hotuba ya kambi ya upinzani -elimu
TRANSCRIPT
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
1/38
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA
UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI,
TEKNOLOJIA NA UFUNDI MHESHIMIWA SUSAN ANSELIM
JEROME LYIMO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAONI YA
KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU
MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KATIKA
WIZARA HIYO KWA MWAKA WA FEDHA 2016/1!
1! UTANGULIZIM"#$"%&%' S%*, awali ya yote napenda kuchukua fursa
hii, kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutujalia soteuhai na kutuwezesha kuliona Bunge la 11 tukiwa salama. Pili
napenda kumshukuru kwa dhati kabisa Kiongozi wa Kambi
asmi ya !pinzani Bungeni, Mheshimiwa "reeman #ikaeli
Mbowe $Mb% kwa imani kubwa aliyo nayo kwangu kwa
kuendelea kuniteua kuwa Msemaji Mkuu wa Kambi asmi ya
!pinzani Bungeni katika &izara ya 'limu, (ayansi, )eknolojiana !fundi kwa *ipindi *itatu mfululizo. +inaahidi kuendelea
kuchapa kazi kwa bidii, na kwa hakika sitaiangusha Kambi
asmi ya !pinzani Bungeni katika wajibu huu niliopewa wa
kuisimamia (erikali katika sekta ya 'limu nchini.
M"#$"%&%' S%*, naishukuru familia yangu ikiongozwa na
mume wangu Boni*enture +gowi na wanangu wote. Kipekee
namshukuru sana +aibu &aziri wangu r. (uleiman #lly -ussuf
kwa ushauri wake. ile*ile nawashukuru sana B#/0# Mkoa
wa kichama wa Kinondoni kwa kunichagua kuwawakilisha hapa
kama kawaida sitawaangusha.
M"#$"%&%' S%*, kwa namna ya pekee napenda
kuwapongeza *iongozi wote wakuu wa *yama *ina*younda
1
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
2/38
!moja wa Katiba ya &ananchi $!K#%, kwa kazi kubwa na
nzuri walioyoifanya ya kuwaongoza watanzania kuchagua
mabadiliko katika !chaguzi Mkuu wa tarehe 2 3ktoba 412.
M"#$"%&%' S%*, pamoja na ukiukwaji mkubwa wa haki na
demokrasia uliofanywa na *yombo *ya dola dhidi ya upinzani
katika uchaguzi huo, ikiwemo ku*amia, kuwakamata na
kuwanyang5anya *ifaa *ya kazi wataalamu wa !K#
waliokuwa wakijumlisha matokeo ya uchaguzi huo, bado
wananchi walionyesha imani kubwa sana kwa upinzani kwa
kuupigia kura nyingi6 na kwa mara ya kwanza katika historia ya
*yama *ingi hapa nchini, upinzani umepata *iti 117 ikiwa ni
ongezeko la asilimia 8.8 kutoka *iti 9: *ili*yopatikana katika
uchaguzi Mkuu wa 414.
M"#$"%&%' S%*, kwa upande wa kura za rais, licha ya
mbinu zote zilizofanywa na *yombo *ya dola kuchakachuaushindi wa upinzani, bado upinzani kupitia !K# umeongeza
kiwango chake cha ushindi hadi ku;kia asilimia takriban imla wa
muda mrefu.
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
3/38
M"#$"%&%' S%*, kuporomoka huku ni matokeo ya wazi
kabisa kuwa chama hiki kimepoteza m*uto kwa wananchi
kutokana na kushindwa kuondoa umasikini pamoja na
kushindwa kusambaza huduma toshelezi za kijamii hasa elimu
na afya kwa miaka yote ya utawala wake wa miaka 22 sasa.
M"#$"%&%' S%*, kutokana na aibu hii ya kushindwa
kuondoa umasikini kwa wananchi6 na kutokana na hofu ya
(erikali kuhojiwa na bunge kuhusu utendaji wake6 sasa (erikali
hii ya awamu ya tano inayojinasibu kwa kauli mbiu ya ‘hapa
kazi tu’ imeamua kulinyamazisha bunge kwa kupiga marufuku
*yombo *ya habari kurusha moja kwa moja mijadala
inayoendelea bungeni kuhusu utendaji wa (erikali na kuhusu
mgawanyo wa fedha za umma katika bajeti ya serikali. #idha,
kutokana na hofu ya kukosolewa kutokana na kutojiamini katika
mambo inayoyafanya6 (erikali sasa imeanza kuingilia hotuba za
&asemaji &akuu wa !pinzani na kuzifanyia censorhip kinyume
kabisa na Kanuni za Bunge hili.
M"#$"%&%' S%*, Kanunu ya ::$:% ya Kanuni za Bunge
toleo la ?anuari, 417, inasema kwamba@ “Baada ya Waziri
kuwasilisha hotuba ya bajeti kwa mujibu wa fasili ya kwanza;
Mwenyekiti wa Kamati iliyopitia makadirio husika na Msemaji
wa Kambi ya pinzani watatoa maoni yao kwa muda usiozidi
dakika !" kila mmoja#$Kanuni haijaelekeza kwamba watatoa
maoni yao baada ya kupitiwa na Kamati ya Kanuni. Kwa hiyo
Mheshimiwa (pika6 kitendo kilichofanyika tarehe 17 Mei, 417
cha kuiondoa mezani hotuba ya Msemaji Mkuu wa Kambi asmi
ya !pinzani Bungeni katika &izara ya Mambo ya +dani ya +chi
ili ikachakachuliwe na Kamati ya Kanuni, ni kinyume kabisa na
8
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
4/38
Kanuni za Bunge6 na ni kinyume kabisa na mila na desturi za
uendeshaji wa mabunge ya ?umuiya ya Madola.
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani Bungeni
inakemea kwa ngu*u zote na inaitaka (erikali kuacha mara
moja tabia hii ya kuingilia shughuli za kikanuni za Kambi asmi
ya !pinzani Bungeni kwa kutumia mgongo wa Bunge!
2! ELIMU YETU NA HATMA YA TANZANIA
M"#$"%&%' S%*, dhambi kubwa na mbaya kuliko
zote kuwahi kufanywa na (erikali hii ya //M ni kuwanyima&atanzania elimu bora6 kupandikiza elimu nyepesi, potofu na
tegemezi kwa *izazi *ingi *ya taifa hili6 dhambi ya
kuwachanganya na kuwa*uruga watoto wa )aifa hili kwa sera
dhaifu, mitaala isiyo na dira na *itabu *isi*yokuwa na tija kwa
maendeleo yao na ya )aifa lao.
