JUNI 2017Chapisho hili limeandaliwa kwa ushirikiano na Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) iliyopo Dar es Salaam, Tanzania, chini ya mkataba namba AID-621-C-15-00003 na USAID/Tanzania.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
KIONGOZI CHA UTARATIBU WA MAFUNZO ELEKEZI YA AWALI KWA WATUMISHI WAPYA WA SEKRETARIETI ZA
MIKOA NA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA
USAID/Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) una lengo la kuisaidia Serikali ya Tanzania kuimarisha utoaji wa huduma katika sekta mbalimbali, hasa katika jamii zenye uhitaji zaidi. Ikiongozwa na kampuni ya Abt Associates Inc., PS3 inatekelezwa kwa ushirikiano na Taasisi ya Ben-jamin William Mkapa, Broad Branch Associates, IntraHealth International, Chuo cha Serikali za Mitaa – Hombolo (LGTI), Tanzania Mentors Associa-tion, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Urban Institute.
JUNI 2017 Mkataba Na: AID-621-C-15-00003
Nukuu Pendekezwa: Juni 2017. Kiongozi cha Utaratibu wa Mafunzo Elekezi ya Awali kwa Watumishi Wapya wa Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa. Bethesda, MD: Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3), Abt Associates.
KANUSHOChapisho hili limefanikishwa kwa msaada wa watu wa Marekani kupitia Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID), kupitia Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3). Ofisi ya Rais - TAMISEMI ndiyo itakayowajibika na matokeo ya kazi hii. Chapisho hili si lazima liwakilishe maoni ya USAID au ya Serikali ya Marekani.
i
YALIYOMO
DIBAJI............................................................................................................................................iiiSHUKRANI.................................................................................................................................ivVIFUPISHO VYA MANENO...................................................................................................vTAFSIRI YA MANENO...........................................................................................................vIUTANGULIZI..............................................................................................................................1MADHUMUNI............................................................................................................................2MAJUKUMU YA WADAU MBALIMBALI..........................................................................31.0 Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora............42.0 Ofisi ya Rais – TAMISEMI................................................................................................43.0 Sekretarieti za Mikoa........................................................................................................44.0 Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.........................45.0 Wizara za Kisekta...............................................................................................................46.0 Tume ya Utumishi wa Umma.........................................................................................47.0 Tume ya Utumishi wa Walimu........................................................................................48.0 Taasisi za Elimu.....................................................................................................................49.0 Bodi za Kitaaluma...............................................................................................................510.0 Mamlaka za Serikali za Mitaa........................................................................................511.0 Taasisi za Fedha.................................................................................................................512.0 Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.............................................................................................513.0 Tarafa/Kata/Kijiji/Mtaa.....................................................................................................514.0 Vituo vya Kutolea Huduma...........................................................................................615.0 Wadau wa Maendeleo.....................................................................................................6HITIMISHO................................................................................................................................21Kiambatisho Na. A - ORODHA YA WAJUMBE WALIOSHIRIKI KATIKA KIKOSI KAZI..........................................................................................................22Kiambatisho Na. B - HADIDU ZA REJEA ZA TIMU YA MAPOKEZI YA WATUMISHI WAPYA KATIKA NGAZI YA SEKRETARIETI YA MKOA NA HALMASHAURI.....................................................................................................................24Kiambatisho Na. C - HADIDU ZA REJEA ZA TIMU YA MAPOKEZI YA WATUMISHI WAPYA KATIKA NGAZI YA KATA/KIJIJI/MTAA.............................25
ii
DIBAJI
Serikali kupitia Waraka wa Utumishi Na. 5 wa Mwaka 2011 ilielekeza watumishi wanaoajiriwa kwa mara ya kwanza kupatiwa Mafunzo Elekezi ya Awali ndani ya kipindi cha miezi mitatu tangu kuajiriwa. Aidha, Taasisi katika Utumishi wa Umma zilielekezwa kuwafahamisha watumishi wapya mazingira ya Taasisi pindi wanapori-poti katika vituo vyao vya kazi na kuwapatia taarifa muhimu. Hata hivyo, utekelezaji wa Waraka huu umekuwa na changamoto ambapo watumishi wanaoajiriwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa wamekuwa wakipokelewa kwa utaratibu unaotofauti-ana kutokana na kukosekana kwa kiongozi mahsusi cha Mafunzo Elekezi.Kutokana na changamoto hii, wadau mbalimbali wamejaribu kutengeneza utaratibu ambao ni mahsusi kwa baadhi ya kada na maeneo fulani. Mfano, Taasisi ya Benjamin William Mkapa katika kipindi cha mwaka 2013, iliandaa kitini kwa ajili ya kutoa Mafunzo Elekezi ya Awali na kuwapokea watumishi wa kada ya Afya katika Mam-laka za Serikali za Mitaa. Hali kadhalika, baadhi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa zimekuwa zikiandaa utaratibu ambao sio rasmi wa kupokea watumishi wapya ka-tika Mamlaka hizo.Hali hii imesababisha watumishi wapya kutokuwa na uelewa mzuri juu ya haki, wajibu, sheria na kanuni za Utumishi wa Umma. Aidha, watumishi wengi wame-ingia kwenye Utumishi wa Umma bila kuyafahamu maadili yanayoongoza utumishi wa Umma, taaluma za kada zao na kukosa mbinu za kukabiliana na changamoto za mazingira ya kazi, hali ambayo imechangia katika kuathiri utendaji, uvutiaji na ukaaji wa watumishi wa Umma hususan katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.Kutokana na changamoto hii, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR -TAMISEMI) kupitia Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) kwa lengo la kuboresha utoaji huduma katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa, imeandaa Kiongozi cha Utaratibu wa Mafunzo Elekezi ya Awali kwa Watumishi Wapya wanaoajiriwa katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa. Kiongozi hiki kinaweka utaratibu maalum wa utoaji wa Mafunzo Elekezi ya Awali katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa ili kuboresha utendaji kazi wa watumishi wapya na hivyo kuwa na Utumishi wa Umma wenye tija na utoaji wa huduma bora kwa wananchi.Ni matumaini yangu kuwa Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa zitatekeleza maelekezo yaliyomo katika Kiongozi hiki ili kuleta mabadiliko chanya katika Utumishi wa Umma.
Eng. Mussa I. IyombeKATIBU MKUU
iii
SHUKRANI
Ofisi ya Rais-TAMISEMI inapenda kutoa shukrani za dhati kwa wadau wote waliochangia na kufanikisha uandaaji wa Kiongozi cha Utaratibu wa Mafunzo Elekezi ya Awali kwa Watumishi Wapya wanaoajiriwa ka-tika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa. Kiongozi hiki kimeandaliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ushirikiano na Serikali ya Marekani kupitia Shirika lake la Maendeleo (US-AID) chini ya Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3). OR-TAMISEMI inatambua na kushukuru mchango uliotolewa na Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora; Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi; Ofisi za Wakuu wa Mikoa ya Katavi, Lindi na Shinyanga; Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro; Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero; Chuo cha Serikali za Mitaa-Hombolo na; Chuo cha Utumi-shi wa Umma Tanzania kwa kuwaruhusu watumishi wao kufanya kazi hii muhimu.
