desemba, 2016mtwaradc.go.tz/storage/app/media/uploaded-files/mpango wa ulinzi wa mtoto.pdfmalengo ya...

93
MPANGO KAZI WA TAIFA WA KUTOKOMEZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO TANZANIA 2017/18 2021/22 Desemba, 2016

Upload: others

Post on 08-Jan-2020

13 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

MPANGO KAZI WA TAIFA WA KUTOKOMEZA

UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

NA WATOTO TANZANIA

2017/18 – 2021/22

Desemba, 2016

i

MPANGO KAZI WA TAIFA WA KUTOKOMEZA UKATILI

DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO TANZANIA

2017/18 – 2021/22

ii

YALIYOMO

Vifupisho………………………………………………………………………………………………....iii

Fasili ya Dhana za Msingi ............................................................................................................ iv

Dibaji ............................................................................................................................................. vi

Usuli ............................................................................................................................................. vii

Muhtasari ..................................................................................................................................... viii

SEHEMU YA I: UTANGULIZI ............................................................................................ 1

1.1 Hali ya Idadi ya Watu .............................................................................................................. 2

1.2 Hali ya Kijamii na Kiuchumi ................................................................................................... 2

1.3 Hali Halisi kuhusu Ukatili ....................................................................................................... 2

1.4 Juhudi za Kitaifa katika kushughulikia Ukatili dhidi Wanawake na Watoto......................... 4

1.5 Mapungufu /changamoto katika kushughulikia ukatili unaofanana dhidi ya wanawake na

watoto ............................................................................................................................................. 7

1.6 Uhalali wa Kuandaa MTAKUWWA ................................................................................ 8

SEHEMU YA II: DIRA, DHIMA, LENGO NA SHABAHA YA MPANGO KAZI ........ 11

2.1 Dira ......................................................................................................................................... 12

2.2 Dhima ..................................................................................................................................... 12

2.3 Lengo ...................................................................................................................................... 12

2.4 Mikakati ya msingi ya Mpango Kazi .................................................................................... 12

2.5 Viashiria vya Matokeo ya Mpango kazi................................................................................ 12

2.6 Shabaha za kiutendaji za Mpango kazi ifikapo 2021/22 ...................................................... 12

2.7 Mbinu/njia za utekelezaji wa Mpango kazi........................................................................... 15

2.8 Maeneo ya Mpango kazi – Mchanganuo na Mahali pa kuweka mkazo ............................... 16

SEHEMU YA III: Utekelezaji wa MTAKUWWA .............................................................. 21

3.1 Matokeo ya MTAKUWWA .................................................................................................. 25

SEHEMU YA IV: Gharama za MTAKUWWA .................................................................. 27

SEHEMU YA V : Muundo wa Kitaasisi na Uratibu wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya

Wanawake na Watoto ........................................................................................................... 31

SEHEMU YA VI: Ufuatiliaji na Tathmini ya MTAKUWWA ........................................... 43

6.1 Malengo ya Ufuatiliaji wa MTAKUWWA. .......................................................................... 44

6.2 Jedwali la Mfumo wa Matokeo ............................................................................................. 45

6.3 Viashiria na Shabaha ............................................................................................................. 45

6.4 Ufuatiliaji &Tathmnini ya Mtiririko wa taarifa .................................................................... 45

SEHEMU YA VII: Dhana Kuu, Hatari na Namna ya Kuziepuka ..................................... 47

KIAMBATANISHO CHA I: MPANGO WENYE MAELEZO MENGI WA

UTEKELEZAJI WA NPA-VAWC ...................................................................................... 49

KIAMBATANISHO CHA II: GHARAMA KUTEKELEZA MTAKUWWA .................. 61

KIAMBATANISHO CHA III: MFUMO WA MATOKEO WA MTAKUWWA ............. 75

iii

Vifupisho

AE-W Afisa Elimu wa Wilaya

AMK Afisa Mtendaji wa Kata

AMKj/M Afisa Mtendaji wa Kijiji/Mtaa

AZAKI Asasi Za Kiraia

KTM Katibu Tawala Mkoa

MMJ Maafisa Maendeleo ya Jamii

MMJ-M Maafisa Maendeleo ya Jamii - Mkoa

MMJ-W Maafisa Maendeleo ya Jamii - Wilaya

MMW Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri

MPJW Madawati ya Polisi ya Jinsia na Watoto

MSM Mamlaka za Serikali za Mitaa

MTAKUWWA Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto

MUJ Maafisa Ustawi wa Jamii

NBS Ofisi ya Takwimu ya Taifa

OR-TAMISEMI Ofisi ya Rais – Utawala wa Mikoa na Serikali za Mitaa

OWM Ofisi ya Waziri Mkuu

RITA Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini

SM Sekretarieti ya Mkoa

TACAIDS Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI

TASAF Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

TFNC Taasisi ya Chakula na Lishe

THBUB Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora

UK Ukatili wa Kijinsia

UW Ulinzi wa Watoto

WAMJJW Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

WANMM Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

WEST Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

WFM Wizara ya Fedha na Mipango

WHUSM Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

WIWS Wizara, Idara na Wakala za Serikali

WKMMU Wizara ya Kilimo Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

WKS Wizara ya Katiba na Sheria

WMN Wizara ya Mambo ya Ndani

WNM Wizara ya Nishati na Madini

WVBU Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji

iv

Fasili ya Dhana za Msingi

Mtoto: Ni mtu yeyote mwenye umri chini ya miaka kumi na nane.1

Unyanyasaji Dhidi ya Mtoto: Ni ukiukwaji wa haki za mtoto unaosababisha madhara ya kimwili,

kimaadili au kihisia ikiwa ni pamoja na kumpiga, matusi, ubaguzi, utelekezaji, unyanyasaji wa kingono

na unyonywaji 2

Utelekezaji wa Mtoto: Hali ya mzazi au mlezi kushindwa kutoa uangalizi unaohitajika na kumpa

huduma za msingi mtoto mathalani chakula, malazi, mavazi, elimu, uangalizi wa kiafya na kadhalika.

Au kushindwa kumlinda mtoto dhidi ya ukatili unaofanywa na mzazi, mlezi au taasisi ya uangalizi wa

mtoto.3

Unyanyasaji wa kingono kwa mtoto: mgusano au mwingiliano wa kimwili kati ya mtoto na mtoto

aliyemzidi umri au na mtu mzima (mgeni, ndugu au mtu mwenye mamlaka, mzazi au mlezi) ambaye

anamtumia kama chombo cha kumridhisha kimapenzi mtoto aliyemzidi umri au mtu mzima. Mgusano

au mwingiliano huu hufanyika kwa kutumia nguvu, ujanja, rushwa, vitisho na kumlazimisha.4

Ajira Hatarishi: Kazi yoyote ile inaowazuia watoto kufurahia utoto wao, utu wao na hadhi yao, na ina

madhara kwa maendeleo yao kimwili na kiakili. Ni kazi yoyote yenye madhara kwa mtoto kiakili,

kimwili, kijamii au kimaadili.5

Familia: Baba mzazi, mama na watoto, watoto walioasiliwa au ndugu wa damu au wa karibu wakiwemo

babu, bibi, wajomba, mashangazi, binamu, wapwa wanaoishi katika kaya.6

Unyanyasaji wa Kijinsia: Ni ukatili wa kimwili, kisaikolojia, kingono au unyonyaji wa kiuchumi

unaofanywa na mtu mmoja dhidi ya mtu mwingine kwa kigezo cha jinsi yake.7

Ukatili kati ya Wenzi: Tabia katika uhusiano ya mme na mke inayosababisha madhara ya kimwili,

kingono au kisaikolojia ikijumuisha shambulio la kimwili, kumwingilia kimwili kwa nguvu, unyanyasaji

wa kisaikolojia na kumnyima uhuru.8

Ukatili wa Kimwili: N i v i t e n d o v y a k u t u m i a n g u v u a n a v y o f a n y i w a m t u mathalani

kupigwa kofi, kusukumwa, kupigwa ngumi, kupigwa mateke, au kuchapwa au kutishiwa kwa kutumia

silaha kama bunduki na kisu. 9

1 The Law of the Child Act, 2009, Section 4 (1)

2 Sheria ile ile iliyotajwa hapo juu, Section 3

3 Tanzania Multi Sector National Plan of Action to Prevent and Respond to Violence against Children, 2013-2016

4 The State of the World's’ Children, UNICEF, 2003

5 Global Estimate of Forced Labour, ILO Factsheet, 2012

6 The Law of the Child Act, 2009, Section 3

7 Tanzania Multi Sector National Plan of Action to Prevent and Respond to Violence against Children, 2013-2016

8 Global Status Report on Violence Prevention, WHO, 2014

v

Mzazi: Baba au mama mzazi, aliyeasili mtoto na mtu mwingine yeyote mwenye jukumu la kumlea

mtoto.9

Malezi ya Mtoto: Ni mchakato wa kusaidia na kuwezesha maendeleo ya mtoto ya kimwili, kihisia,

kijamii, kielimu, kimaarifa na kumpa mahitaji muhimu, kuanzia utotoni hadi umri wa utu uzima. Ni

malezi yanayotolewa kwa mtoto bila kujali mahusiano ya kibailojia.10

Unyanyasaji wa Kisaikolojia: Ni matumizi ya vitendo au maneno yanayomdhalilisha mtu kihisia na

yanaweza kuwa bayana au kimyakimya. Ni vitendo vinavyolenga kumsababishia mtu maumivu ya

kiakili au msongo wa mawazo.11

Unyanyasaji wa Kingono: Tendo la ngono, au jaribio lolote lile la kufanya tendo la ngono kwa

kutumia nguvu, au vitendo vya biashara haramu ya kusafirisha binadamu kwa malengo ya kuwatumia

katika biashara ya ngono, unyanyasaji au vitendo vya kutongoza vinavyofanywa na mtu bila kujali

mahusiano yake kwa wanusurika/waathirika, iwe nyumbani au kazini.12

Mfadhaiko wa Akili: Unatokea pindi mtu anapokumbana na hali ngumu, inayojirudia na/au hali

isiyofaa – mathalani unyanyasaji wa kimwili au wa kihisia, utelekezaji, malezi yanayotolewa na

mzazi/mlezi anayetumia dawa za kulevya au mwenye ugonjwa wa akili, kujikuta katika mazingira ya

ukatili, na/au kubeba mzigo wa kuhudumia familia katika hali ngumu ya uchumi – bila kuwa na msaada

wa kutosha.13

Ukatili Dhidi ya Watoto: Matumizi ya makusudi ya nguvu, vitisho vinavyofanywa na mtu au kikundi

na kusababisha mtoto kupata madhara ya kimwili, kiafya na kisaikolojia hivyo kuathiri maendeleo na

utu wake.14

Ukatili Dhidi ya Wanawake: Vitendo vyovyote vile vinavyofanywa dhidi ya wanawake

vinavyosababisha au vinavyoweza kusababisha madhara ya kimwili, kingono, kisaikolojia na kiuchumi,

vikijumuisha vitisho; au kumnyima mtu uhuru wa msingi katika maisha yake wakati wa amani au katika

hali ya migogoro ya kivita.15

9 Report of the National Survey on Violence against Children in Tanzania, 2011

10 The Law of the Child Act, 2009, Section 3

11 Neglect, Abuse and Violence against Older Women, Division for Social Policy and Development, United Nations, 2013

12 Tanzania Police Force Standard Operating Procedures (SOPs) for Prevention and Response to Gender Based Violence and Child Abuse , 2012

13 Excessive Stress Disrupts the Architecture of the Developing Brain - Working paper 3, Center on the Developing Child – Harvard University, 2014

14

World Report on Violence and Health, WHO, 2002 15

Protocol to the African Charter on Human and Peoples' Rights on the Rights of Women in Africa, 2003

vi

Dibaji

Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA 2017/18

– 2021/22), umeandaliwa kwa kuunganisha mipango kazi tofauti nane iliyokuwa inashughulikia ukatili

dhidi ya wanawake na watoto na kutengeneza mpango kazi mmoja.

Ukatili dhidi ya wanawake na watoto ni tatizo linalowakumba wanawake na watoto wengi. Matukio ya

ukatili nchini Tanzania yanazidi kuongezeka hivyo utatuzi wake ni msingi wa malengo ya maendeleo na

nyenzo ya kufikia maelngo mengine ya wanawake, familia, jamii na taifa kwa ujumla. Ukatili

unazorotesha kukua kwa uchumi wa nchi kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa kushughulikia

athari za ukatili badala ya kujikita katika shughuli za maendeleo hivyo ni kikwazo katika kufikia

Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030, Ajenda ya Afrika Tuitakayo ya mwaka 2063 na Dira

ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025 ikilenga maisha bora, utawala bora na utawala wa sheria. Pia,

ukatili huathiri ukuaji wa uchumi na jitihada za kupambana na umaskini. MTAKUWWA una lenga

kutekeleza adhima ya serikali ya kutokomeza ukatili.

MTAKUWWA unaweka mkazo katika hatua zinazoitajika kuzuia na kushughulikia matukio ya ukatili

na unatambua kuwa uwekezaji katika kuzuia ukatili unachangia katika ukuaji wa uchumi. Hivyo basi,

kuimarisha matokeo ya uwekezaji mbalimbali unaofanywa na serikali, wadau wa maendeleo na wadau

wengine katika maisha ya wanawake, watoto, familia na jamii ya Tanzania kwa ujumla.

Rasilimali zilizopo zinatakiwa kuelekezwa katika kutekeleza afua za kutokomeza ukatili Tanzania na

kuwa sehemu ya MTAKUWWA na kuongeza kasi ya maendeleo ya nchi kama ilivyofikiriwa katika

Mpango wa Pili wa Maendeleo Taifa wa Miaka Mitano (2016/17–2020/21).

Ni wajibu wa wadau wote wanaotekeleza mpango huu kuhakikisha kwamba wanawake na watoto

wananufaika na kupata haki zao katika mazingira yasiyo na aina yoyote ile ya ukatili. Mafanikio ya

mpango huu yanahitaji ushirikiano wa kutosha na kujituma.

Ummy A. Mwalimu (MB)

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

vii

Usuli

Katika kutekeleza Ajenda ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030 na Ajenda 2063: Afrika

Tuitakayo na kuchangia kufikiwa kwa malengo ya kimataifa ambapo watoto wote watakua na kuishi

salama, ushirika wa kimataifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya watoto ulizinduliwa kuwezesha nchi hizo

kushirikiana katika kushughulikia, kujenga utashi wa kisiasa katika kutokomeza ukatili, kutumia fursa

zilizopo katika Malengo Endelevu ya Maendeleo na kuwashirikisha wadau kuzuia ukatili.

Kutokana na muunganiko huo Tanzania, pamoja na nchi za Sweden, Mexico na Indonesia, zilikubali

kutumia fursa ya kuwa nchi za mfano kutokomeza Ukatili dhidi ya Watoto ambao ni tatizo la

ulimwengu. Tanzania ni nchi pekee Barani Afrika iliyo chaguliwa kutekeleza afua za ukatili.

Kuchaguliwa kwa Tanzania kunafuatia mwitikio wa nchi katika kutekeleza matokeo ya utafiti wa 2009

wa hali ya ukatili nchini ambapo Mpango Kazi wa Taifa wa Mwitikio na Kuzuia Dhidi ya Watoto

uliandaliwa na kutekelezwa kuanzia 2013 mpaka 2016. MTAKUWWA unalenga kuchangia shabaha ya

ushirika wa kimataifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya watoto kwa kutumia mbinu zinazolenga kutoa

matokeo tarajiwa kwa waliojitoa, wenye jukumu, kuzuia na kushughulikia ukatili dhidi ya wanawake na

watoto serikali kuu, mamlaka za serikali za mitaa, Asasi za Kiraia na sekta binafsi

MTAKUWWA unajumuisha mbinu bora zilizochaguliwa na zilizothibitika kusaidia wenye jukumu,

watoa huduma, na jamii kuongeza weledi katika kuzuia na kutoa huduma zinazochangia kwa kiwango

kikubwa katika kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

Mfumo wa kitaasisi wa MTAKUWWA umetokana na mikakati mahsusi inayounda mfumo wa ulinzi wa

wanawake na watoto.

S. Nkinga

Katibu Mkuu

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

viii

Muhtasari

Ajenda ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030 inafafanua na inatoa dhamira ya pamoja ya

kutokomeza ukatili wa aina zote dhidi ya wanawake na watoto kama sehemu ya ajenda ya kuwekeza

katika ulinzi na uwezeshaji wa wanawake na watoto. Kabla ya MTAKUWWA (2017/18 – 2021/22),

Tanzania ilikuwa na mipango kazi nane (8) tofauti iliyokuwa inashughulikia masuala ya kuzuia na

mwitikio wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto, na ukatili wa kijinsia, ambapo kila mpango ukiwa na

miundo yake ya uratibu, shughuli zake, mifumo ya ufuatiliaji, tathmini na mbinu za mawasiliano.

Kuandaliwa kwa mpango mmoja (MTAKUWWA) Tanzania imeweka mikakati yote inayozuia ukatili

katika mpango jumuishi ambao unaotambua kuwa ukatili unatokea mara kwa mara, na kwamba ukatili

wa utotoni unaathiri afya na ustawi wa mtu katika umri wa utu uzima, na kwamba tabia ya ukatili

inajirudia. Hivyo kushughulikia ukatili wa utotoni kutapunguza ukatili dhidi ya wanawake, na kwamba

ukatili unarithishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine, na unaathiri mtu, familia, afya na ustawi wa

jamii. Matokeo ya utekelezaji wa MTAKUWWA ni kuwa na Tanzania ambayo wanawake na watoto

wanafurahia haki zao na hakuna vitendo vya ukatili

Mchakato wa kuandaa MTAKUWWA ulishirikisha wadau mbalimbali kupitia mipango kazi yao na

kuibua uzoefu na matokeo mazuri pamoja na kujadili mbinu bunifu za kushughulikia ukatili dhidi la

wanawake na watoto nchini. Wadau walijadili kwa kina taarifa mbalimbali, tathmini ya mikakati

iliyokuwepo, pamoja na mifumo mipya ya Mikakati Saba ya kutokomeza ukatili dhidi ya watoto

iliyoandaliwa kupitia ushirikiano wa kimataifa ya Kukomesha Ukatili dhidi Watoto.

Maeneo 18 ya vipaumbele yanayo sababisha ukatili dhidi ya wanawake na watoto yalibainishwa

kulingana na mazingira ya Tanzania na baada ya uchambuzi yakapatikana maeneo nane ya utekelezaji.

Aidha, afua za utekelezaji wa mpango uliandaliwa na kuwekewa gharama hatimaye Mpango Kazi wa

Taifa wa miaka mitano wenye lengo la kutokomeza aina zote za ukatili dhidi ya wanawake na watoto

ulikamilishwa.

MTAKUWWA unawakilisha mtazamo wa kimkakati na kifikra wa namna ambavyo Tanzania

itashughulikia tatizo la ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Badala ya Tanzania kushughulikia matukio

ya ukatili yanayojitokeza nchi itajikita katika kuimarisha na kuunda mifumo ambayo itazuia aina zote za

ukatili dhidi wanawake na watoto, na kushughulikia mahitaji ya waathirika. Suala hili ni kubwa

linahitaji siyo tu uratibu na ushirikiano wa kiwango cha juu miongoni mwa wadau, lakini pia linahtaji

kuunganisha juhudi za sekta binafsi na zile za sekta ya umma ili kufikia jamii, familia, na watu binfsi –

wakijumuishwa watoto – na kutoa mitazamo mipya kuhusu ukatili na pia majukumu ya kijinsia baina ya

wanaume na wanawake.

1

SEHEMU YA I

2

UTANGULIZI

1.1 Hali ya Idadi ya Watu

Tanzania ina jumla ya watu milioni 44.9 kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012. Kulingana na

kasi ya ongezeko la watu, Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milioni 50.6 ambapo watu milioni 24.6 ni wanaume

(48.7%) na milioni 26 ni wanawake (51.3%) kwa mwaka 2016. Watoto wenye umri chini ya miaka 18 ni asilimia 50.1

ya wananchi wote kati yao wavulana wanakadiriwa kufikia asilimia 48.6 na wasichana ni asilimia 51.4. Umri wa

wastani wa kuishi ni miaka 59.8 (kwa wanaume) na miaka 63.8 (kwa wanawake). Sekta ya kilimo ambayo ni chanzo

kikuu cha kipato kwa walio wengi (74%) inakua kwa asilimia 2.3. Kiwango hiki ni chini ya kiwango cha ukuaji wa

jumla wa kiuchumi wa asilimia 6 na ukuaji wa watu kwa kiwango cha asilimia 2.7 walichangia asilimia 29 ya Pato la

Ndani la Taifa mwaka 2015.

1.2 Hali ya Kijamii na Kiuchumi

Inakadirikiwa kuwa asilimia 28.2 ya Watanzania mwaka 2012 waliishi chini ya kiwango cha umaskini ikiwa ni

pungufu ukilinganisha na asilimia 34 ya mwaka 2007 (Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012). Aidha, kiwango

cha umaskini vijijini kilikuwa asilimia 33.3 na asilimia ya watu waliokuwa wakiishi katika umaskini uliokithiri ilikuwa

ni asilimia 11.3. Kiwango cha kitaifa cha umaskini wa mahitaji ya msingi kwa mtu mzima ni Shilingi za

Kitanzania 36,482 kwa mwezi wakati kiwango cha kitaifa cha umaskini wa chakula kwa mtu mzima ni Shilingi za

Kitanzania 26,085 kwa mwezi (HBS, 2011/12).

1.3 Hali Halisi kuhusu Ukatili

Nchini Tanzania kuna idadi kubwa ya wanawake na watoto ambao wamekuwa wakifanyiwa ukatili wa

aina mbalimbali kila siku. Taarifa ya Maendeleo ya Binadamu ya Kimataifa ya mwaka 2015 inaonesha

kuwa asilimia 35 ya wanawake ulimwenguni wamefanyiwa ukatili wa kimwili au kingono na wenza

wao na hivyo kuathiri maendeleo yao kiafya, kisaikolojia na kiuchumi. Kwa upande wa Tanzania,

takriban wanawake wanne kati ya kumi wamefanyiwa vitendo vya ukatili, vilevile mwanamke mmoja

kati ya watano, ametoa taarifa ya kufanyiwa ukatili wa kingono katika maisha yake (kuanzia umri wa

miaka 15).16

Aidha, ukatili wa kimwili na kingono unaofanywa na wenza kwa wanawake walioolewa ni

mkubwa zaidi (44%). Kulingana na Utafiti wa Idadi ya Watu na Afya wa mwaka 2010, unaonesha kuwa

asilimia 39 ya wanawake wenye umri kati ya miaka 15 hadi 49 walifanyiwa ukatili wa kimwili wakiwa

na umri wa miaka 15 na takriban theluthi moja ya wanawake (33%) wenye umri kati ya miaka 15 hadi

49 walifanyiwa ukatili wa kimwili miezi 12 kabla ya kufanyika kwa utafiti huo. Ukatili kwa wanawake

ni suala mtambuka na linahusisha masuala ya kijamii na idadi ya watu ambapo viwango vya ukatili wa

16

Tanzania Demographic and Health Survey (2010)

3

kimwili, kingono na kisaikolojia vilikuwa juu katika maeneo ya vijijini na miongoni wanawake ambao

hawana elimu ya kutosha.17

Vilevile, kuna uthibitisho wa ongezeko la rushwa ya ngono kwa ajili ya

kupata huduma za kijamii. Hali hii inaendelea kuwa jambo la kawaida katika maeneo ya kazi, hususan

katika makampuni yenye mmiliki mmoja. Aidha, rushwa ya ngono ilionekana katika shule za msingi na

sekondari, vituo vya afya na ofisi zinazotoa huduma kwa umma.

Mwaka 2011, Tanzania ilitoa matokeo ya Utafiti ya Ukatili dhidi ya Watoto ambao ulionesha kuwa

takriban msichana mmoja kati ya watatu na mvulana mmoja kati ya saba aliwahi kufanyiwa ukatili wa

kingono kabla ya kufikia umri wa miaka 18. Aidha, inaonesha kuwa watoto walio wengi hawatoi

taarifa ya ukatili huo, wachache wanatafuta huduma na msaada, na wachache zaidi wanapata uangalizi,

matibabu, au msaada wanapotoa taarifa. Viwango vya ukatili wa kimwili na kihisia viko juu miongoni

mwa wasichana, asilimia 72 ya wasichana waliwahi kufanyiwa ukatili wa kimwili, wakati kwa

wavulana ni asilimia 71. Vilevile, ukatili wa kihisia unawaathiri wavulana na wasichana kwa asilimia

25. Pia adhabu ya viboko inakubalika kijamii na inatambulika na wengi kama njia mojawapo ya

kuwaadabisha watoto. Japokuwa njia ya viboko imezoeleka kuwa ni njia ya kawaida katika

kumuadabisha mtoto nchini Tanzania. Kuna uthibitisho unaodhihirisha kuwa njia hii inasababisha

matokeo hasi katika tabia ya mtoto tofauti na ilivyokusudiwa kama vile, usugu na utukutu badala ya

kuwa na tabia inayomjenga kijamii.18

Kufanyiwa ukatili kwa watoto wadogo kunaacha kumbukumbu mbaya katika ubongo ambayo inaweza

kumwathiri mtu kwa kipindi chote cha maisha yake. Miaka miwili ya mwanzo katika makuzi ya mtoto

ubongo huwa dhaifu sana wakati mishipa mingi ya fahamu inaendelea kuimarika, na pia katika umri wa

miaka ya balehe kipindi ambacho vijana wanajifunza stadi za maisha huku wakiendelea kukomaa

kihisia.19

Mbali na ukatili wa kimwili, kingono na kihisia, Tanzania ina mila na desturi zenye athari kwa wanawake

na watoto. Wanawake wa Kitanzania wanaolewa mapema takriban katika umri wa miaka 19 ikiwa ni

miaka mitano mapema kabla ya wanaume kuoa. Ukeketaji upo Tanzania, na kwa baadhi ya jamii

asilimia 70.8 ya wanawake wamekeketwa.20 Inakadiriwa kuwa milioni 7.9 ya wanawake na

17

The Tanzania Daily News 16 Oct. 2013.18 18

Hecker, et al., Corporal Punishment and Children's Externalizing Problems: A cross-sectional study of Tanzanian primary school aged children, Child

Abuse and Neglect: The International Journal 38, Elsevier, 2013, pg. 889-890 19

Mead, Beauchine, Shannon, 'Neurobiological adaptations to violence across development' Development and Psychopathology 22 (2010), 1-22 20

Tanzania Demographical and Health Survey, 2010

4

wasichana Tanzania wamekeketwa.21

Changamoto wanazokumbana nazo waathirika wa vitendo vya ukatili ni pamoja na ukosefu wa

upatikanaji wa huduma za msingi ikiwemo ukosefu wa upelelezi wa kipolisi usiokuwa thabiti,

kushindwa kuwafungulia mashtaka na kuwatia hatiani watuhumiwa, vitisho na ubaguzi. Upatikanaji wa

haki unakwamishwa na gharama, upatikanaji hafifu wa msaada wa kisheria, rushwa, kwa ujumla

ukosefu wa maarifa na uelewa kuhusu haki za binadamu miongoni mwa wasimamizi wa sheria. Aidha,

miundo ya kijamii iliyotakiwa kutoa fursa za kupata haki imeathiriwa na kuwepo kwa mfumo dume

unaosababisha ubaguzi wa kijinsia. Miundo hii inatoa mianya kwa watuhumiwa kukwepa mkono wa

sheria kutokana na upelelezi dhaifu na ukusanyaji wa ushaidi, uendeshaji mashtaka usiokuwa thabiti, na

adhabu ndogo zinazotolewa kwa wahalifu wa vitendo va ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Mfumo

dume umesababisha ukosefu wa uwajibikaji katika mapambano ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto,

unaosababisha athari kubwa kwa waathirika.

