injili ni nguvu ya mungu

225

Click here to load reader

Upload: 001111111111

Post on 12-Jul-2015

1.414 views

Category:

Documents


43 download

TRANSCRIPT

Page 1: Injili ni nguvu ya mungu

KANUNI ZA KIROHO ZAKANUNI  ZA  KIROHO  ZAKUTEMBEA  NA  NGUVU 

ZA MUNGUAIC(T) Magomeni Church

14‐17 October, 2010.

Wiki ya Injili

Na Mwl. Mgisa Mtebe.

Page 2: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za kiroho, ni mamboKanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyaweka kwa pamoja ndani yetu, kwa kiwango kinachotakiwakiwango kinachotakiwa, 

zitasababisha Roho wa Munguzitasababisha Roho wa Mungualiye ndani yetu, kuzalisha 

nguvu za Mungu.Wednesday, February 08, 2012 2Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 3: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu za Mungu ndizoNguvu za Mungu ndizo tunazozihitaji katika maisha yetu, ili kutuwezesha kuishi 

maisha ya ushindi namaisha ya ushindi na mafanikio duniani.mafanikio duniani.

Wednesday, February 08, 2012 3Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 4: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

UhusianoUhusianowawa 

Nguvu za MunguNguvu za MunguNaNa 

Injili ya Yesu KristoInjili ya Yesu KristoWednesday, February 08, 2012 4Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 5: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Injili ni Nguvu ya MunguInjili ni Nguvu ya MunguPasipo Nguvu ya Mungu, injili p g y g , j

yetu haiwezi kuleta b d l k k k hmabadiliko katika maisha ya watu tunaowalengawatu tunaowalenga.

Warumi 1:16Warumi 1:16Wednesday, February 08, 2012 5Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 6: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 1:16Kwa maana siionei haya injili, kwasababu injili ni uweza wa 

M l t kMungu uletao wokovu.

Wednesday, February 08, 2012 6Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 7: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Injili ni Nguvu ya MunguInjili ni Nguvu ya MunguYenye nia ya kuwahamisha y y

watu kutoka gizani na k lkuwaleta nuruni.

M t d 26 16 18Matendo  26:16‐18

Wednesday, February 08, 2012 7Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 8: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo  26:16‐1816 Lakini sasa inuka usimame, kwa 

miguu yako, kwa sababu nimekutokea kwa kusudi hili ilinimekutokea kwa kusudi hili ili 

kukuweka utumike na kushuhudia j b bjuu ya mambo ambayo umeyaona na yale nitakayokutokea kwayo.na yale nitakayokutokea kwayo. 

Wednesday, February 08, 2012 8Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 9: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo  26:16‐1817 Nitakuokoa kutoka kwa watu wako na watu Mataifa ambao 

ninakutuma kwao, 18 uyafungueninakutuma kwao, 18 uyafungue macho yao ili wageuke kutoka 

i i i i igizani waingie nuruni,

Wednesday, February 08, 2012 9Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 10: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo  26:16‐1818 … na kutoka kwenye nguvu za shetani wamgeukie Mungu ili 

wapate msamaha wa dhambi nawapate msamaha wa dhambi na sehemu miongoni mwa wale 

li k k k i i iwaliotakaswa kwa kuniamini Mimi.’Mimi.  

Wednesday, February 08, 2012 10Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 11: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakolosai 1:1313 Naye alitukomboa kutoka katika nguvu za giza, na akatuhamisha na 

kutuingiza katika ufalme wakutuingiza katika ufalme wa mwana wake ampendaye sana.

Wednesday, February 08, 2012 11Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 12: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 5:2424 Amini Amini nawaambia, yeyote aniaminiaye mimi, na kumwamini yeye aliyenipeleka, anao uzima wayeye aliyenipeleka, anao uzima wa milele, wala haingii hukumuni, b li i k k i ibali amepita kutoka mautini na 

kuingia uzimani.kuingia uzimani.Wednesday, February 08, 2012 12Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 13: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Injili ni Nguvu ya MunguInjili ni Nguvu ya MunguYenye nia ya kuwahamisha watu kutoka gizani, katika ufalme wa Sh t i k l t iShetani na kuwaleta nuruni, katika Ufalme wa Kristo Yesu.katika Ufalme wa Kristo Yesu.

Matendo  26:16‐18Wednesday, February 08, 2012 13Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 14: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina Kuu za InjiliAina Kuu za Injili1. Injili ya Matendo.

Wednesday, February 08, 2012 14Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 15: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina Kuu za InjiliAina Kuu za Injili1. Injili ya Matendo.2. Injili ya Kushuhudia.

Wednesday, February 08, 2012 15Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 16: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina Kuu za InjiliAina Kuu za Injili1. Injili ya Matendo.2. Injili ya Kushuhudia.3. Injili ya Kutangaza.

Wednesday, February 08, 2012 16Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 17: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina Kuu za InjiliAina Kuu za Injili1. Injili ya Matendo.2. Injili ya Kushuhudia.3. Injili ya Kutangaza.4. Injili ya Huduma.

Wednesday, February 08, 2012 17Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 18: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina Kuu za InjiliAina Kuu za Injili1. Injili ya Matendo.2. Injili ya Kushuhudia.3. Injili ya Kutangaza.4. Injili ya Huduma.5 I jili Udhihi i h5. Injili ya Udhihirisho.

Wednesday, February 08, 2012 18Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 19: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Injili ni Nguvu ya MunguInjili ni Nguvu ya MunguYenye nia ya kuwahamisha watu kutoka gizani, katika ufalme wa Sh t i k l t iShetani na kuwaleta nuruni, katika Ufalme wa Kristo Yesu.katika Ufalme wa Kristo Yesu.

Matendo  26:16‐18Wednesday, February 08, 2012 19Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 20: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini ni muhimu tujue kwamba,j ,

Adui yetu shetani si kiumbe dhaifu; ni mwenye nguvu pia

L k 11 21 22Luka 11:21‐2221 Mtu mwenye nguvu21 Mtu mwenye nguvu, 

aliyejifunga silaha zake, alindapo nyumba yake, vitu vyake vi salama.

Page 21: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 11:21‐2222 L ki i j22 Lakini ajapo mwenye nguvu kuliko yeye, akimwendea na y y ,

kumnyang’anya silaha zake, ndipo k kataweza kuyagawanya mateka 

yakeyake.

Page 22: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

SHETANI ALIPATAJE

UWEZO HUO?

Page 23: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KABLA YA DHAMBIUTARATIBU ULIKUWA HIVI

Page 24: Injili ni nguvu ya mungu

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) 

Msaada MunguMsaada Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Page 25: Injili ni nguvu ya mungu

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”KABLA YA DHAMBI      Mashal

MkuuMUNGU

ADAMMfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

DUNIA

S

g

Zab 8:4‐8SHETANI

Page 26: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BAADA YA DHAMBIMAMBO YAKAWA HIVI

Page 27: Injili ni nguvu ya mungu

BAADA YA DHAMBIBAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungug

Mwili Roho

DuniaNafsi

Shetani

Page 28: Injili ni nguvu ya mungu

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

MUNGU

SHETANI

MALAIKA

SHETANI  ALITAPELI NAFASI YA ADAM

DUNIA

NAFASI YA ADAMADAM

Page 29: Injili ni nguvu ya mungu

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Shetani akakaa katika        nafasi ya Adam na

DUNIA

g

nafasi ya Adam na akavaa vyeo vyote vya Adam      

ADAM

Page 30: Injili ni nguvu ya mungu

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1‐2   – Mfalme wa angafe fa e a a ga2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler) Yoh 12:31  – Mkuu wa UlimwenguY h 14 30 Mk UliYoh 14:30  – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu

Page 31: Injili ni nguvu ya mungu

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Warumi 5:12, 14DUNIA

g

Waebrania 2:14, 15ADAM

Page 32: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:5‐8u a 5 8Shetani akamwambia Yesu

‘Ukiinama na kunisujudia, nitakupa li hwewe ulimwengu wote huu na 

fahari zake (utajiri wake) kwa kuwafahari zake (utajiri wake) kwa kuwa ni vyangu, na nina uwezo wa kumpa yeyote nitakaye.’

