jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya rais … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum...

92
School Information System 2018 Mwongozo wa Mafunzo JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

Upload: others

Post on 06-Sep-2019

13 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

School Information System 2018

Mwongozo wa Mafunzo

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

Page 2: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11
Page 3: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

i

Yaliyomo

MWONGOZO WA MKUU WA SHULE 1

KWANINI SIS? 2

MKAKATI WA SIS 3

WANUFAIKA WA MFUMO WA SIS 4

MZUNGUKO WA SIS 5

MZUNGUKO WA MFUMO WA SIS UNAHUSISHA: 5

HATAU ZA SIS 6

AWAMU ZA UTEKELEZAJI WA SIS 6

FURSA ZA SIS 7

UENDELEVU NA UMILIKI 7

TAHADHARI WAKATI WA KUTUMIA TABLET 8

VIFAA 8

MPANGILIO WA SAMSUNG GALAXY TAB A6 9

UTAMBUZI WA NAMBA YA IMEI 10

NAMNA YA KUTUMIA SAMSUNG TAB A6 10

JINSI YA KUWASHA/ KUZIMA TABLET 11

SAMSUNG GALAXY TAB A6 11

NAMNA YA KUJIUNGA NA MTANDAO KATIKA TABLET YA GALAXY A6 12

NAMNA YA KUJIUNGA NA MTANDAO WA WI-FI 13

JINSI YA KUTAFUTA KIKOTOLEO 14

ALAMA MUHIMU NA KAZI ZAKE 14

JINSI YA KUFUNGUA MFUMO WA SIS 15

MENYU KUU YA SIS 16

MENYU YA MPANGILIO 17

MENYU YA MPANGILIO: MPANGILIO WA SHULE 18

MENYU YA MPANGILIO: TAFUTA MABORESHO 19

MENYU YA MPANGILIO: RUDISHA TOLEO LILILOPITA LA DATABASE 20

MENYU YA MPANGILIO: LUGHA 22

MENYU YA MPANGILIO: KUPANDISHA DARASA 23

SIS: MENYU YA TAARIFA MSINGI 24

TAARIFA ZA SHULE 25

TAARIFA ZA SHULE: KUREKODI VIPIMO VYA KIJIOGRAFIA 27

PICHA ZA SHULE 28

MADARASA YA ELIMU YA AWALI 29

Page 4: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

ii

SAMANI ZA ELIMU YA AWALI 30

MTAALA NA UFUNDISHAJI KWA SHULE YA MSINGI 31

SIFA ZA DARASA NA SAMANI 32

MIUNDOMBINU YA SHULE 33

VYANZO VYA FEDHA 34

USIMAMIZI NA WALIMU 35

WALIMU NA WATUMISHI WASIOKUA WALIMU 36

WALIMU: MGAWANYO WA MASOMO 38

WANAFUNZI 39

UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI 40

DARASANI 41

MAHUDHURIO YA MWANAFUNZI 42

TABIA YA MWANAFUNZI 43

TATHMINI YA MWANAFUNZI 44

TAARIFA YA FEDHA 45

RIPOTI 46

KUHUSU SIS 48

ALAMA MUHIMU NA KAZI ZAKE 50

MENYU KUU 51

MENYU YA TAARIFA MSINGI 52

TAARIFA MSINGI 53

WALIMU NA WATUMISHI WASIO WALIMU 64

WANAFUNZI 66

WANAFUNZI 67

WANAFUNZI 68

DARASANI 69

TAARIFA YA FEDHA 76

RIPOTI 78

TAARIFA YA FEDHA 79

RIPOTI 79

MENYU YA MPANGILIO 82

ANGALIA MABORESHO… 83

HIFADHI 84

RUDISHA TOLEO LILILOPITA LA DATABASE 85

LUGHA 86

Page 5: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

1

Mwongozo wa Mkuu wa ShuleMwongozo wa Mfumo wa Taarifa za Shule “SIS” wa Mkuu wa shule una haya yafuatayo:

• Taarifa ya Ujumla kuhusu SIS• Jinsi ya kutumia Samsung Galaxy Tab A6• Jinsi ya kujaza ripoti mbalimbali za SIS

Malengo 1. Maelezo kuhusu SIS 2. Jinsi ya kutumia Samsung Galaxy Tab A63. Jinsi ya kukamilisha fomu katika mfumo wa SIS

Maelezo ya jumla kuhusu SISSIS ni Nini? School Information System (Mfumo wa Taarifa za Shule).• SIS ni nyenzo ya usimamizi wa shule na kiini cha taarifa za shule.• SIS inatoa taarifa kwa muhtasari na kwa kina kuhusu utendaji wa shule.

Nini madhumuni ya SIS?Takwimu zinazopatikana kwenye mfumo wa SIS zinaweza kutumika kufanya mambo yafuatayo:

• Kusaidia katika kufanya maamuzi na kutengeneza sera;• Kutoa taarifa kuhusiana na hali ya Mfumo wa Elimu;• Kubainisha mahitaji ya kielimu; na • Kusaidia mamlaka kufanya maamuzi ya namna bora ya kugawanya rasilimali.

Maelezo kuhusu mfumo wa SIS Ni jukumu la nani kusimamia SIS?

Wafuatao wana jukumu la kusimamia SIS - Tanzania.

• TAMISEMI – Sera, Uchambuzi wa data/ Takwimu kitaifa, Uandaaji wa madodoso & Ukusanyaji wa takwimu, miundombinu ya kiteknolojia kwa ajili ya utendaji na ufanyaji kazi wa SIS.

• Mkoani – Kuratibu, usimamizi na ripoti. • Halmashauri – Usimamizi wa mfumo kwa ngazi ya halmashauri.• Mkuu wa Shule kwa usimamizi, utendaji kazi, utekelezaji na uendeshwaji wa kila siku katika ngazi

ya shule.

Page 6: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

2

Kwanini SIS?

Upatikanaji wa papo kwa hapo wa takwimu za mahudhurio, tabia, utendaji, taarifa za fedha n.k.

Kujenga utamaduni na tabia ya matumizi ya takwimu katika kufanya maamuzi katika ngazi ya utoaji huduma (Shule) na Halmashauri.

Kuboresha usimamizi na utendaji wa utoaji wa elimu katika ngazi ya taifa (Nyenzo ya Uongozi na Usimazi wa shule).

Kuimarisha Uongozi, uratibu/ usimamizi na uangalizi.

Page 7: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

3

Mkakati wa SIS

Upatikanaji wa papo kwa hapo wa takwimu za mahudhurio, tabia, utendaji, taarifa za fedha n.k.

Nyenzo ya usimamizi wa Elimu (Usimamizi wa shule kwa Ufuatiliaji na tathmini).

Upatikanaji wa kila siku wa takwimu (Kila siku, kwa wiki na kwa mwezi).

Matumizi ya takwimu katika ngazi ya utoaji huduma (Shule).

Ukusanyaji wa takwimu na matumizi katika ngazi ya chini.

Umiliki na uendelevu wa mfumo na takwimu.

Uwepo wa mfumo jumuishi wa takwimu za sekta ya elimu.

Page 8: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

4

Wanufaika wa mfumo wa SIS

Utekelezaji & Ufuatiliaji

Viongozi Waandamizi Idara ya Usimamizi wa ElimuIdara ya Sera na MipangoIdara ya Serekali za Mitaa

Katibu Tawala wa MikoaA�sa Elimu wa MikoaA�sa Mipango wa MikoaMtakwimu wa MkoaMtaalamu wa TEHAMA Mkoa

Viongozi WaandamiziElimu ya MsingiElimu ya SekondariSera ya MpangoUfuatiliaji na Tathmini

KATA

SHULE

Mthibiti Mkuu wa Ubora KandaWathibiti Ubora Kanda

Mthibiti Mkuu wa Ubora WalayaWathibiti Ubora Wilaya

Wilaya MkuuMakamu Mkuu wa ShuleWalimuWatumishi wasio WalimuKamati ya Shule

A�sa Mtendaji wa KataA�sa Elimu KataA�sa Maendeleo ya Jamii Kata

Mkurugenzi Mtendaji wa HalmashauriA�sa Elimu wa HalmashauriA�sa Mipango wa HalmashauriA�sa Elimu Vifaa na TakwimuMtakwimu wa HalmashauriMtaalamu wa Tehama wa Halmashauri

WazaziUshirikiano wa Wazazi na Walimu (UWWMkutano wa Kijiji/MtaaMakundi mengine ya Kijamii

Sera na Viwango

OR-TAMISEMI

TAWALA ZA MIKOA

SEREKALI ZA MIATAA

UTHIBITIUBORAWILAYA

WEST

JAMII

UTHIBITI UBORAKANDA

Page 9: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

5

Mzunguko wa Mfumo wa SIS unahusisha:

Mzunguko wa SIS

• Ukusanyaji wa takwimu kupitia shughuli za kila siku shuleni, • Uingizwaji na uchakatuaji wa takwimu kwenye mfumo wa kielektroniki,• Uchambuaji wa takwimu na utoaji wa ripoti, na• Kutoa taarifa za kimkakati, kiutawala, na utendaji kuhusu michakato ya kisera na mipango

katika ngazi ya shule.

