serikali ya mapinduzi ya zanzibar hotuba ya …
Post on 14-Nov-2021
15 Views
Preview:
TRANSCRIPT
1
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
HOTUBA YA MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI, MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA
2021/2022-2023/2024 BARAZA LA WAWAKILISHI.
(Umetayarishwa na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango – Zanzibar)
2
i
YALIYOMO1 UTANGULIZI .................................................................................................. 12 MAPITIO YA UCHUMI DUNIANI .................................................................... 23 MWENENDO WA UCHUMI WA ZANZIBAR KIPINDI CHA MIEZI SITA(6) (JULAI – DISEMBA 2020) ................................................................................. 23.1MFUMKO WA BEI ....................................................................................... 43.2MWENENDO WA BIASHARA ....................................................................... 53.3MWENENDO WA UINGIAJI WA WATALII 2020 ............................................ 54 UTEKELEZAJI WA MKUZA III .......................................................................... 55 UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA MIEZI SITA (JULAI 2020-DISEMBA 2020) .................................................................... 66 UTEKELEZAJI WA MAENEO YA VIPAUMBELE KWA KIPINDI CHA JULAI -DISEMBA 2020 ............................................................................................... 77 UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA MWAKA 2020/2021 KWA KIPINDI CHA MIEZI SITA (JULAI 2020-DISEMBA 2020) .......................................................... 87.1 UKUSANYAJI HALISI WA MAPATO YA SERIKALI ........................................... 87.1.1 Mapato ya Mfuko wa Miundombinu ...................................................... 97.1.2 Mapato kutoka kwa Washirika wa Maendeleo ...................................... 97.2 UTEKELEZAJI HALISI WA MATUMIZI ........................................................... 107.2.1 Matumizi ya Mfuko wa Miundombinu ................................................... 117.2.2 Matumizi ya Serikali za Mitaa ................................................................. 117.3 DENI LA TAIFA ............................................................................................ 128 MATARAJIO YA MAPATO JULAI-JUNI 2020/2021 ........................................... 128.1 MAPATO YA NDANI .................................................................................... 128.2 MFUKO WA MIUNDOMBINU ..................................................................... 138.3 MAPATO KUTOKA NJE ................................................................................ 149. MATARAJIO YA MATUMIZI JULAI-JUNI/2020/2021 ..................................... 1410 YATOKANAYO NA MAJUKWAA YA UCHUMI NA BAJETI ............................... 1511 MWELEKEO WA UCHUMI WA DUNIA ......................................................... 1712 MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI ZANZIBAR ............................................. 1812.1 SHABAHA NA MALENGO YA UCHUMI KWA 2021-2023. .......................... 1913 MWELEKEO WA MPANGO WA MAENDELEO 2021/2022-2023/2024 ......... 2014 VIPAUMBELE VYA KITAIFA KWA MWAKA 2021/2022 -2023/2024 .............. 2115 VIPAUMBELE VYA KITAIFA KWA MWAKA 2021/2022 .................................. 2316 MWELEKEO WA MAPATO ........................................................................... 2416.1 MAPATO YA NDANI .................................................................................. 24
ii
16.2 MFUKO WA MIUNDOMBINU ................................................................... 2417 MWELEKEO WA MATUMIZI ........................................................................ 2518 SURA YA BAJETI........................................................................................... 2619 VIGEZO VYA UGAWAJI WA RASILIMALI FEDHA ........................................... 2720 VIAMBATISHO ............................................................................................. 2721 HITIMISHO .................................................................................................. 28
1
MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI, MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022-2023/2024
1 UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, Nianze na kumshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa Kutujaalia kuwa na afya njema na kuweza kukutana leo katika kikao cha kujadili Mapendekezo ya mwelekeo wa Uchumi, Mipango na Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2022/2023-2023/2024, tunamuomba Mwenyezi Mungu akijaalie kikao hiki kiendeshe shughuli zake kwa utulivu, maelewano na upendo ili tuweze kufikia malengo yaliyokusudiwa kwa Maslahi ya nchi yetu na watu wetu. Aidha napenda kuchukua fursa hii adhimu kuungana na wananchi wote wa Visiwa vya Unguja na Pemba kumpongeza kwa dhati Mhe.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi kwa imani kubwa aliyoipata kwa Wazanzibari kuchaguliwa kuongoza Awamu ya Nane (8) kwa ushindi wa kihistoria. Mwaka huu wa fedha 2021/2022 tunaanza na Awamu ya Nane (8) ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yenye Muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Halikadhalika, hii ni Bajeti ya kwanza inayoanza kutekeleza Dira mpya ya Maendeleo ya 2050.
Mheshimiwa Spika, Naomba kuwasilisha mbele ya Baraza Lako Tukufu, Mapendekezo ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2021/2022-2023/2024. Mapendekezo hayo yatatanguliwa na Mapitio ya mwenendo wa Uchumi 2020, Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa nusu ya kwanza ya mwaka 2020/2021 na Mapitio ya utekelezaji wa Bajeti ya nusu ya kwanza ya mwaka 2020/2021. Tunawasilisha pia Matarajio (likely outturn) ya Mapato na Matumizi hadi kufikia Juni 2021.
Mheshimiwa Spika, Waraka huu unatokana na matakwa ya Kifungu cha 105 cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 (kama ilivyorekebishwa) kinachomtaka Waziri anayehusika na Fedha, kabla ya kumalizika mwaka wa Fedha, kutayarisha na kuwasilisha Baraza la Wawakilishi Makadirio ya Bajeti ya mwaka unaofuata. Aidha, Kifungu cha 39(1) cha Sheria ya Fedha za Umma namba 12 ya mwaka 2016, kinamtaka Waziri anaesimamia Fedha kuandaa Mwelekeo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka unaofuata na kuwasilishwa Baraza la Wawakilishi. Matakwa haya yanaendana na kanuni ya 93 ya kanuni za Baraza la wawakilishi inayoitaka
2
Serilkali kuwasilisha mbele ya baraza hilo Mwelekeo wa Mpango wa Taifa kwa Mwaka unaofuata katika kikao cha mwezi wa Februari cha Baraza la Wawakilishi.
TAARIFA YA MAPITIO YA HALI YA UCHUMI2 MAPITIO YA UCHUMI DUNIANIMheshimiwa Spika, Kufuatia Mripuko wa maradhi ya korona (Covid19) mwezi wa Disemba mwaka 2019, Uchumi wa dunia unatarajiwa kuporomoka kufikia 3.5% mwaka 2020 kutoka ukuaji wa 2.8%, ukichangiwa na kuporomoka kwa uchumi wa Umoja wa Ulaya (-7. % kutoka 1.3%), Nchi ya Marekani (-3.4% kutoka 2.2%), nchi zinazoibukia kiuchumi (-3.3% kutoka 2.9%) pamoja na nchi zilizoendelea kiviwanda (-2.4% kutoka 3.6%).
Kwa upande wa Afrika, uchumi umeripotiwa kushuka kwa asilimia 1.7 mwaka 2020, ikiwa ni anguko la kutoka asilimia 5.6, huku uchumi wa nchi za Afrika Mashariki kama Tanzania ukitegemewa kufikia asilimia 5.2, Kenya (asilimia 6.0), na Uganda (asilimia 2.5). Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani hadi kufikia tarehe 10 Februari 2021, idadi ya watu ipatayo 106.6 milioni (Afrika 2.7 milioni, Amerika 47.4 milioni, Ulaya 36.0 milioni, Kusini Mashariki mwa Asia 13.1 milioni, nyenginezo 7.4 milioni) imeambukizwa ugonjwa huu duniani kote na kati ya idadi hiyo 2.3 milioni wamefariki dunia. Aidha, kwa taarifa za kitaalamu za afya, maambukizi ya maradhi haya ni ya haraka sana lakini hayasababishi vifo kwa haraka (highly infectious, low mortality), ambapo idadi ya wagonjwa wapatao 78.4 milioni kati ya waliopata maradhi hayo wameweza kupona.
3MWENENDO WA UCHUMI WA ZANZIBAR KIPINDI CHA MIEZI SITA(6) (JULAI – DISEMBA 2020)Mheshimiwa Spika, Katika kukabiliana na athari za janga la maradhi ya COVID19, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeendelea kuchukua hatua mbalimbali katika kuhakikisha inaimarisha uchumi wake na kukabiliana na athari za kiuchumi ambazo zimejitokeza kutokana na kuwepo kwa janga hilo Duniani.Miongoni mwa hatua hizo ni :-
i. Kupunguza masharti iliyoyaweka na kuanza kuruhusu baadhi ya shughuli za kiuchumi na kijamii ziendelee;
ii. Kufungua vyuo vyote vya elimu ya juu;iii. Kufungua shule kwa kuwapa nafasi wanafunzi wa kidato cha nne na
sita ili kujitayarisha na mitihani;
3
iv. Kuanza kuruhusu kupokea watalii kutoka Nchi tofauti duniani;v. Kuruhusu safari za ndege kuingia na kutoka nje ya nchi;vi. Kuruhusu shughuli za biashara za ndani kuwa wazi kwa nyakati za
kawaida; navii. Kuendelea kutoa tahadhari za ugonjwa na kusaidia kupigana na
kuushinda ugonjwa huo. Hatua nyengine zilizotumika katika kuimarisha mapato ya Serikali na kusaidia kurahisisha shughuli za kibiashara ni pamoja na:
i. Kupunguza kiwango cha kutozea Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kutoka asilimia 18 hadi asilimia 15.
ii. Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa vifaa vya uvuvi ikiwemo boti kubwa za kuanzia urefu wa mita 18 na zaidi, mashine za boti, pamoja na vifaa vyengine vya uvuvi vinavyoingia nchini.
iii. Kupunguza kiwango cha kutozea Ushuru wa Hoteli kutoka asilimia 18 hadi asilimia 12.
iv. Kufuta Tozo na Ada zote kwa wafanyabiashara wadogo wadogo wa masokoni, mama lishe, waanika dagaa na jua kali za TZS 1,000 hadi 2,000 kwa siku wanachotakiwa kulipa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs). Wafanya biashara hao watalipa kiwango kimoja cha Ada ya TZS 30,000 kwa mwaka na kupewa kadi maalumu ya usajili na utambulisho.
v. Kupunguza kiwango cha Ada ya Usajili wa Uwekezaji kinachotozwa Mamlaka ya Kukuza na Kulinda Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) kutoka USD 500 hadi USD 200.
vi. Kupunguza kiwango cha Leseni ya Biashara inayolipwa na Mawakala wa Forodha kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs) kutoka TZS 300,000 hadi TZS 1,000,000 na kuwa kiwango kimoja tu cha TZS 300,000.
Kwa maelezo, Rejea hutuba ya Mh Waziri wa Fedha na Mipango, Kuhusu Makadirio na Mpango wa Matumizi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar mwaka 2020/2021. Ukurasa Na. 53-74.
4
Hata hivyo, hali ya uchumi wa Zanzibar kwa kipindi hicho iliendelea kuwa kama ifuatavyo: -
3.1 Mfumko wa beiMheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai - Disemba mwaka 2020, kasi ya mfumko wa bei ya bidhaa na huduma imeshuka na kufikia wastani wa asilimia 1.9 kutoka wastani wa asilimia 2.6 kwa kipindi kama hicho mwaka 2019. Bei za chakula zimepanda na kufikia wastani wa asilimia 3.2 mwaka 2020 kutoka wastani wa asilimia 2.7 mwaka 2019, na bei zisizo za chakula zimeshuka na kufikia wastani wa asilimia 0.5 mwaka 2020 kutoka wastani wa asilimia 2.5 mwaka 2019.
Mheshimiwa Spika, Kushuka kwa Mfumko huo wa bei ulichangiwa na bei za vyakula kwa wastani wa asilimia 1.4, bei za nishati kwa wastani wa asilimia 0.6 na bei za bidhaa zisizo za chakula zilichangia kwa wastani wa chini ya asilimia 0.14.
Uingizwaji wa Bidhaa muhimu za chakula nchini katika kipindi cha miezi sita (Julai-Disemba) mwaka 2020. BIDHAA 2019 2020KUTOKA NJE YA NCHI (Tani) Mchele 45,090.0 42,195.2 Sukari 15,210.0 15,169.8 Unga wa Ngano 5,708.0 2,607.5 KUTOKA TANZANIA BARA (Tani) Mchele 2,098.0 1,292.0 Unga wa Ngano 2,003.0 3,195.0 UZALISHAJI NCHINI (Tani) Unga wa Ngano 18,849.0 23,580.0
3.2 Mwenendo wa BiasharaMheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai-Disemba mwaka 2020 nakisi ya biashara imeongezeka na kufikia TZS 440.5 bilioni kutoka TZS 383.9 bilioni mwaka
5
2019, kuongezeka kwa nakisi ya biashara kumesababishwa na kuongezeka kwa uagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi, katika kipindi cha Julai -Disemba mwaka 2020 uagizaji wa bidhaa umefikia thamani ya TZS 458.7 bilioni ikilinganishwa na thamani ya TZS 417.7 bilioni mwaka 2019. Bidhaa zilizoingia nchini kwa kiwango kikubwa ni bidhaa za biashara (Capital goods) 51.9%, bidhaa za chakula 18.8% na bidhaa za kati (intermediate goods) 29.3%.
Mheshimiwa Spika, Aidha usafirishaji wa bidhaa nje ya nchi umepungua katika kipindi cha Julai-Disemba na kufikia thamani ya TZS 18.2 bilioni mwaka 2020 kutoka thamani ya TZS 33.8 bilioni mwaka 2019. Ununuzi wa zao la karafuu katika kipindi cha Julai- Disemba mwaka 2020 umepungua na kufikia tani 206.5 zenye thamani ya TZS 2.8 bilioni kutoka tani 1,638.5 zenye thamani ya TZS 22.9 bilioni mwaka 2019. Kupungua kwa ununuzi wa zao la karafuu kumesababishwa na kupungua kwa uzalishaji wa zao hilo kutoka kwa wakulima nchini. Usafirishaji wa zao la karafuu nje ya nchi katika kipindi cha Julai-Disemba mwaka 2020 umefikia jumla ya tani 946.4 zenye thamani ya TZS 9.9 bilioni ikilinganishwa na jumla ya tani 1,884.4 zenye thamani ya TZS 20.3 bilioni mwaka 2019.
3.3 Mwenendo wa Uingiaji wa Watalii 2020Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai – Disemba mwaka 2020 idadi ya wageni walioingia nchini imepungua na kufikia wageni 102,746 kutoka wageni 335,374 mwaka 2019 ikiwa sawa na upungufu wa asilimia 69.4. Kupungua kwa uingiaji wa idadi ya wageni nchini kumesababishwa na kuwepo kwa ugonjwa wa maradhi ya korona yaliyopelekea kuwekwa vizuwizi vya kusafiri nje ya nchi kwa nchi nyingi na kuzuiliwa kwa safari za ndege kutoka nchi mbali mbali.
MAPITIO YA MPANGO WA MAENDELEO
4 UTEKELEZAJI WA MKUZA IIIMheshimiwa Spika, Utekelezaji wa MKUZA III ni sehemu ya utekelezaji wa Dira ya Maendeleo 2020. Ambayo imefanikiwa katika maeneo kadhaa yakiwemo: (i) Kupunguza asilimia ya watu wanaoishi chini ya mstari wa umaskini uliokithiri kufikia asilimia 9.3 kwa mwaka 2019/20 ambapo lengo ilikuwa ni kufikia chini ya asilimia 10; (ii) Kufikia kiwango cha Chini cha Nchi zenye Uchumi wa Kati (Low Middle Income Country); (iii) Kuongeza matarajio ya umri wa kuishi kutoka miaka 48 kufikia miaka 65; (iv) Kuimarisha na kudumisha viwango vya juu vya
6
elimu na kukuza maendeleo ya ujuzi kwa kuzingatia gharama; (v) Upatikanaji wa maji safi na salama umefikia asilimia 98.8; na (vi) Ukuaji wa uchumi umefikia asilimia7.0 mwaka 2019.