Aidha, shukrani za pekee zinatolewa kwa Wajumbe walioshiriki katika Kikosi Kazi kilichoundwa na OR-TAMISEMI kama inavyonekana katika Kiambatisho A.
iv
VIFUPISHO VYA MANENO
BMF - Benjamin William Mkapa Foundation
GSO - Government Security Officer
HCMIS - Human Capital Management Information System
HR - Human Resource
LGTI - Local Government Training Institute
MSM - Mamlaka za Serikali za Mitaa
OPRAS - Open Performance Review and Appraisal System
OR-TAMISEMI - Ofisi ya Rais -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
OR-MUUUB - Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
PS3 - Public Sector Systems Strengthening
TPSC - Tanzania Public Service College
TSC - Teachers Service Commission
USAID - United States Agency for International Development
v
TAFSIRI YA MANENO:
Kiongozi Kitini kinachotumika kutoa maelekezo ya mafunzo elekezi ya awali ya watumishi wapya katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa
Wadau wa Maendeleo Mtu binafsi,Taasisi, Shirika, Asasi za Kiraia, Jumuiya, Washirika wa Maendeleo
Mafunzo Elekezi ya Awali Maelekezo ya masuala ya msingi katika Utumishi wa Umma ikiwa ni pamoja na mapokezi ya Watumishi wapya katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa yanayotolewa wakati watumishi hao wanaajiriwa kwa mara ya kwanza kwa lengo la kuwasaidia kumudu majukumu yao na mazingira mapya ya kazi.
vi
UTANGULIZI
Kiongozi cha Utaratibu wa Mafunzo Elekezi ya Awali kwa Watumishi Wapya wa Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinaku-sudia kurahisisha utekelezaji wa Sera ya Mafunzo katika Utumishi wa Umma ya Mwaka 2013 na Waraka wa Utumishi Na. 5 wa Mwaka 2011 unaohusu Mafunzo Elekezi ya Awali kwa Watumishi Wapya.
Mnamo mwezi Agosti 2016, OR-TAMISEMI ilifanya utafiti kuhusu utekelezaji wa Mafunzo Elekezi ya Awali kwa watumishi wapya katika Mikoa mitano (5) na Mamlaka za Serikali za Mitaa kumi na tano (15).
Utafiti huo ulibaini changamoto mbalimbali katika utoaji wa Mafunzo Elekezi ya Awali kwa watumishi wapya ambapo mafunzo haya hayatolewi kwa wakati na kwa kiwango kinachotakiwa au hayatolewi kabisa.
Hali hii imesababisha watumishi wapya kutokuwa na uelewa mzuri juu ya haki na wajibu wao, hivyo kuathiri utendaji, uvutiaji na kuwabakiza watumishi wa Umma katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kutokana na matokeo ya utafiti huo, imeonekana kuna umuhimu wa kuandaa Kiongozi cha Mafunzo Elekezi ya Awali kwa Watumishi Wapya katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kiongozi hiki kinatoa utaratibu na majukumu ya Taasisi za Umma, na wa-dau wengine wa maendeleo katika utekelezaji wa Mafunzo Elekezi ya Awali kwa watumishi wote wapya katika Sekretarieti za Mikoa na Mam-laka za Serikali za Mitaa.
1
MADHUMUNIKiongozi cha Utaratibu wa Mafunzo Elekezi ya Awali kwa Watumishi wapya wa Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinaweka utaratibu wa utoaji wa mafunzo elekezi ya awali kwa watumishi wapya wanaoajiriwa katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa. Kiongozi hiki kinakusudia kutatua changamoto za utoaji wa mafunzo hayo kwa watumishi wapya ili kuleta ufanisi katika utendaji kazi wa watumishi wapya na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.
Utekelezaji wa Kiongozi hiki, unatarajiwa kuleta manufaa yafuatayo kwa mtumishi mpya:-
n Kufahamu Dira, Dhima na Malengo ya Taasisi;
n Kufahamu haki na wajibu wake, viwango vya utekelezaji na utaratibu uliopo katika utekelezaji wake;
n Kufahamu mazingira na mbinu za kukabiliana na changamoto zilizopo;
n Kuimarisha maadili ya Utumishi wa Umma na kujenga mahusiano mazuri baina ya mtumishi mpya na watumishi wenzake pamoja na jamii; na
n Kuwasaidia watumishi wapya kubaki katika vituo vyao vya kazi na kutoa huduma bora kwa wananchi.
2
MAJUKUMU YA WADAU MBALIMBALI
Yafuatayo ni majukumu ya wadau mbalimbali katika utekelezaji wa kiongozi hiki. Majukumu pamoja na shughuli mahsusi zitakazotekelezwa zimefafanuliwa kwa kina katika jedwali la maelekezo ya utekelezaji wa mafunzo elekezi ya awali kwa watumishi wapya wanaoajiriwa katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa;
1.0 OfisiyaRais–MenejimentiyaUtumishiwaUmmana Utawala BoraOfisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ina jukumu la kutoa miongozo ya utoaji wa mafunzo kwa watumishi wa umma na kupokea nakala ya taarifa za utekelezaji wa utoaji wa mafunzo elekezi ya awali.
2.0 OfisiyaRais–TAMISEMIOfisi ya Rais-TAMISEMI ina jukumu la kupokea taarifa, kuchambua na kutoa mrejesho kutoka katika Sekretarieti za Mikoa kuhusu mafunzo elekezi ya awali katika Mamlaka za Serikali za Mitaa pamoja na kuratibu utoaji wa mafunzo ya awali kwa watumishi wapya wa Mamlaka za Serikali za Mitaa.
3.0 Sekretarieti za MikoaSekretarieti za Mikoa zina jukumu la kusimamia utekelezaji wa Kiongozi cha Utaratibu wa Mafunzo Elekezi ya Awali katika ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa, kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji na kutoa taarifa OR-TAMISEMI kuhusu utekelezaji wa Kiongozi hiki, pamoja na kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu namna bora ya kuendesha mafunzo hayo kwa wa-tumishi wapya wa Mamlaka za Serikali za Mitaa za Mkoa husika.
3
4.0 OfisiyaRais–SekretarietiyaAjirakatikaUtumishiwa UmmaIna jukumu la kutoa taarifa kamili ya orodha ya watumishi wapya wa-naopangwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ili kuziwezesha Mamlaka husika kujiandaa kwa ajili ya mapokezi na mafunzo elekezi ya awali kwa watumishi hao.
5.0 Wizara za KisektaWizara za Kisekta zina jukumu la kuhakikisha Sera, Sheria Kanuni na Mion-gozo ya Kisekta inawafikia watumishi wa sekta husika ikiwa ni pamoja na watumishi wapya. Pale ambapo Wizara za Kisekta zinapopewa jukumu la kuwapangia vituo vya kazi watumishi wapya zihakikishe Watumishi hao wanakidhi sifa za Miundo ya Kiutumishi.
6.0 Tume ya Utumishi wa UmmaTume ya Utumishi wa Umma ina jukumu la kusimamia uzingatiwaji wa Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma ikiwa ni pamoja na utoaji wa mafunzo elekezi ya awali kwa watumishi wapya wa Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
7.0 Tume ya Utumishi wa WalimuKatika kutekeleza Kiongozi hiki Tume ya Utumishi wa Walimu ina jukumu la kuwasajili walimu wapya, kukamilisha taratibu za ajira za walimu wapya na kutoa mafunzo kuhusu Maadili na Miiko ya kazi ya Ualimu.
8.0 Taasisi za ElimuChuo cha Serikali za Mitaa – Hombolo na Chuo cha Uongozi wa Ma-hakama - Lushoto vina jukumu la kutoa mafunzo elekezi ya awali, kutoa ushauri kwa Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu namna bora ya kuendesha mafunzo pamoja na kufanya utafiti kuhusu utoaji wa mafunzo hayo kwa watumishi wapya katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
4
9.0 Bodi za KitaalumaJukumu la Bodi za Kitaaluma ni kutoa miongozo ya kitaaluma na kufanya usajili wa wataalam wa kada husika kwa mujibu wa vigezo vilivyopo.