Page 33: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basi ...yo basTunapambana na adui aliyetapeli NAFASI YETU (Cheo chetu) na 

anatumia NGUVU ZETU (Adamicanatumia NGUVU ZETU (Adamic Power) katika kupambana na ) p

kupigana na sisi.

Page 34: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo ...a yoIli kumshinda adui tunayepambana naye (aliyetumia nafasi yetu na 

nguvu zetu) basi ni lazima tuwe nanguvu zetu), basi ni lazima tuwe na NAFASI ya juu zaidi na NGUVUy j

kubwa zaidi kuliko adui.Luka 11:21‐22

Page 35: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na ndio maana, katika  a d o aa a, a aLuka 11:21‐22

Bwana Yesu anatupa KANUNIj k hi dmojawapo wa kumshinda  “mwenye nguvu”“mwenye nguvu” 

yaani adui yetu ibilisi shetaniyaani adui yetu, ibilisi shetani.

Page 36: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 11:21‐2221 Mt21 Mtu mwenye nguvu, 

aliyejifunga silaha zake, alindapo y j f g , pnyumba yake, vitu vyake vi salama.

Page 37: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 11:21‐2222 L ki i j22 Lakini ajapo mwenye nguvu kuliko yeye, akimwendea na y y ,

kumnyang’anya silaha zake, ndipo k kataweza kuyagawanya mateka 

yakeyake.

Page 38: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 11:21‐22“Mwenye nguvu Kuliko” – Kanisa 

h ( )Shetani (strong man) – Mwenye nguvuKanisa (stronger) – M’Nguvu kulikoKanisa    (stronger)     – M Nguvu kulikoYesu       (strongest)    – M’Nguvu zaidi( g ) g

Page 39: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo ...a yoKanuni ya kumshinda adui yetu (aliyetumia nafasi yetu na nguvu zetu kutusumbua) ni lazima tuwezetu kutusumbua), ni lazima tuwe na NGUVU kubwa zaidi kuliko yeye.y y

Luka 11:21‐22

Page 40: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 6:10‐13ae eso 6 0 310 Iweni hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake. 

i il h ili11 Vaeni silaha za Mungu ili muweze kupambana na hila za yulemuweze kupambana na hila za yule 

mwovu …

Page 41: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 6:10‐13ae eso 6 0 312 Kwasababu vita yetu si ya 

kimwili, bali ya kiroho, tunashindana na falme za gizatunashindana na falme za giza, 

mamlaka za giza, wakuu wa giza na g , gmajeshi ya pepo wabaya, katika 

li hulimwengu wa roho.

Page 42: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 6:10‐13ae eso 6 0 313 Kwahiyo, twaeni silaha zote za Mungu, ili muweze kupambana; na 

mkiisha kuyatimiza yotemkiisha kuyatimiza yote, kusimama.

Page 43: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 10:16‐28,    Luka 24:49“Ninawatuma kama kondoo katikati 

b it k hi k iya mbwa mwitu; kwahiyo kaeni kwanza humu humu mjini, j ,

msiondoke, mpaka nitakapo‐l t h di B b (R hwaletea  ahadi ya Baba (Roho 

Mtakatifu) , ambapo mtavikwa f ) , puweza na nguvu kutoka juu”

Page 44: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 11:12Mathayo 11:12‘Tangu siku za Yohana MbatizajiTangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa, Ufalme wa Mungu ghupatikana kwa nguvu, nao 

diwenye nguvu tu ndio wanaoutekawanaouteka.

Page 45: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kumbe basi;;Pasipo kuwa na UTUKUFU au Nguvu za Mungu (yaani Sura ya Mungu na Mfano wa Mungu)Mungu na Mfano wa Mungu), 

mtu wa Mungu huwezi kufanikiwa katika maisha yako katika kiwango chako halisikatika kiwango chako halisi. 

Page 46: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwanini tunahitaji Nguvu za Mungu?Kwanini tunahitaji Nguvu za Mungu?Ili tuweze kumshinda Adui yetu na ykuwahamisha watu wa Mungu k k k ik f l kkutoka katika ufalme wake.

Luka 11:21 22Luka 11:21‐22

Page 47: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina Kuu za InjiliAina Kuu za Injili1. Injili ya Matendo.2. Injili ya Kushuhudia.3. Injili ya Kutangaza.4. Injili ya Huduma.5 I jili Udhihi i h5. Injili ya Udhihirisho.

Wednesday, February 08, 2012 47Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 48: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;Kwahiyo;Katika aina zote tulizopewa zaKatika aina zote tulizopewa za kuhubiri Injili, bado nguvu za j gMungu ndiyo kitovu cha 

k b bi h k hkusababisha watu kuhama kutoka gizani kuja nurunikutoka gizani kuja nuruni.

Wednesday, February 08, 2012 48Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 49: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;Kwahiyo;Pasipo nguvu za MunguPasipo nguvu za Mungu, 

hatutaweza kufanikiwa katika wito wetu huu, wa kuhubiri 

i jili iinjili ya Kristo.War mi 1 16Warumi 1:16

Wednesday, February 08, 2012 49Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 50: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Wakorintho 2:1 4 51 Wakorintho 2:1,4‐5.Injili yangu haikuja kwenu kwaInjili yangu haikuja kwenu kwa 

maneno ya hekima yenye kushawishi akili za watu; bali kuhubiri kwangu kulikuwa kwakuhubiri kwangu kulikuwa kwa dalili (ishara) za Roho na Nguvu 

za Mungu.Wednesday, February 08, 2012 50Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 51: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Wakorintho 2:1 4 51 Wakorintho 2:1,4‐5.… ili kwamba imani yenu isije… ili kwamba imani yenu isije ikajengeka juu ya elimu za wanadamu, bali imani zenu zijengeke juu ya nguvu zazijengeke juu ya nguvu za 

Mungu.

Wednesday, February 08, 2012 51Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 52: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 1:16Warumi 1:16Injili ni Nguvu ya Mungu iletayo 

wokovu kwa watu wote.