Mheshimiwa Spika, Dhamira (Theme) ya MKUZA III ilikuwa ni “Ukuaji wa Uchumi na Maendeleo ya Kijamii kwa Manufaa ya Wote”. Dhamira hii imeweza kufikiwa, ambapo takwimu zinaonesha kuwa Zanzibar imekuwa na ukuaji wa uchumi endelevu ambao kwa miaka mitatu umekuwa kwa asilimia saba (7%). Mfumko wa bei umefikia kuwa chini ya asilimia tano (5%), ambapo kwa mwaka 2019, mfumko umefikia asilimia 2.7. na kiwango cha watu wanaoishi chini ya mstari wa umaskini kimeshuka kufikia asilimia 25.7 mwaka 2019/20 kutoka asilimia 30.4 mwaka 2014/15.Ujumbe (Mission Statement) wa MKUZA III ni “Kufikia Maendeleo ya kiuchumi na Kijamii yenye Hadhi ya Uchumi wa Kati”. Lengo hili limefikiwa kwani takwimu za mwaka 2019 zinaonesha kuwa Zanzibar imefikia kiwango cha chini cha uchumi wa kati (Low Middle Income Country) kwa kuwa na Kipato cha Mtu mmoja cha US$ 1,114. Ripoti kamili itawasilishwa kwa wadau itakapokamilika hivi karibuni.
5 UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA MIEZI SITA (JULAI 2020-DISEMBA 2020)
Mheshimiwa Spika, Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2020/21 ni umaliziaji wa utekelezaji wa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar Awamu ya Tatu (MKUZA III) ambao umekamilika mwaka 2020. MKUZA III umeendeleza mageuzi ya kiuchumi na kijamii na kupunguza umasikini kwa (i) Kuwezesha ukuaji wa uchumi jumuishi na endelevu; (ii) Kukuza uwezo wa watu; (iii) Kutoa huduma bora kwa wote; (iv) Kuweka mazingira endelevu na uhimili wa mabadiliko ya tabianchi; na (v) Kushikamana na misingi ya utawala bora. Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2020/21 ulilenga kutekeleza jumla ya programu na miradi 94. Jumla ya TZS 609.9 bilioni zilipangwa kutumika kwa ajili ya kugharamia utekelezaji wa Mpango huo ikiwa ni ongezeko la TZS 32.9 bilioni sawa na asilimia 5.7 ikilinganishwa na Bajeti ya Maendeleo ya mwaka 2019/20 ya TZS 577.0 bilioni. Kati ya fedha hizo, Serikali ilipanga kutumia TZS 197.3 bilioni sawa na asilimia 32.3 ya bajeti ya maendeleo kutoka fedha za ndani. Jumla ya TZS 412.6 bilioni sawa na asilimia 67.6 zilipangwa kutolewa na Washirika wa Maendeleo ikiwemo TZS 72.5 bilioni ni ruzuku na TZS 340.5 bilioni ni mkopo.
7
Mheshimiwa Spika, Hadi kufikia Disemba 2020, jumla ya TZS 139 bilioni sawa na asilimia 22.9 ya lengo la TZS 609.9 bilioni zilitumika katika utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo. Kati ya fedha hizo, TZS 37.6 bilioni sawa na asilimia 19.1 ya lengo la TZS 197.3 bilioni zilitoka Serikalini na TZS 101.74 bilioni sawa na asilimia 24.7 ya lengo la 412.7 bilioni zilitoka kwa Washirika wa Maendeleo.
6 UTEKELEZAJI WA MAENEO YA VIPAUMBELE KWA KIPINDI CHA JULAI -DISEMBA 2020
Utekelezaji wa Maeneo ya Vipaumbele kwa Kipindi cha Julai–Disemba 2020Mheshimiwa Spika, Ili kuhakikisha utekelezaji wa MKUZA III unafanyika kwa ufanisi, miradi mbalimbali ilipewa kipaumbele ili kufikia malengo ya maendeleo na kukuza uchumi na kuimarisha ustawi wa wananchi. Programu na miradi iliyopewa kipaumbele cha juu katika utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo 2020/21 ni 13 kama ifuatavyo: -
(i) Kuimarisha uchumi baada ya athari ya maradhi ya Korona kwa kutekeleza Mpango wa Kuimarisha Uchumi (Economic Recovery Plan – ERP);
(ii) Ukamilishaji wa jengo la tatu la abiria la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume (Terminal III);
(iii) Kuimarisha uchumi buluu kwa kuandaa Mpango wa Matumizi ya Bahari na maeneo yake (Marine Spatial Plan) na kuanza utekelezaji;
(iv) Ujenzi wa Hospitali mpya ya Rufaa ya Binguni; (v) Ujenzi wa Hospitali ya Wete kuipandisha hadhi kuwa ya Mkoa; (vi) Kukamilisha ujenzi wa Mahkama Kuu Tunguu; (vii) Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji
katika mabonde ya Chaani, Kinyasini na Kibokwa kwa Unguja na Makwararani na Mlemele kwa Pemba;
(viii) Ujenzi wa Bandari ya Mpigaduri; (ix) Kuendeleza ujenzi wa mji wa kisasa Kwahani; (x) Kuimarisha sekta ya mafuta na gesi kwa kuendelea na ujenzi wa
miundombinu ya matangi ya kuhifadhia mafuta katika eneo la Bandari ya Mangapwani;
(xi) Kuimarisha ulinzi na usalama;(xii) Ujenzi wa barabara ya Chake Chake – Wete, na (xiii) Ujenzi wa kituo cha Maonesho ya Biashara na Mikutano ya Kimataifa
8
cha Nyamanzi (Nyamanzi Convention Centre) kwa mfumo wa mashirikiano ya sekta ya umma na sekta binafsi.
Kati ya vipaumbele hivyo, ni vipaumbele tisa (9) sawa na asilimia 69.2 ambavyo vimeanza utekelezaji katika kipindi hicho na kuwepo katika hatua mbalimbali. Mheshimiwa Spika, Jumla ya TZS 256.6 bilioni zilipangwa kutumika kwa ajili ya utekelezaji wa Vipaumbele vya kwanza ambapo kwa kipindi cha Julai -Disemba kiasi cha Fedha kilichopatikana ni TZS 55.9 bilioni sawa na asilimia 21.7 ya bajeti ya mwaka, na kwa upande wa Vipaumbele vya pili Jumla ya TZS 18.5 bilioni zimepangwa kutumika kwa kipindi cha miezi sita kiasi kilichopatikana ni TZS 2.7 bilioni sawa na asilimia 15. Utekelezaji halisi wa programu na miradi hiyo imeambatanishwa katika Kiambatisho namba 2.
7 UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA MWAKA 2020/2021 KWA KIPINDI CHA MIEZI SITA (JULAI 2020-DISEMBA 2020)
7.1 Ukusanyaji Halisi wa Mapato ya SerikaliMheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha 2020/2021 Serikali imekadiria kukusanya jumla ya TZS 1,579.2 bilioni ikijumuisha mapato ya ndani ya TZS 1,050 bilioni, mikopo ya ndani ya TZS 45 bilioni, Mfuko wa Pamoja na Washirika wa Maendeleo TZS 3.8 bilioni , TZS 419.4 bilioni Ruzuku na Mikopo kutoka kwa Washirika wa Maendeleo na TZS 61 bilioni ikiwa kama sehemu ya marejesho ya Ujenzi wa Terminal III kutoka Benki ya Exim ya China.
Mheshimiwa Spika, Kutokana na athari za Covid19, kwa kipindi cha miezi sita (Julai 2020-Disemba 2020) Serikali ilikusanya jumla ya TZS 464.6 bilioni sawa na asilimia 59.6 ya lengo la TZS 779.4 bilioni zikiwemo mapato ya ndani ya TZS 303.3 bilioni sawa na asilimia 58 ya makisio ya TZS 522.7 bilioni kwa kipindi hicho. Mikopo ya ndani TZS 57.3 bilioni sawa na asilimia 126.7 ya makisio ya TZS 50.4 bilioni ya kipindi hicho, na Mapato kutoka kwa Washirika wa Maendeleo ya TZS 104.3 bilioni sawa na asilimia 50.6 ya makisio ya TZS 206.3 bilioni kwa kipindi hicho.
Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa Mapato ya ndani kitaasisi, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilikusanya jumla ya TZS 130.4 bilioni sawa na asilimia
9
69.4 ya makadirio ya TZS 187.8 bilioni. Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) ilikusanya jumla ya TZS 117.3 bilioni sawa na asilimia 43.7 ya makadirio ya TZS 268.3 bilioni katika kipindi hicho.
Mheshimiwa Spika, Aidha, katika kipindi cha Julai 2020 hadi Disemba 2020, Mapato yasiyokuwa ya kodi yalifikia TZS 34.6 bilioni sawa na asilimia 61.7 ya lengo la TZS 56.1 bilioni. Makusanyo ya Kodi ya Mapato kutoka kwa wafanyakazi wa SMT waliopo Zanzibar yalifikia TZS 21 bilioni sawa na bajeti yote iliopangwa kwa mwaka.
Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka 2020/2021 Jumla ya TZS 44.7 bilioni zilikadiriwa kukusanywa kutoka Mfuko wa Miundombinu ambapo TZS 16.9 bilioni zilikadiriwa kukusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na TZS 27.8 bilioni zilikadiriwa kukusanywa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB). Mapato halisi yaliyopokelewa kwa kipindi cha Julai-Disemba 2020 yamefikia Jumla ya TZS 13.2 sawa na asilimia 58.4 ya makisio ya TZS 22.6 bilioni kwa kipindi hicho. Mapato hayo yanajumuisha TZS 8.6 bilioni kutoka ZRB na TZS 4.6 bilioni kutoka TRA. Mchanganuo wa mapato hayo unaonekana katika Jadweli namba 1.
Jadweli namba 1: Utekelezaji wa Mapato ya Miradi ya Miundo mbinu
7.1.1 Mapato kutoka kwa Washirika wa MaendeleoMheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai-Disemba 2020 Serikali imepokea Jumla ya TZS 104.2 bilioni sawa na asilimia 50.6 ya makadirio ya miezi sita ya TZS 206.2 bilioni zikiwemo Ruzuku TZS 8.5 bilioni na Mikopo ya TZS 95.7 bilioni kwa ajili ya Miradi na Programu za Maendeleo.
13
ilikusanya jumla ya TZS 117.3 bilioni sawa na asilimia 43.7 ya makadirio ya TZS 268.3 bilioni katika kipindi hicho. Mheshimiwa Spika, Aidha, katika kipindi cha Julai 2020 hadi Disemba 2020, Mapato yasiyokuwa ya kodi yalifikia TZS 34.6 bilioni sawa na asilimia 61.7 ya lengo la TZS 56.1 bilioni. Makusanyo ya Kodi ya Mapato kutoka kwa wafanyakazi wa SMT waliopo Zanzibar yalifikia TZS 21 bilioni sawa na bajeti yote iliopangwa kwa mwaka. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka 2020/2021 Jumla ya TZS 44.7 bilioni zilikadiriwa kukusanywa kutoka Mfuko wa Miundombinu ambapo TZS 16.9 bilioni zilikadiriwa kukusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na TZS 27.8 bilioni zilikadiriwa kukusanywa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB). Mapato halisi yaliyopokelewa kwa kipindi cha Julai-‐Disemba 2020 yamefikia Jumla ya TZS 13.2 sawa na asilimia 58.4 ya makisio ya TZS 22.6 bilioni kwa kipindi hicho. Mapato hayo yanajumuisha TZS 8.6 bilioni kutoka ZRB na TZS 4.6 bilioni kutoka TRA. Mchanganuo wa mapato hayo unaonekana katika Jadweli namba 1. Jadweli namba 1: Utekelezaji wa Mapato ya Miradi ya Miundo mbinu
Kodi ya Miundombinu TRA (60% of Trade Levy)
16.9 8.3 4.6 55.4
Kodi ya Miundombinu (ZRB)
27.8 14.3 8.6 60.1
Jumla 44.7 22.6 13.2 58.4
Utekelezaji wa Mapato ya Miradi ya Miundo mbinu kwa Kipindi cha Julai-‐
TAX ITEMS Bajeti 2020/2021
Shabaha ya Miezi sita
Makusanyo Halisi kwa miezi 6
%ya utekelezaji
Chanzo Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
7.1.1 Mapato kutoka kwa Washirika wa Maendeleo Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai-‐Disemba 2020 Serikali imepokea Jumla ya TZS 104.2 bilioni sawa na asilimia 50.6 ya makadirio ya miezi sita ya TZS 206.2 bilioni zikiwemo Ruzuku TZS 8.5 bilioni na Mikopo ya TZS 95.7 bilioni kwa ajili ya Miradi na Programu za Maendeleo. Muhtasari wa mapato yanaonekana katika jadweli namba 2. Jadweli namba 2: Utekelezaji wa Mapato kwa kipindi cha Miezi Sita
10
Muhtasari wa mapato yanaonekana katika jadweli namba 2. Jadweli namba 2: Utekelezaji wa Mapato kwa kipindi cha Miezi Sita
7.2 Utekelezaji Halisi wa MatumiziMheshimiwa Spika, Kwa kipindi cha Julai-Disemba 2020/21, Jumla ya matumizi halisi yamefikia TZS 486.7 bilioni sawa na asilimia 76.8 ya makisio ya TZS 634.0 bilioni ya lengo la kipindi hicho. Kati ya matumizi hayo, TZS 353.1 bilioni zilitumika kwa Kazi za Kawaida sawa na asilimia 74.2 ya makisio ya TZS 475.8 bilioni na TZS 133.6 bilioni zilitumika kwa shughuli za maendeleo sawa na asilimia 84.5 ya makisio ya TZS 158.2 bilioni. Kati ya fedha hizo TZS 37.7 bilioni zilitumika kutokana na Fedha za Serikali kwa Miradi ya Maendeleo ambazo ni sawa na asilimia 69.9 ya Makisio ya TZS 53.9 bilioni na TZS 95.9 bilioni zinatokana na Washirika wa Maendeleo sawa na asilimia 91.9 ya makadirio ya TZS 104.3 bilioni. Muhtasari wa matumizi hayo yanaonekana katika jadweli Nambari 3
14
Maelezo Bajeti 2020/2021
Makisio Julai-‐ Disemba 2020/21
Halisi Julai-‐ Disemba 2020/21
% utekelezaji miezi Sita
% ya Utekelezaji kwa Mwaka
MAPATO.Mapato ya Ndani 1,050.0 522.7 303.3 58.0 28.9ZRB 516.7 268.3 117.3 43.7 22.7TRA 383.5 187.8 130.4 69.4 34.0Mapato yasiyokuwa ya Kodi 128.7 56.1 34.6 61.7 26.9PAYE kwa W/kazi wa SMT 21.0 10.5 21.0 200.0 100.0Mapato mengineyo 529.2 256.7 161.3 62.8 30.5Mikopo ya Ndani 45.0 50.4 57.0 113.1 126.7Washirika ya Maendeleo 423.2 206.3 104.3 50.6 24.6Exim Bank China 61 0.0Jumla ya Mapato ya Ndani 1,579.2 779.4 464.6 59.6 29.4 Chanzo Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
7.2 Utekelezaji Halisi wa Matumizi Mheshimiwa Spika, Kwa kipindi cha Julai-‐Disemba 2020/21, Jumla ya matumizi halisi yamefikia TZS 486.7 bilioni sawa na asilimia 76.8 ya makisio ya TZS 634.0 bilioni ya lengo la kipindi hicho. Kati ya matumizi hayo, TZS 353.1 bilioni zilitumika kwa Kazi za Kawaida sawa na asilimia 74.2 ya makisio ya TZS 475.8 bilioni na TZS 133.6 bilioni zilitumika kwa shughuli za maendeleo sawa na asilimia 84.5 ya makisio ya TZS 158.2 bilioni. Kati ya fedha hizo TZS 37.7 bilioni zilitumika kutokana na Fedha za Serikali kwa Miradi ya Maendeleo ambazo ni sawa na asilimia 69.9 ya Makisio ya TZS 53.9 bilioni na TZS 95.9 bilioni zinatokana na Washirika wa Maendeleo sawa na asilimia 91.9 ya makadirio ya TZS 104.3 bilioni. Muhtasari wa matumizi hayo yanaonekana katika jadweli Nambari 3
Jadweli Nambari: 3 Utekelezaji wa Matumizi kwa kipindi cha Miezi Sita
MAELEZO Bajeti 2020/2021Makisio miezi Sita
Halisi miezi sita
% utekelezaji miezi Sita
% ya Utekelezaji kwa Mwaka
Matumizi ya kawaida 958.7 475.8 353.1 74.2 36.8
Mshahara wa Mawizara 316.8 137.1 136.9 99.9 43.2
Matumizi Mengineyo Mawizara 172.0 101.1 43.0 42.5 25.0
Matumizi Mengineyo Ruzuku 108.2 49.8 23.1 46.4 21.3
Mshahara Ruzuku 123.8 64.8 65.5 101.1 52.9
Mfuko Mkuu wa Serikali 237.9 123.0 84.6 68.8 35.6
Matumizi ya maendeleo 620.5 158.2 133.6 84.5 21.5
Fedha za Serikali 197.3 53.9 37.7 69.9 19.1
Washirika wa Maendeleo 423.2 104.3 95.9 91.9 22.7
Jumla Kuu 1,579.2 634.0 486.7 76.8 30.8
Utekelezaji wa Bajeti kwa Kipindi cha Julai-‐ Disemba 2020/2021(TZSbilioni)
Chanzo Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
11
Jadweli Nambari: 3 Utekelezaji wa Matumizi kwa kipindi cha Miezi Sita
7.2.1 Matumizi ya Mfuko wa MiundombinuMheshimiwa Spika, Kwa upande wa matumizi ya Mfuko wa Miundombinu jumla ya TZS 44.2 bilioni zilipangwa kutumika kwa ajili ya kugharamia utekelezaji wa miradi kumi na tano (15) kwa mwaka. Kwa kipindi cha miezi sita, jumla ya TZS 10.2 bilioni zimetumika kutoka Mfuko wa Miundombinu kwa kugharamia miradi 8 sawa na asilimia 23 ya makadirio TZS 44.2 bilioni ya fedha zilizopangwa mchanganuo wa matumizi wa miradi hiyo imeambatanishwa katika Kiambatisho namba 3.
