yaliyomo - kcpe-kcse · d) hoja au yaliyomo au vipengele viwe zaidi ya sita baadhi ya watahiniwa...
TRANSCRIPT
www.kcse-online.info
Yaliyomo
Mambo Muhimu katika Maandalizi ..................... ...............
Amali - 6 za Uandishi wa Insha Bora ......................................
Mpangilio .. .................... ............ ................. ............... . ......
Mfululizo wa Sentensi................ . ............... ...........................
Sauti .. ..................... ................ ...... . .......................................
Uteuzi wa Msamiati ....... ................ . .......................
Kanuni I Sheria ....................................... .................................
Vfgezo vya Kutathmini.. ........................ ................... ............
Chunguza / Uhakiki ................. ......... .................... ...............
Uwasilishi .... ......... ................. ................................................
Mambo Muhimu ........................................................................
Sehemu za Insha................................ ........ ............................ .
Tamati au Hatimu.............. ....................... ................ ........
Shida zinazoibuka katika Uandishi ................. . ........ ...........
Mwongozo wa Kusahihisha ........ ......................
Mtungo ...................................... ............. ............. . .................
Insha Mufti......................................
Msamiati ........ ................... ...................
Mada za Kufanyia Mazoezi ........ .............................................
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Mambo muhimu katika maandalizi na usahihishaji wa insha
Mwanafunzi anayejiandaa kuandika insha ya kuvutia hana budi kutilia maanani vipengelevifuatavyo. Mambo haya ndiyo hutiliwa maanani sana katika usahihisaji wa insha.
a) Sura au mtindo wa inshaSura au mtindo wa insha lazima uzingatiwe, kwa mfano;-Sura ya hotuba-Sura ya barua ya kirafiki-Sura ya barua rasmi-Sura ya mjadala-Maelezo ya moja kwa moja-Ubunifu n.k.
Iwapo mwanafunzi hatazingatia sura au mtindo unaostahili, atapoteza alama ya sura.
b) Urefu wa inshaNi muhimu mtahiniwa azoee kuandika insha kadhaa akizingatia urefu unaohitajika. Wengi
* wa wanafunzi huandika insha fupi mno. Kisha wao hupotezaalama kwa kutozingatiamaagizo haya. .
c) Mpango/mtiririko wa mawazo-Mpango wa maandishi ya insha lazima uwe kwa aya zinazovutia. Epuka aya ndefu au
fupi sana.-Mawazo ya kazi ya mfehiniwa yawe ya kutiririka. Mawazo yasipangwe shaghalabaghala.-Hati ya mtahiniwa ni ima faima iwe ya kusomeka bila tatizo. Epuka kufutafuta.
d) Hoja au yaliyomo au vipengele viwe zaidi ya sitaBaadhi ya watahiniwa hutoa hoja chini ya tano. Epuka kuandika hoja chache kwaniutapoteza alama ya yaliyomo.
e) Mapambo yalnsha•Siri ya insha nzuri ni msamiati uliopambika na uliotumika vizuri.•Wengi wa wanafunzi hupachika'roSamiati mzito mzito bila makini.
•Tumia msamiati w kueleweka kwa urahisi ikiwezekana.Msamiati kama:
- Semi -Tashbihi- Nahau - Majina ya makundi
-Methali - Istilahi za taaluma-Tanakali za sauti - Tashihisi n.k.i?
f) Makosa ya sarufi na hijai•Tumia sentensi fupifupi itt kuepuka makosa ya sarufi.• Iga sentensi kutoka katika kitabu ulichokisoma." Epuka kuwaza au kufikiNa kwa lugha ya mama na kuandika kwa kiswahili.•Usitumie maneno mengi kuelezea jambo. Hi kuandika insha ya kuvutia ni lazimamwanafunzi afanye mazoezi mengi, ajipime' muda wa kuandika insha kama hiyo namwalimu au mwenzake asahihishe kazi hiyo. Mazoezi ya mara kwa mara ndiyo siri yakuboresha uandishi wa insha. Jaribul
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Amali – 6 za Uandishi wa Insha Bora
Mwongozo wa Kusoma na Kufanyia Mazoezi
Nyenzo sitaza kuufanyauandishi wakokuvutia zaidi
• Mawazo na Urefu• Mpangilio• Mlizamu wa ibara• Matamshi sahihi• Msamiati teule• Muundo na uzingativu wa
kanuni za lugha
Mawazo na Urefu Je, uandishi wako una ufafanuzi bora usiotatiza?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
H e b u isome insha ya kuelezea iliySandikwa naye Juma ha pachini.
Je, Juma amefanikiwa kuwasilisha maelezo yake kwa njia safi nayenye ufafanuzi?
Ni.lipoenda kupiga. kambi, nilijifunza kupanda
farasi. .Ni taaluma yenye ujanja sawa kuijua. Hebu
nikueleze jinst ya kuupata ujuzi huu.
Jambo la kwanza ni kujifunza jinsi ya kupanda
farasi. kwanza unahiti kukanyaga kwa.mguu, wako
mqaeja katika kidude cha kukanyaga, kisha kwa
kutumia mguu wako wa pili uvuke juu kabisa kadiri
ya uwezo wako. Wakati huu unaupitisha mguu wako
hadi ule upande mwingine wa farasi. Usidhani ni rahisi
vivi hivi.Tandiko la farasi wakati mwingine huwa juu hata
Hilinifunzo ambalowatu wengihawalijui
zaidi ya fyti nne kutoka chini ardhini.p
Mara ukiisha panda juu ya farasi, unahitaji
kupitjapiga pole pole pande nrvbifl za farasi kwa visigino
vyako ilikumweka farasi mbionL Kwa kupunguza
mwendo unahitajika kuvuta nyuma hatamu pole pole'
|Ukimtaka farasi kuetekea kulia unavuta hatamu
upande wa kulia, hali kadhalika ukimtaka kupinduka
kushoto.)
Ni kwelikuwa Jumaanae/ewamengikuhusumadahii
_____ Upandaji juu ya mgongo wa farasi ni jambo gumu
kujifunza, lakini lenyeraha tele.
Msomajianaweza'kuetewa lengohasa lainsha hiikiiaibarainazinga tia lengolenyewe
Ni nini anachohitaji kufanya mwandishi ilikuwasilisha mawazo yake kwa msomaji?
Je, kwa maoni yako, Juma aliw'ezakuwasilisha ujumbe wake kwa njia mufti?
Eleza sababu ya maoni yako?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Mpangilio
Je, uandishi wako umepangwa vyema na
kueleweka kwa urahisi?
Mpangilio ni utaratibu au muundo unaotumiwa
kuwasilisha ujumbe au mawazo yako kwa njia sahihi. Huenda
ikawa muundo wako ni kulinganisha na kulinganua, kutoa
maoni na kuyafanikisha kwa hoja za kweli, kuonyesha
mfulutizo wa matukio kiwakati, au utaratibu mwingine
wowote ulio bora. Mpango uuchaguao hauna budi uambatane
na mawazo yako na vipengele uvitumiavyo kuifanya insha
yako ieleweke kwa urahisi.
Vidokezo vya Uandishi Bora
Ufanye mwanzo wa uandishi wako kuvutia na kuteka fikiraza msomaji na kuashiria lifuatalo.
Kila kipengele kinatoa habari zaidi kuhusu mada yako.Hakuna ujumbe wa ziada.
Mwambatano wa sentensi hadi sentensi na pia ule wa ibarahadi nyingine huunganisha wazo la kwanza kwa lile la pili.
Hakikisha umempatia msomaji ujumbe ufaao kwa vipimovifaavyo kwa wakati unaofaa. Ukitoa ujumbe duni rftsomajiatapoteza hamu, kisha ukitoa ujumbe mwingi zaidiutamchosha.
Hitimisho lako nalo ni hoja madhubuti.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Nafula ameandika tawasifu yake mwenyeweisome kisha utazame muundo wake.
Nilipokuwa na umri wa miaka saba, wazazi wanguwalikatatikiti kuingia kwenye sarakasi. Nilipendelea daima-kuwa kinyago sarakasini, kwa hivyo nilikuwa nikihesabu sikuzilizobaki hadi siku ya maonyesho.f
Hatimaye, iliwadia siku ya sarakasi. Kwenye kiingilio,nilipata harufu nzuri ya wanyama, kaimati na bhajia.Tulipata viti tukaketi kungonjea onyesho iianze.
Baadetye, mwangaza wa taa ulipunguzwa, tukabakikufurahia onyesho.
Niliwaona wanyama kama vile ndovu, nyani na duma.Katika onyesho la vinyago, waliwahi kuzuka vinyagothelathini toka kwenye kijigari kilichokuwa kidogo ajabu.
Niligundua kwamba ilikuwa bora kwangu kutazamakuliko kuhusika mwenyewe kama kinyago.
Hitimisho hili linajibu maswali yaliyozuka katikausimulizi hapo awali.
Aya yakwanzainaangaziayanayohusika t
katika mada k
nzima.
Semiunganishizimetumikakuunganishamawazo nasentensikatika aya-
Hii
'sentensi inaingilia'
mahali pasipofaa.
Inahitaji ifutiliwe
mbali au kuhami
jnahali pengine.
Kuna umuhimu gani kwa mawazo yakokuunganishwa kwa namna iletayomwingiliano mwema?
Je, ni semi gani au maneno ambayo Nafulaangetumia ili kupata mpangilio bora wa"mawazo?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Mfululizo wa sentensiUnapoarftika, sentensi zako haiina budi kuleta maana, kisha zisikike kuwa na
mshikamano zinaposomwa kwa sauti.
Hakikisha kuwa uandishi wako unasomeka kwa sauti bila tatizo. Insha yako isikikekuwa ya kimaurnbile na yenye mfululizo mwepesi.
Ziandike tena sentensi zilizo ngumu kusikika zinaposomwa kwa sauti. Litupilie mbali nenololote linaloonekana kuzidi.
Tumia mchanganyiko wa sentensi rahisi na pia changamano.
Vidokezo vya Uandishi Bora
• Anza sentensi zako kwa namna tofauti.
Tumia maneno yanayoonyesha jinsi mawazo au hoja zako zinavyounganishwa.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Ifuatayo ni barua yenye ushawishi mwafakaajiyoiandika Owino. Hebu amua mwenyewe kamaina mtiririko mzuri kutoka sentenSi hadisentensi.Fikiria pia kama amefanikiwa kdtumia miurfdombali mbali ya sentensi.
Kwa mwalimu mkuu Bw. Rotich,
• .
Ningependa kutoa pendekezo kwambauliokuwa zamani uwanja wa mpira wa tenisdbadilishwe kuwa wa mpira wa magongo.
Mpira wa magongo ni mchezo maarufu. Huchezwa kwakutumia magongo ya mti na mpira, | Ninawajwa wanafunzi wengiambao wangependa kucheza kwa makundi
Haifakuwa shida kutengeneza uwanja wamchezo huu.
sote.
Ni wako mwaminifu,Owino Japolo.
La ajabu ni kwamba, nyavu zitahitajiIkutelemshwa kiasijNawajua watoto wamowezacusaidia katika jambo hili.
Tafadhali, Mfilirte ombi langu. Naonaitakuwa fahari sote
Uandishi'huuunasikika''kuwa wakawaida narahisikusomeka„ kwa sauti.
Mwandishianyztumiamchanganyiko\wa sentensirahisi nachangamanoA
Chanzochakilasentensikimekuwatofauti navingine nakupendezapia.
• Je, ukosefu wa mtiririko katika sentensi unawezakupunguza ubora wa insha kwa njia gatti, ingawakuna hoja nzuri zitizozungumziwa?
Je, Owino angelifanya nini kuifanya barua yakekusiklka kuwa ya hali ya kawaida zaidi wala si yakubuniwa.
v
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Makala yako haina budi kuwa tofauti kabisaikilinganishwa na nyingine iliyoandikwa na mtu mwingine yeyoteYule. Watu waisomapo makala yako lazima wahisi kwambaunazungumza nao moja kwa moja. Unapojali kile unachoandikahulka yako inajitokeza katika uandishi wako
Vidokezo vya Uandishi Bora
• Andika juu ya kile unachokielewa• Hakikisha kuwa uandishi wako kimemlengamsomaji au msikilizaji moja kwa moja
Mfanye msomaji kupata hisia sawa sawa nazako kuhusu makala unayoiandikaUsichelee kusema hasa unavyofikiria.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Hebu itazame hii hadithi yake Kamene, kishauone jinsi inavyojitokeza kuyva yake halisi kwanjia ya pekee.
Imetoweka!
Makena alipenda sana kuruka kamba k i J a.
alipopata nafasi
Siku moja asubuhi na mapema, Jumamosi,
alikwenda kuitoa kamba yake kikapuni. "Waa-a-wah!",
alisema. Makena hakuipata kamba katujAliwaza na
kuwazua lakini hakufua dafu kuhusu ilikopotelea.r
I Alijaribu kufikiri alipokuwa nayo mara ya
mwiisho. Atickeza.mchachato na Nanjala mtoto wa
KilDhya. Hatimaye alifikiriamahali pengine alipokuwa
l ado hajapekua. -
Alifululiza hadi penye rundo la Nanjala la vitu
vya kucheza, na hapo akaipata kamba yake. “Huyu
mtoto mtukutu kaleta fujo tena". Makena akawaza.
ma Alionafahari kuwa sasa angeweza kumwonyesha
make kuwa kutoweka kwa kamba haikuwa kosalake
Makena anafengakumwandikia mtotomdogo anayewekakuzie/ewa hisia zake.
Unawezakutambua hisiazamwandishikuhusu
michezo.
Makena haonihaya kueiezeafikira zake.
Kuna umuhimu gani katika kuikuza sautiyako binafsi iwe ndiyo inayosikika katikainsha yako?
Una maoni gani kumhusu Makena hasabaada ya kuisoma hadithi yake?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Uteuzi wa MsamiatiJe, wewe huchagua maneno yanayoweza kuunda picha katika fikira za wasomaji?
Uteuzi wa maneno bora husaidia kuichora picha safi
fikirani za msomaji. Yanachangia kumfanya msomaji
kuwa na fikira na hisia sawa na zako. Haimaanishi
k w a m b a u t u m i a p o msamiati m g u m u n d i p o
utakapompendeza msomajpbali kutumia neno lifaalo
mahali panapofaa.
• Tumia majina yasiyotatiza kurejelea wetii/mahali na vitu vingirrevyo.(Majina, kama vile sisimizi, duduvule kupe na kadhalika m borakuliko kutamka neno dudu tu).
• Matumizi ya vitenzi vilivyo dhahiri fiutatfdia kumwonyesha msomajivitendo vyenyewe. (Maneno kama vile kufuturu, kubugia, kulafua,kufundira na'kuguguna ni bora kuliko “kula" tu.)
• Matumizi ya vibadala ni bora kuliko satumia msururu wa vieleziVibadala vinaweza kumfaha;tT||a msomaji jinsi kitukilichozungumziwa kina mwonjo,hisia au msisimko, sauti au harufu.
• Vielezi navyo huvifanya vitenzi v
(Je, huyo bwana alipita pale mtaani chapuchapu aste aste kwakuvutia, kikakamavu akisitasita
• Jaribu kuitoa picha itakayoganda a fikira za msomaji. .
• Ondolea mbali au uzrrekebishsentertsiau vifungu vinavyoonekanakutia madoido. .
• Yatambue maneno yaliyorudiwarudiwa, uyabadilishe.na mengine
Vidokezo vya Uandishi, Bora
yenye maana sawa.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
•Ifuatayo ni makala simulizi iliyoandikwa na
Rodah. Isome kisha uzitambue sehemu
ambazo angehitaji kuzifanyia marekebisho
kwa kuzingatia uteuzi bora wa msamiati.
Nyanyangu alikuwa na mazoeakusema, "Watuhuwahitaji watu." Watu wa muNmu.laidi maishani nimaraf iki.
Maraf ikf ni
maarufu
kwa njia nyingi. Raf iki anaweza
kuwa nawe unapofanya tafrija wa mambo ya raha.bila shaka' Anaweza/ykukuf arij i ukiwa wa upweke.
Maraf iki ni wa maana pia kwa minajili ya kuzungumza
nao tu. Kuongea na kujadfliana ni njia yakuwapatamsha
-kukuzQ urgf iki katiya watu na kuwaleta karibu.
Si muhimu kuwa na macafiki wengi zaidi. Rafiki mmojatu wa kufana anatosha. Maraf iki ni ukumbusho kwetukuwa hatuko peke.yetu bali tunaye mshiriki katikadhiki na faraja maishani.kuyokobili mambo.
Jaribukutumianominohaiisi[jbadaiaya nenoia jumia.
Neno muhimiriimetumiwamara nyingi
Jaribu kutumierkieidti pamojana kitenzi.
Jina rafikiiimecbakaa kwakurudiwa maranyingi.
Je uradidi wa maneno unamwathiri msomajikwa njia gani? Taja njia za kuutatua utatahuu.
Rodah alitumia neno rafiki mara kwa mara.Ni maneno yapi mengine angalitumia ilikuifanya insha-yake kusisimua zaidi?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Kanuni / Sheria
Je, umeipitia tena na
kuihakiki insha yako
kwa makini?
Njia rahisi ya kukusaidia
kukumbuka mambo ya
kutilia maanani unapoihakiki
kazi yako ni: HAUMI
a m b a y o h u s i m a m i a
H e r u f i k u b w a , A l a m a z a
Uakifisho, U t u m i z i bora wa
m a n e n o n a s e m i /
M a e n d e l e z i s a h i b i , Ibara
au aya z i l i z o p a n g w a
v y e m a .
Vidokezo vya Uandishi Bora
• Kwa matumzi bora ya herufi kubwa, soma vitabumbalimbali vilivyopigwa chapa.
• Insha yako haina budi kuzingatia matumizi bora ya n.k.
alama za kuakifisha km. nk
• Hakikisha unatumia tu zile semi, methali na msamiati
unaojua maana yake wala hautatizi.
• Ni muhimu kuyaendeleza maneno ipasavyo. Rejelea
kamusi ya Kiswahili sanifu.
• Kiia ibara ikuze hoja moja wala isichanganye mawazo.
'
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Hebu isome insha linganishi iliyoandikwa naNjoki halafu uchunguze ni wapi anapowezakusahihisha makosa.
Vitabu na f ilamu ni viwili kati ya vifaahadithimaarufu vya kusimulia hadizi. Hata hivyo,
viwili hivi vinahitilaf iana kwa namna nyingi.Tofauti
Tafauti-kuu kati ya vitabu na f ilamu ni
kwambdt vitabu husomwa ilhali filamu.
Hutazamwa?
tofauti nyingine kati ya vitabu na filamu nikuwa unatfteza kuHusisha ubunifu wakokuwasawiri wdtung mahali katika vitabu
amuqfilrisi mtu du mahali patakavyoohekaqa
kuwa hata kabla hujaanza® utaipata taSwira" 1 ’S' |
ya mhusika au mandhari fikirani mwcko.
iuuftirttrundlkano wasentensi na ztnahitajikutenganistiwajoizifanyakuwatmbititofauti,T
.<. ' j.’« .
Unawezaje kuyazuia makosa ya kisarufi iliyasije kutbkea?
Matumizi ya vitabu vya marejeleoyangelihusishwa kwa nji’0i“gani katikakumsaidia Njoki kuihakiki kazkyake?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Vigezo vya kutathmini
Tumia orodha ifuatayo ya vigezo vya kukadiria ubora wa uandishi wako.
Mawazo na urefuJe, nafahamu dhahiri shahiri yale ninayonuia kusema?
Je, najua mengi kuhusu mada hii? Ama nahitajikuifanyia utafiti zaidi?
Je, nimeandaa ufafanuzi utakaohuisha mawazo yangu?
MpangilioJe, ninao muundo au mwambatano safi wa uandishi?
Je, viungo nilivyotumia vimeshikamana kufanya hoja
kuu au azima ya insha?
Matamshi sahihi/SautiJe, mada yenyewe imenipendeza?
MSWADA
Mawazo na urefuJe, ninavyo vidokezo vya kutosha kuikuza hoja kuu?
Je, naweza kuikuza taswira ya vitu au vituko akilini mwanguili niweze kuonyesha badala ya kusema?
□□
MpangilioJe, chanzo cha insha kinaweza kuteka fikira za msomaji akamakinika?
Je, ninalo wazo linalofaa kwa hitimisho?
Matamshi Sahihi/Sauti
□ Je, ninayo taswira safi ya yule ninayemlenga kwa uahdishiwangu?
| Je, naweza kukadiria wazo litakalopendeza zaidi katikauandishi wangu?
Msamiati teule
□ Je, ninaelewa maana ya msamiati wa kipekee ninaonuiakuutumia katika insha yangu?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
CHUNGUZA
Mawazo na urefu
□ Je, msomaji anawezadbila matatizo, kunitajia kiini cha makala yangu?
D Je, habari zote ziffzorrto zinatilia mkazo hoja kuu na azima ya makalahii? /
□ Kuna chochote n'rfrchohitaji kuonyesha badala ya kukizungumzia?
/ Mpangilio
□ Je, kuna ujumbe au ufafanuzi wowote unaoonekana kuwa wa ziada?
D Je, utaratibu huu ni rahisi kwa msomaji kuufululiza kwa starehe?
Hitimisho linamwongcea msomaji kupata jambo la kufikiria?
/ Mtiririko wa senfensiD Je, uandishi wangu ufiasikika kuwa halisi na kusomeka kwa sauti
bila tatizo.□ Je, nimetumia mnyambuliko wa sentensi sahihi na changamano?□ Je, nimetumia msamiati unaoonyesha jinsi hoja zangu
zinavyoshikamana?
Matamshi Sahihi / SautiKwa kuisoma makala hii, msomaji ataweza kupata hisia sawa na zangu?Je, mswada wangu unaonyesha kuwa kwa kweli naijali mada yenye
Uteuzi wa Msamiati□ Je nomino zimewakilishwa kvya majina halisi navyo vitenzi
kujionyesha dhahiri? .Vibadala navyo vinaweza kuzua hisia za msomaji?
□ Vielezi viliviopo Vinaitoa picha halisi?
□ ,Je, mswada wangu una baadhi ya maneno yaliyotumiwa zaidi kiasicha kuchakaa? Kanuni/Sheria
□ Je, nlmeukagua uandishi wangu kwa kuchunguza nakuhakikisha matumizi bora ya HAUMI?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
UwasilishiJe, unayawasilisha makala yako kwa njia nzurijinsi iwezekanavyo?
Uwasilishi ndiyo njia halisi ya kugawana na wengineulichoandika. Jambo hili lina umuhimu karibu sawa nayale uliyoyaandika. Ikiwa uwasilishi wako ni wa kupendeza,wasikilizaji wako watamakinika kuyategea sikio manenoyako. La sivyo wasikilizaji hawatamakinika.
Vidokezo vya Uandishi Bora
Iwapo makala yako imeandikwa kwa-mkonq hakikisha herufina alama za uakifisho zaonekana vizuri
Kama imechapwa kwa kompiuta hak-ikisha herufi zaonekana,mistari imeshika rangi na mishoraro imetenganishwa kwa nafasi tosha.
Kabla ya kuwasilisha, hakikisha kuwa hujikwai unaposomakwa sauti baadhi ya maneno.
Unapowasilisha, fikiria kutumia mab&ngo, picha na vifaa -vinginevyo vya kutazama ili viweze kumsaidia pnsikiJizajrkuelewa unachozungumzia.
Hebu fikiria iwapo kunayo miundo au rnitindo mingjne ambayoingetumika kuifanyia kazi ya uandishi huu. Je, ingeweza kuwamsururu wa picha simulizi, kiigizo, bango au kitu kinginechochote kile?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Mambo Muhimu Katika Uandishi wa Insha Fasaha
Maana ya Insha
Kwa hakika insha ni mtiririko mufti wa mpangilio wa mawazo fulani
likimaandishijiHi kuelezea jambo fulani unalikusudia.
Ama kwa kweli, uundaji wa mada ya Hadithi, vituko au yoyote yale kwa
kutumia maarifa mwafaka, kuyapanga mawazo yako ukitumia lugha
inayofaa na kwa utfasaha kuwasilisha ujumbe fulani huishia katika uandishi
wa insha mwafaka.
Uandishi wa insha up&hitajl mambo kadha wa kadha kujumufehwa
kwa pamoja ili kutoa ma«lezo mufti juu yaambcyaliyokusudiwa na
"rnWandi|hi. ‘
v' Kab mwanafunzi aanzeicuandPfel insha, yafaa kwanza awe na uhuru
wa kujlpangia uandishi wime apendavycf yeye mwenyewe Jambo hili
humweesha mwanafunzi kubuni mazingira halisi na asili katika uandishi
kwani hujirrfiliki kimawazo. ' .
Kwa hakika uhuru huu humwezesha mwaliiyiu kubaini na kutambua
uwezo wa mwanafunzi katika.fani mbalimbali za lugha,kama vile mtiririko
wa viskwa njia mwafakg, idisi wa lugha,mpangilio wa mawazo ya
mwanafunzi qa mengineyo.
Tunapoandika insha lazimagnambo fulani yafuatwe ili mwandishi aweze
kufaulu katika kue(ezisa ama jambo alitokusudiali litoe maudhui kwa
njia bora.
Lugha lazima izingatiwe kwa ufasaha na usanifu, kwani maudhui
yanayozungumziwa lazima yajitokeze kuambatana na sgijii zilizotumika
katika insha, na piVfffriko unaofaa kuyawasilisha mawazo ya mwanafunzi.-
Kwa hivyo, jinsi mwanafunzf angvyoandika, huwa anawasilisha
angilio wa mawazo fulani alivyokusudia.Haya yote hulazimu iugha fasaha
na sahihi itumike na pia mpangilio mwafaka wa vitendo au vituko ili
kUnyesha ustadi wa lugha alio nao mwanafunzi.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Sehemu za Insha
Zifuatazo ni sehemu katika uandishi wa Insha
Insha ni kama nyumba inayojengwa kutoka mwanzo hadi mwisho ndio wenyewe waweze kuingia nakukaa.Hivyo basi insha sharti iwe na mwanzo na mwisho wake.
Ni dhahiri shahiri kwamba tunapoandika insha lazima tuelezee jinsi mambo yanavyoanza auyalivyoanza,yalivyotukia, vile yalivyoencTelea kisha tamati yake.
Kwa hivyo sharti yafuate mpangilio huu.
Mpangilio wa mawazo na mtiririko wa visa hupeanwa hatua kwahatua katika kila aya. Ni vyema> kila aya kuwa na wazo lake ilikuonyesha vile mwandishi ana uju|i wa lugha kimafikira.
Mwanzo au Utangulizi
Kila kitendo lazima kiwe na mwanzo wake.Hii ni kumaanisha yakwamba, insha yoyote He lazima iwe na mwanzo mzuri wa mvuto nawenye kuambatana na kichwa kinachozungumziwa ili kuonyeshaufasaha na usahihi wa kisa kinachokusudiwa kuelezewa.Kumbukamwanzo wenye kuvutia humfurahisha mtahini na kumwonyeshausanifu wa mtahiniwa katika lugha.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Tamati au Hatima
Huu ndio mwisho wa insha.Katika sehemu hii, mwandishi lazima aonyesheumaarufu na ugwinji wake kwa jinsi atakavyoimalizia insha yake.
Mwisho sharti uambatanishwe na mtiririko wa mawazo kutoka mwanzoni.Maneno ya kumvutfa msomaji kama vile methali, tashibihi na mengineyolazima yamfurahishe mtahini yakitumiwa vizuri, na hivi kumdhihirishia yakwamba wewe u maarufu katika uandishi wa insha.
MAPAMBO YA LUGHA
Ama kwa hakika, mapambo yamo kila mahali.Wanaw&fce hatuwaachinyuma,kwani wanajipodoa na kuonekana kwamba wanapendeza, ingawajewengine hujiharibu wakidhania wanajitengeneza.Hivyo ndivyo insha piainaweza kuwa,kwani ukiyatumia mapambo haya vibaya unaweza kuiharibuinshayako ama ukaiongezea ladha vilevile ukiyatumia vizuri.Kuril njia mbalimbali za kuipamba insha kama vile kwa njia zifuatazo
TANAKALI ZA SAUTI ?Haya ni maneno yanayoonysha milio ya sauti au vitendo fulani.Hayamaneno lazima yatokee kuambatana na jinsi tabia, sauti au surainavyojitokeza.Kwa mfano,Kukataa jambo katakata, msichana mweusi tititi, giza totoro, kulala fofofo,kujibwaga kitandani bwa! na mengineyo.
METHALIMethali hutumika jinsi Uivyo, hazigeuzwi kwani zinaweza kutoa maanatofauti.Kabla hujatumia methali hakikisha unaijua maana yake ndio uwezekuitumia kwa ufasaha katika sentensi ili iweze kujitokeza kimaana.'Kwa mfano,kijana mpotevu katika bibilia alirudi nyumbani kwao baada yakumaliza sehemu ya urithi aliopewa na babake, kwani mwenda tezina omo marejeo ni ngamani.hlc!
TASHBIHI/ TASHBIHAHii ni mbinu ya kufananisha vitu mbalimbali ki maumbile, hali, au matukio.Maneno yanayotumika kufanariisha vitu hivi ni kama, mithili, sawasawa,ungedhani na mepgi mengineyo .Kwa mfano, Halima alikimbia kama swara.Nilijitpsa majini sawasawa samaki.Alikuwa na raha mithili ya kibogoyo aliyepata jino.n.k. -Matumizi ya maneno haya lazima yawe na uambatanifu wa kisawasawandio yaweze kutoa maana kwa ufasaha na usanifu.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
SEMISemi hutumika hasa kuleta maana maalum isiyo ya kawaida, boraunachokieleza kitoe maana dhabiti bali kitu chenyewe hakibadiliki.
