issn 0856 - 3861 na. 1089 shawwal1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya...

12
ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, IJUMAA , SEPT. 6-12, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz ALIYEKUWA Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki, amejikuta akibubujikwa machozi alipopanda jukwaani na kuimbiwa wimbo wa “Sisi Sote” USTAARABU wa Kiislamu ni hazina kubwa iliyojengwa na Misingi ya Dini ya Kiislamu, inayofaa kuenziwa kwa hali zote. Hayo yamebainishwa na Makamu wa Pili wa Raisi Hali ya Sheikh mbaya gerezani Wimbo ‘Sisi Sote’ wamliza Mansour Karume, Maalim Seif wasema ‘NO’ Membe atajwa kuhujumu Zanzibar Ni katika mambo ya “Wakfu’, Nje Ustaarabu wa Kiislamu ni lulu Na Mwandishi Wetu tumegomboka. Huo ulikuwa ni ule ummati wa Wazanzibari waliokusanyika katika ukumbi wa Salama, Hoteli ya Bwawani Jumamosi iliyopita, wakiwa na kauli mbiu ya Zanzibar kwanza, wakiweka kando siasa za Inaendelea Uk.3 Na Mwandishi Wetu wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi wakati akifunga Kongamano juu ya historia na ustaarabu wa Kiislamu. Kongamano hilo lilifunguliwa Rasmi na Raisi wa Zanzibar Alhaj Dr. Ali Mohamed Shein, ambaye aliwahamasisha Waislamu kuenzi Ustaarabu uliokamilika wa Tangu Asili ya Watu wa Mwambao wa Afrika ya Mashariki na Kati. Ustaarabu wa Kuheshimika. Katika kongamano hilo Inaendelea Uk.4 MZEE Moyo (kushoto) na Mohamed S. Riami "Eddy" wakiwa katika kongamano Bwawani. ALIYEKUWA Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki, Mansour Yussuf. Sheikh Simba alia kupuuzwa Makadhi wake Serikali, Tume ya Katiba zalaumiwa Aliyosema Sheikh Mohamed Issa yametimia Uk. 11

Upload: others

Post on 12-Jan-2020

26 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, IJUMAA , SEPT. 6-12, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz

A L I Y E K U W A Mwakilishi wa Jimbo l a K i e m b e s a m a k i , amejikuta akibubujikwa machozi al ipopanda jukwaani na kuimbiwa wimbo wa “Sisi Sote”

U S T A A R A B U w a Kiislamu ni hazina kubwa iliyojengwa na Misingi ya Dini ya Kiislamu, inayofaa kuenziwa kwa hali zote.

Hayo yamebainishwa na Makamu wa Pili wa Raisi

Hali ya Sheikh mbaya gerezani

Wimbo ‘Sisi Sote’ wamliza Mansour

Karume, Maalim Seif wasema ‘NO’Membe atajwa kuhujumu ZanzibarNi katika mambo ya “Wakfu’, Nje

Ustaarabu wa Kiislamu ni lulu

Na Mwandishi Wetu tumegomboka.Huo ulikuwa ni ule

ummati wa Wazanzibari waliokusanyika katika ukumbi wa Salama, Hoteli ya Bwawani Jumamosi iliyopita, wakiwa na kauli mbiu ya Zanzibar kwanza, wakiweka kando siasa za

Inaendelea Uk.3

Na Mwandishi Wetu wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi wakati akifunga Kongamano juu ya historia na ustaarabu wa Kiislamu.

K o n g a m a n o h i l o lilifunguliwa Rasmi na Raisi wa Zanzibar Alhaj Dr. Ali Mohamed Shein, ambaye aliwahamasisha

W a i s l a m u k u e n z i Ustaarabu uliokamilika w a Ta n g u A s i l i y a Watu wa Mwambao wa Afrika ya Mashariki na K a t i . U s t a a r a b u w a Kuheshimika.

Katika kongamano hilo Inaendelea Uk.4

MZEE Moyo (kushoto) na Mohamed S. Riami "Eddy" wakiwa katika kongamano Bwawani.

ALIYEKUWA Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki, Mansour Yussuf.

Sheikh Simba alia kupuuzwa Makadhi wake

Serikali, Tume ya Katiba zalaumiwaAliyosema Sheikh Mohamed Issa yametimia

Uk. 11

Page 2: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

2 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza program maalum ya maandalizi ya kujiunga na kidato cha kwanza 2014.

Program hii itaanza tarehe 16/09/2013 hadi tarehe 16/12/2013. Jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa 2:00 kamili asubuhi hadi saa 9:00 Alasir.

Masomo yatakayofundishwa ni:-Elimu ya dini ya Kiislamu, English language, Lugha ya kiarabu, basic Mathematics na Computer.

Fomu za Kujiunga zinapatikana shuleni BURE.

Mlete mwanao apate Elimu yenye tija itakayomweze kujiunga na kidato cha kwanza.

Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba:0714 888 557/0712 974428

Wabllah tawfiq

Mkuu wa Shule

Hali ya Sheikh mbaya gerezaniPAMOJA na taarifa rasmi ya Daktar i kutoka Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, Zanzibar inayoeleza hali ya afya ya Naibu Amiri wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (JUMIKI) Sheikh Azzan Khalid Hamdan ikidhoofika a k i w a g e r e z a n i , Kiinuamiguu, mjini hapa, bado Serikali ya Zanzibar imeonekana kupata kigugumizi.

T a a r i f a h i y o inathibitisha kwamba hali ya Sheikh Azzan, anayeendelea kusotea gerezani kwa takriban m w a k a m m o j a sasa, akijumuika na

Na Waandishi wetu, Zanzibar

Maamiri wa JUMIKI na wale wa Jumuiya ya Maimamu ya Zanzibar (JUMAZA), hali yake imekuwa ikidhoofika kutokana na tatizo katika mfumo wake wa maj i ndani ya figo kupata matatizo, kama walivyobaini m a d a k t a r i w a l i o m f a n y i a u c h u n g u z i h i v i karibuni.

M a d a k t a r i h a o k u p i t i a v i p i m o v y a ‘ u l t r a s o u n d ’ wamebaini hitilafu hiyo na kupendekeza haraka iwezekanavyo Kiongozi huyo wa K i i s l a m u k u p a t a matibabu ya haraka ikiwezekana nje ya Nchi.

Ripoti ya Daktari

waliyoiona waandishi wa habari inathibitisha kuwapo kwa hitilafu h i y o i n a y o w e z a kuongeza ukubwa wa tatizo na kama walivyopendekeza wataalamu, iwapo K i o n g o z i h u y o hatapatiwa matibabu ya haraka.

“Haya ni matatizo ambayo ufumbuzi wake hapa kwetu n i t a b u k i d o g o w a l i o f a n i k i w a wamepelekwa India au kwengineko na wasifanye mzaha”, amekaririwa akisema mmoja wa wataalamu wa mambo ya afya y a j a m i i N c h i n i , m a r a ‘ a l i p o i p i g a macho’ ripoti hiyo ya kusikitisha.

Ubungo Islamic high SchoolP.o. Box 55105 Tel: 2450069, 0712 974428, fax: 2450822 Dar es salaam.

E-mail: [email protected]

MAANDALIZI YA KUJIUNGA KIDATO CHA I, 2014(PRE- FORM ONE ORIENTATION COURSE)

TUMEARIFIWA k w a m b a i l e m i s w a d a ya s h e r i a ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya ras imu ya k a t i b a m p ya , inawasilishwa k a t i k a v i k a o v y a B u n g e l inaloendelea mjini Dodoma hivi sasa.

Miswada hiyo inawasi l ishwa kujadi l iwa na w a b u n g e i l i k u t o a n a f a s i kwa wabunge k u c h a m b u a vipengele vya mbalimbali sheria h i z o k u a n z i a uteuzi wa Kamati ya Uteuzi wa Bunge la Katiba, k u t i z a m a m u u n d o n a u w i a n o w a v i o n g o z i n a wabunge katika Bunge la Katiba.

Aidha kujadili juu ya mamlaka itakayosimamia kura za maoni

Tuchunge nafasi ya Zanzibar katika miswada ya sheria Katiba mpya

kuhusu rasimu hiyo na mambo m e n g i n e m b a l i m b a l i yanayohusiana n a m c h a k a t o mzima wa rasimu ya Katiba mpya.

Wakati Bunge la Jamhuri ya M u u n g a n o likipata nafasi y a k u j a d i l i suala hilo nyeti, i k u m b u k w e k u w a k u n a chombo kingine c h a k u t u n g a sheria Zanzibar. Nacho si kingine bali ni Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.

B a r a z a h i l i tunaona kuwa k a m a m d a u m u h i m u w a mustakabali wa k a t i b a m p y a n c h i n i , l i n a nafasi yake katika kujadili na kutoa m a p e n d e k e z o y a k e j u u y a miswada ya sheria ya mabadiliko haya ya Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Page 3: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

3 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013Habari

Wimbo ‘Sisi Sote’ wamliza MansourInatoka Uk.1

CCM na CUF.Mara tu alipopanda

jukwaani, ummati wa watu waliojazana katika ukumbi huo hadi kusababisha hali ya hewa kuwa nzito, ulisimama na kuimba wimbo huo mashuhuri unaoimbwa katika sikukuu za mapinduzi na mashujaa.

N i k a t i k a w i m b o huo ambapo wanajeshi, w a n a m a p i n d u z i , wazalendo na wananchi kwa u jumla wanatoa kauli, ahadi na kiapo cha kuipigania na kulinda nchi.

N a h i y o i k a l i p u a hamasa ya kutokurudi nyuma katika kupigania nchi pamoja na Dola ya Zanzibar yenye mamlaka kamili.

H a p o n d i o w e n g i wakaanza kutoka machozi huku Mansour akishindwa kujizuiya na kujikuta akilazimika kufuta machozi kwa vidole mwisho akatoa kitambaa.

Hiyo ilitokana na ujumbe uliokuwepo katika wimbo huo ukihimiza ukombozi na kuwasifu walioikomboa U n g u j a k u t o k a k wa wakoloni ambapo sasa wanajiona wanalazimika kuipigania tena kurejesha hadhi na mamlaka yake.

P a m o j a n a m e n g i aliyozungumza, lakini alichohimiza Mansour ni juu ya Wazanzibar k u t o k u r u d i n y u m a kupigania mamlaka kamili ya nchi yao.

Alisema, kwa kuwa mtumishi wa Serikali katika nafasi mbalimbali ameona dhulma na hujuma inayofanywa dhidi ya Zanzibar.

Akigusia suala la mafuta na gesi, alionyesha jinsi ambavyo kwa muda mrefu Tanzania Bara imekuwa ikichimba gesi, lakini Zanzibar haipati kitu kutokana na pato hilo.

Hata hivyo, ilivyokuja kwa Zanzibar kutafiti na kuchimba mafuta na gesi, vikwazo vingi vimewekwa ikidaiwa kuwa hilo ni jambo la muungano.

Hata pale Zanzibar iliposema kuwa ipo tayari kutoa asilimia 60 ya pato la gesi kwenda Bara na Zanzibar kubaki na 40%, bado haikukubaliwa.

N d i o h a p o i k a f i k a mahali wakasema kuwa inabidi wasimame imara kuhakikisha wanalitoa s u a l a l a m a f u t a n a gesi katika mambo ya

muungano.Kabla ya kusimama na

kuzungumza Mansour, walitangulia wasemaji w e n g i n e a k i w e m o Mwenyekiti wa Kamati ya Maridhiano, Mzee Nassor Moyo ambaye a l i w a t a h a d h a r i s h a Wazanzibar juu ya fitna.

Katika nasaha zake Mzee Moyo alisema kuwa kwa muda mrefu Zanzibar imekuwa katika f i tna ambapo imeleta maafa ya kuuwana na kwamba sasa ni wakati wa kumaliza fitna hiyo.

