kcpe-kcse.com · web viewwasaa kuzingatia, uwafikishe kazini, kwa wasaa ufaao, wasije wakateteshwa,...

641
102/1,102/2,102/3 kiswahili MAKUENI COUNTY CLUSTER PREPARATORY EXAMINATIONS 2016 102/1 KISWAHILI KARATASI YA 1 INSHA JULAI / AGOSTI - 2016 MUDA: SAA 1 ¾ 1. Lazima Wewe ni mkaazi wa eneo ya Tuzindukane na unataka kuwania Ugavana katika Kaunti ya Malishoni. Andika tawasifu utakayowasilisha kwa raia ili waweze kukuchagua. 2. Sinema za ughaibuni zina hasara nyingi. Jadili. 3. Tunga kisa kitakachodhihirisha maana ya methali ifuatayo; Mti mkuu ukigwa wana wa nyuni huyumba. 4. Andika insha inayomalizia kwa; …………………Kijasho chembamba kilianza kumtoka usoni huku akionyesha wasiwasi. Nilitambua wazi kuwa yeye ndiye aliyefanya kitendo hicho hasi! MAKUENI COUNTY CLUSTER PREPARATORY EXAMINATIONS 2016 102/2 KISWAHILI KARATASI YA PILI (LUGHA) JULAI/AGOSTI 2016 MUDA :SAA 2 ½ UFAHAMU (Alama 15) Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali Dhuluma kwa wanawake sio matokeo ya siasa baada ya uhuru, bali ni matokeo ya hali iliyokuwepo tangu enzi za mababu zetu, kabla ya ukoloni. Kubaguliwa na kudhulumiwa kwa wanawake kisiasa kunaoana na kunyonywa kwake kijamii kunakoshuhudiwa siku nenda miaka rudi. Elimu ya jadi ilimwandaa mwanamke kuwa chombo kitiifu cha mwanaume. Mwanamke aliandaliwa katika unyago na katika mfumo mzima wa malezi kuwa chombo cha kumtumikia mwanamume, kumstarehesha, kumfariji, kumlisha na kumzalia watoto. Mwanamke tangu jadi hakuruhusiwa kushiriki katika shunghuli za kisiasa na utawala wala hakuna mtu aliyeamini kwamba mwanamke angeweza kushikilia wadhifa wowote wa uongozi. Demokrasia ya jadi nai husudu sana, ambapo wazee walikaa chini ya mbuyu na kuamua mambo ya jumuiya. Mahakama ya jiji ilikuwa aghalabu ni ya wazee na wanaume peke yao. Hakukuwa na mwanamke aliyeshirikishwa hata kama alikuwa ajuza. Sifa waliyokuwa nayo wanawake ni ile ya ushiri na uganga. Mwanamke yeyote aliyezeeka alidhaniwa kuwa bingwa wa uchawi, ulozi na ushirikina. Kwa hivyo, wanawake ndio waliokuwa washirikina wakubwa, maana fursa ya kupata elimu pana zaidi hawakuwa nayo. Si ajabu kuwa mwanamke alipojitokeza na kusema jambo la busara, alipuuzwa napengine kutukanwa hadharani. Kwa bahati zuri kumezuka mwamko uliotuingiza katika enzi mpya. Vita vya wanawake vya kujihami na kujiendeleza katika ulimwengu unaotawaliwa na wanaume vimetapakaa kote katika kila sehemu ya dunia Wanawake wengi wemakiuka misingi na mizizi ya utamanduni na kung‘oa asasi za kijamii na itikadi ambazo daima zimeendelea kumyanyasa na kumuumbua utu mwanamke tangu jadi. Watetezi wa haki za wanawake zamani walilaumu suala la serikali za mataifa kutochukua hatua za utekelezaji wa maazimio yaliyoendelea kupitishwa na umoja wa mataifa mwaka hadi mwaka. Huku masuala ya wanawake ya kijamii, utu na utamaduni yakishangiliwa kupitishwa, watetezi wameeleza wasiwasi wao ikiwa kupitishwa kwa maazimio kutasaidia kuleta maendeleo ya haraka kwa wanawake kimataifa au katika nchi moja. Fauka ya hayo, baadhi ya wachunguzi wanaonelea kuwa maazimio mengi hayadokezi hatua za kufikiwa haki za wanawake. Maazimio mengi yanazungumzia juu ya kuondolewa kwa ubaguzi dhidi ya wanawake,

Upload: others

Post on 01-Apr-2021

13 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MAKUENI COUNTY CLUSTER PREPARATORY EXAMINATIONS 2016 102/1 KISWAHILI KARATASI YA 1 INSHA JULAI / AGOSTI - 2016 MUDA: SAA 1 ¾

1. LazimaWewe ni mkaazi wa eneo ya Tuzindukane na unataka kuwania Ugavana katika Kaunti ya Malishoni. Andika tawasifuutakayowasilisha kwa raia ili waweze kukuchagua.

2. Sinema za ughaibuni zina hasara nyingi. Jadili.3. Tunga kisa kitakachodhihirisha maana ya methali ifuatayo; Mti mkuu ukigwa wana wa nyuni huyumba.4. Andika insha inayomalizia kwa;

…………………Kijasho chembamba kilianza kumtoka usoni huku akionyesha wasiwasi. Nilitambua wazi kuwa yeye ndiye aliyefanya kitendo hicho hasi! MAKUENI COUNTY CLUSTER PREPARATORY EXAMINATIONS 2016 102/2 KISWAHILI KARATASI YA PILI (LUGHA) JULAI/AGOSTI 2016 MUDA :SAA 2 ½

UFAHAMU (Alama 15) Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali Dhuluma kwa wanawake sio matokeo ya siasa baada ya uhuru, bali ni matokeo ya hali iliyokuwepo tangu enzi za mababu zetu, kabla ya ukoloni. Kubaguliwa na kudhulumiwa kwa wanawake kisiasa kunaoana na kunyonywa kwake kijamii kunakoshuhudiwa siku nenda miaka rudi.

Elimu ya jadi ilimwandaa mwanamke kuwa chombo kitiifu cha mwanaume. Mwanamke aliandaliwa katika unyago na katika mfumo mzima wa malezi kuwa chombo cha kumtumikia mwanamume, kumstarehesha, kumfariji, kumlisha na kumzalia watoto. Mwanamke tangu jadi hakuruhusiwa kushiriki katika shunghuli za kisiasa na utawala wala hakuna mtu aliyeamini kwamba mwanamke angeweza kushikilia wadhifa wowote wa uongozi.

Demokrasia ya jadi nai husudu sana, ambapo wazee walikaa chini ya mbuyu na kuamua mambo ya jumuiya. Mahakama ya jiji ilikuwa aghalabu ni ya wazee na wanaume peke yao. Hakukuwa na mwanamke aliyeshirikishwa hata kama alikuwa ajuza. Sifa waliyokuwa nayo wanawake ni ile ya ushiri na uganga. Mwanamke yeyote aliyezeeka alidhaniwa kuwa bingwa wa uchawi, ulozi na ushirikina. Kwa hivyo, wanawake ndio waliokuwa washirikina wakubwa, maana fursa ya kupata elimu pana zaidi hawakuwa nayo. Si ajabu kuwa mwanamke alipojitokeza na kusema jambo la busara, alipuuzwa napengine kutukanwa hadharani.

Kwa bahati zuri kumezuka mwamko uliotuingiza katika enzi mpya. Vita vya wanawake vya kujihami na kujiendeleza katika ulimwengu unaotawaliwa na wanaume vimetapakaa kote katika kila sehemu ya dunia

Wanawake wengi wemakiuka misingi na mizizi ya utamanduni na kung‘oa asasi za kijamii na itikadi ambazo daima zimeendelea kumyanyasa na kumuumbua utu mwanamke tangu jadi. Watetezi wa haki za wanawake zamani walilaumu suala la serikali za mataifa kutochukua hatua za utekelezaji wa maazimio yaliyoendelea kupitishwa na umoja wa mataifa mwaka hadi mwaka. Huku masuala ya wanawake ya kijamii, utu na utamaduni yakishangiliwa kupitishwa, watetezi wameeleza wasiwasi wao ikiwa kupitishwa kwa maazimio kutasaidia kuleta maendeleo ya haraka kwa wanawake kimataifa au katika nchi moja. Fauka ya hayo, baadhi ya wachunguzi wanaonelea kuwa maazimio mengi hayadokezi hatua za kufikiwa haki za wanawake.

Maazimio mengi yanazungumzia juu ya kuondolewa kwa ubaguzi dhidi ya wanawake, kushiriki kwao katika uendelezaji wa amani ya kimataifa na ushirikiano wa kimataifa, majukumu yao katika jamii, mfuko wa umoja wa mataifa wa wanawake (unifem) na kuimarisha hadhi ya wanawake katika sekretariati ya umoja wa mataifa miongoni mwa shughuli nyingine katika mkabala huu. Wanawake wamejikakamua na kudhihirisha kuwa wao pia wana jukumu muhimu la kutekeleza ili kuyaongoza maisha yao na ya watu wengine. Wadumishaji wa dhuluma za kijinsia hawana budi kusalimu amri na kuukubali ukweli huu, wapende wasipende.

Top grade predictor publishers Page | 1

Page 2: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Mtazamo juu ya haki sawa unatokana na kukubaliwa na kuondolewa kwa aina zote za ubaya dhidi ya wanawake. Kwa bahati mbaya, itikadi na mila za kiasili bado hazitupi nafasi ya kuwashangilia wanawake wanaojitolea mhanga kutetea hadhi yao pamoja naya wanyonge wengine. Wao huonekana kama waasi, wapinga mila na watovu wa utii.

Maswali (a) Eleza chanzo cha dhuluma kwa wanawake. (alama. 2)(b) Huku ukitoa mafano, fafanua hali ya dhuluma kwa wanawake kama inavyodhihirika katika makala. (alama. 4)(c) Eleza hatua ambazo mwanamke amechukua kujikomboa (alama. 4)(d) Je, jamii imechangia vipi katika kumdunisha mwanamke (alama. 2)(e) Fafanua maana ya misemo ifuatayo; (alama. 3)

i) Wamekiuka misingiii) Kupitishwa kwa maazimio iii) Wanaojitolea mhanga

1. UFUPISHOSoma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali yanayofuata

Ama kwa kweli maisha ya vijana wa kisasa yanatofautiana na kuhitilafiana na yale ya wazee wao. Sio katika mavazi, mienendo, mitazamo, mawazo na mielekeo tu bali pia katika kipengele kingine chochote utakachofikiria. Yote haya ni vielelezo vya jinsi kizazi cha leo kinavyoishi katika ulimwengu ambao ni kivuli tu cha ule wa vizazi vilivyotangulia. Baadhi ya watu wameieleza hali hii kuwa maisha sio jiwe.

Kwao basi, si ajabu katu kuwaona vijana wakizungumza lugha yao ya kipekee au wakivaa nguo zinazobana ajabu na kudhihirisha bayana maungo yao badala ya kuyasitiri.

Hata hivyo watu wengi wameonelea kwamba hali ya maisha ya vijana wa leo ni maasia yanayotokana na utundu na hata ukatili wao. Upande huu umetoa rai kwamba kizazi hiki kisingepotoka kama tu kingezingatia na kustahi utamaduni wa wahenga wao ambamo wazazi wao ndimo walimokulia. Wanazidi kufafanua kuwa nyendo hizi za ukarimu, unyenyevu, hadhari katika kila jambo, utiifu na pia kujitegemea. Yote haya yamesahauliwa ama tuseme yamepuuzwa katika ―Utamaduni wa kisasa.‖ Swali linalozuka sasa ni je, tunapaswa kuwahukumu vijana wa leo kwa kutumia vigezo au masharti gani? Tuwapige darubini kwa kutegemea hali ilivyo hivi leo duniani ama tuwapime kwa mujibu wa jinsi maisha ya baba na babu zao yalivyokuwa. Jibu la swali hili ni gumu na sharti lifafanuliwe kwa makini, lisije likaegemea upande wowote. Mathalan, ni jambo lisilopingika kuwa maisha ni utaratibu unaoathirika na hivyo kubadilika daima.

Angalia kwa mfano jinsi maendeleo ya elimu, sayansi, mawasiliano na hata ufundi yalivyo yageuza maisha siku hizi. Yamkini vijana wa barani Afrika wakaona na hata kuzungumza kwa wenzao kutoka Uropa, Asia na Marekani bila hata kunyanyuka hapa kwao nyumbani. Athari ya filamu, video, vitabu, magazeti, majarida na kadhalika haikadiriki. Haya, kwa kiasi yamefanya vijana hata kupevuka kabla ya wakati wao. Isitoshe, mambo hayo yameweza kuwazuzua na kuwaaminisha ya kuwa yale wanayojifunza ni kweli.

Matokeo yamekuwa ni wao kudunisha utamaduni wao wa asili na kuupapia ule wa wageni waliowaathiri. Tulisahau kuwa ujana ni tembo la mnazi na rahisi kwao kubadili mawazo.

Lakini hatuwezi kuwasamehe vijana wanaokosa akili kwa kupotoshwa na kucharika na yote wanayoyapokea kutoka ugenini na hivyo kuanza kudhalilisha utamaduni wa Waafrika. Hata hivyo, badala ya kuwakashifu wanapopotea njia ama kuwapongeza wanapotenda yale tunayoyategemea tu, ni wajibu mkubwa wa wazazi kuwaongoza na kuwasaidia vijana kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya uteuzi mwafaka katika maisha yao.

(a) Bila kupoteza maana asilia fupisha aya ya kwanza na ya pili kwa maneno 40 (Alama 6, 1 ya utiririko)(b) Fufisha aya mbili za mwisho (maneno 50) (Alama 9, 1 ya utiririko)3. MATUMIZI YA LUGHA(Alama 40)(a) Taja irabu mbili za nyuma kisha ueleze kwa nini huitwa hivyo. (Alama 2)

(b) Toa mfano mmoja kwa kila mojawapo. (Alama. 2)i) Kipasuoii) Kitambaza

(c) Eleza maana ya, (Alama. 2)i) Silabiii) Mofimu

(d) Bainisha viwalikishi katika sentensi ifuatayoAlimpiga mwanafunzi mtundu (Alama. 2)

(e) Eleze maana mbili za sentensi hiiJane alifagia chakula chote (Alama. 2)

(f) Ainisha matumizi ya ‗na‘ katika sentensi (Alama. 2)i) Marafiki hawa hutembeleleana sana

Top grade predictor publishers Page | 2

Page 3: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

ii) Amina ni tofauti na kakake (g) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya jedwali. (Alama. 3)

Msichana mtukutu alifukuzwa shule leo asubuhi(h) Tunga sentensi kwa kutumia nomino katika ngeli ya pa- ku- mu. (Alama. 3)(i) Tambua na ueleze aina za vielezi katika sentinsi hizi. (Alama. 2)

i) Mama alimwamrisha mtoto wake kijeshiii) Askari hutembea makundi makundi

(j) Andika katika hali ya udogoMbwa mwenye ukali alimfukuza mtoto (Alama. 2)

(k) Tunga sentensi moja kudhihirisha matumiza ya ritifaa (Alama. 2)(l) Tambua aina ya vitenzi kwa kutaja majina yake

Babu angali anasoma gazeti (Alama. 2)(m) Kwa kutungia sentensi, tofautisha vitate hivi. (Alama. 2)

i) Ghaliii) Gari

(n) Tumia ‗O‘ rejeshi. (Alama. 2)i) Msichana ambaye huja ni mwanasheriaii) Maovu ambayo aliyatenda hayasahauliki

(o) Andika katika msemo wa taarifa;―Tusipofanya kazi yetu kwa bidii na kujitegemea,tutabaki kuwa watumwa katika nchi yetu‖ Rais alisema. (Alama. 2)

(p) Kanusha sentensi hiiUgonjwa huu ungalidhibitiwa mapema kifo kingaliepukwa (Alama. 2)

(q) Tambua shamirisho kipozi, kitondo na shamirisho ala katika sentensi ifuatayo. Baba amemnunulia mtoto fulana nzuri iliyoshonwa kwa uzi mwekundu. (Alama.3)

(r) Badilisha katika kauli ya kutendua.Tundika picha hiyo ukutani na uyabandike maandishi kitabuni. (Alama 2)

(s) Tambua kishazi huru na kishazi tegemeziTumeanzisha shirika ili tunyanyue hali yetu (Alama. 1)

4. ISIMU JAMII (Alama 10)(a) Eleza juhudi zozote tano zinazotumiwa kukiendeleza Kiswahili sanifu nchini Kenya. (Alama 5)(b) Eleza jinsi uwililugha unaweza kuleta athari katika lugha na mawasiliano miongoni mwa wanajamii. (Alama. 5)

Top grade predictor publishers Page | 3

Page 4: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MAKUENI COUNTY CLUSTER PREPARATORY EXAMINATIONS 2016 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 FASIHI JULAI/ AGOSTI 2016 MUDA: 2 ½

SEHEMU A: USHAIRI 1. LAZIMA

Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali. Zitavuma, Zitakoma, Nitakwima, Mti-mle.

Na muda nikisimama, Nitatongoa nudhuma, Kwa tenzi zilizo njema, Nilisifu mti - mle.

Tazipanga tathlitha, tungo zilizo na hekima, Za huba na thiatha, za kuburudi mitima, Mashairi mabuthutha, musome mnaosoma.

Mti nishainukia,namea kuwa mzima, Mizizi yadidimia, ardhini imeuma, Nanena kitarbia, tungo zilizo adhama Japo ni tungo za zama, mti-mle hutumia.

Zingavuma zitapusa, pepo kali zitakoma, Dharuba kinitikisa, mti-mle huinama, Huyumba nikaziasa, matawi yakakingama, Gharika ikishapisa, hurudi nikawa wima, Na tungo za takhimisa, mti-mle huzipima.

Maswali (a) Shairi hili ni la kimapokea. Toa sababu mbili kuunga kauli hii. (Alama.2)(b) Taja bahari kuu ya ushairi ambayo imetumiwa na mshairi. Fafanua. (Alama.2)(c) Fafanua dhamira ya mshairi. (Alama.2)(d) Kwa kutoa mifano bainisha tamathali mbili za usemi zilizotumika katika shairi hili. (Alama.2)(e) Eleza jinsi mshairi ametumia idhini ya ushairi katika utungo huu. (Alama.2)(f) Andika ubeti wa nne kwa lugha natharia. (Alama.4)(g) Mshairi anamaanisha nini anaposema ‗zingavuma zitapusa, pepo kali zitakoma,‘ (Alama.2)(h) Eleza toni ya shairi hili. (Alama.2)(i) Eleza maana ya msamiati ufuatao.

i) Nitatongoaii) Zitapusa. (Alama.2)

SEHEMU YA B TAMTHILIA T. Arege; Mstahiki Meya Jibu Swali la 2 au 3

2. Huyo Meya wetu ana washauri ambao huwasikiliza zaidi hata kama wanampotosha.Fafanua. (Alama.20)

3. Mwafulani 1: Nilikusahau lini ndiyo sasa nije kukusahau?......‖Mwafulani II: …..tusikie

(a) Eleza muktahda wa dondoo hili. (Alama.4)(b) Bainisha mbinu ya lugha inayojitokeza katika dondoo hili. (Alama.2)(c) Fafanua mambo yoyote manne yanayo zungumziwa na mwafulani wa pili kulingana na muktadha wa dondoo. (Alama.4)(d) Fafanua maudhui yoyote matano yanayojitokeza kulingana na muktadha wa dondoo hili. (Alama.10)

Top grade predictor publishers Page | 4

Page 5: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

SEHEMU C Kidagaa Kimemwozea; Ken Walibora Jibu Swali la 4 au 5

4. Eleza jinsi mbinu ya kwelikinzani imetumika kwa kurejelea riwaya ya ‗kidagaa kimemwozea. (Alama.20)

5. Kidagaa Kimemwozea; Ken WaliboraNingemweka hai afikishwe mahakamani kweli idhihiri na uongo ujitenge‖.

(a) Eleza muktadha wa dondoo. (Alama.4)(b) Fafanua kwa kutolea mifano ukweli wa kauli ―kweli idhihiri‖. (Alama.6)(c) Eleza hulka ya mnenaji. (Alama.4)(d) Vitaje vitushi vyovyote vitatu vilivyomshangaza msemaji kulingana na muktadha wa dondoo. (Alama.6)

SEHEMU YA D.Hadithi fupi, Ken Walibora

6. Kanda la Usufi - (R. Nyaga)(a) Kanda la usufi ni anwani mwafaka.

Fafanua kwa kutolea mifano. (Alama.10)

(b) Lini angepata nafasi ya kupenya kwenye chungio…‖Fafanua jinsi msemewa angepata nafasi na changamoto zake. (Alama.10)

SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI Jibu Swali la7 au 8.

7. i) Soma utungo ufuatao kisha ujibu maswali.Mtu mmoja alimpa mke wake nambari yake ya simu. Kila mara bibi akipigia mumewe simu, ilipokelewa na sauti nyororo ―mteja wa nambari uliopiga hapatikani kwa sasa.‖ Alifunga safari kumtembelea mume wake mjini na kukabiliana na huyu kisura.

MASWALI a) Bainisha kipera cha utungo huu. (Alama.2)b) Onyesha sifa tano za kipera hiki. (Alama.5)c) Eleza manufaa tano ya kipera hiki. (Alama.5)

ii) Soma wimbo ufuatao kisha ujibu maswaliEwe mpwa wangu, Kwetu hakuna mwoga, usiwe kama msichana. Uoga ukikufika, huenda ni wa akina mamayo, Fahali tulichinja ili uwe mwanamume Iwapo utatingiza kichwa Uhamie kwa wasiokatwa Waume wa mbari yetu Si waoga wa kisu Wao hukatwa kuanzia macheo hadi machweo.

Simama jicho liwe juu Ngariba alilala jikoni Visu ametia makali Kabiliana na kisu kikali Wengi wasema ni kikali Mbuzi utampata Na hata shamba la mahindi Usiende kwa wasiotahiri.

MASWALI (a) Huu ni wimbo gani? Fafanua (Alama.2)(b) Eleza shughuli mbili za kiuchumi zinazodokezwa na wimbo huu. (Alama.2)(c) Onyesha taasubi ya kiume inavyojitokeza katika wimbo huu. (Alama.4)

8. a) Eleza mambo manne yanayochangia kubadilika kwa fasihi simulizi. (Alama.8)b) Eleza maana ya ngoma katika fasihi simulizi kisha utoe dhima zake nne. (Alama.5)c) Eleza maana ya maapizo. (Alama.2)d) matambiko ni nini? Eleza dhima zake mbili. (Alama.5)

Top grade predictor publishers Page | 5

Page 6: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MAKUENI COUNTY CLUSTER PREPARATORY EXAMINATIONS 2016 102/1 Karatasi ya 1 Kiswahili Insha JULAI/ AGUSTI 2016 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Hii ni insha ya kikamilifu. Insha ijikite katika vipengele viwili vikuu vya muundo na maudhui.(a) Muundo

Yafuatayo yazingatiwe.Anwani m.f TAWASIFU YA KUWANIA UGAVANA KATIKA KAUNTI YA MALISHONI

(b) i) Maudhuiii) Utangulizi

Kujitambulisha Jina Mwaka wa kuzaliwa Wazazi wako Nafasi katika mzao/ familia Familia yenu kimuhtasariiii) Masomo Chekechea Msingi Sekondari Chuo au vyuo mbalimbali ulivyosomea.iv) Tajiriba/ kazi/ ujuzi Kazi aliyofanya / alizofanyav) Mchango wako Katika jamii Katika viwango vya kimaendeleovi) Uanachama

Vyama mbalimbali na nafasi yake pamoja na vyeo kama viko vii) Iraibu Shughuli mbalimbali za ziada unazoshiriki. Shughuli unazopenda nje ya kazi yako rasmi. viii) Hitimisho Kuwaomba / kuwahimiza wananchi kupiga kura kuzingatia cheo anachotaka.

Tanbihi - Mtu binafsi ajieleze kwa mtindo wa nathari au mfululizo- Maelezo yawe katika nafasi ya kwanza umoja.- Shughuli ulizojihusisha nazo katika taasisi za elimu na katika jamii zihusiane na zituelekezee kwenye msukumo wa kutaka

cheo hicho cha Ugavana. Kv. Nyadhifa za uongozi masomoni Juhudi za maendeleo katika jamii. Matarajio ya wanachi kutoka kwako. n.k

2. Hii ni insha ya majadilianoMwanafunzi azingatie hasara za sinema za ughaibuni k.v.

Lugha ya matusi Kubomoa utamaduni wa Kiafrika na kupendelea wa Kigeni. Zinahimiza usherati Mafunzo hasi kwa vijana Hukuza uvivu; kutazama sinema kwa muda mrefu Hutisha / hutia hofu na kuogofya. Baadhi za picha ni za watu wakiwa nusu uchi; wasiokuwa na nguo za kusetiri uchi Zingine zinahusu vita, unyang‘anyi hivyo kuchangia maadili mabaya.

TB. Mwanafunzi anaweza kupinga na kutoa uzuri wa sinema k.v mafunzo, kuburudisha n.k

3. Mtahiniwa abuni kisa kinachodhihirisha maana ya methali hiyo ifuatavyo. Mti mkubwa unasitiri vitu vingi hasa nyuni (ndege) wanaokaa huko. Ikiwa utaanguka wale wana wa ndege huumia kwa vile hawawezi kujisaidia kwa sababu tegemeo lao ni mti huo. Mtu anayetegemea mtu mwingine au kitu fulani kukidhi mahitaji yake hupata shida kubwa iwapo kifo au mtu huyo ataondolewa kwa sababu moja au nyingine. Mtahiniwa athibitishe matumizi ya methali kwa kutoa kisa au hadithi inayoshabihiana na methali. Mwanafunzi asingatie sehemu mbili za methali na iwapo sivyo asipate zaidi ya alama 10.

Top grade predictor publishers Page | 6

Page 7: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Tanbihi Si lazima mtahiniwa atoe maana ya methali Mwanafunzi akitoa kisa kisichofanana na maana ya methali, amepotoka na aadhibiwe kulingana na mwongozo wa kudumu.

Asipate zaidi ya D (al. 3)4. Hii ni insha ya mdokezo. Matahiniwa atunge kisa kinadhihirisha jinsi yeye / mtu mwingine alivyojiingiza katika janga na

alivyopata madhara au matatizo.Tanbihi

Lazima insha imalizikie kwa maneno hayo. Asipomalizia nayo amejitungia kisa na amepotoka na asipiwe zaidi ya alama 3.

MWONGOZO WA KUSAHIHISHA INSHA UTANGULIZI Karatasi hii imedhamiria kutathimini uwezo wa mtahiniwa wa kuwasiliana na kuwasilisha ujumbe kimaandishi ,akizingatia mada aliyopewa .Mawasiliano haya yatategemea ukwasi wa lugha ya mtahiniwa ,kwa mfano ,kutunga sentensi sahihi zenye mtiririko mzuri kimawazo ,lugha ya kuvutia na yenye mawazo asilia ,ubunifu mwingi na hati nadhifu .Kwa kutegemea maagizo ya swali lenyewe na umahiri wa lugha ni lazima kutilia mkazo mtindo,mada na uwezo wa mtahiniwa kufuata maagizo vilivyo.Mtahini lazima aisome insha yote huku akizingatia sarufi ,hijai ,hoja,msamiati na mtindo ili aweze kuikadiria kwa kurejelea viwango mbalimbali vilivyopendekezwa.Viwango vyenyewe ni A,B,C na D kutegemea uwezo wa mtahiniwa. VIWANGO MBALIMBALI KIWANGO CHA D KWA JUMLA MAKI 01-05 1. Insha haieleweki kwa vyovyote vile ama uwezo wa mtahiniwa wa kutumia lugha ni hafifu sana ,hivi kwamba mtahini

lazima afikirie kile mtahiniwa anachojaribu kuwasilisha .2. Mtahiniwa hana uwezo wa kutumia maneno ya Kiswahili kwa njia inayofaa3. Lugha imevurugika ,uakifishaji haufai na insha ina makosa ya kila aina4. Kujitungia swali na kulijibu5. Insha ya urefu wa robo ikadiriwe hapa.NGAZI MBALIMBALI ZA KIWANGO CHA D.D-(D YA CHINI) MAKI 01-02

1. Insha haina mpangilio maalum na haileweki kwa vyovyote vile2. Kujitungia swali tofauti na kulijibu3. Kuandika kwa lugha isiyo Kiswahili au kuchanganya ndimi4. Kunakili swali au maswali na kuyakariri5. Kunakili swali au kichwa tu

D WASTANI MAKI 031. Mtiririko wa mawazo haupo2. Mtahiniwa amepotoka kimaudhui3. Matumizi ya lugha ni hafifu mno4. Kuna makosa mengi ya kila aina

D+(D YA JUU ) MAKI 04-051. Insha ya aina hii huwa na makosa mengi ya kila aina lakini unaweza kutambua kile ambacho mtahiniwa anajaribu

kuwasilisha2. Hoja hazikuelezwa kikamilifu/mada haikukuzwa vilivyo3. Mtahiniwa hana uhakika wa matumizi ya lugha4. Mtahiniwa hujirudiarudia5. Insha itakayozingatia sura lakini ikose maudhui ikadiriwe hapa.

KIWANGO CHA C KWA JUMLA MAKI 06-101. Mtahiniwa anajaribu kuishugulikia mada japo hakuikuza na kujiendeleza vilivyo2. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe kwa njia isiyovutia /hana ubunifu wa kutosha3. Mtahiniwa anaakifisha sentensi vibaya4. Mtiririko wa mawazo unaanza kujitokeza japo kwa njia hafifu5. Insha ina makosa mengi ya sarufi msamiati na ya tahajia (hijai)6. Insha yenye urefu wa nusu ikaridiwe hapa

NGAZI MBALIMBALI ZA KIWANGO CHA CC-(C YA CHINI )MAKI 06-07

1. Mtahiniwa ana shida ya kuwasilisha na kutiririsha mawazo yake2. Mtahiniwa hana msamiati wa kutosha wala miundo ya sentensi ifaayo3. Mtahiniwa anafanya makosa mengi ya sarufi ya hijai na ya msamiati na insha yake haieleweki kwa urahisi

C WASTANI MAKI 081. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe lakini kwa njia hafifu2. Dhana tofautitofauti hazijitokezi wazi3. Mtahiniwa hana ubunifu wa kutosha4. Mtiririko wa mawazo ni hafifu na hana ufundi wa lugha unaofaa

Top grade predictor publishers Page | 7

Page 8: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

5. Amejaribu kuishughulikia mada aliyopewa6. Mtahiniwa anashida ya uakifishaji7. Mtahiniwa anafanya makosa mengi ya sarufi hijai na ya msamiati lakini bado insha inaeleweka.

C+ (C YA JUU ) MAKI 09-101. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri akizingatia mada lakini kwa njia isiyo na mvuto2. Dhana tofautitofauti zimejitokeza japo kwa njia hafifu3. Kuna mtiririko wa mawazo japo hana ufundi wa lugha unaofaa4. Misemo na methali imetumika kwa njia hafifu5. Ana shida ya uakifishaji6. Kuna makosa ya sarufi msamiati na ya hijai yanayoathiri mtiririko wa mawazo

KIWANGO CHA B KWA JUMLA MAKI 11-151. Katika kiwango hiki mtahiniwa anaonyesha hali ya kuimudu lugha2. Mtahiniwa anatumia miundo tofautitofauti ya sentensi vizuri3. Mtahiniwa ana uwezo wa kutumia lugha kwa ufasaha4. Mada imekuzwa na kuendelezwa kikamilifu5. Insha ya urefu wa robo tatu ikadiriwe katika kiwango hiki

NGAZI MBALIMBALI ZA KIWANGO CHA BB-(B YA CHINI )MAKI 11-12

1. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri kwa kueleza hoja tofauti tofauti akizingatia mada2. Mtahiniwa ana mtiririko mzuri wa mawazo3. Mtahiniwa anatumia mifano michache ya msamiati unovutia4. Makosa yanadhihirika /kiasi

B WASTANI MAKI 131. Mtahiniwa anadhihirisha hali ya kuimudu lugha2. Mawazo ya mtahiniwa yanadhihirika akizingatia mada3. Mtahiniwa anateua na kutumia mifano michache ya msamiati mwafaka4. Sarufi yake ni nzuri5. Makosa ni machache /kuna makosa machache

B+(B YA JUU) MAKI 14-151. Mawazo ya mtahiniwa yanadhihirika na anajieleza waziwazi2. Mtahini ana mchanganyiko mzuri wa msamiati unaovutia3. Sarufi yake ni nzuri4. Uakifishaji wa sentensi zake ni mzuri5. Makosa ni machache ya hapa na pale

KIWANGO CHA A KWA JUMLA MAKI 16-201. Mtahiniwa ana ubunifu wa mawazo yanayodhihirika na kutiririka akizingatia mada.2. Mtahiniwa anadhihirisha ujuzi wa lugha yenye mnato3. Ana uwezo wa kutumia tamathali za usemi ili kutoa hisia zake kwa njia bora na kwa urahisi4. Umbuji wake unadhihirisha ukomavu na ukakamavu wake kimawazo.5. Insha ina urefu kamili.

NGAZI MBALIMBALI ZA KIWANGO CHA AA-(A YA CHINI) MAKI 16-17

1. Mtahiniwa anadhihirisha ukomavu wa lugha2. Mawazo ya mtahiniwa yanadhihirika na anaishughulikia mada3. Ana mtiririko mzuri wa mawazo4. Msamiati wake ni mzuri na unaovutia5. Sarufi yake ni mzuri6. Anatumia miundo tofautitofauti ya sentensi kiufundi7. Makosa ni machache yasiyokusudiwa.

A WASTANI MAKI 181. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri kulingana na mada2. Anajieleza kikamilifu akitumia lugha ya mnato3. Anatoa hoja zilizokomaa4. Anatumia msamiati wa hali ya juu na unaovutia zaidi5. Anatumia miundo tofautitofauti ya sentensi kiufundi6. Makosa ni nadra kupatikana

A+9A YA JUU)MAKI 19-201. Mawazo yanadhihirika zaidi na mada imeshughulikiwa vilivyo2. Anajieleza kikamilifu akitumia lugha ya mnato3. Hoja zake zimekomaa na zinasawishi4. Msamiati wake ni wa hali ya juu na unaovutia zaidi5. Sarufi yake ni nzuri zaidi6. Anatumia miundo tofautitofauti ya sentensi kiufundi7. Makosa yote kwa jumla hayazidi matano.

Top grade predictor publishers Page | 8

Page 9: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

VIWANGO MBALIMBALI KWA MUKHTASARI KIWANGO NGAZI MAKIA A+ 19-20

A 18A- 16-17

B B+ 14-15B 13B- 11-12

C C+ 09-1008

C C- 06-07D D+ 04-05

D 03D- 01-02

USAHIHISHAJI NA UTUZAJI KWA JUMLA Mtahini ni sharti aisome insha yote akizingatia vipengele muhimu .Vipengele hivi ni maudhui ,msamiati ,mtindo,sarufi na hijai . MAUDHUI

1. Maudhui ni hoja au mambo yanayozungumziwa, kueleza au kuhadithiwa kwa mujibu wa mada iliyoteuliwa.2. Maudhui ndio hasa uti wa mgongo wa insha yoyote ile.3. Ubinifu wa mtahiniwa hukisiwa kwa kutathmini uzito wa maudhui yake kulingana na mada teule.

MSAMIATI Msamiati ni jumla ya maneno yatumiwayo katika lugha husika. Mtahiniwa anatarajiwa kutumia msamiati unaooana na mada teule. Kutegemea ukwasi wa lugha alionao, mtahiniwa anatarajiwa kuikuza mada kwa kuifinyanga lugha kiufundi .Ni muhimu kuelewa kwamba kutokana na maendeleo na ukuaji wa teknolojia na mawasiliano ,maneno mapya yanaibuka kila uchao. MTINDO Mtindo unauhusu mambo yafuatayo:

Mpangilio wa kazi kiaya Mtiririko na mshikamano wa mawazo kiaya na katika insha nzima Hati nzuri na inayosomeka kwa urahisi Matumizi ya tamathali za usemi ;kwa mfano ,methali ,misemo,jazanda na kadhalika. Kuandika herufi vizuri kwa mfanho Jj.Pp,Uu,Ww na kadhalika Sura ya insha Unadhifu wa kazi ya mtahiniwa.

SARUFI Sarufi ndio msingi wa lugha.Ufanisi wa mawasiliano hutegemea uwezo wa mtahiniwa wa kutunga sentensi sahihi zenye uwiano wa kisarufi .Mtahini ataonyesha makosa yote ya sarufi yaliyo katika insha anayosahihisha .Makosa ya sarufi huweza kutokea katika :

(i) Matumizi ya alama za uakifishaji (i) Kutumia herufi kubwa au ndogo mahali pasipofaa (ii) Matumizi yasiyofaa ya ngeli na viambishi ,viunganishi ,nyakati ,hali ,vihusiano na kadhalika. (iii) Mpangilio wa maneno katika sentensi (iv) Mnyambuliko wa vitenzi na majina (v) Kuacha neno linalohitajika au kuongeza neno lisilohitajika katika sentensi (vi) Matumizi ya herufi kubwa: (a) mwanzo wa sentensi (b) Majina ya pekee (i) majina ya mahali ,miji,nchi ,mataifa na kadhalika (ii) siku za juma,miezi n.k. (iii) makabila ,lugha n.k (iv) Jina la Mungu (v) Majina ya kutambulisha hasa wanyama wa kufugwa ,kwa mfano yale ya mbwa-Foksi,Popi,Samba,Tomi na mengineyo.

MAKOSA YA HIJAI /TAHAJIA Haya ni makosa ya maendelezo .Mtahini anashauriwa asahihishe huku akiyaonyesha yanapotokea kwa mara ya kwanza tu.Makosa ya tahajia huweza kutokea katika :

(a) kutenganisha neno kwa mfano ‗aliye kuwa‘ a) Kuunganisha maneno kwa mfano ‗kwasababu‘ b) Kukata silabi visivyo afikapo mwisho wa mstari kwa mfano ― ngan -o‖ c) Kuandika herufi isiyofaa kwa mfano ‗ongesa‘badala ya ‗ongeza‘ d) Kuacha herufi katika neno kwa mfano ‗aliekuja‘ badala ya ‗aliyekuja‘ e) Kuongeza herufi katika neno kama vile ‗piya‘ b adala ya ‗pia‘ f) Kuacha alama inayotarajiwa katika herufi kama vile ji

Top grade predictor publishers Page | 9

Page 10: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

g) Kukosa kuandika kistari cha kuendelezea neno afikiapo pambizoni au kuandika mahali pasipofaa h) Kuacha ritifaa au kuakifisha mahali pasipofaa ,kwa mfano ngombe ,ngom‘be,n‘gombe,ngo‘mbe n.k. i) Kuandika maneno kwa kifupi kama vile k.v,k.m,v.v,n.kj) Kuandika tarakimu kwa mfano 27-08-2010

ALAMA ZA KUSAHIHISHA ‗ Hupigwa chini ya sehemu ambapo kosa la sarufi limetokea kwa mara ya kwanza tu Hupigwa chini ya sehemu au neno ambapo kosa la hijai limetokea kwa mara ya kwanza tu. Hutumiwa kuonyesha hoja inapokamilika pambizoni kushoto ^ Hutumiwa kuonyesha kuachwa kwa neon/ maneno Hutumiwa kuonyesha msamiati bora.Alama hii hutiwa juu ya neno lenyewe × Hutumiwa kuonyesha msamiati usiofaa.Alama hii hutiwa juu ya neno lenyewe.

Maelezo mafupi yanahitajika kuhusu tuzo lililotolewa.Kila ukurasa uwe na alama ya chini katikati ili kuthibitisha kuwa mtahini ameupitia ukurasa huo. UKADIRAJI WA UREFU WA INSHA YA PILI

Maneno 9 katika kila msitari Ukurasa mmoja na nusuManeno 8 katika kila msitari Ukurasa mmoja na robo tatuManeno 7 katika kila msitari Kurasa mbiliManeno 6 katika kila msitari Kurasa mbili na roboManeno 5 katika kila msitari Kurasa mbili na robo tatuManeno 4 katika kila msitari Kurasa tatu na robo tatuManeno 3 katika kila msitari Kurasa nne na nusuKufikia maneno 174 Insha roboManeno 175-274 Insha nusuManeno 275-374 Insha robo tatuManeno 375 na kuendelea Insha kamili

Top grade predictor publishers Page | 10

Page 11: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MAKUENI COUNTY PREPARATORY CLUSTER EXAMINATION 2016

102/2 KISWAHILI KARATASI YA 2 JULAI / AGOSTI - 2016

MWONGOZO WA KUSAHIHISHA 1. UFAHAMU(a) Utamaduni / kaida za jadi / mila. (Alama. 2)(b) Mwanamke hakuruhusiwa kushiriki katika shughuli za kisiasa na utawala Angeweza kushikilia wadhifa wowote wa uongozi. Kupuuza na kutukanwa Wanawake wazee walidhaniwa bigwa wa uchawi na ushirikina. (4 x 1) alama. 4(c) Maazimio ya kuondolewa kwa ubaguzi dhidi ya wanawake kushiriki katika uendelezaji wa amani ya kimataifa. Wanawake wameonyesha vipaji vyao katika nyanja mbalimbali za maisha; siasa, uchumi na utawala n.k.

2x 2 alama. 4.(d) Kupuuza jitihada za wanawake

Kushikilia mila/ tamaduni - nafasi ya mwanamke ni nyumbani.Serikali za mataifa kutochukua hatua.

(e) - Enda kinyume / kataa- Kupitishwa kwa malengo /nia ya kulewa jambo- Kujitoa kwa vyovyote vile. Alama. 3

MAKOSA1. Ondoa makosa ya kisarufi hadi nusu ya alama alizopata katika swali (kila kosa ½ alama)2. Ondoa jumla ya alama za hijai (yaani makosa 6 x ½ )

2. UFUPISHO(a) Maisha ya vijana yanatofautiana na yale ya wazee wao. Kizazi cha leo kinaishi katika ulimwengu ambao ni kivuli cha ule na vizazi vilivyotangulia Vijana wanazungumza lugha yao ya kipekee/ wanavaa nguo zinazowabana. Hali ya maisha ya vijana hutokana na utundu na ukatili wao. Kizazi hiki hakingepotoka kama kingezingatia utamaduni wa wahenga wao. 5 x 1 alama. 5(b) Maisha hubadilika daima Maendeleo ya elimu, sayanzi n.k yamegeuza maisha siku hizi. Athari ya filamu, video, vitabu magazeti haikadiriki Mambo haya yameweza kuwazuzua vijana Vijana wanadunisha utamaduni wao na kupapia ule wa wageni. Hatuwezi kusamehe vijana walioathirika. Ni wajibu na wazazi kuwaongoza vijana.

4 x 2 = alama 8KUTUNZA

a) -5

b) -8

c) Ut -215

3. MATUMIZI YA LUGHAa) /u/na/o/

Kwa sababu hutamkiwa hasa sehemu ya nyuma ya ulimi. 1 x 1 = 2Vipasuo Kitambaza

b) /p/, /t/, /j/, /k/ /L//b/, /d/, /g/(yoyote) 1 x 1 = 2

Top grade predictor publishers Page | 11

Page 12: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

c) - Silabi ni tamko /sehemu ya neno inayoundwa na konsonanti na irabu au irabu pekee na hutamkwa kwa pamoja.- Mofimu ni kipashio kidogo zaidi katika lugha ambacho hakiwezi kuvunjwavunjwa zaidi bila kupoteza maana yake.

Kipashio hiki huweza kuwa neno zima au sehemu ya neno. 1 x 1 = 2d) -A - Nafsi viambata

-M -e) Jane alikila chakula chote.

Jane alitumia ufagio kukiondoa chakula kilichomwagika / tapakaa. 1 x 1 = 2f) (i) na - kutendeana (kauli) katika ―hutembeleana‖.

(ii) na - kiunganishi (1 x 1 = 2)g)

S

KN KTN V T N E

Msichana mtukutu alifukuzwa shule leo asubuhi 12 x ¼ → 3

h) Pahali pazuri pamepaliliwa na mkulimaMahali mzuri, mmepaliliwa na mkulimaMahali kuzuri kumepaliliwa na mkulima 1 x 3 → 3

i) Kijeshi - Namna mafananoMakundi makundi - Namna kikariri 1 x 2 → 2

j) Kijibwa chenye ukali kilikifukuza kitoto ½ x 4 → 2k) Ng‘ombe mnono alichinjwa jana

98 kulitokea mahafa mjini Nairobi. taenda sokoni kesho

l) Angali - kitenzi kisaidiziAnasoma - kitenzi kikuu

m) i) Bei ya mafuta taa imekuwa ghali sana siku hizi.ii) Gari la mamangu ni aina ya Subaru.Thathmini: Mwanafunzi atunge sentensi iliyo na mantiki 1 x 2 → 2

n) i) Msichana aliyekuja ni mwanasheria.ii) Maovu aliyoyatenda hayasahauliki 1 x 2 → 2

o) Rais alituambia ya kwamba / kuwa tusipofanya kazi yetu kwa bidii na kujitegemea, tungebaki kuwa watumwa katika nchiyetu. 2 x 1 → 2

p) UsingalidhibitiwaUsingaliepukwa 1 x 2 → 2

q) Fulana - KipoziMtoto - KitondoUzi - Ala 1 x 3 → 3

r) Tundua pichaUyabandue 1 x 2 → 2

5. Tumeanzisha shirika - Kishazi tegemeziIli tunyanyue hali yetu - Kishazi huru 1 x 2 → 2

4. Isimu Jamiii) Kuwa na tamasha za muziki shuleni - mashairiii) Kiswahili kufanywa somo la lazima shuleni (Msingi na Sekondari).iii) Kiswahili kuteuliwa kama lugha rasmi sawa na lugha ya taifa.iv) Uandishi na uchapishaji wa vitabu vingi vya hadithi. v) Kiswahili kupigiwa debe katika vyombo vya habari. vi) Mijadala bungeni kuendelezwa kwa lugha hii. vii) Kuwepokwa mtandao unaotumia lugha h

5. i) Athari za lugha moja kisarufi hutokea kwa nyingine k.m lugha ya Kiswahili imeathiriwa na lugha yakiingereza.

ii) Ukopaji wa maneno kutoka lugha nyingine. iii) Uwezekano wa wazungumzaji wa lugha moja kuihama lugha yao na kuzungumza tu ile ya pili. iv) Athari za mabadiliko katika miundo na msamiati wa lugha husika ambazo baada ya muda mrefu

zaweza kuwa lugha mchanganyiko. v) Lugha inaweza kutoweka kabisa na lugha zingine zikaendelea kutumika. vi) Vilugha vingine vyaweza kuibuke k.m. sheng zozote 5 x 1 = al. 5

Top grade predictor publishers Page | 12

Page 13: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MAKUENI COUNT CLUSTER PREPARATORY EXAMINATIONS 2016 102/3 KISWAHILI FASIHI Karatasi ya 3 Muda: 2 ½ MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Mwongozo wa kusahihisha swali la kwanza(a)i) Lina betiii) Lina mishororoiii) Lina vinaiv) Lina mizaniv) Ubeti wa tatu, nne na wa tano una vipande (ukwapi, utao) za kwanza 4 x 1 = 42. Sakarani

Lina zaidi ya aina moja ya bahari za ushairi. Utenzi, tarbia, tathlitha na takhimisa Kutaja 1Ufafanuzi 1 Jumla 2

3. Kujinaki, au kujisifu kwa uwezo wake wa kutunga mitindo tofauti tofauti ya mashairi (Alama. 2)4. i) Tanakuzi / kinyume/ ukinzani kama vile - Zitavuma - zitakoma- zingaruma - zitapusa/zitakoma

ii) Jazanda - mti-mle - Bingwa wa ushairiGharika / Dharuba - changamoto anazopitia katika utunzi

iii) Lakabu (msimbo) - Mti - mle (amejiita mti-mle) Alama 25. i) Inkisari - Tazipanga - Nitazipanga

-Na nena - ninanena -Kuburudi - Kuburundisha

ii) Mazada -Nishainukia - nishainuka iii) Lugha ya kikale -huba - mapenzi.

tongoa - sifia iv) Lahaja m.f thiatha - badala ya siasa

Yeyote 1 -kutaja 1Mfano 1 Alama 2

6. Mimi mti ninaujunzi mpana wa utunziNimekita mizizi yangu barabara katika taaluma hii. Naweza kutunga mashairi aina ya tarbia ambazo ni ungo za heshima.Ingawa ni tungo za zamani, mimi, Mti - Mle huzitunga Alama. 4

7. Hata kukiwako na matatizo /upinzani/changamoto aina yoyote kutakuwa na mwishi wake. Alama 2i) Kuna dharau - kuwaita mashairi ni pepo ambazo zitafuma na kukomaii) Kuna majivuno -Anajiita mti - mle

-Kuchanganya bahari Alama 28. i) Nitatongoa - Nitasifu/Nitaeleza

ii) Zitapusa - acha, / koma

MSTAHIKI MEYAMwongozo wa kusahihisha swali la 2

2.i) Bili anamshauri Meyaii) Bili anakubaliana na Meya anaposema ameagiza divai Ufaransa na mvinyo kutoka Urusiiii) Bili na Meya wanakutana kajifahari wanapoponda mali bila kujuliiv) Bili anakubaliana na Meya wasomeshe watoto wao ng‘ambo kwa vile masomo cheneo ni vivi hiviv) Bili anaposikia Meya amempeleke mkewe kujifungulia ng‘ambo hata yeye anaona atamtuma mke wake huko wakati

wake ukitimiavi) Bili anakosa kumshauri Meya anapomgawia vipande vine vya ardhi (prime plot)vii) Bili anamwonyesha Meya mbinu za kuufisidi mji kwa kukatiza mkataba wa mwanakandarasi ili anapolipwa fidia

amgawie fungu lake.viii) Diwani I na II wanalitetea Barasa la Meya hata wanachaguliwa kuwa ndio macho, masikio na sauti yake wanalipwa

kwa sababu hii.ix) Diwani I na II wanamshauri Meya amchukulie hatua Diwani III kwa kuwa ni mchocheax) Bw. Usalama anasema yu tayari kuwaamrisha vijana (Askari) wa usalama wawapige waandamanaji badala ya

kuwasikilizaxi) Bw. Uhusiano mwema anahakikisha tamasha za vijana zimeandaliwa ili kudumisha uzalendo.xii) Mhubiri (mshauri wa kiroho) hamwelekezi Meya kwa njia inayofaa mabali anauombea uongozi wake dhalimu ili apate

sadakaxiii) Bili anamshauri Meya waibe fimbo ya Meya ili wapate pesa. (Ala. Zozote 10 x 2 = 20)

Top grade predictor publishers Page | 13

Page 14: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

3. a) Aliyesema maneno hayo mwafulani wa kwanza ni Meya Alikuwa anamwambia Bili Walikuwa ofisini kwa Meya alikoenda kupanga mikakati ya mapokezi la mameya Sauti mwafulani II sinasikika nje wakati Bili anamwambia Meya asimsaliti anapopeana kandarasi (Alama. 4)b) Swali la Balagha

Mdokezo (Ala. 2 @ ½ = 3)c) Mfano haki ya kugoma. Walikuwa wanaletewa askari waliowapiga na kutishwa wangefutwa kazi Malipo bora. Mishahara ilikuwa ya chini iliyocheleweshwa na kutofanyiwa nyogeza za mshahara. Maslahi bora. Mazingira ya kufanya kazi yalikuwa mabaya mfano hawakuwa na glovu za kuosha vyoo Huduma za afya. Hawakuwa wanapata dawa kwa zahanati. Waliambiwa madawa yangeingia baada ya siku tatu. Haki ya kusikilizwa - Walitaka kukutana na Meya hasa vingozi wao Meya alikataa kwa kusema Dairy yake ilikuwa imejaa

hana nafasi au angesema hawezi kukutana na watu waliogomaLazima maelezo yatolewe (Ala. 5 @ 1 = 5)

d) Maudhui ya ufisadi Bili anamwambia Meya akumbuke kandarasi mpya ilitegemea kauli ya Meya na kwamba hasimsahau anapopeana kandarasi Maudhui ya mgomo - Sauti ni za wafanyakazi waliogoma wakitaka maslahi yao yazingatiwe Maudhui ya haki - Waliogoma (sauti) wanalilia haki zao walionyimwa. Malipo bora, maslahi huduma za afya nk. Maudhui ya ubadhirifu - Meya kumwambia Bili hawezi kuja kumsahau

Meya alimpatia Bili vipande vya ardhi ambazo ni mali ya umma Maudhui ya uongozi - Uongozi ni mbaya ndio wafanyakazi wanagoma Maudhui ya mapendeleo - Bili anasema asisahuliwe na Meya wakati wa kupeana kandarasi

(Ala. 4 @ 2 = 8)

KIDAGAA KIMEMWOZEA Mwongozo wa Kusahihisha swali 4

4. i) Bi Zuhara mke wa Mtemi haridhiki na kuolewa na kiongozi mwenye utajiri. Anawaonea gere na hata kutamani maisha ya

masikini waliovaa rinda moja Januari mosi hadi Januari mosi.ii) Kanisa ni mahali pa kuhubiri amani lakini makanisa mawili yalipigana kadamnasi sokoni juu ya uwanja wa kujengea

maabadiiii) Jina la mtemi, Nasara Bora linaashiria mtu anayetoka familia inayo heshimika au yenye ustaarabu. Mtu anayeishi maisha

ya hali yajuu lakini mtemi anaishi maisha duni. Gari kachala, nyumba iliyong‘ooka mabapa ya dirisha, makochiyaliyochakaa nakadhalika.

iv) Nasaba bora ananyakua mashamba makubwa na kuwafisidi raia kwa kughushi faili, lakini hali yake kimaisha ni haliyachini. Haishi maisha ya kifahari.

v) Mashujaa kama Matuko Weye na mchezaji mashuhuri chwechwe Makwache hawadhaminiwi na jamii na wanaishi maishaya ufukara

vi) Tunataraji maisha katika kasri yawe ya kifalme lakini hali ni duni. Panaishi panya na nzi wa buluu ambao ni wanyamawapatikanao majengo ya vitongoji duni.

vii) Mtemi anajihusisha kimapenzi na Lowela lakini anapomkuta Amani katika chumba cha mkewe anaumwa moyoni nakumtaliki papo hapo.

viii) Majisifu anarundishiwa sifa kemkem juu ya umahiri wake katika somo la Kiswahili mpaka huwakosoa watu walipofanyamakosa ya Kiswahili. Kinyume na matarajio tunang‘amua kwamba hawezi kutoa mhadhara wa kuridhisha katika chuo chamkokotoni.

ix) Tungetaraji mazishi ya kiongozi mtajika kama mtemi kuhudhuriwa na watu wengi lakini ni wachache tu waliohudhuria.x) Kama kiongozi angepewa heshima kwa kupigwa mizinga 21 katika mazishi ya kujitoa uhai kwa njia aliyotumia Mtemi ya

kujinyonga. Angeng‘atuka mamlakani au mkimbizi wa kisiasa. 5. a) Maneno hayo ni uzungumzi wa nafsia wa Amani wa kimoyomoyo. Ilikuwa baada ya siku nyingi walipofanya mazishi ya Mtemi Nasaba Amani alikuwa anafikiria juu ya hatima ya mwajiri wake wa awali Amani alisema angekuwa mhusika wa riwaya yake angemfisha kwa mikono yake angemweka hai ili apelekwe mahakama

ukweli wa vitendo vyake ujilikane. (Alama. 4)

b) Mtemi alikuwa anawanyang‘anya watu mashamba mfano Chirchir Hamadi na mamaye Imani. Mtemi alikuwa anatumia hati miliki bandia baada ya kupokonya watu mashamba. Aliamrisha watu wapigwe mfano Matuko Weye, Amani na Imani Aliua watu mfano Chirchir Hamadi mamaye Imani Alikuwa anawapiga na kuwaumiza watu mfano alivyomfanyia Amani baada ya tuhuma ya uhusiano wa kimapenzi na

mkwewe Zuhura alimpiga na kwenda kumtupa kando ya mto Kiberenge akidhani amekufa Alikuwa akiwadhulumu watu. DJ baada ya kuumwa na mbwa wake Jimmy aliyekuwa mgonjwa alikataa kumsaidia atibiwe.

Top grade predictor publishers Page | 14

Page 15: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Mtemi alikuwa mfisadi, kutoa hongo kwa Askari na asasi ya mahakama Yusufu afungwe kwa kosa la tuhuma ya mauaji yababaye.

Mtemi alitoa hongo mtoto wake Madhubuti apate kazi Mtemi na wenzake walitumia pesa za kujenga hospitali, wakaziweka mfuko na kujenga zahanati alilolipa jina lake baadaye. Alitembea na mabibi wa watu na wasichana wadogo wa shule. Lowela huku akidanganya bibiye huwa anasuluhisha

migogoro ya mashamba baada ya kuchelewa usiku. Alienda kukitupa kitoto Uhuru baada ya Lowela kujifungua. Alimtuhumia Amani kwamba ndiye alikuwa babaye mtoto aliye mwokota nje ya kibanda chake kwa hivyo amlee. Aliwafuta wafanyakazi wake kazi kwa sababu ambazo hazikuwa na msingi mfano ukizingatia usafi.

(Ala. 6 @ 1 = 6)c) Tabia za Auani Mwenye Amani

Shujaa Kwenda sokomoko ambako hakujui uhali alijua akijulikana na Mtemi na amtambue yeye ni nani angemuua.

Mwenye utu. Kumwambia Oscar asimuue Mtemi, Kumpatia D.J. shati.

Mwaminifu Aliweza kukaa kwa Nasaba Bora kwa miaka miwili Kutimiza ahadi ya D.J Hakuwa na uhusiano wowote wa mapenzi na Imani

Msiri Hakumweleza Imani siri zake hasa siri ya mswada

Msikivu Alivyosikiliza maelezo kuhusu Imani

Mlezi mwema/ amewajibika Kumlea vizuri Uhuru Kuwa mwaminifu kwa utekelezaji wa kazi

Mwanamapinduzi Yeye, Imani wanabadilisha imani ya wanasokomoko kuhusu maji ya mto Kiberenge. Aliwagawia wanasokomoko ardhi

Mkarimu Kumpea D.J shamba, shati Kumpea Matuko nyumba Madhubuti shamba

Kadiria majibu ya wanafunzi (Ala. 4 @ 1 = 4)d)1) Jina la mwajiri wake (Mtemi) lilitoweka kabisa katika mazungumzo na kumbukizi za watu wa Sokomoko.2) Jina la Mtemi Nasaba Bora lilifutwa katika chochote kilichojulikana kwalo3) Kati ya mazungumzo yake na Madhubuti mwanawe, jina la Mtemi halikuzuka tena hata mara moja.4) Madhubuti alishikilia kana kwamba mapambano bado yanaendelea kunyanyoosha mambo yaliyokwenda kombo nchini.

(Ala. 3 @ 2 = 6)6.a) Mimba ya Sela kwa Masazu ilikuwa ni kanda la usufi. Masazu alimwandikia barua na kumuuliza ni kwa nini hakujikinga.

Alimwambia ‗yajapo yapokee‘ Wanafunzi waliokuwa wajawazito majina yao yalipoitwa, wanafunzi wenzao waliangua vicheko vya chini kwa chini. Walijua

kwamba wanafunzi hao ni wajawazito. Kwa wanafunzi wale wengine ujauzito wa wanafunzi ilikuwa kanda la usufi Sela na wenzake wawili ingawa walielewa sababu ya kuitwa ofisini hawakujua kilichokuwa kitendeke. Hakuna

aliyezungumza na mwenzake kutokana na mawazo. Wote waliinamisha nyuso zao. Kwa mwalimu mkuu ilikuwa mzigu wao ni kanda la usufi alisema ni jambo la kawaida.

Bakali babaye Sela alimuuliza mwalimu mkuu ni kwa nini wao huwaletea watoto shuleni. Yeye hajui waalimu huwa na majukumu hasa ya kutoa ushauri, kuwasomesha kwake Butali kazi ya waalimu ni kanda la usufi haoni kazi gumu na nyingi wanazotekeleza

Kupata mimba kwa wasichana watatu ni mzigo kwa wazazi lakini kwa Bi. Margret ni kanda la usufi aliwaambia tukiolililowaleta hapo lilikuwa nila kawaida kwao.

Mzee Butali anaonelea kosa la Sela la kuwa mja mzito mamaye ni wa kulaumiwa na hata anawafukuza nyumbani. Kwakemzigo huo ni wake lakini kwa mkewe ni kanda la usufi (Ala. 5 x 2 = 10)

b) Ukimbizi Angetukanwa na kusumbuliwa pale uwanja wa ndege kuwa yeye mkimbizi mwongo mzandiki Mkimbizi anayejidai kwao kuna fujo na kuuliwa watu Kuwa anakimbia shinda. kuwa anataka kuingia kwa wenyewe kwa lazima kuharibu mazingira, utulivu na utamanduni wa wenyeji wake.

Top grade predictor publishers Page | 15

Page 16: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Ajifanye mgonjwa mahututi wa maradhi yake hayatibiki hapa pao Ubalozi wa uingereza unajua ujanja huo. Wana daktari anayepima mtu kwanza ndio aruhusiwe kwenda uingereza kwa matibabu.

Ajifanye anaenda kusoma Lazima apate shule itakayomkubali Lazima aonyeshe mtaji mkubwa wa fedha za kilipia karo na gharama ya maisha Matokeo yake ya kidato cha sita yalikuwa mabaya

Aseme ni mtalii Yeye ni maskini kinyume cha mtalii

Kuolewa Ni nani huyo kutoka uingereza atakuja kumuoa - hakuna

Kutaja 5 @ 1 = 5Matatizo 5 @ 1 = 5

FASIHI SIMULIZIi)a) Sogo / soga - Mazungumzo ya kupitisha wakati au porojo (Alama. 2)b) i) Soga huongezwa chumvi

ii) Mara nyingine ni jambo la ukweli na wakati mwingine ni uongo iii) Wahusika ni wa kubuniwa / hupewa majina ya watu katika jamii hiyo iv) Muundo wa kisa kimoja v) Wahusika wachache vi) Hutania Za kwanza 5 x 1 = 5

c) i) Hupitisha wakatiii) Huburudisha wakati watu wanapumzika iii) Hukejeli kwa njia ya utani iv) Huelimisha jamii v) Huleta umoja na ushirikiano miongoni mwa watu vi) Huonya wanajamii vii) Kukuza lugha kwa wasimulizi viii) Hukuza kipawa cha uzungumzaji Za kwanza 5 x 1 = 5

ii)a. Nyiso / wimbo wa tohara

Anayeimbiwa anahimiza kukabiliana na ukaliwa kisu kwa ujasiri. (Alama 2, kutaja 1, maelezo 1)b. i) Ufugaji - Akivumilia atapewa mbuzi

ii) Kilimo - Atapata shamba la mahindi (Alama 2)c. i) Mwimbaji anasema kuwa waoga ni wa akina mama anayeimbiwa

ii) Waume wa mbari ya mwimbaji si waoga wa kisuiii) Anayeimbiwa anaarifiwa kuwa fahali alichinjwa ili awe mwanamumeiv) Anahimizwa asiwe mwoga kama msichana (Alama 4)

8.a) Hadhira Anayewasilisha fasihi simulizi hukutana ana kwa ana na hadhira Hadhira yaweza kumwathiri na abadilishe mtindo wa uwasilishaji papo kwa hapo Aweza kubadilisha lugha hasa msamiati kulingana na umri na elimub) Fanani Kila fanani ana mtindo wake wa kisanii na anaweza kubadilisha kazi / uwasilishaji kulingana na mtindo wake.c) Muktadha wa wakati Yaliyomo huathiriwa na wakati pia muundo na mtindod) Mazingira Hadhira ya fasihi hupanuka. Mambo ya msingi yanayoathiri maisha ya binadamu hubaki yale yalee) Maendeleo katika maisha ya binadamu Maendeleo ya sayansi na teknolojia yasababisha mwingiliano mkubwa katika jamii za binadamu.

(Ala. 4 x 2 = 8)b. Ngoma Uchezeshaji wa vuingo vya mwili kuambatana na mdundo au mwondoko maalumu ( 1 @ 1 = 1)

Dhima Kuburudisha Kitambulisho cha jamii Kuhifadhi utamaduni na kuuendeleza Kukuza uzalendo wa jamii Kuelimisha mfano kupitia kwa nyimbo Kuleta utangamano katika jamii Kukuza ubunifu kwa wanaocheza (Alama 5)

Top grade predictor publishers Page | 16

Page 17: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

c. Maapizo Maombi maalumu ya kumtakia Mungu / mizimu kumwadhibu mhusika mwovu Ni maombi ya laana au mambaya kutoka kwa anayehisi ametendewa maovu na wengine (Ala. 2 )d) Matambiko Ni sadaka inayotolewa kwa Mungu, miungu au mizimu moja kwa moja kupitia kwa muingu Wazee pia walifanya matambiko (Ala. 1 @ 1 = 1)

i) Hutumika kwa kuwaonya wanajamii dhidi ya vitendo viovuii) Kuadilisha jamii kutenda mema wakicha laanaiii) Uleta umoja katika jamii. Kaida na miiko hufanya watu kuishi kama kitu kimojaiv) Kitambulisho cha jamii. Kila jamii ina namna ya kutoa maagizo. (Ala. 2 @ 2 = 4)

Top grade predictor publishers Page | 17

Page 18: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA KUWED - 2016.

102/1 KISWAHILI INSHA KARATASI YA I JULAI/AGOSTI- 2016 Maswali

1. LAZIMAWewe ni raia katika nchi ya Mzalendo. Mwandikie barua mhariri wa gazeti la Kumekucha Leo ukitoa maoni yako jinsiserikali yako inavyoweza kupunguza umaskini nchini.

2. ‗Utandawazi una athari mbaya katika maisha ya vijana.‘ Jadili.3. Andika insha inayodhihirisha maana ya ‗Mchelea mwana kulia hulia yeye‘4. Kamilisha insha yako kwa maneno :...............sitaisahau siku hiyo kwani sijawahi kufedheheka kama nilivyoaibika siku hiyo.

MTIHANI WA PAMOJA WA KUWED - 2016. (Cheti cha kuhitimu Elimu ya Sekondari (K.C.S.E)

102/2 KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA JULAI/AGOSTI- 2016 MUDA: SAA 2 1/2

1. UFAHAMU (Alama 15) Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali.

KUKITHIRI kwa visa vya utoaji wa hongo kwa wapiga kura walioshiriki chaguzi ndogo zilizofanyika Jumatatu katika eneobunge la Malindi na Kaunti ya Kericho ni ithibati tosha kuwa ufisadi ume-kita mizizi nchini.

Kadhalika, visa hivyo vilidhihirisha kuwa demokrasia imedidimia na taasisi za kupambana na visa vya ufisadi zimefifia. Mwezi uliopita, Wakenya kupitia mitandao ya kijamii walishtumu Rais wa Uganda Yoweri Museveni kutokana na kile walichotaja kuwa matumizi

ya ‗mabavu‘ kuhifadhi kiti chake baada ya kuwatishia wapinzani wake. Watumiaji wa mitandao ya kijamii pia walimkosoa Rais Uhuru Kenyatta kwa kumpongeza mwenzake wa Uganda huku wakisema aliunga mkono

ukandamizaji wa demokrasia. Lakini, visa vya uhongaji wa wapiga kura vilivyoshuhudiwa katika maeneo ya Malindi na Kericho vikitekelezwa na viongozi wa kisiasa hata wengine

wakiwa wa muungano tawala wa Jubilee, ni dhihirisho tosha kuwa Wakenya hawakuwa na sababu ya kushutumu Rais Museveni. Utumiaji wa mabavu au kununua wapiga kura ili kushinda uchaguzi ni hujuma kwa demokrasia. Baadhi ya wanasiasa pia wameripotiwa kuwa

wanatumia fedha zao kusafirisha watu kutoka eneo moja hadi jingine ili wajiandikishe kuwa wapiga kura na wawachague katika uchaguzi ujao. Huu pia ni ukiukaji wa misingi ya demokrasia.

Ununuaji wa wapiga kura unamaanisha mabwanyenye ambao wamehusishwa na sakata mbalimbali za ufisadi ndio wataendelea kushikilia nyadhifa mbalimbali za uongozi kwa kuwa wao ndio wana mabunda ya fedha za kuhonga wapiga kura.

Viongozi wanaochaguliwa baada ya kuwahonga wapiga kura hawatafanya maendeleo yoyote na badala yake, watakuwa wakihusika na wizi wa rasilimali za umma ili kupata fedha za kuwahonga watu katika uchaguzi unaofuatia. Mabwanyenye hawa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha wapiga kura wanaendelea kuzama katika lindi la umaskini ili waweze kununuliwa kwa urahisi. Sawa na Esau tuliyeelezwa katika Biblia kwamba aliuza urithi wake wa kuzaliwa kwa Yakobo kwa kubadilishana na chakula, maskini pia wako tayari kuuza haki yao ya kuchagua kiongozi bora kwa shilingi mia moja.

Viongozi wanaotoa hongo kwa wapiga kura kwa lengo la kushinda uchaguzi ni ishara kwamba hawana maono wala sera za mandeleo. Badala yake wanang‘ang‘ania mamlaka ili kujilimbikizia utajiri wala si kusaidia mpiga kura kujiinua kimaisha. (Taifa leo. Machi 10, 2016)

Maswali a) Kwa kurejelea kifungu, visa vya kutoa rushwa kwa wapiga kura vinadhihirisha nini? (Alama 3)b) Bainisha jinsi nne ambazo viongozi wa kisiasa wanatumia kuendeleza ukiukaji wa misingi ya demokrasia (Alama 4)c) Fafanua athari za uozo unaorejelewa katika taarifa kwa

(i) Viongozi (Alama 2)(ii) Raia (Alama 2)

d) Thibitisha kuwa nyani haoni ngokoye katika muktadha wa makala haya (Alama 2)e) Eleza maana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumika katika taarifa (Alama 2)

(i) Mitandao ya kijamii(ii) Mabwanyenye

Top grade predictor publishers Page | 18

Page 19: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

2. Ufupisho (alama 15)

Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali.

Tangu miaka ya uhuru, serikali za Afrika zimekuwa zikikariri kwa dhati na hata kula viapo vya kulinda na kutetea haki za raia wao kama zilivyoainishwa kwenye katiba. Kadiri miaka inavyozidi na ulevi wa mamlaka kuchukua nafasi katika nafsi za viongozi hao, kiapo chao huishia kuapuliwa katika muda wa kupepesa macho. Ikasalia hali ya maskini pita chini miye mwenye nazo nipite juu. Katika hali kama hii, wanaoishia kuumia aghalabu ni watoto.

Kwa miaka mingi, mtoto wa Afrika amekuwa akiteseka na kusalitika katika dunia hii ya mwenye nguvu mpishe, hasa akiwa anatoka katika familia maskini na jamii isiyothamini utu. Si ajabu kupata mtoto wa Afrika akiishi katika mabanda yaliyo kando ya machimbo katika migodi akitumikishwa katika machimbo hayo. Katika hali kama hizi, siku nenda rudi, utawapata watoto wamevalia matambara, miguu imeparara na midomo kuwakauka huku vichwani wakiwa wamebeba karai za madini kutoka machimboni. Na mchakato wote wa kutafuta madini hayo unawashirikisha watoto, isipokuwa kupokea pesa, ambao hufanywa na mabwanyenye wanaoishia kuwapa (au hata kuwanyima) watoto wale malipo duni au badala yake wakawalipa wazazi wa watoto hao.

Hali huwa sawa na hiyo katika maeneo ambayo shughuli za uvuvi hutekelezwa. Watoto wengihuingizwa katika ‗biashara‘ ya samaki kwa kisingizio cha kuwapa namna ya kujitegemea katika siku za usoni. Ajabu ni kwamba, mwisho wao huwa papo hapo uvuvini.

Kinachosikitisha sana ni udhalimu ambao umekuwa ukitekelezwa na kundi la watu ambao wanafaa- kwa msingi wa kazi zao- kuwalinda watoto hao na kuwaelekeza katika masuala ya maisha. Je, ni kwa nini mtu mwenye akili zake timamu, ambaye tayari alikwishamaliza masomo na hata kupata kazi, amtunge mimba mwanafunzi na kumzimia ndoto yake maishani? Kwa nini mtoto kama huyo abebeshwe mzigo wa uzazi badala ya kumsaidia na kumtua (au kuwatua wazazi wake) mzigo wa elimu kwa kumpa vifaa vya elimu au kumlipia karo? Pigo kuu huwa pale mtoto kama huyo ni yatima na ndiye anayetegemewa na mhisani wake kuja kuwaauni ndugu zake, kama anao. Jamani, ubinadamu umeenda wapi?

Sikitiko jingine ni pale watoto wanatekwa nyara na kutumikishwa vitani kupigana na mibabe wa kivita. Hii, bila shaka, ni dhuluma ya hali ya juu kwa watoto na ukiukaji mkubwa wa haki zao. Hebu niambie, mtoto mwenye uzani wa chini ya kilo arubaini kuvalishwa sare nzito za kijeshi na kubebeshwa bunduki au hata makombora ambayo yamewazidi uzani. Unyama ulioje huu?

Pamoja na hayo, licha ya serikali za Afrika kuahidi mara kwa mara kwa vinywa vipana kuwa watalinda haki za kimsingi za kila mtoto katika himaya zao ambayo ni kuhakikisha wanapata lishe bora, wanaishi katika mazingira safi, wanapata elimu bora ya msingi na kupata tiba mwafaka - mamilioni ya watoto barani Afrika bado hawaendi shule kwa sababu ya changamoto mbalimbali. Aidha, wengine lukuki huaga kila mwaka kutokana na utapiamlo na ukosefu wa chakula. Dhana kuwa maradhi sugu yameangamizwa ni ya kupotosha kwani kila mwaka, maelfu ya watoto huaga kutokana na maradhi ya kuambukiza au yale yanayoweza kuzuiliwa au kutibiwa, kama malaria. Mamilioni ya wengine wangali wanaishi katika mitaa ya mabanda na hata kukosa huduma za kimsingi kama maji safi ya matumizi.

Kwa kuwa changamoto hukabiliwa na changamoto, hakuna siku ambapo viongozi wataweza kumaliza utepetevu huu kimiujiza. Muhimu ni kwa kila kiongozi kuitazama jamii yake kwa jicho la ndani na kuweka mikakati ya namna bora ya kuikomboa kutoka katika rima la umaskini, magonjwa na ujinga. Hili litawezekana tu kwa kuwaona watu wote kuwa na umuhimu katika kuibadilisha jamii wala si kubagua kundi au jamii fulani na kuipendelea nyingine.

a) Fafanua changamoto zinazomkabili mtoto wa Afrika kwa maneno 80. (Alama 7, 1 ya utiririko)b) Bainisha mielekeo ambayo viongozi wa Afrika hukazania kuzingatia (maneno 65) (Alama 8, 1 ya utiririko)3. Matumizi ya lugha: (Alama 40)a) (i) Taja na utofautishe sauti mwambatano za menoni.

(ii) Andika neno lenye mfumo ufuatao wa vitamkwa. Nazali ya ufizi + kipasuo cha kaakaa gumu + irabu ya juu nyuma +kizuiwa ghuna cha kaakaa laini + irabu ya chini wastani. (Alama 1)

b) i) Eleza maana ya kiambishi (Alama 1)ii) Tumia ‗ki‘ katika sentensi kuonyesha hali ya kuendelea kwa kitendo kwa muda (Alama 1)

c) Onyesha muundo wa silabi katika neno wachanjwao (Alama 1)d) Ainisha maneno katika sentensi ifuatayo:-

Shehena ya dawa ilikuwa bandarini (Alama 1)e) Tumia mzizi- enye katika sentensi kama kihusishi (Alama 1)f) Sahihisha sentensi hii.

Wasichana mabinti mapacha waliozeshwa mume mmoja (Alama 1)g) Ainisha virai katika sentensi ifuatayo.

Amenijibu kwa hasira (Alama 2)h) Unda nomino moja kutokana na nomino zozote mbili za Kiswahili sanifu (Alama 2)i) Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha jedwali:

Ule mkongojo ulioletewa babu utauzwa na fundi maarufu. (Alama 3)j) Kamilisha sentensi ifuatayo kwa kielezi cha namna kiigizi. (Alama 1)

Sauti ya waimbaji haikusikika ilikuwa imedidimia ______________wageni walipofika jukwaani.k) Andika visawe viwili vya nahau:

Fanya inda (Alama 2)l) Tunga sentensi mbili tofauti kudhihirisha kuwa neno ‗bunda‘ ni kitawe. (Alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 19

Page 20: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

m) (i) Akifisha sentensi ifuatayo kuonyesha usemi halisi:Mosi atakuja kesho(ii) Onyesha jinsi moja ya matumizi ya alama za dukuduku n)

Changanua vipashio vya kisarufi katika kiarifa cha sentensi ifuatayo.Hawa ndio waliopigana

o) Nomino zifuatazo zimo katika ngeli gani?(i)Siwa (ii)Kipunye

p) Andika sentensi ifuatayo upya ukitumia neno badala ya ‗ki‘ ya masharti.Ukifika mapema utampata.

q) Bainisha viwakilishi nafsi katika sentensi ifuatayo:Mimi ninataka kumwona mwanariadha aliyepata nishani ya dhahabu.

r) Eleza maana mbili za sentensi:Mali atawaalika wengine.

s) Geuza sentensi ifuatayo katika kauli ya kutendata:Miyaa maridadi ilisukwa na msusi stadi.

t) Kanusha sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea.Amekuja hapa(ii) Andika kwa msemo halisi:

Tajiri alishangaa kuwa niliweza kuubeba mzigo huo peke yangu. v) Unganisha sentensi zifuatazo kwa kugeuza moja kuwa kishazi tegemezi

i) Majisifu aliingia ukumbiniii) Sote tulisimama

w) Andika sentensi ifuatayo upya kwa kufuata maagizo.Mama anapika kutwa kwa sababu ya wageni (Tilia mkazo kwa kinyume) x)

Tunga sentensi na ubainishe namna mbili za uamilifu wa kundi nominoy) Andika methali inayoafiki maelezo:

Hakuna chema kisichokuwa na madhara.4. Isimujamii (Alama 10)a) Eleza sababu nne zinazowafanya vijana kupenda kutumia sheng‘ katikab) Fafanua jinsi mambo hafuatayo huweza kusababisha kutoweka kwa lugha:

i) Vitaii) Ndoa za mseto

c) Huku ukitoa mifano, bainisha mbinu mbili zinazotumiwa kuunda istilahi

(Alama 1)

(Alama 1)

(Alama 2)(Alama 1)

(Alama 1)

(Alama 2)

(Alama 2)

(Alama 1)

(Alama 2)

(Alama 1)(Alama 1)

(Alama 2)

(Alama 4)

mawasiliano yao. (Alama 4)

(Alama 2)(Alama 2)

mpya katika jamii ya leo (Alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 20

Page 21: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA KUWED - 2016. (Cheti cha kuhitimu Elimu ya Sekondari (K.C.S.E)

102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI/AGOSTI- 2016 MUDA: SAA 2 1/2 SEHEMU YA A: USHAIRI

Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali ,

Angawa mdogo, dagaa, amekomaa Kaanga kidogo, dagaa, atakufaa Kalia kinaya, dagaa h‘ondoa njaa

Wa kwako udogo, kijana, sio balaa Na sio mzigo, kijana bado wafaa Toka kwa mtego, kijana sinyanyapaa

Nasaha kidogo, kijana, ukubwa jaa Jikaze kimbogo, kijana, acha kukaa Chimbua mhogo, kijana, usibung‘aa

Na wake udogo, dagaa, ndani hukaa, Kuliko vigogo, dagaa, hajaambaa Hapati kipigo, dagaa hana fazaa

Maisha si mwigo, kijana, ushike taa Sihofu magego, kijana, nawe wafaa Kazana kidogo, kijana, kugaagaa

Maswalia) Lipe shairi hili anwani mwafakab) Eleza arudhi zilizofuatwa katika kutunga shairi hili c) Onyesha jinsi malenga alivyotumia uhuru wake d) Tambua bahari katika shairi hilie) Andika ubeti wa tatu kwa lugha ya natharif) Tambua mbinu za lugha zilizotumika katika shairi g) Eleza toni la shairi hili

SEHEMU YA B: TAMTHILIAMSTAHIKI MEYA: TIMOTHY AREGE.Jibu swali la 2 au 3

2. ―Hadi sasa sijaelewa kwa nini hakujitokeza kueleza hali ilivyo...a) Eleza muktadha wa dondoo hili.

(Alama 2)(Alama 4)(Alama 3)(Alama 3)(Alama 4)(Alama 2)(Alama 2)

..Huenda hii ni dalili za...............‖(Alama 4)

b) Fafanua masuala matano yanayofaa kuelezewa kuhusu hali inayorejelewa. (Alama 10)c) Eleza umuhimu wa anayerejelewa (Alama 4)d) Bainisha matumizi ya tamathali moja katika dondoo (Alama 2)

3. Kwa kurejelea tamthilia ya Mstahiki Meya, fafanua vichocheo vya migogoro katika jamii ya Cheneo (Alama 20)

SEHEMU YA C: RIWAYAKIDAGAA KIMEMWOZEA - KEN WALIBORAJibu swali la 4 au 5

4. ― .... . ...wanaume wangewastahi wanawake kidogo,... .dunia ingekuwa pahala pema zaidi pa kuishi.a) Weka dondoo hili katika muktadha wake. (Alama 4)b) Kwa kurejelea wahusika wanne, onyesha jinsi Mtemi Nasaba Bora anavyochangia kumkandamiza mwanamke

(Alama 16) 5. Riwaya ya kidagaa kimemwozea inaonyesha jitihada za vijana kujenga jamii mpya. Thibitisha kwa kutoa mifano

(Alama 20)

Top grade predictor publishers Page | 21

Page 22: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

SEHEMU YA D: HADITHI FUPI DAMU NYEUSI NA HADITHI NYINGINE Jibu swali la 6 au 7.

6. ―Sisi kama wazazi..... . ...hukabiliana na mengi............mara nyingi tabia zao hutupiga chenga... ..‖a) Weka dondoo hili katika muktadha wake (Alama 4)b) Dhihirisha mbinu NNE za lugha zinazojitokeza katika dondoo hili (Alama 4)c) Jadili yaliyomsibu mrejelewa. (Alama 12)

7. a) Jadili matatizo KUMI ya kijamii ukirejelea hadithi ―Mwana wa Darubini (Alama 10)b) Thibitisha jinsi anwani ―Damu Nyeusi‖ inaafiki yaliyomo katika hadithi (Alama 10)

SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZI

8 a) Ni nini maana ya Ulumbi (Alama 2)b) Eleza sifa za mtendaji katika ulumbi (Alama 8)c) Ngomezi zina majukumu yapi katika jamii yako? (Alama 8)d) Toa mifano miwili ya ngomezi katika jamii yako (Alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 22

Page 23: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA KUWED - 2016. KISWAHILI INSHA KARATASI YA I MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Hii ni barua rasmi. Ihusishe mambo yafuatayo: a) Iwe na anwani mbili: Ya mwandishi na ya mwandikiwa. b) Tarehe chini ya anwani ya mwandishi. c) Mtajo: Kwa mhariri, d) Kichwa: MINTI: YAH: KUH: e) Mwili/Kiini /maudhui f) Hitimisho: Wako mwaminifu, sahihi na Jina.

Usahihishaji ulenge masuala muhimu yafuatayo: a) Muundo /sura ya barua rasmi: i) Anwani mbiliii) Tareheiii) Mtajoiv) Kichwav) Mwilivi) Hitimishob) Maudhui; yaliyomo, majibu ya swali. Yafuatayo yanaweza kushughulikiwa kwa ufafanuzi.i) Kubuni na kutoa ajira kwa vijana waliohitimu vyuoii) Kuimarisha miundo msingi nyanjani.iii) Kuwapa fedha za matumizi ya mwezi wazee wakongwe (miaka 65 kuendelea)iv) Kupunguza gharama ya maisha bei ya bidhaa ya kimsingi.v) Kutoa pembejeo kwa bei nafuu ili kuimarisha kilimo nyanjani.vi) Kupunguza ushuru unaotozwa kwa vyakula na bidhaa zingine za nyumbani.

Maudhui matano yanaweza kushughulikiwa kikamilifu.c) Urefui) Insha kamili lazima ifikishe urefu wa maneno 400.ii) Urefu wa insha ukadiriwe ifuatavyo:

Kamili: maneno 375 na kwendelea Robo tatu : maneno 275 hadi 374 Nusu: Maneno 175 hadi 274 Robo: Maneno hadi 174

iii) Insha ya urefu kamili ikadiriwe juu ya 20 kwa kuzingatia vigezo vingine vyote vya utahini wa insha.iv) Insha ya urefu robo tatu ikadiriwe juu ya 15 kwa kuzingatia vigezo vingine vyote ya utahiri wa insha.v) Insha ya urefu nusu ikadiriwe juu ya 10 kwa kuzingatia vigezo vingine vyote vya utahini wa insha.vi) Insha ya urefu wa Robo isipite alama 5 baada ya kuishughulikia kwa vitahiniwa vyote vya utuzaji wa insha.d) Sarufi.

Sarufi inahusu masuala yafuatayo:i) Uakifishaji, hijai na usanifu wa sarufi.ii) Miundo ya sentensi mbalimbali.iii) Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi.iv) Msamiati, tanakali za sauti, tamathali za usemi, methali, misimuv) Hati na mtindo.

Tanbihi:Usahihishaji wa insha uzingatie mwongozo wa kudumu wa utahini wa insha: KNEC 2011.

2. Hii ni insha ya mjadala wazi.a) Mtahiniwa anaweza kuchukuwa mkondo wowote kati ya hii mitatu.i) Akubaliane na usemi huo, hivyo ashughulikie athari mbaya pekee za utandawazi kwa vijana. Hapa ashughulikie kwa kina

hoja tano.ii) Apinge usemi huo; hivyo ashughulikie athari nzuri- manufaa ya utandawazi katika maisha ya vijana. Lazima ashughulikie

hoja zisizopungua tano.iii) Ashughulike pande zote mbili; atoe hoja na kutetea uzuri wa utandawazi na hoja za kutetea ubaya wa utandawazi, kisha atoea

msimano wake kulingana na uzito wa hoja.iv)b) Hoja zifuatazo zinaweza kushughulikiwa:i) Mkengeuko wa maadili.ii) Mataifa makubwa/ yaliyoendelea kutawala machanga, hivyo kudunisha maisha ya vijana wake.iii) Mataifa makubwa kuyanyonya na kuyafyonza mataifa machanga hivyo kusababisha umasikini miongoni mwa vijana.iv) Kurahisisha mawasiliano kati ya mataifa mbalimbali hivyo kuimarisha biashara miongoni mwa vijanav) Kurahisisha usafirishaji wa watu, bidhaa na habari kati ya vijana kutoka mataifa mbalimbali.vi) Kupanuka kwa fursa za ajira miongoni mwa vijana

Top grade predictor publishers Page | 23

Page 24: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

vii) Kusababisha kuenea kwa kasi mabadiliko ya kila aina ulimwenguni kama vile kiuchumi, kisiasa na kijamii. viii) Kupujua tamaduni za kiafrika miongoni mwa vijana. ix) Kuathiri mahusiano kati ya jamaa na marafiki. x) Umeeneza ubinafsi miongoni mwa wanajamii hususan vijana c) Mtahiniwa ajadili hoja zake kikamilifu kiaya kwa kutoa mifano.

3. Hii ni insha ya methali. Mtahiniwa abuni kisa kinachoafiki maana ya methali.

a) Pande zote mbili za methali zishughulikiwe kikamilifu. b) Methali aliyopewa inaweza kuwa kichwa/anwani ya insha ya mtahiniwa. c) Si lazima mtahiniwa atoe maana ya methali na matumizi yake. 4. Hii ni insha ya mdokezo tamati.a) Mtahiniwa ahitimishe insha yake kwa maneno aliyopewa bila kuzidisha wala kupunguza.b) Mtahiniwa abuni kisa kitakachooana na hitimisho alilopewa.c) Anaweza kutumia mbinu rejeshi ili kuvyaza kisa kitakachoafikiana na hitimisho alilopewa

Top grade predictor publishers Page | 24

Page 25: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA KUWED - 2016 KISWAHILI INSHA KARATASI YA 2 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA Ufahamu

a) i) Ufisadi umekita mizizi nchini.ii) Demokrasia imedidimia/ukandamizaji wa demokrasia/hujuma kwa demokrasia.iii) Taasisi za kupambana na visa vya ufisadi zimefifia. Za kwanza 3 x 1 = 3

b) i) Kutoa hongo kwa wapiga kura/kununua wapiga kura.ii) Matumizi ya mabavu. iii) Kuwatishia wapinzani. iv) Kuunga mkono ukandamizaji wa demokrasia v) Kusafirisha watu kutoka eneo moja hadi jingine ili wajiandikishe kuwa wapiga kura na wawachague katika uchaguzi.

Za kwanza 4 x 1 = 4 c) i) Viongozi

1. Kushinda uchaguzi /mabwanyenye fisadi wataendelea kushikilia nyadhifa za uongozi2. Ukosefu wa maono na sera za maendeleo/ukosefu wa maendeleo.3. i)Kujiinua kimaisha /kujilimbikiza mali (utajiri/ wizi wa rasilimali za umma? Zozote 2x 1 = 2

ii) Raia/ wapiga kura.1. Kuendelea kuzama katika lindi la umaskini.2. Kuuza haki yao ya kuchagua viongozi bora. 2x 1 = 2

d) Wakenya walimshutumu Rais Museveni kwa kung‘ang‘ania mamlaka ilhali visa vya uhongaji wa wapiga kura vilishuhudiwaMalindi na Kericho vikitekelezwa na viongozi wa kisiasa baadhi wakiwa katika muungano tawala. 2x 1 = 2

e) i) Mitandao ya kijamii.Mifano ya mawasiliano inayounganisha ulimwengu kwa matumizi ya rununu au tarakilishi. 1x 1 = 1

ii) MabwanyenyeMatajiri/ walonavyo/ walalaheri, makabaila, mamwinyi watu wenye mali nyingi. 1x 1 = 1

2. Ufupishoa)

i) Mtoto anaishi katika mabanda.ii) Anatumikishwa katika machimbo/vichwani wanabeba karai za madini.iii) Anavalia matambara.iv) Miguu inaparara na midomo kukauka.v) Kupewa au kunyimwa malipo duni.vi) Mtoto huingizwa katika biashara ya samaki.vii) Anatungwa mimba na kuzimiwa ndoto maishani /kubebeshwa mzigo wa uzaziviii) Anatekwa nyara.ix) Kutumikishwa vitani kupigana na mibabe ya vita kuvalishwa sare nzito na kubebeshwa bunduki au makombora

yaliyowazidi uzani.x) Haendi shulexi) Huaga kwa utapiamlo, ukosefu wa chakula na maradhi.xii) Kukosa huduma za kimsingi kama maji.

b)i) Kukariri na kula viapo vya kulinda na kutetea haki za raia zilivyoainishwa kwenye katiba .ii) Hali ya maskini pita chini na mwenye nazo nipite juu/mwenye nguvu mpishe.iii) Kusaliti mtoto/kuwalipa watoto malipo duniiv) Kusingizia kuwapa watoto namna ya kujitegemea siku za usoni.v) Kuwalinda watoto na kuwaelekeza katika masuala ya maisha.vi) Kuahidi kuwa watalinda haki za kimsingi za kila mtoto.vii) Maradhi sugu yameangamizwa.viii) Kumaliza utepetevu.ix) Kuweka mikakati bora ya kuikomboa jamii.

a- 6 ( 12 x /2)1

b - 7 ut - 2 15 - hs - z

Adhabu : Makosa ya hijai 6 x ½ = 3 Makosa ya sarufi 6 x ½ = 3 Maneno ya ziada:10 ya kwanza = 1 Kila 5 yanayofuata = ½

Top grade predictor publishers Page | 25

Page 26: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

3. Matumizi ya lugha.a) i) /dh/- sauti ghuna/nzito/huwa na msepetuko katika mjuzi za sauti/hutikisa nyuzi za sauti inapotamkwa. /th/ Sauti sighuna

/hafifu /haina msepetuko katika nyuzi za sauti /haitikizi nyuzi za sauti inapotamkwa.

Kutaja - ½ x 2 = 1 Tofauti 1 x 1 = 1

ii) Njuga 1/0b)

i) Sehemu ya kiungo/kipashio cha neno yenye maana ya kisarufi ambayo huambatishwa kwenye mzizi wa neno ili kulipaneno hilo maana mbalimbali.

ii) Kipande cha neno aghalabu huwa silabi kinachoambatishwa kwenye mzizi wa neno na kuunda neno jipya.iii) Umbo linaloambikwa kwenye mzizi wa neno ili kulipa neno hilo maana ya ziada.iv) Mofimu inayowekwa kwenye mzizi wa neno ili kuwasilisha maana tofauti za kisarufi.ii Wamekuwa wakiimba tangu asubuhi tanbihi: Viambishi me + ki viambatane.

c) Wa - cha - njwa - 1/0

Ki ki kkki -2/0

d)Shehena ya dawa ilikuwa BandariniNomino ya jamii Kihusishi Nomino ya Kitenzi kishirikishi Kielezi cha mahali

(N) (H) kawaida kikamilifu (E)(N) t

Au

Shehena ya dawa Ilikuwa bandariniNomino ya jamii (N) Kitenzi kishirikishi Kielezi cha

kikamilifu mahali (E)(t)

e) Alikaa kwenye meza 1/0f) Wasichana pacha waliozwa mume mmoja Binti pacha waliozwa mume mmoja. Pacha waliozwa mume mmoja. 1/0g) i) Kirai - tenzi (Amemjibu kwa hasira) 1

ii) Kirai - husishi (kwa hasira) 1h) Ngurukazi Askarijeshi

MwanadamuJopokazi 1/0Mwanahewa MwanasheriaMwananchi

(i)S

KN KTV N√ J T H KN

N VUle mkongojo Ulioletewa babu utauzwa Na Fundi maarufu

¼ x 12 = 3j) dididik) i) Kuwa joka la mdimu 1

ii) Fanya unyambi 1l) Sentensi idhihirishe maana zifuatazo:

i) Furushi/fungu la kituBunda la noti lilipatikana kitandani 1

ii) Shindwa mtihaniWanafunzi wengi walibunda mitihani 1

m) Mosi : Atakuja kesho 1/0ii) a) Kukatiza usemi /uneni/kalima, kigugumizi

Anafundisha somo la (Vitone vitatu)b) Unukuzi wa usemi /maandishi ya mwingine

―.nilipiga darubini nyuma huko mambo yalianza.‖n)

Wa li o pig an aNafsi Wakati uliopita Kirejeshi/yambwa Mzizi wa Kauli mnya- Kiishio /kimalizio

tendwa/sh-amirisho kitenzi mbuliko1/3 x 6 = 2

Top grade predictor publishers Page | 26

Page 27: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

o) (i) Siwa LI- YA 1/0ii) Kipunye- A - WA 1/0

p) Ikiwa utafika mapema utanipata Iwapo Lau Pindi Endapo

Kama Taraa, ilimradi, falau, falaula

q) Mimi ni na taka kumwona mwanariadh a li yepata

nafsi nafsi nafsi wakati o-rejeshitegemezi tegemezi uliopita ½ x 4 = 2

Nishani ya dhahabu r) i) Ataalika watu zaidi.

ii) Ataalika watu badala ya hawa.iii) Ataalika baadhi ya watu 2 x 1 =2

s) Msusi stadi alisokota miyaa maridadit) Huwa haji hapa 2/0

√ √ √ √u) ―√ Lo! Uliweza kuubeba mzigo huu peke

yako?‖ Tajiri alishangaa.Au√ √ √ √ √ √

1. ―U liweza kuubeba mzigo huu peke yako!‖ Tajiri alishangaa2. Tajiri alishangaa3. ¼ x 8 = 24. v) Majisifu alipoingia ukumbini, sote tulisimama.5. Au6. Sote tuliposimama, Majisifu aliingia ukumbini. 1/07. w) Mama anapika akipakua (na kupakua) kutwa kucha kwa sababu ya wageni ½ x 2 = 1x) Mwalimu huyo amefanya kazi.

Kiima yambwa/shamirisho(mtenda) au kitendwa/kitendwa/ kitumizi ½ x 4 = 2

Sisi wenyewe tuliwachagua viongozi Kiima yambwa/shamirisho

y) Hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Hakuna mchele usiokuwa na ndume. Yote yang‘aayo si dhahabu. Uzuri wa mkakasi, ndani kipande cha mti

4. Isimujamii (Alama 10)a) Sababu za vijana kupenda kutumia sheng‘ i) Athari ya mazingira /wenzao. ii) Kujinasibisha na kundi Fulani iii) Kuhifadhi siri/ukweli Fulani ili kutenga wengine. iv) Kuiga mitindo mipya ya matumizi ya lugha katika muziki wa kisasa na vyombo vya habari /athari ya vyombo vya habari na

muziki wa kisasa. v) Kukwepa masharti (kanuni/ kaida za matumizi ya lugha rasmi/sarufu inayotatiza wengi. vi) Uraibu wa vijana /kuonyesha wamechanuka kimawazo. vii) Kurithishwa na wazazi. viii) Ukosefu wa ufasaha wa lugha. ix) Kufahamu lugha zaidi ya moja Za kwanza 4 x 1 = 4b) Jinsi mambo yafuatayo yanayosabibisha kutoweka /kufa kwa lugha.i) Vita1. Kuangamia /kufa kwa wazungumzaji hupunguza idadi ya watumiajiu lugha.2. Kuzalisha lugha wanapokuwa vitani.3. Kumezwa kwa lugha ya waliovamiwa na kutekwa nyara.4. Vita husababisha uhamaji / ukimbizi wa watu kutoka sehemu moja hadi nyingine wahusika wakasahau lugha asiha/mazingira

mageni. Zozote 2 x 1 = 2

Top grade predictor publishers Page | 27

Page 28: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

ii) Ndoa za mseto 1. Watoto hujifunza lugha moja au nyingine au kuzalisha lugha yao.2. Mke au mume hulazimika kujifunza lugha ya pili akazungumza lugha ya mwenzake.c) Mbinu zinazotumika kuunda istilahi mpya katika jamii ya leo. i) Ukopaji /utohozi/uswahilishaji wa maneno kutoka lugha nyingine- chaja, televisheni. ii) Mikato ya maneno kuunganisha vifupisho vya maneno ya Kiswahili/akronimu- Ukimwi, Runinga, chajio tarkilishi teknohama iii) Kuunganisha maneno kuunda nomino- ambata shikamoo, mwanadamu, nguvukazi iv) Uradidi/takriri ya neno- sawasawa kizunguzungu, tangatanga, wasiwasi v) Uambishaji/unyambulishi

Piga - pigo Uma- Umia, umiza, umio Teua- Mteule, uteule, uteuzi

vi) Ubunaji/ uvumbuzi wa msamiati wa kiteknolojia- kikokotoo, kiotomotela, afyuni vii) Kusanifisha/kuidhinisha /musimu- matatu viii) Tafsiri sisisi- mama /baba sukari (sugar mummy/daddy)

Tanbihi: Mtahiniwa atoe mfano ili atuzwe alama. Zozote 2 x 1 = 2

Top grade predictor publishers Page | 28

Page 29: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA KUWED - 2016. KISWAHILI INSHA KARATASI YA 3 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. a) Dagaa au kijana (1 x 2)b) Kuna urari wa vina\- Lina beti tano.- Mishororo mitatu katika kila ubeti.- Lina vipande vitatu katika kila mshororo.- Mizani 6 kwa 3 kwa tano katika kila mshororo (4 x 1)c) Lahaja - Magego

Inkisari - (nawe na wewe)- huondoa ) (huondoa)- sinyanyapaa (usinyanyape)- Sihofu (usihofu

Kuboronga sarufi- Na wake udogo- na udogo wake)Tabdila- sinyanyapaa (sinyanyapae) (3 x 1)Usibung‘aa (usibung‘ae)

d) Ukara- vina vya utao na ukwapi havitiririki.Ukawafi - vipande vitatu katika kila mshororo.Tathlitha- mishoro mitatu katika kila ubeti.

e) Kijana nakupa mawaidha ya kwamba aliye cheoni huhusishwa na makosa yote kawa hivyo tia bidii afanyavyo mbogouache kukaa. Chimbua mihogo utafute riziki. (4 x 1)

f) Istiari /jazanda- jikaze kimbogoMethali- Ukubwa jaaNahau- shika taa (kuwa mwangaza)

g) Toni ya matumainiToni ya kuhimizaToni ya kuonya 2 x 1= 2

2 a) Msemaji na siki.Anamwambia WaridiWakiwa zahanatini/ hospitalini.Siki anamrejelea Bwana uchumi na kazi/diwani III/ Kheri kwa kutojitokeza kueleza hali ilivyo kuhusiana na dawa badalaya meya. 4 x 1 = 4

b)i) Ukosefu wa dawa zahanatini.ii) Hali ngumu ya maisha inayowakabili wanacheneoiii) Mishahara duni kwa wafanyakazi.iv) Kucheleweshwa kwa mishahara.v) Mishahara ikilipwa ni nusunusu.vi) Madiwani kutotozwa kodivii) Ukosefu wa maji. viii) Upungufu wa chakula/njaa\ ix) Mazingira machafu x) Idadi ya wagonjwa kuongezeka. xi) Ukosefu wa vifaa vya kazi kwa mfano glavu. 5 x 2 = 10c)i) Kielelezo cha uzalendo thabiti.ii) Mfano wa viongozi wenye maono.iii) Anawakilisha viongozi waadilifuiv) Kielelezo cha ukomboziv) Anasimamia ukweli katika jamii. 4 x 1 = 4d) Methali- Dalili za mvua ni mawingu 1 x 2 = 2

3. i) Ushauri mbayaii) Tamaa ya Meya na Madiwani. iii) Ubinafsi miongoni mwa madiwani. iv) Matumizi mabaya ya vyombo vya dola. v) Sheria mbovu /kandamizi- katiba mbaya. vi) Uwezo mkubwa wa Meya -Mayors Act. vii) Ujinga miongoni mwa raia/ wapiga kura. viii) Unafiki miongoni mwa viongozi- mhubiri. ix) Utoaji wa zabuni/kandarasi, kwakutofuata kanuni za baraza. x) Mitazamo hasi-Meya na Siki. xi) Ukosefu wa dawa- Waridi na Siki. (zozote 10 x 2= 20)

Top grade predictor publishers Page | 29

Page 30: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

4. a) Mawazo √ yanapatikana akilini mwa Bi. Zuhura√ akiwa nyumbani kwake√ alikuwa akimwazia mumewe Mtemi Nasaba Bora ambaye hurudi nyumbani usiku wa manane baada ya kutafunwa na ukiwa na jakamoyo√

b) Bi Zuhura.√ Anamwacha na kwenda kushiriki mapenzi na Lowela.√ Anamtusi akimwita jamvi la wageni.√ Anamtaliki kwa kumtuhumu.√ Anapuuza ushauri wa zuhura kumtibu DJ.√ Anarudi nyumbani usiku.√ Anaishi kwa upweke.√ Anasababisha utengano kati ya Zuhura na watoto wake.√ Anasababisha utengano kati ya Zuhura na watoto wake.√ Anamwuliza kwa ukali kuhusu kitoto alichomkuta Zuhura amebeba mkononi.

Mhusika √ 1 hoja 3Lowela.

√ Anahusiana kimapenzi na Lowela akiwa mdogo.√ Anamkatiza masomo.√ Anampachika mimba.√ Anamtenganisha na kitoto chake.√ Anamficha katika shamba la Baraka.√ Anamtenganisha na aila yake.

Mhusika 1 Hoja 3Imani

√ Anamfungia Imani na Amani kwa madai wamekiua kitoto uhuru kilichokufa kwa kichomi.√ Anatuma watu /askari kuteketeza nyumba yao.√ Anamfananisha na Tamari aliyefanya uzinzi na Anoni.

Mhusika √ hoja 3Mashaka

√ Anamtenga na ulimwengu wa nje.√ Anampa uchungu kwa kuchangia kuvunjika kwa uchumba wake na Benbella.√ Anamsababisha kukatiza masomo.√ Anamsababisha kuwehuka /kuwa wazimu

Mhusika √ 1 hoja 35.√ Madhubuti anachagua kujitafutia kazi badala ya ile babake alimtafutia jeshini.√ Imani alikunywa maji ya Mto kiberenge na kuvunja mwiko uliokuwepo.√ Imani aliwalea watoto walemavu wa Dora na Majisifu.√ Amani aligawa shamba lao kwa watu wengi.√ Amani na Imani walilea kitoto uhuru badala ya kukitupa.√ Amani anamwokoa Mtemi Nasaba Bora hata baada ya Mtemi Nasaba Bora kumpiga na kumtupa.√ Amani na Madhubuti walishirikiana kutafuta ushahidi uliofanya Yusufu aachiliwe.√ Amani alikataa kuchukua uongozi baada ya Mtemi Nasaba Bora kuondoka.√ Dj aliwasaidia Amani na Imani kupta kazi walipoenda Sokomoko.√ Madhubuti na Amani walishirikiana kuleta mabadiliko.√ Amani anamsahemehe Majisifu aliyeiba mswada wake.√ Amani anaamua kujenga nyumba yake mwenyewe.

(zozote 10 x 2)6. a) Msemaji Bi Margaret √

Wasemewa Wazazi wa Sela (Mzee Butali na Mama Sela) √Mahali Ofisini kwa Bi. Margaret √Kiini Bi. Margaret alikuwa amewaita wazazi wa Sela ili kuwajuza kuhusu hali yake ya uja uzito √ (4 x 1)

b) Tashbihi Sisi kama wazaziTashihisi- Tabia hutupiga chenga.Nahau- hutupiga chenga.Mdokezo - chenga……. (4 x 1)

c)√ Alikpachikwa mimba na Masazu.√ Alifukuzwa shule√ Aliaibika gwarideni na wenzake.√ Anakabiliwa na ulezi akiwa bado mdogo.√ Anamlea mtoto katika mazingira ya umaskini.√ Alifukuzwa nyumbani.√ Kuacha masomo kwa muda wa miezi tatu ili akitunze kitoto chake.√ Aliwakosa rafiki zake aliokuwa amezoeana nao.√ Alisombwa na maji usiku.

Top grade predictor publishers Page | 30

Page 31: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

√ Alilazimika kupanga wizi wa mtoto wake. √ Alilazimika kujiunga na shule ya kutwa. √ Alinyeshewa siku aliyokuwa akienda kumwiba mtoto. √ Makazi mabovu. (12 x 1)7a) √Ulanguzi wa Binadamu- Kananda anauzwa kwa dereva wa Congo.√ Uzinifu - Mwatela na Kananda.√ Wizi wa watoto - Mwakitawa aliibiwa kutoka kwa mamake na babake. √ Ukatili- Kananda aligongwa kwa mawe na Mwakitawa. √ Ulevi- Mwatela kuchapa mtindi √ Uongo- Mwatela alidanganya Mwakitawa mamake amefariki. √ Utengano- Mwakitawa na mamake √ Maafa- Sami alikufa kwa moto. √ Mimba za mapema- Kananda alipachikwa mimba na Mwatela. √ Ajira za watoto- Kananda kuajiriwa kwa Mwatela (10 x 1)7 b)√ Fikirini anaachwa kwenye kituo cha basi na dereva mzungu.√ Mhadhiri mzungu na wanafunzi darasani kumwuliza fikirini maswali ya kumdhalilisha na kumdunisha.√ Fikirini anatozwa faini na polisi mzungu ilihali wazungu wengine wanaachwa kuvuka barabara taa zikiwa nyekundu.√ Wahadhiri wanatoa alama kwa kupendelea watu weupe na kuwakandamiza weusi.√ Mlinzi anamfuatafuata Fikirini aendapo kununua vitu dukani kana kwamba anamshuku atadokoa.√ Marekani jela imeundiwa mtu mweusi√ Wanaume weusi wanang‘ang‘ania kula kalenda badala ya kupata shahada vyuoni.√ Weusi kuwabagua weusi wenzao (Fiona na Bob)√ Mzungu anamwona kila mtu mweusi kuwa ni jambazi.√ Watu weusi kushtakiwa kwa makosa madogo madogo mfano kutofunga zipu. (zozote 10 x 1)8 a) Ulumbi ni uhodari wa kutumia lugha kwa ufundi wa kipekee.b) Sifa za mlumbi.i. Hutumia lugha kwa njia inayovutia na kushawishi hadhiraii. Mlumbi huwa jasiri- huwa mkakamavu.iii. Hutumia chuku kwa ufanisi mkubwa.iv. Anapaswa kutumia vipengele anuwai vya lugha kama vile ushairi, methali, nahau, taswira.v. Hutumia lugha kutegemea muktadha na hadhira yake.vi. Huwa na kipawa cha kuwa viongozi katika jamii. (,Zozote 4 x 2= 8)c) Umuhimu wa Ngomezi.i. Ni njia ya kupitisha ujumbe wa dharura katika jamii ― vita.ii. Ni kitambulisho cha jamii.iii. Huhifadhi na kuendeleza utamaduni wa jamii.iv. Hukuza uzalendo - wanajamii huionea fahari mbinu hii ya kuwasiilana.v. Hukuza ubunifu - jinsi wanajamii wanavyokabiliwa na aina tofautitofauti za ujumbe ndivyo wanavyojifunza mitindo mipya.vi. Ni njia rahisi ya kuwasilisha ujumbe.d) i. Toni katika rununu.ii. Kamsa /milio kwenye magari/ving‘ora ambulensi.iii. Kengele shuleniiv. Firimbi michezoni. (Zozote 2 x 1 = 2)

Top grade predictor publishers Page | 31

Page 32: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI LA PAMOJA GATUZI NDOGO LA KIRINYAGA MAGHARIBI 2016 HATI YA KUHITIMU ELIMU YA SEKONDARI

102/1 Kiswahili Karatasi 1 (Insha) JULAI /AGOSTI 2016 Muda: Saa 13/4

1. Umeibuka kuwa mwanafunzi bora kabisa katika kaunti yenu katika mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne.Andika mahojiano yako na mwana habari.

2. Unyanyasaji wa kijinisia umekithiri katika jamii yetu ya kisasa.Jadili

3. Methali - Akipenda chongo huita kengeza.4. Andika insha inayomalizia kwa;

... nikapiga darubini nyuma na kuhaha, nikajuta si kidogo. Laiti ningalijua laiti ningalijua.

JARIBIO LA TATHMINI LA PAMOJA GATUZI NDOGO LA KIRINYAGA MAGHARIBI 2016 HATI YA KUHITIMU ELIMU YA SEKONDARI 102/2 KISWAHILI KARATASI 2 (Ufahamu, Ufupisho, Sarufi na Isimu Jamii) JULAI /AGOSTI 2016 MUDA: 2 ½

1. UFAHAMU.(alama 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yafuatayo. Imefika wakati ambapo kila mmoja lazima ajiulize swali kuhusu tuelekeapo kama jamii, mustakabali wa kizazi cha sasa ni upi?

Nauliza swali kuhusiana na misururu ya visa ambayo kwa kweli imeibua hofu na wasiwasi kuhusu msingi wa kimaadili miongoni mwa vijana wetu. Kuna hatari ijapo; mbaya sana. Ni hali ambayo huenda ikatusahaulisha msingi wa tulikotoka na tuelekeapo.

Kwanza, ni kisa cha Alhamisi usiku ambapo zaidi ya vijana 300 walinaswa katika nyumba moja katika mtaa wa Phenom, Nairobi katika kile kiliaminika kuwa ―hafla ya ukosefu wa maadili‖. Kisa hicho kilikujia siku chache baada ya serikali kupiga marufuku hafla moja ya burudani na ukosefu wa maadili maarufu ―Project X‖ ambapo vijana walikuwa wakitarajiwa kuhudhuria.

Kulingana na taarifa za ‗kanuni‘ za tamasha hiyo, vijana walitakiwa kuvaa mavazi mafupi ambayo yanaonyesha sehemu zao za mwili kwa wazi. Taarifa zilisema kuwa washiriki pia wangeruhusiwa kucheza densi wakiwa uchi kama mojawapo ya kanuni za burudani. Isitoshe, kisa hicho kinakujia baada ya vingine vingi, ambapo vijana wamenaswa na maafisa wa polisi wakijiburudisha kwa vileo katika klabu nyakati za usiku. Vile vile wanafunzi wengi wamenaswa wakishiriki katika vitendo vya ukosefu wa maadili. Baadhi ya wanafunzi hao huwa chini ya miaka 18! Jijini Nairobi visa hivyo vimekuwa kama ―hali za kawaida‖.

Yasikitisha kuwa nyakati za wikendi hutakosa kuona kila aina ya vioja na viroja, hasa katika maeneo ya mijini. Ni nyakati hizi ambapo mabinti huenda katika vituo vya burudani wakiwa wamevaa kila aina ya mavazi. La kushangaza ni kuwa, mabinti hao hushindana kuhusu mbinu za ―kuonyesha‖ uchi wao kwa njia mbalimbali. Kwa haya yote, kile kinadhihirika ni kuwa jamii yetu inaelekea kubaya tu katika safari ya kifo. Safari hii huenda ikatufikisha Jehanamu ambayo kuna uwezekano wa kutojikomboa. Kilicho wazi ni kwamba msingi wetu wa kimaadili umeterereka kiasi cha kutorekebika kabisa. Nchi imegeuka jaa la mwigo wa tamaduni zote za kimagharibi. Kwa mfano, tamasha ya ‗Project X‘ ni mwigo wa filamu maarufu ya wanafunzi wa shule za upili iliyorekodiwa nchini Amerika kwenye filamu hivyo, wanafunzi hao wanajihusisha katika kila aina ya uovu wa kimaadili, ufasiri wake mkuu ukiwa ni ‗burudani‘ kwa msingi wa tamaduni za kimagharibi.

Kikweli, huu si msimamo wa tamaduni za Kiafrika. Huu si msingi wetu wa kimadili hata kidogo! Huu ni mwigo wa kishetani ambao lengo lake ni kuizamisha jamii yetu katika lindi la mgogoro wa kitamaduni na kimaadili. Mawali.

1. Maadili ya vijana yamezorota. Kwa mujibu wa taarifa hii thibitisha kauli hii. (alama 4)2. Ni nini asili ya ‗projct X‘? (alama 2)3. Nyakati za wikendi hutakosa kuona kila aina ya vioja na viroja. Fafanua. (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 32

Page 33: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

4. Mwandishi ana maana gani anaposema visa hivyo vimekuwa kama ‗hali za kawaida‘. (alama 1)5. Mwandishi ana msimamo upi kuhusu tamaduni za kimagharibi. (alama 2)6. Eleza maana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumika kwenye kifungu. (alama 4)

(i) Kupiga marufuku (ii) Mustakabali (iii) Umetetereka (iv) Filamu

2. MUHTASARI (alama 15)Soma makala haya kisha ujibu maswali yanayofuata. Je, mtazamo hasi ni nini? Huwa na athari gani kwa binadamu? Mtazamo hasi ni kukata tamaa, kutamauka kuhusu hali, mtu au jambo fulani. Ni hisia ya kutotaka kushiriki wala kuhusishwa na jambo au hali fulani. Mtazamo huu ndio huwafanya wanafunzi wengi kuchukia au hata kudunisha baadhi ya masomo na walimu wanaoyafundisha. Licha ya wengi kuwa na mtazamo huu, kwa kweli huwa hawatambui. Asilimia kubwa ya wanaotambua hutatizika kujikwamua kutoka katika hali hii.

Inakadiriwa kwamba mtu wa wastani huwa na takribani mawazo elfu sitini ya kibinafsi kwa kila saa 24. Asilimia 95 ya fikra hizi huwa sawa na siku iliyotangulia, na asilimia 80 ya fikra hizi zilizorudiwa huwa hasi. Isitoshe, fikra hizi nyingi hutokea bila mtu mwenyewe kutambua na huwa ni mazoea. Hii ina maana kwamba watu wengi hawana ufahamu wa athari za fikra hizi maishani mwao.

Mitazamo hasi ina vyanzo na pia suluhu. Mwanzo kabisa ni imani potovu. Hiki ndicho chanzo cha mitazamo hasi. Kushikilia imani potovu kuhusu maisha pamoja na matukio fulani maishani hujenga mtazamo hasi. Unayaona maisha kwa macho ya imani zako na iwapo imani hizo ni potovu, basi hutayathamini maisha yako ili kukabiliana na hali hii, sharti kwanza ubadili imani yako. Uamini kwamba mabadiliko yanaweza kutokea na uchukue hatua ya kuanzisha mabadiliko hayo maishani mwako. Unahitaji kuepuka fikra hasi zinazoambatana na maisha yako ya awali na kulithamini kila tukio maishani kama tukio huru; Lisilo na uhusiano na yaliyowahi kukutamausha.

Kujikwamua kutoka katika imani duni unahitaji kuibuka na idadi kubwa ya imani chanya kuliko zilizo hasi kuhusu hali mahsusi. Baada ya hilo, zikabili imani zako potovu moja baada ya nyingine huku ukijiuliza endapo imani hizo ni kweli na endapo zina mashiko. Tumia dakika tano hivi kila siku kushadidiafikra chanya inayokinzana na ile inayokudidimiza. Ukifanya hivi kwa takriban siku thelathini imani yako itaanza kuchukua mkondo unaofaa. Familia yako na rafiki unaoandamana nao huathiri pakubwa hisia zako. Wakiwa na mtazamo hasi huweza kukushawishi ukaanza kuhisi wanavyohisi na kuyaona mambo kwa mtazamo wao. Kukabiliana na hali wapaswa kudhibiti hisia zako.

Tawala namna unavyohisi na kukabiliana na hali mbalimbali bila kuathiriwa na wandani hawa. Epuka wandani wa aina hii kadri inavyowezekana, ikiwezekana, jitenge nao ili ujifunze kuwa na uhuru wa kufanya maamuzi yako binafsi bila kuathiriwa nao. Unapaswa kupunguza ushirika hata na jamaa zako wanaokuingiza katika hali ya kutamauka. Punguza muda wa kukaa nao hasa wanapogeukia mkondo huu wa kukutatiza tamaa.

Mazingira hasi ni kizingiti kingine. Pengine huoni ukuruba baina ya maisha yako na mazingira unamokulia au unamokaa. Ukweli ni kwamba, huenda umedumu katika mazingira hayo na kuyazoea hata ukafikiri huwezi kuyabadilisha. Kadri unavyohisi huna uwezo wa kuyabadilisha ndivyo unajizamisha zaidi mtazamo hasi. Ili kukabiliana na hali hii, unahitaji kuelewa kwamba fikra zako au za watangulizi wako ndizo silikuingiza katika mazingira haya. Kwa hivyo, unapaswa kubadili mkondo wa fikra zako na kuanza kujaribu mazoezi ambayo umekuwa ukiyaona kama usiyoyaweza. Hatua kwa hatua utagundua panapo jitihada na uelekezi unaofaa kwamba mazoezi hayo yamekuwa mepesi na hivyo kukubakikishia kuyabadilisha mazingira yako.

unapojikuta ukilalamika jinsi ulivyokerwa na hali fulani, hii ndiyo sababu hasa ya kuwa na mtazamo hasi kuhusu hali hizo. Inaweza kukuwia vigumu kulikubali hili lakini kadiri utakavyolikubali mapema ndivyo utayaboresha maisha yako mapema. Kulalamika tu kutakudumisha katika hali zisizokuridhisha. Kwa hivyo, ili uyabadilishe maisha yako sharti ukome kulalamika tu kutakudumisha katika hali zisizokuridhisha. Kwa hivyo, ili uyabadilishe maisha yako sharti ukome kulalamika na kuanza kujikwamua toka kwenye hali hizo. Katika kufanikisha jambo lolote jema sharti viwepo vizingiti njiani. Mtendaji wa jambo lolote jema liwalo ana jukumu la kuibuka na mikakati mwafaka ya kuvikabili vizingiti hivi ili afanikishe ndoto yake. Hii ndiyo sababu unapaswa kuchukua hatua kutokea sasa ili kupanga na kutekeleza mikakati itakayoupindua mtazamo wako hasi uwe chanya. Kwa jinsi hii utayabadilisha maisha yako yawe ya kuridhisha zaidi na kuwa kielelezo kwa wengi waliotamaushwa na mitazamo hasi.

Maswali. (a) Fupisha aya ya kwanza. (maneno 45-50) (alama 6, 1 utiririko)(b) Eleza namna ya kukabiliana na mitazamo hasi. (maneno 70 - 80) (alama 9, utiririko 1)3. MATUMIZI YA LUGHA. (alama 40)(a) Andika sifa mbilimbili bainifu za sauti. (alama 2)

/gh//a/

(b) Bainisha silabi katika neno lifuatalo. (alama 1)

Top grade predictor publishers Page | 33

Page 34: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

nyweshwa (c) Tofautisha kwa kueleza maneno ya istilahi zifuatazo. (alama 2)

(i) Silabi funge(ii) Silabi mwambatano

(d) Tunga sentensi moja ukitumia maneno yafuatayo ili kutofautisha maana. (alama 2)BudaBunda

(e) Kwa kutolea mfano eleza maana ya mofimu Huru. (alama 2)(f) Ainisha uamilifu wa viambishi katika neno lifuatalo. (alama 3)

Alimlilia (g) Bainisha aina za nomino zilizotumika katika sentensi ifuatayo. (alama 2)

Wema alimpa mtoto yule maji ya baraka. (h) Andika katika umoja. (alama 2)

Ile ya kujengea haijaletwa(i) Andika kulingana na maagizo. (alama 1)

Sherehe ilikuwa na walakini kwa kukosa mpambe.(Tumia neno lingine badala ya walakini)

(j) Tunga sentensi ukitumia kihisishi cha mwitikio. (alama 1)(k) Andika kitenzi kifuatacho katika hali ya kuamrisha kwa wingi. (alama 1)

(-la). (l) Kanusha katika wakati ujao hali timilifu. (alama 2)

Bwana arusi alivaa suti ya kupendeza.(m) Unda kitenzi kutokana na nomino; (alama 1)

abiria(n) Eleza maana ya kishazi. (alama 1)(o) Bainisha aina za vishazi vilivyotumika katika sentensi hii; (alama 2)

Kule alikoenda alilakiwa vizuri. (p) Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli zilizobanwa. (alama 2)

Fundika (kitendua)nata (kutendesha)

(q) Tunga sentensi yenye Fungu tenzi lenye muundo; (alama 2)Ts + T + E

(r) Andika methali inayotumiwa kutuhimiza kuthamini vitu viliyo karibu kwani ndivyo vitufaavyo wakatiwa janga. (alama 1)

(s) Chagua kwa muundo wa jedwali. (alama 4)Waliamua kusafiri usiku ingawa walitahadharishwa.

(t) Kwa kutoa mifano eleza matumizi mawili ya alama ya kinyota. (alama 2)(u) Andika katika ukubwa wingi. (alama 2)

Njia hii inafaa zaidi kuliko ile.(v) Tunga sentensi ukitumia ‗na‘ kama; (alama 2)

(i) Kuunganisha(ii) Kihusishi

4. ISIMU JAMII. (alama 10)(a) Nini maana ya dhana ya usanifishaji wa lugha. (alama 2)(b) Nchi za Afrika Mashariki ziliunda kamati ya lugha ili kusanifisha na kukuza Kiswahili. Eleza malengo

manne makuu na mafanikio yake katika juhudi za usanifishaji. (alama 8)

Top grade predictor publishers Page | 34

Page 35: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA GATUZI NDOGO LA KIRINYAGA MAGHARIBI 2016 HATI YA KUHITIMU ELIMU YA SEKONDARI

102/3 KISWAHILI KARATASI 3 FASIHI JULAI / AGOSTI 2016 MUDA: 21/2 SEHEMU A: DAMU NYEUSI NA HADITHI NYINGINE.

1. Swali la kwanza (Lazima)―Kero hizi na dharau zinamfanya kuthamini zaidi utu wake .....‖(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Wafrika hupitia changamoto nyingi sana wakiwa masomoni ughaibuni. Thibitisha. (alama 4)(c) Onyesha jinsi ukatili unavyojitokeza kwa kurejelea hadithi zifuatazo. (alama 12)(i) Kanda la usufi (ii) Shaka ya mambo (iii) Mwana wa darubini (iv) Ndoa ya Samani. SEHEMU B: RIWAYA KEN WALIBORA - KIDAGAA KIMEMWOZEA. Jibu swali la 2 au la 3.

2. ―Kwa nini mnaifunga mnyororo ile doggy mgonjwa? Mbona msiiwache free‖.(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Onyesha jinsi wahusika riwayani wamefungwa minyororo. (alama 6)(c) Minyororo inayorejelewa katika (b) hapo juu ilifunguliwaje? (alama 10.

3. Kufariki kwa kitoto Uhuru ni jazanda inayoashiria hali halisi ya mambo riwayani.Jadili. (alama 20)

SEHEMU C: TAMTHILIATIMOTHY AREGE MSTAHIKI MEYA.Jibu swali la 4 au la 5.

4. ―Huu ni ukoloni mamboleo‖(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Eleza umuhimu wa msemewa katika tamthilia hii. (alama 8)(c) Jadili namna ukoloni mamboleo unavyojitokeza katika tamthilia. (alama 8)

5. Jumuiya ya ‗Mstahiki Meya‘ inaafiki kwa kiasi kikubwa jamii ya kisasa.Thibitisha. (alama 20)

SEHEMU D: USHAIRI.Jibu swali la 6 au la 7.

6. Soma ushairi ufuatao kisha ujibu maswali.1. Ajaye kisimani mbele hunywa maji maenge,

Asinywe yalo na vunju, Yakampa kigegezi, Yakamkibua roho akaona na kinyaa, Awali ndio awali, awali mbovu hamna.

2. Kiwa utalimatia.Utayaramba makombo, Utadata vitu cheche, Kisomo chenye dhamana kikakupa kisogo, Inajuzu ujihimu Mwanafuu darasani, Urauka po mapema, Katu hutayaramba makombo, Hutakosa kisebeho.

3. Dereva hata utingo,Natija ni asubuhi,Wateja utawawahi,

Top grade predictor publishers Page | 35

Page 36: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Wasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza.

4. Na ewe mwanazaraa,Mpini uukamate, Kabla jua kuwaka sana, Majasho kutiririsha mwilini, Yang‘oe yote magugu, Kutoka kwa lako konde.

5. Mhadimu mwenye ajizi,Yakujuza ujihimu, Ununue na maziwa, Majogoo uyawahi mapema, Usije ukayadata, Chai mkandaa ukaandaa, Wateja wakuambae mithili ya ibilisi.

Maswali (a) Eleza nasaha yoyote inayotolewa kwa wafanyakazi wowote watatu kwenye shairi. (alama 3)(b) Taja sifa zozote za kimuundo zilizotumiwa na mtunzi. (alama 3)(c) Eleza toni ya mshairi. (alama 3)(d) Nafsi nenewa anahimizwa kufanya nini. (alama 2)(e) Andika ubeti wa tatu kwa lugha tutumbi. (alama 4)(f) Toa mifano miwili ya uhuru wa mshairi. (alama 3)(g) Eleza maana ya misamiati ifuatayo kama ilivyotumiwa kwenye shairi. (alama 3

(i) Maji maenge(ii) Natija(iii) Majogoo

7. Soma ushairi ufuatao kisha ujibu maswali.1. Wasiwasi n‘ondokeya, ondoka enenda zako,

Ondoka andama ndiya, nondosheya uso wako, Ondoka wanisikiya, ziwate jeuri zako, Jishughulishe na yako, yangu wayatakiyani?

2. Wasiwasi siitaki, suhuba yako si nzuri, Haistahamilikii, uovu umekithiri, Inganyoshwa hainyoki, ikukutene kikiri, Sikati yako shari, enda zako wasiwasi.

3. Huna kazi ufanyayo, ela kuwafitinisha, Viumbe na zao nyoyo, vitina kuwagotanisha, Hiino ndio kaziyo, yenye kukufurahisha, Ni kazi isiyokuchosha, mno umeizoeya.

4. Mara waja na habari, mambo yalivyo nyumbani, Ati mambo si mazuri, mambo yote tatashani, Wanitaka nifikiri, usemayo ni yakini, Nisononeke moyoni, upate kufurahika.

5. Au mara hunijiya, na kingine kisahani, Kuhusu zao afiya, hao waliyo nyumbani, Huwa husishi nambiya, hali zao taabani, Zingawa wakati gani? Ni zako au ni zao?

6. Na mara kuja mambiya, nitakapotoka humu,Na kwamba yaningojea, nde maisha magumu,Uliloni kusudiya, ni kunitiya wazimu,Kama ndiyo yako hamu, basi unshatahayari.

Top grade predictor publishers Page | 36

Page 37: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

7. Huo urafiki wako, wa kuja niungulisha, Kunipa masikitiko, na mateso yasokwisha, Kutoka leo ni mwiko, sitautaka maisha, Kamwe hutanikondesha, tokomeya mwana kwenda.

Maswali

(a) Eleza ujumbe uliojitokeza katika shairi hili. (alama 1)(b) Fafanua muundo wa ubeti wa tatu. (alama 3)(c) Eleza aina ya shairi hili. (alama 1)(d) Fafanua arudhi za utunzi alizozingatia mshairi. (alama 3)(e) Eleza toni ya mshairi. (alama 2)(f) Andika ubeti wa tano katika lugha ya kinathari. (alama 4)(g) Eleza mifano mitatu ya uhuru wa mshairi. (alama 3)(h) Eleza maana ya misamiati ifuatayokama ilivyotumika katika shairi. (alalma 3)

(i) ndiya(ii) kisahani(iii) nde

SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI8. (a) Eleza maana ya maghani. (alama 2)

(b) Taja sifa nne za maghani. (alama 4)(c) Fafanua mbinu nne ambazo hutumika kuzua misimu. (alama 8)(d) Eleza vikwazo mbali mbali vinavyotatiza ukuaji wa Fasihi Simulizi. (alama 6)

Top grade predictor publishers Page | 37

Page 38: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

GATUZI NDOGO LA KIRINYAGA MAGHARIBI 2016 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA KISWAHILI 102/2

1. Ufahamu.(a) (i) Vijana walitarajiwa kuhudhuria hafla moja ya burudani na ukosefu wa maadili maarufu ‗Project X‘ iliyopigwa marufuku

na serikali.(ii) Vijana walitakiwa kuvaa mavazi mafupi yaliyoonyesha sehemu zao za mwili kwa wazi. (iii) Washiriki wangeruhusiwa kucheza densi wakiwa uchi kama mojawapo ya kanuni za burudani. (iv) Visa vya vijana kunaswa na maafisa wa polisi wakijiburudisha kwa vileo katika klabu nyakati za usiku.

(hoja 4 x 1 = al 4) (b) Filamu maarufu ya wanafunzi wa shule za upili iliyorekodiwa nchini Amerika, ambapo wanajihusisha katika kila aina ya

uovu wa kimaadili (hoja 2 x 1 = al 2)(c) Ni nyakati hizi ambapo mabinti huenda katika vituo vya burudani wakiwa wamevaa kila aina ya mavazi. Mabinti hushindana

‗kuonyesha‘ uchi wao kwa njia mbalimbali. (hoja 2 x 1 = al 2)(d) mazoea, desturi (hoja 1 x 1 = al 1)(e) tamaduni za kimagharibi zinazua mgogoro wa kimaadili. Ni kinyume na msimamo wa tamaduni za Kiafrika.

(hoja 2 x 1 = al 2) (f) Kukatazwa kuzuiliwa

Maisha ya baadaye Umeharibika Sinema, picha (al 4)

2. Muhtasari.(a) (a) Mtazamo hasi ni kutamauka kuhusu hali, mtu au jambo fulani.

(b) Ni hisia ya kutotaka kushiriki wala kuhusishwa na jambo au hali fulani.(c) Mtazamo huu huwafanya wanafunzi kuchukiana.(d) Kudunisha baadhi ya masomo na wanaoyafundisha.(e) Walio na mtazamo huu hawatambui.(f) Wanaotambua hutatizika kujikwamua kutoka hali hii.

(b) (a) Kuibuka na idadi kubwa ya imani changa kuliko hasi.(b) Kukabili imani potovu moja baada ya nyingine.(c) Tumia dakika tano kila siku kushadidia fikra chanya.(d) Inayokinzana na inayokudidimiza.(e) Kudhibiti hisia zako unapokabiliana na familia yenye mtazamo hasi.(f) Tawala namna unavyohisi na kukabiliana na hali mbalimbali bila kuathiriwa na wandani.(g) Kupunguza ushiriki na jamaa wanaokuingizakatika hali ya kutamauka.(h) Kubadili mkondo wa fikra zako na kuanza kujaribu.(i) Mazoezi ambayo umekuwa ukiyaona kama usiyoyaweza.(j) Kukoma kulalamika na kuanza kujikwamua toka kwenye hali zisizokuridhisha.

3. Mwongozo wa matumizi ya lugha.(a) gh/ - Kikwamizo

- hutamkiwa kwenye kaakaa laini- sauti ghuna

/a/ - irabu ya kati chinimdomo hutandazika

(b) nywe-shwa(al 1) (c) Silabi funge - Silabi inayoishia kwa konsonanti.

Silabi mwambatano - Silabi ambazo zinapatikana kwa kuweka pamoja zaidi ya konsonanti moja.(2 x 1 = 2) (d) buda - mwanaume aliyezeeka sana ndovu mzee asiyekuwa na pembe mtu asiye na meno

bunda - feli ama shindwa mtihani - fungu la kitu

Mwanafunzi atunge sentensi moja akidhihirisha maana iliyo hapo juu. (hoja 1 x 2 = al 2)(e) Mofimu iliyoundwa kwa neno kamili. Neno hilo hujitosheleza kwa kuwa haliwezi kugawika katika vijisehemu vidogo

zaidi bila kupoteza maana. Mwalimu kuhakiki maelezo (al 2)(f) A - kiambishi kiwakilishi ch anafsi III - yeye

li - kiambishi kiwakilishi cha wakati (uliopita)m - kitendewali - mzizi Li - kaulia - kiishio

(g) Wema - Nomino ya pekeemtoto - Nomino ya kawaida / Jumlamaji - Nomino ya wingibaraka - Nomino dhahania

Top grade predictor publishers Page | 38

Page 39: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(h) ule wa kujengea haujaletwa. (hoja 1 x 2 = 2)(i) Sherehe ilikuwa na dosari / ila kwa kukosa mpambe (al 1)(j) Atumie vihisishi kama

Bee! Labeka!, Naam! (1 x 1 = al 1)(k) kuleni (1 x 1 = al 1)(l) Bwana arusi hatakuwa amevaa suti ya kupendeza (1 x 2 = al 2)(m) abiri (1 x 1 = al 1)(n) Kishazi ni neno au kifungu cha maneno chenye kiima na kiarifa au kiarifa pekee ambalo huwa ni sehemu ya sentensi

kuu. (1 x 1 = al 1)(o) Kule alikoenda - kishazi tegemezi alilakiwa vizuri - kishazi huru (2 x 1 = al 2)(p) Fundua

Nasa (2 x 1 = al 2)(q) Mtahini kukadiria jibu km: atakuwa amelala kitandani (1 x 2 = al 2)(r) Fimbo ya mbali haiui nyoka.

Kamba ya mbali haifungi kuni Hamadi kibindoni silaha mkononi. (yoyote 1 x 1 = 1)

(s) S

S1 U S2KN KT KN KT

Ts T E TO Waliamua kusafiri usiku ingawa O walitahadharishwa (1 x 1 = al 1)(t) (i) Kuonyesha kuwa maendelezo ya neno fulani yana makosa.

(ii) Kuashiria kuwa mpangilio wa maneno katika sentensi una makosa.(iii) Kuashiria msomaji kuhusu jambo fulani ambalo maelezo yake yanapatikana sehemu ya chini ya ukurasa huo.(iv) Kuonyesha kuwa sentensi au fungu la maneno lina makosa ya kisarufi.

(u) Majia haya yanafaa zaidi kuliko yale. (1 x 2 = al 2)(v) Kiunganishi : Mama na baba wanalima

(kiunganishi cha kuongeza)Kihusishi : Walipigwa na wezi (kihusishi cha mtenda) (2 x 1 = 2)

4. Isimu jamii(a) Usanifishaji ni uamuzi wa kuchagua lugha moja au mojawapo ya lahaja za lugha kufanyia marekebisho ya kimatamshi,

kisarufi, kimaana na kimaandishi ili iweze kutumika katika shughuli rasmi. (b) Malengo ya kamati.

(i) Kusanifisha maandishi na kuhakikisha mtindo mmoja unazingatiwa.(ii) Kuchapisha vitabu.(iii) Kuwahimiza na kuwasaidia waandishi wa Kiswahili.(iv) Kuidhinisha vitabu vya kianda na vya ziada vinavyohitajika kufundisha shuleni.(v) Kuwapasha waandishi, habari zozote zile kuhusu njia tofauti au mitindo ya kusomeshea katika kila nchi.

(zozote 4 x 1 = 4) Mafanakio ya kamati. (i) Vitabu vingi vya sarufi, kilimo na hadithi vilichapishwa kwa mfano: Modern Kiswahili Grammar. (ii) Tafsiri ilifanywa na vitabu kuchapishwa kwa Kiswahili kwa mfano: Kisima chenye Hazina. (iii) Kamusi tatu zilichapishwa: Kiswahili - Kiswahili,Kiswahili - Kiingereza h.k (iv) Vitabu vingi vya kufundishia Kiswahili viliidhinishwa. (4 x 1 = 4

Adhibu - Isimu Jamii Makosa 6 ya hijai x 1/2 = 3

Makosa 6 ya sarufi x 1/2 = 3

Top grade predictor publishers Page | 39

Page 40: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

GATUZI NDOGO LA KIRINYAGA MAGHARIBI 2016 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA KISWAHILI INSHA 102/1

1. Muundo1. Sura iwe ya kitamthilia.2. Pawepo mada / kichwa / anwani inayofaa.3. Majina ya wahusika yatengewe nafasi yake na yafuatwe na koloni.4. Muundo wa swali jibu uwepo, mahojiano yawe na mantiki na uwiano mzuri wa masuala.5. Mhojiwa atoe majibu kwa kufafanua zaidi.6. Uakifishi mwafaka / alama ya kuuliza, kitone, hisi na nyingineo zitumike.

Vidokezi1. Hisia ya wanafunzi kuhusu matokeo. Kwa mfano vicheko, vifijo na nderemo, shukrani kwa mola, wazazi

na waalimu.2. Maelezo ya ziada yaliyo / kwenye mabano yatuzwe.3. Ataje shule alikosomea.4. Ataje mikakati / mbinu alizotumia kufaulu vizuri katika mtihani mfano;

Kumakinika masomoni Nidhamu ya hali ya juu Umilisi bora wa stadi za kujibu maswali. Kumcha Mungu Kukamilisha silabasi mapema.

5. Changamoto shuleni.6. Matarajio ya wanafunzi waliopo.7. Azima ya kujiunga na chuo kikuu.

Shahada atakayosomea.2. Haya ni mateoo yanayohusisha watu walio katika jinsia moja kudhulumiwa na wa jinsia tofauti.

Wanawake.1. Kunyimwa nafasi ya kujiendeleza kielimu.2. Ndoa za mapema na za lazima.3. Ajira ya mtoto wa kike - ujakazi.4. Kuingizwa katika ukahaba.5. Kubakwa / kunajisiwa.6. Ubaguzi katika kuajiriwa hasa katika nyanja maalum.7. Kubughudhiwa kimapenzi hasa kazini.8. Kunyimwa likizo hasa akiwa mjamzito au kupewa muda usiotosha kupumzika.9. Ukeketwaji / tohara ya lazima.10. Kunyimwa haki ya kuvaa apendavyo hadharani na hata kuvuliwa nguo hadharani anapovaa upendavyo. 11. Kunyimwa kura katika uchaguzi. 12. Kupigwa na wanaume. 13. Kutawishwa. 14. Kutukanwa na kupachikwa majina ya kuaibisha ―Malaya kahaba mchawi‖ 15. Kunyimwa haki za kurithi mali. Wanaume. (a) Kutelekezwa kwa wavulana hasa kimasomo. (b) Ajira ya mapema ya mtoto mvulana. (c) Kulawitiwa na wanaume wenzake. (d) Kunyanyaswa kimapenzi na wanawake matajiri. (e) Kuingizwa katika makundi haramu kwa lazima. (f) Kuchapwa wakiwa wamenyamaa. (g) Kudekezwa na mama zao. (h) Kutoshughulikiwa hivyo kuishia mitaani.

3. Methali.Akipenda chongo huita kengeza. Mwanafunzi atoe maana ya methali. Mwanafunzi aandike kisa kinachotoa maana ya methali. Aweze kuandika visa viwili. Akiandika kisa kisichooana na methali akadiriwe kana kwamba amepotoka. Hivyo ni wa kiwango cha D hasi.

4. Swali la mdokezo.- Mwanafunzi kuelewa barabara dokezo lililotolewa. - Kuandika kisa kinachoafikiana na dokezo lililotolewa. - Mwanafunzi asiongeze wala kupunguza maneno katika dokezo. Akifanya hivyo aondolewe alama 2. - Iwapo mwanafunzi ameanza kwa maneno hayo au kuyaweka katikati mwa kisa chake bila kumalizia atakuwa amejitungia swali yaani amepotoka. Hivyo anapaswa kuwekwa katika kiwango cha D ya chini. - Kisa kirejelee kitendo cha kujutia alichotenda mighairi ya kuonywa.

Top grade predictor publishers Page | 40

Page 41: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

GATUZI NDOGO LA KIRINYAGA MAGHARIBI 2016 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA KISWAHILI 102/3

1. (a) Muktadha.(i) Maneno ya mwandishi msimulizi. (ii) Akimrejelea fikirini. (iii) Akiwa ughaibuni. (iv) Baada ya wanafunzi na mhadhiri mzungu kumuuliza maswali ya kumuumbua darasani.

(b) Changamoto za wasomi waafrika ughaibuni. (i) Dereva mzungu kukataa kumbeba fikirini kwa kuwa ni mwafrika. (ii) Kila aendapo, mwafrika anatuhumiwa kuwa mwizi. (iii) Wasomi wa kiafrika kuulizwa maswali ya kuwaumbua. (iv) Askari weupe kuwabagua wafrika na kuwakamata ovyo kwa makosa madogo madogo hivyo wafrika wasomi wamejaa

magerezani. (v) Waafrika wasomi kutuzwa alama duni na wahadhiri huku weupe wakipewa alama za juu zaidi. (vi) Wafrika wa kimarekani kuwabagua wafrika wenzao waliotoka Afrika. (zozote 4 x 1 = 4)

(c) Ukatili unavyoijitokeza. (i) Kanda la usufi. (a) Chris anajitia hamnazo anapojulishwa kuhusu mimba ya Sela. (b) Chris kuandamana na Sela kwenda kumuiba mtoto - hakujulisha wazazi wa Sela. (c) Mzee Butali kumsomea mamake Sela kwa kutomshauri vyema msichana wake. (d) Mzee Butali kuwafukuza Sela na mamake (ii) Shaka ya mambo. (a) Kamata kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wasichana wawili kwa pamoja - Grace na Esther. (b) Kamata kujifanya kumpelekea mzungu pesa zake lakini tunashuku hakuzipeleka. (c) Grace anakataa kumbadilishia Esther zamu kama alivyokuwa amemuahidi. (d) Kamata anakataa kupokea simu ya Esther jambo linalomfadhaisha (Esther) (iii) Mwana wa darubini. (a) Mwatela anamnajisi Kananda. (b) Mwatela anamsaliti Maria kimapenzi anapojamiana na Kananda. (c) Mwatela anapolewa anampiga mkewe. (d) Mwatela anamuuza Kananda kama mtumwa Kongo. (e) Mwatela anamnunulia mwanawe mwakitawa manati ya kumpiga mamake. (f) Mwatela anamdanganya mwakitawa kwamba mamake alikufa. (g) Mwakitawa anamgonga jiwe Kananda. (iv) Ndoa ya Samani. (a) Mamake Zena anakataa pesa ya msimulizi kwa kuwa ni maskini. (b) Mmake Zena anadai Samani kutoka Arabuni. (c) Mamake Zena anamshinikiza msimulizi kumwandalia mwanawe ‗arusi ya ndovu kumla mwanawe‘. (d) Mamake Zena anamshinikiza msimulizi kuandaa fungate kwa bibi harusi nyumbani. (e) Ghulamu fulani kuitisha fedha za ziada ili ‗dadake‘ Amali akubaliwe kutoka ndani ya nyumba. (4 x 3 = 12)

2. (a) Muktadha.(i) Haya ni maneno ya Bob DJ. (ii) Mzungumziwa ni Bi Zuhura. (iii) Wakiwa katika kasri la Majununi. (iv) Bob DJ aliliona jibwa dhaifu lililokuwa limefungwa na minyororo baada ya kumpeleka Amani kwa

Mtemi Nasaba Bora kuajiriwa kazi ya uchungaji. (al 4 x 1 = 4)(b) Wahusika walivyofungwa na minyororo. (i) Wananchi wa Sokomoko kutoyanywa maji ya mto Kiberenge. (ii) Majununi kupumbazwa na mapenzi ya Mitchelle. (iii) Majisifu kutowapenda watoto wake walemavu. (iv) Imani kutaka kujitosa katika ziwa Mawewa. (v) Wananchi kufungwa na utawala katili wa Mtemi. (vi) Yusufu kufungwa kifungo cha maisha kutokana na tuhuma za mauaji ya babake. (vii) Bi Zuhura kufungwa minyororo ya kindoa na Mtemi Nasaba Bora. (viii) Amani anapagazwa kitoto na Mtemi Nasaba Bora. (ix) Bob D.J ananaswa kwa matibabu duni ya zahanati ya Nasaba Bora. (zozote 6 x 1 = 6)(c) Minyororo ‗ilivyofunguka‘. (i) Amani na Imani wanavunja mwiko wa kutoyanywa maji ya mto Kiberenge hivyo wananchi wakaanza kuyanywa. (ii) Majununi anaamua kutooa milele baada ya kukataliwa na Mitchelle na mapenzi yake akayaelekeza kwa ufugaji na

ukulima. (iii) Mapenzi ya imani kwa watoto walemavu wa mwalimu Majisifu yaliyokuwa ya dhati yalimfanya Majisifu kuwapenda

na kuwathamini.

Top grade predictor publishers Page | 41

Page 42: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(iv) Imani anapopatana na Amani kando ya ziwa Mawewa anabadili nia ya kujitosa Ziwani. (v) Kwa ushirikiano wa Amani na Madhubuti utawala adhalimu wa Mtemi Nasaba Bora unaangushwa. (vi) Kutokana na ushahidi unaonaswa na Majisifu kwenye kanda, Yusufu anachiliwa huru (vi) Bi. Zuhura anajitanzua kutoka kwa ndoa dhalimu baada ya kupewa talaka na Mtemi Nasaba Bora. (vii) Bob DJ anajinasua kutoka kwa matibabu duni katika zahanati ya Nasaba Bora baada ya kutoroka na kwenda kusaka

matibabu ya kienyeji. (zozote 5 x 2 = 10)3. Jazanda ya kifo cha kitoto Uhuru.

(i) Walemavu hawapati malezi yanayowastahiki kwani wanadunishwa kwa kufungwa. (ii) Matajiri wanawalazimisha maskini kuchangia masomo ya watoto wao k.m masomo ya Madhubuti. (iii) Yusuf, Amani, Imani na Matuko Weye wanatiwa gerezani ingawa hawana hatia kwa makosa ya kusingiziwa. (iv) Mtemi anamdhulumu Bi. Zuhura kwa kumpatia talaka anaposhuku ana uhusiano wa kimapenzi na Amani. (v) Amani na Imani wanatiwa mbaroni kwa zingizio la kusababisha kifo cha Uhuru. (vi) Mtemi Nasaba Bora anaghushi faili na kunyakua mashamba ya watu kama la Chichiri Hamadi wanauliwa ili mali yao

itwaliwe. (vii) Matuko Weye na chwechwe makweche walio mashujaa kweli wa Tomoko hawatambuliwi na wanaishi maisha ya

kimaskini huku wakihangaishwa na kutiwa gerezani. (viii) Mwalimu Majisifu anakiuka haki ya wanafunzi kusoma na kwenda kuchapa mtindi. (ix) Haki za wagonjwa zinakiukwa kwa kutopewa matibabu na wauguzi. (x) Raia wanatolewa hotuba kwa kiingereza kisichoeleweka badala ya Kiswahili. (xi) Wanatomoko kulazimishwa kuhudhuria sherehe za sikukuu ya wazalendo huku wakichomwa na jua na kunyeshewa. (xii) Gazeti la Tomoko huchapisha picha ya Mtemi Nasaba Bora kwa sababu nduguye ni mhariri. (xiii)Mtemi Nasaba Bora hachaji mbwa wake ilihali anawataka raia kuwachanja mbwa wao. (xiv) Mtemi Nasaba Bora anawafuta watu kazi apendavyo; kuwalipa mishahara duni hivyo kuwanyima haki zao.

(zozote 10 x 2 = al 20) 4. (a) Muktadha.

(i) Mnenaji ni Siki. (ii) Mnenewa ni Meya. (iii) Wakiwa nyumbani kwa Meya. (iv) Siki alikuwa ameenda kumwona Meya nyumbani mwake ili kumjulisha kuhusu matatizo ya wanacheneo.

(4 x 1 = 4) (b) Msemewa ni Meya.

(i) Meya ni kielelezo cha viongozi wabadhirifu. Anatumia pesa za baraza ovyo ovyo. Anaagiza vileo kutoka Urusi. (ii)

Meya anawakilisha viongozi dhalimu katika jamii. Anawalipa wafanyikazi mishahara duni.

(iii) Meya ni kielelezo cha viongozi wabinafsi Anajali maslahi yake na familia yake. Anajipatia vipande vinane vya ardhi.

(iv) Meya anawakilisha viongozi fisadi. Anajinyakulia vipande vya ardhi ya umma ili kujitajirisha. (v) Meya ni kielelezo cha viongozi dikteta. Anafanya mambo kulingana na maoni na mawazo yake tu.

(zozote 4 x 2 = 4) (c) Ukoloni mamboleo.

(i) Mapendeleo: Meya anaidhinisha nyongeza ya mishahara kwa madiwani na walinda usalama huku akipuuza nyongeza ya mishahara ya wafanyakazi wa Cheneo.

(ii) Udikteta: Meya analazimisha mambo aidha hatambui mchango wa wanacheneo. (iii) Ubadhirifu: Anapanga kuwapokea mameya wageni kwa kuwaandalia karamu kubwa. (iv) Udhalimu: Meya anawalipa wafanyikazi mishahara duni. Anawatisha kuwa, wanaogoma watafutwa kazi. (v) Unyanyasaji: Meya anatumia vyombo vya dola kuwanyamazisha wanacheneo. (vi) Ufisadi: Meya anashirikiana na Bili na madiwani kuuza fimbo ya meya ambayo ni kitambulisho cha umeya.

(zozote 4 x 2 = 8) 5. Jumuiya ya ‗mstahiki Meya‘ inavyoafiki jamii ya kisasa.

(a) Haki za wafanyikazi.(i) Hawaongezewi mishahara na iwapo wataongezewa ni asilimia ndogo. (ii) Hawasikizwi wanapolalamika. (iii) Wanapogoma, nguvu zaidi hutumika kuwatimua. (iv) Hutishwa kufutwa kazi wanapodai haki zao. (v) Hali yao ya afya haitiliwi maanani - hawana bima ya matibabu. (vi) Elimu bora ya watoto wao hupuuzwa. (vii) Vifaa vya kazi havipo km. glavu. (viii) Wagomapo mishahara yao hukatwa. (ix) Mshahara unaoongezwa huchukua muda mrefu kutekelezwa. (b) Migomo na maandamano. (i) Viongozi kushughulikia maslahi yao, k.m kujiongezea mishahara. (ii) Ahadi za uongo kutoka kwa viongozi. (iii) Hali mbaya ya kazi - hakuna vifaa vya kazi - glavu.

Top grade predictor publishers Page | 42

Page 43: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(iv) Vyombo vya dola kutumiwa kunyanyasa wanaogoma. (c) Ubadhirifu wa mali ya umma. (i) Baraza kutoa laki moja kama sadaka kwa muhubiri kila mwezi. (ii) Viongozi (meya) kumpeleka bibi yake ng‘ambo kujifungua. (iii) Viongozi wana pesa za burudani - Entertainment vote. (iv) Madiwani na askari wanaongezwa mishahara kiholela bila sera maalum. (v) Wageni kupokewa kwenye hoteli za kifahari. (vi) Mapokezi ya wageni ni ya gharama ya juu. (vii) Viongozi kuandaa karamu maalum kwa heshima ya wageni ilihali baraza halina pesa. (d) Ufisadi. (i) Mwenye kandarasi kupokonywa kandarasi eti aliyempa kandarasi hiyo, wakati wake umepita. (ii) Bili kusema kuwa, dawa ya adui ni kummegea unachokula ili wote wafaidike. (iii) Bili anaibia Baraza kwa kulipwa ilhali si mfanyikazi wa Baraza. (iv) Meya ananyakua vipande vinane vya ardhi na kumgawia Bili vinne. (e) Utegemezi. (i) Wafadhili ndio wanatoa mwongozo wa maamuzi kwa viongozi - wanapendelea mfumo wa kugawana gharama ya

maisha. (ii) Elimu ya cheneo ni duni hivyo viongozi wanasomeshea watoto wao ughaibuni. (iii) Wafadhili ndio wanaamua idadi ya wafanyakazi. (iv) Dawa kuagizwa kutoka ng‘ambo. (v) Meya na madiwani wanatarajia wageni kifedha hata wanakopa pesa ili kulipa mishahara. (f) Umaskini. (i) Wananchi hawana pesa za kugharamia matibabu. (ii) Watoto kukosa lishe bora. (iii) Watu wengi ni maskini kwa sababu ya mshahara duni. (iv) Kula mabaki ya kupewa mbwa. (v) Bei ya mafuta na makaa ni ghali mno. (g) Tamaa na ubinafsi. (i) Madiwani hawalipi ushuru. (ii) Watoto wa meya wanapata elimu bora, watoto wa wafanyakazi hawana elimu bora. (iii) Meya anawaongezea mishahara askari kwani wao ni ‗vyombo vya kulinda ufisadi‘ (h) Utawala na uongozi mbaya; (i) Meya na madiwani na vikaragosi wao hawako tayari kushawishiwa. (ii) Viongozi hawajali maslahi ya umma. Meya anasema mtoto aliyekufa ni mmoja tu. (iii) Sera za kubuni kilimo mwafaka zimekosekana watu wanakula mabaki ya chakula. (iv) Viongozi hawaoni mbele wanajilinganisha na majirani maskini. (i) Huduma mbovu za kiafya kwa umma. (i) Zahanatini hamna dawa. (ii) Wagonjwa wanaotafuta matibabu ni wengi. (iii) Wahudumu ni jeuri kama Waridi. (iv) Wengi wa watoto wanaougua, wanakosa lishe bora. (v) Sera za kuboresha elimu ni duni. (j) Utabaka. (i) Watoto wa meya wanapata elimu bora, watoto wa wafanyakazi hawana elimu bora. (ii) Madiwani hawalipi ushuru ilihali mama muuza ndizi analipa kodi. (iii) Meya na madiwani wana bima za matibabu ilihali wafanyakazi hawana. (zozote 10 x 2 = 20)

Tanbihi: Mtahini akadirie majibu ya mtahiniwa6. (a) Nasaha;

(i) Dereva na Utingo: - Kuamka mapema ili wapeleke wasafiri kazini. (ii) Mkulima:- Aamke mapema kwenda shambani kulima (iii) Mhadimu: Aamke mapema ili anunue vitu muhimu vinavyohitajika katika upishi. Kwa Mfano, maziwa.

(zozote 3 x 1 = 3) (b) Toni.

Toni ya mshairi. -Ushauri - Kuelekeza - Elimsiha - Onyo (zozote 2 x 1 = 2)

(d) Nafsi nenewa anahimizwa.(i) Mhadimu aamke mapema akanunue vitu vya upishi.(ii) Mkulima aamke mapema aende shambani akalime.(iii) Dereva na Utingo waamke mapema kuwapeleka wasafiri kazini mwao. (zozote 2 x 1 = 2)

(e) Lugha nathari.

Top grade predictor publishers Page | 43

Page 44: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Dereva na utingo wakiamka asubuhi wanayo faida ya kuwapata wasafiri ambao wanatarajiwa kuwafikisha kazini kwa wakati ufaao ili wasije wakapigiwa kelele na wakubwa wao hivyo kusababisha wasafiri kuwalaani. (4 x 1 = 4)

(f) Uhuru wa mshairi. (i) Lahaja - Vunju

- Yalo - Mwanafuu

(ii) Kuboronga sarufi: Yang‘oe yote magugu - yang‘oe magugu yote. Kutoka kwa lako konde - kutoka kwa konde lako. Chai mkandaa ukaandaa - ukaandaa chai ya mkandaa Mpini uukamate - uukamate mpini.

(iii) Inkisari: yakujuza - inakujuza kiwa - ikiwa

(iv) Ukale wa lugha. - Vunju - Yalo - Mwanafuu

(g) Misamiati (i) Maji maenge - Maji safi. (ii) Natija - Faida (iii) Majogoo - Alfajiri au mapema. (3 x 1 = 3)

7 (a) Ujumbe wa mshairi.(i) Anazungumzia kuhusu watu wapendao kusuta wengine. (ii) Anazungumzia pia, watu ambao hupenda kusema ya wengine. (yoyote 1 x 1 = 1)(b) Muundo wa ubeti wa tatu. (i) Mishororo minne. (ii) Vina vya kati (yo) na mwisho (sha) isipokuwa mshororo wa kipokeo; kina cha kati (sha) na mwisho (ya) (iii) Mizani ni 16 kila mshororo. (iv) Kila mshororo umegawika katika pande mbili. (zozote 3 x 1 = al 3)(c) Aina ya ushairi;

Tarbia / unne - kila ubeti una mishororo minne. (al 1 x 1 = 1)(d) Arudhi za utunzi; (i) Kila ubeti una mishororo minne. (ii) Kila mshororo umegawanyika katika vipande viwili; ukwapi na utao. (iii) Mizani 16 kila mshororo ; 8 kila kipande. (iv) Kibwagizo cha aina ya kiishio / kimalizio. (zozote 3 x 1 = al 3)(e) Toni ya mshairi; (i) Malalamishi. (ii) Ya onyo. (iii) Kushtumu / kusuta. (zozote 2 x 1 = 2)(f) Lugha nathari; (i) Mshairi anazungumzia yampatayo anapowazia mambo ya nyumbani. Huelezwa hali za kiafya za watu wake ambazo

huonekana kuwa taabani. Hataki kuelezewa porojo kwani hayamhusu yeyote. (4 x 1= 4) (g) Uhuru wa mshairi; (i) Tabdila - ndiya badala ya njia

- ondokeya badala ya ondokea. - sikiya badala ya sikia - hunijiya badala ya hunijia

(ii) Mazida - Maiisha badala ya maisha - Haistahamilikii badala ya haistahimiliki- Siitaki badala ya sitaki

(iii) Inkisari - n‘ondokeya badala ya uniondokee.- kunambiya badala ya kuniambia.- Kaziyo badala ya kazi yako

(iv) lahoja - ndiya badala ya njia- nde badala ya nje- hino badla ya hiyo- ziwate badala ya ziwache (zozote 3 x 1 = al 3)

(h) Msamiati.(i) ndiya - njia(ii) kisahani - fujo(iii) nde - nje (zozote 3 x 1 = al 3)

8 (a) Maana ya maghani;

Top grade predictor publishers Page | 44

Page 45: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(i) Mashairi ambayo hutongolewa bila kuimbwa. (ii) Mashairi ya kukaririwa tu, hayaimbwi. (iii) Hutolewa kwa kalima bila kuimbwa. (yoyote 1 x 2 = al 2)

(b) Sifa za maghani.(i) Hujumuisha vitendo vinavyofanywa kwa ufundi. (ii) Ishara au miondoko fulani hujumuishwa. (iii) Hutungwa papo hapo na kusemwa mbele ya hadhira. (iv) Husimulia matukio kwa kirefu hasa yanayotambwa. (v) Huweza kutolewa na mtu mmoja au kundi la watu. (vi) Huwa na majigambo mengi. (vii) Huambatana na ala mbali mbali za muziki. (viii) Aayeghani hujisifu / kusifu kitu / jambo fulani. (ix) Ni tungo la kishairi ; yaani yana muundo wa ushairi. (zozote 4 x 1 = al 4)

(c) Mbinu za kuzua misimu.(i) Kufupisha maneno km. kompyuta - komp. (ii) Maneno ya kawaida kupewa maana mpya.

Toboa - faulu Chuma - Bunduki

(iii) Utohozi wa maneno. Hedi - Head Mathee - Mother Gava - Government Princi - Principal

(iv) Kutumia istiara au jazanda. Golikipa - nyani Mtu mlafi - fisi.

(v) Kutokana na umbo / rangi ya kinachorejelewa. Blue - Noti ya kitambo ya shilingi ishirini. Tangi - Mtu mwenye umbo nene. Momo - Mwanamke mnene.

(v) Kuunda maneno mapya kabisa. Keroro - pombe Kuhanya - usherati Kusikia ubao - kuhisi njaa (zozote 4 x 2 = al 8)

(iv) Kuchanganya lugha k.m kurelax. (d) Vikwazo katika ukuaji wa Fasihi Simulizi. (i) Mkengeuko wa mwafrika wa kuasi utamaduni wake na kuiga wa mzungu. (ii) Elimu ya kisasa haitambui wala kuthamini Fasihi Simulizi. (iii) Wasomaji wengi hawapendi kusoma fasihi simulizi. (iv) Waandishi wengi wa kiafrika hawashughulikii fasihi simulizi. (v) Dini ya kikristo ambayo inapuuza baadhi ya vitendo au viviga vya fasihi simulizi. (vi) Serikali za kiafrika hazitilii mkazo fasihi simulizi. (vii) Walimu wengi hukwepa mafunzo ya Fasihi Simulizi. (viii) Vitabu virejelewe havipo. (ix) Ukosefu wa utafiti madhubuti. (x) Fasihi andishi yaelekea kuzingatiwa mno. (xi) Mfumo wa ubepari ambapo kila mtu anajitafutia hela huchukua wakati mwingi na hivyo kutozingatia shughuli za

Fasihi Zimulizi. (zozote 6 x 1 = al 6)

Top grade predictor publishers Page | 45

Page 46: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINII YA PAMOJA WILAYA YA MAARA 102/1 KISWAHILI INSHA Karatai ya 1

1. Ulevi umekithiri nchini. Wewe kama mkurungenzi wa shirika la kupambana na vileo, andika hotuba utakayoisoma katikamkutano wa hadhara kuhusu madhara ya ulevi.

2. Kupunguza mishahara ya watumishi wa umma ni hatua mwafaka kama maendeleo ya nchi yatafanikiwajadili.3. Akufukuzaye hakwambii toka.4. Andika insha itakayoishia kwa maneno haya.5. …………….unyama umewatoka wanyama na kuwaingia watu!

MTIHANI WA TATHMINII YA PAMOJA WILAYA YA MAARA 102/2 KISWAHILI Karatai ya 2

1. UFAHAMU (alama 15) Soma taarifa inavofuata kisha uyajibu maswali Ukosefu wa ajira hususan miongoni mwa vijana ni tatizo ambalo usugu wake umefikia kima kisichostahimilika tena. Ingawa limejitokeza kama tatizo la ulimwengu mzima lakini katika mataifa ya ulimwengu wa tatu, hasa barani Afrika, limekolea zaidi. Ni kweli kwamba tatizo hili si geni ulimwenguni kwani lilikuwepo miaka michache baada ya uhuru wa nchi nyingi za Kiafrika lakini wakati huo mhusika mkuu aliyelaumiwa kwa ukosefu wa ajira ulikuwa ukosefu wa elimu.

Katika ulimwengu wa sasa mambo yamebaidika kabisa kama mbingu na ardhi kwani ukosefu wa elimu sio sababu ya ukosefu wa ajira. Ukweli ni kwamba kuwa na elimu ndiyo sababu ya kukosa ajira.

Serikali za mataifa mengi zimechukua hatua mbali mbali ili kukabiliana na tatizo hili, si hoja kama baadhi ni za kutapatapa mithili ya mfa maji ambaye hushika maji. Miongoni mwa hatua hizi ni pamoja na kuboreshamazingira ya uwekezaji ili vitega uchumi viongezeke na hivyo kubuni nafasi za ajira. Kupanua fursa za^lNMMR. ngazi zote na kuhimiza mafunzo ya ujasiriamali na ufundi ni hatua nyingine. Vile vile serikali zingine zimebuni mipango inayolenga kuwawezesha vijana kujiajiri wenyewe.

