hotuba ya bajeti ofisi ya rais final.doc
TRANSCRIPT
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
1/15
HOTUBA YA MAONI YA KAMATI YA KUSIMAMIA OFISI ZA
VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA KUHUSIANA NA MAKADIRIO
YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA NCHI, OFISI YARAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI KWA
MWAKA WA FEDHA 2016/2017
M!"#!$%$&' S($)',
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa utukufu,
kwa kutujaalia uzima na Afya njema tukaweza kukutana tena
katika Baraza hili la Tisa kwa ajili ya kuendelea kuwatumikia
wananchi wetu, aidha kukushukuru na kukupongeza wewe
Mheshimiwa Spika kwa kuchaguliwa kwako kuliongoza Baraza hili
tukufu, ni imani yangu kwamba utaliongoza Baraza hili kwa
uadilifu wa hali ya juu na kuimarisha emokrasia katika chombo
hiki muhimu cha wananchi!
M!"#!$%$&' S($)',
Napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wawakilishi wote
waliomo katika Baraza lako Tukufu kwa kuchaguliwa kwao kuja
kuwawakilisha wananchi, ni wazi kwamba wananchi wamejenga
imani kubwa kwetu, nasi ahadi yetu kwao ni kwamba
tutawatumikia kwa dhati kama amba"yo wali"yotuamini kutuleta
katika chombo hichi kwa lengo la kutetea maslahi yao!
M!"#!$%$&' S($)',
Sina budi pia kumshukuru #aziri wa Nchi, $%si ya &ais na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na watendaji wake wote
wakiongozwa na 'atibu Mkuu kwa mashirikiano waliyotupatia
wakati wa kupitia makadirio ya Bajeti ya #izara hii lakini pia
nawashukuru #ajumbe wa 'amati yetu kwa umoja wao na kazi
nzuri waliyoifanya kiasi cha kunirahisishia kazi yangu ya kuongoza
kikao kuwa nyepesi zaidi, kwa hakika ni wajumbe mahiri, ambapo
licha ya upya wao katika Baraza hili na hususan katika 'amati hii
( ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
2/15
wameweza kuijadili ipasa"yo na kuhoji mambo mbali mbali kwa
lengo la kuhakikisha kwamba fedha wanazoidhinisha zinatumiwa
kwa matumizi yaliokusudiwa!
M!"#!$%$&' S($)','wa heshima ya hali ya juu napenda kuwatambua #ajumbe hao
kwa majina kama hi"i ifuata"yo+
(! Mheshimiwa $mar Seif Abeid
Mwenyekiti-! Mheshimiwa *anya Ali Abdalla
M.Mwenyekiti/! Mheshimiwa Amina 0ddi Mabrouk
Mjumbe1! Mheshimiwa 2ussein 0brahim Makungu Mjumbe3! Mheshimiwa Mohammed Said Mohammed Mjumbe4! Mheshimiwa Mussa Ali Mussa
Mjumbe5! Mheshimiwa Mtumwa Suleiman Said
Mjumbe6! Mheshimiwa Simai Mohammed Said
Mjumbe
Aidha kamati yetu inafanyakazi na makatibu wawili ambao kwa
kiasi kikubwa wamekuwa wakitusaidia sana katika kutekeleza
majukumu yetu, makatibu hao ni+
(! Ndg Maryam &ashid Ali 'atibu-! Ndg $thman Ali 2aji 'atibu
M!"#!$%$&' S($)',
0kumbukwe kwamba miongoni mwa majukumu ya msingi ya
'amati yetu ni kuchambua mapendekezo ya Serikali kuhusu
makadirio ya #izara husika ya mapato na matumizi ya kila
mwaka, hi"yo katika kutekeleza jukumu hilo lililoelezwa katika
kanuni ya ((17e8 kamati yangu ilikaa na kujiadili na hatimae
kupitisha Makadirio ya $%si ya &ais na Mwenyekiti wa Baraza la
- ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
3/15
Mapinduzi mnamo tarehe (9.93.-9(4 na leo hii kwa ruhusa yako
na kwa niaba ya 'amati nawasilisha maoni ya 'amati kuhusiana
na Bajeti hiyo!
