desemba, 2016mtwaradc.go.tz/storage/app/media/uploaded-files/mpango wa ulinzi wa mtoto.pdfmalengo ya...
TRANSCRIPT
MPANGO KAZI WA TAIFA WA KUTOKOMEZA
UKATILI DHIDI YA WANAWAKE
NA WATOTO TANZANIA
2017/18 – 2021/22
Desemba, 2016
ii
YALIYOMO
Vifupisho………………………………………………………………………………………………....iii
Fasili ya Dhana za Msingi ............................................................................................................ iv
Dibaji ............................................................................................................................................. vi
Usuli ............................................................................................................................................. vii
Muhtasari ..................................................................................................................................... viii
SEHEMU YA I: UTANGULIZI ............................................................................................ 1
1.1 Hali ya Idadi ya Watu .............................................................................................................. 2
1.2 Hali ya Kijamii na Kiuchumi ................................................................................................... 2
1.3 Hali Halisi kuhusu Ukatili ....................................................................................................... 2
1.4 Juhudi za Kitaifa katika kushughulikia Ukatili dhidi Wanawake na Watoto......................... 4
1.5 Mapungufu /changamoto katika kushughulikia ukatili unaofanana dhidi ya wanawake na
watoto ............................................................................................................................................. 7
1.6 Uhalali wa Kuandaa MTAKUWWA ................................................................................ 8
SEHEMU YA II: DIRA, DHIMA, LENGO NA SHABAHA YA MPANGO KAZI ........ 11
2.1 Dira ......................................................................................................................................... 12
2.2 Dhima ..................................................................................................................................... 12
2.3 Lengo ...................................................................................................................................... 12
2.4 Mikakati ya msingi ya Mpango Kazi .................................................................................... 12
2.5 Viashiria vya Matokeo ya Mpango kazi................................................................................ 12
2.6 Shabaha za kiutendaji za Mpango kazi ifikapo 2021/22 ...................................................... 12
2.7 Mbinu/njia za utekelezaji wa Mpango kazi........................................................................... 15
2.8 Maeneo ya Mpango kazi – Mchanganuo na Mahali pa kuweka mkazo ............................... 16
SEHEMU YA III: Utekelezaji wa MTAKUWWA .............................................................. 21
3.1 Matokeo ya MTAKUWWA .................................................................................................. 25
SEHEMU YA IV: Gharama za MTAKUWWA .................................................................. 27
SEHEMU YA V : Muundo wa Kitaasisi na Uratibu wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya
Wanawake na Watoto ........................................................................................................... 31
SEHEMU YA VI: Ufuatiliaji na Tathmini ya MTAKUWWA ........................................... 43
6.1 Malengo ya Ufuatiliaji wa MTAKUWWA. .......................................................................... 44
6.2 Jedwali la Mfumo wa Matokeo ............................................................................................. 45
6.3 Viashiria na Shabaha ............................................................................................................. 45
6.4 Ufuatiliaji &Tathmnini ya Mtiririko wa taarifa .................................................................... 45
SEHEMU YA VII: Dhana Kuu, Hatari na Namna ya Kuziepuka ..................................... 47
KIAMBATANISHO CHA I: MPANGO WENYE MAELEZO MENGI WA
UTEKELEZAJI WA NPA-VAWC ...................................................................................... 49
KIAMBATANISHO CHA II: GHARAMA KUTEKELEZA MTAKUWWA .................. 61
KIAMBATANISHO CHA III: MFUMO WA MATOKEO WA MTAKUWWA ............. 75
iii
Vifupisho
AE-W Afisa Elimu wa Wilaya
AMK Afisa Mtendaji wa Kata
AMKj/M Afisa Mtendaji wa Kijiji/Mtaa
AZAKI Asasi Za Kiraia
KTM Katibu Tawala Mkoa
MMJ Maafisa Maendeleo ya Jamii
MMJ-M Maafisa Maendeleo ya Jamii - Mkoa
MMJ-W Maafisa Maendeleo ya Jamii - Wilaya
MMW Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri
MPJW Madawati ya Polisi ya Jinsia na Watoto
MSM Mamlaka za Serikali za Mitaa
MTAKUWWA Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto
MUJ Maafisa Ustawi wa Jamii
NBS Ofisi ya Takwimu ya Taifa
OR-TAMISEMI Ofisi ya Rais – Utawala wa Mikoa na Serikali za Mitaa
OWM Ofisi ya Waziri Mkuu
RITA Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini
SM Sekretarieti ya Mkoa
TACAIDS Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI
TASAF Mfuko wa Maendeleo ya Jamii
TFNC Taasisi ya Chakula na Lishe
THBUB Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
UK Ukatili wa Kijinsia
UW Ulinzi wa Watoto
WAMJJW Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
WANMM Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
WEST Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
WFM Wizara ya Fedha na Mipango
WHUSM Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
WIWS Wizara, Idara na Wakala za Serikali
WKMMU Wizara ya Kilimo Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
WKS Wizara ya Katiba na Sheria
WMN Wizara ya Mambo ya Ndani
WNM Wizara ya Nishati na Madini
WVBU Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
iv
Fasili ya Dhana za Msingi
Mtoto: Ni mtu yeyote mwenye umri chini ya miaka kumi na nane.1
Unyanyasaji Dhidi ya Mtoto: Ni ukiukwaji wa haki za mtoto unaosababisha madhara ya kimwili,
kimaadili au kihisia ikiwa ni pamoja na kumpiga, matusi, ubaguzi, utelekezaji, unyanyasaji wa kingono
na unyonywaji 2
Utelekezaji wa Mtoto: Hali ya mzazi au mlezi kushindwa kutoa uangalizi unaohitajika na kumpa
huduma za msingi mtoto mathalani chakula, malazi, mavazi, elimu, uangalizi wa kiafya na kadhalika.
Au kushindwa kumlinda mtoto dhidi ya ukatili unaofanywa na mzazi, mlezi au taasisi ya uangalizi wa
mtoto.3
Unyanyasaji wa kingono kwa mtoto: mgusano au mwingiliano wa kimwili kati ya mtoto na mtoto
aliyemzidi umri au na mtu mzima (mgeni, ndugu au mtu mwenye mamlaka, mzazi au mlezi) ambaye
anamtumia kama chombo cha kumridhisha kimapenzi mtoto aliyemzidi umri au mtu mzima. Mgusano
au mwingiliano huu hufanyika kwa kutumia nguvu, ujanja, rushwa, vitisho na kumlazimisha.4
Ajira Hatarishi: Kazi yoyote ile inaowazuia watoto kufurahia utoto wao, utu wao na hadhi yao, na ina
madhara kwa maendeleo yao kimwili na kiakili. Ni kazi yoyote yenye madhara kwa mtoto kiakili,
kimwili, kijamii au kimaadili.5
Familia: Baba mzazi, mama na watoto, watoto walioasiliwa au ndugu wa damu au wa karibu wakiwemo
babu, bibi, wajomba, mashangazi, binamu, wapwa wanaoishi katika kaya.6
Unyanyasaji wa Kijinsia: Ni ukatili wa kimwili, kisaikolojia, kingono au unyonyaji wa kiuchumi
unaofanywa na mtu mmoja dhidi ya mtu mwingine kwa kigezo cha jinsi yake.7
Ukatili kati ya Wenzi: Tabia katika uhusiano ya mme na mke inayosababisha madhara ya kimwili,
kingono au kisaikolojia ikijumuisha shambulio la kimwili, kumwingilia kimwili kwa nguvu, unyanyasaji
wa kisaikolojia na kumnyima uhuru.8
Ukatili wa Kimwili: N i v i t e n d o v y a k u t u m i a n g u v u a n a v y o f a n y i w a m t u mathalani
kupigwa kofi, kusukumwa, kupigwa ngumi, kupigwa mateke, au kuchapwa au kutishiwa kwa kutumia
silaha kama bunduki na kisu. 9
1 The Law of the Child Act, 2009, Section 4 (1)
2 Sheria ile ile iliyotajwa hapo juu, Section 3
3 Tanzania Multi Sector National Plan of Action to Prevent and Respond to Violence against Children, 2013-2016
4 The State of the World's’ Children, UNICEF, 2003
5 Global Estimate of Forced Labour, ILO Factsheet, 2012
6 The Law of the Child Act, 2009, Section 3
7 Tanzania Multi Sector National Plan of Action to Prevent and Respond to Violence against Children, 2013-2016
8 Global Status Report on Violence Prevention, WHO, 2014
v
Mzazi: Baba au mama mzazi, aliyeasili mtoto na mtu mwingine yeyote mwenye jukumu la kumlea
mtoto.9
Malezi ya Mtoto: Ni mchakato wa kusaidia na kuwezesha maendeleo ya mtoto ya kimwili, kihisia,
kijamii, kielimu, kimaarifa na kumpa mahitaji muhimu, kuanzia utotoni hadi umri wa utu uzima. Ni
malezi yanayotolewa kwa mtoto bila kujali mahusiano ya kibailojia.10
Unyanyasaji wa Kisaikolojia: Ni matumizi ya vitendo au maneno yanayomdhalilisha mtu kihisia na
yanaweza kuwa bayana au kimyakimya. Ni vitendo vinavyolenga kumsababishia mtu maumivu ya
kiakili au msongo wa mawazo.11
Unyanyasaji wa Kingono: Tendo la ngono, au jaribio lolote lile la kufanya tendo la ngono kwa
kutumia nguvu, au vitendo vya biashara haramu ya kusafirisha binadamu kwa malengo ya kuwatumia
katika biashara ya ngono, unyanyasaji au vitendo vya kutongoza vinavyofanywa na mtu bila kujali
mahusiano yake kwa wanusurika/waathirika, iwe nyumbani au kazini.12
Mfadhaiko wa Akili: Unatokea pindi mtu anapokumbana na hali ngumu, inayojirudia na/au hali
isiyofaa – mathalani unyanyasaji wa kimwili au wa kihisia, utelekezaji, malezi yanayotolewa na
mzazi/mlezi anayetumia dawa za kulevya au mwenye ugonjwa wa akili, kujikuta katika mazingira ya
ukatili, na/au kubeba mzigo wa kuhudumia familia katika hali ngumu ya uchumi – bila kuwa na msaada
wa kutosha.13
Ukatili Dhidi ya Watoto: Matumizi ya makusudi ya nguvu, vitisho vinavyofanywa na mtu au kikundi
na kusababisha mtoto kupata madhara ya kimwili, kiafya na kisaikolojia hivyo kuathiri maendeleo na
utu wake.14
Ukatili Dhidi ya Wanawake: Vitendo vyovyote vile vinavyofanywa dhidi ya wanawake
vinavyosababisha au vinavyoweza kusababisha madhara ya kimwili, kingono, kisaikolojia na kiuchumi,
vikijumuisha vitisho; au kumnyima mtu uhuru wa msingi katika maisha yake wakati wa amani au katika
hali ya migogoro ya kivita.15
9 Report of the National Survey on Violence against Children in Tanzania, 2011
10 The Law of the Child Act, 2009, Section 3
11 Neglect, Abuse and Violence against Older Women, Division for Social Policy and Development, United Nations, 2013
12 Tanzania Police Force Standard Operating Procedures (SOPs) for Prevention and Response to Gender Based Violence and Child Abuse , 2012
13 Excessive Stress Disrupts the Architecture of the Developing Brain - Working paper 3, Center on the Developing Child – Harvard University, 2014
14
World Report on Violence and Health, WHO, 2002 15
Protocol to the African Charter on Human and Peoples' Rights on the Rights of Women in Africa, 2003
vi
Dibaji
Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA 2017/18
– 2021/22), umeandaliwa kwa kuunganisha mipango kazi tofauti nane iliyokuwa inashughulikia ukatili
dhidi ya wanawake na watoto na kutengeneza mpango kazi mmoja.
Ukatili dhidi ya wanawake na watoto ni tatizo linalowakumba wanawake na watoto wengi. Matukio ya
ukatili nchini Tanzania yanazidi kuongezeka hivyo utatuzi wake ni msingi wa malengo ya maendeleo na
nyenzo ya kufikia maelngo mengine ya wanawake, familia, jamii na taifa kwa ujumla. Ukatili
unazorotesha kukua kwa uchumi wa nchi kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa kushughulikia
athari za ukatili badala ya kujikita katika shughuli za maendeleo hivyo ni kikwazo katika kufikia
Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030, Ajenda ya Afrika Tuitakayo ya mwaka 2063 na Dira
ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025 ikilenga maisha bora, utawala bora na utawala wa sheria. Pia,
ukatili huathiri ukuaji wa uchumi na jitihada za kupambana na umaskini. MTAKUWWA una lenga
kutekeleza adhima ya serikali ya kutokomeza ukatili.
MTAKUWWA unaweka mkazo katika hatua zinazoitajika kuzuia na kushughulikia matukio ya ukatili
na unatambua kuwa uwekezaji katika kuzuia ukatili unachangia katika ukuaji wa uchumi. Hivyo basi,
kuimarisha matokeo ya uwekezaji mbalimbali unaofanywa na serikali, wadau wa maendeleo na wadau
wengine katika maisha ya wanawake, watoto, familia na jamii ya Tanzania kwa ujumla.
Rasilimali zilizopo zinatakiwa kuelekezwa katika kutekeleza afua za kutokomeza ukatili Tanzania na
kuwa sehemu ya MTAKUWWA na kuongeza kasi ya maendeleo ya nchi kama ilivyofikiriwa katika
Mpango wa Pili wa Maendeleo Taifa wa Miaka Mitano (2016/17–2020/21).
Ni wajibu wa wadau wote wanaotekeleza mpango huu kuhakikisha kwamba wanawake na watoto
wananufaika na kupata haki zao katika mazingira yasiyo na aina yoyote ile ya ukatili. Mafanikio ya
mpango huu yanahitaji ushirikiano wa kutosha na kujituma.
Ummy A. Mwalimu (MB)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
vii
Usuli
Katika kutekeleza Ajenda ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030 na Ajenda 2063: Afrika
Tuitakayo na kuchangia kufikiwa kwa malengo ya kimataifa ambapo watoto wote watakua na kuishi
salama, ushirika wa kimataifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya watoto ulizinduliwa kuwezesha nchi hizo
kushirikiana katika kushughulikia, kujenga utashi wa kisiasa katika kutokomeza ukatili, kutumia fursa
zilizopo katika Malengo Endelevu ya Maendeleo na kuwashirikisha wadau kuzuia ukatili.
Kutokana na muunganiko huo Tanzania, pamoja na nchi za Sweden, Mexico na Indonesia, zilikubali
kutumia fursa ya kuwa nchi za mfano kutokomeza Ukatili dhidi ya Watoto ambao ni tatizo la
ulimwengu. Tanzania ni nchi pekee Barani Afrika iliyo chaguliwa kutekeleza afua za ukatili.
Kuchaguliwa kwa Tanzania kunafuatia mwitikio wa nchi katika kutekeleza matokeo ya utafiti wa 2009
wa hali ya ukatili nchini ambapo Mpango Kazi wa Taifa wa Mwitikio na Kuzuia Dhidi ya Watoto
uliandaliwa na kutekelezwa kuanzia 2013 mpaka 2016. MTAKUWWA unalenga kuchangia shabaha ya
ushirika wa kimataifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya watoto kwa kutumia mbinu zinazolenga kutoa
matokeo tarajiwa kwa waliojitoa, wenye jukumu, kuzuia na kushughulikia ukatili dhidi ya wanawake na
watoto serikali kuu, mamlaka za serikali za mitaa, Asasi za Kiraia na sekta binafsi
MTAKUWWA unajumuisha mbinu bora zilizochaguliwa na zilizothibitika kusaidia wenye jukumu,
watoa huduma, na jamii kuongeza weledi katika kuzuia na kutoa huduma zinazochangia kwa kiwango
kikubwa katika kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na watoto.
Mfumo wa kitaasisi wa MTAKUWWA umetokana na mikakati mahsusi inayounda mfumo wa ulinzi wa
wanawake na watoto.
S. Nkinga
Katibu Mkuu
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
viii
Muhtasari
Ajenda ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030 inafafanua na inatoa dhamira ya pamoja ya
kutokomeza ukatili wa aina zote dhidi ya wanawake na watoto kama sehemu ya ajenda ya kuwekeza
katika ulinzi na uwezeshaji wa wanawake na watoto. Kabla ya MTAKUWWA (2017/18 – 2021/22),
Tanzania ilikuwa na mipango kazi nane (8) tofauti iliyokuwa inashughulikia masuala ya kuzuia na
mwitikio wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto, na ukatili wa kijinsia, ambapo kila mpango ukiwa na
miundo yake ya uratibu, shughuli zake, mifumo ya ufuatiliaji, tathmini na mbinu za mawasiliano.
Kuandaliwa kwa mpango mmoja (MTAKUWWA) Tanzania imeweka mikakati yote inayozuia ukatili
katika mpango jumuishi ambao unaotambua kuwa ukatili unatokea mara kwa mara, na kwamba ukatili
wa utotoni unaathiri afya na ustawi wa mtu katika umri wa utu uzima, na kwamba tabia ya ukatili
inajirudia. Hivyo kushughulikia ukatili wa utotoni kutapunguza ukatili dhidi ya wanawake, na kwamba
ukatili unarithishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine, na unaathiri mtu, familia, afya na ustawi wa
jamii. Matokeo ya utekelezaji wa MTAKUWWA ni kuwa na Tanzania ambayo wanawake na watoto
wanafurahia haki zao na hakuna vitendo vya ukatili
Mchakato wa kuandaa MTAKUWWA ulishirikisha wadau mbalimbali kupitia mipango kazi yao na
kuibua uzoefu na matokeo mazuri pamoja na kujadili mbinu bunifu za kushughulikia ukatili dhidi la
wanawake na watoto nchini. Wadau walijadili kwa kina taarifa mbalimbali, tathmini ya mikakati
iliyokuwepo, pamoja na mifumo mipya ya Mikakati Saba ya kutokomeza ukatili dhidi ya watoto
iliyoandaliwa kupitia ushirikiano wa kimataifa ya Kukomesha Ukatili dhidi Watoto.
Maeneo 18 ya vipaumbele yanayo sababisha ukatili dhidi ya wanawake na watoto yalibainishwa
kulingana na mazingira ya Tanzania na baada ya uchambuzi yakapatikana maeneo nane ya utekelezaji.
Aidha, afua za utekelezaji wa mpango uliandaliwa na kuwekewa gharama hatimaye Mpango Kazi wa
Taifa wa miaka mitano wenye lengo la kutokomeza aina zote za ukatili dhidi ya wanawake na watoto
ulikamilishwa.
MTAKUWWA unawakilisha mtazamo wa kimkakati na kifikra wa namna ambavyo Tanzania
itashughulikia tatizo la ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Badala ya Tanzania kushughulikia matukio
ya ukatili yanayojitokeza nchi itajikita katika kuimarisha na kuunda mifumo ambayo itazuia aina zote za
ukatili dhidi wanawake na watoto, na kushughulikia mahitaji ya waathirika. Suala hili ni kubwa
linahitaji siyo tu uratibu na ushirikiano wa kiwango cha juu miongoni mwa wadau, lakini pia linahtaji
kuunganisha juhudi za sekta binafsi na zile za sekta ya umma ili kufikia jamii, familia, na watu binfsi –
wakijumuishwa watoto – na kutoa mitazamo mipya kuhusu ukatili na pia majukumu ya kijinsia baina ya
wanaume na wanawake.
2
UTANGULIZI
1.1 Hali ya Idadi ya Watu
Tanzania ina jumla ya watu milioni 44.9 kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012. Kulingana na
kasi ya ongezeko la watu, Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milioni 50.6 ambapo watu milioni 24.6 ni wanaume
(48.7%) na milioni 26 ni wanawake (51.3%) kwa mwaka 2016. Watoto wenye umri chini ya miaka 18 ni asilimia 50.1
ya wananchi wote kati yao wavulana wanakadiriwa kufikia asilimia 48.6 na wasichana ni asilimia 51.4. Umri wa
wastani wa kuishi ni miaka 59.8 (kwa wanaume) na miaka 63.8 (kwa wanawake). Sekta ya kilimo ambayo ni chanzo
kikuu cha kipato kwa walio wengi (74%) inakua kwa asilimia 2.3. Kiwango hiki ni chini ya kiwango cha ukuaji wa
jumla wa kiuchumi wa asilimia 6 na ukuaji wa watu kwa kiwango cha asilimia 2.7 walichangia asilimia 29 ya Pato la
Ndani la Taifa mwaka 2015.
1.2 Hali ya Kijamii na Kiuchumi
Inakadirikiwa kuwa asilimia 28.2 ya Watanzania mwaka 2012 waliishi chini ya kiwango cha umaskini ikiwa ni
pungufu ukilinganisha na asilimia 34 ya mwaka 2007 (Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012). Aidha, kiwango
cha umaskini vijijini kilikuwa asilimia 33.3 na asilimia ya watu waliokuwa wakiishi katika umaskini uliokithiri ilikuwa
ni asilimia 11.3. Kiwango cha kitaifa cha umaskini wa mahitaji ya msingi kwa mtu mzima ni Shilingi za
Kitanzania 36,482 kwa mwezi wakati kiwango cha kitaifa cha umaskini wa chakula kwa mtu mzima ni Shilingi za
Kitanzania 26,085 kwa mwezi (HBS, 2011/12).
1.3 Hali Halisi kuhusu Ukatili
Nchini Tanzania kuna idadi kubwa ya wanawake na watoto ambao wamekuwa wakifanyiwa ukatili wa
aina mbalimbali kila siku. Taarifa ya Maendeleo ya Binadamu ya Kimataifa ya mwaka 2015 inaonesha
kuwa asilimia 35 ya wanawake ulimwenguni wamefanyiwa ukatili wa kimwili au kingono na wenza
wao na hivyo kuathiri maendeleo yao kiafya, kisaikolojia na kiuchumi. Kwa upande wa Tanzania,
takriban wanawake wanne kati ya kumi wamefanyiwa vitendo vya ukatili, vilevile mwanamke mmoja
kati ya watano, ametoa taarifa ya kufanyiwa ukatili wa kingono katika maisha yake (kuanzia umri wa
miaka 15).16
Aidha, ukatili wa kimwili na kingono unaofanywa na wenza kwa wanawake walioolewa ni
mkubwa zaidi (44%). Kulingana na Utafiti wa Idadi ya Watu na Afya wa mwaka 2010, unaonesha kuwa
asilimia 39 ya wanawake wenye umri kati ya miaka 15 hadi 49 walifanyiwa ukatili wa kimwili wakiwa
na umri wa miaka 15 na takriban theluthi moja ya wanawake (33%) wenye umri kati ya miaka 15 hadi
49 walifanyiwa ukatili wa kimwili miezi 12 kabla ya kufanyika kwa utafiti huo. Ukatili kwa wanawake
ni suala mtambuka na linahusisha masuala ya kijamii na idadi ya watu ambapo viwango vya ukatili wa
16
Tanzania Demographic and Health Survey (2010)
3
kimwili, kingono na kisaikolojia vilikuwa juu katika maeneo ya vijijini na miongoni wanawake ambao
hawana elimu ya kutosha.17
Vilevile, kuna uthibitisho wa ongezeko la rushwa ya ngono kwa ajili ya
kupata huduma za kijamii. Hali hii inaendelea kuwa jambo la kawaida katika maeneo ya kazi, hususan
katika makampuni yenye mmiliki mmoja. Aidha, rushwa ya ngono ilionekana katika shule za msingi na
sekondari, vituo vya afya na ofisi zinazotoa huduma kwa umma.
Mwaka 2011, Tanzania ilitoa matokeo ya Utafiti ya Ukatili dhidi ya Watoto ambao ulionesha kuwa
takriban msichana mmoja kati ya watatu na mvulana mmoja kati ya saba aliwahi kufanyiwa ukatili wa
kingono kabla ya kufikia umri wa miaka 18. Aidha, inaonesha kuwa watoto walio wengi hawatoi
taarifa ya ukatili huo, wachache wanatafuta huduma na msaada, na wachache zaidi wanapata uangalizi,
matibabu, au msaada wanapotoa taarifa. Viwango vya ukatili wa kimwili na kihisia viko juu miongoni
mwa wasichana, asilimia 72 ya wasichana waliwahi kufanyiwa ukatili wa kimwili, wakati kwa
wavulana ni asilimia 71. Vilevile, ukatili wa kihisia unawaathiri wavulana na wasichana kwa asilimia
25. Pia adhabu ya viboko inakubalika kijamii na inatambulika na wengi kama njia mojawapo ya
kuwaadabisha watoto. Japokuwa njia ya viboko imezoeleka kuwa ni njia ya kawaida katika
kumuadabisha mtoto nchini Tanzania. Kuna uthibitisho unaodhihirisha kuwa njia hii inasababisha
matokeo hasi katika tabia ya mtoto tofauti na ilivyokusudiwa kama vile, usugu na utukutu badala ya
kuwa na tabia inayomjenga kijamii.18
Kufanyiwa ukatili kwa watoto wadogo kunaacha kumbukumbu mbaya katika ubongo ambayo inaweza
kumwathiri mtu kwa kipindi chote cha maisha yake. Miaka miwili ya mwanzo katika makuzi ya mtoto
ubongo huwa dhaifu sana wakati mishipa mingi ya fahamu inaendelea kuimarika, na pia katika umri wa
miaka ya balehe kipindi ambacho vijana wanajifunza stadi za maisha huku wakiendelea kukomaa
kihisia.19
Mbali na ukatili wa kimwili, kingono na kihisia, Tanzania ina mila na desturi zenye athari kwa wanawake
na watoto. Wanawake wa Kitanzania wanaolewa mapema takriban katika umri wa miaka 19 ikiwa ni
miaka mitano mapema kabla ya wanaume kuoa. Ukeketaji upo Tanzania, na kwa baadhi ya jamii
asilimia 70.8 ya wanawake wamekeketwa.20 Inakadiriwa kuwa milioni 7.9 ya wanawake na
17
The Tanzania Daily News 16 Oct. 2013.18 18
Hecker, et al., Corporal Punishment and Children's Externalizing Problems: A cross-sectional study of Tanzanian primary school aged children, Child
Abuse and Neglect: The International Journal 38, Elsevier, 2013, pg. 889-890 19
Mead, Beauchine, Shannon, 'Neurobiological adaptations to violence across development' Development and Psychopathology 22 (2010), 1-22 20
Tanzania Demographical and Health Survey, 2010
4
wasichana Tanzania wamekeketwa.21
Changamoto wanazokumbana nazo waathirika wa vitendo vya ukatili ni pamoja na ukosefu wa
upatikanaji wa huduma za msingi ikiwemo ukosefu wa upelelezi wa kipolisi usiokuwa thabiti,
kushindwa kuwafungulia mashtaka na kuwatia hatiani watuhumiwa, vitisho na ubaguzi. Upatikanaji wa
haki unakwamishwa na gharama, upatikanaji hafifu wa msaada wa kisheria, rushwa, kwa ujumla
ukosefu wa maarifa na uelewa kuhusu haki za binadamu miongoni mwa wasimamizi wa sheria. Aidha,
miundo ya kijamii iliyotakiwa kutoa fursa za kupata haki imeathiriwa na kuwepo kwa mfumo dume
unaosababisha ubaguzi wa kijinsia. Miundo hii inatoa mianya kwa watuhumiwa kukwepa mkono wa
sheria kutokana na upelelezi dhaifu na ukusanyaji wa ushaidi, uendeshaji mashtaka usiokuwa thabiti, na
adhabu ndogo zinazotolewa kwa wahalifu wa vitendo va ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Mfumo
dume umesababisha ukosefu wa uwajibikaji katika mapambano ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto,
unaosababisha athari kubwa kwa waathirika.
