takwimu za wafungwa na mahabusu tanzania bara … · 2019. 4. 16. · 2013 na 2014 jamhuri ya...

105
TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA BARA MWAKA 2013 NA 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi ya Taifa ya Takwimu Wizara ya Fedha Dar es Salaam

Upload: others

Post on 02-Feb-2021

1 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU

    TANZANIA BARA MWAKA

    2013 NA 2014

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Jeshi la Magereza Tanzania Bara

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

    Dar es Salaam

    Ofisi ya Taifa ya Takwimu

    Wizara ya Fedha

    Dar es Salaam

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    i

    YALIYOMO

    Orodha ya Majedwali ........................................................................................................................... v

    Orodha ya Michoro ........................................................................................................................... viii

    Majedwali Ambatanisho ..................................................................................................................... ix

    Maana ya Vifupisho ............................................................................................................................ xi

    Dibaji .................................................................................................................................. xii

    Shukrani ................................................................................................................................. xiii

    Muhtasari ................................................................................................................................. xiv

    SURA YA KWANZA ......................................................................................................................... 1

    USULI ............................................................................................................................................... 1

    1.0 Utangulizi ............................................................................................................................... 1

    1.1 Jiografia na Utawala............................................................................................................... 1

    1.2 Jeshi la Magereza ................................................................................................................... 2

    1.2.1 Majukumu ya Jeshi la Magereza ........................................................................................... 2

    1.2.2 Takwimu za Jeshi la Magereza ............................................................................................. 2

    1.2.3 Kitengo cha Takwimu cha Jeshi la Magereza ....................................................................... 3

    SURA YA PILI ................................................................................................................................... 4

    HALI YA MAGEREZA NCHINI .................................................................................................... 4

    2.0 Utangulizi ............................................................................................................................... 4

    2.1 Muhtasari wa Hali ya Magereza ............................................................................................ 4

    SURA YA TATU ................................................................................................................................ 5

    TAKWIMU ZA WAHALIFU WALIOKUWEPO MAGEREZANI ..............................................

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    ii

    5

    3.0 Utangulizi ............................................................................................................................... 5

    3.1 Takwimu za Wahalifu kwa Mikoa na Jinsi ............................................................................ 5

    3.2 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri ........................................................ 7

    3.3 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia .............................................. 9

    3.4 Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Hali ya Rufaa. ....... 11

    3.5 Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi na Aina ya

    Kosa .................................................................................................................................. 12

    3.6 Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo ...... 14

    3.7 Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani Kusubiri Kesi kwa

    Jinsi, Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani ................................................................ 16

    3.8 Wahalifu Wenye Ugonjwa wa Akili Waliobaki Magerezani .............................................. 20

    3.9 Wahalifu wanawake wajawazito na wenye watoto.............................................................. 20

    3.10 Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani, kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Nchi

    Walizotoka ........................................................................................................................... 22

    3.11 Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Jinsi ................... 24

    SURA YA NNE ................................................................................................................................. 26

    WAHALIFU WALIOPOKELEWA MAGEREZANI KUTOKA MAHAKAMANI ................ 26

    4.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 26

    4.1 Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani, kwa Jinsi na Mkoa .............. 26

    4.2 Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Umri, Jinsi na

    Mikoa .................................................................................................................................. 29

    4.3 Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na

    Mkoa .................................................................................................................................. 32

    4.4 Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

    Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo ........................................................................... 34

    4.5 Wafungwa Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina

    ya kosa na Urefu wa Kifungo .............................................................................................. 37

    4.6 Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Kushindwa Kulipa Faini kwa Mkoa na Urefu wa Vifungo .................................................................... 40

    4.7 Wafungwa Wagonjwa wa Akili Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mkoa ............................................................................................................... 41

    4.8 Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto Waliopokelewa Magerezani Toka Mahakamani kwa Aina ya Kosa ................................................................................. 41

    4.9 Mahabusu Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

    Jinsi, Aina ya kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu ............................................................. 42

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    iii

    4.10 Mahabusu Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina

    ya kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu ............................................................................... 44

    4.11 Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Nchi Walizotoka .............................................................................................................. 45

    4.12 Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Nchi Wanazotoka ............................................................................................................ 46

    SURA YA TANO .............................................................................................................................. 49

    WAHALIFU WALIOHAMISHWA KUTOKA GEREZA MOJA KWENDA JINGINE ........ 49

    5.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 49

    5.1 Wahalifu Waliohamishwa kwa Jinsi na Mkoa ..................................................................... 49

    5.2 Wafungwa wenye Ugonjwa wa Akili kwa Jinsi na Mkoa Waliopokelewa kutoka Magereza Mengine ............................................................................................................... 51

    SURA YA SITA ................................................................................................................................ 52

    WAHALIFU WALIOTOKA MAGEREZANI ............................................................................. 52

    6.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 52

    6.1 Wahalifu Waliotoka Magerezani Mwaka 2013 na 2014 ..................................................... 52

    6.2 Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa Jinsi na Mkoa ............ 55

    6.3 Wafungwa Walioachiwa Baada ya Kulipa Faini kwa Urefu wa Kifungo na Mkoa ............ 58

    6.4 Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali Magerezani kwa Jinsi na

    Mkoa .................................................................................................................................. 59

    6.5 Wahalifu Waliofariki Magerezani kwa Jinsi na Mkoa ........................................................ 60

    SURA YA SABA .............................................................................................................................. 62

    WAHALIFU WALIOPEWA ADHABU KWA MAKOSA YA UTOVU WA NIDHAMU

    WAKIWA MAGEREZANI ............................................................................................................ 62

    7.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 62

    7.1 Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na Mkoa ........................ 62

    SURA YA NANE .............................................................................................................................. 65

    MAHABUSU WALIOHUKUMIWA ADHABU ZA VIFUNGO WAKIWA MAGEREZANI 65

    8.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 65

    8.1 Mahabusu Waliohukumiwa Wakiwa Magerezani kwa Jinsi na Mkoa ................................ 65

    SURA YA TISA ................................................................................................................................ 67

    HITIMISHO ..................................................................................................................................... 67

    9.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 67

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    iv

    9.1 Hitimisho .............................................................................................................................. 67

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    v

    Orodha ya Majedwali

    Jedwali 3.1: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ............................................................................................................... 6

    Jedwali 3.2: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ............................................................................................................... 8

    Jedwali 3.3: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 10

    Jedwali 3.4: Idadi ya wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ........................................................... 11

    Jedwali 3.5: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ....................................................... 13

    Jedwali 3.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .................................................... 14

    Jedwali 3.7: Idadi ya Mahabusu Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 16

    Jedwali 3.8 Idadi ya Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto kwa Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ......................................................................... 21

    Jedwali 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa Tanzania Bara, 2013 na 2014 ..................................................................... 22

    Jedwali 3.10: Idadi ya .Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Jinsi Tanzania Bara, 2013 na 2014 ...................................................................... 24

    Jedwali 3.11: Idaddi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Nchi

    Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ............................................................... 25

    Jedwali 4.1: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014 .................................................................. 27

    Jedwali 4.2: Idadi wa Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Umri, Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013 .............................................................. 30

    Jedwali 4.3: Idadi ya Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani Kwa Umri, Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2014 ............................................................. 30

    Jedwali 4.4: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 ........ 32

    Jedwali 4.5: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014 ........ 33

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    vi

    Jedwali 4.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka

    Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara,

    2013 .......................................................................................................................... 35

    Jedwali 4.7: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara,

    2014 .......................................................................................................................... 36

    Jedwali 4.8: Idadi ya Wafungwa Vijana Waliopokolewa Magerezani Kutoka Mahakamani

    kwa Jinsi, Aina ya kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 ...................... 38

    Jedwali 4.9: Idadi ya Wafungwa Vijana Waliopokolewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014 ..................... 39

    Jedwali 4.10: Idadi ya Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Kushindwa Kulipa Faini kwa Mkoa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013

    na 2014 ...................................................................................................................... 40

    Jedwali 4.11: Idadi ya Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto Waliopokelewa

    Magerezani Toka Mahakamani Kulingana na Aina ya Kosa, Tanzania Bara,

    2013 na 2014 ............................................................................................................. 42

    Jedwali 4.12: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka

    Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu,

    Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 43

    Jedwali 4.13: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani

    kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu, Tanzania Bara, 2013

    na 2014 ...................................................................................................................... 44

    Jedwali 4.14: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka

    Mahakamani kwa Jinsi na Nchi Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014. .......... 45

    Jedwali 4.15: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................. 46

    Jedwali 4.16: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka

    Mahakamani kwa Jinsi na Nchi Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ........... 47

    Jedwali 4.17: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................. 48

    Jedwali 5.1: Idadi ya wahalifu Waliohamishwa kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .......................................................................................................................... 50

    Jedwali 6.1: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara,

    2013 .......................................................................................................................... 53

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    vii

    Jedwali 6.2: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara,

    2014 .......................................................................................................................... 54

    Jedwali 6.3: Idadi Ya Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014 .......................................................... 56

    Jedwali 6.4: Idadi ya Wafungwa Walioachiwa Baada ya Kulipa Faini kwa Urefu wa Kifungo na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014. ................................................... 58

    Jedwali 6.5: Idadi ya Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali kwa Jinsi na

    Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014 ....................................................................... 59

    Jedwali 6.6: Idadi ya Wahalifu Waliofariki Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara,

    2013 na 2014. ............................................................................................................ 61

    Jedwali 7. 1: Idadi ya Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 ..................................................................................... 63

    Jedwali 7.2: Idadi ya Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na Mkoa, Tanzania Bara, 2014 ...................................................................................... 64

    Jedwali 8.1: Idadi ya Mahabusu Waliohukumiwa Wakiwa Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 66

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    viii

    Orodha ya Michoro

    Mchoro 3.1: Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .............................................................................................................................. 7

    Mchoro 3.2: Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Umri, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ............. 9

    Mchoro 3.3: Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani na Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ..................................................................................... 12

    Mchoro 3.4: Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .............................................................................................................. 14

    Mchoro 3.5: Idadi ya Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Urefu wa

    Kifungo, Tanzania Bara, 2013 na 2014. .................................................................... 15

    Mchoro 3.6: Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .............................................................................................................. 17

    Mchoro 3.7: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani na Kusubiri Kesi

    kwa Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014....... 18

    Mchoro 3.8: Idadi ya mahabusu vijana waliokuwepo magerezani na kusubiri kesi kwa aina

    ya kosa na muda waliokaa gerezani, Tanzania Bara 2013 na 2014. .......................... 19

    Mchoro 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi

    Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................ 23

    Mchoro 4.1: Wahalifu Waliopokelewa MaGerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mikoa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ........................................................................ 28

    Mchoro 4.2: Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ..................................................................................... 34

    Mchoro 6.1: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .............. 55

    Mchoro 6.2: Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014. ....................................................................... 57

