darsa za quran za quran.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza...

30

Upload: others

Post on 30-Dec-2019

46 views

Category:

Documents


10 download

TRANSCRIPT

Page 1: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina
Page 2: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

DARSA ZA QURANSifa njema zinmstahikia Allah Mola wa ulimwengu, sala na amanizimuendee Mjumbe wa Allah Mtume wetu Muhammad (s.a.w). Amabaada ya utangulizi huu; huu ndi mwendelezo wa darsa za quran ambapotutajifunza mambo mengi kuhusu quran na dini yetu. Kabla ya kuendeleambele zaidi inabidi kwanza tufahamu baadhi ya maneno kadhaa. Tujiekwamba quran imetujia sisi kutoka hapo ilipoandikwa kuja kwa Mtumekupitia malaika jibril.

Tumeamuwa kuandika makala hii fupiMaana ya Wahyi.Ni ufunuo kutoka kwa Allah (s.w) kwenda kwa wanaadamu (mitume)kupitia Malaika wake Jibril (a.s). Wahyi umegawanyika katika makundimakuu mawili ambayo ni Qurani na Hadithi. Wahyi umekuwa ukimjiaMtume na mitume wengine walotangulia kupitia malaika jibril. Lakinizipo njia nyingine ambazo wahyi unaweza kuwajia wanadamu. Njia hizoni;-1.Il-hamu2.Kusemeshwa na Allah (s.w) nyuma ya pazia.3.Kupitia malaika.4.Ndoto za kweli.4.Maandishi.

- Qur’an ni maneno ya Allah (s.w) yaliyoteremshwa kwa Mtume (s.a.w)kwa njia ya wahyi kupitia Malaika Jibril (a.s) ili kuwa mwongozo kamiliwa maisha ya wanaadamu. Qurani imekuwa ikitambulika kwa majinamengi sana yakiwemo;-Al-Qur’an – Chenye kuunganishwa pamoja au chenye kusomwa.Kalamullah – Maneno ya Mwenyezi Mungu (s.w).Al-Mas-haf – Mkusanyiko wa kurasa nyingi (Kitabu kikubwa).Al-Kitabu – Kitabu Pekee (The Unique Book) Kimuundo,Kimaudhui,

Kiusahihi, n.k.Al-Furqaan – Kipambanuzi baina ya haki na batili.Adh-Dhikru – Mawaidha au Ukumbusho.At-Tanziil – Kiteremsho (Mshuko), Wahyi kutoka kwa aliye juu.Al-Hukmu – Kitabu pekee kinachostahiki kumhukumu binaadamu.Al-Hikma – Kitabu pekee chenye hikima isiyo na kikomo

(Kitabu cha Hikima).Ash-Shifau – Ponyo au dawa pekee ya kuponya nafsi, nyoyo, uasi,ukafiri, n.k.Ar-Rahma – Rehema kwa wanaadamu.

Page 3: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

Al-Khayr – Kheri pekee, Qur’an ndio chanzo cha kheri zote.Ar-Ruuhu – Roho ya maisha, asiyeishi kwa mujibu wa Qur’an nimaiti.Al-Bayaana – Chenye kuweka wazi, kubainisha kila kitu kwa uwazi,n.k.An-Nuur – Nuru peke ya kumuangazia binaadamu katika njia sahihi ya

maisha.Al-Burhan – Hoja zilizo wazi, zenye kueleweka kwa kila mwenyeakili.Al-Haqq – Kitabu cha Haki, kinachotoka kwa Mola wa Haki kwaajili yaKusimamia haki.

Ahsanul-Hadith – Simulizi, maelezo, hadith nzuri kuliko zote.Al-Hudaa – Mwongozo pekee sahihi wa maisha ya mwanaadamu.

Qur’an ni Kitabu chenye aya 6,236, zilizo katika sura 114 nakimegawanywa katika Juzuu (mafungu) 30. Pia inatupasa tujuwe kuwaqurani kabla ya kumfikia mtume ilipitia hatuwa kuu mbili a,bazo ni;-

Qur’an imeshuka katika hatua kuu mbili;1.Imeshuka jumla kutoka Lawhim-Mahfuudh (Ubao uliohifadhiwa katikaArshi) hadi Mbingu ya Dunia.2.Kushuka kidogo kidogo duniani kuja kwa Mtume (s.a.w) kupitiaMalaika Jibril (a.s) kwa muda wa miaka 23.Rejea Qur’an (85:21-22), (81:19-20)

Mtume (s.a.w) alianza kushukiwa na wahyi wa kwanza wa Qur’anmwaka 610 A.D akiwa na umri wa miaka 40 katika pango la ‘JabalHiraa’. Qur’an ilianza kushushwa katika mwezi mtukufu wa Ramadhanikatika Usiku wenye cheo wa “Lailatul – Qadri”. Rejea Qur’an (97:1-5) na(2:185). Ilianza kushuka kwa aya 5 za mwanzo katika suratu Alaq(96:1-5).

MGAWANYIKA KATIKA QURAN.Wataalamu wa elimu za Qurani katika fani za uandishi na usomajiwameigawanya Qurani katika mafungu ili kuwezesha urahisi kwawasomaji wa qurani. Katika Darsa hii tutaangalia migawanyiko hii.

Sura katika qurani zimegawanywa katika makundi makuu mawili:1.sura zilizoteremshwa Makka na na huitwa Maki2.Sura zilizoteremshwa Madina na huitwa madaniSura hizi unaweza kuzijuwa kwa mujibu wa kanuni na taratibu ambazozimewekwa na maulamaa wa elimu za Quran. Ila kwa ufupi ni kuwa Sura

Page 4: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

za makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w)hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazozimeshushwa wakati mtume (s.a.w) amesha hama kwenda madina.

Utofauti wa sura hizi ni kuwa nyingi katika sura zilizoshushwa Maka nifupi na Maudhui yake yamejikita sana katika kuboresha imani. Na zile zaMadina zina sifa ya kuwa ndefu na maudhui zake nyingi zimekuwazikizungumzia hukumu na sheria.

Pia qurani nzima imegawanywa katika vipande vipande kama ifuatavyo1.Juzuu 302.Surah 1143.Rukuu(paragraph)4.Aya5.Manzil

Aya ni umoja na wingi wake ni Ayat. Ni vigumu kufasiri neno Aya kwakiswahili ila kwa ufupi unaweza kusema ni sentesi ijapokuwa maana hiini tofauti kidogo ila angalau inaleta maana. Aya katika Qurani zipo 6236.Na aya ndani ya Qurani inaweza kutengenezwa na mkusanyiko wamaneno au herufi. Pia aya inaweza kuwa herufu mojatu na ndo maana nitofauti na neno sentensi kwa kiswahili.

Sura katika qurani zipo 114 na sura zote zimeanzwa na basmalaisipokuwa sura ya 9 surat trauba yenyewe haina basmala. Kuna sababunyingi zinatolewa na na wajuzi katika elimu za Quran kuelezea kwa ninisura hii haijaanzwa na basmala. Ila kwa ufupi ni kuwa hakukupatikaniwadalili ya kufanya hivyo kutoka kwa mtume(s.a.w). Tutazungumzia zaidimas-ala hii katika asbab-nuzul. Halikadhalika basmala kwenye quranizipo 114 kuna sura moja ina basmala 2 nayo ni surat an-namli ambayo nisura ya 27. Sura kwenye qurani zimepangiliwa kuanzia 1 mpaka 114. Ilampangilio huu sio kulingana na kushuka kwao.

Rukuu ni mgawanyiko mwengine. Kwa kiswahili rukuu ni aya. Rukuuwingi wake ni rukuu’at na huweza kutengenezwa na muunganiko waaya nyingi ambazo zote zinazungumzia maudhui moja. Katika quranikuna rukuu 558. Alama ya rukuu ni herufi ع kubwa. Alama hii inasehemu kuu 3 juu kati na chini.1.juu huwekwa namba ya rukuu kuwa ni ya ngapi kwenye sura2.Kati huwekwa namba za aya zilizomo kwenye hiyo rukuu3.Huwekwa namba ya rukuu kuwa ni ya ngapi kwenye Quran

Page 5: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

Juzu zipo 30 katika qurani yote. Hii ni rahisi kwa watu wanaotakakumaliza kusoa qurani katika mwezi mmoja yaani ndani ya sikun 30.Kwa mashafu za kuhifadhisha qurani kila juzu inakuwa na kurasa 10isipokuwa zujuu �Amma ambayo ndo juzuu ya 30 yenyewe ina kurasazaidi.

Manzil wingi wake ni manaazil. Qurani imegawanywa katika manazilsaba 7. Hii huwezesha urahisi kwa wanaotaka kumaliza kusoma quranindani ya wiki moja yaani siku saba 7. Manaazili huandikwa namba zakenyingi ya ukingo wa kurasa ya mashaf.1.Manzil 01 huanzia sura ya 1 hadi ya 42.Manzil 02 huanzia sura ya 5 hadi ya 93.Manzil 03 huanzia sura ya 10 hadi ya 164.Manzil 04 huanzia sura ya 17 hadi 255.Manzil 05 huanzia sura ya 26 hadi 366.Manzil 06 huanzia sura ya 37 hadi 497.Manzil 07 huanzia sura ya 50 hadi 114

FADHILA (UMUHIMU) WA KUSOMA QURAN.1.quran ni kamba,ponyo,kinga,nuru na ni kitu chenye kuokoa.Kwa ufupi unaweza kusema qurani ina kila kitu ambacho tunakihitajiakatika maisha yetu. Qurani inaweza kutumika kama tiba ya kuondoamaradhi ana kinga dhidi ya maradhi, uadui na husda. Pia ni nuruinayoweza kumuongoza mtu wapi apite.

