kuzitambua imani potofu ‘ utendaji-kazi wa roho ya uasi ’

Post on 30-Dec-2015

752 Views

Category:

Documents

49 Downloads

Preview:

Click to see full reader

DESCRIPTION

KUZITAMBUA IMANI POTOFU ‘ Utendaji-kazi wa roho ya Uasi ’. Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org. IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO. 2Petro 1:3-4 3 ‘ Mungu, kwa uweza wake wa uun g u , ametukirimia ahadi kubwa mno na za thamani, ambazo kwa hizo (ahadi zake/Neno lake) … ’. - PowerPoint PPT Presentation

TRANSCRIPT

Mwl. Mgisa Mtebe+255-713-497-654

www.mgisamtebe.org

KUZITAMBUA IMANI POTOFU

‘Utendaji-kazi wa roho ya Uasi’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

2Petro 1:3-43 ‘Mungu, kwa uweza wake

wa uungu, ametukirimia ahadi kubwa mno na za

thamani, ambazo kwa hizo (ahadi zake/Neno lake) …’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

2Petro 1:3-44 ‘… ametushirikisha tabia

(asili) ya Ki-Mungu, ili tuokolewe na uharibifu ulioko duniani, unao-sababishwa na tamaa.

KUSUDI LA MUNGU

2Petro 1:3-4, Efe 4:17-24 Asili ya roho iliyo ndani ya mwili,

ina uwezo wa ajabu wa Ki-Uungu, (Nguvu za

Mungu/Utukufu) wa kutuwezesha kuushinda

uharibifu wote uliopo duniani …

ASILI YA MUNGU NDANI YETU.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

RMt

2 Wakorintho 4:7-16

7. ‘Lakini ndani ya miili yetu, ambayo ni vyombo vya udongo, tuna hazina hii (ya Utukufu wa Mungu na Uweza za Mungu).

(Mafafanuzi yameongezewa)

UKOMBOZI WA MWILI

KUMPENDA MUNGU

Warumi 8:28Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:2828 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

KUSUDI LA MUNGU

2Petro 1:3-4, Efe 4:17-24 Asili ya roho iliyo ndani ya mwili,

ina uwezo wa ajabu wa Ki-Uungu, (Nguvu za

Mungu/Utukufu) wa kutuwezesha kuushinda

uharibifu wote uliopo duniani …

ASILI YA MUNGU NDANI YETU.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

RMt

Mtu unapokua katika Imani na kufikia ukombozi wa mwili,

ndipo UTUKUFU na NGUVU za Mungu, hudhihirika kwa nje na

watu huanza kushuhudia utendaji kazi wa ajabu wa Mungu maishani mwake.

HATARI YA UKENGEUFU

ASILI YA MUNGU KUFUNULIWA KUTOKA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Mwili Nafsi Roho

RMt

Ule UTUKUFU na NGUVU za Mungu, huchipusha VIPAWA NA

KARAMA za ajabu maishani mwake, ili kumsaidia huyu mtu

wa Mungu, kutenda kazi ya Mungu, kwa urahisi zaidi.

(1Kor 12:4-11, Rum 12:6-8)

HATARI YA UKENGEUFU

UTUKUFU WA MUNGU KUCHIPUSHA KARAMA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Karama na Vipawa

RMt

1Wakorintho 13:1-13Mtu akishafika katika ngazi ya Mwana wa Mungu, na kutumika kwa karama na

nguvu za Mungu, lazima awe na nidhamu ya kutunza

uhusiano wake na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wakorintho 13:1-13Karama na vipawa, vina

nguvu ya ajabu ya kumfanya mtu kulewa utukufu, hata

akumsahau Mungu aliyempa karama hizo.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Baada ya kufikia cheo cha mwana

wa Mungu na kujaliwa karama na vipawa, mtu anatakiwa kutunza utakatifu wake ili

kutunza heshima na uhusiano wake mzuri na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Baada ya kufika katika cheo cha

Mwana wa Mungu na kujaliwa karama na vipawa, mtu

anatakiwa kutunza utakatifu na unyenyekevu wake ili

kutunza heshima na uhusiano mzuri na Mungu wake.

HATARI YA UKENGEUFU

UTUKUFU WA MUNGU KUCHIPUSHA KARAMA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Karama na Vipawa

RMt

Mtume Paulo anatuelekeza na kutuonya kwamba, baada ya

kuanza kutenda kazi kwa karama na vipawa vya Roho

Mtakatifu, tunatakiwa kudumisha upendo wetu kwa Mungu na kwa watu wake.

1Wakorintho 13:1-13

1Wakorintho 13:1-13Hii ni kwasababu, vipawa na karama, vina namna fulani

inayoweza kumlewesha mtu utukufu na kufanya ajisahau kabisa, hata mtu akamsahau Mungu wenye hizo karama.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Mtu mwenye karama na vipawa,

asipotunza utakatifu wake, anaweza kubaki na karama na

vipawa, lakini akapoteza heshima yake na kuharibu uhusiano wake na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

KIBURI HUZIMISHA UTUKUFU WA MUNGU NDANI YETU.

1Sam 4:1-22 (Ikabod)

Karama na Vipawa hubaki ktk utendaji

?

Mathayo 7:15-23Mtu anaweza kuwatumiwa na Mungu, kwa karama na vipawa

vya ajabu vya kushangaza, lakini kumbe akawa

ameshakatwa na kuondolewa katika uzima na uhusiano mzuri

na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23Siku ile, wengine wataniambia

‘Bwana, mbona tulitoa unabii kwa Jina lako, na kufanya

uponyani na miujiza mingi; mbona hajatuita majina yetu

kuingia mbinguni?’

HATARI YA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23Ndipo nitawaambia wazi,

‘Ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu [japo mlikuwa

watumishi wangu]. Hakika, niliwatumia tu, lakini sikuwajua [nilishawaondoa uzimani] ninyi, japo niliwaachia karama zangu.

HATARI YA UKENGEUFU

Warumi 11:29Kwa maana Karama ya Mungu

na Utumishi wa Mungu hauna majuto. Hii ina maana

kwamba, Mungu akikupa karama na vipawa vyake,

hajutii.

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23Mtu anaweza kuwatumiwa na Mungu, kwa karama na vipawa

vya ajabu vya kushangaza, lakini kumbe akawa

ameshakatwa na kuondolewa katika uzima na uhusiano mzuri

na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Usiridhike tu kuwa mtumishi

wa Mungu mwenye karama na vipawa; heshima sio

utumishi wala karama, bali ni uhusiano mzuri na

Mungu.

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Utumishi Usio na Heshima Mbele za Mungu

2Timotheo 2:20-22Mathayo 7:21-23, 15-20

Mathayo 7:15-23Jihadharini … maana wengine wenu nitawakataa. Ktk siku ya mwisho, wengine watasema, tulitoa unabii kwa jina lako,

tuliponya wangonjwa na kufanya miujiza kwa jina lako …

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23‘Nami nitawaambia, ondokeni kwangu ninyi mtendao maovu’

(mlitembea na karama zangu, lakini mkapuuza kutunza utakatifu wenu;

hivyo nami niliwatumia tu kama vyombo, lakini nilishawafuta katika

kitabu changu cha uzima.

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23Mtu anaweza kutumiwa na Mungu vizuri kabisa na kwa nguvu sana, lakini mwishoni,

akaambiwa, ondoka zako, nenda katika ziwa la moto,

sikukujua kabisa (tangu enzi zile za utumishi na karama).

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23‘Si kila mtu aniambiaye Bwana Bwana, ataingia

katika Ufalme wangu; bali ni wale wanaofanya

mapenzi ya Baba yangu …

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23‘… hivyo, ondokeni kwangu

kabisa, ninyi mtendao maovu, sikuwajua ninyi’

(tangu enzi zile za utumishi na karama) ‘hivyo nendeni

katika lile ziwa liwakalo moto’.

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23‘Si kila mtu aniambiaye Bwana Bwana, ataingia katika Ufalme

wangu; bali ni wale wanaofanya mapenzi yangu; ondokeni

kwangu ninyi mtendao maovu’ (Niliwatumia tu kama miti ya Krismasi. Maiti inayopendeza)

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23‘Si kila mtu aniambiaye Bwana Bwana, ataingia katika Ufalme

wangu; bali ni wale wanaofanya mapenzi yangu; ondokeni

kwangu ninyi mtendao maovu’

(Niliwatumia tu kama miti ya Krismasi)

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23Kumbe mtu anaweza kutumiwa

na Mungu, kwa utumishi usio na heshima. Mtu anaweza

kupambwa kwa Karama nzuri za ajabu, lakini kumbe amesha-katwa uzima wake na uhusiano

wake na Mungu.

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23

Kumbe mtu anaweza kuipenda sana huduma na karama yake kuliko/badala ya kumpenda sana Mungu mwenye kutoa

hiyo huduma na karama.(They love the gift than the Giver)

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23

Kuna watu wanaopenda sana Uponyaji wa Mungu, lakini hawana mapenzi sana na

Mungu mwenye kutoa Uponyaji huo.

(They love the gift, than the giver)

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23

Kuna watu wanaopenda sana Ulinzi na Amani, lakini hawana

mapenzi sana na Mungu mwenye kutoa Ulinzi huo.

(They love the gift, than the giver)

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23

Kuna watu wanaopenda Mafanikio na Utajiri wa

Mungu, lakini hawa mapenzi sana na Mungu mwenye kutoa

utajiri na mafanikio hayo.(They love the gift, than the giver)

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Usiridhike tu kuwa mtumishi

wa Mungu mwenye karama na vipawa; heshima sio

utumishi wala karama, bali ni uhusiano wako na

Mungu.

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

IMANI POTOFU

Roho ya Uasi (Ukengeufu)

1Yohana 4:1, 1Tim 4:12Thesalonike 2:7-12

1Yohana 4:1

HATARI YA IMANI POTOFU

1Yohana 4:1 1 Wapenzi, msiiamini kila

roho, bali zijaribuni hizo roho,kwamba zimetokana na Mungu; ni kwasababu Manabii wa uongo wengi,

wametokea duniani.

HATARI YA IMANI POTOFU

1Timotheo 4:1

HATARI YA IMANI POTOFU

1Timotheo 4:1 1 Basi Roho Mtakatifu

ananena wazi wazi kwamba, katika nyakati za mwisho,

wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani.

HATARI YA IMANI POTOFU

Mathayo 7:15-23 15 Jihadharini na manabii

wa uongo, wanaowajia wakiwa wamevaa mavazi ya kondoo, lakini ndani wao ni

mbwa mwitu wakali.

HATARI YA IMANI POTOFU

Mathayo 7:15-23

16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je, watu

huchuma zabibu kwenye miiba au tini kwenye

michongoma?

