halmashauri ya wilaya ya...

51
1 HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI, 2015-2020 KWA KIPINDI CHA JULAI,2017 HADI DISEMBA , 2017 NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018 UTEKELEZAJI JULAI- DISEMBA 2017/2018 GHARAMA MAONI/ MAELEZO KATA/ MTAA 1. HALI YA UCHUMI 20 Kuimarisha ukusanyaji wa mapato kwa kuongeza vyanzo vipya vya mapato na kupanua wigo wa walipa kodi ili kuongeza uwezo wa Serikali wa kugharimia huduma za kijamii na kiuchumi Kutoa elimu kwa walipa kodi (wafanyabiashara) na wataalamu Kufunga mifumo ya ukusanyaji mapato ya kielectroniki (LGRCIS) Kubuni vyanzo vipya vya mapato na kuimarisha vyanzo vilivyopo Ujenzi wa mradi wa Kitega Uchumi cha Halmashauri Elimu ya ushuru wa huduma na kodi mbalimbali kwa wafanyabiashara na WEOs walipatiwa elimu ya jinsi ya kukusanya mapato ya mazao pamoja na vyanzo vya Halmashauri vilivyopo kwenye kata zao. Mpaka sasa jumla ya POS 20 za ukusanyaji mapato zimefungwa na tunatarajia kuongeza POS 10 kwa ajili ya kukusanyia ushuru wa leseni za biashara Tumeongeza wafanyakazi (vibarua) ili kuimarisha ufanisi kwenye ukusanyaji wa mapato Tumeimarisha kikosi kazi cha ukusanyaji mapato kwa kuainisha ipasavyo majukumu ya kila mmoja Mradi huu umekamilika na una vyumba 14 kwa sasa umetangazwa ili 61,450,000 428,960,460 Elimu inaendele kutolewa kwa walipa kodi ili watambue umuhimu wa kulipa na kudai risiti Zote 36 Boma

Upload: others

Post on 24-Feb-2020

37 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

1

HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI, 2015-2020 KWA KIPINDI CHA JULAI,2017 HADI DISEMBA , 2017 NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA

ILANI MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

1. HALI YA UCHUMI

20 Kuimarisha ukusanyaji wa mapato kwa kuongeza vyanzo vipya vya mapato na kupanua wigo wa walipa kodi ili kuongeza uwezo wa Serikali wa kugharimia huduma za kijamii na kiuchumi

Kutoa elimu kwa walipa kodi (wafanyabiashara) na wataalamu

Kufunga mifumo ya ukusanyaji mapato ya kielectroniki (LGRCIS) Kubuni vyanzo vipya vya mapato na kuimarisha vyanzo vilivyopo Ujenzi wa mradi wa Kitega Uchumi cha Halmashauri

Elimu ya ushuru wa huduma na kodi mbalimbali kwa wafanyabiashara na WEOs walipatiwa elimu ya jinsi ya kukusanya mapato ya mazao pamoja na vyanzo vya Halmashauri vilivyopo kwenye kata zao. Mpaka sasa jumla ya POS 20 za ukusanyaji mapato zimefungwa na tunatarajia kuongeza POS 10 kwa ajili ya kukusanyia ushuru wa leseni za biashara Tumeongeza wafanyakazi (vibarua) ili kuimarisha ufanisi kwenye ukusanyaji wa mapato Tumeimarisha kikosi kazi cha ukusanyaji mapato kwa kuainisha ipasavyo majukumu ya kila mmoja Mradi huu umekamilika na una vyumba 14 kwa sasa umetangazwa ili

61,450,000

428,960,460

Elimu inaendele kutolewa kwa walipa kodi ili watambue umuhimu wa kulipa na kudai risiti

Zote 36 Boma

2

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Ujenzi wa kituo kipya cha mabasi

kupata mwezekaji atakayeendesha na kuilipa Halmashauri mapato, tangazo lililopo kwa sasa ni la marudio ya tatu na mwisho wa maombi wa maombi ni tarehe 28/02/2018 Mradi huu kwa sasa unaedelezwa kupitia fedha za mapato ya ndani na kazi zitakazoendelea ni kujenga maeneo ya maegesho, kituo cha polisi na mabanda ya kukatia tiketi

443,690,460.00

Nambambo

Kusimamia kwa ufanisi matumizi ya fedha za umma kwa kuzingatia sheria na miongozo ya ununuzi wa umma, ukaguzi na kusimamia mali za Serikali ili Watanzania wote wanufaike na rasilimali zilizopo

Kuimairisha kitengo cha ukaguzi wa ndani kiweze kujitegemea

Kuiwezesha kamati ya ukaguzi wa miradi kufanya kazi kwa ufanisi Kukiwezesha kitengo cha manunuzi kufanya kazi kwa kufata sheria na taratibu za manunuzi

Wakaguzi wamewezeshwa mafunzo ya ukaguzi kwa kuzingatia maeneo hatarishi (Risk Base), uandaaji taarifa na utoaji taarifa za miradi ya maji (MIS) na kuwajengea uwezo taratibu na sheria za manunuzi Kitengo cha manunuzi kinaendelea

Usimamizi wa matumizi ya fedha unazingatiwa kwa kuwashirikisha wakaguzi wa ndani

Uthamini kata zote 36

3

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Kufanya uthamini wa mali za Halmashauri

kufanya kazi zake kwa kufuata misingi ya sheria na taratibu za manunuzi zilizopo Taratibu za kuthaminisha mali za Halmashauri zinaendelea

59,000,000

2. SEKTA ZA UZALISHAJI

KILIMO NA USHIRIKA

22 Kuimarisha upatikanaji wa pembejeo na zana za kilimo ili kuongeza tija na uzalishaji kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia ya kisasa hususan katika kuboresha mifumo ya utoaji wa ruzuku na pembejeo pamoja na kuwaunganisha wakulima na Benki ya Maendeleo ya Kilimo na taasisi nyingine za fedha

Uhamisishaji wa wakulima

binafsi, vyama vya msingi,

taasisi za magereza na J.K.T,

kununua matrekta na zana

zake.

Wilaya ina jumla ya

matrekta 42

yanayomilikiwa na

Taasisi za serikali

na kidini, watu

binafsi, AMCOS na

miradi ya jamii.

Katika kipindi cha

Julai – Disemba

2017 wakulima

wawili wamenunua

matrekta 3

225,000,000 Wakulima

hawa

wanufaika

wa mauzo

ya korosho

kutoka vijiji

vya

Nampemba

na Mandai

Mkotokuyana

na Nambambo

Kusambaza mbegu bora za

mahindi OPV Kg 30200,

Chotara Kg 30200, na

Mpunga SARO Kg 10500 ,

pamoja na mbolea aina ya

Wakulima wamehamasishwa kununua mbegu bora za mahindi kutoka maduka ya pembejeo ambayo

0 Mashamb

a ya

mbegu za

muhogo

yanapatika

Ndomoni,

Mkotokuyan,

KIlimanihew

a, Mnero

Ngongo na

4

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Urea Kg 336000 DAP Kg

336000 kwa wakulima katika

kaya 6720 katika vijiji 84.

yanakaguliwa mara kwa mara. Kwa kutumia

wakulima

wajasiriamali wa

shirika la MEDA

wakulima

wamehamasishwa

kununua mbegu za

muhogo zenye

ukinzani wa

magonjwa aina ya

kiroba. Mashamba

ya mbegu za

muhogo

yanapatikana

kwenye kata za

Ndomoni,

Mkotokuyan,

KIlimanihewa,

Mwandila na

Naipanga.

na kwenye

kata za

Ndomoni,

Mkotokuya

n,

KIlimanihe

wa,

Mwandila

na

Naipanga.

Naipanga.

Lego ni kuwa na vituo vya

mafunzo ya kilimo kwa kila

kata

Wilaya ina vituo

viwili vya mafunzo

ya kilimo kwenye

kata mbili

Kilimarondo na

10,000,000 Kituo hiki

kinatumika

pia kama

maabara ya

mbegu

Kata zenye

vituo ni

Kilimarondo ,

Marambo na

Namatula

5

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Marambo katika

kipindi cha Julai –

Disemba ujenzi wa

kituo kata ya

Namatula umeanza

kwa sasa upo hatua

ya msingi na

ufyatuaji wa

matofali

Kuimarisha kilimo cha umwagiliaji ili kupunguza utegemezi wa mvua kwa kuongeza eneo la umwagiliaji kutoka hekta 461,326 mwaka 2014 hadi 1,000,000 mwaka 2020. Ili kufanikisha hilo, Serikali itafanya mambo yafuatayo

Lengo ni kufikia Ha 720

zinazofaa kuwekewa

miundombinu katika vijiji vya

Matekwe, Mitumbati na Ilolo.

Fedha jumla ya

Tsh.

300,000,000.00

imetengwa na

Wizara kwa ajili ya

ukarabati wa

miundo mbinu ya

umwagiliaji kijiji cha

Mitumbati ambayo

iliharibiwa na

mafuriko.

Shughuliza

upembuzi

yakinifuzitafanywa

na wataalam wa

umwagiliaji kanda

ya kusini kwa

kutumia fedha

300,000,000 Wataalamu

wa

umwagiliaji

kanda ya

kusini

wanatarajiw

a kuanza

shughuli ya

upembuzi

yakinifu na

usanifu

Mitumbati,Mat

ekwe na

Ngunichile

6

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

zilizotengwa na

wizara

(i) uhamasisha wakulima kupitia vyama vyao vya umwagiliaji kuchangia katika ujenzi wa mifereji midogo ya kuingiza maji mashambani na kushiriki katika kutunza mifereji hiyo

Kufanya hamasa katika skimu

za umwagiliaji kwa kupitia

vyama vya umwagiliaji kushiriki

katika utunzaji wa

miundombinu.

Kwa kutumia shirika

la JICA

uhamasishaji wa

kuanza kilimo cha

mpunga shadidi

unatarajia kufanyika

kwenye skimu ya

Matekwe ambapo

jumla ya wakulima

viongozi wa mfano

8 waliochaguliwa

wameandikishwa

kwenye kilimo

hicho.

9,000,000 Wakulima

viongozi 8

wakulima wa

kati 48

wamepata

mafunzo ya

kilimo bora

cha mpunga

msimu wa

2016-17

Matekwe

Kuwafundisha kulima kwa tija na ufanisi kwa kutumia miundombinu iliyopo ikiwa ni pamoja na kulima zaidi ya mara moja kwa mwaka

Kuhamasisha wakulima

kulima mazao yanayotumia

maji mengi kipindi cha masika

na yanayotumia maji

machache (bustani) kipindi cha

kiangazi

Kwakutumia shirika

la Aga khan vikundi

20 vimeanzishwa ili

kupata mafunzo ya

kilimo cha mazao,

zoezi la kupata

wakulima hao

(vijana) lilianza

mwezi Novemba

2017.