Alisema, Rais Mstaafu Amani Abeid Karume na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad, washasema ‘N0’ (hapana) kwa mauwaji na siasa za chuki na uhasama, ndio maana walijenga mazingira ya kuleta Serikali ya Umoja wa Kitaifa.

A k a s e m a k u w a wapo watu wasioitakia mema Zanzibar ambao wanataka daima wawaone Wazanzibar wakiuwana n a k u d u m a a k a t i k a maendeleo.

Na kwamba hao ndio w a t a k a o t a k a k u l e t a fitna za vyama kuwatoa Wazanzibar katika agenda yao ya ‘Mamlaka Kamili’.

Kwa hiyo akawataka k u w a m a c h o , k u w a wamoja na kuhakikisha kuwa wanaitumia fursa hii ya kuandika Katika Mpya kuipata Zanzibar waitakayo.

Kwa upande mwingine akasema kuwa umefika wakati wa kuichomoa na kuionyesha hadharani Serikali ya Tanganyika iliyojificha ndani ya Serikali ya Muungano, hali ambayo ndiyo inaendeleza jinamizi la kuikandamiza Zanzibar.

Akigusia bila ya kusema kwa uwazi, alionyesha kuwa f i tna Zanz ibar imekuwa ikiendelezwa na mtindo wa Chama tawala CCM kuiba kura na kunyakua madaraka kwa nguvu bila kujali kura za wananchi.

A l i s e m a , h a t a R a i s M s t a a f u A m a n i Karume aliligusia hilo p a l e a l i p o w a a m b i a ‘wahafidhina’ wasio taka maridhiano kuwa hawana uwezo wa kumpa ushindi wa asilimia 60.

“ U s h i n d i w e t u U n g u j a m n a u j u a (unavyopatikana)”, alisema Mzee Moyo bila kufafanua na kunukuu kauli ya

M h e s h i m i w a A m a n i K a r u m e a k i wa a m b i a wana-CCM hao kuwa yeye hayupo Ikulu kwa ajili ya kusimamia fitna na mauwaji.

Mjumbe mwingine wa Kamati hiyo Eddy Riami aliwahimiza Wazanzibar kusimama katika agenda m o j a t u : k u p i g a n i a Zanzibar yenye mamlaka kiamili.

Na kwamba wawafute na kuwatupilia kwa mbali viongozi wote wasiotaka kuona Zanzibar huru yenye mamlaka yake kamili.

Akizungumza kabla ya kusimama Mansour, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maridhiano, Mheshimiwa Abubakar Khamis Bakari alisema k u w a k u n a m a m b o yanafanyika makusudi kwa roho mbaya tu kuihujumu Zanzibar.

N a k w a m b a i l i kuondokana na hali hiyo ni lazima Tanganyika isimame kama Tanganyika na Zanzibar is imame kivyake ndio zi fanye muungano wenye haki sawa.

A l i s e m a , k a t i k a mfumo wa sasa ambapo Tanganyika imejificha ndani ya Tanzania, hakuna namna Zanzibar inaweza kupata haki yake.

Akitoa mfano aligusia hasara inayopata Zanzibar kwa kutokuwa na Mambo ya Nje.

Akasema, ni kiasi miezi miwili tu iliyopita ambapo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mheshimiwa

Bernard Membe, aliondoa kipengele cha misaada ya ‘Wakfu’ kutoka Mascut kwa vile tu misaada hiyo i n g e k u wa i e l e k e z we Zanzibar.

Akifafanua alisema, u j u m b e w a M a s c u t uliotembelea Tanzania, p a m o j a n a m a m b o m e n g i n e , w a l i t a k a kuwekwa utaratibu wa namna ya kutoa misaada (kwa Zanzibar ) kupitia taasisi ya Wakfu.

H a t a h i v y o , b a a d a y a t a r a t i b u z o t e kukubalika na kusubiri kusainiwa makubaliano ( M e m o r a n d u m ) , M h e s h i m i w a Wa z i r i Membe alifuta kipengele cha Wakfu.

Alisema, hata ukitizama watumishi wa Serikali wakiwemo mabalozi katika nchi za nje na Umoja wa Mataifa, Zanzibar imekuwa ikipunjwa wakati inadaiwa kuwa hiyo ni Wizara ya Muungano.

Ni katika hali hiyo Mheshimiwa Abubakar ambaye ni Waziri wa Kariba na Sheria (ZNZ) na Mwakilishi wa Jimbo la Mgogoni, Pemba; alisema k u wa k a t i k a m a m b o ambayo ni lazima yatiwe katika Katiba Mpya, ni pamoja na kuirejeshea Zanzibar mamlaka ya kuwa na Wizara yake ya Mambo ya Nje.

Wakati huo huo, Kamati ya Maridhiano imetoa maoni yake ya Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutaka Zanzibar ijitegemee karibu kwa kila kitu.

M a e n e o i n a y o t a k a

ya o n d o l e w e k w e n y e Muungano ni Uraia na Uhamiaji, Sarafu na Benki Kuu, Mambo ya Nje na Usajili wa Vyama vya Siasa.

Mapendekezo hayo yalisomwa na Mwakilishi wa Mji Mkongwe ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo, Ismail Jussa katika Kongamano la Jumamosi iliyopita.

“Kila nchi mshirika (Zanzibar na Tanganyika), ibakie na uraia wake na mtu kuwa na uraia wa nchi mshirika ndiko kumpe uhalali wa kuwa raia wa shirikisho”.

A l i s e m a J u s s a n a kuongeza kuwa uchumi si suala la Muungano hata katika Katiba ya sasa na kwamba nyenzo za kuendeshea na kusimamia uchumi wa nchi kwa maana ya sera za fedha na uchumi zimeendelea k u d h i b i t i wa k u p i t i a Serikali ya Muungano.

“ V y o m b o v i k u u vinavyosimamia sera hizo ambavyo ni Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Wizara ya Fedha ya Serikali ya Muungano v i m e k u wa v i k i f a n ya uamuzi na kuyatekeleza bila ya kuzingatia kuwa Zanzibar inategemea uchumi wa utoaji huduma na haiwezi kuwa sawa na uchumi wa Tanganyika a m b a o u n a t e g e m e a rasilimali,” alisema.

Kwa upande mwingine akasema kuwa suala la vyama vya siasa linapaswa kuondolewa katika mambo ya Muungano ili Zanzibar na Tanganyika, kila moja iandikishe vyama vyake vya siasa.

BAADHI ya washiriki wa kongamano la Bwawani.

Page 4: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

4 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013Habari/Tangazo

Bismillahir Rahmanir Raheem

KIGAMBONI /KIGOGOCHUO CHA UALIMU

TEACHERS’ COLLEGE

CU.124 CU.130

NAFASI ZA MASOMO (2013-2014)

UALIMU:

Nafasi za Udhamini kwa waliopataviwango Ngazi ya Diploma na Cheti.

Wahi, Nafasi Chache!

CHEKECHEKEA (Div. IV- 28 na Kuendelea)

GRADE 3A ( Div. IV-27)

STASHAHADA (E Moja Na S Moja)

0715-860120 / 0654- 580924

Note:

(Asiyekuwa na Viwango anaruhusiwa kusoma Ualimu huku anarudia Mitihani)

Computer ApplicationsSecretarial Studies, Records Mgt, Project Planning & Mgt, ICT, Simplified Accountancy,

Kozi za Biashara

Ustaarabu wa Kiislamu ni luluInatoka Uk. 1

ilidhihirika wazi kuwa licha ya hujuma za makusudi za kuwadhoofisha Waislamu, Historia ya Ustaarabu wa Kiislamu katika Mwambao wa Afr ika Mashariki na Kati imeanzia mbali n a i l i y o t a m b u l i k a ulimwenguni.

W a t a f i t i wameyabainisha hayo katika Kongamano hilo la Kimataifa la Siku tatu juu ya Historia ya Ustaarabu wa K i i s l a m u A f r i k a Mashariki na Kati, juma hili, lililofanyika maeneo ya Nungwi, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Hilo ni kongamano la aina yake lililoandaliwa k wa p a m o j a k a t i ya Mamlaka ya Taifa ya Nyaraka na Makumbusho ya Oman (NRAA); Kituo cha Kimataifa cha Utafiti wa Historia ya Kiislamu, Sanaa na Utamaduni (IRCICA); na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA).

Watu mashuhuri na Viongozi wa Jumuiya na Taasisi mbali mbali za kitaifa na kimataifa, za Kiislamu, Watafiti, Wanataaluma na wasomi w a l i j u m u i k a k a t i k a Kongamano hilo.

Hao ni pamoja na Katibu Mkuu wa Umoja wa Nchi za Kiislamu Duniani (IOC) Dr. Ekmeleddin Ihsanoglu, Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa Afrika (AU (zamani OAU) Dr. Salim Ahmed Salim, Balozi wa Oman Nchini Sh. Saleh bin Suleiman Al Harthi, Mwenyekiti wa NRAA Dr. Hamed bin Mohammed Al Dhawyani na Makamu Mkuu wa SUZA, Prof. Idris Ahmad Rai.

Wengine miongoni mwa watu mashuhuri waliohudhuria ni Jaji Mkuu wa Zanzibar Bw. Omar Othman Makungu, Mshauri Maalum wa Raisi wa Burundi Dr. M u h a m m a d R u k a r a Khalfan, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bw. Ali Juma Shamhuna, Mufti Mkuu wa Zanzibar Sh Saleh Omar Kabi, Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo wa Zanzibar Bw. Said Ali Mbarouk, Raisi Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi, na Kat ibu Mkuu wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa

Zanzibar, Sh. Ahmed Saud Al Siyabi.

Wasomi na watafiti walitumia viashiria mbali mbali vya kuthibitisha ujio wa Ustaarabu wa Kiislamu katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati na kusogea mbali zaidi katikati ya Bara la Afrika, tangu Karne za Awali za Hijria na Tarehe ya Kiislamu.

M i o n g o n i m w a viashiria hivyo ni Utafiti wa M a k u m b u s h o n a Nyaraka uliowasilishwa na Profesa wa Mambo ya Historia kutoka Chuo Kikuu cha Manchester nchini Uingereza, Dr. Timothy Insoll, ambaye a m e f a n a n i s h a k w a ushahidi wa akeolojia wa vifaa vilivyotumika katika Mashariki ya Kati vilivyoshabihiana na vile ambavyo wakitumia watu wa tangu zamani katika Afrika ya Mashariki na Kati.

Wataalamu, Dr. Farhat Jabir Profesa wa Mambo ya Taaluma ya Dini na Lugha ya Kiarabu wa Chuo Kikuu cha Tuni nchini Tunisia, Dr. Nahed Abdul Kareem wa Chuo Kikuu cha Sultan Kaboos nchini Oman, Dr. Mubarak Abdullah Al Rashdi Mkuu wa Idara ya Taaluma za Kiislamu Chuo Kikuu cha Sultan Kaboos Oman, Dr. Fouad Abdel Wahab Al Shami wa Chuo Kikuu cha San’aa cha Yemen, na Dr. Rashid Hamad Al Husaini wa Chuo Kikuu cha Sayansi cha Oman, pamoja n a m a m b o m e n g i n e wameainisha umashuhuri wa Uislamu na Wasomi wa Kiislamu wa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati waliotaheshimika ulimwenguni tangu asili na zama, kama dalili ya historia kubwa ya eneo hili katika Ustaarabu wa Kiislamu.

