press release - mabadiliko ya wajumbe mei 2016

3
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA Simu: +255 026 23222761-5 Fax No. +255 026 2322624 E-mail: [email protected] Ofisi ya Bunge, S.L.P. 941, DODOMA TAARIFA KWA UMMA _________ Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (Mb) amefanya mabadiliko mengine ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge ili kuzingatia maombi ya baadhi ya Wabunge pamoja na mahitaji mapya yaliyojitokeza wakati wa utekelezaji wa shughuli za Kamati za Bunge. Mabadiliko haya yamefanywa kwa mujibu wa Kanuni ya 116(3) na (5) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Aprili 2016 na yamehusisha maeneo manne ambayo ni: Kuhamishwa kwa baadhi ya wajumbe wa Kamati, Kualikwa kwa baadhi ya wajumbe katika Kamati ya Bajeti, Baadhi ya Wajumbe wa kamati ya Haki, Maadili, na Madaraka ya Bunge kuondolewa pamoja na Uteuzi wa wajumbe wapya katika kamati ya Haki, Maadili, na Madaraka ya Bunge Mabadiliko haya ya wajumbe kwenye kamati yanaanza mara moja ambapo orodha ya wajumbe waliobadilishwa kamati na nafasi zao imeambatishwa. Imetolewa na: Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano Ofisi ya Bunge DODOMA 26 Mei, 2016.

Upload: imma

Post on 09-Jul-2016

57 views

Category:

Documents


22 download

TRANSCRIPT

Page 1: Press Release - Mabadiliko Ya Wajumbe Mei 2016

 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA

Simu: +255 026 23222761-5 Fax No. +255 026 2322624 E-mail: [email protected]

Ofisi ya Bunge, S.L.P. 941,

DODOMA  

TAARIFA KWA UMMA _________

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (Mb) amefanya mabadiliko mengine ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge ili kuzingatia maombi ya baadhi ya Wabunge pamoja na mahitaji mapya yaliyojitokeza wakati wa utekelezaji wa shughuli za Kamati za Bunge.

Mabadiliko haya yamefanywa kwa mujibu wa Kanuni ya 116(3) na (5) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Aprili 2016 na yamehusisha maeneo manne ambayo ni:

• Kuhamishwa kwa baadhi ya wajumbe wa Kamati,

• Kualikwa kwa baadhi ya wajumbe katika Kamati ya Bajeti,

• Baadhi ya Wajumbe wa kamati ya Haki, Maadili, na Madaraka ya Bunge kuondolewa pamoja na

• Uteuzi wa wajumbe wapya katika kamati ya Haki, Maadili, na Madaraka ya Bunge

Mabadiliko haya ya wajumbe kwenye kamati yanaanza mara moja ambapo orodha ya wajumbe waliobadilishwa kamati na nafasi zao imeambatishwa.

Imetolewa na: Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano Ofisi ya Bunge DODOMA 26 Mei, 2016.  

Page 2: Press Release - Mabadiliko Ya Wajumbe Mei 2016

1.0 WANAOHAMISHWA KAMATI

Na JINA LA MBUNGE

KAMATI ALIYOKWEPO

AWALI

KAMATI ANAYOHAMIA

1. Mhe. Ezekiel Magoyo Maige, Mb.

Nishati na Madini

PAC

2. Mhe. Allan Joseph Kiula, Mb.

Mambo ya Nje, Ulinzi na usalaama

PAC

3. Mhe. Omary Tebweta Mgumba, Mb.

Sheria Ndogo PAC

4. Mhe. Rhoda Rdward Kunchela, Mb.

Masuala ya UKIMWI

PAC

5. Mhe. Joseph George Kakunda, Mb.

PIC PAC

6. Mhe. Ahmed Ally Salum, Mb.

PAC Huduma na Maendeleo ya Jamii

7. Mhe. Neema William Mgaya, Mb.

Huduma na Maendeleo ya Jamii

Ardhi, maliasili na Utalii

8.

Mhe. Salma Mohamed Mwassa, Mb.

Bajeti Ardhi, Maliasili na Utalii

Page 3: Press Release - Mabadiliko Ya Wajumbe Mei 2016

2.0 WAJUMBE WAALIKWA KATIKA KAMATI

NA. JINA LA MBUNGE KAMATI ALIYOPO

HADHI YA UJUMBE

1. Mh. Andrew John Chenge, Mb.

Sheria Ndogo Mwalikwa

2. Mhe. Joseph Roman Selasini, Mb.

LAAC Mwalikwa

3. Mhe. Dkt Dalali Peter Kafumu, Mb.

Viwanda, Biashara na Mazingira

Mwalikwa

4. Mhe. Japhet Ngalilonga Hasunga, Mb.

PAC Mwalikwa

5. Mhe. Albert Obama Ntabaliba, Mb.

PIC Mwalikwa

6. Mhe. Mussa Azzan Zungu, Mb.

Huduma na Maendeleo ya Jamii

Mwalikwa

3.0 WALIOONDOLEWA KATIKA KAMATI YA HAKI, MAADILI NA MADARAKA

YA BUNGE 1. Mhe. Dkt. Haji Hussein Mponda, Mb. 2. Mhe. Najma Murtaza Giga, Mb.

4.0 WANAOTEULIWA KUWA WAJUMBE WA KAMATI YA HAKI, MAADILI NA MADARAKA YA BUNGE 1. Mhe. Asha Abdalla Juma, Mb. 2. Mhe. Emmanuel Mwakasaka, Mb. 3. Mhe. Augustino Manyanda Masele, Mb.