M"#$"%&%' S%*, +chi yetu ipo hi*i ili*yo kwa sababu ya
elimu duni. !maskini, ujinga na maradhi *ina*yotesa )aifa hili
ni matokeo ya elimu mbo*u iliyotolewa na (erikali ya //M kwa
zaidi ya miaka 22 tangu tupate uhuru. )aifa linalotoa elimu bora
halifanani hata kidogo na jinsi )anzania yetu ili*yo.
M"#$"%&%' S%*, hizi ni zama za kuelezana ukweli, hata
mkitufungia humu Bungeni wananchi wasituone Ai*e5 bado
!kweli utaendelea kupasua kuta za Bunge hili na kuwa;kia
&atanzania. Mwanafasihi mashuhuri wa nchi yetu, #frika ya
Mashariki na Barani #frika, 0ayati (haaban obert,
katika kitabu chake cha K!(#CKCK# aliandika hi*i, “Msema
kweli hukimbiwa na Rafki zake, nikipatwa na Ajali kama
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
5/38
hiyo sitawaonea Wivu wale wanaodumu na marafki zao
siku zote. Siwezi kuikana weli kwa kuhofa !pweke wa
kitambo na kujinyima "uraha ya milele inayokaribia
kutokea baada ya kushindwa kwa !on#o$ mwisho wa
kunukuu. Maneno haya ndio msimamo wangu na wa Kambi kwa
ujumla wake, kwani siku zote wabunge wa !pinzani
tumeonekana kama maadui na kunyanyapaliwa na (erikali hii
ya //M kwa sababu kusema ukweli kuhusu madhaifu ya
(erikali.
M"#$"%&%' S%*, nchi zilizoendelea zinafanya mambo
mengi ya kimaendeleo kwa kuwatumia wataalam wao wa elimu
ya juu D !ni*ersity graduates. &ataalam wa *yuo *ikuu
wanatengenezwa kwa kutegemea pia elimu bora ya msingi na
sekondari. )anzania nayo ina *yuo *ikuu. akini leo ipo haja ya
Bunge hili kujiuliza nini hasa maana ya /huo kikuu D E A
!niversity is an institution o% hi#her learnin# where
people&s minds are trained %or 'lear thinkin#, %or
independent thinkin#, %or analysis and %or problem
solvin# at the hi#hest level, is the 'entre %or advan'in#
the %rontiers o% knowled#e(. Kwamba@ /huo Kikuu ni taasisi
ya elimu ya juu inayoandaa watu kuwa na ;kra pe*u, ;kra huru
kwaajili ya kuwa na uwezo mkubwa wa kiuchambuzi na kwaajili
ya kutatua matatizo kwa kiwango cha hali ya juu, ni kituo cha
kuendeleza maarifa.
M"#$"%&%' S%*, (erikali imekuwa na Mawaziri wengi tu
waliopita *yuo *ikuu, lakini bado wameliingiza )aifa hili kwenye
2
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
6/38
hasara kubwa kwa maamuzi mabo*u, kwa kuingia mikataba
isiyojali maslahi ya taifa na kwa utendaji usio na ufanisi. 0i*i
hawa wana>;t kweli kwenye de;nition hii ya /huo
KikuuF !kweli ni kuwa hata (erikali yenyewe haiwaamini
wataalam wake wanaozalishwa na *yuo *ikuu hasa kwenye
(ekta ya (ayansi na )eknolojia. +a hili lipo wazi6 leo )anzania
ina madini, gesi na mafuta, lakini wata;ti, wachimbaji na
wa*unaji wakubwa wa raslimali hizi, wenye mashine kubwa na
za kisasa, na zenye kutumia teknolojia ya hali ya juu si
&atanzania.
M"#$"%&%' S%*, Mwanafalsafa 0erbet (pencer aliwahi
kusema, namnukuu “)he #reat aim o% edu'ation is not
knowled#e but a'tion$ D kwamba Elengo kuu la elimu si
ufahamu, bali *itendoG. )a;ti zinaonyesha ni 8:H tu ya
wahitimu wa *yuo *ikuu wanaajirika kutokana na kile
kinachoitwa kukosa ujuzi Elack of skillsG. Kambi ya !pinzani
inauliza hi*i ni lini serikali itawekeza *izuri kwenye elimu katika
ngazi zoteFII
+! BAJETI YA UTEKELEZAJI WA ELIMU BURE
M"#$"%&%' S%*, kupitia (era Mpya ya 'limu na Mafunzoya Mwaka 41
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
7/38
ushirikiano baina ya serikali pamoja na wazazi. 0ata hi*yo
upatikanaji wa pesa shuleni ulikuwa wa shida. Mathalani serikali
iliweza kupeleka wastani wa )sh.
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
8/38
(hilingi bilioni 1,
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
9/38
inaweza kuwa chanzo kingine cha anguko kuu la ubora wa
elimu nchini.
*edwali + -harama za kufdia ada na ruzuku
shuleni kwa ajili ya vi%aa, #harama za mitihani na
#harama za uendeshaji
K%$%
(T$"$)
I% 7
'89:%
J9&-
Msingi 14,444 9,:9=,481 Bil. :4(ekondari 2,444 1,2=2,2< Bil.
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
10/38
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
11/38
ualimu ndio kada pekee inayofanya kazi kwa saa
< hasa nyakati za kutunga na kusahihisha
mitihani, kupanga matokeo n.k.
%%! Kujenga *yumba *ya madarasa *ya kutosha naku*iwekea samani za kutosha ili kupunguza
mlundikano wa wanafunzi darasani na hi*yo
kuboresha mazingira ya kufundisha na kujifunza.%%%! Kuwapandisha madaraja kwa wakati sambamba
na kuwapandishia mishahara walimu waliokidhi
*igezo *ya kupandishwa madaraja ili kuwapa
motisha wa kufundisha.%C! Kuwe na chombo kimoja cha ajira kwa walimu,
na kwa maana hiyo6 )ume ya &alimu ianze
mara moja kazi ya kutatua kero za walimu.C! Muda wa mafunzo kwa *itendo $B)P% kwa
walimu uzingatiwe ili walimu%wanafunzi waweze
kupata uzoefu wa kutosha wa kufundisha kulikoina*yofanyika hi*i sasa ambapo mafunzo hayo
yanafanyika chini ya wiki nane kila mwaka.
C%! (erikali ishughulikie kero ya &alimu
wanaostaafu na kutolipwa stahiki zao mapema
na pia kutorudishwa makwao kwa mujibu wa
kanuni za utumishi.C%%! (erikali iwalipe walimu posho ya mazingira
magumu ya kazi ili ku*utia kufanya kazi
maeneo ya *ijijini.C%%%! #jira mpya ziingizwe kwenye payroll mapema ili
kuondoa kero ya kucheleweshwa kwa maslahi
ya walimu kutokana na majina yao kutokuwepo
kwenye pa73.--!