HATARI YA IMANI POTOFU

Mathayo 7:15-23

17 Vivyo hivyo, mti mwema huzaa matunda mazuri na mti mbaya huzaa matunda

mabaya.

HATARI YA IMANI POTOFU

Mathayo 7:15-23

18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri.

HATARI YA IMANI POTOFU

Mathayo 7:15-2319 Kila mti usiozaa matunda

mazuri hukatwa na kutupwa motoni. 20 Hivyo,

kwa matunda yao, mtawatambua.’’

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wathesalonike 2:7-12

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wathesalonike 2:7-127 Maana ile nguvu ya siri ya

uasi tayari inatenda kazi, lakini yule anayeizuia

ataendelea kufanya hivyo mpaka atakapoondolewa.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wathesalonike 2:7-128 Hapo ndipo yule mwasi

atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamteketeza

kwa pumzi ya kinywa Chake na kumwangamiza kabisa

kwa ufunuo wa kuja Kwake.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wathesalonike 2:7-12

9 Kuja kwa yule mwasi kutaonekana kana kwamba ni kutenda kazi kwake Shetani

ambaye hutumia nguvu zote, ishara, maajabu ya uongo ...

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wathesalonike 2:7-12

10 na kila aina ya udanganyifu kwa wale

wanaoangamia kwa sababu walikataa kuipenda kweli

wapate kuokolewa.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wathesalonike 2:7-12

11 Kwa sababu hii, Mungu ameruhusu watawaliwe na nguvu ya udanganyifu, ili

waendelee kuamini uongo

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wathesalonike 2:7-12

12 na hivyo wote wahukumiwe ambao

hawakuamini ule ukweli bali wamefurahia uovu.

HATARI YA IMANI POTOFU

Warumi 16:17-18

HATARI YA IMANI POTOFU

Warumi 16:17-1817 Ndugu zangu, nawasihi,

waangalieni sana wale wafanyao fitina na mambo ya kukwaza, kinyume cha mafundisho mliyojifunza,

mkajiepushe nao.

HATARI YA IMANI POTOFU

Warumi 16:17-18

18 Kwa maana watu kama hao hawamtumikii Bwana Kristo, bali wanatumikia tamaa zao na matumbo

yao wenyewe.

HATARI YA IMANI POTOFU

Warumi 16:17-1819 Kwa utii wenu, mimi nimejawa na furaha tele

kwa ajili yenu. Lakini nataka mwe na hekima katika

mambo mema na bila hatia katika mambo maovu.

HATARI YA IMANI POTOFU

Warumi 16:17-1820 Mungu wa amani

atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi. Neema ya Bwana wetu Yesu iwe

pamoja nanyi. Amen.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-15

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-152 Ninawaonea wivu, wivu wa

kimungu, kwa kuwa mimi niliwaposea mume mmoja,

ili niwalete kwa Kristo kama mabikira safi.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-153 Lakini nina hofu kuwa, kama vile Eva alivyodanganywa kwa ujanja wa yule nyoka, mawazo

yenu yasije yakapotoshwa, mkauacha unyofu na usafi wa

upendo wenu kwa Kristo.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-15

13 Watu kama hao ni mitume wa uongo, ni

wafanyakazi wadanganyifu, wanaojigeuza waonekane kama mitume wa Kristo.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-15

14 Wala hili si jambo la ajabu, kwasababu hata

Shetani mwenyewe hujigeuza aonekane kama

malaika wa nuru.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-15

15 Kwa hiyo basi si ajabu, kama watumishi wa

Shetani nao hujigeuza ili waonekane kama

watumishi wa haki …

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-15

15 … Mwisho wao utakuwa sawa na matendo yao

yanavyostahili.

HATARI YA IMANI POTOFU

Sababu za Kupotoka.Kwanini watu wanaingia

katika Imani potofu?(Ukengeufu)

HATARI YA IMANI POTOFU

Sababu za Ukengeufu

1.Matatizo ya Kimaisha

(Shida na Taabu)

HATARI YA IMANI POTOFU

1. Matatizo ya Kimaisha.‘Njooni kwangu ninyi wote

msumbukao na wenye kulemewa na mizigo ya

dhambi, nitawapumzisha’Mathayo 11:28

SABABU ZA UKENGEUFU

1. Matatizo ya Kimaisha.Watu wengi wanajikuta

wameingia katika mitego na vifungo ya imani potofu, kwasababu ya kutafuta kupumzishwa mizigo na

matatizo yao ya kimaisha.

SABABU ZA UKENGEUFU

Sababu za Ukengeufu

2.Kutokujua

(Kukosa Maarifa)

HATARI YA IMANI POTOFU

2. Kutokujua (kukosa maarifa).1 Roho asema waziwazi

kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha

imani na kufuata roho zidanganyazo na mafundisho

ya mashetani. (1Tim 4:1-2)

SABABU ZA UKENGEUFU

2. Kutokujua (kukosa maarifa).

2 Mafundisho hayo [ya uongo] huja kupitia kwa watu waongo ambao ni wanafiki hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa

na moto. (1Tim 4:1-2)

SABABU ZA UKENGEUFU

2. Kutokujua (kukosa maarifa).

6 Miongoni mwao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu na kuwachukua mateka

wanawake wajinga …(2Timotheo 3:1-7)

SABABU ZA UKENGEUFU

2. Kutokujua (kukosa maarifa).

6 … waliolemewa na dhambi zao na kuyumbishwa na aina zote za

tamaa mbaya. 7 Wakijifunza sikuzote lakini kamwe wasiweze

kufikia ujuzi wa kweli. (2Timotheo 3:1-7)

SABABU ZA UKENGEUFU

2. Kutokujua (kukosa maarifa).Watu wengi wanajikuta

wameingia katika mitego na vifungo ya imani potofu,

kwasababu ya kukosa maarifa na ujuzi wa Neno la Mungu.

(2Timotheo 3:6-7)

SABABU ZA UKENGEUFU

Sababu za Ukengeufu

3.Uchanga wa Imani

(Udhaifu)

HATARI YA IMANI POTOFU

3. Uchanga wa Imani.

… Bwana Yesu alitoa Mitume, Manabii, Wachungaji, Waijilisti na Waalimu, kwa Kanisa, kwa

kusudi la kuwakamilisha watakatifu katika imani moja …

(Waefeso 4:11-14)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Uchanga wa Imani.

… ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa-tupwa

huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu,

tukizifuata udanganyifu … (Waefeso 4:11-14)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kutokujua (kukosa maarifa).Watu wengi hujikuta katika imani potofu, kwasababu ya

kukosa misingi imara ya kiimani, kutokana na uchanga

wa rohona imani zao.(Waefeso 4:11-14)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Uchanga wa Imani.Roho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na

kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani.

(1Tim 4:1-2)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Uchanga wa Imani.

Mafundisho hayo [ya uongo] huja kupitia kwa watu waongo ambao ni wanafiki hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa

na moto. (1Tim 4:1-2)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Uchanga wa Imani.

Miongoni mwao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu na kuwachukua mateka

wanawake wajinga …(2Timotheo 3:1-7)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Uchanga wa Imani.

Ni wenye ushupavu, na kujikinai; hawatetemeki,

wakiyatukana matukufu. Ni wanyama wasio na akili ...

(2Petro 2:9-22)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Uchanga wa Imani.

Wakiwa na macho yaliyojaa uzinzi, hawaachi kutenda

dhambi; wenye kudanganya roho zisizo imara ...

(2Petro 2:9-22)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Uchanga wa Imani.

ni hodari kwa kutamani, wana wa laana! Wameiacha njia iliyonyoka, wakapotoka na kuifuata njia ya Balaamu

(2Petro 2:9-22)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Uchanga wa Imani.

4-9 Lakini Bwana ajua kuwaokoa watauwa na

majaribu, kama wakati ule wa Nuhu, alipoipindua miji ...

(2Petro 2:9-22)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Uchanga wa Imani.

4-9 ... ya Sodoma na Ghomora na kuigeuza kuwa majivu; lakini akamwokoa Lutu, yule mwenye haki ...

(2Petro 2:9-22)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kutokujua (kukosa maarifa).Watu wengi hujikuta katika imani potofu, kwasababu ya

kukosa misingi imara ya kiimani, kutokana na uchanga

wa rohona imani zao.(Waefeso 4:11-14)

SABABU ZA UKENGEUFU

Sababu za Ukengeufu

4.Njaa Binafsi ya Neno

(Tamaa ya Masikio)

HATARI YA IMANI POTOFU

4. Njaa Binafsi ya Neno. Watu hukamatwa katika

imani potofu, kwasababu ya kukimbia kimbia kutafuta kile wanachotaka wao kukisikia,

badala ya kukubali kubadilika kwa kile wanachosikia.

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Njaa Binafsi ya Neno.Watu wengi hujikuta katika imani potofu, kwasababu ya kutotaka kusikia kile Mungu anachosema nao, bali kutaka

kusikia kile wanachotaka wao.(2Timotheo 4:1-4)

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Njaa Binafsi ya Neno.Maana wakati utakuja, watu watakapokataa kuyakubali mafundisho yenye uzima, badala yake, ili kutimiza tamaa zao wenyewe …

(2Timotheo 4:1-4)

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Njaa Binafsi ya Neno.

… watajikusanyia walimu wao, ili wapate kuwaambia

yale ambayo masikio yao yanayowasha yanatamani

kuyasikia. (2Timotheo 4:1-4)

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Njaa Binafsi ya Neno.

… Watu hao, watakataa kusikiliza kweli ya Mungu

[wanayoihitaji] na watazigeukia hadithi za uongo. (2Timotheo 4:1-4)

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Njaa Binafsi ya Neno.Watu wengi hujikuta katika imani potofu, kwasababu ya kutotaka kusikia kile Mungu anachosema nao, bali kutaka

kusikia kile wanachotaka wao.(2Timotheo 4:1-4)

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Njaa Binafsi ya Neno.Imani potofu (ukengeufu), huwakamata kirahisi sana,

wale watu wanaokosa unyenyekevu wa kukubali kubadilishwa na Neno la

Mungu. (2Timotheo 4:1-4)

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Njaa Binafsi ya Neno.Imani potofu (ukengeufu), huwakamata watu wenye

kiburi, wanaokataa kuwa vile Neno linavyowataka wawe,

bali wanataka Neno ndio libadilike kuwa kama wao.

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Njaa Binafsi ya Neno.

Wala msifuatishe tena maisha kwa mfano wa ulimwengu huu,

bali mgeuze kwa kufanywa upya nia zenu. (Warumi 12:2)

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Njaa Binafsi ya Neno.

Ndipo mtaweza kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema,

yanayopendeza machoni Pake na ukamilifu.