Wataalamu, Dr. Mehmet Ipsirli wa Chuo Kikuu cha Fati nchini Uturuki, Dr. Ahmed Ibrahim Al Kindi wa Chuo Kikuu cha Sayansi nchini Oman, Dr Wafaa Al Drissi wa Chuo Kikuu cha Tunis, Dr Abuyaasir Kame wa Chuo Kikuu cha Eldoret nchini Kenya, na Sh. Muhana Khalfan Othman Al Kharousi Mtafiti na Mwandishi Mashuhuri wa Oman, walithibitisha heshima ya Ustaarabu wa Kiislamu Afrika Mashariki

na Kati, ambapo hata Watawala Wakuu wa Dola ya Othman iliyokuwapo Andalus na Kostantania, I s t a n b u l , U t u r u k i , waliwaheshimu Watawala wa Mwambao huu pamoja na kuwatumia mialiko ya heshima, kwenda kuonana nao.

Ni mengi yaliyofichuka katika Kongamano hilo l a K i h i s t o r i a k a t i k a mnasaba wa Ustaarabu wa Kiislamu Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Tanzania Bara, Mombasa Kenya, Uganda, Ufalme wa Baganda, Malawi, Mozambique Sofala, na Dola ya Asili ya Zanzibar, yakiwamo ya utamaduni wa asili ulioendana na

Mila na Silka za Kiislamu na Bara Arabu.

Wapo waliobainisha kwamba hata Ulimwengu wa Waarabu ulikuwa na mengi ya kujifunza kutokea maishani mwa Watu wa Ukanda wa Afrika mashariki na Kati.

M s i s i t i z o w a K o n g a m n a n o h i l o ni pamoja na haja ya waislamu kushikamana na kurejesha hadhi yao na ya ustaarabu wao uliojengeka kwa Misingi imara ya Dini ya Kiislamu pasi na kuyumbishwa na harakati za makusudi za kudhoofisha murua wa jamii za kiislamu, z i k i wa m o m b i n u z a utandawazi.

M s i s i t i z o h u o p i a ulikwenda sambamba na wasia wa makamu wa Pili wa Raisi wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi wakati akilifunga Kongamano hilo, akasema Ustaarabu wa Kiislamu ni hazina k u b w a i l i y o j e n g w a na Misingi ya Dini ya K i i s l a m u , i n a y o f a a kuenziwa kwa hali zote.

K o n g a m a n o h i l o l i l i f u n g u l i wa R a s m i na Raisi wa Zanzibar Alhaj Dr. Ali Mohamed Shein, aliyewahamasisha w a i s l a m u k u e n z i Ustaarabu uliokamilika w a Ta n g u A s i l i y a Wa t u wa M wa m b a o wa Afrika ya Mashariki na Kati, Ustaarabu wa Kuheshimika.

Page 5: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

5 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013Habari za Kimataifa

TAKRIBAN watu elfu sitini wamelazimika kuyakimbia makazi yao nchini Kenya, kufuatia mapigano ya kikabila.

Shirika la Msalaba Mwekundu la Kenya l i m e t a n g a z a k u w a , k u f u a t i a k u i b u k a mapigano ya kikabila nchini humo, watu wanaokadiriwa kufikia elfu sitini wameukimbia mj i wa mpakani wa Moyale na kukimbilia nchi jirani ya Ethiopia.

Afisa mmoja wa Shirika la Msalaba Mwekundu la Kenya ameziambia duru za habari kwamba, baada ya mapigano ya kikabila y a l i y o z u k a I j u m a a iliyopita huko Kaskazini mwa Kenya, vijiji tisa

Ukabila waitesa Kenya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta (kushoto), Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga.

Rais Kenyatta na Raila wazidi kulumbanavimesalia bila wakazi baada ya watu wake kukimbia, huku nyumba arobaini zikichomwa moto kufuatia mapigano hayo.

Katika hali nyingine, Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, amemshambulia vikali Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga akimtaka kuufyata ulimi wake kama hana jipya la kuwaambia wananchi.

Rais Kenyatta alikuwa akimjibu Bw. Odinga, ambaye alisema serikali inatoa vyeti vya kumiliki ardhi kwa wakazi wa pwani wakati wakuu wa serikali hiyo ndio wezi nambari moja wa ardhi katika eneo hilo.

Kenyatta amemwambia Odinga asahau masuala

ya siasa na aisaidie serikali kutatua matatizo ya ardhi na kama hawezi anyamaze kimya.

Rais Kenyatta aliongeza Waziri Mkuu huyo wa z a m a n i a n a p a y u k a ovyo na kwamba, bado anasumbuliwa na jinamizi la kushindwa kwenye uchaguzi mkuu uliopita wa Machi 4.

Vita vya maneno kati ya Bw. Odinga na wakuu wa ser ikal i , hususan Rais Kenyatta na Naibu wa k e Wi l l i a m R u t o , vimeendelea kwa muda sasa huku baadhi ya wachambuzi wakisema Odinga anajaribu kuvutia wanahabari ili nyota yake ya kisiasa isififie haraka.

DAMASCUS Rais wa Syria Bashar a l A s s a d , a m e t a h a d h a r i s h a kwamba iwapo yatafanyika mashambulizi yeyote dhidi ya nchi yake kutoka Mataifa ya Magharibi, basi itarajiwe kuibua vita vya kanda nzima.

Aidha ameongeza kuwa iwapo Marekani na Ufaransa zitaamua kuishambulia Syria, machafuko na ghasia vitapanuka zaidi na kusababisha hatari ya kuzuka vita eneo zima l i n a l o z u n g u k a n c h i h i y o (Mashariki ya Kati).

Rais Assad pia ametoa changamoto kwa Washington na Paris kwamba, kama kweli mataifa hayo yana ushahidi wa madai kwamba Damascus imetumia silaha za sumu, basi na mataifa hayo yaonyeshe na kuthihirisha ushahidi huo.

Bila shaka kauli ya Rais Assad inakuja kufuatia madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry, ambaye alishaeleza kuwa Marekani ina ushahidi kwamba serikali ya Syria imetumia silaha za sumu kuwaangamiza raia wake.

K a u l i y a R a i s A s s a d imeungwa mkono na Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov, Jumatatu iliyopita, pale alipozungumza na vyombo vya habari Moscow, ambapo aliitaka Marekani kutoa ushahidi wa uchunguzi wake uliodai kuwa serikali ya Syria inatumia silaha za sumu nchini Syria.

Kwa upande mwingine, Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jeneral i Hussein Dehqan, amesema Tehran iliitahadharisha Marekani miezi nane iliyopita, juu ya kupelekwa waasi wa Syria.

Urusi tayari imeshasema kuwa ina ushahidi wa kutosha, unaothibitisha kuwa waasi wa Syria wanaoungwa mkono na Marekani na rafiki zake, ndio waliotumia gesi ya sumu dhidi ya wananchi na jeshi la serikali ya nchi hiyo.

Kuhusu madai ya Marekani

Assadi akishambuliwa kutaibuka vita vya ukanda mzima

Urusi waitaka Marekani kuonyesha ushahidi wakekuwa ina ushahidi unaothibitisha kwamba silaha za kemikali zimetumika nchini Syria, afisa huyo wa UN amesema kuwa, Umoja wa Mataifa ni taasisi pekee inayoweza kutoa maoni kwa uhakika na kwa uwazi kuhusu suala la kutumiwa au kutotumiwa silaha za sumu nchini Syria na kwamba kwa sasa njia za kijeshi dhidi ya Syria hazipaswi kuzingatiwa.

Baada ya kushindwa kupata uungwaji mkono wa jamii ya kimataifa, Obama amesema kuwa Marekani itaishambulia Syria pale Congress itakapoafiki suala hilo.

Wakati hali ikiwa hivyo, timu ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa iliyokuwa ikichunguza silaha hizo huko Damascus bado haijatangaza ripoti yake.

Hata kabla ya kutangazwa ripoti ya UN baada ya wiki mbili za kuanza uchunguzi wa madai kuwa serikali ya Damascus ndiyo iliyotumia silaha za kemikali, Marekani imeamua kutangaza kuwa itaishambulia Syria.

H a y o y a n a j i r i h u k u ikifahamika kwamba Marekani na washirika wake wa Magharibi pamoja na baadhi ya nchi za Kiarabu, katika miaka miwili iliyopita wametumia mamilioni ya dola kuwapa silaha za kisasa waasi wa Syria ili kuangusha serikali ya Damascus.

Imeelezwa kwamba lengo la kundi hilo la Wamagharibi na Waarabu lilikuwa kudhoofisha jeshi la Syria, na hivi sasa silaha za kemikali linatumiwa kama kisingizio cha mwisho cha kukabiliana na serikali ya Damascus.

F i k r a z a wa l i o w e n g i z i n a t a w a l i w a n a s w a l i kwamba, ni kwa nini Marekani inashabikia kuishambulia Syria hata kabla ya kutangazwa ripoti ya Umoja wa Mataifa? Na je, Marekani inaweza kuhalalisha vipi misimamo yake hiyo ya kindumilakwili?

PHINON PEINMamia ya Waislamu nchini Mynamar , wamebaki bila makazi baada ya Mabudha wenye misimamo mikali kuchoma moto nyumba na maduka ya o k a t i k a e n e o lenye machafuko la Sagaing.

Maafisa wa eneo h i l o w a m e s e m a kuwa, zaidi ya watu 300 wanahifadhiwa katika shule baada

Nyumba za Waislamu Myanmar zateketezwaya genge la Mabudha wenye mis imamo y a k i b a g u z i y a kihafidhina kuchoma m o t o n y u m b a n a maduka yao.

H i i n i m a r a ya n n e v u r u g u z a k u w a s h a m b u l i a Waislamu zinatokea h u k o k a t i k a t i n a k a s k a z i n i m w a Myanmar kwa mwaka huu pekee.

Vurugu kama hizo z i l i t o k e a m w a k a

u l i o p i t a k a t i k a jimbo la magharibi la Rakhine, ambapo karibu Waislamu 200 wa kabila la Rohingya waliuawa.

Hayo yanajiri huku serikali ya nchi hiyo ikishindwa kuzuia mashambulizi hayo na jamii ya kimataifa ikiendelea kupigia k i m ya j i n a i h i z o w a n a z o f a n y i w a Wa i s l a m u n c h i n i Myanmar.

CAIROWakili wa Wanaharakati wa Ikhwanul Muslimin nchini Misri, amesema p o l i s i n c h i n i h u m o w a m e m n y a n y a s a kiongozi wa ki roho wa wanaharakati hao Mohamed Badie, wakati ilipomkamata.

Waki l i Muhammad Gharieb amesema, Badie a l ivamiwa nyumbani kwake , akapigwa na k u t o l e wa m a t u s i n a kwamba, alipoteza meno yake kutokana na kipigo alichopewa na polisi hao

Kwa upande mwingine kesi ya kuhukumiwa viongozi na wafuas i 6 4 w a H a r a k a t i y a Ikhwanul Muslimin ya

Polisi Misri watuhumiwa kumnyanyasa BadieMisri na pia wafuasi wa rais aliyepinduliwa M u h a m m a d M u s r i , imefanyika Jumatatu yawiki hii katika mkoa wa kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.

Watu hao wanashitakiwa kwa tuhuma za kufanya uchochezi uliosababisha kushambuliwa askari jeshi na pia kuhujumiwa makanisa katika mkoa wa Suez.

Tangu Julai 3 mwaka huu, Misri imetumbukia katika machafuko na ghasia baada ya jeshi kufanya mapinduzi ya kumuondoa madarakani Muhammad Mursi, rais wa kwanza aliyechaguliwa na wananchi kidemokrasia nchini humo.

Page 6: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

6 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013Makala

MSEMAJI wa Waziri Mkuu wa Iraq Ali al Mousawi, amesisitiza k u w a n c h i h i y o inapinga mashambulizi d h i d i y a S y r i a n a kwamba haitaruhusu anga yake kutumiwa katika mashambulizi yanayoweza kufanywa dhidi ya nchi jirani ya Syria.