Qurani humkinga mtu na maadui, maradhi, husda na kila kitu kubada.Maneno haya unaweza kuyakuta katika hadithi ndeefu aliyoipokeaal-haakim katika mapokeza ya ‘Ablahhah Ibn Mas’ud kuwa Mtumeamesema “……hakika hii qurani ni kamba ya Allah, na ni nuru iliyo wazi,na ni pozo lenye kunufaisha, na ni ngome (ya kujikinga) kwa mwenyekushikamana nayo na ni kitu chenye kuokoa kwa mwenye kuifuata.…..”

2.Qurani ni yenye kuombea shifaa siku ya qiyama. Watu watakuwakatika hali na wakati mgumu siku ya qiyama. Katika tabu za namna hiyoqurani itakuwa ni yenye kuwaombea watu wake wapate shifaa mbele yaAllah. Amasimulia Abuu Umamah kuwa “nimemsikia Mtume akisema‘isomeni qurani, kwani hakika itakuja siku ya kiyama hali yakuwa niyenye kuwaombea watu wake’” (amepokea Muslin)3.Ukisoma herufi moja unaandikiwa mema (thawabu) 10. AmesimuliaIbn msud kuwa mtume amesema “mwenye kusoma herufi moja katikakitabu cha Allah atapata jema moja, na jema moja hulipwa kwa marakumi kwa mfano wake.…”(amepokea Tirmidh). Katika muendelezo wa

Page 6: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

hadithi Mtume anasema ukisema ALM hizi ni herufi tatu, hivyo kila mojahulipwa kwa kumi.

4.Wenye kusoma qurani ndio watu bora. Mtume amewapa nafasi kubwasana watu ambao wanaisoma qurani. Katika masimulizi ya ‘UthmanIbn ;Afan mtume amesema “mbora wenu ni yule mwenye kujifundishaqurani kisha akaifundisha.” (amepokea Bukhari, Abuu Dauw naTirmidh).

5.Mtu atapandishwa darsa kwa kiasi alichohifadhi qurani peponi. Watuwatakapoingia peponi watapandishwa madaraja ya peponi kulingana nakiasi cha mtu anachoweza kusoma katika qurani. Amesimulia AbdallahIbn Umar kuwa Mtume amesema ataambiwa mtu aliyeisoma qurani(akiwa peponi) soma na upande darja na uisome kama ulivyokuwaukiisoma ulivyokuwa dunianai. Kwa hakika makazi yako yataishia paleitakapoishia aya ya mwisho utakayoisoma”. (amepokea Abuu Dawd natirmidh).

6.Mwenye kusoma vizuri qurani atakuwa na malaika. Amesimulia Aishakuwa mtume amasema mwenye kusoma qurani na akawa mahiri nayo(anaisoma vizuri) atakuwa pamoja na malaika wema wenye kutii. Na yulemwenye kuisoma na akawa anakwamakwama (hajaiweza vizuri naanajitahidi aiweze) na huku anashaka atapata malipo mara mbili”(amepokea bukhari, Muslim na wengine).

TAHADHARI KWAWASOMAJI WA QURANIMtume ameamrisha watu waihifadhi qurani. na sihivyo tuu Mtualiyehifadhi qurani ajitahidi anafanya jitihada isije akaisahau. Katikahadithi sahihi Mtume anazungumzia kuwa qurani itakimbia kamainavyokimbia kamba ya ngamia.

Kusahau qurani baada ya kuihifadhi ni katika madhambi. Hivyowasomaji wa qurani tujitahidini kuihifadhi na kuhakikisha paletulipopahifadhi tunapashikilia pasiondoke. Amesimulia Anas ibn Malikikuwa Mtume amesema “nilioneshwa malipo ya uma wangu (nikaonakuna malipo ) mpaka kwenye uchafu anaouondoa mtu msikitini. Nanilioneshwa madhambi ya uma wangu, basi sikuona dhambi kubwakuliko sura katika qurani au aya aliyopewa mtu kisha akaisahau”(amepokea Abuu Dauw, Tirmidh na Ibn Majah).

Page 7: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

ADABU ZA KUSOMA QURANI1.kuwa na ikhlas. Hapa jinachokusudiwa ni kuwa na nia iliyo takata kuwaunasoma kwa ajili ya Allah na si vinginevyo. Kama ilivyokuwa ibadazote anatakiwa afanyiwe Allah kama Mtume alivyosea katika hadithisahihi aliyoipokea Bukhari, Muslim kwa mtume amesema “hakika sivinginevyo amali (hulipwa) kwa (kuzingatia) nia...” . Hivyo msomajiasifanye ili watu wamsikie eti yeye ndo bigwa ila asome kwa kutarajiradhi za Allah.

2.Kuwa na khushui, na kuleta mazingatio. Mwenye kusoma quraniajitahidi ahudhurishe moyo wake wote kwenye lile analolifanya nalo nikusoma qurani. Pia alete mazingatio kama anaelewa nini quraniinazungumza. Amesema Ibraahim Khawas kuwa: dawa ya nyoyo nimambo matano ambayo nui: kusoma Qurani kwa mazingatio, kufunga,kusimama usiku na kukaa na watu wema.

3.Kulia wakati wa kusma Qurani. Mwenye kusoma qurani huendaikamfanya alie, hivi ni vizuri sana na ni sifa ya watu wema. Hata mtumealikuwa naposomewa qurani alikuwa akilia.

4.Kusoma kwa sauti. Mzomaji wa qurani anatakiwa atoe sauti yake yaaniasome kwa sauti kwa namna ambayo hatawaudhi watu walio karibu naekama mtu aliolala, anayeswali ama waliokuwepo kwenye mazungumzoyake.

5.Kusoma kwa sauti nzuri. Msomaji wa qurani anatakiwa ajitahidi kuwana sauti nzuri. Zipo riwaya nyingi ambazo zinaonesha msisitizo juu yakuremba sauti. Mapaka mtume akasema “mtu amabye hasomi quranivizuri sio katika sisi.” katika mapokezi mengina ya Bukhari, muslim naAbuu Dawd ni kuwa Allah amemuamrisha mtume kusoma qurani kwasauti nzuri.

6.Tajweed. Maana ya tajweed ni kuisoma qurani kwa hukumu zake.Qurani ina hukumu zake katika kusoma. Kila herufi inatakiwa itamkwekwa namna ileile inayotakiwa. Kila herufi ipewe haki yake katikaidh-hari, ikh-fai, id-ghami, mada, ghunnah na ntingineso nyingi.

7.Kudhihirisha maana. Mwenye kusoma qurani ajitahidi kudhihirishamaana wakati anaposoma. Mtu anatakiwa ajuwe kitu ambachokinazungumziwa katika aya anayoisoma.

8.Kusoma kwa kupumzika. Kwenye kusoma qurani natakiwa asisomemfululizo ila awe ana viu vya kupumzika. Amesimulia Ummu salama

Page 8: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

kuwa alikuwa mtume anapumzika kwenye usomaji wake alikuwaakisoma AL-HAMDU LILLAHI RABIL-ALAMIIN kisha hupumzikakisha anasoma AR-RAHMAANIR-RAHIIM kisha hupumzika, kishahusoma MALIKI YAUMIDIIN (amepokea Tirmidh).

9.Kuchunga hukumu za waqfu. Waqfu unaweza kusema ni vituo vyakupumzikia au kutokupumzika au kuunga maneno wakati wa kusomaqurani. Kuna ambavyo inajuzu kuunganisha (�펨⚀), au kujuzu kusimama(�펨⚀), au kujuzu kusimama ila kwa ufupi (�), au vya lazima kusimama (�)au ambavyo haitakiwi kusimama (�).

10.Kutokusoma harakaharaka (mbiombio). Basi mwenye kusoma Quraniajitahidi kusoma katika mpangilio unaopendeza. Sio mbiombio kiasikwamba inaweza kuwa rahisi kufanya makosa ya kiusomaji.11.Inapendeza pia kutwaharisha kinywa kwa kupiga mswaki kabla yakusoma qurani.

12.Kusoma kwenye msahafu. Hili ni jambo ambalo linapendeza kwawale wanaotaka kuhifadhi qurani. Tofauti na kusikiliza ikisomwa wawewanaangalia maandishi ya qurani hasa kwenye msahafu.

13.Kumuomba Allah unaposoma qurani. Amesema Mtume “mwenyekusoma qurani basi na amuombe Allah kwayo, kwani hakika watakujawatu watasoma qurani na wataomba kwayo watu” (amepokea tirmidh)14.Msomji awe ni twahara. Hili ni jambo linalipendeza sana kwaanayesoma qurani awe na tahara. halikadhalika mtu mwenye janabaharuhusiwi kusoma qurani ila kama ataisoma kama dua. Kwa mfanoakisoka adhkari za kulala ambazo zina qurani ndani yake.

