takwimu za wafungwa na mahabusu tanzania bara … · 2019. 4. 16. · 2013 na 2014 jamhuri ya...
TRANSCRIPT
-
TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU
TANZANIA BARA MWAKA
2013 NA 2014
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jeshi la Magereza Tanzania Bara
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Dar es Salaam
Ofisi ya Taifa ya Takwimu
Wizara ya Fedha
Dar es Salaam
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
i
YALIYOMO
Orodha ya Majedwali ........................................................................................................................... v
Orodha ya Michoro ........................................................................................................................... viii
Majedwali Ambatanisho ..................................................................................................................... ix
Maana ya Vifupisho ............................................................................................................................ xi
Dibaji .................................................................................................................................. xii
Shukrani ................................................................................................................................. xiii
Muhtasari ................................................................................................................................. xiv
SURA YA KWANZA ......................................................................................................................... 1
USULI ............................................................................................................................................... 1
1.0 Utangulizi ............................................................................................................................... 1
1.1 Jiografia na Utawala............................................................................................................... 1
1.2 Jeshi la Magereza ................................................................................................................... 2
1.2.1 Majukumu ya Jeshi la Magereza ........................................................................................... 2
1.2.2 Takwimu za Jeshi la Magereza ............................................................................................. 2
1.2.3 Kitengo cha Takwimu cha Jeshi la Magereza ....................................................................... 3
SURA YA PILI ................................................................................................................................... 4
HALI YA MAGEREZA NCHINI .................................................................................................... 4
2.0 Utangulizi ............................................................................................................................... 4
2.1 Muhtasari wa Hali ya Magereza ............................................................................................ 4
SURA YA TATU ................................................................................................................................ 5
TAKWIMU ZA WAHALIFU WALIOKUWEPO MAGEREZANI ..............................................
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
ii
5
3.0 Utangulizi ............................................................................................................................... 5
3.1 Takwimu za Wahalifu kwa Mikoa na Jinsi ............................................................................ 5
3.2 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri ........................................................ 7
3.3 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia .............................................. 9
3.4 Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Hali ya Rufaa. ....... 11
3.5 Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi na Aina ya
Kosa .................................................................................................................................. 12
3.6 Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo ...... 14
3.7 Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani Kusubiri Kesi kwa
Jinsi, Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani ................................................................ 16
3.8 Wahalifu Wenye Ugonjwa wa Akili Waliobaki Magerezani .............................................. 20
3.9 Wahalifu wanawake wajawazito na wenye watoto.............................................................. 20
3.10 Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani, kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Nchi
Walizotoka ........................................................................................................................... 22
3.11 Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Jinsi ................... 24
SURA YA NNE ................................................................................................................................. 26
WAHALIFU WALIOPOKELEWA MAGEREZANI KUTOKA MAHAKAMANI ................ 26
4.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 26
4.1 Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani, kwa Jinsi na Mkoa .............. 26
4.2 Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Umri, Jinsi na
Mikoa .................................................................................................................................. 29
4.3 Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na
Mkoa .................................................................................................................................. 32
4.4 Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa
Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo ........................................................................... 34
4.5 Wafungwa Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina
ya kosa na Urefu wa Kifungo .............................................................................................. 37
4.6 Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Kushindwa Kulipa Faini kwa Mkoa na Urefu wa Vifungo .................................................................... 40
4.7 Wafungwa Wagonjwa wa Akili Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mkoa ............................................................................................................... 41
4.8 Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto Waliopokelewa Magerezani Toka Mahakamani kwa Aina ya Kosa ................................................................................. 41
4.9 Mahabusu Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa
Jinsi, Aina ya kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu ............................................................. 42
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
iii
4.10 Mahabusu Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina
ya kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu ............................................................................... 44
4.11 Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Nchi Walizotoka .............................................................................................................. 45
4.12 Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Nchi Wanazotoka ............................................................................................................ 46
SURA YA TANO .............................................................................................................................. 49
WAHALIFU WALIOHAMISHWA KUTOKA GEREZA MOJA KWENDA JINGINE ........ 49
5.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 49
5.1 Wahalifu Waliohamishwa kwa Jinsi na Mkoa ..................................................................... 49
5.2 Wafungwa wenye Ugonjwa wa Akili kwa Jinsi na Mkoa Waliopokelewa kutoka Magereza Mengine ............................................................................................................... 51
SURA YA SITA ................................................................................................................................ 52
WAHALIFU WALIOTOKA MAGEREZANI ............................................................................. 52
6.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 52
6.1 Wahalifu Waliotoka Magerezani Mwaka 2013 na 2014 ..................................................... 52
6.2 Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa Jinsi na Mkoa ............ 55
6.3 Wafungwa Walioachiwa Baada ya Kulipa Faini kwa Urefu wa Kifungo na Mkoa ............ 58
6.4 Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali Magerezani kwa Jinsi na
Mkoa .................................................................................................................................. 59
6.5 Wahalifu Waliofariki Magerezani kwa Jinsi na Mkoa ........................................................ 60
SURA YA SABA .............................................................................................................................. 62
WAHALIFU WALIOPEWA ADHABU KWA MAKOSA YA UTOVU WA NIDHAMU
WAKIWA MAGEREZANI ............................................................................................................ 62
7.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 62
7.1 Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na Mkoa ........................ 62
SURA YA NANE .............................................................................................................................. 65
MAHABUSU WALIOHUKUMIWA ADHABU ZA VIFUNGO WAKIWA MAGEREZANI 65
8.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 65
8.1 Mahabusu Waliohukumiwa Wakiwa Magerezani kwa Jinsi na Mkoa ................................ 65
SURA YA TISA ................................................................................................................................ 67
HITIMISHO ..................................................................................................................................... 67
9.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 67
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
iv
9.1 Hitimisho .............................................................................................................................. 67
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
v
Orodha ya Majedwali
Jedwali 3.1: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ............................................................................................................... 6
Jedwali 3.2: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ............................................................................................................... 8
Jedwali 3.3: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 10
Jedwali 3.4: Idadi ya wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ........................................................... 11
Jedwali 3.5: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ....................................................... 13
Jedwali 3.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .................................................... 14
Jedwali 3.7: Idadi ya Mahabusu Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 16
Jedwali 3.8 Idadi ya Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto kwa Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ......................................................................... 21
Jedwali 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa Tanzania Bara, 2013 na 2014 ..................................................................... 22
Jedwali 3.10: Idadi ya .Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Jinsi Tanzania Bara, 2013 na 2014 ...................................................................... 24
Jedwali 3.11: Idaddi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Nchi
Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ............................................................... 25
Jedwali 4.1: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014 .................................................................. 27
Jedwali 4.2: Idadi wa Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Umri, Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013 .............................................................. 30
Jedwali 4.3: Idadi ya Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani Kwa Umri, Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2014 ............................................................. 30
Jedwali 4.4: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 ........ 32
Jedwali 4.5: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014 ........ 33
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
vi
Jedwali 4.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka
Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara,
2013 .......................................................................................................................... 35
Jedwali 4.7: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara,
2014 .......................................................................................................................... 36
Jedwali 4.8: Idadi ya Wafungwa Vijana Waliopokolewa Magerezani Kutoka Mahakamani
kwa Jinsi, Aina ya kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 ...................... 38
Jedwali 4.9: Idadi ya Wafungwa Vijana Waliopokolewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014 ..................... 39
Jedwali 4.10: Idadi ya Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Kushindwa Kulipa Faini kwa Mkoa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013
na 2014 ...................................................................................................................... 40
Jedwali 4.11: Idadi ya Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto Waliopokelewa
Magerezani Toka Mahakamani Kulingana na Aina ya Kosa, Tanzania Bara,
2013 na 2014 ............................................................................................................. 42
Jedwali 4.12: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka
Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu,
Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 43
Jedwali 4.13: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani
kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu, Tanzania Bara, 2013
na 2014 ...................................................................................................................... 44
Jedwali 4.14: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka
Mahakamani kwa Jinsi na Nchi Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014. .......... 45
Jedwali 4.15: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................. 46