10.0 Mamlaka za Serikali za MitaaMamlaka hizi zina jukumu la kutekeleza Kiongozi cha Utaratibu wa Mafunzo Elekezi ya Awali katika Mamlaka zao, kufuatilia utekelezaji wake katika ngazi ya Kata, Kijiji, Mtaa na Vituo vya kutolea Huduma na kuku-sanya, kuchambua, kuwasilisha taarifa Mkoani pamoja na kuratibu ushiriki wa wadau mbalimbali katika utoaji wa mafunzo hayo.
11.0 Taasisi za FedhaTaasisi hizi zina jukumu la kutoa huduma za kibenki kwa watumishi wapya wa Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa na huduma ny-inginezo kwa mujibu wa Sera ya Taasisi husika.
12.0 Mifuko ya Hifadhi ya JamiiJukumu la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ni kutoa maelezo kwa watumishi wapya kuhusu mafao yanayotolewa na Mifuko hiyo, kufanya usajili wa wa-nachama, kutoa kadi za uanachama na kuelezea fursa mbalimbali zinazo-tolewa na Mifuko kwa wanachama na huduma nyinginezo kwa mujibu wa Sera ya Taasisi husika.
13.0 Tarafa/Kata/Kijiji/MtaaNgazi hizi za utawala zina jukumu la kuwapokea, kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa mafunzo elekezi ya awali kwa watumishi wapya katika vi-tuo vya kutolea huduma vilivyopo katika maeneo yao na pia kutoa taarifa katika ngazi ya Mkoa na Halmashauri.
5
6
14.0 Vituo vya Kutolea HudumaVituo vya kutolea huduma vina jukumu la kufanya maandalizi ya ku-wapokea watumishi wapya (makazi, ofisi na vitendea kazi); kuwapokea na kuwatambulisha kwa watumishi na viongozi wa eneo husika; kuwapa taarifa muhimu kuhusu mazingira, fursa, maeneo ya huduma muhimu na tamaduni za jamii za mahali kilipo kituo cha kazi. Aidha, vituo vya ku-tolea huduma vina wajibu wa kuwapangia watumishi wapya majukumu /mgawanyo wa kazi; kumpangia mtumishi mpya mshauri (Mentor); ku-peleka taarifa ya kupokelewa na kupangiwa kazi mtumishi mpya kwenye Serikali ya Kijiji/Mtaa na Halmashauri na Sekretarieti za Mkoa husika.
15.0 Wadau wa MaendeleoMajukumu ya Wadau wa Maendeleo ni pamoja na kushiriki katika mapokezi ya watumishi wapya kwa kuwezesha upatikanaji wa makazi, usafiri, chakula, fedha na vitendea kazi ili kuchangia juhudi za Serikali za kuboresha utoaji huduma bora kwa wananchi.
Jedw
ali
la
maj
ukum
u na
m
aele
kezo
ya
ut
ekel
ezaj
i w
a M
afun
zo
Elek
ezi
ya
Aw
ali
kwa
Wat
umis
hi W
apya
wan
aoaj
iriw
a ka
tika
Sekr
etar
ieti
za M
ikoa
na
Mam
laka
za
Serik
ali z
a M
itaa.
NA
. N
GA
ZI
HA
TUA
SH
UGH
ULI
M
UDA
M
HUS
IKA
REJE
A
1W
IZA
RA
Ka
bla
ya
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
Ku
tum
a o
rod
ha
ya
wa
tum
ishi
wa
pya
n
a
ma
wa
silia
no
ya
o
(na
mb
a z
a s
imu
na
an
ua
ni z
a
ba
rua
pe
pe
) kw
a S
ekr
eta
riati
za
Mik
oa
n
a
Ma
mla
ka
za
Serik
ali
za M
itaa
Siku
14
kab
la
ya
kurip
oti
Ofis
i ya
R
ais-
Sekr
eta
rieti
ya
Ajir
a;
OR
-TA
MIS
EMI;
Wiz
ara
za
Se
kta
hu
sika
Ka
nu
ni
B.7
ya
K
an
un
i za
K
ud
um
u
zaU
tum
ishi
wa
U
mm
a z
a M
wa
ka 2
009
Ku
wa
julis
ha
wa
tum
ish
i wa
pya
Mik
oa
na
Ma
mla
kaza
Se
rika
li za
M
itaa
w
aliz
op
an
giw
a
na
m
ud
a w
a k
urip
oti
Ofis
i ya
Ra
is-
Sekr
eta
rieti
ya
Ajir
a;
OR
–TA
MIS
EMI;
Wiz
ara
za
Se
kta
hu
sika
Mw
on
go
zo
kuh
usu
M
asu
ala
ya
A
jira
ka
tika
U
tum
ish
i w
a
Um
ma
wa
Mw
aka
200
9
Ba
ad
a
ya
Ku
ripo
tika
tika
ki
tuo
c
ha
ka
zi
Ku
fan
ya
ufu
atil
iaji
wa
m
ap
oke
zi
ya
Wa
tum
ishi
wa
pya
ka
tika
Se
kre
tarie
ti za
M
iko
a n
a M
am
laka
za
Se
rika
li za
Mita
a
Siku
14
ba
ad
a
ya
uko
mo
w
a
mu
da
w
a
kurip
oti
Ofis
i ya
Ra
is-
Sekr
eta
rieti
ya
Ajir
a;
OR
–TA
MIS
EMI;
OR
–M
UU
UB
; W
iza
ra
ya
Sekt
a h
usik
a
Wa
raka
w
a
Utu
mish
i N
a.
5
wa
Mw
aka
201
1
Ku
fua
tilia
ute
kele
zaji
wa
m
afu
nzo
e
leke
zi
ya
aw
ali
katik
aSe
kre
tarie
ti za
M
iko
a
na
Ma
mla
ka
za
Serik
ali
za
Mita
a
Mie
zi
3b
aa
da
ya
ku
ripo
ti
OR
–TA
MIS
EMI;
OR
–M
UU
UB
; W
iza
ra
ya
Sekt
a h
usik
a
Ka
bla
ya
K
urip
oti
Ku
fua
tilia
taa
rifa
ya
oro
dh
a
yaw
atu
mish
i w
ap
ya
na
N
da
ni
ya
siku
14
Sekr
eta
rieti
ya
Mko
aSh
eria
ya
Ta
wa
la
za
Mik
oa
N
a. 1
9 ya
Mw
aka
199
7
7
8
NA
. N
GA
ZI
HATU