1.4 Juhudi za Kitaifa katika kushughulikia Ukatili dhidi Wanawake na Watoto
Mchakato wa kuandaa MTAKUWWA ulihusisha uchambuzi wa kina wa mipango kazi nane (8)
ambayo muda wake wa utekelezaji ulikuwa umekwisha, na mipango kazi mingine iliyokuwa
inaendelea na mikutano ya majadiliano baina ya wadau mbalimbali wa Kiserikali, Asasi za Kiraia
(AZAKI), Mashirika ya Kidini, Asasi Zisizokuwa za Kiserikali za Kitaifa na za Kimataifa, Wadau wa
Maendeleo na Mashirika ya kimataifa ili kutathmini uzoefu uliopatikana, matokeo mazuri, changamoto
zilizojitokeza na kutoa mapendekezo ya hatua zinazofuata.
Kwa kuzingatia Mipango iliyopo wadau waliweza kuweka mikakati ya kuandaa MTAKUWWA
2017/18- 2021/22 na kuandaa miongozo ya msingi itakayosaidia kushughulikia ukatili dhidi ya
wanawake na watoto, ambayo hatimaye imekuwa sehemu ya Mpango Kazi huu.
Hatua ya kwanza ya mchakato wa kuandaa mpango kazi iliangalia kwa kina kazi na umuhimu wa
Mipango Kazi nane (8) iliyokuwepo na kubainisha maeneo mbalimbali ya yaliyonesha mafanikio katika
kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Maeneo hayo ni pamoja na;
i. Utungaji na usimamiaji wa utekelezaji wa sera na sheria husika ili kuboresha mfumo wa kisera,
kisheria na kitaasisi ikiwemo mifumo ya uratibu;
ii. Uanzishwaji na utekelezaji wa mifumo ya ulinzi wa mtoto katika halmashauri 47.
21
UNICEF Report, 2013
5
iii. Kujengewa uwezo kwa Timu za Ulinzi wa Mtoto katika ngazi ya wilaya na vijiji kwa ajili ya
kupambana na masuala ya ukatili dhidi ya watoto;
iv. Kujenga uwezo wa watoa huduma wa awali mathalani Afisa wa Ustawi wa Jamii, Polisi na watoa
huduma za afya, ili kusimamia kikamilifu na kutoa ulinzi kwa waathirika wa vitendo vya ukatili
na pia kuhakikisha uhifadhi madhubuti wa nyaraka;
v. Uanzishwaji wa kamati za ajira kwa watoto katika ngazi ya taifa na halmashauri ili kufuatilia na
kubaini hali za unyonywaji na kufanya ukaguzi kubaini aina za kazi hatarishi na maeneo ya kazi
yasiyokuwa salama yanayokiuka haki za watoto za kuwafanya kuwa katika mazingira salama;
vi. Uanzishwaji wa Dawati la Jinsia katika Jeshi la Polisi la Tanzania nchi nzima pamoja na kutoa
mafunzo kuhusu masula ya unyanyasaji wa watoto na ukatili wa kijinsia kwa Maofisa wa Jeshi la
Polisi;
vii. Uanzishwaji wa Kamati ya Kitaifa yenye wajumbe kutoka sekta mbalimbali ili kumshauri waziri
anayehusika na masuala ya wanawake na watoto kuhusu ukatili dhidi ya wanawake na watoto;
viii. Uanzishwaji wa mtandao wa mawasiliano ya simu kwa ajili ya kusaidia jamii kutoa taarifa za
ukatili dhidi ya watoto mwaka 2013 (116 - hii ni namba ya simu unayoweza kupiga bila malipo
kwa ajili ya huduma kwa mtoto) ambayo, ambayo inatumika kupitia a mitandao yote ya simu
Tanzania Bara na Zanzibar;
ix. Uanzishwaji wa vituo vinne vya kutoa huduma jumuishi kwa waathirika wa ukatili kwenye mikoa
ya; Dar es Salaam (Hospitali ya Amana), Shinyanga (Hospitali ya Rufaa ya Mkoa), Mwanza
(Hospitali ya Sekou Toure) na Iringa (Hospitali ya Rufaa ya Mkoa) ili kutoa huduma za matibabu
ya kiafya, msaada wa kisaikolojia, ushauri nasaha na msaada wa kisheria;
x. Mapitio ya Sheria ya Elimu Na. 25 ya (mwaka 1978) yanaendelea ili kupiga marufuku ndoa za
utotoni wakati watoto wakiwa shuleni na Sheria ya Ndoa (mwaka 1971) ili kuongeza umri wa
kuolewa kwa wasichana kutoka miaka 14 hadi 18; na
xi. Uteuzi wa afisa dawati jinsia katika ngazi ya Wizara Taasisi na Wakala za Serikali umewezesha
uingizaji wa masuala ya kijinsia katika sera za kisekta, mipango, bajeti na programu na kuwezesha
uandaaji wa afua zinazozingatia masuala ya kijinsia.
Katika utekelezaji wa jitihada zilizotajwa hapo juu, Serikali inashirikiana na Wadau wa Maendeleo,
Mashirika Yasiyokuwa ya Kiserikali, Asasi za Kiraia na Mashirika ya Kidini kupitia programu pamoja
na juhudi mbalimbali ikiwemo uhamasishaji wa umma, mathalani maadhimisho ya siku 16 za kupinga
Ukatili wa Kijinsia, Siku ya Familia ya Duniani, Siku ya Wanawake Duniani, Siku ya Mtoto wa Afrika
6
na Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike.
Pamoja na juhudi za Serikali za kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na watoto, kumekuwepo na
changamoto mbalimbali katika maeneo yote ya uandaaji wa mipango, kutoka ngazi ya kitaifa hadi
ngazi ya chini, changamoto za kifedha, kiutawala, kijamii, kifamilia, na uwezo wa watu binafsi katika
kushughulikia masuala ya ukatili. Wakati wa utekelezaji wa mipango kazi nane (8) ya awali kulikuwa na
mwingiliano katika mifumo ya uratibu miongoni mwa Wizara, Taasisi na Wakala za Serikali pamoja na
wadau mbalimbali. Pamoja na kuwepo kwa huduma thabiti za kushughulikia matukio ya ukatili kwa
baadhi ya jamii Tanzania, hali inaonesha kuwa katika mamlaka ya serikali za mitaa huduma za
kushughulikia matukio ya ukatili hazitoshelezi kwa waathirika wa ukatili. Kulingana na mila na desturi
za jamii kuna dhana iliyojengeka kwamba watoto ni wa wazazi na watoa huduma ya uangalizi au
walezi, badala kuwaona kuwa wana haki zao, na kwa hiyo wazazi na walezi wanawatendea jinsi
wanavyotaka. Kwa kuzingatia tabia na desturi za jamii, wanaume ndiyo wanaotawala kijamii na
kiuchumi, dhana inayosababisha kutokufikiwa kwa usawa wa kijinsia. Hali hii inachagizwa na uelewa mdogo
na maarifa katika masuala ya kijamii, kiuchumi na haki za wanawake na wanaume, wavulana na wasichana
kama zilivyoainishwa katika sheria za kimataifa, kikanda na kitaifa. Aidha, kama ilivyo duniani kote, kuna
utamaduni wa watu kukaa kimya na kutokutoa taarifa za ukatili ambao unahusishwa na unyanyapaa, hofu na
kutengwa na jamii.
Baada ya kutathmini mafanikio na changamoto, washiriki wa warsha ya maandalizi ya MTAKUWWA
walibaini masuala 18 yanayotakiwa kujumuishwa katika mpango mpya na mpana wa MTAKUWWA
(tazama jedwali la 1), na kisha walitumia mbinu za Shirika la Afya Duniani ili kuwezesha uchambuzi wa
masuala 18 ya vipaumbele yaliyoibuliwa awali. Mbinu hizo zilitoa mchango mkubwa kwenye
kuanzishwa ushirika wa kimataifa wa kupambana na ukatili dhidi ya watoto ukijumuisha mikakati saba
(7) ambayo inapotekelezwa kwa pamoja inatoa mfumo unaozingatia vielelelezo ili kukomesha ukatili
dhidi ya Watoto.22 Mikakati saba (7) ya mbinu hizo ni: (1) Utekelezaji wa sheria; (2) Mila na desturi;
(3) mazingira salama; (4) msaada kwa mzazi na mlezi; (5) uboreshaji wa kipato na wa kiuchumi; (6)
utoaji wa huduma kwa waathirika; na (7) elimu na stadi za maisha. Tanzania kama mshirika mmoja wapo
iliahidi kushiriki katika hatua za kutokomeza aina zote za ukatili dhidi ya watoto kwa kuingiza hizo
mbinu za Shirika la Afya Duniani kwa kuzingatia vipimo na kufuatilia matokeo yake.23
22
World Health Organization, INSPIRE Strategy, Executive Summary, p. 4 23
End Violence Against Children: A Global Partnership, p. 13.
7
Kwa kuzingatia kuwa MTAKUWWA unalenga wanawake na watoto, wadau waliambiwa kuzingatia
vigezo vinne (4) wakati wa kuchambua na kuweka vipaumbele vya masuala 18 kwa kuzingatia mfumo
wa ‘INSPIRE’: (1) ikiwa kuna vielelezo thabiti vya afua zilizopendekezwa au zinahitaji kurekebishwa;
(2) ikiwa masuala yaliyoainishwa yanaendana na wanawake na watoto; (3) ikiwa kulikuwepo na wigo
wa kushirikisha wadau wengine: na, (4) kama kulikuwa na mpango thabiti wa program ya kuzuia na
kutoa huduma.
Kwa kuzingatia maeneo haayo manne (4) wadau waliainisha masuala 18 na kuunda maeneo manane (8)
yatakayotoa mwelekeo wa afua zitakazozingatiwa katika MTAKUWWA ambazo baadaye zingetoa
matokeo manane mahususi ambayo yatachangia katika kufanikisha lengo la MTAKUWWA. Kila eneo
muhimu lilioainishwa katika maeneo nane (8), litahusishwa na na lengo la kimkakati jambo
litakaloweka wazi kile ambacho mpango unalenga kufanikisha katika kuleta matokeo yaliyokusudiwa
Mpango wa Utekelezaji,ambao umegawanyika katika nguzo mbili ambazo ni kuzuia na kutokomeza
unatoa ufafanuzi wa kazi zitakazofanyika katika kila eneo.
1.5 Mapungufu /changamoto katika kushughulikia ukatili unaofanana dhidi ya wanawake na
watoto
Licha ya juhudi za serikali katika kushughulikia Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto zipo changamoto
katika ngazi ya kimuundo na ngazi ya kijamii, ikijumuisha:
i. Kuwepo kwa kamati nyingi na kujirudia kwa wajumbe wanaoshughulikia masuala ya wanawake
na watoto;
ii. Upungufu katika utoaji huduma kwa waathirika wa ukatili;
iii. Mfumo dume katika maeneo mengi, unaotokana na uwezo mkubwa wa kiuchumi wa wanaume
katika jamii;
iv. Malezi duni yanayosababishwa na ukosefu wa kipato katika ngazi ya familia.
v. Uelewa mdogo na maarifa finyu wa masuala ya kijamii, kiuchumi na haki za kisheria miongoni
mwa wanawake na wanaume; na
vi. Uwepo wa utamaduni wa ukimya unaoambatana na unyanyapaa, hofu na kutengwa na jamii
unaokatisha tamaa kutoa taarifa juu ya matukio ya ukatili.
8
1.6 Uhalali wa Kuandaa MTAKUWWA
Suala la kushughulikia ukatili dhidi ya wanawake na watoto ni lengo muhimu la kimaendeleo na haki,
na ni jambo la msingi katika kufanikisha matokeo mengine ya maendeleo kwa wanawake, watoto,
familia zao jamii na mataifa. Juhudi zilizochukuliwa katika ngazi ya kimataifa katika kushughulikia na
kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto ziliweza kuimarishwa na ongezeko kubwa la vielelezo
ambavyo havijawahi kuonekena hapo awali vikionesha kuzoofika kwa afya ya jamii duniani. Katika
ngazi ya kimataifa, kuna utambuzi wa jumla kuwa utokomezaji wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto
ni jambo muhimu sana katika maendeleo ya kimataifa na katika mtazamo wa kupata haki. Msukumo wa
hali ya hali ya wanawake na watoto wanaoathirika na ukatili unajitokeza katika Ajenda ya Malengo ya
Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030 ambayo ina shabaha 6 zinazotaja umuhimu wa kuzuia na
kutokomeza ukatili.
Ni dhahiri kwamba vitendo vya ukatili humgharimu binadamu, kwa kumjengea hofu ya kimwili na
kihisia na hivyo kuathiri ubora wa maisha kwa ujumla. Kiulimwengu athari za kiuchumi na ukatili wa
kimwili, kihisia na kingono dhidi ya watoto ni kati ya asilimia 3 na 8 ya pato la ndani la kimataifa.24
Nchini Tanzania, gharama za kupambana na ukatili kwa ujumla zinakadiriwa kuwa zaidi ya dola za
Kimarekani bilioni 6.5 sawa na asilimia 7 ya Pato la Ndani la Taifa.25
Gharama hizi ni kubwa zaidi
kuliko gharama za kuzuia ukatili.26
Tanzania inatarajia kuwa nchi ya uchumi wa kati kufikia mwaka
2025. Ili kufikia adhima hii, Tanzania inatakiwa kuwekeza katika kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na
watoto ili kuwezesha nguvu kazi ya kuzalisha kwa kiwango cha juu, na zaidi ya hilo itaongeza wigo wa
wanawake kutumia fursa katika kujiletea maendeleo (linaendana na Lengo la Maendeleo Endelevu
Namba 8 na 10).
Tanzania imedhamiria kutekeleza Ajenda ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030, kama
sehemu ya utekelezaji mikataba ya kikanda na kimataifa pamoja na maazimio kuhusu haki za mtoto,
usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake, ikiwa ni pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Kuondoa
aina zote za Ubaguzi dhidi ya Wanawake27
na utaratibu wake wa kuwasilisha malalamiko28
, Mkataba
24
Pereznieto, Paola et al., The Costs and Economic Impact of Violence against Children, Overseas Development Institute, Child Fund Alliance, UK,
September 2014, pg. 8 25
Institute for Economics and Peace, Global Peace Index 2015: Measuring Peace, it's Causes and Economic Value, IEP, New York, 2015, pg. 112 26
Ibid. 27
Singature 17 July 1980; Ratification 20 August 1985 28
Optional Protocol to CEDAW date of acceptance 12 January 2006
9
wa Kimataifa wa Haki za Mtoto29
na Itifaki zake za nyongeza30
, na Mkataba wa Afrika wa Haki na
Ustawi wa Mtoto. Vile vile Tanzania imeridhia kutekeleza Mkataba wa Beijing na Jukwaa la Kuchukua
Hatua (1995) na maeneo yake 12 yenye umuhimu ambayo serikali imeelekeza juhudi zake katika
maeneo manne ya vipaumbele vya nchi ambavyo ni: kuwajengea wanawake uwezo wa kisheria;
uwezeshaji wa kiuchumi na kutokomeza umaskini kwa wanawake; kuwawezesha wanawake kisiasa na
uwezo wa kutoa maamuzi; na kuwawezesha wanawake kupata fursa za elimu na ajira. MTAKUWWA
unatoa wito wa kuweka pamoja taarifa za ukatili dhidi ya wanawake na watoto na hatua itakayowezesha
uaandaaji wa Taarifa nzuri inayoendana na makubaliano ya kimataifa ambayo taifa limeyaridhia.
Uamuzi wa Tanzania kuandaa MTAKUWWA umezingatia kuwa kutokuwa na mpango kazi wa namna
hii unaathiri katika kupiga hatua za maendeleo kufikia malengo yaliyokusudiwa, na pia Watanzania
wana haki ya kuishi huru pasipo kufanyiwa vitendo vya ukatili. Tanzania imekusanya ushahidi wa
kutosha kuwawezesha wadau na wananchi kutambua kuwa ukatili dhidi ya wanawake na watoto ni
tatizo nchini na kupitia utekelezaji wa mipango kazi nane (8) inayohusiana na ulinzi wa wanawake na
watoto ndiyo msingi uliowezesha kuandaliwa kwa mpango kazi huu. Kwa msingi huo, MTAKUWWA
umeandaliwa kwa kuzingatia hali halisi na tathmini ya kina ya uzoefu uliopatikana na matokeo ya
utekelezaji wa mipango ya awali.
Kwa kuwa muda wa utekelezaji wa mipango nane (8) ya awali ulikuwa umemalizika au unakaribia
kumalizika, Tanzania ilipata fursa ya kimkakati ya kuandaa Mpango Kazi mpya ambao unaondoa
mkanganyiko, mwingiliano na udhaifu katika utekelezaji wa afua za kuzuia na mwitikio wa ukatili dhidi
ya wanawake na watoto. Mpango Kazi huu umezingatia ukweli kuwa athari za ukatili huendelea kuathiri
maisha yote ya mwathirika na kwamba kutenganisha wanawake na watoto katika afua za mwitikio na
kuzuia ukatili hakuleti tija inayotarajiwa kwa kuwa taasisi zinazohusika katika kutatua tatizo hilo ni
zile zile (yaani Dawati la Jinsia na Watoto la Polisi, Ustawi wa Jamii, Wahudumu wa afya). Maandalizi
ya Mpango huu pia yametoa fursa ya kutafakari namna na haja kukakikisha ushiriki wanaume na
wavulana katika afua za kuzuia na mwitikio wa ukatili kwa kuwa kuna ushahidi wa kutosha kwamba
kuna uhusiano baina ya mila na desturi na ukatili wa kijinsia . Vile vile kuna ushahidi wa kutosha kuwa
waathirika wa ukatili hasa wavulana huendeleza tabia hiyo wanapokuwa watu wazima hasa endapo
hatua sahihi za mwitikio hazitachukuliwa.
29
Singature 1 June 1990; Ratification 10 June 1991 30
Optional Protocol to the CRC on the involvement of Children in Armed Conflict (Accession 11 November 2004) and Optional Protocol to the CRC on the
Sale of Children, Child Prostitution, and Child Pornography (Accession 24 April 2003).
12
DIRA, DHIMA,
LENGO NA SHABAHA YA MPANGO KAZI
2.1 Dira
Wanawake na Watoto wa Kitanzania kuishi huru na salama bila ukatili na kufurahia haki zao katika
jamii.
2.2 Dhima
Kuzuia ukatili na kutoa huduma kwa waathirika wa aina zote za ukatili ikiwemo wanawake na watoto
kwa kushirikiana na sekta mbalimbali katika ngazi zote.
2.3 Lengo
Kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto nchini na kuboresha ustawi wao.
2.4 Mikakati ya msingi ya Mpango Kazi
(i) Kuwawezesha wanaume, wanawake, wasichana na wavulana kutumia fursa za kijamii na
kiuchumi zinazopatikana katika mazingira/maeneo yao ili kuboresha ustawi wa kaya
(ii) Kuendeleza mila na desturi zenye kuwezesha wanawake na zisizo na aina yoyote ya ukatili,
zenye malezi chanya na kuimarisha usawa wa kijinsia.
(iii) Kuweka mazingira endelevu na salama kwa wanawake na watoto katika jamii.
(iv) Kuendeleza mahusiano chanya baina ya mzazi/mlezi na mtoto na kupunguza vitendo vya
ukatili katika malezi ya watoto
(v) Kuhakikisha kuwepo kwa Jamii ya Kitanzania inayoelewa na kufuata mabadiliko katika sheria
zinazopendekezwa na zinazotekelezwa, kuzuia na kutoa mwitikio chanya kuhusu ukatili dhidi
ya wanawake na watoto.
(vi) Kuwepo na mfumo jumuishi wa ulinzi unaoratibiwa na kutoa msaada kwa wakati kwa
wanawake na watoto wanaoathirika na vitendo vya ukatili.
(vii) Kuwepo na mfumo jumuishi wa ulinzi unaoratibiwa na kutoa msaada kwa wakati kwa
wasichana na wavulana wanaoathirika na vitendo vya ukatili
(viii) Kuwepo kwa mfumo jumuishi wa kitaifa unaoratibiwa kwa ufanisi na unaowezesha ufanyaji
wa maamuzi yanayohusu afua stahiki za kuzuia na kutoa huduma kwa wanawake na watoto
wanaoathirika na vitendo vya ukatili.
2.5 Viashiria vya Matokeo ya Mpango kazi
(i) Kuondoa ukatili dhidi ya wanawake kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2021/22
(ii) Kuondoa ukatili dhidi ya watoto kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2021/22
2.6 Shabaha za kiutendaji za Mpango kazi ifikapo 2021/22
Shabaha za kiutendaji za MTAKUWWA zitafikiwa ifikapo 2021/22. Shabaha hizo ni pamoja na:
(a) Shabaha za kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya wanawake zinazohusiana na umaskini
(i) Kuongeza idadi ya wanawake wanaofikia huduma za kifedha kutoka asilimia 51.2 hadi
13
asilimia 65
(ii) Kuongeza vikundi vya wanawake wanaojiunga na SACCOS kutoka asilimia 1 hadi asimia15
(iii) Kuongeza idadi ya wanawake wanachama wa VICOBA kutoka asilimia 79 hadi asilimia 85.
(b) Shabaha za Kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya watoto zinazohusiana na umaskini
(i) Kupunguza nusu ya idadi ya watoto wanaoishi mitaani, wapatao 35,916
(ii) Kupunguza ajira kwa watoto kutoka asilimia 29 hadi asilimia 9
(iii) Kuongeza msaada wa kielimu kwa wasichana wanaotoka katika familia maskini kutoka
asilimia 23.4 hadi asilimia 53.4.
(c) Shabaha za kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya wanawake zinazosababishwa na mila na
desturi.
(i) Kuongeza uwiano wa waathirika wa vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake waliofanyiwa aina
yoyote ya ukatili na kutoa taarifa ndani ya saa 72 baada ya tukio kutoka asilimia 30 hadi
asilimia 65
(ii) Kuongeza uwiano wa halmashauri zenye programu za kijamii za kuzuia ukatili dhidi ya
wanawake kutoka asilimia 0 hadi asilimia 20
(iii) Kuongeza uwiano wa wanakaya wenye umri kati ya miaka 15-49 waliopata taarifa kuhusu
ukatili dhidi ya wanawake, kutoka asilimia 0 hadi asilimia 55
(iv) Kupunguza ukatili wa kingono kutoka asilimia 17.2 hadi asilimia 8
(v) Kupunguza ukatili wa kimwili dhidi ya wanawake wenye umri kati ya miaka15-49 toka
asilimia 39 hadi asilimia 10
(vi) Kupunguza ukatili wa kihisia kutoka asilimia 36.3 hadi asilimia 18.
(d) Shabaha za kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya Watoto unaosababishwa na mila na
desturi
(i) Kupunguza mimba za utotoni kutoka asilimia 27 hadi asilimia 5
(ii) Kupunguza kiwango cha ukeketaji kutoka asilimia 32 hadi asilimia 11
(iii) Kupunguza ndoa za utotoni kutoka asilimia 47 hadi asilimia 10
(e) Shabaha za kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya watoto unaotokana na Malezi ya
wazazi/walezi, Misaada wa Kifamilia na Mahusiano
(i) Kuongeza stadi za malezi kwa wazazi/walezi na kwa watoa huduma za malezi kutoka wilaya
72 hadi wilaya 113
(ii) Kuongeza programu/huduma za elimu ya awali kwa watoto chini ya miaka mitano kufikia
asilimia 50 kutoka kwa watoto 122,500.
14
(f) Shabaha za kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya wanawake na watoto zinazotokana na
utekelezaji na usimamizi wa sheria
(i) Kuongeza idadi ya watu waliotiwa hatiani kwa kesi za ukatili dhidi ya wanawake kutoka
asilimia 8 hadi asilimia 50
(ii) Kuongeza idadi ya watu waliotiwa hatiani kwa kesi za ukatili dhidi ya watoto kutoka asilimia
7 hadi asilimia 50
(iii) Kupunguza muda wa uendeshaji wa kesi za ukatili dhidi ya wananwake kutoka miaka 4 hadi
miezi 12.
(iv) Kupunguza muda wa uendeshaji wa kesi za ukatili dhidi ya watoto kutoka miaka 4 hadi miezi
12.
(g) Shabaha za kiutendaji zinazohusiana na utoaji huduma kwa waathirika wa ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
(i) Kuongeza Vituo vya Utoaji huduma rafiki kutoka 4 hadi 26
(ii) Kuongeza uwiano wa kutolea taarifa za wahanga wa ukatili dhidi ya watoto ndani ya saa 72
baada ya tukio toka asilimia 30 hadi asilimia 65
(iii) Kuongeza Madawati ya Jinsia na watoto ya Polisi yanayofanya kazi kutoka vituo vya polisi
417 hadi 600.
(h) Shabaha za kiutendaji zinazohusiana na utekelezaji wa Usalama Shuleni na Stadi za Maisha
ili kutokomeza ukatili dhidi ya watoto.
(i) Kupunguza idadi ya wananfunzi wanaoacha shule kutokana na kupata ujauzito kwa nusu ya
idadi ambayo ni 251 kwa shule za msingi na 3,439 kwa walio Sekondari
(ii) Kuongeza idadi Mabaraza ya watoto ya Wilaya kutoka 108 hadi 185
(iii) Kuongeza idadi klabu za watoto shuleni kutoka 398 hadi 13,200
(iv) Kuendeleza usawa wa kijinsia kwa wahitimu shuleni wa 1:1
(v) Kuongeza mafunzo ya stadi za maisha toka asilimia 0 hadi asilimia 70
(vi) Kuongeza utoaji wa msaada wa pedi za kujisitiri watoto wa kike wanaotoka katika familia
maskini toka asilimia 1 hadi asilimia 20
(i) Shabaha za kitendaji zinazohusiana na Uratibu, Ufuatiliaji na Tathimini ya ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
(i) Kuongeza ukusanyaji wa takwimu za msingi kuhusiana na ukatili dhidi ya wanawake na
watoto ili kuhabarisha vyombo vya kuchukua maamuzi toka asilimia 24 hadi asilimia 85.
15
2.7 Mbinu/Njia za utekelezaji wa MTAKUWWA
Mbinu/njia zifuatazo zitatumika katika kuhakikisha utekelezaji wa Mpango kazi:
Kuwa na mfumo sahihi wa kisheria
Vipaumbele vya marekebisho ya kisheria vinavyochangia kukomesha ukatili dhidi ya wanawake na
watoto ni pamoja na: Sheria ya Ndoa, kupunguza kiwango cha ndoa za utotoni; Sheria ya Mirathi;
Marekebisho ya Sheria ya Mtoto;. Kuingiza vitendo vya ukatili dhidi ya watoto kuwa makosa ya jinai,
Mabadiliko ya sheria yanatakiwa kuhusisha majadiliano ya kina ili kujadili na kufanyia kazi masuala ya
mila na desturi na kuimarisha njia mbadala. Aidha, kuna haja ya kulitazama kwa kina suala la mfumo
wa kisheria na kuhakikisha kuwa ni madhubuti na unajibu mahitaji ya makundi maalum kama vile
watoto waliokutana na mfumo wa sheria na waliokinzana na mfumo wa sheria na wanawake, watoto
wenye ulemavu, na watoto wenye ualbino..
Kuwa na mfumo wa utoaji huduma
Mipango kazi ya kitaifa iliyopita iliyoweka mifumo ya kupima utoaji huduma kwa wanawake na watoto
walioathirika na vitendo vya ukatili. Changamoto kubwa ni kuratibu juhudi hizi na kupima matokeo,
kuunda mfumo jumuishi wa utoaji huduma kwa waathirika wote wa ukatili na kuboresha utambuzi,
utoaji huduma na taarifa. Hii inahamasisha utoaji huduma bora za afya, ustawi wa jamii na msaada wa
kisheria kwa makosa ya jinai kwa wanawake na watoto. Utekelezaji wa mfumo huo unahitaji
uchambuzi wa uwezo na mahala pa kuanzia kwa kila wilaya.
