mkombozi wa kweli - dcb commercial bank plc · 2015-11-22 · kutoa mikopo ya jumla ya shs....
TRANSCRIPT
Historia ya Benki ya Biashara DCB
1
Benki ya Biashara DCB ambayozamani ilijulikana kama ‘Benki yaWananchi wa Dar-es-Salaam’ilisajiliwa rasmi mwaka 2001 chini yaSheria ya Makampuni ya mwaka2002, na kuruhusiwa kufanyabiashara ya kibenki chini ya sheria yaMabenki na Taasisi za Fedha yamwaka 2006 kama Benki inayotoahuduma za kifedha kwawafanyabiashara wa kipato cha chinina kati.
Benki hii ilianzishwa kufuatia agizoalilolitoa Rais mtaafu wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania wa awamu yatatu, Mhe. Benjamin William Mkapa,alipokuwa akifungua mkutano wa 10wa mabenki na vyombo vya fedhamwezi Disemba mwaka 1995. Raisalirudia tena wito huo wakatialipokuwa anakagua shughuli zawafanyabiashara ndogondogomkoani Dar es salaam mwaka 1999,ambao walimlalamikia juu ya ukosefuwa mitaji ya kuboresha biashara zao.
Kufuatia wito huo wa Rais, Tumeya Jiji la Dar es Salaam (wakati huo)ilitoa kandalasi kwa kampuni yaCommodities Finance & ConsultingLtd (CFC) ili kufanya upembuzi
yakinifu wa kuanzishwa kwa Benkimkoani Dar es Salaam. Taarifa yautafiti huo ilikamilika na kuwasilishwakwa Tume ya Jiji la Dar es SalaamJanuari 10, 2000. Taarifa hiyo
ilionyesha kuwa mradi wakuanzishwa kwa Benki ni wenye faidana kupendekeza kuanzishwa kwaBenki Wananchi mkoani Dar esSalaam.
Wiki hii, Benki ya Biashara DCBinaadhimisha miaka kumi ya mafanikio yautoaji huduma kwa wananchi. Benki hii nimiongoni mwa benki zinazokua kwa harakanchini. Tangu benki hii ifungue milangoyake kwa wananchi, imeendelea kutekelezadira na Dhima ya kuanzishwa kwake yakuwahudumia wateja wadogo na wakati,hasa wajasiriamali kwa kuwapatia hudumaza kibenki ili kukuza biashara zao na kuinuahali ya kipato cha maisha yao. Watejawaliokusuduwa ni watu wlioonekanakwamba hawakopesheki au kuaminiwa namabenki makubwa ambao kwa sasa,kupitia DCB wamethibitisha kwambawanakopesheka na kuaminika.
Katika kipindi cha Miaka 10, Benki hiiimepata mafanikio makubwa katika fanizote za shughuli zake na kutoa faidailiyowezesha kulipa gawio kwa wanahisa
wake kwa miaka sita mfululizo tangumwaka 2006. Kutokana na kuongezeka kwamtaji wa Benki hadi kufikia Shilingi Bilioni16, Benki imeamua kupanua wigo wautoaji huduma zake kwa kubadili hadhi naleseni mwaka huu wa 2012 kutoka Benkiya wananchi na kuwa Benki kamili ya
biashara. Pia Jina la Benki limebadilika nakuwa Benki ya Biashara DCB.
Mafanikio haya yasingewezekana bila yamsaada kutoka serikalini, wateja wetu,wanahisa wetu, washirika wetu wabiashara, waajiri wa makampunimbalimbali ya umma na binafsi, mifuko yahifadhi ya jamii na umma kwa ujumla wakeambao umekuwa mstari wa mbele kwamaendeleo ya benki yetu.
Menejimenti pamoja na wafanyakazi waDCB Commercial Bank Plc wanatoashukrani zao za dhati kwa watu wotewaliotuunga mkono kwa kushirikiana nasi.
Tuko tayari kuendeleza mafanikio hayayaliyokwishapatikana ili tuweze kuimarikazaidi katika kipindi kingine cha miaka 10ijayo. Ni jukumu letu kuihudumia kwaufanisi jamii ya Tanzania chini ya jina jipyala DCB Commercial Bank Plc ilikuwakomboa wananchi waondokane naumaskini. Ni jukumu letu sisi wenyewe,kwa taifa, kwa wanahisa, na kusema kweli,kwa Mwenyezi Mungu mwenyewe.
Mkombozi wa Kweli
Amb. Paul
Rupia
Edmund P.
