yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote...

64
1 Yaliyomo Sala ya Kumtakia Mtumishi wa Mungu Kutangazwa kuwa Mtakatifu .................. 2 Dibaji Kuunganisha, Kuponya na Kujenga Upya Taifa Letu…Zawadi ya Mungu .......... 3 Utangulizi Kwaresima katika Kanisa Katoliki .............................................................................. 5 Wiki ya Kwanza Kuhifadhi na Kutunza Mazingira ................................................................................6 Wiki ya Pili Maadili ya Familia ....................................................................................................... 10 Wiki ya Tatu Ufisadi ........................................................................................................................... 14 Wiki ya Nne Kushiriki Wote katika Masuala ya Kijamii na Kisiasa ............................................ 18 Wiki ya Tano Kuheshimu Utawala wa Sheria .................................................................................. 22 Kiambatisho Michango ya Kampeni ya Kwaresima ya 2018 ......................................................... 25

Upload: others

Post on 09-Jan-2020

12 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

1

YaliyomoSala ya Kumtakia Mtumishi wa Mungu Kutangazwa kuwa Mtakatifu .................. 2

Dibaji Kuunganisha, Kuponya na Kujenga Upya Taifa Letu…Zawadi ya Mungu .......... 3

Utangulizi Kwaresima katika Kanisa Katoliki .............................................................................. 5

Wiki ya Kwanza Kuhifadhi na Kutunza Mazingira ................................................................................6

Wiki ya Pili Maadili ya Familia ....................................................................................................... 10

Wiki ya Tatu Ufisadi ........................................................................................................................... 14

Wiki ya Nne Kushiriki Wote katika Masuala ya Kijamii na Kisiasa ............................................ 18

Wiki ya Tano Kuheshimu Utawala wa Sheria .................................................................................. 22

Kiambatisho Michango ya Kampeni ya Kwaresima ya 2018 ......................................................... 25

Page 2: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

2

E Mungu, ulimpa mtumishi wako, Maurice Michael Kadinali Otunga, neema ya kuwa mchungaji wa kipekee katika utumishi wa Kanisa; ukamfanya kuwa ishara ya unyenyekevu na mapenzi kwa maskini,

wanyonge na wasiobahatika katika jamii, huku akijinyima na kujitenga na anasa za dunia hii. Twakusihi utupe nasi uwezo wa kuzingatia imani kamili katika kutekeleza matakwa yote ya utumishi wa Kikristo, huku ukizibadili kila nyakati na hali za maisha yetu kuwa nafasi za kukupenda wewe na majirani zetu kwa furaha na ukarimu, na kuutumikia ufalme wa Mungu kwa

unyenyekevu.

Tunakuomba kwa unyenyekevu umpe mtumishi wako, Kadinali Otunga, nafasi kwenye makao yako takatifu mbinguni, nafasi ambayo imeahidiwa waliokutumikia vyema duniani. Kwa maombi yake, libariki Kanisa lako, nchi yetu, familia zetu na pia watoto, na ututimizie yote tunayokuomba ... (ongeza

maombi na nia zenu).Kupitia kwa Yesu, mwokozi wetu.

Amina

Sala ya Kumtakia Mtumishi wa MunguKutangazwa kuwa Mtakatifu

Page 3: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

3

Mafunzo ya jamii ya Kanisa ni mojawapo ya hati zinazotuelimisha kuhusu tupasavyo kuishi katika imani yetu na pamoja na wengine. Ukweli ni kwamba iwapo tunataka kuungana na kuliponya taifa, tunahitaji kuzingatia

mafunzo hayo ya jamii. Yanatufunza kuhusu utakatifu wa maisha ya mwanadamu na kwamba hadhi ya kila mtu ndiyo msingi wa nidhamu na mwelekeo thabiti wa jamii.

Mafunzo ya jamii ya Kanisa Katoliki huzingatia kanuni 10, nazo ni: Hadhi ya utu; Jamii na manufaa ya wote; Haki na wajibu; Haki ya kutenda na kuamua ya maskini na wasio salama au wanyonge; Kushiriki kwa wote na kusaidia; Hadhi ya kazi na haki za wafanya kazi; Utumishi na usimamizi wa vitu vyote vilivyoumbwa; na Umoja/mshikamano.

Ni dhahiri kwamba mafunzo ya jamii ya Kanisa yakifahamika kikamilifu na kutekelezwa ipasavyo, yanaweza kuwa msingi muafaka wa kujenga taifa thabiti, taifa ambamo hadhi ya binadamu inaheshimiwa na kuimarishwa. Tunaombwa kuleta umoja na mshikamano kwa binadamu wenzetu. Mafunzo ya umoja na mshikamano ni muhimu katika kutufahamisha kuhusu majukumu ya kijamii ya kila mtu binafsi, jamii, asasi na mataifa. Binadamu hawana budi kujifunza kuishi na wengine na hawafai kumtenga yeyote.

Tunahitaji kuimarisha maadili yetu ya kitamaduni na kuwafundisha watoto wetu thamani ya tamaduni zetu. Ina maana kwamba Waafrika tusipokomboa utamaduni wetu, tutaendelea kugawanywa.

Mojawapo ya matarajio ya Katiba ya Kenya (2010) ni kuleta umoja wa kitaifa katika jamii ya watu wenye asili mbali mbali za kikabila. Yasikitisha kukuta kwamba ukabila umeendelea kutumiwa kama chombo cha kuwatenganisha watu binafsi, jamii na kuchochea fujo. Kabila la mtu limekuwa kigezo cha kufikia rasilmali za umma na pia mahusiano na majirani na raia wengine.

Mwaka huu tumeazimia kujadili mambo yanayoathiri mshikamano miongoni mwetu. Kwa kuangazia masuala hayo, huenda tukafanikiwa kuleta uponyaji, umoja na kulijenga upya taifa letu.

Mnamo wiki ya kwanza, tutaangazia suala muhimu la Uhifadhi na Utunzaji wa Mazingira. Kanisa linaamini kwamba sote hatuna budi kulinda na kuhifadhi mazingira. Siku hizi, watu wengine wanaugua maradhi yanayotokana na mitindo ya maisha ya kisasa, na hasa vyakula tunavyotumia na jinsi tunavyoyatendea mazingira. Matokeo yake yamekuwa ni watu wengi kutumia pesa nyingi kugharamia matibabu, huku boma nyingi zikiachwa maskini na uchumi wa familia nyingi kuathiriwa. Kuhusu utunzaji

Kuunganisha, Kuponya na Kujenga Upya Taifa Letu … Zawadi ya Mungu

Dibaji

Page 4: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

4

wa makao yetu sote, Baba Mtakatifu Fransisko anatukumbusha kwamba “tunapaswa kuutunza ulimwenguu huu ambao ni makao yetu sisi binadamu pamoja na viumbe wengine wote. Mazingira sio kitu kilicho mbali nasi: sisi tu sehemu muhimu ya dunia hii. Ndiposa tunapaswa kuitunza dunia kwa manufaa ya kila mwanadamu na kwa vizazi vijavyo.’’

Maadili ya Familia ndiyo mada ya wiki ya pili. Familia nyingi zimeumia kutokana na kuenea kwa maadili ya kigeni ambayo yamesababisha kuvunjika kwa familia nyingi. Tukiwa Wakristo, hatuna budi kukomboa maadili ya familia zetu iwapo tunanuia kujenga jamii yetu kwa misingi ifaayo.

Ufisadi utajadiliwa katika wiki ya tatu. Ufisadi ni utumiaji mbaya wa mamlaka kwa manufaa ya binafsi. Ufisadi ni tisho kwa ustawi endelevu wa kiuchumi, maadili na haki. Ni ovu linaloyumbisha jamii na kuhatarisha utawala wa sheria. Huchelewesha utekelezaji wa miradi muhimu kama ujenzi wa barabara na nyumba. Ufisadi umeathiri nyanja zote za maisha ya jamii, uchumi na siasa bila kujali sheria zilizopo ambazo zikitekelezwa kikamilifu, zitapunguza ovu hilo.

Kushiriki Wote katika Masuala ya Jamii na Siasa ndiyo mada yetu ya wiki ya nne. Changamoto ambazo taifa linakabili ni pamoja na migawanyiko ambayo imechochewa na ushindani mkali wa kisiasa kati ya miungano ya vyama vya kisiasa na wanasiasa binafsi. Migawanyiko hiyo inaongezwa nguvu na tofauti zilizopo kati ya matajiri na maskini kwa sababu ya kuendelea kuongezeka kwa gharama ya maisha, ukosefu wa nafasi za kazi miongoni mwa vijana na mengineyo. Hatufai kukubali kumtenga yeyote katika jamii. Kufanya hivyo ni dhuluma isiyo na msingi iliyo kinyume na wito wa Kikristo na moyo wa Katiba ya Kenya.

Tangu Kenya ijinyakulie uhuru, kuvunja sheria bila kujali kuadhibiwa ni ovu ambalo limeendelea kuathiri nchi. Tunaangazia suala la Kuheshimu Utawala wa Sheria katika wiki ya tano. Lengo la kuweka sheria ni kuhakikisha tunaishi kwa amani na upatanifu ili kupunguza mizozo kwenye jamii, tukizingatia sheria kikamilifu. Wakristo hawana budi kutii sheria, isipokuwa tu zilizo kinyume na amri za Mungu. Hatuwezi kuwa na umoja na mshikamano ikiwa baadhi ya watu wataruhusiwa kuvunja sheria makusudi wakijua hawataadhibiwa.

Huku tukilenga kuangazia suala la umoja na uponyaji, tufanye hivyo kwa moyo wa Kwaresima. Kwaresima ni msimu wa kuomba, kufunga na kutoa zaka. Masuala yatakayojadiliwa katika msimu huo yatapata mizizi miongoni mwetu tukisali kwa dhati na kufunga. Tuipatie nchi yetu nafasi nyingine ya kunawiri mnamo siku zijazo kwa kutoa nafasi kwa roho wa msamaha na upatanisho kuota mizizi katika nyoyo zetu.Nawatakieni nyote msimu wa Kwaresima uliojazwa Roho wa Mungu na wenye mafao.

____________________________________Mhashamu Askofu John Oballa Owaa wa Jimbo la Ngong’Mwenyekiti, Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

Page 5: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

5

Kwaresima katika Kanisa Katoliki

Kwaresima ni kipindi cha siku 40 cha kufunga na kujinyima, kusali na kutubu kabla ya Pasaka. Kulingana na utamaduni wa Kikristo, msimu huu katika mwaka wa kiliturjia huanza Jumatano ya Majivu na kumalizika Jumapili ya Matawi. Ni adhimisho la kila mwaka ambalo

huwatayarisha waumini — kupitia sala, toba, kutoa zaka na kujinyima — kwa matukio yanayohusiana na mateso ya Yesu msalabani, na maadhimisho ya ufufuko wake. Wakatukumeni hubatizwa Jumapili ya Pasaka.

Kwa nini siku 40?

Nambari 40 ni muhimu katika maisha ya Wakristo. Musa na wana wa Israeli, kwa mfano, walitanga jangwani kwa miaka 40 wakijiandaa kwenda katika nchi waliyoahidiwa na Mungu. Musa alikaa juu ya Mlima Sinai kwa siku

40 bila kula wala kunywa alipokuwa ameenda kupokea vibao vya mkataba ambao Mungu aliwawekea Waisraeli. Nyakati za Nuhu, gharika iliendelea kwa siku 40 mchana na usiku. Eliya alikaa siku 40 mchana na usiku juu ya Mlima Horebu bila chakula. Yesu naye alienda jangwani na kufunga kula na kunywa kwa siku 40 mchana na usiku.

Asili ya Kampeni ya Kwaresima Kenya

Kuzingatia wito wa kiroho wa msimu wa Kwaresima, Kanisa Katoliki katika Kenya liliazimia kuwapasha wananchi habari kuhusu matatizo yanayokumba jamii na kushirikiana nao kutetea mabadiliko. Kupitia kwa

Kampeni ya Kwaresima, Maaskofu wa Kanisa Katoliki huwaita Wakristo wote na watu wa mapenzi mema kuungana na kukabiliana na matatizo hayo, huku wakitetea mabadiliko. Kwa kuungana na maaskofu katika utetezi huo wa mageuzi, juhudi za kila mtu binafsi pamoja na sauti ndogo ya kila mmoja ikiunganishwa na ya wengine husikika mbali, nayo matendo ya kila mmoja huongezeka yakijumuishwa na ya wengine.

Utangulizi

Page 6: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

6

Wiki ya KwanzaKuhifadhi na Kutunza Mazingira

Page 7: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

7

Kuhifadhi na Kutunza Mazingira

Tazama: Simulizi

Sikujua, mojawapo ya vijiji vya Kaunti ya Kwetu, kilitunukiwa milima na misitu ya kiasili. Milima ilikuwa chanzo muhimu cha mito ya maji safi na makao ya aina tofauti za ndege na wanyama. Kijiji kilibarikiwa pia kuwa na

udongo wenye rutuba uliofaa kwa kilimo na kuwapatia wanakijiji mavuno mazuri. Wanakijiji walikuwa na chakula cha kutosha.