Kusanya na Chakata Data

Ripoti & Chambua

Taarifa SeraTaarifu Mipango

• Mwanafunzi• Mwalimu• Vitabu• Miundombinu• Fedha

• Viashiria msingi vya Utendaji [KPIs]

• Ripoti• Dashibodi

• Kimkakati• Utawala• Utendaji

• Shule• Halmashauri• Mkoa• Taifa

Page 10: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

6

Hatau za SISMchakato wa SIS unahusisha hatua zifuatazo:

Kutambua nakujifunzamfumo

Mafunzokuhusiana na

ukusanyaji watakwimu

Ukusanyaji wakila siku wa

takwimu

Uingizaji wa kila siku wa

takwimu kwenye Mfumo

Uchakatuaji watakwimu

Uhakiki watakwimu

Ripoti kuhusutakwimu

Uchambuzi watakwimu

Ripoti za vikaovya wiki

Vikao vyamwezi

Usambazaji wa Taarifa

Utathmini wa Mzunguko wa

SIS

Awamu za Utekelezaji wa SIS

April 2016 hadi Machi 2017

April 2017 hadi Machi 2018

April 2018 hadi Machi 2019

Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Rukwa, Mbeya, Songwe,

Njombe, Pwani, Geita, Mwanza, Kagera, Manyara, Dar es Salaam

Dashboard and Visualizations including SMS and Emailing

mechanism

Software Enchatment, Snags Clearence, Training, Data

Visualizations, Pre-Primary School

Iringa, Morogoro, Mtwara, ruvuma, Singida and KataviKigoma, Tabora, Shinyanga,

Simiyu, Mara, Dodoma and Lindi

Shule 4,452

Tablets, Software ProcessTraining Reporting

Page 11: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

7

Fursa za SIS• Mawasiliano chanya na mahusiano ya kazi baina ya wizara husika katika Usimamizi wa Elimu

nchini.• Uwepo wa Mkongo wa Taifa wa mawasiliano na maendeleo endelevu katika miundombinu

ya Tehama katika sehemu mbalimbali nchini.• Utayari wa makampuni ya simu katika kuhakikisha mawasiliano/huduma ya mtandao

inapatikana.

Uendelevu na Umiliki• Uendelevu wa SIS unategemea na uwajibikaji wa Wakuu wa shule.• Bila umiliki wa mkuu wa shule na kujitoa SIS haitaweza kuwa endelevu.

Viashiria vya hatari katika utumiaji wa tablets na Jinsi ya kudhibiti

Viashiria Jinsi ya KudhibitiViashiria vya KiufundiShida ya Mtandao Mkuu wa Shule anaweza kukusanya

takwimu na kisha kutafuta sehemu yenye mtandao ili kutuma taarifa.

Athari za Virusi Mkuu wa Shule hatakiwi kuunganisha Tablet yake na vifaa vyovyote au mtandao wowote usiokua salama.

Viashiria vya UsimamiziTablet Kuibiwa/Kupotea Mkuu wa Shule anapaswa kuhifadhi Tablet

mahali salama.Tablet kuharibika Mkuu wa Shule anapaswa kuhifadhi na

kubeba Tablet kwa uangalifu mkubwa.Watumiaji wasio na ujuzi Uongozi unapaswa kufanya mafunzo ya

mara kwa mara “Muongozo wa mtumiaji wa SIS“ utumike.

Page 12: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

8

Tahadhari wakati wa kutumia tablet

• Usidondoshe tablet.• Usiloanishe tablet.• Usidondoshe chaja inayotumia nishati ya jua (solar charger).• Weka mbali na watoto.• Epuka matumizi yasiyofaa ya tablet mf. Facebook, twitter, �lamu nk.• Usiingize takwimu kama chaji iko chini sana, unaweza poteza takwimu zako. • Usitumie tablet ukiwa unatembea au kuendesha. • Usichaji tablet kwa kutumia kompyuta/ laptop.

Vifaa

Page 13: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

9

Mpangilio wa Samsung Galaxy Tab A6

1. Power/Lock Key: Bonyeza na Shikilia ilikuwasha/ kuzima Tablet na bonyeza kuwekaau kutoa loki katika Tablet.

2. Volume Keys: Bonyeza ili kubadili sauti wakatiwa kusikiliza mziki

3. MicroSD Slot: Simika kadi ya MicroSD Card inayotumika kuhifadhia mafaili.

4. SIM Card Slot: Simika kadi ya SIM kulinganana Mtandao husika.

5. Back Key: Bonyeza kurejea katika chaguolililotangulia

6. Home Key: Kuoneshaukurasa wa mwanzo waTablet.

7. Recent Key: Bonyeza na shikilia ili kuonakilichotumika karibuni

8. Ear Phone Jack: Bonyeza earphone ilikusikiliza mziki au mazungumzo.

9. Multipurpose Jack: Hutumika kubonyezaUSB kwa ajili ya kuhamisha mafaili au kuchaji.

10.Front-Facing Camera Lens : KuchukuaPicha na Video

11. Microphone : Rekodia Sauti

1. Power/Lock Key: Bonyeza na Shikilia ili kuwasha/ kuzima tablet na bonyeza. kuweka au kutoa loki katika tablet.

2. Volume Keys: Bonyeza ili kubadili sauti wakati wa kusikiliza mziki.

3. MicroSD Slot: Simika kadi ya MicroSD Card inayotumika kuhifadhia mafaili.

4. SIM Card Slot: Simika kadi ya SIM kulingana na Mtandao husika.

5. Back Key: Bonyeza kurejea katika chaguo lililotangulia.

6. Home Key: Kuonesha ukurasa wa mwanzo wa tablet.

7. Recent Key: Bonyeza na shikilia ili kuona kilichotumika karibuni.

8. Ear Phone Jack: Bonyeza earphone ili kusikiliza mziki au mazungumzo.

9. Multipurpose Jack: Hutumika kubonyeza USB kwa ajili ya kuhamisha mafaili au kuchaji.

10. Front-Facing Camera Lens: Kuchukua Picha na Video.

11. Microphone: Rekodia Sauti.

13. Rear Camera (Back Camera): Chukua Picha na Video.

14. Flash Light Lense: Kuongeza mwanga katika picha ikiwa kuna giza au mwanga mdogo.

15 & 16: Speaker: Sehemu iliyozoeleka kwa ajili ya kutoa sauti.

13. Rear Camera (Back Camera): ChukuaPicha na Video

14. Flash Light Lense: Kuongeza mwangakatika picha ikiwakuna giza au mwanga mdogo.

15&16. Speaker: Sehemu iliyozoelekakwa ajili ya kutoasauti

Page 14: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

10

Utambuzi wa namba ya IMEI

• Kila tablet ina namba ya kipekee ya IMEI ambayo inawezesha kupatikana kwa tablet pindi imepotea/ imeibwa au kutofautisha tablet moja na nyingine.

• IMEI- Namba inayopatikana katika boksi la tablet, nyuma ya tablet na kwa kuandika *#06#

Namna ya kutumia Samsung Tab A6

Kwa usalama waTablet unashauriwakukitumia kikiwa juuya meza/ dawatiisipokuwa wakati wa kuchukua picha nakurekodi vipimo vyakijiografia

Kwa usalama wa tablet unashauriwa kuitumia ikiwa juu ya meza/ dawati isipokuwa wakati wa kuchukua picha na kurekodi vipimo vya kijiogra�a.