(Warumi 12:2)

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Njaa Binafsi ya Neno. Watu hukamatwa katika

imani potofu, kwasababu ya kukimbia kimbia kutafuta kile wanachotaka wao kukisikia,

badala ya kukubali kubadilika kwa kile wanachosikia.

SABABU ZA UKENGEUFU

Sababu za Ukengeufu

5.Kutopata Lishe sahihi Kiroho (Njaa ya kweli).

HATARI YA IMANI POTOFU

5. Njaa ya kweli ya Neno Sahihi Watu hukamatwa katika

imani potofu, kwasababu Njaa ya kweli ya Neno sahihi kwa

ajili yao; hivyo hukimbia-kimbia kutafuta lishe sahihi ili

kukidhi mahitaji yao.

SABABU ZA UKENGEUFU

Mtu mwenye njaa kali ya chakula, huwa katika hatari

kubwa ya kubugia kitu chochote kinachofanana na

chakula, akadhurika!.(2Wafalme 4:38-40)

SABABU ZA UKENGEUFU

2Wafalme 4:38-4038 Elisha akafika Gilgal, na

kulikuwa na njaa katika nchi; na alikuwa akiwafundisha

wana wa manabii. Akawambia mmoja, hinjika sufuria,

uwapikie wana wa manabii.

SABABU ZA UKENGEUFU

2Wafalme 4:38-4039 Mmoja wao akaenda nje kondeni ili kuchuma mboga;

akaona matango, lakini hakuyajua, kumbe yalikuwa ni matango mwitu; akayakata-

kata na kuyapika.

SABABU ZA UKENGEUFU

2Wafalme 4:38-4040 Basi akawapakulia watu ili wale. Walipokuwa katika kula, wakapiga kelele, wakasema,

“Mauti imo sufuriani”, ee! Mtu wa Mungu; na wala hawakuweza kula.

SABABU ZA UKENGEUFU

Mtu mwenye njaa kali ya chakula, huwa katika hatari

kubwa ya kubugia kitu chochote kinachofanana na

chakula, akadhurika!.(2Wafalme 4:38-40)

SABABU ZA UKENGEUFU

5. Njaa ya kweli ya Neno Sahihi Watu wengine hukamatwa

katika imani potofu, kwasababu ya Njaa kali ya

Neno sahihi la Mungu. Hivyo hukimbia-kimbia kutafuta lishe sahihi ili kukidhi mahitaji yao.

SABABU ZA UKENGEUFU

Na katika kutafuta-tafuta Neno la Mungu, hujikuta

wametumbukia katika upotofu; na kwa kutokuwa na ujuzi wa kuchambua mema na mabaya, hujikuta wamekula

misumari na kudhurika.

SABABU ZA UKENGEUFU

Matokeo;Hukamatwa na Roho ya Upofu

(Kifungo)

HATARI YA IMANI POTOFU

Kutambua UkengeufuUtazitambuaje Ishara au Dalili za Imani potofu?

(roho ya uasi)

HATARI YA IMANI POTOFU

Utazitambuaje Imani potofu?

A. B. Angalia Sikiliza Ishara za Sauti ya za Upotevu ya Mungu (Ishara 14) (Namna 12)

ISHARA ZA UKENGEUFU NA UPOTOFU

A.Ishara za UkengeufuUtazitambuaje Ishara au Dalili za Imani potofu?

(roho ya uasi)

HATARI YA IMANI POTOFU

Mathayo 7:15-23Bwana Yesu alisema, zipo

ishara na dalili za kuwatambua ‘manabii wa uongo’. Alisema, ‘mtawatambua kwa matunda

yao (mwenendo wao)’.“Zipo ishara za kuangalia.”

HATARI YA IMANI POTOFU

Ishara za Ukengeufu

1.Kujiona Bora Zaidi

(roho ya kiburi)1Petro 5:5

HATARI YA IMANI POTOFU

1Petro 5:5

5 “Vivyo hivyo ninyi mlio vijana hamna budi kuwatii wazee. Imewapasa kujivika

unyenyekevu katika kuhudumiana, kwa kuwa ...

ISHARA ZA UKENGEUFU

1Petro 5:5 5 “… Mungu huwapinga wenye

kiburi bali huwapa wanyenyekevu neema. 6 Basi,

nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze

kwa wakati Wake.” ...

ISHARA ZA UKENGEUFU

1Petro 5:5, Yakobo 4:6 Angalia vizuri;

1. Biblia inasema kwambaNi Mungu ambaye huwapinga wenye ‘kiburi’ [na sio shetani

huwapinga wenye kiburi]

ISHARA ZA UKENGEUFU

1Petro 5:5, Yakobo 4:6 Kwa hiyo,

kiburi kinasababisha, vita inaacha kuwa ya shetani na

watoto wa Mungu, na inahamia kuwa kati ya Mungu

na watoto wake.

ISHARA ZA UKENGEUFU

1Petro 5:5, Yakobo 4:6 Angalia vizuri;

1. Biblia inasema kwambaNi Mungu ambaye huwapinga wenye ‘kiburi’ [na sio shetani

huwapinga wenye kiburi]

ISHARA ZA UKENGEUFU

Hagai 1:1-11 Mungu anasema;

‘Mmepanda vingi kwa juhudi, lakini mkavuna kidogo.

Vichache mlivyovuna mkaviti katika mifuko iliyotoboka’.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Hagai 1:1-11 Mungu anasema;

‘Na mlipovileta nyumbani, mimi Mungu nikavipeperusha

[sio shetani]. Na ni mimi niliyeamuru kiangazi kije

mashmba na mifugo yenu ...

ISHARA ZA UKENGEUFU

Hagai 1:1-11 Mungu anasema;

‘Na ni mimi Mungu niliyamuru kiangazi kije mpaka katika kazi za mikono yenu [msimsingizie shetani, bali ni mimi Mungu,

Baba yenu, NINAYEWAPINGA].

ISHARA ZA UKENGEUFU

1Petro 5:5, Yakobo 4:6 Angalia vizuri;

1. Biblia inasema kwambaNi Mungu ambaye huwapinga wenye ‘kiburi’ [na sio shetani

huwapinga wenye kiburi]

ISHARA ZA UKENGEUFU

1Petro 5:5, Yakobo 4:6 Watu wengine huvamiwa na roho kengeufu (imani potofu),

kwasababu ya Kiburi cha kujiona wao ni bora zaidi

kuliko wengine; na kukataa kufundishwa na wengine.

ISHARA ZA UKENGEUFU

HATARI YA UKENGEUFU

2Petro 1:3-4, Efe 4:17-24 Asili ya roho iliyo ndani ya mwili,

ina uwezo wa ajabu wa Ki-Uungu, (Nguvu za

Mungu/Utukufu) wa kutuwezesha kuushinda yote,

lakini inazuiliwa na tabia za mwili.

ASILI YA MUNGU NDANI YETU.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

RMt

Mtu unapokua katika Imani na kufikia ukombozi wa mwili,

ndipo UTUKUFU na NGUVU za Mungu, hudhihirika kwa nje na

watu huanza kushuhudia utendaji kazi wa ajabu wa Mungu maishani mwake.

HATARI YA UKENGEUFU

ASILI YA MUNGU KUFUNULIWA KUTOKA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Mwili Nafsi Roho

RMt

Ule UTUKUFU na NGUVU za Mungu, huchipusha VIPAWA NA

KARAMA za ajabu maishani mwake, ili kumsaidia huyu mtu

wa Mungu, kutenda kazi ya Mungu, kwa urahisi zaidi.

(1Kor 12:4-11, Rum 12:6-8)

HATARI YA UKENGEUFU

UTUKUFU WA MUNGU KUCHIPUSHA KARAMA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Karama na Vipawa

RMt

1Wakorintho 13:1-13Mtu akishafika katika ngazi ya Mwana wa Mungu, na kutumika kwa karama na

nguvu za Mungu, lazima awe na nidhamu ya kutunza

unyenyekevu kwa Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wakorintho 13:1-13Karama na vipawa, vina

nguvu ya ajabu ya kumfanya mtu kulewa utukufu, hata

akumsahau Mungu aliyempa karama hizo.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Baada ya kufikia cheo cha mwana

wa Mungu na kujaliwa karama na vipawa, mtu anatakiwa kutunza utakatifu wake ili

kutunza uhusiano na unyenyekevu wake kwa

Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Baada ya kufika katika cheo cha

Mwana wa Mungu na kujaliwa karama na vipawa, mtu

anatakiwa kutunza utakatifu na unyenyekevu wake ili

kutunza heshima na uhusiano mzuri na Mungu wake.

HATARI YA UKENGEUFU

UTUKUFU WA MUNGU KUCHIPUSHA KARAMA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Karama na Vipawa

RMt

Mtume Paulo anatuelekeza na kutuonya kwamba, baada ya

kuanza kutenda kazi kwa karama na vipawa vya Roho

Mtakatifu, tunatakiwa kudumisha upendo wetu kwa Mungu na kwa watu wake.

1Wakorintho 13:1-13

1Wakorintho 13:1-13Hii ni kwasababu, vipawa na karama, vina namna fulani

inayoweza kumlewesha mtu utukufu na kufanya ajisahau kabisa, hata mtu akamsahau Mungu wenye hizo karama.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Mtu mwenye karama na vipawa,

asipotunza utakatifu wake, anaweza kubaki na karama na

vipawa, lakini akapoteza heshima yake na kuharibu uhusiano wake na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

KIBURI HUZIMISHA UTUKUFU WA MUNGU NDANI YETU.

1Sam 4:1-22 (Ikabod)

Karama na Vipawa hubaki ktk utendaji

?

Mathayo 7:15-23Mtu anaweza kuwatumiwa na Mungu, kwa karama na vipawa

vya ajabu vya kushangaza, lakini kumbe akawa

ameshakatwa na kuondolewa katika uzima na uhusiano mzuri

na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23Mtu anaweza kuwatumiwa na Mungu, kwa karama na vipawa

vya ajabu vya kushangaza, lakini kumbe akawa

ameshakatwa na kuondolewa katika uzima na uhusiano mzuri

na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23Siku ile, wengine wataniambia

‘Bwana, mbona tulitoa unabii kwa Jina lako, na kufanya

uponyani na miujiza mingi; mbona hajatuita majina yetu

kuingia mbinguni?’

HATARI YA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23Ndipo nitawaambia wazi,

‘Ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu [japo mlikuwa

watumishi wangu]. Hakika, niliwatumia tu, lakini sikuwajua [nilishawaondoa uzimani] ninyi, japo niliwaachia karama zangu.

HATARI YA UKENGEUFU

Warumi 11:29Kwa maana Karama ya Mungu

na Utumishi wa Mungu hauna majuto. Hii ina maana

kwamba, Mungu akikupa karama na vipawa vyake,

hajutii.