M!"#!$%$&' S($)',
Baada ya utangulizi huo mfupi sasa naomba nitekeleze jukumu
nililopewa na 'amati la kuwasilisha maoni ya 'amati yetu hapa
mbele ya Baraza lako tukufu moja kwa moja!
KUHUSU MFUMO WA BA*ETI WA PBB
Serikali ya Mapinduzi ya :anzibar kuanzia mwaka wa fedha-9(3.-9(4 imeanzisha mfumo wa bajeti unaozingatia programu
yaani *rogram Based Budget 7*BB8 ambapo kwa bajeti hii itakuwa
ni kipindi cha pili kutekelezwa, licha ya kuwa ilishaanza
kutekelezwa kwa mwaka wa fedha uliopita bado mfumo huu
unabakia kuwa mpya kwa #ajumbe wako ukizingatia kwamba
asilimia kubwa ya #ajumbe wa Baraza hili ni wapya hi"yo mfumo
huu wa *BB imekuwa ni changamoto kwao kuweza kuufahamu
kwa gha;a na kupelekea ugumu kidogo kuweza kumudu kufanya
uchanganuzi wa "itabu "ya Bajeti "ili"yoletwa katika kamati zako,
sambamba na hilo #ajumbe hawakupatiwa mafunzo ya kutosha,
lakini hata hi"yo wamejitahidi kadiri ya uwezo wao kuweza
kuchambua bajeti hiyo kwa msaada wa makatibu wetu ambao
kwa kweli tunawashukuru sana!
M!"#!$%$&' S($)',
$%si ya &ais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa mwaka
wa fedha -9(4.-9(5 ina mafungu 7"ote8 mawili ambayo ni A9( na
A9- na imepanga kutekeleza *rogram kuu tano zenye *rogramu
ndogo (1 ambazo kwa ujumla
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
4/15
shirikiano wa kikanda, kimataifa na uratibu wa
#azanzibari wanaoishi nchi za Nje 7iaspora8!/! *rogramu ya >tawala na >endeshaji wa $%si ya &ais 0kulu!
*rogram ndogo ni hizi zifuatazo+
0! *rogramu ndogo ya uratibu wa shughuli za Mheshimiwa
&ais00! *rogramu ndogo ya kuimarisha mawasiliano baina ya
Mheshimiwa &ais na #ananchi000! *rogramu ndogo ya kuiwakilisha Serikali ya Mapinduzi ya
:anzibar katika mikutano ya kikanda na kimataifa0?! *rogramu ndogo ya uratibu wa Serikali ya Mapinduzi
:anzibar katika masuala ya iaspora?! *rogram ndogo ya uratibu na usimamizi wa shughuli za
$%si ya &ais 0kulu?0! *rogram ndogo ya uratibu wa shughuli za Mipango, Sera
na uta%ti za o%si ya &ais na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi?00! *rogram ndogo ya 'uratibu na kusimamia shughuli za
uratibu na usimamizi wa shughuli za $%si ya &ais 0kulu na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi *emba?000! *rogramu ndogo ya usimamizi wa usalama wa watumishi
wa >mma0@! *rogramu ndogo ya ufuatiliaji na tathmini ya Sera na
Maamuzi ya Serikali
PROGRAMU YA KUSIMAMIA SHUGHULI ZA MHESHIMIWA
RAIS NA KUIMARISHA MAWASILIANO IKULU
M!"#!$%$&' S($)',
1 ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
5/15
*rogramu hii ina ukumu la kusimamia shughuli za Mheshimiwa
&ais pamoja na kuimarisha Mawasiliano, programu hii ina
programu ndogo mbili ambazo ni programu ndogo ya uratibu wa
shughuli za Mheshimiwa &ais ambayo imetengewa shilingi
-,445,99/,999 7Bilioni mbili,mia sita sitini na saba Milioni, na elfutatu8 na shughuli zinazotarajiwa kutekelezwa ni pamoja na
kufuatilia ahadi na maagizo ya Mheshimiwa &ais, kuratibu ziara za
ndani na za nje za Mheshimiwa &ais, kutoa "iburudishaji kwa
wageni wa Mheshimiwa &ais, kuchapisha hotuba na mambo
mengine ya Mheshimiwa &ais, na kutoa zawadi kwa wageni wa
Mheshimiwa &ais!