Waama, serikali zingine zimechukua hatua za kijasiri kwa kulegeza masharti ya uwekezaji kwa wawekezaji wa kigeni ili kuwavutia waanzishe miradi katika nchi zao kwa tamaa kwamba watabuni nafasi za ajira katika nchi husika. Changamoto moja ambayo imetokea ni kwamba baadhi ya wawekezeji hawa wanatengea wananchi wa nchi walizotoka kazi za kitaalamu na zenye malipo bora huku wenyeji wakiachiwa zile zinazoitwa 'kazi za mikono' tu. Wanawapuuza wataalamu na wasomi walio katika mataifa hayo. Tusisahau pia kuwa baadhi ya wawekezaji hupelekwa katika mataifa wanayowekeza tabia na mienendo inayokinzana na maadili ya nchi pokezi.

Tabia kama ubasha au usenge na ndoa za jinsia moja zimenasibishwa na tamaduni ngeni miongoni mwa Waafrika. Katika mkumbo huu ni tatizo la matumizi ya mihadarati ambalo sasa limefuzu kujiunga na majanga mengine ya kimataifa kama ukimwi. Ukweli mchungu ni kwamba maovu haya yametokana na ukarimu wa mataifa yenye tamaa ya kutaka wawekezaji wa kigeni ambao pamoja na kuwekeza, wao huja na 'yao'. Na kwa sababu mkata hana lake, mataifa pokezi yamehiari kuwapokea wawekezaji wa kigeni wakibeza athari mbaya zinazoletwa na watakuja kutahamaki baadaye kwamba mgeni kumpokea kumbe ni kujitongea.

Suluhisho lingine, ambalo huenda ni bora zaidi, ni kuwawezesha vijana kujiajiri. Jambo hili linawezekana, mathalani endapo serikali itatenga hazina maalum katika bajeti yake ili kuwapa vijana mikopo yenye masharti nafuu ili waanzishie miradi yao. Itajuzu misaada hii itolewe kwa makundi ya vijana yaliyoandikishwa kama tahadhari moja ya kukabiliana na ufujaji wa pesa unaoweza kutokea misaada ikitolewa kwa watu binafsi. Vile vile kutolewa kwa mafunzo kuhusu usimamizi kwa vijana kabla ya kukabidhiwa pesa hizi itakuwa hatua nyingine ya kuepukana na ubadhirifu.

Isitoshe, ustawishaji wa kilimo unaweza kutoa suluhisho lingine kwa tatizo la ukosefu wa ajira. Sharti vijana wahamasishwe ili washiriki katika kilimo ambapo watazalisha maii na kubuni nafasi za ajira katika nchi zao. Hii itarahisishwa kwa kufundisha somo la zaraa katika shule kama somo la lazima.

Hakuna shaka kwamba juhudi hizi, na zingine ambazo hazijashughulikiwa katika makala haya, zikizingatiwa, usugu wa ukosefu wa ajira utageuzwa na kuwa tatizo tu! Maswali

a) Kwa nini mwandishi amerejea ukosefu wa ajira kama tatizo sugu. (alama2)b) Taja hatua nne ambazo zimechukuliwa na mataifa mbalimbali ili kulitatua tatizo la ukosefu wa ajira. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 46

Page 47: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

c) Majilio ya wawekezaji wa kigeni yanaweza kuchukuliwa kama hali ya 'kula sumu ili kupata kuishi'. Thibitisha jinsi 'sumu'inavyoahihirika kwa kurejelea mifano miwili katika makala haya (alama 4)

d) Eleza maana ya msamiati ufuatao katika muktadha wa makala haya. (alama3)a) Kutahamakib) Itajuzuc) Zaraa

UFUPISHO (alama 15) Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali

Wataalamu wa maswala ya kielimu wanadai kuwa huenda nchi ikalaumiwa kwa kuendeleza mfumo wa elimu unaozingatia maslahi ya wakwasi na kuwapuuza wachochole. Mfumo huu wa elimu umezua mfumo mwingine wa kijamii ambapo watoto wa wenye hadhi wanapata elimu bora kuliko watoto wa maskini. Pengo baina ya haya matabaka linazidi kupanuka kama ardhi na mbingu.

Watoto kutoka jamii hohehahe wanasomea katika shule za umma zisizo na lolote wala chochote na watoto wa kifahari wanasomea katika shule za kibinafsi zilizo na vifaa mufti na mazingira faafu. Mfumo wa jinsi hii ni wa kuitia jamii kitanzi kwa sababu ya kuzulca kwa matabaka yanayohasimiana.

Katika nchi ambapo asilimia sitini ya watu inaishi katika hali ambayo ni chini ya dola moja kila siku, watoto wengi huenda shuleni bila kula chochote na hushinda hivyo kutwa nzima na wasing'amue chochote darasani. Walimu wao nao hawana ilhamu au kariha ya kufanya kazi kwa sababu mazingira ya kikazi ni mabovu na huenda shuleni shingo upande kama wakulima bila pembejeo. Madarasa yao ni mabanda na wengine husomea chini ya miti ambayo inaweza kukatwa wakati wowote na wachoma makaa waliokosana na mazingira. Unapowatazama watoto hawa,kile kinachoitwa sare ya shule kinakirihisha na kuyaudhi macho. Ni matambara yaliyosheheni viraka vya kila aina ama katika mseto wa

Tatizo hili limekuwa nyeti hasa kutokana na utandawazi na mfumo wa soko huru ambao unaruhusu shule za kibinafsi kuendeshwa kama mashirika ya kibiashara. Karo inayolipwa katika shule hizi ni ya kibiashara, majengo na vifaa ni vya kibiashara, walimu ni wa kibiashara, ilimradi kila jambo lalenga maslahi ya kibiashara ya walalahoi. Hapo ndipo chimbuko la makabila mawili maarufu nchini yaani, matajiri walamba vidole na maskini wanaostakimu madongo-kuinama.

Uchunguzi umethibitisha kwamba zaidi ya asilimia sitini ya wanafunzi wanaojiunga na shule za kitaifa hutoka katika shule za kibinafsi zinazomilikiwa na matajiri. Mbinu ya wizara ya elimu ya kugawa nafasi kwa njia ya haki katika shule za kitaifa haijafua dafu kwa sababu matajiri wajanja huwasajili watoto wao kufanyia mtihani katika shule zisizokuwa na ushindani mkubwa zilizomo mashambani. Kwa kufanya hivyo watoto wa maskini huwa wamefungiwa njia kote kote na kuporwa haki yao. Ama kweli, mwenye nguvu mpishe kwani dau la mnyonge haliendi joshi.

Wanafunzi katika shule za kibinafsi hufunzwa katika makundi madogo madogo ambayo humwezesha mwalimu kushughulikia mahitaji ya kibinafsi ya kila mtoto. Wazazi wao pia huwaajiri walimu wakati wa mapumziko ili kugongomeza au kushadidia mada ambazo hawakuzielewa vizuri shuleni. Upeo wa lugha wa watoto hawa hauwezi kulinganishwa na wa wenzao kwa sababu shule zao zina maktaba za kisasa, vifaa vya kisasa na vitumeme na hufunzwa teknolojia za kileo kuhusu mawasiliano. Watoto hawa huandaliwa ziara za kielimu ili kutanua uelewa wao wa mambo na vile vile hualikiwa watu wanaosifika katika jamii ili kuwahutubia shuleni mwao kuhusu mada mbali mbali. Wawasilishaji hawa huwa na kielelezo tosha kwa watoto hawa. Mzazi aliyesoma hujua umuhimu wa elimu na hivyo basi huandaa mikakati mahususi ili kumfaulisha mwanawe kinyume na wazazi wakata.

Ni bayana kuwa iwapo hivi ndivyo mambo yalivyo basi hata vyuo vikuu vitakuwa himaya ya watoto wa matajiri huku watoto wa kimaskini wakisubiri kuajiriwa nao kama walinzi na matopasi. Sera za elimu nchini haziwezi kufanikiwa pale ambapo raslimali muhimu zinatengewa watu wachache katika jamii. Watoto wa waunda sera hizi husomea shule ambazo hufuata mifumo ya kimataifa ambayo haina mkuruba na yetu hafifu. Katika majukwaa ya kisiasa utawasikia wakisifu mfumo ambao watoto wao wanaukwepa kama ukoma. Imekuja kudhihirika kuwa, wale wanaosemekana kuwa viongozi wa kesho ni wale ambao sasa hivi wanasomea katika akademia na kufuata mifumo ya kigeni au akademia zinazofuata mfumo wetu katika mazingira teule. Swali ni hili, kesho ya mtoto wa kimaskini ni ipi?

Inahitajika mikakati ya kimakusudi ili kulitanzua swala hili kabla ya milipuko ya kijamii kama vile ujambazi,uuaji,ubakaji, uraibu wa mihadarati na kadhalika. Ipo lazima ya kujenga shule vielelezo katika kila wilaya ambazo zitafadhiliwa na serikali kwa kupewa mahitaji yote muhimu na lazima ya kuanzisha mpango wa lishe bora katika shule ili kukidhi matilaba ya watoto wote. Udahili wa wanafunzi katika shule za kitaifa na katika vyuo vikuu ni sharti uvalishwe vazi la utu na uzalendo bila ubaguzi. Shule za umma ziwe na walimu wa madarasa ya kutosha ili kutatua matatizo yaliyoibuka kutokana na kuanzishwa kwa mpango wa elimu ya bure katika shule za msingi. Sera kuhusu shule za chekechea lazima izinduliwe kitaifa ili kusawazisha msingi wa kila mtoto kielimu. Walimu wa shule hizi za malezi lazima wawe na maandalizi sawa yatakayowawezesha kusawazisha viwango kitaaluma. Mitaala yetu ilenge kuzalisha kwa binadamu ambaye atajinufaisha yeye binafsi na taifa kwa jumla.

Top grade predictor publishers Page | 47

Page 48: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Maswali a) Ni mambo yapi muhimu yanayojitokeza katika aya ya tatu hadi ya saba. (alama7)b) Ni mapendekezo yapi yanayotolewa katika aya ya mwisho (alama6)

MATUMIZI YA LUGHA (alama 40)a) Taja sauti mbili zilizotamkiwa kwenye kaakaa laini (alama2)b) Andika neno lenye muundo ufuatao wa silabi. (alama1)c) Toa maana mbili za neno : kiberenge. (alama2)d) Ainisha virai vilivyopigiwa mstari katika sentensi ifuatayo. (alama 3)

Mwanafunzi yule mtoro hupenda kutembea katikati ya barabra kila wakatie) Tumia kiambishi 'ji' kutunga sentensi. (alama2)f) Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli zilizowekwa katika mabano. (alama2)

lia (kutendeshwa)Ja (kutendea)

g) Unda nomino moja moja kutokana na vitenzi vifuatavyo. (alama2)i) Jaribuii) Chuma

h) Andika katika usemi wa taarifa.―Nitawatuza watahiniwa wote watakaopita mtihani mwaka huu.' Mbunge aliwaahidi wanafunzi.‖ (alama 3)

i) Onyesha kishazi huru na kishazi tegemesi katika sentensi ifuatayo. (alama2)Tulibeba maji ya kutosha tulipoenda safari Turkana

j) Ainisha viamishi katika sentensi hii.Sitakupiga (alama 2)

k) Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia mishale.Yule mgeni aliyefika jana ameondoka leo. (alama 3)

1) Yakinisha kwa umoja.Mizigo hii haiwi mizito ikibebwa na watu wengi. (alama 2)

m) Andika sentensi hii kwa hali ya udogo wingi.Mtoto amefunga mlango wa nyumba yao. (alama 2)

n) Tofautisha maana katika sentensi hizi. (alama 2)Chakula chote kitaliwa Chakula chochote kitaliwa

o) Andika kinyume:Wanaskauti wengi walivunja kambi jana asubuhi. (alama2)

p) Tunga sentensi ukitumia kitenzi kishirikishi kipungufu. (alama2)q) Bainisha yambwa katika sentensi ifuatayo.

Rais aliandikiwa barua na wanasiasa. (alama2)r) Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii. (alama2)

Jua nilisemalo ni muhimu kwetu.s) Tambua hisia zinazojitokeza katika sentensi hizi

i) Ng'oo! mtu kama wewe huwezi faulu.ii) Maskini! alikuwa mtoto mzuri. (alama2)

4. ISIMUJAMII (alama 10)a) Eleza umuhimu wa usanifishaji wa Kiswahili. (alama5)

fafanua dhima za lugha katika jamii. (alama 5)

Top grade predictor publishers Page | 48

Page 49: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINII YA PAMOJA WILAYA YA MAARA 102/3 KISWAHILI Karatai ya 3

1. LAZIMA : SEHEMU YA 'A'

USHAIRI

Kiia nikaapo hushika tama Na kuwazia hali inayonizunguka. Huyawazia madhila Huziwazia shida Huiwazia dhiki

Dhiki ya ulezi Shida ya kudhalilishwa kazini. Madhila ya kufanyiwa dharau Kwa sababu ya jinsia ya kike.

Hukaa na kujidadisi Hujidadisi kujua kwa nini Jamii haikisikii kilio changu Wenzangu hawanishiki mikono Bali wananidharau kwa kuukosoa utamaduni

Hukaa na kujiuliza I wapi raha yangu uiimwengu huu? I wapi jamaa nzima ya wanawake?

MASWALI (a) Shairi hili ni la aina. gani? Eleza (alama2)(b) Eleza dhamira ya mtunzi wa shairi hili. (alama 2)(c) Kwa kutolea mifano eleza maana ya mistari mishata. (alama 2)(d) Taja na ueleze tamathali mbili zilizotumika katika shairi hili. (alama 4)(e) Tambulisha nafsi-neni katika shairi hili. (alama 2)(f) Fafanua toni ya shairi hili. (alama 2)(g) Fafanua maudhui mawili ya shairi hili. (alama 2)(h) Onyesha namna nafasi neni anavyosalitiwa. (alama 2)(i) Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumiwa katika shairi. (alama 2)(i) Madhila(ii) Kudhalilishwa.

SEHEMU YA B TAMTHILIA: Mstahiki Meya : Timothy M. Arege Jibu swali la 2 au la 3

2. Mwandishi wa tamthilia ya Mstahiki Meya ametumia wahusika kukuza kazi yake, Thibitisha kauii hili kwa kuwarejeleawahusika wafuatao. (alama 20)(i) Diwani wa tatu (ii) Bili (iii) Mhubiri (iv) Diwani I na II

3. ―Duniani kuna watu na viatu.‖(a) Fafanua muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Thibitisha ukweli wa kauli hii ukirejelea tamthilia nzima ya Mstahiki Meya. (alama 16)

SEHEMU YA C RIWAYA: Kidagaa kimemwozea : Ken Walibom Jibu swali la 4 au la 5

4. Kuvunjwa kwa haki na sheria lilikuwa jambo la kawaida chini ya uongozi wa Mtemi Nasaba bora. Thibitisha ukweli waKauli hii ukirejelea riwaya ya Kidagaa kimemwozea. (alama 20)

5. ―Alikuwa na kiu lakini si ya maji, kadhalika alikuwa na njaa lakini si ya chakula Habebeki mwanamume habebeki…….‖(a) Weka dondoo hili katika muktadha wake . (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 49

Page 50: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(b) Eleza tamathali mbili zilizotumika katika dondoo hili. (alama 4)(c) Eleza aina za kiu na njaa zilizomkumba mrejelewa wa kwanza. (alama 4)(d) Mrejelewa wa pili alishindwa mtihani wa maisha. Jadili. (alama 8

SEHEMU YA D:FASIHI SIMULIZIJibu swali la 6

6. a) Maigizo ni nini. (alama 2)b) Fafanua maiukumu manne ya maigizo. (alama 4)c) Taia na ueleze vipera vinne wa utanzu wa maigizo. (alama 8)d) Eleza sifa sita za maigizo. (alama 6)

SEHEMU YA E: HADITHI FUPI Damu Nveusi na Hadithi nyingine : Ken Walibora na Said A. Mohamed Jibu swali la 7 au la 8

7. Elimu imeshindwa kutimiza lengo la kuwapa vijana uwezo wa kukabiliana na maisha ya kisasa. Thibitisha kauli hii kwakurejelea hadithi zifuatazo. (alama 20)(a) Mke wangu(b) Samaki wanchi zajoto(c) Damu nyeusi.

8. ―………Alimaliza kwa kuandika, ―yajayo yapokee‖(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama4)(b) Thibitisha ufaafu wa anwani ya hadithi hii. (alama16)

Top grade predictor publishers Page | 50

Page 51: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINII YA PAMOJA WILAYA YA MAARA 102/1 KISWAHILI INSHA Karatai ya 1 MWONGOZO

1. Hii ni insha ya hotubaSuraa) Kichwa - hotuba kuhusu madhara ya ulevib) Utangulizi / mwanzo - salamu kwa waliohudhuria kwa kuanza na walio na vyeo vya juu hadi mabibi na mabwana- kujitambulisha kwa j ina- mtahiniwa adhihirishe lengo la hotuba yake (aya ya kwanza)c) Mwili wa hotuba - ndiyo sehemu yenye hoja. Hakikisha kila hoja imeandikwa katika aya yake (hoja sita)d) Mwisho (aya ya mwisho)- mtahiniwa anaweza kumalizia kwa usemi ama kusisitiza hoja muhimu katika hotuba- hadhira yaweza kupewa changamoto kuhusu suala kuu la hotuba- anayehutubu anaweza kuitakia hadhira kila la heriTazama Sio lazima alama za kufungua na kufunga usemi / mtajo zitumike mwanzoni na mwishoni mwa hotuba Akikosa sura, aondolewe alama 4S baada ya kutuzwa Hoja

Huleta ufujaji wa pesa husababisha wizi iii kujitosheleza kifedha hudhoofisha afya hasa viungo kama vile figo, maini n.k. hali ya uchumi hudidimia kwa sababu muda wa kuzalisha mali hutumiwa katika ulevi, mihadarati n.k. huleta mafarakano katika j ami i - watoto kwa wazazi, baba kwa mama n.k humpoteza anayetumia heshima humfanya anayetumia asione haya anapotenda mambo fulani k.v. kukojoa ovyo ovyo, kurushiana matusi n.k. husababisha mauaji katika jamii huathiri uwezo wa ubongo na kuweza kuamua kwa urahisi huwafanya watu kuwa vipofu huua wanaotumia hasa pombe haramu huharibu wajihi wa watumiaji hasa vijana wakaonekana wazee hufanya mtumiaji kuwa mlegevu kikazi, kimasomo n.k. husababisha kuvunjika kwa ndoa

2. - hii ni swali la mjadala- mtahiniwa atoe hoja za kupinga na kuunga- hoja za pande zote zijadiliwe kikamilifu

HojaKuunga

nchi kupunguza madeni kuzuia nchi kufilisika kuzuia mfumko wa bei nchini kupunguza tofauti ya kimapato ya wafanyikazi wake kuboresha uchumi wa nchi

Kupinga ni kinyume na haki za wafanyakazi viwango vya ufisadi kuongezeka motisha ya wafanyakazi kupungua kugura na kujiunga na sekta ya kibinafsi kwa wataalamu kujiuzuru kwa wataalamu uwekezaji kupungua kutokana na uchechefu wa fedha

Tazama mtahini ahakiki hoja zingine za watahiniwa mtahini aonyeshe hoja za pande mbili kisha atoe msimamo

TanbihiMtahiniwa atoe, akuze na aendeleze hoja sita Insha iwe na kichwa la sivyo atakuwa amepungukiwa na mtindo

Top grade predictor publishers Page | 51

Page 52: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

3. Mwanafunzi aandike kisa kitakachooana na methali hii Mwanafunzi azingatie sehemu mbili za methali hii

maana ya juu ni kuwa mtu anayekufukuza si lazima akwambie umwondokee maana ya ndani ni kuwa asiyekuthamini na kutotaka uwe karibu naye si lazima akwambie umwondokee bali atafanya vitendo

vinavyofanya kuwa hakutaki huonya kuwa mtu awe mwangalifu kwa vitendo vya mdhamini wake kutambua kama anamhitaji

Tazama Asipotoa maana ya juu na ya ndani lakini atunge kisa moja kwa moja asiadhibiwe Maudhui yadhihirike kwa kuangazia pande zote za methali la sivyo atakuwa amepungukiwa kimaudhui

Jinsi ya kutuza Mwanafunzi asiyetunga kisa, anaeleza maana ya methali kuanzia mwanzo hadi mwisho amepotoka. Atuzwe D Mwanafunzi atakayezingatia upande mmoja wa methali asipite alama C Insha iwe na kichwa la sivyo mtahiniwa atakuwa amepungukiwa na mtindo Hii ni insha ya mdokezo dhana ya watu kutendea watu wengine kinyama ijitokeze, kwa mfano, kuwaua watu wengine, kunajisiwa, kuwaibia mali,

kuwachomea nyumba n.k.

Tanbihi Mtahiniwa atakuwa amepotoka kimaudhui pale tu hakumaliza kwa kauli aliyopewa, hivyo kuandika yasiyohusiana na swali Mtahiniwa akikosa kumaliza kwa kauli aliyopewa lakini kisa chake kioane na kauli ya swali, atakuwa hajapotoka kimaudhui

bali atakuwa amepungukiwa kimtindo tu akikosa kumaliza kwa kauli hii na kisa chake kisioane na kauli ya swali, atakuwa amejitungia swali (D-02) Insha iwe na kichwa la sivyo atakuwa amepungukiwa na mtindo

Top grade predictor publishers Page | 52

Page 53: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINII YA PAMOJA WILAYA YA MAARA 102/2 KISWAHILI Karatai ya 2 MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA

1. UFAHAMU(a) Limekolea ulimwenguni kote na zaidi barani Afrika alama 2(b) Yamejitenga kama mbingu na ardhi / yako mbali kama mbingu na ardhi alama 2(c) i) Kuboresha mazingira ya uwekezaji ili vitega uchumi viongezekena kubuni nafasi za ajira Kupewa fursa za kielimu katika ngazi zote na kuhimiza mafunzo ya ujasiriamali na ufundi Kubuni mipango ya kuwawezesha vijana kujiajiri Kulegeza masharti ya uwekezaji wa kigeni ili kuwavutia waanzishe miradi ya kubuni nafasi za ajira Ustawishaji wa kilimo ili kuzalisha mali na kubuni ajira zozote 4x1a) i) Wawekezaji wa kigeni huja na tabia kama ubasha / usenga na ndoa za jinsia moja zinazokinzana na maadili

ii) Huleta tatizo la matumizi ya mihadarati ambalo limefuzu kuwa janga kama ukimwi zozote 2x2b) kushukia / kutaharuki itapasa / itafaa / italazimu / itahusu kilimo / ukulima2. a) Watoto wa maskini hushinda njaa shuleni Walimu wao hawana ari ya kufunza na vifaa vya kutosha Shule za kibinafsi zina mazingira na vifaa vya kutosha Asilimia kubwa ya wanafunzi wanaojiunga na shule za upili hutoka katika shule za kibinafsi Juhudi za wizara ya elimu hazijafua dafu Nafasi zote katika shule za upili na kitaifa na vyuo huchukuliwa na watoto wa matajiri Nafasi ya mtoto maskini inazidi kudidimia zozote 7x1, utiririko 1b) Mikakati ya kimaksudi inahitajika kabla ya balaa kuzuka Shule za umma ziwe na mpango wa lishe bora Utu unahitajika katika utanzi wa wanafunzi katika nzazi mbalimbali Shule za umma zinahitajika walimu na vifaa vya kutosha Shule za malazi ziwe za viwango sawa ili kila mtoto awe na msingi bora wa elimu Ujenzi wa shule vielezo unahitajika katika kila wilaya zozote 6x1, utiririko 1

3. MATUMIZI YA LUGHA(a) /k/, /g/, /gh/ /gh/ alama 2(b) Mchwa, mbwa n.k alama 1(c) i) Garimoshi dogo liumiwalo katika mashamba ya mkonge au katika njia ya reli ili kukagua usalama wa reli

ii) Malaya / kahaba / kibiritingoma 2x1d) i) Yule mtoro - kirai kivumishi

ii) Katikati ya barabara - kirai kihusishiiii) Kila wakati - kirai kielezi 3x1

e) Atieno alijikata kidole (Kadiria sentensi ya mwanafimzi) alama 2f) i) lizwa

ii) jia 2x1g) i) jaribu - mjarabu, jaribio, kujaribu

ii) chuma - uchumi, mchumi, kuchuma, chumo l x lh) Mbunge aliwahidi wanafunzi kuwa angewatuza watahiniwa wote ambao wangepita mtihani mwaka huo

alama 3i) Tulibeba maji ya kutosha - kishazi huru l x lii) Tulipoenda safari ya Turkana - kishazi tegemezi 1 x 1

j) si - kikanushita - hali timilifu ku - nafsi pig - mzizi / shina a - kiishio alama 2

k) S - KN + KT __ KN - V + N + S V - yule N - mgeni S - aliyefika jana KT - T + E T - ameondoka E - leo alama 3

l) Mzigo huu huwa mzito ukibebwa na mtu mmoja alama 2

Top grade predictor publishers Page | 53

Page 54: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

m) Vijitoto vimefunga vilango vya vijumba vyao. alama 2n) i) Bila kubakisha

ii) Bila kubagua alama 2o) Wanaskauti wachache walipiga kambi jana asubuhi alama 2p) Mwanafunzi atumie vitenzi vishirikishi vipungufu hivi

i) niii) kiiii) yu n.k

mf. Kikulacho ki nguoni mwako alama 2q) i) Rais - yambwa tendawa

ii) Barua - yambwa tendewa alama 2r) i) Gimba lenye kutuangazia mchana

ii) Kufahamu juu ya lile lenye kuzungumziwa alama 2s) i) Dharau / kubeza

ii) Huzuni / simanzi alama 24. ISIMU JAMII(a) Hupanua msamiati na istilahi za lugha Hufunza watu namna ya kuzingatia kanuni za lugha wanapowasiliana Kuwaunganisha watu wa eneo fulani kilugha Kusawazisha hali mbalimbali zilizotumiwa na watu kutoka maeneo mbalimbali Kuonyesha haja ya kuheshimu na kuzingatia sera za lugha inayotumiwa katika mawasiliano Elimu husambazwa kwa urahisi katika eneo kubwa kwa kutumia lugha moja 5x1(b) Dhima ya lugha Chombo cha mawasiliano Kitambulisho cha mtu utamaduni na utaifa wake Chombo cha kuelezea fikra, mawazo na hisia za mtu Kiunganishi chajamii Kuendeleza utamaduni wa jamii 5x1

Top grade predictor publishers Page | 54

Page 55: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINII YA PAMOJA WILAYA YA MAARA 102/3 KISWAHILI Karatai ya 3

1. USHAIRIa) Huru (2) kwa sababu haiizingatii arudhi

kutaja 1 maelezo 1=2

b) Dhamira Kuonyesha jinsi mwanamke anavyoonewa kwa sababu ya jinsia yake 1x2 = 2c) Mishata ni mistari ya shairi ambayo haijakamilika mf. Hujidadisi kujua kwa nini

Hukaa na kujiuliza kueleza 1 mifano mimli 2 x ½ = 1

d) Balagha mf. wapi jamaa nzima ya wanawake Taswira mf. kushika tama

Takriri mf. kurudiwarudiwa kwa maneno wazia, jidadisi, iwapi zozote 2x2 = 4e) Nafsi - neni ni mwanamke anayedharauliwa 1x2 = 2f) Toni ya huzuni / majonzi / kukata tamaag) Maudhui Dhiki za ulezi Kudhalilishwa kazini Kudhalilishwa kwa sababu ya jinsia Usaliti - wanawake wenzake kutomuunga mkono 2x1=2h) Wanawake wote hawamuungi mkono 1x2 = 2i) Madhila - mateso / shida / maonevu

Kudhalilishwa - kudharauliwa 2x1 = 22. a) Diwani wa 111

Mwandishi amemtumia kuibua maudhui yafuatayo Matatizo yanayowakumba wanacheneo - kupitia mazungumzo yake na daktari Siki, Meya na madiwani k.m. uk.21 - watu

wana njaa, wana uhitaji wa dawa Uzalendo - anatetea maslahi ya wafanyakazi ambao ni wanacheneo Uwajibikaji - anawajibika katika kazi yake hata anapopata pingamizi kutoka kwa Meya na madiwani Usaliti - anakataa kuungana mkono na viongozi wengine (Diwani 1, II na Meya) katika mipango ya kuliendeleza baraza Ubaguzi - anabaguliwa na Meya kikazi. Harnshughulishi katika maamuzi muhimu ya baraza Matumizi mabaya ya mamlaka - Meya anapomwamrisha awaongeze madiwani mishahara na kuacha kuwatoza kodi.

Aiilazimika kumtii Meya hata ingawa shingo upande Ukoloni mamboleo uk.20 ―tumelazimishwa na kaka zetu kupunguza idadi ya wafanyakazi Utegemezi - uk.20 ―kaka zetu hao hawajatoa hela za mkopo ‖ Anaibua maudhui ya ukweli - anamwambia Meya ukweli kuhusu baraza k.m. Lina nakisi zozote 5x1 = 5b) Bili Anaibua maudhui ya ufisadi - ndiye anayeleta wazo la kuiba fimbo ya Meya- anamshauri Meya aongee na mwanakandarasi ili ashinde kesi akiiipwa wagawane pesa- anagawiwa vipande vya ardhi na Meya Msaliti- baada ya Bili kumpa Meya ushauri mbaya na mambo kuharibika, anatoroka. Hapatikani Meya anapomtafuta Ubadhirifu- Meya anampeleka hoteli ya kajifahari kujivinjari kwa kutumia mali ya umraa Mapuuza - anamshauri Meya kupuuza vilio vya wafanyakazi wanapomlilia awasikilize Tamaa - hasa ya Meya anapokubali mawazo ya Bili ya kuliibia baraza zozote 5x1 = 5

c) MhubiriAnasaidia kukuza maudhui yafuatayo;

Unafiki wa kidini (uk.41 -44)Anajifanya kuwa mwanadini ilhaii anaitumia kujinufaisha

- anaombea baraza la Meya lidumu ilhaii linawakandamiza wananchi- unafiki wa Meya - anapojifanya mpole Tamaa

Anakubali kupewa sadaka ya shilingi laki moja na mafuta ya gari kila mwezi kwa kuliombea baraza Ubadhirifu (uk.44)

Kupitia kwake tunaona matumizi mabaya ya mali ya umma na Meya anapoahidi kumpa sadaka kila mwisho wa mwezi nakugharamia petroli

Usaliti

Top grade predictor publishers Page | 55

Page 56: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Anawasaliti wananchi wanaorntegemea kutuliza nyoyo zao anapokubali kushirikiana na Meya badala ya kumwambia ukweli kuhusu utawala wake mbaya

Uwajibikaji (uk.42-43) Kupitia kwake tunapata uwajibikaji wa askari hasa wanaposikia kelele na kuchukua hatua mara moja 5x1 = 5 d) Diwani wa kwanza na wa pili Wanasaidia kukuza maudhui kama i) Usaliti Wanawasaliti wananchi waliowachagua kwa kuunga mkono uongozi dhalimu wa Meya ii) Ubarakala - wanaliwajibikia baraza (Meya) badala ya wananchi wao ni macho na masikio ya Meya (uk. 16) iii) Wanakuza swala la ubinafsi ambapo wanakuwa macho na masikio ya Meya na wanafanya hivi kwa sababu wanalipwa (uk.

16) wanaomba wasitozwe kodi iv) Kutowajibi.ka Madiwani wanawajibikia baraza badaia ya wananchi waliowachagua (uk.17) v) Unafiki Madiwani wanajifanya kutumikia baraza ilhaii wanamtumikia Meya na kujali maslahi yao wenyewe vi) Ukatili Wanamshauri Mey^K^^feiH hatua za kikatili dhidi ya wafanyakazi k.v. kutembeza virungu, kupeana ahadi za uongo n,k. vii) Tamaa Wanaendeieza maudhui ya tamaa kwa sababu wanamtumikia Meya iii kujinufaisha Wanaomba nyongeza ya mishahara ilhaii wafanyakazi wanalipwa malipo duni wanaomba pesa za kununua nguo huku

wananchi wakilala njaa na kufa kwa magonjwa zozote 5x1 = 53. a)i)Maneno haya ni ya Dida akijizungumzia Ni uzungumzi nafsia iiijNyumbani kwa Meya Alikumbuka namna wafanyakazi walivyofurushwa na askari walipokuwa warnegoma. Waliofurushwa ni viatu ilhaii waliofumsha ni watu 4x1=4b) i) Maelezo ya dhana ya watu ni wale wanaostahiliwa katika jamii

Viatu ni wanaodunishwa / dhalilishwa katika jamiiWatu

i) Mstahiki Meya ni mtu kwani ana cheo, ulinzi, lishe bora, watoto wanasomea ng‘ambo, ana Riots Act, entertainment vote n.k.ii) Diwani I na II washauri wanaosikizwa hawalipi kodiiii) Bili - mshauri na rafiki mkubwa wa Meya anajilisha katika hoteli ya kajifahari iv) Mhubiri - anapewa sadaka laki moja, anapewa mafuta ya gari v) Askari - wanapewa uwezo wa kutumia bunduki na rungu wanaongezwa mishahara zozote 4x2 = 8

Viatui) Siki ni kiatu - haheshimiwi na Meya, mawaidha yake hayazingatiwi na Meya, anafukuzwa kutoka kwa Meya, hapewi vifaa

vya kaziii) Waridi - mazingira duni na kazi, ahadi za hewa iii) Wafanyikazi - mishahara duni, wanapogoma wanafurushwa kwa vitoa machozi, wanatozwa kodi iv) Medi, Beka na tatu - hawasikizwi na Meya v) Dida - anatusiwa na Meya vi) Gedi - anatumwa kama boi vii) Mama muuza ndizi - anatozwa kodi viii) Mamake Dadavuo Kaole - anamlisha mtototwe makombo hamudu gharama ya matibabu mtoto ana utapiamlo zozote 4x24. Yusufu alifungwa maisha kwa kusingiziwa kosa la kumuua babake Chichiri Hamadi baada ya mtemi kutoa hongo DJ alisingiziwa wizi na kufungwa jela ambapo anatoroka Mtemi anachukua hongo alipokuwa katika wizara ya ardhi na makao iii awashughulikie watu Mtemi ananyakua shamba la Chichiri Hamadi na mwinyi hatibu mtembezi Amani anasingiziwa uchochezi akiwa chuo kikuu na kufungwa miaka tano Watoto wa matajiri walielimishwa kwa pesa zilizotengewa watoto maskini k.m, Fao Fao anafanyiwa mitihani yote na mwishowe akajiunga na elimu ya juu Amani alipokipata kitoto uhuru mlangoni mwa kibanda anakipeleka kwa mtemi ambaye ni kiongozi ambapo hakumsikiliza.

Badala yake anampagaza ulezi Mwalimu Majisifu alimwibia Amani mswada. Sifa na faida alizipata yeye Majisifu anamtoroka bibiye na kuanza kulala chumba chake pekee baada ya bibiye kupata watoto vilema Amani, Imani na Matuko Weye wanawekwa seli bila kufunguliwa mashtaka / kwa kusingiziwa tu Wafiingwa kwa seli hawapewi chakula Mazingira ya seli ni mabaya - choo kidogo cha umma Haki za watoto zinavunjwa k.v. DJ, Lowela, kitoto kilichobakwa na Benbella, Uhuru Mtemi hakuwapa nafasi Bi Zuhura na Amani wajitetee alipowapata chumba chake cha kulala zozote 10x2 = 20

Top grade predictor publishers Page | 56

Page 57: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

5. a) maneno haya ni ya mwandishi Anamrejelea Bi Zuhura Bi Zuhura amelala kitandani pekee akiwaza ni usiku wa manane Mumewe alikuwa na mazoea ya kumwacha mkewe peke yake na kumzidishia upweke. Aliporudi usiku wa manane hujitupa

kitandani kama gogo (bila kutekeleza majukumu ya ndoa) zozote 4x1=4b) sitiari - kiu / njaa

Msisitizo - alikuwa na, siza kwanza 2x2 = 4

c) i) Alikuwa na kiu ya mapenzi / ya kupendwaii) Alikuwa na kiu ya kuwa pamoja wa mumewe zozote 2x2 = 4

d) Mtemi Nasaba bora alikosa kutimiza majukumu ya ndoa kwa mkewe hadi akatamani (mkewe) kuzini na Amani mwishowe alimtaliki

Mtemi Nasaba Bora alishindwa kudhibiti familia yake ambapo mtotowe madhubuti alimuasi Mtemi Nasaba Bora alijiingiza katika mapenzi na wasichana wadogo marika na binti yake aliishia kupata mtoto wa Lowela

kisha akamtupa mtoto na kusababisha kifo cha uhuru Mtemi alieleweka kumficha Lowela na kumringa kisa kilichomfanya Benbela kusitisha mapenzi / uchumba na Mashaka -

Mashaka akawa mkichaa Mtemi aliiba mashamba ya watu alipogundulika alijuta sana na kujitia kitanzi Alishindwa kutimiza ahadi alizompa msichana waliokuwa naye katika matwana moja wakati msichana alipoibukia kuwa

kiwete Alishindwa kupatana na nduguye Majisifu wakawa maasidi Alipokosolewa na Matuko Weye kwenye jukwaa la siku ya wazalendo, Mtemi hakuwa na subira ila alimfungia Weye

baadaye aliona ujinga wake akamfungulia Mtemi alimwacha mwanamke aliyekuwa akijikopolea barabarani. Jambo hili lilionyesha kutowajibika Mtemi Nasaba Bora aliwapeleka watoto wake ng‘ambo badala ya kuboresha elimu ya tomoko

zozote 4x2 = 8 6. i) Ni masimulizi ambayo huambatana na vitendo ambayo huigizwa jukwaani mbele ya hadhira 1x2 = 2

ii) Hukuza undugu na ushirikiano kati ya jamii mbalimbali Hukuza ubunifu wa wasanii Kuimarisha uwezo wa kukumbuka Ni kitambulisho cha jamii Kupitisha maarifa kutoka kizazi kimoja hadi kingine Ni kiburudisho cha watu Kujasirisha na kujiamini za kwanza 4x1 = 4

iii) Vipera vinne vya maigizo Michezo jukwaani Vichekesho Majigambo Michezo ya watoto Ngonjera Miviga Matambiko Ngomezi za kwanza 4x2 = 8iv) Sifa Kuweko kwa jukwaa Kuweko kwa waigizaji Vitendo vya kuigizwa Kujenga taswira kwa ufundi wa ha!i ya juu Hutumia maleba na vifaa maalum Huambatana na ala za muziki Nyimbo huhusishwa Huigizwa mbele ya hadhira Maigizo huiga hali halisi ya maisha ya jamii, kisiasa, kijamii na kiuchumi zozote 6x17. Mke wangu

Msomi - mume wa Aziza alama 2 Hana elimu ya maisha mfano Anaishi nyumba moja na wazazi wake iii wamlishe Pesa za masrufu anapata kutoka kwa wazazi wake Hatafuti kazi ingawa amesoma Amesoma lakini anaogopa mke aliyesoma Anashindwa kutatua matatizo ya nyumbani kWake kuhusu kutoridhika kwa mkewe

Top grade predictor publishers Page | 57

Page 58: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Anafuliwa nguo na mapanya Anakubali kutafutiwa mke ingawa suala hili limepitwa na wakati 5x1 = 5

Samaki wa nchi za joto Msomi - Christine alama 2Hana elimu ya maisha

Ni kahaba wa Peter licha ya kuwa mwanachuoni Anaavya mimba huku akijua athari za kitendo kile Aliendelea na uhusiano wa kimapenzi ingawa alijua kuwa Peter hakumpenda Anaendelea na ulevi licha ya kuwa bado chuoni Ni mwanafunzi wa sosholojia ingawa haonyeshi kuelewa kuwa anatumiwa vibaya na Peter Hamjui Peter kwa jina la pili Haonekani kukerwa na uhusiano wa Peter na wasichana wengine 5x1 = 5

Damu NyeusiMsomi - FikiriniKiwango - uzamifti alama 2

Hana elimu ya maisha Anashawishiwa kwa urahisi na fiona kwa sababu hakutambua ulaghai wa wanawake wamerekani weusi Anaingia katika chumba cha fiona bila kumjua vizuri Anawaona wamarekani weusi kama ndugu kwani ni weusi 2x2 = 48. Haya ni maneno ya mwandishi Akimrejelea Masazu Ni maneno aliyoandika katika barua ya kumjibu Sela Sela amegundua kuwa ana mimba ndipo anamjulisha Masazu. Maneno hayo yanaonyesha kuwa Masazu hakuchukulia suala

la ujauzito kwa Sela kuwa zito 4x1 =4 b) i) Anwani ni kanda la usufi - maana yake ni kuwa shida za watu wengine ni shida zao na haziwahusu wengine

alama 2

Baada ya Masazu kumpachika Sela mimba na kutaarifiwa anamlaumu kwa kutojikinga na kumwambia yajapo yapokee, kwake ni jambo rahisi

Mzee Butali alipoitwa shuleni na kujulishwa kuwa bintiye ni mjamzito, hachukuiii suala la ulezi kwa uzito - analielekeza kwa mwalimu mkuu Bi Margaret

Bi Margaret alipoita majina ya wanafunzi watatu gwarideni, wanafunzi waliangua kicheko Mzee Butali alimlaumu mkewe na bintiye kwa shida iliyoikabili familia yake Rozina hakujali na litakalowapata Masazu na Sela usiku wenye mvua nyingi na kiza tele Bi Margaret hakujali hatima ya wasichana watatu kwani alitaka waende shule za kutwa Sela alisitisha masomo ilhaii Masazu aliachwa akisoma ingawa wote walikuwa wahusika Masazu haguswi na jambo hili Mwajiri wa Masazu alimpa mshahara mdogo hakujali matatizo yake Wazazi wa Sela hawakujali uzito wa Masazu wa Sela. Walimtaka Masazu atimize matakwa ya utamaduni ndipo waungane na

mtoto wao zozote 7x2 = 14

Top grade predictor publishers Page | 58

Page 59: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA MOKASA 2016 102/1 KISWAHILI Karatasiya 1 INSHA Muda: Saa 1¾

1. LAZIMAWewe ni mhariri wa gazeti la ChanukaUendelee. Andika tahariri kuhusu kuenea kwa tatizo la ubadhirifu wa mali ya ummakatika magatuzi mbali mbali na kupendekeza njia mbali mbali za kukabiliana nalo.

2. Mradi wa serikali wa vipakatalishi kwa shule za msingi nchini utakuwa na manufaa sihaba. Jadili.3. Tungakisakitakachodhihirishamaanayamethaliifuatayo:

Fimboyambalihaiuinyoka. 4. Tungakisakitakachomalizikakwamanenoyafuatayo:

..nilishushapumzikwahisiazashukrani, safari hiihaikuwarahisinawengihawakutarajiakuwaningefaululichayawingu la simanzinamisukosukolililoniandamatarikinzima.

MTIHANI WA PAMOJA WA MOKASA 2016

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA MACHI 2016 MUDA: SAA 2½ UFAHAMU (alama 15) Idara ya polisi nchini imelaumiwa kwa muda mrefu kutokana na visa vya mauaji ya kiholela, utepetevu na ufisadi miongoni mwao.Ni kutokana na kilio cha mwananchi pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali ambapo serikali imejitolea sabili kubadili hali katika idara hiyo huku tume mbali mbali zilizobuniwa zikitoa mapendekezo muhimu ya kurekebisha idara hiyo. Matokeo ya hivi punde kutoka kwa shirika la Transparency International liliorodhesha idara ya polisi kama idara fisadi zaidi nchini,maoni ambayo yalisisitiziwa na shirika la kutetea haki za kibinadamu .Ufisadi bado umekita mizizi katika idara ya polisi tangu mabadiliko yaanze upande wa trafiki na hata ndani ya polisi,.

Serikali imejitolea kupambana na ufisadi unaonekana kuwa kidonda ndugu katika idara ya polisi. Wananchi wanasema kuwa polisi ni mafisadi na kusahau kuwa ufisadi unashirikisha watu wawili na wote wanapaswa kufunguliwa mashtaka,lazima raia na polisi wazingatie hili.Na ili kuleta mabadiliko muhimu katika idara ya polisi,mapendekezo yote pamoja na ya tume zingine za hapo awali lazima yatekelezwa na kwa mujibu wa katiba mpya.Lazima mabadiliko yaanze kuanzia juu kwani maafisa wadogo hulazimiswa kuchukua hongo ili wapelekee wakubwa wao,ni lazima shughuli ya kuwachagua maafisa waliobora ifanyike kisheria ili mabadiliko yaanze kutoka kwa wakuu wa maafisa wa polisi.

Polisi kidogo wameweza kubadili ile lugha yao ya matusi na ukali kwa rai.Raia nao hawajabadilika,bado wana uwoga dhidi ya polisi na itachukua muda kwani wanadhania kuwa kikosi ni kile kile cha kitambo.Kwa upande wa polisi, hakuna mageuzi yamefanyika.Unaposafiri kuja mjini polisi wangali wana chukua hongo kutoka kwa wenye matatu na kuwaruhusu kubeba kupita kiasi, pia usalama umedorora sana kwani kumekuwa na visa vingi vya mauaji hapa mjini.ukiangalia maafisa wa polisi hakuna mageuzi makubwa yameshuhudiwa haswa kwa upande wa maafisa wa trafiki bado ni wale wale na ufisadi ungali upo.

Mabadiliko ambayo tunataka ni ile polisi wasikae mahali kwa muda hadi wanajuana na mafisadi na majambazi.Maafisa wa polisi wanafaa kuhudumu katika kituo kimoja kwa muda usiozidi miaka mitatu.Kwa kufuata njia hiyo mabadiliko yatapatikana.Juhudi nyingi zikielekezwa katika kubadili kikosi cha polisi wananchi wanapaswa kuhamasishwa ili nao wawezakubadilikahaswa kuhusuiana na mtazamo wao kwa maafisa wa polisi .Na huku tukijaribu kubadili maafisa wa polisi wananchi pia wanapaswa kuelimishwa ili waweze kubadili mtazamo wao kuhusu maafisa hao.Ni bayana kuwa ili kuweza kuleta mabadiliko ya kutamanika katika kikosi cha polisi na haswa katika kupambana na ufisadi uliokita mizizi wananchi sawia na maafisa wa polisi wanajukumu la pamoja kuleta mabadiliko hayo yatakayopelekea kuwepo kwa mlahaka mzuri kati ya maafisa wa polisi na raia.Hatimaye kuwepo kwa huduma bora itakayochangia pakubwa kuboresha uchumi wa taifa na kuafikiwa kwa ruwaza ya mwaka 2030. Maswali

a) Kipe kifungu hiki kichwa mwafaka. (alama 1)b) Thibitisha kwamba ufisadi ni kidonda ndugu ukirejelea makala haya.. (alama2)c) Ni vipi ufisadi katika idara ya polisi unaweza kuzikwa katika kaburi la sahau? (alama2)d) ‗Wananchi ndio wanapaswa kulaumiwa kwa ufisadi.‖Thibitisha. (alama 3)(e) ― Serikali imepiga hatua katika kuleta mabadiliko katika idara ya polisi‖.Onyesha kinayacha usemi huu. (alama 2)(f) Taja manufaa yoyote mawili yanayotokana na mabadiliko katika idara ya polisi (alama2)

Top grade predictor publishers Page | 59

Page 60: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(g) Eleza maana ya: (i) Mlahaka (ii) Utepetevu (iii) Kujitolea sabili (alama 3)

UFUPISHO (Alama 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yanayofuata

Kwa miaka na dahari, nchi nyingi za Asia, Amerika Kusini na Afrika, zimekuwa na mamilioni ya watoto wanaoteseka. Matatizo huwakumba kwenye hali nyingi. Si kielemu, si kiafya, si kiutamaduni na kimakuzi tu, bali hata kiuchumi. Nguvu zao na uwezo wao hufujwa kwa njia zinazokirihisha nyoyo. Wale wanaopenda maendeleo na kutilia nguvu haki za kibinadamu huudhiwa kupindukia.

Wazazi wengi wa sehemu hizo wamekuwa wakiamini mambo kipuuzi. Wamekuwa wakidhani kuwa wingi ni hoja, lakini wazazi hawa huwapata watoto wengi wasioweza kuwatunza. Isitoshe, huwachukulia watoto kama sehemu ya mali yao badala ya kuwachukulia kuwa ni binadamu wenzao. Akili haziwapigi na kutambua kuwa, hata nao ‗vinyang‘arika‘, wakitunzwa vizuri na kupewa nafasi mwafaka za kuwainua kimaendeleo, wataweza kuwa watu wa kutajika katika jamii. Wazazi kama hao wanadhania ya leo ni leo tu, msema kesho ni mwongo. Dhana hizo finyu na potovu zimewapelekea kuthamini uzaaji wa watoto wengi ili watoto hawa wawe punda wa dobi. Wazazi hawa wanajihisi matajiri wa kupindukia wanaopata vijana wengi wa kuwasaidia katika kazi zao bure bilashi.

Baadhi ya watoto hunyimwa nafasi ya kwenda shule. Wale wanaonjeshwa masomo kidogo, huachishwa kisomo hicho mapema. Sababu za kuhinishwa huko kwa kisomo zinafahamika vizuri na wahusika hao. Mara nyingi, huachishwa shule ili wawe mayaya wa watoto wenzao au wakafunge mifugo, kulima shambani, kusaidia biasharani na katika sekta za juakali. Watoto hawana nguvu za kukataa kwani ni kinyume cha utamaduni kuwapinga wazazi. Isitoshe, watoto hawa wanawategemea wazazi hao kwa kila kitu. Utiifu huu, ingawa una uzuri wake unazorotesha maendeleo kupindukia.

Unyonge wa aina hii umefanya mashirika ya viwanda, ya mashamba kama ya chai, kahawa, ya pamba na ya juakali kuwatumia watoto vibaya bila ya kujali maslahi ya watoto hao. Baadhi ya watu wameanzisha mashirika ya uasherati na utumwa. Watoto wanateswa na kuingizwa kwenye majanga yanayotokana na ukimwi na mengine ya uzinifu. Kutokana na dhuluma hizi, watoto hukandamizwa na kupewa posho duni ya kuwapa uhai tu. Matajiri wamezidi kufutuka kiuchumi kutokana na jasho la watoto hao. Watoto hawapewi kinga zozote za kemikali wala kuonyeshwa jinsi ya kuzitumia kemikali hizo. Wakuu wao hutumia saikolojia duni za watoto kuwawezesha kujikuza kiuchumi. Huwapa viperemende hafifu na viungo ovyo ili watoto waimbe na kucheza ngoma za watu hao. Watoto, kwa kutojua, huwasifu wakuu wao badala ya kuwalaani kwa kuwanyonya hadi mifupani na kupewa vijipesa tu. Kwa kuwa ni watoto hawatambui kuwa wanahiniwa.

Matajiri nao husahau kuwa watoto hao wakisoma vizuri hadi mwisho, wanaweza kutoa huduma bora nchini. Inadhihirika kuwa lengo potovu la watu hao ni kukwepa kulipa mishahara mikubwa kwa watu wazima. Lakini nasema si sawa kuwanyonya watoto. Matajiri hawa wangehisi vipi kama watoto wao nao wangefanyiwa hivyo? Ama ni yule ya mkuki kwa nguruwe, kwa mwanadamu uchungu? Serikali zina mikono mirefu. Inafaa ziwachukulia hatua kali wazazi na maafisa wanaotumia watoto kama matambara mabovu. Watoto nao wanafaa kuzinduka na kutaka kusoma kinyuki. Inafaa wajue kuwa vipesa vya ujakazi ni sumu.

Mashirika ya aina hiyo, inafaa yakipatikana na hatia, yapewe adhabu kali. Yalazimishwe kuwasomesha na kuwakimu watoto hao vilivyo, bila kuwanyanyasa ndipo wasome, kadri ya uwezo wao.

Maswali (a) Bila kupoteza maana iliyokusudiwa fupisha aya mbili za mwanzo kwa maneno (45-50) (al. 6, 1 utiririko)(b) Kwa kuzingatia taarifa hii eleza namna maonevu dhidi ya watoto yameendelezwa. tumia maneno (50-55)

al. 9, 1 utiririko)

MATUMIZI YA LUGHA (alama 40)

a) Kutokana na kigezo cha jinsi hewa inavyozuliwa,taja aina mbili za konsonanti na utolee mifano kila moja. (alama 2)b) Bainisha muundo wa silabi katika neno (alama 2)

Gongwac) Eleza maana ya mofimu funge na kutoa mfano mwafaka (alama 1)d) (i) Eleza maana ya kiarifu. (alama 1)

(ii) Onyesha kiarifu katika sentensi ifuatayo (alama 1)Mtoto aliyezungumza na nyanyake ameingia darasa lililochafuliwa na watundu.

e) Bainisha shamirisho katika tungo lifuatalo. (alama 2)Mwanafunzi alipewa dawati na mwalimu jana jioni

f) Bainisha matumizi ya kiambishi „ku‘ katika sentensi hii (alama 2)Naomi atakupikia chai halafu aende kule uwanjani

Top grade predictor publishers Page | 60

Page 61: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

g) Tambua aina ya kivumishi na kihusishi katika sentensi ifuatayo (alama 2)Kijana mgeni amekaribishwa na mgeni

h) Tunga sentensi ukitumia kitenzi ‗-nywa‟ katika kauli ya kutendeka. (alama 1)i) Tunga sentensi iliyo na kitenzi kishirikishi kilicho na kiambishi nafsi na wakati (alama1 )j) i) Eleza dhana ya kishazi. (alama 1)

ii) Onyesha aina za vishazi kwa kutumia sentensi moja. (alama 1)k) Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia vishale (alama 4)

Alimwona mamba majini alipopiga mbizi. l) Yakinisha (alama 2)

Mgonjwa huyo hakupona wala kurejea nyumbani m) Sahihisha sentensi ifuatayo (alama 2)

Mgeni ambaye aliyekuja atarudi jana. n) Akifisha sentensi ifuatayo (alama 2)

Juma Maria ulimwona Farida Maria la hakuwepo jana o) Andika sentensi ifuatayo katika wingi. (alama 1)

Ua unaozunguka nyumba una ua lililopandwa. p) Weka nomino hizi katika ngeli zake (alama 1)

(i) Mbalungi (ii) Mturuki

r) Andika katika hali ya udogo (alama 2)Alishikwa na jipu ambalo lilivimbisha kidole chake cha mguu mithili ya pera.

s) Andika katika usemi wa taarifa (alama 2)―Lo! Kumbe wazuri hawajazaliwa,‖ Omari alisema baada ya kumwona kisura huyo.

t) Andika misemo inayoafiki hali zifuatazo (alama 2)(i) Kubahatika (ii) Ubahaili

u) Eleza maana tatu za sentensi ifuatayo (alama 3)Mama alimwimbia mwanawe.

v) Tunga sentensi moja kutofautisha maana mbili ya neno ziwa (alama 2)ISIMU JAMII (ALAMA 10)

(a) Eleza maana ya istilahi hizi; (alama 2)(i) Usanifishaji(ii) Lahaja

(b) Taja sifa zozote nne za lugha yoyote ile. (alama 4)(c) Eleza mambo yanayochangia makosa ya kisarufi na ya kimatamshi katika lugha ya Kiswahili (alama4)

Top grade predictor publishers Page | 61

Page 62: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA MOKASA Hati ya Kuhitimu Kisomo cha Sekondari - Kenya 102/3 KISWAHILI Karatasi ya 3 FASIHI Machi/Aprili 2016 Muda: Saa 2½

A. HADITHI FUPI: DAMU NYEUSI NA HADITHI NYINGINE 1. Swali la lazima

Kanda la Usufi―Hakujua maisha yake yangechukua mkondo upi. Mzo wa majuto ulimwandama. Ulimwengu wake ulivurugika, akawa kamatiara inayopeperushwa na upepo ikaenda arijojo‖

(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Taja na kueleza tamathali ya usemi kwenye dondoo hili. (alama 4)(c) Kwa kutolea mifano, onyesha jinsi anwani Kanda la Usufi inavyoafiki hadithi husika. (alama 12)B. SEHEMU YA RIWAYA

Kidagaa Kimemwozea: Ken WaliboraJibu swali kla 2 au la 3

2. ―Nyamaza boza wewe. Wadhani sisi kazi tunaanza leo? Tumekutana na wauaji wangapi?a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Dondoo hili linadokeza maudhui gani? Kwa kutoa mifano saba kwenye riwaya, bainisha jinsi maudhui hayo

yanavyojitokeza. (alama 16)3. Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea imesheheni hali zinazotukia bil kutarajiwa. Fafanua. (alama 20)C. SEHEMU YA TAMTHILIA

MSTAHIKI MEYA: Timothy Arege

4. Hayawezi kulinganishwa na tendo hili ndogo. Walifanya vizuri kuja.(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Fafanua nafasi ya wanaorejelewa kuwa ― walifanya vizuri kuja‖ katika tamthilia hii. (alama 4)(c) Migogoro katika tamthilia hii hazikusuluhishwa vyema. Jadili. (alama 12)5. Jadili matumizi ya mbinu ya ishara katika tamthilia hii. (alama 20)

D. SEHEMU YA USHAIRI 6.

Nitafukuzwa mbinguni Kwa ushairi wangu mbaya Lakini hata motoni nitaimba:

Wanasema Wanasiasa ni kama jizi

Lililosukuma mtoto pembeni Na kunyonya ziwa la mama Wakati amelala usingizi usiku.

Wanasema Mwanasiasa afapo

Tumejikomboa na domo Moja pana lizibwalo na mchanga Na kilima cha simenti ngumu

Lisikike tena hadharani.

Wanasema pia Kusema haki Kwa kawaida

Wanasiasa hatuwapendi. Kupiga kura ni hasira za mkizi

Ni basi tu. Ni Ah! Ah!

Wanamalizia Nchi mmefiilisi waacheni walimu

Wakajenga taifa jipya.

Top grade predictor publishers Page | 62

Page 63: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Kama hamwezi kuona mbali Bure kuweka mkono usoni,

Bure hakuna kichwa Kama hamwezi kufikiri.

Ng‘ombe amekamuliwa na wazungu Waarabu, wahindi na wao

Sasa anatoa damu Vilivyobaki ni chai ya rangi Na madomo mapana zaidi

Yaliyo bado hai. Kuimba nimeimba

Maswali (a) Mshairi ana dhamira gani? (alama 2)(b) Shairi hili ni la kukatisha tama, tetea rai hii. (alama 2)(c) Onyesha matumizi mawili ya mishata. (alama 2)(d) Eleza mbinu zozote nne za lugha zilizotumika katika shairi hili. (alama 4)(e) Andika ubeti wa mwisho katika lugha tutumbi. (alama 4)(f) Fafanua umbo la shairi hili. (alama 3)(g) Eleza maana ya mafungu ya maneno ya maneno yafuatayo: (alama 3)

(i) kupiga kura ni hasira ya mkizi (ii) kuweka mkono usoni (iii) ng‘ombe amekamuliwa.

7. SABUNI YA ROHOEwe tunu ya mtima, kwa nini wanikimbia? Ndiwe suluhu za zama, waja wakukimbilia, Waja wanakutazama, madeni wakalipia, Ndiwa sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.

Ndiwe mafuta ya roho, walisema wa zamani, Utanunua majoho, majumba na nyumbani, Umezitakasa roho, umekuwa mhisani, Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvinja mlima.

Matajiri wanakujua, wema wako wameonja, Nguo zao umefua, wakupata kwa ujanja, Sura zao ‗mefufua, wanazuru kila njanja, Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.

Ndiwe mvunja mlima, onana na maskini, Watazame mayatima, kwao kumekua duni, Webebe waliokuwa, wainue walio chini, Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.

Ndiwe mvunja mlima, wapi kapata uwezo, Umezua uhasama, waja kupata mizozo, Ndiwe chanzo cha zahama, umewatia vikwazo, Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.

Umevunja usuhuba, familia zazozana, Waliokuwa mahabuba, kila mara wagombana, Roho zao umekaba, majumbani wachinjana, Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.

Nakutafuta kwa hamu, sabuni unirehemu, Sinilipue ja bomu, sije kawa marehemu, Niondoe jahanamu, ya ufukara wa simu, Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.

Naondoka wangu moyo, nikuitapo itika, Fulusi wacha uchoyo, tatua yalonifika, Nichekeshe kibogoyo, nami nipate kuwika, Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.

Top grade predictor publishers Page | 63

Page 64: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Maswali (i) Taja nafsi nenewa. Thibitisha. (alama 2)(ii) Eleza toni ya nafsi neni. (alama 1)(iii) Eleza arudhi zozote nne zilizozingatiwa katika utunzi wa shairi hili. (alama 4)(iv) Mshairi anawasilisha ujumbe gani katika mleo wa ubeti wa sita? (alama 1)(v) Ukitoa mfano eleza mbinu zozote tatu za lugha alizotumia mshairi. (alam 3)(vi) Andika ubeti wa nne katika lugha nathari. (alam 4)(vii) Jadili jinsi mshairi anatumia ruhusa ya mshairi. (alama 2)(viii) Kwa kurejelea mpangilio wa vina eleza bahari ambamo shairi hili linaweza kuainishwa. (alam 1)(ix) Fafanua maana ya : (alama 2)

(i) ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima(ii) jehanamu

C. FASIHI SIMULIZI8. (a) Eleza maana ya mivigha. (alama 2)

(b) Fafanua sifa zozote nne za mivigha. (alama 8)(c) Taja hasara zozote nne zinazohusishwa na mivigha. (alama 4)(d) Eleza njia zozote tatu unazoweza kutumia kukusanya data kuhusu mivigha. (alama 6)

Top grade predictor publishers Page | 64

Page 65: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA MOKASA - 2016 MWONGOZO WA USAHIHISHAJI KARATASI YA 1

1. Wewenimhaririwagazeti la Chanukauendelee. Andikataharirikuhusukueneakwatatizo la ubadharifuwamaliyaummakatikamagazetimbalimbalinakupendekezanjiambalimbalizakukabiliananalo.

- Hiiniinshayatahariri.Pawenavipengelevifuatavyovyasura;- Kichwakinachorejeleamadailiyotolewakwamfano, Ubadhirifuwamalikatikamagatuzimbalimbali.- Uhusikawamharirina/au gazeti la ChanukaUendelee, kwamfano, sisikatikagazeti la

ChanukaUendeleetunapendekeza………- Lughayakuonyeshahisiazamhaririwagazetikuchukizwanatatizo la ubadhilifuwamaliyaumma.- Jina la gazetina la mhariri

MajibuBaadhiyahojazakuonyeshatatizo la ubadhinifuwamali.- Wawakilishiwawodikujilibikiziamarupurupuyakilaaina.- Safari zanjeyagatuzinazisizozamanufaayoyotekwagazetihusika.- Ununuziwavifaakwabeiyajuukulikoilivyokwenyesoko.- Ujenziwabarabarananyumbakwagharamayajuukupitakiasikinachostahili.- Matumizimabayayamaliyaummakama vile magari, magavanakuwanamisafaranakuandaa karamu zakilaaina.- Wanakandarasikulipwakiasikikubwa cha pesakulikoinavyopaswanakuendelezamiradiduni.- Hudumazaafyakukumbwanamigomoyamarakwamarakwasababuyahelazasektahiyokutumiwavibayakwingine.- Kuajiriwakwamaafisapasinakuzingatiataalumayaoilaukabilanaunasabahivyowakapatamishaharaisiyosaidiagatuzikukua.

Mapendekezo- Magavanawanaotumiamamlakayaovibayawachunguzwenatumeyakukabiliananaufisadinakufikishwamahakamani.- Habarikuhusumatumiziyakibadhirifukwenyemagatuzikuangaziwakwenyevyombovyahabariilikuwaaibishamafisadi.- Wanakandarasikulipwabaadayakukamilishamiradiyao.- Sheriakuhusuuwakalanautoajizabuniiwezekufanyiwamarekebishoilibidhaanahudumazitolewekwabei/gharamainayostahili- Makadirioyamatumiziyafedhakatikamagatuzikuangaziamaendeleonautoajiwahudumawalasimalipoyamishaharapekee.- Kununuliwakwavifaavyamatibabunaujenziwahospitalibadalayakushirikishughulizakibadhirifu.- Kupigwamarufukukwa safari nasherehezisizoongezachochote cha thamanikwamagatuzi.- Kupunguzwakwamarupurupuyawawakilishiwawodinakuthibitiuwezowaowakujiongezamarupurupuhayo.

Tanbihi- Gatuzilinawezakuwa la kihalisia au la kubuni.- Matukioyaubadhirifuyanawezakuwayaliyotokea au yanayofikirikakutokea.- Wakati (Hati) - Arejeleematukioyanayoendeleakutokea.

Utuzaji- Mtahiniwaanahitajikakueleza visa mbalimbalivinavyothibitishakuwakunaubadhirifuwamaliyaummakatikamagatuzi.

(Paweponaangaa visa vinnne). Mtahiniamtuzemtahiniwa pale hojainapokamilikiakwamkwajupembezoni.- Mtahiniwaatoemapendekezoyakukabiliananaubadhirifukwenyemagatuzi.

Mapendekezomanneyataafikimtahiniamtuzemtahiniwakwakumpamkwajuuliokatwapembezoni pale hojainapokamilikia.- Atakayekosa visa au kuvitajapasinakutoamaelezoamepotokakimaudhui. Atuzwealamaya D 03/20- Atakayekosavipengelevitatuvyasura au kuandikabaruakwamhaririaondolewealama 4Sbaadayakutuzwa- Atakayekosakutajagazeti la ChanukaUendeleekokotekatikainshayakeaondolewealama 2G (gazeti) baadayakutuzwa.

2. Mradiwaserikaliwavipakatalishikwashulezamsinginchiniutakuwanamanufaasihaba. JadiliKuunga

- Tarakilishiitarahisishakaziyamwalimu:(i) Itawezeshakutoa Makala yatakayotumiwanawanafunzipamojanawalimu.(ii) Uchapishajiwamtihani.- Itapunguzagharamayamtihani.- Ni jukwaamuhimukatikakupaliliastadizakutafiti.- Itarahisishamawasiliano.- Itawezeshautangamanonakurahisishaubadilishanajiwamawazo.- Itawezeshamwalimummojakufunzawanafunziwengikwawakatimmoja.- Litakuwasuluhumwafakakatikakufidiauhabawawalimunchini.

Kupinga- Mradihuuutagharimuserikalipesanyingikwahivyoutakuwamzigokwamlipaushuru.- Changamotoyakuzuiawanafunzikuingiasehemuzisizoruhusiwakwao-pichazangono.- Utapunguzanafasizaajirakwawalimu.- Ni mradiambaoutachukuamudamrefukufaulu.- Shulenyingihazinanguvuzaumeme.- Wataalamwakuakisinakufaulishamradihuuniwachache.

Top grade predictor publishers Page | 65

Page 66: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

- Ufundishajikwanjiayatarakilishiutapunguzamtagusanokatiyamwalimunamwanafunzi.- Uchafuziwamazingirakutokananavipulinatarakilishizilizoharibika.- Kuharibikakwautamaduni.

Muhimu- Hiiniinshayamjadala.- Mtahiniwaajadilipandezotembilizaswalihili.- Mtahiniwaatoehojazakuunganakupingakishaatoemsimamo wake kulingananahoja.- Mtahiniwaasipotumiawakatiujaoatakuwaamejitungiaswali-atuzwe D 03/20- Atakayeegemeaupandemmojatuatakuwaamepotoka; atuzwe C 08/20- Ili mwanafunziachukuliwekuwaamelijibuswalikikamilifuawezekuwanajumlayahojasaba.

3. (i) Fimboiliyombalihuwezikuitumiakumwuanyokaaliyekukaribia.(ii) Huwezikutegemeakitukilichombalikwamahitajiyadharura. (iii) Kisakinawezakulenga;

Mtualiyenuiakutendajambo/shughulifulanilakiniakakosavifaa/maarifayakushughulikiadharurahiyonamwishowekukosakufaulu

AU Mtualiyetegemeamsaadawambali (jirani, mtumwingine) kutekelezashughulifulaninamwishoweakosekufaulukutokananakukosamsaadahuomuhimu, chambilecho; Hamadikibindoni, nisilahailiyomkononi.

UTUZAJI - Sehemumbilizamethalizijitokezewaziwazi. Yaanisehemuyadharura (nyoka) nasehemuyauhitaji/msaada (fimbo)

ambayoinakosekana.- Atakayeshughulikiaupandemmojawamethaliatakuwaamepungukiwakimaudhuiasipite C+ 10/20.- Atakayebunikisakisichoafikimaanayamethaliatakuwaamepotokakimaudhui. Atuzwe 03/20.- Atakayebunikisakwakutumiamaanayajuu/wazi (bilakumhusishabinadamu) atakuwaamepotokakimaudhuiatuzwe D 03/20.- Atakayetajaupandewapilibilakutoamaelezokikamilifuatakuwaamelengailaanaudhaifuwakimaudhui.

4. (i) Mtahiniwaamaliziekwamanenohaya. AnayekosakumaliziakwayoamejitungiaSwaliatuzwe D 01/20 au 02/20

(ii) Anayeongezamanenochiniyamatano, achukuliwekuwanakosa la mtindonaakadiriweifaavyo. (iii) Anayekata au kusahaumenenochiniyamananoachukuliwekuwanakosa la kimtindo;akadiriweifaavyo. (iv) Kisha cha mtahiniwashartikionyeshemhusikaaliyepitiakatikahalingumuainaainakwamajonzi/simanzinamisukosuko.

Watuwaliomjua au waliokuwawakimshuhudiawakipotezamatumainiyakekunusurika, lakinibaadayeakafaulukimiujizanakuwaachawengiwakishangaa.

Uhusika Asiyezingatianafsiya kwanza atuzwe D 01/20 au 02/20.

Mifano a) Mwanafunzialiyefiwanawazaziakiwamdogolakinianajibidiishakwashidanyinginakufaulumtihani wake.b) Mtualiyepotezampenziwenakukumbananahalingumumaishanilakinibaadayeanafaulu.c) Mhusikaaliyeanza safari yambaliakakumbananamatatizomenginjiani, lakinihatimayeakafaulukufikaalikokuwaakienda.d) Mhusikaanawezakuwaderevawamashindanoyamagari, baiskeli au

riadhaanayekumbananamatatizomashindanonilakinibaadayeakafaulu. e) Tanbihi: Yatathminimajibumengineyamtahiniwa.

Kumbukamtahiniwashartiaonyeshesimanzinamisukosukokatikakisachake. Atakayeshughulikiasimanzibilamsukosuko au misukosukobilasimanziamejibuswalinusu; asipitealamaya C+ 10/20.

Tanbihi Mtahiniwaazingatieurefu. Atakayeandikainsharoboasipite D+ 05/20 Atakayeandikainshanusuasipite C+ 10/20 Atakayeandikainsharobotatuasipite B+ 15/20

Maneno 0 - 174 insharobo175-274 inshanusu275-374 insharobotatu375 na Zaidi inshakamili

Top grade predictor publishers Page | 66

Page 67: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MWONGOZO WA KUSAHIHISHA MTIHANI WA PAMOJA WA MOKASA 2016 Kiswahili Karatasi ya 2 Lugha UFAHAMU

(a) Mabadilikokatikaidarayapolisi ... 1x2= 2(b) (i) Ufisadinikeroambalolinaendeleakutatizakilamtukatikamaishayakilasiku

(ii) Ufisadikuonekana ..kamakituambachoningumukulitatuakabisa.. 2x1=2(c) i) Lazimamabadilikoyaanziekatikamaafisayajuuzaidikablayakuwafikiamaafisawadogo. Kwa

sababuwaohuchukuahongozinazochukuliwanawadogowao(i) (ii) Raiawaweza pia kuwajibikawanapojiingizakatikaufisadi ...(d) (i). Raiawanatoahongokwapolisi

(ii) Uwogowawananchidhidiyapolisi 3x1=3(e) (i) Polisiwatrafikiwanachukuahongobarabarani

(ii) Usalamakudororamijini. Zozotembili2x1= 2(f) (i) Kuwepokwauhusianomzurikatiyapolisinaraia

(ii) Uchumikuimarika(g) (i) mlahaka - uhusianomzuri

(ii) Utepetevu- ulegevu(iii) Kujitoleasabili - kujitoleakabisa (iv) Ainishasilabikatikatungolifuatalo (alama 2)

Gongwa

MATUMIZI YA LUGHA(a) Vipasuo - /p/,/b/,/t/,/d/,/j/,/k/,/g/

Kipsuo-kwamizo /ch/Kitambaza /l/Kimandende /r/

(b) Go - KINgwa - KKI 2 x 1 = 2

(c) Elezamaanayamofimufunge. (alama 1)Mofimuambazohaziwezikujisimamia.Mfano a-na-som-a

(d) (i) Elezamaanayakiarifu. (alama 1)Sehemuyasentensiambayohutoahabarikuhusukiima

(ii) OnyeshakiarifukatikasentensiifuatayoMtotoaliyezungumzananyanyakeameingiadarasalililochafuliwanawatundu.

(e) Bainishashamirishokipozinashamirishokitondokatikatungo. (alama 2)Mfano.Mwalimualimpamwanafunzidawati.Mwanafunzi - shamirishokitondoDawati - shamirishokipozi (Hakikijibu la mwanafunzi)

(f) Atakupikia -nafsiya piliKule-mahali

(g) Mgeni-kivumishi cha nominoNa-kuhusishi cha

(h) Tungasentensiukitumiakitenzi „-nywa‟ katikakauliyakutendeka. (alama 1)Mfano.Maziwahayayananyweka.(Hakikijibu la mwanafunzi)

(i) WairiaamekuwastadikatikaKamari(j) Fungu la manenolenyeuhusianowakiimanakiarifuambalolinawezakujisimamiaamakutojisimamiakimaana

Mwanafunzialiyesomakwa bidi alipitamtihani (alama 1)(k) S→ KN+KT

KN→W W→O(KAPA) KT→T+KN+E+S

T→alimwona N→mamba

E →majini S→ alipopigambizi

(l) Mgonjwahuyualiponanakurejeanyumbani(m) Mgeniambayealikujaalirudijana

AuMgenialiyekujaalirudijana

(n) Juma: Maria, ulimwona Farida?

Top grade predictor publishers Page | 67

Page 68: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Maria: La, hakuwepojana.

(o) Nyuazinazozungukamajumbazinamauayaliyopandwa (p) Mbalungi-U-I

Mturuki- A-WA (r) Kilishikwanakijipuambachokilikivimbishakijidolechake cha kiguumithiliyakipera (s) Omari alishangaabaadayakumwonakisura yule kuwawazurihawakuwawamezaliwa

Au Baadayakumwonakisurayule,Omarialishangaakuwawazurihawakuwawamezaliwa

(t) Kubahatika-kubahatikakamamwanaaliyezaliwaIjumaa Ubahili -mkonobirika

(u) Elezamaanatatuzasentensiifuatayo (alama 3)Mama alimwimbiamwanawe. Kwa niabaya Sababuya Kuelekezawimbokwamwanawe 3 x 1 = 3

ISIMU-JAMII (a) (i) Hali yakuchukualughamoja au

mojawapoyalahajanakuifanyiamarekebishoyakimatamshi,kisarufinakiisimuilikitumikekatikamuktadharasmi Lahajaninamnambalimbaliyakuzungumzalughamoja Au (ii) Vijilughavidogovidogovinavyoibukakutokalughakuu

(b) - kilalughainasautizakezilizotofautinanyingine- Lughainauwezowakukua- Lughainawezakufakwamsamiati wake kupotea- Lughazotenisawa

(c) - makosayakimakusudi- kutofahamukanunizakisarufi- Mtukuzungumzaharaka- Uhamishajiwakanunizalughamojahadinyingine- Hali yakiakiliwakatimtuanapotumialugha- Ujumuishajiwakanunizinazotawalasarufikatikamuktadhammoja- Atharizalughaya kwanza

Top grade predictor publishers Page | 68

Page 69: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA MOKASA Hati ya Kuhitimu Kisomo cha Sekondari - Kenya 102/3 KISWAHILI Karatasi ya 3 FASIHI Machi/Aprili 2016

A. HADITHI FUPI: DAMU NYEUSI NA HADITHI NYINGINE 1. Swali la lazima

Kanda la Usufi―Hakujua maisha yake yangechukua mkondo upi. Mzo wa majuto ulimwandama. Ulimwengu wake ulivurugika, akawa kama

tiara inayopeperushwa na upepo ikaenda arijojo‖

(d) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4) Haya ni maelezo ya mwandishi. Ni kumhusu Sela. Sela alikuwa ametambua kuwa amekuwa mjamzito angali mwanafunzi. Sela alikosa utulivu darasani. Alipomweleza Masazu hali hiyo, yeye alimkana. (1x4=4)(e) Taja na kueleza tamathali ya usemi kwenye dondoo hili. (alama 4) Msemo mzo wa majuto Sela alishindwa atakavyofanya baada ya kutambua kuwa ni mjamzito na haypo mawazo yakamnyima utulivu masomoni.

Alipomweleza rafikiye Masazu alikana na kumlaumu kuwa yeye hakujikinga.(Kutaja tamathali alama 1, kuandika tamathali yenyewe alama 1, maelezo ya tamathali hiyo alama 2)

(f) Kwa kutolea mifano, onyesha jinsi anwani Kanda la Usufi inavyoafiki hadithi husika. (alama 12) Masazu anamkana Sela baada yake kumpachika mimba. Anamlaumu kwa nini hakujikinga. Wanafunzi wenzake Sela waliangua vicheko vya chini kwa chini majina ya kian Sela yanapotajwa wamwone mwalimu

mkuu- kwao hilo sio tatizo lao. Mzee Butali anaona kuwa jukumu la kuwaelekeza wanafunzi ni la walimu pekee anapomuuliza mwalimu mkuu mbona wao

huwaleta wanao shuleni. Mzee Butali kumwachia mkewe jukumu la kumshauri Sela. Anamlaumu kwa kutomwelekeza vizuri. Mzee Butali kumfukuza Sela na mamake kwake nyumbani. Aliona kuwa tataizo la Sela kuwa mjamzito halikufaa kumletea

aibu kijijini na hivyo kuamua kumfurusha. Baada ya Masazu kupata kazi Dafina hakushughulika kumtafuta Sela ili amsaidie ulezi wa mtoto wao Kadogo. Ni Sela

anayemtafuta. (6x2=12)B. SEHEMU YA RIWAYA

Kidagaa Kimemwozea: Ken WaliboraJibu swali kla 2 au la 3

2. ―Nyamaza boza wewe. Wadhani sisi kazi tunaanza leo? Tumekutana na wauaji wangapi?c) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)- Haya ni maneno ya askari- Alikuwa anamweleza Imani- Imani na Amani walikuwa wamefugiwa kizuizuni- Imani na Amani walikuwa wamesingiziwa mauaji ya kitoto uhuru. (4x1=4)d) Dondoo hili linadokeza maudhui gani? Kwa kutoa mifano saba kwenye riwaya, bainisha jinsi maudhui hayo

yanavyojitokeza. (alama 16)

Maudhui yanayodokezwa ni udhalimu/ukatili- Askari hapa wanawanyanyasa kina Imani kisaikolojia/kiakili kwa kuwataja kama wauaji. Aidha wanawatesa wakiwa kizuizini. (Kutaja na kuyatolea mfano maudhui kwenye dondoo hili alama 2x1=2) Mifano kwenye riwaya

Mtemi anapanga njama ya kuuawa kwa Chichiri Hamadi ili anyakue ardhi yake. Mtemi anamsingizia Yusufu mauaji ya babake na hivyo anafungwa jela bila hatia. Mtemi kuwanyang‘anya maskini ardhi yao kwa mfano mamake Imani Mtemi kumpiga vibaya Amani kwa kisingizio cha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkewe kisha kumtupa kando ya Mto

Kiberenge. Mwalimu Majisifu kuwaibia waandishi chipukizi miswada yao kisha kuichapisha kwa jina lake kama mwandishi Majisifu kumwachia mkewe jukumu la kuwalea watoto wao walemavu huku yeye akishiriki ulevi. Mtemi kumtumikisha Amani kazi nyingi huku akimlipa mshahara mdogo. Mtemi kukataa kumpeleka DJ zahanatini licha ya kuumwa na mbwa wake aliyekuwa akiugua. Mtemi anaendeleza dhuluma kwa wanyama mfano anamburura paka kwa gari lake jipya na kumuua.

Top grade predictor publishers Page | 69

Page 70: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Mtemi kuamrisha Matuko Weye kutiwa kizuizini kwa kumkashifu hadharani wakati wa siku ya wazalendo Majisifu kumtumikisha Imani kazi nyingi pale nyumbani kwake kisha anamlipa mshahara wa kijungu jiko. Wakoloni kuwakataza waafrika kushiriki kilimo cha kisasa cha mimea na ufugaji katika eneo la Sokomoko. Wakoloni kuwaua waafrika waliopigania uhuru wao na kisha wanawarusha ndani ya Mto Kiberenge. Matajiri katika mji wa Sokomoko kuwatumikisha watoto katika ajira ya mapema. kwa mfano, DJ alikuwa maeajiliwa

uchungaji na Bwana Maozi. Mtemi kumnyanyasa Lowela kimapenzi licha ya umri wake mdogo. Mtemi kumwacha mkewe katika upweke kwa kisingizio cha kwenda kuishughulikia migogoro ya ardhi kila wakati ilhali

alikuwa akishiriki mapenzi nje ya ndoa. (Hoja zozote 7x2=14)3. Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea imesheheni hali zinazotukia bil kutarajiwa. Fafanua. (alama 20) Kukutana kwa Imani na Amani kando ya ziwa Mawewa ni kwa kusadifu. Sadfa hii inayaokoa maisha ya Imani ambaye

alikuwa amekusudia kujitoa uhai. Pia wawili hao wanajenga uhusiano unaoishia katika ndoa. Amani na Imani kukutana na DJ kando ya Mto Kiberenge. Mkutano huu unakuwa ni mwanzo wa uhusiano wao . DJ

anawasaidia hawa wawili kupata kazi. Amani na Imani wanafika Sokomoko na kupata Mtemi na nduguye wakihitaji wafanyakazi . Sadfa hii inafanikisha wao

kupata ajira japo za kijungu jiko. Amani na amu yake Yusufu kukutana jelani kisadfa. Hali hii inamwezesha Amani kutambua aliyewaibia familia yao mali yao

pamoja na kumuua babu yake. Inasidifu kwamba Amani atokapo kibandani anakutana na DJ akipita hapo nje. Sadfa hii inamwezesha Amani kumtuma DJ

amwite Amani aje amsaidie katika malezi ya mtoto Uhuru. Sadfa ya Majisifu kurejea na gazeti lenye taarifa kuhusu Chwechwe Makweche ambalo Imani analisoma.Sadfa hii inakuwa ni

mwanzo wa mchakato wa kumrejesha Chwechwe nyumbani. Sadfa inawakutanisha Amani na Oscar Kambona gerezani. Huu unakuwa ni wanzo wa kujengekakwa urafiki baina yao. Amani anakutana na Oscar Kambona akiwa maemshika mateka mtemiakinuia kumuua. sadfa hii ndiyo inayookoa maisha ya

mtemi Amani amteteapo. Mtemi anarudi nyumbani pasi na kutarajiwa na kumfumania amani chumbani mwake. Sadfa hii inasababaisha amani kupigwa

kitutu na mtemi na kutalikiwa kwake Bi,. Zuhura. Sadfa ianwaleta pamoja Amani na Majisifu. Majisifu anaamua kumtunza baada yake kutoka zahanatini alikokuwa amelazwa.

Sadfa hii inamwezesha Amani kumtambua mja aliyemwibia kazi yake. Siku ambayo Amani anarudi nyumbani baada ya miadi ya daktari mtemi anampita kwa gari lake bila kujali. sadfa hiui

imetumiwa kubainisha ukatili wa mtemi. Ni sadfa kuwa Amani na Imani wanapokutana wamewapoteza wazazi wote na kutenganishwa na jamaa zao. Si ajabu

wanasuhubiana sana kwa kufahamu hawakuwa na wengine wa kuwategemea ila wao wenyewe. Amani na Imani kukatiza masoma yao bila hiari yao. Imani analazimika kuacha shule kwa uchochole ilhali Amani

anasingiziwa uchochezi na kufungwa jela alipokuwa chuoni. sadfa inabainika wakati Madhubuti na Amani wanakuwa na nia zinazooana kuhusu kumwondoa mtemi na kutetea haki.

Usambamba wa nia zao unafanikisha kufichuliwa kwa uozo wa mtemi na watu aliowadhulumu kupata haki. Ni sadfa Madhubuti kumtembelea Amani pasi na kutarajiwa akapata akisoma kwa ufasaha na kwa sauti nzuri. sadfa hii

inawezesha ugunduzi wa ukweli kuwa Amani ni mwanazuoni ambaye alikatiziwa masomo yake kwa njia haramu. Sadfa kubwa inaonyesha kuwa mtemi kuhusiana kimapenzi na Lowela ilhali mwanaye -Mashaka- kwa wakati huo huo

alikuwa akihusiana kimapenzi na Ben Bella nduguye Lowela. Sadfa hii inafichua ouzo wake mtemi. Pia inamfanya Mashaka kuwehuka uhusianao wao na Ben Bella unapoisha baada ya ukweli kufichuka.

Sadfa ianabainika wakati Majisifu anasafiri Wangwani na wakati huo huo Madhubuti anarejea nchini kutoka Urusi.Jamaa hawa wanapitana uwanja mmoja asifahamu mwenzake alikuwa pale pale wakati ule.

Sadfa iandhihirika kwa Fao kumringa mwanafunzi wake na dadaye pia kuringwa na mwanaye Waziri wa Mifugo. Ni sadfa kuwa Fao ambaye anatoka katika familia inayojiweza kifedha anafaidika kwa ruzuku iliyotengewa wachochole

swasa na Madhubuti kusomea Urusi kwa mtemi kuwashikia shokoa wanasokomoko kumchangia. sadfa hii ya kimatukio imetumiwa kuonyesha ukatili wa wenye uwezo.

Sadfa inabainika kwa ―mtoto wa kupanga‖ wa Imani (Uhuru) kufa kwa wahudumu zahanatini kupuuza kumshughulikia sawa na nduguye Imani aliyefariki akiwa mtoto mdogo kwa hali hizo hizo za kupuuzwa zahanatini. sadfa hii inashadidia kutowajibika kwa mfumo wa kutoa huduma za afya. (Hoja zozoze 10x2=20) Tanbihi: Hili ni swali wazi. Wanafunzi wakadiriwe kwa msingi huu.

C. SEHEMU YA TAMTHILIAMSTAHIKI MEYA: Timothy Arege

4. Hayawezi kulinganishwa na tendo hili ndogo. Walifanya vizuri kuja.(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)

- Msemaji ni mhubiri.- Msemewa ni Meya.- Wako katika ofisi ya Meya.- Walikuwa wakiomba kwa kelele na askari wakaingia wakidhani Meya kavamiwa. (zozote 4 x 1 = 4)(b) Fafanua nafasi ya wanaorejelewa kuwa ―walifanya vizuri kuja‖ katika tamthilia hii. (alama 4)- Ni Askari

Top grade predictor publishers Page | 70

Page 71: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

- Wanatumika kulinda baraza la Cheneo.- Wanatii maagizo ya Meya bila maswali.- Wanatumika kuzima migomo ya wafanya kazi.- Wanageuka Meya na kumkamata mwishowe.- Wanawasaliti wanacheneo kwa kuwalinda viongozi dhalimu. (zozote 4 x 1 = 4)(c) Migogoro katika tamthilia hii hazikusuluhishwa vyema. Jadili. (alama 12)

Migogoro yenyeweMeya na wafanyakazi

- Wafanya kazi walitaka kuboreshwa kwa mazingira ya kazi.- Suluhisho: Migomo

Meya na Siki- Meya hakutaka ushauri wa Siki.- Suluhisho: Siki aliendeleza mapambano

Meya na Diwani III- Meya alikataa ushauri wa Diwani III- Suluhisho: Diwani III kuungana na wafanyakazi kudai haki.

Meya na Wanajamii wote- Wanajamii walikosa huduma bora kutokana na uongozi mbaya wa Meya.- Suluhisho: Waliungana kumtoa Meya mamlakani.

Askari na Meya- Askari walimgeuka Meya baadaye.- Suluhisho: Kumtia meya mbaroni.5. Jadili matumizi ya mbinu ya ishara katika tamthilia hii. (alama 20)

Maana: Mbinu hii hujitokeza wakati ambapo dalili Fulani hutokea kabla ya tukio Fulani.Mifano:

- Tunamwona Meya akiwa ameinama chini akiwa ameshika tama. Hii inaweza kuashiria kusambaratika kwa uongozi wake/pingamizi zinazomkabil kama kiongozi

- Tunamwona Meya akipanga mafaili yake pamoja ofisini. Hii inaweza kuashiri kule kujaribu kutafuta ufuasi kwa kuundakamati barazani kuwatuza marrafikiye.

- Ndege zinazowabeba mameya wageni zinaelekezwa uwanje wan chi jirani. Inaashiria kule kuharibika kwa hali Cheneo-kuzorota kwa taasisi muhimu kama vile sekta ya mafuta, usafi nk.

- Propaganda na hila hazikubaiki tena ma umma kwa mfano kupitia nyimbo bandia za ―kizalendo‖. Hii ni dalili za mwanzo wamapinduzi.

- Harufu mbaya inayotokana uchafu mjini ni ishara ya mambo kwenda mrama. Hakuna mshahara, mafuta hakuna , kuna njaa.- Meya anashindwa kunywa maji. Hii inashiria kushindwa kutekeleza wajibu wake. Kwa mfano kulipa mshahara, kusitisha

ufisadi nk.- Mayai madogo pia yanaweza kuashiria udunifu wa hali kama vile: umaskini umeenea, njaa, kiwango cha elimu kimeenda

shule.- Sauti za wafanyakazi ni ishara tosha ya kuwa wafanyakazi wamezinduka na wako tayari kutetea maslahi yao barabara.- Kuwacha kazi kwa Waridi kunaweza kuashiria kuchoshwa na uongozi dhalimu wa Cheneo.- Vifo vya wagonjwa vinaweza kuashiria ubovu au kusambaratika kwa taasisi muhimu za serikali kwa mfano sekta ya afya,

elimu nk.6. Maswali(a) Mshairi ana dhamira gani? (alama 2)- Kuonyesha madhara ya uongozi mbaya- Wanasiasa watahadhari dhidi ya tama.(b) Shairi hili ni la kukatisha tama, tete a rai hii. (alama 2)- Kuna umaskini—nchi mmefilisi…- Dhuluma- wanasiasa ni kama jizi…linanyonya ziwa la mama, wakati mama amelala usiku- Kuna wizi/ unyang‘anyi…linasukuma mtoto pembeni…na kunyonya ziwa la mama.(c) Onyesha matumizi mawili ya mishata. (alama 2)- Ah! … wanamalizia…nchi mmefilisi waachieni walimu…wakajenge taifa. (tathmini majibu mengine kutoka kwa shairi)- Nitafukuzwa mbinguni…kwa ushairi wangu mbaya…lakini hata motoni nitaimba.- Wanasiasa ni kama jizi…lilosukuma mtoto pembeni…na kunyonya ziwa la mama. (2x1)(d) Eleza mbinu zozote nne za lugha zilizotumika katika shairi hili. (alama 4)- Tashbihi- wanasiasa ni kama jizi.- Nidaa- Ah! Ah!- Msemo- hasira za mkizi.- Jazanda - motoni- maskini. Ng‘ombe - Raia maskini/ Raslimali.- Takriri - bure, bure

(e) Andika ubeti wa mwisho katika lugha tutumbi. (alama 4)Ng‘mbe amekamuliwa na wazungu, warabu na wahindi. Sasa ng‘ombe sasa ng‘ombe anatoa damu na vilivyobaki ni chai yarangi na wanasiasa walafi zaidi walio hai. Kuimba nimeimba.

Top grade predictor publishers Page | 71

Page 72: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(f) Fafanua umbo la shairi hili. (alama 3)- Vina vinabadilika kutoka mshororo mmoja hadi mwingine- Mizani inatofautiana kutoka ubeti hadi ubeti.- Mizani inatofautiana ubeti hadi ubeti mwingine katika shairi.- Kuna wingi wa matumzi ya mishata. (alama 3x1 =3)(g) Eleza maana ya mafungu ya maneno ya maneno yafuatayo: (alama 3)

(i) kupiga kura ni hasira ya mkizi m-kutekeleza amri (ii) kuweka mkono usoni - kuona aibu/fedheha/soni (iii) ng‘ombe amekamuliwa - raia/wananchi kufilisishwa.

7. SABUNI YA ROHOMaswali

i) Taja nafsi nenewa. Thibitisha. (alama 2)Nafsi nenewa ni pesa/fulusi- waja wanazitumiwa kusuluhusha matatizo mbalimbali kama vile kununulia vifaa kulipamadeni.

(ii) Eleza toni ya nafsi neni. (alama 1)- Toni ya nafsi neni ni ya kulalamika. Analalamika kuwa pesa zimemkimbia.- Toni ya kusifia - ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.(iii) Eleza arudhi zozote nne zilizozingatiwa katika utunzi wa shairi hili. (alama 4)- Beti nne- Mishororo mine katika kila mshororo- Vina vinabadilika katika kila ubeti isipokuwa kibwagizo- Mshororo wa mwisho ni kibwagizo- sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.(iv) Mshairi anawasilisha ujumbe gani katika mleo wa ubeti wa sita? (alama 1)- Pesa zimeteka nyara roho za wapendanao na kuwafanya kuuana majumbani mwao.(v) Ukitoa mfano eleza mbinu zozote tatu za lugha alizotumia mshairi. (alam 2)o Balagha - ewe tunu ya mtima, kwa nini wanikimbia?o Tashbihi - sinilipe ja bomu.o Jazanda - jehanamu ni tatizo.o Tashhisi - fulusi zinazoombwa kumwondoa mnenaji jehanamu, zina uchoyo.o Takriri - ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.(vi) Andika ubeti wa nne katika lugha nathari. (alam 2)

Mshairi anamsihi mvunja mlima (pesa) kuwasaidia maskini na mayatima ambao hali zao duni. Awabebe waliokwama nakuwainua walio chini. Ndiye sabuni ya roho na mvunja mlima (mtimiza yote).

(vii) Jadili jinsi mshairi anatumia ruhusa ya mshairi. (alama 2)- inkisari - mfano; sinilipue - usinilipue

‗mefufua - umefufua- kuboronga sarufi - mfano wema wako wameonja badala ya wameonja wema wako.

Naondoka wangu moyo badala ya naondoka moyo wangu.(viii) Kwa kurejelea mpangilio wa vina eleza bahari ambamo shairi hili linaweza kuainishwa. (alam 1)- Bahari; ukaraguni - kila ubeti una vina tofauti na vya ubeti mwingine.(ix) Fafanua maana ya : (alama 2)

(i) ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima- ni wewe ambaye hufurahisha na kusuluhisha matatizo yote

(ii) Jehanamu- tatizo

D. FASIHI SIMULIZI i) (a) Eleza maana ya mivigha. (alama 2)

Ni sherehe za kitamaduni ambazo hufanywa na jamii yoyote katika kipindi maalum cha mwaka. Kwa mfano sherehe za jando, ya mazishi.

(b) Fafanua sifa zozote nne za mivigha. (alama 8)- huwa na kiongozi maalum - huwa na mahali maalum - huhusisha ulaji wa kiapo - mawaidha hupeana na watu mahususi - huandaliwa katika kipindi Fulani cha wakati

(c) Taja hasara zozote nne zinazohusishwa na mivigha. (alama 4)- huhusisha ushirikina- baadhi ya mivigha huenda kinyume na sheria na hukuika haki za binadamu- mivigha hugharimu pesa nyingi

(d) Eleza njia zozote tatu unazoweza kutumia kukusanya data kuhusu mivigha. (alama 6)- kuwepo kwa njia za kuburudisha- kutoweka kwa wataalamu wa kupitisha fasihi simulizi- kutokuwepo kwa njia bora ya kuhifadhi fasihi simulizi

Top grade predictor publishers Page | 72

Page 73: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA KASSU - JET KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. Insha ya lazimaShirika la Utangazaji la Jicho Pevu limetangaza nafasi ya kazi ya mhariri mkuu wa kitengo cha habari za Kiswahili.Umealikwa kushiriki mahojiano. Andika tawasifu utakayowasilisha kwa jopo tathmini.

2. Fafanua changamoto zinazokumba muumano na mshikamano wa kitaifa.3. Kuinamako ndiko kuinukako.4. Andika insha itakayokamilikia maneno haya: Alipofika hapo alielewa fika kwamba ingebidi aukate mkono uliokuwa

ukimlisha tangu hapo, mradi hakukubaliana naye katika njama hiyo.

MTIHANI WA PAMOJA WA KASSU - JET KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

UFAHAMU (Alama15)Soma makala yafuatao kisha ujibu maswali yanayofuata. Miaka 15 iliyopita, Umoja wa Mataifa uliitangaza August 12 kila mwaka, kuwa ‗Siku ya Vijana Duniani‘ ambapo kauli mbiu ya mwaka huu inasema ‗Vijana na Afya ya Akili‘.

Kwa mujibu wa andiko kutoka Umoja wa Mataifa, asilimia 20 ya vijana duniani kote hupata tatizo linalohusiana na afya ya akili kila mwaka. Hatari zaidi hutokea katika kipindi cha kuhama kutoka utoto kuingia utu uzima. Kutengwa pamoja na aibu mara nyingi huongeza zaidi tatizo kwa kuwa vijana wengine hushindwa kutafuta msaada wanaouhitaji. Hivyo mwaka huu, Umoja wa Mataifa umeazimia kuitumia siku hii kukuza uelewa kuhusu afya ya akili kwa vijana.

―Wakati tunaadhimisha Siku ya Vijana Duniani 2014, tuwawezeshe vijana wenye matatizo ya afya ya akili kubaini umuhimu wao, na tuoneshe kuwa afya ya akili inatuhusu sote,‖ amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Maitafa, Ban Ki Moon kwenye maelezo yake.

Miongoni mwa sababu kubwa zinazochangia tatizo la afya ya akili ni umaskini unaochangiwa kwa kiasi kikubwa na ukosefu wa ajira. Asimilia kubwa ya vijana walio chini ya miaka 25 au wale wanaohitimu masomo yao nchini hawana ajira. Wanachuo wengi wameendelea kuzunguka huku na kule kuomba kazi bila mafanikio. Wengi wamekaa zaidi ya miaka mitatu nyumbani tangu wamalize masomo yao bila kuwa na ajira inayowaingizia kipato.

Na pia wachache wanaopata kazi, wamekuwa wakilipwa ujira mdogo na hivyo kuendelea kuishi maisha magumu. Ukosefu wa ajira na kukosa fedha za kujikimu, umewafanya vijana wengi kuwa na msongo wa mawazo, tatizo kubwa linalohusiana na afya ya akili.

Tatizo ni kubwa zaidi pale ambapo takwimu zinaonesha kuwa kwa wastani soko la ajira nchini lina uwezo wa kuzalisha ajira zipatazo 300,000 kwa mwaka katika sekta rasmi ukilinganisha na wastani wa wahitimu 600,000 hadi 800,000 wanaoingia katika soko la ajira nchini.

Kwa kijana ambaye hana mahali pa kuishi, hajui atakula nini kesho, hana fedha za kununua nguo, kukata tamaa na kuamua kufanya lolote si kitu anachoweza kukifikiria mara mbili.

Kwa vijana wa kiume wapo wanaoamua kuwa wezi au matapeli huku wengine wakijikuta wakiwa walevi wa kutupwa au kuvuta unga kama njia ya kupunguza msongo wa mawazo unaotokana na maisha magumu.Utumiaji wa vilevi hivyo, umechangia kwa kiasi kikubwa kuongeza tatizo la afya ya akili kwa vijana wengine. Kwa wasichana, ukosefu wa ajira, huwaingiza wengi katika wimbi la kutumia miili yao kujipatia kipato kutoka kwa wanaume. Wengine hujikuta wakiolewa mapema na hivyo kupoteza ndoto za kujiendeleza kielimu ili kujitegemea.

Mbaya zaidi katika maeneo ya vijijini kwakuwa wasichana wadogo huzalishwa katika umri mdogo na wengine kukumbana na unyanyasaji wa nyumbani kutoka kwa waume zao.Katika maeneo ya vijijini ambako shughuli kubwa ya kiuchumi ni kilimo, ufugaji au uvuvi, baadhi ya wasichana waliolewa, hujikuta wakiachiwa familia zao kwa muda mrefu na waume zao wanaoenda kutafuta maisha. Baadhi ya wanaume hao huondoka kimoja na kuwaachia wake mzigo wa ulezi wa familia. Hivyo, tatizo kubwa la ajira kwa vijana lipo kwa wale ambao hawana elimu ya kutosha kustahili kuajiriwa katika ajira rasmi. Kwa mujibu wa survey iliyofanywa na Restless Development, Tanzania ina takriban watu milioni 25 walio chini ya miaka 25 nchini. Hiyo ina maana kuwa karibu nusu ya watu wote nchini ni vijana.

Top grade predictor publishers Page | 73

Page 74: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Dunia nzima, vijana wamekuwa wakitambulika kwa kuwa na mchango mkubwa kuanzia katika upatikanaji wa uhuru enzi za ukoloni hadi katika kuvumbua teknolojia mpya na kugundua njia mpya za sanaa na muziki. Vijana ndio wanaolisukuma zaidi gurudumu la maendeleo kwa uchapakazi wao kutokana na miili na akili zao kuwa na uchangamfu zaidi. Hata hivyo Tanzania ni nchi iliyo na matabaka yanayotokana na umri na jinsia huku vijana wakioneana kutopewa fursa katika mchakato wa maamuzi katika hatua za kijamii na hata katika serikali.

Ili kuwapa nafasi zaidi vijana katika nafasi za juu za maamuzi, vijana wanapaswa kutambua kuwa huu ndio wakati wao na sio kesho. Vijana wanatakiwa kwanza kujiamini wao wenyewe kuwa hakuna nafasi ya baadaye kwakuwa huu ndio wakati unaowaruhusu kuwa wabunifu zaidi kushawishi maendeleo.

Mawazo yao mapya na njia zao tofauti za kukabiliana na mambo, yataleta utofauti mkubwa wa sera, maamuzi na muelekeo wa serikali au taasisi mbalimbali.

―Uongozi wa kizazi kipya upo tayari kushika hatamu za uongozi na kuijenga Tanzania mpya, kwa fikra mpya na maarifa mapya. Mabadiliko, kokote yalikotokea, yalidaiwa na kuongozwa na vijana. Vijana wa Tanzania washike usukani wa kuleta mabadiliko wanayoyataka. Ukiona kijana anamwambia kijana mwenzake hana uzoefu, basi kazi ya kuleta mabadiliko ni kubwa zaidi. Kutokuwa na uzoefu ni sifa ya kijana. Tusi kubwa kwa Obama mwaka 2008 lilikuwa ni kukosa uzoefu, kukosa rekodi. Tusi hilo lilikuwa muziki kwa wapiga kura wa Marekani. Tanzania mpya inahitaji viongozi wapya, mazoea mapya, fikra mpya na maarifa mapya. Inahitaji kuthubutu mambo makubwa sio kulinda uzoefu wa nyuma. Tunaweza,‖ aliandika January Makamba kwenye mtandao wa Facebook. Ni kweli muda wa vijana ni sasa na sio kesho tena.

Maswali (a) Ipe makala hii anwani mwafaka. (alama 1)(b) Ni wakati gani ambapo vijana huwa hatarini sana kukumbwa na tatizo la afya ya akilini. (alama 1)c) Ni nini lengo la Umoja wa Mataifa mwaka huu kuhusu vijana? (alama 1)d) Taja changamoto zinazowakumba vijana wenye matatizo ya afya ya akili. (alama 2)e) Eleza mambo ambayo huchangia matatizo ya afya ya akili miongoni mwa vijana. (alama 4)f) Taja mambo ambayo huchangia kutamauka kwa vijana. (alama 3)g) Ukosefu wa ajira umechangia uozo upi miongoni mwa vijana? (alama 3)

2. UFUPISHOSoma taarifa ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata kulingana na maagizo.

Utoaji wa Huduma ya Kwanza.

Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika mikasa ya ajali huaga au huathirika vibaya zaidi kutokana na hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa majeruhi baada ya ajali kama za barabarani, maporomoko ya ardhi au nyumba huwa hawang‘amui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi kwa majeruhi.

Hali ya ukoaji inaweza kurekebishwa kwa kutoa elimu ya huduma ya kwanza kwa umma. Elimu hii yahitajika na kila Mkenya kwani mikasa ya ajali za barabarani na nyinginezo inaendelea kutokea kila siku.Ajali zinapotokea, si ajabu kuona makundi ya waokoaji yakibeba majeruhi hobelahobela bila kuzingatia madhara yanayoweza kuwaongezea kutokana na ubebaji wao. Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha na hata kusababisha kifo.

Kuna mambo mbalimbali ambayo makundi ya waokoaji yanatakiwa kuzingatia wakati yanatoa huduma ya kuokoa. Kwanza, ni muhimu kuchunguza kama kuna hatari yoyote inayoweza ikatokea na kuwatia majeruhi na waokoaji hatarini zaidi. Makundi ya waokoaji yameweza kuhatarisha majeruhi kwa kuliingilia eneo la ajali mbumbumbu kama mzungu wa reli.

Hatua ya pili ni kutafuta idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Vivyo hivyo, kuna majeruhi ambao huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi wao huanguka karibu na eneo la ajali au wakaenda mbali.

Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia, moyo unapiga na jinsi anavyopumua. Ili kuhakikisha kuwa majeruhi anapumua, mwokoaji atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Halikadhalika, mwokoaji anaweza kusikiliza au kuguza kifua na kuona kama kuna ishara za kupumua. Iwapo majeruhi anapumua, mwokoaji amweke katika hali ambayo itaimarisha kupumua kwake. Anaweza akamlaza chali au kumgeuza kwa pamoja na kichwa chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia, mwokoaji ahakikishe hamna chochote kinywani kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui, mwokoaji anaweza kujaribu kumfanya apumue kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo, upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri.

Top grade predictor publishers Page | 74

Page 75: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Hatua nyingine ni kuchunguza vile amejeruhiwa. Chunguza kama majeraha ni vidonda tu au kuna kuvunjika kwa mifupa na kubainisha ni mfupa upi. Haya yatamwezesha mwokoaji kujua jinsi ya kumbeba majeruhi. Pakiwa na kuvunjika kwa mfupa, ni muhimu kutotumia kiungo kilichovunjika anapobebwa.

Pia, kuchunguza vile majeruhi amejeruhiwa, humwezesha mwokoaji kujua huduma ya dharura atakayotumia. Majeruhi akiwa anavuja damu sana, ni muhimu kuzuia uvujaji huu. Iwapo ni kidonda kidogo, kinahitaji kufungwa ili kuzuia uambukizaji. Mwokoaji anaweza kutumia kifaa chochote kilicho karibu kutolea huduma hizi. Kwa mfano, anaweza kupasua nguo ya majeruhi ili apate kitambaa cha kusaidia kuzuia kuvuja kwa damu au kumfunga kidonda. Hatua inayofuata ni kumhamisha majeruhi kutoka eneo Ia ajali hadi hospitalini. Mwokoaji anaweza kuwatumia watu wengine kutafuta msaada. Wanaweza kupiga simu wakitumia nambari za simu za dharura kama zile za polisi, wazimamoto au makundi ya wataalamu wa shughuli za uokoaji. Nambari hii ya simu huwa 999 popote na huwa haina malipo . Wanaopiga simu ni vyema kutoa maelezo ya mahali ambapo ajali imetokea, aina ya ajali na huduma za dharura zinazohitajika pamoja na idadi ya majeruhi. Iwapo makundi haya ya uokoaji yameahidi kufika, ni bora kuyasubiri.

Ikiwa makundi ya wataalamu wa uokoaji hayakupatikana, ni jukumu Ia mwokoaji kuhakikisha majeruhi wamehamishwa na kupelekwa hospitalini. Majeruhi wakiwa wengi. ni bora kuanza na wale waliozimia au wenye matatizo ya kupumua kisha kuwaendea wanaovuja damu sana. Baadaye, mwokoaji awasaidie waliovunjika mifupa huku akimalizia na wenye majeraha yasiyohatarisha maisha. Ni muhimu kuwabeba majeruhi kwa kutumia machela. Hii hupunguza kuathirika zaidi kwa majeruhi. Iwapo hamna machela karibu, mwokoaji anaweza kuunda moja kwa kutumia vipande viwili vya mbao, blanketi. shuka au makoti. Ujuzi wa huduma ya kwanza ni mojawapo ya mambo muhimu ambavo kila mtu anapaswa kuwa nayo.

Maswali : (a) Fupisha aya mbili za kwanza kwa maneno 55 - 65. (alama 6, 1 utiririko)(b) Eleza kwa kutumia maneno 90-100, hatua zinazotakiwa kufuatwa wakati wa uokoaji.

(alama 8, utiririko 1)(a) Eleza maana ya neno changamano huku ukitolea mfano. (alama 2)(b) Andika sentensi ifuatayo katika kauli iliyo mabanoni. (alama 2)

Paka analamba mchuzi (kutendwa) (c) Akifika sentensi ifuatayo kwa kutumia alama ya kibainishi kisha eleza matumizi yake. (alama 2)

Ntakwenda Unguja mwezi wa Disemba (d) Bainisha aina ya neno lililopigiwa mstari katika sentensi ifuatayo. (alama 1)

Kuimba kwa Yusufu kunaudhi (e) Andika sentensi ifuatayo katika umoja. (alama 2)

Manukato haya yananukia vizuri (f) Eleza matumizi ya ku katika jozi zifuatazo za sentensi. (alama 3)

(i) Kuchora kwao kulikuwa kwa uangalifu mkubwa(ii) Nilikuita lakini hukuitika

(g) Maneno yafuatayo yako katika ngeli gani. (alama 2)Kero……………………………………………………..Nywele ………………………………………………….

(h) Tambua viambishi awali na tamati katika neno ajaye (alama 3)(i) Ikarabati sentensi hii: (alama 2)

Mpira yangu amepotea (j) Tambua aina ya chagizo katika sentensi ifuatayo. (alama 2)

Walimu wataenda Mombasa Ijumaa ijayo. (k) Tambua na ueleze aina za vivumishi katika sentensi zifuatazo. (alama 2)

(i) Viatu vyangu vimepotea (ii) Viatu vyenyewe vinapendeza

(l) Badilisha sentensi iwe katika hali ya kuamuru. (alama 1)Rutto fagia chumba.

(m) Andika sentensi ifuatayo kulingana na maagizo. (alama 1)Mwanasiasa huyu alishinda kura. (Tumia kiashiria kisistizi)

(n) Onyesha hali katika sentensi zifuatazo. (alama 2)(i) Huenda mvua isinyeshe msimu huu. (ii) Waislamu huenda msikitini kuomba kila Ijumaa.

(o) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya matawi. (alama 4)Aliyetujengea nyumba ni Omari

(p) Andika kwa usemi wa taarifa. (alama 2)―Nitakuja kwenu kesho,‖ Mwalimu alisema.

(q) Tambua na ueleze virai katika sentensi hii. (alama 2)Kisichana kile kimejirembesha kwa manukato mazuri ajabu

(r) Eleza tofuati baina ya sentensi hizi; (alama 2)(i) Ningekuwa na pesa ningesafiri kwenda Pwani.

Top grade predictor publishers Page | 75

Page 76: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(ii) Ningalikuwa na pesa ningalisafiri kwenda Pwani. (s) Tunga sentensi moja iliyo na shamirisho kitondo, kipozi na ala. (alama 3)

ISIMU JAMII a) …ya leo ni kuwapa pole wanaofuata na kuenzi makala ya Burudani,toleo la kila Ijumaa.Mwanamziki huyu aliteka nyoyo za

wapenzi wa mtindo huu wa mziki.Kwa kweli ya Muumba hufumbwa tu!Mnapoyasoma wakumbukeni jamaa na wapenzi wa nyimbo zake. (i) Tambua sajili hii na utoe Ushahidi. (alama 2)(ii) Fafanua sifa zozote za sajili hii. (alama 4)

b) Taja mambo yoyote manne yanayofanywa na Serikali yetu kuimarisha lugha ya Kiswahili. (alama 4)

MTIHANI WA PAMOJA WA KASSU - JET 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

1. USHAIRISoma mashairi yafuatayo kasha ujibu maswali. SIKUJUA!

1. Kama ningefuga ng‘ombe, mafahali na vindama, Zisingenidhuru pembe, ngeu kuniandama, Samli ni lembelembe, na minofu ya minyama.

2. Kama ningefuga mbuzi, na kondoo kundi zima, Ningewajengea zizi, na maziwa nikakama, Ningewachuna na ngozi, kutengenezea ngoma.

3. Kama ningefuga bata, nao kuku kwa ujima, Chakula siyo matata, ni machicha na mtama, Mayai ningeyapata, na kitoweo kizima.

4. Kumbe nimefuga punda, mashuzi ndio heshima, Ni ukaidi na inda, mateke kurusha nyuma, Nyama limekuwa nunda, mfugaji humuuma.

Kiitikio Sikujua wa kufuga, mnyama mwenye faida

SHAIRI B

Afrika na Watu Wake

Mimi ninaona mgonjwa Bado amelala kitandani. Kama hatutamtoa miiba iliyobaki Mgonjwa hataweka miguu yake chini Ili kutembea bila ya kujiegemeza.

Miiba iliyomo ndani mwetu lazima Pia iondolewe upesi kabla haijaingia Kati ya mfupa na kufa pamoja nasi. Baada ya kuitoa tuvae viatu vya chuma Halafu tucheze nao mchezo wa siasa na uchumi.

Lakini kuitoa miiba hii Tunahitaji macho makali Mikono isiyotetemeka Moyo usio na huruma Na kuona miiba ilipoingilia.

Top grade predictor publishers Page | 76

Page 77: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MASWALI (a) Onyesha jinsi ujumbe unaopatikana katika ubeti wa nne wa Shairi A na Shairi la B unavyokatisha tamaa. (Alama 4)(b) Eleza maana ya mshororo huu kama unavyojitokeza kwenye ubeti wa pili wa shairi B. (Alama 2)

Baada ya kuitoa tuvae viatu vya chuma.(c) Linganua sifa za kimuundo ukizingatia ubeti wa pili wa Shairi A na Shairi B. (alama 4)(d) Ukizingatia Mshororo wa kwanza kwenye ubeti wa pili wa Shairi A, onyesha jinsi Mshairi alivyotumia kibali chake.

(alama 2)(e) Onyesha sifa moja ambayo inadhihirika kwenye shairi la B na ambayo hutawala tungo za aina hii. (alama 2)(f) Nafsi neni amedhihirisha toni gani kwenye shairi A? (alama 1)(g) Taja nafsi mbili nenwa kwenye shairi la B. (alama 2)(h) Andika ubeti wa mwisho wa shairi B kwa lugha ya nadhari. (alama 3)

2. KIDAGAA KIMEMWOZEA1. ‗Wanyonge ndio wanyongwao ni kauli inayodhihirka vyema kupitia wahusika tofauti katika riwaya ya Kidagaa

Kimemwozea. Jadili. (alama 20).2. ―Alipofikishwa kwenye zahanati hakushughulikiwa ipasavyo.Ubwete ni ugonjwa mmoja mbaya walioambukizwa madaktari

na wauguzi wengi Tomoko‖a) Eleza Muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Dhihirisha jinsi mtunzi alivyoitumia tamathali yoyote moja inayobainika kifunguni .(alama 4)c) Riwaya Ya Kidagaa Kimemwozea ni muhtasari wa maradhi yanayolihujumu Bara Afrika.Tetea rai hii kwa mifano faafu

riwayani. (alama12)3. FASIHI SIMULIZI

(a) Eleza dhima ya lakabu kwa kurejelea hoja tano. (alama5)(b) Jadili sifa tano za michezo ya watoto. (alama 5)(c) Fafanua mambo matano yanayomfanya mtu awe mlumbi bora. (alama 10)

4. MSTAHIKI MEYA1. Jadili mbinu zifuatazo kama zilivyotumika katika Mstahiki Meya. (alama 20)

(a) Jazanda (b) Uzungumzi nafsia (c) Majazi (d) Methali

2. Nonsense! Hivi huyu ana nia gani?(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Taja na ueleze mbinu za lugha zinazojitokeza katika dondoo hili. (alama 4)(c) Jadili umuhimu wa msemaji katika tamthilia hii. (alama 6)(d) Jadili njia za kuondoa uozo katika jamii ukijikita katika tamthilia ya Mstahiki Meya. (alama 6)

5. DAMU NYEUSI―Ikamchagiza kama vile kiu ya mtu aliyekuwa akisafiri jangwani‖.(a) Eleza muktadha wa dondoo hili (alama 4)(b) Fafanua sifa zozote nne za mrejelewa (alama 8)(c) Eleza fani uliotumiwa na mwandishi katika dondoo hili (alama 2)(d) Kwa kurejea hadithi zozote tatu,eleza namna wahusika wowote watatu walivyoathiriwa na kiu. (alama 6)

Top grade predictor publishers Page | 77

Page 78: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA KASSU - JET KISWAHILI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. swali la lazimaShirika la Utangazaji la Jicho Pevu limetangaza nafasi ya kazi ya mhariri mkuu wa habari za Kiswahili.Umealikwa kushiriki mahojiano.Andika tawasifu utakayowasilisha kwa jopo tathmini.

MWONGOZO WA KUSAHIHISHA TAWASIFU

Insha iwe na sifa zifwatazo a) Kichwa

Kichwa kionyeshe ni tawasifu ya nani.Maelezo mengi yasitolewe ila kubaini tu kuwa ni tawasifu yako.KIELELEZO:TAWASIFU YANGU

b) Utangulizi: Hapa mtahiniwa amjengee msomaji usuli wake hasa. Mtahiniwa aeleze usuli wake:tarehe,siku na mahali alikozaliwa. Mtahiniwa anaweza kuyaangazia maswala ya uzawa wake,yaani mahali ambako alizaliwa,pengine yeye ni mwana wa

ngapi katika familia hiyo. Anaweza kusema yeye ni mtoto wa nani kwa kutaja majina ya wazazi wake. Anaweza pia kumchorea msomaji umbo na sura yake. Hali ya kiuchumi alimozaliwa:Kipengele hiki kitakuwa muhimu kwani kitaonyesha uhitaji wake na namna ambavyo

aliweza kuhimili hali hii ya uchechefu na kufauluc) Mwili

Sehemu hii ndiyo inayobeba maudhui ya Insha hii hasa.Mtahiniwa aangazie:(i) Safari ya kisomo cha msingi

Hapa aangazie masomo yake katika daraja la chini zaidi la masomo-shule ya msingi. Alisomea wapi?Vipindi vipi?Ni matukio yapi ya kukumbukika yaliyomwathiri sana katika wakati wake alipokuwa

akiendelea na masomo?(ii) Safari yaShuleYaUpili

Alisomea wapi ?Kwa kipindi kipi? Alikuwaje shuleni kimasomo pamoja na katika nyanja nyingine kama vile michezo na maswala ya vyama. Alishikilia vyeo vipi katika uongozi. Ufanisi wake katika masomo na fani nyingine.

(iii) Safari ya Masomo Ya Juu Alisomea chuo kipi? Alisomea huko katika kipindi kipi na shahada hii ilikuwa katika taaluma ipi? Maswala mengine chuoni yaangaziwe:Uanachama katika vyama tofauti pamoja na majukumu aliyoyatekeleza.

Muhimu: Mtahiniwa ni sharti atoe maelezo yanayoegemea taaluma ya habari na utangazaji kwa vile ndicho kiini

kikuu cha swali.(iv) Tajriba Ya Kikazi:

Aonyeshe ni mashirika yapi ya habari amepata kufanyia kazi. Aonyeshe nyadhifa ambazo amewahi kushikilia katika mashirika hayo. Aonyeshe amefanya nini katika harakati zake za kujiimarisha kitaaluma:ameshiriki makongamano au warsha zozote? Katika kipindi chake cha kazi akiwa ameshikilia nyadhifa mbalimbali,mashirika hayo yalipata ufanisi na kuimarika kwa

njia gani? Je,amepata matuzo yapi kutokana na utendakazi wake mzuri?d) Hitimisho Katika kuhitimisha,mtahiniwa ajitanue kwa kuonyesha upekee wake. Aonyeshe kuwa ana mbinu na uwezo wa kufanya kazi. Aahidi kuwa kazi yake itakuwa aula. Ashukuru jopo tathmini kwa kumpa nafasi ya kushiriki mahojiano.

Tanbihi;Sifa zote za tawasifu zidhihirike katika insha ya mtahiniwa,vinginevyo atakuwa ameboronga mtindo.Akadiriwe vilivyo.Mtahiniwa atumie nafsi ya kwanza katika kuandika.Atakayetumia nafsi tofauti atakuwa amepotoka.Atuzwe D 03/2

2. Changamoto zinazokumba muumano na mshikamano wa kitaifa nchini. Ukabila-Kenya ina makabila mengi yanayozozana na kupigana. Ufisadi-Umekithiri katika sekta zote za serikali na umechangia katika ukosefu wa mshikamano wa kitaifa.

Top grade predictor publishers Page | 78

Page 79: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Siasa-Viongozi wengi huwachochea wananchi na kuwafanya waegemee katika mirengo tofauti tofauti nchini;hali hiiinachangia uhasama.

Ugavi wa raslimali-Baadhi ya sehemu zinabaguliwa katika ugavi wa raslimali za nchi.Mfano,fedha na miradi yamaendeleo.

Dhulma za kihistoria-Yapo maeneo fulani yanayoamini yalinyanyaswa na Serikali au jamii nyingine hivyo kuwekamsingi wa mahusiano hasimu.

Umasikini-Uhasama wa kitabaka. Katiba-Haijatekelezwa kikamilifu na baadhi ya vipengele vyake vimezua mijadala mikali/kutofautiana kimawazo.

3. Kuinamako ndiko kuinukako.Hii ni Insha ya methali.

Si lazima aeleze maana ya methali. Sehemu zote mbili za methali zijitokeze:yaani kuinamako(kuwa katika hali duni,kuwa masikini n.k)na kuinukako(hali

kubadilika,kuwa bora,kutajirika,kupata faida,kushinda mashindano ya riadha,kupita mtihani n.k) Mtahiniwa akishughulikia sehemu moja ya methali pekee,asituzwe zaidi ya C+ Mtahiniwa abuni kisa kinachoonyesha mhusika ambaye alikuwa mchochole lakini baadaye kwa sababu ya bidii yake na

kuwa na matumaini hali yake ikabadilika na kuwa bora. Pia,aweza kuwa alikuwa katika hali duni kimaisha lakini kwa sababu moja au nyingine akafanikiwa kujiondoa kutoka hali

hiyo. Kisa kinaweza kuonyesha mhusika ambaye japo anajipata katika matatizo mbali mbali hafi moyo bali anaendelea kutia

bidii na mwishowe anajivua kutokana na hali hiyo.Juhudi hizi zaweza kuwa katika kilimo,riadha,biashara,elimu n.k. Kwa vyovyote vile insha idhihirishe ufanisi baada ya muda fulani wa kutokuwa katika hali nzuri.

4. Andika Insha itakayokamilikia maneno haya:Alipofika hapo alielewa fika kwamba ingebidi aukate mkono

uliokuwa ukimlisha tangu hapo mradi hakukubaliana naye katika njama hiyo. Kisa kionyeshe mhusika ambaye amefadhiliwa au amelelewa na mtu fulani lakini kwa sababu ya mpango asiokubaliana

nao wa yule mfadhili wake,anaamua kutosikizana naye.Anakata uhusiano na yule mfadhili wake kwa sababu ya jambo ambalo hawakubaliani kwalo,jambo lisilo afiki maadili yake.

MTIHANI WA PAMOJA WA KASSU - JET KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

UFAHAMU a) Ipe makala hii anwani mwafaka (alama 1)

Vijana na afya ya jamii. b) Ni wakati gani ambapo vijana huwa hatarini sana kukumbwa na tatizo la afya ya akilini (alama 1)

Kipindi cha kuhama kutoka utoto kuingia utu uzima. c) Ni nini lengo la Umoja wa Mataifa mwafaka huu kuhusu vijana? (alama 1)

Kukuza uelewa kuhusu afya ya akili ya vijana. d) Taja changamoto zinazowakumba vijana wenye matatizo ya afya ya akili (alama 2)

Kutengwa Aibu

e) Eleza mambo ambayo huchangia matatizo ya afya ya akili miongoni mwa vijana (alama 4)Ukosefu wa ajira. Mshahara mdogo. Umaskini. Dawa za kulevya.

f) Taja mambo ambayo huchangia kutamauka kwa vijana (alama 3)Kukosa mahali pa kuishi. Kukosa chakula. Ukosefu wa mavazi.

g) Ukosefu wa ajira umechangia uozo upi miongoni mwa vijana? (alama 3)Wasichana kutumia miili yao kujipatia mapato. Vijana wa kiume kuwa wezi. Kushiriki ulevi.

UFUPISHO (a) Majeruhi katika ajali huaga au huathirika vibaya au zaidi kwa sababu ya hali mbaya ya uokoaji.

Top grade predictor publishers Page | 79

Page 80: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Wanaojitolea kusaidia majeruhi baada ya ajali hawatambui jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Juhudi zao husababisha kuathirika zaidi kwa majeruhi. Elimu inafaa kutolewa kwa kila Mkenya kurekebisha hali ya uokoaji. Majeruhi hubebwa hobelahobela na waokoaji bila kuzingatia madhara. Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha na hata kusababisha kifo.

(zozote 5 x 1 = 5 Utiririko 1 = 1)(b) Kuchunguza kama kuna hatari yoyote inayoweza kutokea na kusababisha hatari zaidi. Kutafuta idadi ya majeruhi. Kuchunguza hali ya majeruhi-amezimia,moyo unapiga na jinsi anavyopumua. Iwapo majeruhi anapumua, mwokoaji amweke katika hali ambayo itaimarisha kupumua kwake. Pia, mwokoaji ahakikishe hamna chochote kinywani kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui, mwokoaji anaweza kujaribu kumfanya apumue kwa kupuliza hewa mdomoni mwake Kuchunguza jinsi majeruhi amejeruhiwa - kama kuna vidonda, kuvunjika mifupa. Kumhamisha majeruhi kutoka eneo la ajali hadi hospitalini. Anza na majeruhi wenye matatizo ya kupumua iwapo majeruhi ni wengi wakati wa kuwapeleka hospitalini. Ni muhimu kuwabeba majeruhi kwa kutumia machela. (zozote 8 x 1 = 8, mtiririko = 1)

Ondoa alama 1 kwa maneno kumi ya kwanza ya ziada kisha ½ alama kwa kila maneno matano yanayofuata.

SARUFI (a) Neno changamano huundwa kwa mzizi na viambishi

Mf: nilimpokea, mavazi n.k Maelezo - alama 1 Mfano - ala 1

(b) Mcguzi unalambwa na paka (c) N‘ - takwenda - imetumika kufupisha neno nitakwenda (d) Nomino ya kitenzi - jina (e) Manukato haya yananukia vizuri (f) (i) Kiambishi ngeli

(iii) Kiambishi nafsi ya pili umoja(iv) Kiambisho cha kikanusha - wakati uliopita

(g) Kero - (i-zi) Nywele - (u-zi)

(h) Kiambishi awali ni, a - nafsi Viambishi tamati ni; a- ye - ureshi

(i) Mpira wangu umepotea (j) Mombasa ijuma ijayo (k) Vyangu ni kivumishi kimililishi

Vyenyewe ni kivumishi cha pekee (l) Rutto fagia chumba! Au Rutto! Fagia chumba au fagia chumba Rutto! (m) Yuyu huyu Mwanasiasa alishinda kura. (n) (i) Hali ya uwezekano

(ii) Mazoea

S- changamano(o) .

KN KT

t KNN S

ϴ Aliyetujengea nyumba ni omari

(p) Mwalimu alisema angeenda kwao (mzungumziwa)Siku iliyofuata (Lazima sentensi iwe sahihi)

Top grade predictor publishers Page | 80

Page 81: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

au itayofuata (q) Kisichana kile kimejirembesha kwa manukato mazuri ajabu

Kisichana Kile - Kirai Nomino Kimejirembesha kwa manukato - Kirai kitenzi Mazuri ajabu - Kirai kivumishi

(r) (i) Hakusafiri. Hata hivyo bado kuna uwezekano wa kusafiri (ii) Hakusafiri. Hata hivyo hakuna uwezekano wa kusafiri.

(s) Hakiki

Isimu Jamii c) …ya leo ni kuwapa pole wanaofuata na kuenzi makala ya Burudani,toleo la kila Ijumaa.Mwanamziki huyu aliteka nyoyo

za wapenzi wa mtindo huu wa mziki.Kwa kweli ya Muumba hufumbwa tu!Mnapoyasoma wakumbukeni jamaa na wapenzi wa nyimbo zake.

i. Tambua sajili hii na utoe Ushahidi.(alama 2)Sajili ya MagazetiMakala ya Burudani yametajwa na usomaji wake.Hoja 2x1= Alama 2

ii. Fafanua sifa zozote za sajili hii.(alama 4)Hutumia usemi halisi sanaHuchanganya njeo. Huchanganya ndimi. Hutumia vifupisho-Shirika la REUTERS Lugha hupiga chuku Wakati mwingine husheheni sifa. Hoja zozozte 4x1=alama4

d) Taja mambo yoyote manne yanayofanywa na Serikali yetu kuimarisha lugha ya Kiswahili.(alama 4) Kufanya Kiswahili lugha ya taifa. Kufanya Kiswahili somo la lazima nchini. Kiswahili kinatumika bungeni. Kinatumika katika machapisho ya gazeti la serikali. Viongozi hukiyumia kutoa hotuba. Hoja zozote 4x1=Alama4

KUADHIBU(Kila Sehemu) Ondoa ½ alama kwa kila kosa la sarufi kila linapotokea mara ya kwanza hadi makosa sita. Ondoa ½ alama kwa kila kosa la tahajia kila linapotokea mara ya kwanza hadi makosa sita.

Top grade predictor publishers Page | 81

Page 82: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA KASSU - JET 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

(a) Shairi A - Mshairi ametambua myama aliyemfuga anamletea hasara kwa kumuumiza (anampiga teke nakumuuma).

Shairi B - Mshairi analalamikia tatizo (miiba) linalowaathiri. Kulisuluhisha tatizo hilo kunahitaji juhudi namakini. (2 x 2 = 4)

(b) Baada ya kuitoa tuvae viatu vya chuma watahadhari tatizo hilo lisirejee tena kuwaadhiri. (1 x 2 = 2)(c) Shairi A Shairi B

(i) Mishororo ni minne - Mishororo ni mitano(ii) Ubeti una vina vya kati na vya - Ubeti hauna vina vinavyobainika

mwisho(iii) Kila mshororo una migao miwili - Mishororo haina migao.(iv) Kila mshororo una mizani kumi na sita - Idadi ya mizani hailingani. (1 x 4 = 4)

(d) Kudondosha msamiati/kuacha/kuondoa msamiati (na kondoo kundi zima = na kundi zima la kondoo) neno la limedondoshwa.(1 x 2 = 2)

(e) Takriri - Neno miiba limerudiwarudiwa. (1 x 2 = 2)(f) (i) Majuto - matumizi ya maneno - kama ningefuga

- Kumbe nimefuga punda (1 x 1 = 1)(g) (i) Mgonjwa

(ii) Wanasiasa (tucheze nao mchezo wa siasa na uchumi) (1 x 2 = 2)(h) (i) Kusuluhisha tatizo hili

(ii) Tunahitaji makini, ujasiri na kutokuwa na huruma(iii) Ili kuona tatizo lilipoanzia (1 x 3 = 3)

KIDAGAA KIMEMWOZEA

1. ‗Wanyonge ndio wanyongwao nikauli inayodhihirka vyema kupitia wahusika tofauti katika riwaya ya KidagaaKimemwozea.Jadili. (alama 20).

Amani kupagazwa kitoto Uhuru licha ya kukosa uwezo wa kukilea Mtemi Nasaba Bora kukataa kumsaidia mama mja mzito aliyekuwa anajifungua kando ya barabara Ben Bella kukibaka kitoto kidogo Mwalimu Majisifu kumwibia Amani mswada wake Mtemi kujihusisha kimapenzi na kumringa Lowela,msichana warika la bintiye Fao kumringa mwanafunzi wake Yusufu kusingiziwa mauaji ya Chichiri Hamadi na kufungwa gerezani Mtemi na Lowela kukitupa kitoto Uhuru nje ya kibanda cha Amani kwenye baridi shadidi Askari wa Mtemi kutishia kumpokonya shamba lake,kumpiga na kishaakafa Imani kufurushwa kwa nyumba yao kutiwa moto baada ya kifo cha mamake na kugurakwa Oscar Kambona Serikali kumpuuza Chwechwe Mkweche baada ya kuvunjika fupaja licha ya kuiletea taifa na timu yake ushindi Matuko Weye kupuuzwa na serikali licha ya kuwehuka baada ya kushirikishwa katika vita vya dunia anatupwa gerezani

anapojaribu kuzindua wananchi kuhusu uongozi mbaya wa Mtemi Bi.Zuhura licha ya kuisha katika upweke akiwa mkewe Mtemi anaishilia kutalikiwa baada ya kufumaniwa na Mtemi akiwa

na Amani katika chumba chake Amani kama mchungaji katika boma la Mtemi alichapwa kinyama na Mtemi na kutupwa kando ya Mto Kiberenge Wauguzi zahanati ni walikataa kukiuuguza kitoto Uhuru licha ya kuwa katika hali mahututi-kikafia njiani Majisifu kukosa kuhudhuria vipindi shuleni ni dhuluma kwa wanafunzi kwa vile walihitaji kufunzwa Mtemi kuagiza Imani na Amani kufungwa gerezani pasi kosa la kukiua kitoto Uhuru ni kunyongwa kwa wanyonge Majisifu kuwadharau na kutaka kuwaua kwa kuwatupa wanawe walemavu majinini kunyogwa kwa wanyonge Mtemi kukataa kumpeleka DJ hospitalini baada ya kungatwa na jibwa lake Jimmy ni dhuluma kwa mnyonge licha ya

kufahamu kuwa halikuchanjwa Mtemi,Maozi wanopowaajiri watoto ni dhuluma kwa wanyonge..wanajukumishwa ajira wakiwa wadogo na kwa mishahara

midogo(Hoja zozote 10 kwa wahusika tofautiwa liodhulumika licha ya hali zao dhaifu.Kila hoja ionyeshe bayana udhaifu /unyonge wa mhusika kisha alivyodhulumika /nyongwa na mhusika

mwingineriwayani).

Top grade predictor publishers Page | 82

Page 83: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

2. ―Alipofikishwa kwenye zahanati hakushughuliki waipasavyo.Ubwete ni ugonjwa mmoja mbaya walioambukizwa madaktarina wauguzi wengi Tomoko‖a) Haya ni maelezo ya mwandishi.

Anamrejelea Bob D.j. Hii ni baada ya yeye kupelekwa huko baada ya kung‘atwa na mbwa wake Mtemi. Hata hivyo hapewi huduma ifaavyo kutokana na mazoea ya utepetevu ya wahudumu wa afya pale zahanatini. Hoja 4x1 =Alama 4

b) Istiara- ―ubwete ni ugonjwa mmoja walioambukizwa madaktari na wauguzi wengi Tomoko. Mtunzi amefananisha ubwete /uzembe na ugonjwa moja kwa moja.Kwa kufanya hivi anaukejeli mfumo wa afya ambao umeshindwa kuwajibikia majukumu yake ipaswavyo. Tanbihi: Kutambua tamathali alama 1. Kudondoa mfano alama 1. Kufafanua matumizi ya fani hii alama 2. Jumla alama 4.

c) Swali hili linamhitaji mwanafunzi kudhihirisha uozo wowote mwengine wa kijamii unaojibainisha riwaya ni mbali na Mapuuza/Kutowajibika. Mifano ni kama:

i. Ukatili.Mtemi anaongoza kwa mabavu na kunyakua mashamba ya baadhi ya Wanatomoko.Kwa mfano anapangamauaji ya Chichiri Hamadi ilikufaidi shamba lake.

ii. Mifumo duni ya Elimu.Katika Mazungumzo yao,Amani na Madhubuti wanalalamikia mfumo duni wa elimu Tomoko ambao unamwezesha mtu kupita mitihani tu bali haumpi maarifa ya kukabili maisha kikamilifu.

iii. Ufisadi .Mtemi alighushi vyeti vya umiliki ardhihi viakaweza kuwapoka wengi ardhiyao.Pia,kwapa moja na wanakamati walioteuliwa kusimamia ujenzi wa hospitali kwa ufadhili kutoka Uingereza anafuja sehemu kubwa ya fedha zizona kuishia kujenga kijizahanati kibovu.

iv. Utabaka.Jamii imegawika kitabaka huku wachochole wa kidunishwa.Katika sherehe za SikuKuu Ya Wazalendo,wageni wanaketi kwenye mahema ilhali rai wanachwa kusongamana katika jua kali lililowaumiza.

v. Mapendeleo/Ubaguzi wa Kinasaba.Mwandishi anaeleza kwamba Mtemi alipata nafasi yake kutokana na uhusiano wa kinasaba aliokuwa nao na Mudirwa Wilaya.Pia,Majisifu ana bahatika kupata kazi baada ya nyingine kwa kuwa jamaa zake walikuwa uongozini.

vi. Usaliti.Viongozi wa Tomoko baada ya KupatikanaUhuru wanasaliti juhudi za upiganiaji Uhuru huo.Mtemi nawenziwe wanachukulia nyadhifa zao kuwakibali cha kudhulumu,kupokonya na kufaidi binafsi tofauti na malengo yakujikomboa.

vii. Umasikini.Wahusika wengi riwayani ni masikini wakutupwa.Tukuta naponaa maniamevaa mararu na anaelezwa kubeba kila kilichokuwa chake katika mkoba mdogo mweusi.Imani anaelezwa kuwa nanguo moja pekee.

viii. Ajira ya watoto.Watoto kama D.J wanaajiriwa kuwa chungang‘ombewa matajiri kule Sokomoko.Wanaanza kufanya kazi wangaliwa change jambo linalo wanyima fursa ya kuiendeleza kimasomo na kukua kama wenzao waumriwao. ix.

Ukabila.Madhubuti anakejeli hali anaposema kuwa ingefaa kama angepata shahada katika fani ya uongo,ufisadi na ukabila;ithibati tosha kuwa ukabila ni sehemu ya jamii hii.

x. Tatizo la mihadarati. Mwalimu Majisifu ni mraibu sugu wapombe.Analewa hadi ya kulala mitaroni na kushindwakutekeleza wajibu wake.Ben Bella ni mvutaji bangia shiki.

xi. Kiburi.Viongozi kama Mtemi wamesawiriwa kuwa waliojaataadi.Mwandishi anadaikuwa Mtemi alijiona kuwa aliyefaa heshima na ikibidi alifaa kushikwa moo na kurambwa unyayo kama nusu Mungu.

xii. Ubinafsi.Mwalimu Majisifu anatawaliwa na ubinafsi mwingi hivi kughushi kazi za waandishi chipukizi akizichapisha kana kwamba ni zake halali.Wazazi wake Fao wanafanya mapango afaidi fedha walizotengewa masikini kwa masomo yao.

xiii. Uasherati.Mtemi anashiriki mapenzi nje ya ndoa na Lowela.Hivi anamwacha mkewe mpweke na mwenye utashiwamapenzi.

xiv. Ubarakala.Balozi amechorwa kuwa kasuku ambaye anafanya kila jambo kumfurahisha Mtemi tu.xv. Biashara haramu.Mamaye D.j anauza pombe haramu.Majisifu anamzungumzia Mama Nitilie ambaye alifahamika

kwa kuuza gongo kali.Kwamba Ben Bella ni mvutaji bangi ni ushadi kuwa biashara haiipo. xvi. Kuvunjika kwa familia/jamii.D.j anatenganishwa na familia yake.Wahusika kama Chwechwe Makweche wanawania

sifa na hivyo kusahau wajibu wao kwa familia zao.Familia ya Bwana na Bi Maozi inaelekea kusambaratika kwa kuwa Ben Bella ni mhalifu ambaye kwa muda mwingi huwa jela na Lowela nimpenda anasa aliyeyoyomea raha hata asijitambue. Hojazozote 10x2=Alama 20

HADITHI FUPI ―Ulimwengu wake ulivurugika akawa kama tiara inayopeperushwa na upepo ikaendaarijojo‖ (a) Eleza muktadha wa dondoo hili (alama 4)(b) Fafanua tamathali mbili zilizotumika katika dondoo hili (alama 4)(c) Eleza sifa zozote nne za mrejelewa (alama 8)(d) Kwa nini mrejelewa amelinganisha na tiara iliyopeperushwana upepo (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 83

Page 84: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Au Eleza maudhui ya ukengeushi ukirejea hadithi zifuatazo katika diwani yaDamu nyeusi na hadithi nyingine (alama 4)(i) Mke wangu(ii) Damu Nyeusi(iii) Tazamana na Mauti(iv) Mizizi na matawi

(a) Maneno haya ni maelezo ya mwandishi.Anarejea Sela katika hadithi ya Kanda la Usufi.Sela Na hofu baada ya kugundua kuwa alipata mimba ya Chris Masazu

(b) Tasbihi -Ulivurugika kama tiara Msemo- kwenda arijojo

(c) Mwenye huruma-anamsaidia Chris Masazu kufika zahanatini Mjinga- alinaswa na mtego wa Chris Masazu wa kujifanya mgonjwa Jasiri-licha ya kujua sababu iliyo mfanya kufika kwa mwalimu mkuu,alijikaza kutokananaShutuma za babake Mtovu wa maadili- alikubali kufanya mapenzi na Chris Masazu mwaminifu-baada ya Masazu kumwachia mzigo wa mimba alimfuata na kuanza kuishi kama mke na mume

(d) Alipatwa na hofu baada ya kugundua alikuwa mjamzito Au

UKENGEUSHI Mke wangu Msichana Fedhele Salim alikuwa anavaa kanzu fupi ajabu. Baadhi y awasichana kama Salma Fadhili hujirembesha kwa kujipakia aina aina ya rangi mwilini Na midomo Elimu ya kizungu tunaambiwa inawafanya wengine kuwa na shutuma na kiburi dhidi ya wengine

Damu Nyeusi

Polisi wana waona watu weusi kama majambazi Fiona na Bob walidhani kwamba Afrika umejaa uchawi na ushirikina Fikirini alijizoesha kuzungumza kiingereza cha marekani alikiona kama kuzungumza kama hao Ilikuwa jambo sawa.

Fikirini anadhani kwamba watu weusi wana utu.Alitabasamu mara anapoona marekani mweusi Tazamana na mauti

Lucy anatamani maisha ya kifahari.Alitamani kuishi London.Aliota akining'inia hewa ni kwenye anga la Uingereza.London kwa keili kuwa na raha ya kipekee Lucy anadhani kwamba kujihusisha na watu weupe kuleta ufanisi maishani

Mizizi na Matawi Sudi anapenda kuvaa suti iliyomtoa akatoka.Nguo alizopenda kuvaa zilimfanya aiitwe handsome Mawazo ya Sudi yalikuwa ng'ambo alikoenda kusomea shahada ya juu ya udaktari wa sheria

Sudi alipokuwa Ulaya alikuwa na mazoea ya kuhudhuria karamu.Alifurahia muziki pamoja Vinywaji mbalimbali .Hakutaa pia kucheza densi na wasichana-wasichana ambao walimwania Alifurahia starehe aina hiyo.

FASIHI SIMULIZI

(d) Eleza dhima ya lakabu kwa kurejelea hoja tano. (Alama5) Huondoa urasmi katika mahusiano ya kijamii. Hukuza uhusiano bora miongoni mwa watani. Husifia matendo mazuri ya mhusika. Hukejeli matendo mabaya. Ni kitambulisho cha mhusika. Husawiri tabia na hali ya mtu. Hutumika na baadhi ya wahusika kuficha utambulisho wao. Baadhi ya waandishi hujibandika majina kuficha majina yao

halisi. Hutumiwa na baadhi ya wahusika kujisifu katika majigambo Hutumiwa kuhifadhi siri. Wakati mwingine watu hupewa lakabu ili isijulikane ni nani.

Top grade predictor publishers Page | 84

Page 85: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(e) Jadili sifa tano za michezo ya watoto. (Alama 5) Huigizwa na watoto. Huwa na uigaji wa tabia na matendo ya watu wengine. Hutofautiana kutoka jamii moja hadi nyingine. Hufungamana na shughuli za kitamaduni, siasa na uchumi wa jamii husika. Huweza kuhusisha nyimbo za watoto. Huwa na miondoko mingi kama vile kijificha, kurukaruka n.k

(f) Fafanua mambo matano yanayomfanya mtu awe mlumbi bora. (Alama 10) Aweze kutumia lugha kwa njia yenye mvuto ili kuchangamsha hadhira. Awe na uwezo wa kutumia chuku kwa ufanifu mkubwa. Mlumbi mzuri ni mcheshi ili kunasa makini ya hadhira. Awe na uwezo wa ufaraguzi ili kuweza kubadilisha lugha kulingana na hadhira. Aweze kutumia ishara na maso lugha kikamilifu Anafaa kuwa anaelewa utamaduni wa hadhira yake ili asikaidi miiko katika hotuba yake. Awe jasiri ili aweze kuzungumza kwa ukakamavu. (5 x 2 = 10)

MSTAHIKI MEYA 1. (a) Jazanda

Uozo wa mji unamaanisha uozo wa uongozi wa cheneo Sumu inatumika kumrejelea Siki Bomu kumrejelea Siki Punda kumaanisha wafanyakazi Ndovu kumaanisha uwezo wa Meya Ndege watatu kumaanisha mambo matatu (b) Uzungumzi nafsia Meya anajisemea mwenyewe kuhusu viyai vidogo alivyoandaliwa Meya anajisemea mwenyewe kuhusu mapOkezi ya mameya wanaokuja Meya anajisemea atakavyowapokea kifahari ili na wao watoe ufadhili wao. Siki anajisemea kuhusu matatizo ya Cheneno. Anasema mji umejaa njaa na kuongeza wenye njaa ni hatari sana. Meya anajisemea vil atakutana na wafanyikazi tu lakini si kila mtu baada ya kushauriwa na diwani III. (c) Majazi Bw. Sosi: Linatokana na neno la kiingereza ‗source‘ yaani chanzo cha matatizo Diwani III anaitwa kheri: Mtu nafuu yaani si mlafi au mbinafsi kama wengine siki kitu kichungu / kitu kinachotumika kama kiungo yaani anapoza machungu ya wanajamii na kuwapa matumaini. Waridi: Ni ua linalovutia lakiki hukauka mara linapotolewa mtini. Anawapa wagonjwa matumaini ghafla anajiuzulu

nakuwaacha wateseke Cheneno: Ni kitu kilichonea au kutapakaa kila mahali mf uozo, ulienea, migomo ilienea, ukatili ulienea n.k

(d) Methali Ngoja ngoja huumiza matumbo: Siki kurejelea wagomjwa wanaosubiri dawa. Haraka haraka haina Baraka: Waridi akirejelea methali hii kuonyesha kuwa ni lazima wasubiri dawa. Ganga ganga za mganga huleta tumaini: Wagonjwa walihitaji kupewa matumaini kwa kuwa hakukuwa na dawa. Dalili za mvua: Maonyesho kuwa kuna shida kubwa inayowanyemelea / dalili za kumwodoa Meya Ajidungaye mwiba hafaidi kukubali makosa. Meya atakuwa amejidunga mwiba. Mtumwa hauawi: Meya ametumwa na baraza kukatiza kandarasi.

Hakiki zingine Jazanda 5 x 1 = 5Uzungumzi nafsia 5 x 1 = 5Majazi 5 x 1 = 5Methali 5 x 1 = 5

2. (a) Maneno ya Meya (al 4)AkijizungumziaNyumbani mwakeBaada ya kuchomwa na chai

(b) Kuchanganya ndimi - Nonsense (al 4)Balagha - hivi huyu ana nia gani?Uzungumzi nafsia zozote 2 x 2 = 4

Top grade predictor publishers Page | 85

Page 86: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(c) Umuhimu wa Meya (al 4)Anawakilishia viongozi dhalimu waliojawa na ubinafsi Kuonyesha unafiki Mwandishi amemtumia kutoa ilani kwa viongozi wa sampuli kuwa hatima yao itafika siku moja zozote 3 x 2 - 6

(d) Njia za kuondoa uozo katika jamii (i) Mgomo / kuzuia kazi

Wafanyakazi wa cheneo wanajihusisha na mgomo(ii) Mazungumzo / wakilishi

Wafanyakazi wanawateua, siki, medi, na Beka kuwawakilisha. Siki pia.

(iii) kuwajibika kwa viongozi kama vile diwani wa tatu anayepinga ubadhirifu wa mali na kuwatetea wanacheneo.

(iv) Kungolewa mamlakani kwa viongozi wabaya kwa mfano Mstahiki Meya

5. DAMU NYEUSI(a) Haya ni maelezo ya mwandishi.Anarejelea namna Lucy katika hadithi ya Tazamana na Mauti alivyokuwa na hamu ya

kuenda London.

(b) (i) Msomi-alisoma hadi kidato cha sita Mwenye tamaa- alitamani kuishi London Mpenda anasa- alikuwa alikienda sinema kwa ajili ya kujiburudisha Mzembe- kwa sababu ya uzembe wake hakufaulu katika masomo yake Mnafiki- hakuwa na mapenzi ya ukweli kwa Bw. Crusoe.alitamani afe ili apate mali yake

(c) Tashbihi -ikichagiza kama vile kiu ya mtu aliyekwa akisafiri (d) (i) Christine katika hadithi ya samaki wa nchi za joto ana kiu ya mapenzi.Tamaa yake ilimfanya kupata mimba iliyomfanya

kuavya.Jambo hili lilimletea aibu na kumdunishaLucy katika hadithi ya Tazamana na Mauti alikuwa na kiu ya kumiliki London.Alitamani Bw. Crusoe angefariki ili aweze kurithi mali yake.Alipata ajali mbaya na kufariki alipokuwa akitalii jiji la London Amali katika hadithi ya Ndoa ya samani alikuwa na kiu ya mali.Alikataa kuolewa na msimulizi kwa sababu hakuwa na uwezo kifedha.Kiu ya Amali ilisababisha kuvunjika kwa mipango ya kuolewa na msimulizi Kiu ya Sela ya mapenzi ilimletea masaibu mengi. Alipata mimba na Chris masazu jambo lilomfanya akatishe masomo kwa muda fulani.

Top grade predictor publishers Page | 86

Page 87: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KAMDARA - 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. Baada ya kuhitimu masomo ya sekondari, uliweza kujiunga na kundi la vijana wa kaunti yenu wanaojaribu kuboresha maisha yao. Mwandikie gavana wa kaunti hiyo barua pepe ukimweleza changamoto mnazopitia na jinsi anavyoweza kusuluhisha.

2. Teknolojia ya kisasa ni kama sarafu yenye sura mbili. Jadili.3. Umdhaniye ndiye siye. Onyesha ukweli wa methali hii.4. Andika insha itakayomalizika kwa

………… tulijifunga vibwebwe kuwavua wahasiriwa waliokuwa wamefunikwa na vifusi. Lakini jitihada zetu ziliambulia patupu.

TATHMINI YA PAMOJA YA KAMDARA - 2016 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (ALAMA 15)

Soma taarifa hii kisha ujibu maswali yanayofuata.

Alipokuwa akiukemea utamaduni na dhana za kikabila katika nyimbo zake, marehemu Bob Marley aliufananisha ubepari na ―wanyama wala watu.‖ Katika wimbo ―Babylon System‖ (yaani mfumo wa kibepari), Marley alisema kuwa utamaduni huo ndio mzawa wa matatizo yote ya kiutawala ambayo yalikuwa yakiyakumba mataifa ya Weusi katika karne ya 20, wakati nchi zao zilikuwa zikitawaliwa na nchi za mataifa ya Ulaya.

Kwa mantiki hiyo, pengine Marley alikuwa na maono kuwa Afrika haingejikomboa kutoka kwa utumwa wa Kizungu, ikiwa ingeendelea kuziabudu na kuzishadidia tamaduni za Kimagharibi.

Utabiri huo nauoanisha na yanayoendelea nchini, ambapo serikali ya Jubilee imeonekana kushindwa kabisa kuikabili saratani ya ufisadi, ambayo inahatarisha kuliangamiza taifa hili lenye uchumi dhalili.

Donda hili linazidi kuyatandaza mabawa yake kutoka, tisho kuu likiwa ni uvamizi wa taasisi ―takatifu‖ ambazotunazitegemea kulikabili donda hilo.

Ni nani tutategemea kukabiliana na rushwa ikiwa taasisi kama Bunge, Tume ya Maadili na Kukabiliana na Ufisadi (EACC) kati ya zingine muhimu zimepakwa tope na saratani hiyo?

Kimsingi yote tunayopitia ni matunda ya uasi wa tamaduni za Kiafrika na uegemezi wa mifumo ya Kizungu kama mihimili ya jamii na nchi zetu.

Ndoto za watetezi wa Uafrika na nafasi ya Weusi kama marehemu Malcom X na Martin Luther King, zilikuwa ni kuona kuwa wameungana kabisa kukabiliana na matatizo yaliyowakabili bila kuzingatia mazingara waliyokuwemo.

Pindi tu baada ya mataifa mengi ya Kiafrika kujinyakulia uhuru wao katika miaka ya hamsini na sitini, viongozi wakuu walioziongoza nchi hizo kama Kwame Nkrumah, Jomo Kenyatta, Mwalimu Julius Kibarage Nyerere kati ya wengine walianza harakati za kuliunganisha bara hili na kubuni Muungano wa Nchi za Kiafrika (OAU) japo ndoto hiyo haikufikia. Kwa msingi huo, mhimili mkuu wa kiutawala ungekuwa ni mfumo wa kisosholisti, ambao ungekuwa nguzo kuu ya kuyaunganisha mataifa hayo.

Hata hivyo, migawanyiko mikubwa ilianza kushuhudiwa, huku baadhi ya mataifa yakianza kukabiliwa na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa kutaasisika kwa maovu yote tunayoshuhudia sasa: ufisadi na tamaa ya kuogofya kutoka kwa viongozi wetu.

Maswali a. Ipe taarifa hii anwani mwafaka. (alama 1)

b. Onyesha mambo mawili makuu ambayo msanii aliyapinga .(alama 2)c. Kwa nini ubepari umelinganishwa na―wanyama wala watu‖? (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 87

Page 88: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

d. Kwa mujibu wa taarifa eleza sifa za Bob Marley. (alama 2)e. Swala linalozungumziwa limerejelewa kama―Donda‖.

i) Eleza mbinu ya lugha iliyotumika.. (alama 2)ii) Ni kweli kuwa donda hili laelekea kuwa gumu? Thibitisha. (alama 2)

f. Tatizo hili la ―donda‖ ni kama kujipalia makaa. Fafanua. (alama 2)g. Eleza maana ya maneno yafuatayo kwa mujibu wa taarifa. (alama 2)

i) Mhimiliii). Taasisi

2. MUHTASARISoma taarifa ifatayo kwa makini kisha ujibu maswali yanayofuata.

Nchi nyingi duniani zimetia saini mkataba wa umoja wa mataifa kuhusu haki za watoto. Haki ni mambo mema ambayo watoto wanastahili kutendewa. Kwa kutia saini, nchi hizizimetangaza kujitolea kwao kuzilinda na kuhahakikisha kuwa hakuna ukiukaji wake nakuwa watoto wote katika himaya zao wananufaika kutokana na haki hizi.

Miongoni mwa haki hizi ni kuwa kila mtoto ana haki ya kuishi na kupata chakula cha kutosha na chenye viinilishe bora. Pili, kila mtoto ana haki ya kupata elimu. Elimu hii inafaa kutolewa bila ada na iwe inayofaa na inayopatikana kwa urahisi.Kisha kila mtoto ana haki ya kutopigwa na kutodunishwa kwa namna yoyote, iwe kitabaka, kirangi, kijinsia na vinginevyo. Mtoto ana haki pia kutolazimishwa kufanya kazi za kiutumwa, nzito na zakushurutishwa. Hali kadhalika, ana haki ya kuishi katika nyumba au makazi bora nasalama, kutunzwa na kulindwa dhidiya hali yoyote inayoweza kumhatarisha. Anatakiwa ashirikishwe katika kufanya maamuzi.Fauka ya haya, ana haki ya kupata huduma za afya,mahitaji maalum,michezo, upendo na habari. Isitoshe,anastahili kuheshimiwa kimawazo na kihisia. Haki hizi zinatakiwa kulindwa na kila mwanajamii, hivyo serikali za mataifa mengi zimeshirikisha haki hizi katika katiba za nchi zao na sheria zao.

Walakini haki hizi bado zinakiukwa.Watoto wengi kote duniani bado wananyimwa haki zao. La kusikitisha na kukera ni kuwa wanaotarajiwa kuwa vigogo vya kuzilinda haki hizi, ndio wanaoongoza kuzikiuka. Kila siku tunasikia na kushuhudia visa vya watoto kupigwa, kunyimwa chakula, kufanyishwa kazi kipunda, kuteswa, kuishi katika mazingira hatari, na hata kuuawa. Kuna watoto wengi wanaolala nje, wengine hawapati chakula licha ya kuwa wanatakiwa kupata chenye lishe bora. Kwao kutarajiwa mlo awamu tatu kwa siku ni njozi kwani hata awamu moja ni adimu kupata.

Watoto wengi katika mataifa yenye fujo na ghasia hutekwa na kutumikishwa vitani. Viongozi katika mataifa haya hawafanyi kitu ila kutazama tu wakati watoto wanaotakiwa kuwalinda wanageuzwa kuwa mibaba ya kuua na kuuana. Watoto hawa huvishwa magwanda ambayo miili yao minyonge haiwezi kuyahimili. Pia, huvalishwa mabuti ya kijeshi ambayo ni mizigo mizito ya kubeba mbali na bunduki zinazokaribia kuwazidi uzani wakati wanatakiwa kuwa wamelindwa majumbani, na shuleni na wazazi wao na serikali.

Jukwaa la vijiji vya mataifa ya ulimwengu wa tatu limesheheni watoto wasioenda shule kwa sababu ya lindi la ufukara uliokithiri. Elimu ya bure inayogusiwa katika haki za watoto haipo. Wanaong‘ang‘ana iwepo ni kana kwamba ni waota ndotomchana. Jiulize watoto wangapi sasa hivi wamo majumbani bila kwenda shuleni kutokana na ukosefu wa karo? Wangapi wamo mitaani wakivuta na kunusa gundi huku wakiombaomba vishilingi?

Hali ilivyo sasa hivi inadai kuwa mimi na wewe tufanye hima na kuungana mikono kutafuta suluhisho la kudumu kuhusu haki za watoto. Twapasa kuhimiza serikali zetu kufanya kila ziwezavyo kuhakikisha kuwa watoto wote wamo shuleni. Nasi tushirikiane kutoa huduma kwa watoto na kukomesha dhuluma, mateso na dhiki kwao. Haitoshi kupeleka miswada mbungeni kuhusu haki za watoto na kuipitisha kuwa sheria. Twastahili kubadilisha misimamo yetu kuhusu haki hizi na kuzilinda kwa dhati bali si kwa chati.

Maswali a) Fupisha aya mbili za kwanza. ( maneno 65-70) ( alama 8,utiririko 2 )b) Eleza ni vipi ukiukaji wa haki za watoto unaweza kuepukwa . ( maneno 30-35) (alama 4 , utiririko 1 )

3. MATUMIZI YA LUGHA / SARUFIa) Eleza sifa bainifu za sauti /j/. (alama 2 )b) Fafanua maana ya shadda. (alama 2)c) Bainisha mofimu - LI- katika tungo hii. (alama 3 )

Alivyolikimbiliad) Bainisha shamirisho kipozi na kitondo katika sentensi hii. (alama 2)

Nyanya ametengezewa kitanda kizuri na mjukuu wake.e) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya matawi.

Bakari, Roda na Hirsi wamefurahi kupita mtihani. (Alama 4)f) Kanusha sentensi ifuatayo :- (alama 2)

Kuliko na vita kwahitaji amani.Top grade predictor publishers Page | 88

Page 89: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

g) Yakinisha sentensi ifuatayo katika wakati ujao hali timilifu wingi. Msomi hakutuzwa siku hiyo. (alama 2 )

h) Tunga sentensi mbili kuonyesha matumizi mawili tofauti ya parandesi. (alama 2)i) Toa maana mbili ya sentensi ifuatayo:

Leteni! (alama 2 )j. Eleza matumizi matatu ya kiambishi ―ku” (alama 3)K. Tunga sentensi sahihi ukitumia vitenzi vifuatavyo katika hali ya kufanyiza.( alama 3 )

i) - Laii) - Nywaiii) -Fa

L. Andika upya sentensi kwa kutumia ‗O‘ rejeshi tamati. ( alama 2)Gari lililoanguka si lile unalolizungumzia.

M. Unda nomino kutokana na kivumishi kifuatacho: ( alama 1 )Tepetevu

N. Ainisha vihusishi vilivyopigiwa mstari. Atieno ndiye mtoto wa mwisho wa Ojwang lakini ni mwerevukuliko wengine. (alama 2)

O. Andika sentensi ifuatayo kwa kufuata maagizo . Nimewaleta askari kituoni ili wawalinde wananchi wote wanaosumbuliwa na majambazi. (alama 3 )Anza:Wananchi…………………

P. Andika sentensi hii katika hali ya ukubwa wingi. (alama 2)Ng‘ombe mnono atachinjiwa wachezaji.

Q. Taja uamilifu wa maneno yaliyopigiwa mstari. (alama 2 )i) Hapa ni pangu.ii) Haraka yako itakuponza.

R) Andika neno lenye muundo huu. (alama 1)KKKKI

4. Isimu Jamiii. Eleza maana ya lugha (alama 2)ii. Eleza mambo manne yanayopeleka kufifia / kufa kwa lugha. (alama 8 )

Top grade predictor publishers Page | 89

Page 90: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KAMDARA - 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SEHEMU YA A: USHAIRI

1. Swali la lazimaSoma shairihilikishaujibumaswaliyanayofuata:

ULIYATAKA MWENYEWE: D.P.B Massamba Alikwambawako mama, kajifanyahupuliki, Kakuasakilajema, ukawang‘oo!hutaki, Sasayamekusakama, popotehapashikiki, Uliyatakamwenyewe!

Babayolipokuonya, ukamwonaanachuki, Mambo ukaboronganya, kujifanyahushindiki, Sasayamekunganya, kwayeyotehupendeki, Uliyatakamwenyewe!

Mazuriuliodhania, yamekuleteadhiki, Mishikelimiamia, kwakoonahaitoki, Mwanzoungekumbukia, ngekuwahuaziriki, Uliyatakamwenyewe!

Dunianayohadaa, kwafukaranamaliki, Ulimwengunishujaa, hilokamahukumbuki, Yaninikuyashangaa?Elewahayafutiki, Uliyatakamwenyewe!

Mwenyeweumelichimba, la kukuzikahandaki, Ulijidhaniasimba, hutishikinafataki, Machunguyamekukumba, hatanenohutamki, Uliyatakamwenyewe!

Kwamnoulijivuna, kwa mambo ukadiriki, Na tenaukajiona,kwambawemstahiki, Nduguumepatikana, mikanganyohuepuki, Uliyatakamwenyewe!

Majutonimjukuu, hujakinyumerafiki, Ungejuamwishohuu, ungetendayalohaki, Ukorohojuujuu,popotehapakuweki, Uliyatakamwenyewe!