    Mchoro 6.3: Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali, Tanzania Bara, 2013 na 2014. ...................................................................................................................... 60

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    ix

    Majedwali Ambatanisho

    Jedwali Na. 1: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Aina ya Uhalifu, Tanzania Bara, 2013 ................................................................................. 68

    Jedwali Na. 2: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Aina ya Uhalifu Tanzania Bara, 2014 .................................................................................. 69

    Jedwali Na. 3: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Umri na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 ............................................................................................... 70

    Jedwali Na. 4: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Umri na Jinsi, Tanzania Bara, 2014 ............................................................................................... 71

    Jedwali Na. 5: Idadi ya Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .......................................... 722

    Jedwali Na. 6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 .................................................. 73

    Jedwali Na. 7: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014 ................................................... 74

    Jedwali Na. 8: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi kwa Aina ya kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2013 .................. 75

    Jedwali Na. 9: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi kwa Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2014 ................. 76

    Jedwali Na. 10: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi kwa Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania, Bara, 2013 ........................ 77

    Jedwali Na. 11: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliokuwepo Magereani, Kusubiri Kesi kwa

    Aina ya kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2014 .......................... 78

    Jedwali Na. 12: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka

    na Aina yaKosa, Tanzania Bara, 2013 ………………………………………… 79

    Jedwali Na. 13: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi

    Walizotoka na Aina yaKosa, Tanzania Bara, 2014 ................................................ 80

    Jedwali Na. 14: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 ............................................... 81

    Jedwali Na. 15: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka na Ainan ya Kosa, Tanzania Bara, 2014 ............................................. 82

    Jedwali Na. 16: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Mkoa, Aina ya Muharifu na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 ........................................ 84

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    x

    Jedwali Na. 17: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

    Mkoa, Aina ya Muharifu na Jinsi, Tanzania Bara, 2014 ........................................ 85

    Jedwali Na.18: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 ......... 86

    Jedwali Na.19: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2014 ......... 87

    Jedwali Na. 20: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Toka

    Mahakamani kwa Nchi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 ............................. 88

    Jedwali Na. 21: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Toka

    Mahakamani kwa Nchi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2014 ............................. 89

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    xi

    MAANA YA VIFUPISHO

    A/INSP - Mkaguzi Msaidizi wa Magereza

    ASP - Mrakibu Msaidizi wa Magereza

    CGP - Kamishna Jenerali wa Magereza

    CP - Kamishna wa Magereza

    CPL - Corporal

    Dkt - Daktari

    DPRK - Korea ya Kaskazini

    DRC - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    EASTC - Chuo cha Takwimu cha Mashariki na Kusini mwa Afrika

    Ke - Mwanamke

    Me - Mwanaume

    MKUKUTA - Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania

    NBS - Ofisi ya Taifa ya Takwimu

    O/I - Mkuu wa Gereza

    RPO - Mkuu wa Magereza wa Mkoa

    SP - Mrakibu wa Magereza

    S/SGT - Sajin Taji

    SGT - Sajenti

    SSP - Mrakibu Mwandamizi wa Magereza

    TPS - Jeshi la Magereza Tanzania

    TSMP - Mpango Kabambe wa Kuboresha Takwimu Tanzania

    TPF - Jeshi la Polisi Tanzania

    UK - Uingereza

    V - Vijana

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    xii

    DIBAJI

    Jeshi la Magereza Tanzania Bara limeanza kutoa

    taarifa za kitakwimu za wafungwa na mahabusu

    waliopo magerezani kwa lengo la kuonesha idadi ya

    wahalifu waliopo, aina za wahalifu, hukumu, sifa na

    tabia za wahalifu hao.

    Taarifa hizi zitaliwezesha Jeshi la Magereza

    kuboresha maeneo mbalimbali kama vile rasilimali

    watu, fedha na vifaa ili kuweza kupanga mikakati na

    mbinu mbalimbali zitakazotuwezesha kuwahifadhi

    na kuwarekebisha wafungwa waliopo magerezani

    mpaka watakapomaliza adhabu zao kwa mujibu wa

    sheria.

    Hivi sasa Jeshi limebaini kuwa upo umuhimu wa

    kuboresha taarifa zake ili ziweze kwenda na

    wakati. Aidha, Jeshi la Magereza, kwa kushirikiana

    na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) chini ya

    Mpango Kabambe wa Kitaifa wa Kuboresha na Kuimarisha Takwimu Tanzania, litakuwa linatoa

    taarifa mbalimbali za kitakwimu kutokana na data za ndani ya jeshi. Taarifa hizo, zitakuwa ni

    pamoja na za wafungwa na mahabusu kila baada ya kipindi cha robo mwaka ambazo baadae

    zitatumika kuandaa taarifa za mwaka mzima.

    Taarifa hizi zitaonesha hali halisi itakayoliwezesha jeshi hili kujipanga vyema ili kuweza kuyafikia

    malengo yaliyowekwa, mojawapo likiwa ni kupunguza uhalifu kama ilivyoainishwa kwenye

    MKUKUTA.

    Dkt. Juma A. Malewa,

    Kamishna Jenerali wa Magereza,

    Jeshi la Magereza Tanzania Bara,

    DAR ES SALAAM.

    Dkt. Juma A. Malewa

    Kamishna Jenerali wa Magereza

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    xiii

    SHUKRANI

    Katika kukamilisha kazi hii, maofisa na askari magereza,

    wataalam kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, pamoja na wadau

    mbalimbali wamehusika wakiongozwa na Mrakibu

    Mwandamizi wa Magereza Marco Kilumbo. Shukrani za

    kipekee ziwaendee Kamishna Jenerali wa Magereza Dkt.Juma

    A. Malewa, Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini kwa kutoa

    maelekezo mbalimbali yaliyofanikisha kukamilika kwa kazi hii

    pamoja na kuwatia moyo watendaji wakati wa kuandaa taarifa

    hii na Dkt. Albina Chuwa, Mkurugenzi Mkuu, Ofisi ya Taifa ya

    Takwimu ambaye kwa kupitia mradi wa TSMP aliwaruhusu

    wataalamu wake washirikiane na watendaji wa Magereza

    kufanikisha uandaaji wa Taarifa hii. Pia shukrani ziwaendee

    Kamishina Jenerali wa Magereza Mstaafu, John C. Minja na

    Kamishna wa Magereza Mstaafu, D.L. Chamulesile ambao

    kwa njia moja ama nyingine wameshiriki katika kutoa ushauri

    uliofanikisha kukamilika kwa kazi hii.

    Aidha, shukrani za kipekee ziwaendee wataalamu walioshiriki katika uandishi wa ripoti

    hii;Valerian Tesha (NBS), SP-Emmanuel Pagali (TPS), ASP-Joseph Siwale (TPS), ASP-Deodatus

    Kazinja (TPS), S/SGT-Magdalena Landa (TPS), SGT-Ruth Mshiu (TPS), SGT-Consolatha Ragije

    (TPS), SGT-Desdery Mallya (TPS), CPL-Regnald Shaban (TPS), Ibrahimu Masanja

    (NBS),Eliaranya Lema (NBS), Clement Mwakanyamale (DPP) na SP-Andrew Mapunda (TPF).

    Mwisho, shukrani za dhati ziwaendee wataalamu wote kutoka Chuo cha Takwimu cha Mashariki na

    Kusini mwa Afrika (EASTC) kwa mchango wao mkubwa katika kufanikisha taarifa hii na kuiweka

    katika kiwango kinachokubalika.

    Gaston K. Sanga,

    Kamishna wa Fedha na Utawala,

    Makao Makuu ya Jeshi la Magereza.

    DAR ES SALAAM.

    Gaston K.Sanga

    Kamishna wa Fedha na Utawala

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    xiv

    MUHTASARI

    Taarifa hii rasmi ya kitakwimu ni ya kwanza kutolewa na Jeshi la Magereza Tanzania Bara. Taarifa

    inahusu wafungwa na mahabusu waliokuwa magerezani katika kipindi cha mwaka 2013 na 2014.

    Pia inatoa ufafanuzi wa kina katika maeneo makuu sita (6). Eneo la kwanza ni wahalifu wote yaani

    wafungwa na mahabusu waliobaki magerezani mwishoni mwa mwaka 2013 na 2014, pili ni

    wafungwa na mahabusu waliopokelewa magerezani kutoka mahakamani kwa mwaka 2013 na

    2014, tatu ni wafungwa na mahabusu waliohama na kuhamia katika magereza mengine kwa sababu

    mbalimbali. Eneo la nne linahusu wafungwa na mahabusu walioachiwa huru kwa sababu

    mbalimbali kama vile kumaliza adhabu zao kwa mujibu wa sheria. Eneo la tano linahusu mahabusu

    waliohukumiwa kifungo wakiwa magerezani na mwisho ni wafungwa na mahabusu waliopewa

    adhabu mbalimbali wakiwa magerezani.

    Baada ya uchambuzi huo wa kina, hitimisho limetolewa kwa lengo la kuboresha hali ya magereza

    nchini.

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    1

    SURA YA KWANZA

    USULI

    1.0 Utangulizi

    Sura hii inaangalia Jiografia ya nchi na majukumu ya msingi ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara.

    Takwimu zitakazotolewa na Jeshi la Magereza zitasaidia katika kupanga kwa makini mipango ya

    kuhakikisha uwepo wa rasilimali za kutosha, kusimamia na kutathmini matokeo ya utekelezaji wa

    mipango mbalimbali ya maendeleo. Rasilimali hizi zinahusisha watumishi (rasilimali watu), fedha

    na vitendea kazi, ofisi, vyombo vya usafiri na makazi bora ya askari na wafungwa. Kuhakikisha

    kuwapo rasilimali hizi ni muhimu katika kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa mikakati na

    program mbalimbali za maendeleo katika Jeshi.

    Aidha, kuna haja ya kuliboresha Jeshi la Magereza kuwa la kisasa zaidi kwa kutumia tekonolojia ya

    kisasa katika utekelezaji wa majukumu yake ya msingi kama ilivyoainishwa katika Sheria ya

    Magereza Na. 34 ya Mwaka 1967. Hatua hii itachangia pia katika kuleta amani na utulivu nchini

    pamoja na kuendeleza na kudumisha usalama katika jamii kwa kuwahifadhi na kuwarekebisha

    wahalifu ili watokapo magerezani wawe raia wema watakaoshiriki katika shughuli mbalimbali za

    kiuchumi na kijamii kwa ajili ya maendeleo ya nchi.

    1.1 Jiografia na Utawala

    Tanzania ni jamhuri ya muungano wa nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar. Nchi hizi ziliungana

    mwaka 1964. Tanzania ni miongoni mwa nchi tano (5) zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki.