11
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
12/38
! SERA YA ?ITABU
M"#$"%&%' S%*,
Mwaka 1::1 (erikali ya )anzania ilitangaza sera mpya ya
*itabu iliyoruhusu wachapishaji binafsi $pri*ate publishers%
kuchapisha *itabu *ya shule na *yuo nchini. !amuzi huo
ulifanyika baada ya miaka mingi ya ukosefu wa *itabu
kutokana na kutai;shwa kwa makampuni ya uchapishaji na
kuanzishwa kwa mashirika ya uma ya uchapishaji $km )P0,
'#'P% ambayo yalilenga kuchapisha *itabu amba*yo
*ingeandikwa na )aasisi ya 'limu.
Mheshimiwa (pika, !amuzi huo wa kuondokana na dhiki na
mahangaiko ya kukosekana kwa *itabu *ya shule uliwekewa
utaratibu maalumu wa utekelezaji ukiratibiwa na kitengo cha
Book Management !nit $BM!%, makao makuu ya &izara ya
'limu. Baadae &izara ya 'limu iliunda kitengo cha
kudhibiti ubora wa *itabu kiitwacho, 'ducational Materials
#ppro*al /ommittee $'M#/%.
M"#$"%&%' S%*, )angu 1::1 wachapishaji wazalendo
wamepiga hatua kubwa katika fani hii. &anachapisha *itabu
bora *ya kiada *ya ngazi zote za elimu. )atizo la
kutokuwapo kwa *itabu *ya kiada halipo tena. )atizo sasa ni
kwamba serikali hainunui *itabu *ya kutosha na kwa muda.
Pia wachapishaji wanachapisha *itabu *ya hadithi
mbalimbali kwa ajili ya watoto wa ngazi zote za msingi na
sekondari D hususan chini ya /BP kwa mfano kuna aina za
*itabu $titles% zisizopungua 824 za *itabu *ya hadithi na
1
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
13/38
rejea pale /BP. Pia wachapishaji hao wametoa machapisho
mengine kama kamusi, atlasi, chati mbalimbali, n.k.
S#3 &7 7 C%9 7 &'* 201=
Mheshimiwa (pika, (era mpya iliyotangazwa na Kamishna
wa 'limu kupitia &araka wa 'limu +amba < wa mwaka 41<
inafuta sera ya (erikali ya *itabu ya mwaka 1::1 na
kurejesha majukumu ya uandishi na uchapishaji wa *itabu
*ya shule mikononi mwa )aasisi ya 'limu. (era hiyo inadai
kuwa wachapishaji binafsi wanaweza kuchapisha *itabu *yaziada D amba*yo ana*iita Areference books5.
M"#$"%&%' S%*, Mwaka jana $412% )aasisi ya 'limu
iliendesha semina kwa walimu wakuu wa shule za msingi
nchini kote kuhusu ufundishaji unaotekeleza mitaala mipya
hususan darasa la kwanza na la pili kwa utaratibu wa
Kusoma, Kuandika na Kuhesabu $KKK%. &alimu waliopewa
semina waliahidiwa kupatiwa *itabu *ipya *ina*yokidhi
mitaala mipya mwezi ?anuari au "ebruari 417 ili waanze
ku*itumia madarasani. (hule zimesubiri *itabu hi*yo hadi
sasa, karibu nusu ya mwaka, bila kupatiwa *itabu hi*yo.
M"#$"%&%' S%*,Cnasemekana *itabu hi*yo *ipya *ya
)aasisi ya 'limu ha*ifai. Pia tumesikia kuwa baadhi ya
wafanyakazi waliohusika katika usimamizi wa kazi hiyo
wamesimamishwa kazi. akini hadi sasa watoto wako
madarasani wakisubiri *itabu *ipya *ya )aasisi ya 'limu.
18
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
14/38
Mheshimiwa (pika, Mwandishi ni msanii kama ali*yo
mchoraji, mwimbaji, mchezaji wa ngoma au mwigizaji. Kundi
hili lina watu wenye *ipaji maalumu. !andishi siyo kazi
anayoamriwa au kupangiwa mtu kuifanya ila naifanya kwa
utashi wake. Pia haitegemei elimu ya mtu, kwa mfano,
(haaban obert alikuwa na elimu ya darasa la C tu lakini
aliandika *itabu *ili*yo bora sana amba*yo *inatumika hadi
*yuo *ikuu.
M"#$"%&%' S%*, )aasisi ya 'limu ina mwelekeo wa ukuzaji
mitaala na siyo kuandika na kuchapisha *itabu. Clichukua muda
mrefu hadi &izara ya 'limu ya miaka ya 1::4 kutambua hi*yo. +i
heri &izara ya 'limu ikabidhi jukumu la uandishi na usambazaji
wa *itabu kwa wachapishaji binafsi.
M"#$"%&%' S%*, K9.* *"% "%% 7 C%9
*9*.$#* &$"9-#%, Kambi rasmi ya !pinzani
inapendekeza yafuatayo@
$a% (erikali irejeshe (era ya itabu ya 1::1 ambayo ina
mafanikio makubwa
$b%(erikali iweke pembeni mitaala mipya ya )C' ya 417na badala yake iunde )ume ya 'limu itakayotathmini Mfumo
na !tendaji wa 'limu nchini na kutoa mapendekezo mapya
$c% itabu *ili*yopo tangu mfumo mpya wa elimu wa 1::1,
*iendelee kutumika shuleni hadi tume imalize kazi yake.
6! UAMUZI WA KISIASA UNA?YOATHIRI UBORA WA
ELIMU NHINI
1
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
15/38
M"#$"%&%' S%*, (erikali ya //M kwa muda mrefu sasa
imekuwa na tabia ya kufanya uamuzi wakisiasa katika masuala
ya elimu na kuweka kando uta;ti au ushauri wa kitaalamu
jambo ambalo limeathiri sana ubora wa elimu nchini.