Idadi ya wanakijiji ilizidi kuongezeka kila kukicha. Shughuli za kilimo zikawa nyingi, viwanda vingi vipya vikaanzishwa na mahitaji ya ardhi yakaongezeka. Watu wakaingia misituni na kuharibu vyanzo vya mito na makao asili ya wanyama. Miti karibu yote ilikatwa na mito ikakauka.

Hali ilizoroteshwa na viwanda ambavyo vilitupa takataka za sumu mitoni na katika maziwa, jambo lililoathiri mimea na wanyama wa majini. Mazingira yaliathirika na kusababisha kuzorota kwa mashamba yaliyoishia kutoa mavuno duni. Njaa kubwa ilikumba kijiji cha Sikujua na ikasababisha utapia mlo, magonjwa yasiyoeleweka, misimu mirefu ya ukame, mafuriko na maporomoko ya ardhi.

Jamii ilisikitishwa na kusumbuliwa na ongezeko la matatizo na majanga yaliyotokana na kuzorota kwa mazingira. Wanakijiji walikusanyika kujadili yaliyowakumba. Viongozi wa kidini na kisiasa katika kaunti, mashirika ya serikali ya masuala ya mazingira na washika dau wengine wa mambo ya uhifadhi na utunzaji wa mazingira walialikwa kutoa mashauri na kusaidia kutetea kutunza na kurejeshea mazingira hali ya awali. Waliazimia kushirikisha jamii katika upandaji wa miti, mbinu bora za kilimo ikiwa ni pamoja na utumiaji wa mbolea, upandaji wa mimea ya chakula kwa misimu, upandaji wa miti katika mashamba ya mimea ya chakula au ufugaji, na utunzaji wa maeneo ya maji. Walipendekeza pia mbinu za kusimamia ukusanyaji wa takataka na kuwasihi wenye viwanda kutumia mbinu zinazojali hali ya mazingira wanapotupa takataka. Matokeo yakawa ni jamii kufurahia mazingira safi na yaliyoimarisha afya ya wote.

Amua: Uchunguzi wa hali halisiBaba Mtakatifu Fransisko (Laudato Si, 2016) anatutaka tuchukue hatua za

dharura kulinda na kutunza makao yetu sote … kuikusanya pamoja familia yote ya wanadamu ili kutafuta maendeleo endelevu na kamili yanayofungamana na mafunzo ya jamii ya Kikatoliki. Tunadhuru uhusiano wetu na makao yetu sote kila tunapoharibu mazingira. Tunaharibu uhusiano wetu na binadamu wengine, hasa wasio salama au wanyonge, maskini na vizazi vijavyo. Tunasahau maingiliano yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13)

Page 8: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

8

Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya anga ndilo tisho kubwa zaidi ambalo ardhi yetu imewahi kushuhudia. Hali hiyo imesababishwa na wanadamu na matokeo yake yamekuwa ni kumalizwa kwa hifadhi za maji safi na kupotea kabisa kwa baadhi ya mimea na wanyama, kuongezeka kwa kiwango cha joto duniani, madhara ya kutegemea shughuli za kiuchumi zinazotoa gesi ya kaboni inayochafua dunia asili na kudhuru maisha ya wanadamu, na athari za uchimbaji migodi kwa jamii na mazingira. Mazingira yetu yanatishiwa pakubwa na shughuli mbali mbali zinazoendeshwa na wanadamu, kuongezeka kwa kiwango cha joto na kubadilika kwa hali ya hewa. Mambo hayo yamefikia kiwango ambapo usalama wa wanadamu na mfumo wote wa uhusiano wa viumbe na mazingira umo hatarini. Tumeshuhudia kuharibiwa kwa misitu, mbinu mbaya za kilimo, utupaji ovyo na usimamizi mbaya wa takataka, mambo ambayo yamechangia kuharibiwa kwa mali asili kama vile hewa, maji na udongo; kuharibiwa kwa mifumo ifaayo kwa maisha ya viumbe na mazingira, makao ya viumbe, kumalizwa kwa wanyama wa pori na uchafuzi. Tumeshuhudia misimu mirefu ya ukame, mafuriko na hali za hewa zisizotabirika. Majira hayo yanaweza kuhusishwa na maamuzi yasiyofaa ya uhusiano wa viumbe na mazingira, kawi, mali asili, upanuzi wa miji, muundo msingi, uzalishaji, utumiaji na jinsi tunavyoshughulikia takataka.

Baba Mtakatifu Fransisko anatualika kuzingatia ‘Injili ya Maumbile’ inayoiangalia dunia kulingana na jinsi Mungu alinuia iwe alipoiumba. Anatuonya kuhusu mifumo ya ulaji, utumiaji ovyo na inayolenga tu faida ya uchumi kandamizi, na isiyojali hali ya mazingira na maisha ya binadamu. Anatushauri tupunguze kasi na kuiangazia hali halisi iliyopo kwa njia tofauti. Tunahimizwa kushikamana kama familia moja ya binadamu iliyo na jukumu la pamoja kwa wengine na vyote vilivyoumbwa. Pana haja ya hatua za pamoja katika ngazi ya kimataifa, na mikataba ya kimataifa na sheria kuhusiana na mabadiliko ya hali ya hewa, viumbe na bahari. Tuchukua hatua na kubadilisha jinsi tunavyoishi na kutumia tulivyo navyo. Wamwaminio na wasiomwani Mungu, familia na jamii, wanahimizwa kuchukua hatua zitakazoleta manufaa, hata kama ni kwa kiwango kidogo.

Profesa Wangari Maathai (2004) alitukumbusha kwamba: “Kulinda na kutunza mazingira huchangia katika kuleta amani; ni kazi ya kuleta amani … nilivyoona mimi, kazi yetu haikuwa tu ni kupanda miti. Ilikuwa ni kuwatia watu moyo wa kuyatunza mazingira yao ipasavyo, mifumo yao ya uongozi, maisha yao na hali yao ya baadaye.”

Baba Mtakatifu Fransisko anasisitiza kwamba udhalimu si jambo lisiloonekana (Laudato Si no.74) na anatatutaka kutafuta kuishi kama alivyokusudia Mungu kwa kuanzisha upya uhusiano kati yetu naye, sisi wenyewe, kila mmoja na mwingine na vyote vilivyoumbwa.

Page 9: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

9

MasomoKumbukumbu la Sheria 26:1-11Waroma 10:8-13Luka 4:1-13

Tafakari ya kirohoMaudhui ya Jumapili hii ni alivyojaribiwa Yesu na ibilisi. Mungu alitupatia

mamlaka ya kusimamia vyote alivyoviumba. Matarajio yake ni kwamba tutakuwa wasimamizi wema wa alivyoviumba. Lakini mara kwa mara, huwa tunajaribiwa kuharibu uumbaji wa Mungu kwa sababu ya ubinafsi na ulafi. Tunakabiliwa na changamoto sawa na Yesu alipokuwa jangwani akijaribiwa na ibilisi lakini akabaki kuwa mwaminifu kwa Baba. Mungu anatutaka tukiri kwamba madaraka yote ni yake na hatufai kamwe kuwa na shaka na anavyotupenda. Somo la pili linatukumbusha kwamba lazima tuikiri maishani mwetu na kuihubiri imani yetu kwa Mungu.

Tenda: Maswali ya kuwazia1. Ni matatizo gani ya kimazingira tunayokumbana nayo tukiwa jamii?2. Yataje baadhi ya madhara yanayosababishwa na kubadilika kwa hali ya

hewa. Wewe, mimi au jumuia tunaweza kuchukua hatua gani kukabiliana na madhara hayo?

3. Ni mambo gani niwezayo kutekeleza mimi, wewe au jumuia kushughulikia yanayotuhangaisha?

4. Je, mimi nawe tukiwa wanajumuia, tunawezaje kutunza maeneo yetu?

KujichunguzaJe, nimewahi kutupa ovyo takataka? Nimechafua mazingira?

Mpango wa vitendo1. Kupanda miti, kuzoa takataka na kusafisha makao. 2. Utumiaji ufaao wa maji na karatasi, hasa katika maeneo ya kazi.3. Kushirikisha wataalamu wa masuala ya mazingira katika kutoa ushauri

kuhusu uhifadhi na utunzaji wa mazingira.

Page 10: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

10

Wiki ya PiliM

aad

ili y

a F

amili

a

Page 11: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

11

Maadili ya Familia

Tazama: Simulizi

Kijiji cha Bora Sisi kilikuwa maarufu kwa kulinda na kutunza maadili ya familia na uadilifu maishani. Umoja wa wanakijiji ulikuwa nguzo muhimu, jambo lililowawezesha kujiendeleza na kuwa na mifumo thabiti

iliyoheshimika ya uongozi, ndoa na familia. Kufanikisha yote hayo, kila mmoja alikuwa na jukumu la kutekeleza. Akina mama waliwashughulikia wasichana nao wanaume wakawashauri wavulana kuhusu maadili na kutenda haki kwa wote.

Siku zilivyozidi kupita, ndivyo mambo yaliendelea kubadilika kijijini. Maisha ya kidunia yasiyojali dini yakamea mizizi na kijiji kikaathiriwa na mila za kigeni, kikawa tofauti na watu wakaanza kuishi kiholela na bila kuwajali wengine. Heshima kwa wazee na kati ya wanaume na wanawake ikapotea. Utakatifu wa ndoa haukuwa na maana tena na hakuna aliyejali maadili ya familia. Matokeo yakawa ni kuvunjika na kuvurugika kwa ndoa na mifumo mingine muhimu ya jamii.

Mfumo wa kutoijali dini uliandamana na maendeleo ya kiteknolojia. Malezi hafifu ya wazazi na kuvunjika kwa mshikamano wa wanakijiji ziliwaelekeza vijana kwa mitandao ya kijamii isiyokaguliwa wakitafuta kitulizo, uongozi na ushauri. Matokeo yake yakawa ni ongezeko la maovu katika jamii kama vile uhalifu, ukahaba, utumiaji mbaya wa dawa za kulevya na itikadi kali.

Makanisa ambayo yalifunza kuhusu umuhimu wa uadilifu maishani na kujaa wafuasi, yakaanza kuonekana kuwa maeneo yaliyopitwa na nyakati. Watu wakajiunga na makundi yaliyowaahidi mambo mazuri kuliko maadili. Pole pole, uabudu wa mitindo ya kisasa na miungu, pamoja na tamaa ya vitu na anasa zikamea mizizi. Viwango vya umaskini vikaongezeka na vijana waliokosa nafasi za kazi wakageukia kamari wakitumaini kutajirika haraka. Hadhi na bidii ya kazi zikapoteza maana. Uhalifu ukaongezeka kwani wengi walitumia pesa zao kucheza kamari na ikawa ni lazima watafute njia za kugharamia uraibu huo. Vijana wangefanya lolote lile wapate senti za kucheza kamari.

Baadhi ya wanakijiji hawakufurahishwa na jinsi mambo yalibadilika na wakaamua kurejeshea kijiji maisha ya uadilifu yaliyosahaulika. Walikusanyika kutafuta jinsi ya kukabili maovu yaliyokumba jamii, kuikarabati na kuirejeshea sifa ya zamani. Waliapa kufanya juhudi za kurejesha maisha ya uadilifu na kuhakikisha yanazingatiwa na wote, kufufua utukufu wa ndoa na jukumu la familia kulea watoto wenye nidhamu. Jamii ilijikomboa, ikarejesha maisha ya uadilifu na maadili ya familia. Kanuni na taratibu za jamii zilirejeshwa na kila mmoja alitekeleza jukumu lake.

Page 12: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

12

Amua: Uchunguzi wa hali halisiFamilia ndiyo msingi wa jamii. Ufanisi wa jamii yoyote hutegemea familia. Siku

hizi, familia inakabiliwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na utumiaji mbaya wa dawa za kulevya, uhalifu, magenge ya wahuni miongoni mwa vijana, wanaume kuvutiwa kimapenzi na wanaume na mahusiano ya kimapenzi ya wanawake kwa wanawake, kudhulumu watoto, athari za vyombo vya habari na mitandao ya mawasiliano, utovu wa nidhamu, kupuuzwa kwa familia kwa sababu ya shughuli za kutafuta riziki, tamaa ya mali na anasa, umaskini, talaka na mengineyo. Zote hizo ni ishara za kuzorota kwa imani na maadili katika familia na jamii. Watu hawajali tena kukiri na kutangaza imani kwa Mungu. Uadilifu maishani si muhimu tena. Tamaduni zisizojali kamwe maadili zimeibuka. Mambo yanayothaminiwa na familia kama vile busara, upendo, kuwajali wengine, kutojivuna, nidhamu, uaminifu, uwajibikaji, heshima, haki na usahihi yamesahaulika katika jamii.