Maswali a) Elezadhamirayashairihili. (alama 2)b) Tambuanjiambilianazotumiamtunziwashairihilikuusisitizaujumbe wake. (alama 2)c) Tajanautoemifanoyaainazozotembilizatamathalizausemizilizotumikakatikashairi. (alama 4)d) Andikaubetiwatatukatikalughanathari/ tutumbi. (alama 4)e) Kwakutoamfanommojammojaonyeshaainambilizaidhiniyakishairikatikashairihili. (alama 4)f) Bainishatoniyashairihili. (alama 2)g) Elezamaanayamanenohayakamayalivyotumiwakatikashairi. (alama 2)

(i) Mstahiki (ii) Hupuliki

SEHEMU B: RIWAYA: KIDAGAA KIMEMWOZEA-KEN WALIBORA JibuSwali la 2 au 3

2. ―Umenenandiponduguyangu. HiyondiyotanziayaAfrikahuru.‖a) Elezamuktadhawadondoohili. (alama 4)b) Ni ninisifazamvutozinazowaletapamojamzungumzajinamzungumziwa. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 90

Page 91: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

c) Tambuanaufafanuembinuinayotumikakatikadondoo. (alama 2)d) Kwamifanomwafakafafanuatanziahiyoinayorejelewakatikadondoo. (alama 10)

3. Kuvunjwakwahakina sharia lilikuwajambo lakawaidachiniyauongoziwaMtemiNasabaBora.Thibitishaukweliwakaulihiiukirejeleariwaya. (alama 20)

SEHEMU C: TAMTHILIA:MSTAHIKI MEYA- TIMOTHY AREGEJibuswali la 4 au 5

4. ―Iwapoumefanya, yapomengiambayohayakunyoka.‖a) Elezamuktadhawadondoohili. (alama 4)b) Tambuambinumojailiyotimikakatikamuktadhawadondoo. (alama 2)c) Fafanuakaulikwamba‘yapomengiambayohayakunyoka‖. (alama 8)d) Elezajinsibaadhiyawahusikawalivyojaribukuyanyoosha. (alama 6)

5. Kwakutoamifanokumi, elezavizingitiwalivyokumbananavyoWanacheneowakatiwakupiganiamageuzi. (alama 20)

SEHEMU YA D: HADITHI FUPIDAMU NYEUSI NA HADITHI NYINGINE - K. WALIBORA NA S.A. MOHAMMED

6. ―Leo nisiku, sikuyanyanikufaambapomitiyotehuteleza‖a) Elezamuktadhawadondoohili. (alama 4)b) Bainishatamathalimbilizausemizinazojitokezakatikadondoohili. (alama 4)c) Hukuukitoamifano, thibitishamaudhuisitaambayoyamejitokezakatikahadithiyaDamuNyeusinawanayoyaendeleza.

(alama 12)

SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZI JibuSwali la 7 au 8

7. (a) Maigizoninini? (alama 2)(b) Tajasifannezamaigizo. (alama 4)(c ) Eleza mambo manneanayopaswakufanyamwigizajiilikufanikishauigizaji wake. (alama 8)(d) Ni niniumuhimuwamaigizo. (alama 6)

8. Kushirikinimbinumojayakukusanya data katikautafitiwakazizafasihisimulizi.a) Elezahojatanokuhusuumuhimuwambinuyakushiriki. (alama 10)b) Elezahojatanozaudhaifuwambinuyakushiriki. (alama 10)

Top grade predictor publishers Page | 91

Page 92: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KAMDARA - 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Mwanafunzi azingatie muundo wa barua pepe mfano; Anwani kama vile:i) kwa: [email protected]) kutoka kwa :[email protected] iii) Mada kuu: changamoto zinazowakumba vijana katika kaunti yetu iv) Tarehe: (mfano) Julai 5, 2015

NB: Mwanafunzi azingatie urasmi kwa sababu ya cheo cha gavana katika maandishi y ake.

Mifano ya Maudhui 1. Ukosefu wa miundo - msingi mwafaka kama vile barabara bora2. Vijana kukosa uadilifu kazini.3. Matumizi ya vileo na mihadarati4. Uvivu/kulaza damu5. Mapato duni6. kukosa motisha7. ukosefu wa fedha za kujiendeleza8. kukosa kazi kwa waliohitimu kwa shahada mbalimbali.

Tanbihi: Sahihisha hoja zozote tano zinazo oana na mada. Hoja zielezwe zikilenga mada.

Mifano ya Suluhisho Serikali ihakikishe kuna miundo msingi kama barabara, vileo mitaani vipigwe marufuku, vijana wapewe mikopo ya fedha ili wajiendeleze, wapate masomo zaidi kuhusu jinsi ya kujitegemea kibiashara.

Tanbihi: Hoja za suluhisho zilenge maudhui husika.

2. Teknolojia ya kisasa ni kama sarafu yenye sura mbili. Jadili. Ni swala la mjadala. Kuna hoja za kuunga na hoja za kupinga. Mwanafuzi atoe uamuzi mwishoni kulingana na uzito wa hoja zake. Tazama upande ambao ameegemea. Huo ndio msimamo wake. Hoja zozote tano zinafaa.

3. Umdhaniye ndiye siye. Hii ni insha ya methali. Mwanafunzi ashugulikie sehemu zote mbili za methali katika kisa atakachobuni. Kisa kibainishe kinyume cha matarajio kuhusu matendo ya wanaohusika.

4. Mtahiniwa asimulie kisa kuhusu jumba au jengo lililoporomoka na kuwafunika watu. Lazima aonyeshe jinsi yeye na wengine walivyojitolea kuwaokoa watu waliokuwa wamekwama kwenye vifusi. Aonyeshe namna walivyokumbana na tatizo la kuwa okoa manusura mpaka wakashindwa. Asiongezee neno lolote kwenye haya maneno. Asipomalizia kwa haya maneno atakuwa amejitungia swali hivyo basi atuzwe D- 02/20

Top grade predictor publishers Page | 92

Page 93: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KAMDARA - 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. UFAHAMUa) Ufisadi 1 × 1 = 1b) i) Utamaduni

ii) Dhana za kikabila 2 × 1 = 2c) Ndiyo mzawa wa matatizo yote ya kiutawala. 1 × 2d) i) Mwenye maono

ii) Mtetezi 2 × 1 = 2e) i) Jazanda - ufisadi kurejelewa kuwa donda.1 × 2

ii) Donda linatandaza mbawa zake kwenye 'taasisi takatifu' zinazopaswa kuupinga ufisadi. 1 × 2 = 2f) Uasi wa tamaduni za kiafrika

Kuegemea mifumo ya kizungu 2 × 1 = 2g) i) Mhimili - nguzo / tegemeo / iliyoimara al. 1

ii) Taasisi - kituo maalum cha kustawisha / kutoa mafunzo. al. 1Adhibu sarufi popote patokeapo makosa na usiadhibu zaidi ya nusu alama aliyopata mwanafunzi.Hijai - hadi makosa sita

2. UFUPISHOa) Nchi nyingi duniani zimetia saini mkataba wa umoja wa mataifa kuhusu haki za watoto Kuhakikisha kuwa hakuna ukiukaji wake katika himaya zao. Haki hizi ni kupata chakula bora Elimu isiyotolewa ada Kutopigwa na kutodunishwa Kutolazimishwa kufanya kazi za kiutumwa au kushurutishwa Kuishi katika nyumba au makazi bora Kulindwa dhidi ya madhara yoyote Kushirikishwa katika maamuzi Kupata huduma za kiafya kuheshimiwa kimawazo na kihisia Haki hizi zinastahili kulindwa na wanajamii Serikali kushirikisha haki hizi katika katiba za nchi zao. (zozote 8x1=8 )(utiririko 2 )b) Serikali kuhakikisha kuwa watoto wote wako shuleni Watu wote kushirikiana kukomesha dhuluma Miswada kuhusu watoto kupelekwa bungeni na kupitishwa kuwa sheria. Kubadilisha misimamo yetu kuhusu haki hizi na kuzilinda upasavyo ( 4x1=4) (utiririko 1 )3. MATUMIZI YA LUGHA/ SARUFIa) Eleza sifa bainifu za sauti /j/. (alama 2 )

Kipasuokwamiza/Kipasuo Kaakaagumu Ghuna

b) Ni mkazo unaowekwa kwenye silabi Fulani ya neon ili neno hilo liweze kuleta maana yake halisi. (alama 2).

c) Bainisha mofimu- LI-katika tungo hili. (alama 3 )Alivyolikimbilia .li………Wakati………………………………………………………………………………… Ii…………Mtendwa…………………………………………………………………………… i………………………………………………………………………………………………… Ii……………Kauli………………………………………………………………………………

Nyanya- kitondo (alama 2)Kitanda- kipozi

Top grade predictor publishers Page | 93

Page 94: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

d. S

KN KT

N N U N T T KN

N

Bakari Roda na Hirsi wamefurahi kupita

mtihani (alama 4)

e. kusiko na vita hakuhitaji msaada. (alama 2)f. Wasomi watakuwa wametuzwa siku hizo (alama 2)g. i) kuonyesha kisawe cha neno . (alama 2).

ii) kuonyesha maneno ya ziada.h. Amri

Wingi wa wahusika (alama 2)i. kiambishi cha kuonyesha ukanushi katika wakati uliopita.

mtendwa.Nomino za kitenzi jina . (alama 2)

k. i) La - lishaii) Nywa - nywisha /nyweshaiii) Fa- fisha (alama 3)

L. Gari liangukalo si lile ulizungumzialo. (alama 2)M. Utepetevu (alama 1)N. wa- a unganifu

kuliko -kulinganisha.O. Wananchi wote wanaosumbuliwa na majambazi wameletewa askari kituoni ili wawalinde. (alama 3)P. Magombe/ majigombe manono yatachinjiwa wachezaji. (alama 2)Q. i) W- (kiwakilishi ) (alama 2)

ii) N - ( nomino )

R. Mchwa (alama 1)4. ISIMU JAMII

i) Ni chombo cha mawasiliano cha binadamu ambacho hutumia ishara na sauti zilizo na mpangilio maalum. Ni mfumo wa sauti ambazo zimebuniwa na jamii katika mawasiliano. (alama 1X 2)ii. Lugha moja kuonewa hadhi na isiyoonewa hadhi kufifia. Sababu za kiuchumi yaani watu huishi mijini na kuacha lugha ya kwanza. Lugha kuwa na idadi ndogo ya wazungumzaji. Ndoa za mseto Kuhamia kwingine yaani watu kuishi na kuingiliana na kundi jingine. Mielekeo ya watu hasa wanapoipendelea lugha moja na kuidharau nyingine. Kisiasa lugha moja kupendelewa kuliko nyingine na viongozi. (zozote 4 X 2)

Top grade predictor publishers Page | 94

Page 95: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KAMDARA - 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. SHAIRIa) Dhamirayashairi.

Shairi hili linadhamiria kueleza madhara ya kutofuata mawaidha / ushauri wa baba na mama. Kuonyesha hasara / shida zinazowapata watu walio na kiburi, majivuno, majigambo, na tamaa. 2 x 1 =alama 2

b) Kusisitizaujumbe. Matumizi ya kibwagizo. Matumizi ya methali au jazanda. 1 x 2 = alama 2

c) Tamathalizausemi Swalilabalagha - ya nini kushangaa? Methali - majuto ni mjukuu huja kinyume. Jazanda - Umelichimba la kukuzika handaki - Istiari - Ulijidhania simba. Zozote 2 x 2 =alama 4

d) Lughanathari.Yale uliyoyaona kuwa bora ndiyo sasa yamekuletea shida. Mamia ya matatizo hayaishi kwako. Iwapo ungetambua hapoawali basi hungekuwa ukitatizika. Wewe mwenyewe ndiwe chanzo cha haya. 4 x 1 = alama 4

e) IdhiniyakishairiInkisari Alikwamba badala ya alikwambia

Ulodhania badala ya uliyoyadhania.Kuborongasarufi Alikwamba wako mama badala ya alikwambia mama yako

Umelichimba la kukuzika handaki badala ya umelichimba handaki la kukuzika.Lahaja - Huaziriki Zozote 2 x 2 =alama 4

f) Toniyashairi hili.Toniyamajuto Anashangaa mambo yanavyomwendea.

Machungu yamemkumba kiasi kwamba ameshindwa kuongea ( neno hatamki)Toniyakusikitika Anasikitika mishikeli haitoki kwake (matatizo yameganda ) Yoyote 1 x 2 = alama 2

g) Matumiziyamaneno(i) Mstahiki - mheshimiwa (ii) Hupuliki - husikii / husikizi 1 x 2 = alama 2

2. a) i) Maneno ya Madhubuti kwa Amani

ii) Walikuwa katika kibanda cha Amani iii) Wakati ambapo Madhubuti alipoamua kumtembelea Amani bila taarifa. iv) ili kumuuliza iwapo alikuwa anavielewa vitabu alivyoviazima kutoka kwake na kumpata akitongoa kimombo kwa sauti.

(zozote 4 x 1 = 4)

b) i) Wote walikuwa vijana wa kiume.ii) Walikuwa wasomi waliopendelea kusoma vitabu vya aina moja - vya mawazo ya uzalendo naukombozi. iii) Walikuwa na falsafa sawa - kuwa shahada kutoka vyuo vya maisha vinavyofundisha watu kuwa binadamu na maadili ni

muhimu zaidi ya shahada ya vyuo vikuu. iv) Waliamini katika kujitafutia kwa jasho lao bila kuegemea unasaba. v) Walikuwa wasiri wakubwa walioelewana na kuelezana siri. (zozote4 x 1 = 4)

c) Jazanda: tanzia inayorejelea ukoloni mamboleo. Baada ya waafrika kupigania uhuru na kuwa na matumaini makubwayanaishia kwenye mwisho mbaya wa viongozi ingawa ni weusi lakini wabaya zaidi. (zozote 2 x 1 = 2)

d) i) Unyakuzi: Baada ya viongozi wa kiafrika kuwatimua wazungu, wao walianza kujinyukulia mali, kwa mfano, ardhimadal-basari za Mtemi Nasaba Bora.

ii) Udhalimu ulitekelezwa na askari kwa amri kwa mama yake Imani hadi akafa. iii) Kutozwa kodi/ushuru kwa lazima. Mtemi Nasaba Bora alitumia mchango wa umma kumpeleka mwanawe Urusi. iv) Kushurutishwa kuhudhuria mikutano , hata wale ambao hawakuelewa kimombo. Askariwalitembea wakiwatoa watu

nyumbani mwao. v) Matumizi mabaya ya asasi za serikali, ofisi, magereza na askari. vi) Sheria dhalimu. Amani, Imani na Weye kutiwa ndani bila hatia na kuachiliwa bila kufikishwa mahakamani. vii) Viongozi walitumia vibaya misaada iliyotumwa ili kujengea hospitali kuu zilifujwa na wasimamizi na badala yake

wakajenga zahanati ndogo. (zozote 5 x 2 = 10)3. Kuvunjwa kwa haki na sheria lilikua jambo la kawaida chini ya uongozi wa Mtemi Nasaba Bora.Thibitisha. Kutolewa kwa hongo katika wizara ya ardhi kwa wafanyakazi

Top grade predictor publishers Page | 95

Page 96: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Yusuf alifungwa maisha kwa kusingiziwa kosa ambalo hakutenda kumuua babaye(Chichiri Hamadi) D.J alisingiziwa wizi na kufungwa mwishowe alitoroka Jela. Mtemi Nasaba Bora alinyakua shamba la Mwinyi Hatibu na Chichiri Hamadi Amani kusingiziwa uchochezi akiwa chuo kikuu na kufungwa huku masomo yake yakikatizwa. Pesa zilizotengewa elimu ya watoto maskini kutumiwa kuelimisha watoto wa matajiri mfano Fao. Fao alifanyiwa mtihani katika shule ya msingi na sekondari na baadaye akajiunga na elimu ya juu. Amani alipompata mtoto Uhuru kwenye kibanda alimpeleka kwa Mtemi.Mtemi hakumsikiliza, haki haikutekelezwa. Mtemi hakumsikiliza bibiye( Zuhura) kuhusu kitoto Uhuru. Mwalimu Majisifu alifanya wizi wa mswada wa kitabu cha Amani; faida ilimwendea Majisifu. Majisifu kumtengea bibi chumba baada ya kujifungua watoto walemavu ilhali watoto ni wao Amani na Imani kukamatwa baada ya kifo cha kitoto Uhuru na kufungwa jela (katika choo) hawakupelekwa kortini

wajitetee.Matuko Weye kukamatwa na kufungwa baada ya kumkashifu Mtemi kwa vitendo vyake viovu. Wafungwa huko gerezani mf. Amani, Imani na Matuko hawakupewa chakula. Wafungwa kutofungiwa mahali kuna mazingira mazuri, jela ilikuwa choo kidogo chenye harufu mbaya. Haki za watoto kuvunjwa mfano, matajiri waSokomoko kuwaajiri vijana wadogo kuchunga mifugo mfano D.J na wengine. Uhusiano wa kimapenzi baina ya wasichana wadogo wa shule. Hatimaye wanapachikwa mimba mfano Lowela na Mtemi. Mtemi alipendelewa katika asasi za mahakama na sheria zozote10 x 2=204. a Maneno ya Siki Anamwambia Meya Walikuwa nyumbani kwa meya. Siki alikuwa amekuja kumweleza Meya hali halisi ya mambo/kukosekana kwa madawa na matatizo Mengine. Meya mwishowe aliamuru Gedi kumfurushaSiki. 4x1=4

b) Msemo- Mambo kutonyooka - mambo kutokuwa sawa. 2x1=2c. Huduma ya matibabu ni ya chini. Ukosefu wa ajira. Mishahara duni (walipata nusu ) Mishahara kucheleweshwa Hali ngumu ya maisha baada ya gharama kupanda. Kukosa nyongeza kwa wafanyikazi wa chini. Makazi ya wanyonge yalikuwa mabanda. Maskini kutembea kwa miguu ilhali matajiri walibebwa kwa magari mazito yenye ‗air conditioner‘. Elimu duni kwa watoto maskini wanafukuziwa karo ilhali madiwani wanalipiwa na baraza. Wanaolipa kodi ni maskini (Mama muuza ndizi). Kunyimwa haki ya kusikilizwa mfano wawakilishi wa wafanyi kazi. Ukosefu wa vifaa vya kufanya kazi - glovu. Wizi wa mali ya umma mfano: vipande vya ardhi na Meya kwenda katika hoteli za kifahari akitumiaEntertainment Vote!

(ubadhirifu). Njama ya wizi wa fimbo ya meya. Diwani III kutohusishwa kwenye mikutano. Waandamanaji kupigwa na polisi. Bibi ya meya kwenda kujifungulia ngambo. Mhubiri kupewa sadaka na kufadhiliwa na baraza. Madiwani kununuliwa nguo na baraza. (zozote 8 x 1 = 8)d. Siki alienda kwa Meya kujaribu kumshawishi abadilishe uongozi wake. Diwani 3 alimuarifu Meya kuhusu nakisi ya fedha katika bajeti ya baraza na kumuonya dhidi ya kuwaongeza madiwani

mishahara. viongozi wa wafanyi kazi walipeleka malalamishi yao kwa Meya akapuuza. ( 3x2=6)

5. Kwa kutoa mifano kumi,eleza vizingiti walivyokumbana navyo wanacheneo wakati wa kupigania mageuzi. Vitisho kutoka kwa Mstahiki Meya na vibaraka wake hasa dhidi ya wafanyakazi waliogoma, ambao wanatishiwa kufutwa

kazi. Waandamanaji na waliopinga uongozi wa Mtsahiki Meya wanapigwa ( kutembezwa virungu) mpaka wanatulia nyumbani. Waandamanaji wanashambuliwa kwa bunduki ( risasi) vitoa machozi na magari yanayotapika maji. Mwandamanaji akifa, viongozi wanasema hakuna aliyekufa ( uk.65).

Top grade predictor publishers Page | 96

Page 97: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Vibaraka kama vile Diwani I, II na Bili kuendeleza ushauri potovu kwa Meya na kuwafanya wananchi waumie hata zaidi. Usaliti wa viongozi wakisiasa waliowachagua (Meya na Madiwani) ambao badala ya kuleta maendeleo, wanatumia nyadhifa

zao kuwanyanyasa raia hata zaidi. Askari wanatumiwa kukandamiza raia hasa walioandamana. Ubinafsi wa Mstahiki Meya na vibaraka wake wakijilimbikizia mali na kushiriki ufisadi ni mzigo kwa wananchi kwa sababu

pesa za maendeleo zinaibwa na wanasukumwa katika umaskini zaidi. Kazi zinapotokea katika baraza zinapaswa kutangazwa wazi ili walio na tajriba na waliosomea kazi hiyo kuhojiwa, na

anayestahili zaidi anapata lakini mhazili aliajiriwa kwa mapendeleo. Ujinga ni changamoto kwa ukombozi kwa sababu anayehusika hajui haki yake, hajui kusoma na kuandika Mf. Mamake

Dadavuo Kaole hajui lishe bora ni nini na hajui utapia mlo ni nini na husababishwa na nini. Tenga tawala - kugawa wananchi kitabaka ( watawala na watawaliwa) Matumizi ya propaganda na unafiki unawafanya wananchi kuamini mambo ya uzushi Mf. Waridi anaamini Meya ameagiza

dawa kutoka ng‘ambo. Matatizo ya afya yanayotokana na ukosefu wa maji safi, mrundiko wa takataka n.k unatishia maisha ya wanacheneo kwa

magonjwa kama kipindupindu. Baadhi ya wanacheneo wanakataa kuzinduka. Mf. Gedi anazidi kumnyenyekea Meya bila kujua kuwa Meya ni haini

asiyestahili heshima. zozote10 x 2 = 206. a) i) Mawazo yanayompita fikirini akilini mwake.

ii) Katika nyumba ya Fiona na Bob. iii) Ni wakati ambapo Fiona na Bob wanataka kumuua Fikirini. iv) Hii ni baada ya kumvua nguo na kugundua kwamba hana pesa zozote. (zozote 4 x 1 = 4)

b) Tamathali za usemi.i) Takriri - Sikuii) Methali - Siku ya nyani kufa miti yote huteleza (2x2=4)

c) Maudhui Ubaguzi wa rangi - Polisi kumshika Fikirini kwa kuvuka barabara ilhali wazungu walivuka bila kuulizwa. Dereva kumwacha kwa sababu ni mweusi. Elimu - mhadhiri kuwapa Wamarekani weupe alama za juu. Uozowa Jamii - Fiona kutaka kushiriki ngono na Fikirini. Fiona na Bob kumtusi Fikirini, Kumwibia. Ukatili - Bob na Fiona kumvua Fikirini nguo, kumwibia, kutaka kumuua. Unyanyasaji wazungu kuwanyanyasa watu weusi. Fikirini kutuzwa maki kidogo katika mtihani. Kuhukumiwakwa kutofunga zipu ya suruali. Tamaa - Fiona na Bob wana tamaa ya pesa ndiyo maana wakamwibia Fikirini. Kasumba ya Wazungu-Kujiona bora kuliko watu weusi, kumwuliza Fikirini maswali ya kijinga. (zozote 6x2=12)

7. (a) Utanzu wa Fasihi Simulizi unaohusishamatendopamojanamaneno 2 x 1 = alama 2(b) Sifa za maigizo

i) Huigizwa mbele ya hadhira ii) Yahitaji uwanja maalum wa kutendea. iii) Hufungamana na shughuli za kijamii k.v tohara. iv) Sharti pawepo tendo la kuigizwa v) Kuna maleba vi) Huweza kuambatana na ngoma pamoja na uimbaji. vii) Huwa na muundo mahususi.

4 x 1 = alama 4(c ) Ishara za uso, mwili na miondoko ambayo inaoana na hali ya kuigiza. Avalie maleba yanayochukuana na nafasi anayoigiza. Abadilishe toni na kiimbo kulingana na hali tofauti. Abadilishe uigizaji wake kulingana na hadhira. Aitumie lugha kwa ufasaha. Adhihirishe ukakamavu / ujasiri wakati wa kuigiza.

4 x 2 = alama 8(d) Huburudisha Kuhifadhi / kuendeleza utamaduni. Kitambulisho cha jamii. Kukuza umoja. Nyenzo ya kupitisha maarifa na amali za jamii

Top grade predictor publishers Page | 97

Page 98: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Huakisi mitazamo ya jamii kuhusu masuala mbalimbali. Husifu tabia nzuri. Kuimarisha ubunifu Kukuza kipawa cha uongozi. Kuelimisha. Hukuza uzalendo (4 x 2 =8)8.a) Umuhimu wa mbinu ya kushiriki. Mtafiti huwa karibu ya jamii husika kwa hivyo hupata ujumbe wa kuaminika moja kwa moja. Ni njia bora ya kukusanya habari kutoka kwa watu ambao huona vigumu kujieleza moja kwa moja. Mtafiti hupata taathira na hisia ya yanayowasilishwa kwa vile anakabiliana ana kwa ana na watendaji na hivyo kuelewa zaidi

mada ya utafiti. Mbinu hii hukuza utangamano kati ya mtafiti na wanajamii. Ni rahisi kwake kupata majibu ya maswala anayotafiti kwa

kushiriki na kutangamana na wanajamii. Ni rahisi kwa kumtafiti kuuliza maswali kuhusu kipera kinachowasilishwa mfano: anaweza kuuliza kuhusu kipindi ambamo

wimbo fulani uliimbwa na hadhira. Mtafiti anaweza kuthibitisha aliyokusanya kupitia kwa mmoja wa watendaji. (zozote 5 x 2 = 10)b) Udhaifu wa kishiriki Mbinu hii huchukua muda mrefu. Mtafiti huweza kutekwa na yaliyomo akasahau kurekodi au kunasa kwa namna yoyote kipera kinachotafitiwa. Mtafiti huweza kuleta wasiwasi miongoni mwa washiriki na wakakosa kutenda kama kawaida. Uchanganuzi wa data inayokusanywa kwa njia hii ni mgumu na ni rahisi kwa mtafiti kuacha maswala muhimu. Mbinu hii ni ghali kwani inamhitaji mtafiti kusafiri mbali ili kushiriki katika utendaji. vi) Vifaa vya kuhifadhia data kama vile kanda za video huweza kukosa nguvu za umeme. (zozote 5 x 2 = 10)

Top grade predictor publishers Page | 98

Page 99: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KAUNTI YA NANDI KASKAZINI NA NANDI YA KATI 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. Swali la lazima.Andika barua kwa mhariri wa gazeti la Mulika kuhusu vyanzo vya ujauzito kwa wanafunzi wa kike nchini.

2. Eleza jinsi udanganyifu katika mitihani utaathiri maisha ya kizazi kijacho.3. Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti.4. Andika insha ambayo utamaliza kwa:

……………….Aha! Kumbe muungwana akivuliwa nguo huchutama! Sitahisahau siku hiyo kwani sijawahi kufedheheka maishani kama nilivyoaibika.

TATHMINI YA PAMOJA YA KAUNTI YA NANDI KASKAZINI NA NANDI YA KATI 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (ALAMA 15)

Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.

Lugha inaweza kuelezwa kwa jumla kuwa ni mfumo wa mawasiliano.Haiyamkiniki kwa mtu yeyote kueleza chanzo au kiini cha lugha na sote tunakubalina kuwa matumizi yake yameanza tangu kuumbwa kwa binadamu kwani ni vigumu kukisia kuwepo kwa jamii ya watu bila lugha ya mawasiliano yoyote ile.

Katika taifa lolote,huwapo na lugha moja au hata zaidi ya moja ambayo huwa ndicho chombo zatika cha mawasiliano ya taifa katika nyanja za:elimu maandishi,siasa na biashara.Kwa mfano mataifa ya Kanada hutumia lugha mbili kwa usawa kama lugha za taifa na za kikazi.Maana ya lugha ya taifa ni lugha moja ambayo huteuliwa kutumika katika shughuli zote za taifa hasa katika nchi yenye lugha nyingi za kikabila.Lugha ya taifa ni muhimu sana kwa maisha na maendeleo ya taifa lolote lile.Lugha hii huwa ndiyo kiungo cha kueneza umoja na uelewano miongoni mwa jamii nyingi tofauti na huwa kama kitambulisho kwao kwa kuwa wao ni ndugu wa jamii moja kubwa,yaani taifa lao.

Kenya ni mfano mzuri wa taifa lenye lugha nyingi zinazozidi 40 za vikundi vidogo vidogo vya kikabila.Hapo kabla ya miaka mia moja hivi iliyopita kila kimojawapo cha vikundi hivi kilijitambulisha kama kabila huru.Baada ya kuja kwa serikali ya kikoloni na hasa baada ya Kenya kujinyakulia uhuru,haja ya kuunganisha raia wote chini ya taifa moja lenye uongozi na shabaha moja ilikuwa ndilo jambo lililozingatiwa sana.Kwa hivyo utamaduni wa taifa Kenya ni mchanganyiko wa tamaduni za watu wengi wenye mila,desturi,imani na itikadi tofauti.Utamaduni humaanisha jumla ya amali na tabia za watu wa jamii fulani.Amali hizi zinafungamanisha fikira,ustaarabu,mila,taasisi na sanaa za aina zote za jamii inayohusika.

Ili kujieneza na kujiimarisha,taifa huhitaji chombo hicho kuwasiliana na kuwaunganisha watu wake wenye asili mbalimbali. Chombo hicho huwa ni lugha ambayo siyo tu kwamba ni sehemu ya utamaduni wa jamii bali pia ni njia muhimu sana ya kutawanyia na kustawishia ule utamaduni.

Katika taifa lenye lugha nyingi kama Kenya kwa mfano,lugha ya taifa inayozungumzwa na kueleweka na baadhi kubwa ya raia ambayo imekiuka mipaka na tofauti za kikabila ni njia muhimu sana ya kueneza maongozi ya taifa na kuleta ufahamikiano bora kote nchini.Kama

zilivyo taasisi kama wimbo wa taifa,bendera ya taifa au bunge la taifa, lugha ya taifa ndicho kielelezo cha taifa lolote lile.Lugha kama hiyo huvunja na hukomesha hisia za kibinafsi na kikabila na badala yake kuunda moyo wa uaminifu wa kitaifa.

Zaidi ya kuwa chombo cha mawasiliano,lugha ni kielelezo cha fikira na hisia za binadamu.Lugha ya watu fulani haituelezi tu ujuzi au maarifa yao bali pia mtazamo wao kimaisha,falsafa na mawazo yao.Kwa ufupi lugha hutufahamisha namna akili za watu waizungumzayo ile lugha zinavyofikiri na kufanya maazimio.Lugha ni sehemu ya utamaduni wa taifa tulimozaliwa na lazima lugha hiyo ifunzwe katika muktadha wa maisha ya jamii ihusikayo.Utamaduni wa jamii havitenganiki na lugha yake. Maswali (a) Huku ukirejelea kifungu, eleza fasiri na chanzo cha lugha. (alama 2)(b) Tofautisha baina ya lugha ya taifa na lugha ya kikazi. (alama 4)(c) Kwa nini lugha ya taifa huhitajika sana katika nchi kama Kenya. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 99

Page 100: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(d) Eleza kazi nne kuu zinazotekelezwa na lugha ya taifa. (alama 2)(e) Eleza maana ya mafungu yafuatayo kama yalivyotumiwa katika taarifa: (alama 3)

(i) Amali na tabia za watu:……………………………………………………………………….. (ii) Muktadha wa maisha ya jamii:………………………………………………………………. (iii) Haiyamkiniki:………………….………………………………………………………………..

2. UFUPISHO: (ALAMA 15)

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali. Je, mtazamo hasi ni nini? Huwa na athari gani kwa binadamu hadi iwe sababu ya kuangaziwa katika safu hii? Mtazamo hasi ni kukata tama, kutamauka kuhusu hali, mtu au jambo fulani. Ni hisia ya kutotaka kushiriki wala kuhusishwa na jambo au hali fulani. Mtazamo huu ndio huwafanya wanafunzi wengi kuchukia au kudunisha baadhi ya masomo na walimu wanaowafundisha. Licha ya wengi kuwa na mtazamo huu, kwa kweli huwa hawatambui. Asilimia kubwa ya wanaotambua hutatizika kujikwambua kutoka katika hali hii.

Inakadiriwa kwamba mtu wa wastani huwa na takriban mawazo elfu sitini ya kibinafsi kwa kila saa 24. asilimia 95 ya fikra hizi huwa sawa na za siku iliyotangulia, na asilimia 80 ya fikra hizi zilizorudiwa huwa hasi. Isitoshe, fikra hizi nyingi hutokea bila mtu mwenyewe kutambua na huwa mazoea. Hii ina maana kwamba watu wengi hawana ufahamu wa athari za fikra hizi maishani mwao. Katika makala haya tunaangazia vyanzo vya mitazamo hasi na suluhu.

Mwanzo kabisa ni imani potovu. Hiki ndicho chanzo kikuu cha mtazamo hasi. Kushikilia imani potovu kuhusu maisha pamoja na matukio fulani maishani hujenga mtazamo hasi. Unayaona maisha kwa macho ya imani zako na iwapo imani hizo ni potovu, basi hutayathamini maisha yako. Ili kukabiliana na hali hii, sharti kwanza ubadili imani yako. Uamini kwamba mabadiliko yanaweza kutokea na uchukue hatua ya kuanzisha mabadiliko hayo maishani mwako. Unahitaji kuepuka fikra hasi zinazoambatana na maisha yako ya awali na kulitathmini kila tukio maishani kama tukio huru; lisilo na uhusiano na yaliyowahi kukutamausha.

Kujikwamua kutoka katika imani duni unahitaji kuibuka na idadi kubwa ya imani chanya kuliko zilizo hasi kuhusu hali mahsusi. Baada ya hilo, zikabili imani zako potovu moja baada ya nyingine huku ukijiuliza endapo imani hizo ni kweli na endapo zina mashiko, tumia dakika tano hivi kila siku kushadidia fikira chanya inayokinzana na ile inayokudidimiza. Ukifanya hivi kwa takriban siku thelathini imani yako itaanza kuchuku mkondo unaofaa.

Familia au rafiki anaweza kuwa kikwazo. Pasipo kufahamu familia yako na rafiki unaoandamana nao huathiri pakubwa hisia zako. Wakiwa na mtazamo hasi huweza kukushawishi ukaanza kuhisi wanavyohisi na kuyaona mambo kwa mtazamo wao. Kukabiliana na hali wapaswa kudhibiti hisa zako. Tawala namna unavyohisi na kukabiliana na hali mbalimbali bila kuathiriwa na wandani hawa. Epuka wandani wa aina hii kadri inavyowezekana, ikiwezekana, jitenge nao ili ujifunze kuwa na uhuru wa kufanya maamuzi yako binafsi bila kuathiriwa nao.

Unapaswa kupunguza ushirika hata na jamaa zako wanaokuingiza katika hali ya kutamauka. Punguza muda wa kukaa nao hasa wanapogeuka mkondo huu wa kukukatiza tamaa.

Mazingira hasi ni kizingiti kingine. Pengine huoni ukuruba baina ya maisha yako na wazingira unamokulia au unamokaa. Ukweli ni kwamba, huenda umedumu katika mazingira hayo na kuyazoea hata ukafikiri huwezi ukayabadilisha. Kadri unavyohisi huna uwezo wa kuyabadilisha ndivyo unajizamisha zaidi katika mtazamo hasi. Ili kukabiliana na hali hii, unahitaji kuelewa kwamba fikra zako au za watangulizi wako ndizo zilikuingiza katika mazingira haya. Kwa hivyo unapaswa kubadili mkondo wa fikra zako na uanza kujaribu mazoezi ambayo umekuwa ukiyaona kama usiyoyaweza. Hatua kwa hatua, utagundua panapo jitihada na uelekezi unaofaa kwamba mazoezi hayo yamekuwa mepesi na hivyo kukuhakikishia kuyabadilisha mazingira yako. Hali zisizoridhisha ni wakati unapojikuta ukilalamika jinsi ulivyokerwa na hali Fulani, hii ndiyo sababu hasa ya kuwa na mtazamo hasi kuhusu hali hizo. Inaweza kukuwa vigumu kulikubali hili lakini kadri utakavyokubali mapema ndivyo utakavyoboresha maisha yako mapema. Kulalamika tu ndiko kutakudumisha katika hali zisizokuridhisha. Ili uyabadilishe maisha yako sharti ukome kulalamika na kuanza kujikwamua toka kwenye hali hizo.

Katika kufanikisha jambo lolote jema sharti viwepo vizingiti njiani. Mtendaji wa jambo lolote jema liwalo ana jukumu la kuibuka na mikakati mwafaka ya kuvikabili vizingiti hivi ili afanikishe ndoto yake. Hii ndiyo sababu unapaswa kuchukua hatua kutokea sasa ili kupanga na kutekeleza mikakati itakayoipindua mtazamo wako hasi uwe chanya. Kwa jinsi hii utayabadilisha maisha yako yawe ya kuridhisha zaidi na kuwa kielelezo kwa wengi waliotamaushwa na mitizamo hasi.

Maswali (a) Fupisha ujumbe wa aya nne za mwanzo kwa maneno 80. (alama 7, 1 ya mtiririko)(b) Kwa kurejelea aya mbili za mwisho, fupisha ujumbe kwa maneno 70. (alama 6, 1 ya mtiririko)

3. MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 40)

Top grade predictor publishers Page | 100

Page 101: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

a) (i) Taja sauti zozote mbili zinazotamkiwa kwenya kaakaa gumu. (alama 1)(ii) Eleza maana ya kirai. (alama 1)(iii) Onyesha aina ya virai katika sentensi ifuatayo. (alama 2)Mwanafunzi mzuri husoma ndani ya darasa.

b) Andika sentensi hii upya bila kubadilisha maana ukitumia ―O‖ rejeshi. (alama 2)Mwanafunzi alitumwa nyumbani juzi na hajapata karo hadi leo.

c) Tumia kiwakilishi cha nafsi huru (nafsi ya pili wingi) katika sentensi. (alama 2)d) Eleza matumizi ya ―na‖ katika sentensi ifuatayo.

Simba aliuawa na wawindaji haramu nasi tukawaripoti. (alama 2)e) Weka vitenzi hivi katika hali ya kuamrisha wingi. (alama 2)

(i) -nywa(ii) Tubu

f) Andika ngeli za nomino zifuatazo. (alama 2)(i) Uwele(ii) Vita

g) KanushaMwanafunzi ambaye amefika ametuzwa. (alama 2)

h) Changanua kwa kutumia mchoro wa matawi.Mvuvi hodari alifurahi alipofanikiwa kuvua jodari.

i) Eleza matumizi moja moja ya viwakifishi vifuatavyo. (alama 3)(i) Mshazari:……………………………………………………………………………………………(ii) Parandesi…………………………………………………………………………………………(iii) Ritifaa………………………………………………………………………………………………

j) Andika katika ukubwa.Mke wa mzee huyu hupenda watoto sana.

k) Tunga sentensi moja kutofautisha ‗thibiti‘ na ‗dhibiti.‘ (alama 2)l) Geuza sentensi hii hadi usemi wa taarifa: (alama 3)

―sitakuja shuleni kesho,‖ mwalimu mkuu akasema, ―nitaenda kuhudhuria mkutano Mombasa.:m) Huku ukitumia mifano, tofautisha sentensi ambatano na sentensi changamano. (alama 4)n) Ainisha mofimu katika neno: (alama 2)

Walichimbao) Kwa kutumia mifano, tofautisha kati ya kishazi huru na kishazi tegemezi. (alama 2)p) Eleza maana mbili zinazojitokeza kwenye sentensi hii. (alama 2)

Wale wamekuja kutuliza.

4. ISIMU JAMII (ALAMA 10)a) Eleza juhudi zozote tano za serikali ya Kenya katika kukuza Kiswahili. (alama 5)b) Taja na ueleze pingamizi zozote tano zinazokwamiza juhudi za kukuza Kiswahili. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 101

Page 102: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KAUNTI YA NANDI KASKAZINI NA NANDI YA KATI 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SEHEMU YA A: USHAIRI (SWALI LA LAZIMA) (alama 20)

1. Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.

1) Hadhira e pulikeni, kisa changu mpaeni,Mpateni mweleweni, mchekeni, mlieni, Funzo lake mpateni, uamuzi mfanyeni, Kisa hiki asilani, sisahau maishani.

2) Cha nne niliingiya, mtoto kafurahiya, Malkia ungedhaniya, duniani meingiya, Mapambo lijipambiya, kung‘ara kikang‘ariya, Kisa change chatokeya, mwanzowe nafunguliya.

3) Darasani lizembea, bidii sikutilia, Starehe nakwambia, nilipenda najutia, Kimadaha litembea, tausi nilitulia, Kisa kilinigonjea, mtume! Ningalijua.

4) Muhula kutamatika, dafu sikufua, kaka, Enda, Ewe, Embe, fika, alama duni, viraka, Nilipokea waraka, mzazi kahitajika, Kisa kijatambulika, nakuomba makinika.

5) Muhula wa pili sasa, nikarudia makosa, Sikupigeni msasa, makali nikayakosa, Kisu sikunoa hasa, sikukata cha darasa, Kisa ndicho hicho sasa, ninakupa pasi pesa.

6) Sasa muhula wa tatu, umetimia wanetu, Mtihani kama chatu, nimeuogopa, mtu, Sijausomea katu, ningalilindaje utu? Kisa mkasa wa chatu, kilinipata wa kwetu.

7) Mbwa katu hafi maji, kiona ufuko, maji, Tajaribu sife maji, hata akiyanywa maji, Ilibidi twende jiji, kuwasaka wajuaji, Kisa change mfumbaji, sasa dawa lihitaji.

8) Mpango ulitolewa, mchango ulipangiwa, Pesa tele litolewa, na simu kununuliwa, Mtandao liwekewa, ‗kunani‘ kupakuliwa, Kisa cha simu kujuwa, linifanya kupagawa.

9) Tulikata dari ona, simu yetu kufichana, Usiku tulikutana, maswali kurushiana, Majibu tulipeana, ‗panga‘ kabadilishana, Kisa kinajulikana, vile nilivyokazana.

10) Niliyangoja majibu, nikiwa na hamu, babu, Nilikimya kama bubu, nisije toa aibu, Nilivichoma vitabu, bila kuwa na sababu. Kisa kawa masaibu, kashindwa kuyaharibu.

11) Kutangazwa matokeo, nakumbuka hadi leo, Lilishangaza toleo, sikuamini redio, Lipokea matokea, yalinitia kimbio, Kisa change mchocheo, haya yangu mapokeo.

Top grade predictor publishers Page | 102

Page 103: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

12) Nilifeli mtihani, sababu simu juweni, Najuta nisameheni, nijilaumu moyoni, Ningalijua mbeleni, ningalisoma jamani, Kisa nimemalizeli, wenzangu mzindukeni.

13) Watahiniwa mlipo, msiwe mithili popo, Skuli kwenu kuwepo, nia mpate malipo, Bidii hapo mlipo, toa uzembe pasipo, Kisa change kingalipo, simu daima siwepo!

MASWALI a) Taja anwani mwafaka ya shairi hili. (alama 1)b) Fafanua mbinu mbili za lugha zilizotumiwa katika shairi hili. (alama 4)c) Bainisha nafsi lengwa katika shairi hili. (alama 1)d) Changanua arudhi zilizotumiwa na mtunzi wa shairi hili. (alama 4)e) Andika ubeti wa kumi katika lugha nathari. (alama 4)f) Eleza maana ya maneno na vifungu vifuatavyo kwa mujibu wa shairi. (alama 3)g) Eleza maana ya maneno na vifungu vifuatavyo kwa mujibu wa shairi. (alama 3)

(i) Sikukata cha darasa (ii) Yalinitia kimbio (iii) Kupagawa

SEHEMU YA B: TAMTHILIA Jibu swali la 2 au 3

2. ―Nashukuru sasa umeanza kuona mambo yanavyostahili kwenda.‖a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Eleza sifa zozote nne za msemaji. (alama 4)c) Fafanua maudhui ya ufisadi kama yalivyoangaziwa na mwandishi wa tamthilia ya Mstahiki Meya. (alama 12)

3. Jadili matumizi ya mbinu zifuatazo katika tamthilia - Mstahiki Meya. (alama 20)a) Majazi b) Taharuki

SEHEMU C: RIWAYA KIDAGAA KIMEMWOZEA - K. WALIBORA

Jibu swali la 4 au 5 4. ―Kutowajibika kwa viongozi baada ya mkoloni kuondoka ni dhahiri.‖ Jadili kauli hii kwa mujibu wa Riwaya ya Kidagaa

Kimemwozea. (alama 20)

5. ―Hizi kurani zako ndizo zifanyazo nisije huku …‖a) Eleza muktadha wa maneno haya. (alama 4)b) Eleza umuhimu wa mrejelewa katika dondoo hili kwenye riwaya. (alama 6)c) Eleza maisha ya msemaji yalivyokuwa kwa mujibu wa Riwaya ya Kidaa Kimemwozea. (alama 10)SEHEMU YA D: HADITHI FUPI. Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine - K. Walibora na S.A. Mohammed -.

Jibu swali la 6 au la 7 ―Damu Nyeusi‖ (K. Walibora)

6. ―Nimemwita bwana huyu aje huku juu kusudi mumwone.‖a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Eleza sifa tatu za mzungumzaji. (alama 6c) Jadili maudhui ya ubaguzi namna yanavyojitokeza katika hadithi husika .(alama 10)

au 7. Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika Diwani Damu Nyeusi, jadili namna ambavyo wahusika wa kike wamesawiriwa.

(alama 20)SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZI

8.a) (i) Eleza maana ya ushairi simulizi. (alama 2)

(ii) Eleza sifa tano za ushairi simulizi. (alama 5)b) (i) Eleza maana ya ushairi simulizi. (alama 3)

(ii) Eleza sifa nne za matambiko. (alama 2)Eleza namna ambavyo hadhira huhusishwa katika uwasilishaji wa fasihi simulizi.

Top grade predictor publishers Page | 103

Page 104: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

WILAYA YA NANDI KASKAZINI NA NANDI YA KATI 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Sura ya barua rasmi. Anwani mbili - mwandishi / mhariri. Mtajo / rejelezi Aya Hitimisho - sahihi - jina Insha ifuate mtindo wa barua rasmi. Azingatie vyanzo vya ujauzito kwa mwanafunzi wa kike nchini. Mwanafunzi atumie maneno mia nne (400) Asipozingatia sura amepungukiwa kimuundo. Kiwe na kichwa kilichoandikwa kwa herufi kubwa na kupigiwa mstari.

MAUDHUI Hali duni ya familia / umaskini / ufukara / ukata / uhitaji. Uduni wa elimu inayotolewa na mazingira magumu ya kufunzia. Mfano shule za kutwa. Malezi duni ya wazazi / ukosefu wa hamasa kuhusu madhara ya mimba za mapema. Kukosekana kwa elimu inayohusu afya na uzazi. Mmonyoko wa maadili ndani ya jamii. Wazazi na serikali kushindwa kuthibiti tatizo hili - wasichana wanabakwa na wavulana kulawitiwa huku wakinyamaza /

wazazi kuhusika kumaliza kesi kienyeji za waliowabebeshwa mimba watoto wao. Rununu / simu za mikononi - huwa na filamu pamoja na picha chafu zinazoibua tamaa za mwili. Wanafunzi kupangishwa vyumba vinasababisha vishawishi vya ngono. Walimu kufanya mapenzi na wanafunzi wao. Mila na desturi za zamani kupuuzwa. Mila zilizopitwa na wakati mfano ndoa za mapema / mitazamo kuwa thamani ya wasichana ni kuolewa na kuwa mama. Ukosefu wa nasaha kutoka kwa walimu, au walezi, shinikizo la rika. Sera ya elimu nchini; kuruhusu wanafunzi wajawazito kuendeleza masomo yao ni kielelezo kibaya. Vijana kuwa na wapenzi wengi kama wanne / watano eti inaonyesha sifa miongoni mwao. Tamaa za kimwili. (hoja zozote 5 x 1 = alama 5)

2. SWALI LA PILIHOJAMaadili kuzorota kama vile:-

Njia za mkato maishani - huwafanya wasifaulu. Uzembe kazini - uzalishaji utapungua. Ukosefu wa uwajibikaji - kudorora kwa miundo msingi. Mapuuza kwa ukosefu wa umilisI. Kutothamini mitihani - hukosa kutilia maanani masomo. Elimu kudorora - hutoa wasomi wasiohitimu vyema. Kuathirika kwa taaluma mbalimbali - kikazi. Kuathirika kwa utendakazi Kutoweka kwa nidhamu. Mitihani bandia kuingia sokoni kwa madai kuwa ni ya kweli - kuwapunja wazazi. Kukosa imani kwa taasisi za kushughulikia mitihani nchini (utunzi na usahihishaji) Matokeo mabaya baada ya kudanganya hufanya wanafunzi wengine kujitoa uhai. Watu wengine huishia jela kwa kujihusisha na udanganyifu. (zozote 5x1 = alama 5)

Tanbihi Sharti mtahiniwa adhihirishe athari na afafanue matokeo ya athari hizo.

3. SWALI LA TATUInsha ya Methali - Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Maana Tusihadaiwe na uzuri wa nje kutokana na mapambo ya kitu au mtu bali ni muhimu kuchunguza undani wake kwa makini ili tubainishe uzuri wake. Mtindo (a) Andika kwa lugha ya nathari. (b) Kisa kiunge mkono matumizi ya methali. (c) Kisa kikuze pande mbili za methali. Atakayezingatia upande mmoja asipite alama 10.

Top grade predictor publishers Page | 104

Page 105: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(d) Atakayezingatia zaidi ya kisa kimoja amejitungia swali hivyo atuzwe BK 02. (e) Si lazima aeleze maana na maumizi ya methali. Mielekeo (i) Kufurahia uzuri wa nje wa mtu au kitu na baadaye kugundua ubovu au kasoro zilizofichika. (ii) Mtu anyewahadaa watu kwa matendo mazuri hadharani (mbele ya watu) na baadaye akagunduliwa kuwa mtenda maovu

kisirisiri. (iii) Kiongozi wa kidini au mahali popote aliyehubiri maji na yeye kunywa divai. (iv) Msichana mrembo sana ambaye alimvutia mwanamume aliyemwoa kumbe akagundua kasoro kubwa baadaye na

kadhalika. 4. SWALI LA NNE

1. Mwanafunzi atunge kisa ambacho kitaonyesha kuwa aliaibika baada ya kuhusika katika kitendo cha aibu.2. Mwanafunzi asiyemaliza kwa maneno haya awekwe katika kiwango cha D (alama 30.3. Akiongeza au kupunguza maneno matano aondolewe alama 2 yaani 2M.

UTANGULIZI Karatasi hii imedhamiria kutathmini uwezo wa mtahini wa kuwasiliana na msomaji na kuwasilisha ujumbe kimaandishi, akizingatia mada aliyopewa. Mawasiliano haya yatategemea ukwasi wa lugha ya mtahiniwa. Kwa kutegemea maagizo ya swali lenyewe na umahiri wa lugha, ni lazima kutilia mkazo mtindo, mada na uwezo na mtahiniwa kufuata maagizo vilivyo. Mtahini lazima aisome insha yote huku akizingatia sarufi, hijai, hoja, msamiati na mtindo ili aweze kuikadiria kwa kurejelea viwango mbalimbali vilivopendekezwa.

Top grade predictor publishers Page | 105

Page 106: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KAUNTI YA NANDI KASKAZINI NA NANDI YA KATI 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. UFAHAMU(a) (i) Lugha ni mfumo wa mawasiliano .

(ii) Imeanza tangu chanzo / kuwepo kwa binadamu. (2x1 = alama 2)(b) (i) Lugha ya taifa ni lugha inayoteuliwa kutumika katika shughuli zote za taifa.

(ii) Hueneza umoja na uelewano miongoni mwa jamii nyingi tofauti.(iii) Lugha ya kikazi ni lugha inayotumiwa kuendesha shughuli rasmi za taifa. (zozote 2x2 = 4)

(c) (i) Ili kuenezea maongozi ya taifa.(ii) Ili kuleta ufahamikiano kote nchini.(iii) Ili kukomesha hisia za kibinafsi na kikabila.(iv) Ili kuunda moyo wa uaminifu. (zozote 4x1 = 4)

(d) (i) Kuendeshea elimu.(ii) Katika maandishi(iii) Katika siasa.(iv) Katika biashara.(v) Kuenezea maongozi. (4 x ½ = alama 2)

(e) (i) Matendo na hulka za binadamu / watu.(ii) Mazingira ya watu / mazingira wanamoishi binadamu. (iii) Haiwezekani / Haitawezekana.

Kukosoa Makosa ya hijai / tahajia 6 x ½ = alama 3 Makosa ya sarufi huadhibiwa kila kosa linapojitokeza aadhibiwwe - ½

2. UFUPISHO(a)

Mtazamo hasi ni kutamauka kuhusu hali na mambo mbali mbali. Ni hisia za kutohusishwa na jambo na hali fulani. Hii huwafanya wanafunzi kuchukia / kudunisha baadhi ya masomo na waalimu. Wengi hawatambui kuwa na mtazamo huu. Wanaotambua huona vigumu kujikwamua. Mtu wastani huwa na mawazo 60,000 ya kibinafsi kwa kila saa 24. Asilimia 80 ni fikra hasi. Mtu hatambui fikra hizi hasi bali ni mazoea. Mwanzo wa mitazamo hasi ni imani potovu / kushikilia imani potovu kuhusu maisha. Kukosa kuthamini maisha kwa kuwa na imani potovu. Ili kukabiliana na tatizo hili ni kubadili imani yako potovu. Achana na kuepukana na fikra hasi za awali. Thamini kila tukio maishani kama huru bila kuwa na uhusiano na awali. Kujikwamua kutoka imani duni ni kuwa na imani changa. Zikabili imani potovu moja baada ya nyingine. Tumia dakika tano kila mara kushadidia fikra changa. Hatimaye imani yako itachukua mkondo unaofaa. (zozote 7x1 = alama 7)

(b) Punguza uhusiano wa jamaa yako wanaokufanya utamauke. Mazingira unamokulia na unamokaa huchangia kukukatiza tamaa maishani. Ili kujikwamua katika halii hii sharti uelewe kuwa fikra zako / Watangulizi wako ndizo zilikuingiza katika hali hii. Badili mkondo wa fikra zako na kujaribu yale uonayo kutowezekana. Hatua kwa hatua kupitia mazoezi utayabadilisha mazingira. Uache kulalamika kila mara Ukikabili mtazamo hasi mapema utaboresha maisha yako mapema. Tuache kulalamikia kila hali ili tufanikiwe. Kuna vikwazo vingi ili tufanikiwe katika mambo mema. Chukua hatua ya kuweka mikakati ya kubadili mtazamo hasi iwe chanya. Mwishowe tutabadilisha maisha yetu hasi na ya wengine waliotamaushwa. (zozote 6x1 = 06)

a - 07b - 06 = 15ut - 02

Top grade predictor publishers Page | 106

Page 107: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Makosa ya hijai ni hadi makosa 6 x ½ = 03 Makosa ya sarufi ni hadi makosa 6 x ½ = 03 Ziada huondolowa akizidisha kwa maneno 10 za kwanza halafu akizidi kuzidisha kwa maneno 5 aondolewe ½ kila mara anapoendelea kuzidisha.

3. MATUMIZI YA LUGHA(a) (i) (j) (ch) (ny) (sh) (y) (zozote 2 x ½ = 1)

(ii) Kirai - neno au fungu la maneno lisilodhihirisha maana kamilifu. (2 x 1 = alama 2)(iii) Mwanafunzi mzuri - kirai nomino.

Ndani ya darasa - kirai kihusishi. (b) Mwanafunzi aliyetumwa nyumbani juzi hajapata karo hadi leo. (2 x 1 = alama 2)(c) Nyinyi(d) na - kuonyesha mtendaji (kihusishi)

na - kifupishi cha nafsi (na sisi) (2 x 1 = alama 2)(e) Kunyweni!

Tubuni! (2 x 1 = alama 2)(f) (i) Uwele - U - ZI

au U - YA(ii) Vita - KI - VI

(g) Mwanafunzi ambaye hajafika hajatuzwa.au

Mwanafunzi ambaye amefika hajatuzwa. (2 x 1 = alama 2)(h) Mvuvi hodari alifurahi alipofanikiwa kuvua jodari.

S√

KN√ KJ√

N√ V√ T√ S√ N√

Mvuvi hodari alifurahi alipofanikiwa kuvua jodari

(i) Mshazari ( / ) - nambari ya kumbu kumbu. Kuonyesha ‗au‘. Tenga tarehe, mwezi na mwaka. Kuonyesha maana sawa. Anwani ya mdahalishi. (yeyote 1x1 = alama 1)Parandisi - [ ( ) ] Fungia maneno yatoayo maelezo zaidi kuhusu maneno yanayotangulia. Bainisha (zingira) nambari au herufi katika orodha. Toa maelezo kwa waigizaji. (yoyote 1x1 = alama 1)

Ritifaa - ( ‗ ) Sauti za ving‘ong‘o. Herufi / nambari iliyoachwa. Katika mashairi ili kutosheleza mizani k.m. Kuandika kwa kifupi k.m. n‘shaenda. (yoyote 1x1 = alama 1)

(j) Jike√ la zee√ hili√ hupenda matoto√ sana. (4 x ½ = alama 2)(k) Thibiti - hakikisha kuwa ya kweli.

Dhibiti - tunza, weka chini ya mamlaka. Jamlex alithibiti kuwa gari hilo lilikuwa la kudhibiti mwendo. (Katika sentensi). (2 x 1 = alama 2)

(l) Mwalimu mkuu alisema kuwa hangekuja shuleni siku iliyofuata kwa kuwa angeenda kuhudhuria mkutano Mombasa. (Sentensi ikiwa na alama za kunukuu asipate). (3 x 1 = alama 3)

(m) Sentensi ambatano - huundwa kwa sentensi mbili na kiunganizi. Changamano - huundwa na vishazi viwili au zaidi, kimoja huru na kingine / vingine tegemezi. Mf. al. 1

(2 x 2 = alama 4) (n) Wa - nafsi 3 wingi.

Li - wakati uliopita. Chimb - mzizi a - kiishio. (4 x ½ = alama 2)

(o) Kishazi huru huwa na kitenzi kikuu na hujisimamia kimaana.Top grade predictor publishers Page | 107

Page 108: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Kishazi tegemezi huwa na vitenzi visaidizi ambavyo haviwezi kutoa maana kamili na hutegemea kitenzi kikuu kutoa maana.

(p) (i) Kutufanya tulie(ii) Kutufanya tutulie. (2 x 1 = alama 2)

(q)

4. ISIMU JAMII(a)

Kukifanya Kiswahili kuwa lugha ya taifa na pia rasmi ili kutumia katika shughuli zote rasmi k.m. bungeni na ofisini. Kufunzwa shuleni kama somo la lazima na vyuoni. Katika vyombo vya habari hutumiwa katika matangazo na habari redioni, runinga na magazeti. Kuunda vyombo vya ukuzaji na uenezaji wa Kiswahili katika nyanja mbalimbali km Chama cha Kiswahili cha Taifa

(CHAKITA). Hutumiwa kuendelza shughuli za biashara. Hutumiwa katika shughuli za kisiasa na utawala. Kuruhusu uandishsi, utafiti na uchapishaji wa vitabu katika lugha ya Kiswahili. Kiswahili kuingizwa kwenye tarakilishi na mitandao ili kutumiwa katika mawasiliano.

(za kwanza tano x 1 = alama 5)(b)

Kuwepo kwa makabila mengi yenye lugha ambazo si za kibantu. Wasemaji wengi wa lugha za mama wasiotaka kujifunza lugha ya Kiswahili. Kuzuka kwa kijilugha cha sheng. Watu wa tabaka la juu kupendelea Kiingereza kuliko Kiswahili. Kukosa walimu wa kutosha kufunza Kiswahili shuleni. Wataalam wachache wa kukuza lugha. Utafiti kamilifu haujafanyiwa taaluma ya Kiswahili kwa kukosa wafadhili. (5x1 = alama 5)

Makosah = ½ x 4 = 2s = ½ x 4 = 2

Top grade predictor publishers Page | 108

Page 109: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

WILAYA YA NANDI KASKAZINI NA NANDI YA KATI 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1.(a) - Kisa

- Kisa changu- Simu- Matokeo ya uzembe / simu.

(b) Tashbihi - Mtihani kama chatu.- Nilikimya kama bubu.- Mithili popo.

Misemo - Sikupigeni msasa.Jazanda / Sitiari - Kunoa kisu

- Tausi- Sikukata cha darasa

Maswala ya balagha - ningalilindaje utu?

Za kwanza mbili - za mwanafunziKutaja - alama 1, Mfano alama 1

(c) - Wanafunzi / wasomi / watahiniwa.

(d) - Matumizi ya beti.- Matumizi ya mishororo (Idadi maalum)- Matumizi ya vipande.- Matumizi ya mizani (idadi maalum)- Matumizi ya vina.- Utoshelezaji wa beti.

(yoyote moja 1 x 1 = alama 1)

(2 x 2 = alama 4)

(Yoyote moja 1 x 1 = alama 1)

(zozote nne 4x1 = alama 4)

(e) - Msimulizi / mshairi / mtunzi anasema kuwa / anaeleza aliyangoja matokeo (kwa) akiwa na hamu kubwa.- Anaongezea kuwa ilibidi awe kimya / anyamaze kama bubu ili asije akatoa aibu.- Anazidi kusema kuwa alivichoma vitabu bila sababu.- Anamaliza kuwa kisa kilikuwa masaibu / shida hata akashindwa kuyaharibu / kusuluhisha.

(f) Inkisari - ilijipambiya - nilijipambiya.- Uzembea - nilizembea- Tajaribu - atajaribu- Litolewa - zilitolewa

Tabdila - Nilingiya - niliingia- Kufurahiya - kafurahiya- Meingiya - meingia- Kujiwa - kujua- Lijipambiya - lijipambia

Kuboronga sarufi / sintaksia ngeu- Dafu sikufua - sikufua dafu- Tulikata dari ona - ona tulikata dari- Usiku tulikutana - tulikutana usiku.

Utohozi - Nilifeli.Za kwanza tatu au mwanafunzi. Kutaja - ½, Mfano - ½, 6 x ½ = 3

(g) (i) Sikukata cha darasa - sikufaulu / sikupata chochote darasani.(ii) Yalinitia kimbio - nilingiwa na wasiwasi sikutulia.(iii) Kupagawa - kuingiwa na wazimu / kukosa kujielewa. (2 x 1 = alama 2)

2. SEHEMU YA B: TAMTHILIA(a) Msemaji ni Bili Anayeambiwa ni Meya Wako katika ofisi ya Meya Wanazungumza kuhusu mwanakandarasi wa awali ambaye kulingana na Meya hafai kuendelea na kazi.

(zozote 4x1 = alama 4)(b) Sifa za mzungumzaji

Bili

Top grade predictor publishers Page | 109

Page 110: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Fisadi - anapendekeza njia nyingi za kifisadi kama vile kumplia mwanakandarasi. Mbinafsi - anajidai tu maslahi yake mwenyewe na Meya - wanaiba fimbo ya Meya kwa manufaa yao wenyewe. Mshaurimbaya - anapendkeza mambo maovu kama vile kuiba fimbo ya Meya na kutojali maslahi ya wafanyikazi wengine (alama 6) Za kwanza mbili - kutaja - 1, mfano - 1 (2x2 = alama 4)

(c) Maudhui ya ufisadi kama yanavyoangaziwa na mwandishi. Meya anatumia fedha za umma kupeleka mkewe kuzalia ng‘ambo pamoja na kumstarehesha Bili na familia yake. Meya anagawa ardhi ya umma kwa njia isiyo halali. Anajigawia viwanja vinane na kungawia Bili vinne. Meya anatumia hazina ya Baraza kumlipa mhubiri. Meya anatumia gharama kubwa katika mapokezi ya mameya. Zahanatini ungonjwa wanaibiwa (kulipia huduma). Utoaji ajira kwa misingi ya undugu (uhaziti) Bili kulipwa marupurupu kwa ushauri wake ni ufisadi. (zozote 6x2 = 12)

3. (i) Majazi Bw. Sosi - Kusosi ni msimu wa kula / Source - chanzo cha matatizo ya Wanacheneo. Bw. Sosi (Meya) anapenda kula. Anatumia mali ya umma vibaya. Bili - ni gharama ya matumizi ya pesa / Ndiye anayetoa orodha ya jinsi baraza linaweza kufisidiwa (bili). Bili anakuwa gharama kwa baraza la Cheneo. Siki - ni kitu kikali. Mhusika Kheri (Diwani wa Tatu) anakuwa afadhali kwa kuangazia shida za wafanyikazi. Waridi ni aina ya ua zuri lakini huweza kunyauka haraka - mhusika waridi anawasaidia wagonjwa lakini anajiuzulu kazi kwa

haraka. Cheneo - ni kuenea. Matatizo mengi yameenea Cheneo. (zozote tano x 2 = alama 10)

(ii) Taharuki Haijulikani mwanzo kama ahadi ya dawa kufika na kweli. Haijulikani hatima ya waridi kama alirudi kazini. Haijulikani kama malalamishi ya wafanyikazi ilisikizwa. Haijulikani hatima ya Meya baada ya yaliyomfika. Hatujui kama uongozi wa Cheneo ulibadilika baadaye. (zozote 5x2=alama 10)

4. RIWAYAMjadalaKutowajibika kwa viongozi

Wauguzi wa hospitali ya Nasaba Bora - hawakumtibu Uhuru (hawafanyi kazi sikukuu) hawakumpa DJ matibabu mwafaka. Mtemi Nasaba Bora kutompeleka DJ hospitalini / kutomshughulikia. Baada ya kung‘atwa na Jimmy (mbwa wake). Mwalimu Majisifu hakuwajibika kazini kwa sababu ya ulevi / alizembea kazini, alifutwa kazi kila mara. Mwalimu Majisifu kurudisha mswada aliyopewa kuhakiki. Mtemi Nasaba Bora kumtupa mtoto aliyemzaa na Lowela. Mtemi kutowaruhusu raia / wananchi kujisitiri katika hema wakati wa mvua katika sherehe za siku ya wazalendo. Kutowajibika kwa mahakama k.m. mtemi anatumia uongo kumfunga Yusuf amu yake Amani / kufungwa kwa DJ. Mtemi hakufuata haki ila aliambua kesi kwa upendeleo na uudhalimu - neno lake lilikuwa ndiyo sheria. Viongozi kufika mikutanoni wakiwa wamechelewa mf.? Matuko Weye, Imani na Amani wanashikwa na kuzuiliwa seli kisha kuachiliwa bila kupelekwa mahakamani. Viongozi kuwatega watawaliwa k.m. Mtemi kumpiga Amani. (zozote 10x2 = alama 20)5.

(a) Msemaji - Mwalimu Majisifu. Msemewa - Mtemi Nasaba Bora. Mahali - nyumbani kwa Mtemi Nasaba Bora. Kisa - Mtemi Nasaba Bora alikuwa akimsihi Mwalimu Majisifu kupunguza ulevi kwa sababu alikuwa akiaibisha uoo wao.

alimkumbusha kuwa baba yao alikuwa kasisi aliyekashifu ulevi ndipo mwalimu Majisifu akamwambia maneno haya.(zozote 4x1 = alama 4)

(b) Umuhimu wa mrejelewa.(Nasaba Bora) Kielelezo cha ukoloni mambo-leo k.m. alijinyakulia mashamba makubwa. Anaendeleza maudhui ya ukatili k.m. anampiga Amani. Ni kielezo cha viongozi wasiowajibika k.m. kutowachanja mbwa wake. Anadhihirisha ufisadi unaofanywa na viongozi k.m. kujiundia hatimiliki bandia, hongo kwa askari.

Top grade predictor publishers Page | 110

Page 111: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Anaonyesha migogoro katika ndoa k.m. talaka katika ndoa. (zozote 3x2 = alama 6)(c)

Ni mlevi wa kupindiukia k.m. alilewa hadi hakufanya kazi, aliweka vileo vingine chumbani. Muasi wa dini k.m. alienda ng‘ambo kusomea dini laikini aliiasi na kufanya ulevi kuwa ibada yake. Mwizi wa akili k.m. aliiba mswada k.m. wa Amani. Mwenye maringo / majivuno / kiburi k.m. kuwakosea waliofanya makosa ya kisarufi, alijidai kuwa alikuwa mwandishi boraa

katika bara la Afrika. Hawajibiki k.m. hajaenda shuleni kwa muda wa wiki mbili, hamsaidii mke wake kuwalea watoto walemavu. Mwenye taasubi ya kiume k.m. kumdharau mke wake, kumtusi Dora - hapaswi kujibizana naye; ni mke. Aliwadunisha wanawake. Mwenye utu k.m. aliwatetea Amani na Imani walipozuiliwa na mtoni, alimpa Amani makao. Mwongo k.m. kumdanganya Mashaka kuwa alikiandika kitabu kwa siku moja.(zozote 5x2 = alama 10)

6. SEHEMU YA D - HADITHI FUPI(a) Msemaji ni Aziza akiwaambia msimulizi pamoja na Seluwa.

Wako katika chumba chao kina msimulizi.Aziza anamuita muuza madafu kusudi kina Msimulizi waone mtu kamili afanyaye kazi. (alama 4)

(b) Sifa za mzungumzaji Mpendakazi Mwenye msimamo thabiti Mshamba (alama 6 - aeleze)

(c) Maudhui ya ubaguzi katika Damu Nyeusi na Ken Walibora. Fikirini anabaguliwa chuoni kwa kunyimwa alama na wahadhiri. Anaachwa na basi la abiria sababu yeye ni mwafrika. Anaulizwa maswali ya kejeli na wanafunzi wazungu chuoni. Madukani anafuatwa fuatwa na walinzi wakihofia anaweza kuiba bidhaa. Kwenye mikahawa anaangaliwa vibaya na hata kuitiwa polisi kwa kosa la kutofunga zipu. Anakamatwa na polisi kwa kuvuka barabara wakati taa nyekundu imewaka ilhali wazungu hawakamatwi. Anapigwa faini ya juu kortini . Kubaguliwa na waafrika wenzake - Fiona na Bob. (zozote 5x2 = alama 10)

7. Namna ambavyo mhusika wa kike amesawiriwa katika Diwani Damu Nyeusi.Mkewangu

Mwenye bidii - mamake Msimulizi alifanya bidii kumtafutia mke. Mpendakazi - aziza asema ataka mume afanyaye kazi. Wasiostaarabika. Watamaduni / wapenda utamaduni.

Samaki wa nchi za joto Wasomi - Christine anasoma chuo kikuu. Washerati - Christine anajiingiza kwenye uhusiano usiofaa na Peter. Walevi - Christine na kina Peter wanakunywa pombe. Wapenda anasa - wanatembelea mtaa wa Tankhili kwa fahari zao. Katili - Christine anaavya mimba.

Tazamana na mauti Wenye tama - Lucy atamani kwenda Ulaya. Wapenda pesa - Lucy afurahia mali alizoahidiwa na Crusoe.

Mwana wa Darubini Wanyonge - Bwana Mwatela amkandamiza mkewe. Chombo cha mapenzi - Bw. Mwatela ashiriki mapenzi na Kananda baada ya kulewa (hadithi zozote tano, hoja nne kila moja)

Kanda la usufi Katili - mwalimu mkuu kumfukuza Sela kutoka shuleni. Wanyonge - Mzee butali alimfukuza mke wake pamoja na mwana (Sela) waondoke kwake. Wenye kuwajibika - Mwalimu mkuu kufanya ukaguzi / upimaji wa mimba kila mara. Wapenda anasa - Msichana wa shule kujihusisha katika mapenzi.

Hadithi zozote tano, kila hadithi hoja nne. (4x5 = alama 20)

Top grade predictor publishers Page | 111

Page 112: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

8. SEHEMU YA E - FASIHI SIMULIZI(a) (i) Ushairi ambao huwasilishwa kwa njia ya mdomo kwa kutumia lugha ya mkato yenye mpangilio maalum wa maneno

katika mishororo. (1x2 = alama 2)(ii)

Huwasilishwa kwa njia ya mdomo mbele ya hadhira. Hubuniwa papo hapo na kuwasilishwa / huwasilishwa kutoka kwa kumbukumbu za mwasilishaji. Wakati mwingine hushirikisha ala za muziki. Hutumia lugha yenye mvuto mkubwa, yenye mapigo yalipangwa kwa muwala na urari (vina na mizani) Huwasilishwa na mtu mmoja / kundi la watu. Huandamana na uigizaji / vitendo k.m. kucheza, ishara. Hutumia lugha ya kitamathali. (za kwanza tano 1 x 5 = alama 5)

(iii) Maudhui Muktadha / mahali pa uwasilishaji. Mtindo wa uwasilishaji. Mwasilishaji. Wahusika wake. (za kwanza tatu 1 x 3 = alama 3)

(b) (i) Ni sadaka au ada inayotolewa kwa Mungu, pepo, au mizimu moja kwa moja au kwa Mungu kupitia(1 x 2 = alama 2)

(ii) Ni sanaa inayotendeka Hutolewa na watu maalum / maarufu / walioteuliwa. Hufanyika mahali maalum. Yaliandamana na sala / maombi. (za kwanza nne 1 x 4 = alama 4)(c) Kuuliza maswali Kujibu maswali Kuimba Kucheka / kupiga makofi (kushangilia) Kukamilisha sentensi za mdokezo / maneno fulani. (zozote nne 1 x 4 = alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 112

Page 113: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA ENEO GATUZI LA NANDI MASHARIKI, TINDERET NA NANDI KUSINI 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. Andika barua kwa mhariri wa gazeti la ―Mwangaza‖ ukiangazia sababu na madhara ya udanganyifu katika mitihani ya kitaifanchini.

2. Vita vinavyoendelezwa na Serikali ya Kenya dhidi ya magaidi nchini Somalia vimeleta faidi nchini. Jadili.3. Tunga kisha kinachothibitisha ukweli wa methali hii:

Mchuma janga hula na wa kwao. 4. Andika insha itakayoishia kwa:

…………… alipohitimisha hotuba yake wanafunzi wote walikuwa wamepata mwanga kuhusu madhara ya mihadarati.

MTIHANI WA TATHMINI YA ENEO GATUZI LA NANDI MASHARIKI, TINDERET NA NANDI KUSINI 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (ALAMA 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali. Waziri wa uchukuzi Bwana Msafiri ametoa mwto kwa kila mwananchi kusingatia sheria za barabarani ili kumaliza visa vya ajali vilivyokithiri. Alisema kuwa ongezeko la ajali za barabarani linachangiwa pakubwa na watu binafsi.

Akiongea katika hafla ya kuzindua mbinu za kuhakikisha usalama barabarani, Bwana Msafiri alisema yasikitisha kuona kuwa ajali za barabarani zimeongezeka katika siku za hivi majuzi. Alielezea kuwa wizara yake imekerwa na utekelezaji wa majukumu na mapuza miongoni mwa wanaohusika na sekta ya uchukuzi.

Alisema wengi wa wenye magari wamepuza masharti mengi ambayo yaliwekwa na wizara, yaliyokusudiwa kugunguza ajali. Alisema magari mengi yamekuwa kachara na kwamba mengi yameng‘olewa vidhibiti mwendo. Basi magari yanaendeshwa kwa kasi ya umeme. Hili limeongeza ajali kwa kiasi kikubwa. Mengi hayana mishipi ya usalama na wasafiri hukabiliwa na hatari wanaposafiri. Aliongeza kuwa sura ya magari hayo ni dhihirisho kuwa wenye magari wamepotoka kabisa, ―magari mengi yamerembeshwa hata kwa picha chafu, jambo linalodhihirisha utovo wa mbeko na kutofuata sheria. Mengine yanacheza muziki kwa sauti ya juu hivi kwamba hata dereva na utingo hawawezi kusikia grudumu liking‘oka. Baadhi yao yanaonyesha picha chafu chafu za video na kuufanya usafiri kuwa vyumba vya sinema chafu!‖ Alisema kutovaa sare kwa madereva na makondakta na kuwapakia abiria kupita kiasi ni kilele cha upuui wa sheria zilizowekwa.

Wasafiri pia wanapuuza masharti yaliyowekwa kwa lengo la kuwafaa, ―alisema waziri. Alisikitika kuwa wasafiri wengi hawafungi mishipi ya usalama hata inapopatikana, aidha wanakubali kuingia magari yaliyojaa tayari, hali inayoongenzea uwezekano wa gari kupata ajali kwa kulemewa na uzito. Aliwakumbusha kuwa gali likipata ajali wakiwa wamepakiwa hivi, hawezi kugharamiwa na bima ya gari kwa vile bima yenyewe hukatiwa idadi mahususi ya wasafiri. Aliwalaumu watembeaji barabarani kwa kutozingatia sheria za kawaida. Alisema kwa mfano katika gurufu kuna mahali ambako kuna vivuko ila hawavitumii na wengine huishia kugongwa na magari.

Mwisho aliwalaumu maafisa wa trafiki wanaotekeleza majukumu yao. Akitisha kuwachukulia hatua kali, alisema kuwa yaskitisha kusikia kuwa wanachukua kadhongo na kuyaachilia magari yaliyo na kasoro badala ya kuyashtaki kulingana na sheria. Aliwaongezea lawama wasafiri kwa kunyamaza wanapoyaona haya yakitendeka machoni. Alisababisha kicheko aliposema kuwa baadhi ya wasafiri huwahimiza makondakta watoe chai haraka ili waendelee na usafiri ya bila kujali hatari wanazojiingiza kwazo.

Akionya kuwa angechukua hatua ya kuregesha utulivu, alihitimisha kwa kusema kuwa wizara yake limetoa ilani kwa watumiaji wote wa barabarani. Alitoa makataa ya siku kumi na nne ambapo yoyote asiyefuata kaida zote za barabarani atachukuliwa hatua kisheria.

Maswali a) Fafanua sababu za mwito wa waziri wa uchukuzi Bwana Msafiri? (alama 2)b) Eleza jinsi wenye magaari wamechangia katika kukithiri kwa visa vya ajali barabarani? (alama 4)c) Fafanua mchango wa wasafiri katika kudorora kwa hali ya usalama barabarani. (alama 3)d) Eleza majukumu ya maafisa wa trafiki katika kudumisha usafiri kulingana na ufahamu. (alama 3)e) Toa visawe vya maneno yafuatayo. (alama 3)

(i) Kondakta:……………..…………………………………………………………………..(ii) Toa ilani:……………….…………………………………………………………………..(iii) Toa makataa:…………….…………………………………………………………………..Top grade predictor publishers Page | 113

Page 114: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

2. UFUPISHO: (ALAMA 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali. Serikali kupitia Wizara ya Elimu imetoa mwongozo wa karo ambao unastahili kuzingatiwa katika shule za upili kufuatia haua ya shule mbalimbali kuongeza karo kwa viwango mbalimbali. Hatua hiyo inadhamiriwa kumking mzazi dhidi ya kunyanyaswa kifedha walimu hasa ikizangiwa kuwa gharama ya maisha imepanda mara dufu.

Hata hivyo, ingekuwa bora ikiwa serikali ingefanya maamzi kwa ushirikiano na walimu wakuu maana kwa hakika suala la karo linahusu matumizi ya fedha ambayo pia huja na gharama zake. Gharama hii inaokana na ununuzi wa vitabu vya Kada na vya mazoezi, karatasi za uchapishaji mitihani, kwa kuwa wanafunzi sharti wasome na waandike.

Vilevile, gharama hii inatokana na ununuzi wa kemikali za kutumiwa katika maabara. Aidha kuna gharama ya kuendesha michezo na tamasha za muziki na drama. Wanafunzi wa shule za malazi hula na kulala na kwa sababu hiyo maamuzi ya kifedha lazima yafanywe.

Jambo ambalo linastahili kuangaliwa kwa makini ni viwanga vya kupanda kwa gharama ya maisha. Lazima tujiulize gharama hiyo imepanda kwa kiasi gani na wapi? Kwa kweli haiwezekani kununua kilo moja ya mahindi kwa bei hiyo hiyo Kitale, Mombasa na Turkana. Vile vile ni muhimu kujiuliza ikiwa shule husika ni ya mashambani au ya mjini? Kwa hivyo sharti la kifedha ni muhimu katika kuamua karo ya shule na maeneo mbalimbali nchini.

Pili, hebu tuangalie ikiwa shule inavyohusika ni ya kiwango cha kaunti ndogo, kaunti au cha kitaifa. Hili ni muhimu kwa kuwa hali ya masomo katika shule hizo hutofautiana. Tofauti kuu hutokana na miundomisingi na programu za masomo zinazoendeshwa.

Kwa mfano, programu za kitahmini, kompyuta na zinazohusu ziara huhitaji fedha nyingi. Shule ambayo ina masomo kama vile muziki, sanaa na sayansikimu sharti zitoze karo ya juu kwa kuwa masomo hayo huandamana na gharama ya kununua vyombo na vyakula?

Sasa mbona fedha za ziada? Wanaotetea kupunguzwa kwa karo wana punguza mchango wa motisha katika ufanifu wa masomo. Ndio, baadhi ya shule hutoza karo ya juu ili kuwamotisha walimu kwa vyakula na kwa zawadi ili kuwastahi wanapopata matokea mema. Hali hiyo huwafanya kujikakamua kazini na kutoa huduma ya hali ya juu.

Fedha za ziada vile vile, hutumiwa kuwajiri walimu wa ziada ikizingatiwa kuwa serikali haijawaajiri walimu wa kutosha. Pia katika baadhi ya shule, wanafunzi huandaliwa vyakula spesheli tofauti na mseto wa maharagwe na mahindi almarufu ‗maram‘ uliozoeleka katika shule nyingi ikumbukwe kuwe lishe bora ni mojawapo ya haki za kimsingi kwa watoto ambayo sharti iheshimiwe.

Kwa marefu na mafupi yake, serikali haipaswi kuweka viwango sawa vya karo kwa kila shule kwa maana hilo huenda likazua mgogoro wa kiutawala katika shule nyingi. Shinikizo za kupunguzwa kwa karo inayotozwa hasa katika shule za upili zinafaa kutetewa kimantiki wala si kihisia.

Mambo huenda yangekuwa tofauti ikiwa serikali ingewajibika kwa upande wake kwa kuwaajiri walimu wa kutosha kuwaongeza walimu mshahara na kuwatambua kwa zawadi wanapofanya kazi nzuri na kuwapandisha vyeo. Hata hivyo, mgala muue na haki umpe; hatua kali zinapaswa kuchukuliwa dhidi ya walimu wanaowatoza wazazi karo ya juu kupindukia ili kuendeleza maslahi yao ya kibinafsi.

Naamini kuwa hatua ya Waziri wa Elimu kukutana na washikadau katika sekta ya elimu kuhusu karo na uteuzi wa wanafunzi wa kujiunga na shule za upili ni ya busara na inafaa kuta mwelekeo mzuri kuhusu masuala tata yaliyopo kwa sasa.

(Makala kutoka gazeti la Taifa Leo, January 8, 2016)

(a) Fafanua mambo muhimu yanayostahili kuzingatiwa katika kutathmini viwango vya karo katika shule nchini Kenya.(Maneno 65 - 70) (alama 8, 1 ya mtiririko)

(b) Fupisha aya tatu za mwisho.(maneno 40 - 45) (alama 7, 1 ya mtiririko)

MATUMIZI YA LUGHA(a) Ukizingatia sehemu ya kutamkia, mwinuko wa ulimi na hali yam domo, tofautisha sauti zifuatazo. (alama 3)

/ e /, / l / na / u / ………………………………………………………………………………………….(b) Ukitolea mfano eleza aina mbili za miundo ya silabi katika Kiswahili. (alama 2)(c) Eleza maana ya mghuno katika lugha ya Kiswahili. (alama 1)(d) Kwa kutolea mfano mwafaka, fafanua tofauti iliyopo kati ya kishazi na kirai. (alama 2)(e) Ukitolea mfano mwafaka, fafanua majukumu yoyote manne ya viambishi awali. (alama 2)(f) Nomino zifuatazo zinapatikana katika ngeli zipi? (alama 1½)

Top grade predictor publishers Page | 114

Page 115: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

i) Chumvi:………………………………………………………………………… ii) Nywele:………………………………………………………………………... iii) Mafuta:…………………………………………………………………………..

(g) Eleza matumizi ya kiambishi ‗ku‘ Kulia kwake kulisababisha msongamano wa watu alikokuwa. (alama 1½)

(h) Tunga sentensi yenye muundo wa:N + V + T + H + N + E + U + T. (alama 4)

(i) Yakinisha katika umoja: (alama 2)Msingalivumilia nyakati ile msingalipata zawadi kubwa.

(j) Andika katika udogo.Jijipu lilipasuka lenyewe. (alama 1)

(k) Ukitolea mfano fafanua njia zozote tatu zinazotumiwa katika uunjdaji wa maneno. (alama 3)(l) Ukitungia sentensi, onyesha matumizi ya vivumishi vya nomino. (alama 2)(m) Tunga sentensi kubainisha matumizi ya vivumishi vya nomino katika ngeli ya U - I; katika umoja na wingi. (alama 2)(n) Ukitolea mfano mwafaka, eleza tofauti iliopo katika kauli zifuatazo.

Kutendeana na kutendana. (alama 2)(o) Onyesha yambwa katika sentensi ifuatayo. (alama 2)

Mwamburi alitumia ufunguo kumfungulia Rashid mlango. (p) Andika katika usemi wa taarifa:

―Nataka ufikirie sana juu ya maisha yako ya ndoa. Sitaki uishi maisha yasiyo na mweleko.‖ Babu alinishauri.(alama 3) (q) Kwa kutoa mfano, eleza matumizi mawili kila mojawapo wa alama zifuatazo:

i) Ritifaaii) Kama kituo

(r) Eleza maana ya msemo ufuatao :Kula kitana. (alama 2)

3. ISIMU JAMII (ALAMA 10)a) Eleza maana ya lugha rasmi. (alama 2)b) Fafanua sifa zozote za lugha rasmi. (alama 8)

Top grade predictor publishers Page | 115

Page 116: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA ENEO GATUZI LA NANDI MASHARIKI, TINDERET NA NANDI KUSINI 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

1. SEHEMU YA A: USHAIRI. (alama 20)

SIWE? 1. Siwe ulosema jana, ya kuwa u mashuhuri?

Ya kuwa wajuwa sana, aidha huna kiburi? Nchini wajulikana, mwanasiasa mahiri,

Bungeni tukuajiri?

2. Siwe ulotushawishi, kwa chumvi na kwa sukari, Na matamu matamshi, ukaziteka suduri, Ukanena penya moshi, moto ndiyo yakwe siri,

Nawe ndiye hiyo nari? 3. Siwe uloji‘ta moto, uwakao biribiri,

Kamba ‗tatia fukuto, Litakalo leta kheri‘, Utatufunua mato, Maisha yawe mazuri,

Tukupe kura waziri? 4. Siwe ulosema hayo, na mengi ukabashiri,

Ukamba wafata nyayo, nyayo ziso utiriri, Tusiwe na wayowayo, wa kufikirifikiri,

Tukuachie ujari?

5. Siwe tulokuinua, Mabegani kama mwari, Tungawa twalemelewa, waume tukajasiri, Kamba tukikuchaguwa, mema kwetu yatajiri,

Tukakeyi kusubiri? 6. Siwe ulotugeuka, kwamba leo u waziri,

Wajiona melimuka, tena ukawa ayari, Walaghai ukicheka, ukuu umekughuri,

Leo mekuwa hodari? 7. Siwe ulojawa raha, za hino yetu sayari,

Ukawa ja vile shaha, hatukupati shauri, kutuona ni karaha, wakatiwo twahasiri,

Ushakiya msitari?

8. Siwe uliyetughura, ukafunga na safari, Ukaelekea bara, Kwa wenzio matajiri, Ukatuacha majura, na tama kukithiri,

Kanama Ushaghairi? 9. Siwe uliyetuasi, ukenda pasi kwaheri,

Mbona hutwambii nasi, tukajua yetu shari, Leo una masidisi, husemi na aso gari,

Ndio mezidi jeuri? 10. Siwe‘lotwaa mgwisho, ukawa wajifakhiri?

Chenye mwanzo kina mwisho, hilo wajuwa dhahiri, Vyaja kutoka vitisho, kwani hayo sidahari,

Mambo mengimdawari? 11. Siwe utakayeiza, mwishowo ukidhihiri,

Siku itayoteleza, kuja kwetu ansari, Kuja kutubembeleza, kwa nyunga nalo khamri,

Tauya nazo nadhiri. MASWALI

a) Mtunzi wa shairi hili ana dhamira gani? (alama 2)b) Taja na ueleze bahari tatu za shairi hili? (alama 3)c) Onyesha jinsi mtunzi alivyotumia idhini ya kishairi. (alama 3)d) Taja na ufafanue tamahali ya usemi iliyotawala katika shairi hili. (alama 2)e) Anayerejelewa alibailika vipi? Eleza. (alama 4)f) Andika ubeti wa tisa kwa lugha ya nathari. (alama 4)g) Mshairi ana maana gani kwa kusema:

Top grade predictor publishers Page | 116

Page 117: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(i) Wakatiwo twahasiri. (alama 1)(ii) Ukaziteka suduri. (alama 1)

SEHEMU YA B: RIWAYA : KIDAGAA KIMEMWOZEAJibu swali la 2 au 3

2. ―…….usiniweke pembeni kama tanbihi, mimi na wanawake wenzangu kama wanaume wengine wafanyavyowaandikapo…..‖a) Fafanua muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Bainisha tamathali ya usemi iliyotumika hapa. (alama 2)c) Hakiki usawiri wa wahusika wa kike katika riwaya hii. (alama 14)

AU3. Mtemi Nasaba Bora ni kielelezo cha viongozi wa kiafrika wanaondeleza uongozi mbaya. Jadili kauli hii. (alama 20)

SEHEMU C: TAMTHILIAT. AREGE: MSTAHIKI MEYAJibu swali la 4 au 5

4. ―Mtu huvuna alichopanda, ukipanda pojo huwezi kuvuna kunazi.‖i) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)ii) Anayeambiwa alisema nini baada ya kuambiwa haya? (alama 2)iii) Thibitisha kuwa wanacheneo walipanda pojo. (alama 14)

AU 5. Eleza jinsi wanacheneo walivyotatua shida zinazowakumba. (alama 2)

SEHEMU YA D: HADITHI FUPI Jibu swali la 6 au la 7 K. Walibora na S.A. Mohamed: Damu Nyeusi na Hadithi Nyinginezo. “Damu Nyeusi” (Ken Walibora)

6. ―Nashangaa vile kwetu tunavyoabudu watu hao wasiotujali.‖a) (i) Eleza muktadha wa dondoo hili.

(ii) Jadili ukweli wa kauli hii. (alama 10)b) Bainisha matumizi ya mbinu ya ishara kwa kurejelea hadithi ya gilasi ya mwisho makaburini. (alama 6)

AU“Shaka ya Mambo” (Farouk Topan)

7. Eleza hali ya shaka ya mambo inavyojitokeza katika hadithi ya shaka ya mambo. (alama 20)

8. SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZIa) Miagizo ni nini? (alama 2)b) Taja sifa nne za maigizo. (alama 4)c) Eleza mambo manne anayopaswa kufanya mwigizaji ili kufanikisha uigizaji wake. (alama 8)d) Ni nini umuhimu wa maigizo? (alama 6)

Top grade predictor publishers Page | 117

Page 118: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA ENEO GATUZI LA NANDI MASHARIKI, TINDERET NA NANDI KUSINI 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Hii ni insha ya kiuamilifu ambapo mwanafunzi anastahili kuzingatia sura ya barua kwa mhariri . Sura Barua hii hufuata muundo wa barua rasmi kama ifuatavyo. Anwani ya mwandishi. Anwani ya mhariri. Mtajo (kwa mhariri) Kiini / lengo (kichwa cha maoni) Mwili wa barua (Aya zikiwa na maudhui ya barua) Hitimisho

Mtahiniwa azingatie sababu na madhara ya udanganyifu katika mitihani ya kitaifa.

Sababu Watahiniwa kutojitayarisha vizuri kwa mitihani. Ushindani mkali. Maafisa wanaosimamia mitihani kutowajibika katika kazi zao. Teknolojia inayofanikisha wizi wa mitihani. Kupotoka kimaadili - wengine wanauza karatasi za mitihani ili kupata pesa. Tume inayosimamia mitihani haijaweka mikakati inayotosha kulinda usiri wa mitihani.

Madhara Kupata wataalamu walio na ujuzi wa kutosha katika taaluma zao. Wanafunzi kuzembea katika masomo yao. Ushindani usio na usawa. Wanafunzi wengi kupita mitihani hivyo basi kukosa nafasi katika viwango vinavyofuata k.m. chuo kikuu. Kuhujumu sekta ya elimu. Udanganyifu katika mitihani unapalilia tabia asi katika jamii k.m. ufisadi.

Tanbihi Mtahiniwa atakayeonyesha sababu au madhara pekee amepungukiwa kimaudhui atuzwe juu ya alama 10. Mwanafunzi afafanue hoja tano au zaidi kikamilifu. Sura na maki 04. Atakayezingatia sura bila maudhui atuzwe alama 4 sura. Atakayezingatia maudhui na apotoke kisura atuzwe kisha atolewe alama 3.

2. Hii ni insha ya mjadala. Mtahiniwa aonyeshe hoja za pande mbili, kuunga mkono na kupinga mada. Kisha atoe msimamo wake.

Hoja za kuunga mkono mada: Utalii umeimarika kwa sababu ya usalama. Wawekezaji wameweza kuwekeza katika nchi yetu bila wasiwasi. Raia wamehakikishiwa usalama wao. Kusaidia nchi jirani iwe na amani. Biashara zimeweza kunawiri kwa sababu ya usalama. Magaidi wamepungua kwa sababu wengine wamejisalimisha kwa polisi. Ingawa magaidi wanatekeleza mashambulizi huwa wanafanya kwa woga. Kulinda sifa za nchi yetu kama nchi yenye amani na utulivu. Walinda usalama huongezewa marupurup wanaposhiriki katika ulinzi wa usalama.

Hoja za kupinga mada: Magaidi wametekeleza mashambulizi ya kulipiza kisasi. Wanajeshi wengi wameuwawa na wengine kutekwa nyara. Serikali inatumia pesa nyingi kuendeleza oparesheni ya kulinda nchi.

Tanbihi Mtahiniwa atakayenyesha upande mmoja atakuwa amepungukiwa kimaudhui hivyo basi atuzwe juu ya alama 10. Atakayekosa kuonyesha hoja za pande zote mbili amepotoka na atuzwe 03.

Top grade predictor publishers Page | 118

Page 119: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Watahini wakadirie majibu ya wanafunzi.

3. Hii ni insha ya methali. Mtahiniwa atunge kisa kitakachodhihirisha maana batini ya methali. Lazima atoe kisa kinachozingatia pande mbili za methali. Maana ya methali hii. Mtu fulani asababishapo jabo baya, huisha kuwahusisha / kuathiri watu wa jamaa yake. Mtahiniwa anaweza kutunga kisa kama:-i) Mtu awe amezua rabsha fulani akipigwa kisha aumie watu wa jamaa ake watagharimia matibabu.ii) Mtu aliyeshiriki katika matumizi ya dawa za kulevya anapozorota kiafya wazazi / watu wa jamaa huhusika kumtunza.iii) Mtoto aliyeshiriki wizi akishikwa wazazi huhusika kwa kutoa faini.iv) Anayetenda kitendo cha kulaaniwa, laana humpata na watu wa jamaa yake.

Tanbihi Atakayeonyesha - upande mmoja wa methali amepungukiwa kimaudhui, atuzwe juu ya alama 10. Atakayetunga kisa kishoonyehsa maana ya methali, amepotoka na atuzwe alama 03.

4. Hii ni insha ya mdokezo. Mtahiniwa atunge insha itakayoishia kwa maneno aliyopewa. Atakayekosa kutihitimisha kwa maneno haya amejitungia swali hivyo basi amepotoka. Aakayeongeza au kuondoa baadhi ya maneno kwenye mdokezo amepungukiwa kimtindo hivyo basi aondolewe alama 02. Mtahiniwa azingatie nafsi ya mdokezo. Maudhui ya mada yajitokeze wazi (Madhara ya dawa za kulevya) Kuathirika kiafya. Pesa nyingi hutumika kununua mihadarati. Kukosa akili razini hivyo basi, kufanya uamuzi usiofaa. Wanafunzi wanaathirika kimasomo. Kujiiingiza ktika uhalifu ili kupata pesa za kununua dawa za kulevya. Kujifungia mihadarati kunaweza kusambaza magonjwa mengine kama vile ukimwi. Matumizi ya mihadarati huzorotesha maendeleo kwani muda mwingi hutumika katika ulanguzi wa dawa za kulevya.

Tanbihi Mtahiniwa afafanue hoja sita vizuri. Mtahini akadirie majibu ya mwanafunzi.

Top grade predictor publishers Page | 119

Page 120: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA ENEO GATUZI LA NANDI MASHARIKI, TINDERET NA NANDI KUSINI 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. UFAHAMU(a) Kumaliza visa vya ajali vilivyokithiri (wananchi kuzingatia sheria za barabarani.) (1 x 2 = 2)(b)

Kupunguza masharti yaliyowekwa na wizara. Magari mengi yamekuwa kachara. Magari mengi yameng‘olewa vidhibiti mwendo. Magari kuendeshwa kwa kasi ya umeme. Magari hayana mishipi ya usalama. Magari kucheza mizigi kwa sauti ya juu. Kuwapakia abiria kupita kisai. (zozote 4x1 = alama 4)

(c) Wasafiri kupuuza masharti yaliyowekwa. Hawafungi mishipi ya usalama. Wasafiri wanakubali kuingia katika magari yaliyojaa tayari. Watembeaji barabarani kutozingatia sheria za kawaida. Kutotumia vivuko wakati wa kuvuka barabara. Wasafiri kunyamazia makosa kwenya magari. (zozote 3x1 = alama 3)

(d) Kuchukuwa kadhongo. Kuyaachilia magari yaliyo na kasoro. Kutoshtaki magari yaliyo na kasoro kulingana na sheria.

(e) Kondakta - utingo, tandiboi Toa ilani - toa onyo / tangazo Toa makataa - toa mapatano

2. UFUPISHO(a) Mambo muhimu yanayostahili kuzingatiwa katika kutathmini viwango vya karo katika shule nchini Kenya. (Maneno 65 - 70)- Kushirikiana na walimu wakuu.- Gharama ya vitabu, karatasi za uchapishaji wa mitihani.- Ununuzi wa kemikali katika maabara.- Gharama za kuendesha michezo na tamasha za muziki.- Gharama ya shule za malazi.- Kupanda kwa gharama ya maisha.- Maeneo yapatikanapo shule.- Kiwango cha shule.- Programu za kitathmini shuleni / mfumo wa masomo katika shule husika - gharama ya kununua vyombo vinavyohitajika

katika masomo haya.- Motisha ya walimu na wafanyakazi wengine.- Kuwaajiri walimu wa ziada.- Gharama ya lishe bora. (hoja zozote 8, alama 8, 1 ya mtiririko)(b) Fupisha aya tatu za mwisho. (maneno 40 - 45)- Serikali haipaswi kuweka viwango sawa vya karo kwa kile shule.- Hili huenda likazua mgogoro wa kiutawala.- Shinikizo la kupunguzwa karo katika shule ya upili zinafaa kutetewa kimantiki na wala si kihisia.- Serikali ingewajibika kwa kuwaajiri walimu wa kutosha.- Walimu wangeongezewa mshahara, kuwazidi na kuwapandisha vyeo.- Hatua zichukuliwe dhidi ya walimu wanaowatoza wazazi karo ya juu.- Hatua ya waziri wa Elimu kukutana na washikadau katika sekta ya elimu ni ya busara.- Hii inafaa kutoa mwelekeo mzuri kuhusu maswala tata yaliyopo kwa sasa.

(hoja zozote 5x1 = alama 5)3. MATUMIZI YA LUGHA(a) Sehemu ya kutamkia Mwinuko wa ulimi Hali yam domo

/ e / mbele wastani tandazwa/ i / mbele juu tandazwa/u / nyuma juu viringwa(atuzwe alama 3 anapoata sehemu zote. Akikosa hata moja atuzwe sufuri)

(b) - Irabu pekee - o / a

Top grade predictor publishers Page | 120

Page 121: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

- Konsonanti moja na irabu - wa, ya, la, ki, ni, na- Konsonanti moja - m - tu- Silab mwambatano - cha, mchwa, n.k.- Siabi funge - mak-taba, ek-sirei, daf-ta-ri. (1x2 = 2)

(c) Mghuno- mtikisiko wa nyuzi sauti / glota.- Mrindimo wa nyuzi sauti / glota- Mtetemeko wa nyuzi sauti / glota.- Msepetuku wa nyuzi sauti / glota. (1x2 = 2mks)

(d) Kishazi - ni sehemu ya sentensi iliyo na kiarifa na hubeba maana kamilifu au isiyo kamilifu.Kirai - maneno aghalabu mawili au zaidi yanayowekwa pamoja na hutekeleza juumu sawa (hufanya kazi pamoja) kwenyesentensi.

(e) - Nafsi- Wakati / njeo / hali- Matarajio- Urejeshi- Ukanushaji- Ngeli- Kitendwa / mtendwa

(f) Chumvi - I - INywelwe - U - ZIMafuta - YA - YA

(g) - Kiambishi cha kiensi- Ngeli- Mahali (3 x ½ = 1½ )

(h) Tajiri mlevi alipigwa (hakiki jibu la mwanafunzi) na wahuni vibaya lakini hakufariki. ( 8 x ½ = 4_(i) Ungalivumilia wakati ule ungalipata zawadi kubwa. (2 x 1 = 2)(j) Kijipu kilipasuka chenyewe. (1x1 = 1)(k)

- Kuunganisha maneno mawili.- Uundaji kutoka lugha nyingine / ukopaji / kutohoa.- Kuzua maneno mapya.- Unyambuaji / uambishaji.- Kufananisha sauti zitokazo kwa kifaa fulani.- Vifupi vya maneno / finyazo.- Uundaji kutokana na nomino, kivumishi, na maneno mengine. (3 x 1 = 3)

(l) Askari jela, mwana muziki n.k.(m) Mti umekatwa. U - I

Miti imekatwa (hakiki majibu ya mwanafunzi na sentensi iwe katika umoja na wingi). (2x1 = 2)(n) Kutendeana - kila mmoja kufanya kwa niaba ya mwenzake.

Kutendana - kuathiriana wenyewe (mwanafunzi atoe mfano). (2x1 = 2)(o) Yambwa tendwa (kipozi) - mlango.

Yambwa tendewa (kitondo) - Rashid Ala / kitumizi - ufunguo

(p) Babu yangu alinishauri ya kuwa / kwamba angetaka nifikirie sana juu ya maisha yangu ya ndoa kwa vile hangetaka niishi maisha yasiyokuwa na mwelekeo. (3 x ½ = 3)

(q) Ritifaa- Kubainisha sauti ya nazali k.v. ng‘ombe- Kuonyesha tarakimu k.v. ‗97- Kuonyesha herufi imeachwa k.v. mt‘choka. (2 x ½ = 1)Koma / Kituo- Kuorodhesha vitu- Kupumua kwenye sentensi ndefu- Answani- Baada ya vina kwenye ushairi. (2 x ½ =1)

(r) Maana ya msemo kula kitana ni kukumbwa na taabu au mashaka.

4. ISIMU JAMII(a) Lugha rasmi ni lugha inayotumika katika shughuli za kiserikali k.v. bungeni, utawala na katika utungaji wa sheria.

Top grade predictor publishers Page | 121

Page 122: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(b) Sifa za lugha rasmi. Lazima itambuliwe na serikali husika. Iwe na msamiati tosha wa kisayansi na ufundi. Sio lazima iwe na wazungumzaji wengi katika nchi husika. Inaweza kutumiwa katika kiwango cha kitaifa na kimataifa. Inaweza kuwa na hadhi kamili au hadhi isiyo kamili. Hutumia sentensi ndefu nefu ambazo huw azimekamilika. Husheheni asfida kwa sababu ya heshima ya kiutawala. Baadhi hutumia lugha mseto hat kuhamisha msimbo. Lugha huwa fasaha na yenye kuzingatia kanuni za matumizi ya lugha hiyo. Haina utani, rasmi pekee ndio hutawala. Matumizi ya msamiati maalum kulingana na mazingira na taaluma husika mf. sheria, utabibu, kilimo.

(alama 8x1 = 1)

MTIHANI WA TATHMINI YA ENEO GATUZI LA NANDI MASHARIKI, TINDERET NA NANDI KUSINI 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. (a) Kuonyesha jinsi mwanasiasa fulani alivyojipendekeza kwao wakampa kura kisha baadaye akawageuka na kutowajali. (alama 2)

(b) Msuko Ukaraguni - Vina vya nje vinatiririka vya undani vinabadilika badilika. Tarbia - Mishororo minne. Mathnawi - vipande viwili. Kikwamba - neno siwe kuanzia kila ubeti. (alama 3)(c)

Inkisari - Mfano: Siwe - si wewe. Ulosema - UliyesemaLahaja - Mfano: Mato - MachoKuboronga sarufi - Mfano: Vyaja kutoka vitisho - vitisho vyaja kumtoka .

Tukujua yetu shairi - Tukujua shari yetu. (alama 3)(d) Maswali ya balagha - maswali chochezi yasiyo na majibu.

Mfano: Bungeni tukuajiri? Kutaja - alama 1Nawe ndiyo hiyo nari? Maelezo - alama 1Tukupe kura waziri Mfano - alama 1

(e) Alianza ulaghai Ukubwa ukampa kiburi Aliingilia raha Akawa aseme kuwa watu wanamharibia muda. Akawaacha na kujiunga na matajiri wenzake. Akazidisha tamaa. Ana Masidisi na anawadharau wenzio na mafari. (alama 4)(f) Si wewe uliyetuacha na kuenda bila ya kutuaga mbona usitueleze sisi ili tupate kujua makosa yetu.

Hivi leo umenunua kwa hivyo hujihusishi na wasio na magari umekuwa mjeuri sana. (alama 4)(g) (i) Wakai tunahariri - Tunaharibu wakati wako.

(ii) Ukaziteka suduri - Ukaziteka nyayo.2.(a) Muktadha wa dondoo

(i) Ni kauli ya Imani akimwambia Amani. (ii) Punde baada ya sherehe ya amu yake Amani kuachiliwa huru, Imani anamshajisha. (iii) Amani kuandika tawasifu yake. (iv) Walikuwa kwa amani. (v) Anamrai awasawiri vilivyo wanawake katika tawasifu ile. (alama 4x1 = 4)

(b) Mbinu za uandishi(i) Nahau - usiniweke pembeni.(ii) Tashbihi - usiniweke pembeni kama tanbihi. (alama 1x2 = 2)

(c) Usawiri wa wahusika wa kike.Mwandishi ameweka sambamba wahusika hawa(i) Wenye utu - Imani anawatunza watoto walemavu na mwalimu majifu kwa upendo mwingi na Zuhuru ambaye

alimshughulikia mtoto Uhuru alipotupwa langoni pia amani na hata kumpa maziwa usiku na hata baadaye.

Top grade predictor publishers Page | 122

Page 123: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(ii) Katili - Lowela anamzaa mtoto na kumtupa langoni pa Amani, Michelle anakosa kudhamini penzi la majununi licha ya majununi kufanya jitihada kumpendeza.

(iii) Walezi wema - Imani anawalea vyema watoto walemavu wa mwalimu Majisifu bila kuwabagua licha ya hali ngumu ya kazi.

(iv) Walezi wabaya / walezi wasioajibika kama Lowela anakosa kuwajibika kama mama kumlea mwanawe badala yake anapagaza Amani.

(v) Waadilifu kama Imani ambaye anajitunza na kutoshiriki mapennzi na Amani licha ya kuishi chumba kimoja na Amani. (vi) Wapenda anasa kama Lowela ambaye anawacha shule kuponda raha maana kufa kwaja. (vii) Jasiri - Imani anajibizana na askari kwa kutohudhuria sherehe za wazalendo. Dora anajibizana kijasiri na Mwalimu

Majisifu kuhusu kulaza damu kwake na kutomsaidia katika ulezi wa watoto wala majukumu mengine nyumbani. (viii) Wenye bidii kama Imani anavyofanya kazi kwa bidii kwa Mwalimu Majisifu . (ix) Waaminifu - Bi Zuhura anavumilia kuishi na Mtemi Nasaba Bora licha ya kutotimiziwa haki yake ya kimapenzi na

halipizi kisasi kwa Mtemi kwa kumwendea kinyume. (x) Wenye wivu - Bi Zuhura anawaonea wivu wanawake wengine maskini lakini wanaopewa haki yao ya kimapenzi.

(hoja zozote 7x2 = 14) 3. Viongozi wa Afrika Wafisadi - Mtemi ananyakua mashamba ya wanasokomoko kama shamba la Hamadi Chichiri. Katili - wanasokomoko wengi wanapoteza maisha yao k.v. Hamadi Chichiri mamake Amani n.k. Wanapenda kusifiwa - haswa jinsi Balozi afanyavyo na vilevile Nasaba kutaka kuonekana gazetini. Dhalimu - Nasaba kuwashurutisha wanasokomoko kuhudhuria sherehe hata kama hawaelewi umuhimu wake.

Kuwalazimisha wananchi kumchangia madhubuti ili aende ng‘ambo. Wapenda anasa na starehe - Nasaba ana jicho la nje. (Anamringa Lowela na kumwacha mkewe akiwa na ukiwa) Wabadhirifu - anaumia pesa zilizotengewa ujenzi wa hospitali visivyo. Wenye wivu - anamwonea Hamadi Chichiri wivu kiasi cha mumuua na kunyakua mashamba yako. Wakosa maadili - kujihusisha na mapensi nje ya ndoa, kushivila kaika kuzorotesha hadhi ya afya ya Sokomoko. Wanafiki - usingiziaji wa kusuluhisha migogoro ya mashamba iligungwa, si kwa manufaa ya wanasokomoko, bali

kuendeleza anasa za Mtemi Nasaba. Mabahili - wenye madeni mengi. Nasaba anadaiwa pesa na Benia huko Somoko hawezi kulikarabati gari lake. Ni dikteta - maamuzi yao ni sharti yafuatwe. Kama vile, lazima wanasokomoko kumchangia madhubuti, kushikwa kwa

akina Amani n.k. Wana madharau - DJ, Imani na Amani wanabezwa na Nasaba. Hawathamini wananchi wake. DJ anapoumwa na Jimmy,

anaona hakuna haja ya kumshughlikia. Wenye majuto - baada ya ukweli kubaini, Nasaba anajutama na hata kujitia kitanzi. Wabinafsi - Nasaba anasitiriwa kutokana na jua kali au mvua katika kibanda. Raia wake wanaathiriwa na hali hii mbaya ya

hewa. Kielelezo hasi kwa vijana - mashaka na Ben Bella wanaathirika kufuatia uhusiano wa Nasaba na Lowela.4. (a) Msemaji ni Diwani III Alikuwa akimwambia Dkt. Siki Walikuwa nyumbani kwa Diwani III. Daktari Siki alikuwa amemtembelea Diwani III kutaka kujua hali ya mji wa Cheneo.(4 x 1 = 4)

(b) Dkt. Siki alikiri kuwa hakuwa akiyaona mambo kwa mtazamo huo. Mtazamo kuwa viongozi wabaya ni zao la uchaguziuliofanywa na wanacheneo. (1 x 2 = 2)

(c) Walichagua viongozi wabaya, waovu na hatma yake walivuna machungu. Hawana madawa - Meya anadanganya kuwa madawa yameagizwa, hatma yake ni vifo vya wanacheneo. Uchafuzi wa mazingira kwani Meya amekataa kuwalipa wafanyakazi wanaogoma . Mishahara duni kwa wafanyakazi wa Cheneo, huku madiwani wakijiongezea na hatakutolipa kodi. Mishahara ya wafanyakazi kucheleweshwa na hivyo kutokuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yao. Mali ya umma kunyakuliwa. Mali ambayo ilikuwa inufaishe wanacheneo, inawanufaisha viongozi wachache. Meya kumnyang‘anya mwanakandarasi, kandarasi yake na hivyo kuwafanya wanacheneo kutushughulikiwa mahitaji . Meya kushirikiana na madiwani wa I na II na Bili kuiba fimbo ya Meya ambayo ni ishara ya mamlaka ya Baraza la Cheneo. Kiwango cha elimu kuzoteka. Wanaofuzu hawawezi kupata kazi. Inambidi Meya kumpeleka mtoto wake ng‘ambo. Kuzoroteka kwa hali ya maisha. Umaskini unakithiri wanacheneo, hawawezi kununua chakula wala kulipia matibabu. Kusababisha migomo na maandamano ya wafanyakazi wa Cheneo. (Zozote 7x2 = 14)5. Wanacheneo walichukua hatua kama: Kugoma - ili kushurutisha viongozi kuwalipa mishahara yao. Kuandamana - maandamano yaliwawezesha kuonyesha uongozi wa Sosi kuwa wanacheneo walikuwa wamechoka. Dkt. Siki alimtembelea Meya kumjuza shida ambazo wanacheneo walikumbana nazo. Diwani III aliwaomba wenzake kushughulikia maslahi ya wanacheneo. Watetezi wa wafanyakazi, Tatu, Medi na Beka walimwarifu Meya shida ambazo walikumbana nazo. Waridi aliwacha kazi ili kuonyesha kuwa aliudhika na jinsi wanacheneo walivyoshughulikiwa. Mamake Dadaruo, kumlisha mtoto chakula kilicholala ili angaa kuepuka na athari ya njaa.

Top grade predictor publishers Page | 123

Page 124: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Ili Meya kuwadhibiti polisi, aliwaongezea mshahara na hivyo aliweza kuwatumikia alivyopenda. Meya anaombwa kuunda kamati nyingi ili aweze kuwapa viongozi wanaompinga na hivyo kupata utulivu katika baraza. Meya kuwapeleka watoto wake kusomea ng‘ambo kwani elimu ya Cheneo ni ya kawaida mno. Meya angependa mtoto wako apate uraia wa kule ng‘ambo, jambo linalomfanya ampeleke mkewe ng‘ambo kujifungulia

huko. Meya ananyakua vipande vya ardhi ili kuweza kujitajirisha na kuwapeleka watoto na mke wake ng‘ambo. Meya anamtaka mhubiri awe upande wake na kwa hivyo anapendekeza kumpa sadaka ya laki kila mwezi. Wanacheneo kumripoti Meya kwa makao makuu jambo linalofanya Meya kushikwa. Diwani I na II kumdanganya Meya kuhusu uongozi wake, jambo linalowafanya kunufaika kutokana na ujinga wa Meya. Meya kuandaa kongamano la mameya ili wampe msaada wa kukidhi nakisikitika bajeti. Diwani III kumrahi Dkt. Siki kuingia siasani ili kuleta uadilifu.

6. SEHEMU YA D: HADITHI FUPI(a) (i) Msemaji ni Fikirini

(ii) Anamwambia Fiona.(iii) Wako barabarani.(iv) Hii ni baada ya Fikirini kuachwa na basi la abiria kwa kuwa yeye ni mweusi. (4x1 = alama 4)

(b) Watu hao hawajali kwa sababu wanawabagua kwa; Kuwaadhibiwa vikali kwa makosa madoto kwa kuwa weusi k.m. kutozwa faini kwa kuvuka barabara uku taa za kuelekeza

magari zikiwa zimewaka rangi nyekundu ilhali wapiti njia wengine (wazungu) wanaachiliwa kupita. Wahadhiri chuoni wanawapendelea wazungu na kuwakandamiza watu weusi. Walinzi kwenye maduka makubwa huwakagua zaidi / kuwafuata watu weusi …kana kwamba wanawashuku watadokoa vitu

vya watu. Dereva mzungu kumita Fikirini kwa kuwa ni mweusi. Wanafunzi wanakejeli Fikirini kwa kumuuliza maswali ya kiubaguzi k.m. iwapo kwao watu huugua ukimwi, wanaishi

kwenya miti n.k. Wanabaguliwa kwani jela za huko marekani ni kama zimetengewa wazungu. Fikirini awapo mkhawani anakumbana na kiazamo ya dharau ya wateja na wahudumu. Polisi kumwuliza fikirini iwapo anazungumza kiingereza baada ya kupatikana kama hajafunga zipu.

(zozote 5x2 = alama 10)(c) (i) Msoi na Semkwa walipokuwa wanatoka nyumbani kwa Msoi, Msoi aligonga bakuli la maua likavunjika vipande vipande

ni ishara ya mambo mabaya kutokea.(ii) Msoi kujibana kidole alipokuwa akifunga mlango wa gari. (iii) Msoi na Semkwa wakiwa njiani mbingu ilikasirika na kupasua mjonyezo uliotoa ufa mwembamba wa moto mwekundu

(radi). (iv) Msoi anapoteremka kutoka kwa nyumba mguu ake wa kushoto ulikosea mizani kisha akapepesuka na kutka kuanguka. (v) Msoi alipotazama taa siku hiyo zilikuwa na mwako wa huzuni ingawa zilipakwa rangi ya kawaida. (vi) Msoi alikuwa amezipata hisia kupitia kwa ncha za malaika yake kuhusu kitisho na wasiwasi. (vii) Msoi kutojitayarisha kwa wakati na kutazamia balaa kubwa kutokea katika baa ya makaburini. (viii) Ndoto zilimwambia Msoi kwamba mahali walipozoea kupitisha wikendi palikuwa pa wafu ambao wamechoka.

(zozote 6x1 = 6)7.(a) Esther ana shaka ya mambo iwapo atabadilishiwa zamu na Grace ili aingie asubuhi na kutoka saa nane aende chuoni kusomea

usekretari.(b) Esther ana shaka ya mambo kwa kuwa siku hiyo Kamata hakuja kumjulia hali kama ilivyo kawaida yake apatapo nafasi na

isitoshe anapompigia simu haipokei.(c) Esther ana shaka ya mambo iwapo kweli Kamata anamjali au anashughulika kutafuta pesa.(d) Esther ana shaka ya mambo iwapo uhuru alioutafuta ataupata kwani hata mzee Mwinyi anamchunga kama alivyochungwa

nyumbani kwao.(e) Esther ana shaka ya mambo iwapo Kamata atamfikishia pesa yule mteja mzungu aliyezisahau mezani kwani hakumjua.(f) Mzungu mteja ana shaka ya mambo iwapo atapata usafiri kuelekea Dubai kwa mkutano siku iliyofuata kwani ndege

aliyostahili kusafiria imehairishwa mara mbili.(g) Esther ana shaka ya mambo iwapo Grace na Kamata wana uhusiano wa kimapenzi kwani Grace alimwita kamata mpenzi na

walitoka pamoja siku hiyo.(h) Esther anaposimamiwa na mvulana kwenye matatu ana shaka ya mambo Kamata anaweza kusimama na kumwachia kiti.(i) Abiria mmoja aliyetaka kuingia matatu ana magari ya matatu yanaruhusiwa kuingia uwanja wa ndege.(j) Esther ana shaka ya mambo mle vilabuni anamopenda Kamata kumpeleka mna usalama.(k) Esther ana shaka ya mambo iwapo Kamata bado anamjali hasa baada ya kukataa kwenda naye disko tena ikizingatiwa

kwamba wavulana hukosa subira.(l) Esther and shaka ya mambo kuhusu uhusiano wa Kamata kwa vile wanaishi mtaa mmoja, walisoma pamoja na huja kazini

pamoja. (zozote 10x2 = 20)

Top grade predictor publishers Page | 124

Page 125: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

8. SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZI(a) Utanzu wa Fasihi Simulizi unaohusisha mazungumzo yanayoambatana na matendo. (2x1 = 2)(b) Sifa za maigizo Huigizwa mbele ya hadhira. Lazima kuwa na mwigizaji na mtazamaji (hadhira) ndiposa uwasilishaji wa utanzu huu

ukamilike. Yahitaji uwanja maalum wa kutendea au mandhari. Hugungamana na shughuli za kijamii hasa sherehe za mivigha k.m. tohara / jando, harusi au matanga. Sharti pawepo tendo la kuigizwa. Wahusika huiga tabia au matendo ya watu na wengine kwa nia ya kuelimisha kuburudisha,

kukashifu n.k. Kuna maleba yanaooana na hali wanazoigiza. Huweza kuambatana na ngoma pamoja na uimbaji. Huwa na muundo mahususi ya mtiririko wa matukio. Utangulizi ukuzaji wa kinachoigizwa kisha mwiso ambao bila shaka

huwa ni suluhu. (za kwanza 4 x 1 = alama 4)(c) Ishara za uso, mwili na miondoko ambayo inaona na hali ya kuigiza. Avalie maleba yanayochukuana na nafasi anayoigiza. Abadilishe toni na kiimbo kulingana na hali tofauti. Abadilishe uigizaji wake kulingana na hadhira. Aitumie lugha kwa ufasaha. Adhihirishe ukakamavu / ujasiri wakati wa kuigiza. Awe mbunifu ka kutumia mbinu mbalimbali za uigizaji ili kuufanya uigizaji.

Kuvutia kuondoa ukinaifu na kusisitiza ujumbe. Ashirikishe hadhira kwa kuuliza maswali balagha ili kuondoa uchovu wa kutazama na kusikiliza. Lazima aelewe utamaduni wa hadhira yake ili asitumie maneno na ishara zinazokinzana. Awe mfaraguzi kubadilisha uigizaji wake papo hapo kutegemea hadhira yake. (zozote 6x1 = alama 6)(d) Huburudisha watazamaji na waigizaji wenyewe k.m. vichekesho, michezo ya jukwani n.k. Kuhifadhi / kuendeleza utamaduni kwani desturi za jamii k.m. mivigha, matambiko, ngomezi hudumishwa kupitia kwa

maigizo. Kitambulisho cha jamii kwani kila jamii huwa na sanaa yake ya maigizo ya shughuli za jamii husika. Kukuza umoja na ushirikiano watu wanapokuja pamoja kushiriki katika maigizo. Nyenzo ya kupitisha maarifa na amali za jamii. Huakisi mitazamo ya jamii kuhusu masuala mbalimbali k.m. baadhi ya uigizaji hufanyia tashtiti vitendo vinayochukiwa kama

vile uoga, wizi, usaliti n.k. Husifu tabia nzuri / chanya na kukashif tabia hasi. Hukuza uzalendo kwani kupitia maigizo vijana hujitambulisha na jamii zao na kuzionea fahari. Kuimarisha ubunifu k.m. watoto wanaposhiriki katika michezo ya watoto hujifunza kubuni michezo wakiwa wachanga na pia

kujifunza sanaa ya uigizaji. Kukuza kipawa cha uongozi. Waigizaji wanapochukua majukumu ya uongozi kaika michezo huwaza kujifunza stadi za

uongozi. Kuelimisha kupitia kwa maudhui na hulka mbalimbali zinazoigizwa. Huongoza wanajamii kupambana na mazingira wanamojipata k.m. kutegemea imani ya jamii matambiko yanaweza kuondoa

matatizo katika jamii k.m. njaa, ugonjwa, ukame n.k. kwa kuomba Mungu au miungu.(4x2 = alama 8)

Top grade predictor publishers Page | 125

Page 126: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KANGEMA- 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. Andika taarifa itakayosomwa katika idhaa ya Redio ya Wakwetu kuhusu vyanzo vya kuporomoka kwa maadili miongonimwa vijana.

2. Hatua zinazochukuliwa na serikali kukabilia'na na vileo nchini zinafaa. Jadili.3. Andika insha kudhihirisha ukweli wa methali :

Mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani. 4. Tunga kisa kitakachomalizikia kwa maneno yafuatayo.

. Tangu siku hiyo uhusiano wangu na rafiki yangu ni kama wa mafuta na maji.

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KANGEMA- 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (alama 15) Soma taarifa inayofuata kisha uyajibu maswali

Nyumba ya Ndolo ya vyumba viwili ilikumbwa na hali mbili tofauti usiku huo. Chumbani alimolala Ndolo mwenyewe, kimya cha kaburi kilikatizwa na misono yake. Mara mojamoja alijigeuza kitandani na kuzifanya mbavu za kitanda zilalamikie : uzito wake. Katika chumba kingine, misono ya Ndolo na milio ya chenene ilimkirihi Msela. Kuzidisha, mawazo kuhusu hali ya mamake na unyama aliotendewa babake yalimtoroshea usingizi. Akasalia kujilaza kwenye mkeka wake.

Kila alipotafakari maneno ya mzee Ndolo ndivyo Msela alivyozidi kuamini kwamba matatizo ya familia yao yalisababishwa na Mzee Bonga. Lakini yote hayo akayapuuza. Kubwa kwake lilikuwa ni kumwona mama yake na kujua ni hatua gani atakayochukua licha ya uzito aliouona mbele yake kwa kutokuwa na kipato. Msela alijikuta kwenye mtihani mgumu ulioifanya mishipa ya kichwa kusimama na kichwa kumuuma.

Kwa sababii ya maiimivu hayo, Msela alijisogeza na kujiegemeza kwenye ukuta. Akawa anatazama iinsi Mungu alikuwa akiufanya muujiza wake ambao alikuwa ameukosa kwa muda. Alifurahi kuliona jua likipenyeza miale yake kisha kujitokeza na kuangaza dunia. Ingawa macho yake yalifurahia mapambazuko hayo, moyo wake ulikuwa na machungu. Akili yake ilikuwa na zigo zito la kutafuta ufumbuzi ambao kwa upande wake ilikuwa ni ndoto.

Msela alijiuliza mengi katika nafsi yake. Aliisaili nafsi yake kuhusu hisi za ndugu zake, kuhusu hali ya mama yao aliyesemekana kuwa mwendawazimu, na ikiwa walifahamu hilo. Alitaka kujua alikokula na alikolala mamake katika hali yake hiyo. Kila fikira iliyompitikia akilini ilitaka kupasua mishipa ya kichwa chake. 'Ina maana hawaoni au nao wamekuwa na roho ya korosho kama Mzee Bonga?' alijisaili Msela. Katika maswali yote hayo, alikosa majibu isipokuwa kuzidisha maumivu ya kichwa. Isingekuwa kwa machozi yaliyompunguzia baadhi ya machungu, labda angegeuka hayawani.

Macho ya Msela yalikuwa yamevimba, tena mekundu kutokana na ukosefu wa usingizi. Mwili wake nao ulionekana kunyong'onyea kwa sababu ya mazonge ya mawazo. Alichukua kikopo kilichochoka cha maji na kunawa uso kisha akaenda kukaa juu ya jiwe. Kibaridi kilichotokana na mvua iliyokuwa ikinyesha kilimpiga lakini hakujali. Angejali vipi yeye katika mtafaruku wa hali ya mamake?

Ingawa Mzee Ndolo alimwita ndani ili aipishe mvua, Msela alidinda. Badala yake, aliendelea kuuachilia mwili wake kuloweshwa na michonyoto ya mvua. Kila alivyofikiria maisha ya wendawazimu ndivyo moyo ulivyozidi kumuuma. Akawa yuajiuliza mama yake aliukosea nini ulimwengu hata apate adhabu ile. Halafu fumo lake la mwisho moyoni ni madhara ya mvua na baridi ile kwa mamake. Hana makao, hana mavazi mazito, hana chochote! Alipowazia makazi ya jalalani na majumba mabovu ambayo siku zote amekuwa akiwaona wendawazimu wakifaliwa kwayo, aliachama.

Maswali (a) Eleza ukinzani ulio katika nyumba ya Ndolo. (alama 2)(b) Ni yapi yaliyomkosesha usingizi msela? (alama 3)(c) Kwa nini Msela hakuweza kuibadili hali yake. (alama 4)(d) Taja chanzo cha madhila ya Msela. (alama 1)(e) Muujiza wa Mungu unatoa taashira gani kwa hali ya msimulizi? (alama 2)(f) Eleza maana ya msamiati ufuatao ukirejelea taarifa. (alama 3)

Top grade predictor publishers Page | 126

Page 127: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

i) robo ya koroshoii) alichama iii) kunyong'onyea

2. UFUPISHO (alama 15) Soma kifungu kisha ujibu maswali Upo msemo usemao kuwa kuvunjika kwa mwiko si mwisho wa upishi. Msemo huu unaafiki kabisa ari ya watu wazima wengi ambao licha ya umri wao, wamo mbioni kutafuta elimu ili mbali na kupata nuru, wajiunge na wasomi wengine katika kuikuza na kuiendeleza jamii. Ni kwa sababu hii ndipo serikali, kwa ushirikiano na mashirika mengi yasiyokuwa ya kiserikali, imekuwa mstari wa mbele kutoa tunu hii kwa wazee ili kukata kiu yao ya elimu.

Watu wengi wa umri wa makamo ambao labda walikosa kumaliza masomo ya kiwango fulani au walikosa kabisa kwenda shuleni kwa sababu mbalimbali, hasa za kifedha, wamekuwa wakiweka elimu kama mojawapo ya majukumu yao ya utuuzima. Hii imekuwa dhahiri hasa baada ya serikali ya Kenya kuanzisha mpango wa elimu bila malipo katika shule za msingi, kwani idadi ya watu wazima ambao wamejitokeza kunufaika na mpango huo haisemeki. Pamoja na mpango huo, wapo wale ambao walikosa kusoma au kumaliza masomo kwa sababu ya karo, na kwa sababu sasa wana mapato, wameazimia kujiendeleza ili wapate vyeti. Hii ndiyo maana si ajabu kuona hata wafungwa kwenye magereza wakifanya mitihani ya kitaifa.

Elimu ya watu wazima hutekelezwa kwa njia mbalimbali. Kunayo elimu ambayo inalenga kuwapa watu hawa ujuzi wa kujiendeleza kiuchumi. Kutokana na ufundi wanaofundishwa, ambao huwa ni kazi kama useremala, umekanika, ushoni, usonara na kadhalika, huwawezesha kujitegemea kimapato, kwa hivyo wakaweza kuwapa wanao fursa ya kufaidi kile ambacho wao walikikosa.

Kunayo pia aina ya elimu ya watu wazima ambayo inaegemea maslahi ya watu hawa, hasa mafunzo kuhusu afya na usafi, masuala ya kifamilia na mahusiano na pia suala la ulezi. Kwa kufanya hivi, watu hawa hupata motisha ya kutangamana na watu wengine na kubadilishana nao mawazo kuhusu masuala yanayoathiri maisha yao Ndiyo sababu utapata watu wa aina hii wana ujuzi mkubwa wa kila kitu kinachoendelea katika kila kona ya nchi.

Aina nyingine ya elimu kwa watu wazima ni ile ya umma, inayohusu hasa masuala ya kisiasa. Mara nyingi, utawaona wakongwe wakipishwa kwenve foleni ili kwenda kupiga kura. Hii ni kwa sababu, mbali na kuwa huenda wakawa wamestaafu kikazi, bado wana jukumu muhimu sana katika kufanya maamuzi ya kisiasa kwa ajili ya vizazi vyao. Hivyo basi, serikali hufanya kila juhudi kuhakikisha kuwa hamasisho imetolewa kwa kila mwananchi, pamoja na kutoa mafunzo ya namna ya kupiga kura ili kura zisiharibike, hasa baada ya mtu kupitia utaratibu mrefu na wenye kuchosha wa kupiga kura. Kwa hili la kisiasa, watu wazima wengi hushangaza kwa jinsi wasivyoweza kushawishika kufanya maamuzi yanayokwenda kinyume na maazimio yao.

Maswali (a) Eleza masuala muhimu katika aya mbili za kwanza kwa maneno 60. (alama 7)(b) Fafanua jinsi elimu ya watu wazima hutekelezwa ukitumia maneno 60 (alama 6)

3. MATUMIZI YA LUGHA. (alama 40)a) Taja sifa nne za sauti /a/ (alama 2)b) Ainisha mofimu katika neno lifuatalo: (alama 3)

Milangoni c) Ainisha vitenzi katika sentensi ifutayo. (alama 2)

Wao watakuja kuwa waandishi maarufu. d) Eleza maana mbili za sentensi ifuatayo. (alama 2)

Huyu amekuja kutuliza.e) Andika kinyume cha sentensi ifuatayo . (alama 2)

Mahindi ya mama yamekua kwa kupata mvua ya kutosha.f) Nyambua kitenzi 'chwa' katika kauli ya kutendea kisha ukitungie sentensi. (alama 2)g) Tunga sentensi kuonyesha matumizi ya neno 'vibaya' kama: (alama 3)

(i) Kivumishi (ii) Kielezi (iii) Kiwakilishi

h) Changanua kwa kutumiajedwali. Yeye alifaulu ingawa hana adabu

i) Akifisha sentensi ifuatayo: (alama 2)Je ni nani alingoa mti wa kiprono

j) Taja msemo mwingine wenye maana sawa na : (alama 1)piga maji

k) Tunga sentensi ukitumia kiwakilishi cha pekee cha kusisitiza katika ngeli ya U/U (alama 2)l) Bainisha matumizi ya 'po' katika sentensi ifuatayo. (alama 1)

Alipowasili alionyeshwa walipo

Top grade predictor publishers Page | 127

Page 128: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

m) Bainisha matumizi ya 'ni' (alama 2)Kimbieni! Huyu ni mnyama aliyeniuma mguuni.

n) Tunga sentensi moja kudhihirisha maana ya vitate rika na lika. (alama 2)o) Ainisha shamirisho katika sentensi ifuatayo . (alama 3)

Jane alitengenezewa kiti na fundi kwa nyundop) Unda nomino dhahania kutokana na kitenzi - abudu. (alama 1)q) Tunga sentensi kwa kutumia kivumishi cha sifa kisichoambishika. (alama 2)r) Andika kwa wingi. (alama 2)

Seremala huyo alikula ndizi kwa uma.s) Kanusha sentensi ifuatayo bila kutumia kiunganishi. (alama 2)

Iwapo mvua itanyesha wakulima watapanda mapema.t) Eleza maana ya kiimbo. (alama 1)

4. ISIMU JAMII (alama 10)a. Taja nadharia tatu zinazoelezea chimbuko la lugha ya Kiswahili. (alama 3)b. 'Mkinichagua, mimi tutaimarisha masomo, huduma za afya, barabara na pia maji mtapata hivi karibuni. (makofi na

vigeregere)(i) Tambua sajili hii (alama 1)(ii) Eleza sifa sita za sajili hii. (alama 6)

Top grade predictor publishers Page | 128

Page 129: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KANGEMA- 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

1. LAZIMA : SEHEMU YA 'A'USHAIRIOle wangu! Ole wangu, nisikize Mola wangu, Lipokee ombi langu, wanisikize wenzangu, Washike ujumbe wangu, uloleta Mola kwangu, Nyakati tunazoishi, ni Sodoma na Gomora.

Amri kumi za Mola, mumekwisha zikiuka Ndipo hamuwezi lala, mumekwisha vurugika, Mumemsahau Mola, ndipo nanyi mwasumbuka, Nyakati tunazoishi, ni Sodoma na Gomora.

Mwaabudu mashetani, ushirikina ni mwingi, Munaiba hadharani, waongo nao ni wengi, Mwajawa na taraghani, na wazimu mwingi, Nyakati tunazoishi, ni Sodoma na Gomora,

Mwauana ovyoovyo, mwasemana ndivyo sivyo, Fitina nazo zilivyo, mwarogana vivyo hivyo, Matusi ni vile sivyo, munaisha ka isivyo, Nyakati tunazoishi, ni Sodoma na Gomora.

Kuna dawa za kulevya, na hata pembe haramu, Na ukimwi nakujuvya, unaua wanadamu, Na mimba nazo kuavya, watoto ni marehemu, Nyakati tunazoishi, ni Sodoma na Gomora.

Wengine nao hudai, waoe jinisi moja, Ati mwingine hafai, heri sawia ya mja, Haya maoni ni hoi, tupinge kila mmoja, Nyakati tunazoishi, ni Sodoma na Gomora. Ploti mwazinyakua, na viwanja vya mipira, Makaburi mwala pia, mabibi mwateka nyara, Ibada zikifikia, mwafurika kwa majira Nyakati tunazoishi, ni Sodoma na Gomora.

Wengi tuwachaguao, si viongozi ni waizi, Tamaa walio nao, yaongoza maamuzi, Mishahara ile yao, huongezwa kila mwezi, Nyakati tunazoishi, ni Sodoma na Gomora.

Usalama hatunao, wasiwasi umezidi, Waja kiwa makazio, huogopa magaidi, Mabomu walipuao, huruma wamekaidi, Nyakati tunazoishi, ni Sodoma na Gomora.

Beti kumi namaliza, dua yangu imetimu, Mungu amekwisha anza, kuhukumu mwanadamu, Wote walojipotoza.waiepuke hukumu, Nyakati tunazoishi, ni Sodoma na Gomora.

MASWALI (a) Lipe shairi hili kichwa mwafaka. (alama 1)(b) Shairi hili linaweza kuwekwa katika bahari kadhaa. Taja na ueleze bahari zozote tatu. (alama 3)(c) Taja na ueleze mbinu tatu za lugha zilizotumiwa katika ubeti wa kwanza. (alama 3)(d) Eleza sababu ya mshairi kutumia alama ya ritifaa katika ubeti wa nne (alama 2)(e) Tambua uhuru wa kishairi uliotumika katika ubeti wa tisa mshororo wa tatu na ueleze umuhimu wake. (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 129

Page 130: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(f) Andika ubeti wa sita kwa lugha tutumbi. (alama 4)(g) Taja mifano mitatu ya uozo anaolalamikia mwandishi. (alama 3)(h) Eleza toni ya mwandishi. (alama 2)

SEHEMU YA B TAMTHILIA: Mstahiki Meya : Timothy M. Arege Jibu swali la 2 au la 3

2. Mbona isiwe kweli? Wewe panga uwalete tule matunda ya jasho letu nao watoto.(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Eleza mbinu mbili za uandishi katika dondoo hili. (alama 2)(c) Eleza yaliyopangwa baada ya usemi huu. (alama 14)

3. Fafanua jinsi maudhui ya unafiki yamejidhihirisha katika tamthilia ya Mstahiki Meya, ukirejelea wahusika wowote watano.(alama 20)

SEHEMU YA C RIWAYA: Kidagaa kimemwozea : Ken Walibora Jibu swali la 4 au la 5

4. Mtoto ni mtoto hata likiwa bonge la nyama. Mtu hupata ajaliwalo sio alitakalo.(a) Fafanua muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Eleza tamathali ya lugha iliyotumika katika usemi huu. (alama 2)(c) Ukirejelea riwaya thibitisha kuwa mtu hupata ajaliwalo silo alitakalo. (alama 14)

5. "Ndoto za uhuru barani Afrika imegeuka kuwa jinamizi, jinamizi inayowafanya wazalendo kulia Kidagaa kimetuozea".Ukirejelea riwaya eleza sababu za wazalendo kulia Kidagaa kimetuozea. (alama 20)

SEHEMU YA D: HADITHI FUPI Damn Nveusi na Hadithi nyingine : Ken Walibora na Said A. Mohamed Jibu swali la 6 au la 7

6. "Ingawa walifahamu sababu ya kuitwa pale mpango uliokuwepo ulikuwa usiku wa giza."(a) Fafanua muktadha wa maneno haya. (alama 4)(b) Eleza tamathali iliyotumika katika dondoo hili. (alama 2)(c) Onyesha vile wahusika mbalimbali hadithini waiivyoathiriwa na sababu ya kuitwa pale. (alama 14)

7. Uozo katika jamii ni maudhui yaliyoshughulikiwa pakubwa katika diwani ya Damu Nyeusi na Hadithi nyingine. Kwakurejelea hadithi zozote tano fafanua kauli hii. (alama 20)

SEHEMU YA E:FASIHI SIMULIZI

8. a) i) Eleza maana ya vitendawili. (alama 2)ii) Chambua muundo wa vitendawili ukizingatia hatua muhimu katika utendaji. (alama7)

b) i) Ulumbi ni nini? (alama 2)ii) Eleza sifa zozote tano za ulumbi. (alama 5)iii) Ulumbi hutekeleza majukumu gani katika jamii. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 130

Page 131: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KANGEMA- 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA Swali 1 Taarifa ya kusomwa redioni

Tamaa ya anasa na starehe Teknolojia ya kisasa Kuvunjika kwa asasi za kuendeleza maadili Kukosa vielelezo Shinikizo kutoka kwa wenzao Wafanyibiashara laghai Matumizi ya vileo Malezi yasiyofaa / wazazi wasiowajibika

TanbihiMtahiniwa ashughulikie yafuatayo:

Kichwa kitaje taarifa Ataje jina la idhaa ya redio Ataje mwandishi Iwe na muundo wa utangulizi, mwili na hitimisho

Swali 2Kuunga

Zinasaidia kuwakinga watoto dhidi ya maadili potovu Vileo husababisha madhara makubwa ya kiafya Baadhi ya vileo huwa na kemikali mbaya Vileo husababisha umaskini miongoni mwa watumizi Zitasaidia kupunguza migogoro ya kifamilia Kuimarisha utendakazi Kuzuia uraibu hususan miongoni mwa vijana

Kupinga Zinachangia uharibifu wa mali Watu wengi watapoteza ajira Zitachangia usiri katika ugemaji wa vileo Watumiaji watapata madhara ya kusitishwa kulewa Watu watanyimwa haki ya kutumia vileo

Tanbihi Mwanafunzi anaweza kuunga au kupinga. Pia anaweza kujadilia pande zote mbili

Swali 3 Mwanafunzi aandike kisa ambacho kitamsuta mtu anayeenaa huku na huku kumwambia kwamba aende aendako lakini

hatimaye atarudi alikotoka au kwao.Azingatie pande zote mbili za methali

Swali 4 Kisa kilingane na mdokezo Mwanzoni pawe na uhusiano mwema utakaoharibiwa na tukio fulani

Top grade predictor publishers Page | 131

Page 132: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KANGEMA- 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. UFAHAMUa) Ukinzani ni kuwa huku Ndolo akiwa analala usingizi wa pono. Msela hakupata na usingizi kutokana na mazonge ya

Mawazo 1 x 2 = 2b) Mawazo kuhusu hali va mamake na unvama uliotendewa babake, misono va Ndolo na milio va chenene

3 x 1 = 3c) Hakuwa na mapato, hakuwa na wa kusaidiana naye kumtafiita mamake 2x 2 = 4d) Mzee Bonga 1 x 1 = 1e) Unamtia furaha kiasi cha kumfanya atabasamu 1 x 2 = 2f) i) Mtu mwenye roho chafii

alishangaa kukosa nguvu, kuwa mdhoofu 3 x 1 = 3

2. UFUP1SHOd) watu wazima wengi wamo mbioni kutafuta elimu iicha ya umri wao wanataka kupata nuru ya kujiunga na wasomi wengine katika kuiendeleza jamii serikali na mashirika yasiyo ya serikali yanawapa elimu watu wazima watu wazima waliokosa kukamilisha masomo yao wanaweka elimu kama jukumu lao la utu uziina idadi ya watu waliojitokeza kunufaika na elimu bila malipo haisemeki waliokosa kusoma kwa sababu ya karo wanatumia mapato yao kujisomesha ili wapate vyeti hata wafungwa hujisajili kufanya mitihani ya kitaifa z o t e 7 x 1e) kwa kuwapa ujuzi wa kuiiendeleza kiuchumi kupitia ufundi kama vile useremala, umakanika, ushoni na usonara kuegemea maslahi yao, mafunzo kuhusu afya na usafi. maswaia ya familia, mahusiano na ulezi kuwapa motisha ya kutangamana na watu wengine na kubadilishana mawazo nao elimu ya umma hasa kuhusiana na masuala ya siasa zozote 3x2 = 6 mtiririko = 2

3. SARUFI NA MATUMIZI YA LUG HAi) i) irabu

ii) katichinimidomo hutandazwa 4 x 1 / 2 = 2

ii) Mi - mofimu ya wingi lango - mofimu ya mzizi ni - mofimu ya mahali 3 x 1 = 3iii) Watakuja: kishirikishi kikamilifii kuwa kishirikishi kikamilifu 2 x 1 = 2iv) Amekuja kufanya kutulia / kuleta amani Amekuja kutufanya tulie

Amekuja tulie pamoja naye zozote2 x 1 = 2v) Mahindi ya mama yamevia kwa kukosa mvua ya kutosha 2 x 1 = 2vi) chwa - chwea

sentensi: Jua lilituchwea shambanikunyambua 1sentensi 1 2 x 1 = 2

g) Viatu vibaya vimetupwa Anafanya kazi yake vibaya Vibaya vimetupwa E W 3 x 1 = 3h) S - ambatano

S, U s2

KN KT U KN KT

W T U 0 t N

Yeye alifaulu ingawa 0 hana adabu

½ x 1 2 = 6i) Je, ni nani aling^oa mti wa Kiprono ? ½ x 4 = 2j) piga mtindi

vaa miwani 1 x 1= 1k) Wenyewe umemwangamiza 1 x 1= 1l) Alipowasili alionyeshwa waiipo

wakati mahali½ x 2 = 1

Top grade predictor publishers Page | 132

Page 133: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahilim) i) Kuamrisha

ii) Kitenzi kishirikishiiii) Kitendewaiv) Mahali (kielezi)

½ x 4 = 2n) rika - hirimu

lika - kuweza kuliwa 2 x 1= 2o) kipozi - kiti

kitondo - Janekitumizi / ala - nyundo 1 x 3= 3

p) ibada 1 x 1 = 1q) stadi nadhifu

safi bora hodari 1 x 2= 2

r) Maseremala hao walikula ndi s) Mvua isiponyesha wakulima hawatapanda mapema 1 x 2 = 2t) Ni mawimbi ya sauti

Kupanda na kushuka kwa sauti mtu anapozungumza (kuongea)

ISIMU JAMII a) i) Kuwa Kiswahili ni lugha ya mseto

ii) Kuwa Kiswahili ni lahaja ya Kiarabu iii) Kuwa Kiswahili ni lugha ya Kiafrika yenye asili ya kibantu 3 x 1 = 3

b) i) Siasa 1x1 = 1ii) Hutumia lugha shawishi Huchanganya ndimi Hutumia mafumbo na vitendawili Kuna kujisifu Matumizi ya lakabu na misimbo Lugha iliyojaa chuku Imejaa kejeli na propaganda

Top grade predictor publishers Page | 133

Page 134: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KANGEMA- 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Ushairia) Sodoma na Gomora Uozo

Ouvu katika jamii 1 x 1 = 1b) Mathnawi - vipande viwili T

arbia - mishororo minneUkaraguni - vina kutofautiana katika kilaUbeti 3 x 1 = 3

c) Nidaa - oie wanguTakriri - ole wangu, ole wangu Istiari - nyakati zinalinganishwa na Sodoma na Gomora

3 x 1 = 3 d) Ritifaa

Ka - badala ya kama - kupata urari vaMizani

1 x 2 = 2e) Tabdila - walipuao - walipuayo Kuleta urari wa vina

Kuboranga sarufi - Huruma wamekaidi kupata urari wa vina 1 x 2 = 2f) Watu wengine wanataka kuoa watu wa jinsia yao

Eti jinsia tofauti haifai Wanahiari kuoa jinsia yao. Haya ni maoni potovu tupasavyo kuyafaa kwani nyakati tunazoishi zimejaauovu / dhambi tele alama 4 x 1

g) TamaaKutozingatia sheria za Mungu

f) Wizig) Uongoh) Ushirikina 3 x 1 = 3h) Masikitiko

Malalamiko 2 x 1 = 2

Mstahiki Meya2.a) Maneno ya Meya kwa Bili wakiwa ofisini

mwake. Bili alimwelezea Meya jinsi watoto wake walivyofurahi baada ya kujistarehesha kajifahari 4 x 1 = 4b) Balagha - mbona isiwe kweli ?

Istiara - matunda ya jasho letuKinaya - wanacheneo ndio hutoa jasho ila meya asema ni jasho lao 2 x 1 = 2

c ) Meya anamweieza Bili kuhusu mwanakandarasi aliyetaka kuendelea na kazii) Meya aliogopa kusitisha kandarasi yake ili asishtakiwej) Bili anashauri Meya asitishe ndipo mwanakandarasi aende kortinik) Itaamriwa apate thamani ya pato lakel) Anashauri kuwa Meya akubali kuwa alifanya maamuzi kwa niaba ya barazam) Baraza ndilo litakalolipan) Kwamba akubaliane na mwanakandarasi kuhusu fungu atakalopata haada ya mwanakandarasi kulipwa

7 x 2 = 143. Maudhui ya unafiki Meya anajifanya kuwa kiongozi wa kupigiwa mfano ilhali anajinufaisha kwa kujilimbikizia mali kwa njia haramu Anatoa maneno ya kumnasa mhubiri. Hataki sura ya baraza kuathirika kwa njia yoyote ili afaidi misaada kutoka kwa wageni, Bili anajifanya rafiki wa Meya na kumbe ajenda yake ni kujinufaisha na mambo yanapoharibika anatoweka Diwani I

alijifanya mzuri ili achaguliwe na alipopata cheo akawageuka na kuanza kuwatesa kwa mashambulizi Diwani II baada ya kuchaguliwa anakuwa kiini cha propaganda zinazosambazwa na vyombo vya habari Mhubiri ni mnafiki kwani anayafahamu madhila yanayowakumba wanacheneo lakini anaomba uongozi wa Meya udumu Mhazili anajifanya mtumishi mzuri wa Meya lakini anamsaliti Meya kwa kushiriki katika mgomo Dida anajifanya mpole, mnyenyekevu na baadaye anamdhihaki Meya kwa kuigiza jinsi Meya huwatusi na kutowaheshimu

wafanyikazi wake Wahusika 5 x 4 = 2 04. a)

i) Maneno haya yalisemwa na Dora

Top grade predictor publishers Page | 134

Page 135: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

ii) Msemewa ni Majisifu iii) Walikuwa nyumbani mwao iv) Majisifu alikuwa anataka kuwatupa watoto waliozaliwa majini kwa kuwa hawakuwa na uv/ezo wa kutembea lakini Dora

akamzuia 4 x 1 = 4b) Methali - mtu hupata ajaliwalo sio alitakalo

Istiara - likiwa bonge la nyama 1 x 2c)

Imani alikuwa na ndoto ya kuwa daktarii lakini anakosa kusoma na kuishia kuwa kijakazi Nasaba Bora alikuwa na Imani kuwa mazishi yake yangehudhuriwa na wengi lakini baada ya kifo chake mazishi

yalihudhuriwa na wachache mno Majisifu alitamani kupata watoto wazima kama wenzake badala yake watoto wake wanazaliwa wakiwa vilema Mashaka alisema badala ya Mungu kumpa kilema chochote afadhali ampe kifo. Hata hivyo anaishia kuwa kichaa Nasaba Bora alitarajia madhubuti aweze kuendeleza kazi yake lakini madhubuti anamgeuka na kuwa hasidi wake vi Bi Zuhura alitamani kupata mapenzi kutoka kwa mumewe lakini anachopata ni upweke na majonzi na hatimaye kupewa

talaka Amani licha ya kusoma hadi chuo kikuu anasingiziwa uchochezi na kutokamilisha masomo yake hapati umaarufii wowote.

Badala yake Majisifu anapata Sifa kemkem huku Amani akiwa mchungaji 7 x 2 = 1 4

5.

Unyakuzi wa ardhi - Nasaba Bora anabadilisha hatimiliki ya shamba la chichiri Hamadi Mauaji - Nasaba Bora anapanga njama Chichiri Hamadi auawe Umaskini- Imani anakosa kuendelea na masomo kwa ukosefu wa pesa Matumizi mabaya ya pesa za umma - Nasaba Bora na washirika wake wanatumia pesa zilizonuiwa kujengea hospitali na

kuishia kujenga zahanati Huduma duni za afya - nduguye Imani anakufa kutokana na utepetevu wa madaktari / uhuru Umma kulazimishwa kumchangia Madhubuti ili aende akasomee Urusi Kufungwa jela bila. sababu - Amani na Imani / Yusufu, Matuko Weye Maskini kunyimwa nafasi za masomo huku pesa zikiwaendea watoto wa matajiri k.m. Fao kufadhiliwa kwa pesa za mahawinde Viongozi kama Nasaba kuwa na uhusiano na watoto wa shule kama vile Lowela Udangan yifu katika mtihani. Fao anafanyiwa mtihani Wiziwa miswaada - mwalimu Majisifu anaiiba miswaada na kuichapisha kwa jina lake Kutowajibika - Majisifu hafiki shuleni zozote 1 0 x 2 = 2 06) a) Haya ni maelezo ya mwandishio) Anawarejelea Sela na wasichana wengine wawili waliokuwa wameitwa na Bi Margaretp) Walikuwa katika chumba cha mapokeziq) Walikuwa wameitwa na Bi Margaret walipokuwa gwarideni na kuwataka wafike ofisini mwake

4 x 1 = 4b) Istiara - mpango ulikuwa usiku wa giza 1 x 2 = 2c)

i) Sela alifukuzwa shuleni na Bi Margaret kuwataka wazazi wake kumtafutia shule mbadala Sela alikosa utulivu masomoni alipogunduliwa kuwa alikuwa na ujauzito Sela na wenzake waliaibika si haba majina yao yaliposomwa gwarideni Sela na mamake walifukuzwa nyumbani na mzee Butali na kukaa na jamaa zao kwa majuma matatu Sela alilazimika kukaa nyumbani kwa miezi mitatu akikitunza kitoto kisha kurejea shuleni Masazu alikosa makini masomoni na hakuendeleza elimu yake baada ya kidato cha nne na kuambulia tu kazi ya vibarua Sela aliandamwa na majuto kwa kuwa hakuwa na uhakika kuhusu mkondo arnbao maisha yake yangechukua Kutokana na umaskini uliowakumba Kadogo alivalishwa matambara alipozaliwa Sela, Masazu na Kadogo wanaangamia wakati Sela na Masazu walipokwenda kumchukua Kadogo kwa kuwa hawangemudu

utaratibu ufaao Mzee Butali alichanganyikiwa na kujawa na hasira kwa kuwa pesa alizomlipia Sela shuleni hazikuzaa matunda

7 x 2 = 14Damu Nyeusi

5. a) Samaki wa nehi za joto

Ukatili wa Peter kwa wafanyikazi wake Christine kuavya mimba Christian kujihusisha na mapenzi ya kiholela na PeterBiashara haramu - ubadilishaji wa fedha Peter kuwapuja wavuvi Wazungu kujihusisha katika uasnerati

4 x 1 = 4b) Damu Nyeusi

Dereva kukataa kumbeba Fikirini kwa vile ni mweusi

Top grade predictor publishers Page | 135

Page 136: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Fikirini kutozwa faini bure Fikirini kuitiwa polisi kwa kutofunga zipu Wanafunzi na mhadhili kumbagua Fikirini kumwaibisha Fikirini kwa kumuamuru avue nguo zote na atoke akiwa uchi katikabaridi 4 x 1 = 4

c) Gilasi ya mwisho makaburiniItikadi za ushirikina zilizozuia watu kutahadhariUkaidi wa vijana kama Semkwa na Josefina kukataa maonyo ya Msoi Vijana kujihusisha na anasa Wakora kuwaibia watejana wahudumu wa baa la makaburini 4 x 1 = 4

d) KikazaUfisadi wa Bw Mtajika Bw na Bi Mtaika kukaidi sheria za kikaza Baadhi ya wananchi kuwasaliti wanakijiji kama Bw Machupa Wanakijiji kukosa uwajibikaji kwa kutojishughulisha na athari za chaguo lao la uongozi Bwana Mtajika kuwadanganya wanakijiji kwa kuwapa ahadi za uongo 4 x 1 = 4

e) MaekoUnywaji wa pombe kupindukia Duni kuwasumbua wanakijiji kwa nyimbo zake Duni kumtesa Jamila Ubinafsi - Salim kumshauri jamila amwache Duni amwoe yeye Wanakijiji kutoa ushauri mbaya kwa Jamila 4 x 1 = 4

hadithi zozote 5 x 4 = 2 08. a)

i) Kitendawili ni kauli yenye fumbo ambalo hutolewa kwa hadhira hai ili ilifumbue alama 2ii)

Kitangulizi cha kitendawili ainbacho hutolewa na mtegaji Mtegaji: Kitendawili Hadhira humpa ruhusa ya kutega: Mteguaji: Tega! Mtegaji hutoa kitendawili Mtegaji: Fatuma mchafu Jibu hutolewa na mteguaji Mteguaji: Nguruwe (kosa) Jibu likikosekana mtegaji huomba mji Mtegaji: Umenoa, nipe mji Mteguaji hutoa mji Mteguaji : Ninakupa Thika Mtegaji akipewa mji hutoa jawabu sahihi Mtegaji : Nilienda Thika, watu wa Thika wakaniambia nikija niwasalimu. Jibu lake

ni fagio7 x 1

b) i) Ulumbi ni uhodari wa kutumia lugha kwa ufundi wa kipekee. Ni utumiaji wa lugha kwa mvuto na ufasahaalama 2

ii) Sifa za ulumbi Hutumia lugha kwa njia ya mvuto Hubainika katika muktadha wa kutoa hotuba Hutumia vipengele anuwai vya lugha kama vile sitiari, balagha, methali, nahau, taswira n.k Wa!umbi hutumiwa kuzungumza kwa niaba ya viongozi Walumbi hutumia chuku kwa ufanifu mkubwa Huwasilishwa kimantiki Huongozwa na utambuzi wa mazuri na mabaya katika jamii Huwa na lengo mahususi: kushauri, kutahadharisha 5 x 1 = 5

Umuhimu wa ulumbir) Hukuza uwezo wa kujieleza hadharanis) Hukuza ujuzi na ufasaha wa lughat) Ni msingi wa kuteua viongoziu) Huhifadhi utamaduni wa jamiiv) Huburudishaw) Hukuza uzalendox) Huweza kutumiwa kuwasilisha ujumbe muhimu au ulio na athari kubway) Ni kitambulisho cha utabaka 4 x 1 = 4

Top grade predictor publishers Page | 136

Page 137: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KERICHO- 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. LAZIMAKumekuwa na visa vingi vya udanganyifu katika mitihani ya kitaifa humu nchini. Waziri wa Elimu ameitisha mkutano wa kamati aliyobuni kujadili chanzo na suluhisho la swala hili nyeti. Ukiwa katibu wake, andika kumbukumbu za mkutano huo.

2. Michezo na shughuli nyinginezo nje ya darasa zinawapotezea wanafunzi wakati wa masomo na zinafaa kupigwa marufuku. Jadili.

3. Andika kisa kischothibitisha ukweli wa methali hii: Kutangulia si kufika.4. Tunga kisa kitakachomalizikia kwa :

. Milipofungua bahasha na kusoma kijikaratasi cha matokeo, ukweli ulinibainikia kuwa hali yangu haikuwa rahisi.

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KERICHO- 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (alama 15) Soma taarifa inayofuata kisha uvaiibu maswali Matumizi ya sheng' yameshamiri sana nchini Kenya hata miongoni mwa vijana. Ni kilugha ambacho kinakisiwa kuzuka katika miaka ya 60 na 70 katika makazi ya mashariki mwa jiji la Nairobi kama vile Kaloleni, Mbotela/ Bahati na kadhalika.

Kwa sasa ni kilugha kilichoenea kwingi nchini Kenya na kuwa kitambulisho cha takriban vijana wengi. Wataalam mbalimbali wanabainisha nadharia mbalimbali kuhusu chanzo cha lugha hii. Kuna nadharia mbili kuu kuhusu asili ya lugha ya Sheng: kwamba kilugha hiki kiliibuka kutokana na wahuni na wakora jijini Nairobi ambao lengo lao Iilikuwa kuwasiliana kwa siri. Nadharia nyingine ni kuwa kilichipuka kutokana na vijana ambao walizua lugha ya kuwasiliana baada ya uhuru (kwa sababu walikichukia Kiswahili ambacho walikiona kama lugha ya uboi) Dhana hizi kwa muda mrefu, zimeathiri mitazamo kuhusiana na kilugha hiki. Kwa sasa ni kilugha ambacho ,yjiasambaa katika sehemu mbalimbali za Kenya na watu wa matabaka mbalimbali wanakitumia. Kilugha hiki kimeanza kuashiria uhalisia mkubwa wa maisha ya kisasa, zaidi katika jamii ya Wakenya. Aidha, sheng imejitanzua kutoka hali ya kuwa kilugha cha maongezi pekee na sasa kinatumiwa katika baadhi ya vitabu, hata waandishi wa vitabu wameanza kukitumia. Kwa mfano, katika miaka ya 80, David Mailu katika kitabu chake 'Without Kiinua Mgongo' alitumia Sheng. Katika siku za hivi karibuni, riwaya ya 'Kidagaa Kimemwozea' iliyoandikwa na Ken Walibora kilugha cha sheng kimepewa nafasi kama kitambulisho cha vijana kupitia kwa mhusika DJ Bob.

Vilevile kumezuka vyombo vya habari kama redio, mfano idhaa ya Ghetto, redio ambayo inaendeleza mawasiliano kwa matumizi ya Sheng. Kuna vipindi vya matangazo ya kibiashara katika runinga ambayo yanaendelezwa kwa Sheng. Kwa mfano, katika 'gazeti la Taifa Leo, kuna ukumbi wa 'Mchongoano' ambao umekuwa ukiendelezwa kwa Sheng.

Nchini Kenya ambapo asilimia 60% ya idadi ni vijana, Sheng imetokea kuwatambulisha vijana. Katika enzi hii ya Teknohama. wanaomiliki vyombo vya habari na sekta nyingine za biashara wamegundua kuwa matumizi ya Sheng ndiyo njia mwafaka zaidi ya kulifikia soko kubwa la vijana kwa ajili ya kueneza matangazo ya bidhaa na huduma za kibiashara. Kwa hivyo, Sheng imekuwa daraja la kuwafikia na kuwavutia vijana.

Hata hivyo, kwa upande mwingine matumizi ya Sheng yamelaumiwa na walimu wengi katika shule za msingi na zile za upili kuwa ni sababu mojawapo kuu ya kushuka kwa matokeo ya lugha ya Kiswahili na Kiingereza miongoni mwa wanafunzi. Sheng imelaumiwa kwamba inasababisha wanafunzi kutozingatia mafunzo ya kanuni za sarufi na tahajia au maendelezo. Wataalam wanadai kuwa ni msimbo ambao hauzingatii sheria za sarufi na tahajia kwa sababu zisizofahamika, kwani ingawa muundo wake wa kisarufi hushahabiana na ule wa Kiswahili, Sheng hupuuza sarufi ya Kiswahili katika matumizi yake.

Ingawa sheng imekuwa ikipigwa vita, kuna wataalam ambao wana mtazamo kwamba juhudi hizo haziwezi kufanikiwa kwani Sheng ni chombo cha mawasiliano miongoni mwa vijana na kwa hivyo ina umuhimu wake ambao hauwezi kufumbiwa macho. Wanasema kuwa ni chombo ambacho kinafumbata hisia na mshikamano wa kizazi kipya kama ilivyojitokeza katika kauli mbiu ya mgombeaji urais mwaka wa 2012,'Tunawesmake.

Katika hali ambapo kiwango cha ubora wa matokeo ya Kiswahili yalidorora katika mtihani wa kidato cha nne (KCSE) mwaka wa 2012 na kuwa asilimia 35.81 pekee yakilinganishwa na asilimia 48.82 ya mwaka 2011, Sheng imekuwa ikilaumiwa kuwa ndicho chanzo cha kudorora kwa viwango vya ubora wa matokeo. Baadhi ya hao wataalamu wanasema kwamba Sheng haipaswi kuhujumiwa. kinachohitajika kufanywa ni kuwaelimisha vijana kuhusu mipaka ya matumizi yake.

Top grade predictor publishers Page | 137

Page 138: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Maswali a) Taja mada ya kifungu hiki. (alama 1)b) Fafanua nadharia mbili zilizoeleza asili ya lugha ya sheng. (alama 2)c) Eleza matumizi bainifu ya kilugha cha Sheng katika jamii ya sasa. (alama 4)d) Taja matokeo hasi ya matumizi ya Sheng katika jamii. (alama 2)e) Ni kwa nini mwandishi Walibora ameshirikisha matumizi ya Sheng katika kazi yake ya Kidagaa Kimemwozea

(alama 2)f) Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumika katika kifungu hiki. (alama 4)

i) Teknohamaii) kudororaiii) msimboiv) Kuhujumiwa

2. UFUPISIIO (alama 15) Soma kifungu kisha uiibu maswali Ubinafsishaji wa mashirika ya umma ni nguzo kuu katika ulimwengu wa leo. Kimsingi, ubinafsishaji ni hatua na harakati zinazochukuliwa kupunguza kushiriki kwa serikali katika uendeshaji wa mashirika na kuhimiza kupanuka kwa sekla ya kibinafsi.

Serikali huweza kuhimiza, kutokana na uuzaji, uhawilishaji wa mali kutoka umiliki wa umma hadi kwenye umilikaji wa sekta ya kibinafsi. Aidha, serikali inaweza kuuza hisa zake kwenye mashirika ya umma. Njia nyingine ni kuchochea ugavi wa zabuni kupitia kwa mikataba ambayo inashindaniwa na mashirika au kampuni tofauti. Lengo kuu la ubinafsishaji ni kuigatuanafasi ya serikali katika utendakazi na uendeshaji wa mashirika.