    Nchi nyingine ni Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Ipo kati ya latitudo 10 na 12

    0 Kusini na na

    kati ya Longitudo 290 na 41

    0 Mashariki mwa Greenwich. Ina eneo lenye ukubwa wa kilometa za

    mraba 945,087. Nchi hii imepakana na Kenya na Uganda upande wa Kaskazini na Msumbiji

    upande wa Kusini. Mashariki imepakana na Bahari ya Hindi, upande wa Magharibi nchi za

    Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na upande wa Kusini Magharibi

    imepakana na nchi za Malawi na Zambia.

    Tanzania ina maziwa makuu matatu; Victoria, Tanganyika na Nyasa. Ina vivutio vingi vya kitalii

    ukiwemo Mlima Kilimanjaro ambao ni mrefu kuliko yote Afrika na umefunikwa na theluji kwa

    kipindi chote cha mwaka pamoja na mbuga za wanyama, mambo ya kale na fukwe nzuri katika

    Pwani ya Tanzania Bara na katika visiwa vya Zanzibar.

    Hali ya hewa ya Tanzania ni ya kitropiki kwa kipindi chote cha mwaka, ambapo maeneo mengi

    yana misimu miwili ya mvua za masika na vuli. Shughuli kubwa za kiuchumi ni kilimo, ufugaji,

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    2

    utalii, uchimbaji wa madini, viwanda na huduma mbali mbali. Lugha kuu ya Taifa ni Kiswahili

    inayozungumzwa na takribani watu wote pamoja na kuwa Tanzania ina makabila zaidi ya 120.

    Tangu mwaka 1992, Tanzania inafuata mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa. Dola ya

    Tanzania ina mihimili mitatu; Bunge, Serikali na Mahakama. Nchi hii ina mfumo wa Serikali mbili,

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Kiutawala; Tanzania

    imegawanyika katika mikoa 30 ambapo 25 ipo Tanzania Bara na 5 ipo Tanzania Zanzibar.

    1.2 Jeshi la Magereza

    Jeshi la Magereza lilianzishwa rasmi tarehe 25 Agosti, 1931 baada ya mgawanyiko wa jeshi la

    Polisi na Magereza.Kwa sasa linaongozwa na Sheria ya Magereza Na. 34 ya mwaka 1967. Jeshi la

    Magereza limechangia kwa kiasi kikubwa katika kuleta amani na utulivu kwa kufanya kazi zake

    kikamilifu na kwa uadilifu mkubwa na kwa kuzingatia misingi ya haki za binadamu na utawala

    bora.

    1.2.1 Majukumu ya Jeshi la Magereza

    Majukumu ya Jeshi la Magereza kama yalivyoainishwa katika Sheria Na. 34 ya 1967 ni kuchangia

    katika kuleta amani na kuendeleza na kudumisha usalama katika jamii kwa kufanya yafuatayo:-

    i. Kuhifadhi wafungwa wa aina zote wanaowekwa chini ya ulinzi halali kisheria ndani ya

    magereza;

    ii. Kuandaa na kutekeleza programu za urekebishaji wa wafungwa na kuwafundisha wafungwa

    shughuli za uzalishaji na ujuzi mbalimbali kwa njia ya vitendo na ushauri;

    iii. Kuendesha shughuli za huduma za watuhumiwa (mahabusu) kwa mujibu wa sheria; na

    iv. Kutoa ushauri katika kuzuia na kudhibiti uhalifu na urekebishaji wa wahalifu.

    Hivi sasa; Jeshi la Magereza lipo katika mchakato wa kufanya maboresho kwa lengo la kuwa ni

    Jeshi la kisasa linalofanya kazi zake kwa ufanisi, uwajibikaji na weledi wa hali ya juu ili kutimiza

    malengo yake liliyojiwekea kwa kiwango cha juu.

    1.2.2 Takwimu za Jeshi la Magereza

    Jeshi la Magereza lina Takwimu za aina tatu: Takwimu za kiutawala, Takwimu za uhalifu na

    Takwimu za uzalishaji mali. Takwimu za utawala zinahusu rasilimali watu, vifaa na fedha; takwimu

    za uhalifu zinahusu mchakato mzima wa kuwapokea, kuwahifadhi kwa ajili ya kutekeleza adhabu

    kama ni wafungwa au kuwapeleka mahakamani kwa ajili ya kusikiliza kesi zao kama ni mahabusu.

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    3

    Vilevile kuwaachia huru wafungwa kwa mujibu wa sheria. Takwimu za uzalishaji mali zinahusu

    taarifa zote za uzalishaji katika miradi mbalimbali ya magereza ikiwemo kilimo, ufugaji na

    shughuli za viwanda vidogo vidogo. Takwimu hizi hulisaidia Jeshi la Magereza katika kupanga

    mipango yake ya kiutendaji na kimaendeleo. Aidha, sura ya 3 mpaka ya 8 ya ripoti hii zinatoa

    taarifa za kitakwimu za wafungwa na mahabusu katika magereza yetu kwa mwaka 2013 na 2014.

    1.2.3 Kitengo cha Takwimu cha Jeshi la Magereza

    Kitengo cha Takwimu cha Jeshi la Magereza kipo katika Kurugenzi ya Mipango. Kitengo hiki

    hupokea taarifa mbalimbali kutoka katika magereza, huzichambua, huzihifadhi, pamoja kuzitumia

    kuandaa taarifa za mwaka kwa kushirikiana na vitengo vingine.

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    4

    SURA YA PILI

    HALI YA MAGEREZA NCHINI

    2.0 Utangulizi

    Katika kipindi cha mwaka 2013 na 2014 hali ya ulinzi na usalama magerezani ilikuwa imara na

    hakukuwa na tukio lolote lisilo la kawaida. Pamoja na changamoto nyingi ambazo zilikwamisha

    utendaji katika baadhi ya majukumu ya kila siku, Jeshi la Magereza lilijitahidi sana kuyatatua na

    kufanya kazi zake kwa ufanisi wa kuridhisha.

    2.1 Muhtasari wa Hali ya Magereza

    Taarifa hii inajumuisha takwimu za mwaka 2013 na 2014, na ulinganisho wa takwimu hizi

    umefanyika ili kubaini mwenendo wa magereza Tanzania Bara. Ulinganifu huu unahusu idadi ya

    wahalifu waliobaki magerezani mwishoni mwa mwaka 2013 na 2014, wahalifu waliopokelewa

    katika miaka hiyo, wahalifu waliohamishwa kutoka gereza moja hadi jingine kwa sababu

    mbalimbali, wahalifu walioachiwa magerezani kwa sababu mbalimbali, wahalifu waliopewa

    adhabu kwa utovu wa nidhamu na mahabusu waliohukumiwa adhabu za vifungo wakiwa

    magerezani.

    .

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    5

    SURA YA TATU

    TAKWIMU ZA WAHALIFU WALIOKUWEPO MAGEREZANI

    3.0 Utangulizi

    Taarifa hii ni ya wahalifu waliokuwepo magerezani mwishoni mwa mwaka 2013 na 2014. Katika

    magereza yote kulikuwa na wahalifu 33,807 kwa mwaka 2013 na 33,517 mwaka 2014 (Jedwali 3.1

    na Mchoro 3.1 ). Idadi ya mwaka 2014 ilikuwa pungufu kwa wahalifu 290 ambao ni sawa na

    asilimia 0.9 ikilinganishwa na idadi ya mwaka 2013.

    Kati ya wahalifu waliokuwepo magerezani tarehe 31.12.2013, mahabusu walikuwa 17,214 (Jedwali

    Ambatanisho 1) sawa na asilimia 50.9 na wafungwa 16,593 sawa na asilimia 49.1. Mwaka 2014

    mahabusu walikuwa 16,926 sawa na asilimia 50.5 ambapo wafungwa walikuwa 16,591 sawa na

    asilimia 49.5.

    3.1 Takwimu za Wahalifu kwa Mikoa na Jinsi

    Takwimu zinaonesha kuwa mwaka 2013 wahalifu wanaume walikuwa 32,215 sawa na asilimia

    95.3, wanawake 1,243 sawa na asilimia 3.7 ambapo wahalifu vijana walikuwa 349 sawa na asilimia

    1.0. Ambapo, mwaka 2014 wanaume wahalifu walikuwa 31,930 sawa na asilimia 95.2, wanawake

    1,326 sawa na asilimia 4.0 na vijana 261 sawa na asilimia 0.8.

    Mkoa wa Dar es Salaam ulikuwa na wahalifu wengi kuliko mikoa mingine kwa miaka yote miwili

    ambapo mwaka 2013 walikuwa 4,144 na mwaka 2014 walikuwa 4,360. Mkoa wa Ruvuma ulikuwa

    na wahalifu wachache (529) mwaka 2013 ., ambapo mwaka 2014 Mkoa wa Lindi ulikuwa na

    wahalifu wachache (410).

    Pamoja na kuwa na wahalifu 33,807 mwaka 2013 na 33,517 mwaka 2014, uwezo wa magereza

    nchini ni kuhifadhi wahalifu 29,552 tu. Kwa hiyo idadi ya wahalifu ya mwaka 2013 na 2014 ni

    zaidi ya idadi inayoruhusiwa kisheria.

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    6

    Jedwali 3.1: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Mkoa

    2013 2014

    Watu Wazima

    V

    Jumla

    Watu Wazima

    V

    Jumla Me Ke Me Ke

    Arusha 1,156 32 0 1,188 1,191 51 1 1,243

    Dar es Salaam 4,015 113 16 4,144 4,197 146 17 4,360

    Dodoma 1,826 56 18 1,900 1,656 50 16 1,722

    Iringa 1,229 64 3 1,296 1,080 56 14 1,150

    Kagera 1,848 163 4 2,015 2,150 95 6 2,251

    Kigoma 1,403 89 79 1,571 1,147 72 10 1,229

    Kilimanjaro 1,429 66 10 1,505 1,447 62 0 1,509

    Lindi 575 11 5 591 400 10 0 410

    Manyara 912 37 0 949 982 35 0 1,017

    Mara 1,743 47 19 1,809 1,923 106 19 2,048

    Mbeya 2,072 73 8 2,153 1,773 74 1 1,848

    Morogoro 1,588 69 42 1,699 1,604 75 40 1,719

    Mtwara 812 25 0 837 743 24 1 768

    Mwanza 3,317 159 108 3,584 3,158 137 82 3,377

    Pwani 823 14 0 837 925 15 0 940

    Ruvuma 510 18 1 529 680 23 0 703

    Rukwa 892 32 6 930 891 40 14 945

    Singida 855 47 24 926 813 55 2 870

    Shinyanga 1,711 68 6 1,785 1,876 85 24 1,985

    Tabora 1,984 34 0 2,018 2,087 43 0 2,130

    Tanga 1,515 26 0 1,541 1,207 72 14 1,293

    Jumla 32,215 1,243 349 33,807 31,930 1,326 261 33,517

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    7

    Mchoro 3.1: Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

    3.2 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri

    Wafungwa wengi waliobaki magerezani kwa mwaka 2013 na 2014 ni wale wenye umri kuanzia 15

    hadi miaka 50 ambapo mwaka 2013 walikuwa 14,219 sawa na asilimia 85.7 na mwaka 2014

    walikuwa 14,518 sawa na asilimia 87.5 (Jedwali 3.2 na Mchoro 3.2).