M"#$"%&%' S%*, mifano iko mingi6 kwa mfano mwaka
41
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
16/38
kuporomoka kwa elimu nchini. #idha, ili kuondokana na
maamuzi ya kisiasa kwenye elimu, tunarudia kupendekeza tena
kwamba (erikali ianzishe chombo cha udhibiti wa 'limu na
Mafunzo ya !fundi $)anzania 'ducation and )raining egulatory
#uthority > )')#% kitakachoweka *iwango *ya ubora wa elimu
kwa mujibu wa mitaala iliyopitishwa na (erikali, kudhibiti
utungaji, usahihishaji na upangaji wa matokeo ya mitihani,
kudhibiti gharama za elimu $ada na michango mingine% baina
ya shule na taasisi nyingine za elimu za uma na binafsi ili kuwa
na mfumo mmoja wa elimu unaoeleweka kuliko sasa ambapo
kuna tofauti kubwa za kimfumo baina ya shule na taasisi za
elimu binafsi na zile za umma. 0aiwezekani &izara hii iwe ndio
mtungaji ya sera elimu, mtoaji wa elimu, mdhibiti wa elimu,
mtungaji na msahihishaji mitihani huku ikiwa pia mmiliki wa
baadhi ya shule. 0aki itatoka wapiFII
! UKIUKAJI WA KATAZO LA SERIKALI LA KUONGEZA
ADA KWA SHULE ZISIZO ZA SERIKALI KWA
MWAKA WA MASOMO 2016
M"#$"%&%' S%* Pamoja na mkanganyiko uliopo kuhusu
ada elekezi na katazo la (erikali la kuongeza ada kwa shule
zisizo za (erikali kwa mwaka wa masomo 417, zipo baadhi yashule zisizo za (erikali zimeendelea kuongeza ada kwa mwaka
huu wa masomo 417 na kwenda mbali zaidi kuwatoza wazazi
faini ya hadi shilingi laki moja kwa kuchelewa kulipa ongezeko
hilo ndani ya siku saba.
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani Bungeni inazo
taarifa kwamba shule ya awali ya # M!+)#C !+C3+ +!('-
17
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
17/38
(/033 ya ar es (alaam imeongeza ada kutoka shilingi
1,294,444J mwaka 412 hadi ku;kia shilingi 1,:94,444J
mwaka 417 sawa na ongezeko la shilingi
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
18/38
M"#$"%&%' S%*, athari ya kupanga fedha za mikopo katika
bajeti ya maendeleo ili bajeti ya maendeleo inaonekane kuwa
kubwa lakini kimsingi fedha inayokwenda kutekeleza miradi
halisi ya maendeleo ni kidogo sana na hi*yo kutokidhi mahitaji.
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani Bungeni
inahoji, kama mkopo wa mafunzo ni uwekezaji kwa nini bajeti
za mafunzo ya mao;sa wa &izara $)raining domestic na
)raining outside% yako kwenye bajeti ya Matumizi ya KawaidaF
Mafunzo kwa ajili ya walimu =444 wa sayansi na lugha katika
kasima uhalisiahakuna maendeleo yenye tija yatakayofanyika kutokana na
upungufu mkubwa wa fedha za maendeleo.
M"#$"%&%' S%*, kama (erikali inadai kwamba mikopo ya
elimu ya juu ni fedha za maendeleo kwa kigezo kwamba huo ni
uwekezaji kwenye maendeleo ya rasilimali watu6 basi isiwadai
wanafunzi wanaopewa fedha hizo kugharamia elimu ya juu
19
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
19/38
kwa kuwa ni uwekezaji kama uwekezaji mwingine wa miradi ya
maendeleo ambayo serikali hugharamia bila kudai kurudishiwa
fedha hizo.
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani Bungeni haioni
sababu ya (erikali kuwadai wahitimu wa *yuo *ikuu kurejesha
fedha waliyokopeshwa kugharamia elimu waliyoipata kwa
sababu gharama hiyo watai;dia kupitia kodi ya mapato $Pay #s
-ou 'arn% pindi watakapoajiriwa. Kodi hiyo itakuwa ndio faida
$economic returns% ya kuwalipia wanafunzi wa elimu ya juu
ambayo inachangia moja kwa moja kwenye pato la taifa na
uchumi kwa jumla. (erikali itambue pia kwamba fedha
inazowakopesha wanafunzi wa elimu ya juu inatokana pia na
kodi waliyolipa wazazi wa wanafunzi hao.
! HANGAMOTO ZA KIBAJETI ZA UKAGUZI NA
UHAKIKI WA UBORA WA ELIMU NHINI!
M"#$"%&%' S%*,ni dhahiri kwamba moja ya sababu
zinazochangia kushuka kwa *iwango *ya ubora na ufaulu katika
shule zetu za umma ni kutokuwepo kwa ukaguzi na ufuatiliaji.
Kwa mujibu wa )akwimu za 'limu )anzania $B'() 412% ni
asilimia 1:.1 tu ya shule za msingi na asilimia 1.< pekee ya
shule za sekondari ambazo hukaguliwa kwa mwaka.
M"#$"%&%' S%*, tafsiri ya takwimu hizo ni kwamba,
serikali huchukua takribani miaka mitano kukamilisha ukaguzi
wa shule zote za umma zilizopo. Kwa maneno mengine ni
1:
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
20/38
kwamba, shule hukaguliwa mara moja kila baada ya miaka
mitanoI
M"#$"%&%' S%*, kwa mfano, katika bajeti ya Mwaka
417J41=, jumla ya $"%-%4% %-%.% 2=!1 zimetengwa kwa ajili
ya idara ya ukaguzi na *itengo *yake kwa ajili ya matumizi ya
kawaida lakini takribani $"%-%4% %-%.% 22 zimetengwa kwa
ajili ya mishahara na maslahi mengine ya watumishi katika
matumizi ya kawaida. 0i*yo kiasi cha takribani $"%-%4% %-%.%
2 pekee ndicho kilichobaki kwa ajili ya shughuli halisi za
ukaguzi kama ununuzi wa mafuta ya gari, posho za wakaguzi,
ukarabati wa magari, mawasiliano na programu za mafunzo au
uelimishaji.
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani Bungeni
inaitaka (erikali kuona umuhimu wa ukaguzi na uhakiki wa
ubora wa elimu na hi*yo kutenga fungu rasmi katika mwakampya wa fedha 417J1= lenye fedha za kutosha kukagua
angalau asilimia 94 ya taasisi za elimu zinazostahili kukaguliwa
hapa nchini.
10! MWONGOZO WA UTEKELEZAJI WA SERA MPYA
YA ELIMU
M"#$"%&%' S%*, Ctakumbukwa kwamba sekta ya elimu
sasa inasimamiwa na (era Mpya ya 'limu na Mafunzo ya
Mwaka 41
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
21/38
na kuhakikisha kuna upatikanaji wa *ifaa stahili *ya kujifunza
na kufundishia pamoja na kuongeza ubora wa walimu kwa
kutoa mafunzo, motisha na kuimarisha udhibiti wa taaluma ya
ualimu.
M"#$"%&%' S%*, ili (era hii iweze kutekelezwa kwa ufanisi,
inahitaji itengenezewe miongozo $Luidelines% na Mpango wa
utekelezaji $(trategy%. 0ata hi*yo pamoja na kwamba baadhi ya
matamko ndani ya sera hii yamekwishaanza kufanyiwa kazi
$mfano utoaji elimu bure%, bado mpango wa utekelezaji wa sera
hii haujakamilika mpaka hi*i sasa.
