sheria ya madawa ya kulevya - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji...

43
1 ___ SURA YA 95___ SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO Kifungu Jina 1. Jina fupi na matumizi 2. Tafsiri SEHEMU YA II KUUNDWA KWA TUME YA WIZARA ZINAZOTEGEMEANA YA KURATIBU UDHIBITI WA MADAWA 3. Wajibu wa Serikali katika kuzuia matumizi mabaya ya dawa. 4. Kuundwa kwa Tume kitaifa ya kuratibu madawa. 5. Kazi za Tume. 6. Ripoti za Tume kupelekwa Bungeni 7. Bajeti ya Tume 8. Kamishna kushiriki katika mikutano ya wizara zinazotegemeana. 9. Kamishna kuandaa maamuzi na kuhakikisha utekelezaji. 10. Tume kutumia fedha kwa matumizi mbalimbali. SEHEMU YA TATU MFUKO WA UDHIBITI WA MATUMIZI MABAYA YA MADAWA 11. Kuanzishwa kwa Mfuko SEHEMU YA IV UZUIAJI WA UMILIKI NA USAFIRISHAJI WA DAWA NA VITU VYA KULEVYA NA KULIMA WA MAZAO FULANI 12. Uzuiaji wa kilimo cha mimea na vitu fulani. 13. Uwezo wa Tume kuruhusu, kudhibiti na ulimaji, uzalishaji au uuzaji n.k wa afyuni,majani ya koka,n.k.

Upload: others

Post on 08-Oct-2019

60 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

1

___

SURA YA 95___

SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA

HARAMU

SHERIA KUU

MPANGILIO WA VIFUNGU

SEHEMU YA 1

MASHARTI YA MWANZO

Kifungu Jina

1. Jina fupi na matumizi

2. Tafsiri

SEHEMU YA II

KUUNDWA KWA TUME YA WIZARA ZINAZOTEGEMEANA YA KURATIBU

UDHIBITI WA MADAWA

3. Wajibu wa Serikali katika kuzuia matumizi mabaya ya dawa.

4. Kuundwa kwa Tume kitaifa ya kuratibu madawa.

5. Kazi za Tume.

6. Ripoti za Tume kupelekwa Bungeni

7. Bajeti ya Tume

8. Kamishna kushiriki katika mikutano ya wizara zinazotegemeana.

9. Kamishna kuandaa maamuzi na kuhakikisha utekelezaji.

10. Tume kutumia fedha kwa matumizi mbalimbali.

SEHEMU YA TATU

MFUKO WA UDHIBITI WA MATUMIZI MABAYA YA MADAWA

11. Kuanzishwa kwa Mfuko

SEHEMU YA IV

UZUIAJI WA UMILIKI NA USAFIRISHAJI WA DAWA NA VITU VYA KULEVYA

NA KULIMA WA MAZAO FULANI

12. Uzuiaji wa kilimo cha mimea na vitu fulani.

13. Uwezo wa Tume kuruhusu, kudhibiti na ulimaji, uzalishaji au uuzaji n.k

wa afyuni,majani ya koka,n.k.

Page 2: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

2

14. Madawa ya kulevya hayatashikiliwa.

15. Vizuizi katika kujihusisha na madawa na vitu vya kulevya.

16. Adhabu kwa kumiliki, kununua kutengeneza n.k wa madawa ya kulevya

n.k

17. Adhabu kuhusu umiliki, utumiaji wa madawa na vitu vya kulevya kwa

kiwango kidogo.

18. Adhabu kwa kwenda kinyume na kifungu cha 17.

19. Adhabu kwa ubadhirifu kwa wakulima walioruhusiwa.

20. Adhabu kuhusiana na uvunjaji wa masharti, leseni au kibali.

21. Adhabu kuhusiana na kufadhili vitendo visiyo halali kisheria.

22. Adhabu kuhusiana na kusaidia utendaji kosa chini ya sheria hii.

23. Kujitayarisha kutenda kosa.

24. Adhabu kwa utendaji wa makosa baada ya hukumu ya awali.

25. Adhabu kwa kosa ambalo hakuna adhabu iliyowekwa.

26. Wajibu wa kuthibitisha

27. Makosa yasiyo na dhamana.

28. Makosa yanayotendwa na makampuni.

29. Kuachiliwa kwa watawaliwa kwa lengo la kuwapatia tiba.

SEHEMU YA V

UTARATIBU

30. Matumizi ya Sheria ya Mwenenendo wa Makosa ya Jinai na mabadiliko

muhimu.

31. Utaratibu wa kushikilia pale ukamataji hauwezekani.

32. Jukumu la wamiliki wa ardhi kutoa habari ya mazao yaliyolimwa kinyume

cha sheria .

33. Uwezo wa kushikilia mazao yaliyolimwa kinyume cha sheria.

34. Tume kuelekeza baadhi ya vitu kuangamizwa.

35. Uhusiano wa kauli katika mazingira fulani.

36. Dhana la umiliki wa vitu haramu.

37. Maofisa walioruhuisiwa kushikilia vifaa vilivyokamatwa.

38. Jukumu la maafisa mbalimbali kusaidiana.

39. Ukamataji na ushikiliwaji kuripotiwa katika muda wa saa arobaini na

nane.

40. Adhabu kwa kuingia, kukamata, kushikiliwa kwa nia mbaya n.k..

41. Adhabu dhidi ya maafisa wanaokataa kutenda wajibu wao au kusaidia

watuhumiwa.

42. Uwezo wa kutaifisha vitu n.k kuhusiana na kosa.

43. Utaifishaji kama hakuna mashtaka.

44. Dhana ya kuwa ni nyaraka katika masuala fulani.

45. Uwezo wa afisa aliyeruhusiwa kutaka taarifa.

Page 3: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

3

SEHEMU YA VI

UKAMATAJI WA MALI ILYOTOKANA NA AU ILIYOTUMIWA KATIKA

USAFIRISHAJI HARAMU

46. Ukamataji wa mali

47. Kukataza kushikilia mali iliyopatikana isivyo halali.

48. Kamishna kuruhusu uchunguzi au ukaguzi.

49. Wajibu wa kuthibitisha.

50. Malipo badala ya kutaifisha.

51. Rufani.

52. Uwezo wa kuchukua umiliki.

53. Mpangilio kuhusiana na kufautilia, kupata n.k wa mali.

SEHEMU YA VII

MASHARTI YA KAWAIDA

54. Ulinzi kwa kitendo kilichofanyika kwa nia njema.

55. Tume kuangalia mikataba ya kimataifa wakati wa kuandaa kanuni.

56. Mamlaka ya Serikali katika kuanzisha vituo n.k vya utambuzi wa tiba kwa

watawaliwa na kutoa madawa ya kulevya.

57. Kiwango cha mamlaka.

58. Mamlaka ya Tume kutoa maelekezo.

59. Mamlaka ya kukasimu.

60. Mamlaka ya Serikali Kuu kuandaa kanuni.

61. Matumizi ya Sheria ya Ushuru wa Forodha (Uendeshaji na Viwango).

62. Matumizi ya Sheria ya Madawa na Sumu kuzuiwa.

63. Kuokoa nchi na sheria maalumu.

64. Kufuta na kuokoa.

65. (Imefutwa]

66. [Imefutwa]

67. [Marekebisho]

____

MAJEDWALI

____

Page 4: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

4

____

SURA YA 95

____

SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA

HARAMU

Sheria ya kuunganisha sheria inazohusiana na madawa ya kulevya, kuweka

masharti ya udhibiti na utendaji unaohusiana na madawa ya kulevya na vitu

vya kulevya; kukamata mali iliyotokana na usafirishaji haramu wa madawa

ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya

kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

kimataifa wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya.

[1Januari, 1996]

[Gazeti la serikali

Na. 10 la1996

Sheria Na:

9 ya 1995

9 ya 1996

17 ya 1996

31 ya 1997

9 ya 2002

SEHEMU YA I

MASHARTI YA MWANZO

Jina fupi

na

matumizi

1.-(1) Sheria hii itaitwa Sheria ya Madawa na Uzuiaji wa Usafirishaji

wa Madawa Haramu.

Tafsiri (2) Katika Sheria hii,isipokuwa pale muktadha utakapohitaji

vinginevyo- 31ya 1997

Jedw. "mtawaliwa" maana yake ni mtu ambaye-

(a) akipewa dawa anashindwa kujidhibiti kwa matumizi ya dawa

hiyo;na

(b) akiacha kutumia dawa kuna uwezekano wa mtu huyo kuona

dalili za matatizo ya akili au uchovu wa mwili;

"bangi” maana yake ni sehemu yoyote ya mmea ukiacha mbegu,mmea

uliokomaa, au nyuzinyuzi zinazotokana na mmea wa bangi;

"mafuta ya bangi”" maana yake majimaji yoyote yenye bangi kwa kiwango

chochote;

"mmea wa bangi’" maana yake ni mmea wowote wa bangi kwa jina lolote na

inajumisha sehemu yoyote ya mmea huo;

Page 5: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

5

"utomvu wa bangi” maana yake ni utomvu uliotengwa kupata utomvu

usiosafishwa kutokana na mmea wa bangi;

"kemikali tangulizi" maana yake ni kitu kinachotumika mara kwa mara

katika utengenezaji haramu wa madawa ya kulevya au vitu vya

kulevya kama ilivyotafsiriwa katika Ibara ya 12 ya Mkataba wa

Kimataifa Unaopinga Matumizi ya Madawa na Vitu vya Kulevya

vilivyotajwa katika orodha ya 1 na orodha ya 11 kama

inavyoonyeshwa katika jedwali la pili la sheria hii;

"jani la koka’’ maana yake ni-

(a) jani la mmea wa koka isipokuwa jani la kokeini ambalo

kokeini na alkaloidi imeondolewa;

(b) mchanganyiko wowote wenye na usio na kifaa lakini

hautahusisha maandalizi yoyote yenye asilimia zaidi ya 0.1 ya

kokeini;

"mmea wa koka"maana yake ni mmea wa aina yoyote ya “genus

erythroxylon”;

"Tume" maana yake ni Tume ya Wizara Mbalimbali ya Kuratibu Udhibiti wa

Madawa iliyoanzishwa chini ya kifungu cha 4;

"chombo cha uchukuzi" maana yake ni chombo cha uchukuzi cha maelezo

yoyote na kinahusisha ndege,gari au meli;

"mahakama kuhusiana na makosa chini ya vifungu vya 12 na 12(d)” maana

yake ni mahakama ya chini na kuhusiana na makosa chini ya vifungu

vya 16,17,18,20,121,22 na 23 maana yake ni mahakama kuu;

"kulima " inajumuisha kupanda,kusambaza mbegu,,kukopesha au kuvuna;

Sura ya 152

"daktari wa meno" maana yake ni daktari wa meno aliyeruhusiwa na kupewa

leseni ya kuchunguza,kutibu na kutoa tiba kwa magonjwa chini ya

sheria ya madaktari na madaktari wa meno;

"madawa" maana yake ni madawa ya kulevya na vitu vya kulevya

vilivyoainishwa katika Jedwali;

"usafirishaji haramu", kuhusiana na madawa ya kulevya maana yake ni -

(a) kulima jani lolote la koka au kukusanya kiasi chochote cha

koka;

(b) kulima afyumi au mmea wowote wa bangi;

(c) kujihusisha na uzalishaji,utengenezaji,umiliki uuzaji

ununuzi,usafirishaji,utunzaji,usfungaji utumiaji uingizaji

nchini,utoaji nje ya nchi wa madawa na vitu vya kulevya;

(d) kuhusika na utendaji wowote wa madawa au vitu vya kulevya;

(e) kupangisha jengo lolote kwa lengo la kutenda kazi zozote zaidi

ya zile zilizoruhusiwa chini ya sheria au taratibu au amri

yoyote au masharti ya leseni yoyote iliyotolewa na

itajumuisha-

(i) kugharamia moja kwa moja au vinginevyo kwa kazi

yoyote ile iliyotajwa;

(ii) kushiriki katika kuendeleza au kusaidia utendaji wa

kazi yoyote iliyotajwa;na

(iii) kuhodhi watu wanaojihusisha na kazi yoyote

Page 6: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

6

iliyotajwa;

"mkataba wa kimataifa" maana yake ni-

(a) ni mkatabaa wa pekee wa madawa ya kulevya ,1961;

(b) Itifaki inayorekebisha kifungu kidogo cha (a)iliyokubaliwa

katika mkutano wa umoja wa mataifa huko Geneva

Machi,1972;

(c) mkataba wa vitu vya kulevya, 1971 uliokubaliwa na mkutano

wa umoja wa maytaifa huko Vienna februari 1971; na

(d) Mkataba wa Umoja wa Mataifa Dhidi ya Usafirishaji Harami

wa Madawa ya Kulevya na Vitu vya Kulevya uliokubaliwa

huko Vienna 19 Desemba,1988; na

(e) mkataba mwingine wowote wa kimataifa au itifaki au hati

nyingine inayorekebisha mkataba wowote wa kimataifa

kuhusiana na madawa au vitu vya kulevya,ambao unaweza

kukubaliwa na Jamhuri ya Muungano baada ya kuanza

kutumika kwa sheria hii;

“kutengeneza” kuhusiana na madawa au vitu vya kulevya inajumuisha-

(a) hatua zote kuondoa uzalishaji amazo madawa au vitu hivyo

vyaweza kupatikana;

(b) kusahihisha madawa hayo au vitu ;

(c) kubadilisha madawa hayo au vitu;na

(d) utayarishaji wa (,usio wa duka la madawa)au kuwapo kwa

dawa hizo au vitu;

"dawa zilizotengenezwa” maana yake ni-

(a) vizalishi vyote vya koka,bangi ya tiba,vizalishi vya afyumi

na mpopi ;

(b) vitu vyovyote vya kulevya au utengenezaji ambao Tume

inaweza,ikitilia maanani taarifa zinazopatikana kuhusiana

na asili au uamuzi kama upo chini ya mkataba wa

kimataifa, kwa notisi katika gazeti la serikali vimesemwa

kutokuwa dawa za kutengeneza;

