omahoito-opas swahili-korjattu
TRANSCRIPT
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
KUPONA KWA NJIA YA NYUMBANI
Kijitabu kuhusu kujitibu mwenyewe
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 2 / 38
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 3 / 38
Katika kijitabu hiki imeelezwa magonjwa na onyo zake pamoja na ajali ambayo mtu anaweza
kujitibu mwenyewe nyumbani. Onyo ikifika inawezekana kupunguza yale kwa njia namna ya
nyumbani na mara nyingi onyo inapungua. Ndani ya kijitabu hiki kuna maelekezo pia kwamba
wakati gani inabidi kuita wafundi wa huduma za afya.
Habari mzuri kuhusu onyo na magonjwa na namna ya kujitibu haya utapata kutoka tovuti
(www.terveyskirjasto.fi) ”maktaba ya afya bora”. Magonwa na onyo zao ni tofauti kwa kila
mtu kwa hivyo kama unakuwa na shaka unaweza kuita fundi wa mfanyakazi wa huduma za
afya kutoka kituo cha afya cha kwako. Wakati wa dharura uite namba 112 moja kwa moja!
Wakati wa saa za kazi kutoka kituo cha afya unapata tiba la haraka na siyo ya haraka. Kutoka
mfanyakazi wa kituo cha afya cha kwako unapata uongozo wa kukadiri uharaka wa kutibu
ugonjwa/ onyo yako. Chaguo la kwanza kuita kituo cha afya cha kwako ni njia ya simu.
Wakati wa jioni na wikendi unaweza kuita na simu hospitali kikuu kwenye namba ya
mapogezi ya shida za haraka kama unahitaji uongozo katika kujitibu mwanzoni katika
ugonjwa au ajali au kama unahitaji uongozo katika kuchagua sehemu kamili wa kuenda
kupata matibabu. Namba ya simu ya hospitali kikuu ya kuchunga kazini ni 0100 84 884.
Kama mgonjwa ni mtoto au mzee uende kutibiwa kwa wepesi!
Kutoka duka la dawa utapata madawa ambayo yanafaa kujitibu we mwenyewe. Wafanyakazi
wa duka la dawa wanaongoza wewe katika kuchagua dawa mzuri. Utumie dawa vile
vilivyoelezwa kwenye kopo la dawa. Wafanyakazi wa duka la dawa wanaweza kuongoza pia
katika namna ya kutumia dawa vizuri na njia ya usalama.
Kijitabu hiki kimeandikwa kwenye mradi wa RAMPE, ”Rautaisia ammattilaisia
perusterveydenhuoltoon”, mradi moja wa eneo la Pohjois-Karjala. Ujazo wa kijitabu hiki
kimechukuliwa kutoka (www.terveysportti.fi na www.terveyskirjasto.fi) ambayo ni habari
cha kuamini na ya siku ya leo kuhusu onyo na magonwa mbali mbali. Ujazo wa kijitabu
kimeandikwa katika ushirikiano na wafanyakazi wa huduma za afya za eneo la Pohjois-
Karjala na wakaazi wa eneo la Pohjois-Karjala wametoa tahakiki yao kuhusu kile.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 4 / 38
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 5 / 38
UJAZO:
MAFUA YA HOMA 7
MTOTO KUKAMATA NA MAFUA YA HOMA 8
VIDONDA 9
VIDUDU KUCHOMA NA KUUMA 10
ONYO ZA NGOZI 11
MAFUA YA HOMA YA WAKATI WA BARIDI 12
MINYOO 14
MAUMIVU YA SIKIO 15
KIFUNGO CHA UCHAFU NDANI YA SIKIO 16
MAUMIVU YA KOO 17
HOMA 18
UVIMBE WA NGOZI KARIBU NA KUCHA 19
SUGU/ SAGAMBA 20
MOLLUSCUM 21
UPELE AMBUKIZI WA MALENGELENGE 22
DAMU KUTOKA PUANI 23
DHARA YA MCHOMO 24
SINUSITIS 25
KUPE/ PAPASI 26
CHAWA YA KICHWA 27
UGONWA WA MACHO 28
MAGONJWA YA JINAA 29
UPELE, UKURUTU 30
CHUNJUA 31
KUFUNGA CHOO 32
MAGONJWA ZA TUMBO 33
KUSIKIA HOI / KUTAPIKA 33
KUHARA / KUENDESHA 34
TEGUKA, TEUKA, SHTUA 35
TETEKUWANGA 36
UVIMBE WA MKOJO KWA WATU WAZIMA 37
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 6 / 38
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 7 / 38
MAFUA YA HOMA= FLUNSSA, NUHAKUUME
Onyo
• Hewa haipiti njia ya pua
• Mafua
• Maumivu ya koo
• Homa na kutingizika kwa sababu ya baridi
• Kikohozi inaanza ndani ya siku mbili na ni kawaida tu kwamba kukohoa inaendelea
hata kama onyo zingine za ugonjwa imetoka
• Mafua ya homa kwa kawaida inachukua zaidi ya juma moja
Kujitunza mwenyewe
• Kumbuka kukunywa ya kutosha!
• Kumbuka kupumzika!
• Kumbuka kunawa mikono mara ya kutosha (ili usiambukize wengine)
• Kohoa au chemua kwenye karatasi ya shashi wa kutumia mara moja tu au kwenye
shati lako!
• Kama hewa haipiti kwenye pua lako unaweza kununua dawa kurahisisha kile kutoka
duka la dawa. Uulize zaidi kutoka pale!
• Dawa ya kikohozi kwa kawaida inasaidia kidogo tu. Madawa ya kikohozi huweza
kusaidia zaidi kama kikohozi inasababisha kupata usingizi. Madawa ya kikohozi
ambayo daktari anaweza kuandika haina nguvu zaidi kuliko zile ambayo wewe
unaweza kununua kutoka duka la dawa njia kawaida.
• Maumivu ya koo unaweza kupunguza kwa njia ya vidonge cha kumumunya ambayo
inatuliza sehemu ya kumeza. Uliza zaidi kutoka duka la dawa!
• Kama sauti haipiti (uvimbe wa zoloto) kuacha kuongea inasaidia. Kunong´oneza
inachokesha ulimi ya kutoa sauti hata zaidi kuliko kuongea na sauti ndogo.
• Kupumua moshi la maji ya digrii selsiasi 40-44 mara kwa mara na kwa muda mfupi
inaweza kupunguza onyo za mafua ya homa. Kama kujitubu inasikia mbaya usiendelee.
• Kwa sababu ya mafua ya homa inabidi mara chache sana kuenda paka kwa daktari.
Dawa za antibiotics=kua vijasumu hayasaidii katika maambukizo ya virusi na
hayatumikwi kutibu mafua ya homa.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• kama afya yako inageuka mbaya
• onyo zinaendelea kwa muda mrefu au kama kujitunza nyumbani haisaidii
• kikohozi inaendelea kwa muda mrefu zaidi kuliko juma 3 na bado inasumbua
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 8 / 38
MTOTO KUKAMATA NA MAFUA YA HOMA= FLUNSSA LAPSELLA
Onyo
• Hewa haipiti njia ya pua
• Mafua
• Maumivu ya koo
• Homa na kutingizika kwa sababu ya baridi
• Kikohozi inaanza ndani ya siku mbili na ni kawaida tu kwamba kukohoa inaendelea
hata kama onyo zingine za ugonjwa imetoka
• Mafua ya homa kwa kawaida inachukua zaidi ya juma moja
Kujitunza mwenyewe
• Utunze kwamba mtoto anayo kinyaji ya kutosha!
• Madawa ya kutuliza uvimbe (Ibuprofeeni) na/au madawa ya maumivu au homa
(parasetamoli) inasaidia kupunguza homa inayotokea kwa sababu ya mafua ya homa
na inasaidia mtu kusikia afadhali kidogo. Kuchukua kiasi cha dawa kutegemea na umri
na uzito wa mtoto! Uliza zaidi kutoka duka la dawa! Usitumie asetosyyli kwa mtoto!
• Kujitunza mafua shashi ni dawa mzuri kushinda yote. Utumie shashi ambayo mtu
anatumia mara moja tu!
• Kama hewa haipiti kwenye pua lako unaweza rahihisha kile kwa njia ya kununua
kutoka duka la dawa dawa ya tone linaloanguka, rasharasha, tone la maji chumvi.
• Kama mtoto anayo mafua ya homa unaweza kupandisha kitanda cha mtoto wa upande
wa kichwa kwa mfano kwa njia kuweka mto au vitabu chini ya miguu ya kitanda.
• Kupumua moshi la maji ya digrii selsiasi 40-44 mara kwa mara na kwa muda mfupi
inaweza kupunguza onyo za mafua ya homa. Kama kujitubu unasikia mbaya
usiendelee.
• Dawa ya kikohozi kwa kawaida inasaidia kidogo tu. Uulize shauri kuhusu nanma ya
kutumia dawa ya kikohozi kutoka duka la dawa.
• Dawa za antbiotics=kiua vijasumu hayasaidii katika maambugizo ya virusi na
haitumikwi katika kutibu mafua ya homa.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• mtoto anayo koma kali au kama anachoka.
• mtoto kupumua inageuka kama ya haraka sana au kama anatweta.
• wakati mtoto anapumua kuna sauti ya juu sana.
