hiki? Umemfanya mdogo

kidogo kuliko Mungu; ukamvika taji ya Utukufu na heshima,

ukamtawaza juu ya kazi za mikono yako; ukavitia vitu vyote chini ya

miguu yake’

MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”

Zab 8:4-8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BAADA YA DHAMBI MAMBO YAKAWA HIVI

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 3:23“Watu wote wamefanya dhambi

na kupungukiwa na utukufu wa Mungu”

BAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

MUNGU

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Shetani akakaa katika nafasi ya Adam na

akavaa vyeo vyote vya Adam

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 5:12, 14Kwa kosa la mtu mmoja, mauti ilitawala wanadamu, hata wale

ambao hawakufanya kosa la Adam.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 2:14, 15“Kwa njia ya mauti, Yesu alimharibu

yule adui, aliyekuwa na nguvu ya mauti, yaani shetani”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BAADA YA WOKOVU MAMBO YAKAWA HIVI

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1-6

1 Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu, 2 ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za

yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi

ndani ya wale wasiotii.

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1-6

3 Sisi sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani, tukifuata tamaa za

mwili na mawazo yake. Nasi kwa asili tulikuwa wana wa

ghadhabu, kama mtu mwingine ye yote.

MAMLAKA YA MKRISTO

Waefeso 2:1-64 Lakini Mungu, kwa upendo

Wake mwingi kwetu sisi, ambaye ni mwingi wa rehema,

MAMLAKA YA MKRISTO

Waefeso 2:1-65 hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu, alitufanya tuwe

hai pamoja na Kristo Yesu, yaani, mmeokolewa kwa

neema.

MAMLAKA YA MKRISTO

Waefeso 2:1-66 Mungu alitufufua pamoja na

Kristo na kutuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho

katika Kristo Yesu,

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:12-13

12 kumbukeni kwamba wakati ule mlikuwa hamna Kristo,

mkiwa wageni katika jumuiya ya watu wa Mungu … mliishi

duniani mkiwa hamna tumaini wala Mungu.

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:12-13

13 Lakini sasa katika Kristo Yesu, ninyi ambao hapo kwanza

mlikuwa mbali na Mungu, sasa mmeletwa karibu kwa njia ya

damu ya Kristo.

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:22

22 Katika Yeye ninyi nanyi nyote mnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu

anaishi ndani yake kwa njia ya Roho Wake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na wokovu wake, anaunganishwa

tena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo

ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Eden.

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:22

22 Katika Yeye ninyi nanyi nyote mnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu

anaishi ndani yake kwa njia ya Roho Wake.

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1-6

5 hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, kwa

neema ya wokovu wake.

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1-6

6 Mungu ali- tufufua pamoja na Kristo na kutu- ketisha pamoja

naye (juu sana) katika ulimwengu wa roho.

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU

Waefeso 1:18-23 Waefeso 2:6

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM 1

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU + ADAM 2

MAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVU

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM - 1

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU + ADAM - 2

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 17:22Ndio maana Bwana Yesu analisema…

“Baba, utukufu ule ulionipa, nimewapa wao (kanisa)”

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9-109 Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa

damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na

kila taifa (kanisa).

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa

wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao

wanamiliki dunia.’’

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ufunuo 5:8-10

Ufalme Makuhani

Kutawala Ibada

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha

mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili

mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa

chombo kizuri cha ibada.

1. WOKOVU - KUOKOKA

Waefeso 1:18-23/2:1-6Mtu wa Mungu, hataweza

kuuathiri Ulimwengu wa roho na kuleta mabadiliko katika

ulimwengu wa mwili, kama hajaketishwa na kumilikishwa

Ulimwengu wa roho kwa njia ya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

1. WOKOVU - KUOKOKA

Mwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8Mungu aliitengeneza dunia katika

namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.

1. WOKOVU - KUOKOKA

Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,

alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na

kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,

ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

1. WOKOVU - KUOKOKA

Waefeso 2:1-6/Ufunuo 5:8-10Lakini Mtu anapotubu dhambi zake

na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka

makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva

katika bustani ya Eden.

1. WOKOVU - KUOKOKAWaefeso 1:18-23/2:1-6

Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya Ulimwengu wa roho ili

uweze kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili, kama

hajazaliwa mara ya pili. kwa njia ya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na wokovu wake, anaunganishwa

tena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo

ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Eden.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za

Roho MtakatifuKatika Kanisa.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Moja ya kanuni muhimu katika kanisa, inayoweza kusababisha

Kanisa kulitimiza kusudi la Mungu duniani, na kutembea na Nguvu za Mungu, ni watu

kuuheshimu Huduma na Karama za Roho Mtakatifu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa

vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa

kulitimiza kusudi la Mungu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Wakorintho 4:1-21 Basi, watu na watuhesabu sisi

ni watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za Mungu. 2 Zaidi ya hayo, litakiwalo ni

watumishi na mawakili waonekane kuwa waaminifu.