15.Kuanza kusoma qurani kwa kujikinga na shetani yaani kusema“A’UDHU BILLAHI MINAS-SHAYTWANIR-RAJIIM”

16.Kuomba dua unapofika sehemu za heri. Amepokea hadithi Muslimukuwa Abuu ‘Abdallah Hudhaifiya amesimulia kuwa alikuwa Mtume “…Anaposoma aya yenye tasbih huleta tasbih, na anaposoma aya yenyemaombi(dua) huomba (dua), anaposoma aya yenye t’awdh(kutakahifadha) hutaka hifadha”

17.Kujikinga na shari anaposoma aya za shari. Yaani anaposoma ayaambazo zinataja adhabu za makafiri na watu waovu humuomba Allahamuepushe kuwa katika kundi hilo.

18.Kleta sijdat tilawa unapofika sehemu za kusujudi.

Page 9: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

ADABU ZA KUSIKILIZA QURANI1.kutafuta msomaji mwenye sauti mzuri. Inapendeza mtu mwenyekusikiliza qurani asikilize kwa yule mwenye sauti ambayo ataipenda.Jambo hili litampa hamu ya kusikiliza qurani. Hata mtume alikuwa nawasomaji wake maalumu wa kumsomea qurani. Amesimulia Jabir kuwamtume amesema “hakika mtu mwenye sauti nzuri anaposima qurani niyule ambaye pindi mnapomsikia anasoma qurani mnamdhania kuwaanamuogopa Allah. (amepokea ibn majah).

2.Kuleta mazingatio pamoja na kufikiri kwa kina maana. Inatakiwanayesikiliza qurani sio tu atosheke na sauti lakini anatakiwa awe namazingatio juu ya kile ambacho kinasomwa.

3.Mwenye kusikiliza qurani awe ni mzuri wa kusikiliza na mwenyekunyamaza. Amesema Allah kuwa “na pindi inaposomwa quraniisikilizeni na nyamazeni ili mrehemewe. (surat al-a’araaf 204)

4.Kulia na kuwaidhika na kinachozungumzwa. Kama ilivyo kwa msomajihata msikilizaji pia ni vema akalia kwa kuwaidhika na qurani. AmesemaAllah “na pindi wanaposikia yale yaliyoteremswa kwa Mtume utayaonamacho yao yanabubujika machozikutokana na yale walioyajua katikahaki” (surat maaidah 83)

5.Kuleta khushui, unyenyekevu na kutukuza kitabu cha Allah. Mwenyekusikiliza qurani ahakikishe kuwa analeta khushui na unyenyekevu, awena utulivu huku akijuwa ukubwa wa kitabu cha Allah.

6.Kusujudi pindi unaposikia aya ya kusujudi. Sijida hii ni sunnah nambele za maimamu wa fikh wapo wanaiita ni swala kama ilivyo swala yajeneza. Hivyo haipasi mtu kusujudi akiwa hana udhu. Atasema mwenyekusujudi sijida hii “SAJADA WAJHI LILLADHII KHALAQANIYWASHAQA SAM’AHU, WABASWARAHU, BIHAWLIHI,WAQUWATIHI” amsesimulia ‘Aisha. Aya hizi za sijida zipo 15 katikaqurani ambazo ni aya ya mwisho ya surat al-araf, aya ya 15 ya surat rad,aya ya 50 ya surat nahli, aya ya 109 ya surat israa, aya ya 58 ya suratmaryam, aya ya 18 ya surat haj, aya ya 77 ya ryrat haj, aya ya 60 ya suratfurqan, aya ya 26 ya surat naml, aya ya 15 ya surat sajda, aya ya 38 yasurat fusilat, aya ya 62 ya surat najmi, aya ya 21 ya surat inshiqaq, aya ya19 ya surat ‘alaq.

Page 10: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

FADHILA ZA BAADHI YA SURA KWENYE QURANI1.Surat al-fatiha.Amesimulia Ibn ‘Abas kuwa “wakati ambao jibril alikuwa amekaa naMtume akasikia sauti ya mlango uliofunguliwa juu yake akanyanyukichwa chake kisha akasema “hiyo ni nsauti ya mlango uliopo mbinguniumefunguliwa siku ya leo, na katu haujawahi kufunguliwa ila ni leo tu(ndio mara ya kwanza kufunguliwa). Basi akashuka Malaika kutokakwenye mlango huu akasema (Jibril) “huyu ni malaika ameshuka dunianina hajawahi kushuka kamwe ila ni leo tu” akatoa salamu (malaika huyo)kisha akasema (kumwambia mtume) “toa habari za furaha kwa nuru mbiliulizopewa na hakuwahi kupewa mtume yeyote kabla yako kamwe(ambazo ni) surat al-fatiha na aya za mwisho za surat al-baqarahhatusoma herufi yeyote isipokuwa utapewa” (amepokea Muslim).Amesema Mtume “surat al-fatiha ni dawa ya kila gonjwa” amepokeaBayhaqiy)

2.surat al-baqarahAmesema Mtume “…Mwenye kuisoma katika nyumba yake usikuhatoingia shetani nyumba hiyo kwa muda wa siku tatu, na mwenyekuisoma mchana hatoingia shetani nyumba hiyo kwa michana mitatu”(amepokea Ibn hiban, tabrany na Bayhaqiy).

3.ayat al-qursiy.Amesema Mtume “katika surat al-baqarah kuna aya iliyobora kuliko ayazote haitasomwa aya hiyo kwenye nyumba yenye shetani ila atatokakwenye nyumba hiyo, (aya hiyo ni) ayat al-kursy) (amepokea Al-Haakimna Bayhaqiy)

3.aya za mwisho za surat al-baqarahAmesema Mtume hakika Allah ameimalizia surat al-baqarah kwa ayazilizo tukufu (zilizotoka) kwenye hazina chini ya ‘arshi basi jifundisheniaya hizo na muwafundishe wake zenu na watoto wenu. Kwani mnandani ya aya hizo dua, qiraa na dua” (amepokea Al-Haakim kutoka kwaAbuu Dhari).

Pia Amesema mtume “aya mbili za mwisho za surat al-baqarah mwenyekuzisoma usiku zitamtosheleza” (amepokea bukhari,Muslim, Ahmad naIbn Maajah kutoka kwa ibnmas’ud)

4.surat al-imraanAmesema Mtume katika mafhumu ya hadithi iliyo sahihi kuwa itakujaqurani siku ya kiyama ikiongozwa na surat al-baqarah na al-imraan katika

Page 11: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

hali ya makundi mawili na yakawa yanajadiliana juu ya mtu wao yaanimsomaji.

Pia amesema Mtume Mtu mwenye kusoma “SHAHIDALLAHUANNAHU LAA ILAAHA ILLAA HUWA WALMALAAIKATUWA-ULUL-ILMI QAAIMAN BIL-QISTWI LAA ILAAHA ILLAAHUWAL-AZIZL-HAKIIM. INNA DINA ‘IN-DALLAHIL-ISLAM”Kisha akasema “wa ana ash-hadu bimaa shahidaLLAHU bihi, waastawdiu LLAHU hadhihi shahadah, wahiya lii indahu wadi’ah”Basi ataletwa mtu huyu siku ya kiyama na ataambiwa na Allah ewe mjawangu hii ni ahadi yangu niloahidi na mimi nina haki ya kutekeleza ahadimuingizeni mja wangu peponi” (amepokea Abuu Shaykh kutoka kwa Ibnmasud).

5.surat israaAmesema Mtume mwenye kusoma wakati wa asubuhi au jioni“QULID-’ULLAHA AWID-’UR-RAHMANA AYAAMA-TAD-’UFALAHUL-ASMAAU-LHUSNAA” mpaka mwisho wa sura moyo wakehautokufa siku hiyo wala usiku huo. (amepokea Dilamy).

6.Surat ZumarAmesimulia ‘Aisha kuwa alikuwa Mtume halali mpaka asome suratzumar na surat israa” (amepokea Tirmidh)

7.surat alkahafiAmesema Mtume “mwenye kusoma surat al-kahafi siku ya ijumaaitampatia mwangaza kati ya ijumaa ile mpaka nyingine.(amepokeaAl-haakim na Bihaqi kutoka kwa Abuu musa al-’Ashar).Amesema Mtume mwenye kuhifadhi aya 10 za mwanzo za surat al-kahafiatalindwa na fitna za Dajali.(mepokea Muslim, Ahmad,na Nisai kutokakwa Abuu Drdaa).

8.surat yaasin.Amesimulia Anas kuwa mtume amesema “kila kitu kina moyo, namoyo wa qurani ni surat yaasin. Na mwenye kuisoma huandikiwa kwakisomo chake thawabu za kusoma qurani mara kumi. (amepokea tirmidhna Dilamy).