• bado inaonekana kama maumivu ni kali hata baadaya kutumia dawa ya kutuliza
maumivu.
• homa inachukua zaidi ya siku tano.
• homa inashuka lakini baadaya siku chache inapanda tena.
• macho ya mtoto inaanza kutoa makamasi
• mafua ya homa inaendelea bado hata baadaya juma mbili
Kitu kimuhimu ni hali ya mtoto. Kama mtoto akionekana kama amechoka sana kupita kiasi
itabidi kuleta yeye kumpimwa kwa mfanyakazi fundi wa huduma za afya!
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 9 / 38
VIDONDA= HAAVAT
Vidonda vya juu juu unaweza kutibu nyumbani.
Onyo
• Vidonda vinaweza kukuwa aina ya lengelenge, mkwaruzano, chaniko, kato au mchomo
Kujitunza mwenyewe
• Unawe mikono
• Safisha kidonda na sehemu ya karibu na maji ya bomba pamoja na sabuni na/au dawa
ya kusafisha. Pia mara moja utoe vitu vilivyoingia kwenye kidonda kama mchanga au
glasi.
• Bonyeza/sukuma kidonda kwa muda wa dakika chache na pamba safi paka damu
kutoka itaisha.
• Ufunike mnasaba juu ya kidonda kwa mfano na kitambaa au mkanda. Plasta inaweza
kufunika sana.
• Badilisha mnasaba wa kidonda angalau mara moja kwa siku au mara nyingi zaidi kama
kidonda kikitoa majimaji. (Utoe mnasaba kwa utaratibu. Mnasaba iliokamata kidonda
unaweza kutoa kwa njia ya kumwaga maji kidogo kwanza na halafu kutoa.)
• Kama kidonda kinatoa majimaji uisafishe mara mbili kwa siku na maji.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• kidonda kinatoa damu sana sana na kutiririka haishi hata kama umebanisha tayari
dakika 20.
• kidonda ni kubwa, imechanika na ni chafu.
• kidonda kimetokea kwa sababu ya kuuma na meno au ni mrefu.
• ndani ya kidonda kuna kitu kwa mfano glasi ambyo unashindwa kutoa.
• unashindwa kusafisha kidonda.
• kidonda kinaanza kuuma, kuwaka au kuchoma.
• kidonda kinaanza kutoa maji au chafu.
• homa inapanda kwa wewe
Ikihitajika ni ya lazima kushona kidonda ndani ya masaa 6 tangu kupata.
Hakikisha kwamba umechukua shindano ya pepopunda/tetanus. Kuongeza nguvu ya dawa ni
kila miaka 10.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 10 / 38
VIDUDU KUCHOMA NA KUUMA = HYÖNTEISTEN PISTOT JA PUREMAT
Karibu vidudu vyote ya Finland siyo ya hatari na vikichoma/uma sehemu itapona peke yake
tu. Nyuki moja ikiuma siyo hatari kwa mtu ni mzima mwenye afya mzuri.
Onyo
• Choma/ kuuma inaweza kuleta upele kwenye ngozi ambayo inauma, inawaka na
inatekenyeka.
Kujitunza mwenyewe
• Safisha sehemu kuchomwa/kuumwa, usifinye au usibaruze
• Kwa uvimbe au maumivu unaweza kujaribu kitambaa baridi/barafu kwenye kopo na
ikihitajika unaweza kuchukua dawa ya maumivu. Usiweke barafu lakini kwenye juu ya
ngozi bila kitambaa!
• Kwa kiwasho unaweza kupaka dawa ya kortison ambayo inapatikana kutoka duka la
dawa.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• kama zamani umepochomwa/umwa umepata onyo za kama ya allergi
• maumivu kali na uvimbe imeongezeka na kupumua imekuwa ngumu
• homa inapanda kwa wewe, unasikia hoi na kama kupoteza fahamu
• kama nyuki imechoma mara nyingi au kama sehemu ya nyuki kuchoma ni kwenye
mdomo, kinya au jiccho na kama unapata onyo kama imeelezwa hapo mbele.
Kutoka duka la dawa unaweza kununua bila karatasi ya daktari (itakuwa vizuri kukuwa naye
nyumbani pia)
• Mafuta ya kupaka ya kortisoni ambayo unaweza kuweka kwenye sehemu dudu
imepouma
• Dawa kwa ajili kama nyoka ya ”kyy” imeuma, kupunguza onyo (unaweza kuchukua
kama msaada wa mwanzo kama mwili inapata onyo za allergii
• Kusaidia kama sehemu inachoma vidonge vya antihistamin
• Dawa ya maumivu
Kama kuvimba inaongezeka kwa haraka na kupumua inageuka ngumu uende haraka
hospitalini!
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 11 / 38
ONYO ZA NGOZI= IHO-OIREET
Kitu inayokausha ngozi ni hali ya hewa ambyo ni kavu, kuoga na maji mara nyingi na
mabadiliko ya hali ya hewa (talvi/kesä). Upele inaweza kuleta na allergy, bakteria, virusi au
maambugizi, kemikali fulani, kitu kurithi au kitu kingine. Kitu inavyofanya mbaya zaidi ni
kutoa jasho, mafuta ya mafuta mengi, msongo wa mambo na manguo ngumu.
Onyo
• Ngozi ni ngumu, mba, vidonda, wekundu au mwasho
• Ngozi ambayo imevimba inapiga wekundu, ni moto na/au inaumiza
• Lengelenge ya maji inaweza kufika kwenye ngozi
Kijitunza mwenyewe
• Ufanye usafi kwamba ngozi ni safi, kwa kawaida uoge na maji vuguvugu na sabuni
nyepesi vile inavyohitajika.
• Uoshe na ukaushe vizuri nafasi katikati ya vidole vya mguu, utumie ulanga au kitambaa
katikati ya vidole kama yanapata moto.
• Mafuta ya kawaida au ya kuongeza unyevu ambayo inapatikana kutoka duka la dawa
mtu anaweza kujitunza ngozi kavu au upele ya kidogo. Yale yanaweza kupunguza pia
mwasho.
• Kwenye ngozi ambayo imesumbuka unaweza kutumia kwa muda wa juma mbili
mafuta ya kortisoni ambayo inapatikana kutoka duka la dawa.
• Usibaruze! Kata kucha ikuwe mfupi au tumia glavu ya pamba ili usibaruze.
• Jaribu kwamba usitumie mambo yanavyosumbua ngozi (kwa mfano sabuni, upinda
ulioloana au kutoa jasho).
• Weka mafuta kwenye friji na wakati kupaka inaleta baridi kwenye ngozi.
• Vaa chupi ambayo ni kubwa kutosha na ambayo ni ya pamba.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• sehemu ya ngozi wapi kuna upele ni kubwa, imevimba au inatoa maji.
• kuwasha ni mbaya sana hata kama umejaribu kujitunza mwenyewe.
• katika upele kuna onyo zingine pia kwa mfano homa kujisikia mbaya.
• upele haiponi hata kama umejaribu kujitunza nyumbani.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 12 / 38
MAFUA YA HOMA YA WAKATI WA BARIDI= KAUSI-INFLUENSSA
Mafua ya homa ”influenssa” ni uvimbe ya nafasi wa kupumua ambayo imefika ghafla na
imesababisha na virusi ya mafua ya homa. Wakati wa ugonwja kupulika inatokea kila mwaka
wakati wa baridi. Watu wakubwa ambayo ni wazima wanapona kawaida kwa njia ya
kupumzika kitandani kwa muda wa juma 1-2. Wazee na watoto wadogo na watu wenye
magonjwa fulani mafua ya homa inaweza kuleta magonjwa mengine (uvimbe ya sikio,
nimonia=homa ya pafu) na kutunziwa hospitalini. Yule alioambukizwa na mafua ya homa
anaweza kuambukiza wenzake hata kabla onyo ya ugonjwa kufika na baadaya siku 3-7
baadaya onyo kuisha. Kipindi cha ugonjwa kuota paka onyo wa ugonjwa kuanza inachukua
kawaida siku 2-3.
Onyo
• Homa kali ya ghafla
• Maumivu ya koo, kikohozi na mafua
• Onyo mengine ni maumivu ya miguu/mikono, maumivu ya kichwa, kutetemeka kwa
sababu ya baridi na mchoko, mara chache pia kutapika na kuhara. Watoto wanaweza
kukuwa na mauvmvu ya tumbo pia.
Kujitunza mwenyewe
• Kama onyo ni ya aina ya kidogo na kama wewe si mtu kuugua sana sana siyo cha
lazima mganga apime wewe wala mtutu atumie dawa ya virusi. Wakati huo unaweza
kuugua pale nyumbani pia. Epuka kugusa watu karibu na ubaki nyumbani paka onyo
vinatoka.
• Kupumzika na kutumia vinyaji vya kutosha ni muhimu.
• Homa na maumivu unaweza kupunguza kwa njia ya kutumia madawa ambyo
inapatikana kutoka duka la dawa. Usome namna ya kujitunza mafua ya homa!
Kama wewe unayo ugonjwa fulani ya kila wakati au kama wewe ni mtu kuugua sana sana
uende tu kutunziwa kwa nyepesi kama onyo inaanza kusumbua au kama ikichukua muda
mrefu!
