zawadi kwa wakristo

104
MWENYEZI MUNGU NI MMOJA MUHAMMAD S.A.W. KATIKA BIBLIA YESU A.S. KATIKA QUR’AN SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI ZA ZA ZA ZA ZAW W WADI ADI ADI ADI ADI KWA KWA KWA KWA KWA W W WAKRIST AKRIST AKRIST AKRIST AKRISTO O O

Upload: phungkhanh

Post on 29-Dec-2016

690 views

Category:

Documents


20 download

TRANSCRIPT

Page 1: Zawadi kwa Wakristo

MWENYEZI MUNGU NI MMOJA

MUHAMMAD S.A.W. KATIKA BIBLIA

YESU A.S. KATIKA QUR’AN

SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI

ZAZAZAZAZAWWWWWADIADIADIADIADI

KWAKWAKWAKWAKWA

WWWWWAKRISTAKRISTAKRISTAKRISTAKRISTOOOOO

Page 2: Zawadi kwa Wakristo

ZAWADI KWA WAKRISTO

Mwandishi - Sheikh Muzaffar Ahmad Durrani

© Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania

Chapa ya Kwanza, Septemba 2002 nakala 5,000Chapa ya Pili, Agosti 2010 nakala 2,000

Kimeenezwa na:Jumuiya ya Waislamu WaahmadiyyaP. O. Box 376Dar es Salaam -TanzaniaTel: 2110473 . Fax: 2121744

Kimechapwa na Ahmadiyya Printing PressDar es Salaam

ISBN 9987-8932-5-2

2

Page 3: Zawadi kwa Wakristo

YALIYOMO

Masihi wa Quran 5Isa na Yesu 9Yesu si Mungu 11Sifa za Mungu 11Mungu ni Mmoja 15Yesu ni mwana wa Adamu 18Wana wa Mungu 20Yesu Alioa 21Ukoo wa Yesu 25Yesu Mtume wa Mungu 27Yesu, Mtume kwa Waisraeli 28Yesu alileta upanga 31Lugha ya Yesu 33Wanafunzi wa Yesu 34Mizani ya imani ya Wakristo 36Wahalifu wa Yesu 38Paulo ni mhalifu wa Yesu 38Tabiri za Yesu 40Bwana Yesu hakufa msalabani 43Kafara ya Yesu haisaidii chochote 54Mtume Muhammad s.a.w. katika Biblia 57Mwana mkuu wa Ibrahimu 68Ujaji wa Yesu mara ya Pili 71Kupingana kwa maandiko ya Biblia 77Maongezeko katika Biblia 85Aya za Biblia zilizofutwa 90Biblia inavyowadhalilisha Wanawake 91Marejeo mbalimbali 94Maswali kwa Wakristo 103

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ...

3

Page 4: Zawadi kwa Wakristo

±Änz«[μ°nz«[ã[±ä•^

UTANGULIZI

Mwenyezi Mungu Amemtuma Seyyidna Ahmad a.s. kwaajili ya kuhakikisha ukweli wa dini ya Kiislamu na uborawa Mtume Mtukufu Muhammad s.a.w. Kwa kufikia lengohili vitabu kadha wa kadha vimechapishwa na Jumuiyaya Waislamu Waahmadiyya katika lugha mbalimbali zaulimwengu.Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania imepatabahati ya kuchapisha vitabu zaidi ya sitini juu ya madakadhaa katika lugha ya Taifa, Kiswahili.Mwaka juzi Maulana Muzaffar Ahmad Durrani aliandikakijitabu kimoja kinachoitwa “Silaha za Mahubiri”. Kijitabuhiki kwa hakika kimekuwa ni silaha inayopatikana katikamfuko wa kila Ahmadiyya.Hata hivyo ndugu wengi walitoa maoni ya kutaka yatolewemaelezo zaidi ya sehemu ya Biblia ili kupanua uwezowao wa kuyahubiri yaliyomo katika kijitabu hicho. Kwakuyajibu maoni hayo Sheikh wetu mpendwa MaulanaMuzaffar Ahmad Durrani ameandika kitabu hiki, ambachopia ni ZAWADI KWA WAKRISTO. Tunamshukuru natunamuombea Maulana kwa kazi hii nzuri, MwenyeziMungu ambariki na aweke mwongozo katika kitabu hiki.Amin.Tunategemea kwamba kitabu hiki kitawasaidia wahubiriwetu na kitawafanya ndugu Wakristo wajue kwambaMasihi, mwenye kuvunja msalaba, ameshafika tayari.

Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania.

4

Page 5: Zawadi kwa Wakristo

MASIHI WA QUR'AN

Bwana Yesu Kristo katika Qur'ani Tukufu ameitwakwa majina ya MASIHI NA ISA. Mama yeke mzazialikuwa Bi Mariamu. Qur'an Tukufu inawataja kwaheshima kubwa.

Mwenyezi Mungu alim’bashiria Mariamu kumpamtoto wa kiume (3:46 na 19:20). Mariamu alishangaakwamba atapataje mtoto hali hajaguswa namwanamume yeyote (19:21). Lakini Mwenyezi Mungualisema kwamba haya ni rahisi kwake na jambo hililimekwisha hukumiwa. (19:22). Bwana Yesu alizaliwakatika siku za kuiva tende. (10:26). Na alianza kuongeamambo mazuri katika umri mdogo. (3:47). Alitumwakwa Waisraeli tu (3:50 na 61:7). Alipewa elimu ya kitabuna hekima. (5:111 na 3:49). Mwenyezi Mungualiwafunulia wanafunzi wake kumwamini Bwana YesuKristo. (5:112). Mwenyezi Mungu alimpatia hoja zilizowazi na alimsaidia kwa Roho Mtakatifu.(2:254).Mwenyezi Mungu alimwahidi kwamba “Ewe Isa, kwayakini Mimi nitakufisha na nitakuinua kwangu, nanitakutakasa na (masingizio) ya wale waliokufuru nanitawaweka wale waliokufuata juu ya wale waliokufurumpaka siku ya Kiyama...” (3:56). Mayahudihawakuweza kumuua Masihi wala hawakuwezakumfisha msalabani. (4:158). Bali Mwenyezi Mungualimfisha kifo cha kawaida. (5:118). Bw. Yesu Kristoaliwaombea wafuasi wake riziki ya kutosha (5:115).Hiyo ni sababu kwamba wafausi wa Bwana Yesuwamejaaliwa riziki ya kutosha.Yeye alipewa heshima

5

Page 6: Zawadi kwa Wakristo

katika dunia na katika Akhera. (3:46). Mwenyeweamesema kwamba ni mtumishi wa Mungu na MwenyeziMungu alimusia kuhusu Sala na kutoa Zaka nakumfanyia wema mama yake. (19:31-32). Na aliwasihiwatu wake kwamba Mungu wangu na Mungu wenu nimmoja. Basi mwabuduni Yeye tu. (43:65). Bila shakahali ya Isa kwa Mwenyezi Mungu ni kama hali yaAdamu. (3:60).

Bwana Yesu Kristo aliishi maisha safi na alishindakatika jukumu lake. Wanafunzi wake walikuwawasaidizi wa Mwenyezi Mungu na mifano ya kuigwa.(61:15).

Ndugu wasomaji mmesoma jinsi Qur'an Tukufuinavyomheshimu Nabii Isa a.s. na wahusika wake.Hakuna Mwislamu yeyote ambaye anaweza kuwaMwislamu bila kumwamini na kumheshimu BwanaYesu. Ningependa kuwaelezeni zaidi kidogokumbukumbu za Bwana Yesu Kristo zinazopatikanakatika Qur'an Tukufu.

1. Alikuwa mwenye ukoo mtakatifu(Ewe Mariamu) baba yako hakuwa mtu m’baya walamama yako hakuwa asherati. (19:29).

2. Mariamu alikuwa mkwelia. Na mamake (Masihi) ni mwanamke mkweli, (5:76).b. (Mariamu) akayasadikisha maneno ya Mola wake, ( 66:13).

3. Alikuwa mtiifu mbele ya mamakeNa (Allah Ameniusia) kumfanyia mema mama yangu,

6

Page 7: Zawadi kwa Wakristo

wala Hakunifanya niwe jeuri mwenye bahati mbaya(19:33).

4. Alikuwa mtakatifuNa Tukampa Isa mwana wa Mariamu Ishara zilizo wazina tukamsaidia na Roho Mtakatifu (manenomatakatifu) (2:88).

5. Alikuwa mtu wa MunguAkasema mimi ni mtumishi wa Mwenyezi Mungu.Amenipa kitabu na Amenifanya Nabii na Amenifanyam’barikiwa popote nilipo, na Ameniusia Sala na Zakamaadam ningali hai (19:31-32).

6. Alikuwa mfano mwemaNa Tukamfanya methali (mfano) kwa wana wa Israili.(43:60).

7. Alikuwa mtu wa amani.Na amani iko juu yangu siku niliyozaliwa na sikunitakayokufa na siku nitakayo fufuliwa kuwa hai.(19:34).

8. Alikuwa neno la Mungu Masihi Isa bin Mariam ni Mtume wa Mwenyezi Munguna neno lake tu Alilompelekea Mariamu. (4:172)

9. Mtume wa kweli anapewa habari za ghaibu (Mwenyezi Mungu) Yu mjuzi wa siri, walahamdhihirishii yeyote siri yake, isipokuwa Mtumealiyemridhia. ( 72:27-28).Hivyo Masihi Isa a.s. alipewa habari za ghaibu.

7

Page 8: Zawadi kwa Wakristo

10. Aliwasadikisha Mitume wa zamani na alitabiriMtume ajaye

(Isa a.s. akasema) nisadikishaye yaliyo mbele yangukatika Taurati na kutoa habari njema ya Mtumeatakayekuja nyuma yangu jina lake ni Ahmad. (61:7).

11. Alizaliwa bila babaA. (Mariamu) akasema Mola wangu, nitapataje mtotona hali mtu yeyote hakunigusa? (Mungu) Akasema:Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu Hutenda anavyopenda.(3:48, 19:21).B. Masihi alikuwa mwana wa Mariamu. (4:172, 5:76).

Islam haijengi ukuta wa husuda na bughudha bainaya Waislamu na Wakristo. Bali inawakaribisha katikamambo ya kheri na ya kujumuika. Qur'an Tukufuimesema kwamba: “Enyi watu wa kitabu, njoonikwenye neno lililo sawa baina yetu na baina yenu, yakwamba tusimwabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu,wala tusimshirikishe na chochote.” (3:65). VilevileQur'an Tukufu inawasifu Wakristo na inawapongeza.Imesema kwamba: “....na utawaona walio karibu zaidikwa urafiki na waaminio ni wale wanaosema ya kuwasisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wako miongonimwao makasisi na maruhubani, na kwa sababu waohawatakabari.” (5:83).

Kwa njia hii Qur’an Tukufu inajenga urafiki naWakristo. Kwahiyo ninawakaribisheni ndugu Wakristo

8

Page 9: Zawadi kwa Wakristo

katika dini ya Mwenyezi Mungu, ili tuwe kitu kimoja natujenge umoja na tupate amani. Na hii ni zawadi kwaWakristo. Karibuni sana.

Lakini baadhi ya Mapadri na Wachungaji wanayoshauku kubwa kuwatenganisha Waislamu na Wakristo.Wanafundisha husuda na bughudha katika jamii.Wanafitinisha mtoto kwa mzazi, ndugu kwa ndugu.Hata wanajaribu kuthibitisha kwamba Waislamu naWakristo ni maadui, ilhali Qur’an Tukufu inawaitamarafiki.

Wengine wanatofautisha kiasi hiki kwamba,wanasema Yesu wa Biblia na Isa wa Qur'an ni watuwawili tofauti, ili usibaki uhusiano baina ya Waislamuna Wakristo. Wengine wanatumia lugha chafu kwa ajiliya dini ya Islam na kwa ajili ya viongozi wake. Siku hizimifano yake inapatikana nchini katika magazeti yaKikristo kama vile “Msema Kweli” na “Nyakati.”

Sasa kwa ajili ya kuwapatia akili kidogonimelazimika kuwaonesha hawa wapinzani wa dini yaIslam na viongozi wake. Kila somo litatoka kutoka Bibliatu.

9

Page 10: Zawadi kwa Wakristo

ISA NA YESU

(Kutoka maandishi ya Sayyidna (Kutoka maandishi ya Sayyidna (Kutoka maandishi ya Sayyidna (Kutoka maandishi ya Sayyidna (Kutoka maandishi ya Sayyidna Ahmad a.s.)Ahmad a.s.)Ahmad a.s.)Ahmad a.s.)Ahmad a.s.)

Tunamwamini na tunamheshimu Masihi wa kweli namtakatifu ambaye hakudai kuwa mungu au mwana waMungu na alitabiri ujaji wa Mtume Muhammad s.a.w.(Fathe-e-Masih uk. 13).

Ni jukumu langu kuthibitisha kwamba Isa a.s. alikuwanabii mkweli na Mtakatifu wa Mwenyezi Mungu(Ayyam-us-Sulh uk. 2).

Mimi ni mfano wa Isa a.s. kwa hiyo siwezi kumwitambaya. (Tabligh-e- Risalat uk. 70).Hatumtambui Yesu ambaye alidai kuwa mungu naakawaita wa kabla yake kuwa wezi na wa baadayewaongo. (Anjam-e-Atham uk. 9).

Mapadre kwa kumtusi Mpendwa wetu MtumeMuhammad s.a.w. wametulazimisha kueleza halikidogo ya Yesu na vitendo vyake (sawa na alivyoelezwakatika Biblia). Kama mapadre watubu na waahidikwamba hawatamtusi Mtume Muhammad s.a.w., sisipia hatutadhihirisha hali na siri zao waila litakuwa jiwekwa jiwe. (Anjam-e-Atham uk. 8).

10

Page 11: Zawadi kwa Wakristo

YESU SI MUNGU:KWA SABABU HANA SIFA ZA MUNGU

Mwenyezi Mungu Anazo sifa zifuatazo ambazo Yesuhanazo hata sifa moja wapo. Mwenyezi Mungu ndiyemuumba wetu ambaye ni mmoja. Anajulikana naanatambulikana kwa sifa zake. Biblia inatuelezea sifahizo. Hapa chini nitaeleza baadhi ya sifa za MwenyeziMungu zinazotajwa katika Biblia. Vilevile nitaelezakwamba Bwana Yesu Kristo hana hata sifa moja sawana Biblia.

1. MUNGU HAJARIBIWI Biblia inasema kwamba: “Mtu ajaribiwapo,asiseme, ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezikujaribiwa na maovu, wala mwenyewe hamjaribu mtu,”(Yakobo 1:13). Sasa tuone hali ya Bwana Yesu Kristokwamba yeye anayo sifa hii au ni kinyume chake. Bibliainasema kwamba: “ Kisha Yesu alipandishwa na Rohonyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi,” (Mathayo 4:1). Munguhajaribiwi lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi, kwahiyohawezi kuwa mungu, kwa sababu ya kukosa sifa hiiya Mungu.

2. MUNGU HAFIMwenyezi Mungu ni hai ambaye anadumu milele nahatakufa. Akili inakubali kwamba Mungu ni yuleambaye anao uzima wa milele kama Bibliainavyosema kwamba: “Mimi naweka amri, ya kwambakatika mamlaka yote, ya ufalme wangu watu

11

Page 12: Zawadi kwa Wakristo

watetemeke na kuanguka mbele za Mungu wa Danieli;maana yeye ndiye Mungu aliye hai, adumuye milele,na ufalme wake ni ufalme usioharibika, mamlaka yakeitadumu hata mwisho.” (Danieli 6:26). Sasa tuone kwamba je, Bwana Yesu anayo sifa hiiya Mungu ya kuwa hai milele bila kifo. Biblia inaelezakwamba Bwana Yesu hana sifa hii: “Naye Yesu akishakupaza sauti tena kwa nguvu akaitoa roho yake.”(Mathayo 27:50). Hivyo mtu ambaye alifariki hawezikuwa Mungu. Wakristo wanaamini kwamba BwanaYesu alifariki kifo cha laana lakini sisi Waislamutunaamini kwamba Yesu hakufa kifo cha laana balialisaidiwa na Mwenyezi Mungu na aliweza kuhamianchi za Mashariki, aliishi kule maisha ya mafanikio.Alipokelewa na kondoo waliopotea wa nyumba ya IS-RAELI, na alifariki kifo cha kawaida katika uzee wakewa umri wa miaka 120. Kaburi lake linapatikana katikamtaa wa Khan’yar mji wa Srinagar, jimbo la Kashmir,nchini India. Kwa maelezo zaidi soma vitabu vifuatavyo.“Yesu Katika India” na “Yesu kafia Wapi?”Hata hivyo, pamoja na tofauti hizo za uelewa badoWakristo na Waislamu wanakubaliana kwamba Yesualikufa, na hivyo hawezi akawa Mungu kwa kukosa sifaya uhai wa milele bila ya kufa.

3. MUNGU ANAJUA KILA KITU Ni sifa ya Mwenyezi Mungu kujua kila kitu chadhahiri na cha siri. Kitu chochote hakiwezi kufichikakwake. Kama Biblia inavyosema kwamba: “Basi usikiehuko mbinguni, makao yako, ukasamehe, ukampe kilamtu kwa kadri ya njia zake; wewe ujuaye moyo wake;

12

Page 13: Zawadi kwa Wakristo

(maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo yawanadamu wote.” (1Wafalme 8:39). Sasa tuone kiwango cha Bwana Yesu cha kujuamambo. Biblia inasema kwamba: “Hata asubuhialipokuwa akienda mjini, aliona njaa. Akaona mtinimmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yakeila majani tu; akauambia, yasipatikane matunda kwakotangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.”(Mathayo 21:18-19). Mtu ambaye hajui kwamba msimu huu mti fulanihaupatikani matunda ilhali hata watoto wadogo wanajuamisimu ya matunda mbalimbali, hawezi kuwa Mungu. Tena aya hii inaonesha tabia ya Bwana Yesu kwambamwenyewe alikosea kujua msimu wa matunda ya mtinina kisha akaulaani mti bure.Pia Bw. Yesu anakiri mwenyewe kwamba hajuichochote kuhusu habari za saa ile (Mathayo 24:36).

4. MUNGU HACHOKI Mwenyezi Mungu hana kasoro ya udhaifu wowote.Sifa zote njema zinamhusu yeye. Biblia inasemakwamba: Je, wewe hukujua? hukusikia? Yeye Munguwa milele, Bwana muumba miisho ya dunia, hasinziiwala hachoki, akili zake hazichunguziki.” (Isaya 40:28). Sasa tuone hali ya Yesu. Je, yeye anayo sifa hii yaMungu? Kama hana, basi hawezi kuwa Mungu. Bibliainasema: “Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo,Basi Yesu kwa sababu amechoka kwa safari yake,akaketi vivi hivi kisimani. Nayo yapata saa sita.” (Yohana4:6). Basi mwenye kuchoka hawezi kuwa Mungu.

13

Page 14: Zawadi kwa Wakristo

5. MUNGU HAUWAWI Mwenyezi Mungu ndiye mwenye mamlaka na nguvuzote na anao uwezo kamili, hawezi kushindwa mbeleya yeyote: “Watakushusha hata shimoni; nawe utakufakifo chao waliouawa kati ya bahari. Je, utazidi kusemambele yake huyo akuuaye, Mimi ni Mungu? Lakini umwanadamu, wala si Mungu, mkononi mwake akutiayejeraha.” (Ezekieli 28:8-9). Mwanadamu anauawa nabwana Yesu anayo sifa hii sawa na Biblia. “Mungu wababa zetu alimfufua Yesu, ambaye ninyi mlimuuwamkimtundika katika mti.” (Matendo 5:30). Basi mtu ambaye anatundikwa na anauawa hawezikuwa Mungu. Bali ataitwa mtu dhaifu. Sisi Waislamuhatuamini kabisa kwamba Bwana Yesu aliuawa.Maadui wake hawakuweza kumuuwa bali yeyealisalimika na alihamia nchi za mashariki sawa nasunna za manabii.

6. MUNGU HASINZII WALA HALALI Mwenyezi Mungu ni mwenye uwezo wa aina zoteambaye hahitaji kupumzika wala kusinzia. Bibliainasema kwamba: “Naam, hatasinzia wala hatalalausingizi, yeye aliye mlinzi wa Israeli.” (Zaburi 121:4). Sasa Mungu hahitaji kusinzia wala kulala lakiniBwana Yesu alikuwa akilala sana. Kwahiyo hawezikuwa Mungu. Biblia inasema kwamba: Ilitokeadhoruba kuu ya upepo, mawimbi yakakipiga chombohata kikaanza kujaa maji. Naye mwenyewe alikuwapokatika shetri, amelala juu ya mto, wakamwamsha,wakamwambia, mwalimu, si kitu kwako kamatunaangamia? (Marko 4:37-38; Mathayo 8:23-25).