Jedwali 4.16: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka
Mahakamani kwa Jinsi na Nchi Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ........... 47
Jedwali 4.17: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................. 48
Jedwali 5.1: Idadi ya wahalifu Waliohamishwa kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .......................................................................................................................... 50
Jedwali 6.1: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara,
2013 .......................................................................................................................... 53
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
vii
Jedwali 6.2: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara,
2014 .......................................................................................................................... 54
Jedwali 6.3: Idadi Ya Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014 .......................................................... 56
Jedwali 6.4: Idadi ya Wafungwa Walioachiwa Baada ya Kulipa Faini kwa Urefu wa Kifungo na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014. ................................................... 58
Jedwali 6.5: Idadi ya Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali kwa Jinsi na
Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014 ....................................................................... 59
Jedwali 6.6: Idadi ya Wahalifu Waliofariki Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara,
2013 na 2014. ............................................................................................................ 61
Jedwali 7. 1: Idadi ya Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 ..................................................................................... 63
Jedwali 7.2: Idadi ya Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na Mkoa, Tanzania Bara, 2014 ...................................................................................... 64
Jedwali 8.1: Idadi ya Mahabusu Waliohukumiwa Wakiwa Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 66
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
viii
Orodha ya Michoro
Mchoro 3.1: Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .............................................................................................................................. 7
Mchoro 3.2: Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Umri, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ............. 9
Mchoro 3.3: Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani na Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ..................................................................................... 12
Mchoro 3.4: Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .............................................................................................................. 14
Mchoro 3.5: Idadi ya Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Urefu wa
Kifungo, Tanzania Bara, 2013 na 2014. .................................................................... 15
Mchoro 3.6: Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .............................................................................................................. 17
Mchoro 3.7: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani na Kusubiri Kesi
kwa Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014....... 18
Mchoro 3.8: Idadi ya mahabusu vijana waliokuwepo magerezani na kusubiri kesi kwa aina
ya kosa na muda waliokaa gerezani, Tanzania Bara 2013 na 2014. .......................... 19
Mchoro 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi
Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................ 23
Mchoro 4.1: Wahalifu Waliopokelewa MaGerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mikoa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ........................................................................ 28
Mchoro 4.2: Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ..................................................................................... 34
Mchoro 6.1: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .............. 55
Mchoro 6.2: Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014. ....................................................................... 57
Mchoro 6.3: Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali, Tanzania Bara, 2013 na 2014. ...................................................................................................................... 60
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
ix
Majedwali Ambatanisho
Jedwali Na. 1: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Aina ya Uhalifu, Tanzania Bara, 2013 ................................................................................. 68
Jedwali Na. 2: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Aina ya Uhalifu Tanzania Bara, 2014 .................................................................................. 69
Jedwali Na. 3: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Umri na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 ............................................................................................... 70
Jedwali Na. 4: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Umri na Jinsi, Tanzania Bara, 2014 ............................................................................................... 71
Jedwali Na. 5: Idadi ya Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .......................................... 722
Jedwali Na. 6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 .................................................. 73
Jedwali Na. 7: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014 ................................................... 74
Jedwali Na. 8: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi kwa Aina ya kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2013 .................. 75
Jedwali Na. 9: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi kwa Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2014 ................. 76
Jedwali Na. 10: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi kwa Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania, Bara, 2013 ........................ 77
Jedwali Na. 11: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliokuwepo Magereani, Kusubiri Kesi kwa
Aina ya kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2014 .......................... 78
Jedwali Na. 12: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka
na Aina yaKosa, Tanzania Bara, 2013 ………………………………………… 79
Jedwali Na. 13: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi
Walizotoka na Aina yaKosa, Tanzania Bara, 2014 ................................................ 80
Jedwali Na. 14: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 ............................................... 81
Jedwali Na. 15: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka na Ainan ya Kosa, Tanzania Bara, 2014 ............................................. 82
Jedwali Na. 16: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Mkoa, Aina ya Muharifu na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 ........................................ 84
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
x
Jedwali Na. 17: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa
Mkoa, Aina ya Muharifu na Jinsi, Tanzania Bara, 2014 ........................................ 85
Jedwali Na.18: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 ......... 86
Jedwali Na.19: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2014 ......... 87
Jedwali Na. 20: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Toka
Mahakamani kwa Nchi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 ............................. 88
Jedwali Na. 21: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Toka
Mahakamani kwa Nchi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2014 ............................. 89
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
xi
MAANA YA VIFUPISHO
A/INSP - Mkaguzi Msaidizi wa Magereza
ASP - Mrakibu Msaidizi wa Magereza
CGP - Kamishna Jenerali wa Magereza
CP - Kamishna wa Magereza
CPL - Corporal
Dkt - Daktari
DPRK - Korea ya Kaskazini
DRC - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
EASTC - Chuo cha Takwimu cha Mashariki na Kusini mwa Afrika
Ke - Mwanamke
Me - Mwanaume
MKUKUTA - Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania
NBS - Ofisi ya Taifa ya Takwimu
O/I - Mkuu wa Gereza
RPO - Mkuu wa Magereza wa Mkoa
SP - Mrakibu wa Magereza
S/SGT - Sajin Taji
SGT - Sajenti
SSP - Mrakibu Mwandamizi wa Magereza
TPS - Jeshi la Magereza Tanzania
TSMP - Mpango Kabambe wa Kuboresha Takwimu Tanzania
TPF - Jeshi la Polisi Tanzania
UK - Uingereza
V - Vijana
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
xii
DIBAJI
Jeshi la Magereza Tanzania Bara limeanza kutoa
taarifa za kitakwimu za wafungwa na mahabusu
waliopo magerezani kwa lengo la kuonesha idadi ya
wahalifu waliopo, aina za wahalifu, hukumu, sifa na
tabia za wahalifu hao.
Taarifa hizi zitaliwezesha Jeshi la Magereza
kuboresha maeneo mbalimbali kama vile rasilimali
watu, fedha na vifaa ili kuweza kupanga mikakati na
mbinu mbalimbali zitakazotuwezesha kuwahifadhi
na kuwarekebisha wafungwa waliopo magerezani
mpaka watakapomaliza adhabu zao kwa mujibu wa
sheria.
Hivi sasa Jeshi limebaini kuwa upo umuhimu wa
kuboresha taarifa zake ili ziweze kwenda na
wakati. Aidha, Jeshi la Magereza, kwa kushirikiana
na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) chini ya
Mpango Kabambe wa Kitaifa wa Kuboresha na Kuimarisha Takwimu Tanzania, litakuwa linatoa
taarifa mbalimbali za kitakwimu kutokana na data za ndani ya jeshi. Taarifa hizo, zitakuwa ni
pamoja na za wafungwa na mahabusu kila baada ya kipindi cha robo mwaka ambazo baadae
zitatumika kuandaa taarifa za mwaka mzima.
Taarifa hizi zitaonesha hali halisi itakayoliwezesha jeshi hili kujipanga vyema ili kuweza kuyafikia
malengo yaliyowekwa, mojawapo likiwa ni kupunguza uhalifu kama ilivyoainishwa kwenye
MKUKUTA.
Dkt. Juma A. Malewa,
Kamishna Jenerali wa Magereza,
Jeshi la Magereza Tanzania Bara,
DAR ES SALAAM.
Dkt. Juma A. Malewa
Kamishna Jenerali wa Magereza
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
xiii
SHUKRANI
Katika kukamilisha kazi hii, maofisa na askari magereza,
wataalam kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, pamoja na wadau
mbalimbali wamehusika wakiongozwa na Mrakibu
Mwandamizi wa Magereza Marco Kilumbo. Shukrani za
kipekee ziwaendee Kamishna Jenerali wa Magereza Dkt.Juma
A. Malewa, Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini kwa kutoa
maelekezo mbalimbali yaliyofanikisha kukamilika kwa kazi hii
pamoja na kuwatia moyo watendaji wakati wa kuandaa taarifa
hii na Dkt. Albina Chuwa, Mkurugenzi Mkuu, Ofisi ya Taifa ya
Takwimu ambaye kwa kupitia mradi wa TSMP aliwaruhusu
wataalamu wake washirikiane na watendaji wa Magereza
kufanikisha uandaaji wa Taarifa hii. Pia shukrani ziwaendee
Kamishina Jenerali wa Magereza Mstaafu, John C. Minja na
Kamishna wa Magereza Mstaafu, D.L. Chamulesile ambao
kwa njia moja ama nyingine wameshiriki katika kutoa ushauri
uliofanikisha kukamilika kwa kazi hii.
Aidha, shukrani za kipekee ziwaendee wataalamu walioshiriki katika uandishi wa ripoti
hii;Valerian Tesha (NBS), SP-Emmanuel Pagali (TPS), ASP-Joseph Siwale (TPS), ASP-Deodatus
Kazinja (TPS), S/SGT-Magdalena Landa (TPS), SGT-Ruth Mshiu (TPS), SGT-Consolatha Ragije
(TPS), SGT-Desdery Mallya (TPS), CPL-Regnald Shaban (TPS), Ibrahimu Masanja
(NBS),Eliaranya Lema (NBS), Clement Mwakanyamale (DPP) na SP-Andrew Mapunda (TPF).
Mwisho, shukrani za dhati ziwaendee wataalamu wote kutoka Chuo cha Takwimu cha Mashariki na
Kusini mwa Afrika (EASTC) kwa mchango wao mkubwa katika kufanikisha taarifa hii na kuiweka
katika kiwango kinachokubalika.
Gaston K. Sanga,
Kamishna wa Fedha na Utawala,
Makao Makuu ya Jeshi la Magereza.
DAR ES SALAAM.
Gaston K.Sanga
Kamishna wa Fedha na Utawala
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
xiv
MUHTASARI
Taarifa hii rasmi ya kitakwimu ni ya kwanza kutolewa na Jeshi la Magereza Tanzania Bara. Taarifa
inahusu wafungwa na mahabusu waliokuwa magerezani katika kipindi cha mwaka 2013 na 2014.
Pia inatoa ufafanuzi wa kina katika maeneo makuu sita (6). Eneo la kwanza ni wahalifu wote yaani
wafungwa na mahabusu waliobaki magerezani mwishoni mwa mwaka 2013 na 2014, pili ni
wafungwa na mahabusu waliopokelewa magerezani kutoka mahakamani kwa mwaka 2013 na
2014, tatu ni wafungwa na mahabusu waliohama na kuhamia katika magereza mengine kwa sababu
mbalimbali. Eneo la nne linahusu wafungwa na mahabusu walioachiwa huru kwa sababu
mbalimbali kama vile kumaliza adhabu zao kwa mujibu wa sheria. Eneo la tano linahusu mahabusu
waliohukumiwa kifungo wakiwa magerezani na mwisho ni wafungwa na mahabusu waliopewa
adhabu mbalimbali wakiwa magerezani.
Baada ya uchambuzi huo wa kina, hitimisho limetolewa kwa lengo la kuboresha hali ya magereza
nchini.
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
1
SURA YA KWANZA
USULI
1.0 Utangulizi
Sura hii inaangalia Jiografia ya nchi na majukumu ya msingi ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara.
Takwimu zitakazotolewa na Jeshi la Magereza zitasaidia katika kupanga kwa makini mipango ya
kuhakikisha uwepo wa rasilimali za kutosha, kusimamia na kutathmini matokeo ya utekelezaji wa
mipango mbalimbali ya maendeleo. Rasilimali hizi zinahusisha watumishi (rasilimali watu), fedha
na vitendea kazi, ofisi, vyombo vya usafiri na makazi bora ya askari na wafungwa. Kuhakikisha
kuwapo rasilimali hizi ni muhimu katika kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa mikakati na
program mbalimbali za maendeleo katika Jeshi.
Aidha, kuna haja ya kuliboresha Jeshi la Magereza kuwa la kisasa zaidi kwa kutumia tekonolojia ya
kisasa katika utekelezaji wa majukumu yake ya msingi kama ilivyoainishwa katika Sheria ya
Magereza Na. 34 ya Mwaka 1967. Hatua hii itachangia pia katika kuleta amani na utulivu nchini
pamoja na kuendeleza na kudumisha usalama katika jamii kwa kuwahifadhi na kuwarekebisha
wahalifu ili watokapo magerezani wawe raia wema watakaoshiriki katika shughuli mbalimbali za
kiuchumi na kijamii kwa ajili ya maendeleo ya nchi.
1.1 Jiografia na Utawala
Tanzania ni jamhuri ya muungano wa nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar. Nchi hizi ziliungana
mwaka 1964. Tanzania ni miongoni mwa nchi tano (5) zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Nchi nyingine ni Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Ipo kati ya latitudo 10 na 12
0 Kusini na na
kati ya Longitudo 290 na 41
0 Mashariki mwa Greenwich. Ina eneo lenye ukubwa wa kilometa za
mraba 945,087. Nchi hii imepakana na Kenya na Uganda upande wa Kaskazini na Msumbiji
upande wa Kusini. Mashariki imepakana na Bahari ya Hindi, upande wa Magharibi nchi za
Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na upande wa Kusini Magharibi
imepakana na nchi za Malawi na Zambia.