Wednesday, February 08, 2012 52Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 53: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za Kiroho zaKanuni za Kiroho zaKUTEMBEA NA NGUVU ZA U GU U

MUNGU

Wednesday, February 08, 2012 53Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 54: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUWAEFESO 3:2O

20 Mungu anaweza kutenda mambo makubwa mno na ya ajabu yasiyomakubwa mno na ya ajabu, yasiyo‐pimika, kuliko yote tunayowaza na p , y ykuliko yote tunayoyaomba, lakini ni k k di i (k ki ki i )kwa kadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazicha nguvu zake kinachotenda kazi 

ndani yetu.Wednesday, February 08, 2012 54Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 55: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwasababu;Kwasababu;Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

Wednesday, February 08, 2012 55Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 56: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba;Hii ina maana kwamba;Ikiwa tutatengeneza au tutazalishaIkiwa tutatengeneza au tutazalisha 

Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia mkono wa Mungu 

kufanya mambo mengi nakufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya 

maishani mwetu.Wednesday, February 08, 2012 56Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 57: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …Ikiwa tutatengeneza au tutazalisha 

Nguvu za Mungu kwa wingi(za kutosha) ndani yetu(za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanyamakubwa anayotaka kufanya.Wednesday, February 08, 2012 57Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 58: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

Wednesday, February 08, 2012 58Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 59: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Wednesday, February 08, 2012 59Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 60: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (1);Kifo cha Yakobo na 

Ukombozi wa Petro gerezanidMatendo 12:1‐19

Wednesday, February 08, 2012 60Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 61: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani

Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8‐15

Wednesday, February 08, 2012 61Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 62: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (3);Maombi ya Musa katika 

kumruhusu Mungu kufungua bahari ya Shamubahari ya ShamuKutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28

Wednesday, February 08, 2012 62Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 63: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni KwasababuNi Kwasababu …Kwahiyo Utendaji wa mkono waKwahiyo Utendaji wa mkono wa 

Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotendaNguvu za Mungu kinachotenda 

kazi ndani yako.

Wednesday, February 08, 2012 63Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 64: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 3:99 Kwa maana sisi tu watenda kazi 

pamoja na Mungu. (k hi di f iki )(kwa ushindi na mafanikio)

Wednesday, February 08, 2012 64Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 65: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐3028 Na kwahiyo basi, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja

na wale wampendao katikana wale wampendao, katika kuwapatia mema. 

(ushindi, faida na mafanikio)

Wednesday, February 08, 2012 65Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 66: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,18,26 Tufanye mtu kwa sura yetu na 

kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya usona vyote tulivyoviumba juu ya uso 

wa dunia.

Wednesday, February 08, 2012 66Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 67: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26‐1828 Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia akawaambiabustani ya dunia, akawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitawala

(kuitiisha) dunia.

Wednesday, February 08, 2012 67Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 68: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo mtakayoyafunga 

(ninyi) yatakuwa yamefungwa(ninyi) yatakuwa yamefungwa (mbinguni), na mambo 

mtakayoyafungua  (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa (mbinguni)yamefunguliwa (mbinguni)

Wednesday, February 08, 2012 68Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 69: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y18 Na milango ya kuzimu 

haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga  (kwa mfumo huu)(kwa mfumo huu).     

Wednesday, February 08, 2012 69Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 70: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana, bali 

nchi amewapa wanadamu

Isaya 45:11… kwa habari ya kazi za mikono yangu haya niagizeni (niamuruni)yangu, haya niagizeni (niamuruni)

Wednesday, February 08, 2012 70Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 71: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo,Kwahiyo, Maombi ni njia mojawapo j j p

inayofungulia nguvu za Munguk k hkatika maisha ya mtu wa 

Mungu ili kumwezesha mtuMungu, ili kumwezesha mtu huyo kuishi maisha ya ushindiy yna mafanikio katika maisha.

Page 72: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

*** ikiwa tutaongeza kiwango***…  ikiwa tutaongeza kiwango cha maombi maishani mwetu, tutatengeneza au tutazalisha Ng n ingi a M ng ndaniNguvu nyingi za Mungu ndani 

yetu,  na kuuwezesha mkono wa y ,Mungu kufanya mambo mengi 

i h i tmaishani mwetu.

Page 73: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

*** tukipunguza kiwango cha***…  tukipunguza kiwango cha maombi maishani mwetu, 

tutashindwa kutengeneza au k alisha Ng n ingi a M ngkuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,  na kuuzuia mkono wa y ,Mungu kufanya mambo mengi 

i h i tmaishani mwetu.

Page 74: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo Utendaji wa mkonoKwahiyo Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako,wa Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango

cha Nguvu za Mungu ki h t d k i d i kkinachotenda kazi ndani yako.

“Kiwango”Kiwango

Page 75: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BasiBasi … tengeneza au zalishatengeneza au zalisha

KIWANGOcha kutosha cha Nguvu za Mungu 

Ndani yakoWednesday, February 08, 2012 75Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 76: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Ndio maana Mfalme Daudi alisemaNdio maana Mfalme Daudi alisema “…Wandaa meza (baraka) mbele yangu, machoni pa watesi wangu 

(adui); Umenipaka mafuta kichwani(adui); Umenipaka mafuta kichwani kwangu, na (moyo wangu) kikombe 

changu kinafurika.”Wednesday, February 08, 2012 76Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 77: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Mfalme Daudi hakutaka kutembeaMfalme Daudi hakutaka kutembea duniani akiwa na moyo (kikombe) kilichopungukiwa nguvu za Mungu 

(Mafuta ya Roho Mtakatifu)(Mafuta ya Roho Mtakatifu) anasema,  ‘Umenipaka mafuta, na 

moyo wangu umefurika.’Wednesday, February 08, 2012 77Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 78: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Kavu / Tupu1. Kavu / Tupu   

Kiwango, Kipimo, UjazoWednesday, February 08, 2012 78Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 79: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Robo2. Robo  

Kiwango, Kipimo, UjazoWednesday, February 08, 2012 79Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 80: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3 Nusu3.  Nusu 

Kiwango, Kipimo, UjazoWednesday, February 08, 2012 80Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 81: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 Robo Tatu4. Robo Tatu 

Kiwango, Kipimo, UjazoWednesday, February 08, 2012 81Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 82: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5 Kumwagika5.  Kumwagika   

Kiwango, Kipimo, UjazoWednesday, February 08, 2012 82Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 83: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Efeso 5:18Efeso 5:18Msilewe kwa pombe (mvinyo)Msilewe kwa pombe (mvinyo) kwani kuna ufisadi (uchafu), ( )

bali mjazwe kwa Roho k if ( k )Mtakatifu (na Nguvu zake).

Wednesday, February 08, 2012 83Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 84: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Page 85: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kuna mambo mengi sana maishaniKuna mambo mengi sana maishani mwetu, tumeyabatiza kwamba ni 

mapenzi ya Mungu, kumbe hayakuwa mapenzi ya Munguhayakuwa mapenzi ya Mungu, lakini ukweli ni kwamba, sisi 

binadamu ndio tunaohusika katika kusababisha mambo hayokusababisha mambo hayo kufanyika au kutofanyika.

Page 86: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna mambo mengi sana maishaniKuna mambo mengi sana maishani 

mwetu, tumemsingizia Mungu, wakati kumbe sisi binadamu, ndio tunaohusika katika kusababishatunaohusika katika kusababisha

mambo hayo kufanyika au kutofanyika.

Page 87: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo…Kwahiyo…Kila mtu aliyempokea Yesu y p

Kristo kama Bwana na k h kMwokozi wa maisha yake, ana 

(jenereta) chanzo cha nguvu(jenereta) chanzo cha nguvu za Mungu, ndani yake, yaanig , y , y

Roho Mtakatifu.Wednesday, February 08, 2012 87Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 88: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐39YOHANA 7: 37 3937 Hata siku ile ya mwishoyya sikukuu,  Bwana  Yesuakasimama, akapaza sautiyake akisema, ‘Kila aliye nakiu, na aje kwangu anywe.