Maneno haya huwavutia sana wataalamu wa lugha na hudhihirisha jinsimwandishi anavyoifahamu lugha yenyewe.Kwa mfano, badala ya kusemababu yangu ni mzeesana, unaweza kusfcma ,babu yangu amebugia chumvisi haba, nilitembea mwendo wa asteast$ mpaka kwetu shuleni, machoziya furatia yalinitiririka tiriri nilipomwona mama yangu, n.k
Mbali ha mapambo ya lugha tuliyoyatoa, kuna baadhi ya mengine ambayomwanafunzi anaweza kutumia kufanikisha uandishi wa insha kwa njia yakitaalam na kwa mvuto mkubwa.
MATUMIZI YA LUGHAMbali na haya yote, lazima au sharti matumizi ya lugha yawe shwari naya ufasaha.
Ngeli lazima ziambatanishwe sahihi na nomino kuambatana na kiambishikilicho sahihi.
VIHUSISHI;-Pia lazima vitumiwe kwa njia sahihi na ya ufasaha.Vihusishi vya mahalihutumika kuonyesha barabara mahali jambo fulani linatendeka aulilitendeka. Kwa mfano, mgonjw alilazwa kwenye kitanda, nitilie majindani ya kikombe. Vihusishi vingine ni kama vile katika, penye, na, ni.n.k
VIMILIKISHI;-Neno hili linatokana na neno miliki, kuonyesha chako.Maneno lazimayaandikwe kwa kirefu. Tusilifupishe kwani halitatoa ukamilifu wa yuleunayemzungumzia.Kwa mfano usiseme mamangu - sema mama yangu.Virhrlikishi hupangiliwa hivi:,-angu - etu- ako - enu- ake - ao
VIWAKILISHI; -Ni maneno yanayotumika au kuunganfehwa na neno ili kutumika kamajina la anayetenda au anayetendewa jambo fulani.Kwa mfano ; alipo (mtu Fulani) 'Alipo' hutifmika kusimamia jina laanayezungumziwa.Viwakilishi hupangiliwa hivi:IMi - mimi U - weweA - yeye Tu - sisiM - nyinyi Wa - wao
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
MSAMIATI;-Haya ni maneno yanayotumika katika uandishi wa insha kuvutia msomajilakini si maneno magumu kamS vile wanafunzi wengi hufikiria.Usitumiekamwe neno ambalo hulijui maana yake.Kwa hivyo tumia maneno ambayounayafahamu matumizi yake ili uonyeshe au udhihirtshe vile unavyoifahamulugha.
Wanafunzi wanashauriwa ya kwamba matumizi ya kiholela ya misamiatfusiolingna na mazingira unayoeleza, huleta upotoshi wa jambounalolizungumzia.
AINA ZA INSHAKuna aina ainati za insha na tofauti yake huwa ni jinsi umbo lake lilivyo.Insha hlzi zote lengo huwa ni moja tu/kuelezea maudhui fulani au kutoahoja fulani.
Zifuatazo ni aina za insha.1) Insha za bairua;-Insha za#arua zimegawanywa mara mbili: barua rasmi na barua z§kirafiki.Tofauti huwa barua rasmi huwa na anwani mbili: ya rriwenyekuandika, vp ya mwenye luandikiwa.Hasa huwa ni za kiafisi, ilhali baruazaki rafiki huwa ha anwani moja ya anayeandika.Huwa ni barua za kirafikiau za klujamaa. .
2) Insha za maelezo;-Katika aina hi'i ya insha, mwanafunzi hupewa kichwa fulani kukizungumziaau kuelezea. Jambo la muhimu ni kwamba soma maelezo uliyopewa kishautoe maelezo yako kuambatana na sehemu ya kwanza uliyopewa.
Kwa mfano elezea vile ulivyoisherehekea sikukuu ya Krismasi n.k.3) Insha za methali;-Hapa unapewa methali uizungumzie.Kabla htijaanza kuandika, soma methaliyenyewe uelewe maana. na matumizi yake.Ukishaelewa, kwanza elezamaana ya methaii,pili,eleza jinsi Lnavyoweza kutumika,kisha elezea kisamwafaka kinachoelezea methali hiyo kinagaubaga.Katika hatima yake,toasomo linalpweza kutokanna methali hiyo.
4) Insha £enye kimalizio;-Katika aina hii ya insha, mwandishi hupewa maneno ya kumalizia inshayake.La muhimu ni kwamba lazima kisa au hadithi unayoitoa iambataneria kimalizio ulichopewa.Kimalizio kinaweza kuWa methali,misemo, funzoau kimalizio chochote kile mtahini ataonelea ni sawa tu.
5) Insha’za mazungumzo;-Katika aina hii ya insha huwa kuna wahuika wanaozungumzia jambo fulaniwakijibizana.Huwa ni kama mchezo wa kuigiza ambapo mhusika mmojaakiongea yule mwingine anajibu.Wahusika wanaweza kuwa wawili au zaidi.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Huwa na umbo kama hill; t
Mama: Umechelewa wapi?Mtoto: Tulikuwa na kazi nyingi shuleni mama.Mama: Haraka uende ukaokote kuni.Umesikia? ,Mtoto: Ndio mama.
Na kadhalika.
Kumbuka maneno yanayoandikwa ni yale yanayotoka kinywani mwaanayezungumza.
6) Insha za mjadala -Hapa watu hujadiliana swaia fulani. Wahusika hutoa maoni au hojawakilizingatia jambo fulani. Wenye kuzungumzia mjadala ndio wanaotafutajibu la swala hilo kulingana na vile wanavyozitoa hoja zao. Kwa mfanomijadala bungeni hujadiliwa ili kupata suluhisho la jambo fulani.Jadiliana na mwenziojii ya mjadala huu.i. Ni heri shule za mabweni kuliko shule za kutwaii. Ni heri kuolewa kuliko kukosa kuolewa
7) Insha za kumbukumbu -Aina hii ya insha huwa inahusu mambo yaliyojadiliwa katika mikutano.Mambo yote yanayozungumziwa na kukubaliwa huandikwa na mwandishiwa huo mkutano.Mambo yaliyoandikwa huwa yanahitajika wakati wamkutano ufuatao ili wanachama wasomewe wajue walifika wapi ili kuendeleana mambo mengine.8) Insha za ripoti -. Ripoti huwa ni juu ya matukio fulani mahali fulani. Anayetoa ripoti huwaanatoa na kuandika taarifa kuhusu mambo aliyoshuhudia au kuelezewakikamilifu, kisha kuiwasilisha mahali alikokusudia. Kwa mfano kulikuwa namichezo wa kandanda shuleni mwenu, kisha uambiwe uandike ripoti kuhusuhuo mchezo ulioona. Hapa ndipo utaelezea jinsi mchezo ulivyokuwa kutokamwanzo hadi tamati. Na haya maelezo ndiyo ripoti.
9) Insha za hotubaKuna insha za hotuba ambazo mwenye kutoa hotuba huwa anazungumziajambo au mambo fulani. Kwanza kabisa mwenye kutoa hotuba huanzakwa kuwataja na kuwasalimia wasikilizaji kisha akaanza kuwahutubia.Huelezea madhumuni yake na baada ya hotuba hutamatisha kwa kutoashukrani na kuwaaga. Inaweza kuwa hotuba ya Rais, mwalimu mkuu, chifuau yeyote yule.
10) Insha huruPia kuna insha hum ambapo mwanafunzi hupewa uhuru wa kuchaguakichwa chochote kile kuelezea jambo lolote alitakalo.
+
11) Insha za taswiraHasa unapewa picha kuzitizama na kuzieleza vile unavyoona zinamaanisha.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Shida zinazoibuka katika Uandishi
Yafuatayo ni baadhi ya makosa yanayoibuka wanafunzi wanapoandikainsha.
i. Matumizi ya lugha mbovu ambayo si mwafaka
ii. Mwendelezo mbaya wa maneno
iii. Kutoelewa ngeli vyema kisha kusababisha utumizi duni wa sarufi
iv. Kutoakifisha maneno kwa usahihi
v. Matumizi mabaya ya herufi kubwa na ndogo
vi. Matumizi mabaya ya fani za kuipamba lugha
vii. Utumiaji wa lugha ya -mseto (sheng) na pia lughazuka na
mengineyo
Ama kwa hakika ukizingcftja maelezo yote tuliyoyapitia, bila shakaau tashwishi yoyote ile utaweza kuandika insha bora yenye ufasahana mvuto kwa msomaji na pia itabainika kwamba wewe mwanafunziuna uwezo katika ubunifu, mpangilio mwafaka wa mawazo, mtiririkomufti wa yitufco, lugha, usanifu wa maneno na kwa ujumla ufasahawote wa Kiswahili bora.
Sababu za Kuandika Jnsha
Insha huandikwakwS sababu kadha wa kadha. Iambo muhimuhimuyanayomlenga mwanaftm2i katika uandishiwa insha huwa yakubainisha ukomavu na kuimarika katika lugha kwa huyo mwanafunzi.Baadhi ya sababu hizi ni kama zifuatazo:1) Mwanafunzi hudhihirisha ubunifu na uwezo wa kutoa mawazo yake2) Mwanafunzi huonyesha vile aivyotumia lugha kwa ufasaha .
3) Mwanafunzi huonyesha ukomaVu wake kilugha4) Hudhihirisha vile mwanafunzi anavyoyapanga mawazo yake kwa
mpangilio mufti .5) Hudhihirisha utumiaji wa fani za lugha kwa uf&Saha bila
kuchanganyikiwa6) ' Mwanafunzi hujiandaa kuwa mwandishi bora wa insha kwa kutumia
lugha fasaha kuelezea visa mbalimbali bila ya tashwishi yoyote7) Mwalimu pia hujua ni kwa kiwango kipi wanafunzi wake
wamekifahamu Kiswahili kulingana na uandishi wao
* Mwalimu hubainisha kama kwafmba wanafunzi wakewanazingatia anayowafunza kuambatana na uandishi wainsha.
* Hudhihirishia mwalimu kama wanafunzi wake wamekomaakilugha na’mbinu nyingine mbali mbali.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Mwongozo wa Kusahihisha Insha katika Mtihani wa K.C.P.E.
Alama
Insha hukaguliwa katika viwango tofauti tofauti. Sababuzinazochangia zimeorodheshwa kila baada ya alama ya kutuzwa.Viwango hivi hapa vimepangwa kutoka cha juu kabisa hadi cha
Alama 37 - 40
Insha inakuwa ya kiwango cha juu zaidi. Matumizi ya msamiati, sarufi, methali nafani nyingine za lugha huwa sawasawa. Makosa kwa jumla katika insha hii huwa sizaidi ya sita.
2. Alama 33 -36Mtungo huwa ni wa kiwango cha juu kimawazo na kilugha. Mtiririko huwa wa kuvutia.Makosa kwa jumla hayazidi manane.
3. Alama 29-32Insha huwa inavutia katika matumizi ya lugha kwa jumla. Makosa huwa si zaidi yakumi na mawili. .
4. Alama 25 - 36Insha huwalmefikisha urefu unaostahili. Matumizi ya methalKna misemo pamoja nafani nyingine kama tashbihi, shada na tanakali za sauti fuwemQ. Makosa huwa sizaidi ya kumi na matano.
5. Alama 21 -24Ijrefu huwa na kuridhisha kulingana na maagizo. Makosa yoyote yale huwa chini yajcumi na manane. Msamiati huwa juu ya wastani.
6. Alama 17 -20
Mtiririko wa mawazo na maelezo ni wastani. Msamiati hapa unakuwa mwepesi
■ Alama 13 -16
Mawazo huwa mepesi. Makosa ya sarufi na maendelezo huwa mengi. Mtiririko wakazi huwa unadhihirika.
8. Alama 09 - 12Kazi huwa inaeleweka lichaya kuwa na makosa mengi ya sarufi na hijai. Kuna athariya lugha ya mama au kigha nyingine kama kimombo.
9. Alama 0 5 - 0 8Mtungo huwS haujaandikwa vyema. Wakati mwingine kuuelewa huwa kwa
kukisiakisia.
10. Alama 01 - 04Kiwango cha mwisho huwa kazi haieleweki. Sentensi zake hazina mpangilio wakueleweka hasa kisarufi.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Zifuatazo ni aina za insha bora. Zipitie moja kwa
moja kama, mwongozo na utapata mwelekeo
mwafaka wa uandishi bora wa insha.
1 - Tuushamiri bangu ukimwi, si lelemama
_____Ukimwi ni ufupi wa ukosefu wa kinqa mwilini. Uwele huu ni wa zinaaambao hauna tiba, dawa wala kafara. Insi anaweza kupata wiche ya ukimwikwa n jia aina ainati. Mathalan ni kujamiiana baina ya mume na mke japo woteau mmoja ana wiche ya virusi vya ukimwi. Nina aliyehamili anaweza kumticwiche mtotowe akiwa chupani au kwa kumnyonyesha. Katika harakati namikakati ya kutoa damu, au nqeu hiyo kuchangamana na jeraha nyevu. Checheakilia mfiche kuku, ama fisi akimla mwele, mzima funga mlanqo._____Tuupiqeni ukimwi vitashahidi, kwani si lelemama. Tutahadhari kablayQ
athari kwani hadi sasa hakuna tiba hususan ya uwele huu. Tarakimuzinabainisha kwa innakuwa, vijana wengi ndiowanaoathirika. Wengi waowamefufutika na kuguqunwa wakabakia mifupa. Hali kama hii ikishitadikujiradidi nchi hii yetu itakosa viongozi wa mustakabali.
Wia mui haungolewi mtoto. Wazazi wanafaa kuwa kielelezo chema kwawana wao. Mwana akibebwa hutazama kisoqo cha ninake. Ni jambo la fedhehana kukereketa mtima kuwaona baadhi ya wazee wakichana mtaa na viparamoto. Vijana hawa huteqwa kwa chachu na kunaswa kwa ulimbo. Penqine huinqiamiteqoni kwa qhiliba chache tu za pesa nane. Enyi vijana jihadharini. Wazeehawa ni vitatanqe watawatosa demani
Mila na tamaduni nyingine zimepitwa na wakati. Wala hazina nafasi katikadunia ya kisasa. Tunafaa kutembea na wakati kwani tusipoukata utatukata.Swali la kuinqia mafa wajane wafaruku, imekita mizizi mionqoni mwa makabiiahumu nchini. Hii ni suala nyeti linalohitaji kuvuliwa nquo livaliwe ndaruqa.Serikali sharuti iingilie kati na kukata kauli kukomesha uozo na uvundo wanamna hii.
Ukata na unob,e umechangia pakubwa katika kuupalilia na kuutilia mboieaukimwi. Kwa sababu ya uchechef u wa fulusi za karo, shahabi wengi hawamudukuendelea na masomo. Kitembo chao cha elimu hakikiuki elimu ya msingiambayo ni huria. Wengi wa vijana hawa huishia kufanya gange za kijunqu jikotu. Mtu hujikuna a jipatapo, bora tu mate yaingie tumboni. Kwa sababu ya haltzao dhaifu hushia kubakwa, kulawiwitiwa, kubikiriwa, kuringwa na kunyanyaswakimahabo.
Mia kunde hunya kunde. Vijana lazima watahadharishwe na malimwenqu.Wasije kufa na laiti ningalijua, na chanda kili kinywani. Wengi wamezizikamila na tamaduni katika kaburi la sahau. Hawaoni hawasikii kwa sababu yahawaa naashiki. Wameuvua utu wakajivika uchu. Matongozi yamejaa tandabuiyasione tena, masikio yamejaa komango yasiweze kusikia.
Ukimwi unawaqeqeda na kuwakeketa kama muwa. Utamu unapoishawanatemwa na kututiwa mavani kama makapi. Wanafaa kuaswa waasike kwamaaso yenye adili. Ulimwengu kokwa ya fuu haiishi utamu, anayeisha nibinadamu.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
(Insha ya 2011)
Mwandikie raf iki yako baruau kimshauri kuhusu namna ya kujiandaa vyemakwa mtihani wa KCPE,
SHUIE YA MSINGI,YA ILEHO,S.L.P 666,KAKAMEGA.9/11/2011
Kwa raf iki mpendwwa kasiti,
Pokea salamu nyingi kutoka kwangu, najua u mzima mithili ya kigongo. Najua unaendelea
na kukurukara za hapa na pale kwa kuvidurusu vitabu vyako bara bara bila wanaka.Usiwe
mtu wa kuzurara kama mbwakoko wafanyavyo mitaaw. Chambilecho, mgaaga na upwa hali
wali mkavu.
Mwia si mtonjo tafadhali watumie walimu wako vizuri hapo ndipo utafaulu vilivyo.
Endelea kuuliza maswali kwa kuwa kuuliza si ujinga wahenga hawakutuada bure bilashi.
Kumbuka elimu ni ngao ya maisha kwa hivyo fanya bidii kama wafanyavyo mchwa. Ukifalulu
wazazi wangu watakuwa na furaha moyoni mwao kamo kimnyonyoke aliyetunukiwa shungi
la nywele kwa kadamnasi yako. Licha ya hayo utakuwa umepiga kibao mbele kwa wavyele
wako kwa kuwa hawana; Waganga na waganguzi hawakutuvaa soksi za chuma na miwani ya
mbao punde tu waliposadiki methali kuwa bidii haiondoi kudura. Kasiti, endelea kuwa kimelea
kwa walimu mkijadiliana mambo kadha wa kadha hapo utafaulu masomoni. Punde tu
unapokuwa na shida fulani pata msaada kwa walimu wako. Usiwe mwoga kama kunguru kwar
kuwa ni mtihani wa kawaida.
Tafadhali kumbuka kuwa heshima si utumwa. Ukitako kufaulu kuwa mtoto mtiifu,
mnyenyekevu, mpole na mwenye hekima. Kumbuka ukikiwa mtoto wa kichwa kigumu bctsi,
utaendelea kuufeli mtihani na kuuvuruga mkia kwelikweli. Mtihani wa kitaifa ndio unaomua
maisha yako ya baadaye. Ukiufeli basi mambo yako yataanza kukuendea segemnege na
utalirika machozi kama ngamia. Wazee wa ndemi waliomla mungu hawakutuvisha vilemba
vya ukoka walrpojilaza kwenye makochi na kusadiki kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Punde tu unapoyazingatia haya yote utafaulu na kupata alama za juu. Wazazi wangu
wana kuombea na upate alama nyingi ndiposa upate wathamini wakukupeleka katika shule
nzuri. Bila shaka nakutakia kila la heri, mungu akupe uzima kuja tarefe ishirihi na tisa iwe
ni sherehe kuu na furaha isiyo ya kifani kama tasa.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
(Insha ya 2011)Mwandikie rafiki yako baruau kimshauri kuhusu namna ya kujiandaavyemakwa mtihani waKCPE,
TUMBOLILE MAKAD,SLP 4010,MBALAMWEZI3 Septemba 2011.
Kwa mpendwa karaha,
Hujambo karaha? Natuma u huh riwa hamsa M/a ishirini, Mimi niko mzima kama
ngarange za mvule na wahaka au wasi wasi labda kwako.
Natumai unasukuma gurudumu la masama vyema.
Madhumuni ya kukuandikio barua hii ni kukushauri na kukupti mbinu za kukuandaavyema kwa mtihani wa kitaifa wa darsa la nane kwanza kabisa ningependa kukufahamisha
kuwa mtihani huu si mgumu hat kidogo, mimi niliufanya mtihani huo na nilifua dafu.
Ningependa kukuambia udurusu kwa mapana na maref u fanya bidii za duduvule agolaye
go go jifunge niro masomoni kumbuka ukitaka la waridi sharti udhurike.
Ulienda shule peke yako. Wanagenzi hao wengine hawakuhusu damu wala
uSaha.Wanagenzi hao wengine wanapopiga sogo darasani usiwasikize durusu kwa udi na
uvumba.
Usiyavalie miwani yale mnayoambiwa na walimu wenu. Unapaswa uelewe bayana kuwa
asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Usiwe sikio la kufa ambalo halisikii dawa wala kafara.
Walimu wako wana taf riba ya hutosha na wanapokuambia kitu wonajua kuwa nini yazingatie
yale walimu hunena darasani ,
Uliponiandikia barua mwezi uliopita uliniambia kwamba unahisi kukata tamaa. Karahaumemla ng'ombe mzima sembuse mkia. Umekuwa shuleni kutoka darasa la kwanza mpakadarasa la nane. Huu si wakati wa kukata tamaa. Najua katika darasa la nane mambosirahisi lakini vumilia miezi miwli. Usisahau kuwa mvumilivu hula mbivu aidha baada yadhiki faraja.
Kile ambacho unaf aa kufanya ni kuhakikisha kwamba usome kwa hali na mali.Hakikishakwamba umesoma kuliko mwanafunzi yeyote nchini. Andika kwenye daftari lile ambaloumesom bila kuangalia mahali halafu urudi kwenye kitabu masomoni. Usiwe na wahaka wa
kuku mgeni.
Pia ukiwa na swali uliza kuuliza si ujinga. Wacha wale wanafunzi wengine waseme
wanacholako. Maneno haya unafaa uyapulize. Hayafai kufanya upandiwe na mori.
Unafaa pia kupiga bismilahi kila siku kaski moja haifai kupita kabla hujapiga dua na
kwa sababu mungu si adhumini aidha mungu si myovu utopasi katika wako wa kutaifa.
Usife moyo. Yazingatie liayo na ukumbuke kufanya bidii za mchwa ajengaye kichuguu kwa
mate.
Mimi wako wa juu na mvua,
Tunbalile mako.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
(Insha ya 2011)
Mwandikie rafiki yako baruau kimshauri kuhusu namna ya kujiandaa vyemakwa mtihani wa KCPE,
Bomachoge Mwiko,S.L.P. 501,KiambiaNovemba, 9, 2011
Kwa Mpendwa Chanazil,Pokeasalamu furifuri kutoka kwangu nikitumaini Rabana amekuneemesha
siha njema. Mimi binafsi ni mzima tamthili ya ngarange ya mvule nikiendeleakubingirishagurudumu la masomo bingiri bingiri ililo zito kqmananga. Waama,mgaagaa na upwa hali wali mkavu. Nimejif unga masombo katika masomo yanguili nitie fora katika mtihani wa mwisho wa mwaka K.C.P.E.
Lengo langu la kukuandikia waraka huu nikukushauri kuhusu namna yakujiandaa vyema kwa mtihani wa K.C.P.E. ambao u mlangoni wangojea sikuchache.Kwanza, nidhamu kwa kila insi idumishwe usiwaf uate wanagenzi wenyehulka shelabela, watafanya mambo kwenda mrama. 4idha majuto ni mjukuuhuja kinyume.
Pili kujifunga nira kwa kubukua mabaku na kuradidi kazi yako kutokadarasata nne hadi la nane kwani huleta ufanisi. Ni matumaini yangu utadurusukwa bidii ukielewa f ika kwa mchanjia juani hulia kivulini.
Tatu, kudamka na kurauka asubuhi bichi. Kabla jogoo wa pili kuwikakwanza utapata matatizo lakini ukizoea kuamka akili itafanya kazi.Hivyo basiutaweza kupiga msasa masomo ambayo unatatizo utatwoa ushindi na kuwakifua mbele kwa kuwapiku wapinzani wako.
Nne, tumia vyema maktaba kwa kudurusu bial ya shauku yoyote kwaniina mabuku mengi yatakayo kusaidia kufaulu.
Ushirikiano na walimu na wenzako ni lazima kama ibada uwepo kwanikinga na kinga ndipo moto uwaka wasikiliza na kuwategea masikio ndi! usipitwena lolote au chochote na usilaze damu.
Waheshimu walimu ambao huchukua muda wao kukuperusha akili ili utiefora maishani, kumbuka masomo ndiyo uti wa mgongo wa siku za usoni.
Ninakuombea Rabuka akujalie siha njema na akulinde kwa vile wakatiumenipiga kumbo sina budi kukunja jamvi langu.
Ndimi wakoBoma Choge Mwika.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
(Insha ya 2010)YA MUNGU NI MENGI
Kwa kweli niligundua kuwa Mungu akifunga nafasi hapa, hufunguakwingine. Wazo hili lilinijia hivi majuzi nilipokuwa nikij ad ilia na na rafikiyangu Omar kuhusu maishaya rafiki yetu Suleiman. Tulipokuwa wachangatukisomea shule ya msingi ya Mwendapole tulikuwa maraf iki wa chandana pete. Kila ulipomwona mmoja wetu, wengine wawili hawakuwa mbali.Amakweli, ukiona zinduna na ambari iko nyuma. Tulikuwa kama mafigayainjikayo chungu. Usuhuba wetu ulikuwa haujui mipaka .
Suleiman alizaliwa katika familia ya wachochole. Wazaziwe walikuwa
wakifanya kazi ngumu ya kibarua angalau wamsomeshe mwanawao.Walikuwa wakirauka jimbi la kwanza na kupita huku na huko ili wapateangalau tonge la kutia kinywani. Siku nyingi Suleiman alif ika shuleni hukuakiwa amevaa nguo zilizochanikachanika. Miguu yake michangahaikufahamu starehe za viatu.
Licha ya hayo, Suleiman alikuwa mwanafurlzi mwenye bidii sanamasomoni. Aliwaandama walimu na maswali chungu nzima. Mienendo yakenayo ilikuwa ya kupendeza mno. hii iliwafanya walimu kumchagua kuwakiranja wa shule alipokuwa darasa la nane. Wanafunzi wenzakewalimpenda kwani alifdnya kazi yake bila mapendeleo.
Baada ya kufaulu mtihani wa darasa la nane, wazazi wakehawangepata ngwenje za kugharamia masomo ya sekondari. Hivyo basialilazimika kujiunga na chuo cha ufundi cha kijijini mwetu. Hapa alijifunzauseremala. Baada ya kufuzu vyema alifungua kibanda kidogo chakutengenezea samani zilizovutia kila mja aliyezitazama. Kwa bidii yake,biashara yake ilipanuka na katika muda wa miaka mitano alikuwaamefungua maduka mengi ya kuuzia samani alizotengeneza. Kweli Molahamwachi mja wake.
Wahenga walinena kwa busara kuwa ya Mungu ni mengihayajajulikana. Katika ghasia za baada ya uchaguzi, maduka yote yaSuleiman yaliporwa, yakabomolewa na yakachomwa. Alipoyaona hayo naalipokumbuka jinsi alivyokazana kujenga biashara yake, Suleimanalitiririkwa na machozi njia mbili. Alilazimika kurudi kijijini na kujijjngana wazee wake. Kweli ng'ombe akivunjika mguu malishoni hujikokota hadizizini. Wazaziwe walimkaribisha kwa mikono miwili na kumliwaza.
Suleiman alijiunga na rrjaisha ya uchochole kama ilivyokuwa utotoni.Alipitapita kijijini akiwa na huzuni tele. Alionekana akijizungumziakimoyomoyo na midomo ikimwiyamwiya.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Siku moja alipokuwa akiendelea na kazi ya kibarua kondeni la tajiriMwinyi, alfpokea simu ya rununu aliyoktiwa haitarajii. AJipobpnyeza simuyake kuitika alipata habari ambazo nusura zifanye moyo wake usitizemapigo. Aliyempigia simu alisema, “Mimi naitwa Michael Joseph nanakupigia simu kutoka Safaricom. Nina furaha kukufahamisha kuwa wewendiye mshindi wa wiki hii wa shillingi milioni tano katika shindano la masonkona Safaricom." Suleiman hakuyaamini masikio yake. Ah'dhani yq ndotonina alichelea angeamka wakati wowote na kujikuta ufukarani wake wakawaida. Ama kweli mcha Mungu si mtovu.
Baada ya kupokea ndarama zake, Suleiman alijenga jumba kubwa laghorofa mjini Nairobi na kulikodisha kwa makampuni yenye sifa. Jengolake hilo humletea takribani shilingi laki tano kila mwezi. Kamwe hakomikumshukuru Rabuka kwa bahati ambayo hakuilalia wala kuiamkia. BilashakaMungu akifunga nafasi hapa hufungua kwingine.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
(Insha ya 2009)
MCHUMIA JUANI HULIA KIVULINI
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua
namna siku ambayo ilifuata ingekuwa.............................Mtima wangu Ulinidunda
mithili ngoma.
Nilijaribu kutowaza angalau nipate lepe la usingizi lakini niliambulia
patupu. Fikra yangu ilikuwa imenisonga mno nisijue la kufanya.
Nilitamani kusikia ndege wakiimba nyimbo zao za kupendeza lakini
wapi. Kichwa changu kilikaribia kupasuka!
Muda ulizidi kusonga, akilini mwangu nilikuwa nikifikiria jinsi
nilivyoanza masomo yangu ya msingi kutoka chekechea hadi darasa
la nane. Katika darasa nane, tulikumbushwa tuliyosoma kutoka
nyuma. Walimu wetu walitusihi tuwe makini darasani kwa sababu
tulikuwa tumaelekea kutahiniwa ili tufahamu tulichokuwa tumefanya
shuleni kwa miaka minane.
5hamshi toka shamshi toweka, kulipambazuka. Nilidamka dem
dem kutoka kitandnai pangu hadi sebuleni. Nilikuwa na kiwewe
kuhusu matokeo yangu. Niliketi kwenye kiti huku nimeishiwa na
nguvu kama adinasi aliyechoka tiki.
Wavyele wangu walipigwa na butwaa waliponikuta nimeketi
kwenye kiti huku nikionekana kwamba mimi ni mgonjwa maututi.
La hasha! haya yote'ni ishara ya kufikiria sana. Wazazi wangu
walinisihi kwamba ni jipe moyo nimefaulu mtihani wangu.
Ilipofika adhuhuri mchana, nina yangu aliandika meza. Kwa
kufanya hivyo, nilisahau kuwa ilikuwa siku ya kutolewa matokeo ya
mtihani tulioufanya. Baada ya kushtaki njaa, nilianza kuzongwa na
fikra. Pindi tu nilipotuliza mtima wangu, walianza kuita matokeo
hayo.
Nilitega masikio yangu ndi! Kusikiliza matokeo hayo kwa makini.
Nilisikia jina langu likiitwa la kwanza. Ni I i jawa na furaha ghaya ja
tSsaaliyejitoLipua mapacha. Nilikimbia kwa wavyele wangu kuwaeleza
habari hizo. Walirukaruka kwa nderemo na vifijo, walinikumbatia
kwa furaha mpwitopwito.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
(Insha ya 2009)Mchumia juani hulia kivulini
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua
namna siku ambayo ilif uata ingekuwa............................Mtima wangu ulinidunda
mithili ngomo.