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Mathayo 7:15-23Mtu anaweza kuwatumiwa na Mungu, kwa karama na vipawa

vya ajabu vya kushangaza, lakini kumbe akawa

ameshakatwa na kuondolewa katika uzima na uhusiano mzuri

na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Usiridhike tu kuwa mtumishi

wa Mungu mwenye karama na vipawa; heshima sio

utumishi wala karama, bali ni uhusiano mzuri na

Mungu.

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

1Wakorintho 9:27Mtume Paul anasema; Kila siku, ninautesa [ninautawala]

mwili wangu, ili [usije ukanifufukia na tabia zake za

uovu] halafu nikawahubiri wengine, lakini mimi …

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

1Wakorintho 9:27… mimi nikawa mtu wa

kukataliwa (na kutupwa nje) kwasababu ya utumishi

ulichanganyika na matendo mabaya ya mwili na tamaa

zake za uovu.

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

1Wakorintho 9:27 Kwahiyo, kila siku,

ninautesa mwili wangu, kwa kuulazimisha kufanya mapenzi ya Mungu na

kuunyima kufanya mapenzi yake ya dunia na tamaa …

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

1Kor 9:27, 2Tim 4:6-8 ili nikiisha kuwahubiri wengine, niipokee mede ya

thawabu, ya utumishi mwema wa kazi ya Mungu, pamoja na

wote wanaotazamia kwa hamu kufunuliwa kwake.

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Matendo 19:11Pamoja na Karama za ajabu za

Mungu ndani yake, Mtume Paulo, ni kati ya watumishi

wa Mungu waliojifunza kushuka na kunyeyekea sana.

(1Wakorinto 9:27)

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

Matendo 19:11Pamoja na Karama za ajabu za

Mungu ndani yake, Mtume Paulo, ni kati ya watumishi

wa Mungu waliojifunza kushuka na kunyeyekea sana.

(1Wakorinto 9:27)

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

1Wakorintho 13:1-13Hii ni kwasababu, vipawa na karama, vina namna fulani

inayoweza kumlewesha mtu utukufu na kufanya ajisahau kabisa, hata mtu akamsahau Mungu wenye hizo karama.

HATARI YA UKENGEUFU

Kwa Mfano wa

Mtume Paulo;Kuongezeka katika

Unyenyekevu

KUKUA KATIKA UNYENYEKEVU

Mfano wa Mtume Paulo;

Mwaka 48-49 BK.Wagalatia 1:11-23/2:6‘Nilipookoka, sikukwenda

Yersalem kwa mitume walinitangulia; bali nilikwenda Uarabuni, kwa miaka mitatu’

KUKUA KATIKA UNYENYEKEVU

Mfano wa Mtume Paulo;

Mwaka 48-49 BK.Wagalatia 1:11-23/2:6

‘Injili niliyowapa, sijafundishwa na mwanadamu yeyote, bali na Bwana Yesu mwenyewe (live)’

KUKUA KATIKA UNYENYEKEVU

Mfano wa Mtume Paulo;

Mwaka 48-49 BK.Wagalatia 1:11-23/2:6

‘Wale wenye sifa ya kuwa na cheo (mitume wa kwanza)

hawakuniongezea kitu.’

KUKUA KATIKA UNYENYEKEVU

Mfano wa Mtume Paulo;

Mwaka 55 BK.2Wakorintho 11:5

‘Walichonacho Mitume walio wakuu, na mimi pia ninacho.’

- Wote tuko sawa -

KUKUA KATIKA UNYENYEKEVU

Mfano wa Mtume Paulo;

Mwaka 55 BK.2Wakorintho 12:7

‘Nilipewa mjumbe wa shetani kwenye mwili wangu, ili kuninyeyekeza (dhaifu).’

KUKUA KATIKA UNYENYEKEVU

Mfano wa Mtume Paulo;

Mwaka 60 BK.Waefeso 3:8

‘Katika Mitume wa Kristo, Mimi ndiye mdogo kuliko wote’

KUKUA KATIKA UNYENYEKEVU

Mabadiliko ya Mtume Paulo;

49BK

55BK

60BK

KUKUA KATIKA UNYENYEKEVU

Mabadiliko ya Mtume Paulo;

49BK

55BK

60BK

KUKUA KATIKA UNYENYEKEVU

Mabadiliko ya Mtume Paulo; Tarehe Waraka Ujumbe

49BK Gal 2:6 Sikumhitaji mtu Niko Juu sana

55BK 2Kr 11:5 Tuko sawa

60BK Efe 3:8 Mimi mdogo zaidi

KUKUA KATIKA UNYENYEKEVU

Matendo 19:11Pamoja na Karama za ajabu za

Mungu ndani yake, Mtume Paulo, ni kati ya watumishi

wa Mungu waliojifunza kushuka na kunyeyekea sana.

(1Wakorinto 9:27)

HATARI YA KUPOTEZA UTUKUFU

UTUKUFU WA MUNGU KUCHIPUSHA KARAMA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Karama na Vipawa

RMt

Mathayo 7:15-23Mtu anaweza kuwatumiwa na Mungu, kwa karama na vipawa

vya ajabu vya kushangaza, lakini kumbe akawa

ameshakatwa na kuondolewa katika uzima na uhusiano mzuri

na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

KIBURI HUZIMISHA UTUKUFU WA MUNGU NDANI YETU.

1Sam 4:1-22 (Ikabod)

Karama na Vipawa hubaki ktk utendaji

?

1Wakorintho 13:1-13Hii ni kwasababu, vipawa na karama, vina namna fulani

inayoweza kumlewesha mtu utukufu na kufanya ajisahau kabisa, hata mtu akamsahau Mungu wenye hizo karama.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Baada ya kufika katika cheo cha

Mwana wa Mungu na kujaliwa karama na vipawa, mtu

anatakiwa kutunza utakatifu na unyenyekevu wake ili

kutunza heshima na uhusiano mzuri na Mungu wake.

HATARI YA UKENGEUFU

1Petro 5:5, Yakobo 4:6 Watu wengine huvamiwa na roho kengeufu (imani potofu),

kwasababu ya Kiburi cha kujiona wao ni bora zaidi

kuliko wengine; na kukataa kufundishwa na wengine.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Ishara za Ukengeufu

2.Kumtukuza Sana

Kiongozi waoMatendo 12:21-24

HATARI YA IMANI POTOFU

2. Kumtukuza sana kiongozi Kiongozi wa kikundi au kanisa lao, hupewa utukufu mwingi

na heshima kubwa sana; Kiongozi husifiwa kuliko

Bwana Yesu mwenyewe, kiasi cha kuwa kama vile ni Mungu.

ISHARA ZA UKENGEUFU

2. Kumtukuza sana kiongozi

Mfano wa;

Mfalme HerodeMatendo 12:21-24

ISHARA ZA UKENGEUFU

2. Kumtukuza sana kiongoziMatendo 12:21-24

21 Mfalme Herode, akajivika mavazi ya kifalme, akaketi kwenye kiti chake, akatoa

hotuba nzuri sana.

ISHARA ZA UKENGEUFU

2. Kumtukuza sana kiongoziMatendo 12:21-24

22 Watu wakapiga kelele wakisema ‘Hii ni sauti ya

Mungu hii, na si ya mwanadamu.

ISHARA ZA UKENGEUFU

2. Kumtukuza sana kiongoziMatendo 12:21-24

23 Bwana akamtuma Malaika wake, akampiga,

kwasababu hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na chango,

akatokwa na roho.

ISHARA ZA UKENGEUFU

2. Kumtukuza sana kiongoziMatendo 12:21-24

24 Bwana akalizidisha sana Neno lake, na likaenea kote.

ISHARA ZA UKENGEUFU

2. Kumtukuza sana kiongozi

Mfano wa;

Yohana MbatizajiYohana 3:25-30

ISHARA ZA UKENGEUFU

2. Kumtukuza sana kiongoziYohana 3:25-30

25 Wakamwendea Yohana wakamwambia, “Rabi, yule

mtu aliyekuwa pamoja nawe nga'mbo ya mto Jordan ...

ISHARA ZA UKENGEUFU

Yohana 3:25-30

26 … Yule uliyeshuhudia habari zake, sasa anabatiza na kila mtu anamwendea!”

27 Yohana akawajibu, akawaambia ...

ISHARA ZA UKENGEUFU

Yohana 3:25-30

28 Ninyi wenyewe ni mashahidi wangu kwamba nilisema, ‘Mimi si Kristo, ila nimetumwa nimtangulie’.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Yohana 3:25-3029 Bibi arusi ni wa bwana

arusi. Rafiki wa bwana arusi aisikiapo sauti ya bwana

arusi. [Mlifikiri nitakwazika] [Kwa taarifa yenu] furaha yangu ndio imekamilika.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Yohana 3:25-30

30 [Kwani] Yeye hana budi kuzidi na kuwa mkuu zaidi,

na mimi sina budi kupungua na nizidi kuwa mdogo.’’

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mdo 12:21-24, Yohana 3:25-30

Dalili ya ukengeufu ni kiburi; Dalili ya kutawaliwa na Roho mtakatifu ni unyenyekevu na

upole na moyo wa kiasi.

ISHARA ZA UKENGEUFU

2. Kumtukuza sana kiongozi Kiongozi wa kikundi au kanisa lao, hupewa utukufu mwingi

na heshima kubwa sana; Kiongozi husifiwa kuliko

Bwana Yesu mwenyewe, kiasi cha kuwa kama vile ni Mungu.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Ishara za Ukengeufu

3.Tafsiri Potofu za

Maandiko MatakatifuMatendo 20:28-30

HATARI YA IMANI POTOFU

3. Kupotosha maandikoIshara moja wapo ya wazi ya ukengeufu, ni tafsiri potofu za

Neno la Mungu.2Wakorintho 11:2-3, 13-15

ISHARA ZA UKENGEUFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-152 Ninawaonea wivu, wivu wa

kimungu, kwa kuwa mimi niliwaposea mume mmoja,

ili niwalete kwa Kristo kama mabikira safi.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-153 Lakini nina hofu kuwa, kama vile Eva alivyodanganywa kwa ujanja wa yule nyoka, mawazo

yenu yasije yakapotoshwa, mkauacha unyofu na usafi wa

upendo wenu kwa Kristo.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-15

13 Watu kama hao ni mitume wa uongo, ni

wafanyakazi wadanganyifu, wanaojigeuza waonekane kama mitume wa Kristo.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-15

14 Wala hili si jambo la ajabu, kwasababu hata

Shetani mwenyewe hujigeuza aonekane kama

malaika wa nuru.

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-15

15 Kwa hiyo basi si ajabu, kama watumishi wa

Shetani nao hujigeuza ili waonekane kama

watumishi wa haki …

HATARI YA IMANI POTOFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-15

15 … Mwisho wao utakuwa sawa na matendo yao

yanavyostahili.