7.2.2 Matumizi ya Serikali za MitaaMheshimiwa Spika, Jumla ya TZS 81.2 bilioni zilitengwa kwa ajili ya Ruzuku kwa mwaka 2020/21 ambapo TZS 70.9 bilioni matumizi ya Ruzuku ya Mshahara na TZS10.3 bilioni ni matumizi ya kuendeshea ofisi. Aidha, Matumizi halisi kwa kipindi cha Julai hadi Disemba 2020/21 yamefikia TZS 39.7 bilioni sawa na asilimia 97.8 ya makadirio ya TZS 40.6 bilioni ya lengo katika kipindi hicho. Kati ya matumizi hayo, TZS 38.3 bilioni zilitumika kwa mishahara sawa na asilimia 108 ya makadirio ya TZS 35.4 bilioni na TZS 1.41 bilioni zilitumika kwa matumizi ya kuendeshea ofisi sawa na asilimia 27.3 ya makadirio ya TZS 5.2 bilioni kwa kipindi hicho.
14
Maelezo Bajeti 2020/2021
Makisio Julai-‐ Disemba 2020/21
Halisi Julai-‐ Disemba 2020/21
% utekelezaji miezi Sita
% ya Utekelezaji kwa Mwaka
MAPATO.Mapato ya Ndani 1,050.0 522.7 303.3 58.0 28.9ZRB 516.7 268.3 117.3 43.7 22.7TRA 383.5 187.8 130.4 69.4 34.0Mapato yasiyokuwa ya Kodi 128.7 56.1 34.6 61.7 26.9PAYE kwa W/kazi wa SMT 21.0 10.5 21.0 200.0 100.0Mapato mengineyo 529.2 256.7 161.3 62.8 30.5Mikopo ya Ndani 45.0 50.4 57.0 113.1 126.7Washirika ya Maendeleo 423.2 206.3 104.3 50.6 24.6Exim Bank China 61 0.0Jumla ya Mapato ya Ndani 1,579.2 779.4 464.6 59.6 29.4 Chanzo Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
7.2 Utekelezaji Halisi wa Matumizi Mheshimiwa Spika, Kwa kipindi cha Julai-‐Disemba 2020/21, Jumla ya matumizi halisi yamefikia TZS 486.7 bilioni sawa na asilimia 76.8 ya makisio ya TZS 634.0 bilioni ya lengo la kipindi hicho. Kati ya matumizi hayo, TZS 353.1 bilioni zilitumika kwa Kazi za Kawaida sawa na asilimia 74.2 ya makisio ya TZS 475.8 bilioni na TZS 133.6 bilioni zilitumika kwa shughuli za maendeleo sawa na asilimia 84.5 ya makisio ya TZS 158.2 bilioni. Kati ya fedha hizo TZS 37.7 bilioni zilitumika kutokana na Fedha za Serikali kwa Miradi ya Maendeleo ambazo ni sawa na asilimia 69.9 ya Makisio ya TZS 53.9 bilioni na TZS 95.9 bilioni zinatokana na Washirika wa Maendeleo sawa na asilimia 91.9 ya makadirio ya TZS 104.3 bilioni. Muhtasari wa matumizi hayo yanaonekana katika jadweli Nambari 3
Jadweli Nambari: 3 Utekelezaji wa Matumizi kwa kipindi cha Miezi Sita
MAELEZO Bajeti 2020/2021Makisio miezi Sita
Halisi miezi sita
% utekelezaji miezi Sita
% ya Utekelezaji kwa Mwaka
Matumizi ya kawaida 958.7 475.8 353.1 74.2 36.8
Mshahara wa Mawizara 316.8 137.1 136.9 99.9 43.2
Matumizi Mengineyo Mawizara 172.0 101.1 43.0 42.5 25.0
Matumizi Mengineyo Ruzuku 108.2 49.8 23.1 46.4 21.3
Mshahara Ruzuku 123.8 64.8 65.5 101.1 52.9
Mfuko Mkuu wa Serikali 237.9 123.0 84.6 68.8 35.6
Matumizi ya maendeleo 620.5 158.2 133.6 84.5 21.5
Fedha za Serikali 197.3 53.9 37.7 69.9 19.1
Washirika wa Maendeleo 423.2 104.3 95.9 91.9 22.7
Jumla Kuu 1,579.2 634.0 486.7 76.8 30.8
Utekelezaji wa Bajeti kwa Kipindi cha Julai-‐ Disemba 2020/2021(TZSbilioni)
Chanzo Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
12
7.3 Deni la TaifaNdugu Mwenyekiti, Kwa kipindi cha miezi sita hadi kufikia Disemba 2020/21, Deni la Taifa limefikia TZS 896.2 bilioni, deni hilo lililoongezeka kwa TZS 74.1 biliobi sawa na asilimia 9.0 ikilinganishwa na deni lililoripotiwa katika mwezi wa Disemba 2019, ambapo lilikua TZS 822.5 bilioni.
Mheshimiwa Spika, Kati ya deni hilo, deni la Nje ni TZS 691.5 bilioni ambapo asilimia 95.9 linadhaminiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na asilimia 4.1 liko chini ya udhamini wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Deni la ndani ni TZS 204.9 bilioni ambalo ni kutoka ZSSF (TZS 51.7 bilioni) na hatifungani kutoka BoT (TZS 154.1 bilioni).
Mheshimiwa Spika, Hadi kufikia mwezi Disemba, 2020 wastani wa uwiano wa Deni la Taifa kwa Uchumi (Public debt to GDP ratio) ni asilimia 22, ikiwa ni chini ya kiwango cha ukomo kinachokubalika kimataifa cha asilimia 50. Kiwango hicho cha deni kinaashiria kwamba hali ya deni letu kwa sasa ni himilivu. Hata hivyo, hadhari inapaswa kuendelea kuchukuliwa kwani tayari kuna mikopo iliyokwisha sainiwa na hivyo pindi pesa zake zitakapotolewa zitabadilisha taswira hiyo ya uwiano wa deni na pato la taifa.
MATARAJIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2020/2021
8 MATARAJIO YA MAPATO JULAI-JUNI 2020/2021Mheshimiwa Spika, Mwaka wa Fedha 2020/2021 ulikabiliwa na mambo makubwa ambayo kwa njia moja au nyengine yaliathiri utekelezaji na Matarajio ya bajeti yaliyopangwa hapo awali kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati yakiwemo:
a. Mripuko wa COVID-19;b. Matarajio ya kupokea Fedha za marejesho ya mkopo ya TZS 61 bilioni
kutoka Exim Bank China kwa ajili ya mradi wa Ujenzi wa Jengo la Abiria (Terminal III) ambazo hazikupatikana.
8.1 Mapato ya NdaniMheshimiwa Spika, Kwa mujibu wa mwenendo wa makusanyo, mapato ya ndani katika kipindi cha Julai 2020 hadi Juni 2021 yanatarajiwa kufikia Jumla ya TZS 769.7 bilioni sawa na asilimia 73 ya Makadirio ya TZS 1,050 bilioni, ambapo
13
utendaji umeathiriwa sana kutokana na athari za mripuko wa Covid-19. Kati ya makusanyo hayo, mapato ya kodi yanatarajiwa kufikia TZS 655.2 bilioni, sawa na asilimia 71 ambapo Mamlaka ya Mapato Tanzania - Zanzibar (TRA), inatarajiwa kukusanya TZS 318.2 bilioni sawa na asilimia 83 ya makadirio ya kukusanya TZS 383.5 bilioni, ikilinganishwa na ukusanyaji halisi wa TZS 279.4 bilioni kwa mwaka wa fedha uliopita 2019/20.
Kwa upande wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) inatarajiwa kukusanya TZS 315.9 bilioni sawa na asilimia 61 ya makadirio ya TZS 516.7 bilioni. Ikilinganishwa na ukusanyaji halisi wa TZS 374.8 bilioni kwa mwaka wa fedha uliopita 2019/20. Kodi ya Mapato kutoka Serikali ya Muungano inatarajiwa kufikia TZS 21 bilioni sawa na asilimia 100 ya lengo.
Mheshimiwa Spika, Mapato yasiyokuwa ya kodi yanatarajiwa kufikia TZS 114.6 bilioni sawa na asilimia 89 ya makadirio ya TZS 128.7 bilioni. Kati ya makusanyo hayo, mapato ya Mawizara yanategemewa kufikia TZS 99.1 bilioni sawa na asilimia 95 ya makadirio ya TZS 104.7 bilioni. Gawio la Mashirika ya Serikali linatarajiwa kufikia TZS 9.0 bilioni sawa na asilimia 86 ya makadirio ya TZS 10.5 bilioni na Gawio la Benki Kuu ni TZS 6.5 bilioni sawa na asilimia 48 ya makadirio ya TZS 13.5 bilioni.
Mheshimiwa Spika, Matarajio hayo ya kukusanya jumla ya TZS 769.7 bilioni ifikapo Juni 2021 ni kutokana na mikakati iliyowekwa na Serikali ya usimamizi na ukusanyaji wa mapato ya Serikali ni kama ifuatavyo; -
a) Kuanza rasmi matumizi ya mfumo wa utoaji wa risiti za kielektroniki ambazo hutoa taarifa juu ya mwenendo wa mauzo halisi ya mfanyabiashara ifikapo mwezi wa machi 2021 baada ya kukamilika kipindi cha majaribio;
b) Taasisi za kodi (TRA & ZRB) kuendelea na zoezi la ukaguzi ili kodi stahiki iweze kulipwa;
c) Kuwa na bei elekezi kwa ajili ya uthaminishaji wa bidhaa zinazoingia nchini.
8.2 Mfuko wa MiundombinuMheshimiwa Spika, Matarajio ya mapato ya Mfuko wa Miundombinu ni kufikia TZS 32.7 bilioni sawa na asilimia 73 ya makadirio ya TZS 44.7 bilioni. Kati ya hizo TRA inatarajiwa kukusanya TZS 11.1 bilioni na ZRB TZS 21.6 bilioni.
14
8.3 Mapato kutoka NjeMheshimiwa Spika, Hadi kufikia Juni mwaka 2021 matarajio ni kupokea Jumla ya TZS 310.6 bilioni, yakijumuisha Ruzuku ya TZS 44.6 bilioni na Mikopo ya TZS 266.0 bilioni.
Jadweli namba:4 Matarajio ya Mapato kwa Mwaka 2020/2021
9. MATARAJIO YA MATUMIZI JULAI-JUNI/2020/2021Mheshimiwa Spika, Hadi Juni 2021 matumizi ya Serikali yanatarajiwa kufikia jumla ya TZS 1,137.7 bilioni sawa na asilimia 72 ya Bajeti kuu ya Serikali ya TZS 1,579.2 bilioni. Kati ya fedha hizo TZS 734.6 bilioni zinatarajiwa kutumika kwa ajili ya matumizi ya Kawaida na TZS 403.1 bilioni kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. Mchanganuo wa Matumizi hayo yanaonekana katika jadweli namba 5.
Jadweli namba:5 Matarajio ya Matumizi kwa Mwaka 2020/2021
18
Jadweli namba:4 Matarajio ya Mapato kwa Mwaka 2020/2021
MAELEZO Bajeti 2020/2021Halisi Julai-‐Disemba 2020
Matarajio 2020/2021
% ya Bajeti
Mapato ya Ndani 1,050.0 303.3 769.7 73.3 ZRB 516.7 117.3 315.9 61.1TRA 383.5 130.4 318.2 83.0Mapato yasiyokuwa ya Kodi 128.7 34.6 114.6 89.0 PAYE Transfer SMT 21 21 21 100.0Mapato Mengineyo 529.2 161.3 368 69.5Marejesho ya Mkopo kutoka Exim Bank 61 0 0 0.0Mkopo wa Ndani 45 57 57.4 127.6Mapato kutoka kwa Washirika wa Maendeleo 423.2 104.3 310.6 73.4Jumla 1,579.2 464.6 1,137.7 72.0
Matarajio ya Mapato Julai -‐Juni Mwaka 2020/2021(TZS bilioni)
Chanzo Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
Mheshimiwa Spika, Hadi Juni 2021 matumizi ya Serikali yanatarajiwa kufikia jumla ya TZS 1,137.7 bilioni sawa na asilimia 72 ya Bajeti kuu ya Serikali ya TZS 1,579.2 bilioni. Kati ya fedha hizo TZS 734.6 bilioni zinatarajiwa kutumika kwa ajili ya matumizi ya Kawaida na TZS 403.1 bilioni kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. Mchanganuo wa Matumizi hayo yanaonekana katika jadweli namba 5.