M!"#!$%$&' S($)',
*rogramu ndogo ya pili ni ya kuimarisha mawasiliano baina ya
Mheshimiwa &ais na #ananchi ambayo imepangiwa shilingi
-99,/3(,999 7Milioni mia mbili, laki tatu na hamsini na moja elfu8
na shughuli zinazotarajiwa kutekelezwa kwa fedha hizo ni pamoja
na kutayarisha, kuchapisha na kusambaza 'alenda za $%si ya
&ais, kutayarisha, kuchapisha na kusambaza arida la 0kulu,
"ipeperushi na machapisho mengine, kuimarisha to"uti ya 0dara
ya Mawasiliano, 'wa ujumla programu kuu ya kusimamia shughuliza Mheshimiwa &ais imepangiwa kutumia shilingi -,645,/3/,999
7Bilioni mbili, mia nane sitini na saba Milioni, laki tatu hamsini na
tatu elfu8!
M!"#!$%$&' S($)',
'amati yetu imeridhika na makadirio yaliopangwa katika
programu hii na ilipendekeza mambo mbali mbali ambayo
yatakapozingatiwa yataboresha kwa kiasi kikubwa kumtangaza&ais wetu na kumfanya awe karibu zaidi na wananchi wake
waliopo hapa nchini lakini pia hata wanaoishi nchi za nje, 'wanza
'amati yangu katika kuona mawasiliano yanaimarika baina ya
&ais wetu na wanachi ni "yema 0dara ya Mawasiliano, mbali na
kusambaza majarida na kalenda, imtangaze &ais kwa kutumia
3 ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
6/15
mfumo wa kisasa wa teknolojia na Mawasiliano kwa kutumia njia
zinazoendana na dunia ya leo 7New Media8 kama "ile facebook,
twitter, youtube mfano clips muhimu za &ais, shorts clips za
sekunde /9 hadi sekunde 13 kwa ajili ya whatsApp, ili watu waone
shughuli anazozifanya Mheshimiwa &ais, pamoja na kutambulikakatika ulimwengu mzima na kwa jinsia zote na rika zote!
M!"#!$%$&' S($)',
Aidha 'amati yetu inashauri kwamba Mheshimiwa &ais
angelikuwa na utaratibu wa kuwaalika na kukaa pamoja na
wawekezaji, wafanyabiashara na wadau mbali mbali wa
maendeleo kwa lengo kuzungumza na badilishana nao mawazo
lakini pia kuwashukuru wale ambao wamekuwa wakiisaidia nchiyetu kwa njia moja au nyengine, ambo hili linaweza kuongeza
hamasa kwa wafanyabiashara na wawekezaji kuwekeza zaidi
katika sekta mbali mbali! Aidha pale ambapo kunatokezea mgeni
mashuhuri ambae atastahiki kupewa zawadi basi zawadi
atakayopewa iwe ni zawadi yenye asili na iliyotengenezwa kwa
ubunifu na iambatanishwe pamoja na historia ya mtengenezaji, ili
kuhakikisha kuwa Mgeni anapopewa zawadi hiyo basi anapata
kujua historia ya :anzibar ambayo wanaweza kuwekakumbukumbu katika makumbusho yao lakini pia itaitangaza nchi
katika masuala ya utalii!