HATARI YA IMANI POTOFU

3. Kupotosha maandiko

Ishara moja wapo ya wazi ya ukengeufu, ni tafsiri potofu za

Neno la Mungu.1Tim 4:1-2, 2Tim 3:1-7

2Pet 2:9-22

ISHARA ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandikoRoho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na

kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani.

(1Tim 4:1-2)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandiko

Mafundisho hayo [ya uongo] huja kupitia kwa watu waongo ambao ni wanafiki hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa

na moto. (1Tim 4:1-2)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandiko

Miongoni mwao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu na kuwachukua mateka

wanawake wajinga …(2Timotheo 3:1-7)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandiko

Ni wenye ushupavu, na kujikinai; hawatetemeki,

wakiyatukana matukufu. Ni wanyama wasio na akili ...

(2Petro 2:9-22)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandiko

Wakiwa na macho yaliyojaa uzinzi, hawaachi kutenda

dhambi; wenye kudanganya roho zisizo imara ...

(2Petro 2:9-22)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandiko

ni hodari kwa kutamani, wana wa laana! Wameiacha njia iliyonyoka, wakapotoka na kuifuata njia ya Balaamu

(2Petro 2:9-22)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandikoKwa Mfano (1); Waefeso 2:20‘mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, na Yesu ndiye jiwe kuu la pembeni.’

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandikoTafsiri Potofu;

‘Kudharau na kukejeli huduma za Kichungaji, Wainjilisti na

Waalimu.’

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandikoUsahihi;

‘Yesu ndiye aliyetoa huduma zote tano (5) kwa Kanisa’.

Huduma zote zinahitajiana.(Waefeso 4:11-15)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandikoUsahihi; (Waefeso 4:11-15)

‘Naye [Yesu] alitoa wengine kuwa Mitume, Manabii,

Wachungaji, Wainjilisti na Waalimu’

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandikoKwa Mfano (2);

Waebrania 9:18, 22‘… hakuna ondoleo la dhambi,

pasipo kumwagika damu; hakuna agano pasipo damu …’

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandikoTafsiri Potofu;

‘Lazima umwage damu yako binafsi, kama unataka amani ya kweli na kuhesabiwa haki kwa agano mbele za Mungu.’

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandikoUsahihi; (Waebrania 9:14)‘… ni kwa damu ya Yesu Kristo

pekee, tunapata safisho la dhamira zetu na ondoleo la

dhambi zetu, ili kufunga agano imara na la milele na Mungu.’

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandikoKwa Mfano (3);

Warumi 13:8, 10‘… ampendaye mwenzake

ametimiza sheria. Pendo ndio utimilifu wa sheria.’

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandikoTafsiri Potofu; (Warumi 13:8,10)

‘Upendo uko juu ya sheria; hivyo hata mwanaume akimpenda

mwanaume mwenzake ki-ndoa (Ushoga), ametimiza sheria.’

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandiko

Usahihi; (1Kor 6:9-20, Rum 1:24-32)‘Ushoga, uzinzi, uasherati, ufiraji,

zinaa na ukahaba, ni tamaa na dhambi, na sio upendo. Mungu aliichoma Sodoma na Ghomora

kwasababu ya dhambi hizi.’

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha maandikoRoho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na

kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani.

(1Tim 4:1-2)

SABABU ZA UKENGEUFU

2Wakorintho 11:2-3, 13-153 Lakini nina hofu kuwa, kama vile Eva alivyodanganywa kwa ujanja wa yule nyoka, mawazo

yenu yasije yakapotoshwa, mkauacha unyofu na usafi wa

upendo wenu kwa Kristo.

HATARI YA IMANI POTOFU

3. Kupotosha Maandiko

… Bwana Yesu alitoa Mitume, Manabii, Wachungaji, Waijilisti na Waalimu, kwa Kanisa, kwa

kusudi la kuwakamilisha watakatifu katika imani moja …

(Waefeso 4:11-14)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha Maandiko

… ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa-tupwa

huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu,

tukizifuata udanganyifu … (Waefeso 4:11-14)

SABABU ZA UKENGEUFU

3. Kupotosha MaandikoWatu wengi hujikuta katika imani potofu, kwasababu ya

kukosa misingi imara ya kiimani, kutokana na uchanga

wa rohona imani zao.(Waefeso 4:11-14)

SABABU ZA UKENGEUFU

2Wathesalonike 3:1515 Basi ndugu, simameni

imara, mkayashike mapokeo mliyofundishwa; ama kwa

maneno yetu ama kwa nyaraka/maandiko yetu.

HATARI YA IMANI POTOFU

Ishara za Ukengeufu

4.Utii wa Lazima(Hofu na Vitisho)

Matendo 4:1-31 (21, 29)

HATARI YA IMANI POTOFU

4. Kushurutishwa KutiiWatu waliokamatwa na imani

potofu, hushurutishwa kutii maagizo ya kiongozi. Mara

nyingi huambatana na vitisho hata kuombewa kifo ikiwa mtu

hataki kutii.

DALILI ZA UKENGEUFU

4. Kushurutishwa kutiiKwa Mfano; (Yohana 9:1-23)‘Mafarisayo wakamshurutisha

yule aliyekuwa kipofu, kumkana Yesu. Wazazi wake

walitishwa na wakaogopa kutengwa na Sinagogi.

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Kushurutishwa kutiiTafsiri Potofu;

‘Kutii ni lazima, ni lazima. Kiongozi wetu hakosei, yuko

sahihi wakati wote.’

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Kushurutishwa kutiiUsahihi; (Kumbukumbu 30:19)

‘… nawawekea mbele yenu leo, baraka na laana; mauti na

uzima; basi chagua uzima ili upate kuishi, wewe na uzao

wako wote.’

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Kushurutishwa kutiiUsahihi; (Kumbukumbu 30:19)

Mungu wetu ni mzuri sana, kwamba hakulazimishi wala hakushurutishi kumchagua

yeye [kama Mafarisayo]; bali anakupa uhuru wa maamuzi.

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Kushurutishwa kutiiMfano; (Yohana 1:9-12)

Yesu ni Nuru; lakini alikuja kwao, nao waliowake hawakumpokea. Bali

waliompokea, waliwapa kuwa watoto wa Mungu.

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Kushurutishwa kutiiMfano; (Warumi 1:24, 28)

‘… na waliochagua maisha ya uovu, anasa, na uchafu, Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao zisizofaa [hakuwashurutisha]

bali aliwaacha ...’

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Kushurutishwa kutiiJiulize; (Warumi 1:24, 28)

Ikiwa Mungu mwenyewe hakushurutishi kufuata njia zake, bali anakushauri tu; je huyu anayekushurutisha na

kukutisha, ana roho ya nani?

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Kushurutishwa kutiiKumbuka; (Mathayo 7:15-23)

‘Jihadharini na mbwa mwitu waliovaa ngozi ya kondoo …

mtawatambua kwa matunda yao [sio kwa karama zao] bali

kwa matendo yao.’

SABABU ZA UKENGEUFU

4. Kushurutishwa KutiiWatu wanaotumiwa na roho

kengeufu (imani potofu), hushurutisha watu kutii

maagizo yao. Na mara nyingi huambatana na vitisho na

hata kuombewa kifo.

DALILI ZA UKENGEUFU

Ishara za Ukengeufu

5.Kushuku Mamlaka

Neno la MunguZaburi 12:6, Mith 30:5

HATARI YA IMANI POTOFU

5. Kushuku Mamlaka ya Neno

Zaburi 12:6/18:30/Mith 30:5“Maneno ya Bwana ni maneno

safi, ni fedha iliyojaribiwa kalibuni juu ya nchi;

iliyosafishwa mara saba (7).”

ISHARA ZA UKENGEUFU

5. Kushuku Mamlaka ya Neno

Mathayo 5:18, Mbingu na nchi zitapita,

lakini Neno la Mungu litadumu milele.

ISHARA ZA UKENGEUFU

5. Kushuku Mamlaka ya Neno1Petro 1:19-21

Manabii walioandika Neno la Mungu, hawakutoa unabii

kama watakavyo wao, bali ni kwa uvuvio na uongozi wa

Roho Mtakatifu wa Mungu.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Ishara za Ukengeufu

Matokeo;Mafunuo Mapya Nje

ya Neno la MunguWagalatia 1:6-9

HATARI YA IMANI POTOFU

5. Mafunuo Mapya yaliyo nje ya mipaka ya Neno la Mungu.

Wagalatia 1:6-9‘kama mtu mwingine akija akawahubiri injili nyingine

tofauti na hii, na alaaniwe; hata kama ni mimi au ni malaika.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

5. Mafunuo Mapya yaliyo nje ya mipaka ya Neno la Mungu.

Ufunuo 22:18-19‘… mtu atakayepunguza neno,

ataondolewa sehemu yake katika mti wa uzima ...

ISHARA ZA UKENGEUFU

5. Mafunuo Mapya yaliyo nje ya mipaka ya Neno la Mungu.

Ufunuo 22:18-19‘… mtu atakayeongeza neno,

ataongezewa mapigo yaliyoandikwa humu ...

ISHARA ZA UKENGEUFU

Ishara za Ukengeufu

6.Misingi Potofu ya

Wokovu.Wagalatia 3:1-14

HATARI YA IMANI POTOFU

6. Wokovu Potofu (Sheria Nguvu).Mifano; Ili ukubaliwe (haki/kuokoka)1. Kulipia fedha (1Pet 1:18-19)2. Kumwaga damu yako 3. Kutundikwa msalabani4. Kutembea kwa Magoti5. Kuweka miguu uvunguni, n.k.

ISHARA ZA UKENGEUFU

6. Wokovu Potofu (Sheria Nguvu).Mifano mbalimbali;

(i) Wokovu kwa Fedha (1Petro 1:18)

‘… mmekombolewa si kwa fedha wala kwa dhahabu, bali kwa

damu ya Yesu Kristo.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

6. Wokovu Potofu (Sheria Nguvu).Mifano mbalimbali;

(ii) Uponyaji kwa Fedha (Mathayo 10:7-8)

‘Pozeni wagonjwa, takaseni wakoma, fufueni wafu;

mmepewa bure, toeni bure.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

6. Wokovu Potofu (Sheria Nguvu).Mifano mbalimbali;

(iii) Tarehe ya Mwisho wa dunia (Marko 13:8, 21, 27)

‘hakuna mtu ajuaye siku wala saa, hata Mwana, ila Baba peke yake. Msiwafuate makristo wa uongo.

