historia ya muungano

Upload: jackson-loceryan

Post on 28-Feb-2018

295 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/25/2019 Historia Ya Muungano

    1/14

    HISTORIA YAMUUNGANO WA

    TANGANYIKA NA

    ZANZIBARHistoria, sababu na Hati zaMuungano

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliundwamnamo tarehe 26 Aprili 1964 wa Muunganowa Tanganyia na !anzibar inayo"umuisha#isiwa $ya %emba na &ngu"a

    27/05/2009

  • 7/25/2019 Historia Ya Muungano

    2/14

    HISTORIA YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliundwa mnamo tarehe 26 Aprili,

    1964 kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar inayo!umui"ha

    #i"iwa $ya %emba na &ngu!a'( Tanganyika ilikuwa ni mwendelezo wa

    koloni la &!erumani, utawala wa )aingereza kwa Mamlaka ya &mo!a

    wa Matai*a, +imaya ya &mo!a wa Matai*a hini ya utawala wa

    &ingereza na mwi"ho Tai*a huru kuanzia mwaka 1961 ndani ya nhi

    za Jumuiya ya Madola(

    Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya )atu wa Zanzibar ziliingia

    mkataba wa Muungano mnamo mwaka 1964 na kuanzi"hwa -ola ya

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania( Mkataba huu wa Muungano

    ulitiwa "aini na aliyekuwa .ai" wa Tanganyika, +ayati Mwalimu

    Juliu" /yerere na aliyekuwa .ai" wa Zanzibar, +ayati 0heikh Abeid

    Amani arume tarehe 22 Aprili 1964 huko Zanzibar( Mkataba huo

    ulithibiti"hwa na unge la Tanganyika na araza la Mapinduzi hapo

    tarehe 26 Aprili, 1964 na mnamo tarehe 23 Aprili, 1964, $iongozi wa

    nhi zote mbili walikutana katika ukumbi wa arim!ee Ji!ini -ar e"