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    8

    Wafungwa wa umri huu ndiyo hasa nguvu kazi ya taifa letu hivyo hakuna budi juhudi kubwa .

    zifanyike kuwarekebisha ili watakapotoka wawe raia wema watakaojenga taifa lao.

    Jedwali 3.2: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri, Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Mkoa

    2013 2014

    Miaka

    15 - 20

    Miaka

    21 - 25

    Miaka

    26 - 50

    Zaidi ya

    miaka 50 Jumla

    Miaka

    15 - 20

    Miaka

    21 - 25

    Miaka

    26 - 50

    Zaidi ya

    miaka 50 Jumla

    Arusha 71 117 105 210 503 101 153 119 94 467

    Dar es Salaam 641 163 816 310 1,930 629 134 729 375 1,867

    Dodoma 170 194 637 107 1,108 156 198 533 95 982

    Iringa 122 150 100 54 426 147 204 94 23 468

    Kagera 163 244 450 130 987 172 196 455 265 1,088

    Kigoma 213 222 328 95 858 145 131 393 32 701

    Kilimanjaro 79 345 224 38 686 89 437 315 26 867

    Lindi 96 74 174 22 366 42 30 119 21 212

    Manyara 61 75 204 104 444 33 206 253 35 527

    Mara 205 89 206 141 641 320 60 319 123 822

    Mbeya 100 191 324 446 1,061 126 151 349 247 873

    Morogoro 218 276 383 100 977 166 356 369 101 992

    Mtwara 142 51 192 41 426 144 51 220 55 470

    Mwanza 521 367 687 222 1,797 429 333 686 212 1,660

    Pwani 82 155 162 19 418 100 305 171 54 630

    Ruvuma 54 106 101 21 282 131 134 145 33 443

    Rukwa 102 51 312 24 489 69 112 245 24 450

    Singida 56 118 173 35 382 45 98 154 19 316

    Shinyanga 169 287 221 60 737 200 195 304 75 774

    Tabora 274 221 641 83 1,219 293 396 524 88 1,301

    Tanga 81 327 336 112 856 67 292 246 76 681

    Jumla 3,620 3,823 6,776 2,374 16,593 3,604 4,172 6,742 2,073 16,591

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    9

    Mchoro 3.2: Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Umri, Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

    3.3 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia

    Kitabia, kuna aina mbili za wafungwa magerezani, kwanza ni wafungwa wenye tabia nzuri (Star).

    Hawa ni wafungwa waliohukumiwa kifungo magerezani kwa mara ya kwanza au kwa mara ya pili

    ambao historia ya uhalifu wao, tabia zao na aina ya makosa ya nyuma waliyotenda wanaonekana

    wanafaa kwa urekebishaji na mafunzo. Kundi la pili ni wafungwa wa kawaida (Ordinary) ambao ni

    wale waliokosa sifa ya kuwa Star.

    Walikuwepo wafungwa 16,593 magerezani mwaka 2013 na kati yao 10,539 sawa na asilimia 63.5

    walikuwa wafungwa wenye tabia nzuri (star) na 6,054 sawa na asilimia 36.5 walikuwa wafungwa

    wa kawaida (ordinary). Kwa mwaka 2014 wafungwa walikuwa 16,591 na kati yao 10,958 sawa na

    asilimia 66.0 walikuwa wafungwa wenye tabia nzuri (star) na 5,633 walikuwa wafungwa wa

    kawaida (ordinary) sawa na asilimia 34.0 kama Jedwali 3.3 linavyoonesha.

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

    10

    Jedwali 3.3: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia, Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Mkoa

    2013 2014

    Tabia nzuri Tabia ya kawaida Jumla

    Kuu

    Tabia nzuri Tabia ya kawaida Jumla

    Kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla M Ke V Jumla

    Arusha 329 5 0 334 166 3 0 169 503 111 3 0 114 346 6 1 353 467

    Dar es Salaam 509 0 0 509 1,391 29 1 1,421 1,930 404 0 0 404 1,437 26 0 1,463 1,867

    Dodoma 415 9 8 432 663 13 0 676 1,108 349 18 5 372 608 2 0 610 982

    Iringa 298 14 0 312 114 0 0 114 426 377 11 0 388 80 0 0 80 468

    Kagera 663 29 1 693 294 0 0 294 987 853 23 3 879 209 0 0 209 1,088

    Kigoma 601 26 20 647 211 0 0 211 858 490 17 8 515 185 1 0 186 701

    Kilimanjaro 603 15 0 618 67 1 0 68 686 768 13 0 781 82 4 0 86 867

    Lindi 271 3 5 279 86 1 0 87 366 154 2 0 156 56 0 0 56 212

    Manyara 376 11 0 387 57 0 0 57 444 477 10 0 487 40 0 0 40 527

    Mara 457 7 4 468 171 2 0 173 641 677 14 5 696 121 5 0 126 822

    Mbeya 723 19 2 744 312 1 4 317 1,061 697 18 0 715 155 3 0 158 873

    Morogoro 439 4 24 467 473 30 7 510 977 589 12 13 614 330 30 18 378 992

    Mtwara 298 6 0 304 118 4 0 122 426 309 6 1 316 154 0 0 154 470

    Mwanza 1,056 38 6 1,100 692 4 1 697 1,797 905 24 25 954 703 3 0 706 1,660

    Pwani 238 4 0 242 175 1 0 176 418 340 3 0 343 287 0 0 287 630

    Ruvuma 209 1 0 210 72 0 0 72 282 302 8 0 310 133 0 0 133 443

    Rukwa 373 6 2 381 108 0 0 108 489 357 8 9 374 76 0 0 76 450

    Singida 306 11 3 320 61 1 0 62 378 166 10 0 176 140 0 0 140 316

    Shinyanga 438 20 2 460 276 0 1 277 737 551 29 0 580 190 4 0 194 774

    Tabora 1,097 4 0 1,101 112 6 0 118 1,219 1,167 9 0 1,176 125 0 0 125 1,301

    Tanga 524 7 0 531 325 0 0 325 856 585 23 0 608 72 1 0 73 681

    Jumla 10,223 239 77 10,539 5,944 96 14 6,054 16,593 10,628 261 69 10,958 5,529 85 19 5,633 16,591

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    11

    3.4 Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Hali ya Rufaa.

    Jedwali 3.4 na Mchoro 3.3 vinaonesha idadi ya wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kifo

    waliokuwepo magerezani. Mwaka 2013 walikuwepo wafungwa 391, ikilinganishwa na wafungwa

    410 kwa mwaka 2014, ikiwa ni ongezeko la wafungwa 19 sawa na asilimia 4.9.

    Jumla ya wafungwa 391 wa mwaka 2013 walikata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania. Kati ya

    hao, 233 sawa na asilimia 59.6 rufaa zao zilikataliwa na wafungwa 158 sawa na asilimia 40.4

    waliendelea kusubiri kusikilizwa kwa rufaa zao. Mwaka 2014 wafungwa waliokata rufaa na rufaa

    zao zikakataliwa walikuwa 212 sawa na asilimia 51.7, ambapo 198 sawa na asilimia 48.3

    waliendelea kusubiri kusikilizwa kwa rufaa zao. Wafungwa ambao rufaa zao zilikataliwa

    wanasubiri utekelezaji wa hukumu ya kifo. (Jedwali Ambatanisho 5).

    Jedwali 3.4: Idadi ya wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Hali ya Rufaa,

    Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Mkoa

    2013 2014

    Rufaa

    zilizokataliwa

    Rufaa ambazo

    hazijasikilizwa Jumla

    Rufaa

    zilizokataliwa

    Rufaa ambazo

    hazijasikilizwa Jumla

    Arusha 6 10 16 6 8 14

    Dar es Salaam 40 13 53 40 37 77

    Dodoma 60 49 109 56 45 101

    Iringa 0 0 0 0 0 0

    Kagera 0 0 0 0 0 0

    Kigoma 0 0 0 0 0 0

    Kilimanjaro 0 2 2 0 2 2

    Lindi 1 6 7 1 1 2

    Manyara 0 1 1 0 0 0

    Mara 0 0 0 0 0 0

    Mbeya 6 25 31 8 18 26

    Morogoro 0 0 0 0 0 0

    Mtwara 6 3 9 5 6 11

    Mwanza 29 32 61 28 50 78

    Pwani 0 0 0 0 0 0

    Ruvuma 0 0 0 0 0 0

    Rukwa 0 0 0 0 0 0

    Singida 0 0 0 0 0 0

    Shinyanga 0 0 0 0 2 2

    Tabora 25 8 33 29 19 48

    Tanga 60 9 69 39 10 49

    Jumla 233 158 391 212 198 410

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    12

    Mchoro 3.3: Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani na Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013

    na 2014

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

    3.5 Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa

    Wafungwa watu wazima waliokuwepo magerezani mwaka 2013 walikuwa 16,502 wakilinganishwa

    na 16,503 wa mwaka 2014 ambao ni zaidi ya mfungwa 1 tu. Mwaka 2013 kosa liliofanywa na

    wafungwa wengi kuliko makosa mengine lilikuwa wizi ambalo lilikuwa na wafungwa 3,883.

    Lakini, mwaka 2014 kosa la kuvunja nyumba ndilo lililokuwa na wafungwa wengi kuliko

    mengineambapo lilikuwa na wafungwa 2,476.

    Aidha mwaka 2013 jumla ya wafungwa vijana waliokuwepo katika magereza yote Tanzania Bara

    walikuwa 91, ikilinganishwa na wafungwa 88 wa mwaka 2014, ambao ni pungufu kwa wafungwa 3

    sawa na asilimia 3.3. Ingawa .mwaka 2013,kosa lililokuwa na wafungwa wengi kuliko mengine ni

    kuvunja nyumba, kwa mwaka 2013 na 2014 wafungwa wengi vijana waliokuwepo magerezani

    walihukumiwa kwa makosa ya wizi ( Jedwali 3.5 na Mchoro 3.4).

