uzoefu wa matumizi ya videoconference tanzania

Post on 01-Jul-2015

197 Views

Category:

Technology

1 Downloads

Preview:

Click to see full reader

DESCRIPTION

The use of videoconference by governments to reduce costs, reduce inconveniences, increase efficiency and attain informed decision making (in Swahili).

TRANSCRIPT

UZINDUZI WA MRADI WA “VIDEO CONFERENCE”

Uzoefu wa matumizi

ya “videoconference”

Charles Y. Senkondo, Mkurugenzi Mtendaji Tanzania Global Learning Agency-TaGLA

Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao TaGLA

5

Tanzania Global Learning Agency

Wakala ya Serikali

Desemba 23, 2011 kwa sheria ya Wakala za serikali Na. 30 ya 1997 Sura 245

Majukumu ya TGDLC Iliyoanzishwa mwaka 2000 chini ya Programu ya Kuboresha Utumishi wa Umma (PSRP) Chini ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

Moja wapo kati ya mtandao wa vituo zaidi ya 120 duniani (www.gdln.org)

Huduma zinazotolewa

o Mafunzo kwa kutumia mfumo wa ‘videoconference”

o Midahalo o Maabara za Komputa o Huduma za Daraja Video

Video conference

8

Matumizi ya ubunifu katika mafunzo

Mchanganyiko wa TEHAMA •videoconference •Intaneti, tovuti

•Kujifunza katika makundi •Kubadilishana •Uwezeshaji madhubuti •Msaada kwa wahusika

Mafunzo ya Siku 5 yakilinganishwa Kawaida / Videoconference

TZS -

TZS 1,000,000.00

TZS 2,000,000.00

TZS 3,000,000.00

TZS 4,000,000.00

TZS 5,000,000.00

TZS 6,000,000.00

TZS 7,000,000.00

TZS 8,000,000.00

TZS 9,000,000.00

30 60 90 120

Mafunzo: Nchini

Mafunzo: Kanda Afrika

Gharama kwa Mshiriki

Mafunzo ya kwa videoconference: Gharama kwa mshiriki

Idadi ya Washiriki

Gharama (TZS)

10

Faida za matumizi ya “videoconference”

Adha ya kusafiri

Gharama za usafiri

Muda wa kutokuwepo

Unafuu wa Gharama

Usahihi Walengwa

Mchanganyiko unaofaa walengwa

Mahali sahihi

Muda sahihi

Vifaa sahihi

Kukidhi mahitaji

Kumbi za Mikutano

Kusimamia Mitihani

Udahili

Tiba-Kuonana na mabingwa

Kukidhi Mahitaji

Mafunzo kwa Mtandao

Mahakama

Ushauri Nasaha

Kuwasilisha Zabuni

Kusimamia, Kutoa na Kupokea taarifa za miradi

Mikutano ya Bodi

Mifano

Kukabili majanga makubwa

Inaratibiwa Ebola- Uganda Mlifanyaje

Maeneo ya Kuboresha

Kubadilika fikra Kuborehsa sera na miongozo Kuvunja himaya Kufaidika na muunganiko wa Tehama

Mategemeo

Kuzingatia Miongozo / Viwango

Kuongeza kushirikiana na kuimarisha mtandao Kutoa huduma mbalimbali kwa kutumia TEHAMA Kufaidika na Muunganiko wa TEHAMA Kujenga uwezo wa kitovu cha kuunganisha, kujenga

uwezo na ukaguzi wa viwango Kukuza ushirikiano kitaifa na kimataifa

Jipime

Teknolojia ya Videoconference

Jamii iliyo tayari

kutumia teknolojia

Mtandao unaokidhi viwango

Mkurugenzi Mtendaji,

Tanzania Global Learning Agency,

Mt. Shaaban Robert, IFM, Block A,

S. L. P. 2287, Dar es Salaam.

Simu: +255 22 2123705 / 09

Fax: +255 22 2123702

Pepe: info@tagla.go.tz

Tovuti: www.tagla.go.tz

21

top related