    0alaam na kubadili"hana +ati za Muungano( 0heria za Muungano

    zilitoa tamko la Jamhuri ya Muungano katika bara ya 4 kwamba5

    Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar zitalazimika,

    baada ya kuungana na siku zote baada ya kuungana, kuunganishwa

    kuwa Dola ya Jamhuri kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika

    na Zanzibar (bara ya ! "heria za Muungano#

    2

  • 7/25/2019 Historia Ya Muungano

    3/14

    Jina hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar7

    lilibadili"hwa baadae mnamo tarehe 28 ktoba, 1964 na kuwa

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia 0heria ya Jamhuri ya

    Muungano, 0heria namba 61 ya mwaka 1964(

    )atanganyika kama ili$yokuwa kwa wananhi wa nhi nyingine za

    kia*rika, hawakukubaliana hata kidogo na utawala wa kikoloni( Tangu

    mwanzo waliwapinga na kupigana na wa$amizi wa kikoloni, upinzani

    mkubwa ukionye"hwa na )a"ambaa wakiongozwa na imweri dhidi

    ya )a!erumani, )ahehe wakiongozwa na Mkwawa kupigana

    $ihungu na $ire*u dhidi ya )a!erumani na wakati wa $ita $ya Ma!i

    Ma!i hini ya uongozi wa in!ekitile, Mputa na iba"ila(

    uko"ekana kwa umo!a kati ya wapigania uhuru hawa wa mwanzo

    na uimara wa ma!e"hi ya wakoloni na "ilaha bora za moto

    kulidhoo*i"ha mapambano haya ya uhuru na ku"ababi"ha ha"ara

    kubwa na kupoteza mai"ha ya watu(

    ama ili$yokuwa kwenye makoloni mengi ya ia*rika, hi"ia za &tai*a

    ziliendelea kuimarika katika Tanganyika baada ya mwaka 194:(

    Alama za utai*a zili"haanza kuonekana punde baada ya $ita kuu ya

    kwanza ya dunia kwa kuanzi"hwa kwa $yama mbalimbali $ya

    )aa*rika kwa upande wa Tanganyika na Zanzibar( wa upande wa

    Tanganyika, A*rian A""oiation ilianzi"hwa mwaka 1929 kama

    kikundi ha mi!adala baina ya wa"omi na ilipo*ika mwaka 1948

    hama hiki kikawa Tanganyika A*rian A""oiation TAA'( aada ya

    $ita ya %ili ya -unia, wanahama wa Tanganyika A*rian A""oiation

    3

  • 7/25/2019 Historia Ya Muungano

    4/14

    TAA' waliendeleza wimbi la utai*a( Mwaka 19:; hini ya uongozi wa

    Mwalimu /yerere, TAA ilitambuliwa kama hama ha "ia"a na

    kuelekea mo!a kwa mo!a kuanzi"hwa kwa TA/& mwaka 19:4

    iliyotumika kama hombo ha ki"ia"a ha watu katika kutoa $ilio $yao

    $ya kudai uhuru( uanzi"hwa kwa TA/& mwaka 19:4, ulikuwa ndio

    mwanzo wa mbio za kupigania uhuru( aada ya miaka "aba ya

    mapambano ya ki"ia"a, Tanganyika ilikuwa huru hini ya hama ha

    TA/&,kilihoimari"hwa na $yama $ya wa*anyakazi na $ya u"hirika(

    wa upande wa Zanzibar, himbuko la Jumuiya ya )aa*rika ilikuwa

    ni $ilabu $ya mpira wa miguu $ili$yoanzi"hwa mwanzoni mwa miaka

    ya 19;

  • 7/25/2019 Historia Ya Muungano

    5/14

    na kuunda hama kilihoitwa A*ro= 0hirazi &nion ambaho baadae

    kiliitwa A*ro=0hirazi %arty hini ya uongozi wa 0heikh Abeid Amani

    arume( Mwalimu /yerere ali"hiriki katika mkutano huu( likuwa

    tarehe hama ha Z/% baada ya ku"hindwa uhaguzi, kilianzi"ha

    kampeni za ku"hawi"hi wenye ma"hamba na mabepari wengine

    wenye kumiliki n!ia kuu za uhumi, kuwa*ukuza kazi au kutowaa!iri

    wa*ua"i wa A0%( +alikadhalika, >hama ha Z/% kiliwata*utia kazi na

    kuwabaki"ha ma"hambani )aa*rika wote waliokubali kukiunga

    mkono( )akati wa m$utano huo wa ki"ia"a kati ya A0% na Z/%

    ikipamba moto, kuli!itokeza to*auti miongoni mwa $iongozi wa A0%(

    To*auti hizo zilihangiwa na uroho wa madaraka, ubina*"i na

    kutokuwa na m"imamo imara miongoni mwa baadhi ya $iongozi wa

    hama hiho( +alikadhalika 0erikali ya 0ultani nayo ilihohea

    migogoro hiyo ili i!inu*ai"he ki"ia"a( Migogoro hiyo ilipelekea ku!itoa

    kwa baadhi ya #iongozi wa A0% ambao wali*anya mkutano na

    baadhi ya wana"ia"a ma"huhuri wa A0% huko %emba /o$emba,

    19:9 na kukubaliana kuanzi"ha >hama kipya ha "ia"a haZanzibar

    and &emba &eo'les &artyZ%%%' na 0heikh Muhammed 0hamte

    kuwa Mwenyekiti( )akati $yama $ya A0%, Z/% na Z%%% $ikiwa

    katika malumbano makali ya ki"ia"a, 0erikali ya ikoloni ili*anya

    5

  • 7/25/2019 Historia Ya Muungano

    6/14

    matayari"ho ya uhaguzi wa pili( &haguzi uli*anyika tarehe 16

    Januari, 1961 na "iku mo!a kabla ya uhaguzi huo 0erikali ilitangaza

    kuwa hama kitakaho"hinda kitaunda 0erikali na )izara zote

    zitakuwa hini yake( atika uhaguzi huo A0% ili"hinda kwa kupata

    $iti 1

  • 7/25/2019 Historia Ya Muungano

    7/14

    watumwa kwa uzali"ha!i wa maligha*i kwa a!ili ya $iwanda $yao

    &laya, halikadhalika kutokana na Mapinduzi ya #iwanda &laya

    yali"ababi"ha )aingereza ku!a kuta*uta "oko kwa a!ili ya bidhaa zao(

    )aingereza wali*ikia makubaliano na 0ultani mwaka 1822 ili

    kukome"ha bia"hara ya utumwa, lakini ilihukua zaidi ya miaka :on"titution deree"'( atiba ya Tanganyika baada