Pia amesimulia Ma’aqil ibn yasar kuwa Mtume amesema “moyo waqurani ni surat yaasin, mwenye kuisoma kwa kutaraji radhi za Allah namafanikio ya siku ya mwisho atasamehewa madhambi yake.…”(amepokea imam Ahmad na Bayhaqi).

Page 12: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

9.surat dukhaniAmesimulia Abuhurairah kuwa Mtume amesema “mwenye kusoma suratdukhani wakati wa usiku ataamka asubuhi na huku malaika sabini elfuwakimtakia msamaha” (amepokea Tirmidh na nisai) na katika mapokezaya Tabrani Mtume amesema “mwenye kusoma surat dukhani siku yaijumaa usiku au mchana Allah atamjengea mtu huyo nyumba peponi”

10.surat al-fat-hiAmesimulia ‘Umar kuwa Mtume amesema “hakika imeshushwa kwangumimi usiku wa leo sura ambayo ninaipenda kuliko vitu vyotevinavyochomozewa na jua” kisha akasoma INNAA FATAHNAA LAKAFAT-HAN MUBINAA (surat al-fat-hi) (amepokea bukhari).

11.surat al-waaqi’aAmesimulia ‘Abdullah ibn Mas’ud kuwa Mtume amesema “mwenyekusoma surat al-waaqi’a kila usiku hatopatwa na njaa (kali) katu.

12.surat MUSBIHATHizi ni sura zilizoanzwa na tasbihi yaani sabaha au yusabihu nazo ni tanoambazo ni al-hadid, al-hashri, swafa, al-jum-’a, na taghaabun.Amesimulia ‘Irbaadh ibn Saariya kuwa hakika Mtume alikuwa akisomamusabihat kabla ya kulala na huwa akisema “hakika mna katika sura hizoaya bora kuliko aya elfu moja” (amepokea tirmidh)

13.surat al-mulkuAmesimulia Abuuhurairah kuwa mtume amesema “katika qurani kunasura ina aya 30. Ni yenye kumuombea mtu mpaka atasamehewa nayo ni“TABAARAKAL-LADHII BIYADIHIL-MULKU”. (amepokea AbuuDawd na tirmidh)

14.Suratul ikhlas, nasi na falaqAmesimulia ‘Abdallah Ibnhabib kuwa Mtume amesema “QUL HUWALLAHU AHADU na mu’awadhatayn (qul a’udhu birabin-nasi na qula’udhu birabil-falaq) (mwenye kuzisoma ) asubuhi na jioni zinatoshelezakwa kila kitu.(amepokea ahmad, Tirmidh na Nisai).

TAJWEED.UTANGULIZINeno ‘Tajwiyd ’ linatoka na neno � � �� (jawwada) kilugha ina maana‘ufundi’,yaani kufanya kitu kwa uhodari au ustadi.Maana yake Kishariy’ah:Kuitamka kila herufi kama inavyotakiwa kutamkwa, kwa kuipa haki yake

Page 13: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

na swiffah zake huku ukifuata hukmu zote za Tajwiyd.

Katika qurani na sunnah imehimizwa sana kusoma qurani kwa tajwid autartila. Elimu hii ya tajwid imeanza zamani toka enzi za masahaba na tokamtume yupo hai. Pia alikuwa Mtume akiwaelekeza masahaba kwa watumaalumu ili wapate kujifunza qurani kiufasaha. Imepokewa kuwa Mtume(s.a.w) amesema: ((Mwenye kupenda kuisoma Qur-aan kama vileilivyoteremshwa basi na asome kwa Qiraa-ah [kisomo] cha ibn Ummi‘Abd)) (amepokea Ibn Majah na ahmad)

Pia Allah amesema :�Ϟ�ϴ�˶��� �ϥ���˶�˯�˶�ή ϴϞ���Η�� “na soma Qur-aan kwa tartiylaa(kisomo cha utaratibu upasao” Katika kuonesha maana ya neno tartiyla‘Aly Ibn Abi Talib ambaye ni khalifa wa nne baada ya kufariki mtumeamesema: ϴϑ�⚀��� ϴΔ�ϴΗ ˶� ��� �ϑ�˶��� ����� ��˯⺁ ˯Ϟ�ϴ�ϴ�� “Ni kuisoma Qur-aan kwaujuzi wa kutamka herufi ipasavyo na kuwana ujuzi wa hukmu za kusimama”

Hukumu ya kujifunza tajwid:Kusoma qurani bila ya tajwid yaani kuchunga herufi ni katika makosambele ya maulamaa wa tajwid. Maulamaa wa elimu hii wanazungumzakuwa kujifunza tajwid ni faradh al-kifaya kwa kauli za walio wengi. Piawapo wanaosema ni faradh ‘ayn yaani ni faradhi ya lazima kwa kilamuislamu.

Hawa waliosema ni faradhi kifaya yaani sio faradhi ya lazima kwa woteila inatosha kwa wachache wakiwa na elimu hii, kundi hili pialinazungumza kuwa inapasa kwa msomaji asisome kwa kukoseaijapokuwa hajui hukumu za tajwiid. Yaani achunge matamchi kamayalivyoandikwa asije akatamka vinginevyo na kubadilisha maana.

Aina za usomaji wa qurani:Wataalamu wa elimu ya tajweed wamegawa aina za usomaji katikamakundi makuu yafuatayo;-

1. At-Tahqiyq huu ni usomaji wa taratibu kwa kuzingatia hukumu zatajwid na kuzingatia maana. Msomaji atasimama panapotakiwa naatapumzika panapotakiwa. Kila herufi itapewa haki yake kulingana nainavyotamkwa.2.3. Al-Hadr huu ni usomaji wa haraka kwa kuzingatia hukumu za tajwid.Hapa msomaji atazingatia hukumu zote na anatakiwa awe makini katikakufanya ghunnah. Hapa msomaji anaweza kuvuta kwa kiwango cha chini

Page 14: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

mada. Yaani kama mada ina haraka 2 mpaka sita anaweza kuishiakwenye mbili.

3.At-Tadwiyr hapa msomaji atasoma qurani kati ya usomaji wa ainambili tulizozitaja hapo juu. Na huu ndio uso wa kawaida na wengi wawatu watu wanautumia.

Viraa saba na herufi saba.Wataalamu wa tajwid wanaeleza kuhusu herufi saba za usomaji waqurani. Itambulike kuwa qurani imeshuka kwa lugha ya kiarabu. Na piaitambulike kuwa waarabu wenyewe walitofautiana katika lahaja za lughaya kiarabu. Lahaja hizi zilikuwa katika makabila saba ya kiarabuyaliyopo maka. Yaani ni kuwa waarabu walikuwa na makabila sabawakati ule. Na makabila haya ijapokuwa yalizungumza kiarabu lakiniwalikuwa wakitofautiana katika maneno, utamkaji na hata uandishi.Hivyo lahaja hizi zilijulikana kama herufi saba (za usomaji wa qurani).

Hivyo lahaja saba hizi ndizo chanzo za hizi herufi saba. Na hililinathibitika katika maneno ya Mtume (s.a.w) aliposema: ((Jibriylalinisomea kwa herufi moja, nikaifanyia marudio mpaka akanifundishanyingine, nikaendelea kumuomba nyinginezo mpaka mwishowe zikawaherufi (lahaja) saba)) (Bukhari na Ahmad).

Makabila haya yalikuwa Quraysh, Hudhayl, Thaqiyf, Hawaazin,Kinaanah, Tamiym na Yeman. Hivyo qurani ilishuka katika lahaja sabakulingana na makabila. Hivyo ikawa kila kabila linasoma qurani kwanamna ambavyo lahaja yao inawafanya waelewe. Wakawa watuwanaandika qurani kwa namna ambavyo wanaelewa wao. Kulingana nalahaja ya kabila lao. Hali hii ilifanya usomaji wa qurani utofautiaane.

Amesimulia ‘Umar Ibn Al-khatab kuwa: “Nilimsikia Hishaam ibnHakiym akisoma Suwratul-Furqaan tofuati na vile ninavyoisoma naalivyonifundisha Mtume ( �펨⚀� ��펨⺁ � �� B). Nilikaribia kumsimamisha(asiswalishe) lakini nikamvumilia mpaka akamaliza kisha nikamshikanguo yake shingoni na kumvuta mpaka kwa Mtume�펨⚀� ��펨⺁ � ��) B) nikasema: “Nimesikia huyu mtu akisoma (Suwratul-Furqaan) kinyume na ulivyonifundisha”. Mtume ( �펨⚀� ��펨⺁ � �� B)akasema: ((MwachieF)) Akamwambia (Hishaam): ((Soma)). Akasoma.Akasema ((Hivi ndivyo ilivyoteremshwa)). Kisha akaniambia mimi:((Soma)). Nikasoma. Akasema: ((Hivi ndivyo ilivyoteremshwa. HakikaQur-aan imeteremshwa kwa herufi saba, hivyo someni iliyokuwa sahalikwenu)

Page 15: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

Uislamu ulipoenea zaidi ikawepo haja ya kuiandika qurani katika lahajamoja ambayo itasomwa. Na hii ni kutokana na kuwepo makosa katikausomaji wa qurani. Hivyo katika utawala Kikundi cha Maswahaba,kilichoongozwa na Hudhayfah bin al-Yamaaniy ambaye alikuwa Iraq,kilikuja kwa ‘Uthmaan ( ��⺁ � ��Η ) na wakamsihi �auokoe ummah waKiislamu kabla haujatofautiana juu ya Quraan.� ‘Uthmaan ( ��⺁ � ��Η )akaamrisha chini ya uongozi wa Zayd bin Thaabit��⺁ � ��Η) ) nakala za Qur-aan ziandikwe na nakala zote zisizo rasmizichomwe moto.