ISHARA ZA UKENGEUFU

6. Mafunuo Potofu (Mafuniko).(iv) Kutokewa na Watakatifu waliokufa/Mababu waliokufa

(2Samweli 12:16-23)‘hakuna awezaye kurudi duniani

baada ya kufa. Kataa mafunuo hayo, ni mafuniko, si mafunuo.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

6. Mafunuo Potofu (Mafuniko).(v) Kuomba kwa watakatifu au

kwa kupitia Watakatifu (1Timotheo 2:15)

‘Tunaye mpatanishi mmoja tu, kati ya Mungu na wanadamu, naye ni

mwanadamu, Yesu Kristo.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

6. Mafunuo Potofu (Mafuniko).(v) Kuomba kwa watakatifu au kwa

kupitia Watakatifu (Warumi 8:26-27)

‘Roho Mtakatifu, anayetuombea kwa Mungu, kuugua sana,

sawasawa na mapenzi ya Mungu.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

6. Mafunuo Potofu (Mafuniko).(v) Kuomba kwa watakatifu au

kwa kupitia Watakatifu (Warumi 8:34)

‘Na Kristo Yesu naye, anadumu akituombea, pale katika mkono

wa kuume wa Mungu Baba.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

6. Mafunuo Potofu (Mafuniko).(v) Kuomba kwa watakatifu au kwa

kupitia Watakatifu (Yohana 14:13-14)

‘Ombeni katika Jina langu, nanyi mtatendewa; yote muombayo

kwa Jina langu, mtapewa na Baba.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

2Timotheo 3:12-17.

10 Lakini wewe umeyajua mafundisho yangu,

mwenendo, makusudi, imani, uvumilivu, upendo na ustahimilivu [shika hayo] ...

NJIA PEKEE YA KUPONA

2Timotheo 3:12-17.

13 Lakini watu waovu na wadanganyaji watazidi kuwa

waovu, wakidanganya na kudanganyika.

NJIA PEKEE YA KUPONA

2Timotheo 3:12-17.

14 Bali wewe, udumu katika yale uliyojifunza na

kuyaamini kwa uthabiti, ukitambua ya kuwa ulijifunza

hayo kutoka kwa nani.

NJIA PEKEE YA KUPONA

2Timotheo 3:12-17.15 na jinsi ambavyo tangu utoto umeyajua Maandiko

matakatifu, ambayo yanaweza kukuhekimisha upate wokovu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu.

NJIA PEKEE YA KUPONA

2Timotheo 3:12-17. 16 Kila andiko, lililovuviwa

na Roho wa Mungu lafaa kwa mafundisho, kuwaonya watu makosa yao, kuwaongoza na

kuwafundisha katika haki.

NJIA PEKEE YA KUPONA

2Timotheo 3:12-17.

17 ili [kwa kupitia Neno la Mungu] mtu wa Mungu

aweze kuwa kamili, amekamilishwa apate

kutenda kila kazi njema.

NJIA PEKEE YA KUPONA

6. Mafunuo Potofu (Mafuniko).

Kataa mafunuo yote uliyopewa, ambayo Mungu anakuonyesha kwamba, yako nje ya mipaka ya

Neno la Mungu. Hayo si mafunuo sahihi, ni mafuniko!’

ISHARA ZA UKENGEUFU

Ishara za Ukengeufu

7.Umoja wa Kidini Usio

na Sahihi Kibiblia.1Wakorintho 10:15-23

HATARI YA IMANI POTOFU

7. New Christianity (One World Religion)

Wanadai kwamba Njia zote tofauti-tofauti zaenda kwa Mungu mmoja.

(World Council of Churches) ‘Kushike yanayotuunganisha,

tuweke kando yanayotutenga’

Ezek 8:6-12, 1Kor 10:15-232Yoh 1:7-12

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. New Unbiblical Christianity (One World Religion)

1. Uhuru wa Matendo Uhuru wa mtu mzima (miaka 18)

kuamua kufanya lolote, kwa vyovyote, ili mradi havunji sheria za nchi/jamii yake.

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. New Unbiblical Christianity (One World Religion)

1. Uhuru wa Matendo (1Kor 6:19-20, 9)

‘Ninyi si mali yenu wenyewe; mmenunuliwa kwa thamani.

Waasherati hawataurithi uzima.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. New Unbiblical Christianity (One World Religion)

2. Ngono, Ushoga, Utoaji Mimba(1Kor 6:9-10)

‘Waasherati, wafiraji, walawiti, walevi, watamanio, wezi,

watukanaji, n.k. watairithi nchi.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. New Unbiblical Christianity (One World Religion)

3. Ulevi wa Sigara, pombe, madawa na ngono,

ni ulemavu tu, si dhambi. (1Kor 6:9-10)

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. New Unbiblical Christianity (One World Religion)

(1Kor 6:9-10)‘Waasherati, wafiraji, walawiti,

walevi, watamanio, wezi, watukanaji, na wengine kama

hao, watairithi uzima wa milele.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. New Unbiblical Christianity (One World Religion)

5. Tamaduni zote ni safi. (1Petro 1:18-19)

‘Mmekombolewa kwa damu, mtoke ktk mwenendo usiofaa,

mliourithi kwa baba zenu.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. New Unbiblical Christianity (One World Religion)

5. Tamaduni zote ni safi. (Mathayo 15:3, 6)

‘Mnaihalifu Amri ya Mungu kwasababu ya mapokeo yenu.’

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. New Christianity (One World Religion)

Ezekiel 8:6-12Mwanadamu, njoo huku

nikuonyeshe matendo ya uovu na machukizo wanayofanya

viongozi wa Israel. Nami nikaona, nami nikalia sana.

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. New Christianity (One World Religion)

1Wakorintho 10:15-23 hamuwezi kunywea kikombe cha

Bwana na kikombe cha mashetani, wala kula meza ya

Bwana na kula meza ya mashetani. Hapana! Si sawa!

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. New Christianity (One World Religion)

2Yohana 1:7-12Mtu akija kwenu na haleti

mafundisho safi, msimkaribishe wala msimsalimie; kwa maana

yeye ampaye salamu, anazishiriki kazi zake mbovu.

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. New Christianity (One World Religion)

(World Council of Churches) Eti: ‘Tusihukumiane, bali

tuyashike na tuyatazame yale yanayotuunganisha tu, tusizungumzie yae yanayotutofautisha’

ISHARA ZA UKENGEUFU

7. Umoja wa Kishetani (Uhuru Potofu).Eti; Njia zote zaenda kwa Mungu

No Way! Huu ni Ukengeufu!Yesu Pekee Ndiye Njia

Yohana 14:16 Yohana 8:24 Yohana 17:1-3, Matendo 4:12, Matendo 17:30-31, 1Yoh 2:18,22

ISHARA ZA UKENGEUFU

Njaa Binafsi ya Neno.Watu wengi hujikuta katika imani potofu, kwasababu ya kutotaka kusikia kile Mungu anachosema nao, bali kutaka

kusikia kile wanachotaka wao.(2Timotheo 4:1-4)

SABABU ZA UKENGEUFU

Njaa Binafsi ya Neno.Imani potofu (ukengeufu), huwakamata kirahisi sana,

wale watu wanaokosa unyenyekevu wa kukubali kubadilishwa na Neno la

Mungu. (2Timotheo 4:1-4)

SABABU ZA UKENGEUFU

Njaa Binafsi ya Neno.Imani potofu (ukengeufu), huwakamata watu wenye

kiburi, wanaokataa kuwa vile Neno linavyowataka wawe,

bali wanataka Neno ndio libadilike kuwa kama wao.

SABABU ZA UKENGEUFU

Njaa Binafsi ya Neno.

Wala msifuatishe tena maisha kwa mfano wa ulimwengu huu,

bali mgeuze kwa kufanywa upya nia zenu. (Warumi 12:2)

SABABU ZA UKENGEUFU

Njaa Binafsi ya Neno.

Ndipo mtaweza kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema,

yanayopendeza machoni Pake na ukamilifu.

(Warumi 12:2)

SABABU ZA UKENGEUFU

2Timotheo 3:12-17.

12 Naam, ye yote anayetaka kuishi maisha ya utauwa

ndani ya Kristo Yesu atateswa.

NJIA PEKEE YA KUPONA

2Timotheo 3:12-17.

13 Lakini watu waovu na wadanganyaji watazidi kuwa

waovu, wakidanganya na kudanganyika.

NJIA PEKEE YA KUPONA

2Timotheo 3:12-17.

14 Bali wewe, udumu katika yale uliyojifunza na

kuyaamini kwa uthabiti, ukitambua ya kuwa ulijifunza

hayo kutoka kwa nani.

NJIA PEKEE YA KUPONA

2Timotheo 3:12-17.15 na jinsi ambavyo tangu utoto umeyajua Maandiko

matakatifu, ambayo yanaweza kukuhekimisha upate wokovu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu.

NJIA PEKEE YA KUPONA

2Timotheo 3:12-17. 16 Kila andiko, lililovuviwa

na Roho wa Mungu lafaa kwa mafundisho, kuwaonya watu makosa yao, kuwaongoza na

kuwafundisha katika haki.

NJIA PEKEE YA KUPONA

2Timotheo 3:12-17.

17 ili [kwa kupitia Neno la Mungu] mtu wa Mungu

aweze kuwa kamili, amekamilishwa apate

kutenda kila kazi njema.

NJIA PEKEE YA KUPONA

Ishara za Ukengeufu

8.Kukosa Kiasi (Mipaka), Kunakovuruga Utaratibu

Wagalatia 5:16-25

HATARI YA IMANI POTOFU

Wagalatia 5:16-25Kwa maana tunda la roho ni

upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili,

uaminifu, upole na kiasi. Juu ya mambo hayo, hakuna sheria.

Ishara za Ukengeufu

Wagalatia 5:16-25Moja ya ishara za roho

kengeufu ni kufanya mambo, pasipo kiasi. Hupitiliza kiasi cha kuvuruga na kuharibu utaratibu

mzuri na wa kawaida wa maisha ya kila siku.

Ishara za Ukengeufu

Mfano (1):Kusali mpaka ratiba muhimu zinaharibika. - Usafi, Ajira, Masomo, Safari, na mambo mengine muhimu kama hayo.

Ishara za Ukengeufu

Mfano (2):Kufunga kula mpaka afya inaharibika (Isaya 58). - Saumu aliyoichagua Bwana, hustawisha afya ya mtu baada ya kufunga, na sio kifo.

Ishara za Ukengeufu

Mfano (3):Kutoa sadaka na michango mpaka ustawi wa familia inaharibika (1Fal 17:1-24). - ‘Kapu lako la Unga wala chupa ya mafuta, havita- pungua, asema Bwana.’

Ishara za Ukengeufu

Mfano (3):Kutoa sadaka na michango mpaka ustawi wa familia inaharibika (1Fal 17:1-24). - Mtoto anafukuzwa shule - Unafukuzwa pango - Biashara inafilisika

Ishara za Ukengeufu

Mfano (4):Kuombea wagonjwa kwa mtindo unaoumiza badala ya kuponya. (Zekaria 4:6). - ‘Si kwa nguvu, wala kwa uweza, bali ni kwa Roho wa Mungu, asema Bwana.