    ya ku*anyiwa marekebi"ho iliendelea kutumika kama atiba ya

    Muungano wakati ule wa mpito, kuanzia tulipoungana hadi

    ilipopiti"hwa atiba ya Muungano kwa mu!ibu wa Makubaliano ya

    Muungano na 0heria za Muungano( Aidha, marekebi"ho hayo

    yalimta!a .ai" wa Zanzibar kuwa ni Makamu wa kwanza wa .ai",

    akiwa ni m"aidizi wa .ai" kwa ma"uala yote ya kiutawala kwa

    upande wa Zanzibar, na )aziri Mkuu kuwa ni Makamu wa %ili wa

    .ai" ambaye atam"aidia .ai" kwa ma"uala yahu"uyo upande wa

    Tanganyika na kiongozi wa "hughuli za 0erikali ungeni(

    atiba ya muda ya mwaka 196: ya Jamhuri ya Muungano wa

    Tanzania iliaini"ha mambo kumi na mo!a 11' ambayo yalikubalika

    kuwa ni ya Muungano hini ya u"imamizi wa 0erikali ya Muungano(

    Mambo hayo ni

    11

  • 7/25/2019 Historia Ya Muungano

    12/14

    atiba na 0erikali ya Muungano

    Mambo ya /hi za /!e

    &linzi

    %oli"i

    Mamlaka !uu ya mambo yanohu"ika na hali ya hatari

    &raia

    &hamia!i

    Mikopo na ia"hara ya /hi za /!e

    &tumi"hi katka 0erikali ya Jamhuri ya Muungano

    odi ya Mapato inayolipwa na watu bina*"i na ma"hirika,

    u"huru wa *orodha na u"huru wa bidhaa zinazotengenezwa

    nhini Tanzania unao"imamiwa na dara ya Borodha(

    andari mambo yanayohu"ika na u"a*iri wa anga, po"ta na

    "imu(

    atiba ya muda ya mwaka 196: ilianiaini"ha utawala wa 0erikali yam*umo wa hama kimo!a, TA/& kwa ara na A0% kwa Zanzibar(

    atiba hii, ilizingatia mi"ingi ya Makubaliano ya Muungano ya mwaka

    1964 na 0heria za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar( atiba ya

    muda ya mwaka 196: iliaini"ha 0erikali mbili, &wakili"hi wa Zanzibar

    katika unge la Muungano na uongozi wa 0erikali ya Zanzibar(

    0erikali ya Muungano ikiwa na mamlaka !uu ya mambo yote ya

    Muungano na mambo yote ya"iyo ya Muungano kwa upande wa

    Tanganyika( 0erikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikiwa na mamlaka !uu

    ya mambo yote ya"iyo ya Muungano yahu"uyo Zanzibar(

    12

  • 7/25/2019 Historia Ya Muungano

    13/14

    KUONGEZEKA KWA MAMBO YA MUUNGANO

    Mambo ya Muungano yaliongezeka kutoka kumi na mo!a 11' hadi

    i"hirini na mbili 22' kutokana na mahita!i ya ndani ya wananhi

    yaliyolenga kuunganika kwa mambo mengi zaidi pamo!a na

    mabadiliko yaliyokuwa yanaendelea kutokea ulimwenguni baada ya

    Muungano(

    Mwaka 196:, !ambo la kumi na mbili linalohu"u Mambo yote

    yanayohu"ika na "ara*u na *edha kwa a!ili ya malipo yoyote halali

    pamo!a na noti' mabenki pamo!a na mabenki ya kuweka akiba' na

    "hughuli zote za mabenki *edha za kigeni na u"imamizi !uu ya

    mambo yanayohu"ika na *edha za kigeni liliongezeka hini ya atiba

    ya muda ya mwaka 196:( 0ababu kubwa ilikuwa ni kuwa na "ara*u

    ya pamo!a ya Tanzania baada ya Muungano, na kurahi"i"ha

    u"imamizi wa *edha za kigeni na mabenki katika Jamhuri ya

    Muungano wa Tanzania(

    Aidha, ku*uatia kuundwa kwa Jumuiya ya A*rika Ma"hariki mwaka

    1963, mambo matatu ya Muungano yaliongezwa, ambayo ni Ee"eni

    za $iwanda na takwimu elimu ya !uu na u"a*iri na u"a*iri"ha!i wa

    anga(

    Mwaka 1968, mambo ya malia"ili ya ma*uta, pamo!a na ma*uta

    ya"iyohu!wa ya motokaa na ama ya petrol na aina nyinginezo za

    ma*uta au bidhaa na ge"i a"ilia yaliongezwa kwenye orodha ya

    mambo ya Muungano(

    13

  • 7/25/2019 Historia Ya Muungano

    14/14

    Aidha mambo ya Muungano yaliendelea kuongezeka hadi ku*ikia 21

    ku*uatia ku$un!ika kwa iliyokuwa Jumuiya ya A*rika Ma"hariki mwaka

    1933( Mambo yote yaliyokuwa ya upande wa Tanganyika na

    Zanzibar yaliyokuwa yaki"imamiwa na Jumuiya ya A*rika Ma"hariki,

    yalikabidhiwa kwa 0erikali ya Muungano(

    Mwaka 1992 ku*uatia mabadiliko ya m*umo wa "ia"a nhini "uala la

    i"hirini na mbili la uandiki"ha!i wa $yama $ya "ia"a na mambo

    mengine yanayohu"iana na$yo liliongezwa kwenye orodha ya

    mambo ya Muungano(

    14