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani Bungeni
inaitaka (erikali kutoa maelezo mbele ya bunge hili kwa nini
mkakati wa utekelezaji wa sera ya elimu haujakamilika na
kuanza kutumika hadi leo huku baadhi ya matamko yakiwa
yameanza kutekelezwaF
11! WANAFUNZI WALIOHAMISHWA KUTOKA ?YUO
?YA ST!JOSEPH
M"#$"%&%' S%*,kwa muda mrefu Kambi asmi ya
!pinzani Bungeni iliiomba (erikali kuhamisha *ijana hao
kutokana na mazingira mabo*u ya kujifunzia na kufundishia.
0ii ni pamoja na ukosefu wa walimu wenye sifa na program
zisizo na ulinganifu na yuo *ingine. +ilifuatilia jambo hili hadi
kufanya ziara katika yuo hi*i na kujionea hali mbaya
isiyokubalika. Baada ya kupiga kelele nyingi humu Bungeni,
+aibu &aziri aliahidi kwenda pamoja na )/! kuona hali halisi
katika *yuo hi*yo. ?ambo la kustaajabisha ni kwamba
walituletea ripoti ya ho*yo na ya kisiasa zaidi na kusema kuwa
1
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
22/38
hali ni shwari6 lakini jambo linaloshangaza zaidi ni kwamba leo
wanafunzi wale wamehamishwa .
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani Bungeni
inaitaka (erikali kutoa majibu ya kina ni kwani nini mwaka jana
watendaji wa )/! na wa &izara walisema hakuna tatizo na
watendaji hao hao mwaka huu wameona kuna tatizo la msingi
na kuwahamisha wanafunzi wa *yuo hi*yoF. ?e, wanafunzi hao
watalipwa nini kwa muda waliopotezaF. +a ni nini hatma ya
*yuo hi*yoFF
M"#$"%&%' S%*, jambo linalokera zaidi ni baadhi ya *ijana
hawa sasa wamekwama kwenye *yuo walio*yohamia kwa kuwa
kozi walizokuwa wanasoma zinatofautiana na pia kutokana na
kuwa na mihula tofauti wengi wao wanalazika kurudia mwaka
wa masomo ausemista.
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani inahoji ni
kwanini )/! ili*isajili *yuo hi*i na ku*ipa ithibatiF Pili ni kwanini
*yuo hi*i *ina mihula tofauti na *yuo *ingineF +a pia ni fedha
kiasi gani zimepotea katika kuwalipia mikopo *ijana hawa na
sasa hawajui ni lini watahitimu masomo yaoF +i nini hatma ya
*yuo hi*yo na ni mfumo gani wa elimu yetu unaoruhusu
wahitimu wa kidato cha nne kujiunga na *yuo *ikuu kwa
kisingizio cha special programsFII
M"#$"%&%' S%*, kitendo cha &aziri wa 'limu kui*unja
bodi ya )/! jana tarehe 2 Mei, 417 kutokana na kudahili
wanafunzi wasio na sifa kujiunga *yuo *ikuu siku moja kabla ya
mjadala wa hotuba yake ya bajeti ya 'limu ni kujaribu kwa hila
kulizuia bunge kujadili kwa kina udhaifu mkubwa wa (erikali
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
23/38
kupitia )/! katika kusimamia ubora wa 'limu ya juu hapa
nchini.
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani Bungeni
inaitaka (erikali kulieleza Bunge hili ni hatua gani za ziada
itachukuwa kwa wajumbe hao wa bodi kwa kuwa
wamewaharibia wanafunzi maisha yao na kupoteza fedha za
umma kutokana na maamuzi yaoF
12! MABORESHO YA MFUMO WA ELIMU NHINI
M"#$"%&%' S%*, kwa muda mrefu sasa Kambi asmi ya
!pinzani Bungeni imekuwa ikitoa angalizo kuwa mfumo wetu
wa elimu umepitwa na wakati6 hi*yo upitiwe upya na kufanyiwa
maboresho ili uendane na mabadiliko yanayotokea katika
nyanja mbalimbali duniani.
M"#$"%&%' S%*, elimu ya nchi yetu imekumbwa na
matatizo mengi ya ki>mfumo jambo ambalo pamoja na
madhaifu mengine limechangia sana kushuka kwa ubora wa
elimu ya nchi yetu.
M"#$"%&%' S%*, kwa kuwa matatizo yanayoikumba sekta
ya elimu hapa nchini yamekuwa yakijirudia rudia6 na kwa kuwa
mara kadhaa serikali imekuwa ikifanya maamuzi ya kisiasa
zaidi kukabiliana na changamoto zinayoikumba sekta ya elimu
jambo ambalo halijatoa ufumbuzi wa kudumu wa kuondokana
na changamoto hizo6 na kwa kuwa wadau wote wa elimu wana
matamanio ya kuona ubora wa elimu yetu unaongezeka6 0i*yo
basi Kambi asmi ya !pinzani Bungeni inaitaka (erikali kwa
8
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
24/38
hatua ya sasa kuunda tume ya kitaalamu kwa ajili ya kuupitia
upya mfumo wa elimu inayotolewa )anzania ili pamoja na
kukuza ubora wake lakini pia elimu hiyo iweze kwenda
sambamba na kasi kubwa ya mabadiliko ya kiuchumi duniani.
1+! DHANA YA UGATUZI KAMILI WA MADARAKA
(DEENTRALIZATION BY DE?OLUTION) NA
MKANGANYIKO WA USIMAMZI WA SEKTA YA
ELIMU NHINI
M"#$"%&%' S%*, katika utekelezaji wa dhana ya
ugatuzi kamili wa madaraka, yani by , huduma nyingi
za kijamii zikiwemo afya na elimu zimeshushwa katika
ngazi ya (erikali za Mitaa na &izara za sekta husika
zimeachwa na jukumu la kusimamia sera za sekta husika
na kusimamia taasisi chache tu kulingana na
itaka*yopangwa na wizara husika.
M"#$"%&%' S%*, pamoja utaratibu huo kutajwa kuwa
una nia njema ya kuwapa wananchi madaraka zaidi kupitia
serikali zao za mitaa, lakini utaratibu huo umeleta
mkanganyiko mkubwa sana katika usimamizi wa sekta ya
elimu nchini.