Jadweli namba:5 Matarajio ya Matumizi kwa Mwaka 2020/2021
MAELEZO Bajeti 2020/2021Halisi Julai-‐Disemba 2020/2020
Matarajio Julai June 2020/2021
Asilimia ya Matarajio ya Bajeti
Matumizi ya kawaida 969.3 353.1 734.6 75.8Mshahara wa Mawizara 316.8 136.9 284.4 89.8Matumizi Mengineyo Mawizara 182.6 43.0 102.4 56.1Malipo ya madeni ya dharura 6.9 6.9 Matumizi Mengineyo Ruzuku 108.2 23.1 71.8 66.4Mshahara Ruzuku 123.8 65.5 132.3 106.9Mfuko Mkuu wa Serikali 237.9 77.7 136.8 57.5Matumizi ya maendeleo 609.9 133.6 403.1 66.1Fedha za Serikali 197.3 37.7 92.5 46.9Washirika wa Maendeleo 412.6 95.9 310.6 75.3Jumla Kuu 1,579.2 486.7 1,137.7 72.0
Matarajio ya Matunizi Julai -‐Juni Mwaka 2020/2021(TZS bilioni)
Chanzo Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
MAELEZO Bajeti 2020/2021Halisi Julai-‐Disemba 2020
Matarajio Julai June 2020/2021
Asilimia ya Matarajio ya Bajeti
Matumizi ya kawaida 969.3 353.1 734.6 75.8Mshahara wa Mawizara 316.8 136.9 284.4 89.8Matumizi Mengineyo Mawizara 182.6 43.0 102.4 56.1Matumizi Mengineyo Ruzuku 108.2 23.1 71.8 66.4Mshahara Ruzuku 123.8 65.5 132.3 106.9Mfuko Mkuu wa Serikali 237.9 84.6 143.7 60.4Matumizi ya maendeleo 609.9 133.6 403.1 66.1Fedha za Serikali 197.3 37.7 92.5 46.9Washirika wa Maendeleo 412.6 95.9 310.6 75.3Jumla Kuu 1,579.2 486.7 1,137.7 72.0
Matarajio ya Matunizi Julai -‐Juni Mwaka 2020/2021(TZS bilioni)
15
MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI, MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI KWA MWAKA 2021/2022-2023/2024
10 YATOKANAYO NA MAJUKWAA YA UCHUMI NA BAJETI Mheshimiwa Spika, Jukwaa la Bajeti na Uchumi hufanyika kwa mujibu wa matakwa ya Sheria ya Fedha namba 12 ya mwaka 2016 katika kifungu namba 38 kwa Serikali Kuu na kifungu namba 87 kwa Serikali za Mitaa. Vifungu hivyo vinamtaka Waziri anaehusika na Fedha aongoze jukwaa hilo na taarifa zake zitumike katika kuandaa Mwelekeo wa Bajeti ambao utapelekwa Baraza la Wawakilishi kwa majadiliano na uidhinishaji.
Mheshimiwa Spika, Jukwaa la Uchumi na Bajeti kwa mwaka 2021/2022 limefanyika tarehe 23/01/2021 kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa na tarehe 01/02/2021 kwa Upande wa Serikali Kuu katika Ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania, Kinazini –Zanzibar.
Mada kuu tatu 3 ziliwasilishwa ambazo ni:- 1. Mapitio na Mwelekeo wa Hali ya Uchumi na Mpango wa Maendeleo
2019/20-2021/22. 2. Mapitio na Mwelekeo wa Bajeti ya Serikali 2019/20-2021/22.3. Mapitio na Mwelekeo wa Bajeti ya Serikali za Mitaa 2019/20-
2021/22.
Ifuatayo ni Michango na Ushauri iliyotolewa na kupendekezwa kutoka Majukwaa hayo. Mheshimiwa Spika, Kutokana na changamoto kubwa Iliyojitokeza kwa wafanyakazi wa Sekta ya Afya na Elimu ambao wamegatuliwa kukosa fursa ya nafasi za mafunzo na udhamini (scholarship) kwa kutopangwa Bajeti hiyo kwa Serikali zote mbili imesisitizwa Serikali izingatie wafanyakazi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na sio kwa Sekta zilizogatuliwa tu.
Mheshimiwa Spika, Kuwepo mazingira magumu ya walimu pamoja na wanafunzi wa skuli za maandalizi na msingi, kutokuwepo uwiano mzuri wa walimu kwa wanafunzi sambamba na miundombinu duni ya maeneo yaliyogatuliwa.
16
Mheshimiwa Spika, Uzingatiaji wa Mgao wa Fedha kwa makundi maalumu, 4%,4%,2%, yaliyotajwa katika miongozo ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ itoe Muongozo na Uelewa wa upatikanaji wa Fedha hizo kwa wadau husika.
Mheshimiwa Spika, Serikali Kupitia OR-TMSMIM imetakiwa kutoa maelekezo na ufafanuzi juu ya matumizi ya mfuko wa jimbo kwa fedha za Uwakilishi kwani utaratibu uliopo sasa wa matumizi ya fedha hizo hazina maelekezo mahsusi. Imesisitizwa, Serikali kufuatilia na kusimamia Matumizi ya fedha za Mfuko wa wawakilishi na wabunge pamoja na kutoa muongozo na maelekezo ya vipaumbele vya matumizi ya fedha hizo ili ziweze kuingizwa katika mpango kazi wa Halmashauri husika wakati wa kupanga bajeti zao kwa Miradi ya Maendeleo ya wananchi yenye tija.
Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa utekelezaji wa Shughuli zilizogatuliwa ambazo fedha zake zinatokana na Washirika wa Maendeleo kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi, Ilishauriwa Ushirikishwaji na kupatiwa vifungu stahiki kwa LGA, kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi hiyo inayofadhiliwa na Washirika wa Maendeleo. Aidha vianzio vya mapato katika maeneo ya ugatuzi vikusanywe na kutumika kwa Mamlaka ya Serikali za Mitaa ambako shughuli husika zinatelekezwa.
Mheshimiwa Spika, Kwa kuwa kuna uhaba mkubwa wa vifaa tiba na madawa, ilishauriwa, Wizara ya Afya wafanye Mapitio juu ya usambazaji wa vifaa tiba na madawa ambavyo vinapelekwa LGA ili kwenda sambamba na mahitaji yaliyopo. Vilevile, ilipendekezwa Ujenzi wa ofisi/nyumba za Wakuu wa Mikoa na Wilaya upewe kipaombele.
Mheshimiwa Spika, Ilishauriwa kwamba, posho na stahiki za Walimu zilipwe sambamba na vocha za Mshahara ili kuondoa malalamiko ya kila siku yanayojitokeza kwa walimu wa maandalizi na msingi sambamba na hilo maposho ya walimu wa TUTU yatafutiwe utaratibu maalumu na kuiingizwa kwenye hesabu zao binafsi. Aidha, ilisisitizwa kuwa, mitihani ya ndani ya majaribio kwa wanafunzi wa Maandalizi na Msingi ni muhimu, changamoto iliyopo fedha kwa ajili ya maandalizi ya mitihani hiyo hazitengwi katika Serikali za Mitaa hivyo, Serikali Kuu ipeleke fungu maalum kwa ajili ya kuendesha mitihani hiyo
17
Mheshimiwa Spika, Imeshauriwa Vitengo vinavyohusika na Manunuzi viwe makini kuwachagua Wakandarasi wa Miradi ya Ujenzi wenye uwezo wa fedha na taaluma kwa lengo la kutekeleza Miradi yenye ubora na kiwango.
Mheshimiwa Spika, Imependekezwa Bajeti ya mwaka 2021/2022 iongeze kodi za vileo kwa lengo la kupunguza idadi ya vitendo viovu katika jamii.
Vile vile, ilishauriwa Bajeti ya ustawi wa jamii iongezwe ili iwawezeshe waratibu wa wanawake na watoto kusimamia kesi za udhalilishaji kwa ufanisi zaidi.
Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa deni la Taifa Serikali ilishauriwa iwe na tahadhari juu ya ongezeko la Deni hilo pamoja na kusisitizwa kukopa kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo yenye tija kwa kuinua uchumi na kijamii.
Mheshimiwa Spika, Ilipendekezwa Serikali iainishe changamoto ambazo zimepatikana kwenye maeneo yaliyo athirika kutokana na Ugonjwa wa Korona na hatua zilizochukuliwa kukabiliana na athari hizo.
Mheshimiwa Spika, Ilishauriwa kutenga bajeti maalum kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya Utalii kwa kuutangaza na kuutafutia masoko. Vile vile
suala la ajira kwa vijana lifanyiwe kazi ili kufikia lengo la Ilani ya CCM ya ajira laki tatu zilizoahidiwa.
Mheshimiwa Spika, Ilishauriwa, kutokana na umuhimu wa Takwimu Serikali itenge asilimia ya bajeti kwa kila sekta kwa ajili ya kuimarisha upatikanaji wa Takwimu sahihi.
Mheshimiwa Spika, Ilishauriwa kwamba ipo haja ya kutolewa muongozo wa majengo ya ofisi za serikali ili kuwe na kiwango pamoja na kupunguza gharama. Aidha, ilipendekezwa kwamba sheria za ajira kwa wageni ziangaliwe zaidi ili kuweka bayana stahiki zao.
11 MWELEKEO WA UCHUMI WA DUNIAMheshimiwa Spika, Uchumi wa dunia unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.5 katika kipindi cha mwaka 2021. Ukuaji wa uchumi wa Afrika unatagemewa
18
kufikia wastani wa asilimia 3.0 katika kipindi kama hicho, huku uchumi wa Nchi wanachama wa Afrika Mashariki kufikia wastani wa asilimia 4.5 kwa mujibu wa takwimu za shirika la Fedha la Dunia.
Uchumi wa Dunia 5.5%Ukuwaji mzuri Ukuwaji mbaya India 11.5 Nigeria 1.5China 8.1 Poland 2.7Malaysia 7.0 Saudi Arabia 2.6
Uchumi wa Afrika 3%Ukuwaji mzuri Ukuwaji mbaya Botswana 8.71 South Sudan -2.27Niger 6.91 Congo -0.82Guinea 6.64 Ethiopia -0.02
Uchumi wa nchi za SADC 3.33%Ukuwaji mzuri Ukuwaji mbaya Mauritius 9.9 Mozambique 2.1Zimbabwe 4.16 Malawi 2.5Madagascar 3.16 Zambia 0.6
Uchumi wa Africa MasharikiRwanda 6.32 Uganda 4.93 Kenya 4.67 Tanzania 3.6 Burundi 3.13
Chanzo: Shirika la Fedha la Dunia
12 Mwelekeo wa Hali ya Uchumi ZanzibarMheshimiwa Spika, Mwelekeo wa uchumi kwa mwaka 2021 unategemea kwenda sambamba na utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya 2050, Mkakati wa Maendeleo wa Muda wa Kati pamoja na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2020 - 2025. Kwa mwaka 2021 jambo kuu na la msingi
19
litakuwa ni kuimarisha sekta za kiuchumi na kijamii ambazo zimeathiriwa na COVID-19, sambamba na kuendeleza hatua za kujenga uchumi imara na mpana zaidi (diversified). Vile vile kuyafanyia kazi maeneo ya msingi ya ukuwaji wa uchumi yakiwemo Uchumi wa Buluu na Viwanda vidogo vidogo. Aidha, huduma za msingi za jamii kama vile afya na elimu zitapewa kipaumbele.
Mheshimiwa Spika, Pato halisi la taifa kwa mwaka 2021 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 5 kutokana na matarajio ya kuongezeka kwa uwekezaji, kuimarisha sekta ya Viwanda pamoja na Uchumi wa Buluu.
Matarajio ya ukuaji wa uchumi yatatokana na kuendelea kuyafanyia kazi mambo yafuatayo; -
i. Kuendelea kuhuisha sekta za kiuchumi na kijamii baada ya mtikisiko wa uchumi kutokana na COVID-19.
ii. Kuimarisha sekta ndogo ya usafirishaji, Serikali pamoja na watu binafsi wanatarajiwa kuongeza meli za mizigo pamoja na abiria.
iii. Kuendelea na juhudi za kuongeza uzalishaji wa vifaranga, utoaji vifaranga kwa wafugaji wadogo wadogo na kuendeleza ufugaji wa samaki.
iv. Kuendelea na uvuvi wa bahari kuu pamoja na kuongeza boti zitakazofanya shughuli zake katika bahari kuu.
v. Kuimarisha vituo vya utafiti vilivyopo nchini (Vituo vya utafiti wa uvuvi, kilimo, mifugo na afya).
vi. Kuendelea kuwawezesha watafiti na wavumbuzi kwa kuwapatia elimu na vitendea kazi.
vii. Kuongezaka kwa usafirishaji wa zao la karafuu kwa matarajio ya mwaka 2021 kuongezeka kwa uzalishaji wa zao hilo na kuongeza usarifu na usafirishaji wa zao la mwani.
viii. Kuongezeka kwa uhamasishaji wa uwekezaji wa ndani na nje ya nchi kwa kutekelezwa miradi mbalimbali ikiwemo miradi ya PPP.
ix. Kuweka mazingira bora na rafiki ya kibiashara.
12.1 SHABAHA NA MALENGO YA UCHUMI KWA 2021-2023.Shabaha na malengo ya uchumi kwa kipindi cha miaka mitatu ni kama yatategemewa kuweko na misingi ifuatayo :
a. Kuwepo kwa Amani na Utulivu;
20
b. Uwajibikaji katika kazi;c. Kuendeleza kuwajengea uwezo wafanyakazi;d. Kuimarisha Utawala Bora na.e. Kuondoa Ubadhirifu wa Mali za Umma, Wizi, Rushwa pamoja na
Uzembe.
Shabaha za Kiuchumi,a. Kasi ya ukuaji wa Pato halisi la Taifa inategemewa kuwa baina ya
asilimia 5 hadi 7.1.b. Kuendelea kudhibiti kasi ya mfumko wa bei kuwa wastani wa chini ya
asilimia 5.c. Mapato ya ndani kwa kipindi cha miaka mitatu yanakadiriwa kufikia
wastani wa asilimia 25.4 ya Pato la Taifa kwa miaka 2020/21-2022/23 kutoka asilimia 24.4 kwa mwaka 2019/20.
d. Kwa kipindi cha miaka mitatu nakisi ya bajeti kwa Pato la Taifa inakadiriwa kuwa chini ya asilimia 3 ifikapo mwaka 2023 hii ni kutokana na kigezo kilichowekwa na Jumuiya ya nchi za Afrika Mashariki na SADC kuzitaka nchi wanachama nakisi zao za Bajeti kutovuka zaidi ya asilimia 3 ya Pato la Taifa.
13 MWELEKEO WA MPANGO WA MAENDELEO 2021/2022-2023/2024
Mheshimiwa Spika, Mwelekeo wa Mpango wa Maendeleo kwa kipindi cha mwaka 2021/2022 hadi 2023/2024 utazingatia malengo na mikakati inayotokana na Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya 2050. Dira hiyo ina lengo la kuifikisha Zanzibar katika Kiwango cha Juu cha Uchumi wa Kati kupitia mihimili mikuu minne ambayo ni:-
(i) Mageuzi ya kiuchumi; (ii) Maendeleo ya rasilimali watu na huduma za kijamii; (iii) Kuimarisha miundombinu; na (iv) Utawala bora na uhimili.
Mheshimiwa Spika, Katika kuhakikisha malengo ya Dira hiyo yanafikiwa, Serikali imeanza kutafsiri malengo hayo na inaendelea na uandaaji wa Mpango wa Maendeleo wa Muda wa Kati 2021-2025. Mbali na Dira ya 2050, nyaraka nyengine zilizozingatiwa ni Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Mwaka 2020-
21
2025, Hotuba ya ufunguzi wa Baraza la 10 la Wawakilishi, Maelekezo ya Serikali Kiujumla pamoja na ahadi mbali mbali zilizotolewa na Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa wananchi wakati wa kampeni ya Uchaguzi na Hotuba yake katika ziara za makundi mbali mbali. Katika utekelezaji huo, maeneo yaliyopewa kipaumbele yatatekeleza miradi inayojikita zaidi katika kuimarisha hali za wananchi, kukuza ajira na kuongeza mapato ya Serikali.