Kuweka mkazo mkubwa katika kuzuia
Tanzania imedhamiria kupanua na kuongeza juhudi za kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na watoto na
inakusudia kutumia fursa iliyotolewa na Ubia wa Kiulimwengu ili Kukomesha Ukatili dhidi ya Watoto
na Mfumo wa Kuzuia Ukatili dhidi ya Wanawawake na kuchota vielelezo katika maeneo yaliyotoa
matokeo. Fursa muhimu kabisa ni kutilia mkazo maeneo yafuatayo: kazi endelevu kuhusu mila Na
desturi, ikiweka mkazo katika kuwawezesha wanawake na malezi chanya (yakijumuisha kuwashirikisha
wanaume katika malezi); kuwapa wazazi msaada wanaouhitaji kwa kutoa kipaumbele kwa wale ambao
wana watoto walioko katika mazingira hatarishi, kuwawezesha wanawake; na kuhakikisha watoto wako
salama shuleni.
Kuimarisha ukusanyaji wa takwimu, uchambuzi na utoaji taarifa
Mpaka sasa, Tanzania haijafanikiwa kwa kiasi kikubwa kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya wanawake
na watoto. Ukosefu wa takwimu za msingi na mifumo ya upimaji thabiti ina mwitikio mdogo na
imekuwa kikwazo katika kutoa matokeo ya utekelezaji wa afua stahiki. Kuna umuhimu mkubwa wa
kuandaa viashiria na zana za kupima mwenendo sambamba na mipango mipya na ajenda mfano
Shabaha ya 16.2 ya Malengo ya Maendeleo Endelevu “kukomesha unyanyasaji, unyonyaji, biashara
16
haramu ya usafirishaji wa binadamu na aina zote za ukatili na mateso dhidi ya watoto; Shabaha 5.2 ya
Malengo Endelevu “kuondoa aina zote za ukatili dhidi ya wanawake na wasichana katika maeneo ya
umma na binafsi, ikiwa ni pamoja na usafirishaji haramu na ngono kwa watoto na Shabaha ya 16.1 ya
Maendeleo Endelevu, “kupunguza kwa kiasi kikubwa aina zote za ukatili wenye kuhusisha vifo kila
mahali na Agenda 2030: Afrika tunayoitaka, ambayo inalenga kuondoa aina zote za ukatili wa kijinsia
na ubaguzi dhidi ya wanawake na wasichana. Mifumo ya maendeleo na matumizi ya takwimu halisi
ijengwe kutokana na vyanzo vya takwimu vilivyopo na kuhakikisha inajumuisha kazi za sekta zote
husika.
Kuimarisha harakati za kutokomeza ukatili
Ni jambo la laizma kuboresha jukumu la sekta zote ili kukomesha ukatili, kwa kuweka mkazo katika
nafasi ya elimu na mifumo ya afya, ambayo inamahusiano ya karibu sana na wanawake na watoto kwa
msingi wa kila siku. Kuongeza uwingi na wa watu wanaofanya kazi kubwa ya kuzuia ukatili katika
jamii nzima ni jambo la muhimu kabisa katika ngazi ya Wilaya na ile ya Kitongozi. Nguvu ya Asasi za
Kiraia na ile ya watoto wenyewe katika ngazi ya eneo husika inaweza kutoa matokeo makubwa sana
Kuimarisha harakati za kutokomeza ukatili
Ni muhimu kuboresha majukumu ya sekta zote ili kukomesha ukatili, kwa kuweka mkazo katika eneo
la elimu na mifumo ya afya, ambayo inamahusiano ya karibu sana na wanawake na watoto katika
msingi wa maisha yao ya kila siku. Kupanua wigo na kuongeza idadi ya watu wanaoshughulikia
masuala ya kuzuia ukatili katika jamii hasa katika ngazi ya wilaya na kata.Uwezo wa jamii na watoto
wenyewe katika maeneo yao wanaweza kuleta mabadiliko makubwa.
Uratibu bora na ushirikiano katika ngazi zote
Uratibu imara katika ngazi ya Makatibu Wakuu wa Wizara, chini ya uenyekiti wa Katibu Mkuu wa
Ofisi ya Waziri Mkuu utahakikisha utashi wa kisiasa, uwajibikaji na mshikamano. Uratibu na
ushirikiano imara ndani ya mamlaka za serikali za mitaa katika ngazi ya Mkoa, Wilaya na Kata
utaunganisha ngazi ya taifa na ngazi ya jamii kupitia kamati ya pamoja tofauti na mifumo iliyokuwa
ikitumika katika Mipango nane (8) ya awali.
2.8 Maeneo ya Mpango kazi – Mchanganuo na Mahali pa kuweka mkazo
Mchakato wa kuandaa MTAKUWWA ulishirikisha mapitio ya kina ya Mipango nane (8) ya awali
iliyolenga kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Mikutano ya majadiliano iliyohusisha
wadau mbalimbali (Serikali, Asasi za Kiraia, Mashirika ya Kidini, Mashirika Yasiyokuwa ya Kiserikali
ya Kitaifa na ya Kimataifa, Wabia wa Maendeleo na Mashirika ya Kimataifa) ilifanyika ili kutathmini
uzoefu uliopo, matokeo bora, changamoto na mapendekezo kuhusu hatua za baadaye. Mapitio ya
mipango ya awali yaliwasaidia wadau kuunda mbinu za kuandaa MTAKUWWA (2017/18-2021/22) na
17
kanuni za kushughulikia ukatili dhidi ya wanawake na watoto.
Kanuni Ongozi
Mchakato wa kuandaa MTAKUWWA ulibaini masuala 18 kama inavyoonekana katika jedwali la 1.
Katika kubaini masuala hayo 18, wadau walitumia kanuni ongozi kadha wa kadha kama ilivyo ainishwa
hapa chini.
1. Upatikanaji wa huduma kwa wote na kwa usawa: Huduma muhimu za afya zinatakiwa kutolewa
bila kuwafanya wanufaika kuwa katika hatari ya kufifishwa au kunyanyapaliwa au kubaguliwa na watoa
huduma wa afya, kwa mfano kutoa huduma kwa masharti ya kuangalia jinsi, umri, hali ya kijamii na
kiuchumi, au kabila. Kwa kuzingatia kanuni ya usawa katika huduma za afya, juhudi zinahitajika ili
kuboresha upatikanaji wa huduma kwa makundi yaliyoko mbali na huduma au wanaonekana kama
wametengwa au wanakumbana na vikwazo katika kupata huduma.
2. Haki za binadamu: Haki za binadamu zinalindwa na mikataba ya Kikanda na Kimataifa. Kadhalika
zinalindwa pia na Katiba ya nchi na sheria za kitaifa. Programu, sheria, sera na huduma za kuzuia na
kutoa mwitikio dhidi ya ukatili la ukatili zinatakiwa kuendana na mikataba mbalimbali ya kikanda na
Kimataifa kuhusu haki za binadamu.
3. Usawa wa kijinsia: Kuondoa ubaguzi wa kijinsia, kubadilisha mila na desturi mabadiliko ya kanuni
za kijamii na kiutamaduni zinazosababisha ukatili na kupelekea kutokuwepo mahusiano yasio ya
kijinsia, na uwezeshaji wa wanawake na wasichana ni msingi mkuu katika kuzuia na kutoa mwitikio wa
ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Uzuiaji na mwitikio wa aina zingine za ukatili lazima
ushughulikie mgawanyo usiosawa wa majukumu na mila na desturi za utamaduni wa jamii hususani
mfumo dume kama kichocheo cha ukatili. Aidha, ni muhimu pia kuangalia aina mbalimbali za ubaguzi
ambazo zinazosababisha mtu kuwa katika mazingira hatarishi ukatili kwa kuzingatia matabaka umri,
ulemavu, jinsia na sababu nyinginezo.
4. Kujitawala na uwezeshaji: Programu za kuzuia na kutoa mwitikio kwenye vitendo vya ukatili
zikijumuisha na utoaji wa huduma za afya, zinatakiwa kuheshimu hali ya kujitawala kufanya maamuzi
huru na yenye kutoa taarifa sahihi kuhusu uangalizi na upatikanaji wa huduma kwa waathirika wa
ukatili. Huduma hizo zinatakiwa kuwawezesha wale waliopatwa au wanaoathirika na vitendo vya
ukatili kwa kuheshimu utu na thamani yao kama binadamu, na kwa kutoa taarifa na ushauri kuhusu
huduma zinazowawezesha kufanya maamuzi yao binafsi.
5. Ushirikishwaji wa jamii: Hii inahusu kusikiliza mahitaji ya jamii ikiwa ni pamoja na kuwashirikisha
kikamilifu wale wanaoishi au wamewahi kufanyiwa ukatili kwa kuwahusisha katika utetezi, maendeleo
ya sera, kupanga na utoaji wa huduma, ufuatiliaji, utafiti na tathmini
18
6. Mifano inayozingatia vielelezo: Programu, sera na huduma za kuzuia na kutoa mwitikio dhidi ya
vitendo vya ukatili zinatakiwa kujikita katika uthibitisho wa kisayansi na/au mifano bora inayokubalika
na wote, na programu hizo zinatakiwa kuzingatia muktadha wa kijamii na ule wa kiutamaduni.
7. Mbinu zinazozingatia vipindi vya maisha: Tabia ya ushari/vurugu kwa sasa inaweza kutengenezwa
na hatua mbalimbali anazopitia mtu katika maisha, hivyo basi program, sera na huduma za kuzuia na
mwitikio wa ukatili lazima ziwalenge watoto walio katika umri wa awali na pia zizingatie afya na
mahitaji ya kijamii katika vipindi vyote vya maisha ukijumlisha kipindi cha utoto, ujana, utu uzima na
uzee.
8. Mwitikio wa sekta mbalimbali: Jitihada za nchi katika kushugulikia ukatili dhidi ya wanawake na
watoto zinahitaji kuwa jumuishi, kuratibiwa na kuhusisha sekta mbalimbali. Hii inahitaji ushirikiano wa
sekta mbalimbali ikiwemo afya, sekta inayoshughulikia maendeleo ya wanawake na usawa wa kijinsia,
ulinzi wa watoto, elimu, utekelezaji wa sheria, mahakama na masuala ya kijamii. Pia inahitaji uratibu na
ushirikiano kati ya umma na sekta binafsi, pamoja na mashirika ya kiraia, vyama vya kitaaluma na
wadau wengine muhimu.
Mbinu inayotumiwa na Shirika la Afya Duniani ilipitishwa ili kurahisi mchanganuo wa masuala 18.
Mbinu hii ni mojawapo ya visababishi kuanzishwa kwa mpango wa ushirikiano wa kidunia wa
kutokomeza ukatili dhidi ya watoto na inajumuisha mikakati saba(7) (kama iliyoorodheshwa katika
Jedwali la 1) ambayo kama ikitekelezwa kwa pamoja, itatoa mwelekeo wa kutokomeza ukatili dhidi ya
watoto.31
31 World Health Organization, INSPIRE Strategy, Executive Summary, p.4
19
Jedwali Na. 1: Maeneo ya kuzingati kulingana na Mbinu za Shirika la Afya Duniani (Modeli ya INSPIRE)
Masuala yaliyobainishwa na Mipango
Kazi Nane (8) iliyopo/ iliyopita
Mkakati Maeneo ya Utekelezaji
1. Kuwezesha familia kiuchumi
2. Makahaba (wanaojiuza)
Kuimarisha uwezo wa kaya kwa
kuwawezesha wanaume,
wanawake, wasichana na wavulana
ili kutumia fursa za kiuchumi na
kijamii
1. Kuimarisha uchumi wa
kaya
3. Kubadilisha mitazamo ya mila na
desturi ili kuwalinda wanawake na
watoto
4. Imani za kishirikina na mauaji ya
vikongwe
5. Ndoa za utotoni na ukeketaji
Kuimarisha Mila na desturi zenye
mtazamo chanya, zinazolinda
wanawake dhidi ya ukatili na
zenye kuleta maendeleo na usawa
wa kijinsia
2. Mila na Desturi
6. Wakimbizi (Wanawake na watoto)
7. Mazingira salama
Kutenga na kuendeleza maeneo
salama na yanayofikika na
wanawake na watoto katika jamii
zetu
3.Mazingira salama katika
maeneo ya umma
8. Kufundisha stadi za malezi chanya Mahusiano chanya yanayozingatia
usawa wa kijinsia baina ya
wanaume na wanawake, na baina
ya watoto na walezi
4. Malezi, kuimarisha
mahusiano na kuziwezesha
familia
9. Mfumo wa sheria
10. Ndoa za utotoni
Jamii ya Kitanzania iliyokubaliana
na mabadiliko ya kisheria
zinazopendekezwa na kutekelezwa
ili kuwalinda wanawake na watoto
dhidi ya vitendo vya ukatili
5. Utekelezaji na Usimamiaji
wa sheria
11. Utoaji huduma kwa waathirika wa
ukatili.
12. Wakimbizi (Wanawake na watoto)
13. Watoto wanaoishi na kufanya kazi
mitaani
14. Ajira kwa watoto
Mfumo jumuishi na fungamanishi
wa ulinzi utakaowezesha uratibu
na wenye kutoa huduma kwa
wakati na kwa ufanisi kwa
wanawake na watoto walioathirika
na ukatili
6. Utoaji huduma kwa
waathirika wa ukatili
15. Kuwasaidia watoto kukuza stadi za
maisha na kuwa salama shuleni
Kuondoa aina zote za ukatili katika
mifumo rasmi na isiyo rasmi ya
kielimu ili kuwezesha watoto na
vijana (ikiwemo watoto wenye
ulemavu) ili kufikia malengo yao
7. Mazingira Salama Shuleni
na Stadi za maisha
16. Ufuatiliaji, utoaji taarifa, utafiti na
uratibu
17. Kuandaa bajeti
18. Rasilimali watu na kujenga uwezo wa
kitaasisi
Kuwepo kwa Mfumo Jumuishi wa
Kitaifa wa uratibu na
utakaowezesha utoaji maamuzi
kuhusu kuzuia na kutoa huduma za
afua kuhusu ukatili dhidi ya
wanawake na watoto; kutumia
taarifa za wataalamu katika utoaji
maamuzi kuhusu afua za kuzuia na
kutoa huduma kwa waathirika wa
vitendo vya ukatili.
8. Uratibu, Ufuatiliji na
Tathmini
22
Utekelezaji wa MTAKUWWA
MTAKUWWA uliandaliwa ili kushughulikia masuala ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto nchini
kwa kuzingatia vipaumbele, matokeo yanayotarajiwa, muda wa utekelezaji na wadau muhimu kutoa
viashiria kwa ajili ya kufuatilia maendeleo. Muda wa utekelezaji umegawanywa katika awamu tatu
ambazo ni muda mfupi (hadi miaka 2), muda wa kati (miaka 2 hadi 5) na muda mrefu (miaka 5 na
zaidi). Changamoto za Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto zilizoainishwa ni pamoja na; umaskini,
mazingira yasiyo salama, unyanyasaji wa watoto shuleni, mila na desturi zenye kusababisha madhara
katika jamii, uratibu usio na ufanisi katika kutekeleza shughuli za ulinzi na usalama wa wanawake na
watoto, huduma zisizotosheleza kwa waathirika, sheria zinazokinzana, wazazi na walezi kutokua na
ujuzi juu ya malezi, upungufu wa takwimu na taarifa rasmi kuhusu Ukatili Dhidi ya Wanawake na
Watoto.
Kila eneo kati ya maeneo nane (8) ya utekelezaji yaliyomo kwenye malengo mkakati yanayofafanua
masuala ambayo MTAKUWWA umedhamiria kuyatekeleza na kutoa matokeo ya muda mfupi na muda
wa kati. Utekelezaji wa mpango umegawanyika katika nguzo kuu mbili ambazo ni: kuzuia ukatili na
kuhudumia waathirika wa ukatili kupitia shughuli zilizoainishwa katika maeneo ya utekelezaji.
a. Kuimarisha uchumi wa kaya
Ukatili wa kijinsia unaathiri uwezo wa uzalishaji kiuchumi kwa wanawake katika sekta rasmi na isiyo
rasmi na hivyo kupunguza uwezo wao wa kuhudumia familia ikiwemo wazee. Hali duni ya kiuchumi ni
sababu kubwa ya ongezeko la ukatili unaofanywa na wenza katika mahusiano pamoja na unyanyasaji na
unyonywaji wa aina nyingine. Zaidi ya hayo, hali ya kutokuwa na usawa wa kijinsia na maamuzi katika
masuala ya uzazi na kujamiiana waliyonayo wanawake inatokana na kuwa tegemezi kiuchumi.
Umaskini ni kichocheo cha kusababisha mfadhaiko unaowaweka wanawake na watoto katika hali
hatarishi ya ukatili.
Mipango inayolenga kunusuru kaya maskini mathalani Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) na
mipango mingine kama vile; mikopo midogo midogo na gawio la pesa, inaendelea kutumika katika
ngazi ya taifa ili kupunguza ukali wa maisha pamoja na athari zake. Utekelezaji wa program mbalimbali
za kiserikali na zisizo za kiserikali zimeonesha kuboresha ustawi wa maisha katika kaya. Hivyo mpango
huu umeainisha masuala ya kijinsia katika eneo hili la utekelezaji ili kuwapa wanawake fursa za ajira,
uwezo wa kupata mapato na kupanua uwekezaji katika jamii husika sanjari na kupunguza athari za
ukatili kwa watoto.
b. Mila na desturi
Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025 inasisitiza umuhimu wa amani na ustahimilivu katika
jamii na kuweka lengo la usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake katika nyanja zote za kijamii,
23
kiuchumi na kisiasa. Endapo kanuni za kijamii zinaporuhusu au himiza ukatili na kuendeleza mahusiano
yasiyozingatia usawa kijinsia, waathirika wa kwanza huwa ni wanawake na watoto. Wanakuwa katika
hatari ya kuathirika kutokana na ukatili wa kiakili, kingono, na kisaikolojia nyumbani na katika jamii
zao. Hivyo wanakua kwenye hatari zaidi ya kuwa waathirika wa vitendo vya ukatili mathalani ukeketaji
wa wanawake na ndoa za utotoni.
Kipaumbele cha MTAKUWWA ni kuwatia moyo na kuwaunga mkono wanawake na watoto kusimama
kidete dhidi ya vitendo vya ukatili mahali popote pale na wakati wowote. Pia, ni muhimu kuwahusisha
kikamilifu wanaume katika mchakato huu. Vilevile, mpango huu unalenga kurekebisha mila na desturi
zenye madhara mathalani ukeketaji wa wanawake, ndoa za utotoni na kanuni za malezi zinazofumbia
macho ukatili wa kimwili na ule wa kihisia dhidi ya watoto au desturi zinazozuia utoaji wa taarifa za
matukio ya ukatili.
c. Mazingira Salama
Vitendo vya ukatili katika jamii vinasababishwa na mambo mengi. Kwa hiyo, kutokomeza ukatili
kunahitaji mbinu tofauti kwa kuhusisha jamii yote. Wazazi, maafisa ustawi wa jamii, viongozi jamii na
taasisi nyingine zinatakiwa kufanya kazi bega kwa bega na sekta binafsi pamoja na sekta ya umma ili
kuweka mazingira salama kwa wote. Serikali inatambua kwamba:
i. Wananchi wote wanatakiwa kuwa na uhuru wa kutembea katika maeneo yao na mahali pengine
bila woga wa kufanyiwa ukatili;
ii. Kuna umuhimu wa kuongeza uwajibikaji wa kitaasisi wa kuzuia na kupunguza ukatili dhidi ya
wanawake na watoto;
iii. Kuna umuhimu wa kuhimiza utekelezaji wa sera na sheria katika maeneo ya kazi ya umma na
sekta binafsi ili kuzuia na kupunguza ukatili dhidi ya wanawake na watoto; na
iv. Kuongeza utekelezaji na uwajibikaji katika usimamizi wa maeneo ya starehe ili kuzuia na
kupunguza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.
d. Malezi, kuimarisha mahusiano na kuziwezesha familia
Uzoefu unaonesha kuwa afua za malezi katika kipindi cha maisha ya mtoto zinaweza kuboresha
mahusiano baina ya watoto na wazazi/walezi. Vilevile, zinaweza kuchangia katika maendeleo ya
kimwili, kiafya, kihisia na kitabia kwa mtoto katika kushughulikia ukatili wa kimwili, wa kingono na
wa kisaikolojia.32
Watoto wanaotoka katika familia zenye matukio mengi ya ukatili huiga mifano ya
tabia na uzoefu waliouona katika hatua za awali za makuzi katika maisha yao. Matokeo yake, watoto
hawa wanakuwa katika hatari kubwa ya kuwa waathirika na wanaofanya vitendo vya ukatili katika
32 INSPIRE Seven Strategies for Ending Violence Against Children, WHO 2016
24
maisha yao yote. Inakuwa vigumu kwa watoto hawa kuwa na mahusiano mazuri nyumbani, kazini na
hata katika jamii zao, na kuna uwezekano mdogo kwa watoto wa aina hii kuwa wazazi bora kwa watoto
wao hapo baadaye.
Uwekezaji wa serikali katika programu za malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto, na utayari
wa program hizi shuleni, na kuimarisha uwezeshaji katika ngazi ya familia ni eneo la kipaumbele
katika MTAKUWWA .
e. Utekelezaji na usimamizi wa Sheria
Urekebishaji na utungaji wa sheria na sera utafanywa kutokana na majadiliano mbalimbali ili
kuhakikisha mfumo wa kisheria unajibu mahitaji ya makundi yaliyo katika mazingira hatarishi,
mathalani; watoto wanaokinzana na waliokutana na mfumo wa sheria, wanawake na watoto wenye
ulemavu, watoto wenye ualbino, wanawake na watoto wakimbizi, watoto wanaofanya kazi katika
mazingira ya unyonywaji na kushughulikia mila na desturi zenye madhara kwa wanawake na watoto.
MTAKUWWA unaotoa kipaumbele kwa kufanya marekebisho ya: Sheria ya Ndoa; Tamko la Kimila;
Kupitia Sheria ya Mtoto; na uainishaji wa ukatili dhidi ya watoto kama kosa la jinai.
f. Utoaji wa huduma kwa waathirika wa ukatili
Kila mwathirika wa ukatili ana haki ya kutoa taarifa na kupata huduma inayostahili na kwa wakati.
MTAKUWWA unabainisha mikakati muhimu ili kuandaa mfumo utakaoweka mikakati ya kuzuia na
kutoa huduma kwa waathirika dhidi ya ukatili wa wanawake na watoto. Hivyo unatazama jinsi ya
kuingiza afua zilizopo, mathalani zile zinazoghulikia ulinzi na usalama wa mtoto na zile zilizolenga
kushughulikia tatizo la ukatili wa kijinsia, kua katika mfumo mmoja. Kupitia utekelezaji shirikishi
MTAKUWWA utaondoa changamoto za mwingiliano wa afua na badala yake itaweka mfumo mmoja
uliohuishwa wa utoaji huduma.
g. Mazingira Salama Shuleni na Stadi za maisha
Elimu rasmi na isiyo rasmi inatumika kama chombo cha ulinzi na usalama na ni njia madhubuti ya
kuifikia jamii kuielimisha jinsi ya kuzuia na kutoa huduma kwa waathirika wa ukatili. Aidha, kila mtoto
na mtu mzima katika mazingira ya shule anatakiwa kuwa na uwezo wa kushiriki katika mafunzo bila
kuwa na hofu ya ukatili.
MTAKUWWA unajumuisha mikakati mbalimbali inayoshughulikia ukatili katika maeneo ya kutolea
elimu. Ili kutekeleza kwa ufanisi mikakati hiyo, MTAKUWWA unasisitiza ushirikishaji kamilifu wa
wajumbe wa bodi ya shule, utawala wa shule, wazazi, wanafunzi, wanajamii, wahudumu wa wakati wa
dharura na wasimamizi wa sheria ili kupata suluhu za ushirikiano katika kuzuia na kupata majawabu ya
pamoja wakati wa kuzuia na kutoa huduma kwa waathirika wa ukatili. Afua katika eneo hili la
utekelezaji itajumuisha: kuboresha ujuzi wa walimu katika kuhamasisha nidhamu chanya; ujuzi wa
25
kuboresha ulinzi wao wenyewe na stadi za maisha; kuhakikisha kwamba shule zinakuwa na mfumo wa
rufaa kwa watoto wanaohitaji huduma za waathirika wa ukatili; uanzishaji wa mitaala ya malezi chanya;
kuhamasisha ushirikishaji wa mtoto kupitia uanzishaji wa vilabu shuleni; na kutoa huduma ya afya na
usafi shuleni.
h. Uratibu, Ufuatiliaji na Tathmini
Serikali inatambua kuwepo kwa miundo mbalimbali ya uratibu kutokana na mipango nane (8)
iliyopita/iliyopo ambayo ilisababisha mkanganyiko na ufanisi mdogo katika utekelezaji. MTAKUWWA
unasisitiza kuwepo kwa muundo mmoja wa uratibu ambao usimamizi wake utakuwa chini ya Ofisi ya
Waziri Mkuu. Lengo ni kuhakikisha kuna kuwa na uwajibikaji na usimamizi madhubuti katika utoaji wa
huduma, uwazi na mshikamano, hatua ambayo itaboresha utoaji huduma na kupunguza gharama.
Uratibu ulioboreshwa utahakikisha wahusika katika ngazi zote wanajituma kutokomeza ukatili dhidi ya
wanawake na watoto, na kwamba sekta zitafanya kazi pamoja ili kuleta matokeo yaliyokusudiwa.
3.1 Matokeo ya MTAKUWWA
Kupitia utekelezaji wa shughuli za kuzuia na kutoa huduma kwa waathirika wa ukatili zilizoainishwa
katika maeneo nane (8) ya utekelezaji, Tanzania itatekeleza na kuleta matokeo yafuatayo:
1. Ongezeko la kipato cha kaya zilizo katika mazingira hatarishi;
2. Ongezeko la umiliki wa mali na amana kwa wanawake;
3. Kuendeleza mila na desturi zinazopinga vitendo vya ukatili;
4. Uboreshaji wa usalama wa wanawake na watoto katika maeneo ya umma;
5. Uimarishaji wa huduma za malezi na ulinzi ili waweze kukua na kufikia utimilifu wao kimwili,
kiakili, kimaadili, kijamii na kiimani
6. Ulinzi wa wanawake na watoto kupitia upatikanaji wa huduma za kisheria zilizoboreshwa;
7. Uboreshaji wa Huduma kwa waathirika wa Ukatili dhidi ya wanawake na watoto; na
8. Kuwepo kwa mazingira salama ya kujifunzia kwa wasichana na wavulana yanayoheshimu haki za
mtoto.
Kiambatisho na 1 kinatoa maelezo ya kina ya MTAKUWWA, nguzo muhimu, shughuli zilizopangwa
kutekelezwa, matokeo yanayotarajiwa, utendaji na viashiria.
28
Gharama za MTAKUWWA
Gharama za MTAKUWWA zimepangwa ili kubaini kiasi cha fedha kinachohitajika katika utekelezaji
wa afua za kuzuia na kutoa huduma kwa waathirika wa ukatili kama zilivyoainishwa katika maeneo
nane (8) ya utekelezaji. Jumla ya gharama za utekelezaji wa mpango huu katika kipindi cha miaka
mitano33
inakadiriwa kuwa ni shilingi bilioni 267.4 kama inavyooneshwa katika Jedwali Na. 2 na Na. 3
la mchanganuo wa matumizi.
Utekelezaji wa MTAKUWWA utagharamiwa na Serikali kwa kushirikiana na Sekta Binafsi, Mashirika
ya Kimataifa na Wadau wa Maendeleo. Mpango kazi wa mwaka utaandaliwa mwanzoni mwa robo ya
mwisho ya kila mwaka na Idara ya Sera na Mipango ya WAMJW kwa kushirikiana na wadau kubaini
shughuli zitakazotekelezwa mwaka unaofuata kutoka katika kazi zilizoainishwa kwenye
MTAKUWWA. Kazi hizo zitapewa kipaumbele na vyanzo vya rasimali fedha kwa kila shughuli
iliyobainishwa ili kutambua kiasi cha fedha kilichotengwa kwa mwaka kupitia ahadi zilizotolea na
taasisi za umma, wadau wa maendeleo na taasisi zitakazohusika katika utekelezaji. Bajeti itaandaliwa
kwa kuzingatia rasilimali fedha zilizopatikana na kugawanywa kulingana na malengo mkakati na afua
zilizopangwa kutekelezwa katika mwaka husika.