KUSUDI LA MUNGU – AGANO JIPYA

Marko 16:15-2015 Akawaambia, “Enendeni

ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16 Ye yote aaminiye na kubatizwa ataokoka.

Lakini ye yote asiyeamini atahukumiwa.

KUSUDI LA MUNGU – AGANO JIPYA

Marko 16:15-2017 “Nazo ishara hizi zitafuatana

na wale waaminio: Kwa Jina Langu watatoa pepo wachafu, watasema kwa lugha mpya …

KUSUDI LA MUNGU – AGANO JIPYA

Marko 16:15-2018 watashika nyoka kwa mikono yao na hata wakinywa kitu cho chote cha kuua, hakitawadhuru kamwe, wataweka mikono yao

juu ya wagonjwa, nao watapona.”

KUSUDI LA MUNGU – AGANO JIPYA

Marko 16:15-2019 Baada ya Bwana Yesu kusema nao, alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa

Mungu.

KUSUDI LA MUNGU – AGANO JIPYA

Marko 16:15-2020 Kisha wanafunzi Wake wakatoka, wakahubiri kila

mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha

neno Lake kwa ishara zilizofuatana nao.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa

vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa

kulitimiza kusudi la Mungu.

Huduma na Karama

10. Huduma na Karama za Roho Mtakatifu

(1Wakorintho 12:4-11)

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-114 Basi kuna aina mbali mbali za

karama, lakini Roho ni yule yule. 5 Pia kuna huduma za

aina mbali mbali, lakini Bwana ni yule yule.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-116 Kisha kuna tofauti za kutenda

kazi, lakini ni Mungu yule yule atendaye kazi zote kwa watu

wote.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-117 Basi kila mmoja hupewa

ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.

8 Maana mtu mmoja kwa Roho hupewa neno la hekima na

mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-119 Mtu mwingine imani kwa huyo

Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Kwa mwingine

matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa

mwingine kupambanua roho;

Misingi ya Kanisa

1Wakorintho 12:4-1110 … kwa mwingine aina mbali

mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha. 11 Haya yote

hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia

kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa

vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa

kulitimiza kusudi la Mungu.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili

ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika

nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.

Huduma na Karama

Lakini katika Kanisa la leo, maswala ya Karama na

huduma yamechanganwa sana na yamechakachuliwa sana

kiasi cha kuleta mvurugano na matatizo makubwa katika

utendaji wa kazi ya Mungu.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31Na kuna waumini wengi sana

katika kanisa, hawajui wito wao, karama zao na huduma

zao katika kanisa la Yesu, japo wana miaka mingi kanisani.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31Na kuna baadhi ya karama na

huduma katika Kanisa, zimefutwa au kuzimwa kabisa, eti kwa madai kwamba wakati wake ulikwisha kupita tangu enzi za mitume wa kwanza.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31 Na baadhi ya karama na huduma

katika Kanisa, zimefutwa au kuzimwa kabisa, eti kwa madai kwamba karama hizo zinaleta

vurugu katika Kanisa.(1Wathesalonike 5:19-23)

Huduma na Karama1Wathesalonike 5:19-23

19 Msimzimishe Roho (msiuzime moto au karama za Roho Mtakatifu), 20 msidharau

maneno ya nabii. 21 Jaribuni mambo yote. (halafu) Yashikeni yaliyo mema. 22 Jiepusheni na

lililo ovu (uovu wa kila namna).

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa

vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa

kulitimiza kusudi la Mungu.

Karama na huduma

Mathayo 16:18-19, Lakini katika Kanisa la leo,

nguvu za Kanisa zimepungua sana kwasababu kanisa

limesimamia misingi (misimamo) tofauti na ile aliyoiweka Bwana

Yesu katika Kanisa lake.

Karama na huduma

Mathayo 16:18-19, Na ndio maana, kanisa la leo,

halijaweza kuishi na kutembea katika mamlaka ya Mungu kama ilivyokusudiwa, kwamba Kanisa

limiliki na kuitawala dunia, ili watu waishi maisha mazuri.

Karama na huduma

Kanisa la leo limetegemea zaidi vyeti vya elimu za kibinadamu katika kuifanya kazi ya Mungu kuliko karama na uwezesho wa

Roho Mtakatifu.(Matendo 4:13)

Karama na huduma

Matendo 4:13-1413 Wale viongozi na wazee

walipoona ujasiri wa Petro na Yohana na kujua ya kuwa

walikuwa watu wa kawaida, wasio na elimu, walishangaa

sana, kumwona yule …

Karama na huduma

Matendo 4:13-1414 … aliyekuwa kiwete, ameponywa kabisa na

amesimama pale pale pamoja nao (kama uthibitisho); hivyo hawakuweza kusema lo lote

kuwapinga.