Baadhi ya maovu tunayoshuhudia leo kama vile ufisadi, kutoaminika, utovu wa nidhamu, migomo shuleni na wazazi wasiowajibika yanatokana na ukosefu wa maadili ya familia. Wazazi waliopewa jukumu la kulea watoto wamepuuza wajibu wao. Picha na habari nyingi za vijana wakijihusisha na uasherati na maovu mengine mijini zimekuwa zikisambazwa kwa mitandao ya jamii, hasa #Ifikie wazazi. Maovu yote hayo yanatokana na ukosefu wa malezi yenye msingi wa maadili katika familia. Isitoshe, maadili ya familia huathiriwa pia na sera za kijamii na kiuchumi

Kanisa, nguzo muhimu katika malezi, linatuhimiza kutafakari jinsi familia inahusika katika mpango wa Mungu wa wokovu. Kauli hii inatokana na ufahamu kuwa familia ndiyo msingi wa jamii ya wanadamu. Kanisa linakariri wito huu katika katekisimu inayotuhimiza kuthamini uadilifu maishani, nguzo yake kuu. Mafunzo ya Yesu kuhusu amri mbili kuu za upendo — kumpenda Mungu kuliko mengine yote na kumpenda jirani yako ujipendavyo — ni muhtasari wa Amri 10; amri tatu za kwanza zinahusu kumpenda Mungu na nyingine saba zinahusu kumpenda jirani.

Kanisa linatufundisha pia kwamba watu wana haki na jukumu la kushirika katika masuala ya jamii, kushirikiana kwa manufaa na hali njema ya wote, hasa maskini na wanyonge. Hata hivyo, yote hayo yanapaswa kutilia maanani ndoa na familia, asasi muhimu za jamii zinazopaswa kuungwa mkono na kuimarishwa, wala si kudunishwa.

Ndiposa uwajibikaji ni muhimu mtu akikubali jukumu la kuwa baba au mama. Anayejitwika mzigo huo wa ubaba au umama anafaa kutilia maanani mpangilio ufaao wa maadili katika jamii. Hiyo ina maana kuwa wanandoa lazima wawe tayari kukabiliana na changamato za maisha. Kila wanapochukua uamuzi wowote, wanandoa wana haki ya kutilia maanani hali zao za kimwili, kiuchumi, kimawazo na kijamii, mambo yanayobaini kiwango cha uwajibikaji cha wazazi.

Page 13: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

13

Baba Mtakatifu anamhimiza kila mmoja wetu kukabili maisha ya baadaye kwa matumaini. Anapendekeza maneno yanayotunza na kuendeleza upendo katika familia, nayo ni ‘Naomba, Tafadhali, Ahsante, Samahani’. Kadhalika, anashauri kwamba pasiwe na yeyote atakayekubali jua litue kabla ugomvi au sintofahamu hazijatatuliwa. Tunapokosa, tuwe wanyenyekevu na kuomba msamaha.

MasomoMwanzo 15:5-12.17-18Wafilipi 3:17-4:1Luka 9:28-36

Tafakari ya kirohoFamilia yoyote hufanikiwa ikitembea na Mungu. Abrahamu alitembea na Mungu.

Ukiwa na Mungu, hakuna lolote liwezalo kuharibika. Tunaombwa kuachana na maisha ya anasa za dunia na kumfuata Mungu. Familia zinazomwamini Mungu hufanikiwa, hata kama zitakumbana na pingamizi maishani. Mungu huangaza njia za wafuasi wake.

Tenda: Maswali ya kuwazia1. Kanisa lina jukumu gani katika kudumisha maadili ya familia?2. Yataje maadili muhimu ya familia unayoyafahamu.3. Tukiwa jumuia, mchango wetu ni gani katika kujenga maadili ya familia? 4. Tukiwa jumuia, tunasisitizaje utumiaji ufaao wa teknolojia za kisasa za

habari na mawasiliano kwenye familia?

Kujichunguza1. Ninahusikaje katika kuimarisha maadili ya familia?2. Ninahusikaje katika utumiaji ufaao wa teknolojia za kisasa za habari na

mawasiliano?3. Nimetunza haki za wazee na wanyonge katika jamii?4. Ninawezaje kutunza na kuimarisha haki hizo?

Page 14: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

14

Wiki ya TatuUfisadi

Page 15: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

15

UfisadiTazama: Simulizi

Wakazi wa Logando waliishi kwa upatanifu na amani kwa miaka mingi. Walifanya bidii katika kila juhudi ili kujikimu na kulipa kodi kwa uongozi wao. Walikuwa na miradi muafaka na ya manufaa kwa jamii

kama vile uzoaji wa takataka, usafishaji wa soko na upandaji wa miti. Viongozi wote walitambua majukumu yao kwa jamii na pia kuwafunza vijana maadili kama vile kuwaheshimu wengine, uaminifu, kutegemewa, utiifu, uadilifu, unyoofu, haki, na la muhimu zaidi, kumcha Mungu. Maadili hayo yaliisaidia jamii ya Logando kustawi.

Jamii ya Logando ilidhamini kilimo. Wakazi wote walishirikiana kuhakikisha wanapata chakula cha kutosha kwa kila familia na cha ziada kikauziwa majirani wao wa eneo la Macho Magumu ambao hawakujali na daima hawakujitosheleza kwa chakula. Afya ya jamii yote iliimarika. Walianzisha pia miradi ya kuweka akiba ya pesa kwa makundi tofauti ya vijana, wanawake na wanaume. Walibeba kwa pamoja majukumu kama vile kulipa karo kwa watoto wao. Kadhalika, walitoa michango ya juu makanisani na kushiriki katika kuamua kuhusu miradi yote ya kanisa.

Jamii ya Logando ilistawi na kupatia eneo lao utajiri kutokana na bidii ya kazi, uadilifu na utiifu. Wakazi walikuwa na ari ya kuzidi kuimarisha maisha yao na kuinua maendeleo ya kijiji. Walimteua mzee mmoja wa kijiji kusimamia miradi. Mipango mingi ya maendeleo ilianzishwa na kumalizika kwa muda na kiwango kilichowekwa. Viongozi walidumisha uaminifu, uwazi na uwajibikaji.

Mambo yalianza kubadilika na mzee aliyeteuliwa na jamii akaanza kushirikiana na wakazi aliokubaliana kimawazo pekee. Akachagua miradi ya kutekelezwa badala ya kuwapatia wakazi nafasi ya kujiamulia wenyewe. Matokeo yakawa miradi yenye dosari nyingi na usimamizi mbaya wa rasilmali. Jamii ikaanza kulalamika na ikawasilisha mateta yao kwa wazee. Ajabu ni kwamba ujumbe uliwageuka na kuungana na waliokuwa wakitekeleza miradi kiholela. Jamii ikageukia viongozi wa kidini lakini baadhi yao wakawanyamazia na karibu watu wote wa Logando wakazidi kuteseka. Baadhi ya wakazi wakasusia kulipa kodi na kuanza kutoa hongo kila walipohitaji huduma muhimu za jamii. Upendeleo ukaathiri utekelezaji ya miradi ya jamii kama vile shule, barabara na masoko. Vibaraka wa watawala ndio walifaidika zaidi. Taratibu za kukusanya kodi zilibadilika. Wakazi wakawa na hiari ya kulipa kodi iliyofaa kwa uongozi wao ama kuhonga viongozi kwa kiasi kidogo cha pesa. Ubinafsi na ulafi zikasababisha kuporomoka kwa taasisi mbali mbali na pia taratibu.

Page 16: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

16

Amua: Uchunguzi wa hali halisiUfisadi ni utumiaji mbaya wa mamlaka kwa manufaa ya kibinafsi miongoni mwa

maafisa wa serikali na wasio wa serikali kwa kufuja mali na kuendeleza upendeleo, hasa wa ukoo. Maovu mengine ya kifisadi ni ulaji na utoaji wa hongo, upokonyaji na unyakuzi kwa kutumia nguvu, vitisho na ulaghai. Ni ovu linaloathiri afisi mbali mbali za umma na kisiasa. Ufisadi waweza kuwa wa kiwango kdogo au kikubwa, wenye utaratibu au unaofanyika kiholela. Baadhi ya mazao ya ufisadi ni ulanguzi wa dawa za kulevya, kujipatia pesa kiharamu na utoaji wa vyeti bandia vya kumiliki ardhi.

Ufisadi unatokana na kuzorota kwa maadili. Ni nduli anayeathiri sio tu ngazi zote za siasa lakini pia uchumi na jamii. Wizi wa mali za umma huwanyima maskini chakula na dawa katika dispensari za umma. Watumishi wa umma hukosa mishahara. Umesababisha pia mabadiliko ya hali ya hewa kwani tumeharibu mama yetu ardhi kusudi tujitajirishe binafsi bila kujali vizazi vijavyo.

Nchini Kenya, ufisadi unaongezeka kwa kasi isiyomakinika na hali inazidi kuzorota. Ni kama kwamba Wakenya wamekubali kuwa ufisadi ni sehemu yao ya maisha. Kiini cha ufisadi ni kutojali kuadhibiwa, hasa miongoni mwa vizito wenye mahusiano na wakuu wa vyombo vya dola na wanaamini hawawezi kuguswa. Matokeo yamekuwa ni wizi wa mali za umma na za binafsi, ovu linaloendelezwa na wenye jukumu la kuchunga mali hizo. Ufisadi umewanyima wengi haki ya uraia.

Baadhi ya wataalamu wa uchumi na bajeti wanaamini kuwa kashfa kubwa za ufisadi huanza katika ngazi ya kutayarisha bajeti katika mashirika ya umma na ya binafsi. Baadhi ya watu wana tamaa ya kutajirika haraka kwa kufanya hila za kujitengea pesa za umma wao wenyewe, mawakala, walanguzi na wafanya biashara katika bajeti. Hutenga pesa pia kwa miradi isiyo na faida kwa umma. Njama hizo hutekelezwa katika hatua za kuunda kwa utaratibu, kupanga, kutekeleza na kudhibiti.

Mara nyingi huwa tunapuuza jukumu ambalo sisi binafsi hutekeleza katika kudumisha njama na taratibu zinazotuza kutoaminika na kashfa. Ni wangapi wetu hutoa hongo ili kuajiriwa kazi iwe tumehitimu au hatujahitimu? Ni miradi mingapi ya vyuo vya elimu, afya na dini imekwama hata baada ya raia kujinyima ili kukusanya pesa za kuikamilisha? Watu wamechanga pesa mara ngapi, kisha zinatumika kwa miradi ambayo haikupangiwa? Ni wangapi tumetumia afisi zetu kuwanufaisha watu wasiostahili? Tukiwa wazazi, ni mara ngapi tumewatuza watoto wetu kwa majukumu ya kimsingi nyumbani? Baadaye maishani, tunaweza kubaini uhusiano wa ‘hongo’ hizo za familia na yanayofanyika katika shughuli za umma? Ni mara ngapi tunasikia kuhusu mikutano ya familia ya kusuluhisha kesi za unajisi nje ya mahakama na kuwaacha waathiriwa wakiteseka? Serikali za kaunti zikishindwa

Page 17: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

17

kukusanya pesa za kutosha kugharamia ujenzi wa barabara kwa sababu hatulipi kodi, tuna haki ya kulalamikia rekodi yake ya maendeleo? Pana haja ya dharura ya kujichunguza. Ili kutambua kuwa matendo yetu ndiyo hutuumiza, hatufai kukubali maslahi ya kibinafsi kulegeza juhudi za kuumaliza kabisa ufisadi katika jamii zetu. Tunapaswa kubaki imara na kupigana na ufisadi katika ngazi zote. Kwa bahati nzuri, tumeanza kushuhudia washukiwa wakitiwa nguvuni na kushtakiwa.

MasomoKutoka 3:1-8.13-151 Wakorintho 10:1-6.10-12Luka 13:1-9

Tafakari ya kirohoKwaresima ni msimu wa kutubu. Tumeshuhudia kwamba uhalifu na ufisadi

hututenganisha na Mungu. Mungu anatuhimiza kubadili nyendo zetu na kuamua kumfuata. Musa alipoitwa na Mungu, aliacha shughuli zake na kukubali wito wa Mungu kurudi Misri kukomboa watu wake. Wewe na mimi tunahimizwa kukomboa nchi yetu, Kenya, kutokana na minyororo ya ufisadi. Safari hii ya ukombozi ni ndefu na ngumu. Kama wana wa Israeli walivyoshawishiwa mara nyingi kurejelea maisha ya zamani, nasi pia tunashawishiwa kuupiga vita ufisadi. Somo la pili linatukumbusha kwamba tukiwa Wakristo, ni lazima tukumbane na majaribu, tuteleza na kuanguka.

Tenda: Maswali ya kuwazia1. Ni aina gani za ufisadi tumekumbana nazo kazini, kwenye familia zetu,

jumuia na ngazi ya kitaifa?2. Ufisadi una madhara gani?3. Taja baadhi ya matendo ya kifisadi unayoyajua. Tunawezaje kuyazuia?4. Ninawezaje mimi, sisi na hata jumuia kuumaliza ufisadi katika jamii na

maeneo ya kazi?

Kujichunguza1. Tumewahi kuhusika na tendo lolote la kifisadi?2. Nimepigana na ufisadi katika jamii?3. Nimewahi kuathiriwa na visa vya ufisadi?