14

Page 15: Zawadi kwa Wakristo

YESU SI MUNGU:KWA SABABU MUNGU NI MMOJA TU

Baadhi ya Wakristo wanatafuta sababu na udhuruwa kumfanya Yesu kuwa Mungu. Kwa mfano husemakwamba Yesu ni Mungu au mwana wa Mungu auYesu ni Mungu mdogo au Yesu ni nafsi moja ya Mungu.Mambo haya yote ni kufuru tupu iliyovuka mipaka. Kwasababu sawa na Biblia Mungu ni mmoja tu. HakunaMungu mdogo wala Mungu mwana.

Biblia inasema:-1. Wewe naam, wewe peke yako ndiye Mungu wa falmezote za dunia; wewe ndiwe uliyeziumba mbingu na nchi.(2 Wafalme 19:15).2. Kwa kuwa ndiwe mkuu, wewe ndiwe mfanyamiujiza, ndiwe Mungu peke yako. (Zaburi 86:10).3 Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe,Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma,(Yohana 17:3).Sasa wakati Mungu wa pekee ni mmoja, hivyo Munguzaidi ya mmoja ni wa uwongo.4. Mwawezaje kuamini ninyi, mnaopokeana utukufuninyi kwa ninyi, na utukufu ule utokao kwa Mungu aliyewa pekee hamwutafuti? (Yohana 5:44).5. ...Hakuna Mungu ila mmoja tu. Kwa maanaijapokuwa wako waitwao miungu, ama mbinguni auduniani; kama vile walivyoko miungu mingi namabwana wengi. Lakini kwetu sisi Mungu ni mmojatu. aliye baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake.(1 Wakorintho 8:4-6). Sawa na aya hizi hakuna Mungu

15

Page 16: Zawadi kwa Wakristo

ila mmoja tu. Ingawa miungu wa bandia wanatajwatajwa mbinguni na ardhini. Basi sasa ambaye anaaminimungu minghairi ya Mwenyezi Mungu anatoka katikaimani na anaingia katika ushirikina kwa sababu yakuwaita miungu zaidi ya mmoja ambaye ni wa kweli nawa pekee.6. ..Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwammoja, ndiye Mungu. (Marko 2:7). Aya hii inathibitishakwamba mwenye kufuta na kuondoa dhambi ni mmojatu ambaye ni Mungu. Yaani hakuna mungu wa pili walawa tatu wala mwenye kufuta dhambi isipokuwaMwenyezi Mungu tu. Siyo aya hizo tu, bali tunaposomaBiblia tunakuta msululu wa aya kadhaa ambazozinataja umoja wa Mungu. Kwa mfano: Kumbukumbu4:39, 6:4; Nehemia 9:9; Isaya 43:10-11; 44:6-8, 44:5.45:21-22, 46:9; Marko 12:32; Luka 18:19; Mathayo4:10; Warumi 3:30; Timotheo 1:17, 2:5. Hakuna ayahata moja inayosema kwamba Yesu ni Mungu.

YESU SI MUNGU:KWA SABABU MUNGU YUPO NDANI NA PAMOJA

NA WENGINE PIA

Baadhi ya Wakristo wanadhani kwamba Yesu niMungu kwa sababu ya baadhi ya maandiko ya Bibliayanayosema kwamba Yesu yupo pamoja na Mungu,bali Mungu yupo ndani ya Yesu na Yesu yupo ndani yaMungu.

Maandishi ya aina hii yote hayamaanishi kwamba

16

Page 17: Zawadi kwa Wakristo

Yesu ni Mungu bali yanaonesha kwamba Mungu naYesu ni tofauti tofauti wala siyo kitu kimoja. Vile vileBiblia haisemi kwamba mtu ambaye anatajwa kuwandani ya Mungu au Mungu yumo ndani yake ni mungu.Kinyume chake Biblia inatutajia watu kadhaa waleambao wako pamoja na Mungu na Mungu yupo ndaniyao na hawa wapo ndani ya Mungu. Tena hakuna Pa-dre yeyote ambaye anawaita watu hawa miungu.

Wakati watu wengine kwa sifa zile zile hawaitwimiungu, kwa msingi na kwa uzuri gani, Yesu aitweMungu? Biblia inasema kwamba:1. “Wote wawe na umoja, kama wewe, Baba, ulivyondani yangu, nami ndani yako; Hao nao wawe ndaniyetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewendiwe uliyenituma. Nami utukufu ule ulionipanimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyoumoja. Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawewamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujuwe yakuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kamaulivyonipenda mimi. (Yohana 17:21-23).2. Mungu mmoja, naye ni baba wa wote aliye juu yayote na katika yote na ndani ya yote. (Waefeso 4:6)3. Siku ile ninyi mtatambua ya kuwa mimi ni ndani yababa yangu, nanyi ndani yangu, mimi ndani yenu.(Yohana 14:20). 4. Nabii Suleimani anasema kwamba: Mimi nilikuwepopamoja na Mungu hata kabla ya kuumbwa ardhi nambingu, (Mithali 8:22-30).5. ....Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawambie,ninapaa kwenda kwa baba yangu naye ni baba yenu,

17

Page 18: Zawadi kwa Wakristo

kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu. (Yohana20:17).6. Kama Wakristo waseme kwamba Yesu ni mungukwa sababu alizaliwa bila baba. Najibu kwamba ayagani inasema kuwa azaliwaye bila baba ni Mungu? Namalaki ya wadudu wanaozaliwa bila baba watakuwana uhusiano gani na Bwana Yesu?

Katika Biblia mfano mzuri zaidi kuliko Yesuunapatikana kwamba: Melkizedeki mfalme wa Salemhana wazazi, hana mwanzo na mwisho, (Waebrania7:3). Sasa kama Yesu anaitwa mungu kwa sababu yakuzaliwa bila baba, Melkezedeki atakuwa mungu mkuukwa sababu hana wazazi, hana mwanzo hana mwisho.Wakristo wanasemaje hapa?

4 YESU SI MUNGU:KWA SABABU NI MWANA ADAMU

Hakuna aya yoyote katika Biblia inayosemakwamba Yesu ni mungu, kinyume kabisa na baadhi yaWakristo wanaoamini kwamba Yesu ni mungu.Tunaposoma Biblia tunakuta aya kadhaa zinazoelezakwamba Yesu ni mwana wa Adamu. Basi mwana waAdamu hawezi kuwa mungu wala mwana wa Mungu.

Biblia inasema:1. Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa,wakasema mlafi huyu na mlevi. (Mathayo 11:19).2. Kwani kama vile Yona alivyokuwa mchana na usikukatika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo, Mwana wa

18

Page 19: Zawadi kwa Wakristo

Adamu atakavyokuwa kwa siku tatu mchana na usikukatika moyo wa nchi. (Mathayo 12:40).3. Yesu akamwambia, mbweha wana pango, nandege wa angani wana viota, lakini mwana wa Adamuhana pa kulaza kichwa chake. (Mathayo 8: 20).Tunaposoma Biblia tunakuta mara nyingi sana Yesuanaitwa Mwana wa Adamu. Kwa mfano: Mathayo 8:20,9:6, 12:40, 14:28, 16:27, 17:22, 24:30 na 26:45. Marko2:10, 9:31 na 14:21-40. Luka 9:44. Yohana 5:27 naMatendo 7:56.

Kama Mwana wa Kondoo ni kondoo - Mwana wambuzi huwa ni mbuzi vile vile Mwana wa Adamu nibinadamu. Haieleweki ni kwa sheria na kanuni ganiMwana wa Adamu anapachikwe jina la Mungu auMwana wa Mungu?4. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, Mwana wa Daudi,Mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

5. YESU SI MUNGU:KWA SABABU SIYO MWANA PEKE YAKE

Baadhi ya Wakristo wanadai kwamba Yesu niMungu kwa sababu kuna sababu ya kuitwa Mwana waMungu. Kama mwana wa Mungu anaweza kuwaMungu basi tuone kati ya hawa wana wa Mungu nakwa nini wote wasiwe miungu? Na kwa nini Mwana waKwanza asiwe Mungu?

19

Page 20: Zawadi kwa Wakristo

WANA WA MUNGU

Biblia inasema kwamba: 1. Bwana asema hivi, Is-raeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu.(Kutoka 4:22).2. Daudi ni mwana wa Mungu, yeye pia ni mwana wakwanza. (Zaburi 89: 26-27).3. ....maana mimi ni baba wa Israeli na Efraim(Ibrahim) ni mzaliwa wa kwanza wangu. (Yeremia 31:9).Hawa wana wa Mungu wote, kila mmoja wao ni mzaliwawa kwanza kwa Mungu. Kwanza itakuwaje watoto wotewatatu wawe wazaliwa wa kwanza kwa Mungu. Pilikwa nini hawa wazaliwa wa kwanza wasiitwe miungu?Na kama hawa watatu wakubwa hawawezi kuwamiungu wala hawaabudiwi, basi mtoto mdogo Yesu piahana haki yoyote ya kuitwa Mungu wala hana haki yakuabudiwa.4. Suleimani ni Mwana wa Mungu. (Mambo ya Nyakati22:9-10).5. Wapatanishao wameitwa Wana wa Mungu.(Mathayo 5:9). Oo! siyo tu bali katika Biblia baadhi yawatu wameitwa miungu. Tena hakuna Mkristo ambayeanawaita miungu wala hawaabudiwi. Kama Bibliainavyosema kwamba:A. Yesu akawajibu, Je! haikuandikwa katika Toratiyenu ya kwamba, mimi nimesema, ndinyi miungu?(Yohana 10:34).B. Bwana akamwambia Musa angalia, nimekufanyawewe kuwa kama mungu kwa Farao na huyo nduguyako Harun atakuwa Nabii wako. (Kutoka 7:1).

20

Page 21: Zawadi kwa Wakristo

6. YESU SI MUNGU:KWA SABABU WENGINE PIA WALIFUFUA WAFU

Wakristo wengine wanasema kwamba Yesu niMungu kwa sababu ya kufufua wafu. Naulizaimeandikwa wapi kwamba mtu ambaye anafufua wafuni Mungu? Ya pili wale wengine ambao walifufua wafupia wanaitwa miungu? Biblia inaeleza kwamba watuwengine pia walifufua wafu na hawaitwi miungu. Ikiwakwa sababu ya kufufua wafu hawaitwi miungu, basiYesu pia hana haki yoyote ya kuitwa Mungu. Bibliainasema: 1. Elisha alifufua mtoto aliyefariki. (2 Wafalme4:35). (2) Maiti alifufuka kwa kuguswa na mifupa yaElisha. (2 Wafalme 13:21). 3. Ezekiel alifufua jeshikubwa. (Ezekiel 37:10).

7. YESU SI MUNGU: KWA SABABU ALIOA

Wakristo wanasema kwamba Yesu ni Mungu nandiyo sababu hakuoa katika maisha yake. Tunaulizani aya gani ya Biblia inayosema kwamba mtu ambayehaoi anaitwa Mungu? Na watu wale ambaohawakujaaliwa kuoa, je, ni miungu ya Wakristo?

Qur'an Tukufu inaeleza kwa jumla kwamba mitumewalioa na wakajaaliwa watoto. “Na bila shakaTuliwatuma mitume kabla yako, na Tukawapa wakena watoto. (Qur'an 13:19).

21

Page 22: Zawadi kwa Wakristo

MKE WA YESUBiblia inasema kwamba Bwana Yesu Kristo alikuwa

akipatikana na mwanamke mmoja aitwaye MariamMagdalena. Yeye alikuwa karibu sana na Yesu. Vitendovyao vinaonesha kwamba, walikuwa mume na mkeau marafiki wapenzi. Sisi hatuamini kwamba nabiianafanya urafiki na mwanamke na kumpangusa miguuyake kwa kichwa na kum’busu, bali yeye alikuwa mkewake. Basi tusome Biblia kisha tuone kwamba huyoalikuwa nani?:1. “Na tazama, mwanamke mmoja wa mji ule,aliyekuwa mwenye dhambi, alipopata habari ya kuwaameketi chakulani katika nyumba ya yule Farisayo,alileta chupa ya marhamu. Akasimama nyuma karibuna miguu yake, na kuipangusa kwa nywele za kichwachake, akiibusu-busu miguu yake na kupaka yalemarhamu. Basi yule Mfarisayo aliyemwalika alipoonavile, alisema moyoni mwake. Mtu huyu kama angekuwanabii angemtambua mwanamke huyu amgusaye, ninani, na ni wa namna gani ya kwamba ni mwenyedhambi. (Luka 7:37-38).2. “Basi mtu mmoja alikuwa hawezi Lazaro waBethana, mwenyeji wa mji wa Mariamu, dada yake.Ndiye Mariam yule aliyempaka Bwana marhamu,akamfuta miguu kwa nywele zake, ambaye Lazaronduguye alikuwa hawezi (Yohana 11:1-2).3. “Basi Mariam akatwaa ratili ya marhamu ya nardosafi yenye thamani nyingi, akimpaka Yesu miguu,akamfuta miguu kwa nywele zake.’’ (Yohana 12:3).4. “Akamgeukia yule mwanamke, akamwambia

22

Page 23: Zawadi kwa Wakristo

Simoni, wamuona mwanamke huyu? niliingia nyumbanikwako, hukunipa maji kwa miguu yangu, bali huyuamenidondoshea machozi miguu yangu; nakuipangusa kwa nywele zake. Wewe hukunibusu; lakinihuyu tangu nilipoingia hakuacha kunibusu sana miguuyangu. Hukunipaka kichwa changu mafuta; bali huyuamenipaka kichwa changu mafuta’’ (Luka 7:44-46).5. “Basi Mariamu pale alipokuwapo Yesu, nakumuona, alianguka miguuni pake, akamwambiaBwana, kama ungalikuwepo hapa, ndugu yanguhangali kufa. Basi Yesu alipomuona analia na waleWayahudi aliyofuatana nao wanalia, aliugua rohoni,akafadhaika roho yake akasema mmemweka wapi?Wakamwambia, Bwana, njoo utazame. Yesu akaliamachozi.’’ (Yohana11:32-35).6. “Biblia inaeleza habari ya arusi moja, iliyofanyikahuko Kana ya Galilaya. Imeandikwa: “Na siku ya tatupalikuwa na arusi huko Kana, mji wa Galilaya; nayemama yake Yesu alikuwapo, Yesu naye alikuwaamealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake. Hatadivai ilipowatindikia, mamaye Yesu akamwambia,Hawana divai. Yesu akamwambia, Mama, tuna ninimimi nawe? Saa yangu haijawadia. Mamayeakawaambia watumishi, lolote atakalowaambia,fanyeni. Basi kulikuwako huko mabalasi sita ya mawe,nayo yamewekwa huko kwa desturi ya Wayahudi yakutawadha, kila moja lapata kadiri ya nzio mbili tatu.Yesu akawaambia, jalizeni mabalasi maji. Naowakayajaza hata juu. Akawambia, sasa tekeni,mkampelekee mkuu wa meza. Wakapeleka. Naye

23

Page 24: Zawadi kwa Wakristo

mkuu wa meza alipoyaonja yale maji yaliyopata kuwadivai, (wala asijue ilikotoka, lakini watumishi walijua,wale walioyateka yale maji), Yule mkuu wa mezaalimwita Bwana arusi, akamwambia, kila mtu kwanzahuandaa divai iliyo njema; hata watu wakiisha kunywasana ndipo huleta iliyo dhaifu; wewe umeiweka divaiiliyo njema hata sasa.” [Yohana 2:1-10].

Katika aya hizi mambo yafuatayo yanathibitishakwamba arusi ile ilikuwa ya Bwana Yesu Kristo.(A) Bwana Yesu, mama yake na wanafunzi wakewalikuwepo huko. Kualikwa katika arusi ya mtumwingine haingewezekana. Kwa sababu hawakuwana uhusiano mzuri na watu wengine, ila waalikwa wote.Basi arusi ilikuwa ya Yesu mwenyewe.(B) Wakati divai ya arusi ilipokwisha, Mariamu mamayake Yesu, alishituka na alihangaika sana, na maramoja alikwenda kwa Bwana Yesu kumwambia afanyechochote sasa, maana itakuwa fedheha mbele yawageni. Mahangaiko ya Bi Mariamu yanaoneshakwamba yeye hakuwa mgeni bali alikuwa mwenyeji namsimamizi wa arusi ya mwanawe Yesu. Waila wagenihawatishiki kwa kupungua au kwisha chakula.(C) Wakati Bwana Yesu aliambiwa apange mpangowa kuongeza divai ya arusi, alimwambia mama yakekwamba leo mimi ni bwana arusi, hivyo siwezikuhangaika. Kwa sababu ya kukaa juu ya kiti chaBwana arusi, saa yangu haijawadia.(D) Bi Mariam aliwaita wanafunzi kumsaidia Yesukupanga mpango wa divai, wote walishughulikakufanya kazi ile. Hiyo inaonesha kwamba arusi ilikuwa

24

Page 25: Zawadi kwa Wakristo

ya Bwana Yesu na wanafunzi wake walikuwawakimsaidia katika shughuli za arusi. Maanahawakuwahi kufanya kitu kama hiki kabla.(E) Mkuu wa meza alikuwa mtu mwingine. Kama arusialikuwa siyo Yesu basi yeye angekuwa mkuu wa mezakulingana na heshima yake. Lakini kama Yesu alikuwabwana arusi basi mwingine anaweza kuwa mkuu wameza.(F) Yule mkuu wa meza alimwita bwana arusi nakumpongeza kwa kutengeneza divai nzuri. Kwavilebwana Yesu ndiye aliyetengeneza divai basi ni yeyepia aliyekuwa bwana arusi.

Basi arusi ya Kana ya Galilaya ilikuwa ni arusi yaBwana Yesu.

Je, mtu aliyeendelea kufanya mapenzi namwanamke au aliyeoa anaweza kuwa mungu?

UKOO WA YESU

Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s.alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufuna wapendwa wa Mwenyezi Mungu. Wanatoka kutokakoo takatifu. Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo MasihiMwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaelezakwamba:A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shakamitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mamayake ni mwanamke mkweli. (Qur'an 5:76).B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya walamama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29).

25

Page 26: Zawadi kwa Wakristo

Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamutunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vilewazee wake.

Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia,tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibayasana. Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia,Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi,bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Bibliainasema kwamba:1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudimwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo38:13-18).4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA(Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimbaya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwamakahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani naBiblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwakatika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’aniausahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema:“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana;hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutanowa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Bibliabado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha

26

Page 27: Zawadi kwa Wakristo

wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu,ninyi mnamtegemea nini? Karibuni, Muhammad s.a.w.mfano wa Musa anawakaribisheni kwa mikono miwili.Kama mnaona kwamba Yesu Kristo ni mtakatifu lakiniBiblia imechafuka kwa mikono ya waandishi, piakaribuni katika dini ya Kiislamu. Qur'an kitabu chaMungu kitawatoshelezeni. Maana sasa hakuna njia yakusalimika isipokuwa katika dini ya Kiislam. Kwahiyokaribuni sana.

YESU KRISTO NI MTUME WA MUNGU

Sisi Waislamu tunaamini, sawa na Qur'an Tukufukwamba Bwana Yesu Kristo (Isa bin Mariamu) alikuwaMtume wa Mwenyezi Mungu. Kama Mwenyezi Mungualivyosema katika Qur'an Tukufu (4:172, 5:76, 61:7).

Ndugu Wakristo wanampandisha daraja la juu kuwamwana wa Mungu na mungu. Bado hatujaelewa ni kwamisingi gani Wakristo wanampendelea hivi ambapoBiblia inaeleza vizuri sana kwamba: Akajibu, akasemasikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba yaIsraeli. (Mathayo 15:24).2. Na uzima wa milele ndiyo huu, wakujue wewe,Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.(Yohana 17:3).3. ... bali yeye ndiye aliyenituma. (Yohana 8:42).4. ... Bali baba aliyenipeleka. (Yohana 14:24).5. ... Wewe ndiye uliyenituma. (Yohana 17:8-14, 21-22)

27

Page 28: Zawadi kwa Wakristo

6. Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe, kamanisikiavyo ndivyo nihukumuvyo. Na hukumu yangu niya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi,bali mapenzi yake aliyenipeleka. (Yohana 5:30, 6:38,4:36). Isitoshe siyo hayo tu, bali Injili zote zimejaa ayazinazoeleza kwamba Yesu ni Mtume tu. Kwa faida yawasomaji wetu ninataja hapa aya chache tu. (Mathayo21:46, 21:11, 9:37. Marko 9:35, Luka 4:43, 24:19.Yohana 13:20, 12:44-50, 7:16-17, 6:44, 7:28-33, 8:16-18, 26-29, 9:4,19:17, 6:14, 15:22, 16:5,17:21-25, 4:19-24-44.