Tanzania ina maziwa makuu matatu; Victoria, Tanganyika na Nyasa. Ina vivutio vingi vya kitalii
ukiwemo Mlima Kilimanjaro ambao ni mrefu kuliko yote Afrika na umefunikwa na theluji kwa
kipindi chote cha mwaka pamoja na mbuga za wanyama, mambo ya kale na fukwe nzuri katika
Pwani ya Tanzania Bara na katika visiwa vya Zanzibar.
Hali ya hewa ya Tanzania ni ya kitropiki kwa kipindi chote cha mwaka, ambapo maeneo mengi
yana misimu miwili ya mvua za masika na vuli. Shughuli kubwa za kiuchumi ni kilimo, ufugaji,
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
2
utalii, uchimbaji wa madini, viwanda na huduma mbali mbali. Lugha kuu ya Taifa ni Kiswahili
inayozungumzwa na takribani watu wote pamoja na kuwa Tanzania ina makabila zaidi ya 120.
Tangu mwaka 1992, Tanzania inafuata mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa. Dola ya
Tanzania ina mihimili mitatu; Bunge, Serikali na Mahakama. Nchi hii ina mfumo wa Serikali mbili,
Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Kiutawala; Tanzania
imegawanyika katika mikoa 30 ambapo 25 ipo Tanzania Bara na 5 ipo Tanzania Zanzibar.
1.2 Jeshi la Magereza
Jeshi la Magereza lilianzishwa rasmi tarehe 25 Agosti, 1931 baada ya mgawanyiko wa jeshi la
Polisi na Magereza.Kwa sasa linaongozwa na Sheria ya Magereza Na. 34 ya mwaka 1967. Jeshi la
Magereza limechangia kwa kiasi kikubwa katika kuleta amani na utulivu kwa kufanya kazi zake
kikamilifu na kwa uadilifu mkubwa na kwa kuzingatia misingi ya haki za binadamu na utawala
bora.
1.2.1 Majukumu ya Jeshi la Magereza
Majukumu ya Jeshi la Magereza kama yalivyoainishwa katika Sheria Na. 34 ya 1967 ni kuchangia
katika kuleta amani na kuendeleza na kudumisha usalama katika jamii kwa kufanya yafuatayo:-
i. Kuhifadhi wafungwa wa aina zote wanaowekwa chini ya ulinzi halali kisheria ndani ya
magereza;
ii. Kuandaa na kutekeleza programu za urekebishaji wa wafungwa na kuwafundisha wafungwa
shughuli za uzalishaji na ujuzi mbalimbali kwa njia ya vitendo na ushauri;
iii. Kuendesha shughuli za huduma za watuhumiwa (mahabusu) kwa mujibu wa sheria; na
iv. Kutoa ushauri katika kuzuia na kudhibiti uhalifu na urekebishaji wa wahalifu.
Hivi sasa; Jeshi la Magereza lipo katika mchakato wa kufanya maboresho kwa lengo la kuwa ni
Jeshi la kisasa linalofanya kazi zake kwa ufanisi, uwajibikaji na weledi wa hali ya juu ili kutimiza
malengo yake liliyojiwekea kwa kiwango cha juu.
1.2.2 Takwimu za Jeshi la Magereza
Jeshi la Magereza lina Takwimu za aina tatu: Takwimu za kiutawala, Takwimu za uhalifu na
Takwimu za uzalishaji mali. Takwimu za utawala zinahusu rasilimali watu, vifaa na fedha; takwimu
za uhalifu zinahusu mchakato mzima wa kuwapokea, kuwahifadhi kwa ajili ya kutekeleza adhabu
kama ni wafungwa au kuwapeleka mahakamani kwa ajili ya kusikiliza kesi zao kama ni mahabusu.
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
3
Vilevile kuwaachia huru wafungwa kwa mujibu wa sheria. Takwimu za uzalishaji mali zinahusu
taarifa zote za uzalishaji katika miradi mbalimbali ya magereza ikiwemo kilimo, ufugaji na
shughuli za viwanda vidogo vidogo. Takwimu hizi hulisaidia Jeshi la Magereza katika kupanga
mipango yake ya kiutendaji na kimaendeleo. Aidha, sura ya 3 mpaka ya 8 ya ripoti hii zinatoa
taarifa za kitakwimu za wafungwa na mahabusu katika magereza yetu kwa mwaka 2013 na 2014.
1.2.3 Kitengo cha Takwimu cha Jeshi la Magereza
Kitengo cha Takwimu cha Jeshi la Magereza kipo katika Kurugenzi ya Mipango. Kitengo hiki
hupokea taarifa mbalimbali kutoka katika magereza, huzichambua, huzihifadhi, pamoja kuzitumia
kuandaa taarifa za mwaka kwa kushirikiana na vitengo vingine.
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
4
SURA YA PILI
HALI YA MAGEREZA NCHINI
2.0 Utangulizi
Katika kipindi cha mwaka 2013 na 2014 hali ya ulinzi na usalama magerezani ilikuwa imara na
hakukuwa na tukio lolote lisilo la kawaida. Pamoja na changamoto nyingi ambazo zilikwamisha
utendaji katika baadhi ya majukumu ya kila siku, Jeshi la Magereza lilijitahidi sana kuyatatua na
kufanya kazi zake kwa ufanisi wa kuridhisha.
2.1 Muhtasari wa Hali ya Magereza
Taarifa hii inajumuisha takwimu za mwaka 2013 na 2014, na ulinganisho wa takwimu hizi
umefanyika ili kubaini mwenendo wa magereza Tanzania Bara. Ulinganifu huu unahusu idadi ya
wahalifu waliobaki magerezani mwishoni mwa mwaka 2013 na 2014, wahalifu waliopokelewa
katika miaka hiyo, wahalifu waliohamishwa kutoka gereza moja hadi jingine kwa sababu
mbalimbali, wahalifu walioachiwa magerezani kwa sababu mbalimbali, wahalifu waliopewa
adhabu kwa utovu wa nidhamu na mahabusu waliohukumiwa adhabu za vifungo wakiwa
magerezani.
.
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
5
SURA YA TATU
TAKWIMU ZA WAHALIFU WALIOKUWEPO MAGEREZANI
3.0 Utangulizi
Taarifa hii ni ya wahalifu waliokuwepo magerezani mwishoni mwa mwaka 2013 na 2014. Katika
magereza yote kulikuwa na wahalifu 33,807 kwa mwaka 2013 na 33,517 mwaka 2014 (Jedwali 3.1
na Mchoro 3.1 ). Idadi ya mwaka 2014 ilikuwa pungufu kwa wahalifu 290 ambao ni sawa na
asilimia 0.9 ikilinganishwa na idadi ya mwaka 2013.
Kati ya wahalifu waliokuwepo magerezani tarehe 31.12.2013, mahabusu walikuwa 17,214 (Jedwali
Ambatanisho 1) sawa na asilimia 50.9 na wafungwa 16,593 sawa na asilimia 49.1. Mwaka 2014
mahabusu walikuwa 16,926 sawa na asilimia 50.5 ambapo wafungwa walikuwa 16,591 sawa na
asilimia 49.5.
3.1 Takwimu za Wahalifu kwa Mikoa na Jinsi
Takwimu zinaonesha kuwa mwaka 2013 wahalifu wanaume walikuwa 32,215 sawa na asilimia
95.3, wanawake 1,243 sawa na asilimia 3.7 ambapo wahalifu vijana walikuwa 349 sawa na asilimia
1.0. Ambapo, mwaka 2014 wanaume wahalifu walikuwa 31,930 sawa na asilimia 95.2, wanawake
1,326 sawa na asilimia 4.0 na vijana 261 sawa na asilimia 0.8.
Mkoa wa Dar es Salaam ulikuwa na wahalifu wengi kuliko mikoa mingine kwa miaka yote miwili
ambapo mwaka 2013 walikuwa 4,144 na mwaka 2014 walikuwa 4,360. Mkoa wa Ruvuma ulikuwa
na wahalifu wachache (529) mwaka 2013 ., ambapo mwaka 2014 Mkoa wa Lindi ulikuwa na
wahalifu wachache (410).
Pamoja na kuwa na wahalifu 33,807 mwaka 2013 na 33,517 mwaka 2014, uwezo wa magereza
nchini ni kuhifadhi wahalifu 29,552 tu. Kwa hiyo idadi ya wahalifu ya mwaka 2013 na 2014 ni
zaidi ya idadi inayoruhusiwa kisheria.
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
6
Jedwali 3.1: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 na 2014
Mkoa
2013 2014
Watu Wazima
V
Jumla
Watu Wazima
V
Jumla Me Ke Me Ke
Arusha 1,156 32 0 1,188 1,191 51 1 1,243
Dar es Salaam 4,015 113 16 4,144 4,197 146 17 4,360
Dodoma 1,826 56 18 1,900 1,656 50 16 1,722
Iringa 1,229 64 3 1,296 1,080 56 14 1,150
Kagera 1,848 163 4 2,015 2,150 95 6 2,251
Kigoma 1,403 89 79 1,571 1,147 72 10 1,229
Kilimanjaro 1,429 66 10 1,505 1,447 62 0 1,509
Lindi 575 11 5 591 400 10 0 410
Manyara 912 37 0 949 982 35 0 1,017
Mara 1,743 47 19 1,809 1,923 106 19 2,048
Mbeya 2,072 73 8 2,153 1,773 74 1 1,848
Morogoro 1,588 69 42 1,699 1,604 75 40 1,719
Mtwara 812 25 0 837 743 24 1 768
Mwanza 3,317 159 108 3,584 3,158 137 82 3,377
Pwani 823 14 0 837 925 15 0 940
Ruvuma 510 18 1 529 680 23 0 703
Rukwa 892 32 6 930 891 40 14 945
Singida 855 47 24 926 813 55 2 870
Shinyanga 1,711 68 6 1,785 1,876 85 24 1,985
Tabora 1,984 34 0 2,018 2,087 43 0 2,130
Tanga 1,515 26 0 1,541 1,207 72 14 1,293
Jumla 32,215 1,243 349 33,807 31,930 1,326 261 33,517
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
7
Mchoro 3.1: Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 na 2014
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
3.2 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri
Wafungwa wengi waliobaki magerezani kwa mwaka 2013 na 2014 ni wale wenye umri kuanzia 15
hadi miaka 50 ambapo mwaka 2013 walikuwa 14,219 sawa na asilimia 85.7 na mwaka 2014
walikuwa 14,518 sawa na asilimia 87.5 (Jedwali 3.2 na Mchoro 3.2).