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    13

    Jedwali 3.5: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Aina ya Kosa

    2013 2014

    Watu Wazima Vijana Watu Wazima Vijana

    Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla

    Mauaji 561 22 583 7 0 7 621 21 642 0 0 0

    Mauaji (adhabu ya kifo

    kuwa kifungo) 120 0 120 0 0 0 154 1 155 0 0 0

    Kuua bila kukusudia 821 45 866 1 0 1 1,212 50 1,262 8 0 8

    KujaribuKujaribu kuua 167 8 175 5 1 6 182 6 188 5 0 5

    Unyang’anyi 2,363 8 2,371 13 0 13 2,269 19 2,288 10 0 10

    Wizi 3,794 89 3,883 14 1 15 2,223 59 2,282 16 1 17

    Kuvunja nyumba 2,178 32 2,210 16 0 16 2,441 35 2,476 11 0 11

    Kupatikana na dawa za

    kulevya 530 5 535 7 0 0 448 20 468 4 0 4

    Kupatikana na nyara za

    serikali 374 1 375 1 0 1 562 4 566 4 0 4

    Makosa ya kujamiiana 909 5 914 4 1 5 1,785 17 1,802 8 1 9

    Kupatikana na silaha na

    risasi 449 10 459 3 0 3 693 12 705 4 0 4

    Kujeruhi 1,030 45 1,075 5 0 5 1,268 41 1,309 7 0 7

    Kuchoma nyumba moto 119 0 119 0 0 0 185 15 200 2 0 2

    Makosa ya rushwa 23 2 25 0 0 0 19 2 21 0 0 0

    Kupatikana na pombe ya

    moshi (gongo) 165 10 175 0 0 0 394 21 415 2 0 2

    Uzembe na uzururaji 153 2 155 0 0 0 191 0 191 0 0 0

    Makosa mengineyo 2,411 51 2,462 11 1 12 1,510 23 1,533 5 0 5

    Jumla 16,167 335 16,502 87 4 91 16,157 346 16,503 86 2 88

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    14

    Mchoro 3.4: Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

    3.6 Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo

    Jedwali 3.6 na Mchoro 3.5 vinaonesha idadi ya wafungwa waliokuwepo magerezani Tanzania Bara

    kwa aina ya kosa, jinsi na urefu wa kifungo kwa mwaka 2013 na 2014. Kwa miaka yote miwili

    takwimu zinaonesha kwamba kifungo chenye wafungwa wengi kuliko vingine ni cha zaidi ya

    mwaka mmoja hadi mitatu. Mwaka 2013 wafungwa walikuwa 3,268 sawa na asilimia 19.8, na

    mwaka 2014 walikuwa 2,606 sawa na asilimia 15.8. Aidha, kosa lililokuwa na wafungwa wengi

    kuliko makosa mengine lilikuwa wizi ambalo mwaka 2013 lilikuwa na wafungwa 3,883 sawa na

    asilimia 23.5 na mwaka 2014 walikuwa 4,413 sawa na asilimia 26.7 (Majedwali Ambatanisho 6 na

    7).

    Jedwali 3.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Urefu wa Kifungo,

    Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Urefu wa kifungo 2013 2014

    Me Ke Jumla Me Ke Jumla

    Hadi miezi 6 1,536 40 1,576 1,834 83 1,917

    Zaidi ya miezi 6 hadi mwaka 1 2,568 107 2,675 2,293 54 2,347

    Zaidi ya mwaka 1 hadi miaka 3 3,185 83 3,268 2,534 72 2,606

    Zaidi ya miaka 3 hadi miaka 5 2,444 41 2,485 2,340 39 2,379

    Zaidi ya miaka 5 hadi miaka 10 1,983 25 2,008 1,667 30 1,697

    Zaidi ya miaka 10 hadi miaka 15 1,237 8 1,245 1,117 15 1,132

    Zaidi ya miaka 15 hadi miaka 20 684 7 691 700 12 712

    Zaidi ya miaka 20 hadi miaka 30 1,177 3 1,180 1,520 11 1,531

    Zaidi ya miaka 30 526 0 526 1,001 1 1,002

    Kifungo cha maisha 453 4 457 756 14 769

    Adhabu ya kifo 374 17 391 395 15 410

    Jumla 16,167 335 16,502 16,157 346 16,503

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    15

    Mchoro 3.5: Idadi ya Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo,

    Tanzania Bara, 2013 na 2014.

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    16

    3.7 Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani Kusubiri Kesi kwa

    Jinsi, Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani

    Mwaka 2013 walikuwepo mahabusu 17,214 waliobaki magerezani kusubiri hukumu, kati yao watu

    wazima walikuwa 16,956 na vijana walikuwa 258. Mwaka 2014 mahabusu walipungua na kufikia

    16,926 ambapo watu wazima walikuwa 16,753 na vijana walikuwa 173. Idadi ya mahabusu watu

    wazima iliyopungua ni 288 ambao ni asilimia 1.7. Kwa miaka yote miwili kosa liliokuwa na

    mahabusu wengi kuliko mengine ni mauaji. Kosa hili lilikuwa na mahabusu 4,693 mwaka 2013 na

    3,829 mwaka 2014 (Jedwali 3.7). Makosa haya ya mauaji yamewafanya baadhi ya mahabusu

    kusubiri kwa zaidi ya miaka kumi (10) kufikia hatma ya mashauri yao (Jedwali Ambatanisho 8 na

    9; Mchoro 3.7.

    Jedwali 3.7: Idadi ya Mahabusu Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013

    na 2014

    Aina ya Kosa

    2013 2014

    Watu wazima Vijana Watu wazima Vijana

    Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla

    Mauaji 4,323 319 4,642 45 6 51 3,450 339 3,789 31 9 40

    Mauaji (adhabu ya kifo kuwa

    kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 0 3

    Kuua bila kukusudia 903 27 930 5 1 6 854 14 868 5 1 6

    Kujaribu kuua 1,099 91 1,190 8 0 8 1,457 114 1,571 21 0 21

    Unyang'anyi 2,186 62 2,248 29 1 30 1,991 23 2,014 0 0 0

    Wizi 1,667 105 1,772 30 4 34 1,826 128 1,954 23 2 25

    Kuvunja nyumba 877 28 905 19 0 19 1,268 33 1,301 0 1 3

    Kupatikana na dawa za

    kulevya 503 12 515 11 1 12 781 21 802 6 0 6

    Kupatikana na nyara za

    Serikali 417 18 435 17 0 17 492 4 496 3 0 3

    Makosa ya kujamiiana 848 26 874 13 1 14 626 18 644 20 0 20

    Kupatikana na bunduki au

    risasi 135 6 141 2 0 2 192 6 198 1 0 1

    Kujeruhi 545 36 581 8 0 8 648 32 680 3 0 3

    Kuchoma moto nyumba 91 26 117 3 1 4 204 5 209 4 0 4

    Makosa ya rushwa 89 15 104 1 1 2 97 0 97 1 0 1

    Kupatikana na pombe ya

    moshi 789 109 898 31 1 32 864 62 926 26 0 24

    Uzembe na uzururaji 149 6 155 4 1 5 36 2 38 0 0 0

    Makosa mengineyo 1,427 22 1,449 14 0 14 987 179 1,166 11 2 13

    Jumla 16,048 908 16,956 240 18 258 16,048 908 16,753 158 15 173

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    17

    Mchoro 3.6: Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    18

    Mchoro 3.7: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani na Kusubiri Kesi kwa Aina ya

    Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    19

    Mchoro 3.8: Idadi ya mahabusu vijana waliokuwepo magerezani na kusubiri kesi kwa aina ya kosa na

    muda waliokaa gerezani, Tanzania Bara 2013 na 2014.

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    20

    3.8 Wahalifu Wenye Ugonjwa wa Akili Waliobaki Magerezani

    Hawa ni watu wenye ugonjwa wa akili ambao wanaweza wakawa wamefanya kosa/uhalifu au

    kutofanya kosa lakini kuwepo kwao uraiani, ni hatari kwao wenyewe na kwa jamii

    inayowazunguka. Mwaka 2013 kulikuwa na wahalifu 5 wenye ugonjwa wa akili, kati ya yao mmoja

    alikuwa Mkoa wa Dodoma na 4 walikuwa Tabora. Aidha, mwaka 2014 kulikuwa na mahabusu

    mmoja tu aliyekuwa mgonjwa wa akili na alikuwa mkoani Dodoma.

    3.9 Wahalifu wanawake wajawazito na wenye watoto

    Mwaka 2013 walikuwapo wafungwa wajawazito 9 na wafungwa wenye watoto 16, ambao

    walikuwa na watoto 18. Aidha, mwaka huo huo mahabusu wajawazito walikuwa 30, mahabusu

    wenye watoto 82 ambao walikuwa na watoto 87. Mwaka 2014 walikuwepo wafungwa wajawazito

    6 na wafungwa 10 wenye watoto 10. Kwa mwaka huo huo mahabusu wajawazito walikuwa 27,

    mahabusu wenye watoto 78 wakiwa na watoto 85. Sababu kubwa zilizowaweka wahalifu wa kike

    gerezani ni makosa ya mauaji na wizi (Jedwali 3.8).

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    21

    Jedwali 3.8 Idadi ya Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto kwa Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Aina ya Kosa

    2013 2014

    Wafungwa Mahabusu Wafungwa Mahabusu

    Wajawazito

    Wenye watoto

    Wajawazito

    Wenye watoto

    Wajawazito

    Wenye watoto

    Wajawazito

    Wenye watoto

    Idadi ya

    wafungwa

    Idadi

    ya

    watoto

    Idadi ya

    mahabusu

    Idadi

    ya

    watoto

    Idadi ya

    wafungwa

    Idadi

    ya

    watoto

    Idadi ya

    mahabusu

    Idadi

    ya

    watoto

    Mauaji 0 5 5 11 40 40 1 1 1 10 53 58

    Mauaji (adhabu ya kifo

    kuwa kifungo) 0 0 0 3 5 5 0 0 0 1 3 4

    Kuua bila kukusudia 0 0 0 2 0 0 0 1 1 2 1 1

    Kujaribu kuua 0 0 0 0 1 1 0 1 1 1 2 2

    Unyang'anyi 1 0 0 0 0 0 0 0 0 1 1 1

    Wizi 3 5 6 4 6 6 0 2 2 3 4 4

    Kuvunja na kuiba 0 0 0 0 2 3 0 0 0 2 2 2

    Kupatikana na dawa za

    Kulevya 0 1 1 0 1 1 1 0 0 1 3 3

    Kupatikana na nyara za

    serikali 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

    Kujamiiana 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

    Kupatikana na

    silaha/risasi 1 1 1 0 2 2 0 1 1 0 0 0

    Kujeruhi 1 2 2 4 5 6 2 2 2 0 4 4

    Kuchoma nyumba

    moto 0 0 0 0 0 0 1 1 1 0 0 0

    Rushwa 0 0 0 0 1 1 0 0 0 0 0 0

    Kupatikana na pombe

    haramu (gongo) 0 1 1 0 1 1 0 0 0 0 0 0

    Uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

    Makosa mengineyo 3 1 2 6 18 21 1 1 1 6 5 6

    Jumla 9 16 18 30 82 87 6 10 10 27 78 85

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    22

    3.10 Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani, kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Nchi

    Walizotoka

    Wafungwa wasio raia wa Tanzania waliokuwapo magerezani mwaka 2013 ni 1,359, wakati mwaka

    2014 walikuwa 873 ambao ni pungufu kwa wafungwa 486 sawa na asilimia 35.8. Wengi wa

    wafungwa hao walitoka katika nchi za Ethiopia na Burundi ambapo kwa mwaka 2013 wafungwa

    wengi walitoka Ethiopia ambapo walikuwa 660 sawa na asilimia 48.6. Mwaka 2014 wafungwa

    wengi walitoka Burundi idadi yao ilikuwa 460 sawa na asilimia 52.7 (Jedwali 3.9, Majedwali

    Ambatanisho 12 na 13 na Michoro 3.9).

