hotuba ya rais wakati wa kulihutubia bunge maalumu la katiba

24
1 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, WAKATI WA KULIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA, TAREHE 21 MACHI, 2014, DODOMA  Mheshimiwa Samue l Sitta, Mwenye kiti wa Bunge Maa lum la Katiba;  Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gha rib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhur i ya Muunga no wa Tanania;  Mheshimiwa Dkt. ! li Mohamed Shein , Rais wa "anib ar na Mweny ekiti wa Baraa la  Ma#indui;  Mheshimiwa Mi engo $eter $ind a, %airi Mk uu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania;  Mheshimiwa Ma alim Sei& Shari& 'a mad, Makamu wa Kwana wa Rais wa "anibar;  Mheshimiwa Balo i Sei& !li (ddi, Makamu wa $ili wa Rais wa "anibar  Mheshimiwa !nne Semamba Ma kinda; S#ika wa B unge la Jamhuri y a Muungano ;  Mheshimiwa $an du !meir Ki&i)ho, S#ika wa Bara a la %awakilishi n a Mwenyekiti wa  Muda wa Bung e Maalum la Katiba ;  Mheshimiwa Rashid *thman +hand e, Jai Mkuu wa J amhuri ya Mu ungano wa Ta nania;  Mheshimiwa *thman Makungu, Jai Mkuu wa " anibar; -iongoi %akuu %astaa&u; %aheshimiwa %aumbe wa Bunge Maalum la Katiba; %aheshimiwa %aumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba; %ageni waalikwa;  Mabibi na Mabw ana; Pong!"  Nakushukuru sana Mheshimiwa Mwenyekiti kwa kunipa fursa ya kuja kuzungumza na Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge letu Maalum la Katiba katika siku hii muhimu na ya kihistoria kwa nchi yetu. Nimekuja kuwatakia heri na naungana n a Watanzania wenzetu wote kuwaombea baraka za Mwenyezi Mungu, ili muweze kuifanya kazi yenu kwa utulivu, hekima, umakini mkubwa na kuimal iza kwa salama na kwa mafanikio yana yo ya tar aji wa na Watanzania.  Natoa pongezi nyingi kwako na kwa Mak amu wako kwa kuchaguliwa kwenu kuo ngoza Bung e hili maalumu na la kihisto ria. shin !i mkub wa mliopata ni kielel ezo tosha cha imani kubwa na matumaini waliyonayo Wajumbe wenzenu kwenu. Matumaini yao n!iyo matumaini ya Watanzania wote, kwamba mtaliongoza vizuri Bunge hili, ili liweze kutimiza kwa ufanisi mkubwa jukumu lake muhimu sana katika historia ya "amhuri ya Muungano wa #anzania.

Upload: mroki-t-mroki

Post on 03-Jun-2018

623 views

Category:

Documents


1 download

TRANSCRIPT

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 1/24

1

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,

MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE,

WAKATI WA KULIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA, TAREHE 21

MACHI, 2014, DODOMA

 Mheshimiwa Samuel Sitta, Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba;

 Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Tanania;

 Mheshimiwa Dkt. !li Mohamed Shein, Rais wa "anibar na Mwenyekiti wa Baraa la

 Ma#indui;

 Mheshimiwa Miengo $eter $inda, %airi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania;

 Mheshimiwa Maalim Sei& Shari& 'amad, Makamu wa Kwana wa Rais wa "anibar;

 Mheshimiwa Baloi Sei& !li (ddi, Makamu wa $ili wa Rais wa "anibar 

 Mheshimiwa !nne Semamba Makinda; S#ika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano;

 Mheshimiwa $andu !meir Ki&i)ho, S#ika wa Baraa la %awakilishi na Mwenyekiti wa

 Muda wa Bunge Maalum la Katiba ;

 Mheshimiwa Rashid *thman +hande, Jai Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania;

 Mheshimiwa *thman Makungu, Jai Mkuu wa "anibar;

-iongoi %akuu %astaa&u;

%aheshimiwa %aumbe wa Bunge Maalum la Katiba;

%aheshimiwa %aumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba;

%ageni waalikwa;

 Mabibi na Mabwana;

Pong!"

 Nakushukuru sana Mheshimiwa Mwenyekiti kwa kunipa fursa ya kuja kuzungumza na

Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge letu Maalum la Katiba katika siku hii muhimu na ya

kihistoria kwa nchi yetu. Nimekuja kuwatakia heri na naungana na Watanzania wenzetu wote

kuwaombea baraka za Mwenyezi Mungu, ili muweze kuifanya kazi yenu kwa utulivu, hekima,

umakini mkubwa na kuimaliza kwa salama na kwa mafanikio yanayoyatarajiwa na

Watanzania.

 Natoa pongezi nyingi kwako na kwa Makamu wako kwa kuchaguliwa kwenu kuongoza

Bunge hili maalumu na la kihistoria. shin!i mkubwa mliopata ni kielelezo tosha cha imani

kubwa na matumaini waliyonayo Wajumbe wenzenu kwenu. Matumaini yao n!iyo matumaini

ya Watanzania wote, kwamba mtaliongoza vizuri Bunge hili, ili liweze kutimiza kwa ufanisi

mkubwa jukumu lake muhimu sana katika historia ya "amhuri ya Muungano wa #anzania.

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 2/24

2

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

 Niruhusu pia niwapongeze kwa !hati Wajumbe wote wa Bunge Maalum la Katiba kwa

 bahati ya aina yake waliyopata ya kutunga Katiba mpya ya "amhuri ya Muungano wa

#anzania. $ursa hii hutokea mara chache sana katika historia ya nchi yo yote na watu wake.

Mkifanikiwa kuipatia nchi yetu Katiba nzuri majina yenu yataan!ikwa kwa wino wa !hahabu,

katika kumbukumbu za historia ya "amhuri ya Muungano wa #anzania.

 Ni matarajio ya Watanzania kuwa mtatunga Katiba itakayokubalika na wengi. Katiba

inayotekelezeka. Katiba itakayoimarisha Muungano wetu kwa kuon!oa changamoto zilizopo

sasa. Katiba itakayoipa nchi yetu mfumo bora wa kuongoza na kuen!esha mambo yetu.

Katiba itakayoimarisha umoja, upen!o, ushirikiano na mshikamano miongoni mwa wananchi

wa #anzania, licha ya tofauti zao za asili za upan!e wa Muungano na maeneo watokako, au

tofauti za jinsia, rangi, kabila, !ini na ufuasi wa vyama vya siasa. Katiba itakayo!umisha

amani, usalama na utulivu nchini. Katiba itakayostawisha zai!i !emokrasia, haki za bina!amu,

utawala wa sheria, utawala bora na ku!hibiti maovu. Na, mwisho ingawaje siyo mwisho kwa

umuhimu, Katiba itakayoweka mazingira mazuri kwa uchumi wa nchi kukua, na wananchi

wengi kunufaika sawia na maen!eleo yatayopatikana.

H"#$o%"& '& K&$"(& N)*"n"

 Mheshimiwa Mwenyekiti na %aheshimiwa %aumbe;

%ii itakuwa mara ya tatu tangu kuzaliwa kwa "amhuri ya Muungano wa #anzania

&prili '(, )*(+, kwa nchi yetu kuwa na mchakato wa kutunga Katiba mpya. Mara ya kwanza

ilikuwa mwaka )*( ilipotungwa Katiba ya Mu!a na mara ya pili ni mwaka )*-- ilipotungwa

Katiba ya Ku!umu tuliyonao sasa. #ofauti na mara mbili zilizopita, safari hii mchakato

unahusisha watu wengi zai!i. Wananchi wameshiriki moja kwa moja kutoa maoni yao kwa

#ume ya Maba!iliko ya Katiba, na n!io watakaofanya uamuzi wa mwisho kuhusu Katiba

mpya kwa kura ya maoni. Wananchi pia walipata nafasi ya kuchagua Wajumbe wa Mabaraza

ya Katiba ya Wilaya yaliyoja!ili asimu ya Kwanza ya Katiba. /ia walipata nafasi ya kutoa

maoni yao kupitia Mabaraza ya Katiba ya taasisi. Katika Bunge hili wapo wananchi 201

kutoka makun!i mbalimbali.