"daktari wa tiba" maana yake ni tabibu au mpasuaji aliyekubaliwa na kuwa

na leseni ya kuchunguza na kutoa tiba kwa wagonjwa chini ya sheria

ya madaktari na madaktari wa meno; Sura ya 152 "bangi ya tiba” maana yake ni zidua yoyote ya bangi;

"madawa ya kulevya " maana yake ni kitu chochote kilichoainishwa katika

jedwali au chenye viini vilivyoainishwa katika jedwali;

"afyumi" maana yake ni-

(a) juisi iliyoganda ya afyumi mpopi;na

(b) mchanganyiko wowote ulio na au usio na kitu

kisichoinjikwa, cha juisi ya mgando ya afyumi mpopi

lakini haitajumisha matayarisho yoyote yenye zaidi ya

asilimia 0.2 ya morfimi;

"vizalishi vya koka’ maana yake ni-

Sura ya

(a) bangi ya madawa, ambayo imepitia hatua muhimu

kutumika kama dawa kufuatia mahitaji ya Sheria ya

Page 7: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

7

219 Madawa na Sumu au madawa mengine yoyote

yaliyoelekezwa na serikali katika unga au vinginevyo au

kilichochanganywa na vitu visivyoinjikwa;

(b) bangi iliyotengenezwa yaani zao lolote la bangi

lililopatikana kwa utendaji ulioandaliwa kubadili bangi

kuwa kitu kinachoweza kuvutwa na mabaki mengine baada

ya bangi kuvutwa;

(c) alkaloidi yaani morfimi,kodeini and chumvi zake;

(d) alkaloidu inayojulikana kama heroini na chumvi zake;na

(e) matayarisho yote yenye zaidi ya asilimia mbili ya mofimi ;

"mofimi mpopi" maana yake ni-

(a) mmea wa aina ya papaver somniferum;na

(b) mmea wa aina ya papaver ambapo bangi au alkaloidi

inaweza kupatikana na ambayo tume inaweza kwa notisi

katika gazeti la serikali ikionyeshwa kuwa afyumi mpopi

kwa madhumuni ya sheria hii;

"mahali " inajumuisha ardhi tupu,majengo chombo cha baharini au ndege;

"jani la mpopi" maana yake ni sehemu zote ukiondoa mbegu za afyumi

mpopi baada ya kuvunwa ama katika hali ya uhalisia au

ilyokatwa,sagwa au unga na kama ni au siyo juisi imetolewa huko;

"kutayarisha", kuhusiana na madawa ya kulevya au vitu vya kulevya maana

yake ni dawa au madawa au vitu hivyo katika hali ya uji au

mchanganyiko ulio na moja au zaidi ya dawa au vitu hivyo;

"uzalishaji" maana yake ni kutenganisha afyumi, jani la mpopi majani ya

mpopi koka au bangi kutoka kwa mimea ambapo imetolewa;

"mmea uliokatazwa" maana yake ni bangi, koka afyumi mpopi na papava

setigerum;

" vitu vya kulevya” maana yake ni vitu vyovyote vya asili au kutengenezwa

au kifaa chochote cha asili au chumvi au matayarisho ya vitu hivyo

au vifaa vilivyojumuishwa katika orodha ya vitu vya kulevya katika

jedwali;

"uza" kunajumuisha kuonyesha au kuomba kununuliwa;

"kutoa" kunajumuisha kusafirisha,kupeleka,kushusha kugawa na pia kuomba

kugawa;

"kusafirisha nje ya Jamhuri ya Muungano" maana yake kutoa ndani ya

Jamhuri ya Muungano na kupeleka nje ya Jamhuri ya Muungano;

"kuingiza ndani ya Jamhuri ya Muungano maana yake ni kuleta ndani ya

Jamhuri ya Muungano kutoka nje ya Jamhuri ya Muungano na

inajumuisha kuleta katika bandari yoyote au kiwanja cha ndege au

mahali popote ndani ya Jamhuri ya Muuungao madawa ya kulevya au

vitu vya kulevya hata kama havijatolewa kutoka chombo cha

baharini, ndega, gari au chombo chochote cha usafirishaji ambacho

kimeubeba;

“Kusafirisha” maana yake ni kutoa toka sehemu moja kwenda kwingine

ndani ya Jamhuri ya Muungano;

"usafirishaji haramu" maana yake ni kuingiza nchini, kusafirisha nje ya

Page 8: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

8

nchi,kutengeneza,kununua,mauzo,kutoa,kugawa,kutunza,kutumia,kus

afirisha,kushusha au kugawa kwa mtu yeyote madawa ya kulevya au

vitu vya kulevya au dawa au kitu kinachokuliwa kuwa ni dawa au

kitu cha kulevya na mtu huyo lakini haitajumuisha-

(a) uingizaji au usafirishaji nje wa dawa au kitu chochote cha

kulevya au kumpelekea ombi la kununua kwa niaba ya mtu

yeyote ambaye ana leseni chini ya sheria hii kulingana na

masharti ya leseni;

(b) kutengeneza, kununua, mauzo,kutoa, kugawa, kutumia.

kusafirisha kutoa au kugawa dawa au kitu chochote cha

kulevya au kumpelekea ombi la kununua kwa niaba ya mtu

yeyote ambaye ana leseni chini ya sheria hii kufuatia masharti

ya leseni;

(c) kuuza au kugawa au kutumia kwa madhumuni ya tiba na

kulingana na masharti ya sheria hii au kutoa ombi kwa tabibu

au daktari wa wanyama mpasuaji au daktari wa meno au mtu

mwingine yeyote mwenye sifa za kufanya hivyo chini ya ya

maelekezo ya tabibu,daktari wa meno au wa wanyama

mpasuaji;

(d) kuuza au kugawa kulingana na masharti ya sheria hii ya dawa

au kitu chochote cha kulevya na mfamasia aliyesajiliwa;

(e) "kutumia" kuhusiana na madawa au vitu vya kulevya maana

yake ni kitu chochote kilichoainishwa katika jedwali au kiini

kingine chenye kuwa na kitu kilichoainishwa katika jedwali

hilo;

SEHEMU YA II

KUUNDWA KWA TUME YA WIZARA MBALIMBALI YA KURATIBU UDHIBITI

WA MADAWA

Jukumu la

Serikali la

kuchukua

hatua za

kuzuia

utumiaji

mbaya wa

dawa

3.-(1) Kufuatana na masharti ya sheria, Serikali itachukua hatua kama

itakavyoona ni muhimu kwa lengo la kuzuia na kupambana na utumiaji

mbaya wa madawa ya kulevya, vitu vya kulevya na usafirishaji haramu

wake.

(2) Hususani na bila kujali ujumla wa masharti ya kifungu kidogo cha

(1),hatua ambazo Serikali inaweza kuchukua chini ya kifungu kidogo cha 1

itajumuisha hatua kuhusiana na yote au mojawapo ya masuala yafuatayo-

(a) uratibu wa matendo ya baadhi ya maafisa na mamlaka chini ya

sheria hii au chini ya sheria nyingine yoyote inayotumika

kuhusiana na utekelezaji wa masharti ya sheria hii na

majukumu chini ya mkataba wa kimataifa;

(b) msaada kwa mamlaka husika katika nchi za nje na mashirika

ya nje husika kwa nia ya kurahisisha uratibu na kitendo cha

pamoja cha kuzuia na kugandamiza usafirishaji haramu wa

Page 9: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

9

madawa na vitu vya kulevya;

(c) kutambua, kutibu, kuelimisha, kutunza, kukarabati na

kuwajumuisha katika jamii waathirika;

(d) mambo mengine kama ambavyo serikali itaona muhimu kwa

lengo la kuwa na utekelezaji mzuri wa sheria hii na kuzuia na

kupambana na utumiaji mbaya wa madawa na vitu vya

kulevya na usafirishaji haramu. Kuundwa

kwa tume ya

taifa ya

kuratibu

udhibiti wa

madawa

4.- (1) Rais kwa amri katika gazeti la serikali ataunda Tume ya taifa

ya udhibiti wa dawa ambayo itakuwa na jukumu la kutafsiri, kuendeleza na

kuratibu sera ya Serikali ya udhibiti wa utumiaji mbaya wa dawa na

usafirishaji haramu.

(2) Rais kwa amri katika gazeti la serikali atamteua kamishna kwa

lengo la kutekeleza sera ya Tume na uratibu wa kila siku wa Serikali

kuhusiana na udhibiti wa utumiaji mbaya wa madawa. (3)Kamishna atasaidiwa na sekretariati ambayo itakuwa na wajumbe

wasiozidi kumi na tano watakaochaguliwa na Tume. (4) Sekretariati itamshauri kamishna kuhusiana na mambo ya

utekelezaji wa sheria kama yatakavyopelekewa kwa kamishna na Tume (5) Kamishna ataandikisha maafisa wengine kwa vyeo kama

atakavyoona inafaa. (6) Tume chini ya uenyekiti wa Waziri Mkuu itakuwa na wafuatao_ (a) Waziri anayehusika na masuala ya sheria;

(b) Waziri anayehusika na masuala ya mambo ya ndani; (c) Waziri anayehusika na afya;

(d) Waziri anyehusika na maendeleo ya jamii; (e) Waziri anayehusika na mambo ya nchi za nje;

(f) Waziri anayehusika na fedha; (g) Waziri anayehusika na maendeleeo ya vijana;

(h) Waziri wa nchi (ofisi ya waziri kiongozi-Zanzibar; (i) Waziri anayehusika na utalii Zanzibar;

(j) Waziri wa nchi mipango(Zanzibar); na (k) Wajumbe wengine watendaji katika udhibiti wa matumizi

mabaya ya dawa; (7) Mawaziri wengine wanaweza kuitwa kutumika katika Tume

kutegemea na ajenda na Tume inaweza kumualika mtu mwingine yeyote

kuhudhuria kama itaona muhimu kumualika mtu (8) Tume itakutana angalau mara mbili kwa mwaka katika kikao cha

kawaida na wakati wowote muhimu kwa kikao maalumu. (9) Pale ambapo Waziri Mkuu atashindwa kufanya kazi zake chini ya

sheria hii kwa sababu yoyote ile Waziri anayehusika na mambo ya sheria

ndiye atakuwa mwenyekiti, na asipokuwepo Waziri anayehusika na masuala

ya mambo ya ndani, naye asipokuwepo Waziri anayehusika na afya. Kazi za

Tume

5.-(1) Kazi za Tume zitakuwa ni kutafsiri, kuendeleza na kuratibu

sera ya serikali ya udhibiti wa utumiaji mbaya wa madawa na usafirishaji,

Page 10: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

10

haswa katika- (a) kuendeleza na kutekeleza mpango wa kitaifa wa udhibiti wa

dawa; (b) kutekeleza masharti ya mikataba ya kimataifa ya dawana vitu

vya kulevya; (c) kuhuisha na kutohoa sheria na kanuni za udhibiti wa dawa; (d) kuendeleza uzuiaji wa utumiaji mbaya wa dawa na taarifa kwa

umma kwa vijana, familia, maprofesa, waalimu na umma kwa

ujumla kwa kusaidia mipango katika fani ya habari na uzuiaji; (e) kuundwa kwa mfumo wa ukusanyaji wa data na mfumo wa

uchambuzi katika hatua ya kitaifa kuhusu matumizi mabaya ya

dawa na usafirishaji wa dawa; (f) kuendeleza tiba na programu za ukarabati kwa waathirika; (g) kufanya utafiti wa utawaliwa wa dawa; (h) mafunzo ya watu wanaosimamia hatua zinazohusika na

utumiaji mbaya wa dawa na usafirishaji mbaya wa dawa na

wahusika na fedha haramu; (i) kuendeleza na kuhakikisha ushirikiano wa kimataifa; (j) kuhakikisha uratibu na msaada wa shughuli za taasisi zisizo za

kiserikali na vyama vinavyojishughulisha na matumizi mabaya

ya dawa; (2) Tume itahakikisha kwamba mahitaji ya mikataba ya kimataifa

yanatimizwa vizuri na Serikali katika ngazi ya taifa na katika uhusiano wake

na nchi zingine, na vyombo vya kimataifa vinavyosimamaia udhibiti wa

dawa pamoja na utekelezaji katika ngazi ya taifa na ya kimataifa ya vyombo

vya udhibiti wa dawa Ripoti ya

Tume

kuwasilishw

a bungeni

6. Tume itachapisha kila mwaka ripoti inayoelezea hali halisi ya taifa

na maendeleo yake kuhusiana na upatikanaji na uhitaji wa dawa na kuandaa

mapendekezo yanayoweza kuendeleza kupiga vita matumizi mabaya ya

madawa na ripoti hiyo kuwasilishwa Bungeni. Bajeti ya

Tume 7.-(1) Tume itakuwa na bajeti yake yenyewe ya kumsaidia Kamishna

na shughuli zingine maalum, hafla maalum zitakazofanywa na ofisi za umma

na taasisi, pamoja na mashirika, vyama na wahusika binafsi katika jitihada za

udhibiti wa matumizi mabaya ya dawa. (2) Fedha za bajeti ya Tume zitatokana na - (a) kiasi cha fedha kinachotolewa kwa Mfuko na Bunge ; (b) mali na thamani iliyokamatwa kutoka kwa wasafirishaji wa

dawa na kupewa mfuko wa taifa wa udhibiti wa utumiaji

mbaya wa dawa ulioanzishwa chini ya kifungu cha 11; (c) misaada inayotolewa kawa mfuko na ushirikiano wa serikali

mbalimbali na taasisi zisizo za serikali zinazojishughulisha na

jitihada za udhibiti wa dawa. (3) Tume itasimamia ugawaji na utumiaji wa fedha na kamishna na

itasimamia mfuko wa taifa wa matumizi mabaya ya dawa.