14 VIPAUMBELE VYA KITAIFA KWA MWAKA 2021/2022 -2023/2024
Mheshimiwa Spika, Vipaumbele vya mwaka 2021/2022-2023/2024 ni kama ifuatavyo:-1. Kuimarisha Miundombinu
a) Ujenzi wa Bandari ya Mangapwani unaojumuisha bandari ya mafuta na gesi, makontena, uvuvi, chelezo, eneo la maghala na mji wa kisasa;
b) Ujenzi wa Uwanja wa ndege Pemba; nac) Kuanza kwa Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi Mpiga Durid) Ujenzi wa daraja la Unguja Ukuu - Uzi;e) Kuendelea na ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 135 Unguja
na Pemba; f) Kuendeleza maeneo ya uwekezaji (Industrials Parks) Chamanangwe,
Dunga na Nungwi;g) Kuimarisha bandari ya Malindi, Mkoani na kuanza Ujenzi mpya wa
eneo la Mkumbuu;h) Kuongeza uzalishaji wa umeme kwa njia ya jua na gesi na kuimarisha
miundombinu ya usafirishaji;
2. Kuimarisha Sekta Kuu za Uchumia) Kuimarisha uchumi buluu ikiwemo viwanda vidogo vidogo na vya
kati vikiwemo vya usarifu wa Mwani, Chumvi na Samaki; Kuendeleza shughuli za uvuvi wa bahari kuu na ujenzi wa mabwawa ya kufugia samaki; Kuendelea na shughuli za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia;
b) Kuimarisha utalii kwa wote; c) Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji;d) Ujenzi wa machinjio ya mifugo;
22
e) Kuchukua hatua maalum za kusaidia zao la karafuu;f) Kuendelea na utekelezaji wa programu ya ajira kwa vijana; g) Kuimarisha mfumo wa udhibiti wa biashara kwa kuweka chombo
kimoja cha kodi;h) Kuendeleza tafiti na Ubunifu.3. Kuimarisha Huduma za Kijamiia) Ujenzi wa Hospitali Mpya ya rufaa ya Binguni;b) Ujenzi wa hospitali ya Wete kwa kuipandisha hadhi ya Mkoa;c) Kuendeleza ujenzi wa miji ya kisasa;d) Kuimarisha mazingira ya uendelezaji wa Miji midogo midogo (Satellite
cities) ikiwemo Nungwi, Tunguu na miji ya Pemba;e) Kuimarisha upatikanaji wa elimu bora kwa wote kwa ujenzi wa skuli
mpya za ghorofa, dakhalia, maktaba, maabara na upatikanaji wa vifaa vya kisasa;
f) Kuimarisha Vituo vya Amali kwa ajili ya kusaidia uchumi wa buluu na wahitimu kuweza kujiajiri wenyewe;
g) Kuimarisha upatikanaji wa maji safi na salama mijini na vijijini kwa uchimbaji na uendelezaji wa visima;
h) Ujenzi wa viwanja vya michezo na sherehe;i) Kuanzisha Mfumo wa Bima ya Afya.
4. Kuendeleza Rasilimali watu na Fedhaa. Kuendeleza taaluma katika fani mbali mbali ikiwemo mafuta na gesi,
uhandisi, huduma za ugani, udaktari na taaluma za sayansi;b. Kuanzisha na kuimarisha mifumo ya kidijitali ya utendaji kazi kwa
ujumla, ukusanyaji mapato, usimamizi wa matumizi na manunuzi na utunzaji wa kumbukumbu za usajili wa mali za umma.
5. Kuimarisha Utawala Boraa. Kuanza Ujenzi wa Skuli ya sheria na Utafiti;b. Kuanza Ujenzi wa Ofisi ya Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu
wa Uchumi Zanzibar (ZAECA)c. Kuendeleza miji salama kwa uwekaji wa vifaa vya ulinzi na usalama;d. Kuendelea na Ujenzi wa Ofisi za Serikali;e. Kuendelea na juhudi za uhifadhi wa Mji Mkongwe na Mambo ya
Kale;
23
f. Kuendelea na ujenzi wa nyumba za viongozi wakuu wa Serikali;g. Kuimarisha Usimamizi wa Fedha za Umma.6. Kuimarisha Sekta Mtambukaa. Kukabiliana na athari za mazingira na mabadiliko ya tabia nchi;b. Kupambana na vitendo vya Udhalilishaji.
7. Mashirikiano baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsia) Kuanza utekelezaji wa miradi ya mashirikiano baina ya sekta ya
umma na sekta binafsi ikiwemo: -i. Ujenzi na uwendeshaji wa masoko sita (Mwanakwerekwe, Chuini,
Mombasa, Machomane, Mkokotoni na Jumbi);ii. Ujenzi wa vituo vya daladala Kijangwani, Chuini na Chanjaani;iii. Ujenzi wa Kituo cha Biashara na Mikutano ya Kimataifa Nyamanzi
(Nyamanzi Convention Centre);iv. Ujenzi wa dakhalia ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZAb) Ujenzi wa nyumba za makaazi ya wananchi (Real estate);c) Ujenzi wa viwanda mbali mbali.
15 VIPAUMBELE VYA KITAIFA KWA MWAKA 2021/2022
Vipaumbele kwa mwaka 2021/2022 ni kama ifuatavyo: -1. Kuendelea na matayarisho ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa Pemba;2. Kuanza ujenzi wa barabara ya Chake Chake – Wete (km 22.1); 3. Kuendelea na matayarisho na ujenzi wa bandari ya Mangapwani,
Mpigaduri na Mkoani;4. Kuanza ujenzi wa mabwawa ya kufugia samaki;5. Kuendelea na Ujenzi wa Hospitali Mpya ya rufaa ya Binguni; 6. Kuanza ujenzi wa Hospitali ya Wete;7. Kuendelea na utekelezaji wa programu ya ajira kwa vijana; 8. Kuendeleza viwanda vidogo vidogo vya usarifu wa Mwani, chumvi
na samaki; 9. Kuendeleza miji salama kwa uwekaji wa vifaa vya ulinzi na usalama;10. Kuanza ujenzi wa Ofisi za Serikali zikiwemo i. Ofisi ya Rais - Fedha na Mipango Unguja, ii. Ofisi za Serikali – Dodoma ;iii. Taasisi za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
24
iv. Mahanga na Ofisi za Idara Maalum za SMZ nav. Kuandaa Mpango wa kuwepo kwa eneo maalum la mji wa Serikali;11. Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji;12. Kuanza utekelezaji wa Mpango Shirikishi wa Kukuza Uchumi Zanzibar
(Boost Inclusive Growth in Zanzibar- Big Z);13. Kuendelea na utekelezaji wa mradi wa Mageuzi ya Sekta ya Nishati
(Zanzibar Energy Sector Transformation -ZEST);14. Kuanza uzalishaji wa umeme wa jua na gesi;15. Kuanzisha na kuimarisha mifumo ya kidijitali ya utendaji kazi kwa
ujumla, ukusanyaji mapato, usimamizi wa matumizi na manunuzi na utunzaji wa kumbukumbu za usajili wa mali za umma;
16. Kuendelea kutoa huduma za maji safi na salama kwa wananchi na17. Kuimarisha Tafiti na Ubunifu.
16 MWELEKEO WA MAPATO
Mheshimiwa Spika, Kwa kuzingatia hali ya Bajeti kwa mwaka 2021/2022, Mapato ya Serikali yanatarajiwa kufikia Jumla ya TZS 1,506.2 bilioni kati ya fedha hizo jumla ya TZS 1,105.5 bilioni zimekadiriwa kukusanywa kutoka katika vyanzo vya ndani, TZS 50.0 bilioni zinatokana na mkopo wa ndani, Mapato kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa vianzio vya ndani TZS 16.2 bilioni na TZS 334.5 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo ikiwemo mkopo wa TZS 307.9 bilioni na ruzuku ya TZS 26.6 bilioni.
16.1 Mapato ya NdaniMheshimiwa Spika, Jumla ya TZS 1,105.5 bilioni zinatarajiwa kukusanywa kwa mwaka 2021/22 kutoka katika vyanzo vya ndani. Kati ya fedha hizo, TZS 938.2 bilioni ni mapato yatokanayo na kodi na TZS 146.4 bilioni ni mapato yasiyokuwa ya kodi (yanayojumuisha makusanyo ya Mapato ya Mawizara ya TZS 125.4 bilioni, Gawio la Mashirika ya Serikali ni TZS 11.0 bilioni na Gawio kutoka Benki kuu ya Tanzania la TZS 10.0 bilioni) na mapato ya kodi yatokanayo na wafanyakazi kutoka SMT ni TZS 21.0 bilioni.
16.2 Mfuko wa MiundombinuMheshimiwa Spika, kwa mwaka 2021/22, Mfuko wa miundombinu umekadiriwa kukusanya na kutumia jumla ya TZS 49.5 bilioni ambazo zitatumika kugharamia
25
Miradi mbalimbali ya maendeleo. Bodi ya Mapato (ZRB) inakadiriwa kukusanya TZS 34.9 bilioni na Mamlaka ya Mapato (TRA) inakadiriwa kukusanya TZS 14.6 bilioni.
Muhtasari wa Mwelekeo wa MapatoMheshimiwa Spika, Kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo, Serikali inatarajia kukusanya Jumla ya TZS 1,506.2 bilioni. kwa mwaka wa fedha 2021/22, TZS 1,791.0 bilioni, kwa mwaka 2022/23 na kufikia TZS 1,948.2 bilioni kwa mwaka 2023/24.
Jadweli namba 6: Makisio ya Mapato kwa Mwaka 2021/22-2023/24
17 MWELEKEO WA MATUMIZIMheshimiwa Spika, Kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo, Serikali inatarajia kutumia jumla ya TZS 1,506.2 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/22 yakiwemo Matumizi ya kazi za Kawaida ya TZS 959.3 bilioni, Matumizi ya kazi za Maendeleo ya TZS 546.9 Aidha, Serikali imekadiria kutumia jumla ya TZS 1,791.0 bilioni, kwa mwaka 2022/23 na TZS 1,948.2 bilioni kwa mwaka 2023/24.
29
Muhtasari wa Mwelekeo wa Mapato
Mheshimiwa Spika, Kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo, Serikali inatarajia kukusanya Jumla ya TZS 1,506.2 bilioni. kwa mwaka wa fedha 2021/22, TZS 1,791.0 bilioni, kwa mwaka 2022/23 na kufikia TZS 1,948.2 bilioni kwa mwaka 2023/24. Jadweli namba 6: Makisio ya Mapato kwa Mwaka 2021/22-‐2023/24
Chanzo Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
16 MWELEKEO WA MATUMIZI
Mheshimiwa Spika, Kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo, Serikali inatarajia kutumia jumla ya TZS 1,506.2 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/22 yakiwemo Matumizi ya kazi za Kawaida ya TZS 959.3 bilioni, Matumizi ya kazi za Maendeleo ya TZS 546.9 Aidha, Serikali imekadiria kutumia jumla ya TZS 1,791.0 bilioni, kwa mwaka 2022/23 na TZS 1,948.2 bilioni kwa mwaka 2023/24.
MAELEZO Mwaka
2021/2022 Mwaka 2022/202
Mwaka 2023/2024
Mapato ya Ndani 1,105.5 1,286.2 1,422.0 4.5% Msaada wa Kibajeti 100T 100T 100T Mapato ya Mamlaka za Serikali za Mitaa kutoka Vianzio vya ndani 16.2 16.5 16.9
Mkopo wa Ndani 50.0 50.0 40.0
Mfuko wa Pamoja wa Wafadhili 2.0 2.0 4.0 Mikopo na Ruzuku 332.5 436.3 465.3 Jumla ya Mapato 1,506.2 1,791.0 1,948.2
Makisio ya Mapato -‐2021/22-‐2023/24(TZS bilioni)
MAPATO
26
Jadweli namba : 7 Makisio ya Matumizi kwa Mwaka 2021/22-2023/24
18 SURA YA BAJETIMheshimiwa Mwenyekiti,Kwa mwaka 2021/2022 mapato ya ndani pamoja na ruzuku na mikopo yanatarajiwa kufikia TZS 1,506.2 bilioni kwa mchanganuo ufuatao;
TZS ‘bilioni’Mapato ya Ndani 1,105.5Mapato ya Mamlaka za Serikali za Mitaa kutoka Vianzio vya ndani 16.2Mfuko wa Pamoja wa Wafadhili 2.0Mkopo wa Ndani 50.0Mikopo na Ruzuku 332.5Jumla ya Mapato 1,506.2
Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa matumizi, jumla ya TZS 1,506.2 bilioni zinatarajiwa kutumika zikiwemo TZS 959.3 bilioni kwa matumizi ya kawaida, ikijumuisha Mishahara ya Mafungu TZS 380.9 bilioni na Mishahara ya Ruzuku
30
Jadweli namba : 7 Makisio ya Matumizi kwa Mwaka 2021/22-‐2023/24
MATUMIZI Mwaka
2021/2022
Mwaka 2022/202
3 Mwaka
2023/2024 Matumizi ya Kawaida 959.3 1,107.5 1,431.5 Mshahara Mawizara 380.9 483.8 667.3 Mshahara Ruzuku 130.0 132.6 134.9 Matumizi Mengineyo Mawizara 139.8 158.6 250.9 Matumizi Mengeniyo Ruzuku 111.3 133.5 154.7 Mfuko Mkuu wa Serikali 181.1 182.5 206.8 Matumizi ya Mamlaka za serikali za Mitaa kutoka vianzio vyao 16.2 16.5 16.9 Matumizi ya Maendeleo 546.9 683.5 516.7 Fedha za Serikali 212.5 245.2 265.4 Mikopo na Ruzuku Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo 334.4 438.3 251.3 Jumla Kuu 1,506.2 1,791.0 1,948.2
Makisio ya Matumizi 2021/22-‐2023/24(TZS bilioni)
Chanzo Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
17 SURA YA BAJETI
Mheshimiwa Mwenyekiti,Kwa mwaka 2021/2022 mapato ya ndani pamoja na ruzuku na mikopo yanatarajiwa kufikia TZS 1,506.2 bilioni kwa mchanganuo ufuatao;
TZS 'bilioni'
Mapato ya Ndani 1,105.5 Mapato ya Mamlaka za Serikali za Mitaa kutoka Vianzio vya ndani 16.2
Mfuko wa Pamoja wa Wafadhili 2.0 Mkopo wa Ndani 50.0 Mikopo na Ruzuku 332.5 Jumla ya Mapato 1,506.2 Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa matumizi, jumla ya TZS 1,506.2 bilioni zinatarajiwa kutumika zikiwemo TZS 959.3 bilioni kwa matumizi ya kawaida, ikijumuisha Mishahara ya Mafungu TZS 380.9 bilioni na Mishahara ya Ruzuku TZS 130.0 bilioni na Matumizi ya Kawaida ya Mawizara TZS 139.8 bilioni
27
TZS 130.0 bilioni na Matumizi ya Kawaida ya Mawizara TZS 139.8 bilioni Matumizi Mengineyo ya Ruzuku TZS 111.3 bilioni, Mfuko Mkuu wa Serikali TZS 197.3 bilioni. Kwa upande wa Matumizi ya Miradi ya Maendeleo jumla ya TZS 546.9 bilioni, ikihusisha TZS 212.5 bilioni fedha za Serikali na TZS 334.4 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo. Mchanganuo wa Matumizi hayo ni kama ifuatavyo;
TZS ‘bilioni’Mtumizi ya Kazi za Kawaida 959.3Mshahara Mafungu 380.9OC Mafungu 337.1Mshahara Ruzuku 130OC Ruzuku 111.3Matumizi ya Kazi za Maendeleo 546.9SMZ 212.5Ruzuku kutoka washirika wa Maendeleo 26.5Mkopo kutoka washirika wa Maendeleo 307.9Jumla 1,506.2
19 VIGEZO VYA UGAWAJI WA RASILIMALI FEDHAMheshimiwa Spika, Ugawaji wa Rasilimali Fedha kwa mwaka 2021/22-2023/24 umezingatia mambo makuu yafuatayo:
i. Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2020-2025;ii. Maeneo ya Vipaumbele vya Mpango wa Maendeleo;iii. Maagizo Maalum ya Serikali kwa mujibu wa vipaumbele vya Taifa;iv. Programu na Miradi ya kimkakati (Flagship Projects) ya kitaifa,
miradi yote ambayo Serikali ina dhima (Commitments) kutoka kwa Washirika wa Maendeleo na Miradi yote iliyokuwa haijakamilika utekelezaji wa shughuli zake kwa bajeti ya mwaka 2020/21.