15,000,000 Hamasa

inafanyika

na kiasi cha

fedha

kimetengwa

katika bajeti

ya

2018/2019 ili

kukamilisha

miundombin

u ya

umwagiliaji

wa matone

Marambo na

Ruponda

7

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

katika kituo

cha

marambo

kwa lengo la

kujifunza

Kuboresha mfumo wa utafiti wa kilimo nchini ili matokeo ya tafiti hizo yawafikie wakulima kwa kufanya yafuatayo

Mkakati wa Wilaya ni

kuhamasisha wakulima

kutumia mbegu zinazokinzana

na magonjwa na kustahimili

mabadiliko ya tabia ya nchi.

Elimu imetolewa

kipindi cha Julai –

Disemba kwa

wakulima 215

kupitia mradi wa

Care – WWF kwa

ajili ya kilimo cha

mazao

yanayokabiliana na

tabia nchi kwenye

vijiji vya Kiegei B,

Majonanga, Mtua,

Mbondo,

Kilimarondo na

Lipuyu.

10,000,000 Mazao

yanayolim

wa ni

Mahindi,

Muhogo,

Ufuta na

Mbaazi.

Kiegei B,

Majonanga,

Mtua,

Mbondo,

Kilimarondo

na Lipuyu.

(i) Kuzalisha mbegu za mazao mbalimbali kwa kushirikiana na taasisi za umma na binafsi ili

Taasisi za magereza, kituo cha

utafiti mkumba na JKT

hushirikiana na Idara ya kilimo

kuzalisha mbegu za ufuta,

muhogo na korosho.

Katika kipindi cha Julai – Disemba wanakikundi wa kijiji cha Ngunichile walizalisha mbegu tani 6 na kuuza kwa wakala wa mbegu Tanzania (ASA)

Ngunichile

8

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

kutosheleza mahitaji ya uzalishaji wa mbegu bora nchini;

(ii) Kutafiti magonjwa na visumbufu vya mimea vinavyoathiri mazao hasa migomba, mihogo, minazi, mahindi, mpunga, mboga na matunda ili kuongeza tija na uzalishaji wa mazao nchini

Idara kufanya mawasiliano na

kituo cha utafiti Naliendele

mara magonjwa ya mimea na

wadudu waharibifu

wanavyojitokeza.

Ushirikiano wa

kufanya tafiti kwa

kutumia wakulima

unaendelea, katika

kipindi cha Julai –

Disemba utafiti wa

ugonjwa wa

unyaufu wa

mikorosho

unafanyika katika

maeneo ya

Ndomondo, Kipara

Mnero na

Naipanga.

Ndomondo, Kipara Mnero na Naipanga.

Kuandaa mipango ya matumizi bora ya ardhi ya kilimo kwa kuendelea kupima mashamba ya wakulima na kutoa hati miliki za kimila kwa wakulima

Mpango wa wilaya ni kufanya

mpango wa matumizi bora ya

ardhi kwa vijiji vyote.

Jumla ya hatimiliki

350 zimetolewa

zoezi la

utoaji wa

hati miliki

linaendele

a

Mbondo

9

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

wadogo kwa lengo la kuondoa migogoro ya ardhi na kutumia hati hizo kama dhamana ya kupata mikopo

Kuwawezesha wakulima hususan vijana na wanawake kujishughulisha katika kilimo kwa kufanya yafuatayo:-

(i) Kuainisha na kupima maeneo ya ardhi ya kilimo ili kuwawezesha wakulima kujiajiri katika sekta ya kilimo hususan kilimo cha mazao ya mboga mboga, matunda, maua, mbegu za mafuta na nafaka

Mpango wa idara ni

kushirikiana na idara ya

maendeleo ya jamii kutoa

hamasa kwa vijana na

akina mama kuunda

vikundi vya uzalishaji wa

mazao ya kilimo ili kuwa

rahisi kukopesheka

kwenye taasisi za kifedha.

Idara imefanya

tathmini ya vikundi

vya akina mama na

vijana

wanaoshughulika

na kilimo ili kusaidia

upatikanaji wa

mikopo, katika

kipindi cha Jilai –

Disemba, Jumla ya

vikundi vitano

vinavyoshughulika

na kilimo vimepata

mikopo amabavyo

ni Sefa

(Mkutokyana),

10,000,000 Mkutokyana, Kiegei, Mkoka, Nahimba na Mbondo

10

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Tupendane(Kiegei),

Hokoa (Mkoka),

Tuinue Uchumi

(Nahimba) na Kazi

tu (Mbondo)

(ii) Kuimarisha matumizi ya teknolojia zitakazorahisisha kazi ili kuwapunguzia harubu wanawake na vijana katika kilimo.

Ununuzi wa mashine za

kukamua mufuta Wilayani kunajumla

ya mashine saba

(7) Za kukamua

mafuta ya alizeti na

ufuta zinazomilikiwa

na watu binafsi 3 na

vikundi 4. Mashine

zinazomilikiwa na

vikundi

zimewekewa

utaratibu wa

kuhuishwa ilivianze

kufanya kazi

kutekeleza malengo

ya kuongeza

huduma za viwanda

Kuwezesha upatikanaji wa Masoko ya Mazao ya Kilimo kwa kufanya yafuatayo:

(i) KKushirikisha sekta binafsi

Kuhamasisha Vyama vya

Ushirika vya Msingi kujenga Katika kipindi cha

Julai –Disemba

Nangowe

11

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

kujenga miundombinu ya masoko na maghala bora ya kuhifadhia mazao mbalimbali hususan vijijini kwa kutoa elimu na kuondoa vikwazo vya utaratibu wa Stakabadhi ya Mazao Ghalani

Maghala kwa ajili ya kuhifadhia

Mazao ghala moja la

chama cha msingi

Nangowe

limekamilika

(ii) KKuviimarisha na kuviwezesha vyama vya ushirika kuwa na uwezo wa kutafuta masoko ya mazao ya wakulima ya ndani na nje kwa kuweka mfumo madhubuti wa ukusanyaji, uchambuzi na uenezaji wa taarifa za masoko na kutoa elimu juu ya uongezaji thamani na

Kuimarisha mfumo wa

stakabadhi ghalani Mfumo wa

stakabadhi ghalani

umeimarishwa kwa

viongozi wa ngazi

ya mkoa, wilaya na

wadau wa zao la

korosho

kuhamasisha

wakilma kukusanya

korosho, kupanga

kwenye madaraja

na kuziuza kwa

mnada.

0 Ukusanyaji

wa korosho

kwa vituo

vya Tarafa

utapunguza

gharama za

usafirishaji

kwa Mkulima

Tarafa zote

korosho

zitakapo

kusanywa

MIFUGO NA UVUVI

MIFUGO 25 Kuongeza uzalishaji wa

mitamba kwenye mashamba inakozalishwa na kuweka mazingira wezeshi kwa Sekta Binafsi kuendelea kuzalisha mitamba ili kuhamasisha ufugaji wa kisasa

Kuendeleza kituo cha mitamba

F3 Kiasi cha Tsz.

22,840,000/=

zimetengwa kwenye

bajeti ya

20018/2019 kwa

ajili ya kununua

22,840,000/=

12

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

majike 10 na fahali

1 ili kuboresha

huduma zitolewazo

na kituo cha

kuzalishia mitamba

cha Farm 3

Kutenga, kupima na kumilikisha wafugaji maeneo ya ufugaji nchini ili kuongeza maeneo ya ufugaji yaliyopimwa kutoka hekta milioni 1.4 za sasa hadi hekta milioni 5.0 mwaka 2020

Kuhamasisha jamii katika vijiji 16 vilivyofanyiwa mpango wa matumizi bora ya ardhi kulinda maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya mifugo yasitumike kwa matumizi mengine

Wanajamii wanaendelea kuhamasishwa kupitia maafisa ugani katika vijiji viliyofanyiwa mpango wa matumizi bora ya ardhi ambavyo ni Kilimarondo, Matekwe, ndomondo, Makitikiti, Maziwa, Chimbendenga, Mbondo, Namapwia, Kiegei, Nahimba, Ngunichile, Majonanga, Mtua, Namatunu, Likwela, Nakolonji kuendelea kulinda maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ufugaji

Kilimarondo, Matekwe, ndomondo, Makitikiti, Maziwa Chimbendenga, Mbondo, Namapwia, Kiegei, Nahimba, Ngunichile, Majonanga, Mtua, Namatunu, Likwela, Nakolonji

13

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

yasitumike kwa shughuli zingine

Kujenga miundombinu ya mifugo kwa kuongeza idadi ya malambo kutoka 1,378 yaliyopo sasa hadi 2,000; na kujenga mabwawa katika mikoa yenye mifugo mingi. Aidha, vitajengwa visima virefu 300, majosho 50 na kuanzisha minada 164 ya mifugo katika maeneo yote yatakayotengwa kwa ajili ya ufugaji ili kuzuia kuhamahama kwa wafugaji kunakosababisha migogoro

Kuandaa mpango wa kukarabati malambo mabovu yaliyopo na kuchimba mapya kwenye maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ufugaji

Lambo moja jipya limechimbwa na mfugaji mmoja katika eneo lililotengwa kwa ajili ya ufugaji katika kijiji cha Matekwe.

0 Halmashauri bado inatafuta wahisani kwa ajili ya kukarabati malambo mabovu yaliyopo ambayo ni farm IV, Mwenge/Farm one.

Matekwe

Kutoa dhamana kwa vikundi vya wafugaji ili kupata mikopo kwenye asasi za fedha, hususan vijana na wanawake watakaokuwa kwenye vyama vya ushirika vya ufugaji wa ng’ombe, kuku, mbuzi na uzalishaji malisho pamoja na usindikaji wa mazao ya mifugo (nyama, maziwa na ngozi)

Kuviwezesha vikundi 10 vya wafugaji kwa kuwakopesha mtaji wa kuendeleza shughuli zao za ufugaji ili kuongeza uzalishaji na tija

Kuna vikundi ambavyo tayari vimewezeshwa navyo ni rika (Naipingo), Nambambo, wanawake Twaweza (Boma), Nachingwea Livestock Farmers (Boma Mashariki), Upendo (Uhindini), HPI (Ruponda), Kaza Moyo (Mbondo), Kuku ni Mali (Kilimanihewa),

Mpango wa kuwezesha vikundi vingine unaendelea

14

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

umoja (Mtua), ufugaji ng`ombe (Ilolo), ufugaji samaki(Ugawaji), Umoja (Namlingo), kuku (Posta pachani). Bado wanaendelea na shughuli za ufugaji.

Kueneza ufugaji wa mifugo bora kupitia mikopo ya mifugo kwa wafugaji watakaojiunga katika vikundi kupitia miradi ya kopa ng’ombe/mbuzi lipa ng’ombe/mbuzi au kopa ng’ombe/mbuzi lipa maziwa

Kuendelea kuimarisha huduma za ushauri kwenye vijiji 10 vinavyo endesha miradi ya kopa ng’ombe lipa ng’ombe na kopa mbuzi lipa mbuzi ili wazalishe ndama wengi kwa mwaka hatimaye waweze kukupesha watu wengine

Huduma za ushauri zinaendelea kuimarishwa katika vijiji vya Songambele, Mnero miembeni, Kilimanihewa, Ruponda, Namatula, Marambo, Stesheni, Napingo, Mwenge, Mitumbati, wanajamii bado wanafaidika kwa kukopeshwa ndama ambao wamezaliwa.