Nilijaribu kutowaza angalau nipate lepe la usingizi lakini niliambulia
patupu. Fikra yangu ilikuwa imenisonga mno nisijue la kufanya.
Nilitamani kusikia ndege wakiimba nyimbo zao za kupendeza lakini
wapi. Kichwa changu kilikaribia kupasuka!
Muda ulizidi kusonga, akilini mwangu nilikuwa nikifikiria jinsi
nilivyoanza masomo yangu ya msingi kutoka chekechea hadi darasa
la nane. Katika darasa nane, tulikumbushwa tuliyosoma kutoka
nyuma. Walimu wetu walitusihi tuwe makini darasani kwa sababu
tulikuwa tiunaelekea kutahiniwa ili tufahamu tulichokuwa tumefanya
shuleni kwa miaka minane.
'Shamshi toka shamshi toweka, kulipambazuka. Nilidamka dem
dem kutoka kitandnai pangu hadi sebuleni. Nilikuwa na kiwewe
kuhusu matokeo yangu. Niliketi kwenye kiti huku nimeishiwa na
nguvu kama adinasi aliyechoka tiki.
Wavyele wangu walipigwa na butwaa waliponikuta nimeketi
kwenye kiti huku nikionekana kwamba mimi ni mgonjwa maututi.
La hasha! haya yote'ni ishara ya kufikiria sana. Wazazi wangu
walinisihi kwamba ni jipe moyo nimefaulu mtihani wangu.
Ilipofika adhuhuri mchana, nina yangu aliandika meza. Kwa
kufanya hivyo, nilisahau kuwa ilikuwa siku ya kutolewa matokeo ya
mtihani tulioufanya. Baada ya kushtaki njaa, nilianza kuzongwa na
fikra. Pindi tu nilipotuliza mtima wangu, walianza kuita matokeo
hayo.
Nilitega masikio yangu ndi! kusikiliza matokeo hayo kwa makini.
Nilisikia jina langu likiitwa la kwanza. Nilijawa na furaha ghaya ja
tSsa aliyejiMLipua mapacha. Nilikimbia kwa wavyele wangu kuwaeleza
habari hizo. Walirukaruka kwa nderemo na vifijo, walinikumbatia
kwa furaha mpwitopwito.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Siku hiyohiyo, wanahabari na waheshimiwa wengi waliwaSili chepgoni
kwetu wakiwa na mlolongo wa magari. Walipakia magari yao na kutoka
nje. Walikuwa wamevaa tabasamu nyusoni mwao.
Niliwaita wavyele wangu, walishtuka walipoona insi wamekusanyika
kwetu. Wageni wote walishangaa na kuduwaa walipoitazama nyumba yetu
ya msonge. Walipenda niwaeleze jinsi nilivyokuwa nikifanya. Niliwaeleza
ni kujifunga kibwebwe na kumwomba Dayani kwa yote utendayo.
Walinishukuru sana.
Nilituzwa zawadi nyingi sana. Naam, niliamini na kusaadiki walipolonga
wahenga “Mcheza kwao hutuzwa" na "Mchumia juani hulia kivulini".
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
(Insha ya 2009)
SI VYOTE VIOWEVU NI MAJI
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna sikuambayo ilifuata ingekuwa.......................Nina yangu alikuwa ametuelcza kinagaubaga kuwaangetupeleka ziara ambayo bila shaka ingefana. Dada yangu alikuwa amevunjaungo na fauka ya hayo, alikuwa amechumbiwa na shababi shamali. Ni bayanakuwa alipuuza lisani isemayo: kuchumbiai kuoa: Dada yangu angefunga pinguza maisha hapo karibuni na alionyesha ishara za furaha ja mvuvi aliyekinasakishazi cha samaki. Punde si punde niiizama zi katika iindi la usingizi wa pono.
Naam... (Kucha kusikuche hatimaye kulikucha) kila aliyegona ajfrdamko.Niliamka pindi tu jogoo alipowika na nilipigwa na butwaa nilipoona jua likimwagana kumwaya miale yake ya zari kwenye janibu mashiriki. Mwia si mwia, nilivaiialebasi .zangu zilizonyooka twa! Nilipiga milundi hadi sebuleni nikiwa na nia naazma ya kupata sebeho. Bila shaka nina alikuwa ameandaa staftahi ifiyokuwatamu ja halua. Baada ya kupata kiamsha kinywa sote tuliandamana sako kwabako hadi kituoni
Nyuni walipuruka puruka huku wakirokocho kwa sauti wazijuazo waowenyewe Maadam. Siku nemi huonekana che. Tuliwasili stanini na kungoja kwahamu na dukuduku ya raghba aliyengoja kwenda kuhiji mjini maka. Muda simuda, matwana iliwasili na sote tulijitosa ndani. Muziki uliokuwa ukidundaduiduJdu) ulituteka bakunja.
Safari yetu iling'oa nanga. tulisafiri kwa muda mrefu hadi pale derevaalipotuarifu kuwa kulikuwa na hitilafu. Aliliegesha gari kando ya baraste nasote tulishuka. Kando yetu kulikuwaTna msitu uliokuwa umejaa giza totoro.Dhana zangu zilinionya dhidi ya kusimama kando ya msitu huo lakini nilizitupiliambali. Afanalek! Kumbe, ’dalili ya mvua ni mawingu!1 Watu wanne walijitkeza nakutuzingira. Walituamuru tulale chini kisha wakaanza kuvuruga vitu vyetu.Hata baada ya kutupora, walituamuru tutembee kwa mwendo wa arubii.tukielekea msituni. Mtima wangu ulinidwika dwika na kunidunda ja tokomire zawaaramo.
Wengi walianza kulia kwiikwiikwi! lakini mwishowe walinyamaza, ishara wazikuwa walifahamu kuwa. ’kilio si dawa na ushikwapo. shikamana.1 Tulitembea kwamuda mrefu na tulikuwa tuemchoka hoi bin tiki! Watu wale waliovalia barakoavichwani pao waliangua vicheko ungedhani walitaka kuponda raha kwani karahayaja Dereva ambaye alikuwa mwenye umri wa makamo aliamua kukiuka amri nakuketi chini. Lo! Watu wale walimf umania na kumkata, shingo na zile silaha zao.Maskini dereva. Alienda jongomeo pasi nauli wala ajizi.
Moyo wangu ulizidi kutapatapa na kugwaya gwaya ja f isi ugenini lakininilijipa moyo. Mara tu mmoja wa abiria alianza kunung'unika na wengine wetuwalimwunga mkono. Alitueleza kuwa tungewapangia hayawani walenjama kishatuwakabili. Kwa kuwa wahenga wa zama kongwe za mawe hawakugeuka kuwawamba ngozi waliposema; ukuni mmoja hauwaki mekoni; sote tuliungana pamoja.
Papo hapo. Kila insi alikamata mawe huku wengine wakishikafvijiti vikubwa.Tuliwakimbilia na kuanza kuwapa kichapo cha mbwa. Kila mtu alikuwa amejawa
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
na ghadhabu na alipata fursa murua ya kuzitoa hasira zake. Tuliporidhika
tuliamua kuwatoa barakoa zao na kile nilichoonakilinifanya karibu nizirai. Abuyangu na ghulamu yule ambaye aliifaa kumwoa dada yanguwalikuwepo. Dadayangu alitiririkwa na machozi kwa kuwa hakuwahi kuf ikiri kuwa jambo kama Kilolingemtendekea.
Nina nami hatukuwa na budi ila kusalimu amri. Polisi waliarif iwa na walif ikaharaka ja umeme. Abu pamojana genge lake walipelekwa korokorom na ilikuwadhahiri shahiri kuwa wangehukumiwa kifungo cha maisha. Waama! si vyote vioveruni maji.' Tulirudi mastakimuni huku tukiwa tumejawa na masikitiko mengi.
Kila kuchapo, mimi hukumbuka yale yalyotokea na machozi hunilenga lengalakini swali nijiulizalo ni je, mbona abu alifanya hivyo?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
(Insha ya 2008)
Anza kwa: Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa mashariki. Baadaye matonemazito mazito....................
Insha haikuanzia kuffngana na maagizoHapo upapo mkali kutoka matlai ukaanza kuvuma kwa hasira na ghadhabu.Nilifanya halanhalon kwenda nyumbani maadam dalili ya mvua ni mawingu Mwia
si mwia, niliwasili nyumbani huku nimerowa rovurovu. Nilikuwa nikitetemka mithiliya kuku aliyenyeshewa. Hapo nikajiona kuwa salama salimini.
Mvua ilinyesha kidindia kutwa kucha, ikiandamana kwa radi na mwanga waumeme. Keshoye, niliamka macheo mbichi huku nimzindufiwa na kamsa na mayoweya hofu. "Uwii! Uuwii! Nisaidieni. Mwana wangutinasombwa na maji!" Nilitokashoti mfano wa chui na kabla ya koo kumeza punje, nilijikuta nje ya nyumba.Nilielewa fika kuwa wabenga hawakubojoa maneno ovyo kwakusema. “Mbiu ya mgambo ikilia kunajambo."
Umati na kaumu za watu zilikuwa zimekusanyika nje. Kisa na maana, mtotowa watu alikuwa akibebwa wa maji. Mto ulikuwa umefurika furifuri. Hakuna/aliygthubutu kuukaribia. Watu walitazamana kwa hofu na mshangao wasijue lakuf anya, kwani hakuna aliyetaka kutanqulia mbele ya haki kabla ya wakati wakef
Hapo ndipo nilipoamua kupiga hatua kablaya maji kuzidi unga aidha kuzib#ufa kabla ya kujenqa akuta. Nilikimbia manzilini na kuvalia labasi zangu zakuogelea. Pamoja na hayo, nih'piga bismilahi kwgke Rabuka kiwani nitielewa fikakuwa, bidii ya mja haikidhi haja.
Mwia si mtonjo, nilttwika mguu mabeqani mpaka ufuoni mwq mto. Basinikajaribu juu chini kumwandasha kila mmoja pale ili kufanya nilichotakiwa. Wajowalinikanpia kwa hasiru za kamaki, "Ghalamu wewe waendapi? Huu si mchezo,Mto huu umejaa mamba waliotinqwa na ubao. Watakurarua raruraru ubakie
vipandevipandeHaya yote ni mambo niliyoyalalia na kuyaamkia. Hgti hivyo niliwapa kisoqo
huku nikiyadharau ya wahenqa, penye wazee hapoHaribikr jambo1. Nilijittimbukizamajini mithili ya mamba huku nquo zikilowa chepe! Kishg nikgoqelea mithili yasamaki, lengo na nia, kumwokoa bonti yule aliyekuwa karibu kuzamia. Kila mjaalidhani kuwa nilikuwa nimejitumbukizwa katika bahari ya mauti. Lakini mambo
yalikuwa kinyume na hayo.Nilifanya juu chini, nika jif unga nira kumwokoa mwana yule. Ninayake alikuwo
alitiririkwa na machozi kwa njia nne nne mpaka m'kashikwa na imani. Nikapiqomoyo konde na kuzidi kutia bidii za mchwa wajengao kichuguu kwa mate. Juhudizgrigu zilionekona kuambulia nunge lakini sikusahau ya wazeribwe na wazembwele,
'Rabuka hawaachi waja wake kafui' -Huku nikitilia manani ya wazee wa zama zo kale kwamba. 'achanikaye kwenye
mpini hafi njaa,1 nilizidi kukaza mwendo. Naam, mqaagqo-m upwahali wali mkavu.Niliweza kumfikia binti yule na kumwokoa. Nikatoka majini naye huku akiwa
mzima kama kigongoFiknf za watu kwamba ningeliwa na mamba ziltiqeuka na kuwa kicheko.
Nilijawa na bashasha iliyozidi ya mzee aliyeota jino la kunyotua muwa. Nikawanikicheza na kudemka dem dem kana kwamba mifupa sikuumbiwa. Nikanyanyuliwa
juu mithili ya tiara. Mara qhafla nikaachiliwa na kuanqukg chini pu!„ Nilipozinduka, nilijipata sakafuni mwa chumba changu. Mbona usiwe ukweli?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
(Insha ya 2008)Anza kwa: Wingu kubwa jeusi lilitokea upande wa mashariki. Baadaye matone mazitomazito.............
yalianza kunyesha. Nqurumo za radi zilihinikiza angani. Watoto walijQwa na
woqa wa shumndwa. Fuadi wangu ulinidwikadwika mithili ya tokomire zawazaramo. Mvua yenyewe ilinyesha kwa fujo. Upepo mkali ulizinq'oa paa zanyumba. Tulikaa kimya na kutulia kama ma.ii mtunqini tubijue wananatiki wenyelisani za utaalamu na utalamidhi. Jambo ulisilolijua ni usiku wa qiza.
Baada ya mwia wa kelbu kuukalia mkia, maji yalikuwa yamefurika furifurina kuinqia vyumbani vyetu. Nilibikwa na huzuni kama mja aliyehukumiwakunyonga, na sasa yuaonqozwa katika kijia chenye qiza, na hajui mamboyatakavyokuwa baada ya nukta chache.
Nilikuwa na wazazi wenye fulusi lukuki. Walinifunza na kunienzi kamamboni za maozi yao. Niliishi maisha ya raha mustarehe bimithili ya sultan binJerehe. Sasa mali yetu yote yangesombwa na maji. Tulikimbia ili kuyaokoamaisha yetu. Mauti yalikuwa yakitukodolea mdozi. Wengine walibaki nyumawakisema eti wao ni stadi wa kuogelea. Nasi tulikimbia kwani wahenga nawahenguzi wa jadi na jadudi hawakumlazimisha kiwete kuuparanga mtiwaliponadi kwa mwoga huenda kicheko na kwa shujaa huenda kilio.
Katika harakati zetu hizo, tulikutana naabadi wawili. Nilitetemeka bimithiliya kifaranga mwenye manyoya haba wakati wa kipupwe. Tulipambana na hayawanisawa wawili na baadaye tukawashinda kwani wahenga waliqunqa ndipo waliponadi,"Asiyeshindwa si mshindani."
Kwa bahati mbaya maji yaliongezeka na tukasombwa sisi sote. Hapa kilamtu alitumia ugwi.ji wake ili kuyanusuru maisha yake. Nilipiga bismillahi kwaRabimsta ili anipe uwezo wa kuepukana na mauko haya. Baada ya muda wa tembekumeza punje la mahindi, nilikuwa nchi kavu. Nilimshukuru Rabuka huku nikitumaiya kuwa Mungu si mfaki.
Kapu langu lilikuwa tupu na nilihitaji maankeli. Ghafla bin vuu nilisikiamgurumo wa magari. Loh! Niliona magari yaliyochorwa msalaba mwekundu. Nami
nilikuwa nime.jilriza ardhini kwani nilikuwa nirneehpka, hoi bin tiki tamthili yapunda wa dobi. Niliamka na kujikakamua hadi magart yalipotia habla. Walitokakwenye gari huku wamevaa nguo za kupiga mbizi. Walinipa chakula nami nikalakwa ulafi kama ma.juiu wa ma juju. Manusura waliokolewa na wengine wakapelekwahospitalini. Tulipewa nguo, chakula na mablanketi. Tuliwasifu kwa wema waokwani "chanda chema huvikwa pete."
Baadaye, waliopatwa na tnauko walipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhiamaiti. Mimi mwenyewe niligundua ya kuwa nilikuwa nimefiwa na wavyele wotewawili. Nililia kwikwikwi. Sikujua nidnzie wapi na nimalizie wapi. Mawazokochokocho yalinizunguka kichwani mwangu.
Wingu la.jitimai lilitanda miongoni mwetu. Baadaye nilipelekwa kwa m.jombawangu. Ndipo nilipoaini ya kuwa kifo hakina huruma hata chembe.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
(Insha ya 2007)
Mwalimu wa Kiswahili wa shule yenu amehamishwa akaenda shule nyingine.
Mwandikie barua ukimweleza matukio ya shule yenu na vile mnavyoendelea.
Shule ya msingi ya Poa,Sanduku la Posta 7131 - 00300Nairobi.Novemba 10/2007
Kwa mwalimu Kimaru,Nakuandikia risala hii nikiwa nimejawa na furaha ghaya mithili ya aliyejif unguapacha salama salmini. Shuleni, wote walimu na wanafunzi wazima kama kigongo.Nataraji pia nanyi huko mu wgzima na mngali mnatutamani.
Madhumuni hasa ya waraka huu ni kukuelezg kingga ubaga tunavyoendeleana shughuli zetu tangu utuage. Shule yetu kama kawaida inaendelea kuhg'ara
kama jua katika nyanja nyingi. Baldani na wilayani tumepata s-ifa si haba, takridana umaruufu. Masomoni tumefaulu kuhitimu nambari mojb na twajizatiti vilivyolau tuibuke mabingwa katika mtihani wa mwisho wa kitaifa.
Katika mtchezo, tulishinda nishani za dhahabu tisa natano za shaba mwezi
uliopita. Tumepatasifa tele na baadhi ya washindi wamepata kujumuishwa katikatimu ya riadha ya nchi yetu ambayo itashiriki katika mashindano ya Jumuia ya
Madola hapo mwakani kule Australia.Kwa upande wa tabia na maadili ya shule yetu, tumeendelea kuipa kipaombele hasa kwa kuwaheshimu walimu wetu kwani heshima si utumwa. Japo kwenda
kwakq kulituhuzunisha, kite ulichokipanda ndani yetu hakitaoza bali kitaendeleakutukuza kwani penye nia pana njia.
.Zipokee salamu chekwa kutoka kwa wanafunzi wote wa darasa la saba.
Wote wakuombea Maulana aendelee kukupa ule moyo wa kusaidia wengine kamasisi.
Kwa kutamatisha, wape salamu zangu jamaa na maraf iki wako huko pwanindogo nikitarajia kupata majibu ukiniarifu mengi kuhusu huko ulitorokea.
Ni mimi wako mwaminifu.Rashid Kiwete
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
(Insha ya 2006 )
2 - Malizia kwa: Sherehe zilimalizikia nyumba nikiwana fura tele
Noam, siku njema huonekana asubuhi. Walilonga wahenga. naohawakukosea asikini. Ilikuwa siku ya neema. Siku tuliyoisubiri kwahamu na ghamu tangu mapema mwakani alipochumbiwa na kuposwa
shangazi yangu.Xlfajiri na mafunqulia ng'ombe. kabla ya kutoweka umande wa
bukrata. huku kungali na ukunqu kiasi, akina mama walikuwa tayariwamefunga kibwebwe kujizatiti kwa minajili ya maandalizi yamaposhoposho. yaliyonuiwa kusheheni tumbo za adinasi wote
waliotarajiwa kuhudhuria sherehe hizo.Saa zilionekana kukimbia kutokana na mengi yaliyohitaji
kutekelezwa kabla ya kuwasili kwa maarusi. Lakini hata hivyo, leo nileo. asemaye kesho ni mwongo. Kila mahluki ationekana mwenyeshughuli kem kem mithili ya siafu. Kwa bidii ya mchwa. waja wotewalijitolea kwa jino na ukucha kuzifanikisha sherehe hizo
walizozitamani nusura watamauke.Afanaleikh! ukumbi ulipanowa na kupambwa. ungalidhdni
aliyetarajiwa si mwingine bali na malaika Jibril. Sauti nyororo zavinanda zilipenyq masikio na kuliwaza moyo. Si uhondo. Harufu zotehjema zilifanya mseto katika he wa iliyofikia pua za watu.
Waa-ma! Wahenga walituzufda walipogugumiza, ‘Mwanzo wangoma ni—le—le!' Wa kwanza kujitoma ukumbini si mwingine ila bwanaarusi. huku akiandamana namshenga wake ambaye pid aliralia kisabaocheuSi. kanzu nyeupe. suruali ndefu nyeusi na bulibuli yenye darizi.Kwa hatua za aste aste walifululiza hadi jukwaani walipotengewa
nafasi.Wacha magoma nayi yaongezeke na watu kujawa na bashasha.
Ee-e. ukiona vyaelea. vimeundwa. Kwa muda nadra . ukumbi mzimaufijaa taharuki. Damu ilichemka chem chem mishipani na miili ya wengikusimika . Hit ni baada ya hewa njanana kupasuliwa na vigelegele
vilivyorushwa hewani na mabibi."Wanawake hoiyee!? Hoiyeh! Bibi arusi hoiyeh!" Hapo magoma
yalidundwa kwa mridimo ulioitia afya njema mifupa ya waliohusika.Kufumba na kufumbua. bi arusi. shangazi yangu. aliletwa ndaniukumbuni huku amenyanyuliwa juu hobelahobela ilhali wdnamchezesha
kulingana na mpigo wa magoma na mlizamu wa zumari.Hapo walicheza kila mtu na wake, asiye mwana aelewe jiwe. Baada
ya kupatanishwa ndoa ilifuata takrima. Sherehe zilipomalizika nilirudinyumbani nikiwa ha furaha tele.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
003 - Umuhimu wa utalii na hasara zake
______ Mtalii ni insi anayesaf iri kwingi. m ba Ii na karibu. Nia na azma yake nikutafiti, kujt funza na kufahamu, kwa niaba yakeau kwa wengine. Tembeauone. Kutembea kwinqi kuona mengi. Nako kuona kwingi kujua mengi. Machohayana pazia kwani aliye nayo haambiwi tazama.Nchi ya Kenya imebarikiwa kwa wanyama anuwai. Mathalan asadi mfalmewa porini, tembo mwenye kono liitwalo mwiro, twiga mwenye shingo ndefu .jaunju, Kifaru mwenye ngovi iliyo.iaa makunyanzi na ngwena ambaye ni gimba lakutisha lenye magamba na wengine wengineo.______ Hapa nchm%italii unatuvaa na kutufaa kwa mafao yasiyo kifani. Utalii
unachangia pakubwa katika kuukarabati uchumi wetu unaosambaratika. Wataliikutoka ughaibuni huzuru huku kwetu kwa winqi. Lengo na shabaha yao hususani:kuvinjari na kujionea mandhari. M.jo wao unctufaidi si haba. Utaiiri na ukwasihuu hatukuuokota. Tufiutunza na kuupalilia kwa vitanga vya mikono.Akutanguiiaye chanoni hukuzidi tonqe.______ Watalii wanapozurid mandhari ya mbuqani hulipa fulusi za kiingilio. Njenje
hizi hutumiwa kutekeleza na kuboresha miradi ya maendeleo hapa nchini.Madereva wenye ugwi.ji na ustadi wanahita.iika kuwasafirisha. Hii ni nafasi
. satua na huluwa ya kuongezeka kwa a'lira-hapa nchini.______ Tunayo mahoteli aaliaali, faridi na bora. Mahoteli hayo yamezagaa na
kuvavagaa kila janibu nchini. Baada ya kuchoka tiki kwa hamkani za mchana,wgalii huzipanga mbavu zao katika mahoteli hayo. Kunao wahudumu wakuwakidhia baadhi ya mahitaji yao. Wafanyakazi wa mahoteli hu!ipwamishahara kuzikimuahali zao. Kozi mwana mandanda kulala na n jaa ni kupenda.
Mtegemea nundu haachi kunona. Kwa„ kuchanqamana na nchi nyingine; I_tumejua mengi kwa mapana na marefu. Temeweza kuupalilia mkabala muamana jna nchi mgeni. Ukiujua huu na huu huujui. Tumepiqa hatua kitekinoiojia na jkielimu. Nchi fadhili zimeendelea kutukaridhi karadha za kujiendelezaAkufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. Udugu ni kufaana, katu si kufanana.______Cha mtima cha moyo. Kipendacho roho ni dawa mujarabu. Wanyama hawa !
* ni utamaduni wetu. Ni pambo letu. Nani asiyejua mwocha asili ni mtumwa.Hupendeza na kuvutia machoni petu tunapowaona. Sisi na wao tu wamoja.Letu ndilo lao, na lao ndilo letu.______ Pavumapo palilie, si kazi kMdamirika. Hatuna budi kuulinda urathi huu
tuliohalifiwa na baba zetu. Ma.jangili wanazidi kuwaua ndovu na vifaru kwauchu wa bori na vipusa. Kuna umwaga.ji wa kemikali za sumu mitoni kutokaviwandani. Vi.jana wetu pia watahadharishwe dhidi ya kuiga mila duni za kigeni.Mila nyingine ni kama bahari iliyojaa papa na papa upanga. Tukizipapia kwa
pupa na papara tutaachwa tukipapatika kwa kipapo.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
4 - Rabuka Haachi Waja Wake Katu!
Shamshi lilikuwa likitua kitepetevu juu ya mani ya bitirembo. Nbyo rihi
ya nargisUlizagaa na kushamiri ungalidhnai tuko katika janna is i mu I i way o
kuwa yaja. Kwa ikrari, mahuluki hawangalitazimia rangaito lolote kutokezea
katika jioni njema kama hiyo. Nami nilikuwa katika pilkapilka na shamrashamra
za kukiandaa chajio.Mwia si mtonjo, ulikuwa umeiva ncrkuiviana na kilichosaka kilikuwa
kukipakua na kula. Nilifdnya h]yyo halanfmlan, nikalandika almari ili tule.
Mimi na jamaa yangu tulibismiilahi kisha tukaanzaukila chakula hicho kwa r
pupa ungalidhani majitu yaliyonyimwa maankuli kwa mwia wa mfupa wa tembo
kuoza n akuozeana maadamu ubao ulikuwa umetutinga si haba.
Kila adinasi alipokuwa keshapata uhondo wa chajio, tulielekea tanguroni
kupanga mbavu madhali tulikuwa tumechoka tiki bin hai punda wa dobi juu
ya kitanda hicho kilichofarishiwa matandiko ya mahameli,Gonezi la pono lilinivaa ghafla bin vuu faulula jeshi la usubi na
kunielekeza kwenye mwaya wa jinamizi. Baada ya kulala kwa muda wa saa
tatu hivi, niligutushwa toka samadarini na michakacho karibu na dirisha letu.
Kelbu nao hawakuachwa nyuma....bimithili ya makoti ya wazee ila walilia kwa
ushindani kiasi cha kushabihiana na He ya waombolezaji katika matanga.
Wengine walibweka kana kwamba wanajaliza mikarara ya nyimbo
zisioeleweka. Kwa vile nilikuwa mwoga laa kunguru, nilinyatanyata nyatunyatu na kwenda jikoni: Nilitazama nje na lo! Maonge ya watu yaliyovalia
lebasi nyeusi ti ti ti yalikuwa nje.
Jekejeke jembamba lilisalimu amri ya mtiririko na kunitirirka_kwa
michirizi michirizi na kwenda maji yaendako. "Fungua mlango au tuuvunje!"
Waliamuru kwa sauti kubwa, ya radi haiambui chochote. Pindi tu, niliposikiamrututu wa maneno hayo, nilitamani niwe na mbawa shaumu ya kipanga ili
niweze kupaa na kukwepa mkururo wa shida hiyo.
Aila yangu pia iligutuka toka usingizini na kunipata pale mlangoni. Mapwagu
alivurumishwa sumbwi mosi na kuanguka chini pu! Nasi tuliangua kfnei ambazo
nusra ziwaamshe manabii na mafarisayo toka mavani mwao.
Jirani wetu walifika ghalabani petu huku wamesheheni zana zao za
vita. Hapo ndipo niling'amua kuwa wqzee wa zama kongwe zd mawe
hawakugeuka na kuwa wamba ngozi walipqcihukuru mithaki, "Mbiu ya mgambo
ikilia kuna jambo". Mapwagu hao walipotoka nje, walipigwa kipopo kiasi chakusaf irishwa jongomeo papo hapo pasi ya nauli wala matwana.
Nilishangaa nisiweze kuamini kuwa nilikuwa nimeepuka hatari hiyo. Moyoni
nitimshukuru Mungu kwa kuniokoa.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
5 - Pole Pole ya Kobe
Kila insi katika nasaba yetu alikuwa akiingojea siku hiyo kwa hamu na
dukuduku. Dada yangu alikuwa amechumbiwa na shababi jamali. Walikuwa
wanaenda kufunga pingu 2a maisha siku hiyo maadam " hayawi, hayawi
huwa."
Siku hiyo, kila mmoja aliamka mapema sana. Isitoshe, mimi niliamka
jimbi la kwanza. Sote tulikuwa tunataka kujizatiti kwa sherehe hiyo.
Sherehe hiyo ingefanyika katika-fltaji wa Nairobi. Nilijinunulia na kuvalia
mavazi yangu yaliyomeremeta metumetu. Nilitaka nif ike mjini mapema na
kuona yot£ yatakayotendeka, tangu awali hadi aheri, kwani" chelewa
chelewa utamkuta mwana si wako."
Kulipokucha na jua likawa linaangaza, nilikuwa tayari kabisa.
Nilichukizwa na wale waliokuwa wanajizatiti kwa mwendo wa kobe, ingawa
hatukuwa tumechelewa, niliona kuwa nimechelewa kupita ahaua. Nilianza
kuwa na wasiwasi na kuondoka.
Nilimwambia nina anipe pesa ili nianze safari peke ya?fgu, nilifanya
haraka bila mpango. Haraka hiyo ilinitopea kichwani nikasahau kuwa, “mwanzo ni kokochi, mwisho nazi." '
Niliamua kung'oa nanga hali kila mmoja alikuwa angali nyumbani. Ari
, niliyokuwa nayo ilizidi ohauku ya fisi mlafi. Niliabiri gari katika stesheni.
Gari lilitiwa moto na furaha ikanizidi.
Baada ya muda mrefu,' niliwasili mjini Nairobi. Gari lilitia nanga na
watu wakas'htika. Nilikuwa na furaha riboribo niliposhuka. Kila mmoja pia
alikuwa na bdshasha. Ilikuwa bayana kuwa katika tamasha hizo za kufunga
% ndoa, mambo hayangeerida mvange. Nilianza kupiga guu„kwa furaha
nikielekea kule ambako sherehe ilikuwa. Naam, “ Usihesabu vifaranga
kabla havijaanguliwa."