Katika mchakato wa kutunga Katiba za mwaka )*( na )*-- kulikuwapo #ume za

Kuan!aa asimu na Bunge Maalum la Katiba kama ilivyo katika mchakato huu. %ata hivyo,

kwa Katiba zilizopita Wabunge wa Bunge la "amhuri ya Muungano pekee n!io walioun!a

Bunge Maalum. 0afari hii Bunge Maalum linajumuisha Wabunge, Wajumbe wa Baraza la

Wawakilishi na wananchi '1) wanaotoka kwenye jamii, wakiwakilisha asasi na makun!i

mbalimbali ya Watanzania kutoka 2anzibar na #anzania Bara. Mchakato wa sasa utaishia

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 3/24

3

kwenye kura ya maoni itakayoshirikisha wananchi wote wa #anzania wanaoruhusiwa kupiga

kura. Michakato iliyopita iliishia Bunge Maalum pekee.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

#angu kutungwa kwake, tarehe ' &prili, )*--, mpaka sasa Katiba ya "amhuri ya

Muungano ya mwaka )*-- imefanyiwa maba!iliko takriban mara )+. Maba!iliko hayo

yalitokana na kufanyika au kutokea kwa maba!iliko muhimu ya kiuchumi, kisiasa na kijamii

katika nyakati mbalimbali hapa nchini na katika "umuiya ya &frika Mashariki.

Kwa ruksa yako naomba nitaje baa!hi ya maba!iliko yaliyofanywa34

). Maba!iliko ya )*-* yaliun!a Mahakama ya ufani ya #anzania kufuatia kufa kwa

Mahakama ya ufani ya &frika Mashariki baa!a ya kuvunjika kwa "umuiya ya

&frika Mashariki mwaka )*--.

'. Maba!iliko ya mwaka )*51 yalifanyika baa!a ya kutungwa kwa Katiba ya

2anzibar, hivyo kulazimu Katiba hiyo kutambulika kwenye Katiba ya "amhuri ya

Muungano.

6. Maba!iliko ya mwaka )*5+ yaliweka utaratibu wa ukomo wa vipin!i vya rais

ambao haukuwepo kabla ya hapo. &i!ha, masuala ya %aki za Bina!amu 7Bill of

ights8 yaliingizwa kwa mara ya kwanza katika Katiba. 9ilevile, Mahakama ya

ufani ya #anzania na mambo mengine ya iliyokuwa "umuiya ya &frika Mashariki

yaliongezwa katika :ro!ha ya Mambo ya Muungano.

+. Mwaka )**', yalifanyika maba!iliko yaliyoanzisha Mfumo wa 9yama 9ingi vya

0iasa ba!ala ya ule wa ;hama kimoja uliokuwepo tangu )*(. /ia utaratibu wa

uchaguzi wa ais na Wabunge ulirekebishwa ili uen!ane na mfumo wa vyama

vingi vya siasa. 9ilevile utaratibu wa kuwa na viti maalum vya wanawake katika

Bunge ulianzishwa. Wakati ule ilikuwa asilimia ) ya Wabunge wote. &i!ha, kwa

mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu Bunge lilipewa mamlaka ya

kumwajibisha ais na Waziri Mkuu kupitia kura ya kutokuwa na imani.

. Maba!iliko ya mwaka )**+ yaliweka mfumo mpya wa kumpata Makamu wa aiskupitia Mgombea Mwenza.

(. Mwaka '111 na '11, pamoja na mambo mengine yalifanyika maba!iliko

yaliyopanua wigo wa %aki za Bina!amu na kuongeza uwakilishi wa wanawake.

U+*"+ -& M&(&."/"o '& K&$"(&

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Kufanyika kwa maba!iliko hayo kunathibitisha utayari wa 0erikali kufanya maba!iliko

kila ilipoonekana inafaa kufanya hivyo. /amoja na kufanya yote hayo na 0erikali kuwa na

msimamo huo, kumekuwepo na ma!ai yaliyokuwa yanajiru!ia ya kutaka Katiba ya #anzania

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 4/24

4

ian!ikwe upya. Wako watu walioimithilisha Katiba yetu na nguo yenye viraka vingi mno kiasi

kwamba ingefaa kununua mpya ba!ala ya kuen!elea kuivaa.

Ma!ai ya kutaka Katiba mpya yalipazwa sauti baa!a ya kuanza kwa mfumo wa vyama

vingi vya siasa. Wapo waliokuwa wana!ai Katiba mpya kwa imani, eti kwamba,

itawawezesha kuishin!a ;;M. <akini, si hayo tu, hata katika mchakato wa 0erikali zetu mbili

kushughulikia kero za Muungano, ime!hihirika kuwa baa!hi ya changamoto zilikuwa

zinahitaji maba!iliko ya Katiba ili kuzipatia ufumbuzi wa uhakika na wa ku!umu.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Kwa kutambua ukweli huo na baa!a ya kushauriana na kukubaliana na viongozi

wenzangu wakuu wa ;hama tawala na 0erikali zetu mbili wakati ule, n!ipo tarehe 6)

=esemba, '1)1, nikatangaza !hamira ya kuanzisha mchakato wa kutunga Katiba mpya.

 Nilieleza siku ile kuwa katika mchakato huo tutakuwa na ushirikishwaji mpana wa wananchi

wa #anzania kwa makun!i yao ya jinsia, !ini, siasa na shughuli wazifanyazo kujipatia riziki na

kwa maeneo wanayotoka katika pan!e zetu mbili za Muungano.

M)*&&$o -& K&$"(& M'&

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

#arehe )( Machi, '1)) Baraza la Mawaziri liliri!hia kutungwa kwa 0heria ya

Maba!iliko ya Katiba ya kuliongoza taifa katika mchakato wa kutunga Katiba mpya ya

"amhuri ya Muungano wa #anzania. #arehe )5 Novemba, '1)) Bunge la "amhuri ya

Muungano wa #anzania lilipitisha Muswa!a wa 0heria ya Maba!iliko ya Katiba. Kwa mujibu

wa 0heria hiyo, mchakato wa kutunga Katiba Mpya ulikuwa unaanza kwa kuun!a #ume ya

Maba!iliko ya Katiba. #ume hiyo imepewa jukumu la kusikiliza maoni ya wananchi mmoja

mmoja na kwa makun!i yao ya maslahi, taasisi zao na kupitia Mabaraza ya Katiba.

Mwishowe #ume imetakiwa kutengeneza asimu ya Katiba mpya itakayofikishwa kwenye

Bunge Maalum la Katiba kuja!iliwa na Katiba mpya kutungwa. Mchakato wa Katiba

utahitimishwa kwa wananchi kupiga kura ya maoni ya kuamua kama wanaikubali au kuikataa

Katiba mpya.