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
8
Wafungwa wa umri huu ndiyo hasa nguvu kazi ya taifa letu hivyo hakuna budi juhudi kubwa .
zifanyike kuwarekebisha ili watakapotoka wawe raia wema watakaojenga taifa lao.
Jedwali 3.2: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri, Tanzania Bara, 2013 na 2014
Mkoa
2013 2014
Miaka
15 - 20
Miaka
21 - 25
Miaka
26 - 50
Zaidi ya
miaka 50 Jumla
Miaka
15 - 20
Miaka
21 - 25
Miaka
26 - 50
Zaidi ya
miaka 50 Jumla
Arusha 71 117 105 210 503 101 153 119 94 467
Dar es Salaam 641 163 816 310 1,930 629 134 729 375 1,867
Dodoma 170 194 637 107 1,108 156 198 533 95 982
Iringa 122 150 100 54 426 147 204 94 23 468
Kagera 163 244 450 130 987 172 196 455 265 1,088
Kigoma 213 222 328 95 858 145 131 393 32 701
Kilimanjaro 79 345 224 38 686 89 437 315 26 867
Lindi 96 74 174 22 366 42 30 119 21 212
Manyara 61 75 204 104 444 33 206 253 35 527
Mara 205 89 206 141 641 320 60 319 123 822
Mbeya 100 191 324 446 1,061 126 151 349 247 873
Morogoro 218 276 383 100 977 166 356 369 101 992
Mtwara 142 51 192 41 426 144 51 220 55 470
Mwanza 521 367 687 222 1,797 429 333 686 212 1,660
Pwani 82 155 162 19 418 100 305 171 54 630
Ruvuma 54 106 101 21 282 131 134 145 33 443
Rukwa 102 51 312 24 489 69 112 245 24 450
Singida 56 118 173 35 382 45 98 154 19 316
Shinyanga 169 287 221 60 737 200 195 304 75 774
Tabora 274 221 641 83 1,219 293 396 524 88 1,301
Tanga 81 327 336 112 856 67 292 246 76 681
Jumla 3,620 3,823 6,776 2,374 16,593 3,604 4,172 6,742 2,073 16,591
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
9
Mchoro 3.2: Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Umri, Tanzania Bara, 2013 na 2014
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
3.3 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia
Kitabia, kuna aina mbili za wafungwa magerezani, kwanza ni wafungwa wenye tabia nzuri (Star).
Hawa ni wafungwa waliohukumiwa kifungo magerezani kwa mara ya kwanza au kwa mara ya pili
ambao historia ya uhalifu wao, tabia zao na aina ya makosa ya nyuma waliyotenda wanaonekana
wanafaa kwa urekebishaji na mafunzo. Kundi la pili ni wafungwa wa kawaida (Ordinary) ambao ni
wale waliokosa sifa ya kuwa Star.
Walikuwepo wafungwa 16,593 magerezani mwaka 2013 na kati yao 10,539 sawa na asilimia 63.5
walikuwa wafungwa wenye tabia nzuri (star) na 6,054 sawa na asilimia 36.5 walikuwa wafungwa
wa kawaida (ordinary). Kwa mwaka 2014 wafungwa walikuwa 16,591 na kati yao 10,958 sawa na
asilimia 66.0 walikuwa wafungwa wenye tabia nzuri (star) na 5,633 walikuwa wafungwa wa
kawaida (ordinary) sawa na asilimia 34.0 kama Jedwali 3.3 linavyoonesha.
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014
10
Jedwali 3.3: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia, Tanzania Bara, 2013 na 2014
Mkoa
2013 2014
Tabia nzuri Tabia ya kawaida Jumla
Kuu
Tabia nzuri Tabia ya kawaida Jumla
Kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla M Ke V Jumla
Arusha 329 5 0 334 166 3 0 169 503 111 3 0 114 346 6 1 353 467
Dar es Salaam 509 0 0 509 1,391 29 1 1,421 1,930 404 0 0 404 1,437 26 0 1,463 1,867
Dodoma 415 9 8 432 663 13 0 676 1,108 349 18 5 372 608 2 0 610 982
Iringa 298 14 0 312 114 0 0 114 426 377 11 0 388 80 0 0 80 468
Kagera 663 29 1 693 294 0 0 294 987 853 23 3 879 209 0 0 209 1,088
Kigoma 601 26 20 647 211 0 0 211 858 490 17 8 515 185 1 0 186 701
Kilimanjaro 603 15 0 618 67 1 0 68 686 768 13 0 781 82 4 0 86 867
Lindi 271 3 5 279 86 1 0 87 366 154 2 0 156 56 0 0 56 212
Manyara 376 11 0 387 57 0 0 57 444 477 10 0 487 40 0 0 40 527
Mara 457 7 4 468 171 2 0 173 641 677 14 5 696 121 5 0 126 822
Mbeya 723 19 2 744 312 1 4 317 1,061 697 18 0 715 155 3 0 158 873
Morogoro 439 4 24 467 473 30 7 510 977 589 12 13 614 330 30 18 378 992
Mtwara 298 6 0 304 118 4 0 122 426 309 6 1 316 154 0 0 154 470
Mwanza 1,056 38 6 1,100 692 4 1 697 1,797 905 24 25 954 703 3 0 706 1,660
Pwani 238 4 0 242 175 1 0 176 418 340 3 0 343 287 0 0 287 630
Ruvuma 209 1 0 210 72 0 0 72 282 302 8 0 310 133 0 0 133 443
Rukwa 373 6 2 381 108 0 0 108 489 357 8 9 374 76 0 0 76 450
Singida 306 11 3 320 61 1 0 62 378 166 10 0 176 140 0 0 140 316
Shinyanga 438 20 2 460 276 0 1 277 737 551 29 0 580 190 4 0 194 774
Tabora 1,097 4 0 1,101 112 6 0 118 1,219 1,167 9 0 1,176 125 0 0 125 1,301
Tanga 524 7 0 531 325 0 0 325 856 585 23 0 608 72 1 0 73 681
Jumla 10,223 239 77 10,539 5,944 96 14 6,054 16,593 10,628 261 69 10,958 5,529 85 19 5,633 16,591
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
11
3.4 Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Hali ya Rufaa.
Jedwali 3.4 na Mchoro 3.3 vinaonesha idadi ya wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kifo
waliokuwepo magerezani. Mwaka 2013 walikuwepo wafungwa 391, ikilinganishwa na wafungwa
410 kwa mwaka 2014, ikiwa ni ongezeko la wafungwa 19 sawa na asilimia 4.9.
Jumla ya wafungwa 391 wa mwaka 2013 walikata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania. Kati ya
hao, 233 sawa na asilimia 59.6 rufaa zao zilikataliwa na wafungwa 158 sawa na asilimia 40.4
waliendelea kusubiri kusikilizwa kwa rufaa zao. Mwaka 2014 wafungwa waliokata rufaa na rufaa
zao zikakataliwa walikuwa 212 sawa na asilimia 51.7, ambapo 198 sawa na asilimia 48.3
waliendelea kusubiri kusikilizwa kwa rufaa zao. Wafungwa ambao rufaa zao zilikataliwa
wanasubiri utekelezaji wa hukumu ya kifo. (Jedwali Ambatanisho 5).
Jedwali 3.4: Idadi ya wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Hali ya Rufaa,
Tanzania Bara, 2013 na 2014
Mkoa
2013 2014
Rufaa
zilizokataliwa
Rufaa ambazo
hazijasikilizwa Jumla
Rufaa
zilizokataliwa
Rufaa ambazo
hazijasikilizwa Jumla
Arusha 6 10 16 6 8 14
Dar es Salaam 40 13 53 40 37 77
Dodoma 60 49 109 56 45 101
Iringa 0 0 0 0 0 0
Kagera 0 0 0 0 0 0
Kigoma 0 0 0 0 0 0
Kilimanjaro 0 2 2 0 2 2
Lindi 1 6 7 1 1 2
Manyara 0 1 1 0 0 0
Mara 0 0 0 0 0 0
Mbeya 6 25 31 8 18 26
Morogoro 0 0 0 0 0 0
Mtwara 6 3 9 5 6 11
Mwanza 29 32 61 28 50 78
Pwani 0 0 0 0 0 0
Ruvuma 0 0 0 0 0 0
Rukwa 0 0 0 0 0 0
Singida 0 0 0 0 0 0
Shinyanga 0 0 0 0 2 2
Tabora 25 8 33 29 19 48
Tanga 60 9 69 39 10 49
Jumla 233 158 391 212 198 410
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
12
Mchoro 3.3: Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani na Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013
na 2014
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
3.5 Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa
Wafungwa watu wazima waliokuwepo magerezani mwaka 2013 walikuwa 16,502 wakilinganishwa
na 16,503 wa mwaka 2014 ambao ni zaidi ya mfungwa 1 tu. Mwaka 2013 kosa liliofanywa na
wafungwa wengi kuliko makosa mengine lilikuwa wizi ambalo lilikuwa na wafungwa 3,883.
Lakini, mwaka 2014 kosa la kuvunja nyumba ndilo lililokuwa na wafungwa wengi kuliko
mengineambapo lilikuwa na wafungwa 2,476.
Aidha mwaka 2013 jumla ya wafungwa vijana waliokuwepo katika magereza yote Tanzania Bara
walikuwa 91, ikilinganishwa na wafungwa 88 wa mwaka 2014, ambao ni pungufu kwa wafungwa 3
sawa na asilimia 3.3. Ingawa .mwaka 2013,kosa lililokuwa na wafungwa wengi kuliko mengine ni
kuvunja nyumba, kwa mwaka 2013 na 2014 wafungwa wengi vijana waliokuwepo magerezani
walihukumiwa kwa makosa ya wizi ( Jedwali 3.5 na Mchoro 3.4).