YESU ALITUMWA KWA WANA WA ISRAELI TU

Hapa juu mmekwisha soma tayari kwamba Yesuhakuwa Mungu wala mwana wa Mungu bali alikuwaMtume wa Mungu tu. Yeye hakupewa ujumbe wa utumekwa ajili ya watu wote wa kabila zote. Bali yeye alikuwaMtume kwa ajili ya wana wa Israeli tu. Mwenyewe alijuamipaka ya utume wake. Kwahiyo alisema:1. Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumbaya Israeli. (Mathayo 15:24).2. Wakati mwanamke mmoja asiyekuwa mwana waIsraeli alipokuja kwa Yesu Kristo kuomba baraka zake,Yesu akakataa na zaidi ya kukataa aliwatusi wasiokuwaWaisraeli. “Akasema si vyema kukitwaa chakula chawatoto na kuwatupia m’mbwa.” (Mathayo 15:26, Marko7:27).3. Hao thenashara (kumi na mbili) Yesu aliwatuma,akawaagiza, akisema, katika njia ya mataifa msiende,

28

Page 29: Zawadi kwa Wakristo

wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie.Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wanyumba ya Israeli. (Mathayo 10:5-6).4. Baadhi ya Wakristo wanadhani kwamba wakatiWaisraeli wote wamefikishiwa ujumbe, kisha makabilamengine pia yahubiriwe. Lakini dhana hii si sahihi balini kinyume cha mafundisho ya Bwana Yesu. Yeyeamesema kwamba: “Lakini watakapo wafukuza katikamji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kwelinawambia, hamtaimaliza miji ya Israeli hata ajapomwana wa Adamu. (Mathayo 10:23).5. Bwana Petro mwanafunzi wa Yesu Kristo aliwahubiriwasiokuwa Waisraeli. Wanafunzi wengine, baada yakupata habari hii walimpinga Bwana Petro kwa kosalake. Biblia inasema kwamba: “Basi mitume na nduguwaliokuwako katika Uyahudi wakapata habari yakwamba watu wa mataifa nao wamelipokea neno laMungu. Na Petro alipopanda kwenda Yerusalemu, walewalio wa tohara wakashindana naye, wakisema, uliingiakwa watu wasiotahiriwa ukala nao. “ (Matendo 11:1-3).6. Aya za Biblia zifuatazo zinaeleza kwamba BwanaYesu alikuwa mfalme na mtawala wa Mayahudi.(Mathayo 2:6, 27:29, 27:42, Yohana 1:49.7. Bwana Paulo ambaye ni mpinzani na mhalifu (antiChrist) wa Bwana Yesu, baada ya kuchukia alianzamahubiri nje ya Wasiraeli. Biblia inasema kwamba:“Hata Sila na Timotheo walipoteremka kutokaMakedonia, Paulo akasongwa sana na bila neno,aliwashuhudia Wayahudi ya kwamba Yesu ni Kristowalipopingana naye na kumtukana Mungu,

29

Page 30: Zawadi kwa Wakristo

akakung'uta mavazi yake, akawaambia, damu yenuna iwe juu ya vichwa vyenu, mimi ni safi; tangu sasaninakwenda kwa watu wa mataifa. (Matendo 18:5-6).

Baadhi ya Wakristo wanayo shauku yakugonganisha aya za Biblia. wanasema kwambaBwana Yesu aliagiza kwamba “Basi enendeni,mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi.” (Mathayo28:19).

1. Najibu kwamba aya hii inapinga maagizo yote yaBwana Yesu yaliyotajwa juu. Kwahiyo haiwezi kuwaagizo la Yesu wala aya ya Injili.

2. Ya pili aya hii imeandikwa mwishoni mwa Injili yaMathayo, na nitathibitisha baadaye kidogo kwambaaya za mwanzo na za mwisho za kila kitabu ni zakuongezwa baadaye. Aya zile siyo aya sahihi za Biblia.

3. Ya tatu katika aya 28:19 ya Mathayo neno mataifalimetumika kwa maana ya mataifa ya Israeli. KamaBiblia inavyosema kwamba: “Siku zile amri ilitoka kwaKaisari Augusto ya kwamba iandikwe orodha ya majinaya watu wote wa ulimwengu. (Luka 2:1). KaisariAugusto alikuwa mtawala wa Roma tu. Hakuwa namamlaka yoyote nje ya nchi yake juu ya ulimwengu.Katika aya hii amri iliyotolewa kwa ajili ya ulimwenguna ya nchi ya Roma tu iliyokuwa chini ya utawala waKaisari wala siyo ulimwengu wote. Hivyo ndivyoinavyoeleweka kauli ya Bwana Yesu aliposema:“Enendeni mkawafanye mataifa yote (ya Waisraeli)kuwa wanafunzi. (Mathayo 28:19).

30

Page 31: Zawadi kwa Wakristo

YESU ALILETA UPANGA

Sawa na mafundisho ya Biblia tumeelewa tayarikwamba Bwana Yesu alikuwa mtume kwa kondoowaliopotea wa nyumba ya Israeli. Sasa tuone kwambaBwana Yesu Kristo alileta kitu gani na alitumwa na nini?

Mwenyewe anatueleza lengo la kutumwa kwake,anasema:1. Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani.La, sikuja kuleta amani, bali upanga. Kwa maananalikuja kumfitinisha mtu na babaye, na binti namamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo 10:34-35).2. Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake,na mama yake, na mke wake, na wanawe, na nduguzake waume na wa kike, naam na hata nafsi yakemwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu. (Luka14:26).3. Je, mwadhani ya kwamba nimekuja kuleta amaniduniani? Nawaambia la, sivyo, bali mafarakano. (Luka12:51).4. Bwana Yesu alitayarisha wafuasi wake kwa ajili yakuleta fujo na vurugu na aliwaamrisha akawaambia:“Lakini sasa mwenye mfuko na auchukuwe, na mwenyemkoba vivyo hivyo, naye asiye na upanga akauze joholake akanunuwe upanga. (Luka 22:36).5. Siyo maneno tu bali katika maisha yake alioneshahata kwa vitendo vyake kwamba alikuwa mtu wa fujo.Biblia inasema kwamba: “Yesu aliingia ndani ya hekaluakawafukuza wote waliokuwa wakiuza na kununuahekaluni. Akazipindua meza za wabadili fedha, na viti

31

Page 32: Zawadi kwa Wakristo

vyao waliokuwa wakiuza njiwa.” (Mathayo 21:12).6. Akamwaga fedha za wenye kuvunja fedha,akizipindua meza zao. (Yohana 2:15).7. Kwa sababu ya mafundisho yake, wanafunzi wakewalikuwa wajeuri kiasi hiki kwamba walikuwa wakitumiaupanga kwa ujasiri. Biblia inasema: ”Na tazama, mmojawao waliokuwa pamoja ya Yesu akanyoosha mkonowake, akaufuta upanga wake, akampiga mtumwa wakuhani mkuu, akamkata sikio.” (Mathayo 26:51).

Sasa mmesoma historia ya Bwana Yesu Kristo namafundisho yake kuhusu kuleta fitina na fujo dunianina kuharibu amani ya watu. Na inashangaza wakatibaadhi ya Mapadri wanatangaza au inaandikwa juuya ‘sticker’ za magari kwamba “There is peace in theblood of Jesus” yaani ipo amani katika damu ya Yesu.Ilhali yeye alikuwa siyo mwenye kuleta amani dunianibali upanga, fujo na fitina.

Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu(Masihi) alikuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu na alitumwakwa lengo maalum, lililotajwa kwa ulimi wake katikaQur'an Tukufu kwamba: “Nisadikishaye yaliyo mbeleyangu katika Taurati na kutoa habari njema ya Mtumeatakayekuja nyuma yangu jina lake ni AHMAD.”(QUR'AN 61:7).Pia sawa na mafundisho ya Qur’an Tukufu, nabii Isaa.s. alifungamanishwa na amani katika maisha yakeyote: “Na amani iko juu yangu, siku niliyozaliwa na sikunitakayokufa na siku nitakayofufuliwa kuwa hai.”(19:34).

32

Page 33: Zawadi kwa Wakristo

LUGHA YA YESU

Kila mti hutambulika kwa matunda yake (Luka 6:44)na vile vile mtu anatambulika kwa ulimi na lugha yakekwamba anazo khulka za aina gani? Maana lugha yamtu inaonesha masomo yake, tabia na khulka yake.Katika kitabu hiki tunampima Bwana Yesu Kristo sawana maandiko ya Biblia.

Bila ya kupoteza muda wa wasomaji wangu,ningependa kuwaletea baadhi ya maneno na lughaya Bwana Yesu aliyotumia katika uhai wake.1. Wasioamini (wasio Waisraeli) wameitwa mbwa nanguruwe. (Mathayo 7:6).2. Aliwaita watu wabaya: ”Enyi wazao wa nyoka”(Mathayo 12:34).3. Mayahudi waliitwa: “Kizazi cha zinaa.” (Mathayo12:40,, 16:4).4. Mayahudi waliitwa “Wazinifu na wakosefu.” (Marko8:38).5. “Ole wenu waandishi na wafarisayo, wanafiki,”(Mathayo 23:16).6. “Ole wenu viongozi vipofu.” (Mathayo 23:16).7. “Enyi nyoka, wana wa majoka” (Mathayo 23:33).8. “Watu wengine waliitwa mbwa.” (Mathayo 15:27).9. Aliwaita manabii wenzake: “wote walionitangulia niwevi na wanyang'anyi.” (Yohana 10:8).10. Aliwaita wanafunzi wake: ”Enyi kizazi kisicho amini,kilichopotoka.” (Mathayo 17:17).11. Akamwambia Petro “Nenda nyuma yangu Shetani.”(Mathayo 16:23).

33

Page 34: Zawadi kwa Wakristo

12. Akamwambia mama yake: “Ewe mwanamke ninanini nawe? (Yohana 2:4).13. Akasema mama yangu ni nani na ndugu zangu niakina nani? (Mathayo 12:48).14. Siku ya Kiyama atawaita wahubiri Wakristo:“Nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi mtendaomaovu.” (Mathayo 7:23).

WANAFUNZI WA YESU

Na majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya;Wa kwanza Simon aliyeitwa Petro, na Andrea nduguye;Yakobo wa Zebadayo, na Yohana nduguye; Filipo, naBartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru;Yakobo wa Alfayo; na Thadayo; Simon Mkananayo,na Yuda Iskariote, naye ndiye mwenye kumsaliti.(Marko 10:2-4). Kila mti hutambulika kwa matunda yake (Luka 6:44).Basi tuone mti uliopandwa na Bwana Yesu Kristo,matunda yake ni ya ladha gani? Madarajayaliyofundishwa na Bwana Yesu tuone wanafunzi wakewalikuwa wa aina gani? Yesu alipoleta imani, basituone kiwango cha imani ya waaminio wake.

Sina kawaida ya kuwafundisha watu kwa manenoyangu bali nawafundisha kulingana na maandiko yaomatakatifu. Sasa tuone hali na imani ya wanafunzi waBwana Yesu.1. Yesu alisema, hata sasa ninyi nanyi mngali hamnaakili? (Mathayo15:16).

34

Page 35: Zawadi kwa Wakristo

2. Alimwambia Petro kwamba; “Ewe mwenye imanihaba, mbona uliona shaka? (Mathayo 14:31).3. Petro alikanusha kuwa mfuasi wa Yesu mara tatubali alimlaani. (Mathayo 26:69-75).4. Yuda Iskariote alimuuza Yesu kwa shilingi 30 tu.(Mathayo 26:15).5. Wakati Yesu alikuwa hatarini, wanafunzi waliendeleakulala). Mathayo 26:40-45; Marko 14:36:041).6. Yuda alijinyonga. (Mathayo 27:5).7. Imani ya wanafunzi: “Kwa sababu ya upungufu waimani yenu” (Mathayo 17:20).8. Ndipo wanafunzi wote wakamwacha wakakimbia.(Mathayo 26:50).9. Wengi wataniambia siku ile; Bwana, Bwanahatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoapepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndiponitawaambia dhahiri. Sikuwajua ninyi kamwe; ondokenikwangu, ninyi mtendao maovu. (Mathayo 7:22-23). Hapa juu mmesoma hali na imani ya wanafunziwa Bwana Yesu sawa na Biblia. Lakini sisi Waislamuhatuamini kwamba Nabii yeyote anaweza kushindwakiasi hiki kwamba asiweze kupata matunda ya juhudiyake na athari nzuri isitokee kwa mahubiri namafundisho yake. Hata katika Qur'an Tukufu wanafunziwa Bwana Yesu wametajwa kuwa mfano mzuri juu yaulimi wa Bwana Yesu menyewe. Qur'an: “Enyimlioamini! Muwe wasaidizi wangu kwa MwenyeziMungu kama alivyosema Isa bin Mariam kuwaambiawanafunzi (wake): Ni nani wasaidizi wangu kwa ajiliya Mwenyezi Mungu? Wanafunzi wakasema: Sisi niwasaidizi wa Mwenyezi Mungu.” (Qur'an 61:15).

35

Page 36: Zawadi kwa Wakristo

MIZANI YA IMANI YA WAKRISTO

Bwana Yesu Kristo alieleza mizani na alama zaimani kama ifuatavyo:1. Mkiwa na imani ya punje ya haridali, mtauambiamlima huu, ondoka hapa nenda kule, nao utaondoka;wala halitakuwapo neno lisilowezekana kwenu.(Mathayo17:20; 21:21; Marko 11:22-23, 9:23, Luka17:6, 12, 13).2. Bwana akasema: “Kama mngekua na imani kiasicha chembe ya haridali mngeuambia mkuyu huu,ng'oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii.” (Luka17:7).3. Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambiamkiwa na imani , msipokuwa na shaka, mtafanya sihilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu,ngo'ka ukatupwe baharini, litatendeka. na yoyotemtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea.(Mathayo 21:21-22)4. Amin, Amin, nawaambieni, yeye aniaminiye mimi,kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, nakubwa kuliko hizo atafanya, kwani mimi naenda kwaBaba. (Yohana 14:12-13).5. Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yanguyakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lolote nanyimtatendewa. (Yohana 15:7).6. Tena nawaambia, wawili wenu mtakapopatanaduniani katika jambo lolote watakalo liomba,watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni. (Mathayo7:3-12).

36

Page 37: Zawadi kwa Wakristo

7. Ombeni nanyi mtapewa.... (Mathayo 7:3-12). Katika mizani hii ya imani ya Wakristo, tumejuakwamba Mkristo atatambulika kwa alama zilizotajwahapo juu. Tena hizi ni alama za imani ndogo sana yachembe ya haridali. Lakini kama Mkristo atakuwa naimani kubwa ataweza kuonesha miujiza mikubwa zaidi.

Vilevile Mkristo mwenye imani ni yule ambayeataweza kuonesha miujiza na hasa sawa na ya BwanaYesu bali mikubwa zaidi kuliko yake. Sasa kwanzatutafute miujiza ya Bwana Yesu katika Biblia, tumeonabaadhi yao kama ifuatavyo:1. Kuponya wagonjwa (Mathayo 8:16, 9:22, na 15:21).2. Kuponya walemavu (Mathayo 8:1-3).3. Kuponya mabubu. (Mathayo 9:3-7; 12-22).4. Kuponya mwenye kupooza upande mmoja (kiarusi) (Mathayo 8:5-13. 9:1-7, 12:22).5. Kumponya mwenye kifafa. (Mathayo 17:14-19).6. Kuponya mkono wenye ukoma. (Mathayo 12:15).7. Kuponya mgongo uliopinda (Kibyongo) (Luka 13:10).8. Kuwafufua wafu. (Mathayo 9:24).9. Kugeuza maji kuwa pombe. (Yohana 2:1-9).10. Chakula kidogo kitoshe watu elfu tano. (Mathayo 14:13-21).11. Kutembea juu ya maji. (Mathayo 14:22-23).12. Kuzuia tufani . ( Mathayo 8:23-33). Hapa nimetoa baadhi ya mifano tu ya miujiza yaBwana Yesu. Kama Wakristo hawawezi kuonesha miujiza yaaina hii au alama ya imani yao sawa na Biblia, basi

37

Page 38: Zawadi kwa Wakristo

mambo mawili yanathibitika.A. Bwana Yesu pia hakuonesha mujiza wowote bali nihadithi za kutungwa tu zisizo na ukweli ndani yake.B. Siku hizi Mkristo yeyote hana imani sawa nachembe ya haridali, bali wote wameshapotea tayari nahawana alama au dalili yoyote ya imani. Hali hizi zote mbili ni mbaya sana na za kutisha.Na dawa yake ni moja tu kwamba waingie katika diniya Mwenyezi Mungu, ISLAM, baada ya kutambuaumoja wa Mungu na Mtume Muhammad s.a.w. wailawataendelea kufedheheka siku hadi siku.

TAMBIO: Tunawapa Wakristo tambio (challenge)kwamba kama wanayo imani sawa na chembe yaharidali, watuoneshe miujiza iliyotajwa hapo juu. Mkristommoja au wawili au wajumuike wote, tunataka kuonamiujiza tu ya imani yao, hata Pope au Kasisi waoajitokeze.

WAPINZANI WA YESU / ANTI CHRIST

Bwana Yesu Kristo alitumwa na Mwenyezi Mungualifundisha mafundisho mazuri. Lakini baadayewahalifu wake (Anti Christ) walikuja ambao waliharibumafundisho yake mazuri. Leo ningependa kuwatajabaadhi yao ambao wametenda kinyume cha vitendona mafundisho yake. Kwa mfano:

38

Page 39: Zawadi kwa Wakristo

PAULO NI MPINZANI WA YESU Yesu alisema:1. Katika njia ya Mataifa msiende. (Mathayo 10:5).Lakini Paulo akafundisha:A. Nimekabidhiwa Injili ya wasiotahiriwa. (Wagalatia2:7, maandishi ya Paulo).B. Amewafungulia mataifa mlango wa imani. (Matendoya Mitume 14:27).2. Yesu alitahiriwa sku ya 8 (Luka 2:21). Yohanaalitahiriwa siku ya 8 (Luka 1:59). Paulo alitahiriwa sikuya 8 (Wafilipi 3:5) Lakini yeye mwenyewe alipingakutahiriwa (Wagalatia 5:2-6).Yesu alisema:3. Msidhani kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii;la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin,nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka,yodi moja wala nukta moja ya Torati haitaondoka, hatayote yatimie. Basi mtu yeyote atakayevunja amri mojakatika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo,ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; balimtu atayezitenda na kuzifundisha , huyo ataitwamkubwa katika ufalme wa mbinguni. Maananawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo hakiya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katikaufalme wa mbinguni. (Mathayo 5:17-20).Lakini Paulo anasema: Sheria ni laana. (Wagalatia 2:16-21, 3:10-13).Warumi 7: yote).4. Bwana Yesu alisema:Msichukuwe dhahabu, wala fedha, wala mapesamifukoni mwenu: (Mathayo 10:9).

39

Page 40: Zawadi kwa Wakristo

Hivyo Wakristo wale ambao wanakusanya mali niMadajjali (AntiChrist).5. Bwana Yesu alisema: Lakini mimi nawaambiamsishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigayeshavu la kuume mgeuzie na la pili. Na mtu atakayekukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na johopia. (Mathayo 5:39-40). Hivyo Wakristo wale ambaowanagombana ni Madajjal (Ant Christ).6. Yesu pia alikataza kuitwa Kristo: Ndipoalipowakataza wanafunzi wake wasimwambie mtuyeyote kwamba yeye ndiye Kristo. (Mathayo 16:20). Hivyo Wakristo ambao wanatangaza kwamba Yesundiye Kristo ni Madajjal (Ant Christ).7. Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, nabinti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo10:35, Luka 14:26, 12:51, 5:2) Hivyo Wakristo ambao wanapenda amani walahawatumii upanga ni Madajjal (Anti Christ).

TABIRI ZA YESUKila mti hutambulika kwa matunda yake.” (Luka

6:44). Sawa na usemi huu wakati tunampima BwanaYesu Kristo tunamkuta kwamba ameanguka vibayasana. Ingawa sisi tumempenda na tumemuheshimu.Lakini kumpenda kwetu hakumsaidii. Maana Bibliainamuangusha vibaya sana. Kwa mfano:(1) “Amini nawaambieni, pana watu katika hawawasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa,hata watakapo muona mwana wa Adamu akija katikaufalme wake.” (Mathayo 16:28). Watu ambao walikuwa

40

Page 41: Zawadi kwa Wakristo

pamoja naYesu na vizazi vyao zaidi ya hamsiniwamekwisha kufa tayari. Hakuna mmoja wao ambayeameweza kushuhudia, mwana wa Adamu (Yesu Kristo)akija katika ufalme wake.

Kwahiyo utabiri wa Yesu haujatimia baliimeonekana uwongo.2. “Yesu akamwambia, amin, nawaambia ya kwambaninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya,atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufuwake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili,mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israel.” (Mathayo19:28).

