je, mwalimu mzuri - twaweza teacher...21 22 kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza...

31
Je, Mwalimu mzuri ana sifa zipi? TRV-Bk 3 Jishindie kompyuta ndani!

Upload: others

Post on 21-Jan-2020

2 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

Je,

Mwalimu mzuri

ana sifa zipi?

Hakuna unyanyasaji

hapa!

TRV-Bk3

Jishindie kompyuta 

ndani!

Page 2: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

1 2

Baba, nani shujaa wako?

Shujaa?!Unamaanisha nini?

Shuleni tumeambiwa tuandike insha juu watu tunaowachukulia kama mifano ya kuigwa...wa kwako ni nani?

Mh! Hassan, wa  kwangu ni mwalimu aliyenifundisha darasa la tano.

Mwalimu! Kwanini?

Alinisaidia sana kila niliposhindwa kuelewa...

Page 3: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

3 4

...alikuwa mpole  na hakuwa na ubaguzi.

Kweli?

Ndiyo, lakini alikuwa na msimamo sana!

Alitarajia nisome kwa bidii, hakuwa na msamaha kwa hilo.

Nilijitahidi kumheshimu siku zote!

Alinifanya niamini kuwa naweza kufanikisha chochote!

Kweli? Wakati mwingine waalimu wangu wananifanya nijione mjinga!

Page 4: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

5 6

Hata mimi walimu wangu wengi walinitenda hayo, na ndio maana nilimpenda sana Mwalimu Jonathan. 

Aliniheshimu siku zote.

Aliwahi kukuchapa bakora?

Oh! Nilichapwa na wengine, lakini mwalimu Jonathan hakuwahi kutumia kiboko.

Kweli?Kamwe hakuwahi. Nilijisikia vizuri siku zote kwenda kumuona, nilimwamini!

!"#$%&"'"%natamani mwalimu Jonathan angekuwa anafundisha shuleni kwetu!

Page 5: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

7 8

Shule nzuri zina waalimu

wazuri kama

mwalimu Jonathan!

Mwalimu mzuri anaweza

kuwasaidia wanafunzi kukuza

uwezo wao!

Page 6: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

9 10

Kwahiyo, Mwalimu mzuri ana sifa gani?

Mwalimu mzuri ana sifa nyingi...

Anatumia ubunifu katika kufundisha.

Anaelewa  tunavyojifunza

Anahamasisha nidhamu inayojenga

Anatujali.

Anajivunia shule yetu.

Kutana na

walimu wetu

wazuri

Page 7: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

11 12

Walimu wazuri ni kama mwalimu wangu.

MwalimuFortunata anatumia ubunifu anapotufundisha!

Anasisitiza uwezo wa kujieleza...

Jaribu rangi hii...

...anahimiza udadisi

()"*+*+%,*"#-+.+%/"0+*1+%hayastawi vizuri hapa?

Page 8: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

13 14

...ananihimiza kuuliza maswali

Kwanini baadhi ya mimea inabadilika rangi na kuwa ya kahawia.

!!!"#$%&'%()($*+,"-,+,

Je, ni kwa sababu jua ni kali sana?

Au pengine hakuna maji ya kutosha?

...kujaribu mambo mapya

Oh, vitabu vipya! Sijawahi kuvisoma

na kujifunza kutokana na makosa

Ningejua ningeomba /2""1"%-,3+#-+"%vitabu 

Page 9: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

15 16

Mwalimu wako ni mzuri.

Mwalimu wangu, Mwalimu Shamim, ni mwalimu mzuri pia! Anaelewa namna tunavyojifunza!

Anaelewa kuwa, walimu hufanya mambo mengi zaidi ya kufundisha.

Unamaanisha nini?

Page 10: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

17 18

Sikiliza, siku hizi wanafunzi wengi hujifunza kwa kukariri tu

Walimu wanategemea katika uandishi wa notisi nyingi.