Wednesday, February 08, 2012 88Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 89: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐3938 Ye yote aniaminiye Mimi, kama maandiko yasemavyo, mito ya maji ya uzima, itatiririkandani yake” au (itatiririkandani yake” au (itatiririkakutokea ndani mwake )kutokea ndani mwake.)

Wednesday, February 08, 2012 89Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 90: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐39YOHANA 7: 37 3939 Habari hizo (za mito ya uzima)   ( y )Bwana Yesu alizisema kumhusuRoho Mtakatifu, ambaye walewale wote wamwaminio yeye, 

watampokea ndani yao … Wednesday, February 08, 2012 90Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 91: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐39YOHANA 7: 37 39

KILA MTU AMWAMINIYE YESU ANAKILA MTU AMWAMINIYE YESU ANA ROHO MTAKATIFU NDANI YAKE.

Na ROHO MTAKATIFU NDIYE CHANZO

CHA NGUVU ZA MUNGUCHA NGUVU ZA MUNGU.Wednesday, February 08, 2012 91Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 92: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo…Kwahiyo…Kila mtu aliyempokea Yesu y p

Kristo kama Bwana na k h kMwokozi wa maisha yake, ana 

(jenereta) chanzo cha nguvu(jenereta) chanzo cha nguvu za Mungu, ndani yake, yaanig , y , y

Roho Mtakatifu.Wednesday, February 08, 2012 92Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 93: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Huyu Roho Mtakatifu,Huyu Roho Mtakatifu, anachohitaji kwako, ni wewekumtengenezea mazingira 

fulani fulani tu ndani yako ilifulani fulani tu ndani yako, ili yeye afanye kazi ya kuzalishayeye afanye kazi ya kuzalisha nguvu za Mungu kutoka ndani 

yako.Wednesday, February 08, 2012 93Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 94: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za kiroho, ni mamboKanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyaweka kwa pamoja ndani yetu, kwa kiwango kinachotakiwakiwango kinachotakiwa, 

zitasababisha Roho wa Munguzitasababisha Roho wa Mungualiye ndani yetu, kuzalisha 

nguvu za Mungu.Wednesday, February 08, 2012 94Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 95: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu za Mungu ndizoNguvu za Mungu ndizo tunazozihitaji katika maisha yetu, ili kutuwezesha kuishi 

maisha ya ushindi namaisha ya ushindi na mafanikio hapa duniani.mafanikio hapa duniani.‘Social‐Economic Success       

and prosperity’Wednesday, February 08, 2012 95Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 96: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;

1. 2.Nguvu iliyopo Itendayo kazi

(Potential Energy)     (Kinetic Energy)

Wednesday, February 08, 2012 96Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 97: Injili ni nguvu ya mungu

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;

Visipoungwa ipasavyo kwaVisipoungwa ipasavyo kwa Kanuni za SayansiKanuni za Sayansi

TaaaaWaya                                    (Bulb)y(Wire)

Betrii (Battery)  Wednesday, February 08, 2012 97Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 98: Injili ni nguvu ya mungu

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;

Vikiungwa ipasavyo kwaVikiungwa ipasavyo kwa Kanuni za SayansiKanuni za Sayansi

Mwangaa gaWaya                                    (Light)y g(Wire)

Betrii (Battery)  Wednesday, February 08, 2012 98Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 99: Injili ni nguvu ya mungu

NGUVU ZA UMEMENGUVU ZA UMEME

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy)     (Kinetic Energy)

Wednesday, February 08, 2012 99Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 100: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Unaweza ukawa na betrii, lakiniUnaweza ukawa na betrii, lakini ushindwa (ukakosa) kupata 

nguvu zake, (umeme, mwanga n k ) kwasababu yamwanga, n.k.) kwasababu ya kutokuunganisha sawa‐sawakutokuunganisha sawa sawa 

kanuni za kisayansi za kuzalisha umeme.

Wednesday, February 08, 2012 100Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 101: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Unaweza ukawa na Roho wa MunguU a e a u a a a o o a u gu(Betrii), lakini ushindwa (ukakosa) 

k k ( h dkupata nguvu zake, (ushindi, mafanikio n k ) kwasababu yamafanikio, n.k.) kwasababu ya kutokuunganisha sawa‐sawa kanuni za kiroho za kuzalisha nguvu za Mungu (umeme)nguvu za Mungu (umeme).

Wednesday, February 08, 2012 101Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 102: Injili ni nguvu ya mungu

NGUVU ZA MUNGUNGUVU ZA MUNGU

~ Kanuni za Kiroho ~~ Kanuni za Kiroho ~              Neno (Bulb)Neno (Bulb)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

Wednesday, February 08, 2012 102Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 103: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za Kiroho (Connected);Kanuni za Kiroho (Connected);(Bulb) Taa ya                          Nuru ya ( ) y yUlimwengu                      Ulimwengu

Roho Mtakatifu Nguvu za RohoRoho Mtakatifu         Nguvu za Roho(Potential Energy)               (Kinetic Energy)Wednesday, February 08, 2012 103Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 104: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mtu wa Mungu usipotimiza kanuni zinazohusika, utabaki kuwa taa (bulb) isiyowaka nakuwa taa (bulb) isiyowaka na Jenereta isiyotoa umeme.y

Mathayo 5:14‐16Wednesday, February 08, 2012 104Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 105: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matokeo yake;Matokeo yake;Roho wa Mungu atabaki ndaniRoho wa Mungu atabaki ndani 

yako, lakini hataweza kukuzalishia nguvu za Mungu, unazozihitaji kila siku; naweunazozihitaji kila siku; nawe utaishi maisha ya kushindwa ywakati ndani yako una Mungu.Wednesday, February 08, 2012 105Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 106: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini;Lakini;Ukitaka Roho wa Mungu azalisheUkitaka Roho wa Mungu azalishe nguvu za Mungu kutokea ndani yako, inakubidi umtengenezee mazingira fulani fulani ya lazimamazingira fulani‐fulani ya lazima 

(necessary condition).( y )Wednesday, February 08, 2012 106Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 107: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwasababu;Kwasababu;Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

Wednesday, February 08, 2012 107Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 108: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Huyu Roho Mtakatifu,Huyu Roho Mtakatifu, anachohitaji kwako, ni wewekumtengenezea mazingira 

fulani fulani tu ndani yako ilifulani fulani tu ndani yako, ili yeye ndiye afanye kazi yayeye ndiye afanye kazi ya kuzalisha nguvu za Mungu

kutoka ndani yako.Wednesday, February 08, 2012 108Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 109: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

Page 110: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

Page 111: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

Page 112: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

Page 113: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

Page 114: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

Page 115: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

Page 116: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

Page 117: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

O O

Joto                                HewaMOTO

(Heat)                             (Oxygen)

Page 118: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

O O

Joto                                HewaMOTO

(Heat)                             (Oxygen)

Page 119: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu za Mungu ndizoNguvu za Mungu ndizo tunazozihitaji katika maisha yetu, ili kutuwezesha kuishi 

maisha ya ushindi namaisha ya ushindi na mafanikio duniani.mafanikio duniani.