Page 15: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

11

Jinsi ya Kuwasha/ Kuzima tablet Kuwasha Tablet bonyeza nakushikilia alama ya Power/ Lock kwa sekunde kadhaa

Kuzima Tablet bonyeza nakushikilia alama ya Power/ Lock kwa sekunde kadhaa

Kwenye menyu ya machaguoya Tablet, gusa Power Off, kisha zima tena

Kuwasha tablet bonyeza na kushikilia alama ya Power/ Lock kwa sekunde kadhaa.

Kuzima tablet bonyeza na kushikilia alama ya Power/ Lock kwa sekunde kadhaa.

Kwenye menyu ya machaguo ya tablet, gusa Power O�, kisha zima tena.

Samsung Galaxy Tab A6

Ulinzi wa Tablet • Tablet inajifunga yenyewe skrini yake

ikikaa bila matumizi kwa muda �ani au unaweza funga muda wowote unaotaka.

Kufungua tablet• Fungua tablet kwa “kuswipe” na kidole

chako kutoka upande mmoja kwenda mwingine wa skrini. Ufunguaji huu ni wa kawaida na hautoi ulinzi wowote.

Kufunga tablet• Bonyeza mara moja alama ya “Power.”

Page 16: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

12

Namna ya kujiunga na mtandao katika tablet ya Galaxy A6

Hii inaweza fanyika kwa njia mbili 1. Kwa kuwasha data 2. Kupitia Wi-Fi.

2. Kwa kuwasha data: “Swipe” sehemu ya juu ya tablet na kisha tafuta Alama ya Data, kisha gusa data ili kuwasha.

Page 17: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

13

Namna ya kujiunga na mtandao wa Wi-Fi

1. Katika ukurasa wa “Home” bonyeza Apps

2. Bonyeza Settings

3. Washa mtandao wa Wi-Fi

4. Chagua na Jiunge kwenye mtandao unaofanya kazi

Page 18: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

14

Jinsi ya kutafuta Kikotoleo

Kwanza: Nenda katika Ukurasa wa Mwanzo kisha bonyeza Alama ya Apps kisha tafuta alama ya SAMSUNG na ichague, utaona kitufe cha kikokotoleo, bofya nauendelee kukitumia.

Alama muhimu na Kazi zake

Wakati wa kutumia tablet na mfumo wa SIS, Mkuu wa Shule atakutana na alama zifuatazo ambazo ni muhimu kuzielewa:

Wakati wa kutumia Tablet na mfumo wa SIS, Mkuu waShule atakutana na alama zifuatazo ambazo ni muhimukuzielewa:-

Mpangilio wa mfumo

Menyu

Intanet ipo au imeunganishwa kwenye mtandao wa Wi-Fi

Hakuna huduma ya Meseji / Mtandao

Kuhifadhi taarifa

Tafuta Mwalimu au Mwanafunzi

Ingiza Taarifa zilizo kwenye fomu

Futa taarifa ya mwalimu au mwanafunzi ili mradi asiwe amepangiwa masomo au darasa

Page 19: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

15

Jinsi ya Kufungua Mfumo wa SIS

Page 20: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

16

Menyu Kuu ya SIS

Menyu Kuu

Taarifa Msingi

Darasani

Taarifa ya Fedha

Ripoti

Menyu kuu ina machaguo manne:

Taarifa Msingi Wasifu wa Shule Walimu Wanafunzi

Darasani Mahudhurio Tathmini Tabia

Taarifa ya Fedha Ruzuku ya Uendeshaji

Ripoti Walimu Wanafunzi Mahudhurio

Page 21: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

17

Menyu ya Mpangilio

Menyu ya Mpangilio

Menyu ya Mpangilio

Chagua Menyu ya Mpangilio kubadili:

1. Mpangilio wa Shule2. Mpangilio wa

Msimamizi Mfumo3. Angalia Maboresho4. Hifadhi database

yako5. Rudisha toleo

lililopita la database6. Lugha7. Kuhusu SIS8. Kupandisha

wanafunzi madarasa

Page 22: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

18

Menyu ya Mpangilio: Mpangilio wa Shule

Menyu ya Mpangilio

Mpangilio wa Shule

Mpangilio wa ShuleChagua menyu ya Mpangilio wa Shule ili kubadili:Zingatia: Ujumbe utatokea kwa juu, gusa kwenye “Thibitisha”

1. Namba ya EMIS ya Shule2. Badili Jina la Shule3. Badili Awamu na Hatua

Baada ya marekebisho yoyote bonyeza Hifadhi

Ili kuhifadhi mabadiliko yako au Kitufe cha Rudi Nyuma ili kukataa Mabadiliko.

Page 23: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

19

Menyu ya Mpangilio: Tafuta Maboresho

Menyu ya Mpangilio

Tafuta maboresho

Tafuta maboresho…Chagua menyu ya Tafuta maboresho ili kuthibitisha kama mfumo mpya unapatikana. Kama mfumo mpya upo, utaona ujumbe ufuatao:

Bonyeza Sawa ili kupakua mfumo mpya na na kisha Simika.

Endapo hakuna mfumo mpya, utaona ujumbe ufuatao:

Page 24: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

20

Menyu ya Mpangilio: Rudisha toleo lililopita la database

Menyu ya Mpangilio

Hifadhi Nakala ya Database

Hifadhi Nakala ya Database

Chagua menyu ya Hifadhi ili kutengeneza nakala ya database. Ukiulizwa, chagua Ndani ya tablet au Mtandaoni:

Ndani ya tablet ikichaguliwa, nakala ya database itahifadhiwa katika tablet. Wakati Mtandaoni ikichaguliwa, utahitaji kuwa na intaneti ili kuhifadhi nakala ya database mtandaoni (server).

Page 25: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

21

Menyu ya Mpangilio: Rudisha toleo lililopita la database

Menyu ya Mpangilio

Rudisha toleo lililopita la database.

Rudisha toleo lililopita la database

Chagua menyu ya Rudisha toleo lililopita la database ili kuweza kurejea katika toleo lililopita la database lililohifadhiwa ndani ya tablet yako au mtandaoni.Ukiulizwa kuhusu hifadhi iliyotumika, chagua Ndani ya tablet au Mtandaoni:

Ndani ya tablet ikichaguliwa, rejesho litafanyika kutoka katika tablet. Wakati Mtandaoni ikichaguliwa, utahitaji kuwa na intaneti na rejesho litafanyika kutoka katika mtandao (server).

Katika hatua hapo juu, hakikisha umechagua chaguo sahihi kutoka katika orodha.

Page 26: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

22

Menyu ya Mpangilio: Lugha

Menyu ya Mpangilio

Lugha

Lugha

Chagua menyu ya Lugha ili kuchagua lugha ya kutumia:Lugha zilizopo:• English na • Kiswahili

Zingatia: Ukiulizwa lugha, Chagua lugha unayopendelea kutumia kisha endelea.

Page 27: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

23

Menyu ya Mpangilio: Kupandisha darasa

Menyu ya Mpangilio

Kupandishwa darasa

Kupandishwa darasa

Chagua menyu ya Kupandishwa darasa ili kuwapeleka wanafunzi katika darasa linalofuata kielektroniki:

Zingatia: Ukiulizwa, Chagua Thibitisha kisha endelea.

Page 28: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

24

SIS: Menyu ya Taarifa Msingi

Menyu ya Taarifa Msingi ina machaguo matatu:

Wasifu wa ShuleKatika Wasifu wa Shule kuna fomu zifuatazo:

Taarifa za Shule – Madarasa ya Elimu ya Awali – Mtaala wa Elimu ya Msingi na Maelekezo – Sifa za Madarasa ya Elimu ya Msingi na Samani – Miundombinu ya Shule – Vyanzo vya Fedha – Usimamizi na Walimu.

WalimuSehemu hii ina fomu zifuatazo:• Taarifa Binafsi za Walimu na Watumishi

wasiokuwa walimu

WanafunziSehemu hii ina fomu zifuatazo:• Taarifa Binafsi za Wanafunzi• Uandikishwaji wa Wanafunzi

Kila chaguo lina orodha ya vitu kadhaa ambavyo vimetajwa katika mfumo wa sasa wa SIS.

Maboresho mengine yatafanyika katika matoleo yajayo.