#arehe ( &prili, '1)' nilifanya uteuzi wa Wajumbe wa #ume ya Maba!iliko ya Katiba

na kuwaapisha tarehe )6 &prili, '1)'. #ume ilianza kazi tarehe ' Mei, '1)' na kuikamilisha

kwa mafanikio, hatua zote zilizoihusu na kukabi!hi kwangu na kwa ais wa 2anzibar, #aarifa

ya #ume na asimu ya Katiba tarehe 61 =esemba, '1)6. Kiten!o cha Mwenyekiti wa #ume,

Mheshimiwa "oseph Warioba kuwasilisha asimu hiyo mbele ya Bunge hili tukufu tarehe )5

Machi, '1)+, kinahitimisha rasmi kazi ya #ume ya Maba!iliko ya Katiba. Kazi inayofuatia ni

ya Bunge hili kuja!ili, kuamua na kutunga Katiba mpya. Baa!a ya hapo Katiba mpya

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 5/24

5

itafikishwa kwa wananchi kwa uamuzi wa mwisho kwa njia ya kupiga kura ya N=>?: au

%&/&N&.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

asimu ya Katiba ilichapishwa kwenye gazeti la 0erikali na magazeti mengine

yanayosomwa na wananchi kama ilivyoagizwa katika Kifungu cha '17'8 cha 0heria ya

Maba!iliko ya Katiba. /amoja na hayo, #aarifa ya #ume na asimu ya Katiba viliwekwa wazi

kwenye tovuti ya #ume kwa kila mtu kusoma. >nafurahisha kuona kuwa watu wengi

wameisoma #aarifa ya #ume na asimu ya Katiba na kumekuwa na mja!ala mpana kuhusu

nyaraka zote hizo muhimu. Watu wengi wametoa maoni yao na wanaen!elea kufanya hivyo.

Kwa maoni yangu hili ni jambo jema sana na ni kielelezo thabiti kuwa !emokrasia imestawi na

inazi!i kuota mizizi #anzania. /ia, kwamba, Watanzania wako huru kushiriki na kutoa maoni

yao kwa mambo yanayowahusu.

Pong!" -& T+

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Kwa mara nyingine tena naru!ia kutoa pongezi za !hati kwa Wajumbe wa #ume ya

Maba!iliko ya Katiba chini ya uongozi wa Mheshimiwa "aji "oseph Warioba akisai!iwa na

Mheshimiwa "aji &ugustino ama!hani, kwa kazi kubwa na nzuri waliyofanya. Kazi yao

haikuwa rahisi hasa ukizingatia ukubwa wa nchi yetu, wingi wa watu wake, utitiri wa taasisi na

 pigo la kumpoteza Mjumbe mwenzao muhimu =kt. 0engon!o Mvungi aliyetangulia mbele ya

haki katikati ya mchakato.

/amoja na hayo, kwa bi!ii kubwa Wajumbe wa #ume wameweza kutembelea mikoa

yote nchini na kuwafikia watu 31,44 waliotoa maoni yao kwa m!omo na kwa maan!ishi5

%alika!halika, walipokea na kuchambua maoni 662,211  kutoka kwa wananchi na taasisi

mbalimbali. Baa!a ya kupokea maoni ya wananchi, kufanya utafiti na kwa kutumia maarifa na

uzoefu wao, Wajumbe wakafanya kazi ngumu, kuliko yote, ya kutengeneza asimu ya Katiba

iliyoko mbele ya Bunge hili. Ni kweli kwamba Wajumbe hawakuweza kuwafikia wananchi

wote wa #anzania, lakini wameweza kuwafikia wananchi wengi, ambao kwa kiasi kikubwa

wanawakilisha taswira na mitazamo mipana ya jamii yetu.

B&&.*" '& M&#&/& Y&/"'o7"$o!& K&$"& M7&.&/& -& M&n.!o '& T+

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

#ume imefanya kazi nzuri, yenye thamani kubwa na ya manufaa kwa taifa la #anzania.

asimu imean!ikwa vizuri na kwa wele!i wa hali juu. #ume imetoa mapen!ekezo ambayo

kwa kiasi kikubwa yanahuisha na kuboresha Katiba ya nchi yetu, kwa namna ya pekee. Katiba

inayopen!ekezwa, imejumuisha !hana na mambo ka!haa mapya yanayokwen!a vyema na

wakati tulionao na kuweka msingi mzuri kwa huko mbele tuen!ako. Kwa taratibu za kawai!a

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 6/24

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 7/24

7

au jingine ambayo haina uwezo nayo. Ni muhimu sana mambo kama hayo muyatazame ili

tusije kuwa na Katiba ambayo ni ngumu kutekeleza.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

?apo pia maoni kuwa baa!hi ya vifungu vina upungufu katika uan!ishi wake, hivyo

kuhitaji kufanyiwa marekebisho. >sipofanyika hivyo kunaweza kuwepo athari na nyingine

zinaweza kuwa mbaya. Kwa mfano, >bara ya ' ya asimu inayotambulisha eneo na mipaka ya

nchi yetu. >bara hiyo inasomeka kuwa A neo la Jamhuri ya Muungano wa Tanania ni

eneo lote la Tanganyika likiumuisha sehemu yake ya bahari na eneo lote la "anibar

likiumuisha sehemu yake ya bahari/. 

Maelezo hayo yameacha kutambua, kwa upan!e wa #anzania Bara, sehemu yetu ya

maziwa na mito ambayo ni kubwa sana. Kwa nini tuache kuitaja "e hatutoi nafasi kwa nchi

tunazopakana nazo siku moja wakaja kupora sehemu zetu hizo na sisi kukosa utetezi kwa kuwa

hata Katiba yetu haikuyatambua maeneo hayo kuwa ni yetu %ili ni jambo kubwa ambalo

Bunge hili lazima mlirekebishe. Wakati n!iyo huu hakuna mwingine.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

"ambo jingine kuhusu uan!ishi ni mgongano kati ya pen!ekezo la msingi la #ume la

kuwa na muun!o wa 0erikali tatu na majukumu ya 0erikali ya Muungano ambayo kimsingi ni

majukumu ya 0erikali za nchi washirika. Katika asimu hii malengo ya taifa yameainishwa

na 0erikali ya Muungano inatakiwa kuhakikisha kuwa malengo hayo yanatekelezwa na itoe

taarifa Bungeni. Katika mfumo wa 0erikali tatu unaopen!ekezwa na #ume masuala yahusuyo

uchumi na maen!eleo ya jamii kama vile kukuza kilimo, ufugaji, uvuvi, viwan!a, biashara,

 pembejeo, elimu, hifa!hi ya jamii na ka!halika yako chini ya mamlaka ya 0erikali za nchi

washirika. Mamlaka ya 0erikali ya Muungano ni kwa mambo saba tu yafuatayo34 Katiba na

Mamlaka ya "amhuri ya Muungano, linzi na salama wa "amhuri ya Muungano, raia na

hamiaji, 0arafu na Benki Kuu, Mambo ya Nje, sajili wa 9yama vya 0iasa, shuru wa

Bi!haa na Mapato yasiyo ya ko!i yatokanayo na Mambo ya Muungano.

Kwa asimu kupen!ekeza muun!o wa 0erikali tatu na kuipa 0erikali ya Muungano

majukumu ambayo haina mamlaka nayo, ni kuzusha utata na migongano kati ya 0erikali ya

Muungano na nchi washirika. Mkichagua mfumo wa 0erikali tatu, inawalazimu muyaon!oe

mambo hayo kwani 0erikali ya Muungano haistahili kuyatekeleza na wala haina uwezo wa

kuweka masharti kwa 0erikali za nchi washirika kwa mambo yaliyo kwenye mamlaka ya nchi

hizo. <akini kama mtaamua tuen!elee na muun!o wa 0erikali mbili, mambo haya mazuri

yanatekelezeka na 0erikali ya Muungano bila ya matatizo. Katika uan!ishi wa asimu

tumishi katika 0erikali ya Muungano haumo katika :ro!ha ya Mambo ya Muungano. Ni

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 8/24

8

lazima liwemo. %ayo ni baa!hi tu ya masuala yahusuyo uan!ishi katika asimu. Naamini

mkiisoma asimu kwa makini mnaweza kuyagun!ua mengineyo.

D*&n& M'&

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Katika asimu kuna !hana mpya na mambo mapya ka!haa yaliyoingizwa ambayo

yanaba!ili utaratibu wa sasa wa uen!eshaji wa nchi na mambo mbalimbali. Nawaomba

mfanye uchambuzi wa kina kwa kila kinachopen!ekezwa na kujiri!hisha kuhusu kufaa kwake

na manufaa yake. $anyeni hivyo ili tujihakikishie kuwepo kwa mambo mazuri na uen!eshaji

mzuri wa shughuli katika taifa letu changa.