A l i a l M o u s a w i , amesema hayo kufuatia m s i m a m o w a h i v i karibuni wa Marekani na Uingereza wa kutaka kuishambulia Syria na kuongeza kwamba, katiba ya Iraq hairuhusu ardhi yake kugeuzwa sehemu ya kushambulia nchi nyingine.

W a k a t i h a y o y a n a r i p o t i w a , R a i s Vladimir Putin wa Urusi, a m e s e m a k w a m b a hakuna ushahidi kwamba jeshi la Syria limefanya shambulizi la silaha za kemikali kusini mwa nchi hiyo. Putin amesema hayo katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron.

Jumatatu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov, pia aliionya Marekani kuishambulia kijeshi Syria akisema, matokeo yake yatakuwa na athari mbaya na ya muda mrefu, sio tu katika eneo la Mashariki ya Kati bali pia kaskazini mwa Afrika kwa ujumla.

“Kuingilia kwa namna yeyote ki jeshi nchini Syria bila kuithinishwa na Baraza la Usalama la UN, kutakuwa ni kuvunja sheria ya kimataifa”. L a v r o v a l i w a e l e z a waandishi wa habari jijini Moscow mapema wiki hii.

V i o n g o z i w a Washington, Uingereza, Ufaransa na Istanbul wa m e t a k a h a t u a z a k i j esh i kuchukul iwa k u m w a d h i b u R a i s Bashar Al-Assad kwa kile walichokiita ametumia sialaha za sumu.

Hata hivyo wakati mataifa hayo yakitangaza nia ya kutaka kuinguilia mzozo wa Syria kijeshi bila hata ya udhibi ya UN, bado wakaguzi wa silaha za sumu wa UN ndio kwanza wameanza k a z i y a o n a b a d o hawajathibitisha iwapo kuna matumizi ya silaha za sumu wala kubainisha ni upande gani unaotumia silaha hizo kato ya pande

Iraq kutoruhusu anga yake kutumiwa kuishambulia SyriaBlix aitahadharisha Marekani kuhusu Syria

mbili zinazozozana za waasi na serikali.

“Viongozi wa Mataifa ya Magharibi wanatoa maelezo yanayoonyesha k u w a h a w a t a s u b i r o matokeo ya ukaguzi, tayari wameamua kila kitu” alisema Lavrov.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, William Hague alisema Uingereza imeshawishika kuwa Rais Assad yupo nyuma ya shambulio la Agost 21 na wameshakubaliana na Marekani na Ufaransa katika kujibu mapogo.

Waziri wa mambo ya Nje wa Uturuki, Ahmet Davutoglu naye alisema nchi yake itaungana na muungano wa mataifa hayo dhidi ya Syria iwapo UN itashindwa kuchukua hatua.

Rais Assad ameshajibu misimamo ya mataifa hayo aliyoiita kuwa ni “ n o n s e n s e , ” w a k a t i a l i p o k u wa a k i f a n ya mahojiano na gazeti la Izvestia la Urusi mapema wiki hii.

Urusi ambayo imekuwa ikitumia kura yake ya veto kwenye Baraza la Usalama

la UN kuzua mikakati ya kuiadhibu Syria, wiki hii imeitaka Marekani kutorudia makosa ya siku za nyuma kama yale ya kuivamia Uraq mwaka 2003.

Marekani na washirika wake wali ishambulia Uraq bila ya udhini ya UN, baada ya Urusi , Ujerumani na Ufaransa kukataa kuivamia nchi hiyo kijeshi kumuondoa Saddam Hussein.

Bw. Lavrov alisema Wizara ya Mambio ya Nje ya Urusi imeshafanya mazungumzo na John Kerry, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani na Yule wa Uingereza, na kwamba mazungumzo yao yalionyesha kuwepo dalili za Waasi kufanya mashambulizi ya kuitia hatiani serikali ya Assad.

Katika hatua nyingine, Mkuu wa zamani wa wa k a g u z i wa s i l a h a wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Mashariki ya K a t i , H a n s B l i x , amesema kitendo cha kutaka kuishambulia Syria kwa kutegemea

m a d a i ya k u we k o silaha za maangamizi ya halaiki ni kurejea m a k o s a ya h u k o nyuma ya viongozi wa Washington.

H a n s B l i x amewatahadharisha viongozi wa Marekani kuhusu nia yao ya kutaka kuishambulia kijeshi Syria, akisema k u wa h a wa p a s w i kuwa na haraka katika suala hilo.

M w a k a 2 0 0 3 m k a g u z i h y o alitahadharisha kuwa madai yaliyokuwa y a k i t o l e w a n a Marekani kuhusu silaha za kemikali huko Iraq si ya sahihi baada ya timu yake iliyokuwa umepewa majukumu ya kufanya uchunguzi juu ya madai ya Marekani na washirika wake kwamba serikali ya S a d d a m H u s s e i n inamiliki silaha za maangamizi.

Bw. Blix amesema kwamba Marekani na mara f ik i zake wanapaswa kwanza k u t o a f u r s a k wa wakaguzi wa Umoja wa Mataifa kufanya u c h u n g u z i w a o kuhusu madai ya kutumiwa silaha za kemikali huko Syria, kabla ya kuchukua hatua yoyote ile.

Serikali ya Syria i m e w a r u h u s u w a k a g u z i w a Umoja wa Mataifa k u l i t e m b e l e a n a kulifanyia uchunguzi eneo la Ghouta al Sharq iya , ambalo nchi za Magharibi zinadai kuwa silaha za kemikali zimetumiwa.

M k u u h u y o wa zamani wa wakaguzi wa silaha wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Mashariki ya Kati, amesisitiza kuwa Rais Barack Obama wa Marekani hapaswi kuchukua hatua dhidi ya Syria bila ya suala hilo kupitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. (irib.ir)

MKUU wa zamani wa wakaguzi wa silaha wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Mashariki ya Kati,

Hans Blix.

UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO UNAPENDA KUWAARIFU WADAU WAKE WOTE KUWA BWANA. JUMA SAKATAI SIO MFANYAKAZI WA CHUO TENA TANGU TAREHE 02/09/2013.

HIVYO BASI CHUO HAKITAHUSIKA NA SHUGHULI AU MAWASILIANO YOYOTE YATAKAYOFANYWA NAYE AU KUPITIA KWAKE.

AFISA UHUSIANOCHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO

05/09/2013

TANGAZO

Page 7: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

7 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013Makala

KATIKA kipindi cha kama wiki mbili sasa y a m e a n d i k w a n a kusemwa mengi juu ya kadhia inayoendelea n c h i n i M i s r i . H a ya yamekuwa yakiandikwa kutoka katika mirengo tofauti tofauti kutegemea dhamira ya mwandishi au chombo husika cha habari.

N a a n d i k a m a k a l a haya huku msingi wake mkuu ukiwa ni kutoka katika makala za takribani wiki mbil i zi l izopita katika matoleo ya gazeti la Raia Mwema, toleo namba 312 la Agosti 21-27, 2013 yenye kichwa cha makala ”Mabavu ya kijeshi hayawezi kutuletea kheri” iliyoandikwa na mwandishi mashuhuri, Ahmed Rajab.

Makala nyingine ni ile katika toleo namba 313 la Agosti 28-September 3, 2013 ya gazeti hilo hilo iliyoandikwa na Sheikh Abdallah Bawaziri yenye k i c h wa c h a m a k a l a ”Amani itarejea Misri kwa nguvu ya umma?”.

Katika makala zote mbili, hakuna pahala ambapo waandishi wetu wamejadil i kwa kina chanzo cha mgogoro wa Misri na kama kuna la kujifunza kama taifa. Kwa hakika ninachokiona ni maandishi yenye kueleza historia tu ya Misri tena sana kuanza kwa uongozi wa Gamal Abdel-Nasser (na kumbe wangeweza kwenda nyuma zaidi na pengine hii ingetusaidia kujua kwanini Misri leo iko pale).

Kimsingi nakubaliana n a wa a n d i s h i we t u , Ahmed Rajab na Sheikh Bawaziri katika makala z a o k w a m b a M i s r i kihistoria ni nchi ya karne nyingi sana zilizopita. Imeshuhudia harakati nyingi sana za kisiasa na hata zile ka kidini na kwa maana hii imetajwa hata katika vitabu vya dini ya Kikristo ona ya Kiislamu.

Kat ika h is tor ia ya harakati za kisia nchini Misri mengi yameandikwa sina haja ya kuyarudia na kwa hili nampongeza sana mwandishi Ahmed R a j a b . K w a n a m n a anavyoandika historia ile huweza kumsisimua msomaji yeyote yule

Tuseme ukweli kuhusu mgogoro wa MisriNa Madole Rashidi

mzalendo na au mpenzi wa historia na kumfunza vya kutosha.

Makala haya yanalenga kuutazama mgogoro wa Misri katika nyanja nyingine ambayo kwa namna moja ama nyingine, ambayo kwa sababu wanazozijua waandishi wetu haijajadiliwa vya kutosha

N i n i c h a n z o c h a mgogoro wa Misri? Binafsi nautazama mgogoro wa Misri katika nyanja au mrengo mwingine kwamba ni mgogoro unaotokana na kusigana kwa mifumo m i w i l i a m b a y o y o t e inalenga kushinda kundi kubwa katika jamii. Hali hii imedumu kwa muda mrefu tu, na sasa ni wakati ambao imeshindikana kuficha maradhi haya ya kuoneana kijicho baina ya mifumo hiyo miwili.

Mifumo hi i ni ipi? Kwanza ni mfumo wa ” U i s l a m ” c h i n i y a mwamvuli wa Ikhwani Al Muslmyin (Udugu wa Kiislam). Msingi mkuu wa mfumo huu ni kuongoza Misri na dunia nzima kwa kufuata sheria za Allah (s.w). Juhudi hizi za udugu wa Kiislamu kushinda sehemu kubwa ya jamii ya Wamisri si za jana wala za juzi, hizi ni juhudi za muda mrefu pengine nyuma kabisa ya mwaka wa 1928 ambapo ndio chama cha udugu wa Kiislamu kiliasisiwa na mwasisi wake Hassan Al Bana.

Mfumo huu umeasisiwa katika kitabu cha dini ya

Kiislam na waaminio kwao huuona kama ndio mfumo sah ih i wa kuongoza maisha ya mwandamu duniani hapa. Watafanya kila wawezalo kuhakisha hilo.

Lakini kwa upande mwingine mfumo wa pili ni huu wa ”Ubepari” chini ya mwamvuli wa demokrasia iliyojengwa katika misingi ya haki za binadamu, uchaguzi huru na wa haki, utawala wa sheria uwazi na uwajikaji nakadhalika.

Na hata hivyo sina haja ya kuandika mengi (kwani mengi yameshaandikwa) kuhusu mfumo huu wa demokrasia ambao kwa kiasi kikubwa umeshindwa katika maeneo mengi kusimamia hizo haki za binadamu.

Makala haya yanalenga kuutazama mgogoro wa Misri sana kupitia mfumo wa kwanza, ambao kwa namna fulani haujajadiliwa kwa mapana na marefu. Kwa hiyo lengo la makala haya ni kuujadili mgogoro h u o k a t i k a m r e n g o mwingine.

A n a a n d i k a S h e i k h Bawaziri katika makala yake kuwa ”Misri baada ya mapinduzi ya 1952 na Gamal Abdel Nasser k u s h i k a h a t a m u z a uongozi wa nchi hiyo kulikuwa na upinzani mkubwa baina ya serikali ya Nasser na chama cha Udugu wa Kiislam kilichokuwa kikiongozwa na Sayyid Qutb kwa wakati huo, wawili hawa;Rais Nasser na Qutb. Walikuwa

wakitofautiana katika mambo mengi…..”.