    Aidha, kwa miaka yote miwili wafungwa wengi wasio raia wa Tanzania walikuwa wanaume

    ambapo mwaka 2013 walikuwa 1,339 (asilimia 98.5) kulinganisha na wafungwa wa kike 20

    (asilimia 1.5) na mwaka 2014 wanaume walikuwa 868 (asilimia 99.4) na wanawake walikuwa 5

    (asilimia 0.6). Mwaka 2013 na 2014 kulionekana kulikuwa na wafungwa wengi wa makosa

    mengineyo kama vile kuingia nchini bila kibali, kupigana, kutukana na n.k (Jedwali 3.9).

    Jedwali 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa Tanzania

    Bara, 2013 na 2014

    Aina ya Kosa

    2013 2014

    Me Ke Jumla Me Ke Jumla

    Mauaji 43 0 43 8 0 8

    Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 1 0 1 0 0 0

    Kuua bila kukusudia 10 3 13 14 0 14

    Kujaribu kuua 0 0 0 0 0 0

    Unyang’anyi 62 0 62 67 0 67

    Wizi 56 5 61 67 0 67

    Kuvunja nyumba 19 1 20 16 0 16

    Kupatikana na madawa ya kulevya 5 0 5 3 0 3

    Kupatikana na nyara za serikali 6 0 6 3 0 3

    Makosa ya kujamiiana 40 0 40 23 0 23

    Kupatikana na bunduki na risasi 37 0 37 20 0 20

    Kujeruhi 14 3 17 8 0 8

    Kuchoma moto nyumba 0 0 0 3 1 4

    Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0

    Kupatikana na pombe ya moshi 0 0 0 2 0 2

    Uzembe na uzururaji 0 0 0 0 0 0

    Makosa mengine 1,046 8 1,054 634 4 638

    Jumla 1,339 20 1,359 868 5 873

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    23

    Mchoro 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka, Tanzania

    Bara, 2013 na 2014

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    24

    3.11 Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Jinsi

    Mwaka 2013 jumla ya mahabusu 841 wasio raia wa Tanzania walikuwepo magerezani. Wakati

    mwaka 2014 walikuwa 583 wakiwa ni pungufu kwa mahabusu 258 sawa na asilimia 30.7

    wakilinganishwa na wale wa 2013. Mahabusu 280 sawa na asilimia 33.3 waliokuwepo magerezani

    mwaka 2013 ni raia wa Burundi Jedwali 3.11 na 3.12). Mwaka 2014 mahabusu walikuwa 243

    (asilimia 41.7), wengi wao wakiwa ni watuhumiwa wa makosa mengineyo (kama vile kuingia

    nchini bila kibali, kupigana,kutukana na n.k).

    Kwa miaka yote miwili, wengi wa mahabusu wasio raia wa Tanzania walikuwa wanaume. Mwaka

    2013 wanaume walikuwa 797(asilimia 94.8) kulinganisha na mahabusu wa kike walikuwa 44

    (asilimia 5.2) ambapo mwaka 2014 wanaume walikuwa 545 (asilimia 93.5) na mahabusu

    wanawake walikuwa 38 (asilimia 6.5) Jedwali 3.10.

    Jedwali 3.10: Idadi ya .Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Jinsi

    Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Aina ya Kosa

    2013 2014

    Me Ke Jumla Me Ke Jumla

    Mauaji 107 5 112 74 10 84

    Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0

    Kuua bila kukusudia 3 0 3 0 0 0

    Kujaribu kuua 3 0 3 12 0 12

    Unyang’anyi 11 0 11 49 0 49

    Wizi 79 4 83 41 4 45

    Kuvunja nyumba 97 1 98 11 0 11

    Kupatikana na madawa ya kulevya 37 9 46 70 0 70

    Kupatikana na nyara za serikali 15 0 15 8 0 8

    Makosa ya kujamiiana 37 0 37 13 0 13

    Kupatikana na silaha na risasi 5 0 5 6 0 6

    Kujeruhi 16 6 22 30 8 38

    Kuchoma moto nyumba 0 0 0 0 0 0

    Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0

    Kupatikana na pombe ya moshi 0 0 0 4 0 4

    Uzembe na uzururaji 6 0 6 0 0 0

    Makosa mengineyo 381 19 400 227 16 243

    Jumla 797 44 841 545 38 583

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    25

    Jedwali 3.11: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Nchi Walizotoka,

    Tanzania Bara, 2013 na 2014

    2013 2014

    Nchi Walizotoka Me Ke Jumla Nchi Walizotoka Me Ke Jumla

    Bulgaria 1 - 1 Burundi 227 17 244

    Burundi 265 15 280 China 3 - 3

    Cameroon - 1 1 Colombia 1 - 1

    China 3 - 3 Congo 20 - 20

    Congo 2 - 2 DRC 3 - 3

    DRC 4 - 4 Ethiopia 26 - 26

    Ethiopia 222 - 222 Ujerumani 1 - 1

    Ghana 1 - 1 Ghana 1 - 1

    Ugiriki 1 - 1 Ugiriki 1 - 1

    Guinea 1 - 1 Guinea 1 - 1

    India 1 - 1 Hong Kong 29 - 29

    Indonesia 1 - 1 India 1 - 1

    Iran 2 - 2 Indonesia 1 - 1

    Ireland 1 - 1 Iran 20 - 20

    Kenya 46 2 48 Ireland 1 - 1

    Korea ya Kaskazini 1 - 1 Kenya 22 2 24

    Liberia 2 1 3 Liberia 2 - 2

    Lithuania - 1 1 Malawi 1 - 1

    Nigeria 16 3 19 Msumbiji 1 - 1

    Pakistan 1 - 1 Nigeria 23 - 23

    Guinea Bissau 1 - 1 Pakistan 10 - 10

    Rwanda 146 13 159 Guinea Bissau 1 - 1

    Sierra Leone 1 - 1 Rwanda 71 11 82

    Vietam 1 - 1 Viet am 1 - 1

    Somalia 2 - 2 Somalia 12 - 12

    Afrika Kusini 3 1 4 Afrika Kusini 1 - 1

    Tonga - 1 1 Zimbabwe 1 - 1

    Uganda 71 6 77 Uganda 60 8 68

    Uingereza 1 - 1 Uingereza 1 - 1

    Marekani 1 - 1

    Zambia 1 - 1

    Jumla 797 44 841 Jumla 545 38 583

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    26

    SURA YA NNE

    WAHALIFU WALIOPOKELEWA MAGEREZANI KUTOKA MAHAKAMANI

    4.0 Utangulizi

    Sura hii inaangalia wahalifu wote waliopokelewa magerezani kutoka mahakamani kwa mwaka

    2013 na 2014. Lengo ni kufahamu aina ya wahalifu kwa jinsi, umri, kosa na muda waliokaa

    gerezani wakisubiri kesi zao, urefu wa vifungo na uraia wa mhalifu.

    4.1 Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani, kwa Jinsi na Mkoa

    Mwaka 2013 jumla ya wahalifu 123,911 walipokelewa magerezani wakilinganishwa na wahalifu

    118,439 wa mwaka 2014 ambao ni pungufu kwa wahalifu 5,472 sawa na asilimia 4.4. Kati ya

    wahalifu wote 123,911 waliopokelewa magerezani mwaka 2013, wafungwa walikuwa ni 21,886

    sawa na asilimia 17.7 na mahabusu walikuwa 102,025 sawa na asilimia 82.3. Vivyo hivyo kati ya

    wahalifu 118,439 wa mwaka 2014 wafungwa walikuwa 21,485 sawa na asilimia 18.1 na mahabusu

    walikuwa 96,954 sawa na asilimia 81.9.

    Mkoa uliopokea wahalifu wengi kuliko mikoa mingine ni Dar es Salaam ulipokea wahalifu 14,484

    mwaka 2013 na 15,495 mwaka 2014. Lindi ndiyo mkoa uliopokea wahalifu wachache kuliko mikoa

    mingine ambapo 2,152 walipokelewa mwaka 2013 na 1,864 mwaka 2014.

    Aidha, mwaka 2013 wahalifu wanaume walikuwa 113,986 sawa na asilimia 92.0, wanawake

    walikuwa 8,356 sawa na asilimia 6.7 na wahalifu vijana walikuwa 1,569 sawa na asilimia 1.3. Kwa

    mwaka 2014 wahalifu wanaume walikuwa 107,651 sawa na asilimia 90.9, wanawake walikuwa

    8,686 sawa na asilimia 7.3 na wahalifu vijana walikuwa 2,102 sawa na asilimia 1.8 (Jedwali 4.1 na

    Mchoro 4.1).

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    27

    Jedwali 4.1: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mkoa ,

    Tanzania Bara, 2013 na 2014

    Mkoa

    2013 2014

    Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

    Arusha 4,082 283 - 4,365 4,238 360 1 4,599

    Dar es Salaam 13,467 904 113 14,484 13,898 1,383 214 15,495

    Dodoma 5,254 392 31 5,677 4,911 400 53 5,364

    Iringa 3,738 269 22 4,029 3,931 324 28 4,283

    Kagera 7,485 635 24 8,144 8,125 546 47 8,718

    Kigoma 4,501 436 179 5,116 4,302 366 157 4,825

    Kilimanjaro 5,303 474 39 5,816 5,008 425 35 5,468

    Lindi 2,022 108 22 2,152 1,748 101 15 1,864

    Manyara 4,014 341 - 4,355 3,631 287 - 3,918

    Mara 7,970 669 137 8,776 7,127 689 298 8,114

    Mbeya 6,274 616 30 6,920 7,277 712 27 8,016

    Morogoro 4,446 287 342 5,075 3,944 293 281 4,518

    Mtwara 2,870 191 1 3,062 2,499 179 4 2,682

    Mwanza 11,611 901 307 12,819 10,948 838 602 12,388

    Pwani 2,913 71 6 2,990 2,592 120 4 2,716

    Ruvuma 2,815 182 16 3,013 2,680 163 4 2,847

    Rukwa 3,058 224 53 3,335 3,267 249 51 3,567

    Singida 3,873 277 17 4,167 3,591 314 40 3,945

    Shinyanga 8,180 551 192 8,923 5,220 442 194 5,856

    Tabora 4,186 199 4 4,389 3,687 161 2 3,850

    Tanga 5,924 346 34 6,304 5,027 334 45 5,406

    Jumla 113,986 8,356 1,569 123,911 107,651 8,686 2,102 118,439

    Chanzo Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    28

    Mchoro 4.1: Wahalifu Waliopokelewa MaGerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mikoa, Tanzania

    Bara, 2013 na 2014

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    29

    4.2 Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Umri, Jinsi na

    Mikoa

    Mwaka 2013 kundi kubwa la wafungwa walipokelewa magerezani ni lile la wenye miaka zaidi ya

    15–50, ambalo lilikuwa na wafungwa 20,424 sawa na asilimia 93.3. Wakati 2014 walikuwa 19,991

    sawa na asilimia 93.0.