Onyo kwa mtoto ambayo mara moja inahitaji matunzo
• Mtoto haamki au hapokei kitu
• Shida za kupumua
• Rangi ya ngozi ni buluu au kijivu
• Mtoto hakunywi ya kutosha
• Mtoto anatapika kwa nguvu na kwa dahari
• Mtoto amesumbuka paka hataki ushikilie yeye kwenye makwapa
• Onyo inayofanana na mafua ya homa inatoka lakini inarudia tena
Matunzo inahitajika kwa haraka kama mtu mzima anayo onyo za
• Shida ya kupumua
• Maumivu au mkazo kifuani
• Kisungusungu ya ghafla au mauzauza
• Kutapika kwa nguvu na saa yote
• Onyo inayofanana na mafua ya homa inatoka lakini inarudi tena
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 13 / 38
Hatari ya kuambukiza mtu huweza kupunguza kwa vitendo vya
• Funika mdomo na pua lako na kitambaa la kutumia LIINAmara moja tu wakati una
kohoa au chemua. Baadaya ya kutumia kile utupe kwenye kopo ya takataka. Kama
wewe huna karatasi ya shashi kohoa na chemua kwenye upande la shati lako, hapana
kwenye mikono.
• Unawe kila mara unapoingia ndani ya nyumba mikono na maji na sabuni au dawa wapi
kuna alkoholi ambayo ni kwa ajili ya kusafisha mikono. Nawa pia kabla ya kukula
chakula hasa baadaya ya kukohoa au chemua. Epuka kugusa macho, pua au mdomo
wako kama hujaosha mikono.
CHANJO ZA MAFUA YA HOMA ”influenssa” NI NJIA MUHIMU KUSHINDA YOTE KUJIKINGA
HOMA YA MAFUA!
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 14 / 38
MINYOO= KIHOMATO (engl. pinworm)
Minyoo ni kawaida kwa mtoto mwenye umri wa miaka 3-10 lakini inaweza kupatikana pia
kwa watoto wakubwa na watu wazima. Minyoo ni nyeupe kama 1 milimita mnene na 1
sentimita kwa urefu. Kuambukiza ni kutoka mayai ya minyoo ambayo kwa njia ya kutumia
mikono michafu inapata kuingia mdomoni. Kuambukizwa inawezekana pia kwa njia: kutoka
ngozi ya mkundu kwenye mikono- kutoka mikono juu ya meza kwa mfano – na kutoka pale
kwenye mdomo.
Onyo
• Kiwasho kwenye sehemu za mkundu hasa wakati wa usiku
• Kuona minyoo kwenye haja kubwa
• Pia inawezekana kupoteza hamu ya chakula au kukasirika
• Kubaruza inaweza kuleta tena bakteri ya ngozi
Kujitunza mwenyewe
• Minyoo itafukuzwa kwa njia ya dawa yake mara mbili. Hapo katikati kuna mapumziko
ya juma tatu (dawa ya minyoo inapatikana kutoka duka la dawa). Uliza habari zaidi
kutoka duka la dawa!
• Kesho yake baadaya ya kuchukua dawa inabidi kuosha nguo yote ya kitanda, nguo za
kuvaa wakati kulala, michezo wa kutumia wakati wa usiku na kuvuta vumbi yote na
mashine yake. Mayai ya minyoo inakufa kwenye kodoro au blanketi kwa njia ya
kuyaweka sehemu ya moto kama sauna au wakati wa badiri nje kama baridi ni kali.
• ONGEZA USAFI WA MIKONO NA USAFI WAKATI KUENDA CHOONI!
• Kukata kucha yote mfupi
• Dawa itakuwa vizuri kumpa kwa familia mzima mara moja, hata kwa yule ambayo
hana onyo.
• Kama minyoo inaokotwa kutoka 1/3 ya kikundi cha watoto kwenye matunzo yao ya
mchana itakuwa vizuri kutunza wote. Kuacha kuenda kwenye matunzo ya mchana si
lazima kama mtoto anayo minyoo.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• onyo bado inaendelea hata baadaya ya kutumia dawa mara mbili.
• kuna upele kwenye sehemu ya mkundu.
KUMBUKA KUJULISHA MATUNZO YA MCHANA AU SHULE!
Kwa watoto mwenye umri wa kuingia shuleni itabidi kuita nesi wa shule!
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 15 / 38
MAUMIVU YA SIKIO= KORVAKIPU
Sababu cha kawaida ni uvimbe wa sikio ambayo ni ya kawaida kwa watoto mwenye umri wa
kuingia shuleni. Kwa kawaida uvimbe imesababishwa na virusi au bakteria.
Onyo ambayo inafanana uvimbe wa sikio
• Maumivu, maumivu kwenye sikio
• Mafua, kikohozi, homa
• Upungufu wa uwezo kusikia
• Sikio inaanza kutoa majimaji
• Shida ya kutotulia wakati wa usiku
• Kukasirika kwa urahisi
• Kupoteza hamu ya chakula
• Kama mafua ya homa inaendelea zaidi ya juma mbili
• Macho kutoa makamasi inaendelea hata kama umetibiwa
Kujitunza mwenyewe
• Kama maumivu inafika wakati wa usiku na siyo ya kali sana unaweza kusubiri paka
asubuhi na kama si mbaya unaweza kusubiri paka siku ya kazi.
• Msaada ya mwanzo kwa maumivu ni kutumia dawa ya kutuliza maumivu
(ibuprofeeni). Kiasi cha dawa kutegemea na umri na uzito wa mtoto!
• Majimaji ya kupooza maumivu mtu anaweza kutumia kama sikio haitoi maji.
• Kupandisha upande moja wa kitanda inawezekana kupandisha na mto au na vitabu
kwa njia ya kuweka yale chini ya miguu ya kitanda.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• maumivu ya sikio haishi hata baadaya ya kutumia madawa ya kutuliza. maumivu kwa
siku 1-2.
• eneo la sikio au sehemu wa sikio ni nyekundu.
• sikio inatoa majimaji (maji/damu).
• onyo haishi hata baadaya ya kujitunza nyumbani.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 16 / 38
KIFUNGO CHA UCHAFU NDANI YA SIKIO= KORVAKÄYTÄVÄN VAHATULPPA
Usaha ya sikio inatunza njia ndani ya sikio kwa njia ya kujenga mlango juu yake. Hii usaha
inatokea wakati usaha ziko nyinki na wakati inakauka kwa haraka. Wakati kusugua sikio
inawezekana mtutu anasukuma usaha zaidi ndani ya sikio na inafunga kabisa. Kama maji
ikipata kuingia ndani ya sikio inawezekana kwamba usaha inakua na inafunga sikio.
Onyo
• Upungufu wa kusikia
• Sauti ya upepo kwenye sikio
• Maumivu
• Kisungusungu
• Onyo ya mkazo kwenye sikio
Kujitunza mwenyewe na kuzuia usaha isifike
• Kama inajulikana kabisa kwamba usaha imefunga sikio wakati huo kujitunza
inawezekana kwa njia kununua kutoka duka la dawa majimaji ambayo inatoa uchafu.
• Inawezekana pia kulainisha chafu kwa mfano kwa njia ya kutumia siku chache mafuta
ya ngozi. Uliza habari zaidi kutoka duka la dawa!
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• sikio inafungana kabisa kwa haraka na kuna maumivu kwenye sikio.
• baadaya sikio kufungana kuna kisungusungu pia.
• sikio inatoa maji.
• onyo ni bado mbaya hata baadaya ya kujitunza nyumbani.
Kusafisha sikio kwenye kituo cha afya ni kazi ambayo wafundi wanafanya ikihitajika kama
kujitunza mwenyewe kwa sababu fulani haikuwezekana.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 17 / 38
MAUMIVU YA KOO= KURKKUKIPU
Sababu kwa maumivu ya koo kwa kawaida ni uvimbe wa koo au shida ya hewa kupita vizuri
puani na hii inafanya kwamba koo inakauka. Kitu chochote ambayo inasumbua koo inaweza
kuleta maumivu. Kwa kawaida ni sigara lakini pia fumbi au kemilali. Uvimbe wa koo
inawezekana kusababishwa na bakteria au virusi pia.
Onyo
• Shida ya kumeza
• Koo ambayo imekauka na ni kama mchanga
• Rangi nyekundu au kutu juu ya sehemu ya kumeza
• Maumivu inafika paka kwenye masikio kutoka koo bila uvimbe kukuwa sikioni
Kujitunza mwenyewe
• Maumivu ya koo ambayo imesababisha na virusi kwa kawaida ni onyo ya kwanza kwa
mafua ya homa na itapona mwenyewe tu.
• Kupunguza maumivu mtu anaweza kwa njia ya madawa ya maumivu (ibuprofeeni)
na/au kwa njia ya dawa ya maumivu/homa (parasetamol).
• Sehemu ya kumeza mtu anaweza kutuliza kwa njia ya vidonge vya kumeza/dawa
ambayo inapatikana kutoka duka la dawa.
• Kunywa ya kutosha!
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• maumivu ya koo imeendelea kwa muda wa juma 1-2 bila kujua kwa nini na bila kupata
homa.
• maumivu kali ya koo inaleta homa kali, ni vizuri kuenda kutunziwa ndani ya siku moja
• mtu wa hapo karibu ameokotwa na steptokokkiangiina= streptococcus, sehemu ya
kumeza ni nyekundu na unayo homa.
• onyo haishi hata kama umejitunza mwenyewe nyumbani.