Karama na huduma

Matendo 4:13-1413 Wale viongozi na wazee

walipoona haya, walitambua kwamba, Petro na Yohana, japo

hawana elimu (ya dunia hii), lakini walikuwa pamoja na Yesu.

(imefafanuliwa)

Karama na huduma

Matendo 4:13-14Si kwamba, natetea ujinga (au

watu kutokwenda shule), Hapana, ila tu ninaonya

kwamba, elimu zetu, zisiwe juu ya elimu au maarifa ya Mungu,

(karama za Roho Mtakatifu).

Karama na huduma

Nguvu za Mungu zimepungua sana leo, kwasababu Kanisa la leo limetegemea zaidi vyeti vya

elimu za kibinadamu zaidi, katika kuifanya kazi ya Mungu kuliko karama na uwezesho wa

Roho Mtakatifu.

Karama na huduma

Mathayo 16:18-19, kwahiyo, Kanisa la leo, limekuwa dhaifu sana

kwasababu, kanisa limechakachua misingi sahihi

kama hii kutoka katika utaratibu na mpango wa Mungu juu ua

Kanisa lake;

Karama na huduma

Lakini kanisa la Kwanza, waliheshimu sana huduma na

vipawa vya mtu; Na ndio maana kanisa la kwanza, lilitembea katika nguvu kubwa sana za Mungu, enzi za huduma yao.

(Matendo 8:5-17)

Karama na huduma

Matendo 8:5-175 Filipo akateremkia mji mmoja

wa Samaria akawahubiria habari za Kristo. 6 Watu walipomsikia

Filipo na kuona ishara na miujiza aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii

yale aliyosema.

Karama na huduma

Matendo 8:5-177 Pepo wachafu wakawa

wakiwatoka watu wengi, huku wakipiga kelele na wengi

waliopooza na viwete, wakaponywa. 8 Hivyo pakawa na furaha kuu katika mji huo.

Karama na huduma

Matendo 8:5-1714 Basi mitume waliokuwa

Yerusalemu waliposikia kuwa Samaria walipokea neno la

Mungu, wakawatuma Petro na Yohana waende huko.

Karama na huduma

Matendo 8:5-1715 Nao walipofika wakawaombea

ili wampokee Roho Mtakatifu, 16 kwa sababu Roho Mtakatifu

alikuwa bado hajawashukia hata mmoja ila wamebatizwa tu katika

jina la Bwana Yesu.

Karama na huduma

Matendo 8:5-1717 Ndipo Petro na Yohana

wakaweka mikono yao juu ya wale waliobatizwa, nao

wakapokea Roho Mtakatifu.

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Japo Filipo anakarama za miujiza na uponyaji, lakini aliheshi zaidi

huduma na karama ya Petro katika kuwaombea watu Ujazo

wa Roho Mtakatifu.

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Filipo aliwakaribisha akina Petro

kwa moyo mweupe ili kuja kuifanya huduma ya Bwana, bila

wivu wala kinyongo. (Hii ni tofauti sana na utendaji wa

kanisa la leo).

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Kanisa la leo lina mgongano na

vurugu na vinyongo na magomvi mengi na viburi vingi sana katika utendaji wa karama zake, kiasi

cha kuondoa kabisa utukufu wa Mungu kanisa.

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Karama na huduma hizi zimaleta

balaa badala ya baraka katika jamii za watu wa Mungu;

kwasababu zinafanywa kwa nia tofauti na kulijenga kanisa na

ufalme wa Mungu duniani.

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Karama na huduma hizi

zimekuwa zikifanyika kwa nia ya mashindano, kujinufaisha, na

kujitafutia utukufu binafsi na sio utukufu wa Mungu.

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Ndio maana Kanisa la leo lina

upungufu au ukavu wa nguvu za Mungu kwasababu ya

migongano ya karama na huduma za Roho Mtakatifu

katika kanisa.

Karama na huduma

Lakini kanisa la Kwanza, waliheshimu sana huduma na

vipawa vya mtu; Na ndio maana kanisa la kwanza, lilitembea katika nguvu kubwa sana za

Mungu.(Matendo 8:5-17)

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Kanisa la kwanza lilishirikiana vipawa na huduma kwa moyo mweupe bila vinyongo, choyo,

chuki, kiburi, mashindano, dharau, na wivu wa aina yoyote.