Je haya mambo mengi yawafanyayo watofautiane ni yepi? Hapa ndipo ninapojenga dhana ya kwamba mgogoro wa Misri ni mgogoro kati ya mifumo miwili inayosigana kama nilivyoeleza hapo juu, yaani mfumo wa Kiislamu kuuondosha mfumo wa ubepari wa Magharibi na vivyo hivyo mfumo wa ubepari wa Magharibi k u u o n d o s h a m f u m o wa Kiislamu, yote hayo kupitia mawakala wao wa Demokrasia na wa Udugu wa Kiislamu.

Kupata undani wa msingi wa dhana hii hatuna budi kuingia ndani kidogo kuona, je, wawili hao ni akina nani? Walikutana vipi? Na walichotofautiana ni kipi? Hapa hatuna budi kutazama historia zao kwa ufupi.

Mwaka 1906 oktoba 9 k a t i k a k i j i j i c h a Musha alizaliwa kijana aliyejulikana kwa jina la Sayyid katika familia ya mwanaharakati wa kisiasa, Qutb. Alipata elimu yake ya mrengo wa Kimagharibi katika miaka ya 1929 and 1933. Vile vile amewahi kuwa mtumishi katika Wizara ya Elimu ya nchini Misri katika miaka ya 1939 na historia i n a t u a m b i a k wa m b a miaka ya 1948 hadi 1950 aliishi nchini Marekani akisomea mfumo wa elimu wa nchi hiyo katika chuo cha Colorado (kwa sasa Chuo Kikuu cha Colorado Kaskazini).

Historia inatuambia kuwa kitabia Qutb alikuwa ni mwenye kupenda sana kusoma hata wakati tu ana umri wa miaka 12 tayri alikuwa anamiliki maktaba yake ndogo yenye vitabu vipatavyo 25. Hivyo alivinunua kwa kudunduliza pesa kidogo kidogo kwa muuza j i aliyejulikana kwa jina la Amsaaliah.

K a t i k a m i a k a y a 1950, Qutb alirudi Misri akitokea huko Marekani alikokwenda kujifunza masuala ya mitaala ya elimu. Ni katika wakati huo ambapo (akiwa Marekani) ambapo mtazamo wake juu ya mfumo wa maisha unaomwongoza binadamu ulibadilika.

A l i p o w a s i l i M i s r i na baada ya kustaafu shughuli za umma, ndipo alipojiunga na chama cha Udugu wa Kiislamu mwaka 1951 na kushika nyadhifa za juu kabisa katika chama hicho. Lengo kuu likiwa ni kufanya mapinduzi na kuiongoza M i s r i k u t o k a k a t i k a dimbwi la Jahilliyah (jamii isiyo maadili, isiyo na mfumo mzuri wa maisha).

M g o n g a n o k a t i ya Qutb na Nasser ni wa kiit ikadi. Wawili hao walikuwa wakishirikiana kwa karibu mno, kwani Musl im Brotherhood w a l i a m i n i k a t i k a mapinduzi ya kuung’oa utawala wa kifalme amboa ulikuwa ndio kibaraka wa ubepari nchini humo. Na matumaini mapya yakajengeka kwa viongozi wa udugu wa kiislamu na wafuasi wao kwamba sasa ni fursa ya kuijenga Misri mpya itakayoongozwa na sheria za Kiislamu.

Na miaka ya 1952, vugu vugu la maofisa huru wa jeshi (free officers movement ) lililokuwa likongozwa na Nasser l i l i f a n ya m a p i n d u z i na kushika hatamu za uongozi. Nasser aliyavunja matumaini ya Udugu wa Kiislamu kwa kuzidi kuipeleka Misri katika dimbwi la Jahilliya.

N a s s e r a l i u t u m u i a urafiki wao kwa manufaa yake na ya kikundi chake cha maofisa huru na kwa maana hii aliunda kundi lingine la siri lililoitwa ”Tahreer” (lenye maana ya uhuru) ili lifanye kazi ya

Inaendelea Uk, 10

WAANDAMANAJI nchini Misri.

Page 8: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

8 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013Makala

J E S H I l a M i s r i limeendelea kufanya m a a n g a m i z i y a wananchi wasio na hatia, katika jaribio lake la kuwaondoa mitaani waandamanaji wanaopinga kung'olewa madarakani kijeshi kwa Rais aliyechaguliwa kidemkorasia, bwana Mohammed Morsi.

Inasemekana zaidi ya watu 2000 wameuawa na vikosi vya usalama katika kipindi cha wiki moja tu, ambapo kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, wengi wao ni wanawake, watoto, vijana na wazee ambao walikutwa na ma j e r a h a ya r i s a s i vifuani na vichwani.

Vikosi vya usalama nchini Misri vimetenda uhalifu mkubwa ambao haujawahi kufanywa h a t a n a m a a d u i wakubwa wa Waislamu. Wa m e c h o m a m o t o hospitali ya dharura katika eneo la Rab'a Al Adawiyah wakati miili ya watu waliokufa na wale waliojeruhiwa ikiwemo ndani. Nadhani lengo lao lilikuwa ni kufuta ushahidi wa uhalifu walioufanya.

Hali hii inaonyesha kiwango cha unyama na ukatili kinachoweza kufanywa na viongozi w a m a p i n d u z i y a Misri dhidi ya Siasa za Kiislamu nchini humo. Hawana hofu ha ta kidogo kwa uhai wa wananchi wao wenyewe, wala heshima kwa wale waliotangulia mbele ya haki!

Lakini, jambo la wazi kabisa, ni ule utayari w a j e s h i l a M i s r i kuendeleza umwagaji damu na maangamzi ya watu wanaopigania haki yao iliyoporwa mchana kweupee, hatua ambayo inatukumbusha m a a n g a m i z i y a n a y o f a n y w a n a

Mauaji ya Misri, ni wakati wa kusimamia Uislamu!Said Rajab

Mayahudi dhidi ya Waislamu wa Palestina.

Kufuatia mauaji hayo ya kihalifu, Rais wa Serikali ya mpito ya Misri akatangaza hali ya hatari kwa kipindi cha mwezi mmoja . Wanadhani ndani ya kipindi hicho, wa t a w e z a k u wa u a na kuwapondaponda w a a n d a m a n a j i i l i wa s a l i m u a m r i n a kukubali utawala mpya wa kidhalimu.

U t a w a l a a m b a o Jenerali Al Sisi, akibebwa na Marekani, anataka kuuweka nchini Misri baada ya kumpindua Mohammed Mors i , ambaye amechaguliwa na wananchi wa nchi hiyo.

M a p i n d u z i y a Januari 25 mwaka 2012, yaliyomng'oa Hosni M u b a r a k , a m b a y o yalidumu kwa siku 18, yalisababisha vifo vya takriban watu 365, wakati kwa siku moja tu Serikali kibaraka ya Misri imeua zaidi ya mara mbili ya idadi hii! Watu 638 wameuawa ndani ya masaa 24 tu!

I n a o n e k a n a h a ya ni mauaji ya kisasi y a n a y o t u f a n y a tukumbuke utawala wa Hosni Mubarak, ambaye alikuwa na chuki kubwa dhidi ya raia wake, hususan wale

waliobeba bendera ya Uislamu. Huu ni utawala mpya wa kijeshi. Na hawa ni viongozi wa m a p i n d u z i a m b a o wanaendeleza unyama. Wako tayari kumwaga damu isiyo na hatia ili kufanya mapinduzi y a o y a o n e k a n e yamefanikiwa.

W a n a k u w a wakali kama simba wanapokabiliana kijeshi na raia wao wenyewe, lakini wanyonge kama vifaranga kwa maadui wao halisi, ambao ni Mayahudi na mataifa ya Magharibi. Wanakula n j a m a p a m o j a n a o kuhujumu taifa lao wenyewe! Wamekuwa wa l i n z i h o d a r i wa maslahi ya maadui hata kwa damu ya ndugu zao!

W a n a p i g a v i t a Uislamu kwa jina la "kupambana na ugaidi", wakati Mayahudi walio jirani nao, ambao ndiyo maadui wao wakubwa, wa k i wa s a l a m a n a wenye uhakika. Vipi h a wa wa h a l i f u n a wasaliti, waliomwaga damu ya Wamisri wasio na hatia, wanaweza kuleta ushindi kwa wananchi wa Misri? Hawa ni wahalifu na wauaji! Na Mwenyezi Mungu atawaadhibu hapa duniani na kesho

akhira kwa uovu wao.Wamemwaga damu

i s i y o n a h a t i a y a Waislamu, wanaendesha vita dhidi ya dini ya Mwenyezi Mungu na wanatumikia maslahi ya Marekani badala ya wananchi wa Misri:

" N a m w e n y e kumuua Muislamu kwa kukusudia, basi malipo yake n i Jahannam, humo atakaa milele; na Mwenyezi Mungu a m e m g h a d h i b i k i a n a a m e m l a a n i n a amemuandalia adhabu kubwa" Qur (4:93).

N a M t u m e w a M w e n y e z i M u n g u amesema: "Kumuua M u i s l a m u m m o j a ni vibaya zaidi kwa Mwenyezi Mungu kama kuangamiza Dunia yote" (Tirmidhi).

Kauli mbiu ya viongozi wa mapinduzi nchini Misri ni "kupambana na ugaidi", ambapo kuwapiga vita 'Ikhwan Muslimin' ni kichaka chao tu cha kupambana na Uislamu. Lakini wanasahau kwamba Uislamu nchini Misri una mizizi mirefu, na haiwezekani kung'oa mizizi ya Uislamu nchini humo. Misri ni nchi ya Waislamu.

Insha'Allah, iko siku mfumo wa kikaf i r i

u n a o t a wa l a M i s r i , ambao unasimamiwa na Marekani na washirika wake wa Kimagharibi utakoma, na kwa idhini ya Mwenyezi Mungu mfumo wa Kiislamu utasimama! Mfumo ambao siyo demokrasia, siyo usekula na wala haushirikiani na Ukafiri kwa namna yoyote ile.

Jambo la msingi ni kwa Waislamu wa Misri kutambua kwamba kuzingatia maagizo na taratibu za Mwenyezi Mungu, ndiyo njia pekee ya kujipatia ushindi na heshima. Misri inahitaji Uislamu katika utawala na siyo tu Waislamu kuongoza mfumo wa kisekula. Suala hapa s iyo nani anaingia madarakani, bali ni mfumo gani unatawala nchi hii ya Waislamu.

Kufuatia kupinduliwa kwa Rais Mohammed M o r s i n a d a r s a iliyopatikana, Waislamu wa Misri wana kazi ngumu ya kuung'oa utawala wa kidhalimu k u t o k a k w e n y e m i z i z i n a m a t a w i yake . Wanahi ta j ika kupambana na kuleta mapinduzi kamili ya K i i s l a m u . H a wa n a sababu tena ya kujificha kwenye vichaka vya d e m o k r a s i a w a l a usekula. Wameshaona m a d h a r a ya k e , n a Waislamu hawaumwi na nyoka mara mbili kwenye shimo moja:

"Mwenyezi Mungu A m e w a a h i d i w a l e walioamini miongoni mwenu na kufanya vitendo vizuri, kuwa Atawafanya makhalifa ka t ika a rdhi kama A l i v y o w a f a n y a m a k h a l i f a w a l e waliokuwepo kabla yao, na kwa yakini Atawasimamishia dini yao Aliyowapendelea, na Atawabadi l ishia amani baada ya hofu yao. Wawe wananiabudu, h a w a n i s h i r i k i s h i n a c h o c h o t e . N a watakaokufuru baada ya hayo; basi hao ndiyo wavunjao amri zetu" Qur(24:55).