Mkwawa
Ikifuata Dira na Dhima yakuanzishwa kwake, benki ilianzashughuli zake miaka 10 iliyopitaikiwa na mtaji wa shiling bilioni1.1. Halmashauri ya Jiji la Dares Salaam na Manispaa za Ilala,Kinondoni na Temeke ndizozilizochangia mtaji huo kwaasilimia mia moja.
Hadi kufikia Desemba 30,2011, mtaji wa benki ulifikiashilingi bilioni 8.1 uliokuzwakutokana na mauzo ya hisa kwasoko la awali, hisa za haki (IPO)na kujiunga Soko la Hisa la Dares Salaam mwaka 2008.
Tunajivunia kuona kwambaDCB ni benki ya kwanza nchinikujiungana na soko la hisa.Thamani ya hisa zake kwenyesoko imeongezeka kutokashiling 275 (thamani yakuandikisha) Septemba 16,2008 hadi shilingi 620 kufikiaAgosti 30, 2012. DCB imekuwaKampuni inayofanya vizurikatika soko la hisa barani Africamwaka 2011 na kushika nafasiya 5 kati ya kampuni 10 bora naya kwanza katika nchi za AfrikaMashariki. Kwetu sisitunafarijika sana na hatua hii yamaendeleo, na tumejipangakukabiriana na changamotokubwa iliyopo mbele yetukuendeleza mafanikio haya.
Pia tunatoa wito kwa wadauna wanahisa wa benki hiikushiriki kikamilifu katika zoezila kununua hisa za haki ilikuweza kukuza mtaji wa benki.
WIGO MPANAWA KUWAFIKIA
WAJASIRIAMALIWADOGO NA WA KATITANZANIA
Rais wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano Mheshimiwa Benjamin William
Mkapa akitembelea Tawi la DCB Arnautoglu eneo la Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam
mwaka 2002 katika ufunguzi wa Benki hiyo. Wa pili kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa
DCB Bw. Edmund P. Mkwawa, na wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa zamani wa
Dar es Salaam, Yusuf Makamba.
Miaka Kumi ya Ukombozi. Imara Zaidi, Mbele Daima
Ujumbe waMwenyekiti
Benki ya Biashara DCB
OKTOBA 5
2012
Ujumbe wa MkurugenziMtendaji
DCB-INSERT SWA.qxd:Layout 1 10/3/12 8:25 PM Page 1
Dira, Dhima na
misingi imara,
na shUghULi KUU
Za BEnKi
DIRA
Dira ya DCB ni kuwa Benki inayoongoza katikakusaidia wajasiriamali nchini Tanzania.
DHIMA
Dhima ya DCB ni kuainisha makundi, taasisi nawatu binafsi wenye kipato cha chini, kati na chajuu, wenye vipaji na kuwa washirika wazuri waBenki kibiashara, watakaoweza kukopa fedha nakuzifanyia kazi kikamilifu, kurejesha mikopo,kuweka akiba Benki mara kwa mara na kujengauwezo wakupanua biashara. DCB inalenga katikakujenga taratibu, mifumo, uwezo na mitandao yautendaji itakayoweza kuhimili utoaji wa hudumamakini na za ufanisi kwa idadi kubwa ya watejawa kipato cha chini, kati na cha juu nchiniTanzania.
MISINGI IMARA
• Utaalam• Uaminifu• Ubunifu• Utendaji wa pamoja• Dhamira• Heshima• Utawala bora
Shughuli kuu za Benki
• Kukusanya nguvu na uwezo wa kifedha kutokakwa watu binafsi, taasisi na wafadhili kwamadhumuni ya kutoa mikopo kwa sekta isiyorasmi ili kuunga mkono jitihada za Serikalikatika kutokomeza umasikini.
• Kutengeneza mazingira muafaka ya shughulibinafsi na kupunguza tatizo la ukosefu wa kazinchini Tanzania.
• Kutoa huduma za kibiashara kwa walengwakwa kuweka kiwango cha faida‘kitakachoiwezesha Benki kurudisha gharamaza uendendeshaji na kupata faida’ ilikuiwezesha benki kujiimarisha yenyewe nakuongeza gawio kwa wanahisa wake.
• Kutoa mikopo kwa wajasiriamali.
Benki ya biashara DCB, zamaniikijulikana kama Benki ya wananchi waDar es Salaam ilisajiliwa na msajili waMakampuni tarehe 6 Septemba 2001na hatimaye kupewa leseni ya kibenkikama Benki ya Wananchi. Ilianza kutoahuduma kwa wananchi tarehe15/4/2002 na tawi moja la Arnautoglulililopo Mnazi Mmoja katika manispaaya Ilala, Dar es Salaam.