NGUVU YA KANISA

Ndio maana kanisa la kwanza waliweza kutembea na Nguvu

nyingi sana za Mungu, na kuwa na heshima katika jamii zao,

kwasababu walizingatia misingi ya kanisa la Mungu;

Mf; kuheshimu huduma+karama

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

Moja ya kanuni muhimu katika kanisa, inayoweza kusababisha

(kuzalisha) Nguvu za Mungu ziletazo baraka za Mungu

katika maisha yetu, ni kuuheshimu Huduma na

Karama za Roho Mtakatifu.

Karama na huduma

Mathayo 16:18-19, kwahiyo, Nguvu ya Kanisa la leo

imepungua sana kwasababu, kanisa limechakachua misingi

kama hii kutoka katika vile viwango alivyoweka Roho

Mtakatifu katika Kanisa lake;

VIWANGO VYA MUNGU

Ili Mungu alitimize kusudi lake duniani kupitia kanisa lake, ni

lazima basi, kanisa lake litengeneze viwango na

mazingira fulani vya lazima (necessary conditions and

standards) vinavyotakiwa, ili lifanye kazi na Mungu duniani.

VIWANGO VYA MUNGU

Kukosekana au kupungua kwa viwango hivi muhimu katika

misingi/nguzo za kanisa, ndiko kumesababisha kupungua kwa utendaji wa mkono wa Mungu

katika kanisa la leo.

Misingi ya Kanisa

Kama Kanisa la leo litarudi katika kuumiliki ulimwengu, basi lazima

Kanisa lihakikishe watu wake tunazijua karama zao na

wanatembea katika huduma zao kwa nia ya kumtukuza Mungu tu

na kumshinda shetani.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za

Roho MtakatifuKatika Kanisa.

(1Wakorintho 12:4-11)

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-114 Basi kuna aina mbali mbali za

karama, lakini Roho ni yule yule. 5 Pia kuna huduma za

aina mbali mbali, lakini Bwana ni yule yule.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-116 Kisha kuna tofauti za kutenda

kazi, lakini ni Mungu yule yule atendaye kazi zote kwa watu

wote.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-117 Basi kila mmoja hupewa

ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.

8 Maana mtu mmoja kwa Roho hupewa neno la hekima na

mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-119 Mtu mwingine imani kwa huyo

Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Kwa mwingine

matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa

mwingine kupambanua roho;

Misingi ya Kanisa

1Wakorintho 12:4-1110 … kwa mwingine aina mbali

mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha. 11 Haya yote

hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia

kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa

vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa

kulitimiza kusudi la Mungu.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili

ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika

nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Wakorintho 12:4-6

Aina za Wito(Type of Ministry)

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Makundi Makuu (3)ya Wito/Utumishi

A. Huduma Kuu Tano (5)B. Karama Kuu Tisa (9)C. Masaidiano/Utenda-kazi 1Wakorintho 12:4-6

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Makundi Makuu (3)ya Wito/Utumishi

A. Huduma 5 - YesuB. Karama 9 - RohoC. Utenda-kazi - Baba 1Wakorintho 12:4-6

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

HUDUMA KUU TANO (5)ZA KANISA

1Wakorintho 12:28Waefeso 4:11

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1. Mitume

Kuweka Misingi ya Imani

1Wakorintho 12:28Waefeso 4:11

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

2. Manabii

Kupeleka Ujumbe kwa Kanisa

1Wakorintho 12:28Waefeso 4:11

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

3. Waalimu

Kufundisha Neno kwa Kanisa

1Wakorintho 12:28Waefeso 4:11

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

4. Wainjilisti

Kuleta Waumini Wapya (Kondoo) Kanisani (Kundini)1Wakorintho 12:28

Waefeso 4:11

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

5. Wachungaji

Kulisha na Kulinda Waumini(Kondoo)

1Wakorintho 12:28Waefeso 4:11

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

KARAMA KUU TISA (9)ZA KANISA

1Wakorintho 12:4-11

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Makundi Makuu (3)ya Karama

A. Karama za UfunuoB. Karama za UsemiC. Karama za Udhihirisho

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

A. Karama za Ufunuo1. Neno la Maarifa2. Neno la Hekima3. Kupambanua roho

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

B. Karama za Usemi4. Karama ya Unabii5. Aina za Lugha6. Tafsiri za Lugha

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

C. Karama za Nguvu7. Karama ya Imani8. Karama ya Kuponya9. Karama ya Miujiza

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

HUDUMA ZA MASAIDIANO(Karama za Utendaji Kazi)

1Wakorintho 12:4-11

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Karama za Utendaji Kazi1Wakorintho 12:4-11

• Maombezi Uratibu• Uimbaji Usimamizi• Utoaji Ukarimu• Ujuzi Uhudumu• Ufundi Kuonya

AINA YA WITO

MASAIDIANOMaombeziUimbajiUtoajiUjuziUfundiUratibu UsimamiziUkarimuUhudumu

KARAMANeno MaarifaNeno HekimaKupambanuaKarama UnabiiAina za LughaTafsiri LughaKarama ImaniKaram KuponyaKarama Miujiza

HUDUMAMitumeManabiiWaalimuWachungajiWainjilisti

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Vipimo au Viashiria (Specifications za)

Wito wa mtu.(Huduma na Karama)

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake

(huduma/karama)

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake

(huduma/karama) 2. Wito wa mtu (Huduma na

Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la Wito2. Mpango wa Wito3. Uwezo na Nguvu (Matokeo)4. Ngazi au Kiwango cha Wito5. Eneo la Wito 6. Kipimo au Kiasi cha Wito7. Muda wa Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu

1.