Page 11: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

11

(4) Pale mali zimetolewa kwa mfuko, Tume itaamua juu ya ugawaji

kwa umma au chombo binafsi kinachosimamia udhibiti wa matumizi mabaya

ya dawa kutegemea asili ya mali na uhitaji wa taasisi husika. Kamishan

kuhusika

katika

mikutano ya

wahusika wa

wizara

mbalimbali.

8. Kamishna atahusika katika mikutano ya wahusika wa Wizara

mbalimbali.

Kamishna

ataandaa

maamuzi na

kuhakikisha

utekelezaji

9. Kamishna ataandaa maamuzi ya Tume na kuhakikisha

yanatekelezwa bila kujali yaliyotangulia,kamishna -

(a) ataiwakilisha Tume katika mamlaka za kimataifa zilizo mahiri

katika masuala ya udhibiti wa dawa ;

(b) atatia moyo na kuratibu shughulli za wizara husika ; (c) atahakikisha mawasiliano yanayofaa na mashirika ya kimataifa

na kuhakikisha au kusaidia usambazaji wa taarifa na data kwa

vyombo mahiri vya kimataifa kama inavyotakiwa na mikataba; Tume

kutumia

fedha kwa

mahitaji

mablimbali

10. Tume itatumia fedha kwa mipango mbalimbali ili kutimiza

mahitaji maalum ya idara za serikali, taasisi za umma, au ofisi za

umma,vyama au wahusika binafsi katika kutekeleza maamuzi yake .

SEHEMU YA III

MFUKO WA UDHIBITI WA MATUMIZI MABAYA YA MADAWA

Kuanzish

wa kwa

mfuko

11.-(1) Tume itatoa notisi itakayo chapishwa katika gazeti la serikali,

ya kuunda mfuko utakaojulikana kama mfuko wa udhibiti wa matumizi

mabaya ya dawa na utaidhinishiwa-

(a) kiasi cha fedha kilichotolewa na Bunge;

(b) mauzo ya vitu vinavyotokana na mali iliyokamatwa chini ya

sehemu ya VI;

(c) misaada ambayo inaweza kutolewa na mtu yeyote au taasisi

yoyote;

(d) kipato chochote kinachotokana na uwekezaji wa kiasi

kilichoidhinishiwa kwenye mfuko chini ya masharti ya sheria

hii. (2) Mfuko utatumiwa na Tume kugharamia matumizi yaliyofanyika

yanayohusiana na hatua zilizochukuliwa kupambana na usafirishaji haramu

katika au udhibiti wa utumiaji mbaya wa madawa na vitu vya kulevya.

(3) Kamishna ataishauri Tume kuhusu na matumizi ya mfuko

Page 12: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

12

SEHEMU YA IV

KATAZO LA UMILIKI NA USAFIRISHAJI WA MADAWA NAVITU VYA

KULEVYA NA ULIMAJI WA MIMEA FULANI

Ukatazo wa ulimaji wa

mimea fulani na vitu

Sheria

Na 31 ya 1997 Jedw.

12. Mtu yeyote-

(a) atakayelima bangi,mmea wakoka au

kukusanya sehemu yoyote ya mmea wa

koka;

(b) atakayelima afyumi mpopi au papaver

setigerum;

(c) anayemiliki, anayeishi au anayeshughulikia

uendeshaji wa jengo lolote , akiruhusu

majengo kutumika kwa ulimaji, ukusanyaji

au uzalishaji wa dawa yoyote iliyotajwa

katika aya ya (a) na (b) ;

(d) atazalisha, atamiliki, atasafirisha, ataingiza

katika Jamhuri ya Muungano, atauza,

atanunua atatumia au kufanya jambo lolote

linalohusiana na jani la mpopi, mmea wa

koka, jani la koka, afyumi iliyotengenezwa,

afyumi mpopi, bangi, dawa iliyotengenezwa

au mchanganyiko wenye dawa

iliyotengenezwa, kitu cha kulevya,dawa ya

kulevya, kitendo hicho au kutotenda huko ni

sawa na uvunjaji wa masharti ya sheria hii

au taratibu au amri chini ya sheria hii,

atatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya

shilingi milioni moja au mara tatu ya bei ya soko ya mmea

uliokatazwa, kutegemea kilicho kikubwa zaidi, au kifungo

cha muda usiozidi miaka ishirini au kwa vyote faini na

kifungo .

Uwezo wa Tume kuruhusu

na kusimamia ulimaji,

uzalishaji au uuzaji n.k wa

afyumi, majani ya koka

n.k.

13.-(1) Kufuatana na masharti ya kifungu cha

12,Tume inaweza kwa kanuni-

(a) kuruhusu na kusimamia-

(i) ulimaji,au ukusanyaji (kiasi

chochote tu kwa ajili ya Serikali)

ya m mea wa koka,uzalishaji

umiliki,uuzaji,ununuzi, usafirishaji

uingizaji ndani ya Jamhuri ya

Muungano,utumiaji wa majani ya

koka;au

(ii) ulimaji, na (ulimaji huo kwa ajili tu

Page 13: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

13

ya serikali ) wa afyumi mpopi; au

(iii) uzalishaji na utengenezaji wa

afyumi na uzalishaji wa jani la

afyum;au

(iv) uuzaji wa afyumi na vizalishi vya

afyumi kutoka katika viwanda vya

Serikali kwa uuzaji nje ya Jamhuri

ya Muungano au kwa wakemia

wazalishaji;au (v) utengenezaji wa madawa ya

kutengeneza (zaidi ya mpopi

uliotengenezwa) lakini

hautajumuisha utengenezaji wa

mpopi wa dawa au maandalizi

yoyote yaliyo na dawa za

kutengeneza kutoka kwenye vifaa

ambavyo mtengenezaji

anaruhusiwa kihalali kumiliki; au (vi) utengenezaji,umiliki,usafirishaji,uu

zaji,ununuzi,utumiaji wa vitu vya

kulevya;au (vii) uingizaji ndani ya Jamhuri ya

Muungano na usafirishaji majini

wa madawa na vitu vya kulevya; (b) kuagiza jambo lingine lolote linalofaa ili

kufanya udhibiti wa serikali juu ya masuala

yaliyoainishwa chini ya aya ya (a) juu . (2) Bila ya kuathiri Mamlaka yaliyotolewa chini

ya kifungu kidogo cha (1), amri inaweza kutolewa na

Tume kuhusu uendeshaji wa leseni, vibali au vinginevyo

uzalishaji, utengenezaji, umiliki, usafirishaji, uingizaji,

upelekajikutoka Jamhuri ya Muungano, uuzaji, utumiaji,

utunzaji, usambazaji, uharibifu au upatikanaji wa dawa

yoyote au kitu cha kulevya. Madawa ya kulevya na vitu

vya kulevya kutokamatwa

14. Bila ya kujali jambo lolote kinyume na

sheria yoyote au mkataba, hakuna dawa ya kulevya, dawa,

kitu cha kulevya au mmea uliokatazwa, haitatakiwa

kushikiliwa na mtu yeyote kwaajili ya upatikanaji wa

fedha yoyote chini ya amri yoyote ya mahakama au

mamlaka yoyote au vinginevyo.

Vizuizi juu ya madawa na

vitu vya kulevya

15. Mtu yeyote wa Jamhuri ya Muungano

asijihusishe na au kuendasha biashara yoyote ya madawa

au vitu vya kulevya vinapatikana nje ya Jamhuri ya

Muungano au kutolewa kwa mtu yeyote nje ya Jamhuri ya

Page 14: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

14

Muungano isipokuwa kwa kibali au ruhusa ya Tume na

kwa masharti yanayoweza kuwekwa na Tume.

Adhabu kwa umiliki,

ununuzi, utengenezaji n.k

wa dawa za kulevya n.k.

16.-(1) Mtu yeyote ambaye-

(a) atamiliki au atafanya kitendo chochote

kuhusiana na dawa za kulevya au

mchanganyiko wenye madawa za

yaliyotengenezwa atatenda kosa na

akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya

shilingi milioni kumi au mara tatu ya bei ya

soko ya dawa za kulevya au mchanganyiko

wowote uliyo na dawa za zilizotengenezwa

au kilicho kikubwa zaidi au kifungo cha

maisha au kwa vyote faini na kifungo;

(b) atasafirisha dawa au kitu chochote cha

kulevya au kitu kilichotolewa au

kilichosemwa kuwa ni dawa au kitu cha

kulevya atatenda kosa na akihukumiwa

atatakiwa-

(i) kuhusiana na dawa yoyote au kitu

chochote cha kulevya faini ya shilingi

milioni kumi au mara tatu ya bei ya soko

la dawa au kitu cha kulevya, ambacho ni

kikubwa, na kuongezea hilo, kifungo cha

maisha lakini si kwa wakati wote iwe

pungufu ya miaka ishirini;

(ii) kuhusiana na vitu vyovyote vingine zaidi

ya dawa ya kulevya au kitu cha kulevya

ambacho kilichotolewa au kusemwa kuwa

ni madawa au vitu vya kulevya kwa faini

isiyopungua shilingi milioni moja na

nyongeza ya kifungo cha maisha lakini si

wakati wote itakuwa pungufu ya miaka

ishirini .

(2) mtu yeyote ambaye-

(a) anavuta, ananusa au vinginevyo anatumia

madawa au vitu vyovyote vya kulevya;

(b) bila uhalali na sababu ya kuridhisha

atakutwa katika nyumba yoyote chumba au

mahali kwa lengo la kuvuta, kunusa au

vinginevyo anatumia madawa au vitu vya

kulevya ;

(c) atakuwa anamiliki au yumo au anaendesha

jengo lolote au anasafirisha, anaruhusu

litumiwe kwa lengo la-

(i) kutayarisha afyumi kwa kuvuta au

Page 15: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

15

kuuza au kuvuta, kunusa au

vinginevyo kutumia madawa au

vitu vyovyote vya kulevya; au

(ii) kutengeneza,kuzalisha,kuuza au

kuvuta,kunusa au vinginevyo

kutumiwa kwa madawa au vitu

vyovyote vya kulevya; au

(d) ana katika umiliki bomba lolote au chombo

kingine kwa matumizi yanayohusiana na

uvutaji, unusaji au vinginevyo kutumia

afyumi, bangi, heroini au koka au chombo

chochote kilichotumika kuhusiana na

uvutaji, unusaji au vinginevyo kutumia

afyumi, bangi, heroni au koka au chombo

chochote kinachotumika katika kutengeneza

afyumi au dawa nyingine yoyote au kitu cha

kulevya kwa kuvuta ,

atatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa

faini ya shilingi milioni moja au kifungo cha

miaka kumi au vyote faini na kifungo

Adhabu kuhusiana na

umiliki, utumiaji wa kiasi

kidogo cha madawa au

vitu vya kulevya

17.-(1) Mtu yeyote ambaye amekwenda kinyume

na masharti ya sheria hii au taratibu yoyote au amri

iliyotayarishwa chini ya sheria hii, anakuwa na kiasi

kidogo cha dawa au kitu chochote cha kulevya ambacho

kimethibitika kilikuwa kinatakiwa kutumiwa na mtu

binafsi na si kwa kuuza au kugawa,au kutumia dawa au

kitu chochote cha kulevya, atatakiwa bila ya kujali mambo

mengine katika sehemu hii atawajibika -

(a) ikiwa dawa au kitu cha kulevya

iliyomilikiwa au kutumiwa ni kokeini,

mofimi au dawa au kitu kingine chochote

cha kulevya, kilichoainishwa na Tume

katika notisi iliyochapishwa katika gazeti la

Serikali, kutoa faini ya shilingi laki tatu au

kifungo cha miaka kumi au vyote faini na

kifungo;

(b) iwapo dawa au kitu cha kulevya

kinachomilikiwa au kutumiwa ni kile

ambacho hakijaainishwa chini ya aya ya

(a),kutoa faini ya shilingi laki mbili au

kifungo cha kipindi cha miaka saba au vyote

faini na kifungo

(2) kulingana na kifungu kidogo cha (1), “kiasi

kidogo” kwa madhumuni ya kifungu hiki maana yake ni

kiasi chochote ambacho kwa kanuni zilizochapishwa

Page 16: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

16

katika gazeti la serikali kimeainishwa na Tume.

(3) Endapo mtu atakutwa anamiliki dawa za

kulevya au vitu vya kulevya, jukumu la kuthibitisha

kwamba ilikuwa ni kwaajili ya matumizi binafsi ya mtu

huyo, na siyo kwa kuuza au kugawa itakuwa kwa mtu

huyo .

Adhabu ya kwenda

kinyume na kifungu cha

17

18. Mtu yeyote ambaye-

(a) anatumia dawa au kitu cha kulevya au

anasababisha au anaruhusu itumike

isipokuwa pale mtu aliyeruhusiwa na tabibu

au daktari wa meno anayefanya kazi yake na

kufuatana na maadili yaliyopo na kiwango

au utaratibu wa kitaalamu; anaruhusu; au

(b) anaongezea dawa au kitu cha kulevya

kwenye chakula au kinywaji bila ya

mtumiaji kufahamu; au

(c) kuuza, kugawa au kupata dawa au kitu cha

kulevya kwa kuonyesha maelezo huku

akijua au akiwa na sababu za kuamini

kwamba maelezo hayo yamegushiwa,

yamepatikana isivyo halali au yametolewa

zaidi ya miezi sita kabla ya kuwasilishwa,

anatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya

shilingi milioni tano, au kifungo cha miaka thelathini au

vyote faini na kifungo.