Mambo ni mengi na kwa ufinyu wa mu!a sitaweza kuyazungumzia yote. Niruhusuni

nizungumzie baa!hi ya !hana na mambo mapya yaliyomo katika asimu. "ambo la kwanza,

kwa mfano, linahusu >bara ya )'5 7'87!8 inayoleta !hana ya AMbunge kupoteza bunge iwapo

atashin!wa kufanya kazi za Mbunge kwa miezi sita mfululizo kutokana na mara!hi au kizuizi

n!ani ya gerezaC. Watu hawana tatizo na Mbunge kuwa kizuizini n!ani ya gereza kama

amepatikana na hatia Mahakamani na kuhukumiwa kifungo. <akini, isijekuwa yuko ruman!e

kwa tuhuma akisubiri kesi kusikilizwa. "e akija kuonekana hana hatia na kuachiliwa

 Naungana na wale wanaoshauri kuwa jambo hili lifafanuliwe vizuri na kutambua Mbunge

kutiwa hatiani na kupata a!habu ya kifungo cha kipin!i hicho. Ni bora ifanyike hivyo sasa ili

kuon!oa mikanganyiko. %akuna haja ya kusubiri mpaka jambo hili lije kufafanuliwa baa!aye

kwa 0heria itakayotungwa na Bunge.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Kwa upan!e wa mtu kupoteza bunge kwa sababu ya 8g& -& +"!" #"$&

+9//"!o: ni maoni ya watu wengi kuwa huu ni ukatili ambao haustahili kufanywa na Katiba.

Kuugua n!iyo ubina!amu na wakati mwingine Mbunge anaweza kupata ajali akiwatumikia

wananchi wa "imbo lake. &naweza kuugua kwa miezi sita au zai!i na kupona kabla ya kipin!i

chake cha bunge kufika mwisho. Kwa nini awekewe ukomo wa miezi sita Katiba ya

mwaka )*-- tunayotumia sasa haina sharti hilo. Watu wanauliza hoja na haja ya kuwa na

sharti hili kwenye Katiba mpya ni ipi Wanasema kwa kweli anachostahili Mbunge huyu

kufanyiwa ni kuuguzwa afya yake iimarike ili aen!elee kutumikia watu wake, na siyo kupoteza

uongozi wake. #usiwatie watu kishawishi cha kukatiza matibabu ili kukwepa sharti hilo. Ni

vyema jambo hili mkalitazama kwa makini, na muone kama linastahili kuwepo au hapana.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Katika asimu hii imeingizwa !hana mpya ya kuweka ukomo wa vipin!i vitatu kwa

Wabunge. #ena mapen!ekezo haya hayasemi vipin!i vitatu mfululizo au laD. "ambo hilo

limezua mja!ala motomoto katika jamii. Ni vizuri mkajiri!hisha juu ya sababu za msingi na

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 9/24

9

manufaa ya kufanya hivyo hapa #anzania. Mazoea yetu na ya kwingineko !uniani ni kuweka

ukomo kwa Wakuu wa Nchi kwa sababu nzuri na rahisi kuzielezea. <akini, kuwawekea

ukomo Wabunge ni jambo jipya na huen!a #anzania tukawa wa kwanza. Nashawishika

kuungana na wale wanaopen!ekeza kuwa pengine ni mapema mno kuanzisha utaratibu huo

hapa kwetu. Nachelea kuwa tutainyima nchi yetu fursa ya kupata watu wenye maarifa na

uzoefu mzuri wa uongozi kwa nafasi ya bunge au kwa nafasi za uongozi wa #aifa bila ya

sababu za msingi.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

"ambo lingine jipya linalopen!ekezwa na #ume ni utaratibu wa kumuon!oa Mbunge

katikati ya kipin!i chake cha uongozi. Kwa hoja linaonekana kuwa jambo jema lakini naomba

athari zake mzitafakari vizuri. Kuna hatari ya kuanzisha misuguano kwenye Majimbo na

kuwaacha Wabunge wasifanye kazi zao kwa utulivu bali wawe wanajihami !hi!i ya wapinzani

wao kuwatengenezea fitna za kuwatoa. taratibu unaopen!ekezwa wa ;hama chake kujaza

nafasi ya Mbunge inapokuwa wazi katika mazingira hayo nao unaweza kuwa n!icho

kichocheo kikubwa cha vuguvugu la kumuon!oa Mbunge. Walioshin!wa kwenye kura ya

maoni wanaweza kufanya kazi ya kuwachimba wenzao mpaka waon!oke. "ipeni mu!a wa

kupima fai!a na hasa thamani inayoongezwa na kuanzisha utaratibu huo. Naomba tujiri!hishe

kama jambo hili jipya lina tija. %ivi kupewa nafasi kila miaka mitano kuru!i kwa wananchi

hakutoshi kumuon!oa Mbunge ambaye watu wamemchoka

Mn.o -& Mng&no

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

 "ambo lingine kubwa lililopen!ekezwa na #ume ambalo limevuta hisia za karibu watu

wote nchini linahusu muun!o wa Muungano wetu kuwa wa 0erikali tatu ba!ala ya mbili za

sasa. /en!ekezo hili limezua mja!ala mkubwa tangu lilipotolewa katika asimu ya kwanza

na kuru!iwa katika asimu ya pili. Wakati mwingine mja!ala umekuwa mkali na wa hisia

kali kwa kila upan!e.

Kwa kweli hili n!ilo jambo kubwa kuliko yote katika asimu kwa sababu

linapen!ekeza kuanzishwa kwa muun!o na mfumo mpya wa kuen!esha nchi yetu. %ii n!iyo

agen!a mama ya Bunge hili ambayo kila Mtanzania anasubiri kwa hamu uamuzi wenu

utakuwa upi. :mbi langu kwenu ni kuwa watulivu mnapoja!ili suala hili. Epukeni jazba ili

mfanye uamuzi ulio sahihi. <azima mtambue uamuzi usiokuwa sahihi kwa jambo hili una

hasara kubwa. #unaweza kupoteza kitu tulichokijenga kwa gharama kubwa kwa nusu karne

iliyopita. #anzania inaweza kuwa nchi iliyojaa migogoro na matatizo mengi ambayo

hatunayo.

 Mheshimiwa Mwenyekiti, %aheshimiwa %aumbe;

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 10/24

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 11/24

11

0ababu hizi mbili kuu zilizotolewa na #ume zimezua mja!ala mkali katika jamii. Wapo

wanaokubaliana na #ume na wapo wasiokubaliana nayo. Wapo wanaosema #ume imesema

kweli kwamba Watanzania wengi wanaunga mkono muun!o wa 0erikali tatu, hivyo muun!o

wa 0erikali tatu hauepukiki. N!iyo matakwa ya wengi hivyo msemo wa Kiswahili usemao

wengi wape uheshimiwe.

