jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania.doc
TRANSCRIPT
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO
Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,Telex : 41051 DAR ES SALAAM, 26 Agosti, 2015,Tele Fax : 2153426Barua pepe : [email protected] : www.tpdf.mil.tz
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Vyombo vya Ulinzi na Usalama vinaandaa sherehe ya kumuaga Amiri Jeshi Mkuu tarehe 01 Septemba 2015 kwa gwaride rasmi litakalofanyika katika viwanja vya Uhuru, kuanzia saa 2.00 Asubuhi hadi saa 6.30 mchana.
Waandishi wa Habari mnakaribishwa katika uwanja wa Taifa kwa ajili ya Coverage ya tukio hilo la kihistoria.
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na MahusianoMakao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P 9203, Dar es Salaam, Tanzania.Kwa Mawasiliano zaidi: 0756 - 342279
0783- 309963