20 VIAMBATISHOMheshimiwa Spika, Pamoja na mapendekezo haya, tunaambatanisha viambatisho vifuatavyo:-
1. Kiambatisho nambari:1 Makadirio ya mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2021/2022-2023/2024.
28
2. Kiambatisho nambari:2 Utekelezaji wa Maeneo ya Vipaumbele kwa Kipindi cha Julai – Disemba 2020
3. Kiambatisho nambari:3 Utekelezaji wa Matumizi wa Miradi ya Miundombinu.
21 HITIMISHO
Mheshimiwa Spika, Kabla ya kumaliza naomba kuchukua nafasi hii tena kumshukuru sana Rais wetu Dkt.Hussein Ali Hassan Mwinyi kwa kutuunganisha vyema kasi ya maendeleo aliyoanza nayo pamoja na Amani na Utulivu uliopo ametoa mwanga wa Matumaini ya Uongozi wake. Pia naomba kukushukuru sana wewe, Mheshimiwa Spika wetu wa Baraza hili Zubeir Ali Maulid. Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti Mheshimiwa Saada Salum Mkuya na Kamati yake kiukweli umahiri na umakini wake umeanza kuleta tija na mafanikio , wametupa mashirikiano ya kutosha na miongozo thabiti.
Mheshimiwa Spika, Baada ya maelezo hayo, kwa heshima kubwa, sasa naliomba Baraza lako liidhinishe na hatimae ikubaliane na Mapendekezo ya Mwelekeo wa Makadirio ya Bajeti ya TZS 1,506.2 bilioni na Kuiruhusu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango kutayarisha na kuwasilisha Mwelekeo wa Uchumi, Mpango wa Maendeleo na Bajeti kwa mwaka 2021/2022-2023/2024.
Mheshimiwa Spika, Naomba kuwasilisha.
….……………………………….JAMAL KASSIM ALI
WAZIRI WA NCHI, AFISI YA RAIS FEDHA NA MIPANGO ZANZIBAR.
Februari, 2021.
29
SMZ
1
TOTA
L D
OM
EST
IC R
EV
EN
UE
1,04
9,97
9,84
5
522,
727,
511
302,
892,
399
58%
769,
769,
115
73%
1,10
5,54
4,38
8
1,25
3,73
8,47
8
1,41
3,46
2,54
5
TOTA
L TA
X R
EV
EN
UE
92
1,26
6,77
5
46
6,60
5,95
6
26
8,30
6,72
7
58
%65
5,15
9,02
9
71
%95
9,15
9,34
7
1,
076,
725,
506
1,
208,
262,
171
TA
X R
EV
EN
UE
FR
OM
TR
A38
3,54
0,76
9
18
7,83
6,46
9
12
9,95
7,15
1
69
%31
8,23
7,94
9
83
%41
3,06
4,25
4
47
5,93
5,29
0
54
0,06
8,58
2
TA
X R
EV
EN
UE
FR
OM
ZR
B
516,
726,
006
268,
269,
487
117,
349,
576
44%
315,
921,
080
61%
525,
095,
093
579,
790,
216
647,
193,
589
PAYE
(TR
AN
SFE
R)
21,0
00,0
00
10,5
00,0
00
21
,000
,000
20
0%21
,000
,000
100%
21,0
00,0
00
21,0
00,0
00
21,0
00,0
00
NO
N T
AX
RE
VE
NU
E12
8,71
3,07
0
56
,121
,555
34,5
85,6
72
62%
114,
610,
087
89%
146,
385,
041
177,
012,
972
205,
200,
373
CU
STO
M D
EPA
RTM
EN
T (T
RA
)Im
port
dut
y61
,609
,867
29
,294
,709
21
,475
,540
73
%51
,802
,624
84
%65
,007
,349
72
,074
,546
83
,175
,223
E
xcis
e D
uty
Impo
rt16
,956
,421
8,
200,
785
5,
652,
977
69%
10,6
31,7
95
63%
18,9
90,8
94
21,3
29,8
91
25,4
75,5
66
Exc
ise
Dut
y Pe
trol
14,8
88,6
71
5,87
8,75
3
3,21
0,26
5
55
%10
,747
,840
72
%16
,648
,198
24
,717
,588
26
,300
,755
V
AT
Impo
rt71
,907
,618
39
,931
,350
26
,925
,972
67
%64
,949
,985
90
%74
,618
,101
85
,341
,942
97
,203
,020
Tr
ade
Levy
14,0
40,5
14
6,74
6,65
0
3,74
8,59
3
56
%9,
042,
238
64
%15
,970
,309
17
,498
,443
22
,640
,679
Fi
ne o
n im
port
507,
403
44
7,00
2
26
0,77
5
58%
406,
087
80%
144,
939
19
2,04
7
212,
118
M
isce
llane
ous
Cus
tom
Fee
2,39
2,71
7
84
7,44
2
55
4,34
2
65%
1,33
7,16
6
56%
2,72
4,57
0
4,
150,
988
5,79
2,14
9
M
/Veh
icle
Lev
y3,
715,
673
1,20
4,30
7
633,
819
53
%1,
528,
878
41
%4,
024,
570
5,65
6,67
0
6,
292,
149
Infr
astr
uctu
re T
ax (6
0% o
f Tr
ade
Levy
)16
,779
,975
8,
324,
361
4,
613,
945
55%
11,1
29,6
14
66%
17,3
56,6
03
19,3
60,2
53
20,7
79,0
33
Cro
ss b
oade
r de
clar
atin
fee
120,
000
0
00%
120,
000
100%
120,
000
12
0,00
0
120,
000
SU
B T
OTA
L20
2,91
8,85
9
10
0,87
5,35
8
67
,076
,228
66
%16
1,69
6,22
8
80
%21
5,60
5,53
4
25
0,44
2,36
8
28
7,99
0,69
1
D
OM
EST
IC R
EV
EN
UE
DE
PAR
TME
NT
(TR
A)
PAYE
73,7
61,4
84
35,5
12,7
49
27,0
68,9
59
76%
70,7
54,4
78
96%
75,7
33,9
68
85,4
13,3
70
97,4
51,2
27
Skill
Dev
elop
men
t Le
vy18
,378
,231
8,
848,
270
5,
284,
371
60%
13,8
12,6
09
75%
20,7
42,5
21
22,7
96,6
07
24,6
01,9
69
Cor
pora
te45
,093
,602
21
,710
,488
12
,615
,482
58
%32
,975
,109
73
%47
,328
,145
57
,821
,080
61
,542
,525
In
divi
dual
12,0
08,8
53
5,78
1,70
8
3,07
2,82
0
53
%8,
031,
923
67
%14
,882
,677
17
,169
,255
19
,620
,925
E
xcis
e D
uty
on L
MG
2,93
4,05
6
1,
412,
613
20
3,18
3
14%
531,
091
18%
3,25
1,18
2
3,
954,
427
4,19
4,59
8
W
ithh
oldi
ng T
ax-I
RM
D28
,445
,684
13
,695
,284
14
,636
,107
10
7%30
,436
,511
10
7%35
,520
,226
38
,338
,184
44
,666
,648
SU
B T
OTA
L18
0,62
1,91
0
86
,961
,112
62,8
80,9
22
72%
156,
541,
721
87%
197,
458,
720
225,
492,
922
252,
077,
891
ZRB
TA
X R
EV
EN
UE
VA
T Lo
cal
213,
653,
785
11
0,05
7,30
7
45
,406
,498
41
%10
5,79
0,44
1
50
%22
5,19
1,10
4
24
5,76
7,48
1
264,
990,
346
E
xcis
e D
uty
- Ser
vice
38,9
02,4
08
20,3
54,2
26
10,8
08,4
15
53%
28,3
13,3
98
73%
32,8
55,2
05
41,1
95,4
10
55,3
14,4
71
Hot
el L
evy
44,2
15,6
85
21,0
99,5
90
2,18
9,44
2
10
%15
,095
,302
34
%43
,053
,274
46
,063
,594
50
,577
,145
R
esta
uran
t Le
vy7,
493,
188
3,52
3,48
3
443,
398
13
%5,
305,
473
71
%7,
238,
236
8,30
3,85
4
10
,006
,366
To
ur O
pera
tion
Lev
y2,
512,
543
1,34
2,42
5
135,
559
10
%1,
391,
097
55
%2,
502,
742
3,50
6,18
5
5,
063,
777
Stam
p D
uty
16,8
94,0
81
8,68
6,96
9
4,55
6,30
3
52
%14
,007
,537
83
%15
,859
,510
16
,533
,223
18
,471
,394
A
irpo
rt S
ervi
ce C
harg
e55
,462
,922
30
,368
,244
5,
157,
189
17%
25,7
97,5
43
47%
56,5
67,8
38
60,3
37,5
41
65,2
87,3
99
Seap
ort
Serv
ice
Cha
rge
3,92
5,74
0
1,
716,
222
1,
093,
736
64%
4,10
4,78
1
105%
5,23
2,26
0
7,
108,
230
9,42
8,36
6
Se
a Tr
ansp
ort
Cha
rge
3,04
3,63
3
1,
494,
910
1,
001,
723
37%
3,47
1,70
1
114%
4,77
2,29
5
5,
896,
830
7,37
8,46
8
La
nd L
ease
9,49
9,02
8
5,
575,
305
3,
118,
174
77%
8,00
8,20
7
84%
9,57
3,00
1
11
,272
,823
12
,972
,772
R
oad
Dev
elop
men
t Fu
nd14
,514
,561
8,
134,
129
6,
480,
405
80%
12,9
75,8
75
89%
14,6
35,4
42
15,9
30,7
98
19,0
37,2
68
Petr
oleu
m L
evy
57,0
71,1
85
29,2
76,4
30
23,1
47,1
53
79%
51,2
63,3
77
90%
58,5
11,9
53
62,9
26,1
00
67,7
31,2
05
Mot
or V
ehic
le R
egis
trat
ion
Fees
2,16
9,98
5
1,
115,
086
71
4,21
5
64%
1,67
0,93
6
77%
1,82
8,49
9
1,
966,
441
2,11
6,60
0
M
otor
Lic
enci
ng F
ees
/ R
oad
Lice
nce
5,51
5,53
3
3,
069,
390
2,
462,
554
80%
4,45
0,83
3
81%
5,48
5,49
1
7,
793,
153
9,23
5,69
7
D
rivi
ng L
icen
ce F
ees
4,28
2,08
9
1,
134,
003
78
5,48
8
69%
2,25
7,64
2
53%
4,56
2,27
9
5,
432,
881
6,44
5,72
1
A
irpo
rt S
afet
y Fe
e9,
850,
687
6,98
8,71
7
1,28
5,52
0
18
%5,
439,
491
55
%10
,072
,289
11
,138
,759
13
,774
,603
In
fras
ctru
ctur
e Ta
x (Z
RB
)27
,718
,953
14
,333
,052
8,
563,
804
60%
26,5
77,4
45
96%
27,1
53,6
74
28,6
16,9
14
29,3
61,9
91
SUB
TO
TAL
516,
726,
006
268,
269,
487
117,
349,
576
44%
315,
921,
080
61%
525,
095,
093
579,
790,
216
647,
193,
589
NO
N T
AX
RE
VE
NU
EM
DA
's c
olle
ctio
n10
4,71
3,07
0
50,2
21,5
55
26,3
42,3
21
52%
99,0
66,7
36
95%
125,
385,
041
152,
012,
972
17
7,70
0,37
3
Div
iden
t fr
om G
over
nem
nt P
aras
tals
10
,500
,000
5,
900,
000
8,
243,
352
140%
9,04
3,35
1
86%
11,0
00,0
00
12,5
00,0
00
14,0
00,0
00
Div
iden
t fr
om B
OT
13,5
00,0
00
00
0%6,
500,
000
48
%10
,000
,000
12
,500
,000
13
,500
,000
SU
B T
OTA
L12
8,71
3,07
0
56
,121
,555
34,5
85,6
72
62%
114,
610,
087
89%
146,
385,
041
177,
012,
972
205,
200,
373
RE
VE
NU
E F
OR
EC
AST
ING
FO
R T
HE
FIS
CA
L YE
AR
202
1/22
- 20
23/2
4 "
000"
TAX
ITE
MS
BU
DG
ET
2020
/202
1 6
Mon
ths
Rev
enue
Tar
get
6 M
onth
s A
ctua
l Rev
enue
C
olle
ctio
n
6 M
onth
s R
even
ue
Perf
Lik
ely
Out
tern
20
20/2
1
Year
ly
Rev
enue
Pe
rf
Rev
enue
Fo
reca
stin
g 20
21/2
2
Rev
enue
Fo
reca
stin
g 20
22/2
3
Rev
enue
Fo
reca
stin
g 20
23/2
4
29
30
KIAMBATISHO NAMBA2:
UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA JULAI HADI DISEMBA 2020
1. Utekelezaji wa Maeneo ya Vipaumbele kwa Kipindi cha Julai – Disemba 2020
(i) Ukamilishaji wa jengo la abiria la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Zanzibar (Terminal III): Ujenzi wa jengo la abiria la Terminal III umekamilika na umeshazinduliwa. Kazi ndogondogo za ukamilishaji na uwekaji sawa (finishing) zinaendelea.
(ii) Ujenzi wa hospitali mpya ya rufaa ya Binguni: Kazi ya ujenzi wa hospitali ya rufaa ya Binguni imeanza kwa shughuli za usafishaji na kazi za ujenzi wa jengo la Wodi la huduma za dharura (emergency ward). Kazi hiyo inafanywa na Kampuni ya Ujenzi ya Serikali. Katika awamu ya kwanza, jumla ya majengo matano (5) yatajengwa ikiwemo jengo la (i) huduma za dharura, (ii) utawala, (iii) upasuaji na uchunguzi, (iv) mama na mtoto na (v) jengo moja la nyumba ya wafanyakazi.
(iii) Kukamilisha ujenzi wa Mahkama Kuu Tunguu: Hadi kufikia Disemba 2020 ujenzi unaendelea kwa hatua za ukamilishaji na upakaji wa rangi umeshaanza. Kwa ujumla ujenzi umefikia asilimia 75.
(iv) Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji katika mabonde ya Chaani, Kinyasini na Kibokwa kwa Unguja na Makwararani na Mlemele kwa Pemba: Ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji kwa mabonde hayo unaendelea kwa hatua mbalimbali kama ifuatavyo:
a) Bonde la Kinyasini. Ujenzi unaendelea na umefikia asilimia 84. Kazi zilofanyika ni ujenzi wa intake tunnel, spillways, ujenzi wa tuta la bwawa, misingi ya saruji na ya udongo na uwekaji sawa wa konde.
b) Bonde la Chaani. Ujenzi unaendelea na umefikia asilimia 76. Kazi zilofanyika ni ujenzi wa intake tunnel, spillways, ujenzi wa tuta la bwawa, misingi ya saruji na ya udongo na uwekaji sawa wa mashamba.
c) Bonde la Kibokwa. Ujenzi unaendelea na umefikia asilimia 66. Kazi zilofanyika ni ujenzi wa misingi ya saruji na ya udongo na uwekaji
31
sawa wa mashamba pamoja na uchimbaji wa kisima (1) kati ya (6) vilivyopangwa kuchimbwa.
d) Bonde la Mlemele. Kazi za ushafishaji eneo la ujenzi wa intake tunnel na spillways zimeanza pamoja na uchimbaji wa msingi kwa ajili wa ujenzi husika na kufanya kazi kufikia asilimia 0.69.
e) Bonde la Makwararani. Kazi za usafishaji wa eneo la ujenzi hazijaanza ila kumefanyika kazi za surveying na uwekaji wa mipaka ya eneo la mradi.