<akini wapo wanao!ai kuwa takwimu za #ume hazionyeshi ukweli huo. Wanasema

kuwa taarifa ya #ume imeonesha kuwa Watanzania waliotoa maoni yao kwa #ume kwa

m!omo na maan!ishi walikuwa 31,4. Kati yao ni wananchi 46,=20 au sawa na &#"/"+"&

15 n!iyo waliokerwa na muun!o wa Muungano hivyo wakauzungumzia. Wananchi 0,=44

au sawa na  &#"/"+"& =54  muun!o wa Muungano kwao halikuwa tatizo, n!iyo maana

hawakuuzungumzia kabisa. Wanahoji kuwa iweje leo &#"/"+"& 15  ya Watanzania wote

waliotoa maoni wageuke kuwa n!iyo Watanzania walio wengiD

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Wanasema pia, kwamba mbona #aarifa ya #ume yenyewe, kuhusu takwimu 7uk. (( na

(-8, inaonesha kwamba kati ya hao watu 46,=20 waliotoa maoni kuhusu Muungano, ni watu

16,2=0 tu ambao ni sawa na &#"/"+"& 652 n!iyo waliotaka muun!o wa 0erikali tatu, &#"/"+"&

2>5= walitaka 0erikali mbili, &#"/"+"& 235 walipen!ekeza 0erikali ya Mkataba n& &#"/"+"& 656

walipen!ekeza 0erikali moja. %ii hoja ya Watanzania wengi kutaka 0erikali tatu msingi wake

upi

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

#akwimu za #ume 7uk. -8 zinaonyesha, vilevile kuwa #ume ilipokea maoni 662,2115

Kati ya hayo &#"/"+"& 1054 tu n!iyo yaliyozungumzia muun!o wa Muungano na a#"/"+"& ==5

hayakuzungumzia Muungano bali mambo mengine. %ivyo basi wanahoji pia kwamba kama

muun!o wa Muungano ungekuwa ni jambo linalowakera Watanzania wengi, linge!hihirika

kwenye i!a!i ya watu waliotoa maoni na kwenye i!a!i ya maoni yaliyotolewa. ?ote hayo

hayakujitokeza. Waliouzungumzia Muungano walikuwa &#"/"+"& 15  tu ya watu wote

waliotoa maoni na maoni yanayohusu Muungano yalikuwa &#"/"+"& 1054  ya maoni yote.

%ivyo basi, wanauliza Ausahihi wa hoja ya Watanzania wengi kutaka 0erikali tatu uko wapiC

C*&ng&+o$o !& Mn.o -& S%"&/" M("/"

 Mheshimiwa Mwenyekiti na %aheshimiwa %aumbe;

 Kama nilivyokwishagusia awali, sababu ya pili ambayo #ume inatoa kuhusu kufaa

kwa muun!o wa 0erikali tatu ni kwamba mfumo huu unajibu changamoto nyingi za muun!o

wa 0erikali mbili. #ume imeainisha vizuri changamoto za muun!o wa 0erikali mbili. Kwa

upan!e wa 2anzibar wanalalamikia kile kinachoitwa #anzania Bara kuvaa koti la "amhuri ya

Muungano wa #anzania na hivyo kutumia mamlaka ya 0erikali ya Muungano kujinufaisha

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 12/24

12

yenyewe. $ursa hiyo 2anzibar hainayo. &i!ha, wanasema mipaka na mamlaka ya 0erikali ya

Muungano kwa mambo ya Muungano, na kwa mambo ya #anzania Bara haijaainishwa vizuri

ikaeleweka. Wazanzibari pia, wanazungumzia mkanganyiko kuhusu ugawanaji wa mapato, na

 jinsi ya kuchangia shughuli za Muungano baina ya 0erikali ya Muungano na 0erikali ya

Mapin!uzi ya 2anzibar. 9ilevile, wanalalamikia ais wa 2anzibar kuon!olewa kuwa

Makamu wa ais wa "amhuri ya Muungano. &i!ha, kuna malalamiko kuwa oro!ha ya mambo

ya Muungano iliyoongezwa kutoka mambo 11  mwaka )*(+ mpaka 22 mwaka )**'

imepunguza uhuru wa 2anzibar kwa mambo yake ya n!ani.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Kwa upan!e wa #anzania Bara, #ume inaeleza kuwepo kwa manung@uniko kuwa

Muungano wa 0erikali mbili umepoteza utambulisho wa kihistoria wa #anganyika na fursa ya

watu wa upan!e wa #anzania Bara kutetea maslahi yao n!ani ya Muungano. Wanasema

2anzibar sasa imekuwa nchi huruG ina ben!era yake, wimbo wake wa taifa na 0erikali yake.

&i!ha, wanasema 2anzibar imeba!ili Katiba na kujitambulisha kama nchi na kuchukua

ma!araka ya Bunge la Muungano, kwa vile 0heria zinazotungwa na Bunge lazima zipelekwe

kwenye Baraza la Wawakilishi kupata kibali cha kutumika 2anzibar. Wananchi wa #anzania

Bara pia wanalalamikia kutokuwa na haki ya kumiliki ar!hi 2anzibar wakati wenzao wa

kutoka 2anzibar wanayo haki hiyo #anzania Bara. Na wao vilevile wananung@unikia

mkanganyiko kuhusu ugawaji wa mapato na jinsi ya kuchangia gharama za uen!eshaji wa

shughuli za Muungano baina ya 0erikali ya Muungano na 0erikali ya 2anzibar. %izi n!izo

 baa!hi ya changamoto ambazo #ume inaona jawabu lake ili kuzitanzua ni kuba!ili muun!o wa

Muungano kuwa wa 0erikali tatu ba!ala ya mbili za sasa.

?&".& !& Mn.o -& S%"&/" T&$

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

#ume ya Maba!iliko ya Katiba imefafanua kwamba mfumo wa 0erikali tatu

utagawanya vizuri ma!araka kati ya mamlaka tatu za Muungano. nawezesha Washirika wa

Muungano kubaki na utambulisho wao wa kihistoria na kiutama!uni na hivyo, utawezesha

kuon!oa hisia za 2anzibar kumezwa na Muungano. /ia unawezesha kila upan!e wa #anzania

kuen!esha mambo yake yasiyo ya Muungano ka!ri wanavyoona inafaa. 9ile vile unaweza

ukaleta ushin!ani wa kimaen!eleo baina ya washirika na hivyo kusai!ia kukuza maen!eleo ya

nchi.

?&".& !& Mn.o -& S%"&/" M("/"

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

/amoja na kuainisha changamoto za muun!o wa 0erikali mbili na kupen!ekeza kuwa

muun!o wa 0erikali tatu n!io utakaosai!ia kuzitatua, #ume haikuacha kutambua manufaa na

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 13/24

13

mchango muhimu uliotolewa na muun!o wa 0erikali mbili kwa nchi yetu. #ume inasema

kuwa muun!o wa 0erikali mbili unapunguza gharama za uen!eshaji wa shughuli za umma.

mesai!ia kujenga uhusiano na ushirikiano mzuri katika )6nyanja mbalimbali baina ya

wananchi wa pan!e zetu mbili za Muungano. mezuia mkubwa kummeza m!ogoG na

ume!umisha Muungano mpaka kuufikisha hapa ulipo tangu kuasisiwa kwake takriban miaka

1 iliyopita 7)*(+8. &i!ha, umesai!ia ku!umisha amani, umoja na utulivu hapa nchini.

C*&ng&+o$o !& Mn.o -& S%"&/" T&$

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

/amoja na kuelezea ubora wa muun!o wa 0erikali tatu kama jawabu kwa changamoto za

0erikali mbili, #ume inakiri kuwa hata muun!o huu nao una changamoto zake. Kwanza

kabisa, #aarifa ya #ume inaeleza kuwa kutakuwa na gharama kubwa za uen!eshaji wa

shughuli za umma. Mheshimiwa "aji "oseph Warioba alitutoa hofu kuhusu gharama ingawaje

mwaka )**6, Mwalimu alikuwa na mawazo tofauti. &lisema kwamba3 8watu  @

wanaodhani kuwa gharama ya Serikali yo yote kati ya hio ingekuwa ndogo, 0%aulieni

%aanibari1 na wala gharama ya Serikali ya Shirikisho isingekuwa ndogo hata bila

 gharama ya mambo yasiyo ya Shirikisho/.  Ni matumaini yangu kwamba katika mja!ala wenu

mtajipa nafasi ya kulitafakari suala hili kubwa na nyeti.