Kusudi la Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili

wa Kristo ) Kinafanya kazi duniani ili kutimiza Kusudi

moja Kuu la Mungu, la Kuujunga Ufalme wa Mungu

duniani.

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la Wito

Kusudi Kuu la Mungu duniani lina sura Kuu Nne (4).

Viashiria vya Wito wa Mtu

Sura Nne za Kusudi la Mungu.1.Kumiliki na Kutawala Dunia2.Kumsifu + Kumwabudu Mungu3.Kufanikiwa na Kuongezeka4.Kuwatafuta na Kuwaleta Ndani

Watoto wa Mungu Walio Nje.

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili

wa Kristo ) Kinafanya kazi duniani ili kutimiza Kusudi

moja Kuu la Mungu, la Kuujunga Ufalme wa Mungu

duniani.

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la Wito

Matendo 26:12-18Yohana 4:23-24

Mwanzo 1:26-28Marko 16:15-20

Viashiria vya Wito wa Mtu

2.

Mpango wa Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu

2. Mpango wa WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili

wa Kristo ) Kimetengenezewa na Mungu, Mpango wake

maalum wa kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani.

Viashiria vya Wito wa Mtu

2. Mpango wa WitoMpango wake maalum wa

kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani, ni Mungu kuweka

Huduma na Karama mbalimbali katika Waumini wa Kanisa lake (Viungo vya Mwili wa Kristo).

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-114 Basi kuna aina mbali mbali za

karama, lakini Roho ni yule yule. 5 Pia kuna huduma za

aina mbali mbali, lakini Bwana ni yule yule.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-116 Kisha kuna tofauti za kutenda

kazi, lakini ni Mungu yule yule atendaye kazi zote kwa watu

wote.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-117 Basi kila mmoja hupewa

ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.

8 Maana mtu mmoja kwa Roho hupewa neno la hekima na

mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-119 Mtu mwingine imani kwa huyo

Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Kwa mwingine

matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa

mwingine kupambanua roho;

Misingi ya Kanisa

1Wakorintho 12:4-1110 … kwa mwingine aina mbali

mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha. 11 Haya yote

hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia

kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa

vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa

kulitimiza kusudi la Mungu.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili

ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika

nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

2. Mpango wa WitoMpango wake maalum wa

kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani, ni Mungu kuweka

Huduma na Karama mbalimbali katika Waumini wa Kanisa lake (Viungo vya Mwili wa Kristo).

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2714 Basi mwili si kiungo kimoja,

bali ni viungo vingi. 15 Kama mguu ungesema, “Kwa kuwa

mimi si mkono basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya huo

mguu usiwe sehemu ya mwili.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2716 Na kama sikio lingesema, “Kwa kuwa mimi si jicho, basi

mimi si la mwili,” hiyo isingefanya hilo sikio lisiwe

sehemu ya mwili.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2717 Kama mwili wote ungelikuwa

jicho, kusikia kungekuwa wapi? Au kama mwili wote

ungelikuwa sikio, kunusa kungekuwa wapi?

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2718 Lakini kama ilivyo, Mungu ameweka viungo katika mwili, kila kimoja kama alivyopenda.

19 Kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa

wapi?

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2720 Kama ulivyo, kuna viungo

vingi, lakini mwili ni mmoja. 21 Jicho haliwezi kuuambia

mkono, “Sina haja nawe!” Wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu, “Sina haja na ninyi!”

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-27

22 Lakini badala yake, vile viungo vya mwili

vinavyoonekana kuwa dhaifu, ndivyo ambavyo ni vya muhimu

sana.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2723 Navyo vile viungo vya mwili tunavyoviona havina heshima,

ndivyo tunavipa heshima maalum. Vile viungo vya mwili

ambavyo havina uzuri, tunavipa heshima ya pekee.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2724 Wakati vile viungo vyenye

uzuri havihitaji utunzaji wa pekee. Lakini Mungu

ameviweka pamoja viungo vya mwili na akavipa heshima zaidi

vile vilivyopungukiwa

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-27

25 ili pasiwe na mafarakano katika mwili, bali viungo vyote vihudumiane usawa kila kimoja

na mwenzake.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2726 Kama kiungo kimoja kikiumia,

viungo vyote huumia pamoja nacho, kama kiungo kimoja kikipewa heshima, viungo

vyote hufurahi pamoja nacho.