PROGRAMU YA USHIRIKIANO WA KIKANDA, KIMATAIFA NA
URATIBU WA WAZANZIBARI WANAOISHI NCHI ZA N*E
M!"#!$%$&' S($)',
*rogramu hii ina lengo la kuiwezesha :anzibar kushiriki katika
mikutano ya kikanda na kimataifa, na kuwashirikisha ipasa"yo
#azanzibari wanaoishi nje ya nchi katika maendeleo ya kiuchumi
na kijamii ya nchi yao! *rogramu hii ina programu ndogo mbili
ambazo ni programu ndogo ya kuiwakilisha Serikali ya Mapinduzi
ya :anzibar katika mikutano ya kikanda na kimataifa ambayo
imepangiwa kutekelezwa kwa shilingi -41,45/,999 7Mia mbili sitini
4 ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
7/15
na nne Milioini, laki sita na sabini na tatu elfu8 ambapo miongoni
mwa shughuli zitakazofanywa ni pamoja na kuimarisha ushiriki wa
Serikali ya Mapinduzi ya :anzibar katika mikutano ya kikanda,
kuendesha "ikao "ya ndani "ya kisekta kwa Serikali ya Mapinduzi
ya :anzibar, kushiriki katika mikutano ya mashauriano ili kupatamsimamo mmoja wa Serikali ya amhuri ya Muungano wa
Tanzania, kushiriki katika mikutano ya kikanda nje na ndani ya
nchi na kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa mtengamano
wa umuiya za kikanda!
M!"#!$%$&' S($)',
*rogramu ndogo ya pili ni ya uratibu wa Serikali ya Mapinduzi
:anzibar katika masuala ya iaspora, ambayo imepangwakutekelezwa kwa shilingi -/=,615,999 7Mia mbili thelathini na tisa
milioni, laki nane na arobaini na saba elfu8 na shughuli
zilizopangwa kutekelezwa ni pamoja na kushiriki katika mkutano
wa mashauriano wa iaspora na 0dara inayoshughulikia masuala
ya iaspora ar es Salaam, kutoa elimu kwa jamii juu ya dhana
ya iaspora na umuhimu wake,kushiriki mkutano wa wadau wa
Maendeleo kujadili ajenda za iaspora, kuandaa kongamano la
#atanzania wanaoishi nchi za nje na kusimamia shughuli za kilasiku za 0dara ya >shirikiano wa kimataifa na uratibu wa iaspora!
'wa ujumla *rogramu ya >shirikiano wa 'ikanda, 'imataifa na
>ratibu wa #azanzibari wanaoishi Nchi za Nje imekadiriwa
kutekelezwa kwa shilingi 391,3-9,999 7Milioni mia tano na nne,
laki tano na ishirini elfu8!
M!"#!$%$&' S($)',
'atika kuona azma ya kuwepo kwa idara ya uratibu wawazanzibari wanaoishi nchi za nje inazaa matunda, kamati yangu
inashauri kwamba wafanyakazi wote wanaokwenda ziara nchi za
nje au kushiriki mikutano nchi za nje wawasilishe ripoti za ziara au
safari hizo kwa ujumla wake Serikalini ili ripoti hizo zifanyiwe kazi
ili kuleta mafanikio kwa taifa letu, sambamba na hilo safari hizo
5 ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
8/15
ziweze kuleta tija ya kuibua miradi mbali mbali kutoka kwa
wahisani lakini pia, wanapokwenda huko waitangaze "yema nchi
yetu ili wawekezaji wa"utike kuja kuwekeza katika sekta mbali
mbali!