Adhabu kwa ubadhirifu wa

wakulima walioruhusiwa

19. Mtu yeyote aliyepewa leseni ya kulima afyumi

mpopi kwa ajili ya serikali,ambaye atafanya uharibifu au

vinginevyo ataharibu visivyo halali afyumi iliyozalishwa

au sehemu yoyote, atatenda kosa na akishtakiwa atatakiwa

kulipa faini ya shilingi milioni tano au kifungo cha miaka

isiyozidi thelathini au vyote, faini na kifungo na

mahakama inaweza kwa sababu zinazotakiwa kurekodiwa

katika hukumu kutoa faini inayozidi shilingi milioni tano

Adhabu kuhusiana na

kuvunja masharti ya leseni

au kibali

20. Pale mwenye leseni, kibali au ruhusa

aliyopewa kufuatana na masharti ya sheria hii na kanuni au

amri zilizotolewa chini ya sheria hii-

(a) anaacha bila sababu ya msingi kuweka

mahesabu au kutoa marejeo kulingana na

sheria hii au taratibu zake ;au

(b) anashindwa kutoa bila sababu ya msingi

kuweka mahesabu au kutoa marejesho

Page 17: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

17

kulingana na sheria hii au taratibu

ziliozowekwa;au

(c) anaweka mahesabu au taarifa ambayo ni ya

uongo au ambayo anafahamu au ana sababu

ya kuamini kuwa si sahihi;au

(d) kwa kukusudia na kwa kujua anatenda

kitendo chochote cha kuvunja sharti lolote la

leseni, kibali au ruhusa ambalo adhabu

imewekwa katika sehemu nyingine ya sheria

hii,

anatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya

shilingi milioni tano au kifungo cha kipindi cha miaka

thelathini au kwa vyote, faini na kifungo.

Adhabu kuhusiana na

kufadhili vitendo visivyo

halali

21. Mtu yeyote kwa kujua moja kwa moja au kwa

kuzunguka analipia fedha kitendo chochote

kilichoainishwa katika aya za (a) mpaka (f) ya kifungu cha

16, au anamhifadhi mtu yeyote anaye jishughulisha na

vitendo vilivyotajwa, anatenda kosa na akihukumiwa

atatakiwa kulipa faini ya shilingi milioni tano au kifungo

cha maisha.

Adhabu kuhusiana na

kusaidia utendaji wa

makosa chini ya sheria hii

22. Bila ya kujali kitu kingine chochote katika

sheria nyingine yoyote , mtu yeyote ambaye-

(a) atashirikiana na mtu mwingine yeyote; au

(b) atashawishi, atashauri, atasaidia au ataficha

au kujaribu kuficha kushawishi kushauri,

mtu mwingine yeyote kutenda; au

(c) atasababisha au atajaribu kusababisha

utendaji wa kosa chini ya sheria hii; au

(d) moja kwa moja au kwa kuzunguka

anahusika na utendaji wa kosa chini ya

sheria hii,

anaweza kushitakiwa, kusikilizwa, kuhukumiwa na

kuadhibiwa katika namna zote kama vile alikuwa

mkosaji mkuu.

Kujiandaa au kujaribu

kutenda kosa

23. Ikiwa mtu atajiandaa kutenda au kutotenda kitu

chochote ambacho ni kosa chini ya sehemu hii na

kutokana na mazingira ya jambo inaweza kueleweka

kwamba alikuwa amedhamiria kutenda kosa hilo lakini

akazuiliwa na mazingira bila kupenda kwake, atapewa

adhabu ya kifungo kisichopungua nusu ya kiwango cha

juu cha muda, ambacho angekuwa ameadhibiwa kama

Page 18: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

18

angetenda kosa hilo, na pia faini isiyopungua nusu ya

kiwango cha juu ambayo angelipa kama angeadhibiwa,

kama angetenda kosa hilo.

Adhabu kwa kutenda kosa

baada ya hukumu iliyopita

24.-(1) Mtu yeyote atakayehukumiwa kwa makosa

chini ya vifungu vya 16, 17, 20, 21 na 22 kwa kosa la pili

na kila kosa litakalofuata atatakiwa kulipa faini ya shilingi

milioni kumi au kifungo cha maisha.

(2) Pale mtu atahukumiwa na mahakama halali nje

ya Jamhuri ya Muungano chini ya sheria yoyote

inayoendana na vifungu vya 16, 17, 20, 21 na 22,

kulingana na hukumu hiyo, mtu huyo atashughulikiwa na

kifungu kidogo (1) cha kifungu hiki kama vile

amehukumiwa na mahakama ndani ya Jamhuri ya

Muungano.

Adhabu kwa makosa

ambayo adhabu

haijatolewa

25. Mtu yeyote ambaye atakwenda kinyume na

kifungu chochote cha sheria hii au amri au taratibu

zilizoandaliwa au sharti lolote la leseni, kibali au ruhusa

iliyotolewa chini ya sheria hii, ambapo hakuna adhabu

tofauti iliyotolewa chini ya Sehemu hii, akihukumiwa

atatakiwa kulipa faini isiyozidi shilingi milioni tano au

kifungo kisichopungua muda wa miaka thelathini au vyote

faini na kifungo.

Wajibu wa kuthibitisha

sheria Na:31 ya 1997 ; 9

ya 2002 Jedw

26.- (1) Katika shtaka lolote kwa kosa la kuwa na

kumiliki, kujishughulisha na kusafirisha, kuuza, kulima,

kununua, kutumia, kulipia dawa au kitu chochote cha

kulevya na wajibu wa kuthibitisha kwamba dawa au kitu

cha kulevya hicho kilimilikiwa, kilishughulikiwa,

kilisafirishwa, kiliuzwa, kililimwa, kilitumiwa au

kililipiwa kufuatana na sharti la leseni, kibali au ruhusa

iliyotolewa chini ya sheria hii, kanuni, taratibu au amri

zilizoandaliwa chini ya sheria hii, utakuwa kwa mtu

anayeshtakiwa.

(2) Bila ya kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha

(1).itakuwa ni utetezi kwa mtu yeyote aliyeshitakiwa kwa

kosa linalohusu umiliki wa dawa au kitu cha kulevya

iwapo ataithibitisha mahakama na kuiridhisha kwa

kuangalia mazingira ya kesi kwamba umiliki wa dawa au

kitu hicho ulikuwepo bila ufahamu.

Makosa yasiyokuwa na

dhamana sheria na:9 ya

1996 Jedw

Sheria na 9 ya 2002 Jedw.

27.-(1) Afisa polisi anayesimamia kituo cha polisi,

au mahakama ambayo mtuhumiwa ameletwa hatampa

dhamana mtu huyo iwapo-

Page 19: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

19

(a) mtu huyo ametuhumiwa kwa kosa linahusu

usafirishaji haramu wa madawa au vitu vya

kulevya lakini kwa kuzingatia mazingira

yote ya kutendwa kwa kosa haikuwa kwa

madumuni ya kusafirisha au kibiashara;

(b) mtu huyo ameshtakiwa kwa kosa

linalohusika na heroini, afyumi mpopi

kokeni, jani la mpopi, mmea wa koka,

majani ya koka, bangi au dawa au kitu

kingine chochote kilichoainishwa katika

jedwali katika sheria hii chenye thamani

iliyothibitishwa na Tume ya taifa ya kuratibu

uthibiti wa madawa isiyozidi shilingi milioni

kumi.

Sura ya 20 (2) Masharti ya kutoa dhamana yaliyoainishwa

katika kifungu cha 148 cha Sheria ya Mwenendo wa

Makosa ya Jinai itatumika sawasawa kwa makosa yote

yenye kupata dhamana chini ya sheria hii.

Makosa ya makampuni 28.-(1) Endapo kosa chini ya sheria hii limetendwa

na kampuni, kila mtu ambaye wakati wa utendaji wa kosa

alikuwa anasimamia kampuni katika biashara

atachukuliwa kuwa ametenda kosa na atatakiwa

kushitakiwa na kuadhibiwa ipasavyo.

(2) Maelezo yoyote yaliyo katika kifungu kidogo

cha (1) hayatampata mtu yeyote aadhibiwe ikiwa

atathibitisha kwamba kosa lilitendwa bila yeye kujua au

alijitahidi kuwa makini kuzuia kosa lisitendeke

(3) Bila kuathiri kifungu kidogo cha (1), pale kosa

lolote chini ya sehemu hii limefanywa na kampuni na

ikathibitika kwamba kosa limefanywa kwa kibali au

limesababishwa na uzembe wa mkurugenzi, katibu au

afisa mwingine wa kampuni itachukuliwa kuwa kampuni

inahitaji kushtakiwa na kuadhibiwa ipasavyo.

Kuachiwa kwa baadhi ya

watawaliwa kwa lengo la

kupatiwa tiba

29.-(1) Pale muathiriwa yeyote atayetiwa hatiani

kwa kosa chini ya kifungu cha 19 na mahakama husika

inaona kwa kuzingatia umri, tabia, wasifa au hali ya

kimwili na kiakili ya mtuhumiwa kwamba ni muhimu

kufanya hivyo bila kuathiri sheria hii au sheria nyingine

yoyote, mahakama inaweza badala ya kumhukumu

kifungo chochote, kwa ridhaa yake aachiliwe ili apate tiba

kutoka hospitali au taasisi inayotambuliwa na Serikali kwa

kuweka dhamana katika fomu iliyoelekezwa na Tume

akiwa na wadhamini au bila ya wadhamini ataelekezwa

kwenda mahakamani na kutoa ripoti katika kipindi

Page 20: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

20

kisichozidi miezi mitatu, ripoti inayohusu matokeo ya tiba

yake na wakati huohuo kuacha kutenda kosa lolote chini

ya Sehemu hii.

(2) Pale mtuhumiwa anaposhindwa kutii masharti

ya kuacha kutenda kosa baada ya mtuhumiwa kuachiwa na

mahakama kwenda kupata tiba kufuatana na kifungu

kidogo cha (1), mahakama inaweza kuamuru mtuhumiwa

afike mahakamani ili aweze kuhukumiwa.

SEHEMU YA V

UTARATIBU

Matumizi ya Sheria ya

Mwenendo wa Kesi za

Jinai na mabadiliko

muhimu

30.-(1) Masharti ya sheria yoyote ya Jamhuri ya

Muungano kuhusiana na ukamataji, ukaguzi na madaraka

ya kawaida na wajibu wa uchunguzi wa maafisa polisi,

forodha, na mapato au mtu mwingine yeyote mweneye

uwezo wa kukamata yatatumika katika sheria hii.

(2) Kufuatana na kifungu kidogo cha (1), afisa

yeyote aliyotajwa katika kifungu kidogo cha (1) anaweza

wakati wowote-

(a) kuingia na kukagua jengo lolote ,usafiri au

mahali;

(b) kama anazuiwa, kuvunja mlango wowote au

kuondoa kizuizi chochote katika kuingia

huko;

(c) kukamata madawa au kitu chochote

kinachotengenezwa na vifaa vilivyotumika

katika kutengeneza na kitu chochote au

usafiri ambao yeye ana sababu za kuamini

vimetumika katika kutenda kosa lolote chini

ya sheria hii .

(3) Pale afisa anapochukua taarifa kwa maandishi

chini ya kifungu kidogo cha (2) au anaweka kumbukumbu,

kuamini atatuma nakala yake kwa mkubwa wake wa kazi

(4) Masharti ya kifungu hiki yatatumika kwenye

makosa chini ya sehemu ya IV na kuhusiana na mmea wa

mkoka, afyumi, mpopi au mmea wa bangi na pia kwa

madhumuni haya, marjeo yatafanyika katika vifungu hivyo

kwa madawa au vitu vya kulevya itatafsiriwa kujumuisha

mmea wa mkoko, afyumi mpopi na mmea wa bangi.

Utaratibu wa ukamataji

pale utaifishaji

hauwezekani

31. Pale inapokuwa si rahisi kukamata mali yoyote

ikiwemo mazao ambayo yanatakiwa kutaifishwa chini ya

sheria hii, afisa yeyote aliyeruhusiwa chini ya kifungu cha

30 anaweza kumpa amri mwenye mali au mmiliki wa

mali, kwamba asiondoe, asioondoke au asitumie mali bila

ya kibali cha afisa huyo.

Page 21: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

21

Wajibu wa wenye ardhi

kutoa taarifa juu ya mimea

iliyolimwa kinyume cha

sheria

32.Kila mwenye ardhi atatakiwa kutoa taarifa

mapema kwa afisa yeyote wa polisi au afisa yeyote wa

idara zilizotajwa chini ya kifungu cha 30 juu ya afyumi

mpopi, mmea wa bangi au mmea wa mkoka ambao

unaweza kuwa umelimwa kinyume cha sheria kwenye

ardhi yake na kila mwenye ardhi ambaye ameacha kutoa

taarifa hiyo huku akijuwa, atachukuliwa kuwa ametenda

kosa, na akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya shilingi

milioni tano au kifungo cha miaka thelathini.

Uwezo wa kushikilia

mazao yaliyolimwa

kinyume cha sheria

33. Afisa yeyote chini ya sheria hii anaweza

kuamuru kushikiliwa kwa afyumi, mpopi, mmea wa bangi

au mmea wa mkoka ambao yeye anaamini kuwa

umelimwa kinyume cha sheria na anaweza kuamuru hivyo

akijumuisha amri ya kuharibu zao kama atakavyoona

inafaa.

Tume kuelekeza vitu

fulani kuharibiwa

34.-(1) Tume inaweza, ikizingatia hatari ya dawa

au kitu chochote cha kulevya, uwezekano wa kuibiwa,

kubadilishwa, ugumu wa mahali pa zuri pa kutunzia,

nafasi au sababu zingine muhimu kwa notisi iliyotangazwa

chini ya gazeti la serikali kuainisha dawa au kitu cha

kulevya mara zinapokamatwa kuharibiwa na afisa huyo

kwa namna ambayo Tume itaamua mara kwa mara, baada

ya kufuata utaratibu uliainishwa.

(2) Pale dawa au kitu chochote cha kulevya

kinapokamatwa na afisa, afisa huyo atatayarisha ya

madawa au vitu vya kulevya kuelezea kiasi chake,namna

ya ufungaji, alama, namba au taarifa nyingine za utambuzi

wa madawa au vitu hivyo vya kulevya na ufungaji wake,

nchi vilipotokea na taarifa zingine, ama afisa huyo

atakavyoona inafaa chini ya sheria hii na atatuma maombi

kwa hakimu yeyote mwenye mamlaka chini ya sheria hii,

kwa madhumuni ya -

(a) kuthibitisha uhalisia wa orodha

iliyotayarishwa;au

(b) kuchukua mbele ya hakimu,picha za

madawa au vitu na kuthibitisha kama picha

hizo ni halisi; au

(c) kuruhusu kuchukua sampuli za madawa au

vitu mbele ya hakimu na kuthibitishwa

uhalisia wa sampuli zilizochukuliwa .