Jedwali Na. 2: Gharama za utekelezaji wa MTAKUWWA (kwa Shilingi za Kitanzania) 2017/18 2018/19 2019/20 2020/21 2021/22 JUMLA
Matumizi ya Kawaida
25,208,954,500 86,832,213,080 64,257,378,080 37,236,736,080 33,901,748,080 247,437,029,820
Matumizi ya Maendeleo 4,167,240,000 4,031,160,000 4,268,660,000 3,888,860,000 3,647,860,000 20,003,780,000
JUMLA KUU 29,376,194,500 90,863,373,080 68,526,038,080 41,125,596,080 37,549,608,080 267,440,809,820
Mchanganuo wa gharama za utekelezaji wa MTAKUWWA kwa kila eneo la utekelezaji umeainishwa
katika kiambatisho namba II
Jedwali Na. 3: Uwiano wa Matumizi katika Maeneo ya Utekelezaji Maeneo ya Utendaji Jumla %
Jumla
Gawio la Mwaka la Bajeti
Mwaka
2017/18
Mwaka
2018/19
Mwaka
2019/20
Mwaka
2020/21
Mwaka
2021/22
Kuimarisha uchumi wa
kaya 60,923,200,000 22.8 13,404,676,000 12,983,976,000 12,603,246,000 11,118,656,000 10,812,646,000
Mila na desturi 97,704,380,000 36.5 330,300,000 49,058,320,000 28,859,500,000 11,299,860,000 8,156,400,000
Mazingira salama katika maeneo ya umma 2,404,642,500 0.9 381,402,500 555,200,000 627,360,000 423,640,000 417,040,000
Malezi, kuimarisha mahusiano na
kuziwezesha familia wa
kifamilia na mahusi
7,127,160,000 2.7 1,283,840,000 1,332,240,000 1,532,760,000 1,367,840,000 1,610,480,000
33 Gharama zote za utekelezaji wa NPA –VAWC zimeainishwa kwa kutumia bei za soko kwa mwaka 2016/17.
29
Usimamizi na Utekelezaji
wa sheria 6,441,002,000 2.4 172,040,000 1,400,166,000 2,331,696,000 1,245,464,000 1,291,636,000
Utoaji huduma kwa
waathirika wa ukatili msaada
27,391,620,000 10.2 5,368,356,000 5,117,356,000 5,920,716,000 5,706,996,000 5,278,196,000
Mazingira Salama
Shuleni na Stadi za
maisha
34,846,992,320 13 213,972,000 8,827,480,080 9,047,680,080 8,449,080,080 8,308,780,080
Uratibu, Ufuatiliji na Tathmini
30,601,813,000 11.4 8,221,608,000 11,588,635,000 7,603,080,000 1,514,060,000 1,674,430,000
Jumla Kuu 267,440,809,820 100 29,376,194,500 90,863,373,080 68,526,038,080 41,125,596,080 37,549,608,080
32
Muundo wa Kitaasisi na
Uratibu wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto
MTAKUWWA ni mpango unaounganisha sekta mabimbali ili kusimamia utekelezaji wake katika
kushughulikia tatizo la Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto. Mpango huu utaongeza fursa katika nchi
na kuwezesha kubadilishana maarifa na uzoefu hivyo kuongeza ari ya kufanya kazi kwa pamoja.
Kwa kuwa MTAKUWA utahusisha sekta mbalimbali na maeneo tofauti umeandaliwa kwa kuzingatia
ngazi kuu mbili ambazo ni: (i) Ngazi ya taifa, inayojumuisha; Ofisi ya Waziri Mkuu, Ofisi ya Rais –
Utawala wa Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Mambo ya Ndani (Jeshi la Polisi, Magereza na
Uhamiaji – Usafirishaji Haramu wa Binadamu); Wizara ya Fedha na Mipango (Kamishna wa Bajeti);
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto; Wizara ya Katiba na Sheria; Wizara ya
Elimu, Sayansi na Teknolojia; Wizara ya Kilimo Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi; Wizara ya Viwanda,
Biashara na Uwekezaji; Wizara ya Nishati na Madini; Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI; Mfuko wa
Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF); Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora; Wakala wa
Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA); Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC); Ofisi ya Takwimu ya Taifa
(NBS); na wawakilishi wa wadau wa maendeleo, Asasi za Kiraia, Mashirika ya Kidini; na (ii) Ngazi ya
Mamlaka za Serikali za Mitaa, inayojumuisha Mikoa, Wilaya, Kata na Vijiji.
Kutakuwapo na Mkutano wa Mwaka wa Wadau katika ngazi ya taifa chini ya uenyekiti wa Katibu
Mkuu – Ofisi ya Waziri Mkuu. Mkutano wa Mwaka wa Wadau ni jukwaa linalowakutanisha wadau
wote wa MTAKUWWA nchi nzima ili kujadili maendeleo na changamoto zilizojitokeza wakati wa
utekelezaji wa mpango. Mkutano wa majadiliano utaandaa hatua zitakazofuatwa katika kushughulikia
changamoto; pia masuala ya yanayojitokeza kuhusu Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto na mpango
wa baadaye utajadiliwa kikamilifu pamoja na kupitisha tafiti na nyaraka zilizofanyiwa marekebisho kwa
kipindi husika cha utekelezaji. Kumbukumbu za mkutano wa mwaka wa majadiliano zitakusanywa na
kutunzwa na sekretarieti.
Katika ngazi ya taifa, mashirika na wakala wanaoongoza katika utekelezaji wa mpango yatafanya kazi
kwa ushirikiano. Mashirika haya yanayoongoza katika utekelezaji yatahusika na vipengele vyote vya
utekelezaji wa mpango kazi huu, wakati mashirika mengine yatafanya kazi bega kwa bega na wizara
husika za utekelezaji katika kutekeleza afua mbalimbali zinazohusu Ukatili Dhidi ya Wanawake na
Watoto.
Katika ngazi ya Serikali za Mitaa, utekelezaji wa MTAKUWWA utakuwa chini ya Ofisi ya Rais –
33
TAMISEMI. Serikali za Mitaa zitatekeleza sehemu yao ya programu chini ya uongozi wa Wakurugenzi
Watendaji wa Wilaya/Manispaa kwa mujibu wa kanuni za kifedha zilizopo na kanuni nyinginezo.
Usimamizi wa kila siku, uwezeshaji na usimamizi utakuwa chini ya Afisa Maendeleo ya Jamii na Afisa
Ustawi wa Jamii wa Wilaya. Mfumo wa utoaji taarifa utafuata muundo wa serikali uliopo ambapo
Mamlaka za Serikali za Mitaa zitawasilisha taarifa zake za fedha za miezi mitatu na za mwaka kwa OR-
TAMISEMI kupitia Sekretarieti za Mikoa. OR-TAMISEMI itaziunganisha taarifa husika na
kuziwasilisha Sekretarieti ya MTAKUWWA.
Utekelezaji wa MTAKUWWA umejikita katika misingi mikuu miwili; udhibiti madhubuti
unaosimamiwa na mashirika yanayoongoza katika utekelezaji yakishirikiana na wadau wengine;34
kwa
kufungamana na mifumo na taratibu za serikali hasa mifumo inayosimamia mipango na upangaji wa
bajeti.
Muundo wa uratibu wa MTAKUWWA utatekelezwa katika ngazi ya taifa na ngazi ya mamlaka ya
serikali za mitaa. Katika ngazi ya taifa, kutakuwapo na Kamati Elekezi ya Kitaifa ya Ulinzi wa
Wanawake na Watoto ya MTAKUWWA, Kamati Tendaji ya Taifa ya Ulinzi wa Wanawake na Watoto
ya MTAKUWWA na Vikundi vya Utekelezaji wa MTAKUWWA. Serikali itaunganisha kamati
zilizokuwepo katika ngazi ya Mkoa na ngazi ya Wilaya na kuweka mkazo katika kuzuia na kutoa
huduma kwa waathirika wa vitendo vya ukatili ikiwa ni pamoja na Kamati za kushughulikia tatizo la
utumikishwaji wa watoto, Kamati za Ukatili wa Kijinsia, Timu za Ulinzi wa Mtoto za Wilaya na Kamati
za Watoto Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi. Muundo wa kamati, sifa, majukumu na ratiba ya
mikutano ya wajumbe, vimeainishwa hapa chini.
Ngazi ya Taifa
(i) Kamati Elekezi ya Taifa ya Ulinzi wa Wanawake na Watoto
Kamati Elekezi ya Taifa ya Ulinzi wa Wanawake na Watoto itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu
Mkuu – Ofisi ya Waziri Mkuu na sekretarieti itakuwa chini ya WAMJW. Kamati hii itatoa mwongozo
wa kisera na uratibu wa MTAKUWWA. Kamati itakayokutana mara mbili kwa mwaka itajumuisha:
Makatibu Wakuu kutoka OWM; OR-TAMISEMI; WFM; WAMJW; WVBU; WKMU; WKS; WMN;
WEST; na wawakilishi wa wadau wa maendeleo na Asasi za Kiraia.
34
The lead agencies or support agencies can be government institutions at national or local level, family, community, private, NGOs, or FBOs depending on interventions in
each themetic area.
34
Mamlaka ya Kamati yatakuwa:
a) Kuhakikisha utekelezaji wa MTAKUWWA unaendana na mikataba ya kimataifa na kikanda ya
haki na usatawi wa wanawake na watoto, sera, sheria na miongozo ya nchi;
b) Kuhakikisha MTAKUWWA unaingizwa katika mipango na mikakati ya serikali katika ngazi
zote;
c) Kuhakikisha rasilimali za kutosha zinatengwa kwa ajili ya kutekeleza MTAKUWWA;
d) Kushirikiana na Wadau wa Maendeleo kuchangisha rasilimali za utekelezaji wa MTAKUWWA;
e) Kupitia na kuidhinisha mipango ya mwaka ya MTAKUWWA;
f) Kutoa miongozo ya kisera katika uratibu na utekelezaji wa MTAKUWWA;
g) Kuanzisha kamati ndogo, kikosi kazi na tume pale inapohitajika; na
h) Kuhakikisha shabaha zote za MTAKUWWA zinafikiwa
(ii) Kamati Tendaji ya Taifa ya Ulinzi wa Wanawake na Watoto
Kamati hii itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu Mkuu wa Wizara (WAMJW) na Sekretarieti itakuwa
chini ya Wizara hiyo hiyo. Wajumbe wa kamati hii watajumuisha: Makamishna/Wakurugenzi na Wakuu
wa Idara na vitengo vya serikali kutoka: OWM (Uratibu na Kazi, Ajira, Maendeleo ya Vijana na
Ulemavu); OR-TAMISEMI; WMN (Jeshi la Polisi, Magereza na Uhamiaji –Usafirishaji Haramu wa
Binadamu); WFM (Kamishna wa Bajeti); WAMJW; WKS; WEST; WKMU; WVBU; WNM;
TACAIDS; TASAF; THBUB; RITA; TCLT; STT; wawakilishi wa wadau wa maendeleo, Asasi za
Kiraia na Mashirika ya Kidini. Viongozi wa vikundi vya utekelezaji wa MTAKUWA watatoa taarifa za
utekelezaji kwa Kamati hii. Kamati itakutana kila baada ya miezi mitatu na watafanya kazi zifuatazo:
a) Kusambaza na kutoa elimu kuhusu utekelezaji wa MTAKUWWA;
b) Uratibu na ufuatiliaji wa pamoja wa utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi zote;
c) Kupitia na kuidhinisha mipango ya mwaka ya vikundi vya utekelezaji wa MTAKUWWA na
kutoa mwongozo kuhusu uboreshaji wa utekelezaji wake.
d) Kupitia taarifa za utekelezaji wa MTAKUWWA kwenye sekta na vikundi vya utekelezaji na
kutoa mapendekezo kwa ajili ya maboresho;
e) Kuhamasisha wadau katika ngazi ya taifa kutenga rasilimali kwa ajili ya programu
zinazowanufaisha wanawake na watoto
f) Kushirikiana na wadau wa maendeleo na wadau wengine katika kuchangia rasilimali za
utekelezaji wa MTAKUWWA;
35
g) Kuchambua taarifa za utekelezaji wa MTAKUWWA na kutoa mapendekezo ya namna matokeo
mazuri yanavyoweza kutumika katika kuboresha mipango mingine ya kisekta;
h) Kuhakikisha majukumu ya nchi kuhusu utekelezaji wa mikataba ya kimataifa na kikanda
inaingizwa na kuendana na mipango na programu za maendeleo za kitaifa zinazoshughulikia
ukatili dhidi ya wanawake na watoto;
i) Kupanga na kuandaa mikutano ya Kamati Elekezi ya Taifa mara mbili kwa mwaka; na
j) Kutoa taarifa kwenye kamati elekezi ya Taifa kupitia Mratibu wa Taifa wa MTAKUWWA
kuhusu utekelezaji, ikijumuisha hali halisi ya fedha mara moja katika kipindi cha miezi mitatu,
sita na mwaka.
(iii) Vikundi vya Utekelezaji wa MTAKUWWA.
Kuna vikundi vya utekelezaji vinane (8) vitakavyofanyia kazi maeneo ya utekelezaji wa
MTAKUWWA. Maeneo hayo ni; Kuimarisha uchumi wa kaya, Mila na desturi, Mazingira salama
katika maeneo ya umma, Malezi, kuimarisha mahusiano na kuziwezesha familia Utekelezaji na
Usimamiaji wa Sheria, Utoaji huduma kwa waathirika wa ukatili, Mazingira Salama Shuleni na Stadi za
maisha na Uratibu, Ufuatiliaji na Tathmini. Wajumbe wa vikundi vya utekelezaji wa MTAKUWWA
wanajumuisha wadau wote wanaotekeleza mpango kwa kila eneo la utekelezaji. Wajumbe hao
watakutana mara moja kwa mwezi ili kujadili utekelezaji wa afua za MTAKUWWA na kuandaa mambo
ya kutekeleza katika kipindi husika. Mkurugenzi /Kamishna katika Wizara au Idara ya sekta husika
atakuwa ndiye mwenyekiti wa kikundi cha utekelezaji katika eneo lake. Majukumu makuu ya vikundi
hivyo yatakuwa ni:
a) Kuchambua, kujadili na kuwasilisha taarifa utekelezaji wa MTAKUWWA kulingana na
maeneo ya utekelezaji;
b) Kuunganisha wadau wanaotekeleza MTAKUWWA na kuimarisha mawasiliano baina yao ili
kuepuka mgongano na mwingiliano.
c) Kubaini na kuratibu wadau wote wanaofanya kazi katika maeneo ya utekelezaji wa
MTAKUWWA nchini; na
d) Kutoa msaada wa kiufundi kwa watekelezaji wa MTAKUWWA
Viongozi wa Vikundi vya Utekelezaji wa MTAKUWWA
i) Kuimarisha Uchumi wa Kaya - WAMJJWW(Maendeleo ya Jamii)
ii) Mila na desturi - WAMJJWW (Jinsia)
36
iii) Mazingira salama katika maeneo ya umma - OR-TAMISEMI (Serikali za mitaa)
iv) Malezi, kuimarisha mahusiano na kuziwezesha familia -WAMJJWW (Maendeleo ya Mtoto)
v) Utekelezaji na usimamizi wa wa sheria - WKS(Huduma za Kisheria za Umma)
vi) Utoaji huduma kwa waathirika wa ukatili - WAMJJW (Ustawi wa Jamii)
vii) Mazingira Salama Shuleni na Stadi za maisha - WEST
viii) Uratibu, Ufuatiliaji na Tathmini - OWM (Uratibu)
(iv) Sekretarieti ya MTAKUWWA
Sekretarieti itaundwa na wajumbe kutoka wizara zinazoratibu na kutekeleza MTAKUWWA. Timu ya
sekretarieti itaongozwa na Mkurugenzi wa Sera na Mipango ya Wizara inayohusika na Masuala ya
Wanawake na Watoto. Majukumu ya Sekretarieti ni:
a) Watakuwa makatibu wa mikutano yote ya Kamati Tendaji na Kamati Elekezi ya
MTAKUWWA;
b) Kuunganisha na kuandaa taarifa zitakazowasilishwa katika kikao cha Kamati Elekezi na
Kamati Tendaji
c) Kuratibu mapitio ya nyaraka, ufuatiliaji na tathmini ya pamoja na tafiti mbalimbali;
d) Kutoa ushauri wa kiufundi kwa Kamati Tendaji ya MTAKUWWA
e) Kuandaa miongozo mbalimbali kwa ajili ya kuwezesha utendaji na utekelezaji wa
MTAKUWWA katika ngazi zote; na
f) Kuratibu utekelezaji wa MTAKUWWA wa kila siku.
Uratibu katika OR-TAMISEMI
Uratibu katika Mamlaka ya Serikali za Mtaa ni muhimu katika kuleta ufanisi wa utekelezaji wa
MTAKUWWA. OR-TAMISEMI itaratibu masuala yote yanayohusiana na MTAKUWWA katika ngazi
ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
OR-TAMISEMI itafanya yafuatayo:
a) Kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa na mawasiliano katika Mamlaka za Serikali za Mitaa;
b) Kuunganisha taarifa za utekelezaji wa MTAKUWWA kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa na
kuziwasilisha kwa Kamati Elekezi na Kamati Tendaji;
c) Kuhakikisha afua za MTAKUWWA zinajumuishwa katika mipango na bajeti za Mikoa,
Mamlaka ya Serikali za Mitaa na za wadau kwa utekelezaji;
37
d) Kushirikiana na wadau wa maendeleo na wadau wengine kuhusu upatikanaji na matumizi ya
rasilimali;
e) Kuitisha mkutano mkuu wa wadau angalau mara moja kwa mwaka ili kutoa mrejesho kuhusu
utekelezaji wa MTAKUWWA;
f) Kufanya ziara za pamoja za ufuatiliaji na tathmini katika ngazi ya Mamlaka za Serikali za
Mitaa;
g) Kushiriki mikutano ya majadiliano ya mwaka ya MTAKUWWA; na
h) Kutoa msaada wa kiufundi kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu utekelezaji wa
MTAKUWWA.
Ngazi ya Sekretarieti ya Mkoa
Sekretarieti ya Mkoa itaratibu afua zote za utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi ya mkoa na
itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu Tawala wa Mkoa. Kamati ya Mkoa ya MTAKUWWA
inajumuisha Afisa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa, Afisa Ustawi wa Jamii wa Mkoa, Kamanda wa Polisi
wa Mkoa, Afisa wa Serikali za Mitaa wa Mkoa, Afisa Elimu wa Mkoa, Mganga Mkuu wa Mkoa, Katibu
Tawala Msaidizi wa Mipango na Uchumi wa Mkoa, Afisa Sheria wa Mkoa, Afisa Uhamiaji wa Mkoa,
Afisa Magereza wa Mkoa, Afisa Kazi wa Mkoa, Hakimu Mkazi Mfawidhi, wawakilishi kutoka
Muungano wa Asasi na Mitandao ya Kiraia, Mashirika ya Kidini na wawakilishi wa vikundi vya
wanawake.
Kamati itakutana mara moja katika kipindi cha miezi mitatu kujadili utekelezaji wa MTAKUWWA.
Majukumu maalumu ya kamati ni:
a) Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa MTAKUWWA katika halmashauri zote za Mkoa;
b) Kuhakikisha kwamba mipango na bajeti zote za Halmashauri zinajumuisha afua za
MTAKUWWA;
c) Kutoa msaada wa kiufundi kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu utekelezaji wa
MTAKUWWA;
d) Kuunganisha taarifa za utekelezaji za mkoa za MTAKUWWA na kuziwasilisha OR-
TAMISEMI kwa ajili ya kuhakiki zaidi; na
e) Kuitisha mkutano wa wadau mara mbili kwa mwaka.
38
Ngazi ya Halmashauri
Katika ngazi ya Halmashauri, Kamati ya Ulinzi ya MTAKUWWA itakuwa chini ya uenyekiti wa
Mkurugenzi wa Halmashauri na itajumuisha Afisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya, Afisa Ustawi wa
Jamii wa Wilaya, Afisa Mipango wa Wilaya, Afisa Elimu wa Wilaya, Mganga Mkuu wa Wilaya,
Kamanda wa Polisi wa Wilaya, Hakimu Mkazi wa Wilaya, Afisa Magereza wa Wilaya, Afisa Sheria wa
Halmashauri, Afisa Kazi, wawakilishi wa AZAKI, Mashirika ya Kidini, Mabaraza ya Watoto, Makundi
ya Wanawake na viongozi wa jamii. Kamati hii itakutana mara moja katika kipindi cha miezi mitatu ili
kujadili taarifa za utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi ya Halmashauri na kutoa mwongozo
kuhusu kuboresha utekelezaji.
Kamati itawasilisha taarifa za utekelezaji za MTAKUWWA kwenye Kamati ya Kudumu ya Huduma za
Jamii katika Halmashauri.
Majukumu ya Kamati ni:
a) Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa MTAKUWWA katika kata na vijiji;
b) Kuhakikisha kwamba bajeti inatengwa kwa ajili ya uratibu na utekelezaji wa MTAKUWWA.
c) Kutoa taarifa kwa wakati kuhusu utekelezaji wa MTAKUWWA kwenye Sekretarieti ya Mkoa;
d) Kuwaendeleza na kuwapa mbinu mpya watumishi wanaoshughulika na masuala ya
MTAKUWWA katika halmashauri;
e) Kuwezesha na kufuatilia mipango ya utekelezaji ya MTAKUWWA inayoandaliwa kila mwaka
katika ngazi za halmashauri;
f) Kutunza kumbukumbu za matukio, jitihada na hatua zilizochukuliwa za kutokomeza Ukatili
Dhidi ya Wanawake na Watoto;
g) Kutangaza zaidi taarifa za MTAKUWWA kwa kuwahusisha viongozi wa Mamlaka za Serikali
za Mitaa pamoja na wadau wengine;
h) Kuwezesha ushiriakiano thabiti baina ya wadau wote wanaohusika na utekelezaji wa
MTAKUWWA; na
i) Kuwezesha usimamizi wa pamoja wa utekelezaji wa MTAKUWWA.
Ngazi ya Kata
Kamati ya Ulinzi wa Wanawake na Watoto katika ngazi ya Kata itajumuisha: Afisa Maendeleo ya
Jamii; Afisa Ustawi wa Jamii; Mratibu Elimu Kata; Afisa Mtendaji Kata; Tabibu; Polisi; Hakimu;
wawakilishi wa AZAKI na Mashirika ya Kidini, wawakilishi wa vikundi vya kiuchumi vya wanawake,
39
wawakilishi wa mabaraza ya watoto na watu mashuhuri katika jamii. Kamati itawasilisha taarifa za
utekelezaji wa MTAKUWWA kwenye Kamati ya Huduma za Jamii ya Kata. Kamati hii itakutana mara
moja katika kipindi cha miezi mitatu ili kujadili mafanikio, changamoto na kubadilishana uzoefu katika
utekelezaji wa MTAKUWWA.
Majukumu ya Kamati ni:
a) Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi ya Kata;
b) Kubaini, kukusanya na kuboresha taarifa ya orodha za AZAKI, Mashrika ya Kidini na wadau
wengine katika ngazi ya Kata wanaounga mkono utekelezaji wa MTAKUWWA
c) Kuandaa na kutekeleza afua za MTAKUWWA vijijini;
d) Kuhakikisha afua za MTAKUWWA zinaingizwa katika mipango ya maendeleo ya kijiji/mtaa;
e) Kutangaza zaidi taarifa zinazohusu Ukatili Dhidi ya Wanawake Watoto kwa viongozi wa Kata,
Vijiji na wadau wengine;
f) Kuwezesha ushirikiano miongoni mwa wadau wanaohusika na utekelezaji wa MTAKUWWA
katika Kata;
g) Kutafuta rasilimali ili kuwezesha utekelezaji wa MTAKUWWA;
h) Kutunza kumbukumbu za matukio, jitihada na hatua zilizochukuliwa za kutokomeza Ukatili
Dhidi ya Wanawake na Watoto;
i) Kutoa taarifa kwa wakati kuhusu utekelezaji wa MTAKUWWA kwa Mkurugenzi wa
Halmashauri; na
j) Kuwezesha usimamizi wa pamoja wa utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi ya Kata.
Ngazi ya Kijiji/Mtaa
Kamati ya Ulinzi wa wanawake na watoto katika ngazi hii itajumuisha: Afisa Mtendaji wa Kijiji /Mtaa,
watumishi wa afya, walimu wa ushauri na unasihi, Polisi Jamii, viongozi wa kidini, watu mashuhuri
katika jamii (wanaume na wanawake), maafisa ugani, wawakilishi wawili wa watoto kutoka baraza la
watoto na wawakilishi wawili wa vikundi vya wanawake. Wajumbe wa kamati watakutana mara moja
katika kipindi cha miezi mitatu ili kujadili masuala na changamoto za utekelezaji wa MTAKUWWA, na
kutoa mapendekezo ya namna kuboresha utekelezaji wa mpango.
Majukumu ya Kamati ni:
a) Kubaini maeneo hatarishi katika kijiji na kupanga mikakati/mipango ya kupunguza Ukatili
Dhidi ya Wanawake na Watoto.
40
b) Kutoa taarifa na rufaa za kesi za Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto zinazotokea katika
kijiji;
c) Kutoa msaada wa awali kwa waathirika wa ukatili;
d) Kuihamasisha jamiii kuhusu athari za ukatili;
e) Kuielimisha jamii kuhusu haki za wanawake na watoto;
f) Kutangaza zaidi taarifa zinazohusu Ukatili Dhidi ya Wanawake Watoto kwa viongozi wa Vijiji
na wadau wengine;
g) Kuwezesha ushirikiano miongoni mwa wadau wanaohusika na utekelezaji wa MTAKUWWA
katika kijiji /mtaa pamoja na shule;
h) Kuwezesha utekelezaji wa shughuli za MTAKUWWA katika maeneo yao
i) Kutafuta rasilimali ili kuwezesha utekelezaji wa MTAKUWWA;
j) Kutunza kumbukumbu za matukio, jitihada na hatua zilizochukuliwa za kutokomeza Ukatili
Dhidi ya Wanawake na Watoto;
k) Kutoa taarifa kwa wakati kuhusu utekelezaji wa MTAKUWWA kwa Mtendaji Kata; na
l) Kuwezesha usimamizi wa pamoja wa utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi ya Vitongoji.
Muundo wa Kitaasisi na Kiuratibu wa MTAKUWWA umetolewa maelezo kwa muhatasari katika
Kielelezo Na. 1.
41
Kielelezo Na. 1: Muundo wa Kitaasisi na Kiuratibu wa MTAKUWWA NGAZI KAMATI VIKAO MHUSIKA
TAIFA MKOA
H/HAURI KATA KIJIJI
OWM
KAMATI YA WATAALAM YA UONGOZI YA MTAKUWWA
OR - TAMISEMI
KAMATI YA WATAALAM YA ULINZI YA MTAKUWWA
SM
MARA MBILI KWA MWAKA
OWM
KILA ROBO MWAKA WAMJW
KILA ROBO MWAKA
KTM
MMW
AMK
AMKj/ AMM
KAMATI YA H/SHAURI YA WATAALAM WA
MTAKUWWA KILA ROBO
MWAKA
MMW
KAMATI YA KATA YA WATAALAM WA
MTAKUWWA
KILA ROBO MWAKA
AMK
KAMATI YA KIJIJI YA WATAALAM WA
MTAKUWWA
KILA ROBO MWAKA
AMKj
VIKUNDI VYA UTEKELEZAJI WA MTAKUWWA KILA MWEZI TAASISI
KIONGOZI
44
Ufuatiliaji na Tathmini ya MTAKUWWA
Eneo la utekelezaji la uratibu, ufuatiliaji na tathmini litaimarisha mifumo iliyopo katika ngazi ya serikali
kuu na mamlaka ya serikali za mitaa katika kupanga, kutekeleza na kutoa taarifa za utekelezaji wa
MTAKUWWA. Ufuatiliaji na tathmini ya MTAKUWWA utaleta ufanisi na ufasaha kwenye utekelezaji
wa afua za vipaumbele katika ngazi zote. Ufuatiliaji huu utatoa taarifa na kushauri endapo kuna mahitaji
ya kufanya marekebisho kwenye maeneo ya kimkakati na afua zake.