Lahaja iliyotumika kuandika Qur-aan ni ile ya ki-Quraysh na Msahafuukajulikana kuwa ni ‘Msahafu wa ‘Uthmaan’. Nakala hizo zilisambazwamiji mikuu ya Waislamu zikiwa kama nuskhah (kopi) rasmi. Na nuskhahya asili ikabakishwa kwa Mama wa Waumini Hafswah ( �펨�⺁ � ��Η ).Alimwacha Zayd bin Thaabit Madiynah, ‘Abdullaah bin Swaa’ibalitumwa Makkah,Mughiyrah bin Shu’bah alitumwa Syria, Abu‘Abdir-Rahmaan As-Sulamy alitumwa Kuwfah, ‘Aamir bin ‘Abdil-Qaysalitumwa Baswrah. (www.al-hidaayah.com)

Baada ya msahafu huu kusambazwa katika dola ya kiislamu lahaja zoteambazo siorasmi zilipotea. Msahafu huu ndio chimbuko la misahafutulionayo leo. Ijapokuwa kuna tofauti kubwa za kiuandishi kati yamisahafu ya leo na msahafu huu. Kwa m fano msahafu huu haukuwa nadot kwenye herufi za dot au irabu pia hazikuwepo. Hayo yato yalifanyikabaadaye kadiri uislamu ulipoenea maeneo mbalimbali ya dunia naikaonekana ugumu wa kutumia msahafu ule kwa watu wasiokuwawaarabu.

Viraa saba.Viraa hivi saba ndivyo ambavyo vimetokana na lahaja ya kikurayshiambayo ndio msahafu wa ‘Uthmani umeandikiwa. Viraa hivi wataalamuwa elimu ya tajwid wamevizungumzia katika vitabu vya elimu hii.

Fadhila na umuhimu wa tajwid.Kwa hakika tunatambuwa sasa kuwa elimu ya tajwid ina umuhimumkubwa kwenye umma wetu wa kiislamu. Kwani msomaji kamahatachunga kisomo anaweza kubadilisha maana ya qurani kabisa. Hivyoelimu ya tajwid inaweza kuwa ni msingi wa kuchunga maana yamatamshi ya qurani katika usomaji.

Tunahitajia imamu mwenye kiraa kizuri kwa sauti pia awe anajuwatajwid na anaitumia ipasavyo. Amesema Mtume (s.a.w): Kutoka kwa AbuMas’uud Al-Answaariyy ( ��⺁ � ��Η ) amesema: Mtume ( �펨⚀

Page 16: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

�펨⚀� ��펨⺁ � ) amesema: ((Awaswalishe watu yule mwenye kujua kusomazaidi Kitabu cha Allaah na wakiwa katika kusoma wako sawa, basimwenye ujuzi zaidi wa Sunnah, na wakiwa kwenye Sunnah wako sawa,basi aliyetangulia Hijrah, na wakiwa katika hijrah wako sawa, basimkubwa wao kwa umri, wala asiswalishe mtu (mwengine) katika nyumbayake wala katika mamlaka yake wala asikae mahali pake pa heshimaisipokuwa kwa idhini yake))

Halikadhalika watu hupenda kusikiliza kiraa cha mtu anayesoma vizurikwa sauti na kuchunga hukumu za tajwid. Na hivi pia ndivyo Mtume(s.a.w0 anvyotuambia:Kutoka kwa Abu Muwsaa Al-’Ash’arriy ( � ��Η��⺁ ) kwamba Mtume kamwambia: ((Ungeliniona jana nilivyokuwanakusikiliza kisomo chako. Hakika umepewea mizumari miongoni mwamizumari ya aila ya (Daawuwd)

Msomaji wa qurani atakukuwa pamoja na malika wema wenye kuandika.Imetoka kwa ‘Aaishah ( �펨�⺁ � ��Η ) kwamba Mtume ( �펨⚀� ��펨⺁ � �펨⚀ )amesema: ((Yule aliyekuwa hodari wa kusoma Qur-aan atakuwa pamojana Malaika Waandishi [wa Allaah] watukufu wema, na yule ambayeanaisoma Qur-aan kwa mashaka na huku anajitahidi kwa kudodosaatapata ujira mara mbili)).

QURAN NA SAYANSI.QURANI IN THE LIGHT OF SCIENCE AND TECHNOL

Asalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh. Katika makalaa hiitutakwenda kuonajinsi ambavyo qurani imekuwa compatible with modern science.

1; UUMBWAJI WA MWANADAMU

Katika sehemu hii tutaangalia jinsi maumbile ya binadamuyalivyofanyika kwa mnamnaambayo allah ameitaja katika quran. Hapoa tutaangalia aya mbalimbalizinazozungumziamaumbile ya mwanadamu. Pia tutaona jinsi ganai sayansi inalingana namaelezo ya aya hizo.

Kwa ufupi namna ambavyo allah amemuumba mwanadamu sio rahisikuweza kuelezea ilatutaangalia hatua tuu ambazo mzimejaribu kuelezea namna ya uumbajiwa mwanadamuulivyokuwa unashangaza.

Page 17: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

Kwa ufupi uumbwaji wa mwanadamu tunaweza kuuangalia katika namnazifuatazo;-

1; AMEMUUMBA KWA UDONGO

Zipo aya nyingi zinazoelezea kuwa chimbuko la mwanadamu wa kwanzani udongo yaaniameumbwa mojakwamoja kwa kutumia udongo. Baada ya hapo namnaya uumbaji wawanadamu waliofuata ilibadilika na kuwa kwa kutumia mbegu ya uzazi.Baadhi ya ayazinazoelezea tukio hili la uumbwaji kwa udongo ni kama ifuatavyo;-

‘’na kwayakini tulimuumba mwanadamu kwa udongo uliosafi ’ ’ [quran23:12]

‘ ’ambaye ametengenezumbo la kila kitu, na akaanzisha umbo lamwanadamu kwa udongo.Nakisha akakifanya kizazi chake kwa mchujo wa majiyaliyo madhaifu.[quran 32:7-8]

Kwa ufupi aya hizi zimetuwezesha kujuwa hatua za uumbwaji wamwanadamu zilivyo pitiaambazo ni;-

1; Binadamu wa [adam] aliumbwa kwaudongo nmoja kwa moja.

2; kisha binadamu waliofuata wakaumbwa kwa mchujo wa maji [manii].

Zipo aya nyingi tuu zinazoelezea khabari hii ya uumbaji kama;-22:5,

38:71, 40:67, 37:11.

UTHIBITISHO WA SAYANSINukta ya msingi tunatakiwa tuitazame hapa ni ile iliyosematumemuumba mwanadamu kwaudongo ulio safineno la kiarabu SULALA linatupa picha kuwa katikauumbwaji wamwanadamu sio udongo wote umetumika isipokuwa baadhi tu ya udongouliochujwa. Yaaniudongo ulichujwa na kusafishwa vizuri na kuchukuliwa ule uliosafikitaalamu tunaitaSAMPLE.

Udongo umeudwa kwa element zinazopataikana ardhini. Sayansiimegunduwa element zaidiya 100 ambazo zipo ardhini nazo ndo zilizotengeneza udongo. Kwakuwamwili wa binadamu

Page 18: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

umeumbwa na udongo ni lazima element hizo pia zipatikane katiKamwili wa binadamu.Upatikanaji wa element zilizomo kwenye udongo ndani ya mwili wabinadamuunatuthibitishia kuwa mwanadamu ameumbwa kwa udongo.Uchunguzi wa kina wa mwili wa binadamu unaonesha kuwa elementzote zilizounda mwiliwa binadamu zinapatikana kwenye udongo. Uchunguzi huu unatuoneshakuwa jumla yaelement zilizounda mwili wa binadamu ni 26 ila zipo 6 ambazo zipo kwakiwangokikubwa[95%] ambazo ni;-

1; oxigen

2; nitrogen

3; salfa

4; kabon

5; fosforas

6; hydrojenPamoja na element nyinginezo mwili wa binadamu umeundwa kwaelement 26 ambazo piahupatikana kwenye udongo.

Nukta ya msingi hapa ni ile kauli ya kusema kuwa ‘’tumemuumbamwanadamu kwaudongo uliosafi’’ [23:12]. Neno la kiarabu SULALA linatuonesha kuwaudongo alioumbiwamwanadamu ulichujwa na kuwa safi yaani ulichunjwa na kuondolewaelement zingine nakubakiziwa na element kadhaa.