Uuzaji wamashirika ya kiserikali au hisa huwa chanzo cha mapato yanayoweza kutumiwa kuendesha miradi mingine, Hii ni njia ya kupunguza harija ya serikali inayotokana na uendeshaji wa mashirika yasiyoleta faida. Ubinafsishaji huzuia uwezekano wa kuingiliwa kwa mashirika na wanasiasa, huimarisha utamaduni mpya wa muundo wa mashirika na huvunja uhodhi wa kiserikali. Ubinafsishaji huweza kuatika mbegu za ujasiriamali wa raia kutamani kuanzisha amali tofauti.

Ubinafsishaji huweza kuyaruhusu mashirika ya kimataifa kutwaa mashirika muhimu nchini, kufutwa kazi kwa wafanyikazi na kuongezeka kwa umaskini. Ubinafsishaji wa sekta zinazohusiana na elimu na afya huweza kuathiri vibaya wenye mapato ya chini. Ubinafsishaji haumaanishi ufanisi wa utendakazi wa makampuni na mashirika. Aidha, ikiwa haupo utaratibu mzuri wa kutathmini au kupima thamani za hisa pana uwezekano wa hisa zinazouzwa kupewa thamani ya juu au ya chini.

Maswali a) Bila kupoteza maana iliyokusudiwa na mwandishi wa kifungu, andika muhtasari wa aya ya kwanza na ya pili.

(Maneno 35 - 40) (alama 6, 1 ya utiririko) b) Dondoa hoja muhimu zinazojitokeza katika aya ya tatu na ya nne.

(Maneno 45 - 50 - alama 9, 1 ya utiririko) 3. MATUMIZI YA LUGHA. (alama 40)a) i) Eleza maana ya sauti. (alama 1)

ii) Taja sifa mbili bainifu za vokali /i/ (alama 1)b) Tunga sentensi moja yenye viungo vya sarufi vifuatavyo;

i) Kikanushiii) Kiima katika nafsi ya pili wingi. iii) Kiwakilishi cha wakati uliopita. iv) Mtendewa katika nafsi ya tatu wingi. v) Mzizi wa kitenzi cha silabi moja. vi) Mnyambuliko wa kitenzi kauli ya kutendea. (alama 3)

c) Huku ukitoa mifano, toafutisha kishazi huru na kishazi tegemezi. (alama 3)d) Ainisha vielezi katika sentensi hii. (alama 2)

Mwalimu wetu anayefundisha kistadi hutembea kwa maringoe) Huki ukitoa mifano, fafanua miundo mitatu ya majina katika ngeli ya U-ZI (alama 3)f) Tunga sentensi mbili tofauti kudhihirisha maana ya neno 'ilimradi' (alama 2)g) Andika kifungu kifuatacho katika msemo wa taarifa;

Amani alilia, "Marafiki zangu, majambazi wamenipiga na kunipora pesa zangu zote. Mali yangu sasa nimbaya."(alama 3)

h) KanushaUkiona vyaelea vimeundwa. (alama 2)

i) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mistari,Wakazi waligawiwa vyandarua vya mbu lakini wanavitumai kujengea nyua. (Alama 4)

j) Andika upywa sentensi ifuatayo ukianzia yambwa tendwa. Wakulima waliwakatia ngamia wote majani ya mti huo.(alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 138

Page 139: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

k) Tunga sentensi mbili kuonyesha matumizi mawili ya mstari. (alama 2)1) Tambua matumizi ya kiambishi -ji- katika sentensi ifuatayo. (alama 2)

Jino la jitu hilo lililiwezesha kujilia chakula kingi kuliko mkimbiaji yule.m) Sahihisha kwa kutumia kirejeshi cha mazoea.

Kambarau ambao iliyoundwa vyema haitatizi. (alama 2)n) Andika visawe vya maneno haya; (alama 2)

i) Wajihiii) Laazizi

o) Tunga sentensi kudhihirisha maana ya msemo ufuatao. enda benibeni. (alama 2)p) Bainisha aina za viwakilishi katika sentensi ifuatayo;

Ule wangu niliopalilia unakua vizuri (alama 2)q) Andika kinyitme

Sufuria iliyoinjikwa mekoni ni chafu. (alama 2)

4. ISIMUJAMII (alama 10)a) Eleza maana ya usanifishaji wa lugha, (alama 2)b) Fafanua umuhimu wa usanifishaji wa (alama 8)

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KERICHO- 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

1. LAZIMA : SEHEMU YA 'A'

USHAIRI SIPENDI KUCHEKA Pana jambo ninatukiya, kwangu hilo ni muhali, Kitenda naona haya, kujishusha yangu hali Sipendi unipe hidaya, sipendi kutenda hili Sipendi mimi kucheka

Sipendi mimi kucheka, kuchekea mawi Sipendi na ya dhihaka, kwangu nyemi hiwi Sipendi kwa hakika, mwovu kistawika Halafuye nikacheka!

Masikini akiteswa Yatima akinyanyaswa Mnyonge naye akinyonywa Sipendi hata ikiwa Unazo nguvu najuwa Ni hili sitatekezwa

Mbona lakini nicheke, kwayo furaha? Na wewe ukajiweke, uli na siha? Na yatima ali pwek.e, wa anahaha? Amenyimwa haki yake, hanayo raha! Na moyo wangu ucheke, kwa ha ha, ha! Kucheka kwa kucheka Mimi katu sitacheka.

MASWALI a) Shairi hili ni la aina gani? Thibitisha. (alama 3)b) Taj a sababu zinazomfanya mshairi asitake kucheka. (alama 3)c) Chambua umbo la shairi hili kwa kuzingatia ubeti wa mwisho. (alama 4)d) Tambua nafsineni na nafsinenewa katika shairi hili. (alama 2)e) Tambua toni ya shairi hili. (alama 1)f) Fafanua uhuru wa mshairi katika shairi hili. (alama 2)g) Andika ubeti wa pili kwa lugha tutumbi. (alama 3)h) Eleza maana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumika katika shairi

i) Mawi (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 139

Page 140: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

ii) Nyemi

SEHEMU YA B RIWAYA: Kidagaa kimemwozea ; Ken Walibora Jibu swali la 2 au la 3

2. .. alisimama jadidi na kuwatazama hawa watu wawili waliosimama wima na kutetemeka kama waliopigwa na dhoruba yatheluji."a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Bainisha hulka ya mrejelewa. (alama 6)c) Huku ukitoa mifano mwafaka jadili mchango wa wanawake katika riwaya ya Kidagaa Kimemwozea. (alama 10)

3. Huku ukirejelea riwaya ya Kidagaa Kimemwozea thibitisha kwamba vijana wana suluhu to.sha kwa matatizo yanayoikumbajamii wanamoishi. (alama 20)

SEHEMU YA C TAMTHILIA:Mstahiki Meva : Timothy M. AregeJibu swali la 4 au la 5

4. "Nilikusahau lini. . , ? Mtu haukati mkono unaomlisha.i) Fafanua muktadha wa dondoo hili. (alama 4)ii) Taja na ueleze mbinu ya kifasihi iliyotumika katika dondoo hili. (alama 2)iii) Eleza sifa nne za msemewa. (alama 4)iv) Kwa kutoa mifano mitano thibithisha jinsi viongozi wa cheneo walivyoukata mkono uliokuwa ukiwalisha. (alama 10)

5. Matatizo yanayowakumba wanacheneo ni kielelzo cha matatizo yanayowakumba wananchi wa mataifa mengi ya ulimwenguwa tatu. Thibitisha. (alama 20)

SEHEMU YA D;HADITHI FUP1Damu Nyeusi na Hadithi nyingine : Ken Walibora na Said A. Mohamed

6. "Asanteni sana kwa kuja, sisi. . . hukabiliana na mengi."i) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)ii) Fafanua matukio yaliyosababisha mkutano huu. (alama 4)iii) Jadili changamoto sita zinazokumba jinsia ya kike katika hadithi hii. (alama12)

SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZI7. a) i) Eleza maana ya misimu.

ii) Jadili dhima nne za misimu.b) Fafanua changamolo zinazomkabili mtafiti wa fasihi simulizi nyanjani. (alama 10)

Top grade predictor publishers Page | 140

Page 141: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KERICHO- 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Hii ni insha ya kumbukumbua) Muundo Anwani Waliohudhuria Waalikwa Waliotuma udhuru Waliokosa bila udhuru Ajenda

i) Ufunguzi wa mkutanoii) Kusoma na kuthibitishwa kumbukumbu zilizopita iii) Masuala ibuka iv) Vyanzo vya udanganyifu v) Suluhisho

Shughuli nyinginezo Kufungwa kwa mkutano Thibitisho

b) Maudhui Vyanzo vya udanganyifu vii) Wanafunzi kutojiandaa vyema viii) Uhitaji wa wanafunzi wapite ili kupata nafasi kujiunga na vyuo vikuu ix) Utepetevu wa wanaoandaa mitihani / walinda usalama uwepo wa karatasi za maswali kabla ya mtihani x) Maendeleo ya kiteknolojia / wanafunzi wanatumia rukono / rununu xi) Ushindani baina ya shule tofauti kutaka kudumisha hadhi ya shule xii) Shinikizo kutoka kwa wazazi wanao wapite xiii) Walimu kutaka masomo yao yaongoze wapate kutuzwa xiv) Tamaa ya kupata pesa kwa wasimamizi wa mitihani / ufisadi

Suluhisho kuvunjilia mbali baraza la mitihani nchini na kubuni upya kuwachukulia hatua za kisheria maafisa wa baraza waliohusika na udanganyifu kufutilia mbali matokeo ya watahiniwa waliopatikana na udanganyifu waalimu wawaandae wanafunzi wao vyema kwa mitihani kupiga marufuku uratibishaji wa shule kulingana na matokeo kupunguzwa kwa mtaala wa masomo

* Mtahini ahakikishe kuwa mtahiniwa amejibu swali kikamilifu kwa kueleza vyanzo na suluhu

2. Hii ni insha ya mjadala Mtahiniwa anaweza kujibu kwa njia zifuatazo : i) Kutoa hoja za kupinga pekee ii) Kutoa hoja za kutetea mjadala pekee iii) Kutoa hoja za kupinga kisha za kutetea / Kutoa hoja za kutetea kisha za kupinga

* Hoja za kutetea na za kupinga zikiwa idadi sawa. mtahiniwa awe ametoa msimano wake. Asipotoa msimamo wake, inshayake isituzwe zaidi ya alama 10

Manufaa va michezo huwawezesha wanafunzi kufanya mazoezi ya kimwili huwaburudisha wanafunzi ni njia moja ya wanafunzi kupumzisha akili huwafanya wanafunzi kuwa na nidhamu huweza kuwatajirisha na kuwapa sifa kemkem wanafunzi watakaozichukulia kama kazi / ajira

Top grade predictor publishers Page | 141

Page 142: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

huendeleza utangamano miongoni mwa wanafunzi nchini

Hasara za michezo huchukua muda mwingi wa mazoezi na maandalizi

huweza kusababisha majeraha kwa wanaoshiriki wasipoelekezwa vyema, wanafunzi wanaweza kuendeleza utovu wa nidhamu / ukosefu wa maadili

wanafunzi wengine wasiopenda masomo hujipa kushiriki kila aina ya michezo na kwa hivyo kutohudhuria darasa kwa muda mwingi

baadhi ya michezo hugharimu fedha nyingi ambazo zingetumiwa kununulia vitabu vya masomo

3. Hii ni insha ya methali mtahiniwa atunge kisa kimoja aonyeshe sehemu zote mbili za methali dhana ya kutangulia ionekane vizuri katika kisa chake. Dhana ya kutofika yaweza kuelezwa katika aya chache au katika

sentensi moja tu Mifano va visa

i) Kutangulia kupata utajiri kisha baadaye wengine wakupate au hata kukushinda ii) Kutangulia masomoni au katika elimu na hatimaye kushindwa na wengine au kufuzu nyuma ya waliotanguliwa iii) Kuondoka mapema kwenda safari na h a t i m a y e k u w a s i l i n y u m a y a uliowatangulia kwa sababu ya changamoto

fulani iv) Anaweza kutangulia lakini akakosa kufika / kukamilisha mkondo

*Si lazima mtahiniwa aandike maelezo ya maana na matumizi

4. Hii ni insha ya mdokezo mtahiniwa akamilishe insha yake kwa maneno aliyopewa. Asipomaliza kwa mdokezo, atakuwa amejitungia swali. Atuzwe

alama 03 kisa kioane na mdokezo kisa kitungwe na kusimuliwa katika nafsi ya kwanza, umoja, katika wakati uliopita / urejeshi unaweza kutumika kisa kidhihirishe hali ambayo haikutarajiwa na iwe hali yenye ugumu kwa mhusika kukabiliana nayo

Mifano va visa i) Matokeo ya mtihani yasiyoridhisha ii) Kukabiliwa na kesi au mashtaka i i i )K u g u n d u l i w a k u w a n a m i m b a isiyotakikana iv) Kugunduliwa hospitalini kuwa na ugonjwa wa kufisha kama vile saratani, ukimwi n.k.* M w o n g o z o h u u w a m a j i b u yaliyopendekezwa utumike pamoja na wa mwongozo wa kudumu wa (KNEC) 2011.

Top grade predictor publishers Page | 142

Page 143: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KERICHO- 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. UFAHAMUa) Lugha ya sheng / sheng katika jamii / matumizi ya sheng / athari ya sheng katika elimu alama 1b) i) Kilugha cha sheng kiliibuka kutokana na

wahuni na wakora jijini Nairobi ambao lengo lao lilikuwa kuwasiliana kwa siri ii) Kilugha cha Sheng kiiichipuka kutokana na vijana ambao walizua lugha ya kuwasiliana baada ya uhuru kwa sababu walikichukia Kiswahiii ambacho walikiona kama lugha ya uboi zozote 2 x 1 = 2

c) i) Maongezi / mazungumzo / mawasiliano ii) Katika maandishi ya vitabu iii) Kutangaza mawasiliano katika vyombo vya habari iv) Kueneza matangazo ya bidhaa na huduma za kibiashara ili kuliflkia soko kubwa la vijana

4 x 1 = 4 d) Matumizi ya Sheng yamelaumiwa na walimu kwa kushuka kwa matokeo ya lugha ya Kiswahiii na Kiingereza miongoni wa

wanafunzi katika mitihani kutozingatia mafunzo ya kanuni za sarufi na

tahajia /' maendelezo 2 x 1 = 2e) Ili kukipa kilugha cha Sheng nafasi kama

kitambulishi cha vijana 1 x 2 = 2f)

i) TeknohamaTeknolojia ya habari na mawasiliano

ii) Kudorora Kuenda chini, kurudi nyuma

iii) Msimbo Lugha ya kupanga katika kundi la watu

iv) Kuhujumiwa Kuvurugwa, kuingiliwa 4 x 1 = 4

2. MUHTASARIMatavarisho

ubinafsishaji wa mashirika ya umma ni nguzo kuu ulimwenguni hupunguza kushiriki kwa serikali kuendesha mashirika na huhimiza kupanuka kwa sekta ya kibinafsi serikali inaweza kuuza hisa kwenye mashirika na kachochea ugavi wa zabuni hugatua nafasi ya serikali katika utendakazi na uendeshaji wa mashirika

Nakala safi Ubinafsishaji wa mashirika ya umma hupunguza kushiriki kwa serikali kuendesha mashirika na huhimiza kupanuka kwa sekta ya kibinafsi. Serikali inaweza kuuza hisia kwenye mashirika na kuchochea ugavi wa zabuni hivyo kugatua nafasi ya serikali katika utendakazi na uendeshaji wa mashirika (maneno 40)

Matavarisho uuzaji wa mashirika huletea serikali mapato huzuia kuingiliwa na wanasiasa huimarisha utamadui mpya wa mashirika na kuvunja uhodhi huweza kuatika ujasiriamali huyarunusu mashirika ya kimataifa kuwa mashirika muhimu na kuongeza umaskini ubinafsishaji wa elimu na afya huathiri maskini si ufanisi wa utendakazi usipokuwepo, hisa zinazouzwa hushushwa au hupadishwa

Nakala safi Uuzaji wa mashirika huletea serikali mapato, huzuia kuingiliwa na wanasiasa, huimarisha utamaduni mya na mashirika na kuvunja uhodhia. Aidha ubinafsishaji huweza kuatika ujasiriamali, kuyaruhusu mashirika ya kimataifa kiiwa muhimu na kuongeza umaskini. Ubinafsishaji wa elimu na afya huathiri maskini. Ubinafsishaji si ufanisi wa utendakazi kwani hisa huweza kushushwa au kupadishwa. (maneno 50) A = 5b = 8

Top grade predictor publishers Page | 143

Page 144: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Ut = 215

Kuadhibu makosa: Sarufi - 6 (alama 3) Hijai - 6 (alama 3)

3. MATUMIZI YA LUGHAa) i) Ni mlio unaotokana na mgusano wa ala za

kutamkia l x l = alama 1 ii) - hutamkwa sehemu ya mbele ya kinywa ii) ulirni huwa umeinuliwa juuiii) midomo huwa imetandazwa

b) Ha-m-ku-wa-p-eazozote 2 x1/2 — alama 1 6 x 1 / 2 - alama 3

c) Kishazi huru ni sehemu ya sentensi inayotoa taarifa kamili ilhali kishazi tegemezi hakitoi taarifa kamili na hutegemea kishazihuru

Mtoto alivuja damu nvingi - huru Alipojikata kidole - tegemezi

(ufafanuzi 2x1 - alama 2,mifano alama 2 x 1/2 = 1)Jumla alama 3

d) Kistadi - namna mfanano Kwa maringo - namna hali 2x1 - alama 2e) U - Ny (uta - nyuta)

U - mb (ubawa - mbawa)U - nd (ulimi - ndimi)

U - kudondosha (ukuta - kuta) w - ny (waraka - nyaraka) zozote 3 x 1 ~ alama 3f) i) Ili 1

ii) Bora kadiria sentensi za mwanafunzi 2x1= alama 2

g) Amani aliwalilia√√ marafiki zake √√kuwa / kwamba majambazi walimpiga √√na kumpora pesa zake zote na hali yake √√ ilikuwa mbaya wakati huo √√ 6 x ½ - alama 3

h) Usipoona vyaelea havijaundwa 1x2 = alama 2i) S - Si + U + √ ½

Sj -KN + KT √ ½ KN —> N N - wakaazi KT - T+ KN √ ½ -T+N+V + NT - waligawiwa KN - N + V + N ✓1/2

N - vyandarua V - vya N - mbu U lakini ✓1/2

S2 ^ KN + KT ✓1/2

KN -N N - O ✓1/2

KT - Ts + T + N ^'/2 Ts - wanavitumia T - kujengea N - nyua

8 x 1/2 = alama 4 j) Ngamia wote walikatiwa majani ya mti ni na wakulima 1x2 = alama 2k) kuonyesha anwani

kutilia mkazo neno au fungu la maneno 2 x 1 - alama 2j) Jino - ji - ngeli - li-ya umoja Jitu - ji - ukubwa

Kujilia - ji - kurejelea kiima / mtendaji Mkimbiaji - ji - mazoea 4 x 1/2 = alama 2m) Kambarau iundwayo vyema haitatizi 1x2 = alama 2n) Wajihi - sura / uso

Laazizi - azizi / mpenzi / mwandan;muhibu 2x1 = alama 2

o) Enda kombo / kuharibika 1x2 = alama 2p) ule - kiwakilishi kionyeshi / kiashiria wangu - ‖ kimilikishi ni - ‖ nafsi

o - ‖ kirejeshiu - ‖ cha ngeii

Top grade predictor publishers Page | 144

Page 145: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

zozote 4 x V2 = alama 2 q) Sufiiria iliyoepuliwa mekoni ni safi 2x1- alama 2

ISIMUJAMII (ALAMA 10) a) Ni uamuzi wa kuchagua lugha moja au mojawapo wa lahaja za lugha na kuifanyia raarekebisho ya kimatamshi, kisarufi,

kimaana na kimaandishi ili iweze kutumika katika shughuli rasmi Au Kuweka kanuni zinazotawala jinsi maneno yanavyoendelezwa, sarufi na msamiati 1x2 = alama 2

b) i) Kuwepo kwa lahaja nyingi za Kiswahiii ii) hati iofauti zilitumiwa kuandika Kiswahiii iii) Shughuli za kidini ziliendeshwa na madhehebu mbalimbali iv) Haja za kusawazisha maandishi ya kitaalamu iv) Haja ya kuwa na lugha moja ya mawasiliano na elimu zozote 4x2 = alama2

Top grade predictor publishers Page | 145

Page 146: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KERICHO- 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Shairi

a) Shairi huru / vue 1x1 ~alama 1 Thibitisho hakuna urari wa vina vipande vinatofautiana idadi ya mishororo inatofautiana mizani haijitoshelezib)

i) Atakuwa anajishushahaliii) Hapendi kuchekea mawi / mabayaiii) Hapendi dhihakaiv) Hapendi kustawisha mwovuv) Hapendi kucheka mnyonge amenyimwa hakivi) Anaona haya kucheka

c) Una mishororo saba

zozote 2 x 1 = alama 2

zozote 3x1 = alama 3

Mishororo mitano ya kwanza imegawika katika vipande viwili huku miwili ya mwisho ina kipande kimoja Vina vya kati ni -ke- na nje ni -ha- isipokuwa miwili ya mwisho ambayo ni -ka- Haina urari wa mizani 4 x 1 = alama 4d) Neni - mtetezi wa wanyonge

Nenewa - wanyonge ! wadhulumiwa / walionyimwa haki zao 2x1= alama 2e) Toni - malalamishi / masikitiko / huzuni 1xl= alama 1f)

i) Tabdila - najuwa - nujuaii) Inkisari - kitenda - nikitenda

ali - aliye kwayo - kwa hiyo

iii) Kuboronga sarufi - sipendi mimi kucheka mimi sipendi kucheka zozote 2x1 = alama 2

g) Mshairi anasema kwamba hapendezwi maskini akiteswa na mayatima kunyanyaswa naye mnyonge akinyonywa. Hataikiwa anayewanyanyasa ana nguvu anajua kuwa hili halitamtikisa 1x3 = alama 3

h) Mawi - maovu / mabayaNyemi - furuha 2x1 = alama 2

2. a) Msemaji - mwandishiKuhusu - mtemi Nasibu Bora anayewatazama Amani na Bi Zuhura wakiwa chumbani mwake Amani alikuwa ameitwa na Bi Zuhura kwenda kuangalia kilichokuwa mvunguni mwa kitanda ndipo Mtemi akawakuta Ndani 4x4 = alama 4

b) Sifa za mtemi (mreielewa) i) Sheratiii) Katili iii) Laghai iv) fisadi v) Mwenye tamaa vi) Mwenye mapuuza vii) Mdanganyifu zozote 3x2= alama 6

c) Ni walezi - Imani / Dora / Bi Zulwa Wasamehevu - Bi Zuhura / Imani Wavumilivu - Bi Zuhura / Imani / Dora Wakarimu - Bi Zuhura Wasema kweli - Dora Watetezi wa haki - Lowela / Imani /Bi Zuhura / Dora Wapenda anasa / wazinzi - Lowela Wavivu -Dora Matumaini - Imani

Top grade predictor publishers Page | 146

Page 147: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Wanamapinduzi - Imani kushirikiana na Amani zozote 5x2 = alama 10

3. Kutafuta ajira DJ - kuwaelekeza Imani / Amani kwa mtemi Nasaba na mwalimu Majisifu Matibabu - DJ alitafuta matibabu ya mitishamba Kuvunja miiko - Imani / Amani akakunywa maji ya into Kiberenge Kupinga uongozi dhalimu - Amani / Imani / madhubuti Kutetea haki - Lowela / Imani / Amani / madhubuti Kuondoa ufisadi - madhubuti Kusaidia wanyonge - kuwagawia wanyonge shamba (Amani / madhubuti) Kufanya kazi yoyote ile - Imani / DJ / Amani Kukuza talanta - chwechwe makwachwe Walezi bora - Imani / Amani /‘ dadake Fao Upeielezi - Amani na kisa cha mauaji / mswanda Elimu - Amani / madhubuti kuwaelimisha wanajamii kuhusu uongozi mbaya na umuhimu wa amani

zozote 1 0 x 2 = alama 204. Mstahiki Meyaa)

i) Meya - msemajiii) Biii - msemewaiii) Mahali - ofisini mwa Meyaiv) Bili anazua mpango wa kusitisha kandarusi ili Meya alazimishwe kumlipa mwanakandarasi fidia Meya atakapofaulu

asimsahau Bili 4x1= alama 4b) Mbinu za kufasihi

i) Maswali balagha - nilikusahau lini ?ii) Msemo / nahau - kukata mkono

2 x 1 = alama 2c) Hulka ya Bili Mwenye tamaa - ushauri kuhusu kandarasi / fimbo ya Meya Mwenye ubinafsi - alijitakia faida Msaliti - anakataa kushika simu ya Meya Mnafiki - alijifanya rafikiye Meya wa dhati Mshauri mbaya - anamshauri Meya vibaya k.m. kandarusi / fimbo / mhubiri 4x1- alama 4d) Jinsi viongozi wa Cheneo wanavvoukata mkono uiiowalisha Meya kuchelewesha mishahara Kulipa mishahara duni Kukosa kutoa huduma za afya Wanacheneo kukosa chakula ilhali Meya anakula unono Kutozwa kodi ilhali Meya na madiwani hawalipi Vijana kukosa ajira - ahadi za uongo Kufanya kazi katika mazingira magumu Wanaogoma kutawanywa kwa risasi Waridi kutohudumia wagonjwa licha ya kulipia matibabu zozote 10 x 1 = alama 10

5. i) Ufisadiii) Njaa iii) Ukosefu wa dawa hospitalini iv) Ukosefu wa kazi v) Uchafuzi wa mazingira vi) Ukosefu wa maji safi vii) Elimu duni viii) Utabaka ix) Ubadhirifu x) Udhalimu / ukatili xi) Unyakuzi wa ardhixii) Vitisho xiii) Matumizi mabaya ya vyombo vya dola xiv) Propaganda xv) Mapuuza xvi) Unafiki

Top grade predictor publishers Page | 147

Page 148: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

xvii) Ubarakala / ukaragosi

6. Damu Nyeusia) msemaji - Bi Margret (mwalimu mkuu wa A.T) wasemewa - wazazi wa Sela mahali - ofisini mwake (mwalimu mkuu) walifika kujua sababu ya m w a l i m u mkuu kuwaita shuleni

b)

zozote 10 x 2 = alama 20

4x1 = alama 4

sista alichunguza wanafunzi, matokeo yalionyesha Sela kuwa na ujauzito siku ya tamasha za muziki Sela alianza urafiki wake na masazu na kuwa na mikutano ya faragha wakati wa likizo uliopelekea

Sela kupata ujauzito 2x2 = alama 4c) Changamoto za iinsia ya kike Kuhadaiwa kimapenzi k.m. Sela Kutwika mzigo wa malezi k.v. mama Sela Kuathirika kimasomo k.v. Sela na wasichana wenzake Kufukuzwa bila sababu mahsusi k.v. mama Sela Kulaumiwa bila makosa k.v. mama Sela Kuathirika kisaikolojia k.v. Sela, baada ya Masazu kukataa mimba kwa mara ya kwanza (kusalitiwa)

zozote 6x2 — alama 12 7. a) i) Ni maneno yanayozuka na kutoweka baada ya kipindi fulani cha wakati 1x2 = alama 2

ii) Dhima ya misimu Huficha siri Kurahisisha mawasiliano Hupamba lugha Hukuza lugha Huficha lugha ya matusi Huunganisha / hujenga uhusiano mwema baina ya watumiaji Huwatambulisha wanaohusika Huhifadhi historia ya lugha kwa kuonyesha mabadiliko ambayo yametokea katika lugha fulani Huburudisha / huchangamsha / hufurahisha za kwanza 4 x 2 - alama 8

b) Changamoto zinazomkali mtafiti nvaniani Changamoto ya mawasiliano Miiko katika baadhi ya jamii Ukosefu wa wafadhili / upungufu wa fedha Uhaba / bei ghali ya vifaa Hali mbaya ya anga / mafuriko / mvua / ukame Mawanda mapanda ya utafiti kijiografia / kitaaluma Magonjwa na ajali Ukosefu wa ushirikiano katika jamii husika Udanganyifu - majibu yasiyo sahihi Wanajamii husika kudai kulipwa au kuhongwa

zozote 5x2 - alama 10

Top grade predictor publishers Page | 148

Page 149: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA LONDIANI- 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. Wewe ni mwenyekiti wa baraza la wanafunzi shuleni mwenu. Mwandikie mwalimu mkuu barua ukimweleza hatua zinazopaswa kuchukuliwa kuimarisha matokeo ya mtihani shuleni mwenu.

2. Ufisadi umechangia pakubwa kuwepo kwa maendeleo duni nchini.Jadili.3. Afadhali kujikwaa kidole kuliko ulimi.4. Andika insha itayomalizikia hivi:-

………………… Jioni hiyo chajio kilinishinda, nikawazia hotuba ya Waziri wa Usalama kuhusu visa vya kudorora kwa usalama na mauaji yaliyokithiri.

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA LONDIANI- 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMUSoma nakala yafuatayo kishaujibu maswali Ulimwengu unapaswa kuzuka na mbinu za Kulitadarukia tatizo la umaskini ambalo una kwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini unaoukabili mataifa yanayoendelea. Unayatosa kwenye dhiki kubwa huku mataifa ya kimagharibi yakipiga hatua kubwa kimaendeleo. Ufa uliopo baina ya mataifa yanayoendelea na yaloyaliyoendelea kama vile Marekani, nchi za Ulaya na Ujapani unapanuka kila uchao.

Vyanzo vya umaskini huu ni anuwai ; mathalan, ufisadi, uongozi mbaya, turathi za kikoloni, uchumi kuegemea mvua isiyotabirika,idadi ya watu inayoupiku uwezo wa uchumi wa taifa linalo husika na ukosefu wa nyenzo na amali za kuwakwamua raia kutoka lindi la umaskini. Ukosefu na adimu za ajira huchangia pia katika tatizo hili.

Jamii ya xxxxxxx mpaswa kuelewa kuwa umaskini unaoathiri nchi fulani unaathari pana sana.Uvunigu unaotokana na umaskini unaweza kuwa msingi ambako matendo ya kihalifu ili kujinasua kutoka dhiki ile. Hii inaweza kuwa mbegu ya kuatika maovu kama ugaidi na uhalifu wa kila aina.

Mataifa ya magharibi yanapaswa kuyaburai madeni mataifa yanayoendelea kama njia mojawapo ya kupambana na umaskini. Asilimia kubwa ya pato la kitaifa katika mataifa mengi hutumika kuyalipa madeni hayo. Katika hali hii inakuwamuhali kwa mataifa hayo kujikwamua kutokana na pingu za umaskini. Njia nyingine ni kustahabu kutoa ruzuku za kimaendeleo badala ya mikopo kwa nchi zinazoendelea.

Kwa upande wake, mataifa yanayoendelea yanapaswa kuibuka na mikakati bora yakupambana na umaskini. Ni muhimu pawepo na sera zinazotambua ukweli kuwa asilimia kubwa ya raia wa mataifa hayo ni maskini. Pana dharura ya kuzalisha nafasi za ajira, kupanua viwanda hususan vinavyohusiana na zaraa ambayo ni tegemeo kuu la mataifa mengi, kuendeleza elimu na kuimarisha miundo msingi. Ipo haja pia ya mataifa haya kuhakikisha kuwa mfumo wa soko huru unaotawala ulimwengu sasa hauishii kuwa chanzo cha kufa kwa viwanda asilia na kuendeleza umasikini zaidi. Kwa ufupi, maamuzi yote ya sera za kiuchumi lazima ya zingatie uhalisi wa maisha ya raia wa mataifa hayo.

a) Kwa nini umaskini umetamalaki katika mataifa yanayoendelea? (alama4)b) Madeni yana athari gani kwa mataifa yanayoendelea? (alama2)c) Ni mapendekezo yapi ambayo mwandishi anatoa kwa mataifa machanga kuhusu utatuzi wa tatizo la umaskini?

(alama4)d) Mfumo wa soko huru una mathara gani kwa mataifa machanga? (alama2)e) Ukirejea kifungu, eleza maana ya: (alama3)

i) Kulitadarukiaii) Kuatikaiii) Kuyaburai madeni

2. MUHTASARI (ALAMA 15)Soma taarifa ifuatavo kisha uiibu maswaliKiswahili ni lugha ambayo inakua na kuenea kila uchao. Imeenea kwa kasi hivi kwamba waliokuwa wameitwezawamelazimika kujifunza, kuizungumza na hata kuitumia katika maandishi

Top grade predictor publishers Page | 149

Page 150: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Lugha hii imetambuliwa kama mojawapo ya lugha za mawasiliano katika muungano wa Afrika. Magwiji wa Kiswahili wamechaguliwa kuunda msamiati mwafaka kutegemea mabadiliko ulimwenguni na kuingiza katika matumizi kupitia tarakilishi.

Mpango huu utakapo faulu, mtu ataweza kutumia tarakilishi akiwasiliana kwa Kiswahili. Juhudi hizi heri zizidi kupongezwa na nyingine kuimarishwa

Taasisi ya uchunguzi wa Kiswahili barani ni mojawapo wa hatua za kufanikisha juhudi hizi. Taasisi kama hiyo itatafiti historia ya lugha, mabadiliko yake na maenezi, msamiati wake na kuleta usawa wa mazungumzo kwa Kiswahili miongoni mwa mambo mengine.

Kuweka lugha hii katika maandishi ni jambo litakalochangia kuimarisha lugha ya Kiswahili. Vitabu ,magazeti, na majarida yatakayolenga kiwango cha wasomaji yaandikwe na bei yake isiwe ghali mno ili wengi waweze kugharamia. Tanzu zote za lugha zizingatiwe.

Lugha hii ifunzwe na kutahiniwa katika daraja zote za elimu. Lifanyapo hili, bila shaka lugha ya Kiswahili itaimarika.Uajiri wa wafanyikazi ukitambua ujuzi katika lugha hii hadhi yake itaimarika.

Tafsiri ya kazi zilizoandikwa katika lugha mbalimbali zikifanywa katika Kiswahili, lugha hii itakua na kukitamizizi kwingi ulimwenguni.Watu wengi watapata hamu ya kusoma kazi asilia na ile ya tafsiri yake. Redio na magazeti ni vyombo muhimu katika kuwasiliana na kundi kubwa la watu kote duniani. Vyombo hivi vya mawasiliano kwa umma vikihimiza matumizi ya Kiswahili, bila shaka mchango mkubwa utaonekana katika kustawisha lugha hii. Vipindi maalumu matangazo na burudani vizingatie matumizi ya Kiswahili.

Mashindano kati ya shule na shule,nchi na nchi ya kianzishwa na kuzingatiwa yanaweza kuimarisha Kiswahili pakubwa. Mashairi, mijadala, matokeo ya utafiti fulani, nyimbo, ngano na hadithi za kufunza umma ni njia za kuwezesha kufanyiwa mashindano kama hayo.

Mikakati hii na mingine ikizingatiwa itakuwa mbolea nzuri ya kukuza lugha ya Kiswahili.

Maswali i) Bila kubadilisha maana iliyokusudiwa ,fupisha aya mbili za mwanzo. (maneno 35 - 40) (alama6 ; alama 1 ya utiriko) ii) Andika kwa muhtasari juhudi zinazofaa katika uimarishaji wa lugha ya Kiswahili kwa mujibu wa Makala haya. (maneno

70 -80) (alama 9; alama 2 ya utiririko)

3. MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 40)a. (i) Andika maneno mawili yaliyo na muundo KKI (alama 2)

(ii) Kiimbo ni nini? (alama 1)(iii) Taja matumizi mawili ya Kiimbo (alama 2)

b. Tunga sentensi moja ukitumia kinyume cha neno ‗chopeka‘ (alama 2)c. Yakinisha sentensi hii katika nafsi ya pili umoja. (alama1)d. (i) Ngeli ni nini? (alama 1)

(ii) Maneno haya yamo katika ngeli gani? (alama 2)i) Fagio …………….ii) Nyigu ………………..

e. Tunga sentensi moja kuonyesha maana mbili za neno ‗malaika‘f. Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli zilizo kwenye mabano (alama 3)

i) twaa (kutendeka)ii) Kosa (Kutendesha)iii) Cha (Kutendwa)

g. Kanusha sentensi hiiNikimwona mwalimu wangu nitamjulisha habari hizo.

h. Tunga sentensi yenye kiingizi na kihusishi cha mahali (alama 2)i. Andika kwa wastani umoja (alama 1)

Malima marefu yapendeza mno.j. Unda nomino kutokana na vitenzi vifuatayo: (alama 2)

i) Hijiii) Sifu

k. Eleza matumizi mawili ya mshazari (alama 2)l. Tunga sentensi iliyo na shamirisho kipozi, kitondo na kitumizi (alama 3)m. Tenganishaviambishi katika neno ‗Walioteua' (alama 1)n. Pambanua kimistari sentensi hii. (alama 2)

Letu lilopaliliwa limetuletea mazao mengi sana.o. Eleza maana ya semi zifuatazo (alama 2)

Uma kidole

Top grade predictor publishers Page | 150

Page 151: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Tegea Kazi p. Tunga sentensi moja kuonyesha matumizi mawili ya kiambishi‗ji‘ (alama 2)q. Andika katika usemi taarifa. (alama 2)

― Sitakwenda shuleni leo ila nitakwenda kesho‖, Nikamwambia.r. Tumia kivumishi kionyeshi kisisitizi cha karibu pamoja na nomino katika ngeli ya U-I

kutunga sentensi (alama2)s. Sahihisha sentensi hii. (alama 1)

Ningekuwa na pesa ningalinunua simu nzuri.t. Geuza sentensi ifutayo kwa kutumia ‗O‘ rejeshi tamati.

kitabu ambacho kiliraruka si kile ambacho unakitaka (alama 1)

4. ISIMUJAMIIa. Eleza maana ya Isimujamii (alama 1)b. Fafanua maana ya dhana zifuatazo (alama 3)

i) Lughaii) lafudhiiii) lahaja

c. Fafanua sababu yoyote inayosababisha kosa katika matumizi ya lugha ya Kiswahili. (alama 2)d. Eleza mambo mawili yaliyochangia kuenea kwa lugha ya Kiswahili nchini. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 151

Page 152: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA LONDIANI- 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SEHEMU YA A: TAMTHILIA Timothy Arege, Mstahiki Meya

1. ―...Sote ni wafanyikazi wa baraza. Kile linachochuma Baraza tunagawana sote.‖(i) Eleza muktadha wa dondoo hili. (al.4)(ii) Fafanua sifa tano za msemaji (al. 10)(iii) Tunagawana sote ni kinyume ejia hali halisi. Thibitisha. (al.6)

SEHEMU YA B: RIWAYAKen Walibora- KadagaaKimemwozea.Jibu swali la 2 au la 3

2. ―Tembo itakuua ndugu yangu. Punguza ulevi bwana.Siku hizi naona aibu kukuita ndugu yangu.‖(a) Fafanua muktadha wa dondoo hili. (al.4)(b) Wahusika hawa wawili ni kama shilingi kwa ya pili.Thibitisha. (al.16)

3. Eleza namna mwandishi wa kidagaa Kimemwozea alivyofaulu kuzitumia fani zifuatazo kwa kutolea mifano mitano..(i) Barua (al 10)(ii) Majazi (al 10)

SEHEMU YA C: USHAIRI 4. SHAIRI A

Wewe, Utazame mlolongo wa Waja unaoshika njia likiwapo; Unaofuata pembe za barabara zisokuwapo, Kwenda kuisaka auni, Kuitafuta kazi inayowachenga.

Itazame migongo ya wachapa kazi, Watokwao na jasho kapakapana, Wanaotafunwa uhai na jua liso huruma: Wakiinua vyuma na magunia, Wakiinua makontena, Wakichubuka mashambani, Wakiumia viwandani, Wakiteseka makazini, Halafu

Uangalie ule ujira wa kijungu meko, Mshahara uso kifu haja,

Nguo zisizositiri miili dhaifu, Kilio chao kisichokuwa na machozi, Na Ujiangalie

Mwili wako unaomereta ujana wa ufanisi, Gari lako la kifahari lililozibwa vioo, Jumba lako la kujishasha kama uwanja mdogo, Malaki yapesa unayomiliki, Ujiitapo mwajiri kwa raha, hunusi usaha wa hali yao?

SHAIRI B Dunia kitendawili, hakuna ateguaye; Dunia kama tapeli, hadaa nyingi ujuye; Dunia mwenye akili, inampiku na yeye; Dunia ina mizungu, tena yapika majungu.

Dunia na yake hali, hupumbaza hatimaye; Dunia ina akili, binadamu sichezeye;

Top grade predictor publishers Page | 152

Page 153: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Dunia uwe na mali, huiwezi dhorubaye; Dunia ina mizungu, tena yapika majungu.

Dunia wenye muali, ambao waichezeye; Dunia kipigo kali, huwakumba hatimaye; Dunia wakaja kuli, ―menipata nini miye?‖ Dunia ina mizungu, tena yapika majungu

Maswali (a) Je, mashairi haya mawili ni ya aina gani? Toa sababu. (alama2)(b) Taja dhamira kuu katika kila shairi. (alama 2)(c) Kwa kutoa hoja zozote tatu linganua mashairi haya kiumbo. (alama 3)(d) Taja na uelezee nafsi-pokezi katika mashairi haya mawili. (alama 2)(e) Kwa kutolea mfano mmoja mmoja eleza matumizi ya mbinu hizi (alama 2)

(i) Kweli -kinzani(ii) Mishata

(f) Tambua idhini ya kishairi iliyo tumika katika neno ―Waichezeye‖Na uelezee dhima yake katika utoshelezi wa kian ldhi. (alama 1)

(g) Dondoa mfano mmoja mmoja wa mbinu ya tashihisi kutoka kwenye Mashairi yote mawili. (alama 2)(h) Andika ubeti wa tatu katika shairi la A kwa lugha nathari. (alama 4)(i) Eleza maana ya msamiati huu kama ulivyotu? nika katika vifungu hivi. (alama 2)

(i) Inampiku. (ii) Makontena.

SEHEMU YA D: HADITHI FUPI Damu Nyeusi Na Hadithi Nyingine-Ken Wal'ibora Na S.Ahmed Jibu swali 5 au 6

5. ―Hivi vitu lazima viwepo,au kama havipo ni lazima view ni vipengee mahususi vya uhalisia wamaisha yetu:(a) Liweke dondoo katika muktadha wake faafu. (alama4)(b) Fafanua sifa zozote nne za msemaji wa maneno haya. (alama4)(c) Eleza kwa tafsili matatizo yoyote mawili yanayoikumba jamii ya hadithi mlimotolewa nukuu hii (alama4)(d) ―Mungu akikupa kilema, hukupa na mwendowe‖

Thibitisha ukweli wa kauli hii kwa kurejelea hadithi Mzizi na Matawi. (alama8)6. Vijana wana kumbwa na changamoto kadhaa katika jamii.Jadili baadhi ya changamoto

Hizi kwa kurejelea hadithi zozote tano kutoka diwani ya Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine. (Alama20)

SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZIJibu swali la 7 au 8

7. a) Fafanua maana ya ―Ngomezi‖ (Alama 2.)b) Eleza majukumu yoyote matano ya ngomezi. (Alama 10)c) Jadili sifa nne za vivugo. (Alama8)

8. a) Fafanua njia sita jinsi jamii ya leo inavyoendeleza fasihi simulizi. (al.6)b) Eleza umuhimu wa kufundisha mbinu za ukusanyaji na uhifadhi wa fasihi simulizi katika shule za upili.(.al.4)c) Eleza sifa tano za tendi. (al.5)d) Bainisha dhima tano za majigambo (al.5)

Top grade predictor publishers Page | 153

Page 154: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA LONDIANI- 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. SWAU LA KWANZA Hii ni barua rasmi Iwe na anwani mbi'i ya mwandishi na mlengwa /mpokezi. Iwe na tarehe Iwe na mtajo -kwa Bw./ Bi, kwa Mwalimu Mkuu. iwe na lengo. KUH/ MINT. HATUA ZiNAZOPASWA KUCHUKULIWA III KUIMARiSHA MATOKEO YA Mil

HAM! SHULENI MWETU.

Mwili uzingatie hoja zifuatazo. i) Kuimarisha nidhamuii) Kununua vifaa vya kimsingi k.v vitabuiii) Kuhimiza matumizi ya Kiswahili na Kiingereza shuleniiv) Kuhimiza matumizi yafaayo ya wakati v) Kuhimiza vipindi vyote vya masomo kuhudhuriwa, vi) Kununua makala ya kudurusu vii) Kuhimiza wazazi kuwajibikia majukumu yao viii) Kuhimiza uwajibikaji wa waiimu na wanafunzi ix) Kutoa nasaha na ushauri katika masomo mbalimbali na umuhimu wa elimu kwa jumia. x) Kuimarisha maabara na maktaba

Hoja za mtahlniwa zikadiriwe ipasavyoIwe na tamati - Mwenyekiti aonyeshe matumaini katika barua yake iwe na tamati - Mwenyekiti aweke sahihi, jina na wadhifa.

KUTUZA Asiyeaandika barua rasmi, atakuwa amejitungia swali Akiandika barua ya kirafiki, atuzwe kisha aondoiewe maki nne sura (-4S) Anayeandika insha nyingine isiyo barua atakuwa amejitungia swali achukuhwe amepotoka kimaudhui na atuzwe alama 3.

2. SWAL1 LA FillUfisadi umechangia pakubwa kuwepo kwa maendeleo duni nchini. Jadili Hili ni swali la kujadili. Mtahiniwa anahitajika ashughulikie pande zots mbili za mada.

Mtahinimwa aweze kukubaliana na mada kuwa, kwa kiwango kikubwa maendeleo duni yamechangiwa na ufisadi na kuwepo kwa ufisadi AU aonyeshe kuwa si kwa kiwango kikubwa vile kwani kuna sababu nyingine zinazoehangia maendeleo duni nchini.

…………. vile, pande zote za mada zishughulikiwe. Haijailishi kama upande mmoja utakuwa nfigi kuliko upandemwingine.

Ikiwa pande zote mbili zina idadi sawa ya hoja, mtahiniwa atoe msimamo wake.

Baadhi ya hoja ni: Kuunga mkono

Kwa sababu ya hongo, kiasi fulani cha pesa za miradi hutolewa kama Kongo. Hali hupunguza kiasi cha pesa za kuteleleza mradi husika.

Kwa sababu ya ufisadi, utekelezaji wa miradi buwa wa kiwango cha chini. Wanaofaa kuhakikisha kuwa kuna viwango vya juu vya utekelezaji wa miradi huhongwa na hivyo kuidhinisha kazi duni. Kandarasi za miradi ya maendeleo hutolewa kwa wanakandarasi fisadi ambao pengine hawana ujuzi katika kufanikinisha

mradi husika au ambao watatumia vifaa duni ili faida yao iwe kubwa. Wafadhili hukataa kuipa nchi pesa za kufadhili miradi fulani kwa hofu ya pesa hizo kutumika vibaya, hivyo basi miradi

mingi haipati pesa za kutosha. Kuna ubadhirifu wa pesa za miradi na wanaosimamia hazina za maendeleo hivyo kuinyima miradi ya maendeleo pesa

zinazohitajika.

Kupinga Hakuna pesa za kutosha nchini za kufadhili miradi mingi ya maendeleo. Utekelezaji rnbaya wa miradi waweza kutokana na ukosefu wa vifaa bora nchini kwa hivyo vinavyotumiwa vikawa na

matokeo duni.

Top grade predictor publishers Page | 154

Page 155: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Kwa sababu ya siasa, miradi ya maendeleo ikatekeiezwa visivyo hasa katika sehemu ambazo ni ngome za upinzani. Wakati mwingine pesa za kutekeleza miradi hutumika kununulia vitu kama magari, kulipa mishahara, kulipa marupurupu

n.k badala ya kugharamia miradi.

TANBIHIS Zingatia hcja zosote nyingine mwafaka.

3. SWALI LA 3Afadhaii kujikwaa kidole kuiiko ulimi.

Hii ni insha ya methali. Si sharti mtahiniwa aeleze maana ya juu na ya ndani ya methali. Akifanya hivyo si kosa. Mtahiniwa abuni kisa kinachoeleza maana na matumizi ya methali yenyewe. Aibushe kile kisa kinaganaga ili akadiriwe katika kiwango cha juu. Kisa kileoge maana ifuatayo ya methali:

Afadhaii mtu kukunguwaa au kuteleza kwa mguu kuiiko kuteieza kwa ulimi au kusema lisilostahih. Mtu anapojikwaa kidole anaweza kujizoazoa na kuamka tena lakini haivvezekani mtu kulifuta neno ovu analolisema mtu. Athari ya neno kama hilo ni baya mno,

MUHIMU: Tunapaswa kutahadhari katika yote tusemayo. Tusitamke yasiyofaa. Tuwe na busara na uangalifu tunapozungumza tusije kufanya kosa katika usemi wetu. Ni muhali kabisa kurekebisha neno baya linapotutoka kinywani.

SWALI LA NNE Insha ya mdokezo.

Ni sharti mtahiniwa amalizie kwa yale maneno aliyopatiwa ya kimalizio. Mtahiniwa aandike hotuba ya Waziri wa Usalama iliyogusia kudorora kwa usalama nchini, na mauaji mengi

yanayotekelezwa. Hotuba ile ilenge Waziri kuangazia sababu za kudorora kwa usalama kama:- Uzukaji wa makundi haramu. Mavamizi ya nchi jirani. Dawa za kulevya. Mizozo ya kidini. Ukosefu wa ajira. Umaskini.

Azingatie matokeo ya kudorora kwa usalama. Mauaji. Kukosa utulivu. Chuki baina ya makundi. Majeruhi. Uyatima. Hatua za serikali kuimarisha amani. Vikundi vya usalama -- nyumba kumi. Kubuni nafasi za kazi. Kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa amani. Walinda usalama kuwa chonjo.

Top grade predictor publishers Page | 155

Page 156: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA LONDIANI- 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. SWALI LA KWANZA(a)

Ufisadi Uongozi mbaya Turatbi za kikoloni Uchumi unauegamizwa kwenye kilimo Idadi ya watu inayopiku uwezo wa uchumi Okosefu wa amani kukwamua raia kuto lindi la umaskini Ukosefu wa elimu na nafasi za ajira Madeni za kigeni

(b) Kudidimiza maendeieoUmaskini - kuzidishaHusababisha uhalifu

(c) 1) Kuwa na sera bora zinazotambua raia wengi wa mataifa hayo ni Maskini2) Kizalilisha nafasi za ajira (kazi)3) Kupanua viwaada hasa vinavyohisiana na kilimo4) Kuendeleza elimu5) Kuimarisha miuondo msingi6) Kuchunga mfumo wa soko huru kuwa viwanda asiliha kuzidisha Umaskini

(d) Kuua viwanda asiliaKuendeleza umaskmi

(e) i) Kulikabili nalo, kulitatua, kulishughulikia, kulitanzua kupambana, Nalo, kuiingazia, komeshaii) Kuzua, kupanda, kukuza, kuanzisha, kuoteshaiii) Kuondolea, kusaheha, kuyafeleli

2. MUHTASARI (Alama 15)(a) Kiswahiii kimekua na kuenea kwa kasi cha kulazimisha walioitweza kujifunza, kuzungumza na kuandikia. Kiswahiii kimetambuiiwa kama lugha ya mawasiliano katika muungano wa Afrska. Magwiji wa Kiswahiii wamechaguliwa kuandaa msamiati mwafaka kutegemea mabadiliko ulimwenguni na kuingiza

katika matumizi kupitia tarakiiishi. 3x1=3 (Tuza moja ya utiririko kama zimetiririshwa kwa aya moja) (b) Juhudi za kuimansha lugha ya Kiswahiii Magwijij ………….. changuliwa kuandaa msamiati mwafaka kutegemea mabadiliko uJirawenguni. Kuingiza msamiati katika matumizi kupitia tarakiiishi -Kubuniwa kwa taasisi ya uchunguzi wa Kiswahiii batani -

Kuweka lugba hii katika maandishi. Tafsiri ya kazi zilizoandikwa katika lugba mbalimbali katika kiswahiii ill kukuza lugha hii.ote za elimu. Lugha hii ifunzwe na kutahiniwa katika daraja z Vyombo vya habari vikitumia kiswahiii bila shaka lugha hii itastawishwa. Mashindano ya lugha kati ya shule na shule au nchi na nchi yakianzishwa yataimarisha kiswahiii pakubwa. Uajiri wa wafanyikazi kwa kutambua ujuzi katika lugha hii hadhi yake itaimarika.(zozote 9x1, taza mbili za utiririko)

3. MATUMIZI YA LUGHA(a) (i) ng‘e,nzi 1x2.

(ii) Ni upandaji na ushushuji wa sauti wakati wa kutamkwa. 1x1(iii) kuonyesha swali; kuonyesha taarifa ;kuonyesha amri; kuonyesha mshangao/hasira 1 x2

(b) atumie chopoa lxl(c) utamsomea kitabu hicho lxl(d) (i) ni mgawanyo iwa nomino katika makundi. 1x1

(ii) U-ZI ;A-WA 1x2(e) atunge akilenga: kiumbe kisichoonekana/motto mchanga/nywele zilizo mkononi au miguuni. 2x1(f) twalika;kosesha; chachiwa 1x3(g) nisipomwona mwalimu wangu sitamjulisha habari hizi. 2x 1(h) mfano; Alai Paka yu juu ya meza, 2x1(i) mlima mrefu unapendeza mno lxl

Top grade predictor publishers Page | 156

Page 157: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(j) hija-hujaji/mhujaji. Sifu-wasifu,sifa 1x2(k) tarehe;kuonyesha au/ama;kounyesha maneno yaliyo na maana sawa; kuandika kumbukumbu

1x2(l) mfano. Kaka amempa dada salamu kwa barua 1x3(m) wa-li-o-teu-a ¼ x4=l(n) letu-W; LilopaIiIiwa-TS;Lilituletea-T: Mazao-N;Mengi-V ,Sana-E kadiria(o) jutia/juia; zembea kazi 1x2(p) kiambishi cha ngeli;kiambishi kirejeshi; kuunda nomino zenye maana ya kazi ya mazoea mf. Mnenaji 1x2.(q) alimwambia kuwa angeenda shuleni siku hiyo ila angeenda siku iliyofuata 2x1(r) mlima uu huu ni wa Kenya. 2x1(s) kitabu kirarukacbo si kile ukitakacho. lxl(t) tumia nge au ngali pekee lxl

4. ISIMUJAMIIa) Matumizi ya lugha katika jamii lxlb) (i). Mfumo wa sauti nasibu ambazo zimebuniwa na jamii Fuiani kwa malengo ya mawasiliano

(ii) ni upekee unaojitokeza baina ya watumiaji wa lugha moja(iii) tofauti za kimatamshi na maumbo pamoja na matumizi katika lugha moja 1x3

c) hali ya mtu-uchovu,ugonjwauwili lugha kuhamisha kwa kanuni za lugha moja hadi nyingine -kutozingatia ngeli athari ya lugha ya mama -kufanya kimakusudi-wanasarakasi 2x1

d) sera za lugha/ufundishajs wa Kiswahiii vyombo vya habari utafiti/vyama vya kushughulikia Kiswahili-CHAKiTA uchapishaji shughuii za kidi/kisiasa/kisanaa/kibiashara 2x2

Top grade predictor publishers Page | 157

Page 158: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA LONDIANI- 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. (a) (i) Msemaji ni Meya

(ii) Msemewa ni Tatu (iii) Wako ofisini ma Meya. (iv) tatu alikuwa ameginga wazo la wao kuiipwa vizuri na kuonyesha tofauti ya usafiri kwa waajiri a a watoto wao na

wafanyakazi wengine./ Zote 4x1 = 4 Meya(b) Ni mwsnye tamaa. Anaidbinisha nvongeza za mishara kwa madiwani iii yeye pia afaidike. Ni mwongo. Anadanganya kuwa wameagiza dawa knmbe hall sivyo. Ni mwenye mapuuza. Anapoambiwa na Siki kuwa kitoto kimemfia Siki tnkononi anasema huyo ni mmoja tu, Cheneo ma

watu wengi. Ni fisadi. Alinyakua viwanja vinane vya umma. Akampa Bili Vinnie. Ni katili anapoambiwa kuhusu kifo cha kitoto hajali asema huyo ni mmoja. Ni mbadhirifu. Anatumia pesa za umma ovyo. Kuagiza mvinyo na divai, kutoka ng‘ambo. Nvongeza za mishahara kiholela

n.k Ni mwenye majisifu. Anajisifia cheo chake nautajiri waka. Ni mwizi. Alishirkiana na Bili. Diwani I, Diwani II kupanga njama ya kuiba na kuuza fimbo ya meya.

Zozote 5x2 = 10(c)

(i) Medi akana mgao si sav/a na (ii) Beka kuongezea wakubwa hula kwanza na wao kupigania makombo. (iii) Tatu anaongezea kuwa wanashindwa kuiipia watoto wao karo na pia wanakosa kumudu gbarama ya matibabu.

Zote 3x2 -6

2. Sehemu 8; KidagaaManeno ya Mtemi Nasaba Bora kwa kakake Mwalimu Majisifu nyumbani kwa Mtemi alipotembelewa na kakake.Anakaribishwa na Bi.Zuhura mkewe Mtemi.Wameketi ukumbini wakiwa wamersyamaziana,Mtemi amnamwuh'za nduguye kwa nini hakuhudhuria sherehe ya Siku Kuu ya Wazalendo.Majisifu anasema kuwa alikuwa amekwenda ‗ibada‘ yaani ulevini ambapo Mtemi anaanza kumshauri aache ulevi.

(b) Japo ba'ba yao alikuwa kasisi.wote wawiii wanaasi dini. Majisifu aSighiri kusomea upadre alipokwenda ng‘ambo.Nasaba Bora alipewa Biblia na babake alipopata ajira ya kwanza

lakini hakusoraa hadi alipopata shida-kidagaa kilipomwozea. Hawawajibiki kazini.Majisifu kwa sababu ya uievi wake na ufisadi aiipokuwa mhariri;Mtemi alighushi stakabadhi za

mashamba ya watu. Wote ni wapyaro. Wanawatusi wake zao. Hawawaheshimu. Wote wana taasubi za kmme Ndoa zao zina mushkili.Majisifu kwa kushinda ulevini na kutomsaidia kazini.Mtemi kugombana na mkewewe,kuwa na

uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa. Wote si walezi weza-Majisifu hamsaidii mkewe kuwatunza waioto walemavu.Mtemi baonekani kumsbughulikia bintiye

Mashaka anlipowehuka. Wote wanabadili mienendo yao miovu.Majisifu alibadilika ma kuanza kuwahurumia watoto wake walemavu,alikiri makosa

ya kuibia waandishi miswada na kuchapisba kama yake.Mtemi anakiri maovu aliyowatendea watu wa Sokomoko na njamaalizofmfanyia Chichiri Harnadi na Yusufu.

Wote ni wezi.Mtemi ni mwizi wa mashamba,Majisifu ni mwizi wa kazi za kitaaluma (miswada) Wote walipenda sifa. Majisifu kudai kuwa yeye ni mwandishi bora barani Afrika.Mtemi alisambaza jina lake takriban kwa

kilataasisi kuitwa kwa jina lake-Nasaba Bora.Hoja zozote 8*2=16 Kiia hoja ishughulikie wahusika wote wawiii

3. Matumizi ya barua ca majazi. Barua ya Ben Bella kwa Mashaka akitengana Barua ya amani kwa Imani kuhusu kidagaa kilicho ibiwa. Barua ya mwaliko na majisifu chuoni. Barua ya madhubuti kwa babake kuhusu nia yake ya kujitafutia ajira baada ya masomo, Barua ya Iowela kwa Mtemi Nasaba kusuhu vitisho vya kuwaachilia Amani na Imani.

Majazii) Mashaka- mwenye shiva

Top grade predictor publishers Page | 158

Page 159: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

ii) Majisifu- mwenye kijivuna iii) Amani- mwenye utulivu iv) Imani-^mwenye tumaini v) Madhabuti- imara vi) Ulitioma- penye umaskini vii) Sokomoko- penye fujo

SEHEMU C: USHAIRI4.(a) Je. mashairi hava mawili ni va aina qani.

A - huru - haSijazingatia arudhi za utunzi wa ushairi. B - tarbia - Jina mishororo 4 katika kila ubeti. Kikwamba - neno ‗dunia‘ laanzia kila mishororo. Mtiririko - vina vya kati na mwisho vina keketo, Mathnawi - kila mshororo una vipande viwili. Shairi la arudhi kwa sababu limezingatia arudhi za utunzi wa ushairi, Kutaja na /cue/eza. (alama 2)

(b) Taja dhamira kuu katika kila shairiA - Kukashifu viongozi wanaouwatesa wafanyakazi.

Kuangazia haki duni ya ufanyakazi mikononi mwa waajiri katili.B - Kuangazia jinsi binadamu afaa kutahadhari na dunia inayo dhuru / angamiza. (Hoja 1x2 = 2)

(c) Kulinqanua mashairi hava kiumbo.A B

- lina beti 4 - lina beti 4- idadi ya mishoro kiia ubeti ni tofauti - kila ubeti una mishororo 4- vina vyatofautiana kwa kila ubeti - vina vina keketo- halina kibwagizo - lina kibwagizo maalum- mishororo haija gawika vipande vipande - limegawika kuwili ukwapi na utao- mizani yatofautiana kwa kila mshororo - mizani ni sawa 8,8

Tatu za kwanza - kila hoja lama 1x3 = 3

(d) Nafsi nenewa katika mashairi hava mawili.A - Mwajiri katili anayewadhuiumu wafanyakaziakijitajirisha kwa jasho lao,B - binadamu asiyetahadhari na dunia. Kila hoja alama 1 x2

(e) Matumizi ya mbinu hizi za kimtindo katika shairi ia A. i) Kweli - kinzani - kilio kisichokuwa na machozi.

- barabara zisizokuwapo. ii) Mishata - utazame mlolongo wa

- watokwao na jasho kapakapa na- wanaotafunwa uhai na jua liso. Ya kwanza al. 1x2

(f) Tabdila badala ya waichezee - kupata urari wa vina ‗ye‘Kutaja na kueleza umuhimu - alama 1

(g) A B- Kazi inawala chenga - dunia kama tapeli inahadaa- Wanatafunwa uhai na jua - dunia inampiku mwenye akiii

- dunia yapika majungu (alama 2)

(h) Ubeti wa tatu katika shairi (a A kwa luqha nathari. (g) Pia mchunguze maskini na mapato va kazi vake duni. yasiyotosheleza mahitaii vake, na anayevalia nguo ziiizochanika nazisizosetiri mwili usio na nguvu, na huiia bila kutokwa na machozi.

(i) Maana va msamiati. Inampiku - inamshinda / inamweza Makontena - shehana I mizigo mizito / makasha. (hoja 2x1 = alama 2)

SEHEMU D: HADITHI FUPI5.

(hoja zozte 4x1 =alama 4)

a) Maneno yake msimulizi katika hadithi ya maskini babu yangu. Anazungumuza na babuye mtee maende wakiwa matembezenikuchokucho. (alama4)

Top grade predictor publishers Page | 159

Page 160: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

b) Mwenye hasira-Anamuuma mama mmoja. Chotara kati ya msubu na mtantele. Mwenye mapenzi ya dhati-Alimpenda babuye.c) Umaskini-Nyumba duni,kazi duni Ukabila/utengano Uhasama wa kimbari/ki-ukood)

(4xl=4)

(kutaja/kueleza 1=2 2x2=4)

Bi-mkubwa alikosa kuzaa lakini Mungu akamjalia mwana kwa njia zake mwenyewe. Mamake Sudi halisi licha ya kumtupa mwanawe na kuishi kwa upweke na majuto,Mungu anamkutanisha tena na Sudi

mwanawe -Sudi japo kazaliwa na mama asiyejali wala kubali,Mungu anamfanya alelewe na mwanamke aliyemjali nakumtunza vyema.

Mamake Sudi halisi japo maskini,Mungu anamjalia kupata lishe ya kusaidiwa na sudi na kasha mamake wa kupanga. Japo Mungu alimnyima Kudura mtoto alimpa moyo wa utu ikilinganishwa na mamake halisi (4x2=8)

6. Dawa za kulevya/pombe-glasi ya mwisho makaburini-Anasa na starehe -Glasi ya mwisho makaburini

-Mke wangu -Samaki wan chi za joto -Mzizi na matawi -Kanda la usufi

-Umaskini -Mke wangu-Mwana wa darubini -Mzizi na matawi -Mwana wa darubini

-Mapenzi yasiyo ya dhati/dhuluma za kimapenzi -Maeko -Mke wangu -Mzizi na matawi -Kanda la usufu -Shaka ya mambo Ndoa ya sanani -Samaki wa nch za joto -Mwana wa darubini

-Ubaguzi -Damu Nyeusi -Ndoa ya zamani -Samaki wa nch za joto

-Ukosefu wa ajira/kazi/kazi za kijungujiko -Mke wangu -Samaki wan chi za joto -Mwana wa darubini -Kanda la usufu

Tanbihi-Mwanafunzi iazima ajikite katika hadithi tano pekee.Ashughuiike angalau changamoto tano kwa kutolea mifano kutoka hadithi kadhaa kila changamoto alama 4x5-20

SEHEMU E: FASIHI SIMUMZI 7. (a) Maana ya ngomezi

Mapigo mbaiimbali ya ngoma iii kuwasilisha habari Fuiani katika jamii. 2 x l = 02(b) Majukumu yoyota matano ya ngomezi. Kupitisha ujumbe wa matukio au dharura . Kuitambuiisha jamii fuiani sababu kila jamii huwa na ngomezi yake, Ni nyenzo ya kuhifodhi na kuimarisha utamaduni wa jamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Hukuza uzalendo ambapo wanajamii huionea fahari mbinu hii ya mawasiliano, Huchochea ubunifu ambapo mstindo mipya huletwa/huzushwa ya kueheza ngoma. Mbinu rahisi ya kupitisha habari bita ya kutumia sauti ya mtu. Zozote 5 * 2 -10

(c) Sifa nne za vivugo. Chuku hutumika sababu anayejinaki hujisifu kupita kiasi. Hutungwa na kughanwa na mhusika mwenyewe. Mganaji hujitungia vivugo kutingana na tukio maaSum katika maisha yake kv ufanisi mashindanoni nk. Wanaojigamba mara nyingi huwa walumbi au washairi wanaofahamu walifanyalo.

Top grade predictor publishers Page | 160

Page 161: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Ushujaa ndio huwa maudhui nyeti katika vivugo. Hutolewa katika nafsi ya kwanza sababu anayejigamba ni mghanaji mwenyewe. Kwanza 4x2 = 08.8. (a) Ngoma za kienyeji huchezwa katika hafia mbaiimbaii kama za kisissa.harusi nk Sarakasi na michezo ya kuigiza hufanvwa katika runinga na redio, Tamasha za drama katika taasisi za kielirru huendeleza vipera kama maigizo na ushairi simulizi. Utambaji wa hadithi bado hufanyika katika fc-aadbi ya rnaeneo na jamii mbaiimbaii, Sherehe mbaiimbaii kama harusi na jando(mazishi na matambiko mbaiimbaii hukuza vipera vya fasihi simulizi. Utegaji na uteguaji wa vitendawiii kupitia redio na runinga hasa vipindi vya watoto. Watafiti hutafiti,huandika na kurekodi vipera vya fasihi simulizi katika vitabu. Vipera vya fasihi simulizi hufanywa katika shuSe za upili na vyuo. (b) Humsaidia mwanafuzi kupata maarifa na stadi za kufanya utafiti katika taaluma nyinginezo. Husaidia mwanafunzi kupata msingi wa uchunguzi wa kuiinganishl wa fasihi simulizi za jamii mbalimbali. Husaidia kuziba pengo la utafrti uliopo. Mwanafunzi hupata nafasi ya kushuhudia na kuathiriwa moja kwa moja na utendaji wa fasihi simulizi. Husaidia kurekebisha mawazo potovu kuhusu maswala fuiani katika jamii. Ni njia ya kurekodi na kuhifadhi tamaduni za jamii mbaiimbaii iii kuzipitisha kwa vizazi vijavyo. Humpa mwanafunzi welewa wa mfanano baina ya fasihi simulizi na fasihi andishi.

Hoja zozote 4*1=4(c) Hutolewa katika mazingira maalum Husimulia kuhusu shujaa au ushujaa Husimulia matukio rnuhimu ya kihistorla au kijamii Mi masimulizi yenye ulumbi na tugha kiwango cha juu. Huwa tunga ndefu aghalabu. Hughaniwa papo hapo. Hughaniwa au huimbwa kishairi. (d) Hudumisha utu na utambuiisho wa mtu katika jamii. Hukuza ufasaha wa lugha. NI nyenzo ya burudani. Hukuza ubunifi miongoni mwa wanajamii. Ni nyenzo ya kukuza heshima miongoni mwa wanajamii.

Top grade predictor publishers Page | 161

Page 162: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA NTIMA- 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU : (ALAMA 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali. Zaraa ndio uti wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini hutegemea kilimo kama malighafi yake na kuwalisha wafanyakazi. Licha ya umuhimu wa sekta hii, mkulima ambaye ndiye nguzo za zaraa anaendelea kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanavokwamiza juhudi zake.

Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima ni ukosefu wa ushauri wa zaraa. Wataalamu wanaotarajiwa kumshauri mkulima kuhusu njia bora za kuzalisha na kuongeza pato lake ni haba ikilinganishwa na idadi ya wakulima wanaohitaji ushauri. Wachache walioko nao wanakwamizwa na mambo tofauti. Mathalani, utawapata hawaendi nyanjani ili kukutana na wakulima kwa kuwa hawana usafiri. Iwapo usafiri upo, huenda petroli ikawa ni kizungumkuti. Halikadhalika, usisahau kuwa baadhi ya wataalamu hawa ni walazadamu au mafisadi. Kuna wale wanaofika ofisini na kushinda siku nzima wakisoma gazeti huku wakijaza miraba, wakicheza bao au karata. Kuna wale nao ambao hufika ofisini wakaangika koti au sweta kitini ili waonekane kuwa bado wapo na kisha kutokomea kwenda kushughulikia mambo yao ya kibinafsi yasiyohusu ndewe wala sikio kazi waliyoajiriwa kuifanya.

Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi nalo ni tatizo jingine linalotatiza kilimo nchini. Serikali haijaweka sera mahususi kuhusu matumizi ya ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za utamaduni wa nasaba zao. Taratibu hizi hupendekeza ugawaji wa ardhi kwa minajili ya urithi kulingana na warithi waliopo. Si ajabu kuwa kote nchini, ardhi inayofaa kwa kilimo imekatwakatwa vipande vidogo vidogo ambavyo haviwezi kuwa na faida kwa zaraa.

Kushindwa kwa mkulima kuongeza virutubishi ardhini ni changamoto nyingine inayokabili kilimo nchini. Ulimaji wa kile kipande cha ardhi mwaka nenda mwaka rudi, bila kukipa nafasi ya kukipumzisha, huufanya mchanga kupoteza virutubishi muhimu vinavyohitajiwa na mimea. Hili nalo huchangia kupunguza uzalishaji wa mazao. Ili kutatua tatizo hili, wakulima wengi hukimbilia mbolea za kisasa ambazo badala ya kumsaidia, humwongezea madhila. Mbolea hizi zinatambulikana kuchangia uchafuzi wa mchanga na ardhi.

Mabadiliko ya hali ya anga nayo huongeza msururu wa madhila ya mkulima. Mabadiliko haya yamemfanya mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa kutayarisha shamba, kupanda, kupalilia, kunyunyizia dawa na kadhalika. Mvua imekuwa adimu. Badala yake panakuwa na vipindi virefu vya kiangazi ambavyo huathiri bidii za mkulima. Maji nayo yanaendelea kupungua na wakulima wengi hawawezi kukimu mahitaji ya unyunyizaji maji mashambani.

(a) Andika anwani inayofaa kifungu hiki. (alama 1)(b) Huku ukirejelea kifungu, fafanua umuhimu wa kilimo hapa nchini. (alama 2)(c) Eleza changamoto tatu zinazowakabili wataalamu wa kilimo (alama 3)(d) Mbali na matatizo yanayowakumba wataalamu onyesha matatizo mengine matatu yanayokumba sekta ya zaraa.

(alama 6)(e) Eleza maana za msamiati ufuatao kulingana na taarifa. (alama 3)

(i) yanayokwamiza (ii) sera (iii) adimu

2. UFUPISHO (ALAMA 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali. Aibu kubwa ya taifa kushindwa kukabiliana na tatizo sugu la ajali za barabarani bado inaendelea kuwafedhehesha wahusika katika sekta ya uchukuzi na mawasiliano licha ya matumizi ya vidhibiti mwendo na kanda za usalama.

Ajali za barabarani zinaangamiza idadi kubwa ya watu kila mwaka wakiwemo viongozi na watu mashuhuri. Miongoni mwa sababu ambazo zinaleta maafa barabarani pamoja na uendeshaji kasi kupita inavyotakikana, yaani kukiuka masharti yaliyowekwa na wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano. Madereva wengi hung‘oa vidhibiti mwendo vilivyowekwa, hawarekebishi mikanda ya usalama, wala hawayapeleki magari yao kukaguliwa mara kwa mara kama inavyopaswa. Yale yanayopelekwa kwa ukaguzi, mengi hushindwa kutekeleza kanuni zilizoweka kwa hivyo hutegemea hongo kuwa barabarani. Fauka ya hayo, madereva wa malori na matrela mara nyingi huendesha magari hayo wakiwa walevi. Dawa za kulevya kama miraa na bangi hutumiwa sana na hawa na matokeo yake huwa ajali mbaya.

Hata hivyo, lawama haiwezi kuelekezewa madereva pekee. Ukiangazia barabara nchini Kenya utapata kuwa barabara haziko katika hali nzuri. Zile za lami zimekuwa na mashimo makubwa ambapo mvua ikinyesha hufanya vidimbwi mithili ya michimbo ya madini yaliyojaa maji baada ya kuachwa wazi. Na zile barabara zisizokuwa na lami zimeharibika kiasi kwamba

Top grade predictor publishers Page | 162

Page 163: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

ni vigumu kuzitofautisha na njia za ng‘ombe kwenye maeneo kame. Kinachohitajika ni kuzirudisha katika kiwango ambacho zinaweza kufaa tena.

Wananchi pia inafaa waelimishwe ili wasikubali kupanda magari ambayo tayari yamejaa. Hili litawasaidia wananchi wenyewe kudumisha usalama wao barabarani. Pia inawafaa watambue ya kwamba wana jukumu la kuwaarifu walinda usalama endapo dereva anaendesha kwa kasi kuliko ile ya kilomita themanini kwa saa iliyokubaliwa. Inafahamika kuwa maafia wa usalama ndio wafisadi zaidi, hivyo basi huchangia katika kuongeza idadi ya vifo barabarani. Katika vita vya ufisadi na ajali za barabarani ni mwanachi mwenyewe ambaye atawezesha kukomesha hali hii. Kwa mfano, afisa wa usalama akipatikana akichukua hongo, yeye pamoja na yule aliyetoa hongo wakamatwe na kupelekwa kwenye vituo vya kukabiliana na ufisadi na kuchukuliwa hatua kali, matatizo haya yataisha. Lakini kabla kufikia hapo, ni muhimu kumhamasisha mwananchi kuhusu haki zake na namna ya kukabiliana na suala hili la ufisadi. Hali hii inatuonyesha kwamba mipango maalum inapaswa kufanywa na serikali ili kuwaelimisha wananchi kama hatua ya kwanza kukabiliana na ufisadi, hatimaye izilainishe sekta zote wala si ya uchukuzi na mawasiliano pekee.

(a) Kwa kurejelea aya ya pili na ya tatu, eleza mambo yanayochangia ajali za barabarani. (Maneno 45-50) (alama 6, 1 ya mtiririko)

(b) Fupisha ujumbe wa aya ya mwisho. (maneno 50-55) (Alama 6, 2 za mtiririko)

3. MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 40) a) i) Andika sauti yenye sifa zifuatazo; (alama 1)

Kikwamizo Kaakaa gumu Sighuna

ii) Andika sifa mbili za irabu / u / (alama 1)b) i) Eleza maana ya sentensi ya masharti. (alama 1)

ii) Tunga sentensi ya masharti. (alama 2)c) Ainisha viambishi katika kitenzi kifuatacho. (alama 3)

Walimtembelead) Tunga sentesi moja kutofautisha maana ya: (alama 2)

ngomagoma

e) Tumia neno ‗Nairobi‘ katika sentensi kama : (alama 2)i) Nominoii) Kielezi

f) Nomino zifuatazo ziko katika ngeli gani ? (alama 2)i) Kiziwiii) Uzi

g) Andika sentensi ifuatayo upya kwa kufuata maagizo uliyopewa. (alama 2)Yaya alimpikia mtoto chakula kitamu.Anza : chakula……

h) Andika sentensi ifuatayo katika wakati ujao hali ya kuendelea. (alama 2)Juma anafundisha katika shule hii.

i) Andika vitenzi vifuatavyo katika mnyambuliko uliopewa. (alama 2)i) kunja (tendaraa)ii) la (tendesheana)

j) Onyesha kishazi hum na kishazi tegemezi katika sentensi hii (alama 2)Ijapokuwa kulikuwa na joto kali niliondoka kwenda sokoni.

k) Onyesha matumizi ya kiambishi ‗ni‘ katika sentensi ifuatayo: (alama 2)Maria ni mpole ndio ninapenda kwenda kwao.

l) Andika sentensi ifuatayo katika usemi wa taarifa. (alama 2)Kazi yako itamalizika kesho.‖ Tajiri alimwambia mwajiriwa.

m) Onyesha kiima na kiarifa katika sentensi ifuatayo: (alama 2)Kitabu chake kilianguka majini.

n) Andika sentensi ifuatayo katika hali ya wastani. (alama 2)Kijumba hiki kilijengwa karibu na kijiji.

o) Tunga sentensi ukitumia yambwa tendwa na yambwa tendewa. (alama 2)p) Changanua sentensi ifuatayo ukitumia mistari au mishale (alama 4)

Yusuf alikuwa mhubiri hodari sana.q) Yakinisha : (alama2)

Nisipopita mtihani mwalimu hatafurahi.r) Sahihisha : (alama2)

Top grade predictor publishers Page | 163

Page 164: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Mwanafunzi alipogonjeka alienda katika hospitalini.

4. ISIMUJAMII (ALAMA 10)―Wananchi hoyee! Round hii kura ni zetu wapende wasipende...‖

a) i) Tambua sajili hii (alama 1)ii) Fafanua sifa tano za sajili husika. (alama 5)

b) Eleza maana ya istilahi zifuatazo: (alama 4)(i) Pijini (ii) Lingua franka

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA NTIMA- 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SEHEMU A: USHAIRI 1. LAZIMA

Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali. Naingia ukumbini, nyote kuwakariria, Ushairi niwapeni, hoja nitawaachia, Mnipe masikioni, shike nachoelezea, Taifa sio taifa, pasi kuwa maadili.

Naanza kwa uzalendo, nchi yetu tuipende, Yadhihirishe matendo, nchi yetu tuilinde, Wa kila mtu mwendo, usije kawa mpinde, Taifa sio taifa, pasi kuwa maadili

Wote tuwe na umoja, tuuache ukabila Kabila lisiwe hoja, mwenza kumnyima hela, Taifa letu ni moja, Mkenya ndilo kabila, Taifa sio taifa, pasi kuwa maadili.

Linda demokrasia, uongozi tushiriki, Haki kujielezea, wachotaka na hutaki. Changu naweza tetea, demokrasia haki, Taifa sio taifa, pasi kuwa maadili.

Tena adili usawa, mgao raslimali, Bajeti inapogawa, isawazishe ratili. Idara zilizoundwa, ‗faidi kila mahali, Taifa sio taifa, pasi kuwa maadili.

Tuwe na uadilifu, twache tamaa ya hongo, Tusiwe na udhaifu, wa kuwa watu waongo, Tukomeshe uhalifu, kisha tuache maringo, Taifa sio taifa, pasi kuwa maadili. Ubinafsi si adili, ila ni kusaidia, Ukiwa nayo mali, asiyenacho patia, Kama mtu mswahili, ubinafsi achia, Taifa sio taifa, pasi kuwa maadili.

Na inavyoelezea, katiba ni kielezi, Tutii kwa mazoea, hadi kijacho kizazi, Kwa hayo nitamwachia. hiyo ya ziada kazi, Taifa sio taifa, pasi kuwa maadili

a) Eleza mambo yoyote manne ambayo mshairi anashauri taifa lifanye ili kuwa na aadili. (alama 4)b) Taja tamathali yoyote moja inayojitokeza katika shairi hili. (alama 2)c) Ainisha shairi hili kwa kuzingatia kigezo kifuatacho : (alama 1)

Mpangilio wa vina

Top grade predictor publishers Page | 164

Page 165: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

d) Bainisha nafsineni (mzungumzaji) katika shairi hili. (alama 2)e) Eleza toni ya shairi hili (alama 2)f) Eleza umuhimu wa aina mbili za uhuru wa kishairi zilizotumiwa katika ubeti wan ne (alama 4)g) Andika ubeti wa pili kw lugha nathari (alama 4)h) Eleza maana ya neon lifuatalo kama ilivyotumiwa katika shairi: (alama 1)

i) hongo

SEHEMU B: RIWAYAK.Walibora:Kidagaa KimemwozeaJibu swali la 2 au la3

2. ―Lakini bila matumaini hatuwezi kwenda mbele na Revolution.‖a) i) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)

ii) Bainisha tamathali moja ya usemi inayojitokeza katika dondoo hili. (alama2)b) Kwa kufafanua hoja saba thibitisha kwamba kuna haja ya kuwa na Revolution. (alama 14)

3. Eleza namna mbinu zifuatazo zilivyotumiwa na mwandishi wa riwaya ya Kidagaa Kimemwozea. (alama 20)a) Sadfa b) Taharuki

SEHEMU C: TAMTHILIA T.M. Arege:Mstahiki Meya Jibu Swali la 4 au 5

4. ―Tayari nimemkabidhi barua ya kujiuzulu anayehusika.‖a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Mbali na changamoto inayofanya msemaji kujiuzulu, jadili changamoto nyinginezo zinazowakumba wanacheneo.

(alama 16)

5. ―Lazima kwanza mnihakikishie kuwa huyo sumu hapati hata fununu ya jambo hili.‖a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Fafanua sifa zozote nne za msemaji. (alama 8)c) Andika umuhimu wa huyo sumu. (alama 8)

SEHUMU D: HADITHI FUPI K.Walibora na S.A Mohammed (Wah):Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine Jibu swali la 6 au la 7 “Mwana wa Darubini (K. Mwende Mbai)

6. ―Uniulie nini na ndoa yetu na wewe inamhusu pia yeye?‖a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Eleza sifa zozote nne za msemewa. (alama 8)c) Jadili madhila yanayomkumba mwanamke katika hadithi hii. (alama 8)

7. “Tazamana na Mauti” (S.A. Mohammed)Tamaa mbele mauti nyuma. Thibitisha ukweli ya methali hii ukirejelea hadithi ya Tazamana na mauti. (alama 20)

SEHEMU E: FASIHI SIMULIZIJibu swali la 8

8. a) Eleza kikamilifu nafasi / umuhimu wa fasihi simulizi katika jamii ya kisasa. (alama 5.)b) Jadili matatizo matano yanayomkabili mkusanyaji / mtafiti wa data ya fasihi simulizi. (alama 5)c) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za fasihi simulizi. (alama 10)

i) Rara nafsiii) Hotuba iii) Miviga iv) Ulumbi v) Ngomezi

Top grade predictor publishers Page | 165

Page 166: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA NTIMA- 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Swali ia lazima Mwanafunzi azingatie maudhui yafuatayo: Maandalizi kabambe. Kukamilisha silabasi kwa wakati ufaao. Ukaguzi wa wanafunzi kabla ya kuingia katika chumba cha ratihani, Nafasi ya kutosha baina ya watahiniwa. Wanaosimamiamtihani wawajibike. Hatua kali ichukuliwe kwa wale wanaoshiriki udanganyifu. Mtaala ufanyiwe marekebisho uegemee pia talanta za wanafunzi n.k.

MUUNDO (i) Kichwa - Jina la gazeti

tarehe Chini ya kichwa mada

(ii) Aya ya kwanza itangulize mada Aya nyinginezo zishughulikie hoja tofauti tofauti kwa mujibu wa swali.

(iii) Hitimisho Jina la mhariri mkuu Wadhifa

2. Insha ya hoja. Ulemavu Uharibifu wa mali Biashara kuathiriwa Vifo Usumbufu wa kisaikolojia. Kuathiriwa kwa sekta ya utalii. Wafadhili kusitisha msaada Kuflingwa kwa kambi za wakimbizi. Uhasama wa kidini Uhasama wa kikabila Ajira imeathirika n.k.

3. Mwanafunzi aandike au atunge kisa kitakachoafiki maana ya methali hii.Tuone kitu kinachokusumbua kama chawa, kiroboto au kungoni ki karibu na mwili wako au ndani ya nguo yako. Hili linamaana kuwa mtu awezaye kukudhuru ni yule tu aliye karibu nawe wala si wa mbali. Hapa twaonywa kuwa tusiwaaminiwajisingiziao kuwa marafiki wetu.

4. Insha ya mdokezoMtahinia aonyeshe mtu / watu waliokuwa taabani nje. Mwanafunzi azingatie nafsi ya kwanza umoja.

Top grade predictor publishers Page | 166

Page 167: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA NTIMA- 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. UFAHAMU(a) Zaraa / Kilimo 1x 1 = 1(b) i) Ni uti wa mgongo wa taifa

ii) Viwanda vingi hutegemea malighafi yake. iii) Huwalisha wafanyakazi, zozote 2x 1 = 2

c) i) Ni wachache ikilinganishwa na wakulima wanaohitaji msaada wao. ii) Hawana usafiri iii) Petroli ni kizungumkuti 3x1 = 3

d) Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za tamaduni za nasaba zao. Kushindwa kwa mkulima kuongeza virutubishi ardhini. Mbolea huchangia uchafuzi wa mchanga. Mabadiliko ya hali ya anga. za kwanza 3x2 = 6e) Yanayotatiza. Mpangilio / utaratibu / rnikakati. Haba / nadra. 3x1=3

UFUPISHO2. a) Uendashaji kasi kupita inavyotakikana Kung‘oa vidhibiti mwendo vilivyowekwa. Kutorekebisbwa kwa mikanda ya usalama. Kutopelekwa kwa magari kukaguliwa mara kwa mara. Magari mengi kushindwa kutekeleza kanuni zilizowekwa. Utegemezi wa hongo kuwa barabarani. Madereva huendesha magari wakiwa waievi, Barabara mbovu. zozote 6x1=6

b) Wananchi waelimishwe iii wasikubali kupanda magari ambayo yamejaa. Wananchi wana jukumu la kuwaarifu walinda usalama dereva akikiuka kanuni. Wananchi waripoti wanaotoa na kuchukua hongo. Wafisadi wakamatwe. Wachukuliwe hatua kali. Kuwahamasisha wananchi kuhusiana na haki zao. Serikali iwaelimishe wananchi namna ya kukabiliana na uti sad i. Ilainishe sekta zote wala si ya uchukuzi na mawasiliano pekee.

mshoro

3. MATUMIZI YA LUGHA (alama 40)a)

i) /sh/ 1x1=1ii) a) Hutamkwa mdomo ukiwa umviringwa

b) Hutamkiwa nyuma ya ulimi. c) Ulimi huinuka juu za kwanza 2x ½ = 1

b)(i) Ni sentensi inayoonyesha kutegemeana kwa matendo au hali. 1x1(ii) Mtahiniwa atumie ki/nge/ngali.

Mwalimu akadirie jibu la mwanafunzi. 1x2=2

c) Wa - nafsiii - wakati uliopita

m - mtendwatembe - mzizi

Top grade predictor publishers Page | 167

Page 168: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

le - kauli a - kiishio 6x ½ =3

d) Goma - Dinda kufanya au kuendelea kufanya jambo hadi masharti fulani yatimizwe.Ngoma - Mchezo wa kufuata mdundo- Namna ya ala ya muziki. 1x2=2

e) k.m(i) Nairobi ni mji mkuu wa Kenya.(ii) Baba ameenda Nairobi

Mwalimu akadiriwe jibu la mwanafunzi. 2x1=2f) Kiziwi - A - WA

uzi - U - ZI 2x1=2g) Chakula kitamu kilipikiwa mtoto na yaya. I x 2=2h) Juma atakuwa aMfimdisha katika shule hii. 1x2 =2i) Kunjama

Lishiana 2x1= 2j) Ijapokuwa kulikuwa na joto kali - kishazi tegemezi.

Niliondoka kwenda sokoni - Kishazi huru 2x1=2k) Maria ni mpole ndio maana

kitenzi kishirikishi kipungufuninapenda kwenda kwao.nafsi ya kwanza umoja 2x1=2

l) Mwajiriwa aliambiwa na tajiri kuwa kazi yake ingemalizika siku iliyofuata 4x ½ = 2m) Kitabu chake - kiima

Kilianguka majini - kiarifa 2x1=2n) Nyumba hii ilijengwa karibu na mji 4x ½ = 2o) k.m

Mtoto alinunuliwa baiskeli na baba.Mtoto - Yambwa tendewaBaiskeli - Yambwa tendwa. 2x1=2

p) S —> KN + KTKN - N N —> Yusufu KT - t + N+-V+E t- alikuwa N - mhubiri V - hodari E - sana 8 x ½ = 4

q) Nikipita mtihani mwalimu atafurahi. 1x2 = 2r) Mwanafunzi alipokuwa mgonjwa / alipougua alienda hospitalini / katika hospitali 1x2=2

4. IS1MUJAMII (alama 10)a) i) Sajili ya siasa alama lxl=l

ii) Msamiati wa pekee - kura Imejaa ahadi nyingi - kuimarisha

miradi ya maji n.k. Kuchanganya ndimi Lugha ya majisifu Lugha.ya matusi kwa wapinzani

Lugha ya kushawishi Matumizi ya viziada lugha - mikono, Lugha ya majibizano na hadhira Lugha ya chuku Matumizi ya nyimbo Kuna kuhamisha msimbo Lugha si sanifu Lugha yenye utani n.k. za kwanza 5x1=5b) i) Ni lugha ambayo hubuniwa na kutumiwa kwa mawasiliano baina ya watu ambao lugha zao ni tofauti na hawana lugha

moja wanayoielewa wote.iii) Ni lugha inayotumiwa kama chombo cha mawasiliano kati ya watu ambao hawana lugha moja asilia wanayofahamu.

2x2 = 4

Top grade predictor publishers Page | 168

Page 169: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA NTIMA- 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. USHAIRIa) kuwa wazalendo / kuipenda nchi yako. kuwa na umoja / kuacha ukabila. kuiinda demokrasia kuwa na mgao sawa wa raslimali kuacha tamaa kukomesha uhalifu kuacha maringo kuacha ubinafsi / kusaidiana. kutii katiba za kwanza 4x1=4b) Msemo - Nipe masikioni - Nipe sikio. Jazanda / isliari - kawa mpinde. Takriri - taifa sio taifa, pasi kuwa maadili. Tashbihi - kama mtu mswahiii. Utohozi - Demokrasia, bajeti ya kwanza 1 x 2 = 2c) Ukaraguni - Vina vya kati na vya niwisho vinabadilikabadilika kutoka ubeti hadi mwigine.1 x 1 = 1d) Mwananchi / raia / mzalendo / mkereketwa 1x2=2e) Himiza / nasihi / shawishi. 1x2=2F) I) Kubananga / kufmyanga / kuboronga sarufi - Uongozi tushiriki - tushiriki uongozi, changu naweza tetea - naweza tetea

changu. Umuhimu - Kuleta urari wa vina ii) Utohozi - Demokrasia

Umuhimu - Kuleta urari wa mizani - Kulipa upekee iii) Inkisari - Pasi - pasipo

Wachotaka - Wachotaka. Umuhimu - Kuleta urari wa mizani za kwanza 2 x 2 = 4aina - 1 umuhimu - 1

g) Naanza kwa kueleza uzalendo kwamba tuipende nchi vetu / matendo yetu yaonyeshe kuwa tunailitida nchi yetu / tabia ya kila mtu ionveshe rnsimamo / nchi haikamiliki bila kuwa na mtendo mema. 4x4=4

h) hongo - rushwa /' mlunguva / chai / kadhongo. 1x1=1

2. a)i) a) Msemaji - Madhubuti

b) Msemewa - Amani c) Wamo kibandani mwa Amani d) Wanazungumza namna ya kuieta mabadiliko Tomoko. (4x1=4)

i i )K uchanganya ndimi - Revolution 1x2=2 b)

Kuna ufisadi k.in. Nasaba Bora kuhonga iii Madhubuti apate kazi. Kuna mauaji k.m. Chichiri Hamadi. Unyakuzi wa ardhi k.m. shamba la akina Imani Kuna udikteta k.m watu kulazimishwa kuhudhuria mikutano. Kutowajibika kwa wafanyakazi k.m wauguzi, majisifu n.k. Ajira za watoto wadogo k.m . Dj kwa Bw. Maozi. Visingizio km. Amani na imani kusingiziwa kifo cha kitoto Uhuru. Wizi km. wizi wa miswacia. Ufadhili wa watoto maskini kutumiwa na matajiri k.m Fao. Undandanyifu katika mitihani k.m Fao kufanyiwa mtihani. Uzinzi k.m Nasaba Bora na Lowela. Mashujaa kutelekezwa k.m Matuko, Chwechwe n.k. za kwanza 7x2=143.a) Sadfa - kutokea kwa mambo mawili au zaidi bila kupangwa waia kutarajiwa.

Top grade predictor publishers Page | 169

Page 170: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Sadfa ya Amani kumwona DJ akipita barabarani wakati anatafuta mtu wa kumtuma kwake Imani. Wakati Majisifu anatoroka Wangwani ndipo hapo timu ya Songoa FC inaelekea huko kwa mechi ya marudiano. Ni sadfa kuwa Amani anapokuwa akitafuta kazi kwa Mtemi ndipo mchungaji wa Mterni anaugua. Imani kusikia matangazo ya mpira akiwa katika seli na kuweza kupata habari za kakake Chwechwe Makweche. Mtemi anawasili wakati Amani yumo chumbani na mkewe na kufikiria ni wapenzi. Kukutana kwa Amani na Imani kando ya Ziwa Mawewa. Amani kumnusiiru Mtemi na Lowela kisadfa wanapotekwa na Gaddafi na kundi lake. Siku ambayo Amani anaandamana na Majisifu kwenda hospitalini ndiyo Amani alipewa ruhusa kurudi nyumbani. Kuanza kuugua kwa kitoto Uhuru kunatokea wakati wa mkesha wa sikukuu ya Wazalendo. Imani kusahau barua ya Amani mezani na Majisifu kuipata na kujua siri ya mswada imegunduliwa. n.k.

zozote 5 x 2 - 1 0b) Taharuki - hamu ya kutaka kujua jambo litakalofuata Nasaba Bora anapotokomea asijulikane aiikokuwa, kuna taharuki amekwenda wapi. Maj ina ya wahusika yanazua taharauki, mfano Majisifu anasifiwa na nani na kwa nini? Kutoweka kwa Bob Dj - Je, alienda wapi? Je, uhuru wa kweli, umepatikana baada ya mapinduzi au hali itakuwa ile ile? Anwani inazua taharuki - Kidagaa Kimemwozea nani, kivipi na kwa nini? Imani kunywa maji ya Mto Kiberenge uliopigwa marufuku, je, yatamdhuru? Amani kupigwa iiwato na Mtemi kisha akajikuta hospitalini, nani aliyemwauni? Baada ya Majisifu kushindwa kutoa mhadhara, kuna taharuki, je, angeweza kutoa mhadhara bora siku iliyofuata? n.k.

zozote 5x 2 = 104.a) Msemaji ni Waridi Msemewa ni Siki Katika afisi ya Siki Badala ya binamu ya Waridi kuaga na mazingira duni ya kufanya kazi 4x1=4b) Kuna ukosefu wa dawa Kuna njaa. Ukosefu wa vifaa vya kufanyia kazi k.m glavu. Ukosefu wa maji Umaskini - kula uporo Ukosefu wa ajira. Ubadhirifu Unyakuzi wa mali ya umma - ardhi Wizi - fimbo ya Meya Mishahara duni Askari kuwapiga waandamanaji Mfumo wa tenga-tawala. Vitisho n.k zozote 8x2= 165.a) Msemaji ni Meya Wasemewa ni: Bill, Diwani I na Diwani II Ofisini mwa Meya Waiikuwa wanapanga namna ya kuuza fimbo ya Meya 4x 1=4b) Meya Ni mbadhirifu Ni dikteia Ni mfisadi Ni mbinafsi Ni mlafi Ni kiongozi Ni mkali Ni msaliti Ni mjinga Ni mwongo Ni mwoga n.k. za kwanza 4x2=8

c)

Top grade predictor publishers Page | 170

Page 171: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

DIWANI III Ni kielelezo cha viongozi waadilifu Ni kielelezo cha watetezi wa haki Ni kiwakilishi cha viongozi wazalendo Kupitia kwake tunaona uongozi wa Meya wa tenga-tawala. Ni kielelezo cha viongozi wenye msimamo thabiti Kupitia kwake tunaona uwajibikaji wa daktari Siki. Kupitia kwake tunafahamu umuhimu wa kuwa na miahaka mwema. Kupitia kwake tunafahamu hali ya uchumi wa Cheneo. n.k. Zozote 4 x 2 = 86. a) Msemaji ni kananda Msemewa ni Mwatela Nyumbani kwa Mwatela Kananda alikuwa ameambulia ujauzito na alitaka kuoelewa na Mwatela. 4x1=4

b) Msemewa ni Mwatela Ni mwenye vitisho Ni katili Ni mdanganyifu Ni mievi Ni tajiri Ni mwenye bidii Ni mwenye majuto Ni rnzinzi. Za kwanza 4x2=8c) Anapigwa Dhuluma za kimapenzi Ajira wakiwa wadogo W anadanganywa Kunyang‘any wa watoto Wanauzwa kama watumwa, Wanapata vitisho kutoka kwa wanaume Wanawake kuwa na wanaume wazinzi Hawana usemi mbele ya wanaume n.k Zozote 4x2 = 8

7. Tamaa Lucy alikuwa akiota miaka mingi kwenda London kwa sababu ni nchi arnbayo imeendelea sana. Km barabara pana zilizojaa

magari n.k. Alitamani muluki ya haraka haraka. Uingereza wakimbizi walipewa nyumba au makazi, na starehe nyinginezo Lucy alipitapita jijini macho yake yakitazama nyuso za wazungu - vijana na wazee Lucy kumkimbilia mzee mmoja wa kizungu mkofu, mbovu. Katika ukumbi wa sinema, Lucy hakuona mchezo akifikiria wakati utakapoisha apate zawadi aliyoahidiwa. Lucy anatamani kuomba zawadi kubwa ya kuchukuliwa Uingereza. Lucy anatamani Crusoe afe. Alitaka ifike kesho kutwa akarithishwe ile mali.

Mauti Lucy kuolewa na mwanamume mzee asiye na nguvu za aina yoyote. Kumtunza mzee mkongwe - kumkanda, kumlisha n.k. Anaanza kuchoka kuishi na mzee ambaye hawezi kumchangamsha kwa namna yoyote. Lile jumba lilimzidishia hali ya upweke. Lucy alianza kumchukia Crusoe Awali Lucy alipuuza masomo na hakufaulu vizuri. Lucy alipata ajali ya gari na kupoteza uhai wake.

Mwanafunzi agusie pande zote. Tamaa 6x2 =12 Mauti 4x2=8

FASIHI SIMULIZI Top grade predictor publishers Page | 171

Page 172: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

8.a) Huburudisha. Hukuza lugha. Hutambulisha jamii Hufikirisha Huhifadhi historia ya jamii Hukuza ubunifu Hushauri na hufunza maadili Huleta mahusiano bora katika jamii tofauti. Huendeleza amali za jamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Huwasaidia wanajamii kuieiewa historia yao. Huhifadhi kitamaduni wa jamii na

kuuendeleza n.k. Kutaja Kueleza Zozote 5 x 1 = 5

b) Ukosefu wa pesa za kugharamia utafiti. Kushukiwa na wanajamii Ukosefu wa vifaa na ujuzi wa kuvitumia Ukosefu wa usalama. Matatizo ya usafiri kutokana na miundo msingi. Matatizo ya hali ya anga. Kutokuwa na muda wa kutosha wa utafiti. Wanaohojiwa wanaweza kudai malipo. Kikwazo cha lugha. Kuharibika kwa vifaa vya kufanyia utafiti. Mielekeo hasi kuhusu utafiti wa fasihi simulizi. Vizingiti vya kidini. n.k. za kwanza 5x1 = 5c) Rara nafsi - Huu ni ushairi wa kinafsi ambao hutungwa na mtu kuelezea hisia, matatizo na fikra zake mwenye we. Hotuba - Ni maeiezo au taarifa ambayo hutolewa mbele ya hadhira kuhusu mada fuiani. Miviga - Ni sherehe za kitamaduni ambazo kufanywa katika kipindi maaium cha wakati. Ulumbi - Huu ni uwezo na ustadi wa kuzungumza kwa ufasaha. Ngomezi- Ni fasihi ya ngoma na ala zingine za kimuziki bila kutumia maneno. 5x1=10

Top grade predictor publishers Page | 172

Page 173: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

KAUNTI NDOGO YA GATUNDU MTIHANI WA MAKADIRIO KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. InshayaLazima.Kiranja mkuu wa shule amemdokezea mwalimu mkuu kuhusu matumizi ya dawa za kulevya miongoni mwa wanafunzishuleni. Andika dayolojia katiyao.

2. Mizozo na maandamano ya kisiasa huathiri raia wakawaida kuliko wanasiasa wenyewe. Jadili.3. Dudu liumalo silipe kidole.4. Tunga kisa kinachomalizia kwa maneno yafuatayo:

………………….kwakweli, penye nia hapakosi njia.

KAUNTI NDOGO YA GATUNDU MTIHANI WA MAKADIRIO KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (alama 15) Soma taarifa hii kisha ujibu maswali yanayofuata.

Katika kongamano la wataalamu wa lugha lililofanyika jijini Nairobi mnano Septemba mwaka wa 2013, mwandishi mahashumu, Prof. Euphrase Kezilahabi wa Tanzania alishangaa kwamba, ingawa Kiswahili ni lugha iliyochangia sana katika kuenea kwa dini, elimu na kufanikisha biashara, Afrika ya Mashariki na kati kwa muda mrefu, haijasaidia kuleta umoja na muumano maridhawa katika eneo hili. Kadhalika, kwenye kongamano hili, wataalamu wawili wa watunzi wapevu wa fasihi ya Kiswahili - Prof. John Hamu Habwe na Prof. Kithaka wa Mberia, wa Chuo Kikuu cha Nairobi walilalamika kwamba, wahakiki wa fasihi kwa muda mrefu wamekuwa wakiipuuza fasihi ya Kiswahili na kuiweka pembezoni katika taaluma nzima ya wasomi, wanasiasa, wanahistoria na hata wanahabari.

Si swala la mjadala tena kwamba lugha inayofumbata hisia za wenyeji wengi wa Afrika ya Mashariki ni Kiswahili. Ingawa watu wa mataifa haya waligawanywa kwa kuwekewa mipaka na wakoloni kwa minajili ya wakoloni hao kukidhi mahitaji yao ya kisiasa na kiuchumi, kimsingi watu wa eneo hili wana historia na tamaduni zilizokurubiana.

Sina hakika iwapo Prof. Kezilahabi amekwisha kusoma vitabu vitatu ambayo nafikiri vinaweza kujibu swali lake. Vitabu hivyo ni Swahili State and Society: The Political Economy of an African Language (Alamin Mazrui na Ali Mazrui), The Power of Babel (Mazrui na Mazrui), Kiswahili: Past, Present and Future Horizons (Rocha Chimerah), na Language Policy in East Africa (Ireri Mbaabu). Katika Swahili State and Society, Prof. Ali Mazrui na Prof. Alamin Mazrui wanahoji kwamba ufuasi wa watu katika makabila yao bado ni mkubwa sana Afrika kwa jumla na hasa Afrika ya Mashariki.

Hali hii ilidhihirika katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya uliofanyika Machi mwaka wa 2013 - ambapo tuliona watu wakiamini sana vyama vya kisiasa kwa misingi ya ukabila bila kutilia maanani sera za vyama hivyo. Aliyekuwa Waziri Mkuu, Bw. Raila Odinga alikuwa na wafuasi wengi kutoka watu wa kabila lake, huku Rais Uhuru Kenyatta akiwa na wafuasi wengi kutoka jamii yake ya Agikuyu, naye naibu wake William Ruto akiwa na wafuasi kutoka kwa jamii yake ya Wakelenjin.

Huku Prof. Kezilahabi akiwa ana wasiwasi kwamba Kiswahili bado hakijafanikiwa kuunganisha watu wa Afrika ya Mashariki, Prof. Chimerah ana mtazamo tofauti. Ameipanulia mawanda lugha hii na kuipigia upatu iwe lingua franka ya bara la Afrika. Mtazamo wa Prof. Ireri Mbaabu wa Chuo Kikuu cha Kenyatta kuhusu suala hili ni kwamba, mikakati ya kisera kuhusiana na lugha katika mataifa ya Afrika Mashariki ni tofauti. Kiswahili ni lugha ya taifa nchini Tanzania.

Hivi majuzi, serikali ya Kenya ilikikweza hadhi Kiswahili kuwa lugha rasmi sambamba na Kiingereza - licha kwamba bado Kiswahili ni lugha ya taifa. Nchini Uganda, Kiswahili bado hakijapokelewa vizuri kwa sababu kinaendelea kupata ushindani mkubwa kutokana na lugha ya Luganda. Isitoshe, kwa muda mrefu, Kiswahili nchini humo kimekuwa kikipigwa vita kwa sababu kilihusishwa na ukatili wa wanajeshi. Hatua ya Kenya kurasimisha Kiswahili sambamba na Kiingereza ni tamko la kisera. Hadi sasa, hatujaona hatua za kimakusudi za kulifanyia kazi tamko hili.Kenya, haina chombo rasmi cha kiserikali kinachoweza kutekeleza majukumu ya kuendeleza Kiswahili kimakusudi.

Jukumu hili limeachiwa watu binafsi na vyombo vya habari kama vile gazeti la Taifa Leo. Kuhusu suala la kuwekwa pembezoni kwa fasihi ya Kiswahili na wahakiki wa fasihi wanaozingatia mno fasihi ya Kiingereza, ni hali ya kusikitisha mno. Wasichokifahamu wahakiki hawa ni kwamba, fasihi ya Kiswahili imepiga hatua mno hasa kuhusiana na utunzi wa kimajaribio.

Top grade predictor publishers Page | 173

Page 174: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Kwa hiyo, ni upumbavu wahakiki kuifumbia macho fasihi ya Kiswahili ambayo inazidi kupanuka kila uchao. Kimsingi, kinachozuia Afrika Mashariki kuungana na kuwa na mshikamano anaoutaka Prof. Kezilahabi ni tofauti za kisiasa, kiuchumi na kisera ambazo hazijawianishwa. Muungano wa Afrika ya Mashariki utakapoimarika, labda ndipo mataifa ya eneo hili yatakapofikia mshikamano wa kuridhisha utakaofanikishwa kwa matumizi ya lugha ya Kiswahili.

MASWALI: (a) Upe ufahamu huu anwani mwafaka. (Alama 1)(b) Eleza matatizo yanayokumba Kiswahili kwa mujibu wa ufahamu. (Alama 5)(c) Linganua mitazamo ya Kezilahabi na Chimerah kuhusu Kiswahili. (Alama 2)(d) Kwa nini mwandishi anadai kuwa hatua ya Kenya kurasimisha Kiswahili sambamba na Kiingereza ni tamko la kisera.

(Alama 2)(e) Eleza sababu za kuonyesha kuwa haifai wahakiki wa fasihi kupuuza fasihi ya Kiswahili. (Alama 2)(f) Eleza maana ya vifungu vifuatavyo kwa mujibu wa ufahamu. ( Alama 3)

i) Mwandishi mahashumuii) Lingua franka iii) Kuweka pembezoni.

2. UFUPISHO (ALAMA 15) Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali. Kuna sababu kadha za kuwako na kushamiri kwa ajira ya watoto. Moja ya sababu hizo ni umaskini unaozikumba jamaa nyingi pamoja na welewa mdogo wa thamani ya elimu wa baadhi ya watu katika jamii. Wapo watoto ambao hushurutika kubeba jukumu la kujizumbulia riziki wenyewe kutokana na hali duni ya familia zao.

Hali hii huweza kutokana na baadhi ya wazazi kutelekeza majukumu yao ya kimsingi ya kuikimu jamaa yao. Aidha kuna sehemu nyingine ambapo hali hii imetokana na janga sugu la ukimwi. Yapo maeneo ambako kuenea kwa ugonjwa huu kumewafanya viongozi wa jamaa kupukutika kama majani ya mti na kuwalazimisha watoto kuyakatiza masomo yao ili wawakidhie haja wadogo zao. Kuhusiana na kutelekeza majukumu, kuna wazazi ambao wanakosea kwa kutowaelekeza watoto wao kujua maadili mema ni yepi. Kwa njia hii watoto hao wanaishia kutumbukia kwenye matatizo makubwa.

Baadhi ya ajira zina athari kubwa sana kwa watoto. Ukahaba, kwa mfano, ni mojawapo ya ajira ambazo watoto wa kike hulazimika kujiingiza. Hii ni ajira ambayo inaweza kuwatumbukiza watoto hao katika hatari kubwa kutokana na uwezekano mkubwa wa kuambukizwa maradhi ya ukimwi. Asillimia kubwa ya watoto wanaotumbukia katika ajira hii, inapatikana katika maeneo ya mijini na sehemu ambako utalii umeshamiri sana. Umaskini pamoja na dhiki za mijini huwalazimisha watoto hao wa kike kuishia kwenye biashara za aina hiyo. Wengine hufanyiwa hila na wafanyabiashara ambao wametovukwa na utu kutokana na tamaa yao kubwa ya kujitajirisha. Katika maeneo ambako utalii umeshamiri, ukahaba wa watoto unatokana na umaskini pamoja na kusambaa na kuenea kwa maadili ajinabi, ya ulimwengu usio wetu.

Ikiwa umaskini ni chocheo kubwa la kuwapo kwa ajira ya watoto, basi inahalisi serikali zetu zifanye kila juhudi kuhakikisha kuwa umaskini umepigwa vita. Pana umuhimu wa kuhakikisha kuwa wanajamii wote wamepewa nafasi sawa za kujikwamua kutoka lindi la umaskini. Isitoshe, pana umuhimu wa juhudi nyingi kufanywa kuhakikisha kuwa nafasi za shule zimepanuliwa ili kuikidhi idadi kubwa ya watoto ambao wana kiu ya elimu. Serikali haina budi pia kuhakikisha kuwa zimepitishwa sheria zinazomlinda motto dhidi ya ukatili unaotokana na watu waliokosa hisia za utu na ubinadamu. Upo pia umuhimu wa kuvisaidia vikundi vinavyojitahidi kuwasaidia watoto ili kuzifanikisha juhudi zao kwa kuwa chanda kimoja hakivunji chawa kama tujuavyo.

Hatua nyingine ambazo zinaweza kuchukuliwa ili kupunguza ajira ya watoto ni kuwahamasisha wanajamii kuhusu haki za mtoto. mtoto yeyote yule ana haki ya kupata elimu ya msingi. Mtoto pia ana haki ya kuishi na kupata mahitaji ya kimsingi na ya lazima kama chakula, malazi au makazi na matunzo ya kiafya. Aidha mtoto ana haki ya ukuaji, yaani kukua kikamilifu pasi na kizuizi na katika mazingira yasiyombana kwa njia yoyote ile. Isitoshe, mtoto ana haki ya kupata ulinzi dhidi ya unyanyaswaji au udhalilishwaji wa aina yoyote ile au hata maonevu kwenye misingi yoyote iwayo. Mtoto pia ana haki ya kuwa huru kushiriki katika jumuiya yake, kutoa maoni na kujieleza, kushirikiana na kujiunga na vikundi. Mwisho, na muhimu zaidi, mtoto ana haki ya kulindwa dhidi ya ajira au aina yoyote ya kazi ambayo inaihatarisha afya na siha yake au inamzuia asipate elimu.

(a) Fupisha aya mbili za mwanzo bila kubadilisha maana. (maneno 60-70) (alama 7) alama 1 mtiririko.(b) Eleza hoja muhimu zinazojitokeza katika aya mbili za mwisho. (Maneno 50-60) (alama 6)(Alama 1 utiririko.)

3. MATUMIZI YA LUGHA: (ALAMA 40)(a) Taja vitamkwa vyenye sifa zifuatazo. (Alama 2)

(i) Vokali ya nyuma, kati.(ii) Nazali ghuna ya midomo.

(b) Kiambishi ni nini? (Alama 2

Page 175: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

Top grade predictor publishers Page | 174

Page 176: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(c) Unda kitenzi chenye mofimu hizi. (Alama 3)i) Nafsi ya tatu umoja.ii) Kiambishi cha wakati uliopita. iii) Kirejeshi. iv) Kiambishi cha mtendewa. v) Mzizi wa kitenzi. vi) Kiishio.

(d) Tumia kitenzi ―amerudi‖ kuonyesha dhana ya tatu za kiimbo. (Alama 3)(e) Tambua hali katika sentensi ifuatayo.

Vyungu vya aina hii vyafinyangwa na huyu. (Alama 2)(f) Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli zilizowekwa katika mabano. (Alama 2)

i) Lia (kutendeshwa) _________________________________________ii) Pa (kutendea)

(g) (i) Eleza maana ya mzizi. (Alama 1)(ii) Toa mfano wa:- (Alama 2)

Mzizi huru _____________________________________________Mzizi funge ____________________________________________

(h) Andika katika hali ya ukubwa.Kigombe kile kiliumia kwato. (Alama 2)

(i) Eleza matumizi mawili ya ―ka‖. (Alama 2)(j) Onyesha aina za virai katika sentensi hii. (Alama 3)

Wazazi wetu watawasili kesho saa tatu. (k) Onyesha kiima na kiarifa katika sentensi ifuatayo. (Alama 2)

Wanafunzi watakaolala darasani wataadhibiwa vikali. (l) Onyesha shamirisho katika sentensi ifuatayo. (Alama 3)

Wanafunzi walikatiwa keki na mwalimu kwa kisu.(m) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya jedwali. (Alama 3)

Sisi tulipokuwa shuleni tulisoma kwa bidii.(n) Onyesha matumizi mawili ya kibainishi katika sentensi. (Alama 2)(o) Andika sentensi hii katika usemi wa taarifa. (Alama 2)

―Tutakuja kwenu leo‖. Mama alisema.(p) Unda nomino mbili kutokana na neno ―kudhulumu‖. (Alama 1)(q) Tambua miundo yoyote mitatu ya nomino za ngeli ya A-WA kwa kutoa mifano. (Alama 3)

4. ISIMU JAMII. (alama 10)(a) Fafanua sababu zozote nne zinazosababisha makosa katika matumizi ya lugha. (Alama 4)(b) Eleza nadharia zozote mbili zinazoelezea chimbuko la Kiswahili. (Alama 4)(c) Eleza mambo mawili yanayosababisha kufa kwa lugha. (Alama 2.)

Top grade predictor publishers Page | 175

Page 177: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

KAUNTI NDOGO YA GATUNDU MTIHANI WA MAKADIRIO KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SWALI LA LAZIMA. SEHEMU A: TAMTHILIA: MstahikiMeya.

Timothy Arege. 1. ―Dhikimbalimbalizimekuwapolakiniherinususharikulikosharikamili‖.

(a) Elezamuktadhawadondoohili. (Alama 4)(b) Tajatamathaliyausemiiliyotumikakatikadondoohili. (Alama 2)(c) Elezasifazozotetatuzamzungumzaji. (Alama 6)(d) FafanuaainazozotennezamigogoroinayojitokezakatikatamthiliayaMstahikiMeya. (Alama 8)

2. SEHEMU YA B: RIWAYAKIDAGAA KIMEMWOZEA: Ken Walibora.―Wemawakoumeniuakabisa………Nina jishtakimwenyewekilasikukwamiakanamiaka‖.(a) Elezamuktadhawamanenohaya. (Alama 4)(b) Onyeshakwakutoamifanokuwaanayeambiwamanenohayaalikuwanawema. ( Alama 8)(c) Eleza umuhimu wa mhusika mashaka katika riwaya ya Kidagaa Kimemwozea. (Alama 8)

3. SEHEMU YA C: USHAIRIJibuswali la tatu au nne.

Na iwekupawamali, yakuhadaamtima Niandameufidhuli, nitengananaowema Hilositokubali, japowajawangesema Siatikwendawema, ujapokuwanighali.

Sitomehekabaila, nganitenzanachewema, Mungunitianajela, kisamefanzakuruma, Haragwelenutalila, pamojanayenusima, Siatikutendawema, japotagonitalala.

Haufimungaufisha, auhamiapokarima, Molaatauhusisha, welekeapokuzama Mimi nihuomaisha, hadisikuyakiama Siatikutendawema, nganitiamshawasha.

Wema ungawa mchungu, tajaribukutotema, Tautenda nende zangu, niache wanaosema, Malipo yangu kwa mungu, hayoyenusilazima Siati kutenda wema, kiagharimu roho yangu.

Maswali: (a) Andikakichwakinachofaashairihili. (Alama 2)(b) Ni mambo yapikatikaubetiwa 1 and 4 ambayohatamshairiakifanyiwahawezikuachakutendamema? (Alama 6)(c) Elezajinsimtunziwashairihilialivyoutumiauhuruwake. (Alama 6)(d) Andikaubetiwamwishokatikalughanathari. (Alama 4)(e) Mshairialipatawapiariyakuzingatiawema? (Alama 2)

4. SHAIRI A

Umekatamtimtima Umeangukianyumbayako Umezimamtohasira Nyumbayakosasamafurikoni Na utahama Watotokuwakimbia.

Mbuzikumkaribiachui Alijigeuzapanya

Top grade predictor publishers Page | 176

Page 178: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Akaliakuliwanapakakichwani Mchawikutakasanakutisha Alijigeuza samba Akalianarisasikichwani.

Jongookutakasanakukimbia Aliombamiguuelfu Akaachwananyoka

Hadijawapisasautakwenda Bwanakokumpasumu? Hadijaumeshikanyokakwamkia, Hadijaumepitianyamayapunda.

SHAIRI B

Pitenijamani, piteniharaka Nendeni, nendenihukomwendako Mimi haraka, harakasina, Mzigowangu, mzigomzitomno Na chinisitakikuweka.

Vijanakwaninihampiti? Kwaninimwanichekakisogo? Mzigonilioubebahaupokichwani Lakiniumenipindamgongonamiguu Na lazimanijiegemeze, kichwani Chininendeko Hayapiteni! Piteni! Haraka! Heei! Mwafikirimwaniachanyuma! Njiayamaishanimojatu Hukomwendakondikonilikotoka Na nilipofikiawenginewenu Hawatafika.

Kula nimekulanasasamwasema Nikonyumayawakati Lakinikamamngepitambele Na usowangukuutazama Ningewambiasiriyamiakamingi.

Maswali: (a) Hayanimashairiyaainagani? Alama 1(b) Washairihawawawiliwanalalamika. Yafafanuemalalamishiyao. Alama 4(c) Onyesha vile kinaya kinavyojitokeza katika shairi A na shairi B. (Alama 4)(d) Taja tamathali mbili zilizo tumika katika ubeti wa pili wa shairi B na utoe mfano. (Alama 4)(e) Andika ujumbe unao jitokeza katika ubeti wa nne washairi A. (Alama 2)(f) Uhuru wa mshairi umetumiwa vipi katika shairi ‗B‘: (Alama 2)(g) Linganisha shairi ‗A‘na shairi ‗B‘ kwakuangalia dhamira ya mshairi. (Alama 4)

SEHEMU YA D: FASIHI SIMULIZI (JibuSwali 5 au 6).5. (a) Ulumbininini?

(b) Elezasifazozotennezaulumbi. Alama 8(c) Elezamaanayalakabu. Alama 2(d) Elezasifazozotennezalakabu. Alama 8

6. (a) Elezavipengelevitanovyafasihisimuliziambavyohujitokezakatikafasihiandishi. Alama 10(b) Fafanuasifatanozaushairisimulizi. Alama 10

SEHEMU YA E: HADITHI FUPIDAMU NYEUSI NA HADITHI NYINGINE: Ken Waliborana S. A. Mohammed.

7. ElezakwatafsirimaudhuiyafuatayoyalivyoendelezwakatikahadithizaSamakiwaNchizaJoto naMwanawaDarubini. Alama 20(a) Utabaka(b) Ukatili.

Top grade predictor publishers Page | 177

Page 179: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

KAUNTI NDOGO YA GATUNDU MTIHANI WA MAKADIRIO KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1 A) UFAHAMU (ALAMA15)

a) KISWAHILI (herufikubwa)

CHANGAMOTO ZINAZOKUMBA KISWAHILI.Apigie mstari.Maneno yasipite sita. (1x1 = 1)

b (i) Kupuuzwa na wahakiki wa fasihi,(ii) Kuwekwa pembezoni katika taalumu nzima ya uhakiki.(iii) Watu kupendelea lugha zao za kikabila.(iv) Ushindani kutoka Lugandanchini Uganda.(v) Kuhusishwa na udhalimu wa kijeshi nchini Uganda. (zozote 5 x1 =5)

c) Kezilahabi anaonakuwa Kiswahili hakijaweza kuleta umoja na muumano Afrika Mshariki ilhali Chimerah anaona kuwaKiswahili kinawezakuwa lingua franka ya Afrika Mashariki.

(1x2 =2) Mwanafunziaonyeshetofauti.d) (i) Hatuazakimakusudikulifanyiatamkohilikazihazipo.

(ii) Kenya hainachomborasmi cha kuendeleza Kiswahili (2x1=2)

E (i) Kiswahili kina zidi kupanuka kila uchao.(ii) Kiswahili kimepiga hatua katika utunzi wa kimajaribio. (2x1=2)

F (i) Mwandishi Mashuhuri/aliyebobea (ala1)(ii) Lughainayounganishawatuwenyelughatofautitofautikatikamawasiliano. (ala1)(iii) Kupuuza (ala1)

h - zozote (6x ½ = 3)s - popotealamaipo

2. UFUPISHO (ALAMA 15)A (i) Ajira ya watoto husababishwa na umaskini unaozikumba jamaa nyingi.

(ii) Ufahamu mdogo wa thamani ya elimu wa baadhi ya watu. (iii) Watotokushurutikakujitafutiarizikiwenyewekwasababuyahaliduniyafamiliazao. (iv) Wazazi kutelekeza majukumu yao yakimsingi ya kukimu jamaa yao. (v) Kupukutika kwa viongozi wa jamaa kutokana na janga sugu la ukimwi. (vi) Wazazi kutowaelekeza watoto wao kujua maadili mema. ( Hoja 6 x 1 = 6)

B (i) Serikalikufanyajuhudikuhakikishakuwaumaskiniumepigwa vita.(ii) Wananjamii wote wapewe nafasi sawa za kujikwamua kutoka lindi la umaskini. (iii) Kupanua nafasi za elimu kukidhi idadi kubwa ya watoto. (iv) Kuhakikisha kupitishwa kwa sheria zinazolinda motto dhidi ya ukatili (v) Kusaidiavikundivinavyojitahidikuwasaidiawatoto. (vi) Kuwahamasisha wanajamii kuhusu haki za watoto.

Haya 6 x 1Maki a = 6

b = 6Utiririko = 3

15

3. MATUMIZI YA LUGHA (ALA 40)(a) (i) /o/ (Alama 2)

(ii) /m/b) Mofimuzinazoambatanishwanamziziwakitenziilikutoamaanatofautitofautikisarufi. (Alama 2)c) Mfano: a -li-ye-m-pig-a ( ½ x 6) = 3d) Amerudi ?

Amerudi !Amerudi. (Alama 3)

e) Haliya ‗a‘ (Alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 178

Page 180: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

f (i) Lizwa(ii) Pea (Alama 2)

g) zizi - Sehemuyamenoambayohaibadiliki. (1)Mzizihuru - hauhitajikuongezewakiambishi

mfsafi, sahau, mama (1)Mzizifunge - Huongezewa viambishi km

- eupe, -chafu, (1)h) Jigombe lile limeumia kwato. (2)(i) Ka - Kuonyesha mfululizo wa vitendo

- Wakatiujao- Kutoa rai/amri- Haliyakufanyikakwavitendo. (zozote 2)

J. Kirai nomino - WazaziwetuKirai kitenzi -WatawasiliKirai kielezi - Kesha saa tatu . (1x3=3

k) Wanafunziwatakaolaladarasani - KiimaWatandibiwavikali - Kiarifa. (2 x 1 =2)

l) Kipozi - KekiKitondo - wanafunziAla - Kisu 3 x 1 = 3)

m)S ½

KN KT ½W ½ S ½ T ½ E ½

Sisi Tulipokuwa shuleni Tulisoma Kwabidii½ x 6 = 3

n) - King‘ong‘o - mf. NilinunuaNg‘ombewawili.- Kuonyesha ufupisho wa silabi katika shairi km - mefika- Kuonyesha tarakimu iliyoachwa k.m. nilizaliwa mwaka. Wa ‘62. (zozote 2 x 1= 2)

o) Mama alisemayakwambawangeendakwaosikuhiyo. (ala2)p) dhuluma, dhalimu, mdhulumiwa. (Alama 2)q) Ki-vi. Mfano kipepeo - vipepoe

M - Mi - mfano mtume - mitumeM/w - wa mfano mtu - watuCh - vy mfanochura -vyura

Zinazochukua kiambishi ma - katika wingi.Daktari -madaktari.Zisizobadilikakatikaumojanawingi.Punda - punda zozote 3 x 1 = 3)

4. ISIMU JAMII (ALAMA 10)A (i) Atharizalughaya kwanza

(ii) Kutofahamukanunizakisarufi (iii) Kutoelewakaidazamatumiziyalugha (iv) Ujumuishajiwakanunizasarufi. (v) Uhamishajiwakanunizalughamojahadinyingine. (vi) Kuzungumza au kuwazakwaharaka. (vii) Haliyakiakiliwakatimtu anapotumialugha. (viii) Makosayalughakimakusudi. (zozote 4 x 1 = 4)

B (i) Kiswahili nitokeo la maingilianobainayawafrikanawaarabu. Maingiliano ya kibiashara, kijamii na hata kindoa baina ya wenyeji wa pwani na waarabu. (ii)

Kiswahili kilitokana na lugha za kibantu. (iii) Kiswahili kilitokana na Kiarabu kwasababu kina msamiati wa Kiarabu. Asiliyajina Kiswahili lilitokanananeno la kiarabu

―sahili‖ (iv) Chanzo cha Kiswahili ni Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo kwa sababu wabantu walitoka Kongo na kusambaa mpaka

pwani ya Afrika Mashariki .(zozote 2 x 2 = 4)

Top grade predictor publishers Page | 179

Page 181: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

C (i) Kiuchumi - maendeleo na ubunifu wa viwanda yanafanya watu kuhamia mjini na kuacha kuzungumza lugha moja nakuzungumza lugha nyingine kwa mawasiliano.

(ii) Uchachewawazungumzaji - idadiyawazungumzajiwa lugha fulani inapopungua, lugha hiyo inakabiliwa na tishio la kufifia.

(iii) Kitoungwa mkono na taasisi mbalimbali k.m. elimu, dininavyombovyahabari. (iv) Hadhi- lugha ambazo hazina hadhi hufa. (v) Ndoa za mseto - watoto huzungumza lugha ya maana kwa maana ndiye anakaa nao kwa muda mrefu na kutojua ya

baba. (vi) Kuhama - kutoka sehemu moja hadi nyingine na pengine kusahau lugha zao kabisa. (vii) Sababuzakisiasa. (viii) Atharizaelimu.

Top grade predictor publishers Page | 180

Page 182: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

KAUNTI NDOGO YA GATUNDU MTIHANI WA MAKADIRIO KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1 a) Haya ni maneno ya Daktari Siki akimwambia Tatu alipomtembelea ofisini mwa Siki. Tatu alitaka kujua kama Daktari siki atawasaidia kwa kumtembelea meya awaeleze hali ilivyo mbaya katika zahanati ya ukosefu wa dawa za kutumia.

(ala 4x1) b) methali

Heri nusu shari kuliko shari kamili. (ala 2x1)c) Ni mzalendo

Ni msomi Ana msimamo thabiti Mtetezi wa wanyonge Ni jasiri Ni msaliti. (zozote 3 x 2)

(d) Mgogoro wa kikazi - waridi kuacha kazi.- wafanyakazi kutoongezewa mishahara.

Mgogoro wa kisiasa - meya kugombana na Diwani IIIMgogoro wa kibiashara - mwanakandarasi kutisha kumshtaki meyaMgogoro wa kiafya - ukosefu wa dawa.Mgogoro wa wafanyakazi - siki kugombana na waridi

- meya kugombana na Diwani JMgogoro wa kijamaa - meya kugombana na SikiMgogoro wa kirafiki - Siki anamsaliti meya.Mgogoro kati ya askari na wafanyakazai. Mgogoro wa wanyonge na wenye nguvu- Dida na meya. (zozote 4 x 2)

2.a) Ni maneno ya mtemi Nasaba bora.

Kwa AmaniWalikuwa nyumbani kwa mtemi baada ya Amani kumkabili na kushurutisha amweleze ukweli kuhusu kuuliwa kwa babakena pia jinsi amuye Yusufu alivyoishia kufungwa jela. (al4x1)

b) Alimwokoa mtemi Nasabora kutoka kwa Oscar kambora.Alikilea kitoto uhuru Alifanya kazi ya uchungaji vizuri Alimsaidia Bi, zuhura wakati Mashaka alikuwa mgonjwa. Aligawa shamba lake alipolipata Alimuokoa amu yake Yusufu. (zozote 4 x 2)

c) Kielelezo cha mapenzi yasiyokomaa kwa vijana katika jamii.Ametumiwa kuonyesha uozo wa jamii anapowachekelea vilema.Ametumiwa kuonyesha udanganyifu na uvivu wa mwalimu majisifu.Anaonyesha maudhui ya elimu na vile yalivyokatizwa na uhusiano wake wa kimapenzi akiwa shuleni.

3a) Siachi kutenda wema. (ala2)b) haachi kutenda wema

Akiambiwa ni mbaya Akipewa mali ya kumshawishi Angetiwa jela Watu wakumunia Akilazimishwa Akilalia kirago. (al 6x1)

c) Ametumia lahaja - siati, TautendeInkisari - sitomehe

Tabdila - ungawa- Sitokubali. (ala 2 x 3)

d) Ingawa wema ni mchungu nitajizuia kuutema.Nitautenda kisha niende zangu na kuacha wanaosemaMalipo yangu ni kutoka kwa mungu kwani yenu si ya lazimaSiachi kutenda wema hata kama ni gharama kwangu. (ala 4x1)

Top grade predictor publishers Page | 181

Page 183: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

e) Masaba ya mamako.Hekima ya wahenga. (ala 2x1)

4)a) Mashairi huru/vue. (ala 1)b) Mshairi (A) analalamika kuwa Hadija amemuua mumewe kwa kumpa sumu.

Mshairi (B) anawalamikia vijana ambao wanamcheka ati amezeeka na kupitwa na wakati.(al2x2) c) Katika shairi (A) Hadija alidhani kumuua mumewe kungempa suluhisho lakin badala yake amejiletea matatizo zaidi.

Katika shairi (B) vijana wanamsengenya na kumdhihaki mzee kwa uzee wao ilhali wao wanaendelea kuzeeka. (ala2 x 2)

d) Balagha - matumizi ya maswali- kwa nini mwanicheka kisogo?

Nidaa - matumizi ya alama ya kuamrishaMwafikiri mwaniacha nyuma! (ala4)

e) Mshairi anamuuliza Hadija anaelekea wapi kwani amemuua mumewe na kujiletea matatizo mengi.(ala 2 x 1)

(f) Inkisari - nendako -niendako. (ala1)(g) Dhamira ya mshairi katika shairi (A) ni kutuonya dhidi ya mauaji kama mbinu ya kusuluhisha matatizo.

Katika shairi (B) mshairi anaonyesha umuhimu wa kutodharau wazee kwa sababu ya umri wao.(ala 4 x 1)

5.a) Ulumbi ni uhodari wa kuzungumza au kuiga mazungumzo kwa usanii na uhodari murwa.(al 2)b) Ujuzi wa kina wa utamaduni, desturi, mila na sheria za jamii.

Awe na mzingiro mpana wa maisha Ufundi wa kutumia mbinu mbalimbali za kuwasilisha km nyimbo Ufundi wa kutumia lugha, semi na mafumbo Umahiri wa kughani, kusema kwa mfululizo na mwendo wa kasi Kutumia sauti inayosikika bila shida Ufundi wa kutumia kunga za maswali. (zozote 4 x 2)

c) Lakabu ni majina ya msimbo ambayo baadhi ya watu hupewa au kujipatia hasa kutokana na sifa za kitabia.Ni majina ya kupanga au ya utani. (ala2 x 1)

d) Hutokana na kulinganisha sifa za vitu viwili.Hupiga chuku Huwa na sifa hasi kwa lengo la kukejeli Huwa na sifa chanya kwa lengo la kumhimiza mhusika (zozote 2 x 4)

6. a) Maudhui ya fasihi simulizi yanajitokeza katika fasihi andishi.

Utanzu wa fasihi simulizi huwa na dhamira zinazofanana na fasihi andishi. Kuna utendaji kwa fasihi zote mbili kama tamthilia Lugha inatumiwa kama chombo cha kuiwasilisha. Usimulizi hutumiwa na fasihi zote mbili hasa riwaya. Fani kama wahusika hujitokeza kwa fasihi zote mbili (ala 5 x 2)

b) Huwasilishwa kwa njia ya mdomo mbele ya hadhiraHutumia lugha yenye mvuto na mapigo Huwasilishwa na mtu mmoja Huweza kubuniwa papo hapo na kuwasilishwa Baadhi huwasilishwa kwa kuambatana na ala za muziki. Huwa sehemu ya utamduni wa jamii. Huweza kubadilika kulingana na anayewasilisha. (zozote 5 x 2)

7. Samaki wa nchi za joto.a) Utabaka

Tabaka la juu linaishi mitaa ya kifahari kama Tank Hill. Tabaka la juu lina pesa nyingi kama Jagit Watu wa tabaka la juu wanaenda anasa kama sinema Tabaka la juu linaend hoteli za kifahari kama Entebbe Sailing Club. Tabaka la chini wanafanya kazi za nyumbani na viwandani kama Decgracias. Tabaka la chini lina mahitaji ya pesa kama Christine na Zach. Mwana wa Darubini.

Utabaka. Bwana Mwatela anafanya kazi Simba Breweries

Top grade predictor publishers Page | 182

Page 184: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Tabaka la juu linafanya kazi za kifahari kama mwalimu Maria Mwatela ana pesa nyingi hata anaajiri watu wengi. Ana gari na nyumba za kifahari Kananda anatoka familia yenye maskini.

(b) Ukatili (Samaki wa Nchi za Joto) Christine alipata mimba ya Peter Christine alitoa mimba Jagit alipatia Peter pesa bandia

Ukatili. Kananda aliuzwa kwa dereva aliyekuwa akielekea Kongo Kananda alinyanganywa mtoto na Bw. Mwatela. Mwakitawa alimgonga Kananda kwa jiwe na kumuumiza Bw. Mwatelaa alimtia mimba kijakazi wake Kananda Mwatela hakumwambia mwakitawa kuwa yeye si babake. Mwatela alimtengenezea mwakitawa Manati ya kupiga Kananda au yeyote atakaye mchukua.

(zozote 20 x 1 = 20)

Top grade predictor publishers Page | 183

Page 185: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI - 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. Lazima.Mmetamatisha masomo yenu ya kidato cha nne, kuna sherehe ya mahafali. Umechaguliwa na wenzako kama kiranja mkuukuyazungumzia matatizo yaliyowakumba katika kipindi cha masomo yenu, mbele ya mgeni mwalikwa,waziri wa elimu. Andika risala yako.

2. Eleza chanzo cha unywaji wa pombe haramu hapa nchini.3. Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti.4. Andika insha itakayoanza kwa:-

Nilikaa pale kwa mseto wa hisia, nisijue kama nilifurahishwa ama nilihuzunishwa na kisa hicho…………………..

MTIHANI WA PAMOJA WA WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI - 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU

Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali. Bila shaka, umewahi kusikia kuwa afya ni taji. Hakuna ajuaye haya vyema kama anayeugua. Wanaoelewa usemi huu huthamini na kudumisha siha yao kwa kila njia. Licha ya lishe bora, michezo ni muhimu katika kudumisha afya njema. Mtu asiposhiriki katika michezo au unyoshaji wa viungo, mwili hunyong‘onyea na kunenepa. Mwili mnyonge ni windo rahisi la maradhi. Kushiriki katika michezo hukuepusha na kutingwa na shughuli za maisha ya kileo. Shughuli hizi zisipodhibitiwa huweza kumdhuru mtu kiafya.

Maradhi hatari ya moyo, akili na shinikizo la damu husababishwa na shughuli katika maisha yetu. Hapa ndipo michezo inaingilia. Michezo huyeyusha mafuta mwilini na kutukinga dhidi ya maradhi yanayosababishwa na unene wa kupindukia. Kushiriki katika michezo vilevile hujenga ushirikiano na umoja. Michezo hutufundisha uwajibikaji. Mathalani, mlindalango atalenga kulilinda lango na kuhakikisha kuwa hamna bao linaloingia langoni. Washambulizi nao watalenga kushambulia lango la wapinzani huku waking‘ang‘ania kwa udi na uvumba kufunga bao.

Wachezaji ni sharti watii kanuni na sheria zinazotawala mchezo. Aidha, lazima wakubali amri za refa, kocha na waamuzi wengine ili kuimarisha nidhamu michezoni.

Watu hujipatia riziki kwa kushiriki michezo. Sasa hivi, kuna wanamichezo ambao wamesifika sana duniani. Baadhi yao wamevuka bonde la uchochole na kuwa wakwasi kutokana na talanta zao michezoni. Bila shaka, majina kama vile David Rudisha, Vivian Cheruiyot, Jason Dunford, Colins Injera na Dennis Oliech yakitajwa, kila awajuao huwavulia kofia.

Tangu jadi, michezo imekuwa kitegauchumi kote duniani. Wagiriki, kwa mfano walianzisha michezo ya Olimpiki karne nyingi zilizopita, takribani miaka 776 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Michezo hii ilipoanza ilishirikisha Wagiriki kutoka himaya zote za Ugiriki. Baadaye, watu wengine waliposhuhudia faida zilizotokana na michezo hii, walikubali kushirikishwa. Michezo ya Olimpiki ikawa si ya Wagiriki tu, bali dunia nzima.

Baada ya hapo pamekuwa na michezo mingine ambayo inashirikisha watu kutoka kila pembe ya dunia. Mchezo wa kandanda wa kuwania Kombe la Dunia, michezo ya raga na riadha ni baadhi tu ya michezo ya kimataifa.

Watu kutoka maeneo mbalimbali ulimwenguni wanapokutana kwa michezo, nchi na watu wake hufaidika sana kiuchumi. Wenyeji hupata soko la kuuza bidhaa zao. Wakulima hufaidi kuuza vyakula wanavyokuza. Mikahawa nayo hujaa wageni tele huleta fedha za kigeni. Wafanyabiashara katika sekta ya usafiri na wenye hoteli nao huchuma kutoka kwa washiriki na mashabiki. Nchi inayoandaa mashindano hayo, aidha hupata sifa kimataifa.

1. Taja aina mbili za mbinu-ishi ambazo hupatikana kwa kushiriki katika michezo. (alama 2)2. Michezo ina nafasi gani kiuchumi? (alama 4)3. ―Faida za michezo ni nyingi.‖ Thibitisha kauli hii kwa kutoa mifano minne kutoka kwenye taarifa. (alama 4)4. Eleza maana za msamiati ufuatao kulingana na taarifa uliyoisoma. (alama 3)

(a) kwa udi na uvumba.(b) limbukeni.(c) huwavulia kofia.

5. Eleza faida nyingine mbili za michezo ambazo hazikutajwa katika taarifa. (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 184

Page 186: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

2. UFUPISHO

Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali yanayofuata.

Kadiri jamii mbalimbali zinavyotagusana, ndivyo lugha zinazozungumzwa na jamii hizi nazo zinavyoingiliana na kuathiriana. Mojawapo ya athari hizi ni ukopaji wa msamiati. Jamii zinazopakana au kutagusana kukopa msamiati kutoka kwa lugha jirani na kuutumia kuelezea dhana mpya zinazoingia katika utamaduni wao kupitia kwa mitagusano ya kijamii.

Lugha ya Kiingereza, kwa mfano, imekopa kutoka lugha nyingine kama vile Kifaransa na Kilatini. Mathalani, istilahi nyingi za kisheria zimekopwa kutoka lugha ya Kifaransa. Aidha, Kiingereza kimekopa kutoka lugha ya Kiswahili. Maneno ya Kiswahili kama vile mwalimu, jiko, mandazi, panga, buibui, ngoma na hata wananchi, sasa yameingia katika kamusi za Kiingereza, kumaanisha kuwa yamekubaliwa kama msamiati rasmi wa lugha ya Kiingereza.

Kiswahili nacho kimeathiriwa na lugha nyingine. Kimekopa msamiati wa Kiingereza na hata Kiarabu. Katika tungo nyingi za kishairi, kwa mfano, Utenzi wa Mwanakupona utapata msamiati wa Kiarabu uliotoholewa. Lugha nyingine ambazo zimeathiri Kiswahili ni pamoja na Kijerumani ambako msamiati kama vile ‗shule‘ ulikopwa na kutoholewa na neno schule. Msamiati kama vile „leso‟, „karata‟ na „mvinyo‟ yamekopwa kutoka lugha ya Kireno, huku majina ‗balozi‘ na ‗bahasha‘ yakikopwa kutoka Kituruki.

Pamoja na ukopaji wa vipengele vya lugha, mtagusano wa lugha una athari nyingine. Lugha zinapokuja pamoja, mazingira ya wingi-lugha husuka. Baadhi ya watu hujifunza zaidi ya lugha moja. Mtu anayeweza kuzungumza zaidi ya lugha moja anaweza kujieleza kwa urahisi kwa kuchanganya msamiati wa lugha tofauti. Aidha, anaweza kubadilisha msimbo kulingana na matilaha yake. Ikiwa anataka kukubalika na jamii-lugha anayotagusana nayo, atatumia lugha ya jamii hiyo ili kujinasihisha na kujitambulisha nayo. Wazungumzaji hupata visawe vya maneno kuelezea dhana zile zile, hivyo kuboresha mitindo yao ya mawasiliano.

Kadhalika, kutagusana kwa lugha kunaweza kusababisha kubuniwa kwa lugha ngeni ambayo inarahisisha mawasiliano. Wakati mwingine, watu wanaozungumza lugha tofauti wanapokutana, hubuni mfumo sahili wa lugha ili kufanikisha mawasiliano. Pijini ni mfano wa lugha iliyobuniwa kwa njia hii. Pijini huchota msamiati kutoka lugha zilizotagusana. Sheng ni mfano mwingine wa lugha ambayo ilibuniwa kutokana na kutagusana kwa lugha ya Kiswahili, lugha za kiasili na Kiingereza.

Japokuwa kuna faida nyingi za wingi-lugha, hasara pia zipo. Mazingira ya wingi-lugha huwapa wazungumzaji fursa ya kuchagua lugha wanayotaka kuwasiliana kwayo. Katika hali hii, lugha yenye ushawishi mkubwa kijamii, kiuchumi na kisiasa ndiyo inayopendelewa zaidi. Wingi-lugha unaweza kusababisha kukwezwa kwa lugha moja na kudunishwa kwa lugha nyingine. Mathalani, kuwepo kwa lugha nyingi nchini kulizua haja ya kukwezwa kwa lugha ya Kiswahili huku nyingine za kiasili zikipuuzwa.

Lugha hukua kwa kutumiwa. Lugha isipozungumzwa kwa muda mrefu, watu hupoteza umilisi ambao huifanya kuwa vigumu kuirithisha kwa vizazi. Lugha inaweza pia kukosa wazungumzaji ikiwa wale wanaoizungumza ni wachache, au ikaathiriwa na mtagusano na lugha nyingine iliyo na wazungumzaji wengi. Katika hali kama hii, lugha hiyo hukabiliwa na tisho la kudidimia au hata kufa. Ikiwa jamii lugha itakosa kudhibiti sera za matumizi ya lugha yake, baadhi ya lugha ama zitafifia u zitakufa na kusahaulika kabisa.

1. Bila kupoteza maana, fupisha aya za kwanza tatu. (Maneno 50)(Alama 10, 3 za mtiririko)

2. Kwa mujibu wa taarifa hii, mtagusano wa lugha una athari gani? (Maneno 30)

3. SARUFI (MATUMIZI YA LUGHA): (ALAMA 40)(a) Andika sifa zozote mbili za kila mojawapo ya sauti hizi. (alama 4)

/j/ ……………………………………………………………………………./p/ ……………………………………………………………………………./t/ ……………………………………………………………………………./w/ …………………………………………………………………………….

(b) Eleza dhana ya „mofimu‟. (alama 1)(c) Badilisha kielezi „bidii‟ kiwe kitenzi kwa kukitungia sentensi. (alama 2)(d) Yakinisha sentensi hii.

Asiposoma hatapita mtihani vizuri (alama 1)(e) Andika katika wingi. (alama 2)

Rukwama ya jirani iliharibiwa na mama huyo.(f) Tunga sentensi ukitumia. (alama 2)

(i) Kihusishi cha ulinganisho(ii) Kihisishi cha hasira

(g) Bainisha virai vyovyote viwili katika sentensi hii. (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 185

Page 187: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Kikombe cheupe pe kilicho juu ya meza ni cha mwalimu mgeni (h) Andika sentensi hii katika hali ya udogo/wingi. (alama 2)

Mbwa wetu alifukuzwa na mbweha karibu na mwitu. (i) Tunga sentensi yenye muundo ufuatao. (alama 2)

Kitenzi halisi + kirai kielezi + kitenzi + kitenzi kikuu + kiunganishi + nomino ya jamii. (j) Eleza tofauti kati ya (alama 2)

Dawa yote itanywewa ………………………………………………………….. Dawa yoyote itanywewa…………………………………………………………

(k) Nyambua kitenzi kilicho mabanoni katika kauli iliyotajwa. (alama 1)Mhubiri …………………………….. katika maandalizi ya karamu hii,(shiriki, tendeshwa)

(l) Akifisha. (alama 2)basi shemeji akasema otieno hivyo ndivyo tunavyoweza kufaulu katika maisha wewe waonaje

(m) Tumia kiwakilishi cha „a‟ unganifu pamoja na kiashiria cha mbali sana kutunga sentensi. (alama 2)(n) Kwa kutolea mifano ya sentensi eleza matumizi mawili ya kiambishi ‗ku‘. (alama 2)(o) Kwa kutumia jedwali, changanua sentensi hii. (alama 4)

Mama alipata kunieleza ingawa hakutaka nimwamini.(p) Tunga sentensi katika kauli ya kutendata ukitumia kitenzi fumba. (alama 2)(q) Andika sentensi ifuatayo katika wakati ujao hali timilifu. (alama 2)

Gikonyo alitia embe kabatini na akafunga. (r) Andika sentensi hii katika hali ya kuamrisha wingi. (alama 1)

Ondoka hapa.(s) Taja aina za yambwa. (alama 2)

Watoto walimjengea mama yao nyumba kwa matofali(t) Kwa kutolea mifano miwili mwafaka, eleza dhana ya „shadda‟. (alama 2)

4. ISIMU JAMII: (ALAMA 10):1. (a) Eleza nadharia tatu kuhusu chimbuko la lugha ya Kiswahili. (alama 6)

(b) Taja matatizo yanayokumba kukua kwa lugha ya Kiswahili nchini Kenya. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 186

Page 188: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI - 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SEHEMU A: HADITHI FUPI: Damu Nyeusi Na Hadithi Zingine 1. Lazima.

―…….. Naomba msaada wako ……. ‖(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Mhusika anayezungumziwa katika dondoo hili alikuwa na sifa gani? (alama 4)(c) Onyesha jinsi mhusika uliyemtolea sifa katika (b) na wahusika wengine kwengineko katika hadithi hii wanavyoonyesha

kuwajibika. (alama 12)

SEHEMU YA B: TAMTHILIA: T. Arege Mstahiki MeyaJibu swali la 2 au 3

2. ―Njaa ina nguvu. Imeangusha miamba wenye mengi maguvu‖.(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Fafanua sifa nne za mzungumzaji. (alama 4)(c) Onyesha ukweli wa kauli hii kwa kurejelea tamthilia yaMstahiki Meya. (alama 10)(d) Bainisha mbinu mbili za lugha zilizotumiwa katika dondoo hili. (alama 2)

3. Huku ukirejelea tamthilia ya Mstahiki Meya jadili changamoto zinazokumba ukuaji wa uchumi wa mataifa machanga.(alama 20)

SEHEMU YA C: K. Walibora: Kidagaa KimemwozeaJibu swali la 4 au 5

4. ―Lakini one day muwapo wadosi msinisahau mwenzenu‖.(a) Weka dondoo hili kwenye muktadha wake. (alama 4)(b) Bainisha mbinu ya utunzi katika dondoo hili. (alama 2)(c) Kwa kurejelea riwaya nzima onyesha matumizi ya mbinu hii iliyotumika na maudhui yaliyoendelezwa kupitia kwayo.

(alama 14)5. ―Kwa kila mtawala katili kuna umma unaomruhusu ama kumpa uwezo wa kutekeleza ukatili‖.

(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Fafanua ukweli wa dondoo kwa kutoa mifano ya kina. (alama 4)(c) Fafanua kuhusu maudhui ya ukatili riwayani. (alama 12)

6. USHAIRI:

Jicho, tavumiliaje, kwa haya ujaonayo? Jicho, utasubirije, maonevu yapitayo? Kiwacho, lijalo na lije, nimechoka vumiliya

Naandika!

Moyo, unao timbuko, maudhui tusikiayo Nayo, visa mauko, wanyonge yawakutayo Kwayo, sina zuiliko, natoa niyahisiyo

Naandika!

Hawa, wanatulimiya, Dhiki wavumiliayo Hawa, mamiya, na mali wazalishayo Hawa, ndo mamiya, na maafa waikutayo

Naandika!

Hawa, sioni wengine, kwao liko angamiyo Hawa, huwapa unene, kwao liko angamiyo Hawa, bado ni wavune, kwa shida waikutayo

Naandika!

Bado, wawapo mabwana, wenye pupa na kamiyo Bado, tofauti sana, kwa pato na mengineyo Bado, tuling‘owe shina, kwa shida waikutayo

Naandika!

Maswali

Top grade predictor publishers Page | 187

Page 189: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(a) Pendekeza anwani kwa shairi hili. (alama 2)(b) Eleza umbo la shairi hili. (alama 4)(c) Fafanua ujumbe wa ubeti wa kwanza kwa lugha tutumbi. (alama 4)(d) Tambua nafsi-nenewa na sababu ya kunenewa? (alama 2)(e) Kwa kutoa mifano eleza jinsi idhini ya utunzi ilivyotumika katika shairi hili. (alama 2)(f) Ainisha bahari mbili zinazoafiki utungo huu na sababu za uamuzi wako. (alama 4)(g) Eleza maana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumika katika shairi. (alama 2)

(i) Timbuko (ii) Ndo mamiya

7. USHAIRI:

Maendeleo ya Umma 1. Maendeleo ya umma

Sio vitu maghalani Kama tele vimesaki

Lakini havishikiki Ama havikamatiki Ni kama jinga la moto Bei juu

2. Maendeleo ya ummaSio vitu gulioni

Kuviona madukani Kuvishika mikononi Na huku wavitamani

Kama tama ya fisi Kuvipata ng‘o

3. Maendeleo ya ummaSio vitu shubakani

Dhiki ni kwa mafakiri Nafuu kwa matajiri Ni wao tu washitiri

Huo ni ustiimari Lo! Warudia

4. Maendeleo ya ummaNi vitu kumilikiwa

Na wanyonge kupatiwa Kwa bei kuzingatiwa Bila ya kudhulumiwa

Na hata kuhadaiwa Hiyo ni haki

5. Maendeleo ya ummaDola kudhibiti vitu

Vijapo nchini mwetu Na kuwauzia watu Toka nguo na sapatu

Pasibakishiwe na kitu Huo usawa

6. Maendeleo ya ummaWatu kuwa na kauli

Katika zao shughuli Vikaoni kujadili Na mwisho kuyakubali

Maamuzi halali Udikteta la

7. Maendeleo ya ummaWatu kuwa waungwana

Vijakazi na watwana Nchini kuwa hakuna Wote kuheshimiana

Wazee hata vijana Kutoka Fungate ya uhuru

Maswali

Top grade predictor publishers Page | 188

Page 190: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(a) Shairi hili ni la aina gani? Toa sababu zako. (alama 2)(b) Eleza dhamira ya mwandishi kuandika shairi hili. (alama 3)(c) Toa mifano mitatu ya urudiaji katika shairi hili. Je urudiaji huu una kazi/majukumu gani? (alama 6)(d) Onyesha matumizi mawili ya tamathali za usemi katika shairi hili. (alama 4)(e) Eleza toni ya mashairi. Toa sababu. (alama 1)(f) Nafsi neni ni nani? (alama 1)(g) Toa mfano mmoja wa taswira katika shairi hili. Je, taswira hiyo inajengwa na nini? (alama 3)

SEHEMU YA D: FASIHI SIMULIZISwali la naneZingatia picha ifuatayo kisha ujibu maswali.

(i) (a) Tambua kipera cha fasihi simulizi kinachowakilishwa na muktadha wa picha hii. (alama 1)(b) Toa sababu mbili za jawabu lako katika swali la (a). (alama 2)(c) Jadili sifa zozote tano zinazotambulisha kipera hiki. (alama 5)(d) Jadili udhaifu wa kipera hiki katika jamii ya kisasa. (alama 4)

(ii) (a) Kuna mfanano mkubwa kati ya ulumbi na hotuba. Thibitisha. (alama 8)

Top grade predictor publishers Page | 189

Page 191: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI - 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1 Risala iwe na muundo ufuatao: JINA LA SHULE KICHWA CHA RISALA

Risala ni ya nani (mahafali wa kidato cha nne, mwaka upi), inalenga nani (jina lake na cheo na tarehe. UTANGULIZI - Uwe na salamu.- Lengo la risala.- Mafanikio mliyoyapata.MWILIUwe na:

- Hali iliyoko- Matatizo na mapendekezo k.m.

(i) Kulazimishwa kurudia darasa.(ii) Mabadiliko ya mitaala.(iii) Karo ya shule kuwa juu.(iv) Upungufu wa waalimu.(v) Ukosefu wa vifaa.(vi) Mazingira mabaya k.m majengo ya baa, kanisa, soko n.k. karibu na shule.(vii) Uzembe wa waalimu k.m walimu walevi, kutohudhiria vipindi n.k. (viii) Matumizi mabaya ya fedha za shule. Hoja nyingine yoyote sahihi.

HITIMISHO Mwanafuzi anaweza kusisitiza umuhimu wa kutoa risala yake kwa mgeni mwalikwa (cheo chake na uwezo wa kutilia maanani mapendekezo yao) na atoe shukrani. Jina la Mwanafunzi Cheo chake

2. Mwanafunzi azingatie hoja kama vile:(i) Umaskini.(ii) Uzembe. (iii) Ukosefu wa ajira. (iv) Mshahara duni. (v) Kutowajibika. (vi) Shinikizo la wanarika au marafiki. (vii) Bei yake ambayo ni rahisi/bei nafuu kuliko pombe inayotengenezwa na kampuni kama vile Kenya Breweries, Keroche

n.k. (viii) Kupatikana kwa urahisi.

3. MAANA:Tusihadaiwe na uzuri wa nje kutokana na mapambo ya kitu au mtu bali ni muhimu kuchunguza undani wake kwa makini ili tubainishe uzuri wake. MTINDO: Mtahiniwa aandike kinathari. Kisa, kikuze pande zote mbili kikamilifu.

4.˗ Mtahiniwa aweze kujenga kisa ambacho kinamhusisha yeye kama mhusika mkuu.˗ Akijenga mhusika mkuu mwingine amepotoka˗ Asibadili wakati uliotumika katika swali.˗ Mwalimu ahakikishe mwanafunzi ameonyesha hisia mseto.

Top grade predictor publishers Page | 190

Page 192: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI - 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1.1. UFAHAMU

˗ Utiifu˗ Ukakamau˗ Nidhamu˗ Bidii˗ Stahamala

2.- Wachezaji wameweza kujipatia riziki.- Sekta ya utalii na mahoteli hunogea wakati wa mashindano ya michezo.- Sekta ya usafiri hufaidika kwa kusafirisha wageni na wenyeji.- Mikahawa huimarisha biashara kwa kuongezeka kwa wateja.

3.- Huimarisha afya.- Huimarisha uchumi kwa kuboresha hali ya maisha.- Hujenga ushirikiano na utangamano.- Hujenga nidhamu.- Hukuza vipawa.- Huwaletea sifa wachezaji.

4.- Kwa vyovyote vile.- Mwanagenzi/asiyejua.- Huwaheshimu/huwastahi.

5.- Kuunga undugu na kuondoa uhasoma kati ya jamii tofauti.- Kadhibiti matendo yasiyo kubalika na jamii. Vijana kutumia nishati zao katika michezo badala ya kushiriki katika matendo

mengine mabaya kama vile ujambazi, au matumizi ya dawa za kulevya.- Ni njia ya kujipumbaza.- Hujenga uzalendo.

2. UFUPISHO1. HOJA ZA KUZINGATIA (Alama 10, 3 za mtiririko)

- Mitagusano ya kijamii hufanya lugha kuathiriana.- Ukopaji wa vipengele vya lugha ni moja ya athari hizo.- Msamiati hukopwa ili kueleza dhana ngeni.- Lugha zote hukopa.- Kiingereza kimekopa kutoka.- Kilatini, Kifaransa na Kiswahili.- Kiswahili nacho kimekopa kutoka.- Kiingereza, Kiarabu, Kireno, Kituruki na Kijerumani.

MFANO WAJIBU HALISI Mitagusano ya kijamii huleta maingiliano yana yosababisha jamii kuathiriana kilugha. Baadhi ya athari hizo na ukopaji wa vipengele vya lugha. Msamiati hukopwa ili kuelezea dhana mpya lugha zote hukopa msamiati kwa mfano Kiingereza, Kiarabu, Kituruki, Kireno na Kijerumani (maneno 48).

2. HOJA ZA KUZINGATIA (Alama 5, 1 za mtiririko)- Kuzuka kwa hali ya uwingi - lugha.- Ukuaji wa lugha.- Kuzuka kwa lugha mpya.- Kudunishwa kwa lugha.- Kufa kwa lugha.

MFANO WA JIBU HALISI Mtagusano wa lugha una faida na hasara. Kwanza, husababisha kuzuka kwa hali ya wingi - lugha, aidha, lugha hukua kwa kukopa msamiati kutoka lugha nyingine. Mtagusano pia husababisha kuzuka kwa lugha mpya, kwa upande mwingine, uwingi - lugha hukwezwa na kudunishwa baadhi ya lugha, lugha inayodunishwa huingia katika ya kufa (maneno 47).

Top grade predictor publishers Page | 191

Page 193: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

3. SARUFI (MATUMIZI YA LUGHA(a) /j/ - Hutamkiwa katika kaka gumu.

- Si ghuna/hafifu.- Kipasuo.

/p/ - Hutamkiwa kwenye mdomo na meno.- Sauti sighuna.- Ni kipasuo

/t/ - Ni ya ufizi- Ni sauti sighuna- Ni kipasuo

/w/ - Ni kiyeyusho- Hutamkiwa kwenye mdomo na meno. (alama 4)

(b) Mofimu ni kapashio kidogo katika umbo la neno ambacho hakiwezi kuagawika zaidi na kilicho na maana ya kisarufi.(alama 1)

(c) Wanafunzi walijibiidiisha katika somo la hisabiti ili waboreshe alama zao. (alama 2)(d) Akisoma atapita mtihani vizuri. (alama 1)(e) Marukwama ya majirani yaliharibiwa na akina mama hao. (alama 2)(f) (i) Kuliko, zaidi

(ii) Kefule! Ebo! Po! akh!, aka! (alama 2)(g) 1 2 3

Kikombe cheupe pe, kilicho juu ya meza, ni cha mwalimu mgeniRVRHRN (alama 2)

(h) Vijibwa vyetu vilifukuzwa na vijibweha vyetu karibu na vijimwitu. (alama 2)(i) Waliowashambulia jana jioni wamekwisha kamatwa na kikosi cha askari. (alama 2)(j) - Bila kubakishwa

- Bila kuchagua (alama 2)(k) Shirikishwa (alama 1)(l) ―Basi shemeji‖, akasema Otieno, ―hivyo ndivyo tunavyoweza kufaulu katika maisha wewe waonaje?‖

(alama 2)(m) Pa kwenda ni pale. (alama 2)(n) (i) Ni kiambishi cha upatanisho wa kisarufi cha nomino za ngeli ya ku

nomino za vitenzi - jinakwa mfano: kuomba kwa Susan kunatia moyo?

(ii) Kama kiwakilishi cha nafsi ya pili. Umoja: Jane alikusalimu

(iii) Kiambishi cha ukanusho cha wakati uliopita. Hakuenda (iv) Kiwakilishi cha ngeli ya mahali.

- Ku (kusikodhirika)- Huku hakukaliki- Mwalimu akadirie (alama 2)

(o)

S S1 U S2

KN KT KN KTN TS T TS T

mama alipata kunieleza ingawa hukutaka nimwamini(alama 4)

(p) Mtoto amefumbata pipi mkononi. (alama 2)(q) Gikonyo atakuwa ametia embe kabatini na amefunga. (alama 2(r) Ondokeni hapa! (alama 1)(s) Watoto walimjengea mama nyumba kwa matofali

- Mama - tendewa- Nyumba - tendwa- Matofali - ala (alama 2)

(t) Shadda ni mkazo unaowekwa kwenye silabi katika neno ilikutoa maana iliyokusudiwa (1)- ‘Barabara - sawa (½)- Bara‘bara - njia (½) (alama 2)

4. ISIMU JAMII: (ALAMA 10):Top grade predictor publishers Page | 192

Page 194: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

1. Nadharia ya kwanza:- Kiswahili ni lugha mseto.- Wanaoshikilia mtazamo huu hudai kuwa Kiswahili ni lugha mseto.- Wanadai kuwa Kiswahili ni zao la kuingiliana kwa lugha za kigeni kama Kihindi, Kiarabu, Kiajemi na lugha za makabila ya

wenyeji wa pwani ya Afrika Mashariki.

Nadharia ya pili:- Kiswahili ni lugha inayotokana na tokeo la ndoa baina ya wanawake wa pwani ya Afrika Mashariki na Waarabu.- Wanaoshikilia nadharia hii wanadai kuwa watoto waliozaliwa walizungumza Kiswahili.- Aidha wanadai kuwa lugha ya Kiswahili ina msamiati mwingi wa Kiarabu.

Nadharia ya tatu:- Kiswahili ni lugha ya Kibantu.- Nadharia hii inatumia ushahidi wa kiisimu (sayansi ya lugha) na kihistoria.- Uchunguzi uliofanywa na Mtaalamu maarufu kwa Jina Guthurie unaonyesha kuwa.