6.1 Malengo ya Ufuatiliaji wa MTAKUWWA.
Lengo la jumla la ufuatiliaji wa MTAKUWWA n i k u t o a nafasi ya majadiliano na maamuzi
kulingana na takwimu zilizokusanywa kutoka kwenye programu za ufanyaji kazi wa pamoja kwa
zikizingatia taarifa zilizokusanywa.
Malengo mahsusi ya ufuatiliaji wa MTAKUWWA ni:
i. Kuhakikisha upatikanaji wa takwimu sahihi za kutosha kuhusu Ukatili Dhidi ya Wanawake na
Watoto
ii. Kufanya tafiti na mapitio ya taarifa zilizopo ili kupata uhakika zaidi wa takwimu;
iii. Kuboresha uhifadhi, upatikanaji na matumizi ya takwimu kwa serikali na wadau; na
iv. Kuhamasisha mipango, utekelezaji na utoaji wa taarifa.
Ili kufanikisha malengo haya, mifumo iliyopo ya ufuatiliaji inatakiwa kuimarishwa na
kufungamanishwa na mipango mikakati ya ufuatiliaji ya Wizara, Idara, Wakala za Serikali na Mamlaka
za Serikali za Mitaa na kuoanisha na mifumo ya ufuatiliaji ya kisekta na ya tathmini. Timu ya uratibu
na wizara inayohusika itahakikisha umadhubuti na ufanisi wa ufuatiliji wa MTAKUWWA kupitia:
a) Kuandaa miongozo ya ufuatiliaji;
b) Kuwajengea wadau uwezo wa utekelezaji wa MTAKUWWA, ukusanyaji, uchakataji,
uchambuzi wa takwimu na utoaji wa taarifa;
c) Uwezeshaji wa tathmni ya pamoja na ufuatiliaji wa utekelezaji wa MTAKUWWA; na
d) Kuunganisha taarifa za ufuatiliaji na tathmini, zitakazowasilishwa na kujadiliwa kwenye
mikutano ya wadau ya mwaka katika ngazi ya taifa.
Vilevile, kutakuwepo na ufuatiliaji katika kipindi cha miezi mitatu, miezi sita na miezi kumi na mbili ili
kutathmni utendaji kazi na kutoa fursa ya kutafakari kuhusu mifano bora, changamoto na mafunzo
yaliyopatikana. Tathmini ya MTAKUWWA itafanyika katika vipindi viwili: kipindi cha kati cha
utekelezaji wa mpango na kipindi cha mwisho cha utekelezaji wa mpango.
45
6.2 Jedwali la Mfumo wa Matokeo
Jedwali la Mfumo wa Matokeo ya MTAKUWWA litatoa taarifa kuhusu matokeo muda mfupi na muda
mrefu, orodha ya viashiria vitakavyopimwa, taarifa za awali, shabaha, vipindi vya ukusanyaji wa
takwimu na utoaji taarifa na shirika au mashirika yanayohusika na ukusanyaji wa taarifa.
6.3 Viashiria na Shabaha
Ili kupima hatua za utekelezaji zilizofikiwa kwa kila shughuli iliyopangwa, viashiria vinavyozingatia
ubora na idadi vimeandaliwa kwa kila eneo la utekelezaji. Tafiti za awali zitafanyika ili kubainisha
takwimu zinazokosekana katika viashiria vilivyokuwa havina taarifa za msingi.
6.4 Ufuatiliaji &Tathmnini ya Mtiririko wa taarifa
Mtiririko wa takwimu na taarifa kutoka kwenye ngazi ya kijiji hadi katika ngazi ya Taifa kupitia
TAMISEMI utafuata mfumo ulioaininshwa katika utaratibu wa kitaasisi. Mfumo wa mchanganuo wa
Matokeo ya Mpango Kazi umeoneshwa katika Kiambatisho cha III.
48
Dhana Kuu, Hatari na Namna ya Kuziepuka
MTAKUWWA ni mpango wenye wigo mpana unaoshirikisha wadau mbalimbali katika kutekeleza afua
za kuzuia na kutoa huduma kwa waathirika wa ukatili. Kutokana na uzito wa majukumu yaliyomo
katika MTAKUWWA na idadi kubwa ya wadau, utekelezaji wa mpango huu unaweza kukabiliwa na
changamoto mbalimbali. Utekelezaji wake unategemea utashi wa kiasiasa, uraghibishaji, uwazi na
ushirikishaji wa ngazi zote za maamuzi kupitia muundo mpya wa uratibu utakaotumika kukabiliana na
baadhi ya changamoto zinazohusiana na ukosefu wa ufanisi na ujirudiaji wa hatua uliothibitishwa katika
mipango kazi nane (8) ya awali. Changamoto kubwa ni kwamba maeneo kadhaa ya MTAKUWWA
hayatafadhiliwa, hii ina maana kwamba baadhi ya shughuli zitafadhiliwa kwa kipindi cha miaka kadhaa
na zingine hazitafadhiliwa, hivyo kuathiri ufanisi wa MTAKUWWA katika kutokomeza aina zote za
ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Utekelezaji wa mpango unategemea nia ya dhati ya wadau kutoka
serikalini, wafadhili na wadau wengine wa utekelezaji wa kila shughuli iliyopangwa. Katika hali hii,
mafanikio ya mpango yanajikita katika matarajio yafuatayo:
1) Inatarajiwa kwamba serikali ina nia ya dhati ya kutekeleza MTAKUWWA kwa kuzingatia
kwamba mpango utachangia katika kufanikisha Shabaha ya 16.2, Shabaha ya 5.2 na Shabaha
ya 16.1 ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030, Matarajio ya Sita (6) ya Ajenda
2063: Afrika Tuikayo, Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025, na Mpango wa Pili wa
Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2016/17 – 2020/21);
2) Inatarajiwa kwamba wadau wa maendeleo wataendeleza nia yao katika utekelezaji wa
vipaumbele vya MTAKUWWA; na
3) Inatarajiwa kwamba mchakato wa uingizaji wa shughuli za kuzuia na kutoa huduma kwa
waathirika wa ukatili katika mipango ya serikali utakuwa madhubuti na wenye ufanisi.
49
KIAMBATANISHO CHA I: MPANGO WENYE MAELEZO MENGI WA UTEKELEZAJI WA NPA-VAWC
Lengo: Kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto nchini na kuboresha ustawi wao.
Eneo la Utekelezaji Na. 1: Kuimarisha Uchumi wa Kaya
Mkakati: Kuwawezesha wanaume, wanawake, wasichana na wavulana kutumia fursa za kijamii na kiuchumi zinazopatikana
Lengo Mkakati: Uwezo wa wanawake kiuchumi katika ngazi ya kaya unaimarishwa
Masuala
Afua Matokeo tarajiwa ya
Muda Mfupi
Matokeo tarajiwa ya
muda wa kati
Viashiria
Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya Muda
Mfupi
Matokeo ya muda wa
kati
1. Upatikanaji wa
Huduma za kifedha kwa
wanawake Wanaoishi
Katika mazingira
hatarishi na wasio
jiweza kiuchumi
Kuzuia Kuyabaini vikundi vya wanawake vya
kiuchumi na kutathmini chanagamoto
zinazozuia wanawake waweze kupata huduma
za kifedha
• Uwepo wa vikundi
imara vya wanawake
vya kiuchumi na
upatikanaji wa huduma
wa kifedha.
• Mfumo
utakaochochea
upatikanaji wa elimu
kaika masuala ya
kiufundi, ujasiliamali,
mikopo, masoko na
huduma za ushauri
vinaanzishwa.
Kuongezeka kwa
kipato cha kaya
• Asilimia ya
wanawake wanaopata
huduma za kifedha
• Asilimia ya
wanawake ambao ni
wanachama wa
VICOBA
Kiwango cha umaskini
katika ngazi ya kaya
Kuhamasisha na kuwezesha uanzishaji wa
vikundi vya wanawake vya kiuchumi, SACCOS
na VICOBA/ (COMSIP – Programu za kuweka
Akiba na Uwekezaji za Kijamii)
Kuwezesha upatikanaji wa huduma za biasha,
stadi za biashara na ushauri wa mikopo
Kuwezesha miradi ya kiuchumi ya wanawake
kuongeza thamani ya bidhaa zao.
Kuhamsisha masuala ya ukatili dhidi ya
wanawake na watoto kuingizwa katika Mpango
wa Uwezeshaji wa Shilingi Milioni Hamsini
(50) katika kila Kijiji.
Kupitia na kuweka mazingira rafiki ya usajili
wa biashara.
Viwanda vidogo na biashara ndogo
zinazomilikiwa na wanawake katika sekta mpya
kama vile mafuta na gesi asilia, madini, ulimaji
wa mbogamboga, ufugaji wa samaki na ufugaji
wa kuku kuendelezwa na kuwezeshwa.
Kuanzisha mfuko wa kusaidia upatikanaji
huduma za malezi na makuzi ya awali na mfuko
wa elimu kwa wasichana wanaotoka katika
familia maskini.
2. Uelewa wa wanawake
kuhusu haki ya kumiliki
mali, urithi, na kulindwa
dhizi ya vitendo vya
ukatili wa kijinsia.
Kuzuia Kuwashirikisha wanaume, viongozi wa jadi na
dini ili kuhamasisha haki za wanawake za
kumiliki ardhi na rasilimali zingine
Vikundi ya wanawake,
wajane na watoto
vimewezeshwa
kutambua na kudai haki
zao za mirathi.
Kuongezeka kwa
umiliki wa mali kwa
wanawake na amana
• Asilimia ya
wanawake, wajane
wanaomiliki ardhi na
rasilimali zingine
• Kesi za mirathi
ziliripotiwa na
Uwiano wa mali
zinazomilikiwa na
wanawake kwa
kuzingatia umri na
mahali.
Jawabu Kendesha vipidi vya uhamsishaji kwa
wanawake kuhusu haki ya kumiliki mali na haki
ya mirathi
50
Kuimarisha na kuongeza fursa za uboreshaji wa
njia za kujipatia riziki kwa vijana wahitimu wa
shule ili kuwawezesha kuingia katika umri wa
utu mzima
kufungwa/ kukamilika
Kuwezesha upatikanaji wa afua zitakazosaidia
kiunia kipato cha kaya.
Eneo la Utekelezaji Na.2: Mila na Desturi
Mkakati: Mila na desturi zinazowawezesha wanawake na kuunga mkono mahusiano yasiyokuwa ya shari, ya kuheshimiana, , na yenye kuzingatia usawa wa kijinsia
Lengo Mkakati: Jamii inayoheshimu usawa wa kijinsia, haki na ulinzi na usalama wa wanawake na watoto ili kuchukua hatua dhidi ya aina zote za ukatili.
Masuala
Afua Matokeo tarajiwa ya
Muda Mfupi
Matokeo tarajiwa ya
muda wa kati
Viashiria
Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya Muda
Mfupi
Matokeo ya muda wa
kati
1. Uwepo wa mila na
desturi za zenye
madhara
Hatua za kuzuia Kukusanya na kuchambua takwimu zilizopo
kuhusu mila na desturi na jitihada zilizofanyika
kuleta mabadiliko yakimtazamo, mtazamo wa
kijinsia na mabadiliko ya tabia na kufuatilia
utekelezaji.
Uwepo wa Wanawake
na wanaume waliopata
mafunzo kuhusu
madhara ya ukeketaji na
ndoa za utotoni katika
mikoa 10
Uwepo wa Mila na
desturi zinazokataa
ukatili
Kiwango cha Ukeketaji
wa wanawake
Muafaka wa kijamii
ambao haukubali aina
yoyote na mazingira
yoyote yale
yanayochochea ukatili
Kuandaa Mkakati wa Mawasiliano ili
kuendeleza Mila na desturi chanya na ili
kushughulikia usawa wa kijinsia
Kuendesha kampeni za uraghibishaji kwa
viongozi wa dini na viongozi wenye ushawishi
na kwa watunga sera ili kuendeleza Mila na
desturi chanya zinazowalinda Wanawake na
watoto ili kufikia mabadiliko ya kijamii.
Kushirikisha Jeshi la Polisi na Halmashauri ili
kushughulikia kwa umakini wanawake
nawatoto walioathirika na vitendo vya ukatili
Kuendesha majadiliano katika ngazi ya jamii ili
kujua mtazamo wao kuhusu ukatili dhana ya
mila zenye kuleta madhara
2. Kurasimisha
kutokuwepo kwa usawa
wa kijinsia wa aki
Kushughulikia masuala yasiyozingatia usawa a
wa kijinsia katika maeneo ya kazi
Uanzishaji wa mfumo
wa kushughulikia
kutokuwepo kwa usawa
wa kijinisia katika
maeneo ya kazi
Kiwango cha ukatili wa
kingono
3. Uwezo na
ustahimilivu wa
wanawake na watoto
Kupitia upya kitini cha mafunzo kilichopo cha
mawasiliano ya kuhusu ukatili dhidi ya watoto
ili kuhusisha wanaume na wanawake
Wanawake na watoto
wamewezeshwa kuhusu
jinsi ya kubaki kuwa
• Kiwango cha mimba
za utotoni
51
Kuwajengea uwezo wanawake na watoto
kujikinga wao na wenzao kujikinga na vitendo
vya ukatilina maarifa na uwezo muhimu ili
kuwalinda wao na wenzao
salama • Kiwango cha ndoa za
utotoni
• Asilimia ya
wanawake Kuimarisha na kuongeza Mabaraza na Vilabu
vya Vijana ili kuboresha ushirikishaji wa watoto
katika vyombo vya maamuzi katika ngazi ya
eneo husika na ile ya kitaifa
Kuhamasisha sekta binafsi katika kufadhili
shughuli za afua stahiki za
Kuwa na haki sawa
kuhusu umilikaji wa
ardhi ili kudhibiti mali
ya mirathi
• Uwiano wa
wanakaya wenye umri
kati ya miaka 15-49
waliopata ujumbe wa
unaohusiana na ukatili
dhidi ya wanawake
nyenzo za IEC
• Uwiano wa
wanusurika wa ukatili
dhidi ya wanawake
waliopatwa na ukatili
wowote ule na
kuripotiwa chini ya saa
72 baada ya tukio
• Kiwango cha ukatili
wa kimwili dhidi ya
wanawake wenye umri
kati ya miaka 15-49
Kuunga mkono hatua za uingiliaji kati
zinazoshughulikia Mila na desturi
zinazowaathiri wanawake na watoto
52
Eneo la Utekelezaji Na. 3: Mazingira Salama
Mkakati: Kuweka kuendeleza na kudumisha mazingira salama yenye kutoa fursa kwa wanawake na watoto katika jamii nzima
Lengo Mkakati: Kupunguza uwezekano wa kutokea kwa vitendo vya ukatili katika maeneo ya umma
Masuala
Afua Matokeo tarajiwa ya
mda mfupi
Matokeo tarajiwa ya
muda wa kati
Viashiria
Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya mda mfupi Matokeo ya muda wa
kati
1. Uwajibikaji wa wa
kitaasisi katika kuzuia
ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
kwenye maeneo ya
umma na mahali pa kazi
Kinga Kuendesha mijadala kwa kuwahusisha
viongozi wa kidini, kisiasa, watu wenye
ushawishi katika jamiii, vyama vya wamiliki
wahoteli, baa na vyama vya wadau wa
usafirishaji kuhusu sheria zinazohusiana na
usalama wa wanawake na watoto katika
maeneo ya umma na mahali pa kazi
MSM/WIWS/ taasisi
kuingiza vipengele vya
ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
katika kusimamia
maeneo ya umma na
mahali pa kazi
Usalama kwa wanwake
na watoto unaboreshwa
katika maeneo ya
umma.
• Idadi MSM/WIWS/ /taasisi ambazo
zimezoingiza masuala ya
ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika kanuni na
sheria ndogo ndogo • Idadi ya Watoa huduma
wanaozingatia na
kutekeleza sera na taratibu
za ulinzi za mtoto katika
maeneo ya umma
• Idadi ya Matukio ya Ukatili Dhidi ya Watoto
katika mazingira ambayo
watoto na vijana wanakusanyika katika
maeneo ya umma
• Idadi ya Matukio ya Ukatili Dhidi ya
Wanawake katika maeneo
ya umma na mahali pa kazi
• Idadi ya Viongozi wa
kisiasa, kidini na watu wenye ushawishi mkubwa
katika jamii wanaoshiriki
katika mijadala ya ukatili dhidi ya wanawake na
watoto
Idadi ya Kesi za ukatili
dhidi ya wanawake na
watoto zilizotokea
katika maeneo ya
umma.
Kuandaa mkakati wa uraghibishaji kwa ajili ya
kuendeleza mazingira salama kwa wanawake
na watoto katika maeneo ya umma kwenye
miji na majiji
Kupitia upya kanuni na sheria ndogo ndogo za
zinazosimamia uendeshaji wa maeneo ya
umma ( kama vile sokoni, mfumo wa usafiri na
maeneo ya burudani)
Kuandaa mikutano ya mashauriano ya kila
mwaka kwa ajili ya kujadili ufanisi wa sheria
mpya ndogo ndogo na kanuni
Kuwezesha mapitio ya nyezo za ukaguzi wa
kazi ili kujumlisha masuala ya ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
Kufanya kampeni za uraghibishi mahali pa
kazi kwa kushirikiana vyama vya wafanyakazi
na vyama vya waajiri kuhusu masuala ya
ukatili dhidi ya wanawake na watoto kama
ilivyoanishwa katika sheria na kanuni zilizopo
2. Utayari dhidi ya
majanga na kuimarisha
mikakati ya mwitikio
katika dharura na
migogoro ya muda
mrefu ili kuzuia na
kupunguza ukatili dhidi
ya wanawake na watoto
Kinga Kuanzisha na kuimarisha maeneo salama kwa
wanawake na watoto walio katika makambi au
walewaliolazimika kuhamma makazi yao
kutokana na migogoro au majangaya asili
Kuimarisha utayari na
kuboresha mwitikio
katika dharura na
miigogoro
inayosababisha ukatili
dhidi ya wanawake na
watoto
• Idadi ya Maeneo salama
yaliyotengwa katika
makambi au maeneo yenye
migogoro au majanga kwa
ajili wanawake na watoto
• Idadi na aina ya
vipengele vya maeneo ya
utekelezaji wa
MTAKUWWA
yalioingizwa katika
mpango wa taifa wa
majanga.
Upatikaji na ufanisi
katika utoaji wa
huduma kwa wahanga
wa ukatili katika
maeneo yenye dharura
Kuunga mkono afua zinazoweka na kuimarisha
mazingira salama kwa wanawake na Watoto
53
Eneo la Utekelezaji Na. 4: Malezi, Misaada ya Familia na Mahusiano
Mkakati: Kuhamasisha mahusiano chanya kati ya mzazi na mtoto na kupunguza vitendo vya malezi ya ukatili.
Lengo Mkakati: Stadi za malezi chanya zinaboreshwa miongoni mwa Wazazi, Watoa huduma za malezi na wanajamii
Masuala
Afua Matokeo tarajiwa ya
mda mfupi
Matokeo tarajiwa ya
muda wa kati
Viashiria
Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya mda
mfupi
Matokeo ya muda wa
kati
1. Stadi za malezi kwa
wazazi, walezi, familia,
watoa huduma za malezi
na jamii
Kuzuia Kuandaa Mwongozo wa Kitaifa wa Malezi na
Mpango wa utekelezaji.
• Wazazi walezi, watoa
huduma ya malezi,
familia, jamii
wanawezeshwa katika
stadi za malezi chanya
• Kuongezeka kwa
ubora ya Elimu ya awali
na elimu ya malezi.
Watoto wenye desturi za
kimaadili na wanakua
na kufikia utimilifu wao
• Wadau wanashiriki
katika malezi chanya
• Stadi za malezi kwa
wazazi na watoa
huduma wengine wa
malezi
• Progaramu na za
malezi, makuzi na
maendeleo ya awali ya
watoto
Uwiano wa wadau
wanajishughulisha na
masuala ya malezi
chanya. Kupitia kitini cha Elimu ya Malezi ili kuingiza
mahitaji ya makundi maalumu katika kuzuia
ukatili dhidi ya watoto
Kutoa mafunza kwa wawezeshaji jamii kuhusu
matumizi Kitini cha elimu ya Malezi. (MMJW,
AEW, MUJ, na MMJM)
Kuingiza stadi chanya za malezi katika mitaala
ya mafunzo katika vyuo vya Ustawi wa Jamii,
Maendeleo ya Jamii, Elimu, Afya, Polisi, na
Sheria.
Kuwezesha uanzishaji na uimarishaji wa Vituo
vya Kijamii vya Kulele watoto wadogo mchana
na vituo vya malezi katika maeneo ya kazi.
2. Maadili miongoni
Watoto, wazazi, familia
na jamii
Kutoa elimu ya malezi kwa vyombo vya
kufanya maamuzi, viongi wa serikali Viongozi
wa dini, na sekta binafsi
Kuimarisha uhamasishaji wa vipindi vya elimu
ya jinsia na malezi chanya ya watoto kupitia
vyombo vya habari.
Kuingiza elimu ya malezi katika vituo vya
kujisomea vya jamii (‘resource centre’)
Kupitia upya Mwongozo wa Hotuba ili
kuzingatia masuala ya wanawake
Kuendeleza Programu za Ulinzi kwa ajili ya
Wanawake na watoto Mtandaoni
Kutoa elimu ya matumizi sahihi ya tekinolojia
na malezi chanya kwa wafanyakazi wa
majumbani, walezi wa watoto na familia.
Kuzitembelea familia na makundi ya kijamii na
uhamasishaji kuhusu malezi chanya
Kuunga mkono afua i zinazohamasisha malezi
chanya katika ngazi ya familia na jamii
54
Eneo la Utekelezaji Na. 5: Utekelezaji wa Sheria
Mkakati: Jamii ya Kitanzania inayoelewa na inafuata mabadiliko katika sheria zinazopendekezwa na zinazotekelezwa ambazo zinalinda na kujibu tatizo la ukatili
Lengo Mkakati: Sheria zinazohusu haki za wanawake na watoto zinaangaliwa tena na kutekelezwa
Masuala
Afua Matokeo tarajiwa ya
mda mfupi
Matokeo tarajiwa ya
muda wa kati
Viashiria
Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya mda
mfupi
Matokeo ya muda wa
kati
1. Kupitia upya sheria
zilizopo ili
kushughulikia ukatili
dhidi ya wanawake na
watoto
kuzuia ukatili Kuchanganua mianya iliyopo katika mifumo ya
kisheria iliyopo inayoendeleza ukiukwaji wa
haki za wanawake na watoto (Sheria ya Ajira na
ya Mahusiano ya kazini, Sheria ya haki ya
Mtoto ya mwaka 2009; Sheria ya Kanuni ya
Adhabu,Sura ya 16; Sheria ya Elimu; Sheria ya
Mahakimu, Sheria ya ndoa, Sheria ya kusajili
uzazi na vifo, Sura ya 108, Sheria za mirathi,
Sheria ya Ushahidi, kutengeneza sheria ya
msaada wa kisheria)
Sheria
zinazoshughulikia
masuala ya ukatili dhidi
ya wanawake na watoto
zinaoanishwa
Ufikikaji na ulinzi wa
huduma za kisheria kwa
wanawake na watoto
umeimarishwa
• Sheria zimeoanishwa
ili kushughulikia ukatili
dhidi ya wanawake na
watoto
• Urefu wa muda wa
kuendesha mashtaka ya
ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
• Asilimia ya
wanawake na watoto
waliohamasishwa
kuhusu haki za kisheria
% ya wanawake na
watoto wanaolindwa na
kupata huduma ya
kisheria
Kuridhia na kuingiza katika sheria za nchi
mikataba ya kimataifa na ya kikanda kuhusiana
na ulinzi wa haki ya wanawake nana watoto
dhidi ya ukatili.
2. Mfumo wa kisheria
hautoi majibu kwa
mahitaji ya wanawake
na watoto
Mwitikio Kutathmini mahitaji / uwezo wa taasisi za
kisheria katika kuitikia ukatikili dhidi ya
wanawake na watoto
Uwajibikaji wa mfumo
wa kisheria ili kuitikia
ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
kupitia huduma nzuri
zilizoboreshwa.
Asilimia ya
watuhumiwa wa ukatili
wa wanawake na watoto
waliotiwa hatiani.
Kujenga uwezo wa taasisi za kisheria (LSIs),
vyama vya wafanyakazi, na makundi ya kutoa
msaada wa kisheria katika kuitikia ukatili dhidi
ya wanawake na watoto katika ngazi zote na pia
kutenda kama wasaidizi wa watoto
Kuendesha mashauriano ya kitaifa kuhusu
umuhimu wa kuendesha kesi zinazohusu
masuala ya kifamilia kwa haraka.
Kuhamasisha umma kuhusu sheria zilizopitiwa
upya
Kuendesha kampeni za uhamasishaji wa ukatili
dhidi ya wanawake na watoto kwenye maeneo
yaliyo athirika zaidi kama vile : wachimbaji
madini wadogo, mashamba ya kibiashara na
sekta ya watumishi wa majumbani
3. Kufikia huduma za
kisheria
Mwitikio Kutunga na kutekeleza sheria ya Msaada wa
kisheria
Sheria ya Msaada wa
kisheria imetungwa
• Wilaya zinazopata
huduma ya msaada wa
kisheria
• Watu wanaopata
huduma ya kisheria
Kuanzisha huduma za majaribio za watoa
msaada wa kisheria katika mkoa moja
uliochaguliwa kulingana na Sheria ya kutoa
msaada wa kisheria
55
Kutengeneza na kurasimisha Sera ya Msaada
wa Kisheria
Kuingiza ukatili dhidi ya wanawake na
watotokatika sheria ndogo ndogo
Kuunga mkono hatua za pamoja ambazo
zinazoshughulikia huduma zinazotolewa kwa
wakati kwa wanawake na watoto
Eneo la Utekelezaji Na. 6: Mwitikio na Huduma saidizi
Mkakati: Mfumo mpana na uliofungamana wa ulinzi na usalama unaotoa msaada ulioratibiwa, wenye ubora na unaotolewa kwa wakati kwa watoto walioathirika na ukatili
Lengo Mkakati: Kujibu na kutoa huduma saidizi kwa ajili ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto zimeimarika.