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
13
Jedwali 3.5: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014
Aina ya Kosa
2013 2014
Watu Wazima Vijana Watu Wazima Vijana
Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla
Mauaji 561 22 583 7 0 7 621 21 642 0 0 0
Mauaji (adhabu ya kifo
kuwa kifungo) 120 0 120 0 0 0 154 1 155 0 0 0
Kuua bila kukusudia 821 45 866 1 0 1 1,212 50 1,262 8 0 8
KujaribuKujaribu kuua 167 8 175 5 1 6 182 6 188 5 0 5
Unyang’anyi 2,363 8 2,371 13 0 13 2,269 19 2,288 10 0 10
Wizi 3,794 89 3,883 14 1 15 2,223 59 2,282 16 1 17
Kuvunja nyumba 2,178 32 2,210 16 0 16 2,441 35 2,476 11 0 11
Kupatikana na dawa za
kulevya 530 5 535 7 0 0 448 20 468 4 0 4
Kupatikana na nyara za
serikali 374 1 375 1 0 1 562 4 566 4 0 4
Makosa ya kujamiiana 909 5 914 4 1 5 1,785 17 1,802 8 1 9
Kupatikana na silaha na
risasi 449 10 459 3 0 3 693 12 705 4 0 4
Kujeruhi 1,030 45 1,075 5 0 5 1,268 41 1,309 7 0 7
Kuchoma nyumba moto 119 0 119 0 0 0 185 15 200 2 0 2
Makosa ya rushwa 23 2 25 0 0 0 19 2 21 0 0 0
Kupatikana na pombe ya
moshi (gongo) 165 10 175 0 0 0 394 21 415 2 0 2
Uzembe na uzururaji 153 2 155 0 0 0 191 0 191 0 0 0
Makosa mengineyo 2,411 51 2,462 11 1 12 1,510 23 1,533 5 0 5
Jumla 16,167 335 16,502 87 4 91 16,157 346 16,503 86 2 88
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
14
Mchoro 3.4: Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
3.6 Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo
Jedwali 3.6 na Mchoro 3.5 vinaonesha idadi ya wafungwa waliokuwepo magerezani Tanzania Bara
kwa aina ya kosa, jinsi na urefu wa kifungo kwa mwaka 2013 na 2014. Kwa miaka yote miwili
takwimu zinaonesha kwamba kifungo chenye wafungwa wengi kuliko vingine ni cha zaidi ya
mwaka mmoja hadi mitatu. Mwaka 2013 wafungwa walikuwa 3,268 sawa na asilimia 19.8, na
mwaka 2014 walikuwa 2,606 sawa na asilimia 15.8. Aidha, kosa lililokuwa na wafungwa wengi
kuliko makosa mengine lilikuwa wizi ambalo mwaka 2013 lilikuwa na wafungwa 3,883 sawa na
asilimia 23.5 na mwaka 2014 walikuwa 4,413 sawa na asilimia 26.7 (Majedwali Ambatanisho 6 na
7).
Jedwali 3.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Urefu wa Kifungo,
Tanzania Bara, 2013 na 2014
Urefu wa kifungo 2013 2014
Me Ke Jumla Me Ke Jumla
Hadi miezi 6 1,536 40 1,576 1,834 83 1,917
Zaidi ya miezi 6 hadi mwaka 1 2,568 107 2,675 2,293 54 2,347
Zaidi ya mwaka 1 hadi miaka 3 3,185 83 3,268 2,534 72 2,606
Zaidi ya miaka 3 hadi miaka 5 2,444 41 2,485 2,340 39 2,379
Zaidi ya miaka 5 hadi miaka 10 1,983 25 2,008 1,667 30 1,697
Zaidi ya miaka 10 hadi miaka 15 1,237 8 1,245 1,117 15 1,132
Zaidi ya miaka 15 hadi miaka 20 684 7 691 700 12 712
Zaidi ya miaka 20 hadi miaka 30 1,177 3 1,180 1,520 11 1,531
Zaidi ya miaka 30 526 0 526 1,001 1 1,002
Kifungo cha maisha 453 4 457 756 14 769
Adhabu ya kifo 374 17 391 395 15 410
Jumla 16,167 335 16,502 16,157 346 16,503
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
15
Mchoro 3.5: Idadi ya Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo,
Tanzania Bara, 2013 na 2014.
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
16
3.7 Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani Kusubiri Kesi kwa
Jinsi, Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani
Mwaka 2013 walikuwepo mahabusu 17,214 waliobaki magerezani kusubiri hukumu, kati yao watu
wazima walikuwa 16,956 na vijana walikuwa 258. Mwaka 2014 mahabusu walipungua na kufikia
16,926 ambapo watu wazima walikuwa 16,753 na vijana walikuwa 173. Idadi ya mahabusu watu
wazima iliyopungua ni 288 ambao ni asilimia 1.7. Kwa miaka yote miwili kosa liliokuwa na
mahabusu wengi kuliko mengine ni mauaji. Kosa hili lilikuwa na mahabusu 4,693 mwaka 2013 na
3,829 mwaka 2014 (Jedwali 3.7). Makosa haya ya mauaji yamewafanya baadhi ya mahabusu
kusubiri kwa zaidi ya miaka kumi (10) kufikia hatma ya mashauri yao (Jedwali Ambatanisho 8 na
9; Mchoro 3.7.
Jedwali 3.7: Idadi ya Mahabusu Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013
na 2014
Aina ya Kosa
2013 2014
Watu wazima Vijana Watu wazima Vijana
Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla
Mauaji 4,323 319 4,642 45 6 51 3,450 339 3,789 31 9 40
Mauaji (adhabu ya kifo kuwa
kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 0 3
Kuua bila kukusudia 903 27 930 5 1 6 854 14 868 5 1 6
Kujaribu kuua 1,099 91 1,190 8 0 8 1,457 114 1,571 21 0 21
Unyang'anyi 2,186 62 2,248 29 1 30 1,991 23 2,014 0 0 0
Wizi 1,667 105 1,772 30 4 34 1,826 128 1,954 23 2 25
Kuvunja nyumba 877 28 905 19 0 19 1,268 33 1,301 0 1 3
Kupatikana na dawa za
kulevya 503 12 515 11 1 12 781 21 802 6 0 6
Kupatikana na nyara za
Serikali 417 18 435 17 0 17 492 4 496 3 0 3
Makosa ya kujamiiana 848 26 874 13 1 14 626 18 644 20 0 20
Kupatikana na bunduki au
risasi 135 6 141 2 0 2 192 6 198 1 0 1
Kujeruhi 545 36 581 8 0 8 648 32 680 3 0 3
Kuchoma moto nyumba 91 26 117 3 1 4 204 5 209 4 0 4
Makosa ya rushwa 89 15 104 1 1 2 97 0 97 1 0 1
Kupatikana na pombe ya
moshi 789 109 898 31 1 32 864 62 926 26 0 24
Uzembe na uzururaji 149 6 155 4 1 5 36 2 38 0 0 0
Makosa mengineyo 1,427 22 1,449 14 0 14 987 179 1,166 11 2 13
Jumla 16,048 908 16,956 240 18 258 16,048 908 16,753 158 15 173
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
17
Mchoro 3.6: Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
18
Mchoro 3.7: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani na Kusubiri Kesi kwa Aina ya
Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
19
Mchoro 3.8: Idadi ya mahabusu vijana waliokuwepo magerezani na kusubiri kesi kwa aina ya kosa na
muda waliokaa gerezani, Tanzania Bara 2013 na 2014.
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
20
3.8 Wahalifu Wenye Ugonjwa wa Akili Waliobaki Magerezani
Hawa ni watu wenye ugonjwa wa akili ambao wanaweza wakawa wamefanya kosa/uhalifu au
kutofanya kosa lakini kuwepo kwao uraiani, ni hatari kwao wenyewe na kwa jamii
inayowazunguka. Mwaka 2013 kulikuwa na wahalifu 5 wenye ugonjwa wa akili, kati ya yao mmoja
alikuwa Mkoa wa Dodoma na 4 walikuwa Tabora. Aidha, mwaka 2014 kulikuwa na mahabusu
mmoja tu aliyekuwa mgonjwa wa akili na alikuwa mkoani Dodoma.
3.9 Wahalifu wanawake wajawazito na wenye watoto
Mwaka 2013 walikuwapo wafungwa wajawazito 9 na wafungwa wenye watoto 16, ambao
walikuwa na watoto 18. Aidha, mwaka huo huo mahabusu wajawazito walikuwa 30, mahabusu
wenye watoto 82 ambao walikuwa na watoto 87. Mwaka 2014 walikuwepo wafungwa wajawazito
6 na wafungwa 10 wenye watoto 10. Kwa mwaka huo huo mahabusu wajawazito walikuwa 27,
mahabusu wenye watoto 78 wakiwa na watoto 85. Sababu kubwa zilizowaweka wahalifu wa kike
gerezani ni makosa ya mauaji na wizi (Jedwali 3.8).
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
21
Jedwali 3.8 Idadi ya Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto kwa Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014
Aina ya Kosa
2013 2014
Wafungwa Mahabusu Wafungwa Mahabusu
Wajawazito
Wenye watoto
Wajawazito
Wenye watoto
Wajawazito
Wenye watoto
Wajawazito
Wenye watoto
Idadi ya
wafungwa
Idadi
ya
watoto
Idadi ya
mahabusu
Idadi
ya
watoto
Idadi ya
wafungwa
Idadi
ya
watoto
Idadi ya
mahabusu
Idadi
ya
watoto
Mauaji 0 5 5 11 40 40 1 1 1 10 53 58
Mauaji (adhabu ya kifo
kuwa kifungo) 0 0 0 3 5 5 0 0 0 1 3 4
Kuua bila kukusudia 0 0 0 2 0 0 0 1 1 2 1 1
Kujaribu kuua 0 0 0 0 1 1 0 1 1 1 2 2
Unyang'anyi 1 0 0 0 0 0 0 0 0 1 1 1
Wizi 3 5 6 4 6 6 0 2 2 3 4 4
Kuvunja na kuiba 0 0 0 0 2 3 0 0 0 2 2 2
Kupatikana na dawa za
Kulevya 0 1 1 0 1 1 1 0 0 1 3 3
Kupatikana na nyara za
serikali 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
Kujamiiana 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
Kupatikana na
silaha/risasi 1 1 1 0 2 2 0 1 1 0 0 0
Kujeruhi 1 2 2 4 5 6 2 2 2 0 4 4
Kuchoma nyumba
moto 0 0 0 0 0 0 1 1 1 0 0 0
Rushwa 0 0 0 0 1 1 0 0 0 0 0 0
Kupatikana na pombe
haramu (gongo) 0 1 1 0 1 1 0 0 0 0 0 0
Uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
Makosa mengineyo 3 1 2 6 18 21 1 1 1 6 5 6
Jumla 9 16 18 30 82 87 6 10 10 27 78 85
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
22
3.10 Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani, kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Nchi
Walizotoka
Wafungwa wasio raia wa Tanzania waliokuwapo magerezani mwaka 2013 ni 1,359, wakati mwaka
2014 walikuwa 873 ambao ni pungufu kwa wafungwa 486 sawa na asilimia 35.8. Wengi wa
wafungwa hao walitoka katika nchi za Ethiopia na Burundi ambapo kwa mwaka 2013 wafungwa
wengi walitoka Ethiopia ambapo walikuwa 660 sawa na asilimia 48.6. Mwaka 2014 wafungwa
wengi walitoka Burundi idadi yao ilikuwa 460 sawa na asilimia 52.7 (Jedwali 3.9, Majedwali
Ambatanisho 12 na 13 na Michoro 3.9).