(i) Msamiati mkubwa unaopatikana katika lugha ya Kiswahili una asili ya Kibantu.(ii) Muundo wa maneno, sentensi, vitenzi na hata upatanisho wa kisarufi wa lugha ya Kiswahili huhusiana sana na lugha

nyinginezo za Kibantu.(iii) Ngeli za nomino za Kiswahili na za Kibantu zinafanana. (Alama 2 kila nadharia)

2. (i) Sera mbovu za serikali kuhusu lugha hii.(ii) Lugha hii kuchukuliwa kama lugha ya wasiosoma.(iii) Ukosefu wa wataalamu wa kutosha na vifaa.(iv) Kuibuka kwa ‗sheng‘

Tanbihi: Mwalimu akadirie. (Alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 193

Page 195: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI - 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. SWALI LA KWANZA: HADITHI FUPI(a)˗ Anayeomba msaada ni Chris Masazu ambaye ni mwanafunzi katika shule ya wavulana ya Lenga juu.˗ Anayeombwa msaada ni Sela ambaye ni mwanafunzi katika shule ya wasichana ya Askofu Timotheo.˗ Masazu alikuwa anaomba msaada kwa kuelezea kama shule ya akina Sela ilikuwa na kliniki ili aweze kwaidiwa kwa

matibabu. ˗ Nia yake ya kutaka msaada haswa ilikuwa kupata msichana rafiki na kuacha kumbukumbu ya ziara hii. (alama 4)(b)˗ Mhusika katika dondoo hili ni Chris Masaku.˗ Ni mwenye mapenzi. Alikuwa anampenda Sela sana mpaka wakafika kiwango cha kuishi pamoja kama mume na mke baada

ya masomo yao ya sekondari.˗ Hakuvunja ahadi - Hakuvunja ahadi aliyomwekea Sela kuwa hatawahi kusaliti mahaba yao maishani mwake.˗ Alikuwa mfanyakazi mwenye bidii - Anafanya kazi ya kuvuna mkonge katika mji wa Dafina kwa bidii akakodisha nyumba

na kumlisha mkewe.˗ Hakuwa na uvumilivu - Masazu alikosa uvumilivu na kumwambia Sela kuwa walikuwa wawesimama kwa muda mrefu

wakingoja kwenda kumchukua kadogo nyumbani kwa akina Sela.˗ Ni msinzi - Anafanye mapenzi na Sela wakiwa bado ni mwanafunzi kabla ya kufunga ndoa. Haya bila shaka yalikuwa

mapenzi ya kuiba ambayo yana athari kwa vijana.˗ Ni mjanja - anatumia ujanja il aweze kuanzisha urafiki na Sela. Alidanganya kwamba anaumwa na kichwa.˗ Hana shukrani - Hatumwoni akitoa shukurani kwa Rozina kwa kuwasaidia kumchukua mtoto usiku na kumlea kadogo kiasi

cha kukatiza masomo yake kwa muda. Zozote 4 x 1 = 4

(c) Kuonyesha kuwajibika.˗ Mhusika anayezungumziwa ni Chris Masazu. Alipomtunga Sela mimba akiwa shuleni aliweza kuwajibikia tendo kike kwa

kuamua kuishi na Sela milele.˗ Sela alimwajibikia Masazu alipokuwa mgonjwa badala ya kumwacha aendelee kusumbuka, alimpeleka katika kliniki ya

shule.˗ Tabibu Sista pia alionyesha kuwajibika. Alipopashwa habari na Sela kuhusu kuugua kwa Chris, ingawa alikuwa anaondoka

alirudi kwenda kumtibu Masazu.˗ Walimu nao walionyesha kuwajibika katika kazi yao. Waliwatayarisha wanafunzi wao kwa tamasha za muziki na drama.

Pia waliandamana na wanafunzi.˗ Bi. Margaret (Mwalimu Mkuu) wa shule ya Timotheo alidhihirisha kawajibika. Alipendekeza wazazi wawatafutie watoto

wao shule za kutwa ambako wangeweza kusoma na kurudi nyumbani.˗ Wazazi wa Sela waliweza kuonyesha kuwajibika pia kwa kuitikia wito wa Bi. Margaret wa kwenda shuleni. Walifika hapo

shuleni mapema.˗ Wazee wa kijiji waliwajibika kwa kamshauri babake Sela kuacha hasira na kumrudisha bintiye Sela na mamake nyumbani.˗ Dadake Sela Rozina alionyesha kuwajibika alipoacha shule na kusaidia katika malezi ya mtoto kadogo.Zozote 6 x 2 = 12

Mwanafunzi lazima utoe maelezo yakina.

SEHEMU YA B TAMTHILIA YA MSTAHIKI MEYA2. (a)˗ Maneno haya ni uzungumzi nafsi wa Dkt Siki aliyekuwa ameongea na Tatu kupitia njia ya simu.˗ Ofisini kwa Dkt Siki.˗ Tatu alikuwa anataka Siki aongee na Meya Sosi awashughulikie wafanyakazi ambayo maisha yao yalikuwa yanazidi

kuzorota. ˗ Aliyasema baada ya Meya Sosi kuonyesha kiburi cha kutojali matatizo ya wananchi waliomchagua. (alama 4)

(b) (i) Meya anapuuza onyo la Dkt Siki kuwa ni hatari kuwaongoza watu wenye njaa na kiu. Anasema hao hao ndio

waliomchagua na baadaye watakuja kuangusha uongozi wake. (ii) Meya anapoagiza diwani wa uhusiano mwema kuhakikisha kuchezwa nyimbo za kizalendo baada ya vipindi muhimu

havitekelezwi anatoa ahadi kwamba anatayarisha. (iii) Wafanyakazi wa Baraza la Cheneo wanagoma kwa kulipwa mshahara duni mara kucheleweshwa, mara kutolipwa kwa

kipindi kirefu. Wafanyakazi wanahasau kurudi kazini mpaka matakwa yao yatekelewe. (iv) Mji wa Cheneo unapata uchafu kiasi ya kwamba harufu ya uvundo inamzuia yeye mwenyewe Meya kunywa maji kwa

sababu wafanyakazi wamekataa kurudi kazini. (v) Wageni wanashindwa kutua katika uwanja wa ndege wa cheneo.

Ndege zinaelekezwa katika miji jirani kama shuara iliyopuuzwa na Meya Sosi hapo mapema.

Top grade predictor publishers Page | 194

Page 196: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(vi) Wafanyakazi wa uwanja wa ndege wamegoma kuwaunga mkono wafanyakazi waliogoma kwa muda mrefu wa baraza la cheneo. Hakuna mwelekezi wa ndege.

(vii) Wafanyakazi wa Bohari ya mafuta pia wamegoma kuwaunga mkono wenzao wanaogoma wa baraza la cheneo. Hata mhazili hawezi kusafiri kuja kumshughulika Meya Sosi anapohitajika kwa sababu hakuna usafiri.

(viii) Viongozi wa chama cha wafanyakazi wanapokutena na Meya ofisini kwake na Meya anakataa kuwasikiliza, wanatoa vitisho kwamba mgomo utaendelea. Meya Sosi anapowaita warudi wanakataa.

(ix) Waridi, nesi katika zahanati ya baraza la cheneo anaamua kujiuzulu kutokana na hali mbaya ya kazi. Ukosefu wa dawa, mshahara migomo. Hataki kufanya kazi isiyomnufaisha yeye au watu wengine.

(x) Kugoma kwa wafanyakazi kumezua hali ambayo inayofanya makao makuu kudadisi uongozi wa Meya. Meya na washauri wake wanaitwa makao makuu kuelezea kuini cha mambo.

(xi) Tendo hili hatimaye linaonyesha mabadiliko katika uongozi wa cheneo. Zozote 10 x 1 = 10

(c) Sifa nne za mzungumzaji (alama 4)Mzungumzaji ni uzungumzi hasira wa Daktari Siki.

˗ Mwenye utu - Anasikitishwa na hali ya wagonjwa kukosa dawa. Anawambia waridi awalaze wagonjwa hospitalini ilikuwapa matumaini.

˗ Mtetezi wa haki - Anashutumu kauli ya Waridi ya kutarajia wagonjwa kulipia kitanda ilhali hakuna dawa. Anaenda kwaMeya kulalamikia gharama ya maisha inayozidi kupanda na ukosefu wa uwajibikaji wa Meya.

˗ Mwenye mawazo mapevu - Anamwambia Meya Sosi kuwa haifai wao kujilinganisha na majirani dhaifu, kuna haja ya kupigahatua mpya.

˗ Jasiri - Anathubutu kumwambia Meya ukweli kwamba hamna haya ya kuwachezea watu nyimbo za kizalendo miaka hamsinibaada ya uhuru na kwamba kukubali kufuata mamuuzi ya wengine bila kuwashirikisha wengine ni hatari - mipango yakiuikema.

˗ Mwenye busara - Anamwonya Tatu didi ya mgomo. Anasema mgomo una madhara yake.˗ Mnyenyekevu - Anakubali kauli ya Diwani III kwamba wao wataalamu wana mchango katika kurekebisha hali ilivyo katika

siasa. Anakiri kwamba wao wana mchango katika tatizo la uongozi mbaya.˗ Mzalendo - kinyume na Waridi, yeye hajiuzulu. Anamwambia Waridi kwamba anaona heri kuteseka na hao wagonjwa ili

kuwapa tumaini.˗ Msema kweli - Anamwambia Meya Sosi kwamba ni hatari kuwaongoza watu ambao wana kiu na njaa. Pia mambo

yanamgoja yeye Meya na wenzake kuyarekebisha.˗ Ni mwadilifu - Ingawa ana uhusiano wa kinasaba na Meya hatuoni akiutumia undugu huu kuuficha uozo wa Meya. Badala

yake anamkosoa na kumkumbusha wajibu wake wa kuwasikiliza raia waliomchagua.Zozote 4 x 1 = 4

(d) Mbinu za lugha. Mbili za lugha. (i) Sitiari - Kuangusha miamba - linarejelea viongozi/Meya na madiwani wenzake ambao wanatarajiwa kushughulikia

malalamishi ya wafanyakazi. (alama 1)(ii) Uhuishi - Njaa ina nguvu za kuangusha miamba njaa imepewa sifa ya kuwa na nguvu na uwezo wa kuangusha

mamba/wenye nguvu. Ina maana ya kuwa watu wanaodhulumiwa wana uwezo mkubwa wa kuwang‘oa viongozi dhalimu mamlakani.

(e) Changamoto za ukuaji wa uchumi. (i) Maamuzi muhimu ya kiuchumi yanatolewa na wazungu. Waridi anamwambia Siki kwamba wazungu wanahimiza

mfumo wa kugawana gharama kutumika. Hauana uhuru wa kiuchumi. (ii) Mahusiano ya wafanyakazi na waajiri ni ya kikoloni. Meya kumwamrisha Gedi na Dida. Wemajazwa woga. (iii) Mwongozo wa mipango ya kiwaendeleo ukatolewa na mataifa yenye uwezo mkubwa. Meya anapuuza mpango wa

miaka kumi na kuthamini malengo ya kimaendeleo ya milenia. Anasema wameshaingia kiwango cha kimataifa. (iv) Mataifa yenye nguvu za kiuchumi yanatawala kupitia mikopo. Diwani III anasema kwamba wanalazimishwa na mataifa

yanayoendelea kupunguza idadi ya wafanyakazi. (v) Bidhaa za kigeni kuchukuliwa kuwa bora kwa hivyo Meya anaagiza mvinyo na divai kutoka ng‘ambo mvinyo - urusi

divai Ufaransa. (vi) Viongozi kupeleka watoto wao ng‘ambo kusomea huko mf. Watoto wa Meya. Hatimaye Meya anadai kwamba elimu ya

hapa ni ya kawaida mno. (vii) Matibabu ya ng‘ambo kuchukuliwa kuwa bora kuliko ya Cheneo mf. Mke wa Meya anaenda kujifungulia ng‘ambo eti

ndiko kuna wakunga haswa. Madaktari wa Cheneo wanababaisha tu. (viii) Mnyakuzi wa mali ya umma. Meya amenuakua viwanja vinane na kumpa Bili vinne. Hii ni mali ya umma

inayokusudiwa kuendeleza Cheneo. (ix) Viongozi kujiongezea marupurupu/mishahara. Baraza tayari lina nakisi. (x) Madiwani kupinga kulipa kodi ilhali mama muuza ndizi sokoni analipa kodi. Kodi ya madiwani itajenga taifa. (xi) Meya anachangia kutokua kwa maamuzi muhimu ya uongozi na mtu ambaye hana taaluma wala sifa ya uongozi. Bili

anamshauri kulifisidi Baraza kwa kulipia huduma ya kandarasi ambayo kweli haijatolewa na hata kuuza fimbo ya Meya. (xii) Meya anakubali mpango wa kuuza fimbo ya Meya ambayo ni kitambulisho chake kisha wangenunua nyingine.

Top grade predictor publishers Page | 195

Page 197: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Zozote 10 x 2 = 20 SWALI LA KIDAGAA (a) Muktadha:

Ni DJ. akiwaeleza Amani na Imani wakiwa njiani kuelekea kwa NasabaBora walikodhamiria kutafuta kazi. (4 x 1 = 4)

(b) Mbinu ya utunzi katika dondoo.- Kiangaza mbele/utabiri/kiona mbele/kisongere mbele/mbinu elekezi

(Hujenga metarajio).- One dayz muwapo wadosi - kubashiri kuwa wazungamuziwa siku moja wangekuwa matajiri.

Kutaja mbinu - alama 1Mfano - alama 1 2

(c) Matumizi ya utabiri/kiangaza mbele riwayani:(i) Bi Zuhura alipofungulia Amani mlango akivalia gauni lisilosetiri uchi hali hii yatabiri kukutana kwao baadaye katika hali

hii katika chumba cha malazi ambapo Amani yuashukiwa usinzi na Nasaba Bora na kupigwa vibaya. (ii) Mkesha wa sikukuu ya wazalendo, wakati Amani alimfichulia Imani siri za maisha yake, msimulizi anadokeza tukio la

miaka kadhaa baadaye ambapo Amani na Imani walipozika udugu wao - walifunga ndoa. (iii) Nasaba Bora aliposoma barua ya madhubuti mwandishi anadokeza kuwa siku nyingi baadaye. Nasaba Bora aling‘amua

barua hiyo ilikuwa mwanzo wa uasi wa Nadhubuti uk.88 - Utabiri wa mapinduzi. (iv) Baada ya kipigo cha Amani akiwa Seli mwandishi anadokeza kuwa Amani alikuja kuandika tawasifu baadaye. Uk 89-

utunzi wa Amani. (v) Mkutano wa majisifu na Nasaba Bora nyumbani kwa Nasaba Bora, mwandishi adokeza kuwa hii ilikuwa mara ya

mwisho kwao kukutana pale na ya pili kukutano maishani - mdokezo wa utangano/kifo baadaye uk 97-98. (vi) Baada ya DJ. Kuumwa na jibwa na Zuhura kuwatetea Amani na Imanii walipozuiliwa, msimulizi adokeza Nasaba Bora

alikuja kukumbuka kisa hiki kama mwanzo wa uasi mkubwa na mkewe dhidi yake uk 105 - utengano kati yao. (vii) Imani alimnasihi kuandika Tawasifu juu ya maisha yake. Uk 112.

Uandishi wa Amani. (viii) Nasaba Bora kumtaka Amani kumchimbia kaburi alikotaka kuzikwa afapo - utabiri wa mauko yake. Uk 128

Zozote 7 x 2 = 14 (ix) Amani na Imani walitamauka sana walipozuiliwa korokoroni kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Uhuru. Askari walikuwa

wanawaripua viboko, kuwazaba makonde na mateke mfululizo. Amani alinyamaza jii kama kiumbe asiye na uhai. (x) Bi. Zuhura na mumewe walitamaushwa na madhubuti alipohamia katika kibanda chakara cha Amani. Bi Zuhura alilia

kwa shake usiku kutwa naye mtemi alikula yamini asimwite babake tena. (xi) Hali ya Amani ilitamausha alipotoka hospitalini kwa sababu alikuwa amekonda na nguo zilimpwaya, bendeji bado

alikuwa nazo na hangeweza kunena. Alithmia ishara/maandishi ili kuwasiliana. (xii) Makala maalumu yaliyokuwa gazetini kuhusu chwechwe makweche yali watamausha mashabiki wake na yeye.

―Niwekuwa ganda la mua‖ ilhali alikuwa gwiji wa soka. (xiii) Mtemi alipoanza kujilisi kama marekemu mtarajiwa na akamwagiza Amani anauimbie kaburi na baadaye akajitia

kitanzi msituni. Zozote 10 x 2 = 20SWALI LA SITA

6. (a)˗ Maneno haya yalisemwa na Amani.˗ Alikuwa akiwahutubia wanasokomoko baada ya mapinduzi ya uongozi wa Mtemi Nasaba Bora.˗ Walikuwa katika uwanja wa uhuru sokomoko.˗ (Alikuwa anawaonya watu dhidi ya kuwaruhusu viongozi kujilimbikiziamamlaka kupita kiasi. (alama 4)

(b)(i) Ukweli ni kwamba umma wa sokomoko walimuunga Mtemi Nasaba

Bora mkono hata kama hawakuridhishwa na uongozi wake mf. Makarani wa wizara ya ardhi kumwandikia hati miliki bandiaza shamba. Alitumia hati mililki hizi kupata milopo.

(ii) Kortini kesi zake zilitupiliwa mbali hata kama yeye ndiye aliyekuwa mkosa. Zozote 2 x 2 = 4

(c) Maudhi ya ukabili.Ukabili - kutendea mwingine asiye na hata mnyama.

˗ DJ anamwanya Amani kuwa ajira kwa Nasaba Bora alitaka awe na subira kwani watu walifanya kazi siku chache na kutimuliwa au wakajitimua wenyewe Amani - Ni sawa na kuvuka mto usiovukika kwa kamba nyembamba ya katani.

˗ Paka aliyekuwa nyama ya nguruwe ya Mtemi alikamatwa na kufungwa shingoni kwa kamba ncha ya pili ikafungiwa nyuma ya gari akaliwasha moto. Paka alisagika vipandevipande akabakia mnofu wa nyama.

˗ Bi. Zuhura alionyesha ukatili alipomwambia DJ kuwa mbwa si binadamu na hapaswi kuonewa huruma. Jima alikuwa dhaifukwa ugonjwa na uzee.

˗ Wakati mwingine mapacha wa Dora walilia mpaka wakajinyamazia wenyewe bila kushughulikiwa.˗ Mwalimu majisifu majimarefu mara nyingine alimtishia Dora kumponda na kumsagasaga mpaka awe unga kwa vile utesi

baina yao ulikuwa wa kawaida˗ Askari walipokuwa wanamshambulia mamake Imani ili kumfurusha kutoka shambani mwake walimsukumia makonde na

mateke mpaka akaanguka chini chali. Walimpiga kitutu kama nyoka.

Top grade predictor publishers Page | 196

Page 198: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Baada ya mazishi ya mamake Imani ili kuondolewa shambani alinusurika kuteketewa akiwa ndani ya nyumba hukuwanakijiji cha Baraka wakiwa kimya.

˗ Wakati Bi. Kizee alipokuwa akinong‘onezea mtu mwingine katika sikukuu ya wazalendo. Askari mmoja wa Miraba minne aligeuka nyuma na kumkondolea macho mpaka hotuba ya Mtemi ikaisha.

˗ Matuko were alipopanda jukwaani kuhutubu alisema wananchi walikuwa wamechoshwa na dhuluma za Mtemi kwa sababu ya kuwapokonya mashamba mali mabinti na hata wake wao na ghafla bin vuu akakamatwa na kutupwa jela.

˗ Baada ya sherehe za wazalendo, mvua kubwa ilianza kunyesha na Mtemi aliamrisha askari wasikubali makabwela na akina yakhe kuingia hewani. Walifulukana huku wakinyeshewa.

Zozote 6 x 2 = 12 6. Ushairi(a) - Acheni dhuluma.

- Amkeni wanyonge.- Sauti ya wanyonge. (1 x 2 = 2)

(b) Umbo- Lina beti tano.- Mishororo mine kila ubeti - tarbia.- Mishororo ina migao mitatu hivyo ni ukwafi.- Kibwagizo ni kifup mno - msuko.- Una vya nje unafanana, vya ndani havifanani - ukara.

(c) Ubeti wa kwanza kwa lugha ya nathari.- Hicho utawezaje kuvumilia kwa haya uyaonayo. Utasubiri namna gani maonevu yapitayo basi na lije lolote lile nimechoka

kuvumilia. (1 x 4 = 4)(d) Anaandikia wanyonge/wanaonyanyaswa/wanaonyonya wazalishaji/wafanyikazi wachochole.- Kwa nini awazindue wanyonge kuwapa moyo waendelee kupigania usawa

(2 x 1 = 2) Kutaja alama 1, sababu alama 1(e) Leseni ya utunzi ilivyotumika.

(i) Inksari (kufupisha maneno) ubeti wa kwanza mshororo wa kwanza litavumiliaje?(ii) - Tabdila ubeti wa tatu.

- Mamiya, wanatulimiya.(iii) Lahaja - ndo - ndio.(iv) Kuboronga sarufi - Nayo, visa mauko, wanyonge yawakutayo - Nayo mauko na visa yawakutayo wanyonge.

(f) Bahari za ushairi.˗ Msuko - kibwagizo kimefupishwa.˗ Kikwamba - neno moja latumiwa kuanzia kila mshororo wa kila ubeti.˗ Ukawafi - kila mshororo umegawika vipande vitatu ila kibwagizo.˗ Ukara - vina vya mwisho ni sawa, vya kati vyabadilikabadilika. (2 x 2 = 4)(g) Maana ya msamiati

(i) Timbuko - hasira.(ii) Ndo mamiya - umati/wengi. (2 x 1 = 2)

SWALI LA SABA USHAIRI7. (a) Ni aina ya shairi huru kwa sababu mishororo mingine imeingia ndani na mengine imejitokeza nje.

- Halina mpangilio wa vina mahsusi.- Idadi ya mizani inabadilikabadilika kutoka ubeti na mshororo mmoja hadi mwingine. Aina (alama 1)

sababu (alama 1) (b) Kuonyesha ni mambo gani muhimu katika maendeleo ya umma kama vile kuheshimiana usawa na kumiliki vitu.

(alama 3) (c) Mifano ya urudiaji.

(i) Maendeleo ya umma - kutilia mkazo - urudiaji wa maneno. (ii) Takriri mbinu - urudiaji wa nidaa. (iii) Urudiaji muundo - mstari wa kwanza unaofanana katika kila ubeti - maendeleo ya umma. (alama 6)

(d) Jazanda tamaa ya fisi.(i) Dola pia imetumika kijazanda - shillingi.(ii) Mseme watu kuwa na kauli - kuamua. (alama 4)

(e) Masikitiko (alama 1)Sababu - Baada ya kuondoka mkoloni walidhani hali ingeimarika lakini ikawa mbaya zaidi. (alama 2)

(f) Ni msimulizi. (alama 1)(g) Mfano wa taswira.

Vitu kubakia gulioni - kuviona madukani wanaweza kununua ni matajiri pekee. (alama 1)Msimulizi anayerejelea maskini asiyejiweza kiuchumi na hawezi kumudu bei ya bidhaa madukani. (alama 1)

8. SWALI LA 8 FAISHI SIMULIZI(a) Kipera cha miviga. (1 x 1 = 1)(b) Sababu mbili za jawabu lako katika swali (a)

Top grade predictor publishers Page | 197

Page 199: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Ni miviga/sherehe ya tohara.˗ Kuna ngariba.˗ Kuna anayepashwa tohara.˗ Kuna wadhamini wa wanaotahiriwa.˗ Kuna wachezaji wa ngoma/nyimbo.˗ Wachezaji wana maleba maalum.˗ Kuna wanaoshuhudia sherehe hii wanajoni. Za kwanza 2 x 1 = 2(c) Jadili sifa zozote tano zinazotambulisha kipera hiki.˗ Hufanyika mahali maalum kwa kutegemea aina ya sherehe.˗ Huhusisha matendo au uigaji tofauti.˗ Wahusika huwa na mavazi maalum km tohara, arusi.˗ Vifaa maalum hutumika kama mgwisho, njuga, kisu nk.˗ Hutegemea/hutofautiana kulingana na jamii.˗ Aghalabu huambatana na uimbaji na hata ngoma mbalimbali kulingana na maudhui ya sherehe.˗ Mara nyingi huwa na viongozi maalum.˗ Huandamana na utoaji wa nasaha tofauti. Za kwanza 5 x 1 = 5(d)I Udhaifu wa kipera hiki.˗ Baadhi ya miviga huhatarisha maisha na afya ya wanajamii km. tohara kwa wasichana, kurithi mke wa mtu aliyeaga.˗ Baadhi ya miviga hukinzana na malengo ya kitaifa km. kutia unyagoni kwa lazima ni ukuikaji wa haki za kibindamu.˗ Hujaza watu hofu km. utoaji kafara ya binadamu, kufukuza pepo na mizuka.˗ Baadhi ya miviga huhusisha ushirikina km. Mazishini - waweza kuzua uhasama.˗ Baadhi ya mivigha hugharimu pesa nyingi/mali nyingi km. Maombolezo. Zozte 4 x 1 = 4II Mfanano kati ya uhimbi na hotuba.˗ Aghalabu hutolewa na watu maalum wenye hadhi katika jamii mlumbi na hatibu.˗ Huhusisha matumizi ya lugha ya kuvutia na kushawishi hadhira.˗ Hutolewa katika mazingira/miktadha maalum.˗ Vipera vyote huhusisha matumizi ya tamathali tofauti za usemi kama methali, balagha, nahau nk.˗ Huhusisha matumizi ya viziada lugha kama mikunjo ya uso nk.˗ Baadhi ya walumbi na mahatibu hutumikwa kuzungumza kwa niaba ya viongozi au watu wengine mashuhuri.˗ Vyote huhusisha umbuji mwingi.˗ Mara nyingine vipera hivi huwa na chuku nyingi.˗ Uradidi mwingi wa kauli na maneno hutumika kusisitiza ujumbe.˗ Huhusisha uzingatiaji/kujadili mada maalum.˗ Huhusisha hadhira maalum (hai/tendi).

Top grade predictor publishers Page | 198

Page 200: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KIMA 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. LAZIMAWewe ni katibu wa tume maalum ya kitaifa iliyoteuliwa na Rais wa nchi ya kenya kuchunguza hatua zinazofaa kuchukuliwahili kukabiliana na tatizo sugu la ufisadi nchini. Andika kumbukumbu za mkutano mliofanya.

2. Ukosefu wa usalama ni kikwazo kwa maendeleo ya taifa. Jadili.3. Andika kisa kitakachoonyesha maana ya methali:

Mtaka cha mvunguni sharti ainame. 4. Andika insha itakayomalizika kwa maneno yafuatayo:

……………….. Usiku huo alipoingia kitandani kulala, aliamua kurudi nyumbani kwao kesho yake na kumwomba babake msamaha.

TATHMINI YA PAMOJA YA KIMA 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yafuatayo.

Wanawake, wanaoishi katika maeneo ya mashambani katika nchi ambazo zinazoendelea ni baadhi ya watu waliotopea na kubobea katika uchochole mkubwa. Jumla ya idadi kubwa ya wanawake hawa wanaoishi chini ya kiwango cha chini, cha umaskini inakadiriwa kuwa zaidi ya milioni 600. Hii ni idadi kubwa hasa ikikumbukwa kuwa ni asilimia kubwa ya wanawake inayoishi kwa maeneo haya.

Ulimwengu umeshuhudia ongezeko kubwa la idadi ya watu pamoja na kuwako kwa matatizo ya kiuchumi duniani. Kadhalika matatizo mengine ni mitarafuku na vita vya kikabila, majanga ya kiasili mathalani mafuriko , ukame na milipuko ya volkano. Usisahau kuwa pia kina uharibifu wa kimazingira, mabadiliko ya desturi na kusambaratika kwa familia na misingi yake. Tatizo lingine ni kuwa kuna kuongezeka kwa hali ya wanawake kuwa wazazi pekee na hivyo kuongeza familia zinazosimamiwa na wanawake ( ambao tumewataja kuwa wanakumbwa na umaskini mkubwa).

Wanawake wanaoishi mashambani wanakumbwa na makubwa. Kwanza, kama maskini wanaishi katika mazingira magumu. Vile vile kama wanawake wanakabiliana na mapendeleo ya kisera na kitamaduni yanayowadharau na kuwapuuza wanawake na mchango wao katika maendeleo. Tatu, kama viongozi wa familia hasa wanaolea na kutunza jamaa na mzazi mmoja, wanapambana na uogonzi wa familia pamoja na uzalishaji. Aghalabu hawapati usaidizi wowote katika majukumu kama haya bali wanalazimika kupambana nayo peke yao. Kutokana na hayo yote wanawake hawapati nafasi nzuri kushiriki katika maamuzi ya maswala yanayowahusu. Maswala mengi yanaamuliwa na wanaume pasipokuwahusisha wanawake.

Licha ya dhiki yao kubwa, wanawake hawa wanachangia katika maendeleo ya jammi na kiuchumi kwa njia mbalimbali. Mchango huu unaonekana katika kiwango cha jamii,taifa na familia. Katika kiwango cha kijamii na kitaifa wanawake ndio chazo cha nguvukazi kwani ni wao na watoto wao wanatekeleza kazi nyingi hasa za nyumbani na mashambani. Mara nyingi huwa na uwezo bora wa kutunza chochote walichonacho kuliko wenzao wanaume.

Kifamilia wanawake wa shambani wanashughulika mchana kutwa katika hali ngumu ya hewa aidha jua kali au mvua huku wameeleka wanao migongoni wakilima mashamba ili kupata chakula kwa familia zao. Jukumu la kuandaa chakula nyumbani bado linaachiwa wale wale wanawake wanaokizalisha mashambani.

Jambo lisilopingika ni kwamba wanawake wanatekeleza majuku makubwa na muhimu katika kizazi cha binadamu na ndio hasa miimili ya jamii yoyote staarabu. Kwa hivyo, ni kinaya kitupu kudhalilisha wanawake. Mataifa mengi yaliyoendelea ni yale yaliyoondoa vikwazo vyote mbele ya wanawake na kuwaacha watekeleze wajibu wao. Kadhalika wanaume wa huko wanawaona wanawake kama wenzao katika kujenga jamii wala sio watumwa au watumishi wao wanaoumia na kutumikishwa kama vifaa na bidhaa. Inafaa jamii zinazodinisha wanawake zitambue kuwa ubaya wa tendo hili sio tu kudumaza maendeleo yake bali pia kutoa mfano mbaya kwa vijana ambao wataendeleza Ukandamizaji huu kwa vizazi vijavyo. Kwa hivyo, jamii inawajibika kutenda lililo sawa kwa kuwapa hadhi wanawake wote.

Maswali a) Ipe taarifa hii anwani mwafaka (alama 1)b) Nakili maafa matatu ya kimaumbile yaliyotajwa katika kifungu hiki. (alama 3)c) Eleza sababu tatu zinazowazuia wanawake kushiriki katika maamuzi ya masuala yanayowahusu kulingana na makala haya.

(alama 3)d) Wanawake hutekeleza majukumu gani katika jamii na taifa kutokana na makala haya? (alama 3)e) Kuna tofauti gani baina ya wanawake wa mataifa yaliyoendelea nay ale ambayo hayajastawi. (alama 2)f) Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumiwa kwenye taarifa: (alama 3)

i) uchochole

Top grade predictor publishers Page | 199

Page 201: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

ii) kudhalilisha iii) mitafuruku

2. MUHTASARIKuna fikra inayotawala siku hizi kuwa jela si mahali pa adhabu bali matibabu. Yaani lengo la kumfunga mhalifu si

kumuadhibu bali kumtibu kwa njia ya kurekebisha tabia ili aweze kuchangia katika maendeleo ya jamii yake anapoachiliwa. Wataalamu wa masuala ya urekebishaji tabia wanasema kuwa mhalifu akiadhibiwa sana na kufanyishwa kazi ngumu

anapokuwa kifungoni, huisha kuwa sugu zaidi kuliko alipofungwa. Kwa hivyo, wataalamu wanasisitiza umuhimu wa kutilia mkazo lengo la kumtia mtu jela kuwa ni kumjenga kitabia. Mijizi, minyang‘anyi na wauaji wanapotoka gerezani kama hawakubadilishwa hurejelea tabia zao za kuhatarisha zaidi maisha ya watu wengi.

Ajabu na kinaya ni kwamba baadhi ya wahalifu nchini na kwingineko wametokea kupata faida kuu kutokana na vifungo vyao. Kuna wagungwa ambao wamewahi kuandika hadithi za kusisimua kuhusu maisha yao na kutokea kuwa mabilionea. Magazeti na vyombo vya habari pia huvutiwa na habari kuhusu maisha yao. Mara kwa mara, magazeti hujaa habari kuhusu mambo kama haya. Pia kuna sinema nyingi ambazo zimetungwa kufuata maisha ya wahalifu Fulani.

Watetezi wa haki za kibinadamu wanadai kuwa yale wafungwa walikuwa wakitendewa, nab ado wanatendewa katika nchi nyingine ni kinyume nah akin za kimsingi za binadamu. Hali hii imepelekea magereza mengi kukarabatiwa ili kuweza kukidhi mahitaji ya ‗uibinadamu.‘

Nchini kenya, wafungwa sasa wameanza kushughulikiwa kwa kila hali. Sikwambii wanapata chakula kizuri chenye viini lishe bora, malazi bora, maji safi na mazingira nadhifu kwa jumla. Kumeanzishwa pia mpango wa elimu ambao ni maalum kwa wafungwa magerezani. Sasa wafungwa wanapata elimu na kuhudhuria madarasa na hata kuufanya mtihani wa kitaifa. Vile vile magereza nchini wameanzisha pia mpango wa kuwa na mashindano ya kila aina, ya kati ya magereza mbalimbali. Kuna mashindano ya michezo mathalan kandanda, voliboli, na michezo mingine na juu ya yote majuzi magereza yalianzisha mashindano ya urembo baina ya wafungwa wa kike.

Kilele cha kuboresha kwa hali ya magereza nchini Kenya ni kuanzishwa kwa huduma za kuwastarehesha wafungwa hao. Sasa wafungwa wa humu nchini wanaweza kusoma magazeti na hata kutazama runinga ili kupata habari kuhusu yanayotendeka nchini wanapoendelea kutumikia vifungo vyao.

Hata ingawa serikali imeanzisha mipango hii ya kuboresha hali katika magereza ya kenya, kuna matatizo mbalimbali ambayo yanaendelea kukumba taasisi hii. Kwanza, ni msongamano wa wafungwa uliopo. Magereza mengi yana wafungwa maradufu ikilinganishwa na idadi yanayofaa kuwa nayo. Hali hii imepelekea kuzuka kwa magonjwa na madhara mengine. Hii imewafanya watetezi wa haki za kibinadamu kuitaka serikali ianzishe mpango wa kutoa vifungo vya nje kwa wahalifu wenye makosa madogo madogo kuondoka msongamano huo. Maswali a) Eleza ujumbe muhimu unaojitokeza katika aya nne za kwanza. (maneno 50-60) (alama 7,1 ya mtiririko)b) Eleza mabadiliko ambayo yamefanywa katika idara ya magereza nchini Kenya (maneno 70 - 80)

(alama 8, 1 ya mtiririko)3. MATUMIZI YA LUGHA: (ALAMA 40)a) Toa mifano miwili miwili kwa kila sauti zifuatazo:

i) sauti ghuna ambazo ni vipasuo (alama 1)ii) sauti sighuna ambazo ni vikwamizo (alama 1)

b) Onyesha mofimu katika:kilichopewa (alama 3)

c) Yakinisha sentensi hii: (alama 2)Hajanivunjia mlango wala kuniibia

d) Ainisha maneno yaliyopigiwa mstari. (alama 3)Naam! Amekaa kabla ya mkurungezi mkuu yule.

e) Andika sentensi hii katika usemi wa taarifa― Nitampokea mjoba iwapo nitampata,‖ Rehema alimwambia shangazi yake.

f) Sahihisha sentensi ifuatayo:Mwalimu mwenye ako nabidii amepeana mazoezi katika darasa yetu. (alama 2)

g) i) Eleza maana ya shamirisho (alama 1)ii) Bainisha shamirisho katika sentensi ifutayo: (alama 2)

Maimuna alimtumia babake barua ndefu.h) Huku ukitoa mifano mwafaka onyesha matumizi mawili ya kinyota (*) (alama 2)i) Kwa kutumika njia ya jedwali, changanua sentensi ifuatayo: (alama 4)

Gofu hushabikiwa na watu wchache sanaj) Geuza katika wingi ukizingatia nafasi ya pili. (alama 2)

Nitasafiri kuelekea kwake kesho kutwak) Bainisha aina za virai vilivyopigiwa mstari katika sentensi ifuatayo: (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 200

Page 202: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Uchochole wa kinjinsia umepigwa marufuku na kiongozi mwenye msimamo thabiti mno. l) Andika udogo wa: (alama 2)

Ndege huyu ana miguu midogo m) Eleza matumizi ya ‗ki‘ katika sentensi hii. (alama 3)

Ukikata kipira kitapotea.n) Tunga sentensi ukitumia kauli iliyobanwa ya kitenzi ulichopewa. (alama 2)

i) soma (kutendeshwa)ii) -ja (kutendewa)

o) Unda nomino kutokana na kila kitenzi ulichopewa: (alama 2)i) abudu ii) nena

p) Tambulisha ngeli za nomino hizi: (alama 2)i) Dagaaii) Roshani

q) Tunga sentensi moja kubainisha tofauti kati ya:i) Samaniii) Zamani (alama 2)

4. ISIMU JAMII: (ALAMA 10)a) i) Eleza maana ya usanifishaji. (alama 1)

ii) Tambua mambo yoyote manne yaliyosababisha usanifishaji wa lugha ya Kiswahili nchini Kenya. (alama 4)b) Eleza manufaa mawili ya lahaja za Kiswahili kwa lugha hii ya Kiswahili. (alama 2)c) Taja nadharia tatu zinazohusiana na chimbuko la lugha ya Kiswahili. (alama 3)

TATHMINI YA PAMOJA YA KIMA KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SEHEMU YA A: USHAIRI 1. LAZIMA

Soma shairi ifuatayo kisha ujibu maswali yatakayofuata. Kimya changu kimezidi, navunja yangu subira, Marejeya ya miradi, kuhitimisha dhamira, Kukejeli sina budi, niwafunze utu bora, Nani aali zaidi, Wakenya au vinara?‖

Serikali bila hadi, ndo kiini cha madhara, Yanopiga kama radi, isokuwa na ishara, Yamini kuwa gaidi, wakitupora mishahara, Nani aali zaidi, Wakenya au vinara?

Wamejifanya hasidi, wasopatana kifikira, Wana yao maksuudi, kijisombea ujira, Wakilenga kufaidi, tumbo zao za kichura, Nani aali zaidi, Wakenya au vinara?

Nchi yetu kufisidi, ni jambo linonikera, Tangia siku za jadi, ufukara ndo king‘ora, Kutujazeni ahadi, nyie mkitia for a, Nani aali zaidi, Wakenya au vinara?

Maskini watozwa kodi, wapwani na walo bara, Kwa uvumba na uudi, mwawalipa kwa hasara, Hamudhamini miradi, mejihisi masongora, Nani aali zaidi, Wakenya au vinara?

Mesema kazi ni chudi, basi sirikali gura, Nafsi zenu mzirudi, mkubali kuchakura, Makondeni mkirudi, muondoe ufukara, Nani aali zaidi, Wakenya au vinara?

Top grade predictor publishers Page | 201

Page 203: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Ujanjenu umezidi, demokrasia bakora, Debeni takaporudi, michirizi kwenye sura, Kuwachuja a! muradi, kwa za mkizi hasira Nani aali zaidi, Wakenya au vinara?

Maswali a) Toa anwani mwafaka kwa shairi hili. (Alama 1)b) Ainisha shairi hili kwa jinsi tatu huku ukitoa sababu. (alama 3)c) Onyesha Mbinu mbili za lugha katika shairi hili. (alama 2)d) Bainisha matumizi matatu ya uhuru wa mshairi katika shairi hii. (alama 3)e) Andika ubeti wa nne katika mtindo tutumbi. (alama 4)f) Fafanua maudhui matatu yanayojitokeza katika shairi hili. (alama 3)g) Taja mpango mmoja unaotajwa kama njia ya kutatua matatizo ya nchi. (alama 1)h) Eleza muhudo wa shairi hili. (alama 3)

SEHEMU B: RIWAYAKidagaa Kimemwozea: Ken WaliboraJibu swali la 2 au la 3

2. ―Hewalla!‖ …‖Umenena ndipo ndungu yangu.Hiyo ndiyo tanzia ya Afrika huru.‖a) Weka dondo hili katika muktadha wake. (alama 4)b) Kwa kurejelea Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea bainisha tanzia ya Afrika huru inayozungumziwa. (alama 16)

3. Onyesha jinsi mwandishi wa Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea alivyoshughulikia:i) Nafasi ya vijana. (alama 10)ii) Nafasi ya mwanamke. (alama 10)SEHEMU C: TAMTHILIAMshtahiki Meya: T. AregeJibu swali la 4 au 5

4. Ndiyo yale ya ‗ngome in‘tuumiza naswi tu mumo ngomeni.‘a) Weka dondoo hili katika muktadha wake. (alama 4)b) Tambua tamathali mbili za usemi zilizo tumika latika dondoo hili. (alama 2)c) Kwa kurejelea tamthilia onyesha jinsi ngome inavyowaumiza wanacheneo. (alama 10)d) Wanacheneo wanatumia mikakati gani kukabiliana na hali ya (c) hapo juu. (alama 4)

5. Uongozi mbaya una athari kadha. Thibitisha madai haya kwa kurejelea Tamthili ya Mstahiki Meya. (alama 20)

SEHEMU D: HADITHI FUPIDamu Nyeusi na Hadithi nyingine

6. Ndoa ya samani (Omar Babu)Sikufahamu ikiwa hisia zenyewe zilikuwa kwa sababu ya ―furaha au huzuni.‖Potelea pote! Liwalo naliwe!! Nilisikia sauti Fulani ikinadi ndani katika nafsi yangu.I. a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)

b) Bainisha tamathali mbiliza usemi katika dondoo hili. (alama 4)c) Ni yapi yaliyodhihirisha ‗furaha au huzuni‘ katika hisia za anayeelezwa? (alama 6)

II. Jadili changamoto za elimu katika hadithi ya Kanda la Usufi. (alama 6)

SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI7. a) Eleza maana ya miviga. (alama 2)

b) Fafanua umuhimu wa miviga kwa wanajamii. (alama 4)c) Eleza maana ya ulumbi. (alama 2)d) Fafanua umuhimu wa ulumbi katika jamii. (alama 3)e) Eleza sifa za mlumbi mahiri. (alama 4)f) Eleza maana ya ngomezi. (alama 2)g) Toa mifano mitatu ya ngomezi za kisasa. (alama 3)

Top grade predictor publishers Page | 202

Page 204: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KIMA KISWAHILI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

SWALI LA 1 i) Hili ni swali la kumbukumbu ii) Muundo au sura ya kumbukumbu ni lazima ijitokeze katika insha ya mwanafunzi.

a) Kichwa b) Walioudhuria c) Waliotuma hudhuru wa kutohudhuria d) Waliokosa kuhudhuria bila udhuru e) Waalikwa f) Ajenda g) Wasilisho kutoka kwa mwenyekiti/kufunguliwa kwa mkutano h) Kumbukumbu za mkutano i) Kufumukana/kufungwa kwa mkutanoj) Thibitisho

iii) Kumbukumbu ziandikwe katika wakati uliopita iv) Maudhui yay a swali yajitokeze katika kumbukumbu zenyewe.

Maudhui yaonyeshe atua zinazofaa kuchukuliwa kukabiliana na ufisadi kama vile: a) Tume na taasisi maalum ziundwe hili kutoa hatua za kukabiliana na ufisadi b) Maakama maalum ziundwe ili kushughulikia kesi za ufisadi. c) Bunge kuunda sheria mwafaka za kukabiliana na ufisadi d) Watu wafisadi wafungwe gerezani. e) Kutwaliwa kwa mali wanapopatikana na hatia za ufisadi. f) Masuala ya ufisadi yajumuishwe katika mitaala ya elimu na silabasi. g) Kutumika teknolojia katika ukusanyaji wa pesa za umma. h) Wafanya kazi walipwe mishahara bora ili wasishiriki katika ufisadi. i) Maafisa wa serikali kutaja mali wanayomiliki kabla ya kupewa vyeo serikalini.j) Wafanyikazi wa serikali wachunguzwe iwapo ni wafisadi kabla ya kupewa vyeo serikalini.

Tanbihi Mtahiniwa atakuwa amepotoka iwapo hajazingatia sura ya kumbukumbu na iwapo hajazingatia maudhui ya swali. Atuzwe BK 02

SWALI LA 2 i) Hili niswali la kujidali.ii) Mwanafunzi aunge mkono mada ya swali. iii) Mwanafunzi aonyeshe jinsi kuwepo kwa ukosefu wa usalama nchini hufanya nchi kutoendelea kwa mfano:

a) Waekezaji wa kigeni wataogopa kuekeza nchini kenya. b) Wananchi walio na ujuzi muhimu huuawa na hivyo nchi hukosa wataalamu na wafanyikazi walio na ujuzi. c) Serikali hutumia pesa nyingi kudumisha usalama badala ya miradi ya maendeleo. d) Maeneo yaliyo na ukosefu wa usalama yataendelea kubaki nyuma kimaendeleo. e) Miundo msingi na mali ya watu kuharibiwa. f) Husababisha uhasama baina ya makundi mbalimbali katika jamii na hivyo kufanya watu kutoshirikiana kuleta maendeleo

katika jamii. g) Kilimo na utalii ambavyo ni tegemeo la Uchumi kuathirika na hivyo sarafu za kigeni kupungua nchini. h) Wafanyikazi walio na ujuzi kuhamia nchi zingine. i) Husababisha uharibifu wa raslimali kama vile misitu, mito ambavyo hutumiwa katika viwanda mbalimbali.

SWALI LA 3 i) Hii ni insha ya methaliii) Mwanafunzi atunge kisa kinachoonyesha maana na matimizi ya methali. iii) Sio lazima mwanafunzi aeleze maana na matumizi ya methali. iv) Ni lazima kisa cha mwanafunzi kioyeshe sehemu mbili za methali.

Maana Anayekitaka kitu kilicho mvunguni mwa kitanda lazima ainame ndipo aweze kukichukua. Matumizi Hutumiwa kutukubusha kuwa tukitakapo kitu Fulani lazima tuwe tayari kukifanyia kazi au kukisumbukia. Tanbihi: Kisa kisipoonyesha maana na matumizi ya methali, atakuwa amepotoka atuzwe BK 02

Top grade predictor publishers Page | 203

Page 205: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

SWALI LA 4 i) Ni lazima kisa cha mwanafunzi kimalizike kwa maneno aliyopewa. ii) Kisa kisimuliwe katika nafsi ya tatu ii) Kisa kisimuliwe katika wakati uliopita iv) Kisa kizingatie mada ya swali kwa kuonyesha yafuatayo;

a) Ubaya aliomtendea babake lazima ujitokeze katika kisa kwa mfano, kimwibia babake, kumpinga babake, kutofuata ushauri wa babake.

b) Ni lazima atoke nyumbani kwo ana kuenda kwingine. c) Aonyeshe ni nini kilichomfanya aamue kurundi nyumbani kwao, kwa mfano, afilisike baada ya kumwibia babake,

akumbwe na masaibu baada ya kutofuata ushauri wa babake.

Tanbihi: Asiyezingatia nafsi ya usimulizi na asiyemaliza kwa maneno aliyopewa atakuwa amepotoka. Atuzwe BK 02

Top grade predictor publishers Page | 204

Page 206: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KIMA KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. UFAHAMUa) Wanawake/nafasi ya mwanamke katika jamii/Dhuluma kwa wanawake. 1×1=1b) i) Mafuriko

ii) Ukame iii) Milipuko ya volikano

c) i) Umaskini/kuishi katika mazingira magumuii) Mapendeleo ya kisera na kitamaduni yanayowadharau na kuwapuuza wanawake.iii) Viongozi wa familia/kupambana na uogozi wa familia pamoja na uzalishaji/kuachiwa majukumu ya malezi.

3×1=3d) i) Wao ni chanzo cha nguvu - kazi

ii) Wana uwezo bora wa kutunza chochote walichonachoiii) Kuendeleza kilimo ili kupata chakulaiv) Kuandaa chakula nyumbani zozote 3×1=3

e) i) Wanawake wa mataifa yaliyoendelea wameondolewa vikwazo mbele yao ili watekeleze wajibu wao ilhali waleambao hawajastawi huchukuliwa kama watumwa.

ii) Wanawake wa mataifa yaliyoendelea hudhaminiwa na wanaume kama wenzao katika ujenzi wa jamii ilhali wamataifa yanayoendelea huwachukulia kama watumwa au vifaa. Yoyote 1×2=2

f) i) Uchochote - umaskini/ufukara/ukateii) Kudhalisha - kudunisha/kudharau/kukandamiza/kutesa/kunyanyasa. iii) Mitarafuku - Migogoro/mivutano/mikinzano 3×1=3UtahiniS - Ondoa ½ alama kosa linapotokea kwa mara ya kwanza.- Usizidi nusu ya alama alizopata katika kijisehemu.H - ½ ×6=03

2. UFUPISHOa) i) Fikira inayotawala sasa ni jela si mahali pa adhabu bali matibabu.

ii) Wataalamu wa urekebishaji tabia wamesema mhalifu akiadhibiwa sana kifungoni huwa sugu zaidi. iii) Wanasisitiza lengo la kumtia mtu jela liwe kumjenga kitabia iv) Wahalifu wasipobadilishwa tabia gerezani huhatarisha zaidi maisha ya watu watokapo jela. v) Baadhi ya wahalifu wamefaidika kutokana na vifungo vyao. vi) Magazeti na vyombo vya habari huvutiwa na maisha ya wafungwa. vii) Sinema nyingi zimetungwa kufuata maisha ya wahalifu Fulani. viii) Magereza mengi yanakarabatiwa kuyapa ubinadamu. Zozote 6×1=6

b) i) Wafungwa wameshughulikiwa kwa kila hali.ii) Wafungwa wanapata chakula chenye viinilishr bora. iii) Wafungwa wanapata elimu/kuhudhuria madarasa na kutahiniwa kitaifa. iv) Wafungwa wanapata malazi bora na maji safi. v) Wafungwa wanaishi katika mazingira nadhifu vi) Kuwa mashindano ya urembo kwa wafungwa wa kike. vii) Mashindano ya kila aina kati ya magereza mbalimbali. Viii) Wafungwa wanasoma gazeti na kutazama runinga ili kupata habari. Zozote 7×1=7

Utahini Makosa S - ½ ×6=03 H=1/2 ×6=03 Ziada - maneno kumi ya ziada ya kwanza ondoa alama 1 Kila maneno matano baadaye ½ alama

3. Sarufi na matumizi ya lughaa) i) /b/ /d/ /g/ 1×1=01

ii) /t/, /th/, /sh/, /h/ 1×1=01b) Ki - mofimu ngeli

li - wakati cho - kirejeshi p - mzizi ew - kauli

Top grade predictor publishers Page | 205

Page 207: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

a - kiishio c) Amenivunjia mlango na kuniibia. 1×2=02d) Naam - kihisishi (I)

kabla ya - kihusishi (H)Yule - kivumishi kiashiria (V) 3×1=03

e) Rehema alimwabia shangazi yake kuwa angempokea mjomba iwapo angempata. 1×2=02f) Mwalimu aliye na/ambaye na/ mwenye bidii ametoa mazoezi katika darasa letu/ amelipa mazoezi darasa letu. 1×2=02g) i) Nafasi inayokaliwa na mtendwa au mtendewa katika sentensi

ii) Babake - kitondoiii) Barua - kiponzi 2×1=02

h) i) Kuonyesha maendelezo yasiyofaa ya neno km masairiii) Kuonyesha sentensi ina mpangilio mbaya wa maneno k.m *baba kile chakula alikila.iii) Kuonyesha neno ni la lugha la kigeni k.m *Irioiv) Kutoa tahadhri k.m *hakuna njia hapa. Zozote 2×1=02

i)S SKN KTN T H N V EGofu hushsbikiwa na watu wengi sana

½ ×8=04j) Mtasafiri kuelekea kwenu kesho kutwa. 1×2=02k) i) Wa kijinsia - RH

ii) Kiongozi mwenye msimamo RN 1×2=02l) Kidege hiki kina viguu vidogo 1×2=02m) i) Ki - masharti

ii) Ki - udogo/kudunishaiii) Ki - upatanisho wa ngeli 3×1=03

n) i) someshwaii) Jiwa 2×1=02

o) i) Ibada, mabaadi, mwabudu, kuabuduii) Neno, uneni, kunena, mnenaji, maneno 2×1=02

p) i) A-WAii) I-ZI

q) Samani iliyonunuliwa ilivunjika kwa kuwa ilitengenezwa zamani. 1×2=02

makosaH - ½ ×6=03S - ondoa ½ alama na usizidi ½ alama alizopata kwa kila kijisehemu.

4. ISIMU JAMII (alama 10)a) i) Usarufishaji ni hali ya kufikia uamuzi wa kufuata utaratibu Fulani unaotawala matamshi na maandishi ya lugha. 1×1=01

ii) a)˗ Kuondoa utata wa kutumika lahaja tofauti tofauti katika mawasiliano.˗ Kupata lugha moja ya uandishi wa vitabu vya masomo.˗ Kupata lugha ambayo ingetumika katika shughuli za kufundishia.˗ Kusawazisha hati za kirumi kwa matumizi ya Kiswahili badala ya hati za awali za kiarabu.˗ Kusawazisha maendelezo au tahajia za maneno˗ Kuwa na sarufi moja iliyokubalika. Zozote 4×1=04b) Taja nadharia tatu zinazohusiana na chimbuko la lugha ya Kiswahili˗ Kiswahili ni lugha ya mseto/mchanganyiko wa lugha k.m kihindi,kiarabu, kiajemi, kiafrika˗ Lugha ya vizalia/zao la ndoa baina ya wanawake wa pwani ya Afrika Mashariki na wageni˗ Kiswahili ni lugha ya kibantu kulingana na ushahidi wa kiisimu na kihistoria. 3×1=03c)˗ Hukuza lugha kwa kupanua msamiati km rununu, ng‘atuka˗ Huchangia katika usanifishaji wa lugha˗ Huchangia katika kudhihirisha ukweli wa lugha˗ Huwakilisha historia ya lugha - chimbuko lake˗ Huongeza ladha katika lugha zozote 2×1=02

Top grade predictor publishers Page | 206

Page 208: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA PAMOJA YA KIMA KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Ushairia) Nani aali zaidi (1)b) Tarbia - mishororo mine kila ubeti

Mathnawi - vipande viwili katika kila mshororo Mtiririko - vina vya kati na vya mwisho vinafanana.

c) Jazanda - bakora, debeniMethali - kwa za mkizi hasiraMisemo -sina budi

-Mkitia fora-Kwa uvumba na udi

Tashbihi - yanopiga kama radi-Tumbo zao za kichura

d) Inkisari - isokuwa, ujanjenu, ndoKoboroga sarufi - navunja nyangu subira

-Kukejeli sina budi.Tabdila - sirikali, marejeya.

3×1=3

Za kwanza 3×1=3

3×1=3 kutaja ½ mfano ½ =1 e) Ufisadi unaoendeleshwa nchini mwetu unanihudhi. Kutoka zamani umaskini ndilo swala letu. Mnatupatia ahadi mkijipa mali.

Kati ya wakenya na viongozi ni nani bora zaidi?f) Uongozi mbaya

Ufisadi Ubinafsi Unafiki Umaskini Upunjiwaji Demokrasia Zozote 3×1=3

g)˗ Kufanya kazi kwa bidii (kulima mashambani)˗ Vipande viwili kila mshororo˗ Mishororo minne kila ubeti˗ Lina kibwagizo˗ Urari wa vina - di,ra˗ Beti saba˗ Mizani nane kila upande isipokuwa ubeti wa pili mshororo wa tatu kipande cha pili- mizani 9 Zozote 3×1=32. a) Maneno ya Madhubuti. Akimwambia Amani. Madhubuti amemtembelea Amani kibandani . Ni baada ya Amani kurejelea

mawazo ya mwandishi Fanon ambapo kumesisitizwa usaliti wa viongozi barani Afrika baada ya Uhuru. Lao moja kumpunja na kumdhulumu mlalahoi.

b) Uongozi wa Afrika baada ya Uhuru ni kama kifo/tanzia ya Afrika.˗ Viongozi wanaendeleza wizi wa mali ya umma- Nasaba Bora anaiba/nyakua mali ya Chichiri Hamadi na Mwinyihatibu

Mtembezi.˗ Wanahusika katika mauaji ya raia - Nasaba Bora anatumia watu kumuua Chichiri, pia anawatuma askari kumpiga na kumuua

mamake Imani.˗ Viongozi wanatumia mahakama kuendeleza maslahi yao wenyewe- Nasaba Bora anamsingizia Yusufu mauaji ya babake ili

kujihifadhi.˗ Viongozi hawatilii maanani usalama wa raia˗ Iimani karibu achomeke katika nyumba inayoteketezwa na mawakala wa Mtemi Nasaba Bora.˗ Kuna wizi wa mawazo- Majisifu anaiba mswada wa Amani ili kujipatia sifa ya uandishi.˗ Ukiukaji wa haki za kibinadamu- Nasaba Bora anakitupa kitoto chake Uhuru na kumpagaza Amani ulezi. Anamtumia Amani

kama mtumwa. Anampiga Amani na kumtupa kando ya mto Kiberenge. Mwalimu Majisifu anawabagua watoto wake kwasababu ya ulemavu.

˗ Viongozi ni wazinifu- Nasaba Bora anahusiana kimapenzi na Lowela msichana mdogo. Fao anahusiana kimapenzi namwanafunzi wake.

˗ Kutnza wahalifu badala ya kuukomesha uhalifu- mwalimu Majisifu anapoachishwa kazi kwa kutowajibika, anapewa kazinyingine.

˗ Kuendeleza ukabila na ubaguzi- Nasaba Bora anapewa utemi kwa sababu Mudir wa wilaya ni wa Nasaba yake. MwalimuMajisifu anapata kazi kwa sababu anajulikana na wakuu.

Top grade predictor publishers Page | 207

Page 209: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Viongozi wanatumia mali ya umma kujinufaisha- Nasaba Bora anawalazimisha kutoa pesa ili kumpeleka mwanawe kusomeaUrusi.

˗ Uteketezaji wa mali ya umma- Nasaba Bora anawatuma askari wake kuchoma nyumba ya kina Imani.˗ Ukosefu wa uhuru wa kusema- Matuko Weye anazuiliwa kwa kuukosoa utawala dhalimu wa Nasaba Bora.˗ Hakuna uhuru wa kujiamulia mambo- Imani anatishiwa na askari kwa kutohudhuria sherehe˗ Wananchi wamejazwa uoga˗ Ukosefu wa huduma muhimu kama vile matibabu- kitoto Uhuru.˗ Uporaji wa hela zilizotolewa kama ufadhili kujenga zahanati badala ya hospitali iliyokusudiwa.

Zozote 8×2=163.i) Nafasi ya vijana˗ Watetezi wa haki za wanyonge Madhubiti anaungana na Amani kuwatetea wanyonge wanaoangusha uongozi dhalimu wa

Nasaba Bora.˗ Wenye bidii- Madhubuti anaweka bidii masomoni/ Imani na Amani wanafanya kazi kwa bidii.˗ Wanapenda amani katika jamii- Amani hataki kuwe na mapinduzi ya umwangikaji wa damu; Amani anamwokoa Nasaba

Bora kutoka kwa majambazi.˗ Wenye utu na huruma- Amani anaonyesha utu na huruma kwa watoto walemavu wa mwalimu Majisifu.˗ Wanaowajali wengine katika jamii- Amani anawagawia vipande vya ardhi.˗ Wenye Imani- Imani ana imani kwa watoto walemavu wa Majisifu. Anamwonea Imani Amani ambaye amelazwa hospitalini.˗ Wasiobagua kazi- Amani na Imani hawabagui kazi; wanaajiriwa kazi duni kwa Bwana Mtemi na Bwana Majisifu˗ Walezi bora- Imani na Amani wanamlea mtoto Uhuru vyema.˗ Wachungaji- Bob DJ nawenzake wanachunga ng‘ombe na kuwapeleka kunywa maji katika mto Kiberenge.˗ Wanaodhulumiwa na viongozi bila sababu yoyote- Amani na Imani wanatiwa nguvuni na askari wa Bwana Mtemi kwa

tuhuma za kumwoa mtoto Uhuru.˗ Baadhi ya vijana ni majambazi. Gaddaffi (Oscar Kambona) ni jambazi. Akiwa na wengine alitaka kumwua Mtemi Nasaba

Bora kwa risasi.˗ Baadhi ya vijana ni washerati- Lowela anafanya mapenzi na Bwana Nasaba Bora.˗ Baadhi wanashindwa na kuendelea na masomo, Lowela , Mashaka, Imani , Chwechwe Makweche.˗ Wanamapinduzi- Imani na Amani wabadilisha imani ya jadi kuhusu unywaji wa maji ya mto Kiberenge.˗ Wanaondoa utabaka- Madhubuti anahamia kibandani mwa Amani.˗ Wafunza usamehevu-Amani anamsamehe Nasaba Bora na Majisifu. Anamwonya Oscar Kambona dhidi ya kulipiza kisasi.˗ Wanatoa mwongozo kuhusu mfumo ufaao wa kuendesha nchi - Amani anawaonya raia kwamba, kufuata mitindo ya kisiasa

na kiuchumi kama vile vyama vingi na ubepari bila kuwazia hali yao kutaangamiza nchi.˗ Wanaonya dhidi ya kubagua wanawake- Imani anamwabia Amani asiweke wanawake pembeni katika kitabu atakachoandika.˗ Wanahusika katika ujenzi wa jamii mpya yenye maadili- Madhubuti anakataa kazi aliyotafutiwa na babake jeshi kwa njia ya

kifisadi. Zozote 10×1=10

ii) Nafasi ya mwanamke;˗ Jasiri- Imani alimkabili mwalimi Majisifu na kumsaili kwa kusoma barua za watu wengine/mamake Imani anakitetea

kishamba chake.˗ Mvumilivu- Bi. Zuhura alikaa maisha ya dhiki na kudunishwa na mumewe Nasaba Bora hadi anapopewa talaka.˗ Ni mkombozi- Imani anashirikiana na Amani katika kuzungumzia masuala ya ukombozi.˗ Mwanamapinduzi- Imani anauvunja mwiko uliowanyima wanasokomoko unywaji wa maji ya mto Kiberenge.˗ Ni mzalendo- wanawake wengi walihudhuria sikukuu ya wazalendo wakiwemo vikongwe na wajawazito.˗ Ni mfanyikazi mwenye bidii- Imani alifanya kazi kwa kujitolea nyumbani kwa mwalimu Majisifu.˗ Ni mlezi bora- Dora ingawa aliungulika moyoni kwa kujaliwa watoto walemavu aliwatunza vyema ata hapo alipokosa

msaidizi. Mamake Imani aliwashughulikia wanawe baada ya kifo cha mumewe.˗ Chombo cha kutosheleza uchu wa mwanaume- mtemi Nsaba Bora alimtumia Lowela.˗ Wenye taama ya mali- Michelle alithamini mali zaidi ya alivyompenda Majununi.˗ Kiumbe dhaifu- Bi. Zuhura alimwongopa mumewe, asingeweza kujitetea.˗ Katili- Lowela alikitekeleza kitoto chake Uhuru na kukubaliana na mtemi Nasaba Bora na kuiweka siri.˗ Mtovu wa maadili- Zuhura alituumiwa kuwa alijihusisha kimapenzi na mchungaji wao Amani.4 a) Maneno ya Diwani III akimwambia daktari Siki. Ni nyumbani kwa Diwani III ambapo Dkt. Siki amefika akimtaka

Diwani III akazungumze na Meya kuhusu matatizo ya Wanacheneo. Diwani III anampongeza Dkt. Siki kuwa ameweka udugu kando na kuukosoa utawala wa Meya kinyume na wengi wanaochelea kufanya hivyo na kuvumilia udhalimu.

Zozote 4×1=4 b) i) Msemo - ngoma in‘tuumiza naswi tu mumo ngomeni.

ii) Jazanda/istiari- ngome - uogozi dhalimuiii) lahaja naswi- nasi 2×1=2

c)˗ wagonjwa kungawana gharama ya matibabu na serikali.˗ Ukosefu wa dawa hospitalini˗ Njaa- vifo kutokana na kula mizizi na matunda mwitu

Top grade predictor publishers Page | 208

Page 210: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Mishahara duni kwa wafanyikazi˗ Kucheleweshwa kwa mishahara na wakati mwingine kulipwa nusu.˗ Wafanyikazi kufutwa kiholela˗ Matumizi mabaya ya vyombo vya dola kutembezwa virungu.˗ Bei za bidhaa muhimu kupanda/gharama ya maisha kupanda.˗ Watoto wa wafanyikazi kufukuzwa kutoka shuleni kiholela˗ Wahudumu wa nyumbani k.v Dida kunyamaza na kutukanwa.˗ Wawakilishi wa wafanyikazi kupuuzwa˗ Kutozwa kodi. Zozote 10×1=10d)˗ Walisusia kazi/kugoma˗ Walitumia wawakilishi wao k.v Tatu, Beka na Medi˗ Waliimba nyimbo za kizalendo˗ Walizinduana k.v Siki na Diwani III˗ Waliwasilisha malalamiko kupitia kwa jamaa za Mstahiki Meya k.v daktari Siki˗ Usali kawa mfano Meya alisalitiwa na marafiki wake kama Bili mambo yalipokwenda upogo.˗ Uchochezi na kuhimizana˗ Vita vya maneno kama alivyofanya Siki kwa Meya.˗ Wafanyikazi waliandamana kupiga udhalimu˗ Vyombo vya habari vitatangaza hali ilivyo na hili linafanya wageni kutoroka Cheneo.˗ Hatimye Meya anashikwa na askari na kuambiwa ataenda kuelezea mbele. Zozote 4×1

5. ATHARI ZA UONGOZI MBAYAUkosefu wa dawa hospitalini hivyo kumbidi Dkt. Siki na Nesi Waridi kuwapa baadhi ya wagonjwa mchanganyiko wa majimoto, sukari na chumvi kama dawa.

˗ Hali duni za maisha ya wananchi hata kukosa pesa za kugharamia matibabu yao.˗ Kusalia kwa taifa hili la cheneo kuwa tegemezi kwa mataifa yaliyoendelea.˗ Wananchi kukumbwa na magonjwa hatari kama vile kipindupindu na utapiamlo.˗ Kuwepo kwa ukosefu wa lishe bora hivyo basi watoto kukumbwa na ugonjwa wa utapiamlo kama vile mtoto Dadavuo Kaole.˗ Vifo kukithiri kutokana na magonjwa na njaa.˗ Ujinga miongoni wanajamii kwa mfano, mamake Dadavuo Kaole kumpa mtoto chakula cha kulala na ambacho hakijatokosa.˗ Ukosefu wa bidhaa muhimu kama moto, makaa, mafuta ta ana petroli.˗ Vitu kuwa ghali, hasa makaa na mafuta taa.˗ Ukosefu wa ajira kwa wananchi wengi.˗ Mishahara duni ambayo haitoshi kukidhi mahitaji ya kimsingi miongoni mwa wananchi.˗ Kulipwa nusu mishahara na wakati mwingine mishahara kucheleweshwa˗ Viongozi kutotimiza malengo na mipango ya maendeleo.˗ Kulazimishwa na mataifa yaliyoendelea kupunguza idadi ya wanyikazi.˗ Mataifa yaliyoendelea kuchelewesha mikopo˗ Viongozi kuwalaghai wananchi kwa kuwaambia eti kuna maendeleo nchini, na dawa zimeagizwa, kumbe sivyo.˗ Umaskini kuenea katika mji wote wa Cheneo.˗ Baraza la Cheneo kuwa na nakisi (upungufu) wa shilingi milioni mia moja ishirini.˗ Migomo kuenea katika mji wa Cheneo kwa mfano, kuna mgomo wa wafanyikazi wa Baraza, wafanyikazi wa uwanja wa

ndenge na mgomo wa wafanyikazi katika bohari la mafuta.˗ Usafiri kukwamishwa kwa sababu ya ukosefu wa petroli katika vituo vya kuuzia mafuta.˗ Ndege kutoweza kutua katika mji wa Cheneo kwa kuwa hamna waelekezi, hivyo kulazimika kutua katika mji jirani wa

shuara.˗ Mazingira kuvunda kwa uchafu ulioenea kila mahali.˗ Maji kukosekana katika hospitali ya Cheneo na usafi kutawaliwa na nzi.˗ Mji wote wa Cheneo kukosa maji safi hivyo wenye hoteli kununua maji yaliyosombwa na punda kutoka mitoni. Wageni pia

kuogopa kuzuru Cheneo kwa kuhofia mkurupuko wa kipindupindu.˗ Ufisadi na wizi wa mali ya umma kuenea k.m Meya na marafikize (Diwani I, II na Bili) kuiba fimbo ya Meya na kuiuza

ng‘ambo. Meya kujinyakulia vipande vya ardhi na pia kuwangawia marafikize.˗ Usaliti unaotokea katika baraza la Meya. Kwa mfano mhazili anaondoka bila kumwalifu Meya aliyemwajiri na pia Bili

anamsaliti rafikiye Meya na kutoroka mbali.˗ Meya, Diwani I na II wanatiwa pingu na kupelekwa makao makuu ili wakaeleze hali ilivyo ya mambo.

Zozote 10×2=206.a) Ni mawazo ya msimulizi Bwana harusi. Abu akiwa na nduguye Fahami kwenye gari walielekea arusini kufunga ndoa na

Amali kule kwao.b)˗ Nidaa/siyahi/usiahi/siahi- potelea pote! Kihisishi˗ Tanakuzi- furaha au huzuni˗ Tashihisi- sauti ikinadi ndani katika nafsi

Top grade predictor publishers Page | 209

Page 211: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Msemo- liwalo na liwe Za kwanza 2×2=4Kutaja 1 mfano 1

c)˗ Msimulizi alikuwa akienda arusini kwao akina Amali mpenziwe˗ Alishindwa kujua iwapo ndoa hiyo ni ya furaha˗ Awali jaribio ya kumposa Amalililitumbukia nyongo baada ya mamake Amali kukataa kuwa haingewezekana kwa kuwa

Amali hataki kutolewa.˗ Ukweli ni kwamba msimulizi alikuwa maskini na wazazi wa Amali waliona hangeweza kulipa mahari.˗ Baadaye msimulizi alienda uarabuni na kupata mali ya kutosha.˗ Aliporejea akashauriwa amuoe Amali kwa kuwa bado alikuwa hajaolewa.˗ Aliota ndoto mchana Usiku akashindwa kulala.˗ Msimulizi alipendezwa na tabia za Amali za kujilinda.˗ Alichukizwa na madai ya mamake. Amali nawajombake waliodai vitu vingi na kutaka kubadhiri mali yake kama sharti la

kumwoa Amali.˗ Alishindwa kumwamini Amali ikiwa kweli alimpenda ama ana haja na mali yake.˗ Alikataa kuendelea na arusi na kuamua kuachana na yote yanayohusu Amali. Zozote 6×1=6

II Changamoto za elimu- kanda la usufi˗ Wanafunzi wa shule ya upili wanashiriki mapenzi. Sels anashiriki mapenzi na Masazu.˗ Madai ya uogo- Chris Masazu anajidai mgonjwa ili ateke Sela ili amtongoze.˗ Upataji mimba- baada ya uhusiano wa Chris Masazu na Sela kunawiri Sela alipata mimba.˗ Kufukuzwa- Sela na marafiki wake wawili hawangeweza kuendelea na masomo katika shule ya Askofu Timotheo.˗ Athari ya mahusiano haya kama mimba hubebeshwa tu msichana. Sels anapofukuzwa kutoka shuleni Masazu anabaki

akiendelea na masomo˗ Baada ya Masazu na Sela kumaliza masomo yao hawapati nafasi ya kuendeleza masomo yao katika vyuo vikuu. Waliishia

kwenda Dafina kutafuta kibarua.˗ Vijana wanapojiingiza katika mapenzi shuleni huwasababisha wazazi machungu. Mzee Butali ana uchungu na angalipenda

kuelezwa na mwalimu mkuu sababu ya kuwapelekea watoto shuleni.˗ Umaskini. Mzee Butali analalamikia tatizo la kupata karo ya Sela. Alihangaika kiasi cha kuitwa pangu pakavu.7.a) Miviga ni shsrehe za kitamaduni ambazo hufanywa na jamii yoyote katika kipindi maalum cha mwaka.

2×1=2b) Umuhimu wa miviga˗ Huelimisha jamii mfano vijana jandoni huelimishwa kuhusu mambo ya utu uzima.˗ Huonyeshs matarajio ya jamii kwa vijana˗ Ni kitambulisho cha jamii- kila jamii huwa na miviga yake mahususi.˗ Huhifadhi na kuendeleza utamaduni wa jamii husika.˗ Hukuza uzalendo- kuwahimiza wanajamii kuzionea fahari tamaduni za jamii zao.˗ Huhimiza na kukuza umoja miongoni8 mwa wanajamii.˗ Miviga husaidia wanajamii katika kukabiliana na hali ngumu katika maisha mf. Kufiwa˗ Ni njia ya kupitisha maadili na thamani za jamii kwa vijana.˗ Ni mizani/kigezo cha kuonyesha kuvuka daraja moja la maisha hadi jingine.˗ Huonyesha Imani za kidini za kijamii.˗ Hufundisha na kuhimiza umuhimu wa kazi˗ Huimiza moyo wa shukrani baada ya kutendewa mema.˗ Hukuza na kudumisha historia ya jamii husika. Zozote 4×1=4

c) Ulumbi ni uhodari wa kutumika lugha kwa ufundi wa kipekee (Al. 2)

d) Umuhimu wa ulumbi˗ Huiwezesha jamii kudumisha utamaduni wake.˗ Huleta pamoja jamii inayozungumziwz na mlumbi kiungo cha umoja.˗ Hukuza uwezo wa kujieleza hadharani˗ Kitambulisho cha jamii kwa sababu yasemwayo huambatana na mila za jamii.˗ Nyenzo ya kukuza ufasaha wa ujuzi wa lugha.˗ Msingi wa kuteua viongozi.˗ Nyenzo ya kuburudisha˗ Kuhamasisha jamii na kuifumbua macho˗ Huvutia na kukuza vipawa vya walumbi wengine katika jamii.˗ Hukuza uwezo wa walumbi wa kupatanisha, kuongoza au kushawishi Zozote 3×1=3

e) Sifa za mlumbi˗ Hutumia lugha kwa njia inayoshswishi na kuvutia hadhira.˗ Mlumbi huwa jasiri ( huhitaji kuwa mkakamavu)

Top grade predictor publishers Page | 210

Page 212: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Hutumia chuku kwa ufanifu mkubwa˗ Anapaswa kutumika vipengele anuai vya lugha kama shairi, methali, Nahau, taswira nk.˗ Hutumia lugha kutegemea muktadha na hadhira yake.˗ Huwa na kipawa cha kuwa viongozi katika jamii.˗ Hujua wakati wa kutu ana hadhira˗ Huwa ni mahiri katika kubadilisha sauti katika viwango mbalimbali kutegemea mada anayoizungumzia.˗ Hujikita katika mienendo ya utamaduni wa jamii yake.˗ Hutumia ishsra mbalimbali za mwili ili kuvuta hisia za hadhira.˗ Mlumbi huwa na ufahamu wa historia ya jamii yake vizuri kwani wakati mwingine huhitaji kunukuu baadhi ya waliovuma

nyakati za jadi Zozote 4×1=4

f) Ngomezi nifasihi ya ngoma ambapo midundo na mipigo Fulani ya ngoma hubainisha maana au ujumbe maalum kutegemeataharuki 1×2=2

g)˗ Mifano ya ngomezi za kisasa˗ Firimbi/filimbi uwanjani˗ Ving‘ora katika magari ya ambulensi, zimz moto˗ Kengele shuleni, kanisani˗ Milio katika simu tamba˗ Vifaa katika magari˗ Kengele katika milango ya majumba makubwa. Za kwanza 3×1=3

Top grade predictor publishers Page | 211

Page 213: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA CEKENAS - 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. Mwandikie mhariri wa gazeti la ‗Tujuze‘ ukilalamikia swala la uharibu wa mazingira katika eneo unakoishi na jinsi ya kukabiliana na changamoto hii.

2. Mitandao ya kijamii imesababisha madhara mengi katika sekta ya elimu.Fafanua.

3. Mcha mwana kulia, hulia mwenyewe.4. ―Buum!‖ Mlipuko huo ulitapakaza vifusi kote. Nilijua lazima ningejinusuru ...

Iendeleze insha hii.

MTIHANI WA MWIGO WA CEKENAS - 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (alama 15) Soma makala ifuatayo kisha ujibu maswali yanayofuatia.

Utandaridhi (au globalization kwa lugha ya Kingereza) ni jinsi ya maisha inayoendelea kuutawala ulimwenguni wote katika karne hii ya 21. Neno utandaridhi ni neno mseto ambalo maana yake ni utamaduni uliotanda au kuenea ardhi nzima. Mtu mtandaridhi hivyo basi ni mtu aliyebobea kikamilifu katika utamaduni huu mpya kwa jinsi moja au nyingine. Mtandaridhi hujihusisha sana katika kutandaridhisha aina moja au nyingine ya amana muhimu za mavazi zilizotokea kupendwa ulimwenguni kote, muziki wa kisiku hizi, hasa vile op, raggae, ragga, rap, ambao asili yake ya hivi majuzi ni Marekani. Muziki huo waimbaji wake hutumia, sana sana, lugha ya Kingereza hususan kile cha Marekani na kadhalika.

Watandaridhi wana nyenzo zingine kadha wa kadha za kuendeshea maisha yao au kujitambulisha. Wao huwasiliana kutoka pembe moja ya dunia hadi nyingine wakitumi vitumeme, yaani vyombo vitumiavyo umeme kufanya kazi vya hali ya juu, kama vile tarakilishi na simu, haa za mkono. Watu hawa hawakosi runinga sebuleni mwao, usiseme redio. Hawa husikiliza na kutazama habari za kimataifa hupitia mashirika matandaridhi ya habari kama vile BBC la Uingereza na CNN la Marekani. Aidha watu hawa husafiri mara kwa mara kwa ndege na vyombo vingine vya kasi. Hawa hawana mipaka, wote wanaohusudu utandaridhi wanaamini kindakindakika kwamba utamaduni huu ni kilimwengu umeleta miahaka mwema baina ya watu binafsi, makampuni makubwa makubwa ya kimataifa na uwiano bora baina ya mataifa. Watu hawa husikika wakidai ya kuwa aina hii ya utamaduni imeupigisha mbele ustaarabu wa wanadamu ulimwenguni kote. Kwa upande mwingine, wakereketwa wa tamaduni za kimsingi za mataifa na makabila mbalimbali ulimwenguni wanadai ya kwamba utandaridhi umeleta maangamizi makubwa ya tamaduni hizo. Vile vile unaelekea kuangamiza lugha nyingi zinazofungamana na tamaduni hizo.

Kwa ajili hiyo basi, utandaridhi umesemekana kwamba unasababisha kutovuka kwa utu miongoni mwa wanadamu wote ambao wamo mbioni kusaka pesa na kuneemesha ubinafsi. Inadaiwa pia kwamba utandaridhi umesababisha kutovuka kwa adabu kwa vijana wengi ulimwenguni kote ghaya ya utovu. Huko kutovuka kwa adau kwa vijana, hasa wale wa mataifa yanayojaribu kuendelea, kumeleta zahama chungu mbovu, ikiwa ni pamoja na kuenea kwa UKIMWI kwa kasi ya kutisha.

Maswali (a) (i) Bainisha kwa kutoa maelezo kamili kwamba utandaridhi ni neno mseto. (alama 2)

(ii) Tohoa maneno mawili kutokan ana neno kutandaridhisha kisha ueleze maana ya maneno haya. (alama 4)(b) Ni nini maana ya ―hawa hawana mipaka‖? (alama 1)(c) Kwa nini watandaridhi wanapenda kusikiliza na kutazama habari kupitia BBC na CNN? (alama 2)(d) Eleza kikamilifu maoni ya watandaridhi kuhusu utamaduni wao. (alama 2)(e) Je, utandaridhi unalaumika kwa nini katika kifungu hiki? (alama 2)(f) Msemo: ―Chungu mbovu‖ ni msemo wa kimtaani tu. Msemo swa ni upi? (alama 1)

2. MUHTASARI (alama 15)Soma habari ifuatayo kisha ujibu maswali.

Kiswahili lugha yenye asili yake katika ukanda wa Afrika Mashariki imeenea duniani ambako inafundishwa katika uyuo vikuu saba vya umma na vyuo vikuu viwili visivyo vya umma. Hivi ni Baratoni na Chuo kikuu ch aKikatoliki. Katika kiwango hiki, watu wanafunzwa isimu na fasihi mafunzo haya yanatolewa kuanzia shahada ya kwanza, shahada ya uzamili na shahada ya uzamifu.

Elimu ya juu ya Kiswahili inatiliwa mkazo katika vyuo vikuu nchini Tanzania na hasa Dar-es-Salaam. Chuo hiki ndicho mlezi wa Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI). Kwa muda mrefu, TUKI imechapisha mararida, kuzua istilahi na kuandaa kamusi. Vyuo vikuu nchini Uganda vikiongozwa na Makerere vimeanzisha mikakati kabambe ya kufunza Kiswahili. Kwingineko barani Afrika, Kiswahili kinafunzwa nchini Msumbiji, Sudan, Misri, Lesotho, Ghana, Nigeria n.k

Top grade predictor publishers Page | 212

Page 214: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

lugha hii imepewa msisimko mkubwa katika mitaala kuambatana na sera ya Afrika Kusini kutukuza lugha za Kiafrika. Ikumbukwe kuwa lugha hii ilichangia pakubwa ukombozi wa Afrika Kusini.

Ukitembelea baadhi ya vyuo vikuu katika nchi za mashariki ya mbali kama Japani, Kora Kusini na Uchina, utapata Kiswahili kwenye orodha ya masomo. Maandishi mengi yanatafsiriwa kwa Kiswahili katika vyuo hivi. Takribani nchi zote ulaya zina vyuo vikuu vinavyofunza Kiswahili. Lakini Uingereza, Ujeremani na nchi za Skandinevia zimetia fora, pamoja na kufunza lugha hii, vyuo vinafadhili utafiti na uchapishaji wa mambo kuhusu Kiswahili. aidha nchi hizo huwadhamini wengi kusomea huko. Muhimu zaidi ni kuwa vyuo vikuu katika nchi hizo zimehifadh maandishi mengi ya Kiswahili. Hivi sasa masomo mengi wanayatumia kufanya utafiti hasa hukusu ushairi. Moja ya asasi hizi ni School of Oriental and African studies. Jijini London. Wataalamu waliosomea vyuo hivi wamerudi nyumbani na sasa wanajihusisha na uchapishaji wa vitabu vya nadharia, isimu, surufi, fasihi andishi na fasihi simulizi.

Hata hivyo, ni Marekani ambapo matumizi na mafunzo ya Kiswahili katika vyuo vikuu yamepanuka sana. Lugha hii inafunzwa katika majimbo kama Washington, New York, Chicago, Texas, California, New Jersey n.k. vyuo maarufu sana vile Cornel, Yale na Havard vinafunza Kiswahili. Hali hii imesaidia kuingizwa kwa lugha hii katika mtandao.

Lugha hii inafunzwa kama ishara ya hisia za Uafrika. Wamerekani weusi wanaona fahari kuzungumza Kiswahili. Hii huwakumbusha kuwa wao wana asili ya barani Afrika. Kupitia mafunzo haya, Wamerekani wengi wanaiga utamaduni wa Kiafrika. Wengi wao wamejipa majina ya Kiswahili kama vile Baruti Katembo Maulana, Simba n.k. kwa hakika Kiswahili kinapata hadhi.

Maswali. (a) Bila kupoteza maana illiyokusudiwa na mwandishi, fupisha aya ya kwanza na ya pili.

(maneno 50 - 60) (alama 6 utiririko 1)(b) Kwa kuzingatia aya zilizobaki, eleza mambo muhimu anayoeleza mwandishi kuhusu ufundishaji

wa Kiswahili katika vyuo vikuu. (maneno 60 - 70) (alama 9, utititiko1)

3. SARUFI. (alama 40)(a) (i) Kimadende hutumkwa vipi. (alama 1)

(ii) Eleza sifa mbilimbili za sauti zifuatazo. (alama 2)/d//m/

(b) Andika neno lenye silabi funge yenye muundo wa konsonanti moja. (alama 1)(c) Onyesha matumizi ya ―kwa‖ katika sentensi hii. (alama 3)

Kwa kuwa alikuwa mechelewa kwenda kwa nyanyake alisafiri kwa baiskeli. (d) Tunga sentensi kwa kutumia. (alama 2)

(i) Kivumishi cha ‗ki‘ ya mfanano.(ii) Kielezi cha kiasi cha jumla.

(e) Baihisha shamirisho na chagizo katika sentensi ifuatayo. (alama 4)Kimathi alimwandikia babake bawa kwa kalamu jana jioni.

(f) Tunga sentensi ukitumia kitenzi cha katika hali ya kutendwa. (alama 1)(g) Changanua sentensi hii kwa kutumia jedwali. (alama 4)

Mama alilima kwa bidii ingawa hakupta faida.(h) Tunga sentensi moja yenye kishazi huru na kishazi kitegemezi ukitumia ‗O‘ rejeshi tamati. (alama 3)(i) Taja matumizi mawili mawili ya alama ifuatayo ya uakifishaji; (alama 2)

Mstari (j) Andika sentensi ifuatayo kwa udogo wingi. (alama 2)

Mtu yule haachi kuandamana na mbwa wake aliyedhoofika kiafya. (k) Andika katika msemo halisi. (alama 2)

Mwalimu alishangaa ni kwa nini Juma hakuwa amebaba mkoba wake siku hiyo. (l) Kanusha sentensi hii katika hali ya ‗a‘ (alama 2)

Kibofu hupa angani.(m) Jibu kulingan ana maagizo. (alama 2)

(i) Ufisadi (unda kitenzi)(ii) - pya (unda nomino)

(n) Andika maana mbili za neno ―mlango‖. (alama 2)(o) Tambua kinai kilichopigwa mstari katika senensi hii; (alama 1)

Watu wenye woga mwingi hukimbia ovyo.(p) Mwanafunzi aliadhibiwa kwa uongo wake. (alama 2)

(Anza kwa .......Uongo)(q) Andika kinyume. (alama 1)

Ukipitia kwao utalaaniwa. (r) Andika upya sentensi hii kwa kutumia visuwe vya maneno yaliyopigwa mstri. (alama 2)

Lupita ndiye alitakadamu upelelezi wa shamba hili.(s) Andika maana ya msemo. (alama 1)

Kawa na mihayara.

Top grade predictor publishers Page | 213

Page 215: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

4. Isimu Jamii. (alama 10)(a) Kwa nini kulikuwa na haya ya kusanifisha lugha ya Kiswahili. (alama 5)

Toa sababu tano. (b) Eleza sifa tano za sajili ya magazeti. (alama 5)

MTIHANI WA MWIGO WA CEKENAS - 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI SEHEMU YA A

SWALI LA LAZIMA 1. ―Leo ndioyo mtanitambua. Mama gani anayemtazama mwana akigeuka afriti?‖

(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Tambua ‗mwana aliyegeuka afriti‘na ueleze hulka zake nne. (alama 6)(c) Jadili maudhui yoyote matano yanayojitokeza katika hadithi husika. (alama 10)

SEHEMU YA BMtahiki Meya; Timothy AregeJibu swali la 2 au 3.

2. ―Siku moja kabla ya kufika kwa wageni. Meya ana mkutano na wawakilishi wa wafanyikaziambao wameketi mkabala naye‖.

(a) Fafanua madai yaliyotolewa na wafanyakzi katiak mkutano huu. (alama 12)(b) Eleza jinsi Meya alivyojibu madai ya wawakilishi wa wafanyakazi. (alama 8)

3. Tamthlia ya mstahiki Meya ni kioo cha jamii ya nchi za Afrika zinazoendelea.Thibitisha. (alama 20)

SEHEMU YA CKidagaa kimemwozea.Jibu swali la 4 au 5.

4. Elimu ya kajielewa sisi nani, na twatoka wapi, twaelekea wapi na utu tutaurejeshaje pahali pake...(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Taja mfano mmoja wa tamathali ya usemi kwenye dondoo. (alama 2)(c) Dhihirisha jinsi utu ulivyotoka pahali pake, ukiregelea riwaya nzima. (alama 14)

5. Thibitisha kauli kuwa, ―Mla naye huliwa zamu yake ifukapo‘. Ukirejelea riwaya ya KidagaaKimemwozea. (alama 20)

SEHEMU YA D.USHAIRIJibu swali la 6 au 7.

6. Soma shairi hili kisha ujibu maswali yanayofuata.Angaza, mtazame mlimwenguBidii, nayo matokeo chungu Wezesha, kuishi bila uchungu

Teknolojia maendeleo.

Angaza, zitazame barabara Aenda, kwa kasi pia salama Bidhaa, sokoni upesi fika

Teknolojia maendeleo.

Angaza, majokofu majumbani Vyakula, na vinywaji hifadhika Nafuu, zizima maji ridisha

Teknolojia maendeleo. Angaza, leo pote madukani Mikebe, vyakula vinywaji tiwa

Top grade predictor publishers Page | 214

Page 216: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Mimea, huwawirishwa haraka Teknolojia maendeleo.

Angaza, nguo kwa mashine stimu Upesi, runinga na simu juza Angani, burudika eropleni

Teknolojia maendeleo.

Angaza, tarakilishi nguzoye Mauzo, mawasiliano kwayo tibani, ni mwenzi kwake tabibu

Teknolojia maendeleo.

Angaza, mja hajakoma katu Shughuli, kila uchao shajara Apate, tulia kwa ufanisi

Teknolojia maendeleo.

(a) Eleza dhamira ya msanii katika shairi hili. (alama 2)(b) Onyesha mifano mitano ya maendeleo katika maisha ya binadamu. (alama 5)(c) Eleza umbo la shairi hii. (alama 4)(d) Andika ubeti wa nne katika lugha ya nathari. (alama 4)(e) Eleza kwa kifupi mtazamo wa mshairi kuhusu teknolojia. (alama 3)(f) (i) Majokofu

(ii) Hunawirisha(iii) Shajara

7. Soma shairi ifuatalo kish aujibu maswali.Jana ilikuwepo, ikapita Kwenye giza la sahau Jana ilipiga kuathiri Athari ijayo leo Leo tunajua kesho tunaibashiria

Kesho ipapo na hatuijui Kesho, itapiga au itapuliza? Au itapita pasi na chochote Kama moshi usio mashiko?

Kesho hatuioni Lakini yaja ... Twaihisi Twaihisi Twaimaizi Ipo,

Yajongea Hiyo na taathira zake Inakuja Yasogea Yaja mbio Yafikia upeo unaoitwa leo Basi kumbuka Maisha ni ubishi, yakabili! Maisha ni jasiri, jusurisha! Maisha ni huzuni, yashinde! Maisha ni msiba, uweze!

Maisha ni wajibu, tekeleza! Maisha ni ni fumbo, liague! Maisha ni tatizo, litatue! Maisha ni ahadi, itemize! Maisha mapambano, wana nayo!

Top grade predictor publishers Page | 215

Page 217: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Maisha ni zawadi, ipokee! Maisha ni mchezo, uxhezee! Maisha ni nyimbo, iimbe! Maisha ni fursa, itumie? Maisha ni ureda, furahia! Maisha maumbile, changamkie! Maisha ni lengo, lifike! Maisha ni mwendo, yaendee! Maisha ni uzuri, ustarehee! Maisha liwazo, yapumzikie!

(a) Lipe kichwa mwafaka shairi hili. (alama 2)(b) Fafanua maudhui ya shairi hili. (alama 6)(c) Onyesha muundo wa shairi hili. (alama 4)(d) Taja na ueleze tamathali tatu za semi alizotumia mwandishi wa shairi hili. (alama 6)(e) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumia katika shairi. (alama 2)

Twaimaizi Yajongea

SEHEMU YA E FASIHI SIMULIZI Jibu swali la 8.

8. (a) Misimu ni nini? (alama 2)(b) Onyesha kwa kutoleo mifano minne, jinsi misimu huzuka. (alama 4)(c) Eleza vikwazo vitano vya ukuaji wa Fasihi Simulizi. (alama 10)(d) Tafautisha kati ya;

(i) Ngonjera za ushairi na za maigizo. (alama 2)(ii) Ngoma na ngomezi. (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 216

Page 218: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA CEKENAS - 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Insha ichukue muundo wa barua rasmi. (Barua kwa mhariri)Anwani ya pili iwe kwa mhariri ...

2. Mwanafunzi azingatie hoja zifuatazo.(i) Aonyeshe jinsi mazingira yanaharibiwa kama vile;˗ Ukataji wa miti.˗ Viwanda vinavyotoa gesi chafu hewani.˗ Mbinu za kilimo zinazochafua mito. Mfano dawa za kunyunyizia mimea.˗ Urudikaji wa taka katika sehemu ambazo hazistahili.˗ Uchomaji wa makaa.˗ Ufugaji mfano ufugaji wa mifugo katika maeneo ambayo hayastahili kama vile misitu.˗ Kuelekeza uchafu mitoni. Mfano viwanda, kufua nguo.

(Hoja zozote tatu)(ii) Aonyeshe jinsi ya kukabiliana na uchafuzi wa mazingira.

˗ Kukashifu ukataji wa miti.˗ Viwanda kuhakikisha kwamba gasi inasafishwa kabla ya kuachilia hewani / angani.˗ Kuelimisha wakulima kuhusu mbinu zinazofaa za ukulima.˗ Serikali kuwachukulia hatua kali wanaochafua mazingira,˗ Kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kuyatunza mazingira.

(Hoja zozote tano)Mwalimu akadirie hoja zingine.

2. Madhara ya mitandao ya kjamii.˗ Uzembe miongoni mwa wanafuzi.˗ Udanganyifu katika mitihani.˗ Kutumia muda / wakati vibaya (kupoteza wakti) wa masomo.˗ Kupotosha maadili (ukosefu wa nidhamu shuleni)˗ Kujihusisha na marafiki wabaya (wanaopotosha)˗ Wizi wa pesa ili wanafunzi waweze kununua simu na malipo ya mtandao.˗ Kushawishiwa kujiunga na vikundi haramu kama vile kigaidi hivyo basi kukatiza masomo.

(Hoja zozote tano)Mtahini akadirie hoja zingine.

3.˗ Mlezi akiogopa kumrudi mwanawe ndiye atakayejuta kwa kudorora kwa tabia kwa mwanawe.˗ Kisa kihusu majuto aghalabu kwa mlezi aliyetelekeza ulezi wa mwanaye.˗ Kisa kidhihirishe jinsi ambavyo mzazi alikosea kumwelekeza mwanawe alipokuwa akifanya maovu na jinsi mzazi

alivyoathirika baadaye.4.˗ Mtahiniwa atunge kisa na kuazia na maneno aliyopewa. Asipofanya hivyo amejitungia swali hivyo˗ atuzwe 02.˗ Atumie usimulizi rejeshi kufafanua matukio kabla ya mlipuko.˗ Aonyeshe mlipuko ulikuwa umesababishwa na nini na aeleze jinsi alijinusuru.

Top grade predictor publishers Page | 217

Page 219: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA CEKENAS 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. (a) (i) Utanda - eneo (al 1)Ardhi - Dunia (al 1) (2 x 1 = al 2)

(ii) Kutanda - kuenea kotekote (al 1)Ridhisha - kufurahisha (al 1) (2 x 1 = al 2)

(b) Husafiri mahali popote. (1 x 1 = 1 al)(c) - Kujitambulisha kwa mawasiliano na watu wengine kutoka pembe moja ya dunia hadi nyingine. (al 1)

- Kusikiliza na kutazama habari za kimataifa. (al 1) (2 x 1 = al 2)(d) - Wanaamini ya kwamba utandaridhi umeleta mlahaka mwema bila ya wabu binafsi, makampuni makubwa ya kimataifa

na uwiano baina ya mataifa. (al 1)- Wanadai utandaridhi umeleta ustaarabu wa wanadamu ulimwenguni kote. (al 1)

(e)˗ Umeleta maangamizi makubwa ya utamaduni.˗ Kuangamiza lugha nyingi zinazofungamana na tamaduni.˗ Kutovuka kwa adabu.˗ Kutovuka kwa utu. (4 x 1/2 = al 2)(f) Chungu nzima (al 1) (1 x 1 = al 1)(g) (i) Nyenzo, dhana

(ii) Uhusiano(iii) wafuasi, wanaounga mkono tamaduni za kimsingi, watetezi. (3 x 1)

2. UFUPISHO(a)˗ Asili ya Kiswahili ni ukanda wa Afrika Mashariki,˗ Inafundishwa katika vyuo vikuu humu nchini umma na kibinafsi.˗ Kupitia Kiswahili Isimu na Fasihi hufundishwa.˗ Kiswahili hutiliwa mkazo katika vyuo vikuu vya Tanzania.˗ Tuki hufanyia utafiti mbalimbali wa istilahi za Kiswahili.˗ Vyuo vikuu nchini Uganda pia kufunza Kiswahili.˗ Kiswahili pia kufunzwa katika nchi zingine za bara la Afrika.˗ Lugha hii ilichangia ukombozi wa Afrika Kusini. (Yoyote 5 x 1 = al 5, mtiriko al 1)(b)˗ Kiswahili hufunzwa katika baadhi ya vyuo vikuu katika nchini za mashariki ya kati.˗ Nchi hizi hutafsiri maandishi katika Kiswahili.˗ Nchi za ulaya pia hufunza Kiswahili katika vyuo vikuu.˗ -Utafiti mwingi hufanywa, kupitia Kiswahili.˗ Wengi hudhaniwa kusomea Kiswahili katika nchini hizi.˗ Vyuo hivi pia vimehifadhi maandishi ya Kiswahili.˗ Kiswahili kimetumiwa kaitka uchapishaji wa vitabu mbalimbali.˗ Marekani ndiyo hufunza Kiswahili katika vyuo vikuu zaidi katika mataifa mengine ya kigeni.˗ Lugha hii ni ishara ya hisia za uafrika. (Yoyote 8 x 1 = 8, mtiririko - al 1)

3.. LUGHA(a) (i) - Hutamkwa kwa ncha ya ulimi kupiga piga ufuzi wakati hewa inaachiriwa kutoka kinywani. (1 x 1 = (al 1)

(ii) /i/ - ufizi /m/ - nazali - ghuna- ghuna - midomo- kipasuo (4 x 1/2 = al 2)

(b) m/tuk (1 x 1 = al 1)

(c) - Sababu- Umiliki- Kitumizil/ala (3 x 1 = al 3)

(d) - Sauti ya kike hupendeza sana.- Nimezuru mji wa Nairobi mara chache / kadha / nyingi (2 x 1 = al 2)

(e) Babake - kitondo Barua - kipozi Kalamu - ala Jana jioni - chagizo

(f) chiwa / chewa

Top grade predictor publishers Page | 218

Page 220: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

k.m : Mwenyezi Mungu ndiye apasaye kuchiwa na wanadamu. (1 x 1 = al 1)(g)

(h) Viatu ving‘aavyo hupendeza(kishazi kitemezi (kishazi huru) (3 x 1= al 3)

(i) - Mstari- Kuandika vichwa vya habari- Kuonyesha mambo muhimu katika sentensi. (2 x 1 = al 2)

(j) Vijitu vile haviachi kuandamana na vijibwa vya vilivyodhoofika kiafya.(k) Lo! Kwa nini / mbona hujaubeba mkoba wako leo?‖ Mwalimu alimwambia Juma. (1 x 2 = al 2)(l) - Kibofu hapai angapi. (2 x 1 = al 2)(m) - fisidi

- upya (2 x 1 = al 2)(n) - uwazi / nafasi ya kuptia

- nasaba / ukoo- sura katika kitabu (2 x 1 = al 2)

(o) Kirai kivumishi.(p) Uongo wa mwanafunzi ilisababisha kuadhibiwa kwake. (2 x 1 = al 2)(q) Ukipitia kwao utabarikiwa. (1 x 1 = al 1)(r) Lupita ndiye alianza / alitangulia / alisabiki upelelezi / uchunguzi / ufanisi wa shamba hilo. (2 x 1 = al 2)(s) Kuwa na maumivu.

4. ISIMU JAMII.(a)

˗ Kuwepo kwa lahaja nyingi - baadhi yazo hazingeeleweka na kila mtu.˗ Kulikuwa na haja ya kuwa na hati sawa ya kuandika Kiswahili.˗ Kulikuwa na haja ya kusawazisha maandishi ya kitaaaluma katika kamusi.˗ Haja ya kuwa na lugha moja ya mawasiliano na elimu kutumika katika mikutano, shuleni vyuoni.˗ Haja ya kuwa na lugha moja ya kueneza dini. (5 x 1 = al 5)

(b)˗ Anwani fupi zenye mvuto.˗ Lugha sanifu.˗ Aya fupi fupi zenye kubeba ujumbe kikamilifu.˗ Matumizi ya picha.˗ Lugha dadisi.˗ Baadhi ya masuala huwa ni ya kitaaluma.˗ Usemi halisi huweza kutumika.˗ Kuwanukuu wasemaji.˗ Vichwa hutumiwa.˗ Baadhi ya habari huwa za uongo ili kuwaharibia sifa walengwa. (5 x 1 = al 5)

Top grade predictor publishers Page | 219

Page 221: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA CEKENAS 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. (a) Mzungumzaji Mzee ButaliMzungumziwa Sela na mamakeMahali Nyumbani mwaoWalikuwa wamerudi nyumbani kutoka shuleni mwao ambapo walikuwa wamefulishwa hususu mimba ya Sela. Kutokana na ghadhabu ya habari hii ndipo anayatamka maneno haya. Hatimaye anaamua kuwafurusha Sela na mamake kutoka nyumbani licha ya tetesi kutoka kwa wana kijiji. (al 4)

(b)Sela: Huka zake ni;

˗ Mwepesi wa kushawishika - Anashawishiwa kwa wepesi na Chris na kushiriki ngono naye.˗ Mwenye utu na huruma - Alimhurumia Chris alipokuwa mgonjwa.˗ Mwenye upenod wa dhati - Alimpenda sana Chris na mwanawe Kadogo.˗ Karimu - Alimpokea vizuri Chris shuleni mwao na kumsaidia kwenda zahanatini.˗ Msaliti - Aliwasaliti wazazi wake kwa kushirikiana na Chris kumuiba Kadogo.˗ Amewajibika - Anataka kumlea Kadogo. (al 6 x 1 = al 6)

(c)˗ Usaliti - Sela aliwasaliti wazazi kwa kushirikiana na Chris kumuiba Kadogo.˗ Ndoa ya mapema - Chris na Sela wanafanya mapenzi nje ya ndoa na kufunga ndoa wakiwa wangali wachanga.˗ Nafasi ya mwanamke - Mwanmke amejitokeza kama chombo cha kutumiza ashiki ya mwanamme.˗ Sela unashawishia kwa wepesi kushiriki mapenzi na Chris.˗ Umaskini. - Kutokana na umaskini Chris anaamua kuhamia mjini kutafuta kibarua cha kuvuna mikonge ambacho mapato

yake yalimwezesha tu kulipa kodi ya chumba kidogo na kununua chakula.˗ Ulaghai / uongo. - Chris anamlaghai Sela kuwa ni mgonjwa huku nia yake ikiwa kuwa na uhusiano naye.˗ Taasubi ya kiume - Mzee Butali anamlaumu mkewe kwa mienendo ya Sela. (al 5 x 2 = al 10)

2. “Siku moja kabla ya kufika kwa wageni. Meya ana mkutano na wawakilishi wa wafanyikazi ambao wameketi

mkabala naye”.

(a) Fafanua madai yaliyotolewa na wafanyakzi katika mkutano huu.˗ Wanalalamika kutoshughulikiwa kwa maslahi yao na wanapaswa kuyashughulikia.˗ Ajira wanayolipwa haijali maslahi na heshima yao kama watu.˗ Mshahara wao unachelewa au kulipwa nusu.˗ Ajira wanayopewa ni vipeni visivyo na mfao kwa wafanyakazi na hawawezi kujivunia mbele ya familia na marafiki

(inawaumbua)˗ Ajira yenyewe haiwawezeshi kulipia madeni yao.˗ Wamechoka kuumbuliwa.˗ Hawaoni matunda ya kazi waliofanya miaka mingi.˗ Kazi wanayofanya ni ya kujungujiko kwa hivyo wanastaafu bila kuweka akiba yoyote.˗ Hawajaongezewa mshahara kwa muda mrefu ingawa ni duni na hata hiyo zamani walipoongezewa vilikuwa vipeni viwili

vitatu huku kina Meya wakijiongezea mishahara mikubwa.˗ Nyongeza za kina Meya na madiwani zinakuja baada ya kipindi kifupi huku masikini wakibaki pale pale.˗ Madiwapi wanajiongezea mishahara kwa madai kuwa gharama ya maisha imepanda bila kujali˗ kuwa imepanda kwa wote.˗ Watu wamechoshwa na kucheleweshwa kwa mishahara yao huku wakubwa wakipata.˗ Wanashikilia kuwa watoto wao kama maskini wanahitaji kula, kusomeshwa na kuwa na maisha mazuri kama wale wa

matajiri.˗ Watoto wao wanafukuzwa shuleni na kula vyakula vya kuokotwa kwa sababu wazazi wao hawana uwezo.˗ Watoto wao wanakufa ovyo ovyo kwa sababu ya kukosa matibatu lakini madiwani wana bima ya matibabu katika hospitali

kubwa.˗ Hosptialini wafanyakazi wanaambiwa hakuna dawa na zinapokuwapo wanatakiwa walipe ilhali

mishahara yao haitoshi kwa chakula cha kawaida ili wapate za kulipia matibabu.˗ Hakuna usawa kwa sababu watoto wa madiwani wanachukuliwa nyumbani kwa motokaa kwa

mafuta ya baraza kupelekwa shuleni ilhali wale wa wafanyazi wanasafiri kwa miguu.˗ Karo ya watoto wa madiwani inalipwa na Baraza na wana mishahara mikubwa ilhali watoto wawafanyakazi wanatembea

kutoka mabadani kwa jua na mvua.˗ Mgao wao ni wa wakubwa kula kwanza na wengine kupigania makombo.˗ Madiwani hawataki kukubali hali ya wafanyakazi ingawa wanaona watoto wao.˗ Wanafukuzwa shule kwa kukosa karo.

Top grade predictor publishers Page | 220

Page 222: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Hawana raha kuona watoto wao wanakufa taratibu kwa kukosa gharama ya matibabu katika hospitali ya mwajiri wao.˗ Wanataka haki yao na ya vizazi vyao na hawaombi kupewa ya mtu mwingine.˗ Wanaosha vyoo bila glavu.˗ Meya anapowaambia hakuna pesa wanataka kujua wanakotoa za kulipa madiwani.˗ Wanaomba washirikishwe katika kikao cha madiwani kitakachojadili madai yao.˗ Wanakataa pendekezo la Meya warudi kazini. Ndipo waongee na wanamwambia kuwa uvundo utawazuia watu kuingia

mjini, vyoo vitakaa bila kusafishwa na hivi karibuni kungekuwa na kipindupindu.

(b) Eleza jinsi Meya alivyojibu madai ya wawakilishi wa wafanyakazi.˗ Anajitetea kuwa wameshughulikia maslahi yao kwa sababu amewapa kazi na wanapata mshahara na anawatisha kuwa huko

nje kuna wengi wanaotamani ajira kama walio nayo.˗ Anajitetea kuwa Baraza lao ni miongoni mwa waajiri wanaolipa waajiriwa vizuri.˗ Anajaribu kujitetea kuwa madiwani na wafanyakazi ni sawa.˗ Anawataka wafanyakazi wawe na subira hadi wanapokaa wageni kwanza.˗ Anawaambia wafanyakazi kuwa hakuna pesa za kuwaongezea mshahara.˗ Anawawaambia kuwa angewaelezea madiwani madai yao na kuwaletea majibu lakini wafanyakazi wanataka washirikishwe

katika mkutano huo na madiwani.˗ Anakataa pendekezo la kushirikisha wafanyakazi katika mkutano wa madiwani kuwasilisha madai yao.˗ Anawataka wafanyakazi warudi kazini kwanza ndipo waanze kuongea lakini wakataa.˗ Anawaambia kuwa wote ni sawa lakini wafanyakazi wanapinga na kumwonyesha kuwa madiwani wako juu yao.

3.˗ Njaa˗ Umaskini˗ Ufisadi˗ Uongozi mbaya˗ Magonjwa˗ Ukosefu wa lishe bora˗ Elimu duni˗ Migomo ya wafanyakazi˗ Hali duni ya afya˗ Kupanda kwa gharama ya maisha.˗ Ubadhirifu (10 x 2 = al 20)

4. (a) Haya ni maneno ya Amani katika uwanja wa Nasaba Bora. Alipokuwa akitoa hotuba yake baada yaMtemi Nasaba Bora kuondolewa mamlakani. (4 x 1 = al 4)

(b) Uhuishi - Utu tutarejesha. (2 x 1 = al 2)(c)˗ Mamake Imani kuuliwa kwenye shamba lake.˗ Imani na Amani kupigwa na askari baada ya kufungwa jela.˗ Mtemi Nasaba Bora kumpiga Amani kitutu.˗ Bi Zuhura kutalikiwa.˗ Amani kunyimwa mswada wake˗ Kitoto Uhuru kuachwa mlangoni na Mtemi.˗ Wafanyakazi kulipwa ajira duni.˗ Mtemi kumburura paka.˗ Watoto walemavu wa mwalimu Majisifu (Dola)˗ Wakoloni kuwaua waafrika na kuwarusha mto Kiberenge. (7 x 2 = al 14)

5.˗ Familia ya Fao ililazimika kumlea mtoto aliyomzaa Fao na mwanafunzi.˗ Nasaba Bora anawalazimisha wanasokomoko kumshangia Madhubuti kwenda Urusi. Baadaye

Madhubuti anaasi.˗ Majisifu anauiba mswada wa Amani. Baadaye anajuta baada ya kujulikana.˗ Mashaka anaruhusiwa kutoka shuleni wakati wowote aupendao. Hatimaye Ben Bella anapata fulsa ya kumpa barua.˗ Majisifu anapewa kazi ya ualimu kwa sababu ni nduguye Mtemi Nasaba Bora. Baadaye analewa na kushindwa kufanya kazi.˗ Wakoloni waliwakandamiza waafrika baadaye wakang‘atuliwa.˗ Mtemi Nasaba Bora alikuwa na uhusiano na Lowella ambaye alikuwa mtoto wa shule. Hatimaye

Mashaka akawa mwehu.˗ Mtemi Nasaba Bora aliiba ardhi baadaye akajiua baada ya kugundiliwa.˗ Majisifu anaiba mswaada uliompa sifa tele baadaye akumbuliwa wangwani. (10 x 2)

Tanbihi.Top grade predictor publishers Page | 221

Page 223: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

- Mwalimu akadilie hoja nyingi zozote mwafaka - Mwanafunzi aonyesha pande zote mbili za methali.

6. (a) Msanii anadhamiria kuonyesha maendeleo ya kisayansi aliyofanya mwanadamu. (al 1 x 2 = 2)(b)

˗ Barabara nzuri zinazorahisisha usafiri wa mchukuzi. Pia, barabara zenyewe ni salama.˗ Mojokofu / friji za kuhifadhia vyakula na vinywaji.˗ Vyakula na vinywaji kuhifadhiwa katika mikebe.˗ Mimea kukuzwa upesi.˗ Nguo kushonwa upesi kwa kutumia mashine zxinazoendeshwa kwa umeme (stima)˗ Mawasiliano ya haraka kwa runinga na simu.˗ Usafiri wa angani kwa eropleni.˗ Matumizi ya tarakilishi katika biashara, mawasiliiano na matibabu. (al 5 x 1 = 5)

(c)˗ Lina beti saba.˗ Lina kipokeo ‗Tecnolojia maendeleo.‘˗ Lina migao miwili katika kila mishororo mitatu ya mwanzo.˗ Kipokeo kina jumla ya mizani 10.˗ Neno ANGAZA limetanguliza kila ubelit. (al 4)

(d) Mshairi anashauri kuwa tutazame madukani na tutakuta vyakula na vinywaji vimehifadhiwa katika mikebe. Mimea nayo inastawishwa kwa upesi sana. Anamaliza kwa kusema hayo yametokana na ufanisi katika sayansi. (al 4)(e)Tecknolojia imerahisisha maisha ya mwanandamu katika nyanja mbalimbali. Mwanadamu angali anajitahidi kufanyauvumbuzi ile atulie asihangaike. (al 2)(f)(i) Majokofu - Mafriji, majirafu; mashine za barafu.(ii) Hunawirisha - hustawishwa, hukuzwa(iii) Shajara - mipango, shughuli kabembe (al 1 x 3 = 3)

7. (a) Lipe kichwa mwafaka shairi hili.(al 2)Kichwa kitakachoteuliwa kichukuane na ujumbe wa shairi zima k.mMaisha kitendawili: maana ya maisha n.k

(b) Fafanua maudhui ya shairi hili.˗ Mshairi aonyesha kuwa maisha ni kitendawili kinachohitaji kuteguliwa kila wakati.˗ Maisha hutawaliwa zaidi na vipindi vya wakati.˗ Yale tuliyoyafanya jana yaliathiri hali zetu za leo na ya kesho kuathiri siku zijazo.˗ Hatuna uhakika wala hatujui hali zetu zitakuwaje kesho.˗ Wakati unakwenda kwa kasi, tukabiliane na hali zote tunazoweza kuzipata kama vile ujasiri, huzuni n.k˗ Mwandishi anatoa fafanuzi mbalimbali za maisha kama vile maisha ni wajibu; fumbo, tatizo,˗ safari, ahadi, mapambano zawadi, mchezo, wimbo, fursa, ureda, lengo, mwendo, uzuri, liwazo, maumbile.

(c) Onyesha muundo wa shairi hili. (al 4)Muundo wa shairi.

˗ Lina beti 5 ambazo hazina mishororo sawa. Mfano ubeti mishororo 6, ubeti wa 5, mishororo 10 n.k˗ Katika ubeti wa 1, mshororo wa kwanza una vipande viwili, mishororo mingine ina kipande kimoja tu.˗ Ubeti wa 2, mishororo wa pili una vipande viwili huku mingine ikiwa na kipande kimoja.˗ Ubeti wa 3 mishororo 14, 15, 16, 17 ina vipande viwili huku mshororo wa 1 - 13 ikiwa na kipande kimoja kila mmoja.˗ Mizani na vina navyo ni tofauti.˗ Shairi hili ni la kimapinduzi (huru) na halifufuata arudhi kisawasawa.˗ Beti za mwisho mwisho zina sifa ya kikwamba.

(d) Taja na ueleze tamathali tatu za semi alizotumia mwandishi wa shairi hili. (al 6)Tamathali.Takriri Mshororo taihisi umerudiwa mara mbili.Neno maisha: Limerudiwa kuonyesha namna maisha yanavyotekeza katika sura mbalimbali.Kinaya: Siku kupita bila kuwa na athari kwa mtu ndipo akumbushwa shairini ubeti 1 - ikapita kwenye giza la

sahau.Tashbihi: Moshi kupotea angani na hauwezi kushikika na yeyote / kama moshi usio na mashike - ubeti wa 2.Mdokezo: Ubeti 1 mshororo wa mwisho, ubeti 3 mshororo wa 2 - kuchochea msomaji

ajiulize maana yake mwenyewe.

Top grade predictor publishers Page | 222

Page 224: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Balagha: Ubeti wa 2 mshororo wa 2, ubeti wa 5 mshororo wa 4, kuchochea msemaji.Istiara: Maisha kuelezwa kuwa vitu vingi k.m ubishi, huzuni, msiba, safari n.k

Kuonyesha sura za maisha. (e) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika shairi.

Twaimaizi - twaitambua, twaifahamu Yajongea - yanakuja, yanakaribia

8. (a) Misimu ni maneno yanayozuka na kutumiwa katika mazungumzo na makundi maalum ya watu katika jamii; maneno haya yaweza hatimaye kupotea au kudumu na kuwa sehemu ya lugha hiyo. (al 2)

(b) Kufupisha maneno mfano kumpyuta - komp Kutohoa maneno ya kigeni mfano Father - fathee. Kutumia istiara au jazanda mfano Golikipa - Nyani Kuunda maneno mapya kabisa mfano; kuhanya - uasherati. Maneno kupewa maana mpya; Toboa - kufaulu, badala ya maneno asili. Kutumia tanakali za sauti mfano; Bunduki - mtutu.

(c) ˗ 1.Uvumbuzi wa vyombo vya mawasiliano kama tarakilishi, rununu n.k˗ Mitambo ya kuchapisha na kuhifadhi maandishi.˗ Mkengeuko wa mwafrika wa kuasi utamaduni wake na kuiga na mzungu.˗ Dini ya kikristo ambayo inapuuza baada ya vitendo au viviga vya fasihi simulizi.˗ Elimu haitambui wala kuthamini fasihi simulizi.˗ Waandishi wengi wa kiafrika hawashughuliki fasihi simulizi.˗ Wasemaji wengi hawapendi kusoma fasihi simulizi.˗ Serakali za kiafrika hazitilii mkazo fasihi simulizi. (al 5 x 2 = 10)(d) Ngojera katika ushairi - Ni tungo za kishairi zenye muundo wa mazungumzo ya malumbano / kujibizana. Huendelezwa kwa njia ya nyimbo, mifano katika harusi upande mmoja huimba na kujibwa na upande wa pili. Ngonjera katika maigizo - Huimbwa au kukaririwa katika majibizano lakini huandamana na vitendo au utendaji k.v ishara za mikono. (1 x 2 = al 2)Ngoma - Ni uchezaji wa viungo vya mwili kuandamana na mtindo au mwondoko maalum ambayo huchezwa kwa nia yakustarehesha au kufurahisha mfano; Ngoma za wanawake, za vijana au wazee.Ngomezi - Ni sanaa ya ngoma, aina ya fasihi ambayo huwasilishwa kwa kutumia milio ya ngoma badala ya mdomo. Isharana mapigo ya ngoma huwa na maana au fasili mahususi inayojulikana na jamii husika. (al 1 x 2 = 2)

Top grade predictor publishers Page | 223

Page 225: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA GITHUGURI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA 1. Umealikwakushirikimahojianokatika studio zaruningamaarufunchini.

Andikamazungumzokatiyakonamwanahabarikuhusukiini chaudanganyifukatikamtihaniwakitaifananamnayakuboreshamatokeoyamitihaninchini.

2. Ukupigaondioukufunzao. Thibitishaukweliwamsemohuu3. Elezajinsiyakukabiliananaswalasugu la mihandaratinchini.4. ―Umeletwahapanawasamariawema.‖ Sautiya kike ikanieleza. Nikavutakumbukizi…………….

JARIBIO LA TATHMINI YA GITHUGURI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (AL 15)Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali. Takwimu za hivi punde zinaonyesha kuwa maradhi ya saratani imejifaragua na kuwa miongoni mwa senene kuduku duniani maadam inatishia kuupiku ukimwi. Wagonjwa wanoendelea kuyasalimia amri wanaelekea kufikia kiwango cha kutisha. Licha ya tawala nyingi duniani kuwekezea tafiti anuai za kuyapindua, miale ya welewa wa kiini chake bado ni hafifu ajabu. Wataalam wa utabibu wanaeleza chanzo cha saratani kama mgawanyiko usio wa kawaida wa chembechembe za damu katika viungo vya mwili vinavyohusika. Viungo huanza kukua kwa kasi isiyo ya kawaida.

Japo uvumbuzi unaonyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa watu wa umri wa makamo kuambukizwa ugonjwa huu. Wazee wamo hatarini zaidi.Hata hivyo vimeshuhudiwa visa vingi ambavyo hata watoto wachanga huathiriwa pakubwa.Saratani ya tezi-kibofu. Ya koromeo nay a mapafu ni baadhi ya aina zinazowaathiri wanaume. Saratani ya tezikibofu huwasogelea zaidi mabuda wa umri wa miaka zaidi ya sitini. Kwenda haja ndogo kila mara. Ugumu wa kupitisha mkojo, ugume wa kuanza au kumaliza kukojoa, damu kwenye mkojo na maumivu ya mgongo ni baadhi ya dalili zake. Mwishowe, tezi-kibofu huzidi kuwa kubwa na kufungia mkojo kutoka.

Kansa zinazowalenga sana wanawake ni pamoja nay a nyumba ya uzazi, mlango wa uzazi na maziwa. Kansa ya maziwa huwachachawiza zaidi wanawake wenye umri wa miaka thelathini na mitano au zaidi. Dalili ya awali ni uvimbe unaohisika kwa ndani na maziwa kutoa usaha. Inaenea haraka na kuviambukiza viungo vya ujirani mathalani mapafu na ini. Saratani ya mlango wa uzazi inaambukizwa na virusi vinavyoita papolloma. Virusi hivi hupata mwanya iwapo mwanamke aliaza mahusiano ya kimapenzi katika umri mdogo,akiwa na wapenzi wengi, akiwa matumizi wa dawa fulani za kupanga uzazi na apulizapo moshi wa sigara.

Inapendekezwa kuwa ukaguzi wa ada ufanywe ili kuugundua kabla haujasambaa kutokana na kauli kwamba mwanzoni hausababishi uchungu wowote. Ukaguzi wa kibinafsi kwenye viungo vilivy na uwezekano mkubwa wa kuambukizwa kisha jambo lolote lisilo la kawaida kama vile uvimbe na ugumu wa kumeza liwasilishwe mara moja kwa daktari. Ushauri zaidi unahusu aina ya vyakula na mitindo ya kisasa ya maisha. Vyakula vilivyosheheniwa na protini zipatikanazo katika nyama na mayai ni miongoni mwa vyakula hatari. Vyakula vya kiasili kama mboga, miwa, matunda, mafuta yanayotokana na mimea na nyama nyeupe hupendekezwa. Uvutaji wa sigara, unywaji pombe, na baadhi ya vipodozi vyenye zebaki huweza kurutubisha uwezekano wa kuambukizwa saratani.

Ijapokuwa saratani ni kama sikio la kufa lisilosikia dawa, ni muhimu wawele wazibe ufa kabla ya kuangukiwa na ukuta usioweza kujengeka tena. Ikigunduliwa mapema. Maradhi haya huweza kudenguliwa kutumia tibakemikali, tabamiale, chanjo dhidi ya baadhi ya virusi vya saratani, upasuaji wa viungo vilivyoathiriwa na dawa za kupunguza makali yake.

Utafiti wa kina uliofanywa na kukamilishwa mwezi wa Machi, mwaka wa 2014 na madktari wa Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta kwa ushirikiano wa wengine kutoka Uingereza umegundua kuwa dawa aina ya Lopinavir inyotumiwa kupunguza makali ya ukimwi ina uwezo wa kukabiliana na maradhi haya. Uchunguzi uliofanyiwa wawele baada ya muda Fulani wa uwekaji wa dawa hii kwenye mlango wa uzazi ulibainisha kuwa chembechembe za saratani huangamizwa na dawa hii. Ni jambo la kutia moyo kuwa harakati za kukabiliana na janga la ukimwi zinaelekea kutoa sulhu kawa maradhi haya ya kansa. Inakuwa shani inaposadifu kuwa nuhusi iliyowahi kutokea katika mapisi ya siha ya insi imekuwa kitivo kinachopaswa kuenziwa. Hakika hizi ni harakati zinazostahili kupongezwa na kuzidishwa iwapo zimwi hili litafukiwa katika lindi la usahaulivu. a) Kwa nini maradhi ya saratani yanaelekea kuwa hatari zaidi kuliko ukimwi? (al 1)

b) Ni kwa nini ni vigumu kuitambua saratani mwanzoni? (al 2)c) Taja mambo yanayoweza kuchangia maambukizi ya saratani ya mlango wa uzazi. (al 3)d) Eleza njia ambazo mtu anaweza kutumia kugundua kama ana saratani. (al 2)e) Eleza baadhi ya mambo yanayoweza kuchochea maambukizi ya saratani. (al 2)

Top grade predictor publishers Page | 224

Page 226: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

f) Eleza maana ya methali ifuatayo kwa mujibu wa makala haya. (al 2)Dalili za mvua ni mawingu.

g) Toa maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa kwenye makala. (al 3)i) senene kuduku……………………………………………………………………………………ii) maziwa ………………………………………………………………………………………… iii) ukaguzi wa ada …………………………………………………………………………………

2. UFUPISHO (AL 15)Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.

Kiwango cha ufanisi wa taifa lolote lile hugezwa kutokana na hali ya miundomsingi. Mataifa sampuli hii hutenga fulusi si akali ya makadirio ya bajeti yake kwa miradi ya maendeleo. Nchi nyingi zinazoendelea hujikuta katika njia panda kwa mujibu wa utekelezaji wa sera amilifu za kukwamua chumi zao. Utawala wa Kenya umekuwa ukijikuna kichwa katika harakati za ujenzi wa nguzo hii ya ufanisi. Mbali na asasi za utabibu kuwa chache. Zile zilizopo ziko katika hali mahututi. Udufu huu umesambaratishwa zaidi na idadi kubwa ya madaktari na wauguzi wanaoendelea kugura tangu usimamizi wa huduma zao kuhamishiwa serikali za gatuzi, sikwambii changamoto zinazonyemelea sekta za elimu, utumishi wa umma na zaraa.

Katika harakati za kupata suluhu, serikali imetoa rai ya kupunguza tija kwa watumishi wake. Rais, naibu wake na makatibu wa wizara wamekuwa vielelezo kwa kujitolea kunyoa 20% ya mishahara yao. Katika mdahalo wa kitaifa kuhusu matumizi ya mfuko wa umma ulioandaliwa na tume ya Mishahara nchini, rais alizirai bunge, mahakama, seneti, mashirika ya umma na magatuzi kudurusu mishahara kwa watumishi wake. Hii ni kwa sababu serikali inatumia 55% ya mapato ya ushuru ambayo inafasirika kama 13% ya mfuko wa umma kulipia mishahara. Kiasi hiki kimekuwa kikiongezeka kutoka shilingi bilioni 240 hadi bilioni 500 kwa muda wa miaka minne iliyopita. Wabobezi wa maswala ya iktisadi wamefichua kuwa hiki ni zaidi ya kiwango cha kimataifa cha 35% kinachotekelezwa na nchi zilizoendelea. Mbona tussige nchi za Malasya na Uswizi ambazo zimepunguza janguo kwa viongozi wao kwa 50%?

Wataalam hawa wanashauri kuwa harakati hizi ni kama tone la suluhu kwenye bahari ya sintofahamu ikizingatiwa kuwa kupunguza mishahara ya wafanyakazi hasa wa ngazi za chini. Kutawanyonga katika uchumi ambao mfumuko wa bei umefikia kiwango cha kuvunda. Uhunifu unahitajika kupanua mfuko wa umma. Makadirio yanayotengewa wizara na shughuli nyingine za serikali zisizo za kimsingi yapunguzwe. Serikali pia inahitajika kuziba mianya ambayo kwayo darahimu lukuki hunywelea kutokana na ubadhirifu. Inatarnausha kutanabahi kuwa wizara ya usalama wa ndani haiwezi kuwajibikia matumizi ya shilingi milioni 548.7!

Wakenya walitoteza mamilioni kutokana na Benk Kuu ya Kenya kukaidi ushauri wa kisheria na kanuni za zabuni za kandarasi zinazohusu mitambo ya usalam na utengenezaji wa pesa. Si ajabu gavana wake Profesa Njuguna Ndung‘u alifunguliwa mashtaka ya utepetevu na matumizi mabaya ya mamlaka.

Wanaotolea nchi hii futuko wataweza tu kutua mori iwapo makabiliano haya na vyombo vya sheria yatawasukuma wahitifaki hawa wa chauchau nyuma ya kizimba. Waaidha, ziara za ughaibuni ambazo zilimpokonya mlipa ushuru milioni 348 mwaka wa 2013 pekee hazina budi kupunguzwa maradufu. Maafisa wa serikali lazima waghairi kutumia magari mazito yanayogubia mafuta. Inabainika kuwa gharama ya warsha na makongamano yanayonuiwa kuboresha ujuzi wa watumishi wa umma imeghushiwa licha ya utupu unaoambatana na mada zake.

Serikali itaelezaje kauli kwamba imekuwa ikitumia shilingi bilioni 2 kuwakimu wafanyikazi hewa?Isitoshe, kuna wafanyikazi wengi wanaofanya kazi ombwe. Kwa mfano, makamishina wa magatuzi waliotumwa huko na serikali kuu wanatoa huduma zipi zisizoweza kutolewa na magavana? Ni ruya au halisi kuwa makdmishna wa Tume ya Mishahara nchini hulipwa marupurupu ya shilingi 400,000 kila mwezi kando na mishahara yao yenye minofu? Hii ni haramu ambayo lazima ilaaniwe. Ninashuku kuwa wakenya wangepigwa na mshtuko wa moyo iwapo marupurupu yanayohusishwa na taasisi nyingine za umma kama vile urais, mahakama na bunge yangeanikwa.

a) Dondoa hoja muhimu katika aya mbili za mwanzo. (Maneno 75-80) (al 6)b) Kwa kutumia maneno yasiyopungua 90 wala kuzidi 95, eleza mikakati inayoweza kutumiwa kudhibiti mfuko wa umma.

(al 9)3. MATUMIZI YA LUGHA (Alama 40)1) Toa mfano mmoja wa aina sauti zifuatazo. (al 3)

i) Kitambaza irabu za mbeleii) Konsonanti zinazotamkiwa kwenye koromeo.

2) Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii. (al 2)Nitakuja kukagua kazi hiyo baada ya saa mbili.

3) Tumia viunganishi vifuatavyo katika sentensi. (al 2)i) Lauii) Almuradi

Top grade predictor publishers Page | 225

Page 227: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

4) Tumia neno ‗vile‘ kama. (al 3)i) Kivumishi …ii) Kiwakilishiiii) Kielezi

5) Andika wingi wa sentensi zifuatazo; (al 2)i) Sokwe aliukwea mti huo wa kasi.ii) Mshale mkali ulitumiwa kumwua samba.

6) Badilisha sentensi ifuatayo iwe mazoea kwa kutumia ‗O‘ rejeshi. (al 1)Malipo ambayo anapewa ni yale ambayo yanaridhisha.

7) Eleza maana ya nahau zifuatazo: (al 2)i) Furaha ghaya ……………………………………………………………………………………ii) Maneo yalimkata maini. ………………………………………………………………………

8) Akifisha sentensi ifuatayo. (al 3)Karibu mgeni akaitika mwenyeji mbona huingii na mlango u wazi stareheni kwenye viti ahsante wakajibu..

9) Andika sentensi ifuatayo katika msemo halisi. (al 3)Mama alimwuliza mwanawe alikochelewa na kisha akamtahadharisha kuwa haikuwa tabia njema kwa mtoto wa kike kamayeye kuzoea kutembea usiku.

10) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya matawi. (al 4)Atanishughulikia vizuri.

11) Tumia kaimbishi -ku- kutunga sentensi tatu zitakazoonyesha matumizi matatu mbalimbali. (al 3)12) Bainisha shamirisho na chagizo katika sentensi hii. (al 2)

Mbuga za wanyama zitapata wageni wengi mwaka ujao. 13) Tumia neno ‗vibaya‘ kama. (al 2)

i) Kivumishi ………………………………………………………………………………………………… ii) Kielezi …………………………………………………………………………………………………

14) Toa maneno yenye maana sawa na haya. (al 2)a. Izara …………………………………………………………………………………………………b. Anisi …………………………………………………………………………………………………

15) Bainisha vishazi huru na vishazi tegemezi katika sentensi ifuatayo. (al 2)Nitaenda maktabani ingawa ninaumwa na kichwa.

16) Nyambua vitenzi vifuatavyo katika hali ulizopewa. (al 2)

KITENZI TENDEWA TENDATAPakaKama

17) Tunga sentensi moja tu kutofautisha maneno haya. (al 2)Mkembe, mkebe.

4. ISIMU JAMIIJadili sababu tano zinazofanya ‗sheng‘ isiwe lugha ya taifa. (al 10)

Top grade predictor publishers Page | 226

Page 228: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA GITHUGURI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SEHEMU A: USHAIRI

1. LAZIMASoma shairilifuatalokishaujibumaswaliyote.

Nina hiarikwaari, kukariri, vizurihilishairi, Niwatambuliesiri, nibashiri, hayadhahirishahiri, Subirayavutaheri, msubiri, niambiekwaumahiri, Shairi la mashauri, nikariri, busaraniutajiri.

Tendawemakwahiari, nakwaari, yoteyatakuwashwari, Utakuwamashuhuri, nahodari, tabasamu ‗tashamiri,

Yalotendwakwahiari, hunawiri, hadimwishowadahari, Shairi la mashauri, nikariri, busaraniutajiri.

Imaninadesturi, nihiari, iwepo ‗tazihitri‘, Iwekutoamahari, kutahiri, lakiniujihadhari, Usitemeyasukari, namazuri, urambeyaloshubiri, Shairi la mashauri, nikariri, busaraniutajiri.

Ninakupamashauri, sighairi, siwemwenyetaksiri, Matajirimashuhuri, askari, nahatamadakitari, Majivunohuaziri, tahayuri, ndomalipoyakiburi, Shairi la mashauri, nikariri, busaraniutajiri.

Kutokaalfajiri, adhuhuri, alasirinanadhari, Japotawekanadhiri, tafakari, tafadhalitahadhari, Lazimauwetayari, naniheri, utimizekwahiari, Shairi la mashauri, nikariri, busaraniutajiri.

Maishakamabahari, nihatari, yabidiuwejasiri, Katuhakunayaheri, yasoshari, kwayoteuwetayari, Hadhariyasikwathiri, tahadhari, kablayakeathari, Shairi la mashauri, nikariri, busaraniutajiri.

Nyenyekeakwajabari, sighairi, hekimafurikefuri, Siwekamamsafiri, nikafiri, msimamohadhiri, Leo hebustakiri, tabasuri, sidharaumashauri, Shairi la mashauri, nikariri, busaraniutajiri.

a) Elezadhamirayamtumziwashairihili. (al 2)b) Thibitishakwambashairihilini la arudhi. (al 4)c) Fafanuamashaurimanneyanayoangaziwanamtunziwashairihili. (al 4)d) Tambuambinumbilizalughazinazotumikakatikashairi. toamifano. (al 2)e) Elezamatumiziyaidhiniyamshairikatikashairihili. (al 2f) Andikaubetiwasitakwalughanathari. (al 4)g) Elezamaanayamanenoyafuatayokamayalivyotumiwakatikashairi. (al 2)

i) Ariii) Umahiri

SEHEMU B: RIWAYA K. Walibora: KidagaaKimemwozea. Jibuswali la 2 au la 3

2. ―…Hebulitazame umbo langu, naumriwangunahaibayangu. Je, kwelinalinganikana Yule ajuzawakomwenyemanyamatembweretebwerekamayanguruwe?‖

Top grade predictor publishers Page | 227

Page 229: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

a) Wekadondoohilikatikamuktadha wake kamili. (al 4)b) Tajanauthibitishembinuzauandishikatikadondoohili. (al 4)c) Fafanuakwahojasitajinsimrejelewaalivyorithiukolonimkongwe. (al 12)

3. a) MwandishiwaKidagaaKimemwozeaamemulikaukiukajiwahakizakibinadamu. Jadili. (al 10)b) ElezajinsimbinurejeshiilivyotumikakatikariwayayaKidagaaKimemwozea. (al 10)

SEHEMU YA C: TAMTHILIATimothy Arege: MstahikiMeyaJibuswali la 4 au la 5

4. ―Watuwenyematumboyasiyotuliahuwaakilizaonazohazitulii.Haweshikukunamatumboyaovitandanimwaonabaadayamudahuanzakukunavichwavyao.jambohilinihatarikwakiongoziyeyote. Walahamnahajakuwachezeawatunyimbozakizalendomiakahamsinibaadayauhuru.Babuzetuhawakupiganiauhurutujekusalitijuhudinandotozao.‖a) Wekadondoohilikatikamuktadha wake. (al 4)b) Elezamaudhuimawiliyanayojitokezakatikadondoo. (al 4)c) Onyeshakwahojasitajinsikaulihiiinahalisimataifayanayoendelea. (al 12)

5. Ukitumiamifanomwafaka, onyeshadhimayakuwatumiawahusikawafuataokatikatamthiliayaMstahikiMeya. (al 20)a. Diwani III. b. DaktariSiki. c. Tatu. d. Mhubiri. e. Askari.

SEHEMU D: HADITHI FUPI K.Waliborana S.A Mohammed: Damunyeusinahadithinyingine. Jibuswali la 6 au 7.

6. “DamuNyeusi.” (K. Walibora)a) ―Tanguhapoameendeleakuwamwanafunzimzuri… Amejifunzakuwahakunamahalikamanyumbani.‖

i) Elezamuktadhawadondoohili. (al 4)ii) Bainishamifanomitatuyambinurejeshinakiini cha mifanohiyokatikahadithihii. (al 6)

b) ―Wenzanguwotemwafahamuhadithiyakobe? Mzeebabualiuliza. Wotewalijibu, ―Ndio!‖Elezaumuhimuwahadithiyakobeukirejeleahadithiyakikaza. (al 10)

7. Jadilijinsimasualayafuatayoyameshughulikiwanamwandishikatikahadithiya ―MkeWangu‖a) Ukengeushib) Thamaniyautendakazimaishani.

SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZI. 8. Soma kifungukifuatachokishaujibumaswali.

Ndimikisoi, dume la ukoomtukufu. Ulojipambanuakwamabigwa Wachezajihodariwangoma Ndimidumeliloingianyanjani Makooyakatetemeka Yakang‘ang‘aniangozekusakatanami.

a) Tambulishakiperakinachojitokezakatikakifunguhiki. (al 2)b) Elezasifatanobainifuzakiperahikikatikafasihisimulizi. (al 10)c) Fafanuaumuhimuwakiperahiki. (al 8)

Top grade predictor publishers Page | 228

Page 230: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA GITHUGURI INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Dayologia hii ni mazungumzo/mahojiano yanayochukua wahusika wawili.˗ Dayolojia ihusu kiini cha udanganyifu katika mtihani nchini.

Mtihaniwa aandike hoja zenye uhalisia;˗ Wanafunzi kutojiandaa vyema˗ Uhitaji wa wanafunzi wapiti waweze kupata nafasi katika vyuo vikuu.˗ Uwepo wa karatasi za maswali kabla ya mtihani.˗ Utepetevu wa wanaoandaa mitihani/walinda usalama˗ Maendeleo ya kitekinolojia-wanafunzi wanatumia vukuno.˗ Mashindano baina ya shule tofauti˗ Shinikizo kutoka kwa wazazi˗ Walimu kutaka masomo yao yaongoze wapate kutuzwa˗ Kutaka kudumisha hadhi ya shule

Atoe angalau hoja tano na afafanue

˗ Majina ya wahusika huandikwa mkono wa kushoto kila zamu ya mhusika kuzungumza inapotokea yakifuatwa na nuktapacha.

˗ Ufafanuzi wa matendo ya wahusika huandikwa kwenye mabano, mwanzo, katikati au mwishoni mwa wanayosema.˗ Mambo wanayosema wahusika huandikwa kwa mjazo, upande wa kulia.˗ Iwe na sehemu tatu ambazo ni mwanzo,mwendelezo na mwisho.˗ Hoja ni lazima zijenge maudhui aliyopewa mtahiniwa.˗ Hoja zijengwe kwenye msingi wa ukweli˗ Mahojiano huhusisha maswali na majibu

Tanbihi-

-Asipozingatia sura ondoa 4s

2. Msemo huu ni methali Maana: Ufito ambao hukupiga wewe ndio unaokufundisha adabu. Shida au adhabu impatayo mtu maishani huwa funzo juu

ya maisha. Mtahiniwa aandike kisa kuthibitisha ukweli wa methali hii. Kisa lazima kionyeshe pande zote mbili yaani pigo na funzo Hitimisho iwe ni funzo linalotokana na methali hii.

3. Mtahiniwa aangazie njia kama;˗ Kuelimisha watu juu ya madhara ya mihadarati.˗ Adhabu kali kwa walaguzi˗ Kujenga vituo vya kurekebisha tabia˗ Ushauri nasaha kuimarishwa shuleni˗ Matangazo ya vileo kupigwa marufuku˗ Mashirika ya kupambana na dawa sugu kuimarishwa zaidi m.f NACADA˗ Sheria kuimarishwa kuhusu mihadarati.nk.

4. Mtahiniwa aanze insha kwa maneno aliyopewaMf:

˗ Kisa kilenge tukio lililopelekea msimulizi kulazwa hospitalini kwa dharura;mf kuumwa na nyoka mwenye sumu,˗ Ajali barabarani˗ Kunusurika katika mkasa wa moto˗ Kuzimia darasani kutokana na ugonjwa usioonyesha dalili.˗ Kunusurika baada ya kuanguka mtoni˗ Mlipuko kwenye maabara/ajali n.k.

Top grade predictor publishers Page | 229

Page 231: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA GITHUGURI 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. UFAHAMUa) Wagonjwa wanaoendelea kuangamia kutokana na ugonjwa huu wanaendelea kufikia kiwango cha kutisha.

1x1 = 1b) Maradhi haya hayasabibishi uchungu wowote mwanzoni. 1x2

c) i) Mahusiano ya kimapenzi katika umri mdongo.ii) Uwepo wa mahusiano wa kimapenzi na wengi.iii) Matumizi ya dawa Fulani za kupanga uzazi.iv) Uvutaji wa sigara. zozote 3 x 3

d) i) Ukaguzi wa kibinafsi wa mara kwa mara wa viungo vyenye uwezekano mkubwa wa kuambukizwa.ii) Kumwona daktari iwapo pana uvimbe kwenye viungo au ugumu wa kumeza. 2x1=2

e) i) Ulaji wa vyakula vinavyosheheniwa na protini k.v. nyama na mayai.ii) Mitindo ya kisasa ya maisha k.v ulevi na matumizi ya vipodozi vyenye zebaki. 2x1=2

f) Tafiti zinazoendelea kufanywa kutafuta tiba ya saratani zimeanza kuzalisha matunda na pana matumaini kuwa tiba naafuitapatikana. 1x2=2

g) i) Maradhi suguii) Matitiiii) Uchunguzi wa mara kwa mara. 3x1=3

2. UFUPISHOa)˗ Ufanisi wa taifa hugezwa kutokana na hali ya miundomsingi.- Nchi zinazoendelea zina shida za kukwamua chumi zao.- Pana udufu na changamoto nyingi zinazokumba sekta za utabibu, utumishi wa umma, elimu na zaraa katika nchi

zinazoendelea.- Rais, naibu wake na makatibu wa wizara wamejitolea kupunguza mishahara yao kwa kiwango cha 20%.- Rais amewahimiza wasimamizi wa taasisi za umma kudurusu mishahara kwa wafanyikazi wake.- Serikali inatumia 55% ya mapato ya ushuru kulipia mishahara.- Kiwango cha kimataifa cha mapato kinachotumiwa na nchi zilizoendelea kulipia mishahara ni 35%

(hoja zozote 5x1=5)

b)˗ Matumizi ya fedha yasiyo muhimu katika izara zisizo za msingi yapunguzwe.- Mianya ya ufuaji na ubadhirigu wa fedha izibwe.- Wizara mbalimbali k.v. ya usalama kuwajibika pesa zinazotengewa katika bajeti.- Kanuni za zabuni na kandarasi za serikali zifuatwe na wanaozikaidi wafunguliwe mashtaka na kusukumwa nyuma ya

kizimba/gerezani.- Ziara za ughaibuni zinazoharibu fedha za umma zipunguzwe.- Warsha na makongomano yasiyo amilifu yafutiliwe mbali.- Maafisa wa umma waghairi kutumia magari mazito yanayogubia mafuta.- malipo kwa wafanyakazi hewa yakomeshwe.- Wafanyakazi wa ziada k.v. makamishina wa kaunti wafutwe kazi.- marupurupu kwa watumishi wa taasisi za umma yapunguzwe maradufu. (Hoja zozote 8x183. MATUMIZI YA LUGHA1) i) Kitambaza -L

ii) Irabu za mbele - e, iiii) konsonanti zinazotamkiwa kwenye koromeo - h 1x3

2) i) Nitakagua kazi baada ya muda wa saa mbili.ii) Nitakagua kazi baada ya wakati wa saa mbili jioni/asubuhi. 1x2

3) i) Lau - kamaii) Almuradi - iwapo, kwa masharti kwamba, mradi, ili, bora 1x2

4) i) Viti vile vimetengenezwa.

Top grade predictor publishers Page | 230

Page 232: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

ii) Vile vimetendenezwa. iii) Viti vimetengenezwa vile vitanda hutengenezwa. 1x3

5) i) Masokwe waliikwea miti hiyo kwa kasi.ii) Mishale mikali ilitumiwa kuwaua samba. 1x2

6) malipo apewayo ni yale yaridhishayo. 1x1

7) i) Furaha tele ii) maneno yalimumiza

8) ―Karibu mgeni,‖ akaitika mwenyeji, ―Mbona huingii na mlango u wazi? Naam, stareheni kwenye viti.‖ ―Ahsante,‖ wakajibu.

9) Mama alimwuliza bintiye, ―Umechelewa wapi?‖ Akongezea, ―Si tabia njema kwa mtoto wa kike kama wewe kuzoeakutembea usiku.‖

10) S

KN KT

O T E

Atanishughulikia vizuri ½ x 8=4

11) i) Mwanafunzi alienda kucheza uwanjani (kitenzi) ii) Hakucheza (kikanushi wakati uliopita) iii) Kucheza kwake kwafurahisha (kitenzi jina) 1x3=3

12) Mbuga za wanyama -kipozi Mwaka ujao - chagizo 1x2=2

13) i) Vyombo vibaya vimetupwa (kivumishi) ii) Aliimba wimbo vibaya (kielezi) 1x2-2

14) i) Izara - fedheha/aibu/dosari. ii) Anisi - Furahisha/pumbaza/fariji. 1x2-=2

15) Niteaenda maktabani - huru Ingawa ninaumwa na kichwa - tegemezi (2x1)

16) Pakiwa - pakata kamiwa - kamata 4 x ½ = 2

17) i) Mkembei - Uchanga, mtoto mwenye umri baina ya mwaka mmoja na miaka sita,Kijana balahe ambaye hajaoa au kuolewa. k.v maskini, kafariki bado ni mwana mkembe.

ii) Mkebe- Chombo cha bati kinachotumiwa kuwekea vitu vidogovidogo. 2x1=2

ISIMU JAMII (AL 10)˗ Kubadilikabadilika kwa msamiati.˗ si lugha sanifu.˗ haizungumziwi na watu wengi - Hasa ni vijana˗ Sio lugha ya mama ya kikundi Fulani katika nchi - Basi haitajulikana kwa urahisi.˗ Muundo haufananai na baadhi ya lugha za kwanza za kabila Fulani.˗ Si lugha ya kienyenji.˗ Misimu

Top grade predictor publishers Page | 231

Page 233: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA GITHUGURI 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. SWALI LA LAZIMASHAIRI

a) Alidhamiria kunashauri wanadamu kuadilika na kuwa wenye busara kwa kutilia maanani mashuri.(2x1=2

b)˗ Lina…. wa vina-ri-ri-ri katika kila ubeti.- lina mishororo minne katika kila uberi.- mizani ni sawa katika kila kipande. 4x1=4c)˗ kuwa na subira- kutenda wema kwa hiari- kuzingatia imani na desturi bora huku akikuepa zisizo na faida.- kujitenga na kiburi/majivuno- endapo emeweka nadhiri, hakikisha umeitimiza- kuwa jasri maishani- kuwa mnyenyevu kwa muongozi Mungu 4x1=4

d) i) Methali - subira huvuta heri, hahadhari, kabla ya hatari.ii) Takriri - Mshroro wa mwisho katika kila uberi umemdiwamdiwa-shairi la mashauri, mkariri, busara ni utajiri. iii) Jazanda- usiteme ya sukari na mazuri urambe ya shubiri. iv) TAshbihi - Maisha kama bahari

e) Inkisariyalo - yaliyo Tashamini -utashamini Ndo - ndio Yaso - yasiyo Yalotendwa - yaliyotendwa kutaja= al 1 Mfano= al 1)

f) Maisha yana mambo mengi yanayohatarisha na ilalazimu mtu ajisajirishe.lazima mtu awe tayari kukabiliana nayo. Jichunge usije ukaathirika narudia ushauri ili uwe na busara au hekima maishani.

(al 4)

g) i) Ari - hamu, himaii) umahiri - uhodari, weledi (2x1=2)

2. SEHEMU B: RIWAYA- Kidagaa Kimemwozea.a) Dondoo katika muktadha wake.

i) Maneno ya Lowela Maozi kupitia waraka/barua yake kwa Mtemi Nasaba Bora.ii) Dj alimletea Mtemi Nasaba Bora harua hiyo. iii) Mtemi Nasaba Bora yuko kwake ambapo amejifungia chumbani. iv) Lowela Maozi amedhadhabishwa na tendo la mtemi Nasaba Bora la kuwafungia Amani na Imani katika seli bila sababu

halali. Lowela anataka wawekwe huru la sivyo afichue kuhusu kitoto alichojifungua kisha kikatupwa katika mlango kabandani mwa Amani. tanbihi: sharti mtahiniwa aonyeshe kuwa ni maneno ya Lowela kupitia barua. Akikosa asipatu alama tatu (3)

4x1=4 b) Mbinu mbili za uandishi katika dondoo.

i) Takriri. langu, wangu, yangu, yanajikariri.ii) Tashbiha. Tebweretebwere kama ya nguruwe.iii) Mbalagha. kama ya nguruwe? 2x2=4

c) Kufafanua kwa hoja sita jinsi mrejelewa alivyorithi ukoloni mkongwe.Mrejelewa ni Mtemi Nasaba Bora.i) Anaamini kuwa elimu bora inapatikana ng‘ambo k.v urusi kuna elimu bora kuliko afrika. Anampeleka madhubuti

kusomea Moscow badala ya kubakia nchini mwao.ii) Mtemi anampiga Amani kikatili na kumtupa kando yam to kiberenge. iii) Mtemi kusababisha wafanyikazi wake kuwacha kazi kutokana na ukatili wake kv kuwatusi, kutowalipa kwa wakati. nk. iv) Mtemi kumtengea Amani kibanda cha kuishi ilhali ni mfanyikazi wake kama walivyotenda wakoloni wazungu kwa

wafanyikazi wao waafrika.

Top grade predictor publishers Page | 232

Page 234: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

v) Mtemi kuwaua watu kiholela k.v. Chichiri Hamadi ili akipokee kipande chake cha ardhi. Wazungu wakoloni waliwapokonya waafrika vipande vya ardhi.

vi) Mtemi anaghushi/anabadilisha hatimiliki za watu kv za familia ya Amani na Imani kisha kuwapokonya mashamba yao. vii) Mtemi kuwaweka Amani na Imani katika seli kwa amri bila sababu maalum. viii) Mtemi kutoruhusu upinzani wala uchambuzi kutoka kwa yeyote. Anamtia seli matuko weye anapomuumbua hadharani. ix) Mtemi anashiriki mapenzi na binti mdogo wa shule - Lowela na kumpa ujauzito kama walivyofanyiwa waafrika na

wakoloni wazungu. za kwanza 6x2 = 12

3. a) Ukiukaji wa haki za kibinadamu˗ Ajira kwa watoto (Mf: DJ)˗ Amani kudhulumiwa na Mtemi Nasaba Bora.˗ Mshahara duni mf. Amani na Imani.˗ Ukosefu wa Elimu mf. DJ Imani.˗ mateso (imani na Amani kwenye seli pia matuko weye.˗ Kupokonywa mali (familia ya Imani)˗ Kupuuzwa kwa chweche makweche baada ya kuumia.˗ mauaji (enzi za ukoloni)˗ Haki ya mapenzi (Bi. Zuhara)˗ kupuuzwa kwa wagonjwa kwenye zahanati unaosababisha vifo (uhuru)

b) Mbinu rejeshi ilivyotumiwa˗ Mwandishi anarejelea kisa cha Majununi alivyojenga nyumba mara tatu baada ya vita vya dunia. baadaye ilichukuliwa na

mtemi nasaba bora. kisa hiki kinaonyesha ujinga wa Major Noon.˗ Imani alikumbuka alivyokutana na Amani mara ya kwanza karibu na ziwa mawewa. Umuhimu wa kisa hiki ni kuwa Imani

hakujiua.˗ Baada ya Amani kukiokota kitoto, anrajelea kisa cha Fao. Kisa hiki kinaonyesha uvunjivu wa maadili katika jamii.˗ Mtemi Nasaba Bora anapompata Amani chumbani na mkewe, anakumbuka jinsi mkewe alimpungia Amani mkono

walipompita wakitoka kwenye sherehe za uhuru, jinsi alivyomtetea akiwa seli na hata anavyomtetea nyumbani. Umuhimu nikumulika kinaya kilichopo.

˗ kisa cha familia ya Imani ilivyodhulumiwa kimetolewa kwa njia ya urejeshi.˗ Kisa cha msichana mlemau mrembo aliyokuwa kwenye matwana na Nasaba bora kimerejelewa wakati wa usimulizi.˗ Kisa cha DJ kufungwa katika jela ya watoto na alivyotoroka kimerejelewa kwa njia hii.˗ kisa kilichopelekea maji ya kiberenge kutonywewa kimeelezwa kwa njia hii.

tanbihi: Mtahini lazima ataje wakati na mahali pa tukio katika kila jibu. Hoja hizi ni mwongozo tu. Mwalinu akubali hoja

zingine za kweli. zozote 5x2=10)

Timothy Arege: Mstahiki Meya.4. a) Dondoo katika muktadha wake.˗ Msemaji - Daktari Siki˗ Msemezwa - Mstahiki Meya˗ Mahali - Nyumbani kwa Meya˗ Kichocheo - Meya anawapuuza wafanyikazi wa Cheneo kwa kutowalipa mishahara, kutoboresha huduma mbali mbali kv

afya. Siki ameenda kuzungumza na Meya huenda atamsikiza lakini ni bure. 4x2=8

b) Maudhui mawili yanayojitokeza katika dondoo˗ Umaskini. Wanacheneo wanakosa mahitaji muhimu k.v. vyakula. ―Watu wenye matumbo yasiyotulia…‖˗ propaganda. Wancheneo wanachezewa nyimbo za kizlendo ilhali hali ya cheneo ni ya kuusaliti uzalendo huo sababu

wanakosa mahitaji ya kimsingi kama chakula, matibabu nk˗ Ukoloni: Babu zetu walimpiga mkoloni mzungu ili tuwe huru lakini uhuru uliopatikana uanasalitiwa na viongozi wa sasa

(ukoloni mamboleo) za kwanza 2x2 = 4)

c) Kuonyesha kwa hoja sita jinsi kauli hii inahalisi mataifa yanayoendelea. ˗ Uhaba wa lishe Cheneo ni sawa na mataifa yanayoendelea ambapo watu hufa kwa njaa. ˗ Kiwango duni cha elimu Cheneo kinamfanya Meya kuwapeleka watoto wake kusomea ng‘ambo. Mataifa yanayoendelea

yana kiwango duni cha elimu lakini wenye uwezo wa kifedha huwapeleka watoto wao kusomea mataifa ya magharibi. ˗ Kutolipwa kwa mishahara Cheneo kunafanana na mataifa yanayoendelea ambapo waajiri huzembea kuwalipa waajiriwa

tendo linalochangia kuwepo kwa migomo. ˗ Diwani III kutohusishwa katika maamuzi muhimu kv maamuzi ya kuwaongeza madiwani mishahara ndivyo ilivyo katika

mataifa yanayoendelea ambapo baadhi ya viongozi hutengwa na viongozi wengine wakati wa kufanya maamuzi. ˗ Kunyimwa uhuru wa kuandamana cheneo ambapo wafanyikazi wanatimuliwa na askari kama ilivyo katika mataifa

yanayoendelea ambapo waandanaji hufukuzwa kwa vitoza machozi na kupigwa na askari.˗ Meya anawapiga na kuwanyang‘anya wancheneo vipande vyao vya ardhi kama inavyoendelea katika mataifa yanayoendelea

ambapo wenye uwezo hunyakua mashamba ya wanyonge.

Top grade predictor publishers Page | 233

Page 235: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Uhaba wa ajira ambapo baadhi ya wanacheneo wamefuzu lakini hawajaajiriwa. katika mataifa yanayoendelea pana wasomiwaliofuzu lakini hawajaajiriwa. za kwanza 6x2=12

5. Dhima ya kuwatumia wahusika wafuatao katika tamthilia ya Mstahiki Meya.a) Diwani III˗ Kuonyesha jinsi baadhi ya viongozi huwa hawaungi wenzao kuifilisi nchi. Anampinga Meya anayetaka madiwani

waongezwe mishahara ilhali baraza lina nakisi.˗ Anawakilisha viongozi waaminifu ambao hutengwa na viongozi wabinafsi katika jamii. Hahusishwi katika maamuzi ya

nyongeza ya mishahara.˗ Anawakilisha viongozi wazalendo. Anashirikiana na wanacheneo kumng‘atua Meya uongozini. 2x2=4

b) Daktari Siki˗ Anatumika kuonyesha jinsi wanaume huvumilia hata mazingira yakiwa magumu. Licha ya ukosekanaji wa dawa na vifo

zahanatini hawachi kazi.˗ Anawakilisha binadamy ambao hawatetei wenzao wadhalimu. Anamshauri na kumpinga meya sana km kuhusu

uhaba/kukosekana kwa dawa.˗ Anatumika kuonyesha jinsi katika jamii kuwa watu wanaofaa kuwa viongozi lakini wanzembea kuwania viti hivyo.

2x2=4 c) Tatu˗ Anaonyesha jinsi viongozi wa wafanyikazi wanapaswa kuwa jasiri katika maslahi ya wafanyikazi. anamweleza Meya kuwa

wanataka mishahara yao, mazingira ya kazi yaboreshwe. anaenda katika afisi ya meya kwa ujasiri.˗ Anaonyesha jinsi ni muhimu kupata ushauri kabla ya kwenda kuwasilisha maoni kwa viongozi. Anashauriana na Siki ili

amuendeapo Meya awe tayari.˗ Anaonyesha jinsi baadhi ya viongozi ni werevu. Anaenda kumuona Meya akiwa na Medi na Beka ili watiane moyo wa

kueleza duku duku zao. 2x2=4

d) Mhubiri˗ Anaonyesha jinsi wahubiri ni wanafiki. Anafurahia kupewa petrol na laki moja kila mwezi. Pesa zinatolewa katika hazina ya

baraza.˗ anawakilisha wahubiri waoga. Askari waingiapo anapomuombea meya analala chini kwa hofu. 2x2=4

e) Askari˗ Wanaonyesha jinsi askari huwa vikaragozi vya walio mamlakani. Wanatumiwa na Meya kuulinda uongozi wake.˗ Wanadhihirisha jinsi askari hufanya kazi nzito ilihali hawapati marupurupu bora. Diwani II anapendekeza kuwa askari

waongezwe mshahara au marupurupu kidogo.˗ Wanaonyesha jinsi wao hupokea amri ya kutenda. Diwani I anasema kuwa atawaambia askari watembeze virungu vyao

taratibu. uk 19 2x2=4

6. DAMU NYEUSIi. (i) Ni maelezo ya mwandishi.

Akimrejelea Fikirini. Alikuwa marekani kwa masomo.Baada ya kuachwa na basi lililoendeshwa na mweupe (kubaguliwa) alianza kuona umuhimu wa nyambani.

zote 4 x1=4ii.

˗ Baada ya kuachwa na basi, alipotembea kando kando ya barabara kwenye kijia cha wapiti njia akipepesuka kama mlevi alikumbuka siku za fahari alipotafuta Waragi Kibuye Kampala gongo ubungo Tanzania na changaa Mathare-Nairobi.

˗ Alipotembea akipepesuka kwa baridi kali na theluji nyeupe aliona kila kitu cheupe na mweusi hasa sauti na kudhalilishwa kwa mweusi na mweupe, alikumbuka maneno ya rais mstaafu moi, ―Msifikiri kwamba mzungu anatupenda sisi watu weusi.‖

˗ Alipokutana na kukaribiana na Fiona Mmarekani mweusi alikumbuka dada zake wahaya aliokutana nao akiwa chuo chawalimu Mwanza, dada Waganda alipozuru Uganda Magharibi, dada Wakamba alipozuru Kitui.

˗ Alipokuwa mkahawani alipewa chakula cha marekani ambacho hakukipenda alitamani chakula cha kwao ugali kwa mlenda,wali na pilau, matoke na muhogo.

b) KIKAZA: Umuhimu wa hadithi ya kobe˗ Kobe alitaka kupaa angani. Ni Bwana Mtajika alipotaka uongozi wa nehi ya Tekede.˗ Ndege walishrikiana na kobe kwa kupta manyoya ili apate mbawa na kupaa angani. Wanatekede walishirikiana katika

kumchagua Bwana mtajika kuwa kiongozi.˗ Kobe alipofika angani alijipa jin ―Sisi wote‖ akachukua chochote kilicholetwa kwa ajili ya wote. Bw Mtajika alijaa ubinafsi,

akijilimbikizia mbali na kuacha raia kwa njaa, umaskini na magonjwa.˗ Waliokuwa karibu na kobe walibahatika kupata masalio (waliomfaa). marafiki wachache wa Mtajika kama Bw. Machupa

ndio walinufaika kutokana na uongozi wake.˗ Ndege waliamuqa kumnyonyoa kobe manyoya yao na kumwacha arudi ardhini. Raia waliudhishwa na Bw Mtajika kwa

kutowajali na wakatumia kura zao kumwangusha/kumwondoa mamlakani.

Top grade predictor publishers Page | 234

Page 236: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Nani asiyeona gamba lake Bw Mtajika alipoondolewa mamlakani, aliaibika na kushindwa kufurahia maisha tena. zozote 5x2=10)

7.a) Ukengeushi - Ni mabadiliko hasa yanayotokana na athari za kigeni km: Magharibi.- Fedhele ni msichana aliyeiga tabia za kigeni kama vile kuvalia kanzu fupi ajabu.- Wasichana kama vile Salma Fadhili hujirembesha kwa kujipaka aina ya rangi mwilini - mashavu na midomoni.- Elimu ya kizungu huwafanya wengine kuwa na kiburi km: msimulizi.- waliosoma/walipata elimu ya kizungu hupuuza baadhi ya kazi km: kuuza mihogo choma na kuchunga mifugo.- Wasichana wa kiafrika kutembea usiku na ni tabia za kizungu.- wasichana kuwekwa kati na wanaume/umalaya ni ukengeushi.- kuwa na watumishi/kufanyiwa kazi ni tabia za kigeni. 5x2=10

b) Thamani ya utendakazi maishani.˗ Tabia ya kukaa bila kufanya kazi si staarabu. km. msimulizi.˗ Uzembe huleta aibu maishani - msimulizi kudharauliwa na bibi yake.˗ Ni muhimu mtu atende kazi ili kupata riziki ya kila siku. Msimulizi anawategemea wazazi wake kwa kila jambo kwa sababu

ya kutofanya kazi kwa bidii.˗ Si jambo la busara kubagua baadhi ya kazi. Msimulizi anabagua kazi.˗ Uzembe kazini ni chanzo cha kuvunjika kwa baadhi za ndoa km: Ndoa ya Aziza na Fedhale.˗ Mwanaume anapojichumia mali yake mwenyewe kupata heshima kutoka kwa mkewe.

zozote 5x2=10)8. FASIHI SIMULIZIa) Majigambo au vivugo. 1x2=2b)˗ Hutungwa na kughaniwa na mhusika mwenyewe.˗ Hutungwa kwa usanii mkubwa sana. Kwa mfano matumizi ya sitiari.˗ anayejigamba hutunga kivugo kuguatia tukio mahususi katika maisha yake michezoni, vitani, kesi, jando na kadhalika.˗ Huwa na matumizi ya chuku, mtunzi hujisifu kupita kwa kutaja mafanikio na mchango wake.˗ majigambo hutungwa papo hapo. Lakini mengine huandikwa na kughaniwa baadaye.˗ Maudhui makuu ya majigambo huwa ushujaa.˗ Kwa kawaida hutungwa na kughaniwa na wanaume.˗ Anajigamba huweza kuvaa maleba yanayoaana na kazi yake. Pia anaweza kubeba baadhi ya vifaa vya kazi.˗ anayejigamba huweza kutaja na kusifu ukoo/nasaba yake.˗ Mara nyingi wanaojigamba hywa walumbi au washairi. (za kwanza 5x2=10)

c)˗ Hukuza ubunifu. Mtunzi huimarisha uwezo wake wa kubuni mitindo mipya ya utunzi na uwasilishaji anapoendelea kubuni

majigambo.˗ Ni nyenzo ya burudani. Waliohudhuria sherehe huongolewa na majigambo.˗ Kukuza ufasaha wa lugha. Watunzi wengi wa majigambo huwa walumbi ambao ni weledi wa lugha.˗ Hudumisha utu na hutambulisha mwanamme katika jamii. Wanaume walipaswa kuwa jasiri katika jamii kwa sababu ya

uchokozi uliokuwepo.˗ Ni nyenzo ya kufanya watu waheshimiwe. Hufanya wanaume kuwa na anya kuwa mashujaa. zozote 4x2=8)

Top grade predictor publishers Page | 235

Page 237: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA RAISMARADE INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. WeweniRaiswanchimojawapoyaJumuiyayaAfrikaMashariki;mwandikeRaiswanchiya ujumbewarisalakutokananamsururuwavisa vyaugaidivilivyoshuhudiwanchinihumo.