Masuala
Afua Matokeo tarajiwa ya
mda mfupi
Matokeo tarajiwa ya
muda wa kati
Viashiria
Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya mda
mfupi
Matokeo ya muda wa
kati
1. Rasilimali, zana na
miundombinu ili kutoa
jawabu kwa huduma za
VAWC
Kupitia upya na kuandaa miongozo ya jawabu
na zana kwa watoa huduma wa kwanza,
wahusika wa utendaji na watoa huduma za
kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na
watoto
Ujenzi wa uwezo
umeboreshwa wa MSM
na ule wa watoa huduma
wengine kwa
wanusurika wanawake
na watoto
Huduma zimeboreshwa
kwa wanusurika wa
ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
• MSM zenye idadi
chache ya watumishi
walipendekezwa
• Kesi za ukatili dhidi
ya wanawake na watoto
zilizoripotiwa
• Kutekeleza na
kufanya kazi kwa
Dawati la Kijinsia na la
watoto la jeshi la Polisi
• Uwiano wa
wanusurika wa ukatili
dhidi ya watoto
waliopatwa na ukatili
wowote ule na kutoa
ripoti katika kipindi cha
saa 72 baada ya tukio
• Kituo kimoja cha
utoaji huduma jumuishi
Uwiano wa kesi za
ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
zilizoshughulikiwa na
Jeshi la Polisi, Maafisa
Ustawi wa Jamii na
ambazo mahakama
ilizikamilisha (au
zilizofungwa)
Kutoa maelekezo kuhusu miongozo na zana
zilizoandaliwa (pamoja na mifumo thabiti ya
kuripoti baina ya wahusika wa utendaji -
pamoja na watumishi wa ustawi wa jamii,
maofisa wa kazi, wa elimu, wa afya, wa jeshi la
Polisi, wa mahakama, wa taasisisi za
kupambana na biashara haramu ya kusafirisha
binadamu, magereza na AZAKI katika ngazi ya
Wilaya, Kata na Kijiji)
Mafunzo kuhusu vivunge maalumu vya
kiufundi vya kujifunza (UW, UK, Mashtaka
mahakamani) kwa watumishi wa msari wa
mbele wa (MUJ, Polisi, Watumishi wa Afya,
Walimu, Mahakama, Maofisa wa kupambana
na biashara haramu ya kusafirisha binadamu)
Kuimarisha na kurasimisha namba ya simu ya
msaada kwa ajili ya mtoto na upatikanaji wa
mfumo wa rufaa
Ongezeko la Vituo vya utoaji huduma jumuishi
ili kutoa huduma za pamoja na zenye jawabu za
ubora kwa wanusurika wa ukatili
Kutekeleza na kufanya kazi kwa MPJW katika
vituo vyote vya Jeshi la Polisi
56
Kuanzisha magereza ya watoto waliojikuta
katika mgogoro wa kisheria (gharama
hazijapangwa rejea uzoefu wa Mtwara)
Kutenga kando Maofisi na zenye zana za
Ustawi wa Jamii ili kuhakikisha utoaji bora wa
huduma za ustawi kwa wahanga/wanusuru wa
ukatili dhidi ya wanawake na watoto
Kuandaa, kutafsiri na kusambaza mwongozo
/Msaada wa Kikazi kuhusu rufaa, mwongozo na
ushauri kwa watoa huduma husika wa kujibu
tatizo la ukatili dhidi ya wanawake na watoto
Kuanzinsha jumba la dharura la usalama la
majaribio katika mkoa teule kwa wanawake
walioko hatarini na wahanga wa ukatili
Kuzihamasisha na kuziwezesha taasisi/nyumba
za ibada ili kuanzisha majumba salama kwa ajili
ya wanawake wahanga/walioko hatarini
kusumbuliwa na ukatili
Kuajiri na kuwajengea uwezo watu wanaofaa
kutoa uangalizi mbadala wakati wa dharura kwa
watoto wahanga au walioko hatarini kukumbwa
na ukatili. (Vipengele kwa ajili ya kutenga
gharama– kuendesha mafunzo kwa wakufunzi
ya kikanda ya siku 5, mafunzo ya watumishi 10
toka kila wilaya kwa siku tatu, kuwawezesha
wakufunzi kutoa mafunzo kwa watu /familia
imara katika Kata/ Vijiji – rejea ziara katika
maeneo)
Kuunga mkono MSM ili ziweze kuimarisha
huduma za kuishi maisha ya kawaida katika
jamii kwa wahanga wanawake na watoto au
walioko hatarini kukosea kulingana na
miongozo ya kitaifa
Kuanzisha mahakama bora ya vijana
zinazofikiwa na rafiki kwa vijana katika kila
mkoa
Kuingiza masuala ya ukatili dhidi ya wanawake
na watoto katika mitaala /vitabu vya mwongozo
wa mafunzo kwa ajili ya kazi za kijamii,
Maendeleo ya jamii, na jeshi la polisi, walimu
na Maofisa wa kazi
Kuunga mkono hatua za kuingilia kati
zinazoshughulikia huduma thabiti na
zinazotolewa kwa wakati kwa ajili ya
wanawake na watoto wanaoishi au wanaofanya
57
kazi mitaani, wanawake na watoto wenye
ualibinism, wazee wanaotuhumiwa kuwa
wachawi na shughuli za kuwafanyisha kazi
watoto.
Eneo la Utekelezaji Na. 7: Shule Salama na Stadi za Maisha
Mkakati:Mfumo mpana na uliofungamana wa ulinzi na usalama unaotoa msaada ulioratibiwa, wenye ubora na unaotolewa kwa wakati kwa ajili ya wasichana na
wavulana walioathirika na ukatili
Lengo Mkakati: Mazingira salama, jumuishi na yenye kufikika ya kujifunzia kwa wasichana na wavulana yameboreshwa.
Masuala
Afua Matokeo tarajiwa ya
muda mfupi
Matokeo tarajiwa ya
muda wa kati
Viashiria
Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya muda
mfupi
Matokeo ya muda wa
kati
1.Maarifa ya haki za
Mtoto kwa Walimu na
wanafunzi
Kuzuia ukatili Kuendesha kampeni za kitaifa kwa kuweka
mkazo juu ya ukatili dhidi ya wanawake na
watoto zikiwalenga walimu na wanafunzi
kupitia vyombo vya habari.
Uelwa wa masuala ya
ukatili dhidi ya
wanawake na watoto na
athari zake miongoni
mwa walimu na
wanafunzi umeongezeka
Mazingira ya mafunzo
yanayofuata haki kwa
wavulana na wasichana
yameboreshwa
Shule zenye walimu
waliopata mafunzo ya
ushauri na mwongozo
• Vilabu vya watoto vya
shuleni
• Kiwango cha kuacha
shule na kesi za mimba
katika shule za msingi
na sekondari
• %ya walimu
waliopata mafunzo
kuhusu haki na wajibu
wa watoto namasuala ya
ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
• %ya walimu
waliopata mafunzo
kuhusu haki na wajibu
wa watoto namasuala ya
ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
• Mabaraza ya watoto
ya Wilaya
Kesi za ukatili dhidi ya
watoto katika maeneo
ya shule
Kuwabaini na kuwafundisha walimu washauri
wanasihi kuhusu masuala ya ukatili dhidi ya
wanawake na watoto na wajibu waokwa
kutumia kivunge cha mawasiliano cha kujifunza
cha ukatili dhidi ya wanawake na watoto.
2.Maarifa kuhusu stadi
za maisha na afya ya
Uzazi, ulinzi na
usalamawa mtoto, kwa
wasichana na wavulana
Kuzuia ukatili Kuimarisha na kufanya kuwa za aina moja
hatua za kinidhamu chanya na zile za mbadala
zilizoposhuleni na kufanya majaribio katika
wilaya zitakazochaguliwa. Kupitia upya,kuingiza na kutoa maelekezo kwa
watotokuhusu ukatili dhidi ya wanawake na
watoto na kuhusu masuala ya afya uzazi
katikazana za ufundishaji katika vilabu vya
shuleni
Kutoa nakala na kusambaza stadi za maisha
zikizingatia Kitabu cha mwongozo kwa elimu
ya vijana rasmi na isiyo rasmi,elimu ya watu
wazima katika vituo vya mafunzo maalumu
Kufanya kampeni za uraghibishaji katika ngazi
za MSM, AZAKI, Mashirika ya Dini,
Mashirika Yasiyo ya Kiserikali na Sekta Binafsi
ili watoe malazi, zana za kujifunzia, chakula,
mavazi kwa Watoto walio katika Mazingira
Hatarishi na vifaa vya kujisitiri kwa wasichana
wanaotoka katika familia duni
58
Kutoa nakala na kusambaza kanuni za Tabia
Njema za Kitaifa za Walimu, Sera ya Elimu na
Mafunzo, na Nakala ya Sheriaya Elimu
iliyopitiwa upya
3. Mfumo wa kutoa
tarifa na rufaa za ukatili
dhidi ya watoto katika
maeneo ya shuleni
Kuzuia ukatili Kufanya kampeni za uhamasishaji kuhusu
mfumo wa kutoa taarifa kuhusu shuleni
Ofisa mmoja wa ustawi
wa jamii kwa kila
wilayaatakayetoa
hudumaza ustawi wa
jamii
Kupiti upya, kuboresha na kusambaza zana za
ukaguzi shuleni zitakazojumuisha masuala ya
ukatili dhidi ya wanawake na watoto
Kuwezesha afua zinazolengakujenga mazingira
ya shule salama
Eneo la Utendaji Na. 8: Uratibu, Ufuatiliaji na Tathmini
Mkakati: Mfumo jumuishi na fungamanishi, wenye ufanisi na thabiti na unaoarifu ufanyaji wa maamuzi kuhusu kinga na mwitikio wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto.
Lengo Mkakati: Mfumo jumuishi wa uratibu, ufuatiliaji na tathmini ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto ulioandaliwa na kurasimishwa
Masuala
Afua Matokeo tarajiwa
ya awali
Matokeo tarajiwa ya
muda wa kati
Viashiria
Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya awali Matokeo ya muda wa kati
1. Uratibu wa program
na afua za GBV/VAC
katika ngazi zote.
Mwitikio na Kuzuia Kuandaa mwongozo wa utekelezaji wa
mfumo wa uratibu wa kutokomeza ukatili
dhidi ya wanawake na watoto pamoja na
Ufuatiliaji na Tathmini katika ngazi zote
Muundo wa pamoja
wa uratibu wa afua
za ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
katika ngazi ya taifa
na Mamlaka za
Serikali za Mitaa
kuanzishwa.
Uratibu, ufuatiliaji na
tathmini ya ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
kuimarishwa
Kuwepo kwa
muundo wa uratibu
wa ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
katika Mamlaka za
Serikali za Mitaa.
% ya shabaha za
MTAKUWWA zilizofikiwa
Kuanzisha kamati za Mikoa na Wilaya za
ulinzi na usalama za kutokomeza ukatili
dhidi ya wanawake na watoto na kutoa
mafunzo kuhusu majukumu na wajibu wa
kamati hizo kama wakufunzi wa kamati za
ulinzi na usalama katika ngazi ya Kata na
Kijiji/Mtaa.
% ya Mamlaka za
Serikali za Mitaa zilizo
nakamati hai za ukatili dhidi
ya wanawake na watoto
katika ngazi zote
Kutoa mafunzo na vitendea kazi kwa
kamati za ulinzi na usalama za
kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na
watoto katika ngazi ya Kata na Kijiji/Mtaa.
Kuwezesha Kamati ya Kitaifa ya Uongozi
ya kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na
watoto, Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu
ya kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na
watoto, na Kamati za Utendaji kuratibu
utekelezaji wa afua za MTAKUWWA
katika ngazi ya taifa.
Kuwezesha Sekretarieti ya ukatili dhidi ya
wanawake na watoto kuratibu utekelezaji
wa afua za MTAKUWWA katika ngazi
59
zote
Kuwezesha kamati za ulinzi na usalama za
Mikoa na Mamlaka za serikali za mitaa
kuratibu, kufuatilia na kutoa taarifa za
utekelezaji wa MTAKUWWA katika
ngazi za mikoa
2. Rasilimali watu na
fedha kwa ajili ya
programu za kupambana
na UK na Ukatili Dhidi
ya Watoto
Kuzuia Kufanya tathmini pana ya mahitaji ya
rasilimali watu kuhusu utekelezaji wa
MTAKUWWA
Uwezo wa rasilimali
watu na fedha
kuhusu utekelezaji
wa ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
kuimarishwa
% ya bajeti
zilizotengwa kwa
ajili ya utekelezaji
wa ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
katika MTEFs za
Mamlaka za Serikali
za Mitaa na Wizara,
Idara na Wakala za
Serikali
Kuendeleza na kutekeleza
mkakati/mpango wa uendelezaji wa
rasilimali watu kuhusu utekelezaji wa
ukatili dhidi ya wanawake na watoto
Kubaini changamoto za kifedha na fursa za
ukatili dhidi ya wanawake na watoto,
kuandaa na kutekeleza mkakati wa
kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali
Kufanya ushawishi kuhusu kuweka
vipaumbele vya kifedha kwa shughuli za
ukatili dhidi ya wanawake na watoto
katika Miongozo ya Kibajeti ya Serikali
Kujenga uwezo wa kupanga, kuandaa
bajeti, kusimamia na kuraghibisha kuhusu
uwepo wa mfumo imara na madhubuti wa
ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa
ulinzi na usalama
Kufanya mapitio ya mwaka ya matumizi
ya umma kuhusu ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
3. Uzalishaji wa
takwimu, uhitaji na
matumizi
Kuzuia Kuandaa mpango wa ufuatiliaji na
tathmini wenye mfumo wa kuwezesha
ufuatiliaji na utoaji wa taarifa kuhusu
MTAKUWWA
Mifumo na zana kwa
ajili ya ukusanyaji
wa takwimu,
uchakataji na
ufuatiliaji wa ukatili
dhidi ya wanawake
na watoto
kuimarishwa
% ya takwimu za
msingi na takwimu
za shabaha za ukatili
dhidi ya wanawake
na watoto
Kuanzisha takwimu za msingi kwa
viashiria muhimu
Kupitia mifumo ya ukusanyaji na
uchakataji wa taarifa kubaini vyanzo vya
takwimu za MTAKUWWA na upungufu.
Mwitikio Kuandaa/kuhuisha mifumo ya kukusanya
taarifa (MIS, Database) na Zana za
ukusanyaji takwimu kwa ajili ya ufuatiliaji
na utoaji taarifa kuhusu ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
60
Kuendeleza na kutumia mbinu bunifu za
ukusanyaji wa takwimu kwa kutumia simu
za mkononi
Kuwezesha majaribio na utawanyaji wa
mifumo na zana za ukusanyaji wa taarifa
pamoja na kutoa mafunzo
Kuratibu ziara za ufuatiliaji za pamoja za
sekta mbalimbali na mapitio katika ngazi
ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kuwezesha uhifadhi wa nyaraka na
usambazaji wa matokeo ya M&E na
nyenzo pamoja na mafunzo na mifano bora
katika utekelezaji wa afua za ukatili dhidi
ya wanawake na watoto
Kuwezesha utafiti (wa kujenga /kufanya
kazi/Hatua) katika maeneo lengwa na
yanayoibuka kutoka kwenye maeneo
utendaji ya mpango
Kuwezesha uingizaji wa viashiria muhimu
vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto
katika tafiti na uchunguzi wa vipindi
(THIS, DHS, VACS)
Kuwezesha ufuatiliaji na tathmini za mara
kwa mara za utekelezaji wa
MTAKUWWA
61
KIAMBATANISHO CHA II: GHARAMA KUTEKELEZA MTAKUWWA
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 1: KUIMARISHA UCHUMI WA KAYA
Lengo Mkakati: Uwezo wa wanawake kiuchumi katika ngazi ya kaya unaimarishwa
Shughuli
Gharama kwa mwaka Jumla ya gharama
(TSh)
Mtekelez
aji Mkuu
Watekelezaji
Wengine Mwaka wa Fedha
2017/18
Mwaka wa Fedha
2018/19
Mwaka wa Fedha
2019/20
Mwaka wa Fedha
2020/21
Mwaka wa Fedha
2021/22
1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9
Suala la 1: Upatikanaji wa Huduma za kifedha kwa wanawake Wanaoishi Katika mazingira hatarishi na wasio jiweza kiuchumi
Kuyabaini vikundi vya wanawake
vya kiuchumi na kutathmini
chanagamoto zinazozuia wanawake waweze kupata huduma za kifedha
124,200,000 124,200,000 OR-
TAMISE
MI
WAMJJW
Kuhamasisha na kuwezesha
uanzishaji wa vikundi vya
wanawake vya kiuchumi, SACCOS na VICOBA/ (COMSIP – Programu
za kuweka Akiba na Uwekezaji za
kijamii)
2,748,530,000 2,725,660,000 2,719,880,000 2,715,480,000 825,480,000 11,735,030,000 OR-
TAMISE
MI
WAMJJW ,
NEEC, TWCC,
MSM, MoITI, MoALF
Kuwezesha upatikanaji wa huduma
za biasha, stadi za biashara na
ushauri wa mikopo
53,040,000 53,040,000 53,040,000 53,040,000 53,040,000 265,200,000 MoITI WAMJJW, WFM,
OR-TAMISEMI,
VETA, CBE, SIDO, BRELA,
TANTRADE,
TES, TBS, TFDA, TWCC
Kuwezesha miradi ya kiuchumi ya
wanawake kuongeza thamani ya
bidhaa zao.
724, 200,000 600,000,000 600,000,000 600,000,000 600,000,000 3,124,200,000 MoITI MSM, SIDO,
VETA, TWCC,
NEM, TBS, TFDA
Kuhamsisha masuala ya VAWC
kuingizwa katika Mpango wa Uwezeshaji wa Shilingi Milioni
Hamsini (50) katika kila Kijiji.
274,580,000 - - - - 274,580,000 WAMJJW OR - TAMISEMI,
MSM
Kupitia na kuweka mazingira rafiki
ya usajili wa biashara.
- 400,000,000 - - - 400,000,000 WAMJJW OR - TAMISEMI,
MSM
Viwanda vidogo na biashara ndogo zinazomilikiwa na wanawake katika
sekta mpya kama vile mafuta na
gesi asilia, madini, ulimaji wa mbogamboga, ufugaji wa samaki na
ufugaji wa kuku kuendelezwa na
kuwezeshwa.
- - 12,100,000 - - 12,100,000 BRELA WVBU, MSM
Kuanzisha mfuko wa kusaidia
upatikanaji huduma za malezi na makuzi ya awali ya mtoto na mfuko
wa elimu kwa wasichana wanaotoka
katika familia maskini.
450,000,000 450,000,000 450,000,000 450,000,000 450,000,000 2,340,000,000 WVBU OR - TAMISEMI,
MSM, WKMMU, MEM
62
Kuwashirikisha wanaume, viongozi
wa jadi na dini ili kuhamasisha haki
za wanawake za kumiliki ardhi na
rasilimali zingine
1,717,548,000 1,688,148,000 1,688,148,000 207,108,000 1,688,148,000 6,989,100,000 WKS WAMJW, OR -
TAMISEMI
Kendesha vipidi vya uhamsishaji kwa wanawake kuhusu haki ya
kumiliki mali na haki ya mirathi
1,717,548,000 1,688,148,000 1,688,148,000 1,688,148,000 1,688,148,000 8,470,140,000 WKS WMN, WAMJW
Kuimarisha na kuongeza fursa za
uboreshaji wa njia za kujipatia riziki kwa vijana wahitimu wa shule
ili kuwawezesha kuingia katika
umri wa utu mzima
3,562,080,333 3,478,080,000 3,478,080,000 3,478,080,000 3,478,080,000 17,474,400,000 WKS WMN, WAMJW
Kuwezesha upatikanaji wa afua
zitakazosaidia kiunia kipato cha
kaya
145,000,000 145,000,000 WAMJW WMN, WAMJW
Jumla Ndogo 13,404,676,000 12,983,976,000 12,603,246,000 11,118,656,000 10,812,646,000 60,923,200,000
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 2: MILA NA DESTURI
Lengo Mkakati: Jamii inayoheshimu usawa wa kijinsia, haki na ulinzi na usalama wa wanawake na watoto ili kuchukua hatua dhidi ya aina zote za ukatili.
Shughuli
Gharama kwa mwaka
Jumla ya gharama
(TSh)
Mtekelezaji
Mkuu Watekelezaji Wengine Mwaka wa
Fedha 2017/18
Mwaka wa Fedha
2018/19
Mwaka wa Fedha
2019/20
Mwaka wa Fedha
2020/21
Mwaka wa Fedha
2021/22
1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9
Suala la 1: Uwapo wa mila na desturi za jadi zenye madhara
Kukusanya na kuchambua
takwimu zilizopo kuhusu mila na desturi na jitihada
zilizofanyika kuleta
mabadiliko yakimtazamo, mtazamo wa kijinsia na
mabadiliko ya tabia na
kufuatilia utekelezaji.kitabia na
kufuatilia utekelezaji
30,600,000 - 27,600,000 - 27,600,000 85,800,000 WAMJW MoICAS, WFM, OR -
TAMISEMI
Kuandaa Mkakati wa Mawasiliano ili kuendeleza
Mila na desturi chanya na
ili kushughulikia usawa wa kijinsia
74,700,000 39,112,260,000 23,548,400,000 7,892,700,000 7,892,700,000 78,520,760,000 WAMJW MoICAS, MSM, WFM, FBOs, AZAKI
Kuendesha kampeni za
uraghibishaji kwa viongozi
wa dini na viongozi wenye ushawishi na kwa watunga
sera ili kuendeleza Mila na
desturi chanya zinazowalinda Wanawake
na watoto ili kufikia
- 152,100,000 155,400,000 - - 307,500,000 WAMJW WFM, WHUSM,WMN,
MSM, OR - TAMISEMI,
AZAKI
63
mabadiliko ya kijamii.
Kushirikisha Jeshi la Polisi
na Halmashauri ili kushughulikia kwa
umakini wanawake
nawatoto walioathirika na vitendo vya ukatili
- 94,500,000 94, 500,000 - - 189,000,000 WAMJW OR - TAMISEMI,
WMN,AZAKI
Kuendesha majadiliano
katika ngazi ya jamii ili
kujua mtazamo wao kuhusu ukatili dhana ya
mila zenye kuleta madhara
16,000,000 5,686,000,000 16,000,000 16,000,000 16,000,000 5,750,000,000 WAMJW OR - TAMISEMI,MSM
Suala la 2: Hali iliyorasimishwa ya kutokuwa sawa kijinsia
Kushughulikia masuala
yasiyozingatia usawa a wa
kijinsia katika maeneo ya
kazi
12,600,000 1,048,960,000 2,068,400,000 2,074,760,000 8,400,000 5,213,120,000 WVBU OR - TAMISEMI, PMO-
LEYD
Suala la 3: Uwezo na unyumbukaji wa wanawake na watoto dhidi ya ukatili
Kupitia upya kitini cha
mafunzo kilichopo cha mawasiliano ya kuhusu
ukatili dhidi ya watoto ili
kuhusisha wanaume na wanawake
- 963,200,000 764,300,000 - - 1,727,500,000 WAMJW OR - TAMISEMI, WEST,
WMN,WFM, MSM
Kuwajengea uwezo
wanawake na watoto kujikinga wao na wenzao
kujikinga na vitendo vya
ukatilina maarifa na uwezo muhimu ili kuwalinda wao
na wenzao
- - 80,000,000 80,000,000 110,000,000 270,000,000 MoHDCGEC MSM,WEST
Kuimarisha na kuboresha Mabaraza na Klabu za
Watoto ili kuwezesha
ushiriki wa watoto katika ufanyaji maamuzi katika
ngazi za jamii na taifa
28,000,000 1,964,800,000 2,063,700,000 1,236,400,000 101,700,000 5,394,600,000 WAMJW OR - TAMISEMI, MSM, TACAIDS, Ofisi ya
Makamu wa Rais, OWM –
Kazi na Ajira, WEST
Kuhamasisha sekta binafsi
katika kufadhili afua za MTAKUWWA
23,400,000 36,500,000 41,200,000 - - 101,100,000 WAMJW WFM, OWM
Kusaidia uwepo wa afua zitakazoshughulikia mila
na desturi zenye kuleta
madhara kwa wanawake na
watoto
145,000,000 - - - - 145,000,000 WAMJW
Jumla ndogo 330,300,000 49,058,320,000 28,859,500,000 11,299,860,000 8,156,400,000 97,704,380,000
64
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 3: MAZINGIRA SALAMA Lengo Mkakati: Kupunguza uwezekano wa kutokea kwa vitendo hatarishi vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika maeneo ya umma
Shughuli
Gharama kwa mwaka
Jumla ya gharama (TSh)
Mtekelezaji Mkuu
Watekelezaji Wengine Mwaka wa Fedha
2017/18
Mwaka wa Fedha
2018/19
Mwaka wa Fedha
2019/20
Mwaka wa Fedha
2020/21
Mwaka wa Fedha
2021/22
1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9
Suala la 1: Uwajibikaji wa kitaasisi katika kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na watoto kwenye maeneo ya umma na mahali pa kazi
Kuendesha mijadala kwa kuwahusisha viongozi wa kidini, kisiasa, watu wenye
ushawishi katika jamiii, vyama vya
wamiliki wa hoteli, baa na vyama vya wadau wa usafirishaji kuhusu sheria
zinazohusiana na usalama wa wanawake
na watoto katika maeneo umma na
mahali pa kazi
- 307,200,000 307,200,000 307,200,000 307,200,000 1,228,800,000 WAMJW OR - TAMISEMI, WKS, OWM – Kazi na Ajira,
WHUSM, AZAKI, Sekta
Binafsi
Kuandaa mkakati wa uraghibishaji kwa ajili ya kuendeleza mazingira salama
kwa wanawake na watoto katika maeneo
ya umma kwenye miji na majiji
111,902,500 - - - - 111,902,500 OR - TAMISEMI
WANMM, MoWTC, WMN, na WAMJW
Kupitia upya kanuni na sheria ndogo
ndogo zinazosimamia uendeshaji wa maeneo ya umma ( kama vile sokoni,
mfumo wa usafiri na maeneo ya
burudani)
126,000,000 46,200,000 46,200,000 39,600,000 258,000,000 OR -
TAMISEMI
WANMM
Kuandaa mikutano ya mashauriano ya kila mwaka kwa ajili ya kujadili ufanisi
wa na kanuni na sheria mpya
ndogondogo
- 132,040,000 70,240,000 70,240,000 272,520,000 OR - TAMISEMI
MSM
Kuwezesha mapitio ya nyezo za ukaguzi wa kazi ili kujumlisha masuala
ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto
9,500,000 - - - 9,500,000 OWM – Kazi na Ajira
OR - TAMISEMI na WAMJW
Kufanya kampeni za uraghibishi mahali
pa kazi kwa kushirikiana vyama vya wafanyakazi na vyama vya waajiri
kuhusu masuala ya VAWC kama
ilivyoanishwa katika sheria na kanuni zilizopo
134,000,000 103,000,000 103,000,000 - - 340,000,000 OWM – Kazi
na Ajira
WAMJW, WVBU
Suala la 2: Utayari dhidi ya majanga na kuimarisha mikakati ya mwitikio katika dharura na migogoro ya muda mrefu ili kuzuia na kupunguza ukatili dhidi ya wanawake na watoto
Kuanzisha na kuimarisha maeneo salama
kwa wanawake na watoto walio katika
makambi au walewaliolazimika
kuhamma makazi yao kutokana na
migogoro au majangaya asili
- - 38,920,000 - - 38,920,000 OWM OR - TAMISEMI, WMN,
WAMJW
Kuunga mkono afua zinazoweka na kuimarisha mazingira salama kwa
wanawake na watoto
- 145,000,000 - - - 145,000,000 WAMJW OR - TAMISEMI
Jumla ndogo 381,402,500 555,200,000 627,560,000 423,640,000 417,040,000 2,404,642,000
65
ENEO LA UTEKELEZAJI Na. 4: MALEZI, MSAADA KWA FAMILIA NA MAHUSIANO
Lengo Mkakati: Stadi za malezi chanya zinaboreshwa miongoni mwa Wazazi, Watoa huduma za malezi na wanajamii
Shughuli
Gharama kwa mwaka Jumla ya
gharama (TSh) Mtekelezaji
Mkuu Watekelezaji Wengine Mwaka wa Fedha
2017/18 Mwaka wa Fedha
2018/19 Mwaka wa Fedha
2019/20 Mwaka wa Fedha
2020/21 Mwaka wa Fedha
2021/22
1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9
Suala la 1: Stadi za malezi kwa wazazi, walezi, familia, watoa huduma za malezi na ajamii
Kuandaa Mwongozo wa Kitaifa wa
Malezi na Mpango wa utekelezaji.