Katika udongo kuna zaidi ya element 100 ila katika mwili wa binadamukuna element 26. Hiiinamaana kuwa kila element zilizomo katika mwili wa binadamu zipokatika udongo lakini sikila element iliyopo katikaka udongo ipo mwilini mwa binadamu. Kaulihii inatupa picha

Page 19: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

kamili ya mchujo huu wa udongo kutoka element zaidi ya 100 na kupataelement 26 ambazondo zinajenga mwili wa binadamu nazo ni;- oxigen, kabon, hydrojen,kalsiam, fosforas,potasiam, salfa, klorine, sodiam, magnesiam, silikon, chuma, zink, kopa,boron, kobalt,vanadiam, iodine, seleniam, manganese, molybdeniam, na kroniam.Mmoja katika waandishi wa kiislamu dr. Harun yahya amezungunzamanenoyafuatayo‘’....when the human body is examined today, it may bediscovered that manyelements present on the earth are also to be found in the body livingtissue contain 95%carbon, hydrogen, oxygen, nitrogen, phosphorus, and sulfur, with a totalof 26 differentselements. ’ ’[ kelvin griffin, ‘ ’the elemental composition of life ’ ’. www.Ideo. columbia. edu/dees/lect21. html].

2:UUMBWAJI KWA MAJI YA UZAZIUumbwaji wa mwanadamu umepitia hatua mbalimbali na haya yoteyamefanywa kwa sababumaalumu ili tipate mazingatio. Kwani kila kitu ALLAH amejaaliakukiwekea sababu nandivyo atuambiavyo katika quran;- ‘’.. .na tukampatia njia ya kupatiakila kitu’’ [18:84].

Baada ya binadamu wa kwanzqa kuumbwa kwa ugongo allah akajaaliabinadamu waliofuatakuwaumba kwa mchanganyiko wa maji ya uzazi. Katika sehemu hiitutaona jinsi maji hayayalivyoelezewa katika kupatikaniwa umbo la binadamu. Maji hayayanapatikana kwa baba nakwa mama pia kama tutakavyoona katika kurasa za mbele.

Maji haya yapatikanayo kwa baba ndio yatachukuwa nafasi kubwakatika maelezo yauumbwaji wa mwanadamu. Kwa ufupi manii ambayo kitaalamu huitwasemen ambapo ndaniyake ndo kuna mbegu za uzazi ambazo kitaalamu huitwaspermyamezungumziwa katikaquran kwa namna mbalimbali ambazo zitatupatia mazingatio. Kwa

Page 20: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

mfano ALLAH ametajakuwa;-

1; maji yatokayo kwa kuchumpa

Miongoni mwa sifa za maji haya ya uzazi ALLAH ameyataja moja kwamoja katika quranpale aliposema;-

‘ ameumbwa mwanadamu kwa maji yatokayo kwa kuchumpa. Yatokayokatikati ya na mifupaya mgongo mbavu ’ ’ [86:6-7].

hivyo maji haya yametajwa kuwa

1; yanatoka kwa kuchumpa

2; yanatoka katikati ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu.Kwa ufupi maji yaliyotajwa hapo ni manii yaani semen ambayo ndaniyake ndo kuna mbeguza uzazi ambazo ni sperm. Pia itambulike kuwa maji yalayotajwa hapoyanatoka kwamwanaume na si kwa mwanamke

Uthibitisho wa kisayansi

Uchunguzi unaonesha kuwa 95% ya manii[semen] ni majimaji yatokayokwenye tezi zilizopokaribu na kibofu cha mkojo ambazo ni kama seminal vesicles, prostatena tezi zilizopokwenye mrija wa mkojo [urethra]. Tezi hizi ambazo hutoa manii ni sawakabisa kusema zipokatikati ya uti wa mgongo na mbavu.

Siotatizo kusema tezi hizo zipo katikati ya uti wa mgongo na mbavu kisambavu zipo juukwani hata kichwa kipo katik\ati ya mabega ijapokuwa kichwa kipo juu.

Pia uchunguzi wa kisayansi unathibitisha kuwa 2% ya manii ni mbegu zauzazi yaani spermambazo hupatikana kwnye korodani[testes] na wakati wa kufikia‘'ejaculation'' spermhusafiri kutoka kwenye korodani na kuelekea kwenye hizo tezi nakuchasngsnyika pamoja nakupatikana manii kisha manii husafiri kuelekea nje.

Page 21: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

Manii kutoka kwa kuchumpa wakati wa ‘ejaculation na hukadiriwayakiwa na mwendokasi[speed] wa maili 28 kwa saa wakati sperm zenyewe husafiri kwamwendokasi wa nchi 8 kwasaa au 4 mphr.

2; mbegu ya uhai uliyo changanyika

Umbile la mwanadamu limepitia hatua nyingi sana kamatutakavyoendelea mbele kuonalakini ukiachilia mbali na hatua zote alizopitia mwanadamu wakati wakuumbwa lakiniumbile la mwanadamu bado limebakia kuwa dhalili kama ALLAHanavyotueleza;-

‘‘ kwa yakaini umbo la mbingu na ardhi ni kubwa kuliko umbo lamwanadamu’’[40:57]

Allah anatueleza kuwa amemuumba mwanadamu kwa mbegu ya uhaiiliyochanganyika yaan‘’nutfatin amshaaj ’ ’kama alivyosema

‘kwa hakika tumemuumba mtu kwa mbeguya uhai iliyo changanyika ’ ’[76:2]

Kwa ufupi katika aya hii tunaelezwa kuwa mwanadamu ameumbwa kwamaji ya uzazi yaliyochanganyika. Wafasiri wa quran wamejaribu kuichambuwa vizuri aya hiikwa namnaambavyo Allah aliwajaalia. Tutaona pia jinsi gani aya hii invyolinganana uchunguzi wakisayansi.

Uthibitisho wa kisayansi

Sayansi inakubaliana juu ya machanganyiko huu katika namna

zifuatazo;-

1; uchunguzi wa kisayansi unaonesha kuwa ;-Manii ni mchanganyiko wa mbegu za kiume yaani sperm na majimajiyatokayo katika tezikama tulivyotaja hapo nyuma.

Mbegu sperm huchanganyika na majimaji hayo yenye mchanganyiko wacitric acid,prostaglandin, flavin, ascobic acid, ergothioneine, cholesterol,

Page 22: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

phosphase, hyaluronidase nasperm.

Kwa ufupi manii ni mchanganyiko wa mbegu za kiume yaani spermambazo hutengenezwakwenye korodani na kisha husafiri wa kati wa ‘’ejaculation”kuelekeakwenye zile teziambazo zinazalizha yale majimaji mengine na kupatikana manii yaanisemen. Kisha maniihaya hutoka nje kupitia urethra wakati wa ‘’ejaculation’’na kamayataingia katika mji wamimba yaani uterus na kufika katika mirija ya falopia hukomchanganyiko wa piliunatarajiwa kutokea kama tutakavyoona.

2; uchunguzi wa kisayansi pia unaonesha kuwa;-

Yai la mwanamke yaani ovumhutengenezwa kwenye ovary kisha baadaya kukomaa huingiakatika mirija ya falopia kitendo hiki kinaitwa kitaalamu ovulation. Hukokatika mirija yafalopia yai hili hukutana na sperm amazo ni mbegu za kiume na hapando tunapatamchanganyiko wa pili.

Pia yai hili la mwanamke huwa linapatikana likiwa katika majimajifulani kama zilivyombegu za kiume ambazo nazo hupatikana katika majimaji fulani.

Ili mimba iweze kutungwa ni mpaka pale mbegu ya kiume spermitakapochanganyika na yaila mwanamke yaani ovum tukio hili lote hutokea katika mirija ya falopiana kitaalamu kitendohiki huitw ‘’fertilization’’

Yai la mwanamke huweza kusubiri mbegu ya kiume kwa muda wamasaa 48 tu likingojakukutana na mbegu ya kiume katika mirija ya falopia. Na mbegu zakiume zinaweza kusubirikwa muda wa masaa 78 zikisubiri kukutana na yai la mama katika mirijaya falopia.

Endapo mbegu ya baba yaani sperm haitachanganyika na yai la mamayaani ovum mimbahaiwezi kutokea yaani mtoto hawezi kupatikana lamda kwa njia ya

Page 23: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

miujiza. Kitendo hiki chakukutana hizi mbegu mbili ndo fertilization au fusion. Kwa hali kama hiimchanganyikousipopatikana tukio muhimu la menstrationlinatarajiwa kutokea kwawanawake walio katikaumri wa kupata mimba.

Kwa ufupi maelezo haya yanatupa ufahamu juu ya pale alipotuamb iaAllah kuwa ametuumbakwa maji yaliyochanganyika ili atujaribu. Bila shaka quran imeendanasahihi na uchunguziwa kisayansi juu ya maelezo ya aya hii.