0 Huduma za ushauri zinaendelea kutolewa

Songambele, Mnero miembeni, Kilimanihewa, Ruponda, Namatula, Marambo, Stesheni, Napingo, Mwenge, Mitumbati,

Kuendelea kutoa elimu kwa wafugaji wanaomiliki na watakaomilikishwa ardhi ili kutumia hati zao kama dhamana ya kupata mikopo

Kuhamasisha wafugaji waliopo kwenye vijiji vyenye uhaba wa ardhi kwenda kuomba kumilikishwa ardhi kwenye vijiji vilivyotenga maeneo ya ufugaji ambayo hayana wafugaji kwa

Wafugaji kutoka kwenye maeneo ya mjini na vitongoji vyake wanaendelea kuhamasishwa

Uhamasishaji unaendelea

15

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

kutoka asasi za fedha sasa kwenda kuomba ardhi kwenye maeneo ya ufugaji yaliyotengwa ambayo kwa hivi sasa hawapo wafugaji

Kuendelea kutoa elimu kuhusu matumizi ya teknolojia ya uhamilishaji katika kuboresha koosafu za mifugo nchini kwa kutoa huduma za uhamilishaji kwa wafugaji kwa gharama nafuu kupitia ruzuku itakayowekwa katika mbegu za uhamilishaji

Kupeleka wataalam 2 wa mifugo NAIC Arusha kupata mafunzo ya tekinolojia ya uhamilishaji ili waweze kuitumia kuboresha koosafu za ng’ombe hapa wilayani

Fedha imetengwa kwenye bajeti ya 2017/2018 lakini wataalam hawajaenda kupata mafunzo hayo

Kuendelea kutoa ruzuku ya dawa za kuogesha mifugo kiasi cha lita milioni 1.0 ili kuhakikisha kuwa majosho 2,428 yaliyopo nchini yanatumika kudhibiti kupe na magonjwa wayaenezayo hususan ugonjwa hatari wa Ndigana kali. Aidha, Serikali itatoa ruzuku ya Chanjo ya Ndigana kali (ECF) na kushirikisha sekta binafsi na wadau wengine kufufua majosho 150 na kujenga majosho mapya 200 katika mikoa yenye mifugo mingi

Kushawishi wauza pembejeo binafsi kuingia mikataba ya kuuza dawa za ruzuku za kudhibiti kupe wilayanchingweai

Jumla ya wauza pembejeo binafsi 3 wamehamasishwa kuuza dawa za ruzuku za kuua kupe hapa wilayani

0

Kuhamasisha sekta binafsi

Kuhamasisha wachinjaji wa mifugo waanze kuona

Jumla ya wachinjaji 0 Zoezi la

uhamasishajNachingwea , Nambambo na

16

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

kuanzisha viwanda vya nyama na mazao mengine yatokanayo na mifugo ikiwemo jibini na ngozi hususan katika maeneo yenye mifugo mingi ili kuongeza thamani

umuhimu wa kukausha na kuhifadhi ngozi badala ya kutumiwa kama kitoweo

10 hapa wilayani wanaendelea kuhamasishwa kukausha ngozi badala kutumia kama kitoweo

i linaendelea Ugawaji

Kuitafutia ufumbuzi wa kudumu migogoro ya wakulima na wafugaji

Kupitia kamati za maendeleo za kata, kuzishauri na Kuhamasisha halmashauri za vijiji vilivyofanyiwa mpango wa matumizi bora ya ardhi kuyalinda maeneo yaliyo tengwa kuchungia mifugo au kilimo ili yatumike kwa lengo kusudiwa

Vijiji 16 vya Likwela, Nakalonji, Chimbendenga, Kilimarondo, Namapwia, Mtua, Matekwe, Kiegei, Mbondo, Maziwa, Ngunichile, Nahimba, Namatunu, Majonanga, Ndomondo, Makitikiti, vinaendelea kuhamasishwa kulinda maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya mifugo au kilimo yaendelee kuhifadhiwa kwa lengo husika.

Zoezi la uhamasishaji linaendelea kutekelezwa

Likwela, Nakalonji, Chimbendenga, Kilimarondo, Namapwia, Mtua, Matekwe, Kiegei, Mbondo, Maziwa, Ngunichile, Nahimba, Namatunu, Majonanga, Ndomondo, Makitikiti

UVUVI 26 Kuanzisha na kuimarisha

vikundi na vyama vya ushirika vya wafugaji wa samaki kwa lengo la kukuza

Kutembelea na kufundisha vikundi 6 na watu binafsi juu ya utunzaji wa mabwawa ya samaki

Jumla ya wafugaji 46 wa samaki wametembelewa na kufundishwa

Kazi inaendelea

ya Ruponda, Nachingwea mjini, Nahimba na

17

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

ufugaji wa samaki nchini utunzaji bora wa samaki katika maeneo ya Ruponda, Nachingwea mjini, Nahimba na Majonanga

Majonanga

Kushirikiana na wadau wa ufugaji samaki ili kuongeza uzalishaji wa samaki kwa kujenga mabwawa ya kufugia samaki na kuongeza uzalishaji kutoka tani 10,000 hadi 50,000 kwa mwaka na kupanua wigo wa ajira kwa vijana

Kushirikiana na Halmashauri za vijiji kutafuta wawekezaji watakao wezesha kufanya ukarabati mkubwa wa mabwawa na kupanda vifaranga bora vya samaki

Halmashauri inaendelea kutafuta wawekezaji kwa ajili ya ukarabati mkubwa wa mabwawa ya samaki Mitumbati na Naipingo

0 mchakato wa kutafuta wawekezaji unaendela

Mitumbati na Naipingo

Kuwawezesha wavuvi wadogo wadogo kupata vifaa vya uvuvi kwa bei nafuu

- - 0 - -

Kuhamasisha uchimbaji wa mabwawa na ufugaji wa samaki katika maeneo yenye ukame kwa lengo la kuongeza lishe bora pamoja na kuongeza ajira kwa vijana

Kushawishi vikundi vya vijana na mtu mmoja mmoja kuanzisha ufugaji mdogo mdogo kwenye maeneo yao

Kuna vikundi 5 na wafugaji binafsi 10 katika maeneo ya hapa mjini Nachingwea, Chem chem., Majonanga, Majengo, Mkumba na Ruponda wamehamasika na wanaendelea na ufugaji wa samaki kwenye mabwawa madogo madogo

Uhamasishaji unaendelea

Nachingwea, Chem chem., Majonanga, Majengo, Mkumba na Ruponda

18

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Kuendelea kupambana na uvuvi haramu ili uvuvi uwe endelevu na wenye tija

- - - - -

MALIASILI 31

Kuboresha miundombinu ndani ya Mapori ya Akiba na Vikosi dhidi ya ujangili na kuongeza vitendea kazi vya kisasa kwa ajili ya doria na upelelezi nje na ndani ya maeneo ya hifadhi

Kufanya doria za kudhibiti uvunaji na utumiaji holela wa rasilimmali za maliasil pamoja na kudhibiti kero za wanymapori wakali na waharibifu wa mazao ya wananchi na kuwezesha vitendea kazi na vifaa kuwa katika hali nzuri

Doria zimefanyika katika Tarafa ya Kilimarondo, Mkoka Na Lionja

7,500,000 Kazi imefanyika kwa kiwango cha kuridhisha na matukio ya uvunaji wa mazao ya maliasili yamepungua

Kilimarondo, Mkoka Na Lionja

Kuendelea kutekeleza programu ya ufugaji nyuki ya mwaka 2007-2016 ili kuwajengea uwezo wadau wake kuzifahamu mbinu bora za uzalishaji wa mazao ya nyuki na pia masoko ya asali na nta ya ndani na nje ya nchi

Elimu sahihi juu ya ufugaji nyuki endelevu wenye tija na uhifadhi wa rasilimali za nyuki iwafikie wafugaji nyuki walio kwenye vikundi na binafsi katika vijiji vyenye fursa ya ufugaji nyuki

Elimu imetolewa kwa vikundi vilivyopo katika vijiji vya ngunichile, Ndomoni, Likwera, Namatunu, mkumba, Marambo, Luponda na Mnero Ngongo. Pia elimu imetolewa kwa watu binafsi katika vijiji vya Famu 8, Mapochero, na Litula. Jumla ya asali 460kg zilivunwa na mapato kubaki kwa wanavikundi na

3,200,000 Wananchi wanaendelea kuhamasika katika shughuli za ufugaji nyuki ingawa bado elimu zaid inahitajika kwa vijana kwani wengi wanaojishughulisha ni wazee na akina mama.changamoto kubwa ni mabadiliko ya hali i ya hewa na

ngunichile, Ndomoni, Likwera, Namatunu, mkumba, Marambo, Luponda na Mnero Ngongo

19

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

watu binafsi. uchomaji wa misitu

Kuongeza eneo la kupanda miti kutoka hekta 60,000 mwaka 2015 hadi hekta 130,000 mwaka 2020 na kuhakikisha kwamba mbao zinazovunwa zinatumiwa kwa ajili ya kutengeneza samani na matumizi mengine hapa nchini badala ya kusafirisha magogo nje ya nchi

Kupanda miti 1,500,000 kwa mwaka 2017/2018

Jumla ya miti mchanganyiko 63,300 ikiwemo ya vivuli,mazao n.k imepandwa na watu binafsi katika maeneo mbalimbali ndani ya Wilaya pamoja na taasisi na kazi inaendelea kwa ushauri na usimamizi

VIWANDA NA BIASHARA

33 Mchango wa Sekta ya Viwanda katika Pato la Taifa unaongezeka kutoka asilimia 9.9 mwaka 2013 hadi asilimia 15 ifikapo mwaka 2020

H/W kutenga maeneo ya kutosha kwa ajili ya uwekezaji

Maeneo yalishatengwa kipindi cha nyuma na bado hayajamilikishwa, tatizo ni kukosekana kwa fedha kwa ajili ya ulipiaji fidia kwa wenye maeneo ambapo maeneo hayo ni Stesheni na Bondeni Road

Sekta ya Viwanda inaongeza ajira kufikia asilimia 40 ya ajira zote ifikapo 2020 kwa kuweka kipaumbele cha kujenga viwanda

Kuhakikisha viwanda vidogo hususani vya Uchanaji Fenicha, Usindikaji wa Mafuta, Uchongaji na Viwanda vya Ubanguaji Korosho

Tathimini ya awali kuna jumla ya viwanda vidogo na kati 142 ambapo

0 Kata zote 36

20

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

vinavyotumia malighafi zinazozalishwa hapa nchini kama vile kilimo, mifugo, uvuvi na maliasili. Viwanda hivyo ni pamoja na viwanda vya nguo, sabuni, korosho, matunda n.k

vinapatikana na kutoa ajira vimetoa ajira 760

Kuandaa mikakati thabiti ya kuhamasisha sekta binafsi kuanzisha viwanda vikubwa na vya kati na kuweka utaratibu wa kuvilinda dhidi ya viwanda vya nje

Kuhakikisha kuwa Sekta Binafsi/watu Binafsi wanapata mafunzo ili kuboresha ubora wa bidhaa

Halmashauri ya Wilaya imepeleka wajasiliamali watano katika maonyesho ya Sido kanda ya Mashariki Novemba 2017