Katika aya hii Bwana Yesu Kristo aliwabashiriawanafunzi wake kumi na wawili kuhusu mwisho mwemawa kiimani na kuwa viongozi wa makabila ya Waisraeli.Lakini mwanafunzi wake mmoja bwana Yudahakumuasi tu bali alimuuza kwa shilingi thelathini. Kwahivi alitoka katika imani na ufalme wa kiroho. Bibliainasema kwamba: “Wakati huo mmoja wa walethenashara, jina leke Yuda Iskariote, aliwaendeawakuu wa makuhani, akisema, ni nini mtakacho nipa,nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vipandethelethini vya fedha.” (Mathayo 26:14 -15).3. Bwana Yesu Kristo alisema kwamba: “(Ewe Petro)nami nitakupa funguo za ufalme wa mbinguni, na loloteutakalo lifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni,na lolote utalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwambinguni.” (Mathayo 16:19). Katika aya hii Bwana Yesualim'bashiria Petro kwamba ataendelea vizuri kiimanikwa hali ya juu, lakini hali inaonesha kwamba utabiri

41

Page 42: Zawadi kwa Wakristo

huu wa Bwana Yesu ulivurugika vibaya mno. Hatainaonekana aibu kutaja utabiri ule. Biblia inasemakwamba: “Na Petro alikuwa ameketi nje behewani;kijakazi mmoja akamwendea, akasema, wewe naweulikuwapo pamoja na Yesu wa Galilaya. Akakana mbeleya wote, akisema, sijui usemalo. Naye alipotoka njehata ukumbini, mwanamke mwingine alimuona,akawaambia watu walio kuwako huko, huyu alikuwapamoja na Yesu Mnazareti. Akakana tena kwa kiapo,simjui mtu huyu. Punde kidogo, wale walio hudhuriawakamwendea, wakamwambia Petro, hakika wewenawe u mmoja wao. Kwa sababu hata usemi wakowakutambulisha. Ndipo akaanza kulaani na kuapa nakusema, simjui mtu huyu.” (Mathayo 26:69-74).4. “Yesu akamwambia mwizi mmoja aliyekuwa pamojanaye msalabani: “Amin, nakuambia leo hii utakuwapamoja nami peponi.” (Luka 23:43). Aya hii inaoneshakwamba siku ya kusema habari hii Bwana Yesu Kristona huyu mwizi wangeenda peponi kwa Baba lakiniinaonekana kwamba utabiri huu haukutimia, maanabaada ya siku ya tatu Yesu bado alikuwa duniani. Bibliainasema kwamba Yesu alimwambia, usinishike, kwamaana sijapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Babayenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.”(Yohana 20:17). Katika mifano hii ya Biblia tumejaribukuonesha watu baadhi ya matunda ya tabiri za Yesu,na kila mmoja analalamika kwamba matunda haya nimachungu sana. Kwahiyo mti umetambulika kwamatunda yake.

42

Page 43: Zawadi kwa Wakristo

BWANA YESU HAKUFIA MSALABANI

Msingi wa Ukristo siku hizi ni kifo cha msalaba chabwana Yesu a.s. Mayahudi na Wakristo wanadhanikwamba Bwana Yesu alifariki juu ya msalaba, kifocha laana.A. Mayahudi walidhani hivi kwa sababu ya kupatanafasi ya kumkataa Bwana Yesu, kuwa wa kweli,maana Torati inasema kwamba “Aliyetundikwaamelaaniwa na Mungu, (Kumbukumbu la Torati 21:23).Kwahiyo Mayahudi walitaka sana kumfisha Yesumsalabani ili athibitike kuwa mlaaniwa na mlaaniwahawezi kuwa Nabii wa Mungu.B. Wakristo walikubali kwamba Yesu alikufamsalabani kwa sababu waliambiwa kwamba Yesuamebeba dhambi za watu kwa kufa msalabani. Hiviwavivu wote ambao hawataki kufuata sheria ya Mungu,mara moja walikubali kwamba damu ya Yesuimetuokoa. (Wagalatia 3:13).

Qur'an Tukufu inapinga dhana hii na inatuelekezakwenye ukweli wa jambo. Mwenyezi Mungu anasemakwamba: “Na kusema kwao: Hakika tumemuuwaMasihi Isa Mwana wa Mariamu, Mtume wa Mungu, Halihawakumuuwa wala hawakumfisha msalabani, balialifananishwa kwao (kama maiti). Na kwa hakika walewaliohitilafiana kwalo, Yakini wana shaka nalo, waohawalijui hakika yake isipokuwa wanafuata dhana. Nakwa yakini wao hawakumuuwa. (Qur'an 4:158).

Baada ya kupata hakika ya hali katika Qur'anTukufu, wakati tunasoma Biblia tunaona kwamba Biblia

43

Page 44: Zawadi kwa Wakristo

pia inasadikisha kwamba Bwana Yesu hakufiamsalabani. Nitaeleza hapa hoja za Biblia moja baadaya moja, zinazothibitisha kwamba Bwana Yesu hakufiamsalabani kabisa.1. Kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu. (Kumb.21:23, Wagalatia 3:13). Basi mtu ambaye anafarikijuu ya mti wa msalaba ndiye maluuni na maluunianakuwa mbali na Mungu hawezi kuwa karibu naMungu. Na mtu ambaye yu mbali na Mungu hawezikuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu.

Tunaamini kwamba sawa na Qur'ani na BibliaBwana Yesu alikuwa Nabii wa Mungu, tenakachanguliwa na kubarikiwa. Kwahiyo haiwezikanikwamba Bwana Yesu afe kifo cha laana cha msalaba.

UTABIRI WA KUSALIMIKA

2. Bwana Yesu mwenyewe katika uhai wake alitabirikwamba atapata matatizo, lakini hatakufa kwamatatizo yale, bali atasalimika. Alieleza habari kwamfano. Bwana Yesu akajibu, akawaambia, kizazi kibayana cha zinaa chataka ishara, wala hakitapata ishara,ila ishara ya Nabii Yona. Kwani kama vile Yonaalivyokaa siku tatu mchana na usiku katika tumbo lanyangumi, hivyo ndivyo mwana wa Adamuatakavyokuwa siku tatu mchana na usiku katika moyowa nchi. (Mathayo 12:39-40).

Aya hizi za Biblia zinaonesha kwamba Bwana Yesuhakuleta miujiza mingi bali wakati aliombwa kuoneshamiujiza, aliwatayarisha watu na aliahidi kuwaonesha

44

Page 45: Zawadi kwa Wakristo

muujiza mmoja tu.Aliahidi kuonesha mujiza sawa na mujiza wa Nabii

Yona. Mujiza wa Nabii Yona ni huu kwamba aliingiakatika tumbo la nyangumi akiwa hai, alibaki ndani yatumbo la nyangumi siku tatu akiwa hai, na wakatialipotoka tumboni mwa nyangumi alikuwa hai. Yaanikuingia katika tumbo la nyangumi na kukaa kwa sikutatu ndani na kutoka humo akiwa mzima, si kawaidabali mtu anakufa katika hali hii. Lakini Nabii Yonaalijaaliwa kubaki hai katika muda huu wote kwa msaadawa Mwenyezi Mungu. Maana katika tukio hili la kukaakatika tumbo la nyangumi kwa siku tatu usiku namchana siyo muujiza bali muujiza ni kuendelea nauzima na uhai katika hali ile ngumu. Hivyo ndivyoBwana Yesu alitabiri kwamba atakuwa hai wakatiakiingia na kukaa na kutoka katika tumbo ardhi / nchi.

Sasa tuchunguze kwamba Bwana Yesu aliwahikutimiza ahadi yake au hapana. Ndugu Wakristowanasema kwamba Bwana Yesu hakuweza kuoneshamuujiza wake huu wa pekee. Kwa sababu wakati wakuingia katika tumbo la radhi na muda wa kukaa humoalikufa. Kwahiyo hakuweza kutimiza ahadi yake. Nawakati hakuweza kuonesha muujiza wake wa pekeebasi akaondoka bila muujiza wowote.

Lakini sisi Waislamu tunaamini kwamba BwanaYesu Kristo alionesha mujiza ule aliowaahidi kuonesha.Maana aliingia katika tumbo la ardhi akiwa hai na alikaahuko siku tatu nzima. Sawa kabisa na hali ya YonaNabii.

45

Page 46: Zawadi kwa Wakristo

3. DAMU ILITOKA

Bwana Yesu Kristo alipigiliwa msalabani, damu yakeilimwagika na kwa sababu ya udhoofu na shida ilealizimia. Mayahudi waliokuwa na hamu sanakutangaza kifo chake cha laana, mara walitangazakwamba Bwana Yesu ameshafariki msalabani ilihalializimia tu. Biblia inasema kwamba: Lakini walipomjiaYesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa hawakuvunjamiguu. Lakini askari mmoja alimchoma ubavuni kwamkuki, na mara ikatoka damu na maji. (Yohana 19:33-34).

Kifo cha Yesu juu ya msalaba ni dhana ya watu kwasababu ya kuzimia kwake. Waila wakati alipochomwamkuki ubavuni, mara ikatiririka damu na maji ambayoni dalili ya uhai wake. Maana kutoka mfu au maiti damuhaitoki kwa nguvu.

Bwana Yesu alikuwa bado msalabani na ilidhaniwakwamba ameshafariki wakati ule, baada ya kuchomwamkuki, kutoka kwa damu na maji, tena kwa nguvu nidalili ya uhai wake. Kwahiyo tunaamini kwamba BwanaYesu hakufia msalabani bali Mwenyezi Mungualimsaidia kutimiza ahadi yake.

4. MAOMBI YALIKUBALIWABwana Yesu Kristo wakati alikamatwa na Mayahudi

na alikaribia kuteswa katika mikono ya watu,alimwomba Mungu sana. Alianguka mbele Yake,

46

Page 47: Zawadi kwa Wakristo

alimkumbusha ahadi yake na alilia kuomba msaadawa Mwenyezi Mungu. Biblia inasema kwamba: Yesualienda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi akaombaakisema; Baba yangu ikiwezekana kikombe hikikiniepuke walakini si kama nitakavyo mimi bali kamautakavyo wewe. (Mathayo 26:39).

Bwana Yesu Kristo alikuwa na yakini kwambamaombi yake yamekubaliwa na ndiyo maana alipoonahali imekuwa mbaya zaidi hata kinyume cha matarajioyake, akashangaa kwa kusema “Eloi, Eloi, LamaSabakthani? Yaani Mungu wangu, Mungu wangu,mbona umeniwacha? (Mathayo 27:46 na Marko 15:34).

Alilia hivyo kwa sababu Bwana Yesu alikuwa nayakini ya kukubaliwa maombi yake na ya kupatamsaada wa Mwenyezi Mungu. Kwa sababu MwenyeziMungu hukubali maombi ya waja wake, na Bibliainashuhudia kwamba maombi ya Bwana Yesuyalikubaliwa, inasema kwamba: “Yeye katika siku hizoza mwili wake alimtolea yule aliyeweza kumuokoa nakumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kuliasana na mchozi akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mchaMungu. (Waebrania 5:7).

Mwenyezi Mungu mwenye uwezo wa kumuokoa nakuwasalimisha watu, alimwokoa Bwana Yesu piakutoka kifo cha laana, kikombe cha mauti. Na baadaya kukubaliwa maombi Bwana Yesu alimshukuru sanaMungu wake, “akasema Baba nakushukuru kwa kuwaumenisikia nami nilijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote. (Yohana 11:41-42).

Sasa wakati Biblia inatangaza kwamba Bwana Yesu

47

Page 48: Zawadi kwa Wakristo

alimuomba Mungu kuondolewa kikombe na kifo chamsalaba, Mwenyezi Mungu alikubali maombi yake.Lakini leo wapo baadhi ya wapinzani wa Yesu ambaowanasema kwamba Mwenyezi Mungu hakujali maombina machozi ya Yesu wala hakumsaidia kumsalimishakutoka hila za Mayahudi. Na kikundi hiki cha Mapadrihata hawajali kufuta na kubadilisha aya za Biblia, iliwaweze kutimiza matamanio na malengo yao. Hatawanasahau kwamba kwa njia hii wanamfedheheshaBwana Yesu na wanamtenganisha na MwenyeziMungu.

Lakini sisi Waislamu tunaamini kwamba BwanaYesu alikuwa mpendwa wa Mwenyezi Mungu naalikubaliwa maombi yake.

5. MPANGO WA HAKIMUBwana Yesu Kristo alikamatwa na kesi yake

ilipelekwa katika mahakama ya Pilato. Hivyo hakimu,Bwana Pilato alichunguza na kugundua kwambaBwana Yesu hana kosa lolote, bali anashitakiwa burekwa sababu ya imani yake tu. Yeye alitaka kumwachiahuru Yesu. (Mathayo 27:22, Luka23:20, Marko 15:9,Yohana 18:38-40 hadi 19:14-15 na Matendo 3:13).Vilevile mke wake aliogopeshwa ndotoni kuhusuBwana Yesu. Kwahiyo alimshauri mumewe kumwachahuru Yesu. (Mathayo 27:19).

Lakini Mayahudi walikataa shauri la kumwachahuru Yesu. Basi bila shaka Bwana Pilato alitumia mbinuzingine kumsaidia Bwana Yesu kwa siri. Alipangampango wa aina hii kwamba maadui pia waridhike,

48

Page 49: Zawadi kwa Wakristo

wasiwe na malalamiko, na Yesu naye asife juu yamsalaba. Kwahiyo alikuwa na yakini kwamba Yesuhawezi kufa juu ya msalaba. Hiyo ni sababu Pilatoakastaajabu alipoambiwa kwamba Yesu amekwishakufa. (Marko 15:44).

Bwana Pilato alijua kwamba mtu hawezi kufa katikamuda wa saa chache wala wezi wawili pia hawakufarikijuu ya misalaba yao waliopigiliwa pamoja na Yesumpaka walipovunjwa miguu yao na wakauwawa.Wakati mtu wa kawaida hafi msalabani katika sikuchache, itakuwaje Bwana Yesu afe mara moja, ambayealikuwa na afya nzuri kiasi hiki kwamba aliweza kukaana njaa kwa siku 40, usiku na mchana, bila kulachakula wala kunywa maji. (Mathayo 4:2).

6. YESU HAKUZIKWA KABURINI

Kawaida ni hii kwamba mtu anapofariki anazikwakaburini. Lakini Bwana Yesu Kristo hakuzikwa kaburinibali alipumzishwa katika chumba fulani, ili atibiwe palemajeraha yake. Wakati walimuweka katika pango kishawatu wake walifunga mlango wa chumba kile kwakuweka jiwe kubwa na wala sio kufukia kwa mchangakama ilivyo kawaida ya kuzika. (Mathayo 27:60 naMarko 15:46).

Wenzake Bwana Yesu walijua vizuri kwambaBwana Yesu hajafa. Kwa sababu hiyo hawakumzika,wakati Bwana Yesu alipumzika vya kutosha na alijisikiavizuri, alitoka kutoka chumba kile na alienda mahalipengine.

49

Page 50: Zawadi kwa Wakristo

7. YESU ALIKUWA HAIWakati wa kuondoka kutoka chumba kile alituma

ujumbe kwamba wanafunzi wake wamkute Galilaya.(Mathayo 38:7 na Marko 16:7). Baada ya kupataujumbe huu wanafunzi wote walifika Galilaya. Baadhiyao walidhani kwamba Yesu ameshafariki tayari. Katikasomo hili Biblia inasema kwamba: “Na walipokuwakatika kusema habari hiyo, yeye mwenyewe alisimamakatikati yao, akawaambia, Amani iwe kwenu.Wakashituka, wakaogopa sana, wakidhani ya kwambawanaona Roho. Akawaambia mbona mnafadhaika?Na kwa nini mnaona shaka mioyoni mwenu? Tazamamikono yangu na miguu yangu, ya kuwa ni mimimwenyewe. Nishikeni-shikeni, mwone; kwa kuwa rohohaina mwili na mifupa kama mnavyoniona mimi kuwanayo. Na baada ya kusema hayo aliwaonyesha mikonoyake na miguu yake. Basi walipokuwa hawajaaminikwa majeraha, huku wakistaajabu, aliwaambia mnachakula chochote hapa? Wakampa kipande chasamaki wa kuokwa. Akakitwaa, akala mbele yao. (Luka24:36-43).

Tena Biblia inaondoa shaka ya kwamba Yesuhakufia msalabani bali aliendelea na uhai wakebaadaye na aliendelea kukutana na wanafunzi wake.Biblia inasema: “Naye akiisha kusema hayo,akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Basi walewanafunzi wakafurahi walipomwona Bwana. Basi Yesuakawaambia tena, Amani iwe kwenu; Kama Babaalivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi.(Yohana 20:20-21).

50

Page 51: Zawadi kwa Wakristo

Bwana Tomaso bado alidhani kwamba huyu siyoYesu bali ni Roho yake. Bwana Yesu aliondoa hatashaka yake pia. Biblia inasema kwamba: “Basiwanafunzi wengine wakamwambia, tumemuonaBwana. Akawaambia, nisipoziona mikononi mwakekovu za misumari, na kutia kidole changu katika mahalipa misumari, na kutia mkono wangu katika ubavu wake,mimi sisadiki hata kidogo. Basi, baada ya siku nne,wanafunzi wake walikutana ndani tena, na Tomasopamoja nao. Akaja Yesu na milango imefungwa,akasimama katikati, akasema, Amani iwe kwenu. Kishaakamwambia Tomaso, lete hapa kidole chako; uitizamemikono yangu. Ulete na mkono wako uutie ubavunimwangu, wala usiwe asiye amini bali aaminiaye.(Yohana 20:26-27).

Kwa njia hizi zote Bwana Yesu alithibitisha kwambatangazo lile la kifo na kuuawa kwake lilikuwa la uwongo.Yeye hakufia msalabani. Alisalimika na alihamia nchinyingine za mashariki.

Sasa kabla ya kumaliza somo hili naomba wasomajiwasome andiko hili. Biblia inasema: “ Basi, ikiwa Kristoanahubiriwa ya kwamba amefufuka katika wafu,mbona baadhi yenu husema kwamba hakuna kiyamaya wafu? Lakini kama hakuna kiyama ya wafu, Kristonaye hakufufuka; tena kama Kiristo hakufufuka, basi,kuhubiri kwetu ni bure na imani yenu ni bure. Naam,na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo waMungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwaalimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu

51

Page 52: Zawadi kwa Wakristo

hawafufuliwi. Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristonaye hakufufuka. Na kama Kristo hakufufuka, imaniyenu ni bure; mngalimo katika dhambi zenu. Na hapowao nao waliolala katika Kristo wamepotea. Kamakatika maisha haya tumemtumaini Kristo, sisi tumaskini kuliko watu wote” (1Wakorintho 15:12-19).

Katika aya hizi imeelezwa kwamba kama watuhawatafufuka, Bwana Yesu pia hatafufuka. Na sotetunajua kwamba wafu watafufuka katika Akhera walasiyo katika dunia hii. Hivyo ndivyo Bwana Yesu piaatafufuka katika Akhera wala siyo katika dunia hii.Biblia inasema kwamba: “Wafu hawawezi kurejeaduniani.” (Ayubu 7:9). Katika aya hizi jambo la pililimetajwa kwamba kama Kristo hakufufuka na wallahihakufufuka, basi imani yenu ni bure. Mngalimo katikadhambi zenu. Yaani hakuna faida yoyote kuamini kifocha laana na kufufuka kwake.

Habari ya tatu imeelezwa kwamba waliolala katikaKristo wamepotea. Na ya nne, hao ni maskini kulikowatu wote.

Enyi ndugu Wakristo, sisi tunawapendeni msifemioyo. Hamna kosa bali hamkujua. Basi sasa jiungenina dini ya Kiislam. Karibuni sana, Dini ya Kiislamitawapatieni kila heshima. Na hiyo ni njia moja yakusalimika, Muda wa kutosha mmeupoteza tayari. Sasaharakisheni kueleka kwenye njia iliyonyooka, Dini yaMwenyezi Mungu yaani ISLAM. Karibuni sana.Bwana Yesu hakufia msalabani wala hakufufukaduniani.

52

Page 53: Zawadi kwa Wakristo

8. SAFARI YA KUTAFUTA KONDOO WALIOPOTEABwana Yesu hakuweza kuuawa mapema bila

kumaliza jukumu lake alilopewa na Mwenyezi Mungu.Mwenyewe anasema: “Na kondoo wengine ninaoambao si wa zizi hili, na hao nao imenipasa kuwaletana sauti yangu wataisikia kisha kutakuwapo kundi mojana mchungaji mmoja. (Yohana 10:16).

Historia inatuonyesha kwamba makabila kumi yaWaisraeli walikimbilia mashariki kwa kutafuta amani namawasiliano yalikatika baina yao. Kwa sababu hiiwanawaita kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Bwana Yesu hakuweza kuyatafuta makabila hayakabla ya tukio la msalaba. Kwahiyo ilikuwa ni lazimaasife mpaka atimize ahadi yake ya kuwatafuta kondoowaliopotea. Na kwa kweli Bwana Yesu alipitia nchikadhaa wa kadha mwishowe alifika India, na aliwatafutana kuwakuta kondoo hawa. Na kondoo walimtambuamchungaji wao, alipofariki alikuwa na wafuasi wengiwenye imani safi na imara wala hakufa kifo cha laanana cha kushindwa.

Baada ya miaka kadhaa wakati Mwenyezi Mungualipomtuma Mtume Muhammad s.a.w. Hawa kondoowote walimpokea Muhammad s.a.w. Sawa namafundisho ya Bwana Yesu. Hiyo ni sababu katika nchiza Mashariki kondoo wanapatikana kwa uchache sana.

Kwa maelezo zaidi, tafadhali soma kitabu YesuKatika India cha Sayyidna Ahmad a.s. na Yesu KafiaWapi? cha Maulana J.D. Shams. Vyote hivyovinapatikana kutoka kwetu.