    Mikoa iliyopokea wafungwa wengi wa umri huo kuliko mikoa mingine ni Dar es Salaam na

    Mwanza. Mwaka 2013 mkoa wa Dar es Salaam ulipokea wafungwa 1,820 na mwaka 2014 mkoa

    wa Mwanza ulipokea wafungwa 1,853 (Jedwali 4.2 na 4.3). Aidha, mikoa iliyopokea wahalifu

    wachache wa umri huo kuliko mikoa mingine ni Mtwara na Lindi. Mwaka 2013 mkoa wa Mtwara

    ulipokea wafungwa 436 na mwaka 2014 mkoa wa Lindi ulipokea wafungwa 501. Umri huu ndiyo

    unaotegemewa katika shughuli za uzalishaji hivyo kuwepo kwao magerezani ni pengo katika ujenzi

    wa taifa letu.

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    30

    Jedwali 4.2: Idadi wa Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Umri, Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013

    Mkoa

    Miaka 15-20 Miaka 21-25 Miaka 26-50 Zaidi ya miaka 50 Jumla

    kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

    Arusha 56 15 0 71 103 7 0 110 216 14 0 230 167 4 0 171 582

    Dar es Salaam 551 49 2 602 416 57 0 473 707 38 745 42 10 0 52 1,872

    Dodoma 116 6 10 132 221 12 0 233 576 46 0 622 87 7 0 94 1,081

    Iringa 133 0 0 133 233 19 0 252 159 17 0 176 26 3 0 29 590

    Kagera 149 16 11 176 349 20 369 617 36 0 653 100 13 0 113 1,311

    Kigoma 255 14 19 288 338 34 0 372 573 48 0 621 71 3 0 74 1,355

    Kilimanjaro 142 5 12 159 241 20 0 261 463 26 0 489 58 4 0 62 971

    Lindi 154 2 10 166 157 13 0 170 260 4 0 264 11 0 0 11 611

    Manyara 145 9 0 154 294 15 0 309 225 24 0 249 48 3 0 51 763

    Mara 175 4 26 205 199 19 0 218 530 29 0 559 131 9 0 140 1,122

    Mbeya 115 8 24 147 335 9 0 344 668 69 0 737 54 4 0 58 1,286

    Morogoro 121 4 108 233 480 12 0 492 564 39 0 603 55 4 0 59 1,387

    Mtwara 66 4 0 70 107 10 0 117 238 11 0 249 19 1 0 20 456

    Mwanza 396 14 60 470 475 23 0 498 787 40 0 827 88 5 0 93 1,888

    Pwani 125 1 6 132 249 5 0 254 305 14 0 319 46 2 0 48 753

    Ruvuma 175 20 4 199 346 29 0 375 225 11 0 236 34 0 0 34 844

    Rukwa 115 3 9 127 124 8 0 132 402 23 0 425 30 4 0 34 718

    Singida 85 4 5 94 145 7 0 152 401 28 0 429 49 5 0 54 729

    Shinyanga 176 9 22 207 336 17 0 353 739 43 0 782 113 6 0 119 1,461

    Tabora 78 7 4 89 302 4 0 306 324 16 0 340 56 3 0 59 794

    Tanga 291 9 1 301 291 8 0 299 588 37 0 625 85 2 0 87 1,312

    Jumla 3,619 203 333 4,155 5,741 348 0 6,089 9,567 613 0 10,180 1,370 92 0 1,462 21,886

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

    Jedwali 4.3: Idadi ya Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani Kwa Umri, Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2014

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    31

    Mkoa

    Miaka 15 - 20 Miaka 21 - 25 Miaka 26 - 50 Zaidi ya Miaka 50 Jumla

    kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

    Arusha 57 10 1 68 221 6 0 227 212 27 0 239 34 12 0 46 580

    Dar es Salaam 27 30 1 58 76 32 0 108 969 31 1000 84 39 0 123 1289

    Dodoma 97 4 13 114 180 12 0 192 537 48 0 585 75 8 0 83 974

    Iringa 112 7 0 119 245 14 0 259 335 12 0 347 47 0 0 47 772

    Kagera 263 15 29 307 397 35 432 770 52 822 164 6 0 170 1731

    Kigoma 301 5 10 316 284 10 0 294 620 38 0 658 59 2 0 61 1329

    Kilimanjaro 71 5 7 83 399 28 0 427 376 23 0 399 41 8 0 49 958

    Lindi 52 1 3 56 94 3 0 97 331 17 0 348 17 1 0 18 519

    Manyara 136 3 0 139 192 10 0 202 439 32 0 471 65 8 0 73 885

    Mara 181 18 32 231 204 22 0 226 555 49 0 604 80 4 0 84 1145

    Mbeya 300 17 22 339 423 23 0 446 658 47 0 705 98 8 0 106 1596

    Morogoro 125 13 71 209 258 8 0 266 612 32 0 644 105 12 0 117 1236

    Mtwara 69 3 4 76 135 3 0 138 325 19 0 344 19 4 0 23 581

    Mwanza 280 18 169 467 440 30 0 470 855 61 0 916 113 1 0 114 1967

    Pwani 218 2 4 224 301 4 0 305 319 13 0 332 28 0 0 28 889

    Ruvuma 190 11 2 203 171 9 0 180 187 21 0 208 33 3 0 36 627

    Rukwa 111 7 18 136 204 6 0 210 315 17 0 332 65 0 0 65 743

    Singida 102 6 10 118 137 8 0 145 291 25 0 316 40 5 0 45 624

    Shinyanga 164 13 8 185 196 15 0 211 547 40 0 587 77 6 0 83 1066

    Tabora 118 8 2 128 349 9 0 358 268 13 0 281 60 1 0 61 828

    Tanga 197 4 4 205 343 19 0 362 491 26 0 517 59 3 0 62 1146

    Jumla 3,171 200 410 3,781 5249 306 0 5,555 10,012 643 0 10,655 1,363 131 0 1,494 21,485

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    32

    4.3 Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na

    Mkoa

    Kwa kawaida mfungwa anapopokelewa kutoka mahakamani taarifa zake za nyuma huangaliwa ili

    kubaini kama ameshawahi kuhukumiwa kifungo. Sifa hizi huwa katika makundi matatu, kwanza ni

    wale waliohukumiwa kifungo kwa mara ya kwanza (first offender), pili ni wale waliokuhukumiwa

    kifungo kwa mara ya pili (one previous conviction) na tatu ni wale walio kuhukumiwa kifungo

    gerezani zaidi ya mara mbili (recidivist). Wafungwa waliofungwa kuanzia kifungo cha pili na

    kuendelea huitwa warudiaji.

    Katika miaka yote miwili wengi wa wafungwa warudiaji waliopokelewa magerezani ni wale

    waliohukumiwa kwa mara ya pili. Mwaka 2013 wafungwa wa kifungo cha pili walikuwa 1,786

    ambayo ni sawa na asilimia 68.7 na wa zaidi ya vifungo viwili walikuwa 815 ambayo ni sawa na

    asilimia 31.3. Vivyo hivyo mwaka 2014 wafungwa wa kifungo cha pili walikuwa 1,808 sawa na

    asilimia 65.9 na waliofungwa zaidi ya mara mbili walikuwa 936 sawa na asilimia 34.1 (Majedwali

    4.4 na 4.5 pia katika Mchoro 4.2). Takwimu hizi zinaonesha kuwa bado kuna wafungwa wengi

    warudiaji magerezani, ambao wanapewa adhabu za vifungo baada ya kumaliza vifungo vyao vya

    awali kwa makosa mbalimbali. Hivyo juhudi kubwa inahitajika katika kuwarekebisha ili wasirudie

    kutenda makosa.