Kama kwa sababu ya maumivu ya koo sauti inaanza kupotea au kuna shida kupumua, kumeza
haiwezekani au kufungua kinywa vizuri ni ngumu itakuwa muhimu kuenda kutunziwa kwa
haraka!
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 18 / 38
HOMA= KUUME
Homa inamaanisha kwamba ujoto ya mwili imepanda juu kuliko ya kawaida. Magonjwa mengi
yanasababisha homa. Sababu ya kawaida ni mafua ya homa ambayo virusi imeleta. Mwanzoni
yake homa inaweza kupanda juu sana na kuchukua siku nyingi. Homa la nyuzi 40 selsiasi kwa
kawaida si hatari lakini inaleta mchoko, mtu anasikia hoi na maji nyingi inapotea kutoka
mwili. Homa kupanda kwa haraka inaletwa na magonjwa mengine pia ya uvimbe. Kwenye
ugonjwa wa tumbo pia kuna mara nyingi homa, kutapika na kuhara. Kwenye uvimbe wa
sehemu fulani (kwa mfano jipu au waridi ya ngozi) kuna kawaida homa pia kuongeza na onyo
za uvimbe kama kusikia moto au kitu inawasha. Homa inaweza kupatikana kwenye ambugizo
nyingine pia kuliko ya virusi au ya bakteria.
Onyo
• Kutingizika kwa sababu ya baridi, maumivu ya misuli
• Maumivu ya kichwa
• Uchovu
Kujitunza mwenyewe
• Kunywa vinyaji vingi!
• Usifanye mazoezi
• Pumzika, tazama hali yako
• Punguza homa kwa njia ya kuongeza hali ya hewa baridi kwenye chumba, kuvaa nguo
nyepesi au kwa njia ya kutumia madawa ya homa na ya uvimbe vile imepoelezwa.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• hali ya afya inageuka mbaya kwa ghafla
• bali na homa unapata maumivu ya shingo, unasikia hoi na unatapika.
• bali na homa kuna uvimbe wa nyongo moja au zaidi.
• homa ikileta maumivu ya tumbo la chini/ maumivu ya mgongo la chini au onyo za
ugonjwa wa mkojo.
• homa tayari imechukua siku 3-4 na kweli unajua mafua ya homa ya kawaida
haikusababisha kile.
• homa inapanda tena baadaya ya kutoka kwa siku chache.
• ngozi ya mwili ni nyekundu.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 19 / 38
UVIMBE WA NGOZI KARIBU NA KUCHA= KYNSIVALLINTULEHDUS (engl. nagelinflammation)
Kwenye uvimbe wa kucha nyama karibu na kucha inavimba na inaachanana na kucha. Kukata
kucha mfupi sana inaweza kusababisha hii kwamba kucha inaingia ndani ya ngozi. Uvimbe wa
kucha inaweza kukuwa pembeni wa kucha au karibu na nevu. Kwenye vidole vya miguu
kucha ilioingia ndani ya ngozi inaweza kusababisha na viatu ambayo vinabana au uzito juu ya
vidole vya miguu.
Onyo
• Maumivu au kusikia moto kwenye vidole ya mikono au ya miguu
• Kwenye sehemu karibu na kucna na ngozi mtu anasikia inawaka
• Kuna majimaji inayotoka kutoka ndani ya ngozi ya kucha
• Kwenye uvimbe wa kucha ya muda mrefu ngozi inavimba na inatoka kabisa. Mabonde
inaonekana kwenye kucha na pembeni ya kucha mtu anasikia kama kitu kinapigapiga.
Kujitunza mwenyewe
• Kukata kucha aina ya mzuri, kujitunza usafi
• Kuacha kukamata na kuvuta ngozi karibu na kucha.
• Usiondoe ngozi ya kucha.
• Kwa ajili ya maumivu ikihitajika unaweza kutumia dawa ya uvimbe au wadawa ya
maumivu na ya homa.
• Kitu kimuhimu katika kujitubu mwenyewe uvimbe wa kucha ni kujikinga kutoka
majimaji
o Ikijitajika uvae glavu/magaa ya plastiki juu ya glavu ya chini.
o Ogesha/ safisha na maji vidole vya mikono/miguu mara moja kwa siku.
o Wakati wa jioni upake mafuta ya antiseptic inayoua vidudu sehemu za
kucha paka uvimbe inatulia.
• Njia mzuri wa kufanya ili kucha isikue ndani ya kidole ni kwamba unavaa viatu kubwa
ya kutosha.
• Usiweke viatu ndani ya sehemu ya majimaji kwa muda mrefu (kwa mfano ndani ya
buti ya plastiki ya viatu viliyo loana).
• Ujitunze vizuri miguu na mikono wakati hali ya hewa ni baridi.
Ikihitajika unaweza kuita nesi wa utunzaji wa miguu!
Uite mapogezi au kituo cha afya cha kwako kama
• onyo bado inaendelea hata kama umejaribu kujitunza nyumbani.
• ngozi karibu na kucha ni nyekundu, inaumwa na inatoa majimaji chini ya ngozi.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 20 / 38
SUGU/ SAGAMBA= KÄNSÄ, angalia pia chunjua (engl. callus)
Sugu ni kitu kigumu ambayo ngozi inajenga kwa kujilinga kutoka msuguo au mkazo.
Onyo
• Mwanzoni sehemu ya sugu mtu anasikia kama mnene. Wakati inakua ndani mtu
anasikia mkazo na sugu inaanza kuumiza.
Kujitunza mwenyewe
• Kutoa sugu inawezekana ndani ya juma chache kwa njia ya kipandiko ya sugu
(salisylilaastari). Kutoka plasta mtu anakata na mkasi kipande cha sugu na anabandika
kile juu ya sugu na utepe. Plasta ya sugu itabadilishwa kila siku 2 paka sugu itatoka na
”mizizi” yake pia. Tiba ya plasta ya sugu itafanya kazi yake kwa kawaida ndani ya juma
2-4.
• Kuharakisha sugu kupona inawezekana kwa njia ya kufupisha sugu kila siku mbili kwa
njia ya kuranda. Randa inapatikana kutoka duka la dawa. Sugu itapunguzwa bila
kuharibu ngozi lakini!
• Kutuliza sugu isikue tena ni njia ya kubadilisha viatu mzuri zaidi na kwa njia ya
kuweka kitambaa gandamizo ya viringo juu ya sugu. Pia kutumia kitu ”pohjallinen”
inavyoingishwa ndani ya kiatu inaweza kutuliza hali pia.
• Tiba la kuweka baridi au dawa ya chunjua haisaidii kwa sugu.
• Itakuwa vizuri kuenda kwa nesi wa afya ya miguu kama sugu inasumbua wakati
kutembea au kama unashindwa kuondoa sugu mwenyewe. Nesi wa miguu atapunguza
sugu na kisu.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• onyo haitulizi hata kama umejaribu kujitunza nyumbani na hata kama umeenda kwa
nezi wa afya ya miguu.
• kwenye sugu kuna onyo za uvimbe; maumivu, moto na rangi nyekundu.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 21 / 38
MOLLUSCUM= MOLLUSKA/ ONTELOSYYLÄ, angalia pia shunjua na sugu
Molluscum ni virusi ilioleta upele kwa watoto, mara chache kwa watu wakubwa. Molluscum
ni aina ya kawaida sana kwa watoto wa ”atooppi” wenye ngozi kukauka kwa urahisi. Muda wa
kuota inabadilika kuanzia juma moja paka mwezi. Molluscuma kwa kawaida inaendelea miezi
chache paka miaka na vinapotea bila kuacha alama. Hakuna haja watoto wasishirikiane kwa
sababu ya virusi ambayo siyo ya hatari. Kukataa watoto wasiende kwenye matunzo ya
mchana siyo lazima. Molluscum kwa kawaida inapona muda ikipita tu bila tiba lolote la aina
kubwa.
Onyo
• Molluscum inayo urefu wa millimeta mbili na kipele mwenye rangi ya ngozi. Katikati
yake unaweza kuona tundu ngogo kama ”kitovu”
• Mara moja moja molluscum viko chache tu. Kwa kawaida ziko kumi au mia
• Sehemu kwa molluscum kwa kawaida kupatikana ni kwenye sehemu wapi ngozi ni
nyepesi kwa mfano paja au kikwapa
• Kutambua molluscum moja tu inaweza kukuwa ngumu
Kujitunza mwenyewe
• Epuka kusugua.
• Usiparuze Molluscum.
• Kwa njia ya kupaka mafuta ya kawaida na/au mafuta wapi kuna hydrokortison ndani
yake inaweza kutuliza hali ya mgojwa.
• Usafi wa mikono ni muhimu!
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• molluscum imekua kubwa sana na kama viko vingi.
• sehemu ya molluscum ikiwaka, rangi ni nyekundu na inatoa majimaji.
• onyo haitulizi hata kama umejaribu kujitunza nyumbani.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 22 / 38
UPELE AMBUKIZI WA MALENGELENGE= MÄRKÄRUPI (engl. impetigo)
Impetigo ni uvimbe wa ngozi iliosababisha na stafylokokki na/au bakteria ya streptokokki.
Impetigo inaambukizwa nyepesi sana kutoka mtoto moja kwa mgingine tena mara chache
kwa mtu mzima. Impetigo inaambukizwa kwa kawaida njia ya kugusa mikononi.