‘Social‐Economic Success       and prosperity’Wednesday, February 08, 2012 119Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 120: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu za Mungu ndizoNguvu za Mungu ndizo tunazozihitaji katika maisha yetu, ili kutuwezesha kuishi 

maisha yenye athari nzuri kwamaisha yenye athari nzuri kwa watu wanaotuzunguka.watu wanaotuzunguka.‘Spiritual Effect life’p ff f

Wednesday, February 08, 2012 120Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 121: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

LakiniLakini …Uwezo huo wa kuathiri mazingiraUwezo huo wa kuathiri mazingira yako, unategemea sana kiwango

cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.Warumi 1:16, Waefeso 3:20

Wednesday, February 08, 2012 121Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 122: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Semina yetu;

KANUNI ZA KIROHO ZA KUSABABISHA NGUVU ZA 

GMUNGU

Wednesday, February 08, 2012 122Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 123: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

K i i t hit jiKwanini  tunahitaji

Nguvu za Mungu?Nguvu za Mungu?

Wednesday, February 08, 2012 123Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 124: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1.Ili tuweze kuutawala Ulimwengu wa roho unaotawala ulimwenguwa roho unaotawala ulimwengu  

huu wa mwiliWaebrania 11:3

Wednesday, February 08, 2012 124Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 125: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:3‘N i t j k li‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na g ,vitu vinavyoonekana (vya kimwili) h ik b k i ilihavikuumbwa kwa vitu vilivyo 

dhahiri (wazi wazi)’dhahiri (wazi wazi)Wednesday, February 08, 2012 125Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 126: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:3‘ li li b k N‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana g , y(vya kimwili) viliumbwa kwa vitu 

i i dh hi i ( i i)’visivyo dhahiri (wazi wazi)’(vitu vya kiroho)‐ (vitu vya kiroho) ‐

Wednesday, February 08, 2012 126Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 127: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:3‘ li li b k N‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana g , y(vya kimwili) viliumbwa kwa vitu 

i i dh hi i ( i i)’visivyo dhahiri (wazi wazi)’(vitu vya kiroho)‐ (vitu vya kiroho) ‐

Wednesday, February 08, 2012 127Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 128: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Wakorintho 15:44‘Iki k ili ili ( t l‘Ikiwa kuna mwili wa asili (natural body) basi kuna mwili wa roho pia y) p

(spiritual body)’

Wednesday, February 08, 2012 128Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 129: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Wakorintho 15:44Hii i k b kil hHii ina maana kwamba, kila cha kimwili, kina cha kiroho chake; na , ;

hicho cha kiroho, ndicho ki h l hiki h ki ilikinachotawala hiki cha kimwili.

Wednesday, February 08, 2012 129Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 130: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ni kutokana na ukweli kwamba; Ulimwengu wa Mwili umezaliwa k k k ik li hkutoka katika ulimwengu wa roho. Kwahiyo ulimwengu wa mwiliKwahiyo ulimwengu wa mwili unatawaliwa na ulimwengu wa 

kiroho .W b i 11 3Waebrania 11:3

Wednesday, February 08, 2012 130Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 131: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba;Ulimwengu wa Mwili 

unatawaliwa kwa nguvu zaunatawaliwa kwa nguvu za kiroho.kiroho.

Waebrania 11:3Waebrania 11:3Wednesday, February 08, 2012 131Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 132: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:3Hii i k i b jiHii ni kanuni ya uumbaji wa 

Mungu; huwezi kwenda kinyumeMungu; huwezi kwenda kinyume na hii ukafanikiwa duniani 

ipasavyo. 

Wednesday, February 08, 2012 132Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 133: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Wakorintho 4:18a o o 8Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekanatuviangalie vile visivyoonekana 

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo (y y ) yndivyo vya vya kudumu 

( i t l ki ili)(vinavyotawala vya kimwili).Wednesday, February 08, 2012 133Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 134: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19Ukitaka kuleta mabadiliko katika li ili l i dulimwengu wa mwili, lazima uende 

kwanza katika ulimwengu wa roho,kwanza katika ulimwengu wa roho, na kufanya mabadiliko huko, na 

h d k b d l khapo ndipo utakapoona mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.katika ulimwengu wa mwili. 

Wednesday, February 08, 2012 134Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 135: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2.Kwanini tunahitaji Nguvu za Mungu?Mwanadamu aliumbwa atende kaziMwanadamu aliumbwa atende kazi kwa kutumia Nguvu za Mungu.g g

Mwanzo 1:26‐28

Wednesday, February 08, 2012 135Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 136: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3.Kwanini tunahitaji Nguvu za Mungu?Ili t k hi d Ad i tIli tuweze kumshinda Adui yetu

Luka 11:21‐22Luka 11:21‐22

Wednesday, February 08, 2012 136Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 137: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4.Kwanini tunahitaji Nguvu za Mungu?

Ili t k t l M iliIli tuweze kuutawala MwiliWarumi 8:5‐11Warumi 8:5‐11

Wagalatia 5:16‐24Wagalatia 5:16 24Wednesday, February 08, 2012 137Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 138: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5.Kwanini tunahitaji Nguvu za Mungu?Ili k hi d liIli tuweze kuushinda ulimwengu

Mathayo 6:26 33Mathayo 6:26‐33

Wednesday, February 08, 2012 138Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 139: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 6:26‐33y32 ‘Kwanini mnahangaikia na kusumbukia mambo ambayo 

h t t if h iki ?hata mataifa wanayahangaikia? 

Wednesday, February 08, 2012 139Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 140: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 6:26‐33Mathayo 6:26 3333 Bali ninyi utafuteni kwanza yUfalme wa Mungu na haki yake, 

hna hayo mengine yote, nitawazidishianitawazidishia.

Wednesday, February 08, 2012 140Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 141: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu za Mungu ndizoNguvu za Mungu ndizo tunazozihitaji katika maisha yetu, ili kuwezesha kuishi maisha ya ushindi namaisha ya ushindi na 

mafanikio hapa duniani; namafanikio hapa duniani; na tuwe tofauti na mataifa.(tuushinde ulimwengu)Wednesday, February 08, 2012 141Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 142: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutoka 9: 4, 26Kutoka 9: 4, 26‘Nami nitaweka tofauti kati ya f y

Wamisri na Waebrania.’(Mambo yatakayowapata 

W i i h t t i iWamisri, hayatawapata ninyi Waebrania – watoto wa Mungu)Waebrania  watoto wa Mungu)Wednesday, February 08, 2012 142Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 143: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zekaria 8:20‐23‘Katika siku hizo, watu 10 wa 

mataifa mbalimbali, wataushika upindo wa nguo wa Myahudiupindo wa nguo wa Myahudi (Mkristo) mmoja na kusema, 

tutakwenda pamoja nawe, kwa maana tumesikia kwamba Mungumaana tumesikia kwamba, Mungu 

yupo pamoja nanyi’Wednesday, February 08, 2012 143Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 144: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Daniel 1:17Na katika habari za hao vijana 

li d i lwaliompenda Mungu, Daniel, Shadrack, Meshack, na Abednego, , , g ,Mungu aliwapa akili, busara na if k b idi 10maarifa; na kuwa bora zaidi, mara 10 

kuliko werevu wote, waganga wote   na wachawi wote wa Babeli.

Wednesday, February 08, 2012 144Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 145: Injili ni nguvu ya mungu

Mathayo 5:14‐16Ninyi ni Nuru ya Ulimwengu

Giza Vs   NuruK feli K fa lKufeli   – KufauluHasara – FaidaHasara    Faida 

Magonjwa   – Afya/Uponyajig j y p y jUasi/Uovu   – Haki/UtakatifuLAZIMA TUWE TOFAUTI NAO!