Mwalimu analenga katika kutupatia taarifa,

Na sio namna taarifa hizo zinavyopokelewa

Page 11: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

19 20

Mwalimu

anaamini kuwa

kama mwana‐

funzi haelewi,

au ameshindwa

mtihani, ni kwa

sababu hasomi

vya kutosha.

Mwalimu anapokasirika,

Wanafunzi hawa ni wavivu! 

Hawaheshimu ufundishaji wangu!

Walimu wanaweza kutumia vitisho na aibu kwa wanafunzi kwa lengo la kuwahamasisha.

Hii inatuathiri kujifunza kwetu!

Kivipi?

Page 12: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

21 22

Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri.

Na hilo linaathiri hata maisha yetu ya baadae!

Kama huwezi kujifunza hii namna mpya ya kutunza /"042"',%%/5"-"%-,#-+"%wiki ijayo…

Siwezi kujifunza, sina uwezo kabisa!

Mwalimu mzuri anafahamu kwamba kujifunza ni zaidi ya kukariri!

Mwalimu mzuri anatusaidia kujua nini cha kufanya na taarifa...na sio kuzihifadhi tu katika akili zetu.

Page 13: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

23 24

Mwalimu mzuri anatusaidia kujifunza katika hatua nne.

TAARIFA

Kuzielewa

Kuzichanganua

!"#$%&'%$

Kuzitumia

Kwanza, tunahitaji kuielewa taarifa.

Pili, tunahitaji kuzichanganua.

Kama ndizi 10 zinauzwa shilingi 300, ndizi 1 itauzwa shilingi ngapi?

tunahitaji kulinganisha na kile tunachokifahamu

tayari,

= Tsh. 300/=

= Tsh. 300/= = Tsh.?/=

Page 14: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

25 26

Nataka ndizi 6, itakuwa shilingi ngapi?

Na kuchagua kile kinacholeta maana.

Ndizi 10 ni shilingi 300,

lakini nitakupa nusu kwa shilingi 200 tu.

Ninunue au?

.#/&0$/&"#1(/#2($%&/#'/(

Je kila mtu anauza ndizi kwa bei hiyo?

Nikitoa shilingi 150 nitapata ndizi ngapi?

Na kugundua maana ya taarifa hii

 Kama nina shilingi 500, je nitanunua ndizi ngapi?

= Tsh. 300/= = Tsh. 400/=

Page 15: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

27 28

Mwisho, tunahitaji kutumia ufahamu wetu

Ninahitaji kiasi gani cha fedha kila wiki kama ninataka kununua ndizi 10 kila siku? Tsh. 300/= x 7 = ?

Kuchukua tulichojifunza

Ningekuwa na akiba ya pesa kiasi gani kama ningenunua ndizi 5 kila siku badala ya 10? Ningezitumia pesa kwa ajili ya nini?

SOKONI

Na tafakari nini cha kufanya na hiyo pesa

Page 16: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

29 30

Kujifunza ni

mchakato

unaohitaji

ujuzi.

Elewa

Changanua

(&'%$)

Tumia

Mwalimu mzuri ni yule anayesaidia wanafunzi kukuza stadi zinazohitajika katika hatua zote nne.

Page 17: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

31 32

Hiyo ni namna bora ya kujifunza! 

Ngoja nikwambie kuhusu mwalimu wangu, Mwalimu Jimmy...

Ni mwalimu mzuri kwasababu anasisitiza nidhamu inayojenga

Mwalimu Jimmy hachapi viboko kabisa!

Page 18: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

33 34

Anatusaidia kujifunza kutokana na makosa

Unajisikiaje mtu anapoiba vitabu vyako? Utasomaje?

Anatufundisha kufanya maamuzi mazuri

Kwa sababu anajali maendeleo yetu

Page 19: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

35 36

Na tunapofanya makosa, mwalimu Jimmy anatumia busara kutuelewesha tulichokosea

Stella, utawaomba msamaha wenzako kwa usumbufu, na nitahamisha kiti chako kuja hapa mbele.