Usajili na ufunguziwa biashara
2
Umiliki wa hisa hadi kufikia Disemba 2011Jina
Halmashauri ya Jiji
Manispaa ya Ilala
Manispaa ya Kinondoni
Manispaa ya Temeke
Unit Trust Of Tanzania (UTT)
Umoja Unit Trust Scheme
Wananchi (4,621
(2010: 5,036)
Idadi ya hisa
2,870,628
2,671,188
2,626,060
2,396,536
3,088,148
3,308,870
15,431,806
32,393,236
Thamani ya hisa TZS
717,657,000
667,797,000
656,515,000
599,134,000
772,037,000
827,217,500
3,857,951,500
8,098,309,000
Asilimia
8.86%
8.25%
8.11%
7.40%
9.53%
10.21%
47.64%
100%
Mkurugenzi Mkuu wa UTT Dk. Hamis Kibola akipokea mfano wa hundi ya gawio la 2010 yenye thamani ya Sh 140.8
millioni kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Bi. Theresia Mmbando.
Mfumo wa Hisa katika Asilimia
Benki ya Biashara DCB
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania wa Awamu ya Tatu Mhe. Ben-
jamin William Mkapa (aliyekaa) akizindua
Benki ya DCB tawi la Arnautoglu - Mnazi
Mmoja mwaka 2002.
OKTOBA 5
2012
DCB-INSERT SWA.qxd:Layout 1 10/3/12 8:25 PM Page 2
Katika kipindi cha miaka kumi, Benki
imeweza kujiendesha kibiashara na
kupata mafanikio makubwa katika
fani zote za shughuli zake kama
ifuatavyo:
Idadi ya Wateja na AmanaMwaka 2002, benki ilianza na
wateja 12,141 wa kuweka na kukopawenye amana ya Shs. Bilioni 1.76. Leotunafuraha kuwajulisha kuwa tunazaidi ya wateja 179,482 wenyeamana ya Shs. Bilioni 81.1; Disemba2011.
MikopoDCB imewezesha wananchi
kuboresha hali za maisha yao kwakutoa mikopo ya jumla ya Shs. Bilioni
222. 51 hadi Disemba 2011ikilinganishwa na Shs. Milioni 999iliyotolewa mwaka 2002 . Mikopohiyo imetolewa kupitia huduma yamikopo kwa njia ya Mshahara,Mikopo Binafsi, Mikopo ya Vikundi namikopo ya nyumba kwa watu wakipato cha chini na kati.
Mikopo ya vikundiMikopo ya vikundi imeendelea
kupewa kipaumbele. Katika kipindicha miaka kumi, jumla ya Shs. Bilioni31.07 zimekopeshwa kwa walengwa107,160 wengi wakiwa ni wanawakewaishio katika manispaa zote zaMkoa wa Dar es Salaam. Mikopo hiiimesaidia kuendeleza miradi yaomidogo midogo ambayo
imewawezesha kuinua hali ya maisha.Na hili ndilo hasa jukumu la Benki hiikwani jumla ya vikundi 2,143vimeanzishwa mwaka 2011ikilinganishwa na 316 vilivyoanzishwamwaka 2005 kama inavyoonekanakwenye jedwali.
FaidaTangu kuanzishwa kwake, DCB
imefanikiwa kutoa faida kila mwakana kutoa gawio kwa wanahisa wake
Maendeleo ya Benki
Baada ya kuendesha shughuli zakekwa mafanikio Jijini Dar es Salaamkwa miaka 10 na kuongezeka kwamtaji, tuna kila sababu ya kujivuna nakutangaza kwamba benki yetuimebadili jina lake kutoka ‘Benki ya
Wananchi wa Dar es Salaam’ nakuwa ‘Benki ya Biashara DCB’
kufuatia kubadili hadhi yake kutokaBenki ya Wananchi na kuwa Benkikamili ya Biashara.
Leseni yake pia imebadilika nakwamba benki hii sasa itaendeshashughuli zake nchi nzima hivyokupanua wigo wa kibiashara nahuduma kwa wateja. Hata hivyo, Dirana Dhima ya benki hii itabaki kamailivyo. Kwa kuendesha benki yakibiashara, DCB itapata faidazifuatazo:-• Kufungua dirisha kwa wateja
wakubwa (Corporate customers)-
hii itaboresha ukuaji wa benkikimtaji na kutumia fursa nyingizaidi ambazo benki hapo awalihaikuwa na nafasi kuzitumia
• Kujitanua kimtandao- Benki yetuitakuwa na fursa ya kufunguamatawi mikoani kila inapobidi nahivyo kuongeza mapato kwa benki
• Kutoa huduma zaidi za kibenkiambazo hapo awali benki haikuwana fursa ya kuzitoa.