2. Kumeshuhudiwaongezeko la vijanawengikushirikimihadarati. Elezasababunasuluhuzatatizohilinchini.3. Uzuriwamkakasindanikipande cha mti.4. ChifualimwulizamzeeMatatasababuyakumwozabintiyemapema. MzeeMatataalimkodolea macho

…………………………………………. Endeleza.

MTIHANI WA PAMOJA WA RAISMARADE 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (ALAMA 15)

Mafuta yanayopatikana kwenye fukwe za bahari, moshi wa magari, takataka na bidhaa nyinginezo zinazotupwa hapa na hapa ni vichafuzi vya mazingira. Vichafuzihuadhiri afya zetu na kuathiri wanyama na mimea. Wanadamu wanayachafua mazingira yao kwa kila aina ya bidhaa mbaya za kikemikali zinazotoka viwandani mwa kawi / nguvu. Bidhaa hizo ni matokeo ya maisha ya siku hizi anayoishi binadamu.

Licha ya ukweli huu, ni muhimu kujua kuwa uchafuzi wa mazingira haukuanza leo. Miaka na miaka iliyopita, viwanda vimekuwa vikitoa mawingu makubwa ya moshi yenye sumu. Hata hivyo, uchafuzi wa mazingira umeongeza mara dufu kutokana na kuongezeka kwa viwanda. Uchafuzi umesambaa ardhini, kwenye anga na majini. Msambao huu unapatikana katika pembe zote za ulimwengu wetu. Je, kuna aina zipi za uchafu?

Kwanza, kuna uchafu wa hali ya anga. Huko juu angani kuna tabaka linalojulikana kama ozoni. Tabaka hili ni aina ya gesi ya oksijeni na linaunda kinga fulani dhidi ya miale ya jua. Miale hiyo ya jua huweza kusababisha saratani ya ngoziinapomfikia binadamu. Hata hivyo, uchafu wa mazingira unaelekea kuliathiri tabaka hili vilevile baadhi ya kemikali zinazotumiwa katika jokofu au kwenye mikebe ya marashi ya kupulizia na upakiaji bidhaa, huuharibifu ukanda huo.

Uchafu mwingine ni uchafuzi wa kiajali. Uchafuzi huu hutokea bila binadamu kukusudia. Mfano mzuri ni meli inayovuja mafuta baharini. Mafuta haya huwaathiri na kuwaua wanyama wanaoishi baharini kama samaki na ndege na hata kuyaharibu mazingira yenyewe.

Miji mikubwa hukumbwa na uchafuzi mwingine unaohusiana na kuwako kwa idadi kubwa ya magari. Magari haya hutoa moshiunaochanganya gesi ambazo huungana na nyingine zinazoletwa na viwanda vikubwa. Mchanganyiko huu unapoungana na maji , husababisha mvua ya asidi. Mvua hii huweza kuiua mimea , kuathiri majengo na hata kuwaua wanyama wa pori ambao huenda wakayatumia maji hayo. Magari hayo hutoa moshi uliochanganyika na madini aina ya risasi ambayo huweza kuathiri siyo tu mazingira bali pia mfumo wa akili wa binadamu.

Uchafuzi mkubwa ni utupwaji ovyo wa takataka. Fauka ya hayo, watu hufukia ardhini takataka ambazo huweza kuwa na matokeo mabaya kwa sababu ya kupenyeza kwenye udongo na maji yanayotumiwa na watu na mimea. Kila siku tunatupa takataka bila kujali wala kukubali. Takataka hizi ni kama makopo, mifuko ya plastiki, mabaki ya sigara au maganda ya matunda. Baadhi ya takataka ni hatari kwa wanyama na nyingine huweza pia kusababisha majanga kama moto. Aidha, hufanya mazingira yaonekane machafu.

Sote tunajukumu kubwa la kuchangia kupunguza uchafu wamazingira. Kwanza, kuelimisha na kutambua umuhimu wa usafi wa mazingira yetu . Tunapaswa kutia takataka zetu kwenye vijalala maalum au mahali tunapoweza kuzichoma na kuziteketeza. Tuhakikishe tunatunza vitu kama mifuko, chupa na kadhalika ambavyo huweza kuundwa upya na kutumika tena. Hali kadhalika, katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwepo na juhudi za kuwahimiza wenye magari kutumia mafuta ya gari ambayo hayana madini ya risasi. Kwa njia hii, tutasaidia kuyaboresha mazingira yetu. Vilevile pana umuhimu wa kutilia mkazo utumiaji wa bidhaa ambazo zinaweza kuoza na kuvunjikavunjika au kusagika na kuwa sehemu ya udongo. Hatua ya kwanza ya kupambana na uchafuzi wa mazingira ni kujielimisha na kuwajibika. Kila mmoja akitoa mchango wake, tutafanikiwa. Kumbuka: kinga na kinga ndipo moto uwakapo.

a) Ongezeko la viwanda limechangiaje uchafuzi wa mazingira ? (alama 3)b) Tabaka la ozoni huathiriwaje na uchafuzi? (alama 2)c) Eleza athari zozote tatu za kutotunza mazingira. (alama 3)d) Kwa nini miji mikubwa hukumbwa na uchafuzi kuliko sehemu nyingine? (alama 2)e) Eleza nui mbili za uchafuzi wa mazingira zilizotajwa katika kufungu hiki. (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 236

Page 238: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

f) Eleza maana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumiwa katika kifungu. (alama 3)i) Msambao -ii) Makopo -iii) Kinga -

2. UFUPISHO: ALAMA 15 SOMA TAARIFA IFUATAYO KISHA UJIBU MASWALI:

Biashara ya kimataifa ni muhimu sana katika ukuaji wa uchumi wa nchi yoyote ile.Nchi mbalimbali zimekuwa zikitegemeana kwa namna moja na nyingine. Kwa mfano, nchi ya Kenya imekuwa ikiuza maua na mboga katika nchi za ng‘ambo na kupata fedha za kigeni ambazo hutumiwa humu nchini kuendeleza miradi mbalimbali ya maendeleo

Biashara ya kimataifa huziwezesha nchi ambazo hazizalishi bidhaa na hata huduma mbalimbali kupata bidhaa hizo kutoka nchi nyingine zinazohusiana nayo kibiashara. Mathalan, Kenya ni nchi ambayo imekuwa ikitegemea kilimo lakini haijaendelea katika sekta ya viwanda. Kenya huagiza bidhaa kama vile vipuri vya magari na hata magari yenyewe kutoka nchi kama vile Japan. Nayo Kenya huuza mazao ya shambani kama vile pareto, chai na kahawa ng‘ambo.

Kupitia kwa biashara ya kimataifa, nchi hupata masoko kwa bidhaa zake. Kwa vile biashara ya kimataifa huziwezesha nchi husika kuzalisha bidhaa mahususi ambazo hazitahigharimu pesa nyingi kuzalisha, nchi hizo aghalabu huzalisha kiwango kikubwa cha bidhaa kuliko mahitaji yake ya nyumbani. Nchi basi hulazimika kutafuta masoko nje ya mipaka yake. Kwa njia hii, uchumi wa nchi huendelea kuimarika.

Aidha, biashara ya kimataifa huwezesha nchi kupata huduma za kitaaluma ambazo hazipatikani katika nchi husika. Kuna nyanja za kiuchumi ambazo huhitaji wataalamu mahususi. Kwa mfano, katika sekta ya matibabu nchini humu tumepata kwamba kuna baadhi ya magonjwa ambayo yanahitaji matibabu maalumu. Wanaougua magonjwa haya huagiziwa madaktari kutoka ng‘ambo au hata kupelekwa ng‘ambo kwa uchunguzi na matibabu zaidi.

Biashara ya kimataifa hukuza ushirikiano wa kimataifa . Nyakati za majanga ya kimaumbile na hata mengine yanayosababishwa na kutowajibika kwa binadamu, nchi hupata husaidiza kutoka nchi za ng‘ambo. Kwa mfano, wakati wa mkasa wa bomu wa 1998, Kenya ilipata msaada wa kukabiliana na janga hili kutoka Israeli, Marekani, na hata Ujerumani ambako baadhi ya waathiriwa wa mkasa huo walipelekwa kwa matibabu zaidi. Ushirikiano huo wa kimataifa huwezesha wananchi kutoka nchi fulani kuenda kusomea na hata kufanya kazi katika nchi nyingine. Katika miaka ya hivi karibuni, Wakenya wengi wamekuwa wakienda kusomea vyuo vikuu vya ng‘ambo. Wengine wamediriki kupata kazi katika mashirika ya kimataifa katika nchi mbalimbali kama vile Afrika Kusini , Rwanda , Msumbiji na kadhalika.

Biashara ya kimataifa husaidia kukuza ushindani kati ya nchi husika. Ushindani huu ni hakikisho la uzalishaji wa bidhaa za thamani bora . Kila nchi itafanya juu chini kuzalisha bidhaa ambazo zinaweza kukubalika katika soko la kimataifa. Pia, wananchi wa nchi husika hupata aina tofauti za bidhaa badala ya kutegemea ainamoja tu ya bidhaa zinazozalishwa nchini mwao.

Biashara ya kimataifa huleta ushirikiano wa kisiasa na uelewano zaidi kati ya madola mbalimbali. Mathalan muungano wa nchi za Afrika Mashariki - Kenya, Uganda na Tanzania, hauchangii tu kuleta manufaa ya kiuchumi bali huleta ushirikiano zaidi wa kisiasa.

Ingawa biashara ya kimataifa inahitajika, biashara hii huandamana na hasara mbalimbali. Biashara hii imesababisha kuwapo kwa masoko huru ambayo yameleta ushindani mkubwa kwa wafanyibiashara wadogo wa humu nchini. Baadhi ya wafanyibiashara wamelazimika kufunga biashara baada ya kufilisika. Ushuru mkubwa unaotozwa baadhi ya bidhaa zinazoingia huwafanya wananchi wengi kutofaidika kwa bidhaa na huduma kutoka nje. Aidha, kuna ucheleweshaji wa bidhaa zilizoagizwa. Bidhaa hizi mara nyingi huchukua muda kabla ya kutoka nchini. Kwa hivyo, wafanyibiashara wengi hulazimikakungojea kupata bidhaa hizi na kuwauzia wateja wao.

Vilevile, kutokana na biashara ya kimataifa, bidhaa duni huweza kupenyezwa katika mataifa yanayoendelea. Pia, baadhi ya wafanyibiashara wa kimataifa huchukua fursa hii kulangua dawa mbalimbali za kulevya ambazo huwaathiri vijana wa nchi husika. Wengine huhusika katika vitendo vya kigaidi kama vile ulipuaji wa majengo mbalimbali kwa bomu na mauaji ya wananchi wasio na hatia.

Ni kweli kuwa biashara ya kimataifa ina hasara zake. Hata hivyo, ni mhimili mkubwa wa uchumi wa mataifa machanga.

a) Kwa maneno yasiyozidi themanini , eleza umuhimu wa biashara ya kimataifa. (alama7)Matayarisho (1 mtiririko)

b) Kwa maneno maneno yasiyozidi 40 , eleza ujumbe wa aya tatu za mwisho. (alama 6)Matayarisho. (1 mtiririko)

3. MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 40)a) Eleza sifa zozote mbili za sauti /j/. (alama 2)b) Vitaje vipashio vya lugha kwa kuvipanga vinavyofuatana kuanzia cha chini hadi cha juu. (alama 2)c) Andika sentensi hii katika hali ya umoja. (alama 2)

Vilifi vivi hivi ndivyo vimekuwa vikitumiwa na meli zizi kutia nanga bandarini.d) Toa maana ya semi zifuatazo: ( Alama 2)

i) Shupaa mwili -ii) Kunja jamvi -

e) Eleza maana mbili za sentensi hii (alama 2)Wamekuja kutuliza.

Top grade predictor publishers Page | 237

Page 239: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

f) Geuza sentensi hizi katika kauli ulizopewa kwenye mabano; (alama2)i) Mwalimu aliyakataa maoni ya wanafunzi. (kutendwa)ii) Msamaria mwena alimuokoa mtoto aliyekuwa ametupwa pipani. (kutendata)

g) Tunga sentensi kutofautisha maana ya vitate hivi; (alama 2)tuza tunza

h) Eleza matumizi ya ‗ku‘ katika sentensi hii. (alama 1)Kucheza kwakekulifurahisha wengi

i) Changanua sentensi hii kwa kutumia kielelezo cha visanduku. (alama 4)Mzee aliyemdhulumu msichana yule ametiwa mbaroni tena.

j) Andika katika ukubwa wingi. (alama 2)Ukitaka kumla nguruwe chagua aliyenona.

k) Tumia neno kitoto kama;i) kivumishi (alama 1)ii) kielezi (alama 1)

l) Taja ngeli za nomino zifuatazo; (alama 2)i) Muundoii) Senti.

m) Bainisha mofimu katika neno hili; (alama 3)Alinizindusha

n) Tumia amba - rejeshi na nomino ulizopewa katika sentensi kuonyesha upatanisho wa kisarufi. (alama4)i) ukwenziii) sandukuni.

o) Ainisha nomino zilizopigiwa mstari katika sentensi ifuatayo; (alama 2)Kikosi cha askari kiliwanasa wezi waliohusika katika wizi wa ng‘ombe katika tarafa ya kindondoni.

p) Jaza viashiria vya uradidi vya mbali kidogo. (alama 2)i) Mbuzi -ii) Gazeti -

q) Tunga sentensi mbili kuonyesha matumiziz mawili ya po - ya wakati. (alama 2)r) Kanusha. (alama 2)

Wanafunzi wale wala wakiongea.

4. ISIMU JAMII (ALAMA 10)a) Eleza dhana ya isimujamii (alama 2)b) Eleza dhana ya sajili. (alama 2)c) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali.

Wanafunzi : Shikamoo mwalimu ?Mwalimu : Marahaba . Karibuni katika funzo la leo. Mnamo jana , juzi na mwisho

wa jumatumejifunza kuhusu vitenzi , vivumishi, vielezi na vihisishi. Today...samahani! But kabla hatujaendelea , do you remember all that ?

Wanafunzi : Samahani mwalimu , hatukushughulikia vihisishi.Mwalimu : Really ? Nilidhani tulipiga hatua na kupitia................ anyway , msijali.

Taja kanuni inayothibiti matumizi ya lugha katika kifungu hiki na kupelekea kuwepo kwa sifa zifuatazo katika mazungumzohaya;-i) Lugha ya adabu - (alama 2)ii) Kuchanganya Ndimi - (alama 2)iii) Msamiati maalum - (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 238

Page 240: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA RAISMARADE 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SEHEMU YA A: TAMTHILIA Timothy Arege :MstahikiMeya

1. LazimaUbadhirifunaukosefuwamipangomadhubutindiochanzo cha matatizoyawafanyikazikulecheneo. Eleza (alama20)

SEHEMU YA B: RIWAYAKen Walibora:KidagaaKimemwozeaJibuswali la 2 au 3

2. ―Hakinakwambiaweye,afadhalimkolonimzungukulikomkolonimweusi‖.a) Andikamuktadhawadondoohili (alama4)b) Elezasifazamkolonimweusi (alama10)c) Msemajianaonajekuwamkolonimzungualikuwaafadhali ? (alama6)

3. a) Ni mbinuzipiMtemiNasaba Bora alizozitumiakatikauongozi wake? Eleza (alama10)b) OrodheshamasaibuwanasokomokowaliyokumbananayochiniyauongoziwamtemiNasaba Bora (alama10)

SEHEMU YA C: USHAIRI 4. Soma shairilifuatalokishauyajibumaswaliyanayofuata. (alama 20)

Ulimwenguunalia, ukimwi ‗mekuwajanga, Hakunalilosalia, angamizilenyepanga, Nanilitakubalia, ‗ishijapokwakutanga, Ni dhikimtawalia, uchunguunaidunga.

Kilasiku; kiwadia, nivilionamatanga, Wala hakunafidia, nikamasisiwajinga, Haliwezihurumia, gonjwalisokinga. Sisisotetwaumia, aliwapiwakupinga.

Hekimayatuambia, tuwacheniwakupanga, Wanetuhebukimbia, epukahuuupanga, Ni wengiwaliojuta, hulkayakutojichunga, Hasha ‗siukumbatia, ukimwiutakuchanga.

Nyienanyimlao, sheriamliitunga, Hakunavyakudondoa, kwajiranimkipunga, Si sharimkibomoa, ndoayenubilakinga, Wako pekeechumia, bilahilohutaunga

Maradhiyalodunia, ni baa lisilo change, Wajibunikuamua, tukwepelehilijanga, Ukimwi ‗sikaribia, gurakatafutekinga, Ukimwi we tokomea, sionetenamatanga. Maswali:

(a) Tajanauelezebaharimbilizashairihili. (alama 4)(b) Eleza umbo la shairihili. (alama 5)(c) Kwa kutoleamifano, elezaainambilizauhuruwakishairikatikashairihili. (alama 4)(d) Tajakwakutoleamifanombinumbilizalughakatikashairihili. (alama 2)(e) Elezaujumbewashairihili. (alama 3)(f) Elezamaanayamanenohayakamayalivyotumiwakatikashairi. (alama 2)

(i) Janga (ii) Shani

SEHEMU D: FASIHI SIMULIZI Jibuswali la 5 au 6

5. a) Ulumbininini? (alama6)b) Elezaumuhimuwaulumbi (alama8)c) Elezamaanayamaapizo (alama2)d) Tajanauelezesifannezamaapizo (alama8)

Top grade predictor publishers Page | 239

Page 241: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

6. a) Tajaainazamalumbanoyautani (alama6)b) Elezasifannezamalumbanoyautani (alama8)c) Malumbanoyautaniyanaumuhimuganikatikajamii (alama6)

SEHEMU YA E : HADITHI FUPIK. Waliborana S.A Mohamed: DamuNyeusinahadithinyingineJibuswali la 7 au 8

7. Umaskinindichokikwazokikuu cha maendeleo.UkirejeleahadithizozotetanokatikadiwaniyaDamuNyeusinahadithinyingine,thibitishaukweliwakaulihii. (alama 20)

8. Hichondichokilichokuwakiitikio ..............naalilolionakuwajibupekeemwafakakwaaliouimba... ...‖(a) Elezamuktadhawadondoohili. (alama 4)(b) ―Wimboganialiouimba‖ ulikuwanaujumbegani? (alama 6)(c) Aliyekuwana ―jibupekee‖ kwawimboulioimbwaalikuwanahulkazipi? (alama 10)

Top grade predictor publishers Page | 240

Page 242: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA RAISMARADE INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

SWALI LA 1 ˗ Ni inshayarisalayatanzia˗ Atoesalamu˗ Atambuebaadhiyamikasa˗ Ajihusishenamikasa˗ Atoerambirambi˗ Aonyeshemchangowanchiyake˗ Aonyeshemsimamok.vkulaanitendohili˗ Atiemoyowahasiriwawamkasa

MTIHANI WA PAMOJA WA RAISMARADE 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. UFAHAMUa)˗ Viwandakutoa moshi unaochafua hewa˗ Viwanda humwaga kemikali majini˗ Viwanda kutengeneza bidhaa zisizoweza kuoza. (zozote 3x1=3)b) Gesi na kemikali zinazotoka ardhini hupaa juu na kuvunja tabaka hili. (alama 2)c) Hewa safi ya kupumua itapungua.

Maji ya kutumia kuchafukaArdhi haitakuwa na uwezo wa kuzalisha mimea (zozote 3x1=3)

d) Viwanda vingi vimejengwa mijiniMiji ina idadi kubwa ya watu. (zozote 2x1=2)

e) Uchafuzi wa hali ya angaUchafuzi wa ardhiUchafuzi wa maji (zozote 2x1=2)

f) i) Ueneaji / usagaajiii) Mabaki iii) Kipande cha ukuni chenye moto

UTAHINI Makosa ya s - ondoa hadi nusu ya alama alizopata mwanafunzi katika kila swali. Makosa ya h - ondoa hadi makosa sita katika swali nzima. (½ x6=3)

2. UFUPISHOa)- Ukuaji wa uchumi- Kupata bidhaa kutoka nchi nyingine- Masoko kwa bidhaa- Huduma za kitaalamu- Hukuza ushirikiano wa kimataifa- Hukuza ushindani- Ushirikiano wa kisiasa. (7x1=7)b)- Masoko huru yameleta ushindani mkubwa kwa wafanyi biashara wadogo.- Biashara kufugwa- Ucheleweshaji wa bidhaa zilizoagizwa- Bidhaa kuchukua muda- Ushuru mkubwa unaotozwa baadhi ya bidhaa zinazoingia nchini huwafanya wananchi wengi kutofaidika kwa bidhaa na

huduma kutoka nje.

Top grade predictor publishers Page | 241

Page 243: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

- Bidhaa duni huweza kupenyezwa- Ulanguzi wa dawa za kulevya (zozote 6x1=6)

Utuzaji.

UT.Adhabu.ondoa hadi makosa sita ya sarufi ( s) 1/2x6=3ondoa hadi makosa sita ya hijai (h) 1/2x6=3Ondoa makosa ya ziada (z)

3. MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 40)a)- Ni kipasuo- Ni sauti ghuna- Ni sauti ya kaakaa ngumu (zozote 2x1=2)

b) sauti ½silabi ½neno ½sentensi ½ (alama ½ x4=2)

c) Kilifi kiki hiki ndicho kimekuwa kikitumiwa na meli ii hii kutia nanga bandarini. (½ x4=2)d) i) Kuwa na mwili uliojengeka vizuri (alama 1)

ii) Kumaliza shughuli (alama 1)e) i) kutufanya tulie (alama 1)

ii) kuleta utulivu (alama 1)f) i) Maoni ya wanafunzi yalikataliwa na mwalimu. (alama 1)

ii) Msamaria mwema alimuokota mtoto aliyetupwa pipani (alama 1)g) Mwanafunzi atunge sentensi zinazoleta maana hizi.

tuza - toa zawadi (alama 1)tunza - hifadhi (alama 1)Mwalimu ahakiki sentensi za wanafunzi.

h) i) Kiambishi awali cha kitenzi jina (nomino) (alama ½)ii) Kiambishi awali cha ngeliu. (alama ½)

i)

j) Mkitaka kuyala maguruwe chagueni yaliyonona. (alama 2)k) (Mwalimu ahakiki sentensi za wanafunzi.)

i) Ana tabia za kitoto. (alama 1)ii) Anacheka kitoto. (alama 1)

Top grade predictor publishers Page | 242

Page 244: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

( mwanafunzi asipotunga sentensi atuzwe 0)l) i) U - I (alama 1)

ii) I - ZI (alama 1)m) A - nafsi 1/2

Li - wakati uliopita ½Ni - mtendewa ½Zindu - mzizi wa kitenzi ½sh - kauli / mnyambuliko ½a - kiishio ½ ( alama ½ x6=3)

n) i) Ukwenzi ambao aliutoa uliamsha kila aliyelala (alama 2)ii) Sandukuni ambamo ameweka nguo mnba panya (alama 2)

Mwalimu ahakiki sentensi za wanafunzi. o) Nomino ya makundi / jamii

Nomino ya dhahania Nomino ya kawaida / jumla Nomino ya pekee ( ½ x4=2)

p) i) yuyo huyo (alama1)ii) lilo hilo (alama 1)

q) i) Aliponiona alikimbia (alama 1)ii) Anionapo hukimbia (alama 1)

r) Wanafunzi wale hawali wakiongea (alama 2)

UTUZAJI;makosa ya sarufi (s)ondoa hadi nusu ya alama alizopata mwanafunzi katika kila kisehemumakosa ya hijai(h)Ondoa hadi makosa sita katika swali zima. (½ x6=3)

4. ISIMU JAMIIa) Ni taaluma inayochunguza uhusiano baina ya lugha na jamii. (alama 2)b) Ni mitindo au namna mbalimbali za matumizi ya lugha ile ile moja katika miktadha mbalimbali. (alama 2)c) i) Uhusiano baina ya mwalimu na mwanafunzi (alama 2)

ii) Uwezo wa lugha alionao mwalimu.Mazoea yake.Ukosefu wa subira (alama 2)

iii) Mada / kinachozungumzwa / yaliyomo. (alama 2)UTUZAJI;

Ondoa hadi makosa manne ya sarufi (s) katika swali zima.½ x6=3Ondoa hadi makosa manne ya hijai (h) katika swali zima ½ x6=3.

Top grade predictor publishers Page | 243

Page 245: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA RAISMARADE 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

MSTAHIKI MEYA 1. Ubadhirifunihaliyakutumia au pesaovyoovyobilakukadhiriwamatumiziyake (al.20)˗ Meyaanaandaa karamu maalumukwaheshimayawagenianaowatarajia. AmesahaukwambaBarazahalinapesazakutosha.˗ Wageniwatarajiwawangepokelewakatikahoteliyakifahariyaeneohilonaghramahiyoikojuusana.˗ MeyaanafanyahivyokwakutarajiamisaadazaidikwaBarazakutokakwawagenihaonakutumiapesahizokununulianguompyazakuw

alakiwageni . alijuakunafaidakwakenamadiwanikufujahiyomali.˗ Meyaanashirikiananamhubiri……….. barazazaidi,maombipekeeyamhubiriyangegharimubarazapesanyingi.˗ Barazakutoasadakakwakanisa lamhubirishilingilakimojakilamwezi.˗ Meyasheriazacheochakezinaruhusukuwanapesakamazaburudani˗ Ana yavyakulakutokatamadunimbalimbalizaulimwengunamvinyokutokanchizaughaibunivilikuwavimeagizwa.˗ Wananchi n

awafanyikaziwanaendeleakutaabikakwauchocholenaukosefuwamahitajiyakimsingihukuviongoziwakistareherenamarafikiwao.˗ Madiwaninaaskariwanaongezwamishaharakiholelabila sera maalum, ummaunaendeleakutaabika.˗ Meyakusemawanacheneosiwatuhivihivitu. Ni lazimaaonyesheukarimuwaokwawageni.

Jambohilinikinayakwaniwenyejiwanateseka. (10 x2)

KIDAGAA KIMEMWOZEA2. a) Msemajinimzeematukoweye

msemwa ni ImaniwalipokuwakwenyeseliwakatiimaninaamaniwalipotiwandanikwakusingiziwakumuuakitotouhurunamtemiNasaba Bora

(4 x1)b) Sifazamkololonimweusi (MtemiNasaba Bora)˗ Muuajimfano: chichiriHamadi,mwinyihatibumtembezikwakunyakuamshaharayao˗ Dikteta - atoaamrindipojambolifayiwe˗ Mnyakuzi - kunyakuakasri la majumuninamashambayawatukwakutumiahatimilikibandia˗ Bahili- anajinyimakutorekebisha / tengenezagarinakasrialilorithikutokakwamzungumajumuni.˗ Fisadi - alipunjaummahelazamsaadazilizotumiwakujengahospitalinabadalayakeakajengazahanatiyaNasaba Bora.˗ Mzinzi - Alishirikimapenzinjeyandoa˗ Katili- alimfukuzaamaninakulekitotoalimchampagaza . hakuwana utu nahuruma.˗ Mwenyekiburi- alizungumzakwaujeurinamaringohasakwawadogo wake namkewe.˗ Msojali- alitembeleagarilililochakaanakuishikatikakasrilisilotunzwavizuribilakujali.˗ Mhafidhina-aliendeleakuwadhulumuwatukwamudamrefubilakubadilishambinuzakezautawa. (Zozote 5 x2)c)˗ mkolonimzungualikuwaafadhalikulingananamsemajikwani:˗ mkolonimweusialikuwamwenyemadharau. Mfanoalianzakuwadhulumuwaafrikawenzake˗ mauajinaunyakuziwamashambakutokakwa wale waafrikaaliowauwak.mchichiriHamadi , kunyakuashamba la akina Imani

baadayakumuuwamamake. N.k˗ ubaguzinaupendeleok.mkukusanya peas nakumpelekamwanawekusomeang‘ambokamamadhubuti

,kuanzishamajinayavituombalimbaliNasaba Bora kamazahanatin.k˗ alitumiaudiktetakwakuwaongozawananchiwacheneok.mkuamuruaskarikumshikamatukoweyekwasababuyakusemaukwelimbe

leyaummasikuyasikukuuyawazalendo (zozote 3) (3x2)

3.a) MbinuzilizotumiwanaMtemiNasaba Bora katikauonngozi wake˗ Utabiri - alipotoamakisioyakemfano‘Lo,kumbesumakuyakaburiyanioteailikuanzakunivutavuukamakijembe!‘ mf.

―Nahisikatikanafsiyangunimefarikinikazikwa‖˗ Ucheshi - mfanoaliposhindwakulitamkajina la Amani vizuri ―weweulisemaunaitwanani? AtiNamini?‖˗ Taashira - mfanomaengeshoyagari la Mtemikuchakaanikuonyeshaubahilinausojali wake katikakuzingatiausafi.˗ Kinaya - kamakiongozialiwadhulumuwatotohasawasichanabadalayakuwaelekeza.

Kujiteteakuwakatikashughulizamashambaakikosekananyumbanikumbealiendakazininawasichanawadogo.˗ Kejeli / mabezo - mtemialivyouliziauhuru, ― Ninihili? What is this?‖ (zozote 5) (5 x2)b) orodheshamasaibuwanasokomokowalivyokumbananayochiniyauongoziwaMtemiNasaba Bora (alama 10)˗ Walipunjwahakizaokama vile kutopewanafasiyakutoamaoniyaomfanomkewe Bi ZuhuraalipomteteaAmani

kunyimwanafasiyakuelezamaoniyakekitotokilipoletwakwakena pia wakatikulipoofarikinabadalayakekutiwandaniyaseli.˗ WalidhulumiwakwamfanoMtemiNasaba Bora

kunyangayawatuwacheneomashambayaonakuzitengenezeahatimilikibandiakama kina ChichiriHamadi.˗ Walikandamizwakwamfano Imani na Amani kufungwajelakwakosawasilolifanya la kumwuuakitoto Uhuru pia

matukoweyekufungwajelakwakusemaukwelikuhusuuongoziwaMtemi. Askari pia walivyowachapa.

Top grade predictor publishers Page | 244

Page 246: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

5. a) niuhodariwakutumialughakwaufundiwakipekeeniufundiwalughakwamvutonaufasahab) umuhimuwaulumbi

˗ hukuzauwezowakujielezahadharani˗ ninyenzoyakukuzaujuzinaufasahawalugha˗ huhifadhiutamaduniwajamii˗ huburudishanakuelimishawanajamii˗ hukuzauzalendo˗ huwezakutumiwakuwasilishaujumbemuhimu au ulionaatharikubwa au ambaounamakalinausiorahisikueleza˗ nikitambulisho cha utabaka˗ nimsingiwakuteuaviongozi˗ nimsingiwakuheshimiwakatikajamii (8 x1) (zozote 8)c) nimaombimaalumyakumtakamungukumwadhibumhusikahasidi au mwovu (2 x1)d) maapizoyaliyotolewakablayaulajiviapo˗ yalitolewakwawatuambaowaliendakinyumenamatarajioyajamiiza.˗ Hutolewamojakwamojana Yule aliyeathirika˗ YanawezakutolewakamalaanabaadayamhusikakukaidiamrizaMungu˗ Huletamaangamizikwajamii, hivyowanajamiihushauriwakuyaepukakwakutendamema.˗ Hutumialughafasaha˗ Hutumialugha kali ianyomuuwakujazawogailikuonyadhidiyamaovu. (4x2) (zozote 4)6.a) utaniwamababu/mabibinawajukuu˗ utaniwamarafiki˗ utaniwakoo,makabila au mban˗ utaniwamawifunamashemeji˗ utaniwamarika˗ utaniwamaumbu

b) hufanywanawatuwawili au makundiwawiliyawatuwanapokutana˗ watuwenyeuhusianomzurindiohutaniona˗ watuhufanyianamizahaambayoinadhibitiwanamashartiyanayotawalauhusianowao˗ huwezakuwakatiyamakabila ,marafikiwajukuunamababu,wajukuunamabibi,maumbu,bwananabibiarusinahatamataifa˗ mbinuyachukuhutumiwakwaufanifumkubwa˗ huchukuanjiayaushindani,kilammojaakijaribukumpikumwenzake˗ watuhutaniawasiokuwepo˗ huhusishauigizaji (zozote 4) (4 x 2)

c) umuhimumalumbanoyautani˗ hupunguzaurasmimiongonimwawanajamii˗ humarishaurafiki˗ hukuzautangamanomiongonnimwawatunamakabilambbalimbaliyanapokujapamojakutaniana˗ hutambulishajamiikwakutajabaadhiyasifazakekatikautani.˗ Hukosoanakukashifutabiahasi˗ Huburudisha˗ Huelimisha (zozote 6) (6 x1)

Top grade predictor publishers Page | 245

Page 247: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA WILALA YA MURANG‟A KUSINI 2016 INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. Insha ya lazima.Andika dayalojia baina yako na kiongozi wa nyumba kumi kuhusu jinsi ya kuimarisha usalama katika eneo lenu.

2. Simu tamba, kiungambali, rununu au simu sogezi zina faida na hasara yake. Jadili.3. Tunga kisa kitakachodhihirisha maana ya methali;

Hisani haiozi. 4. Andika kisa kitakachomalizikia kwa maneno;

... niliaibika. Nilipopiga darubini nyuma na kutafakari kuhusu kitendo nilichotenda, nilitamani ardhi ipasuke nitumbukie huko nisionekane tena.

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA WILALA YA MURANG‟A KUSINI 2016 INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. UFAHAMU.(alama 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yafuatayo. Watahiniwa na wanafunzi wengine wanapoendelea kujiandaa kwa mitihani yao hasa wakisubiri ule wa mwisho, wanatumia mbinu mbalimbali katika kujiandaa huko.Mojawapo ya mbinu bora ya kutumia ni ile ya makundi. Mbinu hii huhusu kuwaweka wanafunzi katika makundi mbalimbali ili wayatumie katika udurusu wao.

Aghalabu, mwalimu huongoza shughuli hii ambapo hutumia uwezo wa wanafunzi katika kupanga makundi hayo. Hili huwa muhimu kwa kuwa huwafanya wanafunzi wanaoonekana kuwa na uwezo wa chini kujumuika na wale wanaoonekana kuwa wenye uwezo wa juu.Hata hivyo, huwa ni muhimu kujaribu kusawazisha makundi hayo ili wanafunzi wa kiwango cha juu wasione kuwa wanapoteza wakati wao na kwamba wanawafaidi wengine bila wao kufaidi. Hivyo basi, hulazimu kuwa na wanafunzi wawili wa viwango mbalimbali ili wote wanufaike. Idadi ya wanafunzi katika makundi hutegemea idadi yao, uwezo na mtazamo wa mwalimu wao. Yafuatayo ni baadhi ya manufaa.

Wanafunzi wanapokuwa katika makundi, huwa na uhuru zaidi wa kuchangizana na kuelezana wanayoyajua. Hufanya hili bila uoga ambao wanaweza kuwa nao hasa mwalimu anapokuwa darasani. Imebainika mara nyingi kuwa, mwanafunzi anaweza kuelewa au kulijua jambo fulani, lakini akakosa kulisema au kutoa mchango wa jambo hilo darasani anapoulizwa na mwalimu. Sababu huwa tofauti tofauti kama vile uoga, kutokuwa na uhakika, kutotaka kusikika, n.k. Wanafunzi wanapokuwa katika makundi, haya hayajitokezi na huonekana wakizungumza kwa wazi na ukakamavu. Hivyo basi, husema wayajuayo, na kuwapa wanafunzi wenzao uwezo wa kuyasikia na kuyakosoa mawazo yao. Aidha, ikiwa watataka kunyamaza makundini, wenzao watasisitiza kuwa watoe maoni yao, na kuchangia kuhakikisha kuwa wananoleka ifaavyo. Wanafunzi wanapokuwa katika vikundi, huwa na uhuru wa kusema kuwa hawalijui jambo fulani, na kutoa fursa kwa wenzao kuwaauani. Wanapojadili suala fulani, kila mmoja hutoa mtazamo wake, wakajumuisha pamoja na kuishia kuyajua mengi zaidi kuliko walivyojua mwanzoni. Huwa si ajabu kuona wanafunzi wanaoonekana kuwa dhaifu wakiwa makini kusikiliza na kusaidiwa, wakaanza kuelewa mambo kwa njia bora zaidi kuliko walivyoelezwa na mwalimu. Kwa kufanya hivyo, huwa na uhuru wa kuwaomba wenzao warudie maelezo fulani na kufafanuliwa polepole, wakaelewa kuliko walivyoelezwa na mwalimu.

Wanafunzi wanapokuwa katika makundi, wanaweza kupewa suala fulani kujadili. Wanapopewa vitabu wanaweza kutathmini yaliyojadiliwa na kubaini makosa. Wanaweza kujiuliza mbona masuala fulani hujitokeza jinsi yalivyo katika vitabu hivyo. Mfano mzuri katika shule za upili ni baadhi ya maelezo yanayokanganya katika baadhi ya vitabu kuhusu masuala kama vile vitenzi na virai, ambapo wanafunzi wanaweza kuyaangazia katika makundi na kubaini utata unaojitokeza. Hii ni mbinu bora ya kujihakikishia uelewa bora. Vilevile, wanafunzi wanaweza kubaini mengi wakichambua vitabu vya fasihi kwa pamoja, ambapo wanaweza kubaini masuala mengi ambayo huenda mwalimu hakuyadadavua. Wengi hujitokeza kubaini makubwa na madogo katika vitabu hivi. Pia, wanaweza kuwa na vitabu mbalimbali vinavyoeleza masuala yanayojadiliwa, na kusaidia kupata mambo mengi zaidi.

Wanafunzi wanapokuwa katika makundi, huhimizana kuzungumza na hivyo basi wale ambao kwa kawaida huwa waoga wakaanza kupata ujasiri. Wanaweza kuanza kuchangia mara moja moja, na kadri wanavyozoeana makundini ndivyo wanavyozidi kuzungumza zaidi, wakajitokeza kuwa jasiri zaidi. Hili hasa huzidi huonekana kwa kuwa, wao kupata himizo kutoka kwa wenzao. Ili kuhakikisha kuwa ujasiri huo umekuzwa kabisa, mwalimu anafaa awaelekeze wanafunzi mbalimbali wa vikundi hivyo kuwasilisha hoja zao mbele ya wenzao. Ni muhimu wanafunzi waelewe kuwa kila mmoja wao atapata fursa ya kuwasilisha mbele ya wenzao, ili waimarike kabisa.

Wanafunzi, wanavyozidi kuwa pamoja ndivyo wanavyozidi kuzoeana na kuishia kuwa marafiki wa toka nitoke. Wao huendelea kukurubiana katika masuala mbalimbali. Aidha, mwalimu anaweza kuzua mashindanao baina ya makundi, yatakayowalazimu wanafunzi kuhusika kwa karibu zaidi na kushirikiana kuhakikisha wanaibuka kuwa bora. Maswali. Top grade predictor publishers Page | 246

Page 248: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

1. Toa anwani mwafaka ya kifungu ulichosoma. (alama 2)2. Kuna umuhimu gani kwa mwalimu kuutumia uwezo wa wanafunzi anapopanga makundi? (alama 2)3. Idadi ya wanafunzi katika kila kikundi hutegemea mambo yapi? (alama 3)4. Eleza manufaa ya kujifunza kwa mbinu inayozungumziwa katika makala haya. (alama 4)5. Ujasiri wa mwanafunzi unaweza kukuzwa vipi? (alama 2)6. Eleza maana ya maneno haya jinsi yalivyotumiwa; (alama 2)

(i) Marafiki wa toka nitoke. (ii) udururu

2. UFUPISHO (alama 15) Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali yanayofuata. Watu wengi, wanaamini kwamba kufundisha watoto nyimbo shuleni ni kupoteza wakati unaofaa kwa masomo ya maana. Lakini muziki nyumbani na shuleni una manufaa mengi.

Muziki ni kitulizo kikubwa sana cha moyo wa binadamu. Muziki una njia ya kipekee ya kuwasiliana. Baadhi ya ujumbe hauwezi kupitishwa kwa njia nyingine ila kwa muziki.

Muziki umetajwa kumsaidia mtoto kwa mambo yafuatayo: Kuendeza hisia nzuri, za kuburudisha na kuzuzua. Muziki humsaidia mtoto kuweza kukabiliana na tajriba mbaya. Unampa fursa ya kutoa moyoni simanzi na dhiki yake na hivyo kumrejeshea raha tana. Liwazo la muziki ni dhahiri wakati mtoto anapolala pindi anapoimbiwa bembelezi.

Inaaminika pia kwamba muziki unakomaza akili ya mtoto na ni nyenzo muhimu sana katika hafla yake ya kujifanyia mambo, hasa kwenye miaka yake ya mapema. Muziki huhitaji umakinifu ili kutambua miondoko na maneno halisi ya wimbo huo na mambo haya humfanya mtoto kuhamisha umakini huu kwenye masomo mengi darasani. Inaaminika pia kwamba kupitia kwa muziki mtoto anaweza kujifunza mbinu ya kukumbuka mambo anayofunzwa masomoni.

Watoto ambao hujifunza muziki mara kwa mara hujipatia mbinu za werevu shuleni haswa kwenye somo la hesabu na werevu wa mambo mengine kwa jumla. Utafiti umeonyesha kwamba watu wazima ambao walijifunza muziki kabla wafikishe umri wa miaka kumi na mbili huwa na utumizi mzuri wa maneno magumu na msamiati kuliko wale ambao hawakujifunza kuimba.

Muziki pia husaidia watoto walio na kasoro za kuzungumza au walio na ulimi mzito wa kuzungumza. Watoto au watu wazima walio na shida ya kigugumizi huweza kujieleza kwa ufasaha kwa kupitia muziki na jambo hili huboresha kujiamini kwao kwa kibinafsi. Watoto kama hao huweza kujifunza na kuelewa mila na tamaduni zao.

Maswali. (a) Dokeza mambo muhimu yaliyomo katika aya ya kwanza hadi ya tatu..(maneno 50 - 55) (b) Fupisha aya mbili za mwisho kwa kuzingatia manufaa ya kujifunza muziki. (maneno 65 - 70)

(alama 6, utiririko 1)

3. MATUMIZI YA LUGHA. (alama 40)1. Tofautisha sauti /th/ na /dh/ (alama 2)2. Ainisha viambishi tamati katika tungo lifuatalo; (alama 2)

Waliombewa 3. Tunga sentensi ya neno moja yenye visehemu vifuatavyo; (alama 4)

(i) Kiambishi kikanushi (ii) Kiambishi cha hali timilifu. (iii) Kiambishi cha mtendewa. (iv) Mzizi wa kitenzi (v) Kauli ya kutendea (vi) Kitamatishi

4. Onyesha aina za shamirisho katika sentensi ifuatayo. (alama 2)Mhudumu mmoja awaletee gilasi ya maji.

5. Ainisha vishazi katika sentensi ifuatayo; (alama 2)Kasisi alipoingia kanisani, waumini walianza kushangilia.

6. Bainisha matumizi ya ‗ni‘ katika sentensi; (alama 2)Rudini uwanjani mkanitafutie vikombe ambavyo ni vya kunywea chai.

7. Tambua na ueleze aina za vivumishi katika sentensi hii; (alama 2)Kitabu chochote kitafaa kwa kazi ii hii.

8. Tumia kiambishi ‗ji‘ katika fungutenzi ili kuleta dhana na kurejelea kiima.Vilevile kitumie kama kiwakilishi cha nafsi ya pili. (alama 2)

9. Changanua sentensi ifuatayo kwa jedwali; (alama 4)Alienda usiku ingawa nilimtahadharisha.

10. Andika sentensi ifuatayo katika usemi wa taarifa; (alama 3)―Mtaweza kumsaidia mtoto wangu kesho?‖ mzazi akamuuliza mhisani.

Top grade predictor publishers Page | 247

Page 249: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

11. Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli zilizo mabanoni. (alama 2)(i) - la (kauli tendeshea)(ii) Toa (tendeka)

12. Eleza matumizi ya alama zifuatazo za uakifishi. (alama 2)(i) Alama ya hisi (ii) Parandesi

13. Andika katika ukubwa wingi; (alama 2)Ngoma hii itachezwa uwanjani

14. Andika katika wingi karibu; (alama 2)Kijakazi yuyo huyo aliupoteza ufunguo uo huo licha ya kukanywa.

15. Geuza sentensi ifuatayo iwe katika hali ya -a- (alama 2)Chui hula swara.

16. Bainisha aina za virai vilivyopigiwa mistari. (alama 2)Ubaguzi wa kijinsia umekashifiwa na viongozi wenye misimamo thabiti mno.

17. Tumia ‗O‘ rejeshi tamati; (alama 1)Kiatu kinachonunuliwa si kile unachotaka.

18. Yakinisha sentensi hii katika nafsi ya tatu umoja (alama 2)Tusipoonana na wazazi hatutapata pesa

4. ISIMUJAMII.(alama 10) Soma kifungu kinachofuata kisha ujibu maswali yanayofuata. Aliyenaswa na pembe 50 za ndovu ashtakiwa. Mwanamume aliyekamatwa akiwa na pembe 50 za ndovu katika nyumba yake mtaani Githurai alishtakiwa kwa makosa mawili ya kupatikana na bidhaa za wanyama pori.

Maswali (i) Bainisha sajili ya makala haya. (alama 2)(ii) Eleza sifa za sajili uliyoitaja kwa ujumla. (alama 8)

Top grade predictor publishers Page | 248

Page 250: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA WILALA YA MURANG‟A KUSINI 2016 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI SEHEMA YA A: USHAIRI

1. Lazima.Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.(alama 20)

Natwaa hino nafasi, lilo tanza kukariri, Nayafichua upesi, ambayo kamwe si siri, Msikize nyinyi mbasi niwapashe i habari, Ugani wa mashairi, wapi watunzi wa kike?

Kuntu ndaningu nafsi, likanipa tafakari Mechunguza si kiasi, katanabahi dosari, Ndipo miye nikahisi, kuliamba kwa hiari, Ugani wa mashairi, wapi watunzi wa kike?

Kila siku Jumamosi, Dominika desturi, Magazeti binafusi, nashufu kila nahari, Watunzi wote sisisi, ndisi wavuli mahiri, Ugani wa mashairi, wapi watunzi wa kike?

Nikatwaa karatasi, na peni yangu saghiri, Niongozwe na Kudusi, kasarifu mistari, Na pasipo wasiwasi, nudhumu hino sawiri, Ugani wa mashairi, wapi watunzi wa kike?

Swala ninaloakisi, muda mwingi limejiri, Nalonga sifanyi kesi, ingawa ni taksiri, Haya yaso ufanisi, wadhiha yamekithiri, Ugani wa mashairi, wapi watunzi wa kike?

Mlo kike mwatughasi, kutoshiriki dhahiri, Talanta mnazo basi, ila hamwonyeshi ari, Umalenga u kuasi, ni wazi ja meno ngiri, Ugani wa mashairi, wapi watunzi wa kike?

Beti nane za utesi, zanisemesha kwaheri, Kuwashutumu sikosi, yamo murwa yakijiri, Nitiye habta kasi, miye shaha machachari, Ugani wa mashairi, wapi watunzi wa kike?

Maswali. (a) Lipe shairi hili kichwa mwafaka. (alama 2)(b) Taja bahari mbili zinazojitokeza katika shairi hili kwa kuzingatia; (alama 2)

(i) Vina(ii) Mishororo

(c) Thibitisha kuwa shairi hili ni la kiarudhi. (alama 4)(d) Eleza maudhui yanayojitokeza katika ubeti sita. (alama 2)(e) Bainisha toni ya mshairi. (alama 2)(f) Andika ubeti wa kwanza kwa lugha ya nathari. (alama 4)(g) Toa mifano miwili inayoonyesha idhini ya mshairi. (alama 2)(h) Eleza maana ya maneno haya;

(i) mwatughasi (ii) utesi

SEHEMU B: RIWAYA. Ken Walibora: Kidagaa Kimwemwozea. Jibu swali la 2 au la 3

2. ―Basi leo ni leo asemaye kesho ni mwongo ...‖―Atakiona cha mtema kuni.‖(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 249

Page 251: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(b) Eleza mbinu mbili za lugha zilizotumiwa katika dondoo hili. (alama 2)(c) Kwa kutoa mfano eleza jinsi suala la uozo wa viongozi linavyojitokeza katika riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.

(alama 14)3. Kwa kutolea mifano mwafaka eleza jinis mbinu zifuatazo zimetumika kufanikisha riwaya ya Kidagaa kimwmwozea.

(alama 20)(i) Sadfa(ii) Jazanda

SEHEMU C: TAMTHILIATimothy Arege: Mstahiki MeyaJibu swali la 4 au la 5

4. ―Tumechoka kuumbuliwa. Miaka yote tuliyofanya kazi sisi hatuoni matunda yake. Karibu tunastaafu lakini hakuna hazinamaana hakuna cha kuweka. Ni kazi ya kijungu jiko!‖(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Bainisha tamathali ya usemi uliyotumika katika dondoo hili. (alama 2)(c) Tamthilia ya Mstahiki Meya imeangazia harakati za kuleta ukombozi. Fafanua mbinu zilizotumiwa na wanacheneo

kujikomboa. (alama 14)5. ―Kama huku si kuwatusi wananchi basi ndio kutembea nyuma ya punda aliyeudhika.‖

(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Eleza mbinu zozote nane ambazo Meya Sosi alitumia ili kuendeleza utawala wake. (alama 16)

SEHEMU D: HADITHI FUPIKen Walibora na S.A Mohamed (wah): Damu Nyeusi.

6. ―Mwanzoni sikuridhia kwa kuwa nilikuwa kama mtu aliyeona unyasi baada ya kuumwa na nyoka.‖(a) Eleza mkutadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Taja tamathali ya usemi inayobainika wazi katika dondoo hili. (alama 2)(c) Eleza nafasi ya mwanamke katika hadithi hii. (alama 10)(d) Mbinu ya kinaya imetumika katika hadithi hii. Thibitisha. (alama 4)

SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI.7. (a) Eleza maana ya maigizo. (alama 2)

(b) Tofautisha aina mbili kuu za maigizo. (alama 4)(c) Kwa kutoa hoja nne eleza umuhimu wa maigizo. (alama 4)(d) Eleza dhima ya nyiso. (alama 10)

Top grade predictor publishers Page | 250

Page 252: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA WILALA YA MURANG‟A KUSINI 2016 INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. (a) Hii ni insha ya dayalojia. Sura ya dayalojia izingatiwe yaani ya kitamthilia.

(b) Dayalojia izingatie sehemu zifuatazo; (i) Kichwa / Anwani.

Kichwa kiandikwe kikamilifu kwa kutaja kuwa ni dayalojia. Wanaoshiriki katika dayalojia watajwe. Kichwa pia kionyeshe mada inayozungumiziwa. (ii)

Utangulizi. Haya ni maelezo mafupi kuhusu mandhari.

(iii) Suala. Suala ni kuhusu usalama yaani jinsi ya kuimarisha usalama. (iv)

Wahusika. Wahusika wafuatwe na koloni.

(v) Maelezo mafupi.

Haya huwa kwa mabano ili kueleza hali ya wanaoshiriki.

Hoja ˗ Jamii ielimishwe kuhusu umuhimu wa kudumisha usalama na kuwashika wahalifu.˗ Kuongeza idadi ya askari / walinda usalama. Kuwapa polisi vifaa vya kazi vya kutosha.˗ Kuwajibika kwa askari kazini.˗ Kuimarisha uchumi / mikakati ya kuongezea nafasi za kazi.˗ Kuimarisha korti zetu mahakama, jela na kadhalika.

Tanbihi. Hoja ni lazima zijenge maudhui aliyopewa. Hoja zijengwe kwenye misingi ya ukweli. Mtahiniwa asipozingatia sura ondoa alama 4 za sura

2. (i) Hii ni insha ya mjadala.(ii) Mtahiniwa anafaa kuzungumzia kuhusu faida na hasara za simu tamba.

Inafaa ajadili pande mbili.(iii) Mtahiniwa awe na angalau hoja tano ambazo zimefafanuliwa.

Hoja za faida.˗ Imerahisisha kazi ya wanabiashara.˗ Katika dharura kuna nambari maalum za kuomba usaidizi.˗ Husaidia watu kupanga siku zao vizuri.˗ Hukumbusha watu kuhusu matukio muhimu yanayotazamiwa.˗ Unaweza kujua pesa zinazohitajika kwa huduma kama nguvu za umeme kwa ujumbe wa rununu.

Hasara.˗ Madereva wanaoshika usukani huku wanawasiliana husababisha ajali.˗ Baadhi ya watumizi wake huzungumza bila adabu hadharani bila kujali walipo (hospitalini, kwenye benki˗ na kadhalika)˗ Wengine hutoa siri zao hadharani na kuhatarisha maisha yao.˗ Zimesababisha sintofahamu katika ndoa na familia.˗ Hatari za kiafya zinaweza kutokea.˗ Udanganyifu kwenye mitihani.

3. (i) Hii ni insha ya methali. Hisani haiozi.(ii) Kisa kidhihirishe maana ya methali. (iii) Maana ni kuwa ukitenda wema, wema huo haupotei hivi hivi tu. Huenda na wewe ukalipwa wema huohuo ulioutenda. Kisa kinaweza kuzungumizia mhusika ambaye alitenda wema wakati fulani. Mhusika huyo naye baadaye akatendewa wema ambao ulimfaa katika maisha yake.

(a) Kisa kiwe na pande mbili: (i) Upande mmoja uwe ni kuhusu wema ambao mhusika aliufanya au kuutenda.(ii) Upande wa pili uwe kuhusu wema ambao mhusika yuyo huyo alitendewa.

(b) Mtahiniwa akiegemea upande mmoja atakuwa amepungukiwa kimaudhui japo hajapotoka

Top grade predictor publishers Page | 251

Page 253: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(c) Mtahiniwa ambaye ataandika kisa kisichooana kabisa na methali atakuwa amepotoka kumaudhui.

4. (i) Hii ni insha ya mdokezo.(ii) Maneno kiini katika swali hili ni kuaibika kuhusu kitendo fulani.

Hali inayodhihirika ni ya aibu. (iii) Kisa kidhihirishe kitendo ambacho kinamfanya mhusika kuaibika. (iv) Mtahiniwa anaweza kurudi nyuma kwa kutumia mbinu rejeshi na kusimulia hadi anapofikia hali hii yakuaibika. (v) Nafsi ambayo itatawala katika insha hii ni nafsi ya kwanza.

Top grade predictor publishers Page | 252

Page 254: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA WILALA YA MURANG‟A KUSINI 2016 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA Ufahamu.

1. Anwani.Mbinu za kujifunza kwa makundi. al 2

2. Huwafanya wanafunzi wanaoonekana kuwa na uwezo wa chini kujumuika na wale wanaoonekana kuwa nauwezo wa juu. al 2

3. (i) Idadi yao(ii) Uwezo wao(iii) Mtazamo wa mwalimu wao. al 3

4. Manufaa.˗ Kuchangizana maarifa.˗ Kupata maarifa wasiyokuwa nayo.˗ Kutambua mambo mapya au makosa vitabuni.˗ Kukuza ujasiri.˗ Umoja na utangamano. al 45. (i) Wanafunzi kupata himizo kutoka kwa wenzao.

(ii) Mwalimu kuwaeleza wanafunzi kuwasilisha hoja zao mbele ya wenzao al 26. (i) Marafiki wa karibu.

(ii) Shughuli ya marudio. al 2

2. Ufupisho.(a)˗ Ufunzaji wa muziki nyumbani na shuleni una manufaa mengi.˗ Muziki ni kutulizo kikubwa sawa cha moyo wabinadamu.˗ Muziki una njia ya kipekee ya kuwasiliana.˗ Muziki humsaidia mtoto kuendeleza hisia nzuri zakuburudisha na za kuzuzua.˗ Humwezesha kukabiliana na tajriba mbaya.˗ Humpa fursa ya kutoa moyoni simanzi na dhiki yakena hivyo kumrejeshea raha tena. al 6 ut 2(b)˗ Watoto hujipatia mbinu za werevu shuleni haswa kwenye somo la hesabu na mambo mengine kwa ujumla.˗ Watu wazima waliojifunza muziki kabla ya umri wamiaka 12 huwa na utumizi mzuri wa maneno˗ magumu na msamiati kuliko wale ambao hawakujifuuza kuimba.˗ Pia husaidia watoto walio na kasoro za kuzungumza au wenye ulimi mzito wa kuzungumza kujieleza kwa ufasaha kupitia

kwa muziki.˗ Wenye shida ya kigugumizi huweza kujiamini, kujifunza na kuelewa mila na tamaduni zao. al 6, ut 1

3. Lugha.1. Sauti /th/

Ni kikwamizo hafifu / sighuna cha meno.Sauti /dh/Ni kikwamizo ghuna / nzito cha meno al 2

2. Viambishi tamati.ew - kiambishi tamati cha kauli (kutendewa)a - kiambishi tamati kiishio. al 2

3.˗ Kiambishi kikanushi - Ha˗ Kiambishi cha hali timilifu - ja˗ Kiambishi ch amtendewa - m˗ Mzizi wa kitenzi - pig˗ Kauli ya kutendea - i˗ Kitamatishi - a al 44. Aina za shamirisho.

Shimirisho kipozi : gilasi ya majiShamirisho kitondo : kiambishi ―wa‖ wao al 2

5. Kasisi alipoingia kanisani : kishazi tegemeziWaumini walianza kushangilia : kishazi huru al 2

6. Matumizi ya ―ni‖

Top grade predictor publishers Page | 253

Page 255: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(i) Wahusika wengi wanaoamrishwa. Rudini (ii) Kielezi cha mahali - uwanjani (iii) Yambwa / shamirisho (Nafsi ya kwanza)

Mimi - mkanitafutie. (iv) Kitenzi kishirikishi - ni al 2

7. Aina za vivumishi.(i) Chochote : kivumishi cha pekee(ii) ii hii : kivumishi kisisitizi al 2

8. Kiambi ―ji‖Mifano. Jilinde Jinunulie

al 2 9. Kuchanganua kwa jedwali.

10. Mzazi alimuuliza mhisani kama wangeweza kumsaidia mtoto wake siku ambayo ingefuata. al 311. (i) -la (kutendeshea) - lishia

(ii) Toa (Tendeka) - Toleka al 212. (i) Alama ya hisi (!)

Hutumika kuonyesha hisia mbalimbali kama vile mshangao, huzuni, furaha, kushtuka na kadhalika (ii) Parandesi / mabano [ ] ( )

(a) Kuonyesha maneno yasiyokuwa ya lazima. Mfano Wanariadha wa Kenya (na ni wengi kweli kweli) wametuzwa zawadi.

(b) Kuzingira nambari na herufi (i)13. Ukubwa (wingi)

Magoma haya yatachezwa nyanjani. al 214. Vijakazi wawa hawa walizipoteza funguo zizi

hizi licha ya kukanywa. al 215. Hali ya - a-

Chui ala swara al 216. Aina za virai.

(i) wa kijinsia : kirai kivumishi(ii) viongozi wenye msimamo thabiti mno;

kirai nomino al 217. ‗O‘ rejeshi tamati

Kiatu kinunuliwacho si kile ukitakacho al 118. Kuyakinisha (nafsi ya tatu umoja)

Akionana na mzazi atapata pesa al 2

4. Isimujamii. (al 10)(i) Sajili ya magazeti / uanahabari. al 2 (ii) Sifa za sajili ya magazeti.

(a) Huwa na anwani fupi zenye mvuto. (b) Hutumia lugha sanifu. (c) Huwa na aya fupi zenye kubeba ujumbe kikamilifu. (d) Huweza kutumia picha. (e) Lugha ni rahisi kueleweka. (f) Masuala mengine huwa ni ya kitaaluma. (g) Usemi halisi huweza kutumiwa kuwanukuu wasemaji. (h) Vijichwa hutumiwa (i) Habari zingine huwa ni za uongo ili kuwaharibia sifa walengwa. (g) Chuku hutumika katika baadhi ya makala ikinuia kuyapa makala uzito zaidi. (k) Makala huchukua mtindo wa ripoti. al 8

Top grade predictor publishers Page | 254

Page 256: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA WILALA YA MURANG‟A KUSINI 2016 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA Ushairi.

1. Lazima.(a) Kichwa cha ushairi.

Malenga / watunzi wa kike mu wapi? al 2(b) Bahari.

(i) Ukara (ii) Tarbia / unne (iii) Mathnawi

al 2 (c) (i) Idadi sawa ya mishoro katika kila ubeti / minne

katika kila ubeti.(ii) Kuna urari wa vina.

Ndani ni - si Nje ni - ri

(iii) Kila ubeti una kibwagizo.(iii) Idadi sawa ya mizani kwa kila mshororo / mizani

kwa kila mshororo / mizani 16 kwa kila mshororo(v) Lina ukwapi na utao / vipande viwili kwa kila mshororo. al 4

(d) MaudhuiWatu wa jinsia ya kike / wanawake wamekataakushiriki katika utunzi wa mashairi licha ya kuwa wanavyo vipawa / talanta.

al 2 (e) Toni

Toni ya kulalamika : Haya yaso ufanisi. Toni ya ukali au hasira : Umalenga u kuasi. al 2

(f) Lugha ya nathari. Naichukua nafasi hii ili kukariri na kufichua upesi mambo ambayo kamwe si siri. Msikilize niwapashe habari hii kuhusu ugani wa mashairi mko wapi watunzi wa kike? al 4

(g) Idhini ya kishairi.(i) Inkisari.

Ndaningu - badala ya ndani yangui - badala ya hii

(ii) lahaja - hino badala ya hii(iii) utohozi - peni badala ya kalamu al 2

(h) (i) Mwatughasi - mwatuudhi(ii) Utesi - malalamiko al 2

2. Riwaya(a) Kueleza muktadha.

Msemaji ni askari mmoja wa Mtemi. Msemezwa ni askari mwingine wa Mtemi. Mandhari ni nje ya ofisi ya Mtemi Nasaba Bora. Amani na Imani walikuwa wameshikwa kwa tuhuma za kuua kitoto Uhuru. Walipigwa kumbo na kuelekezwa kwenye seli.

al 4 (b) Mbinu na tamathali za lugha.

(i) Methali : leo ni leo asemaye kesho ni mwongo.(ii) Msemo : kuona cha mtema kuni. al 2

(c) Uozo˗ Imani na Amani waliteseka mno kutokana nauovu wa Mtemi wa Nasaba Bora.˗ Mtemi Nasaba Bora akiwa waziri wa ardhialibadilisha hati za wamiliki halali na kuunda zake˗ Udhalimu ulimfanya mamake Imani apigwe na askari katili, kipigo kinasababisha kifo.˗ Kuharibu mali ya umma. Kuchoma nyumba ya akina Imani.˗ Katika wizara ya ardhi na makao Nasaba Bora anakula mlungula.˗ Ufisadi kupitia Nasaba Bora kumtafutia mwanawe Madhubuti kazi katika jeshi.˗ Kuwatoza raia pesa ili mtoto wa Nasaba Borakusomea Urusi.˗ Uzembe. Baadhi ya wafanyikazi ni wazembe kwa mfano wale wauguzi.˗ Uasherati. Nasaba Bora kuwa na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa.˗ Undanganyifu. Fao kufanyiwa mitihani yake.

Top grade predictor publishers Page | 255

Page 257: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Oscar Kambona kuwa mhalifu na kuwa mraibu wa mihadarati, baada ya kunyang‘anywa shamba lao.˗ Wizi wa mali ya umma. Mtemi Nasaba Bora kunyakua mali ya Chichiri Hamadi na Mwinyihatibu Mtembezi.˗ Nasaba Bora kumnyanyasa Amani kwa kumsukumia kitoto kichanga kisichomhusu ndewe wala sikio.

zozote 7 x 2 = al 143.(a) Sadfa

Matukio mawili yanayotokea bila kupangwa na yakaleta athari fulani.˗ Kukutana kwa Amani na Imani kulikuwa sadfa.Sadfa hiyo ilimzuia Imani kutitosa kwenye ziwa Mawewa.˗ Ni sadfa kuwa Amani alikuwa anataka kupata kazi kwa Mtemi Nasaba Bora. Anapofika mchungaji na mkamaji

ng‘ombe alikuwa mgonjwa, Amani akapata nafasi.˗ Imani alipoipata barua kutoka kwa Amani kuhusu mswada alioibiwa, aliitwa na Dora akausahau mezani. Majisifu aliikuta na

kuisomana akajua kuwa Imani ndiye mwandishi wa kile˗ kitabu.˗ Gaddafi na wenzake walipotaka kumuua Mtemi Nasaba Bora. Amani alitokea na kumshurutisha Gaddafi asimuue.˗ Kukutana kwa Amani, Imani na Bob D.J karibuna mto Kiberenge. Bob DJ anawaelekeza Amani na Imani nyumbani mwa

Mtemi Nasaba ora.5 x 2 = 10

(b) Jazada˗ Anwani ya kitabu na jazanda.

Inarejelea wahusika fulani kuharibikiwa na mambo fulani.˗ Kuzaliwa na kufa kwa mtoto Uhuru.

Anawakilisha Uhuru kupatikana kufa kwake nijinsi wananchi wananyanyaswa na kudhulumiwa- hakuna uhuru.˗ Fahali mweusi kutafuna kaptura.

Fahali mweusi ni Mtemi Nasaba Bora anavyonyakua mali ya raia.˗ Radi na moto kusimamia kisasi alichonuia kulipiza Oscar Kambona.˗ Kumnyonyoa kipungu manyoya.

Ni kumshusha hadhi na kumwondoa Mte mamlakani.˗ Angurumapo simba mcheza nani?

Mtemi ndiye simba na atoapo amri hakuna anayeweza kupinga.˗ Kunusurika kifo kwa Amani, Imani na D.J˗ Ni kutofifisha juhudi za ukombozi. 5 x 2 = 10˗ 4. (a) Muktadha.

Msemaji ni Beka. Msemezwa ni Mstahiki Meya Mandhari ni ofisini mwa Meya. Wawakilishi wa wafanyikazi wamepeleka malamishi yao kwa Meya ili ayashughulikie. Hata hivyo Meya hakuyashughulikia. Alisema hakuna pesa. al 4(b) Msemo

Kazi ya kijungujiko 1 x 2 = 2(c) Mbinu za wanacheneo za kujikomboa. - Kuchaguliwa kwa wawakilishi wa wafanyikazi.

(Tatu, Beka na Medi) - Migomo. Waliandaa migomo kama njia ya kushughulikia shida zao. - Daktari Siki kuchukua jukumu mwenyewe la kupeleka malalamishi ya wanacheneo kwa Meya - Wanahabari walichangia kufahamisha wanacheneo kuwa shida zao zinatokana na uongozi mbaya wa Meya. - Diwani III na Daktari Siki kuungana ili kupigania maslahi ya wanacheneo. - Diwani III kupinga mipango mbalimbali ya Meya na kutaka wanacheneo kushughulikiwa. - Wafanyikazi kuungana katika mgomo hadi kusababisha kung‘atuliwa kwa Mstahiki Meya uongozini.

7 x 2 = 14 5. (a) Msemaji ni Daktari Siki.

Msemewa ni Mstahiki MeyaMMahali ni nyumbani mwa Meya.Sababu : Daktari Siki analalamikia matatizo wanayopitia wanacheneo. 4 x 1 = 4

(b) Mbinu za kuendeleza utawala wa Meya.˗ Propaganda.

Vijana kushiriki katika mashindano ya nyimbo kisha kupewa zawadi ndogondogo na kuonyehswa kwenye runinga. - Ahadi za ungo.

Dawa ziko kwenye hahari kuu na zingefika baada ya siku tatu. - Sheria kandamizi.

Riot Act, Mayors Act na Collective responsibility. - Vibaraka kuzawaadiwa.k.v

Diwani I na Diwani II- Kutumia vyombo vya dola.

Matumizi ya askari.

Top grade predictor publishers Page | 256

Page 258: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Kupuzilia mbali malalamishi ya wanacheneo.˗ Kutumia unafiki wa kidini.˗ Matumizi ya vitisho. 8 x 2 = 166. (a) Haya ni maneno ya msimulizi kwa jina.

Abu - Hii ni baada ya Abu kuamua kujaribu bahati yake katika harkati za kuasi ukapera.Mwanzoni hakuridhia kwa kuwa hakuwa amesahau vile posa yake ya awali ilivyokataliwa.Jamaa wake walimrai amwoe Amali. Alikubalikumtwaa Amali awe mpenzi wake hata ingawa alighairi baada yamipango yote kukamilika. (al 4)

(b) Tashbihi.Kuwa kama mtu aliyona unyasi baada ya kuumwa na nyoka.

al 2(c) Nafasi ya mwanamke.- Ni waimbaji

Wanamwimbia Abu anapowasili katika makaoya harusi. - Ni watamaduni.

Wanahakikisha kuwa taratibu zote za kindoa zinafanyika chini ya utamaduni wao. - Ni wabaguzi.

Zena anambagua Abu kwa msingi wa umaskini. - Ni walezi bora.

Zena amempa Amali malezi bora hadi kufikiwa kuolewa.- Ni waandalizi bora.

Wanahakikisha maandalizi bora katika ndoa yaAbu na Amani.

5 x 2 = 10(d) Mbinu ya kinaya.- Abi kuambiwa na binamu yake achangamke wanapoelekea nyumbani kwa akina Amali.- Abu na wenzake kukaribishwa kwa nyimbo naakina mama.- Wazazi wa Amali kumkatalia posa Abu mara ya kwanza na kukubali mara ya pili.- Abu kuraiwa na jamaa zake amwoe Amali lichaya posa kukataliwa mara ya kwanza.- Abu kumwacha Amali.- Ni kinaya Fahami na jamaa wengine kuambiwa na Abu waende nyumbani. al 4

7. (a) MaanaMaigizo ni sanaa ambayo wahusika wake au watendaji huiga vitendo vya watu mbalimbali katika jamii na aina nyingineza viumbe ili kupasha ujumbe fulani kwa hadhira.

al 2(b) Aina mbili kuu za maigizo.(i) Sanaa ya maonyesho.(ii) Maigizo ya kawaida.

Sanaa ya kawaida / maigizo ya kawaida;˗ Huwa na jukwaa malum.˗ Hutendeka wakati maalum.˗ Huwa na lengo maalum.˗ Ni nje ya mazingira, wakati na hali halisi Sanaa ya maonyesho;˗ Huwa na matendo ya ulimwengu halisi.˗ Mazingira halisi huwa bayana.˗ Laweza kutokea au kutendeka mahali popote.˗ Washiriki ndio hadhira.(c) Umuhimu wa maigizo.˗ Hukuza na kuendeleza vipawa vya waigizaji.˗ Ni njia ya kuendeleza maadili katika jamii.˗ Huwapawatu ujuzi na stadi mbalimbali katikamaisha.˗ Ni njia moja wapo ya kuelimisha wanajamii kwamambo mbalimbali.˗ Huburudisha. Ni burudani kwa hadhira.˗ Ni mbinu mojawapo ya kujifunza na kujiendeleza katika matumizi ya lugha husika. 4 x 1 = 4(b) Dhima ya nyiso.˗ Kujasirisha. Huwapa vijana ujasiri wa kukabiliana na kisu cha ngariba.˗ Wahusika hufunzwa kuhusu majukumu mapya.˗ Hutumika katika kukuza na kuelimisha kuhusu utamaduni.˗ Huleta umoja na utangamano.˗ Ni njia ya kuonyesha kuwa mhusika ametoka utotoni hadi utu uzima.˗ Hubeza na kukejeli wasiopitia sherehe kama hii na wanaoonyesha ishara za uoga.˗ Huburudisha wanaoshiriki na wanaohudhuria. 5 x 2 = 10

Top grade predictor publishers Page | 257

Page 259: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA KIGUMO 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. LAZIMAMwandikike mhariri wa gazeti la Tukuza kuhusu ufanisi na changamoto za elimu bila malipo nchiniKenya.

2. Mpango wa kuwapa wanafunzi tarakilishi utaimarisha viwango vya elimu nchini.Jadili.

3. Samaki mkunje angali mbichi.4. Tunga kisa kitakachomalizika kwa maneno yafuatayo;

.. nilipojitazama nilijidharau kwa aibu niliyojipa. Niliapa kutorudia kitendo hicho maishani mwangu.

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA KIGUMO 2016 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (alama 15) Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali yanayofuatia. Macho ya abdul yalipigwa na mwali mkali wa jua la asubuhi. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuuona mwanga halisi wa ombwe lijiitalo dunia tangu alipohukumiwa kifungo gerezani. Punde tu komeo la mlango wa seli lilipofunguliwa, ilimlazimu Abdul ayafumbe macho kabla ya kuyafumbua tena taratibu ili yazoee mabadiliko yake.

Ilikuwa ndiyo siku ya abdul ya kuachiliwa huru kutoka kwenye kifungo kirefu kilichoyapa macho yake mazoea ya giza la kaburi mle gerezeni. Macho yake yalipokwishaizoea ile hali na kumhakikishia kuwa kila alichokuwa akikiona si kizuka ila uhalisia, alipiga hatua. Akatoka nje ya mlango wa seli, kisha kwa kutoamini, akageuka nyuma kulitazama tena lile pango alimokuwa ametikwa katika muda huo wote. Akayafikicha macho kwa kutoamini huku machozi yakimdondoka asijue kama yalikuwa ya furaha au ya huzuni. Alipogeuka kuanza safari ya uhuru wake, macho yake yalikumbana na lango la gereza. Hapo, akasita kidogo, labda kuhakikisha kama kweli alikuwa huru. Bila shaka, hakuna askari wa gereza aliyemshikia bunduki au kumuamuru asimame. Walimtazama tu na kumpa tabasamu.

Taratibu, Abdul aliendelea kupiga hatua. Mhemko aliokuwa nao kutokana na hewa safi iliyompenya mapafuni uliufanya moyo wake upige kwa kasi. Ghafla, tabasamu ikapasua mashavuni pake. Akasita. Akaiinua pua yake iliyompa hakikisho kuwa uvundo na uozo wa seli haukuwa naye tena. Ingawa mwili wake ulijaa mabaka ya uchafu na matambara yaliyouficha uchi wake kuvunda, hilo halikumkera tena. Kwa hivyo, akatia tena tabasamu. Lake kuu lilikuwa shukrani kwa kuepuka yale madhila ya joto na rundo la wafungwa. Na kama hilo halikutosha, aligeuka tena ili sasa kuliangalia lile gereza. Bila kutarajia, alipiga magoti, akainua mikono kupiga dua, ―Ewe Mungu, niepushe na balaa nyingine.‖

Safari ya Abdul kutoka katika majengo ya gereza ilikumbwa na mseto wa mawazo. Alipokuwa katika ujia uliomwelekeza katika barabara kuu, mambo mengi yalimpitikia mawazoni asipate jawabu. Hakujua kama wazazi wake walikuwa wangali hai, na kama walikuwa bado wanaishi katika nyumba ile ya kukodi kwa miaka hiyo kumi aliyokuwa jela. ‗Je, nikiwakosa, nitaenda wapi? Nitaanzia wapi kuwatafuta?‘ Mawazo hayo yaliifungua mifereji ya machozi, kisha ile ya makamasi. Balagha hiyo ilimfikisha katika kituo cha magari ya uchukuzi kwa ule aliouona kuwa muda wa kufumba na kufumbua. Aliyafuta machozi yake haraka kwa kiganja kisha akaziba tundu la pua, tayari kupenga kamasi. Hata hivyo, kabla hajafanya hivyo, nafsi yake ilimtahadharisha kuwa hatua hiyo ingekatiza uhuru aliopewa kwa kuchafua mazingira. Kwa hivyo akaghairi. Akavuta ncha ya shati lake na kuitumia kama hankachifu kutimiza azma yake.

Hapo kituoni, matatu iliyokuwa mbele ilikuwa na watu wachache. Abdi akaingia na kukaa upande wa kioo ambapo tafakuri nyingi zilimjia. Akakumbuka jinsi kesi yake ilivyoendeshwa kinyume kabisa na ukweli na hukumu kutolewa kinyume cha haki. Mimi Abdul, mtoto twaa tangu kuzaliwa kwangu hata mdudu sijawahi kumponda kwa udole wangu, ndiyo sasa nije kusingiziwa kuua mtu? Mungu wangu! Kwa nini dunia hii haina wema? Kwa nini wanaodaiwa kuwa wasomi hata wakapewa jukumu la kuwakilisha maslahi ya raia ndio wanaowadhulumu hao raia? Hivi, hata hukimu na tajiriba yake aliamua kufuatilia zile porojo za wanaojiita majasusi? Angeahirisha hukumu yake ili kufanya uchunguzi zaidi, bila shaka nisingepata mapigo na dhuluma hizo zote. Kwa kweli, hii ni dunia ya mwenye nguvu mpishe! Abdul alijisemea.

Maswali (a) Kwa nini Abdul alifungwa? (alama 2)(b) Kwa kurejelea kifungu eleza mashaka katika asasi za kurekebish atabia. (alama 4)(c) Ni kinyume kipi kinachoonekana katika kifungu hiki? (alama 2)(d) Ni mambo yapi yaliyomtia Abdul machugamachuga alipoachiliwa huru. (alama 2)(e) Abdul anaelekea kuwa na hulka gani? Fafanua kwa kurejelea kifungu. (alama 2)(f) Msamiati ufuatao una maana gani kwa mujibu wa kifungu hiki. (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 258

Page 260: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(i) Ombwe (ii) Mhemko

2. MUHTASARI (alama 15) Tunapinga na kulaani vikali visa vya ugaidi vinavyoendelea kutetemesha usalama wa wananchi. Hivini vitendo vya kinyama vinavovyotekelezwa na watu waliokosa ubinadamu na utu kabisa. Inakera sana kwa vitendo vya kigaidi inagadhabisha kuona Wakenya wasio na makosa wakiteswa na kuuwawakinyama bila huruma na watu wasio na utu. Hatuogopi wala hatuna fedheha kuamba magaidi hawa wameelaaniwa na siku zao zimehesbiwa hapa duniani, damu ya mwananchi asiye na makosa katu watalipia. Napinga vikali pale magaidi hawa wanapohusisha vitendo hivi kuwa vita vya kidini, vita hivi si vya kidini kwani hakuna dini yoyote iliyo na imani ya kumwua kinyma binadamu asiye na makosa.

Kando na tishio la ugaidi, Wakenya pia wanakabiliwa na hatari za ujambazi, mauaji, ubakaji na maovu mengine. Katika juhudi za kudumisha usalama, polisi wana jukumu la kutumia kila mbinu kuhakikisha kuwa haki ya kikatiba ya Wakenya kuhusu kulindwa kwa maisha na mali yoa. Lakini cha kusikitisha ni kuwa, mbinu ambazo polisi wamekuwa wakitumia hasa ile ya kufanya misako inayoishia kuwanasa mamia ya raia wasio na habari kinachoendelea, inawaongezea Wakenya mateso. Hali hii inawaacha kwenye hatari ya kunaswa na majambazi ama polisi.

Matumizi ya mbinu hili ya misako imeishia kunasa raia wengi wasio na makosa. Wanaponaswa hurundikwa kwenye seli usiku mzima ama siku kadha na hata kama wanaachiliwa huwa tayari wemeteseka. Huu ni ukiukaji wa haki za raia. Kadhalika, mbinu hii yanaonekana kama hila ya polisi kutaka kuonyesha wanafanya kazi lakini sio mwafaka kwani wanapokuwa wakiwanasa raia mijini na mitaani, magaidi na majambazi wanaendelea na shughuli zao.

Badala ya kusaka wakora kwa kubahatisha kwenye umati, polisi wanapaswa kubuni njia ambazo zitawapa mwelekeo mwafaka zaidi kuhusu wahalifu ili waweze kuwafuatilia. Ushirikiano baina yao na majasusi uwepo. Hii itawezesha polisi kupata habari muhimu kuhusu vitisho vya uhalifu. Maafisa wa usalama pia wanaweza kupata habari muhimu kutoka kwa raia.

Maswali. (a) Ni nini maoni wa mwandishi kuhusu suala la ugaidi. (alama 7 utiririko 1)

(maneno 60-70)(b) Kwa kutumia maneno yasiyozidi 50 fipisha aya mbili za mwisho. (alama 6, 1 utititiko 1)Matayarisho.

3. Matumizi ya lugha. (alama 40)(a) Sauti zifuatazo hutamkiwa wapi. (alama 2)

/f//dh/

(b) Huku ukitia mifano onyesha matumizi mawili ya parandesi (alama 2)(c) Kanusha fungu linalofuata; (alama 2)

Nitamsalimia mtoto ambaye ni nadhifu.(d) Andika kinyume cha: (alama 2)

Tajiri aliyekashifiwa amelaaniwa.(e) Andika katika usemi halisi.

Mwalimu wetu alitwambia kuwa watu wanaopenda kukaa bwerere huishia kuwa maskini. (alama 3)(f) Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli zilizo mabanoni. (alama 2)

fa (Tendesha)ja (Tendeana)

(g) Andika sentensi hii katika hali ya udogo - wingi.Tulipomwona alikuwa akichezea kisu kikali. (alama 2)

(h) Yakinisha sentensi ifuatayo; (alama 2)Usimwazime, hatakurudishia.

(i) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya jedwali. (alama 4)Soka ni mchezo maarufu.

(j) Tunga sentensi moja yenye sehemu sifuatazo. (alama 3)(i) Kitondo (ii) Kipozi (iii) Ala

(k) Ainisha virai katika sentensi inayofuata; (alama 2)Anapenda kula mara nyingi.

(l) Tambua aina ya vishazi katika sentensi hii; (alama 2)Ingawa tulifika mapema hatukumkuta.

(m) Nomino zifuatazo zimo katika ngeli gani? (alama 2)(i) Karatasi

Top grade predictor publishers Page | 259

Page 261: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(ii) Kipepeo(n) Tunga sentensi yenye kielezi cha namna mfanano. (alama 1)(o) Eleza uamilifu wa maneno yaliyopigiwa mstari. (alama 2)

Kijana anamchezea mkulima kijana. (p) Andika sentensi ifuatayo katika wakati ujao hali ya kuendelea. (alama 2)

Mkulima anapalilia mihogo.(q) Tumia tanakali ya sauti yenye maana sawa na maneno yaliyopigwa mstari chini yake. (alama 2)

(i) Tumbo lilipomwuma, alilala tumbo chini.(ii) Daudi alitunukiwa zawadi nyingi.(r) Eleza matumizi ya na katika sentensi hii; (alama 1)

Majisifu na Nasaba Bora wataenda Wangwani nasi.(s) Andika sentensi ifuatayo upya kwa kufuata maagizo. (alama 2)

Kama wanafunzi hawawezi kuwathamini walimu wao hawawezi kupita mtihani.Anza: Ni vigumu ...

4. Isimu Jamii. (alama 10)Jadili mikakati iliyowekwa kusaidia kukua kwa Kiswahili nchini baada ya uhuru. (alama 10)

Top grade predictor publishers Page | 260

Page 262: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA KIGUMO 2016 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SEHEMU YA A SWALI LA LAZIMA

1. USHAIRI (alama 20)Sinisumbuwe akili, nakusihi e mwandani, Afya yangu dhalili, mno nataka amani, Nawe umenikabili, nenende sipitalini, Sisi tokea azali, twende zetu mizumuni, Nifwateni sipitali, na dawa ziko nyumbani?

Mababu hawakujali, wajihisipo tabani, Tuna dawa za asili, hupati sipitalini, Kwa nguvu za irijali, Mkuyati uamini, Kaafuri pia kali, dawaya ndwele fulani, Nifwateni sipitali, na dawa ziko nyumbani?

Mtu akiwa hali, tumbo lina walakini, Dawa yake ni subili, au zongo huanoni, Zabadili pia sahali, kwa maradhi yako ndani, Au kwenda wasaili, wenyewe walo pangani, Nifwateni sipitali, na dawa zike nyumbani?

Mtu kwenda sipitali, ni kutojuwa yakini, Daktari k‘ona mwili, tanenea kensa tumboni, Visu sitiwe makali, tayari kwa pirisheni, Ukatwe kama fagili, tumbo nyangwe na maini, Nifwateni sipitali, na dawa ziko nyumbani?

Japo maradhi dhalili, kutenguliwa tegoni, yakifika sipitali, huwa hayana kifani, Waambiwa damu katili, ndugu msaidieni, Watu wakitaamali, kumbe ndiyo bunani, Nifwateni sipitali, na dawa ziko nyumbani?

Mizimu wakupa kweli, wakueleze undani, Maradhiyo ni ajali, yakata vitu thamani, Utete huku wawili, wa manjano na kijani, Matunda pia asali, vitu vya shimoni Nifwateni sipitali, na dawa zi langoni?

Maswali.

(a) Lipe shairi hili kichwa mwafaka. (alama 2)(b) Eleza umbo la shairi hili. (alama 4)(c) Kwa nini mshairi alitumia ritifaa katika shairi hili? (alama 2)(d) Onyesha jinsi uhuru wa utunzi ulivyodhihirishwa katika shairi hili. (alama 3)(e) Andika ubeti wa pili kwa lugha ya tutumbi. (alama 4)(f) Tambua mbinu ya utunzi inayobainika katika mshororo wa mwisho wa kila ubeti. (alama 2)(g) Onyesha maana ya maneno yanayofuata kama yalivyotumiwa na mshairi. (alama 3)

(i) Dhalili (ii) Kensa (iii) Ndwele

SEHEMU YA B RIWAYA: K. WALIBORA. KIDAGAA KIMEMWOZEA. Jibu swali la 2 au 3.

2. ―Wanaume wangewastahi wanawake kidogo, wawaone kama abiria wenzao katika mashua ya maisha, dunia ingekuwa pahalipema pa kuishi ...‖(a) Fafanua usemi huu. (alama 4)(b) Eleza sifa na umuhimu wa msemaji. (alam 16)

Top grade predictor publishers Page | 261

Page 263: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

3. Kwa kurejelea riwaya ya Kidagaa Kimemwozea onyesha jiinsi sheria zilivyokiukwa katika nchi ya Tomoko. (alama 20)

SEHEMU YA CTAMTHILIA: MSTAHIKI MEYA T. AREGEJibu swali la 4 au 5.

4. ―Sina pingamizi maana hii ni grand idea‖

(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Grand idea inayozungumziwa ni gani? (alama 2)(c) Ni maudhui gani yanayojitokeza katika muktadha wa dondoo hili. (alama 2)(d) Taja mbinu ya lugha inayojitokeza katika dondoo hili. (alama 2)(e) Fafanua sifa zozote tano za msemaji. (alama 10)

5. Jadili maudhui yoyote kumi yanayodhihirika katika tamthilia ya mstahiki Meya. (alama 20)

SEHEMU YA DDAMU NYEUSI NA HADITHI NYINGINE: MHARIRI KEN WABORAJibu swali la 6 au 7.

6. ―Mwalimu nina swali ambalo ningetaka unijibu. Je, ni kwa nini sisi huwaleta watoto shuleni.‖(a) Yaweke maneno haya katika muktadha wake. (alama 4)(b) Eleza hulka za wazungumzaji. (alama 8)(c) Fafanua maudhui yanayohusishwa na dondoo hili. (alama 8)

7. Damu nyeusi (Ken Walibora)Fafanua mabadiliko ambayo mwandishi angeyataka yafanywe ili ubaguzi ukomeshwe kabisa katika hadithi Damu Nyeusi(Ken Walibora) (alama 20)

SEHEMU YA EFASIHI SIMULIZIJibu swali la 8.

8. (a) Eleza maana ya maigizo katika Fasihi Simulizi. (alama 2)(b) Eleza sifa tano za maigizo. (alama 10)(c) Eleza umuhimu wa maigizo katika Fasihi Simulizi. (alama 8)

Top grade predictor publishers Page | 262

Page 264: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA KIGUMO 2016 INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Hii ni barua kwa mhariri. Muundo wa barua kwa mhariri uzingatiwe. Sawa na muundo wa barua rasmi. Mtahiniwa ataje gazeti la Tukuza. Anwani mbili ziweko - ya mwandishi na ya mhariri wa gazeti. Mtajo - Kwa mhariri. Mada - Ufanisi wa elimu bila malipo. Utangulizi - Usuli kwa ufupi. Mwili - Hubeba hoja na maudhui ya insha. Baadhi ya hoja. Ufanisi;

˗ Vipawa na talanta za wanafunzi kutambuliwa na kukuzwa.˗ Wanafunzi wasiojiweza kifedha kupata elimu kwa urahisi.˗ Idadi ya wanafunzi shuleni kuongezeka.˗ Walimu wengi kupata ajira.˗ Uchumi wa nchi kuimarika.˗ Kiwango cha wanaojua kusoma na kuandika kuongezeka.˗ Shule zaidi kujengwa kote nchini.

Changamoto.˗ Uzembe miongoni mwa wazazi.˗ Kutowajibika kwa baadhi ya wazazi.˗ Kiwango cha elimu kushuka.˗ Uzembe miongoni mwa wanafunzi.˗ Ufisadi kushamiri wakati wa shughuli za kutoa zabuni shuleni.˗ Wenye tamaa kujitosheleza na kuendeleza ubinafsi.

Hitimisho. Toa maoni au mapendekezo. Sahihi Jina

2. Hii ni insha ya mjadala katika kuunga mkono unaweza kuwa na hoja kama vile;˗ Wanafunzi watafanya vyema zaidi kwa kufurahia vyombo hivyo.˗ Itainua viwango vya wanafunzi katika elimu na matumizi ya tarakilishi.˗ Itawawezesha wanafunzi kupanua mawanda yao ya elimu na mawazo kwa kujifunza mengi, hasa kutoka kwa mitandoa ya

elimu.˗ Wataweza kubadilishana mawazo kwa urahisi na wenzao katika sehemu nyingine za nchi au za dunia.˗ Itasaidia katika kuunganisha maeneo mbalimbali na stima pamoja na wavuti.

Katika kupinga, unaweza kuangazia;˗ Viwango vya elimu ni duni katika shule nyingi za maeneo mbalimbali kote nchini na vingeimarishwa kwanza ili kuweka

usawa.˗ Kuna ukosefu wa majengo na vifaa vya elimu.˗ Mikakati bora iwekwe kuhakikisha kuna miundo msingi mwafaka na kwamba kila eneo limetendawizwa.˗ Usalama wa vyombo hivyo uhakikishwe kwa kujenga vyumba salama vya kuvihifadhi.˗ Walimu ambao watawaelekeza wanafunzi kuhusu matumizi ya vyombo hivyo wepewe mafunzo ili˗ kuwaandaa.3. Maana / Kisa juu ya kumrekebisha / kumtayarisha mwana utotoni.

Zingatia pande mbili. 4. Hii ni insha ya kumalizia / mdokezo.

Taharuki ijitokeze vilivyo. Lazima mtahiniwa akamilishe kwa maneno hayo Asipokamilisha kwa maneno haya ataadhibiwa kimtindo. Atumie nafsi ya kwanza. Asipofanya hivyo atakuwa amepotoka kimaudhui. Mwanafunzi abuni kisa kitakachodhihirisha hali ya kujuta sana kutokana na kitendo au vitendo vibaya.

Top grade predictor publishers Page | 263

Page 265: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA KIGUMO 2016 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1 Ufahamu. (a) Alisingiziwa kumuua mtu. (b) ˗ Wafungwa hudhulumiwa˗ Kuna uvundo˗ Hakuna hewa safi˗ Watu hawaogi˗ Kuna giza na joto˗ (vi) Kuna rundo la wafungwa (msongamano) (zozote 1 x 4 = al 4)(c) Wasomi ambao wamepewa majukumu ya kuwakilisha maslahi ya raia ndio wanaowadhulumu.

(1 x 2 = al 2) (d) Hakuamini alikuwa kweli kaachiliwa huru.

Alihofia kuamuriwa asimame. Alihofia kushukiwa bunduki. (1 x 3 = al 3)

(e) (i) Mwema(ii) Mwadilifu (iii) Mkweli

Zozote mbili (1 x 2 = al 2) (f) (i) Kitu kilichowazi.

(1 x 1 = al 1)(ii) Hamu kubwa ya kufurahia kitu. (1 x 1 = al 1)

2 Ufupisho (al 15)(a) Ni nini maoni ya mwandishi kuhusu suala la ugaidi? (al 7, 1 utiririko)˗ Tunapinga na kulaani visa vya ugaidi.˗ Ugaidi ni kitendo cha kinyama kinachotekelezwa na watu waliokosa ubinadamu.˗ Ugaidi hauna uhusiano na dini yoyote.˗ Polisi wanazembea katika kuzuia matendo ya kigaidi.˗ Polisi wabuni njia mbadala ya kukabiliana na ugaidi badala ya kunasa raia wasio na hatia.˗ Wakenya wasio na makosa huteswa na kuuawa kinyama.˗ Magaidi watalipia matendo yao.

Wakenya wana haki ya kulindwa kikatiba. (hoja zozote7 x 1 = 7, al 1 ya utiririko)(b) Kwa kutumia maneno yasiyozidi 50, fupisha aya mbili za mwisho. (al 6, 1 utiriko)˗ Raia wasio na hatia hunaswa.˗ Hurundikwa kwenye seli na kuachiliwa huru kamawameteseka.˗ Huu ni ukiukaji wa haki za binadamu.˗ Hii ni hila ya polisi kujionyesha kuwa wanafanya kazi.˗ Magaidi huendesha shughuli zao.˗ Polisi wanapaswa kubuni njia zitakazowapa mwelekeo mwafaka kuhusu wahalifu.˗ Ushirikianao wa usalama kupata habari muhimu kutoka kwa raia.

Matumizi ya lugha.(a) (i) f - mdomo meno.

(ii) dh - meno (1 x 2 = 2 mks)(b) (i) Kutenga sehemu ambayo haipaswi kuwa katikasentensi.

(ii) Kufungia neno lenye maana sawa na lililotajwa.(iii) Kufungia tarakimu / herufi.(iv) Katika maandishi ya kitamthilia kufungia maelezo ya nathari. (zozote 2 x 1 = 2)

(c) Sitamsalimia mtoto asiye nadhifu. (2 x 1 = 2)(d) Tajiri aliyesifiwa amebarikiwa. (2 x 1 = 2)(e) ―Watu wanaopenda kukaa bwerere huishia

kuwa maskini. ―Mwalimu alitwambia. (1/2 x 6 = 3)(f) (i) Fisha

(ii) Jiana (2 x 1)(g) Tulipoviona vilikuwa vikichezea vijisu vikali. (4 x 1/2 = 2)(h) Mwazima, atakurudishia. (1 x 2 = 2)

(i)

Top grade predictor publishers Page | 264

Page 266: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(j) Mwashi alimjengea shangazi nyumba kwa matafali. kitondo kipozi Ala

Mwalimu akadirie sentensi yoyote sahihi (3 x 1)(k) Anapenda kula - Kirai kitenzi.

Mara nyingi - Kirai kielezi. (2 x 1 = 2)(l) Ingawa tulifika mapema - kishazi tegemezi.

Hatukumkuta - kishazi huru. (2 x 1 = 2)(m) (i) Karatasi - I - ZI

(ii) Kipepeo - A - wa (2 x 1 = 2)(n) Mwalimu alitembea kijeshi. Mwalimu uma anacheza kitoto. Akadirie (1 x 1)(o) (i) Kijana - Nomino

(ii) Kijana - Kivumishi (2 x 1 = 2)(p) Mkulima atakuwa akipalilia mihogo. (2 x 1 = 2)(q) (i) Kichalichali.

(ii) Kochokocho. (2 x 1 = 2)(r) (i) Kiunganishi

(ii) nafisi (2 x 1/2 = 1)(s) Ni vigumu kwa wanafunzi wasiothamini walimu wao kupita mtihani. (al 2)

Sehemu ya D:Isimu jamii.Mikakati iliyowekwa ni pamoja na;

˗ Kuundwa kwa tume za elimu nchini Kenya kama vile Tume ya Ominde.˗ Ongezeko la wandishi wa vitabu via Kiswahili.˗ Kushirikisha wanafunzi pamoja na walimu katika maigizo, nyimbo na ukariri wa mashairi katika tamasha za michezo ya

kuigiza na muziki kwa kutumia lugha ya Kiswahili kuwasilisha ujumbe.˗ Kuhimiza au kutumia Kiswahili katika shughuli za kidini.˗ Kukitumia Kiswahili kuwasiliana katika vyombo vya habari. (matangazo)˗ Waandilizi au watayarishaji wa mitaala aumafunzo katika taasisi ya elimu kutumia zaidi yalugha moja.˗ Kukua kwa utamaduni - lugha ya Kiswahili kutumika.˗ Kuhimiza matumizi ya Kiswahili katika tasisi za umma / serikali.˗ Kiswahili kuwa somo la lazima shuleni.˗ Lugha ya Kiswahili kutumika bungeni kuwasiliana.˗ Lugha ya Kiswahili kupendekezwa kutumika kufundisha masomo yote shuleni au vyuoni.˗ lugha ya Kiswahili kutumika katika shughuli au sherehe mbalimbali za kitaifa.˗ Tafsiri ya vitabu vya kiingereza kwa lugha ya Kiswahili. (zozote 10 x 1)

Top grade predictor publishers Page | 265

Page 267: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA KIGUMO 2016 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Lazima / Ushairi.(a) Nifwateni sipitali. al 2(b) Umbo la shairi.(al 4)

1. Aina Takhmisa / mishororo mitano kwa kila ubeti.2. Kila mshororo una ukwapi na utao.3. Kina cha ukwapi ni li na cha utao ni katika kila mshororo

Mfano: Ubeti 1 _________ li, ________ ni _________ li, ________ ni _________ li, ________ ni _________ li, ________ ni _________ li, ________ ni

4. Kila mshororo una mizani kumi na sita.Mfano ubeti wa pili.

8 , 8 ,8 , 8 ,8 , 8 ,8 , 8 ,8 , 8 ,

(4 x 1) (c) Kwa nini akatumia ritifaa. (al 2)

Kufupisha maneno / kudondosha mizani au

Kutosheleza idadi ya mizani. Mfano: Neno K‘ona - badala ya kuona

(d) Uhuru wa utunzi (al 3)Inkisari - K‘ona - kuona Utohozi - Spitali, hospitali Mazida - nenende - nenda

(3 x 1) (e) Lugha tutumbi (ubeti wa pili)˗ Mababu zetu hawakuwa na wasiwasi walipokuwa wagonjwa.˗ Walikuwa na matibabu asili ambayo hayangepatikana hospitali za kisasa.˗ Walitegemea nguvu za maumbile na imani kwa miungu wao.˗ Anashangaa watu kwenda hospitali ilhali dawa wanazo nyumbani mwao. (4 x 1)(f) Swali la mbalagha.(g) Maana za maneno.

(i) Dhalili - nyonge, dhaifu(ii) Kensa - Saratani(iii) Ndwele - Ugonjwa hatari. (3 x 1)

2. (a) Hapa ni mawazo ya Zuhura akiwa nyumbani kwake asuhubi ambapo Mtemi alikuwa ndipokarejea nyumbani. Alikuwa peke yake kitandani iliyokuwa kawaida kwa kuwa Mtemi mara nyingi alikuwa hayuko akidai alikwenda kutatua migogoro ya mashamba ndipo upweke unamfanya kuwa na mawazo hayo. (b) Sifa za Zuhura.

˗ Mvivu hanadhifishi kwake.˗ Mwenye mapuuza akiitwa asubuhi anatoka tu na gauni ya kulala isiyositiri, km alipoletewa kitoto na Amani, alipomwita

Amani chumbani.˗ Mwenye utu: anawasaidia kina Amani kumlea Uhuru.˗ Mtetezi wa haki: Anakashifu vitendo viovu vya Mtemi na ukiukaji wa haki.˗ Mvumilivu: Anavumilia upweke na maadili potofu ya mumewe kwa miaka mingi hadi anapotalikiwa kwa tuhuma.˗ Msamehevu: Hata baada ya kutalikiwa, anahudhuria mazishi ya Mtemi na kutafuta kasisi wa kuongoza ibada.˗ Mwenye mlahaka mwema na watu / uhusiano mwema.˗ Mwenye huruma.˗ Mpenda amani. (8 x 1 idhibati itolewe)

Umuhimu wa Zuhura.˗ Kielelezo cha wanawake wavumilivu katika ndoa zilizo na raha.˗ Anaendeleza utu.

Top grade predictor publishers Page | 266

Page 268: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Watu walio wasamehevu japo wanakosewa pakubwa na hivyo kuleta maridhiano na mshikamano katika˗ jamii.˗ Kuonyesha dhiki wanazopitia wanawake katika jamii. (4 x 2 hoja ifufanuliwe)3.˗ Kutolewa kwa hongo katika wizara ya ardhi kwa wafanyakazi.˗ Yusuf alifungwa maisha kwa kusingiziwa kosa ambalo hakutenda kumuua babaye (Chirchir Hamadi)˗ D.J alisingiziwa wizi na kufungwa mwishowe alitoroka jela.˗ Mtemi Nasaba Bora alinyakua shamba la Mwinyi Hatibu na Chichir Hamadi.˗ Amani kusingiziwa uchochezo akiwa chuo kikuu nakufungwa huku masomo yake yakikatizwa.˗ Pesa zilizotengewa elimu ya watoto maskini kutumiwakuelimisha watoto wa matajiri mfano Fao.˗ Fao alifanyiwa mtihani katika shule ya msingi na sekondari na baadaye akajiunga na elimu ya juu.˗ Amani alipompata mtoto Uhuru kwenye kibanda alimpeleka kwa Mtemi. Mtemi hakumsikiliza, haki haikutekelezwa.˗ Mtemi hakumsikiliza bibiye (Zuhura) kuhusu kitoto˗ Uhuru.˗ Mwalimu Majisifu alifanya wizi wa mswada wa kitabu cha Amani; faida ilimwendea Majisifu.˗ Majisifu kumtengea bibi chumba baada ya kujifungua watoto walemavu ilhali watoto ni wao.˗ -Amani na Imani kukamatwa baada ya kifo cha kitotoUhuru na kufungwa jela (kwa choo) hawakupelekwa wajitetee. Matuko

Weye kukamatwa na kufungwa baada ya kumkashifu Mtemi kwa vitendo vyake viouvu.˗ Wafungwa kutofungiwa mahali kuna mazingira mazuri,˗ jela ilikuwa choo kidogo chenye harufu mbaya.˗ Haki za watoto kuvunjwa mfano, matajiri wa sokomoko kuwaajiri vijana wadogo kuchunga mifugo mfano D.J na wengine.˗ Uhusiano wa kimapenzi baina ya wasichana wadogo wa shule.˗ Hatimaye wanapachikwa mimba mfano Lowela na

Mtemi. ˗ -Mtemi alipendelewa katika asasi za mahakama na sheria.

Mtahini azingatie hoja za watahiniwa.Kutaja - 1Maelezo -110 @ 2 = al 20

4. (a)˗ Mzungumzaji ni Meya.˗ Msemewa ni diwani I, diwani II na Bili.˗ Walikuwa wanatafuta mbinu za kujipatia ‗overtime‘ kwa sababu bwana Uchumi na Kazi hangewapa.˗ Baadaye mpango haukutimizwa kwa sababuwafanyikazi waligoma na meya na madiwani kushikwa.

(4 x 1 = al 4) (b) Njama ya kuiuza fimbo ya Meya. (al 2)(c) Ufisadi

Wizi Tamaa

(d) Kuchanganya ndimi / msimbo (e) Katili

Fisadi Mbinafsi Mwongo Mwoga Mwenye kiburi. Kutaja - 1 Kueleza - 1 (5 x 2 = al 10)

5.˗ Unafiki˗ Kutowajibika˗ -Umasikini˗ Ufisidi˗ Ukoloni mamboleo˗ Utabaka˗ Mabadiliko˗ Ubadhirifu wa mali ya umma˗ Ubinafsi na tamaa˗ Utegemezi.˗ Usaliti wa viongozi˗ Ujenzi wa jamii mpya˗ Ukosefu wa ajira˗ Uongozi mbaya

Kutaja alama 1Top grade predictor publishers Page | 267

Page 269: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Maelezo alama 1 (10 x 2 = al 20)

6. (a) Swali hilo liliulizwa Bi. Margaret, mwalimu mkuu wa askofu Timotheo na Mzee Butali alipoenda ofisini mwa mwalimu mkuu kuitikiamwito baada ya utawala wa shule kugundua kuwa mwanawe Sela alikuwa mjamzito.

(b) (i) Mzee Butali.˗ Mwenye hasira: Anamfukuza Sela baada ya Sela kupata mimba.˗ Ana mismamo imara: Anakataa kumsamehe Sela na mamake hata wanakijiji wanapomshauri afanye hivyo.˗ Anawajibika; Kulipa karo, anafika shule anapoitwa.˗ Mwenye majuto: Anajuta kumsomesha binti anayeambulia ujauzito.˗ Mwerevu / mtambuzi: Anafahamu umuhimu wa elimu hivyo anamrudisha Sela shuleni baada ya kujifungua.˗ Mkali: Anazua rabsha nyumbani baada yakuarifiwa binti yake amehimili.

(4 x 1 = 4)(ii) Bi Margaret.

˗ Mshauri mwema: Waliohimili watafutiwe shule.˗ Mwenye heshima: Anavyozungumza na wazazi wa wasichana.˗ Kiongozi bora: Anawaita wazazi na wala sikuwafukuza tu wanafunzi.˗ Mwenye utu: Anajali maslahi ya wanafunzi wake: Anawaandikia barua za mapendekezo wanafunzi waliohimili wapokelewe

kwenye shule za kutwa karibu na kwao. (4 x 1 = 4)(iii)

˗ Elimu˗ Uwajibikaji˗ Malezi˗ Mapenzi ya kiholela kati ya wanafunzi na athari yake.7. Mabadiliko ynayofaa kutekelezwa.˗ Mwafrika anafaa ajipende mwenyewe.˗ Mwafrika anafaa ajienzi na ajionee fahari.˗ Mwafrika anafaa ajikomboe kutokana na ubaguzi wa rangi wa mtu mweupe na pia dhuluma.˗ Mwafrika anafaa ajisake na pia ajikosoe.˗ Mwafrika anafaa aache tabia ya kuzitegemea nchi za ughaibuni ili kupata elimu bora.˗ Mwafrika anafaa kujiendeleza kimasomo na hata kwa namna nyingine yoyote katika mazingira yake Afrika.˗ Wazungu na Waafrika wanafaa kutangamana pamoja kama ndugu na ndugu bila kuangalia misingi ya rangi, kabila au taifa

kwani sote tuko sawa katika utenda kazi.˗ Mwafrika anafaa aipende nchi yake kwa vyovyote vile.˗ Anafaa anawaenzi Waafirka wenzake.˗ Mwaafrika anafaa ajivunie kile kilichoko Afrika bila kutegemea nchi za ughaibuni.˗ Mwafrika anafaa ajiendeleze kimasomo katika mazingira yake binafsi (ya Afrika)

(Zozote 10 x 2 = al 20)8. (a) Maigizo ni drama, ni sanaa ya mazungumzoyanayoambatana na matendo.

(b) Sifa za maigizo.˗ Hutolewa au huigizwa mbele ya hadhira.˗ Uigizaji huhitaji uwanja maauumu wa kutendeaau mandhari.˗ Maigizo hufungamana na shughuli za kijami kama vile utambaji wa hadithi na sherehe zamiviga kama jando, harusi na

matanga.˗ Katika maigizo, sharti kuwe na tendo la kuigizwa.˗ Waigizaji huvaa maleba yanayooana na hali wanazoigiza.˗ Maigizo huiga hali ya maisha ya jamii kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni.˗ Huwa na muundo mahususi wa mtiririko wa matukio;

(i) Mgogoro. (ii) Ukuzaji wa mgogoro (iii) Kilele cha mgogoro (vi) Mwisho

˗ Maigizo yanaweza kuambatana na ngoma pamoja na uimbaji wa nyimbo au ukariri wa tungo za kishairi.(c)

(a) Maigizo huburudisha watazamaji na waigizajiwenyewe. Watu hutumbuizwa na kupumbazwa na maigizo kama vile yangoma za kitamaduni na vichekesho.

(b) Maigizo huhifadhi na kuendeleza utamaduni wajamii kama vile upashaji tohara, matambiko,majigambo, ngoma, miviga, namichezo ya watoto hudumishwa kupitia kwa maigizo.

(c) Ni kitambulisho cha jamii. Kila jamii ina sanaa yake ya maigizo ya shughuli za jamii husika. Viviga kama vile mazishi na harusi hutofautiana kutoka jamii moja hadi nyingine. Michezo ya watoto huwa mahususi kwa watoto wa jamii fulani.

(d) Hukuza umoja na ushirikiano. Watoto wanapokuja pamoja kushiriki katika maigizo hujitambulisha kama jamii moja. (e) Ni nyenzo ya kupitisha maarifa na amali za jamii. Kupitia kwa michezo ya jukwaani,

matambiko, ngoma, miviga na vipera vingine vya maigizo, maarifa na amali za jamii hupitishwa. Top grade predictor publishers Page | 268

Page 270: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(f) Husawiri mitazamo ya jamii kuhusu masuala mbalimbali. Baadhi ya uigizaji hufanyia tashtiti vitendo vinavyochukiwa na wanajamii kama vile woga, wizi na usaliti.

(g) Husifu tabia chanya na kukashifu tabia hasi. Baadhi ya vichekesho hukashifu matendo ya kijinga. (h) Hukuza uzalendo. Kupitia kwa maigizo kama vile miviga, vijana hujitambulisha na jamii zao nakuzionea fahari. Baadhi ya

miviga kama vile maigizo ya kutawazwa kwa viongozi husifu waliotoa mchango mkubwa kwa jamii zao. Vijana na wanajamii hupata kielelezo bora cha kuiga.

(i) Huimarisha na kupalilia ubunifu. Kwa mfano, watoto wanaposhiriki katika michezo ya watoto, hujifunza kubuni michezo wakiwa wachanga na pia kujifunza sanaa ya uigizaji.

(j) Hukuza kipawa cha uongozi. Waigizaji wanapochukua majukumu ya uongozi katikamichezo huweza kujifunza stadi za uongozi.

(k) Ni njia ya kuimarisha urafiki. Mathalan, mizahaau utani katika malumbano ya utani yanapoigizwa hukuza urafiki, uhusiano bora na stahamala kati ya watu, koo na makabila yanayolumbana. Pia, waigizaji wa michezo ya jukwaani wanapoigiza pamoja hujenga uhusiano wa kirafiki.

(l) Huongoza jamii kupambana na mazingira wanamojipata. Kutegemea imani ya wanajamii,matambiko yanaweza kuondoa matatizo katika jamii kama vile ugonjwa na ukame kwa kuomba Mungu au miungu.

(m) Huelimisha. Kupitia kwa maudhui na hulka zawaigizaji, hadhira hupata fursa ya kujitathmini na kushauri nafsi zao kuiga ama kukashifu hulka hizo.

Top grade predictor publishers Page | 269

Page 271: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA GATANGA 2016 INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. Lazima.Andika barua kwa mhariri wa gazeti la Tomoko Leo ukiangazia madhara na jinsi ya kukabiliana nauwindaji haramu nchini.

2. Ugatuzi una faida nyingi kuliko hasara. Jadili.3. Tunga kisa kitakachodhihirisha maana ya methali ifuatayo:

Kupanda mchongoma kushuka ndio ngoma. 4. Tunga kisa kitakachomalizika kwa maneno yafuatayo:

... niliketi nikishika tama, iliyokuwa nyumba yangu ikawa jivu tu! Sikuyazuia machozi yaliyonibubujika.

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA GATANGA 2016 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU.(alama 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yafuatayo. Ufisadi ni uhalifu unaohusu kuzitumia njia za ulaghai kujipatia pesa, mali au vitu hasa vya umma. Nchini Kenya ufisadi hujitokeza kwa njia mbalimbali na kila mojawapo ina athari zake. Kwa mfano kuna maafisa wa serikali wajipatiao pesa kwa kuuza stakabadhi za serikali kama vile pasi, vyeti vya kuzaliwa, vyeti vya kumiliki mashamba, vitambulisho n.k. Kwa raia, kuna hatari kubwa kwa sababu watu wasio raia wa Kenya wameweza kusajiliwa kama wakenya na kuendeleza uhalifu kama ugaidi, wizi na ulanguzi wa dawa za kulevya. Wengine hujipatia vibali vya kufanya kazi na kuajiriwa kazi ambazo zingefanywa na wakenya. Hii imechangia ongezeko la uhaba wa kazi nchini. Watumizi wengine wa umma huuza mali ya serikali kama vile magari, nyumba na ardhi na kufutika pesa za mauzo mifukoni mwao. Wengine wao hujinyakulia na kufanya vitu hivyo kuwa mali yao. Ufisadi wa aina hii umegharimu serikali kiasi kikubwa cha fedha. Serikali imelazimika kununulia maafisa wake magari baada ya muda mfupi, kulipia wafanyi kazi wake kodi za nyumba na kukosa viwanja vya upanuzi na ujezi wa shule hospitali, vituo vya polisi na taasisi zingine maalumu. Baadhi ya wataalamu kama madaktari huiba dawa kutoka hospitali za umaa kupeleka vituo vyao vya afya. Pia hutumia wakati wao mwingi katika kazi zao za kibinafsi na kuwaacha wagonjwa katika hospitali za umaa wakihangaika. Sio madaktari tu, kuna masoroveya, wahandisi, mawakili, walimu na mahasibu ambao hukwepa majukumu yao serikalini na kufanya kazi za kibinafsi. Wengine wasio wataalam huendesha biashara za aina tofauti, na huku wanaendelea kupokea mishahara. Wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo na shule bora za umma na hawakuhitimu wakati mwingine hulazimika kusalimu amri na kutoa hongo ili wapate nafasi za kusoma. Kiasi cha pesa kinachohitajika kuwa kikubwa hivi kwamba ni wachache humudu hizo rushwa. Wale wasiojimudu kifedha hubaki wakilia ngoa. Kuna wazazi ambao hutumia vyeo vyao na ‗undugu‘ kupata nafasi zilizotajwa, jambo ambalo huwanyima wanafunzi werevu kutoka jamii maskini nafasi ya kupata elimu. Matokeo huwa ni kuelimisha watu wasiostahili na ambao mwishowe hawaziwezi kazi wanazosomea wakihitimu na kuanza hudumia jamii. Ufisadi umekita mizizi na kushamiri katika sekta za umma na za kibinafsi kwa upande wa kuajiri wafanyikazi. Ni vigumu kupata kazi ikiwa hujui mtu mkubwa katika shirika linalohusika au uzunguke mbuyu. Matokeo ni kuajiri wafanyikazi wasiohitimu na wasiowajibika kazini. Vyeo na madaraka katika baadhi ya mashirika hutolewa kwa njia ya mapendeleo na ufisadi. Kwa hivyo, wafanyikazi wenye bidii hufa moyo kwa sababu hawasaidiwi ipasavyo. Badala yake wale wasioleta bidii hupandishwa vyeo na kuwaacha palepale. Hata hivyo, mbio za sakafuni huishia ukingoni. Serikali imetangaza vita dhidi ya ufisadi. Tayari tume kadhaa zimeteuliwa kuchunguza visa vya ufisadi ulitotekelezwa hapo mbeleni. Mojawapo ya tume hizo ni Tume ya kuchunguza Kashfa ya ―Goldenberg‖ ambapo pesa za umma (mabilioni ya shilingi) ziliporwa na mashirika na watu binafsi kwa njia siziso halali. Watakaopatikana na hatia ya kushiriki ufisadi huo watahitajika kurudisha pesa hizo. Serikali pia imeunda kamati ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi waliohasiriwa na mawakili walaghai ambao hupokea ridhaa kwa niaba ya wateja wao na kukosa wawalipa, au wakilipwa kuwatetea mahakamani wanakwepa jukumu hilo ilhali wamekwishalipwa. Ni matumaini yetu kuwa ulaghai huu utaangamizwa kabisa kwani hakuna refu lisilokuwa na ncha.

Jg Academic Consultancy Nairobi 2011 Mocks Topical Analysis. Maswali. (a) Eleza aina nne za ufisadi zilizotajwa katika kifungu ulichosoma. (alama 4)(b) Kulingana na kifungu ulichosoma ufisadi umeathiri nchi yetu kwa njia gani? (alama 3)(c) Serikali inafanya jitihada gani ili kukomesha ufisadi? (alama 2)(d) Kwa maoni yako unafikiri ufisadi husababishwa na nini? (alama 2)(e) Toa msamiati mwingine wenye maana sawa na rushwa. (alama 1)(f) Eleza maana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumiwa katika kifungu. (alama 3)

(i) Kashfa(ii) shamiri

Top grade predictor publishers Page | 270

Page 272: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(iii) wakilia ngoa

2. UFUPISHO (alama 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali. Uwezo wa kuyakumbuka mambo ni hazina kuu kutoka kwa mtu yeyote yule aliye hai. Uwezo huu wa kukumbuka ni mojawapo ya shughuli changamano za ubongo. Ubongo wa mwanadamu hutekeleza shughuli hii kwa namna tatu. Kwanza ubongo hunasa jambo kisha hulihifadhi. Baadaye huanzisha mfumo wa kutoa kilicho hifadhiwa. Ubongo ukiathirika kwa namna yoyote katika mojawapo ya njia hizi, basi uwezo wa kuyakumbuka mambo huvurugika. Ingawa inaaminike kuwa uwezo wa kukumbuka hurithishwa toka kizazi kimoja hadi kingine, wataalamu wa maswala ya kiakili wanabaini kuwa uwezo huu unaweza kuimarishwa. Uimarishaji huu huhitaji mikakati madhubuti. Njia mojawapo ya kustawisha uwezo wa kukumbuka ni kupitia kwa lishe. Vyakula vilivyosheheni vitamini B vyenye amino asidi husaidia kuimarisha uwezo wa kukumbuka. Vyakula kama hivi ni mboga, nyama (hasa maini), bidhaa za soya, matunda, maziwa, bidhaa za ngano, samaki, pamoja na mayai. Vyakula vingine muhimu katika ustawishaji huu ni vile vyenye madini ya chuma. Madini haya huwezesha usambazaji wa hewa katika ubongo kwa wepesi. Vyakula ambavyo vina madini haya ni mboga za kijani, mawele, ndengu, soya, matunda kama maembe, ufuta (simsim) pamoja na nyama, hasa maini na mayai. Ubongo wa mwanadamu aliye hai hufanya kazi kila wakati awe macho au amelala. Utendaji kazi wake huendeshwa na glukosi mwilini. Kwa hivyo, vyakula vyenye sukari hii ni muhimu kuliwa. Hata hivyo, lazima mtu awe mwangalifu na kuhakikisha kuwa mwili una kiwango cha sukari kisicho hatarisha maisha. Haya yanawezekana kwa kula vyakula vyenye nyuzinyuzi kama vile mboga na matunda. Njia ya pili ni kupiga marufuku vileo kama pombe na nikotini. Vileo hivi huathiri utaratibu wa kunasa, kuhifadhi na kutoa yaliyo ubongoni. Iwapo mtu ana tatizo la kuyakumbuka majina ya watu, ni muhimu kufanya mazoezi ya kusikiliza kisha kurudia majina hayo wakati wa mazungumzo. Ni bora kulihusisha jina na sura ya mtu. Kwa njia hii ubongo utanasa jina na kile kinacholengwa. Woga na kuvurugika kiakili ni mambo mengine tunayopaswa kuepuka kila wakati. Ni kawaida mtu kupata woga wakati anapokabili jambo asilokuwa na uhakika na matokeo yake kama mtihani au mahojiano. Lakini unapaswa kuwa makini. Woga huo usikiuke mpaka na kumvuruga kiakili. Vurugu hizi huathiri kilichohifadhiwa ubongoni na pia namna ya kukitoa. Halikadhalika, mwili wenye siha nzuri huhakikisha kuwa ubongo ni timamu. Wataalamu wengi wa siha wanakubali kuwa na mazoezi ya kunyoosha viungo hustawisha ubongo na hivyo kuhakikisha kuweko kwa uwezo wa kukumbuka mambo. Ni muhimu kuwa na taratibu ya kunyoosha viungo kila wakati. Fauka ya hayo, mazoezi ya kiakili, kama vile kusoma makala yanayovutia, kujaza mraba na michezo mingine kama mafumbo, vitanza ndimi ni muhimu katika kustawisha uwezo wa kukumbuka. Jamii ya watu wenye uwezo wa kuyakumbuka mambo ni jamii iliyopiga hatua kimaendeleo. Ni jukumu la kila mmoja wetu kuimarisha uwezo wa kukumbuka kila wakati.

Maswali. (a) Fupisha ujumbe wa aya sita za mwanzo kwa maneno..(maneno 90 - 100) (alama 9, 1 ya mtiririko)

Matayarisho(b) Fupisha aya tatu za mwisho kwa maneno 40 - 50) (alama 6, 1 ya mtiririko)

Matayarisho

3. MATUMIZI YA LUGHA. (alama 40)(a) Tofautisha sauti zifuatazo. (alama 2)

(i) /m/ na /n/(ii) /e/ na /a/

(b) Andika maneno mawili yenye muundo ufuatao wa silabi: Kiyeyusho na irabu. (alama 1)(c) Pambanua viungo vya kisaruifi katika kitenzi. (alama 3)

Tuliwalimia(d) Tunga sentensi ukitumia ‗vile‘ kama; (alama 3)

(i) Kiwakilishi(ii) Kivumishi(iii) Kielezi.

(e) Kwa kutolea mfano, tofautisha kati ya mzizi huru na mzizi funge. (alama 2)(f) Andika kinyume cha sentensi ifuatayo; (alama 2)

Wavulana watatu wanaingia darasani kwa haraka.(g) (i) Eleza maana ya kirai. (alama 2)

(ii) Bainisha aina za virai katika sentensi ifuatayo; (alama 2)Gari lilianguka kando ya barabara.

(h) Yakinisha sentensi ifuatayo; (alama 2)Asingefika mapema asingempata mwalimu wake.

(i) Andika katika hali ya udogo wingi. (alama 2)Nyundo iliyokuwa kwenye kikapu imeibwa.

(j) Tunga sentensi kudhihirisha matumizi ya parandesi. (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 271

Page 273: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(k) Tunga sentensi kuonyesha wakati ujao hali timilifu. (alama 2)(l) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya jedwali. (alama 4)

Ali alimlaumu Juma ilhali kosa lilikuwa la Hassan(m) Tunga sentensi ukitumia kivumishi kimilikishi cha nafsi ya tatu umoja pamoja na nomino ya ngeli ya I - I. (alama 2)(n) Andika upya sentensi ifuatayo kulingana na maagizo. (alama 2)

Dawa ilimfanya mtoto afe. (tendesha) (o) Sahihisha (alama 2)

Hapa mna siafu wengi.(p) Andika maana mbili zinazojitokeza katika sentensi ifuatayo. (alama 2)

Osundwa amenitupia tiara.(r) Tunga sentensi moja kudhihirisha matumizi ya -ndi-. (alama 1)(s) Tunga sentensi moja kudhihirisha matumizi mawili ya neno ―kaa‖. (alama 2)

4. ISIMUJAMII.(alama 10)Eleza jinsi shughuli zifuatazo zimechangia kukua kwa Kiswahili nchini;(a) Vyombo vya habari. (alama 3)(b) Uchapishaji (alama 2)(c) Elimu. (alama 3)(d) Kiswahili kuteuliwa kuwa lugha rasmi nchini. (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 272

Page 274: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA GATANGA 2016 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SEHEMA YA A: USHAIRI 1. Lazima.

Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.(alama 20)

Barabara. Barabara bado ni ndefu Nami tayari nimechoka tiki Natamani kuketi Ninyooshe misuli Nitulize akili

Lakini

Azma yanisukuma Mbele ikinihimiza kuendelea Baada ya miinuko na kuruba Sasa naona unyoofu wake Unyoofu ambao unatisha zaidi.

Punde natumbukia katika shimo Nahitaji siha zaidi ili pupanda tena Ghafla nakumbuka ilivyosema Ile sauti zamani kidogo ―Kuwa tayari kupanda na kushuka.‖

Ingawa nimechoka Jambo moja li dhahiri Lazima niifuate barabara Ingawa machweo yaingia Nizame na kuibuka Nipande na kushuka.

Jambo moja nakumbuka: Mungu Je, nimwombe tena? Hadi lini? Labda amechoshwa na ombaomba zangu

Nashangaa tena!

Kitu kimoja nakiamini Lazima niendelee kujitahidi kwa kila hatua mpya Nijikokote kuiandama hii barabara yenye ukungu Nikinaswa na kujinasua Yumkini nitafika mwisho wake Ikiwa wangu mwisho haitauwahi kabla.

(Timothy Arege) Maswali.

(a) Taja na ueleze aina ya shairi hili. (alama 2)(b) Eleza toni ya shairi hili. (alama 2)(c) Fafanua dhamira ya shairi hili. (alama 2)(d) Bainisha vipengele vifuatavyo vya kimtindo katika shairi hili. (alama 3)

(i) Tanakali za sauti.(ii) Mbinu rejeshi(iii) Taswira

(e) Eleza umhimu wa maswali balagha katika shairi. (alama 2)(f) Andika ubeti wa mwisho kwa lugha nathari. (alama 4)(g) Eleza matumizi ya mistari mishata katika shairi hili. (alama 2)(h) Eleza maana ya misamiati ifuatayo kama ilivyotumika katika shairi. (alama 3)

(i) Kuruba(ii) Siha(iii) Machweo

Top grade predictor publishers Page | 273

Page 275: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

SEHEMU B: RIWAYA. Ken Walibora: Kidagaa Kimwemwozea. Jibu swali la 2 au la 3

2. ―Nilikuwa nimekwenda ibada kaka.‖(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Ni ibada gani anayozungumizia msemaji. (alama 1)(c) Hii ibada imemfanya akose kuwajibika. Thibitisha. (alama 6)(d) Eleza sifa zozote tano za msemewa. (alama 5)(e) Eleza umuhimu wa msemaji wa kauli hii. (alama 4)

3. Jadili jinsi mwandishi wa Kidagaa Kimemwozea anashughulikia maudhui yafuatayo;(a) Kisasi (alama 10)(b) Usaliti (alaam 10)

SEHEMU C: TAMTHILIA Timothy Arege: Mstahiki Meya Jibu swali la 4 au la 5

4. Haki yetu!Jasho letu! Haki yetu! Jasho letu! Damu yetu!

(a) Fafanua muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(b) Eleza kwa tafsili haki, jasho na damu inayorejelewa. (alama 10)(c) Fafanua sifa zozote sita za anayeelekezewa kilio hiki. (alama 6)

5. Onyesha matumizi ya mbinu zifuatazo katika tamthilia;(i) Uzungumzi nafsiya. (alama 5)(ii) Majazi (alama 8)(iii) Taswira (alama 7)

SEHEMU D: HADITHI FUPIKen Walibora na S.A Mohamed (wah): Damu Nyeusi na Hadithi nyingine.Damu Nyeusi (K. Walibora)

6. ―Msifikiri kwamba mzungu anatupenda sisi watu weusi.‖ ;(a) Eleza ukweli wa kauli hii ukirejelea hadithi ya Damu Nyeusi. (alama 10)

(Tazama na Mauti - S.A. Mohamed)(b) ―... Lakini yeye hataki riziki, anataka muluki.‖

(i) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(ii) Fafanua sifa sita za mrejelewa. (alama 6)

SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI.7. (a) (i) Eleza tofauti ya ngoma na ngomezi. (alama 2)

(ii) Taja aina nne za ngomezi za kisasa. (alama 4)(b) (i) Mivigha ni nini? (alama 2)

(ii) Eleza sifa zozote nne za miviga. (alama 4)(c) Fafanua majukumu ya michezo ya watoto (chekechea) (alama 8)

Top grade predictor publishers Page | 274

Page 276: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA GATANGA 2016 INSHA 102/1 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Mtahiniwa atumie mtindo wa barua kwa mhariri. Sura ya barua kwa mhariri. i) Anwani ya mwandishi.ii) Anwani ya mwandikiwa - mhariri wa Gazeti la Tomoko leo. iii) Mtajo kwa mhariri. iv) Mint / Yah - Mada v) Utangulizi

Mtahiniwa atangulize kiini cha barua. Aonyeshe kwa muhtasari hali ya uwindaji haramu iliyo nchini. vi)

Mwili - (Hoja zipangwe ki - aya) vii) Hitimisho.

Mtahiniwa ahitimishe kwa kutoa matumaini ya kukabiliana na uwindaji haramu kupitia mapendekezo yake.

viii) Kimalizio - Pawe na: Jina la mwandishi. Sahihi Mahali anakoishi mwandishi Hoja za kuzingatia.

Madhara. i) Uchumi wa taifa kudidimia - utalii utashuka. ii) Walinda mbuga za wanyama kuuawa. iii) Wawindaji haramu kuuawa na wengine kujeruhiwa katika harakati za uwindaji haramu. iv) Maofisa wa serikali wanaohusika kufutwa kazi na kuchukuliwa hatua kisheria. v) Wanyama kupunguka. vi) Huchangia ugaidi. vii) Kuvuruga usawazishaji wa mazingira na maumbile asilia. viii) Nafasi za ajira kupunguka. Mapendekezo. ˗ Kuhamasisha umma dhidi ya uwindaji haramu - vyombo vya habari, wanasiasa, mashirika yasiyo ya kiserikali.˗ Mabunge yote ya seneti na ya kitaifa kuunda sheria madhubuti za kukabiliana na uwindaji haramu.˗ Viongozi serikalini kuongoza vita dhidi ya uwindaji haramu - mf kuchoma pembe za ndovu na nyati badala ya kuziuza.˗ Kuwafuta maofisa wafisadi na kuwachukulia hatua kali kisheria.˗ Mabadiliko katika idara ya mahakama kwa kuwapiga kalamu majaji wafisadi pamoja na kuharakisha kesi kama hizi.˗ Kuwapa walinda mbuga za wanyama vifaa vya kutosha hasa vya teknolojia mpya mf. ndege za kisasa,bunduki n.k˗ Serikali kuunda kikosi maalum cha kupambana na uwindaji haramu nchini.˗ Uhusiano mwema kati ya idara ya misitu na jamii.˗ Kushirikiana na jamii ya kimataifa kupinga uwindaji haramu.

Mwalimu akadirie hoja nyingineTanbihi: Madhara yasipungue manne

Mapendekezo manne.2. Faida za ugatuzi.(kuunga)˗ Kupeleka maendeleo hadi mashinani mf. Ujenzi wa shule, hospitali, barabara za vijijini, vyuo anuwai.˗ Mgao sawa wa rasilimali ya nchi.˗ Kubuni nafasi za ajira.˗ Kuhusisha raia au mwananchi katika maamuzi ya miradi inayowahusu katika gatuzi zao.˗ Kuhifadhi utamaduni chanya ya jamii za gatuzi husika mf. Tamasha za muziki / mashindano ya urembo.˗ Inahimiza uwajibikaji na uzalendo (kaunti yetu)˗ Huchangia ushindani chanya kati ya kaunti mbalimbali na mwishowe kuboresha maendeleo.˗ Kuboresha huduma za afya, kilimo n.k

Hasara za ugatuzi.(Kupinga)˗ Kugatua ufisadi.˗ Uchumi wa nchi hauwezi kustahimili mahitaji mengi ya gatuzi.˗ Migomo ya wafanyikazi ya kila mara.˗ Huduma mbovu kwa umma mf. Afya kutokana na usimamizi mbaya.˗ Siasa chafu - zinazochangia kudidimia kwa maendeleo mf. vita, kila wakati siasa za kung‘atua Gavana madarakani.˗ Huchangia ukabila - Mfano: Ubaguzi katika ajira.˗ Huchangia ukosefu wa mshikamano wa kitaifa.˗ Huchangia ubinafsi na tamaa - safari za kujifaidi, magari makubwa.˗ Kukwamizwa kwa maendeleo katika baadhi ya gatuzi.

Top grade predictor publishers Page | 275

Page 277: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Mivutano kati ya serikali kuu na serikali za gatuzi. Tanhibi

1. Mtahiniwa anaweza kujadili upande mmoja, kwa mfano hasara tu. Huyu anahitajika kufafanua kikamilifu angaa hoja tano (5) ili kukadiriwa vyema kimaudhui.

2. Wapo watakaosema moja kwa moja kuwa ugatuzi una faida tu. Hawa pia wajadili angaa hoja (5) ili kukadiriwa vyema kimaudhui. 3. Watakaojadili pande zote mbili sharti wafafanue angaa hoja tatu (3) za kupinga na mbili (2) za kuunga / au tatu (3) za kuunga na mbili (2) za kupinga, kisha waonyeshe msimamo wao. 4. Kaida nyingine zote za usahihishaji wa karatasi hii zizingatiwe.

3. Maana ya methali.Kuupanda mchongoma ambao una miba huwa rahisi kuliko kuushuka. Matumizi Hutumiwa kumnasihi mtu asijiingize katika hali ambayo itakuwa vigumu kutoka. Inafaa kuyachunguza mambo kabla ya kuyaingilia tusije kujizulia balaa kubwa. Mtahiniwa atunge kisa kinachooana na methali. Aonyeshe sehemu zote mbili za methali.

4. Hii ni insha ya mdokezo.i) Lazima mtahiniwa amalizie kwa maneno ya kimalizio.ii) Anayepunguza maneno hadi manne ya kimalizio aondolewe maki 2 baada ya kutuzwa.iii) Anayekosa kimalizio amejitungia swali.

Top grade predictor publishers Page | 276

Page 278: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA GATANGA 2016 102/2 LUGHA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. UFAHAMU.(a)˗ Wizi wa mali ya umma.˗ Vyeo na madaraka kutolewa hivi hivi tu.˗ Uuzaji wa stakabadhi za serikali.˗ Kuiba madawa.˗ Kuhonga ili kupata nafasi za kusoma.˗ Kuhonga au kutumia undugu ili kupata kazi.˗ Kutowajibika kizazi. (za kwanza 4 x 1 = 4)(b)˗ Kufilisisha serikali.˗ Kunyima wagonjwa matibabu.˗ Kuzorotesha maendeleo na huduma muhimu.˗ Kuelimisha watu wasiohitimu na kuacha walio werevu.˗ Kupandisha vyeo watu wasio stahili.˗ Kazi kufanywa vibaya bila uajibikaji. (zozote 3 x 1 = 3)(c) (i) Kuunda tume na kamati za kuchunguza visa vya ufisadi.

(ii) Kurudisha mali iliyoibiwa.(iii) Kuwashtaki wahalifu.

(zozote 2 x 1 = 2) (d) (i) Uhaba wa kazi.

(ii) Uozo wa maadili katika jamii. (iii) Kuongezeka kwa umaskini. (vi) Tamaa ya anasa na starehe. (v) Uongozi mbaya wa kitaifa. (vii) Kukosa huruma na uajibikaji. (viii) Kukosa uzalendo.

(zozote 2 x 1 = 2) 5. Hongo / kuzunguka mbuyu / chai / kodhongo

(yozote 1 x 1 = 1) 6. (a) Ufunuo wa siri ya jambo la aibu. (1 x 1)

(b) Kuenea kwa jambo au habari. (1 x 1)(c) Ona wivu (1 x 1)

2. UFUPISHO(a)˗ Uwezo wa kuyakumbuka mambo ni hazina muhimu.˗ Ubongo wa mwanadamu hunasa jambo, kulihifadhi halafu kuanzisha mfumo wa kulitoa.˗ Ubongo ukiathirika uwezo wa kuyakumbuka mambo huvurugika.˗ Ingawa inaaminika kuwa uwezo wa kuyakumbuka mambo huvurugika.˗ Vyakula vilivyosheheni vitamin B, amino asidi navyenye madini ya chuma hustawisha uwezo huu.˗ Utendajikazi wa ubongo huendeshwa na glukosi mwilini.˗ Vyakula vyenye sukari hii ni muhimu ingawa ikizidishwa kiwango, huhatarisha maisha.˗ Vileo huathiri utaratibu wa kunasa, kuhifadhi na kutoa yaliyo ubongoni.˗ Aliye na tatizo la kukumbuka na afanye mazoezi ya kusikiliza kisha kurudia kinachozungumzwa.(b)

(i) Woga na kuvurugika kiakili ni mambo yanayopaswa kuepukwa. (ii) Vurugu hizi huathiri kilichohifadhiwa ubongoni na pia namna ya kukitoa. (iii) Mwili wenye siha nzuri huhakikisha kuwa ubongo ni timamu. (iv) Mazoezi ya kunyoosha viungo na ya kiakili hustawisha ubongo na kuimarisha uwezo wakukumbuka. (v) Jamii yenye uwezo huu hupiga hatua kimaendeleo.

Top grade predictor publishers Page | 277

Page 279: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

3. MATUMIZI YA LUGHA.(a) (i) /m/ - midomo (1/2)

/n/ - ufizi (1/2)

(ii) /a/ - kati, chini (1/2)

/e/ - mbele, wastani / kati (1/2) (1/2 x 4 = al 2)(b) Yeye

Wao Yaya (al 2 x 1/2 =1)

(mwalimu ahakiki majibu) (c) Tu - nafsi

| li - wakati uliopita | wa - mtendewa / nafsi ya tatu | lim - mzizi | i - kauli / kiendelezi | a - kiishio (1/2 x 6 = al 3)

(d) Vile vitauzwa - kiwakilishi (w)Vitu vile vitauzwa - kivumishi (v)Tulimwambia vile zoezi hilo hufanywa - kielezi(E) (al 3 x 1 = 3)

(e) Mzizi huruNeno zima linalojisimamia kimaana na unaishia kwa irabu. Kwa mfano: Sahau, mama, sali, tubuMzizi fungeMzizi ambao unadokeza maana, na hauwezi kujitegemea wenyewe kama neno. Huhitaji kuongezewa viambishi ilikukamilika kimaana na kimuundo. mf. Chez - Pig - Chom - (1 x 2 = 2)

(f) KinyumeWavulana watatu wanatoka darasani pole pole /aste aste / taratibu. (1 x 2 = 2)

(g) (i) Kirai ni neno au fungu la maneno ambalo ni sahihi kisarufi lakini halitoi maana kamili.(al 1 x 2 = 2)(ii) Kirai nomino - GariKirai kihusishi - Kando ya barabaraKirai kitenzi - Lilianguka (2 x 1= 2) (zozote mbili)

(h) Yakinisha.Angefika mapema angempata mwalimu wake. (al 2)

(i) Udogo wingiVijundo vilivyowekwa kwenye vijikapu vimeibwa. (al 2)

(j) Matumizi ya panandesi (mabano)˗ Huyafungia maelezo ambayo ni ufafanuzi wa jambo lililotajwa.˗ Kufungia neno ambalo ni kisawe cha lililotajwa awali.˗ Kufungia maelezo ya ziada / pembeni.˗ Kufungia maelezo ambayo ni maoni au kauli ya mtu kuhusu jambo.˗ Kufungia herufi na nambari.˗ Katika tamthilia / drama hufungia maelekezo ya jukwani. (zozote 2 x 1 = 2)(k) Wakati ujao hali timilifu.

mf. Wazazi watakuwa wameheshimu haki za watoto.Nitakuwa nimesahihisha kazi yako. (1 x 2 = 2)

(l) Uchanganuzi.

Top grade predictor publishers Page | 278

Page 280: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

(1/2 x 16 = al 4)(m) Sukari yake imemwagika.

Asali yake imeliwa. (al 2)(Hakiki majibu mengine ya wanafunzi)

(n) Dawa imemfisha mtoto. (al 2)(o) Hapa pana siafu wengi.

Humu mna siafu wengi. (al 2)(p) (i) Osundwa amepoteza tiara yangu.

(ii) Osudwa amerusha tiara kuelekea kwangu. (iii) Osundwa ametupa tiara kwa niaba yangu.

(mwalimu ahakiki)(al 2) (r) ndiye

ndizi ndimi (1 x 1 = 1)

(s) Kaa (i) Kipande cheusi cha kumi kilichochomwa. (ii) Mnyama mdogo wa majini mwenye miguu sita au zaidi. (iii) Keti (iv) Ishi / dumu (za kwanza 2 x 1 = 2)

4. ISIMUJAMII(a) Vyombo vya habari.˗ Hutumia Kiswahili katika matangazo.˗ Vipindi vya mashindano ambayo hutangazwa na vyombo.˗ Huwasilisha makala mbalimbali wakitumia lugha ya Kiswahili.˗ Huandaa makongamano ya waalimu wa Kiswahili.˗ Hukuza misamiati mipya ya lugha ya Kiswahili. (zozote 3 x 1 = 3)(b) Uchapishaji.˗ Vitabu vipya ambavyo hukuza lugha ya Kiswahili vya kiada na ziada.˗ Uchapishaji wa majarida na magazeti kuimarisha taaluma ya Kiswahili. (zozote 2 x 1 = 2)(c) Elimu˗ Somo la lazima katika shule za msingi na sekondari.˗ Hufunzwa hadi vyuo vikuu.˗ Silabasi mpya ya Kiswahili ambayo inazumgumzia masuala ibuka kama teknolojia, jinsia n.k˗ Kuongezeka kwa waatalam na waalimu waKiswahili. (zozote 3 x 1 = 3)(d) Kuteuliwa kuwa lugha rasmi.˗ Kutumika katika mikutano rasmi.˗ Kutumika katika kuchapisha sera za serikali.˗ Kutumika katika miktadha rasmi - kuendesha shughuli rasmi - mahakamani.˗ Kutumika katika makongamano ya kitaifa. (zozote 2 x 1 = 2)

Top grade predictor publishers Page | 279

Page 281: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MWIGO WA GATUZI NDOGO LA GATANGA 2016 102/3 KARATASI YA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. (a) Shairi huru;˗ Halina mpangilio wa vina.˗ Halina mpangilio wa mishororo˗ Halina mpangilio wa vipande. (al 2)(b)˗ Uchungu - kwa kuwa anakabiliana na mambo mengi yanayomkatisha tamaa.˗ Masikitiko. (al 2)(c)˗ Shairi linazungumzia hali ya kukata tamaa katika maisha.˗ Anatamani maisha yamwendee vizuri. (al 2)(d) (i) Nimechoka tiki.(Tanakali za sauti) (ii) Ghafla nakumbuka ilivyosema ...(Mbinu rejeshi) (iii) (i) Taswira ya mtu aliyechoka. (Taswira)

(ii) Taswira ya mtu aliyekata tamaa (iii) Taswira ya mtu anayependa na kushuka mlima na mabonde. (3 x 1 = 3)

(e)˗ Kusisitiza au kutilia mkazo hali aliyoko mshairi.˗ Kuonyesha utamaushi wa maisha kwa mshairi. (al 2)(f)˗ Anaamini kuwa lazima aendelee kujikaza ilikukabiliana na kila hatua mpya ya maisha.˗ Nijilazimishie na kujiburuta / kujiburara kuifuata barabara yenye giza na unyevu.˗ Hata mkishikwa na kujuta kwa mitego hiyo kwa kweli nitafika mwisho wake.˗ Ikiwa mwisho / hatima yangu haitaufikia kabla/mbele.

(4 x 1= 4) (g) Atoe mifano ya mishata katika shairi.

Mwalimu akadirie mifano ya mishata. Mf. Ghafla nakumbuka ilivyosema. (al 2)

(h) (i) Mahali njia inapopinda.(ii) afya(iii) jioni, magharibi (3 x 1 = 3)

2. Kidagaa Kimwemwozea.(a) (i) Msemaji mwalimu Majisifu.

(ii) Alimwambia Mtemi Nasaba Bora.(iii) Nyumbani kwa Mtemi Nasaba Bora.(iv) Nduguye alitaka kujua kwa nini hakumwona mkutanoni. (al 4)

(b) Ulevi / tembo (al 1)(c) (i) Hafunzi - Hahudhurii madarasa.

(ii) Hahudhurii shughuli za jamii mf. hakwenda mkutano wa kitaifa.(iii) Hawajibiki katika familia yake kwani Dora analalamika kuwa ameachiwa mzigo wa kulea. (3 x 2 = 6)

(d) Sifa za msemewa.˗ Muuaji.˗ Katili˗ Mzinzi / msherati˗ Fisadi˗ Mnyanyasaji / Dhulumali˗ Laghai˗ Mwenye tamaa˗ Mbinafsi˗ Mwenye mapuuza˗ Mnafiki˗ Mkaidi

(zozote 5 x 1 = 5)(e) Umuhimu wa msemaji.

Msemaji ni Majisifu. Huwakilisha˗ Wasomi wanaoshindwa kuyamundu maisha yao.˗ Maudhui ya ajira ya watoto.

Top grade predictor publishers Page | 280

Page 282: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

˗ Wizi wa mawazo / wizi wa kuaa uma.˗ Utu na Imani unaonyesha.˗ Viongozi wasianjibika.˗ Kielelezo cha ubaguzi wa kinasaba na kikabila.˗ Wasomi waliokengeushwa. (zozote 4 x 1 = 4)

3. (a) Kisasi.˗ Oscar Kambona kutaka kumwua Nasaba Borakwa kumwua mamake na kuwanyang‘anyashamba lao.˗ Nasaba Bora kumweka kizuizini Matuko Weye kwa kupinga uongozi wake wakati wa mkutanowa sikukuu ya wazalendo.˗ Madhubuti kuwa na kisasi na babake kwa sababu ya uongozi mbaya.˗ Nasaba Bora kufurahia na kukataa kumpelekaDJ hospitalini baada ya kuumwa na Jimmy mbwa wake kwa sababu ya

kumwambiaawafungulie Amani na Imani.˗ Nasaba Bora kuwa na kisasi na Amani alipofumaniwa na mkewe Zuhura kwa kumshukukuwa mpenzi wake.˗ Nasaba Bora kuwa na kisasi na Amani na Imanikwa kuwatuhumu walimuua Uhuru.˗ Amani kupanga safari kutoka Ulitima kwenda Somokomo ili kumtafuta aliyemwua babuye˗ Chichiri Hamadi, kumfungisha jela Amu yake naYusuf kunyakua shamba lao.˗ Amani kwenda Sokomoko kumtafuita aliyemwibia mswada wake.˗ Matuko Weye kuwa na kisasi na serikali ambayo ilimtekeleza ndiposa anajitosa jukwaani na kumkashifu Nasaba Bora.˗ Nasaba Bora kuwa na kisasi na mhariri waTomoko Leo kwa kutoweka picha yake katikagazeti hilo.

(10 x 1 = 10) (b) Usaliti.

Ni hali ya kutenda kinyume na matarajio ya mtu,kundi au jamii fulani. Mtu pia huweza kuisalitinafsi yake kwa kwendakinyume na hadhi, falsafa au msimamo wake.

˗ Viongozi wa Tomoko huru kuwasaliti raia kwakuriithi na kuendeleza mfumo kandamizi wawazungu.˗ Akiwa katika Wizara ya Ardhi na makao Nasaba Bora anaficha faili za raia badala ya kuwatolea huduma. Analotaka ni

mlungula kutoka kwao.˗ Nasaba Bora anausaliti uaminifu wa wafanyakazi wake kwa kuwafuta hatakwa tendo jema kama vile kunadhifisha mazingira

yake kwa majununi.˗ Nasaba Bora anamsaliti mkewe Bi Zuhura kwa kushirikiana kimapenzi na Lowela na kumwachaBi. Zuhura upweke.˗ Nasaba Bora anamsaliti bintiye, Mashaka kwa kuwa mpenzi wa Lowela, jambo ambalolinamfanya Ben Bella kuuvunja

uchumba wake na Mashaka.˗ Nasaba Bora anausaliti wajibu wake kama mzazi kwa kumtupa mtoto wake Uhuru kwa Amani.˗ Utawala wa mwingereza na ule wa Tomoko. Uhuru unazisaliti juhudi za mashujaa kama vile Matuko Weye.˗ Wauguzi wanausaliti wajibu wao kwa wagonjwa kwa kutowatibu wanahiari kupiga zohali na kufuma fulana badaya ya

kumtibu Uhuru.˗ Wanakijiji cha Baraka wanamsaliti Imani kwakutomjali hata anaponusurika kuchomewa nyumbani mwao, hawasemi lolote

kupinga tendohilo.˗ Wazazi wa Fao wanausaliti wajibu wao kama walezi kwa kuendeleza udanganyifu katika mtihani - wanamlipia Fao

kufanyiwa mtihani.˗ Fao anausaliti wadhifa wake kwa mwanafunziwenzake kwa kuhusiana naye kimapenzi nabaadaye kumtunga mimba.˗ Viongozi wa Sokomoko kumsifu Nasaba Borabadala ya kumkosea.˗ Wanafunzi wenzake Amani kumfichia karatasi yauchochezi.˗ Nasaba Bora anamwona mwanawe Madhubutikama msaliti kwa kuikataa ajira.˗ Nasaba Bora kumtaliki mkewe kwa tuhuma zisizo na uthabiti.˗ Michelle kumsaliti major Noor kwa kuvunjauchumba.˗ Chwechwe Makweche kutowasiliana na familiayake. (zozote 10 x 1 = 10)

Tamthilia: Mstahiki Meya.(a) Muktadhaa wa dondoo.˗ Sauti ya wafanyi kazi.˗ Wakimwelekezea meya.˗ Walikuwa nje ya afisi ya meya.˗ Wanadai kutendewa haki walizopunjwa na utawala wa meya. (al 4)(b) Tafsili haki, jasho na damu.˗ Ukosefu wa matibabu mwafaka.˗ Umaskini.˗ Njaa˗ Mishahara duni na hailipwi kwa wakati.˗ Mazingira chafu.˗ Vitisho vya kufutwa kazi wakigoma.˗ Kupigwa na askari wanapogoma. (5 x 2 = 10) Kutaja 1 kufafanua 1

(c) Sifa za anaelekezewa kilio hiki.(i) Dhalimu - anawanyanyasa wananchi mf. mishahara duni.(ii) Mwenye ubinafsi.

Top grade predictor publishers Page | 281

Page 283: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Anajilimbikizia mali huku umma ukiteseka. Watoto wake wanasomea ng‘ambo. Mkewe apata matibabu ng‘ambo.

(iii) Laghai - adai dawa zinakuja na ni uongo. (vi) Mwenye kiburi na majivuno - ataka kila mtuamwite Mstahiki Meya. (v) Mbaguzi - anapendelea madiwani. (vi) Fisadi - Mpango wa kuuza fimbo ya meya. (3 x 2 = al 6)

5. (a) Uzungumzi nafsiya.˗ Siki akiwa ofisini mwake anatazama vitu mbalimbali pale kuzungumza pekee yake.˗ Meya akiwa nyumbani - anapoonamayai na kuyaita viyai.˗ Meya anapokuwa ofisini mwake.˗ Siki baada ya kupigiwa simu na Tatu mwakilishi wa wafanyakazi.˗ Meya ofisini mwake baada ya Diwani III kuondoka.˗ Dida akiwa nyumbani mwa Meya.˗ Siki - Kitu kichungu kwa Meya. Mf. Meya na Siki hawaelewani.˗ Waridi - Ua la kupendeza linalonyauka mapema. Anakata tamaa mapema.˗ Mji wa shuara - Humaanisha shwari. Ndege zinatua huko.˗ Bili - Orodha ya malipo ya bidhaa zilizochukuliwakwa mkopo. Mf. Bili anamwachia Meya bili ya kulipa baada ya kumpa

ushauri mbaya.(8 x 1 = 8)

(Mwanafunzi aonyeshe uzungumzi nafsiya)(b) Majazi.

(i) Kheri - Hali ya amani, neema, baraka, afadhali yeye.(ii) Sosi - Kula chakula kingi

- Chanzo cha matatizo(iii) Siki - Kuwapa watu hamu ya kuendelea kuishi.(iv) Cheneo - Kitu kilichoenea, kilichotapakaa.(v) Kajifahari - Hoteli ya kifahari na hali ya juu.(vi) Mstahiki - Mtu mwenye haki ya kupata kitu.

Mifano yoyote 8(8 x 1 = 8)(c) Taswira˗ Picha ya Siki akiwa ofisini mwake akikagua vitu na kujisikitikia.˗ Picha ya mama Dadavuo kuingiia ndani ya ofisi ya daktari bila kuitwa na kitoto kilichodhoofika.˗ Taswira ya meya akila chakula kilafi.˗ (v) Dida kuiga namna Askari wanawafurahisha watu.˗ Mkutano wa meya na mhubiri.˗ Taswira ya mji wa cheneo ulivyo mchafu.˗ Taswira ya hospitalini. (zozote 7 x 1 = 7)6. (a)˗ Alipofika huko aliachwa na basi iliyokuwaikiendesha na dereva mzungu.˗ Maswali ya kukera chuoni - wanavaa nguo, wanaishi mtoni, kwa nini yeye mweusi n.k˗ Chuoni waafrika walinyimwa alama na wazungukupendelewa.˗ Mwafrika akivuka barabara kama taa nyekundualishikwa na kuchukuliwa hatua kisheria.˗ Walizi kumfuata Fikirini na waafrika wengine na kuwashuku kuwa majambazi.˗ Wanaume weusi hawapewi shahada vyuoni wanang‘ang‘ania kula kalenda.˗ Fikirini kufikishwa mahamakani na kutozwa faini kwa kusahau kufunga zipu baada ya haja.˗ Wazungu waliona waafrika kuwa watu wasiojua kusoma.˗ Mzungu kumtazama mwafrika kwa jicho la chuki mkahawani.˗ Waafrika weusi waliwachukia. (zozote 10 x 1 = 10)

(b)˗ Maelezo ya mwandishi.˗ Akimrejelea Lucy˗ Hakuwa na hamu ya masomo hata kazi.˗ Alikuwa na tamaa ya kwenda uingereza. (zozote 4 x 1 = 4)

(ii) Sifa za Lucy.˗ Mzembe˗ Mbinafsi˗ Mrembo˗ Mvumilivu˗ Mpenda anasa˗ Mwenye tamaa˗ (vii) Mwenye chuki (zozote 6 x 1 = 6)

Top grade predictor publishers Page | 282

Page 284: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

7. (a)(i) Ngoma - uchezeshaji wa viungo vya mwili kuambatana na mdundo au mwondoko maalum.

Ngomezi - Kuwasilisha ujumbe kupitia milio ya ngoma badala ya midomo,(ii) Ngomezi za kisasi.˗ Filimbi˗ Kengele˗ Kamsa / milio ya ambulenzi˗ Toni za rununu˗ King‘ora cha polisi ama cha nyumba (zozote 4 x 1 = 4)(b)(i) Miviga - Sherehe za kitamaduni ambazo

hufanywa na jamii yoyote katika kipindi maalumcha mwaka.

(ii) Sifa za miviga.˗ Huandamana na matendo au kanuni Fulani (viviga)˗ Huandamana na matendo fulani.˗ Huonywa na watu mahususi.˗ Huandamana na utoaji wa mawaidha.˗ Huvalishwa maleba.˗ Hufanyiwa mahali maalum.˗ Huambatana na utamaduni wa jamii husika. (zozote 4 x 1 = 4)(c)˗ Kukuza kipawa cha uigizaji. miongoni mwa watoto.˗ Kukuza ubinifu.˗ Kukashifu matendo hasa ya watu wazima˗ Kutambulisha na kusawiri falsafa ya jamiikuhusu malezi.˗ Kuwapa watoto ujasiri / ukakamavu.˗ Kukuza utangamano.˗ Huimarisha kumbukumbu.˗ Huburudisha (8 x 1 = 8)

Top grade predictor publishers Page | 283

Page 285: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

KAUNTI NDOGO YA KEIYO KUSINI (KESO) KISWAHILI KARATASI YA KWANZA PRE - MOCK INSHA

1. Andika barua kwa mhariri wa gazeti la mwangaza ukijadili sababu za ongezeko la ukosefu wa usalama nchini na kwenyemipaka ya nchi yetu.

2. Ufisadi umekuwa saratani katika nchi nyingi zinazoendelea barani Afrika.Jadili janga hili na upendekeze jinsi ya kukabiliananalo.

3. Onyesha hatua ambazo serikali ya Kenya inachukua katika kukabiliana na matumizi ya dawa za kulevya miongoni mwavijana.

4. Amani haiji ila kwa ncha ya upanga. Thibitisha kauli hii huku ukizingatia hali ilivyo nchini Kenya.

KEIYO KUSINI (KESO) 2016 KISWAHILI LUGHA PRE - MOCK KARATASI YA PILI

1. UFAHAMUSoma taarifa ifuatayo kasha ujibu maswali

Katika karne hii, juhudi zetu za kushughulikia changamoto za usalama zimeimarishwa zaidi kwa matumizi ya tekonolojia. Kuimarika klwa ufugaji miolango, matumizi ya vifaa vya kamsa, njia za kisasa za utambuzi, utafiti na uchuguzi wa kiuhalifu ni baadhi tu ya maendeleo yaliyoafikiwa na jamii ili kujihami. Sasa hivi huduma zinazotolewa na polisi kwa umma zimewafikia watu kwa njia rahisi. Hata hivyo, maendeleo haya ya teknolonjia yamehusishwana hatari fulani. Baadhi ya mifumo inaweza kutumiwa vibaya au ikawa na athari zinazotarajiwa kama vile kumdhuru mtu asiyekusudiwa.

Matumizi ya sayansi na tekonojia katika kuukabili ualifu wa jinasi si suala geni. Tangu kuvumbuliwa kwa kikosi cha askari polisi klatika karne ya kumi na tisa, utendakazi na maendeleo yake yamepimwa kwa kigezo cha kuimarisha matumizi ya teknolojia ya kisasa katika harkati za utoaji huduma kwa raia. Tumeshuhudia maafisa wetu wakitumia vifaa vya utambuzi kwa alama za vidole na matumizi 7ya vifaa visivyotumia nyaya katika mawasiliano. Lakini kutokana na kuimarika kwa ubunifu wa wahalifu, pana haja ya vikosi vyetu kijipiga msasa zaidi ili kuzuia au kuzima kabisa njama za kihalifu. Matumizi ya teknojia katika kuzuia visa vya uahalifu yameanza kukubalika na wanajamii kama sehemu ya maisha yao. Leo hii kuna vifaa vya kuchunguza iwapo mtu ana kifaa chochote cha chuma hususan silaha ndogondogo wakati aingiapo kwenye kumbi za umma au anapoabiri magari ya uchukuzi ya umma. Kifaa hiki kimezuia pakubwa uhalifu wa utekaji nyara uliokuwepo awali hasa miongoni mwa magari ya umma mijini. Aidha vifaa vya kudhibiti kasi ya magari vimeimarisha usalama barabarani. Uwekaji wa taa za umeme kwenye vuinga vya miji huuhakikisha umma usalama wao na vilevile kuchangia kuwafichau wavamizi.

Kamera za ofisi katika za kibinafsi, majengo ya umma na kwenye baadhi ya barabara za miji mikuu huwa hifadhi ya matukio anuwai na hivyo kuwa muhimu wakati wa kesi zinazohusisha uvamizi au uhalifu mwigine wowote. Vifaa vidogo vinavyotumia mawimbi ya kielektroniki na ambavyo hutiwa mifukoni ni muhimu wakati wa mawasiliano ya dharura. Huwasaidia sana watu wenye umri mpevu ambao huwa ni windo jepesi la wahalifu. Aidha huwapa hakikisho la kuwa huru kyaendesha maisha yao kinyume na wali ambapo maisha yao yalitawaliwa na unyanyapaa baada ya kusikia au kuhusika visa vya uhalifu. Kwa sasa teknolojia inayotumia miale kufichua silaha haramu zilizofichwa au kumtambua mtu anayenuia kupenyeza mihandarati kwa kumeza vindoge inagonga ndipo. Njia hii hufanya hivi bila kumkaribia mshukiwa na kuepuka hali ya kuahatarisha maisha ya afisa wa ukaguzi. Aidha huwezesha mshukiwa kutambulika mara moja na hatari husika kutandarukiwa bila ajizi.

Licha ya ufaafu wa teknolojia ya kisasa katika kuzuia au kuzima kabisa visa vya uhalifu, atahari zake hasi zimeweza kushuhudiwa. Kwa mfano matumizi ya vifaa vya kwenda kwa kasi kuwafuata wahalifu yanaweza kuwa hatari kwa mtumiaji, mshukiwa au hata raia asiyehusika.

Kifaa cha kuzima kasi ya magari kwa mbali kinaweza kulisimamisha gari ghafla na kusababisha maafa makubwa. Matumizi ya mwangaza mkal;I au gesi kama njia ya kumdhibiti mhalifu yanaweza kuwa kusababisha ulemavu wa kuona anu hata kupumua. Baadhi ya vifaa ambavyo hutumia miale vinaweza kuwa na athari ya kudumu na hata kusababisha maradhi ya kansa. Inapendekenzwa kuwa matumizi ya teknolojia ya kuangamiza uhalifu yazingatie haki za binadamu. Aidha njia husika iwe nafuu, pawe na uazi na uwajibikaji katiika mmatumizi yake na vilevile matumizi yake yazingatie maadili. Maswali

(a) Kwa mujibu wa kifugu wahalifu bado wanazizidi nguvu asasi za kiusalama katika jamii. (alama 1)(b) i) Onyesha jinsi teknolojia imeimarisha usalama katika sekta ya usafiri. (alama 2)

ii) Ni kwa njia gani teknolojia imesiadia kupatikana kwa haki? (alama 1)(c) Eleza manufaa ya kutumia miale Kama njia ya kuzuia uhalifu. (alama 2)(d) Taja mambo mawili ambayo yanafaa kuiongoza jamii wakati wa kuteua mbinu ya kuukabili uhalifu. (alama 2)(e) Eleza changamoto zinazotokana nateknolojia ya kisasa katika uhalifu. (alama 3)(f) Eleza maana ya msamiati huu ulivyotumiwa kwenye kifungu. (alama 3)

i) Viunga

Top grade predictor publishers Page | 284

Page 286: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

ii) Gonga ndipo iii) Hasi

2. UFUPISHO(Alama 15) Soma makala yafuatayo na ujibu maswali.

Mojawapo kati ya misingi na nguzo za maendeleo ulimwenguni ni viwand.Viwanda ni muhimu kwa kuwa ndivyo vinavyoigeuza malighafi yanayopatikana na kuwa bidhaa zinazoweza kutumiwa na watu.Katika nchi zinazoendelea,ambazo hazina uwezo mkubwa wa mitaji,viwanda vinavyoimarika ni vile vidogo.Hivi ni viwand ambavyo huhusisha amali za mikono.Kuimarika kwa viwanda hivi vidogo kunatokana na sababu mbalimbali.

Nchi zinazoendelea huwa na masoko finyu hasa kwa kuzingatia uwezo wa ununuzi wa wanaulengwa na bidhaa za viwanda.Katika msingi huu,viwanda vikubwa vitawiwa vugumu kufanya biashara katika mazingira ambako masoko yake ni finyu au utashi wa bidhaa zake sio mkubwa.Viwand pia vina uwezo wa kuwaajiri wafanyakazi wengi hasa kwa kuwa havina uwezo wa kugharamia mashine.Uajiri huu wa wafanyakazi wengi hasa kwa kuwa havina uwezo wa kugharamia mashine.Uajiri huu wa wafanyakazi wengi hasa kwa kuwa havina uwezo wa kugharamia mojawaapo wa matatizo sugu.Tofauti na mataiafa ya kitasnia,mataifa yanayoendelea hayana mifumpo imara ya kuwakimu watbu wasiokuwa na kazi.Utegemezi wa jamaa wanaofanya kazi kwa hivyo unakuwa nyenzoya kuyamudu maisha.

Kuanzisha viwanda vidogo vidogo hakuhitaji mtaji mkubwa tofauti na viwanda vikubwa.Hali hii inasahilisha uwezekanao wa watu wengi kujasurisha shughuli yoyote ile.Samabamba na suala hii ni kuwa ni rahisi kujaribisha bidhaa mpya kwa mapana,kwa mfano kama ilivyo kwa viwanda vikubwa,pana uwezekano wa kupata hasara kubwa.Huenda utashi wa bidhaa hizo uwe mdogo ukilinganishwa na ugavi wa bidhaa zenyewe.