Page 18: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

18

Wiki ya NneKushiriki Wote katika Masuala ya Kijamii na Kisiasa

Page 19: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

19

Kushiriki Wote katika Masuala ya Kijamii na Kisiasa

Tazama: Simulizi

Mabadiliko lilikuwa jimbo lenye watu wa makabila tofauti lililozawadiwa mila na tamaduni nyingi. Wengi wa wakazi wake walikuwa wakulima, wafugaji na wafanya biashara. Jimbo jirani la Twende halikuwa linapata

mvua za kutosha lakini lilikuwa na mali asili nyingi na utamaduni wa kuvutia. Kiuchumi, Twende ilikuwa hatua nyingi mbele ya Mabadiliko na ilikuwa na sera muafaka za ugavi wa faida kutokana na mali zake asili. Palikuwa na mgawano sawa wa mali asili miongoni mwa wakazi kulingana na mahitaji yaliyotambuliwa. Mfumo huo wa uongozi ulifanikishwa na uangalizi wa wazee wa jamii, kushirikishwa kwa wote na kushiriki kwa kila mkazi.

Baada ya muda, jamii ya Twende ilianza kufuata mila na tamaduni za kigeni na bila kutambua, wakaanza kuzingatia mifumo iliyoathiri uongozi wao na shughuli zao za kila siku. Jamii ambayo kwa vizazi ilijivunia umoja na mgawano sawa wa rasilmali, ilianza kusambaratika. Mfumo wa kugawana rasilmali hukulingana tena na mahitaji ila kutegemea ushawishi katika jamii. Hatimaye, watu wakaanza kupigania nyadhifa za uongozi kwa manufaa ya kibinafsi wala sio kwa manufaa ya jamii ya Twende. Baadhi ya makundi yakaachwa nje ya masuala na taratibu muhimu.

Ikafikia wakati ambapo wakazi wa Twende walihimiza mfumo wa uongozi ufanyiwe mabadiliko. Hamu yao kuu ilikuwa ni kupata mfumo wa demokrasia ambao ungewezesha uchaguzi kufanyika kila baada ya miaka mitatu na kuwashirikisha wote katika masuala ya kijamii na kisiasa.

Wagombeaji wengi walijitokeza kushindania nyadhifa za uongozi katika uchaguzi. Mmoja wao, Bw Tumbo, alikuwa amerejea kutoka ng’ambo. Wakazi walikuwa na matumaini makubwa sana naye kwa sababu ya mali yake, ujuzi kutoka nje na masomo ya juu. Aliwasilisha manifesto ya kuvutia na kuahidi kuinua kiwango cha maisha ya wakazi. Alishinda uchaguzi kwa kura nyingi na kwa wafuasi wake, mabadiliko hayangeepukika.

Miezi mitatu ya kwanza haikumalizika kabla tabia yake kamili kujitokeza: ujeuri, kupuuzilia mbali ushauri wa wazee, viongozi wa kidini na washika dau wengine. Aliwapa kazi za ngazi za juu marafiki zake wa kisiasa, kijamii na kibiashara. Kwa kufanya hivyo, alitupilia mbali kanuni za sheria kuhusu kuwashirikisha waliotengwa, walio wachache, usawa wa jinsia, vijana na watu wenye mahitaji maalumu. Kadhalika, hakuwashirikisha wakazi katika kuchukua maamuzi muhimu kwao. Hali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ya wakazi wa Twende ilizorota. Alisimamia vibaya rasilmali, akazima sauti za wakazi na kuvuruga maslahi yao.

Page 20: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

20

Ndiposa wakazi wakagundua kwamba manifesto yake na ahadi za kampeni zilikuwa ni njama tu za kuwashawishi kumpigia kura. Wakazi wakaanza kuungana na kutetea mabadiliko na kuimarishwa kwa huduma. Kwa mara kadha, waliandamana nje ya afisi ya Bw Tumbo na kuhakikisha hakuna yeyote angeweza kuingia wala kutoka afisini. Polisi hawangevunja maandamano hayo kwani yalikuwa ya amani na yalifuata sheria. Ikawa ni lazima Bw Tumbo ashauriane na wakazi, akashughulikia masuala ya kutenga baadhi ya wakazi, usimamizi wa matumizi ya pesa za umma, kuzingatia haki kutoa tenda kwa vijana, wanawake na watu wenye mahitaji maalumu. Matunda ya juhudi za wakazi yakaanza kuonekana. Ushiriki wa wakazi katika masuala ya kijamii na kiuchumi uliimarishwa. Hatimaye, harakati za wakazi zilirejesha sifa ya zamani ya Kaunti ya Twende.

Amua: Uchunguzi wa hali halisiImethibitishwa kwamba katika nchi yoyote inayozingatia demokrasia, taratibu

thabiti na endelevu za kisiasa huhitaji mchango wa kila mmoja katika jamii, bila kujali iwapo mchango huo ni wa walio wengi ama makundi ya walio wachache. Ushiriki huo ni muhimu sio tu kwa taratibu za kisiasa lakini pia kwa umoja wa kijamii na kisiasa na hivyo basi kuwezesha kila mmoja kujitambulisha na taifa na serikali zake.

Kenya imeteseka kutokana na sera mbaya za kijamii na kisiasa zilizowatenga wengi. Wanasiasa wamenufaika kutokana na unyonge wa wengi nchini, hali ambayo imetumiwa kueneza tofauti za kikabila badala ya kujenga umoja wa taifa. Matukio ambayo yamekuwa ni kawaida wakati wa uchaguzi tangu 1992 yanabaini pana uhusiano mkubwa kati ya ubaguzi wa kijamii na visa vya fujo na pia kuzorota kwa usalama. Matukio hayo ni pamoja na misukosuko ya jamii, mizozo ya kivita na matendo ya kigaidi. Ni rahisi kwa baadhi ya makundi yasiyobahatika ambayo yana sifa zinazofanana kama vile asili ya kikabila au dini kuchukua silaha kutafuta haki na kusawazisha mambo tena. Tofauti baina ya makundi si sababu tosha ya kuzusha mzozo lakini kunyimwa haki na usawa ni sababu ya kutosha kuchochea fujo. Ndiposa dhana ya kushirikisha jamii inasaidia kukabiliana na mizozo kwani hutambulisha baadhi ya sababu za mizozo hiyo. Kwa kuchunguza ni kwa nini baadhi ya jamii zenye tofauti kubwa hukumbwa na mizozo, ni wazi sababu kubwa ni kutokuwa na usawa wa kijamii, kiuchumi na kisiasa.

Ingawa tuna Katiba, sheria na sera mbali mbali zinazolingana na nyakati, Kenya bado haijafikia kiwango cha kuridhisha katika kudumisha sheria na utengamano. Tofauti kubwa iliyopo kati ya matajiri na maskini haifai kukubalika katika jamii inayotarajia kuzingatia haki na amani.

Page 21: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

21

Ili kutafuta suluhu ya maswala hayo na kukuza uchumi wa Kenya kwa asilimia 10 kila mwaka chini ya Ruwaza ya 2030 (Vision 2030), lazima kiwango cha usawa wa jamii kiinuke na pawe na mgawano sawa wa miradi ya maendeleo na rasilmali. Wakenya wanafaa kuzika ubinafsi na kuzingatia uzalendo. Kadhalika, pana haja ya kuwa na taratibu za kuhakikisha wote nchini wanashiriki katika shughuli za uraia na serikali. Inafaa pia kufufua taratibu za kisheria za kushirikisha raia katika maamuzi ya kuunda sera, kuandaa mikakati na hatua zote za kuhakikisha hakuna makundi ama watu binafsi wanaotengwa. Hatua hizo zitahakikisha wote wananufaika na ustawi na maendeleo, uwajibikaji wa kijamii na kuelimisha raia juu ya masuala ya umma yanayohusu uongozi, utoaji huduma na kuheshimu utawala wa sheria.

MasomoYoshua 5:9-12Zaburi 322 Wakorintho 5:17-21Luka 15:1-3, 11-32

Tafakari ya kirohoWana wa Israeli walifika nchi waliyoahidiwa si kwa bidii yao ila ni kwa uongozi

wake Mungu. Tunahitaji kupatanishwa na Mungu na wengine katika jamii. Tunapojitenga na wengine, tunavunja uhusiano wetu na Mungu. Yule mwana mpotevu alipoiacha familia yake, aliteseka sana. Kaka yake pia alitaka atengwe lakini baba yao akasisitiza kuwa wote wawili walikuwa wanawe.

Tenda: Maswali ya kuwazia1. Utaratibu wa uongozi nchini ukoje na una mapendekezo gani ya

kuuimarisha?2. Nina wajibu gani katika kuimarisha ushiriki wa wote katika masuala ya

kijamii na kisiasa?3. Tunaimarishaje kushiriki kwa wote katika masuala ya kijamii na kisiasa

tukiwa watu binafsi na katika jumuia?

Kujichunguza 1. Je, nimewahi kumwajiri mtu kwa misingi ya kikabila?2. Je, nimezingatia mtazamo wa mambo yasiyo na uasili na ya chuki katika

kuwataja wengine?3. Je, ninawabagua watu kijinsia?

Page 22: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

22

Wiki ya TanoK

uh

esh

imu

Uta

wal

a w

a S

her

ia

Page 23: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

23

Kuheshimu Utawala wa Sheria

Tazama: Simuluzi

Malimali, makao makuu ya Kaunti ya Mjini, ilikua haraka kwa sababu ya pesa za ugatuzi na mgao wa fedha nyingine za serikali ya kitaifa za kugharamia ustawi wa miji. Watu wengi walihama kutoka mashambani

na kwenda kutafuta kazi Malimali. Idadi ya watu katika Malimali iliongezeka kupindukia, hasa vibarua na wafanya

kazi wenye mapato ya chini. Wengi wao waliishi katika mitaa ya mabanda nje ya mji. Wengi walijigawia ardhi ya umma kiharamu, ikiwa ni pamoja na maeneo yaliyotengewa upanuzi wa barabara, na wakaliita eneo hilo Kijiji Chetu. Walijenga shule, makanisa, misikiti na hospitali kwenye maeneo yaliyotengewa miradi ya jamii. Baada ya miaka mingi kupita, pakawa na haja ya kupanua barabara kutoka Kijiji Chetu hadi Malimali kulingana na mipango ya maendeleo ya serikali ya kitaifa.

Mzee Msafi, mfanya biashara mjanja aliyefahamika kwa maisha yake ya kifahari na uhusiano mkubwa na wanasiasa katika kaunti, alikuwa na habari kuhusu upanuzi huo wa barabara. Alifanya njama na maafisa wafisadi na akapata hati za kumiliki ardhi yote ya Kijiji Chetu. Baadaye alifanya mpango kuwafukuza wakazi wa Kijiji Chetu akitarajia kulipwa fidia na serikali upanuzi wa barabara ukianza. Wakazi walipata habari kuhusu kunyakuliwa kwa ardhi yao na kuamua kumshtaki Mzee Msafi. Kesi yao ilitupwa kwani hawakuwa na hati miliki na mahakama ikathibitisha kuwa ardhi ilikuwa ya Mzee Msafi. Hawakuridhishwa na uamuzi huo wa mahakama. Walifanya maandamano na kuubomoa ua uliozungushiwa ardhi hiyo. Mzee Msafi alitumia ushawishi wake mkubwa kuhakikisha polisi wamewatimua wanakijiji, tukio lililozusha fujo na kusababisha vifo vya wanakijiji wawili na polisi mmoja.

Mkazi aliyefuzu masomo ya sheria za mashamba aliitisha mkutano wa viongozi na wazee wa kijiji kujadiliana kuhusu hatua walizofaa kuchukua. Waliwaalika maafisa wa idara husika na pia Mzee Msafi. Ikathibitishwa kwamba ardhi ambayo Mzee Msafi alidai kuwa ni mali yake ilikuwa ya jamii na sehemu nyingine ilitengwa kwa upanuzi wa barabara muda mrefu kabla wanakijiji hawajaanza kuishi humo.

Ukweli ulipobainika, wanakijiji waliazimia kuhama katika muda wa miezi sita ili kutoa nafasi ya miradi ya maendeleo, ikiwa ni pamoja na upanuzi wa barabara. Kadhalika, walikubaliana kuwa hawangedai fidia. Uongozi wa Kijiji Chetu ukapewa kibarua cha kuwachukulia hatua Mzee Msafi na washirika wake waliomwezesha kupata hati miliki za ardhi hiyo kiharamu wakinuia kuilaghai sio tu jamii lakini pia serikali ya kitaifa.Amua: Uchunguzi wa hali halisiSheria ni muhimu kwa jamii, shughuli za raia na hufanikisha utekelezaji wa mabadiliko katika jamii. Sheria hulinda haki za kimsingi na kuzuia mizozo baina ya makundi ya kijamii na jamii yote kwa jumla.

Page 24: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

24

Katiba yetu, katika utangulizi, inatambua sheria takatifu kwa kuutambua utukufu wa Mungu Muumba wa vyote. Ndiposa sheria takatifu inatuhimiza sote kufanya yaliyo mema na adilifu kama tulivyoagizwa na Mungu ambaye ni lazima awe kiongozi wetu maishani. Ingawa Katiba inatambua utukufu wa Mungu, utawala wa sheria hauzingatiwi ipasavyo nchini. Kwa nini iwe hivyo? Mageuzi ya asasi na mipaka ya mamlaka kama ilivyokusudiwa na Katiba haijatekelezwa kikamilifu. Kenya inakumbwa na kiwango kikubwa cha uvunjaji sheria bila kujali adhabu, huku watu wengi wakikosa kuwajibikia matendo yao. Tatizo kubwa ni wanasiasa ambao hawajali kamwe uwazi, uwajibikaji wa kibinafsi na uadilifu.