1.4 Juhudi za Kitaifa katika kushughulikia Ukatili dhidi Wanawake na Watoto

Mchakato wa kuandaa MTAKUWWA ulihusisha uchambuzi wa kina wa mipango kazi nane (8)

ambayo muda wake wa utekelezaji ulikuwa umekwisha, na mipango kazi mingine iliyokuwa

inaendelea na mikutano ya majadiliano baina ya wadau mbalimbali wa Kiserikali, Asasi za Kiraia

(AZAKI), Mashirika ya Kidini, Asasi Zisizokuwa za Kiserikali za Kitaifa na za Kimataifa, Wadau wa

Maendeleo na Mashirika ya kimataifa ili kutathmini uzoefu uliopatikana, matokeo mazuri, changamoto

zilizojitokeza na kutoa mapendekezo ya hatua zinazofuata.

Kwa kuzingatia Mipango iliyopo wadau waliweza kuweka mikakati ya kuandaa MTAKUWWA

2017/18- 2021/22 na kuandaa miongozo ya msingi itakayosaidia kushughulikia ukatili dhidi ya

wanawake na watoto, ambayo hatimaye imekuwa sehemu ya Mpango Kazi huu.

Hatua ya kwanza ya mchakato wa kuandaa mpango kazi iliangalia kwa kina kazi na umuhimu wa

Mipango Kazi nane (8) iliyokuwepo na kubainisha maeneo mbalimbali ya yaliyonesha mafanikio katika

kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Maeneo hayo ni pamoja na;

i. Utungaji na usimamiaji wa utekelezaji wa sera na sheria husika ili kuboresha mfumo wa kisera,

kisheria na kitaasisi ikiwemo mifumo ya uratibu;

ii. Uanzishwaji na utekelezaji wa mifumo ya ulinzi wa mtoto katika halmashauri 47.

21

UNICEF Report, 2013

5

iii. Kujengewa uwezo kwa Timu za Ulinzi wa Mtoto katika ngazi ya wilaya na vijiji kwa ajili ya

kupambana na masuala ya ukatili dhidi ya watoto;

iv. Kujenga uwezo wa watoa huduma wa awali mathalani Afisa wa Ustawi wa Jamii, Polisi na watoa

huduma za afya, ili kusimamia kikamilifu na kutoa ulinzi kwa waathirika wa vitendo vya ukatili

na pia kuhakikisha uhifadhi madhubuti wa nyaraka;

v. Uanzishwaji wa kamati za ajira kwa watoto katika ngazi ya taifa na halmashauri ili kufuatilia na

kubaini hali za unyonywaji na kufanya ukaguzi kubaini aina za kazi hatarishi na maeneo ya kazi

yasiyokuwa salama yanayokiuka haki za watoto za kuwafanya kuwa katika mazingira salama;

vi. Uanzishwaji wa Dawati la Jinsia katika Jeshi la Polisi la Tanzania nchi nzima pamoja na kutoa

mafunzo kuhusu masula ya unyanyasaji wa watoto na ukatili wa kijinsia kwa Maofisa wa Jeshi la

Polisi;

vii. Uanzishwaji wa Kamati ya Kitaifa yenye wajumbe kutoka sekta mbalimbali ili kumshauri waziri

anayehusika na masuala ya wanawake na watoto kuhusu ukatili dhidi ya wanawake na watoto;

viii. Uanzishwaji wa mtandao wa mawasiliano ya simu kwa ajili ya kusaidia jamii kutoa taarifa za

ukatili dhidi ya watoto mwaka 2013 (116 - hii ni namba ya simu unayoweza kupiga bila malipo

kwa ajili ya huduma kwa mtoto) ambayo, ambayo inatumika kupitia a mitandao yote ya simu

Tanzania Bara na Zanzibar;

ix. Uanzishwaji wa vituo vinne vya kutoa huduma jumuishi kwa waathirika wa ukatili kwenye mikoa

ya; Dar es Salaam (Hospitali ya Amana), Shinyanga (Hospitali ya Rufaa ya Mkoa), Mwanza

(Hospitali ya Sekou Toure) na Iringa (Hospitali ya Rufaa ya Mkoa) ili kutoa huduma za matibabu

ya kiafya, msaada wa kisaikolojia, ushauri nasaha na msaada wa kisheria;

x. Mapitio ya Sheria ya Elimu Na. 25 ya (mwaka 1978) yanaendelea ili kupiga marufuku ndoa za

utotoni wakati watoto wakiwa shuleni na Sheria ya Ndoa (mwaka 1971) ili kuongeza umri wa

kuolewa kwa wasichana kutoka miaka 14 hadi 18; na

xi. Uteuzi wa afisa dawati jinsia katika ngazi ya Wizara Taasisi na Wakala za Serikali umewezesha

uingizaji wa masuala ya kijinsia katika sera za kisekta, mipango, bajeti na programu na kuwezesha

uandaaji wa afua zinazozingatia masuala ya kijinsia.

Katika utekelezaji wa jitihada zilizotajwa hapo juu, Serikali inashirikiana na Wadau wa Maendeleo,

Mashirika Yasiyokuwa ya Kiserikali, Asasi za Kiraia na Mashirika ya Kidini kupitia programu pamoja

na juhudi mbalimbali ikiwemo uhamasishaji wa umma, mathalani maadhimisho ya siku 16 za kupinga

Ukatili wa Kijinsia, Siku ya Familia ya Duniani, Siku ya Wanawake Duniani, Siku ya Mtoto wa Afrika

6

na Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike.

Pamoja na juhudi za Serikali za kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na watoto, kumekuwepo na

changamoto mbalimbali katika maeneo yote ya uandaaji wa mipango, kutoka ngazi ya kitaifa hadi

ngazi ya chini, changamoto za kifedha, kiutawala, kijamii, kifamilia, na uwezo wa watu binafsi katika

kushughulikia masuala ya ukatili. Wakati wa utekelezaji wa mipango kazi nane (8) ya awali kulikuwa na

mwingiliano katika mifumo ya uratibu miongoni mwa Wizara, Taasisi na Wakala za Serikali pamoja na

wadau mbalimbali. Pamoja na kuwepo kwa huduma thabiti za kushughulikia matukio ya ukatili kwa

baadhi ya jamii Tanzania, hali inaonesha kuwa katika mamlaka ya serikali za mitaa huduma za

kushughulikia matukio ya ukatili hazitoshelezi kwa waathirika wa ukatili. Kulingana na mila na desturi

za jamii kuna dhana iliyojengeka kwamba watoto ni wa wazazi na watoa huduma ya uangalizi au

walezi, badala kuwaona kuwa wana haki zao, na kwa hiyo wazazi na walezi wanawatendea jinsi

wanavyotaka. Kwa kuzingatia tabia na desturi za jamii, wanaume ndiyo wanaotawala kijamii na

kiuchumi, dhana inayosababisha kutokufikiwa kwa usawa wa kijinsia. Hali hii inachagizwa na uelewa mdogo

na maarifa katika masuala ya kijamii, kiuchumi na haki za wanawake na wanaume, wavulana na wasichana

kama zilivyoainishwa katika sheria za kimataifa, kikanda na kitaifa. Aidha, kama ilivyo duniani kote, kuna

utamaduni wa watu kukaa kimya na kutokutoa taarifa za ukatili ambao unahusishwa na unyanyapaa, hofu na

kutengwa na jamii.

Baada ya kutathmini mafanikio na changamoto, washiriki wa warsha ya maandalizi ya MTAKUWWA

walibaini masuala 18 yanayotakiwa kujumuishwa katika mpango mpya na mpana wa MTAKUWWA

(tazama jedwali la 1), na kisha walitumia mbinu za Shirika la Afya Duniani ili kuwezesha uchambuzi wa

masuala 18 ya vipaumbele yaliyoibuliwa awali. Mbinu hizo zilitoa mchango mkubwa kwenye

kuanzishwa ushirika wa kimataifa wa kupambana na ukatili dhidi ya watoto ukijumuisha mikakati saba

(7) ambayo inapotekelezwa kwa pamoja inatoa mfumo unaozingatia vielelelezo ili kukomesha ukatili

dhidi ya Watoto.22 Mikakati saba (7) ya mbinu hizo ni: (1) Utekelezaji wa sheria; (2) Mila na desturi;

(3) mazingira salama; (4) msaada kwa mzazi na mlezi; (5) uboreshaji wa kipato na wa kiuchumi; (6)

utoaji wa huduma kwa waathirika; na (7) elimu na stadi za maisha. Tanzania kama mshirika mmoja wapo

iliahidi kushiriki katika hatua za kutokomeza aina zote za ukatili dhidi ya watoto kwa kuingiza hizo

mbinu za Shirika la Afya Duniani kwa kuzingatia vipimo na kufuatilia matokeo yake.23

22

World Health Organization, INSPIRE Strategy, Executive Summary, p. 4 23

End Violence Against Children: A Global Partnership, p. 13.

7

Kwa kuzingatia kuwa MTAKUWWA unalenga wanawake na watoto, wadau waliambiwa kuzingatia

vigezo vinne (4) wakati wa kuchambua na kuweka vipaumbele vya masuala 18 kwa kuzingatia mfumo

wa ‘INSPIRE’: (1) ikiwa kuna vielelezo thabiti vya afua zilizopendekezwa au zinahitaji kurekebishwa;

(2) ikiwa masuala yaliyoainishwa yanaendana na wanawake na watoto; (3) ikiwa kulikuwepo na wigo

wa kushirikisha wadau wengine: na, (4) kama kulikuwa na mpango thabiti wa program ya kuzuia na

kutoa huduma.

Kwa kuzingatia maeneo haayo manne (4) wadau waliainisha masuala 18 na kuunda maeneo manane (8)

yatakayotoa mwelekeo wa afua zitakazozingatiwa katika MTAKUWWA ambazo baadaye zingetoa

matokeo manane mahususi ambayo yatachangia katika kufanikisha lengo la MTAKUWWA. Kila eneo

muhimu lilioainishwa katika maeneo nane (8), litahusishwa na na lengo la kimkakati jambo

litakaloweka wazi kile ambacho mpango unalenga kufanikisha katika kuleta matokeo yaliyokusudiwa

Mpango wa Utekelezaji,ambao umegawanyika katika nguzo mbili ambazo ni kuzuia na kutokomeza

unatoa ufafanuzi wa kazi zitakazofanyika katika kila eneo.

1.5 Mapungufu /changamoto katika kushughulikia ukatili unaofanana dhidi ya wanawake na

watoto

Licha ya juhudi za serikali katika kushughulikia Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto zipo changamoto

katika ngazi ya kimuundo na ngazi ya kijamii, ikijumuisha:

i. Kuwepo kwa kamati nyingi na kujirudia kwa wajumbe wanaoshughulikia masuala ya wanawake

na watoto;

ii. Upungufu katika utoaji huduma kwa waathirika wa ukatili;

iii. Mfumo dume katika maeneo mengi, unaotokana na uwezo mkubwa wa kiuchumi wa wanaume

katika jamii;

iv. Malezi duni yanayosababishwa na ukosefu wa kipato katika ngazi ya familia.

v. Uelewa mdogo na maarifa finyu wa masuala ya kijamii, kiuchumi na haki za kisheria miongoni

mwa wanawake na wanaume; na

vi. Uwepo wa utamaduni wa ukimya unaoambatana na unyanyapaa, hofu na kutengwa na jamii

unaokatisha tamaa kutoa taarifa juu ya matukio ya ukatili.

8

1.6 Uhalali wa Kuandaa MTAKUWWA

Suala la kushughulikia ukatili dhidi ya wanawake na watoto ni lengo muhimu la kimaendeleo na haki,

na ni jambo la msingi katika kufanikisha matokeo mengine ya maendeleo kwa wanawake, watoto,

familia zao jamii na mataifa. Juhudi zilizochukuliwa katika ngazi ya kimataifa katika kushughulikia na

kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto ziliweza kuimarishwa na ongezeko kubwa la vielelezo

ambavyo havijawahi kuonekena hapo awali vikionesha kuzoofika kwa afya ya jamii duniani. Katika

ngazi ya kimataifa, kuna utambuzi wa jumla kuwa utokomezaji wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto

ni jambo muhimu sana katika maendeleo ya kimataifa na katika mtazamo wa kupata haki. Msukumo wa

hali ya hali ya wanawake na watoto wanaoathirika na ukatili unajitokeza katika Ajenda ya Malengo ya

Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030 ambayo ina shabaha 6 zinazotaja umuhimu wa kuzuia na

kutokomeza ukatili.

Ni dhahiri kwamba vitendo vya ukatili humgharimu binadamu, kwa kumjengea hofu ya kimwili na

kihisia na hivyo kuathiri ubora wa maisha kwa ujumla. Kiulimwengu athari za kiuchumi na ukatili wa

kimwili, kihisia na kingono dhidi ya watoto ni kati ya asilimia 3 na 8 ya pato la ndani la kimataifa.24

Nchini Tanzania, gharama za kupambana na ukatili kwa ujumla zinakadiriwa kuwa zaidi ya dola za

Kimarekani bilioni 6.5 sawa na asilimia 7 ya Pato la Ndani la Taifa.25

Gharama hizi ni kubwa zaidi

kuliko gharama za kuzuia ukatili.26

Tanzania inatarajia kuwa nchi ya uchumi wa kati kufikia mwaka

2025. Ili kufikia adhima hii, Tanzania inatakiwa kuwekeza katika kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na

watoto ili kuwezesha nguvu kazi ya kuzalisha kwa kiwango cha juu, na zaidi ya hilo itaongeza wigo wa

wanawake kutumia fursa katika kujiletea maendeleo (linaendana na Lengo la Maendeleo Endelevu

Namba 8 na 10).

Tanzania imedhamiria kutekeleza Ajenda ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030, kama

sehemu ya utekelezaji mikataba ya kikanda na kimataifa pamoja na maazimio kuhusu haki za mtoto,

usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake, ikiwa ni pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Kuondoa

aina zote za Ubaguzi dhidi ya Wanawake27

na utaratibu wake wa kuwasilisha malalamiko28

, Mkataba

24

Pereznieto, Paola et al., The Costs and Economic Impact of Violence against Children, Overseas Development Institute, Child Fund Alliance, UK,

September 2014, pg. 8 25

Institute for Economics and Peace, Global Peace Index 2015: Measuring Peace, it's Causes and Economic Value, IEP, New York, 2015, pg. 112 26

Ibid. 27

Singature 17 July 1980; Ratification 20 August 1985 28

Optional Protocol to CEDAW date of acceptance 12 January 2006

9

wa Kimataifa wa Haki za Mtoto29

na Itifaki zake za nyongeza30

, na Mkataba wa Afrika wa Haki na

Ustawi wa Mtoto. Vile vile Tanzania imeridhia kutekeleza Mkataba wa Beijing na Jukwaa la Kuchukua

Hatua (1995) na maeneo yake 12 yenye umuhimu ambayo serikali imeelekeza juhudi zake katika

maeneo manne ya vipaumbele vya nchi ambavyo ni: kuwajengea wanawake uwezo wa kisheria;

uwezeshaji wa kiuchumi na kutokomeza umaskini kwa wanawake; kuwawezesha wanawake kisiasa na

uwezo wa kutoa maamuzi; na kuwawezesha wanawake kupata fursa za elimu na ajira. MTAKUWWA

unatoa wito wa kuweka pamoja taarifa za ukatili dhidi ya wanawake na watoto na hatua itakayowezesha

uaandaaji wa Taarifa nzuri inayoendana na makubaliano ya kimataifa ambayo taifa limeyaridhia.

Uamuzi wa Tanzania kuandaa MTAKUWWA umezingatia kuwa kutokuwa na mpango kazi wa namna

hii unaathiri katika kupiga hatua za maendeleo kufikia malengo yaliyokusudiwa, na pia Watanzania

wana haki ya kuishi huru pasipo kufanyiwa vitendo vya ukatili. Tanzania imekusanya ushahidi wa

kutosha kuwawezesha wadau na wananchi kutambua kuwa ukatili dhidi ya wanawake na watoto ni

tatizo nchini na kupitia utekelezaji wa mipango kazi nane (8) inayohusiana na ulinzi wa wanawake na

watoto ndiyo msingi uliowezesha kuandaliwa kwa mpango kazi huu. Kwa msingi huo, MTAKUWWA

umeandaliwa kwa kuzingatia hali halisi na tathmini ya kina ya uzoefu uliopatikana na matokeo ya

utekelezaji wa mipango ya awali.

Kwa kuwa muda wa utekelezaji wa mipango nane (8) ya awali ulikuwa umemalizika au unakaribia

kumalizika, Tanzania ilipata fursa ya kimkakati ya kuandaa Mpango Kazi mpya ambao unaondoa

mkanganyiko, mwingiliano na udhaifu katika utekelezaji wa afua za kuzuia na mwitikio wa ukatili dhidi

ya wanawake na watoto. Mpango Kazi huu umezingatia ukweli kuwa athari za ukatili huendelea kuathiri

maisha yote ya mwathirika na kwamba kutenganisha wanawake na watoto katika afua za mwitikio na

kuzuia ukatili hakuleti tija inayotarajiwa kwa kuwa taasisi zinazohusika katika kutatua tatizo hilo ni

zile zile (yaani Dawati la Jinsia na Watoto la Polisi, Ustawi wa Jamii, Wahudumu wa afya). Maandalizi

ya Mpango huu pia yametoa fursa ya kutafakari namna na haja kukakikisha ushiriki wanaume na

wavulana katika afua za kuzuia na mwitikio wa ukatili kwa kuwa kuna ushahidi wa kutosha kwamba

kuna uhusiano baina ya mila na desturi na ukatili wa kijinsia . Vile vile kuna ushahidi wa kutosha kuwa

waathirika wa ukatili hasa wavulana huendeleza tabia hiyo wanapokuwa watu wazima hasa endapo

hatua sahihi za mwitikio hazitachukuliwa.

29

Singature 1 June 1990; Ratification 10 June 1991 30

Optional Protocol to the CRC on the involvement of Children in Armed Conflict (Accession 11 November 2004) and Optional Protocol to the CRC on the

Sale of Children, Child Prostitution, and Child Pornography (Accession 24 April 2003).

10

11

SEHEMU YA II

12

DIRA, DHIMA,

LENGO NA SHABAHA YA MPANGO KAZI

2.1 Dira

Wanawake na Watoto wa Kitanzania kuishi huru na salama bila ukatili na kufurahia haki zao katika

jamii.

2.2 Dhima

Kuzuia ukatili na kutoa huduma kwa waathirika wa aina zote za ukatili ikiwemo wanawake na watoto

kwa kushirikiana na sekta mbalimbali katika ngazi zote.

2.3 Lengo

Kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto nchini na kuboresha ustawi wao.

2.4 Mikakati ya msingi ya Mpango Kazi

(i) Kuwawezesha wanaume, wanawake, wasichana na wavulana kutumia fursa za kijamii na

kiuchumi zinazopatikana katika mazingira/maeneo yao ili kuboresha ustawi wa kaya

(ii) Kuendeleza mila na desturi zenye kuwezesha wanawake na zisizo na aina yoyote ya ukatili,

zenye malezi chanya na kuimarisha usawa wa kijinsia.

(iii) Kuweka mazingira endelevu na salama kwa wanawake na watoto katika jamii.

(iv) Kuendeleza mahusiano chanya baina ya mzazi/mlezi na mtoto na kupunguza vitendo vya

ukatili katika malezi ya watoto

(v) Kuhakikisha kuwepo kwa Jamii ya Kitanzania inayoelewa na kufuata mabadiliko katika sheria

zinazopendekezwa na zinazotekelezwa, kuzuia na kutoa mwitikio chanya kuhusu ukatili dhidi

ya wanawake na watoto.

(vi) Kuwepo na mfumo jumuishi wa ulinzi unaoratibiwa na kutoa msaada kwa wakati kwa

wanawake na watoto wanaoathirika na vitendo vya ukatili.

(vii) Kuwepo na mfumo jumuishi wa ulinzi unaoratibiwa na kutoa msaada kwa wakati kwa

wasichana na wavulana wanaoathirika na vitendo vya ukatili

(viii) Kuwepo kwa mfumo jumuishi wa kitaifa unaoratibiwa kwa ufanisi na unaowezesha ufanyaji

wa maamuzi yanayohusu afua stahiki za kuzuia na kutoa huduma kwa wanawake na watoto

wanaoathirika na vitendo vya ukatili.

2.5 Viashiria vya Matokeo ya Mpango kazi

(i) Kuondoa ukatili dhidi ya wanawake kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2021/22

(ii) Kuondoa ukatili dhidi ya watoto kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2021/22

2.6 Shabaha za kiutendaji za Mpango kazi ifikapo 2021/22

Shabaha za kiutendaji za MTAKUWWA zitafikiwa ifikapo 2021/22. Shabaha hizo ni pamoja na:

(a) Shabaha za kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya wanawake zinazohusiana na umaskini

(i) Kuongeza idadi ya wanawake wanaofikia huduma za kifedha kutoka asilimia 51.2 hadi

13

asilimia 65

(ii) Kuongeza vikundi vya wanawake wanaojiunga na SACCOS kutoka asilimia 1 hadi asimia15

(iii) Kuongeza idadi ya wanawake wanachama wa VICOBA kutoka asilimia 79 hadi asilimia 85.

(b) Shabaha za Kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya watoto zinazohusiana na umaskini

(i) Kupunguza nusu ya idadi ya watoto wanaoishi mitaani, wapatao 35,916

(ii) Kupunguza ajira kwa watoto kutoka asilimia 29 hadi asilimia 9

(iii) Kuongeza msaada wa kielimu kwa wasichana wanaotoka katika familia maskini kutoka

asilimia 23.4 hadi asilimia 53.4.

(c) Shabaha za kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya wanawake zinazosababishwa na mila na

desturi.

(i) Kuongeza uwiano wa waathirika wa vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake waliofanyiwa aina

yoyote ya ukatili na kutoa taarifa ndani ya saa 72 baada ya tukio kutoka asilimia 30 hadi

asilimia 65

(ii) Kuongeza uwiano wa halmashauri zenye programu za kijamii za kuzuia ukatili dhidi ya

wanawake kutoka asilimia 0 hadi asilimia 20

(iii) Kuongeza uwiano wa wanakaya wenye umri kati ya miaka 15-49 waliopata taarifa kuhusu

ukatili dhidi ya wanawake, kutoka asilimia 0 hadi asilimia 55

(iv) Kupunguza ukatili wa kingono kutoka asilimia 17.2 hadi asilimia 8

(v) Kupunguza ukatili wa kimwili dhidi ya wanawake wenye umri kati ya miaka15-49 toka

asilimia 39 hadi asilimia 10

(vi) Kupunguza ukatili wa kihisia kutoka asilimia 36.3 hadi asilimia 18.

(d) Shabaha za kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya Watoto unaosababishwa na mila na

desturi

(i) Kupunguza mimba za utotoni kutoka asilimia 27 hadi asilimia 5

(ii) Kupunguza kiwango cha ukeketaji kutoka asilimia 32 hadi asilimia 11

(iii) Kupunguza ndoa za utotoni kutoka asilimia 47 hadi asilimia 10

(e) Shabaha za kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya watoto unaotokana na Malezi ya

wazazi/walezi, Misaada wa Kifamilia na Mahusiano

(i) Kuongeza stadi za malezi kwa wazazi/walezi na kwa watoa huduma za malezi kutoka wilaya

72 hadi wilaya 113

(ii) Kuongeza programu/huduma za elimu ya awali kwa watoto chini ya miaka mitano kufikia

asilimia 50 kutoka kwa watoto 122,500.

14

(f) Shabaha za kiutendaji za kupunguza ukatili dhidi ya wanawake na watoto zinazotokana na

utekelezaji na usimamizi wa sheria

(i) Kuongeza idadi ya watu waliotiwa hatiani kwa kesi za ukatili dhidi ya wanawake kutoka

asilimia 8 hadi asilimia 50

(ii) Kuongeza idadi ya watu waliotiwa hatiani kwa kesi za ukatili dhidi ya watoto kutoka asilimia

7 hadi asilimia 50

(iii) Kupunguza muda wa uendeshaji wa kesi za ukatili dhidi ya wananwake kutoka miaka 4 hadi

miezi 12.

(iv) Kupunguza muda wa uendeshaji wa kesi za ukatili dhidi ya watoto kutoka miaka 4 hadi miezi

12.

(g) Shabaha za kiutendaji zinazohusiana na utoaji huduma kwa waathirika wa ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

(i) Kuongeza Vituo vya Utoaji huduma rafiki kutoka 4 hadi 26

(ii) Kuongeza uwiano wa kutolea taarifa za wahanga wa ukatili dhidi ya watoto ndani ya saa 72

baada ya tukio toka asilimia 30 hadi asilimia 65

(iii) Kuongeza Madawati ya Jinsia na watoto ya Polisi yanayofanya kazi kutoka vituo vya polisi

417 hadi 600.

(h) Shabaha za kiutendaji zinazohusiana na utekelezaji wa Usalama Shuleni na Stadi za Maisha

ili kutokomeza ukatili dhidi ya watoto.

(i) Kupunguza idadi ya wananfunzi wanaoacha shule kutokana na kupata ujauzito kwa nusu ya

idadi ambayo ni 251 kwa shule za msingi na 3,439 kwa walio Sekondari

(ii) Kuongeza idadi Mabaraza ya watoto ya Wilaya kutoka 108 hadi 185

(iii) Kuongeza idadi klabu za watoto shuleni kutoka 398 hadi 13,200

(iv) Kuendeleza usawa wa kijinsia kwa wahitimu shuleni wa 1:1

(v) Kuongeza mafunzo ya stadi za maisha toka asilimia 0 hadi asilimia 70

(vi) Kuongeza utoaji wa msaada wa pedi za kujisitiri watoto wa kike wanaotoka katika familia

maskini toka asilimia 1 hadi asilimia 20

(i) Shabaha za kitendaji zinazohusiana na Uratibu, Ufuatiliaji na Tathimini ya ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

(i) Kuongeza ukusanyaji wa takwimu za msingi kuhusiana na ukatili dhidi ya wanawake na

watoto ili kuhabarisha vyombo vya kuchukua maamuzi toka asilimia 24 hadi asilimia 85.

15

2.7 Mbinu/Njia za utekelezaji wa MTAKUWWA

Mbinu/njia zifuatazo zitatumika katika kuhakikisha utekelezaji wa Mpango kazi:

Kuwa na mfumo sahihi wa kisheria

Vipaumbele vya marekebisho ya kisheria vinavyochangia kukomesha ukatili dhidi ya wanawake na

watoto ni pamoja na: Sheria ya Ndoa, kupunguza kiwango cha ndoa za utotoni; Sheria ya Mirathi;

Marekebisho ya Sheria ya Mtoto;. Kuingiza vitendo vya ukatili dhidi ya watoto kuwa makosa ya jinai,

Mabadiliko ya sheria yanatakiwa kuhusisha majadiliano ya kina ili kujadili na kufanyia kazi masuala ya

mila na desturi na kuimarisha njia mbadala. Aidha, kuna haja ya kulitazama kwa kina suala la mfumo

wa kisheria na kuhakikisha kuwa ni madhubuti na unajibu mahitaji ya makundi maalum kama vile

watoto waliokutana na mfumo wa sheria na waliokinzana na mfumo wa sheria na wanawake, watoto

wenye ulemavu, na watoto wenye ualbino..

Kuwa na mfumo wa utoaji huduma

Mipango kazi ya kitaifa iliyopita iliyoweka mifumo ya kupima utoaji huduma kwa wanawake na watoto

walioathirika na vitendo vya ukatili. Changamoto kubwa ni kuratibu juhudi hizi na kupima matokeo,

kuunda mfumo jumuishi wa utoaji huduma kwa waathirika wote wa ukatili na kuboresha utambuzi,

utoaji huduma na taarifa. Hii inahamasisha utoaji huduma bora za afya, ustawi wa jamii na msaada wa

kisheria kwa makosa ya jinai kwa wanawake na watoto. Utekelezaji wa mfumo huo unahitaji

uchambuzi wa uwezo na mahala pa kuanzia kwa kila wilaya.