M!"#!$%$&' S($)',
'amati yetu katika suala zima la safari za nje wanazokwenda
mawaziri na watendaji mbali mbali wa Serikali inataka kusisitiza
juu ya ripoti hizo wanazoziwasilisha Mawaziri husika katika
Baraza la Mawaziri ziambatane na ripoti za utekelezaji wake ili
tuone tija ya kweli inapatikana kwa nchi yetu, aidha kamati
ilitaka kujua juu ya ziara za ?iongozi wakuu wa amhuri ya
Muungano wa Tanzania wanaposa%ri kwenda safari za nje nakushauri kwamba wakati "iongozi hao wanaposa%ri ni "yema
wakajitayarisha na kuzingatia faida pamoja na fursa
watakazozipata ziinufaishe na :anzibar!
M!"#!$%$&' S($)',
Aidha kamati iliishauri Serikali kuwa na mashirikiano ya karibu na
Serikali ya amhuri ya Muungano wa Tanzania hasa katika #izara
ambazo hazihusiani na Muungano lakini zenye sura ya'imuungano kwa mfano Afya, limu, >talii nk! 'amati pia ilihoji
juu ya uhusiano uliopo baina Comoro na :anzibar hususan katika
suala la 'ampuni inayoitwa hairu ambayo ni kampuni ya u"u"i
iliyokuwa ije kuwekeza :anzibar katika masuala ya uhifadhi wa
Samaki ambapo 'amati ilipatiwa taarifa kwamba mipango
inaendelea katika kufanikisha mradi huo!
PROGRAMU YA UTAWALA NA UENDESHA*I WA OFISI YA
RAIS IKULU
M!"#!$%$&' S($)',
*rogramu hii ina malengo ya kuimarisha shughuli za mipango,
kuandaa na kuchambua sera na uta%ti pamoja na kuimarisha
uwezo wa kiutendaji na uratibu wa shughuli za $%si ya &ais 0kulu,
6 ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
9/15
program hii ina program ndogo tano,ambazo ni program ndogo ya
uratibu na usimamizi wa shughuli za $%si ya &ais 0kulu, ambayo
imepangiwa kutekelezwa kwa shilingi (,(-4,/-4999 7Bilioni moja,
mia moja ishirini na sita milioni, laki tatu na ishirini na sita elfu8
ambazo zinakadiriwa kutumika katika shughuli za kusimamiauendeshaji wa $%si ya &ais 0kulu kwa kulipa mishahara, kununua
"ifaa "ya usa%ri, kuboresha na kukarabati "itendea kazi, o%si na
Majengo, kutoa huduma za kiutawala, kutoa mafunzo kwa
waajiriwa wapya (- na nyenginezo kama zina"yoonekana katika
kitabu cha makadirio ya Mapato na Matumizi ya cha mwaka
-9(4.-9(5!
M!"#!$%$&' S($)',
'atika program ndogo hii 'amati yangu inashauri kwamba ili
jengo la 0kulu ya Mnazi Mmoja liweze kuwa na haiba na m"uto
zaidi kwa shughuli za Mheshimiwa &ais, ni "yema lifanyiwe
ubunifu katika sehemu yake ya nyuma iliyo mkabala na bahari
kwa kujengwa jet ambayo itaingia katika eneo la ufukwe wa
bahari uliopo na kusani%wa katika mtindo wa utamamduni wetu
ambao sehemu hiyo ataitumia &ais anapokuwa na wageni wake
mashuhuri ili kupata utuli"u katika hewa nzuri ya upepo wa bahariya hindi na kuwafanya wageni wa"utike kuja kuwekeza :anzibar!
M!"#!$%$&' S($)',
*rogram ndogo ya pili ni ya uratibu wa shughuli za Mipango, Sera
na uta%ti za o%si ya &ais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
ambayo imekadiriwa kutekelezwa kwa T:S /99,556,999 7Milioni
mia tatu, laki saba na sabini na nane elfu8 zitakazotumika kwa
kulipa mishahara kwa wafanyakazi na stahiki nyengine, kutoamafunzo ya muda mrefu,kusimamia na kuhuisha to"uti ya $%si ya
&ais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kufanya tathmini hali
ya Tehama katika $%si ya &ais na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi, kuandaa na kuratibu "ikao "ya matayarisho ya hotuba
ya Bajeti nk!
= ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
10/15
M!"#!$%$&' S($)',
*rogram ndogo ya tatu ni ya 'uratibu na kusimamia shughuli za
uratibu na usimamizi wa shughuli za $%si ya &ais 0kulu na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi *emba, program hiiimekadiriwa kutumia T:S 44/,((/,999 7milioni nia sita sitini na
tatu, laki moja na kumi na tatu elfu8 ambazo zinatarajiwa
kutumika kwa kutoa na kuratibu huduma za utawala, kulinda,
kuhifadhi na kutoa huduma kwa 0kulu na nyumba za Serikali
zilizoko *emba, kulipa mishahara na stahiki kwa wafanyakazi wa
*emba, kutoa huduma za usa%ri, zana na matengenezo yake,
kukarabati majengo ya $%si na ununuzi wa thamani za $%si!
M!"#!$%$&' S($)',
'amati yetu kupitia *rogramu ndogo ya uratibu na usimamizi wa
o%si ya &ais 0kulu na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi *emba
inashauri kwamba jengo la 0kulu ya Chake Chake kufanyiwa
ukarabati mkubwa kwani haifanani na hadhi ya kuwa nyumba ya
kukaa kiongozi mkubwa wa nchi kwani hali yake hairidhishi! "ile
"ile 'amati inapendekeza kuondoshwa kwa mao%sa wa Serikali
ikiwa ni pamoja na mao%sa wa Mahakama wanaokaa katika
nyumba iliopo katika eneo la 0kulu, ili nyumba hiyo iweze
kufanyiwa ukarabati! Sambamba na hilo 'amati yangu ilitaka
kujua juu ya matengenezo ya nyumba ya 0kulu ya Mkokotoni
ambayo nayo inahitaji kujengewa uzio kwa ajili ya kuzuia uingiaji
o"yo wa watu katika eneo hilo! Aidha 'amati inashauri kwamba
#izara hii ikae pamoja na #aziri anaehusika na "ikosi ili
kukarabati sehemu ambayo askari wa 'M'M wanakaa wakati
wanapofanya kazi zao za ulinzi, ili iendane na eneo hilo la 0kulu!
M!"#!$%$&' S($)',
*rogramu ndogo ya nne ni ya usimamizi wa usalama wa
watumishi wa >mma ambayo imekadiriwa kutumia T:S
19,999,999 7Milioni arobaini8 ambazo fedha hizo zinatarajiwa
kutumika katika usalama wa mali na majengo ya Serikali kwa
(9 ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
11/15
>nguja na *emba, kufanya ukaguzi wa kiusalama wa muda mfupi
na endele"u kwa wafanyakazi, kuendesha mafunzo na semina
kwa watumishi! 'amati inashauri kwamba ili wafanyakazi
wafanyekazi katika mazingira yalio salama zaidi ni "yema ukaguzi
wa kiusalama wa majengo ukafanyika mara kwa mara kwani kunataasisi na idara mbali mbali ambazo wanafanya kazi katika
majengo ambayo sio salama na hi"yo kuhatarisha usalama wa
wafanyakazi!