Je, Kanisa linatufunza nini kuhusu utawala wa sheria? Mafunzo ya Kanisa husisitiza umuhimu wa utawala wa sheria katika kulinda thamani ifaayo ya hadhi ya mwanadamu. Lakini utawala wa sheria hautoshi kila mara kulinda hadhi ya binadamu. Sheria ni chombo cha kijamii cha kuendeleza maadili ya kimsingi katika jamii na utamaduni. Kanuni za kisheria zikihitilafiana na maadili ya kimsingi, sheria haiwezi kulinda kikamilifui hadhi ya binadamu. Ndiposa Kanisa husisitiza kuwa utawala wa sheria ni lazima ufungamane na hadhi ya binadamu. MasomoIsaiya 43:16-21Wafilipi 3:8-14Yohana 8:1-11

Tafakari ya kirohoWaraka wa Mtakatifu Paulo kwa Wafilipi unahusu sheria na wokovu. Utekelezaji maradufu wa sheria ni pigo kwa hadhi ya binadamu. Katika Injili, mwanamke aliyefumaniwa na uzinzi alibaguliwa, jambo ambalo Yesu alilikataa.

Tenda: Maswali ya kuwazia 1. Je, unaufahamu vipi utawala wa sheria?2. Je, unaifahamu vipi sheria takatifu?3. Ni madhara gani yanayotokana na kutoheshimu utawala wa sheria?4. Nikiwa mwanajumuia, nina wajibu gani katika kudumisha na kuheshimu

utawala wa sheria?

Kujichunguza 1. Je, kuna chochote nimejipatia kiharamu?2. Je, ninaamini kuzingatia kikamilifu Katiba na utawala wa sheria?3. Nina wajibu gani nikishuhudia tukio la kuvunja na kutotii utawala wa sheria?4. Nimewahi kushiriki matenda ya kifisadi? Iwapo nimehusika, ninaweza kufanya nini?5. Umeendelezaje kushiriki kwa wote kijamii na kisiasa wewe binafsi na katika

jumuia?

Page 25: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

25

MICHANGO YA KAMPENI YA KWARESIMA YA 2018 (KSHS)Kiambatisho

JIMBO KIASI

Jimbo Kuu la Nairobi 3,228,280.00

Jimbo la Meru 3,010,521.00

Jimbo la Bungoma 2,800,000.00

Jimbo Kuu la Nyeri 2,713,955.00

Jimbo la Kakamega 2,000,000.00

Jimbo la Eldoret 1,835,391.00

Jimbo Kuu la Kisumu 1,401,040.00

Jimbo la Machakos 1,368,428.00

Jimbo la Nyahururu 1,175,063.00

Jimbo la Embu 1,105,785.00

Jimbo la Muranga 780,000.00

Jimbo la Ngong’ 606,831.00

Jimbo la Homa Bay 598,217.00

Jimbo Kuu la Mombasa 518,566.30

Jimbo la Nakuru 477,189.00

Jimbo la Kericho 463,042.00

Jimbo la Kitui 443,979.00

Jimbo la Marsabit 399,051.00

Jimbo la Kisii 350,000.00

Jimbo la Kitale 307,520.00

Jimbo la Malindi 300,000.00

Jimbo la Lodwar 223,934.00

Jimbo la Maralal 212,357.00

Jimbo la Isiolo 70,300.00

Jimbo la Garissa 63,280.00

Jumla 26,452,729.30

TAASISI KIASI

Millitary Ordinariate 975,012.00

Religious Superiors Con-ference of Kenya (RSCK)

50,000.00

Association of Sisterhood in Kenya (AOSK)

47,620.00

Administration Police Service

42,200.00

St. Thomas Aquinas Seminary

25,000.00

Franciscan Sisters -St. Joseph

17,500.00

St. Mary’s Propaedeutic Seminary

15,880.00

Kenya Wildlife Service (KWS)