Page 29: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

25

Taarifa za Shule

Taarifa Msingi

Wasifu wa Shule

Taarifa za Shule

Taarifa za Shule

Ingiza taarifa katika sehemu husika zilizopo. Taarifa hizi zinaweza rekebishwa muda wowote.

Tumia kidole chako kupeleka juu au chini katika fomu.

Katika sehemu zinazohitaji tarakimu utaona tarakimu zinatokea kuruhusu kuchagua. Katika sehemu zinazoruhusu tarakimu na heru� zitatokea tarakimu na heru� kuruhusu machaguo. Unaweza badili mwonekano hapo juu kwa kubonyeza kitufe cha kurudi nyuma katika tablet.

Tembelea sehemu tofauti katika seksheni hii.Peleka kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO kutembelea fomu inayofuata.

Peleka kidole kutoka KUSHOTO kwenda KULIA kutembelea fomu iliyotangulia.

Zingatia: Ni lazima ubonyeze kitufe cha Hifadhi ili taarifa zihifadhiwe. Hii lazima ifanyike katika KILA fomu.

Page 30: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

26

Taarifa za Shule

Namba 1 hadi 6 Taarifa hizi zinajazwa tayari na TAMISEMI.

Kamilisha taarifa zilizosalia kama ulivyoelekezwa.

Page 31: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

27

Taarifa za Shule: Kurekodi vipimo vya Kijiogra�a

Taarifa Msingi

Wasifu wa Shule

Taarifa za Shule

Vipimo vya Kijiogra�a vya Shule

Jinsi ya kurekodi vipimo vya Kijiogra�a

• Ukiwa umesimama mbele ya o�si ya Mkuu wa Shule (sehemu yoyote inayotumiwa na Mkuu wa Shule kama o�si) gusa “anza kurekodi”.

• Nenda kwenye Taarifa za Shule, Namba 9 (Vipimo vya Kijiogra�a vya Shule)• Bofya “Anza Kurekodi Mahali”, ili kuanza kurekodi, baki hapo hapo mpaka vipimo vimepatikana kwa

usahihi.• Bofya “Sitisha Kurekodi Mahali” ili kusitisha kurekodi.

Zingatia:

• Baada ya kurekodi vipimo vya Latitude (katika mwonekano wa -6.762595320624896) na Longitude (katika mwonekano wa 39.25480499383832) bofya “sitisha” ili kusitisha kurekodi.

• Mkuu wa Shule anapaswa kutozunguka zunguka wakati wa kuchukua vipimo vya jiogra�a.• Hakikisha alama ya kurekodi Location iko ON wakati wa kurekodi vipimo vya Jiogra�a.

Page 32: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

28

Picha za Shule

10. Picha za ShulePiga picha za shule kwa kuzingatia maeneo yafuatayoMuonekano wa Mbele za ShuleHuduma za majiVyooMadarasaNyumba za Walimu

ZINGATIA: Piga picha kama ulivyoelekezwa

Jinsi ya kuchukua Picha

• Shikilia tablet kwa mikono ilihali Skrini ikiangalia upande wa Mchukua Picha (kama inavyoonekana katika picha) na neno Samsung upande wa kushoto wakati huo alama ya Kuchukua Picha ikiwa upande wa kulia.

• Hakikisha vidole vya kushoto havizuii kamera upande wa nyuma wa tablet.

• Bonyeza alama ya Chukua Picha ili kuchukua picha na hifadhi picha ambayo ni bora kuliko zote.

• Chukua picha kadhaa kisha chagua iliyo bora zaidi.

Shikilia Tablet kwa mikonoilihali Skrini ikiangalia upandewa Mchukua Picha (kamainavyoonekana katika picha) naneno Samsung upande wa kushoto wakati huo alama ya Kuchukua Picha ikiwa upandewa kulia. Hakikisha vidole vya kushotohavizuii kamera upande wa nyuma wa Tablet. Bofya alama ya Piga Picha ilikupiga picha na hifadhi pichaambayo ni bora kuliko zote. Chukua picha kadhaa kishachagua iliyo bora zaidi.

Page 33: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

29

Madarasa ya Elimu ya Awali

Taarifa Msingi

Wasifu wa Shule

Madara ya Elimu ya Awali

1. Madarasa ya Elimu ya Awali

Jaza taarifa katika sehemu zote husika. Taarifa hizi zinaweza badilishwa muda wowote ujao.

Tumia kidole kupeleka juu au chini ya fomu.

Katika sehemu zinazohitaji tarakimu utaona tarakimu zinatokea kuruhusu kuchagua. Katika sehemu zinazoruhusu tarakimu na heru� zitatokea tarakimu na heru� kuruhusu machaguo. Unaweza badili mwonekano hapo juu kwa kubonyeza kitufe cha kurudi nyuma katika tablet.

Tembelea seksheni hii kwa kupeleka kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO ili kwenda katika fomu inayofuata.

Peleka KUSHOTO kwenda KULIA ili kurudi katika fomu iliyotangulia.

Zingatia: Ni lazima ubonyeze kifute cha hifadhi ili taarifa zihifadhiwe. Hii ni lazima ifanyike katika KILA fomu.

Page 34: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

30

Samani za Elimu ya Awali

Taarifa Msingi

Wasifu wa Shule

Samani za Elimu ya Awali

2. Samani za Elimu ya Awali

Jaza taarifa katika sehemu zote husika. Taarifa hizi zinaweza badilishwa muda wowote ujao.

Tumia kidole kupeleka juu au chini ya fomu.

Katika sehemu zinazohitaji tarakimu utaona tarakimu zinatokea kuruhusu kuchagua. Katika sehemu zinazoruhusu tarakimu na heru� zitatokea tarakimu na heru� kuruhusu machaguo. Unaweza badili mwonekano hapo juu kwa kubonyeza kitufe cha kurudi nyuma katika tablet.

Tembelea seksheni hii kwa kupeleka kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO ili kwenda katika fomu inayofuata.

Peleka KUSHOTO kwenda KULIA ili kurudi katika fomu iliyotangulia.

Zingatia: Ni lazima ubonyeze kifute cha hifadhi ili taarifa zihifadhiwe. Hii ni lazima ifanyike katika KILA fomu.

Page 35: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

31

Mtaala na Ufundishaji kwa Shule ya Msingi

Taarifa Msingi

Wasifu wa Shule

Mtaala na Ufundishaji kwa Shule ya Msingi

3. Mtaala na Ufundishaji kwa Shule ya Msingi

Jaza taarifa katika sehemu zote husika. Taarifa hizi zinaweza badilishwa muda wowote ujao.

Tumia kidole kupeleka juu au chini ya fomu.

Katika sehemu zinazohitaji tarakimu utaona tarakimu zinatokea kuruhusu kuchagua. Katika sehemu zinazoruhusu tarakimu na heru� zitatokea tarakimu na heru� kuruhusu machaguo. Unaweza badili mwonekano hapo juu kwa kubonyeza kitufe cha kurudi nyuma katika tablet.

Tembelea seksheni hii kwa kupeleka kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO ili kwenda katika fomu inayofuata.

Peleka KUSHOTO kwenda KULIA ili kurudi katika fomu iliyotangulia.

Zingatia: Ni lazima ubonyeze kifute cha hifadhi ili taarifa zihifadhiwe. Hii ni lazima ifanyike katika KILA fomu.

Page 36: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

32

Sifa za Darasa na Samani

Taarifa Msingi

Wasifu wa Shule

Sifa za Darasa na Samani

4. Sifa za Darasa na Samani

Jaza taarifa katika sehemu zote husika. Taarifa hizi zinaweza badilishwa muda wowote ujao.

Tumia kidole kupeleka juu au chini ya fomu.

Katika sehemu zinazohitaji tarakimu utaona tarakimu zinatokea kuruhusu kuchagua. Katika sehemu zinazoruhusu tarakimu na heru� zitatokea tarakimu na heru� kuruhusu machaguo. Unaweza badili mwonekano hapo juu kwa kubonyeza kitufe cha kurudi nyuma katika tablet.

Tembelea seksheni hii kwa kupeleka kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO ili kwenda katika fomu inayofuata.

Peleka KUSHOTO kwenda KULIA ili kurudi katika fomu iliyotangulia.

Zingatia: Ni lazima ubonyeze kifute cha hifadhi ili taarifa zihifadhiwe. Hii ni lazima ifanyike katika KILA fomu.