#ume imesema pia kwamba, Muun!o huu, unaweza kuibua tatizo la uchangiaji wa

gharama za uen!eshaji wa shughuli za umma baina ya nchi washirika. 9ilevile, kuna

uwezekano wa kuwepo sera zinazokinzana au kutofautiana juu ya masuala ya msingi ya nchi

na kuzua mgogoro kati ya washirika wa Muungano na baina ya nchi washirika na 0erikali ya

Muungano. &i!ha, upo uwezekano mkubwa kwa muun!o huu kuleta tofauti za kimaen!eleo

 baina ya pan!e mbili za Muungano kutokana na kila upan!e kuwa na sera na mipango tofauti.

#ume pia imeelezea hatari ya muun!o wa 0erikali tatu kukuza hisia za utaifa

7nationalistic feelings8 kwa nchi washirika, hivyo kuweza ku!hoofisha Muungano. Muun!o

huu pia unaweza kuleta misuguano 7 paralysis and deadklocs in decision making)  katika

kufanya uamuzi juu ya masuala muhimu ya kitaifa. ;hangamoto hizo si tu zinaweza kuwa

tishio kwa ustawi wa Muungano bali pia hata uhai wake. Kwa ajili hiyo kuchagua muun!o wa

0erikali tatu kuna maana ya kufanya kazi ya zia!a ya kuzikabili changamoto hizi ili zisiue

Muungano wenyewe. ;hangamoto ambazo si n!ogo hata ki!ogo.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Wanaounga mkono muun!o wa 0erikali mbili wanasema kuwa kwa mlolongo huu wa

changamoto zilizoainishwa na #ume yenyewe, una!hihirisha kuwa muun!o wa 0erikali tatu

hautapunguza matatizo ya Muungano wetu bali utayaongeza mara!ufu kuliko ilivyo sasa.

Wanakiri kuwepo kwa changamoto katika muun!o wa sasa wa Muungano. %ata hivyo,

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 14/24

14

wanaamini zinaweza kushugulikiwa na kupatiwa ufumbuzi bila ya kuhitaji kuwa na 0erikali ya

tatu. Wanatoa mifano ka!haa ya jinsi 0erikali zetu zilivyoshughulikia changamoto za

Muungano katika kipin!i cha uhai wake na mafanikio yaliyopatikana.

Katika kushughulikia kero za Muungano, 0erikali zetu mbili ziliun!a #ume ya

0helukin!o mwaka )**' na Kamati ya /amoja ya 0erikali zetu mbili mwaka )**6. Mambo

mengi yaliyoainishwa katika #ume ya 0helukin!o na Kamati ya /amoja yameshughulikiwa na

kupatiwa ufumbuzi. Kwa upan!e wa kero zilizoelezwa kwenye #ume ya 0helukin!o,

ilipofikia mwaka '11( yalikuwa yamebakia mambo 1 kati ya 15 Kwa jumla, kwa kero

zilizoibuliwa na #ume ya 0helukin!o na Kamati ya /amoja, hivi sasa yamesalia mambo #"$&

tu. Kimsingi ni mambo yahusuyo maslahi ya kiuchumi na yote yapo katika hatua nzuri za

kuyamaliza. Mambo hayo ni3

). Mgawanyo wa mapato3

7a8 %isa za 0M2 zilizokuwa katika Bo!i ya 0arafu ya &frika Mashariki

7b8 Mgawanyo wa Mapato yatokanayo na fai!a ya Benki Kuu.

'. tafutaji na uchimbaji mafuta na gesi asili.

6. shirikiano wa 2anzibar na taasisi za nje.

+. &jira kwa watumishi wa 2anzibar katika taasisi za Muungano.

. sajili wa vyombo vya moto.

(. #ume ya /amoja ya $e!ha.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

0erikali zetu mbili zimeamua kwa !hati kutumia fursa ya mchakato huu wa maba!iliko

ya Katiba kuyamaliza yale yanayohitaji kuingizwa kwenye Katiba ya "amhuri ya Muungano

wa #anzania. Mambo hayo ni matatu yafuatayo3

). tafutaji na uchimbaji mafuta na gesi asili.

'. shirikiano wa 2anzibar na taasisi za nje.

6. #ume ya /amoja ya $e!ha.

Matatu mengine yatamalizwa kwa kutumia taratibu za kiutawala. %ali ka!halika, katika

kipin!i cha mpito kinachopen!ekezwa na #ume yaani '1) H '1)5 ni nafasi nzuri ya

kushughulikia masuala yenye migongano kati ya Katiba ya 2anzibar na ile ya "amhuri ya

Muungano. Mimi naishi kwa matumaini na kwa vile tunayo !hamira njema ya kuimarisha

Muungano wetu, naamini tutaweza kuzion!oa tofauti zilizopo.

O%o.*& '& M&+(o '& Mng&no

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 15/24

15

Kuhusu oro!ha ya mambo ya Muungano kuwa 22  ba!ala ya 11  ya awali, napen!a

kuwahakikishia kuwa 0erikali ya Muungano na 0erikali ya Mapin!uzi ya 2anzibar hazina

kigugumizi wala upungufu wa !hamira ya kisiasa ya kuyapunguza yale yanayopunguzika.

 Napen!a kwanza kabisa, ieleweke kuwa kilichoongeza oro!ha hiyo si hila za 0erikali ya

Muungano kutaka kupunguza ma!araka ya 2anzibar kwa mambo yake ya n!ani. Na, wala siyo

u!haifu wa viongozi wa 2anzibar katika kutetea maslahi ya nchi yao. <a hasha.

/ili, naomba ieleweke kuwa, kila kilichoongezwa katika :ro!ha ya Mambo ya

Muungano kilikuwa na sababu inayoeleweka, inayoelezeka na iliyokubalika na pan!e zote

mbili za Muungano. %akuna hata jambo moja lililoingizwa kwenye Katiba kwa kificho.

#aratibu stahiki za kikatiba na kisheria zilifuatwa. %oja ziliwasilishwa Bungeni na kuja!iliwa

kwa uwazi na uamuzi ulifanywa na Bunge kwa kuzingatia kanuni ya theluthi mbili ya kura za

kila upan!e wa Muungano. Kumbukumbu zipo katika %ansar! za Bunge la Muungano,

ambazo ziko wazi kwa kila mtu anayetaka kuzisoma asome. Nashauri mkazisome ili mpate

kujua ukweli na un!ani wa kila kilichoongezwa na sababu za kufanya hivyo.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

 Nchi zetu mbili zilipoungana mwaka )*(+ na kuzaa "amhuri ya Muungano wa

#anzania, kulikuwa na mambo 11 kwenye :ro!ha ya Mambo ya Muungano. Mambo hayo ni

haya yafuatayo3

). Katiba ya "amhuri ya Muungano,

'. Mambo ya Nje,

6. linzi,

+. /olisi,

. %ali ya %atari,

(. raia,

-. hamiaji,

5. Biashara ya nje na mikopo,

*. tumishi katika 0erikali ya Muungano,

)1. Ko!i ya Mapato, Ko!i ya Makampuni, shuru wa $oro!ha na shuru wa Bi!haa,)). Ban!ari, Mambo ya &nga, /osta na 0imu.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Kati ya mwaka )*( na )**' mambo ya Muungano yaliongezeka kutoka 11  ha!i

kufikia 22, kimsingi kutokana na mambo mbalimbali yaliyotokea nchini na kwenye ukan!a

wetu wa &frika Mashariki. /an!e zetu mbili za Muungano zilikubaliana kuwa mambo hayo

yaongezwe katika Katiba na taratibu za kisheria na Kikatiba zilifuatwa. Kwa i!hini yakonaomba nitoe maelezo kwa ufupi kwa yale yaliyoongezwa na kitu kilichosababisha maba!iliko

hayo kufanywa.