Aidha, kwa miaka yote miwili wafungwa wengi wasio raia wa Tanzania walikuwa wanaume
ambapo mwaka 2013 walikuwa 1,339 (asilimia 98.5) kulinganisha na wafungwa wa kike 20
(asilimia 1.5) na mwaka 2014 wanaume walikuwa 868 (asilimia 99.4) na wanawake walikuwa 5
(asilimia 0.6). Mwaka 2013 na 2014 kulionekana kulikuwa na wafungwa wengi wa makosa
mengineyo kama vile kuingia nchini bila kibali, kupigana, kutukana na n.k (Jedwali 3.9).
Jedwali 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa Tanzania
Bara, 2013 na 2014
Aina ya Kosa
2013 2014
Me Ke Jumla Me Ke Jumla
Mauaji 43 0 43 8 0 8
Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 1 0 1 0 0 0
Kuua bila kukusudia 10 3 13 14 0 14
Kujaribu kuua 0 0 0 0 0 0
Unyang’anyi 62 0 62 67 0 67
Wizi 56 5 61 67 0 67
Kuvunja nyumba 19 1 20 16 0 16
Kupatikana na madawa ya kulevya 5 0 5 3 0 3
Kupatikana na nyara za serikali 6 0 6 3 0 3
Makosa ya kujamiiana 40 0 40 23 0 23
Kupatikana na bunduki na risasi 37 0 37 20 0 20
Kujeruhi 14 3 17 8 0 8
Kuchoma moto nyumba 0 0 0 3 1 4
Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0
Kupatikana na pombe ya moshi 0 0 0 2 0 2
Uzembe na uzururaji 0 0 0 0 0 0
Makosa mengine 1,046 8 1,054 634 4 638
Jumla 1,339 20 1,359 868 5 873
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
23
Mchoro 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka, Tanzania
Bara, 2013 na 2014
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
24
3.11 Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Jinsi
Mwaka 2013 jumla ya mahabusu 841 wasio raia wa Tanzania walikuwepo magerezani. Wakati
mwaka 2014 walikuwa 583 wakiwa ni pungufu kwa mahabusu 258 sawa na asilimia 30.7
wakilinganishwa na wale wa 2013. Mahabusu 280 sawa na asilimia 33.3 waliokuwepo magerezani
mwaka 2013 ni raia wa Burundi Jedwali 3.11 na 3.12). Mwaka 2014 mahabusu walikuwa 243
(asilimia 41.7), wengi wao wakiwa ni watuhumiwa wa makosa mengineyo (kama vile kuingia
nchini bila kibali, kupigana,kutukana na n.k).
Kwa miaka yote miwili, wengi wa mahabusu wasio raia wa Tanzania walikuwa wanaume. Mwaka
2013 wanaume walikuwa 797(asilimia 94.8) kulinganisha na mahabusu wa kike walikuwa 44
(asilimia 5.2) ambapo mwaka 2014 wanaume walikuwa 545 (asilimia 93.5) na mahabusu
wanawake walikuwa 38 (asilimia 6.5) Jedwali 3.10.
Jedwali 3.10: Idadi ya .Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Jinsi
Tanzania Bara, 2013 na 2014
Aina ya Kosa
2013 2014
Me Ke Jumla Me Ke Jumla
Mauaji 107 5 112 74 10 84
Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0
Kuua bila kukusudia 3 0 3 0 0 0
Kujaribu kuua 3 0 3 12 0 12
Unyang’anyi 11 0 11 49 0 49
Wizi 79 4 83 41 4 45
Kuvunja nyumba 97 1 98 11 0 11
Kupatikana na madawa ya kulevya 37 9 46 70 0 70
Kupatikana na nyara za serikali 15 0 15 8 0 8
Makosa ya kujamiiana 37 0 37 13 0 13
Kupatikana na silaha na risasi 5 0 5 6 0 6
Kujeruhi 16 6 22 30 8 38
Kuchoma moto nyumba 0 0 0 0 0 0
Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0
Kupatikana na pombe ya moshi 0 0 0 4 0 4
Uzembe na uzururaji 6 0 6 0 0 0
Makosa mengineyo 381 19 400 227 16 243
Jumla 797 44 841 545 38 583
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
25
Jedwali 3.11: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Nchi Walizotoka,
Tanzania Bara, 2013 na 2014
2013 2014
Nchi Walizotoka Me Ke Jumla Nchi Walizotoka Me Ke Jumla
Bulgaria 1 - 1 Burundi 227 17 244
Burundi 265 15 280 China 3 - 3
Cameroon - 1 1 Colombia 1 - 1
China 3 - 3 Congo 20 - 20
Congo 2 - 2 DRC 3 - 3
DRC 4 - 4 Ethiopia 26 - 26
Ethiopia 222 - 222 Ujerumani 1 - 1
Ghana 1 - 1 Ghana 1 - 1
Ugiriki 1 - 1 Ugiriki 1 - 1
Guinea 1 - 1 Guinea 1 - 1
India 1 - 1 Hong Kong 29 - 29
Indonesia 1 - 1 India 1 - 1
Iran 2 - 2 Indonesia 1 - 1
Ireland 1 - 1 Iran 20 - 20
Kenya 46 2 48 Ireland 1 - 1
Korea ya Kaskazini 1 - 1 Kenya 22 2 24
Liberia 2 1 3 Liberia 2 - 2
Lithuania - 1 1 Malawi 1 - 1
Nigeria 16 3 19 Msumbiji 1 - 1
Pakistan 1 - 1 Nigeria 23 - 23
Guinea Bissau 1 - 1 Pakistan 10 - 10
Rwanda 146 13 159 Guinea Bissau 1 - 1
Sierra Leone 1 - 1 Rwanda 71 11 82
Vietam 1 - 1 Viet am 1 - 1
Somalia 2 - 2 Somalia 12 - 12
Afrika Kusini 3 1 4 Afrika Kusini 1 - 1
Tonga - 1 1 Zimbabwe 1 - 1
Uganda 71 6 77 Uganda 60 8 68
Uingereza 1 - 1 Uingereza 1 - 1
Marekani 1 - 1
Zambia 1 - 1
Jumla 797 44 841 Jumla 545 38 583
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
26
SURA YA NNE
WAHALIFU WALIOPOKELEWA MAGEREZANI KUTOKA MAHAKAMANI
4.0 Utangulizi
Sura hii inaangalia wahalifu wote waliopokelewa magerezani kutoka mahakamani kwa mwaka
2013 na 2014. Lengo ni kufahamu aina ya wahalifu kwa jinsi, umri, kosa na muda waliokaa
gerezani wakisubiri kesi zao, urefu wa vifungo na uraia wa mhalifu.
4.1 Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani, kwa Jinsi na Mkoa
Mwaka 2013 jumla ya wahalifu 123,911 walipokelewa magerezani wakilinganishwa na wahalifu
118,439 wa mwaka 2014 ambao ni pungufu kwa wahalifu 5,472 sawa na asilimia 4.4. Kati ya
wahalifu wote 123,911 waliopokelewa magerezani mwaka 2013, wafungwa walikuwa ni 21,886
sawa na asilimia 17.7 na mahabusu walikuwa 102,025 sawa na asilimia 82.3. Vivyo hivyo kati ya
wahalifu 118,439 wa mwaka 2014 wafungwa walikuwa 21,485 sawa na asilimia 18.1 na mahabusu
walikuwa 96,954 sawa na asilimia 81.9.
Mkoa uliopokea wahalifu wengi kuliko mikoa mingine ni Dar es Salaam ulipokea wahalifu 14,484
mwaka 2013 na 15,495 mwaka 2014. Lindi ndiyo mkoa uliopokea wahalifu wachache kuliko mikoa
mingine ambapo 2,152 walipokelewa mwaka 2013 na 1,864 mwaka 2014.
Aidha, mwaka 2013 wahalifu wanaume walikuwa 113,986 sawa na asilimia 92.0, wanawake
walikuwa 8,356 sawa na asilimia 6.7 na wahalifu vijana walikuwa 1,569 sawa na asilimia 1.3. Kwa
mwaka 2014 wahalifu wanaume walikuwa 107,651 sawa na asilimia 90.9, wanawake walikuwa
8,686 sawa na asilimia 7.3 na wahalifu vijana walikuwa 2,102 sawa na asilimia 1.8 (Jedwali 4.1 na
Mchoro 4.1).
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
27
Jedwali 4.1: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mkoa ,
Tanzania Bara, 2013 na 2014
Mkoa
2013 2014
Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla
Arusha 4,082 283 - 4,365 4,238 360 1 4,599
Dar es Salaam 13,467 904 113 14,484 13,898 1,383 214 15,495
Dodoma 5,254 392 31 5,677 4,911 400 53 5,364
Iringa 3,738 269 22 4,029 3,931 324 28 4,283
Kagera 7,485 635 24 8,144 8,125 546 47 8,718
Kigoma 4,501 436 179 5,116 4,302 366 157 4,825
Kilimanjaro 5,303 474 39 5,816 5,008 425 35 5,468
Lindi 2,022 108 22 2,152 1,748 101 15 1,864
Manyara 4,014 341 - 4,355 3,631 287 - 3,918
Mara 7,970 669 137 8,776 7,127 689 298 8,114
Mbeya 6,274 616 30 6,920 7,277 712 27 8,016
Morogoro 4,446 287 342 5,075 3,944 293 281 4,518
Mtwara 2,870 191 1 3,062 2,499 179 4 2,682
Mwanza 11,611 901 307 12,819 10,948 838 602 12,388
Pwani 2,913 71 6 2,990 2,592 120 4 2,716
Ruvuma 2,815 182 16 3,013 2,680 163 4 2,847
Rukwa 3,058 224 53 3,335 3,267 249 51 3,567
Singida 3,873 277 17 4,167 3,591 314 40 3,945
Shinyanga 8,180 551 192 8,923 5,220 442 194 5,856
Tabora 4,186 199 4 4,389 3,687 161 2 3,850
Tanga 5,924 346 34 6,304 5,027 334 45 5,406
Jumla 113,986 8,356 1,569 123,911 107,651 8,686 2,102 118,439
Chanzo Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
28
Mchoro 4.1: Wahalifu Waliopokelewa MaGerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mikoa, Tanzania
Bara, 2013 na 2014
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
29
4.2 Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Umri, Jinsi na
Mikoa
Mwaka 2013 kundi kubwa la wafungwa walipokelewa magerezani ni lile la wenye miaka zaidi ya
15–50, ambalo lilikuwa na wafungwa 20,424 sawa na asilimia 93.3. Wakati 2014 walikuwa 19,991
sawa na asilimia 93.0.