Page 37: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

33

Miundombinu ya Shule

Taarifa Msingi

Wasifu wa Shule

Miundombinu ya Shule

5. Miundombinu ya Shule

Jaza taarifa katika sehemu zote husika. Taarifa hizi zinaweza badilishwa muda wowote ujao.

Tumia kidole kupeleka juu au chini ya fomu.

Katika sehemu zinazohitaji tarakimu utaona tarakimu zinatokea kuruhusu kuchagua. Katika sehemu zinazoruhusu tarakimu na heru� zitatokea tarakimu na heru� kuruhusu machaguo. Unaweza badili mwonekano hapo juu kwa kubonyeza kitufe cha kurudi nyuma katika tablet.

Tembelea seksheni hii kwa kupeleka kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO ili kwenda katika fomu inayofuata.

Peleka KUSHOTO kwenda KULIA ili kurudi katika fomu iliyotangulia.

Zingatia: Ni lazima ubonyeze kifute cha hifadhi ili taarifa zihifadhiwe. Hii ni lazima ifanyike katika KILA fomu.

Page 38: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

34

Vyanzo vya Fedha

Taarifa Msingi

Wasifu wa Shule

Vyanzo vya Fedha

6. Vyanzo vya Fedha

Jaza taarifa katika sehemu zote husika. Taarifa hizi zinaweza badilishwa muda wowote ujao.

Tumia kidole kupeleka juu au chini ya fomu.

Katika sehemu zinazohitaji tarakimu utaona tarakimu zinatokea kuruhusu kuchagua. Katika sehemu zinazoruhusu tarakimu na heru� zitatokea tarakimu na heru� kuruhusu machaguo. Unaweza badili mwonekano hapo juu kwa kubonyeza kitufe cha kurudi nyuma katika tablet.

Tembelea seksheni hii kwa kupeleka kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO ili kwenda katika fomu inayofuata.

Peleka KUSHOTO kwenda KULIA ili kurudi katika fomu iliyotangulia.

Zingatia: Ni lazima ubonyeze kifute cha hifadhi ili taarifa zihifadhiwe. Hii ni lazima ifanyike katika KILA fomu.

Page 39: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

35

Usimamizi na Walimu

Taarifa Msingi

Wasifu wa Shule

Usimamizi na Walimu

7. Usimamizi na Walimu

Jaza taarifa katika sehemu zote husika. Taarifa hizi zinaweza kubadilishwa muda wowote ujao.

Tumia kidole kupeleka juu au chini ya fomu.

Katika sehemu zinazohitaji tarakimu utaona tarakimu zinatokea kuruhusu kuchagua. Katika sehemu zinazoruhusu tarakimu na heru� zitatokea tarakimu na heru� kuruhusu machaguo. Unaweza badili mwonekano hapo juu kwa kubonyeza kitufe cha kurudi nyuma katika tablet.

Tembelea seksheni hii kwa kupeleka kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO ili kwenda katika fomu inayofuata.

Peleka KUSHOTO kwenda KULIA ili kurudi katika fomu iliyotangulia.

Zingatia: Ni lazima ubonyeze kifute cha hifadhi ili taarifa zihifadhiwe. Hii ni lazima ifanyike katika KILA fomu.

Page 40: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

36

Walimu na Watumishi wasiokua walimu

Walimu na Watumishi wasiokua walimu.

Kuongeza na Kurekebisha taarifa za walimu na watumishi wasiokua walimu.

Walimu na Watumishi wasiokua walimu

Mwanzoni orodha ya walimu na watumishi wasiokua walimu itakua wazi. Bonyeza kitufe cha “Ongeza” ili kuanza kuingiza taarifa za walimu na watumishi wasiokua walimu.

Page 41: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

37

Walimu na Watumishi wasiokua walimu

Walimu na Watumishi wasiokua walimu.

Kuongeza na Kurekebisha taarifa za walimu na watumishi wasiokua walimu.

Walimu na Watumishi wasiokua walimu

Taarifa Binafsi

• Ingiza ID ya mwalimu (Cheki Namba).• Bonyeza Picha ili kumpiga picha mwalimu au mfanyakazi. Kumbuka kubonyeza Hifadhi pindi picha

imechukuliwa.• Chagua kama ni mwalimu wa darasa, wa somo au mfanyakazi. • Ni mwalimu wa darasa pekee ndiye mwenye uwezo wa kuingiza taarifa ya mahudhurio.• Jaza sehemu zilizobakia kwa taarifa sahihi.• Pindi fomu ina taarifa zote, LAZIMA ubonyeze hifadhi.• Mwishoni, peleka kidole chako kutoka kulia kwenda kushoto ili kuingiza taarifa za kitaaluma za

mwalimu.

Page 42: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

38

Walimu: Mgawanyo wa Masomo

Walimu

Mgawanyo wa Masomo

MUHIMU

• Ni Mwalimu wa Darasa Pekee anayepaswa kuingiza taarifa za mahudhurio.

• Ni madarasa yaliyoingizwa katika fomu hii ndiyo yatakayotokea wakati wa kuingiza taarifa za Mahudhurio.

2. Mgawanyo wa Masomo

Tumia fomu hii ili kuingiza data za masomo YOTE yanayofundishwa na kila mwalimu. Somo linatafsiriwa katika mtiririko:

Awamu -> Hatua -> Darasa -> Mkondo -> Somo

Pindi mtiririko umekamilika, bonyeza kitufe cha Hifadhi ili kurekodi darasa husika. Unaweza jaza madarasa mengi mwalimu husika anayofundisha.

Hatua ikikamilika, bonyeza kitufe cha kurudi nyuma.

Page 43: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

39

Wanafunzi

Wanafunzi

Kuongeza na kurekebisha taarifa za wanafunzi

Wanafunzi

Taarifa Binafsi

1. Ingiza ID ya Mwanafunzi (Namba ya Uandikishwaji). Namba hii ni LAZIMA iwe tofauti ndani ya shule.2. Bonyeza Picha ili kupiga picha ya mwanafunzi. Kumbuka kubonyeza Hifadhi baada ya picha kuwa

imepigwa.3. Jaza sehemu zilizobakia kwa taarifa sahihi.4. Pindi fomu ina taarifa zote, LAZIMA ubonyeze hifadhi.5. Mwishoni, peleka kidole chako kutoka kulia kwenda kushoto ili kuingiza taarifa za kitaaluma za

mwanafunzi.

Page 44: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

40

Uandikishaji wa Wanafunzi

Wanafunzi

Uandikishaji

2. Uandikishaji

Uwekwaji wa ngazi ya darasa

Tumia fomu hii kuweka mkondo wa mwanafunzi. Mkondo unatafsiriwa katika mtiririko huu:

Awamu -> Hatua -> Darasa -> Mkondo

Baada ya kuwepo mtiririko, chagua kama mwanafunzi Amekariri, Mwanafunzi mpya au Mwanafunzi mpya mwenye Elimu ya Awali.

Bonyeza kitufe cha Hifadhi ili kurekodi mkondo huo.

Ukishakamilisha, bonyeza kitufe katika tablet ya Kurudi nyuma.

Page 45: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

41

Darasani

Darasani

Mahudhurio

Tathmini

Tabia

Menyu ya Darasani ina machaguo matatu:

Mahudhurio

Rekodi mahudhurio ya kila siku kwa walimu na wanafunzi.

Tathmini

Rekodi tathmini ya kila mwanafunzi kwa somo.

Tabia

Rekodi tabia za kila mwanafunzi.

Page 46: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

42

Mahudhurio ya Mwanafunzi

Darasani

Mahudhurio

Mahudhurio

Rekodi mahudhurio ya kila siku ya walimu na wanafunzi.

1. Weka tarehe husika.2. Chagua kama mwalimu yupo au hayupo.3. Kama jibu ni Hapana, chagua kama kuna msimamizi darasani au hapana.

Page 47: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

43

Tabia ya Mwanafunzi

Darasani

Tabia

Tabia

Rekodi tabia za wanafunzi.

1. Weka tarehe husika.2. Chagua jina la mwalimu.3. Chagua somo4. Chagua Jina la Mwanafunzi5. Chagua tabia ya mwanafunzi6. Hifadhi taarifa

Page 48: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

44

Tathmini ya Mwanafunzi

Darasani

Tathmini

Tathmini

Fanya tathmini ya wanafunzi.