A
SHUG
HULI
MUD
A
MHU
SIKA
REJE
A
2M
KO
A
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
ma
an
da
lizi
ya
kuw
ap
oke
a
katik
a M
am
laka
za
Se
rika
li za
M
itaa
kab
la
ya
mu
da
w
a
kurip
oti
Wa
kati
wa
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
Ku
toa
ush
au
ri kw
a M
am
laka
za
Se
rika
li za
M
itaa
ku
hu
su
na
mn
a
bo
ra
ya
kue
nd
esh
a
ma
fun
zo
ya
aw
ali
kwa
w
atu
mish
i wa
pya
Nd
an
i ya
si
ku14
tan
gu
w
arip
oti
kazi
ni
Sekr
eta
rieti
ya
Mko
aSh
eria
ya
Ta
wa
la
za
Mik
oa
N
a. 1
9 ya
Mw
aka
199
7
Ku
fua
tilia
w
atu
mish
i w
ap
ya
wa
na
orip
oti
kwe
nye
M
am
laka
za
Se
rika
li za
Mita
a
Siku
14
ziliz
o
ain
ishw
a
kwe
nye
Ta
ng
azo
/b
aru
a
Sekr
eta
rieti
ya
Mko
a
She
ria
ya
Taw
ala
za
M
iko
a
Na
. 19
ya M
wa
ka 1
997
Ba
ad
a
ya
Ku
ripo
tika
tika
ki
tuo
c
ha
ka
zi
Ku
fua
tilia
u
teke
leza
ji w
a
ma
fun
zo e
leke
zi y
a a
wa
li kw
a
wa
tum
ishi
wa
pya
ka
tika
M
am
laka
za
Se
rika
li za
Mita
a
Mie
zi
3b
aa
da
ya
ku
ripo
ti
Sekr
eta
rieti
ya
Mko
aSh
eria
ya
Ta
wa
la
za
Mik
oa
N
a. 1
9 ya
Mw
aka
199
7
3SE
KR
ETA
RI
ETI
YA
M
KO
A/
HA
LMA
SHA
UR
•K
ua
nd
aa
Tim
u /
Afis
a w
a
ma
po
kezi
kw
a
kuzi
ng
atia
ka
da
na
ida
di
ya w
atu
mish
i wa
pya
;•
Ku
an
da
u
tara
tibu
w
a
kuw
ap
oke
a
wa
tum
ishi
wa
pya
kw
a
ajil
i ya
ku
wa
pa
m
ae
leke
zo
ya
aw
ali
ya m
sing
i
Siku
14
kab
la
ya
kurip
oti
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/Mku
rug
en
zi
wa
H
alm
ash
au
ri
-
9
NA
. N
GA
ZI H
ATU
A SH
UG
HU
LI
MU
DA
MH
USI
KA
RE
JEA
SEK
RET
AR
IET
I Y
A
MK
OA
/H
ALM
AS
HA
UR
I
Ka
bla
ya
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
Ku
fan
ya
ma
wa
silia
no
n
a
wa
tum
ishi w
ap
ya k
wa
njia
ya
sim
u,
tovu
ti a
u
Ba
rua
P
ep
e,
vyo
mb
o v
ya H
ab
ari
(ra
dio
, TV
n
a
ma
ga
zeti)
n
a
kuw
ap
a
ma
ele
kezo
ya
n
am
na
ya
ku
fika
ma
en
eo
hu
sika
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
-
Ku
an
da
a
Fom
u
za
ku
kam
ilish
a t
ara
tibu
za
a
jira
ka
tika
U
tum
ishi
wa
U
mm
a,
mfa
no
:-
Fom
u
ya
Taa
rifa
za
K
iutu
mis
hi
(PR
F)
Ku
dh
ibiti
A
jira
K
azi
ni
(EB
1)
Fo
mu
za
Uc
hu
ng
uzi
wa
A
fya
(Re
qu
est
fo
r M
ed
ica
l Exa
min
atio
n)
Fo
mu
za
Mka
tab
a w
a
Ajir
a y
a W
alim
u
Fo
mu
za
M
ifuko
ya
H
ifad
hi y
a J
am
ii
Fom
u
ya
Ah
ad
i ya
U
ad
ilifu
Fo
mu
ya
Bim
a y
a A
fya
(N
HIF
)
Fom
u
ya
Wa
zi
ya
Ma
piti
o n
a U
pim
aji
wa
U
ten
da
ji K
azi
(O
PR
AS )
. “H
isto
ry S
he
et”
Ka
tibu
Ta
wa
law
a
Mko
a
/Mku
rug
en
zi w
a
Ha
lma
sha
uri/
Ka
tibu
TSC
Ka
nu
ni
D.1
6,
D.3
6,
D.3
7,
D.4
2 n
a D
.64
ya K
an
un
i za
K
ud
um
u
za
Utu
mis
hi
wa
U
mm
a
za
Mw
aka
20
09;
She
ria
Na
.25
ya
M
wa
ka
2015
ya
Tu
me
ya
Utu
mish
i w
a
Wa
limu
; K
an
un
i za
Tu
me
ya
U
tum
ishi
wa
W
alim
u y
a M
wa
ka 2
016
10
NA
. N
GA
ZI H
ATU
A SH
UG
HU
LI
MU
DA
MH
USI
KA
RE
JEA
SEK
RET
AR
IET
I Y
A
MK
OA
/H
ALM
ASH
AU
RI
Ka
bla
ya
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
sha
jala
kw
a a
jili
ya z
oe
zi l
a
ma
po
kezi
ya
w
atu
mish
i w
ap
ya
katik
a
Ma
mla
ka
za
Serik
ali
za
Mita
a:-
(Sc
an
ne
r,K
om
pyu
ta,
ph
oto
co
py
ma
ch
ine
, Sta
tion
erie
s)
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
-
Ku
an
da
a
seh
em
u
ya
karib
u
ya
kuto
lea
H
ud
um
a
ya
Uc
hu
ng
uzi
wa
Afy
a
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
-
Ku
wa
pa
ng
ia
vitu
o
vya
ka
zi
wa
tum
ishi w
ap
yaK
atib
u
Taw
ala
w
a
Mko
a
/Mku
rug
en
zi w
a
Ha
lma
sha
uri
-
Ku
wa
taa
rifu
w
asi
ma
miz
i w
a
vitu
o k
ufa
nya
ma
an
da
lizi
ya
kuw
ap
oke
a
wa
tum
ishi
wa
liop
an
gw
a
katik
a
vitu
o
vya
o
na
ku
toa
n
aka
la
kwa
A
fisa
Ta
rafa
,Mte
nd
aji
Ka
ta,
Mta
a/
Kiji
ji
Siku
14
kab
la
ya
kurip
oti
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
-
Ku
an
da
a
uta
ratib
u
wa
ku
wa
pe
leka
w
atu
mish
i w
ap
ya k
we
nye
vitu
o v
ya k
azi
w
aliv
yop
an
giw
a
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
-
Ku
an
da
a s
tah
ili z
a w
atu
mish
i w
ap
ya (
Po
sho
za
Ku
jikim
u n
a
Na
uli)
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
Ka
nu
ni
J.2
(1)
(a),
L.