Viashiria vya Wito wa Mtu

2. Mpango wa WitoKila kiungo katika Mwili wa Yesu

(Kanisa), kina uwezo binafsi ambao kimeumbiwa (kimejaliwa) na Mungu, kwa makusudi kamili

ya kutenda kazi kwa kutimiza kusudi maalumu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake

(huduma/karama) 2. Wito wa mtu (Huduma na

Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Timotheo 2:7Nami kwa kusudi hili

nimewekwa niwe Mhubiri na Mtume na Mwalimu wa watu

wa Mataifa katika imani na kweli.

Viashiria vya Wito wa Mtu

3.

Uwezo na Nguvu(Matokeo)

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8

Yohana 20:21-22Luka 24:49Luka 4:1,14

Matendo 10:38

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8

‘Naye Stephano, akijaa Neema na Nguvu za Mungu, alifanya

ishara na miujiza mikubwa miongoni mwa watu’

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuYohana 20:21-22

‘Kama Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi; pokeeni

Roho Mtakatifu’ (Kwa kazi hiyo)

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8

Yohana 20:21-22Luka 24:49Luka 4:1,14

Matendo 10:38

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuLuka 24:49

‘Tazama nawaletea ahadi ya Baba; Lakini msitoke mjini

mpaka mtakapovikwa uweza utokao juu.’

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuLuka 4:1,14

‘Baada ya Yesu kujazwa na Roho Mtakatifu, aliingia katika maombi ya siku 40; naye

akarudi katika nguvu za Roho’

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuMatendo 10:38

‘Naye Mungu alimpaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho

Mtakatifu na Nguvu, naye akawafungua wote

walioonewa na ibilisi shetani ’

Viashiria vya Wito wa Mtu

4.

Eneo la Wito(Location + Group)

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Timotheo 2:7Nami kwa kusudi hili

nimewekwa niwe Mhubiri na Mtume na Mwalimu wa watu

wa Mataifa katika imani na kweli.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Wagalatia 2:8Aliyemwezesha Petro kuwa

mhubiri wa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha mimi kuwa

mhubiri wa Mataifa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12

7 Walipofika kwenye mpaka wa Misia, wakajaribu kuingia

Bithinia lakini Roho wa Yesu hakuwaruhusu.

Viashiria vya Wito wa Mtu

4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12

8 Kwa hiyo wakapita Misia, wakafika Troa. 9 Wakati wa usiku Paulo akaona maono,

mtu wa Makedonia amesimama akimsihi akisema,

Viashiria vya Wito wa Mtu

4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12

9 … “Vuka uje huku Makedonia ukatusaidie.” 10 Baada ya Paulo kuona maono haya, mara tulijiandaa kuondoka

kwenda Makedonia…

Viashiria vya Wito wa Mtu

4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12

10 … tukiwa tumesadiki kwa sababu tuliona kwa hakika kwamba Mungu ametuita

kuhubiri habari njema huko.

Viashiria vya Wito wa Mtu

4. Eneo la WitoWagalatia 2:8

Yeremia 1:9-10Matendo 16:6-12

Viashiria vya Wito wa Mtu

5.

Muda wa Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu

5. Muda wa WitoYohana 7:37-39

Wafilipi 3:12 2Timotheo 4:6-82Petro 1:12-15

Wagalatia 4:1-2

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

(Measure/Length) and

(Standard/Quality)

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha KaziLuka 12:48

Wafilipi 3:13-142Timotheo 4:6-8

2Wakorintho 3:10-15Yohana 17:12

Viashiria vya Wito wa Mtu

7.

Ngazi ya Wito(Level)

Viashiria vya Wito wa Mtu

7. Kutembea katika kiwango

Waebrania 5:11-14Wagalatia 4:1

Mathayo 17:1-9

Viashiria vya Wito wa Mtu

7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge)

(1Sam 16:13, Zab 23:5) (Matendo 4:31)

Viashiria vya Wito wa Mtu

Kujaa Nguvu za Mungu

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Viashiria vya Wito wa Mtu

7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho

(Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16) Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi

katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi

katika viwango vyake maalum.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.

Kutoka 24:1-18

Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18

^ 1st Class

^^^ 2nd Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

Viashiria vya Wito wa Mtu

KIWANGO CHA WITO WAKO

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13-16

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU 1

3 122 70

3 120 500

1 (Yoh 21:19-24)

3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

NGUVU YA SADAKA

Viashiria vya Wito wa Mtu

NGAZI YA WITO WAKO

Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu tu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi ya utumishi wako

ndani ya Mungu, katika wito ambao Mungu amekupa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18

Luka 6:12/10:1-2,17-20Matendo 5:12-13Matendo 15:1-22

Wagalatia 1:18-19/2:11-12

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa

vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa

kulitimiza kusudi la Mungu.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili

ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika

nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.