    Jedwali 4.4: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi,

    Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013

    Mkoa

    Kifungo cha Pili Zaidi ya Kifungo cha Pili Jumla Kuu

    Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

    Arusha 188 10 0 198 126 6 0 132 314 16 0 330

    Dar es Salaam 24 0 0 24 10 0 0 10 34 0 0 34

    Dodoma 79 0 0 79 17 0 0 17 96 0 0 96

    Iringa 83 1 0 84 51 0 0 51 134 1 0 135

    Kagera 49 0 0 49 44 0 0 44 93 0 0 93

    Kigoma 59 1 0 60 3 0 0 3 62 1 0 63

    Kilimanjaro 152 16 0 168 22 0 0 22 174 16 0 190

    Lindi 87 1 0 88 53 0 0 53 140 1 0 141

    Manyara 63 2 0 65 43 0 0 43 106 2 0 108

    Mara 71 5 5 81 6 0 0 6 77 5 5 87

    Mbeya 80 1 1 82 23 0 0 23 103 1 1 105

    Morogoro 103 2 2 107 130 3 40 173 233 5 42 280

    Mtwara 39 1 0 40 12 0 0 12 51 1 0 52

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    33

    Mkoa

    Kifungo cha Pili Zaidi ya Kifungo cha Pili Jumla Kuu

    Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

    Mwanza 86 0 2 88 19 0 1 20 105 0 3 108

    Pwani 91 3 0 94 43 0 0 43 134 3 0 137

    Ruvuma 99 0 0 99 29 0 0 29 128 0 0 128

    Rukwa 32 0 0 32 6 0 0 6 38 0 0 38

    Singida 44 1 0 45 10 0 0 10 54 1 0 55

    Shinyanga 44 4 1 49 31 0 0 31 75 4 1 80

    Tabora 64 3 0 67 20 0 0 20 84 3 0 87

    Tanga 185 2 0 187 67 0 0 67 252 2 0 254

    Jumla 1722 53 11 1786 765 9 41 815 2487 62 52 2601

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

    Jedwali 4.5: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi,

    Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014

    Mkoa Kifungo cha Pili Zaidi ya kifungo cha Pili Jumla

    Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

    Arusha 171 12 0 183 48 0 0 48 219 12 0 231

    Dar es Salaam 9 3 0 12 2 0 0 2 11 3 0 14

    Dodoma 52 0 0 52 14 0 0 14 66 0 0 66

    Iringa 166 0 0 166 130 0 0 130 296 0 0 296

    Kagera 100 0 1 101 135 0 0 135 235 0 1 236

    Kigoma 28 1 0 29 13 0 0 13 41 1 0 42

    Kilimanjaro 117 12 0 129 77 3 0 80 194 15 0 209

    Lindi 76 0 0 76 59 0 0 59 135 0 0 135

    Manyara 68 1 0 69 33 2 0 35 101 3 0 104

    Mara 64 1 0 65 4 0 0 4 68 1 0 69

    Mbeya 79 1 0 80 30 0 0 30 109 1 0 110

    Morogoro 118 2 2 122 64 0 1 65 182 2 3 187

    Mtwara 45 0 0 45 24 0 0 24 69 0 0 69

    Mwanza 107 0 6 113 18 1 3 22 125 1 9 135

    Pwani 125 0 0 125 53 0 0 53 178 0 0 178

    Ruvuma 66 0 0 66 35 0 0 35 101 0 0 101

    Rukwa 43 0 0 43 5 0 0 5 48 0 0 48

    Singida 47 1 1 49 47 0 0 47 94 1 1 96

    Shinyanga 28 1 0 29 20 0 0 20 48 1 0 49

    Tabora 65 9 0 74 32 1 0 33 97 10 0 107

    Tanga 180 0 0 180 80 0 2 82 260 0 2 262

    Jumla 1754 44 10 1808 923 7 6 936 2677 51 16 2744

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

    34

    Mchoro 4.2: Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani, Tanzania Bara, 2013

    na 2014

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

    4.4 Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

    Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo

    Wafungwa watu wazima 21,553 walipokelewa magerezani mwaka 2013 na wafungwa 21,075

    walipokelewa mwaka 2014. Mwaka 2013 wengi wa wafungwa hao walikutwa na hatia ya kosa la

    wizi ambao walikuwa 5,207 sawa na asilimia 24.2 yakifuatiwa na wafungwa wa kosa la kujeruhi

    wakiwa 2,416 sawa na asilimia 11.2. Vilevile mwaka 2014 wengi wa wafungwa walikutwa na hatia

    ya kosa la wizi na walikuwa 5,036 sawa na asilimia 23.9 (Jedwali 4.6 na 4.7)

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

    35

    Jedwali 4.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo,

    Tanzania Bara, 2013

    Aina ya Kosa

    Chini ya miezi

    6

    Miezi 6 hadi

    mwaka

    Zaidi ya

    mwaka 1-3

    Zaidi ya Miaka

    3 - 5

    Zaidi ya

    miaka 5-10

    Zaidi ya

    miaka 10-15

    Zaidi ya

    miaka 15-

    20

    Zaidi ya

    miaka 20-

    30

    Zaidi ya

    miaka 30

    Kifungo

    cha

    maisha

    Kunyongwa

    Jumla

    Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke

    Mauaji 40 8 15 6 50 8 5 5 13 0 18 0 3 0 1 0 1 0 32 0 70 2 277

    Mauaji (adhabu ya

    kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 11 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

    Kuua bila kukusudia 17 2 32 2 109 14 13 7 105 8 53 0 24 0 0 0 18 0 8 0 0 0 412

    KujaribuKujaribu

    kuua 21 1 20 0 24 1 1 1 7 1 9 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 86

    Unyang'anyi 49 0 205 0 144 0 0 0 110 0 139 1 70 0 296 0 18 0 3 0 0 0 1,035

    Wizi 1,760 134 1,590 110 1,173 107 45 20 156 20 19 0 12 0 23 0 38 0 0 0 0 0 5,207

    Kuvunja na kuiba 472 20 689 30 687 20 13 8 128 0 24 2 2 0 12 0 3 0 0 0 0 0 2,110

    Kupatikana na dawa

    za kulevya 91 8 122 3 107 3 4 3 38 0 12 0 12 0 2 1 0 0 0 0 0 0 406

    Kupatikana na nyara

    za serikali 148 0 78 6 206 7 2 1 40 1 1 0 119 0 29 0 1 0 6 0 0 0 645

    Kujamiiana 137 0 197 0 171 0 0 0 55 0 24 0 33 0 282 0 25 0 193 0 0 0 1,117

    Kupatikana na

    silaha/risasi 12 0 47 0 71 1 0 0 78 0 37 0 21 0 24 0 20 0 0 0 0 0 311

    Kujeruhi 627 70 820 98 681 34 8 7 40 6 22 0 0 0 0 0 2 0 0 1 0 0 2,416

    Kuchoma nyumba

    moto 77 1 88 3 35 3 0 0 11 0 1 0 0 0 1 0 0 0 8 0 0 0 228

    Rushwa 3 0 10 0 23 1 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 39

    Kupatikana na

    pombe ya moshi 205 30 124 30 41 7 2 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 440

    Uzururaji 117 6 102 4 9 2 0 0 41 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 281

    Makosa mengineyo 1,880 142 2,650 158 1,489 53 5 4 141 3 8 1 5 0 1 0 2 0 1 0 0 0 6,543

    Jumla 5,656 422 6,789 450 5,020 261 98 57 965 39 367 4 301 0 671 1 128 0 251 1 70 2 21,553

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

    36

    Jedwali 4.7: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo,

    Tanzania Bara, 2014

    Aina ya kosa

    Chini ya

    miezi 6

    Miezi 6 hadi

    mwaka 1

    Zaidi ya

    mwaka 1-3

    Zaidi ya

    miaka 3-5

    Zaidi ya

    miaka 5-10

    Zaidi ya

    miaka 10-

    15

    Zaidi ya

    miaka 15-20

    Zaidi ya

    miaka 20-

    30

    Zaidi ya

    miaka 30

    Kifungo

    cha

    maisha

    Kunyongwa

    Jumla

    Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke

    Mauaji 50 8 32 6 61 8 1 1 22 0 10 0 0 0 4 0 0 1 3 0 59 2 268

    Mauaji (adhabu

    ya kifo kuwa

    kifungo)

    0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

    Kuua bila

    kukusudia 12 2 35 3 147 19 12 12 205 14 82 4 29 1 6 0 7 1 2 0 0 0 593

    Kujaribukuua 36 0 41 1 20 3 1 1 19 0 8 0 0 0 1 0 0 0 1 0 0 0 132

    Unyang'anyi 124 1 64 0 133 0 0 0 91 0 91 0 56 0 275 0 10 0 2 0 0 0 847

    Wizi 1,236 83 1,738 114 1,363 66 11 11 329 9 25 0 4 0 8 0 36 0 3 0 0 0 5,036

    Kuvunja na kuiba 1,003 49 998 30 729 22 7 7 133 0 45 0 3 0 13 0 1 0 0 0 0 0 3,040

    Kupatikana na

    dawa ya kulevya 63 5 151 5 144 5 2 2 19 1 8 0 14 0 2 0 0 0 0 0 0 0 421

    Kupatikana na nyara za serikali

    88 2 126 14 205 8 1 1 46 0 11 0 139 1 38 0 2 0 6 0 0 0 688

    Kujamiiana 13 0 11 0 30 0 3 3 36 0 3 0 4 0 253 0 20 0 124 0 0 0 500

    Kupatikana na

    silaha/risasi 10 3 11 5 56 0 0 0 37 1 12 0 1 0 1 0 8 0 1 0 0 0 146

    Kujeruhi 412 44 666 65 399 39 8 8 54 3 5 0 1 0 1 0 0 4 2 0 0 0 1,711

    Kuchoma nyumba

    moto 67 11 63 2 48 2 0 0 7 0 1 20 0 0 2 0 0 0 3 0 0 0 226

    Rushwa 3 0 10 0 23 1 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 38

    Kupatikana na pombe moshi

    105 40 122 31 39 2 1 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 341

    Uzururaji 74 11 48 0 13 0 0 0 38 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 184

    Makosa

    mengineyo 2,083 181 2,599 196 1,529 68 7 7 204 9 15 0 3 0 3 0 0 0 0 0 0 0 6,904

    Jumla 5,379 440 6,715 472 4,939 243 54 54 1,241 37 316 24 254 2 607 0 84 6 147 0 59 2 21,075

    Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

    37

    4.5 Wafungwa Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina

    ya kosa na Urefu wa Kifungo

    Jedwali 4.8 linaonesha kwamba, mwaka 2013 wafungwa vijana 333 walipokelewa magerezani

    kutoka mahakamani, wakilinganishwa na wafungwa 410 wa mwaka 2014 (Jedwali 4.8) ambalo ni

    ongezeka la wafungwa 77 sawa na asilimia 23.1. Wengi wa wafungwa vijana walihukumiwa kwa

    kosa la wizi ambalo mwaka 2013 lilikuwa na wafungwa 67 na mwaka 2014 wafungwa 99.

    Wafungwa vijana walifungwa vifungo vya chini ya miezi 6 mpaka vifungo vya maisha kulingana

    na aina ya kosa.

  • Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

    38

    Jedwali 4.8: Idadi ya Wafungwa Vijana Waliopokolewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara,

    2013

    Aina ya Kosa

    Chini ya miezi

    6

    Miezi 6 hadi

    mwaka 1

    Zaidi ya

    mwaka 1- 3

    Zaidi ya

    miaka 3-5

    Zaidi ya

    miaka 5-10

    Zaidi ya

    miaka 10- 15

    Zaidi ya

    miaka 15- 20

    Zaidi ya

    miaka 20 -

    30

    Zaidi ya

    miaka 30

    Kifungo

    cha maisha Kunyongwa

    Jumla

    Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke

    Mauaji 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2

    Mauaji (adhabu

    ya kifo kuwa

    kifungo)

    0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

    Kuua bila kukusudia 0 0 0 0 16 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 20

    Kujaribu kuua 0 0 0 9 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 14

    Unyang'anyi 3 0 0 0 1 0 0 0 1 0 8 0 2 0 1 1 0 0 0 0 0 0 17

    Wizi 20 3 10 5 9 4 7 2 0 0 0 2 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 67

    Kuvunja na kuiba 6 1 5 8 2 0 3 2 8 0 2 5 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 45

    Kupatikana na dawa

    ya kulevya 3 4 0 3 0 1 0 0 0 0 0 2 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 14

    Kupatikana na nyara

    za serikali 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 2

    Kujamiiana 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 2 3 0 1 0 7 0 0 0 16

    Kupatikana na

    silaha/risasi 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 4 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 7

    Kujeruhi 10 1 4 5 7 2 19 5 0 0 0 3 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 57

    Kuchoma nyumba

    moto 0