860,000 Utekelezaji unaendelea

Kujenga mazingira rafiki yatakayowezesha kupunguza gharama za uwekezaji na uendeshaji wa viwanda

Kuhakikisha kuwa maeneo ya uwekezaji yanapatikana kwa gharama nafuu, kutowepo kwa usumbufu na kupatikana kwa wakati

Maeneo ya uwekezaji jumla ya hekari 130.2 yameshatengwa na waombaji wanatakiwa kuleta maombi kwa Mkurugenzi kwa ajili ya kupatiwa

0 Utekelezaji unaendelea

Nachingwea Mjini

Kuendeleza kasi ya ujenzi wa viwanda vidogo na vya kati hasa vinavyosindika mazao

Kuhakikisha ushindani na uzalishaji wa Bidhaa bora unapatikana katika Masoko

Halmashauri ya Wilaya Nachingwea imekuwa ikiwaungaisha wajasiliamali na Taasisi mbalimbali zenye kutoa mafunzo ya ujasiliamali na

0 Wajasiliamali na wafanya bishara wamekuwa wakitengeneza, wakiagiza bidhaa zilizo na ubora kwa

Nachingwea Mjini na Vijijini

21

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

uhifadhi bora wa bidhaa kwa lengo la kuibua ushindani wa bidhaa katika soko. Shirika la viwango nchini (TBS) lilitoa elimu ya ubora wa bidhaa kwa kuwahamasisha bidhaa zao ziwe na msimbomilia katika ukumbi wa halmashauri, wajasiliamali 6 waliwezeshwa kushiriki Maonesho ya SIDO kanda ya Mashariki 2017/2018 ambapo walijifunza mambo mbalimbali yenye kuwajenga kiujasiliamali na kuleta ushindani katika soko

matumizi ya Jamii

3. MIUNDOMBINU NA HUDUMA ZA JAMII

ARDHI 37 Utawala wa Ardhi

22

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Kujenga mfumo utakaorahisisha umilikishaji wa ardhi na uhifadhi wa kumbukumbu za ardhi kwa kukamilisha ujenzi wa Mfumo Unganishi wa Kuhifadhi Kumbukumbu za Ardhi (Integrated Land Management Information System)

Kutunza kumbukumbu za umiliki wa viwanja katika mfumo wa kompyuta

Viwanja vinavyomilikiwa vinaendelea kuingizwa katika mfumo wa Kompyuta

0 Zoezi linaendelea

Nachingwea, Ugawaji, Boma, Nambambo, Nangowe, Namatula na Kilimanihewa

Kuzijengea uwezo

Halmashauri za Miji na Wilaya

kwa kuzipatia mafunzo, vifaa, rasilimali fedha na wataalamu ili ziweze kupima

viwanja na mashamba nchini

Kupima viwanja 450 maeneo ya Namatula na Bondeni Road

Kazi ya upimaji viwanja inaendelea kukamilishwa ambapo mpaka sasa viwanja 120 vimepimwa katika kijiji cha Stesheni na Viwanja 1200 Katika kata ya Nangowe

0 Fedha hazijatolewa

Nachingwea na Namatula

Utayarishaji wa Mipango ya

Matumizi Bora ya ardhi nchini

Kuandaa ramani na michoro ya mipango miji katika maeneo yaliyojengwa kiholela na kurejea michoro ya mipango miji kwa maeneo ya zamani

Mchoro Mmoja wa Namatula umeandaliwa bado kuidhinishwa na kusajiliwa na Wizara ya Ardhi katika hatua za Mwisho za matumizi

Kuwapatia wananchi hatimiliki

za kimila 2,500,000 pamoja

na kujenga masjala za ardhi

250 katika ngazi za Wilaya na

Kuandaa hati miliki za kimila 500

Jumla ya hati Miliki 350 zimeandaliwa na kukabidhiwa kwa wananchi

125,000 Mbondo

23

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Vijiji

Kuwapatia wananchi hati

miliki 2,000,000 pamoja na kusajili nyaraka nyingine za kisheria

Kuandaa hati miliki 200na kuzigawa kwa wananchi

Jumla ya hati miliki 55 zimeandaliwa na kugawiwa kwa wananchi wa kata ya Mbondo

0 Wananchi wahamasishwe zaidi juu ya umuhimu wa kumiliki mali zao kwa hati miliki

Mbondo

Mipango Miji na Vijiji

Kukamilisha uandaaji wa

Mipango Kabambe (Master Plans) kwa miji mikuu yote ya

mikoa

Kuandaa ramani na michoro ya mipango miji katika maeneo yaliyojengwa kiholela na kurejea michoro ya mipango miji kwa maeneo ya zamani

Mchoro Mmoja wa Namatula umeandaliwa bado kuidhinishwa na kusajiliwa na Wizara ya Ardhi katika hatua za Mwisho za matumizi

0 Namatula,

3. HUDUMA ZA JAMII

AFYA 50 Kuendeleza utekelezaji wa

Mpango wa Maendeleo wa

Afya ya Msingi (MMAM)

wenye lengo la kuimarisha na kusogeza huduma za afya karibu na wananchi kwa kuhakikisha kwamba:-

(i)

Lengo la kila kijiji

kuwa na Zahanati, Kata kuwa na Kituo cha Afya na Wilaya

Kufanya ujenzi wa Zahanati za Namatumbusi, Mpute, Kipara Mtua, Naipanga, Nangunde na Manunuzi ya samani kwa zahanati za Namatumbusi,Mpute na Kipara Mtua

Ujenzi umekamilika kwa zahanati zote na samani zilinunuliwa

0 Namatumbusi, Mpute, Kipara Mtua, Naipanga, Nangunde

24

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

kuwa na Hospitali linaendelea

kutekelezwa katika maeneo ambayo huduma hizi hazijakamilika

pamoja na kujenga hospitali za wilaya

katika wilaya zote mpya

(ii)

Kuhamasisha sekta

binafsi kuwekeza katika Sekta ya Afya kwa kupitia sera ya ubia baina ya Sekta ya Umma na Binafsi

(PPP)

Halmashauri imeingia Mkataba wa utoaji huduma kwa jamii (PPP), na Hospitali ya Misheni Mnero kwa kuwapatia asilimia 15 ya fedha wa mfuko wa pamoja (Basket Fund) na fedha za CHF 10,000,000

Mgawanyo wa fedha kwa makubaliano ya mkataba wa utoaji huduma umefanyika kama ulivyopangwa

59,000,000

Fedha zimeshatolewa na huduma zinaendelea kutolewa kulingana na makubaliano ya Mkataba

Mnero ngongo

(iii)

Kuajiri wataalamu zaidi wa afya kutoka

ndani na nje ya nchi pamoja na kuboresha mazingira ya kazi kwa lengo la

kuongeza ubora wa

huduma za afya. Aidha, hospitali za wilaya zitaendelea kuimarishwa kwa kuzipatia madaktari,

Kuajiri watumishi 65 wa kada mbalimbali ifikapo Juni 2018

Mpaka kufikia mwezi Disemba 2017 watumishi walioajiriwa kwenye kada ya afya walikuwa 13

Watumishi watakapofika watapangiwa kwenye maeneo yenye upungufu

25

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

wauguzi, dawa na vifaa tiba vya kutosha

(iv)

utoa motisha kwa watumishi ambao

wanafanya kazi katika maeneo yenye

mazingira magumu ili kuwajengea ushawishi wa

kuendelea kutoa huduma za afya katika

maeneo hayo

Motisha kwa Watumishi wa afya waishio katika mazingira magumu kwa Hospitali, Vituo vya Afya zilitengwa katika kasma hizo tajwa

Zoezi la utoaji motisha limefanyika kwa madaktari wapya walioajiriwa kwa kupewa vitanda,magodoro na chakula

Tunaomba fedha ziweze kuongezwa na kutolewa kwa wakati

Vituo vya kutolea hudum ya afya vya serikali

(v)

Kuimarisha

mapambano dhidi ya malaria kwa kufanya yafuatayo

Uhamasishaji wa usafi wa

mazingira katika makazi na

kulala kwenye chandarua kila

siku.

Uhamasishaji

umefanyika katika

maeneo ya Namatula,

Kilimanihewa, Mtua,

Kilimarondo, Mbondo,

Kiegei, Matekwe,

Mkotokuyana, Ugawaji,

Nambambo na Boma

kwa kushirikiana na

wadau wetu wa NAESO

0 Kuhamasish

a jamii

kuhusu

umuhimu wa

kuwahi

katika vituo

vya wa

huduma

mara

wanapohisi

kuwa na

homa na

kumaliza

dozi.

Namatula,

Kilimanihewa,

Mtua,

Kilimarondo,

Mbondo,

Kiegei,

Matekwe,

Mkotokuyana,

Ugawaji,

Nambambo na

Boma

(vi)

Kuwagawia wananchi vyandarua vyenye

viuatilifu 22,360,386

Kugawa vyandarua kwa

wanafunzi wa shule za msingi

za serikali.

Vyandarua viligaiwa

kwa wanafunzi wa

shule zote za msingi

Kata 36

26

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

bila malipo zilizopo katika wilaya

(vii)

Kununua na kusambaza dawa za

malaria katika vituo vyote vya kutolea

huduma nchini

Kuendelea kusambaza dawa

za malaria katika vituo vyote

vya kutolea huduma

Dawa aina ya Alu na

vitendanishi

vilipokelewa na

kusambazwa katika

vituo vya kutolea

huduma.

0 Kuendelea

na mpango

wa

kusambaza

dawa katika

vituo vyote

vya kutolea

huduma.

Kuimarisha upatikanaji wa huduma za dharura na za kawaida kwa wagonjwa kupitia vituo vya huduma za afya hapa nchini. Huduma hizi ni pamoja na magonjwa ya saratani, mishipa ya fahamu, mapafu, figo, huduma za magonjwa ya moyo, upasuaji mbalimbali ikiwamo upasuaji wa mifupa

Ujenzi wa chumba cha upasuaji kituo cha afya Marambo na Naipanga Kutoa huduma ya CECAP na uchunguzi wa saratani ya matiti kwa kina mama

Ujenzi wa chumba cha upasuaji haujafanyika Huduma ya CECAP na saratani ya matiti umefanyika na jumla ya wanawake 627 wamefanyiwa uchunguzi katika hospitali ya wilaya

0 Ujenzi wa chumba cha upasuaji Naipanga bajeti yake ya Tsh. 20,000,000 imetengwa kwa mwaka wa fedha 2017/2018

Hospitali ya wilaya na Naipanga

Kuunganisha hospitali za rufaa za Mikoa na Wilaya na hospitali nyinginezo kwenye

Kuwezesha mfumo wa telemedicine katika hospitali ya wilaya

Mfumo umeshafungwa na unaendelea kufanya kazi

0 Hospitali ya wilaya Nachingwea

27

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

mfumo wa matibabu mtandao (telemedicine)

Kuweka utaratibu utakaowezesha wananchi kuwa na Bima ya Afya ili kumudu gharama za matibabu

Kuhamasisha wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii ili kupunguza gharama za matibabu

Jumla ya kaya 19221 zimejiunga na mfuko wa afya ya jamii

Kuendelea kushirikiana na viongozi ngazi ya jamii kuhamasisha jamii kujiunga mfuko

Zote 36

Kuimarisha upatikanaji wa haki na huduma za makundi

maalumu wakiwemo watu wenye ulemavu wa ngozi

(albinism) na watoto wanaoishi mitaani ikiwa ni pamoja na kuanzisha Kamati za Ulinzi wa

Mtoto katika Halmashauri zote

Kuwatambua watu wote wenye ulemavu wa Ngozi (Albino) katika Kata zote 34, ifikapo Juni 2016.