13,500.00

St. Matthias Mulumba Tindinyo

13,420.00

Chuo Kikuu cha Kisii 12,500.00

Jumla 1,212,632.00

Jumla 27,665,361.30

Page 26: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

26

JIMBO KUU LA NAIROBIParokia Kiasi

Makadara Deanery

Blessed Sacarament Buruburu 52,717.00

Holy Trinity Buruburu 31,240.00

Mary Magdalena Kariokor 71,800.00

Our Lady of Visitation Makadara 78,000.00

St. Joseph and Mary Shauri Moyo 34,300.00

St. Joseph Jericho 42,000.00

St. Mary Mukuru 40,126.00

St. Teresa’s Eastleigh 92,332.00

Sub-Total 442,515.00

Central Deanery

Consolata Shrine West Land 290,066.00

Holy Familiy Basilica 516,738.00

Holy Trinity Kileleshwa 80,000.00

Our Lady Queen of Peace, South B 208,941.00

St. Catherine of Alexandria, South C 27,165.00

St. Austin Muthangari 51,678.00

St. Catherine of Sienna, Kitusuru 100,000.00

St. Francis Xavier, Parklands 200,000.00

St. Paul’s Chapel UoN 100,000.00

St. Peter Claver’s 48,500.00

Don Bosco, Upper Hill 314,765.00

Sub-Total 1,937,853.00

Eastern Deanery

Christ The King, Embakasi 60,000.00

Divine Word, Kayole 306,098.00

Holy Family, Utawala 153,250.00

Mary Immaculate, Mihang’o 136,058.00

St. Annie and Joachim, soweto 300,575.00

St. Joseph Freinademetz, Ruai 174,500.00

st. Monica, Njiru 86,018.00

St. Peter, Ruai 60,000.00

St.Vincent, Kamulu 80,405.00

Sub-Total 1,356,904.00

Outering Deanery

Assumption of Mary, Umoja 894,979.00

Divine Mercy, Kariobangi South 39,120.00

Holy Cross, Dandora 20,000.00

Holy Innocent, Tassia 153,634.00

Holy Trinity, Kariobangi North 136,414.00

St. Jude Doonholm 281,870.00

Sub-Total 1,526,017.00

Western Deanery

Christ the King, Kibra 68,035.00

Mary Queen of Apostles, Dagoretti Mkt

56,200.00

Our Lady of Guadalupe, Adams Arcade

67,454.00

Regina Caeli, Karen 119,284.00

Sacred Heart, Dagoretti Corner 212,966.00

St. John the Evagelist, Lang’ata 50,300.00

St. Joseph the Worker, Kangemi 89,652.00

St. Michael, Otiende

Sub-Total 663,891.00

Ruaraka Deanery

Christ the King, Githurai Kimbo 75,300.00

Holy Mary Mother of God, Githurai 147,754.00

Madre Teresa, Zimmermann 42,300.00

Queens of Apostles, Ruaraka 160,000.00

Sacred Heart, BabaDogo 41,000.00

St. Benedict, Thika Road 47,000.00

St. Clare, Kasarani 70,000.00

St. Dominic, Mwiki 26,500.00

St. Joseph, Kahawa Sukari 127,500.00

St. Joseph Mukasa, Kahawa West 204,567.00

Sub-Total 941,921.00

Thika Deanery

Immaculate Conception, Kilimambogo

8,218.00

St. Benedetta, Ngoingwa 70,000.00

St. Partick’s Thika 106,944.00

St. Matia Mulumba Thika 58,000.00

St. Maria Magdalena, Munyu 18,350.00

Sub-Total 253,294.00

Page 27: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

27

Ruiru Deanery

St. James , Juja Farm 20,000.00

St. Augustine, Juja 60,000.00

St. Christopher, Kembo 51,592.00

St. Francis of Assisi, Ruiru Town 342,208.00

St. Lucia Membley

St. Peter, Kwihota 80,000.00

St. Teresa, Kalimoni 21,550.00

Sub-Total 575,350.00

Gatundu Deanery

Archangle Gabriel, Mutomo

Christ the King Karinga 15,209.00

Ituuru 14,250.00

Mary Help of Christian Ndundu 27,150.00

Our Lady of Annunciation, Gatitu 4,500.00

St. John the Baptist, Munyu-ini 17,700.00

St. Joseph, Kiganjo 45,000.00

St. Joseph Mutunguru

Uganda Martyrs, Gatundu 13,500.00

Sub-Total 123,809.00

Githunguri Deanery

All Saints, Komothai 15,380.00

Holy Family, Githunguri 7,000.00

Holy Spirit, Miguta 11,050.00

Nativity of Our Lady, Kagwe 20,164.00

Our Lady of Assumption, Kambaa 5,000

St. John the Evagelist, Githiga 14,000.00

St. Teresa of Child Jesus, Ngenya 6,000.00

Sub-Total 73,594.00

Kiambu Deanery

All Saints, Riara 80,000.00

Holy Rosary, Ikinu 25,248.00

Our Lady of Holy Rosary, Tinga’ng’a 42,000.00

Our Lady of Victories, Lioki 39,000.00

St. Joseph Gathanga 17,400.00

St. Martin De Porres, Karuri 80,000.00

St. Peter and Paul Kiambu Town 74,008.00

St. Stephen, Gachie 29,000.00

Sub-Total 386,656.00

Kikuyu Deanery

Holy Cross, Thigio 25,000.00

Holy Eucharist, Kinge’ero 27,890.00

Immacualate Conception, Gicharani 17,000.00

Our Lady of Holy Rosary, Ruku 15,279.00

St. Peter the Apostole, Kikuyu 37,995.00

St. Charles Lwanga, Waithaka 22,500.00

St. John the Baptist, Riruta 30,000.00

St. Joseph, Kerwa 34,200.00

St. Joseph, Muguga 6,600.00

St. Peter the Rock, Kinoo 12,290.00

Sub-Total 228,754.00

Limuru Deanery

Kamirithu 11,104.00

Our Lady of Mt. Carmel, Ngarariga 20,500.00

St. Joseph, Limuru 25,400.00

St. Andrew, Rironi 0.00

St. Charles Lwanga, Githirioni 12,100.00

St. Francis, Limuru Town 40,000.00

St. Joseph, Kereita 24,000.00

Sub-Total 133,104.00

Mang’u Deanery

Our Lady of Fatima, Kiriko 20,000.00

Our Lady of Holy Rosary, Kamwangi 8,000.00

St. Annie Mataara 12,000.00

St. John the Baptist, Mang’u 20,000.00

St. Peter, Nyamangara 15,000.00

St. Peter Kairi 29,845.00

St. Teresa Kiangunu 15,650.00

St. Teresa of Avila Gachege 7,000.00

Sub-Total 127,495.00

Chaplaincies

CIC Msongari 0.00

Kamiti Prison 4,000.00

Kenyatta National Hospital 20,020.00

Kenyatta University 52,394.00

National Youth Service 4,740.00

St. Raphael Kabete 0.00

Sub-Total 81,154.00

Page 28: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

28

Institutions

Franciscian Sisters of St. Anna 6,000.00

Resurrection Garden 0.00

SMI- St. Teresa of Avila Region 30,000.00

Mary Hill Girls High School 19,000.00

Sub-Total 55,000.00

Jumla 8,934,029.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

3,228,280.00

JIMBO KUU LA KISUMUTAASISI PAROKIA FUNGU LILILOPEWA AFISI YA KITAIFA YA CJPC

Uzima University College St Paul’s Parish 67,500.00

St Mary’s Lwak Girls High Lwak Parish 30,000.00

St Francis Rangala Girl’s Secondary Rangala Parish 26,000.00

Holy Trinity Rangala Boys High Rangala Parish 12,030.00

KUAP-PandPieri Staffs Milimani Parish 12,000.00

St Barnabas Girls Secondary Barkorwa Parish 10,250.00

Koru Holy Family Mission Hospital Koru Parish 9,516.50

St Thereza’s Girls Secondary Kibuye Parish 7,652.50

St Anne’s Ahero Primary Ahero Parish 7,600.00

Nyabondo Boys High School Nyabondo Parish 6,000.00

St Augustine Kandege Secondary School

Koru Parish 5,067.50

St Mary’s School Yala Yala Parish 5,000.00

St Joseph Milimani Priest’s House Milimani Parish 5,000.00

Koru Girl’s High School Koru Parish 5,000.00

St Vincent Raliew Secondary School Raliew Parish 5,000.00

Ukweli Pstoral and Development centre

St Paul’s Parish 5,000.00

Xaverian Secondary School Milimani Parish 5,000.00

Ragumo Primary School Nyamasaria Parish 4,285.00

St Aloys Ojola Primary chool Ojola Parish 3,785.00

Archbishop Okoth Ojola Girls Secondary school

Ojola Parish 3,550.00

TAASISI PAROKIA FUNGU LILILOPEWA AFISI YA KITAIFA YA CJPC

St Gabriel’s Minor Seminary Ojola Parish 3,500.00

Dominicans Frairs Community OP -Kisumu

St Paul’s parish 3,250.00

St Steven’s Aluor Mixed Secondary School

Nyamonye Parish 3,000.00

St Paul’s Mwei High School Uradi Parish 2,640.00

St Ignatious of Loyola Secondary Magadi Parish 2,500.00

Awasi Dispensary Awsasi Parish 2,500.00

Page 29: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

29

School Sisters of Notre Dame St Paul’s Parish 2,500.00

JOOST -St John Henry Newman-Bondo Chaplaincy

Bondo Parish 2,300.00

Franciscan Sisters of St Joseph-Kibuye Convent

Kibuye Parish 2,150.00

Kogola Father’s House Kogola Parish 2,000.00

Dala Boarding Primqary School Uradi Parish 2,000.00

St Mary Magdalene Oasis of Peace Children Home

Chiga Parish 2,000.00

Fr Gulik Girl’s Uradi School Uradi Parish 1,982.50

St Patrick’s Secondar School-Oduwo Muhoroni Parish 1,590.00

Aluor Girls Primary School Aluor Parish 1,500.00

Brothers of our Lady of Perpetual Help-Milimani

Milimani Parish 1,500.00

Ukwala Priest’s House Ukwala Parish 1,500.00

St Aloyce Secondry School Katito Parish 1,500.00

Father’s House Bolo Parish Bolo Parish 1,500.00

Usenge High School Nyamonye Parish 1,310.00

TAASISI PAROKIA FUNGU LILILOPEWA AFISI YA KITAIFA YA CJPC

St Augustine Nyamonye Girls Secondary School

Nyamonye Parish 1,260.00

Dr Robert Ouko Primary School Ojola Parish 1,255.00

St Sylveter’s Girls Secondary School Madiany Parish 1,250.00

St Agnes’s Primary School Muhoroni Parish 1,250.00

Aluor Convent-FSSA Aluor Parish 1,000.00

Mill Hill Sisters-FMSJ Milimani Parish 1,000.00

Our Lady of Grace Primary School-Dominicans Frairs

St Paul’s Parish 1,000.00

Joakim Owang Secondary School Nyamonye Parish 1,000.00

Padre Pio Masogo Girl’s Secondary Masogo Parish 1,000.00

Our Lady Queen of Peace Mix Secondary School

Muhoroni Parish 1,000.00

Sisters of Mary-Ojola Covent Ojola Parish 1,000.00

Kanyateng Primary School Katito Parish 715.00

Lisana Primary School Katito Parish 625.00

Lisana Secondary School Katito Parish 600.00

T.T.T -Barkanyango Bondo Parish 600.00

St Aloyce Primary School Katito Parish 500.00

Nyawara Primary School Ojola Parish 500.00

Wenwa Primary School Katito Parish 325.00

St John Mixed Koru Primary School Koru Parish 250.00

Page 30: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

30

St Elizabeth Grail School Ojola Parish 150.00

Ngomo Primary School Katito Parish 25.00

Disi Primary School- Ahero 500.00

294,764.00

PAROKIA FUNGU LA PAROKIA FUNGU LILILOPEWA AFISI YA KITAIFA YA CJPC

St Thereza’s Kibuye 66,666.67 100,000.00

St Joseph’s Milimani 58,606.67 87,910.00

St Paul’s 53,886.67 80,830.00