Kamwe haogopeshi wala kudhalilisha mtu.

Unazidi kufaulu, insha yako ilikuwa nzuri sana!

Ana sheria na taratibu thabiti

Nategemea nyote mfuate taratibu hizi. Zinaeleweka?

SHERIA ZA DARASANI

1.Wahi mapema2.Heshimu wenzako3.Malizia mazoezi ya ziada - Asante! -

Na tunapovunja sheria, tunajua matokeo yake.

Stella, umechelewesha -"6+%7"-8%94*":%;"#-+.+%unazifahamu  taratibu!

Ndiyo mwalimu, nitabaki baada ya muda wa shule na kuimalizia.

Page 20: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

37 38

Mwalimu wenu ni mzuri

Ngoja nikwambie juu ya mwalimu wangu. Mwalimu Harriet, ni mwalimu mzuri pia!

Mwalimu Harriet ni mwalimu mzuri kwa sababu anajivunia shule yetu!

Anajivunia mazingira ya shule

TUPA TAKA HAPA

Page 21: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

39 40

...na kazi yake pia.

ChetiMWALIMU BORA

MWALIMU HARRIETH

...ana uwezo mkubwa na daimahujiongezea ujuzi,

...anatafuta habari kila mahali,

Habari

...na kutumia akili yake kila wakati,

Page 22: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

41 42

...anatoa mawazo yake na kujishughulisha darasani,

...kwenye utawala wa shule,

MKUU WA

SHULE Siku ya Michezo

Karibuni wazazi!

...kwa wazazi pia,

pamoja na jamii nzima!

Page 23: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

43 44

!"#%2"*"<Mwalimu, Ahmed ni mwalimu mzuri pia. Ananijali!

Anatenga muda kwa ajili yangu. Anasikiliza matatizo yangu.

Pole Hassan! Kuna tatizo ="*+>%;?88%8#2+*+%,*+4@464:

Huwa anajitahidi kunisaidia

Unajisikiaje?

Page 24: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

45 46

Yeye huwa hahamasishi mafanikio tu, bali juhudi pia!

Vizuri sana, Hassan! Unakumbuka muhula uliopita ulikuwa wa 22!

Matokeo ya Mitihani

Ananiheshimu...

Hassan, chukua hiki kitabu. Ninaamini utakirudisha.

Anapenda nifaulu...

Kazana! Unaweza!

Page 25: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

47 48

Na anafurahia mafanikio yangu. Mwalimu Ahmed ni mfano bora wa kuigwa!

Kazi nzuri sana vijana!

Natamani niwe kama Mwalimu Ahmed nikiwa mkubwa.

Page 26: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

49 50

Waalimu wazuri ni   mashujaa wetu!!!!

Page 27: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

51 52

Shule Nzuri ina Waalimu Wazuri!

Tunafundisha kwa ubunifu.

Tunaelewa jinsi wanafunzi wanavyopaswa kujifunza.

Tunahimiza nidhamu isiyo ya uoga.

Tunajivunia shule yetu!

Tunajali wanafunzi wetu!

Je, shule yenu ina Waalimu    makini?

Page 28: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

53 54

Je, utafanya nini ili kuwa mwalimu mzuri?

A%!"+1+"%)"*"B,*6+%-"9+-"%/,1"%)"%baada ya masomo!

A%C"*"B,*6+%)")4%3+5",/'4@4%37"-8$

A%D"/"2+20"%/"2)"@+$

A%E".+',%-,9,/+"%/'+*,%*7+*=+*4%6"+1+%ya mihadhara!

A%E+B,*64%/"/'8%/"57"$%

A%F*"*"%*"%)"6"6+$

A%C"58*=464%)"*"B,*6+%/"."%wanapojitahidi!

A%G2+9,/+4%-+'8-8$

A%G)4%/B"*8%)"%-,+=)"$

A%!0+.+-+20"%*"%?"1+@+%*"%)4*6"-8%kuhusu uzoefu wako wa kazi!