Onyo
• Kwa kawaida sehemu ya mdomo na ndani ya pua lengelenge linafika na linawahi
kupasuka hata kabla ya kuwahi kuiona
• Sehemu ya chini ya lengelenge inatoa majimaji ambayo inakauka kukuwa rangi njano
na kugeuka kama kovu. Malengelenge na kovu baadaye siku chache tu inaanza kuota
sehemu zingine pia
• Tezi za mtu yanaweza kuanza kuvimba na kuleta maumivu
• Shida za ngozi ya sehemu kubwa inaweza kutokea na homa pia inaweza kupanda
Kujitunza mwenyewe
• Kumbuka usafi wa kunawa mikono
• Mara mbili kwa siku ogesha sehemu za malengelenge na maji na uoshe na sabuni
halafu ukaushe.
• Safisha ngozi na dawa ya ”antiseptic”= aina ya kemikali inayozuia kukua kwa bakteria
kwenye jeraha mara mbili kwa siku kwa kama muda wa juma moja.
• Kama ambukizo inarudia sehemu inayoleta ambukizo tena ni kawaida kwenye pua
lako au kwenye pua la mtu wa familia. Nyama wa familia anaweza kukuwa na
ambukizo pia hasa kwa mbwa mwenye sikio ambyo hiaisimami. Wakati huo itakuwa
vizuri kuweka dawa la mafuta ya kuua bakteria kwenye mapua la familia mzima na ya
mbwa kwa muda wa siku tano kila siku. Uliza zaidi kutoka duka la dawa!
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• kama onyo za impetigo haiishi ndani ya juma moja na umejitibu nyumbani.
• eneo la impetigo ni kubwa na ineanendelea kukua hata kama umejitibu.
• mtoto aliozaliwa sasa hivi anakamatwa na impetigo.
• onyo za ngozi inaleta homa pia.
• impetigo ni kwenye sehemu za uzo, ndevu au juu ya kichwa.
KUMBUKA KUJULISHA MATUNZO YA MCHANA NA SHULE!
Kama mtoto ni umri wa kuenda shuleni nesi wa shule ataitwa!
Hakuna hatari ya kuambukiza baadaya kuanza kujitubu kwa muda wa siku 2 au baadaya ya
kuanza kutumia dawa ya antibiotic (=kiua vijasumu).
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 23 / 38
DAMU KUTOKA PUANI= NENÄVERENVUOTO
Tiririko ya damu kutoka pua inaweza kuanza mwenyewe au kitu kwa mfano mafua, kupenga
kwa nguvu au kusugua pua, jeraha au shinikizo la damu ya juu inaweza kusababisha kile.
Onyo
• Damu kutoka puani inaweza kukuwa aina ya kidogo au ya sana
Kujitunza mwenyewe
• Penga paka damu nzito inaisha puani.
• Finya pua bila kumaliza kwa muda wa dakika 15-30.
• Keti kama unaketi kwa nusu, kama umeinama mbele
• Weka kitambaa baridi au mfuko wa barafu juu ya pua na kwenye shingo (hapana moja
kwa moja ikutane na ngozi)
• Tia vipande vya barafu mdomoni ambayo inatuliza pia sehemu za pua na ya kumeza.
• Jaribu kwamba kwa siku mbili usisugue pua, usifanye mazoezi kali, usitumie chakula
au vinyaji moto, usioge na maji moto, sauna na usitumie kilevi.
• Kukinga shida unaweza kuongeza maji kwenye utando telezi kwa njia ya kupaka
mafuta ya ufuta. Mafuta unapata kudoka duka la dawa. Unaweza kutumia dawa la pua
wapi kuna vitamin-A au ukungu wa dawa la pua. Uliza habari zaidi kutoka duka la
dawa!
• Kutoka duka la dawa unaweza kununua kizibo wa kutia puani ambayo inasimamisha
damu.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• damu kutoka puani haishi ndani ya masaa 2-3.
• damu inatoka puani mara kwa mara.
• damu kutoka puani ni ya nyingi.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 24 / 38
DHARA YA MCHOMO= PALOVAMMAT
Mchomo ya digrii ya kwanza ni ya juujuu wapi ngozi ni nyekundu na inauma. Kuna maumivu
aina ya kuwasha lakini hakuna vipele. Jua au maji moto inaweza kusababisha kile. Dhara
ndogo ya mchomo mtu anaweza kutunza nyunbani.
Mchomo ya digrii ya pili. Ile inaweza kusababisha maji moto, mvuke wa maji au mafuta.
Sehemu ya dhara inawaka, ni nyekundu, inauma sana na kuna vipele.
Kujitunza mwenyewe
• Tuliza sehemu ya mchomo haraka na maji baridi kwa muda wa dakika 15-30. Wakati
huo sehemu ya mchomo haiungui zaidi na maumivu inatulia.
• Toa vitu kama pete mapema tu kutoka vidole kabla uvimbe kufika na kufanya kwamba
itakua ngumu kutoa baadaye.
• Usipasue lengelenge.
• Madawa ya homa na ya maumivu (parasetamol, ibuprofeeni) yanasaidia kwa
maumivu.
• Paka mafuta juu ya ngozi ili kipandiko isikamate ngozi. Juu ya bendeji ya kwanza
uweke mafungo mengi tu ambayo utabadilisha kila siku 2-3.
• Usisugue wala usisogeze sehemy ya dhara ya mchomo.
• Toa kipandiko kwa uangalifu. Kama bendeji imekamata umwage maji kidogo kabla ya
kutoa kile.
• Safisha kidonda na maji uayoweza kukunywa na uifunike vizuri. Wakati inapona
unaweza kupaka mafuta ya kawaida.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• dhara ya mchomo ikikuwa kubwa kuliko mkono au kuna lengelenge au shida zingine.
• dhara ya mchomo ikikuwa kwenye uzo, utupu au sehemu vya viungo.
• dhara ya mchomo imevimba ambayo ni kwamba sehemu inaumwa zaidi, inachoma,
inanuka au homa inapanda kwa wewe.
• dhara ya mchomo haiponi na tayari juma 2 imepita.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 25 / 38
SINUSITIS= POSKIONTELOTULEHDUS (engl. maxillary sinusitis)
Sinus= wazi katika mfupa (hasa ndani ya fuvu) unaowasiliana na mianzi ya pua. sinusitis
uvimbe katika uwazi huo.
Onyo
• Makamasi kutoka sana na majimaji kuingia kwenye koo
• Maumivu kali na uzito kwenye sehemu za shavu hasa zaidi wakati kuinama. Haya ni
onyo za kawaida lakini siyo ya lazima
• Maumivu ya meno ya upande wa juu au kusikia mkazo kwenye macho huwezekana pia
• Kwenye mafua ya homa ya kawaida kuna maumivu na kusikia uzito sehemu za shavu
Dawa ya antibiotics siyo ya kawaida kutibu onyo kama haya lakini kutegemea na onyo
kujitubu mwenyewe. Onyo ndogo kawaida inaisha ndani ya siku chache.
Kujitunza mwenyewe
• Dawa ya kusaidia utando telezi kufupisha na dawa la ”antihistamin” yanaweza kutuliza
onyo.
• Kusafisha pua na ”birika la pua =kifaru”.
• Kukunywa maji mengi.
• Dawa la kutuliza homa na uvimbe (parasetamol, iburofein) na kutumia vile
ilivyoelezwa
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• maumivu ni ya kali.
• kukuwa na homa inaendelea hata baadaya ya siku 5 kupita.
• afya kwa ujumla inageuka mbaya.
• onyo hayatulizi hata kama unajaribu kujitunza nyumbani.
Sinusitis ambayo inahijati itunziwe inakuja pole pole baadaya ya juma moja mtu kuugua na
mafua ya homa. Maumivu ya kidogo ya shavu ilioendelea kwa juma moja haihitaji matunzo ya
mganga. Tena haihitajiki kutunzwa na dawa ya antibiotics= kiua vijasumu. Karibu sinusitis
yote inapona bila dawa la antibiotics.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 26 / 38
KUPE/ PAPASI= PUNKKI (engl. mite)
Wakati kutembea mahali wapi kuna majani mengi au msituni uvae buti na suruali. Soksi
uweke juu ya suruali. Vaa nguo nyeupe kwa sababu wakati huo kupe inaonekana vizuri.
Sukasuka nguo kabla ya kuingia ndani ya nyumba. Kagua ngozi na uondoe kupe iliokamata.
Kupe inaweza kufika kutoka ngozi ya manyoa ya nyama pia.
Kujitunza mwenyewe
• Ondoa kupe kwa njia ya kukamata na vidole karibu na ngozi na uivute. Jaribu kwamba
usifinye mwili wa upende wa nyuma ya kupe. Kutoka duka la dawa inapatikana pia
koleo cha kuondoa kupe vizuri.
• Usafishe na dawa ya antiseptiki (aina ya kemikali inayozuia kukua kwa bakteria
kwenye jeraha) sehemu ya kupe ilipouma.
• Kwa uvimbe na maumivu unaweza kujaribu kitambaa baridi au ikihitajika dawa la
maumivu.
• Uendelee kutazama onyo inazofika kwenye ngozi. Kama sehemu ya kuuma ni
nyekundu na imefika siku hiyo hiyo itapona tu haraka.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• kwenye sehemu kupe imeuma alama ya kubwa zaidi kuliko 5cm inafika ambayo
inaendelea kukua inayofanana kama mpira ya upele.