3;Mchujo wa maji dhalili

Katika aya nyingine tunakuja kupata funzo kuwa maji aliyoumbiwamwanadamu licha yakuwa na sifa zilizotajwa katika kurasa zilizopita ila pia maji hayayanasifa kuwa ni madhalilina pia na yamechujwa kama tunavyoelezwa katika quran;-

‘ ’Ambaye ametengeneza umbo la kila kitu, na akaanzisha umbo lamwanadamukwa udongo.Na kisha akakifanya kizazi chake kwa mchujo wa maji yaliyomadhalili ’ ’[32:7-8]

‘je ! hatukukuumbeni kwa maji yaliyo madhalili? ’ ’ [77:20]

kwa ufupi matumizi ya neno sulala kwenye aya hii yanatupa picha hilisikuwa sio maji yoteyalitumika katika utungaji wa mimba bali kulifanyika mchujo wamajimaji hayo. Yaani nisawa na kusema kuwa sio mbegu zote zilizomo kwenye majimaji yamanii zilitumika katikautungaji wa mimba bali mmajimaji haya ya manii yalichujwa namengine kutumika namengine kuachwa.

Mchujo huu tukakuja uona vizuri hapo chini.

Uthibitisho wa sayansi

Sayansi inathibitisha kuwa sio kiasi chote cha mbegu za kiume yaansperm hutumika katikautungaji wa mimba bali kiwango kidogo sana ndo hutumika kamatutakavyoona;-

Page 24: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

1; sayansi inathibitisha kuwa manii ni mchanganyiko wa majimajiyapatikanayo katika tezi nambegu za kiume zinazopatikana kwenye korodani. 95% ya manii nimajimaji hayo na 2%ni mbegu yaani sperm. Lakini katika utungaji wa mimba mbegupekeyake ndo hutumikayaani katika kukutana kwa mbegu na yai majimaji mengine yanabakiapembeni na mbegupekee ndo huhitajika katika utungaji wa mimba. Hivyo huu ni mchujowa majimaji hayo2; sayansi imegunduwa pia katika ejaculationmoja mwanaume hutoambegu zifikazo milioni250- 300 lakini katika utungaji wa mimba mbegu moja tuu ndo hutumikavinginevyo chanceya kutumika mbili ipo lakini ni ndogo sana kwa baadhi ya mimba zamapacha. Huu bila shakanao ni mchujo wa majimaji hayo.3; katika tumbo la mama sehemu inayohusika katika utungaji wa mimbahuwa na hali ya asidihivyo hali hii huzifanya zile mbegu zilizo dhoofika kufa na kubakia zilezenye nguvu ambazondo zitakwenda kuminyana katika utungaji wa mimba. Hivyo hali hii piainatupa picha jinsimchujo huu unavyozidi kufanyika.4; wakati mamilioni ya mbegu za kiume spermatozoansyanapokutana nayaihuminyanakulilainisha na kupata nafasi ya kuingia ndani ili nuclear yambegu ikakutane na ileya yai yaan ovum. Katika kiminyano hiki mbegu ya kwanza ikibahatikakuingia yailinatengeneza utando mgumu ambao utazuia mbegu nyingine kuingia.Hivyo hapa tunazidikupatapicha zaidi jinsi mchujo huu unavyoendelea kufanyika.Kwa kumalizia matumizi ya neno la kiarabu sulala limesaidia kutupapicha halisi ya kuwamajimaji haya yalichujwa kwa namna mbalimbali na kupata samplemoja.

4; ameumbwa kutokana na NUTFAH

Page 25: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

ASBAB NUZULKatika darsa hii tutaangalia sababu za kushuka kwa aya na

sura ndani ya quran. Basi ijulikane kuwa Quran imeshuka kwa muda wamiaka 23 kidogo kidogo. Na ilikuwa mara nyingi ikishuka linapotokeatukio. Hivyo Allah alikuwa akiishusha qurani kuwa kama muongozo kwalililotokea.

1.SURAT AL-FATIHA.Muhadithina wengi wanaeleza ya kuwa sura hii nzima

ilishuka Makka, na toka mwanzo ilikuwa ni sehemu ya maombi yaWaislamu. Hii ndiyo sura iliyotajwa katika aya ya Qur'an, Na kwa yakiniTumekwisha kupa (Aya) saba zisomwazo mara kwa mara na Qur'ankubwa (sura 15:88), ambayo ilishuka Makka. Habari zingine zinaeleza yakuwa sura hii iliteremshwa tena mara ya pili, Madina. Sura hii ilishukamapema tu Mtume s.a.w. alipoanza kazi.

MAJINA YA SURA HII NA MAANA YAO.Jina maarufu la sura hii ni Faatihat-ul-Kitaab (Inayofungua

Kitabu) (Tirmidhi na Muslim). Baadaye jina hilo lilifupishwa kuwaSurat-ul-Faatihah, au Al-Faatiha. Sura hii imepewa majina mengi, nahaya kumi ndiyo yaliyo sahihi zaidi: Al-Faatiha, As-Salaat (Sala),Al-Hamdu (Sifa njema), Ummul-Qur'aan (Mama ya Qur'an),Al-Qur'aan-ul-Adhiim (Qur'an Kubwa) As-Sab'ul-Mathaani (Aya sabazinazosomwa mara kwa mara), Ummul-Kitaab (Mama ya Kitabu),Ash-Shifaa (Ponyo), Ar-Ruqya (Kago), Al-Kanz (Hazina).

Maulamaa wa elimu za Qurani hawakutoa zaidi ufafanuziwa sababu ya kushuka kwa sura hii. Au jambo hili halikuwashughulishakabisa.

2.SURAT AL-MUAWIDHATAYN (SURAT AL-FALAQ NASURATUN-NAS)Inaelezwa kuwa sura mbili hizi zilishuka pamoja, na

maulamaa wanaelezea kuwa Mtume (s.a.w) alirogwa na wachawi wakiyahudi kwa kutumia nywele zake kisha uchawi ule wakautumbukizakwenye kisima cah Banu quraidha, na aliyewapa nywele wachawi hao nilabid ibn Aā€™swam. Mtume aliumwa kwa muda wa miezi sita ialauchawi huu haukuathiri akili yake. Hata sikumoja alipolala wakajamalaika wawili na mmoja wao akaulia kumuuliza mwenziwe ā€�ana ninihuyu (Mtume)ā€¯ yule wa pili akajibu ā€�amerogwaā€¯ kisha akaelezanamna alivyorogwa na mwisho akkaeleza tiba ya uchawi ule ndipoakasoma sura mbili hizi. Na hii ndiyo husemwa sababu ya kushuka kwasura hizi. Sura hizi zimeteremka madina.

Page 26: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

3.SURATUL-IKHLAS.Inaelezwa kuwa walimfuata Mayahudu kumfata mtume

(s.a.w) na kumwambia awasifie namna ambavyo Mola wake alivyo ndipoAllah akaishusha sura hii. Pia katika kauli nyingine ni kuwa Makafiriwaliokuwa wakiabudia masanamu walimwendea Mtume (s.a.w) nakumwambia awaeleze sifa na namana Mola wake alivyo ndipo Allahakateremsha sura hii. Sura hii ni katika sura za mwanzo kabisa kushukaMakka na mafundisho yake yanavunja kabisa ibada ya masanamu naUkristo na kila mafundisho ya miungu wengi.

Mama Aisha anasimulia ya kwamba Mtume s.a.w.alipokuwa akienda kitandani kwake kila usiku, aliunganisha vitanga vyamikono yake, kisha anavisomea Qul huwallaahu na Qul a'uudhu birabbilfalaq na Qul a'uudhu birabbinnaas, na anavipulizia, kisha anavipakamwili wake wote kila anapoweza kupagusa toka kichwani; na akifanyahivyo mara tatu (Bukhari jalada la 3).

4.SURATUL-MASADSura hii pia ni katika sura za kushuka Maka. Wanaeleza

Maulamaa kuwa sababu ya kushuka sura hii ni kuwa mtume (s.a.w)alipopewa amri ya kulingania bila ya siri aliwaita watu wa Maka iliawalinganie na hapo baba yake mdogo Mtume (s.a.w) aitwaye Abdulā€�Uzza ambaye Qurani imemuita Abuu Lahabi yaani baba wa motoalitowa maneno ya upumbavyu na upuuzi juu ya ujumbe wa Allah nahapo Allah akateremksha sura hii.

Huyu Abu Lahab jina lake hasa ni Abdul Uzza, nayealikuwa baba mdogo wa Mtume s.a.w. Neno Abuu Lahab - baba wa mialiya moto - ni jina ambalo hutumika kwa ajili ya mtu ambaye hali yake nnya asili ni ya moto na ya uasi, na pia hutumika kwa ajili ya mtu ambayeanawachochea wengine. Hivyo bwana huyu amepangwa jina hili naQur'an kwa sababu ya uadui wake kwa Mtume s.a.w. Siku ya kwanzaMtume alipowaita Wakureishi ili kuwaeleza habari za ujumbe wake,huyu Abu Lahab, alimkaripia akasema, �Uangamizwe, je umetuitiamaneno hayaF� (Bukhari). Na ilikuwa desturi yake kila mara kumfuataMtume aendako na kuwaambia watu wasimsikilize, akisema, Mtume nijamaa yake na ni mwehu. Kadhalika mkewe Abu Lahab aliyeitwa UmmiJamil bint Harb, dada wa Abu Sufiyan, alikuwa mwanamke mbaya sanaaliyekuwa anamwudhi sana Mtume na kumsumbua na hatakumsingizia-singizia mambo ya upuuzi. Na kwa sababu ya masingizioyake ameitwa mchukuzi wa kuni (Bukhari), ambazo kwazo amejikokeamoto wa Jahanamu, (Razi).