M!"#!$%$&' S($)',
'wa ujumla wake *rogramu kuu ya *rogramu ya >tawala na
>endeshaji wa $%si ya &ais 0kulu imekadiriwa kutumia T:S
-,(-4,/-4,999, 7Bilioni mbili mia moja ishirini na sita milioni lakitatu na ishirini na sita elfu8 ambazo kamati yangu inaona bado ni
fedha chache kutengwa kwa $%si kubwa kama hii, hususan
ukizingatia uchaka"u wa nyumba za 0kulu zinazohitaji kufanyiwa
ukarabati ili ziweze kuendana na hadhi ya &ais wetu
M!"#!$%$&' S($)',
'amati yangu pia imepitia ratibu na >simamia shughuli za Baraza
la Mapinduzi na kamati zake00! *rogramu ndogo ya tathmini ya uwajibikaji na utendaji kazi
wa Taasisi za >mma
(( ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
12/15
000! *rogramu ndogo ya kukuza ufanisi wa kitengo cha Teknologia
ya 2abari na Mawasiliano0?! *rogram ndogo ya utumishi na uendeshaji wa $%si ya Baraza
la Mapinduzi
?! *rogram ndogo ya pili ni uimarishaji uwezo wa $%si katikakusimamia Sera, Sheria na >tumishi wa >mma
PROGRAMU YA USIMAMIZI WA MA*UKUMU YA KIKATIBA NA
KISHERIA YA BARAZA LA MAPINDUZI NA KAMATI YA
MAKATIBU WAKUU
M!"#!$%$&' S($)',
*rogramu ya usimamizi wa Majukumu ya kikatiba na kisheria ya
Baraza la Mapinduzi na 'amati ya Makatibu #akuu ambayo kwa
ina lengo la kutayarisha na kusimamia "ikao "ya Baraza la
Mapinduzi na 'amati ya Makatibu #akuu, programu hii ina
*rogramu ndogo tatu, programu ndogo ya kwanza ni ya kuratibu
na kusimamia shughuli za Baraza la Mapinduzi na kamati zake
ambayo imekadiriwa kutekelezwa kwa T:S (9=,-99,999 7Milioni
mia moja naTisa na laki mbili8 ambazo zitatumika katika
kutayarisha "ikao (- "ya BDM na 'amati zake, kutayarisha "ikao
(- "ya 'amati za Baraza la Mapinduzi kutayarisha "ikao 6 "yadharura "ya BDM na 6 "ya kamati ya Makatibu #akuu wa SM:,
kutoa mafunzo ya kujenga uwezo kwa ?iongozi wa kisiasa na
Sekretarieti ya Baraza la Mapinduzi!
M!"#!$%$&' S($)',
*rogram ndogo ya pili ni ya tathmini ya uwajibikaji na utendaji
kazi wa Taasisi za >mma, ambayo imekadiriwa kutekelezwa kwa
T:S /3,/49,999 7Milioni thelathini na tano laki tatu na sitini elfu8ambazo zitatumika katika shughuli za kutayarisha mikutano miwili
ya tathmini ya utendaji kazi kati ya Mheshimiwa &ais na ?iongozi
wa #izara za SM:, kusaidia shughuli za kijamii na masuala
mtambuka kupitia Mawaziri wasio na #izara maalum!
(- ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
13/15
M!"#!$%$&' S($)',
*rogram ndogo ya tatu ni ya kukuza ufanisi wa kitengo cha
Teknologia ya 2abari na Mawasiliano ambayo nayo imepangiwa
kutekelezwa kwa T:S /(,=/9,999 7Milioni thelathini na Moja, lakitisa na thelathini elfu8 katika kutekeleza shughuli za kusimamia
huduma za mkonga wa Taifa wa Mawasiliano katika $%si, 'wa
ujumla *rogramu kuu ya usimamizi wa Majukumu ya kikatiba na
kisheria ya Baraza la Mapinduzi na 'amati ya Makatibu #akuu
kwa mwaka wa fedha -9(4.-9(5 imekadiriwa kutumia
(54,1=9,999 7Milioni Mia moja sabini na sita laki nne na tisiini
elfu8!