• Kuongeza thamani kwa benki nakwa wanahisa.
Hafla ya uzinduzi wa DCB kujiunga na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) mwaka 2008
Manispaa
Ilala
Kinondoni
Temeke
Jumla
Mikopo ya vikundi kwa manispaa za Dar es Salaam hadi kufikia
Disemba 31, 2011
Idadi ya vituo
709
897
537
2,143
Idadi ya wateja
35464
44839
26857
107,160
JUMLA
Kiasi cha mkopo (TZS)
8,530,795,300
13,409,277,850
9,135,850,351
31,075,923,501
Faida/(hasara) kwa mwaka
Mwaka
Miaka Kumi ya Ukombozi. Imara Zaidi, Mbele Daima
3Benki ya Biashara DCB
OKTOBA 5
2012
kwa kipindi cha miaka sita mfululizotangu mwaka 2006.
Mwaka 2002 benki ilipata hasaraya Sh. Milioni 535.19 zilizotumikakatika kufidia gharama za kuanzishwakwa benki. Baada ya hapo tokamwaka 2005 faida ya benki imekuamwaka hadi mwaka na kufikia Sh.Bilioni 4.4 (kabla ya kodi) mwaka2011.
MABADIlIKO yA JINA NA leSeNI
Sh billioni 4.4Faida kabla ya kodi
mwaka 2011; ililipa gawio kwa wadau kwa
miaka 6 mfululizo tangumwaka 2006
DCB-INSERT SWA.qxd:Layout 1 10/3/12 8:25 PM Page 3
Huduma za BenkiBenki yetu inatoa huduma ya
akaunti mbalimbali kutokana namahitaji ya mteja zikiwemo akauntiya akiba, watoto, wanafunzi, vyamavya ushirika (SACCOS), Akaunti zapamoja, Akaunti za muda Maalum naCall account, Akaunti za hundi kwawatu binafsi, Taasisi, Makampuni naakaunti muhimu kwa ajili watejawalio katika vikundi, Huduma zafedha za kigeni, Huduma yakusafirisha fedha ya Western Union,Wakala mkubwa wa M-pesa, Hudumaza ATM ya UmojaSwitch na hudumaza mikopo kwa njia ya Mshahara,Mikopo ya vikundi, Mikopo yaNyumba kwa watu wa kipato chachini na Mikopo binafsi kwa SME,SMEs na wateja wakubwa.
Mchango wa Benki kwa Pato laTaifa.
Ajira:Hadi kufikia tarehe 31 Desemba
2011, Benki ilikuwa imeajiriwafanyakazi 155 Kati yao wanawakewalikuwa 66 (42.6%) na wanaume 66(57.4%). Aidha, Benki iliendeleakuwawezesha kitaaluma ambapowafanyakazi walipatiwa mafunzondani na nje ya nchi.
Mchango wa benki ya wananchiwa dar es salaam kwa pato la taifa
Kwa kipindi cha kuanzia mwaka2002 hadi 2011, benki ililipa kodi yamapato ya Shi. 4.98 bilioni nakukusanya kodi iliyoshikiliwa(withholding tax) ya Sh 1,229 milioni.Pia benki ililipa kodi ya makato yamishahara kwa wafanyakazi (PAYE) yaShi. 1,613.59 milioni, na ushuru waelimu (Skills Development Levy) waShi. 537.07milioni.
Aidha Benki iliwasilisha mafao yawafanyakazi kwenye mifuko ya jamiiyenye thamani ya kiasi cha Sh1,911.43milioni.
Matokeo kwa uchumi na jamiiTathmini iliyofanywa ilionyesha
kuwa mikopo iliyotolewa kati yamwaka 2002 na 2005 ilitumika kwashughuli za kiuchumi zifuatazo;• Asilimia 78 sawa na wateja 46,506
walitumia mikopo kwa ajili yaujenzi na ukarabati wa nyumbapamoja na kununulia viwanja nashughuli zinginezo.
• Asilimia 16 sawa na wateja 9,540walitumia mikopo kwa ajili yakulipia ada katika ngazi mbalimbaliza kielimu.
• Asilimia 6 sawa na wateja 3,577walitumia mikopo kwa ajili yakuanzisha miradi midogo midogona kujiongezea kipato. Kati yahawa wateja 52 walitumia mikopokuchimba visima vya maji kwa ajiliya matumizi ya nyumbani nabiashara.
Tunafarijika kuona kwamba hudumaza mikopo ya DCB iliyotolewa katikakipindi cha miaka kumi, imesaidiakubadili hali za maisha ya Wananchiwa Dar s Salaam na Tanzania kwaUjumla.