6 ya
K
an
un
i za
K
ud
um
u
zaU
tum
ishi
wa
U
mm
a
za
Mw
aka
20
09;
Wa
raka
wa
W
atu
mis
hi
wa
Se
rika
li N
a.4
w
a M
wa
ka 2
014
Ku
an
da
a
vite
nd
ea
ka
zi
n
a
Ka
tibu
Ta
wa
la
11
NA
. N
GA
ZI H
ATU
A SH
UG
HU
LI
MU
DA
MH
USI
KA
RE
JEA
SEK
RET
AR
IET
I Y
A
MK
OA
/H
ALM
AS
HA
UR
I
Ku
wa
taa
rifu
W
ad
au
w
a
ma
en
de
leo
,ta
asi
si z
a k
ibe
nki
n
a
M
ifuko
ya
H
ifad
hi
ya
Jam
ii ku
jian
da
a
kush
iriki
an
a
na
H
alm
ash
au
ri ku
fan
ikish
a
ma
fun
zo E
leke
zi y
a A
wa
li kw
a
Wa
tum
ish
i w
ap
ya
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
Mw
on
go
zo
wa
U
an
dik
ish
aji
Wa
na
ch
am
a w
a M
ifuko
ya
H
ifad
hi
ya
Jam
ii,
2013
K
ifun
gu
N
a.7
(T
he
So
cia
l Se
cu
rity
Sch
em
es
Me
mb
ers
hip
R
eg
istra
tion
G
uid
elin
es
of
2013
)K
ua
nd
aa
m
pa
ng
o
wa
m
afu
nzo
n
a
wa
we
zesh
aji
wa
taka
oto
a
ma
fun
zo
ya
aw
ali
kwa
wa
tum
ishi w
ap
ya
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
Sera
ya
Me
ne
jime
nti
na
A
jira
ka
tika
U
tum
ish
i w
a
Um
ma
, To
leo
la 2
(20
08)
Wa
kati
wa
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
Ku
wa
po
kea
n
a
kuw
aka
ribish
a
wa
tum
ishi
wa
pya
n
a
kuw
afa
nyi
a
uta
mb
ulis
ho
Siku
7K
atib
u
Taw
ala
w
a
Mko
a
/Mku
rug
en
zi w
a
Ha
lma
sha
uri
-
Ku
kag
ua
vy
eti
ha
lisi
vya
w
atu
mish
i na
ku
wa
silis
ian
a n
a
Ma
mla
ka h
usik
a k
wa
uh
aki
ki
zaid
i
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
-
12
NA
. N
GA
ZI H
ATU
A SH
UG
HU
LI
MU
DA
MH
USI
KA
RE
JEA
SEK
RET
AR
IET
I Y
A
MK
OA
/H
ALM
AS
HA
UR
I
Wa
kati
wa
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
Ku
wa
ele
keza
w
atu
mish
i ku
jaza
fo
mu
za
ku
kam
ilish
a
tara
tibu
za
a
jira
ka
tika
U
tum
ishi w
a U
mm
a, m
fan
o:-
Fo
mu
ya
Ta
arif
a
za
Kiu
tum
ishi,
Fom
u
ya
kud
hib
iti
Ajir
a
Serik
alin
i (E
B1)
Fo
mu
za
U
ch
un
gu
zi
wa
A
fya
(R
eq
ue
st
for
Me
dic
al E
xam
ina
tion
)
Fom
u z
a M
kata
ba
Fo
mu
ya
W
azi
ya
M
ap
itio
n
a
Up
ima
ji U
ten
da
ji K
azi
(O
PR
AS)
Fo
mu
za
M
ifuko
ya
H
ifad
hi y
a J
am
ii,
Fo
mu
ya
A
ha
di
ya
Ua
dilif
u
na
“H
isto
ry
She
et”
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri/K
atib
u w
a T
SC
Mw
on
go
zo w
a U
an
dik
isha
ji w
an
ac
ha
ma
wa
Mifu
ko y
a
Hifa
dh
i ya
Ja
mii,
20
13
Kifu
ng
u
Na
.7(T
he
So
cia
l Se
cu
rity
Sch
em
es
Me
mb
ers
hip
R
eg
istra
tion
G
uid
elin
es,
20
13);
W
ara
ka
wa
Mku
u w
a U
tum
ishi
wa
U
mm
a
Na
.2
wa
M
wa
ka
2015
; K
an
uni
D.1
6,
D.3
6,
D.3
7,
D.4
2 n
a
D.6
4 ya
K
an
un
i za
K
ud
um
u
za
Utu
mish
i w
a
Um
ma
za
M
wa
ka 2
009
Ku
wa
ele
keza
w
atu
mish
i m
ah
ali
pa
kufa
nya
U
ch
un
gu
zi w
a A
fya
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri/
Ka
tibu
wa
TSC
Ka
nu
ni
D.1
6 ya
K
an
un
i za
K
ud
um
u K
atik
a U
tum
ishi w
a
Um
ma
za M
wa
ka 2
009
13
NA
. N
GA
ZI H
ATU
A SH
UG
HU
LI
MU
DA
MH
USI
KA
RE
JEA
SEK
RET
AR
IET
I Y
A
MK
OA
/H
ALM
AS
HA
UR
I
Ku
fun
gu
a j
ala
da
kw
a a
jili
ya
utu
nza
ji w
a k
um
bu
kum
bu
za
w
atu
mish
i wa
pya
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri/
Ka
tibu
wa
TSC
She
ria y
a K
um
bu
kum
bu
na
N
yara
ka
za
Taifa
N
a.3
ya
M
wa
ka
2002
n
a
Mw
on
go
zo w
a U
tun
zaji
wa
K
um
bu
kum
bu
n
a
Nya
raka
za
K
iutu
mish
i w
a
Mw
aka
20
12;
Ka
nu
ni
C.1
9 ya
K
an
un
i za
K
ud
um
u
za
Utu
mish
i w
a
Um
ma
za
M
wa
ka 2
009
Wa
kati
wa
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
Ku
wa
tam
bu
lish
a
wa
tum
ishi
wa
pya
kw
en
ye I
da
ra n
a O
fisi
za M
koa
/Ha
lma
sha
uri
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
Wa
raka
w
a
Utu
mish
iN
a.5
w
a M
wa
ka 2
011,
Kip
en
ge
le
ch
a 5
(viii
)
Wa
tum
ish
i w
ap
ya
kufu
ng
ua
a
kau
nti
be
nki
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
-
Ku
ing
iza
na
ku
zitu
ma
ta
arif
a
za W
atu
mish
i kw
en
ye M
fum
o
wa
Ta
arif
a
za
Kiu
tum
ish
i n
a
Mish
ah
ara
(H
CM
IS-L
aw
son
)
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri/
OR
-MU
UU
B
HC
MIS
Use
r M
an
ua
ls
Ku
toa
m
ae
lezo
m
uh
imu
ku
hu
su:-
i)H
aki
n
a
wa
jibu
w
a
wa
tum
ishi;
ii)M
ae
lezo
ya
K
azi
ya
w
atu
mish
i (jo
b
de
scrip
tion
);iii
)K
an
un
i za
Ma
ad
ili
ya
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
She
ria
ya
Utu
mish
i w
a
Um
ma
Na
.8 y
a M
wa
ka 2
002
na
m
are
keb
isho
ya
ke;
Ka
nu
ni
na
M
ion
go
zo
ya
Utu
mish
i wa
Um
ma
; W
ara
ka
wa
Ma
en
de
leo
ya
Utu
mish
i w
a
Mw
aka
20
02
na
N
yon
ge
za
zake
; K
an
un
i za
14
NA
. N
GA
ZI H
ATU
A SH
UG
HU
LI
MU
DA
MH
USI
KA
RE
JEA
SEK
RET
AR
IET
I Y
A
MK
OA
/H
ALM
AS
HA
UR
I
Wa
kati
wa
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
Ute
nd
aji
katik
a
Utu
mish
i w
a U
mm
a(C
od
e o
f Et
hic
s a
nd
Co
nd
uc
t);
iv)M
aa
dili
ya
ki
taa
lum
a
(pro
fess
ion
al
co
de
o
f c
on
du
ct)
;v)
She
ria,
Ka
nu
ni
na
Ta
ratib
u
za k
azi
ka
tika
Utu
mish
i w
a
um
ma
;vi
)Mu
un
do
na
ma
juku
mu
ya
Se
rika
li;vi
i)M
ah
usi
an
o y
a
Serik
ali
Ku
u n
a S
erik
ali
za M
itaa
; vi
ii)M
uu
nd
o n
a m
aju
kum
u
ya M
am
laka
za
Se
rika
li za
M
itaa
,ix
)Mfu
mo
w
a
Up
ima
ji w
a
wa
zi
wa
U
ten
da
ji ka
zi
(OP
RA
S), n
ax)
Ma
ele
zo
kuh
usu
h
ud
um
a
za
kib
en
ki
na
M
ifuko
ya
H
ifad
hi y
a J
am
iixi
)Ma
sua
la
Mta
mb
uka
(U
KIM
WI,
Ru
shw
a,
Ma
zin
gira
& J
insi
a)
Ma
ad
ili
ya
Ute
nd
aji
(Co
de
o
f Et
hic
s a
nd
C
on
du
ct)
ka
tika
U
tum
ish
i w
a
Um
ma
; K
an
un
i za
U
tum
ishi
wa
U
mm
a
za
Mw
aka
20
03;
She
ria N
a.