Niiidemka dem dem na kuelekea huko, furaha iiifanya akili ininyai.
Sikukumbuka kuwa barabarani kulikuwa na magari. Nilitembea bila
uangalifu wowote. Mara nilipokuwa nikivuka barabara, mkosi mbaya
ulitokea. Baada ya kuelea katika mto wa raha riboribo, mambo yalienda
mrama. Gari lTlinigonga katikati ya barabara. dereva alijaribu
kulisimamisha gari lakini hakufua dafu, madhali" ajali haina kinga wala
Kaumu ya watu ilinilalia na nilikuwa na maumivu kila mahali. Kila mmoja
wa wale waiamaria wema waliokuja alijaribu kunipa huduma ya kwanza
lakini wapi, juhudi za wasaidizi wangu hazikuwa dawa wala kafara. -
Nilijuta, mbona nilikuwa na haraka mno. Waama, majuto ni mjukuu na huja
kinyume.
Nilipelekwa katika zahanati iliyokuwa pua na mdomo kutoka pale.
Wenzangu waliokuwa wamebaki walif ika karamuni salama salimini. Kweli
hawakulenga kando, wahenga waliponena," polepole ya kobe humfikisha
mbali."
Juu ya kupata ajali, nilikosa kutabaruku na wenzangu katika tamasha
hizo. Kwefi hapo ndipo nikaamini kwamba, ” haraka haraka haina baraka."
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
6 - Maisha ya mashambani ni bora kuliko ya mjini
___Ni ukwel[usjopjngika kuwa maisha ya mashambani ni bora kulikoya mjini.Chema chajiuza bali kiwi chajitembeza. Hakuna mdahalo wala mjadalawowotewa kulumbana. Ni bayana waja wengi wemequra mashambani. Wakahujuriana kusakini mjini. Lakini sharti tu.jue bayana kuwa, mwac-ha kiwi hanacho nachema kimpotele. Pia mchana ago hanyele kwani huenda akauya papo.
Jiji ni bahari ya nchi kavu. Lililojaa papa na papa upanqa. Ukiwapapiakwa pupa na papara, watakupara uachwe ukipapatika kwa kipapo. Hii ni onyotosha kuwa usiyachezeeya mjini usiyo kufu nayo. Bali mashambani ni kinyumena mfarka na hayo. Watu wa mashambani hukaa kwa amani na stakiri. Kunauhuru wa kuvinjari mandhari yoyote yale, wakati wowote ule. Iwe bukratawa shia au laili wa nahari.
Badalini insi husihi roho mikononi. Ukitoka chenqoni pako, kurudi nimajaliwa. Ukigona usiku, kuamka ni nusura. Unapotembea, kufika salamauendako ni chupuchupu! Hakuna tena sirati ya wema. Redio zetu zimekosahabari n jema za kutanqaza ila habari za kuoqofya tul Za mauji, uporaji, utapeli,ubakaji, ukwapuzi, ujambazi, ukiritimba, jLijanqili na maafa menqine lukuki,bin lufufu! Tazama watu wanavyoishi mashambani. Udugu, urafiki na mahabaya dhati wala si chati. Usahibu wa watu kUvaana na kufaana hadi wakawashaibu! bamu ni damu wala si kitarasa.
Visima vya huruma vimewakauka watu wa mi.jini. Vimekauka maji nakubakia tope la kinamu la kuchafua nyoyo na kuf if isha utu. Utu umetoweka.Dunia kwao ni qunia. Hawapo wenye utu. Kuna wenye kutu! Hawaf ahamu kuwamtu ni utu si kitu.
Mashambani kuna uhuru wa kajiruzuku kwa winqi wa arzaki7X/pouwezekano wa kuchumamali na amuali kwa wingi. Makonde maddal basari yakukuza mimea na kufuga mifuqo anuwai. Kunazo chemichemi zenye kububujikamaji bububu. Maji yenyewe huwa mawewa Ha mawenqe. si makafu na mavunjukama ya mi.jini. Ma.jumba mapana kama uwanda wa ahera huyakosi mashamabni.Upepo mwgnana wa kutuliza na kuliwaza, unaovuma muda hadi muda si adimu,mashambani.
Ebo! Tazama watu .jvanavyoishi mashambani.. Kaumu na akwami yao niwachochole waliolemaa Ratika ukatabin unobe. Vi.jumba vya karatasi namadebe vimesonqamana kama viota vya mitinqi. Rusurusu za uchafu uliojaauvundo debwedebwe ni jambo la kuchef usha roho.
Kadjtama.-tusisahau miiqo ya mila duni za kiqeni, zisizdkuwa na nafasikatika tamaduni zetu!.Ole wenu! Mwacha asili ni mtumwa, hii mkilipinzamtahizi.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
007 - Miti na Umuhimu Wake
_____ Mti ni mche au mmea uliokomaa. Miti inaweza kugawanywa katika mtfkundimawili. Mosi kuna akali ya shajari za matunda. Mathalan ni miembe, rmchungwa,mitomoko, mifenesi na minqine anuwai ya aina ainati. Akali ya piii ni miti yamisituni. Nayo ni pamoja na mikuyu, mivule, mipinqo, mikoma nanut nyinginenyinqinezo.
Mkwanju muwi una tumbiriwe. Ti ja na natija za miti ni noffii no chekwafalau miti yenyewe. Miti inayokuzwa na kuoteshwa viamboni hutuani pa kubwa.Awana ni awana hakuna auni duni. Matunda ni chakula kinachotan dhidi yandwele za kila sampuli. Ili kuukalia uwele mguu wa kausha, na kuuttifia katikamava ya sahau, sharuti tuyale matunda. Naam,. kinga yashinda tiba_ Jivuli la mvuno huwafunika wa mbali. Mimea kama mipamba, mibuni, michaina mipareto hukuzwa kwa ungi hapa nchini petu. Mazao yake yanapokomanhuvunwa na kuuzwa viwandani. Kuko huko_yiwandani mazao hayo nimcii-if:ya kutenqenezwa bidhaa. Menqine huuziwa nchi za uqhaibun; ambazohuturuzuku kwa winqi wa arzaki. Kenya imepewa kipaumbele miomoni rmvanchi za istiwai zinazokuza choi na pareto. ______________________________ Mwacha asili ni mtumwa. Miti ni alama ya kudumu katika mazingira.
kondeni au maskani pa watu. Ni alama ya ukonqwe. Kuweko kwa miti mahali r,i•isimu ya uhai. Kunatia imani ya kuwepo kwa babu na mababu, taahenqa na
wahenquzi. Imani hii huwafanza wajukuu na vitukuu kuwa na matpnaini yakuendelea kuishi. Kabla ya majilio ya mabeberu, akina babu-walikuwawakitambika na kusujudu penye miti mikonqwg .ja hiyo.
Miti imechanqia kwa kina kirefu katika kuiendelezana km'tetoateza elimu.Penseli na karatasi za kuandika hutenqenezwa kutokana na miti. Thamakusinqekuwa na uqunduzi na uvumbozi huu tunqekuwa tukiawdiKta wapi?Tuitunze. Tusikaanqe mbuyu tukawaachia wenye meno kutafyna.___ __Mke ni nguo bali mqomlJb ni kupalilia. Samani za nyumbani Huteflqenezwakutokana na miti,- viti, samadari, meza, rafu, shubaka na vmqme. v-fflqtnevyo.Miti huwa ni mastakimu akhiyari kwa hayawani wetu wa porim. Dawa za kuuguzana kutibu uwele tunaposakimu hutoka kwenye miti. Miti ndiyo pumzi ya maishakatika kuhifadhi na kuthibiti maji.
Chemchemi si mtemi, lakini atakaye maji yake sharuti ynarne. Pavumapopalilie kwani si kazi kudamirika. Hususan akiba si mbi inqawqya kumbi, siku yakivumbi hutia motoni. Hatuna budi kuilinda miti yetu. Tanapokata mmojatuipande miwili. Miche tuiatike kustawisha misitu. Kwa yafa'itt, wazi«c?qra bora,mustakabali mufti. Naam, mambo borabora.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Fawaisha niliyokuwa nayo haikuwana kifani. Yangu ilizidiya mzeealiyepata jino la kunyofoamuwa. Ilipikuyqmgumba aliyepata mtoto.Maadamkapata nilichotaka, nilijiona nimo sayari nyingine mfgrka nadunia. Sayariutaridi. Bashasha ilinipa nishati ha idili ya kushitadikusharicjt. Bila kuhisiubao, nyota aumavune. Kweli zito hufuata jepesina hakuna mtesi atesaye_____________________ ______ ________
Nilikuwa nimetumwa na Jalalaltj muhtaramuwetu, muhtaramu Rai. Amaliyenyeweilihitaji moyo wa ushakiki, busara.na uvurnilivuwa moyo.Kukubali.kwangu kuIihusu kwenda kumnasuamwanawawapekee aliyetekwa mateka na"jeshi la nchi jirani. Hikikilionekanqna mashujaa wengi kama kitendo chakuyatembelea maiiti. Wengi waliniadimakiwa waliponismdikiza awali.Sijuisasa wanqeniona inqekuwaje? Huku nimeambatamba unyounyo, sako kwa bako,na toto kindakindaki, hususan lake mfalme!Ama kweli ya tanaki si ya ttindwi._______ Baada ya kupiga masia kwa siku kori.ja, nilif ika mpakani mwa nchi yetu.
Raia wa kwanza aliponiona hakuamini.Aliyafjikicha macho kwa kibuhuti. Alidhaniameona kizuka au kizuuakataka kuchapukg,Nilimkimbilia au kumshika ghafla.Nika ji.iulisha na kujitambulisha.Tukakumbatiangna kupigana pamba.ia.kamaafkani.Penye uvuli ndipo nimwekapp mwanangu. Nikamtuma sahibu huyokupeleka ujumbe kwa mfalme kuwa nimewasili.Kwa sababu ya kutibwirikatiki na uchovu wa charo nikapumzika hapo kwa siku kadhaa
Mfalme kupata ufifiwamjowarmyakaamrisha mbiu ipigwe. Nachokibirikizi cha mqambo kikipigwakinaJambo. Kumbwayahcusemiuongo,chambacho wavyele. Wakatumwa mashujga namachela kuja kutubeba. Habarizikavuma na kuvagaa kamamoto kichakani. Yule aliyetembeleamauti karudiameyashinda! Nilighafilika kwa mghafala.Nikatamani kucheka nikalia! Taabuya leo ndiyo dawa ya kesho.Kati ya vigelegele vya furaha kati yanyia tamu za mabibj, kati ya ngomazilizodundwa; kati ya vilinge na viroja,wgja walidemka dem dem, kanafrwambamifupa hawakuumbiwa.Kaumu na akwamt za raia walikuja kunilakinakunikumbatia. Nilipokelewa kwa taadhimou-nikanyanyuliwa juu kama tiarainyanyuliwavyo na upepo.Utukufu wa mwana niliyeenda kumtafuta, ukawaumezimika zi; kama taa ya kandili iliyotuewamajini ghafla. Pahala pa itifakiikrahi haipiti.
Mfalme alitangaza sikukuu ya shahari nzima. Sherehe zilifanywa lailiwanahari, bukrata wa ishiya. Wa.jaw6lipcfuaminofu na kugugunamifupa.Chinyango bonqe-bonqe na viqa vinenelitteivilinyofolewa. Kazi iijahaulika.Wengi walilewa lueleubin chopi,kwaiarabuviieb? Anuwia Nilzindukawakati wa tafrija hizi, nikirambita mate kWauderere ulionijaa kinywani.Mbona
Ndoto ya Kupendeza
usiwe ukweli?
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Mstahimilivu hula mbivu
Matangazo ya mtihani wa K.C.F.E yalipotangazwaniliyaacha/yoteniliyokuwa nikifanya na kuenda sebulenikwa mwendo wa arubii.Mtangazaji
tuliyemjua alionekana kwenye runingaakisoma matokeo hayo. Yale niliyoyasikiayaliniachamdomo wazi nikiwa nimeduwaa na kutanduaa kamamzungu wa reli.
Jirft langu lilitajwa nikiwa mwanafunzi bora zaidi nchini Kenya.Furaha riboribo niliyokuwa nayo sadirini ilipita ya kibogoyoaliyepatameno au ya tas&aliyejifungua mtoto. Sikuyaamini masikio yangu. Wavyelewangu waliona kama hii ilikuwa ni ndoto:Katika maisha yangu yote shuleni,haikunijia akilinikuwa siku moja ningekuwa mwanafunzi gwijikuliko wote nchini.Naam, hayawi hayawi huwa.Muda wa kelbu kuukaliamkia;mlango ulibishwa hodtrWatangazaji sufufuwalijaamlangoni wote wakitaka kunipiga picha.Majiraniwalikuwa vikurxjiyvikundinje wote wakitaka kujua ni yapi yaliyokuwa yakiendelea.Nilitoka nje kifuambele kwa madaha ya tausi.Maraf iki wa kutoka kotenchini walipiga simu wakinipongeza. Nilituzwa hedaya chekwachekwa nawazaziwangu inna, mcheza kwaohutuzwa na chanda chema huvikwa pete.Niliwaza na kuwazua jinsi nilivyokuwa nikipiga kambi shuleni nakuwafucmfli
waalimu wangu kila walikoenda.Niliona kweli kuwa hakuna kizurikitokachopazuri.Bukrata wa ashiya niilkuwa vi'tabui. Kweli matokeo haya muftihayakupatikana bure bwerere.Niliepukana naanasa nyingi kwani nilimaizi kuwa rgha ikizidiSanasi ra habali karaha. Shuleni nilijitengana wanafunzi-ambao matilaba yao hayakuwakusoma. Sasa nilielewa fika maana yamqthali iliyoradidiwa na waalimu maramzo, achanikaye kwenye mpini haf i njaa.Li cha ya hayo yote nilikumbuka kuwawaalimu wahgu wataalamndio 'Waliotupiga msasana kutuonya vilivyo.Chambilecho wanalugha, kinolewacho hupata.Wanafunzi wenzangu ambao walilazaddmu walinionea gere. Wengi waowalikuwa sasa wanalia kwa matokeo ambayo hayakuwapendeza lakinimsibgwakujitakia hauna kilioWazazi wangu waliandgadhifakusherehekea matokeo hayo. Niliwaalika
walimu wangu na masahibu wangu.Vinono na vinywajivya kila aina vilichafuameza.Tulikula taniyetu mpaka tukatoshekaShangwe na nderemozilljaahewani. Sote tulipata burudani tosha.Baada ya ,siku si ayami,barua yakunialika shuleni Alliance ililetwa. Hilo
ndilo jambo ambalo lilikuwa limenifanya nitie ari za mchwawajengao kisuguu kwa mkate;Niliimshuku|ru Mterehemezi kwahaya yotealiyonipa Ninatumai kuwa nitaenda vivyo hivyo aushini mwangu
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
010 - Sio Kila Siku ni Dominika
“SikuHTyo, nilikuwa nimechoka hoibin tiki. Nilikuwaninaji burudisha kwa bkinywaji baridishadidi .Kazi nzito na safari yamarshimarsFiivilikuwa vimeongezaharmmef unguliapanka hukumuzikiwa taratibu ukidunda dudu mithili ya ulekuongoa mwana.
Mara kukawa nambisho mlangom.“Nanihuyo" anai NilikuwayesumbucfwaRcmTiuinusiku?Labdamgenr" Nrlilongalfukunikimeza fundaTT5<songedase5sTemlangoninakuuf ungua pastvvoga. Nilimvulia machoikawa simjui lakini ikaniriJhviu kumjwsKdTuJdniTMasalale! Kifefe cha insi kujikokota kwa usaidiziwa fimbo kifichojikitia. Alikuwaamejazamatuta wajihmichekwa-chekwa ambayo yangeongezaumri. MKatawa”waja aliongea kwa sauti ya mandende nailiyoogofya.
11 la - ta fadhalini -sa - idie, sn - ina paku-kula-la“wa - lacha:d-ula”alinena kwa kusitasita.bikubaimikiwa ni njaa au uwele lakinimlisoma ukweli usoni.Alikuwa amekonda na kukondeana, isitoshe, alitokwa namabebeyNirigalikuwa nanafasi, ningalihesabumifupa. Inna,maswali nilikuwa nayo,71awa RuuTizasiRu mwonG7Mengine jalali angeyajibu peke yake!
Maadammtuni utu,mlimwonea shufaka namkaamua kumsaidia kwaKaTFndmail. Nilimkaribisha rasmi nakumfanyaajihisi kamamjaTa i BuRwaninTfaipasavyo. Nilimwandahamlomtamu lauhaula. Mwia simwia,niliandikameza.”KarTBu7"“Nikamwalika Hakuambango!bhabashiulionekana taydrTkatikakibaruaKiRi.
Do! Udelele ulimponyoka hata kabla ya kuwahi kijiko. Ni dhahirishahiriRuwa7alikuwa pabaya. Althaha na kukumia harakakaribu asaRamwelAlikula choteTefef<|."Baada ya kushtakinjaa, alipata nishatiupya. Alionekana tofauti sasa na ajabu“mkuwa, angefululizamaongeziyake. :
“Unaitwaje,"Nflimtvuliza.Kwasauti nyororo na ya mtimaalilonga," MwamboMakiwa".“Endelea,"Nilimchachawiza.“MiminimifTojd’wdviokoteaPiddwavyeIewao waliendajongomeo kama wakiwa wanaona." Machozi yalitokeza,1<isha,nikamwombaakome kwani nilielevya. Aliendelea licha ya kumnyamazisha,Nitahitajfmsaada w&ko, lauunifanyemmoja wawafanyikazi wako, nitafurahi na kufurahi ghaya!"
Inna, aombaye ndiye apewaye na kusaili si uzeThberSTRuwa“naBMnWiya"’mmoja wamashabtbi wanguwajakazi.“Keshomacheo, utawapelekabaadhfyamrnhgo• wangu malishoru. Ninaitufugo wengi kamamchanga wa baharini!" Nilimweleza1<wd”kedi kidogo." Akhsante sana bwana mkubwa."
Kesho ya sikuihwadia. Mambo yaligeuka na kwenda‘Koro“brn <oTKinkuvvd”nimechoka kipunda baada ya kukurikamchana kutwa. Nillpumzika kitandani,nakushikwa na usingizi wa mangamung’amu uliomelekzakatiRaonezrwdpdnd.
Nilipulkana sikukubali walaTkujah. Niliweza kusikia kwa mbali kiakianapiaplana nikajipuruktsha. Nilimwamimakiwanimwehu auvije?Nilitafakari Labda bidiilakini leo amevuka mpaka." Haidhuru!
Baada ya hayo yote, nilipatwa na usingizi upya ingawa kwa muda kiduchu.Nilipogutuka, kulituha kuliko kawaida. Wazolilinijia akikninakujiambia“huendamhmwachia paka krtoweo changu amlindie." Naam, ilikuwa kweli!
Nilichomoka kitandani usiku ule kamam’viwamsasi'Kufika langoni,mliachwanimeachama kwa niliyoyaona. Niliwaza na kuwazuajiikasaHTI<nMzo“langu_T<Tfdndani.Hakunajuhudi zingefua dafu. Huenda makiwa alikuwa kibaraka waluja. Kweli dumamtimkavu.
Xma fa ima, ingawa kwa chungu, yaliyopita si ndwele. Nitaanza kuganga yajayokwani sitaki hataahchosazamwivihalafumganga atwae.Wasia wavgaWmoa''baada ya ‘kiokote kuniibiamifugo. langu siku hiyo,nihngarflua kuwa, chochoteking'aacho sidhahabu.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
011 - Wasia wa Ajabu
______ Kufaulu! Kufaulu! Kufaulu! A.jmainatwatamani! Wenzangu mnavyo.iiandisi,ndivyo tariki zenu za kufaulu zina.jiunda. Ise! Inabidi sote tung'amue kwamba,mafanikio yetu aushini, hupimwa kuanzia wakati ambao tumo shuleni. Nduguzangu wapenzi. riziki zetu kwa sasa, hutokana na matokeo mwafaka shuleni.Elimmidio ’ngome'auufunquo wa maisha taibu.Nqome hapa, si ukuta wa kujihamikutokana na maaduiwaqhazi ila ni kitu cha kujihami kutokana na ukata waaushiya usoni1 Elimu ni kurunzi ya maisha". Wengine walinadi.
IjapokuWa wanakiri ya kwamba rizikihaivutwi kwa kamba, lakiniusipfftafuta, huwezikuipata.Maizi mafanikio haya.ji ja ruya.Masahibu wanguhata uwemwanambee.Kifungamimba au mwanamkiwa, maisha ya sasa ni vuta
nikuvute.8 Ukifanya bidii masomoni,bila shaka utafaulu. Timiza mambo yako naye
Mola atatimiza yake.yafaa tuwe waangalifu mno na maisha yetu maadammahuluki mmoja
alilonga,"Maisha nimtego, ukisepetuka umenaswa."Yafaa tumpongeze mnom.jahuyu.Alichemsha bongo kwelikweli.Mchezo wanaaisha niHuu, ukiharibu.jambo wahedi, no mengi hufuatia kuharibika. Nawasihi, msifanze .jambo bayamkidhani eti lita.jiunda baadaye. Ukiharibu upande mmo.ja wa maisha yako basiumfeharjbu maisha yako yote.______Kwa mfano, usipofaulu katika elimu, hutaweza kujitafutia riziki yako
ukishakua. Amali yako itakuwa kuya kwa kaka na dada zako. Usisahaumtegemeachanduguye mzigo.Usipo.jitafutia, hakuna wa kukutafutia.Kila adinasina kilamtu atabeba msalaba wake. Kila kunapokucha, pilikapilika haziishi za kutafutamaisha yetu ya leo na kesho.Kila kunapokuchwa yafaa tupige hesabu ili kuonatulichofaidikatika sikuhiyo. Wengine husema siku ikipita pasi wewe kufaidikakwa .jambo aghalabu mosi, w,ewe hauna tofauti na zezeta.IPamo.janahayo, ndugu zangu, msipofaulu katika .jambo mosi, msivun.jikemoyo bali .jiliwazenikama hakuna wa kuwaliwaza kwanimkoma hujikomamwenyewe! Kisha, ueridelee na maisha yako huku ukiwauna.jaribu kufaulumaishani. Waama, maisha ni kitendawifi kigumu sana, leo umepata na keshoumekosa. Kahari akikupa fara.ja,mshukuru, aidhaakikupa dhiki, usimkufuru.
Ningependasana kuwakiflpbusha kuwadunia ni msongamano wa taabubelele zilizochangdnyika na chembectwnbe kalili za raha ambazo hazikawiikuyeyuka,AliV&na mwambo, hatasalia vilealivyo, hali kadhalika, mwenye rahanaye, asi.jioneeti ameyashinda maishaAka!-Yua.jighilibu.______ Kati yetu, kuna kitu kibaya mno kinachoitwa, ’ushawishi'.Ukiqmbatana na :
insi wenye serambi, hata wewe utaufuatQmkondo ule ute.Lahaula!Asiyekiangalia huishiahingatfjua.Kabisa farakana na tnahuluku wenye tabiazisizo bulibuli.Kita mwenyewe kwa unachotaka maishani.Samaki mmo.ja akiozani wote. Aidhat m.ja mmo.ja katika kikundi akiwa mbaya, kunauwezekano waasilimia tisinina kenda kuwa insaniwengine watakuwa na tabia ile ile. Waamanazi mbovu harabu ya nzima.
Hatimaye, ningalipenda kuwaombamyafuate namyatie mausia hayamaanani. Mtiishayakiharibiwa yakiwabado ‘machanga'kuundika si vigumusana.
Lakini, yakiharibiwa m.ja akiwa ushinde,huwa ni vigumu kuundika. Maishani tendo-lifanikishe, maisha nimsiba -ukabili, maisha ni siri - itatue,maishani zawadi - ipokee.
Lo! Maisha dunianini msongamano wa taabu nyingi sana zilizochanganyikana chembechembe ndogo sana za raha, ambazo hazikawii kuyeyuka. Kama
mmeutia wasia huu maanani, sina la kuamba ila tu, Alhamdulilahi."
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
KikuTunzeTyaanTTufuze misiru yetu tn tuwenamusrakabaii c.kh.ya.rKugeuka nyuma, Werualihonapandikizi la chui likimwandama. Mtima_____________________________wake ulimpwitampwita sadirini.Alijawanahofu/Alikuwano wasiwasi_____________________________kama mwasi.Miguu yake ilianza kuasi kazi yake ya kubeba uzito wake.Viungovyoteviliregea regerege. Alifasiri kuwa alikuwaamekabiliana anakwa ana na hatari.Alikuwa amechanganyikiwa asiwe na la kufanya. Hayawaniyule_____________________________alimkodolea macho makali yaliyodhihirisha dhahiri shahiri kwamba ________________________________alikuwa ameamua kummaliza papo hapo. Hakujua afanye nini.OJe wakeWeru! Aliomba sala yake ya mwisho.Alitimua mbio na kwendamwendo waarubii.Hayawani yule hakusita kumfuata Weru.Weru alikuwa shababi______________________________mrefu zaidi katika kitongoji chetu chaOvarire.Urefu wake unaweza ________________________________kumithilishwa namliiigoti.Alikuwa amekonda nakukondeana. Alikuwa_____________________________gofu la mtu kwa sababu ya kukaamsituni kwa muda wa siku tatu bila ______________________________kushtakinjaa. Kulikuwa kumenyesha ajabu. Wanyama wote walikuwa______________________________mafichoni.
Weru alikaa roho mkononi.Alijua kwa kuwa alikuwa ameasi maagizoya babu yake na kwenda msituni;Kiango'mbe.Kuntu, asjyesikia lamkuuhuvunjika guu. Naam, majuto nimjukuu,hujabadaye. Alikuwa amechokatiki. Alikuwa ameacha silaha zakenyuma.,
Hayawani alionekana ameamua kumla Weru. Ingawa Weru alikuwamwenye mbio, tusisahau chui anambio maradufu kwani anaenda __________________________________wanguwangu. ______________________
Ghafla binvuu, alisikiamlio wgmnyama aliyekuwa amemfuata.Alipogeuka,alipigwa na butwaa huku akibaki ameachama. Chuiblilala chalinakugaagaa kwauchungu. Waama, Weru alikuwa na chumu sufufu Inna, ,Mungu hamwachi mja wake.Weru alionamvulibarobaro akitokezegvichakani.Kwa kweli, _______________________________ukistaajabu ya Musa utaona ya f irauni. Kijana yule alikuwa laazizi wakena walipendanakama chanda na pete. Walikuwa wametengana kama ardhi ,nambingu kwa sababu mama zao walikuwa hawapikiki katika chtjngukimoja. Weru alikuwamkarimu kwa Juma mbasiwake.Yakihi, wemahauozi.Waliandamana kwa sako na bako hadi chengonilwaJUma kwa ______________________________mahaba lukuki kweli, Kipendacho moyoni dawa. Alilala huko na keshoyake akarudimaskani mwao. Aliomba msamaha kwa wavyele wake. Alipatakusamehewa
Bakari alipata tajirrba ambayo hatawahi kuizika katika kaburi lasahauhadi aipe duniamkono wa buriani. Alipata f unzo na kuahidi__________________________________kuyasikia maagizo ya wavyele.Alidharau msitu napukamwonyeshaudhiawake. Mdharau mwiba huota tende.
\
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
013 - Mtoto Umleavyo Ndiyo Akuavyo
______ Methali hii ina maana kuwa mtoto utakavyomkuza, ndivyo atakavyokua .
Mwana huwa hamaizi chochote ila tumieziwake ndiye humweleza mambo.
Chambilecho, samaki mkunje anqalimbichi. ___________________________ ______________________
______Hapo jadina jadudi,paliondokeaqhulamu mmoja aliyeitwa Matendekezo
bin MapenziShababihuyu alikuwa mwana we pekee kwao. Wavyele wake
walimbembeleza na kumhibu mno. Matendekezo alikuwa akisema,"Nipe" moja
kwa moja anaambiwa. B Chukua".Shababi huyu,hakuweza asilanikuishina
wenzi wake. Alijiona kuwa dara.ja lake la maisha lilikuwa la juu mno. Mbasi
- wake wote wakamtoroka na kumwacha mwenyewe. Licha ya kupandambequ ya
chuki baina yake na masahibu wake,aliitikahadi kwa nasaba yake yote. Udonqo
ambao mbequ ile ilipandwa,ulibakina mizizi ya mbequ ile na kukolea.Yaani,
chuki haikuisha baina yake na rafiki yake.
. Siku mosi. ndeqe mbaya alizuru familia yake Matendekezo. Abu yake.
yaani bwana Mapenzi akaipiga dunia teke. Matendekezo na nina yake ambaye
alikuwa mjane,wakajawa namgjonzibelele. Nyuso zao zili.jaa matuta ya kihoro.
Mwia si mwia,ndugu za abu yao waka.ja na kunyakua maliyao yote.
waka.jidai eti watamwanqalia Matendekezo ili wapate fursa ya kuitumia mali
ile. Wakawa wanamkimu Matendekezo bila ukamilifu.Baada ya siku haba nina
yake matendekezo naye aka'aqa dunia. _________________________________________________________
______ Kwa sasa, nari ilimwakia Matendekezo. Ise! Alikuwa amezinqirwa na miti
ya miiba.Alikuwa ua la waridikatikakgti ya miiba.Kwa kweli hakuweza
kukabiliana na nasaba yake kwanimasharti yalikuwa kama mawe. Maskini
Mapendekezo alihiburu raha mno walakini saahakuweza.Maizi, ma.ji
yakimwaqikdhayazoleki. _________________________;_________ ______________
______ Punde si punde Matendekezo akashindwa kabisa kunq'anq'ana na aushi.
Aliomba nasaba yake-impe urithi alioachiwa nawazazi wake lakini wapi?