(3) Pale ombi limefanyika chini ya kifungu kidogo

cha (2) hakimu atalikubali mapema iwezekanavyo ombi

hilo.

(4) Bila ya kuathiri chochote kilichopo chini ya

Page 22: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

22

Sura ya 6

Sura ya 20

Sheria ya Ushahidi au Sheria ya Mwenendo wa Jinai, kila

mahakama inayosikiliza kosa chini ya sheria hii

itachukulia picha za madawa na vitu vya kulevya na

sampuli zilizochukuliwa chini ya kifungu kidogo cha (2)

na kuthibitishwa na hakimu, kama ushahidi mkuu

kuhusiana na kosa hilo.

Uhusika wa taarifa chini

ya mazingira fulani

35. Taarifa iliyoandaliwa na kusainiwa na mtu

mbele ya afisa yeyote aliyeruhusiwa chini ya kifungu cha

29 kwaajili ya upelelezi wa makosa, wakati wa uchunguzi

au mwenendo wa afisa huyo, itahusika kwa lengo la

kuthibitisha shtaka la kosa chini ya sheria hii,ukweli wa

jambo utakuwa na-

(a) pale mtu aliyetoa taarifa anapofariki au

hapatikani au hawezi utoa ushahidi au

amezuiliwa na mhusika wa upande

mwingine au uwepo wake unakuwa mgumu

bila ya kuchelewa au gharama, chini ya

kulingana na mazingira ya kesi, mahakama

itaona si muhimu ;au

(b) pale mtu aliyeandaa taarifa anapohojiwa

kama shahidi katika kesi iliyo mbele ya

mahakama na mahakama inaona kuwa

kulingana na mazingira ya kesi taarifa

itabidi ipokelewe kama ushahidi kwa

madhumuni ya utendaji wa haki

Dhana ya umiliki wa vitu

haramu

36. Kesi chini ya sheria hii, zitachukuliwa kwamba

mtuhumiwa amendenda kosa mpaka kinyume chake

kithibitike chini ya sehemu ya IV kuhusiana-

(a) na dawa au kitu chochote cha kulevya;

(b) afyumi mpopi yoyote, mmea wa bangi au

mmea wa mkoka unaoota katika ardhi

yoyote aliyolima;

(c) chombo chochote kilichotengenezwa

maalum au kundi la vyombo maalum

vilivyochukuliwa kwa utengenezaji wa dawa

au kitu chochote chea kulevya; au

(d) vifaa vyovyote vilivyopitia mchakato

wowote kwa ajili ya utengenezaji wa dawa

au kitu cha kulevya, au mabaki yoyote

kutokana na dawa au kitu chochote cha

kulevya yaliyotengenezwa, kwa umiliki

ambapo anashindwa kuuelezea vizuri.

Maafisa walioruhusiwa

kusimamia vifaa

37.-(1) Afisa aliyeruhusiwa chini ya kifungu

kidogo cha (2) cha kifungu cha 30 atasimamia na kutunza,

Page 23: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

23

vilivyokamatwa vifaa vyote vilivyokamatwa chini ya kifungu cha 30 na

ataruhusu afisa aliyekamata kugonga lakiri katika vifaa

hivyo au kuchukua sampuli kutoka hapo na sampuli zote

zitagongwa lakiri ya afisa huyo na kusubiri amri za

hakimu.

(2) Afisa ambaye atashindwa kutii masharti chini

ya kifungu kidogo cha (1) au akipotea, atatenda kosa na

akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya shilingi milioni

moja au kifungo cha muda wa miaka mitano.

Wajibu wa maafisa

mbalimbali wa kusaidiana

38. Maafisa wote katika idara mbalimbali

zilizotajwa chini ya sheria hii, watatakiwa baada ya

kupewa notisi au ombi kufanywa kushirikiana katika

kutekekeleza masharti ya sheria hii

Ukamataji na ushikiliaji

utolewe taarifa katika

muda wa saa arobaini na

nane

39. Pale mtu yeyote anapokamata au kushikilia

chini ya sheria hii atatakiwa katika saa arobaini na nane

aripoti kuhusu taarifa za ukamataji na ushikiliaji huo kwa

mkuu wake wa kazi.

Adhabu ya kuingia kwa

upekuzi kwa nia mbayaau

ukamataji na ushikiaji,

40.-(1) Afisa yeyote amabaye ameruhusiwa chini

ya sheria hii kufanya lolote-

(a) bila ya sababu za msingi za kuwa na

wasiwasi, anaingia au anatafuta au

anasababisha kuingia au kutafuta kwenye

jengo lolote au mahali; au

(b) kwa nia mbaya na bila umuhimu anakamata

mali ya mtu yeyote kwa kujifanya kuwa

anakamata au anatafuta madawa au vitu

vyovyote vya kulevya au kitu kingine,

kinachotakiwa kutaifishwa chini ya sheria

hii au anakamata nyaraka yoyote au kitu

kinachotakiwa kukamatwa chini ya sheria

hii; au

(c) kwa nia mbaya na bila umuhimu

anamfungia, anafanya upekuzi au

anamkamata mtu yeyote,

anatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa

faini isiyozidi shilingi milioni tano au kifungo cha

muda wa miezi sita.

(2) Mtu yeyote mwenye nia mbaya na makusudi

anatoa taarifa za uongo na kusababisha kukamatwa au

upekuzi ufanyike chini ya sheria hii anatenda kosa na

akihukumiwa anatakiwa kulipa faini isiyozidi shilingi laki

tano au kifungo cha mwaka mmoja au vyote faini na

Page 24: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

24

kifungo.

Adhabu dhidi ya maafisa

wanaokataa kutimiza

wajibu au kusaidia

watuhumiwa

41.-(1) Afisa yeyote mwenye wajibu wowote

chini ya sheria-

(a) anayekataa kutimiza wajibu wake labda awe

na sababu halali ya kufanya hivyo; au

(b) anamwangalia mwathirika yeyote au mtu

mwingine yeyote amabye ameshtakiwa na

kosa chini ya sheria hii;

(c) anasaidia kwa kujua au anashiriki katika

kwenda kinyume na sheria hii au taratibu au

amri iliyotolewa,

anatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa

faini isiyozidi shilingi laki tano au kifungo cha

muda wa miaka miwili.

(2) Msemo “afisa” katika kifungu hiki unajumuisha

mtu yeyote aliyeajiriwa katika hospitali au taasisi

inayotambuliwa au kusimamiwa na serikali kwa kutoa tiba

kwa waathirika.

(3) Mahakama haitatambua kosa lolote chini ya

kifungu kidogo cha (10) isipokuwa lalamiko la mandishi

lililofanywa kuhusu adhabu ya Tume.

Uwezo wa kutaifisha vitu

au vifaa,n.k kuhusiana na

kosa

42.-(1) Pale kosa lolote chini ya sehemu ya IV

limetendwa, dawa au kitu cha kulevya, afyumi mkopi,

mmea wa mkoka, mmea wa bangi, vifaa au vyombo

kuhusiana na kosa lililotendwa vitatakiwa kutaifishwa.

(2) Dawa au kitu chochote cha kulevya

kilichozalishwa kihalali, kuletwa au kusafirishwa nje ya

Jamhuri ya Muungano, kutengenezwa kumilikiwa,

kutumiwa, kununuliwa au kuuzwa pamoja na au kwa

kuongezea kwa dawa au kitu ambacho kinatakiwa

kutaifishwa chini ya kifungu kidogo cha (1) na mifuko

yake, vifungashio, vifuniko ambavyo dawa au kitu

chochote cha kulevya, vitu, vyombo vinavyotakiwa

kutaifishwa chini ya kifungu kidogo cha (1) vinapatikana

na vitu vingine vifungashio, vifuniko navyo vitatakiwa

kutaifishwa.

(3) Mali yoyote iliyotumika kuficha dawa au kitu

chochote cha kulevya kinachotakiwa kutaifishwa chini ya

sheria hii navyo vitataifishwa pia.

Page 25: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

25

(4) Pale dawa au kitu chochote cha kulevya

kinapouzwa na mtu huku akijua au akiwa na sababu za

kuamini kwamba dawa au kitu hicho kinatakiwa

kutaifishwa, pesa zitokanazo na mauzo yake pia

yatataifishwa.

Utaifishaji kukiwa hakuna

kuhukumiwa

43.- (1) Katika kusikiliza kesi chini ya sheria hii,

ama mtuhumiwa amehukumiwa au ameachiwa ,

mahakama itaamua kama kifaa au kitu kilichokamatwa

chini ya sheria hii kitatakiwa kutaifishwa chini ya kifungu

hiki na iwapo ikiamua hivyo, itaamuru utaifishaji wake

ufanyike ipasavyo.

(2) Pale kifaa au kitu chini ya sheria hii

kinapoonekana kustahili kutaifishwa lakini aliyefanya kosa

hafahamiki au hapatikani, mahakama inaweza kuchunguza

na kuamua kuamuru utaifishwaji ipasavyo.

(3) Amri ya utaifishaji wa kitu au kifaa

haitatolewa-

(a) mpaka uishe mwezi mmoja kuanzia siku ile

ya kukamatwa; au

(b) bila ya kusikilizwa kwa mtu yeyote anayedai

haki ;au

(c) bila ya ushahidi kama upo uliotolewa

kuhusiana na dai .

(4) Iwapo kifaa au kitu mbali na dawa au kitu cha

kulevya, afyumi mpopi, mmea wa mkoka au mmea wa

bangi, kinaweza kuharibika upesi au kwa mtazamo wa

mahakama kwamba uuzaji wake utakuwa kwa faida ya

mwenye mali, inaweza wakati wowote kuamuru iuzwe, na

masharti ya kifungu kidogo hiki yatatumika kwa fedha

zilizotokana na mauzo.

(5) Mtu yeyote anayedai haki yoyote ya mali

ambayo imetaifishwa chini ya sheria hii, anaweza kukata

rufaa Mahakama Kuu dhidi ya amri ya utaifishwaji.

Dhana ya nyaraka katika

kesi fulani

44.Ikiwa nyaraka yoyote -

(a) imetolewa au kutumwa na mtu yeyote au

imekamatwa kutoka kwenye uangalizi au

udhibiti wa mtu yeyote chini ya sheria hii,au

chini ya sheria yoyote;au

(b) imepokelewa kutoka mahali popote nje ya

Jamhuri ya Muungano na imekubaliwa na

Page 26: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

26

mamlaka au mtu huyo kwa namna kama

ilivyoelekezwa na Tume,

katika mwenendo wa upepelezi wa kosa lolote chini ya

sheria hii, iwapo nyaraka hiyo itatolewa katika mwenendo

chini ya sheria hii kama ushahidi dhidi yake au mtu

mwingine yeyote ambaye wameshtakiwa naye kwa

pamoja, mahakama itatakiwa-

(i) kuikubali nyaraka katika ushahidi, bila ya

kujali kwamba haijawekwa muhuri

ipasavyo, iwapo nyaraka hiyo inakubalika

katika ushahidi ;

(ii) katika kesi inayoangukia aya ya (a)

itachukuliwa kuwa yaliyomo ni kweli pia,

labda kama kinyume chake kitathibitika.

Uwezo wa afisa

aliyeruhusiwa kuita taarifa

45.-(1) Afisa yeyote ambaye ameruhusiwa chini ya

sheria hii anaweza,wakati wa uchunguzi unaohusiana na

kwenda kinyume na masharti yoyote ya sheria hii-

(a) kutaka taarifa kutoka kwa mtu yeyote kwa

lengo la kujiridhisha mwenyewe iwapo kuna

kwenda kinyume na masharti ya sheria au

taratibu au amri iliyofanywa chini yake;

(b) kumtaka mtu yeyote kutoa au kupeleka

nyaraka yoyote au kitu muhimu au

kinachohusiana na uchunguzi.

(2) Afisa anayetekeleza madaraka yake chini ya

sheria hii au taratibu au amri hatatakiwa kulazimishwa

kusema alipata wapi taarifa yoyote kuhusiana na utendaji

wa kosa lolote.

SEHEMU YA

KUKAMATWA KWA MALI ITOKANAYO AU ILIYOTUMIKA KATIKA

USAFIRISHAJI HARAMU

Ukamataji wa mali

Sura ya 256

46.-(1) Kufuatana na sehemu hii, pale mtu yeyote

anapohukumiwa kwa kosa chini ya sehemu hii, mali yake

wakati wa tarehe ya hukumu au baada ya hapo,

itataifishwa na serikali kufuatana na Sheria ya Matunda

yatokanayo na Uhalifu.

(2) Masharti ya kifungu kidogo cha (1) yatatumika

kwa-

(a) kila mtu ambaye amehukumiwa kwa kosa

chini ya sheria hii;

(b) kila mtu ambaye amehukumiwa kwa kosa

hilohilo na mahakama yenye mamlaka ya

kusikiliza kesi za jinai;

Page 27: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

27

(c) kila anayeshirikiana na mtu aliyetajwa chini

ya aya za (a) na (b).

(3) Kwa madhumuni ya sehemu hii, labda

muktadha uhitaji vinginevyo, “ushirika” maana yake ni -

(a) mtu yeyote ambaye amekuwa akisimamia

masuala au kuweka mahesabu ya mtu huyo;

(b) mdhamini wa dhamana pale-

(i) dhamana ilianzishwa na mtu huyo;

au

(ii) thamani ya mali iliyotolewa na mtu

huyo kwa wadhamini inafikia si

chini ya asilimia ishirini ya thamani

ya dhamana hiyo.