Kuweka mkazo mkubwa katika kuzuia

Tanzania imedhamiria kupanua na kuongeza juhudi za kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na watoto na

inakusudia kutumia fursa iliyotolewa na Ubia wa Kiulimwengu ili Kukomesha Ukatili dhidi ya Watoto

na Mfumo wa Kuzuia Ukatili dhidi ya Wanawawake na kuchota vielelezo katika maeneo yaliyotoa

matokeo. Fursa muhimu kabisa ni kutilia mkazo maeneo yafuatayo: kazi endelevu kuhusu mila Na

desturi, ikiweka mkazo katika kuwawezesha wanawake na malezi chanya (yakijumuisha kuwashirikisha

wanaume katika malezi); kuwapa wazazi msaada wanaouhitaji kwa kutoa kipaumbele kwa wale ambao

wana watoto walioko katika mazingira hatarishi, kuwawezesha wanawake; na kuhakikisha watoto wako

salama shuleni.

Kuimarisha ukusanyaji wa takwimu, uchambuzi na utoaji taarifa

Mpaka sasa, Tanzania haijafanikiwa kwa kiasi kikubwa kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya wanawake

na watoto. Ukosefu wa takwimu za msingi na mifumo ya upimaji thabiti ina mwitikio mdogo na

imekuwa kikwazo katika kutoa matokeo ya utekelezaji wa afua stahiki. Kuna umuhimu mkubwa wa

kuandaa viashiria na zana za kupima mwenendo sambamba na mipango mipya na ajenda mfano

Shabaha ya 16.2 ya Malengo ya Maendeleo Endelevu “kukomesha unyanyasaji, unyonyaji, biashara

16

haramu ya usafirishaji wa binadamu na aina zote za ukatili na mateso dhidi ya watoto; Shabaha 5.2 ya

Malengo Endelevu “kuondoa aina zote za ukatili dhidi ya wanawake na wasichana katika maeneo ya

umma na binafsi, ikiwa ni pamoja na usafirishaji haramu na ngono kwa watoto na Shabaha ya 16.1 ya

Maendeleo Endelevu, “kupunguza kwa kiasi kikubwa aina zote za ukatili wenye kuhusisha vifo kila

mahali na Agenda 2030: Afrika tunayoitaka, ambayo inalenga kuondoa aina zote za ukatili wa kijinsia

na ubaguzi dhidi ya wanawake na wasichana. Mifumo ya maendeleo na matumizi ya takwimu halisi

ijengwe kutokana na vyanzo vya takwimu vilivyopo na kuhakikisha inajumuisha kazi za sekta zote

husika.

Kuimarisha harakati za kutokomeza ukatili

Ni jambo la laizma kuboresha jukumu la sekta zote ili kukomesha ukatili, kwa kuweka mkazo katika

nafasi ya elimu na mifumo ya afya, ambayo inamahusiano ya karibu sana na wanawake na watoto kwa

msingi wa kila siku. Kuongeza uwingi na wa watu wanaofanya kazi kubwa ya kuzuia ukatili katika

jamii nzima ni jambo la muhimu kabisa katika ngazi ya Wilaya na ile ya Kitongozi. Nguvu ya Asasi za

Kiraia na ile ya watoto wenyewe katika ngazi ya eneo husika inaweza kutoa matokeo makubwa sana

Kuimarisha harakati za kutokomeza ukatili

Ni muhimu kuboresha majukumu ya sekta zote ili kukomesha ukatili, kwa kuweka mkazo katika eneo

la elimu na mifumo ya afya, ambayo inamahusiano ya karibu sana na wanawake na watoto katika

msingi wa maisha yao ya kila siku. Kupanua wigo na kuongeza idadi ya watu wanaoshughulikia

masuala ya kuzuia ukatili katika jamii hasa katika ngazi ya wilaya na kata.Uwezo wa jamii na watoto

wenyewe katika maeneo yao wanaweza kuleta mabadiliko makubwa.

Uratibu bora na ushirikiano katika ngazi zote

Uratibu imara katika ngazi ya Makatibu Wakuu wa Wizara, chini ya uenyekiti wa Katibu Mkuu wa

Ofisi ya Waziri Mkuu utahakikisha utashi wa kisiasa, uwajibikaji na mshikamano. Uratibu na

ushirikiano imara ndani ya mamlaka za serikali za mitaa katika ngazi ya Mkoa, Wilaya na Kata

utaunganisha ngazi ya taifa na ngazi ya jamii kupitia kamati ya pamoja tofauti na mifumo iliyokuwa

ikitumika katika Mipango nane (8) ya awali.

2.8 Maeneo ya Mpango kazi – Mchanganuo na Mahali pa kuweka mkazo

Mchakato wa kuandaa MTAKUWWA ulishirikisha mapitio ya kina ya Mipango nane (8) ya awali

iliyolenga kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Mikutano ya majadiliano iliyohusisha

wadau mbalimbali (Serikali, Asasi za Kiraia, Mashirika ya Kidini, Mashirika Yasiyokuwa ya Kiserikali

ya Kitaifa na ya Kimataifa, Wabia wa Maendeleo na Mashirika ya Kimataifa) ilifanyika ili kutathmini

uzoefu uliopo, matokeo bora, changamoto na mapendekezo kuhusu hatua za baadaye. Mapitio ya

mipango ya awali yaliwasaidia wadau kuunda mbinu za kuandaa MTAKUWWA (2017/18-2021/22) na

17

kanuni za kushughulikia ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

Kanuni Ongozi

Mchakato wa kuandaa MTAKUWWA ulibaini masuala 18 kama inavyoonekana katika jedwali la 1.

Katika kubaini masuala hayo 18, wadau walitumia kanuni ongozi kadha wa kadha kama ilivyo ainishwa

hapa chini.

1. Upatikanaji wa huduma kwa wote na kwa usawa: Huduma muhimu za afya zinatakiwa kutolewa

bila kuwafanya wanufaika kuwa katika hatari ya kufifishwa au kunyanyapaliwa au kubaguliwa na watoa

huduma wa afya, kwa mfano kutoa huduma kwa masharti ya kuangalia jinsi, umri, hali ya kijamii na

kiuchumi, au kabila. Kwa kuzingatia kanuni ya usawa katika huduma za afya, juhudi zinahitajika ili

kuboresha upatikanaji wa huduma kwa makundi yaliyoko mbali na huduma au wanaonekana kama

wametengwa au wanakumbana na vikwazo katika kupata huduma.

2. Haki za binadamu: Haki za binadamu zinalindwa na mikataba ya Kikanda na Kimataifa. Kadhalika

zinalindwa pia na Katiba ya nchi na sheria za kitaifa. Programu, sheria, sera na huduma za kuzuia na

kutoa mwitikio dhidi ya ukatili la ukatili zinatakiwa kuendana na mikataba mbalimbali ya kikanda na

Kimataifa kuhusu haki za binadamu.

3. Usawa wa kijinsia: Kuondoa ubaguzi wa kijinsia, kubadilisha mila na desturi mabadiliko ya kanuni

za kijamii na kiutamaduni zinazosababisha ukatili na kupelekea kutokuwepo mahusiano yasio ya

kijinsia, na uwezeshaji wa wanawake na wasichana ni msingi mkuu katika kuzuia na kutoa mwitikio wa

ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Uzuiaji na mwitikio wa aina zingine za ukatili lazima

ushughulikie mgawanyo usiosawa wa majukumu na mila na desturi za utamaduni wa jamii hususani

mfumo dume kama kichocheo cha ukatili. Aidha, ni muhimu pia kuangalia aina mbalimbali za ubaguzi

ambazo zinazosababisha mtu kuwa katika mazingira hatarishi ukatili kwa kuzingatia matabaka umri,

ulemavu, jinsia na sababu nyinginezo.

4. Kujitawala na uwezeshaji: Programu za kuzuia na kutoa mwitikio kwenye vitendo vya ukatili

zikijumuisha na utoaji wa huduma za afya, zinatakiwa kuheshimu hali ya kujitawala kufanya maamuzi

huru na yenye kutoa taarifa sahihi kuhusu uangalizi na upatikanaji wa huduma kwa waathirika wa

ukatili. Huduma hizo zinatakiwa kuwawezesha wale waliopatwa au wanaoathirika na vitendo vya

ukatili kwa kuheshimu utu na thamani yao kama binadamu, na kwa kutoa taarifa na ushauri kuhusu

huduma zinazowawezesha kufanya maamuzi yao binafsi.

5. Ushirikishwaji wa jamii: Hii inahusu kusikiliza mahitaji ya jamii ikiwa ni pamoja na kuwashirikisha

kikamilifu wale wanaoishi au wamewahi kufanyiwa ukatili kwa kuwahusisha katika utetezi, maendeleo

ya sera, kupanga na utoaji wa huduma, ufuatiliaji, utafiti na tathmini

18

6. Mifano inayozingatia vielelezo: Programu, sera na huduma za kuzuia na kutoa mwitikio dhidi ya

vitendo vya ukatili zinatakiwa kujikita katika uthibitisho wa kisayansi na/au mifano bora inayokubalika

na wote, na programu hizo zinatakiwa kuzingatia muktadha wa kijamii na ule wa kiutamaduni.

7. Mbinu zinazozingatia vipindi vya maisha: Tabia ya ushari/vurugu kwa sasa inaweza kutengenezwa

na hatua mbalimbali anazopitia mtu katika maisha, hivyo basi program, sera na huduma za kuzuia na

mwitikio wa ukatili lazima ziwalenge watoto walio katika umri wa awali na pia zizingatie afya na

mahitaji ya kijamii katika vipindi vyote vya maisha ukijumlisha kipindi cha utoto, ujana, utu uzima na

uzee.

8. Mwitikio wa sekta mbalimbali: Jitihada za nchi katika kushugulikia ukatili dhidi ya wanawake na

watoto zinahitaji kuwa jumuishi, kuratibiwa na kuhusisha sekta mbalimbali. Hii inahitaji ushirikiano wa

sekta mbalimbali ikiwemo afya, sekta inayoshughulikia maendeleo ya wanawake na usawa wa kijinsia,

ulinzi wa watoto, elimu, utekelezaji wa sheria, mahakama na masuala ya kijamii. Pia inahitaji uratibu na

ushirikiano kati ya umma na sekta binafsi, pamoja na mashirika ya kiraia, vyama vya kitaaluma na

wadau wengine muhimu.

Mbinu inayotumiwa na Shirika la Afya Duniani ilipitishwa ili kurahisi mchanganuo wa masuala 18.

Mbinu hii ni mojawapo ya visababishi kuanzishwa kwa mpango wa ushirikiano wa kidunia wa

kutokomeza ukatili dhidi ya watoto na inajumuisha mikakati saba(7) (kama iliyoorodheshwa katika

Jedwali la 1) ambayo kama ikitekelezwa kwa pamoja, itatoa mwelekeo wa kutokomeza ukatili dhidi ya

watoto.31

31 World Health Organization, INSPIRE Strategy, Executive Summary, p.4

19

Jedwali Na. 1: Maeneo ya kuzingati kulingana na Mbinu za Shirika la Afya Duniani (Modeli ya INSPIRE)

Masuala yaliyobainishwa na Mipango

Kazi Nane (8) iliyopo/ iliyopita

Mkakati Maeneo ya Utekelezaji

1. Kuwezesha familia kiuchumi

2. Makahaba (wanaojiuza)

Kuimarisha uwezo wa kaya kwa

kuwawezesha wanaume,

wanawake, wasichana na wavulana

ili kutumia fursa za kiuchumi na

kijamii

1. Kuimarisha uchumi wa

kaya

3. Kubadilisha mitazamo ya mila na

desturi ili kuwalinda wanawake na

watoto

4. Imani za kishirikina na mauaji ya

vikongwe

5. Ndoa za utotoni na ukeketaji

Kuimarisha Mila na desturi zenye

mtazamo chanya, zinazolinda

wanawake dhidi ya ukatili na

zenye kuleta maendeleo na usawa

wa kijinsia

2. Mila na Desturi

6. Wakimbizi (Wanawake na watoto)

7. Mazingira salama

Kutenga na kuendeleza maeneo

salama na yanayofikika na

wanawake na watoto katika jamii

zetu

3.Mazingira salama katika

maeneo ya umma

8. Kufundisha stadi za malezi chanya Mahusiano chanya yanayozingatia

usawa wa kijinsia baina ya

wanaume na wanawake, na baina

ya watoto na walezi

4. Malezi, kuimarisha

mahusiano na kuziwezesha

familia

9. Mfumo wa sheria

10. Ndoa za utotoni

Jamii ya Kitanzania iliyokubaliana

na mabadiliko ya kisheria

zinazopendekezwa na kutekelezwa

ili kuwalinda wanawake na watoto

dhidi ya vitendo vya ukatili

5. Utekelezaji na Usimamiaji

wa sheria

11. Utoaji huduma kwa waathirika wa

ukatili.

12. Wakimbizi (Wanawake na watoto)

13. Watoto wanaoishi na kufanya kazi

mitaani

14. Ajira kwa watoto

Mfumo jumuishi na fungamanishi

wa ulinzi utakaowezesha uratibu

na wenye kutoa huduma kwa

wakati na kwa ufanisi kwa

wanawake na watoto walioathirika

na ukatili

6. Utoaji huduma kwa

waathirika wa ukatili

15. Kuwasaidia watoto kukuza stadi za

maisha na kuwa salama shuleni

Kuondoa aina zote za ukatili katika

mifumo rasmi na isiyo rasmi ya

kielimu ili kuwezesha watoto na

vijana (ikiwemo watoto wenye

ulemavu) ili kufikia malengo yao

7. Mazingira Salama Shuleni

na Stadi za maisha

16. Ufuatiliaji, utoaji taarifa, utafiti na

uratibu

17. Kuandaa bajeti

18. Rasilimali watu na kujenga uwezo wa

kitaasisi

Kuwepo kwa Mfumo Jumuishi wa

Kitaifa wa uratibu na

utakaowezesha utoaji maamuzi

kuhusu kuzuia na kutoa huduma za

afua kuhusu ukatili dhidi ya

wanawake na watoto; kutumia

taarifa za wataalamu katika utoaji

maamuzi kuhusu afua za kuzuia na

kutoa huduma kwa waathirika wa

vitendo vya ukatili.

8. Uratibu, Ufuatiliji na

Tathmini

20

21

SEHEMU YA III

22

Utekelezaji wa MTAKUWWA

MTAKUWWA uliandaliwa ili kushughulikia masuala ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto nchini

kwa kuzingatia vipaumbele, matokeo yanayotarajiwa, muda wa utekelezaji na wadau muhimu kutoa

viashiria kwa ajili ya kufuatilia maendeleo. Muda wa utekelezaji umegawanywa katika awamu tatu

ambazo ni muda mfupi (hadi miaka 2), muda wa kati (miaka 2 hadi 5) na muda mrefu (miaka 5 na

zaidi). Changamoto za Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto zilizoainishwa ni pamoja na; umaskini,

mazingira yasiyo salama, unyanyasaji wa watoto shuleni, mila na desturi zenye kusababisha madhara

katika jamii, uratibu usio na ufanisi katika kutekeleza shughuli za ulinzi na usalama wa wanawake na

watoto, huduma zisizotosheleza kwa waathirika, sheria zinazokinzana, wazazi na walezi kutokua na

ujuzi juu ya malezi, upungufu wa takwimu na taarifa rasmi kuhusu Ukatili Dhidi ya Wanawake na

Watoto.

Kila eneo kati ya maeneo nane (8) ya utekelezaji yaliyomo kwenye malengo mkakati yanayofafanua

masuala ambayo MTAKUWWA umedhamiria kuyatekeleza na kutoa matokeo ya muda mfupi na muda

wa kati. Utekelezaji wa mpango umegawanyika katika nguzo kuu mbili ambazo ni: kuzuia ukatili na

kuhudumia waathirika wa ukatili kupitia shughuli zilizoainishwa katika maeneo ya utekelezaji.

a. Kuimarisha uchumi wa kaya

Ukatili wa kijinsia unaathiri uwezo wa uzalishaji kiuchumi kwa wanawake katika sekta rasmi na isiyo

rasmi na hivyo kupunguza uwezo wao wa kuhudumia familia ikiwemo wazee. Hali duni ya kiuchumi ni

sababu kubwa ya ongezeko la ukatili unaofanywa na wenza katika mahusiano pamoja na unyanyasaji na

unyonywaji wa aina nyingine. Zaidi ya hayo, hali ya kutokuwa na usawa wa kijinsia na maamuzi katika

masuala ya uzazi na kujamiiana waliyonayo wanawake inatokana na kuwa tegemezi kiuchumi.

Umaskini ni kichocheo cha kusababisha mfadhaiko unaowaweka wanawake na watoto katika hali

hatarishi ya ukatili.

Mipango inayolenga kunusuru kaya maskini mathalani Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) na

mipango mingine kama vile; mikopo midogo midogo na gawio la pesa, inaendelea kutumika katika

ngazi ya taifa ili kupunguza ukali wa maisha pamoja na athari zake. Utekelezaji wa program mbalimbali

za kiserikali na zisizo za kiserikali zimeonesha kuboresha ustawi wa maisha katika kaya. Hivyo mpango

huu umeainisha masuala ya kijinsia katika eneo hili la utekelezaji ili kuwapa wanawake fursa za ajira,

uwezo wa kupata mapato na kupanua uwekezaji katika jamii husika sanjari na kupunguza athari za

ukatili kwa watoto.

b. Mila na desturi

Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025 inasisitiza umuhimu wa amani na ustahimilivu katika

jamii na kuweka lengo la usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake katika nyanja zote za kijamii,

23

kiuchumi na kisiasa. Endapo kanuni za kijamii zinaporuhusu au himiza ukatili na kuendeleza mahusiano

yasiyozingatia usawa kijinsia, waathirika wa kwanza huwa ni wanawake na watoto. Wanakuwa katika

hatari ya kuathirika kutokana na ukatili wa kiakili, kingono, na kisaikolojia nyumbani na katika jamii

zao. Hivyo wanakua kwenye hatari zaidi ya kuwa waathirika wa vitendo vya ukatili mathalani ukeketaji

wa wanawake na ndoa za utotoni.

Kipaumbele cha MTAKUWWA ni kuwatia moyo na kuwaunga mkono wanawake na watoto kusimama

kidete dhidi ya vitendo vya ukatili mahali popote pale na wakati wowote. Pia, ni muhimu kuwahusisha

kikamilifu wanaume katika mchakato huu. Vilevile, mpango huu unalenga kurekebisha mila na desturi

zenye madhara mathalani ukeketaji wa wanawake, ndoa za utotoni na kanuni za malezi zinazofumbia

macho ukatili wa kimwili na ule wa kihisia dhidi ya watoto au desturi zinazozuia utoaji wa taarifa za

matukio ya ukatili.

c. Mazingira Salama

Vitendo vya ukatili katika jamii vinasababishwa na mambo mengi. Kwa hiyo, kutokomeza ukatili

kunahitaji mbinu tofauti kwa kuhusisha jamii yote. Wazazi, maafisa ustawi wa jamii, viongozi jamii na

taasisi nyingine zinatakiwa kufanya kazi bega kwa bega na sekta binafsi pamoja na sekta ya umma ili

kuweka mazingira salama kwa wote. Serikali inatambua kwamba:

i. Wananchi wote wanatakiwa kuwa na uhuru wa kutembea katika maeneo yao na mahali pengine

bila woga wa kufanyiwa ukatili;

ii. Kuna umuhimu wa kuongeza uwajibikaji wa kitaasisi wa kuzuia na kupunguza ukatili dhidi ya

wanawake na watoto;

iii. Kuna umuhimu wa kuhimiza utekelezaji wa sera na sheria katika maeneo ya kazi ya umma na

sekta binafsi ili kuzuia na kupunguza ukatili dhidi ya wanawake na watoto; na

iv. Kuongeza utekelezaji na uwajibikaji katika usimamizi wa maeneo ya starehe ili kuzuia na

kupunguza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

d. Malezi, kuimarisha mahusiano na kuziwezesha familia

Uzoefu unaonesha kuwa afua za malezi katika kipindi cha maisha ya mtoto zinaweza kuboresha

mahusiano baina ya watoto na wazazi/walezi. Vilevile, zinaweza kuchangia katika maendeleo ya

kimwili, kiafya, kihisia na kitabia kwa mtoto katika kushughulikia ukatili wa kimwili, wa kingono na

wa kisaikolojia.32

Watoto wanaotoka katika familia zenye matukio mengi ya ukatili huiga mifano ya

tabia na uzoefu waliouona katika hatua za awali za makuzi katika maisha yao. Matokeo yake, watoto

hawa wanakuwa katika hatari kubwa ya kuwa waathirika na wanaofanya vitendo vya ukatili katika

32 INSPIRE Seven Strategies for Ending Violence Against Children, WHO 2016

24

maisha yao yote. Inakuwa vigumu kwa watoto hawa kuwa na mahusiano mazuri nyumbani, kazini na

hata katika jamii zao, na kuna uwezekano mdogo kwa watoto wa aina hii kuwa wazazi bora kwa watoto

wao hapo baadaye.

Uwekezaji wa serikali katika programu za malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto, na utayari

wa program hizi shuleni, na kuimarisha uwezeshaji katika ngazi ya familia ni eneo la kipaumbele

katika MTAKUWWA .

e. Utekelezaji na usimamizi wa Sheria

Urekebishaji na utungaji wa sheria na sera utafanywa kutokana na majadiliano mbalimbali ili

kuhakikisha mfumo wa kisheria unajibu mahitaji ya makundi yaliyo katika mazingira hatarishi,

mathalani; watoto wanaokinzana na waliokutana na mfumo wa sheria, wanawake na watoto wenye

ulemavu, watoto wenye ualbino, wanawake na watoto wakimbizi, watoto wanaofanya kazi katika

mazingira ya unyonywaji na kushughulikia mila na desturi zenye madhara kwa wanawake na watoto.

MTAKUWWA unaotoa kipaumbele kwa kufanya marekebisho ya: Sheria ya Ndoa; Tamko la Kimila;

Kupitia Sheria ya Mtoto; na uainishaji wa ukatili dhidi ya watoto kama kosa la jinai.

f. Utoaji wa huduma kwa waathirika wa ukatili

Kila mwathirika wa ukatili ana haki ya kutoa taarifa na kupata huduma inayostahili na kwa wakati.

MTAKUWWA unabainisha mikakati muhimu ili kuandaa mfumo utakaoweka mikakati ya kuzuia na

kutoa huduma kwa waathirika dhidi ya ukatili wa wanawake na watoto. Hivyo unatazama jinsi ya

kuingiza afua zilizopo, mathalani zile zinazoghulikia ulinzi na usalama wa mtoto na zile zilizolenga

kushughulikia tatizo la ukatili wa kijinsia, kua katika mfumo mmoja. Kupitia utekelezaji shirikishi

MTAKUWWA utaondoa changamoto za mwingiliano wa afua na badala yake itaweka mfumo mmoja

uliohuishwa wa utoaji huduma.

g. Mazingira Salama Shuleni na Stadi za maisha

Elimu rasmi na isiyo rasmi inatumika kama chombo cha ulinzi na usalama na ni njia madhubuti ya

kuifikia jamii kuielimisha jinsi ya kuzuia na kutoa huduma kwa waathirika wa ukatili. Aidha, kila mtoto

na mtu mzima katika mazingira ya shule anatakiwa kuwa na uwezo wa kushiriki katika mafunzo bila

kuwa na hofu ya ukatili.

MTAKUWWA unajumuisha mikakati mbalimbali inayoshughulikia ukatili katika maeneo ya kutolea

elimu. Ili kutekeleza kwa ufanisi mikakati hiyo, MTAKUWWA unasisitiza ushirikishaji kamilifu wa

wajumbe wa bodi ya shule, utawala wa shule, wazazi, wanafunzi, wanajamii, wahudumu wa wakati wa

dharura na wasimamizi wa sheria ili kupata suluhu za ushirikiano katika kuzuia na kupata majawabu ya

pamoja wakati wa kuzuia na kutoa huduma kwa waathirika wa ukatili. Afua katika eneo hili la

utekelezaji itajumuisha: kuboresha ujuzi wa walimu katika kuhamasisha nidhamu chanya; ujuzi wa

25

kuboresha ulinzi wao wenyewe na stadi za maisha; kuhakikisha kwamba shule zinakuwa na mfumo wa

rufaa kwa watoto wanaohitaji huduma za waathirika wa ukatili; uanzishaji wa mitaala ya malezi chanya;

kuhamasisha ushirikishaji wa mtoto kupitia uanzishaji wa vilabu shuleni; na kutoa huduma ya afya na

usafi shuleni.

h. Uratibu, Ufuatiliaji na Tathmini

Serikali inatambua kuwepo kwa miundo mbalimbali ya uratibu kutokana na mipango nane (8)

iliyopita/iliyopo ambayo ilisababisha mkanganyiko na ufanisi mdogo katika utekelezaji. MTAKUWWA

unasisitiza kuwepo kwa muundo mmoja wa uratibu ambao usimamizi wake utakuwa chini ya Ofisi ya

Waziri Mkuu. Lengo ni kuhakikisha kuna kuwa na uwajibikaji na usimamizi madhubuti katika utoaji wa

huduma, uwazi na mshikamano, hatua ambayo itaboresha utoaji huduma na kupunguza gharama.

Uratibu ulioboreshwa utahakikisha wahusika katika ngazi zote wanajituma kutokomeza ukatili dhidi ya

wanawake na watoto, na kwamba sekta zitafanya kazi pamoja ili kuleta matokeo yaliyokusudiwa.

3.1 Matokeo ya MTAKUWWA

Kupitia utekelezaji wa shughuli za kuzuia na kutoa huduma kwa waathirika wa ukatili zilizoainishwa

katika maeneo nane (8) ya utekelezaji, Tanzania itatekeleza na kuleta matokeo yafuatayo:

1. Ongezeko la kipato cha kaya zilizo katika mazingira hatarishi;

2. Ongezeko la umiliki wa mali na amana kwa wanawake;

3. Kuendeleza mila na desturi zinazopinga vitendo vya ukatili;

4. Uboreshaji wa usalama wa wanawake na watoto katika maeneo ya umma;

5. Uimarishaji wa huduma za malezi na ulinzi ili waweze kukua na kufikia utimilifu wao kimwili,

kiakili, kimaadili, kijamii na kiimani

6. Ulinzi wa wanawake na watoto kupitia upatikanaji wa huduma za kisheria zilizoboreshwa;

7. Uboreshaji wa Huduma kwa waathirika wa Ukatili dhidi ya wanawake na watoto; na

8. Kuwepo kwa mazingira salama ya kujifunzia kwa wasichana na wavulana yanayoheshimu haki za

mtoto.

Kiambatisho na 1 kinatoa maelezo ya kina ya MTAKUWWA, nguzo muhimu, shughuli zilizopangwa

kutekelezwa, matokeo yanayotarajiwa, utendaji na viashiria.

26

27

SEHEMU YA IV

28

Gharama za MTAKUWWA

Gharama za MTAKUWWA zimepangwa ili kubaini kiasi cha fedha kinachohitajika katika utekelezaji

wa afua za kuzuia na kutoa huduma kwa waathirika wa ukatili kama zilivyoainishwa katika maeneo

nane (8) ya utekelezaji. Jumla ya gharama za utekelezaji wa mpango huu katika kipindi cha miaka

mitano33

inakadiriwa kuwa ni shilingi bilioni 267.4 kama inavyooneshwa katika Jedwali Na. 2 na Na. 3

la mchanganuo wa matumizi.

Utekelezaji wa MTAKUWWA utagharamiwa na Serikali kwa kushirikiana na Sekta Binafsi, Mashirika

ya Kimataifa na Wadau wa Maendeleo. Mpango kazi wa mwaka utaandaliwa mwanzoni mwa robo ya

mwisho ya kila mwaka na Idara ya Sera na Mipango ya WAMJW kwa kushirikiana na wadau kubaini

shughuli zitakazotekelezwa mwaka unaofuata kutoka katika kazi zilizoainishwa kwenye

MTAKUWWA. Kazi hizo zitapewa kipaumbele na vyanzo vya rasimali fedha kwa kila shughuli

iliyobainishwa ili kutambua kiasi cha fedha kilichotengwa kwa mwaka kupitia ahadi zilizotolea na

taasisi za umma, wadau wa maendeleo na taasisi zitakazohusika katika utekelezaji. Bajeti itaandaliwa

kwa kuzingatia rasilimali fedha zilizopatikana na kugawanywa kulingana na malengo mkakati na afua

zilizopangwa kutekelezwa katika mwaka husika.