*Walimf ahamisha kwamba wavyelewake hawakumwachia urithi wowote, ambao
ulikuwa uongorntupu.___________________________________ _________________________________
______ Matendekezo vuu akaanza kukema. Baada ya hayo.Matendekezo
akaondoka kwani hakuwezana na ukoowaker. Matendekezo akawa mtoto wa
mtaani.Akawa anazurura kama kefbu koko kila leo.______________________________________________
Yote haya yaliletwa kwa kutendekezwa.Hapa ndipo atipomaizi.11 Mtoto
vumleavyo ndivyo akuavyo." Matendekezo akajuta mno! Akanq'amua kuwa”asiyejianqalia huishia ninqali.jua" nakWalaani walezi wake kwa kumpotosha
maishani!______________
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Q14 - Wuliwa waja aponea chupu chupu______Kugeukanyuma,Njau aliliona dume ia chui likimwandama. Alimaizi fika
kuwa sasa kuchana mbuga kungekuwa burebifashi.Hivyo basi, aliyafumba
macho yake na kusema dua yake ya mwisho akisub|nkupatana na hatima yake.
Afipomaliza kusema safa,Njau aliamirikudhukuru yote yaliyokuwa
yamemkumba. Si muda mrefu uiiopita nina yake alikuwa amefuata njia ya
marahabaya insani wote. Kwa kuwa abu yake alikuwa ameipa duniamkono wa
buriani. Njau sasa aliyachwa na jukumu la kuwatunza umbu zqke. Inna,“Mti
mkuu ukigwa wana wanyunihuyumba."
Mambo hayakuwa shwari. Kuntu, Njau alitakadamu kutafuta kwa udi na
ambaribandariya salama lakini hakufua dafu. Wavyele wake Njau walikuwa ‘wamefunga pingu za maisha bila hiari ya wazazi wao. Hivyo bcsi, wanaaaila
wao wote waiijitanibu wakitia maanani wasia wamaBadu zetu,"mwacha mi la
nimtumwa." Mwana wa watu alikuwa hajaachiwa hiliwala lile. Hapo ndipo
alipoona suiuhisho moja tu,kutoroka na kuwaacha ndugu zake wajitegemee.
Sasa, njau alikuwa amejipaliamakaa. Nyuma yake lilikuwa hili pandikizi
la mnyama lililotoa ngurumo kama radi.Lilipokifungua kinywa chake, Njau
alikata kauli kuwa afua zilikuwa mbili. Kununua pujo nambari miguu niponye
ayiokoe aushi yake aukusimama pale pale na kuraruliwa rarurarukwa muda
wa akisami ya sekunde.
Ghafla bin vuu, Njau alitifua mbio, huku akipiga mayowe ya kumfanza
kiduko asikie. Mori aliyoivalia chuiyul&>ilikuwa jahari. Iwapo Njauhangepata
kuaniwa hivipunde,basi angekuwa kimba. Wasemaohusema Mungu hamsahau
mja wake.
Ghulamu yule alipatwana nyota na jaha kwani mayoweyake yalimfikia
mvuviaiiyekuwa akitoka mtonina shehena yake ya numbinzimamikononi.
Mvuviyule, ambayealikuwa amedumu msitunimle alingamuafika kilichokuwa
kimejiri. Usighafilikeyakhe kuwa mbiu ya mgamboikilia kuna jambo.
Kwa ushakii, mvuvi yule alichukua mkuki wake na kuufuata unyende
aliokuwa akiusikia. Punde si punde, alimwona Njau na chui yule. Bila kufikiri
wala kutafakuri, alimlenga chui yule na kuufuma mkuki wake. Mkuki ule
ulimdunga chui yule fuadini akaachiliamvumo wa kufanza ngeu igande mishipani.
Muda si ayami, hayawani yule akaporomoka arthinikwa kishindo kikuu, sihai
tena.Adna wee! Njau hakuyaamini macho yake. Ilimbidi ajibinyebinye marakadha wa kadha asadiki ya kwamba alikuwa bado anapumua. Mvuvi yulec(limkimbilia kuhakikisha kuwa Njau alikuwa hajaumia. Isipokuwa majerahamdwilimatatu hivi, mvuli wa watu hakuwa ameumie asilani.Alikuwa'ameponea chupuchupu.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Nilipoabiri gari kuelekea kwetu nilidhanininqefikasalama.Nilikuwa
nashauku kubwa ya kuwaona watuWQ mlango wangu. Nilitamani kupata
kilalio kwetu mashambani kilichotayarishwa na mama yangu.
_________Nilikuwanimesafiri kwa takribani robo tatu ya sagkutoka mjini
Nairobi. Ninakumbuka vyema kabisa ulikuwamwepdo wa saa mbili usiku.
Mvua ilikuwaikinyesha kwa winginayo mazunqumuzo kati ya abiria kwenye
matwana yalipamba moto.Mara ghafla,kufumba na kufumbua,msafir
mmo.ja aliyekuwa ameketi sako kwa bakona mshika usukani alitoa bastola.
Kwa sauti ya kutishaalimwamuru dereva alielekeze gari kwenye njia
iliyoelekea katika shamba kubwa lamibuni. __________________________
Dereva hakuwa na .jingine ila kuyaf uata maagizo shingo upande kwani
li'silo budihubidina mwenye nguvumpishe.Kimya kilitawalamleqarini.
Kicheko namazungumzo baina ya abiria yalikatika ghafla. Tulifanya
matumbo moto na nyoyo zikatupapa.Ni kweli dunia nimduwara huzunguka
kama pia. ______ ;
Baada ya kusafiri kwa mwendo wa kilomita moja hivi>dereva
aliamrishwa aliegeshe gari. Kote kulikuwa kimya isipokuwa sauti ygmatone
ya mvua nq/iqurumo zaradi zamara kwa mara.Giza I ilikuwa totoro licha
ya mwanga wa umeme uliokuwa ukiangaza mbinquni tnarorkwa mara. Tayari
wengi wetu tulikuwa hafu jiwfezi kwa woga na kihoro. _____________________________ .
_________Bila kujolfmvua,wezi wale walituamrisha tutokeqarini pasipo
kuchukuachochote. Pindi tulipotoka, walipofuamacho kwa kurunzi
walizokuwanazo. Hakuna kati yetugjiyeyaamini masikio yake,
tulipoamrishwa tuzivue-nguo.Shaibu mmjoaaligingwa kinywani na kuyatema
meno kadhaaalipoapakwambatianqevua nguo hata kwamtutu wa bunduki
mbele ya mkazamwana wake.
Tulipoona hayo,wehqine wetu tulitabawdlipasi ku.jua.Dakika tano
baadaye,wote tulikuwa uchiwa mnyama.Wezi wale waliyasheheni mali
waliyotuibra kwenye gari file tulilosafiria na kuondokakwalo.Tuliachwa
hapo tukiwa na kiwewena woga: Tulichanganyikiwa kama vifarangamamao
anyakuliwapo na mwewe.
Baada ya kuchemsha bongo kwa muda.mzee mmo.ja alisema tupige
unyende kwa pamo.ja ili iwapo palikuwa na watu karibu, waje watgsaidie.
Fikira Kilo tuliliona tasa ina tukalitupiliambali jonqoo namtiwake. Badala
yake, fulikata shaurikuchapa miquu hadiqurufuni.
_________Hata baada ya kuf ika qurufuni mambo yalizidi kutuendea upoqo kwani
tulipo.jaribu kuwapunqiamadereva mikono wasimame waKtudhania kuwani
majini. Mambo yalipozidikutokota, nilikata shauri kushika njia hadi
i chengoni mwanqu Niirfika chengoni mwendo wa ma.joqoo nikiwa hoi kwa
uchovu.Waama hayoni mambo ambayo hayatafutika akilinimwangu.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
017 - Swali?
Mwandikie ndugu yako barua aliye mbali umwelezejinsi hali Hivyo nyumbani
Kijiji chaPwera,
S.L.P20246,
MARAGUA.
Kwa kaka mpendwa,
_______Sulbakherikaka? Ni matumainiyangu kuwa huko ulikohuna lolote
baya/Sisi pia hatuna(olote lililokithirimipaka isipokuwa yalematatizo ya
maisha. Hata hivyo tunaendelea tu na maisha kwani maishani panda shuka.
_______Lengo na nia ya kukuandikia waraka huu ni kukuarifu machache ambayo
yametukia janibu hizi.Ninayo furaha ghaya kukujulisha kuwa dada yetu
Pendeka alijipatiamume mwezi uliopita.Alibahatika kufunga pingu za maisha
na barobaro mmoja anayefanya kazi katika kiwanda cha kutengenezea nguo.
Iwapo ungemwona Pendeka mnamo sikuhiyo ya tembo kumla mwanawe,
hungeamini macho yako. Alikuwa amejipamba akapambika. Siku hiyo ilinibidi
nifikirig-vingine. Kaka, utatuwia radhikwa kutokujulisha mambo hayo
mapema lakini tafadhaliusijali.____________________________
_______Nina yangu alipandishwa cheo kazini mwake.Sasa hivi ndiye msimamizi
mkuu katrka idara yao ya uuzaji na utangazaji wa bidhaa.Hilo limetetokana
na bidii zake za mchwa. Waama, waambao waliamfogbahati ni chudina
atangayesana na jua hujua. Kakangumkubwa ameanzisha biashara nyingine
Amefungua duka la kuuzia dawa huko mjini.
Dadangu Pamela naye alihitimu masomo yake katika taaluma ya uhasibu.
Ana lengo la kkutembelea huko ughaibuni hivi karibuni na ikiwezekana
atafute ajiPakuko huko. Nyanya aliona ashekaribaada ya kuugua kwa usiku
mmoja. Sote tulifurahia kupona kwake na kumshukuruMola.
Je kaka, unamkumbuka mjomba Mbweu? Ninakwambia leo hii yeye ni
kipofu.Alipoteza uwezo wake wa kuona baadaye ya kulewa pombe haramu
iliyobandikwa jina"Kumi kumi".Licha ya kuonywa namkewe kuutupilia mbali
ulevi jongoo namtiwake alikataa.Nao wahenga walinena,mkataa lamkuu
huonamakuu na mwana akililia wembe mpe. Waama dunia imemfundisha.
______ Ami yetu alifanikiwa kununuagari naye ametanua kjfua vilivyo. Ni
kweli wahenga hawakukosea waliposema maskini akipatamatako hulia
mbwata na kichwa cha kuku hakistahimili kilemba.Ninasikitika kukueleza
kuwa rafiki yakoGago alichezea tope nabila shaka akachafuka. Leo hii si
wauji si wa maji kutokana na uwele wa UKIMWI.Yeye hubakikiambonii
akiuguzwa na wazazi wake kwanimchuma janga hula na wa kwao. Sihayo tu
ya kuvunja moyo. Bintiamu Karimu alifukuzwa shuleni baada ya kupewa
maharagwe na shababi mmoja ambayehuchuuza maandazi hapa mtaani.
Jambohi'fo fifi'wapaka jivuwavyele wake Karimu.Yakini Karimu alisahau
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
kuwasubira huvuta heri namwangata mbilimoja humponyoka.
Kaka,ukwelinikwamba mikosi imekuwa ikiandamaukoo wetu kiasi.
6mi mdoqo nayea I ih u kumiwa kula ka Ienda gerezanikwa miaka miwili.
Alipatikanana kosa la kulewapombeharamu, kumvunjiahadhina kutisha
kumpiga mtwana mgeniwa jiraniyake. Wengi walishanqazwa na kitendo
hicho hususan wakitiIia maanani woga wa ami. Hata hivyo, niliwakumbusha
kuwa hata mbwakoko huwa ni mkali kwao.
Shangazi naye alivunja ndoa yake baada ya kumshutumu na kumtuhumu
mumewe kuwa na macho ya nje. Watoto wao walizidikuteseka na hata
wakafukuzwa shuleni kutokana na ukosefuwa karo.Hatukuwa na jinqine la
kufanya ila kuwachukua na kuwasaidia kwani damu ni nzito kuliko maji.
Kuteseka kwa mtoto kulisababisha nione ukweli halisi wa methali kuwa
wapiganapo fahaliwawili, nyasindizo huumia na mti mkuu ukiqwa, wana wa
ndege huyumba.
Kaka, sina budikutamatisha hapa huku nikitumaini kuwa utanijibu
waraka huu. Zipokee salamu chekwa kutoka kwa watu wa ailana wasena.
Kamwe usijifanye bendera kufuata upepo na kuyainqiliaya kiqenipasi
tahadhari. Elewamwacha mila nimtumwa na dunia ni mti mkavu ukiueqemea
utukubwaga: Kwaherikaka mpendwa.
Ni mimi kaka yako,
TunuMajaliwa.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
018 - Haraka Haraka Haina Baraka
Hapo zamani za kaie katika karia moja, paliishimvulana mmoja ambaye
alikuwa akitaka kupata jiko.Wanakitongojiwalimwambia angojee hadi
atapofikisha umriwa kuoa. Lakini aliyaticT maslkTo yakenta. Wavyele wake
walijaribu kumwambia lakini hakusikia lamwadhini wala la mteka maji msikitini.
Siku baada ya siku, alizururavijijininamitaanikumtafuta kipusa. Hapo
basi, alijulikana kuwambwa koko. Siku moja, alipata nyota nzuri kwani alipokuwa
akipita, alimwona kidosho mmoja aliyekuwa ameumbwa akaumbika hata
ungedhaniRabuka alichukua siku ayami kumuumba.
Kidosho huyo alikuwa na pua yaupanga, macho ya kikombe na
yaliyometameta kama nyota, sauti kama kinanda na alikuwamnono kama
nguruwe. Mvulana huyo alisogelea huyo kidosho na kumsalimiaAlimwambia
kuwa alikuwa akitaka wawe maraf iki waliopendana kama chanda na pete.
Kipusa huyo alitabasamu na kukubali. Walishikanamikono na kutembea
barabaranibila kuonaaibu hata ungedhani walikuwa ndugu wa toka nitoke.
Mvulanahuyo alimpeleka nyumbani kwao na kuwaambia wazazi wake kwamba
'alikuwa tayarikuoa.
Wavyele wake walimkumbusha" mwendapole hajikwai" Yeye aliwaona
wazazi wake wakiwa vumbi lililokanyangwachekwa miaka na dahari. Mvulana
huyo alikuwa akipata darhima'kwani walitaka kulisukuma gurudumwlao la
maisha. Siku moja, huyo kidosho aliwaitamasdhibu wake wote ndaniya nyumba
yao.Walipoingia, walitoa vibeti walivyokuwa wamebeba. Kilamtu alikata kiu
katika hivyo vileo hadi wote wakalewa chopi.
Walianza kuimba kwasauti kama kinanda hadi majiraniwakaenda
kuangalia kilichofanyika. Waliduwaa sana walipopata chupa ya pombe juu ya
meza. Walinunua pijo nambarimiguu niponye hadi majumbanimwao na
kumngojeamtawala wa nyumba aingie.
Alipoingia nyumbani, aliambiwa kila kitu kilichofanyika ndani ya nyumba
yake lakini hakuamini bait alisema kuwa, watu walikuwa wakimwonea gere. Kila
mwanakaria hakuthubutu kumwambia mvulana. huyo tena kwani walijua
asiyesikia lamkuu huvunjika guu". Wanakijiji nao hawakunena lolote.
Walinyamaza na kutulia tuli kama maji ya mtungini kungojea maji yamwagike.
Kila kijana huyo alipoenda kufanya kazi, kipusa huyo aliharibu mali ya
bwana yake na wakaendelea kuwamafukara. Bwanahakumwambia lolote kwani
hakutaka bibi yake’aliyesema kuwa mzurikama malaika amtoroke.
Baada ya mwongo mmoja, walikuwamakufara kabisa hatahawakupata
chakula na mavazi. Kijana huyo alipokwenda kuwaomba wazazi wake chakula,
walimkumbusha alivyokuwa akisema,“ngjcTngojahuumiza matumbo."
Aliwaombp msamaha wazazi wake na kutambua“ yoteyang'aayousidhanini
dhahabu."bWrpoona mvulana huyo alivyokuwa amekonda kamp ng'onda sikuamini.
Ndipo nikaaminikwamba, haraka haraka haina baraka.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
019 - Ujana ni Moshi
_______Mnamo siku ya kufunga shule. wanagenzi wote walikusanyika uwanjanimwendowa jua la utosini.Kisha baadaye,MwalimuMkuu alitembeakenyekenye hadijukwaani.Alichukua kipazasauti na akawatazama wanafunzi. Alitabasamu na menoyake ya mchele kuonekana. kisha akaanza.______ " Hamjambo walimuna wanafunzi. Leo hii ni siku ya kufunga shule. Ninayo farajatele kwanimuhula huu tunaoelekea kuutamatisha umekuwa wa ufanisi kwetu. Inafaatumshukuru Mola kwa yote ambayo tumepitia._______"Niangaliapo matokeo yenu ya mtihani wa mwisho wa muhula, nimeng'amua kuwawengi wenu mmefua dafu.Ninamsihina kumwosia muendelee kwa moyo huo wakujikakamua na kushirikiana ilimtie fora zaidi. Kumbukeni ya wahenga kuwa bahatini chudinaaidha kidole kimojahakivunji chawa iwapo si mkono mmojahauchinjinq'ombe. Waliotia fora masomoni na piamichezoninitawapatia tunu kwani waambaowal/amba mcheza kwao hutuzwa.______ "Hata hivyo. hakuna mchele ukosao dume.Kuna baadhi yenu waliolaza damu naningependa kuwapa chanqamoto waongeze bidii huku waki jua kwamba uzembe si cheonampanda ovyo huvuna ovyo. Kuna wengine hata walio jaribu kudanqanya katika mtihani.Ningetaka kuwakumbusha kuwa njia yamwonqo ni fupi. Tafadhali ninawashauriwayatupilie mbali mazoea hayo jongoo na mti wake, kabla hayajakolea kwani mazoea,ni ugonjwa.w Mwalimu mkuu alinyamaza kidoqo.akachukua maji yaliyokuwa kwenyeqlasi na kukonqa roho kisha akaendelea.,______ " Wakati huumnapojitayarisha kwenda nyumbani kwa likizo. ningetaka muwemabalozi wema wa shule hii huko vi jijini namitaani.Tafadhali ninamsihi muwe na -mienendo mizuri wala msijitumbukize katika-mambo-mabaya la sivyo mtaumia.Kumbukeni mchezeatope huchafuka. Yafaavilevitgmwonyeshe heshima kwa wakubwana fradogo kwani heshima si utumwa. Aidhamtende mema kwa kila mmoja na bilashaka mtapata baraka na neema zaMola. Si hata waambao waliamba kuwawema -hauozi iwapo si jaza ya ihsani ni ihsani?______ Huko chengoni. mtakutana na wanafunzi wengi wa shule mbalimbali. Sisemimjitehqe nao balimuwe macho kwani wengine wao wanaweza kuwambwa mwitu kwenyengozi za kondoo. Kamwe msiwafuate watu pasipo kutafakari. Tafadhalimsiwemajikufuata mkondo. Iwapo watu mtembeao nao wana mienendo fuska. tafadhali wqepukenimithili ya ukoma kwani I i Iona f i lahavitengamaniKufika hapo.Mwalimu Mkuu alichukuakitambaqnaku jipanquza jasho.______ M Ni mortumaini namatqra jioyangu kuwa huko chengoni hamtawdsumbua wavyelewenu. badala yake. mnahitaji kuwasaidia kuzifanya kazi mbalimbali kama vile kufua.Aidhaninatarajiamtazitii na kuzifuata nasaha zao la sivyomtajiuma kidole kwaniasiyesikia la mkuu huvunjika quu na majutonimjukuu mwishowe huja kinyume.______ “Nina uhakikana uhakiki kama mauti kuwa kila mmo ja wenu hapa ana ndoto namatara jio ya siku za usoni, Wengine mnataka kuwa tabibu wengine rubaninikitaja tutaaluma chache. Ndoto hizo zitatimia iwapo mtajifunoa nira namuwe na azma yakufua dafu. Wahenoahawakutuvisha vilemba vya ukoka waliposema. dhamirani dira.Basi yafaa mjifunqe kibwebwe. Wakati wenu wa kujenqamsinqi thabiti na imaraaushinini huu. Kamwe msiupoteze.Utumieni ujana wenuvizurikwani ujana nimoshiiwapo si fimbo ya mnazi.______ wLq mwisho. ningetaka kumkumbusha kuwa duniani kuna tisho kubwa kwa adinasi.Nalo si jinqine bait ni UKIMWI. Nitqkomeo hqpo kwo sqsq.Ninamtakia likizo njemana pia muwasabahi wavyele wenu hukomastakimuni. Hadi muhula ujao. ninamtakiakazole ya heri na asanteni sana kwa kunisikiliza."
Mwalimu mkuu aUtamatisha hotuba yake nasi tukampigia makof ikwa furaha.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Tr
020 - Pambano na Luja
RjjTokiliiva mapema kuliko kawaida. Baada ya kukibugia, nilijitoma chumbani
In wa malazi. Nilijibwaga kitandani nikajinyosha twa nakujlfumkagubiguBrUsingizi
ulikuwa wa manga'mung'amu. AAara nH<agufushiwa naYauti ya kelbu aRTBweka Bwe
bwe! Nilingamua dhahiri shahirimbiu yamgamboikiliaTkuna jambo. : 'Niliamka na kwendSTcenyekenympakanngonifiTiTcwa la tarabe. Hili
nilifanya kwa kututusa kufuata kiza cha kaniki kilichozagaa. Ingawa nje kulikuwanamwanga wa nyota.haukuniwezesha kuona mbali hasa nikiwa nimetoka gonezini.Nilikuwa na kiwi. '
Nilikuwa nikiperepesa nilipoona bonge la insi limesimama tena tisti tistimitachachembele yangu. Ibra ilioje hii! Vije likaingia huko kote? Nilipata kumaizi kuwambwa aliposhtua alirushiwa kitoweo. Alisahau gange yake. Kifichosikika ni sautTyamif upa aliyokuwa akiguguna. Mtima ulinipapa na kuhofia ungesikiamdundo wa f uadi.Nilikuwa na kitete kama kunguru.Kamasi ilitokeza kwenye mianzina nisingethubutukuipenga.Maguu yalitetema kama majani yamgomba upepo wa kubisha ujapo.
Nikiwa karibu kujibaulia nilikumbuka" lijalo lipokee namtende akutendaye?7
Nililaamali vema uKibebwa usilevyelevye miguu na ulingo wa kwae haulindimanda.Ghafla, nilipiga bonga na kuwahi gezo.Jilipiga moyo kondena kupatwana jasaranomi.
Pulika, la leo litende leo na pwagu angepata pwaguzi. Niliegemea upande mmojana kunepa kiuno. Nilitatutafimbo kwa udi na ambari lichayakumaizinilikuwa kindaozinipa mwewe. Ilikuwa lau kutafuta nyaumweusipi kwenye kiza maki. Mananihamtupi mja wake kwa nyotayajaha, nikapata kigongo jadidi. Siku ile niliona kudurazake Rabuka wazi, kwani jizi halikuwa limeniona asilani. Woga usingalinikabamwanzoniningalilainisha mambo mapema.Yakinihata hivyo, kawia uf ike.
Kwa sasa, lilikuwa likiita wenziwapore. Laiti lingalijua siku ilikuwa yakelingalijisalimisha. Nilizungusha rungu kama kombeo na kumvurumishia kwa hasiraya simbaaliyepoteza shibli.Rungu ilimwangukia utosini.Lilitoangebe rtakugunasauti ya kishindo "Pu!" ilisikikaWenzake waliokuwa wamekaa arigewaliposikia hayo,waliparakasa huku roho mkononi.
Mwiahaba nilikuwa nimelifcalia pandikizi. Mwiliwote ulilowa ngeu chepechepe.Nililinyuka masumbwi yasiyo idadi. Karibu lipotewe na fahamu. Niliinuka nakuliangushia dhoruba mbili za fimbo. Liligaagaa bila sauti7Baada ya jasho, wasaahuu wa usiku tena kipupwe.niliamua kuwaamsha majiranipTaTikiwaniTaKadfiarLKwa halahala, kila mja na jiraniyake. Wote walimiminikakama nzi kwenyemzoga uliooza na kuozeana. Kila mmoja kwa silaha yake.Lo! Walishusha pumzi kwakuona jitu likichunguliakaburini. : '
Baada ya kuwaeleza bayana na kujibumaswali yao yasiyokuwa na mwisho,waliamua kuwaarifumaafisa wa polisi. Hatukungoja kikonzo kabla askariwalindadoria kuwasili kwa kiruu cha simba.Lilibebwamsobemsombe na kusukumwa ndanimarshimarshi. Yakini,ukikosa utu,wewe simtu.Lilirushwa kama fungu lamchangdkwenye lori. Sauti ya kutifia iliSikika ikiomba msamaha.Dua la kuku halimpatlmwewewalamwiba wa kujichoma hauna kilio.
Majirani Walinipongezakwa ushujaa wangu. Wengine walizunguka bomakukagua iwapo genge lilikuwa limefanya madhara yoyote. Sikusita kuwaambiabangu sio mabavuakili ambayo ni nywele. Walifumukana kuelekea kazinimwaohuku miale ya jua ikianza kubusu milima kutoka matlai. Waima, kwa mwogahuenda kicheko na kwa shujaa huenda kilio. Waliobugiamunyu si habawalinadikuwa kila kelbu ana siku yake.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
021 - Ujana ni Moshi
______Adinasibelelewanayachezea maisha kana kwamba ni mpira. Hawamaizi
kuwahatimcni uzeeni. Walio namasahibu wazee, bila shakawakiwauliza
kama usemihuu ni wa kweli,watajibuwanguwangubila kusitasita. Jawabu
_nayo itakuwa,"Ndio mwanangu." Hebu tukitazame kisa hiki.
______ Hapo jadina jadudi, banatimmoja alizawa katika familia iliyokumbwa
na uchochole wa kutosha. Bintiyuyu huyu alikuwa na dadawawili. Jina la
kidosho huyu lilikuwa Chastarehe, wenziwe Shida na Shada.
______ Madhali hawakuwa na njenje za kulipia karo, iliwalazimu ja ibada kupata
elimu yao kutoka kwa welediwa kazi walizotamani, Chastarehe hakwenda,
kwa mahuluki yeyote kupata masomo juu ya gange yake. Hii nimaadamu amali
yake Ilikuwa ya fedheha. Alipokuwabado mbichi alianza kuuza mwiliwake ili
kupata ngwenje.Alidhani alimshinda sungura kwa ujanja.
______ Wenzi wakeShida na Shada waliandamana hadi kwamuyguzi
aliyekuwemo mle kayani. Wakamwomba awafunze amali ili nao wangalimfuzia
kazi zake za chengoni hadi wazielewe.
______ Siku nenda siku rudi, wiliondoka kwenda' shuleni1.Wavyele wao walimaizi
kuwa, wanawao wote wamekwenda kusoma. Laiti wangaling'amua kuwa mmoja
alikwenda kaziniwala si shuleni. Chastarehe alikuwa stadi tayariwagange
yake naaliistarehekea.Alikuwa na raha akijua kuwa raha haina karaha. Hela
alizopata, alipiga maji nazo hadi zikaribie kuisha.KuntuZilizobaki, alinunua
kihodana.Majiyakizidfunga kuavya mimbasi tisho.
______ Baada ya miaka mitatu, Shida na Shada walikuwambujiwa uuguzi.Sasa
walikuwa na miaka arbatashara. Chastarehe alikuwa namiaka spbatashara.
Shida na Shada waliwaambia wazazi kwani walikuwa na wana wqo wa kutunza.
Chastarehe alitegemea usaidizikutoka kwa wasamaria wema. Alipokuwa
mzee na bila nguvu zozote, kila mahuluki alimwasi. Alichinjang'ombe,hirinzi
na hayawani wote waliokuwamahari.Aliuza ngozi alizochuna na wanyama wao.
Fulusi zile zilimsaidia kidogo tu.
Dirhamu zilipokaribia kuisha alinunua dawa nyingi na kuzinywa ili
ajiue. Kwa sudi,dada zake walikuja kumsalimia.Walimkuta katika hali mbi:
Wakampa huduma ya kwanza chapu chopu. Alitapika zile dawa zote.
Aliletewamchuzi ili apate nguvu kidogo.Ugonjwauliathiri afyayake
pakubwa.
Baada ya siku chache, dada zake walirudina kumpeleka sehemu
ambayo wazee wasio na wa kuwakimuhutunzwa. Chastarehealiishi aushi ya
mwambo mkuu daima.Alijutamno.Waima," majuto ni mjukuu na huja
baadaye.Sasa natumaini kuwa mtakubaliana nami ya kwamba tamatihuja
uzeeni."
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
■ i
022 - TATIZO NYERI
Nilipowasili katikauga wa kuhutubia,Rila insf alikuwachonjoTMafcofiyalipigwana uwanja kukanyagwo. WinguTagHubariTiIioneRciriahevvaniungecfFiarirtumo ghazini. Nilipotika jukwaani,kelelezote zikafifianikakaribishwa namdogo wangu yaaniChifu -msaidiziBwana Mambo
Basi,nikaianza hotuba yangu, 'HamjambojWdnancFTi?MatumamT nyotemkosalama.Mimi hapasina neno lolote.Leohnninafuraha bTnburaHa1<ukutana nyinyiwanakitongojiwenzangu. Mimi nikiwachifuwenu, bila shaka nina mengiya kuamba walakininitazungumzia tuwala nyeti linalotupashida'Humu kayanimwetu."
3hangwe na nderemo ziTisikil<a kish<tkila mjdakayategalnasikioyake nakutulia tulii kama majimtunginikisha nikaendeTea,”TOmwetu ni kuhusu mazingara. Kwanza, mazingarayetuni yapi?Mazingara yetuni vitu vyote vilivyo karibu nasisi, vyema au yibaya! Kwa mfano,maziwaTmabwawa, mapango na chemichemi za maji.
Vofaakuvitunza vitu hivi vyote. Inatubidrpia kuviangalia l<wjakinTrbriahivyo, sisi ndio tutakaosononeka" Adinasi wotewaliteremea.
Nikalinadhifisha ko lililonikketa na kuendelea, "Kwanza tutaanza namisitu. Inafaa kuitunza misttu hii kwani bila misitu hatuwezikupata mvua yakutosha na tutakabiliwa na tatizo jingine lammomonyoko wa udongo. Bila shaka7bila udongo, hatuwezi kupata mlo. Kwa hivyo, misitu ni muhimu sana aushinimwetu, yafaa tuihifadhi.