Page 27: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

SURATUN-NASRSura hii inaitwa ya Madina kwa kuwa ilishuka baada ya

Mtume kuhama ingawa iliposhuka ilikuwa ni katika Makka wakatiMtume alipokwenda kufanya Haji ya mwisho. Na Ushindi mkubwauliotajwa hapa ni ushindi wa Makka ilipoingia katika mamlaka yaWaislamu, mwaka wa 8 wa Hijra, na mwaka uliofuata ikawamakundi-makundi ya makabila ya Waarabu yanakuja ingia Uislamu. Hivindivyo Mwenyezi Mungu alivyotimiza bishara Zake za ajabu; na Mtumes.a.w. anaambiwa aombe ghofira kwa ajili ya makundi hayoyatakayoingia Uislamu maana kazi ya kusimamisha sheria ilikuwa kubwa.Seyidna Abu Bakar iliposhuka sura hii alilia. Watu wakamwuliza mbonaunalia? Akajibu, Kazi ya Mtume s.a.w. sasa imekwisha na Atatutoka.

SURATUL-KAFIRUNImeteremshwa maka na inaelezwa katika sababu za

kushuka kwake ni kuwa Kundi la makafiri lilimfuata mtume (s.a.w) nakutoa rai ya kuwa Mtume (s.a.w) ajiunge nao na aabudu miungu yao kwamuda wa mwaka mmoja na wao wataabudu Mola wake kwa muda wamwaka mmoja. Na kisha ikionekana dini ya mtume (s.a.w) ni bora zaidiwataifuata na kama yao itakuwa ni bora zaidi ataifuata. Allah akalipingajambo hili na akateremsha sura hii.

SURATUL-KAUTHARImeteremshwa maka, na sura hii imeshuka kwa sababu

al-āAs ibn Waāil. Siku mija Mtume (s.a.w) alikuwa anatoka msikitini naakakutana na al-āAs ibn Waāil na wakawa wanazungumzwa. Basiwalipoachana Al-āAs alipokuwa anaingia msikitini wakamuulizaMaquraish ulikuwa unazungumza na nani, akajibu nilikuwa nazungumzana mtu aliyekatikiwa na kizazi. Yaani Mtume alifiwa na mtoto wakeAbdullah ambaye ndiye mtoto wake wa kiume hivyo hakuna tena wakumrithi na kuendeleza kizazi chake kwa imani kuwa kizazi kinaendeleakwa watoto wa kiume. na katika mapokezi mengine al-āAs alisema kuwaatakapokufa mtume hakuna mtu atakayemkumbuka maana hatakuwa nakizazi tena. Hivyo Allah ndipo akashusha sura hii.

SURATUL-MAM’UUNImeteremshwa Maka, anasimulia Ibn Jurayj kuwa Abuu

Sufyan ibn Harb alikuwa na kawaida ya kuchinja ngamia wawili kila wiki,hivyo siku moja yatima mmoja alikuja kwake na kumlilia shida, nahakumsaidia kwa chochote na hatimaye akampiga yatima yule. HhpaAllah akateremsha surahii.

Page 28: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

SURAT AL-QURAYSHSura hii ina majina mawili. Inaitwa Qureish na pia inaitwa

Li ii laafi. Ibni Abbas anasimulia ya kuwa ilishuka Makka. Qureish nijina la kabila lililotoka kwa Nadhir bin Kinana (Razi). Wenginewanasema neno Qureish limetoka katika neno Qarsh ambalo ni jina lasamaki mkubwa wa bahari anayekula samaki lakini yeye haliwi. Hivyokwa ukubwa wa kabila lao na kwa kuheshimiwa na watu wote naowakaitwa Kureish. Makureish walikuwa watu wa Makka na walinzi waKaaba, na kwa sababu ya kuilinda Kaaba waliheshimiwa sana.

Sura hii imeshuka kwa maqurayshi kama alivyosemaMtume (s.a.w) “Allah amewapa neema Maquraysh ambayo hajampayeyote kabla yao na hatampa yeyote baada yao: Ukhalifa umepewa mtukatika wao, uangalizi wa nyumba tukufu ya Allah umepewa mtumiongoni mwao, kazi ya kuwapa maji mahujaji imepewa mtu katika wao,utume umepewa mtu katika wao, wamepewa ushindi dhidi ya jeshi latembo, walimuabudu Allah kwa miaka saba ambapo hakuna yeyotealiyekuwa akimuabudu Allah, na sura kwenye quran imeshushwa kwaajili yao na hakuna yeyote aliyetajwa kwenye surahiyo ila wao (kwakupewa jina la al-quraysh)

SURAT AL-FIILSura hii imeteremshwa Makkah na ina Aya Sita pamoja na Basmallah.Sura hii imeshuka ili kueleza kuhusu tukio la kuangamizwa kwa jeshi latembo. Na hii ni katika sura ambazo zinataja neema ambazo wamepewaMaquraysh, nao ni ule ushindi dhidi ya Makafiri walotaka kuvunjaAl-Ka’abah. Tukio hili limeelezwa kwa kirefu kwenye vitabu vya Sirahna hapa nitaleta kwa ufupi zaidi

Kiongozi mmoja wa kiyemeni aliyetambulika kwa jina la Abrah alionawaarabu kutoka maeneo mbalimbali wanafunga misafara kuelekeaMakkah kwa lengo la kwenda kuhiji. Hivyo akaamuwa kujenga kanisakubwa sana ambalo alifikiri kuwafanya waarabu wasiende Makkah ilawaende kuhiji kwenye kanisa lake. Kulikuwa na kijana mmoja kutokakatika kabila la Kinana alifahamu jambo hili la Abraha. Hivyo akaingiakwenye kanisa wakati wa usiku kisha akachafua ukuta wa kanisa kwakuupaka vinyesi. Abraha alipolijuwa jambo hili akaandaa jeshi kubwasana ili akaivunje Al-ka’aba. Jeshi la Abraha lilikuwa na washujaa elfusitini (60,000). kisha akachaguwa tembo aliye mkubwa ndio akampandayeye. Katika jeshi hili kulikuwa na tembo kati ya tisa mpaka kumi na tatu.(9-13)

Page 29: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina

Safari ya Abraha iliendelea mpaka akafika sehemu inayoitwa Magmas.Na hapo ndipo akaliweka sawa jeshi lake na akaliweka tayari kwakuingia Makkah. Akaendelea mpaka akafika sehemu iitwayo Bonde laMuhassar bonde hili lipo kati ya Muzdalifah na Mina. Na hapo ndipotembo wa abraha akakataa kuendelea na safari. Tembo alipiga magoti nakukaa chini, na kugoma kabisa kuelekea upande wa Makkah. Basiakimuelekeza upande mwingine anakubali lakini pindi akimuelekezaupande wa Makkah anagoma kabisa.

Na hapo ndipo Allah alipoleta jeshi la ndege waliobeba vijiwe vya motona kuwapiga nvyo jeshi la Abraha. Ndege hawa kila mmoja alibebavijiwe vitatu, kijiwe kimoja kwenye mdomo na viwili kwenye miguu yao.Kila kijiwe kiliuwa mtu katika jeshi la Abraha. Kuna wengine walikufapalepale na wengine walikimbia na kufia mbele ya safari. Abrahaalibahatika kukimbia kwani alijeruhiwa vibaya, alipofika sehemu iitwayoSan’a hali yake ikawa mbaya zaidi na akafariki.

Kwa upande mwingine wakazi wa Makkah walikimbia mji na kujifichakwenye majabali. Na huu ni ushauri walopewa na kiongozo wao AbdulAl-Muttalib. Baada ya maombi waloyaomba kwa Allaha na hatimayewakamuachia Allah ailinde Nymba yake na wao wanusuru maisha yao.Basi jeshi la Abraha baada ya kuangamizwa wakazi wa Makkah wakarudimajumbani kwao wakiwa salama.

Tukio hili lilitokea mwezi wa Muharram siku hamsini aua hamsini natano kabla ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w) ambapo ni sawanan Mwezi wa Pili au mwanzoni mwa Mwezi wa Tatu mwaka 571 B.K.na hii ilikuwa ni zawadi kutoka kwa Allah kwenda kwa mtume wake nawatu wa familia yake. Na hapo ndipo Nyumba ya Allah yaani Al-ka’abailipata maarufu kwa utukufu wake. Na mwaka huu waarabu wakauitamwaka wa Tembo

SURAT AT-TAKAATHURSura hii imeteremka Makkah na ina aya

Kupata muendelezo wa kitabu hiki haraka sana wasiliana nasi kupitiamawasiliano yetu yaliyopo kwenye tovuti yetu.www.bongoclass.com/contact.html

WASILIANA NASI KWATOVUTI: www.bongoclass.comEmail: [email protected]: :+255675255927

Page 30: DARSA ZA QURAN ZA QURAN.pdfza makka ni zile ambazo zimeteremshwa kabla ya mtume (s.a.w) hajamaliza hijra kufika madina na zile za madina ni zile ambazo zimeshushwawakatimtume(s.a.w)ameshahamakwendamadina