(v) Ujenzi wa Bandari ya Mpigaduri: Kazi ya upembuzi yakinifu na utafiti wa kijiologia umekamilika. Hata hivyo maelekezo ya Serikali ni kuendeleza Ujenzi wa Bandari ya Mangapwani
(vi) Kuimarisha sekta ya mafuta na gesi kwa kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya matangi ya kuhifadhia mafuta katika eneo la bandari ya Mangapwani: ujenzi wa umeanza pamoja na usafishaji wa eneo. Nyumba kwa ajili ya ulipaji wa fidia wa wakaazi waliohamishwa eneo la Dundua umekamilika na kukabidhiwa kwa wananchi wanaohusika. Aidha, Serikali imetoa maelekezo ya kusimamishwa ujenzi na kuanza mpango mpya (master plan) wa ujenzi.
(vii) Kuendeleza ujenzi wa mji wa kisasa Kwahani: Ujenzi wa majengo matatu ya awamu ya kwanza umekamilika, kazi ndogo za kuweka sawa ardhi na kujenga barabara za ndani zinaendelea.
(viii) Ujenzi wa barabara ya Chake Chake – Wete: Mshauri elekezi amewasilisha ripoti ya upembuzi yakinifu pamoja na tathmini ya nyumba na mali zitakazo athirika na ujenzi wa barabara hiyo.
(ix) Ujenzi wa kituo cha maonesho ya biashara na mikutano ya kimataifa (Convention Centre) kwa mfumo wa mashirikiano ya sekta ya umma na sekta binafsi: utekelezaji wa mradi huu umeanza kwa kufanya kazi ya Tathmini ya kimazingira katika eneo la ujenzi wa mradi imekamilika. Aidha mkutano wa wadau mbali mbali ambao watahusika katika mradi umefanyika wakiwemo wakazi wa Nyamazi pamoja na Taasisi zinazohusika na mambo ya utalii kujadiliana kuhusu mradi huo.
Miradi mengine iliyopewa kipaumbele cha pili kwa mwaka 2020/21 ni kumi na moja (11) kama ifuatavyo: (i) Programu ya ajira kwa vijana; (ii) Kuimarisha utalii kwa kuendeleza maeneo ya kihistoria na utalii kwa wote; (iii) Kuendeleza
32
maeneo ya uwekezaji (Industrial Park); (iv) Ujenzi wa skuli ya sheria (Law School); (v) Kuanza maandalizi ya ujenzi wa mji wa kisasa kwa Pemba; (vi) Kuanza ujenzi wa Ofisi ya Wizara ya Fedha na Mipango Unguja; (vii) Kuendelea na shughuli za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi; (viii) Kuimarisha elimu kwa ujenzi wa skuli tatu za ghorofa katika maeneo ya Mfenesini na Gamba kwa Unguja na Kifundi kwa Pemba; (ix) Ujenzi wa daraja la Uzi – Ng’ambwa; (x) Ujenzi wa chelezo kwa matengenezo ya vyombo vya baharini; na (xi) Ujenzi wa barabara ya Kisauni – Fumba. Kati ya vipaumbele hivyo, vipaumbele saba (7) sawa na asilimia 63.6 vimeanza utekelezaji katika kipindi hicho na kuwepo katika hatua mbalimbali kama ifuatavyo.
(i) Programu ya ajira kwa vijana: Katika kuhakikisha vijana wanafaidika na ajira za staha Zanzibar, ruzuku imetolewa kwa vikundi 75 vya ukulima wa mbogamboga vimejengewa vitalu nyumba (greenhouses) na kuchimbiwa visima. Jumla ya vitalu nyumba 19 sawa asilimia 100 vimejengwa ili kuendeleza kilimo cha kisasa kwa ajili ya kujikwamua na umasikini katika maeneo mbali mbali ya Unguja na Pemba. Maeneo hayo ni: Koani-1, Dole-1, Makunduchi-1, Kitogani-1, Pangatupu-2, Pangeni-2, Donge Mchangani-1, Fuoni Kibondeni-1 kwa Unguja na Mjini Ole-2, Wambaa-1, Tumbe-1, Shumba Viamboni-1, Chamanangwe-1, Mgogoni-1 na Mbayayani-2 kwa upande wa Pemba. Aidha jumla ya boti sita (6) zimenunuliwa kwa Mabaraza ya Vijana wanaojishughulisha na shughuli za uvuvi. Mabaraza hayo ni kutoka maeneo yafuatao: Shehia ya Mtoni (Wilaya ya Magharibi A), Shehia ya Ng’ambwa (Wilaya ya Kati) Shehia ya Tasani (Wilaya ya Kusini), Shehia ya Nungwi (Wilaya ya Kaskazini A) Shehia ya Sizini (Wilaya ya Micheweni), na Shehia ya Shungi (Wilaya ya Chake Chake).
(ii) Kuimarisha utalii kwa kuendeleza maeneo ya kihistoria na utalii kwa wote: Ujenzi wa Makumbusho ya Bi Hole umeendelea kwa ujenzi wa maduka, vyoo, bustani, njia pamoja na umeme. Ujenzi huu umefikia asilimia 100 ya utekelezaji wake kwa hatua ya kwanza. Vile vile ukarabati wa jengo la Kihistoria la Mvuleni unaendelea ambapo kazi za ujenzi wa kituo cha kutoa taarifa (Information Centre) umefikia asilimia 85 kukamilika.
(iii) Kuendeleza maeneo ya uwekezaji (Industrial Park): Katika kuimarisha sekta ya viwanda, eneo la Chamanangwe limechaguliwa kuwa ndiyo eneo la uwekezaji. Jumla ya watu 110 wameshalipwa fidia kati ya 122. Aidha eneo hilo tayari limeshasafishwa na Mpango Mkuu tayari umeshaandaliwa.
33
(iv) Kuimarisha elimu kwa ujenzi wa skuli tatu za ghorofa katika maeneo ya Mfenesini na Gamba kwa Unguja na Kifundi kwa Pemba: Hatua za kumtafuta mshauri elekezi kwa ajili ya kuandaa michoro zimekamilika.
(v) Ujenzi wa daraja la Uzi – Ng’ambwa: Kazi ya Upembuzi yakinifu wa ujenzi wa daraja la Uzi – Ngambwa (3.5 km) umekamilika.
(vi) Ujenzi wa chelezo kwa matengenezo ya vyombo vya baharini: Upembuzi yakinifu wa mradi wa ujenzi wa bandarindogo (slipway) eneo la Makao Makuu Kibweni na ujenzi wa Chuo cha Mafunzo ya Uzamiaji KMKM katika kambi ya Kama umekamilika.
(vii) Ujenzi wa barabara ya Kisauni – Fumba: Upembuzi Yakinifu pamoja na tathmini ya nyumba na mali zitakazo athirika na ujenzi wa barabara hiyo umekamilika.
34
1 U
PATI
KAN
AJI F
EDHA
KW
A PR
OG
RAM
U N
A M
IRAD
I YA
MAE
NDE
LEO
KW
A KI
PIN
DI C
HA JU
LAI -
DIS
EMBA
, 202
0 KW
A M
UJIB
U W
A W
IZAR
A/TA
ASIS
I
(TZS
MIL
ION
I)
Kiam
batis
ho N
amba
ri :2
UPA
TIKA
NAJ
I WA
FEDH
A KW
A PR
OG
RAM
U N
A M
IRAD
I 202
0/20
21, (
TZS
MIL
ION
I)
Wiz
ara/
Taas
isi
Fedh
a Zi
lizop
angw
a Ju
mla
As
ilim
ia
PRO
GR
AMU
/MR
AD
I S
MZ
W
M
JUM
LA
SM
Z
WM
JU
MLA
S
MZ
W
M
JUM
LA
OFI
SI Y
A R
AIS
NA
MW
ENYE
KIT
I WA
BA
RA
ZA L
A M
APIN
DU
ZI
Uim
aris
haji
Nyu
mba
za
Vion
gozi
na
Nyu
mba
za
Serik
ali
1,50
0
1,50
0 1,
250
1,
250
83
83
JU
MLA
YA
FU
NG
U
1,50
0
1,50
0 1,
250
1,
250
83
83
O
FISI
YA
MA
KAM
O W
A P
ILI W
A R
AIS
M
pang
o w
a Ku
nusu
ru K
aya
Mas
ikin
i (TA
SAF
III)
50
21,5
48
21,5
98
46
9 46
9 0
2 2
Kuje
nga
Uw
ezo
wa
Kuk
abilia
na n
a M
aafa
186
186
39
39
21
21
Kuim
aris
ha U
sim
amiz
i wa
Maz
ingi
ra,
Mal
iasi
li na
M
abad
iliko
ya T
abia
nchi
-Zan
ziba
r 30
0 29
0 59
0
0 0
0 Ku
kuza
Uw
ezo
wa
Kita
ifa w
a K
uhim
ili At
hari
za
Mab
adilik
o ya
Tab
ianc
hi (A
DB
-AC
CF)
676
676
62
62
9 9
JUM
LA Y
A F
UN
GU
35
0 22
,700
23
,050
570
570
0 3
2 TU
ME
YA K
ITA
IFA
YA
KU
RAT
IBU
NA
UD
HIB
ITI W
A D
AWA
ZA
KU
LEVY
A
Uje
nzi w
a K
ituo
cha
Tiba
na
Mar
ekeb
isho
ya
Tabi
a 1,
900
1,
900
0
0
JUM
LA Y
A F
UN
GU
1,
900
1,
900
0
0
WIZ
AR
A Y
A F
EDH
A N
A M
IPA
NG
O
Prog
ram
u ya
Uje
nzi w
a O
fisi z
a Se
rikal
i Za
nzib
ar
19,5
00
19
,500
2,
287
2,
287
12
12
Pr
ogra
mu
ya U
kuza
ji U
chum
i Jum
uish
i Zan
ziba
r (B
IG -
Z)
19
,964
19
,964
34,9
73
34,9
73
17
5 17
5
34
35
2
Prog
ram
u ya
Uje
nzi w
a M
iji M
ipya
20
,000
20,0
00
0
0
Prog
ram
u ya
Mag
euzi
Kat
ika
Usi
mam
izi w
a Fe
dha
(PFM
RP)
1,63
9 1,
639
51
1 51
1
31
31
Uim
aris
haji
wa
Ras
ilimal
i za
Nda
ni n
a U
sim
amiz
i wa
Mal
iasi
li 10
0 4,
541
4,64
1
314
314
0 7
7 M
radi
wa
Kuje
nga
Uw
ezo
Taas
isi z
a Se
rikal
i 20
10
7 12
7
240
240
0 22
5 18
9 U
imar
isha
ji w
a M
aene
o H
uru
Mic
hew
eni P
emba
1,
800
1,
800
0
0
Mta
ndao
wa
Uin
giza
ji w
a Ta
arifa
za
Baj
eti
500
50
0
0
0 JU
MLA
YA
FU
NG
U
41,9
20
26,2
51
68,1
71
2,28
7 36
,038
38
,324
5
137
56
TUM
E YA
MIP
AN
GO
Pr
ogra
mu
ya M
pang
o w
a K
uras
imis
ha R
asilim
ali n
a Bi
asha
ra z
a W
anyo
nge
Tanz
ania
(MKU
RA
BITA
) 55
0 10
0 65
0
0 0
0 M
pang
o w
a Ku
huis
ha U
chum
i (ER
P)
7,00
0
7,00
0
0
0 Ku
pung
uza
Um
asik
ini n
a U
fuat
iliaji
wa
SD
Gs
150
15
0 21
9
219
146
14
6 U
ratib
u na
Usi
mam
izi w
a M
alen
go n
a M
aend
eleo
En
dele
vu (S
DG
s) n
a M
KU
ZA II
I 10
0 80
1 90
1
359
359
0 45
40
Ku
oani
sha
Mas
uala
ya
Idad
i ya
Wat
u ka
tika
Afya
ya
Uza
zi, J
insi
a na
Kup
ungu
za U
mas
ikin
i
286
286
18
0 18
0
63
63
Uen
dele
zaji
wa
Takw
imu
Zanz
ibar
(ZSD
P)
3,
322
3,32
2
697
697
21
21
Ku
ende
leza
Taf
iti n
a U
buni
fu
500
50
0
0
0 JU
MLA
YA
FU
NG
U
8,30
0 4,
509
12,8
09
219
1,23
6 1,
455
3 27
11
W
IZA
RA
YA
KIL
IMO
, M
ALI
ASI
LI, M
IFU
GO
NA
UVU
VI
Prog
ram
u ya
Um
wag
iliaj
i 19
,900
47
,193
67
,093
11,7
82
11,7
82
0 25
18
Pr
ogra
mu
ya K
usai
dia
Kilim
o na
Uha
kika
wa
Cha
kula
(ER
PP)
2,21
1 2,
211
1,
081
1,08
1
49
49
Uim
aris
haji
Uvu
vi w
a Ba
hari
Kuu
2,
000
12,1
52
14,1
52
0
0 0
Kuim
aris
ha U
fuga
ji w
a M
azao
ya
Baha
rini
73
6 73
6
0
0 M
radi
wa
Usi
mam
izi w
a Sh
ughu
li za
Uvu
vi w
a Ka
nda
ya K
usin
i Mas
harik
i mw
a Ba
hari
ya H
indi
(S
WIO
FISH
)
8,65
1 8,
651
2,
888
2,88
8
33
33
Mra
di w
a M
aend
eleo
ya
Kilim
o na
Uvu
vi
2,
141
2,14
1
0
0 Ku
ende
leza
Uta
fiti w
a M
ifugo
1,
000
1,
000
0
0
35
36
3
Mra
di w
a Ku
dhib
iti N
zi w
a M
atun
da
100
120
220
0
0 0
Kudh
ibiti
Sum
u Ku
vu in
ayot
okan
a na
Ula
ji w
a M
ahin
di n
a N
jugu
932
932
0 0
Uhi
fadh
i wa
Mis
itu k
wa
Faid
a za
Kiu
chum
i
3,80
1 3,
801
0 0
Kilim
o ch
a K
usha
jihis
ha U
kulim
a w
a M
boga
Mbo
ga
na M
atun
da
5,
603
5,60
3
0
0 JU
MLA
YA
FU
NG
U
23,0
00
83,5
41
106,
541
15
,752
15
,752
0
19
15
WIZ
AR
A Y
A B
IASH
AR
A N
A V
IWA
ND
A
Prog
ram
u ya
Maz
ingi
ra B
ora
ya B
iash
ara
300
30
0
0
0 U
imar
isha