"Njiamojawapo ya kuihifadhimisitu ni kwa kutoikata miti hplela. MitThutumika kwa kuvuta mvua na tukiikata, matokeo ni kamayfele niliyoyasemahapo awali. Miti pia hutumika kama taa hasa vijinga. Badala ya kutumia miti,tunaweza kutumia matuta ya taa ili tusiimalize misituyetu hakika inaf aakuwekefwalinziwa msitu ili miti isikatwe shelgbela! “
Maziwa pia ni sehemu ya mazingarayetuTTWdzTwaTTuTupmaj]na pia ndiyomazingira yanayowaweka nswi. Bila maji hatuwezikuisHFvyeffrmazingara yawe taibu. Hali kadhalika bila nswi,hatutapatamnoTul" Mahul<uk]isufuf u wakaangua kichekohukuwakiamba kuwa hi kweli" "T
Kishanikaendelea, "Pasi na kuondoaRumbukumbu, hayawanrpia wamo katika’mazingira yetu. Wanyama wamwituniwanafiJa kutuhzwefzaidikwaniKutletecTnchi yetu ngwenje za kigeni. Wanyama wanyumbdhutusaidiakatikaaushi yetu ya kila leo. r
Sina mengi ya kuamba kwanimengin6 tllfaongea sikunyingine, fauka yahayo wabobeajiwa KiswahiliwalrJenga,”cheka ubakizeyal<ehayo, yafaa tuwaze tunavyofanza mambo. Kutoka kwangu nf kwaheriya kuondna!"
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Hakiza mtoto" Hamjambo wageniwote nawatoto wenzangu. Mimi ni mtoto wa umri
wa miaka kumina miwili, nanimetoka baraniAfrika,bara ambalo wengi
husema bado Ii gizani.Katika bara laAfrika na halkadhalikamataifdmengine
katika ulimwengu wa tatu, watotohupitiamagumu yasiyosemeka wala
kuandikika. Ni jukumu la walimmengu wote, hususan kutokamataifa ya
magharibi, kusikia kilio chetu na kutunusuru la sivyo,hakutakuwa na viongozi
wa kesho katika mataifa ya ulimwengu wa tatu.
Katika mataifa ya ulimwengu wa tatu, watoto hunyimwa haki zao kwa
njia nyingi. Kwanza asilimia kubwa ya watotowa ulimwengu huuhunyimwa
haki ya masomo. Wengihgwapati nafasiya kuona paa la shule. Jambo hili
hutokana na mambo mengi kama vile umaskini, upuuzaji na hata matatizo ya
jamiikama vile vita,yafaa ulimwengu uzinduke ujue kwamba, mtoto
anaponyimwa elimu bila shaka amenyimwa nafasi na hakiya kuwa na maisha
mema ya siku za usoni. Tutawezaje kufaulumnamo siku za usoni ilhali
wanaotunyima elimu hiyo ndio wao hao wanaosema elimu ni uf unguo wa maisha
mema? Kumnyima mtoto elimu ni sawa na kumtumbukiza katika lindi la
umasikiniwa milele.
Katika mataifa mengi ya ulimwengu wa tatu, mtoto hunyimwa hata
haki ygkuwg na afya.Ni jambo la kuhuzunisha kuona kuwa serikali na pia
wazazi hupuuza au hata hushindwa kuwapa watotomatibabu.Huu ni unyama
uliopita kiasi.Kwaninimtu aamue kutomchanja mtoto kumkingia ndwele?
Ni lazima wgtoto wapewe hgki zgo zg kupgtgmgtibgbu borg na ya kutosha.
Ni katika bara laAfrika ambapo watoto wasichana hugeuzwa kuwa
wazazi. Maelfu ya watoto wasichana wamenyimwauhuru wao. Wamejipata
wakiozwa kwa wazee waumri sawa na ule wa babu zao. Iwapo kuna sehemu
ambapo binadamu ameonyesha uhayawanina uhuja wake, basi ni hapa. Hebu
. fikiria mtoto wa umri wa miaka kumi na miwilii akilazimishwa kuwa mke wg
mzee wa umriwa miaka sabini.Kweli duniani kuna watu na mijitu.Ole wako
mtoto msichana katika bara lililo gizani la Af rika. Kitambo mtoto huyo aozwe
kwa mzee wa umri tawili, lazima atapashwa tohara.Mshukuru Munguwakfr
ewe mtoto msichana iwapo utanusurika tohara hiyo salama salimini.Wenzako
wengine wameelekea jongomeo baada ya kuvuja damuSitaji wale hujipata
wakiambtikizwa UKIMWI. Huu ni unyama ambao kamwe haustahili kokote
kule duniani. Iwapo hizo ndizo mfla afadhali niitwemkosa mila.
Mateso yawatoto wa Afrika hayakomi hapo. La hasha watoto wengi
wamejipata katika ajira za kila aina. Baadhi ya watoto hao hufanya kazi ili
wapate riziki yao ya kila siku. Hata hivyo,malipo ya ajira hizoni ya chini
zaidi. Si ajabu kusikia mtoto akilipwa dola mojaya Marekanikwamwezi
mmoja na wengine hulazimishwa kufanya kazikama vile ujakazi ilhali watu
wa aila zao ndio wapataomshahara.Si huo ni ugandamazaji! Nchi ambazo
zina vita watoto wavulana hulazimishwa kuwa wanamgambo au wachukuzi
huko vitani.Wasichaha nao hulazimishwa kuwahudumia wanamgambo kwa
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
njia moja hadi nyingine. Wengine wawasichana hao baadayehuaqa dunia
kutoka na uwele wa UKIMWI.
Iwapo mtoto mwafrika ataepuka hayo, hataepukamabwanyenye
watakaomtumia katika ulanquzi wa dawa za kulevya na kuavya. Mtoto huyo
ataajiriwa kupeleka dawa hizo kutoka eneo moja hadi jinqine. Iwapo
atgnaswa na askari, hanawa kumsaidia.Aidha kuna mabwanyenye wengine
ambaohuelekezanyavu zao kwa watoto wasichana. Huwaajiriwasichana
hao katika madanquro wanapowahudumia wateja wao wa kiume. Waama
watoto hawa wamekuwa kama mshumaa wanawahudumia wengine ilhali wao
wanajimaliza.
Ni dhahiri kuwa mtoto mwafrika amenyimwa haki zake. Badala ya
kupewa haki yeye hupewadhuluma. Ni watoto wangapihuteseka kimya kimya
mikononi mwa wazazi na jamaa zao? Wengine wameteswa kimapenzi.Yaani
wanana.iisiwa na wazazi,ndugu, wajomba,> nikitaja tu wachache.
Wanapothubutu kufichuasiri,wao hutishwa na hata kuuawa.Ole wako mtoto
mwafrika.
Ukizaliwa ukiwa na kilema Afrika, mshukuru Munguwako iwapo
utasherehekeasikuyako ya kuzaliwa mara tano Wenqiwa watoto walemavu
Afrika huteswa na hutenqwa na jamii zao. Bado watu wengi-Afrika
wanaoqelea katika bahari la upuuzaji.Mtoto mlemavu huchukuliwa kuwa
aliyelaaniwa.Asipouawa, atateswa na kunyimwa haki zake. Wengine hata
hunyimwa haki zao za utengamano.Hawa wanafungiwa.vyumbanikucho
kutwa.
Ni matumainiyangu kuwa walimwengu wastaarabu wataungana
kumwokoa mtoto mwafrika. Asantenikwa kunisikiliza na mzidikumwombaa
mtoto mwafrika.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
_______Nitiraukache baada ya kikwara wakwanza kuwika.Kutokana na baridiya baf u, nilikoga kwa majiyaliyokanzwa.Nilijikwatua kwatu.kwatu lau kipusa.Mwia kiduchu nilikuwa mezani kupata sebeho. Baadaya kushtaki njaa bukrataile, nilikuwa tayafi katika safari ndefu yamashamoani. Nilifungua nyumbana kapiga misamba:-------—Upeoniwa ozinilrwezakuoncrstani. Nyuni walipurukapuraka kwa furahanamikogoyote kwa kutolea Mola shukraniKwa siku njema. Uso wangu uling'aa- kwa furaha.NWiongeza mwendo-Hi nifike haraka kwani nilikuwana hamuna
hamu. Matwana-mosi iliwasili.Wtija walishonana-mle-faadi nikabadili niayai|«;nfiriWnsnnmfnpinyinginp. ilifiknkitunni Mti7ikinlintnknmlp.ndnni
ulinivutia kwenda humo ndani. Ilikuwaimejaasisisi. Nilitafutanaf.osi.na.kusimama kwani nilihofia kungojakikonzo na nisipate gari lingine. Pindi utingoalipopakiamiziqo alidandia na tukanq'oa nanga.
Tulikuwa tumebanana kweli kweli na hatukuonakama ni hoja kwanimuzikiambao kwa sasa ulidunda laumilipuko huko Baghdad, ulituteka bakunja.Abiriawaliongea kwa sauti ya juumadhali.Kelele zilikuwemo mle. Kwa nje, ungedhanini wakristo waHojazibikakwa wingi wa roho mtakatifu______ Mara tu/tulipokuwa tukimtolea utingo nauli, vishindoyilikithirikwawaliokuwa mbefehuku wengine-wakipiga nyendeNilitulia tulinikijiambia,w
Kuna jambo, ukisikia mbiu ya mgambo, si bwerere." Nilipopata nafasi, nilionajilorimbele yetu likiyunfbayumba barasteni. Ajabu nikuwa halikulengabarabara ila Iilienda upande huu na ule. Kasinayo ilitufanya tUone kamajinamizi.Do! Kumbe si ndoto!
Dereva alijaribu juu chini kutamalakiusukani lakini wapi?Gari letulilikwepajilori na kupeuka dafrao.Yakini, kutokanana kule kuyumba,tulilewatewana gari likabingirika mara kadha. Kipindi cha kimya kikuu kilifika.
Mizigo ilizagaa kwenyetariki. Vigaevya vyoo vililemba lami iliyokuwanyeusi tititi.Ngeu yajnajeruhi ilipakaa kote.Baada ya kurudiwa na fahamu,niliona jilori ngambo nyingine. Mwia kidogo, waja walianza kuguna," MguiTwangu!meno yangu! mwana wangu pekee! Mama! Nihurumie, tafadhali!Ubongoumetoka, nisaidieP_______Haya yote yangemchekesha yeyote ingawa ajalini. Kweli, ajali naingejali....... kama sadfa, magari ya polisi yaliwasiii. Sikusita kububujikwa namachozi nilipoona sehemu tupu kamamiguu ikitiwa garini. Kwanza, nikiwa; mlemlenimebanwa baina ya kiti na bodi,nilinyoshamkono nihisi kama mguuniWangu.Abwej/Miundi ilikuwa imevunjika na kulemaza mikono.L
Jambo Id mwisho kuona ni manusura wakipakiwa kwenye ambulensi.Maitizilibebwa katika gari tofauti. Nilipotiwa kwenye gari jingine, nilizirai na kuyaafoo._______Nilizinduka na kujikuta kwenye wadi. Wahazigiwalikuwa na kibarua.Walikuwagangeniusiku kucha. Nilipotuma macho upande huu na ule, nilijiona,,mwenye bahati kama mtende. Wengi waliendajongomeo.Vioja vinginenilivyoviona havielezeki.Yote ni yaRabana. Ingawa ajali haijali, Jalali anatujali.Yakija yake tuyapokee. Wahenga hawakutuvisha kilemba cha ukokawalipolonga kuntu," ajali haina kinga wala kafara
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Mengi yamesemwa kuhusu maisha ya mashambani na yale ya mjini. Mimi
nitayasifu maisha ya mashambani kwani nimeishihuko kwa miaka na mikaka.
Chambilecho wahenga, kila mchukuzihuusifumzigowe
______ Maishaya mashambani ni afadhali ukiyamithUisha na yale ya mjini.
Tukipigadarubiniupande wa mazingira ni bayana kuwa hali ya usafiwa
mazingira mashambani ni ya kuridhisha.Mashambani kuna hewa saf i kwani
hakuna magari na viwanda vingivinavyochaf ua hewa yetu. Jambo hili huchangia
sana katika ile hali ya kudumisha siha za wakaziwa mashambani.
Aidha ni nadra na adimu kama barafu ya kukaanga huko mashambani
kuyaona mabiwi ya takataka yamezagaa kila mahali. Hata hivyo, hilo ni jambo
la kawaida mijinimwetu. Hilo nalo lina athari zake. Maradhikama vile homa
na kipindupindu huzuka kila kukicha.
______ Msongamano na msombano wa watu na magari ni jambo jingine ambalo
husababisha niyachukie maisha ya mjini. Watu ni wengi kupita kiasi na wakati
mrefuhupotezwa wakati wa kutembea kutokana na uhaba wa nafasi. Ni vigumu
sana kuchapa miguu haraka kutokamaeneo fulani ya miji kutokana na
msongamanowa watu. Upande wa magari nivivyo-foivyo. Magari yamekuwa
chungu nzima katika barabara za mjini. Watu hupoteza wakati wao kutoKpna
na msongamano huo. Ukienda mashambani mambo ni kinyume kabisa, watu si
wengi vile na hata magarihayasongamani sana.
Pguka ya hayo, msongamano ulio mjini husababisha ketele za kila aina.
Kunawatu wanaopiga kelele, magari yanayopiga honina karakanani
kunakogongagongwa.Kelele hizo huathiri hizo afya za watu kwa njia moja au
nyingine. Ukienda mashambani, mambo ni shwari.Yaleutakayosikia huko ni
sauti za nyuni, miroromo ya ng'ombe, jogoo wakiwika na koo kutetea.Waama
maisha mashambani niya kupendeza
Chakula tulacho hukuzwa mashambani. Utaona ya kuwa aghalabu chakula
tulachohuko mashambani hutoka shambani mojakwa moja. Mathalanini
mboga. Ukiangalia chakula kiuzwacho chetenihuko mijini, mara nyingi huwa
kimekaa kwa siku mbili au tatu tangu kilipotolewa shambani. Bila shaka si
kizuri kama kite cha shambani. Kumbuka chakula ambacho hakijakaa sana
husaidia katika kudumisha siha zetu.
Ukosefu wa maadili ni jambo jingine ambalo hunisababisha kuyachukia
maisha ya mijini. Mingi ya miji yetu imejaa watu wasio na tabia mwafaka.
Uhalifu pia umekita mizizi mijini mwetu. Wiziwakila aina ni rmyingi, ukahaba,
utumiaji wamihadarati, ukosefu wa heshima namaovu mengineyo. Ingawa
hata mashambani kuna uhalifu na uovu mwingine wa kijamii,kiwango chake ni
cha chini ukilinganisha na cha mijini. Visababu vingi vimetolewa kueleza
msongamano katika makazj kama vile mitaaya mabanda.Vilevile, ukosefu wa
ajira huchangiasana kueneg kwa uhalifu.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
26 - Heri Maisha ya Mashambani
/Aidha mijini hakuna undugu. Watu wa mijini hawathaminiunduguau
ujirani. Ni jambo la kawaida kupanga nyumba mijini kwamuongo mzima
pasipo kujua jirani yako. Je,mtu kama huyoakipatwa na jangaatamkimbilia
nani?Mbona haetewiheri jiranikuliko ndugu wa mbali! Huko mashambani
mambo ni tofauti kabisa. Watu mashambani huuthaminiujirani. Mtu
akumbwapo na janqa, jirani zake humsaidia lakini mjini unaweza kufa njaa
ilhali jirani anavitupavyakula jaani.
Ni bayana kwamba maisha ya mashambani niquia kuliko ya mijini.
Ninatoawasia kwa waleambao wamezamia lulu mijini bila lolote la maana
kuelekea mashambani. Huko watakuwa na maishamapya ya amani, furaha
na tumaini.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
v-t
F
27 - Majuto ni Mjukuu Mwishowe Huja Kinyume
Mamaalikuwa akinisihinisiandamame na watoto wabaya. Hata hivyoniliyapuuza mawaidhayake. Niliyatia masikio yangu komanqo nc nikawa silikiwala kutafunika. LicHaya juhudi za ninangu mpenzi kunishauri na kuniwosia,nilijifanyasikio la kufa lisilosikia dawa wala kafara.Nilizidi kuandamana nawasena wangu ambao walikuwa mikiq ya mbuzi. Walikuwa na ndimichafu nahawakumheshimu yeyote yule. Labda walisahau kuwa heshima si utumwa.Ukweli wa mambo ni kuwamwanzoni sikuwa na tabia mbaya. Hata hivyo,baada ya muda niliwalanda wenzangu shilinqi kwa ya pili. Bila shakakiholewachohupata.
Maskini nina yangu hakufa moyo bali alizidikunipa nasaha./Uizinqatiaj kuwa papo kwa papo kamba hukata jiwe na uwahiudongo ungalimaji.■ Hakuweka kiboko chini kwani alielewa kuwa zunquo la mtukutu ni ufitO:
Nilizitemea mate nasaha zake zote hukunikisahau kuwa kuishikwinginikuona mengi. Nilisahau kuwa mamangu alikuwa ameyaona mengi na bila shakaananielekeza kulikokuwa na mema kwani jungu kuuhalikosi ukoko!
, | Niliyainqilia mambo ya anasa kwa uroho wa uchu wa fisi.Nilisahaukwamba anasa hunasa na raha ikizidihuletakaraha. Nilizidi kudidimia
masomoni na hata nikawa nikishika mkia katika mitihani.Walimu wanguwalijaribu kunionya na kunikumbusha kwamba mwangata mbilimoja humponyoka. Juhudi zao zote ziliambulia patupu na baadhi yaowakaniacha
huku wakisema kuwa cha kuoza hakina ubani. _______________________________ _________________________ Uchungu wa mwana aujuaye nimzazi.Mama yangu hakusalimu amri.
Aliqeuka na kuwa simba kwani alielewa fika kwamba mchelea mwana kulia,hulia mwenyewe. Mambo yalipozidikuwa maqumu pale kiamboni,masahibuwangu waltnishauri tutorokeemiini kwani nyumbani kulikuwa kumeqeuka kuwa shimo la mateso.
Nilijifanya maji kufuata mkondp na tukanq'oa nanga■ kuelekea m.jini.Lo!Kumbe tulikuwa tumetoka kufiwako kwenda kuliwako.nyamalAAamboyalizidi kuwa mawe hukomjini. Kulala na kushinda n jaayakawa
ni mambo ya kawaida kwetu. Ushikwapo shikamana. Tuliamua kuwa mapwaguangalau tu jipatie riziki ya kila siku.________________________ ____ __ ___ ______________________
________ Baadaya mwia fulani, tulikuwa tumehitimu na kuwa wachopozi hodaripale mjini.Nqomaikipiqwa sana hupasuka.Tulitiwambaronina siku zetuarobaini zikawa zimetimia.Ni bayana kuwa mponda hilahuvuna ufukara nanjia ya mwonqo ni fupi. Tulipiqwa kitutu nusura tukatiwe tikiti ya kwendajonqomeo. Mimi mwenyewe nilinq'olewa meno sita, nikavunjwa mkono nokujeruhiwa.jichomo.ja.Wale raia waliotupiqa hawakushuqhulika kutupelekai kituonimwa polisi.Walizinqatia kuwa tayariwalikuwa wametupatia funzoletu. ___________________________________________________________________________________
- I _______ Sikuwa na jingine ila kuabiri gari la kuelekea kwetu mashambani huku?nikiwa na majuto ya firauni.Si wahenga walinena nq'ombe akivunjikaquu'malishonihujikokota hadi zizini? Nilifika kwetu huku nikilia kama mbuzikutokana na maumivu na majuto. Kwa kweli, nilikuwa nimekumbana na f imboi7ya ulimwengu. Maskini nina yangu aliponiona haku jizuia kulia. NilimwombaP ’msamaha na kumwahidikutokuwa sikio la kufa. Waama asiyefunzwa nap- mamaye hufunzwa na ulimwengu na asiyesikia la mkuuhuVun jikaquu. ’
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
28 - Siku za mwizi ni Arobain7
______Tulipowasili kwao huyo sahibu wangu Juma, wavyele wake walinilakikwa
mikono miwili. Wakanipatia kiti nikakaa. Juma akaanza kuukanda unga huo
kisha akawakisha nari.Nilifurahighaya nilipoona wakinishughulikia. _________________________________
Alikwisha fanya hivyo gange yote na akaniletea yalemaandazipamo.ja
na chainikala na kunywa. Ilipofika sagkumi na mbili saaza .jioni rafiki huyo
wangu aliniogofya aliponiambia kwamba,"Ukienda nyumbani saahiziutapata
ma.jambazi wakupige krtutu." Kwa sababu nilikuwa kunguru nilisalimu amri.
Ilipotimia saa nne za usiku, huyo sababu kumbe alikuwa amepanqa kuwa twende
tukarbe baitinimwa mzee mmo.ja. Aliponiambia mara ya kwanza nilikataa
katakata.Kisha akaniambia kwamba .jifya mo.ja haliin.jiki chungu, wahenga na
wahenguziwalimaka bila kutupaka mafuta kwenye tako la chupa. Nllimwonya
sana lakini haonyeki. Nikamwambia kwamba tamaa mbele mauti nyuma lakini
hakusikia la mwadhini wala lamteka ma.jimsikitini.
______Kwasababu tulikuwa karibu kulala akaamka bila kupoteza hatasekunde
akaniachakitandani.Nilimfuata polepole kwani polepolendio mwendo.
Tulipowasili karibu na nyumba ya mzee huyo Jumbiri huyo akaparaga .juu ya
ghala lamahindi.Akatoa maquniamatatu bila kumaizi atabeba.je. Nilitoa moja
naye akatoa ingine tukaanza mwendo. _________________________
______Tulif ikisha nyumbani mwake halafu akaniacha huko akaenda kuchukua
ile nyingine iliyobaki. Siku za mwizi ni arobainiwazee wa falsafa walilonga
bila kutuchana nywele kwa mifupa ya samaki.Alikamatwa na firimbi ikapigwa
nami nikashtuka kwnai mbiu ya ngamboinapolia ina .jambo.
______Mwenyewe alimshikwa kwa nguvu na kuanza kupiga firimbi. Mtego wa
panya huingia waliomo na wasiokuwamo.Alieleza mambo mengi aliyochonga
yeye mwenyewe. Dugla kuku halimpatimwewe. Aliendelea kueleza kwamba
wamsamehe lakiniwapi? -
Aliwaombia kuwa tulikuwana yeye wakamwambia kuwa asiyekuwepo na lake
hqlipo. Ndipo alimaizi kuwa majuto nim.jukuu mwisho huja kinyume.________________________________
Niljshangaa nisiweze kuamini kuwa nilikuwa nimeepukana na hatari hiyo. Moyoni
nilimshukuru mungu kwa kuniokoa.
Chambifecho wahenga Mungu Mwenyezihawezi kumsahau mja wake. Siku
yenyewe naikumbuka bara bara. Ilikuwa siku ya Jumamosi.Nilikuwa nyumbani
peke yangu Wavyele wangu walikuwa wamesafiri kwa m.jombangu.Kwa wakati
ule sikuwa na dada wala kaka.
USIKU WA KUTISHANilikuwa ni mimi -kifungua mimba na kitinda mimba. Wavyele wangu
waljiniahidikurudibaada ya wikimo.ja kuisha. Siku.jali sana kwani wazee wa
kalewalikuli kuwa mwenda tezina omo mare.jeo ni ngamani. Nilikuwa nikiachwa
humo nyumbani peke yangu kama mtoto yatima.
..SJ|tfTjilQ.nQpema mama yangu aliamka na kutayarisha kiamsha kinywa.
Aliniamshaili himsaidie kujitayarisha.Mimi sikuupa kisogo wito wake. Nfliitikia
harakana kutoka kitandani. Nilimsaidia na kabla ya saa mo.ja kufika,wote
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
wawili walikuwa safarini.Safari yao ilikuwa ya kuvuka mitona ziwa. Lakini
panapo nia pananjia.
Niliwapa mkono wa buriani.Nilirudimakeo nikiwa ninajiruhumia sana
moyoni. Siku hiyo nilikuwa natarajia ardhi ipasuke na kunimeza kwani sikuwa
na furaha. Ilipofika wakati wa jioni niliwafungiamifugo wote na nikaanza
kutayarisha kijio.
Nilitayarisha wali na kitoweo haraka haraka.Chakula kilipokuwa tayari
nilikipeleka sebulenina kukiandaa mezarti. Nilipoiwasha taa sikuweza kula
hata kidogo. Nilikiacha chakula na kwenda kulala.Nilikuwa ninatetemeka
na kusht.uka bure bilashi.
Nilijawa na woga mwingi kwani nilikuwa ninadhania kuwa kuna binadamu
anayenichungulia. Nilikuwa na woga kama kunguru.Nilijibwagd kitandani
mwangu na nikaamua moyoni liwalo liwe.Nilijaribu kusahau lakini wapi.
Hapo kitandani nililala usingizi si wa pono, si wa mang'amu ng'amu.
Yaani kusema ukweli sikuweza kupata hata lepe la usingizi. Nilikuwa
ninataraji kuona asubuhi lakini wapi kuangalia saa yangu ilikuwa ni saa tano
usiku.
Mara
wazama hawakwenda segenege ja soksiya kiwete walipopasuambarika ya
kwamba Iisemwalo lipo au laja.Sauti hiyo ikaamrisha niufungue mlango.
Nilikondoa macho yangu niweze kuona kinachoendelea lakini wapi!Hfdko
nilikuwa nikitafutapaka mweusigizani. Nilipokutyaninatoka kitandani
nilishangaa kuona kitu kama fuvu la mtu. Mara aliru3habakora na kunipiga
mkono wangu wa kulia.
Niliteremka polepole na kuichukua shime yangu. Hapo nilimfyatua
kichwanina kuanguka chini kwa kishindo. Saa hiyo ni Iiupata wasaa wa
kumwumiza. Ingawa alikuwa katika hali mchututi nilimwongezea viboko.
Hapo nilikuwa nimeshtuka kwani sikujua alikuwa peke yake au ilikuwa
genge.Chambilecho wahenga, kidole kimoja hakivunji chawa. fA'ara kikosi
cha polisi kiliwasili na kumbeba hobela hobela. Ndiponilishangaanisiweze
kuamini kuwanilikuwa nimeepukahatari hiyo. Moyoninilimshukuru Mungu
nikasikia sauti ya binadamu. Sikuamini macho yaligu. Wahenga
kwa kuniokoa.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
029 - Siku ambayo Sitaisahau
Walimu wa shule yetu walipanqa siku mo.ja ili wanafunziwaliopata alama
.juuyamia nne katika mtihani wa kitaifa wapewe tuzo.Mimi nilikuwa
mmo.ja wao. Nilikuwa na alama mia nne themanini na mbili katika mtihani
huo.
Siku yenyeweilipowadiani Ii j ipamba ni kapambi ka. Ni I ivaa mavgzi yangu
yaani sare ya shule yaliyokuwa yamepigwapasi. Wanafunzi wote waliokuwa
.wa darftsa hilo waling'ara kama mwezi.Kutetayakini,hatukupqtoalama
hizo kwa urahisi bali tulisoma kwa bidii ya mchwa kwani tulifahamu kuwa
'Wahenpa hawakutupaka mafuta kwa mgongo wo chupq walipotafakari"
mtakacha mvunquni ni sharti ai'name."
Mwendo wgsaa sita adhuhuri,mgeni wa heshimaaliyekuwo mkuu wa elimu
katika wilaya yetu aliwasili.Wanafunzi wote wali.iawa na furaha mpwito.
Mkuu huyo alikuwa mwenye tumbo kama kiriba nomweusi pipipi.Yeye
alikuwa na uparamkubwa.Walimu na wazazi wdlimkaribisha kwa shanqwe
nanderemo.
Baadaye, tuliketi chini na kumpiqia Rabuka dugkwaniw mwomba Mungu si
mtovu."Kisha mwalimu mkuu alianzakusema,"Nitawaitawaliopatamaki
juuygmia nne."Aliendelea,"Aliyekuwa .juu zaidi anamaki mia nne
themanini na mbili." Niliposikia kuwa ni mimi nilionqoza, sikuamini macho
yangu. Macno yglinipesapesa namatumbo kunichezachezo. Nilipiga milundi
hadi kwenye .jukwaa. Nilipatiwa zawadi ya vitabu kumi na viwilt, kalamu ya
risasina kalamu ya wino.Wanafunzi wglionifuata waliitwawote kwa
pomo.ja na kutuzwa kiJa mmo.jq.Baadaye, mgeni wa heshima alisimama.
Alianzia hivi,”Hamjambo nyote. Sababu ya ku.ja hapa, ni kushuhudia
wgngfunzi waliokuwanambarimo.ja katikawilayahii." Watu wote
walishangilia.
Fauka ya hayo; alisema,"Sasanaona mna.jug" mtu huvuna alichopanda."
Wgngfunzi hawa wamevuna walichokipanda kutoka darasa la kwanza hadi
langne.Hgpo mwgkgniwgtg.jiungg ng kidoto chg kwgnzg katika shuleza
upili. Walimuwashule hii naonawali.iaribu .juu chini ili wanafunzi waupite
mtihani huo".
Aliendelegng kusema."Sasa wanafunzimtakaoingia darasa lanane,
inawapasamtie bidii kwani mwa.iua,"mcheza kwao hutuzwa". Sisi sote
tunatakamvun je rekodi ambayoimeachwa na wanafunzi hawa.Nyinyi
wanafunzi ambaomnakwenda katika shule za upili, idumisheni adabunamuendelee kusoma4<wa bidii."
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
030 - Siku ambayo Sitaisahau
______ Nilipozinduka nilijikuta nimelala chini ya mti katikati ya msitu uliojaawanyama wa kila aina.Sikuwa na .jingine ila tukuanza kuwatazama wanyamawaliokuwa wamenizinqira mmoja hadi mwingine. Baridi nayo ilfl$jwa ikuvuma 'V.vizuri ungedhani ni msalaringa uliokuwaumeonqezwa kwenye pilau na kuufanya \uwe mtamu zaidi. Nayo siku ilikuwa niemohuku ndeqe wakiimba kwa sautizaonbroro za mwewe Na malaika woKtungia mashairi na nyimbo zakumttiftuzaJalali Miterezi kwa macheohayo mema. Kwa kweli siku njema+nKmfetonamafungutidbakari.