1. Weka tarehe husika.2. Chagua jina la mwalimu.3. Chagua somo.4. Chagua aina ya Tathmini.5. Weka maksi za wanafunzi.6. Hifadhi taarifa.

Page 49: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

45

Taarifa ya Fedha

Taarifa ya Fedha

Ruzuku ya Uendeshaji

Taarifa ya Fedha

1. Jaza nafasi zilizopo na takwimu husika.2. Baada ya kukamilisha kujaza fomu kwa taarifa sahihi, HAKIKISHA umehifadhi.3. Mwisho, peleka kidole chako kutokea upande wa kulia kuelekea kushoto ili kuingiza taarifa za

kitaaluma za mwalimu.

Page 50: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

46

RipotiAina ya ripoti

Makundi yafuatayo ya ripoti yanatarajiwa kuwepo katika SIS:• Ripoti kuhusu Walimu• Ripoti kuhusu Wanafunzi• Ripoti kuhusu Mahudhurio

Ripoti: Walimu

Ripoti za Walimu

Page 51: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

47

Ripoti: WanafunziRipoti ya wanafunzi

Ripoti: Mahudhurio

Ripoti ya Mahudhurio

Page 52: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

48

Page 53: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

49

Mfumo wa Taarifa za Shule SISToleo 2.10 – Mei 2018

SIS ni mfumo wa taarifa za shule ambao ndio kiini cha taarifa za shule, unaowezesha kukusanya, kuchakata na kutoa taarifa, kwa ngazi ya shule na ngazi za juu. SIS inatumia mfumo wa kuUnawezasha taarifa, mtandao na/au meseji (SMS) kwa ajili ya kutuma vipindi (Sensa ya Shule ya Madarasa, Samani, Vitabu, Vifaa, Usajili wa Wanafunzi (enrollment), Wanaokariri (repeaters), Mdondoko (dropouts), Wanafunzi wapya wa darasa la kwanza), taarifa za kila siku za mahudhurio (wanafunzi na walimu), tathmini na tabia.

Kuhusu SIS

Mfumo wa Taarifa za Shule v.2.10

Muongozo wa Mtumiaji

Page 54: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

50

Unaweza kutumia vitufe vyatablet, kama kitufe cha nyuma kufunga mfumo na kupunguza mfumo (minimize app).

Mpangilio wa mfumo

Menyu

Hakuna huduma ya Meseji / Mtandao

Kuhifadhi taarifa

Tafuta Mwalimu au Mwanafunzi

Ingiza Taarifa zilizo kwenye fomu

Futa taarifa ya mwalimu au mwanafunzi ili mradi asiwe amepangiwa masomo au darasa

Alama muhimu na Kazi zake

Intaneti ipo au imeuungwanisha kwenye mtandao wa Wi-Fi

Page 55: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

51

Taarifa Msingi

Darasani

Taarifa ya Fedha

Ripoti

Orodha kuu ina machaguo manne:

Taarifa Msingi

• Sifa za Shule• Walimu• Wanafunzi

Darasani

• Mahudhurio• Tathmini• Tabia

Taarifa ya Fedha

Ripoti

Menyu Kuu

Page 56: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

52

Sifa za Shule

Wasifu wa Shule - Madarasa ya Awali-Mtaala na Maelekezo ya Msingi - Sifa ya Madarasa ya Elimu ya Msingi na Samani - Miundombinu ya Shule - Vyanzo vya Mapato - Usimamizi na Wafanyakazi.

Walimu

Taarifa binafsi za Walimu na Watumishi wasio WalimuMgawanyo wa Masomo

Wanafunzi

Taarifa binafsi za WanafunziUandikishaji

Menyu ya Taarifa Msingi

Page 57: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

53

Sifa za Shule

Wasifu wa Shule

1. Wasifu wa Shule Ingiza taarifa katika visanduku vyote. Taarifa hizi unaweza kubadilisha muda wowote baadae. Tumia kidole kusogeza fomu kwenda juu au chini. Kwa tarakimu utaona kisanduku chenye tarakimu. Kwa mchanganyiko wa heru� na tarakimu utaona kisanduku chenye mchanganyiko wa maandishi na tarakimu. Unaweza kuondoa kisanduku kwa kubofya kitufe cha kurudi nyuma. Unaweza kutoka ukurasa mmoja kwenda mwingine kwa kupangusa kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO katika ukurasa. Peleka kidole kutoka KUSHOTO kwenda KULIA kurudi ukurasa wa nyuma.

Kumbuka: Ni lazima ubonyeze kitufe cha kuhifadhi taarifa ziweze kuhifadhiwa.Hili lifanyike kwa KILA ukurasa.

Taarifa Msingi

Page 58: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

54

Taarifa Msingi

Sifa za Shule Wasifu wa Shule.

Taarifa za Kijiogra�a za Shule

1. Wasifu wa Shule

Taarifa za Kijiogra�a za Shule

• Bonyeza anza kurekodi eneo.• Subiri majira yatokee.

• Bonyeza acha kurekodi eneo

Page 59: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

55

Taarifa za Msingi

Sifa za Shule Wasifu wa Shule Picha za Shule

1. Wasifu wa Shule Picha za Shule

• Bonyeza alama ya Picha

• Piga picha• Bonyeza Kuhifadhi

Page 60: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

56

Taarifa Msingi

Sifa za Shule Madarasa ya Elimu ya Awali

2. Madarasa ya Elimu ya Awali

Ingiza taarifa katika visanduku vyote. Unaweza kubadilisha taarifa hizi muda wowote baadae. Tumia kidole kusogeza fomu kwenda juu au chini.Kwa tarakimu utaona kisanduku chenye tarakimu. Kwa mchanganyiko wa heru� na tarakimu utaona kisanduku chenye machanganyiko wa maandishi na tarakimu. Unaweza kuondoa kisanduku kwa kubofya kitufe cha kurudi nyuma. Unaweza kutoka ukurasa mmoja kwenda mwingine kwa kupangusa kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO katika ukurasa. Peleka kidole kutoka KUSHOTO kwenda KULIA kurudi ukurasa wa nyuma.

Kumbuka: Ni lazima ubonyeze kitufe cha kuhifadhi taarifa ziweze kuhifadhiwa.Hili lifanyike kwa KILA ukurasa.

Page 61: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

57

Taarifa Msingi

Sifa za Shule Mtaala na Ufundishaji

3. Mtaala na Ufundishaji Ingiza taarifa katika visanduku vyote. Taarifa hizi unaweza kubadilisha muda wowote baadae. Tumia kidole kusogeza fomu kwenda juu au chini. Kwa tarakimu utaona kisanduku chenye tarakimu. Kwa mchanganyiko wa heru� na tarakimu utaona kisanduku chenye machanganyiko wa maandishi na tarakimu. Unaweza kuondoa kisanduku kwa kubofya kitufe cha kurudi nyuma. Unaweza kutoka ukurasa mmoja kwenda mwingine kwa kupangusa kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO katika ukurasa. Peleka kidole kutoka KUSHOTO kwenda KULIA kurudi ukurasa wa nyuma.

Kumbuka: Ni lazima ubonyeze kitufe cha kuhifadhi taarifa ziweze kuhifadhiwa.Hili lifanyike kwa KILA ukurasa.

Page 62: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

58

Taarifa Msingi

Sifa za Shule Sifa za madarasa ya Elimu ya Msingi na Samani

4. Sifa za Madarasa ya Elimu ya Msingi na Samani.

Ingiza taarifa katika visanduku vyote. Taarifa hizi unaweza kubadilisha muda wowote baadae. Tumia kidole kusogeza fomu kwenda juu au chini.Kwa tarakimu utaona kisanduku chenye tarakimu. Kwa mchanganyiko wa heru� na tarakimu utaona kisanduku chenye machanganyiko wa maandishi na tarakimu. Unaweza kuondoa kisanduku kwa kubofya kitufe cha kurudi nyuma. Unaweza kutoka ukurasa mmoja kwenda mwingine kwa kupangusa kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO katika ukurasa. Peleka kidole kutoka KUSHOTO kwenda KULIA kurudi ukurasa wa nyuma.