53

Page 54: Zawadi kwa Wakristo

KAFARA YA YESU HAISAIDII CHOCHOTE

Wakristo wanaamini ya kwamba Adamu na Hawawalifanya dhambi kisha wazao wao wote wanarithidhambi hiyo (dhambi ya asili). Na Mwenyezi Munguhawezi kuondoa adhabu ya dhambi ile bila kumwagadamu, na hakuna mtu yeyote anayeweza kuokoka bilaya kafara. Na anatolewa kafara ambaye hana dhambiyoyote. Na wakati wanadamu wote wanarithi dhambihiyo, yeyote hawezi kutolewa kafara. Kwa sababu hiyoMwenyezi Mungu alimtoa Bwana Yesu Kristo atolewesadaka na damu yake iwe kafara ya dhambi za watuwote. Lengo la kutumwa kwa Yesu lilikuwa ni kuwaokoawanadamu kwa kafara ya damu yake.

Katika kurasa zifuatazo nitachunguza na kuzipimahoja zote za Wakristo kuhusu kafara. Na itathibitikaya kwamba kafara ya Bwana Yesu haisaidii chochote.

(i) Mwenyezi Mungu ambaye ni Muumba waulimwengu aliye mwingi wa rehema na mwingi waukarimu hataki kafara ya watu kama alivyosema.“Nataka rehema wala siyo sadaka.” (Mathayo 12:7).Hiyo ni sababu wakati Nabii Musa alipotaka kujitoakafara, Mwenyezi Mungu hakukubali mawazo yake.Biblia inasema ya kuwa: “Asubuhi yake Musaakawaambia watu, mmetenda dhambi kuu. Sasanitakwenda juu kwa Bwana, labda nitafanya upatanishokwa ajili ya dhambi yenu. Musa akarejea kwa Bwanaakasema: “Aa!! watu hawa wametenda dhambi kuu,wamejifanyia mungu wa dhahabu. Walakini sasa, ikiwautawasamehe dhambi yao na kama sivyo unifute,

54

Page 55: Zawadi kwa Wakristo

nakusihi, katika kitabu chako ulichokiandika. Bwanaakamwambia Musa, mtu yeyote aliyenitenda dhambindiye nitakayemfuta katika kitabu changu.” (Kutoka32:30-33).(ii) Ikiwa lengo lilikuwa ni kuwasamehe watu, basiwatu walisamehewa kwa maombi ya Nabii Musa tu.Wala haikuhitajika kumwagika damu ya mtu. KamaNabii Musa mwenyewe alivyosema: “Nikaanguka nchimbele za Bwana siku arobaini usiku na mchana, kamapale kwanza; sikula chakula wala kunywa maji ; kwasababu ya makosa yenu yote mliyokosa, kwa kufanyayaliyo maovu machoni pa Bwana, kwa kumkasirisha.Kwa kuwa niliogopa hasira na makamioaliyowakasirikia Bwana kutaka kuwaangamiza. LakiniBwana alinisikiza wakati huo nao. Bwana akamkasirikiasana Haruni akataka kumwangamiza; nikamwombeaHarun naye wakati huo. (Kumbukumbu la Torati 9:18-20).

Siyo hiyo tu, bali wapo watu kadhaa wale ambaohawana dhambi bila ya kumwagwa damu ya Yesu. Kwamfano, katika Biblia imesemwa kuwa: “Melkizedekihana baba, hana mama, bali amefananishwa naMwana wa Mungu huyo adumu kuhani milele.”(Waebrania 7:3).

Melkizedeki aliumbwa bila ya wazazi wawili, nahuyo hana dhambi aliyorithi toka kwa wazazi. Vile vileEnoko alienda pamoja na Mungu. (Mwanzo 5:22).Enoko akiwa pamoja na Mungu kwa kuwa hakuwa nadhambi, kwa maana mwenye dhambi hawezikumkaribia Mungu. Vile vile Biblia imesema kwambaZakaria na mkewe Elizabeti hawakuwa na dhambi.

55

Page 56: Zawadi kwa Wakristo

“Zamani za Herode, mfalme wa Uyahudi, palikuwa nakuhani mmoja jina lake Zakaria wa Zamu ya Abiya, namkewe alikuwa mmoja wa uzao wa Haruni, jina lakeElizabeti na wote wawili walikuwa wenye haki mbeleza Mungu wakiendelea katika amri zote za Bwana namaagizo yake bila lawama.” (Luka 1:5-6). Kama hawa wazee wawili hawakuwa na dhambindivyo vivyo mtoto wao Yohana hakuwa na dhambi.Imesemwa kuwa: “Sababu atakuwa mkuu mbele zaBwana hatakunywa divai wala kileo naye atajazwa rohomtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.” (Luka1:15). Sasa basi, ikiwa watu wote hawa walikuwa wemana hawakuwa na dhambi yoyote, kabla ya damu yaYesu, sifa hizo walizipata vipi?.

(iii) Bibla inapinga na kufutilia mbali mawazo yakuwa mtu anaweza kubeba dhambi za mtu mwingine.Kama Mwenyezi Mungu alivyosema:(A) “Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, walawatoto wasiuawe kwa ajili ya baba zao. Kila mtu auawekwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.” (Kumb. 24:16).(B) Lakini kila mtu aipime kazi yake mwenyewe, ndipoatakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsiyake tu, wala si ya mwenzake.” (Wagalatia 6:4). Wakatimtu hawezi kubeba dhambi za mtu mwingine, Mapadriwa leo wanahubiri kinyume na fundisho hili la Bibliakwa msingi gani?

(iv) Bwana Yesu hakujua lengo la kutumwa kwakekwamba ni kutolewa sadaka au kafara, kwa sababuhiyo alikuwa na hofu ya hali ya juu ya kuuwawa kwake.Ndiyo maana alijificha kama isemavyo Biblia: (A) “Basi

56

Page 57: Zawadi kwa Wakristo

tangu siku ile walifanya shauri ya kumuwa kwahiyoYesu hakutembea tena kwa wazi mpaka mji uitwaoEframu akakaa huko pamoja na wanafunzi wake.”(Yohana 11:53-54).(B) Maadamu mnayo nuru iaminini nuru hiyo ili mpatekuwa wana wa nuru. Hayo aliyasema Yesu, akaendazake, akajificha wasimwone.” (Yohana 12:36). Sasamtu ambaye anasemekana kwamba alikuja kumwagadamu yake kwa ajili ya kuwaokoa watu kwa ninialijificha ficha? Na wakati alipotakiwa kumwaga damualipiga mayowe? Kama tuirejeapo Biblia: “Na kamasaa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema“Eloi, Eloi lamasabaktani? Yaani Mungu wangu! Munguwangu mbona umeniacha? (Mathayo 27:46). KamaYesu hakutaka kumwaga damu yake kwa hiyari yake,basi hii si sadaka wala kafara, bali ni kumshinikiza.Vilevile kama mtu anamsaidia masikini kwa hiyari yake,hii inakuwa ni sadaka, na kama ataporwa na masikinihiyo haitaitwa sadaka, bali hii itaitwa ni wizi au ujambazi.

MTUME MUHAMMAD S.A.W. KATIKA BIBLIATunasoma katika vitabu vya Mwenyezi Mungu

kwamba Mtume ambaye anakuwa karibu kutumwakatika siku zijazo alama zake zinatajwa mapema iliwatu waweze kujiandaa kumpokea. Kwa msingi huuwakati tunasoma Biblia tunakuta kwamba MtumeMtukufu Muhammad s.a.w. ametajwa kwa alama naishara zilizo wazi, Baadhi ya mifano nitaeleza katikakurasa zijazo.

57

Page 58: Zawadi kwa Wakristo

(1) MTUME MFANO WA MUSANabii Musa alitubashiria kwamba Mwenyezi Mungu

alisema: “Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwandugu zao mfano wako wewe, Nami nitatia manenoyangu kinywani mwake naye atawaambia yote nitakayomwambia. Hata itakua mtu asiye sikiliza maneno yanguatakayoyasema yule kwa jina langu, nitalitaka kwake.Lakini nabii atayenena neno kwa kujikinai kwa jinalangu, ambalo sikumuagiza kulinena, au atakaye nenakatika jina la miungu wengine, nabii yule atakufa,”(Kumbu. 18:18-20).

Katika aya hizi alama zifuatazo zimetajwa:(1) Atakaye tumwa atakuwa nabii wa Mwenyezi

Mungu.(2) Atatokea miongoni mwa ndugu za Waisraeli

yaani atakuwa mwana wa Ismail.(3) Atakuwa mfano wa Musa.(4) Atapewa maneno na amri za Mungu, yaani

sheria.(5) Atasema kwa jina la Mwenyezi Mungu.Sisi Waislamu tunaamini kwamba katika aya

zilizotajwa juu Mtume Mtukufu Muhammad s.a.w.ametabiriwa lakini ndugu Wakristo wanadhanikwamba Bwana Yesu Kristo ametabiriwa katika ayahizi. Kuhakikisha habari hii, sasa nitaeleza sifa mojabaada ya nyingine.

(1) Aliyetabiriwa atakuwa nabii wa MwenyeziMungu. Kwa hiyo sisi Waislamu tunaamini kwambaMuhammad s.a.w. ni nabii wa Mwenyezi Mungu. Lakinindugu Wakristo wanaamini kwamba Yesu ni mwana

58

Page 59: Zawadi kwa Wakristo

wa Mungu bali Mungu mwenyewe. Kwa hiyo BwanaYesu ameikosa sifa ya kwanza na Muhammad s.a.w.ameipata.

(2) Mtume aliyetabiriwa katika aya hizi atatokanamiongoni mwa ndugu wa Waisraeli na ndugu zaWaisraeli ni wana wa Ismail. Bwana Yesu Kristohakutokea kutoka ndugu wa Israeli bali mwenyewealikuwa mwana wa Israeli. Lakini Muhammad s.a.w.ametokea katika ukoo wa Ismail ambao ni ndugu zaWaisraeli. Kwahiyo sifa ya pili pia Bwana Yesuameikosa na Muhammad s.a.w. ameipata.

(3) Mtume aliyetabiriwa katika Taurat atakuwamfanao wa Musa, sasa tuone kati ya Muhammad s.a.w.naYesu ni nani anayefanana na Musa.

(a) Musa alizaliwa na wazazi wawili na Muhammads.a.w. pia alizaliwa na wazazi wawili, lakini Yesualizaliwa na mzazi mmoja. Kwahiyo Muhammad s.a.w.anafanana na Musa lakini Yesu hafanani naye.

(b) Musa aliajiriwa na wengine kwa ajili yakuchunga wanyama wao, vilevile Muhammad s.a.w.aliajiriwa na wengine kuchunga wanyama wao nakuwasaidia katika biashara yao. Lakini Yesu hakuajiriwakwa aina yoyote. Kwahiyo Muhammad s.a.w.amefanana na Musa. Na Yesu ameikosa sifa hiyo pia.

(c) Nabii Musa a.s. alioa na vilevile MtumeMuhammad s.a.w. alioa. Lakini sawa na dhana yaKikristo Yesu hakuoa. Kwahiyo Muhammad s.a.w.anafanana na Musa na Yesu hafanani naye. Sifa hiyopia Yesu ameikosa.

(d) Musa alipewa kitabu cha sheria, Taurati chenye

59

Page 60: Zawadi kwa Wakristo

amri kumi na vilevile Muhammad s.a.w. alipewa kitabucha sheria Qur'an. Lakini Yesu hakupewa kitabuchochote cha sheria. Kwahiyo Muhammad s.a.w.amefanana na Musa na Yesu hafanani na Musa. Sifahiyo pia ameikosa.

(e) Musa alihamia nchi nyingine kwa sababu yaupinzani mkali. Muhammad s.a.w. naye pia alihamianchi nyingine kwa sababu ya upinzani mkali toka kwamakafiri. Lakini sawa na imani ya Kikristo Yesuhakupata nafasi ya kuhamia nchi nyingine kutokanana upinzani alioupata kutoka kwa Mayahudi. KwahiyoMuhammad s.a.w. anafanana na Musa. Yesu hafananinaye, sifa hii pia ameikosa.

(f) Musa alipigana na maadui zake na aliwashinda.Muhammad s.a.w. pia alipigana na aliwashinda maaduizake. Lakini Yesu hakupigana na maadui zake na walahakuwashinda. Hivyo Muhammad s.a.w. amefananana Musa, lakini Yesu hafanani na Musa hata kidogo.

(g) Nabii Musa a.s. alipata nafasi ya kuwatawalawapinzani wake, vilevile Mtume Muhammad s.a.w. piaalipata nafasi ya kuwatawala wapinzani wake . LakiniYesu hakupata kuwatawala wapinzani wake. KwahiyoYesu hafanani na Musa, Sifa hii pia ameikosa.

(h) Musa alipata wanafunzi wengi, vilevileMuhammad s.a.w. alipata malaki ya wafuasi. LakiniYesu katika maisha yake alipata wanafunzi thenasharatu (kumi na wawili) tena wenye imani haba (hafifu).Kwahiyo Muhammad s.a.w. anafanana na Musa a.s.Bwana Yesu sifa hii pia ameikosa.

60

Page 61: Zawadi kwa Wakristo

(i) Wakati Nabii Musa alipofariki, alifariki kabisa.Vilevile Mtume Muhammad s.a.w. alipofariki, alifarikikabisa. Lakini sawa na dhana ya Wakristo wakatiBwana Yesu alipofariki, alifariki kwa siku tatu tu.Kwahiyo kutokana na sifa hii pia Muhammad s.a.w.anafanana na Musa a.s. na Bwana Yesu hafananinaye hata kidogo.

Sasa mmeona kwamba Muhammad s.a.w.anafanana na Musa mia kwa mia. Kuanzia kuzaliwakwake hatua kwa hatua mpaka kifo chake. LakiniBwana Yesu Kristo hafanani na Musa hata safari moja.4. Katika utabiri wa awali imetajwa kwamba nabii yuleatapewa maneno na amri za Mwenyezi Mungu, yaanisheria ya Mungu, na kwa kweli Muhammad s.a.w.alipewa amri za sheria yaani Qur'an Tukufu. LakiniBwana Yesu Kristo hakupewa chochote kamaanavyosema mwenyewe: “Msidhani ya kuwa nalikujakuitangua Torati au Manabii; la, sikuja kutangua, balikutimiliza.” (Mathayo 5:17). Kwahiyo Muhammad s.a.w.amepata sifa hii na Bwana Yesu ameikosa.

(5) Nabii yule atasema kwa jina la MwenyeziMungu. Wakati tunasoma sheria iliyoletwa naMuhammad s.a.w. tunakuta ya kwamba kila sura iliyokwenye Qur'an Tukufu inaanza kwa jila la MwenyeziMungu. Vilevile Mtume Muhammad s.a.w. alitufundishadua ya kufanya kila kazi ianze kwa jina la MwenyeziMungu. Lakini Bwana Yesu Kristo katika maisha yakehakusema kwa jina la Mwenyezi Mungu walahakuwafundisha wafuasi wake kuomba kwa jina laMwenyezi Mungu. Kwahiyo Muhammad s.a.w. amepata

61

Page 62: Zawadi kwa Wakristo

sifa hii na Bwana Yesu ameikosa.Alama zote zilizotajwa katika Torati 18:18-20

zinapatikana katika dhati ya Muhammad sa.w. LakiniBwanaYesu Kristo hapati hata moja kati ya hizo. Lengoletu siyo kumpinga Bwana Yesu bali kumtaja ambayekweli kweli ametabiriwa. Waila tunamuamini BwanaYesu na tunamheshimu sawa sawa kabisa.

Katika aya 18:19 ya Kumbukumbu la Torati imetajwakwamba “Mtu asiyesikiliza maneno yanguatakayosema yule kwa jina langu, nitalitaka kwake.”Kwa hiyo tunawakaribisha ndugu Wakristo wampokeeNabii yule ili wasalimike kuadhibiwa na MwenyeziMungu. Tunawashauri hivi kwa kuwa tunawapenda navilevile ni amri ya Mwenyezi Mungu kumkumbushaasiyejua.

BISHARA YA PILI

“Akasema Bwana alitoka Sinai akawaondokea kutokaSeir, aliangaza katika kilima cha Parani, akaja na elfukumi za watakatifu upande wa mkono wake wa kuumepalikuwa sheria ya motomoto. (Kumb. 33:2). Katikaaya hii milima mitatu imetajwa kuhusu mitume watatu,Nabii Musa aliyetokea toka mlima Sinai, Nabii Isaaliyetokea toka mlima Seir, na Nabii wa tatu alitokeakutoka kilima cha Parani baada ya Isa, ambaye siyeyote isipokuwa Mtume Muhammad s.a.w. ambayealama yake imetajwa kwamba akaja na elfu kumi zawatakatifu. Sasa bila shaka ni Mtume Muhammads.a.w. ambaye ametokea kutoa katika milima yaParani. Maana “Ismail alikaa katika jangwa la Parani

62

Page 63: Zawadi kwa Wakristo

na mama yake” (Mwanzo 21:21). Na ni Muhammads.a.w. tu ambaye aliingia siku ya ushindi wa Makkapamoja na masahaba wake watakatifu elfu kumi. Hiyondiyo sababu Mapadri waliozoea kubadilisha Bibliakatika kila chapa, wakalibadilisha pia tamko hili lawatakatifu elfu kumi ili bishara hii isieleweke. KatikaBiblia ya lugha ya Kiswahili badala ya watakatifu elfukumi wameandika MARBATH - KADESH, ilhaliMarbath Kadesh siyo neno la Kiswahili wala hawajuilina maana gani. Isipokuwa kufanya hivyo ni kumwagatakataka juu ya neno la Mwenyezi Mungu.

Tena alama ya yule Nabii imetajwa kwambaatakuja na sheria motomoto, yaani sheria mpya kutokakwa Mwenyezi Mungu. Basi Mtume MtukufuMuhammad s.a.s. amekuja na kitabu kipya cha sheriamotomoto, yaani Qur'an Tukufu.

BISHARA YA TATU

“Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia,lakini hamuwezi kuyastahimili hivi sasa. Lakini yeyeatakapokuja, huyo roho wa kweli, atawaongoza awatiekwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shaurilake mwenyewe, lakini yote atakayo yasikia atayanena,na mambo yajayo atawapasha habari yake.” (Yohana16:12-13).

Katika andiko hili Bwana Yesu Kristo anaelezakwamba uwezo wa kipaji cha watu wa wakati wakeulikuwa mdogo hawangeweza kustahimili mafundishoyote ya sheria. Kwahiyo alitabiri kwamba mwingine

63

Page 64: Zawadi kwa Wakristo

atakuja baadaye ambaye ametajwa kama roho wakweli. Yeye ataleta mafundisho kamili ya sheria kutokakwa Mwenyezi Mungu. Huyu ni Mtume Muhammads.a.w. ambaye ameitwa katika Qur'an Roho itokayo kwaMwenyezi Mungu. Vilevile ni yeye ambaye ameletasheria kamili yaani Qur'an Tukufu kutoka kwa MwenyeziMungu baada ya Bwana Yesu Kristo. Kwahiyo hakunashaka kwamba Roho wa kweli aliyetajwa katika ayahii ni Mtume Muhammad s.a.w.

BISHARA YA NNE

Bishara hii yenye nguvu imo katika Mathayo 21:33-40. Hii ni mojawapo ya methali za Yesu ambamo ndaniyake mna utabiri wa kufika Mtume Mtukufu. Bisharayenyewe ni hii:- “Kulikuwa na mtu mwenye nyumbanaye alipanda shamba la mizabibu, akalizungushiaua, akachimba shimo la shinikizo ndani yake,akajenga mnara akapangisha wakulima akasafiri.Wakati wa matunda ulipokuwa karibu akawatumawatumishi wake kwa wale wakulima, wapokee matundayake. Wale wakulima wakawakamata watumishi wake,huyu wakampiga na huyu wakamwua, na huyuwakampiga kwa mawe. Akawatuma tena watumishiwengi kuliko wa kwanza, ikawa tena vile vile. Mwishoakamtuma mwanawe kwao, akisema watamsitahimwanangu. “ Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana,wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi haya natumwue, tuutwae urithi wake, Wakamkamata

64

Page 65: Zawadi kwa Wakristo

wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua.Basi atakapokuja yule bwana wa shamba la mizabibuatawatendaje wale wakulima? Wakamwambia,Atawaangamiza vibaya wale wabaya, na shamba lamizabibu atawapangisha wakulima wengine,watakaomlipa matunda kwa wakati wake. Yesuakawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko,Jiwe walilolikataa waashi, hilo limekuwa jiwe kuu lapembeni. Kwa sababu hiyo nawambia, Ufalme waMungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifalingine lenye kuzaa matunda yake. naye aangukayejuu ya jiwe hilo atavunjika, na yeyote ambayelitamwangukia litamsaga tikitiki. Wakuu wa makuhanina Mafarisayo waliposikia mifano yake, walitambua yakuwa anawanenea wao. Nao walipotafuta kumkamata,waliwaogopa makutano, kwa maana wao walimwonakuwa nabii,”

Katika methali hii iliyo nzuri Yesu ameeleza historiaya mfululizo wa kuja kwa Mitume. Ni wazi hapa kwambashamba la mizabibu ndiyo ulimwengu, wakulimamaana yake ni walimwengu kwa jumla, matukioambayo bwana wa shamba alitaka kuvuna ndiyo wema,uaminifu na ucha-Mungu, watumishi ndiyo manabii waMungu waliokuja duniani mmoja baada ya mwingine;mwana ndiye Yesu aliyekuja baada ya mfululizo wamanabii wengi. Mwana huyu aliadhibiwa na wakulima.Baada ya kusema mambo haya, Yesu ameendeleakunena juu ya “Jiwe” walilolikataa waashi, hilo limekuwajiwe kuu la pembeni.” Jiwe lililokataliwa ndiyo wazaowa Ismaili, waliodharauliwa na wana wa Isihaka.