WAANDAMANAJI nchini Misri

Page 9: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

9 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013Habari

WAISLAMU kupitia Jumuiya ya Akhlaaqul Islaam (JAI), kitengo cha Afya na Ustawi wa Jamii mwishoni mwa wiki wamechangia damu kwa wagonjwa, k a t i k a z o e z i lililofanyika katika hospitali ya Rufaa ya Temeke jijini Dar es Salaam.

T u k i o h i l o lilihudhuriwa na Naibu Meya wa Manispaa ya Temeke Juma Mkenga, kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo Sofia Mjemwa.

“Binafsi nimefarijika sana kuona muamko huu wa Waislamu kwa jamii, nimefurahishwa na akina mama ambao wamejitokeza katika zoezi hili, wanastahili kuungwa mkono na jamii kwa ujumla kwa kitendo hiki, ni mfano m z u r i u n a o s t a h i k i kuigwa na akina mama wengine popote katika jamii yetu”. Alisema Naibu Meya huyo.

Aidha aliikumbusha j a m i i k wa u j u m l a umuhimu wa kuchangia d a m u k wa h i ya r i , kwani kitendo hicho ni cha kuokoa maisha ya wagonjwa wenye kuhitajia huduma hiyo ya damu.

Naye Dr. Stanley Lwiza, wa hospitali ya Te m e k e a k i t o a shukurani zake kwa Waislamu hao alisema, h o s p i t a l i ya k e wa inathamini mchango na misaada pamoja na j it ihada mbalimbali z i n a z o f a n y w a n a wanajumuiya wa JAI.

Kwa upande wake, Meneja maabara wa hospitali hiyo Grace M a l i v a , a l i s e m a muitikio ulionyeshwa na Waislamu hao ni mkubwa na kushauri elimu zaidi ya kuchangia d a m u i n a h i t a j i k a kutolewa katika jamii ili kuwajengea moyo zaidi wa kujitolea.

Alisema takwimu z i n a o n e s h a k u w a wanaohitaji damu zaidi ni akina mama, ambao kutokana na uhaba wa damu hupoteza maisha kwa kukosa huduma

Wachangia damu hospitali Temeke

Na Abdulkarim S. Msengakamba

hiyo.Alisema takribani

akina mama zaidi ya wanne hupoteza maisha kwa siku kwa kukosa damu.

Wakat i mwingine hulazimika kukamata watu kwa ajili ya kutoa damu bila ya kujali

m p a n g o wa d a m u salama, jambo ambalo ni kinyume na utaratibu, l a k i n i h u l a z i m i k a kufanya hivyo kwa ajili ya kuokoa maisha ya akina mama hususani wa pale wanapojifungua ambapo hupoteza damu kwa wingi sana.

Hata hivyo aliwaasa kina mama kuhamasika kujitokeza zaidi katika mazoezi ya kuchangia damu kwani ak ina mama wenzao ndio wahitaji wakubwa wa huduma hiyo.

K a t i k a r i s a l a ya Jumuia hiyo iliyosomwa

Amir wa jumuiya wilaya ya Temeke Ust. Saad Ahmed Salim aliuomba uongozi wa hospitali hiyo kuwapatia chumba k i t a k a c h o t u m i k a kuhifadhia vifaa vya kazi za kila siku za Jumuiya hiyo sambamba na kuhifadhi dawa, ambazo huwapat ia wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali hiyo.

Kufuatia ombi hilo, N a i b u M e ya J u m a M k e n g a , a l i a g i z a uongozi wa hospitali h i y o k u a n g a l i a uwezekano wa kutenga chumba kimoja kwa ajili ya shughuli za kihuduma za Jumuiya hiyo.

Amir huyo alisema jumuiya ya Waislamu kitengo cha afya na ustawi wa jamii JAI, ni Taasisi isiyo ya serikali ambayo ina zaidi ya miaka mitano tangu kuanzishwa kwake.

Taasisi hiyo inafanya kazi zake bega kwa bega na watumishi wa serikali katika kitengo cha Afya na Ustawi wa Jamii katika maeneo ya H o s p i t a l i n i n a majumbani.

A l i e l e z e a k u w a Jumuiya hiyo inatambua hali halisi ya maisha y a M t a n z a n i a n a kupanda gharama za matibabu, dawa na vifaa mbalimbali vya tiba, hivyo kwa dhati kabisa kwa kutumia kauli mbiu zake za-H u r u m a - U p e n d o , i m e k u s u d i a k u t o a huduma zote stahiki kwa wagonjwa wa jinsia zote, madhehebu yote waliopo mawodini na majumbani.

Amir Salim, aliongeza kuwa jumuiya yao hutoa huduma zake kila siku ambazo ni kuwaombea d u a n a k u wa f a r i j i wagonjwa, kuwanunulia dawa zinazokosekana m a h o s p i t a l i n i , k u w a f a n y i a u s a f i katika hali zote stahiki, kuwapat ia chakula k wa n ya k a t i z o t e , hususani kwa wale ambao hawama ndugu, jamaa, ambao inatubidi kuwahudumia kwa kwa hali na mali.

Katika zoezi hilo, jumla ya unit 300 za damu zilikusanywa.

ZOEZI la uchangiaji damu likiendelea hospitali ya Temeke.

Page 10: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

10 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013Mashairi/Makala

Hodi hodi mhariri, si wa gazeti la giza,Bali wa letu AN-NUUR, lenye angavu mwangaza,Kuna jambo nafikiri, naomba kulidokeza,Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza.

Uvivu niwape siri, tunaouendekeza,Wa kushindwa kufikiri, hali ya kuwa twaweza,Nd'o unotuathiri, pamwe na kutudumaza,Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza.

Wengi likizo nadhari, zetu tumeziwekeza,Wachache wanotughuri, kadiri wanavyoweza,Badala wanafikiri, yetu nasi twafatiza,Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza.

Kheri wakiita shari, nasi nyuma twafatiza,Shari wakiwamba kheri, kadhalika twachagiza,Kwa mgando tafakuri, vyovyote watugeuza,Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza.

Waizushapo habari, papo hapo twaimeza,Mia kwa mia twakiri, pasi hata kuchunguza,Kadhalika kufikiri, twameza na kueneza,Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza.

Twajiona maayari, kwa puya kuhanikiza,Sote yatatuathiri, madharaye nawajuza,Kwazo ikifuka nari, sote yatuteketeza,Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza.

Tuchukue tahadhari, kwa kutokuhanikiza,Tumezeshwazo habari, pasi kwanza kuchunguza,Kwanini zetu fikari, likizo twaziwekeza,Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza.

Kwa uvivu kukhitari, wa kutokujizoeza,Kila mtu kufikiri, kadiri anavyoweza,Taifa la tafakuri, muhali kutengeneza,Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza.

Ni yako sasa hiari, kujali au kubeza,Lengo langu kushauri, na si kukung'ang'aniza,Ila ni kubwa hatari, endapo utapuuza,Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza.

Kaditamati akhiri, nimefika kueleza,Akali ya kufikiri, leo yanatosheleza,Kalamu ya tafakuri, haina la nyoongeza,Utajatuangamiza, uvivu wa kufikiri.

ABUU NYAMKOMOGI MWANZA.

UVIVU WA KUFIKIRI !

1.Imerudi ulingoni, idhaa yetu nchini, Imerudi ulingoni, kwa Bara na Visiwani, Imerudi ulingoni, nyote ninakujuzeni, Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.

2.Imerudi ulingoni, idhaa ya waumini, Imerudi ulingoni, kipenzi cha waumini, Imerudi ulingoni, si nyingine ni IMANI, Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.

3.Imerudi ulingoni, natoa kwenu ilani, Imerudi ulingoni, wiki jana si zamani, Imerudi ulingoni, mijini na vijijini, Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.

4.Imerudi ulingoni, kwa habari za yakini, Imerudi ulingoni, zisizo na walakini, Imerudi ulingoni, zimridhizo Manani, Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.

5.Imerudi ulingoni, kwa elimu ya yakini, Imerudi ulingoni, iso shaka maishani, Imerudi ulingoni, yenye jazaa ufuni, Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.

6.Imerudi ulingoni, kwa za kheri burudani, Imerudi ulingoni, Imerudi ulingoni, si za rajimi shetani, Imerudi ulingoni, zidakhilizo nirani, Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.

7.Imerudi ulingoni, idhaa yetu IMANI, Imerudi ulingoni, lengo ni kukujuzeni, Imerudi ulingoni, kalamu naweka chini, Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI. REDIO yetu IMANI, isharejea hewani.

ABUU NYAMKOMOGI. MWANZA.

IMERUDI ULINGONI !!!

Tuseme ukweli kuhusu mgogoro wa MisriInatokaUk. 7kukichafua chama cha Udugu wa Kiislamu i l i a t a k a p o s h i k a madaraka brotherhood kilichokuwa maarufu sana miongoni mwa Wamisri kiwe na cha kusema.

Lakini hakuna siri itakayodumu milele. Na ikafika wakati a m b a o Q u t b n a Muslim Brotherhood yake wakatambua walikosea kushirikiana na Nasser na ndipo ulipokuwa mwisho wa uhusiano wao. Nasser a k a f a n y a j u h u d i nyingi tu kumshawishi kwa nafasi kadhaa serikalini ili Qutb arudi i la ikashindikana, Nasser amenukuliwa akisema; ”We will give you whatever position y o u wa n t i n t h e government, whether it's the Ministry of Education, Ministry of Arts, or any position you want”.

N a k w a h i y o mwaka 1954 ulikuwa n i m wa k a m b a ya kwa wanachama wa Udugu wa Kiislam. Ni wakat i ambao Qutb alikamatwa na kufungwa jela kwa tuhuma za kupanga mauaji dhidi ya Nasser, kamata kamata hiyo iliwaandama mpaka wafuasi wengine kama akina Zainabu Ghazal waliokuwa kunyume na serikali yake.

K w a m a a n a hii, tofauti kati ya Nasser na Qutb ni ya kimtizamo, historia inatuambia kwamba Qutb anaamini kuwa jamii yeyote ile ambayo uongozi wake haufuati sheria ya Mwenyezi Mungu haiwezi kuwa ya Ki i s lamu hata kama wao wanajiita ni Waislam, na wanasali, wanfunga na wanahiji. Qutb anasema; ”Thus, a s o c i e t y w h o s e legislation does not rest on divine law (shari'at allah) is not Muslim, however ardent ly its individuals may proclaim themselves Muslim, even if they pray, fast, and make t h e p i l g r i m a g e . ” N a m w a k a 1 9 6 6 ikawa ndio mwisho Sayyid Qutb ambaye a l ihukumiwa ki fo

kwa kunyongwa na aliyekuwa mshirika wake mkuu Gamal Abdel Nasser.

Suala la msingi hapa ni kuwa Udugu wa Kiislamu wanaitaka Msiri itakayoongozwa na sheria za Kiislamu wakati hawa wengine wanataka Misri ya kisekula, Misri ya k i d e m o k r a s i a y a Magharibi. Hii ndio tofauti kubwa baina ya mifumo hiyo mawili.

K w a m u d a w a nusu karne sasa kundi l enye mrengo wa Udugu wa Kiislamu l i m e k a n d a m i z w a mno. Juhudi nyingi zimefanyika kuzifuta fikra za Udugu wa K i i s l a m u l a k i n i i m e s h i d i k a n a , n a pengine ni kwa sababu waliwekeza mawazo ya o k a t i k a wa t u , waliwekeza katika mafunzo na hivyo yataishi milele.

Hapa nitapishana kidogo mtazamo na mwandishi Sheikh Bawaziri ambae yeye a n a a n d i k a k u w a Misri imegawanyika k a t i k a m a k u n d i m a t a t u m a k u u . Kundi linalomuunga mkono Morsi (raisi al iyepinduliwa na aliyechaguliwa kwa uchaguzi huru), kundi linalompinga Morsi na kundi pekee la Jeshi.