Wednesday, February 08, 2012 145Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 146: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Nyakati 16:92Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia‐9 Macho ya Bwana yanakimbiakimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu 

ajionyeshe kwamba yeye niajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

Wednesday, February 08, 2012 146Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 147: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5.Kwanini tunahitaji Nguvu za Mungu?

Ili t hi d ( h ll )Ili tuushinde  (challenge)ulimwenguulimwengu

Mathayo 6:26‐33a ayo 6 6 33Wednesday, February 08, 2012 147Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 148: Injili ni nguvu ya mungu

Kwanini Nguvu ya Mungu?Kwanini Nguvu ya Mungu?

Sababu Tano (5)Sababu Tano (5)1. Ili kuutawala ulimwengu1. Ili kuutawala ulimwengu2. Ili tufanye kazi kwa ushindi3. Ili tumshinde adui shetani4. Ili tuushinde Mwili5 Ili t hi d Uli5. Ili tuushinde UlimwenguWednesday, February 08, 2012 148Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 149: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hizi ni baadhi tu ya sababu zaHizi ni baadhi tu ya sababu za Kwanini ni muhimu mtu wa Mungu kutafuta na kuzalisha 

Nguvu ya Mungu.

Wednesday, February 08, 2012 149Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 150: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ikiwa Bwana Yesu mwenyeweIkiwa Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Mungu naalihitaji Nguvu za Mungu na alizitafuta, kwa maombi 

mazito na makali maisha yake yote duniani si zaidi sana sisiyote duniani, si zaidi sana sisi 

binadamu wa kawaida?binadamu wa kawaida?Wednesday, February 08, 2012 150Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 151: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 22:29Mathayo 22:2929 Yesu alisema ‘Mwapotoka29 Yesu alisema,  Mwapotoka 

na kupotea kwa sababu phamjui maandiko, wala uweza 

( )wa Mungu (Nguvu za Mungu). 

Wednesday, February 08, 2012 151Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 152: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 20:20 21Yohana 20:20‐21Akawaambia, kama BabaAkawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo akawavuviakusema hayo, akawavuvia (akawapulizia) akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu;

Wednesday, February 08, 2012 152Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 153: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:49Luka 24:49(Pamoja na kwamba(Pamoja na kwamba 

nimeshawapa Roho Mtakatifu)“… Lakini, msiondoke humu mjini, 

mpaka mtakapovikwa uwezampaka mtakapovikwa uwezautokao juu (Nguvu za Mungu).j ( g g )

Wednesday, February 08, 2012 153Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 154: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 1:8Matendo 1:8“Nanyi mtapokea NGUVU akiishaNanyi mtapokea NGUVU akiisha 

kuja juu yenu RohoMtakatifu, ndipo mtakuwa mashahidi 

wangu kuanzia Jerusalem mpakawangu kuanzia Jerusalem mpaka mwisho wa nchi

Wednesday, February 08, 2012 154Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 155: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 2:1 51Wakorintho 2:1‐54 Injili yangu, haikuja kwenu4 Injili yangu, haikuja kwenukwa maneno makavu, yenyef h k h i hi kiliufasaha wa kushawishi akili zawatu; bali kuhubiri kwanguwatu; bali kuhubiri kwangu

kulikuwa kwa ishara (dalili) zaR h M k if NRoho Mtakatifu na Nguvu. 

Wednesday, February 08, 2012 155Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 156: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Wakorintho 2:1 51 Wakorintho 2:1‐55 ili imani yenu isiwe katika5 … ili imani yenu isiwe katika maneno ya akili za binadamu, ybali katika ishara (dalili) za h k ifRoho Mtakatifu na Nguvu za 

MunguMungu. Wednesday, February 08, 2012 156Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 157: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Semina yetu;

KANUNI ZA KIROHO ZA KUSABABISHA NGUVU ZA 

GMUNGU

Wednesday, February 08, 2012 157Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 158: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1.KujitambuaKujitambuaAsili ya roho yakoAsili ya roho yako

(Wewe)(Wewe)Wednesday, February 08, 2012 158Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 159: Injili ni nguvu ya mungu

Mungu Ndiye Asili Yetu.Mungu Ndiye Asili Yetu. 

Mwa 2:7 MunguMwa 2:7                          Mungu 

Dunia      Mwili    Nafsi   RohoWednesday, February 08, 2012 159Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 160: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7Mwa 2:7                                      MunguMungu

RohoDunia                                 Nafsi(Udongo)                         MwiliWednesday, February 08, 2012 160Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 161: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 1:18 23Waefeso 1:18‐23Mtume Paul alituombea kwa MunguMtume Paul alituombea kwa Munguakisema, “… Macho ya mioyo yenu

yatiwe nuru, mpate kujua … (1) Tumaini tulilonalo na (2) Utajiri(1) Tumaini tulilonalo, na (2) Utajiritulionao, na (3) Nguvu tulizonazo, ( ) gzinazotenda kazi ndani mwetu”

Wednesday, February 08, 2012 161Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 162: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 1:18 23Waefeso 1:18‐23… Nguvu hizo, ni zile zile… Nguvu hizo, ni zile zilezilizotumika katika kumtoa

Y K i t k t k k tik fYesu Kristo kutoka katika wafuna kumuweka katika, kiti chana kumuweka katika, kiti cha enzi, mkono wa kuume waM B b M iMungu Baba Mwenyezi

Wednesday, February 08, 2012 162Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 163: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 1:18 23Waefeso 1:18‐23juu sana kuliko majina yote… juu sana kuliko, majina yote, vyeo vyote, mamlaka zote, y ysultani zote, nguvu zote na f l lifalme zote, za ulimwengu 

huu na ule ujao piahuu, na ule ujao pia.Wednesday, February 08, 2012 163Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 164: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Activation (kuamka) kwa NguvuActivation (kuamka) kwa Nguvu za Mungu ndani yako, inaanza kwa wewe kujitambua kwa 

usahihi ile asili ya Mungu iliyousahihi ile asili ya Mungu iliyo ndani yako.ndani yako.

KujitambuaKujitambuaWednesday, February 08, 2012 164Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 165: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutambua kwamba, wewe niKutambua kwamba, wewe ni zaidi ya mwili tu, bali

Roho yako (wewe) ni Sura na f k bMfano kabisa wa Mungu 

mwenye nguvu na uweza wamwenye nguvu na uweza wa ajabu.j

Zaburi 82:6Wednesday, February 08, 2012 165Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 166: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, utendani kazi waKwahiyo, utendani kazi wa (kuamka) kwa Nguvu za Mungundani yako, kuaanzia katika 

kujitambua kwa usahihi ile asilikujitambua kwa usahihi, ile asili ya Mungu iliyo ndani yako.ya Mungu iliyo ndani yako.

Mawazo !!!Mawazo !!!Wednesday, February 08, 2012 166Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 167: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukik k t kUkikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakoseakuwaza na kutakosea 

kuongea.kuongea.Na Maneno yanaumba.Na Maneno yanaumba.