65

Page 66: Zawadi kwa Wakristo

Kulingana na bishara hii ya Yesu, mtu mmojaangekuwa jiwe kuu la pembeni - “Muhuri wa Manabii,”katika lugha mashuhuri ya Qur'an tukufu - hangekuwanabii wa cheo cha chini, bali mfano wa manabiiatakayeleta Sheria ya mwisho na kamili toka kwaMwenyezi Mungu. Kuinuliwa kwa Nabii toka katikanyumba ya Ismaili lilionekana jambo geni, kwani wengikatika mfululizo wa manabii wa hapo mbele walitokakatika nyumba ya Isihaka (Israel). Lakini Yesuanasisitiza ya kuwa Mwenyezi Mungu ataondoa ufalmewake kutoka nyumba ya Israeli na kuwapa wana waIsmaili, watakaotoa matunda yake; yaani wana waIsmaili ndiyo watakaokuwa taifa litakalodumisha ucha-Mungu na ibada ya Mwenyezi Mungu duniani. Kilamtu anaweza kuona hapa ya kuwa hapana mtu yeyotealiyedai utume baada ya Yesu, na akafanikiwa,isipokuwa Mtume mtukufu Muhammad s.a.w. Ni yeyeambaye mafundisho yake yalihitilafiana na dini yaMayahudi na akavunja kabisa nguvu za dini hiyo. Niyeye ambaye taifa lake lilidharauliwa na kuchukiwa.Kama tulivyosema hapo mbele, nabii Muhammads.a.w. ndiye mjumbe wa Mungu wa pekee aliyejaaliwakushinda maadui zake wote katika uhai wake, hivyo niyeye tu ambaye ndiye lile jiwe ambalo yeyotealiyeanguka juu yake alivunjika-vunjika na yeyoteliliyemwangukia likamsaga tikitiki. Wakristowamekosea sana kwa kudhani Yesu ndiye “Jiwe”linalotajwa hapa. Lakini wanasahau ya kuwa Yesualikuwa Mwisraeli, hali yeye amesema “Ufalme waMungu utaondolewa kutoka kwa Waisraeli na kupewa

66

Page 67: Zawadi kwa Wakristo

taifa jingine,” yaani Waismaili. Isitoshe, ikiwa jiwe niYesu, basi ingefaa kufahamishwa aliwasaga akina nanitikitiki?

BISHARA YA TANO

“Kwa sababu hiyo nawaambia, ufalme wa Munguutaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenyekuzaa matunda yake.: (Mathayo 21:43). Katika aya hiiBwana Yesu Kristo amewajulisa wanafunzi wake naWaisrael kwamba ufalme wa Mungu utaondolewakwao na litapewa taifa lingine. Taifa lingine lilotajwahapa ni taifa la wana wa Ismaili lililo kataliwa nakubughudhiwa na wa Israil.

BISHARA YA SITA

“Kwa maana nawaambia hamtaniona kamwe tangusasa, hata mtakaposema, amebarikiwa ajae kwa jinala Bwana,” (Mathayo 23:39). Katika aya hii Bwana YesuKristo mwenyewe amesema kwamba yeye anaondokahataonekana tena lakini amebashiri kuja kwaM'barikiwa mwingine na ambaye atakuja kwa jina laBwana Mungu. Na baada ya kifo cha bwana YesuKristo ametumwa Mtume Muhammad s.a.w. tu kutokakwa Mwenyezi Mungu ambaye ameleta sheria, kilasura yake inaanza kwa jila la Bwana Mungu. Vilevileametufundisha dua za nyakati za vitendo mbalimbali.Kila dua inaanza kwa jina la Bwana Mungu.

67

Page 68: Zawadi kwa Wakristo

MWANA MKUU WA IBRAHIM

Mtume Mtukufu Muhammad s.a.w. alitumwa naMwenyezi Mungu kuwa rehema kwa Ulimwengu.Wakristo kwa sababu ya kushindwa kumpokea, sasawanaendelea kumchafua huyo Mtume wa amani nawa shani. Hasa wanajaribu kukosoa ukoo wake. Katikaupinzani huu wanasahau kwamba wanamdhalilishahata Nabii Ibrahim a.s. ambaye ni mheshimiwa namkubwa wao pia.

Katika kurasa zijazo nitajaribu kujibu shutuma zaMapadri kulingana na maandishi ya Biblia.Na itathibitika vizuri kwamba ukoo wa Muhammads.a.w. ni safi na wenye baraka.

IBRAHIM MUME WA HAJIRA

Wakristo kwa husuda zao hawapo tayari kukubalikwamba Bi Hajira alikuwa mke wa Nabii Ibrahim, nalengo lao linakuwa kumtoa Nabii Ismaili kuwa mwanawa Ibrahim. Hata hawajali wala hawatafakari kwambakama Bi Hajira si mke wa Nabii Ibrahim a.s., kulikuwana uhusiano gani baina yao. Ibrahim, Nabii wa Mungualitenda nini, kwa matokeo yake Ismail alizaliwa? Bibliainasema wazi kwamba Bi Hajira alikuwa mke wa NabiiIbrahim. Imeandikwa kwamba: “Sara, mkewe Ibrahimakamtoa Hajira Mmisri mjakazi wake baada ya kukaakatika nchi ya Kanaan miaka kumi, akampa Abrahammumewe awe mkewe.” (Mwanzao 16:3).

68

Page 69: Zawadi kwa Wakristo

ISMAILI MWANA ALIYEAHIDIWA, MWENYE BARAKASiyo hayo tu kwamba Bi Hajira alikuwa mke wa

Nabii Ibrahim a.s. bali Hajira alishukiwa na Malaikaambaye alimuahidi mwana wa kiume. Biblia inasemakwamba:- “Malaika wa Bwana akamwambia: Hakikanitauzidisha uzao wako, wala hautahesabika jinsiutakavyo kuwa mwingi. Malaika wa Bwanaakamwambia: Tazama wewe una mimba utazaamwana wa kiume nawe utamwita jina lake Ishmaelimaana Bwana amesikia kilio cha mateso yako.”(Mwanzo 16:10-11).

Tena Biblia inasema kwamba: “Na kwa habari zaIsmail nimekusikia, Nimem'bariki, nitamzidisha naminitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi nawawili nami nitamfanya awe taifa kuu.” (Mwanzo 17:20).

ISMAILI MWANA WA IBRAHIM A.S. Biblia inasema wazi wazi kwamba, Ismaili alikuwa

mwana wa Ibrahim: “Yule mwana wa Hajira Mmisri,ambaye alimzalia Ibrahim, anafanya dhihaka.”(Mwanzo 21:9). Vilevile Biblia inasema kwambaIbrahim akamtwaa Ismaili mwanawe.” (Mwanzo 17:23).Sasa bila shaka yoyote inaonekana hasa kwambaIsmaili alikuwa mwana wa Ibrahim. Kama ni kosa ni laIbrahim wala siyo la Ismail. Kwa sababu Ismail alizaliwabaada ya Ibrahim kukutana na Hajira kimwili.

MWANA MKUU WA IBRAHIM A.S. Sisi Waislamu tunaamini kwamba Ibrahim alimuoa

Bi Hajira kama mke mdogo na Mwenyezi Mungu

69

Page 70: Zawadi kwa Wakristo

alimsaidia mke mdogo atangulie kumzalia Ibrahimmumewe mwana wa kiume. Bi Hajira anazo haki zote,kwa mumewe vilevile Ismail anazo haki zote kwababaye Ibrahim. Ismail siyo mwana tu wa Ibrahim balini mwana mkuu wa Ibrahim. Biblia inasema kwamba:“Naye Ibrahim alikuwa mtu wa miaka themanini na sita,hapo Hajira alipomzalia Ibrahim Ismail.” (Mwanzo16:16).

Baada ya kupita miaka mingi wakati Ismailalipokuwa kijana mkubwa Bi Sara alipata mimba naIsihaka alizaliwa. Biblia inasema kwamba: “NayeIbrahim alikuwa mtu wa miaka mia alipozaliwa mwanawake Isaka.” (Mwanzo 21:5). Kwa maandiko hayaimejulikana kwamba Ismail ndiye aliyekuwa mwanamkuu wa Ibrahim, Isihaka alikuwa mdogo wa miakakumi na nne kuliko Ismaili.

MUNGU ALIMSIKIA ISMAIL A.S.Wakati inajulikana kwamba Bi Hajira alikuwa mke

halali wa Ibrahim na Ismail ndiye mwana mkuu waIbrahimu, tunawashauri ndugu Wakristo waachehusuda yao ya kurithi katika imani kuhusu Ismailambaye ni babu wa Muhammad s.a.w. Maana Hajiraalikuwa akishukiwa na Malaika, na Mungu alimsikiana alim'bariki Isamail. Biblia inasema kwamba: “ Munguakasikia sauti ya kijana, Malaika wa Mungu akamwitaHajira kutoka mbinguni, akamwambia una nini Hajira?Usiogope maana Mungu amesikia sauti ya kijana hukoaliko. Ondoka ukamwinue kijana, ukamshike mkononimwako, kwa kuwa nitamfanya taifa kubwa.” (Mwanzo21:17-18).

70

Page 71: Zawadi kwa Wakristo

MUNGU YU PAMOJA NA ISMAILSasa nafasi gani imebaki ya kubaguliwa kwa Ismail

baada ya kusoma maandiko haya yote matakatifu?Na kwa ajili ya kusisitiza jambo hili ningependakuwaongezeeni hapa chini andiko moja tu. Andikoambalo linathibitisha kwamba Mungu alikuwa pamojana Ismaili. Biblia inasema kwamba: “Mungu akawapamoja na huyu kijana naye akakua akakaa katikajangwa la Parani mama yake akamtwalia mke katikanchi ya Misri.” (Mwanzo 21:20-21).

Ndugu Wakristo mmeona kwamba Mungu yupopamoja na Ismaili sasa ninyi mnataka kuwa upandegani? Upande wa Mungu ambaye ni pamoja na Ismailau upande wa mwingine? Karibuni katika Islam, ilimuweze kushuhudia baraka zile zilizoahidiwa naMwenyezi Mungu kwa ajili ya kizazi cha Ismail.

UJAJI WA YESU MARA YA PILI

Katika Qur'an tukufu na Hadithi imetabiriwa kwambaBwana Yesu Kristo atarudi mara ya pili. Katika Islamtumeelewa kwamba Bwana Yesu alikufa kifo chakawaida na mfu hawezi kurudi duniani tena. Kwahiyoujaji wake utakuwa wa kiroho siyo kwamba ajemwenyewe.(1) Biblia pia inatuambia kwamba ujaji wa mara ya pilina ushukaji kutoka mbinguni hautimii kwa kidhahiribali unatimia kwa kiroho kwa sura ya mtu mwingine,kama (2 Wafalme 2:11) inaeleza kwamba Eliya nabii

71

Page 72: Zawadi kwa Wakristo

alipaa mbinguni na Malaki 4:5 inatabiri kwamba Eliyanabii atarudi. Lakini Mayahudi mpaka leo wanamsubiriEliya nabii kutoka mbnguni. Lakini hajashuka walahawezi kuja.

Wakati Bwana Yesu Kristo aliulizwa kuhusu ujajina ushukaji wa Eliya nabii, alijibu kwamba Eliyaamekwisha fika tayari na alimuashiria YohanaM'batizaji. (Mathayo 11:14, Yohana 17:17).

Hivyo sawa na jibu la Bwana Yesu Kristo Eliya nabiializaliwa hapa hapa duniani kwa sura mpya na kwajina jipya. Hivyo ndivyo Bwana Yesu Kristo atakujamara ya pili kwa namna ya mfano, kwa sura mpya najina jipya. Bali amekwisha fika tayari kwa jina la Ahmada.s. ambaye ni Mwanzilishi Mtukufu wa Jumuiya yaWaislamu Waahmadiyya.

2. SI YESU BALI NI MWINGINE

Bwana Yesu amesema kwamba: “Kwa maananawaambia, hamtaniona kamwe tangu sasa, hatamtakaposema, amebarikiwa ajaye kwa jina la Bwana.”(Mathayo 23:39). Katika aya hii Bwana Yesu Kristomwenyewe amesema kwamba yeye hataonekanakamwe. Kwa sababu baada ya kifo, mtu haonekanidunani. Na kama utabiri useme kuhusu ujaji wake maraya pili, basi utabiri ule unatimia kwa ujaji wa mtumwingine ambaye anakuja kwa sifa, tabia hata kwajina la marehemu. Hivyo ndivyo Bwana Yesu Kristoamesema kwamba yeye mwenyewe hataonekana balimwingine atakuja kwa jina la Bwana Yesu Kristo.

72

Page 73: Zawadi kwa Wakristo

Katika istilahi ya Biblia Yesu pia anaitwa Bwana(Matendo 1:24, Warumi 4:24, 2 Wakorintho 4:5, 13:14,11:31; Wagalatia 1:3, 6:14, 6:18 na 1:17; Waefeso 1:15-17, 6:23-24; Petro 1:2,8-16).

Basi sawa na utabiri Bwana Yesu Kristo ameshafikatayari mara ya pili kwa sura ya Sayyidna Ahmad a.s.,mwanzilishi mtukufu wa Jumuiya ya WaislamuWaahmadiyya. Mwenye masikio na asikie. Sasamwenye kuja ameshafika tayari, hakuna faida yakumsubiri ambaye amefariki zamani. Maana wafuhawarudi tena duniani. (Ayubu 7:9-10). Kwa hiyokaribuni sana kumpokea ambaye ametumwa naMwenyezi Mungu kwa sifa, khulka na tabia ya BwanaYesu Kristo.

3. ATAKUJA WAKATI WATU WASIOUTEGEMEA

Biblia inasema kwamba: “Kwa sababu hiyo ninyinanyi jiwekeni tayari, kwa kuwa katika saa msiyodhanimwana wa Adamu yuaja. “ (Mathayo 24:44). Yaani kujakwa Bwana Yesu mara ya pili itakuwa kwa ghaflakulingana na dhana ya watu. Watu wataendeleakumsubiri na itajulikana kwamba kumbe yeyeameshafika tayari. Na hivyo ndivyo ilivyotokea tayari.Wakristo wanamsubiri wakiwa na mategemeo nadhana tofauti. Ilhali Bwana Yesu ameshafika tayari namamilioni ya watu wameshampokea. Lakini Wakristobado wanalala katika dhana yao. Kwahiyotunawaamsha ndugu Wakristo kwamba mwenye kujaameshafika. Karibuni ili mpate kuokoka.

73

Page 74: Zawadi kwa Wakristo

4. YESU ATAKUJA KAMA MWIZIBwana Yesu Kristo alisema kwamba: “Basi

kumbuka jinsi ulivyopokea, na jinsi ulivyo sikia. Yashikehayo na utubu walakini usipo kesha, nitakuja kamamwivi, wala hutaijua saa nitakayo kuja kwako.” (Ufunuowa Yohana 3:3). Vilevile Matahayo 24:43. Na Petro3:10 inaeleza kwamba Bwana Yesu Kristo atakujakama mwizi. Aya hizi hazina maana ya kwamba Yesuni mwizi bali imetajwa hali ya mwizi. Kama mwizianavyokuja bila mategemeo ya watu, vilevile BwanaYesu Kristo atakuja bila mategemeo ya watu.

Kama watu wanafunga milango kuhofia kwambamwizi ataingia kupitia katika mlango, lakini yeyeanaingia katika dirisha. Mlinzi anakaa mlangoni kulindanyumba lakini mwizi anaruka ukuta mwingine na anaingia ndani. Hivyo ndivyo Bwana Yesu Kristo atakavyokuja mara ya pili. Na kweli imetokea kwamba watuwalitegemea ashuke kutoka mbinguni lakini yeyeametokea katika kijiji cha Qadiani. Watu walidhanikwamba atakuwa yuleyule mwana wa Israeli. Lakiniamekuja kutoka katika ukoo wa Farsy, watuwalitegemea kwamba atakuja kubeba msalaba lakinialiyekuja amekuja kuvunja msalaba. Yaani SayyidnaAhmad a.s. mwanzilishi wa Jumuiya ya WaislamuWaahmadiyya.

5. ATAKUJA KAMA UMEME Biblia inasema kwamba: ” Kwa maana kama vile

umeme utokavyo mashariki ukaonekana hatamagharibi, hivyo ndivyo kutakavyo kuwa kuja kwake

74

Page 75: Zawadi kwa Wakristo

Mwana wa Adamu.” (Mathayo 24:27).Katika aya hii imetajwa kwamba katika ujaji wake

wa mara ya pili, Bwana Yesu atatokea kutoka nchi yaMashariki na ujio wake utatambulikana na utakubaliwakatika nchi za magharibi pia kwa haraka. Natunamshukuru Mungu hivyo ndivyo imetokea kwambaMasihi Aliyeahidiwa ametokea katika nchi ya Indiailiyoko mashariki ya dunia na ujumbe wakeumepokelewa sana katika nchi za magharibi. Na kwelitunaweza kusema kwamba amekuja kama umemeutokao mashariki kuelekea magharibi.

6. KUPATWA KWA JUA NA MWEZIBiblia inasema kwamba: “Lakini mara baada ya

dhiki ya siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoamwanga wake, na nyota zitaanguka mbinguni na nguvuza mbinguni zitatikisika. Ndipo mataifa yote yaulimwengu watakapo omboleza, nao watamuonaMwana wa Adamu akija juu ya mawingu ya mbingunipamoja na nguvu na utukufu mwingine.” (Mathayo24:29-30). Bishara hii inapatikana katika Qur'an naHadithi pia . Wakati Sayidina Ahmad a.s. alidai kwambayeye ni Masihi Aliyeahidiwa, kisha mashahidi hawawawili walitokea. Mwezi ulipatwa tarehe 21 Machi, 1894(13 ya Ramadhani) na jua lilipatwa tarehe 6 Aprili, 1894(28 Ramadhani) baada ya kuona ishara hizi SayydinaAhmad a.s. alikuwa mtu pekee duniani aliye tangazakwamba jua na mwezi vimepatwa kuonesha ukweliwake.

75

Page 76: Zawadi kwa Wakristo

7. VITA, TAUNI NA NJAA VITATOKEABiblia inasema kwamba: “Kisha aliwaambia taifa

litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana naufalme. Kutakuwa na matetemeko makubwa ya nchi,na njaa na tauni mahali mahali, na mambo ya kutishana ishara kuu kutoka mbinguni.” (Luka 21:10-11).Katika aya hizi alama zilizotajwa za kuja kwa BwanaYesu mara ya pili ni zifuatazo vita baina ya taifa nataifa, ufalme na ufalme, matetemeko ya ardhi na njaana tauni. Alama hizi zote zimetimia tayari wakati wamwanzilishi mtukufu wa Jumuiya ya WaislamuWaahmadiyya bali tangu wakati ule Mwenyezi Munguanaendelea kurudia rudia ishara hizi.

8. GHARIKA NA MAFURIKO YA MAJIBiblia inasema kwamba: “Kwa maana kama vile

ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo kutakavyo kuwa kujakwake Mwana wa Adamu. Kwa kuwa kama vile sikuzile zilizokuwa kabla ya gharika watu walivyo kuwawakila na kunywa, wakioa na kuolewa, hata siku ilealiyoingia Nuhu katika safina, wasitambuwe hatagharika ikaja ikawachukuwa wote, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.” (Mathayo 24:37-39). Katika aya hizi imetajwa kwamba wakati wa ujajiwa mara ya pili wa Bwana Yesu Kristo gharika namafuriko ya maji vitakuja kama siku ya Nuhu. Na hivyondivyo tunaona na tunasoma katika magazeti kila nchina kila bara mafuriko na gharika kila mwakayanatokea makubwa kiasi hiki kwamba magari namagari moshi yanazama, miji na vijiji vinaangamizwa

76

Page 77: Zawadi kwa Wakristo

na maji hata watu wale ambao hawakushuhudiagharika na mafuriko katika nchi yao pia siku hiziwanaathirika na hayo.

Ndugu Wakristo alama zote za ujaji wa Bwana YesuKristo zimetimia na yeye amekwisha fika tayari.Kwahiyo msichelewe bali mpokeeni ambayemnamsubiri tangu zamani na hiyo ni njia yenu yakuokoka.