47,000,000 - - - - 47,000,000 WAMJW WEST
Kupitia kitini cha Elimu ya Malezi ili
kuingiza mahitaji ya makundi maalumu katika kuzuia ukatili dhidi
ya watoto
- - 35,360,000 - - 35,360,000 WAMJW WEST,PMO-LE,OR -
TAMISEMI
Kutoa mafunza kwa wawezeshaji
jamii kuhusu matumizi Kitini cha elimu ya Malezi. (MMJ-W, AE-W,
MUJ, na MMJ-M)
- 273,300,000 587,800,000 587,800,000 870,890,000 2,919,790,000 WAMJW OWM – Kazi na Ajira,
WEST, OR - TAMISEMI
Kuingiza stadi chanya za malezi katika mitaala ya mafunzo katika
vyuo vya Ustawi wa Jamii,
Maendeleo ya Jamii, Elimu, Afya, Polisi, na Sheria.
- 40,400,000 40,000,000 40,400,000 - 121,200,000 WEST OWM – Kazi na Ajira, WAMJW, WMN, OR –
TAMISEMI
Kuwezesha uanzishaji na uimarishaji
wa Vituo vya Kijamii vya Kulele watoto wadogo mchana na vituo vya
malezi katika maeneo ya kazi.
- - 6,360,000 - - 6,360,000 WAMJW WEST,MSM
Suala 2: Maadili miongoni mwa watoto, Wazazi, Familia na Wanajamii
Kutoa elimu ya malezi kwa vyombo vya kufanya maamuzi, viongi wa
serikali Viongozi wa dini, na sekta
binafsi
- 62,000,000 - - - 62,000,000 WAMJW MSM
Kuimarisha uhamasishaji wa vipindi
vya elimu ya jinsia na malezi chanya
ya watoto kupitia vyombo vya habari.
- 20,640,000 20,640,000 20,640,000 20,640,000 82,560,000 WAMJW WHUSM, MoWTC
Kuingiza elimu ya malezi katika vituo
vya kujisomea vya jamii (resource centre)
- - 5,200,000 3,100,000 3,050,000 11,350,000 WAMJW WEST,OR - TAMISEMI
Kupitia upya Mwongozo wa Hotuba
ili kuzingatia masuala ya wanawake
804,980,000 700,780,000 700,780,000 700,780,000 700,780,000 3,616,700,000 WAMJW WEST,OR - TAMISEMI
Kuendeleza Programu za Ulinzi kwa
ajili ya Wanawake na watoto
Mtandaoni
409,240,000 - - - - 409,240,000 WAMJW MoWTC, WMN, Wadau
wa Maendeleo, AZAKI
Kutoa elimu ya matumizi sahihi ya
tekinolojia na malezi chanya kwa wafanyakazi wa majumbani, walezi
wa watoto na familia.
15,120,000 15,120,000 15,120,000 15,120,000 15,120,000 75,600,000 WAMJW WHUSM, OR -
TAMISEMI, OWM – Kazi na Ajira, MSM,
WEST
66
Kuzitembelea familia na makundi ya
kijamii na uhamasishaji kuhusu
malezi chanya
7,500,000 75,000,000 112,500,000 - - 195,000,000 OR -
TAMISEMI
WAMJW, AZAKI
Kuunga mkono afua i zinazohamasisha malezi chanya katika
ngazi ya familia na jamii
- 145,000,000 - - - 145,000,000 WAMJW
Jumla ndogo 1,283,840,000 1,332,240,000 1,532,760,000 1,367,840,000 1,610,480,000 7,127,160,000
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 5: UTEKELEZAJI NA USIMAMIAJI WA SHERIA Lengo Mkakati: Sheria zinazowalinda wanawake na watoto zimepitiwa upya na kutelekelezwa
Shughuli
Gharama kwa mwaka
Jumla ya
gharama (TSh)
Mtekelezaji
Mkuu
Watekelezaji
Wengine Mwaka wa Fedha
2017/18
Mwaka wa
Fedha
2018/19
Mwaka wa
Fedha
2019/20
Mwaka wa Fedha 2020/21
Mwaka wa
Fedha
2021/22
1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9
Suala la 1: Sheria zilizopo katika kushughulikia ukatili dhidi wa wanawake na watoto
Kuainisha mapungufu katika mifumo ya sheria
iliyopo inayoendeleza ukatili dhidi ya haki za
wanawake na watoto (Sheria ya Ajira na Mahusiano ya Kazini, Sheria ya Mtoto,2009;
Sheria ya Kanuni ya Adhabu Sura ya 16, Sheria
ya Elimu, Sheria ya Mahakimu, Sheria ya ndoa, Sheria ya Usajili ya Vizazi na Vifo Sura ya 108,
Sheria ya mirathi, Sheria ya Ushahidi, Kutunga
sheria ya kutoa msaada wa kisheria)
172,040,000 271,940,000 86,600,000 19,800,000 - 550,350,000 WKS WAMJJWW,MUU
U,WEST,
TAMISEMI,OMMS, Mahakama,
Kamati za Bunge
Kuridhia na kuingiza katika sheria ya nchi mikataba ya kimataifa na ya kikanda inayohusu
ulinzi na usalama wa haki za wanawake na
watoto dhidi ya ukatili
- 19,920,000 - 6,300,000 - 26,220,000 WAMJW WKS, OMSS
Suala la 2: Uitikiaji wa mfumo wa kisheria kwa mahitaji ya wanawake na watoto
Kutathmini uwezo wa mahitaji ya taasisi za kisheria katika kushughulikia wa ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
- 25,890,000 - - - 25,890,000 WKS Mahakama, WMN, WAMJW,
Mkurugenzi wa Mashtaka
Kujenga uwezo wa Taasisi za sekta ya sheria
(LSIs) katika kushughulikia ukatili dhidi ya
wanawake na watoto (Taasisi za Kisheria, Taasisi za Kutekeleza Sheria, Mahakama za
Watoto na vyama vya wataalamu (ikiwa ni
pamoja na wanaotoa msaada wa kisheria) katika ngazi zote na pia kuwa wasaidizi wa watoto
- 1,044,000,000 1,043,960,000 1,043,960,000 1,046,000 4,177,980,000 MAJWW Mahakama,WMN
Kuendesha mashauriano ya kitaifa kuhusu
uhitaji wa kuanzisha Mahakama maalumu kwa
ajili ya masuala ya kifamilia
- - - - 38,600,000 38,600,000 WAMJW WKS, Mahakama
Kuhamasisha umma juu ya mifumo ya kisheria
iliyopitiwa upya
- - 1,161,320,000 17,320,000 8,660,000 1,187,300,000 WAMJW WEST,WKS,
Mahakama, Mashirika yasiyo ya
Kiserikali
67
Kuendesha kampeni za uhamasishaji
zinazolenga ukatili dhidi ya wanawake na
watoto za mara kwa mara kwenye maeneo
yaliyoathirika zaidi mathalani katika maeneo ya
uchimbaji madini, sekta ya mashamba ya kibiashara na sekta ya kazi za majumbani
- - - 34,800,000 26,100,000 60,900,000 TAMISEMI TAMISEMI,
WAMJW, THBUB,
Mashirika
yasiyokuwa ya
kiserikali
Suala la 3 : Kufikika kwa huduma za kisheria
Kutunga na kutekeleza sheria ya msaada wa kisheria
- 38,416,000 27,216,000 27,216,000 27,216,000 120,064,000.00 WSK Mahakama, WAMJW,
TAMISEMI na
Mashirika yasiyo ya Kiserikali
Kuazisha huduma za majaribio za watoa msaada wa kisheria katika mkoa mmoja uliochaguliwa
kulingana na Sheria ya kutoa Msaada wa
Kisheria
- - - 29,200,000 - 29,200,000.00 WSK WAMJW, Chama Cha Wanasheria
Tanganyika,
Mashirika Yasiyo ya
Kiserikali
Kuandaa na kurasimisha Sera ya msaada wa
kisheria
- - - 57,068,000 - 57,068,000.00 WSK WAJJWW,
Mahakama,
Mashirika Yasiyo ya Kiserikali
Kuinginza ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika sheria ndogondogo
- - 12,600,000 9,800,000 - 22,400,000.00 TAMISEMI WAMJW, Mamlaka ya Serikali
za Mitaa, WSK,
OMMS
Kuunga mkono hatua za pamoja ambazo zinazoshughulikia huduma zinazotolewa kwa
wakati kwa wanawake na watoto
- - - - 145,000,000 145,000,000.00 WAMJW
Jumla Ndogo 172,040,000 1,400,166,000 2,331,696,000 1,245,464,000 1,291,636,000 6,441,002,000
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 6: MWITIKIO NA HUDUMA SAIDIZI
Lengo Mkakati: Kujibu na kutoa huduma saidizi kwa ajili ya VAWC zimeimarika.
Shughuli
Gharama kwa mwaka Jumla ya gharama
(TSh)
Mtekelezaji
Mkuu Watekelezaji Wengine Mwaka wa Fedha
2017/18
Mwaka wa Fedha
2018/19
Mwaka wa Fedha
2019/20
Mwaka wa Fedha
2020/21
Mwaka wa Fedha
2021/22
1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9
Suala la 1: Rasilimali, zana na miundombinu ya kutoa jawabu kwa huduma za VAWC
Kupitia upya na kuandaa miongozo na
zana kwa watoa huduma wa kwanza,
kwa wahusika na watoa huduma kwa
wahanga/wanusurika wa ukatili dhidi
ya wanawake na watoto
- - 195,820,000 - - 195,820,000 WAMJW OR - TAMISEMI,
WMN, WEST, WKS,
Mahakama, OWM –
Kazi na Ajira, AZAKI,
Wadau wa Maendeleo, na Sekta Binafsi
Kutoa maelekezo kuhusu kuandaa
miongozo na zana (pamoja na mifumo ya kuripoti madhubuti miongoni mwa
wahusika wanaotoa huduma –
117,600,000 113,400,000 113,400,000 113,400,000 113,400,000 571,200,000 WAMJW WMN, WEST, WKS,
Mahakama, OWM – Kazi na Ajira
68
wakijumuishwa na watumishi wa
ustawi wa jamii, maofisa wa mamlaka
ya kazi, elimu, afya, jeshi la Polisi,
mahakama, mamlaka inayopambana
na biashara haramu ya kusafirisha watu kimagendo, magereza, na
AZAKI katika ngazi ya Wilaya, Kata
na Kijiji)
Kutoa mafunzo kwa watumishi wa
mstari wa mbele (MUJ, Jeshi la Polisi,
Watumishi wa Afya, Walimu, Hakimu, Maofisa wa wanaopambana
na biashara haramu ya kusafirisha
watu kimagendo) katika medani yao mahsusi ya kiufundi (UW, UK,
mashtaka ya mahakamani)
988,900,000 988,900,000 988,900,000 988,900,000 988,900,000 4,944,000,000 WAMJW OR – TAMISEMI,
MSM, MoWTC,
AZAKI, Wadau wa Maendeleo na Sekta
Binafsi
Kuimarisha na kurasimisha namba ya
simu ya kutoa msaada kwa mtoto na
uwapo wa mfumo wa rufaa
135,696,000 129,096,000 118,536,000 111,936,000 111,936,000 607,200,000 WAMJW OR - TAMISEMI,
MSM, MoWTC,
AZAKI, Wadau wa
Maendeleo & Sekta Binafsi (pamoja na
Makampuni ya Kutoa
huduma ya simu)
Kuongeza vituo vinavyotoa huduma jumuishi ili kutoa huduma za pamoja
na zenye ubora wa kujibu mahitaji ya
wanusurika wa ukatili
- - 293,400,000 293,400,000 282,600,000 869,400,000 WAMJW OR - TAMISEMI, WMN, WKS, AZAKI,
Wadau wa Maendeleo&
Sekta Binafsi
Kuendesha na kufanya kazi kwa
PGCD katika vituo vyote vya jeshi la
polisi
2,035,000,000 2,035,000,000 2,035,000,000 2,035,000,000 2,035,000,000 10,175,000,000 WMN WAMJW, AZAKI,
Wadau wa Maendeleo
& Sekta Binafsi
Kuanzisha magereza ya watoto
wanaojikuta katika mgogoro wa
kisheria katika kanda nne
324,000,000 324,000,000 524,000,000 524,000,000 400,000,000 2,096,000,000 WAMJW WMN, WKS, OR -
TAMISEMI, Wadau wa
Maendeleo & Sekta
Binafsi
Kuandaa, kutafsiri na kusambaza
mwongozo /rahisi kueleweka wa
Maandishi ya kumbukumbu kuhusu rufaa, maagizo na ushauri kwa
wahusika wa utekelezaji wa
kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na watoto
2,800,000 6,600,000 6,600,000 - - 16,000,000 WAMJW OR - TAMISEMI,
AZAKI, Wadau wa
Maendeleo na Sekta Binafsi
Kuunga mkono watumishi wa mstari
wa mbele (MUJ, Polisi, Afya, MMJ, Maofisa wa Kisheria, Mahakimu,
Walimu, Maofisa wanaopambana na
biashara haramu ya usafirishaji watu
kimagendo, n.k) ili kusimamia kesi za
ukatili dhidi ya wanawake na watoto
784,400,000 784,400,000 784,400,000 784,400,000 784,400,000 3,922,000,000 WAMJW WMN, PMO, WKS, OR
- TAMISEMI, AZAKI, Wadau wa Maendeleo
na Sekta Binafsi
Kuanzisha jumba salama la dharura la
majaribio kwa ajili ya wanawake walioko hatarini na wahanga katika
mkoa mmoja teule
- - - 119,000,000 - 119,000,000 WAMJW WMN, PMO, WKS, OR
- TAMISEMI, AZAKI, Wadau wa Maendeleo
na Sekta Binafsi
69
Kufanya uraghibishaji kwa ajili ya
kuziwezesha taasisi za kidini
/Majumba ya Ibada ili kuanzisha
majumba ya usalama kwa wanawake
wahanga au kwa wale walioko hatarini kupatwa na ukatili
164,800,000 185,400,000 280,100,000 94,700,000 94,700,000 819,700,000 WAMJW OR - TAMISEMI,
MSM, AZAKI,
Mashirika ya Dini na
Wadau wa Maendeleo
Kuajiri na kuwawezesha watu wanaofaa kutoa huduma ya uangalizi
mbadala wakati wa dharura kwa
watoto wahanga au walioko hatarini kuathirika na ukatili. (Vipengele vya
ukokotoaji wa gharama – kuendesha
mafunzo ya kikanda ya siku 5 kwa ajili ya Wakufunzi wa wakufunzi
(TOTs), mafunzo kwa watumishi 10
toka kila wilaya kama TOTs kwa
kipindi cha siku 3, ili kuwawezesha
TOTs kutoa mafunzo kwa
watu/familia zinazofaa katika Kata/ Vijiji – rejea ziara za ngazi ya kijamii)
351,300,000 289,500,000 289,500,000 289,500,000 289,500,000 1,509,300,000 WAMJW OR - TAMISEMI, MSM, AZAKI,
Mashirika ya Dini na
Wadau wa Maendeleo
Kunga mkono Serikali za Mitaa ili
ziimarishe huduma za kuishi maisha
ya kawaida kwa wanawake na watoto wahanga au walio hatarini kufanya
vitendo viovu kulingana na miongozo
ya kitaifa
158,000,000 79,000,000 79,000,000 - - 316,000,000 PO - RALG WAMJW MSM, MSM,
AZAKI, Wadau wa
Maendeleo na Sekta Binafsi
Kuanzisha mahakama zinazofikika,
zenye ubora na rafiki kwa vijana
katika kila mkoa
210,560,000 182,160,000 182,160,000 177,860,000 177,860,000 930,600,000 Judiciary WAMJW, WKS,
WMN, CHRAGG,
MSM, OR - TAMISEMI, MSM,
AZAKI, Wadau wa
Maendeleo na Sekta Binafsi
Kuingiza katika mitaala/vitabu vya
mwongozo masuala yanayohusu ukatili dhidi ya wanawake na watoto,
kazi za kijamii, Maendeleo ya jamii,
na Jeshi la Polisi, Walimu na Maofisi wa Kazi
95,400,000 - 30,000,000 30,000,000 - 155,400,000 WAMJW NACTE, TCU, Taasisi
za kitaaluma, WEST, OWM, AZAKI, Wadau
wa Maendeleo na Sekta
Binafsi
Kuunga mkono hatua za uingiliaji
zinazoshughulikia huduma za kutoa
jawabu thabiti na za kutolewa kwa wakati kwa watoto na wanawake
pamoja na watoto wanaoishi au
wanaofanya kazi mitaani, wanawake
na watoto wenye ualbinism, wazee
wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya
kiuchawi na kufanyizisha watoto kazi.
- - - 145,000,000 - 145,000,000 WAMJW WMN, WKS, Judiciary,
, OR - TAMISEMI,
MSM, AZAKI, Wadau wa Maendeleo na
Sekta Binafsi
Jumla Ndogo 5,368,356,000 5,117,356,000 5,920,716,000 5,706,996,000 5,278,196,000 27,391,620,000
70
ENEO LA MADA YA 7: SHULE SALAMA NA STADI ZA MAISHA
Lengo Mkakati: Mazingira salama, jumuishi na yenye kufikika ya kujifunzia kwa wasichana na wavulana yameboreshwa.
Shughuli
Gharama kwa mwaka
Jumla ya gharama (TSh)
Mtekelezaji Mkuu
Watekelezaji Wengine Mwaka wa
Fedha 2017/18
Mwaka wa
Fedha 2018/19
Mwaka wa
Fedha 2019/20
Mwaka wa
Fedha 2020/21
Mwaka wa
Fedha 2021/22
1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9
Suala la 1: Maarifa ya haki za Mtoto kwa walimu na wanafunzi
Kuendesha kampeniza kitaifa kwa kuweka mkazo juu ya ukatili dhidi ya
wanawake na watoto zikiwalenga
walimu na wanafunzi kupitia vyombo vya habari.
132,940,000 126,240,000 126,240,000 126,240,000 125,840,000 637,500,000 WEST WAMJW, OR -TAMISEMI, Wizara ya Habari, Utamaduni,
Sanaa Na Michezo
Kuwabaini na kuwafundisha walimu
washauri wanasihi kuhusu masuala ya
ukatili dhidi ya wanawake na watoto na
wajibu wao kwa kutumia kivunge cha
mawasiliano cha kujifunza cha ukatili dhidi ya wanawake na watoto
61,800,000 4,140,600,000 4,243,600,000 4,140,600,000 4,078,800,000 16,665,400,000 WEST WAMJW, OR – TAMISEMI
Suala la 2: Maarifa kuhusu stadi za maisha na afya ya uzazi, ulinzi na usalama wa mtoto kwa wasichana na wavulana
Kuimarisha na kufanya kuwa za aina
moja hatua za kinidhamu chanya na zile za mbadala zilizopo shuleni na kufany
amajaribio katika wilaya
zitakazochaguliwa.
- 39,254,040 259,354,040 6,854,040 6,854,040 312,316,160 WEST WAMJW, AZAKI
Kupitia upya, kuingiza na kutoa
maelekezo kwa Watoto kuhusu ukatili dhidi ya wanawake na kuhusu masuala
ya afya ya uzazi katika zana za
ufundishaji katika vilabu vya shuleni
- 4,328,100,000 4,140,600,000 4,140,600,000 4,078,800,000 16,688,100,000 WEST WAMJW, OR – TAMISEMI,
CSO
Kutoa Nakala na kusambaza stadi za
maisha zikizingatia kitabu cha
mwongozo wa elimu rasmi na isiyo rasmi ya vijana, elimu ya watu wazima
katika vituo vya mafunzo maalumu
- 81,950,000 81,950,000 - - 163,900,000 WEST WAMJW, OR -TAMISEMI,
CSO, Ofisi ya Waziri Mkuu,
Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu
Kufanya kampeni za uraghibishaji
katika ngazi za Mamlaka ya Serikali za Mitaa, AZAKI, Mashirika ya Dini,
Mashirika Yasiyo ya Kiserikali na sekta
binafsi ili watoe malazi, zana za kujifunzia, chakula, mavazi kwa MVCs
na vifaa vya kujistiri kwa wasichana
wanaotoka katika familia duni
- 76,100,000 - - - 76,100,000 WAMJW WEST, Mamlaka ya Serikali
za Mitaa, AZAKI
Kutoa Nakala na kusambaza kanuni za
Tabia Njema za Kitaifa za Walimu, Sera ya Elimu na Mafunzo, na Nakala
ya Sheria ya Elimu
- 16,750,000 32,450,000 16,300,000 - 65,500,000 WEST OR-TAMISEMI, Mamlaka ya
Serikali za Mitaa, AZAKI
Suala la 3: Mfumo wa kutoa taarifa na rufaa za ukatili dhidi ya Watoto katika maeneo ya shuleni
71
Kufanya kampeni za uhamasishaji
kuhusu mfumo wa kutoa taarifa shuleni
12,232,000 6,232,000 6,232,000 6,232,000 6,232,00 37,160,000 WEST WAMJW, OR-TAMISEMI,
Mamlaka ya Serikali za
Mitaa, AZAKI
Kupitia upya, kuboresha na kusambaza
zana za ukaguzi shuleni zitakazojumuisha masuala ya ukatili
dhidi ya wanawake na watoto
7,000,000 12,254,040 12,254,040 12,254,040 12,254,040 56,016,160 WEST WAMJW, OR-TAMISEMI,
Mamlaka ya Serikali za Mitaa, AZAKI
Kuwezesha afua zinazolengakujenga
mazingira ya shule salama
- - 145,000,000 - - 145,000,000 WEST TAMISEMI, Mamlaka ya
Serikali za Mitaa
Jumla Ndogo 213,972,000 8,827,480,080 9,047,680,080 8,449,080,080 8,308,780,080 34,846,992,320
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 8: URATIBU, UFUATILIAJI NA TATHMINI
Lengo Mkakati: Mfumo jumuishi wa uratibu, ufuatiliaji na tathmini kuanzishwa na kurathimishwa
Shughuli
Gharama kwa mwaka
Jumla ya gharama (TSh) Mtekelezaji
Mkuu Watekelezaji
Wengine Mwaka wa Fedha
2017/18
Mwaka wa Fedha
2018/19
Mwaka wa Fedha
2019/20
Mwaka wa Fedha
2020/21
Mwaka wa Fedha
2021/22
1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9
Suala la 1: Uratibu wa programu na afua za GBV/VAC katika ngazi zote.
Kuandaa mwongozo wa utekelezaji wa
mfumo wa uratibu wa
kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na
watoto pamoja na
Ufuatiliaji na Tathmini katika ngazi zote
32,683,000 - - - - 32,683,000 PMO OR - TAMISEMI, WAMJW,CSO,Wad
au wa Maendeleo
Kuanzisha kamati za
Mikoa na Wilaya za
ulinzi na usalama za kutokomeza ukatili
dhidi ya wanawake na
watoto na kutoa mafunzo kuhusu
majukumu na wajibu
wa kamati hizo kama wakufunzi wa kamati
za ulinzi na usalama katika ngazi ya Kata na
Kijiji/Mtaa.
104,880,000 106,020,000 - - - 210,900,000 WAMJW
(Ngazi ya
Kitaifa) OR - TAMISEMI
(Serikali za
Mitaa)
MSM,
AZAKI,Wadau wa
Maendeleo
Kutoa mafunzo na
vitendea kazi kwa kamati za ulinzi na
usalama za
kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na
watoto katika ngazi ya
Kata na Kijiji/Mtaa.
2,874,000,000 2,854,900,000 - - - 5,679,500,000 MSM WAMJW, OR -
TAMISEMI, AZAKI, Wadau wa
Maendeleo na Sekta
Binafsi
72
Kuwezesha Kamati ya
Kitaifa ya Uongozi ya
kuzuia ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
(NPSC), Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu
(NPTC) ya kuzuia
ukatili dhidi ya wanawake na watoto,
na Kamati za Utendaji
(TWGs) kuratibu utekelezaji wa afua za
MTAKUWWA katika ngazi ya taifa.
49,200,000 49,200,000 49,200,000 49,200,000 49,200,000 246,000,000 OWM
(Uratibu)
WAMJW, OR -
TAMISEMI,
WEST, WKS,
AZAKI, Wadau wa
Maendeleo na Sekta Binafsi
Kuwezesha
Sekretarieti ya
MTAKUWWA
kuratibu utekelezaji wa
afua za MTAKUWWA
katika ngazi zote
296,620,000 31,620,000 31,620,000 31,620,000 31,620,000 423,100,000 WAMJW PMO, OR -
TAMISEMI, WMN,
WKS na WEST,
AZAKI, Wadau wa
Maendeleo na Sekta
Binafsi
Suala la 2: Rasilimali watu na fedha kwa ajili ya programu za kupambana na GBV na VAC
Kufanya tathmini pana
ya mahitaji ya rasilimali watu kuhusu
utekelezaji wa
MTAKUWWA
31,600,000 - - - - 31,600,000 PMO WAMJW,PO-PSM,
OR - TAMISEMI, WEST, WKS,
WMN, Mahakama,
MSM, AZAKI, Wadau wa
Maendeleo na Sekta
Binafsi
Kubaini changamoto
za kifedha na fursa za
MTAKUWWA, kuandaa na kutekeleza
mkakati wa
kuhamasisha ukusanyaji wa
rasilimali
5,600,000 2,800,000 2,800,000 2,800,000 2,800,000 16,800,000 WAMJW WFM, PMO, PO-
RALG, WEST,
WKS, WMN, Mahakama, MSM,
AZAKI, Wadau wa
Maendeleo na Sekta Binafsi
Kufanya ushawishi kuhusu kuweka
vipaumbele vya
kifedha kwa shughuli za MTAKUWWA
katika Miongozo ya
Kibajeti ya Serikali
18,400,000 14,200,000 14,200,000 14,200,000 14,200,000 75,200,000 WAMJW WFM, OWM , OR - TAMISEMI,
WEST, WKS,
WMN, Mahakama, MSM, AZAKI,
Wadau wa
Maendeleo na Sekta binafsi
Kujenga uwezo wa
kupanga, kuandaa
bajeti, kusimamia na kuraghibisha kuhusu
uwepo wa mfumo
imara na madhubuti wa MTAKUWWA wa
ulinzi na usalama
151,000,000 151,000,000 151,000,000 151,000,000 151,000,000 755,000,000 OR -
TAMISEMI
WFM, WAMJW
73
Kufanya mapitio ya
mwaka ya matumizi ya
umma kuhusu ukatili
dhidi ya wanawake na
watoto
125,700,000 125,700,000 125,700,000 125,700,000 125,700,000 628,500,000 WAMJW WFM, WAMJW,
OWM , OR -
TAMISEMI,
WEST, WKS,
WMN, Mahakama, MSM, AZAKI,
Wadau wa
Maendeleo na sekta binafsi
Suala la 3 : Uzalishaji wa takwimu, uhitaji na matumizi
Kuandaa mpango wa ufuatiliaji na tathmini
wenye mfumo wa
kuwezesha ufuatiliaji na utoaji wa taarifa
kuhusu MTAKUWWA
31,200,000 - - - - 31,200,000 WAMJW OWM , OR - TAMISEMI
Kuanzisha takwimu za
msingi kwa viashiria muhimu
22,860,000 - - - - 22,860,000 WAMJW OWM , OR -
TAMISEMI, WEST, WKS,
WMN, NBS,
AZAKI, Wadau wa Maendeleo na Sekta
Binafsi
Kupitia mifumo ya ukusanyaji na
uchakataji wa taarifa
kubaini vyanzo vya takwimu za
MTAKUWWA na
upungufu.