Watu wenye ulemavu wa Ngozi (Albino) 127 wametambuliwa kutoka kata 15, na Takwimu zinaendelea kupokelewa kutoka Kata 21 zilizobaki na kuingizwa kwenye mfumo wa kutunzia kumbukumbu, ili kuwapatia Mafuta maalum ya Kuzuia mionzi ya Jua kwenye Ngozi, ambayo kwa sasa yapo Ofisi ya Ustawi wa Jamii.

0 Watu walio kwenye makundi maalum wana mahitaji mengi ambayo utekelezaji wake unahitaji rasilimali Fedha za kutosha.

Kata zote 36 za Wilaya ya Nachingwea.

Kukamilisha Sera ya Huduma

za Ustawi wa Jamii pamoja na

Mkakati wake wa Utekelezaji. Aidha, Halmashauri zitahakikisha wazee wanatambuliwa na kupewa

Kufanya zoezi la utambuzi wa Wazee Kutoka katika Vijiji Kata 34 ifikapo Juni 2016.

Jumla ya Wazee kwa Takwimu za Sampuli 7,121 wametambuliwa katika Kata 14, na Takwimu

105,000 Serikali iwapatie wazee Bima ya afya ya Taifa NHIF ili waweze kutibiwa sehemu

Kata 15 za Chiola, Namapwia, Lionja,K/rondo, Mnero ngongo, Matekwe, Naipingo, Naipanga,

28

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

matibabu bure katika hospitali za Serikali

zinaendelea kupokelewa kutoka Kata19 zilizobakia.

Jumla ya Wazee 7000 wamo kwenye mpango wa kulipiwa kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii

(CHF) na Shirika la Bima ya Taifa (NHIF).

Wazee 335 wamepatiwa msamaha wa matibabu

Maombi ya kuwalipia Wazee 7,121 ili kujiunga kwenye mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii yamewasilishwa kwa Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya Nachingwea.

yoyote ndani ya nchi

Mchonda, Marambo, Mtua, Nditi, Kiegei, Ndomoni, Mchonda, Namikango,K/Mtua na Mitumbati

Kuimarisha Huduma ya Afya

29

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

ya Mama na Mtoto kwa kuzingatia vipaumbele vya

Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kwa kufanya yafuatayo:-

Kuzijengea uwezo Hospitali na

Vituo vya Afya ili kutoa

huduma kamili ya Afya ya Uzazi na Mtoto pamoja na upasuaji kwa mama wajawazito

Kuendesha mafunzo mbalimbali yanayohusu afya ya uzazi na mtoto pamoja na upasuaji kwa wamama wajawazito

Mafunzo mbalimbali yamefanyika na yanaendelea kufanyika kwa madaktari

Kuendelea kuhimiza wananchi kuwahi kliniki ya afya ya uzazi na mtoto ili waweze kupata huduma bora kwa wakati

Mafunzo yalitolewa kwa watumishi wa vituo mbalimbali vya kutolea huduma

Kutoa huduma za mkoba (mobile clinic) hasa maeneo ya vijijini

Kufanya zoezi la utoaji wa huduma za afya kwa njia ya mkoba katika vituo 38 vya kutolea huduma za afya

Zoezi limefanyika la kutoa huduma kwa njia mkoba katika vituo 38 za kutolea huduma za afya

3,240,000 Kata zote za Wilaya ya Nachingwea

Kuendelea kutekeleza mpango wa kutokomeza maambukizi mapya ya VVU kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto

Kuhakikisha huduma ya upimaji wa VVU kwa wajawazito na wenza wao na kutoa dawa za kupunguza makali ya VVU kwa waliobainika kuwa na Maambukizi pia kutoa dawa kwa mtoto aliyezaliwa na mama mwenye maambukizi

Tumeweza kupima:- Wajawazito 5961,

kati yao 150 walikua na maambukizi na walipatiwa dawa ya kupunguza makali ya VVU Watoto

waliozaliwa

48,500,000 Kuhimiza wamama wajawazito kuhudhuria kliniki mapema mara wajitambuapo kuwa wajawazito

30

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

na mama wenye maambukizi walikuwa 143 ambao walipatiwa dawa kwaajili ya kuwakinga na VVU na magonjwa nyemelezi na pia walichukuliwa damu kwa ajili ya kupima maambukizi

ELIMU Kuandaa mfumo, muundo na taratibu nyumbufu za kutoa

Elimu ya Awali na Elimumsingi (1+6+4) bila malipo ili kuhakikisha kwamba:-

(i)

Kandikishwaji rika lengwa

la watoto wa darasa la Elimu ya Awali 1unaongezeka kutoka

asilimia 45 mwaka 2015 hadi asilimia 100 mwaka

2020

Kuandikisha rika lengwa la watoto wa darasa la awali 5,896 kwa kipindi cha 2017/2018

Uandikishaji wa watoto darasa la awali umefanyika kwa wanafunzi 4930 sawa asilimia 83.81

0 Zoezi la uandikishaji limekamilika

Kata zote 36

31

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

(ii)

Uandikishwaji rika lengwa la watoto wa

Darasa la Kwanza unaongezeka kutoka asilimia 95 mwaka 2015

hadi asilimia 100 mwaka 2020

Kuandikisha rika lengwa la watoto wa darasa la kwanza 5,101 kwa kipindi cha 2017/2018

Uandikishaji wa watoto wa darasa la kwanza umefaanyika kwa wanafunzi 4803 sawa na asilimia 94.16

0 Zoezi la uandikishaji limekamilika

Kata zote 36

(iii)

Uandikishwaji rika lengwa la Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza

unaongezeka kutoka asilimia 60 mwaka 2015 hadi asilimia 80 mwaka

2020

Kuandikisha asilimia 80 ya wanafunzi wote waliofaulu darasa la saba kujiunga na kidato cha kwanza katika shule za sekondari 27

Kwa mwaka 2018 hadi sasa uandikishaji kidato cha kwanza umefikia asilimia 90.34

0 Zoezi la kuripoti limekamilika

Kata zote 36

Kuhuisha taratibu za kujiunga

na taasisi zinazotoa elimu na

mafunzo katika ngazi mbalimbali kwa kutambua

sifa zinazopatikana katika mifumo na taasisi tofauti ili kuhakikisha kwamba:-

(i) Asilimia 20 ya wahitimu wa Elimumsingi wanaendelea

na masomo katika ngazi za

Sekondari ya Juu na asilimia 80 kuendelea na elimu au mafunzo ya ufundi katika ngazi ya cheti,

Asilimia 80 ya Wahitimu wote wa darasa la saba kwa mwaka 2017/2018 kujiunga na kidato cha kwanza Na asilimi 10 ya Wahitimu wote wa kidato cha nne wanaendelea na masomo katika ngazi ya sekondari ya

Kwa mwaka 2017 ni asilimia 76.87 ya wahitimu wote wa darasa la saba wamejiunga na kidato cha kwanza 2018

Mikakati

naendelea

kuhakikisha

2017

tunafikia

asilimia 10

Kata zote 36

32

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

stashahada au shahada kulingana na sifa, vipaji au

vipawa

juu na asilimia 40 kuendelea na mafunzo mengine

Mwaka 2016 asilimia 7 kidato cha nne waliendelea na kidato cha tano

na zaidi

(i)

Ufaulu wa mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi unaongezeka kutoka

asilimia 57 mwaka 2015 hadi asilimia 90 mwaka

2020 na asilimia ya wanafunzi wanaoendelea na Kidato cha Kwanza kuongezeka kutoka asilimia 55.5 hadi asilimia

100

Asilimia 80 ya Wahitimu wote wa darasa la saba kwa mwaka 2017/2018 kufaulu mtihani wa darasa la saba

Mwaka 2017 asilimia 76.87 ndio waliofaulu mitihani ya darasa la saba

Wanafunzi waliofaulu wameshajiunga na kidato cha I

Kata zote 36

(ii)

Idadi ya wataalamu wenye ujuzi wa juu

wanaongezeka kutoka asilimia 3 hadi asimilia 10

mwaka 2020, ujuzi wa kati kutoka asilimia 13 hadi 30 na ujuzi wa chini kupungua

kutoka asilimia 84 hadi 60

Walimu 22 wamewekwa katika mpango wa masomo kwa mwaka 2017/2018

Jumla ya walimu 5 tayari wamewekwa kwenye mpango wa masomo 2017/2018

Kata zote 36

(i)

Uwiano wa kitabu cha

kiada kwa mwanafunzi katika Elimumsingi unaongezeka kutoka 1:3

Uwiano wa kitabu cha kiada kwa mwanafunzi kuongezeka kutoka 1:4 hadi 1:3 mwaka 2017/2018

Uwiano wa kitabu kwa mwanafunzi wa Darasa i-iv umefikia 1-3,kwa darasa v-vii uwiano bado 1;4

0 Vitabu vimepelekwa mashuleni

Kata zote 36

33

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

mwaka 2015 hadi 1:1 mwaka 2020

(ii)

Asilimia 50 ya fedha za ruzuku ya uendeshaji wa

shule zinatumika kuchapisha na kusambaza

vitabu vya kiada

Kusambaza vitabu vya Kiada kwa shule zote za Msingi.

Vitabu vya kiada kwa madarasa I-IV vimesambazwa

0 Vitabu vimepelekwa mashuleni

Kata zote 36

(iii) Uwiano wa vitabu vya

ziada kwa kila somo kwa mwanafunzi katika

Elimumsingi kuwa 1:10

Uwiano wa vitabu vya ziada kwa kila somo kwa mwanafunzi katika Elimu msingi kuwa 1:10

Uwiano wa vitabu vya ziada kwa somo umefikia 1:10 kwa darasa I-IV

0 Vitabu vimepelekwa mashuleni

Kata zote 36

Kuhuisha miongozo ya

Elimu na Mafunzo ili

kuondoa vikwazo vinavyosababisha mwanafunzi kushindwa kukamilisha

mzunguko wa elimu au mafunzo ili kuhakikisha kwamba:-

(i)

Wasichana wote wa

Elimumsingi wanaoacha shule kwa sababu ya kupata

ujauzito wataendelea na masomo

Kuondoa tatitzo la wasichana kupata ujauzito

Elimu inaendelea kutolewa kuziwa kwa ngoma za unyago wakati wa masomo Kuwachukulia hatua kali wanaowapa ujauzito

0 Elimu rika inaendelea kutolewa ili kujenga uelewa na umuhimu wa elimu kwa wasichana

Kata zote 36

34

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Kuandaa walimu, wakufunzi na

wahadhiri mahiri hususan katika

masomo ya hisabati, lugha, sayansi, teknolojia na ufundi ili

kuhakikisha kwamba:-

(i)

Tatizo la uhaba wa walimu wapato 24,000 wa

masomo ya sayansi na hisabati kwa shule za Sekondari linapungua kwa

kutoa mafunzo kwa walimu 5,000 wa masomo

hayo kila mwaka

Kupokea na kusambaza walimu wa masomo ya sayansi kutoka Serikali kuu mwaka 2017/2018

Walimu 27 wamepokelwa kati ya 30 waliopangwa na wamesambazwa katika shule za sekondari

0 Mara tu walimu wanapowasili husambazwa maeneo yenye upungufu

Kata zote 36

Kuandaa mpango kabambe

wa kuongeza udahili katika taasisi za elimu na mafunzo kwa kuzingatia mahitaji ya

rasilimali watu na ujuzi kwa maendeleo ya Taifa na soko la ajira hususan ujuzi

unaohitajika au kuhusiana na

sekta zinazokua haraka na zinazojitokeza mfano mafuta, gesi na madini ili kuhakikisha kwamba:-

(i)

Kuendelea kusimamia Sera ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 2015

Kusimamia matumizi sahihi ya fedha za elimu bure zinazopelekwa mashuleni.