Jedwali Na. 2: Gharama za utekelezaji wa MTAKUWWA (kwa Shilingi za Kitanzania) 2017/18 2018/19 2019/20 2020/21 2021/22 JUMLA

Matumizi ya Kawaida

25,208,954,500 86,832,213,080 64,257,378,080 37,236,736,080 33,901,748,080 247,437,029,820

Matumizi ya Maendeleo 4,167,240,000 4,031,160,000 4,268,660,000 3,888,860,000 3,647,860,000 20,003,780,000

JUMLA KUU 29,376,194,500 90,863,373,080 68,526,038,080 41,125,596,080 37,549,608,080 267,440,809,820

Mchanganuo wa gharama za utekelezaji wa MTAKUWWA kwa kila eneo la utekelezaji umeainishwa

katika kiambatisho namba II

Jedwali Na. 3: Uwiano wa Matumizi katika Maeneo ya Utekelezaji Maeneo ya Utendaji Jumla %

Jumla

Gawio la Mwaka la Bajeti

Mwaka

2017/18

Mwaka

2018/19

Mwaka

2019/20

Mwaka

2020/21

Mwaka

2021/22

Kuimarisha uchumi wa

kaya 60,923,200,000 22.8 13,404,676,000 12,983,976,000 12,603,246,000 11,118,656,000 10,812,646,000

Mila na desturi 97,704,380,000 36.5 330,300,000 49,058,320,000 28,859,500,000 11,299,860,000 8,156,400,000

Mazingira salama katika maeneo ya umma 2,404,642,500 0.9 381,402,500 555,200,000 627,360,000 423,640,000 417,040,000

Malezi, kuimarisha mahusiano na

kuziwezesha familia wa

kifamilia na mahusi

7,127,160,000 2.7 1,283,840,000 1,332,240,000 1,532,760,000 1,367,840,000 1,610,480,000

33 Gharama zote za utekelezaji wa NPA –VAWC zimeainishwa kwa kutumia bei za soko kwa mwaka 2016/17.

29

Usimamizi na Utekelezaji

wa sheria 6,441,002,000 2.4 172,040,000 1,400,166,000 2,331,696,000 1,245,464,000 1,291,636,000

Utoaji huduma kwa

waathirika wa ukatili msaada

27,391,620,000 10.2 5,368,356,000 5,117,356,000 5,920,716,000 5,706,996,000 5,278,196,000

Mazingira Salama

Shuleni na Stadi za

maisha

34,846,992,320 13 213,972,000 8,827,480,080 9,047,680,080 8,449,080,080 8,308,780,080

Uratibu, Ufuatiliji na Tathmini

30,601,813,000 11.4 8,221,608,000 11,588,635,000 7,603,080,000 1,514,060,000 1,674,430,000

Jumla Kuu 267,440,809,820 100 29,376,194,500 90,863,373,080 68,526,038,080 41,125,596,080 37,549,608,080

30

31

SEHEMU YA V

32

Muundo wa Kitaasisi na

Uratibu wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto

MTAKUWWA ni mpango unaounganisha sekta mabimbali ili kusimamia utekelezaji wake katika

kushughulikia tatizo la Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto. Mpango huu utaongeza fursa katika nchi

na kuwezesha kubadilishana maarifa na uzoefu hivyo kuongeza ari ya kufanya kazi kwa pamoja.

Kwa kuwa MTAKUWA utahusisha sekta mbalimbali na maeneo tofauti umeandaliwa kwa kuzingatia

ngazi kuu mbili ambazo ni: (i) Ngazi ya taifa, inayojumuisha; Ofisi ya Waziri Mkuu, Ofisi ya Rais –

Utawala wa Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Mambo ya Ndani (Jeshi la Polisi, Magereza na

Uhamiaji – Usafirishaji Haramu wa Binadamu); Wizara ya Fedha na Mipango (Kamishna wa Bajeti);

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto; Wizara ya Katiba na Sheria; Wizara ya

Elimu, Sayansi na Teknolojia; Wizara ya Kilimo Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi; Wizara ya Viwanda,

Biashara na Uwekezaji; Wizara ya Nishati na Madini; Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI; Mfuko wa

Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF); Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora; Wakala wa

Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA); Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC); Ofisi ya Takwimu ya Taifa

(NBS); na wawakilishi wa wadau wa maendeleo, Asasi za Kiraia, Mashirika ya Kidini; na (ii) Ngazi ya

Mamlaka za Serikali za Mitaa, inayojumuisha Mikoa, Wilaya, Kata na Vijiji.

Kutakuwapo na Mkutano wa Mwaka wa Wadau katika ngazi ya taifa chini ya uenyekiti wa Katibu

Mkuu – Ofisi ya Waziri Mkuu. Mkutano wa Mwaka wa Wadau ni jukwaa linalowakutanisha wadau

wote wa MTAKUWWA nchi nzima ili kujadili maendeleo na changamoto zilizojitokeza wakati wa

utekelezaji wa mpango. Mkutano wa majadiliano utaandaa hatua zitakazofuatwa katika kushughulikia

changamoto; pia masuala ya yanayojitokeza kuhusu Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto na mpango

wa baadaye utajadiliwa kikamilifu pamoja na kupitisha tafiti na nyaraka zilizofanyiwa marekebisho kwa

kipindi husika cha utekelezaji. Kumbukumbu za mkutano wa mwaka wa majadiliano zitakusanywa na

kutunzwa na sekretarieti.

Katika ngazi ya taifa, mashirika na wakala wanaoongoza katika utekelezaji wa mpango yatafanya kazi

kwa ushirikiano. Mashirika haya yanayoongoza katika utekelezaji yatahusika na vipengele vyote vya

utekelezaji wa mpango kazi huu, wakati mashirika mengine yatafanya kazi bega kwa bega na wizara

husika za utekelezaji katika kutekeleza afua mbalimbali zinazohusu Ukatili Dhidi ya Wanawake na

Watoto.

Katika ngazi ya Serikali za Mitaa, utekelezaji wa MTAKUWWA utakuwa chini ya Ofisi ya Rais –

33

TAMISEMI. Serikali za Mitaa zitatekeleza sehemu yao ya programu chini ya uongozi wa Wakurugenzi

Watendaji wa Wilaya/Manispaa kwa mujibu wa kanuni za kifedha zilizopo na kanuni nyinginezo.

Usimamizi wa kila siku, uwezeshaji na usimamizi utakuwa chini ya Afisa Maendeleo ya Jamii na Afisa

Ustawi wa Jamii wa Wilaya. Mfumo wa utoaji taarifa utafuata muundo wa serikali uliopo ambapo

Mamlaka za Serikali za Mitaa zitawasilisha taarifa zake za fedha za miezi mitatu na za mwaka kwa OR-

TAMISEMI kupitia Sekretarieti za Mikoa. OR-TAMISEMI itaziunganisha taarifa husika na

kuziwasilisha Sekretarieti ya MTAKUWWA.

Utekelezaji wa MTAKUWWA umejikita katika misingi mikuu miwili; udhibiti madhubuti

unaosimamiwa na mashirika yanayoongoza katika utekelezaji yakishirikiana na wadau wengine;34

kwa

kufungamana na mifumo na taratibu za serikali hasa mifumo inayosimamia mipango na upangaji wa

bajeti.

Muundo wa uratibu wa MTAKUWWA utatekelezwa katika ngazi ya taifa na ngazi ya mamlaka ya

serikali za mitaa. Katika ngazi ya taifa, kutakuwapo na Kamati Elekezi ya Kitaifa ya Ulinzi wa

Wanawake na Watoto ya MTAKUWWA, Kamati Tendaji ya Taifa ya Ulinzi wa Wanawake na Watoto

ya MTAKUWWA na Vikundi vya Utekelezaji wa MTAKUWWA. Serikali itaunganisha kamati

zilizokuwepo katika ngazi ya Mkoa na ngazi ya Wilaya na kuweka mkazo katika kuzuia na kutoa

huduma kwa waathirika wa vitendo vya ukatili ikiwa ni pamoja na Kamati za kushughulikia tatizo la

utumikishwaji wa watoto, Kamati za Ukatili wa Kijinsia, Timu za Ulinzi wa Mtoto za Wilaya na Kamati

za Watoto Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi. Muundo wa kamati, sifa, majukumu na ratiba ya

mikutano ya wajumbe, vimeainishwa hapa chini.

Ngazi ya Taifa

(i) Kamati Elekezi ya Taifa ya Ulinzi wa Wanawake na Watoto

Kamati Elekezi ya Taifa ya Ulinzi wa Wanawake na Watoto itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu

Mkuu – Ofisi ya Waziri Mkuu na sekretarieti itakuwa chini ya WAMJW. Kamati hii itatoa mwongozo

wa kisera na uratibu wa MTAKUWWA. Kamati itakayokutana mara mbili kwa mwaka itajumuisha:

Makatibu Wakuu kutoka OWM; OR-TAMISEMI; WFM; WAMJW; WVBU; WKMU; WKS; WMN;

WEST; na wawakilishi wa wadau wa maendeleo na Asasi za Kiraia.

34

The lead agencies or support agencies can be government institutions at national or local level, family, community, private, NGOs, or FBOs depending on interventions in

each themetic area.

34

Mamlaka ya Kamati yatakuwa:

a) Kuhakikisha utekelezaji wa MTAKUWWA unaendana na mikataba ya kimataifa na kikanda ya

haki na usatawi wa wanawake na watoto, sera, sheria na miongozo ya nchi;

b) Kuhakikisha MTAKUWWA unaingizwa katika mipango na mikakati ya serikali katika ngazi

zote;

c) Kuhakikisha rasilimali za kutosha zinatengwa kwa ajili ya kutekeleza MTAKUWWA;

d) Kushirikiana na Wadau wa Maendeleo kuchangisha rasilimali za utekelezaji wa MTAKUWWA;

e) Kupitia na kuidhinisha mipango ya mwaka ya MTAKUWWA;

f) Kutoa miongozo ya kisera katika uratibu na utekelezaji wa MTAKUWWA;

g) Kuanzisha kamati ndogo, kikosi kazi na tume pale inapohitajika; na

h) Kuhakikisha shabaha zote za MTAKUWWA zinafikiwa

(ii) Kamati Tendaji ya Taifa ya Ulinzi wa Wanawake na Watoto

Kamati hii itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu Mkuu wa Wizara (WAMJW) na Sekretarieti itakuwa

chini ya Wizara hiyo hiyo. Wajumbe wa kamati hii watajumuisha: Makamishna/Wakurugenzi na Wakuu

wa Idara na vitengo vya serikali kutoka: OWM (Uratibu na Kazi, Ajira, Maendeleo ya Vijana na

Ulemavu); OR-TAMISEMI; WMN (Jeshi la Polisi, Magereza na Uhamiaji –Usafirishaji Haramu wa

Binadamu); WFM (Kamishna wa Bajeti); WAMJW; WKS; WEST; WKMU; WVBU; WNM;

TACAIDS; TASAF; THBUB; RITA; TCLT; STT; wawakilishi wa wadau wa maendeleo, Asasi za

Kiraia na Mashirika ya Kidini. Viongozi wa vikundi vya utekelezaji wa MTAKUWA watatoa taarifa za

utekelezaji kwa Kamati hii. Kamati itakutana kila baada ya miezi mitatu na watafanya kazi zifuatazo:

a) Kusambaza na kutoa elimu kuhusu utekelezaji wa MTAKUWWA;

b) Uratibu na ufuatiliaji wa pamoja wa utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi zote;

c) Kupitia na kuidhinisha mipango ya mwaka ya vikundi vya utekelezaji wa MTAKUWWA na

kutoa mwongozo kuhusu uboreshaji wa utekelezaji wake.

d) Kupitia taarifa za utekelezaji wa MTAKUWWA kwenye sekta na vikundi vya utekelezaji na

kutoa mapendekezo kwa ajili ya maboresho;

e) Kuhamasisha wadau katika ngazi ya taifa kutenga rasilimali kwa ajili ya programu

zinazowanufaisha wanawake na watoto

f) Kushirikiana na wadau wa maendeleo na wadau wengine katika kuchangia rasilimali za

utekelezaji wa MTAKUWWA;

35

g) Kuchambua taarifa za utekelezaji wa MTAKUWWA na kutoa mapendekezo ya namna matokeo

mazuri yanavyoweza kutumika katika kuboresha mipango mingine ya kisekta;

h) Kuhakikisha majukumu ya nchi kuhusu utekelezaji wa mikataba ya kimataifa na kikanda

inaingizwa na kuendana na mipango na programu za maendeleo za kitaifa zinazoshughulikia

ukatili dhidi ya wanawake na watoto;

i) Kupanga na kuandaa mikutano ya Kamati Elekezi ya Taifa mara mbili kwa mwaka; na

j) Kutoa taarifa kwenye kamati elekezi ya Taifa kupitia Mratibu wa Taifa wa MTAKUWWA

kuhusu utekelezaji, ikijumuisha hali halisi ya fedha mara moja katika kipindi cha miezi mitatu,

sita na mwaka.

(iii) Vikundi vya Utekelezaji wa MTAKUWWA.

Kuna vikundi vya utekelezaji vinane (8) vitakavyofanyia kazi maeneo ya utekelezaji wa

MTAKUWWA. Maeneo hayo ni; Kuimarisha uchumi wa kaya, Mila na desturi, Mazingira salama

katika maeneo ya umma, Malezi, kuimarisha mahusiano na kuziwezesha familia Utekelezaji na

Usimamiaji wa Sheria, Utoaji huduma kwa waathirika wa ukatili, Mazingira Salama Shuleni na Stadi za

maisha na Uratibu, Ufuatiliaji na Tathmini. Wajumbe wa vikundi vya utekelezaji wa MTAKUWWA

wanajumuisha wadau wote wanaotekeleza mpango kwa kila eneo la utekelezaji. Wajumbe hao

watakutana mara moja kwa mwezi ili kujadili utekelezaji wa afua za MTAKUWWA na kuandaa mambo

ya kutekeleza katika kipindi husika. Mkurugenzi /Kamishna katika Wizara au Idara ya sekta husika

atakuwa ndiye mwenyekiti wa kikundi cha utekelezaji katika eneo lake. Majukumu makuu ya vikundi

hivyo yatakuwa ni:

a) Kuchambua, kujadili na kuwasilisha taarifa utekelezaji wa MTAKUWWA kulingana na

maeneo ya utekelezaji;

b) Kuunganisha wadau wanaotekeleza MTAKUWWA na kuimarisha mawasiliano baina yao ili

kuepuka mgongano na mwingiliano.

c) Kubaini na kuratibu wadau wote wanaofanya kazi katika maeneo ya utekelezaji wa

MTAKUWWA nchini; na

d) Kutoa msaada wa kiufundi kwa watekelezaji wa MTAKUWWA

Viongozi wa Vikundi vya Utekelezaji wa MTAKUWWA

i) Kuimarisha Uchumi wa Kaya - WAMJJWW(Maendeleo ya Jamii)

ii) Mila na desturi - WAMJJWW (Jinsia)

36

iii) Mazingira salama katika maeneo ya umma - OR-TAMISEMI (Serikali za mitaa)

iv) Malezi, kuimarisha mahusiano na kuziwezesha familia -WAMJJWW (Maendeleo ya Mtoto)

v) Utekelezaji na usimamizi wa wa sheria - WKS(Huduma za Kisheria za Umma)

vi) Utoaji huduma kwa waathirika wa ukatili - WAMJJW (Ustawi wa Jamii)

vii) Mazingira Salama Shuleni na Stadi za maisha - WEST

viii) Uratibu, Ufuatiliaji na Tathmini - OWM (Uratibu)

(iv) Sekretarieti ya MTAKUWWA

Sekretarieti itaundwa na wajumbe kutoka wizara zinazoratibu na kutekeleza MTAKUWWA. Timu ya

sekretarieti itaongozwa na Mkurugenzi wa Sera na Mipango ya Wizara inayohusika na Masuala ya

Wanawake na Watoto. Majukumu ya Sekretarieti ni:

a) Watakuwa makatibu wa mikutano yote ya Kamati Tendaji na Kamati Elekezi ya

MTAKUWWA;

b) Kuunganisha na kuandaa taarifa zitakazowasilishwa katika kikao cha Kamati Elekezi na

Kamati Tendaji

c) Kuratibu mapitio ya nyaraka, ufuatiliaji na tathmini ya pamoja na tafiti mbalimbali;

d) Kutoa ushauri wa kiufundi kwa Kamati Tendaji ya MTAKUWWA

e) Kuandaa miongozo mbalimbali kwa ajili ya kuwezesha utendaji na utekelezaji wa

MTAKUWWA katika ngazi zote; na

f) Kuratibu utekelezaji wa MTAKUWWA wa kila siku.

Uratibu katika OR-TAMISEMI

Uratibu katika Mamlaka ya Serikali za Mtaa ni muhimu katika kuleta ufanisi wa utekelezaji wa

MTAKUWWA. OR-TAMISEMI itaratibu masuala yote yanayohusiana na MTAKUWWA katika ngazi

ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.

OR-TAMISEMI itafanya yafuatayo:

a) Kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa na mawasiliano katika Mamlaka za Serikali za Mitaa;

b) Kuunganisha taarifa za utekelezaji wa MTAKUWWA kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa na

kuziwasilisha kwa Kamati Elekezi na Kamati Tendaji;

c) Kuhakikisha afua za MTAKUWWA zinajumuishwa katika mipango na bajeti za Mikoa,

Mamlaka ya Serikali za Mitaa na za wadau kwa utekelezaji;

37

d) Kushirikiana na wadau wa maendeleo na wadau wengine kuhusu upatikanaji na matumizi ya

rasilimali;

e) Kuitisha mkutano mkuu wa wadau angalau mara moja kwa mwaka ili kutoa mrejesho kuhusu

utekelezaji wa MTAKUWWA;

f) Kufanya ziara za pamoja za ufuatiliaji na tathmini katika ngazi ya Mamlaka za Serikali za

Mitaa;

g) Kushiriki mikutano ya majadiliano ya mwaka ya MTAKUWWA; na

h) Kutoa msaada wa kiufundi kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu utekelezaji wa

MTAKUWWA.

Ngazi ya Sekretarieti ya Mkoa

Sekretarieti ya Mkoa itaratibu afua zote za utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi ya mkoa na

itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu Tawala wa Mkoa. Kamati ya Mkoa ya MTAKUWWA

inajumuisha Afisa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa, Afisa Ustawi wa Jamii wa Mkoa, Kamanda wa Polisi

wa Mkoa, Afisa wa Serikali za Mitaa wa Mkoa, Afisa Elimu wa Mkoa, Mganga Mkuu wa Mkoa, Katibu

Tawala Msaidizi wa Mipango na Uchumi wa Mkoa, Afisa Sheria wa Mkoa, Afisa Uhamiaji wa Mkoa,

Afisa Magereza wa Mkoa, Afisa Kazi wa Mkoa, Hakimu Mkazi Mfawidhi, wawakilishi kutoka

Muungano wa Asasi na Mitandao ya Kiraia, Mashirika ya Kidini na wawakilishi wa vikundi vya

wanawake.

Kamati itakutana mara moja katika kipindi cha miezi mitatu kujadili utekelezaji wa MTAKUWWA.

Majukumu maalumu ya kamati ni:

a) Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa MTAKUWWA katika halmashauri zote za Mkoa;

b) Kuhakikisha kwamba mipango na bajeti zote za Halmashauri zinajumuisha afua za

MTAKUWWA;

c) Kutoa msaada wa kiufundi kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu utekelezaji wa

MTAKUWWA;

d) Kuunganisha taarifa za utekelezaji za mkoa za MTAKUWWA na kuziwasilisha OR-

TAMISEMI kwa ajili ya kuhakiki zaidi; na

e) Kuitisha mkutano wa wadau mara mbili kwa mwaka.

38

Ngazi ya Halmashauri

Katika ngazi ya Halmashauri, Kamati ya Ulinzi ya MTAKUWWA itakuwa chini ya uenyekiti wa

Mkurugenzi wa Halmashauri na itajumuisha Afisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya, Afisa Ustawi wa

Jamii wa Wilaya, Afisa Mipango wa Wilaya, Afisa Elimu wa Wilaya, Mganga Mkuu wa Wilaya,

Kamanda wa Polisi wa Wilaya, Hakimu Mkazi wa Wilaya, Afisa Magereza wa Wilaya, Afisa Sheria wa

Halmashauri, Afisa Kazi, wawakilishi wa AZAKI, Mashirika ya Kidini, Mabaraza ya Watoto, Makundi

ya Wanawake na viongozi wa jamii. Kamati hii itakutana mara moja katika kipindi cha miezi mitatu ili

kujadili taarifa za utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi ya Halmashauri na kutoa mwongozo

kuhusu kuboresha utekelezaji.

Kamati itawasilisha taarifa za utekelezaji za MTAKUWWA kwenye Kamati ya Kudumu ya Huduma za

Jamii katika Halmashauri.

Majukumu ya Kamati ni:

a) Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa MTAKUWWA katika kata na vijiji;

b) Kuhakikisha kwamba bajeti inatengwa kwa ajili ya uratibu na utekelezaji wa MTAKUWWA.

c) Kutoa taarifa kwa wakati kuhusu utekelezaji wa MTAKUWWA kwenye Sekretarieti ya Mkoa;

d) Kuwaendeleza na kuwapa mbinu mpya watumishi wanaoshughulika na masuala ya

MTAKUWWA katika halmashauri;

e) Kuwezesha na kufuatilia mipango ya utekelezaji ya MTAKUWWA inayoandaliwa kila mwaka

katika ngazi za halmashauri;

f) Kutunza kumbukumbu za matukio, jitihada na hatua zilizochukuliwa za kutokomeza Ukatili

Dhidi ya Wanawake na Watoto;

g) Kutangaza zaidi taarifa za MTAKUWWA kwa kuwahusisha viongozi wa Mamlaka za Serikali

za Mitaa pamoja na wadau wengine;

h) Kuwezesha ushiriakiano thabiti baina ya wadau wote wanaohusika na utekelezaji wa

MTAKUWWA; na

i) Kuwezesha usimamizi wa pamoja wa utekelezaji wa MTAKUWWA.

Ngazi ya Kata

Kamati ya Ulinzi wa Wanawake na Watoto katika ngazi ya Kata itajumuisha: Afisa Maendeleo ya

Jamii; Afisa Ustawi wa Jamii; Mratibu Elimu Kata; Afisa Mtendaji Kata; Tabibu; Polisi; Hakimu;

wawakilishi wa AZAKI na Mashirika ya Kidini, wawakilishi wa vikundi vya kiuchumi vya wanawake,

39

wawakilishi wa mabaraza ya watoto na watu mashuhuri katika jamii. Kamati itawasilisha taarifa za

utekelezaji wa MTAKUWWA kwenye Kamati ya Huduma za Jamii ya Kata. Kamati hii itakutana mara

moja katika kipindi cha miezi mitatu ili kujadili mafanikio, changamoto na kubadilishana uzoefu katika

utekelezaji wa MTAKUWWA.

Majukumu ya Kamati ni:

a) Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi ya Kata;

b) Kubaini, kukusanya na kuboresha taarifa ya orodha za AZAKI, Mashrika ya Kidini na wadau

wengine katika ngazi ya Kata wanaounga mkono utekelezaji wa MTAKUWWA

c) Kuandaa na kutekeleza afua za MTAKUWWA vijijini;

d) Kuhakikisha afua za MTAKUWWA zinaingizwa katika mipango ya maendeleo ya kijiji/mtaa;

e) Kutangaza zaidi taarifa zinazohusu Ukatili Dhidi ya Wanawake Watoto kwa viongozi wa Kata,

Vijiji na wadau wengine;

f) Kuwezesha ushirikiano miongoni mwa wadau wanaohusika na utekelezaji wa MTAKUWWA

katika Kata;

g) Kutafuta rasilimali ili kuwezesha utekelezaji wa MTAKUWWA;

h) Kutunza kumbukumbu za matukio, jitihada na hatua zilizochukuliwa za kutokomeza Ukatili

Dhidi ya Wanawake na Watoto;

i) Kutoa taarifa kwa wakati kuhusu utekelezaji wa MTAKUWWA kwa Mkurugenzi wa

Halmashauri; na

j) Kuwezesha usimamizi wa pamoja wa utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi ya Kata.

Ngazi ya Kijiji/Mtaa

Kamati ya Ulinzi wa wanawake na watoto katika ngazi hii itajumuisha: Afisa Mtendaji wa Kijiji /Mtaa,

watumishi wa afya, walimu wa ushauri na unasihi, Polisi Jamii, viongozi wa kidini, watu mashuhuri

katika jamii (wanaume na wanawake), maafisa ugani, wawakilishi wawili wa watoto kutoka baraza la

watoto na wawakilishi wawili wa vikundi vya wanawake. Wajumbe wa kamati watakutana mara moja

katika kipindi cha miezi mitatu ili kujadili masuala na changamoto za utekelezaji wa MTAKUWWA, na

kutoa mapendekezo ya namna kuboresha utekelezaji wa mpango.

Majukumu ya Kamati ni:

a) Kubaini maeneo hatarishi katika kijiji na kupanga mikakati/mipango ya kupunguza Ukatili

Dhidi ya Wanawake na Watoto.

40

b) Kutoa taarifa na rufaa za kesi za Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto zinazotokea katika

kijiji;

c) Kutoa msaada wa awali kwa waathirika wa ukatili;

d) Kuihamasisha jamiii kuhusu athari za ukatili;

e) Kuielimisha jamii kuhusu haki za wanawake na watoto;

f) Kutangaza zaidi taarifa zinazohusu Ukatili Dhidi ya Wanawake Watoto kwa viongozi wa Vijiji

na wadau wengine;

g) Kuwezesha ushirikiano miongoni mwa wadau wanaohusika na utekelezaji wa MTAKUWWA

katika kijiji /mtaa pamoja na shule;

h) Kuwezesha utekelezaji wa shughuli za MTAKUWWA katika maeneo yao

i) Kutafuta rasilimali ili kuwezesha utekelezaji wa MTAKUWWA;

j) Kutunza kumbukumbu za matukio, jitihada na hatua zilizochukuliwa za kutokomeza Ukatili

Dhidi ya Wanawake na Watoto;

k) Kutoa taarifa kwa wakati kuhusu utekelezaji wa MTAKUWWA kwa Mtendaji Kata; na

l) Kuwezesha usimamizi wa pamoja wa utekelezaji wa MTAKUWWA katika ngazi ya Vitongoji.

Muundo wa Kitaasisi na Kiuratibu wa MTAKUWWA umetolewa maelezo kwa muhatasari katika

Kielelezo Na. 1.

41

Kielelezo Na. 1: Muundo wa Kitaasisi na Kiuratibu wa MTAKUWWA NGAZI KAMATI VIKAO MHUSIKA

TAIFA MKOA

H/HAURI KATA KIJIJI

OWM

KAMATI YA WATAALAM YA UONGOZI YA MTAKUWWA

OR - TAMISEMI

KAMATI YA WATAALAM YA ULINZI YA MTAKUWWA

SM

MARA MBILI KWA MWAKA

OWM

KILA ROBO MWAKA WAMJW

KILA ROBO MWAKA

KTM

MMW

AMK

AMKj/ AMM

KAMATI YA H/SHAURI YA WATAALAM WA

MTAKUWWA KILA ROBO

MWAKA

MMW

KAMATI YA KATA YA WATAALAM WA

MTAKUWWA

KILA ROBO MWAKA

AMK

KAMATI YA KIJIJI YA WATAALAM WA

MTAKUWWA

KILA ROBO MWAKA

AMKj

VIKUNDI VYA UTEKELEZAJI WA MTAKUWWA KILA MWEZI TAASISI

KIONGOZI

42

43

SEHEMU YA VI

44

Ufuatiliaji na Tathmini ya MTAKUWWA

Eneo la utekelezaji la uratibu, ufuatiliaji na tathmini litaimarisha mifumo iliyopo katika ngazi ya serikali

kuu na mamlaka ya serikali za mitaa katika kupanga, kutekeleza na kutoa taarifa za utekelezaji wa

MTAKUWWA. Ufuatiliaji na tathmini ya MTAKUWWA utaleta ufanisi na ufasaha kwenye utekelezaji

wa afua za vipaumbele katika ngazi zote. Ufuatiliaji huu utatoa taarifa na kushauri endapo kuna mahitaji

ya kufanya marekebisho kwenye maeneo ya kimkakati na afua zake.