Namna ya kutumia kijitabu

hiki:

A%% F.810420"%2+B"%6"%/)"@+/,%'8."A%% H)"/'+4%."#-+%7"-8%",%/)"@+/,%%%  mwenzio aandae orodha kama      hiyo na kisha ifananishe na ya      kwako. A%% !8/"%-+?+9"',%0+-+%5"/8?"%% %  na walimu wengine au wanafunzi     shuleni. Kisha jadili jinsi mwalimu     bora anapaswa kuwa namna gani.%A% C""@+/,I%28/4*+%2404/,%/8?"%% %  ya kijitabu hiki kila wiki wakati wa     mkutano waalimu kisha jadilini jinsi    ya kutekeleza mapendekezo haya.%A%% E"1+@+*+%J0"*="/898%6+*"68)46"%% %  kujitokeza katika kufanikisha   malengo haya. Kisha andaeni      mbinu zinazoweza kusaidia   kutatua hizo changamoto.%A%% C"*"B,*6+I%28/4*+%2404/,%/8?"%%%  ya kijitabu hiki kila wiki pamoja na   % ."#-+%64*,:%(+20"%?".+',*+%  kubainisha waalimu wazuri katika     shule yenu.  

HJ08."?+%I%/".J89+'"2+/"K7"088:J8/

Page 29: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

55 56

Toa maoni, shiriki na jishindie kompyuta!

Msomaji, Serikali yako inataka kukusikia! Shiriki kwa kutuma maoni yako. Mawazo yako yanaweza kuboresha huduma kwa jamii na utawala bora. Pia, hii itakuza ushirikiano kati ya wananchi na Serikali. Maoni yako yatahusiana na mafunzo uliyopata kupi­tia kitabu hiki. Kigezo cha kupata washindi ni ubunifu au wazo jipya.

Kila baada ya miezi mitatu kwa mwaka 2012, maoni ya wanafunzi yatakayo­tumwa kupitia shule zao yatashindanishwa. Maoni kumi bora yatachaguliwa na yatachapishwa kwenye vitabu pamoja na tovuti. Kila shule itakayoshinda itapata kompyuta ndogo mbili ﴾laptops﴿.

Zawadi:

H)+208%)"%/"8*+%7"-8%)4-"%9"".+B"%6"-8I%

a﴿ Tareheb﴿ Majina kamili, umri wako na jina la shule/taasisic﴿  Jinsia ­ Mwanaume/Mwanamked﴿ Anuani ﴾SLP﴿ kamili, makazi ﴾Kata, Wilaya, na     Mkoa﴿e﴿ Simu yako na/au Barua pepe ﴾kama unayo﴿.

Unangoja nini! Shiriki basi kwa njia zifuatazo. L,/"%-)"I

M% &".,"I%FNO%P-,@,Q%!:R:O%STUV%W".%42%!"@""/M% &".,"%5454I%8=5K+-,@,:=8:96%au      % %% %%%%%%%854*=8396K=/"+@:J8/M% L83,9+I%www.wananchi.go.tz

Fikiria. Paza Sauti. Twaweza!

Page 30: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri
Page 31: Je, Mwalimu mzuri - Twaweza teacher...21 22 Kwa sababu tunakuwa waoga na wakimya na tunapoteza mwamko wa kujifunza. Tunaanza kuamini kuwa sisi si wanafunzi wazuri. Na hilo linaathiri

Vibokohavina nafasihapa!

Mfano bora zaidi wa

kuigwa!

Hakuna unyanyasaji

hapa!

WAALIMU

(+9"',%0+-+%-+/4"*1"@+)"%*"I

Jadili na wenzio ulichojifunza humu ",%20+.+-+%/?"1"@"%-,5+9+"I

Twaweza_Nisisi

Twaweza Tanzania

   www.twaweza.org  www.raisingvoices.org