Huduma na Karama

Lakini katika Kanisa la leo, maswala ya Karama na

huduma yamechanganwa sana na yamechakachuliwa sana

kiasi cha kuleta mvurugano na matatizo makubwa katika

utendaji wa kazi ya Mungu.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31Na kuna waumini wengi sana

katika kanisa, hawajui wito wao, karama zao na huduma

zao katika kanisa la Yesu, japo wana miaka mingi kanisani.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31Na kuna baadhi ya karama na

huduma katika Kanisa, zimefutwa au kuzimwa kabisa, eti kwa madai kwamba wakati wake ulikwisha kupita tangu enzi za mitume wa kwanza.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31 Na baadhi ya karama na huduma

katika Kanisa, zimefutwa au kuzimwa kabisa, eti kwa madai kwamba karama hizo zinaleta

vurugu katika Kanisa.(1Wathesalonike 5:19-23)

Karama na huduma

Mathayo 16:18-19, Ndio maana, Kanisa la leo,

limekuwa dhaifu sana kwasababu, kanisa

limechakachua misingi sahihi kama hii kutoka katika utaratibu

na mpango wa Mungu.

Karama na huduma

Lakini kanisa la Kwanza, waliheshimu sana huduma na

vipawa vya mtu; Na ndio maana kanisa la kwanza, lilitembea katika nguvu kubwa sana za Mungu, enzi za huduma yao.

(Matendo 8:5-17)

Karama na huduma

Matendo 8:5-175 Filipo akateremkia mji mmoja

wa Samaria akawahubiria habari za Kristo. 6 Watu walipomsikia

Filipo na kuona ishara na miujiza aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii

yale aliyosema.

Karama na huduma

Matendo 8:5-177 Pepo wachafu wakawa

wakiwatoka watu wengi, huku wakipiga kelele na wengi

waliopooza na viwete, wakaponywa. 8 Hivyo pakawa na furaha kuu katika mji huo.

Karama na huduma

Matendo 8:5-1714 Basi mitume waliokuwa

Yerusalemu waliposikia kuwa Samaria walipokea neno la

Mungu, wakawatuma Petro na Yohana waende huko.

Karama na huduma

Matendo 8:5-1715 Nao walipofika wakawaombea

ili wampokee Roho Mtakatifu, 16 kwa sababu Roho Mtakatifu

alikuwa bado hajawashukia hata mmoja ila wamebatizwa tu katika

jina la Bwana Yesu.

Karama na huduma

Matendo 8:5-1717 Ndipo Petro na Yohana

wakaweka mikono yao juu ya wale waliobatizwa, nao

wakapokea Roho Mtakatifu.

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Japo Filipo anakarama za miujiza na uponyaji, lakini aliheshi zaidi

huduma na karama ya Petro katika kuwaombea watu Ujazo

wa Roho Mtakatifu.

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Filipo aliwakaribisha akina Petro

kwa moyo mweupe ili kuja kuifanya huduma ya Bwana, bila

wivu wala kinyongo. (Hii ni tofauti sana na utendaji wa

kanisa la leo).

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Kanisa la leo lina mgongano na

vurugu na vinyongo na magomvi mengi na viburi vingi sana katika utendaji wa karama zake, kiasi

cha kuondoa kabisa utukufu wa Mungu kanisa.

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Karama na huduma hizi zimaleta

balaa badala ya baraka katika jamii za watu wa Mungu;

kwasababu zinafanywa kwa nia tofauti na kulijenga kanisa na

ufalme wa Mungu duniani.

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Karama na huduma hizi

zimekuwa zikifanyika kwa nia ya mashindano, kujinufaisha, na

kujitafutia utukufu binafsi na sio utukufu wa Mungu.

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Ndio maana Kanisa la leo lina

upungufu au ukavu wa nguvu za Mungu kwasababu ya

migongano ya karama na huduma za Roho Mtakatifu

katika kanisa.

Karama na huduma

Lakini kanisa la Kwanza, waliheshimu sana huduma na

vipawa vya mtu; Na ndio maana kanisa la kwanza, lilitembea katika nguvu kubwa sana za

Mungu.(Matendo 8:5-17)

Karama na huduma

Matendo 8:5-17Kanisa la kwanza lilishirikiana vipawa na huduma kwa moyo mweupe bila vinyongo, choyo,

chuki, kiburi, mashindano, dharau, na wivu wa aina yoyote.