Magadi 37,666.67 56,500.00

Nyamasaria 26,666.67 40,000.00

Holy Cross 26,666.67 40,000.00

Barkorwa 26,666.67 40,000.00

Riwo 25,000.00 37,500.00

Nyabondo 22,000.00 33,000.00

Bolo 20,416.67 30,625.00

Ahero 20,166.67 30,250.00

Ukwala 20,000.00 30,000.00

Nanga 17,776.67 26,665.00

St John XXIII-Rabuor 16,666.67 25,000.00

Ojola 15,700.00 23,550.00

Raliew 15,000.00 22,500.00

PAROKIA FUNGU LA PAROKIA FUNGU LILILOPEWA AFISI YA KITAIFA YA CJPC

Tamu 14,283.33 21,425.00

Madiany 13,500.00 20,250.00

St Pantaleon 13,465.00 20,197.50

Muhoroni 13,366.67 20,050.00

Uradi 12,500.00 18,750.00

Reru 12,000.00 18,000.00

Bondo 11,000.00 16,500.00

Katito 10,783.33 16,175.00

Withur 10,733.33 16,100.00

Nyangoma 10,666.67 16,000.00

Yala 10,000.00 15,000.00

Sigomere 10,000.00 15,000.00

Rangala 10,000.00 15,000.00

Ugunja 9,333.33 14,000.00

Nyagondo 9,333.33 14,000.00

Nyamonye 8,666.67 13,000.00

Page 31: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

31

Kogola 8,666.67 13,000.00

Sega 8,333.33 12,500.00

Uwai 8,333.33 12,500.00

Kajimbo 7,666.67 11,800.00

Obambo 7,816.67 11,725.00

Yogo 6,666.67 10,000.00

Awasi 6,666.67 10,000.00

Kianja 6,540.00 9,810.00

Mutumbu 6,058.67 9,088.00

Nduru 4,500.00 6,750.00

Aluor 3,700.00 5,550.00

Koru 3,500.00 5,250.00

Masogo 3,350.00 5,025.00

Chiga 3,333.33 5,000.00

Mbaga 3,333.33 5,000.00

Jumla 737,650.33 1,106,775.50

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

1,401,040.00

JIMBO LA LODWAR Parokia/Taasisi Kiasi

St. Augustine Cathedral Parish 150,726

Holy Family Kanamkemer Parish 65,000

Risen Christ Nakwamekwi 20,600

St. Dominic Kerio 10,000

St. Gabriel Kangatosa 3,000

St. Kizito Turkwel 5,050

St. Peter Lorugum 34,000

All Saints Kainuk 30,027

Immaculate Conception Katilu 9,150

St. Daniel Comboni, Lokori 20,225

St. Lawrence Nakwamoru 6,800

St. John Lokichogio 18,000

St. Benedict Kalobeyei 10,020

Good Shephered Kakuma 40,000

Holy-Cross Kakuma Refugee Camp 30,000

St.Mark Lokitaung 18,025

10,000

St. Titus & Timothy Kaeris 8,950

St. James Kaikor 7,000

St. Dennis Kataboi 4,000

Mary Mother of God Kalokol 20,000

St. Stephen Losajait 7,310

Christ the King Lokichar 42,000

Our Lady Queen of Peace Todonyang 10,000

Nariokotomoe Mission 12,000

St. Michael Napetet 30,000

Our Lady of Sorrows Oropoi 4,800

St. Joachim & Anne Kibish 12,000

Sub Total 638,683

Taasisi

St. James Minor Seminary 10,600

Lodwar High School 3,000

St. Kevin Secondary School 1,350

Page 32: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

32

St. Daniel Comboni Girls’ High School 12,100

Our Ladies of Mercy Secondary school 10,000

Lodwar Girls Secondary School 2,000

P.A.G. Secondary School 1,000

Salvation Army Secondary School 900

Kakuma Girls Primary School 1,500

Vicky Wendy Wairimu’s family 1,000

St. Monica Girls Primary School 7,200

Lodwar Vocational Training Centre 2,000

Sisters of Mary of Kakamega, Lodwar 4,000

Sisters of Mary of Kakamega, Lorugum

3,000

Sisters of Mary of Kakamega, Kalobeyei

1,000

Lodwar Prison 2,150

Sub Total 62,800

Our Lady Queen of Peace Todonyang Intergrated

3,170

Centre

Kainuk Mixed Secondary School

4,540

Kaeris Girls High School 7,100

St. Marys Primary School 5,000

Bishop Mahon Primary 2,000

St.Augustine Boys Primary School 15,000

Kerio Boys High School 1,000

St. Michael Kawalase Primary School 1,000

Alfred Powery Primary School 1,600

Queen of Peace Girls Primary School 15,000

Nadapal Primary School 2,000

Kaitese Primary School 1,000

Kalomegur Primary 1,000

Kaeris Primary School 550

Kadongolo Primary School 550

Lochwa ECD 1,000

Kalapata Primary School 250

Karoge Primary School 800

Kangakipur Primary School 500

Lokichar Girls’ Primary School 4,000

Kapese Nursery School 350

RCEA Lokori Boys’ 1,000

White Angels Academy 1,300

Lotubae Girls’ High School 1,000

Kadam Primary School 1,100

Sisters of Mercy Lokori 2,000

Fathers House Lokori 2,000

Jumla 671,803

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC 223,934

JIMBO LA MACHAKOSParokia Kiasi

Syokimau 287,500.00

Tala Central 271,508.00

Kyale 261,455.00

Tawa 200,000.00

Matiliku 170,000.00

Kanzalu 135,540.00

Kithimani 132,050.00

Mbumbuni 120,000.00

Kinyui 110,205.00

Komarock 104,000.00

Mlolongo 101,400.00

Cathedral 100,000.00

Kitwii 96,216.00

Ikalaasa 95,250.00

Nguluni Tala

86,295.00

St. Jude Catholic

81,400.00

St. Mary’s Tala 78,237.00

Kola 75,000.00

Mwala 71,445.00

Masinga 65,200.00

Utangwa 59,150.00

Kangundo 57,640.00

Kalawa 52,150.00

Kaewa 51,250.00

Mbuvo 51,000.00

Makueni Pr 51,000.00

Kilungu 50,875.00

Joska 50,400.00

Mbooni 45,330.00

Kaumoni 43,400.00

Mitaboni 41,882.00

Kambu 40,700.00

Mbiuni 39,410.00

Makindu 36,000.00

Miseleni 35,150.00

Kithangaini 35,000.00

Mtito Andei

34,000.00

St Jude Kivaa

33,850.00

Emali 31,250.00

Tulimani 30,000.00

Muthetheni 30,000.00

Kwa Kathule

30,000.00

Mutituni 28,603.00

St. Joseph Makaveti

27,510.00

Mavoloni 27,000.00

Page 33: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

33

Kithangaini 35,000.00

Mtito Andei

34,000.00

St Jude Kivaa

33,850.00

Emali 31,250.00

Tulimani 30,000.00

Muthetheni 30,000.00

Kwa Kathule

30,000.00

Mutituni 28,603.00

St. Joseph Makaveti

27,510.00

Mavoloni 27,000.00

Kawethei 26,230.00

Mbitini 24,800.00

Kiongwani Parish

24,800.00

Kasikeu Parish

24,400.00

Kabaa 23,890.00

Precious Blood Kilungu High l

22,770.00

Matuu 21,500.00

Nguluni - kilungu

20,330.00

Donyo Sabuk

20,000.00

Mbuani 20,000.00

CDM Ekalakala Parish

20,000.00

Katoloni 19,175.00

Kinyambu 15,000.00

St. Augustine Machakos University

12,500.00

Katheka 10,055.00

Yathui 10,000.00

St. Camilus 10,000.00

Masii 9,365.00

St. Thomas Aquinas Thomeandu Secondary

8,050.00

Mukuyuni 7,500.00

Sultan Hamud

7,000.00

St. Joseph’s Catholic Church Prison

5,000.00

St. Teresia Kilungu Academy

3,050.00

St Luke, Makutano

5,000

St Chris-topher, Kyumbi

20,000

4,045,666.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

1,368,428.00

JIMBO LA MERU

Parokia Kiasi

Cathedral 655,910.00

Nkubu 412,000.00

Laare 304,525.00

Mikinduri 251,845.00

Kangeta 213,000.00

Chuka 202,960.00

Kionyo 200,000.00

Kibirichia 162,325.00

Muthambi 160,090.00

Tuuru 152,350.00

St. Massimo 146,720.00

Gatimbi 140,000.00

Igoji 136,000.00

Kajuki 130,650.00

Timau 130,000.00

Runogone 129,189.00

Riiji 128,740.00

Kariene 127,965.00

Mutuati 127,000.00

Kinoro 123,500.00

Magundu 112,895.00

Mbaranga 110,150.00

Miruriiri 105,500.00

Limbine 105,100.00

Nkabune 104,965.00

Iruma 101,750.00

Chogoria 100,000.00

Mujwa 96,160.00

Athi 95,965.00

Amung’enti 93,500.00

Maua 93,175.00

Magumoni 93,070.00

Tigania 91,200.00

Ruiri 90,525.00

Gatunga 90,000.00

Mpukoni 90,000.00

Kiirua 88,260.00

Mitunguu 81,090.00

Giaki 80,000.00

Mukothima 78,000.00

Mikumbune 77,250.00

Kirogine Pro 75,970.00

Chaaria 75,850.00

Michaka 75,050.00

Munithu 70,700.00

Page 34: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

34

Ndagani (Prop) 70,365.00

Nkondi (Pro) 68,300.00

Buuri 66,301.00

Nthare 65,855.00

Kanyakine 61,400.00

Antubetwe 61,300.00

Kariakomo 61,000.00

Munga 61,000.00

Katheri 59,705.00

Kagaene 55,200.00

Marimanti 51,000.00

Tunyai 50,200.00

Chera 50,000.00

Nthambiro 50,000.00

Athiru 47,900.00

Igandene 42,400.00

Mukululu 42,000.00

Kianjai 40,900.00

Kaongo 39,000.00

Nciru 38,960.00

Matiri 38,235.00

Kiamuri 28,605.00

Nchaure 27,555.00

Charanga 27,000.00

Maraa 27,000.00

Mbwiru 24,850.00

Thanantu 6,000.00

Institutions

Christ the Saviour Meru Prison Chapel

182,410.00

Consolata Hospital Nkubu 77,950.00

Consolata Hospital Chaplaincy Nkubu

35,000.00

Consolata Hospital School of Nurs-ing Nkubu

25,000.00

Marimba Chapel 22,470.00

Chuka Girls’ 80,000.00

Our Lady of Mercy Girls’ Sec Sch 78,930.00

Muthambi Girls’ Sec 60,132.00

St. Pius X Seminary 60,000.00

Allamano School Kangeta 52,800.00

Chuka Boys’ 45,000.00

St. Angela Nguthiru Girls’ Sec 33,250.00

Magumoni Day Sec 25,435.00

Kibirichia Boys’ Sec 25,000.00

Consolata Primary 25,000.00

St. Rita Amwamba Girls 20,000.00

St. Massimo Sec Sch 18,000.00

Mfariji Primary Sch 17,100.00

Akaiga Sec Sch 16,000.00

St. Theresa’s Hospital Kiirua Staff 15,050.00

St. Daniel’s Boys High 15,000.00

Blessed Virgin Sisters Kangeta 10,000.00

Don Orione Srs Laare 10,000.00

Bishop Bessone Primary Sch 10,000.00

Kithitu Prayer House 10,000.00

Fr. Soldati Memorial Primary 9,210.00

St. Dorothy School Massimo 8,556.00

St. Theresa’s Primary Sch Riiji 8,200.00

Poor Handmaids of Jesus Christ Sisters St. Ann Igoji

8,000.00

St. Lawrence Igoji Teachers College Chapel

8,000.00

Joseph Allamano Boys 8,000.00

Muthara Day Mixes Sec 7,700.00

Kinoro Girls Sec 7,650.00

Kanyuru Sec Sch 7,000.00

Brothers of St. John of God 7,000.00

St. Augustine Kirindine Sec Sch 7,000.00

St. Francis of Assissi 5,600.00

Kimiri Primary Sch 5,500.00

Muthambi Boys Sec 5,300.00

NSA Divine Mercy Printers 5,000.00

NSA St. Ann Community 5,000.00

Igandene Boys Sec 5,000.00

Mpukoni Sec Sch 5,000.00

St. Anselmin Mururi 5,000.00

Matei Dei Primary 5,000.00

Akithi Sec Sch 5,000.00

Page 35: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

35

Kaongo Girls Sec Sch 4,800.00

Kirindara Primary 4,585.00

Poor Handmaids of Jesus Christ 4,000.00

Consolata Primary Sch Community Srs.