Matumizi ya fedha za elimu bure yanasimamiwa kikamilifu na

0 Kutumika kanuni nyingine ya kugawa fedha za

Kata zote 36

35

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

ambayo inaifanya elimu ya Msingi hadi Sekondari

kuwa ya lazima na bila ya malipo

yanakaguliwa na mkaguzi wa ndani

elimu bure badala ya idadi ya wanafunzi

MAJI 53 Kuboresha huduma ya maji

vijijini kutoka asilimia 53.4 mwaka 2015 hadi asilimia 70

mwaka 2020 kwa kufanya yafuatayo:-

Kuboresha huduma ya maji vijijini kutoka asilimia 35 mwaka 2015 hadi asilimia 75 mwaka 2020 kwa kufanya yafuatayo:-

Huduma ya maji imeboreshwa vijijini kufikia asilimia 45

0 Hamna fedha iliyoletwa kwaajili ya miradi

(i)

Kuendelea kutekeleza

lengo la kuwapatia wananchi waishio

vijijini huduma ya maji safi, salama na ya

kutosha kama yalivyo Malengo ya Milenia

Kujenga mradi wa mtandao wa bomba katika kijiji cha Marambo na kuchimba visima sitini(60) kupitia shirika la Gain

Uchimbaji kupitia shirika la Gain limechimba visima arobaini (41) kazi bado inaendelea kwa visima 19 vilivyobakia. -Mtandao wa bomba katika kijiji cha Marambo Mkandarasi ameshapatikana,Halmashauri inawasiliana na Wizara ya Maji ili kupata fedha za ujenzi.

0 Katika mradi wa mtandao wa bomba kijiji cha Marambo hakuna fedha iliyoletwa

Libundu,Namkula,Kimawe,Rweje,Rupota,Mkonjela,Nangalimbo,K/mnero,Mitumbati,Chilaile,Kihuwe,Naipingo,Kipara mtua,Farm 17,Mkukwe,Mchonda,Namatumbusi na Nan’gondo.

(ii)

Kujenga vituo vya

kuchotea maji

Kujenga vituo vya kuchotea maji mia mbili(200) vitakavyotoa huduma ya maji mwaka 2015 hadi kufikia mwaka 2020

Ujenzi wa vituo vya kutekea maji Arobaini (41) umefanyika kupitia shirika la GAIN na

0

36

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Halmashauri imejenga vituo 30 katika vijiji vya Mnero miembeni na Nditi

(iii)

Kuhamasisha ujenzi wa miundombinu ya kuvuna maji ya mvua

katika majengo ya Serikali, asasi za

umma na binafsi na nyumba za watu binafsi

Kuhamasisha ujenzi wa miundombinu ya kuvuna maji ya mvua kwa kutunga sheria ndodondogo katika majengo ya Serikali, asasi za umma na binafsi na nyumba za watu binafsi

Tayari sheria ndogondogo zimeshaundwa kwaajili ya uvunaji wa maji kupitia kwenye mapaa yao

0 Kuhamasisha ujenzi wa miundombinu ya kuvuna maji ya mvua unaendelea

Kuboresha huduma ya Maji

Mijini kwa kufanya yafuatayo:-

(i)

Kuongeza upatikanaji wa huduma za maji

katika miji mikuu ya wilaya, miji midogo na maeneo ya miradi

ya Kitaifa kutoka

asilimia 57 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 90 mwaka

2020

Kuongeza mitandao ya bomba kwa zile sehemu ambazo huduma haipatikani

Uongezaji wa mtandao wa bomba Nachingwea mjini kufikia km 5.2 mpaka Juni 2018

45,126,614 Zoezi inaendelea

Kuendelea kuhamasisha

wananchi kuunda Jumuiya za

Kuendelea kuhamasisha

wananchi kuunda Jumuiya za

Jumla ya jumuiya za watumiaji maji 23 zimeundwa na kati ya hizo Jumuiya 21

Jumuiya mbili bado hazijasajiliwa amabazo ni Kipara

Mandai, Nampemba, Farm 8 , Rweje, Lipuyu, Mituguru,

37

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Watumia Maji Vijijini katika

Mabonde yote ya maji nchini

ifikapo mwaka 2020 ili

kuwashirikisha wananchi

kikamilifu katika kupanga,

kujenga, kuendesha na

kumiliki miradi ya maji

Watumia Maji Vijiji (50) katika

wilaya ya Nachingwea ifikapo

mwaka 2020 ili kuwashirikisha

wananchi kikamilifu katika

kupanga, kujenga, kuendesha

na kumiliki miradi ya maji

zimesajiliwa Mtua na Namikango

Litula, Mkoka, Kipara Mtua, Mtua, Mbondo, Majonanga, Chiola A, Chiola B, Marambo, Nditi, Mnero Mimbeni, Ruponda, Mandawa, Ndomoni, Mkotokuyana, Ikungu na Namikango

5. UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI

57 Kuhakikisha kuwa shughuli

zote zenye mwelekeo wa

ushirika zinapewa msukumo stahiki kwa kuhamasisha na kusimamia kwa nguvu

uanzishaji wa vikundi vya ushirika kama vile SACCOS na VICOBA; Vyama vya

Mazao,

Ufugaji na Uvuvi hasa ikizingatiwa kuwa ushirika ndiyo silaha kuu ya wanyonge na nguzo kuu ya ujenzi wa

Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea

Kuhamasisha uundaji wa Vikundi vya ujasiriamali na VICOBA 554 ifikapo June 2016

Jumla ya vikundi 1020 vimeundwa na vina katiba na vimesajiriwa pia vikundi 43 vimepatiwa mkopo wa Tsh 86,000,000 kwa mwaka wa fedha 2017/2018 na ukopeshaji unaendelea kwa awamu ya pili.

86,000,000 Iwapo fedha itapatikana kutoka mapato ya ndani ukopeshaji utaendelea sambamba na ufuatiliaji wa marejesho

Kata 36

Kuweka mfumo wa

kuvitambua, kuvisajili na

kuviwezesha vikundi vyote

vyenye mwelekeo wa ushirika

Kusajili Vikundi vya ujasiriamali na VICOBA 554 ifikapo June 2018

Jumla ya vikundi 250 vimesajiliwa na usajili bado unaendelea

0 Kata Zote 36

38

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

na ujasiriamali

Kuwawezesha wananchi

kiuchumi kwa kuhakikisha kwamba fursa ya mikopo kwa ajili ya mitaji inapatikana bila

ya urasimu na kwa masharti nafuu na kuwafikia wananchi

wengi mijini na vijijini

Asilimia 10 ya mapato ya Halmashauri kutolewa kwa vikundi vya vijana na wanawake ifikapo Juni 2018

Jumla ya Tsh.86,000,000 kutoka mapato ya ndani zimekopeshwa kwa makundi tajwa na utaratibu wa ukopeshaji unaendelea

86,000,000 Utoaji wa mikopo unaendelea kulingana na upatikanaji wa mapato ya ndani

Kusaidia wafanyabiashara

wadogo kwa kufanya

yafuatayo:-

(i)

Kutenga maeneo mahsusi katika kila

Halmashauri kwa ajili ya biashara ndogo ndogo

Kuhakikisha maeneo yanatengwa kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo

Upimaji wa maeneo ya masoko kwa ajili ya wafanyabishara wadogo unaendelea kufanyika

0 Upimaji, Ugawaji na Ujenzi wa Maeneo ya Bishara usimamiwe na utekelezwe kwa haraka ili kuleta tija kwa wafanya biashara wadogo.

Kilimanihewa Nachingwea Mjini

58 URASIMISHAJI MALI ZA

WANYONGE

Kuongeza kasi ya utambuzi, usajili na umiliki

wa ardhi pamoja na kuendeleza urasimishaji wa

Kurasimisha mashamba 2500 na kuandaa hati miliki za kimila

Hati 350 za kimila zimegawiwa na zoezi linaendelea

0 Mbondo, Nakalonji, Nahimba na Namatunu

39

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

rasilimali za wananchi, kuwashirikisha na

kuwawezesha kutumia rasilimali zao kama dhamana ya kupata mitaji

60 KUWAWEZESHA VIJANA

KUJIAJIRI

Kuhakikisha Halmashauri

zote nchini zinaanzisha

vituo maalumu ili kuwawezesha vijana kupata

sehemu ya kujifunza kwa vitendo shughuli mbalimbali za

ujasiriamali na kupata taarifa mbalimbali za maendeleo

Halmashauri ilitenga vituo maalum vya kuwawezesha vijana kupata sehemu ya kujifunza kwa vitendo hadi kufikia June,2018

Maeneo matatu yamejengwa kwa shughuli husika,maeneo ayo ni Ngunichile,Kilimarondo,Mkotokuyana na eneo la Utafiti

Kilimarondo,Mkotokuyana,Ngunichile na Boma

Kuwawezesha vijana

wanaohitimu Vyuo Vikuu na

Vyuo vya Kati kufanya kazi kwa kujitolea katika asasi mbalimbali kwa lengo la

kuwapatia uzoefu na maadili ya

kazi ili waweze kuajirika au kujiajiri wenyewe

Uhamasishaji wa vijana wanaohitimu vyuo vikuu kufanyika ifikapo June 2016

Uhamasishaji umefanyika kwa kata 34 na asasi 4 za NAESO,NAPAU,FARAJA COMMUNITY DEVELOPMENT na NASODE zimeweza kuajiri vijana waliohitimu elimu ya juu

Kata zote 36 za halmashauri ya wilaya ya Nachingwea

6. MAENEO MENGINE MUHIMU

145 UTAWALA BORA,

DEMOKRASIA NA UWAJIBIKAJI

Kuendeleza jitihada za kukuza, kulinda na kuhifadhi Haki za Binadamu na

Utawala wa Sheria katika ngazi

zote za uongozi

Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea imeendelea kutekeleza mfumo wa ugatuaji wa madaraka kwa wananchi ambapo inaamini Serikali za Mitaa kama chombo cha

Halimashauri ya Wilaya ya Nachingwea imeendelea kuzifuata na

Elimu imeendelea kutolewa kwa kutumia miongozo, Sheria, na

40

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Wananchi kipo kiliundwa, huendeshwa, husimamiwa na kuwajibika kwa wananchi wenyewe na kupelelekea kuwa na sauti katika maamuzi mbalimbali kuhusu maendeleo yao.

kuzitekeleza Sheria mama, Sheria ndogo pamoja na Sera ili kuwezesha Jinsia zote zinapewa fursa sawa kushiriki kikamilifu katika masuala ya siasa, uchumi na utawala katika nchi yao.

sera mbali mbali kuhakikisha haki za binadamu na utawala bora vinazingatiwa, Mfano Sera ya maendeleo ya jamii ya halmashauri ya wilaya ya Nachingwea inasisitiza kuheshimu haki za binadamu na usawa wa jinsia ambapo Elimu hii hutolewa kwenye vikao ngazi zote.