ji w
a M
aene
o ya
Viw
anda
(Ind
urst
rial
Park
) 1,
000
1,
000
396
39
6 40
40
Kuim
aris
ha v
iwan
da v
idog
o vi
dogo
na
vya
kati
(SM
IDA)
1,
000
1,
000
25
25
3
3
Mra
di w
a Ku
was
aidi
a W
ajas
iriam
ali W
adog
o W
adog
o,W
akat
i na
Wak
ubw
a 4,
500
4,60
0 9,
100
0
0 0
Kuim
aris
ha T
aasi
si y
a Vi
wan
go Z
anzi
bar
3,00
0
3,00
0
0
0 M
fum
o m
pya
wa
Uto
aji L
esen
i kw
a M
aend
eleo
ya
Sekt
a Bi
nafs
i 40
0
400
200
20
0 50
50
JUM
LA Y
A F
UN
GU
10
,200
4,
600
14,8
00
621
62
1 6
0 4
WIZ
AR
A Y
A E
LIM
U N
A M
AFU
NZO
YA
AM
ALI
Pr
ogra
mu
ya K
uim
aris
ha M
iund
ombn
u ya
Elim
u 1,
000
1,
000
0
0
Uim
aris
haji
wa
Elim
u ya
Maa
ndal
izi
3,
253
3,25
3
1,72
3 1,
723
53
53
U
imar
isha
ji w
a El
imu
ya M
sing
i
402
402
18
18
4 4
Uim
aris
haji
wa
Elim
u ya
Laz
ima
3,50
0 11
,307
14
,807
35
0 8,
369
8,71
9 10
74
59
JU
MLA
YA
FU
NG
U
4,50
0 14
,962
19
,462
35
0 10
,111
10
,461
8
68
54
WIZ
AR
A Y
A A
FYA
Pr
ogra
mu
ya K
umal
iza
Mal
aria
Zan
ziba
r 24
8 5,
586
5,83
4 40
1,
431
1,47
1 16
26
25
Ku
ipan
dish
a ha
dhi H
ospi
tali
ya M
nazi
Mm
oja
1,50
0
1,50
0 5
5
0
0 Ku
zipa
ndis
ha h
adhi
Hos
pita
li za
Wila
ya n
a ho
spita
li za
Vijij
i 5,
000
5,
000
615
61
5 12
12
Aw
amu
ya K
wan
za y
a uj
enzi
wa
Hos
pita
l ya
Ruf
aa
Bing
uni
6,00
0
6,00
0 1,
402
1,
402
23
23
36
37
4
Uje
nzi w
a Bo
hari
Kuu
ya D
awa-
Pem
ba
2,00
0
2,00
0 10
7
107
5
5 U
jenz
i wa
Maa
bara
ya
Mam
laka
ya
Daw
a na
Vi
podo
zi
2,10
0
2,10
0
0
0 U
jenz
i wa
Hos
pita
l ya
Wag
onjw
a w
a Ak
ili
1,40
0 1,
400
2,80
0 14
14
1 0
1 Ku
imar
isha
Taa
sisi
ya
Uta
fiti w
a Af
ya
2,00
0
2,00
0 16
0
160
8
8 Pr
ogra
mu
Shiri
kish
i ya
Afya
ya
Uza
zi w
a M
ama
na
Mto
to
500
9,57
4 10
,074
523
523
0 5
5 Pr
ogra
mu
ya K
udhi
biti
Mar
adhi
ya
Uki
mw
i, H
oma
ya
Ini,
Kifu
a K
ikuu
na
Uko
ma
248
5,09
0 5,
338
1,
416
1,41
6 0
28
27
JUM
LA Y
A F
UN
GU
20
,996
21
,651
42
,647
2,
343
3,37
0 5,
713
11
16
13
WIZ
AR
A Y
A A
RD
HI,
NYU
MB
A, M
AJI
NA
NIS
HAT
I M
radi
wa
Uhu
isha
ji na
Uim
aris
haji
wa
Mfu
mo
wa
Usa
mba
zaji
Maj
i Zan
ziba
r (IN
DIA
) 46
6 67
,129
67
,596
12,7
92
12,7
92
0 19
19
Ku
ende
leza
Vis
ima
vya
Ras
el K
haim
ah
4,00
0
4,00
0 43
8
438
11
11
U
sam
baza
ji U
mem
e Vi
jijin
i 50
0
500
0
0
Mra
di w
a Ku
ifany
ia M
abad
iliko
Sekt
a ya
Nis
hati
(ZES
T)
17
,850
17
,850
0
0 Ku
jeng
a U
wez
o na
Mat
enge
nezo
ya
Miu
ndom
binu
ya
Um
eme
Zanz
ibar
3,50
0 3,
500
0 0
JUM
LA Y
A F
UN
GU
4,
966
88,4
79
93,4
46
438
12,7
92
13,2
31
9 14
14
W
IZA
RA
YA
UJE
NZI
, MA
WA
SILI
AN
O N
A U
SAFI
RIS
HA
JI
Uje
nzi w
a ba
raba
ra z
a Ki
zim
bani
-Kib
oje
(km
7.2)
na
Ju
mbi
-Koa
ni (k
m 6
.3)
2,00
0
2,00
0
0
0 U
jenz
i wa
bara
bara
ya
Cha
ke-W
ete
8,00
0 8,
990
16,9
90
0
0 0
Uje
nzi w
a Ba
raba
ra z
a B
ubub
u-M
ahon
da -
Mko
koto
ni (3
1 km
), M
kwaj
uni-K
ijini (
9.4
km),
Pale
Ki
onge
le -
Mkw
ajun
i (4.
6 km
), M
atem
we
- Muy
uni
(7.6
km
), Fu
oni -
Kom
beni
(km
8.6
) na
Bub
ubu
Polis
i - C
huin
i (km
3)
1,50
0 8,
334
9,83
4
19,1
82
19,1
82
0 23
0 19
5 U
jenz
i wa
Bara
bara
ya
Joza
ni-C
hara
we-
Uko
ngor
oni
(km
23)
2,
000
2,
000
353
35
3 18
18
Uje
nzi w
a Ba
raba
ra y
a K
itoga
ni -
Paj
e, M
ahon
da -
Don
ge -
Mko
koto
ni, K
inya
sini
- Ki
wen
gwa
na D
unga
- C
hwak
a 2,
000
2,
000
0
0
37
38
5
Uje
nzi w
a Ba
raba
ra y
a U
nguj
a U
kuu
- Uzi
N
g'am
bwa
5,00
0
5,00
0
0
0 U
jenz
i wa
Bara
bara
ya
Fum
ba -
Kisa
uni (
12 k
m)
1,00
0
1,00
0
0
0 U
jenz
i wa
Jeng
o Ji
pya
la A
biria
Zan
ziba
r 5,
500
124,
586
130,
086
16,9
31
2,44
9 19
,380
30
8 2
15
Uje
nzi w
a U
wan
ja w
a N
dege
wa
Pem
ba
1,00
0
1,00
0
0
0 U
jenz
i wa
Band
ari y
a M
piga
duri
5,00
0
5,00
0 1,
080
1,
080
22
22
U
nunu
zi w
a La
nd C
raft
2,50
0
2,50
0
0
0 JU
MLA
YA
FU
NG
U
35,5
00
141,
910
177,
410
18,3
64
21,6
31
39,9
95
52
15
23
WIZ
AR
A Y
A K
AZI
, UW
EZES
HA
JI,
WA
ZEE,
WA
NA
WA
KE
NA
WAT
OTO
U
saw
a w
a K
ijinsi
a na
Kuw
awez
esha
Wan
awak
e
180
180
0 0
Mra
di w
a Ji
nsia
471
471
15
5 15
5
33
33
Mra
di w
a H
ifadh
i ya
waz
ee
1,10
0
1,10
0
0
0 M
radi
wa
Uje
nzi w
a K
ituo
cha
Kul
ea n
a Ku
toto
lea
Waj
asiri
amal
i (In
cuba
tor)
1,
000
1,
000
140
14
0 14
14
Mra
di w
a H
ifadh
i ya
Jam
ii
121
121
11
11
9 9
Mra
di w
a H
ifadh
i ya
Wat
oto
38
8 38
8
58
58
15
15
JU
MLA
YA
FU
NG
U
2,10
0 1,
159
3,25
9 14
0 22
4 36
4 7
19
11
WIZ
AR
A Y
A K
ATIB
A N
A S
HER
IA
Mra
di w
a U
sim
amiz
i wa
Upa
tikan
aji w
a H
aki
1,50
0
1,50
0 22
22
1
1 JU
MLA
YA
FU
NG
U
1,50
0
1,50
0 22
22
1
1 M
KU
RU
GEN
ZI W
A M
ASH
TAK
A
Uje
nzi w
a K
ituo
cha
Maf
unzo
ya
Sher
ia n
a U
tafit
i 60
0
600
0
0
JUM
LA Y
A F
UN
GU
60
0
600
0
0
OFI
SI Y
A R
AIS
- U
TUM
ISH
I WA
UM
MA
NA
UTA
WA
LA B
OR
A
Prog
ram
u ya
Mag
euzi
ya
Utu
mis
hi w
a U
mm
a - I
I 40
0
400
0
0
JUM
LA Y
A F
UN
GU
40
0
400
0
0
MAM
LAK
A Y
A K
UZU
IA R
USH
WA
NA
UH
UJU
MU
WA
UC
HU
MI
Uje
nzi w
a O
fisi y
a ZA
ECA
1,
000
1,
000
0
0
JUM
LA Y
A F
UN
GU
1,
000
1,
000
0
0
WIZ
AR
A Y
A H
AB
AR
I, U
TALI
I NA
MAM
BO
YA
KA
LE
Prog
ram
u M
jum
uish
o ya
Kue
ndel
eza
Uta
lii
2,70
0
2,70
0 44
3
443
16
16
38
39
6
Uje
nzi w
a Je
ngo
la O
fisi n
a St
udio
za
Red
io
Mka
njun
i-Pem
ba
1,40
0
1,40
0
0
0 JU
MLA
YA
FU
NG
U
4,10
0
4,10
0 44
3
443
11
11
K
AMIS
HEN
I YA
UTA
LII
Kuim
aris
ha U
talii
kwa
Wot
e 2,
000
2,
000
362
36
2 18
18
JUM
LA Y
A F
UN
GU
2,
000
2,
000
362
36
2 18
18
WIZ
AR
A Y
A V
IJA
NA
, UTA
MAD
UN
I, SA
NA
A N
A M
ICH
EZO
Pr
ogra
mu
ya A
jira
kwa
Vija
na
2,00
0
2,00
0 1,
000
1,
000
50
50
U
jenz
i wa
Viw
anja
vya
Mic
hezo
vya
Wila
ya
2,50
0
2,50
0 64
3
643
26
26
JU
MLA
YA
FU
NG
U
4,50
0
4,50
0 1,
643
1,
643
37
37
O
FISI
YA
RA
IS T
AW
ALA
ZA
MIK
OA
, SER
IKA
LI Z
A M
ITA
A N
A ID
AR
A M
AA
LUM
ZA
SM
Z Pr
ogra
mu
ya U
gatu
zi w
a M
asua
la y
a E
limu
1,00
0 2,
896
3,89
6 35
0
350
35
0 9
Uw
ekaj
i wa
Kam
era
na V
ifaa
vya
Ulin
zi
8,00
0
8,00
0 5,
525
5,
525
69
69
U
jenz
i wa
Kiw
anda
cha
Ush
oni (
ZQTL
) 2,
500
2,
500
610
61
0 24
24
JUM
LA Y
A F
UN
GU
11
,500
2,
896
14,3
96
6,48
4
6,48
4 56
0
45
WA
KA
LA W
A U
SAJI
LI W
A M
ATU
KIO
YA
KIJ
AMII
ZAN
ZIB
AR
M
radi
wa
Kuim
aris
ha M
fum
o w
a U
sajil
i wa
Viza
zi n
a Vi
fo
1,00
0
1,00
0
0
0 JU
MLA
YA
FU
NG
U
1,00
0
1,00
0
0
0 K
IKO
SI M
AA
LUM
CH
A K
UZU
IA M
AGEN
DO
(KM
KM
) Ku
imar
isha
Hud
uma
za U
zam
iaji
na U
okoz
i 4,
800
4,
800
584
58
4 12
12
Uje
nzi n
a U
kara
bati
wa
Kam
bi n
a N
yum
ba z
a KM
KM
700
70
0 35
0
350
50
50
JU
MLA
YA
FU
NG
U
5,50
0
5,50
0 93
4
934
17
17
K
IKO
SI C
HA
VA
LAN
TIA
U
jenz
i wa
Nyu
mba
na
Mah
anga
ya
Maa
skar
i 1,
500
1,
500
0
0
JUM
LA Y
A F
UN
GU
1,
500
1,
500
0
0
CH
UO
CH
A M
AFU
NZO
U
jenz
i wa
Nyu
mba
za
Mak
aazi
na
Mah
anga
1,
500
1,
500
250
25
0 17
17
JUM
LA Y
A F
UN
GU
1,
500
1,
500
250
25
0 17
17
JESH
I LA
KU
JEN
GA
UC
HU
MI
39
40
7
Uje
nzi w
a Sk
uli y
a Se
kond
ari n
a U
fund
i - M
toni
2,
500
2,
500
619
61
9 25
25
Uje
nzi w
a M
ajen
go y
a Ka
mbi
za
JKU
Pem
ba
2,00
0
2,00
0 54
5
545
27
27
JU
MLA
YA
FU
NG
U
4,50
0
4,50
0 1,
164
1,
164
26
26
K
IKO
SI C
HA
ZIM
AMO
TO N
A U
OK
OZI
U
jenz
i wa
Mah
anga
na
Nyu
mba
za
Maa
skar
i 2,
500
2,
500
0
0
JUM
LA Y
A F
UN
GU
2,
500
2,
500
0
0
JUM
LA K
UB
WA
19
7,33
2 41
2,65
9 60
9,99
1 37
,315
10
1,74
7 13
9,06
1 19
25
23
40
41
JINA LA PROGRAMU/MRADI Kilichopangwa Kilichopatikana Asilimia
Uimarishaji Uvuvi wa Bahari Kuu 2,000 0 0JUMLA YA FUNGU 2,000 0 0
Kuimarisha Taasisi ya Viwango Zanzibar 3,000 0 0JUMLA YA FUNGU 3,000 0 0
Ujenzi wa Hospital ya Rufaa Binguni (Awamu ya Kwanza) 6,000 1,402 23JUMLA YA FUNGU 6,000 1,402 23
Kuendeleza Visima vya Ras el Khaimah 2,000 438 22Usambazaji Umeme Vijijini 500 0 0JUMLA YA FUNGU 2,500 438 18
Ujenzi wa Daraja la Uzi-Ng'ambwa 5,000 0 0Ununuzi wa Land Craft 2,400 0 0JUMLA YA FUNGU 7,400 0 0
Ujenzi wa Ofisi ya ZAECA 1,000 0 0JUMLA YA FUNGU 1,000 0 0
Kuimarisha Utalii kwa Wote 2,000 362 18JUMLA YA FUNGU 2,000 362 18
Ujenzi wa Viwanja vya Michezo vya Wilaya 2,500 643 26JUMLA YA FUNGU 2,500 643 26
Uwekaji wa Kamera na Vifaa vya Ulinzi 8,000 5,525 69Ujenzi wa Kiwanda cha Ushoni (ZQTL) 1,400 610 44JUMLA YA FUNGU 9,400 6,134 65
Ujenzi wa Skuli ya Sekondari na Ufundi - Mtoni 2,000 619 31JUMLA YA FUNGU 2,000 619 31
Kuimarisha Huduma za Uzamiaji na Uokozi 4,800 584 12JUMLA YA FUNGU 4,800 584 12
Ununuzi wa Vifaa vya Zimamoto 1,600 0 0JUMLA YA FUNGU 1,600 0 0JUMLA KUBWA 44,200 10,183 23
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI
Kiambatisho Nambari :3UPATIKANAJI WA FEDHA MFUKO WA MIUNDOMBINU, 2020/2021 (TZS MILIONI)
WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI
WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA
WIZARA YA AFYA
KIKOSI MAALUM CHA KUZUIA MAGENDO (KMKM)
KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOZI
WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI
MAMLAKA YA KUZUIA RUSHWA NA UHUJUMU WA UCHUMI
KAMISHENI YA UTALII
WIZARA YA VIJANA, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA, SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ZA SMZ
JESHI LA KUJENGA UCHUMI
42
43
44
top related