(4) Pale afisa aliyeruhusiwa kwa mandishi anaona

mali yoyote ya mtu huyo imeshikwa kwa niaba yake na

mtu mwingine yeyote, afisa huyo ataamuru mtu mwingine

huyo apeleke mali hiyo kwa lengo la kuitaifisha

Kukataza kushika mali

iliyopatikana isivyo halali

47.-(1) Mtu hatatakiwa kuwa na mali iliyopatikana

isivyo halali ama na yeye mwenyewe au kupitia kwa mtu

mwingine kwa niaba yake.

Sura ya 256

(2) Pale mtu yeyote anaposhika mali yoyote

iliyopatikana isivyo halali kinyume na kifungu kidogo cha

(1), mali hiyo itataifishwa kwa Tume kulingana na sehemu

ya IV ya Sheria ya Matunda yatokanayo na Uhalifu.

(3) Mali haitataifishwa chini ya sehemu hii ikiwa

mali hiyo ilikuwa ya mtu ambaye sheria hii imetumika

kabla ya kipindi cha miaka mitatu kutoka tarehe ambayo

alishtakiwa kwa kosa linalohusiana na usafirishaji haramu.

Kamishna kuruhusu

upelelezi au upimaji

48.-(1) Tume inaweza kumruhusu afisa yeyote au

kundi la watu kwa amri au kuelekeza afisa huyo akipata

taarifa kwamba mtu yeyote ambaye sehemu hii inamhusu

ameshtakiwa kwa kosa ama limefanyika ndani ya Jamhuri

ya Muungano au nje, aendelee kuchukua hatua zote

muhimu za kutafuta na kutambua mali yoyote

iliyopatikana isivyo halali.

(2) Pale afisa anayefanya upelelezi au uchunguzi

chini ya kifungu kidogo cha (1) anapokuwa na sababu za

kuamini kwamba mali yoyote inayohusiana na uchunguzi

au upelelezi unaofanyika ni mali iliyopotikana isivyo

halali na kuna uwezekano wa mali hiyo kufichwa,

kuhamishwa au kushughulikiwa kwa namna ambayo

itavuruga mwenendo wowote wa kutaifisha mali hiyo

chini ya sehemu hii, anaweza kuamuru utaifishwaji wa

Page 28: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

28

mali na pale ambapo haiwezekani kuitaifisha anaweza

kuamuru mali hiyo isihamishwe au isishughulikiwe

vinginevyo bila ya kibali cha afisa anayetoa amri hiyo au

ya mamlaka halali na nakala ya amri hiyo itatumwa kwa

mtu anayehusika.

(3) Iwapo mali yoyote iliyotajwa chini ya kifungu

kidogo cha (4) inahamishwa kwa namna yoyote, uhamisho

huo utakuwa batili ikiwa mali imetaifishwa na Tume.

(4) Afisa anayefanya upepelelezi anaweza kumwita

mtu katika kipindi cha siku thelathini kuelezea chimbuko

la kipato au mali, namna alivyopata mali hizo na kutoa

sababu kwanini mali zote au mojawapo ya mali hizo

zisitangazwe kuwa zimepatikana isivyo halali na

kutaifishwa na Tume.

(5) Iwapo mtu aliyedhurika hajatokea mbele ya

afisa aliyeruhusiwa kuelezea kesi yake katika kipindi

kilichowekwa, afisa huyo ataendelea kuweka

kumbukumbu kwa msingi wa ushahidi ulioko mbele yake.

Wajibu wa kuthibitisha

49. Katika mwenendo wowote chini ya sehemu hii,

wajibu wa kuthibisha kwamba mali yoyote haijapatikana

isivyo halali itakuwa kwa mtu aliyeathirika.

Malipo badala ya

kutaifishwa

50. Pale afisa aliyeruhusiwa anatangaza kwamba

mali yoyote inayotegemewa kutaifishwa na Tume na

kwamba ni sehemu ya kiini cha mali iliyopatikana kwa

njia haramu haijaweza kuthibitishwa na kumridhisha afisa

aliyeruhusiwa, afisa huyo atatoa amri inayotoa uchaguzi

kwa mtu anayetakiwa kuathirika kulipa kiasi cha fedha

ambacho ni sawa na thamani ya soko ya sehemu hiyo

badala ya kutaifishwa.

Rufani

51. Mtu yeyote asiyeridhika na uamuzi wowote wa

afisa aliyeruhusiwa anaweza ndani ya siku thelathini

kutoka siku ya uamuzi huo kukata rufani ya Mahakama

Kuu.

Uwezo wa kumiliki 52.-(1) Pale mali yoyote imetajwa kuwa

imetaifishwa na Tume au mtu aliyeathirika anashindwa

kulipa kiasi hicho cha fedha afisa aliye ruhusiwa anaweza

kuamuru mtu aliyeathirika au mtu mwingine yeyote

mwenye mali hiyo kuiachia au kutoa umiliki wake.

(2) Mtu yeyote anayekataa au kushindwa kutii amri

iliyotolewa chini ya kifungu kidogo cha (1) anatenda kosa

na Tume inaweza kuchukua mali yake na kwa ajili hiyo

inaweza kutumia nguvu inayostahili .

Page 29: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

29

Makubaliano kuhusiana na

ufuatiliaji,upatikanaji,n.k

wa mali

53.-(1) Serikali ya Jamhuri ya Mungano inaweza

kuingia katika makubaliano-

(a) na serikali ya nchi yoyote na kuweka

masharti ya upatikanaji na ukabidhianaji

wa mali kwa Serikali ya Jamhuri ya

Muungano, wa mali yoyote iliyotaifishwa

na iko katika nchi ile au kwa kuifuatilia na

kuitunza mali yoyote katika nchi ile

iliyomo ikimilikiwa au kuwa chini ya

udhibiti wa mtu yeyote ambaye anayo au

anashukiwa kuwa ametenda kosa chini ya

sheria hii; au

(b) kwa kubadilishana na serikali ya nchi

yoyote kuhusiana na upatikanaji na

ukabidhianaji wa mali kwa serikali ya nchi

hiyo wa mali yoyote ndani ya Jamhuri ya

Muungano, ambayo imetaifishwa na au

imetwaliwa na Tume ya nchi hiyo

kutokana na kosa la mtu yeyote chini ya

sheria kama hiyo ya nchi hiyo, au kwa

kuwa na au kutunza mali yoyote ndani ya

Jamhuri ya Muungano iliyomilikiwa au

kudhibitiwa na mtu yeyote anayeshukiwa

kutenda kosa chini ya sheria kama hiyo.

Sura ya 254

(2) Kitu chochote katika kifungu kidogo cha (1)

cha kifungu hiki hakitatafsiriwa kama kuzuia kupatiwa au

kupatikanaakwa msaada katika masuala ya jinai

vinginevyo zaidi ya kama ilivyoonyeshwa chini ya Sheria

ya Msaada katika Masuala ya Jinai.

SEHEMU YA VII

MASHARTI YA JUMLA

Ulinzi kwa vitendo

vilivyofanywa kwa nia

nzuri

54. Shauri, mashtaka au mwenendo

hautachukuliwa dhidi ya Tume au afisa wa serikali au mtu

mwingine yeyote anayetekeleza madaraka au kazi yoyote

au anayetekeleza wajibu wowote kwa nia njema au

inayotarajia kufanyika chini ya sheria hii, taratibu yoyote

au amri iliyotolewa chini ya sheria hii.

Tume kuzingatia mikataba

ya kimataifa wakati wa

kuanadaa taratibu.

55. Pale Tume inapopewa mamlaka ya kuandaa

taratibu, inaweza, wakati wa kuandaa taratibu kuzingatia

masharti ya Mkataba wa Madawa ya Kulevya, 1961,

Itifaki ya 1972 iliyorekebisha mkataba huo na Mkataba wa

Vitu vya Kulevya, Mkataba wa Umoja wa Mataifa dhidi

Page 30: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

30

ya Usafirishaji Haramu wa Madawa na Vitu vya Kulevya

uliokubaliwa 19 Desemba,1988, na masharti ya mkataba

mwingine wowote unaohusiana na madawa au vitu vya

kulevya ambao Jamhuri ya Muungano ni mhusika.

Mamlaka ya Serikali

kuanzisha vituo vya

utambuzi,tiba, n.k kwa

waathirika na upatikanaji

wa madawa ya kulevya

56.-(1) Serikali inaweza kwa utashi wake

kuanzisha vutuo vingi kama itakavyoona inafaa vya

utambuzi, tiba, elimu, matunzo, urekebishaji wa

waathirika na kwa upatikanaji, kulingana na masharti na

kwa namna itakavyoelekezwa na Tume wa dawa au kitu

chochote cha kulevya kwa waathirika walioandikishwa na

serikali na kwa wengine pale ambapo upatikanaji huo ni

muhimu kwa tiba.

(2) Tume inaweza kuandaa taratibu zinazoendana

na sheria hii kuhusu uanzishwaji, utunzaji, uteuzi, na

usimamizi, upatikanaji wa madawa na vitu vya kulevya

kutoka katika vituo vilivyotajwa chini ya kifungu kidogo

cha (1) na kwa uteuzi, mafunzo, uwezo, wajibu na watu

watakaofanya kazi katika vituo hivyo.

Kiwango cha mamlaka 57. Mahakama ya kesi za madai

haitakayoshughulikia shauri au mwenendo dhidi ya

uamuzi wowote uliofanywa au amri iliyopitishwa na afisa

yeyote au mamlaka chini ya sheria hii au taratibu

zilizoandaliwa chini ya sheria hii juu ya mojawapo ya

masuala yafuatayo, yaani-

(a) kushikilia, kukataa au kufuta leseni yoyote ya

ulimaji wa afyumi mpopi;

(b) upimaji,uchunguzi na ukadiriaji kulingana na

ubora wa mpopi na makato yoyote au ongezeko

kwa bei ya kawaida iliyowekwa kulingana na

uchunguzi huo;

(c) Utaifishwaji wa mipopi iliyokutwa

imechanganywa na kitu kingine.

Mamlaka ya Tume kutoa

maelekezo

58. Tume inaweza kutoa maelekezo kama

itakavyoona muhimu kwa idara yoyote ya serikali

kuhusiana na utekelezaji wa masharti ya sheria hii, na

kwamba idara hiyo itatii maelekezo hayo.

Mamlaka ya kukaimisha 59. Tume inaweza, kwa notisi katika gazeti la

serikali, kukaimisha kulingana na masharti na kikomo

kama itakavyoonyeshwa kwenye notisi, mamlaka na kazi

hizo (isipokuwa ya kuandaa kanuni) kama itakavyoona

muhimu au lazima, kwa mamlaka nyingine au kwa

kamishna dhidi ya madawa.

Page 31: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

31

Mamlaka ya Serikali Kuu

kuandaa taratibu

60.-(1) Kufuatia masharti mengine ya Sheria hii,

Tume inaweza, kwa notisi katika gazeti la serikali,

kuandaa taratibu za utekelezaji wa malengo ya sheria hii.

(2) Bila ya kuathiri ujumla wa mamlaka haya,

taratibu hizo zinaweza kushughulikia mambo yote au

mojawapo ya masuala haya, yaani-

(a) namna ambayo asilimia katika suala la

matayarisho ya majimaji yanaweza

kukokotolewa;

(b) aina ya dhamana itakayotolewa ili kuachiwa

kwa mtu mzima aliyetiwa hatiani kwaajili ya

tiba chini ya kifungu kidogo cha(1) cha kifungu

cha 40 na dhamana kutolewa na mfungwa

kabla ya kuachiwa kwake chini ya kifungu

kidogo cha (2) cha kifungu hicho;

(c) mamlaka au mtu ambaye, na kwa namna

ambayo nyaraka imepokelewa kutoka mahali

popote nje ya Jamhuri ya Muungano

itathibitika;

(d) namna ambayo na masharti kufuatia mali

zilizokamatwa na zilizotaifishwa

zitakavyasimamiwa;

(e) kuachiwa kwa vitu au vifaa vilivyotaifishwa

chini ya sheria hii;

(f) kuchukuwa sampuli na kuzipima na uchunguzi

wa sampuli hizo;

(g) zawadi itakayotolewa kwa maafisa, watoa

habari na watu wengine;

(h) masharti na namna ambavyo madawa na vitu

vya kulevya vinaweza kutolewa kama tiba kwa

waathirika waliosajiliwa na Serikali na kwa

wengine kulingana na masharti ya sheria hii;

(i) Jambo lingine lolote ambalo ni la kuelekezwa

au linaweza kuelekezwa.

Kutumika kwa Sheria ya

Forodha(Usimamizi na

Ushuru),Sura ya 403

61.-(1) Makatazo yote na vizuizi vilivyowekwa na,

au chini ya sheria hii juu ya vitu vinavyoingizwa katika

Jamhuri ya Muungano, vitu vinavyouzwa kutoka Jamhuri

ya Muungano na kusafirishwa kwa madawa na vitu vya

kulevya itachukuliwa kuwa ni makatazo na vizuizi

viliyowekwa na, au chini ya Sheria ya Forodha

(Usimamizi na Ushuru) na masharti ya sheria hiyo

yatatumika ipasavyo.

(2) Pale kitendo chochote kinapokuwa ni kosa

linaloadhibiwa chini ya Sheria ya Forodha (Usimamizi na

Page 32: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

32

Sura ya 403

Ushuru) na chini ya sheria hii, hakuna kitu katika sheria ile

au katika kifungu hiki kitazuia mtuhumiwa kuadhibiwa

chini ya sheria hii.

Utumiikaji wa Sheria ya

Madawa na Sumu

kuzuiwa, Sura ya 219

62. Masharti ya sheria hii au taratibu chini ya

sheria hii zitakuwa ni nyongeza na sio ya kupuuza Sheria

ya Madawa na Sumu au taratibu zilizoandaliwa chini hiyo.