6.1 Malengo ya Ufuatiliaji wa MTAKUWWA.

Lengo la jumla la ufuatiliaji wa MTAKUWWA n i k u t o a nafasi ya majadiliano na maamuzi

kulingana na takwimu zilizokusanywa kutoka kwenye programu za ufanyaji kazi wa pamoja kwa

zikizingatia taarifa zilizokusanywa.

Malengo mahsusi ya ufuatiliaji wa MTAKUWWA ni:

i. Kuhakikisha upatikanaji wa takwimu sahihi za kutosha kuhusu Ukatili Dhidi ya Wanawake na

Watoto

ii. Kufanya tafiti na mapitio ya taarifa zilizopo ili kupata uhakika zaidi wa takwimu;

iii. Kuboresha uhifadhi, upatikanaji na matumizi ya takwimu kwa serikali na wadau; na

iv. Kuhamasisha mipango, utekelezaji na utoaji wa taarifa.

Ili kufanikisha malengo haya, mifumo iliyopo ya ufuatiliaji inatakiwa kuimarishwa na

kufungamanishwa na mipango mikakati ya ufuatiliaji ya Wizara, Idara, Wakala za Serikali na Mamlaka

za Serikali za Mitaa na kuoanisha na mifumo ya ufuatiliaji ya kisekta na ya tathmini. Timu ya uratibu

na wizara inayohusika itahakikisha umadhubuti na ufanisi wa ufuatiliji wa MTAKUWWA kupitia:

a) Kuandaa miongozo ya ufuatiliaji;

b) Kuwajengea wadau uwezo wa utekelezaji wa MTAKUWWA, ukusanyaji, uchakataji,

uchambuzi wa takwimu na utoaji wa taarifa;

c) Uwezeshaji wa tathmni ya pamoja na ufuatiliaji wa utekelezaji wa MTAKUWWA; na

d) Kuunganisha taarifa za ufuatiliaji na tathmini, zitakazowasilishwa na kujadiliwa kwenye

mikutano ya wadau ya mwaka katika ngazi ya taifa.

Vilevile, kutakuwepo na ufuatiliaji katika kipindi cha miezi mitatu, miezi sita na miezi kumi na mbili ili

kutathmni utendaji kazi na kutoa fursa ya kutafakari kuhusu mifano bora, changamoto na mafunzo

yaliyopatikana. Tathmini ya MTAKUWWA itafanyika katika vipindi viwili: kipindi cha kati cha

utekelezaji wa mpango na kipindi cha mwisho cha utekelezaji wa mpango.

45

6.2 Jedwali la Mfumo wa Matokeo

Jedwali la Mfumo wa Matokeo ya MTAKUWWA litatoa taarifa kuhusu matokeo muda mfupi na muda

mrefu, orodha ya viashiria vitakavyopimwa, taarifa za awali, shabaha, vipindi vya ukusanyaji wa

takwimu na utoaji taarifa na shirika au mashirika yanayohusika na ukusanyaji wa taarifa.

6.3 Viashiria na Shabaha

Ili kupima hatua za utekelezaji zilizofikiwa kwa kila shughuli iliyopangwa, viashiria vinavyozingatia

ubora na idadi vimeandaliwa kwa kila eneo la utekelezaji. Tafiti za awali zitafanyika ili kubainisha

takwimu zinazokosekana katika viashiria vilivyokuwa havina taarifa za msingi.

6.4 Ufuatiliaji &Tathmnini ya Mtiririko wa taarifa

Mtiririko wa takwimu na taarifa kutoka kwenye ngazi ya kijiji hadi katika ngazi ya Taifa kupitia

TAMISEMI utafuata mfumo ulioaininshwa katika utaratibu wa kitaasisi. Mfumo wa mchanganuo wa

Matokeo ya Mpango Kazi umeoneshwa katika Kiambatisho cha III.

46

47

SEHEMU YA VII

48

Dhana Kuu, Hatari na Namna ya Kuziepuka

MTAKUWWA ni mpango wenye wigo mpana unaoshirikisha wadau mbalimbali katika kutekeleza afua

za kuzuia na kutoa huduma kwa waathirika wa ukatili. Kutokana na uzito wa majukumu yaliyomo

katika MTAKUWWA na idadi kubwa ya wadau, utekelezaji wa mpango huu unaweza kukabiliwa na

changamoto mbalimbali. Utekelezaji wake unategemea utashi wa kiasiasa, uraghibishaji, uwazi na

ushirikishaji wa ngazi zote za maamuzi kupitia muundo mpya wa uratibu utakaotumika kukabiliana na

baadhi ya changamoto zinazohusiana na ukosefu wa ufanisi na ujirudiaji wa hatua uliothibitishwa katika

mipango kazi nane (8) ya awali. Changamoto kubwa ni kwamba maeneo kadhaa ya MTAKUWWA

hayatafadhiliwa, hii ina maana kwamba baadhi ya shughuli zitafadhiliwa kwa kipindi cha miaka kadhaa

na zingine hazitafadhiliwa, hivyo kuathiri ufanisi wa MTAKUWWA katika kutokomeza aina zote za

ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Utekelezaji wa mpango unategemea nia ya dhati ya wadau kutoka

serikalini, wafadhili na wadau wengine wa utekelezaji wa kila shughuli iliyopangwa. Katika hali hii,

mafanikio ya mpango yanajikita katika matarajio yafuatayo:

1) Inatarajiwa kwamba serikali ina nia ya dhati ya kutekeleza MTAKUWWA kwa kuzingatia

kwamba mpango utachangia katika kufanikisha Shabaha ya 16.2, Shabaha ya 5.2 na Shabaha

ya 16.1 ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030, Matarajio ya Sita (6) ya Ajenda

2063: Afrika Tuikayo, Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025, na Mpango wa Pili wa

Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2016/17 – 2020/21);

2) Inatarajiwa kwamba wadau wa maendeleo wataendeleza nia yao katika utekelezaji wa

vipaumbele vya MTAKUWWA; na

3) Inatarajiwa kwamba mchakato wa uingizaji wa shughuli za kuzuia na kutoa huduma kwa

waathirika wa ukatili katika mipango ya serikali utakuwa madhubuti na wenye ufanisi.

49

KIAMBATANISHO CHA I: MPANGO WENYE MAELEZO MENGI WA UTEKELEZAJI WA NPA-VAWC

Lengo: Kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto nchini na kuboresha ustawi wao.

Eneo la Utekelezaji Na. 1: Kuimarisha Uchumi wa Kaya

Mkakati: Kuwawezesha wanaume, wanawake, wasichana na wavulana kutumia fursa za kijamii na kiuchumi zinazopatikana

Lengo Mkakati: Uwezo wa wanawake kiuchumi katika ngazi ya kaya unaimarishwa

Masuala

Afua Matokeo tarajiwa ya

Muda Mfupi

Matokeo tarajiwa ya

muda wa kati

Viashiria

Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya Muda

Mfupi

Matokeo ya muda wa

kati

1. Upatikanaji wa

Huduma za kifedha kwa

wanawake Wanaoishi

Katika mazingira

hatarishi na wasio

jiweza kiuchumi

Kuzuia Kuyabaini vikundi vya wanawake vya

kiuchumi na kutathmini chanagamoto

zinazozuia wanawake waweze kupata huduma

za kifedha

• Uwepo wa vikundi

imara vya wanawake

vya kiuchumi na

upatikanaji wa huduma

wa kifedha.

• Mfumo

utakaochochea

upatikanaji wa elimu

kaika masuala ya

kiufundi, ujasiliamali,

mikopo, masoko na

huduma za ushauri

vinaanzishwa.

Kuongezeka kwa

kipato cha kaya

• Asilimia ya

wanawake wanaopata

huduma za kifedha

• Asilimia ya

wanawake ambao ni

wanachama wa

VICOBA

Kiwango cha umaskini

katika ngazi ya kaya

Kuhamasisha na kuwezesha uanzishaji wa

vikundi vya wanawake vya kiuchumi, SACCOS

na VICOBA/ (COMSIP – Programu za kuweka

Akiba na Uwekezaji za Kijamii)

Kuwezesha upatikanaji wa huduma za biasha,

stadi za biashara na ushauri wa mikopo

Kuwezesha miradi ya kiuchumi ya wanawake

kuongeza thamani ya bidhaa zao.

Kuhamsisha masuala ya ukatili dhidi ya

wanawake na watoto kuingizwa katika Mpango

wa Uwezeshaji wa Shilingi Milioni Hamsini

(50) katika kila Kijiji.

Kupitia na kuweka mazingira rafiki ya usajili

wa biashara.

Viwanda vidogo na biashara ndogo

zinazomilikiwa na wanawake katika sekta mpya

kama vile mafuta na gesi asilia, madini, ulimaji

wa mbogamboga, ufugaji wa samaki na ufugaji

wa kuku kuendelezwa na kuwezeshwa.

Kuanzisha mfuko wa kusaidia upatikanaji

huduma za malezi na makuzi ya awali na mfuko

wa elimu kwa wasichana wanaotoka katika

familia maskini.

2. Uelewa wa wanawake

kuhusu haki ya kumiliki

mali, urithi, na kulindwa

dhizi ya vitendo vya

ukatili wa kijinsia.

Kuzuia Kuwashirikisha wanaume, viongozi wa jadi na

dini ili kuhamasisha haki za wanawake za

kumiliki ardhi na rasilimali zingine

Vikundi ya wanawake,

wajane na watoto

vimewezeshwa

kutambua na kudai haki

zao za mirathi.

Kuongezeka kwa

umiliki wa mali kwa

wanawake na amana

• Asilimia ya

wanawake, wajane

wanaomiliki ardhi na

rasilimali zingine

• Kesi za mirathi

ziliripotiwa na

Uwiano wa mali

zinazomilikiwa na

wanawake kwa

kuzingatia umri na

mahali.

Jawabu Kendesha vipidi vya uhamsishaji kwa

wanawake kuhusu haki ya kumiliki mali na haki

ya mirathi

50

Kuimarisha na kuongeza fursa za uboreshaji wa

njia za kujipatia riziki kwa vijana wahitimu wa

shule ili kuwawezesha kuingia katika umri wa

utu mzima

kufungwa/ kukamilika

Kuwezesha upatikanaji wa afua zitakazosaidia

kiunia kipato cha kaya.

Eneo la Utekelezaji Na.2: Mila na Desturi

Mkakati: Mila na desturi zinazowawezesha wanawake na kuunga mkono mahusiano yasiyokuwa ya shari, ya kuheshimiana, , na yenye kuzingatia usawa wa kijinsia

Lengo Mkakati: Jamii inayoheshimu usawa wa kijinsia, haki na ulinzi na usalama wa wanawake na watoto ili kuchukua hatua dhidi ya aina zote za ukatili.

Masuala

Afua Matokeo tarajiwa ya

Muda Mfupi

Matokeo tarajiwa ya

muda wa kati

Viashiria

Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya Muda

Mfupi

Matokeo ya muda wa

kati

1. Uwepo wa mila na

desturi za zenye

madhara

Hatua za kuzuia Kukusanya na kuchambua takwimu zilizopo

kuhusu mila na desturi na jitihada zilizofanyika

kuleta mabadiliko yakimtazamo, mtazamo wa

kijinsia na mabadiliko ya tabia na kufuatilia

utekelezaji.

Uwepo wa Wanawake

na wanaume waliopata

mafunzo kuhusu

madhara ya ukeketaji na

ndoa za utotoni katika

mikoa 10

Uwepo wa Mila na

desturi zinazokataa

ukatili

Kiwango cha Ukeketaji

wa wanawake

Muafaka wa kijamii

ambao haukubali aina

yoyote na mazingira

yoyote yale

yanayochochea ukatili

Kuandaa Mkakati wa Mawasiliano ili

kuendeleza Mila na desturi chanya na ili

kushughulikia usawa wa kijinsia

Kuendesha kampeni za uraghibishaji kwa

viongozi wa dini na viongozi wenye ushawishi

na kwa watunga sera ili kuendeleza Mila na

desturi chanya zinazowalinda Wanawake na

watoto ili kufikia mabadiliko ya kijamii.

Kushirikisha Jeshi la Polisi na Halmashauri ili

kushughulikia kwa umakini wanawake

nawatoto walioathirika na vitendo vya ukatili

Kuendesha majadiliano katika ngazi ya jamii ili

kujua mtazamo wao kuhusu ukatili dhana ya

mila zenye kuleta madhara

2. Kurasimisha

kutokuwepo kwa usawa

wa kijinsia wa aki

Kushughulikia masuala yasiyozingatia usawa a

wa kijinsia katika maeneo ya kazi

Uanzishaji wa mfumo

wa kushughulikia

kutokuwepo kwa usawa

wa kijinisia katika

maeneo ya kazi

Kiwango cha ukatili wa

kingono

3. Uwezo na

ustahimilivu wa

wanawake na watoto

Kupitia upya kitini cha mafunzo kilichopo cha

mawasiliano ya kuhusu ukatili dhidi ya watoto

ili kuhusisha wanaume na wanawake

Wanawake na watoto

wamewezeshwa kuhusu

jinsi ya kubaki kuwa

• Kiwango cha mimba

za utotoni

51

Kuwajengea uwezo wanawake na watoto

kujikinga wao na wenzao kujikinga na vitendo

vya ukatilina maarifa na uwezo muhimu ili

kuwalinda wao na wenzao

salama • Kiwango cha ndoa za

utotoni

• Asilimia ya

wanawake Kuimarisha na kuongeza Mabaraza na Vilabu

vya Vijana ili kuboresha ushirikishaji wa watoto

katika vyombo vya maamuzi katika ngazi ya

eneo husika na ile ya kitaifa

Kuhamasisha sekta binafsi katika kufadhili

shughuli za afua stahiki za

Kuwa na haki sawa

kuhusu umilikaji wa

ardhi ili kudhibiti mali

ya mirathi

• Uwiano wa

wanakaya wenye umri

kati ya miaka 15-49

waliopata ujumbe wa

unaohusiana na ukatili

dhidi ya wanawake

nyenzo za IEC

• Uwiano wa

wanusurika wa ukatili

dhidi ya wanawake

waliopatwa na ukatili

wowote ule na

kuripotiwa chini ya saa

72 baada ya tukio

• Kiwango cha ukatili

wa kimwili dhidi ya

wanawake wenye umri

kati ya miaka 15-49

Kuunga mkono hatua za uingiliaji kati

zinazoshughulikia Mila na desturi

zinazowaathiri wanawake na watoto

52

Eneo la Utekelezaji Na. 3: Mazingira Salama

Mkakati: Kuweka kuendeleza na kudumisha mazingira salama yenye kutoa fursa kwa wanawake na watoto katika jamii nzima

Lengo Mkakati: Kupunguza uwezekano wa kutokea kwa vitendo vya ukatili katika maeneo ya umma

Masuala

Afua Matokeo tarajiwa ya

mda mfupi

Matokeo tarajiwa ya

muda wa kati

Viashiria

Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya mda mfupi Matokeo ya muda wa

kati

1. Uwajibikaji wa wa

kitaasisi katika kuzuia

ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

kwenye maeneo ya

umma na mahali pa kazi

Kinga Kuendesha mijadala kwa kuwahusisha

viongozi wa kidini, kisiasa, watu wenye

ushawishi katika jamiii, vyama vya wamiliki

wahoteli, baa na vyama vya wadau wa

usafirishaji kuhusu sheria zinazohusiana na

usalama wa wanawake na watoto katika

maeneo ya umma na mahali pa kazi

MSM/WIWS/ taasisi

kuingiza vipengele vya

ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

katika kusimamia

maeneo ya umma na

mahali pa kazi

Usalama kwa wanwake

na watoto unaboreshwa

katika maeneo ya

umma.

• Idadi MSM/WIWS/ /taasisi ambazo

zimezoingiza masuala ya

ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika kanuni na

sheria ndogo ndogo • Idadi ya Watoa huduma

wanaozingatia na

kutekeleza sera na taratibu

za ulinzi za mtoto katika

maeneo ya umma

• Idadi ya Matukio ya Ukatili Dhidi ya Watoto

katika mazingira ambayo

watoto na vijana wanakusanyika katika

maeneo ya umma

• Idadi ya Matukio ya Ukatili Dhidi ya

Wanawake katika maeneo

ya umma na mahali pa kazi

• Idadi ya Viongozi wa

kisiasa, kidini na watu wenye ushawishi mkubwa

katika jamii wanaoshiriki

katika mijadala ya ukatili dhidi ya wanawake na

watoto

Idadi ya Kesi za ukatili

dhidi ya wanawake na

watoto zilizotokea

katika maeneo ya

umma.

Kuandaa mkakati wa uraghibishaji kwa ajili ya

kuendeleza mazingira salama kwa wanawake

na watoto katika maeneo ya umma kwenye

miji na majiji

Kupitia upya kanuni na sheria ndogo ndogo za

zinazosimamia uendeshaji wa maeneo ya

umma ( kama vile sokoni, mfumo wa usafiri na

maeneo ya burudani)

Kuandaa mikutano ya mashauriano ya kila

mwaka kwa ajili ya kujadili ufanisi wa sheria

mpya ndogo ndogo na kanuni

Kuwezesha mapitio ya nyezo za ukaguzi wa

kazi ili kujumlisha masuala ya ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

Kufanya kampeni za uraghibishi mahali pa

kazi kwa kushirikiana vyama vya wafanyakazi

na vyama vya waajiri kuhusu masuala ya

ukatili dhidi ya wanawake na watoto kama

ilivyoanishwa katika sheria na kanuni zilizopo

2. Utayari dhidi ya

majanga na kuimarisha

mikakati ya mwitikio

katika dharura na

migogoro ya muda

mrefu ili kuzuia na

kupunguza ukatili dhidi

ya wanawake na watoto

Kinga Kuanzisha na kuimarisha maeneo salama kwa

wanawake na watoto walio katika makambi au

walewaliolazimika kuhamma makazi yao

kutokana na migogoro au majangaya asili

Kuimarisha utayari na

kuboresha mwitikio

katika dharura na

miigogoro

inayosababisha ukatili

dhidi ya wanawake na

watoto

• Idadi ya Maeneo salama

yaliyotengwa katika

makambi au maeneo yenye

migogoro au majanga kwa

ajili wanawake na watoto

• Idadi na aina ya

vipengele vya maeneo ya

utekelezaji wa

MTAKUWWA

yalioingizwa katika

mpango wa taifa wa

majanga.

Upatikaji na ufanisi

katika utoaji wa

huduma kwa wahanga

wa ukatili katika

maeneo yenye dharura

Kuunga mkono afua zinazoweka na kuimarisha

mazingira salama kwa wanawake na Watoto

53

Eneo la Utekelezaji Na. 4: Malezi, Misaada ya Familia na Mahusiano

Mkakati: Kuhamasisha mahusiano chanya kati ya mzazi na mtoto na kupunguza vitendo vya malezi ya ukatili.

Lengo Mkakati: Stadi za malezi chanya zinaboreshwa miongoni mwa Wazazi, Watoa huduma za malezi na wanajamii

Masuala

Afua Matokeo tarajiwa ya

mda mfupi

Matokeo tarajiwa ya

muda wa kati

Viashiria

Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya mda

mfupi

Matokeo ya muda wa

kati

1. Stadi za malezi kwa

wazazi, walezi, familia,

watoa huduma za malezi

na jamii

Kuzuia Kuandaa Mwongozo wa Kitaifa wa Malezi na

Mpango wa utekelezaji.

• Wazazi walezi, watoa

huduma ya malezi,

familia, jamii

wanawezeshwa katika

stadi za malezi chanya

• Kuongezeka kwa

ubora ya Elimu ya awali

na elimu ya malezi.

Watoto wenye desturi za

kimaadili na wanakua

na kufikia utimilifu wao

• Wadau wanashiriki

katika malezi chanya

• Stadi za malezi kwa

wazazi na watoa

huduma wengine wa

malezi

• Progaramu na za

malezi, makuzi na

maendeleo ya awali ya

watoto

Uwiano wa wadau

wanajishughulisha na

masuala ya malezi

chanya. Kupitia kitini cha Elimu ya Malezi ili kuingiza

mahitaji ya makundi maalumu katika kuzuia

ukatili dhidi ya watoto

Kutoa mafunza kwa wawezeshaji jamii kuhusu

matumizi Kitini cha elimu ya Malezi. (MMJW,

AEW, MUJ, na MMJM)

Kuingiza stadi chanya za malezi katika mitaala

ya mafunzo katika vyuo vya Ustawi wa Jamii,

Maendeleo ya Jamii, Elimu, Afya, Polisi, na

Sheria.

Kuwezesha uanzishaji na uimarishaji wa Vituo

vya Kijamii vya Kulele watoto wadogo mchana

na vituo vya malezi katika maeneo ya kazi.

2. Maadili miongoni

Watoto, wazazi, familia

na jamii

Kutoa elimu ya malezi kwa vyombo vya

kufanya maamuzi, viongi wa serikali Viongozi

wa dini, na sekta binafsi

Kuimarisha uhamasishaji wa vipindi vya elimu

ya jinsia na malezi chanya ya watoto kupitia

vyombo vya habari.

Kuingiza elimu ya malezi katika vituo vya

kujisomea vya jamii (‘resource centre’)

Kupitia upya Mwongozo wa Hotuba ili

kuzingatia masuala ya wanawake

Kuendeleza Programu za Ulinzi kwa ajili ya

Wanawake na watoto Mtandaoni

Kutoa elimu ya matumizi sahihi ya tekinolojia

na malezi chanya kwa wafanyakazi wa

majumbani, walezi wa watoto na familia.

Kuzitembelea familia na makundi ya kijamii na

uhamasishaji kuhusu malezi chanya

Kuunga mkono afua i zinazohamasisha malezi

chanya katika ngazi ya familia na jamii

54

Eneo la Utekelezaji Na. 5: Utekelezaji wa Sheria

Mkakati: Jamii ya Kitanzania inayoelewa na inafuata mabadiliko katika sheria zinazopendekezwa na zinazotekelezwa ambazo zinalinda na kujibu tatizo la ukatili

Lengo Mkakati: Sheria zinazohusu haki za wanawake na watoto zinaangaliwa tena na kutekelezwa

Masuala

Afua Matokeo tarajiwa ya

mda mfupi

Matokeo tarajiwa ya

muda wa kati

Viashiria

Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya mda

mfupi

Matokeo ya muda wa

kati

1. Kupitia upya sheria

zilizopo ili

kushughulikia ukatili

dhidi ya wanawake na

watoto

kuzuia ukatili Kuchanganua mianya iliyopo katika mifumo ya

kisheria iliyopo inayoendeleza ukiukwaji wa

haki za wanawake na watoto (Sheria ya Ajira na

ya Mahusiano ya kazini, Sheria ya haki ya

Mtoto ya mwaka 2009; Sheria ya Kanuni ya

Adhabu,Sura ya 16; Sheria ya Elimu; Sheria ya

Mahakimu, Sheria ya ndoa, Sheria ya kusajili

uzazi na vifo, Sura ya 108, Sheria za mirathi,

Sheria ya Ushahidi, kutengeneza sheria ya

msaada wa kisheria)

Sheria

zinazoshughulikia

masuala ya ukatili dhidi

ya wanawake na watoto

zinaoanishwa

Ufikikaji na ulinzi wa

huduma za kisheria kwa

wanawake na watoto

umeimarishwa

• Sheria zimeoanishwa

ili kushughulikia ukatili

dhidi ya wanawake na

watoto

• Urefu wa muda wa

kuendesha mashtaka ya

ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

• Asilimia ya

wanawake na watoto

waliohamasishwa

kuhusu haki za kisheria

% ya wanawake na

watoto wanaolindwa na

kupata huduma ya

kisheria

Kuridhia na kuingiza katika sheria za nchi

mikataba ya kimataifa na ya kikanda kuhusiana

na ulinzi wa haki ya wanawake nana watoto

dhidi ya ukatili.

2. Mfumo wa kisheria

hautoi majibu kwa

mahitaji ya wanawake

na watoto

Mwitikio Kutathmini mahitaji / uwezo wa taasisi za

kisheria katika kuitikia ukatikili dhidi ya

wanawake na watoto

Uwajibikaji wa mfumo

wa kisheria ili kuitikia

ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

kupitia huduma nzuri

zilizoboreshwa.

Asilimia ya

watuhumiwa wa ukatili

wa wanawake na watoto

waliotiwa hatiani.

Kujenga uwezo wa taasisi za kisheria (LSIs),

vyama vya wafanyakazi, na makundi ya kutoa

msaada wa kisheria katika kuitikia ukatili dhidi

ya wanawake na watoto katika ngazi zote na pia

kutenda kama wasaidizi wa watoto

Kuendesha mashauriano ya kitaifa kuhusu

umuhimu wa kuendesha kesi zinazohusu

masuala ya kifamilia kwa haraka.

Kuhamasisha umma kuhusu sheria zilizopitiwa

upya

Kuendesha kampeni za uhamasishaji wa ukatili

dhidi ya wanawake na watoto kwenye maeneo

yaliyo athirika zaidi kama vile : wachimbaji

madini wadogo, mashamba ya kibiashara na

sekta ya watumishi wa majumbani

3. Kufikia huduma za

kisheria

Mwitikio Kutunga na kutekeleza sheria ya Msaada wa

kisheria

Sheria ya Msaada wa

kisheria imetungwa

• Wilaya zinazopata

huduma ya msaada wa

kisheria

• Watu wanaopata

huduma ya kisheria

Kuanzisha huduma za majaribio za watoa

msaada wa kisheria katika mkoa moja

uliochaguliwa kulingana na Sheria ya kutoa

msaada wa kisheria

55

Kutengeneza na kurasimisha Sera ya Msaada

wa Kisheria

Kuingiza ukatili dhidi ya wanawake na

watotokatika sheria ndogo ndogo

Kuunga mkono hatua za pamoja ambazo

zinazoshughulikia huduma zinazotolewa kwa

wakati kwa wanawake na watoto

Eneo la Utekelezaji Na. 6: Mwitikio na Huduma saidizi

Mkakati: Mfumo mpana na uliofungamana wa ulinzi na usalama unaotoa msaada ulioratibiwa, wenye ubora na unaotolewa kwa wakati kwa watoto walioathirika na ukatili

Lengo Mkakati: Kujibu na kutoa huduma saidizi kwa ajili ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto zimeimarika.