Kumbuka: Ni lazima ubonyeze kitufe cha kuhifadhi taarifa ziweze kuhifadhiwa.Hili lifanyike kwa KILA ukurasa.

Page 63: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

59

Taarifa Msingi

Sifa za Shule Miundombinu ya Shule

5. Miundombinu ya Shule Ingiza taarifa katika visanduku vyote. Taarifa hizi unaweza kubadilisha muda wowote baadae. Tumia kidole kusogeza fomu kwenda juu au chini. Kwa tarakimu utaona kisanduku chenye tarakimu. Kwa mchanganyiko wa heru� na tarakimu utaona kisanduku chenye machanganyiko wa maandishi na tarakimu. Unaweza kuondoa kisanduku kwa kubofya kitufe cha kurudi nyuma. Unaweza kutoka ukurasa mmoja kwenda mwingine kwa kupangusa kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO katika ukurasa.Peleka kidole kutoka KUSHOTO kwenda KULIA kurudi ukurasa wa nyuma.

Kumbuka: Ni lazima ubonyeze kitufe cha kuhifadhi taarifa ziweze kuhifadhiwa.Hili lifanyike kwa KILA ukurasa.

Page 64: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

60

Taarifa Msingi

Taarifa za Shule

5. Miundombinu ya shule

Jaza taarifa katika sehemu zote husika. Taarifa hizi zinaweza badilishwa muda wowote ujao.Tumia kidole kupeleka juu au chini ya fomu. Katika sehemu zinazohitaji tarakimu utaona tarakimu zinatokea kuruhusu kuchagua. Katika sehemu zinazoruhusu tarakimu na heru� zitatokea tarakimu na heru� kuruhusu machaguo. Unaweza badili mwonekano hapo juu kwa kubonyeza kitufe cha kurudi nyuma katika Tablet. Tembelea seksheni hii kwa kupeleka kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO ili kwenda katika fomu inayofuata. Peleka KUSHOTO kwenda KULIA ili kurudi katika fomu iliyotangulia.

Zingatia: Ni lazima ubonyeze kitufe cha hifadhi ili taarifa zihifadhiwe. Hii ni lazima ifanyike katika KILA fomu.

Page 65: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

61

Taarifa Msingi

Taarifa za Shule Vyanzo vya Fedha

6. Vyanzo vya Fedha

Jaza taarifa katika sehemu zote husika. Taarifa hizi zinaweza badilishwa muda wowote ujao.Tumia kidole kupeleka juu au chini ya fomu. Katika sehemu zinazohitaji tarakimu utaona tarakimu zinatokea kuruhusu kuchagua. Katika sehemu zinazoruhusu tarakimu na heru� zitatokea tarakimu na heru� kuruhusu machaguo. Unaweza badili mwonekano hapo juu kwa kubonyeza kitufe cha kurudi nyuma katika Tablet. Tembelea seksheni hii kwa kupeleka kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO ili kwenda katika fomu inayofuata. Peleka KUSHOTO kwenda KULIA ili kurudi katika fomu iliyotangulia.

Zingatia: Ni lazima ubonyeze kitufe cha hifadhi ili taarifa zihifadhiwe. Hii ni lazima ifanyike katika KILA fomu.

Page 66: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

62

Taarifa Msingi

Taarifa za Shule

7. Usimamizi na Walimu Jaza taarifa katika sehemu zote husika. Taarifa hizi zinaweza badilishwa muda wowote ujao.Tumia kidole kupeleka juu au chini ya fomu. Katika sehemu zinazohitaji tarakimu utaona tarakimu zinatokea kuruhusu kuchagua. Katika sehemu zinazoruhusu tarakimu na heru� zitatokea tarakimu na heru� kuruhusu machaguo. Unaweza badili mwonekano hapo juu kwa kubonyeza kitufe cha kurudi nyuma katika Tablet. Tembelea seksheni hii kwa kupeleka kidole kutoka KULIA kwenda KUSHOTO ili kwenda katika fomu inayofuata. Peleka KUSHOTO kwenda KULIA ili kurudi katika fomu iliyotangulia.

Zingatia: Ni lazima ubonyeze kitufe cha hifadhi ili taarifa zihifadhiwe. Hii ni lazima ifanyike katika KILA fomu.

Page 67: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

63

Kuongeza na Kurekebisha taarifa za walimu na watumishi wasio walimu

Walimu na watumishi wasio walimuMwanzoni orodha ya walimu na watumishi wasio walimu itakua wazi. Bonyeza kitufe cha “Ongeza” ili kuanza kuingiza taarifa za walimu na watumishi wasio walimu.

Walimu na Watumishi wasio walimu

Page 68: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

64

Kuongeza na Kurekebisha walimu na watumishi wasio walimu

1. Walimu na watumishi wasio walimu Taarifa Binafsi1. Ingiza namba ya utambulisho ya mwalimu (Cheki Namba).

Bonyeza Picha ili kumpiga picha mwalimu au mtumishi asiye mwalimu. Kumbuka kubonyeza Hifadhi pindi picha imechukuliwa3. Chagua kama ni mwalimu wa darasa, wa somo au mtumishi asiye mwalimu.4. Ni mwalimu wa darasa pekee ndiye mwenye uwezo wa kuingiza taarifa ya mahudhurio.5. Jaza sehemu zilizobakia kwa taarifa sahihi.6. Pindi fomu ina taarifa zote, LAZIMA ubonyeze hifadhi.

7. Mwishoni, peleka kidole chako kutoka kulia kwenda kushoto ili kuingiza taarifa za kitaaluma za mwalimu.

Walimu na Watumishi wasio walimu

Page 69: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

65

Mgawanyo wa masomo

MUHIMU 1. Ni Mwalimu wa Darasa Pekee anayepaswa kuingiza taarifa za mahudhurio.2. Ni madarasa yaliyoingizwa katika fomu hii ndiyo yatakayotokea wakati wa kuingiza taarifa za Mahudhurio.

2. Mgawanyo wa masomo Tumia fomu hii ili kuingiza taarifa za masomo YOTE yanayofundishwa na kila mwalimu. Somo linajazwa katika mtiririko ufuatao: Awamu - Hatua - Darasa - Mkondo - Somo Pindi mtiririko umekamilika, bonyeza kitufe cha Hifadhi ili kurekodi darasa husika. Unaweza kujaza darasa zaidi ya moja kwa mwalimu husika.

Hatua ikikamilika, bonyeza kitufe cha kurudi nyuma.

Walimu na Watumishi wasio walimu

Page 70: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

66

Kuongeza au kurekebisha taarifa za wanafunzi Kitufe cha kuongeza na kutuma

Wanafunzi Mwanzoni orodha ya wanafunzi itakuwa wazi. Bonyeza kitufe cha kuongeza kuanza kuingiza taarifa za wanafunzi.

Kumbuka: Fomu hii lazima itumike wakati wa usajili na wakati wowote mwanafunzi mpya atakaposajiliwa.

Kitufe cha kutuma LAZIMA kitumike punde tu baada ya usajili wa awali kufanyika. Hatua hii itatuma taarifa fupi ya usajili kwenda wizarani kwa matumizi ya kitakwimu.

Wanafunzi

Page 71: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

67

Wanafunzi

Kuongeza au kurekebisha taarifa za wanafunzi

1. Wanafunzi Taarifa Binafsi Taarifa Binafsi1. Ingiza namba uandikishaji ya Mwanafunzi. Namba hii ni LAZIMA iwe tofauti ndani ya shule. 2. Bonyeza Picha ili kupiga picha ya mwanafunzi. Kumbuka kubonyeza Hifadhi baada ya picha kuwa imepigwa.3. Jaza sehemu zilizobakia kwa taarifa sahihi.4. Pindi fomu ina taarifa zote, LAZIMA ubonyeze hifadhi.

Mwishoni, peleka kidole chako kutoka kulia kwenda kushoto ili kuingiza taarifa za kitaaluma za mwanafunzi.

Namba ya Mwanafunzi,

Page 72: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

68

Wanafunzi

Uandikishaji

2. Uandikishaji

Uwekwaji wa ngazi ya darasa Tumia fomu hii kuweka mkondo wa wanafunzi. Mkondo unatafsiriwa katika mtiririko huu: Mwaka - Awamu- Hatua - Darasa - Mkondo

Baada ya kuwepo mtiririko, chagua kama mwanafunzi Amekariri, Mwanafunzi mpya au Mwanafunzi mpya mwenye Elimu ya Awali. Bonyeza kitufe cha Hifadhi ili kurekodi mkondo huo. Ukishakamilisha, bonyeza kitufe katika Tablet cha Kurudi nyuma.