Matawi ya BenkiBenki ina jumla ya matawi matano
yaliyopo katika Manispaa za Dar esSalaam zikiwa zimeunganishwa namtandao wa ATM ya UmojaSwitch.➢ Tawi la Arnautoglu, Mnazi Mmoja ➢ Tawi la Magomeni katika jengo la
DCB, Magomeni Mwembechai ➢ Tawi la Temeke linatazamana na
Mahakama ya mwanzo Temekekwenye makutano ya barabara yaEvereth na Temeke.
➢ Tawi la Tabata, eneo la Tabatadampo
➢ Tawi la Ukonga katika Jengo laMamlaka ya Anga, Ukonga-Banana-makutano ya barabara yaKitunda na Nyerere.Benki iko katika hatua za mwisho
kufungua tawi eneo la Chanikamwaka huu katika manispaa ya Ilala.Hivyo Benki itakuwa na matawi sita.
Shuhuda za wateja jinsiwalivyonufaika na DCB
— Benki ya Biashara DCB
imenipatia mkopo wenye masharti
nafuu na hii imeniwezesha kukuza
biashara yangu, nimeweza kupeleka
watoto shule, na hivi sasa nina
mpango wa kuchukua mkopo
mwingine ili niweze kuanzisha
biashara nyingine. DCB ni ‘Mkombozi
wa Kweli’. – Vivian Shirima
— Nikiwa kama mteja wa DCB,
biashara yangu imeweza kukua na
kujulikana na watu wengi zaidi
kutokana na kuchukua mkopo na
kushiriki kwenye maonyesho ya
kibiashara kwa msaada wa DCB. Hii
imeniwezesha kujikwamua kiuchumi
na hata kusomesha watoto.
Naishukuru sana Benki ya Biashara
DCB. – Isack Ibrahim
Mipango/Matarajio ya baadaye• Benki inatakiwa ikuze mtaji wake ili
kuwezesha kupanuka kwa wigo wautoaji wa huduma zake.
• Kwenye Mkutano Mkuu wa 10 wamwaka,wadau walipendekezakukuza mtaji kwa kuuzaa hisa zahaki kwa kiwango cha 1:1 chashilingi 380/- ikiwa ni punguzo laasilimia 40 kutokana na bei ya hisaya sasa ya shilingi 640.
• Zoezi la kuuza hisa za hakilitazinduliwa rasmi na Rais Mstaafuwa Awamu Tatu MheshimiwaBenjamin William Mkapa, Oktoba5, 2012 kwenye viwanja vya MnaziMmoja.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibarikiTanzania, Mungu ibariki Benki yaBiashara DCB.
Kuhamia kwa Makao Makuu ya
Benki eneo la Magomeni
Makao Makuu ya Benki pamoja na
tawi la Magomeni vilihamishwa kutoka
jingo la Arnautoglu na Hoteli ya
Travertine kwenda jengo la DCB lililopo
Magomeni Mwembe Chai Januari 14
mwaka jana. Jengo la DCB lilifunguliwa
rasmi na Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Januari 14, 2011.
Huduma kwa jamiiTangu mwaka 2002 DCB imetoa
zaidi ya shilingi milioni 36 kwa ajilimiradi mbalimbali ya kijamii, ikiwemokuwafariji wananchi wa Mbagala naGongolamboto walioathiriwa namilipuko ya mabomu, kutoa madawatina viti kwa shule za sekondari, kugawa
vyandarua, vitanda na magodoro kwahospitali za manispaa mkoani Dar esSalaam, Hospitali ya Kijeshi ya Lugalo,Unguja na Pemba, ujenzi wa majengoya shulie, usambazaji wa vifaa vyaelimu pamoja na sare kwa wanafunziwalioathiriwa na mafuriko Jijini Dar esSalaam Desemba mwaka 2011.
Jengo la Makao Makuu ya Benki ya Biashara DCB na tawi la Magomeni lililopo
Magomeni Mwembechai, Barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa DCB Bw. Edmund P. Mkwawa (kushoto) akitoa madawati
100 pamoja na viti kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Leonidas Gama. Madawati na viti
hivyo vilikabidhiwa Shule ya Sekondari ya Kivule, Manispaa ya Ilala.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda
(MB), akizindua jengo jipya la Makao Makuu ya Benki ya DCB, Januari 14, 2011.
Miaka Kumi ya Ukombozi. Imara Zaidi, Mbele Daima
4 Benki ya Biashara DCB
OKTOBA 5 2012
DCB-INSERT SWA.qxd:Layout 1 10/3/12 8:25 PM Page 4