KUPINGANA KWA MAANDIKO YA BIBLIA

Mtu yeyote hapendi kwamba katika mazungumzoyake hitilafu ipatikane. Wala hapendi kusikia kwambamaneno yake yanapingana. Ikiwa mtu hapendi hivi,itakuwaje kwamba maneno ya Mungu yapingane.Maandiko yanayopingana hayawezi kuwa ya kutokakwa Mwenyezi Mungu. Kwa sababu hii MwenyeziMungu amesema kwamba: “Je! hawaitafakari Qur'ani?Na kama ingalitoka kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu,bila shaka wangalikuta ndani yake hitilafu nyingi.”(Qur'an 4:83). Hapa chini nitaeleza baadhi ya mifanoinayothibitisha kupingana vibaya sana kwa maandikoya Biblia.

(1) MTU AU WANYAMA:Biblia inasema kwamba: “Mungu alimfanya

mnyama wa mwitu kwa jinsi yake na mnyama wakufugwa jinsi yake, na kila kitu kitambaacho juu yanchi kwa jinsi yake. Mungu akaona ya kuwa ni vyema.Mungu akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu,

77

Page 78: Zawadi kwa Wakristo

kwa sura yetu, wakatawale wale samaki wa baharini,na ndege wa angani, na wanyama wa nchi yote pia,na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.Mungu akamuumba mtu kwa mfano wake, kwa mfanowa Mungu alimuumba, mwanamume na mwanamkealiwaumba.” (Mwanzo 1:25-27).

Aya hizi zinapatikana katika ukurasa wa kwanzakabisa wa Biblia zinazosema kwamba MwenyeziMungu aliwaumba wanyama na ndege na kila chenyekutambaa juu ya nchi. Kisha alimuumba mtu. Kwabahati mbaya ukurasa wa pili wa Biblia unapinganana maandiko ya ukurasa wa kwanza. Biblia inasemakwamba: “Bwana Mungu akasema, si vema huyo mtuawe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanananaye. Bwana Mungu akafanyiza kutoka katika ardhikila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani,akamleta Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai,jina alilokiita Adamu ikawa ndilo jina lake.” (Mwanzo2:18-19).

Aya hizi zinasema waziwazi kwamba mtu alitanguliakuumbwa, wanyama na ndege wakaumbwa baadaye.Je, neno la Mungu linaweza kupingana kiasi hicho?

(2) TORATI SI KITABU CHA MUSA Tunaposoma kichwa cha Torati kinasomeka hivi:-

“Kitabu cha tano cha Musa, kiitwacho Kumbukumbu laTorati, haya ndiyo maneno - Musa aliyowaambia Is-raeli wote ng'ambo ya Yordan barani” (Kumbukumbula Torati 1:1). Mwanzo wa kitabu hiki tumesomakwamba Torati ni kitabu cha Musa alionena

78

Page 79: Zawadi kwa Wakristo

mwenyewe. Na wakati tunafika mwisho wa kitabuhiki tunasoma hivi: “Basi Musa mtumishi wa Bwanaakafa huko Moab, kwa neno la Bwana akamzikabondeni katika nchi ya Moab, kukabili Beth Peor, Lakinihapana mtu ajuaye kaburi lake hata leo.”(Kumbukumbu la Torati 34:5-6).

Aya hizi zinaonesha kwamba Torati iliandikwabaada ya kifo cha Musa. Hiyo ni sababu kwambamwandishi wake ameeleza kifo na kaburi la Musa.Tena inaonekana kwamba Taurati iliandikwa miakamingi kupita baada ya kifo cha Musa; maana mwandishianaandika kwamba mpake leo hakuna mtu anayejuakaburi la Musa.

3. MWIZI MMOJA AU WAWILIBiblia inasema kwamba: “Pia wale wanyang'anyi

waliosulubiwa pamoja naye walimshutumu vilevile.”(Mathayo 27:44). Aya hizi za Biblia zinasema kwambawezi wote wawili walimtukana Yesu. Na ajabu ni hiikwamba, tusomapo Luka, yeye anasema hivi: “ Nammoja wa wale wahalifu waliotungikwa alimtukana,akisema, je! wewe si Kristo? Jiokoe nafsi yako na sisi.Lakini yule wa pili akamjibu akamkemea, akisema,wewe humuogopi hata mungu, nawe u katika hukumuhiyo hiyo.” (Luka 23:39-40).

Katika aya hizi kinyume cha aya za kwanzainaonekana kwamba mwizi mmoja alimtukana Yesuwala siyo wote wawili. Juu ya jambo hili MabwanaMathayo na Marko wamesimama upande mmoja naBwana Luka anawapinga.

79

Page 80: Zawadi kwa Wakristo

4. JE, YUDA ALIJINYONGA?Biblia inasema kwamba: “(Yuda) akavitupa vipande

vya fedha katika hekalu, akaondoka, akaendaakajinyonga.” (Mathayo 27:5). Aya hii inasemakwamba mwanafunzi Yuda aliyemuuza Yesu kwavipande thelathini vya fedha, alijinyonga. Lakinitunaposoma katika kitabu cha Matendo ya Mitume,Bwana Paulo anasema hivi: “Basi mtu huyu alinunuakonde kwa ijara ya udhalimu, akaanguka kwa kasiakapasuka, matumbo yake yote yakatoka.” (Matendoya Mitume 1:18). Katika aya hii imeonekana kwambaYuda hakujinyonga bali alianguka na akapasuka nahivi maandiko ya Biblia yanapingana.

5. FEDHA ZILITUMIKA WAPI?Biblia inasema kwamba: “(Yuda) akavitupa vile

vipande vya fedha katika hekalu, akaondoka, akaenda,akajinyonga.” (Mathayo 27:5). Katika aya hii inatajwakwamba Bwana Yuda alivitupa vipande thelathini vyafedha katika Hekalu, lakini kitabu kingine cha Bibliakinasema kinyume chake. Imeandikwa kwamba: “Basimtu huyu alinunua konde kwa ijara ya udhalimu,akaanguka kwa kasi akapasuka, matumbo yake yoteyakatoka.” (Matendo 1:18).

Wasomaji wapendwa; mmesoma kwambamwandishi mmoja wa Biblia anatuhadithia tukiomaalum kinyume kabisa na mwenzake.

80

Page 81: Zawadi kwa Wakristo

6. MATHAYO SIYO MATHAYOBiblia inasema kwamba: “Naye Yesu alipokuwa

akipita kutoka huko aliona mtu ameketi forodhaniaitwaye Mathayo, akamwambia nifuate, akaondoka,akamfuata,” (Mathayo 9:9). Katika aya hii inaonekanawaziwazi kwamba Bwana Mathayo siyo mwandishi waInjili bali ni mtu mwingine ambaye anahadithia kisa chakitabu kisemacho “Injili kama ilivyoandikwa na MathayoMtakatifu.”

7. MWANA NI MKUBWA KULIKO BABABiblia inasema kwamba:

(A) “Yohoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini namiwili alipoanza kutawala, akatawala miaka minanehuko Yerusalemu.” (2 Mambo ya Nyakati 21:5).(B) “Alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwilialipoanza kutawala akatawala huko Yerusalemu miakaminane, akafariki, bila kutamaniwa, wakamzika mjinimwa Daudi, ila si katika makaburi ya wafalme.” (2Mambao ya Nyakati 21:20).Katika aya hizi mbili imeandikwa kwamba BwanaYehoramu mfalme wa Yerusalemu alipofariki alikuwana umri wa miaka arobaini, mara baada ya kifo chakealiyeshikilia mahala pake pa kutawala ni mwanawemdogo, sasa tuone Biblia inasemaje kuhusu umriwa mwana mdogo wakati wa kushikilia utawala.Imeandikwa kwamba: “Nao wenyeji wa Yerusalemuwalimfanya Ahazia mwanawe mdogo awe mfalmemahala pake. Maana wakubwa wote wamekwishakuuawa na kikosi cha watu waliokuja matuoni pamoja

81

Page 82: Zawadi kwa Wakristo

na Waarabu. Hivyo akatawala Ahazia mwana waYehoramu mfalme wa Yuda. Ahazia alikuwa na umriwa miaka arobaini na miwili alipoanza kutawala.Akatawala mwaka mmoja huko Yerusalemu na jina lamamaye aliitwa Athalia binti Omri.” (2 Mambo yaNyakati 22:1-2).

Ndugu wasomaji mmesoma katika aya za kwanzawakati mfalme Yehoramu alipofariki alikuwa na umriwa miaka arobaini. Mara baada ya kifo chakemwanawe mdogo Ahazia akashikilia mahali pake pakutawala, akiwa na umri wa miaka arobaini na miwili.Hivi inaonekana kwamba Ahazia mwana wa Yehoramualizaliwa miaka miwili kabla ya baba yake mzazi. Sasaakili gani itakubali falsafa hii na hisabati ya Bibliakwamba mtoto azaliwe kabla ya baba mzazi, na hii nidalili ya kutosha kwamba, Biblia siyo neno la Munguwala haifai siku hizi bali imepitwa na wakati.

8. YESU ALITANGUA TORATI AU HAPANABwana Yesu Kristo alisema kwamba “Msidhani

ya kuwa nalikuja kuitangua Torati na manabii, la, sikujakutangua bali kutimiliza kwa maana amin nawaambia,mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi wala nuktamoja ya Torati haitaondoka hata yote yatimie. ”Basimtu yeyote atakayevunja amri moja katika hizi zilizondogo na kuwafundisha watu ataitwa mdogo kabisakatika ufame wa mbinguni.” (Mathayo 5:17-19).

Tukiendelea kusoma mbele, haipiti hata dakikamoja tunaona kwamba Bwana Yesu tayari amekwishasahau aliyoyasema, na anaanza kusema kinyume

82

Page 83: Zawadi kwa Wakristo

kabisa na amri za Torati. Anasema kwamba: “Mmesikiakwamba imenenwa jicho kwa jicho, na jino kwa jino,lakini mimi nawaambieni msishindane na mtu muovu;lakini akupigaye shavu la kuume mgeuzie la pili, mtuatakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachiena joho pia.” (Mathayo 5:38-40).

Sasa Bwana Yesu Kristo ambaye alikuja kuitimizaTorati wala si kuitangua, mara anaonekana anaanzakuzipinga amri za Torati zinazopatikana katika “Kutoka21:24’ Mambo ya Walawi 24:20, Kumbukumbu la Torati29:21.” Na hivi inaonekana kwamba ilikuwa kunahitilafu kubwa katika maneno ya Bwana Yesu. Na mtuanachanganyikiwa kabisa kwa mafundisho yake. Tayaritumetangulia kuthibitisha ya kuwa Bwana Paulo ndiyemhalifu wa Yesu, Bwana Yesu alikuja kuimarisha sheriaya Taurati, lakini Bwana Paulo anaibadilisha kamaalivyosema kwamba: “Maana ukuhani ule ukibadilikahapana budi sheria nayo ibadilike.” (Waebrania 7:12).

9. HARUNI ALIFIA WAPI?Biblia inasema kwamba “Haruni akakwea mlima wa

Hori, kwa amri ya Bwana, akafa hapo katika mwakawa arobaini baada ya Wana wa Israeli kutoka katikanchi ya Misri mwezi wa tano, siku ya kwanza ya mwezi.”(Hesabu 33:38). Kitabu kingine cha Musa kinapingamahali pa kufia na imeandikwa kwamba “ (Wana waIsraeli wakasafiri kutoka visima vya Bene -Yaakanikwenda Mosera; Haruni akafa huko, akazikwa huko;na ELeazari mwanawe alitumika utumishi wa ukuhanibadala yake.” (Kumbukumbu la Torati 10:6).

83

Page 84: Zawadi kwa Wakristo

Sasa hiyo ni moja wapo ya hitilafu kuhusu sehemualiyofia Haruni.

10. WATOTO WA BENJAMINI NI WANGAPI?Biblia inasema kwamba “Wana wa Benjamin, Bela

na Bakeri na Yedaiali, watatu.” (1Mambo ya Nyakati7:6). Aya hii inaonesha watoto wa Benjamin ni watatutu, lakini tusomapo mlango ufuatao unasema: “NayeBenjamin akamzaa Belo mzaliwa wake wa kwanza nawa pili Ashbeli na watatu Ahiramu; na wa nne Noha nawa tano Rafa. (1Mambo ya Nyakati 8:1-2).

Aya ya kwanza inasema watoto wa Benjamin niwatatu, ambapo andiko la pili linasema kuwa Benjaminalikuwa na watoto watano. Hivyo hii nayo ni hitilafumojawapo kubwa katika maandiko ya Biblia.

Ndugu wasomaj mmeshuhudia jinsi maandiko yaBiblia yanavyopingana. Hapo tumekutajieni mifanokumi tu kuwaonesheni uharibifu wa Kitabu hicho; wailaBiblia nzima imejaa mambo ya ovyo ovyo nailiyochezewa na mikono ya waandishi kama isemavyoyenyewe: “Mwasemaje, sisi tuna akili na Torati yaBwana tunayo pamoja. Lakini tazama kalamu yenyeuwongo ya waandishi imeifanya kuwa uwongo.”(Yeremia 8:8).

Kwa sababu hiyo Mwenyezi Mungu ameleta sheriampya tena motomoto ambayo ni Qur'ani. Kwahiyoninawakaribisha ndugu Wakristo kwenye maandiko yasheria ya kisasa inayoongoza katika mambo yote.

84

Page 85: Zawadi kwa Wakristo

MAONGEZEKO KATIKA BIBLIA

Katika somo lililopita tumejifunza kwamba Bibliaimeshapitia katika mikono ya waandishi wake. Sasatunawaleteeni baadhi ya mifano michacheinayojielezea kuwa ni ya kuongezeka katika Bibliakuwa si neno la Mungu wala siyo maneno ya manabii.Kwa mfano katika kitabu cha Musa kiitwachoKumbukumbu la Torati kinaanza hivi: “Haya ndiyomaneno ya Musa aliyowaambia Israeli wote ng'amboya Yodani barani, katika Araba lililoelekea Sufu, kati yaParani, na Tofeli na Labani, na Hazerothi na Dizahabu.Ni mwendo wa siku kumi na moja kutoka Horebu kwanjia ya mlima Seiri mpaka Kadesh-barnea. Ikawamwaka wa arobaini mwezi wa kumi na moja, siku yakwanza ya mwezi. Musa akawaambia wana wa Israelikama yote aliyopewa na Bwana ya kuwaamuru;alipokwisha kumpiga Sihoni mfalme wa Waamori,aliyekuwa akikaa Heshboni, na Ogu mfalme waBashani, aliyekuwa akikaa Ashtarothi iliyo katika Edrei;ni ng'ambo ya Yordan katika nchi ya Moabu, alipoanzaMusa kufunua Torati hii, akisema...” (Kumbukumbu laTorati 1:1-5).

Katika aya hizi inaonekana waziwazi ya kwambamaneno haya si ya Mungu akiongea na Musa na walasi maneno ya Musa aliyoongea na Mungu, bali nimaneno ya mwandishi asiyejulikana kama utangulizi.Maneno ya Musa yanaanzia msitari wa sita. Na hivyoaya hizo tano za mwanzo zimeongezwa katika kitabucha Musa.

85

Page 86: Zawadi kwa Wakristo

2. MAITI ANAONGEA?Biblia inasema kwamba: “Basi Musa mtumishi wa

Bwana akafa huko katika nchi ya Maoabu kwa neno laBwana. Akamzika bondeni katika nchi ya Moabukukabili Beth Peuri. Lakini hapana mtu ajuaye kaburilake hata leo hii. Musa alikuwa wa miaka mia na ishirinialipokufa jicho lake halikupofuka wala nguvu za mwiliwake hazikupunguka. Wana wa Israeliwakamwombolezea Musa katika uwanda wa Moabusiku thelethini. Basi siku za maombolezo ya matangaya Musa zikaisha. Na Yoshua mwana wa Nuni alikuwaamejaa roho ya hekima, maana Musa alikuwaamemwekea mikono yake juu yake. Wana wa Israeliwakamsikiliza, wakafanya kama Bwanaalivyomwamuru Musa. Wala haijawahi tena katika Is-raeli Nabii kama Musa ambaye Mungu alimjua usokwa uso katika ishara zote za marejeo yote ambayoBwana alimtuma kuyatenda katika nchi ya Misri kwaFarao na kwa watumishi wake wote na kwa nchi yakeyote.” (Kumbukumbu la Torati 34:5-12).

Aya hizi ni za kitabu cha Musa. Wakati Musaalipofariki alizikwa hata watu wake wakasahau kaburilake. Na kitabu chake bado kinaendelea kuandika.Na Mungu alimpatia aya hizi nane ilhali yeye tayarialikwisha zikwa. Au maiti ya Musa iliendelea kuhubirimaneno haya katika kaburi lake. Na mambo yote hayahayawezikani. Isipokuwa tukubali kwamba baada yakifo cha Musa, mwandishi fulani aliongeza manenohaya katika kitabu cha Musa. Kwahiyo si sahihi kusadikikuwa Biblia ni neno la Mungu, bali ni ngano (hadithi za

86

Page 87: Zawadi kwa Wakristo

kubuniwa) za waandishi.3. Kitabu cha Yoshua kinaanzia hivi: “Ikawa baada yakufa kwake Musa mtumishi wa Bwana, Bwanaakamwambia Yoshua, Mwana wa Nuni, mtumishi waMusa akasema” (Yoshua 1:1) . Maneno yote hayo simaneno ya Mungu kuongea na Yoshua, na wala simaneno ya Yoshua aliyoongea na Mungu, bali nimaneno ya mwandishi yeyote.4. Aya ya kwanza katika kitabu cha Waamuziinasomeka hivi: “Ikawa baada ya kufa Yoshua, wanawa Israeli wakamuliza Bwana wakisema, ni naniatakayekwea kwanza kwa ajili yetu juu ya Wakanani,ili kupigana nao?” (Waamuzi 1:1). Maneno ya aya hiiyanaonesha kwamba siyo ya Mwenyezi Mungu walaya Yuda ambaye wakati ule alikuwa bado hajatumwabali ni maneno ya mwandishi yeyote aliyejaribukuboresha kitabu cha Waamuzi.5. Kitabu cha Mathayo kinaanza hivi: “Injili kamaalivyoandika Mathayo Mtakatifu. Ambapo tunapofikaMathayo 9:9 msitari unasomeka hivi: “Naye Yesualipokuwa akipita kutoka huko aliona mtu ameketiforodhani, aitwaye Mathayo akamwambia nifuate.Akaondoka na akamfuata.” Aya hii inaonesha kwambamaneno haya siyo ya Bwana Mathayo, bali mtumwingine ameeleza habari za Mathayo, tena ni manenoyaliyoongezwa baadaye katika kitabu kinachosemwakuandikwa na Mathayo.6. Kitabu cha Mambo ya Walawi kinaanza hivi: “Kitabucha tatu cha Musa kiitwacho Mambo ya Walawi. Natunaposoma aya yake ya kwanza ya kitabu hiki

87

Page 88: Zawadi kwa Wakristo

inasomeka hivi: “Bwana alimwita Musa, na kusemanaye kutoka katika hema ya kukutania, akamwambia.”Aya hii inaonesha kuwa siyo maneno ya Mungu kwaMusa wala siyo maneno ya Musa mwenyewe. Maanamaneno ya Musa yanaanzia katika aya ya pili. Kwahiyoimethibitika kwamba ni maneno ya kuongezwa katikaBiblia.7. Kitabu cha Musa kiitwacho Mambo ya Walawikinaishia hivi: “Haya ndiyo maagizo, Bwanaaliyomwagiza Musa kwa ajili ya wana wa Israeli katikamlima wa Sinai.” (Mambo ya Walawi 27:34). Ayainaonesha kwamba siyo neno la Mungu wala neno laMusa bali ni maneno ya mwandishi ambayehatambuliki.8. Kitabu cha nne cha Musa kiitwacho Hesabukinaanzia hivi: “Bwana akanena na Musa katika barala Sinai hemani mwa kukutania, siku ya kwanza yamwezi wa pili katika mwaka wa pili baada ya kutokakwao nchi ya Misri akamwambia.” Maneno haya siyoya Musa kwa sababu maneno yake yanaanza katikamsitari wa pili. Kwahiyo aya ya kwanza ni ya kuongezwakatika kitabu cha Musa.9. Aya ya mwisho ya kitabu cha Musa kiitwachoHesabu inasomeka hivi: “Haya ndiyo maagizo nahukumu ambayo Bwana aliwaagiza wana wa Israeli.Kwa mkono wa Musa, hapo katika nchi tambarare zaMoabu, karibu na Yordani, hapo Yerko.” Sasa ni wazikuwa maneno hayo siyo ya Musa bali ni ya mtumwingine ambaye amejasiri kuongeza maneno yakekatika kitabu cha Musa.

88

Page 89: Zawadi kwa Wakristo

10. Kitabu cha kwanza cha Suleimani kiitwacho Mithalikinaanzia hivi: “Mithali ya Suleimani, mwana wa Daudimfalme wa Israeli.” Ni wazi kwamba aya hii ni yakuongezwa baadaye wala siyo ya Suleimani.11. Wimbo ulio bora kinaanzia hivi: “Wimbo ulio borawa Suleimani.” (1:1) Ni wazi kuwa aya hii siyo yaSuleimani, bali ni ya mtu mwingine iliyoongezwa.12. Kitabu cha Nabii Isaya kinaanzia hivi: “Haya nimaneno ya Isaya mwana wa Amoizi aliyoyaona katikahabari za Yuda na Yerusalemu, siku za Uzia naYothamu na Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda.”(Isaya 1:1).