148 SERIKALI ZA MITAA

Kuendelea kuzifanyia mapitio

Sheria zote zinazohusiana na

Serikali za Mitaa na Mamlaka ya Tawala za Mikoa ili

kuharakisha mchakato wa kugatua madaraka kwa lengo la kuziwezesha kutoa

Halmashauri imeendedelea kuhuisha Sheria ndogo zilizopo na kuibua sheria ndogo ndogo mpya ili kwenda na wakati kwa lengo la kuimarisha ukusanyaji wa mapato ili Halmashauri iwe na uwezo wa kutoa huduma stahiki kwa wananchi wake.

Sheria zilizo huishwa na kuibuliwa ili kuwezesha Halmashauri kuongeza mapato na kuwa na uwezo wa kuwahudumia wananchi wake ni pamoja na Sheria ya;

Elimu imeendelea kutolewa kupitia katika vikao mbili mbali, matangazo mbali mbali ili kuwapa

Maeneo yote ya kata katika Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea

41

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

huduma bora zaidi kutoka ngazi ya Kitongoji/Kijiji hadi

Kata

i) Udhibiti wa yombo vya usafiri ii) Udhibiti wa taka ngumu iii) Ushuru wa Mazao iv)Ushuru wa uvunaji wa maji ya mvua v) Ushuru wa huduma vi)Ushuru wa kodi ya majengo vii)Ushuru wa mabango na matangazo; Viii)Hifadhi ya Mazingira ix) Matumizi ya Barabara na ujenzi Mjini pamoja na x) Ada na ushuru.

fursa wananchi kuwa na uelewa kuwezesha kuzitumia Sheria hizo na kuziona kuwa nirafiki kwa maendeleo ya jamii.

Kuendelea kuzijengea uwezo

Serikali za Vijiji kwa kuzipatia

raslimali watu na fedha ili ziweze kupanga na

kusimamia kwa ukamilifu miradi yao ya maendeleo

Katika mwaka wa fedha 2017/2018 Halmashauri ya Wilaya iliandaa bajeti ya maombi ya Watumishi wa kada mbalimbali na kuwasilisha OR- Utumishi.

Katika mwaka wa fedha 2017/2018 jumla ya watendaji wa vijiji 10 , wauguzi 6 na matabibu 3 waliajiriwa .

Halmashauri inasubiri kupatiwa watumishi wa kada mbalimbali sawa na idhini ya nafasi zilizotolewa.

Maeneo yote ya kata katika Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea

Kuimarisha ubora na

upatikanaji wa huduma za kijamii hususan afya, elimu,

maji na miundombinu ya

Katika mwaka wa fedha 2017/2018 Halmashauri ya Wilaya iliandaa bajeti ya maombi ya Watumishi wa kada mbalimbali na kuwasilisha OR-

Halmashauri inasubiri kupatiwa watumishi wa kada

Maeneo yote ya kata katika Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea

42

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

kiuchumi katika Halmashauri zote nchini pamoja na

kuongeza idadi ya wataalamu wa fani mbalimbali

Utumishi. mbalimbali sawa na idhini ya nafasi zilizotolewa.

Kuendelea kuchukua hatua kali za kinidhamu na kisheria dhidi ya watendaji wa Halmashauri

za wilaya watakaobainika kuhusika na vitendo vya

ubadhirifu na wizi wa mali ya umma pamoja na matumizi mabaya ya madaraka

Halmashauri imeendelea kuchukua hatua kuimarisha nidhamu kwa watendaji wake pale inapo bainika kukiuka maadili ya Utumishi wa umma katika maeneo ya kazi na kuleta imani dhidi ya Serikali yao.

Halmashauri ya Wilaya kupitia vikao vya kazi vinavyoendeshwa na idara mbalimbali katika maeneo ya kazi watumishi wamekuwa wakielimishwa kuzingatia maadili ya Utumishi wa Umma na pale inapo bainika mtumishi wa Umma anakiuka na kwenda kinyume na maadili ya utumishi wa umma kupitia kamati ya nidhamu ya Halmashauri anachukuliwa hatua za kinidhamu.

Elimu pamoja na maelekezo mbali mbali vimeendelea kutolewa ili kujenga nidhamu kwa watumishi wa umma katika sehemu za kazi.

Maeneo yote katika kata za Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea

153 KUJENGA UWEZO WA

KUKABILI MAJANGA

Kusimamia kikamilifu

Utekelezaji wa Sheria mpya

ya Kukabiliana na Maafa

katika ngazi zote kuanzia Taifa hadi Vijijini

Uundaji wa Kamati ya maafa ya wilaya

Kamati ya maafa ya wilaya imeundwa kutoka idara 4 (Kilimo,maji,afya, mazingira) na Mratibu amepata mafunzo ya kukabiliana na maafa yaliyofanyika Lindi

0

43

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

MAPAMBANO DHIDI YA

VVU/UKIMWI

Kupunguza au kuondokana kabisa na utegemezi wa

wafadhili kwa kuanzisha Mfuko Maalumu wa UKIMWI (AIDS Trust Fund) ukiwa na lengo la

kuongeza rasilimali kwa ajili ya kuboresha huduma za UKIMWI

zinazotolewa

Kuweka mpango wa kutekeleza baadhi ya kazi za mapambano dhidi ya UKIMWI kwa kutumia fedha za mapato ya ndani.

Jumla ya shilingi 10,000,000 zimetengwa katika bajeti ya mwaka 2017/2018 kutoka mapato ya ndani kwa kazi ya mapambano dhidi ya UKIMWI kwa ajili ya kutoa elimu

10,000,000

Kufanya jitihada za kupunguza

kasi ya maambukizi katika jamii kutoka asilimia 5.1 mwaka 2015 hadi asilimia 3.0

ifikapo 2020

Kusaidia kuwalipia huduma ya afya ,msaada wa kielimu, chakula na lishe kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi ifikapo juni 2016.

Zoezi la kuwabaini watoto wanaoishi katika mazingira magumu ambao wameingia kidato cha kwanza Januari 2018 limefanyika katika kata 17

,

Kuimarisha huduma za elimu

ya UKIMWI kwa njia ya mawasiliano baina ya wanafamilia, watu mashuhuri, programu za mahali pa kazi na

viongozi wa dini

Kufanya mkutano na kamati za UKIMWI za kata (WMAC) juu ya kuhamasisha kubadili tabia ya mawasiliano juu ya mikakati ya maambukizi ya VVU katika kata 18 katika Wilaya.

Mafunzo yamefanyika katika kata za Nachingwea, Boma na Mnaro Miembeni kwa lengo la kujenga uwezo wa kamati

940,000 Kazi imefanyika na inaendelea kwa kata 15 zilizobaki

Nachingwea, Boma na Mnaro Miembeni

159 UTAMADUNI

Kuhamasisha na kuimarisha

ushiriki wa Sekta Binafsi katika

Uwezeshaji wa Miundombinu ya Kiutamaduni ikiwemo ya Tasnia ya Filamu, Michezo,

Kusajili vikundi vitano vya kiutamaduni vya filamu,muziki na ubunifu ili kulinda kazi zao kufikia Juni 2016

Mpaka sasa kikundi kimoja kimeshakamilisha usajili wake na vingine vinaendelea na mchakato wa usajili

Uhamasishaji unaendelea

Ikungu

44

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

Sanaa ya Muziki na Ubunifu kwa lengo kulinda haki na

Maslahi ya Makundi hayo

161 MICHEZO

Kujenga na kuimarisha

miundombinu ya michezo nchini

Kutenga maeneo ya wazi kwa ajili ya viwanja mbalimbali vya michezo

Mpaka sasa maeneo matano ya wazi yameshatengwa kwa ajili ya viwanja vya michezo

Hamasa inaendelea kwa maeneo ya pembezoni

Namatula

Kupanua wigo wa vyanzo

endelevu vya fedha za

uendeshaji na ugharamiaji wa Maendeleo ya Michezo hapa nchini kwa kuanzisha Bahati Nasibu ya Michezo

Kuhamasisha wadau mbalimbali wa michezo ili waweze kufungua kituo cha bahati nasibu ya michezo

Mpaka sasa jumla ya maeneo sita tayari yamefungua vituo vya bahati nasibu

Hamasa inaendelea

Nachingwea

Kuhamasisha na kusisimua

Maendeleo ya Michezo katika ngazi zote hapa nchini kwa

kuendeleza matamasha ya Michezo kuanzia ngazi za Vijiji, Kata, Wilaya, Mkoa hadi

Taifa

Kufanya matamasha mawili ya michezo mbalimbali ifikapo Juni mwaka 2016

Tamasha moja limefanyika lililohusisha michezo mbalimbali

Matamasha mengine madogo madogo yanafanyika kila jumamosi ya pili ya kila mwezi

Nachingwea

Kuweka vivutio vya kuwavutia

wawekezaji na washiriki wengine kuwekeza na

kugharamia shughuli mbalimbali za michezo nchini

Kuandaa maeneo ya wazi kwa ajili ya kuwekeza shughuli mbalimbali za michezo

Maeneo ya wazi yametengwa ili kuwekeza katika shughuli mbalimbali za michezo

Maeneo zaidi yatatengwa katika vijiji vilivyo katika mpango wa matumizi bora ya ardhi

Nachingwea ,mbondo.