25
ya
Tu
me
ya
U
tum
ishi
wa
W
alim
u
ya
M
wa
ka
2015
; K
an
un
i ya
Tu
me
ya
U
tum
ishi
wa
Wa
limu
ya
M
wa
ka
2016
; K
an
un
i za
Kise
kta
za
Ma
ad
ili
ya
Kita
alu
ma
; R
eje
a
ya
Sera
, Sh
eria
K
an
un
i n
a
Nya
raka
Mb
alim
ba
li ku
hu
su
ma
sua
la
ya
Ajir
a
katik
a
Utu
mish
i w
a U
mm
a;
Sh
eria
ya
Se
rika
li za
M
itaa
, 19
82
Sura
287
K
ifun
gu
174
& 2
88
Kifu
ng
u
54(a
);
Ka
tiba
ya
Ja
mh
uri
ya
Mu
un
ga
no
w
a
Tan
zan
ia
ya M
wa
ka 1
977;
K
ifun
gu
(E
)(17
4)
ch
a S
he
ria
ya T
aw
ala
za
Mik
oa
Na
. 19
ya
mw
aka
199
7 &
Sh
eria
ya
Se
rika
li za
M
itaa
, Su
ra
288
K
ifun
gu
54
(a;
She
ria
ya
Serik
ali
za
Mita
a
Su
ra
287
K
ifun
gu
174
& 2
88
Kifu
ng
u
54(a
; W
ara
ka w
a U
tum
ishi
wa
Um
ma
Na
.2 w
a M
wa
ka
2006
ku
hu
su
hu
du
ma
kw
a
15
NA
. N
GA
ZI
HA
TUA
SH
UG
HU
LI
M
UD
A
MH
USI
KA
REJE
A
wa
tum
ishi
wa
U
mm
a
wa
na
oish
i n
a
Viru
si
vya
U
kim
wi
na
w
en
ye
Uki
mw
i; Sh
eria
ya
K
up
am
ba
na
n
a
Ku
zuia
R
ush
wa
N
a.1
1 ya
M
wa
ka
2007
; Sh
eria
ya
U
sima
miz
i w
a
Ma
zin
gira
N
a.4
ya
Mw
aka
200
4; S
era
ya
M
ae
nd
ele
o
ya
Wa
na
wa
ke
na
Ji
nsia
ya
M
wa
ka
2000
n
a;
Ka
nu
ni
D.4
2 &
64
ya
K
an
un
i za
K
ud
um
u
za
Utu
mish
i w
a
Um
ma
za
Mw
aka
200
9K
ufa
nya
ma
lipo
ya
st
ah
ili z
a
kiu
tum
ishi
katik
a M
am
laka
za
Se
rika
li za
Mita
a
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
Ha
lma
sha
uri
Ka
nu
ni
ya 1
3 ya
Ka
nu
ni
za
Utu
mish
i w
a
Um
ma
za
m
wa
ka 2
003;
Ka
nu
ni
J.2
(1)
(a),
L.
6 ya
K
an
un
i za
K
ud
um
u
za
Utu
mish
i w
a
Um
ma
za
M
wa
ka
2009
; W
ara
ka w
a W
atu
mis
hi
wa
Se
rika
li N
a.4
w
a
Mw
aka
20
14K
uto
a
ma
ele
zo
kuh
usu
u
sim
am
izi
na
u
tun
zaji
wa
n
yara
ka n
a s
iri z
a S
erik
ali
na
ku
mfa
nyi
a
up
eku
zi
mtu
mish
i m
pya
Afis
a
Usa
lam
a
wa
Se
rika
li
(GSO
)
She
ria y
a U
sala
ma
wa
Ta
ifa
ya M
wa
ka 1
970;
Ka
nu
ni
D
31
ya K
an
un
i za
Ku
du
mu
za
U
tum
ish
i w
a
Um
ma
za
M
wa
ka 2
009
Ku
toa
b
aru
a
ya
kum
pa
ng
ia
mtu
mis
hi k
ituo
ch
a k
azi
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
-
SEK
RET
AR
IET
I Y
A
MK
OA
/H
ALM
AS
HA
UR
I
Wa
kati
wa
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
16
NA
. N
GA
ZI
HATU
A
SHUG
HULI
MUD
A
MHU
SIKA
REJE
A
SEK
RET
AR
IET
I Y
A
MK
OA
/H
ALM
AS
HA
UR
I
/Mku
rug
en
zi w
a
Ha
lma
sha
uri
Ku
wa
pe
leka
W
atu
mish
i ka
tika
vitu
o v
yao
vya
ka
ziK
atib
u
Taw
ala
w
a
Mko
a
/Mku
rug
en
zi w
a
Ha
lma
sha
uri
-
Ba
ad
a
ya
Ku
ripo
ti ka
tika
ki
tuo
c
ha
ka
zi
Ku
fua
tilia
m
ap
oke
zi
ya
wa
tum
ishi
wa
pya
kwe
nye
n
ga
zi
ya
kitu
o
ch
a
kazi
(n
yum
ba
,m
ga
wa
nyo
w
a
ma
juku
mu
,vite
nd
ea
ka
zi)
Siku
14
b
aa
da
ya
ku
pe
lekw
a
kitu
on
i
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
-
Ku
fua
tilia
Ma
lipo
ya
M
sha
ha
ra
ya
Wa
tum
ishi
wa
pya
kw
en
ye
mfu
mo
w
a
Taa
rifa
za
K
iutu
mis
hi
na
M
isha
ha
ra
Nd
an
i ya
m
we
zi 1
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
Ku
fua
tilia
n
a
kuw
aka
bid
hi
wa
tum
ishi
wa
pya
vi
tam
bu
lish
o
vya
K
azi
, B
eji,
K
ad
i za
U
an
ac
ha
ma
w
a
Mfu
ko w
a H
ifad
hi y
a ja
mii
na
B
ima
ya
Afy
a
Mie
zi 3
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
Ku
toa
ta
arif
a
kuh
usu
m
afu
nzo
kw
a
wa
tum
ishi
wa
pya
kw
a K
atib
u M
kuu
OR
-TA
MIS
EMI
kup
itia
kw
a K
atib
u
Taw
ala
wa
Mko
a
Mw
ezi
1
b
aa
da
ya
m
afu
nzo
Ka
tibu
Ta
wa
la
wa
M
koa
/M
kuru
ge
nzi
wa
H
alm
ash
au
ri
Wa
raka
w
a
Utu
mis
hi
Na
.5
wa
Mw
aka
201
1, K
ipe
ng
ele
5(
vi)
4TA
RA
FA/
KA
TAK
ab
la y
a
Ku
ripo
ti ka
tika
Ku
fan
ya
ura
tibu
w
a
ma
an
da
lizi
ya
kuw
ap
oke
a
wa
tum
ishi w
ap
ya
Siku
7
ka
bla
ya
ku
ripo
ti
Afis
a
Tara
fa/
Mte
nd
aji
wa
K
ata
She
ria N
a.