Masuala

Afua Matokeo tarajiwa ya

mda mfupi

Matokeo tarajiwa ya

muda wa kati

Viashiria

Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya mda

mfupi

Matokeo ya muda wa

kati

1. Rasilimali, zana na

miundombinu ili kutoa

jawabu kwa huduma za

VAWC

Kupitia upya na kuandaa miongozo ya jawabu

na zana kwa watoa huduma wa kwanza,

wahusika wa utendaji na watoa huduma za

kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na

watoto

Ujenzi wa uwezo

umeboreshwa wa MSM

na ule wa watoa huduma

wengine kwa

wanusurika wanawake

na watoto

Huduma zimeboreshwa

kwa wanusurika wa

ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

• MSM zenye idadi

chache ya watumishi

walipendekezwa

• Kesi za ukatili dhidi

ya wanawake na watoto

zilizoripotiwa

• Kutekeleza na

kufanya kazi kwa

Dawati la Kijinsia na la

watoto la jeshi la Polisi

• Uwiano wa

wanusurika wa ukatili

dhidi ya watoto

waliopatwa na ukatili

wowote ule na kutoa

ripoti katika kipindi cha

saa 72 baada ya tukio

• Kituo kimoja cha

utoaji huduma jumuishi

Uwiano wa kesi za

ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

zilizoshughulikiwa na

Jeshi la Polisi, Maafisa

Ustawi wa Jamii na

ambazo mahakama

ilizikamilisha (au

zilizofungwa)

Kutoa maelekezo kuhusu miongozo na zana

zilizoandaliwa (pamoja na mifumo thabiti ya

kuripoti baina ya wahusika wa utendaji -

pamoja na watumishi wa ustawi wa jamii,

maofisa wa kazi, wa elimu, wa afya, wa jeshi la

Polisi, wa mahakama, wa taasisisi za

kupambana na biashara haramu ya kusafirisha

binadamu, magereza na AZAKI katika ngazi ya

Wilaya, Kata na Kijiji)

Mafunzo kuhusu vivunge maalumu vya

kiufundi vya kujifunza (UW, UK, Mashtaka

mahakamani) kwa watumishi wa msari wa

mbele wa (MUJ, Polisi, Watumishi wa Afya,

Walimu, Mahakama, Maofisa wa kupambana

na biashara haramu ya kusafirisha binadamu)

Kuimarisha na kurasimisha namba ya simu ya

msaada kwa ajili ya mtoto na upatikanaji wa

mfumo wa rufaa

Ongezeko la Vituo vya utoaji huduma jumuishi

ili kutoa huduma za pamoja na zenye jawabu za

ubora kwa wanusurika wa ukatili

Kutekeleza na kufanya kazi kwa MPJW katika

vituo vyote vya Jeshi la Polisi

56

Kuanzisha magereza ya watoto waliojikuta

katika mgogoro wa kisheria (gharama

hazijapangwa rejea uzoefu wa Mtwara)

Kutenga kando Maofisi na zenye zana za

Ustawi wa Jamii ili kuhakikisha utoaji bora wa

huduma za ustawi kwa wahanga/wanusuru wa

ukatili dhidi ya wanawake na watoto

Kuandaa, kutafsiri na kusambaza mwongozo

/Msaada wa Kikazi kuhusu rufaa, mwongozo na

ushauri kwa watoa huduma husika wa kujibu

tatizo la ukatili dhidi ya wanawake na watoto

Kuanzinsha jumba la dharura la usalama la

majaribio katika mkoa teule kwa wanawake

walioko hatarini na wahanga wa ukatili

Kuzihamasisha na kuziwezesha taasisi/nyumba

za ibada ili kuanzisha majumba salama kwa ajili

ya wanawake wahanga/walioko hatarini

kusumbuliwa na ukatili

Kuajiri na kuwajengea uwezo watu wanaofaa

kutoa uangalizi mbadala wakati wa dharura kwa

watoto wahanga au walioko hatarini kukumbwa

na ukatili. (Vipengele kwa ajili ya kutenga

gharama– kuendesha mafunzo kwa wakufunzi

ya kikanda ya siku 5, mafunzo ya watumishi 10

toka kila wilaya kwa siku tatu, kuwawezesha

wakufunzi kutoa mafunzo kwa watu /familia

imara katika Kata/ Vijiji – rejea ziara katika

maeneo)

Kuunga mkono MSM ili ziweze kuimarisha

huduma za kuishi maisha ya kawaida katika

jamii kwa wahanga wanawake na watoto au

walioko hatarini kukosea kulingana na

miongozo ya kitaifa

Kuanzisha mahakama bora ya vijana

zinazofikiwa na rafiki kwa vijana katika kila

mkoa

Kuingiza masuala ya ukatili dhidi ya wanawake

na watoto katika mitaala /vitabu vya mwongozo

wa mafunzo kwa ajili ya kazi za kijamii,

Maendeleo ya jamii, na jeshi la polisi, walimu

na Maofisa wa kazi

Kuunga mkono hatua za kuingilia kati

zinazoshughulikia huduma thabiti na

zinazotolewa kwa wakati kwa ajili ya

wanawake na watoto wanaoishi au wanaofanya

57

kazi mitaani, wanawake na watoto wenye

ualibinism, wazee wanaotuhumiwa kuwa

wachawi na shughuli za kuwafanyisha kazi

watoto.

Eneo la Utekelezaji Na. 7: Shule Salama na Stadi za Maisha

Mkakati:Mfumo mpana na uliofungamana wa ulinzi na usalama unaotoa msaada ulioratibiwa, wenye ubora na unaotolewa kwa wakati kwa ajili ya wasichana na

wavulana walioathirika na ukatili

Lengo Mkakati: Mazingira salama, jumuishi na yenye kufikika ya kujifunzia kwa wasichana na wavulana yameboreshwa.

Masuala

Afua Matokeo tarajiwa ya

muda mfupi

Matokeo tarajiwa ya

muda wa kati

Viashiria

Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya muda

mfupi

Matokeo ya muda wa

kati

1.Maarifa ya haki za

Mtoto kwa Walimu na

wanafunzi

Kuzuia ukatili Kuendesha kampeni za kitaifa kwa kuweka

mkazo juu ya ukatili dhidi ya wanawake na

watoto zikiwalenga walimu na wanafunzi

kupitia vyombo vya habari.

Uelwa wa masuala ya

ukatili dhidi ya

wanawake na watoto na

athari zake miongoni

mwa walimu na

wanafunzi umeongezeka

Mazingira ya mafunzo

yanayofuata haki kwa

wavulana na wasichana

yameboreshwa

Shule zenye walimu

waliopata mafunzo ya

ushauri na mwongozo

• Vilabu vya watoto vya

shuleni

• Kiwango cha kuacha

shule na kesi za mimba

katika shule za msingi

na sekondari

• %ya walimu

waliopata mafunzo

kuhusu haki na wajibu

wa watoto namasuala ya

ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

• %ya walimu

waliopata mafunzo

kuhusu haki na wajibu

wa watoto namasuala ya

ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

• Mabaraza ya watoto

ya Wilaya

Kesi za ukatili dhidi ya

watoto katika maeneo

ya shule

Kuwabaini na kuwafundisha walimu washauri

wanasihi kuhusu masuala ya ukatili dhidi ya

wanawake na watoto na wajibu waokwa

kutumia kivunge cha mawasiliano cha kujifunza

cha ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

2.Maarifa kuhusu stadi

za maisha na afya ya

Uzazi, ulinzi na

usalamawa mtoto, kwa

wasichana na wavulana

Kuzuia ukatili Kuimarisha na kufanya kuwa za aina moja

hatua za kinidhamu chanya na zile za mbadala

zilizoposhuleni na kufanya majaribio katika

wilaya zitakazochaguliwa. Kupitia upya,kuingiza na kutoa maelekezo kwa

watotokuhusu ukatili dhidi ya wanawake na

watoto na kuhusu masuala ya afya uzazi

katikazana za ufundishaji katika vilabu vya

shuleni

Kutoa nakala na kusambaza stadi za maisha

zikizingatia Kitabu cha mwongozo kwa elimu

ya vijana rasmi na isiyo rasmi,elimu ya watu

wazima katika vituo vya mafunzo maalumu

Kufanya kampeni za uraghibishaji katika ngazi

za MSM, AZAKI, Mashirika ya Dini,

Mashirika Yasiyo ya Kiserikali na Sekta Binafsi

ili watoe malazi, zana za kujifunzia, chakula,

mavazi kwa Watoto walio katika Mazingira

Hatarishi na vifaa vya kujisitiri kwa wasichana

wanaotoka katika familia duni

58

Kutoa nakala na kusambaza kanuni za Tabia

Njema za Kitaifa za Walimu, Sera ya Elimu na

Mafunzo, na Nakala ya Sheriaya Elimu

iliyopitiwa upya

3. Mfumo wa kutoa

tarifa na rufaa za ukatili

dhidi ya watoto katika

maeneo ya shuleni

Kuzuia ukatili Kufanya kampeni za uhamasishaji kuhusu

mfumo wa kutoa taarifa kuhusu shuleni

Ofisa mmoja wa ustawi

wa jamii kwa kila

wilayaatakayetoa

hudumaza ustawi wa

jamii

Kupiti upya, kuboresha na kusambaza zana za

ukaguzi shuleni zitakazojumuisha masuala ya

ukatili dhidi ya wanawake na watoto

Kuwezesha afua zinazolengakujenga mazingira

ya shule salama

Eneo la Utendaji Na. 8: Uratibu, Ufuatiliaji na Tathmini

Mkakati: Mfumo jumuishi na fungamanishi, wenye ufanisi na thabiti na unaoarifu ufanyaji wa maamuzi kuhusu kinga na mwitikio wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

Lengo Mkakati: Mfumo jumuishi wa uratibu, ufuatiliaji na tathmini ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto ulioandaliwa na kurasimishwa

Masuala

Afua Matokeo tarajiwa

ya awali

Matokeo tarajiwa ya

muda wa kati

Viashiria

Shabaha Kipaumbele cha Utekelezaji Matokeo ya awali Matokeo ya muda wa kati

1. Uratibu wa program

na afua za GBV/VAC

katika ngazi zote.

Mwitikio na Kuzuia Kuandaa mwongozo wa utekelezaji wa

mfumo wa uratibu wa kutokomeza ukatili

dhidi ya wanawake na watoto pamoja na

Ufuatiliaji na Tathmini katika ngazi zote

Muundo wa pamoja

wa uratibu wa afua

za ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

katika ngazi ya taifa

na Mamlaka za

Serikali za Mitaa

kuanzishwa.

Uratibu, ufuatiliaji na

tathmini ya ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

kuimarishwa

Kuwepo kwa

muundo wa uratibu

wa ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

katika Mamlaka za

Serikali za Mitaa.

% ya shabaha za

MTAKUWWA zilizofikiwa

Kuanzisha kamati za Mikoa na Wilaya za

ulinzi na usalama za kutokomeza ukatili

dhidi ya wanawake na watoto na kutoa

mafunzo kuhusu majukumu na wajibu wa

kamati hizo kama wakufunzi wa kamati za

ulinzi na usalama katika ngazi ya Kata na

Kijiji/Mtaa.

% ya Mamlaka za

Serikali za Mitaa zilizo

nakamati hai za ukatili dhidi

ya wanawake na watoto

katika ngazi zote

Kutoa mafunzo na vitendea kazi kwa

kamati za ulinzi na usalama za

kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na

watoto katika ngazi ya Kata na Kijiji/Mtaa.

Kuwezesha Kamati ya Kitaifa ya Uongozi

ya kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na

watoto, Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu

ya kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na

watoto, na Kamati za Utendaji kuratibu

utekelezaji wa afua za MTAKUWWA

katika ngazi ya taifa.

Kuwezesha Sekretarieti ya ukatili dhidi ya

wanawake na watoto kuratibu utekelezaji

wa afua za MTAKUWWA katika ngazi

59

zote

Kuwezesha kamati za ulinzi na usalama za

Mikoa na Mamlaka za serikali za mitaa

kuratibu, kufuatilia na kutoa taarifa za

utekelezaji wa MTAKUWWA katika

ngazi za mikoa

2. Rasilimali watu na

fedha kwa ajili ya

programu za kupambana

na UK na Ukatili Dhidi

ya Watoto

Kuzuia Kufanya tathmini pana ya mahitaji ya

rasilimali watu kuhusu utekelezaji wa

MTAKUWWA

Uwezo wa rasilimali

watu na fedha

kuhusu utekelezaji

wa ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

kuimarishwa

% ya bajeti

zilizotengwa kwa

ajili ya utekelezaji

wa ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

katika MTEFs za

Mamlaka za Serikali

za Mitaa na Wizara,

Idara na Wakala za

Serikali

Kuendeleza na kutekeleza

mkakati/mpango wa uendelezaji wa

rasilimali watu kuhusu utekelezaji wa

ukatili dhidi ya wanawake na watoto

Kubaini changamoto za kifedha na fursa za

ukatili dhidi ya wanawake na watoto,

kuandaa na kutekeleza mkakati wa

kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali

Kufanya ushawishi kuhusu kuweka

vipaumbele vya kifedha kwa shughuli za

ukatili dhidi ya wanawake na watoto

katika Miongozo ya Kibajeti ya Serikali

Kujenga uwezo wa kupanga, kuandaa

bajeti, kusimamia na kuraghibisha kuhusu

uwepo wa mfumo imara na madhubuti wa

ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa

ulinzi na usalama

Kufanya mapitio ya mwaka ya matumizi

ya umma kuhusu ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

3. Uzalishaji wa

takwimu, uhitaji na

matumizi

Kuzuia Kuandaa mpango wa ufuatiliaji na

tathmini wenye mfumo wa kuwezesha

ufuatiliaji na utoaji wa taarifa kuhusu

MTAKUWWA

Mifumo na zana kwa

ajili ya ukusanyaji

wa takwimu,

uchakataji na

ufuatiliaji wa ukatili

dhidi ya wanawake

na watoto

kuimarishwa

% ya takwimu za

msingi na takwimu

za shabaha za ukatili

dhidi ya wanawake

na watoto

Kuanzisha takwimu za msingi kwa

viashiria muhimu

Kupitia mifumo ya ukusanyaji na

uchakataji wa taarifa kubaini vyanzo vya

takwimu za MTAKUWWA na upungufu.

Mwitikio Kuandaa/kuhuisha mifumo ya kukusanya

taarifa (MIS, Database) na Zana za

ukusanyaji takwimu kwa ajili ya ufuatiliaji

na utoaji taarifa kuhusu ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

60

Kuendeleza na kutumia mbinu bunifu za

ukusanyaji wa takwimu kwa kutumia simu

za mkononi

Kuwezesha majaribio na utawanyaji wa

mifumo na zana za ukusanyaji wa taarifa

pamoja na kutoa mafunzo

Kuratibu ziara za ufuatiliaji za pamoja za

sekta mbalimbali na mapitio katika ngazi

ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Kuwezesha uhifadhi wa nyaraka na

usambazaji wa matokeo ya M&E na

nyenzo pamoja na mafunzo na mifano bora

katika utekelezaji wa afua za ukatili dhidi

ya wanawake na watoto

Kuwezesha utafiti (wa kujenga /kufanya

kazi/Hatua) katika maeneo lengwa na

yanayoibuka kutoka kwenye maeneo

utendaji ya mpango

Kuwezesha uingizaji wa viashiria muhimu

vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto

katika tafiti na uchunguzi wa vipindi

(THIS, DHS, VACS)

Kuwezesha ufuatiliaji na tathmini za mara

kwa mara za utekelezaji wa

MTAKUWWA

61

KIAMBATANISHO CHA II: GHARAMA KUTEKELEZA MTAKUWWA

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 1: KUIMARISHA UCHUMI WA KAYA

Lengo Mkakati: Uwezo wa wanawake kiuchumi katika ngazi ya kaya unaimarishwa

Shughuli

Gharama kwa mwaka Jumla ya gharama

(TSh)

Mtekelez

aji Mkuu

Watekelezaji

Wengine Mwaka wa Fedha

2017/18

Mwaka wa Fedha

2018/19

Mwaka wa Fedha

2019/20

Mwaka wa Fedha

2020/21

Mwaka wa Fedha

2021/22

1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9

Suala la 1: Upatikanaji wa Huduma za kifedha kwa wanawake Wanaoishi Katika mazingira hatarishi na wasio jiweza kiuchumi

Kuyabaini vikundi vya wanawake

vya kiuchumi na kutathmini

chanagamoto zinazozuia wanawake waweze kupata huduma za kifedha

124,200,000 124,200,000 OR-

TAMISE

MI

WAMJJW

Kuhamasisha na kuwezesha

uanzishaji wa vikundi vya

wanawake vya kiuchumi, SACCOS na VICOBA/ (COMSIP – Programu

za kuweka Akiba na Uwekezaji za

kijamii)

2,748,530,000 2,725,660,000 2,719,880,000 2,715,480,000 825,480,000 11,735,030,000 OR-

TAMISE

MI

WAMJJW ,

NEEC, TWCC,

MSM, MoITI, MoALF

Kuwezesha upatikanaji wa huduma

za biasha, stadi za biashara na

ushauri wa mikopo

53,040,000 53,040,000 53,040,000 53,040,000 53,040,000 265,200,000 MoITI WAMJJW, WFM,

OR-TAMISEMI,

VETA, CBE, SIDO, BRELA,

TANTRADE,

TES, TBS, TFDA, TWCC

Kuwezesha miradi ya kiuchumi ya

wanawake kuongeza thamani ya

bidhaa zao.

724, 200,000 600,000,000 600,000,000 600,000,000 600,000,000 3,124,200,000 MoITI MSM, SIDO,

VETA, TWCC,

NEM, TBS, TFDA

Kuhamsisha masuala ya VAWC

kuingizwa katika Mpango wa Uwezeshaji wa Shilingi Milioni

Hamsini (50) katika kila Kijiji.

274,580,000 - - - - 274,580,000 WAMJJW OR - TAMISEMI,

MSM

Kupitia na kuweka mazingira rafiki

ya usajili wa biashara.

- 400,000,000 - - - 400,000,000 WAMJJW OR - TAMISEMI,

MSM

Viwanda vidogo na biashara ndogo zinazomilikiwa na wanawake katika

sekta mpya kama vile mafuta na

gesi asilia, madini, ulimaji wa mbogamboga, ufugaji wa samaki na

ufugaji wa kuku kuendelezwa na

kuwezeshwa.

- - 12,100,000 - - 12,100,000 BRELA WVBU, MSM

Kuanzisha mfuko wa kusaidia

upatikanaji huduma za malezi na makuzi ya awali ya mtoto na mfuko

wa elimu kwa wasichana wanaotoka

katika familia maskini.

450,000,000 450,000,000 450,000,000 450,000,000 450,000,000 2,340,000,000 WVBU OR - TAMISEMI,

MSM, WKMMU, MEM

62

Kuwashirikisha wanaume, viongozi

wa jadi na dini ili kuhamasisha haki

za wanawake za kumiliki ardhi na

rasilimali zingine

1,717,548,000 1,688,148,000 1,688,148,000 207,108,000 1,688,148,000 6,989,100,000 WKS WAMJW, OR -

TAMISEMI

Kendesha vipidi vya uhamsishaji kwa wanawake kuhusu haki ya

kumiliki mali na haki ya mirathi

1,717,548,000 1,688,148,000 1,688,148,000 1,688,148,000 1,688,148,000 8,470,140,000 WKS WMN, WAMJW

Kuimarisha na kuongeza fursa za

uboreshaji wa njia za kujipatia riziki kwa vijana wahitimu wa shule

ili kuwawezesha kuingia katika

umri wa utu mzima

3,562,080,333 3,478,080,000 3,478,080,000 3,478,080,000 3,478,080,000 17,474,400,000 WKS WMN, WAMJW

Kuwezesha upatikanaji wa afua

zitakazosaidia kiunia kipato cha

kaya

145,000,000 145,000,000 WAMJW WMN, WAMJW

Jumla Ndogo 13,404,676,000 12,983,976,000 12,603,246,000 11,118,656,000 10,812,646,000 60,923,200,000

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 2: MILA NA DESTURI

Lengo Mkakati: Jamii inayoheshimu usawa wa kijinsia, haki na ulinzi na usalama wa wanawake na watoto ili kuchukua hatua dhidi ya aina zote za ukatili.

Shughuli

Gharama kwa mwaka

Jumla ya gharama

(TSh)

Mtekelezaji

Mkuu Watekelezaji Wengine Mwaka wa

Fedha 2017/18

Mwaka wa Fedha

2018/19

Mwaka wa Fedha

2019/20

Mwaka wa Fedha

2020/21

Mwaka wa Fedha

2021/22

1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9

Suala la 1: Uwapo wa mila na desturi za jadi zenye madhara

Kukusanya na kuchambua

takwimu zilizopo kuhusu mila na desturi na jitihada

zilizofanyika kuleta

mabadiliko yakimtazamo, mtazamo wa kijinsia na

mabadiliko ya tabia na

kufuatilia utekelezaji.kitabia na

kufuatilia utekelezaji

30,600,000 - 27,600,000 - 27,600,000 85,800,000 WAMJW MoICAS, WFM, OR -

TAMISEMI

Kuandaa Mkakati wa Mawasiliano ili kuendeleza

Mila na desturi chanya na

ili kushughulikia usawa wa kijinsia

74,700,000 39,112,260,000 23,548,400,000 7,892,700,000 7,892,700,000 78,520,760,000 WAMJW MoICAS, MSM, WFM, FBOs, AZAKI

Kuendesha kampeni za

uraghibishaji kwa viongozi

wa dini na viongozi wenye ushawishi na kwa watunga

sera ili kuendeleza Mila na

desturi chanya zinazowalinda Wanawake

na watoto ili kufikia

- 152,100,000 155,400,000 - - 307,500,000 WAMJW WFM, WHUSM,WMN,

MSM, OR - TAMISEMI,

AZAKI

63

mabadiliko ya kijamii.

Kushirikisha Jeshi la Polisi

na Halmashauri ili kushughulikia kwa

umakini wanawake

nawatoto walioathirika na vitendo vya ukatili

- 94,500,000 94, 500,000 - - 189,000,000 WAMJW OR - TAMISEMI,

WMN,AZAKI

Kuendesha majadiliano

katika ngazi ya jamii ili

kujua mtazamo wao kuhusu ukatili dhana ya

mila zenye kuleta madhara

16,000,000 5,686,000,000 16,000,000 16,000,000 16,000,000 5,750,000,000 WAMJW OR - TAMISEMI,MSM

Suala la 2: Hali iliyorasimishwa ya kutokuwa sawa kijinsia

Kushughulikia masuala

yasiyozingatia usawa a wa

kijinsia katika maeneo ya

kazi

12,600,000 1,048,960,000 2,068,400,000 2,074,760,000 8,400,000 5,213,120,000 WVBU OR - TAMISEMI, PMO-

LEYD

Suala la 3: Uwezo na unyumbukaji wa wanawake na watoto dhidi ya ukatili

Kupitia upya kitini cha

mafunzo kilichopo cha mawasiliano ya kuhusu

ukatili dhidi ya watoto ili

kuhusisha wanaume na wanawake

- 963,200,000 764,300,000 - - 1,727,500,000 WAMJW OR - TAMISEMI, WEST,

WMN,WFM, MSM

Kuwajengea uwezo

wanawake na watoto kujikinga wao na wenzao

kujikinga na vitendo vya

ukatilina maarifa na uwezo muhimu ili kuwalinda wao

na wenzao

- - 80,000,000 80,000,000 110,000,000 270,000,000 MoHDCGEC MSM,WEST

Kuimarisha na kuboresha Mabaraza na Klabu za

Watoto ili kuwezesha

ushiriki wa watoto katika ufanyaji maamuzi katika

ngazi za jamii na taifa

28,000,000 1,964,800,000 2,063,700,000 1,236,400,000 101,700,000 5,394,600,000 WAMJW OR - TAMISEMI, MSM, TACAIDS, Ofisi ya

Makamu wa Rais, OWM –

Kazi na Ajira, WEST

Kuhamasisha sekta binafsi

katika kufadhili afua za MTAKUWWA

23,400,000 36,500,000 41,200,000 - - 101,100,000 WAMJW WFM, OWM

Kusaidia uwepo wa afua zitakazoshughulikia mila

na desturi zenye kuleta

madhara kwa wanawake na

watoto

145,000,000 - - - - 145,000,000 WAMJW

Jumla ndogo 330,300,000 49,058,320,000 28,859,500,000 11,299,860,000 8,156,400,000 97,704,380,000

64

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 3: MAZINGIRA SALAMA Lengo Mkakati: Kupunguza uwezekano wa kutokea kwa vitendo hatarishi vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika maeneo ya umma

Shughuli

Gharama kwa mwaka

Jumla ya gharama (TSh)

Mtekelezaji Mkuu

Watekelezaji Wengine Mwaka wa Fedha

2017/18

Mwaka wa Fedha

2018/19

Mwaka wa Fedha

2019/20

Mwaka wa Fedha

2020/21

Mwaka wa Fedha

2021/22

1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9

Suala la 1: Uwajibikaji wa kitaasisi katika kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na watoto kwenye maeneo ya umma na mahali pa kazi

Kuendesha mijadala kwa kuwahusisha viongozi wa kidini, kisiasa, watu wenye

ushawishi katika jamiii, vyama vya

wamiliki wa hoteli, baa na vyama vya wadau wa usafirishaji kuhusu sheria

zinazohusiana na usalama wa wanawake

na watoto katika maeneo umma na

mahali pa kazi

- 307,200,000 307,200,000 307,200,000 307,200,000 1,228,800,000 WAMJW OR - TAMISEMI, WKS, OWM – Kazi na Ajira,

WHUSM, AZAKI, Sekta

Binafsi

Kuandaa mkakati wa uraghibishaji kwa ajili ya kuendeleza mazingira salama

kwa wanawake na watoto katika maeneo

ya umma kwenye miji na majiji

111,902,500 - - - - 111,902,500 OR - TAMISEMI

WANMM, MoWTC, WMN, na WAMJW

Kupitia upya kanuni na sheria ndogo

ndogo zinazosimamia uendeshaji wa maeneo ya umma ( kama vile sokoni,

mfumo wa usafiri na maeneo ya

burudani)

126,000,000 46,200,000 46,200,000 39,600,000 258,000,000 OR -

TAMISEMI

WANMM

Kuandaa mikutano ya mashauriano ya kila mwaka kwa ajili ya kujadili ufanisi

wa na kanuni na sheria mpya

ndogondogo

- 132,040,000 70,240,000 70,240,000 272,520,000 OR - TAMISEMI

MSM

Kuwezesha mapitio ya nyezo za ukaguzi wa kazi ili kujumlisha masuala

ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto

9,500,000 - - - 9,500,000 OWM – Kazi na Ajira

OR - TAMISEMI na WAMJW

Kufanya kampeni za uraghibishi mahali

pa kazi kwa kushirikiana vyama vya wafanyakazi na vyama vya waajiri

kuhusu masuala ya VAWC kama

ilivyoanishwa katika sheria na kanuni zilizopo

134,000,000 103,000,000 103,000,000 - - 340,000,000 OWM – Kazi

na Ajira

WAMJW, WVBU

Suala la 2: Utayari dhidi ya majanga na kuimarisha mikakati ya mwitikio katika dharura na migogoro ya muda mrefu ili kuzuia na kupunguza ukatili dhidi ya wanawake na watoto

Kuanzisha na kuimarisha maeneo salama

kwa wanawake na watoto walio katika

makambi au walewaliolazimika

kuhamma makazi yao kutokana na

migogoro au majangaya asili

- - 38,920,000 - - 38,920,000 OWM OR - TAMISEMI, WMN,

WAMJW

Kuunga mkono afua zinazoweka na kuimarisha mazingira salama kwa

wanawake na watoto

- 145,000,000 - - - 145,000,000 WAMJW OR - TAMISEMI

Jumla ndogo 381,402,500 555,200,000 627,560,000 423,640,000 417,040,000 2,404,642,000

65

ENEO LA UTEKELEZAJI Na. 4: MALEZI, MSAADA KWA FAMILIA NA MAHUSIANO

Lengo Mkakati: Stadi za malezi chanya zinaboreshwa miongoni mwa Wazazi, Watoa huduma za malezi na wanajamii

Shughuli

Gharama kwa mwaka Jumla ya

gharama (TSh) Mtekelezaji

Mkuu Watekelezaji Wengine Mwaka wa Fedha

2017/18 Mwaka wa Fedha

2018/19 Mwaka wa Fedha

2019/20 Mwaka wa Fedha

2020/21 Mwaka wa Fedha

2021/22

1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9

Suala la 1: Stadi za malezi kwa wazazi, walezi, familia, watoa huduma za malezi na ajamii

Kuandaa Mwongozo wa Kitaifa wa

Malezi na Mpango wa utekelezaji.