• baadaya ya kupe kuuma homa inapanda, mtu anasikia hoi, kuna maumivu ya kichwa
au onyo za viungo au kupooza inakuja.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 27 / 38
CHAWA YA KICHWA= PÄÄTÄIT (engl. head louse)
Kuona chawa ya kichwa mara chache tu inawezekana kuona na macho. Chanuo wapi chuma
yake viko karibu karibu inasaidia kuyaokota. Wakati huo mtu anachanua nyele yake juu ya
karatasi nyeupe. Kutoka karataso kuona chawa ni rahisi. Pia kuona mayai yake mwenye rangi
nyeupe inasaidia kupata habari. Chanua la chawa inapatikana kutoka duka la dawa.
Onyo
• Chawa ya kichwa inauma kwenye ngozi ya nywele na sehemu ya kuuma inawasha
• Wakati kubaruza ambukizo wa bakteria, ambukizi wa malengelenge, inafika kwa
urahisi
Kujitunza mwenyewe
• Sabuni ya nywele kwa chawa
o Wakati kuosha na shampuu ya chawa uache dawa ifanye kazi yake kwa
muda wa dakika kumi.
o Shughulikia na kazi tena baadaya ya juma moja.
o Permetriini inafaa kutunza watoto mwenye umri wa mwaka nusu.
o Malationi inafaa kwa mtoto mwenye umri wa miaka mbili.
o Kwa kutibu inawezekana kutumia majimaji ya melationi ambayo mtu
anasugua kwenye nywele na halafu anaosha na sabuni ya kawaida dawa
itoke baadaya ya masaa 12 kupita. Kizuizi cha kutumia ni yale yale kama
kwa sabuni ya nywele ya malationi
• Kioevu
o Unasugua majimaji kwenye nywele na ngozi na unaacha hapo dawa
ifanye kazi yake vile vilivyo elezwa kwenye paketi ya dawa. Halafu
baadaye unaosha na sabuni ya nywele ya kawaida.
o Rudilia na kazi ikihitajika baadaya ya siku 7-10.
o Kazi ya kioevu inatokea kutoka changanyiko ya silikoni ambayo inaingia
sehemu ya chawa kupumua na yanakufa.
o Changanyiko ya silikoni yanafaa kwa kila mtu wa umri tofauti hata pia
wakati kukuwa na mimba au kunyonesha mtoto.
• Kuondoa mayai ya chawa chanuo wapi chuma yake viko karibu karibu inasaidia.
• Kofia na nguo za kitanda vitaoshwa ma maji mtoto 60 digrii selsiasi na pia sabuni ya
kuosha nguo.
• Nguo na vitu ambayo haiwezekani kuosha vitaingishwa kwenye mfuko wa plastiki
wapi hewa haingii kwa muda wa juma mbili. Chawa yanakufa ndani ya kipindi huo.
Chaguo nyingine ni kuweka nguo ambayo haiyawezekani kufua kwenye friji kwa siku
moja.
• Hata kama chawa ya watu haipendi kukuwa karibu na wanyama itakuwa vizuri lakini
kuosha mbwa pia na sabuni ya chawa.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• kwenye ngozi ya kicwa upele inaanza kuonekana.
• onyo haitulizi hata kama umejaribu kujitunza mwenyewe nyumbani
KUMBUKA KUJULISHA MATUNZO YA MCHANA NA SHULE!
Watoto mwenye umri wa kuenda shuleni wataitwa nesi wa shule!
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 28 / 38
UGONWA WA MACHO= SILMÄTULEHDUS (engl. opthahlmia)
Uvimbe wa macho inaweza kutokea kutoka sababu mbali mbali. Wakati kukuwa na mafua ya
homa ugonwa wa macho (kukuwa nyekundu, kutoa makamasi, kuwasha) inaweza kutulia
mwenyewe ndani ya siku mbili mafua ikipona na katika hali kama huo kwa kawaida kufika
kwa mganga haihitajiki.
Onyo
• Jicho ni nyekundu na/au inawasha
• Dutu ambayo ni ngumu, inavutika na ambayo ni majimaji
• Macho kufungana kabisa
• Jicho kutoa majimaji
Kujitunza mwenyewe
• Ugonjwa wa macho ya aina ndogo inaweza kutulia ndani ya siku chache hata bila dawa
la antibiotics= kiua vijasumu
• Uondoe dutu iliotoka kutoka macho
o Kwa kusafisha utumie maji uliochemka na uliopoa pamoja na shashi au
pamba
o Baadaya ya kunawa mikono kwa makini jicho itasafisha kwa upande
moja kufika puani kwa njia ya kusugua. Kusugua kwa kila mara chukua
sashi/pamba mpya
• Kusafisha kwa makini itakuwa vizuri kufanya mara tatu kwa siku na ikihitajija mara
nyingi zaidi.
• Kuondoa dutu inazuia bakteria isikue na isiambukize tena.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• kama unasikia maumivu kwenye jicho au mwanga inasumbua.
• sehemu za jicho imevimba.
• uwezo wa kuona inapungua.
• uvimbe haiponi ndani ya siku chache.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 29 / 38
MAGONJWA YA JINAA= SUKUPUOLITAUDIT (engl. sexually transmitted disease (STD)
Magojwa ya jinaa yanaambukizwa kwa kawaida njia ya kujamiiana. Magojwa ya jinaa ni kwa
mfano:
o klamidia
o condyloma
o kaswende, sekeneko
o kisonono (gonorrea)
o herpes ya utupu
o VVU, Ukimwi
Mara moja pia uvimbe wa kuma, ukurutu , hepatit-B (homa ya manjano) vinahesabiwa pia
kama magonjwa wa jinaa.
Onyo
• Mwanzoni ugonjwa yoyote inaweza kukuwa aina ya bila onyo. Muda wa kukuwa bila
onyo inaweza kukuwa paka miaka pia
• Kiwasho wakati kukojoa na/au maumivu kwenynye sehemu ya chini ya tumbo
• Majimaji kutoka bomba la mkojo
• Vidonda kwenye sehemu utando telezi za utupu
Matunzo
• Kama ugonjwa inajulikana mapema itakuwa rahisi zaidi kupata ipone vizuri. Kwa njia
ya madawa ya antibiotic= kiua vijasumu inawezekana kutibu kwa mfano klamidia,
kaswende na kisonono. Kwa ambukizo wa VVU hakuna tiba la dawa kupona lakini
madawa za siku hizi inaweza kupunguza ambugizo kuendelea na kuongeza muda wa
kukuwa bila onyo baadaya kupata ambukizo.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• Unasikia kiwasho wakati kukojoa, majimaji kutoka bombla la mkojo au vidonda karibu
na utando telezi ya utupu. Onyo haya yanahitaji ipimwe ndani ya siku chache!
• Umejamiiana bila kinga na unakuwa na shaka kwamba umepata ugojwa ya jinaa.
Inatosha ukifika kwenye vipimo ndani ya juma moja.
Kama unakuwa na shaka kwamba umepata ugonjwa unayofika njia ya kujamiiana utumie
kondomu ili usiendelee kuambugiza. Tumia kondomu pia hata katika uhusiano ya muda fupi.
Itakuwa vizuri bado. Magonjwa ya jinaa yanaambugizwa pia njia ya mapenzi ya
ndomo/mkundu!
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 30 / 38
UPELE, UKURUTU= SYYHY (engl. scabies)
Upele inababisha na buibui mwenye urefu wa millimeta 0,3-0,5 ambayo ni aina ya kupe. Mtu
anaambugiza ukurutu kutoka mtu moja kwa mginginw kwa njia ya kugusa. Kupata ambugizo
hata kupe moja kike inatosha. Kusalimiana njia ya kumpa mkono na au kugusa njia nyingine
hata kwa kifupi inatosha dudu kuhama kutoka mtu moja kwa mgingine. Kuna uwezekano
kwamba mtu anapata ukurutu kutoka mavazi ya mtu anayo ugua na ukurutu au kutoka nguo
zingine kwa sababu kupe kike inaishi kwa muda wa siku 1-2 nje ya ngozi. Kupe wa ukurutu
wa binadamu haihami kwenye nyama wala dudu ya wanyama hawahami kwenye mtu. Kupe
kike inaishi ndani ya ngozi kwa muda wa mwezi moja na wakati huo intaga maya 60-90 ndani
ya ngozi ambayo imechimba. Kiwasho ya Sukurutu inaanza baadaya ya juma 3-6 kupita
baadaya ya kupata ambugizo wakati mwili imeanza kupigana na dudu na chafu yake ilivyotoa.
Onyo
• Kuwasha wakati wa jioni
• Kiwasho na baruzo ikiendelea kwenye sehemu za katikati ya vidole, kiganja, kifundo
cha mkono na kwa mtoto kwenye chini ya miguu kuna njia ya tundu 0,5-1cm ambayo
kupe imejenga. Hata kwa njia ya macho mtu anaweza kuiona kama alama ndogo sana.
Kujitunza mwenyewe
• Kama mtu fulani wa familia, kwenye matunzo ya mchana au shuleni anayo ukurutu
ambayo mganga ameona na kama onyo za familia zinafanana ugonjwa inawezekana
kuanza kutibu hata bila kuenda kwa mganga.