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 16/24

16

). "ambo la kwanza kuongezwa, yaani la 12  lilikuwa ni Asarafu, mabenki na fe!ha za

kigeniC. %ii ilifanyika tarehe )1 "uni, )*( kufuatia kuvunjika kwa Bo!i ya 0arafu ya

&frika Mashariki 7East &frican ;urrency Boar!8 mwaka )*(+. Kwa ajili hiyo, kila

nchi mwanachama wa "umuiya ililazimika kuwa na sarafu yake na mipango yake ya

kusimamia mambo yake ya kibenki na fe!ha. 0erikali zetu mbili zilikubalianamasuala hayo yashughulikiwe na 0erikali ya Muungano na Muswa!a husika wa Bunge

ulii!hinishwa kuwa 0heria na Mzee &bei! &mani Karume aliyekuwa akikaimu rais

tarehe )1 "uni, )*(.

'. #arehe )) &gosti, )*(- yaliongezwa mambo yafuatayo kwenye :ro!ha ya Mambo ya

Muungano34

7a8 <eseni za 9iwan!a na #akwimu, 7"ambo la 18

7b8 Elimu ya "uu, 7"ambo la 148

7c8 "ambo la 13  lilikuwa ni mambo yote yaliyokuwa kwenye Nyongeza ya 10  ya

Mkataba wa "umuiya ya &frika Mashariki. Nyongeza hiyo ilikuwa na mambo 26

ambayo 0erikali ya Muungano ilipewa jukumu la uratibu. Mambo hayo ni pamoja

na Mahakama ya ufani ya &frika Mashariki, tabiri wa %ali ya %ewa, tafiti,

9ipimo na Mizani, %u!uma ya safiri wa eli, Barabara, safiri wa Majini na

ka!halika.

6. #arehe '' "ulai, )*(5 Arasilimali ya mafuta, petroli na gesi asiliaC iliongezwa kwenye

:ro!ha ya Mambo ya Muungano na kuwa jambo la 1. Kimsingi 0erikali ya

Muungano ilipewa jukumu la kuagiza mafuta ya petroli na gesi asilia kwa ajili ya nchi

nzima. Baa!a ya kupanga upya :ro!ha ya Mambo ya Muungano, suala la rasilimaliya mafuta likawa la 13.

+. #arehe '' Novemba, )*-6 Baraza la Mitihani la #aifa liliongezwa na kuwa jambo la

15 %ii ilifuatia kuvunjika kwa Baraza la Mitihani la &frika Mashariki mwaka )*-) na

hivyo nchi yetu kulazimika kuun!a Baraza la Mitihani la #aifa mwaka )*-6.

. Mwaka )*5+ yalipofanyika maba!iliko makubwa katika Katiba ya mwaka )*--,

:ro!ha ya Mambo ya Muungano ilipangwa upya. Mambo yaliyokuwemo kwenye

 Nyongeza ya 10 ya "umuiya ya &frika Mashariki na kuoro!heshwa kama "ambo la 13

katika :ro!ha ya Mambo ya Muungano yalipunguzwa na kubaki +&$&no. Mambo

hayo yalipewa namba kama ifatavyo34 safirishaji wa &nga kuwa "ambo la 16, tafiti

kuwa la 1=, tabiri wa %ali ya %ewa kuwa la 1> na #akwimu kuwa la 20 na

Mahakama ya ufani ya #anzania ikawa jambo la 21.

(. #arehe )- Mei, )**' likaongezwa jambo la Aan!ikishaji wa 9yama vya 0iasaC na

kuwa jambo la 225 %ii ilifuatia kuanzishwa kwa Mfumo wa 9yama 9ingi vya 0iasa na

hasa uamuzi kuwa vyama vitakuwa vya kitaifa.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Bila ya shaka maelezo haya yatasai!ia kuelezea nini kimeongezwa na mazingira ya

kuongezwa kwake ni yepi. Kulikuwepo na sababu za msingi na wala siyo hila ya namna yo

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 17/24

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 18/24

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 19/24

19

Katika mja!ala kuhusu mapen!ekezo ya kuwa na muun!o wa Muungano wenye

0erikali tatu, wananchi wametoa maoni na mapen!ekezo mengi mazuri kuhusu changamoto za

0erikali tatu zilizoainishwa na #ume na namna ya kuzitatua. #ena yapo maoni ya watu

wanaopen!a muun!o wa 0erikali tatu na wasiopen!a muun!o wa 0erikali tatu. Nawaomba

myatafakari kwa uzito unaostahili. ?apo mambo muhimu ya kuyatafutia ufumbuzi. Kwanza,

kwa mfano ni ile hoja kwamba 0erikali ya Muungano inayopen!ekezwa haikujengeka kwenye

msingi imara. %aina nguvu yake yenyewe za kusimama. >nategemea mno ihsani ya nchi

washirika. Kwa sababu hiyo inaweza kuanguka wakati wowote, na Muungano kusambaratika,

iwapo itakosa ihsani ya nchi washirika. #ena inaweza kuwa hivyo hata kama ni mmoja wa

washirika amefanya hivyo.

/ili, kwamba, haielekei 0erikali hiyo ina chanzo cha uhakika cha mapato ya

kuiwezesha kusimama yenyewe na kutekeleza majukumu yake. shuru wa bi!haa

unaopen!ekezwa unatiliwa shaka kuwa hautatosheleza mahitaji. /ia, kwamba, hakuna uhakika

wa fe!ha hizo kupatikana kwa vile, 0erikali ya Muungano haina chombo chake chenyewe cha

kukusanya mapato hayo. >tategemea vyombo vya nchi washirika kuikusanyia na kuipelekea.

Kuna hatari ya shughuli za 0erikali ya Muungano kusimama wakati wo wote au hata

kusimama kabisa kwa sababu ya nchi washirika kuchelewa au kushin!wa kuwasilisha

makusanyo ya kutoka kwao.

Bahati mbaya 0erikali ya Muungano haina uwezo wala nyenzo za kuhakikisha kuwa

mapato yake yanawasilishwa. 0erikali hiyo haina mamlaka ya kuzibana nchi washirika

kuwasilisha au kuziwajibisha zisipofanya hivyo. Katika mazingira hayo ni rahisi kwa 0erikali

ya Muungano kukwama na kushin!wa kutekeleza majukumu yake. %uu ni muun!o ambao

inakuwa ni rahisi sana kwa Muungano kuvunjika.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Katika asimu ya Katiba, 0erikali ya Muungano inapewa fursa ya kukopa kama chanzo

cha kujipatia mapato ya kuen!esha shughuli zake. <akini, kwa sababu ya kukosa rasilimali

zake yenyewe, huen!a ikawa vigumu kwa 0erikali hiyo kukopesheka. Kwa jumla hii ni

0erikali ambayo ukuu wake hauna nguvu iliyo thabiti, na watu wengine wanaona kama vile

ukuu huo haupo kabisa. &kitokea kiongozi ye yote wa nchi washirika akatunisha misuli !hi!i

ya ais wa Muungano au kupinga maamuzi ya 0erikali au chombo cha Muungano, ais na

0erikali yake watakuwa hawana lo lote la kufanya. Kwa kweli uhai wa Muungano katika

muun!o wa 0erikali tatu ni wa mashaka makubwa.

%ofu hizi kuhusu u!haifu wa 0erikali ya Muungano chini ya mfumo wa 0erikali tatu

unaopen!ekezwa, zinawasumbua hata wale wanaopen!elea mfumo wa 0erikali tatu kuwepo.

Wao wangepen!a iwepo 0erikali ya Muungano yenye nguvu na inayoweza kusimama

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 20/24

20

yenyewe kwa kujitegemea. Wanaona kilichopen!ekezwa hakitoi matumaini hayo. %ii ina

maana kuwa lazima mawazo bora zai!i yatolewe ili kupata 0erikali ya tatu yenye ukuu

unaoonekana na inayoweza kusimama yenyewe bila kuwa tegemezi na egemezi kwa nchi

washirika. /ia inaweza kuwa nguzo ya kutegemewa na nchi washirika. Bila ya shaka Bunge

hili likiamua tufuate mfumo huo linaweza kuonyesha njia ya kuon!oa hofu hizo. Kwa

waumini wa 0erikali mbili wanaona kuwa huu ni uthibitisho wa ubora wa muun!o wa 0erikali

mbili.