M"#$"%&%' S%*, nasema hi*i kwa sababu tuliona jinsi
matatizo ya walimu yali*yokuwa yanashindikana
kutatuliwa kutokana na kuwa na mamlaka nyingi mno
zinazoshughulika na walimu hadi tuka;kia uamuzi wa
kupendekeza kwamba kuwe na chombo kimojakitakachoshughulikia masuala ya walimu yani )')# D
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
25/38
)anzania 'ducation and )raining #uthority, jambo ambalo
mpaka sasa halijatekelezwa na (erikali. 0ata hi*yo,
haiwezekani kutokana na mfumo wa by , waziri awe na
mamlaka tu na *yuo *ya ualimu na *yuo *ikuu na kuacha
taasisi nyingine zote za elimu na kazi zake katika mamlaka
nyingine.
M"#$"%&%' S%*, kutokana na hali hiyo, Kambi asmi
ya !pinzani inaitaka (erikali kuangalia upya mfumo wake
wa ugatuzi madaraka ili usilete mwingiliano wa kiutendaji
katika ya (erikali Kuu na (erikali za Mitaa lakini pia
kuweka mfumo ambao kutakuwa na chombo kimoja kikuu
cha kitaifa kitakachoshughulikia kwa ukamilifu masuala ya
elimu kuliko ili*yo sasa.M"#$"%&%' S%*, baada ya kuona matatizo ya
ugatuaji hapa nchini, niliamua kusoma *itabu *ingi
*ina*yohusu dhana ya ugatuzi na nimegundua kuwa
)anzania hatutekelezi kabisa dhana ya by bali
tunachofanya ni by / yaani D##3-%:%. 7
D#.#3%. na ndio maana mambo hayaendi,
0i*yo basi nashauri serikali isome *itabu *ina*yoelezea
dhana hii ili waielewe kwa undani.
1=! UBUNIFU KATIKA SAYANSI NA TEKNOLOJIA
M"#$"%&%' S%*, hakuna )aifa duniani lililoendelea bila
kuwekeza kwenye (ayansi na )eknolojia. +i ukweli usiopingika
kuwa, (ayansi na )eknolojia *inachangia sana katika
maendeleo ya )aifa lolote. Mageuzi ya (ayansi na )eknolojia
yanaleta hamasa ya ubunifu, pamoja na ku*utia zaidi ushiriki
2
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
26/38
wa sekta binafsi katika kuendeleza (ayansi ya )eknolojia na
ubunifu. +i wazi mageuzi haya yanahitaji fedha nyingi hasa za
uta;ti. ?ambo la kusikitisha ni kwamba, (erikali haitoi fedha
kwa ajili ya uta;ti6 kwa mfano, bajeti ya 412J417 sekta hii
ilikuwa na upugufu mkubwa na hata baada ya agizo la tengeo
la1H ya pato gha; la )aifa $LP%. Kambi asmi ya !pinzani
inaitaka (erikali ieleze ni kiasi gani cha pato gha; la )aifa
limetengwa kwa ajili ya uta;ti katika bajeti ya 417J1=F
M"#$"%&%' S%*, Cnasikitisha sana kuona /3()'/ ambacho
ni chombo pekee cha kutoa ushauri kwa (erikali kuhusu uta;ti,
sayansi na )eknolojia kilichoanzishwa na sheria +amba = ya
mwaka1:97 lakini bado (erikali haijaweza kuipata )ume hii
walau 1H ya pato gha; la )aifa. Mathalani kwa mwaka huu
)ume imetengewa 4.4
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
27/38
ilishauri (erikali kuainisha )eknolojia hii kama kipaumbele cha
kufanya uta;ti na hi*yo )anzania kuwa mstari wa mbele ikiwa
taasisi zake zataitumia. Kambi asmi ya !pinzani Bungeni
(erikali kulieleza Bunge hili kama ilitekeleza ushauri iliopewa na
/3()'/ kuhusu teknolojia hiyo.
M"#$"%&%' S%*, katika Mwaka 412J417 (ekta hii ya
(ayansi na )eknolojia ilipata fedha kidogo sana huku tukitamba
tuko kwenye karne ya (ayansi ya )eknolojia. Kwa mfano mwaka
jana iliyokuwa &izara ya (ayansi na )eknolojia na Mawasiliano
ilipokea hadi #prili, 412 shilingi bilioni
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
28/38
ya shilingi $retention of *alue charges%. Kambi asmi ya
!pinzani bungeni haikubaliani na kiwango kilichowekwa na
bodi cha kulinda kuporomoka kwa thamani ya shilingi
$*alue retention fee% ya taktriban asilimia 24 ya deni lote.
M"#$"%&%' S%*, ufuatao ni mfano wa hati ya madai
ya marejesho wa mkopo kwa mhitimu wa chuo kikuu.
Cnasomeka kama ifuata*yo@ “Kindly be informed that the
deductions for the loans board will be&in e'ecti(ely May)
*"+, and the deduction -ercenta&e will be ./ from the
basic salary$
0f you ha(e a complaint in accordance to this information)
kindly see from 1234B
/hek
no
Cnd
eN
"ull
name
Principle
#mount
Penalty oan
#dmin
fee
alue
etention fee
)otal
oan
#mount
3utstanding
debt
6,=6,000
!
6=,60
0
6,=60 2,5++,+== 10,=+,=0= 10,=+,=0=
HANZO HESLB
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani Bungeni
inaitaka (erikali kufuta gharama ya 02alue Rentention "ee1
inayowatoza wahitimu wanaporejesha mikopo ili kuwapunguzia
ukali wa maisha wahitimu hao ukizingatia wengi wao bado
hawajapata ajira na waliopata ajira bado mishahara yao ni
midogo. #idha, Kambi asmi ya !pinzani Bungeni bado
inasimamia msimamo wake wa kuitaka (erikali kutowadai
wahitimu wa elimu ya juu kwa kuwa fedha inayowapatia ni
bajeti ya maendeleo ya wizara husika kama ili*yo kwa wizara
nyingine na hi*yo (erikali haipaswi kudai fedha hizo kama
9
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
29/38
amba*yo haidai kurejeshewa fedha inazotoa katika miradi
mingine ya maendeleo.
16! UNYANYASAJI WA WANAFUNZI WA ?YUO ?IKUU
WANAOHISIWA KUUNGA MKONO UPINZANI
M"#$"%&%' S%*, kumekuwa na tabia mbaya sana ya
baadhi ya wakuu wa *yuo *ikuu hapa nchini kuwanyanyapaa na
kuwadhalilisha na hata kudiriki kuwafukuza chuoni wanafunzi
ambao kwa hisia zao wana;kiri wanaunga mkono harakati za
*yama *ya upinzani.