IKkuwa ni pilka -pilka zahapo janomachweo za kuchiinqokondoo waabuyangu ni I ipo jikutonimejitosa kwenyebohari la usingizi wapono.
Wanyama hao kama vile thui. simba no fembo waliufanya mtima wangukudunda du!du!du! ja magoma ya chakacha. Basi mmo.ja wao aliyekaa kamatumbirf lakini ni bonge tomtualijitokeza ili tuanze kupambona kufa kupona.Nilishikwa na bumbuazi kwani tangu I ini mnyama akaongeona wenzake.Niliiftyga kibwebwe na tukaanza kurushkwva makonde gmkali nadude hilo.
bnvuu,pqndikizihilo la mii lilinikaba koo uflqedhani tukoukimrronikatika jumba la mieleka. Nilijlkaza kisabuni kuona kwambaIfmeniocha lakini sikufuadafu kwani rai zangu zilikuwachache mithili yamduckf mdogoanayeishi mchanganK Mara HBnitupa chini pui tilitttamagegoyake ili linimeze.Mpango wao ulianguka kwenye ziwa la chukuliwa nachechelenilipolipigakwa jiwekubwalenye uzito wa chungu furiko na likaanguka chinikachl r _________
Nilitakakupiga mbio lakini mambo yalikuwa yameniendegseqemnegekwani lilinitega nanika.jikuta kwenye bahariya damu kwani kichwa chanqukilikuwa kimechubukangozi. _______________________________Mara ya thenuni, lilinikaba koo tena hata nisiweze kupumua ila tu
kulikondolea macho ja aliyekuwa anapeana mkono wamarahaba.Sikuwa najingine ila tu kupiga Simu kwa mahuluki waliokuwa wamenitanqulia kwqmatilaba mahasusiya kuwqjulishakuwa mie yu barasteninaja kwa moyomkunjufu na wanikaribishe kwa mikono thenun.
Hapo ndipo liliamua kwenda kunifanyakitoweo kwa kunitupa kwenyeshante yake na kwa mwendo wadalji dalji namadahiro lilianza mwendokuelekea kwake manyumbani. ____________________ ...
Lilitembeaguumosi guupili kwa mwendowa aste astehuku mimi nikishikatama na kuanza kuwaza na kuwazua.jinsi ya kulihepabonge hilo la mtu,,HatahivyoRabukaSiAthumani.______ Defa tu kwa sauti ya huzunina huruma niliomba liniruhusu niendeuani
kwa angaa dakika wahedihivi. Liliniruhusu na mara nikachukua pijo nambarimguu niponye na kutokomea losho.Lili.jaribu kunifuata lakini wapi kwaninilipiga mbio ungedhani ni paa aliyekuwa amebumburushwa au ni mbio katikamichezo ya Jumuiya yaMadola.______ NiJipof ika mastakimuni,nilipigamirundihadi chumba changu cha kulala
na baada ya kupiga magaoti, nilimpigiaRabana Muterehemea dua n jema lakumshukuru kwa kuokoa hishati yangu na pia jahazi lililokuwa linaelekea
kugonga mwamba na kuzama jii! Kwa kweli Rabii hamtupimja wake.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
031 - Harusi ya Mwaka
Harusi inayozungumziwa hapa ni ile iliyokuwa kati ya Bw. PeterMwangi na Bi Tabitha Mungai. Harusi yenyewe ilifanyiwa katikaKanisa la Kianglikani la Mtakfltifu Mariko katika mtaa waWestlands. Maraf iki na jamaa walianza kumiminika katika uwanjawa kanisa hilo mwendo wa saa tatu asubuhi. Wengine walikuwa niwale wapiga picha wanaojulikana kwa jina maarufu paparazi'. Waphuitwa hivyo kwa sababu hupiga picha bila kuambiwa na baadayehukuuzia.—
Baada ya kusubiri kwa muda si ayami, msafara wa magariulionekana kwa mbali. Hapo ndipo watu walipagawa, wakaruka nawengine kuanguka wakikimbia kuwaona maharusi na wapqmbe wao.Maharusi wakalakiwa kwa shangwe na nderemo. Kasisi mchungajialiwaelekeza kanisani wakaketi.
Mara kasisi akasimama na kuanza kuongttza /badq ya harusi.Waumini, jamaa na marafiki waliimba nyimbo kwa furaha binburaha. Ukaf ika ule wakati ambaokUa mtu aliungojea - kulishanakiapo na kuvishana pete. Kasisi akawaita hapo mbelena kuuliza,"Peter, uko tayari kumpenda Tabitha katika maisha yako yote?"Peter akajibuH Ndio niko tayari". Kasisi QUrudia maneno yaleyalekwa Tabitha naye akajibir vivyo Kivyd. froda ya.hapo watuwalufumukana kuelekea kwenye karamu iliyokuwa imeandaliwa
nyumbani kwa maharusi.
Huko nyumbani kwa maharusi chakula kilikuwa mzo na cha kila
ainati. Nyama za ng'ombe, kuku na mbuzi zilikuwapo. Vinywaji kamavile soda na sharubati, vyakula kama vile wali, ’mukimo', chapatina ugali vilikuwepo. Watu waHkula shibe yao. Hiyo ilikuwa harusiya kufyid zaidi ambayo nilishuhudia. ____________________
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
032- - Insha ya Kumbukumbu
MKUTANO WA WALIMU SHULENI:JULAI2010
WALIOHUDHURIA:1. Bw. Vincent Mutitu -Mwalimu Mkuu
2. Bi. EuniceWanja-Naibu wa Mwalimu Mkuu
3. Bw. James Karanja
4. Bi. Rose Achieng1
5. Bi. Angela Muthoka
6. Bw. Hillary Mwiruri
7. Bi. Mercy Muhia 5......
8. Bw. Robert Ndungu 1
WALIOKOSA KUHUbHURIA1. Bw.John Kinyanjui _______________
2. Bi. Ann Njoki ___________________
WALIOTOA UHURU:__________________________________________1. Bw. Tevin Mulavu -alikuwa safarini" 1 ' ■ ” 1 < — - - - - - - - - - - - - - - - - . . . . . . . . . . . . . . . — . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ■ ■ — - - - - - - - - - - - - - - . . . . j . . . - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - -
2. Bi. Editor Mogore -aliyekuwa mgonjwa. ____________________________________________
AJENDA 1: UOVU WA NIbHAMU SHULENIMkutano ulianza saa 8-00 kamili kwa maombi yaliyotolewa na Bi. Lucy.
Baada ya hayo, mkutano ulianza huku mwalimumkwu akisikitikia hali ya
juu ya utovu wa nidhamu hasa katika madarasa ya sita hadi nane. Visa
vya utovu wa nidhamu vilivyotajwa ni kama vile utumiaji wa dawa za
kulevya, uvutaji sigarana utumiaji wa lugha chafu.Walimu wote
waliaf ikiana kukomesha tabia hii. ,,
AJENDA 2: UZEMBE MIQN6QNI MWA WALIMU ____________________________________Mwalimu mkuu aliwaonya walimu ambao hujikokota wanapoenda darasani.
kuwa watachukuliwa hatua. Kujikokota huko hupoteza wakati wa __________________________________
wanafunzi. Walimu waliaf ikiana kubadili mienendo yao. ___________________________ ; ____________ -
Kwa kutokuwa na hoja nyingine za kujadiliwa,mkutano ulimalizika saa
10:30 jioni. ___________________________________________________>_________________
Mwenyekiti
(Sahihi)
Katibu
(Sahihi)
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
INSHA MUFTI
MTUNGOWAKWANZA 2007
JoyceAcW\eng,Shule ya MsingiUhuru,S.L.P 1187.BuruBuru.Nairobi.14/11/2007
Rafiki mpendwa Pamela,Habari yako? Natumaiya kwamba uko sawana piau mzima mithili yakigongo. Mimi
niko salama salimininaninaendelea vizurina masomo yangu.MathumUni ya kuandika huu waraka ni kukujulia hali nanikuelezea ninavyoendelea
na maisha huku shuleni baada ya kuhama kwako. Chambilecho wahenga,: barua ninusu yakuonana."
Kama nilivyokueleza awali, nataka kukufahamisha ninavyoendelea shuleni kinagaubaga.Jambo la kwanza ambaloningependa ujue ni kwamba tumeletewa mwalimu mgenibaadaya Bw. Otieno kustaafu. Mwalimu huyu anajulikana karrfaBw Macharia.Yeyeni mwalimumpole na mwenye heshima. Waama walisema wahenga, heshima si utumwa. Ni mweusitititimithili yamakaa. Ni mcheshina punde tu anapocheka utapata nafasi ya kuyaonameno yake ambayo ni meupe pepepe, theluji kando.Jambo la pili, niko ha furaha isiyo nakifanikwa sababu mimi ndiye kiranja mkuu wa shulebaadaya walimu kuona tabia zangu njema. Wahenga na wahenguzihawakutuchana nywelekwa mfupa wa ngisi waliponadi ya kwamba chema chajiuza kibaya chajitemebza. Isitoshemcheza kwao hutuzwa.
Jambo la.tatu ni ya kwamba shule yetu imepakwa rangi upya. Tulikuwa tumezoeakuta chafu lakini sasa shule yetuinameremeta metumetu nyota kando.
Wahenga hawakutuvalisha soksi za glasiwaliponadi, "Pasipobudihubidi." Wanafunziwa darasa la nanehawanabudi kutokashuleni sa moja jioni kwaniwadhubaki shuleni kwaminajili ya kufanya masomo ya ziada.
Sind budu kumalizia kwa kusema ya kwamba tunajitahidi sana katika masomo yetuchambilecho wahenga "mvumilivu hula mbivu."
Natumai nawe pia utaniandikia barua hivi karibuni.Nisalimie wavyele wako na pia dada yako.
Ni mimi wako
x.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
MTUN60 WA PHI 20Q7
EuniceKadzo,
Shule ya Msingi yaKahawa,
S.L.P. 10479,Nairobi
14NOV, 2007..
Kwa sahibu mpendwa Rodha,
Natumaiuko buheri wa afya na mzima kama kigongo. Hapa Nairobi wavyele wangupamoja na ndugu zangu wako salamanawanaendelea vizuri. Tangu tulipoachana na wewenimekuwa nikiendelea vizuri na masomo yangu. Nilipelekwa katika shule nyingine ambayoni nzuri zaidi kuliko ile ya kwanza. Najikaza kigabuni na kutia bidii masomoni kama mchwaili mwishowe nivune nalichopianda na kama ujuavyo mtu huvunaanachopanda nami bilashaka nitavuna mazuri.
Mimi huamka asubuhina mapema jjabla jimbihajawika na kuanza masomo yangu.Sifanyi mchezo ambao nilikuwa nafanya hapo await kwa maana, niligundua kuwa dunianihuwezi kufanikiwa bila kutoa josho lako mwenyewe kama walivyosema akina baba etukuwa mtegemeacha nduguye hufa maskini nami sitakrkufa maskini hohe hahe.
Babaalininunulia vitu virigivya kuchezea na isitoshe alinunua tarakilishi ambayomimi huitumia kama m'nasoma. Nilijiungena klabu cha vijana ambacho huwasaidia watuambao hawajiwezina piawalioathiriwa na ugonjwa hatariwa ukimwi. Kna jumasisihuwatembelea na kuwahimiza jinsi ya kuishi na ugonjwa huu.
Wakatimwingi, mimi huenda maktabdnina kupitia vitabukadHEKwakadha kwanimtaka cha mvunguni sharti ainame na wala sio kusimama wima kamaasjffii jela.Nilijaribukuwatafuta maraf iki wengi wa kukaa nao na nilifanikiwakumpatamThoja tu! Lakiniwewendiye rafiki yangu wa chanda na pete,kufa kuzikana na isitoshewazazi wetu wanaishikaribu kama pua na mdomo. . s
Ulemzinga wa nyukiumeendelea na una nyukiwengi na wao hutengeneza asali ambayomimi huuza na kupata ngwenje za kutumia kununulia vituvyangu mbalimbcrfi. Nilikuwcflhafuraha mithili ya taisa aliyeweza kujifunguamapacha mwezi uliopita kwa kiibukanishindi -katika mashindano ya kuimba mashairi. Nilikuwa mwanafunzi bora zaidi katikamkoa wetu.
Mimi kama mmoja.wa vijana nilijiunga namarafikiwenzangu kupingqutuffiiziwamihadarati na ngono kabla ya kufunga ndoa. Tuliandamana pamoja namabangbrijiaRikwajuma moja. Vijana wengi walijitokeza na kutuunga mkono na pia chifu wetu alitupa mkonowa tahania kwa kazi nzuri. SinaVnengiya kusema bali ni kukuhimiza utie bidiimasomo.Natumaini tutaonana hivi karibuni shule zikifungwa na pia uwape wazazi wako mkono waburianipamoja na nduguzo.
Raf ikiyo wa chanda na pete,
Eunice kadzo.Rodha Rehema,S.L.P. 0079.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
KULA KUTAMU, KULIMA MAVUNE:
Kila Jumdmosl mimi hurauka na kudamka alfajiri na mapema.-Wakati huo, mahali pa utusi
utusi panatawaliwa na kutamalakiwa na ucheachea. Kibaridi shaddidi chakufisha panzi
huwa kimezagaa na kuvavagaa. Mwili hinitetema temtemmathalan kifarangachakuku
kilichonyeshewa na mvua kidindia. Mimi hukeng'etwa na kutafunwa tafutafu na bar id i.
Licha ya hayo mimi si mwendaguu, chambacho wavyele ajizi nyumba ya njaa. Achanilkaye
nampini hafinjaa.
Baada ya kujihimu na.kujilawa mapema’hivyo,huanza kubukuamabuku kwa satua na
huluwa. Ninaungojeakuufanyu mtihani wangu na kuttmu na muhitimudarasa la nane hapo
mwisho mwa'-ani. Harakati namikakati ya kudurusu huendelea kwa saa mojamtawalia.
Nia na azma yangini kuukwant)urana kuukokonoa mtihani huo. Zana za vita ni silaha.
Nimejazapiaka langu mishale yenye liga kupambanana nduli huyo.
Shamshi linaponawa uso hucha na kuwakweupe pepepe. Umande naakungu huwa
vimeyeyuka katika hewa yabisi.Meno huyapiga mswaki, huyasukutua na kutema masuo.
Kisha huelekea hamamunikwa radhafazq asubuhi. Hunawa usona kuyaondoa matongo
matongozoni. Huzifagilia mbali keya zilizokita mizizi nguyuni. Naam,huwa sdf i bin nadhifu
hukunikiunukia jaruhani.
Kisebeho huandaliwa mwendo wa saa mbili na ushei. Huo nao-huwa-walti aula
kwani hustarehe"na kusabarehakwa staftahi iliyonoga nakuhomolewa.HUbiffak&u
wakubwaku kama shumndwa mlaffi asiyeteua nyamafu walanyamcrchinje.Husarabffchai
ya mkandaa kwa muhogo wa kupwaztt. Humega na kunyofoa bofulo iliyopakwa na kusfftibWa
ukiwa nyuki. Piahakukosekani pipnna kaukau za kumumunya nakugeaeda.Shibe mwana
malevya, njaamwana malegeza. .
Sisi tuwakulima tangu jadi na jadi. Tunaloshamba maddal basari.Mimea kama nyanya,
kitunguu na kabichihukuzwa kwa wingi shambani petu. Konde ndilo msingi wa rasilimali
katika kutupatia malighaf i ya viwandani. Huchanika na mapinimgundani nikitiambiya au
mifuo ya kupanda mbegu au kautika miche. Amairhfrhushitadikutwa, hadi jua lamtikati.
Kishuka huandaliwa kuko huko shambani.
Maharibi yfcmapojiri huwa nimechoka tiki. Huelemeanyumbani napakacha la matunda
kuwauzia wachuuzi rejareja. Hakika Jumamosi shamshi huchwa bila ya kujua. Labda kwa
sababu ya kukukurika kakara!
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
«
MSAMIATI1.Twaliwa na kutamalakiwa -chukuliwa na
2. Zagaa na vavagaa -Enea kila mahali
3. Nyesha kidindia -Nyesha bila kupuSa
4. Mwendaguu -anayekata tamaa
5. Jihimu najilawa,Rauka na damka -amka mapewa
6. Kutimuna kuhitimu -kufikia kiwango fulani cha elimu na kuft#uvyema.
7. Kudurusu-Kujiandaa kwa mtihani / fanyamarudio
8. Mtawalia -mfululizo, bila kupusa
9. Kwangura na kokonoa -Pata kila kitu katika mtihani
10. Hamu na raghaba -Tamaa kubwa ya jambo
11.Zana za vita ni silaha -Ukitaka kufanikiwa katika jambo jiandae
12. Riaka -Ziaka, kifaa cha kuwekeamishale
13. Liga -sumu
14. Shamsi kunawauso - linapoucha, kupambazuka
15.Masuo-majimachafu yanayotemwa baada ya kusukutua kinywa
16.Matongo -uchafu wa machoni, baada ya kulala
17. Keya -mipasuko /nyufa katika nguyu aunyayo
18. Aula -bora, njema, nzuri
19. Kupwaza -kuchemsha, kutokosa /
20. Kusiriba -kupaka kmrangi, mafuta, uki
21.Maddal basari -shamba kubwa, bahariya shamba
22. Shika moto -kuanza mara moja
23. Jari moja -filihali, hapo na hapo
24. Malighaf i -maliduni ambayo badohaijatengenezwa bidhaa muhimu
25. Choka tiki! -kuwa Hoi kwaucHovu
26. Huelemea -hujikokota kuelekea
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
JINAMIZI LA KUTISHA
Nilikuwa nimekanyaga chechelena kupotea njia. Nikavogomea msituni.Sikufa moyo.Heri kufa macho kuliko kufa moyo. Matumaini makubwana sala za kila siku zilistawishamiche ya uvumilivu katika nia ya dhamira yangu. Moyoukapata nguvu na kuwa imara kamangome ya nabii Isa.
Nilishinda nui zote shakawa katika ziara hii. Ndwele zilinitafuna tafutafu. Njaailinisokotatumbo. Nyota ilinikereketa koo kama msumeno. Sikupata walau tone lakubundisha koolangu. Baridi shahidi ilinikeng'eta mifupa. Mwili ulishikwa na kibibi ukafa ganzi.
Ngeu yangu ilizizima kama barafu lakini sikujaliwala kubali.Nilishitadikusharidina kusongambele kama jeshi la wokovu. Nyakati za mchana shamsi ilikuwa kali kamanari. Hewailichemka kama tanuri. Nilitokwa na jasho chapachapa jamwele wa shihinikizo la damu.Lakini nilivumilia kwani mvumilivu hulambivu.
Baada ya mwendo mrefuwa shaharina shuhuri, sudi ikanisadif ia. Nikaona katika upeo wamacho bahariya jumba. Lilikuwa limejengwa kwa miamba, na lilikuwa likifuka moshi mwingikwenyedohani. Nikimaizipalipo na moshi pana moto.Kikagitagita kulikaribia kwani ukubwa
wake haukuwa wa kawaida.Kwa mithaki sharuti liwe jumba la majitu.
Usiku nikashindwa kuvumilia. Washindwaoniwaume na mata. Afadhalinife katika jumba
lenye moto kuliko kufa kwa baridi. Asteaste nikitambaa jamnyoo afanzavyo.Kunyata
nikaendelea,kama luja atendavyo. Mchachato mchachato, fpwendo wangu wa kuvizia.
Nikiogopa vimoto, ambavyo vyaningojea!
Mara vishindo na kutetemeka kwa ardhivilisikika.Rihi mbi ya majitu ilizagaa kila mahali.Kukuru kakaral Kukuru kakara! Majitu yalipanga moza na kuandomana mpororo had jumbani.JalaliWahidlKukabiliana na majitu ni kama kutia kichwa chako kinywani mwa asadi.Yarabi stara! Nikamlingana Kaharianikwapue kutoka kwa kahati hiyo.
"Mff! Nasikia harufuya binadamu!" Jitu moja likalonga. "Mff! Nasikia pia!“Mff! Nadhaniunasema ukweli." Jingine lenye machomatatu usoni likalumba. Kisha majitu yakaanzakukukurika kakara kunjfanya asusalEwe msomaji unaweza kukisia nilivyohisi. Hapakuwana chamsalie mtume wala nabii.
Kukimbia kwanguhakuwezi kuelezeka. Kama niliponea kujikunguwaa na mwamba,ni awanaya Rabuka. Hakuwa tnuawana anaakili yangu. Si kutazama nyuma huko mara kwa mara! Sikupapatika huko! Mradi ikawasinema. Nilishitadikusharidi kana kwambaibilisi kaniandama.Maranikateguka na kuanguka pu! Muhula huu ndipo nilipozinduka. Nikajipata samadarlni.
Afadhali 1iii ilikuwa ndoto.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
MSAMIATI.
1.Kanyagachechele -kupoteanjia ,
2. Kuvogomea -kupotelea mahali
3. Nari -moto
4. 5fhinikizo la damu -uwelewa damu kumwenda mtu kasi
5. Suai -bahati njema
6. Fula -kutoka kwa moshi mahali fulani
7. Dohani -mahali unapofukia moshi katika nyumba
8. Nikagitagita -nikachelea, nikaogopa,nikashikwa na wasiwasi
9. Afanzavyo -afanyavyo
10. Kunyata -kunyata, tembea kwa ncha ya vidole, bila kelele
11.Mchachato -mwendo wa taratibu bila kelele
12. Rihi -harufu
13.Mbi -mbaya
14. Kukurukakara! -Fuo, ghasia, vurumai
15. JalafiWahidi! -Mungu wa pekee
16. Anikwapae -Aniopoe
17. Likalunba - likasem kwafcujibu
18. Asusa -chakula kidogo kisichoshibisha,huliwukuleta hamu.ya kula kwenyfcwc
19. Kujikunguwaa -kujikwaa, kujigonga kwa kitu
20. Mauwawt -msaada, auni
21. Samadari -kitanda cha mbao
Jifundishe methali ambazo zimetumika
1.Washjndwao ni waume na mata
2. Palipima moshi pana moto.
3. Mvurflilivu hula mbivu.
4. Heri kufa macho kuliko kufa moyo. '
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
MAISHA NI UKUN6U LICHOMOZAPO JUA LA MAUTI.HAYANA BUDI KUTOWEKA
Shamsi lilikuwa lamtikati. Nilikuwa katika kuziambuanguyu kuelekea kiamboni kutoka
shuleni. Kote janibuni kulikuwa tuli na tulivu, mavani kando.Ghubari jekundu liliendelea
kutifuliwa na upepo. Iminikashitadikupiga ndago kwa misamba. Jekejeke chapachapa
lilikuwa likinichiririka chiriri.Nikasakarika kwanyota kama jangwa la Kalahari. Hakukuwa
walau tone moja lakubundisha koo langu.Nilijikaza kisabuni nikamaizimbwa hafi majiakiona ufuko.
Muda si ayaminikawasili nyumbani. Nyumbani tulikoishi,hakustahili kuitwa nyumbani.
Tulisakini mtaa wa /Mnobe. Jina lililosadif u hususan. Vijumba vya karatasivilisongamana
na kulaliana kama viota vyamizingi. Rusurusu za uchafu uliojaa uvundodebwedebwezilijaa na kujazana.Huo kama si ukata ni nini? Kwa yakini utashi wa sina sinani. Jungu la
mavina mkorogwe.
Kilango cha kijumba chetu kilikuwa hakijakomelewa. Idhibatiwanuna wanguwalunguzihawakuwa mbali. Niliingia ndani na kujipwetekakigodani, Nikachota majimtungini na
kukamia kata yote tumboni. Katika hali yauhawinde kama wetu, kupatakishuka kulikuwa
tukizi kama barafu ya kukaangwa. Tulikula chajio tu, baada ya nina kurudi muhula wa
magharibi kutoka kuchuuza sorriba jijini.
Shibe mwana malevya, njaa mwaa malegeza. Uchovu, mavune na njaa vilianza
kunitambalia. Matongozi yakaniwia mazito.$onezi ikaanza kunitambalia taratibu falau
hombwe atambaavyo.Ghafula ya binbaru, ukemiukapasua hewa. Sijuinilivyotoka ndani
kwani nilijikuta nje! Macho kayakodaa kima kama mwivi aliyefumaniwa akiviondoa vya insibila idhini. Usingizi ukanitoweka tamathali ya umande wa asubuhi jua linaponawa uso.
Nje kulinikaribishamfarka kabisa. Kila kiumbe kilikuwa mbioni. Si watu, si mbuzi, si
kuku,si vototovikembe. Chochote chenye uhaikilishitadikuyanusuru maisha yake, Upande
wa chini wa kijiji ghubari jeusi la moshi lilitanda na kuzagaa angani. Pafukapo moshi pana
moto, nacheche akilia mfiche kuku. Mioto hii isiyo tahadhari lilikuwa tukio la kawaida
hapo Mnobe. Chanzo na kiini chake kikiwa giza totoro.
Nilijitoma gengeni petu na kuokota cha kuokotwa.Vitabuvyangu, sufuria,magwada
matarutaru na vifaa vingine duni.Mtu hujikuna ajipatapo Moto huoulikuwa ukichoma
kwamrindimo mkali. Mipasuko kama ya baruti ikihinikiza hewakaribu kupasua masikio ya
waja. Moshimweusi pi, falau kizimwiliulitamalaki na kutawdla hewa. Kijiji cha Mnobe
kikachwa, mchana wa saa nane alasari. Ukistaajabu ya Musa..............................................................
YaRabi Stara! Umbu zangu wako wapi? Rabbil alamina,wasije kupatikana na kahati hii.
Nilimlingana kahari awe amewanusuru. Nilianza mwendo juuna chini kuwatafuta lakini
wapi? Jalali hamtupi mjawe.Karandinga za polisi na ambalanzi zilifika baada ya saa
mbili. Kweli auniniauni hakuna auni duni. Moto ulizimwa halafu. Manusurawaliwahishwa
hospitalini. Maiti wakapelekwamakafani. Miongonimwa maiti hao umbu zangu walionekana,
weusi ti, kwa kuchomeka. Nawalinganiakudusi azilaze roho zao pema peponi.'
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
MSAMIATI
1.Mtikati -Adhuhuri
2. Nguyir -Nyayo
3. Janibu -Pande zozote zile
4. Tuli na tulivu -Shwari
5. Ghubari -Wingu la uvumbi
6. Kupigandago - tembea kwa miguu
7. Kusakarika -hali ya kuona kiu
8. Nyota -kiu
9. Kubundisha koo -kukata kiu
10. Jikaza kisabuni -vumilia
11.Mbwahafimaji akiona ufuko -palipo namatumainimtu hafi moyo
12. Sakini -kukaa, kuishi
13.Mnobe-mkata au maskini
14.Mizingi -aina ya ndege wenye viotamahali pamoja
15. Rusurusu - rundo kubwa, mlumbuko
16. Debwedebwe -harufu mbaya
17.Wanuna-ndugu zangu wadogo
18.Walungizi (mlungizi) -anayekufuata katika uzazi
19. Kigoda -kiti chamiguu mitatu
20. Kukakamia -kunywa kitu kiowevu bila kupusa
21. Uhawinde 1 umaskini
22. Kishuka-chakulacha mchana
23. Shibe mwana malevya, njaamwana malegeza -asiye na chakula nimvivu
24. Mavune -ulegevu kwa sababu ya uchovu
25. Kunikeng'eta -kuumwa na njaa
26. Gonezi -usingizi
27. Hombwe -aina ya konokono.
28. Insi -birladamu
29. Mfarka - tofauti kabisa
30. Vikembe -vidogo
31.Cheche akiliamffche kuku -ukiona hatari jinusuru
32. fienge -kibanda kinachotumiwa kama nyumba
33. Magwanda matarutaru -maguo yasiyo maana
34. Mtu hujikuna ajipatapo-bidii ya mtu ni kulingana na uwezo wake
35. Mrindimo -mvumo aU sauti ya moto
36. Hinikiza - jaza na kuenea mahali
37. Eusipi! -Eusi sana
38. Kutamalakina kutawala -kuwa chini ya utawala au uwezo
39. Karandiga -magari ya polisi
40. Aunini auni hakuna auni duni -msaadawowote japo kidogo usiubeze
41. Makafani -chumba cha kuhifadhia maiti
42. Kudusi -Mwenyezi Mungu
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
MTAKA CHA MVUNGUNI SHARTI AINAME
Methali hii inamaanisha kwamba ili mja afanikiwehana budikujitahidi. Methali nyingine
yenye maana sawa hususan nahino ni; mvumilivu hula mbivu na nyingine nyinginezo. .
Bila stahamala na uvumilivu mambo hayaendi. Uvumilivundiyo siri ya fanaka na ufanisi katikaaushi ya adinasi yeyote yule.
Ama kweli, subira ni ufunguo wafaraja ; -
Vidokezi vyangu vya awali vinaelekeza dua langu kwa mwanagenzryeyote yule..Mwenye
nidhamu ni intidhamu ya kina kirefu. Anayeambiwa akaambikrka.Akitumwa hutumuka
Akielekezwa huelekwa.Akifundishwa hufundishika. Mwanafunzi kamahuyo hakosi
mafanikio mufti. Ukidadiskna kuchunguza. kwa irma, utagundua nakung‘amua kwamba
matokeo hayo hayakuokotwa.Achanikayena mpinihafi njaa.
Kurauka na kudamka kila asubuhi kwenda shulenisi lelemama Baridi shahidi huzikengeta
na kizitafuna tafutafungovi zetu.Kumbimbi za; ubataani huvimba na kuvimbiana haya
yote ni muhali na adimu kwa mtu mwenye moyomwepesi. Hasamkasi wa kukata tamaamja akatamaukwa. Lazima mja aitamause tamaa ya kushindwa na kuitutiakatika kaburii la
sahau. Lazima tuwe na tamaqya maendeleo.Siyo ile tamaa yamaangasiyo ile tama ya maangazi inayosemwa,tamaa mbele mauti nyuma. .