Kutumika wa sheria

63. Katika sheria hii au taratibu zake hakuna kitu

kitaathiri uhalali wa sheria yoyote inayotumika, au taratibu

yoyote chini yake ambayo inaweka vizuizi au kutoa

adhabu ambayo haijawekwa chini ya sheria hii au kuweka

vizuizi au kutoa adhabu kubwa kuliko kizuizi kama hicho

kilichotolewa na au adhabu inayotolewa chini ya sheria hii

kwa ulimaji wa bangi, au utumiaji wa, usafirishaji wa

dawa au kitu cha kulevya ndani ya Jamhuri ya Muungano.

Kufuta na kutumika

64. –(1) [Inafuta Sura ya 134 na 95]

(2) Bila ya kujali kufutwa huko, kitu chochote

kitakachofanyika au kitendo chochote kitakachotendwa au

kuchukuliwa kimetendeka au kufanyika chini ya sheria

zozote zilizofutwa na kifungu kidogo cha (1), ilimradi

havipingani na masharti ya sheria hii, vitachukuliwa kuwa

vimefanyika chini ya masharti yanayofanana ya sheria hii.

Imefuta

65. [Imefutwa na Sheria Na, 31 ya 1997 Jedw.]

Imefuta

66. [Imefutwa na Sheria Na.13 ya 1984]

Kurekebisha Sura ya 256

67. [Imerekebisha Sheria ya Mapato

Yatokanayo na Jinai]

Page 33: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

33

______

Sheria Na.31 ya 1997 Jedw. JEDWALI LA KWANZA

Na 9 ya 2002 Jedw.. _____

ORODHA YA MADAWA YALIYOWEKWA KATIKA JEDWALI LA MKATABA

WA MADAWA YA KULEVYA, 1961

___

(Kifungu cha 23 (3))

___

Acetorphine (3-O-acetyltetrahydro- 7α-(1-hydroxy-1-methylbutyl)-6,14-endoetheno-oripavine)

Acetyl-alpha-methylfentanyl (N-[1-(a-methylphenethyl)-4-piperidyl]acetanilide)

Acetylmethadol (3-acetoxy-6-dimethylamino-4,4-diphenylheptane)

Alfentanil (N-[1-[2-(4-ethyl-4,5-dihydro-5-oxo-1H-tetrazol-1-yl)ethyl]-4-(methoxymethyl)-4-

piperidiny]-N-phenylpropanamide

Allylprodine (3-allyl-1-methyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine)

Alphacetylmethadol (alpha-3-acetoxy-6-dimethylamino-4,4-diphenylheptane)

Alphameprodine (alpha-3-ethyl-1-methyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine)

Alphamethadol (alpha-6-dimethylamino-4,4-diphenyl-3-heptanol)

Alpha-methylfentanyl (N-[1(a-methylphenethyl)-4-piperidyl]propionanilide)

Alpha-methylthiofentanyl (N-[1-[1-methyl-2-(2-thienyl)ethyl]-4-piperidyl]propionanilide)

Alphaprodine (alpha-1,3-dimethyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine)

Anileridine (1-para-aminophenethyl-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)

Benzethidine (1-(2-benzyloxyethyl)-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)

Benzylmorphine (benzylmorphine)

Betacetylmethadol (beta-3-acetoxy-6-dimethylamino-4,4-diphenylheptane)

Beta-hydroxyfentanyl (N-[1-(beta-hydroxyphenethyl)-4-piperidyl]propionanilide)

Beta-hydroxy-3-methylfentantyl (N-[1-(beta-hydroxyphenethyl)-3-methyl-4-

piperidyl]propionanilide)

Betameprodine (beta-3-ethyl-1-methyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine)

Betamethadol (beta-6-dimethylamino-4,4-diphenyl-3-heptanol)

Betaprodine (beta-1,3-dimethyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine)

Bezitramide (1-(3-cyano-3,3-diphenylpropyl)-4-(2-oxo-3-propionyl-1-benzimidazolinyl)-

piperidine)

Cannabis (Indian Hemp) and cannabis resin (resin of Indian Hemp)

Catha edulis (khat)

Clonitazene (2-para-chlorbenzyl-1-diethylaminoethyl-5-nitrobenzimidazole)

Coca Leaf

Cocaine (methyl ester of benzoylecgonine)

Codoxime (dihydrocodeinone-6-carboxymethyloxime)

Jani la mpopi limeingia katika hatua ya alkaloidi pale vitu hivyo vinapatikana katika biashara.)

Desomorphine (dihydrodeoxymorphine)

Dextromoramide ((+)-4-[2-methyl-4-oxo-3,3-diphenyl-4-(1-pyrrolidinyl)butyl)-morpholine)

Diampromide (N-[2-(methylphenethylamino)-propyl]propionanilide)

Diethylthiambutene (diethylamino-1,1-di-(2-thienyl)-1-butene)

Difenoxin (1-(3-cyano-3,3-diphenylpropyl)-4-phenylisonipecotic acid)

Dihydromorphine

Page 34: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

34

Dimenoxadol (2-dimethylaminoethyl-1-ethoxy-1,1-diphenylacetate)

Dimepheptanol (6-dimethylamino-4,4-diphenyl-3-heptanol)

Dimethylthiambutene (dimethylamino-1,1-di-(2-thienyl)-1-butene)

Dioxaphetyl butyrate (ethyl-4-morpholino-2,2-diphenylbutyrate)

Diphenoxylate (1-(3-cyano-3,3-diphenylpropyl)-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)

Dipipanone (4,4-diphenyl-6-piperidine-3-heptanone)

Drotebanol (3,4-dimethoxy-17-methylmorphinan-6ß,14-diol)

Ecgonine, its esters and derivatives, which are convertible to ecgonise and cocaine

Ethylmethylthiambutene (3-ethylmethylamino-1,1-di-(2-thienyl)-1-butene)

Etonitazene (1-diethylaminoethyl-2-para-ethoxybenzyl-5-nitrobenzimidazole)

Etorphine (tetrahydro-7α-(1-hydroxy-1-methylbutyl)-6,14-endoetheno-oripavine)

Etoxeridine (1-[2-(2-hydroxyethoxy)-ethyl]-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)

Fentanyl (1-phenethyl-4-N-propionylanilinopiperidine)

Furethidine (1-(2-tetrahydrofurfuryloxyethyl)-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)

Heroin (diacetylmorphine)

Hydrocodone (dihydrocodeinone)

Hydromorphinol (14-hydroxydihydromorphine)

Hydroxypethidine (4-meta-hydroxyphenyl-1-methylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)

Isomethadone (6-dimethylamino-5-methyl-4,4-diphenyl-3-hexanone)

Ketobemidone (4-meta-hydroxyphenyl-1-methyl-4-propionylpiperidine)

Levomethorphan ((-)-3-methoxy-N-methylmorphinan)

Levomoramide ((-)-4-[2-methyl-4-oxo-3,3-diphenyl-4-(1-pyrrolidinyl)-butyl]morpholine)

Levophenacylmorphan ((-)-3-hydroxy-N-phenacylmorphinan)

Levorphanol ((-)-3-hydroxy-N-methylmorphinan)

Metazocine (2'-hydroxy-2,5,9-trimethyl-6,7-benzomorphan)

Methadone (6-dimethylamino-4,4-diphenyl-3-heptanone)

Methadone intermediate (4-cyano-2-dimethylamino-4,4-diphenylbutane)

Methyldesorphine (6-methyl-delta-6-deoxymorphine)

Methyldihydromorphine (6-methyldihydromorphine)

Page 35: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

35

3-methylfentanyl (N-(3-methyl-1-phenethyl-4-piperidyl)propionanilide)

3-methylthiofentanyl (N-[3-methyl-1-[2-(2-thienyl)ethyl]-4-piperidyl]propionanilide)

Metopon (5-methyldihydromorphinone)

Mirungi

Moramide intermediate (2-methyl-3-morpholino-1,1-diphenylpropane carboxylic acid)

Morpheridine (1-(2-morpholinoethyl)-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)

Morphine

Morphine methobromide and other pentavalent nitrogen morphine derivatives, including in

particular the morphine-N-oxide derivatives, one of which is Codeine-N-oxide

Morphine-N-Oxide

MPPP (1-methyl-4-phenyl-4-piperidinol propionate ester)

Myrophine (myristylbenzylmorphine)

Nicomorphine (3,6-dinicotinylmorphine)

Noracymethadol ((±)-alpha-3-acetoxy-6-methylamino-4,4-diphenylheptane)

Norlevorphenol ((-)-3-hydroxymorphinan)

Normethadone (dimethylamino-4,4-diphenyl-3-hexanone)

Normorphine (demethylmorphine) or (N-demethylated morphine)

Norpipanone (4,4-diphenyl-6-piperidino-3-hexanone)

Oxycodone (hydroxydihydrocodeinone)

Oxymorphone (14-hydroxydihydromorphinone)

Para-fluorofentanyl (4'-fluoro-N-(1-phenethyl-4-piperidyl)propionanilide)

PEPAP (1-phenethyl-4-phenyl-4-piperidinol acetate ester)

Pethidine (1-methyl-phenylpiperidine-1-carboxylic acid ethyl ester)

Pethidine intermediate A (4-cyano-1-methyl-4-phenylpiperidine)

Pethidine intermediate B (4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)

Pethidine intermediate C (1-methyl-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid)

Phenadoxone (6-morpholino-4,4-diphenyl-3-heptanone)

Phenampromide (N-(1-methyl-2-piperidinoethyl)-propionanilide)

Phenazocine (2'-hydroxy-5,9-dimethyl-2-phenethyl-6,7-benzomorphan)

Page 36: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

36

Phenomorphan (3-hydroxy-N-phenethylmorphinan)

Phenoperidine (1-(3-hydroxy-3-phenylpropyl)-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)

Piminodine (4-phenyl-1-(3-phenylaminopropyl)-piperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)

Piritramide (1-(3-cyano-3,3-diphenylpropyl)-4-(1-piperidino)-piperidine-4-carboxylic acid amide)

Proheptazine (1,3-dimethyl-4-phenyl-4-propionoxyazacycloheptane)

Properidine (1-methyl-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid isopropyl ester)

Racemethorphan ((±)-3-methoxy-N-methylmorphinan)

Racemoramide ((±)-4-[2-methyl-4-oxo-3,3-diphenyl-4-(1-pyrrolidinyl)-butyl]-morpholine)

Racemorphan ((±)-3-hydroxy-N-methylmorphinan)

Sufentanil (N-[4-(methoxymethyl)-1-[2-(2-thienyl)-ethyl]-4-piperidyl]propionanilide)

Thebacon (acetyldihydrocodeinone)

Thebaine

Thiofentanyl (N-(1-[2-(2-thienyl)ethyl]-4-piperidyl]propionanilide)

Tilidine ((±)-ethyl-trans-2-(dimethylamino)-1-phenyl-3-cyclohexene-1-carboxylate)

Trimeperidine (1,2,5-trimethyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine); and

Hizo “isomers”, mpaka ziondolewe katika orodha ya madawa katika jedwali hili popote

zitakapokuwa “isomers hizo ” kuna uwezekano wa kuwa ndani ya kemikali hiyo iliyoundwa

maalumu;

hizo“esters” na “ethers”, labda mpaka ziwemo katika jedwali lingine,la madawa katika jedwali

hili pale zinapokuwepo hizo “esters au ethers “inawezekana;

chumvi za madawa yaliyoorodheshwa katika jedwali hili,ikiwemo chumvi za ” esters’, “ethers’ na

“isomers “ kama zilivyoonyeshwa hapo juu popote kunapokuwepo chumvi hizo inawezekana.

ORODHA YA MADAWA YA KULEVYA YALIYOMO KATIKA JEDWALI LA II LA

MKATABA WA MADAWA Y AKULEVYA, 1961

Acetyldihydrocodeine

Codeine (3-methylmorphine)

Dextropropoxyphene (α -(+)-4-dimethylamino-1,2-diphenyl-3-methyl-2-butanol propionate)

Dihydrocodeine

Ethylmorphine (3-ethylmorphine)

Nicocodine (6-nicotinylcodeine)

Page 37: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

37

Nicodicodine (6-nicotinyldihydrocodeine)

Norcodeine (N-demethylcodeine)

Pholcodeine (morphinylethylmorphine)

Propiram (N-(1-methyl-2-piperidinoethyl)-N-2-pyridylpropionamide)

“ isomers” Labda zikiondolewa mahsusi katika madawa chini ya jedwali hili popote palipo na

isomers kuna uwezekano ndani ya kemikali iliyoundwa maalumu;

Chumvi za madawa yaliyoorodheshwa katika jedwali hili, ukijumuisha chumvi za “isomers” kama

zilivyoonyeshwa juu popote kunapokuwepo na chumvi hizo kuna uwezekano.

ORODHA YA VITU VYA KULEVYA VILIVYOJUMUISHWA KATIKA JEDWALI LA I

LA MKATABA WA VITU VYA KULEVYA, 1971

Kumbukumbu: majina yaliyoko katika herufi kubwa katika kolamu ya upande wa kushoto ni

majina ya kimataifa. .Majina mengine yametolewa pale ambapo hakuna jina la kimataifa

limeshauriwa au pale majina ya kawaida yametumika kwenye vitu hivyo chini ya udhibiti wa

kimataifa kuna chumvi za vitu vilivyoorodheshwa katika jedwali hili, popote panapokuwepo

chumvi hizo kuna uwezekano.