Nayaona Makundi mawili tu pale Misri, k u n d i l i n a l o u n g a mkono sera za Ikhwani Al Muslimyn na kundi l inalounga mkono ubeberu wa Magharibi kwa kujivika kilemba cha demokrasia, nalo

hili linaundwa na Jeshi na wananchi huku kila mmoja akifanya nafasi yake.

Na ndio maana n a k u b a l i a n a n a Sheikh Bawaziri katika makala yake ya tarehe 30 Agosti katika gazeti la kisiwa yenye kichwa cha makala “ni nani aliyeweka mipaka hii katika Demokrasia?”, Bawazir anaandika; “ M a a n d a m a n o y a l i y o f a n y w a n a wapinzani wa Morsi yalionekana ni halali, h a k u n a b u n d u k i iliyoelekezwa kwao n a w a l a h a k u n a y e y o t e a l i y e d a i kwamba ni magaidi. Lakini maandamano y a w a f u a s i w a M o r s i w a l i o t a k a raisi wao arejeshwe madarakani , hayo hayakuonekana kuwa ni nguvu ya umma. Bali waandamanaji hao walionekana kuwa ni magaidi wanaoipinga serikali iliyowekwa madarakani na mtu mmoja tu kwa nguvu ya jeshi”.

Kwa mtizamo huu kinachoendelea Misri ni msuguano baina ya mifumo miwili ya Uislam na Ubeberu.

Lakini v i le v i le nakubaliana na Sheikh Bawazir katika makala yake hayo kwamba hofu ya mfumo wa ubeberu ni Uislam wa aina yoyote ile, Uislam siasa kali, siasa poa siasa zozote zile! Na hatima yake ni kuangusha dola lolote lenye mrengo huo.

Kimsingi serikali ya Morsi isingeweza kufanya lo lo te la

m a a n a n d a n i y a kipindi ilichokuwa madarakani, au ndani ya kipindi ambacho ingekuwa madarakani, i w e k u i n d e l e z a Misri kiuchumi au kujenga sera zake za Udugu wa Kiislamu. I n g e l i i c h u k u a Misri miaka mingi kufanikiwa katika moja kati ya hayo. Kwanini?

Kiuchumi, Misri bado ni tegemezi na imekuwa ikipokea misaada mingi tu kutoka serikali za magharibi. Ambayo nayo ilifutwa bada ya Mors i kuingia madarakani.

Lakini pia ni ngumu Misri iliyojaa rushwa na dhulma kupiga hatua ndani ya kipindi cha mwaka mmoja, si kazi ndogo kuusafisha mfumo uliotamalaki katika kila kona ya nchi.

Na hata kiitikadi, ingelichukua pia muda mrefu wa kwa Morsi kuzijenga sera zake za udugu wa Kiislamu. Kwani hali ilivyo sasa ni kama nusu kwa nusu, hii ingeifanya ser ika l i ya Mors i kuwekeza nguvu ya ziada katika kuliendea lengo hilo (kama kweli ndio lengo la Udugu wa Kiislamu).

Sasa hofu yote hii ni ya nini? Nguvu yote hii ni ya nini? Wanaoumia ni wananchi wasio na hatia yoyote ile. N i w a k a t i k w a dola za Magharibi kuwasikiliza wamisri wanataka nini kupitia hiyo hiyo demokrasia.

([email protected] 003 530).

WAANDAMANAJI nchini Misri.

Page 11: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

11 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013

QUR’AN surat Munafiqun aya ya kwanza inasema, Wanapokujia wanafiki husema: “Tunashuhudia ya kuwa, kwa yakini wewe ni Mtume wa mwenyezi Mungu”. Na Mwenyezi Mungu anajua kuwa wewe ni Mtume wake na Mwenyezi Mungu anashuhudia ya kuwa hakika wanafiki ni waongo, (wanasema wasiyoyasadiki).

Aya hii aliinukuu Katibu wa Jumuia ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini (Hayat) Sheikh Mohammed Issa, wakati alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari mara baada ya Mufti wa Bakwata, Sheikh Issa Shaaban Simba, kutangaza kuteua Kadhi na wasaidizi wake Julai mwaka jana mjini Dodoma.

Baada ya kunukuu aya hiyo, Sheikh Issa alifafanua kwamba, awali wakati Mufti Simba anawateua wajumbe wa Kiislamu kuunda Kamati ya kushughulikia mchakato wa kuanzishwa Mahakama ya Kadhi nchini, aliwaeleza baadhi ya wajumbe hao kwamba anamfahamu vizuri Sheikh Simba, kwamba si kiongozi wa kuaminika katika kufanya maamuzi kwani anaweza kubadilika wakati wowote.

Alisema anamfahamu vizuri kwa sifa hiyo tangu a l i p o k u wa S h e i k h wa Bakwata mkoa wa Shinyanga.

Sheikh Mohamed Issa alisema kutokana na tabia hiyo ya Mufti, aliwahakikishia baadhi ya wajumbe wa Kamati ile kuwa hawatafika pale walipokusudia kwa kuwa Mufti atawageuka.

Maneno hayo ya Sheikh Mohammed Issa, aliyatoa baada ya Muft i S imba kutangaza kuteua Makadhi mjini Dodoma Julai mwaka jana, wakati Kamati ya Kushughulikia Kurejeshwa mahakama ya Kadhi nchini ikiwa haina taarifa jambo lililowashangaza Waislamu wengi.

Ikiwa ndio umetimia mwaka mmoja tangu Mufti Simba, alipoamua kuipuuza K a m a t i ya p a m o j a ya Waislamu iliyokuwa imepewa jukumu la kushughulikia mchakato wa kuanzishwa Mahakama ya Kadhi nchini na kuamua kuteua Makadhi wake, sasa anaililia serikali kwa kutowatambua kisheria Makadhi aliowateua.

M u f t i S i m b a a l i t o a malalamiko hayo wakati w a l i p o z u n g u m z a n a w a a n d i s h i w a h a b a r i mwishoni mwa wiki iliyopita

Sheikh Simba alia kupuuzwa Makadhi wakeSerikali, Tume ya Katiba zalaumiwaAliyosema Sheikh Mohamed Issa yametimia

Na Shaban Rajab jijini Dar es Salaam.Aliilaumu serikali kwa

kutowatambua Makadhi hao na vilevile kupuuza maoni ya Waislamu ya k u t a k a M a h a k a m a ya Kadhi na wadhifa wa Kadhi kutambuliwa kikatiba ndani ya rasmu ya Katiba.

Alisema licha ya jamii ya Waislamu na taasisi zao kuwasilisha maoni yao kwa Tume ya kuratibu maoni ya Katiba mpya, ya kutaka kuwepo mahakama ya Kadhi inayotambulika kikatiba, bado Tume hiyo imepuuza m a o n i y a o k i a s i c h a kukosekana katika rasimu hiyo ya katiba mpya.

Hata hivyo l i s is i t iza kwamba bado atajitahidi kuwasilisha maoni zaidi juu ya suala hilo.

Itakumbukwa kwamba Julai mwaka jana akiwa Dodoma, Mufti Simba huyo huyo katika hali ambayo haikuratajiwa na Waislamu w e n g i n c h i n i , g h a f l a alitangaza kumteua Kadhi Mkuu na wasaidizi wake wawili na baada ya hapo, aliwateua Makadhi wengine 14 wa mikoa huku akiahidi kuteuwa Makadhi wengine wa mikoa iliyosalia na wa Wilaya.

K a t i k a u t e u z i h u o , Sheikh Abdallah Mnyaki alitangazwa kuwa Kadhi Mkuu wa Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara.

M a s h e i k h A b u b a k a r Zuberi na Alli Muhidini, walitangazwa kuwa ndio wasaidizi wa Kadhi Mkuu.

Uteuzi huo ulifanyika b a a d a y a k u m a l i z i k a kwa kikao cha siku mbili k i l i c h o w a k u t a n i s h a Masheikh wa Bakwata wa Mikoa na Wilaya kutoka Tanzania Bara.

Baada ya kuchaguliwa, Sheikh Mnyaki, Mufti Simba aliwataka Waislamu kuwa na umoja pamoja na kushiriki zoezi la Sensa na kuwataka wapuuze kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na taasisi za Kiislamu na badala yake aliwataka Masheikh kumpa ushirikiano Kadhi Mkuu ili aweze kutekeleza majukumu yake kikamilifu.

Ni jambo l i l i lo wazi kwamba, wakati Mufti Simba na Bakwata kwa ujumla wanachukua hatua ya kuasi Kamati i l iyoridhiwa na Waislamu, walitambua kuwa Makadhi hao wasingekuwa na nguvu zozote za kisheria zaidi ya kubaki na majina yao tu huku wakiishia kupuuzwa sio na serikali tu, bali hata na Waislamu wenyewe.

T u j i k u m b u s h e t u kwamba kabla ya Mufti S imba kuchukua hatua

h iyo ya haraka , awal i iliundwa Kamati ya pamoja i l iyojumuisha viongozi mbalimbali wa taasisi za Kiislamu nchini na wajumbe kutoka serikalini chini ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda, kwa ajili ya kushughulikia m c h a k a t o m z i m a w a kuanzishwa Mahakama ya Kadhi nchini.

Wajumbe wa Kiislamu walitaka mahakama hiyo iendeshwe kwa gharama z a s e r i k a l i k wa k u wa Waislamu nao ni walipa kodi na sehemu ya jamii ya Tanzania inayohitaji huduma ya kijamii ya serikali.

Aidha walitaka mahakama hiyo ipewe nguvu kisheria kwa kutambuliwa na katiba ya nchi ili isije kupuuzwa na kudharauliwa kwa kukosa nguvu za kisheria.

Wajumbe wa Kiislamu walitambua kuwa iwapo h i l o l i s i n g e f a n y i k a , b a s i m a h a k a m a h i y o i s i n g e h e s h i m i w a n a hukumu za mashauri yake ya s i n g e h e s h i m i wa p i a kwakuwa yasingetambuliwa kisheria.

Hata hivyo Maaskofu walikuja juu na kusisitiza kwamba hawawezi kukubali ser ikal i kutumia fedha za watu wa imani zote hudumia Waislamu pekee na kuongeza, mahakama ya kadhi kutambuliwa na katiba ni sawa na kuisilimisha nchi hivyo hawakubali kuanzishwa mahakama hiyo.

Waislamu nao walihoji kuwa, kama kanisa na serikali wanatambua hilo, iweje serikali hiyo hiyo ikasaini mkataba kati yake na Kanisa wa mwaka 1992, ambao unairuhusu serikali kutoa fungu la fedha za walipa kodi wakiwemo Waislamu, kwenda kwa makanisa kwa ajili ya kugharamia huduma zinazotolewa na kanisa.

Hoja hizo na msiamo wa Maaskofu uliifanya serikali kupiga danadana suala la kuanzishwa mahakama ya Kadhi hadi leo.

Itakumbukwa kwamba mwezi Juni mwaka jana, Serikali ilisema uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi itakayoshughulikia migogoro na masuala mbalimbali ya ustawi wa Waislamu nchini umefikia katika hatua nzuri.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema hayo wakati akijibu hoja za wabunge zilizojadili kwenye hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara na Taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2012/2013.

Al isema i taanzishwa wakati wowote baada ya maandalizi kukamilika na

MUFTI wa Bakwata, Sheikh Issa Shaaban Simba.

kwamba, utekelezaji wake uko katika hatua nzuri baada ya kamati ndogo iliyoteuliwa na Waziri wa Katiba na Sheria, yenye wawakilishi wa Waislamu na Serikali imetoa taarifa yake ya mwanzo ya namna ya kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi.