7 &
8 y
a M
wa
ka
1982
za
Serik
ali
za
Mita
a;
Wa
raka
w
a
Mu
un
do
w
a
17
NA
. N
GA
ZI
HATU
A
SHUG
HULI
MUD
A
MHU
SIKA
REJE
A
kitu
o
ch
a k
azi
Wa
ten
da
ji w
a
Ka
ta
wa
M
wa
ka 2
014
Wa
kati
wa
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
Ku
fan
ya
ura
tibu
w
a
ma
po
kezi
ya
wa
tum
ishi
wa
pya
wa
na
orip
oti
Siku
14
za
ku
ripo
tiA
fisa
Ta
rafa
/ M
ten
da
ji w
a
kata
-
Baa
da
ya
ku
ripo
ti ka
tika
ki
tuo
c
ha
ka
zi
Ku
fua
tilia
na
ku
toa
ta
arif
a y
a
ma
en
de
leo
ya
w
atu
mish
i w
ap
ya
wa
liop
an
giw
a
katik
a
ng
azi
ya
ka
ta
na
vi
tuo
vy
a
kuto
lea
h
ud
um
a
kwe
nye
ka
ta h
usik
a
Mie
zi 3
A
fisa
Ta
rafa
/ M
ten
da
ji w
a
Ka
ta
-
5KI
JIJI
/
MTA
A
Ka
bla
ya
K
urip
oti
katik
a
kitu
oc
ha
ka
zi
•K
uw
ata
arif
u
wa
na
jam
ii ku
hu
su u
jio w
a w
atu
mish
i w
ap
ya
kwa
ku
piti
a
Ha
lma
sha
uri
ya
Kiji
ji a
u
Mta
a;
•K
ua
nd
aa
K
am
ati
ya
ma
po
kezi
ya
W
atu
mish
i W
ap
ya;
•K
ua
nd
aa
o
rod
ha
ya
m
aka
zi
kwa
a
jili
ya
wa
tum
ishi
wa
pya
kw
aku
shiri
kia
na
n
a
jam
ii iliy
op
o
Siku
7M
ten
da
ji w
a
kijij
i/M
taa
-
Wa
kati
wa
•
Wa
tum
ishi
wa
pya
ku
karib
ishw
a
na
Si
ku 1
M
ten
da
ji w
a
Kiji
ji/M
taa
n
a
-
18
NA
. N
GA
ZI
HATU
A
SHUG
HULI
MUD
A
MHU
SIKA
REJE
A
Ku
ripo
ti ka
tika
ki
tuo
c
ha
ka
zi
kuta
mb
ulis
hw
a
kwa
w
atu
mish
i n
a
vio
ng
ozi
w
a k
isia
sa•
Ku
an
da
a
oro
dh
a
ya
furs
a
ziliz
op
o
za,
kija
mii
na
kiu
ch
um
i•
Ku
wa
ele
za
wa
tum
ishi
ha
li ya
m
azi
ng
ira
(Mila
, D
est
uri
na
ta
ratib
u)
ya
jam
ii in
ayo
mzu
ng
uka
na
ku
wa
on
esh
a m
ae
ne
o y
a
hu
du
ma
za
kija
mii
Mw
en
yeki
ti w
a
Kiji
ji/M
taa
Ba
ad
a
ya
kurip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
Ku
wa
pe
leka
w
atu
mish
i w
ap
ya k
we
nye
vitu
o v
ya k
azi
Siku
1
Mte
nd
aji
wa
K
ijiji/
Mta
a
Wa
raka
w
a
Utu
mish
i N
a.
5
wa
Mw
aka
200
8, U
safir
isha
ji w
a M
izig
o
6V
ITU
O
VY
A
KU
TOLE
A
HU
DU
MA
Ka
bla
ya
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
Ku
fan
ya
ma
an
da
lizi
ya
ma
kazi
, se
he
mu
ya
ku
po
kele
wa
n
a
kusa
ini
vita
bu
, o
fisi
na
vite
nd
ea
ka
zi
kwa
wa
tum
ishi w
ap
ya
Siku
7
ka
bla
ya
ku
ripo
ti
Msi
ma
miz
i w
a
Kitu
o
Ku
an
da
a o
rod
ha
ya
nyu
mb
a
kwa
ajil
i ya
wa
tum
ish
i wa
pya
ku
we
za
kup
ata
m
aka
zi
(nyu
mb
a
za
Serik
ali
au
za
w
atu
bin
afs
i)
Sera
ya
Ajir
a M
en
ejim
en
tin
a
Ajir
a
Ka
tika
U
tum
ishi
wa
U
mm
a
Tole
o
la
2 (2
008)
ki
pe
ng
ele
4.1
1(V
).
19
NA
. N
GA
ZI
HATU
A
SHUG
HULI
MUD
A
MHU
SIKA
REJE
A
VIT
UO
V
YA
K
UTO
LEA
H
UD
UM
A
Ku
an
da
a
ofis
i n
a
vite
nd
ea
ka
zi
kwa
a
jili
ya
wa
tum
ishi
wa
pya
Sera
ya
Ajir
a M
en
ejim
en
ti n
a
Ajir
a
Ka
tika
U
tum
ishi
wa
U
mm
a T
ole
o la
2 (
2008
)K
ua
nd
aa
m
sha
uri
(Me
nto
r)
kwa
a
jili
ya
kuw
ae
leke
za
wa
tum
ishi
wa
pya
m
azi
ng
ira
ya k
azi
-
Wa
kati
wa
K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
Ku
wa
po
kea
n
a
kuw
ata
mb
ulis
ha
w
atu
mish
i w
ap
ya
kwa
w
atu
mish
i w
en
gin
e
Siku
1
Msi
ma
miz
i w
a
Kitu
oW
ara
ka
wa
U
tum
ishi
Na
. 5
w
a M
wa
ka 2
011
Ku
wa
on
yesh
a
ofis
i ya
ku
fan
yia
ka
ziK
uw
ap
atia
wa
tum
ishi
wa
pya
m
ae
lezo
ya
ka
zi k
ulin
ga
na
na
m
iun
do
ya
o y
a u
tum
ishi.
Siku
1M
sim
am
izi
wa
K
ituo
Miu
nd
o y
a U
tum
ishi y
a k
ad
a
hu
sika
•K
uw
ae
leza
w
atu
mish
i w
ap
ya m
azi
ng
ira y
a k
azi
;•
Ku
pe
wa
m
ale
ng
o
ya
kitu
o
katik
a
uto
aji
wa
h
ud
um
a;
•K
uw
ae
leza
w
atu
mish
i w
ap
ya k
uh
usu
ta
ma
du
ni
za ja
mii
hu
sika
;•
Ku
wa
pa
tia
wa
tum
ish
i w
ap
ya v
iten
de
a k
azi
;•
Ku
toa
m
ae
lezo
ku
hu
su
Mfu
mo
wa
W
azi
up
ima
ji U
ten
da
ji ka
zi
katik
a
Utu
mish
i w
a
Um
ma
(O
PR
AS)
Siku
1
Wa
raka
w
a
Utu
mish
i N
a.
5
wa
Mw
aka
201
1
20
NA
. N
GA
ZI
HATU
A
SHUG
HULI
MUD
A
MHU
SIKA
REJE
A
VIT
UO
V
YA
K
UTO
LEA
H
UD
UM
A
Baa
da
ya K
urip
oti
katik
a
kitu
o
ch
a k
azi
•W
atu
mish
i w
ap
ya
kup
ew
a m
sha
uri
(Me
nto
r)
mw
en
ye u
zoe
fu;
•K
ufa
nya
ta
thm
ini
ya
msa
ad
a
alio
up
ata
m
tum
ishi
toka
kw
a
Msh
au
ri;•
Ku
pe
leka
rip
oti
ya
ute
kele
zaji
wa
m
afu
nzo
e
leke
zi k
atik
a S
eh
em
u z
a
kazi
ka
tika
O
fisi
ya
Mku
rug
en
zi
wa
H
alm
ash
au
ri ku
piti
a
mfu
mo
w
a
uto
aji
wa
ta
arif
a u
liop
o.
Mie
zi 6
M
sima
miz
i w
a
kitu
o
-
21
HITIMISHO
Wadau wote waliotajwa katika Kiongozi hiki ni muhimu wahakikishe wanatekeleza wajibu wao katika utekelezaji wa utoaji mafunzo elekezi ya awali kwa watumishi wapya katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa lengo la kuwavutia watumishi kubaki katika Vituo na kutoa huduma bora kwa wananchi.