PROGRAMU YA UTUMISHI NA UTAWALA WA OFISI YABARAZA LA MAPINDUZI
M!"#!$%$&' S($)',
'amati yangu pia katika tumishi na >tawala wa $%si ya Baraza la Mapinduzi yenye lengo
la kuimarisha mazingira ya kazi, mahusiano ya umma na
kuwaongezea ujuzi wafanyakazi wa $%si, *rogram hii ina program
ndogo mbili ambazo ni program ndogo ya utumishi na uendeshajiwa $%si ya Baraza la Mapinduzi na program ndogo ya uimarishaji
uwezo wa $%si katika kusimamia Sera , sheria na >tumishi wa
>mma, *rogramu ndogo ya utumishi na uendeshaji imepangiwa
kutekelezwa kwa T:S (,(5=,-(9,999 7Bilioni moja, mia moja
sabini na tisa Milioni, laki mbili na elfu kumi8 ambazo zimepangwa
kutekelezwa katika shughuli mbali mbali, ikiwa ni pamoja na
kuboresha miundombinu ya $%si, majengo pamoja na mazingira
yake, kuiwakilisha $%si katika mikutano, warsha pamoja namakongamano ya ndani na nje ya nchi, na kurahisisha ufanisi wa
shughuli za kio%si!
M!"#!$%$&' S($)',
(/ ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
14/15
*rogram ndogo ya pili ni uimarishaji uwezo wa $%si katika
kusimamia Sera, Sheria za >tumishi wa >mma, program hii
imepangwa kutekelezwa katika mwaka huu wa fedha kwa T:S
(/4,/99,999 7Mia moja thelathini na sita milioni na laki tatu8
ambazo zimepangwa kutumika katika kuendesha shughuli zauanzishaji wa Maktaba ya Baraza la Mapinduzi, uimarishaji wa
kitengo cha uhifadhi wa kumbukumbu za Baraza la Mapinduzi,
kutayarisha ripoti ya mwaka ya hali ya utumishi wa umma pamoja
na ukusanyaji na ufuatiliaji wa Sera,Sheria na Miongozo ya Baraza
la Mapinduzi! 'wa ujumla wake *rogramu kuu ya >tumishi na
>tawala wa $%si ya Baraza la Mapinduzi katika mwaka wa fedha
-9(4.-9(5 imekadiriwa kutumia T:S (,/(3,3(9,999 7Bilioni
moja,mia tatu kumi na tano Milioni, laki tano na elfu kumi8!
M!"#!$%$&' S($)',
'amati yangu baada ya kuzipitia *rogramu zote nilizozitaja hapo
kabla imeona fedha hizo ni kidogo kutengwa kwa o%si kubwa
kama hii ambayo ndio muhimili wa Serikali yetu, ambayo bado
ina changamoto nyingi zinazohitaji kufanyiwa kazi zikiwemo zile
za ubo"u na uchaka"u wa majengo ya nyumba za 0kulu, uhaba wa
"itendea kazi, uhaba wa usa%ri kwa ajili ya 0dara mbali mbali!
2i"yo 'amati inashauri kwamba hali itakaporuhusa katika Bajeti
ya mwaka ujao -9(5.-9(6 watengewe fedha ambazo zitaweza
angalau kupunguza changamoto zinazoikabili #izara hii muhimu
hasa ile ya kukarabati nyumba za ikulu ikiwemo nyumba ya
'upumzikia ya Mkokotoni ambayo inahitaji kujengewa uzio na ile
ya Chake Chake ambayo iko katika hali isiyoridhisha!
M!"#!$%$&' S($)',
(1 ) * a g e
-
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS final.doc
15/15
Mwisho napenda kukushukuru tena kwa kunipa nafasi ya
kuwasilisha maoni ya 'amati yangu kwa niaba ya 'amati pamoja
na kuwashukuru #ajumbe wa Baraza lako Tukufu kwa kunisikiliza,
sasa niwaombe #ajumbe wa Baraza lako waijadili na hatimae
waiunge mkono bajeti hii ili wamuwezeshe #aziri kufanikisha nakutekeleza yale waliojipangia katika mwaka huu wa