ha ha haaa…tehe tehe….mwe…yaani tunaingia ikulu?
DESCRIPTION
Ngee ngee…yuhuu, kama li komandoo fulani hivi, mtu mzima naingia Ikulu. Ha ha haaa…tehe tehe….mwe…Yaani tunaingia Ikulu?. Aaagh…Lissu Vp? Watu wakisikia noma mkubwa. Masikini, yule dogo ana mba kichwani. Halafu hajala. - PowerPoint PPT PresentationTRANSCRIPT
Ha ha haaa…tehe tehe….mwe…Yaani tunaingia Ikulu?
Aaagh…Lissu Vp?Watu wakisikia noma mkubwa.
Ngee ngee…yuhuu, kama li komandoo fulani hivi, mtu mzima naingia Ikulu
Hehehe…si mnaona makochi yake yalivyo magumu? ndiyo maana mshikaji huwa huwa hakai nchini?
Masikini, yule dogo ana mba kichwani. Halafu hajala
Mh..jamani mimi machale yananicheza. Hawa jamaa walivyo na makusudi, wanaweza kutuletea nyungo za mchele tuchambue hapa
Sasa Baregu wewe andika majina ya wenzako na vyakula watakavotumia Hee… kumbe
kuna kula….mimi nitakula Chips kuku
Yaani haka kajamaa, kananifurahisha kweli, kila raisakinunua nguo nako kananunua ili wafanane, basi nako kanajiona ka rais fulani hivi.
Tena rais yuleee, usimuangalia usoni moja kwa moja, anaweza huwa hapendi anaweza akatutoa nje
Aaah..poa nashukuru kwa kunitonya mwana.
Tehe tehe na wewe ndiyo unaitwa nani vilee?
Aah…mkuu inamaana mimi hunifahamu? Mimi si yule wa Bungeni, muulize welema, kombani na anna maspika.
Okeey…nimekumbuka, ikifika zamu yako kuongea TBC huwa wanzimaga matangazo. Nilipowauliza kwa nini wakasema huwa unatakanaga.
Mxzyxz….majuice ya kazi gani? Watu tulijua leo ni makuku tu
Hii siinywi mimi hii, nitaishikilia mpaka tunapoondoka nairudisha
Ukitaka ku…..Usimuangalie usoni
Hii ndiyo nini hii….mbona yapo mengi hivi
Aaaah wewe soma tu humo mzee si imeandikwa kila kitu?
Angejua mimi ninavyochukia kusoma mineno mingi mingi!
Acha maisha yako ya kwenye Sinema Dogo, yaani kuvaa Magwanda ndiyo unajitanua na kuniminya mkono hivi? Mwenyewe unajiona Komando Joohn au?
Tehe the…mheshimiwa rais bwana…kamshitukia mshikaji Aikaeli.
Tehe tehe…si unajua tena, mambo ya picha mzee…wengine tuna mashabiki nje
Mkimaliza kusalimiana na mimi naomba nimsalimie mheshimiwa waziri
Bila ya kuvunja ukimya hapa unaweza kuondoka ikulu bila kushikana mkono na yeyote.
Hizi Picha za kupiga na rais ndiyo za kuombea mafungu kwa wafadhili Yaani mimi hapa naona
maluwe luwe tu..
Yaani mimi ndiyo naweza kuwa bonge la poyoyo, yaani hapa nilipo hata sijui kwa nini nacheka cheka..