13,730,000 - - - - 13,730,000 WAMJW OWM , OR - TAMISEMI,
WEST, WKS,
WMN, NBS, AZAKI, Wadau wa
Maendeleo na Sekta
Binafsi
Kuandaa/kuhuisha
mifumo ya kukusanya
taarifa (MIS, Database) na Zana za ukusanyaji
takwimu kwa ajili ya
ufuatiliaji na utoaji taarifa kuhusu ukatili
dhidi ya wanawake na
watoto
38,600,000 18,900,000 - - - 57,500,000 WAMJW OR - TAMISEMI,
WMN, WEST,
WKS, Mahakama, NBS, UDSM, OWM
, AZAKI, Wadau
wa Maendeleo na Sekta Binafsi
Kuendeleza na kutumia mbinu bunifu
za ukusanyaji wa
takwimu kwa kutumia simu za mkononi
- 330,700,000 - - - 330,700,000 WAMJW OR - TAMISEMI, WMN, WEST,
WKS, Mahakama,
NBS, UDSM, TCRA, OWM ,
AZAKI, Wadau wa
Maendeleo na Sekta Binafsi
74
Kuwezesha majaribio
na utawanyaji wa
mifumo na zana za
ukusanyaji wa taarifa
pamoja na kutoa mafunzo
3,307,500,000 6,353,900,000 5,631,000,000 - - 15,292,400,000 WAMJW
(Ngazi ya
Kitaifa) OR -
TAMISEMI
(Serikali za Mitaa)
WMN, WEST,
WKS, Mahakama,
NBS, UDSM,
TCRA, OWM ,
AZAKI, Wadau wa Maendeleo na Sekta
Binafsi
Kuratibu ziara za ufuatiliaji za pamoja za
sekta mbalimbali na
mapitio katika ngazi ya Mamlaka za Serikali za
Mitaa.
761,290,000 761,290,000 769,630,000 757,120,000 777,970,000 3,827,300,000 OWM WAMJW, PO- RALG, WMN,
WEST, WKS,
Mahakama, NBS, UDSM, AZAKI,
Wadau wa
Maendeleo na Sekta Binafsi
Kuwezesha uhifadhi
wa nyaraka na
usambazaji wa
matokeo ya M&E na
nyenzo pamoja na mafunzo na mifano
bora katika utekelezaji
wa afua za MTAKUWWA
24,500,000 46,760,000 46,760,000 46,760,000 46,760,000 211,540,000 WAMJW OR - TAMISEMI,
WMN, WEST,
WKS, Mahakama,
OWM , AZAKI,
Wadau wa Maendeleo,
Vyombo vya Habari
na Sekta Binafsi
Kuwezesha utafiti (wa
kujenga /kufanya
kazi/Hatua) katika maeneo lengwa na
yanayoibuka kutoka
kwenye maeneo utendaji ya mpango
69,600,000 73,800,000 75,900,000 75,900,000 76,400,000 3,716,000,000 WAMJW OR - TAMISEMI,
WMN, WEST,
WKS, Mahakama, NBS, UDSM,
OWM , AZAKI,
REPOA, ESRF, Wadau wa
Maendeleo na Sekta
Binafsi
Kuwezesha uingizaji
wa viashiria muhimu
vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto
katika tafiti na
uchunguzi wa vipindi (THIS, DHS, VACS)
2,960,000 2,960,000 2,960,000 2,960,000 2,960,000 14,800,000 WAMJW OR - TAMISEMI,
WMN, WEST,
WKS, Mahakama, NBS, UDSM,
TACAIDS, OWM ,
AZAKI, Wadau wa Maendeleo na Sekta
Binafsi
Kuwezesha ufuatiliaji na tathmini za mara
kwa mara za
utekelezaji wa MTAKUWWA
263,685,000 263,685,000 301,110,000 235,600,000 374,620,000 1,438,700,000 OWM WAMJW, OR - TAMISEMI, WMN,
WEST, WKS,
Mahakama, NBS, UDSM, TCRA,
AZAKI, Wadau wa
Maendeleo na Sekta Binafsi
Jumla Ndogo 8,221,608,000 11,588,635,000 7,603,080,000 1,514,060,000 1,674,430,000 30,601,813,000
JUMLA KUU 29,376,194,500 90,863,373,080 68,526,038,080 41,125,596,080 37,549,608,080 267,440,809,820
75
KIAMBATANISHO CHA III: MFUMO WA MATOKEO WA MTAKUWWA
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 1: KUIMARISHA UCHUMI WA KAYA
Matokeo Viashiria
Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo vya
Takwimu
Vipindi
vya
Ukusanyaji
Mbinu za
Uhakiki
Vipindi
vya
Utoaji
Taarifa
Wahusika
Tarehe Takwimu Mwaka
wa 1
Mwaka
wa 2
Mwaka
wa 3
Mwaka
wa 4
Mwaka
wa 5
Mtekelezaji
Mkuu
Watekelezaji
Wengine
MATOKEO YA MUDA MREFU
Kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto kwa 50% ifikapo 2021/22
MATOKEO YA MUDA WA KATI Na. 1
Kuongezeka kwa
kipato cha kaya
Kiwango cha
umaskini katika ngazi ya
kaya
2016 Itabainishwa Ripoti za
Tathmini na taarifa ya
utekelezaji
ya mwaka
Miaka
mitano
Ripoti za
Tathmini na Taarifa ya
utekelezaji
ya mwaka
Miaka
mitano
WAMJW WVBU, WKMMU,
WFM, NEC,
TASAF, OR -
TAMISEMI,
NBS, AZAKI,
Wadau wa
Maendeleo,
Sekta Binafsi
MATOKEO YA MUDA MFUPI Na. 1.1
Uwepo wa vikundi
imara vya wanawake
vya kiuchumi na upatikanaji wa
huduma wa kifedha.
Asilimia ya
wanawake
wanaopata huduma za
kifedha
2016 51.2 53 57 60 63 65 Ripoti ya
MoCDGEC
Kila mwaka Taarifa za
Ufuatiliaji
na Taarifa ya
utekelezaji
ya mwaka
Kila
mwaka
WAMJW WVBU,
WKMMU,
WFM
MATOKEO YA MUDA MFUPI Na. 1.2
Mfuko utakaochochea
upatikanaji wa elimu
kaika masuala ya
kiufundi, ujasiliamali,
mikopo, masoko na huduma za ushauri
umeanzishwa.
Asilimia ya
wanawake
ambao ni
wanachama wa
VICOBA
2016 79 80 82 83 84 85 Taarifa za
Tanzania
Coperative
Commission
(TCC) na Benki
Kila mwaka Taarifa za
Tanzania
Coperative
Commission
(TCC) na Benki
Kila
mwaka
WKMMU WAMJW
MATOKEO YA MUDA WA KATI Na. 2.
Uelewa wa wanawake kuhusu haki ya
kumiliki mali, urithi,
na kulindwa dhizi ya vitendo vya ukatili wa
kijinsia.
Uwiano wa mali
zinazomilikiwa
na wanawake kwa kuzingatia
umri na
mahali.
2016 Itabainishwa Taarifa za WANMM
Taarifa za BRELA,
Tanzania
Private Sector
Foundation
(TPSF)
WANMM WAMJW, TPSF,
WVBU
MATOKEO YA MUDA MFUPI Na. 2.1
Vikundi ya
wanawake, wajane na watoto
vimewezeshwa
kutambua na kudai haki zao za mirathi.
Asilimia ya
wanawake, wajane
wanaomiliki
ardhi na rasilimali
zingine
2016 Itabainishwa Taarifa za
WANMM
Taarifa za
WANMM
WANMM WAMJW
76
Kesi za mirathi
ziliripotiwa na
kufungwa/
kukamilika
2017 Itabainishwa Taarifa za
WKS
Taarifa za
WKS
WKS WAMJW
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 2: MILA NA DESTURI
Matokeo Viashiria
Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo
vya
Takwimu
Vipindi
vya
Ukusanya
ji
Mbinu za
Uhakiki
Vipindi
vya
Utoaji
Taarifa
Wahusika
Tarehe Takwimu Mwaka
wa 1
Mwaka
wa 2
Mwaka
wa 3
Mwaka
wa 4
Mwaka
wa 5
Mtekelezaji
Mkuu
Watekele
zaji
Wengine
MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 3
Mila na Desturi
zinazounga mkono
vitendo
visivyokuwa vya
kikatili
zinatekelezwa
Muafaka wa
kijamii
unaosisitiza
uondoaji wa
aina yoyote
ile na mazingira
yoyote yale
ya ukatili
2016 Itabainishw
a
Kumbukum
bu za
WAMJW
Miaka
mitano
Taarifa za
utafiti na
tathmini
Miaka
mitano
WAMJW WHUSM
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 3.1
Wanawake na
wanaume
wanapewa mafunzo kuhusu
madhara ya Ukeketaji wa na
ndoa za utotoni
katika mikoa 10
Kiwango cha
Ukeketaji
2010 32 29 25 21 16 11 Taarifa za
Ufuatiliaji
Kila
mwaka
Taarifa za
Ufuatiliaji
Kila
mwaka
WAMJW
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 3.2
Mfumo wa
kushughulikia
tatizo la kutokuwepo kwa
usawa kinjisia
katika maeneo ya kazi na kufikia
huduma
unaanzishwa
Kiwango cha
ukatili wa
kingono
2010 17.2 15.1 13 11.1 9 8 Taarifa za
Ufuatiliaji
Kila
mwaka
Taarifa za
Ufuatiliaji
Kila
mwaka
OR -
TAMISEMI
WAMJW
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 3.3
Wanawake na
watoto
wamewezeshwa
jinsi ya kuwa
salama
Kiwango cha
ndoa za
utotoni
2010 47 40 33 20 15 10 Taarifa ya
utekelezaji
ya mwaka
Kila
mwaka
Taarifa ya
utekelezaji
ya mwaka
Kila
mwaka
WAMJW WIWS
Kiwango cha mimba za
utotoni
2010 27 22 17 14 10 5 Taarifa ya utekelezaji
ya mwaka
na taarifa za
ufuatiliaji
Kila mwaka
Taarifa ya utekelezaji
ya mwaka
na taarifa za
ufuatiliaji
Kila mwaka
WAMJW OR - TAMISE
MI
77
Kiwango cha
ukatili wa
kimwili dhidi
ya wanawake
wenye umri kati ya miaka
15-49
2010 39 30 23 18 13 10 Taarifa ya
utekelezaji
ya mwaka
na Taarifa
za Ufuatiliaji
Kila
mwaka
Taarifa ya
utekelezaji
ya mwaka
na Taarifa
za Ufuatiliaji
Kila
mwaka
WAMJW OR -
TAMISE
MI
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 3: MAZINGIRA SALAMA
Matokeo Viashiria
Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo
vya
Takwimu
Vipindi
vya
Ukusanyaj
i
Mbinu za
Uhakiki
Vipind
i vya
Utoaji
Taarif
a
Wahusika
Tareh
e Takwimu
Mwak
a wa 1
Mwak
a wa 2
Mwak
a wa 3
Mwak
a wa 4
Mwak
a wa 5
Mtekelezaj
i Mkuu
Watekelezaj
i Wengine
MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 4
Usalama wa wanawake na watoto
katika maeneo ya
umma umeboreshwa
Kesi za VAWC zilizotokea katika
maeneo ya umma
2016 Itabainishwa
Taarifa za WMN na
taarifa ya
utekelezaji ya
mwaka
Miaka mitano
Taarifa za utafiti na
tathmini
Miaka mitano
WMN WAMJW
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 4.1
MSM/WIWS/Taasis
i zinaingiza vipengele vya
VAWC katika usimamizi wa
maeneo ya umma
MSM/WIWS/Taasis
i zinazoingiza masuala ya VAWC
katika sheria zao ndogo ndogo/kanuni
2016 Itabainishw
a
Taarifa za
ufuatiliaji na taarifa
ya utekelezaj
i ya
mwaka
Kila mwaka Taarifa za
Ufuatiliaji na taarifa
ya utekelezaj
i ya
mwaka
Kila
mwaka
OR -
TAMISEMI
WIWS
Watoa huduma wanaoshikilia na
wanaotekeleza sera
ya usalama na ulinzi wa watoto na
taratibu za maeneo
ya umma
2016 Itabainishwa
Taarifa ya utekelezaj
i ya
mwaka
Kila mwaka Taarifa za Ufuatiliaji
Kila mwaka
WAMJW WIWS
Matukio ya VAC
katika mazingira
ambamo watoto na vijana wanakutana
na kupitisha muda
wao
2016 Itabainishw
a
Taarifa za
VAWC
Kila mwaka Taarifa ya
utekelezaj
i ya mwaka
Kila
mwaka
WMN WAMJW
Matukio ya VAW katika maeneo ya
umma na yale ya
faragha
2016 Itabainishwa
Taarifa za VAWC
Kila mwaka Taarifa ya utekelezaj
i ya
mwaka na Taarifa za
Ufuatiliaji
Kila mwaka
WAMJW MSM
78
Viongozi wa kisiasa,
wa kidini na watu
wenye ushawishi
katika jamii
wanahusishwa katika mazungumzo
ya masuala ya
VAWC katika maeneo ya umma
2016 Itabainishw
a
Taarifa za
AZAKI
Kila mwaka Taarifa ya
utekelezaj
i ya
mwaka na
Taarifa za Ufuatiliaji
Kila
mwaka
AZAKI WAMJW
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 4: MSAADA WA FAMILIA NA MAHUSIANO
Matokeo Viashiria
Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo
vya
Takwimu
Vipindi
vya
Ukusanyaji
Mbinu za
Uhakiki
Vipindi
vya
Utoaji
Taarifa
Wahusika
Tarehe Takwimu Mwaka
wa 1
Mwaka
wa 2
Mwaka
wa 3
Mwaka
wa 4
Mwaka
wa 5
Mtekelezaji
Mkuu
Watekelezaji
Wengine
MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 5
Watoto wenye desturi
za kimaadili na
wanakua na kufikia utimilifu wao
Uwiano wa wadau
wanaofanya kwa
vitendo malezi mazuri
2016 Itabainishwa Taarifa za
Tathmini
na Taarifa ya
utekelezaji
ya mwaka
Miaka
mitano
Taarifa za
Tathmini
na Taarifa ya
utekelezaji
ya mwaka
Miaka
mitano
WAMJW OR –
TAMISEMI,
AZAKI
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 5.1
Wazazi walezi, watoa
huduma ya malezi ,
familia, jamii wanawezeshwa katika
stadi za malezi chanya
Wadau
wanashirikishwa
katika malezi mazuri
2016 Itabainishwa Taarifa za
Utafiti na
Taarifa ya utekelezaji
ya mwaka
Kila mwaka Taarifa za
Ufuatiliaji
na Taarifa ya
utekelezaji
ya mwaka
Kila
mwaka
WAMJW OR -
TAMISEMI,
AZAKI
Stadi za malezi
kwa wazazi na
watoa huduma wengine wa
malezi
2016 72 80 88 101 105 113 Taarifa za
Utafiti na
Taarifa ya utekelezaji
ya mwaka
Kila mwaka Taarifa za
Ufuatiliaji
Kila
mwaka
WAMJW OR -
TAMISEMI,
AZAKI
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 5.2
Kuongezeka kwa ubora ya Elimu ya
awali na elimu ya
malezi.
Programu/huduma ya kusisimua akili
na maendeleo ya
awali ya utotoni ya chini ya umri
wa miaka mitano
2016 122,500 134, 500
146, 000
166,500 175, 500
183,750 Taarifa za VAWC
Kila mwaka Taarifa ya utekelezaji
ya mwaka
Kila mwaka
WAMJW OR - TAMISEMI,
AZAKI
79
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 5: UTEKELEZAJI WA SHERIA
Matokeo Viashiria
Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo vya
Takwimu
Vipindi
vya
Ukusanyaji
Mbinu za
Uhakiki
Vipindi
vya
Utoaji
Taarifa
Wahusika
Tarehe Takwimu Mwaka
wa 1
Mwaka
wa 2
Mwaka
wa 3
Mwaka
wa 4
Mwaka
wa 5
Mtekelezaji
Mkuu
Watekelezaji
Wengine
MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 6
Ufikikaji na ulinzi wa
huduma za kisheria kwa wanawake na
watoto umeboreshwa
% ya
wanawake na watoto
wanaofikia na
kulindwa na huduma za
kisheria.
2016 Itafahamika
baadae
taarifa za
OWM, TAMISEMI,
WKS
Miaka
mitano
taarifa za
OWM, TAMISEMI,
WKS
Miaka
mitano
WSK OWM,
TAMISEMI, WAMJW,
Mamlaka ya
Serikali za Mitaa
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.1
sheria
zinazoshughulikia
ukatili dhidi ya
wanawake na watoto zimeoanishwa
Sheria
zimeoanishwa
kushughulikia
ukatili dhidi ya wanawake
na watoto
2016 Itabainishwa Taarifa ya
WKS
Kila mwaka Taarifa ya
WKS
Kila
mwaka
WSK WAMJW,
Mamlaka ya
Serikali za
Mitaa, Mashirika
yasiyo ya
Kiserikali
Asilimia ya wanawake na
watoto
wanaoelewa juu ya haki
zao za kisheria
2016 Itabainishwa Taarif aya WKS
Kila mwaka Kila mwaka
WKS WAMJW, Mamlaka ya
Serikali za
Mitaa, Mashirika
yasiyo ya Kiserikali
Muda unaotumika
kuendesha
mashauri ya ukatili dhidi
ya wanawake
na watoto
2016 miezi 48 miezi 42
miezi 36
miezi 25
miezi 18
miezi 12
Taarifa ya WKS
Kila mwaka Taarifa za Ufuatiliaji
Kila mwaka
WKS WAMJW, Mamlaka ya
Serikali za
Mitaa, Mashirika
yasiyo ya
Kiserikali
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.2
Muitikio wa
uwajibikaji katika
mfumo wa sheria kutoa huduma nzuri
kwenye masuala ya
ukatili dhidi ya wanawake na watoto
umeboreshwa
Asilimia ya
kutiwa hatiani
mashauri dhidi ya
wanawake na
watoto
2016 7 15 23 35 38 50 Taarifa ya
WKS
Kila mwaka Taarifa ya
WKS
Kila
mwaka
WKS WAMJW,
Mamlaka ya
Serikali za Mitaa,
Mashirika
yasiyo ya Kiserikali
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.3
Bodi ya msaada wa
Kisheria imeanzishwa
Wilaya zenye
huduma ya msaada wa
kisheria
2016 Itabainishwa
Taarifa ya
WKS
Kila
Mwana
Taarifa ya
WKS
Kila
Mwaka
WKS WAMJW,
Mamlaka ya Serikali za
Mitaa,
Mashirika yasiyo ya
Kiserikali
80
Watu
wanaopata
huduma za
msaada wa
kisheria
2016 Itabainishwa
Taarifa ya
WKS
Kila
Mwaka
Taarifa
yaWKS
Kila
Mwaka
WKS WAMJW,
Mamlaka ya
Serikali za
Mitaa,
Mashirika yasiyo ya
Kiserikali
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 6: MWITIKIO NA HUDUMA SAIDIZI
Matokeo Viashiria
Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo vya
Takwimu
Vipindi
vya
Ukusanyaji
Mbinu za
Uhakiki
Vipindi
vya
Utoaji
Taarifa
Wahusika
Tarehe Takwimu Mwaka
wa 1
Mwaka
wa 2
Mwaka
wa 3
Mwaka
wa 4
Mwaka
wa 5
Mtekelezaji
Mkuu
Watekelezaji
Wengine
MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 6
Ufikikaji na ulinzi wa
huduma za kisheria
kwa wanawake na watoto umeboreshwa
% ya
wanawake na
watoto wanaofikia na
kulindwa na
huduma za kisheria.
2016 Itafahamika
baadae
taarifa za
OWM,
TAMISEMI, WKS
Miaka
mitano
taarifa za
OWM,
TAMISEMI, WKS
Miaka
mitano
WSK OWM,
TAMISEMI,
WAMJW, Mamlaka ya
Serikali za
Mitaa
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.1
sheria
zinazoshughulikia ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
zimeoanishwa
Sheria
zimeoanishwa kushughulikia
ukatili dhidi
ya wanawake na watoto
2016 Itabainishwa Taarifa ya
WKS
Kila mwaka Taarifa ya
WKS
Kila
mwaka
WSK WAMJW,
Mamlaka ya Serikali za
Mitaa,
Mashirika yasiyo ya
Kiserikali
Asilimia ya
wanawake na
watoto wanaoelewa
juu ya haki
zao za kisheria
2016 Itabainishwa Taarif aya
WKS
Kila mwaka Kila
mwaka
WKS WAMJW,
Mamlaka ya
Serikali za Mitaa,
Mashirika
yasiyo ya Kiserikali
Muda
unaotumika kuendesha
mashauri ya
ukatili dhidi
ya wanawake
na watoto
2016 miezi 48 miezi
42
miezi
36
miezi
25
miezi
18
miezi
12
Taarifa ya
WKS
Kila mwaka Taarifa za
Ufuatiliaji
Kila
mwaka
WKS WAMJW,
Mamlaka ya Serikali za
Mitaa,
Mashirika
yasiyo ya
Kiserikali
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.2
81
Muitikio wa
uwajibikaji katika
mfumo wa sheria
kutoa huduma nzuri
kwenye masuala ya ukatili dhidi ya
wanawake na watoto
umeboreshwa
Asilimia ya
kutiwa hatiani
mashauri
dhidi ya
wanawake na watoto
2016 7 15 23 35 38 50 Taarifa ya
WKS
Kila mwaka Taarifa ya
WKS
Kila
mwaka
WKS WAMJW,
Mamlaka ya
Serikali za
Mitaa,
Mashirika yasiyo ya
Kiserikali
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.3
Bodi ya msaada wa Kisheria imeanzishwa
Wilaya zenye huduma ya
msaada wa
kisheria
2016 Itabainishwa
Taarifa ya WKS
Kila Mwana
Taarifa ya WKS
Kila Mwaka
WKS WAMJW, Mamlaka ya
Serikali za
Mitaa, Mashirika
yasiyo ya Kiserikali
Watu wanaopata
huduma za
msaada wa kisheria
2016 Itabainishwa
Taarifa ya WKS
Kila Mwaka
Taarifa yaWKS
Kila Mwaka
WKS WAMJW, Mamlaka ya
Serikali za
Mitaa, Mashirika
yasiyo ya
Kiserikali
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 7: SHULE SALAMA NA STADI ZA MAISHA
Matokeo Viashiria
Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo
vya
Takwimu
Vipindi vya
Ukusanyaji
Mbinu za
Uhakiki
Vipindi
vya
Utoaji
Taarifa
Wahusika
Tarehe Takwimu Mwaka
wa 1
Mwaka
wa 2
Mwaka
wa 3
Mwak
a wa 4
Mwaka
wa 5
Mtekelez
aji Mkuu
Watekelezaji
Wengine
MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 8
Mazingira ya
mafunzo yanayofuata
haki kwa
wavulana na wasichana
yameboreshwa
Kesi za
ukatili dhidi ya wanawake
katika
maeneo ya shule
2016 Itaainishwa OR -
TAMISEMI, WEST
Taarifa za
Ufuatiliaji
Miaka mitano OR -
TAMISEMI ,
WEST
taarifaza Ufuatiliaji
Miaka
mitano
OR -
TAMISEMI
WEST,
WAMJW
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 8.1
Uelewa wa masuala na
madhara ya
miongoni mwa walimu na
wanafunzi
unaongezeka
Shule zenye walimu
waliopata
mafunzo stahiki ya
unasihi na
mwongozo
2016 Itaainishwa Taarifa za OR -
TAMISEM
I
Kila mwaka Taarifa za OR -
TAMISE
MI
Kila mwaka
OR - TAMISE
MI
WEST,
Vilabu vya
wanafuzi
shuleni
2016 398 700 2,300 5,050 10,600 13,300 Tarifa za
OR-
TAMISEM
Kila mwaka Taarifa za
OR -
TAMISE
Kila
mwaka
OR -
TAMISE
MI
WEST, OR -
TAMISEMI
82
i MI
Kiwango cha
wanafunzi kuacha shule
kutokana na
kesi za mimba katika
shule ya
msingi na sekondari
2016 251 226 201 161 151 125 BEST Kila mwaka BEST Kila
mwaka
WEST OR -
TAMISEMI Mamlaka ya
Serikali za
Mitaa
2016 3,439 3,099 2,759 2,399 2,159 1,720 BEST Kila mwaka BEST Kila
mwaka
WEST OR-
TAMISEMI,
Mamlaka ya Serikali za
Mitaa
Mabaraza ya
watoto katika ngazi ya
Wilaya
2016 108 124 140 164 174 185 Taarifa za
WAMJW
Kila mwaka Taarifa za
WAMJW
Kila
mwaka
Mamlaka
ya Serikali
za Mitaa
WAMJW
% ya walimu
waliopata
mafunzo
kuhusu haki za mtoto na
wajibu na
masuala ya
2016 Itabainishwa Taarifa za
OR-
TAMISEM
I
Kila mwaka Taarifa za
OR-
TAMISE
MI
Kila
mwaka
OR-
TAMISE
MI
BEST,
WAMJW
Afisa
mmojawa
Ustawi wa Jamii katika
Wilaya
aliyeteuliwa kwa kutoa
Huduma za
Ustawi Jamii
shuleni
2016 Itabainishwa Taarifa za
OR-
TAMISEMI
Kila mwaka Taarifa za
OR-
TAMISEMI
Kila
mwaka
Taarifa
za OR-
TAMISEMI
WEST,
WAMJW
ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 8: URATIBU, UFUATILIAJI NA TATHMINI
Matokeo Viashiria
Takwimu za Msingi Shabaha
Vyanzo vya
Takwimu
Vipindi vya
Ukusanyaji
Mbinu za
Uhakiki
Vipindi
vya
Utoaji
Taarifa
Wahusika
Tarehe Takwimu Mwaka
wa 1
Mwaka
wa 2
Mwaka
wa 3
Mwaka
wa 4
Mwaka
wa 5
Mtekelezaji
Mkuu
Watekel
ezaji
Wengine
MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 9
Uratibu, ufuatiliaji na
tathmini ya
ukatili dhidi ya wanawake na
watotokuimari
shwa
% ya shabaha za
MTAKUWW
A zilizofikiwa
2016 Itabainishwa
WAMJW na Taarifa za
Tathmini
Miaka mitano
WAMJW na Taarifa za
Tathmini
Miaka mitano
WAMJW OWM
% ya
Mamlaka za
Serikali za Mitaa zilizo
nakamati hai
za ukatili dhidi ya
2016 Itabainish
wa
WAMJW na
Taarifa za
Tathmini
Miaka
mitano
WAMJW na
Taarifa za
Tathmini
Miaka
mitano
WAMJW OR -
TAMISE
MI, OWM
83
wanawake na
watoto katika
ngazi zote
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA 9.1
Muundo wa
pamoja wa uratibu wa
afua za ukatili
dhidi ya wanawake na
watoto katika
ngazi ya taifa na Mamlaka
za Serikali za
Mitaa kuanzishwa.
Kuwepo kwa
muundo wa uratibu wa
ukatili dhidi
ya wanawake na watoto
katika
Mamlaka za Serikali za
Mitaa
2016 Itabainish
wa
Taarifa za
WAMJW
Kila mwaka Taarifa za
WAMJW
Kila
mwaka
WAMJW OR -
TAMISEMI,
OWM
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA 9.2
Uwezo wa rasilimali watu
na fedha
kuhusu utekelezaji wa
VAWC
MTAKUWWA
kuimarishwa
% ya bajeti zilizotengwa
kwa ajili ya
utekelezaji wa MTAKUWW
A katika
MTEFs za Mamlaka za
Serikali za
Mitaa na Wizara, Idara
na Wakala za
Serikali
2016 Itabainishwa
Taarifa za OR -
TAMISEMI,
OWM
Kila mwaka Taarifa za OWM
Kila mwaka
OWM WIWS
MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 9.3
Mifumo na
zana kwa ajili
ya ukusanyaji wa takwimu,
uchakataji na
ufuatiliaji wa MTAKUWW
A
kuimarishwa
% ya takwimu
za msingi na
takwimu za shabaha za
MTAKUWW
A
2016 24 50 65 85 Taarifa za
WAMJW
Kila mwaka Taarifa za
WAMJW
Kila
mwaka
WAMJW OWM ,
WMN,
WEST, MSM