Mikoa iliyopokea wafungwa wengi wa umri huo kuliko mikoa mingine ni Dar es Salaam na
Mwanza. Mwaka 2013 mkoa wa Dar es Salaam ulipokea wafungwa 1,820 na mwaka 2014 mkoa
wa Mwanza ulipokea wafungwa 1,853 (Jedwali 4.2 na 4.3). Aidha, mikoa iliyopokea wahalifu
wachache wa umri huo kuliko mikoa mingine ni Mtwara na Lindi. Mwaka 2013 mkoa wa Mtwara
ulipokea wafungwa 436 na mwaka 2014 mkoa wa Lindi ulipokea wafungwa 501. Umri huu ndiyo
unaotegemewa katika shughuli za uzalishaji hivyo kuwepo kwao magerezani ni pengo katika ujenzi
wa taifa letu.
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
30
Jedwali 4.2: Idadi wa Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Umri, Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013
Mkoa
Miaka 15-20 Miaka 21-25 Miaka 26-50 Zaidi ya miaka 50 Jumla
kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla
Arusha 56 15 0 71 103 7 0 110 216 14 0 230 167 4 0 171 582
Dar es Salaam 551 49 2 602 416 57 0 473 707 38 745 42 10 0 52 1,872
Dodoma 116 6 10 132 221 12 0 233 576 46 0 622 87 7 0 94 1,081
Iringa 133 0 0 133 233 19 0 252 159 17 0 176 26 3 0 29 590
Kagera 149 16 11 176 349 20 369 617 36 0 653 100 13 0 113 1,311
Kigoma 255 14 19 288 338 34 0 372 573 48 0 621 71 3 0 74 1,355
Kilimanjaro 142 5 12 159 241 20 0 261 463 26 0 489 58 4 0 62 971
Lindi 154 2 10 166 157 13 0 170 260 4 0 264 11 0 0 11 611
Manyara 145 9 0 154 294 15 0 309 225 24 0 249 48 3 0 51 763
Mara 175 4 26 205 199 19 0 218 530 29 0 559 131 9 0 140 1,122
Mbeya 115 8 24 147 335 9 0 344 668 69 0 737 54 4 0 58 1,286
Morogoro 121 4 108 233 480 12 0 492 564 39 0 603 55 4 0 59 1,387
Mtwara 66 4 0 70 107 10 0 117 238 11 0 249 19 1 0 20 456
Mwanza 396 14 60 470 475 23 0 498 787 40 0 827 88 5 0 93 1,888
Pwani 125 1 6 132 249 5 0 254 305 14 0 319 46 2 0 48 753
Ruvuma 175 20 4 199 346 29 0 375 225 11 0 236 34 0 0 34 844
Rukwa 115 3 9 127 124 8 0 132 402 23 0 425 30 4 0 34 718
Singida 85 4 5 94 145 7 0 152 401 28 0 429 49 5 0 54 729
Shinyanga 176 9 22 207 336 17 0 353 739 43 0 782 113 6 0 119 1,461
Tabora 78 7 4 89 302 4 0 306 324 16 0 340 56 3 0 59 794
Tanga 291 9 1 301 291 8 0 299 588 37 0 625 85 2 0 87 1,312
Jumla 3,619 203 333 4,155 5,741 348 0 6,089 9,567 613 0 10,180 1,370 92 0 1,462 21,886
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
Jedwali 4.3: Idadi ya Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani Kwa Umri, Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2014
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
31
Mkoa
Miaka 15 - 20 Miaka 21 - 25 Miaka 26 - 50 Zaidi ya Miaka 50 Jumla
kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla
Arusha 57 10 1 68 221 6 0 227 212 27 0 239 34 12 0 46 580
Dar es Salaam 27 30 1 58 76 32 0 108 969 31 1000 84 39 0 123 1289
Dodoma 97 4 13 114 180 12 0 192 537 48 0 585 75 8 0 83 974
Iringa 112 7 0 119 245 14 0 259 335 12 0 347 47 0 0 47 772
Kagera 263 15 29 307 397 35 432 770 52 822 164 6 0 170 1731
Kigoma 301 5 10 316 284 10 0 294 620 38 0 658 59 2 0 61 1329
Kilimanjaro 71 5 7 83 399 28 0 427 376 23 0 399 41 8 0 49 958
Lindi 52 1 3 56 94 3 0 97 331 17 0 348 17 1 0 18 519
Manyara 136 3 0 139 192 10 0 202 439 32 0 471 65 8 0 73 885
Mara 181 18 32 231 204 22 0 226 555 49 0 604 80 4 0 84 1145
Mbeya 300 17 22 339 423 23 0 446 658 47 0 705 98 8 0 106 1596
Morogoro 125 13 71 209 258 8 0 266 612 32 0 644 105 12 0 117 1236
Mtwara 69 3 4 76 135 3 0 138 325 19 0 344 19 4 0 23 581
Mwanza 280 18 169 467 440 30 0 470 855 61 0 916 113 1 0 114 1967
Pwani 218 2 4 224 301 4 0 305 319 13 0 332 28 0 0 28 889
Ruvuma 190 11 2 203 171 9 0 180 187 21 0 208 33 3 0 36 627
Rukwa 111 7 18 136 204 6 0 210 315 17 0 332 65 0 0 65 743
Singida 102 6 10 118 137 8 0 145 291 25 0 316 40 5 0 45 624
Shinyanga 164 13 8 185 196 15 0 211 547 40 0 587 77 6 0 83 1066
Tabora 118 8 2 128 349 9 0 358 268 13 0 281 60 1 0 61 828
Tanga 197 4 4 205 343 19 0 362 491 26 0 517 59 3 0 62 1146
Jumla 3,171 200 410 3,781 5249 306 0 5,555 10,012 643 0 10,655 1,363 131 0 1,494 21,485
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
32
4.3 Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na
Mkoa
Kwa kawaida mfungwa anapopokelewa kutoka mahakamani taarifa zake za nyuma huangaliwa ili
kubaini kama ameshawahi kuhukumiwa kifungo. Sifa hizi huwa katika makundi matatu, kwanza ni
wale waliohukumiwa kifungo kwa mara ya kwanza (first offender), pili ni wale waliokuhukumiwa
kifungo kwa mara ya pili (one previous conviction) na tatu ni wale walio kuhukumiwa kifungo
gerezani zaidi ya mara mbili (recidivist). Wafungwa waliofungwa kuanzia kifungo cha pili na
kuendelea huitwa warudiaji.
Katika miaka yote miwili wengi wa wafungwa warudiaji waliopokelewa magerezani ni wale
waliohukumiwa kwa mara ya pili. Mwaka 2013 wafungwa wa kifungo cha pili walikuwa 1,786
ambayo ni sawa na asilimia 68.7 na wa zaidi ya vifungo viwili walikuwa 815 ambayo ni sawa na
asilimia 31.3. Vivyo hivyo mwaka 2014 wafungwa wa kifungo cha pili walikuwa 1,808 sawa na
asilimia 65.9 na waliofungwa zaidi ya mara mbili walikuwa 936 sawa na asilimia 34.1 (Majedwali
4.4 na 4.5 pia katika Mchoro 4.2). Takwimu hizi zinaonesha kuwa bado kuna wafungwa wengi
warudiaji magerezani, ambao wanapewa adhabu za vifungo baada ya kumaliza vifungo vyao vya
awali kwa makosa mbalimbali. Hivyo juhudi kubwa inahitajika katika kuwarekebisha ili wasirudie
kutenda makosa.