Waziri Pinda alibainisha wa z i k wa m b a m a m b o yatakayoshughulikiwa na mahakama hiyo ni pamoja na mashauri ya ndoa na talaka, mirathi, wosia, usuluhishi wa migogoro ya Kiislamu, hiba/zawadi/ tunu, wakfu na malezi ya watoto na kwamba, Mahakama hiyo haitahusika na mashauri ya jinai.

Waziri Mkuu alisema bungeni kwamba Kamati Kuu inayojumuisha viongozi wa waumini wa Dini ya Kiislamu na Serikali chini ya Uenyekiti wake, kimsingi imekubaliana kwa kauli moja uanzishwaji wa Mahakama hiyo Nchini itakayokuwa nje ya mfumo wa serikali.

A l i o n g e z a k u w a kulikuwepo na umuhimu na dhamira ya kweli ya kuanzisha Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara.

Pinda alikuwa akijibu hoja za wabunge waliotaka kufahamu maendeleo ya Mahakama hiyo, wakitaka Serikali itimize ahadi yake hiyo ambayo ipo katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM.

Wabunge hao walikuwa ni Hamad Rashid Mohammed, Rashid Ali Abdallah, Ahmed Juma Ngwali na Hussein Nassor Amar.

Aidha alisema katika kikao chao cha mwisho cha pamoja

kati ya Serikali na ujumbe wa wawakilishi wa Kiislamu, kilichofanyika Machi mwaka jana kwamba, walikubaliana kuwa baadhi ya wajumbe kutoka upande Waislamu na Serikali wakafanye ziara ya mafunzo katika nchi za India, Uingereza, Kenya na baadaye Zanzibar ili wakajifunze namna ya kurat ibu na kuendesha Mahakama za Kadhi katika nchi hizo, ambazo zina Mahakama za Kadhi kwa muda mrefu.

Alisema wataalamu wa kuanzisha mahakama hiyo watakwenda nchini Kenya, India, Uingereza na Zanzibar kujifunza jinsi ya kuanzisha chombo hicho na kwamba, ziara hiyo itagharamiwa na serikali.

Hata hivyo wakati hali ik iwa h ivyo , kab la ya kufikiwa makubaliano ya kuanzishwa mahakama hiyo, Mufti Simba na Masheikh wa Mikoa Bakwata walikutana mjini Dodoma na kutangaza uteuzi wa makadhi.

Mufti Simba alifanya hivyo bila hata kuwasiliana na kamati ya wawakilishi wa Waislamu katika kujadili suala hilo na kuvuruga m c h a k a t o m z i m a y a kuanzishwa Mahakama ya Kadhi inayotambulika kikatiba na mchakato mzima ukaishia hapo.

Hadi leo si Mufti Simba wala Waziri Mkuu Pinda aliyezunfgumzia kuanzishwa mahakama ya Kadhi tena.

Page 12: ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, …docshare01.docshare.tips/files/16611/166116546.pdfya sheria ya marekebisho ya mabadiliko ya Katiba na suala la zima kuhusu kura ya maoni ya

12 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 201312 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

AN-NUUR12 SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013

Tanzania Muslim Hajj TrustSafari ya Hijja 2013

Uandikishaji unaendelea gharama za Hijja ni dola za Kimarekani $ 4200. Safari ni tarehe 5 na 7 Octoba, na

Kurudi Tarehe 27 na 28 Octoba, 2013. Wahi kujiandikisha Sasa.

Uandikishaji wa Hijja Zijazo 2014, 2015 kwa Kulipia kidogo kidogo, unaendelea.

Simu: 0717 000 065, 0784 222 911, 0754 304 518, 0754 498 888

Au kupitia Tovuti yetu. www.hajjtrusttz.org.

SERIKALI imetanabaishwa kuyatafutia ufumbuzi wa kudumu madai ya Waislamu nchini ambayo ya m e wa s i l i s h wa k wa nyakati tofauti ili kuepusha msuguano uliopo sasa.

Hayo yamesemwa na Ustadhi Suleiman Daud, akiongea na An- nuur, ak izungumzia ha l i ya mvutano baina ya Serikali, Masheikh na Waislamu unaondelea sasa.

Ust. Daud, alisema hali i l iyopo sasa inatokana na Serikal i kushindwa k u ya t a f u t i a u f u m b u z i m a d a i y a Wa i s l a m u n a s a s a wa n a p o a m u a k u i t a h a d a h a r i s h a w a n a s a k a m w a k w a uchochezi.

“Hali hii inatokana na Serikali inayojinadi kuwa ni sikivu na adilifu, lakini inapuuza kabisa kuyafanyia kazi madai ya Waislamu na kujaribu kutaka kuwaziba m d o m o k wa k u t u m i a vyombo vya dola, jambo ambalo n i ha tar i kwa mustakabali wa Taifa hili.” Alisema.

U s t . D a u d , a l i s e m a kimaumbile binaadam, anapohisi kuonewa na akafikisha malalamiko yake sehemu husika ili apate ufumbuzi kisha akapuuzwa na kufikia hatua akashindwa kuona wapi apeleke madai na malalamiko yake, hufika mahali akasema, sasa basi, liwalo na liwe.

Ust. Daud, aliye Amir wa Mkoa wa Dar es Salaam wa Kamati ya Kuendeleza Uis lamu, a l i sema hivi sasa madai ya Waislamu Serikali yanaonekana kuwa ni uchochezi kabla hata kuyajadili au kuyafanyia utafiti.

Ust . Daud, a l isema ikiwa madai ya Waislamu ni uchochezi bila shaka ( W a i s l a m u ) w o t e watafunguliwa mashitaka.

Alisema, kwa mujibu wa Katiba ya nchi hii , Waislamu wana haki na wajibu wa kutendewa haki kama ambavyo Serikali inavyowatendea makundi mengine.

Amir Daud, a l isema W a i s l a m u w a n a k u m b u k u m b u k u w a w a l i u n d a m a k u n d i y a l i y o w a w a k i l i s h a Wais lamu kuwasi l i sha madai yao Serikalini moja

Serikali itende hakiNa Bakari Mwakangwale

Ustadhi Suleiman Daud.kwa moja achilia mbali m a d a i w a n a y o y a t o a kupitia majukwaani na makongamano.

Alisema, mwaka 1998, Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, lilifikisha madai ya Waislamu Serikalini, dai la msingi lilikuwa ni kutaka kufahamu au kupata ufafanuzi kutoka Serikalini juu ya Tume ya Majeshi ya Kanisa Katoliki Nchini.

“Mpaka sasa Serikali haijatamka kauli yoyote juu ya suala hili, ukihoji haya unaambiwa unachochea, unahatarisha amani ya nchi.” Alisema Amir Daud.

Akasema, mwaka 1999, H a l i m a s h a u r i K u u ya Waislamu, iliorodhesha madai ya Waislamu, na mapendekezo ya njia stahili ya kuchukua ili kuondoa s i n t o f a h a mu b a i n a ya Waislamu na Serikali yao, madai haya alifikishiwa kwa Rais wa wakati huo Mzee Benjamin Mkapa.

Lakini Rais huyo wa awamu ya tatu, alitoa majibu kuwa matatizo ya Waislamu ni ya kihistori, hivyo alidai kuwa ina maana kwamba hawezi kuvuruga historia ya kupuuzwa Waislamu nchini.

Amir Daud alikumbusha k wa m b a M wa k a 2 0 1 1 l i l i fanyika Kongamano katika ukumbi wa Diamond J u b i l e e , l i l i l o k u s a n ya Waislamu wa nchi nzima, chini ya Kamati Maalum

y a M a k o n g a m a n o y a Mfumokristo.

Alisema, Kamati hiyo ilitoa kitabu chenye orodha ya madai ya Waislamu, na kwamba karibia ofisi zote za Serikali zilifikishiwa kitabu hicho, kuanzia Ofisi ya Waziri Mkuu mpaka Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

“ M p a k a l e o h a k u n a kiongozi yeyote wa Serikali au Mbunge aliyesimama kutoa au kutaka ufafanuzi dhidi ya madai hayo ya Waislamu. Sasa kat ika hali kama hii unategemea Waislamu wafanye nini.” Alisema Amir Daud.

A l i s e m a , m a d a i y a Waislamu kwa ujumla ni ya msingi kwa mustakabali wa Taifa hili, lakini yanakaliwa kimya ama kupuuzwa, kisha akasema, Serikali husimama na kujinadi kuwa ni sikivu na adilifu, akahoji ni uadilifu gani huo wa kupuuza madai ya moja ya kundi katika makundi ya raia wake.

Alisema, katika kadhia ya wanafunzi wa Kiislamu wa Shule ya Sekondari Ndanda, kufukuzwa Shule kwa sababu za chuki ya udini, Serikali iliwaita viongozi wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, kuzungumzia kadhia hiyo.

A l i s e m a M a s h e i l k h c h i n i ya A m i r M u s s a Kundecha, waliitikia wito huo wakiwa na orodha

ya madai ya Waislamu na jinsi wanavyopuuzwa na kusababisha yote hayo mfano wa kadhia hiyo ya Wanafunzi wa Ndanda.

Akahoji, ikiwa Serikali inapelekewa matatizo ya raia wake ili iyatafutie ufumbuzi, wao (Serikali) hawataki hata kufanya mjadala , wanategeme Masheikh hao wakisimama jukwaani mbele ya Waislamu watasema nini.

Alisema, kupitia MoU, Serikali inatoa mabilioni ya pesa kuyapa Makanisa kwa ajili ya kuendeshea miradi yao, ilihali Serikali inajua kuna makundi mengine ya kiraia lakini imeyapuuza na kuidhinisha kinyemela kundi hilo moja kupewa pesa hizo.

“Waislamu, wamekuwa

wakihoji siku zote suala hili, majibu yake ni kuonekana kuwa ni wachochezi, na sasa ili Masheikh wasiseme haya, Serikali inaona ufumbuzi wake ni kuwapigwa risasi”. Alisema Amir Daud.

Alisema, si hayo tu kuna tukio la kuuwawa Waislamu katika kadhia ya Msikiti wa Mwembechai, pamoja na Waislamu kupeleka madai yao ili iundwe Tume huru ya kuchunguza mauaji hayo, Serikali imewapuuza.

Akizungumzia madai ya Waislamu Serikalini kuhusu Baraza la Mitihani la Taifa, Amir Daud, alisema Waislamu wamelalamika muda mrefu juu ya namna vijana wa Kiislamu wanavyo felishwa, lakini alidai pia walipuuzwa.

NEW YORKNaibu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa a n a y e s h u g h u l i k i a Masuala ya Kisiasa, J e f f r e y F e l t m a n , amekaribisha uamuzi wa kushir iki Rais Hassan Rohani wa Iran katika mkutano wa 68 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa utakaofanyika mwezi ujao.

Feltman amesema h a y o a l i p o k u w a a k i z u n g u m z a n a Muhammad Mehdi Akhoundzadeh, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughuliakia masuala ya kimataifa na Sheria.

Feltman pia amesifu ushirikiano wa siku za nyuma na wa sasa kati ya Iran na taasisi hiyo ya kimataifa katika kulinda mazingira, mabadiliko y a h a l i y a h e w a , masuala ya wakimbizi, kupambana na biashara haramu ya dawa za kulevya, kushirikiana na

UN yamkaribisha Rais Rohani mkutano Baraza Kuu

Urusi yatoa tahadhari kwa Marekani

Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu na kuwasaidia wakimbizi wa Afghanistan na Iraq.

K w a u p a n d e wake, Akhoundzade, a m e s i s i t i z a j u u ya ulazima wa kuendelezwa ushirikiano wa Iran na Umoja wa Mataifa katika kutatua migogoro inayoendelea katika eneo la Mashariki ya Kati, hasa mgogoro wa Syria.

Rais Hassan Rohani wa Iran.