Maneno ya Isaya yanaanzia katika aya ya pili,maneno ya aya ya kwanza siyo ya Isaya bali ni yamwandishi mwingine asiyejulikana aliyeongeza katikakitabu cha Isaya.

Ndugu wasomaji mmeshuhudia kwamba ayakadhaa zimeongezwa na waandishi katika Biblia natumewatajieni baadhi ya mifano michache tu, wailaBiblia imechafuliwa vibaya sana. Kwahiyo siku hizihatuwezi kuitegemea, kama zamani maandiko ya Bibliayalikuwa matakatifu, basi siku hizi siyo matakatifu baliyamechafuliwa kabisa na heshima ya Bibliaimeangushwa.

Kama mtu anakuwa na chakula kizuri na baadayeaone kwamba uchafu fulani umeangukia katika chakulahawezi kuridhika kukitumia chakula kile isipokuwakipofu. Hivyo ndivyo ilivyo hali ya maandiko ya Bibliayameangukiwa na uchafu wa nje maana maneno yawatu ni uchafu tu mbele ya maneno ya Mungu na ya

89

Page 90: Zawadi kwa Wakristo

manabii. Kwahiyo nawashauri wasomaji wenzanguwajihadhari na watazame vizuri kabla ya kufuatamaandiko hayo.(a) “Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno yaunabii wa kitabu hiki, mtu yeyote atayaongeza, Munguatamwongeza hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabuhiki.” (Ufunuo wa Yohana 22:18).(b) “Msiliongeze neno niwaamurulo wala msilipunguze,mpaka kuzishika amri za Bwana, Mungu wenu,niwaamuruzo.” (Kumbukumbu la Torati 4:2).(c) Neno niwaagizalo lolote liangalieni kulifanyausiliongeze wala usilipunguze.” (Kumbukumbu la Torati12:32).

Viongozi wa Kikristo na wachapaji wa Bibliawanaongeza-ongeza maneno yao katika Bibliawameonywa tayari katika kitabu cha Mungu kama sisitukifuata nyayo zao na tukifuata mafundisho yao lazimasisi pia tutaadhibiwa pamoja nao.

Kwa sababu hiyo Mwenyezi Mungu aliteremshasheria mpya, Qur'an inayofaa kwa hali zote.

AYA ZA BIBLIA ZILIZOFUTWA

Ndugu wasomaji mmesoma jinsi ayazilivyoongezwa katika Biblia na mifano yake kadhaammeiona. Sasa ningependa kuwaelezeni kwamba zipoaya kadhaa pia zilizofutwa katika Biblia kwa makusudi,kwa sababu haziungi mkono imani ya siku hizi yaMapadri. Kwahiyo badala ya viongozi wa Kikristokujirekebisha sawa na kitabu cha Mungu,

90

Page 91: Zawadi kwa Wakristo

wanayabadilisha bali wanaharibu maandiko matakatifukwa kufuata matamanio yao.

Biblia inawaongoza sana wale ambao wanaondoaaya za Mwenyezi Mungu. Biblia inasema kwamba: “Namtu yeyote akiondoa lolote katika maneno ya unabiiwa kitabu hiki, Mungu atamuondolea sehemu yakekatika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu,ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.”(Ufunuo wa Yohana 22:19).Aya za Biblia zilizofutwa katika chapa mpya*

Mathayo: (12:47; 17:21; 18:11; 21:44; 23:14).

Zilizofutwa nusu ya pili. (6:13; 27:49).Marko: ( 7:16; 9:44-46; 11:26; 15:49).Luka: (17:36; 22:43-44; 23:17; 24:12; 24:40).Yohana: (5:4 na 5:3 nusu ya pili).*Chapa mpya ya:1. Revised Standard Version.2. The Good News Bible.3. The Holy Bible.4. The Bible James Version.5. Biblia Habari Njema.

BIBLIA INAVYOWADHALILISHA WANAWAKE

Sheria nzuri ni ile ambayo inatimiza mahitaji ya watuwote. Vilevile inawaheshimu barabara bila kuwabaguakwa njia yoyote. Akina mama ni sehemu ya lazima namuhimu katika dunia. Tunaposoma Biblia, tunaona

91

Page 92: Zawadi kwa Wakristo

kuwa inawabagua wanawake bali inawafedheheshavibaya sana kiasi hiki kwamba hata hawapewi haki zamsingi za binadamu. Nitaeleza hapa baadhi ya mifanotu:

1. Wasisuke nywele wala wasivae nguo za thamani

Biblia inasema kwamba: “Vivyo hivyo wanawake nawajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabunzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele; walakwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani.”(1 Timotheo 2:9).

2. Mwanamke asifundishe wala asitawaleSawa na Biblia mwanamke hana uhuru wowote. Hawezikuwafundisha wengine wala hana ruhusa yakumtawala mwanamume. Biblia inasema kwamba:“Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, walakumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.” (1Timotheo 2:12).

3. Wanawake wasihubiriBiblia inawanyanyasa wanawake kiasi hiki kwambawamenyimwa haki ya kuongea kanisani. Wala hawanaruhusa ya kujifunza isipokuwa nyumbani kwao kwawaume zao. Biblia inasema kwamba: “Wanawake nawanyamaze katika kanisa maana hawana ruhusakunena bali watii kama vile inenavyo Torati nayo. Naowakitaka kujifunza neno lolote, na wawaulize waumezao wenyewe nyumbani mwao, maana ni aibu

92

Page 93: Zawadi kwa Wakristo

wanawake kunena katika kanisa.” (1 Wakorintho 14:34-35).

4. Mwanamke atengweHedhi, yaani damu ya mwezi ni kawaida ya akina

mama. Lakini Biblia inawaita najisi na inaamurukutengana nao. Biblia inasema kwamba: “Mwanamkeyeyote, kama anatokwa na kitu, na kitu chakealichokuwa nacho mwilini mwake ni damu, ataketikatika kutengwa kwake muda wa siku saba na mtuyeyote atakaye mgusa atakuwa najisi hata jioni,”(Mambo ya Walawi 15:19).

Hii ni hali ya fedheha ya wanawake sawa na Biblia.Hatuwezi kufanya chochote isipokuwa kuwapa polena kuwakaribisha kwenye ISLAM. Kwani ISLAM ndiyodini inayokubali haki za watu wote na inawaheshimu.Kwa hiyo Islam ndiyo dini ya watu wote. Karibuni sana.

93

Page 94: Zawadi kwa Wakristo

MAREJEO MBALIMBALI

Baadhi ya wakati, Wakristo wengine wanapatikanaambao wanapinga taratibu za dini ya Kiislam.Wanakuwa na shauku ya kupinga waila hawajuimasikini mafundisho ya dini ya Kiislam walahawajapata nafasi ya kusoma Biblia. Kamawangesoma Biblia tu, hawangeweza kuonesha tabiaile. Kama vile wanavyopinga udhu wa Kiislam, wenginewanacheka kuwaona Waislamu wakisujudu. Hata juzijuzi Padri mmoja amelalamika juu ya kuvua viatu wakatiwa ibada.

Vilevile wanashangaa wakati Waislamu hawaimbiwala hawachanganyiki na wanawake wala hawatumiipombe na nguruwe.

Kama ndugu Wakristo wangesoma tu Bibliawangekuta mafundisho haya yote yanapatikana humo.Kwa kufupisha somo ninaandika hapa mambo ambayoyanaonekana mageni kwa Wakristo ilhali yamo katikaBiblia.

Udhu

Bwana akanena na Musa na kumwambia fanya nabirika la shaba, na tako lake la shaba ili kuogea, naweutaliweka kati ya hema ya kukutania na madhabahunawe utalitia maji. Na Haruni na mwanawe wataoshamikono yao na miguu yao humo hapo waingiapo ndaniya hema ya kukutania, watajiosha majini ili wasife auhapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike

94

Page 95: Zawadi kwa Wakristo

kumteketezea Bwana sadaka ya moto basi wataoshamikono yao na miguu yao ili kwamba wasife na nenohili litakua amri kwao milele kwake yeye na kwa wazaowake katika vizazi vyote.(Kutoka 30:17-21).

Basi kulikuwako huko mabalasi sita ya mawe nayoyamewekwa huko kwa desturi ya Wayahudi yakutawadha. Kila moja lapata kadiri ya nzio mbili tatu.(Yohana 2:6).

Kuvua viatu wakati wa ibada

Huyo Amiri wa jeshi la Bwana akamwambia Yoshua,vua viatu vyako miguuni mwako kwa kuwa mahali hapousimamapo ni patakatifu, Yoshua akafanya hivyo.(Yoshua 5:15).

Naye akasema usikaribie hapa, vua viatu vyakomiguuni mwako maana mahali hapo unaposimama ninchi takatifu. (Kutoka 3:5).

Ibada na Sajda

Naye Ezra Kuhani akasimama juu ya mimbari ya mtiwaliyokuwa wameifanya kwa kusudi hilo na karibu nayeakasimama Matithia ....... Ezra akakifungua kitabumachoni pa watu wote (maana alikuwa juu ya wote) nahapo alipokijua, watu wote walisimama Ezraakamhimidia Bwana, Mungu Mkuu. Nao wote wakaitika

95

Page 96: Zawadi kwa Wakristo

Amina, Amina, pamoja na kuinua mikono yao kishawakainama vichwa vyao wakamsujudia Bwanavifudifudi. (Nehemia 8:4-12; Mwanzo 17:3).Akaendelea mbele kidogo akaanguka kifulifuliakaomba ... (Mathayo 26;39).Msujudie Mungu. (Ufunuo 22:9).Musa akafanya haraka akainamisha kichwa chakehata nchi, akasujudu.(Kutoka 34:8; 1 Wakorintho 14:25).

Nyimbo Hazitakiwi

Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitakikuzisikia sauti za vinanda vyenu. (Amosi 5:23).Ninyi mnaoimba nyimbo za upuzi pamoja na sauti yavinanda na kujifanyizia vinanda vya namna nyingi kamavile Daudi. (Amosi 6:5).

Tena nyimbo za hekaluni zitakuwa vilio siku ile, asemaBwana Mungu. Mizoga itakuwa mingi kila mahaliwataitupa wakinyamaza kimya. (Amosi 8:3).

Masanamu hayatakiwi

Usiwe na miungu mingine ila mimi.Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kituchochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani,au kilicho majini chini ya nchi. Usivisujudie walakuvitumikia; kwa kuwa mimi Bwana, Mungu wako, niMungu mwenye wivu, (Kumb. 5:7-9).

96

Page 97: Zawadi kwa Wakristo

Wanawake na wanaume wasichanganyike kwamaombolezi (ibada)

Nayo nchi itaomboleza kila jamaa peke yake; jamaawa nyumba ya Daudi peke yao, na wake zao peke yao;jamaa wa nyumba ya Nathani peke yao na wake zaopeke yao; jamaa wa nyumba ya Lawi peke yao na wakezao peke yao; jamaa wa nyumba ya Shimri peke yaona wake zao peke yao. Jamaa zote zilizosalia, kilajamaa peke yao na wake zao peke yao.(Zakaria 12:12-14).

Biblia inaruhusu mitala (wake wengi)

1. Akiwa mtu ana wake wawili, mmoja ampenda,mmoja hampendi .... (Kumb. 21:15-17).2. Nabii Ibrahim alikuwa na wake wawili(Mwanzo 16:1-4).

3. Nabii Daud alikuwa na wake wengi na masuria(2 Samuel 12:8 na 15:16).4. Nabii Suleiman alikuwa na wake mia saba namasuria mia tatu. (1 Wafalme 11:3).

Kuoga Janaba

Na mtu yeyote akitokwa na shahawa yake, ndipoataoga mwili wake wote majini, naye atakuwa najisihata jioni. Na kila nguo na kila ngozi, ambayo inashahawa itafuliwa kwa maji itakuwa najisi hata jioni.

97

Page 98: Zawadi kwa Wakristo

Huyo mwanamke naye ambaye mtu mume amelalanaye kwa shahawa, wote wawili wataoga majini, naowatakuwa najisi hata jioni.(Mambo ya Walawi 15:16-18).

Nguruwe ni haramu

Naye nguruwe kwa sababu yeye anazo kwato, nimwenye miguu iliyopasuka kati lakini hacheui, yeye ninajisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizogayao, hao ni najisi kwenu.(Mambo ya Walawi 11:7-8).

Waketio kati ya makaburi, na kulala katika mahali paopa siri, walao nyama ya nguruwe, na mchuzi wa vituvinichukizavyo u katika vyombo vyao.(Isaya 65:4). (Kumb. 14:8).

Pombe ni haramu

Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu, litiapo bilaurirangi yake ishukapo taratibu; mwisho wake huumakama nyoka; Huchoma kama fira. Macho yakoyatakuwa mambo mageni; na moyo wako utatoayaliyopotoka, Naam, utakuwa kama alalaye katikatiya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.Utasema, wamenichapa wala sikuumia, wamenipigawala sina habari, Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.(Mithali 23:31-35).Wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia, huota ndoto,

98

Page 99: Zawadi kwa Wakristo

hulala, hupenda usingizi. Naam, mbwa hao wana choyosana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungajiwasioweza kufahamu neno, wote pia wamegeukaupande, wazifuate njia zao wenyewe kila mmoja kwafaida yake toka pande zote. Husema, njooni nitaletadivai, na tunywe sana kileo na kesho itakuwa kamaleo sikukuu kupita kiasi.(Isaya 56:10-12).Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapatekufuata kileo, wakishinda sana hata usiku wa mananempaka mvinyo imewaka kama moto ndani yao! Nakinubi, na zeze na matari na filimbi, na mvinyo zoteziko katika karamu zao lakini hawaangalii kazi yaBwana wala kuyafikiri matendo ya mikono yake.(Isaya 5:11-12).

Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, watuwaume wenye nguvu huchanganya vileo, wampao hakimwenye uovu ili wapewe ijara na kumwondoleamwenye haki haki yake. (Isaya 5;22-23).

Ole wa taji ya kiburi ya walevi wa Efraim na ua la uzuriwa fahari yake linalonyauka, lililo kichwani mwa bondelinalostawi la hao walioshindwa na divai!(Isaya 28:1).

Uzinzi na divai, na divai mpya huondoa fahamu zawanadamu (Hosea 4:11).

99

Page 100: Zawadi kwa Wakristo

Saumu

Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwishoakaona njaa. (Mathayo 4:2).

Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.(Mathayo 17:21).

Kutahiriwa

Siku ya nane mtoto atatahiriwa govi la zunga lake. (Mambo ya Walawi 12:3).

Mungu akamwambia Ibrahimu, nawe ulishike aganolangu wewe na uzao wako kwa vizazi vyao baada yako.Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi nawewe na uzao wako baada yako kilamwanamume wa kwenu atatahiriwa.Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu na jambo hilolitakuwa ishara ya agano kati ya mimi nanyi.(Mwanzo 17:9-11).

Ibrahim mwenyewe alitahiriwa tena katika umri wamiaka 99. Na Ismail pia alitahiriwa siku hiyo hiyo. (Mwanzo 17:24-27).Yohana alitahiriwa baada ya siku 8. (Luka 1:59).Yesu pia alitahiriwa baada ya siku 8. (Luka 2:21).Paulo mwenyewe alitahiriwa. (Wafilipi 3:5).Paulo ndiye ambaye alifundisha kinyume cha aganohilo kati ya Mungu na Ibrahimu. (Wagalatia 5:2-6).

100

Page 101: Zawadi kwa Wakristo

Yesu hakuzaliwa Disemba 25

Hata ikawa katika mwaka wa thelathini na saba wakuhamishwa kwake Yehoyakini, mfalme wa Yuda,katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na tanoya mwezi wa Evil - Merodaki mfalme wa Babeli, katikamwaka wa kwanza wa kumiliki kwake, akamwinuakichwa chake Yehoyakini mfalme wa Yuda akamtoagerezani. (Yeremia 52:31).

Idi pia yapatikana katika Biblia

Mtafanya nini katika siku ya mkutano wa Idi; na katikasiku ya karamu ya Bwana? (Hosea 9:5).

Waanzilishi wa Ukristo ni Paulo na Barnabas.

Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia(Matendo 11:26).

Harusi ya Kaini.

Kaini akatoka mbele ya uso wa Bwana akakaa katikanchi ya Nodi mbele ya Adeni. Kaini akamjua mkewenaye akapata mimba akamzaa Enoko naye akajengamji akauita Henoko kwa jina la mwanawe.(Mwanzo 4:16-17)

101

Page 102: Zawadi kwa Wakristo

Kukumbuka kwa urahisi

1. Yesu hakufufuka. (1Wakorintho 15;15).2. Mwandishi wa Mathayo si Mathayo. (Mat. 9:9).3. Wanawake na wanaume wasichanganyike(Zakaria 12:12).4. Nabii mfano wa Musa atakuja. (Kumb. 18:18).5. Taurati iwe uwongo. (Yer. 8:8).6. Ismail akakaa katika jangwa la Paran na mama yake.(Mwanzo 21:21).7. Naye Ibrahimu alikuwa mtu wa miaka 86, hapo Hajiraalipomzalia Ibrahimu Ismail. (Mwanzo 16:16).8. Wale wanaomwita Yesu Bwana Bwana na wanatoamapepo kwa jina lake watafukuzwa siku yaKiyama. (Mat. 7:22-23).9. Waacheni wafu wazike wafu wenzao. (Mat. 8:22).10. (Yesu alisema) Wote walionitangulia ni wevi nawanyang’anyi. (Yohana 10:8)11. Yesu aliwaambia amani iwe kwenu (yaaniAssalaamu Alaikum). (Yohana 20:19).12. Yesu alikuwa akienda sinagogi. (Luka 4:16).Sinagogi ni msikiti (maelezo ya maneno).13. Msimwambie yeyote kwamba mimi ni Kristo. (Mat:16:20).14. Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. (Mat. 17:20).15. Sanamu zao ni fedha na dhahabu kazi ya mikonoya wanadamu, zina vinywa lakini hazisemi, zina ma-cho lakini hazioni, zina masikio lakini hazisikii, zina pualakini hazisikii harufu, zina mikono lakini hazishiki, zina

102

Page 103: Zawadi kwa Wakristo

miguu lakini haziendi wala hazitoi sauti kwa koo zake.(Zaburi 115:4-7).Je, sanamu za Mariamu na Yesu hazipatikanimakanisani?

Maswali Kwa Wakristo

Hapa chini ninaandika baadhi ya maswali kwa ajilikuwauliza mapadri na ndugu Wakristo, ili watusaidiemajibu sawa na Bibilia.1. Katika aya gani ya Biblia Mwenyezi Mungu amesemakwamba Yesu ni Mungu?2. Katika aya gani ya Injili Bwana Yesu amedai kuwayeye ni Mungu?3. Kama Yesu ni Mwana wa Mungu, basi Mungu naMariamu (Mama wa Yesu), wanao uhusiano gani bainayao. Maana Mungu hawezi kupata mtoto bila ya mke,basi mke wa Mungu ni nani?"Inamkinikaje awe na mwana hali hana mke (Qur'an6:102).4. Biblia inasema: Akaenda, akakaa katika mji ulioitwaNazareti, ili litimie neno lililonenwa na manabii, ataitwaMnazarayo. (Mat: 2:23).Hawa manabii ni akina nani na walinena wapi?.Ushahidi wa kitabu unahitajika.5. Je unakubali kwamba Yesu ni mwizi? Kwa sababumwenyewe amesema kwamba ujaji wake wa mara yapili utakuwa sawa na ujaji wa mwizi. (Mat 24:43; Ufunuo3:3 na Petro 3:10).

103

Page 104: Zawadi kwa Wakristo

Iwapo unapenda kununua vitabu zaidi vya Dini yaKiislamu au kwa maelezo zaidi ya mafundisho yaJumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya, wasiliana naanuani iliyo karibu nawe kati ya hizi zifuatazo:

1. P. O. Box 376, Simu: 2110473 Dar es Salaam.2. P. O. Box 1, Simu: 2603477 Morogoro.3. P. O. Box 260, Simu: 2646849 Tanga.4. P. O. Box 359 Iringa. Simu 2700633.5. P. O. Box 196, Simu: 243043 Dodoma.6. P. O. Box 94, Simu: 2600847 Songea.7. P. O. Box 10723 Arusha.8. P. O. Box 54, Simu: 2603291 Tabora.9. P. O. Box 547 Ujiji - Kigoma.10. P. O. Box 306, Simu: 2333919 Mtwara.11. P. O. Box 86, Simu: 2510082 - Masasi.12. P. O. Box 1812 Bukoba.13. P. O. Box 28, Simu 70 Kibiti - Rufiji.14. P. O. Box 391 Tarime.15. P. O. Box 605 Ifakara.16. P. O. Box 17 Kilosa.17. P. O. Box 40554, Simu: 764226 Nairobi Kenya.18. P. O. Box 97011, Simu: 492624 Mombasa Kenya.19. P. O. Box 421, Simu 40269 Kisumu Kenya.20. P. O. Box 77, Simu 52 Shianda Kenya.21. P. O. Box 552 Limbe Malawi.

104