Jedwali 4.4: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi,
Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013
Mkoa
Kifungo cha Pili Zaidi ya Kifungo cha Pili Jumla Kuu
Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla
Arusha 188 10 0 198 126 6 0 132 314 16 0 330
Dar es Salaam 24 0 0 24 10 0 0 10 34 0 0 34
Dodoma 79 0 0 79 17 0 0 17 96 0 0 96
Iringa 83 1 0 84 51 0 0 51 134 1 0 135
Kagera 49 0 0 49 44 0 0 44 93 0 0 93
Kigoma 59 1 0 60 3 0 0 3 62 1 0 63
Kilimanjaro 152 16 0 168 22 0 0 22 174 16 0 190
Lindi 87 1 0 88 53 0 0 53 140 1 0 141
Manyara 63 2 0 65 43 0 0 43 106 2 0 108
Mara 71 5 5 81 6 0 0 6 77 5 5 87
Mbeya 80 1 1 82 23 0 0 23 103 1 1 105
Morogoro 103 2 2 107 130 3 40 173 233 5 42 280
Mtwara 39 1 0 40 12 0 0 12 51 1 0 52
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
33
Mkoa
Kifungo cha Pili Zaidi ya Kifungo cha Pili Jumla Kuu
Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla
Mwanza 86 0 2 88 19 0 1 20 105 0 3 108
Pwani 91 3 0 94 43 0 0 43 134 3 0 137
Ruvuma 99 0 0 99 29 0 0 29 128 0 0 128
Rukwa 32 0 0 32 6 0 0 6 38 0 0 38
Singida 44 1 0 45 10 0 0 10 54 1 0 55
Shinyanga 44 4 1 49 31 0 0 31 75 4 1 80
Tabora 64 3 0 67 20 0 0 20 84 3 0 87
Tanga 185 2 0 187 67 0 0 67 252 2 0 254
Jumla 1722 53 11 1786 765 9 41 815 2487 62 52 2601
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
Jedwali 4.5: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi,
Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014
Mkoa Kifungo cha Pili Zaidi ya kifungo cha Pili Jumla
Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla
Arusha 171 12 0 183 48 0 0 48 219 12 0 231
Dar es Salaam 9 3 0 12 2 0 0 2 11 3 0 14
Dodoma 52 0 0 52 14 0 0 14 66 0 0 66
Iringa 166 0 0 166 130 0 0 130 296 0 0 296
Kagera 100 0 1 101 135 0 0 135 235 0 1 236
Kigoma 28 1 0 29 13 0 0 13 41 1 0 42
Kilimanjaro 117 12 0 129 77 3 0 80 194 15 0 209
Lindi 76 0 0 76 59 0 0 59 135 0 0 135
Manyara 68 1 0 69 33 2 0 35 101 3 0 104
Mara 64 1 0 65 4 0 0 4 68 1 0 69
Mbeya 79 1 0 80 30 0 0 30 109 1 0 110
Morogoro 118 2 2 122 64 0 1 65 182 2 3 187
Mtwara 45 0 0 45 24 0 0 24 69 0 0 69
Mwanza 107 0 6 113 18 1 3 22 125 1 9 135
Pwani 125 0 0 125 53 0 0 53 178 0 0 178
Ruvuma 66 0 0 66 35 0 0 35 101 0 0 101
Rukwa 43 0 0 43 5 0 0 5 48 0 0 48
Singida 47 1 1 49 47 0 0 47 94 1 1 96
Shinyanga 28 1 0 29 20 0 0 20 48 1 0 49
Tabora 65 9 0 74 32 1 0 33 97 10 0 107
Tanga 180 0 0 180 80 0 2 82 260 0 2 262
Jumla 1754 44 10 1808 923 7 6 936 2677 51 16 2744
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014
34
Mchoro 4.2: Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani, Tanzania Bara, 2013
na 2014
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
4.4 Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa
Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo
Wafungwa watu wazima 21,553 walipokelewa magerezani mwaka 2013 na wafungwa 21,075
walipokelewa mwaka 2014. Mwaka 2013 wengi wa wafungwa hao walikutwa na hatia ya kosa la
wizi ambao walikuwa 5,207 sawa na asilimia 24.2 yakifuatiwa na wafungwa wa kosa la kujeruhi
wakiwa 2,416 sawa na asilimia 11.2. Vilevile mwaka 2014 wengi wa wafungwa walikutwa na hatia
ya kosa la wizi na walikuwa 5,036 sawa na asilimia 23.9 (Jedwali 4.6 na 4.7)
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014
35
Jedwali 4.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo,
Tanzania Bara, 2013
Aina ya Kosa
Chini ya miezi
6
Miezi 6 hadi
mwaka
Zaidi ya
mwaka 1-3
Zaidi ya Miaka
3 - 5
Zaidi ya
miaka 5-10
Zaidi ya
miaka 10-15
Zaidi ya
miaka 15-
20
Zaidi ya
miaka 20-
30
Zaidi ya
miaka 30
Kifungo
cha
maisha
Kunyongwa
Jumla
Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke
Mauaji 40 8 15 6 50 8 5 5 13 0 18 0 3 0 1 0 1 0 32 0 70 2 277
Mauaji (adhabu ya
kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 11 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
Kuua bila kukusudia 17 2 32 2 109 14 13 7 105 8 53 0 24 0 0 0 18 0 8 0 0 0 412
KujaribuKujaribu
kuua 21 1 20 0 24 1 1 1 7 1 9 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 86
Unyang'anyi 49 0 205 0 144 0 0 0 110 0 139 1 70 0 296 0 18 0 3 0 0 0 1,035
Wizi 1,760 134 1,590 110 1,173 107 45 20 156 20 19 0 12 0 23 0 38 0 0 0 0 0 5,207
Kuvunja na kuiba 472 20 689 30 687 20 13 8 128 0 24 2 2 0 12 0 3 0 0 0 0 0 2,110
Kupatikana na dawa
za kulevya 91 8 122 3 107 3 4 3 38 0 12 0 12 0 2 1 0 0 0 0 0 0 406
Kupatikana na nyara
za serikali 148 0 78 6 206 7 2 1 40 1 1 0 119 0 29 0 1 0 6 0 0 0 645
Kujamiiana 137 0 197 0 171 0 0 0 55 0 24 0 33 0 282 0 25 0 193 0 0 0 1,117
Kupatikana na
silaha/risasi 12 0 47 0 71 1 0 0 78 0 37 0 21 0 24 0 20 0 0 0 0 0 311
Kujeruhi 627 70 820 98 681 34 8 7 40 6 22 0 0 0 0 0 2 0 0 1 0 0 2,416
Kuchoma nyumba
moto 77 1 88 3 35 3 0 0 11 0 1 0 0 0 1 0 0 0 8 0 0 0 228
Rushwa 3 0 10 0 23 1 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 39
Kupatikana na
pombe ya moshi 205 30 124 30 41 7 2 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 440
Uzururaji 117 6 102 4 9 2 0 0 41 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 281
Makosa mengineyo 1,880 142 2,650 158 1,489 53 5 4 141 3 8 1 5 0 1 0 2 0 1 0 0 0 6,543
Jumla 5,656 422 6,789 450 5,020 261 98 57 965 39 367 4 301 0 671 1 128 0 251 1 70 2 21,553
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014
36
Jedwali 4.7: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo,
Tanzania Bara, 2014
Aina ya kosa
Chini ya
miezi 6
Miezi 6 hadi
mwaka 1
Zaidi ya
mwaka 1-3
Zaidi ya
miaka 3-5
Zaidi ya
miaka 5-10
Zaidi ya
miaka 10-
15
Zaidi ya
miaka 15-20
Zaidi ya
miaka 20-
30
Zaidi ya
miaka 30
Kifungo
cha
maisha
Kunyongwa
Jumla
Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke
Mauaji 50 8 32 6 61 8 1 1 22 0 10 0 0 0 4 0 0 1 3 0 59 2 268
Mauaji (adhabu
ya kifo kuwa
kifungo)
0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
Kuua bila
kukusudia 12 2 35 3 147 19 12 12 205 14 82 4 29 1 6 0 7 1 2 0 0 0 593
Kujaribukuua 36 0 41 1 20 3 1 1 19 0 8 0 0 0 1 0 0 0 1 0 0 0 132
Unyang'anyi 124 1 64 0 133 0 0 0 91 0 91 0 56 0 275 0 10 0 2 0 0 0 847
Wizi 1,236 83 1,738 114 1,363 66 11 11 329 9 25 0 4 0 8 0 36 0 3 0 0 0 5,036
Kuvunja na kuiba 1,003 49 998 30 729 22 7 7 133 0 45 0 3 0 13 0 1 0 0 0 0 0 3,040
Kupatikana na
dawa ya kulevya 63 5 151 5 144 5 2 2 19 1 8 0 14 0 2 0 0 0 0 0 0 0 421
Kupatikana na nyara za serikali
88 2 126 14 205 8 1 1 46 0 11 0 139 1 38 0 2 0 6 0 0 0 688
Kujamiiana 13 0 11 0 30 0 3 3 36 0 3 0 4 0 253 0 20 0 124 0 0 0 500
Kupatikana na
silaha/risasi 10 3 11 5 56 0 0 0 37 1 12 0 1 0 1 0 8 0 1 0 0 0 146
Kujeruhi 412 44 666 65 399 39 8 8 54 3 5 0 1 0 1 0 0 4 2 0 0 0 1,711
Kuchoma nyumba
moto 67 11 63 2 48 2 0 0 7 0 1 20 0 0 2 0 0 0 3 0 0 0 226
Rushwa 3 0 10 0 23 1 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 38
Kupatikana na pombe moshi
105 40 122 31 39 2 1 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 341
Uzururaji 74 11 48 0 13 0 0 0 38 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 184
Makosa
mengineyo 2,083 181 2,599 196 1,529 68 7 7 204 9 15 0 3 0 3 0 0 0 0 0 0 0 6,904
Jumla 5,379 440 6,715 472 4,939 243 54 54 1,241 37 316 24 254 2 607 0 84 6 147 0 59 2 21,075
Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014
37
4.5 Wafungwa Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina
ya kosa na Urefu wa Kifungo
Jedwali 4.8 linaonesha kwamba, mwaka 2013 wafungwa vijana 333 walipokelewa magerezani
kutoka mahakamani, wakilinganishwa na wafungwa 410 wa mwaka 2014 (Jedwali 4.8) ambalo ni
ongezeka la wafungwa 77 sawa na asilimia 23.1. Wengi wa wafungwa vijana walihukumiwa kwa
kosa la wizi ambalo mwaka 2013 lilikuwa na wafungwa 67 na mwaka 2014 wafungwa 99.
Wafungwa vijana walifungwa vifungo vya chini ya miezi 6 mpaka vifungo vya maisha kulingana
na aina ya kosa.
-
Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014
38
Jedwali 4.8: Idadi ya Wafungwa Vijana Waliopokolewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara,
2013
Aina ya Kosa
Chini ya miezi
6
Miezi 6 hadi
mwaka 1
Zaidi ya
mwaka 1- 3
Zaidi ya
miaka 3-5
Zaidi ya
miaka 5-10
Zaidi ya
miaka 10- 15
Zaidi ya
miaka 15- 20
Zaidi ya
miaka 20 -
30
Zaidi ya
miaka 30
Kifungo
cha maisha Kunyongwa
Jumla
Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke
Mauaji 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2
Mauaji (adhabu
ya kifo kuwa
kifungo)
0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
Kuua bila kukusudia 0 0 0 0 16 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 20
Kujaribu kuua 0 0 0 9 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 14
Unyang'anyi 3 0 0 0 1 0 0 0 1 0 8 0 2 0 1 1 0 0 0 0 0 0 17
Wizi 20 3 10 5 9 4 7 2 0 0 0 2 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 67
Kuvunja na kuiba 6 1 5 8 2 0 3 2 8 0 2 5 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 45
Kupatikana na dawa
ya kulevya 3 4 0 3 0 1 0 0 0 0 0 2 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 14
Kupatikana na nyara
za serikali 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 2
Kujamiiana 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 2 3 0 1 0 7 0 0 0 16
Kupatikana na
silaha/risasi 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 4 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 7
Kujeruhi 10 1 4 5 7 2 19 5 0 0 0 3 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 57
Kuchoma nyumba
moto 0