Wednesday, February 08, 2012 167Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 168: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo MtazamoManeno

Wednesday, February 08, 2012 168Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 169: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imani

Mtazamo

Wednesday, February 08, 2012 169Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 170: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

b k iKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoMawazo Mtazamo

Wednesday, February 08, 2012 170Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 171: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoManeno

Wednesday, February 08, 2012 171Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 172: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

‘Aji t f i i‘Ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo’mwake, ndivyo alivyo

Mithali 23:7Mithali 23:7

Wednesday, February 08, 2012 172Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 173: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2.Kumpokea YesuKumpokea Yesu

(W k )(Wokovu)Wednesday, February 08, 2012 173Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 174: Injili ni nguvu ya mungu

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) 

(Utukufu) Msaada Mungu(Utukufu) Msaada Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

ShetaniWednesday, February 08, 2012 174Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 175: Injili ni nguvu ya mungu

BAADA YA DHAMBI (ANGUKO)BAADA YA DHAMBI (ANGUKO) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

ShetaniWednesday, February 08, 2012 175Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 176: Injili ni nguvu ya mungu

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

ShetaniWednesday, February 08, 2012 176Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 177: Injili ni nguvu ya mungu

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt Mungu(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) Wednesday, February 08, 2012 177Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 178: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3.KUJAZWA

NGUVU ZA ROHO MTAKATIFUMTAKATIFU.

Wednesday, February 08, 2012 178Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 179: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 20:20 21Yohana 20:20‐21Akawaambia, kama BabaAkawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo akawavuviakusema hayo, akawavuvia akawaambia, pokeeni Roho

Mtakatifu (Ndani yao).Wednesday, February 08, 2012 179Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 180: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:49Luka 24:49(Ingawa nimeshawapa Roho(Ingawa nimeshawapa Roho 

Mtakatifu ndani yenu)“… Lakini, msiondoke humu mjini, mpaka mtakapovikwa (juu yenu)mpaka mtakapovikwa (juu yenu)

uweza (nguvu) utokao juu.( g ) jWednesday, February 08, 2012 180Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 181: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4.USHIRIKA NAUSHIRIKA NA

ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU.Wednesday, February 08, 2012 181Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 182: Injili ni nguvu ya mungu

USHIRIKA NAUSHIRIKA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

2Wakorintho 13:142 Wakorintho 13:14‘Neema ya Bwana wetu YesuNeema ya Bwana wetu Yesu Kristo, na Upendo wa Mungu 

Baba, Ushirika wa Roho Mt k tif k i t ’Mtakatifu, ukae nanyi nyote’

Wednesday, February 08, 2012 182Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 183: Injili ni nguvu ya mungu

ROHO MTAKATIFU

Kwahiyo …Kwahiyo …Ili kupata msaada na nguvu za p gRoho Mtakatifu maishani 

k l bmwako, ni lazima umtambuena kumpa ushirika anaotakana kumpa ushirika anaotaka 

maishani mwako.Wednesday, February 08, 2012 183Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 184: Injili ni nguvu ya mungu

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

ANA NAFSI HAI; ANA HISIA (FEELINGS)( )‐ Asipotambukila ‐ AsipoheshimikaAsipoulizwa‐ Asipoulizwa

‐ Asiposikilizwa‐ ANAHUZUNIKA (ANUMIA)‐ ANAZIMA UWEZO WAKE

Wednesday, February 08, 2012 184Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 185: Injili ni nguvu ya mungu

ROHO MTAKATIFU NI NANI?

1. Roho Mtakatifu1. Roho Mtakatifu Ni Mungu Mwenyezig y

Matendo 5:1‐5‘Anania, kwanini kumdanganya h k f ? k dRoho Mtakatifu? Hukumdanganya Mwanadamu, bali Mungu’ , g

Wednesday, February 08, 2012 185Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 186: Injili ni nguvu ya mungu

ROHO MTAKATIFU

2. Roho Mtakatifu Ni NGUVU ya 

Mungu Mwenyezi(Luka 4:18‐19)

Wednesday, February 08, 2012 186Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 187: Injili ni nguvu ya mungu

Roho Mtakatifu Ni Nani?Roho Mtakatifu Ni Nani?

3. Roho MtakatifuR h M k if i MTURoho Mtakatifu ni MTU

(Nafsi iliyo hai)(Nafsi iliyo hai)

Nafsi + RohoNafsi  +   RohoWednesday, February 08, 2012 187Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 188: Injili ni nguvu ya mungu

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

ANA NAFSI HAI; ANA HISIA (FEELINGS)( )‐ Asipotambukila ‐ AsipoheshimikaAsipoulizwa‐ Asipoulizwa

‐ Asiposikilizwa‐ ANAHUZUNIKA (ANUMIA)‐ ANAZIMA UWEZO WAKE

Wednesday, February 08, 2012 188Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 189: Injili ni nguvu ya mungu

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompa RohoKiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu wako ktk  k b k ( l)• kuitambua sauti yake (signal)k i iki ti k (k l )• kuisikia sauti yake (kuelewa) 

• kuitii sauti yake (kutenda)• kuitii sauti yake (kutenda)Wednesday, February 08, 2012 189Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 190: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

55. Maisha yaUtakatifuUtakatifu

Wednesday, February 08, 2012 190Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 191: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kumbukumbu 23:14‘Na kiwe kitakatifu kituo chako(moyo wako) ili nitakapokujakukutembelea ili nikuokoe nakukutembelea ili nikuokoe naadui zako, nisikute kitu kichafuadui zako, nisikute kitu kichafu

kikanifanya nigeuke nakukuacha’

Wednesday, February 08, 2012 191Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 192: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Wakorintho 6:14‐182Wakorintho 6:14 18Mungu hana ushirika na dhambi, g ,wala hakuna ushirika, kati ya 

h k k knuru na giza; hivyo tokeni katika mwenendo wa uovu wa mataifamwenendo wa uovu wa mataifa, 

mkajitenge na uovu wote. j gWednesday, February 08, 2012 192Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 193: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 14:12Waebrania 14:12Tafuteni kwa bidii kuwa na 

amani na watu wote na kuwa na k f b hutakatifu, ambao pasipo huo(utakatifu) mtu hawezi(utakatifu), mtu hawezi kumwomna Mungu. g

Wednesday, February 08, 2012 193Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 194: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Isaya 57:15Isaya 57:15Mungu wetu anakaa mahali g

patakatifu pamoja na mtu aliye h l bna roho iliyotubu na 

kumyenyekeakumyenyekea1Thesalonike 4:1‐4‐71Thesalonike 4:1 4 7

Wednesday, February 08, 2012 194Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 195: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

66. Kujaa na KulitiiNeno la MunguNeno la Mungu

Wednesday, February 08, 2012 195Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 196: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Kujaa na Kulitii Neno6. Kujaa na Kulitii NenoYoshua 1:3,5‐9

Shika kwa Bidii maneno ya kitabu hikicha torati (Biblia) usiende kushotocha torati (Biblia), usiende kushotowala kulia; yatafakaria maneno yake

h ik dimchana na usiku, ndipoutakapofanikiwa sana na ndipo

utakapostawi sana.Wednesday, February 08, 2012 196Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 197: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Kujaa na Kulitii Neno6. Kujaa na Kulitii NenoYoshua 1:3,5‐9Yoshua 1:3,5 9

Ukifanya hivyo, basi na mimi Mungunitakuwa pamoja na wewe kamanilivyokuwa pamoja na Musa;nilivyokuwa pamoja na Musa;

Wednesday, February 08, 2012 197Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 198: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Kujaa na Kulitii Neno6. Kujaa na Kulitii NenoYoshua 1:3,5‐9,

Na kila mahali nyayo za miguu yakozitakapokanyaga, nitakupa wewekupamiliki; na wala hatakuwepokupamiliki; na wala hatakuwepo

mtu atakayeweza kusimama mbelek ik t i h kzako, siku zote za maisha yako

Wednesday, February 08, 2012 198Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 199: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Kujaa na Kulitii Neno6. Kujaa na Kulitii NenoKumb 28:1‐68

Ukisikiliza kwa bidii maneno ya kitabuhiki, na kushika kwa bidii maagizo

yake na kutenda yote yaliyoandikwayake na kutenda yote yaliyoandikwahumu, ndipo baraka hizi zote

it k f t k k tzitakufuata na kukupata.   Wednesday, February 08, 2012 199Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 200: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Kujaa na Kulitii Neno6. Kujaa na Kulitii NenoKumb 28:1‐14

Usiposikiliza kwa bidii maneno yakitabu hiki, na usiposhika kwa bidiimaagizo yake na usipotenda yotemaagizo yake na usipotenda yoteyaliyoandikwa humu, ndipo laanahi i t it k f t k k thizi zote zitakufuata na kukupata.   