Majaribio mazuri huwa ni kwa kiwango kidogo.Kuwepo kwa viwanda vidogo huwa ni chocheo kubwa la usambazaji wa viwanda hadi maeneo ya mashambani.Hali hii inahakikisha kuwa nafasi za ajira zimesambazwa nchini hali ambayo inasaidia kuhakikisha kuwa pana mweneo mzuri wa kimapato nchini.Mweneo huu wa mapato unachangia katika kuboresha uwezo wa kiununuzi wa umma.Huu ni msingi muhimu wa maendeleo.Upanuzi na ueneaji wa viwnada vidogo vidogo ni msingi mkubwa wa kujitegemea kiuchumi.Aghalabu viwanda vikubwa huegemea kwenye mitaji ya mashirika ya kimataifa na huwa msingi wa kuendelezwa kwa utegemezi wa kiuchumi.

Licha ya faida zake, ueneaji au kutanda kwa viwanda hukabiliwa na matatizo mbalimbali.Tatizo la kwanza linahusiana na mtaji.Lazima pawepo na mbinu nzuri za kuweka akiba ili kuwa na mtaji wa kuanzisha biashara.Njia mojawapo ya kufanya hivi ni kwa kutegemea masoko ya mitaji amabyao katika mataifa mengi hayaendelezwa vyema.Inakuwa vigumu katika hali hii basi kupata pesa kwa uuzaji wa hisia kwenye masoko hayo.

Tatizo jingine linalotokana na ukosefu wa mikopo ya muda mrefu ya kibiashara kwa wenye viwanda vidogo vidogo.Mikopo ya aina hii huwa muhimu hasa pale ambapo anayehusika ana mradi wa kununua vifaa kama mashine.Mikopo ya muda mfupi inayopatikana kwenye mabenki huweza kuwashinda wengi kutokana na viwango vya riba kuwa juu.Haimkiniki kwa viwanda kama hivi kukopa kutoka nje ya nchi zao.Juhudi za kuendeleza viwanda hivi huweza pia kukwamizwa na tatizo la kawi kama vile umeme.Gharama za umeme huenda ziwe juu sana.Isitoshe,si maaeneo yote ambayo yana umeme.Matatizo mengine huhusiana na ukosefu wa maarifa ya kibiashara,ukosefu wa stadi za ujasiriamali au kuwa na ujasiri wa kujiingiza kwenye shughuli Fulani na miundo duni.

Ili kuhakikisha kuwa viwanda vimekuzwa na kuendelezwa pana haja ya kuchukua hatua kadha.Kwanza,kuwepo na vihamasisho kwa wanaoanzisha viwanda vidogo vidogo kama vile punguzo la kodi,kuhimiza kuanzishwa kwa viwanda vidogo vidogo na kusaka kuyapanua masoko kwa ajili ya bidhaa zinazozalishwa na viwanda hivyo.Aidha kuanzishwa na kupanuliwa kwa taasisi za kuendeleza upanuzi huo.Pana haja ya kuwekeza kwenye rasilimali za kibinadamu ;kuelimishwa na kupanua uwezo wao wa kuyaelewa mabo mbalimbali.Miundo msingi haina budi nayo kupanuliwa na kuimarishwa.Upo umuhimu pia wa kuongeza kasima inayotengewa maendeleo na ukuzaji wa viwanda ili kuharakisha maendeleo yake pana umuhimu wa kupambana na ufisadi unaoweza kuwa kikwazo kikubwa.Inahalisi kutambua ikiwa viwanda vitatand nchini,uchumi wan chi nao utawanda.

a) Kwa maneno 65-75,eleza ujumbe muhimu unaopatikana katika aya ya pili hadi ya nne.(alama 8,1 utirirko)b) Kwa maneno(50-55) fafanua mabo yanayotinga ukuaji wa viwanda.(alama 5,1 utiririko)3. MATUMIZI YA LUGHAa) Tofautisha kati ya sauti (i) /e/(ii)/u/ (alama.2)b) Taja vigezo vitatu vya kuainisha sauti za irabu. (alam.3)c) Tunga sentensi kwa kutumia kibadala cha kiasi jumla. (alama.2)d) Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli zilizo mabanoni. (alama.2)

i) (-la)(kauli ya kutendeshea)ii) Toa (tendeka)

e) Tambulisha aina za nomino katika sentensi ifutayo. (alama.2)Umma katika Jamhuri yetu unataka haki ya kila mja itekelezwe.

f) Badilisha katika usemi wa taarifa"Tutakusaidia ikiwa utashirikiana nasi.‖afisa wa usalama akasema..

g) Tunga sentensi moja udhihirishe maana mbili za neon hili.Rudi. (alama.2)h) Bainisha aina za shamirisho katika sentensi ifuatayo. (alama.2)

Mzalendo amemwandikia mhariri barua.i) (a) fafanua dhana ya chagizo. (alama.1)

(b) tolea mfano kwa kutunga sentensi. (alama.3)j) Akifisha. (alama.2)

mmea wa pareto ni muhimu mno nchini akaema afisa wa kilimo.

Top grade predictor publishers Page | 285

Page 287: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

k) Andika katika wingi. (alama.2)Huzuni aliyokuwa nayo yatima huyu ilinitia kite na imani.

l) Tofauitisha kati ya(i) Mwenye macho haambiwi ona. (ii) Mwenyewe haambiwi ona.

m) Rekebisha sentensi hii kwa kuiandika upya (alamal.2)Mbuzi aliyenunulia alikuna nazi vizuri

n) Andika upya kwa udogo-wingi. (alama.2)Bahari zote huhifadhi samaki anuai.

o) Tunga sentensi iliyo na vishazio viwili huru. (alama.2)p) Andika upya sentensi zifuatazo kwa kutumia jina linguine lililo na maana sawa na lililopigiwa mstari. (alama.3)

(i) Ni nadra kumpata msichanaasiyetoboa masikio siku hizi. (ii) zahama ilizuka wafanyikazi walipogoma. (iii) Azma ya kila mwanafunzi ni kupasi mtihani.

q) Andika kinyume cha neno lilopigiwa mstari. (alama.1)Mhalifu huyu alitungamimba.

r) Bainisha matumizi yak i katika sentensi ifuatayo. (alama.1)Jua limekuwa likiwaka.

s) Tumia kivumishi cha-a unganifu pamoja na nomino ya ngeli ya I-I kutunga sentensi. (alama.1)t) Tumia kistari kifupi katika sentensi sanifu za Kiswahili ili zilete maana mbili tofauti za kimatumizi. (alama.2)4. Isimu jamiia) Eleza sababu zozote sita zinazochangia katika kufa kwa lugha. (alama.6)b) Taja mitazamo mine kuhusu chimbuko la lugha ya Kiswahili. (alama.4)

Top grade predictor publishers Page | 286

Page 288: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA GATUZI DOGO LA KEIYO KUSINI (KESO) - 2016

102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 FASIHI PRE - MOCK SEHEMU YA A: MSTAHIKI MEYA

1. Lazima―Inatosha kumkunja kila aliye chini yake kama ua la wakati wa alasiri‖a. Eleza muktadha wa dondoo hili ? (alama 4)b. Onyesha tamathali ya usemi iliyotumiwa. (alama 2)c. Kwa kurejelea tamthalia nzima eleza mbinu za kiutaawala alizotumia Meya kudumisha utawala wake (alama 10)d. Eleza sifa nne za mzungumaji (alama 4)

SEHEMU YA B: RIWAYA“Kidagaa Kimemwozea” - Ken WaliboraJibu swali la 2 au 3

2. ―Tembo itakuua ndugu yangu. Punguza ulevi bwana. Siku hizi naona aibu kukuita ndugu yangu‖a. Fafanua muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b. Wahusika hawa wawili ni kama shilingi kwa ya pili. Thibitisha. (alama 16)

3. Dhihirisha umuhimu wa mbinu zifuatazo katika Kidagaa Kimemwozea.i. sadfa (alama 10)ii. mbinu rejeshi (alama 10)

SEHEMU YA C: USHAIRIJibu swali la 4 au 5

4. Soma shairi kisha ujibu maswali yafuatayo.Walimwengu nambieni,Mie nipate fahamu, Hawamo vijana wetu, Meingilia yapi mambo, Hulkazo hawa wana, tewengu zatia waja, Sampuli ya hivi viumbe, Lipi jama uelimisha.

Watembea kwa vishindo, Mirindimo ardhi tia, Ole wako kikutana, nao hawa Masultani, Takupita ja risasi, vikumbo nusura upigwe, Wanadi maisha ni shoti, Wapapie kwa haraka.

Viatu vya chuchumia, ati mbingu wafikila, Magotini vyabisha hodi, waungwana waole, Vishati vya kuninginia, Matumboni ja kima, Waso haya wana haa, Wana mji wao ati.

Kikutana nao njiani, Manywele taambani, maashiki wa rasta, Bobmale waabudu, ndio jagina wao wana, Ziki lao la kisasa, lashangaza wengi waja, Sautiyo maskio, Kusikiza ole wako, tajipata umepokewa,

Na hapa jahazi, langu ufukoni lafikile, Enyi vijana pilika, Ya kisasa kufuata, Bila hadhari si haki, Tuchuje yenye tijara,

Top grade predictor publishers Page | 287

Page 289: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Ya izara tupuzile, Heshima tudumisha, tamaduni tuienzi.

Maswali a) Kwa kutoa mifano, eleza mambo anayolalamikia mshairi. (alama 3)b) Eleza ukitoa mifano namna utungo huu umezingatia kaida za ushairi kimuundo. (alama 3)c) Andika mfano mmoja wa;i) Mistari mishata. (alama 2)ii) Msitari kifu. (alama 2)d) Eleza namna uhuru wa mshairi ulivyodhihirika katika utungo huu. (alama 4)e) Andika ubeti wa nne kwa lugha tutumbi. (alama 4)f) Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumika katika shairi. (alama 2)i) Libasiii) Tijara

5. Soma shairi kisha ujibu maswali yafuatayo.

Kama wanipenda sana, wangu wamtakiani? Sitaki la kupishana, kama hilo samahani, Penzi watu kupendana, twaingiliana nini? Naepuka kupitana, nakusihi kwa hisani, Wanipendani kidada, mke wangu wakuganya.

Mke wangu nakuganya, hakuwepo barazani, Vipi mambo wachanganya, si mwizini wewe kwani, Sije mambo hutafanya, siri tia mvunguni Na bwanako wamfanya, huadhaninuhaini? Kupenda kwa hilo choyo, yoyo halikosekani.

Halikosekani yoyo, fikiria mara thani, Waama nakupa onyo, heri tuache utani, Kuzidi ni mtawanyo, nitajiweka pembeni, Lau hutaposa moyo, hubanduka ukumbini, Sidhani unanipenda, mke wangu sitamwacha.

Ukimpenda nipende, simkere mhisani, Ukija mweke upande, simfanye kasirani, Kitaka chake kipande, acha inda hadharani, Sema naye umpende, upitie ardhini, Panya huvuvia dada, nyama au punje kila.

Maswali a) Toa kichwa mwafaka cha shairi ulilosoma. (Alama 1)b) Shairi hili ni la aina gani? Fafanua. (Alama 2)c) Eleza ujumbe wa mshairi katika ubeti wa pili. (Alama 3)d) Andika ubeti wa tatu kwa lugha ya nathari. (Alama 4)e) Taja mbinu zozote tatu za lugha katika shairi hili na uzitolee mifano. (Alama 3)f) Eleza muundo wa shairi hili. (Alama 5)g) Nakili mloto wa ubeti wa pili kisha ueleze maana yake. (Alama 2)

SEHEMU YA D: HADITHI FUPI“Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine”- Ken WaliboraJibu swali la 6 au 7

6. Jadili vile mwandishi amefanikisha anwani yake katika hadithi ya ―Shaka ya Mambo‖. (Alama 20)7. (i) ―Nani basi atamwambia vingine na yeye ameiona kwa macho yake ingawa ndotoni?‖

a) Eleza muktadha wa dondo hili. (Alama 4)b) Onyesha mbinu iliyotumika katika dondoo. (Alama 2)c) Kwa kurejelea hadithi hii, fafanua athari za tamaa. (Alama 6)(ii) Kwa kurejelea hadithi ya ―Mwana wa Darubini‖ eleza dhuluma zinazomkumba mtoto wakike . (Alama 8)

SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZI8. a) Eleza sifa tano zinazotumika katika uainishaji wa nyimbo. (Alama 10)

b) Jadili njia ambazo jamii ya kisasa hutumia ili kudumisha fasihi simulizi. (Alama 10)

Top grade predictor publishers Page | 288

Page 290: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 FASIHI MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

SEHEMU YA A - Tamthilia Msthiki Meya

1. a. Eleza muktadha wa dondoo hiliDiwani 3 anazungumza (alama 1) na siki (alama 1) mahali ni kwa Diwani wa tatu (alama 1) Diwani anaelezea nguvualizokuwa nazo Meya kama vile Mayors Act na Riots Act (alama 1)(jumla alama 4)

b. Onyesha tamathali ya usemi iliyotumiwa)Tashbihi (alama 1) …… kama…. (alama 1)

c. Kwa kurejelea tamthalia nzima eleza mbinu za kiutaawala alizotumia meya kudumisha utawala Tenga utawale- anamtenga Diwani 3 na maamuzi muhimu ya Baraza Vitisho anatisha kuwafuta kazi wafanyakazi Vibaraka Diwani 1, Diwani 2 na Bili wanaendeleza sera zake pasipo kujali matokeo ya baadaye kama kukubali kutumia

nguvu Mapendeleo - anamwaajiri mhazili ilhali hakustahili kupata kazi hiyo. Kujilinganisha na mataifa madogo anasema Cheneo ni mji mkubwa kuliko Shuara ilhali Shuara ni mji mdogo sana Unyanyasaji- anawatoza wananchi, wafanyakazi, kodi Askari / vyombo vya dola- anawatumia askari kuwapiga wafanyakazi kwa kutumia risasi, vitoa machozi na virungu Ahadi a uongo - anadanganya kuwa dawa zitafika baada siku tatu Vishawishi anawaongezea madiwani marupupu na kuwaongeza walinda usalama mshahara kwa asilimia ishirini ili wazidi

kumhudumia Dini- anmtumia mhubiri kuendeleza madai ya uongo kwamba yeye ni mtu mzuri Ufisadi/hongo anawapatia marafiki zake vipande vya ardi Propaganda - anatumia vyombo vya habari kucheza nyimbo za uzalendo Anafanya wananchi kuzidi kuwa wategemezi kwa mfano mamake Dadavuo Kaole Hoja zozote 10x2= 20d. Eleza sifa nne a mzungumzaji Mtetezi wa haki anasema iwapo mama mwuuza mboga anatozwa basi na madiwani watozwe kodi pia Amewajibika Mshauri- anamweleza Meya kuwa vigumu kuwaongezea mshahara madiwani ilhali kuna siku tatu tu ambazo zimesalia katika

mwezi Mtambuzi Mwenye busara anatambua kuwa baraza lina nakisi na kutowatoza madiwani kodi kutaongeza nakisi hiyo Mwenye subira / mvumilivu Mzalendo halisi - anahofia kuwa mikopo kutoka nje itapagazia nchi deni Jasiri -japo anakubali maamuzi ya Meya anaonekana akimpinga Meya Meya Mwenye bidii- anapigania haki za wanyonge Mwenye heshima Hoja 4 x 1 = 4

SEHEMU YA B: RIWAYAKidagaa Kimemwozea - Ken Walibora

2. ―Tembo itakuua ndugu yangu. Punguza ulevi bwana. Siku hizi naona aibu kukuita ndugu yangu”a. Fafanua muktadha wa dondoo hili. Mtemi Nasaba Bora Anamwambia kakae Mwalimu Majisifu wakati alipomtembelea kwake (Nasaba Bora) Anakaribishwa kwake na Zuhura mke wa kakake Mwalimu majisifu na Mtemi Nasaba Bora wameketi ukumbini wamenyamaziana Mtemi anamuuliza nduguye kwa nini hakuhudhuria sherehe ya sikukuu ya wazelendo. Majisifu anasema alikuwa amekwenda ‗ibada‘ yaani ulevini ambapo Mtemi anaanza kumshauri aache ulevi.

Alama 4x1 = 4b) Wahusika kuwa kama shilingi kwa ya pili Ndugu hawa wawili wanafanana Japo baba yao alikuwa kasisi, wote wawili wanaasi dini. Majisifu alighairi kusomea upadre alipokwenda ng‘ambo. Nasaba Bora anapewa Biblia na babake anapopata ajira ya kwanza

lakini haigusi hadi anapopata shida kidagaa kilipomwozea. Hawawajibiki kazini - Majisifu kwa sababu ya ulevi wake na ufisadi alipokuwa mhariri. Nasaba Bora alighushi vyeti badnia

na kuibia watu mashamba yao. Wote ni wapyoro - wanawatusi wake zao. Hawawaheshimu. Ndoa zao wawili zina mushkili - Majisifu kwa kushinda ulevini na kutomsaidia mkewe anajawa na upweke.

Top grade predictor publishers Page | 289

Page 291: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Wote si walezi weza - Majisifu hamsaidii mkewe kuwatunza wana walemavu. Mtemi haonekani kumshughulikia mashakaanaposababisha (Mtemi) ugonjwa …….

Wote wanabadili mienendo yao miovu. Majisifu alibadilika na kuanza kuonyesha wanawe vilema mapenzi - Mtemi anakirimaovu yake na kuacha barua ya msamaha ya kuachiliwa kwa Yusufu - kabla ya kujiua.

Wote ni wezi - Mtemi ni mwizi na mnyang‘anyi wa mashamba, mabibi na mali ya umma. Majisifu ni mwizi wa kitaaluma(miswada).

Wote walipenda sifa - majisifu anajidai kuwa mwandishi bora barani Africa ilhali aliiba mswada wa amani. Nasaba Boraalisambaza jina lake takribani kwa taasisi na maeneo yote ya umma k.v uwanja wa Nasababora, shule n.k, shule n.k.

(Hoja zozote 8x2 = 16)

3. Dhihirisha umuhimu wa mbinu zifuatazo katika kidagaa kimemwoea.i. Sadfa Imetumiwa kuendeleza ploti ya riwaya kwa mfano kukutana kwa Amani, Imani ambao wanatafuta kazi ilhali Bob DJ anajua

mahali kazi inapatikana kunafanya ploti kuendelezwa mbele kwa sababu hadithi inaelekezwa kwa Mtemi Nasaba naMwalimu Majisifu

Imani anampata Amani katika ziwa Mawewa mmoja akitaka kujitosa majini huku mwingine akitupa mswada wake sadfa hiiinaendeleza ploti kwani wote wanaelekea Sokomoko

Mtemi Nasaba Bora anahitaji Mfanyakazi na wakati huo huo Nduguye Majisifu anahitaji Yaya sadfa hii inachangiakuendeleza hadithi mbele ambapo Amani na Imani wanazungumziwa

Sadfa pia imejenga sifa za wahusika tunamwona Amani akiwa mkarimu anapompa Bob DJ shati wakati Bob DJ alihitaji nguo Sadfa ya Amani na Imani kutafuta kazi na Bob kujua kuliko kazi hiyo kunaonyesha Bob kuwa mtambuzi wa mambo mengi Kupitia sadfa maudhui ya uvumilivu yamejengwa pale ambapo zuhura anapoletewa kitoto uhuru pamoja na leso liloandikwa

sijamwona mwingine kama wewe. Amejua baba ya mtoto lakini anavumilia Sadfa ya Mtemi Nasaba Bora kusoma kitabu cha Samweli huku Bob DJ akiwa anamletea barua kutoka kwa Lowela

kunaonyesha Unafiki alionao Mtemi Hoja 5 x 2 = 10ii. Mbinu rejeshi Mwandishi ametumia mbinu rejeshi kutoa ufafanuzi kuhusu kasri la Mtemi, tunaambiwa kuwa kitambo kasri hili lilikuwa

zuri na sasa lilikuwa bovu Ufafanuzi huu pia unaendelezwa pia kuhusu mto Kiberenge. Tunafafanuliwa kwa nini maji hayo yaliogopwa kupitia mbinu rejeshi maudhui ya mapenzi yamejengwa ambapo mapenzi yasiyo ya dhati yamesawiriwa kati ya Majununi na

Michelle maudhui ya ukoloni yameangaziwa kupitia kisa cha wanaharakati kutupwa mtoni Sifa za wahusika zimeendelezwa kama vile Mtemi kuwa fisadi kutokana na alivyoficha faili. Mbinu hii imemfanya msomaji kutambua usuli wa Bob DJ Imesaidia kutambua uozo katika jamii kama vile kitendo cha Fao Kumringa mtoto wa shule na kufanyiwa mtihani Mbinu hii ambayo ni ya uandishi imeendeleza hadithi Uasi wa Mtemi Nasaba Bora pamoja na Majisifu umeangaziwa kupitia mbinu hii kwani tunaelezwa walivyoenda kinyume

na matakwa ya Baba yao aliyekuwa KasisiHoja 5 x 2 = 10

SEHEMU YA C: USHAIRI4. Ushairia) Mambo anayolalamikia mshairi

i) Mavazi yasiyofaa/viatuii) Nywele zinazoazhiliwaiii) Miziki wanayosikilizaiv) Namna wanavyotembea (Zozote 3x1 = 3)

b) Kaida za kishairi za kimuundo zilizozingatiwai) Beti - shairi limeundwa kwa beti sitaii) Vipande - Baadhi ya mishororo ina vipande viwili ilhali mingine ina kimoja iii) Vina - vina vinatofautiana kutoka mshororo mmoja hadi mwingine. iv) Mizani - haifanani katika mishoro v) Lina mishororo vi) Lina kimalizio alama 3

c) Mfano mmoja wa:i) Mistari mishata - vishati vya kuninginia (Mishata ni kama vishazi tegemezi yaani maana haikamiliki)ii) Kifu - Kipinga taitwa limbukeni

Tuchuje yenye tijara(Pia mistari yoyote iliyokamilika kimaana) (2x2 = 4)

d) Uhuru wa kishairii) Inkisari - Hulkazo badala ya hulka zao

- Nelimisha - nielimishe- Kipinga - ukipinga

ii) Utohozi - Bobmal - Bob maley

Top grade predictor publishers Page | 290

Page 292: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Fashoni - fashionSampuli - sample

iii) Tabdila - mie badala ya mimiiv) Kuboronga sarufi - ‗vikumbo nusura upigwe‘ badala ya ‗nusura upigwe kumbo‘

Tewengu zatia waja - zatia waja tewengu(Atambue mbinu, atoe mfano na aendeleze ifaavyo) (4x1 = 4)

e) Ubeti wa nne katika lugha tutumbiWanavaa viatu virefu kama kwamba wanataka kufikia mbinguni kwa kutaka kuonekana.Shati zao nazo huning‘inia tumboni mfano wa nyani. Ni vijana ambao hawana haya eti Kwa sababu wanao mji wao hawajuiKwa madai kwamba maisha ni yao. (Kila mshororo uwe na jawabu lake) (4x1 = 4)

f) Maana ya:i) libasi - nguo/mavaziii) Tijara - heshima / faida / adabu / manufaa

5. Ushairia. - Mke wangu nakuganya / nakukanya

- Sitamwacha mke wangu- Mke wangu. 1x1 = 1

b. Takhmisa / utano kwa sababu kila ubeti una mishororo mitano. 2x1 = 2c. - Anamuonya mpenzi wake asimseme mkewe

- Hakuwa walikopendeana na mpenziwe; anaiba pensi- Lazima ahifahdi siri- Kukiwa na wivu katika penzi kutakuwa na uadui. 3x1 = 3

d. Kweli nakuonya tuache mzaha, ukiendelza kuleta shida nitakuacha; lakini huwezi kunishawishi nitoke kwangu. Hata kamawanipenda sitamwacha mke wangu. 4x1 = 4

e) Mbinui. Maswali ya Balagha km Twaingilia nini?ii. Wangu wamtakiani?iii. Kinaya - ana mpenzi nje lakini anamheshimu mkeweiv. Takriri - km Mke wangu nakuganya

Halikosekani yoyo 3x1 = 3f) Muundo

i. Shairi lina beti nneii. Lina mishororo mitano katika kila ubetiiii. Vina vya ukwapi vinabadilikabadilika ilhali vya utao vinatiririka (-ni) isipokuwa kimalizio (ukara) iv. Kituo cha shairi hili ni sabilia / hakirudiwirudiwi v. Kila mshororo una mizani 16 (ukwapi 8, utao 8) vi Katika ubeti wa pili na wa tatu shairi linadhihirisha sifa za bahari ya pindu (maneno yaliyomalizia ubeti uliotangulia kuanzia ubeti unaofuatia)

g) Mloto ni mshororo wa pili katika ubeti k.v. vipi mambo wachanganya, si mwizi ni we kwani - anamwambia asimlaumumkewe kwa huyu dada kwani ndiye aliyemchukua mumem wa watu. 2x1 = 2

SEHEMU YA D: HADITHI FUPI 6. Ufaafu wa anwani Shaka ya Mambo

Esther kuwa na shaka iwapo kamata angempisha kiti kama Yule kijana ndani ya basi. Esther kuwa na shaka kama Grace atambadilisha zamu kama alivyoahidi. Abiria kuwa na shaka ikiwa matatu zilikuwa zinaingia katika uwanja wa ndege. Esther kuwa na Shaka ikiwa matatu zilikuwa zinaingia katika uwanja wa ndege. Esther kuwa na Shaka kama kamata anamjali jinsi yeye Esther anamjali. Esther ana shaka ikiwa kamata yuko kazini kwa vile hakuwa amemwona. Esther ana shaka ya kufika Dubai kwa muda Esther ana shaka na uhusiano Kamata na Grace Esther ana shaka iwapo Kamata ataweza kumpata na kumtambua mteja aliyeacha pesa. Esther kuwa na shaka kama angepata uhuru aliotaka wa kutoka uje kutembea Nairobi. Esther kuwa na shaka kama atapata nafasi ya kujifunza usekritari. Zozote 10x2 = 20)

7. i) muktadhaa. Maelezo haya yanatolewa na mwandishi wa hadithi (alama 1) anatoa maelezo kumhusu lucy (alama 1). Lucy alikuwa na

ndoto ya kwenda Uingereza (alama 1) maelezo haya yanatolewa ili kuonyesha matarajio makubwa aliyokuwa nayo Lucy yakwenda Uingereza jumla alama 4

b. Mbinu iliyotumika ni balagha (alama 2)c. Athari za tamaa Humfanya mtu kugombana kwa sababu tunaambiwa kuwa anayedhani Lucy alikuwa akiota basi wakikutana na Lucy

atamgombezanya Lucy anakuwa na kiu isiyoisha kama mtu aliye katika jangwa akitafuta maji Kuna kutokuwa na makini kwa kile unachofanya ndiposa Lucy hakufaulu vizuri wala hakujali

Top grade predictor publishers Page | 291

Page 293: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Lucy anaishia kuidharau nchi yake na kuipenda ya nche/ ughaibuni Humfanya mtu kuwa mwovu- lucy anafikiri kuhusu kufanya kazi za siri ikizidi anatamani kifo cha Crusoe Lucy anaishia kujipendekeza kwa yeyote anayekutana naye ili apate kupelekwa ng‘ambo Mtu anaishi katika maisha ya ndoto/ njozi Kujihusisha na uhusiano ambao unakaidi desturi za jamii kwa mfano lucy msichana aliyemaliza shule kujihusisha na Mzee

Crusoe Husababisha kifo Hoja 6 x 1 = 6d) Dhuluma zinazomkumba mtoto wa kike Kananda kukosa kuhudhuria masomo Kananda anaajiriwa akiwa bado mdogo sana Maria anapokea kichapo cha mbwa kila mara Bwana Mwatela alifika akiwa amechelewa Amekuwa chombo cha ngono- Bwana Mwatela anampachika mimba Kananda Mto wa kike anaweza kuwa mke wa pili pasipo yeye kukubali. Bwana Mwatela anamweeleza Kananda kuwa angemnwoa Wana wa kike wanatishiwa maisha yao kama vile kuuawa Wanafanywa watumwa kwa mfano Kananda anauzwa Kongo Hoja 4 x 2 = 8

SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZI8. a) Eleza sifa tano zinazotumika katika uainishaji wa nyimbo. (alama 10) Mahali pa uimbaji- huzingatiwa kwa kuwa kuna nyimbo za kazini, jandoni, harusini mazishini na kadhalika Wakati wa uimbaji - hulenga majira maalum au wakati wa matukio fulani. Mfano wakati wa tohara, wakati wa mazishi au

wakati wa harusi Madhumuni ya uimbaji - yaweza kuwa ni kuburudika, kuliwaza au kuelimisha Waimbaji pia huzingatiwa yaweza kuwa watoto, watu wazima wanawake au wanaume au mseto Ujumbe unaojitokeza unaweza kuwa mmoja au zaidi Jinsi ya utendaji nyimbo za densi hujumuisha miondoko mingi ya mwili Hoja 5 x 2 = 10b) Jadili njia zozote tano ambazo jamii ya kisasa hutumia ili kudumisha fasihi simulizi. (Alama 10) Utafiti - umeendeshwa ili kukusanya, kurekodi au kuchapisha tanzu za fasihi simulizi. Uandaaji wa tamasha za drama ambazo huendeleza utanzu wa maigizo n.k. Sherehe mbalimbali za kijamii huambatana na tanzu za fasihi simulizi k.v. nyimbo, maigizo kwa shere za arusi, mazishi

miongoni mwa tanau nyingine. Kupitia kwa mashindano na tamasha za muziki ambazo wanafunzi na makundi ya kijamii hushiriki kwa ushindani huendeleza

fasihi simulizi. Baadhi yajamii zinaendeleza utambaji wa moja kwa moja wa hadithi nyumbani hasa sehemu za mashambani. Vyombo vya habari kama vile redio na runinga vimetenga muda kwa kupeperusha vipindi vya utendaji wa baadhi ya tanzu za

fasihi simulizi k.v. michezo ya kuigiza na nyimbo. Makundi ya wasanii huendesha sarakasi ambazo huhifadhi vipera kama vile vichekesho na malumbano ya utani. Utambaji wa ngoma na nyimbo za kitamaduni katika hafla za kitaifa k.v. siku kuu za kitaifa kwa mfano ngoma za kigiriama

zinapochezwa siku kuu ya mashujaa. (zozote 5x2 = alama 10)

Top grade predictor publishers Page | 292

Page 294: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MUUNGANO WA PAMOJA WA SHULE ZA UPILI ZA NANDI MASHARIKI NA TINDERET 2016 KISWAHILI INSHA 102/1 PRE - MOCK KARATASI LA KWANZA MASWALI

1. Wewe unaomba kazi ya muda katika tume ya kupambana na ufisadi. Andika tawasifu yako utakayoiambatanisha kwenyebarua ya kuomba kazi.

2. Teknologia imetumika kufanikisha uhalifu. Jadili3. Tunga kisa kitakachodhihirisha maana ya methali ―mgema akisifiwa , tembo hulitia maji.‖4. Andika insha itakayoishia kwa:

…. Licha ya kufanikiwa nilifahamu kuwa hiyo ilikuwa hatua moja kati ya nyingine.

MTIHANI WA MUUNGANO WA PAMOJA WA SHULE ZA UPILI ZA NANDI MASHARIKI NA TINDERET 2016 KISWAHILI 102/2 LUGHA PRE - MOCK KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (ALAMA 15) Soma makala haya kasha ujibu maswali Wahenga walisema majembe yakikaa pamoja hayaachi kugongana. Methali hii imekaririwa kuonyesha migingano na migogoro baina ya viumbe vyenye uhai hasa adinasi.Hii ndio sababu kuna sheria ama amri ambazo hutuzunguka. Aghalabu mtu azikiukapo, anatwaliwa na hisi ya ndani sana inayoweza kupima thakili ifaayo.Mtu anaposhindwa, hisi hiyo humtawala siku nyingi na kumpa kujuta makosa yake kwa adabu kali inayomkabili. Kila jamii hutawalia kwa sheria au huwekewa mipaka ambayo unapoivuka unahesabika kuwa wafanyi inadi, ambapo ni sharti uadhibiwe.

Mambo haya hata hivyo yamekuwa hadithi siku hizi. Sheria zetu za leo zilibuka wakati wa ukoloni lakini zimefanyiwa marekebisho kadhaa, baada ya muda Fulani. Jamii zetu za kijadi hazikuwa zinaishi hobelahobela, zilitawaliwa na mwongozo Fulani. Miongozo ilitofautiana kutoka sehemu moja hadi nyingine. Miongozo hiyo ilitokea kwa wanajamii tangu wakiwa wadogo sana na hatua hiyo iliendelezwa hadi walipokomaa. Badala ya kuweka misahafu ya amri na sheria zenye kuandamishwa na adahabu za vifungo gerezani faini na nyingine nyingi, miongozo iyo ya kijamii ilitolewa kwa njia mwanana ya kuvutia nay a hamasa. Hapakuwa na haja kuumwa vichwa ili kuwenga vifungu hivyo akilini wala kuhifadhi majipande ya maneno ambayo yalikusudiwa kubeba uzito Fulani uliolingana na kosa lake. Uhifadhi wake ulitumia taswira mbalimbali za wadudu, wanyama, ndege, mazimwi au madude mengine, ambayo waliyapa uhuishi na kuchukua tabia za binadamu.

Ingawa sheria katika jamii za jadi zilitolewa kwa njia mwanana, isije ikaeleweka kuwa watu walikuwa huru kufanya watakalo. La hasha. Kulikuweko na chombo mwafaka cha kuadhibu wakosefu. Baraza la wazee kilikuwa chombo mahususi cha kulinda jamii hizo, hata hivyo kiongozi anayehusika hakulazimika kukesha akikariri misahafu ya sharia hakuhitajika kwenda na vidokezo vyovyote kwa madhumuni ya kuvirejelea kila inapobidi. Kwa upande wa mstakiwa, moyo wake haukupaa kwa ajili ya kiwewe cha yale yatakayofuata. Baada ya kuvutana, alihitajika kuwaomba rahi wazee kwa dhati na kutoa ahadi kutorudia kosa hilo. Hivyo kuwaacha wazee na rajua njema.

Ingawaje mashauri yalikuwa yakifanyika kwa njia isiyodhuru, hapakuwa na lelemama yoyote. Mambo hayakuchukuliwa kijuujuu. Ilibidi kutunza wakati barabara. Uropokaji haukuruhusiwa aswilani. Mkosaji wa aina hiyo alilipuliwa kwa adhabu. Mara mingi alitozwa faini ya mifugo, nafaka na hata kufanya kazi maalumu kama vile kurekebisha boma la mkutano, kusafisha josho na mengine.

Mahakama ya kijadi yalifikiria uwezo wa mtu binafsi. Aidha, adabu ilitolewa kulingana na uzito wa kosa lenyewe. Kwa kuwa ilibidi nidhamu itunzwe wakati mwingine, wazee wa baraza waliweza kubadilisha wale waliokusudiwa kubarizi. Kwa mfano, katika mashauri yaliyohusu ugoni-mtu na mkewe hawawezi kuwekwa pamoja katika baraza moja isipokuwa kwa nadra sana, baada ya kila suluhisho kukosekana

Katika kuendesha mashtaka, tanzu za fasihi simulizi, kama methali, zilitumika ili kumwangazia mhusika aelewe ubaya wa kosa lake, ili afikie majuto ya dhati na ajifunze kuwa raia mwema kama wengine.

Sheria hizo ziliweza kubadilishwa na kufanyiwa mabadiliko ya aina Fulani pindi inapobidi. Kwa mfano, mgeni anapojiunga na jamii, ilibidi baraza la wazee kumjulisha desturi, mila na sheria za jamii ile.

Top grade predictor publishers Page | 293

Page 295: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MASWALI a) Je mwandishi anaonyesha tofauti zozote kati ya mahakama ya kisasa na ya jadi? Fafanua (alama 4)b) Fasihi simulizi na sheria za jamii za jadi zimeoanishwa vipi? (alama 2)c) Chanzo cha umuhimu wa sharia katika jamii ni nini? (alama 2)d) Unafikiri kulikuwa na upinzani ama utetezi katika uendeshaji wa mashtaka wa kijadi? (alama 3)e) Kwa ufupu, eleza vile mkosaji alivyoadhibiwa kulingana na sheria za jadi (alama 2)f) Eleza maana ya maneno haya yalivyotumiwa katika taarifa (alama 2)

i.Misahafu ii.Lelemama

2. MUHTASARI (ALAMA 15) Kila jamii ina vipengele mbalimbali vya fasihi simulizi ambavyo vina tambulisha utamaduni wake. Jamii ya waswahili ina ngoma za aina mbalimbali kama chakacha, vugo, ngoma, marimba, chapuo, zumari n.k kuupa uai wimbo. Nyimbo ni tungo zenye mahati ya sauti inayopanda na kushuka ambazo huundwa kwa lugha ya mkato, matumizi ya picha na jazanda na mapigo ya silabi. Nyimbo hupangwa kwa utaratibu au muwala wenye mapigo ya kimsingi.

Shughuli nyingi za binadamu huandamana na nyimbo. Nyimbo huwa na mawazo mazito na hubuniwa kuonyesha uhusiano wa kijamii, migogoro, kukekeli, kubembeleza, kuliwaza, kutumbuiza na kuburudisha.

Kuna aina mbalimbali za nyimbo katika jamii za kiafrika.Kwanza, kuna nyimbo za kazi. Hizi zinaimbwa wakati wa kazi kuimiza watu kufanya na kuendelea na kazi. Kwa kawaida, nyimbo hizi zinaweza kuwa fupi ama ndefu, kutegemea kazi inayofanywa ama mtunzi wa wimbo wenyewe. Mdundo pia hutegemea kazi inayofanywa kwa kuwa baadhi ya nyimbo zina midundo ya haraka ambayo haiwezi kuandamana na utenda kazi Fulani.

Pia, kuna nyimbo za watoto au bembelezi ambazo huimbiwa watoto wadogo kwa sauti nyororo ili kuwabembeleza kulala ama kuwanyamazisha wanapolia. Wakati mwingi, pembelezi huimbwa na walezi ama akina mama. Mtundo wa aina hizi za nyimbo huwa ni wa taratibu na maneno yenye kumvutia mtoto anyamaze ama kulala.

Vilevile, kuna nyimbo za kuomboleza ama mbolezi ambazo huimbwa wakati wa matanga. Lugha na toni inayotumika ni ya kuhuzunisha na kusikitisha na maneno yake hutegemea Yule aliyeaga dunia na hadhi yake katika jamii. Mara nyingi, imani ya jamii kuhusu kifo hutihirishwa katika nyimbo hizi. Wakati mwingine, baadhi ya nyimbo hutaja sifa za aliyeaga na vitendo vyake vitakavyokosekana kutokana na kufa kwake.

Aidha kuna nyimbo za kisiasa ambazo hutumika kuendeleza sifa ama sera Fulani na wale walio uongozini, pia, hutumika na wale wanaodhulumiwa katika kupinga wale walio uongozini na sera zao. Kwanza hutumika na viongozi kueneza propaganda ama msimamo Fulani kuhusu uongozi wao na kuhamisisha wananchi. Pia, nyimbo hizi hutumika kuwasifu ama kuwakashifu viongozi. Pia, kuna nyiso, ambazo ni nyimbo zinazoimbwa wakati vijana wanapotiwa jandoni. Kwa muda mrefu, tohara imekuwa shughuli muhimu katika jamii nyingi za kiafrika kwa sababu ya kuchukuliwa kuwa hatua muhimu ya kutoka utoto na kuingia utu uzima. Nyingi zilitoa sifa kwa waliopitia hatua hiyo, wazazi pamoja na wasimazi wao. Ziliimbwa kwa dhamira ya kuwafanya wavulana kukikabili kisu cha ngariba; kutoa mafunzo kwa wavulana kuhusu majukumu yao mapya katika jamii baada ya kupitia hatua ile na kuwaonya dhidi ya kuogopa na matokeo ya woga wao kwa kisu cha ngariba.

Nyimbo katika jamii zina umuhimu mwingi ambao ni pamoja na kushauri, kuonya, kusifu, kuburudisha katika hafla mbalimbali na kudumisha utamaduni wa jamii husika kwa kuwa maswala yanayoshughulikiwa yanahusu jinsi mambo yanavyofanywa katika jamii wakati wimbo unaohusika ukitungwa. Nyimbo vilevile ni njia mojawapo ya kutoa ama kupitisha mafundisho ya jamii, malezi, na hekima kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Isitoshe, baadhi ya nyimbo hutumika kama njia ya kuhifadhi matukio muhimu ya kihistoria. Kuna nyimbo ambazo hushughulikia matukio kama ukombozi wa jamii nan chi kwa jumla.

MASWALI a) Eleza aina mbalimbali za nyimbo katika jamii za kiafrika (manemo 20-30) (alama 7)b) Eleza dhima ya nyimbo katika jamii (maneno 30-40) (alama 8)2. MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 40)a) Tofautisha sauti zifuatazo (alama 2)

/dh/ /sh/b) Eleza matumizi ya ‗ki‘ iliyopigwa mstari katika sentensi ifuatayo (alama 1½ )

Ukirusha kipira hiki kitapoteac) Ziandike sentensi zifuatazo kwa kutumia maneno badala yay ale yaliyopigwa mstari (alama 2)i. Si desturi yangu kuwatusi watu

ii. Mwalimu alifunga ndoa mwaka janad) Andika katika kauli ya kutendesha. (alama 1)

Toa Lewa

e) Tofautisha sentensi hizi (alama 2)Anataka vyakula vyoteAnataka chakula vyovyote

f) Andika sentensi hii kwa ukubwa (alama 1)Mwizi aliiba kikapu na kisu

g) Changanua sentensi ifuatayo kwa matawi (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 294

Page 296: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Alipoiba jana alipigwa kitutu h) Eleza maana ya methali hii (alama 2)

Mnyonge msonge i) Bainisha virai katika sentensi hii (alama 3)

Wakulima wengi wenye mashamba makubwa wamevuna mwaka huu mazao tele j) Eleza maana tatu ya sentensi hii. (alama 1½ )

Alimlilia mwanawe k) Tofautisha vitate hizi (alama 2)

Susu Zuzu

l) Ainisha viambishi katika neon lifuatalo. (alama 3)Kitakachowaumiza

m) Tambua na ueleze aina za shamirisho katika sentensi ifuatayo (alama 2)Kipsang alimnunulia simu mpenzi wake.

n) Tambua na ueleze dhana ya viunganishi vilivyomo kwenye sentensi zifuatazo. (alama 1)i. Yeye ni askari tena msalihina

ii. Aliwahi mapema maadamu alipata basiiii. Alikila japo hakukipendao) Unda nomino kutokana na vitenzi vifuatavyo (alama 2)

Fuata Sheheni Tahiri Feta

p) Tumia tanakali ifuatayo kutunga sentensi sahihi. (alama 1)Bwakia bwaku

q) Bainisha ngeli za maneno haya (alama 1)KalafatiParare

r) Eleza dhana ya silabi funge na wazi kwa kutumia mifano mwafaka. (alama 3)s) Kanusha sentensi ifuatayo (alama 1)

Watakapofika hospitalini watatibiwa t) Akifisha sentensi hii (alama 2)

Lo ghafla nilijikuta pekee yangu dunia ilikuwa imenigeukau) Eleza maana ya msemo ufuatao (alama 2)

Pembe za chakiv) Eleza maana mbili za neno Tete (alama 2)

4. ISIMU JAMII (ALAMA 10)TOM: Vipi Tracy? Naona leo unalinga sana.

Umenivaria miwani, mbona hivi? Is it because you are very smart today?TRACY: Niko poa! Hata hivyo naona una yako mengine wewe! Siringi! Niko busy tu sana.Plus company yako inatisha, hujui siku hizi nimechil. Tena umenibore.TOM: Kumbe wewe ni………………

a) Taja sajili inayojitokeza katika dondoo hii (alama 1)b) Taja mifano inayojitokeza katika dondoo yai) Kubadili msimbo (alama 1)ii) Kuchanganya msimbo (alama 1)c) Ni kwa nini wazungumzaji hubadili na kuchanganya msimbo (alama 2)d) Ni mzungumzaji yupi ana lafudhi? Ni nini maana ya lafudhi (alama 3)e) Taja sababu mbili za kuwa na lafudhi. (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 295

Page 297: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA MUUNGANO WA PAMOJA WA SHULE ZA UPILI ZA NANDI MASHARIKI NA TINDERET 2016 KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI PRE- MOCK

1. SWALI LA LAZIMA ULIYATAKA MWENYEWE: D.P.B Massamba Alikwamba wako mama, kajifanya hupuliki, Kakuasa kila jema, ukawa ng‘oo! Hutaki, Sasa yamekusakama, popote hapashikiki, Uliyataka mwenyewe!

Babayo lipokuonya, ukamwona ana chuki, Mambo ukaboronganya, kujifanya hushindiki, Sasa yamekunganya, kwa yeyote hupendeki, Uliyataka mwenyewe!

Mazuri uliodhania, yamekuletea dhiki, Mishikeli mia mia, kwako ona haitoki, Mwanzo ungekumbukia, ngekuwa huaziriki, Uliyataka mwenyewe!

Dunia nayo hadaa, kwa fukara na maliki, Ulimwengu ni shujaa, hilo kama hukumbuki, Ya nini kuyashangaa? Elewa hayafutiki, Uliyataka mwenyewe!

Mwenyewe umelichimba, la kukuzika handaki, Ulijidhania simba, hutishiki na fataki, Machungu yamekukumba, hata neno hutamki, Uliyataka mwenyewe!

Kwa mno ulijivuna, kwa mambo ukadiriki, Na tena ukajiona, kwambawe mstahiki, Ndugu umepatikana, mikanganyo huepuki. Uliyataka mwenyewe!

Majuto ni mjukuu,huja kinyume rafiki, Ungejua mwisho huu, ungetenda yalo haki, Uko roho juu juu, popote hapakuweki Uliyataka mwenyewe! Maswali a) Eleza dhamira ya shairi hili. (alama 2)b) Tambua jinsi mbili anazotumia mtunzi wa shairi hili kuusisitiza ujumbe wake. (alama 2)c) Taja na utoe mifano ya aina zozote mbili za tamathali za usemi zilizotumika katika shairi (alama 4)d) Andika ubeti wa tatu katika lugha nathari. (alama 4)e) Kwa kutoa mfano mmoja mmoja onyesha aina mbili za idhini ya kishairi katika shairi hili. (alama 4)f) Bainisha toni ya shairi hili. (alama 2)g) Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumiwa katika shairi. (alama 2)i. Mstahiki

ii. Hupuliki

SEHEMU YA B: TAMTHILIA: MSTAHIKI MEYA - TIMITHY AREGE 2. Jadili jinsi maudhui ya usaliti yanayofafanuliwa katika tamthilia hii (alama 20)

AU 3. ―Hilo ndilo nililokuitia mtumishi.‖

a) Eleza muktadha wa dondoo hili. b) Ni mambo yepi ambayo mtumishi alikuwa ameitiwa? c) Uongozi wa baraza la mji wa cheneo umejaa ubadhirifu mkubwa. Thibitisha (alama 12)SEHEMU YA C: KEN WALIBORA: KIDAGAA KIMEMWOZEAJibu swali la 4 au la 5

4. …..Huyo mwendawazimu anakuja nini kwenye sherehe hizi?a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)Top grade predictor publishers Page | 296

Page 298: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

b) Jadili uhusiano uliopo baina ya mzungumzaji na maudhui (alama 6)c) Taja mbinu ya lugha zilizotumika katika dondoo (alama 2)

AU5. a) Mwandishi wa Kidagaa Kimemwozea amemulika ukiukaji wa haki za kibinadamu. Jadili. (alama 10)

b) Eleza jinsi mbinu rejeshi imetumika katika riwaya ya kidagaa. (alama 10)

SEHEMU YA C: FASIHI SIMULIZIJibu swali la 6 au la 7

6. a) Eleza maana ya Miviga (alama 2)b) Toa mifano ya sherehe za kiafrika zinazoambatanishwa na mivinga. (alama 5)c) Eleza sifa tano za Miviga (alama 5)d) Bainisha umuhimu wa Miviga (alama 5)e) Miviga ina udhaifu gani? (alama 3)

7. a) Misimu ni nini? (alama 2)b) Onyesha jinsi misimu huundwa (huzuka). (alama 5)c) Eleza sifa tano za misimu (alama 5)d) Eleza umuhimu wa misimu (alama 5)e) Toa mifano mitatu ya misimu ya Kiswahili na maana zao. (alama 3)

SEHEMU D: HADITHI FUPI; Ken Walibora na Said A. Mohamed (Wahariri)Jibu swali la 8 au la 9

8. Onyesha jinsi hali ya kutojielewa inavyojitokeza katika hadithi ya Damu Nyeusi ya Ken Walibora. (Alama 20)9. Jadili sifa na umuhimu wa wahusika wafuatao ukirejelea hadithi ya Mke Wangu ya Muhamed Said Abdulla.

a) Msimulizi (alama 10)b) Aziza (alama 10)

Top grade predictor publishers Page | 297

Page 299: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

WILAYA YA NANDI MASHARIKI NA TINDERET KISWAHILI: KARATASI YA KWANZA MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. Hii ni insha ya uaminifu ambapo mtahiniwa anahitajika kuzingatia sura Fulani.- Mtahiniwa atoe sifa zake/ habari zake binafsi

Muundo wa tawasifu- Huandikwa kwa kutumia maelezo kwenye nafsi ya kwanza- Mtahiniwa anatoa maelezo kuhusu maisha- Hoja zinazoweza kujitokeza:i. Maelezo ya kibinafsi K.m mahali na mwaka wa kuzaliwaii. Viwango vya elimuiii. Tajriba au ujuzi katika Nyanja mbalimbaliiv. Masuala ya diniv. Sura - ala 4

Tanbihi: Tawasifu huandikwa kwa mtindo wa aya2. Hii ni insha ya mjadala.

Mtahiniwa atoe hoja za kuunga mkono na kupinga mada kisha aonyeshe msimamo wakeHoja za kuunga mkono:

i. Magaidi wanatumia teknologia kupanga uvamizi waoii. Wanafunzi hutumia kuendeleza udanganyifu katika mitihani ya kitaifaiii. Walaghai wanatumia kutapeli watu mamilioni ya pesa K.m watu kutumiwa ujumbe kuwa wameshinda kiasi Fulani ya pesaiv. Majambazi wanatumia simu za mkono kupanga njama zao k.m kupora benkiv. Wengine wanatumiwa jumbe za kutisha vyombo vya teknolojia k.m rununuvi. Silaha hatari zimetengenezwa kwa kutumia teknologia. (mtahini akadirie majibu ya mwanafunzi)

Hoja za kupinga:i. Kazi nyingi zimerahisishwa kwa kutumia mashine k.m kilimoii. Mawasiliano yamerahisishwa k.m kwa kutumia rununuiii. Usafiri umerahisishwa kwa kutumia vyombo mbalimbali za usafiriiv. Wengi wamepata ajira katika sekta ya teknologia (mtahini akadirie majibu ya mwanafunzi)

Tanbihi Mtahiniwa atakayeegemea upande mmoja tu k.m kuunga mkono tu, amepungukiwa kimaudhui na atuzwe juu ya alama 10 Atakayetoa hoja nyingi za upande mmoja na asitoe msimamo wake pia amejibu swali Mtahiniwa atoe hoja sita na afafanue vizuri k.m tano za kuunga na moja ya kupinga

3. Hii ni insha ya methali- Mtahiniwa atunge kisa kitakachothimbitisha maana batini ya methali aliyopewa- Kisa cha mwanafunzi kionyeshe pande mbili za methali- Atakayeonyesha sehemu moja ya methali atuzwe juu ya alama 10- Atakayetunga kisa bila kuonyesha maana ya methali amepotoka na atuzwe alama 03- Maana ya methali ni:

Mtu anayetenda mambo mazuri akisifiwa anaweza kubadilika na kuharibu mambo4. Hii ni insha ya mdokezo- Mtahiniwa atunge kisa kitakachooana na mdokezo aliyopewa- Mtahiniwa atakayetunga kisa bila kumalizia mdokezo amejitungia swali, atuzwe alama 03- Atakaye ongeza ama kuondoa baadhi ya maneno kwenye mdokezo, amepungukiwa kimtindo, atuzwe kisha aondolewe alama

02 za mtindo- Mtahiniwa atunge kisa kinachoonyesha mafanikio aliyopata k.m kufuzu mtihani wa kitaifa nab ado ana hatua zingine za

masomo- Azingatie nafsi, kisa chake kiwe katika nafsi ya kwanza

MWONGOZO WA KUDUMU UREFU Insha kamili - maneno 400 Insha robo tatu - maneno 300 Insha nusu - maneno 200 Insha robo - maneno 100

Viwango vya kutuza Kiwango D (MAKI 01 - 05)

Insha hii haieleweki Mtahiniwa amepotoka Ameandika kwa lugha isiyo Kiswahili Insha ni robo

Top grade predictor publishers Page | 298

Page 300: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Kiwango cha C (MAKI 06 - 10) Mtahiniwa amejaribu kushughulikia mada ingawa hakuendeleza kikamilifu Ana makosa mengi ya sarufi, hijai, msamiati nk. Lakini bado insha inaeleweka Insha nusu ikadiriwe hapa

Kiwango cha B (MAKI 11 - 15) Hoja zimekamilika Insha robo tatu ikadiriwe hapa Makosa yanaonekana kiasi Mtahiniwa ana msamiati unaovutia kwa kiasi

Kiwango cha A (MAKI 16 - 20) Ameshughulikia mada kikamilifu Ana mtiririko mzuri Ametumia lugha yenye mnato Ana ukomavu wa lugha Ana uteuzi mzuri wa msamiati unaovutia Makosa ni machache, hayazidi matano

Top grade predictor publishers Page | 299

Page 301: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA PAMOJA WA NANDI MASHARIKI NA TINDERET KISWAHILI KARATASI LA TATU MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. SHAIRIa) Bahari za shairii. Tarbia - Lina mishororo 4 katika kila ubetiii. Mathnawi - Lina pande 2 katika kila mshororoiii. Ukara - Vina vya nje vinatiririka ilhali vya ndani havitiririki (3×1=3)b) Methalii. Akipenda, kipofu huita kengeza (ubeti wa tano)

- Mwenye amemkubali alivyo na hawawezi kumgeuza ingawa wanamsengenyaii. Aliyekupa wewe kiti ndiye aliyenipa mimi kumbi (ubeti wa saba)

- Hakuna aliye jiumba mwenyewe bali ni Mungu (muumba)iii. Pilipili usiyoila yakuashiani? (ubeti wa 6 mstari wa 3) (2×2=4)c) Maudhui Msimulizi anampenda vile alivyo - mwenyewe amemkubali Wanakerwa kwani hawana mke Wanayoyasema hayawahusuwao bali ni kati yake na yeye Anayezungumziwa hakujiumba mwenyewe bali ni Mungu Anawaambia wasizitumie udhaifu wake kumsengenya Ingawa wanayoyasema yanamliza Aziza, yeye hajali Wadaku wanatahadharishwa wasikufuru (4×1=4)d) Uhuru/ idhini ya mshairi

i. Tabdilia k.m nae - naye Mutafanya - mtafanya

ii. Inkisari k.m kilofanya - kilichofanya Nampenda - ninampenda

iii. Kuboronga sarufi k.m Hadi yeye humliza - hadi humliza yeye iv. Lahaja k.m naujuwa - naujua

Khofu - hofu (2×2=4)e) Lugha nathari/ tutumbi

Nikipita naye popote wadaku/ wafitini wanamsengenya Aziza kwa maneno mazito k.m kuwa hatengenezi nywele. Semeni tumtasita (au mtaacha) mjue mimi nampenda alivyo. (3×1=3)AUMsimulizi anasema kuwa akienda na Aziza popote wadaku wanatoa maneno mazito ya kumsengenya k.m hatengenezinywele. Anawaeleza waendelee tu bali yeye anampenda alivyo

f) i) Sakubimbi hubwagiza - wadaku (wasengenyaji hupata maneno ovyo)ii) Musighafilike wenza - Msiumie / msighadhabike (2×1=2)

2. RIWAYAa) - Ni maneno ya muuguzi

- Alikuwa anamweleza Imani- Wako katika zahanati ya Nasaba Bora- Imani na Amani walikuwa walikuwa wamempeleka kitoto Uhuru zahanatini anapokuwa mgonjwa ndipo muuguzi

anamwuuliza sababu za kuzaa mapema (4×1=4)b) i) Nidaa k.m Alaa!

ii) Msemo/ kitendawili k.m Ubwabwa haujakutoka shingoni (2×1=2)c) i) Imani alivunja mwiko kwa kunywa maji ya mto Kiberenge akiwa na Amani

ii) Kama mtu mzima, Imani aliwapenda na kuwalea watoto walemavu kwa kuwaonyesha imani iii) Anajitolea kama mtu mzima kumlea kitoto kwani alitambua kuwa Amani hangeweza

iv) Imani alikuwa mtambuzi kama mtu mzima kwa kueleza kisa chake ili kumshinikiza Amani kujieleza pasi na kusisitiza. v) Imani alikuwa mwerevu na alitambua wakati unaofaa kumweleza Amani kisa cha nduguye kwa kusema haifai kupelekea

kilio matangani. (3×2=6)d) Asasi ya kimatibabu/ zahanati/ afya Uzembe/ uvivu kazini k.m wauguzi wanafuma kazini Kutowajibika kazini k.m wauguzi wanadai kuwa hawangemtibu Uhuru kwa sababu ni sikukuu/ siku ya sherehe Hudumu hafifu/ mbovu k.m DJ anakimbilia daktari wa kienyeji ilhali kuna zahanati Ufisadi/ wizi k.m Mtemi Nasaba Bora walipewa pesa za kujenga hospitali lakini wakaiba kiasi Fulani cha pesa hizo, hivyo

kujenga zahanati tu. (4×2=8)3. Kifo cha Uhuru ni jazanda ya hali ya mambo katika jumuiya ya Kidagaa Kimemwozea.

Uhuru haumo katika jumuiya hii kwani ulitoweka/ ulikufa punde baada ya mkoloni kuutoa na kuondoka ifuatayo. Wafanyikazi hawana haki Mtemi Nasaba Bora anawafuta kazi apendavyo, wanalipa mshahara duni mfano DJ na kupigwa

k.m AmaniTop grade predictor publishers Page | 300

Page 302: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Ajira ya watoto ambao wanapaswa kuwa shuleni inaendelezwa, mfano DJ na wenzake ni wachunga mifugo, Imani anaajiriwanyumbani kwa majisifu.

Waandishi chipukizi kwa mfano Amani wanatapeliwa miswada yao na wahariri kama vile Majisifu Watu wasio na hatia wanatiwa mbaroni kwa makosa ya kusingiziwa kwa mfano Yusufu, Amani, Imani na Matuko Weye. Walemavu wanadunishwa na kufungiwa wasipate malezi yanayowastahiki Maskini wanalazimishwa kuchangia masomo ya watoto wa matajiri kwa mfano masomo ya madhubuti kule urusi. Wanawake wanadhulumiwa na wanaume. Kwa mfano, Mtemi Nasaba Bora kumpiga Zuhura kwa kumsingizia kuwa na jicho

la nje. Nasaba Bora kumshurutisha Lowela kufunga mimba kwa kamba na kumnyang‘anya kitoto chake Uhuru. Kifo cha Uhuru kusababisha kutiwa mbaroni kwa Amani na Imani ilhali waliosababisha kifo chake ni wauguzi kwa kukataa

kumpa matibabu na Mtemi Nasaba Bora aliyemtupa mlangoni pa Amani pasi na kujali baridi Mtemi Nasaba Bora kunyakua mashamba ya watu wengine kwa kughushi faili k.m la Chichiri Hamadi, Mwinyihatibu

Mtembezi n.k Mauaji ya wanatomoko ndipo mali yao iweze kutwaliwa - mamake Imani na Chichiri Hamadi Mashujaa wa kweli wa tomoko kama vile Matuko Weye na Chwechwe makweche kutotambuliwa badala yake matuko

anaishi maisha ya kimaskini na kuhangaishwa kwa kutiwa selini ilhali chwechwe Makweche anaoza fupaja likakatwa nakulazimika kurudi kijijini.

Haki ya wanafunzi kusoma kukiukwa Majisifu haendi darasani ila mtindini. Wasichana wanafunzi wanapachikwa mimba nawalimu kwa mfano Fao anampachika mwanafunzi mimba na hachukuliwi hatua yoyote.

Wauguzi kukiuka haki ya wagonjwa kupata matibabu kwa mfano Uhuru, Amani na DJ Viongozi kutoa hotuba zao katika lugha ya kiingereza isiyoeleweka kwa raia wengi badala ya Kiswahili. Hotuba ya rais wa

Tomoko inaandikwa kwa kiingereza na kusomwa na Mtemi Nasaba Bora kwa umati usioelewa. Wanatomoko kulazimishwa na Askari kuhudhuria sherehe za siku ya wazalendo ambako wanachomwa na jua na

kunyeshewa. Picha ya Mtemi Nasaba Bora kutokea katika gazeti la Tomoko kwa sababu Majisifu nduguye ndiye mhariri.( badala ya usawa

kuna unasaba) Mtemi Nasaba Bora kuwataka raia kuchanja mbwa ilhali hawachanji wake. Raia wengi wa Tomoko hawana raslimali ya shamba inayo milikiwa na wachache kama DJ, Amani, Imani nk

(hoja zozote 10×2=20)4. a) Mzungumzaji ni Bili Anamwambia Meya Sosi Wako ofisini kwa Meya Wanazungumza kuhusu mpango wa kumnyang‘anya mwanakandarasi kandarasi yake kumshinikiza kuenda mahakamani

kisha wapate mgao wao (Zozote 4×=4)b) Sifa za Bili Ni fisadi k.m Anamhimiza meya kupeleka kesi mahakamani ilia pate mgao wake Mpenda anasa k.m wanaenda mkahawa wa kijifahari kujistarehesha Laghai/ mnafiki k.m anamtoroka Meya mambo yanapoharibika Mjanja k.m Anadai dawa ya adui ni kummegea unachokula. Barakala k.m anamdanganya Meya kuwa yuko pale kwa ajili yake (uk 28) Mbinafsi k.m anamweleza Meya asimsahau na pia Tumbo ndilo muhimu (Zozote 4×1=4)c) Umuhimu wa Meya Anadhihirisha athari za utawala mbaya Tunaona mchango wa vibaraka wanaopotosha viongozi (ushauri mbaya) Kupitia kwake tunatambua tabia za wahusika wengine kama Siki, Bili n.k. Anaendeleza maudhui ya udhalimu, Utegemezi, ukoloni mamboleo n.k. (Zozote 4×1=4)d)i. Ubadhirifu wa mali -Meya na Bili wameenda kujistarehesha

-Bili analipwa kushauri Meya ilhali si mfanyakazi wa barazaii. Ubinafsi -Bili anasema jina si kitu bali tumbo ndilo muhimuiii. Uongozi mbaya -Meya anaongezea baraza nakisi ya pesa

-Kuna migomo mingi Cheneo iv. Ufisadi -Bili anafanya mpango wa kuiba fimbo ya Meya

-Mtu ananyang‘anywa kandarasi yake kwa madai kuwa ni Meya mwingine aliye mpa kandarasi hiyo.(zozote 4×2=8) (Tathmini hoja nyingine)

5. Tamthilia ya Mstahiki Meya inaafiki mataifa ya Afrika kwa sababu matukio mengi katika kitabu ni sawa na yale yanayotokeakatika mataifa mengi.

1. Ufisadi2. Maskini3. Ukoloni mamboleo4. Ukosefu wa dawa hospitalini5. Ukosefu wa lishe bora

Top grade predictor publishers Page | 301

Page 303: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

6. Utegemezi wa misaada7. Ukaragosi8. Uongozi mbaya9. Vitisho10. Propaganda 11. Matumizi mabaya ya vyombo vya dola. 12. Kutowajibika kwa viongozi 13. Mishahara duni 14. Ubadhilifu wa mali 15. Unafiki wa kidini 16. Ushauri mbaya 17. Ujinga wa wananchi kuwachagua viongozi wabaya 18. Uzalendo wa kijinga 19. Mapinduzi 20. Wafanya kazi kujiuzulu 21. Ukosefu wa maji safi 22. Uundaji wa kamati zisizowajibika 23. Uchafuzi wa mazingira. (zozote 10×2=20)

(Maelezo ni lazima. Mwanafunzi arejelee kutoka katika Tamthilia)6. Mke Wangui. Ni wawajibikaji. Aziza alitaka ajifulie nguo, ajipikie na ajioshee vyomboii. Wepesi wa hasira. Aziza alikasirika sana mume wake alipo tamaniwa na Seluwa iii. Ni washamba. Aziza alikataa kuvaa viatu kwa madai kuwa ni ngozi ya ngombe aliyekufa. iv. Ni wadaku. K.m Seluwa alikua na kidomo. Samaki wa Nchi za Joto i. Wenye bidii. Miriam na Christine waliweza kusoma hadi chuo kikuu cha Makerere kutokana na bidii yao.ii. Wapenda anasa. Christine na Mirriam walishiriki ulevi walipokuwa kwa Peter.iii. Katili. Christine aliavya mimbaiv. Wajinga. Christine alishiriki ngono na Peter uku akidhani kuwa Peter alimpenda ilhali hawakuwa wamejadili chochote

kuhusu uhusiano wao.Damu Nyeusii. Ni asherati.Fiona alitaka kujuana kimwili na Fikirini licha ya kutokuwa na uhusiano wowote kati yao Uk26.Do you want

some good time?ii. Ni laghai/matapeli. Fiona alimdanganya Fikirini alitaka kumbeba kwa gari lake.iii. Ni katili. Fiona alitaka Bob amwue Fikirini kwa kumpinga risasi.

Gilasi ya Mwisho Makaburinii. Ni watani k.m Asha anamtania Msoiii. Wapenda anasa. Asha na Josephina walikuwa wapenda anasa kwani kila wikendi walienda kwenye baa ya makaburini

(exortic resort) ili kunywa na kula.iii. Niwawajibikaji. Asha na Msoi wanapofika kwa Msoi baada ya kutoroka kutoka kwenye baa ya makaburini, Asha alikwenda

kupika chai.iv. Ni washawishi k.m Asha anamshawishi Msoi kwenda kucheza.

Kikazai. Niwawajibikaji. Kina mama waliowahi mapema kwa mzee Babu walielekea moja kwa moja jikoni na kuandaa chai ,uji na

mihogo.ii. Ni wachochezi. Bi Cherehani aliwachochea wanatekende kwenda Ikuluni na kumg‘oa Bw. Mtajika kutoka uogozini.iii. Ni mwenye umoja na ushirikiano. Walishiriki katika ushonaji wa kikaza.iv. Wanajigamba k.m Bi. Mtajika anasema hakuna kiongozi kuliko yeye (Wenye maringo)

(Zozote 5×4=20) (Tathmini hadithi nyingine.)7. a)- Msemaji ni Msoi- Alikuwa anamwambia Asha na Josephina- Walikuwa katika baa ya Makaburini- Msoi na Semkwa walifika kwenye baa na kuwakuta Asha na Josephina- Msoi kwa kawaida alikaa kuyapa mava mgongo. Mara hii alikaa kuyatazama mava- Asha alitaka kujua kwa nini Msoi hakutaka kukaa mahali pake pa kawaida (Zozote 4×1=4)b) Mbinu ya kinaya (alama 1)c) i) Mke Wangu Ni kinaya msimulizi anaona ndoa zao waliosoma zitavunjika hivyo anaamua kuoa mke asiyesoma lakini ndoa yake pia

inavunjika. Ni kinaya kwa Aziza kumwita muuza madafu mumewe ilhali msimulizi ni mumewe. Msimulizi amesoma lakini bado anawategemea wazazi wake.ii) Masikini, Babu Yangu Babu Maende anakutana na kifo chake baada ya kupona ugonjwa uliomleta mjini

Top grade predictor publishers Page | 302

Page 304: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Babake msimulizi ni mrakibu wa polisi ilhali babake mzazi anauawa na raia. Hata baada ya nchi kupata Uhuru, bado walikuwapo watu walioishi katika umaskini mkubwa. iii) Samaki wa Nchi za Joto Christine anaona heri kuolewa katika familia ya kitajiri kuliko kufanya kazi ya serikali Peter anadharau mkahawa mmoja mchafu ilhali alitoka familia duni huko cockney. Margaret anamshauri Christine dhidi ya kupata mimba lakini anampa dawa za kuzuia mimba.iv) Damu Nyeusi Bob anasema waafrika wameenda marekani kuwasumbua ilhali mwenyewe alikuwa mtu mweusi Bob alivalia miwani ya jua ndani ya nyumba Ni kinaya kuwa Fiona anamwita Fikirini ndugu lakini ndiye anamwiba tena.v) Tazamana na Mauti Crusoe ni mzee lakini Lucy anafariki kabla yake. Lucy hakutosheka alipofika London bali tama yake ilizidi Ni kinaya Lucy kufariki baada ya kukadidhiwa mali.8. a) Hii ni sanaa ya mazungumzo ambayo huambatana na matendo. Wahusika huiga tabia, maneno au matendo ya watu

wengine katika jamii kwa nia ya kuburudisha au kupitisha ujumbe Fulani. (maelezo kamilifu 2×1=2)b) Umuhimu wa michezo ya watoto. Hukuza kipawa cha uigizaji. Hukuza ubunifu Ni njia ya kukashifu vitendo visivyo faa katika jamii. Huonyesha falsafa ya jamii kuhusu majukumu mbalimbali ya kijamii mfano. (baba na mama) - kuonyesha majukumu yao

katika jamii. Hukuza ukakamavu miongoni mwa watoto ambao huimarika wakuapo. (hoja zozote 5×2=10)c) Sifa za miviga Huandamana na matendo na kanuni Fulani maalum kama vile ulaji wa kiapo, kupiga magoti, maapizo n.k. Huongozwa na watu mahususi katika jamii Huandamana na utoaji wa mawaidha. Hufanyiwa mahali mahususi kwa mfano porini, msituni, pangoni, madhabahuni n.k. Huambatana na utamaduni wa jamii husika kwa mfano, ngoma, ulumbi, mawaidha n.k.

(hoja zozote 4×2=8)

Top grade predictor publishers Page | 303

Page 305: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MAZOEZI

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA BURETI KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA 1. LAZIMA

Wewe ni mkenya. Umefuzu shahada ya ukapera na uzamili, na kuajiriwa kazi katika idara ya forodha. AndikaTAWASIFU yako.

2. Eleza juhudi ambazo serikali imefanya kushirikisha vijana katika ujenzi wa taifa.3. Andika insha kuthibitisha methali. Mtaka cha mvunguni sharti ainame.4. tunga kisa kinachomalizikia kwa maneno yafuatayo:

…. Mhadhiri mkuu wa kitivo alipoita jina langu, nilishusha pumzi, kweli safari imekuwa ndefu.

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA BURETI KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMUSoma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali.

Tokea muundo mpya wa serikali ya ugatuzi uanze kutekelezwa miaka miwili iliyopita, kumeendelea kushuhudiwa matatizo mengi hali iliyopelekea kushuhudiwa kwa msururu wa migomo na maandamano ya raia. Fujo za karibuni kabisa ni zile zinazoshuhudiwa katika miji mikubwa za wachuuzi na wafanyibiashara wakipiga hatua za serikali za kaunti kuwatoza ushuru takribani kwa kila huduma na bidhaa ikiwemo wanyama, kuku na ndege. La kuhuzunisha zaidi katika baadhi ya majimbo imeripotiwa kuwa raia wamelazimishwa kulipwa ushuru kwa kutaka tu kuona maiti za jamaa zao kwenye vyumba vya kuhifadhia maiti!

Wanasiasa wameonekana kuwa na wakati mgumu kutetea mfumo huu mpya wa ugatuzi huku baadhi wakisema kwamba matatizo yanayoshuhudiwa kwa sasa yametokana na ugeni wa mfumo huo. Wengine wameinyoshea kidole serikali ya kitaifa kwmba ndiyo inayosambaratisha muundo huu. Wegine wanahoji kuwa bado ni mapema na kwamba kunahitajika muda mrefu ili kufaulu.

Ni wazi kwamba kumekosekana nidhamu bora ya kusimamia maisha ya raia nchini Kenya. Matatizo yanakumba raia kwa sasa ni dalili kuwa mfumo wa serikali ya ugatuzi umeongezea chumvi kwenye kidonda badala ya kutibu. Swali ni je, hadi lini nidhamu ya kusimamia raia itakuwa ni Suala la majaribio na makosa?

Hatua ya kuwarundikizia raia ushuru mkubwa ni kitendo cha unyonyaji na cha dhuluma kinachofaa kupingwa. La kufahamishwa hapa ni kwamba ushuru ndio njia kubwa ya kuzalisha mapato ya serikali zinazojifunga na mfumo wa kimagharibi wa kiuchumi wa kibepari ikiwemo Kenya. Asilimia 90 ya mapato ya serikali za kibepari huegemea ushuru. Kwa hivyo hatua ya serikali za kaunti katika kuwanyonya raia kwa kuwalipisha ushuru si ajabu bali ni thibitisho kuwa jamii ya Kenya inaongozwa na nidhamu ya kiuchumi ya ubepari mfumo wa unyonyaji na Ukandamizaji. Ukweli unabakia kuwa ndani ya serikali za kibepari raia ndio hubebeshwa mzigo wa ushuru unaoishia matumboni mwa viongozi!

Miito ya mabadiliko ya katiba na ya miundo mipya ya kiutawala si yoyote ila ni moja tu ya hatua za mfumo wa kibepari kujipa muda wa kuishi na kuziba aibu zake za kushindwa kusimamia maisha ya watu. Kufeli huku kwa mfumo huu kunashuhudiwa hadi kwenye nchi kubwa za kibepari kama Marekani na Uingereza hivyo nazo zimekumbwa tele na maandamano na fujo za raia wakilalamikia hali ngumu ya maisha. Maswali

a) Yape makala haya anwani mwafaka. (alama 1)b) Eleza mtazamo wa Wanasiasa kuhusu utepetevu wa mfumo huu. (alama 3)c) ―Ugatuzi nchini Kenya ni mfumo wa kibepari‖ thibitisha kauli hili kwa kurejelea makala. (alama 4)d) Kulingana na taarifa uliyosoma, nini chanzo cha misururu ya migomo na maandamano ya raia? (alama 3)e) Thibitisha jinsi mfumo wa ugatuzi umeongeza chumvi kwenye kidonda badala ya kutibu. (alama 2)f) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika taarifa hii. (alama 2)

i) Ugatuziii) Kibepari

Top grade predictor publishers Page | 304

Page 306: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

2. UFUPISHOTunapinga na kulaani vikali visa vya ugaidi vinavyoendelea kutetemesha usalama wa wananchi. Hivi ni vitendo vya

kinyama vinavyotekelezwa na watu waliokosa ubinadamu na utu kabisa. Inakera mno kwa vitendo vya kigaidi. Inagadhabisha kuona wakenya wasio na makosa wakiteswa na kuuwawa kinyama bila huruma na watu wasio na utu. Hatuogopi wala hatuna fedheha kuamba magaidi hawa wamelaaniwa na siku zao zimehesabiwa hapa duniani, damu yam wananchi asiye na makosa katu watailipia. Napinga vikali pale magaidi hawa wanapohusisha vitendo hivi kuwa vita vya kidini, vita hivi si vya kidini kwani hakuna dini yoyote iliyo na Imani ya kumwua kinyama binadamu asiye na makosa.

Kando na tishio la ugaidi, wakenya pia wanakabiliwa na hatari za ujambazi, mauaji, unajisi, ubakaji na maovu mengine. Katika juhudi za kudumisha usalama, polisi wana jukumu la kutumia kila Mbinu kuhakikisha kuwa haki ya kikatiba ya wakenya kuhusu kulindwa kwa maisha na mali yao. Lakini cha kusikitisha ni kuwa, Mbinu ambazo polisi wamekuwa wakitumia hasa ile ya kufanya misako inayoishia kuwanasa mamia ya raia wasio na habari kinachoendelea, inawaongezea wakenya mateso.hali hii inawaacha kwenye hatari ya kunaswa na majambazi ama polisi.

Matumizi ya Mbinu hii ya misako imeishia kunasa raia wengi wasio na makosa. Wanaponaswa, hurundikwa kwenye seli usiku mzima ama siku kadha na hata kama wanaachiliwa huwa tayari wameteseka. Huu ni ukiukaji wa haki za raia. Kadhalika, Mbinu hii yaonekana kama hila ya polisi kutaka kuonyesha wanafanya kazi lakini sio mwafaka kwani wanapokuwa wakiwanasa raia mijini na mitaani, magaidi na majambazi wanaendelea na shughuli zao.

Badala ya kusaka wakora kwa kubahatisha kwenye umati, polisi wanapaswa kubuni njia ambazo zitawapa mwelekeo mwafaka zaidi kuhusu wahalifu ili waweze kuwafuatilia. Ushirikiano baina yao na majasusi uwepo. Hii itawezesha polisi kupata habari muhimu kuhusu vitisho vya uhalifu. Maafisa wa usalama pia wanaweza kupata habari muhimu kutoka kwa raia. i) Ni nini maoni ya mwandishi kuhusu Suala la ugaidi. (maneno 60-70) (alama7, 1 utiririko)ii) Kwa kutumika maneno yasiyozidi 50 fupisha aya mbili za mwisho. (alama 6, 1 utiririko)

3. MATUMIZI YA LUGHAa) Onyesha tofauti zilizopo kati ya

i) /e/ii) /u/ (alama 2)

b) Ainisha viambishi katika neno waliibiana (alama 2)c) Tambua matumizi ya kiambishi ji katika sentensi ifuatayo. (alama 2)

Jino la jitu lililiwezesha kujilia chakula kingi kuliko mkimbiaji yuled) Taja vigezo vitatu vya kuainisha sauti za irabu. (alama 3)e) Andika kinyume cha sentensi hii

Baba amejenga nyumba nzuri iliyosifiwa na mgenif) Eleza tofauti ya kisarufi ya maneno yaliyopigiwa mstari (alama 2)

i) Hiki ni kitabu cha mwalimuii) Hikini cha mwalimu

g) Tunga sentensi kuonyesha matumizi mawili ya kistari kifupi (-) (alama 4)h) Andika katika usemi wa taarifa

‗Mbona unamfanyia karaha mwenzako?Je, utaenda kumwomba radhi?Phanice aliuliza.i) Tumia maneno yafuatayo katika sentensi moja ili kubainisha tofauti zao kimaana: (alama 2)i) Chuuzaii) Chuza

j) Eleza maana mbili katika sentensi hii. (alama 2)Majambazi walimwibia Letangule gari jipya

k) Andika kwa ukubwaKiti kilichokuwa kimekaliwa na mwanamke yule kilivunjika. (alama 2)

l) Bainisha vielezi na ueleze ni vya aina gani katika sentensi hii. (alama 2)Sipendi wanaohama kwao ili kuenda kuishi kizungu.

m) Akifisha:rais alimwamuru usiwashughulikie mabalozi wajeuri (alama 3)

n) Tambua shamirisho katika sentensi ifuatayo: (alama 2)Mwalimu mkuu alituandalia karamu ya kufana

o) Tunga sentensi mbili kuonyesha matumizi mawili ya kiambishi ndi- (alama 2)p) i) Ainisha sentensi ifuatayo kwa kuzingatia jukumu lake (alama 1)

ii) Tunga sentensi moja ya kuonyesha rai (alama 1)q) Weka kirejeshi ‗O‘ tamati kwenye kitenzi chunga kisha ukitungie sentensi. (alama 1)r) Nomino hizi ziko katika ngeli gani? (alama 2)4. ISIMU JAMII

Maenezi ya Kiswahili Afrika Mashariki punde baada ya uhuru yalikuwa na mchango tele.Fafanua zozote tano. (alama 10)

Top grade predictor publishers Page | 305

Page 307: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA BURETI KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI SEHEMU YA A

1. LazimaOnyesha namna mwandishi wa Kidagaa Kimemwozea amefaulu kutumika Mbinu zifuatazo.a) Kiangaza mbele (alama 10)b) Stihizai (alama 10)

SEHEMU YA BTamthlia ya Mstahiki Meya: Timothy AregeJibu swali la 2 au 3

2. ―Iwapo umefanya yapo mengi ambayo hayakunyooka.‖a) Andika muktadha wa dondoo. (alama 4)b) Eleza jinsi baadhi ya wahusika walivyojaribu kuyanyoosha mambo. (alama 6)c) Dhihirisha unadhirifu katika tamthlia ya Mstahiki Meya. (alama 10)

AU3. Hatua tuchukuazo maishani mwetu zaweza kutuathiri na kuathiri nchi pakubwa. Fafanua kauli hii ukimrejelea Meya Sosi.

(Hoja kumi)SEHEMU C: USHAIRI

Jibu swali la 4 au la 5 4. Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.

Amiri A.S Andanenga: Sauti ya Kiza 1. Ngakua na mato, ya kuonea

Ngalisana kito, cha kuchezea Kilicho kizito, cha kuelea Kikamuenea, akivae

2. makusudi yangu, ngaliandaa Ngafinyanga chungu, cha mduwaa Ngatia vitangu, vinavong‘aa Ili ziwe taa, kwa apikae

3. Mkungu wa tano, wa mduwara Ulo bora mno, kisha imara Ulo na maono, kuwa ni dira Kwenye barabra, itindiae

4. Ngaomba baraka, kwake Rabana Punje za nafaka, kila aina Chunguni kuweka, kwa kulingana Hajaangu suna, yule alae

5. Ngafanya bidii, kwenda mwituni Sio kutalii kukata kuni Ya miti mitii, huko jikoni Isio na kani, ni iwakae

6. Kwa yangu mabega, nikathubutu Ngabeba mafiga, yalo matatu Bila hata woga, kwenye misitu Samba tembo chatu, sinitishie

7. Miti yenye pindi, na jema umbo Ngajenga ulindi, mwemw wimbombo Fundi aso fundi, penye kiwambo Moyo wake tambo, apekechae

8. Singaajiri, ngachimba mimi Kisima kizuri, cha chemchemi Maji ya fahari, ya uzizini Jua la ukami, siyaishae

9. Tamati nafunga, kwa kuishiaMato ndo malenga, kanikimbiaNahofu kutungwa, mabeti miaAsije chukia, ayasomae

Top grade predictor publishers Page | 306

Page 308: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

a) Eleza ujumbe wa shairi hili. (alama 2)b) Kwa kurejelea ubeti wa pili, eleza umuhimu wa aina mbili za uhuru wa kishairi alioutumia mshairi. (alama 4)c) Andika ubeti wa saba kwa lugha ya nathari. (alama 4)d) Eleza toni ya shairi hili. (alama 2)e) Fafanua aina tatu za urudiaji zilizotumiwa katika shairi hili. (alama 6)f) Bainisha nafsineni katika shairi hili. (alama 2)

5. Soma shairi hili kisha ujibu maswali yanayofuata.1. Sema semea wajibu, mwenye kutetema,

Sema na walo karibu, mbali ukisema, Sema kufunza wajibu, noleji, hekima, Sema ajue Fulani, usihulu sema

2. Sema yanayokukaa, yanakusakama, Sema yaliyozagaa, kwa mwako mtima, Sema unajihadaa, kwani tawafuma? Sema wajue ni nani, usiache sema

3. Sema yote si uasi, si tenge si noma, Sema toa wasiwasi, upate salama, Sema japo ni risasi, longa litauma, Sema yote hadharani, radidia sema

4. Sema pasi na ukali, mwiza taloloma, Sema neno la asali ‗taramba‘ kitema, Sema kwa mzo akili, watakushituma, Sema kwa yako maghani, usikome sema

5. Sema zitaje ghururi, duniya ni dema, Sema ana maghubari, duniya ni rima, Sema duniya hatari, mwina wa nakama, Sema sema kwa yakini, masa ghaya sema

6. Sema ‗kwani hamuoni, waloachwa nyuma?‘ Sema pasi taraghani, uliyoyasema, Sema wachuma tumboni, ja minyoo sema, Sema sema mwafulani, u salama sem

Maswali a) Toa mifano miwili ya idhini ya kishairi katika shairi hili. (alama 2)b) Tambua bahari zozote nne zinazopatikana katika shairi hili na utoe sababu. (alama 4)c) Onyesha vile shaha alivyofua dafu katika kutumia Mbinu zifuatazo: (alama 2)

i) Anaforaii) Usambamba wa kiusawe

d) Eleza toni ya shairi hili. (alama 2)e) Ujumbe wa nafsineni unamlenga nani? (alama 2)f) Eleza sifa za kiarudhi katika ubeti wa pili. (alama 4)g) Andika ubeti wa tano katika lugha tutumbi/nathari. (alama 4)

SEHEMU YA DHadithi fupi: Damu nyeusi na hadithi nyingine

6. Huku ukirejelea hadithi zifuatazo, jadili maudhui ya ukengeushii) Mke wanguii) Samaki wa nchi za joto iii) Damu nyeusi iv) Tazamana na mauti

SEHEMU YA E Fasihi simulizi

7. a) Taja tanzu zozote tano za Fasihi simulizi kisha utoe mifano miwili ya vipera vyake. (alama 10)b) Eleza sifa zozote tano ambazo hupote Fasihi simulizi inapoandikwa. (alama 5)c) Miviga ni nini? (alama 1)d) Fafanua sifa nne za miviga. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 307

Page 309: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA KAUNTI NDOGO YA GEM

102/1 KISWAHILI Karatasi ya 1 (Insha) Julai/Agosti 2016 Muda: Saa 13/4

1. LAZIMAWewe ni katibu wa Baraza la Mitihani nchini Kenya. Umeudhishwa na visa vya wizi wa mitihani ya kitaifa. Andika tahadhari kwa wahusika. Au Umepata habari kwamba binamu wako anayeishi Uholanzi ameanza kutumia mihadarati. Mwandikie barua pepe ukimweleza kuhusu athari hasi za tabia hiyo.

2. Jadili namna ambavyo binadamu anaweza kukabiliana na majanga yoyote matano ya kimaumbile.3. Mwenye shoka hakosi kuni. Thibitisha.4. Andika insha itakayoishia maneno yafuatayo :

... nilijitazama jinsi nilivyohasirika kupindukia, nikajikuta machozi yakinitiririka njia mbilimbili ndipo nikakumbuka ushauri niliopewa na wazazi wangu wapendwa.

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA KAUNTI NDOGO YA GEM

102/2 KISWAHILI Karatasi ya 2 Julai/Agosti 2016 Muda: Saa 2½

1. UFAHAMU ( alama 15) Soma taarifa ifuatayo kisha uyajibu maswali yaliyoulizwa. Miaka na dahari iliyopita katika nchi ya Uyunani aliishi mtaalamu anayefahamika kama Aristotle. Mtaalamu huyu anachukuliwa na watu wengi lama kitovu cha taaluma nyingi. Msingi wa msimamo huu ni kuwa kauli, matamko na maandishi yake mengi yameishia kuwa kama msingi ambako majengo mbalimbali ya kitaaluma yamejengwa. Aristotle alisema kuwa binadamu au mja kimaumbile kuvutwa na hisia za kuishi katika jamii. Hisia hii ya kuishi katika jamii ndiyo msingi mkuu wa kushirikiana kwa njia anuwai, mathalani, maisha ya jamaa, ya mjini, vijijini, shuleni, serikali na hata tawala mbalimbali.

Maisha yoyote ya jamii humjuzu binadamu ashirikiane na wenzake pamoja na kuvishirikisha vipawa vyake ili kuimarisha na kuyakomaza maisha au jamii yenyewe. Yaani kuimarika na kukomaa kwa maisha ya jamii hutegemea kwa kiasi kikubwa mchango, japo ukufi, wa kila mwanajamii hiyo. Mchango huo hutokana na nia ya kutaka kuyaona maendeleo makubwa yamefikiwa siyo kwa nia ya kujinufaisha kama mtu binafsi bali kwa faida ya umma. Katika ushirikiano huo, ni lazima pasiwe na ubaguzi wala kutengana kwa misingi yoyote ile; ya rangi, maumbile, dini au hata hali ya maisha. Inahalisi kuikumbuka maana ya msemo kuwa rangi na ngozi ni utambuzi si ubaguzi.

Waja hushirikiana katika hatua mbalimbali. Binadamu anazaliwa katika jamaa na pale pale hujiunganisha na majirani. Ujirani huu wa binadamu wenzake pamoja na mazingira yao huiunda tabia yake. Kadiri anavyokua ndivyo anavyoanza kujihisi mmoja wa watu wanaomzunguka, jamii ile, kabila lile au hata taifa lile. Ili kukabiliana na mazingira yake, binadamu huhitaji msaada na hata ulinzi wa watu wengine. Huu hasa ndio msingi wa methali ya kuwa mtu ni watu. Tangu akiwa mwana mkembe, mja huhitaji msaada wa watu wengine kupewa chakula, kusimama na kutembea, kufundishwa jinsi ya kujielezea, kupata matunzo wakati wa magonjwa, kuelekezwa jinsi ya kupambana na mazingira yake, kusoma na kuielewa jamii yake na hata kufuata imani fulani. Binadamu hutamani kufanya mambo ya kila nui ambayo hawezi kuyatimiza peke yake. Kwa mfano, mja hutegemea haki zake zilindwe na wengine, mathalani, serikali.

Popote binadamu alipo, ana haki ya kushirikiana na wenzake katika jamii yake. Haki ya kuishi maisha ya kijamii ni mojawapo katika haki za kimsingi katika maisha ya binadamu. Haki hii inaenda sambamba na uhuru wa binadamu wa kuchagua kikundi au tapo la wanajamii analotaka kujihusisha nalo. Haki hii ni ya lazima na inapaswa kulindwa isipokuwa pale tu inapokwenda kinyume na sheria za jamii fulani. Kwa mfano, ikiwa kujihusisha na kikundi fulani kunaelekea kuwa tishio kwa usalama wa jamii, basi haki hii huwa imetumiwa vibaya. Pili, binadamu anayeishi katika jamii anaweza kujipatia mali kutokana na kazi au juhudi zake. Hii ni haki yake. Hata hivyo, huruhusiwi kuiba ili aweze kuipata mali hiyo.

Ushirikiano kati ya binadamu au ushirikiano katika jamii ni msingi imara wa kuwepo kwa maendeleo katika jamii fulani. Kila tutumiapo neno ‗maendeleo‘, humaanisha kujielekezea lengo maalum tulilochagua na ambalo litayakuza maisha yetu. Maendeleo huhusisha kupiga hatua mbele. Mtu anayesonga mbele hana budi kuwa na kitu au lengo analoliendea huko mbele.

Top grade predictor publishers Page | 308

Page 310: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Ikiwa hana lengo, basi takuwa anawayawaya kama kuku aliyedenguliwa kichwa na anapaswa kujitathmini. Maendeleo yanahusisha kutoka hatua fulani duni hadi hatua nyingine afueni.

Kaitka zama kongwe za mawe, binadamu alitegemea mawe kama silaha za kufanya shughuli zake nyingi. Hivi leo maendeleo ya kisayansi yamefikia ngazi za juu sana katika awamu hii ya utandawazi ambapo kuwepo kwa tarakilishi na vifaa vingine kumesahilisha mambo mengi sana. Kuna mambo mengi chanya ambayo yametokana na maendeleo ya kisayansi kama vile: kurahisisha mawasiliano, kuharakisha na kuboresha uzalishaji mali, kufanya usafiri bora na mwepesi miongoni mwa wengine. Hata hivyo, kuna maendeleo hasi kwa kuwepo kwa silaha za haki zinazoweza kuuangamiza ulimwengu mzima. Nchi ambazo zina satua kubwa huweza kutumia uwezo wao wa kiuchumi na kimaendeleo kuzidhalilisha jamii nyingine. Hata hivyo, ni vizuri maishani binadamu, mkubwa kwa mdogo, mwenye uwezo kwa asiyekuwa nao atambue kuwa mja anahitaji jamii.

a) Je, ina maana gani kusema ‗Aristotle anachukuliwa kama kitovu cha taaluma nyingine ? (alama 2)b) Taja haki mbili kuu za binadamu. (alama 2)c) Je, kwa mujibu wa kifungu hiki, maana ya maendeleo ni nini ? (alama 3)d) Kulingana na taarifa hii, ni kwa nini mja huhitaji jamii. (alama 3)e) Kifungu hiki kinatoa ushauri gani kwa binadamu ? (alama 2)f) Eleza maana ya maneno na kifungu kifuatacho kama kilivyotumiwa katika taarifa hii. (alama 3)i) Satuaii) Anawayawaya

2. UFUPISHO (ALAMA 15)

Soma kifungu kisha uyajibu maswali yanayofuata.

Nidhamu ni kitu cha maana sana maishani mwa binadamu. Kila mwanafunzi anapaswa kuwa na nidhamu ya hali ya juu sana. Akiwa na nidhamu hiyo, atakuwa mtu mwadilifu anayeweza kustahiwa na kusadikika katika mambo, shughuli na hali tofauti.

Kwanza, mtoto mwenye nidhamu huwa kama anga au nuru nyumbani mwao, shuleni na pia katika jamii. Watu wote wanampenda na kumheshimu. Wazee kwa vijulanga wale wanamtegemea kama msimamizi wa mambo nyeti ya maisha yao. Kwa hivyo, ni dhahiri shahiri kwamba mwadilifu hunufaika sana, kinyume cha mkaidi ambaye wahenga walimwambia kwamba atakosa kufaidi hadi siku ya Idi. Pili, huwadia nyakati ambapo huwa kuna jambo la busara, mathalani jukumu ama dhima fulani ambayo huhitaji tu mwakilishi mmoja darasani, shuleni au katika jamii. Bila shaka, watu watamteua yule mwadilifu kuchukua nafasi kama hiyo. Ndio maana viranja wanaoteuliwa shuleni, huwa ni wanagenzi ambao tayari wamekwishatiwa katika mizani na kupigwa msasa madhubuti. Vile vile, mwadilifu daima atajiepusha na shutuma na manjanga yote yanayoweza kuchipuka. Kuna msemo maarufu kwa busara yake iliyobusarisha mwadilifu kwamba, "aliye kando haangukiwi na mti. Pia waliambiwa kwamba, ―pilipili usiyoila yakuwashiani?"

Ni bayana kutokana na misemo hiyo miwili kwamba mwenye nidhamu hawezi kuhusishwa na majanga hatari yanayoweza kuwakumba watu.

Walakini ni vyema kujiuliza, je, nidhamu huanzia wapi, na kwa nini kuna baadhi ya 'watoro ambao ni watovu wa nidhamu? Utovu wa nidhamu huanzia awali sana maishani mwa mja. Mtoto anapozaliwa, anategemea miongozo na mielekeo ya watu wazima ambao wako mazingirani mwake. Ndipo wa kale wale waliokaramka walisema kwamba mtoto akibebwa, hutazama kisogo cha nina.

Hivi ni kusema kwamba. nidhamu au utovu wa nidhamu huanzia nyumbani hadi shuleni, kisha hupanuka hadi kutikia kiwango ambapo mja anatangamana na watu wote katika maisha yake. lkiwa sehemu moja ya ukuaji wa nidhamu maishani mwa mja itasambaratika, basi hawezi akawa mkamilifu kinidhamu maishani mwake.

Kwa vile ni bayana kwamba mabaya yote wayatendayo duniani hulipwa na Mola papa hapa duniani, watovu wa nidhamu wote huishia kuangamia, ama kujuta mno kwa amali zao potovu. Ni heri mja kujihidi mwenyewe, kwani uhalifu haulipi chochote. a) Kwa kurejelea aya tano za kwanza, eleza madhara yanayoweza kumpata mtu kwa kutokuwa na

nidhamu. (maneno kati ya 50 - 60) (alama 6, 1 ya mtiririko) b) Bila kubadilisha maana, fupisha aya nne za mwisho. (Tumia maneno 55-60) (alama 7, mtiririko 1)

3. MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 40)a) i) Sauti ni nini katika lugha ? (alama 1)ii) Taja sifa mbili za sauti /k/ (alama 2)b) Tunga sentensi moja ukitumia : (alama 2)i) Kiunganishi tegemezi / cha mashartiii) Kihusishi cha kinyume cha matarajio

Page 311: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

Top grade predictor publishers Page | 309

Page 312: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

c) Kanusha sentensi ifuatayo kwa wingi, wakati uliopita hali ya kuendelea. (alama 2)Mwalimu alikuwa alimwadhibu mwanafunzi mwenye hatia.

d) i) Elezamaanaya kiambishi. (alama 1)ii) Tunga sentensi iliyo na vipashio vifuatavyo vya sarufi : (alama 3)

nafsi wakati ujao hali ya matarajio kirejeshi yambwa mzizi kiishio

e) Eleza sifa mbili za vishazi tegemezi. (alama 1)f) Yakinisha katika udogo umoja. (alama 3)

Watu wale hawaachi kuandamana na mbwa wao waliodhoofika kiafya.g) Changanua sentensi ifuatayo kwa mtindo wa mshale / vishale.

Omondi ni mhasibu lakini hatii bidii kazini. (alama 4)h) Andika sentensi hii katika usemi halisi. (alama 2)

Mwalimu alimuamuru mwanafunzi amalize kazi hiyo haraka.i) Tunga sentensi ukitumia vitenzi vifuatavyo katika kauli ya kutendeka. (alama 2)i) chaii) paj) Andika kisawe cha : (alama 2)i) Hawala .ii) Katani ..k) Eleza maana ya shamirisho kitondo kisha utunge sentensi ili kukibainisha. (alama 2)l) Kwa kutumia mifano miwili, eleza uamilifu wa shadda. (alama 2)m) Eleza matumizi mawili ya kinyota. (alama 2)n) Ainisha virai katika sentensi ifuatayo. (alama 2)

Tulimkuta akiwa katika uchungu mwingi. o) Bainisha matumizi ya ‗ku‘ katika sentensi hii. (alama 1)

Naomi atakupikia chai halafu aende kule uwanjani.p) Fafanua maana zinazojitokeza katika sentensi ifuatayo : (alama 2)

Mabaharia walisema hawatawasiliq) Mtu aneyejiingiza katika matatizo yanayomshinda kutoka huambiwa methali gani. (alama 1)r) Andika nahau inayojumuisha ujumbe ufuatao. (alama 1)

Mtu anayekuwa na wanawake wengi.s) Kikosi ni kwa askari, .............................................. ni la maji na ................................. la nywele. (alama 2)

4. ISIMUJAMII (ALAMA 10)a) Taja sababu mbili zinazochangia kufa kwa lugha. (alama 2)b) Eleza vyanzo viwili vya makosa katika matumizi ya lugha ya Kiswahili. (alama 2)c) Taja mambo mawili yanayofanywa na serikali yetu kuimarisha lugha ya Kiswahili. (alama 2)d) ‗... ah ... naomba kumwongelesha chucho ... Naam, naam chucho

Hujambo? ... si ... si ... sina neno .. naam. Mjomba amezidiwa si wa maji si wa chakula ...kweli ? ... Muungu ? Mkuu amedhihirisha ... yes ... ok ... yeah ... ala! Ameishiwa na pesa.

i) Tambua sajili husika katika dondoo hili. (alama 1)ii) Kwa hoja zozote tatu, eleza sifa za sajili hii. (alama 3)

Top grade predictor publishers Page | 310

Page 313: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA KAUNTI NDOGO YA GEM

102/3 KISWAHILI Karatasi ya 3 Julai/Agosti 2016 Muda: Saa 2½

SEHEMU YA A : USHAIRI 1. Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.

1. Haki ya mtu thawabu kuidai sitasitaHata 'nipatishe tabu muhali mimi kukitaKulitenda la wajibu liwe hai au mataNitafanya majaribu na inapobidi matataHaki yangu 'taidai hata iwe ni kwa vita

2. Haki ya mtu u'ngwana siseme mimi natetaSitaukiri ubwana na jeuri unoletaNa ikiwa ni kuwana sitajali sitajutaSikiri kuoneana na kupakana mafutaHaki yangu 'taidai hata iwe ni kwa vita

3. Haki ifukie chini ipige na kuibuta'Tumbukize baharini 'tazamia kuifwataUkaifiche jangwani nitakwenda kuiletaItundike milimani nitawana kuiletaHaki yangu 'taidai hata iwe ni kwa vita

4. Haki ijengee ngome izungushe na kataNa fususi isimame iwe inapitapitaTainuka nishikame haki yangu kukamataSifa kubwa mwanamume kuenda huku wasotaHaki yangu 'taidai hata iwe ni kwa vita

5. Uungwana siuuzi kwa njugu au kashataAhadi za upuuzi na rai kuitaitaKwa kila alo maizi hawi mithili ya bataTope yake makaazi na chakula cha kunataHaki yangu 'taidai hata iwe ni kwa vita

Maswalia) Bainisha dhamira ya mshairi. (alama 2)b) Eleza umuhimu wa mbinu zozote mbili ambazo mwandishi ametumia kutosheleza mahitaji ya kiarudhi. (alama 4)c) Andika ubeti wa nne kwa lugha tutumbi. (alama 5)d) Fafanua aina tatu za urudiaji zilizotumiwa katika shairi hili. (alama 3)e) Ainisha shairi hili kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo. (alama 2)

i) Idadi ya mishororoii) Mpangilio wa vina

f) Fafanua toni ya shairi hili (alama 1)g) Taja nafsineni katika shairi hili. (alama 1)h) Tambua na ueleze maana ya mshororo ufuatao

Mleo wa ubeti wa mwisho. (alama 2)SEHEMU B : TAMTHILIAMstahiki Meya : T. AregeJibu swali la 2 au la 3

2. ―Duniani kuna watu na viatu na Cheneo ina watu na viatu.‖a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Kwa kutoa mifano mwafaka, fafanua undani wa kauli ya msemaji. (alama 6)c) Onyesha sifa za msemaji wa kauli hii pamoja wa umuhimu wake katika tamthilia. (alama 10)3. a) Jadili mambo ambayo yanachanjia kuanguka kwa utawala wa Meya. (alama 10)

b) Eleza njia ambazo Wanacheneo walitumia katika kuleta mabadiliko katika Mji wa Cheneo. (alama 10)

Top grade predictor publishers Page | 311

Page 314: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

SEHEMU C : RIWAYA Kidagaa Kimemwozea : K. Walibora Jibu swali la 4 au la 5

4. ―Nina furaha kukujulisheni kwamba ... mnamo mwisho wa mwezi. Naomba mradi ... usitishwe ...‖a) Weka mambo haya katika muktadha wake. (alama 4)b) Kuna dhana anayoikataa katakata msemaji wa maneno haya. Itaje na ueleze japo kifupi. (alama 2)c) Dhana hii inaonekana kukita mizizi katika jumuiya ya Wanatomoko. Dhihirisha. (alama 14)

5. Ndoa ni asasi ambayo kwayo mwanamke amedhulumika pakubwa katika jamii. Jadili kwa mujibu wa riwaya hii. (alama 20)

SEHEMU D : HADITHI FUPI Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine Walibora K. na Mohamed S.A - Wahariri Jibu swali la 6 au la 7

6. Katika hadithi ‗Ndoa ya Samani‘ ―Sikutaka kuelezwa jambo la ziada. Nilitamauka kabisa kiasi cha kwamba tulipokuwa ...‖a) Eleza muktadha wa maneno haya. (alama 4)b) Kuna sababu iliyotolewa baadaye kama chanzo cha kutibuka kwa jambo hili. Itaje. (alama 2)c) Taja na ueleze sifa zozote tatu za mnenaji wa maneno haya (hapo juu) (alama 6)d) Eleza kinaganaga maudhui yanayojitokeza katika hadithi hii. (alama 8)

7. a) Ubaguzi ni kati ya masuala mazito yanayojadiliwa katika ―Damu Nyeusi‖. Thibitisha. (alama 10)b) Ushirikina umedhihirika wazi katika hadithi ‗Glasi ya Mwisho Makaburini‘. Tetea dai hili kwa maelezo na mifano

mwafaka. (alama 10)

SEHEMU E : FASIHI SIMULIZI8. a) Ngano ni nini ? (alama 2)

b) Eleza sifa zozote sita za ngano. (alama 6)c) Vyanzo vya ngano vina umuhimu gani ? (alama 5)d) Tofautisha kati ya mighani na ngano za mashujaa. (alama 4)e) Ngano za kiayari zina umuhimu gani katika jamii zetu ? Taja tatu. (alama 3)

Top grade predictor publishers Page | 312

Page 315: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA KAUNTI NDOGO YA GEM

102/1 KISWAHILI Karatasi ya 1 Julai/Agosti 2016

1. Tahadhari kuhusu wizi wa mitihani ya kitaifa.Mtindo.a) Mada

- TAHADHARI!- WIZI WA MITIHANI

b) Ugangulizii) Tatizoii) Mtahadharishajiiii) Wanaotahadharishwa

c) Mwilii) Njia za kuiba mitihaniii) Athari za wizi wa mitihaniiii) Hatua za kuchukuliwa

d) HitimishoHimizo la kuzingatia tahadhari.

Hojaa) Njia za kuiba mitihanii) Kuingia na makala katika chumba cha mtihani.ii) Kutumia simuiii) Walimu kuwapa majibu wakati wa mtihani.iv) Kununua mitihani na kuifanya kabla ya siku ya mtihani.v) Kununua gredi.vi) N.k.b) Athari za wizi wa mitihani.

i) Watahiniwa kukosa matokeo.ii) Wanafunzi kuanguka kozi vyuoni.iii) Wataalamu ghushi.iv) Uvivu miongoni mwa wanafunzi na walimu.v) Watu kukosa imani katika mitihani ya kitaifa.vi) n.k.c) Hatua za kuchukuliwa (Lugha ya ukali)

i) Wahusika kufungwa.ii) Matokeo kufutiliwa mbali.iii) Wahusika kunyimwa nafasi ya kurudia mtihaniiv) Kufutwa kazi.v) n.k.

AUBarua pepe ya kirafiki.Mtindo

a) Anwani- Kutoka kwa : [email protected] kwa : [email protected] zote ziwe upande wa kushoto.

b) Tarehe na saa.c) Utangulizi.

i) mtajo: kwa binamu (mpendwa),ii) Salamu

d) Mwili (mfululizo wa aya)Athari za mihadarati

e) Tamatii) Kutuma salamuii) Kufunga.

- wako mpendwa- jina

Maudhui.i) Kupoteza pesa nyingiii) Umaskiniiii) Ukiwa kwa wanafamiliaiv) Upwekev) Kifo / mauajivi) Wizivii) Uraibu/utegemevuviii) Uhalifuix) Magonjwa

x) Wazimuxi) Uchafuxii) Uzembexiii) Migogoro / vitaxiv) n.kSWALI LA PILI2. Jinsi ya kukabiliana na majanga ya kimaumbile.

Mtindoi) Insha ya maelezoii) Iandikwe kinathariiii) Majanga matano yajitokeze pamoja na namna ya kukabiliana

na kila mojawapo.Maudhui

a) Majangai) Ukame / kiangaziii) Mafurikoiii) Zilizala (mtetemeko wa ardhi)iv) Vimbunga / chamchelav) Maporomoko ya ardhi.vi) Radivii) Volkanoviii) Magonjwaix) Wadudu waharibifu k.m nzige.x) n.kb) Njia za kukabiliana na majanga.

i) Kuchimba mitaroii) Kujenga mabwawaiii) Kutojenga katika maeneo ya majangaiv) Kupanda mitiv) Kuhifadhi misituvi) Kujenga vizuizi k.v. kutavii) Kutumia vizuia radi katika ujenziviii) Hifadhi ya vyakula.ix) Kunyunyiza dawax) Kuvumbua dawa na tiba za magonjwa.SWALI LA TATU. :

Methali3. Mwenye shoka hakosi kunia) Maana

Aliyejiandaa ndiye anayefanikiwa.b) Mtindo

i) Insha ya kinathariii) Lazima kisa kiunge mkono maana na matumizi ya methali hii iii) Kisa kikuzwe pande zote mbiliiv) Si lazima aeleze maana na matumizi ya methali. c) Mielekeo

i) Mtu mwenye elimu ndiye anayenufaika endapo nafasi nzuri yakazi itatangazwa.

ii) Tajiri aliye na pesa tayari kukitokea chochote cha thamani ndiyeanayekinunuaSWALI LA NNE

4. Mtindoa) Ni mdokezo wa kumalizia kwa maneno uliyopewa. b) Lazima maneno ya mwisho yawe yayo hayo aliyopewa. c) Mkondo wa kisa.

Mtu aliyepata hasara fulani kwa sababu ya kupuuza wasia.Tanbihi.

a) Lazima ajihusishe (nafsi ya kwanza itawale) b) Anayeacha neno moja au kuongeza moja kwenye mdokezo

aondolewe alama mbili baada ya tuzo.c) Wa kuongeza au kuacha zaidi ya neno moja, amepotoka

(D03/20)d) Asipomaliza kwa maneno hayo hajalijibu swali. (D 02/30)

Top grade predictor publishers Page | 313

Page 316: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA KAUNTI NDOGO YA GEM

102/2 KISWAHILI Karatasi ya 2 Julai/Agosti 2016 Muda: Saa 2½

1. UFAHAMUa) Kauli, matamko na maandishi yake mengi yameishia kuwa kama msingi ambako majengo mbalimbali ya kitaaluma yamejengwa.b) i) Haki ya kushirikiana na wenzake katika jamii yake.

ii) Haki ya kuishi maisha ya kijamiiiii) Haki ya kujipatia mali kutokana na kazi au juhudi zake. alama 2

c) i) Maendeleo ni kujielekezea lengo maalum tunalochagua na ambalo litayakuza maisha yetu.ii) Maendeleo huhusisha kupiga hatua mbele.iii) Maendeleo yanahusisha kutoka hatua fulani duni hadi hatua nyingine afueni. alama 3

d) i) Ili haki zake zilindwe na wengine, mathalani serikali.ii) Ili kukabiliana na mazingira yake (kuelezea jinsi ya kupambana na mazingira)iii) Ulinzi wa watu wengine.iv) Msaada wa kupewa chakulav) Kupata katunzo wakati wa magonjwa.vi) Ili kufuata imani fulani.vii) Ili kufundishi jinsi ya kujieleza. zozote 3 × 1 = 3

e) Binadamu atambue kuwa mja anahitaji jamii. alama 2f) i) Satua - nguvu / maendeleo makubwa / mamlaka.

ii) Anawayawaya - anayumbayumba.iii) Japo ukufi - japo hafifu /ingawa kidogoUFUPISHO

a) i) Hawezi kustahikiwa na kusadikika.ii) Hawezi kuwa nuru nyumbani / shuleniiii) Hapendwi.iv) Hategemewi na wazee kwa vijulanga iv) Hanufaiki v) Hateuliwi kuwakilisha wenzake. vi) Hupatikana na shutuma na majango.

b) i) Mwadilifu hapati hawezi kuhusishwa na majanga hatariii) Utovu wa nidhamu huanzia utotoni.iii) Mtoto huiga tabia za wazazi.iv) Utovu wa nidhamu huendelezwa shuleni.v) Nidhamu ikisambaratika mja hawezi kuwa mkamilifu maishani.vi) Utovu wa nidhamu hulipwa na adhabu.vii) Mja kujihidi kwani uhalifu haulipi. alama 7, utiririko 0)MATUMIZI YA LUGHA.

a) i) Sauti ni kipashio kimsingi katika uundaji wa neno. AUNi mlio unaotokea kutokana na mgusano au msuguano wa ala za matamshi. alama 1

ii) KipasuoHafifuKaakaa lainiKonsonanti zozote 2 × 1 = alama 2

b) i) Iwapo, endapo, ikiwa n.k.ii) Kumbe! Benta ndiye aliyeshinda! n.k.

c) Walimu hawakuwa wakiwaadhibu wanafunzi wenye hatia. 2 × 1 = alama 2d) i) Kipasho kidogo kwenye neno kilicho na maana kisarufi. AU

Ni sehemu / mofimu inayopachikwa kwenye mzizi wa neno inayoleta maana ya kisarufi. alama 1ii) Tu-ta-ka-ye-m-tuz-a

wa-ta-ka-o-wa-pig-a n.k. ½ × 6 = alama 3e) i) Sehemu ya sentensi isiyokamilika kimaana. Haikubaliki kama sentensi kamili

ii) Huhitaji maelezo zaidi ili kukamilika kimaanaiii) Hata ikiondolewa maana ya sentensi haipoteiiv) Hutambulishwa na vitambulishi vya utegemezi kama vile 'o' rejeshi, viunganishi tegemezi n.k

f) Kijitu kile huacha kuandama na kijibwa chake kilichodhoofika kiafya. alama 3g) S S1 + U + S2

S1 KN + KT KN N N Omondi KT t + N t ni

Top grade predictor publishers Page | 314

Page 317: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahiliN mhasibu U lakini S2 KN + KT KN KT T + N + E T hatii N bidii E kazini

h) " Maliza kazi hii haraka! " Mwalimu alimwamuru mwanafunzi. alama 2.i) i) Mola huchika kwa sababu ya utukufu wake.

atumie chika au cheka. alama 1ii) Ngwenje si kitu kinachopeka vivi hivi.

atumie peka. alama 1j) i) Hundi / cheki alama 1

ii) Mkonge alama 1k)- Shamirisho kitondo ni nomino inayotendewa kitendo au inayonufaika kutokana na utendaji wa kitendo.- Ni yambwa tendewa.

Baba alimpikia mama ugali.Mama ni shamirisho kitondo. alama 3

l) i) Kutofautisha maana ya nenoBara'bara - barasteBa'rabara - sawa

ii) Kutilia mkazo katika neno mteremko.m) i) Kuonyesha neno limeendelezwa vibaya k.m. mchi badala ya mji

ii) Kuonyesha kuwa kuna kosa la kisarufi k.m. viatu zilizopotea zimepatikana.n) i) Tulimkuta akiwa - kirai kitenzi RT

Katika uchungu mwingi - kirai kihusishi RHUchungu mwingi - kirai Nomino RNakiwa katika - kirai tenzi RT

o) i) yambwa / nafsi ya mtendewaii) mahali / kiwakilishi cha ngeli

p) i) Mabaharia wenyewe hawatasawiliii) Watu wengine (Tunaoarifiwa na mabahari hawatafika)

q) Mpanda mchongoma kushuka ndio ngoma. alama 1r) Kuwa fumbwe alama 2s) funda

shungi alama 2ISIMUJAMII

a) i) Kiuchumi - maendeleo na ubunifu wa viwanda yanafanya watu kuhamia mjini ambapo huacha kutumia lugha moja na kuzungumzanyingi.ii) Uchache wa wazungumzajiiii) Kutoungwa mkono na taasisi mbalimbai za kielimuiv) Hadhiv) Ndoa za msetovi) Sababu za kisiasavii) Athari za kielimu zozote 2 × 1 = 2

b) i) Athari za lugha ya mamaii) Kutoelewa kanuzi za kisarufi zinazotawala lugha ya Kiswahili.iii) Kutoelewa kaida za matumizi ya Kiswahili.iv) Uhamishaji wa kanuni kutoka lugha moja hadi kwa Kiswahili mf. nisaidieko v) Mtazamo hasi vi) Athari ya lugha za kigeni vii) Hali ya kiakili ya mtu mf. mlevi viii) Kufanya makosa kimaksuudi ix) Maumbile ya mtu (kibogoyo) zozote 2 × 1 = 2

c) i) Kiswahili kufanywa lugha rasmi ii) Katiba ilipitisha Kiswahili kuwa lugha rasmi iii) Kiswahili kufanywa somo la lazima iv) Vitabu vingi kuchapishwa kwa lugha ya Kiswahili. zozote 2 × 1 = 2d) i) Simu

ii) - Hutumia sentensi fupifupi mf Naam- Hutumia mbinu ya takriri mf Chucho naam - Huhusisha kuchanganya ndimi yes, yeah - Kahuni za lugha hukiukwa mf kumwongelesha. - Matumizi ya maamkuzi mf. hujambo? - Kukutana Kalima zozote 3×1=3

Top grade predictor publishers Page | 315

Page 318: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA KAUNTI NDOGO YA GEM

102/3 KISWAHILI Karatasi ya 3 Julai/Agosti 2016 Muda: Saa 2½

1. USHAIRIa) Dhamira

Mshairi analalamika / ananung‘unika kuhusu kunyimwa haki na ameamua ataidai kwa vyovyote vile 1 x 2 = alama 2b) i) Inkisari - ili kutosheleza idadi ya mizani

m.f. ‗taidai - nitaidai alo -aliye

ii) Kubananga sarufi - kutosheleza vina m.f. haki yangu ‗taidai -nitaidai haki yangu

iii) Kikae / kikale -kutosheleza vina m.f. Maizi - jua / fahamu / elewa / tambua

iv) Udondoshaji - itaidai mbili za mwanzo 2 x 2 = 4c) Hata uifungie haki yangu ngomeni na kuizingira kwa ila, usimamishe kitu cha thamani mbele yangu, bado nitasimama na

kushikilia haki yangu kwani naelewa kuwa sifa kubwa kwangu kama mwanamume ni kwenda hata kama ni kwa kujikokota lakini yangu nitaidai kwa vyovyote vile

5 x 1 = 5 hoja 5 x 1 = alama 5

d) i) urudiaji wa maneno - haki, hakiii) urudiaji wa silabi - kina ta, ta, taiii) urudiaji wa vishazi - haki ifukue chini

- haki ijengee ngomeiv) Urudiaji wa sauti - hoja za kwanza 3 x 1 = alama 3

e) i) Takhmisa - mishororo mitano katika kila ubetiii) Ukara - vina vya nje vina urari (ta) na vya ndani vinabadilikabadilika hoja 2 x 1 = alama 2

f) Toni ya - uchungu- hasira hoja 1 x 1 = alama 1

g) Nafsi neni - mnyonge- anayedai haki yake- mwanamume anayedai haki yoyote 1 x 1 = 1

h) i) Kwa kila ala maizi hawi mithili ya bata - yule mwenye kutambua hawezi kuunganishwa na bata asiyejua lolote2. a) Dida, mfanyakazi wa Meya yuko nyumbani kwa Meya anafagia. Anakumbuka makabiliano kati ya askari na

wandamanaji kisha anaanza kucheka na kutoa kauli hii hoja 4 x 1 = alama 4b) Kauli ya msemaji inadhihirisha kuwa:

i) kuna matajiri na watumishi k.m. ii) kuna watawala na watawaliwa k.m. iii) kuna wenye uwezo na wasio na uwezo k.m. iv) kuna watu watukufu na watu duni k.m. v) Pia ina maana kuwa kuna matajiri na maskini k.m.

c) Sifa za Didai) ni mbinafsi. Anajali maslahi yake tu ii) ni mnyenyekevu kupindukia

anapomhudumia Meya akistaftahi iii) ni mcheshi hasa anapoigiza Askari iv) ni msaliti - anakataa kushirikiana na wafanyakazi wenzake katika harakati za kupigania maslahi yao

Umuhimu wa Dida i) anabainisha nguvu na ukatili wa Askari na silaha zao ii) anadhihirisha mateso na dhiki za wafanyakazi wa nyumbani iii) ni kielelezo cha unyenyekevu wa kiutumwa iv) anatumiwa kuonyesha ubinafsi wa matajiri, viongozi na hata wafanyakazi wao v) ucheshi wake unaifanya tamthilia ivutie vi) ni kielelezo cha watu wasaliti zozote 3 x 2 = alama 6

3. a) Mstahiki Meya aliangushwa na :i) Mapuuza - Meya alipuuza mawaidha kutoka kwa Diwani III na nduguye Siki. Walimweleza ukweli wa mambo kuwa

lazima awasikilize wananchi kutotilia maanani malalamiko ya wafanyakazi ii) Ushairi usiofaa - Diwani I na II walimshauri Meya kutumia nguvu kutatua matatizo ya jiji. Bili anamshauri Meya

wauze fimbo ya Meya. Pia anamshauri Meya wakubali kufidia mwanakandarasi iii) Kiburi na majivuno - Meya hakutaka kuitwa Sosi, anataka kuitwa Mstahiki Meya

- alisomesha watoto wake ng‘ambo na mkewe kujifungulia ng‘ambo

Top grade predictor publishers Page | 316

Page 319: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

- kukataa kukutana na viongozi wa wafanyikazi iv) Kulewa na uongozi - aliamini kuwa yeye ni kiongozi mwema na hawezi kutolewa uongozini. Aliamini watu walimpenda na wangempa nafasi nyingine v) Matumizi mabaya ya ofisi. Meya alitumia ofisi kujitajirisha na kufilisi baraza vi) Sheria za jiji - sheria kama vile ‗riot act‘ ‗Mayors act‘ na ‗collective responsibility.‘ Meya alituma sheria kuwadhulumu

wafanyakazi zozote 5 x 2 = alama 10b) Njia walizotumia wanacheneo kuleta mabadiliko

i) Migomo - wafanyakazi wa mji wa Cheneo wanagoma wakilalamikia mambo kama mshahara duni ii) Majadiliano - Tatu, Medi na Beka walitaka kumwona Meya ili wajadiliane kuhusu maswali ya wafanyakazi iii) Maandamano - wafanyakazi wa mji wa baraza waligoma na hata walifanya maandamano iv) Kutuma ujumbe - Diwani III alijaribu kumtuma Siki kuongea na Meya kumjulisha hali ya Cheneo v) Ushauri - Siki na Diwani III walimshauri Meya jinsi ya kutatua matatizo ya Cheneo zozote 5 x 2 = alama 10

4. a) Ni maneno ya madhubuti katika barua aliyowaandikia jamaa zake akiwa Urusi. Anakataa mradi wowote wa kutafutiwa kazi jeshini na babake zozote 4 x 1 = alama 4

b) Ufisadi - anakataa kutafutiwa kazi jeshini kwa njia ya mulungura na ushawishi wa kisiasa kutaja 1, maelezo 1 1 x 2 = alama 2

c) Ufisadi ulivyojidhihirisha katika jumuiya ya tomoko i) Viongozi wanafuja pesa zilizotengewa ujenzi wa hospitali wakaishia kujenga zahanati tuii) Nasaba Bora akihudumu katika wizara ya Ardhi na Makao, anazighushi stakabadhi ili kuyanyakua mashamba yawenyeweiii) Nasaba Bora anawahonga majaji na mahakimu ili kubatilisha haki katika kesi dhidi ya Yusufu Hamadi iv) Fao anafanyiwa mtihani v) Fao anafaidi ufadhili wa elimu uliodhamiriwa maskini licha ya kuwa yeye hakuwa mmoja wao vi) Mwalimu Majisifu akiwa mhariri katika matbaa ya kitaifa ―anaikataa miswada ya vitabu‖ na hatimaye kuishia kuichapisha kwa jina lake mwenyewe vii) Nasaba Bora anawatuma Askari kuenda kuwafurusha kina Amani kutoka shamba lao baada ya kughushi stakabadhi viii) Nasaba Bora anawalazimisha watu wa Sokomoko kuchangia elimu ya mwanaye Madhubuti akielekea Urusi kwa masomo zaidi zozote 7 x 2 = 14

5. RIWAYANdoa kati ya Majisifu na Dora

i) Majisifu anamchukia mkewe Dora kwa kumzalia walemavuii) Majisifu anajitenga na Dora kwa miaka 15 ambapo hakumtimizia wajibu wake kama mumewe wa ndoaiii) Majisifu anamtusi mkewe Doraiv) Kutishia kumpiga Dorav) Majisifu anamwachia majukumu yote yakuwalea wana wale walemavuvi) Dora ananyimwa uneni - nafasi ya kujieleza kimawazo ―shut up‖vii) Anadhalilishwa kwa kujipondoa hata anakumbushwa kuwa kwa kujipaka wanja hawi sawa na mwanamume

Ndoa kati ya Zuhura na Nasaba Borai) Mtemi Nasaba Bora anamwacha Zuhura katika upweke akizingizia kwenda kusuluhisha migogoro ya ardhiii) Anamwendea kinyume na Lowela Binti Maoziiii) Anamtaliki kwa kuwafumania pamoja na Amani katika chumba chao cha malazi iv) Mumewe Zuhura (Nasaba Bora) anakasirishwa na tukio la madhubuti kujitambulisha kwa jinake Zuhura v) Ananyimwa uneni / nafasi ya kujieleza kimawazo. Anapuuzilia mbali pendekezo lake la kutibiwa kwa DJ alipongatwa na

Jimmy na lile la kumsaidia mama aliyekuwa anajifungua kando ya barabara vi) Anamrejelea kama ―jamvi la wa mgeni‖ kwa kuwapata pamoja na Amani chumb zozote 5 x 2 = 10 6. a) Ni maneno ya Msimulizi / Abu ambapo posa lake linakataliwa mara ya kwanza alipoenda kumposa Amani

kwao hoja 4 x 1 = alama 4b) Umaskini ―tena sijui kama utaweza mahari ...‖ Sikuwa na uwezo wa kujilisha mwenyewe sembuse binti yake

kutaja 1, maelezo 1 1 x 2 = alama 2 c) Sifa za mnenaji / msimulizi /Abu

i) Mwenye bidii - anafanya kazi kwa bidii huko urabuni akaweza kujiondolea mikatale ya umaskini kabisa ii) Mwenye kisasi - anasitisha ndoa kati yao katika dakika za mwisho anapokumbuka alivyokataliwa mara ya kwanza akiwa

maskini iii) Mhisani - anawafaa wazaziye, jamaa na marafiki zake kwa anuai alipotononokewa iv) Mwenye hasira kali - kumbukumbu za yaliyojiri awali zinamkasirisha pakubwa akajiondoa kwa kumbatio la Amali

akajiendea zake za kwanza 3 x 2 = alama 6Maudhui katika ‗ndoa ya Samani‘

i) Utamaduni - makaribisho, maandalizi na hata posa zilivyoendeshwa ii) Tamaa - wazazi wa Amani hasa mamake watawaliwa na tamaa ya mali (uk.87) iii) Kisasi - Abu anajiondokea wakati huo wa kukutana na Bi Anesi (Amali) kama namna ya kulipiza kisasi kwa kukataliwa akiwa maskini. Vilevile anafanya kazi kwa bidii ili kujiondolea ufuke na kuwaabisha waliomdharau mbeleni iv) Utabaka - familia ya msimulizi ni ya tabaka la chini ikilinganishwa na ile ya kina Amali v) Usaliti - msimulizi anazisaliti hisia zake Amali katika dakika za mwisho anapojiondoa pale na kusambaratisha

Top grade predictor publishers Page | 317

Page 320: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

mpango wa ndoa vi) Ndoa - hadithi inasimulia masaibu ya ndoa za kupangwa na wazazi tofauti na zile ambazo zina misingi yake katika

mapenzi baina ya wanao husika zozote 4 x 2 = alama 8 kutaja alama 1, maelezo alama 1

7. a) Ubaguzi unavyojidhihirisha katika Damu Nyeusii) Fikirini alibaguliwa kutokana na weusi wa ngozi yake. Anaulizwa maswali ya kudhahilisha na wanafunzi wenzake

chuoni. Weusi huu wenu ni wa kujipaka lami ? ii) Dereva mzungu anakataa kusimamia kituoni kumbeba Fikirini licha ya yeye kulisimamisha gari / basi iii) Vyuoni wanafunzi Waafrika wananyimwaalama wanazostahili kutokana na rangi zao iv) Waafrika wengi wamo gerezani huko Marekani, ni kana kwamba jela zimeundiwa watu weusi v) Aidha wanafunzi wengi hawakamilishi mafunzo yao kutokana na kukamatwa na kufungiwa kwa makosa madogomadogo vi) Fikirini anatozwa faini anapovuka barabara wakati taa zikiwa nyekundu. Wazungu waliotenda kitendo kicho hicho

huwaachwa huru. vii) Waafrika hubaguliwa katika sehehmu za umma vile mikahawani. Fikirini amaangaliwa kwa dharau mkahawani viii) Fikirini alipoingia madukani aliandamwa na walinzi kama wanavyochunga wezi zozote 5 x 2 = alama 10 b) Ushirikina katika glasi ya mwisho makaburini - Msoi aliamini kwamba ndoto anazoota hutokea katika hali halisi - aliota kuwa baa ya mavani wanayobarizi kila wakati ingewaletea janga - wafu walikasirika kukerwa mara nyingi hivyo walitaka kujilinda - hii inamfanya akatae kwenda kwenye baa waliyoizoea iliyoko karibu na makaburini - anaamini kwamba vizuu watafufuka na kufanya jambo katika baa yao karibu na mavani - Msoi anaamua asiende baa hiyo ila ajikalie nyumbani - hata alipolazimishwa kwenda katika baa hiyo na Semkwa, bado Msoi hakuwa na amani - walipoondoka alijikwaa na bakuli la maua likavunjika vipande. Akachukulia kuwa ni dalili za jambo baya kutokea - alikosea mizani karibu kuanguka pia ni dalili zinazoashiria tokeo baya - Msoi alijibana kidole kidole akifunga mlango wa gari - mawingu meusi yalitanda ghafla agani na radi ikatokea. Hata hivyo hapakuwa na tone moja la mvua - Msoi anaamini mila na desturi za ushirikina - Msoi ana njia isiyo ya kawaida ya kujulishwa iwapo kuna mkosi utakaotokea. Anajulishwa kwa kupitia malaika yake na baadaye huoteshwa - wenzake walipokula, yeye alikuwa amejawa na mawazo tele kutokana na ushirikina - Imani kuwa kuna balaa itakayotokea 8. a)

Ngano ni hadithi ya kimapokeo ambazo hutumia wahusika k.v. wanyama, watu, miungu, mashetani, mizimu, mito na vitu visivyo hai kuelezea kuhusu maisha

hoja 1 x 2 = alama 2 b) Sifa za ngano i) Huwa na fomyula maalum za ufunguzi na kuhitimisha ii) Huwa za kimapokeo - hurithishwa kutoka kizazi hadi kingine iii) Usimulizi wake huwa na urudiaji au ukariri mwingi wa maneno, sauti na vifungo vya maneno iv) Huwa na wahusika wa aina mbalimbali k.v. binadamu, wanyama, mazimwi, viumbe visivyo hai, mazimwi, miungu na hata mashetani, wahusika hawa hupewa sifa za kibinadamu ili waweze kuadilisha v) Aghalabu hujumu nyimbo kama kitulizo kwa hadithi vi) Huwa msuko / ploti sahili - wa moja kwa moja vii) Huwa na mafunzo yanayomulika mtazamo wa jamii husika kuhusu maisha viii) Hutumia pakubwa fantasia - ajabu au yasiyo ya kawaida ix) Huwa na kipengele / motifu ya safari ambapo wahusika wengine husafiri mbali kutafuta utatuzi kwa matatizo ya jamii x) Huwa na upenyezi wa mfambaji ambapo yeye huingiza maneno yake au kutoa maoni yake kuhusu tukio / mhusika fulani

katika hadithi xi) Matukio yake hayajikiti katika kipindi maalum k.m. zamani sana ... au hapo zamani za kale ...

za kwanza 6 x 1 = alama 6 c) Umuhimu was fomyula ya ufunguzi / vyanzo vya ngano i) Huvuta makini au usikivu wa hadhira wakawa tayari kusikiliza ii) Hutambulisha / humtangaza mtambaji iii) Huashiria mwanzo wa hadithi iv) Huweka mpaka kati ya ulimwengu halisi na ulimwengu wa hadithini v) Hushirikisha / huwaleta pamoja hadhira na mtambaj zozote 5 x 1 = alama 5d) Mighani ni hadithi za kimapokeo zinazohusu mashujaa / magagina ambao huaminiwa walipata kuishi huku nganoza mashujaa ni hadithi za kubuni tu hoja 2 x 2 = alama 4e) Umuhimu wa ngano za kiayari / hekayai) Huwahimiza watu kupiga bongo ili wapate kujinasua kutoka hali tata au hata hatariii) Huelimisha kuwa unyonge si hoja, bora tu mtu atumie akili ataweza kuushinda uboraiii) Huadilisha au huonya dhidi ya matendo hasi kama vile udanganyifu, usaliti, hadaa na matumizi mabaya ya cheo

hoja kwanza 3 x 1 = alama 3

Top grade predictor publishers Page | 318

Page 321: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA WESTLANDS Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

102/1

KISWAHILI Karatasi ya Kwanza (INSHA) Julai /Agosti 2016 Muda: Saa 1¾

1. Swali la lazima.Andika barua kwa rafiki yako aliye nchi nyingine kuhusu hofu iliyozushwa na suala la ugaidi nchini na jinsi ambavyolingeweza kukabiliwa.

2. Jadili jinsi unywaji wa pombe kupindukia umechangia majonzi mengi nchini.3. Andika kisa kitakachodhihirisha maana ya methali:

Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwegu. 4. Tunga kisa kinachomalizika kwa maneno yafuatayo:

. tulishangazwa na jinsi watu tofauti wanavyoweza kuletwa pamoja kwa jambo kama hili.

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA WESTLANDS Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya KISWAHILI Karatasi ya Pili (Ufahamu, ufupisho, Sarufi na Matumizi ya lugha na Isimujamii) Julai / Agosti 2016 Muda: Saa 2½

1. UFAHAMU (alama 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali.

Kama kuna jambo ambalo limeiparaganya akili ya mahuluki ni kuielewa dhana ya demokrasia. Kiumbe huyu heshi kuuliza mkururo wa maswali. Demokrasia ni nini hasa? Tunaweza kula demokrasia? Ni dude gani hili? Lina kichwa au mkia pekee yake? Je, demokrasia inazuia njaa? Demokrasia ni himaya ya wasomi tu au vilevile ni haki ya mafalahi? Kwa muda mrefu kumekuwa na kinyang'anyiro kikubwa katika jamii ambacho azma na matokeo yake yamekuwa ya kutatanisha. Baadhi ya watu wamejitokeza kama mchuzi wa ugali na kuzusha zahama ambayo si ya kuyumkinika. Vichwa vya adinasi vikafyekwa kwa mindu na maparange na matumbo yakapasuliwa na kupakaza utumbo na vijusi kila mahali. Shingo zikapigiwa vigingi na kukomewa ardhini. Demokrasia si mchezo wa lelemama. Ni sharti tujifunge vibwebwe tumwage damu na tufe ili tupate demokrasia ya kweli. Mmoja wa mibabe wa demokrasia aliguruma kadamnasi ya umati huku ngoma za vita zikirindima. "Hata Marekani na Ulaya. Walimwaga damu. Mamilioni ya watu walipukutishwa na kimbunga cha demokrasia. Chini walilaliana kama vimatu na tunutu. Hawa manafiki wanafikiri hatuwajui. Katu hatutakubali porojo zao. Wanatupikia majungu kisha wakatoweka na demokrasia ya Afrika na ile ya Ulaya." Mkereketwa wa Uafrika akachangamanua.

Demokrasia ya Afrika basi imefuata mkondo huu wa umwagaji damu. Kila kukijiri uchaguzi zahama hutawala. Walio madarakani hawataki kubanduka. Hutafuta visababu vya kukwepa wimbi la ushinde. Demokrasia ni mchezo wa mizengwe tu ati. Hali hii imesababisha maafa makubwa. Uharibifu mkubwa wa mali, majeraha, ukimbizi wa raia ndani na nje ya mataifa husika, dhuluma za kimapenzi dhidi ya wanawake, kuzagaa kwa magonjwa ainati na uhasama wa kikabila. Jambo la kusikitisha ni kwamba raia na viongozi hawaelekei kujifundisha lolote kutokana na hali hii. Huku mataifa mengi ulayani na Asia yakikwea daraja moja baada ya nyingine kimaendeleo, Afrika imedumaa tu. Imesalia kuimba ule wimbo wake kutokea azali: 'Tutaendelea vipi na tunadhulumiwa na kaka wakubwa.' Siasa na demokrasia katika bara la Afrika ina taji kubwa hususan kwa wachache waliofanikiwa kudhibiti nyenzo za kutia tonge kinywani. Ulitima wa umma husalia miradi hewa ya tabaka la viongozi ambayo hutumiwa kuvinadi zamu nyingine ifikapo tena. Demokrasia ya kweli imo mikononi mwa umma pale utakapojikomboa kiawazo na kwa ujasiri kudai huduma bora uwajibikaji na kuheshimiwa kwa mkataba wa kijamii ulioasisiwa na Jean Jaiques Rousseau. Maswali

a) Kwa maoni ya mwandishi, binadamu amaechanganyikiwa kwa njia gani? (alama 2)b) Eleza ni vipi demokrasia ya kweli inaweza kufikiwa. (alama 2)c) Kwa nini inasemekana kuwa 'Demokrasia ni mchezo wa mizengwe'? (alama 2)d) Kuna athari nyingi zinazotokana na kinyang'anyiro cha Demokrasia. Eleza zozote nne. (alama 4)e) Fafanua ni vipi dhiki za raia zimesalia kuwa miradi-hewa ya wanasiasa. (alama 2)f) Andika maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika kwenye kifungu. (alama 2)

i) Mkereketwaii) ulitima

Top grade predictor publishers Page | 319

Page 322: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

2. UFUPISHO (alama 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali.

Mirundiko ya taka pamoja na utaratibu usiofaa wa uzoaji wake ni tisho kubwa kwa siha ya umma pamoja na mazingira. Hii ni kwa kuwa taka huwa ni makazi ya wadudu na wanyama waharibifu kama nzi, mbu, kombamwiko na panya ambao hueneza magonjwa na kuharibu vitu vyenye thamani. Maji taka nayo, pamoja na mifuko ya plastiki, huwa mastakimu ya wadudu na virusi vinavyoleta magonjwa mbalimbali. Mifuko ya plastiki ina madhara zaidi kwa kuwa huziba mitaro ya maji na kuzuia upitaji wa maji. Madhara hutokeza wakati mvua za gharika zinaponyesha. Maji hukosa njia yake ya kawaida ambayo huwa imezibwa na mifuko hii. Maji haya husababisha mafuriko ambayo huleta hasara ya mali na wakati mwingine ya uhai. Fauka ya haya, mifuko hii huwasakama tumboni wanyama sio wa nyumbani tu, bali wa porini na majini.

Kwa sababu ya hatari zitokanazo na taka, pana haja kutafuta njia na teknolojia ya kuweza kukabiliana na taka ili kuyatunza mazingira na siha ya umma. Njia mojawapo ya kufanya hivi ni kuelimisha na kuhimiza umma kuwa na uangalifu katika matumizi ya bidhaa na rasilmali ili kupunguza uzalishaji wa taka. Matumizi ya bidhaa kwa njia ya ubadhirifu huwa chanzo cha uzalishaji wa taka kwa wingi. Kwa mfano maji ni rasilmali ambayo imeendelea kutumiwa kwa ubadhirifu na hiyo huzalisha maji taka kwa wingi. Rasilmali hii inaweza kutumiwa kwa uangalifu. Kwa mfano badala ya kutumia bafu ya mnyunyu kuogea, mtu anaweza kutumia maji ya karai.

Watu wengi huchukulia taka kuwa kitu kisicho na manufaa yoyote. Hawajui kuwa kwa kutumia teknolojia endelezi, taka nyingi zinaweza zikageuzwa na kuwa na manufaa mengi. Vijana wadogo sehemu za mashambani wanahitaji pongezi kwa kuwa na utambuzi huu wengi kwa kukosa hela za kununua mipira ya viwandani hutumia makaratasi na mifuko ya plastiki kutengeneza mipira wanayoitumia. Hii ni teknolojia endelezi ambapo taka hugeuzwa na kuwa na manufaa.

Baadhi ya wananchi wenye ubunifu nao wameanzisha miradi ya kuzoa takataka kutoka majumbani mwa watu. Hutoza ada fulani ya uzoaji, kisha huzipeleka taka hizi kule zitakakobadilishwa ili ziwe na manufaa. Mifuko na mabaki ya plastiki kama vile matangi, mitungi, sapatu na champali. Huwa malighafi ya kutengenezea bidhaa nyingine. Taka za chupa na chuma nazo huuzwa katika viwanda vinavyozigeuza kuwa na manufaa tena. Taka za karatasi hutumiwa kutengenezea bidhaa kama vitabu, katoni, shashi za chooni, magazeti na kadhalika.

Taka zinaweza pia kugeuzwa kuwa zenye faida kwa kuzitumia kufanyia mboji. Ni muhimu kutambua kuwa si kila aina ya taka inaweza kutumiwa hapa. Taka zinazoweza kufanyiwa mboji ni zile ambazo huoza kwa haraka nazo ni kama vile mabaki ya vyakula, mboga na matunda. Hizi ndizo taka zinazozalishwa zaidi siku hizi na hasa sehemu za mjini na katika maeneo ya biashara kama mikahawa, hospitali n.k. Mtu akiwa na nafasi anaweza kuchimba shimo ambalo atafukia taka hizi ili kutengeneza mbolea. Hii ni njia isiyodhuru mazingira nayo ina manufaa kemkem. Kwanza, hugeuza taka ambayo inaweza kuwa hatari na kuifanya iwe yenye manufaa. Kwa hivyo, hutatua matatizo ya kiafya yanayoweza kutokana na mirundiko ya taka. Mchanga nao hufaidika kupata virutubishi. Mbolea kama hii inaweza ikatumika kukuzia mboga au maua katika bustani.

Maji taka, hasa yanayotumiwa kuoshea vyombo, nayo yanaweza kutumika kunyunyizia mashamba madogo ya mboga au bustani za maua. Maji taka haya yanahitaji kutayarishiwa njia mahususi ya kuyaelekeza katika mashamba haya baada ya kutumiwa.

Aghalabu watu wengi wana mazoea ya kuchoma taka, Ni kawaida kupata matanuri ya kuchomea taka katika baadhi ya mitaa, shule, hospitali n.k badala ya kupoteza moto bure inawezekana pakawekwa birika kubwa au tangi la chuma ambalo litatumia moto huo kuchemshia maji ambayo yanaweza kutumiwa katika shughuli za nyumbani.

Hata hivvo ni muhimu kukumbuka kuwa kuna baadhi ya taka ambazo ni hatari na huenda zisigeuzwe ili kutumika kwa njia yenye faida. Taka hizi ni kama mikebe au vifaa vingine vyenye kubeba sumu au dawa hatari. Ni bora kuzitupa dawa hizi katika mashimo marefu au vyoo vya mashimo

Kwa vyovyote vile, si jambo muhali kuwa watu popote wanapoishi kulinda siha yao pamoja na kutunza mazingira. Ulinzi na utunzaji huu huhitaji uangalifu mkubwa katika utupaji taka. Maswali

a) Fupisha ujumbe wa aya mbili za kwanza kwa maneno 70. (alama 6, 1 ya mtiririko)b) Kwa kurejelea aya tano za mwisho, eleza umuhimu wa taka kwa maneno 100. (alama 9, 1 ya mtiririko)3. MATUMIZI YA LUGHA. (alama 40)a) Tofautisha sauti zifuatazo: (alama 2)

i) / e //i /

ii) /p // b /

b) i) Shadda ni nini? (alama 1)ii) Andika maana ya maneno yafuatayo. (alama 2)

'mbunim'buni

Top grade predictor publishers Page | 320

Page 323: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

c) Kiambishi na mofimu hutofautianaje? (alama 2)d) Tunga sentensi yenye kiulizi -ngapi katika ngeli ya mahali (ndani). (alama 2)e) Kanusha katika hali ya udogo.

Ng'ombe na mbuzi wote walionunuliwa wamepelekwa kichinjioni. (alama 2)f) Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia kisawe cha neno lililopigiwa mstari.

Siha ya mtoto yule imeimarika. (alama 1)g) Ainisha vielezi katika sentensi ifuatayo : (alama 2)

Mwalimu alitoka shuleni na akatembea haraka haraka.h) Tumia neno mzazi kutungia sentensi kama: (alam 4)

i) nominoii) kivumishi

i) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mishale. (alama 4)Alimwona mamba majini alipopiga mbizi jana.

j) Andika sentensi ifuatayo upya ukibadilisha vitenzi vilivyopigiwa mstari katika kinyume. (alama 2)Baba alimbariki mwanawe mtiifu.

k) Tunga sentensi mbili kubaini matumizi mawili tofauti ya mshazari. (alama 2)l) Andika katika kauli yakinishi. (alama 2)

Hatakuja tusipomwarifu mapema.m) Geuza katika usemi halisi. (alama 3)

Mwanafunzi alishangaa na kusema kuwa hakuamini alipata alama nyingi vile katika insha.n) Ainisha shamirisho.

Mtoto alipikiwa chai na mamake kwa sufuria chafu. (alama 3)o) Tunga sentensi ukitumia kitenzi 'ota' katika kauli ya kutendea. (alama 2)p) Bainisha kirai kivumishi na kielezi.

Raia wenye bidii husifiwa kote ulimwenguni. (alama 3)q) Tunga sentensi ili kutofautisha maana ya : (alama 2)

i) fujaii) vuja

4. ISIMUJAMII (alama 10)Una fursa ya kuwazungumzia wanafunzi wenzako kuhusu umuhimu wa sarakasi. Eleza sifa tano za lugha utakayotumia.

Top grade predictor publishers Page | 321

Page 324: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA WESTLANDS Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya FASIHI YA KISWAHILI KARATASI YA TATU Julai / Agosti 2016 Muda: Saa 2½

1. (LAZIMA)SEHEMU A: HADITHI FUPIDamu Nyeusi na Hadithi nyingine : K. Walibora na S.A. Mohamed"Jitihada haiondoi kudura." Huku ukirejelea hadithi zozote tano katika diwani ya Damu Nyeusi na Hadithi nyingine, elezaukweli wa methali hii. (alama 20)SEHEMU B : RIWAYA:Kidagaa Kimemwozea ; K. WaliboraJibu swali la 2 au la 3

2. ―Unautukanisha ukoo wetu mtukufu. Siku hizi hata naona aibu kukuita ndugu yangu‖.a) Fafanua muktadha wa dondoo hili (alama 4)b) Wahusika hawa ni riale kwa ya pili? Fafanua. (alama 16)

AU 3. Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea imeangazia kwa kina ujenzi wa jamii mpya. Thibitisha kwa kurejelea mifano kumi.

(alama 20) SEHEMU C : TAMTHILIA Mstahiki Meya : Timothy M. Arege Jibu swali la 4 au la 5

4. "Nina hakika umeona mji ulivyo mchafu. Harufu kila mahali . . ."a) Eleza muktadha wa usemi huu. (alama 4)b) Fafanua sifa nne za msemewa. (alama 4)c) Kwa kutoa mfano taja mbinu moja ya sanaa inayojitokeza katika dondoo. (alama 2)d) Mbali na harufu inayorejelewa katika dondoo hili, jadili 'harufu' nyingine inayojitokeza katika baraza la mji wa Cheneo.

(alama 10)AU

5. a) Kwa kurejelea Tamthilia ya Mstahiki Meya eleza matumizi ya : (alama 10)i) majaziii) uzungumzi nafsia iii) nyimbo / ushairi iv) tashbihi v) kuchanganya ndimi

b) ―Siuoni mpango wa kuwanufaisha watu wetu.‖i) Msemaji analalamikia manuafaa gani katika muktadha huu? (alama 4)ii) Eleza umuhimu wa msemaji. (alama 6)

SEHEMU D: FASIHI SIMULIZI6. a) i) Kwa kutoa mfano mmoja eleza dhana ya maigizo. (alama 2)

ii) Fafanua dhima ya maigizo. (alama 8)b) Nafasi ya miviga katika jamii ni muhimu. Jadili aina tano zozote za miviga. (alama 10)SEHEMU E: USHAIRI

7. Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali. Sebuleni niliketi Mapema moja jioni Nikaanza kumbo kuupiga Mlima wa ugali

Mboga na nyama nikautowelea Kabla ya maziwa mafunda kupiga Na maji kuteremsha, koo kusafisha

Pembeni niliketi Nikipumua kwa shida Na kushindwa kujinyanyua Taratibu askari wakaninyemelea Na bakunja kunipiga

Nilipozinduka nilikuta changu kisanduku Macho kikiwa, habari kinamwaya Ndipo nikaona wenzangu wananchi

Top grade predictor publishers Page | 322

Page 325: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Mizizi wakila na matunda mwitu Vyote wakivisaka kwa taabu

Katika mazingira hayo ya sarabi Miili yao ilikuwa taabu kuibeba Kwa unyonge wa njaa.

Nikashangaa tulivyoishi Chini ya bendera moja Lakini tukiwa mbalimbali Katika limwengu tofauti Kama ardhi na mbingu

a) Eleza aina ya shairi hili? (alama 2)b) Tambua nafsineni katika shairi? (alama 2)c) Fafanua sifa za utunzi alizotumia mshairi. (alama 4)d) Eleza toni ya mshairi inayojitokeza katika ubeti wa kwanza na wa pili. (alama 2)e) Andika ubeti wa sita kwa lugha nathari. (alama 5)f) Kwa kurejelea shairi dondoa mifano miwili ya mbinu za lugha. (alama 2)g) Fafanua maana ya maneno yafuatayo jinsi yalivyotumiwa katika shairi. (alama 3)

i) kumboii) bakunjaiii) sarabi.

Top grade predictor publishers Page | 323

Page 326: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA WESTLANDS Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/1 KISWAHILI Karatasi ya Kwanza (INSHA) Julai /Agosti 2016 Muda: Saa 1¾

1. i) Muundo / suraZingatia muundo wa barua ya kirafiki

ii) Anwani moja pamoja na tarehe (wima au mshazari)

iii) Mtajo k.m. Rafiki mpendwa, Kwa Juma,

iv) Utangulizi- kumjulia hali- lengo la kuandika barua

v) Mwili/maelezo/yaliyomo Baadhi ya visababishi vya hofu kuzuka

a) zana za vita k.m. gruneti, mabomu b) kushukiana k.v. jamii mbalimbali nchini au dinic) maafa d) uharibifu wa mali k.v. majengo e) kunajisiwa f) kutekwa nyara g) hofu ya mashambulizi katika mahali pa umma k.m. maabadini, hotelini, vyuoni Baadhi ya masuluhisho a) ukaguzi wa watu katika sehemu za umma b) miradi inayowahusisha utangamano k.v. michezo, masomo c) kuelimisha umma kuhusu umuhimu wa maisha ya binadamu d) kudumisha usalama kwa kuweka kamera fiche na walinzi katika sehemu za umma e) kuelimisha umma kuhusu mbinu za kujinusuru f) kuripoti kwa polisi mara moja g) nyumba kumi n.k.

2. Hojai) kudhoofika kiafyaii) kutowajibika/kutotelekeza majukumu nyumbani iii) ajali barabarani iv) kutenganisha familia v) vita nyumbani vi) vifo vii) kutowajibika kazini viii) kupoteza kazi ix) uhalifu kuongezeka x) kuzorota kwa maadili xi) kielelezo kibaya kwa kizazi kipya xii) maendeleo kuzorota xiii) utegemezi n.k.

3. Insha ya methalii) Mtahiniwa aanze kuandika kisa moja kwa moja

ii) Mtahiniwa aandike kisa kitakachodhihirisha pande zote mbili za methali 4. Mambo ya kuzingatiwa :

i) Kisa kinafaa kuwa katika wakati uliopita ii) Mtahiniwa azingatie kumaliza kisa kwa maneno yote yaliyodokezwa iii) Mahali pa tukio padhihirishwe iv) Baadhi ya matukio

- tukio laweza kuwa zuri au baya; kubwa au ndogo - laweza kuwa katika sherehe - laweza kuwa ni mkasa - laweza kutokea katika kongamano - laweza kuwa la kitaifa / kimaitaifa

Top grade predictor publishers Page | 324

Page 327: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA WESTLANDS Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya KISWAHILI Karatasi ya Pili (Ufahamu, ufupisho, Sarufi na Matumizi ya lugha na Isimujamii) Julai / Agosti 2016 Muda: Saa 2½

1. UFAHAMUa) Ameshindwa kuelewa dhana ya demokrasia. Dhana hii ina fasili nyingi kutegemea lengo la mtu / kundi la watu / mahali

wanamoishi (alama 2)b) i) Pale umma utakapojikomboa kimawazo

ii) Kudai huduma bora kwa ujasiriiii) Uwajibikaji pamoja na kuheshimiwa kwa mkataba wa kijamii (hoja zozote 2 x 1 = alama 2)

c) i) Kinyang’anyiro cha madarakaii) Wasio na madaraka wanatumia kila mbinu kuyapataiii) Walio madarakani hawataki kubanduka (zozote 2 x 1 = alama 2

d) i) maafaii) Uharibifu wa mali iii) Majeraha iv) Ukimbizi wa raia ndani na nje ya mataifa husika v) Dhuluma za kimapenzi dhidi ya wanawake vi) Uhasama wa kikabila vii) Kuzagaa kwa aina mbalimbali za magonjwa (hoja za kwanza 4 x 1 = alama 4)

e) i) Hutumiwa na tabaka la viongozi kujisifu hasa wakati wa uchaguziii) Wanasiasa hujifanya kuwa wanajali maslahi ya wanajamii kumbe huvuna zao ni kilio cha mamba

f) mkereketwa - shabiki / mfuasiulitima - uchochole / umaskini (kila jibu alama 1) 2 x 1 = 2

2. UFUPISHOa) Hoja

i) mirundiko ya taka na utaratibu usiofaa wa uzoaji wake ni tisho kwa siha ya umma ii) taka huwa makazi ya wadudu na wanyama waharibifu iii) maji taka pamoja na mifuko ya plastiki huwa makao ya wadudu na virusi vinavyoleta magonjwa iv) wakati wa gharika, maji husababisha mafuriko kutokana na njia yake kuzibwe na mifuko hii v) njia mojawapo ya kutunza mazingira ni kuelimisha na kuhimiza umma kuwa na uangalifu katika matumizi ya bidhaa vi) kupunguza uzalishaji taka (hoja 6, 1 ya utiririko)b) Hoja i) watu wengi hawajui kuwa kwa kutumia teknolojia endelezi taka nyingi zinaweza kugeuzwana kuwa na manufaa ii) mifuko na mabaki ya plastiki hupelekwa katika viwanda vinavyotengeneza bidhaa za plastiki iii) taka, chupa na chuma huuzwa katika viwanda vinavyozigeuza kuwa na manuf iv) taka zinazoweza kuoza zinaweza kutumiwa kutengeneza mbolea kwa kufukia mabaki ya vyakula, mboga na matunda ardhini v) njia hii haidhuru mazingira bali hutatua matatizo ya kiafya yanayoweza kutokana na mirundiko ya taka vi) pia hurutubisha udongo vii) maji taka yanaweza kutayarishwa njia mahususi ya kuyaelekeza mashambani viii) moto usipotezwe bure wakati wa kuchoma takataka ix) moto wa kuchoma taka unaweza kuchemsha maji kwa matumizi nyumbani (hoja 9, 1 ya utiririko)

3. MATUMIZI YA LUGHAa) i) / i / ni ya juu

/ e / ni ya katiii) / p / sighunaiii) / b / ghuna

@ ½ x 4 = alama 2*lazima aandike sifa za sauti zote ili kupata tofauti

b) i) shadda - ni mkazo katika kutamka silabi ya neno ili neno liweze kuleta maana iliyokusudiwa (alama 1)ii) ‘mbuni - aina ya ndege

m’buni - mti uzaao kahawa (alama 2)c) kiambishi ni kipashio chenye maana ya kisarufi ambacho hupachikwa kwenye mzizi wa neno ili kulipa neno hilo maana

mbalimbalimofimu ni kipashio kidogo zaidi cha lugha chenye maana kisarufi (2 x 1 = alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 325

Page 328: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

d) Kadiria usahihi wa majibu k.m.Mahali / pahali mungapi mmesafishwa ? (alama 2)

e) Vigombe na vibuzi vyote vilivyonunuliwa havijapelekwa kichinjioni. (alama 2)f) Siha - afya (alama 1)

g) shuleni - kielezi cha mahaliharaka haraka - namna radidi / kariri (2 x 1 = alama 2)

h) Kadiria usahihi wa majibu k.m.Mzazi wake amekuja (N)Aliyekuja ni baba mzazi (V) (2 x 2 = alama 4)

i) S KN + KTKN ØKT T + N + E + S + ET alimwonaN mambaE majiniS alipopiga mbiziE jana (@ ½ x 8 = alama 4)

j) Baba alimlaani mwanawe mkaidi. (2 x 1 = alama 2)k) i) nambari ya kumbukumbu k.m. Kumb 3/16

ii) badala ya kiunganishi au k.m. bwana / bibiiii) kuandika tarehe 20/5/2016iv) visawe k.v. ngwena / mamba

l) Atakuja tukimwarifu mapema. (alama 2)m) i) “Lo! Siamini kuwa nimepata alama nyingi hivi katika insha,” alisema/alishangaa mwanafunzi.

AUii) Mwanafunzi alishangaa / alisema, “Lo! Siamini kuwa nimepata alama nyingi hivi katika insha.” (alama 3)

n) mtoto - kitondo (al. 1)chai - kipozi (al. 1)sufuria chafu - (al. 1) = (alama 3)

o) (ota - otea)Kadiria usahihi wa sentensi k.m.Maria aliotea kitandani akalia. (alama 2)p) Kirai kivumishi - wenye bidii (al. 1)Kirai kielezi - ulimwenguni kote (al. 1) = (alama 2)

q) fuja - haribu kitu k.v. mali / tumia vibaya (al. 1)vuja - pita kwa kitu mahali penye upenyo / ufa / tundu (al. 1) = alama 2

4. ISIMUJAMIIHoja i) si lugha rasmi ii) kuchanganya ndimi ili kurahisisha mawasiliano iii) kuna utohozi wa maneno iv) matumizi mengi ya misimu kurahisisha maongezi v) hujaa ucheshi vi) kuna mizaha vii) kuna matumizi ya lakabu (hoja zozote 5 x 2 = 10)

Top grade predictor publishers Page | 326

Page 329: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA WESTLANDS Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya FASIHI YA KISWAHILI KARATASI YA TATU Julai / Agosti 2016 Muda: Saa 2½

1. Swali la lazima 1.a) Hadithi Mke wangu i) msimulizi alidhamiria kumuoa mke mbichi ambaye angemthibiti. ii) lakini Aziza akatokea kuwa kinyume iii) mama yake msimulizi alitamani ndoa ya mwanawe na Aziza ifaulu na hata kuwatengea vyumba vitatu ... lakini haikufaulu b) Samaki wa Nchi za joto i) Christine alitamani mapenzi ya dhati kutoka ka Peter lakini ikatokea Peter alimtumia tu ii) wavuvi alijitahidi kuvua samaki na kudhamiria kupata faida lakin Peter aliwapunja c) Damu Nyeusi

Fikirini alijitahidi katika masomo yake chuoni lakini wahadhiri hawakumpa alama bali walipendelea wanafunzi wazungu d) Hadithi- Gilasi ya Mwisho Makaburini

Licha ya Semkwa, Asha, Josefina kukataa kushawishiwa na Msoi kuwa kuna jambo baya ambalo lingefanyika katika Baa ya Makaburini ilikuja kutimia

e) Maeko i) Hamduni anajitahidi kuacha pombe na kutomtesa mkewe bado anajipata katika hali ile ile mara kwa maraii) Licha ya Salim, Ramla na shangazi yake Jamila kumshawishi aachane na Hamduni katika ndoa, Jamila alikaidi na kubaki

pale palef) Maskini Babu yangu i) Mzee Babu Maende alidhamiria kupata nafuu huko mjini alipoenda kwa mwanawe lakini aliishio kukutana na kifo chake ii) Msimulizi alijaribu kumuokoa babu yake kutoka kwa wanakijiji waliompiga kipopo lakini bado babu aliuawa g) Shaka ya Mambo i) Jitihada za Esther kumrudishia mteja mzungu pesa zake hazikufanikiwa - Kamata alizichukuaii) Matumaini ya Esther kubadilishiwa zamu na Grace hayakufikiwaiii) Kutamani kwa Esther kuwa pamoja na kamata kwa urafiki zaidi hakukufanikiwa kwa sababu alionekana kuwa rafiki zaidi

kwa Grace h) Ndoa ya Samani

i) Mama yake Amali alijitahidi kumtaka bintiye aolewe na Abu lakini Abu alipopata mali hakumuoa ii) Abu alimtamani Amali amuoe lakini posa yake ikakataliwa

i) Tazamana na Mautii) Maazimio ya Lucy kufika London na kuishi maisha ya kifahari hayakufikiwa kwani ingawa alifika alifariki punde tu baada ya

kurithishwa maliii) Mzee Crusoe aliazimia kupata mtu wa kumsaidia maishani. Akampata Lucy lakini Lucy akapata ajali akafa na kumwacha.j) Mwana wa Darubinii) Kananda alijitahidi kuinua maisha kwa kufanya kazi kwa Mwatela lakini maisha yake yakasambaratishwa ingawa

alirithishwa mali / nyumba baadayeii) Kananda alitamani kuwa na mwanawe lakini alitenganishwa naye baada ya kuuzwa Kongo ingawa walikutanishwa baadaye iii) Bw. Mwatela alimtoa Kananda kwa dereva wa Kongo akidhamiria kuwa angetoweka kabisa kutoka kwa familia yake lakini

aliishia kurudi na ukweli kifuchuliwa k) Mzizi na Matawi i) Bi Mkubwa alitamani kuishi na Sudi kama mwanawe lakini Sudi aliishia kumpata mama yake mzazi ii) Bi Kudura baada ya kumtupa mtoto pipani hakufa, msamaria mwema Bi Mkubwa alimwokoa 2.a) i) Mnenaji - Mtemi Nasaba Bora ii) Mnenewa - Mwalimu Majisifu iii) Majisifu amemtembelea Mtemi nyumbani/wameketi ukumbini iv) Mtemi anamuuliza kwa nini hakuhudhuria sherehe ya Sikukuu ya Wazalendo ambapo anajibu kuwa alikuwa kwenye

‗ibada‘ - maana yake - ulevini. Ndipo mtemi anamshauri b) Wahusika hawa ni riale kwa ya pili - wanafanana i) ni waasi wa dini japo baba yao alikuwa kasisi ii) hawawajibiki kazini

- Majisifu akiwa mwalimu ni mlevi - Mtemi akiwa kiongozi ni fisadi

iii) Ni wezi - Majisifu - mswada Mtemi - mashamba, hela

iv) wapyaro - kuwatukana watu v) ndoa zao zina matatizo

Top grade predictor publishers Page | 327

Page 330: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

vi) si walezi wema - Majisifu hasaidi kwa watoto wake walemavu. - Mtemi anamshurutisha madhubuti kuchukua kazi iliyopatikana kwa mlungura na hamshughulikii bintiye Mashaka

vii) wanapenda kujihusisha na dini - Majisifu alighairi kusomea ukasisi. viii) Mtemi anapoharibikiwa na mambo anasoma biblia aliyopewa na babake ix) wote wawili ni wenye kiburi x) wote wawili ni wa tabaka la matajiri walikuwa na mali n.k. (hoja zozote 8 x 1 = 16)3. Ujenzi wa jamii mpyai) Jamii mpya ambayo haitakuwa na unyanyasaji k.v. kunyang‘anya wanyonge mali yao / mashamba yao kama alivyofanya

mtemi Nasaba bora kwa familia za Amaniii) Jamii mpya ambayo haitakuwa na ufisadi k.v. Mtemi Nasaba Bora alivyohonga wakuu serikalini ili mwanawe Madhubuti

aajiriwe katika jeshi iii) Jamii inayotekeleza haki siyo yenye kufunga jela watu wasio na hatia kama alivyofungwa Yusufu ami yake Amani kupitia

mipango ya Mtemi iv) Jamii isiyotekeleza mauaji kwa watu wasio na hatia jinsi alivyouawa Chichiri Hamadi babaye Amani kupitia njama ya Mtemi

Nasaba Bora. v) Jamii isiyo na ukatiti k.v.