C*&ng&+o$o !& H"#"& !& U$&"9&

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

Katika kuainisha changamoto za muun!o wa 0erikali tatu, #ume ya Maba!iliko ya

Katiba imeyataja mambo mengine mawili makubwa ambayo ningepen!a Waheshimiwa

Wajumbe muyape tafakuri stahiki. Mambo hayo ni +o#", misuguano na mikwamo 7deadlocks

and paralysis8 katika kuja!ili na kufanya uamuzi kuhusu mambo muhimu ya Muungano. Na

"/", ni kuibuka kwa hisia za utaifa 7nationalistic sentiments8 wa zamani kwa nchi washirika.

 Nawaomba myatafakari kwa makini sana mambo haya, kwa sababu ya uwezo wake mkubwa

wa kuhatarisha siyo tu ustawi na uhai wa Muungano, bali hata usalama wa raia na mali zao.

 Naona hata #ume haikuweza kupata ufumbuzi ulio mwafaka kabisa kwa changamoto hizi.

Bila ya shaka katika mija!ala yenu Waheshimiwa Wajumbe mnaweza kusai!ia.

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

 Ni lazima lifanyike kila linalowezekana kuhakikisha kuwa maamuzi hayakwami kwani

yakikwama maana yake shughuli za Muungano zitakuwa zimekwama. Kama

hazitakwamuliwa kwa wakati ustawi wa Muungano utaathirika. >kishin!ikana kabisa

kupatikana ufumbuzi Muungano unaweza kuvunjika. Kuibuka na kukua kwa hisia za utaifa

7nationalistic feelings8 kwa nchi washirika, yaani tanganyika na zanzibari ni tishio kubwa

sana kwa uhai wa Muungano. %ebu fikiria, watu walioishi pamoja ki!ugu na kwa

kushirikiana, kama watu wamoja na raia wa nchi moja yaani Watanzania kwa miaka 1, kuja

kujikuta uhusiano wao kuwa ni kati ya Watanganyika na Wazanzibari na siyo kati ya

Watanznaia. Kwa mujibu wa sensa iliyopita takriban &#"/"+"& >0 ya Watanzania waliopo sasa

wamezaliwa baa!a ya mwaka )*(+. Nchi wanayoijua ni #anzania. <itakuwa ni jambo lenye

mshtuko mkubwa na athari zisizoweza kutabirika, watu hao watakapojikuta ni wageni

wanaotakiwa kutengenezewa utaratibu maalum wa kusafiri na kuishi wakiwa upan!e wa

Muungano ambao siyo kwao kwa asili. Wanakuwa wageni na fursa walizokuwa wanazipata

waen!apo popote haiwi rahisi tena kuzipata.

Katika mazingira hayo ni rahisi sana chuki kupan!ikizwa na watu waliokuwa n!ugu

mara moja watajikuta maa!ui. &i!ha, watu wanaweza kujikuta wakilazimika kuru!i kwao

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 21/24

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 22/24

22

Mambo ya kuyasemea ni mengi mno lakini kwa sababu ya ufinyu wa mu!a,

nisingeweza kuyazungumzia yote. Naamini, mtayaona katika kuipitia asimu na kwenye

maja!iliano yenu. Napen!a kusisitiza kwenu kuwa kazi iliyo mbele yenu ni kubwa sana. Ni

kubwa kwa maana mbili. Kwanza, jukumu lenyewe la kutunga Katiba ya nchi ni zito sana.

#aswira ya nchi yetu itakuwaje na itaen!eshwa vipi kwa miaka mingi ijayo iko mikononi

mwenu. >peni nchi yetu hatima njema. /ili, ni kubwa kwa maana ya uzito wa mambo ya

kuja!ili na kuyafanyia uamuzi. Kwa ajili hiyo, ni muhimu sana kuisoma asimu na #aarifa ya

#ume kwa makini na kuzielewa. "ipeni mu!a wa kutafakari kila neno, kila sentensi, na kila

!hana ili muweze kufanya uamuzi ulio sahihi. Mkifanya hayo mtakuwa mmeisai!ia nchi yetu

na Watanzania wote kupata Katiba nzuri.

 Nimefarijika sana kusikia kuwa mtajigawa kwenye Kamati )' wakati wa kuja!ili

asimu. %uu ni utaratibu mzuri kwani mkiwa katika vikun!i vya watu wachache, mtakuwa na

mija!ala ya kina zai!i. Watu wote wanaweza kupata fursa ya kutoa maoni yao, kwa kila

kifungu na kila jambo linaloibuliwa na kuzungumzwa. Kwa kufanya hivyo, mtatimiza kwa

ukamilifu jukumu lenu la kutunga Katiba. Wote mtakuwa mmeshiriki kuja!ili kila sura na

vipengele vyake vyote. Mkimaliza kazi yenu mtapokea kwa haki sifa nzuri kama Katiba

itakuwa nzuri, au lawama stahiki iwapo itakuwa kinyume chake.

Pong!" -& M-n'"$" -& M.&

 Mheshimiwa Mwenyekiti;

 Nitakuwa mwizi wa fa!hila kama nitamaliza hotuba yangu bila ya kutambua kazi nzuri

iliyofanywa na Mheshimiwa /an!u &meir Kificho, 0pika wa Baraza la Wawakilishi,

alipokuwa Mwenyekiti wa Mu!a wa Bunge hili. Kazi yake haikuwa rahisi hata ki!ogo, lakini

kwa umahiri na usta!i mkubwa ameweza kufanikisha mambo kwa kiasi ambacho anastahili

 pongezi zetu sote. &nastahili pongezi kwa sababu yeye alien!esha Bunge hili bila ya kuwepo

kwa kanuni. #atizo hili hatakuwa nalo Mwenyekiti wa Ku!umu kaka yangu Mheshimiwa

0amuel 0itta.

 Napen!a pia kuwapongeza Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kwa

hatua mliyofikia. %ata hivyo, mmechukua mu!a mwingi katika hatua ya awali hivyo hamna

 bu!i kuongeza kasi. Naomba niwakumbushe kuwa mija!ala yenu hii inafuatiliwa kwa karibu

sana na Watanzania. Wamewekeza sana matarajio yao kwenu. %amna bu!i, haiba na taswira

ya uongozi muionyeshe wakati wote wa kuen!esha mija!ala yenu kwa lugha na viten!o vyenu.

Wakati wa semina na mja!ala wa kupitisha Kanuni za Bunge hili, baa!hi ya wananchi

wamekwazika sana na mwenen!o wa baa!hi ya Wajumbe. %awakutegemea kuyaona

maten!o waliyoyaona mkifanya na kusikia maneno waliyoyasikia kutoka kwenye vinywa vya

 baa!hi yenu.

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 23/24

8/12/2019 Hotuba Ya Rais Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba

http://slidepdf.com/reader/full/hotuba-ya-rais-wakati-wa-kulihutubia-bunge-maalumu-la-katiba 24/24

24

&liongoze Bunge hili na Wajumbe wake waweze kufanya uamuzi ulio sahihi na wenye

manufaa kwa taifa letu kwa kila watakaloliamua.

Baa!a ya kusema maneno yangu mengi hayo, niru!ie kukushukuru Mheshimiwa

Mwenyekiti kwa kunipa fursa hii a!himu ya kulihutubia Bunge Maalum la Katiba.

 Nawatakieni kila la heri na mafanikio mema. K&$"(& M'& In&-!&n&, T"+"!& W&7"(

W&o5

 

Mng I(&%"" T&n!&n"&

Mng L"(&%"" Bng M&&/+ /& K&$"(&

A#&n$n" #&n& -& n"#""/"!&