Ishara za Ukengeufu

Muhimu Sana;Mungu akikuongoza kufanya kitu kwa namna ya ziada sana, atakuwepo kuthibitisha baraka na ushindi katika jambo hilo. (Mithali 10:22)

Ishara za Ukengeufu

Mfano (1):Mkesha wa Mtume Paulo na Kanisa la Troa. (Matendo 20:7-12).

Kijana aliyesinzia akaanguka kutoka dirisha la ghorofani,

alifufuliwa na Mungu.

Ishara za Ukengeufu

Mfano (2):Sadaka ya Mama Mjane wa Sarepta, kwa Nanii Eliya. (1Wafalme 17:1-24)Kapu la Unga halikupungua, wala

chupa ya mafuta haikukauka, mpaka mwisho.

Ishara za Ukengeufu

Wagalatia 5:16-25Moja ya ishara za roho

kengeufu ni kufanya mambo, pasipo kiasi. Hupitiliza kiasi cha kuvuruga na kuharibu utaratibu

mzuri na wa kawaida wa maisha ya kila siku.

Ishara za Ukengeufu

Ishara za Ukengeufu

9.Matokeo ya Uharibifu

Yohana 10:10

HATARI YA IMANI POTOFU

Yohana 10:10 Bwana Yesu mwenyewe

alisema ‘Mwizi [shetani] akija, anakuja ili kuiba, kuchinja,

kuharibu na kuangamiza. Lakini mimi nalikuja, ili muwe na

uzima, kisha muwe nao tele.

Ishara za Ukengeufu

Yohana 10:10

Njia rahisi ya kujua, kama ulipatia kusikia sauti ya Mungu au la, ni kuangalia matokeo ya

mwisho ya jambo hilo.

Ishara za Ukengeufu

Mithali 10:22

Baraka ya Mungu hutajirisha, wala haichanganywi na huzuni.

Ishara za Ukengeufu

Matendo 16:16-18 Mtume Paulo alijua kuwa, roho inayoongea nao kupitia mjakazi

yule, si roho wa Mungu, kwasababu, alisikia kuhuzunika

moyoni (yaani kukosa amani, furaha na uhuru)

Ishara za Ukengeufu

1Yohana 4:1 1 Wapenzi, msiiamini kila

roho, bali zijaribuni hizo roho,kwamba zimetokana na Mungu; ni kwasababu Manabii wa uongo wengi,

wametokea duniani.

HATARI YA IMANI POTOFU

Yohana 10:10

Njia rahisi ya kujua, kama ulipatia kusikia sauti ya Mungu au la, ni kuangalia matokeo ya

mwisho ya jambo hilo.

Ishara za Ukengeufu

Yohana 10:10 Angalia Matokeo ya Kutii Kwako;•Masomo, Kazi, Biashara, •Familia, Afya, Mahusiano, •Huduma, Ibada,Vitu hivi vina hali gani tangu umetii ile sauti iliyosema nawe?

Ishara za Ukengeufu

Wagalatia 5:16-25Moja ya ishara za roho

kengeufu ni kufanya mambo, pasipo kiasi. Hupitiliza kiasi cha kuvuruga na kuharibu utaratibu

mzuri na wa kawaida wa maisha ya kila siku.

Ishara za Ukengeufu

Ishara za Ukengeufu

10.Unabii UsiotimiaKumbu 18:15-22

Kumbu 13:1-5

HATARI YA IMANI POTOFU

Kumbukumbu 18:15-22Moja ya ishara rahisi ya

kuzitambua roho za ukengeufu na imani potofu, ni kutoa tabiri ambazo haziji kutimia au haziji kutokea kama ilivyotabiriwa.

Ishara za Ukengeufu

Kumbukumbu 18:15-22‘Tutajuaje Neno asilolinena Bwana? Ni pale nabii huyo atakapotabiri, kwa jina la

Bwana, lisifuate jambo lile, wala kutimia. Nabii huyo,

usimwogope.’

Ishara za Ukengeufu

1Yohana 4:1 1 Wapenzi, msiiamini kila

roho, bali zijaribuni hizo roho,kwamba zimetokana na Mungu; ni kwasababu Manabii wa uongo wengi,

wametokea duniani.

HATARI YA IMANI POTOFU

Mathayo 7:15-23 15 Jihadharini na manabii

wa uongo, wanaowajia wakiwa wamevaa mavazi ya kondoo, lakini ndani wao ni

mbwa mwitu wakali.

HATARI YA IMANI POTOFU

Mathayo 7:15-23

16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je, watu

huchuma zabibu kwenye miiba au tini kwenye

michongoma?

HATARI YA IMANI POTOFU

Kumbukumbu 18:15-22Moja ya ishara rahisi ya

kuzitambua roho za ukengeufu na imani potofu, ni kutoa tabiri ambazo haziji kutimia au haziji kutokea kama ilivyotabiriwa.

Ishara za Ukengeufu

Ishara za Ukengeufu

11.Maisha ya Uovu na

Ushuhuda MbayaMathayo 7:15-23

HATARI YA IMANI POTOFU

Mathayo 7:15-23 15 Jihadharini na manabii

wa uongo, wanaowajia wakiwa wamevaa mavazi ya kondoo, lakini ndani wao ni

mbwa mwitu wakali.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23

16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je, watu

huchuma zabibu kwenye miiba au tini kwenye

michongoma?

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23

17 Vivyo hivyo, mti mwema huzaa matunda mazuri na mti mbaya huzaa matunda

mabaya.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23

18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-2319 Kila mti usiozaa matunda

mazuri hukatwa na kutupwa motoni. 20 Hivyo,

kwa matunda yao [tabia zao], mtawatambua.’’

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23Ogopa sana watumishi wa

Mungu na waumini wa kanisa ambao hawaogopi kufanya kufanya dhambi,

na hawajutii. (Wamezoelea)

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-2321“Si kila mtu aniambiaye,

‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika Ufalme

wa Mbinguni bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba

yangu aliye mbinguni.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23 22 Wengi wataniambia siku

ile, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii kwa jina

lako na kwa jina lako kutoa pepo na kufanya miujiza

mingi?

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23 23 Ndipo nitakapowaambia

wazi, ‘Sikuwajua’ kamwe [tangu enzi zile

nikiwatumia]. Ondokeni kwangu, ninyi watenda

maovu!

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23Mtu anaweza kuwatumiwa na Mungu, kwa karama na vipawa

vya ajabu vya kushangaza, lakini kumbe akawa

ameshakatwa na kuondolewa katika uzima na uhusiano mzuri

na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Baada ya kufika katika cheo cha

Mwana wa Mungu na kujaliwa karama na vipawa, mtu

anatakiwa kutunza utakatifu na unyenyekevu wake ili

kutunza heshima na uhusiano mzuri na Mungu wake.

HATARI YA UKENGEUFU

UTUKUFU WA MUNGU KUCHIPUSHA KARAMA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Karama na Vipawa

RMt

Mtume Paulo anatuelekeza na kutuonya kwamba, baada ya

kuanza kutenda kazi kwa karama na vipawa vya Roho

Mtakatifu, tunatakiwa kudumisha upendo wetu kwa Mungu na kwa watu wake.

1Wakorintho 13:1-13

1Wakorintho 13:1-13Hii ni kwasababu, vipawa na karama, vina namna fulani

inayoweza kumlewesha mtu utukufu na kufanya ajisahau kabisa, hata mtu akamsahau Mungu wenye hizo karama.

HATARI YA UKENGEUFU

1Wathesalonike 4:1-4-7Mtu mwenye karama na vipawa,

asipotunza utakatifu wake, anaweza kubaki na karama na

vipawa, lakini akapoteza heshima yake na kuharibu uhusiano wake na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

KIBURI HUZIMISHA UTUKUFU WA MUNGU NDANI YETU.

1Sam 4:1-22 (Ikabod)

Karama na Vipawa hubaki ktk utendaji

?

Mathayo 7:15-23Mtu anaweza kuwatumiwa na Mungu, kwa karama na vipawa

vya ajabu vya kushangaza, lakini kumbe akawa

ameshakatwa na kuondolewa katika uzima na uhusiano mzuri

na Mungu.

HATARI YA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23Ogopa sana watumishi wa

Mungu na waumini wa kanisa ambao, wana Maisha ya Uovu na Ushuhuda Mbaya.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Ishara za Ukengeufu

12.Utumishi wa Mshahara

Warumi 16:17-18Yohana 10:7-18

HATARI YA IMANI POTOFU

Warumi 16:17-18

ISHARA ZA UKENGEUFU

Warumi 16:17-1817 Ndugu zangu, nawasihi,

waangalieni sana wale wafanyao fitina na mambo ya kukwaza, kinyume cha mafundisho mliyojifunza,

mkajiepushe nao.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Warumi 16:17-18

18 Kwa maana watu kama hao hawamtumikii Bwana Kristo, bali wanatumikia tamaa zao na matumbo

yao wenyewe.

ISHARA ZA UKENGEUFU

10. Ushuhuda Mbaya.Roho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na

kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani.

(1Tim 4:1-2)

ISHARA ZA UKENGEUFU

10. Ushuhuda Mbaya.

Mafundisho hayo [ya uongo] huja kupitia kwa watu waongo ambao ni wanafiki hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa

na moto. (1Tim 4:1-2)

ISHARA ZA UKENGEUFU

10. Ushuhuda Mbaya.

Miongoni mwao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu na kuwachukua mateka

wanawake wajinga …(2Timotheo 3:1-7)

ISHARA ZA UKENGEUFU

10. Ushuhuda Mbaya.

Ni wenye ushupavu, na kujikinai; hawatetemeki,

wakiyatukana matukufu. Ni wanyama wasio na akili ...

(2Petro 2:9-22)

ISHARA ZA UKENGEUFU

10. Ushuhuda Mbaya.

Wakiwa na macho yaliyojaa uzinzi, hawaachi kutenda

dhambi; wenye kudanganya roho zisizo imara ...

(2Petro 2:9-22)

ISHARA ZA UKENGEUFU

10. Ushuhuda Mbaya.

ni hodari kwa kutamani, wana wa laana! Wameiacha njia iliyonyoka, wakapotoka na kuifuata njia ya Balaamu

(2Petro 2:9-22)

ISHARA ZA UKENGEUFU

(Warumi 16:17-18)

“Watumishi wa tumbo”Yohana 10:7-18

ISHARA ZA UKENGEUFU

Yohana 10:7-18

11‘‘Mimi ndimi Mchungaji Mwema. Mchungaji

Mwema huutoa uhai Wake kwa ajili ya kondoo.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Yohana 10:7-18

15‘‘Mimi ndimi Mchungaji Mwema. Nami huutoa uhai wangu kwa ajili ya Kondoo.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Yohana 10:7-18

12 Mtu wa kuajiriwa ambaye kondoo si mali yake, amwonapo mbwa

mwitu anakuja, hukimbia na kuwaacha kondoo …

ISHARA ZA UKENGEUFU

Yohana 10:7-18 12 … na mbwa mwitu hulishambulia kundi na kulitawanya. 13 Yeye hukimbia kwa sababu

ameajiriwa wala hawajali kondoo.