47,000,000 - - - - 47,000,000 WAMJW WEST

Kupitia kitini cha Elimu ya Malezi ili

kuingiza mahitaji ya makundi maalumu katika kuzuia ukatili dhidi

ya watoto

- - 35,360,000 - - 35,360,000 WAMJW WEST,PMO-LE,OR -

TAMISEMI

Kutoa mafunza kwa wawezeshaji

jamii kuhusu matumizi Kitini cha elimu ya Malezi. (MMJ-W, AE-W,

MUJ, na MMJ-M)

- 273,300,000 587,800,000 587,800,000 870,890,000 2,919,790,000 WAMJW OWM – Kazi na Ajira,

WEST, OR - TAMISEMI

Kuingiza stadi chanya za malezi katika mitaala ya mafunzo katika

vyuo vya Ustawi wa Jamii,

Maendeleo ya Jamii, Elimu, Afya, Polisi, na Sheria.

- 40,400,000 40,000,000 40,400,000 - 121,200,000 WEST OWM – Kazi na Ajira, WAMJW, WMN, OR –

TAMISEMI

Kuwezesha uanzishaji na uimarishaji

wa Vituo vya Kijamii vya Kulele watoto wadogo mchana na vituo vya

malezi katika maeneo ya kazi.

- - 6,360,000 - - 6,360,000 WAMJW WEST,MSM

Suala 2: Maadili miongoni mwa watoto, Wazazi, Familia na Wanajamii

Kutoa elimu ya malezi kwa vyombo vya kufanya maamuzi, viongi wa

serikali Viongozi wa dini, na sekta

binafsi

- 62,000,000 - - - 62,000,000 WAMJW MSM

Kuimarisha uhamasishaji wa vipindi

vya elimu ya jinsia na malezi chanya

ya watoto kupitia vyombo vya habari.

- 20,640,000 20,640,000 20,640,000 20,640,000 82,560,000 WAMJW WHUSM, MoWTC

Kuingiza elimu ya malezi katika vituo

vya kujisomea vya jamii (resource centre)

- - 5,200,000 3,100,000 3,050,000 11,350,000 WAMJW WEST,OR - TAMISEMI

Kupitia upya Mwongozo wa Hotuba

ili kuzingatia masuala ya wanawake

804,980,000 700,780,000 700,780,000 700,780,000 700,780,000 3,616,700,000 WAMJW WEST,OR - TAMISEMI

Kuendeleza Programu za Ulinzi kwa

ajili ya Wanawake na watoto

Mtandaoni

409,240,000 - - - - 409,240,000 WAMJW MoWTC, WMN, Wadau

wa Maendeleo, AZAKI

Kutoa elimu ya matumizi sahihi ya

tekinolojia na malezi chanya kwa wafanyakazi wa majumbani, walezi

wa watoto na familia.

15,120,000 15,120,000 15,120,000 15,120,000 15,120,000 75,600,000 WAMJW WHUSM, OR -

TAMISEMI, OWM – Kazi na Ajira, MSM,

WEST

66

Kuzitembelea familia na makundi ya

kijamii na uhamasishaji kuhusu

malezi chanya

7,500,000 75,000,000 112,500,000 - - 195,000,000 OR -

TAMISEMI

WAMJW, AZAKI

Kuunga mkono afua i zinazohamasisha malezi chanya katika

ngazi ya familia na jamii

- 145,000,000 - - - 145,000,000 WAMJW

Jumla ndogo 1,283,840,000 1,332,240,000 1,532,760,000 1,367,840,000 1,610,480,000 7,127,160,000

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 5: UTEKELEZAJI NA USIMAMIAJI WA SHERIA Lengo Mkakati: Sheria zinazowalinda wanawake na watoto zimepitiwa upya na kutelekelezwa

Shughuli

Gharama kwa mwaka

Jumla ya

gharama (TSh)

Mtekelezaji

Mkuu

Watekelezaji

Wengine Mwaka wa Fedha

2017/18

Mwaka wa

Fedha

2018/19

Mwaka wa

Fedha

2019/20

Mwaka wa Fedha 2020/21

Mwaka wa

Fedha

2021/22

1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9

Suala la 1: Sheria zilizopo katika kushughulikia ukatili dhidi wa wanawake na watoto

Kuainisha mapungufu katika mifumo ya sheria

iliyopo inayoendeleza ukatili dhidi ya haki za

wanawake na watoto (Sheria ya Ajira na Mahusiano ya Kazini, Sheria ya Mtoto,2009;

Sheria ya Kanuni ya Adhabu Sura ya 16, Sheria

ya Elimu, Sheria ya Mahakimu, Sheria ya ndoa, Sheria ya Usajili ya Vizazi na Vifo Sura ya 108,

Sheria ya mirathi, Sheria ya Ushahidi, Kutunga

sheria ya kutoa msaada wa kisheria)

172,040,000 271,940,000 86,600,000 19,800,000 - 550,350,000 WKS WAMJJWW,MUU

U,WEST,

TAMISEMI,OMMS, Mahakama,

Kamati za Bunge

Kuridhia na kuingiza katika sheria ya nchi mikataba ya kimataifa na ya kikanda inayohusu

ulinzi na usalama wa haki za wanawake na

watoto dhidi ya ukatili

- 19,920,000 - 6,300,000 - 26,220,000 WAMJW WKS, OMSS

Suala la 2: Uitikiaji wa mfumo wa kisheria kwa mahitaji ya wanawake na watoto

Kutathmini uwezo wa mahitaji ya taasisi za kisheria katika kushughulikia wa ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

- 25,890,000 - - - 25,890,000 WKS Mahakama, WMN, WAMJW,

Mkurugenzi wa Mashtaka

Kujenga uwezo wa Taasisi za sekta ya sheria

(LSIs) katika kushughulikia ukatili dhidi ya

wanawake na watoto (Taasisi za Kisheria, Taasisi za Kutekeleza Sheria, Mahakama za

Watoto na vyama vya wataalamu (ikiwa ni

pamoja na wanaotoa msaada wa kisheria) katika ngazi zote na pia kuwa wasaidizi wa watoto

- 1,044,000,000 1,043,960,000 1,043,960,000 1,046,000 4,177,980,000 MAJWW Mahakama,WMN

Kuendesha mashauriano ya kitaifa kuhusu

uhitaji wa kuanzisha Mahakama maalumu kwa

ajili ya masuala ya kifamilia

- - - - 38,600,000 38,600,000 WAMJW WKS, Mahakama

Kuhamasisha umma juu ya mifumo ya kisheria

iliyopitiwa upya

- - 1,161,320,000 17,320,000 8,660,000 1,187,300,000 WAMJW WEST,WKS,

Mahakama, Mashirika yasiyo ya

Kiserikali

67

Kuendesha kampeni za uhamasishaji

zinazolenga ukatili dhidi ya wanawake na

watoto za mara kwa mara kwenye maeneo

yaliyoathirika zaidi mathalani katika maeneo ya

uchimbaji madini, sekta ya mashamba ya kibiashara na sekta ya kazi za majumbani

- - - 34,800,000 26,100,000 60,900,000 TAMISEMI TAMISEMI,

WAMJW, THBUB,

Mashirika

yasiyokuwa ya

kiserikali

Suala la 3 : Kufikika kwa huduma za kisheria

Kutunga na kutekeleza sheria ya msaada wa kisheria

- 38,416,000 27,216,000 27,216,000 27,216,000 120,064,000.00 WSK Mahakama, WAMJW,

TAMISEMI na

Mashirika yasiyo ya Kiserikali

Kuazisha huduma za majaribio za watoa msaada wa kisheria katika mkoa mmoja uliochaguliwa

kulingana na Sheria ya kutoa Msaada wa

Kisheria

- - - 29,200,000 - 29,200,000.00 WSK WAMJW, Chama Cha Wanasheria

Tanganyika,

Mashirika Yasiyo ya

Kiserikali

Kuandaa na kurasimisha Sera ya msaada wa

kisheria

- - - 57,068,000 - 57,068,000.00 WSK WAJJWW,

Mahakama,

Mashirika Yasiyo ya Kiserikali

Kuinginza ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika sheria ndogondogo

- - 12,600,000 9,800,000 - 22,400,000.00 TAMISEMI WAMJW, Mamlaka ya Serikali

za Mitaa, WSK,

OMMS

Kuunga mkono hatua za pamoja ambazo zinazoshughulikia huduma zinazotolewa kwa

wakati kwa wanawake na watoto

- - - - 145,000,000 145,000,000.00 WAMJW

Jumla Ndogo 172,040,000 1,400,166,000 2,331,696,000 1,245,464,000 1,291,636,000 6,441,002,000

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 6: MWITIKIO NA HUDUMA SAIDIZI

Lengo Mkakati: Kujibu na kutoa huduma saidizi kwa ajili ya VAWC zimeimarika.

Shughuli

Gharama kwa mwaka Jumla ya gharama

(TSh)

Mtekelezaji

Mkuu Watekelezaji Wengine Mwaka wa Fedha

2017/18

Mwaka wa Fedha

2018/19

Mwaka wa Fedha

2019/20

Mwaka wa Fedha

2020/21

Mwaka wa Fedha

2021/22

1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9

Suala la 1: Rasilimali, zana na miundombinu ya kutoa jawabu kwa huduma za VAWC

Kupitia upya na kuandaa miongozo na

zana kwa watoa huduma wa kwanza,

kwa wahusika na watoa huduma kwa

wahanga/wanusurika wa ukatili dhidi

ya wanawake na watoto

- - 195,820,000 - - 195,820,000 WAMJW OR - TAMISEMI,

WMN, WEST, WKS,

Mahakama, OWM –

Kazi na Ajira, AZAKI,

Wadau wa Maendeleo, na Sekta Binafsi

Kutoa maelekezo kuhusu kuandaa

miongozo na zana (pamoja na mifumo ya kuripoti madhubuti miongoni mwa

wahusika wanaotoa huduma –

117,600,000 113,400,000 113,400,000 113,400,000 113,400,000 571,200,000 WAMJW WMN, WEST, WKS,

Mahakama, OWM – Kazi na Ajira

68

wakijumuishwa na watumishi wa

ustawi wa jamii, maofisa wa mamlaka

ya kazi, elimu, afya, jeshi la Polisi,

mahakama, mamlaka inayopambana

na biashara haramu ya kusafirisha watu kimagendo, magereza, na

AZAKI katika ngazi ya Wilaya, Kata

na Kijiji)

Kutoa mafunzo kwa watumishi wa

mstari wa mbele (MUJ, Jeshi la Polisi,

Watumishi wa Afya, Walimu, Hakimu, Maofisa wa wanaopambana

na biashara haramu ya kusafirisha

watu kimagendo) katika medani yao mahsusi ya kiufundi (UW, UK,

mashtaka ya mahakamani)

988,900,000 988,900,000 988,900,000 988,900,000 988,900,000 4,944,000,000 WAMJW OR – TAMISEMI,

MSM, MoWTC,

AZAKI, Wadau wa Maendeleo na Sekta

Binafsi

Kuimarisha na kurasimisha namba ya

simu ya kutoa msaada kwa mtoto na

uwapo wa mfumo wa rufaa

135,696,000 129,096,000 118,536,000 111,936,000 111,936,000 607,200,000 WAMJW OR - TAMISEMI,

MSM, MoWTC,

AZAKI, Wadau wa

Maendeleo & Sekta Binafsi (pamoja na

Makampuni ya Kutoa

huduma ya simu)

Kuongeza vituo vinavyotoa huduma jumuishi ili kutoa huduma za pamoja

na zenye ubora wa kujibu mahitaji ya

wanusurika wa ukatili

- - 293,400,000 293,400,000 282,600,000 869,400,000 WAMJW OR - TAMISEMI, WMN, WKS, AZAKI,

Wadau wa Maendeleo&

Sekta Binafsi

Kuendesha na kufanya kazi kwa

PGCD katika vituo vyote vya jeshi la

polisi

2,035,000,000 2,035,000,000 2,035,000,000 2,035,000,000 2,035,000,000 10,175,000,000 WMN WAMJW, AZAKI,

Wadau wa Maendeleo

& Sekta Binafsi

Kuanzisha magereza ya watoto

wanaojikuta katika mgogoro wa

kisheria katika kanda nne

324,000,000 324,000,000 524,000,000 524,000,000 400,000,000 2,096,000,000 WAMJW WMN, WKS, OR -

TAMISEMI, Wadau wa

Maendeleo & Sekta

Binafsi

Kuandaa, kutafsiri na kusambaza

mwongozo /rahisi kueleweka wa

Maandishi ya kumbukumbu kuhusu rufaa, maagizo na ushauri kwa

wahusika wa utekelezaji wa

kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na watoto

2,800,000 6,600,000 6,600,000 - - 16,000,000 WAMJW OR - TAMISEMI,

AZAKI, Wadau wa

Maendeleo na Sekta Binafsi

Kuunga mkono watumishi wa mstari

wa mbele (MUJ, Polisi, Afya, MMJ, Maofisa wa Kisheria, Mahakimu,

Walimu, Maofisa wanaopambana na

biashara haramu ya usafirishaji watu

kimagendo, n.k) ili kusimamia kesi za

ukatili dhidi ya wanawake na watoto

784,400,000 784,400,000 784,400,000 784,400,000 784,400,000 3,922,000,000 WAMJW WMN, PMO, WKS, OR

- TAMISEMI, AZAKI, Wadau wa Maendeleo

na Sekta Binafsi

Kuanzisha jumba salama la dharura la

majaribio kwa ajili ya wanawake walioko hatarini na wahanga katika

mkoa mmoja teule

- - - 119,000,000 - 119,000,000 WAMJW WMN, PMO, WKS, OR

- TAMISEMI, AZAKI, Wadau wa Maendeleo

na Sekta Binafsi

69

Kufanya uraghibishaji kwa ajili ya

kuziwezesha taasisi za kidini

/Majumba ya Ibada ili kuanzisha

majumba ya usalama kwa wanawake

wahanga au kwa wale walioko hatarini kupatwa na ukatili

164,800,000 185,400,000 280,100,000 94,700,000 94,700,000 819,700,000 WAMJW OR - TAMISEMI,

MSM, AZAKI,

Mashirika ya Dini na

Wadau wa Maendeleo

Kuajiri na kuwawezesha watu wanaofaa kutoa huduma ya uangalizi

mbadala wakati wa dharura kwa

watoto wahanga au walioko hatarini kuathirika na ukatili. (Vipengele vya

ukokotoaji wa gharama – kuendesha

mafunzo ya kikanda ya siku 5 kwa ajili ya Wakufunzi wa wakufunzi

(TOTs), mafunzo kwa watumishi 10

toka kila wilaya kama TOTs kwa

kipindi cha siku 3, ili kuwawezesha

TOTs kutoa mafunzo kwa

watu/familia zinazofaa katika Kata/ Vijiji – rejea ziara za ngazi ya kijamii)

351,300,000 289,500,000 289,500,000 289,500,000 289,500,000 1,509,300,000 WAMJW OR - TAMISEMI, MSM, AZAKI,

Mashirika ya Dini na

Wadau wa Maendeleo

Kunga mkono Serikali za Mitaa ili

ziimarishe huduma za kuishi maisha

ya kawaida kwa wanawake na watoto wahanga au walio hatarini kufanya

vitendo viovu kulingana na miongozo

ya kitaifa

158,000,000 79,000,000 79,000,000 - - 316,000,000 PO - RALG WAMJW MSM, MSM,

AZAKI, Wadau wa

Maendeleo na Sekta Binafsi

Kuanzisha mahakama zinazofikika,

zenye ubora na rafiki kwa vijana

katika kila mkoa

210,560,000 182,160,000 182,160,000 177,860,000 177,860,000 930,600,000 Judiciary WAMJW, WKS,

WMN, CHRAGG,

MSM, OR - TAMISEMI, MSM,

AZAKI, Wadau wa

Maendeleo na Sekta Binafsi

Kuingiza katika mitaala/vitabu vya

mwongozo masuala yanayohusu ukatili dhidi ya wanawake na watoto,

kazi za kijamii, Maendeleo ya jamii,

na Jeshi la Polisi, Walimu na Maofisi wa Kazi

95,400,000 - 30,000,000 30,000,000 - 155,400,000 WAMJW NACTE, TCU, Taasisi

za kitaaluma, WEST, OWM, AZAKI, Wadau

wa Maendeleo na Sekta

Binafsi

Kuunga mkono hatua za uingiliaji

zinazoshughulikia huduma za kutoa

jawabu thabiti na za kutolewa kwa wakati kwa watoto na wanawake

pamoja na watoto wanaoishi au

wanaofanya kazi mitaani, wanawake

na watoto wenye ualbinism, wazee

wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya

kiuchawi na kufanyizisha watoto kazi.

- - - 145,000,000 - 145,000,000 WAMJW WMN, WKS, Judiciary,

, OR - TAMISEMI,

MSM, AZAKI, Wadau wa Maendeleo na

Sekta Binafsi

Jumla Ndogo 5,368,356,000 5,117,356,000 5,920,716,000 5,706,996,000 5,278,196,000 27,391,620,000

70

ENEO LA MADA YA 7: SHULE SALAMA NA STADI ZA MAISHA

Lengo Mkakati: Mazingira salama, jumuishi na yenye kufikika ya kujifunzia kwa wasichana na wavulana yameboreshwa.

Shughuli

Gharama kwa mwaka

Jumla ya gharama (TSh)

Mtekelezaji Mkuu

Watekelezaji Wengine Mwaka wa

Fedha 2017/18

Mwaka wa

Fedha 2018/19

Mwaka wa

Fedha 2019/20

Mwaka wa

Fedha 2020/21

Mwaka wa

Fedha 2021/22

1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9

Suala la 1: Maarifa ya haki za Mtoto kwa walimu na wanafunzi

Kuendesha kampeniza kitaifa kwa kuweka mkazo juu ya ukatili dhidi ya

wanawake na watoto zikiwalenga

walimu na wanafunzi kupitia vyombo vya habari.

132,940,000 126,240,000 126,240,000 126,240,000 125,840,000 637,500,000 WEST WAMJW, OR -TAMISEMI, Wizara ya Habari, Utamaduni,

Sanaa Na Michezo

Kuwabaini na kuwafundisha walimu

washauri wanasihi kuhusu masuala ya

ukatili dhidi ya wanawake na watoto na

wajibu wao kwa kutumia kivunge cha

mawasiliano cha kujifunza cha ukatili dhidi ya wanawake na watoto

61,800,000 4,140,600,000 4,243,600,000 4,140,600,000 4,078,800,000 16,665,400,000 WEST WAMJW, OR – TAMISEMI

Suala la 2: Maarifa kuhusu stadi za maisha na afya ya uzazi, ulinzi na usalama wa mtoto kwa wasichana na wavulana

Kuimarisha na kufanya kuwa za aina

moja hatua za kinidhamu chanya na zile za mbadala zilizopo shuleni na kufany

amajaribio katika wilaya

zitakazochaguliwa.

- 39,254,040 259,354,040 6,854,040 6,854,040 312,316,160 WEST WAMJW, AZAKI

Kupitia upya, kuingiza na kutoa

maelekezo kwa Watoto kuhusu ukatili dhidi ya wanawake na kuhusu masuala

ya afya ya uzazi katika zana za

ufundishaji katika vilabu vya shuleni

- 4,328,100,000 4,140,600,000 4,140,600,000 4,078,800,000 16,688,100,000 WEST WAMJW, OR – TAMISEMI,

CSO

Kutoa Nakala na kusambaza stadi za

maisha zikizingatia kitabu cha

mwongozo wa elimu rasmi na isiyo rasmi ya vijana, elimu ya watu wazima

katika vituo vya mafunzo maalumu

- 81,950,000 81,950,000 - - 163,900,000 WEST WAMJW, OR -TAMISEMI,

CSO, Ofisi ya Waziri Mkuu,

Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu

Kufanya kampeni za uraghibishaji

katika ngazi za Mamlaka ya Serikali za Mitaa, AZAKI, Mashirika ya Dini,

Mashirika Yasiyo ya Kiserikali na sekta

binafsi ili watoe malazi, zana za kujifunzia, chakula, mavazi kwa MVCs

na vifaa vya kujistiri kwa wasichana

wanaotoka katika familia duni

- 76,100,000 - - - 76,100,000 WAMJW WEST, Mamlaka ya Serikali

za Mitaa, AZAKI

Kutoa Nakala na kusambaza kanuni za

Tabia Njema za Kitaifa za Walimu, Sera ya Elimu na Mafunzo, na Nakala

ya Sheria ya Elimu

- 16,750,000 32,450,000 16,300,000 - 65,500,000 WEST OR-TAMISEMI, Mamlaka ya

Serikali za Mitaa, AZAKI

Suala la 3: Mfumo wa kutoa taarifa na rufaa za ukatili dhidi ya Watoto katika maeneo ya shuleni

71

Kufanya kampeni za uhamasishaji

kuhusu mfumo wa kutoa taarifa shuleni

12,232,000 6,232,000 6,232,000 6,232,000 6,232,00 37,160,000 WEST WAMJW, OR-TAMISEMI,

Mamlaka ya Serikali za

Mitaa, AZAKI

Kupitia upya, kuboresha na kusambaza

zana za ukaguzi shuleni zitakazojumuisha masuala ya ukatili

dhidi ya wanawake na watoto

7,000,000 12,254,040 12,254,040 12,254,040 12,254,040 56,016,160 WEST WAMJW, OR-TAMISEMI,

Mamlaka ya Serikali za Mitaa, AZAKI

Kuwezesha afua zinazolengakujenga

mazingira ya shule salama

- - 145,000,000 - - 145,000,000 WEST TAMISEMI, Mamlaka ya

Serikali za Mitaa

Jumla Ndogo 213,972,000 8,827,480,080 9,047,680,080 8,449,080,080 8,308,780,080 34,846,992,320

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 8: URATIBU, UFUATILIAJI NA TATHMINI

Lengo Mkakati: Mfumo jumuishi wa uratibu, ufuatiliaji na tathmini kuanzishwa na kurathimishwa

Shughuli

Gharama kwa mwaka

Jumla ya gharama (TSh) Mtekelezaji

Mkuu Watekelezaji

Wengine Mwaka wa Fedha

2017/18

Mwaka wa Fedha

2018/19

Mwaka wa Fedha

2019/20

Mwaka wa Fedha

2020/21

Mwaka wa Fedha

2021/22

1 2 3 4 5 6 7=2+3+4+6 8 9

Suala la 1: Uratibu wa programu na afua za GBV/VAC katika ngazi zote.

Kuandaa mwongozo wa utekelezaji wa

mfumo wa uratibu wa

kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na

watoto pamoja na

Ufuatiliaji na Tathmini katika ngazi zote

32,683,000 - - - - 32,683,000 PMO OR - TAMISEMI, WAMJW,CSO,Wad

au wa Maendeleo

Kuanzisha kamati za

Mikoa na Wilaya za

ulinzi na usalama za kutokomeza ukatili

dhidi ya wanawake na

watoto na kutoa mafunzo kuhusu

majukumu na wajibu

wa kamati hizo kama wakufunzi wa kamati

za ulinzi na usalama katika ngazi ya Kata na

Kijiji/Mtaa.

104,880,000 106,020,000 - - - 210,900,000 WAMJW

(Ngazi ya

Kitaifa) OR - TAMISEMI

(Serikali za

Mitaa)

MSM,

AZAKI,Wadau wa

Maendeleo

Kutoa mafunzo na

vitendea kazi kwa kamati za ulinzi na

usalama za

kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na

watoto katika ngazi ya

Kata na Kijiji/Mtaa.

2,874,000,000 2,854,900,000 - - - 5,679,500,000 MSM WAMJW, OR -

TAMISEMI, AZAKI, Wadau wa

Maendeleo na Sekta

Binafsi

72

Kuwezesha Kamati ya

Kitaifa ya Uongozi ya

kuzuia ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

(NPSC), Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu

(NPTC) ya kuzuia

ukatili dhidi ya wanawake na watoto,

na Kamati za Utendaji

(TWGs) kuratibu utekelezaji wa afua za

MTAKUWWA katika ngazi ya taifa.

49,200,000 49,200,000 49,200,000 49,200,000 49,200,000 246,000,000 OWM

(Uratibu)

WAMJW, OR -

TAMISEMI,

WEST, WKS,

AZAKI, Wadau wa

Maendeleo na Sekta Binafsi

Kuwezesha

Sekretarieti ya

MTAKUWWA

kuratibu utekelezaji wa

afua za MTAKUWWA

katika ngazi zote

296,620,000 31,620,000 31,620,000 31,620,000 31,620,000 423,100,000 WAMJW PMO, OR -

TAMISEMI, WMN,

WKS na WEST,

AZAKI, Wadau wa

Maendeleo na Sekta

Binafsi

Suala la 2: Rasilimali watu na fedha kwa ajili ya programu za kupambana na GBV na VAC

Kufanya tathmini pana

ya mahitaji ya rasilimali watu kuhusu

utekelezaji wa

MTAKUWWA

31,600,000 - - - - 31,600,000 PMO WAMJW,PO-PSM,

OR - TAMISEMI, WEST, WKS,

WMN, Mahakama,

MSM, AZAKI, Wadau wa

Maendeleo na Sekta

Binafsi

Kubaini changamoto

za kifedha na fursa za

MTAKUWWA, kuandaa na kutekeleza

mkakati wa

kuhamasisha ukusanyaji wa

rasilimali

5,600,000 2,800,000 2,800,000 2,800,000 2,800,000 16,800,000 WAMJW WFM, PMO, PO-

RALG, WEST,

WKS, WMN, Mahakama, MSM,

AZAKI, Wadau wa

Maendeleo na Sekta Binafsi

Kufanya ushawishi kuhusu kuweka

vipaumbele vya

kifedha kwa shughuli za MTAKUWWA

katika Miongozo ya

Kibajeti ya Serikali

18,400,000 14,200,000 14,200,000 14,200,000 14,200,000 75,200,000 WAMJW WFM, OWM , OR - TAMISEMI,

WEST, WKS,

WMN, Mahakama, MSM, AZAKI,

Wadau wa

Maendeleo na Sekta binafsi

Kujenga uwezo wa

kupanga, kuandaa

bajeti, kusimamia na kuraghibisha kuhusu

uwepo wa mfumo

imara na madhubuti wa MTAKUWWA wa

ulinzi na usalama

151,000,000 151,000,000 151,000,000 151,000,000 151,000,000 755,000,000 OR -

TAMISEMI

WFM, WAMJW

73

Kufanya mapitio ya

mwaka ya matumizi ya

umma kuhusu ukatili

dhidi ya wanawake na

watoto

125,700,000 125,700,000 125,700,000 125,700,000 125,700,000 628,500,000 WAMJW WFM, WAMJW,

OWM , OR -

TAMISEMI,

WEST, WKS,

WMN, Mahakama, MSM, AZAKI,

Wadau wa

Maendeleo na sekta binafsi

Suala la 3 : Uzalishaji wa takwimu, uhitaji na matumizi

Kuandaa mpango wa ufuatiliaji na tathmini

wenye mfumo wa

kuwezesha ufuatiliaji na utoaji wa taarifa

kuhusu MTAKUWWA

31,200,000 - - - - 31,200,000 WAMJW OWM , OR - TAMISEMI

Kuanzisha takwimu za

msingi kwa viashiria muhimu

22,860,000 - - - - 22,860,000 WAMJW OWM , OR -

TAMISEMI, WEST, WKS,

WMN, NBS,

AZAKI, Wadau wa Maendeleo na Sekta

Binafsi

Kupitia mifumo ya ukusanyaji na

uchakataji wa taarifa

kubaini vyanzo vya takwimu za

MTAKUWWA na

upungufu.