Wednesday, February 08, 2012 200Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 201: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

77. Maisha yaMaombiMaombi

Wednesday, February 08, 2012 201Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 202: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Wednesday, February 08, 2012 202Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 203: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Wednesday, February 08, 2012 203Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 204: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Wednesday, February 08, 2012 204Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 205: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Wednesday, February 08, 2012 205Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 206: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Wednesday, February 08, 2012 206Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 207: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

88. Maisha ya Kusifu

na Kuabuduna Kuabudu

Wednesday, February 08, 2012 207Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 208: Injili ni nguvu ya mungu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3Zab 22:3“Wewe U Mtakatifu, ,nawe unaketi juu ya

sifa za Israel”

MUNGU ANAISHI KATIKA SIFAZA WATUWAKEZA WATU WAKE.  

Wednesday, February 08, 2012 208Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 209: Injili ni nguvu ya mungu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

“ Baba anawatafuta… Baba anawatafuta watu wa aina hiyowatu wa aina hiyo Ili  wamwabudu.”(Yohana 4: 23)

Wednesday, February 08, 2012 209Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 210: Injili ni nguvu ya mungu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo;Kwahiyo;IDABA ndio kitu cha kwanzaIDABA ndio kitu cha kwanza

kabisa katika moyo wa Mungu.kabisa katika moyo wa Mungu.

Ni k il ji k kiNi kama vile maji kwa samaki na hewa kwa binadamuhewa kwa binadamu

Wednesday, February 08, 2012 210Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 211: Injili ni nguvu ya mungu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

f k h kKumsifu, kumshukuru na kumwabudu Mungu Kunavutakumwabudu Mungu, Kunavuta (kunasababisha) utukufu wa ( )Mungu kuja mahali ulipo.  

(2Nyakati 5:12‐14)(Zaburi 27:4)

Wednesday, February 08, 2012 211Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 212: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Maisha ya Kusifu na Kuabudu8. Maisha ya Kusifu na Kuabudu Zab 22:3, Yoh 4:23‐24,Zab 22:3, Yoh 4:23 24, 

Kila mtu apendaye kumsifu na p ykumwabudu Mungu, batatembea na uwepo na nguvu

na utukufu wa Mungu wetuna utukufu wa Mungu wetu.Wednesday, February 08, 2012 212Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 213: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

99. Utoaji Mzuriwa Sadakawa Sadaka

(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           Wednesday, February 08, 2012 213Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 214: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hagai 1:1 11Hagai 1:1‐11 Zitafarini njia zenu, mmepanda vingi,Zitafarini njia zenu, mmepanda vingi, 

lakini mkavuna vichache. Na vichache mlivyovuna, mkaviweka

katika mifuko iliyotoboka nakatika mifuko iliyotoboka navingine mlivyovuna, mimi Mungunimevipeperusha (na sio shetani). 

Wednesday, February 08, 2012 214Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 215: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hagai 1:1 11Hagai 1:1‐11 Tazama, hata na mbinguTazama, hata na mbingu 

zimezuiliwa zisitoe mvua, na nchi pia imezuiliwa isitoe umande. 

Zitafarini njia zenu!Zitafarini njia zenu! 

Wednesday, February 08, 2012 215Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 216: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaki 3:7‐12Malaki 3:7‐12 Ninyi nyote, mmelaaniwa kwa laana (yakutoitunza kazi ya Mungu), mnaniibiazaka na sadaka. Leteni zaka kamili

ghalani mwangu (nyumbani mwangu) ndipo nitakapofungua madirisha yandipo nitakapofungua madirisha yambinguni, na kuwamwagieni Baraka, hata mkose mahali pa kuziwekahata mkose mahali pa kuziweka. 

Wednesday, February 08, 2012 216Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 217: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaki 3:7 12Malaki 3:7‐12 Nami kwa ajili yenu, nitamshughulikiaj y , gyule mharibifu, anayekula faida yenu(mazao) Nanyi mtakuwa na heri(mazao). Nanyi mtakuwa na heri(baraka) duniani. Na mataifa yote

watawaiteni ninyi heri, mliobarikiwana Bwanana Bwana.

Wednesday, February 08, 2012 217Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 218: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

9 Utoaji Mzuri wa Sadaka9. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)           

Sadaka yako ina nguvu yak f li Mkufungulia uweza wa Munguwa kubariki, kuponya nawa kubariki, kuponya nakufanikisha maisha yako

Malaki 3:7‐12 Wednesday, February 08, 2012 218Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 219: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

9 Utoaji Mzuri wa Sadaka9. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)     

Kumbukumbu 8:6‐18Usipomsahau Mungu, baliukalishika agano lake, atakupaukalishika agano lake, atakupanguvu zaidi za kupata utajiri, baraka ushindi na mafanikiobaraka, ushindi na mafanikio. 

Wednesday, February 08, 2012 219Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 220: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

9 Utoaji Mzuri wa Sadaka9. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           

2Wakorintho 9:6‐12,Apandaye(atoaye) haba, atavunah b l ki i d ( )haba; lakini apandaye (atoaye) 

kwa ukarimu, atavuna kwa wingi.kwa ukarimu, atavuna kwa wingi.Wednesday, February 08, 2012 220Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 221: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

9 Utoaji Mzuri wa Sadaka9. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)           

Sadaka yako ina nguvu yak f li Mkufungulia uweza wa Munguwa kubariki, kuponya nawa kubariki, kuponya nakufanikisha maisha yako

Malaki 3:7‐12 Wednesday, February 08, 2012 221Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 222: Injili ni nguvu ya mungu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU2Kor 9:6‐8, 11

Mungu

ZAKA + DHABIHUK b 18 1 5 ZAKA +    DHABIHUKumb 18:1‐5Lawi 6:12‐13

FUNGUA + KUMWAGAFUNGUA +  KUMWAGA Malaki 3:7‐12

Hagai 1:5‐11Wednesday, February 08, 2012 222Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za 

Mungu

Page 223: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1010. Kujenga / Kutengeneza

Kiu, Bidii na Nidhamuya mambo ya kiroho

Wednesday, February 08, 2012 223Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 224: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Asanteni sana kwaAsanteni sana kwa kunisikiliza, na Mungukunisikiliza, na Mungu 

awabariki sana!

Wednesday, February 08, 2012 224Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu

Page 225: Injili ni nguvu ya mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

M i hMwisho.

Wednesday, February 08, 2012 225Kanuni za KIroho za Kutembea na nguvu za Mungu