• Kutoka duka la dawa hata bila karatasi ya daktari mafuta ya ”permetriin” cha kupaka
inapatikana. Kopo cha milligramma 30 inatosha kutibu mtu moja mara moja. Kwa
mtoto chini ya umri miaka 10 kopo nusu inatosha.
o Paka mafuta jioni kwenye kila sehemu baadaya ya kuoga kuanzia kutoka shingo
na kushuka chini bila kusahau utupu na nafasi katikati ya vidole vya mikono na
ya miguu.
o Kwenye utando wa telezi usipake mafuta lakini.
• Asubuhi uoshe ngozi vizuri kwa makini na nguo za chini pamoja na mawazi
yatabadilishwa.
• Watu wa familia wanayosikia uchungu watatibiwa mara ya pili baadaya ya juma moja.
• Mtu wa familia ambayo hakukuwa na onyo atatunziwa mara moja tu.
• Ni muhimu kutibu kila mtu wananyoishi kwenye nyumba mara moja hata kama
wanasikia kiwasho au hapana. Kwa njia hii itazuiwa ukurutu ya kuisha na kukuja tena
wapi mtu ambayo kwa sasa hana onyo ataambugiza baadaya ya juma mbili yule
aliotunziwa sasa.
• Kwa sababu ya ukurutu hakuna haja kuanza usafi au hatua cha kusafisha kwa makini
nyumba. Nguo ambayo yanawezkana kufua rahisi kwa mfano nguo za kufunika mtoto
itakuwa vizuri kufua. Inatosha pia ukiacha kutumia nguo unayotumia kawaida kwa
siku chache au unatunza na maji moto vile vilivyoelezwa kwenye kopo la dawa.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• tiba la ukurutu haimailizi kiwasho ndani ya juma 2-3 au kama kiwasho ikianza tena
baadaya juma mbili.
UKUMBUKE KUJULISHA MATUNZO YA MCHANA NA SHULE!
Watoto mwenye umri wa kuenda shuleni nesi wa shule itaitwa!
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 31 / 38
CHUNJUA= SYYLÄ, angalia pia sugu na molluscum (engl. wart)
Chunjua ni uvimbe ya aina ya mzuri kwenye ngozi au utando telezi. Kwa kawaida chunjua
inapatikana kwenye sehemu za chini ya mikono na miguu na inapanda kutoka ngozi kama
mpira.
Onyo
• Mwanzoni chunjua inayo rangi ya ngozi na inapanda. Baadaye inakua na inageuka
kama mchanga. Chunjua ya zamani au ya kubwa vinapasuka na vinaweza kuumwa
sana sana.
• Chunjua ya chini ya miguu ziko za aina bili: yale anayopanda, chunjua moja moja au
yale ambayo yanakua ndani na ambazo ni ya ndogo tena karibu karibu kwenye eno la
centimeta nyingi.
• Chunjua sehemu za mikono mara nyingi inakua karibu na kucha pia.
• Kuuma kucha na kuondoa ngozi karibu na kucha unasaidia chunjua kuendelea.
• Sehemu za mdomo, ukope karibu na macho au puani chunjua ni aina ya kama mstari.
Kujitunza mwenyewe
• Kwa karibu wote chunjua vinapotea pekeyake ndani ya miaka miwili.
• Kwenye madawa ya kutunza chunjua kuna asidi ya salisyli ”salisyylihappo”, mara
nyingi asidi ya maziwa ”maitohappo” pia. Yale yanapatikana kutoka duka la dawa pia
kama plasta (salisyli- au plasta ya chunjua), majimaji au mafuta.
• Kutoka plasta unakata kipande saizi ya chunjua na unakamatisha juu ya chunjua. Plasta
ya salisyli utabadilisha baadaya siku 2-3 (Uanglie habari ya kamili zaidi kutoka paketi
ya dawa).
• Majimaji, gel au mafuta utatumia kila siku.
• Aerosoli ya barafu ambayo inapatikana kutoka duka la dawa inaweza kuharakisha
chunjua ya mikono kupona lakini kusaidia chunjua ya miguu ya chini haisaidii.
• Mara moja moja pia kubandika pasta ya kawaida ya ”ilmastointiteippi” inaweza
kusaidia pia.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• Chunjua ya chini ya miguu yanasumbua hata kutembea au kama chunjua ya mikono
yanaumwa.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 32 / 38
KUFUNGA CHOO= UMMETUS (engl. Constipation)
Kufunga choo ni shida ya kawaida. Kwa mtu kubwa kufunga choo kitu inayoweza kusababisha
kile ni upungufu wa kukunywa kutosha, chakula wapi hakuna nyuzi au upungufu wa mazoezi.
Onyo
• Matumbo kufanya kazi kama kawaida inapungua na/au inageuka ngumu kulinganisha
na kwa wakati wa kawaida.
Kujitunza mwenyewe
• Asubuhi na kabla ya kukula chakula kunywa maji vikombe 1-2 kwenye tumbo wapi
hakuna kitu bado. Vinyaji vingi, angalau litra 2 kwa siku inalaihisha matumbo.
• Kula kwa linganifu na tafuna chakula kwa makini.
• Tumia chakula wapi kuna nyuzi kwa mfano unga wapi mbegu yake ni mzima na
mboga. Kuongeza na hiyo kwa mfano plamu, mtini na uji yanasaidia katika shida ya
kufunga choo.
• Kufanya mazoezi inasaidia katika matumbo kufanya kazi yake.
• Uende chooni kwa linganifu.
• Kwa kufunga choo unaweza kutumia madawa ambazo vinapatika kutoka duka la dawa
hata bila karatasi ya mganga. Yale ni unga, majimaji au dawa kuingia kwenye mkundu
na yanalaihisha ujazo wa matumbo. Kutoka duka la dawa utapata uongozo wa kutumia
dawa vizuri na tena njia ya usalama.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• kama kufunga choo imeanza kwa ghafla na kuna maumivu kali wakati kuendesha
chooni au kama kuna damu kwenye mavi.
• kuna kufunga choo lakini onyo zingine pia kwa mfano mchoko ya kila wakati, maumivu
ya tumbo ya aina ya ajabu, kusikia hoi, kutapika, kukuwa na homa au kuharisha.
• onyo inaendelea muda mrefu na kujitunza nyumbani haisaidii.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 33 / 38
MAGONJWA ZA TUMBO= VATSATAUDIT
KUSIKIA HOI / KUTAPIKA = PAHOINVOINTI / OKSENNUS
Kusikia hoi na kusikia kama kutapika ni onyo za kawaida ambalo kila mtu anasikia kwenye
maisha yake wakati fulani. Magonjwa ya kutapika au ya kuhara karibu kila mara inaisha
mwenyewe ndani ya siku 1-3 kama imeanza ghafla.
Onyo
• Kitu inayosababisha kwa kawaida mtu kutapika ni uvimbe wa utumbo. Kutapika
inaanza kwa ghafla na kwa nguvu. Kawaida ujazo ni majimaji mwenye rangi ya kijani
inayotokea kutoka tumbo. Mara moja na huo kuna kuhara majimaji, kiharusi ya tumbo
na homa pia kwa kawaida.
• Onyo za upungufu wa maji ya mwili: kiasi cha kukojoa imepungua, ulimi na ngozi
imekauka, hali ya kawaida ni mbaya na macho viko ndani ya kichwa.
Kujitunza mwenyewe
• Kinyaji ya kutosha (kwa mfano juisi laini) kwa kiasi kidogo (desilitra au kidogo zaidi
kwa mara moja) na mara kwa mara kutosha kwa mfano kila dakika 10. Kinyaji itakuwa
vizuri ikuwe baridi kidogo.
• Kama kile kinaongeza kwamba mtu anatapika, subiri masaa machache na halafu jaribu
tena.
• Kwa mtu mzima kutapika siku chache haileti upungufu wa maji ya mwili hata kama
maji ni shida kukuwa ndani ya mwili.
• Kukamua barafu, barafu ya juisi.
• Wakati wa kutapika ni hasa muhimu sana kutazama kiasi cha kutumia maji.
• Kama kuna upungufu wa maji unaweza kumpa pia vinyaji vya unga vinavyopatikana
kutoka duka la dawa. Ujazo yao yanasaidia katika urari ya maji ya mwili na yanaleta
madini na yanatuliza kazi ya utumbo. Uliza zaidi kutoka duka la dawa!
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• kabla ya kuanza kutapika ajali imetokea.
• baadaya ya kuanza kutapika afya ya mtu inapungua.
• hukunywi maji ya kutosha au unatapika ukisha kunywa na utapata onyo za upungufu
wa maji.
• unaumwa sana sana.
• unayo ugonjwa fulani ya kila wakati kwa mfano ugonwa ya kisukari wapi sukari ya
damu haikuwi wapi inabidi ikuwe.
• onyo yanakuwa ya muda mferu na kama kujitunza nyumbani haisaidii.
Watoto wadogo na wazee inabidi wafike kupata tibu kwa urahisi zaidi!