13,730,000 - - - - 13,730,000 WAMJW OWM , OR - TAMISEMI,

WEST, WKS,

WMN, NBS, AZAKI, Wadau wa

Maendeleo na Sekta

Binafsi

Kuandaa/kuhuisha

mifumo ya kukusanya

taarifa (MIS, Database) na Zana za ukusanyaji

takwimu kwa ajili ya

ufuatiliaji na utoaji taarifa kuhusu ukatili

dhidi ya wanawake na

watoto

38,600,000 18,900,000 - - - 57,500,000 WAMJW OR - TAMISEMI,

WMN, WEST,

WKS, Mahakama, NBS, UDSM, OWM

, AZAKI, Wadau

wa Maendeleo na Sekta Binafsi

Kuendeleza na kutumia mbinu bunifu

za ukusanyaji wa

takwimu kwa kutumia simu za mkononi

- 330,700,000 - - - 330,700,000 WAMJW OR - TAMISEMI, WMN, WEST,

WKS, Mahakama,

NBS, UDSM, TCRA, OWM ,

AZAKI, Wadau wa

Maendeleo na Sekta Binafsi

74

Kuwezesha majaribio

na utawanyaji wa

mifumo na zana za

ukusanyaji wa taarifa

pamoja na kutoa mafunzo

3,307,500,000 6,353,900,000 5,631,000,000 - - 15,292,400,000 WAMJW

(Ngazi ya

Kitaifa) OR -

TAMISEMI

(Serikali za Mitaa)

WMN, WEST,

WKS, Mahakama,

NBS, UDSM,

TCRA, OWM ,

AZAKI, Wadau wa Maendeleo na Sekta

Binafsi

Kuratibu ziara za ufuatiliaji za pamoja za

sekta mbalimbali na

mapitio katika ngazi ya Mamlaka za Serikali za

Mitaa.

761,290,000 761,290,000 769,630,000 757,120,000 777,970,000 3,827,300,000 OWM WAMJW, PO- RALG, WMN,

WEST, WKS,

Mahakama, NBS, UDSM, AZAKI,

Wadau wa

Maendeleo na Sekta Binafsi

Kuwezesha uhifadhi

wa nyaraka na

usambazaji wa

matokeo ya M&E na

nyenzo pamoja na mafunzo na mifano

bora katika utekelezaji

wa afua za MTAKUWWA

24,500,000 46,760,000 46,760,000 46,760,000 46,760,000 211,540,000 WAMJW OR - TAMISEMI,

WMN, WEST,

WKS, Mahakama,

OWM , AZAKI,

Wadau wa Maendeleo,

Vyombo vya Habari

na Sekta Binafsi

Kuwezesha utafiti (wa

kujenga /kufanya

kazi/Hatua) katika maeneo lengwa na

yanayoibuka kutoka

kwenye maeneo utendaji ya mpango

69,600,000 73,800,000 75,900,000 75,900,000 76,400,000 3,716,000,000 WAMJW OR - TAMISEMI,

WMN, WEST,

WKS, Mahakama, NBS, UDSM,

OWM , AZAKI,

REPOA, ESRF, Wadau wa

Maendeleo na Sekta

Binafsi

Kuwezesha uingizaji

wa viashiria muhimu

vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto

katika tafiti na

uchunguzi wa vipindi (THIS, DHS, VACS)

2,960,000 2,960,000 2,960,000 2,960,000 2,960,000 14,800,000 WAMJW OR - TAMISEMI,

WMN, WEST,

WKS, Mahakama, NBS, UDSM,

TACAIDS, OWM ,

AZAKI, Wadau wa Maendeleo na Sekta

Binafsi

Kuwezesha ufuatiliaji na tathmini za mara

kwa mara za

utekelezaji wa MTAKUWWA

263,685,000 263,685,000 301,110,000 235,600,000 374,620,000 1,438,700,000 OWM WAMJW, OR - TAMISEMI, WMN,

WEST, WKS,

Mahakama, NBS, UDSM, TCRA,

AZAKI, Wadau wa

Maendeleo na Sekta Binafsi

Jumla Ndogo 8,221,608,000 11,588,635,000 7,603,080,000 1,514,060,000 1,674,430,000 30,601,813,000

JUMLA KUU 29,376,194,500 90,863,373,080 68,526,038,080 41,125,596,080 37,549,608,080 267,440,809,820

75

KIAMBATANISHO CHA III: MFUMO WA MATOKEO WA MTAKUWWA

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 1: KUIMARISHA UCHUMI WA KAYA

Matokeo Viashiria

Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo vya

Takwimu

Vipindi

vya

Ukusanyaji

Mbinu za

Uhakiki

Vipindi

vya

Utoaji

Taarifa

Wahusika

Tarehe Takwimu Mwaka

wa 1

Mwaka

wa 2

Mwaka

wa 3

Mwaka

wa 4

Mwaka

wa 5

Mtekelezaji

Mkuu

Watekelezaji

Wengine

MATOKEO YA MUDA MREFU

Kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto kwa 50% ifikapo 2021/22

MATOKEO YA MUDA WA KATI Na. 1

Kuongezeka kwa

kipato cha kaya

Kiwango cha

umaskini katika ngazi ya

kaya

2016 Itabainishwa Ripoti za

Tathmini na taarifa ya

utekelezaji

ya mwaka

Miaka

mitano

Ripoti za

Tathmini na Taarifa ya

utekelezaji

ya mwaka

Miaka

mitano

WAMJW WVBU, WKMMU,

WFM, NEC,

TASAF, OR -

TAMISEMI,

NBS, AZAKI,

Wadau wa

Maendeleo,

Sekta Binafsi

MATOKEO YA MUDA MFUPI Na. 1.1

Uwepo wa vikundi

imara vya wanawake

vya kiuchumi na upatikanaji wa

huduma wa kifedha.

Asilimia ya

wanawake

wanaopata huduma za

kifedha

2016 51.2 53 57 60 63 65 Ripoti ya

MoCDGEC

Kila mwaka Taarifa za

Ufuatiliaji

na Taarifa ya

utekelezaji

ya mwaka

Kila

mwaka

WAMJW WVBU,

WKMMU,

WFM

MATOKEO YA MUDA MFUPI Na. 1.2

Mfuko utakaochochea

upatikanaji wa elimu

kaika masuala ya

kiufundi, ujasiliamali,

mikopo, masoko na huduma za ushauri

umeanzishwa.

Asilimia ya

wanawake

ambao ni

wanachama wa

VICOBA

2016 79 80 82 83 84 85 Taarifa za

Tanzania

Coperative

Commission

(TCC) na Benki

Kila mwaka Taarifa za

Tanzania

Coperative

Commission

(TCC) na Benki

Kila

mwaka

WKMMU WAMJW

MATOKEO YA MUDA WA KATI Na. 2.

Uelewa wa wanawake kuhusu haki ya

kumiliki mali, urithi,

na kulindwa dhizi ya vitendo vya ukatili wa

kijinsia.

Uwiano wa mali

zinazomilikiwa

na wanawake kwa kuzingatia

umri na

mahali.

2016 Itabainishwa Taarifa za WANMM

Taarifa za BRELA,

Tanzania

Private Sector

Foundation

(TPSF)

WANMM WAMJW, TPSF,

WVBU

MATOKEO YA MUDA MFUPI Na. 2.1

Vikundi ya

wanawake, wajane na watoto

vimewezeshwa

kutambua na kudai haki zao za mirathi.

Asilimia ya

wanawake, wajane

wanaomiliki

ardhi na rasilimali

zingine

2016 Itabainishwa Taarifa za

WANMM

Taarifa za

WANMM

WANMM WAMJW

76

Kesi za mirathi

ziliripotiwa na

kufungwa/

kukamilika

2017 Itabainishwa Taarifa za

WKS

Taarifa za

WKS

WKS WAMJW

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 2: MILA NA DESTURI

Matokeo Viashiria

Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo

vya

Takwimu

Vipindi

vya

Ukusanya

ji

Mbinu za

Uhakiki

Vipindi

vya

Utoaji

Taarifa

Wahusika

Tarehe Takwimu Mwaka

wa 1

Mwaka

wa 2

Mwaka

wa 3

Mwaka

wa 4

Mwaka

wa 5

Mtekelezaji

Mkuu

Watekele

zaji

Wengine

MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 3

Mila na Desturi

zinazounga mkono

vitendo

visivyokuwa vya

kikatili

zinatekelezwa

Muafaka wa

kijamii

unaosisitiza

uondoaji wa

aina yoyote

ile na mazingira

yoyote yale

ya ukatili

2016 Itabainishw

a

Kumbukum

bu za

WAMJW

Miaka

mitano

Taarifa za

utafiti na

tathmini

Miaka

mitano

WAMJW WHUSM

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 3.1

Wanawake na

wanaume

wanapewa mafunzo kuhusu

madhara ya Ukeketaji wa na

ndoa za utotoni

katika mikoa 10

Kiwango cha

Ukeketaji

2010 32 29 25 21 16 11 Taarifa za

Ufuatiliaji

Kila

mwaka

Taarifa za

Ufuatiliaji

Kila

mwaka

WAMJW

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 3.2

Mfumo wa

kushughulikia

tatizo la kutokuwepo kwa

usawa kinjisia

katika maeneo ya kazi na kufikia

huduma

unaanzishwa

Kiwango cha

ukatili wa

kingono

2010 17.2 15.1 13 11.1 9 8 Taarifa za

Ufuatiliaji

Kila

mwaka

Taarifa za

Ufuatiliaji

Kila

mwaka

OR -

TAMISEMI

WAMJW

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 3.3

Wanawake na

watoto

wamewezeshwa

jinsi ya kuwa

salama

Kiwango cha

ndoa za

utotoni

2010 47 40 33 20 15 10 Taarifa ya

utekelezaji

ya mwaka

Kila

mwaka

Taarifa ya

utekelezaji

ya mwaka

Kila

mwaka

WAMJW WIWS

Kiwango cha mimba za

utotoni

2010 27 22 17 14 10 5 Taarifa ya utekelezaji

ya mwaka

na taarifa za

ufuatiliaji

Kila mwaka

Taarifa ya utekelezaji

ya mwaka

na taarifa za

ufuatiliaji

Kila mwaka

WAMJW OR - TAMISE

MI

77

Kiwango cha

ukatili wa

kimwili dhidi

ya wanawake

wenye umri kati ya miaka

15-49

2010 39 30 23 18 13 10 Taarifa ya

utekelezaji

ya mwaka

na Taarifa

za Ufuatiliaji

Kila

mwaka

Taarifa ya

utekelezaji

ya mwaka

na Taarifa

za Ufuatiliaji

Kila

mwaka

WAMJW OR -

TAMISE

MI

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 3: MAZINGIRA SALAMA

Matokeo Viashiria

Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo

vya

Takwimu

Vipindi

vya

Ukusanyaj

i

Mbinu za

Uhakiki

Vipind

i vya

Utoaji

Taarif

a

Wahusika

Tareh

e Takwimu

Mwak

a wa 1

Mwak

a wa 2

Mwak

a wa 3

Mwak

a wa 4

Mwak

a wa 5

Mtekelezaj

i Mkuu

Watekelezaj

i Wengine

MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 4

Usalama wa wanawake na watoto

katika maeneo ya

umma umeboreshwa

Kesi za VAWC zilizotokea katika

maeneo ya umma

2016 Itabainishwa

Taarifa za WMN na

taarifa ya

utekelezaji ya

mwaka

Miaka mitano

Taarifa za utafiti na

tathmini

Miaka mitano

WMN WAMJW

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 4.1

MSM/WIWS/Taasis

i zinaingiza vipengele vya

VAWC katika usimamizi wa

maeneo ya umma

MSM/WIWS/Taasis

i zinazoingiza masuala ya VAWC

katika sheria zao ndogo ndogo/kanuni

2016 Itabainishw

a

Taarifa za

ufuatiliaji na taarifa

ya utekelezaj

i ya

mwaka

Kila mwaka Taarifa za

Ufuatiliaji na taarifa

ya utekelezaj

i ya

mwaka

Kila

mwaka

OR -

TAMISEMI

WIWS

Watoa huduma wanaoshikilia na

wanaotekeleza sera

ya usalama na ulinzi wa watoto na

taratibu za maeneo

ya umma

2016 Itabainishwa

Taarifa ya utekelezaj

i ya

mwaka

Kila mwaka Taarifa za Ufuatiliaji

Kila mwaka

WAMJW WIWS

Matukio ya VAC

katika mazingira

ambamo watoto na vijana wanakutana

na kupitisha muda

wao

2016 Itabainishw

a

Taarifa za

VAWC

Kila mwaka Taarifa ya

utekelezaj

i ya mwaka

Kila

mwaka

WMN WAMJW

Matukio ya VAW katika maeneo ya

umma na yale ya

faragha

2016 Itabainishwa

Taarifa za VAWC

Kila mwaka Taarifa ya utekelezaj

i ya

mwaka na Taarifa za

Ufuatiliaji

Kila mwaka

WAMJW MSM

78

Viongozi wa kisiasa,

wa kidini na watu

wenye ushawishi

katika jamii

wanahusishwa katika mazungumzo

ya masuala ya

VAWC katika maeneo ya umma

2016 Itabainishw

a

Taarifa za

AZAKI

Kila mwaka Taarifa ya

utekelezaj

i ya

mwaka na

Taarifa za Ufuatiliaji

Kila

mwaka

AZAKI WAMJW

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 4: MSAADA WA FAMILIA NA MAHUSIANO

Matokeo Viashiria

Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo

vya

Takwimu

Vipindi

vya

Ukusanyaji

Mbinu za

Uhakiki

Vipindi

vya

Utoaji

Taarifa

Wahusika

Tarehe Takwimu Mwaka

wa 1

Mwaka

wa 2

Mwaka

wa 3

Mwaka

wa 4

Mwaka

wa 5

Mtekelezaji

Mkuu

Watekelezaji

Wengine

MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 5

Watoto wenye desturi

za kimaadili na

wanakua na kufikia utimilifu wao

Uwiano wa wadau

wanaofanya kwa

vitendo malezi mazuri

2016 Itabainishwa Taarifa za

Tathmini

na Taarifa ya

utekelezaji

ya mwaka

Miaka

mitano

Taarifa za

Tathmini

na Taarifa ya

utekelezaji

ya mwaka

Miaka

mitano

WAMJW OR –

TAMISEMI,

AZAKI

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 5.1

Wazazi walezi, watoa

huduma ya malezi ,

familia, jamii wanawezeshwa katika

stadi za malezi chanya

Wadau

wanashirikishwa

katika malezi mazuri

2016 Itabainishwa Taarifa za

Utafiti na

Taarifa ya utekelezaji

ya mwaka

Kila mwaka Taarifa za

Ufuatiliaji

na Taarifa ya

utekelezaji

ya mwaka

Kila

mwaka

WAMJW OR -

TAMISEMI,

AZAKI

Stadi za malezi

kwa wazazi na

watoa huduma wengine wa

malezi

2016 72 80 88 101 105 113 Taarifa za

Utafiti na

Taarifa ya utekelezaji

ya mwaka

Kila mwaka Taarifa za

Ufuatiliaji

Kila

mwaka

WAMJW OR -

TAMISEMI,

AZAKI

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 5.2

Kuongezeka kwa ubora ya Elimu ya

awali na elimu ya

malezi.

Programu/huduma ya kusisimua akili

na maendeleo ya

awali ya utotoni ya chini ya umri

wa miaka mitano

2016 122,500 134, 500

146, 000

166,500 175, 500

183,750 Taarifa za VAWC

Kila mwaka Taarifa ya utekelezaji

ya mwaka

Kila mwaka

WAMJW OR - TAMISEMI,

AZAKI

79

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 5: UTEKELEZAJI WA SHERIA

Matokeo Viashiria

Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo vya

Takwimu

Vipindi

vya

Ukusanyaji

Mbinu za

Uhakiki

Vipindi

vya

Utoaji

Taarifa

Wahusika

Tarehe Takwimu Mwaka

wa 1

Mwaka

wa 2

Mwaka

wa 3

Mwaka

wa 4

Mwaka

wa 5

Mtekelezaji

Mkuu

Watekelezaji

Wengine

MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 6

Ufikikaji na ulinzi wa

huduma za kisheria kwa wanawake na

watoto umeboreshwa

% ya

wanawake na watoto

wanaofikia na

kulindwa na huduma za

kisheria.

2016 Itafahamika

baadae

taarifa za

OWM, TAMISEMI,

WKS

Miaka

mitano

taarifa za

OWM, TAMISEMI,

WKS

Miaka

mitano

WSK OWM,

TAMISEMI, WAMJW,

Mamlaka ya

Serikali za Mitaa

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.1

sheria

zinazoshughulikia

ukatili dhidi ya

wanawake na watoto zimeoanishwa

Sheria

zimeoanishwa

kushughulikia

ukatili dhidi ya wanawake

na watoto

2016 Itabainishwa Taarifa ya

WKS

Kila mwaka Taarifa ya

WKS

Kila

mwaka

WSK WAMJW,

Mamlaka ya

Serikali za

Mitaa, Mashirika

yasiyo ya

Kiserikali

Asilimia ya wanawake na

watoto

wanaoelewa juu ya haki

zao za kisheria

2016 Itabainishwa Taarif aya WKS

Kila mwaka Kila mwaka

WKS WAMJW, Mamlaka ya

Serikali za

Mitaa, Mashirika

yasiyo ya Kiserikali

Muda unaotumika

kuendesha

mashauri ya ukatili dhidi

ya wanawake

na watoto

2016 miezi 48 miezi 42

miezi 36

miezi 25

miezi 18

miezi 12

Taarifa ya WKS

Kila mwaka Taarifa za Ufuatiliaji

Kila mwaka

WKS WAMJW, Mamlaka ya

Serikali za

Mitaa, Mashirika

yasiyo ya

Kiserikali

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.2

Muitikio wa

uwajibikaji katika

mfumo wa sheria kutoa huduma nzuri

kwenye masuala ya

ukatili dhidi ya wanawake na watoto

umeboreshwa

Asilimia ya

kutiwa hatiani

mashauri dhidi ya

wanawake na

watoto

2016 7 15 23 35 38 50 Taarifa ya

WKS

Kila mwaka Taarifa ya

WKS

Kila

mwaka

WKS WAMJW,

Mamlaka ya

Serikali za Mitaa,

Mashirika

yasiyo ya Kiserikali

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.3

Bodi ya msaada wa

Kisheria imeanzishwa

Wilaya zenye

huduma ya msaada wa

kisheria

2016 Itabainishwa

Taarifa ya

WKS

Kila

Mwana

Taarifa ya

WKS

Kila

Mwaka

WKS WAMJW,

Mamlaka ya Serikali za

Mitaa,

Mashirika yasiyo ya

Kiserikali

80

Watu

wanaopata

huduma za

msaada wa

kisheria

2016 Itabainishwa

Taarifa ya

WKS

Kila

Mwaka

Taarifa

yaWKS

Kila

Mwaka

WKS WAMJW,

Mamlaka ya

Serikali za

Mitaa,

Mashirika yasiyo ya

Kiserikali

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 6: MWITIKIO NA HUDUMA SAIDIZI

Matokeo Viashiria

Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo vya

Takwimu

Vipindi

vya

Ukusanyaji

Mbinu za

Uhakiki

Vipindi

vya

Utoaji

Taarifa

Wahusika

Tarehe Takwimu Mwaka

wa 1

Mwaka

wa 2

Mwaka

wa 3

Mwaka

wa 4

Mwaka

wa 5

Mtekelezaji

Mkuu

Watekelezaji

Wengine

MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 6

Ufikikaji na ulinzi wa

huduma za kisheria

kwa wanawake na watoto umeboreshwa

% ya

wanawake na

watoto wanaofikia na

kulindwa na

huduma za kisheria.

2016 Itafahamika

baadae

taarifa za

OWM,

TAMISEMI, WKS

Miaka

mitano

taarifa za

OWM,

TAMISEMI, WKS

Miaka

mitano

WSK OWM,

TAMISEMI,

WAMJW, Mamlaka ya

Serikali za

Mitaa

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.1

sheria

zinazoshughulikia ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

zimeoanishwa

Sheria

zimeoanishwa kushughulikia

ukatili dhidi

ya wanawake na watoto

2016 Itabainishwa Taarifa ya

WKS

Kila mwaka Taarifa ya

WKS

Kila

mwaka

WSK WAMJW,

Mamlaka ya Serikali za

Mitaa,

Mashirika yasiyo ya

Kiserikali

Asilimia ya

wanawake na

watoto wanaoelewa

juu ya haki

zao za kisheria

2016 Itabainishwa Taarif aya

WKS

Kila mwaka Kila

mwaka

WKS WAMJW,

Mamlaka ya

Serikali za Mitaa,

Mashirika

yasiyo ya Kiserikali

Muda

unaotumika kuendesha

mashauri ya

ukatili dhidi

ya wanawake

na watoto

2016 miezi 48 miezi

42

miezi

36

miezi

25

miezi

18

miezi

12

Taarifa ya

WKS

Kila mwaka Taarifa za

Ufuatiliaji

Kila

mwaka

WKS WAMJW,

Mamlaka ya Serikali za

Mitaa,

Mashirika

yasiyo ya

Kiserikali

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.2

81

Muitikio wa

uwajibikaji katika

mfumo wa sheria

kutoa huduma nzuri

kwenye masuala ya ukatili dhidi ya

wanawake na watoto

umeboreshwa

Asilimia ya

kutiwa hatiani

mashauri

dhidi ya

wanawake na watoto

2016 7 15 23 35 38 50 Taarifa ya

WKS

Kila mwaka Taarifa ya

WKS

Kila

mwaka

WKS WAMJW,

Mamlaka ya

Serikali za

Mitaa,

Mashirika yasiyo ya

Kiserikali

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 6.3

Bodi ya msaada wa Kisheria imeanzishwa

Wilaya zenye huduma ya

msaada wa

kisheria

2016 Itabainishwa

Taarifa ya WKS

Kila Mwana

Taarifa ya WKS

Kila Mwaka

WKS WAMJW, Mamlaka ya

Serikali za

Mitaa, Mashirika

yasiyo ya Kiserikali

Watu wanaopata

huduma za

msaada wa kisheria

2016 Itabainishwa

Taarifa ya WKS

Kila Mwaka

Taarifa yaWKS

Kila Mwaka

WKS WAMJW, Mamlaka ya

Serikali za

Mitaa, Mashirika

yasiyo ya

Kiserikali

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 7: SHULE SALAMA NA STADI ZA MAISHA

Matokeo Viashiria

Takwimu za Msingi Shabaha Vyanzo

vya

Takwimu

Vipindi vya

Ukusanyaji

Mbinu za

Uhakiki

Vipindi

vya

Utoaji

Taarifa

Wahusika

Tarehe Takwimu Mwaka

wa 1

Mwaka

wa 2

Mwaka

wa 3

Mwak

a wa 4

Mwaka

wa 5

Mtekelez

aji Mkuu

Watekelezaji

Wengine

MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 8

Mazingira ya

mafunzo yanayofuata

haki kwa

wavulana na wasichana

yameboreshwa

Kesi za

ukatili dhidi ya wanawake

katika

maeneo ya shule

2016 Itaainishwa OR -

TAMISEMI, WEST

Taarifa za

Ufuatiliaji

Miaka mitano OR -

TAMISEMI ,

WEST

taarifaza Ufuatiliaji

Miaka

mitano

OR -

TAMISEMI

WEST,

WAMJW

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 8.1

Uelewa wa masuala na

madhara ya

miongoni mwa walimu na

wanafunzi

unaongezeka

Shule zenye walimu

waliopata

mafunzo stahiki ya

unasihi na

mwongozo

2016 Itaainishwa Taarifa za OR -

TAMISEM

I

Kila mwaka Taarifa za OR -

TAMISE

MI

Kila mwaka

OR - TAMISE

MI

WEST,

Vilabu vya

wanafuzi

shuleni

2016 398 700 2,300 5,050 10,600 13,300 Tarifa za

OR-

TAMISEM

Kila mwaka Taarifa za

OR -

TAMISE

Kila

mwaka

OR -

TAMISE

MI

WEST, OR -

TAMISEMI

82

i MI

Kiwango cha

wanafunzi kuacha shule

kutokana na

kesi za mimba katika

shule ya

msingi na sekondari

2016 251 226 201 161 151 125 BEST Kila mwaka BEST Kila

mwaka

WEST OR -

TAMISEMI Mamlaka ya

Serikali za

Mitaa

2016 3,439 3,099 2,759 2,399 2,159 1,720 BEST Kila mwaka BEST Kila

mwaka

WEST OR-

TAMISEMI,

Mamlaka ya Serikali za

Mitaa

Mabaraza ya

watoto katika ngazi ya

Wilaya

2016 108 124 140 164 174 185 Taarifa za

WAMJW

Kila mwaka Taarifa za

WAMJW

Kila

mwaka

Mamlaka

ya Serikali

za Mitaa

WAMJW

% ya walimu

waliopata

mafunzo

kuhusu haki za mtoto na

wajibu na

masuala ya

2016 Itabainishwa Taarifa za

OR-

TAMISEM

I

Kila mwaka Taarifa za

OR-

TAMISE

MI

Kila

mwaka

OR-

TAMISE

MI

BEST,

WAMJW

Afisa

mmojawa

Ustawi wa Jamii katika

Wilaya

aliyeteuliwa kwa kutoa

Huduma za

Ustawi Jamii

shuleni

2016 Itabainishwa Taarifa za

OR-

TAMISEMI

Kila mwaka Taarifa za

OR-

TAMISEMI

Kila

mwaka

Taarifa

za OR-

TAMISEMI

WEST,

WAMJW

ENEO LA UTEKELEZAJI NA. 8: URATIBU, UFUATILIAJI NA TATHMINI

Matokeo Viashiria

Takwimu za Msingi Shabaha

Vyanzo vya

Takwimu

Vipindi vya

Ukusanyaji

Mbinu za

Uhakiki

Vipindi

vya

Utoaji

Taarifa

Wahusika

Tarehe Takwimu Mwaka

wa 1

Mwaka

wa 2

Mwaka

wa 3

Mwaka

wa 4

Mwaka

wa 5

Mtekelezaji

Mkuu

Watekel

ezaji

Wengine

MATOKEO YA MUDA WA KATI NA. 9

Uratibu, ufuatiliaji na

tathmini ya

ukatili dhidi ya wanawake na

watotokuimari

shwa

% ya shabaha za

MTAKUWW

A zilizofikiwa

2016 Itabainishwa

WAMJW na Taarifa za

Tathmini

Miaka mitano

WAMJW na Taarifa za

Tathmini

Miaka mitano

WAMJW OWM

% ya

Mamlaka za

Serikali za Mitaa zilizo

nakamati hai

za ukatili dhidi ya

2016 Itabainish

wa

WAMJW na

Taarifa za

Tathmini

Miaka

mitano

WAMJW na

Taarifa za

Tathmini

Miaka

mitano

WAMJW OR -

TAMISE

MI, OWM

83

wanawake na

watoto katika

ngazi zote

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA 9.1

Muundo wa

pamoja wa uratibu wa

afua za ukatili

dhidi ya wanawake na

watoto katika

ngazi ya taifa na Mamlaka

za Serikali za

Mitaa kuanzishwa.

Kuwepo kwa

muundo wa uratibu wa

ukatili dhidi

ya wanawake na watoto

katika

Mamlaka za Serikali za

Mitaa

2016 Itabainish

wa

Taarifa za

WAMJW

Kila mwaka Taarifa za

WAMJW

Kila

mwaka

WAMJW OR -

TAMISEMI,

OWM

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA 9.2

Uwezo wa rasilimali watu

na fedha

kuhusu utekelezaji wa

VAWC

MTAKUWWA

kuimarishwa

% ya bajeti zilizotengwa

kwa ajili ya

utekelezaji wa MTAKUWW

A katika

MTEFs za Mamlaka za

Serikali za

Mitaa na Wizara, Idara

na Wakala za

Serikali

2016 Itabainishwa

Taarifa za OR -

TAMISEMI,

OWM

Kila mwaka Taarifa za OWM

Kila mwaka

OWM WIWS

MATOKEO YA MUDA MFUPI NA. 9.3

Mifumo na

zana kwa ajili

ya ukusanyaji wa takwimu,

uchakataji na

ufuatiliaji wa MTAKUWW

A

kuimarishwa

% ya takwimu

za msingi na

takwimu za shabaha za

MTAKUWW

A

2016 24 50 65 85 Taarifa za

WAMJW

Kila mwaka Taarifa za

WAMJW

Kila

mwaka

WAMJW OWM ,

WMN,

WEST, MSM