Aidha, katika kuhakikisha mfumo huu unakua endelevu katika matumizi yake kila mwajiri anapaswa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji kila robo mwaka Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa kutumia mifumo ya utoaji wa taar-ifa iliyopo. Kiongozi hiki kinaweza kufanyiwa marekebisho kulingana na mahitaji yaliyopo.
22
Kia
mb
atis
ho
Na.
A-
OR
OD
HA
YA
WA
JUM
BE
WA
LIO
SH
IRIK
I K
AT
IKA
KIK
OS
I K
AZ
I
Na
JIN
A
CH
EO
T
AA
SIS
I
1 B
i. M
iria
m P
. Mm
baga
K
aim
u M
kuru
genz
i Ida
ra y
a Se
rika
li za
Mita
a O
R-T
AM
ISEM
I
2 B
i. B
eatr
ice
R. K
imole
ta
Mku
ruge
nzi
Msa
idiz
i Se
hem
u K
uzije
ngea
Uw
ezo
Sek
reta
riet
i
za M
iko
a
OR
-TA
MIS
EMI
3 B
w. M
rish
o S
. Mri
sho
M
kuru
genz
i Msa
idiz
i – S
ehem
u ya
Uta
wal
a O
R-T
AM
ISEM
I
4 D
kt. C
harl
es E
. Mhi
na
Mku
ruge
nzi M
said
izi-
Sehe
mu
ya U
toaj
i Hud
uma
OR
-TA
MIS
EMI
5 B
w. S
eush
i J. M
buri
M
kuru
genz
i Ida
ra y
a U
taw
ala
na R
asili
mal
iwat
u W
izar
a ya
Kili
mo
, M
i-
fugo
na
Uvu
vi
6 B
ibi R
oxa
na D
. B. K
ijazi
M
kuru
genz
i wa
Idar
a ya
Uen
dele
zaji
Ras
ilim
aliw
atu
OR
-MU
UU
B
7 B
w. C
harl
es T
. Rw
ekaz
a M
hadh
iri
TPS
C
8 D
kt. H
enry
Jona
than
M
hadh
iri
LGT
I
9 B
w. H
enry
P. K
ando
re
Mha
dhir
i LG
TI
10
Bib
i Cre
cens
ia J.
Sha
yo
Kat
ibu
Taw
ala
Msa
idiz
i-Uta
wal
a na
Ras
ilim
aliw
atu
Ofis
i ya
Mku
u w
a M
koa
- K
atav
i
11
Bw
. G
reys
on
H.
Mw
ai-
gom
be
Kat
ibu
Taw
ala
Msa
idiz
i –U
taw
ala
na R
asili
mal
iwat
u O
fisi y
a M
kuu
wa
Mko
a
Lind
i
12
Bw
. Moha
med
I. N
chir
a K
atib
u T
awal
a M
said
izi –
Uch
umi n
a U
zalis
haji
Ofis
i ya
M
kuu
wa
Mko
a- S
hiny
anga
Na
JIN
A
CH
EO
T
AA
SISI
13
Bw. E
linee
ma
W. M
taita
K
atib
u-T
SC
Hal
msh
auri
M
anis
paa
ya M
orog
oro
14
Bw. H
erm
an L
. Msu
ha
Mku
u w
a Id
ara
ya U
taw
ala
na R
asili
mal
iwat
u H
alm
asha
uri
Man
ispa
a
ya M
orog
oro
15
Bw. A
bdul
S. M
bim
bi
Mku
u w
a Id
ara
ya U
taw
ala
na R
asili
mal
iwat
u H
alm
asha
uri
ya W
ilaya
ya M
vom
ero
16
Bi. S
tella
M. P
asch
al
Afis
a Se
rika
li za
Mita
a M
kuu
OR
-TA
MIS
EMI
17
Bw. G
eoffr
ey G
. Luf
umbi
M
shau
ri w
a R
asili
mal
i wat
u BM
F
Sekr
etar
ieti
1 Bw
. Moh
amed
Gom
bati
Afis
a R
asili
mal
iwat
u O
R-T
AM
ISEM
I
2 Bw
. Ayo
ub J.
Kam
bi
Afis
a R
asili
mal
iwat
u O
R-T
AM
ISEM
I
3 Bw
. Afr
aha
N. H
assa
n A
fisa
Ras
ilim
aliw
atu
Mw
anda
miz
i O
R-T
AM
ISEM
I
4 Bi
. Rac
hel S
heiz
a M
kuru
genz
i wa
Prog
ram
u BM
F
5 Bi
. Jos
ephi
ne R
. Kim
aro
HR
Lea
d PS
3
6 Bw
. Rem
my
O. M
oshi
M
shau
ri w
a R
asili
mal
i wat
u PS
3
7 Bi
.Chr
istin
a M
alem
beka
A
fisa
Ras
ilim
aliw
atu
Mw
anda
miz
i BM
F
23
Kiambatisho Na. B - HADIDU ZA REJEA ZA TIMU YA MAPOKEZI YA WATUMISHI WAPYA KATIKA NGAZI YA SEKRETARIETI YA MKOA NA HALMASHAURI
1. Kuandaa ratiba ya mapokezi ya watumishi wapya katika Halmashauri husika;
2. Kuandaa bajeti ya kufanikisha mapokezi na Mafunzo Elekezi ya Awali kwa watumishi wapya katika Halmashauri husika;
3. Kuhamasisha wadau mbalimbali wa maendeleo katika eneo husika ikiwemo Mifuko ya Hifadhi ya Jamii na Taasisi za Fedha kushiriki katika kufanikisha mapokezi na Mafunzo Elekezi ya Awali ya watumishi wapya;
4. Kuratibu ushiriki wa wadau mbalimbali katika kufanikisha mapokezi na Mafunzo Elekezi ya Awali ya watumishi wapya;
5. Kuandaa vitendea kazi mbalimbali vya kufanikisha mapokezi na Mafunzo Elekezi ya Awali ya watumishi wapya;
6. Kufanya mawasiliano na wasimamizi wa vituo kuhusu maandalizi ya kuwapokea watumishi watakaopangwa katika vituo husika;
7. Kuandaa wawezeshaji watakaotoa mada mbalimbali wakati wa Mafunzo Elekezi ya Awali;
8. Kuandaa taarifa ya mapokezi na Mafunzo Elekezi ya Awali ya watumishi wapya katika Sekretarieti ya Mkoa/Mamlaka za Serikali za Mitaa; na
9. Kazi nyingine kadri itakavyoonekana inafaa katika kufanikisha Mafunzo Elekezi ya Awali kwa watumishi wapya.
24
25
Kiambatisho Na. C - HADIDU ZA REJEA ZA TIMU YA MAPOKEZI YA WATUMISHI WAPYA KATIKA NGAZI YA KATA/KIJIJI/MTAA
1. Kuandaa ratiba ya mapokezi ya watumishi wapya katika Hal mashauri husika;
2. Kuhamasisha wadau mbalimbali wa maendeleo katika eneo husika ikiwemo Taasisi za Fedha, na Sekta Binafsi kushiriki katika kufanikisha mapokezi na Mafunzo Elekezi ya Awali ya watumishi wapya;
3. Kuratibu ushiriki wa wadau mbalimbali katika kufanikisha mapokezi na Mafunzo Elekezi ya Awali ya watumishi wapya;
4. Kufanya mawasiliano na wasimamizi wa vituo kuhusu maandalizi ya kuwapokea watumishi watakaopangwa katika vituo husika;
5. Kuandaa taarifa ya mapokezi kwa watumishi wapya na kui wasilisha kwa Mkurugenzi wa Halmashauri; na
6. Kazi nyingine kadri itakavyoonekana inafaa katika kufanikisha mapokezi kwa watumishi wapya.