Shalialihamu na kutamani kukijua na kukifahamu KiswahiMiAlishindwa aanziewapi amalizie
wapi. Alikuwa kisu kidugina kilichosenea.Kwake yeyeuchambuzina utambuzina kigiriki.
Fasihi na ufasaha vilimpa jinamizi. Insha na mtungo vikawa baharikuuyenye majimaundifu
Alighafilika kwamaghafala wa tnaki pana. Kwake yeye Kiswahili na uswahtli nigiza la
kaniki. Huo ndiowaadhiwa wahenga.Jambo usilolijua niusiku wa kiza totoro.
Penye nia pana njia. Shali simwenda guu. Alimwendea Bwana Mufti kumtakaushauri
Naam,auguaye huaguliwa. Mwalimu alimpa nasaha, maelekezo na njia mahUsusi za kujif unza
lugha. Walishindapamwe, laili wa nahari. Huku akimvuvia hekima na busara yake.Mathalan
alipania kumtunza kwa vitanga vya mkono. Lau afanyavyo nyunimvyazi kwa kindalake
kiotani.
Mwalimualimfunza ufasaha na sarufikuanzia kwenye ngeli. Baada ya kuzimiiiM
aliweza kutunga sentensi fupi-fupi. Alipofuzu hatua hii aliweza kutunga
ndefundefu zamseto. Shali alimaizibayana kuwa; msingi waarufini ngeli.Bila kuzitawala
ngeli huwezi kusanifu sarufi. Asiyejua ngeli hajui sarufi, nais#iyemudu sarufihatafahamu,
Kiswahili.
Atafutaye hachoki, akichoka keshapata. Shali alishitadikubukua buku buku kila burkrata
wa shiya.Elimu ni bahari Jiaina mwisho. Kisha akakumbuka kuwa,atangaye sana na jua ,
hujua. Akajikarabati na kujikalafati ki-lugha. Hakutaka tena kuwa bungabin zuzu. Alijua
fikakucheka na nyani ni kuvunamabua. Alifuzu vyema akawa mfano wa kuigwa na kuigika.
Mtakachamvunguni sharti ainame.
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
MSAMIATI1.Hino -hii
2. Stahamala -uvumilivu
3. Aushi -maisha
4. Inna -kwa kweli, yakini
5. Lelemama - jambo rahisi
6. Ngovi -ngozi
7. Mkasi wakukata tamaa - jambo la kukosesha matumaini
8. Maangazi -kuletamaangamizi
9. Alihamtr -alitamani
10. Shafilika - ishiwa na mawazo
11.Mghafala -kosa la kufanya kwa kutojua lipia kutenda
12.Maki pana -kuelezea ukubwa wa unene wa kitu au jambo
13.Waadhi -nasaha, wosia
14. Elewa fika - jua kwa hakika
15. Bunga bin zuzu -mjinga wa wajinga
Zikamilishe methali zilizotumika ukielezea maana na matumizi yake16.Mtaka cha mvunguni.....................................
17.Mvumiiivu............. ....................
18. Subira ni.........................
19. Achanikaye na mpini...........................................
20. Tamaa mbele ............... ........
21. Jambo usilolijua ni.............................................
22. Penye nia................ ..........................
23. Auguaye........................................
24. Atafutaye................................... ..............
25. Elimu ni..........................................
26. Atangaye na ......................... ............
27. Kucheka na nyani..................................
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
MSAMIATI1.Uwele–ugonjwa, maradhi
2. Zinaa -ugonjwa unaoambukizwa kwa kitendo cha kujamiliana
3. Kupata wiche-kuambukizwa viini vya uwele
4. Kutia wiche -kuambukiza viini vya uwele
5. Virusi -viinivinavyosababisha ugonjwa
6. Aliyehamili -mwenye mimba
7. Chupa -nyumbakajikamwiliwamwanamkeanapokuliamtoto
8. Vita shadidi -vita vingi '
9. Kufufutika -kuishiwa na nguvukukonda
10. Ikishitadikujiradiradi - ikiendeleajirudia '
11.Mustakabali usani, chambo chamboni
12.Wiamuihauongolewi mtoto -watoto hawafunzwi tabiambi, wasijewakaiga.
13.Mwana akibebwa hutazanfa kisogo cha nina -watotohuiga matendoya wavyelewao
14. Kukereta mtima -kuudhi moyo
15. Vipara fnoto -virukd njia-vrsichanavinavyozurura mtaani
16. Kutegwa kwa chachu na kunaswa kwa ulimbo -kupotoshwa kwasfradaa c h a c h e t u
17. Kitatange anayekutosa demani -mtu ambaye hukutia katikamtego
18. Kuingiamafa -kurithi mke aliyefiwa namumewe
19;Mfaruku-mke aliyef iwa na mume
20. kuupalilianakuutiliambolea -kuuendelezaaukuukuza
21. Uchechefu -ucjache,uhaba
22. Fulusi -Fedha, ngwenje, ghawazi-
23. Kitembo -kiwango, ' ,
'24. Huria -huru, bila malipo
25. Kijungu jiko -kazi ya kujipatia riziki tu
26. Kulawiti -kujamiiana baina ya mume na mume
27. kunde hunya kunde -matendo na tabia za mtu huwa vile alivyolelewa
28. Hawaana ashiki -uchu, tamaa za kimwili
29. Kututiwa mavani -kuzikwa kqburinr
30Makapipi -ganda lamuwalililotafunwa
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Aaliaali -Bora, taridi
Afukam-Punguani, kichaa
A kali-Kundi, fungu
Akhiyari -Njema, ya kupendeza
Akiba si mbi ingawa ya kumbi siku ya kivumbihuitia motoni.
Aliyehamili -Mwenye mimba
Asadi -Simba
Awana ni awana hakuna miniduni
Badalani -Mijini '
Bori - Upembe/vipusa vya ndovu na vifaru
Chupa -Nyumba katika mwih'wa mwanamkeanapokulia mtoto |- , ’Demka dem dem!-Kunengua viuno katika dansi
Fulusi -Fedha,ngwenje, ghawazi ;
$mba -Ukubwa wa-kitu au mnyama
Hal if u - Mlai yaliyoachwa na aliyekufa :
Hawaa na ash iki - Uchu, tamaa za HimwTTi
Hujufia - Hamia,.guria ‘ ‘Huria -Huru, bilamalipo
Huzipanga mbavu -Hupumzika,hufela
Tkishitadi kujiradidi - Ikiendelea kujirudia
Ilipiku - Ilishinda, ilikithiri
Isimu - Ishara, dalili
Istiwai - Ikweta®Ja-kamaJalalati -Mtukufu mfalme
Jambeni -Msumeno mkubwa.i
Jivuli lamtuno hutunika wa mbali
Kaditama -Tamati, mwisho
ilia mguu wa kausha) -Nyima mtu kitu, haribiamipangoToshelezaJya, mahitaji jiko -Kaziya lay«patia.r«zrki tu““
yashinda-tiba
fcftatange anayetartosa demani -mtu ambayehuku% katika mtego
Kitembo -Kiwango r r
kj’wi -Kifo, kibaya Kizuu -Mazingaombwe, shetani tCUchopuka -
Kukimbia
Kuchefusha-Kutapisha
Kufututika -Kuishiwa na nguvu, kukonda
Kuingiamafa kurithimkealiyefiwaha mumewe
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
MTUN60 WA TATU 2007
Allan Kuria,
S.J..P 21784-00505,
NAIROBI
No&mba 14,2007l A :
Kwamwandanimsanifu,Nakumiminidsalamu bwaibwaimfano wa thufeya za nyota tupilia mbali ISHerwa
Ibrahimu. U raigani? Nirajuayangu kuwa una siha njema na u mzima mfano wa ngorangeya mpingo.
Madhumunina«dhamira kuu ya kukuandikia waraka huu si kukusabahi, mbali nikukueleza kwa mapana na marefumaendeleo yangu hapa shuleni. Tangia ulipojiunga nashule ya Matopeni,hapa chongoleanipamekuwa na maendeleo tumbi nzima.
«Kwanza, tuliachana nikiwa karibu kubururamgwisho darasani. Sasa, nina furahaisiyo /mfanowe kukujulisha kuwa sasa, matokeo yanguni aula zaidi. Katika mtihani uliepita,niliuma uzina kukwangura maksigana nnewahediwa sabini. Mwanagenzi mmoja tu ndiyealiyenipiku, naye aliibuka namba moja kwa alama mia arba sabini na mbili. Kwenye mtihaniunaokuja, nimepania kumpiku na maksi si kidogo,
,Pia kuna wafunzi wageni ambao wameajiriwashulenimwetu. Wadarisi hawa wameletyia
ili ‘flutufunza badala ya walimu walioenda njia ya marahaba kwenye ajali ya barabarani.Ingawa walimu hawa ni wapya shuleni kwetu, si wageni asilani kwenye uwanja wa ufunzi.
Bwana Kokotao, ambayenimdarisi waHisabati, ni mwalimu mufti kabisa. Yeyehupendanambari mithili ya mboni yaJfcHBlake. Kufeli kwenyeHisabati ni sawa na kujitukanamwenyewe. BiSafuninaye ni bingwa kwenye lughaya mayai. Yeye hukitongoa na kukisongoakimanbo kana kwamba aiizaliwa Ujngereza. Siku hizi, sisi hustihizai mltihqniyaKiingereza.*Usradh Obonyo katika Kiswahilihukitema kiswahili kama aliye kopolana kamusi mkonofii,yaumu hizi, kupasi Kiswhaili ni rabisi kama mboga.
'Kwenye kitengo cha upishi, ukarabati pia umefanywa. Wapishi wazee waliokuwo
wamepigwa kalamuoa wengine wageni wakapewa ajira. Wapishi hawa wana tajiriba chungunzima. Wao hutuandaliamaakuli ya kunoga na kuhomolewa. Wengi hutoka humo wakirdrnbavyanda na viganja vya mikono yao. Kweli, aisifuye mvua imemnyea.
Isitoshe,iyawaHlilokuwa likiakwa limekamilika. Bwawa hili lilikuwa limechukua miakaminnl kujengwa kikamilifu, lakini wazee wa konga za mawe hawakuwa na uboziwa kaawaliponadi,J<awiauf ike. Sasa, tunajua samakininarii na limbukenini kina nanikwa hisaniya bwawa hilo, '
Kwa vilefi/asacTumempiga kambo, sinabudikutiakitone cha mwisho, kwani lisitabudihubidi na likibidihutendwa.Nitakuwa mwingiwa furaha tamthili ya hawinde aliyeokotavipande vyaalmasi ya Mwadui.nitakapoisomfl risala yako. Mbali na hayo,usighafilikektjwasabahinduguzako'Nana naVumilia, na wahebiwangu, kina Kitwana naRashid. Wajuvyerkuwa bado sijawazika kwenye mava ya mghafala.<
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Insha mufti\
MTUNSO WA KWANZA 2006
Malizia kwa: Sherehe zilipomalizika nilirudi nyumbani nikiwa na furaha tele.Siku ya sherehe
Hauchi!hauchi! unakucha! Sherehe tuliyoingojea kwa hamu na ghamuilifika. Ilikuwa
ni sherehe yao kuwatunuku wanafunziwaliofanya vyema katika mtihani wa taifa.
Sherehe yenyewe ilifanyika shuleni. Naam! Wavyele, walimu na wanafunzi
walihudhuria sherehe hiyo. Kwa hakikakama mautikila mmoja alijipamba lebasi zilizokuwa
zikimetameta metumetu kama nyota. Nikiwa mmoja wao singeweza kutambulikana vivi
hivi. Nilikuwa nimeng'ara kama mwezi.
Sherehe zenyewe zilizoandaliwa kwa nderemo, skuli na bashasha za kila aina. Kila
insi alikuwa na mwaliko wa kuhudhuria. Ahadi ni deni tuliahidiwa zawadi kochokocho. Siku
yenyewe ilikuwa ni ya kulipa ahadi. Nilikuwa nimejawa na furaha riboribo kama tasa
aliyejifunguwa pacha siku ya Ijumaa. Mlijua leo ni leo nitakuwamkwasi ajabu kwani katika
bidii na juhudi nilizoziimarishamasomoni nitalipwa. Tuzo zilikuwa zimetolewa na walimu
nawazazi.
Mwanafunzi aliyeongoza aliahidiwa shilingi elfu tano. Waama bidii hulipwa, nilikuwa
nimeongoza shule yetu kwa alama ambazo ziliwafurahisha insi wote. Mimindiminilikuwa
wa kwanza kupewa tunzo hilo. Nilishangiliwa kwa furaha na nderemo nikipokea tuzo langu.
Zawadi hazikuishia hapo,waliokuwa wamepata alama katika somo fulani walianza
kupokea ahadi zao. Si kuwachwa nyuma kama koti wala kukawia. Nilifyatuka kama risasi
mbele ya halaiki iliyokuwaimefurika furifuri. Nilituzwa tuzo ambalo lilifurahisha mtima
wangu. Kwa walewaliolalia masikio na kujifanya visu butu machozi yaliwatiririka kama
maji ya mfereji na kushushika moyo.
Baadaya sherehe iliyowaviitia wengi, insi walianza kuonda mmoja baada yamwengine
huku waliokosa kulamba kitu ambao tulisoma na wao wakitangulia.Nami sikukawia sherehe
zilipomalizika nilirudi nyumbani nikiwa na furaha tele. j
(Alama i/iyotuzwa 30)
MTUNSO WA PILI 2006
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Malizia kwa: sherehe zilipomalizika nyumbani nikiwa na furaha tele.SHEREHE YA KUFAIMA.
Naam, siku iliyo ngojewa kwa hamu na ghamuhatimaye iliwadia. Keshoye ilikuwa ni
siku moja muhimu sana. Kakake babayangu mkubwa aliktiwa anaenda kuapishwa kama
makamu warais wa jamhuriya Kenya. Ilikuwa ni furaha tele katika familia yetu.
Niliamka asubuhi na mapema keshoye ili kujitayarisha kuenda katika sherehe hii ya
kufan sana. Nilitaka kuwa wa kwanza kufika humo sherehenikwa sababu nilikuwa nikitii
mserrtousemao zubaa zubaa, utapata mwana si wako. Nilifika pale tu kushtuka kupata
hakuma mtu hata mmoja pale. Niliwaza na kuwazua lakini mawazo yangu hayakuzaa matunda.
Niliona kuwa ni vyema kuhakikisha kwanza kama watu wamo au hawamo.
Kuingiamle nciani, nilipata kundf la watu ambao tayari walikuwawamef ika pale. Ndipo
rylipogundua kuwa ilikuwa ni maombi kwanza, ndipo sherehe ilianza. Baada ya maombi,
sote tuliandamana kama kondoo ambao wapaelekea mfohi hadi katika jumba la“TIMES
TOWER5" ambapo sherehe ilibainiwa kufanywa. Jumba lile lilikuwa likimeremetametu
metu ka$anyota.
Meza,viti na vifaa vinginevyo vilikuwa vimetayarishwa tayari kutumikia halaikiya watu
ambao walif ika mahali pale. Wapishi nao walikuwa wako. Tayari kuwapa wote wale chochote
kile wangependa. Magari yamawaziri na watumishiwengine wa serikali yalif ika pale yakiwa
yamepambwa kama gari lililombdxrbiharusi namumewe.
Papo hapo, mziki ulitiwa fftajira na kazi ukianza. Watu walichukuahatamu tofauti
tofauti.Wengine walicheza mziki huku wengine wakila bila hata ya kutoa sauti kama fisi
aliyelala njaa wiki moja na hatimaye kapata chakula. Sisi tulianjua kuenda uwanjanikucheza.
kakake baba, yeye alikuwa ameketi jukwaanina wageni wenigine pamoja na wageni
waheshimiwa. Punde si punde, tulisikiamgurumo wq gari ukitoka upande wa mashariki.
Sote tulilGmbia kujionea ni naniyule aliyewasiliwakati wa barabara bwana Simeon Nyachae
akinyauka kutoka mle ndani. Kabla ya sekundl kuvunja uya na kuwa dakika, pale pale
kutoka upande wa mshariki, paliondokea gari ambalo alikuwa akisafiria rais. Sote
tulimkaribisha kwa makof i shangwe na nderemo. Tuliandamana naye hadi pale walipokuwa
mawaziriwengine. Sote tulifurahikumwona baba wa tqifa kwa mara ya kwanza.
Tulikaa kimya kungojea hotuba yake mzee wa taifamheshimiwa Bwana MwaiEmilio ’Kibaki.Katika hotuba yake, Bwana rfiis aliahidikiinda serikali ambayo itatumikia watu
wote ila ubaguziwote. 9
Baada ya hotuba hiyo ndef u ambayo ilichukua muda wa dakika takriban thelathini na
tpno,sote tulienda kumuaga rais. Sherehe zilipomalizika nilirudi nyumbani nikiwa na furaha
tele.
(Alama ilituzwa 32)
lATUygpWATATU2006
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Malizia kwa: Sherehe zilipomalizika nilirudinyumani nikiwa na furaha tele.
Achanikaye kwenyempinihaf i njaa.
Maswalimpururu yalinizunguka tamuiinimwangu.“Ningefanyaje?" Ndilo IHilokuwa
swalinyeti tafakurinimwangu. Wiki ijayo, kungekuwa namashindano ya langqlanga yaani,
mashindano ya mbio za magari.
Gari langu lilikuwa kweche, bovu kando.Sikuwa na helazozot za kugharami malipo
ya kutengenezwa kwake. Niliwaza nikiwazua lakini jambo hilo liHkiWa mathalanwingu la
kitendawili lililonitandia, nami sikuweza kupata suluhisho.NEbo!welediwa lugha
hawakuboboja maneno ovyo walipoamba, 'jambo usilolijua ni usiku wa giza.'Kwakuwa pasipo
budihubidi, niliamua kulitumia gari langu bovu kama lilivyokuwa.
Nikapiga moyo konde na kung'amua kuwa liwalo na liwe. Nimelitumia gari hilo langu
namna lilivyokuwa. Bovu au zurinitashinda!" nikajue zikavunja ungo na kuwa siku, vilevile
siku zikabaleghe na kuwa juma. Naam, wazembwe na mazembwele hawakutupiga mlazamlaza
walipokaa ukumbini, wakapiga alinaana na kuamba, hayawi hayawi huwa audha hauchi hauchi
hucha. Asubuhi ya mashindano ikafika.
Nilidamka macheo mbichi Jiikaziambua nyayo hadi uwanjampa mashindano.Gari langu
lilikuwa keshafika. Mwia si mwia, niliwasili. Nikiyaona magari ya.washindaniwengine.
Astaghafirullahi! Yalikuwa mazurimnolLo! Je, ningeshinda? Nilijisqili huku jekejeke
jembamba likinitoka na kunichuruzika chururu! Sikufa moyo asilanikwanijwasemao husema,
'Mola hamtupibinadamu wake.'
Baada ya muda wa koo kumeza punje, nilifika ulingoni na kuj|toma ndani ya gari
langu. Nikajifungamkanda na kusubiri kwa hamu na hamamu kipega cha kuyaanzisha
mashindano kipigwciPrrrr!Kikalia na magari yote yatakata shotf ria kuacha kivumbi
kikielealea hewani. Makof iya kushangiliamadereva yakaihikiza hewa yote.
Magurudumu ya gari langu yalibugunya masafa.kama vile kuwaviabugunyavyo jani
dogo laUkoka. Nikajitahidi, mchwa kando na kuamini kuwa jitahada zanguzingezaa matunda.
Waswahili walikuli kuntu mvumulivu hula mbivu.
Mwia ulipita,kukabaki kitalifa chamita mia moja tuIuyamaliza mashindano.
Nikazitumianguvu zangu zote na kuihula mshindi. InnaT mphumia juanihulia kivulini.
Nilikuwa nimeshindana! Furaha ghaya ilinivamia vaa! nikachanua tabasamusadakta kama
tasaaliyekopoa mapacha. Makofiyalisikika kote kwa minajili ya kunisifumirol.Ndipo
nilipong'amua kuwa akina shekhe namanabodha wa jadi na jadadihawakuvaa miwani'ya
mbao aidha soksi za chuma walipolonga, mcheza kwao hutuzwa.
Nikaandaliwa sherehemaridhawa, sherehe ya kukafa na shoka. Nilituzwa kwa
tkuyashinda mashindano hayo. Nikabebwa halubwe halambe namashabikiwalioupenda
uendeshajiwangu. Sherehe zilipomalizika nilirudinyumbani nikiwa na furaha tele.
(Alama ilituzwa 38)
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Kukeretamtima -Kuudhi moyo
Kulawiti -Kujamiiana baina ya mume na mume
Kupatajviche -Kuambukizwa viinivyatuwele
Kusharidi -KukimbiaKusujudu-kuabudu
Kutibwirika tiki -Uchovu wa safari ndefu
Kuteqwa kwa chachu na kunaswa kwa ulimbo -Kupotoshwa kwa hadaachache tu.
Kutia wiche -Kuambukizwa viini vya uwele __________________________________________
Kutukaridhikaradha-Kutupatiamsaada aumkopo usiodaiwa
Kututiwamavani -Kuzikwa kaburini _______________________ _______________________________________
Kuupalilia na kuutiliambole -Kuuendeleza au kuukuza _________________________________________________
Lisani -Ulimi____________________Lufufu -Lukuki, kwa winqi____________________________________________ ________ _
Machela -Aina ya kitanda cha kubebea watu
Maqeqo-Meno
Mahaba ya chati -Udanganyjfu, ghiliba, hadaa
Majalio -Mjo, ujaji, kujakwa jMakapi -Ganda la muwalililotdfunwa
Makiwa! -Amkizi kwa wenye msiba wa mauti. Jjbu huwa; tunayo, yapo, yameita
Makunyanzi -Mikunjo katika mwili au ngozi_______________________________________ "___________________
Mava KaburiMdghalo - .Mabishano, majadalianoMfarka -Tofauti kabisaMfaruku -Mke aliyef iwa na mume
Mkabalamuamana -Uhusianomwema
Mke ni nguo, mqomba ni kupalialia
Mkilipinza-Mkinda kinyume nalo,mkilipinga
Mkwanjumuwiuna tumbiriwe -Hakuna kitu ambacho hakina uzuri japo haba
Mia kunde hunya kunde -Matendo na tabia za mtu huwa vile alivyolelewa
Mosi -Moja, kwanza _______________________________ ____________________ _______ ________Mtahizi -Mtafedheheka, mtaaibika
Muhtaramu -Mheshimiwa, mwadhama
Mustakabali -Usoni, chambo chamboni
Mwacha asilimtumwa.
Mwana akibebwahutazama kisogo cha nina -Watotohuiga matendo ya wavyele wao
Mwiro -Mkongawandovu _____________________________k. _____________________ ________Ndwele __________Maradhi, ugonjwa
Ngwena -Mamba
Nomi -Chekwa! Kwa wingi
Pavumapo palilie si kazi ikudamirika
Rambita mate - -Kutamanikitu sana kiai cha kutokwa na kutafuna mate
Roho mikononi -Kwa wahaka, wasiwasi
Samani -Vifaa au fanicha za kiamboni
Tembo _________ Ndovu _____________, _____________
Thama -Kama si ___________________________________
Tijana natija -Faido. J _____________________
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
Tusikaange mbuyu tukawaachia wenye meno kutafuna.
Uchefuchefu-Uchache, uhaba
Uderere -Mate membamba, udenda,ute. Humtoka mtu wakati wa kula au akiwa
usmgizini
Ughaibuni -Nchi za mbali
Ukiritimba -Hali ya kuzuia wengine wasifanye biashara ila wewe tu. _________________________________________
Ukwapuzi -Uchopozi,uchukuaji wa pesamfukoni mwa mtu bila idhini. ______________________________________
Ulimwengu kokwa yafuu haiishiutamu -Mchezea malimwenguhudhurikayeye.
Unju -•Mtu anayedhaniwaalikuwa mrefu sana __________________________________ ____________ _________Urathi -Chochote kinachorithiwa
Ushakii -Ushujaa, unguli
Usiyo kufu -Usiyo uwezo nayo_________________________________________________________ .
Utaridi - Mojawapo ya majira ya sayari_____________________ , ______________ ___________ .
Uwele - Ugonjwa, maradhi______________ ________________________ __________________
Viparamota -Viruka njia -visichana vinavyozurura mtaani . ____________________________________
Virusi - Viini vinavyosababisha ugonjwa______________________________________
Vita shahidi -Vita vingi _________________________________ _________________ . ' _____________
Wahudumu -Wasaidiziwa hotel ini ___________________________ _____________
Waliniadi - Kumpeleka mtu hatua chache katika safari, sindikiza
Wiamuihaungolewi mtoto -Watoto hawafunzwi tabiambi, wasije wakaigcr
Zinaa - Ugonjwa unaoambukizwa kwa kitendo cha kujamiiana__________________________' ______
Jifunze methali zrfuQtozo kama zilivyotumika.Mwacha osilf ni mtumwa.Mtu ni utu si kitu.
Damu ni damu si kitarasa.
Chema chajiuza kibaya chajitembeza.
Mwacha kiwi hanacho na chema kimpotele.
Mchama ago hanyeli huenda akanya lapo.
Kipendacho rohoni dawa.Udugu ni kufaana si kufanana.
Akufaayd kwa dhikindiye rafiki.
Mtegemea nundu haachikunona.
Kozimwana mandanda kulala njaa kupenda.
Akutangulaiye chanoni hukuzidi tonge. if
Macho hayana pazia
Aliye na macho haambiw tazama.
Pahala pa itifaki ikrahihaipiti.
Taabu ya leondiyo dawaya kesho.
'Penyeuvuii ndipo nimwekapo mwanangu.
Ya tanaki si ya tundwi.
Zitohufuata j-epesi.
Hakuna mtesi atesaye milele.
T
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
www.kcse-online.info
Mada za kufanyia mazoezi1. Uhalifu haulipi chochote: (Kichwa)
2. Kengele ya paredi ililia mapema siku hiyo. Sisiwanafunzi hatukuwa namwao juu yakisa na maana ya kengele hiyo..................................(endeleza)
3. Ulikuwa wakati wa somo la Hisabati: Mara mwalimu akaanguka nakuzimia...................(endelea)
4. Nilipowasili nyumbani alasiri hiyo,nilimkuta Nina amelala kitandani, si hai simamati kwa uwele ......................(endelea)
5. Andika hotuba iliyotolewa na waziri wa afya juu ya,“Ugonjwa hatari wa ukimwi."
6. Mwandikiebabako waraka,ukimwelezea unavyoendelea shuleni na adhazinazokukabili.
7. Siku ya kutuzwa zawadi shuleni mwetu.
8. Dadako anayesomea ng'ambo atawasili nyumbani wiki ijayo.And ika insha jinsiutakavyomkaribisha nyumbani.
9. Kama ningekuwa tajiri mwenye mali nyingi....(endeleza)
10. Kila asubuhi mimi huamka alfajiri na mapema. Baada ya....................................................(endeleza)
11. Umefuzu vizuri katika mtihani wako wa darasa la nane. Kwa bahatimbayaumekosa mwaliko wa shule ya upili. Andika barua ya kuomba nafasi ya kidato chakwanza katika shule yoyote.
12. Mvua ilinyesha bila kupasa hadi che! Nilipoamka............................................ (endeleza)
13. Wanyama wa porinini pambo la nchi. Wanyama hawa....(endeleza)
14. Sauti za parapanda na baragumu zilisikika. Makaburiyakafunguka kuwaachia wafuwake. Sisi tulio hai tukaanza kupaa hewani... (endelea)
15. Malizia............kwa yakini niliponea chupuchupu.
16. Mchuano huo ulikuwa umengojewa kwa hamu na ghamu. Mapambano yalikuwa bainaya.........(endelea)
17. Ilikuwa si kawaida yake abu kuchelewa kutoka kazini. Tulingonjea na kungonjea.......................................................................
18. Mashaka hakuamini macho yake alipomwona mzee huyo ambaye angekuwamumewe. Jambo la kuozwa bila hiari yake hakuliafiki ...................................................(endelea)
19. Siku yangu ya kwanza shuleni.
20. Utumiziwa dawa za kulevya umekithirimiongoni mwa vijana wa shule.............................................................(endelea)
21. Ulikuwa usiku wa manane niliposikia kelele...............................................................(Endeleza)
22. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
23. Siku ambayo sitaisahau maishani mwangu
24. Endeleza hotuba ifuatayo“Mheshimiwa Waziri, mkuu wa Elimu, Mwalimu mkuu,wanafunzi wenzangu,mabibina mabwana....................................................."
25. Ndoto ya ajabu
26. Wewe ni boda katika shule ya mbali. Waandikie wazazi wako barua ukiwaeleza juuya maendeleo shulenimwenu
www.arena.co.ke 0713779527
____
____
27. Elezea juu ya ajali uliyoshuhudia
28. Andika barua rasmi kwa afisa wa mazingira wilayani ukilalamika juu ya ulimbikizajiwa takataka kijijinimwenu.
29. Andika mtungo juu ya madhara ya ukimwi nchini.
30. Faida ya misitu
31. Andika mtungo wakusisimua utakaoishia hivi...........................................Hapo watu walifumukana hukuwakiwa na nyuso zenye huzuni.
32. Umeshinda shflingi laki tano katika mchezo wa bahati nasibu. Elezea jinsiutakavyo zitumia pesahizo.
33. Hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho34. Nilijikutamsitunihuku nimezingirwa na wanyamapori............................................................
35. Kama ungekuwa Rais wa jamhuri ya Kenya elezea juu ya maendeleo ambayoungeleta nchini.
36. Andika insha kisha umalizie na maneno haya.“ama kweli, mtoto umleavyo ndivyoakuavyo."
37. Andika insha inayoanza kwa maneno yafuatayo: Machozi ya furaha yalinitirika.Sikutarajia haya........................
www.arena.co.ke 0713779527
____
____