Kulinda maeneo

Kuhakikisha maeneo yote Maeneo yote Hamasa Nachingwea

45

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

yaliyotengwa kwa ajili ya michezo na burudani kwa

kushirikiana na makundi ya wanamichezo, jamii na mamlaka nyingine zilizopo

yaliyotengwa kwa ajili ya michezo yanalindwa

yaliyohifadhiwa kwa ajili ya michezo yamelindwa kwa kushirikiana na idara ya ardhi na uongozi wa vijiji

inaendelea kutolewa kwaa makundi mbalimbali ya jamii

Kwa kushirikiana na Sekta

Binafsi, kuanzisha Kituo cha Kuendeleza Vipaji vya

Wanamichezo Mahiri na kutumika kama kituo cha maandalizi ya wanamichezo

wanaoiwakilisha Tanzania katika michezo ya Kimataifa

(Olympic village)

Kuwa na vituo vya kuendeleza vipaji vya michezo ya mpira wa miguu na mpira wa wavu kufikia Juni 2018

Kwa kushirikiana na watu binafsi tumeweza kuanzisha kituo kimoja cha mpira wa miguu cha Nachingwea Soccer Academy

Maandalizi yanaendelea kukamilisha kituo cha mpira wa wavu

Nachingwea

Kuendelea kufundisha

wataalam wa michezo na kuhakikisha wanapatikana

katika ngazi zote

Kuwa na kozi mbalimbali ili kupata wataalam wa michezo anwai

kozi mbili za michezo za mpira wa miguu na mpira wa wavu zimefanyika kwa kipindi cha septemba-novemba 2017

Maandalizi ya kuendesha kozi ya waendesha baiskel yanaendelea

Kuendeleza shughuli za

michezo mashuleni ili kuibua

vipaji vya michezo mbalimbali

nchini

Kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali kuandaa miundo mbinu rafiki ya michezo mashuleni

Mafunzo ya kuandaa miundombinu ya michezo mashuleni yamefanyika

Mafunzo yamefanyika

Kata zote 36

162 TASNIA YA SANAA

Kuweka mikakati ya

kuhakikisha kuwa Sekta ya

Filamu inakuwa na bidhaa zenye ubora, wataalamu wenye weledi na

Kuhamasisha vikundi vinavyojihusisha na utengenezaji wa filam ili kuwa na hakimiliki ya kazi zao

Jumla ya vikundi viwili vya utengenezaji filamu vipo kwenye mchakato wa kupata hati miliki na kimoja tayari kimeshakamilisha usajili

uhamasishaji unaendelea

Nachingwea

46

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

kuondokana na uharamia wa bidhaa za filamu

ambacho ni Kusini Sanaa Group

Kuhakiksha kazi za wasanii

zinalindwa ili zisighushiwe wala kuibiwa

Kushirikiana na wasanii ili kuhakikisha wanapata hakimiliki ya kazi zao

Kufanya uhamasishaji kwa makundi mbalimbali ya wasanii

Uhamasishaji unaendelea kwa mandi zaidi ya wasanii

Nachingwea

Kuhakikisha wasanii wanapata

maslahi wanayostahili kutokana na kazi zao kwa kuboresha mazingira ya

kisheria

Kuhamasisha na kutambua vipaji vya vijana katika nyaja mbalimbali

Vikundi 10 vimetambuliwa katika ngazi ya Wilaya

Uhamasishaji unaendelea

KUENDELEZA MAKUNDI

MAALUM

164 WAZEE

Kuhakikisha wazee

wanatambuliwa na kupatiwa

huduma za matibabu bila malipo

Kutambua wazee zaidi ya miaka 60 katika Kata zote 34 ifikapo Juni 2018

Jumla ya Wazee kwa wapatao 7000 wametambuliwa kutoka katika kata 15 kati ya kata 36

Hakuna gharama iliyotumika

Kuwatambua wazee yatakiwa uende sambamba na mipangi maalum mara baada ya utambuzi ambayo itakuwa endelevu

Kata zote 36 za Wilaya ya Nachingwea.

166 WATU WENYE ULEMAVU

Walemavu wote nchini

wanaendelea kutambuliwa na kulindwa na vitendo vinavyoshusha utu vikiwemo

Kufanya utambuzi wa Walemavu Katika Kata zote 34.

Jumla ya Walemavu 635 wametambuliwa linaendelea

Hakuna gharama iliyotumika

Kuwatambua walemavu yatakiwa uende sambamba

Kata zote 36 za Wilaya ya Nachingwea.

47

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

ubaguzi, uonevu, ukatili na mila potofu

na mipangi maalum mara baada ya utambuzi ambayo itakuwa endelevu

167 WANAWAKE

Kupata haki ya kulindwa

dhidi ya ubaguzi, udhalilishaji, dhuluma,

unyanyasaji, ukatili wa kijinsia na mila potofu

Kutoa elimu kwa wananchi ili kutoa taarifa ya vitendo vyovyote vya udhalilishaji, unyanyasaji, ukatili wa kijinsia na mila potofu kwa kuzingatia miongozo.

Wilaya imeendelea kutoa elimu kwa wananchi ili kutoa taarifa ya vitendo vyovyote vya udhalilishaji, unyanyasaji, ukatili wa kijinsia na mila potofu kwa kuzingatia miongozo ili wahusika wachukuliwe hatua za kisheria.

Elimu itaendelea kutolewa kwa wananchi

Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea na ngazi zote za Halmashauri

Kuhakikisha kuwa ajira za

wanawake zinalindwa wakati wa ujauzito na pale

wanapojifungua

Miongozo mbalimbali inayoongoza ajira za watumishi kuendelea kuzingatiwa mahala pa kazi.

Miongozo mbalimbali inayoongoza ajira za watumishi imeendelea kuzingatiwa mahala pa kazi.

Kuzingatia miongozo ya ajira mara zote wakati wa ajira

Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea na ngazi zote za Halmashauri

168 WATOTO

Kuhakisha watoto

wanalindwa dhidi ya

uonevu, ukatili, udhalilishaji, utumikishwaji na mila potofu

Kuwatambua watoto wanaishi kwenye mazingira hatarishi 600 ifikapo Juni 2018.

Mpaka sasa jumla ya kata nne zimepitiwa kwenye utambuzi na kata zilizobaki utambuzi unaendelea

Rasilimali Fedha zaidi zahitajika kwa ajili ya watu wa makundi maalum kutokana na

48

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

kuwa na shida nyingi ambazo utatuzi wake wahitaji Fedha.

169 VIJANA

Kuendelea kuwashirikisha

vijana kwa kuwapa nafasi za maamuzi katika ngazi zote

kutegemeana na sifa, weledi na uadilifu

Kuwawezesha vijana kushiriki kikamilifu katika ngazi mbalimbali

Elimu mbalimbali za uongozi zinatolewa kwa vijana kupitia vikundi na semina mbalimbali mfano mafunzo ya Veta kwa madereva pikipiki na wafyatuaji tofari

0 Elimu inaendelea kutolewa

Nachingwea

Kuendelea kutoa elimu kwa

vijana kwa kuwatumia wadau mbalimbali ili kuwajenga na kuwa wazalendo na

kuepukana na vishawishi vitakavyowaharibia malengo

yao ya baadaye

Kuwajengea uwezo wa kujitegemea na kujiandaa na maisha kwa kuwapa mafunzo ya ujasiliamali

Jumla ya vijana 60 walijengewa uwezo kwa kuwapatia semina ya ujasiliamali

17,500,00 Kuendelea kuhamasisha vijana katika suala zima la kujitegemea ili kuepuka vishawishi vitakavyowaharibia malengo yao

Kata zote 36

Kuvitambua na kuviendeleza

vipaji vya vijana katika

nyanja za michezo, sanaa,

elimu, ubunifu na uongozi

Kuhamasisha na kutambua vipaji vya vijana katika nyaja mbalimbali

Vikundi mbalimbali vya vijana vimeendelea kuhamasishwa katika Nyanja za sanaa kama ngoma (Naipanga Cultural group, utoaji elimu ya rushwa na Uongozi na ubunifu(Chamabona-umoja wa waendesha pikipiki, Kiumana-

Naipanga,Nachingwea, ugawaji na Mbondo

49

NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI

MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018

UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018

GHARAMA MAONI/ MAELEZO

KATA/ MTAA

wafyatuaji tofari, Mshikamano- mafundi selemala na Kazamoyo – wafugaji wa kuku wa kienyeji)

170 Fedha haijatolewa WAFANYAKAZI

Kuhakikisha kwamba

mfanyakazi atalipwa kima cha chini cha mshahara kinachokidhi mahitaji muhimu

ya maisha kwa kuzingatia uwezo wa kiuchumi wa Taifa

Halmashauri kuendelea kuzingatia miongozo inayotolewa na ofisi Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma kuhusu malipo ya kima cha chini kwa watumishi wa umma.

Halmashauri kuendelea kuzingatia miongozo inayotolewa na ofisi Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma kuhusu malipo ya kima cha chini kwa watumishi wa umma.

Kuendelea kuzingatia usalama wawafanyakazi mahala pakazi

Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea na ngazi zote za Halmashauri

Kuboresha na kulinda afya na

usalama wa wafanyakazi wakiwa sehemu za kazi

Kuendelea kulinda usalama wa wafanyakazi kwa kuzingatia sheria na taratibu za kazi kwa kuboresha mazingira ya kazi.

Halmashauri imeendelea kulinda usalama wa wafanyakazi kwa kuzingatia sheria na taratibu za kazi kwa kuboresha mazingira ya kazi.

Kuendelea kuzingatia usalama wawafanyakazi mahala pakazi

Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea na ngazi zote za Halmashauri

Kuweka utaratibu wa

kupunguza pengo la mapato kati ya wafanyakazi wa ngazi

ya chini na juu

Halmashauri kuendelea kuzingatia miongozo inayotolewa na ofisi Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma kuhusu malipo mishahara na malupulupu ya watumishi.

Halmashauri kuendelea kuzingatia miongozo inayotolewa na ofisi Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma kuhusu malipo mishahara na malupulupu ya watumishi.

Kuzingatia miongozo inayoongoza vipato vya wafanyakazi

Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea na ngazi zote za Halmashauri

50

MCHANGO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO

JINA LA MRADI KIASI TOLEWA MAELEZO Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Nalengwe 2000000 Kazi inaendelea Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa mawili Mpiruka B 2000000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa Likongowele 2000000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Chiumbati Shuleni 1,500,000 Kazi inaendelea

Kuchangia ujenzi wa kituo cha Afya Mandai 2000000 Kazi inaendelea Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa Kipara Mtua 1000000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa darasa Mpiruka A 1000000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa darasa shule ya msingi Nammanja 1,500,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa choo S/M Ruponda 1000000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa ofisi Mkumba 1000000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa ofisi Matangini 1000000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa kisima S/S Nachingwea 1000000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa vyoo S/M Mapinduzi 1000000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa kambi ya elimu ya sekondari kuboresha elimu S/S Kipaumbele

1000000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa S/M Litula 2,000,000 Kazi inaendelea

Ujenzi wa miundombinu ya hostel S/S Nditi 1,500,000 Miundombinu ya vitanda na Magodoro imekamilika

Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Chiumbati Miembeni 1,500,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa ofisi ya kata Ugawaji 1,500,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Nammanja Nditi 2,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Chingunduli Chiola 2,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Nakalonji Mbondo 2,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa darasa Naulingo Lionja 1,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa Namikango 1,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa darasa Mkatapori Mchonda 1,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa Kihuwe Naipingo 2,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa darasa Mtimbo Chiola 1,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa Kaloleni Nachingwea 2,000,000 Kazi inaendelea

51

Uchangiaji wa ujenzi wa darasa Maziwa Mitumbati 2,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa ofisi Majonanga Matekwe 2,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa ofisi Namatunu Kilimarondo 2,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa choo Ruponda 1,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa mradi wa maji Namikango 2,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa ujenzi wa barabara Marambo 3,000,000 Kazi inaendelea

Uchangiaji wa Ujenzi wa zahanati Kijiji cha Mchangani 500,000 Kazi inaendelea