ISHARA ZA UKENGEUFU

1Timotheo 6:10

10 Shina la mabaya yote ni kupenda fedha.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Ezekiel 34:1-312-3 Ole wa wachungaji wa Israel, wanojilisha wenyewe.

Je haiwapasi wachungaji kulisha Kondoo? Mnawala

walionona, mnajivika manyoya yao.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Ezekiel 34:1-314. Wagonjwa hamkuwatia

nguvu, wenye maradhi hamkuwaponya;

waliovunjika hamkuwafunga, wala hamkuwatafuta waliofukuzwa/potea.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Ezekiel 34:1-314. … bali kwa nguvu na ukali,

mmewatawala. 5 Nao wametawanyika

kwasababu, hakukuwa na mchungaji. Wakawa chakula

cha wanyama mwitu.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23Ogopa sana watumishi wa

Mungu na waumini wa kanisa ambao, wana Maisha ya Uovu na Ushuhuda Mbaya.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Ishara za Ukengeufu

Uasi, Uovu, na Utumishi wa Mshahara (Maisha

ya Tamaa)Yohana 13:1-17

ISHARA ZA UKENGEUFU

UTUMISHI WA KWELI

Yohana 13:3-17‘Yesu hali akijua Baba

amempa vyote mikononi mwake … alionoka chakulani,

akatwaa beseni, maji na kitambaa alichokuwa

amejifunga;

UTUMISHI WA KWELI

Yohana 13:3-17‘Yesu akawatawadha

wanafunzi wake wote miguu yako … Alipokwisha

kuwatawadha, akaketi na kuwauliliza; Je mmefahamu

hayo niliyoyatenda?’

UTUMISHI WA KWELI

Yohana 13:3-17‘Yesu akawatawadha

wanafunzi wake wote miguu yako … Alipokwisha

kuwatawadha, akaketi na kuwauliliza; Je mmefahamu na

kuelewa na hayo niliyoyatendea?’

UTUMISHI WA KWELIYohana 13:3-17

14 ‘Ikiwa mimi niliye Mwalimu na Bwana kwenu, nimewatawadha ninyi miguu, vivyo hivyo na ninyi mnatakiwa kutawadhana miguu

(ili muwe watumishi kila mtu kwa mwenzake)

UTUMISHI WA KWELIMarko 10:42-45

42-43 ‘Mwafahamu, wale wakuu wa dunia, huwatawala kwa

nguvu na huwatumikisha; lakini haitakuwa hivyo kwenu. Yeye

atakaye kuwa mkubwa kwenu, atakuwa mtumishi wenu’

UTUMISHI WA KWELI

Marko 10:42-45

45 ‘Kwakuwa Mwana wa Adamu, hakuja kutumikiwa,

bali kutumika’

Mathayo 7:15-23Njia rahisi sana ya kumjua

mtumishi wa kweli wa Mungu, ni kuangalia;

1.Usafi wake (Unyenyekevu)2.Mzigo wake kwa kondoo.

ISHARA ZA UKENGEUFU

Luka 22:3-6Basi shetani akamwingia Yuda, akaondoka, akaenda

kuhongwa fedha, ili kumsaliti Bwana Yesu,

auwawe .

ISHARA ZA UKENGEUFU

Luka 22:3-6Fedha inapotangulia mbele

ya uzalendo na huruma, ni ishara ya waziwazi ya

kupangawa na roho ya kishetani (pepo la tamaa).

ISHARA ZA UKENGEUFU

Luka 22:3-6Binafsi, napata shida sana kuona, mtumishi wa Mungu ni milionea, lakini waumini wake hawana hata ndala.

Hii si roho ya Mungu! Sio!

ISHARA ZA UKENGEUFU

UTUMISHI WA KWELI

Marko 10:42-45

45 ‘Kwakuwa Mwana wa Adamu, hakuja kutumikiwa,

bali kutumika’

Marko 10:42-45Kwa neno hili, binafsi wala sihitaji calculator ili kumjua

Mtumishi wa Yesu wa kweli. Wanajulikana!

ISHARA ZA UKENGEUFU

Mathayo 7:15-23

16 Mtawatambua kwa matunda yao.

HATARI YA IMANI POTOFU

Kutambua UkengeufuUtazitambuaje Ishara au Dalili za Imani potofu?

(roho ya uasi)

HATARI YA IMANI POTOFU

Utazitambuaje Imani potofu?

A. B. Angalia Sikiliza Ishara za Sauti ya za Upotevu ya Mungu (Ishara 14) (Namna 12)

ISHARA ZA UKENGEUFU NA UPOTOFU

B.Kujifunza Kusikia Sauti ya Mungu

Yohana 10:1-5, 27-30

HATARI YA IMANI POTOFU

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

NAMNA YA KUSIKIA SAUTI YA MUNGU NA

UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A.Namna za KAWAIDAB.Namba ZISIZO KAWAIDA

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. NAMNA ZA KAWAIDA

A. Namna za KAWAIDA

1. Kwa Neno lake (Logos);

(Zab 119:105, 2Tim 3:9-17)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

2. Kwa Ushuhuda wa moyoni (Sauti ya Ndani – ‘Rhema’) Isaya 55:8-11, Yer 29: 11

(1Kor 2:16, Rum 8:16) (2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

3. Kwa Amani ya rohoni (Furaha/Uhuru)

(Isa 55:12, Kol 3:15)(Fil 4:6-7, Efe 4:1-3)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

4. Kwa njia ya Ndoto

(Math 1:18-25 Math 2;19-21)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

5. Kwa kutumia watu wengine.

(Math18:16, Mdo 6:3-6)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

6. Kwa kutumia Mazingira. Majira na Nyakati

(Luka 12:54-57) (Mdo 17:24-27-29)(Mwanzo 1:14-19)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. NAMNA ZISIZO

ZA KAWAIDA

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

7. Kwa njia ya Maono

(Mdo 10:1-19, Mdo 9:10-12)

(Mdo 16:9-10)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

8. Kwa Neno la Maarifa

(1Kor 12:4-8; Mdo 5:1-11)(Math 12:22-28)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

9. Kwa Neno la Hekima

(1Kor 12:4-8; 2Fal 2:19-21)(Yoh 9:1-7)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. Namna ZISIZO KAWAIDA

10. Kwa njia ya Unabii.

(1Kor 12;7-10, 1Kor 14:10) (Mdo 13:1-3)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. Namna ZISIZO KAWAIDA

11. Kwa Sauti ya Ndani.

(Isaya 30:20-21)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. Namna ZISIZO KAWAIDA

12. Kwa Sauti ya Nje

(Mk 9:1-8, Mdo 9:1-9)(Yoh 12:28-30)

KUONGOZWA NA ROHO

KUONGEZA USIKIVU KWA SAUTI YA

ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

1. Maisha ya Utakatifu (Yoh 9:31, 2Wakor 6:14-18)

(1Pet 1:15-16, Isa 57:17)

VITA YA MWILI NA ROHO

(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

2. Kusifu na Kuabudu (Yoh 4:23-24, Zab 22:3)

(2Nyak 5:13-14)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

3. Kusoma Neno kwa Bidii (Waebr 4:12, Wakol 3:16-17)

(2Tim 3:16-17)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

4. Maombi ya Muda Mrefu (Wakol 4:2, 1Thes 5:17)

(Luka 6:12/18:1)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

5. Kukusanyika katika Ibada (Math 18:19-20, Waebr 10:25)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

6. Kuenenda kiroho(Katika Roho)

Wagal 5:16-25, Warum 8:5-121Wakor 1:1-9

KANUNI ZA MAISHARohoni Mwilini

Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo, Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi Utoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya,n.k.

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

7. Kutembea katika kiwango

Waebrania 5:11-14Wagalatia 4:1

Mathayo 17:1-9

KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;

7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge)

(1Sam 16:13, Zab 23:5) (Matendo 4:31)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kujaa Nguvu za Mungu

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;

7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho

(Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16) Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi

katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi

katika viwango vyake maalum.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.

Kutoka 24:1-18

7. Ngazi (Level) ya Wito

Kutoka 24:1-18 ^ 1st Class

^^^ 2nd Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13-16

1 (Yoh 21:19-24)

3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

– 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGAZI YA IMANILuka 6:13-16

Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu, bali tafuta kuongezeka katika

ngazi yako ndani ya Mungu

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Kuongozwa/Usikivu;

1. Utakatifu (1Pet 1:15-16, Isa 57:17)2. Kuabudu (John 4:23-24, Psa 22:3) 3. Maombi (Exo 24:12-18, Luk6:1219)4. Neno (Heb 4:12, Col 3:16)5. Ibada (Math 18:19-20)6. Kiroho (Wag 5:16, War 8:5-8)7. Kiwango (Efes 4:11-15, Ebr 5:11-14)

Namna ya

Kuwasaidia Watu Waliotekwa Katika

Imani Potofu

MLANGO WA KUTOKEA

Kuwaokoa katika MotoYakobo 1:22-23

‘Wahurumieni walio na shaka, na wengine waokoeni

kwa kuwanyakua [kutoka] katika moto …’

MLANGO WA KUTOKEA

1.Maombi ya Toba na

Rehema (Kuhani)1Petro 2:7, 9Ezekiel 22:30

KUWASAIDIA WALIOPOTOSHWA

2.Maombi ya Vita na

Mapambano (Mfalme)2Korintho 10:3-5Waefeso 6:10-13

KUWASAIDIA WALIOPOTOSHWA

3.Kuendelea Kushuhudia Neno Sahihi kwa Upole

Luka 22:3-6, Mathayo 26:47-50

KUWASAIDIA WALIOPOTOSHWA

4.Kuonyesha Upendo

Kujali na HurumaWarumi 12:17-21

Wagalatia 6:1

KUWASAIDIA WALIOPOTOSHWA

KUTAMBUA ROHO KENGEUFU

Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kujilinda na kuwalinda wengine, dhidi ya roho kengeufu

na mafundisho ya kishetani, yaliyoenea sana na yanayozidi sana kuenea katika jamii zetu.

Mafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa

Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la

Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive

Dar es Salaam.

Kwa mawasiliano zaidi,

Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)

Dar es Salaam, Tanzania.+255 713 497 654+255 783 497 654

mgisamtebe@yahoo.comwww.mgisamtebe.org

top related