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani Bungeni inazo
taarifa kwamba aliyekuwa kiongozi wa (erikali ya &anafunzi
katika /huo Kikuu cha odoma amesimamishwa masomo kwa
hisia tu kwamba alikwa mfuasi wa /0#'M#. #idha, aliyekuwa
makamu wake, tena &$%", aliamriwa na uongozi wa
chuo hicho kukabidhi madaraka yake, kwa uongozi mwingine
wa serikali ya wanafunzi ambao haukuchaguliwa na wanafunzi
$uliteuliwa na utawala wa chuo% kinyume kabisa na katiba
inayoongoza (erikali ya &anafunzi wa chuo hicho.
M"#$"%&%' S%*, mwanafunzi huyu $msichana% alitakiwa
kupongezwa na uongozi wa chuo kwa kuthubutu kugombea
nafasi hiyo na kuonyesha uwezo mkubwa wa uongozi, lakini
:
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
30/38
alisakamwa na uongozi wa chuo na kutishiwa maisha, jambo
lilomfanya afungue shauri mahakamani kupinga kulazimishwa
kuachia madaraka. 0ata hi*yo, zilipoonekana dalili za yeye
kushinda, chuo kilimwandikia barua ya kumfukuza chuo kabla
ya hukumu.
1! M"#"#$"%&%' S%*, hukumu imetoka na huyo
mwanafunzi ameshinda kesi. !tawala wa chuo hicho
umedharau amri ya Mahakama ya kumrejesha na kumpa
ushirikiano kiongozi huyo halali wa (erikali ya &anafunzi
kwa nafasi ya Makamu wa ais6 mwanafunzi huyo
ananyanyapaliwa na uongozi wa chuo kikuu cha odoma
jambo ambalo kwa *yo*yote *ile litaathiri masomo yake
ikizingatiwa kwamba zimebaki wiki chache kabala
hajafanya mtihani wa kuhitimu shahada yake ya kwanza.
Kambi asmi ya !pinzani Bungeni inaitaka (erikali kutoa
maelezo mbele ya bunge hili ni kwa nini haijamchulia
Mkuu wa /huo Kikuu cha odoma hatua za kinidhamu
kwa kuendeleza unyanyapaa na unyanyasaji wa wazi kwa
wanafunzi wa chuo hicho kwa hisia zake tu kwamba
wanafunzi hao ni wafuasi wa /0#'M#J!K#F Cna
maana !3M ni kwa ajili ya wanafunzi wa //MF TUME YA
WALIMU (TEAHERS SER?IE OMMISSION)
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani kwa muda
mrefu imekuwa ikipinga utaratibu wa walimu kuwa chini ya
mamlaka tofauti za ajira jambo linaloleta mkanganyiko kwao
hasa pale wanapokuwa na madai mbalimbali kuhusu maslahi
yao. &alimu walikuwa wakipata tabu kujua ni mamlaka ipi katiya 3;si ya ais D Menejimenti ya !tumishi wa !mma au 3;si
84
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
31/38
ya &aziri Mkuu > )#MC('MC, au &izara ya 'limu na Mafunzo ya
!fundi .
M"#$"%&%' S%*, B 7 *#-#-# 7%4%, hatimaye
serikali ilileta muswada wa (heria ya kuanzisha )ume ya
!tumishi wa &alimu $)eachers (er*ice /ommision% mwezi ?ulai,
412. +ia ya (erikali kuleta muswada ule ililenga kuwalaghai
walimu ili waipigie //M kura katika uchaguzi Mkuu wa 3ktoba
412, na ndio maana uliletwa ?ulai, 412 tena kwa matangazo
na mbwembwe nyingi hadi ku;kia hatua ya ais wa wakati huo
?akaya Mrisho Kikwete kuupigia kampeni kwa /hama cha
&alimu $/&)% na wadau wengine wa elimu tofauti na njia za
kawada za Kamati ya Bunge ya 0uduma za ?amii kukutana na
wadau ili mradi tu ionekane kwamba (erikali ilikuwa inawajali
walimu sana.
M"#$"%&%' S%*, Kambi asmi ya !pinzani Bungeniinapenda kuwaarifu walimu wote nchini kwamba (eriakali hii ya
//M haijawahi kuwa na nia ya dhati ya kutatua kero zake, ila
inakaa na walimu kimkakati tu kwa malengo ya kubembeleza
kura zao, na wakishapiga kura hizo matatizo yanaendelea
kubaki palepale %. & "% -#. &.
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
32/38
*yote *yenye mapungufu *iweze kufanyiwa marekebisho ili
sheria hiyo iwe bora na yenye kutatua kero za muda mrefu za
walimu.
1! KUHAMISHWA KWA MAFUNZO YA WALIMU
KUTOKA KURUGENZI YA WALIMU YA WEST HADI
NATE (NATIONAL OUNIL FOR TEHNIAL
EDUATION)
M"#$"%&%' S%*, tangu tupate uhuru, nchi imekuwa
ikifanya mipango na mikakati ya kutoa elimu bora kwa ajili ya
wananchi wake. (erikali imekuwa inaweka *yombo au taasisi
mbali mbali kutekeleza jukumu la utoaji ya elimu. Cli
kuhakikisha tunaenda *izuri, serikali imekuwa inafanya mapitio
ya utoaji wa huduma hasa elimu. Mapitio hayo $re*iews%
yamekuwa yanategemea kwanza6 uta;ti wa kisayansi, na pili
ushirikishwaji mpana wa wadau wote.
M"#$"%&%' S%*, ?ambo la kushangaza ni kuwa bila uta;ti
wowote wa kisayansi wala ushiriki wa wadau wa elimu kwa
niaba ya wananchi, M#"!+3 -# !#CM! $)eachers 'ducation%
yamehamishwa kutoka Kurugenzi ya !alimu ya &'() na
kupelekwa Mafunzo ya 'limu ya !fundi $+#/)'%.
M"#$"%&%' S%* malengo na makusudi ya mafunzo ya
walimu yanatofautiana sana na malengo na makusudi ya
mafunzo yanayotolewa chini ya +#/)'.
8
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
33/38
M"#$"%&%' S%*, Makusudi ya 'limu ya !fundi ni
inayotolewa chini ya +#/)' ni kama ifuata*yo6 naomba
kunukuu@>
5echnical 2ducation objecti(e is to prepare &raduates
for occupations cate&orised as skilled crafts below
en&ineerin& profession and hence employees are
called technicians &uided by +66, 7ational 5echnical
2ducation -olicy$ 78952 :uality controls and re&ulates technical
education$
M"#$"%&%' S%*, matokeo ya kufanya uhamisho huu ni
sawa na kuweka mafunzo ya !alimu kama fani ya ufundi tofauti
na !alimu kama taaluma inayojitegemea kama sheria, !hasibu
au ununuzi ambazo zote zina bodi zake.