Page 73: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

69

Mahudhurio

Tathmini

Tabia

Menyu ya Darasani ina machaguo matatu: Mahudhurio Rekodi mahudhurio ya kila siku kwa walimu na wanafunzi. Tathmini Rekodi tathmini ya kila mwanafunzi kwa somo. Tabia Rekodi tabia za kila mwanafunzi.

Darasani

Page 74: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

70

Darasani

Mahudhurio

Mahudhurio Rekodi mahudhurio ya kila siku ya walimu na wanafunzi.

1. Weka tarehe husika2. Chagua jina la mwalimu wa darasa.

Darasani

Mahudhurio

Mahudhurio Weka mahudhurio ya kila siku ya walimu na wanafunzi 1. Weka tarehe husikaChagua mwalimu wa darasa

Page 75: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

71

Darasani

Mahudhurio

Mahudhurio Hukusanya mahudhurio ya kila siku ya Walimu na Wanafunzi. 3. Je Mwalimu wa darasa yupo darasani? Kama jibu ni HAPANA, Chagua mbadala mmoja.

Page 76: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

72

Darasani

Mahudhurio

Mahudhurio Hukusanya Mahudhurio ya kila siku ya Walimu na Wanafunzi. 4. Kama Mwalimu wa Darasa yupo darasani, Endelea kuchukua mahudhurio. 5. Bonyeza Hifadhi kisha maliza. Kama jibu ni HAPANA, Chagua mbadala mmoja.

Darasani

Tathmini

Tathmini Hukusanya Tathmini ya kila siku.1. Chagua tarehe ya tathmini.2. Chagua Jina la Mwalimu

Page 77: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

73

Darasani

Tathmini

Tathmini Hukusanya tathmini ya kila siku. 3. Chagua Somo linalofundishwa.

Darasani

Tathmini

Tathmini Hukusanya tathmini ya kila siku. 4. Chagua Upimaji uliofanyika.

Page 78: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

74

Darasani

Tathmini

Tathmini Hukusanya Tathmini ya kila siku. 5. Ingiza darasa analosoma Mwanafunzi husika. 6. Bofya Hifadhi kumaliza.

Darasani

Tabia

Tabia Hukusanya Tabia za Wanafunzi kila siku. 1. Chagua tarehe husika. 2. Chagua Jina la Mwalimu.

Page 79: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

75

Darasani

Tabia

Tabia Hukusanya Tabia za Wanafunzi kila siku. 3. Chagua Somo linalofundishwa.

Darasani

Tabia

Tabia Hukusanya Tabia za Wanafunzi kila siku.4. Chagua Somo linalofundishwa.5. Chagua Tabia ambayo imejitokeza darasani.6. Bofya Hifadhi kumaliza.

Page 80: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

76

Taarifa ya Fedha

Moduli ya Taarifa ya Fedha humsaidia Mkuu wa Shule kupata:

Bakaa

Kiasi kilichowekwa

Matumizi

Kiasi kilichopo sasa

Taarifa ya Fedha

Page 81: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

77

Taarifa ya Fedha

Taarifa ya Fedha

Taarifa ya Fedha

Ingiza taarifa katika maeneo yote. Taarifa hizi zinaweza kurekebishwa muda wowote baadae.

Tumia kidole kupeleka fomu juu au chini.

Kwa maeneo yanayohitaji kuingiza namba utaona menyu ya namba. Unaweza kuiondoa menyu ya namba kwa kubofya alama ya Rudi Nyuma.

Kumbuka: Lazima ubofye alama ya Hifadhi kuhifadhi taarifa. Hii inatakiwa kufanyika kila Ukurasa unaoufanyia kazi.

Page 82: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

78

Taarifa ya Fedha

Moduli ya Ripoti humsaidia Mkuu wa Shule kufuatilia:

Mahudhurio ya kila mwanafunzi

Mahudhurio kwa darasa na mkondo

Uwiano wa darasa kwa wanafunzi

Muhtasari wa taarifa za wanafunzi na walimu

Uwiano wa mwalimu kwa wanafunzi

Ripoti

Page 83: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

79

Taarifa ya Fedha

Mahudhurio ya wanafunzi wa Elimu ya Msingi

Mahudhurio ya Wanafunzi kwa Elimu ya Msingi kwa darasa na mkondo

Uwiano wa wanafunzi - darasa

Muhtasari wa wanafunzi na walimu

Uwiano wa wanafunzi - mwalimu

Ripoti

Mahudhurio ya wanafunzi wa Elimu ya Msingi

Mahudhurio ya wanafunzi wa Elimu ya Msingi

Inaripoti mahudhurio ya wanafunzi wa Elimu ya Msingi.

Page 84: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

80

Ripoti

Mahudhurio ya Elimu ya Msingi kwa darasa na mkondo

Mahudhurio ya wanafunzi wa Elimu ya Msingi

Inaripoti mahudhurio ya Elimu ya Msingi kwa darasa na mkondo.

Ripoti

Uwiano wa wanafunzi - darasa

Uwiano wa wanafunzi - darasa

Inaonesha uwiano wa wanafunzi - darasa.

Page 85: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

81

Ripoti

Muhtasari wa wanafunzi na walimu

Muhtasari wa wanafunzi na walimu

Inaonesha muhtasari wa wanafunzi na walimu.

Ripoti

Uwiano wa wanafunzi na mwalimu

Uwiano wa wanafunzi - mwalimu

Ripoti inaonesha uwiano kati wa mwalimu na wanafunzi.

Page 86: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

82

Menyu ya MpangilioChagua Menyu ya Mpangilio ili kubadili au kuangalia:

1. Mpangilio wa Shule (USICHAGUE)

2. Mpangilio wa Msimamizi Mfumo

3. (USICHAGUE)

4. Angalia maboresho

5. Hifadhi database yako

6. Rudisha toleo lililopita la database

7. Lugha

8. Kuhusu SIS

9. Automatic promotion Kupandisha wanafunzi madarasa (USICHAGUE).

Menyu ya Mpangilio

Page 87: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

83

Angalia maboresho…

Chagua menyu ya Tafuta maboresho ili kuthibitisha kama mfumo mpya unapatikana. Kama mfumo mpya upo, utaona ujumbe ufuatao:

Bonyeza Ok ili kupakua mfumo mpya na kisha Simika.

Endapo hakuna mfumo mpya, utaona ujumbe ufuatao:

Page 88: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

84

Hifadhi

Hifadhi ili kutengeneza nakala ya database. Ukiulizwa, chagua Ndani ya Tablet au Mtandaoni:

Ndani ya Tablet ikichaguliwa, nakala ya database itahifadhiwa katika Tablet. Wakati Mtandaoni ikichaguliwa, utahitaji kuwa na intaneti ili kuhifadhi nakala ya database mtandaoni (server).

TAFADHALI HIFADHI NAKALA YA DATABASE NDANI YA TABLET NA MTANDAONI JAPO MARA MBILI KWA MWEZI!

Page 89: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

85

Rudisha toleo lililopita la database

Chagua menyu ya Rudisha toleo lililopita la database ili kuweza kurejea katika toleo lililopita la database lililohifadhiwa ndani ya Tablet yako au mtandaoni.

Ukiulizwa kuhusu hifadhi iliyotumika, chagua Ndani ya Tablet au Mtandaoni:

Ndani ya Tablet ikichaguliwa, rejesho litafanyika kutoka katika Tablet. Wakati Mtandaoni ikichaguliwa, utahitaji kuwa na intaneti na rejesho litafanyika kutoka katika mtandao (server).

Katika hatua zote, hakikisha umechagua chaguo sahihi kutoka katika orodha.

Page 90: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11

86

Lugha

Chagua menyu ya Lugha ili kuchagua lugha ya kutumia:

Lugha zilizopo:

Ukiulizwa lugha, Chagua English au Kiswahili:

Page 91: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11
Page 92: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS … · utambuzi wa na mba ya imei 10 namna ya kutum ia samsung tab a6 10 jinsi ya kuwasha/ kuzima tablet 11 samsung galaxy tab a6 11