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 34 / 38
KUHARA, KUENDESHA = RIPULI
Sababu cha kawaida ni ugonwa wa virusi na itapona tu mwenyewe. Sababu inaweza kukuwa
pia kutumia dawa ya antibiotics= kiua vijasumu wapi vidudu vya tumbo vimesumbukwa. Kwa
sababu ya hiyo itakuwa vizuri kutumia bakteri mzuri wa maziwa
”maitohappobakteerivalmiste” wakati kutumia dawa la antibiotics = kiua vijasumu,
Onyo
• Mavi inayofanana majimaji ni kawaida wakati kuhara
• Maumivu ya tumbu ya kipindi fulani, kusikia hoi na kutapika
• Onyo za upungufu wa maji ya mvili: kiasi cha kukojoa imepungua, ulimi na ngozi
yamekauka, afya kwa ujumla ni mbaya na macho imeingia chini sana
Kujitunza mwenyewe
• Kumbuka usafi wa mikono!
• Hakikisha kwamba unapata maji ya kutosha, epuka vinyaji tamu. Wakati kuna ugonjwa
wa tumbo inahitajika kukunywa maji zaidi ya litra 3 kwa siku.
• Kunywa juisi wapi kuna sukari kidogo tu, maji, maji mwenye madini, chai, supu ya
matunda/ nyama au mboga.
• Kunywa maji baridi ya kijiko kimoja kila dakika 5-10 kama huwezi kutumia mengine.
• Kama kuna upungufu wa maji unaweza kumpa pia vinyaji vya unga vinavyopatikana
kutoka duka la dawa. Ujazo yao yanasaidia katika urari ya maji ya mwili na yanaleta
madini na yanatuliza kazi ya utumbo.
• Inapendekezwa kutumia bakteri mzuri wa maziwa ”maitohappobakteerivalmiste”.
Yale yanapatikana kutoka duka la dawa.
• Jaribu kukula chakula nuepesi ambayo inaharibika rahisi tumboni kwa mfano saladi,
kuku au samaki, mkate ngumu= korppu/näkkileipä.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• mtoto au mzee anahara sana sana. Kwa hawa kuhara inaweza kukausha mwili ambayo
hi hatari kwao. Tazama hali yao!
• afya kwa ujumla inapungua.
• kuna damu wakati kuhara.
• unaumwa sana sana.
• unayo ugonjwa fulani ya kila wakati kwa mfano ugonwa ya kisukari, sukari ya damu
haikuwi wapi inabidi ikuwe.
• hukunywi ya kutosha au unayo onyo za mwili kukauka.
• umekuwa kwenye nchi za ngambo wakati wa likizo.
• kuhara imechukua tayari zaidi ya juma moja.
• umemaliza kutumia sasa dawa ya antibiotic=kiua vijasumu na baadaya ya hiyo/ wakati
huo homa na kuhara imefika.
Watoto wadogo na wazee inabidi wafike kupata tibu kwa urahisi zaidi!
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 35 / 38
TEGUKA, TEUKA, SHTUA= VENÄHDYS (engl. strain)
Katika musuli kushtua karibu na nyongo kano yanateuka au yanachanika kwa kidogo. Tiba
katika musuli teguka ni kusaidia kwa upesi. Mwanzoni sehemu wa musuli kuteguka inaweza
kuvimba na inaweza kuumiza.
Tiba la K tatu
• Baridi –weka mfuko wa barafu sehemu ya jeraha (lakini hapana moja kwa moja
ikutane na ngozi kwa sababu unaweza kuunguza).
• Pandisha- pandisha mguu juu ili uvimbe ipungue.
• Mkandamizo- (mbano) Funga sehemu ya jeraha na kitambaa fulani kwa siku chache.
Jaribu lakini kwamba usifunge kibandiko kwa nguvu sana
Kutunza baadaye
• Kwa maumivu ikihitajika uchukue dawa la maumivu au uvimbe vile vilivyoelezwa.
• Kuanza mazoezi ni upesi tu vinavyowezekana wakati unaweza kukanyaga lakini bila
maumivu (juma 1-3 baadaya ya jeraha).
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• maumivu ni ya kali sana na kama haishi.
• kukanyaga na mguu haiwezekani au hata kushikilia sehemu.
• kuna uvimbe wa kiasi kubwa kwenye mguu.
• onyo inakuwa ya siku nyingi na kujitunza nymbani haisaidii.
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 36 / 38
TETEKUWANGA= VESIROKKO (engl. chickenbox)
Tetekuwanga ni virusi ya herpes ambayo inaambugizwa kwa upesi tu na ambayo ni ugonjwa
wa homa ambayo virusi ya tetekuwanga imesababisha. Virusi kwa epesi inapatikana kwa njia
ya kuchemua kama siku moja tu kabla upele kuanza kuonekana na siku tano baadaya ya kile.
Muda wa ugojwa kuota ni kuanzia siku mtu amepoambukizwa na kupiga hesabu siku 14-24
kutoka hapo. Ugonjwa kwa kawaida inaanza na upele na wakati huo kwenye mwili kipele
mwenye rangi nyekundu inaowasha inaota. Baadhi ya hapo yanegeuka lengelenge na rangi
inabadilika mara nyingi, pia yanapasuka na yanaingia ndani tena na yanaacha kovu. Kipele
mpya tena inaanza kutokea baadaya ya siku 3-4. (Kwa watoto wengi pia onyo za kawaida
kama homa, kikohozi, kupoteza hamu ya chakula na uchovu. Hii ni wakati upele inaanza
kukuja au hata kabla yake). Onyo za tetekuwanga yanaweza kubaki kukuwa pia za aina ya
kidogo kwa hivyo ugonjwa inaonekana peke yake kwa njia ya vipele vichache tu. Wakati wa
kipindi cha kukuwa na kovu haishiki tena. Njia mzuri wa kukinga mtu asipate ugonjwa ni
chanjo.
Onyo
• Homa mwanzoni wa upele kuota
• Lengelenge vinayo washa
• Maumivu ya kichwa
• Kikohozi
• Kupoteza hamu ya chakula
• Uchovu wakati upele kuota au hata siku moja kabla ya kuanza
Kujitunza mwenye
• Tetekuwanga inapona kwa kawaida mwenyewe ndani ya juma 1-2.
• Mtoto inabidi atunziwe nyumbani muda wa siku 5-6 ambayo ni paka lengelenge
vimeanza kukauka.
• Kupunguza homa mtu anaweza na madawa za homa au uvimbe, kwa njia ya kuvaa
nguo nyepesi na chumba baridi.
• Usibaruze lengelenge, ikihitajika kata kucha mfupi na tumia glavu
• Kwa kutuliza usikune unaweza kutumia dawa ya antihistamin ambayo ni ya kumeza
njia ya mdomo.
• Mafuta kwa tetekuwanga inapatikana kutoka duka la dawa bila karatasi ya mganga
kwa kutuliza mwasho. Usitumie lakini mafuta ya kortisoni.
Uite kituo cha afya cha kwako kama
• unakuwa na mimba au bado hujawahi kuugua tetekuwanga na umegusa mtu
anayokuwa na tetekuwanga.
• umezaa mtoto siku za karibu na wewe au/na mtoto wako anaanza kukuwa na onyo.
• onyo za mwasho ni mgumu kwa sababu mafuta ya tetekuwanga haisaidii. Ikihitajika
mganga anaweza kuandika dawa ya kutuluziwa mwasho.
• lengelenge/ kovu juu ya ngozi yanaonekana kama yamevimba ambayo ni kwamba
rangi ni nyekundu, yanawaka na/au yanatoa majimaji.
• homa inapanda tena
• onyo haitulizi hata kama umejaribu kujitunza nyumbani
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 37 / 38
UVIMBE WA MKOJO KWA WATU WAZIMA= VIRTSATIETULEHDUS AIKUISILLA
Uvimbe wa mkojo (maambukizo wa mkojo) ni ambukizo aina ya kawaida. Uvimbe wa mkojo
ni kawaida kwa wakawake na kwa wazee.
Onyo
• Hitajio kwa kukojoa mara nyingi zaidi
• Kusikia kiwasho wakati kukojoa
• Homa
• Maumivu kwenye sehemu ya mgongo chini au tumbo
• Kusikia hoi na kutapika
• Damu kweye mkojo
Kujitunza mwenyewe
• Kunywa vinyaji vingi kwa mfano juisi ya ”karpalo” au ”puolukka” au maji
• Ikihitajika chukua dawa ya maumivu
• Fungua bofu wa mkojo (kila saa 3-4 na kila mara baadaya kujamiiana)
• Tunza usafi wako
Uite kituo cha afya cha kwako (chaguo la kwanza ni njia ya simu) kama
• kwenye onyo kuna homa pia, maumivu ya sehemu ya chini ya mgogo au hali kwa
ujumla inageuka mbaya.
• kwenye onyo kuna kusikia hoi na kutapika.
• unapata matibabu ya mwale (radioterapi) au ya kujikinga seli (cytostatic).
• unayo ogonjwa wa kisukari, unayo mimba au onanyonyesha mtoto.
• wazee kama kuchanganyikiwa kidogo na imeanza kwa ghafla.
• kuna damu kwenye mkojo.
• kuna onyo za uvimbe kwenye mkojo kwa mtoto au kwa kwa wanaume.
• hata baadaya ya kutumia dawa ya antibiotics onyo bado zinaendelea.
• onyo za kukojoa haitulii hata baadaya ya kujitunza nyumbani.
Kama unayo mimba uite kliniki ya akinamama wakati wa saa za kazi!
OMAHOITO-OPAS / SWAHILI
Sivu 38 / 38
Kumbuka Kumbuka Kumbuka