M"#$"%&%' S%* Kambi asmi ya !pinzani ina mtazamo
kwamba, uamuzi huo wa (erikali usipobatilishwa, basi
/hangamoto zafuatazao zitatokea.
i. Kuongezeka kwa gharama za uendeshaji kutokana
kubadilika kwa muundo wa utawala $organizational
structure%.ii. Kutakuwa na shida ya kupata wanafunzi wa kujiunga
na *yuo kwa *ile *yuo *ikuu na*yo *inawaangalia
hao hao kutoa *yeti na diploma.iii. Kutokwepo harmonization kati ya )/! na +#/)' juu
ya mafunzo ya walimu hasa ubora wake.i*. !gumu wa kuendesha *yuo kwa *ile serikali
haitapeleka fedha tena.
88
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
34/38
*. "alsafa $philosophies% mbali mbali za *yuo *ya
bainafsi na umma na hi*yo kuongeza kwa
mkanganyiko.
M"#$"%&%' S%* Kambi asmi ya !pinzani Bungeni
inaitaka (erikali kutoa majibu mbele ya Bunge hili juu ya
maswali yafuatayo@>
i. Kulikuwa na sababu gani $rationale% ya kuhamisha
mafunzo ya walimu toka Kurugenzi ya Mafunzo ya
&izara ya 'limu kwenda +#/)'Fii. ?e, kuna uta;ti gani wa kisayansi uliofanyika
kuhalalisha mabadiliko hayoFiii. ?e, wadau walihusihwa kuhusu jambo hiliFi*. Kuna faida na hasara gani ya kufanya huu uhamisho
huoF*. Kuna mikakati gani iliyowekwa kuhakikisha kuwa
ubora wa elimu hautaathirikaF*i. Kuna mikakati gani iliyowekwa kuhakikisha
uandiskishaji wa walimu wanafunzi kukidhi mahitaji
ya *yuo husikaF*ii. yuo hi*i *itawezaji kuwa endele*u bila ruzuku ya
serikaliF*iii. ?e, mitaala itawezaje kuwa harmonized kwa ajili ya
*yuo *yoteF15! MAPENDEKEZO YA JUMLA YA KUBORESHA
SEKTA YA
ELIMU NHINI
M"#$"%&%' S%*, kwa kuwa imebainika dhahiri kwamba
elimu ya )anzania imekuwa inaporomoka kwa sababu ya
uwekezaji ha;fu katika rasilimali watu katika sekta hiyo D yaani
8
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
35/38
taaluma na mafunzo kwa walimu6 na kwa kuwa imebainika pia
kwamba mitaala mibo*u isiyokidhi *iwango imechangia sana
kushuka kwa ubora wa elimu hapa nchini6 hi*yo basi , Kambi
asmi ya !pinzani Bungeni inapendekeza kwa (erikali kufanya
mambo yafuatayo@
1. Kuboresha Mitaala elimu ili ishabihiane na mahitaji ya
jamii na mabadiliko makubwa yanayoendelea kutokea
duniani katika nyanja mbalimbali.
. Kuelekeza na kusimamia matumizi ya kitabu kimoja cha
kiada ili kufanya *ijana wetu wasitofautiane katika
ufahamu wa mada zinazofundishwa kwani wanafanya
mitihani mmoja.
8. Kusimamia utungaji na uchapaji wa *itabu na kuhakikisha
kuwa *ina ubora wa hli ya juu kwani *itabu ndio kiongozi
kwa walimu.
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
36/38
174 tu kati ya shule za sekondari zaidi ya
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
37/38
wahitimu wanaotokana na elimu duni inayotolewa, iliyogubikwa
na maamuzi mabo*u ya kisiasa na *itendo *ya u;sadi, ni
dhahiri kuwa )aifa letu halitaweza kupata *iongozi bora wa
kuliongoza huko tuendako.
M"#$"%&%' S%*, wakati wa kuchukua hatua za kunusuru
elimu yetu ni sasa. +i lazima tubadilike. Matatizo ya nchi hii
hayataweza kamwe kutatuliwa kwa elimu hii duni
tunayopandikiza kwa watoto wetu. )unahitaji
mapinduzi na mageuzi makubwa ya kielimu kuitoa )anzania
hapa ilipo na kuipeleka kwenye le(el nyingine$ (uala la kuwa
nchi ya uchumi wa kati, nchi ya *iwanda, litaendelea kuwa ni
hadithi za Bulicheka tu ikiwa hatutaondoa mapungufu mengi
yanayokabili mfumo wetu wa elimu.
M"#$"%&%' S%*, napenda kumalizia hotuba yangu kwa
kusema kwamba, sera ya elimu bure ilianzishwa na /0#'M#.
Cpo katika ilani ya uchaguzi ya /0#'M# chini ya mwa*uli wa
!K# tangu mwaka 442, 414 na hatimaye 412. engo
lilikuwa ni kutoa huduma ya elimu bure kwa ukamilifu wake
kuanzia shule za awali hadi chuo kikuu. Maigizo ya ilani ya
/0#'M# yaliyofanywa na //M, yameishia kuondoa ada tu na
michango midogomidogo ya uendeshaji wa shule hadi kidato
cha nne tu, huku kukiwa na sintofahamu kubwa juu ya ujenzi na
ukarabati wa miundombinu katika shule hizo. 0ali hii
inapelekea kuporomoka zaidi kwa elimu.
M"#$"%&%' S%*, kuna msemo usemao, A5% edu'ation is
e3pensive try i#noran'e1, tafsiri yake ni kwamba6 kama
8=
-
8/16/2019 HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI -ELIMU
38/38
elimuJ kuelimika ni gharama basi jaribu ujinga. )anzania
tumeamua kujaribu ujinga, kwa kutowekeza *ya kutosha katika
elimu na ndio maana elimu yetu imeporomoka na ku;kia hapa
ilipo.
M"#$"%&%' S%*, &aziri wa 'limu katika awamu ya kwanza
Marehemu ?ackson Makwetta alisema kwamba@ “)anzania ni
kama mama mjamzito ambaye siku zake za kuji%un#ia
zimefka lakini haji%un#ui, hivyo )anzania inahitaji
mabadiliko vin#inevyo itaendelea kudidimia kielimu na
kiu'humi.$ Kwa sababu hiyo6 Kambi asmi ya !pinzani
Bungeni inaitaka (erikali kuutazama upya mfumo wa elimu
sasa kwa kuunda tume maalum ya kuupitia upya na kutoa
mapendekezo ili )aifa liweze kuwa na mfumo bora wa elimu
unaokidhi *iwango *ya kimataifa.
M"#$"%&%' S%*, ya kusema hayo, naomba
kuwasilisha.
(usan #nselm ?erome yimo $Mb%
WAZIRI KI?ULI NA MSEMAJI MKUU WA
KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UFUDI
7 Mei, 417