NGUVU YA KANISA

Ndio maana kanisa la kwanza waliweza kutembea na Nguvu

nyingi sana za Mungu, na kuwa na heshima katika jamii zao,

kwasababu walizingatia misingi ya kanisa la Mungu;

Mf; kuheshimu huduma+karama

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

Moja ya kanuni muhimu katika kanisa, inayoweza kusababisha

(kuzalisha) Nguvu za Mungu ziletazo baraka za Mungu

katika maisha yetu, ni kuuheshimu Huduma na

Karama za Roho Mtakatifu.

Karama na huduma

Mathayo 16:18-19, kwahiyo, Nguvu ya Kanisa la leo

imepungua sana kwasababu, kanisa limechakachua misingi

kama hii kutoka katika vile viwango alivyoweka Roho

Mtakatifu katika Kanisa lake;

VIWANGO VYA MUNGU

Ili Mungu alitimize kusudi lake duniani kupitia kanisa lake, ni

lazima basi, kanisa lake litengeneze viwango na

mazingira fulani vya lazima (necessary conditions and

standards) vinavyotakiwa, ili lifanye kazi na Mungu duniani.

VIWANGO VYA MUNGU

Kukosekana au kupungua kwa viwango hivi muhimu katika

misingi/nguzo za kanisa, ndiko kumesababisha kupungua kwa utendaji wa mkono wa Mungu

katika kanisa la leo.

Misingi ya Kanisa

Kama Kanisa la leo litarudi katika kuumiliki ulimwengu, basi lazima

Kanisa lihakikishe watu wake tunazijua karama zao na

wanatembea katika huduma zao kwa nia ya kumtukuza Mungu tu

na kumshinda shetani.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

Kutambua Huduma na Karama

Kutambua Huduma na Karama yako katika Kanisa

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake

(huduma/karama/utendaji) 2. Wito wa mtu (Huduma na

Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la Wito2. Mpango wa Wito3. Uwezo na Nguvu (Matokeo)4. Ngazi au Kiwango cha Wito5. Eneo la Wito 6. Kipimo au Kiasicha Wito7. Muda wa Wito

Huduma na Karama

Kutambua Huduma na Karama

yako

Kutambua Huduma na Karama

1. Mwombe Mungu (Omba)Fanya Maombi ya Muda mrefu

Yeremia 29:11-13Isaya 43:26

Wafilipi 4:6-7Zaburi 32:8

Kutambua Huduma na Karama

2. Tumika katika Kazi ya Mungu bila mipaka.

Panda mbegu asubuhi na jioni, hujui ni ipi itakayoota

Mhubiri 11:6

Kutambua Huduma na Karama

3. Sikiliza Sauti ya Mungu (Uongozi wa Mungu) na Uangalie Uwezo Binafsi

ulionao (Neema).Chunguza Eneo unalotumika

vizuri zaidi kuliko mengine.Matendo 6:8

Kutambua Huduma na KaramaUwezo Binafsi (Neema).

Chunguza eneo unalotumika vizuri zaidi kuliko mengine (matokeo mazuri

zaidi).

Matendo 6:8‘Filipo akijaa Neema na Nguvu,

alifanya maajabu na ishara kubwa kati ya watu’

Kutambua Huduma na Karama

4. Mwombe Mungu Tena akupe Uthibitisho.(Comfirmation)

Fanya Maombi ya Muda mrefuLuka 4:1-14,18-19

Luka 6:12-19

Kutambua Huduma na Karama

5. Sikiliza ushauri (Uliza) Sikiliza ushauri kutoka kwa watendakazi na walezi wako

wa kiroho au kihuduma.

Kuthibitisha Wito wako

Kuthibitisha Wito Wako (Comfirmation)

Kuthibitisha Wito wako

Uthibitisho (Comfirmation)1. Amani na Furaha ya moyoni2. Kuridhika Kikusudi3. Uwezo mkubwa 4. Ushuhuda wa Wengine5. Matokeo Mazuri (Mafanikio)

Kuthibitisha Wito wako

Kuthibitisha Wito Wako (Comfirmation)

Isa 55:12/ Wafil 4:6-7/Kut 33:11-14Mk 16:15-20/Ebr 2:3-4/Yoh 5:31-36

Mathayo 18:16/Matendo 6:1-8

KANUNI ZA KIROHOHuu ndio Utaratibu wa Mungu

katika kuitawala dunia; kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza

katika ulimwengu wa kiroho, kwa msaada wa nguvu za kiroho

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani

mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi

ndani yako.

Mafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa

Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la

Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive

Dar es Salaam.

Kwa mawasiliano zaidi,

Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)

P. O. Box 837,Dar es Salaam, Tanzania.

+255 713 497 654+255 783 497 654

mgisamtebe@yahoo.com

top related