Majina ya kimataifa INN Mengine

Majina mengine

BROLAMFETAMINE DOB (±)-4-bromo-2,5-dimethoxy-a

methylphenethylamine

CATHINONE (-)-(S)-2-aminopropiophenone

DET 3-[2-(diethylamino)ethyl]indole

DMA (±)-2,5-dimethoxy-α-

methylphenethylamine

DMHP 3-(1,2-dimethylheptyl)-7,8,9,10-

tetrahydro-6,6,9-trimethyl-H-

dibenzo[b,d]pyran-1-ol

DMT 3-[2-(dimethylamino)ethyl]indole

DOET (±)-4-ethyl-2,5-dimethoxy- α -

phenethylamine

ETICYCLIDINE

(+)-LYSERGINE PCE N-ethyl-1-phenylcyclohexylamine

LSD, LSD-25 9,10-didehydro-

N,N- diethyl- 6-methylergoline

MDMA (±)-N, α -dimethyl-3,4-(methylene-

dioxy)phenethylamine

mescaline 3,4,5-trimethoxyphenethylamine

4-methylaminorex (±)-cis-2-amino-4-methyl-5-

phenyl-2-oxazoline

MMDA 2-methoxy-a-methyl-4,5-

(methylenedioxy)phenethylamine

N-ethyl MDA (±)-N ethyl-a-methyl-3,4-

(methylenedioxy)phenethylamine

Page 38: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

38

N-hydroxy MDA (±)-N-[ α -methyl-3,4-

methylenedioxy

phenethyl]hydroxylamine

parahexyl 3-hexyl-7,8,9,10-tetrahydro-6,6,9-

trimethyl-6H-dibenzo[b,d]pyran-1-

ol

PMA p-methoxy-amethylphenethylamine

PSILOCYBINE psilocine

psilotsin 3-[2-(dimethylamino)ethyl]indol-4-

ol

3-[2-(dimethylamino)ethyl]indol-4-

ol dihydrogen phosphate

POLICYCLIDINE PHP, PCPY 1-(1-phenylcyclohexyl)pyrrolidine

STP, DOM 2,5-dimethoxy- α,4-

dimethylphenethylamine

TENAMFETAMINE MDA α -methyl-3,4-thylenedioxy)phenethylamine

TENOCYCLIDINE TCP 1-[1-(2-thienyl)cyclohexyl]piperidine

tetrahydrocannabinol, the following isomers and their

stereochemical variants:

7,8,9,10-tetrahydro-6,6,9-trimethyl-3-

pentyl-6H-dibenzo[b,d] pyran-1-ol

(9R,10aR)-8,9,10,10a-tetrahydro-6,6,9-

trimethyl-3-pentyl-6H-dibenzo[b,d]pyran-1-

ol

(6aR,9R,10aR)-6a,9,10,10a-tetrahydro-

6,6,9-trimethyl-3-pentyl-

6H-dibenzo[b,d]pyran-1-ol

(6aR,10aR)-6a,7,10,10a-tetrahydro-6,6,9-

trimethyl-3-pentyl-6H-

dibenzo[b,d]pyran-1-ol

6a,7,8,9-tetrahydro-6,6,9-trimethyl-3-pentyl-

6H-dibenzo[b,d]

pyran-1-ol

(6aR,10aR)-6a,7,8,9,10,10a-hexahydro-6,6-

dimethyl-9-methylene 3-pentyl-6H-

dibenzo[b,d] pyran-1-ol

TMA (±)-3,4,5-trimethoxy- α -

methylphenethylamine.

ORODHA YA VITU VYA KULEVYA VILIVYOJUMUISHWA KATIKA JEDWALI LA II

KATIKA MKATABA WA VITU VYA KULEVYA,1971

Majina ya kimataifaINN Mengine

Majina mengine

AMFETAMINE amphetamine (±)-α -methylphenethylamine

DEXAMFETAMINE

FENETHYLLINE dexamphetamine (+)-α -methylphenethylamine

7-[2-[( α -methylphenethyl)amino]

ethyl]theophylline

Page 39: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

39

LEVAMFETAMINE levamphetamine

Levometham

phetamine (-)-(R)- α -methylphenethylamine

(-)-N, α -dimethylphenethylamine

MECLOQUALONE 3-(o-chlorophenyl)-2-methyl-4(3H)-

quinazolinone METHAMFETA-

MINE methamphetamine (+)-(S)-N, α -dimethylphenethylamine

METHAMFETA

MINE

RACEMATE methamphetamine racemate (±)-N, α -dimethylphenethylamine

METHAQUALONE Mandrax 2-methyl-3-o-tolyl-4(3H)-

quinazolinone

METHYLPHENIDATE Methyl α -phenyl-2-piperidine

racetate

PHENCYCLIDINE PCP 1-(1-phenylcyclohexyl)piperidine

PHENMETRAZINE 3-methyl-2-phenylmorpholine

SECOBARBITAL 5-allyl-5-(1-methylbutyl)barbituric

acid

delta-9-tetrahydro- (6a R, 10aR)-6a,7,8,10a-tetrahydro-6,6,9-

cannabinol and its trimethyl-3-pentyl -6H-dibenzo[b,d]

stereo chemical pyran-1-ol

variants

ORODHA YA VITU VYA KULEVYA KATIKA JEDWALI LA III LA MKATABA WA

VITU VYA KULEVYA, 1971

Jina la kimataifa Majina mengine

jina la kemikali

AMOBARBITAL 5-ethyl-5-isopentylbarbituric acid

BUPRENORPHINE 21-cyclopropyl-7- α [(S)-1-hydroxy-1,2,2-

trimethylpropyl]-6,14-

Endo-ethano-6, 7,8,14-tetrahydro-oripavine

BUTALBITAL 5-allyl-5-isobutylbarbituric acid

CATHINE (+)-(R)-a-[(R)-1-aminoethyl] benzyl alcohol

CYCLOBARBITAL 5-(1-cyclohexen-1-yl)-5-ethylbarbituric acid

GLUTETHIMIDE 2-ethyl-2-phenylglutarimide

PENTAZOCINE (2R,6R,11R)-1,2,3,4,5,6-hexahydro-6,11-

dimethyl-3-(3-methyl-2-butenyl)-2,6-

methano-3-benzazocin-8-ol

PENTOBARBITAL 5-ethyl-5-(1-methylbutyl) barbituric acid

ORODHA YA VITU VYA KULEVYA VILIVYOMO KATIKA JEDWALI LA IV

KATIKA MKATABA WA VITU VYA KULEVYA,1971

Jina ya kimataifa

Majina mengine jina la kemikali

ALLOBARBITAL 5,5-diallylbarbituric acid

ALPRAZOLAM 8-chloro-1-methyl-6-phenyl-4H-s-

triazolo[4,3-a][1,4] benzodiazepine

Page 40: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

40

AMFERPRAMONE 2-(diethylamino) propiophenone

BARBITAL 5,5-diethylbarbituric acid

BENZFETAMI benzphetamine N-benzyl-N,a- dimethylphenethylamine

BROMAZEPAM 7-bromo-1,3-dihydro-5-(2-pyridyl)-2H-1,4-

benzodiazepin-2-one

BUTOBARBITAL butobarbital 5-butyl-5-ethylbarbituric acid

7-chloro-1,3,-dihydro-3-hydroxy-1- methyl-

5-phenyl-2H-1,4-benzodiazepin-

2-one dimethylcarbamate (ester)

CAMAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-3-hydroxy-1-methyl-

5-phenyl-2H-1,4-

benzodiazepin-2-one dimethylcarbamate

(ester)

CHLORDIA-

ZEPOXIDE 7-chloro-2-(methylamino)-5-phenyl-3H-1,4-

benzodiazepin-4-oxide

CLOBAZAM 7-chloro-1-methyl-5-phenyl-1H-1,5-

benzodiazepin-2,4(3H,5H)-dione

CLONAZEPAM 5-(o-chlorophenyl)-1,3-dihydro-7-nitro-2H-

1,4-benzodiazepin-2-one

CLORAZEPATE 7-chloro-2,3-dihydro-2-oxo-5-phenyl-1H-

1,4-benzodiazepine-3-carboxylic acid

CLOTIAZEPAM 5-(o-chlorophenyl)-7-ethyl-1,3-dihydro-1-

methyl-2H-thieno[2,3-e]-1,4-diazepin-2-one

CLOXAZOLAM 10-chloro-11b-(o-chlorophenyl)-2,3,7,11b-

tetrahydro-oxazolo-[3,2-[1,4]benzodiazepin-

6(5H)-one

DELORAZEPAM 7-chloro-5-(o-chlorophenyl)-1,3-dihydro-

2H-1,4- benzodiazepin-2-one

DIAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-1-methyl-5-phenyl-

2H-1,4-benzodiazepin-2-one

ESTAZOLAM 8-chloro-6-phenyl-4H-s-triazolo[4,3-

a][1,4]benzodiazepine

ETHCHLORVYNOL 1-chloro-3-ethyl-1-penten-4-yn-3-ol

ETHINAMATE ETHYL 1-ethynylcyclohexanol carbamate ethyl 7

LOFLAZEPATE -chloro-5-(o-fluorophenyl)-2,3-dihydro-2-

oxo-1H-1,4-benzodiazepine-3-carboxylate

ETILAMFETAMINE N-ethylamphetamine N-ethyl-a-methylphenethylamine

FENCAMFAMIN N-ethyl-3-phenyl-2-norbornanamine

FENPROPOREX (+-)-3-[(a-methylphenethyl)amino]

propionitrile

FLUDIAZEPAM 7-chloro-5-(o-fluorophenyl)-1,3-dihydro-

1-methyl-2H-1,4-benzodiazepin-2-one

Page 41: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

41

FLURAZEPAM 7-chloro-1-[2-(diethylamino)ethyl]-5-(o-

fluorophenyl)-1,3-dihydro-2H-1,4-

benzodiazepin-2- one

HALAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-5-phenyl-1-(2,2,2-

trifluoroethyl)-2H-1,4-benzodiazepin-2-one

HALOXAZOLAM 10-bromo-11b-(o-fluorophenyl)-2,3,7,11b-

tetrahydro-oxazolo-[3,2-d]

[1,4]benzodiazepin-6(5H)-one

KETAZOLAM 11-chloro-8,12b-dihydro-2,8-dimethyl-12b-

phenyl-4H-[1,3]

oxazino[3,2-d][1,4]benzodiazepine-4,7(6H)-

dione

LEFETAMINESPA (-)-N,N-dimethyl-1,2-diphenylethylamine-6-

LOPRAZOLAM (o-chlorophenyl)-2,4-dihydro-2-[(4-methyl-

1-piperazinyl) methylene]-8-nitro-1H-

imidazo[1,2-a][1,4]benzodiazepin-1-one

LORAZEPAM 7-chloro-5-(o-chlorophenyl)-1,3-dihydro-3-

hydroxy-2H-1,4-benzodiazepin-2-one

LORMETAZEPAM 7-chloro-5-(o-chlorophenyl)-1,3-dihydro-3-

hydroxy-1-methyl-2H-1,4-benzodiazepin-2-

one

MAZINDOL 5-(p-chlorophenyl)-2,5-dihydro-3H-

imidazo[2, 1- a)isoindol-5-ol

MEDAZEPAM 7-chloro-2,3-dihydro-1-methyl-5-phenyl-

1H-1,4-benzodiazepine

MEFENOREX N-(3-chloropropyl)-a-methylphenethylamine

MEPROBAMATE 2-methyl-2-propyl-1,3-propanediol-

dicarbamate

METHYLPHENO-

BARBITAL 5-ethyl-1-methyl-5-phenylbarbituric acid

METHYPRYLON 3,3-diethyl-5-methyl-2,4-piperidine-dione

MIDAZOLAM 8-chloro-6-(o-fluorophenyl)-1-methyl-4H-

imidazo[1,5-a][1,4]benzodiazepine

NIMETAZEPAM 1,3-dihydro-1-methyl-7-nitro-5-phenyl-2H-

1,4-benzodiazepin-2-one

NITRAZEPAM 1,3-dihydro-7-nitro-5-phenyI-2H-1,4-

benzodiazepin-2-one

NORDAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-5-phenyl-2H-1,4-

benzodiazepin-2-one

OXAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-3-hydroxy-5-phenyl-

2H-1,4-benzodiazepin-2-one

OXAZOLAM 10-chloro-2,3,7,11b-tetrahydro-2-methyl-

11b-phenyloxazolo[3,2-

d][1,4]benzodiazepin-6(5H)-one

Page 42: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

42

PEMOLINE 2-amino-5-phenyl-2-oxazolin-4-one± 2-

amino-5-phenyl-4-oxazolidinone)

PHENDIMETRA-

ZINE (+)-(2S,3S)-3,4-dimethyl-2-

phenylmorpholine

PHENOBARBITAL 5-ethyl-5-phenylbarbituric acid

PHENTERMINE a,a-dimethylphenethylamine

PINAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-5-phenyl-1-(2-

propynyl)-2H-1.4-benzo-diazepin-2-one

PIPRADOL a,a-diphenyl-2-piperidinemethanol

PRAZEPAM 7-chloro-1-(cyclopylmethyl)-1,3-dihydro-5-

phenyl-2H-1,4-benzodiazepin-2-one

PROPYLHEXE-

DRINE N,a-dimethylcyclohexane ethylamine

PYROVALERONE 4'-methyl-2-( 1-pyrrolidinyl)valerophenone

SECBUTABARBITAL 5-sec-butyl-5-ethylbarbituric acid

TEMAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-3-hydroxy-1-methyl-

5-phenyl-2H-1,4-benzodiazepin-2-one

TETRAZEPAM 7-chloro-5-(1-cyclohexen-1-yl)-1,3dihydro-

1-methyl-2H-1,4-benzodiazepin-2-one

TRIAZOLAM 8-chloro-6-(o-chlorophenyl)-1-methyl-4H-s-

triazolo[4,3-a]

[1,4]benzodiazepine

VINYLBITAL 5-(1-methylbutyl)-5-vinylbarbituric acid

____

JEDWALI LA PILI

_____

Sheria Na . 31

ya 1997 Jedw..

ORODHA YA I ORODHA YA II

Ephedrine Acetic anhydride

Ergometrine Acetone

Ergotamine Anthranilic acid

Lysergic acid Ethyl ether

1-phenyl-2-propanone Phertylacetic acid

Pseudoephedrine Piperidine

_____

JEDWALI LA TATU

____

MIMEA ILIYOKATAZWA

(Kifungu cha 2(1))

____

Page 43: SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa

43

1. Bangi

2. msitu wa mkoka .

3. afyumi mpopi.

4. Papaver setigerum.