- Mtemi Nasaba Bora alivyotupa kitoto chake kichanga mlangoni pa Amani,- alivyompiga Amani nusura amuue- alivyokataa kushughulikia matibabu ya Bob DJ baada ya kung‘atwa na mbwa wake n.k.

vi) Jamii yenye viongozi waliowajibika na kutumikia wananchi vii) Jamii yenye viongozi waliowajibika na kutumikia wananchi vii) Jamii inayotambua na kuauni mashujaa wa zamani k.v. mzee Matuko Weye viii) Jamii isiyopuuza walemavu sio kama mwalimu Majisifu ix) Jamii isiyo zinifu yenye ndoa zilizo na uaminifu x) Jamii yenye vijana wanaoweza kungoja hadi waoane kabla ya kushiriki mapenzi xi) Jamii yenye waandishi wanaochapishiwa miswada yao ikiwa mizuri sio inayoibiwa na kutumika na wengine xii) Jamii yenye watu ambao hawataendelea kunyamaza wakinyanyaswa lakini watajikomboa kwa kufanya mageuzi xiii) Jamii yenye kujali masilahi ya wengine na kugawa rasilimali zilizopo kwa maskini kama alivyofanya Amani kwa Matuko

Weye xiv) Jamii yenye msamaha na isiyo na kisasi k.v. Amani alikuwa na nafasi ya kumdhuru Mtemi Nasaba Bora lakini akaamua

alipe ubaya kwa wema xv) Jamii yenye huduma bora za kimsingi k.m afya kwa wananchi sio kama vile zahanati ya Nasaba Bora ilivyokuwa 4.a) i) Msemaji ni Diwani III (alama 1)ii) Msemewa ni Siki (alama 1)iii) Mahali ni nyumbani mwa Diwani III. Siki alipomtembelea ili wazungumze (alama 1)iv) Kuhusu hali na uongozi wa baraza la mji wa Cheneo (alama 1)b) i) Ni mtetezi wa haki

- Anawatetea wafanyakazi kwa Meya. - Anawahimiza watu watibiwe hata kama hawana fedha

ii) Ni mshauri mzuri - anamshauri Meya vizuri ili Meya aueze - kuyatatua matatizo ya wanacheneo - anamshauri Tatu kwamba mgomo ni njia bora ya kutatua matatizo iii)

Ni mwerevu / mwenye busara - anaelewa haraka anapoelezwa na Diwani III kuwa watu wana mchango katika uongozi mbaya - anaelewa mchango wa wataalamu kama yeye katika tatizo la uongozi wa baraza iv)

Ni jasiri - anamkabili Meya na kumkosoa bila hofu - hakutishika alipoelezwa na Diwani III kuwa kuna sheria zinazompa Meya uwezo mkubwa

v) Ni mwajibikaji - hakuwa tayari kuacha kazi japo mazingira ya kufanya kazi yalikuwa mabaya

c) Taswira (alama 2) d) ‗Harufu‘ nyingine imetumika kijazanda kueleza dhana ya uozo au maovu yanayofanywa katika baraza la mji wa Cheneo k.m.

i) Uongozi mbaya- Meya, Diwani I na II ni viongozi wabaya kwani hawajali maslahi ya umma - Meya wa Cheneo anaendeleza utawala uliojaa udhalimu kwa raia wake - viongozi kama Meya, Diwani I na II hawataki kulipa kodi inavyotakikana kisheria

ii) Ufisadi - Meya na Bili wamejinyakulia vipande vingi vya ardhi ya umma Meya, Bili, Diwani I na II wanapanga njama ya kuiiba fimbo ya Meya na kuiuza ng‘ambo iii)

Wizi

Top grade predictor publishers Page | 328

Page 331: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Meya, Diwani I na II ni vibaraka / vikaragosi wanaomuunga Meya mkono bila kujali maslahi ya wafanyakazi na raia kwa ujumla

iv) Ubarakala Diwani I na II ni vibaraka / vikaragosi wanaomuunga Meya mkono bila kujali maslahi ya wananchi.

5. a)i) Majazi- Bwana uchumi na Kazi - Diwani aliyeshughulikia maswala ya kiuchumi na kazi katika baraza - Bwana usalama - Diwani aliyeshughulikia usalama katika mji wa Cheneo - Bwana uhusiano mwema - Diwani aliyehakikisha uhusiano baina ya baraza na umma umedumishwa - hoteli ya kajifahari - walipoenda watu wa kifahari ili kujifurahisha. - Bwana kheri - (Diwani III) alitetea Cheneo - Waridi - ua linalonawiri na kisha - mji wa Shuara - mji ambao mambo yalikuwa shwari - sawasawa bila bughudha (zozote 2 x 1 = 2)ii) Uzungumzi nafsia - Meya anazungumza peke yake akirejelea mwanakandarasi aliyemshtaki (uk.23) - Meya anapopanga mikakati ya mapokezi ya mameya wageni (uk.25) - Siki baada ya kuongea na Tatu kwa simu (uk.34) - Meya baada ya kuongea na Diwani III alipomwalika ofisini mwake (uk.56) - Meya anapofurahia kusikia milio ya risasi na vilio vya watu wakati wa mgomo (uk.57) (zozote 2 x 1 = 2)iii) Nyimbo / Ushairi- wanafunzi wanapogoma. ―Haki yetu! Uk.57 - Dida anapoigiza askari (uk.64) (zozote 2 x 1 = 2)iv) Tashbihi - amekufa kama nzi (uk.65) - eti bahati ikisimama kama mtende (uk.42) - eti meya ni kama mtoto (uk.43-44) v) Kuchanganya ndimi

- bloody hens uk. 8 - nonsense! uk. 8 - chief security uk.32 - prime plot uk.27 - fridge uk. 17

b) Msemaji analalamikia manufaa ya: - watu wengi hawana kazi Cheneo - walio na kazi hulipwa mishahara duni - mishahara hailipwi kwa wakati, - hucheleweshwa - baadhi ya watu wamefutwa kazi kupunguza idadi ya wafanyikazi - kaka zao (mataifa ya ng‘ambo) hawjatoa hela za kuongezea mishahara

ii) Umuhimu wa msemaji - (Diwani III) kupitia kwake/ni kielelezo cha : - viongozi wenye maono na Sera mwafaka licha ya kuwa miongoni mwa wadhalimu - kiongozi aliyechaguliwa ni mwakilishi mwema wa umma - umuhimu wa ujasiri na uwajibikaji katika utawala dhalimu - uzalendo kamili unatokana na huduma bora na haki sio propaganda - ukakamavu ni muhimu sana katika utetezi wa haki/umma - umuhimu wa kusikiliza mawaidha - Meya alijutia kutomsikiliza Diwani III

6. a) i) Sanaa ya mazungumzo yanayoambatana na matendo. Wahusika huigiza hali na tabia fulani katika jamii. Kwamfano maigizo ya :- jukwaani - vichekesho - michezo ya watoto - ngonjera - majigambo / vivugo b) Dhima ya maigizo (mwanafunzi ataje neno maigizo) katika ufafanuzi wake. i) Huburudisha na kupumbaza - wakati wowote ii) Hukuza uwezo wa kukumbuka iii) Hukuza ubunifu - kuiga sauti na watu wengine iv) Hukuza umoja-watu wanapotazama michezo pamoja urafiki huibuka v) Hukosoa jamii - watu wafanyao mambo kinyume hutungiwa michezo kukosoa tabia mbaya k.v. ufisadi, wivu, uchoyo

n.k. vi) Huimarisha uwezo wa kuzungumza hadharani vii) Huimarisha ukakamavu wa kuongea hadharani viii) Huhifadhi utamaduni wa jamii n.k.

Top grade predictor publishers Page | 329

Page 332: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

7. Ushairia) Shairi huru. Halifuati arudhi za utunzi(alama 2) b) Nafsineni - nafsi ya kwanza(alama 2) c) i) Kuna mishororo ingawa hailingani katika beti zote

ii) Shairi lina beti 6 iii) Vina vya shairi havilingani iv) Mizani si saaw katika mishororo yote

d) Toni - ya kutosheka alama 1- ya kufurahia kula alama 1

e) Mshairi anashangaa jinsi walivyoishi pamoja chini ya bendera moja huku wakiwa na tofauti baina yao. Hii ni kwa sababu walikuwa katika matabaka mbalimbali yaliyomithilishwa kama ardhi na mbingu f) i) tashbihi - kama ardhi na mbingu ii) msemo - mafunda kupiga iii) jazanda - Ndipo nikaona wenzangu

Mizizi wakila na matunda mwitu (wakiteseka / wakihangaika) (Hoja zozote 2 x 1 = 2)

g) i) kumbo - bidii ya kuanza kula (alama 1) ii) bakunja - kushikwa (alama 1) iii) sarabi - mazingira ya kudanganya macho (alama 1)

Top grade predictor publishers Page | 330

Page 333: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

TATHMINI YA GATUZI DOGO LA KISII YA KATI Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya KISWAHILI Karatasi ya Kwanza (INSHA) Julai /Agosti 2016 Muda: Saa 1¾

1. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la visa vya wizi wa mitihani ya kitaifa humu nchini. Mwandikie barua rafiki yako aliyeughaibuni upendekeze jinsi ya kukabiliana na tatizo hili sugu.

2. Usalama wa nchi yetu unazidi kuzorota kila kukicha. Jadili.3. Andika insha itakayothibitisha ukweli wa methali:

Zinduko la mwoga ni kemi. 4. Andika insha itakayomalizika kwa maneno haya:

. tulijifunga vibwebwe kuwavua wahasiriwa waliokuwa wamefunikwa na vifusi lakini jitihada zetu ziliambulia patupu. TATHMINI YA GATUZI DOGO LA KISII YA KATI Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya KISWAHILI Karatasi ya Pili (Ufahamu, ufupisho, Matumizi ya lugha na Isimujamii) Julai / Agosti 2016 Muda: Saa 2½

1. UFAHAMU (alama 15)Soma taarifa inayofuata kisha uyajibu maswali Mwanamke wa kisasa anazaliwa na kukulia katika mazingira yaliyobadilika mno. Matazamio yake maishani ni tofauti kabisa na yale ya wanawake walioishi mapote mawili yaliyopita; wanawake makamu ya nyanyaake na mamaake kuu. Yeye hatarajii kuzaliwa, kukua, kuolewa, kuwa mke wa bwana kumzalia mumewe watoto, na daima dawamu kuwa 'mwendani wa vijungu jikoni' akawapikia watoto na bwanake chakula; na akitoka jikoni aelekee shambani kulima, kichakani kuchanja kuni, mtoni kufua nguo na kuteka maji ya kutumia nyumbani. Mwanamke wa kisasa huandamana na mwanamume Akanyagapo mume, naye papo huutia wayo wake. Mwanamke wa kisasa huenda shule na kujifunza yote yafunzwayo huko. Hushindana na wanawake kwa wanaume na kuibuka mshindi si mara haba. Huibuka mshindi katika msomo ya lugha, historia, jiografia, hesabu, sayansi na mengineyo sawa sawa na mwanamume. Mwanamke wa kisasa hutaka kufanya kazi za kibega akazifanya. Akataka kuwa mwalimu akawa. Akataka kuwa daktari akafanikiwa. Almuradi siku hizi mwanamke hufanya kazi yoyote ile afanyayo mwanamume. Kuna wanawake marubani wa ndege, masonara, waashi, wahandisi, madereva wa magari, mawakili, mahakimu, mawaziri wakuu na hata marais wa nchi. Hakuna kazi isiyofanywa na mwanamke siku hizi. Mwanamke wa kisasa hateswi akafyata ulimi. Anapohiniwa yeye hupigania haki yake kwa dhati na hamasa. Katu hakubali 'mahali pake' katika jamii alipotengewa na wanaume wenye mawazo ya kihafidhina yaliyopitwa na wakati. Siku hizi mwanamke huolewa tu wakati amepata kazi ya kumwezesha kujikimu maishani au pale anapokuwa na hakika kwamba biashara yake, iwapo ni mfanyi biashara, imepiga hatua ya kutomrudisha ukatani Mwanamke wa kisasa haamuliwi katika jambo lolote bali hufanya maamuzi yake mwenyewe. Kwa upande mwingine mwanaume wa kisasa ambaye bado amefungwa pingu na taasubi za kiume hapendezwi na mwanamke huyu. Huuma kidole akatamani ya kale, lakini wapi! Analazimika kumkubali mwanamke huyu kama mshirika sawa maishani, na kuishi naye, apende asipende shingo upande analazimika kukubali kwamba mabadiliko haya sio mithili ya kiwingu kipitacho bali ni ya aushi Maswali

a) Fafanua msemo: 'Mwendani wa vijungu jiko' unavyodokeza hali ya mwanamke katika jamii. (alama 2)b) Ni vipi jamii imemfanya mwanamke hayawani wa mizigo. (alama 2)c) Mwanamume wa kisasa anamwonaje mwanamke wa kisasa? (alam 2)d) Taja mifano sita ya 'mawazo ya kihafidhina' (alama 6)e) Eleza maana ya (alama 3)

i) akafyata ulimi .ii) ukatani.iii) Taasubi za kiume .

2. MUHTASARI (alama 15) Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali Siku hiyo nilipitia mahali hapo kama yalivyokuwa mazoea yangu. Nilimuona yule mtu amelala pale pale, hatingishiki, kama nilivyokuwa nikimuona siku hizi zote, mwaka nenda mwaka rudi. Nilisimama huku nikishangaa kwa mara nyingine tena. Nilikuwa najitayarisha kujiendea na hamsini zangu mtu huyo alipojipinda kwa mbali sana, kwa hakika nilidhani macho yangu yananihadaa. Nikayakodoa zaidi ili nione vizuri zaidi ibura yote iliyomoe mwilini mwangu ili niyatoe matongo ambayo

Top grade predictor publishers Page | 331

Page 334: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

nilituhumu kwamba yaliitia zingezinge nadhari yangu kiasi cha kunifanya kutoona barabara. Nilipohakikisha ya kwamba ni akili yangu tu iliyokuwa imenihadaa, nikaamua kuendelea na safari yangu kwenda kujitafutia riziki. Hatua ya kwanza na ya pili, moyo haukunipa sauti katika kilindi cha moyo wangu ikanisihi na kunitafadhalisha nitazame nyuma. Kutupa jicho nyuma, nikamnasa mtu huyo akigeuka! Nikashtuka sana! Jambo la kwanza nilidhani macho yangu yameingiwa na kitu kilichoyafanya kuona mambo yasiyokuwepo. Pili, nilidhani iwapo niliyoyaona yana msingi wowote, basi huenda ama nina wazimu, au yule mtu ni mzuka, hasa kwa vile ilionekana ni mimi tu nimuonaye. Nilikuwa niko katika hali ya kufanya uamuzi kuhusu dhana zangu hizi aina aina mtu huyo alipojigeuzageuza, kisha akafunua macho! Moyo ulinienda mbio. Nilitaka kutifua vumbi ili wazimu usinizidie, lakini sikupata nafasi. Mtu yule alijizoazoa, na kuketi kitako. Kisha akatokwa na maneno katika lugha iliyofanana sana na Kiswahili. Niliyaelewa aliyokuwa akisema. Ajabu ya maajabu, mtu huyo alidai ya kwamba tangu alipolala kivulini hapo tangu jana baada ya chakula cha mchana, hakuota ndoto hata moja bali usingizi wake ulikuwa mithili ya gogo! sasa nilikuwa na hakika kwamba ikiwa mimi sina wazimu, basi kiumbe yule aliyevaa ngozi iliyochakaa sana katika mpito wa miaka hakika ana wazimu. Nilitaka kuhakikisha, hivyo nilimkumbusha kwamba amelala mahali hapo kwa muda wa miaka mingi sana. Kusikia hayo alianza kunikagua. Akasema nimevaa kizungu. Akanitajia tofauti nyingi baina ya vijana aliowazoea na mimi. Mwisho wa yote akaniuliza kama siku hiyo si tarehe kumi na nane mwezi wa pili mwaka wa 1897. Nikadhani anafanya mzaha kwa hivyo nikacheka. Nilipoona kicheko changu kinamuudhi, nikamwambia siku hiyo ni tarehe kumi na nane mwezi wa pili mwaka wa 1997. Nilipoona amaeshangaa kwa dhati, nikagundua ukweli. Alikuwa amelala kwa karne nzima! Maswali

a) Fupisha aya tatu za kwanza kwa maneno 80 (alama 9, 2 utiririko )b) Bila kupoteza maana fupisha aya mbili za mwisho. (Maneno 45) (alama 6, 1 utiririko)3. MATUMIZI YA LUGHA. (alama 40)a) Taja vigezo vitatu vitatu vinavyotumiwa kuainisha sauti za irabu na konsonanti (alama 3)b) Ainisha viambishi vya neno: 'mmtumaye' ukizingatia majukumu (alama 2)c) Tambua chagizo katika sentensi hii.

Mandela alisafiri kwa mangera. (alama 2)d) Tunasema : Yeye ndiye aliyenituma. Sasa kamilisha. (alama 2)

i) Mimi .ii) Sisi

e) Weka nomino hizi katika ngeli zao (alama 2)i) Mjusi.ii) Uasi .

f) Changanua kwa kielelezo cha mistari. (alama 4)Aliyenituma ni mtoto mchanga sana.

g) Andika kwa kinyume (alama 1)Mtoto mweusi ametababsamu sana.

h) Andika kwa umoja. (alama 2)Mishale yao ilifungwa kwa manyoya mengi meusi

i) Tunga sentensi moja kutofautisha kati ya fua na vua. (alama 2)j) Nyambua vitenzi hivi kwa kauli ya kutendeshea. (alama 2)

i) Lia .ii) Nya .

k) Neno KINA hutumiwa kuelezea watu wenye jinsia, ukoo, ujamaa, tabia au hali fulani. Kwa mfano, kina mama.Toa matumizi mengine mawili. (alama 2)

l) Andika neno moja lenye visehemu vifuatavyo vya kisarufi.nafsi ya pili umoja, hali isiyowezekana, yambwa tendwa, mzizi, kauli tendea. (alama 2)

m) Onyesha kiima katika hii sentensi na ueleze muundo wake.Mimi na juma tutaenda kwao leo. (alama 2)

n) Ainisha virai vilivyopigiwa mistari chini yao.Mtoro aliruka juu ya ua na kutorokea mbali kabisa. (alama 2

o) Andika kwa udogo wingi:Yule nyoka alikatwa mkia. (alama 2)

p) Andika upya ukitoa visawe vya maneno yaliyopigwa mstari. Ndovu alimfukuza hadi juu ya kiduta na kumwangusha nacho.(alama 2)

q) Toa maana tatu za hii sentensi: Alinunuliwa kuku na mtoto wake. (alama 3)r) Andika sentensi sahili zilizoko katika sentensi hii.

Kizito ni mgonjwa na amesema ataenda hospitali kesho. (alama 3)4. ISIMUJAMII (alama 10)

a) Eleza sifa tatu kuu za lugha ya taifa. (alama 3)b) Kwa mifano saba onyesha majukumu ya lugha za taifa. (alama 7)

Top grade predictor publishers Page | 332

Page 335: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

102/3 TATHMINI YA GATUZI DOGO LA KISII YA KATI Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya KISWAHILI FASIHI YA KISWAHILI Julai / Agosti 2016 Muda: Masaa 2½

1. LAZIMA : SEHEMU YA 'A'USHAIRI

Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali yanayofuata.

Na wahenga wakalonga, daraja tulivuke Kwa karibu tukisonga, tusije fanya uhuni Daraja kuhongahonga, tunekane hayawani Uwazi wako na mimi, maisha bora ya kesho.

Ni daraja lenye miba, kesho kiwa mikononi Utatamani kuiba, kesho yako kuauni Madhara yake ni tiba, kesho yako i motoni Uwazi wako na mimi, maisha bora ya kesho.

Daraja ukishavuka, kozi gani taandama? Tabibu handisi toka, ni ndoto ilotuama. Uhuni ulokutoka, kozini ukaungama. Uwazi wako na mimi, maisha bora ya kesho.

Ya nini kuparamia, daraja kuvuka bila Kujali ya jalia? Kama si kuacha mila Ya mkato kutandia, mwisho kupata madhila Uwazi wako na mimi, maisha bora ya kesho.

Wanafuu takateni, wakufuu takateni Ya kesho tayatakeni, ulivyoota ndotoni Ya nini kuharibuni, miaka yote shuleni Uwazi wako na mimi, maisha bora ya kesho.

Wazazi walimu acha, na wanagenzi acheni! Wa mtihani wizi acha, maisha yetu tuguni Maisha bora kukicha, sote hapa twatakeni Uwazi wako na mimi, maisha bora ya kesho.

Daraja ni mtihani, tulofanya kulangua, Viongozi takateni, mtihani sisumbua Achini purukushani, kesho ya wanetu kua Uwazi wako na mimi, maisha bora ya kesho. MASWALI

a) Eleza dhamira ya mshariri katika utunzi huu. (alama 2b) Kwa kuzingatia vina na mishororo, bainisha bahari mbili zinazojitokeza katika shairi hili. (alama 2)c) Taja madhara ya kuibia mtihani kwa mujibu wa shairi. (alama 2)d) Kwa mfano mwafaka, onyesha matumizi ya mishata. (alama 2)e) Bainisha tamathali mbili za usemi zilizotumiwa katika shairi hili. (alama 2)f) Tambua na ueleze umuhimu wa idhini ya mshairi kama inayojitokeza katika shairi hili. (alama 3)g) Fafanua muundo wa ubei wa pili. (alama 3)h) Andika ubeti wa tatu kwa lugha nathari. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 333

Page 336: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

SEHEMU YA B TAMTHILIA: Mstahiki Meya : Timothy M. Arege Jibu swali la 2 au la 3

2. 'Wanafaa kusukumwa kabisa mpaka wajue kuwa wao ni wananchi na kuna wenye nchi.'a) Weka dondoo hili katika muktadha wake. (alama 4)b) Kwa kurejelea dondoo hili, taja na ueleze sifa mbili za msemaji. (alama 4)c) Huku ukirejelea tamthilia hii ya mstahiki meya, thibitisha kuwa kuna wananchi na wenye nchi. (alama 12)

3. Tamthlia ya Mstahiki Meya imepewa anwani ya kitashtiti. Thibitisha ukweli wa kauli hii kwa kurejelea thamtlia nzima yaMstahiki Meya. (alama 20)SEHEMU YA C RIWAYA: Kidagaa kimemwozea ; Ken Walibora Jibu swali la 4 au la 5

4. "We cherish the freedom enjoyed by all citizens of this country. We cherish every opportunity to freely partake of the

national cake. We cherish the freedom to eat the fruits of independence without fear or favour . . ."

a) Weka dondoo hili katika muktadha wake (alama 4b) Bainisha tamathali moja ya usemi inayojitokeza katika dondoo hili. (alama 2)c) Kwa kurejelea riwaya nzima ya Kidagaa kimemwozea, onyesha kinyume cha maneno haya. (alama 14)

5. Kwa kurejelea riwaya Kidagaa kimemwozea onyesha haki za watoto zinavyokiukwa. (alama 20)SEHEMU YA D: HADITHI FUPI Damu Nyeusi na Hadithi nyingine : Ken Walibora na Said A. Mohamed Jibu swali la 6

6. a) Mwana wa Darubini : K.M Mbai (alama 10)"Nimebaini nimekosa mwisho wa kukosa. Dhambi zangu ni nyingi na sitaki ziniandame kaburini"i) Weka dondoo hili katika muktadha wake. (alama 4)ii) Kwa kurejelea hadithi "Mwana wa Darubini," fafanua matatizo sita yanayomkumba mwanamke. (alama 6)b) Damu Nyeusi : K. Walibora. (alama 10)"Msifikiri kwamba mzungu anatupenda sisi watu weusi." Thibitisha ukweli wa kauli hii kwa kurejelea hadithi "Damu Nyeusi". (alama 10)

SEHEMU YA E:FASIHI SIMULIZIJibu swali la 7

7. Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu Maswali yanayofuata:Ikiwa kweli wewe ni mwanangu,

Niliyejifungia kiburebure kuelimisha. Mpaka chuo kikuu cha Uingereza, Inakufanya sasa ujione bora kuniliko, Upite ukinitemea mate, Unidharau kiasi cha kunikana, Miungu na waone chozi langu, wasikie kilio changu, Radhi zao wasiwahi kukupa, Laana wakumiminie, Uje, kulizwa mara mia na wanao Usiwahi kufurahia hata siku moja pato lao, Watakalokupa likuletee simanzi badala ya furaha!

a) Tambua kipera cha fasihi simulizi kinachohusishwa na kifungu hiki. (alama 2)b) Fafanua sifa zozote tano za kipera hii. (alama 10)c) Misimu hundwa kwa njia mbalimbali. Thibitisha. (alama 8)

Top grade predictor publishers Page | 334

Page 337: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI WA KISII YA KATI KISWAHILI Karatasi 2 Julai/Agosti 2016 MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA

1. a) Kuwa kazi yake ni kutumikia jamii yake jikoni 1 x 2 = 2b) Anafanyishwa kazi nyingi ngumu ngumu / amepewa kazi ya jikoni, kulima, kuchanja kuni, kufua na kuteka maji

1 x 2 = 2 c) Kama aliyepotoka / mwasi / hapendezwi naye / hafurahishwi na anayofanya / ni tisho / mzushi / mshindani n.k.

1 x 2 = 2 d) i)Nafasi ya mwanamke ni jikoni ii) Mwanamke hafai kwenda shuleni iii) Mwanamke ana kazi maalum (kupika, kuni, maji n.k.) iv) Mwanamke ateswapo hafai kufunua mdomo / afyate ulimi v) Hana uwezo wa kujiamulia mambo maishani vi) Lazima amzalie bwana watoto vii) Lazima mwanamke aolewe zozote 6 x 1 = 6e) i) Akanyamaza / kimya

ii) Umaskini / ufakiri / ufukara / uchochole / nyuma kimaendeleo / ulitimaiii) Kasumba ya kiume / fikra za kiume / kujiona bora kuliko wanawake 3 x 1 = 3

2. a) i) Alikuwa na mazoea ya kupita pale kila sikuii) Alikuwa akimwona mtu aliyekuwa hatingishiki iii) Alimwona akiwa amelala vilevile kwa muda mrefu / mwaka nenda mwaka rudi iv) Alishangaa kwa mara nyingine tena v) Siku moja alikuwa akijipinda kwa mbali akadhani macho yake yanamhadaa vi) Alipohakikisha kuwa macho yake yanamdanganya, akaamua kuenda zake vii) Alipotazama nyuma alishtuka kumwona mtu yule akigeuka / akafunua macho yake na kuketi / alimwona akiamka viii) Alizungumza lugha iliyofanana sana na Kiswahili / aliyoelewa / aliyaelewa aliyokuwa akiyasema zozote 7 x 1 = 7

b) i) Mtu huyo alidai kuwa alikuwa amelala pale tangu jana / kwa siku mojaii) Kiumbe yule alivaa ngozi iliyochakaa kwa mpito wa miaka mingiiii) Alimkumbusha kuwa alikuwa amelala pale kwa miaka mingiiv) Kiumbe yule alimkagua na kusema amevaa kizungu / alikuwa tofauti na vijana aliowazoeav) Aligundua kuwa alikuwa amelala kwa karne nzima / moja / miaka mingi 5 x 1 = 5

3. a) i) Irabu - muundo wa midomo- muinuko wa ulimi / mkao- sehemu ya ulimi inayohusika

ii) Konsonanti - hali ya glota- ala / mahali pa kutamkia- namna / jinsi ya kutamka 6 x ½ = 3

b) M - nafsi tendaM - nafsi tendwaa - kiishio / kiambishi tamatiye - kirejeshi 4 x ½ = 2

c) Kwa Mangera 2/0d) i) ndimi ...

ii) ndisi ... 2 x 1 = 2e) i) A-WA

ii) U-YA 2 x 1 = 2f) S - KN + KT

KN - S S - Aliyenituma KT - t + N + V + E t - ni N - mtoto V - mchanga E - sana 8 x ½ = 4

g) Mtoto mweupe amenuna sana 1 x 1 = 1h) Mshale wake ulifungwa kwa unyoya mmoja mweusi 2/0i) Sentensi iwe moja na ionyeshe maana hizi

i) fua - safisha nguo / tengeneza kitu kutokana na madini / ondoa makumbi kwenye naziii) vua - toa nguo mwilini / samaki majini /

Top grade predictor publishers Page | 335

Page 338: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

epusha kitu au jambo kutoka kwa matatizo Mfano: mvuvi alivua samaki kisha akafua nguo zilizochafuka 2/0

j) i) liziaii) nyishia 2 x 1 = 2

j) i) Silabi katika ushairiii) Urefu wa kwenda chiniiii) Kwa undaniiv) Kitu kuwa na zozote 2 x 1 = 2

l) Mwalimu atathmini. Kwa mfano, ungalimchezea (sehemu ya ‘ungali’ ni lazima itokee katika jibu la mwanafunzi) 2/0m) i) kiima - mimi na Juma

ii) muundo - W + U + N 2 x 1 = 2n) i) Kirai kihusishi

ii) Kirai kielezi 2 x 1 = 2o) Vile vijoka vilikatwa vikia / vijikia 2/0p) Tembo alimfukuza hadi juu ya kichuguu / kidurusi / kingulima / kishirazi 2 x 1 = 2q) i) Kwa niaba ya (pesa ni za mzazi)

ii) Kwa manufaa ya (pesa ni za mtoto)iii) Mtoto wake mwenyeweiv) Mtoto wa mtu mwinginev) Kuku na kifaranga wakevi) Yeye na mtoto wake (wote wawili) walinunuliwa kuku zozote 3 x 1 = 3

4. a) i) Ina wazungumzaji wengiii) Ni lugha ya mama / kwanza ya kikundi cha watu katika taifa husikaiii) Huwa na muundo wa kiisimu unaofanana na ule wa baadhi ya lugha za watuiv) Huwa ni lugha mojawapo asilia / si ya kigeni zozote 3 x 1 = 3b) i)Huleta umoja wa taifa lote / huunganisha watuii) Huwawezesha kufanya kazi kwa pamoja kwa manufaa ya taifaiii) Ni kifaa cha kuziba mipaka ya kikabilaiv) Hukuza utamaduni wa kiafrikav) Hukuza uzalendo wa watu wa taifavi) Hutambulisha watu wa taifa fulanivii) Huleta maendeleo ya kijamii / uchumi na kisayansiviii) Husawazisha watu kilugha kwa kuwa na hisia sawaix) Hufanikisha harakati za uongozi zozote 7 x 1 = 7

Top grade predictor publishers Page | 336

Page 339: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI WA KISII YA KATI KISWAHILI Karatasi 3 Julai/Agosti 2016 MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA SEHEMU A : USHAIRI

1. a) i)Mshairi anadhamiria kuwasuta walimu na wanafunzi dhidi ya wizi wa mtihaniii) Kukashifu tendo la wizi wa mtihani

b) i) Vina - ukaraguni - vina vya ukwapi na utao vinabadilikabadilika kutoka ubeti mmoja hadi mwingineii) Mishororo - tarbia - mishororo minne kila ubeti

c) Taja madhara yai) Kuharibu maisha yako ya kesho - kesho yako motoniii) Kufukuzwa / kushindwa kufanya kozi uliyoitwa - kozini ukaungama 2 x 1 = 2

d) Ya nini kuparamia, daraja kuvuka bila 1 x 2 = 2e) i) Jazanda / sitiari - daraja

ii) Methali - daraja tuvuke kwa karibu tukifikaiii) Msemo - kesho yako motoni

f) i) Inkisari - kua, ulokutoka wanetu - kuleta urari wa mizaniii) Mazida - kuharibuni - kuleta urari wa vinaiii) Tabdila - sisumbua - kuleta urari wa vina iv) Kuboronga / kufinyanga / kubananga sarufi - wa mtihani wizi acha - acha wizi wa mtihani maisha yetu tuguni - tuguni

maisha yetu - kuleta urari wa vina (mwanafunzi sharti atoe mfano wa uhuru ili apate nusu) nusu nyingine ni ya umuhimu)

g) i) Kila mshororo umegawika katika vipande viwili, ukwapi na utaoii) Kila mshororo una mizani kumi na sitaiii) Vina vya ukwapi vinatiririka sawa na vina vya utao (ba, mi, ni, sho)

Tanbihii) Sharti mwanafunzi ataje kuwa kinachogawika katika vipande ni kila mshororoii) Atakayesema shairi limegawika katika vipande viwili asipate

h) Ukishapita mtihani ni kozi gani utafanya ? Udaktari na uhandisi huwezi kwani ni ndoto isiyowezekana. Baada ya kugunduliwaulitoroka kozini. Uwazi wako na mimi utaboresha maisha yetu ya kesho 4 x 1 = 4

2. a) i) Msemaji - Diwani IIii) Msemewa - Meya, Diwani I na Bili

(mwanafunzi akisema Meya apate)iii) Mahali - ofisi mwa Meyaiv) Sababu - wanapanga miradi ya uzalendo

- wanatafuta namna ya kuzima migomo ya wafanyakazi 4 x 1 = 4b) i) Katili / dhalimu - anapendekeza wafanyakazi kusukumwa kabisa (kutembezewa virungu)

ii) Msaliti - anapendekeza wafanyakazi wasukumwe badala ya vilio vyao kusikizwaiii) Mshauri mbaya - anamshauri Meya kutumia nguvu kuzima migomoiv) Kikaragozi - anatoa ushauri wa kumfurahisha Meya bila kuwazia madhara yake (za kwanza 2 x 2 = 4)

c) i) Madiwani wana bima za matibabu katika hospitali kubwa ilhali wanacheneo hawawezi dawa na zikiwepo wanaambiwakulipia

ii) Watoto wa Meya wanasomea ng’ambo ili wapate elimu ya huko ilhali wanacheneo hawamudu hata karo - wanaowanafukuzwa shuleni

iii) Wanacheneo hawana maji ilhali kwa Meya kuna maji safi iv) Madiwani wanaongezwa mishahara hata kama zimesalia siku mbili mwezi kukamilika ilhali wafanyakazi wanaambiwa baraza halina pesa v) Meya anaidhinisha ombi la madiwani kutotozwa kodi ilhali mama muuza ndizi anatozwa kodi vi) Meya analalamikia viyai vidogo ilhali wanacheneo hawawezi hata kumudu chakula kwani wanapewa chakula

kinachopimiwa mbwa na wengine wanakula mizizi na matunda mwitu vii) Mkewe Meya anapelekwa kujifungulia ng’ambo akidai madaktari wa cheneo ni wa kubahatisha ilhali wanacheneo

wanakufa kwa kukosa dawaviii) Madiwani wanataka kuvalia vizuri mbele ya wenzao ilhali wanacheneo hawawezi kumudu gharama ya maishaix) Wafanyakazi wanapogoma kushtaki hali zao wanatembezewa virungu zozote 6 x 2 = 12

3. i) Meya anaendesha baraza kwa kutumia uongo. Anasema kwamba ameagiza dawa ilhali hajaagizaii) Anakataa kusikiliza ushauri wa Siki na Diwani III na kuwasikiliza Diwani I, Diwani II na Bili ambao wanampotosha -

kuiba fimbo ya Meyaiii) Meya anaidhinisha nyongeza ya mishahara ya madiwani hata kama zimesalia siku mbili mwezi ukamilikeiv) Meya ananyakua viwanja vya ardhi na kumgawia Bili vinginev) Unafiki wake wa kidini unaligharimu baraza sadaka ya shilingi laki moja kwa mwezivi) Uongozi wake unashindwa kuleta uthabiti na usalama wa chakula. Watu wanakufa kwa kula mizizi na matuda mwitu

Top grade predictor publishers Page | 337

Page 340: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

vii) Anajilinganisha na majirani dhaifu akisema Cheneo ni kisiwa cha kupigiwa mfano viii) Anaupoka uchumi wa nchi kwa kuwapeleka wanawe kusomea ng’ambo akidai elimu ya Cheneo ni ya kawaida mno

badala ya kuiboresha kwa kuwa yeye ndiye kiongozi ix) Mawazo yake finyu yanamzuia kuona umuhimu wa mpango wa kimaendeleo wa miaka kumi. Yeye anawazia tu

malengo ya kimilenia. x) Anatumia askari kuwatawanya wafanyakazi wanapogoma kupigania haki zao xi) Anashindwa kung’amua udanganyifu wa Bili na kushawishika hata kuiba fimbo ya Meya ambayo ndiyo kitambulisho

chake cha Umeya xii) Anashindwa kutofautisha baina ya ukasuku / ubarakala wa madiwani wanashirikiananayeili kufaidi mfano

wanapomshauri kutembeza virungu wanaomba ovataimuxiii) Anatoa maamuzi yanayohusu fedha bila kumhusisha Diwani III ambaye ndiye anayeshughulikia masuala ya fedha xiv) Anatumia mbinu hasi za uongozi kama vile propaganda, vitisho na vishawishi mfano nyimbo za kizalendo, mashindano

ya vijana n.k. xv) Anamwajiri mhazili ambaye hana hitimu zinazofaa xvi) Hawazii gharama ya migomo kwa baraza - pato linarudi chini xvii) Anamwachilia Bili kumtolea maamuzi muhimu kuhusiana na uongozi wa Baraza xviii) Anamtelekeza mji kwenye uchafu kiasi kwamba hata harufu ya uvundo inamzuia yeye mwenyewe kunywa maji xix) Maamumi anayotoa yanalenga kutekeleza maslahi yake binafsi. Anawaambia madiwani kwamba hataki kusikia mtu

amekufa kwani mizuka yao itamletea tatizo wakati wa uchaguzi xx) Analitia baraza kwenye deni na hatia kwa kumpokonya mwanakandarasi kandarasi na kumshauri kulishtaki baraza ili baraza limlipe fidia naye Meya apate mgao wake zozote 10 x 2Tanbihi:Mwanafunzi aeleze hoja kikamilifu ili apate alama mbili- lazima ataje mhusika ambaye ni Meya na kitendo chake ambacho kinaonyesha kuwa jina mshtahiki halimfai

4. a) i)Msemaji - Mtemi Nasaba Boraii)Msemewa - wanasokomokoiii) Mahali - uwanja wa Nasaba Boraiv)Sababu - anawahutubia wanasokomoko

b) Kinayakatika siku kuu ya wazalendo 4 x 1 = 4

- Mtemi anasema wanafurahia uhuru ilhali watu hawana uhuru - anamuua mamake Imani na kunyakua shamba lao, anamuuaChichiri Hamadi na kunyakua shamba lake 1 x 2 = 2Tanbihi: Kuhamisha ndimi si tamathali ya usemi

c) i) Mtemi Nasaba Bora anawatuma askari wake kumpiga na kumwondoa mamake Imani kwenye shamba lao kishakulichukua

ii) Mtemi Nasaba Bora anawalipa majambazi kumuua Chichiri Hamadi na kulichukua shamba lake iii) Mtemi Nasaba Bora anamnasabisha Yusufu na kifo cha Chichiri Hamadi na kumsababishia kifungo cha maisha iv) Mtemi Nasaba Bora anampa Amani kichapo cha mbwa kwa kumtuhumu kumwendea kinyume na Bi Zuhura v) Mwalimu Majisifu anamwibia Amani mswada na kuuchapisha kwa jina lake vi) Mtemi Nasaba Bora anampagaza Amani kitoto uhuru vii) Mtemi anawalazimisha watu kuchanga pesa za kumpeleka madhubuti Urusi kusoma viii) Wauguzi wa zahanati wanakataa kukitibu kitoto uhuru wakidai ni sikukuu ya uhuru ix) Mtemi anawafungia Amani na Imani kwa tuhuma za kukiua kitoto uhuru x) Wazalendo waliopigania nchi wanapuuzwa mfano, Matuko Weye ana Chwechwe Makweche xi) Mtemi Nasaba Bora anatoa hongo ili mwanaye Madhubuti apate kazi jeshini xii) Mtemi Nasaba Bora anapofanya kazi katika wizara ya ardhi na makao, anaficha mafaili ili kujipatia milunguraxiii) Mtemi anawalazimisha wanasokomoko kuyachanja majibwa yao lakini yake hayachanjiwixiv) Mtemi anakataa kumpeleka DJ hospitalini anapoumwa na mbwa wake Jimmy licha ya kuwa ni sheria

5. i) Benbella anambaka mtoto mdogoii) Wauguzi wa hospitali / zahanati ya Nasaba Bora wanakataa kukitibu kitoto uhuruiii) Imani na Amani wanafungwa kwa tuhuma za kukiua kitoto Uhuru. iv) Mtemi Nasaba Bora anamkataa mtoto wake Uhuru na kumpagaza Amani v) Mwalimu Majisifu anawaita wanawe Masimbi na Mashata na hata kutishia kuwarusha majini vi) Watoto wadogo wanaajiriwa kufanya kazi ya kuchunga mifugo mfano, DJ na wenzake, Imani kuajiriwa kama kijakazi kwa mwalimu Majisifu vii) Wanafunzi wa shule ya upili ya Nasaba Bora wanakosa kufunzwa somo la Kiswahili muhula mzima na mwalimu Majisifu viii) Fao anamringa msichana wa shule ya upili ya Kinondani ix) Fao anaenda ng’ambo kusoma kwa pesa za mahawindex) Mtemi Nasaba Bora anampita mama mjamzito aliyekuwa akijifungua - kutomsaidia alikiuka haki za mtoto aliyekuwa akizaliwa xi) Askari waliotumwa na Mtemi kumpiga mamake Imani wanakiuka haki za Imani na Oscar kambona kwa kumchapa mama yao mbele yao - wanasababisha dhiki yakisaikolojia xii) Askari wa mtemi wanakiuka haki za Imani na Oscar kambona kwa kuuawa kwa mama yao na hivyo kuwa mayatima xiii) Mwalimu mkuu wa shule ya upili ya Nasaba Bora anakiuka haki za wanafunzi kwa kucheza mchezo wa kibe nao xiv) Mwalimu Majisifu anakiuka haki za wanawe kwa kuwaficha Mashaka anapoingia xv) Ben Bella anakiuka haki za Mashaka kwa kuhusiana naye akiwa mwanafunzi jambo ambalo linafanya Mashaka kuwehuka

Top grade predictor publishers Page | 338

Page 341: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

anapoachwa na Ben Bellaxvi) Mtemi Nasaba Bora anakiuka haki za Lowela kwa kufanya mapenzi naye na haliTanbihi:i) Amani si mtoto, alikuwa na miaka ishirini na minneii) Watoto ni wale waliokuwa chini ya mika kumi na minane

6. a) Mwana wa Darubini : K.M Mbaii) i) Msemaji - Mwatela

ii) Msemewa - Kanandaiii) Mahali - katika barua ya kuomba msamaha

ni mwanafunzi zozote 10 x 2 = 20

iv) Sababu - ni baada ya Mwakitawa kupotea nyumbani na Mwatela aliuwa na wasiwasi kuwa huenda alijua ukweli auAnajuta aliyomtendea kananda ndio maana anamwandikia barua ya kuomba msamaha zozote 4 x 1 = 4

ii) i) Kananda anakosa karo ya kuendelea na masomo kwa sababu ya uchochole wa wazazi wake na hivyo analazimika kuwayaya

ii) Maria anapokea kichap cha mbwa anapodadisi kuhusu ulevi wa Mwatela iii) Kananda anatiwa doa na Mwatela wakatiMaria alipowatembelea wazazi wake iv) Kananda anapokea vitisho vya mauaji kutoka kwa Mwatela iwapo angemwambia Maria kuhusu mimba yake v) Kananda anadanganywa na Mwatela kuwa angemuoa baada ya kujifungua vi) Maria anachomeka vibaya katika harakati zake za kumwokoa mwanaye Sami vii) Maria anampoteza mwanaye wa kipekee Sami katika mkasa wa moto viii) Kananda anapojifungua Mwatela anamnyanganya mwanaye ix) Mwatela anapeana Kananda kwa dereva wa malori kutoka Kongo ambaye anaishi naye kama mke kisha kumuuza kama

mtumwa x) Mwatela anamchochea Mwakitawa kumpiga mamake (Kananda) kwa manati za kwana 6 x 1 = 6

b) Damu Nyeusi : K. Waliborai) Fikirini anaachwa katika kituo cha basi na basi la shule linaloendeshwa na dereva mzungu

ii) Fikirini anatozwa faini mara mbili na polisi mzungu kwa kuvuka barabara huku taa zikiwa nyekundu ilhali wazungu wanaachiwawavuke taa zikiwa nyekundu bila kuadhibiwa

iii) Polisi wanamkamata Fikirini kwa kutofunga zipu na kuishiwa kutozwa faini ya dola mia mbiliiv) Polisi wanaomkamata Fikirini wanamwona kama mtu asiyejua Kiingereza - wanamuuliza kama alijua kuongea Kiingerezav) Fikirini aendapo kununua vitu kwenye maduka makubwa, mlinzi humfuatafuata kana kwamba anamshuku atadokoa vitu vya watuvi) Wahadhiri wanatoa alama kwa kupendelea watu weupe na kuwakandamiza weusivii) Wanaume weusi hawapati shahada vyuoni, wanang’ang’ania kula kalendaviii) Fikirini anapoingia mkahawani anakumbana na mitazamo ya dharau ya wateja na wahudumuix) Fikirini anapokuwa darasani mhadhiri mzungu na wanafunzi darasani hawasiti kumsaili maswali ya kumdhalilisha na kumdunisha

mfano :“Je, kule kwenu watu wanavaa nguo au wanatembea rabana?”

x) Fiona na Bob (wazungu weusi) wanampora Fikirini kila kitu na kutishia kumuua kabla ya kumfukuza akiwa uchiFASIHI SIMULIZI

7. a) Maapizob) i)Hutolewa kwa watu walioenda kinyume na matarajio ya jamii. Mfano: wabakaji, wezi, wauaji n.k. ii) Katika baadhi ya jamii maapizo hutolewa kabla ya ulaji viapo iii) Maapizo yanaweza kutolewa moja kwa moja na yule aliyeathirika

mfano; aliyeibiwa iv) Katika baadhi ya jamii, watu mahususi waliteuliwa kutoa maapizo hasa wakati wa ulaji kiapo v) Kidini, Mungu, miungu au mizimu huweza kutoa maapizo kuhusu mustakabali wa mhusika fulani vi) Maapizo huaminiwa kuwa yataleta maangamizi kwa jamii, hivyo wanajamii hushauriwa kuyaepuka kwa kutenda mema vii) Maapizo hutumia lugha fasaha (ulumbi). Watoaji maapizo katika ulaji wa viapo aghalabu huwa walumbi viii) Maapizo hutumia lugha kali inayonuiwa kujaza woga ili kuonya dhidi ya maovu. Mfano: kama unajua, uliiba mbuzi wangu, mrudishe kabla ya jioni la sivyo utakula nyasi za kwanza 5 x 2 = 10Tanbihi:i) Maapizo ni maombi maalum ya kumtaka Mungu / miungu / mizimu kumwadhibu mhusika hasidi, mkinzani au mwovuii) Ni dua ya laana au maombi mabaya kutoka kwa mtu ambaye anahisi ametendewa uovu au amesalitiwa na mwingine

c) i) Kupitia utohozi mfano; ‘windo’ - dirishaii) Kufupisha maneno mfano; ‘gava’ - government

‘dere’- dereva ‘ compe’ - competition

iii) Kutumia sitiari (ufananisho) mfano golikipa kuitwa nyani kutokana na weledi wake; kasuku - anayesema sana au fisi - mlafi

iv) Kubadilisha maana ya kawaida ya maneno mfano; ‘toboa’ kwa maana ya kufauluv) Uvumbuzi wa maneno mapya mfano; neno zii! kumaanisha hapana, ‘njumu’ kwa maana ya viatuvi) Kwa kuchanganya lugha mfano; kubeat, kujiwastevii) Kuendeleza maneno kinyume mfano; kumi - ‘miku’

enda - ‘ndae’ zozote 4 x 2 = 8

Top grade predictor publishers Page | 339

Page 342: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA WA WILAYA YA GUCHA KUSINI Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya KISWAHILI Karatasi ya Kwanza (INSHA) Julai /Agosti 2016 Muda: Saa 1¾

1. Andika barua kwa Mkurugenzi wa Elimu nchini ukimwelezea kuhusu mikakati inayostahili kuwekwa ili kupambana na tatizo la udanganyifu katika mitihani ya kitaifa.

2. Ukosefu wa ajira ni tatizo sugu humu nchini. Pendekeza njia zinazoweza kutumiwa katika kubuni nafasi tosha za kazi humu nchini.

3. Mjinga mpe kilemba utamwona mwendowe. 4. Anza kwa, "Walipofungua mlango huo, wengi hawakuweza kuzuia hisia zao. Walilia kwi! kwi! kwi! kwa maafa

waliyoshuhudia . . . ."

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA GUCHA KUSINI Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya KISWAHILI 102/2 Karatasi ya Pili (Ufahamu, ufupisho, Sarufi na matumizi ya lugha na Isimujamii) Julai / Agosti 2016 Muda: Saa 2½

1. UFAHAMU (alama 15)

Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.

Utandaridhi (au globalization kwa lugha ya Kiingereza) ni jinsi ya maisha inayoendelea kutawala ulimwengu wote katika karne hii ya 21. Neno utandaridhi ni neno mseto ambalo maana yake ni utamaduni uliotanda au kuenea ardhi nzima. Mtu mtandaridhi hivyo basi ni mtu aliyebobea kikamilifu katika utamaduni huu mpya kwa jinsi moja au nyingine. Mtandaridhi husisha sana katika kutandaridhi aina moja au nyingine ya amara muhimu za kitandaridhi. Hizo ni kama vile biashara za kimataifa, lugha za kimataifa, aina za mavazi zilizotokea kupendwa ulimwenguni kote, muziki wa kisiku hizi, hasa vile pop, reggae, raga, rap, ambao asili yake ya hivi majuzi ni Marekani. Muziki huo waimbaji wake hutumia, sana sana, lugha ya Kiingereza hususan kile cha Marekani na kadhalika. Watandaridhi wana nyenzo zingine kadha wa kadha za kuendeshea maisha yao au kujitambulisha. Wao huwasiliana kutoka pembe moja ya dunia hadi nyingine wakitumia vitumeme, yaani vyombo vitumiavyo umeme kufanya kazi ya hali ya juu, kama vile tarakilishi na simu, hata za mkono. Watu hawa hawakosi runinga sebuleni mwao, usiseme redio. Hawa husikiliza na kutazama habari za kimataifa kupitia mashirika matandaridhi ya habari kama vile BBC la Uingereza na CNN la Marekani. Aidha watu hawa husafiri mara kwa mara kwa ndege na vyombo vingine vya kasi. Hawa hawana mipaka. Wale wanaohusudu utandaridhi wanaamini kindakindaki kwamba utamaduni huu wa kilimwengu umeleta mlahaka mwema baina ya watu binafsi, makampuni makubwa makubwa ya kimataifa na uwiano bora baina ya mataifa. Watu hawa husikika wakidai ya kuwa aina hii ya utamaduni imeupigisha mbele ustaarabu wa wanadamu ulimwenguni kote. Kwa upande mwingine, wakereketwa wa tamaduni za kimsingi za mataifa na makabila mbalimbali ulimwenguni wanadai ya kwamba utandaridhi umeleta maangamizi makubwa ya tamaduni hizo. Vile vile unaelekea kuangamiza lugha nyingi zilizofungamana na tamaduni hizo. Kwa ajili hiyo basi, utandaridhi umesemekena kwamba unasababisha kutovuka kwa utu miongoni mwa wanadamu wote, ambao wamo mbioni kusaka pesa na kuneemesha ubinafsi. Inadaiwa pia kwamba utandaridhi umesababisha kutovuka kwa adabu kwa vijana wengi ulimwenguni kote ghaya ya utovu. Huku kutovuka kwa adabu kwa vijana, hasa wale wa mataifa yanayojaribu kuendelea, kumeleta zahama chungu mbovu, ikiwa ni pamoja na kuenea kwa UKIMWI kwa kasi ya kutisha. Maswali

a) i) Bainisha kwa kutoa maelezo kamili kwamba utandaridhi ni neno mseto. (alama 1)ii) Tohoa maneno mawili kutokana na neno kutandaridhisha kisha ueleze maana za maneno hayo. (alama 1)

b) i) Nini maana ya "hawa hawana mipaka"? (alama 1)ii) Kwa nini watandaridhi wanapenda kusikiliza na kutazama habari kupitia BBC na CNN? (alama2)

c) i) Eleza kikamilifu maoni ya watandaridhi kuhusu utamaduni wao. (alama 3)ii) Je, utandaridhi unalaumiwa kwa nini katika kifungu hiki? (alama 3)

d) Msemo : "chungu mbovu" ni msemo wa kimtaani tu. Msemo sawa ni upi? (alama 1)e) Eleza maana ya maneno yafuatayo: (alama 3)

i) amara .ii) mlahakaiii) wakereketwa .

Top grade predictor publishers Page | 340

Page 343: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

2. UFUPISHO (alama 15) Soma kifungu kisha uyajibu maswali yanayofuata

Nidhamu ni kitu cha maana sana maishani mwa binadamu. Kila mwanafunzi anapaswa kuwa na nidhamu ya hali ya juu sana. Akiwa na nidhamu hiyo, atakuwa mtu mwadilifu, anayeweza kustahiwa na kusadikikika katika mambo, shughuli na hali tofauti tofauti.

Kwanza, mtoto mwenye nidhamu huwa kama anga au nuru nyumbani mwao, shuleni na pia katika jamii. Watu wote wanampenda na kumheshimu. Wazee kwa vijulanga wote wanamtegemea kama msimamizi wa mambo nyeti ya maisha yao.

Kwa_hivyo, ni dhahiri shahiri kwamba mwadilifu hunufaika sana, kinyume na mkaidi ambaye wahenga walimwambia kwamba atakosa kufaidi hadi siku ya Idi.

Pili, huwadia nyakati ambapo huwa kuna jambo la busara, mathalani jukumu ama dhima fulani ambayo huhitaji tu mwakilishi mmoja darasani, shuleni au katika jamii. Watu hapana shaka watamteua yule mwadilifu kuchukua nafasi kama hiyo.Ndio maana viranja wanaoteuliwa shuleni, huwa ni wanagenzi ambao tayari wamekwisha tiwa katika mizani na kupigwa msasa madhubuti.

Vile vile, mwadilifu daima atajiepusha na shutuma na majanga yote yanayoweza kuchipuka.Kuna msemo maarufu, kwa busara yake iliyobusarisha mwadilifu, kwamba "aliye kando haangukiwi na mti." Pia waliambiwa kwamba,pilipili usiyoila yakuwashiani?

Ni bayana kutokana na misemo hiyo mwili kwamba mwenye nidhamu hawezi kuhusishwa na majanga hatari yanayoweza kuwakumba watu.

Walakini ni vyema kujiuliza, je, nidhamu huanzia wapi, na kwa nini kuna baadhi ya 'watoro' ambao ni watovu wa nidhamu? Utovu wa nidhamu huanzia awali sana maishani mwa mja. Mtoto anapozaliwa, anategemea miongozo na mielekeo ya watu wazima ambao wako mazingirani mwake. Ndipo wa kale waliokaramka walisema kwamba mtoto akibebwa, hutazama kisogo cha nina.

Hivi ni kusema kwamba, nidhamu au utovu wa nidhamu huanzia nyumbani hadi shuleni, kisha hupanuka hadi kufikia kiwango ambapo mja anatangamana na watu wote katika maisha yake. Ikiwa sehemu moja ya ukuaji wa nidhamu maishani mwa mja itasambaratika, basi hawezi akawa mkamilifu kinidhamu maishani mwake.

Kwa vile ni bayana kwamba mabaya yote ayatendayo duniani hulipwa na Mola papa hapa duniani, watovu wa nidhamu wote huishia kuangamia, ama kujuta mno kwa amali zao potovu. Ni kheri mja kujihidi mwenyewe, kwani uhalifu haulipi chochote. Maswali

a) Nini umuhimu wa nidhamu? (Maneno kati ya 50 - 55) (alama 1 ya mtiririko) (alama 6)b) Bila kubadilisha maana, fupisha aya nne za mwisho. (Tumia maneno 55 - 60)

(alama 1 mtiririko) (alama 7)3. MATUMIZI YA LUGHA. (alama 40)a) Eleza dhana ya shadda. (alama 2)b) Ainisha viambishi na silabi kwa kutumia kitenzi: (alama 2)

Walipigishwa.c) Nini wingi wa sentensi hii katika ukubwa? (alama 2)

Ulimi wa mtundu huwa mrefu.d) Eleza matumizi matatu ya kiimbo. (alama 3)e) Changanua kwa kutumia mstari / mshale. (alama 4)

Wazazi wengi sana waliofika shuleni mapema walileta vyakula vingi. f) Yakinisha kwa wakati ujao hali timilifu. (alama 2)

Hakuwa na kalamu nyeupe. g) Andika upya sentensi hii ukifuata maagizo. (alama 2)

Wembe ulipopotea mwanafunzi alikasirika. (Anza: Kupotea . . .h) Toa maana mbili za sentensi hii: (alama 2)

Nionyeshe vile nitakavyokubeba.i) Kwa kutoa mifano katika sentensi, bainisha matumizi ya kibainishi. (alama 2)j) Andika katika usemi wa taarifa: (alama 3)

"Mbona unamfanyia karaha mwenzako ? Je, utaenda kumwomba radhi?" Natasha aliuliza.k) Nomino za ngeli ya A - WA zina sifa gani kimuundo? (alama 2)l) Bainisha vishazi vilivyotumika katika sentensi hii. (alama 2)

Ingawa alimshtaki hatapata haki.m) Eleza kazi ya kisarufi ya maneno yaliyopigiwa mstari. (alama 2)

i) Jumapili ijayo nitakuwa sherehe . . .ii) Wageni watakuja Jumapili . . .

n) Tunga sentensi kuonyesha matumizi mawili ya 'ndi'. (alama 2)o) Onyesha shamirisho katika sentensi. (alama 3)

Kipkemboi alimbebea mwalimu mzigo kwa gari. p) Bainisha nomino katika sentensi hii:. (alama 3)

Uhubiri wa Nabii Dkt. David Edwin Owuor una mvuto mkubwa.q) Tumia 'o' rejeshi mazoea kuandika upya sentensi hii: (alama 2)

Mwanafunzi ambaye anasoma kwa bidii ndiye ambaye anafaulu mtihani4. ISIMUJAMII (alama 10)

a) Eleza sababu sita zinazosabahisha watu kubadili na kuchanganya msimbo (alama 5)b) Toa ithibati kwamba lugha ya Kiswahili ina asili ya kibantu. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 341

Page 344: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA GUCHA KUSINI Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

102/3 KISWAHILI FASIHI YA KISWAHILI Julai / Agosti 2016 Muda: Masaa 2½

1. LAZIMA : SEHEMU YA 'A' HADITHI FUPI Damu Nyeusi na Hadithi nyingine : Ken Walibora na Said A. Mohamed

1. Matatizo yanayolikumba bara la Afrika yanaweza kusuluhishwa kwa njia zipi? Jadili kwa kurejelea Diwani ya Damu Nyeusi. SEHEMU YA B TAMTHILIA: Mstahiki Meya : Timothy M. Arege Jibu swali la 2 au la 3

2. "Jina si Kitu. Tumbo ndilo muhimu. Tumbo lako na jamaa yako." a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Fafanua jinsi tumbo limewekwa mbele ya jina katika tamthilia hii. (alama 16)3. Thibitisha ukweli wa msemo kuwa: Sikio la kufa halisikii dawa kwa mujibu wa Tamthlia ya Mstahiki Meya. (alama 20)

SEHEMU YA C RIWAYA: Kidagaa kimemwozea ; Ken Walibora Jibu swali la 4 au la 5

4. "Wachache hawa hawaogopi, ashakum si matusi, hata kutema mate au kumwaga mkojo usoni mwa haki, usawa na uhuruulipiganiwa na kumwagiwa damu . . . ."

a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Kwa kutoa ithibati onyesha mbinu ya lugha iliyotumika katika dondoo hili. (alama 2)c) Thibitisha kwa kutoa mifano saba namna haki za kibinadamu zimekiukwa katika riwaya ya Kidagaa kimemwozea.

(alama 14) 5. Wananchi wa Tomoko wamesalia katika ndoto ya uhuru. Dhihirisha ukweli wa kauli hii. (alama 20)

SEHEMU YA D: USHAIRI

6. Tohara kwa mwanamke, ni hatari, Madhara, kwa wake uke, hushamiri, Hasara, yake peke yake, hudhihiri, Zinduka!

Epuka, hao ngariba, wajuaji Hufika, navyo viroba, wachinjaji Kumbuka hawana tiba wauaji Amka!

Kiwembe, kilichochafua, na kibutu, Viumbe, huathirika, ni kwa kutu, Siombe, yakakufika, mwana kwetu,

Zinduka!

Maradhi, hujitokeza, ya vidonda, Yaridhi kujichomoza pepopunda, Na hedhi, hukuchagiza, ikavunda.

Amka!

Isiwe, wembe mmoja, wengi wari, Ujuwe, Ukimwi huja, ni hatari, Na iwe, katu si hoja, kuwa mwari, Zinduka!

Wacheni, mila dhaifu, zinotesa

Top grade predictor publishers Page | 342

Page 345: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Kwepeni, amali chafu, nawasa. Shikeni, uadilifu, tangu sasa, Zinduka!

(Kutoka: Diwani ya wasakatonge, Muhammed Seif Khatibu, OUP Dares Salaam) Uk 2. 1. Shairi hili ni la bahari gani? Tetea jibu lako. (alama 4)2. Mshairi antoa mwito gani katika ubeti wa pili? (alama 4)3. Fafanua msimamo wa mshairi kuhusu tohara. (alama 4)4. Andika ubeti wa sita kwa lugha ya nathari. (alama 3)5. Taja na utolee mifano mbinu zozote mbili zilizotumika katika shairi. (alama 4)6. Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa katika shairi. (alama 2)

i)Hushamiri ii)Kibutu iii)Idhilali iv)amali. SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZI Jibu swali la 7 au la 8

7. a) Eleza mafunzo matano yanayotolewa na methali za Kiswahili. Kwa kila funzo andika methali moja. (alama 10)b) Fafanua dhima ya utanzu wa nyimbo katika jamii. (alama 10)

8. a) Maigizo ni nini? (alama 2)b) Fafanua sifa zozote tatu za maigizo. (alama 6)c) Eleza tofauti kati ya ngoma na ngomezi. (alama 4)d) Fafanua hasara tatu za miviga na namna ya kusuluhisha hasara hizo. (alama 6)e) Tofautisha kati ya mighani na maghani. (alama 2)

Top grade predictor publishers Page | 343

Page 346: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

GUCHA KUSINI - MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA KISWAHILI Karatasi 1 (Insha) Julai/Agosti 2016 MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA

Swali la 1 Hii ni barua rasmi Ichukue sura ya barua rasmi Mikakati ni pamoja na:

i) Kuweka sheria kali kwa wale wanaosababisha kuwepo kwa udanganyifuii) Kufutiliwa kwa matokeo ya wanaodanganyaiii) Marufuku ya kuorodhesha shule yadumishweiv) Mitihani kuwasilishwa kupitia kwa mtandao / tarakilishi v) Jamii nzima kuwajibika vi) Kutozingatia sana vyeti vya kuhitimu katika kuajiri vii) Kuripoti visa vya wizi / wanaohusika kwa baraza la mitihani viii) Mtihani ya kitaifa kufutiliwa mbali

Swali la 2 Baadhi ya hoja

- upanuzi wa viwanda- kuimarisha uchumi wa nchi ili pesa zipatikane za kuajiri watu- kuhimiza watu kujiajiri- kupunguza mishahara mikubwa mikubwa- uimarishaji wa sekta ya elimu ili watu wapewe ujuzi mbalimbali- masomo shuleni yalenge kufunza ubunifu wa kikazi- serikali iweke sheria kwa makampuni ya kigeni nchini kuwa ni lazima yaajiri idadi fulani ya wenyeji- wafanyakazi wa kigeni watozwe ushuru zaidi ili kuwazuia kuja kuchukua nafasi ambazo zingekuwa za wenyeji- kuimarisha sekta ya kilimo- kuimarisha sekta ya jua kali

Swali la 3m.s. kilemba - cheo au madaraka

mwendowe - mwendo wakem.y .Mtu mjinga mpe cheo na utaona vile atawadharau na hata kuwanyanyasa wenzake. Hapa pana maana kuwa hastahili kupewa madaraka asiye na akili nzuri Mwanafunzi atunge kisa kuonyesha vile mtu fulani alipewa cheo / madaraka kisha akaanza kudharau wenzake huku akijisifu hata bila sababu. Ile hali ya kujisifu na kudharau wenzake sharti kuonyesha vile anavyokosa imani ya wenzake na hata kule kukataliwa Swali la 4 Hii ni insha ya mdokezo

- sharti mwanafunzi ayatumie maneno haya mwanzoni mwa kisa / insha yake- kisa cha mwanafunzi kionyeshe / kilenge mkasa wowote ule unaohuzunisha na kuwafanya watu kulia

k.m. - uvamizi unaosababisha mauaji - kujitoa uhai / kujitia kitanzi - ubakaji - maiti ya mtu aliyeaga na kukaa ndani ya nyumba kwa muda bila kujulikana * Kwa vyovyote vile, kisa cha mwanafunzi kionyeshe hali ya majonzi / sintofahamu

Top grade predictor publishers Page | 344

Page 347: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

GUCHA KUSINI - MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA KISWAHILI Karatasi 2 Julai/Agosti 2016 MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA

1. UFAHAMUa) i) Linatokana na maneno matatu

Utamaduni, tanda, ardhi 1 x 1 = 1ii) Kutanda - kuenea / kusambaa / kuzagaa / kutangaa

Ridhisha - kupendeza / kutosheleza 2 x ½ = 1b) i) Wanawasiliana na wenzao ulimwenguni kote au

Wanaenda popote 1 x 1 = 1ii) Mashirika haya hutangaza habari za kimataifa / ulimwenguni

Ni mashirika matandaridhiNi mojawapo ya nyenzo za utandaridhi yoyote 2 x 1 = 2

c) i) Umeleta mlahaka mwema baina ya watu / makampuni ya kimataifaUwiano bora baina ya mataifaImepigisha mbele ustaarabu / maendeleo ya binadamu ulimwenguni 3 x 1 = 3

ii) Kuangamiza tamaduni za kimsingi za mataifa na makabilaKuangamiza lugha nyingi zinazofungamana na tamaduni hizoKutovuka kwa utu / kuendeleza ubinafsiKutovuka kwa adabu miongoni mwa vijana / zahama / kuenea kwa ukimwi 3 x 1 = 3

d) Chungu nzima 1 x 1 = 1e) i) omara - nyenzo

mlahaka - uhusianowakereketwa - waathiriwa 3 x 1 = 3

2. UFUPISHOa) Umuhimu wa nidhamu

Mwenye nidhamu ni nuru nyumbani hata shuleni Anakuwa kiongozi wa wote Watu humtegemea Watu humpenda Anajiepusha na shutuma na majanga Kijumla anastahiwa Hupata fursa ya kuteuliwa miongoni mwa wengi kwa dhima fulani hoja 6 x 1 = alama 6 mtiririko alama 1 Jumla 7

b) i) Mwadilifu hajipati katika matatizoii) Lakini utovu wa nidhamu huanzia utotoni iii) Mtoto huiga tabia za wazazi wake na kuendelea shuleni iv) Sehemu moja ya ukuaji wa nidhamu inaposambaratika hawezi akawa mkamilifu kinidhamu v) Utovu wa nidhamu hulipiwa kwa adhabu duni ni mumu humu vi) Watu wajirekebishe Hoja 6 alama 6 alama 2 za mtiririko Jumla 8 Kutuza Ondia makosa 10 ya sarufi kila kosa nusu alama hadi alama 5 Hijai Ondoa makosa 6 ya hijai kila kosa nusu hadi alama 3 Adhibu kila kosa la sarufi na hijai linapotokea mara ya kwanza

3. a) Shadda ni mkazo unaoweka katika silabi / sehemu fulani ya neno wakati wa kulitamkaii) Wa-li-pi-gi-shwa (silabi) 1 x 1 = 1

c) Dimi za majitundu huwa ndefu 1 x 2 = 2d) i) Kuonyesha mshangao

ii) Kuonyesha kauli iii) Kuonyesha swali iv) Kuonyesha maagizo v) Kuonyesha maagizo vi) Kuonyesha amri zozote 3 x 1 = 3

e) S KN + KTKN N + V + E + SN WazaziTop grade predictor publishers Page | 345

Page 348: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

V wengiE sana S waliofika shuleni mapema KT T + N + V / T + KN2

T walileta T walileta N vyakula KN2 N + V V vingi N vyakula

V vingi utazaji: 0 - 3 = ½ 7 = 2½4 = 1 8 = 35 = 1½ 9 = 3½6 = 2 10-12 = 4

f) Atakuwa na kalamu nyeupe 1 x 2 = 2g) Kupata kwa wembe kulimkasirisha mwanafunzi 1 x 2 = 2h) i) Namna au jinsi

ii) Kiashiria (kutambua) 2 x 1 = 2i) i) Kuonyesha sauti ya king’ong’o

mfano: ng’amboii) Katika ushairi kuonyesha kupunguza kwa mizani k.m. ‘sikateiii) Badala ya herufi hasa tarehe mfano ‘99

tanb: mwanafunzi atunge sentensi 3 x 1 = 3j) Natasha alimwuliza sababu ya kumfanyia / kwa nini alimfanyia mwenzake karaha na akataka kujua kama angeenda

kumwomba radhi 3 x 1 = 3k) i) Baadhi huanza kwa m - katika umoja na wa - katika wingi

K.m. mtu - watu ii) Zinaweza kuchukua cha katika umoja vy - katika wingi

k.m. chura - vyura iii) Zingine hubaki vile vile katika umoja na wingi

k.m. ng’ombe - ng’ombe zozote 2 x 1 = 2 l) Ingawa alimshtaki - kishazi tegemezi

hatapata haki - kishazi huru 2 x 1 = 2m) i) Nomino

ii) Kielezin) Kusisitiza - mwanafunzi atunge sentensi 1 x 2 = 2o) mzigo - shamirisho kipozi

mwalimu - shamirisho kitondogari - shamirisho ala / kitumizi

p) UhubiriNabii Dkt. David Edwin OwuorMvuto

q) Mwanafunzi asomaye kwa bidii ndiye afauluye mtihani 1 x 2 = 24. ISIMU JAMII (Alama 10)a) i) Kujinasibisha na kundi fulani

ii) Ujuzi wa lugha nyingi iii) Ukosefu wa msamiati mwafaka iv) Maksudi ya mtu v) Kurembesha lugha vi) Mazoea ya kuzungumza lugha fulani vii) Ili kufanya jambo lieleweke kwa urahisiza kwanza 6 x 1 = 6

b) i) Kama lugha nyingi za kibantu kina irabu tano - a, e, i, o, uii) Mpangilio wa nomino katika ngeli katika lugha ya Kiswahili unalingana na mpangilio katika lugha zingine za kibantuiii) Muundo wa silabi za maneno ya Kiswahili hufuata utaratibu wa KI / KKI sawa na katika lugha nyingi za kibantu

zozote 2 x 2 = 4

Top grade predictor publishers Page | 346

Page 349: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

GUCHA KUSINI - MTIHANI WA TATHMINI YA PAMOJA

KISWAHILI Karatasi 3 Julai/Agosti 2016

MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA 1. Mke wangu

Msimulizi alikuwa na matarajio fulani alipokuwa anamtafuta mchumba. Alikuwa amefanya utafiti na Tanbihi : Endelea ukurasa wa pili na majibu ya swali la kwanza

i) kuona kuwa hangependa kumuoa mwanamke wa kisasa kama Fedhele kwani wenzake waliofanya hivyo walikuwa taabani,Fedhele alikuwa amesoma na amekengeoka

ii) Salma alikuwa mtamaduni wa kufuata utamaduni wa kale, unaofaa na usiofaa. Hakutaka mwanamke aliyeshinda akijipakamarangi na kujifunika buibui gubigubi

iii) Hakutaka mke kama Seluwa mtoto wa shangazi yake kwa sababu alikuwa na kidomo domoiv) Aliamua kumuoa Aziza msichana wa mashambani akifikiria kuwa ni mjinga na hakuwa na doa na kuwa angemzuzua.

Kumbe hiyo ilikuwa ni ndoto kama alivyokuja kugundua. Aziza alimwona kama mume asiyefaa. Hawakuelewana kwa jambololote karibu ndoa itibuke

b) Samaki wa nchi za jotoi) Samaki amayerejelewa ni Sangara aliyeletwa na mkoloni kisha akawala samaki wengine hasa katika ziwa Viktoria na

maziwa mengine nchini Ugandaii) Huyu pia ni Peter na wenzake wanaokaa Tank Hill. Walibaki nyuma baada ya mkoloni kutimuliwa. Wametwa uchumi wa

nchi ya Uganda na kumwacha Mwafrika maskini (Deogracius, mfanyakazi wa nyumbani mwa Peter, wachuuzi, waafrikakwa jumla. Wameliwa kiuchumi na mkoloni na kubaki kuwa maskini kwa hali na mali

iii) Peter na wazungu kama yeye kuwatumia wasichana wa Kiafrika kama Cristine kama vyombo vya starehe. Samaki(wasichana wanatoka sehemu mbalimbali za nchi) Maziwa mbalimbali. Kuvuliwa na wanaume wa kizungu

iv) Uchumi wa Uganda kutawaliwa na wageni. Wahidi (Patel) na wazungu (Peter)c) Damu Nyeusii) Ubaguzi wa rangi ni roho nyeusi. Si damu bali ni roho iliyo nyeusi. Msimulizi alikutana na wazungu na hata waafrika wa

huko Marekani walio na roho chafu, walio na ubaguzi waliochukia wenzao. Anapokumbana na roho chafu ndipo alipotamanikurudi nyumbani na hata kukumbuka maneno ya Rais Moi kuwa mzungu alikuwa na roho mbaya

d) Gilasi ya mwisho makaburinii) Baada ya majambazi / vizuu kuwavamia watu, wengi labda hawakuwahi kurudi hukoii) Wakati majambazi walipowavamia, starehe, ulevi na disko zilikuwa zimefikia kilelee) Kikazai) Kikaza kulingana na kamusi sanifu ni kifaa cha chuma cha kuunganisha vipande viwili vya mbao au chuma (fimbo) ii) Hadithi hii inaeleza juu ya uongozi mbaya, uongozi wa bwana Mtajika aliyekifilisi kijiji na kuleta aibu kubwa mno.

Alimwachia mke wake jukumu la kuongoza na kuharibu nchi na kuwatusi. Njaa na umaskini vimesheheni ilhali yeye na wenzake wamenona. Wanachi waliamua kumtoa kiongozi huyu dhalimu mamlakani na kuchagua mwingine, mvua ilinyesha (ufanisi) nchi inawiri tena

iii) Kikaza kuharibika ni uhusiano baina ya viongozi na wananchi. kuharibika. Wananchi ni kipande kimoja cha mbao au chumana uongozi ni kipande cha pili kwa hivyo huunganishwa na kikaza

iv) Mazingira kuharibiwa na kusababisha ukosefu wa mvua, njaa kila mahali hadi wanaenda kwa Bwana Mzee Babu kutafutachakula. Kila siku wananchi walitarajia mvua lakini haikunyesha.

v) Wasaidizi wa uongozi kama Bwana Machupa na wengine wanasaidia kuiibia na kuifilisi serikali. Watu wanakuja kwa Mzee Babu kutafuta usaidizi na ndipo anawasimulia kisa cha kobe. Umoja wao uliondoa uongozi dhalimu na uchaguzi wa kiongozi mpya lakini bado kuna siri ambazo Bi Cherehani na Bwana Pima hawakutoa

f) MaekoMaeko inaweza kutoa maana nyingi zinazothibitishwa na maudhui ya hadithi

i) Matatizo / shida zilizomkumba Jamila - Jamila alipata shida za mapigo na huzuni katika ndoa yake. Alijaa makovu mwilinimwake na hata kushauriwa kila wakati amwache Hamduni

ii) Utohozi wa neno echo (mwangwi) - sauti na kelel za usiku za Hamduni zilisikika kote mtaani. Hii ni kwa sababu aliamkakufanya kelele wakati kila kitu kimetulia. Kelele hizi zilisikika mbali kwa sababu ya utulivu.

iii) Weka - makubaliano ya ndoa kati ya Jamila na Hamduni ya kuwa wasiachane, Hamduni aliweka mkataba na pombe naupyoro

g) Kanda la Usufii) Kanda la usufi ―Mzigo wa mwenzio ni kanda la usufi. Mwenzako akiwa na tatizo kwako waliona ni jambo rahisi tuii) Sela alipopata mimba (uja uzito) Masazu alimuuliza ni kwa nini hakuwa amejikingaiii) Wasichana shuleni waliposikia majina ya wenzao kama sela wakiambiwa waende ofisini walicheka. Hawakujua uchungu wa

wenzaoiv) Mzigo wa wasichana watatu akiwemo Sela ni kama kanda la Usufi kwa wanafunzi wenginev) Mzigo wa sela kuwa mja mzito ni kanda la usufi kwa ambao wasichana wao hawakuwa haja wazito. Ni mzigo wa wazazi.

Mama alifukuzwa.Top grade predictor publishers Page | 347

Page 350: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

h) Shaka ya mamboi) Kuna mashaka juu ya urafiki wa Esther na kamata. Kamata anafanya urafiki na Grace pamoja na Esther. Alitaka kumtumia

Estherii) Mashaka ya kutaka kupata hela za kutosha ii aende kufanya kazi ya Uhanzili / usekeretariiii) Shaka ya kubadilishiwazamu yake kama walivyokubalianaiv) Esther alikuwa na shaka juu ya Kamata kama alimpelekea mzungu yule dola zakev) Shaka ya mzungu hadi anaacha pesa zakei) Maskini babu yangui) Inaashiria masikitiko kwa sababu ya alama ya mshangao iliyotumiwa. Msimulizi anasikitika na amebeba uchungu moyoni

mwake kwa yaliyomtendekea babu yake maende.ii) Kila anapokumbuka anakumbuka uchungu aliopitia Maende. Alikuwa anaenda kuzuru mtaa wa kochokocho bila kujua kuwa

kulikuwa na tatizo la ubagui wa rangij) Ndoa ya Samanii) Msimulizi alipokuwa maskini na mwenye mapenzi teletele kwa Amali, wazazi wa Amali walikataa posa hii. Mama Amali

alimwona kuwa maskiniii) Baada ya msimulizi kwenda Arabuni, kufanya kazi na kutajirika, jamii walimsihi amuoe Amali ambaye sasa alikuwa na umri

wa miaka thelathini. Hakuna aliyekuwa amemuoa. Lakini wakati huu posa yake inakubaliwa kwa sababu ana mali.Alihitajika kutoa vitu vya thamani kubwa ndipo amuoe Amali (Amri ya mamake Amali)

iii) Msimulizi alivunja ndoa kabla ikamilike alipogundua kuwa Amali alikuwa anataka malik) Tazamana na mautii) Hadithi inatufahamisha kuwa Lucy alitamani mzee Crusoe afe lakini ni yeye aliyekufa

Hakujua kuwa tamaa yake ya mali na starehe ni kutazama mauti. Lucy alikuwa na ubinafsi sana, alijaribu juu chini hadi akaolewa na mzungu Crusoe lakini kwa sababu ya uroho wake alianza kumchukia na kumtakia mauti (afe / kifo) badala yake yeye ndiye aliyefariki. Hakujua kuwa tamaa yake ndiyo mauti yake

l) Mwana wa darubiniMwakitawa ni mwana wa darubini kwa sababu mamake Kananda alipomzaa alifanyiwa unyama na mwatela, baba mtoto na mwajiri wake. Alimuuza kwa dereva kutoka Kongo. Alipofaulu kurudi Kananda alinunua darubini ili aweze kumwona mwanawe kwa umbali. Aliogopa kufika karibu kwa kuwa alihofia Mwatela angemfanyia unyama. Alitamani kumwona mwanawe ana kwa ana.

m) Mizizi ya Matawi Uzao / ukoo wa mtu haupotei. Kudura alimtupa sudi pipani ili aendelee na starehe za ujana wake. Alibahatika kukutana naye akiwa mtu mzima. zozote 10 x 2 = 20

2. Mstahiki Meyaa) Maneno haya yanasemwa na Bili, alikuwa akimwambia Meya wakiwa ofisini mwa Meya, Bili alikuwa anamshauri Meya

akubali kuenda kortini na kukiri juu ya kandarasi aliyotoa kwani Bili anaamini kuwa hakimu atatoa uamuzi wa mwenyekandarasi kulipwa fidia

b) Tumbo limewekwa mbelei) Madiwani wanaomuunga Meya mkono wanatuzwa kwa vyeo na marupurupu. Wanaongezewa mishahara. Hawajali wanachi,

wafanyikazi hawajalipwa mishahara kwa miezi kadha.ii) Kamati - kamati kuundwa na madiwani walio na ushauri mkubwa kuwekwa katika kamati kisha walipwe vizuri. Hata baada

ya kuambiwa na Diwani III kuwa haiwezekani kwani wafanyakazi hawajalipwa wanamlazimisha kuongeza kodi ili kupata pesa hizo.

iii) Meya anapanga kumfurusha mwenye kandarasi. Bili anampa njia ya kujifaidi kuwa waweze kumlipa fidia na huyo mwenye kandarasi ampe Meya hongo. Baraza ndilo linalolipa na huku watu wanakufa kwa kukosa dawa

iv) Meya anataka kujenga uhusiano bora na nchi zingine kwa : mapokezi ya wageni - anatumia pesa nyingi na ilhali wananchi hawana mahitaji ya kimsingi ya chakula na dawa. Mvinyo kutoka urusi, divai kutoka ufaransa a vyakula kutoka tamaduni zote za duniani

v) Meya kujinyakulia vipande vya ardhi kisha kuviuza ili apate pesa za matumizi ya starehe - prime plot. Meya amenyakuavipande vinane vya ardhi, kuuza vitatu na kubakisha vitano. Alimpa Bili vipande vinne anamhimiza auze viwili

vi) Diwani wa tatu anasema kuwa Umeya hauna pesa nyingi lakini afisi ndiyo ina mianya mingi ya kujitajirishavii) Meya amenenepa sana kwa sababu ya kula sana ilhali raia wamekondeana, watoto kama Dadavuo wana utapia mlo.

Wananchi hawana chakula cha kutoshaviii) Madiwani kuongezewa mishahara mwezi huo na umebakisha siku mbili. Barasa lenyewe halina pesa kwa sababu

wafanyakazi wamegoma na kodi haitolewi. Kila wakati madiwani wanakutana ni njama ya kuongezwa mishahara. Kila wakati wanaipa nyongeza hiyo jina kwa mfano: overtime, marupurupu

ix) Wanapokosa cha kuiba, wanapanga kuiba fimbo ya Meya, fimbo hii imetengenezwa ka dhahabu, kuiuza na kisha kuwasingizia wafanyakazi waliogoma

x) Badala ya kusafisha mji wanapuuza. Uvundo umekolea kila mahali na amewaalika wageni kufika kujionea maendeleo zozote 10 x 2 Kidagaa Kimemwozea

i) Mauaji - Chichiri Hamadi, Mama Imani waliuawa na ardhi yao kuchukuliwa na mtemi Nasaba Boraii) Hatimiliki kubadiishwa - Mtemi Nasaba Bora aliiba ardhi na kubadilisha hatimiliki aliipokuwa akifanya kazi katika wizara

ya Ardhi na makao

Top grade predictor publishers Page | 348

Page 351: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

iii) Mtemi kuhamia kwa Majununi - baada ya mkoloni kuondoka Wafrika wachache waliitwa na kumiliki mashamba ya wazungu na kuhamia majumbani mwao. Kwa mfano: Mtem kuhamia kwa Majununi. Waafrika walibaki ngambo ya pili. Wakikuja upande wa pili kufanya kazi kama walivyofanya wakati wa ukoloni

3. i) Meya alikataa kusikiliza ushauri wa Siki kuwa watu waliomchagua wanamlilia awatatulie matatizo yanayowakabili hasa kwa kuwaongezea mishahara

ii) Siki anasmihi Meya anyooshe mengi yasiyonyooka ili watu wasilipuke lakini Meya hakumsikia, aliendelea na maovu namapuuza yake

iii) Siki anamwambia Meya kuwa kuna watu wanaokufa kwa ukosefu wa dawa na njaa lakini Meya anapuuza na kusema kuwa Baraza analoongoza ni dhabiti kuliko mengine jirani

iv) Anapuuza ushauri wa Siki na kuamrisha nyimbo za kizalendo ziimbwe na watu walio na njaa v) Siki alimtahadharisha hatari ya kufuata maamuzi ya mataifa fadhili bila kushirikisha watu wao. Ndipo Meya amwambia

mlinzi amfukuze na nyumba yake aione paa vi) Diwani III alimtahadharisha Meya hatari ya kuongeza madiwani mshahara na kuwaacha wafanyakazi wengine lakini

alipuuza matokeo yakawa kugoma kwa wafanyakazi vii) Meya alipuuza ushauri wa Diwani III kuwathamini wafanyakazi kwani waliwahitaji badala yake anasema hata wakigoma

wataajiri wengine viii) Meya anapuuza ushauri wa Diwani III kuwa kuchukua mikopo kwa wafadhii kungewaachia vizazi vijavyo mzigo wa kufidia.

Meya haoni haja ya kujali ya baadaye ix) Meya anaepuka kuzungumza na wafanyakazi haonekani kutilia maanani mazungumzo yao na kwa hivyo wanamwacha x) Mapuuza haya yanasababisha mgomo mkubwa wa wafanyakazi uliosababisha wagenij aliotarajia kutoweza kuhudhuria

mkutano xi) Yeye na madiwani wake wanakamatwa na polisi na kupelekwa katika makao makuu kueleza hali ya mambo xii) Baadaye alibaini kuwa baadhi ya madiwani waliojifanya kuwa waaminifu

walimdandanya zozote 10 x 2 = 204. a) Maneno haya ni ya msimulizi

Anarejelea Sela na Masazu wakati Sela alijitolea kumsaidia Masazu aliyejifanya kuwa mgonjwa ikiwa ni mbinu ya kumnasa Ni katika shule ya Askofu Timotheo ambako wanafunzi kutoka shule mbalimbali walikuwa wameenda kwa mashindano ya muziki

i) Msemaji ni Amaniii) Anamwambia Imaniiii) Walikuwa katika kibanda cha Amani nyumbani kwa Mtemi Nasaba Boraiv) Walikuwa wanaongea juu ya kale zao na Amai hakuwa anasema yake kwa sababu ya kuona kale yake ni duni. Amani

alikuwa anaeleza vile dunia inawaonea 1 x 4 = 4b) Mbinu ya lugha ni jazanda / istiari - kutema mate au kumwaga mkojo usoni mwa haki, usawa na uhuru

Auii) Uhaishaji (tashhisi) - usoni mwa hakiiii) Taswira - yote ni taswira alama 2c) Ukiukaji wa haki za binadamu kwa kutoa mifano saba

Mifano : Ukiukaji wa haki za watoto kama vile : - kitoto Uhuru kukosa matibabu - kunyimwa elimu kwa DJ / Imani - DJ kuajiriwa na ni kitoto - kitoto Uhuru kutupwa langoni pa Amani - Majisifu kukosa kufundisha wanafunzi darasani - mtemi Nasaba Bora kuhusiana kimapenzi na wanafunzi wa shule mf. Lowela - mtemi kutomshughulikia DJ hata baada ya kuumwa na jibwa

ii) Ukiukaji wa haki za wafungwa - wafungwa kunyimwa chakula m.f. Matuko Weye - Pia walirundikwa pamoja wake na waume - Seli lilikuwa shimo kubwa tena chafu

iii) Ukiukaji wa haki za waandishi - mishahara duni (Amani) - miswaada iliibiwa na kuchapishwa na wengine

iv) Ukiukaji wa haki za walemavu - Majisifu na mkewe hawakuonyesha wanao walemavu mapenzi v)

Ukiukaji wa haki za Waafrika wakati wa ukoloni - hawakuruhusiwa kukuza miche ya biashara wala kufuga mifugo wa gredi

vi) Ukiukaji wa haki za wanyama- Mtemi Nasaba Bora hakuwachanja mbwa wake- Mtemi Nasaba Bora alimfuga paka wake na kumvuruta hata akasagika vipande vipande

vii) Ukiukaji wa haki za ndoa- Majisifu kujitenga na mkewe kwa muda kwani alimzalia masimbi

Top grade predictor publishers Page | 349

Page 352: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

5. a) Elimui) Katika hadithi ya Damu Nyeusi Fikirini alikuwa ameenda ughaibuni kusoma ili arudi nyumbani kusaidia katika kujenga na

kuendeleza taifa lakeii) Christine na Zac na wanafunzi wengine walisoma chuo kikuu cha Makerere ili kupata kazi ya kuyaboresha maisha yaoiii) Katika hadithi ya Samaki wa nchi za Joto, nchi ya Uganda ilijimudu na kujenga chuo cha Mekerere (Harard of Afrika)

kuimarisha nchi kupitia elimuiv) Bi Mkubwa alimwelimisha Sudi katika hadithi ya mzizi na matawi hadi Ulaya ili kufanikisha maisha yake. Aliporudi

angesaidia katika kuimarisha nchi yakev) Aziza alimweza msimulizi katika hadithi ya Mke Wangu kuhusu umuhimu wa kufanya kazi kwa sababu alikuwa amesoma

hadi elimu ya juu. Alifa kufanya kazi badala ya kulaza damu na kuwaombaomba wazazi.vi) Katika hadithi ya Maskini Babu yangu, babake msimulizi aliweza kupata kazi ya uaskari kwa sababu alisomavii) Esther katika shaka ya mambo, alikuwa anajimudu kuhifadhi pesa ili kusomea Uhanzili au Usekeretari ili apate pesa za

kuimarisha nchi na maisha yakeb) Utabaka (mpaka kati ya matajiri na maskini)i) Katika hadithi ya Mke Wangu tofauti kati ya matabaka inaifanya vigumu kuwa na uelewano katika ndoa ya Aziza na

msimulizi. Wana maoni tofauti ambayo yanatokana na utabaka ambao ukiondolewa ndoa zitadumu ii) Katika hadithi ya ndoa ya Samani, ingawa msimulizi aliweza kupata mali, ilimwia vigumu kumuoa Amali kwa sababu

alikuwa tayari amekataliwa na Amali akiwa maskini. Tatizo hili likiondolewa kutakuwa na maendeleo na mapenzi c) Ukoloni mamboleoi) Katika Samaki wa nchi za Joto - Peter na wazungu wenzake wanapora nchi ya Uganda na kuiacha maskini kwa kuwapora

wavuvi, kuuza dola kinyume na sheria. Kuondolewa kwa wazungu hawa kutawapa waafrika nafasi ya kukuza nchi yao d) Uongozi mbayai) Katika hadithi ya Kikaza, Bwana Mtajika, kiongozi wa Tendeke alitumia ulaghai ili kuchaguliwa baadaye alivunja masharti

ya kikaza. Wananchi waliishi maisha ya shida. Mvua haikunyesha lakini badala ya kumtoa walificha uovu wake. Mke wake Bi Mtajika aliwatukana hadharani na kujiita kiongozi. Katika hadithi ya Kobe alinyakua kila kitu na kufaidi na marafiki wake wachache. Rasilimali ya nchi iliharibiwa kwa ufisadi wao lakini kwa hekima ya mzee Babu wananchi walierevuka na kumwondoa mamlakani bila umwagikaji wa damu. Inafaa viongozi wabaya kuondolewa kwa njia ya amani

ii) Katika hadithi ya Maskini Babu Yangu, umaskini uliukumbu mtaa wa kochokocho, nyumba mbovu, uchafu kusheheni na maisha ya watu yasioyatamanika. Serikali ingechukua jukumu la kuboresha mitaa ya mabanda

e) Ukabilai) Katika hadithi ya Maskini Babu Yangu, ingawa Maende alimkubali mtoto wake Msumbu kuoa Mtantele (Zuhura) na hata

watu wa Kabucheka kuwakaribisha Watantele ili kuondoa ukabila, watantele wa kochokocho walimuua kwa kumshuku kumwiba mtoto wa kitantele

ii) Katika hadithi ya Damu Nyeusi, Fikirini alibaguliwa kule ughaibuni kwa sababu alikuwa mtu mweusi. Chuoni wanafunzi wenzake walimuuliza maswali ya kuudhi, alishikwa na polisi kwa kusahau kufunga zipu, kuvuka barabara na hata kuachwa na basi lililokuwa linaendeshwa na mzungu

f) Ulaghai na wizii) Kamata katika hadithi ya shaka ya mambo alitoweka na bund la mzugu badala ya kumpa mwenzake. Alimdangaya Esther

kuwa alikuwa anampelekea.ii) Katika hadithi ya Kanda la Usufi, Masazu alimlaghai Sela kuwa alikuwa mgonjwa. Uongo huu ndio msingi wa urafiki wao

na uliishia kwa Sela kuwa mja mzito na kufukuzwa shuleni. Hatimaye walimwiba mtoto wao Kadogo na kuangamia majini iii) Katika hadithi ya Mwana wa Darubini Mwatela alimlaghai Kananda na kupata naye mtoto mwakitawa - Mwatela alimuuza

Kananda nchini Kongo na kuwadanganya wazazi wake kuwa alitoroka mwenyewe na hajulikani aliko. Baada ya miaka, Kananda anarudi na uongo wa Mwatela unajulikana

g) Tamaa ya wasichanai) Tamaa ya Christine kufanya urafiki na Peter aliyekuwa mzungu, katika hadithi ya Samaki wa nchi za joto ilisababisha

kuharibika kwa utu wake. Christine alijipata mja mzito kuavya mimba na hata kudharauliwa na alilazimika kurudi kwaokijijini.

ii) Tamaa ya Lucy ya kuenda London katika hadithi ya Tazamana na mauti aliolewa kwa mzungu Crusoe na kufanya kazi ya kitumwa kama kumkanda mwili na kumbembeleza. Alitamani kumuua. Bahati mbaya aliangamia kwa ajali ya barabara alipokuwa ameenda kusherehekea urithi alioagizwa kupewa na Crusoe

iii) Tamaa ya Bi Kudura kuendelea na maisha yake ya usichana na raha katika hadithi ya mizizi na matawi ilimfanya akamtupa mtoto wake Sudi pipani. Kwa bahati nzuri aliokotwa na kulelewa na Bi Mkubwa. Bi Kudura katika uzee wake alikosa mahali pa kuishi na mtu wa kumlea. Kwa bahati nzuri alikutana na huyo huyo sudi aliyemsaidia. Bi Mkubwa naye alipoona walivyofanana alimkabithi mama mtu mtoto wake zozote 5 x 4 = 20

6. i) La jadi / kimapokeo / arudhi / tarbia / ukawafi / msuko lina mishororo minne katika kila ubeti, mshororo wa mwishouna idadi ndogo ya mizani, lina sehemu tatu katika mshororo - ukwapi, utao na mwandamizi na idadi inayolingana yamizani katika kila ubeti alama 4

ii) Anamshauri mwanamke awaepuke ngariba, ambao wanajitia tu ujuaji, wakati wanapomfikia na visu vyao kuwakeketa kwakuwa hawana dawa za kutibu maumivu ambayo watamsababishia na ambayo yataishia kumuua alama 3

iii) Tohara kwa mujibu wa mshairi ni hatari kwa kuwa :- humwathiri mwanamke kwenye uke wake- husababisha hasara kwa mwathiriwa- husababisha maafa

Top grade predictor publishers Page | 350

Page 353: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

- husababisha maradhi na vidonda - hueneza ukimwi - huleta matatizo ya uzazi wakati wa kujifungua - inaleta mateso katika jamii yoyote 4, alama 4

iv) Mzazi hukumbwa na mateso wakati wa kujifungua kwa kutoweza kupanua miguu kwa kuwa misuli yake imeshikamana. Nibora wanawake waamke na kupinga ukeketaji kwa vinywa vipana ili kuzuia matatizo kama haya

v) Mbinu zilizotumika- Inkisari - kilochafuka badala ya kilichochafuka siombe badala ya usiombe- Takriri - maneno amka na zinduka yamerudiwa kutia msisitizo alama 2

vi) Hushamiri - huenea kwa kusambaaKibutu - kitu kisichotiwa makaliIdhilali - matesoAmali - tabia za mtu zisizofaa tabia chafu alama 2

7. a) i)Kutahadharisha- usipoziba ufa utajenga ukuta - fuata nyuki alkafe mzingani

ii) Kuhimiza- mvumilivu hula mbivu - tone na tone huwa mchirizi

iii) Kuasi- asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu - haraka haraka haina baraka

iv) Kupongeza- changa chema huvishwa pete - mcheza kwao hutunzwa

v) Kuliwaza- aliyekupa wewe kiti ndiye aliyenipa kumbi- kuteleza si kuanguka

b) Dhima ya nyimbo katika jamii huweza :- kuburudisha- kuhimiza uzalendo - kusifu / kupongeza - kuliwaza - kuongoa - kutia shime - kazini - kuendeleza imani ya dini - kubembeleza

8. a) Maigizo ni sanaa ya mazungumzo yanayoambatana na matendo- ni hali ambapo watendaji hutenda na kuiga matendo ya watu au viumbe katika jamii1 x 2 = 2

b) Sifa tatui) Uigizaji huhitaji uwanja maalum wa kutendea au mandhariii) Waigizaji huvaa maleba yanayooana na hali wanayoigizaiii) Yanaweza kuambatana na ngoma pamoja na uimbaji wa nyimbo au ukariri wa tungo za kishairiiv) Wakati mwingine hutumia ishara3 x 2 = 6c) Tofauti kati ya ngoma na ngomezii) Katika ngomezi mapigo na ishara za ngoma huwakilisha ujumbe fulani. Huku ngoma ni chombo cha mzikiii) Ngomezi ujumbe huwasilishwa kwa kutumia milio ya ngoma badala ya midomo huku ngoma ni uchezeshaji wa viungo vya

mwili kuambatana na mwondoko maalum 2 x 2 = 4d) Hasara za mivigai) Ukeketaji wa wasichana huathiri afya zaoii) Miviga ya kutoa kafara ya binadamu au kupunga pepo ni za kutishaiii) Miviga mingi hugharimu kiasi kikubwa cha pesa Kutaja pekee 1 x 3 = 3

Suluhu za hasarai) Kuchukulia hatua wanaokiuka na kukeketa wasichanaii) Kupinga itikadi duni za kidini / kitamaduni na kuigiza ukristoiii) Kupunguza gharama kwa kuepuka kutekeleza kaidi nyingi na sherehe nyingi za kijamii 1 x 3 = 3e) Kutofautisha kati ya mighani na maghani

Maghani ni ushairi ambao hutolewa kwa kalima badala ya kuimbwa.Mighani ni hadithi za kimapokeo zinazohusu mashujaa au majagina alama 1 x 2 = 2

Top grade predictor publishers Page | 351

Page 354: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

THARAKA KASKAZINI/KUSINI KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. Umekutana na rafiki yako miaka miwili baada ya kumaliza kidato cha nne. Mna mengi ya kuzungumza kuhusu vilemnavyoendelea maishani. Andika mazungumzo yenu.

2. Akina mama hawafai kufanya kazi mbali na wao. Jadili.3. Samaki huanza kuoza kichwani.4. Andika insha itakayomalizika kwa:

. Nilishusha pumzi, nikashukuru.Kwa kweli hiyo safari haikuwa rahisi kwangu.

THARAKA KASKAZINI/KUSINI KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU (alama 15) Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.

Ulimwengu unapaswa kuzuka na Mbinu za kulitadarukia tatizo ambalo linakwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini uno yakabili mataifa yanayoendelea, unayatosa kwenye dhiki kubwa huku mataifa ya kimagharibi yakipiga hatua kubwa kimaendeleo. Ufa uliopo baina ya mataifa yanayoendelea na yale yaliyoendelea kama vile Marekani nchi za Ulaya na Ujapani unapanuka kila uchao.

Vyanzo vya umaskini huu ni anuwai mathalan, ufisadi, uongozi mbaya, turathi za kikoloni, Uchumi kuegemezwa kwenye kilimo kinachotegemea mvua isiyotabirika , idadi ya watu inayoupiku uwezo wa Uchumi wa taifa linalohusika na ukosefu wa nyenzo na amali za kuwakwamua raia kutoka lindi la umaskini. Ukosefu wa elimu na nafasi adimu za ajira huchangia pia katika tatizo hili.

Jamii ya ulimwengu inapaswa kuelewa kuwa umaskini, unaothiri nchi Fulani una athari pana sana. Uvunjivu unaotokana na umaskini unaweza kuwa mboji ambapo matendo mabaya huchipuka. Raia maskini Huweza kushawishiwa haraka kujitosa kwenye matendo ya kihalifu ili kujinasua kutoka dhiki ile. Hii inaweza kuwa mbegu ya kuatika maovu kama ugaidi na uhalifu wa kila aina.

Mataifa ya magharibi yanapaswa kuyaburia madeni ya mataifa yanayoendelea kama njia mojawapo ya kupambana na umaskini. Asilimia kubwa la pato la kitaifa katika mataifa mengi hutumika kuyalipa madeni hayo. Katika hali hii inakuwa muhali kwa mataifa hayo kujikwamua kutokana na pingu za umaskini. Njia nyingine ni kustashafu kutoa ruzuku za kimaendeleo badala ya mikopo kwa nchi zinazoendelea.

Kwa upande wake, mataifa yanayoendelea yanapaswa kuibuka na mikakati bora ya kupambana na umaskini. Ni muhimu pawepo na sera zinazotambua ukweli kuwa asilimia kubwa ya raia wa mataifa hayo ni maskini. Pana dharura ya kuzalisha nafasi za ajira, kupanua viwanda hususan vinavyohusiana na zaraa ambayo ni tegemeokuula mataifa mengi, kuendeleza elimu na kuimarisha miundo msingi. Ipo haja pia ya mataifa haya kuhakikisha kuwa mfumo wa soko huru unaotawala ulimwengu sasa haushi kuwa chanzo cha kufa kwa viwanda asilia na kuendeleza umaskini zaidi. Kwa ufupi, maamuzi yote ya sela za kiuchumi lazima yauzingatie uhalisi wa maisha ya raia wa mataifa hayo.

Maswali a) Kwa nini umaskini umetamalaki katika mataifa yanayoendelea? (alama 4)b) Madeni yana athari gani kwa mataifa yanayoendelea? (alama 2)c) Ni mapendekezo yapi ambayo mwandishi anatoa kwa mataifa machanga kuhusu utatuzi wa tatizo la umaskini? (alama 4)d) Mfumo wa soko huru una madhara gani kwa mataifa machanga? (alama 2)e) Ukirejelea kifungu, eleza maana ya: (alama 3)

i) kulitandarukiaii) kuatika iii) kuyaburia madeni 2. UFUPISHO Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali yatakayofuata. Watoto wa mitaani niwatoto wanaorandaranda kwenye barabara za mji au mitaa wakitafuta vyakula au usaidizi wa aina yoyote kutoka kwa wakazi wa maeneo hayo. Watoto hawa wamepachikwa lakabu maarufu ‗chokora‘. Watoto hawa hutoka wapi? Je, wanazaliwa mitaani? Kuna vyanzo mbalimbali vya watoto hawa: mosi ilikuwa ni ukahaba, baadhi ya wazazi wa watoto hawa ni makahaba ambao kwa bahati mbaya wanapotungwa mimba na wakashindwa kuavya huishi kuzaa wanaharamu ambao huwalea kwa muda wa miaka mitatu na kisha kuwarusha mitaani.

Top grade predictor publishers Page | 352

Page 355: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Asili nyingine ya watoto wa mitaani ni kuvunjika kwa ndoa: wazazi wanapotengana watoto hukosa mihimili na hivyo kushuka hamsini zao hadi mtaani kutafuta usaidizi. Sababu nyingine ni watoto wanaoachwa na wazazi wao (mayatima) baada ya wazazi hawa kuaga dunia. Hawa hukosa mtu wa kuwashughulikia na hatimaye hujipata mitaani. Asili nyingine ni familia maskini ambazo hushindwa kutimiza mahitaji ya kimsingi ya watoto na hatimaye watoto hawa wakaishia mitaani. Vilevile kuna watoto wanaozaliwa mitaani kutokana na wanaume na wanawake ambao wameishi mitaani hadi wakawa wazazi. Watoto wa mitaani hukumbwa na matatizo chungu nzima. Wao hukosa chakula, mavazi na malazi. Hawana mahali pa kulala hivyo basi wanajinyata kwenye mitaro ya maji taka na kwenye mijengo ambayo haijakamilika kujengwa au magofu ya nyumba huku wakibugunywa na baridi na hatimaye hupata maradhi ya kila aina. Usalama kwao ni msamiati usioweza kugongwa vichwa vyao. Suala la watoto wa mitaani ni kero kwa kila anayetumia huduma za mjini. Watoto hawa hupamba miji kwa sura mbaya ambayo huchora taswira ya jamii katili isiyothamini ubinadamu. Baadhi ya ‗chokora‘ hutumia lugha chafu na vitisho katika kuomba usaidizi kutoka kwa adinasi wapitanjia. Swali linalopita kwenye akili ya watu wengi ni je, hali hii itakomeshwa vipi? Uwepo wa watoto mitaani ni tatizo la kijamii hivyo basi linahitaji kila mwanajamii kuhakikisha ametoa mchango madhubuti kukomesha tatizo hili. Wanajamii wanafaa kuwa waadilifu, wajiepushe na ukahaba na ngono za kiholela. Aidha, kila mtu anafaa kutia bidii kutafuta riziki na pia kupata idadi ya watoto anaoweza kuwalea bila usumbufu. Watoto mayatima nao walelewe na jamaa wa wazazi wao. Wasio na jamaa wapelekwe kwenye mashirika ya kutunza watoto. Watoto ambao tayari wako mitaani wasaidiwe na serikali kupata makao na ajira. Tukifanya hivyo mitaa yetu itakuwa nadhifu, salama na mahali pazuri pa kuishi. a) Ukiangazia mambo muhimu pekee, fupisha aya tatu za kwanza. Tumia maneno 70. (alama 7)b) Eleza matatizo ya watoto mitaani na uonyeshe jinsi ya klukabiliana na kero hili. Tumia maneno 70-80.

(alama 8)3. MATUMIZI YA LUGHAa) Tofautisha sauti zifuatazo

i) /t/ (alama 1)ii) /d/ (alama 1)

b) Ainisha sentensi ifuatayo katika viungo vya kisarufi; (alama 3)Alijipelekea

c) Onyesha aina za shamirisho katika sentensi ifuatayo; (alama 3)Seremala alimtengenezea baba kiti kizuri kwa mbao.

d) Tumia neno ‗kimya‘ katika sentensi kama;i) kielezi (alama 1)ii) kihisishi (alama 1)

e) Eleza matumizi ya ‗na’ katika sentensi ifuatayo; (alama 3)Kwa nini wewe na Johana mnadanganyana eti mu wapenzi?

f) Tunga sentesi yenye muundo ufuatao. (alama 3)S- N+T+N+U+W+T

g) Bainisha kirai na utaje ni cha aina gani katika sentensi; (alama 2)Walimtunza kwa uhodari

h) Andika sentensi upya ukitumia urejeshi ufaao. (alama 1)Daktari alifika na akaondoka.

i) Changanua sentensi uliyopewa kwa mtindo wa jedwali. (alama 4)Madhara ya ukimwi yamekwisha kupunguzwa sana.

j) Eleza maana mbili za kitawe kifuatacho;Kucha (alama 2)

k) Kanusha sentensi hii; (alama 1)Tumechukua sandarusi chache kuchoma. (alama 1)

l) Tofautisha vitate hivi;i) sailiii) sahili

m) Andika kwa msemo wa taarifa.―Mimi nitawakaribisha wageni leo jioni kisha nitaondoka kwenda kwangu kesho.‖ Maria alimwambia Njeru.

n) Tambulisha nyakati au hali za sentensi; (alama 2)i) Najaii) Nilikuwa nimeketi aliponitembelea

o) Andika ukubwa wa sentensi hii; (alama 2)Mwizi aliiba mbuzi na ng‘ombe.

p) Tumia vitenzi vifuatavyo vya silabi moja kutungwa sentensi katika kauli ya kutendewa.-Ja- (alama 2)-La- (alama 2)

q) Unda nomino moja kutokana na kitenzi ‗tafakari‘. (alama 1)

4. ISIMU JAMIIHuku ukitoa mifano, fafanua sifa tano za sajili ya hospitalini. (alama 10)

Top grade predictor publishers Page | 353

Page 356: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

THARAKA KASKAZINI/KUSINI KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

SEHEMU A: TAMTHILIA. T. Arege: Mstahiki Meya

1. Swali la lazimaAnwani ‗Mstahiki Meya‘ ni pande mbili za sarafu moja. Thibitisha. (alama 20)

SEHEMU B: RIWAYAKen Walibora; Kidagaa Kimemwozea

2. ―Sakafu ilipaswa kupakwa rangi ya kijani kiwiti badala ya nyekundu. Wekundu ni rangi ya damu na……..‖a) Eleza muktadha wa dondoo hili (alama 4)b) Wekundu ulitumika kuwakilisha damu. Tambua Mbinu ya kifasihi iliyotumika hap ana ufafanue. (alama 2)c) Kwa kurejelea riwaya, fafanua matumizi mengine saba ya Mbinu uliyoitambua katika (b). (alama 14)

AU 3. Fafanua masuala ibuka kumi katika riwaya ya Kidagaa Kimemwozea. (alama 20)

SEHEMU C; HADITHI FUPIK. Walibora na S.A Mohammed; Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine

4. ‗Damu Nyeusi‘ Ken Walibora―…. Amejifunza kuwa hakuna mahali kama nyumbani.‖a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Eleza sababu nane zinazomfanya anayerejelewa atamani na kuthani kwao Afrika. (alama 16)

AU5. Jadili swala la ukiukaji wa haki za kibinadamu kwa kurejelea hadithi zifuatazo;

i) Maekoii) Maskini Babu yangu iii) Mwana wa Darubini iv) Mizizi na Matawi

SEHEMU D: USHAIRI 6. Soma shairi hili kisha ujibu maswali yanayofuata

PANDAPanda, panda la mnazi, l‘anzalo kupatuwa, Panda juu ya mnazi, moyo wako wishe ngowa, Panda mti wa mapenzi, uwepushe na juwa, Panda ni wako uluwa, panda darajani panda!

Panda juu ya farasi, kwa haiba na sitawa, Panda kiwango mkwasi, uukimbie ukiwa, Panda, situpe viasi, wendako ukikujuwa, Panda ni kwako uluwa, panda darajani panda!

Panda ngano na mpunga, afudhuli ya viliwa, Panda Wimbi na kimanga, vipawa vya wakupewa, Panda, usitunde ch‘anga, tauwa mbivu tauwa, Panda ni wako uluwa, panda darajani panda!

Panda mwema mshajari, wite t‘anzu wa mauwa, Panda utunde johari, mwivi asijezanguwa, Panda juu ya mimbari ulingane sawasawa, Panda ni wako uluwa, panda darajani panda!

Abdulaziz H.M

MASWALI a) Shairi hili ni la aina gani? (alama 2)b) Eleza lengo (dhamira) la mshairi. (alama 2)c) Thibitisha ufaafu wa mada ya shairi hili. (alama 4)

Top grade predictor publishers Page | 354

Page 357: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

d) Ni Mbinu gani za lugha zilizotumiwa katika ubeti wan ne? (alama 4)e) Eleza jinsi uhuru wa kishairi ulivyotumika katika shairi. (alama 4)f) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika shairi. (alama 4)

i) mimbariii) uluwa iii) wendako iv) haiba

7. Soma shairi ifuatayo kisha ujibu maswali.

Maovu yamezidi mithili ya uvundo jalalani Watu watenda feeli bila kuajabia Ulimwengu umengeuka kitwa ntwariki Binadamu kuharibika mia fil mia

Kanisani na sinagogi uzinifu umetanda Si mteka maji, si waumini hata wahubiri Mapasta hawabagui mapadri hawachuji Wadonoa kuku sawia na vifaranga

Shuleni si salama, shuileni kwawaka moto Mihadarati imekithiri, kwao ndio uraibu Teknolojia yawazuzua, picha chafu zinafurahiwa Awali ni mengine, masomo ni halafu

Vijijini hakukaliki, ulevi umezagaa Asubuhi watoa loki, mchana wajichangamsha Jiono mwavuta jasho hadi Usiku manane Jamii yaelekea wapi?

Afisini kwanuka sombo, uozo wa ufisadi Ukipata pata huduma, chauchau ni sharti Maafisa watononoka, kwa kazi wa kalamu Wananchi tuende wapi?

Manzilini balaa, watoto wakosa amani Purukushani moto mmoja, mke na mume vituko Wayumbayumba, afadhali makuti Taifa laelekea wapi?

Maswali a) Shairi hili ni la aina gani? Thibitisha. (alama 2)b) Mtunzi analalamika mambo gani? Taja manne. (alama 4)c) Eleza maana ya mshororo ufuatao:

Wadonoa kuku sawia na vifaranga. (alama 2)d) Eleza nafsiheni (msemaji) katika shairi hili. (alama 2)e) Eleza umbo la ubeti wa nne. (alama 4)f) Taja na ufafanue Mbinu mbili za lugha zilizotumiwa katika shairi. (alama 4)g) Eleza maneno yafuatayo kwa mujibu wa matumizi yake katika shairi. (alama 2)

i) Somboii) Watononoka

SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZI8. a) Fafanua maana ya ushairi simulizi. (alama 2)

b) Taja njia tatu za utendaji waushairi simulizi. (alama 3)c) Taja tamathali za semi zitumiwazo katika ushauri simulizi . (alama 5)d) Eleza umuhimu wa ushairi simulizi katika jamii. (alama 5)e) Taja sifa za ushairi simulizi.

Top grade predictor publishers Page | 355

Page 358: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

THARAKA KASKAZINI/KUSINI KISWAHILI INSHA 102/1 KARATASI LA KWANZA

1. MAZUNGUMZO- Haya ni maongezi baina ya watu wawili au zaidi.- Insha iandikwe katika nafsi ya kwanza.- Kuwe na utangulizi wa mazungumzo yaliyoandikwa na kufungiwa kwenye mabano.- Anwani ithibitishe kuwa maandishi hayo ni mazungumzo mf. MAZUNGUMZO KATI YANGU NA RAFIKI YANGU.- Lugha iwe ya kawaida, matumizi ya nahau na methali.- Vitendo na hisia za wahusika ziwekwe katika mabano.- Wahusika wanaweza kubishana palipo na haja na kukatizana kauli katika harakati za mazungumzo.- Baada ya jina la mhusika, mtahini wa aweke alama za Nukta pacha, kabla2. HOJA ZA KUUNGA MKONO- Watoto watakosa malezi ya mama.- Watoto watakosa kupata mwelekezi wa tabia nzuri.- Mama atakosa kumakinika kazini kwa fikra juu ya maisha ya watoto wake.- Ana majukumu ya kutekeleza pale nyumbani: kufua nguo, kuwapeleka hospitali wanapoungua.- Watoto kuteswa na wafanyikazi wa nyumbani.

KUPINGA:- Huruma nyingi kupita kiasi anapokosa watoto - jambo linaloharibu watoto baadaye.- Kina mama hudekeza watoto mno na hawatozoea kukabiliana na changamoto za maisha.- Mama huwanyima watoto uhuru kwa kuwadhibiti na hiyo kuharibikia ukubwani.- Wanapobagua mahali pa ajira nafasi hizo zitachukuliwa na wanaume hivyo wakose ajira.- Wanawake wanapigania usawa hivyo wafanye kazi popote kama wanaume:

Msimamo wa mjadala huu utakuwa ule wenye hoja nyingi lazima mtahniwa atoe msimamo wake.

3. MAANASamaki aanzapo kuoza huanzia kichwani na mmoja akioza wengine walio pamoja naye huharibika.Matumizi - Hutumiwa kudhihirisha kuwa asasi yoyote (dini, uchumi, familia, kaunti, elimu N.K) ya kijamii ambayoimepotoka huanzia kwa viongozi wake.

a) KICHWAKiwe kwa herufi kubwa kipigiwe mstari lakini USIWEKE KIKOMO baada ya neno la mwisho kwenye kichwa.

b) MWILI- Buni na usimulie kwa undani kisa kinachothibitisha ukweli wa methali (USIPINGE)- Onyesha pande mbili za insha m.f.

i) Samaki akianza kuoza ii) Huanzia kichwani. mf. Iwapo wafanyikazi fulani huwadharau watu, Ni kiongozi mara nyingi, aliyetangulia kudharau watu nao wafanyikazi hufuata mfano wake.

c) Hitimisha kwa kutoa funzo linalotokana na methali hiyo.- Andika katika wakati uliopita.

4. Atunge kisa ambacho kinaingiliana na kidokezo kilichotolewa barabara.- Kisa kimalizike kwa maneno yaliyodokezwa bila kuongeza neno lolote au kuacha neno lolote lililotajwa.- Maudhui / hoja yafungamane na kidokezo alichopewa.- Mtahiniwa ajihusishe katika kisa asipofanya hivyo amejitungia swali - amepotoka upande wa mtindo na maudhui.- Maneno kwenye mdokezo yaingiliane na mtiririko wa kisa bila kuyalazimisha.- Aonyeshe safari aliyoshiriki.- Safari iliyokuwa ngumu sana hata hivyo baadaye akaweza kukabiliana na huo ugumu kwa hivyo anashukuru.* Tanibihi- Insha zote ziwe na mtiririko mzuri wa mawazo uliojengwa kwa kupanga mawazo kimantiki na kuweka kila hoja katika aya

yake kisha kuifafanua kikamilifu.- Azingatie sehemu muhimu za insha ambapo insha nyingi huwa na ; anwani, utangulizi, mwili na hitimisho.- Atumie tamathali za semi vizuri, msamiati unaofaa na sarufi sahihi.

Top grade predictor publishers Page | 356

Page 359: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

THARAKA KASKAZINI/KUSINI KISWAHILI 102/2 LUGHA KARATASI LA PILI

1. UFAHAMU A - Nafsi ya umoja ½a) -li - wakati uliopita ½i) Uongozi mbaya -ji- mtendwa ½ii) Turathi za kikoloni pelek - mzizi ½iii) Ufisadi -e- kauli ½iv) Uchumi kuegemezwa kwenye kilimo kinachotegemea mvua -a- kiishio ½ ½ × 6 = 3

isiyotabirika. c) Baba - shamirisho kitondo 1v) Idadi kubwa ya watu inayoupiku uwezo wa uchumi wa taifa Kiti - shamirisho kipozi1

linalohusika. Mbao - ala / kitumizi 1vi) Ukosefu wa nyenzo na mali za kuwakwamua raia kutoka lindi d) Nyamaza kimya 1 mpaka apite 1 1 × 1 = 1

la umaskini. Kimya!1 Sitaki kusikia kelele hapa. 1 1 × 1 = 1vii) Ukosefu wa elimu na nafasi za ajira. zozote 4 × 1 = 4 e) 1. na (ya kwanza) kiunganishi 1b) Asilimia kubwa ya pato la kitaifa katika mataifa mengi 2. na (mnadanganyana) wakati 1

hutumika kuyalipa madeni hayo. (2 × 1=2) 3. na (mnadanganyana) hali ya kutendeana 1c) f) S - N + T + N + U + W + T 1 × 1 = 1i) Kuibuka kuwa mikakati bora ya kupambana na umaskini. Mwanafunzi alinunua kitabuii) Pawepo na sera zinazotambua uweli kuwa asilimia kubwa ya N T N

raia wa mataifa hayo ni maskini. lakini wao walimpokonya.iii) Kuzalisha nafasi za kazi kwa dharura. U W Tiv) Kupanua viwanda hususan vinavyohusiana na zaraa ambayo g) Kwa uhodari - kirai kielezi

ni tegemeo kuu la mataifa mengi. h) Daktari aliyefika aliondoka 1v) Kuendeleza elimu. AUvi) Kuimarisha miundo msingi. 4 × 1 = 4 Daktari ambaye alifika aliondoka. 1d) Ni chanzo cha kufa kwa viwanda asilia na kuendeleza i)

umaskini zaidi. 1 × 2 = 2 j) Kucha - Wingi wa ukucha (sehemu ya kidole)e) i) Kulitadarukia - kulishughulikia, kulitatua, kulikabili. - Usiku wote hadi mapambazuko 2 × 1 = 2

ii) Kuatika - kunzisha kutia, kuzua. k) Hatujachukua sandarusi chache kuchoma 2 × ½ = 2iii) Kuyaburia madeni - kuyasamehe madeni, i) i) Saili - uliza swali. 1

kuyaondolea madeni. 3 × 1 = 3 ii) Sahili - rahisi, epesi, isyo na ugumu. 12. UFUPISHO m) Maria alimwambia Njeru kuwa yeye 1 angewakaribisha1a) Watoto wa mitaani ni watoto wanaorandaranda kwenye wageni siku hiyo1 jioni kisha angeondoka 1 kwenda

mitaa na miji wakitafuta usaidizi. kwake 1 siku iliyofuatia1. 6 × ½ = 3ASILI n) i) Wakati uliopo 1

- Ukahaba. ii) Wakati uliopita hali timilifu 1- Ngono za kiholela - Kuvunjika kwa ndoa. o) Jizi liliiba buzi na gombe. ½ × 4 =2- Uyatima. p) i) Jiwa - mtoto alijiwa na baba 1- Kutelekezwa na jamii. ii) Liwa - mtoto aliliwa chakula chake. 1- Umaskini katika familia. au chakula kililiwa jioni.

Hoja zozote 5 ×1 mtiririko 1 - 6 q) Tafakuri au 1b) Matatizo ya chokora. AU- Kukosa chakula, mavazi. kutafakari 1 alama 1- Magonjwa mbalimbali 4. ISIMU JAMII- Kukosa usalama. i) Lugha hoji au dadisi k.v. unaitwa nani? Unaumwa na wapi?- Kukosa malazi. ii) Lugha yenye siri na kutenga watu kimakusudi k.v. hati ya

Kutatua kero tabibu haisomeki na wasio tatibu.- Jamii kuwa waadilifu - kuepuka ngono kiholela. iii) Ni lugha ya unyenyekevu na upole hasa ya mgonjwa k.v.- Kupanga uzazi. Tafadhali nisaidie daktari.- Bidii katika kusaka riziki iv) Husheheni msamiati teule kama vile dawa, machela eksirei- Makao ya tunza watoto kusaidiwa. n.k.- Serikali kushguhulikia walio mitaani. v) Kauli huwa zimefupishwa k.v. tatu mara moja, mwingine.

kila upande hoja nne nne, mtiririko 1 - 9 vi) Lugha ni ya mkato baina ya matibabu k.v. mgonjwa ana joto3. a) baridi badala ya 'mgonjwa anahisi joto wakati fulani nai) /t/ Ni sauti hafifu / sighuna 1 wakati mwingine baridi."ii) /d/ Ni sauti nzito / ghuna 1 vii) Ni lugha yenye matumaini kwa wagonjwa k.v. utapata nafuu.b) Alijipelekea

Top grade predictor publishers Page | 357

Page 360: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

THARAKA KASKAZINI/KUSINI KISWAHILI 102/3 KARATASI YA TATU FASIHI

MSTAHIKI MEYA - Timothy Arege.i)Anwani INAFAA kwa vile:- Meya alikuwa amepewa cheo rasmi kuonyesha alikuwa meya

kirasmi.- Alimiliki ofisi kama Meya iliyomwezesha kutekeleza mamlaka ya

umeya.- Meya alichaguliwa na wanacheneo na hivyo alistahiki. - Alikuwa na mkufu wa Meya uliokuwa ishara ya umeya. - Alikuwa na fimbo ya umeya iliyokuwa ishara ya mamlaka. - Alikuwa na mamlaka ya kikatiba (Mayors Act)- Alikuwa na madiwani wateule kuhudumu ofisini mwake. zozote

5 × 2 = 10ii) Anwani HAIFAI kwa sababu.- Alikubali njama ya kuiuza fimbo ya Meya.- Aliwaamrisha askari kuwafurusha wafanyakazi walioandamana

kutetea haki zao.- Aliiba vipande vya ardhi ya umma.- Meya alizingatia ushauri potovu wa Bili, Diwani I na II na

kuupuza ule bora wa Siki na Diwani III.- Anapuuza elimu ya wanacheneo na kuwapeleka wanawe

wasomee ng'ambo.- Alilaghai watu kuwa dawa zilikuwa baharini zaja na kupeleka

bibiye kujifungulia ng'ambo.- Meya anamkatiza mwanakandarasi mkataba ili baraza likimlipa

fidia wagawane naye.- Aliwapuuza wafanyakazi, wawakilishi wao na matakwa yao. - Alipanga mtoto wake azaliwe ng'ambo apate uraia wa kigeni.

zozote 5 × 2 = 10Muh: Lazima ajadili pande zote mbili.2. MuktadhaNi usemi wa mwandishi- Anarejelea kutoridhika kwa michelle na rangi iliyopakwa kasri

la mchumbaye Majununi.Michelle alitoka Ufaransa ili kulikagua alilomweagiza majuruini

ajenge.- Anatatiza uhusiano wake na majonuni ambaye anaathirika

sana.b) Ishara / Jazanda - Wekundu kuashiria damu ambayo ni ishara ya maafa au hatari. 1c) Kuzama kwa kifafa mtoni kiberenge - miungu kuwakataza watu kunywa maji ya mto huo.- Mtini pana nondo anayepapatika kutaka kujinasua kutoka kwa

utandabui - Sokomoko ni utandabui na wenyeji walionaswakatika dhiki huko.

- Kitoto uhuru kilichokufa kwa kutekelezwa - waafrikawalivyoshidwa kutunza uhuru wa baada ya ukoloni.

- Jibwa jimmy lililoondoka baada ya kung'ata DJ - mzungualiyetoka Afrika na kuwaacha weusi - majibwa menginemeusi. / Mzungu kuacha athari mbaya Afrika

- Kupotea kisha kujinyonga kwa Nasaba Bora - Kuondolewa kwauongozi dhalimu wa Nasaba Bora.

- Nasaba Bora kuanza kuwazia kifo na kujiandaa kwakuchimbiwa kaburi - kuanza kusambaratika kwa uongoziwake dhalimu.

- Safari ngumu ya Amani na Imani kwenda Sokomoko . - Juhudina ugumu wao kufuatilia haki na mapinduzi.

- Madhubuti kuhamia katika kibanda cha Amani - Mwanzo wajamii mpya isiyo na utengano wa kitabaka.

- Nasaba Bora kutokwa na jasho jingi - utovu wa maadili.3. Masuala ibuka riwayani.- Wizi wa kitaaluma unaoendelezwa na majisifu.- Kilugha cha sheng' kinachoendelezwa na DJ.

- Asasi fisadi ya polisi na mahakama - Nasaba Bora alionga iliYusufu afungwe jela kwa tuhuma za uongo.

- Uraibu wa pombe unaomfanya Majisifu kutofanya kazi.(Matumizi ya mihadarati - Osca Kambona (hadafi)

- Vijana wasomi kuungana kupigania haki na kuleta mabadiliko naujenzi wa jamii mpya - Amani na madhubuti.

- Uozo wa kimaadili k.v. viongozi kuwa na mapenzi na wasichanawachanga. Lowela

- Masomo / Elimu - wahusika wengi kusaka Elimu ya juu - Fao,Madhubuti, Amani

- Kutupwa kwa watoto wachanga wasio na hatia - uhuru. - Udanganyifu katika mitihani - Fao- Kung'olewa mamlakani kwa viongozi dhalimu - Nasaba Bora - Ufisadi - Kujenga zahanati badala ya hospitali. - Unyakuzi wa ardhi na viongozi. (Mtemi)- Wenye vipawa kutotunzwa wakipatwa na masaibu - Chwechwe

Makweche.- Afya - Wauguzi katika zahanati ya mtemi kukataa kumhudumia

Uhuru. Nyingine sahihi zozote 10 × 2 = 20HADITHI FUPI

4.a) Ni maelezo ya 1 mwandishi kuhusu fikirini 1 akirejelea jinsiFikirini alidhulumiwa 1 Marekani kiasi cha kufahamuhakuna mahali pema kama kwao Afrika1 , Kenya.

b) Sababu za kuthamini na kutamani kwa Afrika. - Dereva wa basi alimacha kwenye kituo cha basi kwenye baridi. - Aliulizwa maswali ya kumdunisha k.v. mwaishi mitini kama

tumbili?- Chakula cha marekani hakikumpendeza na alitamani cha kwao

Afrika; Ugali na mlenda.- Marekani kulijaa barafu na kukawa baridi tofauti na kwao. - Alitapeliwa na Wamerekani Weusi, Foina na Bob. - Aliitiwa polisi kwa kutofunga zipu na kukamatwa - Sheria za Marekani zilimtia hofu k.v. kutozwa faini kwa kuvuka

barabara ovyo ilhali wazungu hawakutozwa wanapovukaovyo

- Wahadhiri wazungu walitoa alama kwa kuwapendelea wanafunziwazungu.

- Alibaguliwa na kuadhibiwa.- Mahakamani.- Anadhaniwa mwizi katika duka na mikahawani. zozote 8 × 2 = 16 5. Ukiukaji wa haki za binadamu.a) Maekoi) Haki ya kutodhulumiwa - Duni kumtesa mkewe Kichapo.ii) Haki ya kupendwa - Hamduni kumtesa bibiye. iii) Haki ya usalama / utulivu - Duni kupiga kelele na kuimba

nyimbo usiku anasumbua wanakijiji 3 × 2 = 6b) Maskini Babu

i) Haki ya kutangamana - Babu alinyimwa haki hii, anaitwa mwizianapoandamana na mjukuu wake.

ii) Haki ya kujitetea - hakupewa nafasi ajitetee. iii) Haki ya kushi - Babu alipigwa hadi kifa. 2 × 2 = 4c) Mizizi na matawi

i) Haki ya kuishi - Bi kiduru alimtupa mtotowe pipani, afilie humoii) Haki ya kupendwa - Alipomtupa alimnyima haki ya kupendwa

na mzazi.iii) Haki ya ukweli - Bi mkubwa alimficha siri Sudi kuhusu asili

yake.iv) Haki ya masomo - Bi. Kudura alimnyima haki hii na pia

kulelewa na mzazi yoyote 3 × 2 = 6d) Mwana wa Darubini

i) Haki ya kudhulumiwa kimapenzi - Kanada alidhulumiwa naMwatela kimapenzi.

ii) Haki ya kuishi na kulea mtoto, Kanada alipokonywa mtoto.

Top grade predictor publishers Page | 358

Page 361: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

iii) Haki ya kutangamana - Kananda alipokonywa mtoto wake - Mizani tofauti kila mshororo.Kananda aliuzwa Kongo. - Halina urari wa vina.

iv) Haki ya kujua ukweli mtoto wa Kananda alidanganywa na - Vipande tofauti tofauti kila ubeti 4 × 1 = 4mwatela. zozote 2 × 2 = 4 f) Msemo - kitwa ntwariki - miguu juu

6. USHAIRI Mia fil mia - asilimia mia moja.a) Tarbia - kila ubeti una mishororo minne. Tabaini - Si mteka maji, si waumini.Kikwamba - neno panda linaanzisha kila mshororo katika beti zote. Jazanda - kuku - mama, vifaranga - mabintiUkara - vina vya ndani vinabadilika ilhali vina vya nje havibadiliki - Balagha - Jamii yaelekea wapi?

wa zozote 2 × 1 = 2 Tashbihi - Wanyumbayumba afadhali makuti za kwanza 2 × 2b) Lengo la mshairi = 4Alitaka kueleza maana mbalimbali za neno panda. 2 × 1 = g) Shombo - harufu mbaya

2 Wanatononoka - Wanatajirika.c) Ufaafu wa mada. 8. Fasihi simulizi.Maana mbalimbali za neno panda zimetolewa kama ifuatavyo a) Ushairi simulizi : Utungo ulio na sauti zenye midundo /- Kwea mahadhi maalumu uwasilishwao kwa njia ya mdomo. 1 × 2- Weka mbegu au mche katika ardhi. b) Njia tatu za utendaji wa ushairi simulizi.- Mgawanyiko wa kitu i) Kuimba.- Pata cheo ii) Kuigiza- Aina ya mnazi. 4 × 1 = 4 iii) Kusimuliad) Mbinu za lugha katika ubeti wa nne. iv) Kughani shairi. za kwanza 3 × 1 = 3i) Takriri - neno panda limerudiwarudiwa. c) Tamathali za usemi katika ushairi simuliziii) Nidaa - panda darajani panda! 2 × 2 = 4 i) Kejelie) Uhuru na mshairi ii) Tashbihi- Ritifaa - ch'anga iii) Sitiari- TAbdila - juwa badala ya jua iv) Tanakali za sauti- Inkisari - situpe - usitupe v) Takriri- Lahaja - Mwivi - mwizi. Mbinu zozote (2 × 2 = 4 vi) Taswiraf) Maana za maneno vii) Balagha zozote 5 × 1 = 5i) Mimbari - kibanda kidogo cha kupandia mskitini. d) Umuhimu wa ushairi simuliziii) Uluwa - taadhima hadhi - kuburudisha / kufurahisha.iii) Wendako - uendako - Kutoa mwongozo wa kufuatwa na jamii mf. dhidi ya ujinga,iv) Haiba - mwenendo. 4 × 1 = 4 maradhi, pombe n.k.7. 1 1 - Kuelimisha.a) Shairi huru - halizingatii kanuni za utunzi wa mshairi. - Kutia hamasa wanajamii ili wakabiliane na hali ngumu ya maisha.

alama 2 - Kukejeli watu waovu.b) Uzinifu kanisani / sinagogi. - Kukuza lugha.- Matumizi ya mihadarati. - Endeleza utamaduni wa jamii. zozote 5 × 1 = 5- Kutazama picha chafu. e) Sifa za ushairi simulizi.- Ulevi vijijini. - Una lugha ya kishairi yenye mahadhi ya kipekee.- Ufisadi ofisini - Hutumia picha / taswira katika kuwasilisha ujumbe.- Vita na vituko katika ndoa - Huhusisha nyanja mbalimbali za jamii, elimu mapenzi n.k.c) Wazini na kina mama na binti zao. - Hutumia viambata kama ngoma.

1 1 1 = 2 - Huibua hali kama furaha, huzuni, uchangamfu n.k.d) Mwanajamii - amaeshuhudia maovu katika jamii. 1 - Huvutia hisia na kuibua mguso wa hali ya juu kwa hadhira.

= 2 - Hutumia tamathali za usemi, sitiari, jazanda, taswira.- zozotee) Mishororo minne. 5 × 1 = 5

Top grade predictor publishers Page | 359

Page 362: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA KAUNTI YA NYERI Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/1 KISWAHILI Karatasi 1 Saa 1 ¾

1. Swali la lazimaUmekerwa na wizi wa mitihani ya kitaifa uliofanyika nchini mwako hivi karibuni. Mwandikie waziri wa elimu nchiniukimwelezea sababu ya wizi huo na jinsi ya kukabiliana na changamoto hiyo.

2. Mafuta yaliyovumbuliwa kaskazini mwa Kenya yataleta faida nyingi kuliko hasara. Jadili.3. Pang‘okapo jino pana pengo.4. Kelele zilitanda Usiku katika kijiji kizima. Ghafla zikafifia. Nilihisi mpigo wa moyo ukinienda mbio, punzi tele kifuani na

harara ikinitiririka ….. EndelezaJARIBIO LA TAMTHILIA YA PAMOJA YA KAUNTI YA NYERI KISWAHILI Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya. 102/2 KISWAHILI Karatasi 2 Saa 2 ½

UFAHAMU (ALAMA 15) Soma taarifa ifuatayo kisha uyajibu maswali. Mchezo wa kandanda umenifunza jambo moja, mashabiki ndio wachezaji bora sana. Wao hawakosei kufunga bao wala ‗kuhata‘ peneti wanavyosema magwiji wa mchezo huu wenyewe. Mchezaji akiukosea mpira, mashabiki hunung‘unikia kupiga yowe. Katika hilo yowe, huwa kumebebwa makombora mengi. Yapo ya ‗mwondoeni nje ya uwanja, yapom ya kocha lazima aende‘ na yapo ya ‗asipwe nambari tena.‘ wajua tena kandanda.! Tunaweza kutumika kandanda tukajifunza na mengine maishani. Kwa mfano, juu ya sheria na haki za watu.hebu fikiria, mashabiki kufanya yowe hata timu ikashinda kombe! Au hata kufanya yowe hadi mchezaji akabadilishwa na wengine bora kuletwa uwanjani. Isitoshe, shabiki ambaye ni mfalme wa uwanja, yowe lake linaweza kumfanya hata kocha wa kilabu maarufu duniani kama Manchester United au Arsenal au Real Madrid kuondoka! Mbona hatufanyi hivyo dhidi ya sheria zinazovuruga maisha ya ndugu zetu? Mbona hatupigi yowe dhidi ya ubakaji? Wapi yowe mwanamke anapopigwa na mumewe hadi kufa? Wapi yowe mtoto wa kike anaponyimwa urithi kwa sababu ya sheria potofu za kitamaduni? Wapi yowe dhidi ya wizi wa kimabavu? Watoto wetu leo hawawezi kutembea peke yao, haswa magharibi yanapoingia. Je, hatuwajui watu wanao wahatarisha wana wetu? Tunafanya kitu gani? mbona hatupigi kelele polisi au utawala ukasikia hatua ichukukuliwe? Si kitambo tuliposikia kuhusu biashara ya ngozi za binadamu huuza ghali sana, hasa katika nchi za ujirani ili waganga watengenezee dawa za kuwapumbazia waja. Huu ni uchawi wa kilele cha ushetani. Katika nchi jirani juzi juzi, walishikwa watu wawili ambao walikuwa wamechinja mtoto wa kiume na kumchuna ngozi. Walijulikana baada ya kuzuka ugomvi baina yao, pale mmoja alipomhutumu mwenzake kufanya njama ya kukata kumchinja amchune ngozi kwa ushirikiano wa waganga waua watu. Kioja hiki kiliwaacha wengi na mshangao mkubwa. Yaani tumeuza za wanyama zikatushinda sasa tunauza za watu? Tatizo kubwa ni kwamba watu wanaofanya biashara haramu, tunawajua. Je, tunachukua hatua gani? haijali wanavaa nguo gani? za fisi au za mwana kondoo! Tunahitaji kuwaweka wazi ili biashara zao zijulikane. Wawe weusi au manjano, weupe ama kijani, sharti weupe uwepo ili kuondoka hofu na taharuki kwa ajili ya kila mwanajamii. Hatua ya kwanza itakuwa ya kugeuza sera na mtazamo wa vikosi vyetu vya usalama kuhusu upokeaji wa rushwa kutoka kwa umma. Endapo hawatasita kufichua wanaowapa habari watajikuta katika hatari ya kuonwa na raia kama wapinga amani na lazima wachukue lawama kwa uongezekaji wa uhalifu nchini. Kwa wazalendo hata hivyo, yowe ni silaha yetu. Maswali

a. Yape makala haya anwani mwafaka. (alama 2)b. Mchezo wa kandanda una mchano gani katika taarifa hii? (alama 1)c. Ni sehemu gani zingine ambazo zinaweza kunufaika na mchezo huu? (alama 3)d. Ni matatizo gani ambayo mwandishi anailaumu jamii kwayo? (alama 3)e. Ni nini maana ya mistari ifuatayo:i) Haijalishi wanavaa nguo gani, za fisi au kondoo. (alama 2)ii) Sharti weupe uwepo ili kuondoa hofu na taharuki (alama 2)f. Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika taarifa (alama 2)i) Kuwapumbaziaii) Alipomtuhumu

Top grade predictor publishers Page | 360

Page 363: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

2. UFUPISHO: (ALAMA 15)

Soma kifungu kifuatacho kasha ujibu maswali. Maendeleo ya taifa hutegemea jinsi wananchi wanavyojitolea katika kulibingirisha gurudumu la uchumi wao. Kila mwanajamii anahitajika kujibidiisha katika kazi au taaluma yake. Mzalendo yeyote Yule hupata motisha ya kufanya kazi iwapo anaweza kupata ile kazi aliyokuwa akiitamani.

Kumakinika katika taaluma Fulani si jambo jepesi na huchukua muda kutengeneza. Kwa mfano, ili mhazili apate staha ya uhazili sharti apitie ngazi mbali mbali. Mwanzo kabisa lazima ahitimu vyema katika masomo rasmi darasani. Masomo hayo pamoja na cheti huweza kumpa fursa ya kujiunga na vyuo mbali mbali vya uhazili. Anapojiunga na vyuo hivyo mdipo safari inapoandaliwa. Kukamilisha safari hii kunahitaji muda wa miaka mine. Anapohitimu huwa tayari ameimudu shughuli hiyo. Hata hivyo, anatakiwa afanye mazoezi kila mara ili asisahau yanayohitajika katika taaluma hiyo.

Wengi waliokwishapata ujuzi huo wa uhazili huona kuwa hawatapata kazi nzuri yenye mshahara mkubwa. Baadhi yao hujilinganisha na wale wenzao ambao katika masomo ewana utaaluma kama wao. Ijapokuwa wote ni wahazili, viwango vyao ni tofauti na mishahara pia hutofautiana. Tofauti hapa ni daraja zao za vyeo. Baada ya kuhitimu na kupata vyeti vya uhazili ni rahisi kupata au kutopata kazi zenye ujira wa kuvutia. Anayefanikiwa an safari ya kujikakamua hasa kwa upande wa uzingativu wa kazi kikamilifu na kutunza hadhi ya ofisi yake.

Kuna mashirika makubwa yanayojiweza kiuchumi, ambayo raslimali yake ni imara. Mashirika madogo huwa yana raslimali yanayoyumbayumba. Mashirika haya yana wahazili na wafanyikazi ambao hupata mishahara duni. Waanyakazi hawa hufanya kazi kwa kutokuwa na uhakika wa kulipwa mshahara mwisho wa mwezi. Watu kama hao hawawezi kutilia maanani kazi zao. Mashirika mengimne hayana utaratibu maalum wa kulipa mishahara kwa vile utengemea utu wa mkurugenzi. Baadhi ya wakuu hawa huwa na wabanizi na huwapuja wafanyikazi wao. Hili ni swala nyeti ambalo linahitaji litatuliwe kwa kuwa na chama cha kupigania haki za wafanyikazi. Wakati wanapotafuta kazi, wahazili wengi huwa ni wahitaji na hukubali chochote wanachopewa.

Wale waliobahatika kupata nafasi ya jujira katika kampuni kubwa za kimataifa, mishahara huwa ni ya kutia moyo. Katika dunia hii wahazili wana vibarua vigumu kwa sababu lazima wapate tajriba na uzoefu wa taaluma inayoendelea na shirika Fulani. Wakurugenzi mara nyingi huwa hawana subira. Mhazili anapotumia msamiati usioenda sambamba na shughuli za kiofisi hawasiti kufoka. Wavumilivu miongoni mwao hula mbivu. Hawa hawafi moyo bali hujitahidi zaidi ili wasikumbwe na kimbunga cha kufokewa. Kuna wengine ambao humwaga unga.

a) Fupisha aya ya tatu za kwanza. (maneno 60-70) (alama 6)b) Huku ukizingatia aya mbili za mwisho, eleza masuala muhimu ambayo mwandishi anaibua. (maneno 65-70)

(alama 7)3. MATUMIZI YA LUGHA: (ALAMA 40)a. Eleza tofauti kuu iliyopo kati ya Konsonanti na Irabu. (alama 3)b. Tambulisha kielezi, kivumishi na kitenzi katika sentensi ifuatayo: (alama 3)

Msichana mrembo alikuja upesi akimkimbilia dadake.c. Bainisha mofimu zinazounda neon: (alama 3)

Halijafungukad. Yaweke maneno yafuatayo katika ngeli. (alama 2)

i) Ukopeii) Lumbwi

e. Tunga sentensi sahihi ukitumia vitenzi vifuatavyo katika kauli uliyopewa. (alama 2)Chwa (Tendewa)Funga (Tendama)

f. Tumia ki ya masharti kuandika upya sentensi hii:Atakuja kasha twende kwao. (alama 1)

g. Akifisha sentensi hii ili kuleta maana mbili tofauti. (alama 2)Baba alimpiga motto akalia.

h. Eleza maana mbili za sentensi ifuatayo:Mama alimpiga motto akalia. (alama 2)

i. Changanua sentensi ifuatayo kwa mchoro wa mishale. (alama 3)Mwembe uliokatwa jana utakauka.

j. Andika katika hali ya udogo wingi. (alama 2)Mvulana Yule alipewa kipande cha mkate na msichana mrembo.

k. Andika katika usemi taarifa. (alama 2)― Wewe ni nani na unataka nini?‖l. Yakinisha sentensi ifuatayo: (alama 2)

Nguo za motto Yule hazijajaa uchafu.m. Andika majina yanayotokana na vitenzi vifuatavyo: (alama 2)

Jaribu

Top grade predictor publishers Page | 361

Page 364: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Tokea n. Tunga sentensi yenye mpangilio huu.

Kitenzi + kitenzi + kitenzi + kielezi (alama 2)o. Viambishi na maneno yaliyopigiwa msitari katika sentensi hii yanaleta dhana gani?

Mjakazi alijikata kwa shoka kali na akapelekwa hospitalini. (alama 2)p. Andika sentensi ifuatayo upya ukitumia ―amba‖ (alama 1)

Kuchelewa kwa wahubiri hawa kufanyikako kila ijumaa kunarudisha injili nyuma. q. Andika kinyume cha sentensi hii: (alama 2)

Mtii sheria ni anayeishi ndani ya taifa husika.r. Andika sentensi ifuatayo upya ukianza kwa yambwa tendewa. (alama 2)

Mzalendo amemwandikia mhariri barua.s. Tunga sentensi moja kuu ukionyesha maana mbili za neno ‗panda‘ (alama 1)t. Tunga sentensi moja moja ukitumia neno ‗ila‘ kama: (alama 2)

NominaKiunganishi

4. ISIMU JAMII: (ALAMA 10)

Konda: Ingia bebi, ingia hii mat ukitaka ukae poa na ufike salama.Bebi : Ni high time m‘warespect wateja wenu. Mara kugeuza fare, kubaki na change au kubonga vibaya after kuulizwamaswali.

a. Ni kina nani wanaozungumza? Thibitisha: (alama 2)b. Bebi anadokeza kuwa konda ana tabia gani? (alama 2)c. Toa sifa za sajili iliyohusika. (alama 6)

Top grade predictor publishers Page | 362

Page 365: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA KAUNTI YA NYERI KISWAHILI 102/3 KARATASI 3 SEHEMU A: TAMTHILIA T. Arege: mstahiki meya

1. LAZIMAOnyesha jinsi maudhui ya usaliti yanavyojitokeza katika tamthilia ya Mstahiki Meya. (alama 20)

SEHEMU B: RIWAYAK. WALIBORA: Kidagaa Kimemwozea

Jibu swali la 2 au 3

2. ……kutenda kitendo kile na Bi. Mkubwa niliyemwona kama mamangu mzazi? Haidhuru yaliyopita si ndwele tugangeyajayo.

a) Fafanua muktadha wa dondoo hili. (alama 4)b) Taja tamathali mbili zilizotumika katika dondoo hili. (alama 2)c) Eleza sifa nne za anayeambiwa maneno haya. (alama 4)d) Dondoo hili linawasiwirije maudhui ya mabadiliko? (alama 10)3. Umdhaniaye ndiye siye. Dhibitisha ukweli wa methali hii kwa kurejelea riwaya ya kidagaa kimemwozea. (alama 20)

SEHEMU C: HADITHI FUPIK. Walibora na S.A Mohammed: Damu Nyeusi na Hadithi NyingineJibu swali la 2 au 3

4. ‗Maisha ni fumbo:‘ Kwa kurejelea hadithi zifuatazo, jadili ukweli wa usemi huu. (alama 20)a) Mke wangub) Shaka ya mamboc) Tazamana na mautid) Mwana wa darubini

5. ―Shangazi wakumbuke watoto. Waonee huruma.‖a) Yaweke maneno haya katika muktadha wake (alama 4)b) Fafanua mbinu ya kisanaa inayojitokeza katika nukuu hili. (alama 2)c) Jadili jinsi aina ya uovu unaondokezwa katika dondoo hili ulivyoendelezwa na wahusika wengine katika hadithi husika.

(alama 8) d) Fafanua sifa zozote sita za shangazi. (alama 6)

SEHEMU D: USHAIRI Jibu swali 6 au la 7

6. Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.

Ya mgambo inalia, kusema nayotendewa Taifa ninawajia, kuamba nayofanyiwa Wenzangu nawalilia, mimi ninavyodakiwa Nipe ushauri wako, ewe mkuu tabibu

Tulifata Bibilia, Pete yangu kamgawa Tukawekewa zulia, na Baraka tukapewa Jap oleo natilia, heri n‘baki mtawa Naja kwenu matabibu, nipe wenu ushauri

Mtu amejitakasa, dini nayo kabobewa Sura nzuri niliposa, urembo kakirimiwa Sikujua ninakosa, maradhi nimeletewa Tokezeni matabibu, ninaomba ushauri

Mapenzi yake muhimu, yamefanya napagawa Chakula chake kitamu, anajua kupakuwa Ila anao wazimu, uraibu wakulewa Naja kwenu matabibu, nawaomba ushauri

Mwenzangu huyu msiri, kiwewe nimeingiwa

Top grade predictor publishers Page | 363

Page 366: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Mwenyewe ninavyokiri, ndugu zangu naimbiwa Mara nyingi nasafiri, hupeana naambiwa Mko wapi matabibu, si mnipe ushauri

Ni mtani kweli kweli, anajifanya kujuwa Humtoi kwa kejeli, wazi ninapekuliwa Niambieni ukweli, vipi nitajiokowa Enyi wangu matabibu, nahitaji ushauri

Mja huyu shindani, s‘oni nikimtobowa Amejawa kisirani, kasoro ni kumtowa Mwenzenu sina amani, lini nitakuwa sawa Nasubiri ushauri, Kazi kwenu matabibu

a. Lipe shairi hili anwani yake? (alama 1)b. Liweke shairi hili katika bahari mbili. (alama 2)c. Nafsi neni inaelekea kulalamika. Fafanua mambo manne yanayolalamikiwa. (alama 4)d. Onyesha jinsi mtunzi ametumia mbinu zifuatazo: (alama 2)i) Jazandaii) Kinayae. Fafanua dhamira ya mshairi. (alama 2)f. Andika ubeti wa tatu katika lugha nathari. (alama 4)g. Fafanua mbinu tatu alizotumia mtunzi kutosheleza arudhi za ushairi. (alama 3)h. Kwa mujibu wa muktadha wa shairi, maneno yafuatayo yanarejelea nani? (alama 2)i) Mkuu tabibuii) Matabibuiii) 7. Soma shairi lifuatalo na kisha ujibu maswali yafuatayo.

Dunia yetu dunia, watu wanakufitini Dunia huna udhia, watu wanakulaani Dunia huna hatia, wabebeshwa kila zani Dunia unaonewa, umetenda kosa gani!

Dunia umenyamaza, umetua kwa makini Dunia vitu mejaza, watu wanataka nini? Dunia wanakucheza, binadamu maliuni Dunia unaonewa, umetenda kosa gani!

Dunia mtu akose, hukutia mdomoni Dunia hebu waase, Hao watu mafatanio Dunia chuki mpuse, muipate afueni Dunia unaonewa, umetenda kosa gani!

Dunia una lawama, za uongo si yakini Dunia wanakusema, ni manjunju si razini Dunia huna hasama, waja ndio kisirani Dunia unaonewa, umetenda kosa gani!

Dunia kuharibika, hayo amezusha nani? Dunia watu humaka, hao wanaokuhini Dunia umejazika, kila tunu ya thamani Dunia unaonewa, umetenda kosa gani!

Dunia unatukisha, bwerere bila undani Dunia unatukosha, maji tele baharini Dunia unaotesha, mimea tosha mashambani Dunia unaonewa, umetenda kosa gani!

Dunia hujageuka, tangu umbwe na Manani Dunia watu ndo nyoka, mahaini na wahuni Dunia una baraka, mwenye pupa hazioni Dunia huna ubaya, wabaya ni insani (Wallah, J. Malenga wa Ziwa Kuu, UK. 110)

Top grade predictor publishers Page | 364

Page 367: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Maswali

a. Shairi hili ni la bahari gani? Toa sababu yako. (alama 3)b. i) Kichwa cha shairi hili kinaoanaje na maudhui ya shairi? (alama 2)

ii)Andika methali moja inayoeleza maudhui ya shairi hili. (alama 2)c. Eleza sifa tatu za wanadamu kama anavtoeleza mshairi. (alama 3)d. Kwa kutoa mifano kutokana na shairi hili, eleza Mbinu tatu za lugha alizotumia mshairi. (alama 6)e. Eleza maana ya vifungu vifuatavyo vya maneno kama vilivyotumika katika shairi. (alama 4)

i) Bwerere bila undaniii) Hao watu mafatani iii) Afueni iv) Insani

8. FASIHI SIMULIZI―Mjukuu wangu, masomo ni jambo muhimu sana. Ufikapo shuleni na kuanza maisha ya shule ya upili, usijiingize katika mambo ya dunia - anasa na raha nyingi. Vifanye vitabu rafiki wa karibu. Wasikize walimu na uzingatie wanayoyasema, saidiana na wenzako na utie bidii za Mchwa katika masomo. Kumbuka kuwa elimu ndio ufunguo wa maisha mema hapo usoni. ‖

a. Tambua kipera cha Fasihi Simulizi kinachohusishwa na kifungu hiki. (alama 2)b. Taja sifa za kipera hiki. (alama 8)c. Eleza umuhimu wa kipera hiki katika maisha ya jamii. ( alama 10)

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA KAUNTI YA NYERI KISWAHILI 102/2 KARATASI 2 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

1. UFAHAMU (alama 15)a) Silaha ya uhalifu (1×2=alama 2)b) Unawezan wazi namna yowe linaweza kuwa silaha ya kumaliza uovu katika jamii. (alama 2)c) i. Umoja wa nchi - watu kujumuika pamoja

ii. Uchumi - malipo ya wachezaji na washiriki wengine. Starehe na burudani za mashambikiiii. Amani / usalama - vijana wana shughuli za kufanya (alama 3)

d) Dhuluma dhidi ya haki za watu- Ubakaji- Dhuluma iletwayo na tamaduni mbovu- Biashara mbovu ya kichawi na haramu- Njia mbovu ya vikosi vya usalama kupata habari. (zozote 3×1 =alama 3)e) i. Si hoja waonekanavyo nje - wabaya au wazuri (1×2=alama 2)

ii. Sharti ukweli usemwe ili pasiwepo hali ya sintofahamu (1×2=alama 2)f) i. Kuwafanya wadanganyike

ii.Alipomshuku (2×1=alama 2)2. UFUPISHOa)- Maendeleo ya taifa hutegemea bidii/kujitolea kwa wananchi kazini.- Mzalendo hupata motisha apatapo aliyotamani.- Taaluma yoyote huchukua muda kutengenea/kumakinika katika taaluma fulanihuchukua muda kutengenea.- Mhazili lazima ahitimu darasani/mhazili ahitimu darasani/mhazili ahitimu katika masomo rasmi ya darasa.- Anapojiunga na vyuo vya uhazili, kuchukua muda kuhitimu.- Anatakiwa afanya mazoezi kila mara ili asisahau.- Wengi huona kuwa hawatapata kazi nzuri/ya mshahara mzuri/wengi hujilinganisha na wenzao wenye viwango tofauti au

mishahara tofauti/ni rahisi kupata kazi zenye ujira wa kuvutia.Anayefanikiwa ni lazima/ni sharti/yapaswa ajikakamue kazini.(zozote 6×1=6)

b)- Mashirika makubwa yanajiweza kiuchumi kuliko madogo.- Mashirika madogo hulipa mishahara duni isiyotegemewa- Wafanyikazi hawawezi kutilia maanani kazi yao.- Baadhi ya wakurugenzi huwabaniza na kuwapunja wafanyikazi wao au/ ulipaji wa mishahara hutegemea utu wa mkurungezi

au/ mashirika mengine hayana utaratibu maalum ya kulipa mishahara.- Kuna haja ya kuwa na chama cha kupigania haki za wafanyikazi.- Wahazili wengine ni wahitaji na hukubali chochote wanachopewa.- Wanaoajiriwa katika kampuni za kimataifa/ mashirika makubwa hulipwa mishahara mikubwa.- Wahazili lazima wapate tajriba/ uzoefu na wawe wavumilivu.- Wakurugenzi wasio na subira huwatokea na / au hufutwa au kuwafuta kazi/ wahazili wasiomakinika hutokewa na / hufutwa

kazi. (zozote 7×1=1)

Top grade predictor publishers Page | 365

Page 368: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

3. MATUMIZI YA LUGHA (alama 20)a. - katika kutamka konsonanti, hewa huzuiliwa ilhali haizuiliwi Irabu zitamkwapo (alama 2)b. Msichana mrembo alikuja upesi akimkimbilia dadake. (alama 3)- Mrembo - kivumishi (al. 1)- Upesi - kielezi (al. 1)- Kitenzi - alikuja / alimkimbilia (al. 1)c. Ha - kikanushi

li - ngeli ja - kikanushi cha hali ya me fung - mzizi uk - kauli ya kutenduka a - kiishio 6×½=al.3

d. i) Ukope - U -ZI (alama 1)ii) Lumbwi - A - WA (alama 1)

e. Chewa - Tulichewa na jua tulipokuwa tukituka malishoniFungama - Mlango ulifungama baada ya kusukumwa na upepo. (2×1=alama 2)

f. Akija tutaenda kwaoAkija twende kwao (1×1=alama 1)

g. i. Baba, watoto wanakuja.ii. Baba! Watoto wanakuja

iii. Baba, watoto wanakuja? (2×1=2mks)h. i. Mama alilia baada ya kumpiga mtoto

ii. Mtoto alilia baada ya Kupigwa na mama.iii. Mama (mzaziwe mtoto) alimpiga mtoto akalia.iv. Mwanamke alimpiga mtoto akalia. (2×1= alama 2)

i. Mwembe uliokatwa jana umekaukaS KN + KT (½)KN N + S (½)N Mwembe (½)S uliokatwa jana (½)KT T (½)T umekatwa (½) (½ ×6=alama 3)

j. Vivulana vile vilipewa vijipande vya vijikate na visichana virembo. (8×¼=alama 2)k. Afisa polisi alimwuliza jina lake na alichokitaka

AUAfisa polisi alimwuliza yeye alikuwa nani na alikuwa akitaka nini

l. Nguo za mtoto yule zimejaa uchafu (alama 1)m. i) Jaribu - jaribio / majaribio

ii)Tokea - Tokeo / tukio / matukio / matokeo (2×1=alama 2)n. Nilikuwa sijawahi kumwona vizuri. (alama 2)o. Mjakazi alijikata kwa shoka kali na akapelekwa hospitalini.

ji - nafsi (jifanyia) (½)kwa - kitumizi / ala (½)na - kiunganishi (½)ni - kielezi cha mahali (½) 4×½=2

p. Kuchelewa kwa wahubiri hawa ambako hufanyika kila ijumaa kunarudisha injili nyuma. (alama 2)q. Mwasi/mkaidi/msaliti sheria ni anayeishi nje ya taifa husika 2×1=2r. Mhariri aliandikiwa barua na mzalendo. (alama 2)s. Sentensi idhihirishe maana zifuatazo;i) Mgawanyiko katika njiaii) Baragumu / parapandaiii) Paji la usoiv) Ongezeko; panda beiv) Ingia katika chombo cha kusafiria

Mtahini akadirie jibu la mwanafunzi. (2×½=alama 1)t. Nguo yake ina ila, ioshe

Nilienda kwake ila sikumpata (2×1= alama 2)4. ISIMU JAMII (alama 10)a) Ni vijana wa rika wanapozungumza kwa sababu wanafahamu sheng vizuri (alama 1)- Hawa wana mahusiano wa kikazi. Kondakta anahitaji mteja na mteja anahitaji huduma za usafiri (alama 1)b) - Hana heshima/nidhamu- Ni mbinafsi wanabadilisha nauli ovyo

Top grade predictor publishers Page | 366

Page 369: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

- Hawatoi majibu kwa usahihi wanapoulizwa maswali. (hoja zozote 2×1=2)c) Sifa za lugha ya usafiri i) Ina uradidi ili kusisitiza abiria watarajiwa wamsikie ii) Hutuimia ushawishi ili apate abiria haraka iii) Lugha ya mitaani/sheng hutawala ili kujinasibisha iv) Lugha si sanifu wala haizingatii kanuni, lugha fasaha inasumbua. v) Lugha rasmi haitumiki vi) Kuna Kuchanganya msimbo iwe rahisi kujieleza vii) Msamiati mahsusi (nauli, matatu, abiria) unaosadifu na kazi yenyewe viii) Lugha ya ahadi - ukae poa na ufike salama kuwavutia abiria. ix) Hutumia kiimbo cha juu ili asikike. x) Pengine lugha ya kukashifu hutumika ili kudhibiti ushindani kwa mfano gari gani hilo lisilo na video n.k.

(hoja zozote 3×2=6)

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA MERU KUSINI 102/1 KISWAHILI Karatasi 1 Julai/ agosti 2016

1. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la unywaji wa pombe haramu nchini uliosababisha vifo vya adinasi wengi. Andikatahariri kataika gazeti la ‗mkombozi ‗ Kuhusu juhudi ziznzofanywa na serikali kukabiliana na hali hii.

2. Vijana wana mchango mkubwa kuliko wazee katika kuinua uchcumi wa nchi yetu. Jadili.3. Tunga kisa kitakachodhihirishs maana ya methali ifuatayo : Subira ni ufunguo wa faraja.4. Tunga kisa kinachomalizika kwa maneno yafuatayo :………………………………. Niulipoona wakisherehekea matokeo ya

kitaif, machozi yalinitiririka nilipokumbuka kilichosababisha kufutiliwa mbali kwa matokeo yangu.

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA WILAYA YA MERU KUSINI 102/3 KISWAHILI Karatasi 3 Julai/ agosti 2016

SEHEMU YA A : USHAIRI Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali Ajabu ajabu hii ajabu Mwenye maneno hasemi Asonayo atasema Na nyuma hawatazami Mbele wamekuandama

Ajabu ajabu hii ajabu Wanaolima hawali Wasolima Wamakula Hula viso vya halali Nguvu pia na fadhila

Ajabu ajabu hii ajabu Wachokao hawalali Walalao ni wazioma Hulala pema pahali Nahuku wakikoroma

Ajabu ajabu hii ajabu Watendao si muhimu Wasotenda watukufu Wao ni watu adhimu Kila siku twawasifu

Ajabu ajabu hii ajabu Mwenye haki si wa haki Asonacho hunguruma Kwa uhuru na miliki Mwenye haki humtuma

Top grade predictor publishers Page | 367

Page 370: kcpe-kcse.com · Web viewWasaa kuzingatia, Uwafikishe kazini, Kwa wasaa ufaao, Wasije wakateteshwa, Na bosi wao kazini, Nao wakakuapiza. 4.Na ewe mwanazaraa, Mpini uukamate, Kabla

102/1,102/2,102/3 kiswahili

Maswali a) Lipe shairi hili anwani mwafaka alama 2b) Ni nani shabaha ya mshairi huyu. Alama2c) Shairi hili linaweza kuingia katika bahari gani? Alama2d) Mbinu ya kinaya injitokezaje klatika shairi hili? Alama6e) Tambua aina za idhini ya mshairi katiak shairi hili. Alama 2f) Andika ubeti wa tano kwa lugha ya nathari. Alama5g) Eleza maana ya kifungu fifuatacho kama kilivyotumika katika shairi hili.

―Wao ni watu adhimu‖ alama1

SEHEMU YA B: TAMTHILIAMstahiki Meya-Timothy Arege

2. ―Nitawapa mapokezi ya kupigiwa mfano‖a) Fafanua muktadha wa dondoo hili. Alama4b) Tambua tamathali ya usemi inayojitokeza katika dondoo hili. Alama2c) Ni mambo yapi yanayofanya mapokezi yawe ya kupigiwa mfano kwa mujibu wa msemaji. alama4d) Fafanua mifano mingine inayodhihirisha ubadhirifu wa mali ya umma katika tamthilia hii. alama103. Umdhaniaye ndiye kumbe siye. Jadili ukweli wa methali hii kwa kuwarejelea wahusika mbalimbali katika tanthilia ya

Mstahiki Meya. Alama20

SEHEMU YA C: RIWAYAKidagaa kimemwozea-Ken walibora.

4. Kwa kurejelea wanaofuata thibitisha kauli kwamba njia ya mwongo ni fupi.a) Mtemi Nasaba Bora alama12b) Mwalimu Majisifu. Alama85. ‗…… alisimama jadidi na kuwatazama hawa watu wawili waliosimama wima kutetemeka kama waliokuwa wamepigwa na

dhoruba ya theluji. ‗a) Eleza muktadha wa dondoo hili. Alama4b) Tambua mbinu yoyote ya lugha katika dondoo hili. Alama2c) Fafanua uhusiano katiya wanaotetemeka. Alama4d) Jasili namna mwanamke alivyosawiriwa katika riwaya ya Kidagaa Kimemwozea. Alama10

SEHEMU YA D: HADITHI FUPI6. Fafanua jinsi wanyonge wanadhulumiwa katika hadithi zifuatazo:a) Damu Nyeusi alama10b) Mwana wa Darubini alama10

SEHEMU YA E: FASIHI SIMULIZI7. a) Eleza maana ya maigizo. Alama2

b) Andika sifa nne bainifu za maigizo. Alama4c) Eleza majukumu ya ngomezi katika jamii. Alama4d) Eleza changamoto za matumizi ya ngomezi katika jamii ya kisasa. Alama4e) Miviga ni nini? Alama2f) Eleza sifa nne za miviga. Alama4

Top grade predictor publishers Page | 368