4,000.00

Mukuuni Sec Sch YCS 4,000.00

San panpuri Primary 3,850.00

Matakiri Sec Sch 3,300.00

St. Elizabeth Primary Iruma 3,270.00

Igandene Day Sec 3,000.00

St. Francis F. C. Convent 3,000.00

St. Jude Kangeta Prison 3,000.00

Consolata Sisters Gitoro 3,000.00

St. Mary Primary Antubetwe 3,000.00

Mfariji Girls Secondary 3,000.00

Holy Family Primary Sch Kiamuri 3,000.00

Evangelising Sisters Mikinduri 3,000.00

Kiriani Boys 3,000.00

Aithu Primary Mutuati 2,900.00

Holy Family Athiru Primary 2,790.00

Thuuria Primary Sch 2,500.00

K. K. Etara Primary 2,500.00

Mbayo Sec Sch 2,250.00

Sacred Heart Primary Sch Kinoro 2,150.00

Ntiruti Primary Sch Mbaranga 2,150.00

Kamwimbi Sec Sch 2,150.00

Lubuathirua Day Sec Sch YCS 2,120.00

Sisters of Holy Angels Allamano 2,000.00

Kaare Primary 2,000.00

Mukululu Day Sec 2,000.00

St. Bonventure Mumbuni YCS 2,000.00

St. Peter & Paul Primary Laare 2,000.00

Thitha Sec Sch 1,570.00

Muthambi Primary 1,550.00

Giantune CCM Primary Sch 1,535.00

Thuuria Sec Sch YCS 1,500.00

Antuonduru Sec Sch YCS 1,500.00

St. Mary’s Sec Sch Ntaki Antubetwe

1,500.00

Kirindara Sec Sch 1,500.00

Mukuthuku Day 1,500.00

Sisters of St. Joseph of Tarbes 1,200.00

Ntiruti Sec Sch Mbaranga YCS 1,200.00

CCM Meru Township Primary 1,005.00

Nkamathi Primary Mutuati 1,000.00

CCM Meru Township Sec Sch 1,000.00

Kagongo Primary 1,000.00

St. Charles Lwanga Day and Board-ing

1,000.00

Kiamuri Day & Boarding Primary Sch

1,000.00

Rex Mukona 935.00

Marima Primary 750.00

Irinda Day Sec Sch 700.00

Ikindu Primary Sch 700.00

Thege Primary Sch 500.00

Mikinduri Primary Sch 470.00

Maatha Primary 300.00

Mutiguru Day Sec 200.00

Ramesh - MD Silverspread Hardwares Ltd

50,000.00

Jumla 8,845,598.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

3,010,521.00

JIMBO KUU LA NYERIParokia Kiasi

Doldol 67,025.00

Kigumo 51,544.00

Wamagana 72,974.00

Our Lady of Consolata Nyeri Cathedral

376,924.00

St. Vincet Depaul Catholic Giathugu

35,050.00

St. Charles Lwanga Narumoru Town 51,320.00

Our Lady of Consolata Thegu 56,000.00

Kiamuiru 67,043.00

Mugunda 41,957.00

Page 36: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

36

Sirima 105,886.00

Gathugu 51,145.00

Kigogoini 9,460.00

Mweiga 136,640.00

St. Joseph Giakanja 133,332.00

St. Martin’s Wiyumiririe Mission 18,475.00

King’ong’o 123,640.00

Mukurweini 118,700.00

Karangia 42,000.00

Kangaita 110,350.00

Kaheti 66,625.00

St. Jude 171,940.00

Kariko 51,180.00

St. Cyprian Kagicha 63,800.00

St.Teresa Equator 343,900.00

Kahiraini 22,893.00

Our Lady of Consolata Birithia 100,200.00

Kimondo 39,600.00

Karemeno 46,190.00

Karatina 160,000.00

Karima 167,000.00

Gikondi 40,250.00

Gikumbo 83,800

St Joseph Kamariki 45,000.00

Endarasha 80,000.00

St.Charles Lwanga Ngangarithi

70,000.00

Irigithathi Project 82,560.00

Munyu 25,000.00

Mwenji 80,873.00

Ngandu 150,000.00

Tetu 130,012.00

Kalalu 140,000.00

Nanyuki 154,383.00

Gititu 71,250.00

Kabiruini 97,140.00

Othaya 153,330.00

Miiri 96,000.00

Matanya 149,200.00

Ithenguri 80,000.00

St. Michael Kiganjo/Chaka 42,000.00

St Joseph Karuthi 21,800.00

Giakaibei 80,000.00

Gatarakwa -

Sub-Total 4,775,391

Institutions/Offices

Nyeri High School 14,000

Franciscan Sisters of The Immacu-late Heart of Mary

2,000

A.D.N Catholic Action 40,000

St.Augustine’s Catechist Training institute

26,360

Christ the King MC Recurrent Expenditure

93,525

Mary Immaculate Convent 31,500

Othaya Girls Secondary School 4,600

ADN Caritas Nyeri 98,300

Archbishop Emiritus Retirement Home

27,700

Fenician Sisters 3,000

Consolata Fathers Mathari 10,000

Consolata Cathedral Institute 12,000

Cash ADN Finance 8,000

Mathari Chaplainacy Catholic 8,000.00

Friends of Caritas 273,535.00

Sub-Total 652,520

Jumla 5,427,911

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

2,713,955.00

JIMBO LA EMBU Parokia Kiasi

St. Joseph Mukasa Mbiruri 349,907.00

St. Francis of Asissi Nthagaiya 329,460.00

Our Lady of Assumption Embu 288,724.00

Sacred Heart Kyeni 269,815.00

St. Paul’s Kevote 248,191.00

Page 37: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

37

St. Joseph Kianjokoma 247,905.00

Holy Family Nguviu 220,058.00

St. Thomas Moore Kairuri 179,645.00

Ss. Peter & Paul Cathedral 163,672.00

St. Francis Xavier Siakago 156,650.00

Our Lady Of Consolata Iriamurai 129,540.00

St. Benedict Karau 105,180.00

Mary Mother of God Karurumo 74,470.00

St. Teresa Kithimu 145,980.00

St. Anthony of Padua Mutuobare 68,300.00

Christ the King Kathunguri 59,550.00

Good Shepherd Ishiara 49,915.00

Sacred Heart Karaba Wango 33,825.00

St. Lawrence Munyori 32,290.00

St. John the Baptist Kirie 26,220.00

St. Paul’s Makima 22,000.00

Holy Trinity Gwakaithe 15,000.00

Sub-Total 3,216,297.00

Taasisi

St. Paul’s Kevote Parish

ACK St. Marks Karue Primary 400.00

Mt. Kenya Academy pupils 2,040.00

Mt. Kenya Academy staff 500.00

St. Joseph of Tarbes Secondary 10,400.00

St. Joseph of Tarbes Primary 6,270.00

Consolata Primary staff 950.00

Primary pupils 2,780.00

St. Michael Secondary staff 250.00

St. Michael Secondary students 3,045.00

St. Michael Kevote Primary staff 1,700.00

St. Michael Kevote Primary pupils 7,470.00

St. Philip’s Makengi Primary 4,080.00

ACK St. Catherine Keruri Primary 1,915.00

Consolata Secondary 9,151.00

St. Paul’s High School students 143,408.00

St. Paul Parochial Primary pupils 4,401.00

St. Joseph Kiandari Primary pupils 4,927.00

St. Joseph Kiandari Primary staff 950.00

St. Francis Ngoire Secondary staff 420.00

St. Francis Ngoire Secondary students 2,870.00

Deputy St. Paul’s High 1,000.00

Principal St. Paul’s High 5,000.00

St. Francis Ngoire Primary staff 600.00

St. Francis Ngoire Primary pupils 3,555.00

ACK Kianjuki Primary staff 550.00

ACK Kianjuki Primary pupils 1,115.00

ACK Kianjuki Secondary students 1,400.00

Priests of Kevote Parish 15,000.00

Sub-Total s 236,147.00

Saints Peter & Paul Cathedral Parish

PMC Gachoka 1,015.00

Carlo Liviero Home 6,000.00

Rianjeru Primary 560.00

Saints Peter & Paul Primary 680.00

Itabua Secondary 10,601.00

Itabua Primary 775.00

Kihumbu Primary 861.00

Embu Shepherd Academy 5,166.00

Gatondo Primary 355.00

Gatondo Secondary 500.00

Embu Kawa Academy Cathedral 2,000.00

Felician Sisters Embu 9,000.00

Don Bosco Technical-Embu 2,040.00

Embu High 550.00

Sub-Total s 40,103.00

St. John the Baptist Kirie Parish

Kirie Primary 3,250.00

St. John Kirie Secondary 2,255.00

St. Elizabeth Primary 2,060.00

Feather’s Education Centre 1,200.00

St. Peter’s Mbarwari Secondary 1,120.00

Mbarwari Primary 1,150.00

Nguthii Primary 850.00

Kavui Primary 825.00

Kathigagaceru Secondary

750.00

Itururi Primary 490.00

Page 38: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

38

Usambara Primary 310.00

Sub-Total 14,260.00

St. Paul’s Makima Parish

Blessed Irene Mbondoni Secondary

2,000.00

St. Joseph Kitoloni Secondary 1,500.00

St. Mary’s Mashamba Secondary 1,000.00

St. Augustine’s Kanyonga Secondary

1,500.00

Sub-Total 6,000.00

St. Francis Xavier Siakago Parish

St. Michael Gacuriri Primary 975.00

Mathai Primary 2,670.00

Rwanjeru Primary 380.00

Ngunyumu Primary 400.00

Don Marino Primary 650.00

Gitiburi Primary 2,000.00

Siakago Primary 2,580.00

St. Rita Ngunyumu Secondary

270.00

St. Albert Siakago Boys’ 2,025.00

Sub-Total 11,950.00

Good Shepherd Ishiara Parish

St. Teresa Fasce Primary 7,450.00

St. Peter’s Boarding Primary

5,700.00

St. Kizito Primary 4,175.00

St. Thomas Kigwambiti Primary 600.00

Mang’ote Primary 1,105.00

Kamukanya Primary 1,975.00

Mbaci Primary 200.00

Ciaikungugu Primary 1,050.00

Mbaraga Seondary 1,245.00

Kambugu Primary 870.00

St. Mary’s Ntambari Primary 3,205.00

St. Ann Kigwambiti Primary 955.00

Mbaraga Primary 1,090.00

Kianjeru Primary 465.00

St. Augustine’s T.T College 20,000.00

St. Monica Girls 27,000.00

Sub-Total 77,085.00

St. Francis of Assissi Nthagaiy

Elizabethian Sisters 2,000.00

Nthagaiya Catholic Dispensary 1,150.00

Kavuru Primary 75.00

St. Mary’s Kigaa Secondary 2,070.00

Nthagaiya Catholic Priests 5,700.00

St. Jerome Ugweri Secondary

1,685.00

St. Catherine Nthagaiya Girls’ 2,905.00

Kigaa Primary 1,740.00

Kathamba Primary 970.00

Sub-Total 18,295.00

Our Lady of Assumption Embu Parish

University of Embu 2,100.00

Our Lady of Assumption Embu Priests 5,000.00

St. Emilio Kithungururu 4,875.00

Our Lady of Assumption Embu Primary

3,894.00

St. Angelas Embu Children Home 3,250.00

Kirimari Boys’ Secondary 1,691.00

KMTC Embu Level 5 Hospital 750.00

St. Joseph Gituri Secondary 800.00

Gituri Primary 865.00

St. Martha Gatoori Secondary 2,060.00

Kangaru Girls Secondary 6,800.00

St. Michael Primary 3,281.00

Kangaru High 2,370.00

Gatoori Primary 575.00

Sub-Total 38,311.00

St. Teresa’s Kithimu Parish

St. Teresa’s Girls’ 86,640.00

St. Benedict Secondary 335.00

St. Andrew’s Primary 5,600.00

Joseph Allamano Primary 760.00

Page 39: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

39

St. Mary’s Ithangawe Primary 4,000.00

Mother Angelina Primary 1,420.00

Kiandundu Primary 200.00

Kithegi Day Secondary 240.00

Kamuthatha Boarding Primary 5,600.00

Rukira Primary 790.00

Nembure Primary 1,990.00

Nembure Junior Academy 620.00

Nembure Polytechnic 1,005.00

Rukira Day Secondary 1,300.00

Bethany Junior Academy 250.00

Mbukori Primary School 365.00

Sub-Total 111,115.00

St. Joseph Kianjokoma Parish

St. Boniface Mugui Secondary

2,305.00

St. Joseph Kianjokoma Parish Priests

350.00

St. Joseph Kianjokoma Primary 10,970.00

St. John Fisher Primary 2,295.00

St. John Fisher Secondary 1,010.00

Irangi Primary 175.00

St. John Gaikama Boarding Primary 1,000.00

Mugui Primary 3,755.00

Kavutiri Secondary 640.00

Sub-Total 22,500.00

Our Lady of Consolata Iriamurai

Igumori Primary 355.00

Consolata Girls Secondary 5,200.00

St. Thomas Aquinas Igumori Secondary

1,180.00

Sub-Total 6,735.00

Mary Mother of God Karurumo Parish

St. Jude Secondary 2,260.00

Karurumo Primary 2,460.00

Kandete Primary 530.00

St. Barnabas Rarurumo School 150.00

Mary Mother God Karurumo Priests

1,880.00

Sub-Total 7,280.00

St. Joseph Mukasa Mbiruri Parish

St. Joseph Mukasa Mbiruri Priests 7,730.00

St. Petroc Academy 500.00

YCS Kagaari Secondary 1,210.00

DEB Kubukubu Memorial Primary 14,200.00

Maragari Secondary 150.00

Gichiche Primary 205.00

Mwenendega Primary 2,010.00

Subrina Academy 970.00

DEB Gitare Secondary 2,005.00

DEB Gitare Primary 3,300.00

SA Nduuri Secondary 225.00

SA Nduuri Primary 2,690.00

Munyutu Primary 570.00

Millenium Annex 306.00

Moi High Mbiruri Secondary 1,400.00

Our Lady of Annunciation Primary 1,280.00

Sub-Total 38,751.00

St. Lawrence Munyori Parish

Kangungi Primary School 2,555.00

St. Mary’s Kangeta Primary 1,960.00

St. Clare’s Girls’ Kangeta 1,360.00

CCM Kangeta Primary 1,280.00

St. Francis Kamunyange Primary 1,190.00

St. Monica Munyori Primary 1,000.00

Rugakori Primary 1,000.00

St. Mary’s Gataka Primary 985.00

Yoder Karwigi Secondary 930.00

St. Mary’s Munyori Primary 800.00

DEB Muraru Primary 745.00

St. Joseph Gachuriri Primary 640.00

Rianguu Primary 640.00

St. Mary’s Gataka Secondary

200.00

St. Francis Kamunyage Secondary 200.00

Page 40: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

40

Sub-Total 15,485.00

Sacred Heart Kyeni Parish

Sacred Heart Kyeni Girls’ 48,170.00

Sacred Heart Kyeni Boarding Primary

16,895.00

St. Luke Rukuriri Primary 3,035.00

Rukuriri Primary 4,160.00

St. Mary’s Parochial Primary 3,490.00

St. Michael Primary-Kiangungi

2,050.00

SA Secondary 1,235.00

Fidenza School of Nursing 1,915.00

Kiangungi Secondary 2,085.00

St. Mary Goretti Rukuriri Secondary

5,710.00

Gakwegori Primary 545.00

Gakwegori Secondary 8,000.00

Kathari Secondary 1,980.00

St. Agnes Kiagaanari Secondary 820.00

Rukuriri Tea Factory staff 1,750.00

Njeruri Primary 1,350.00

ACK Kathanjuri Secondary 130.00

Felician Sisters Kyeni Community 2,500.00

Clergy of Sacred Heart 5,800.00

Sub-Total 111,620.00

Sacred Heart Karaba Wango Parish

Karaba Wango Boys’ Secondary 1,700.00

Wachoro Boys Secondary 2,050.00

Unyuani Primary 7,750.00

Consolata Girls’ Gitaraka 2,100.00

Wachoro Security Team 1,000.00

Wakalia Primary 2,700.00

Makawani Primary 240.00

Iria Itune Primary 3,500.00

FA Masaku Family 2,170.00

Whiterose Medical Centre Gategi 2,000.00

St. Joseph Gategi Girls’ 1,755.00

Karaba Primary 1,080.00

St. Mary’s Gategi Primary 3,410.00

Wachoro AP Camp 1,250.00

Wango Boarding Primary 3,350.00

Gitaraka Primary 550.00

Sub-Total 36,605.00

Jumla 4,008,539.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

1,105,785.00

JIMBO LA NYAHURURUParokia Kiasi

Cathedral 246,925.00

Ol Kalou 198,879.00

Ng’arua 180,000.00

Ndunyu Njeru

130,000.00

North Kinangop

117,683.00

Marmanet 100,000.00

Ngano 98,000.00

Mairo Inya 88,000.00

Manunga 84,870.00

Ndaragwa 80,000.00

Equator 70,000.00

Mutanga 65,550.00

Ol Joro Orok

75,000.00

Murungaru 61,000.00

Shamata 61,000.00

Njabini 59,643.00

Kasuku 48,200.00

Muhotetu 47,100.00

Pondo 45,000.00

Rumuruti 40,560.00

Dundori 40,000.00

Geta 40,000.00

Weru 38,500.00

Mukeu 37,000.00

Ngorika 32,000.00

Shamanei 31,400.00

Tumaini 29,950.00

Kanyagia 27,000.00

Magumu 25,600.00

Igwamiti 23,673.00

Ol Moran 21,500.00

Mochongoi 20,113.00

Sipili 18,750.00

Maina 12,000.00

Rironi 0

Taasisi

Njonjo Girls High School

13,000.00

Mary Mother of Grace Boys High School

5,625.00

Sisters of Mary Im-maculate

5,000.00

North Kinangop Hospital

5,000.00

Page 41: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

41

Nyakiambi Girls High School

5,000.00

St. Anne Institute

4,880.00

Ndururi Secondary School

4,140.00

Ngumo Secondary School

3,000.00

Kangui Secondary School

3,000.00

Leshau Boys High School

2,685.00

Manunga Girls Sec-ondary

2,100.00

Gatimu Secondary School

1,200.00

Muhotetu Girls Sec-ondary

6,00.00

Jumla 2,350,126.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

1,175,063.00

JIMBO LA GARISSAInstitution Kiasi

Garissa Cathedral 14,600.00

Wajir Parish 28,100.00

Bura Parish 22,600.00

Mandera Parish 6,500.00

St. Kizito SCC Dadaab

13,000.00

Hagadera SCC Dadaab

20,000.00

St.Peter’s Church Garissa

13,500.00

Wenje Parish 3,260.00

Hola Parish 5,000.00

Jumla 126,560.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

63,280

JIMBO KUU LA MOMBASAParokia Kiasi

Holy Ghost Cathedral

202,820.00

Chan-gamwe

168,775.00

Customs/Nyali

140,014.00

Mtopanga 114,831.00

Kilifi 93,110.00

Tudor 61,750.00

Miritini 60,000.00

Chaani 54,658.00

Kongowea 45,150.00

Ukunda 40,000.00

Shimba Hills

38,250.00

Shanzu 32,550.00

Taveta Mjini

30,300.00

Timbwani 30,000.00

Kiembeni 30,000.00

Mikindani 25,102.00

Mbungoni 25,000.00

Bangla-desh

22,850.00

Voi 22,000.00

Timbila 20,900.00

Mtwapa 20,100.00

Mariakani 20,000.00

Bamba 19,824.00

Ramisi 19,100.00

Bomu 17,000.00

St George Chaplain-cy- Shimo la Tewa

13,800.00

Kitumbi 12,400.00

Kinango 12,300.00

Wundanyi 11,500.00

Mgange Dawida

11,450.00

Pope Francis–Mikindani Outstation

11,190.00

Mivumoni 10,400.00

Giriama 10,400.00

Taru 10,000.00

Lushan-gonyi

10,000.00

Migom-bani

8,500.00

Kikambala 8,450.00

Kwale 7,500.00

Sagalla 7,500.00

Kikoneni 6,800.00

Bura Parish

6,050.00

Chala 5,000.00

Kichaka Simba

5,000.00

Maungu 4,000.00

Ndavaya 1,500.00

Mwanda 3,700.00

Makupa -

Mtongwe -

Kaloleni -

Lunga Lunga

-

Eldoro -

Chumvini -

Taasisi 4,000.00

Sisters of St. Joseph - St. Elizabeth Commu-nity

1,500.00

Secular Franciscan Order-Mombasa

St Joseph Catholic Primary School-Ukunda

13,000.00

St Angelo Prmary School-Ukunda

11,500.00

St. Joseph Herman Maxx Nursery & Primary School-Mtopanga

Page 42: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

42

JIMBO LA KITUIParokia Kiasi

Migwani 30,500

Kabati 10,000

Kavisuni 38,430

Kyuso 12,275

Ikanga 25,000

Mutune 36,000

Kamuwongo 11,050

Nuu 10,825

Kiio 2,400

Nguni 7,000

Nguutani 32,351

Mutomo 91,000

Mwingi 44,258

Kimangao 5940

Muthale 32,340

Mulutu 25,825

Boma 50,000

Mbitini 20,000

Ikutha

Miambani 33,500

Zombe 15,220

Mutito 30,000

Museve 34,200

Endau

Mbondoni 15,130

Kanyangi 93,440

Kasyala 34,010

Jumla 740,694

Taasisi

Assumption Sisters of Nairobi - Boma

2,000

St. Augustine Secretariat 18,800

Jesus the Good Shepherd Academy

6,112

Mwingi Boys’ Secondary School

29,100

Maliku Girls’ Secondary School

1,555

Mwingi Teachers Train-ing College

267

Kanginga Primary School

667

Kyethani Secondary School

207

AIC Nzeluni Girls’ School

3,534

Mwingi Universal College

1,534

Ikanga Girls’ School 5,000

Mlamba High School - Mgange Dawida

1,000.00 St James Primary School- Mgange Dawida

800 St Susan Nursery & Primary School - Mgange Dawida

600

Jumla 1,563,924.00

Kiasi remitted to the National CJPC

518,566.00

Ikanga Boys’ Secondary School

2,700

St. Josephine Bakhita Zombe

16,200

Musengo Secondary School

300

Tulia Vocational Centre 400

Mutongoni Polytechnic 140

Ithiiani Secondary School

2,000

St. Charles Lwanga Secondary

60,753

Thitani Girls’ Secondary School

5,005

Matinyani Boys’ Second-ary School

7,000

Kathonzweni School 2,381

St. Angelas Girls’ Sec-ondary

67,080

St. Gabriel B. Primary School

33,000

St. Michael’s Primary School

94,032

Sub-Total 359,767

Jumla 1,100,461

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

443,979

JIMBO LA MURANG’AParokia/ Taasisi

Kiasi

Baricho 103,280.00

Cathedral 98,000.00

Difathas 50,000

Donga 19,650.00

Gaichanjiru 40,000.00

Gatanga 235,380.00

Gatura 61,911.00

Gaturi 9,000.00

Gitui 49,189.00

Ichagaki 13,320.00

Ithanga 53,720.00

Kaburugi 21,000.00

Kagumo 110,000.00

Kahatia 12,000.00

Kangaita 73,800.00

Kangari 100,000.00

Karaba 66,903.00

Karumandi 75,000.00

Kenol 100,000.00

Page 43: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

43

Ikanga Boys’ Secondary School

2,700

St. Josephine Bakhita Zombe

16,200

Musengo Secondary School

300

Tulia Vocational Centre 400

Mutongoni Polytechnic 140

Ithiiani Secondary School

2,000

St. Charles Lwanga Secondary

60,753

Thitani Girls’ Secondary School

5,005

Matinyani Boys’ Second-ary School

7,000

Kathonzweni School 2,381

St. Angelas Girls’ Sec-ondary

67,080

St. Gabriel B. Primary School

33,000

St. Michael’s Primary School

94,032

Sub-Total 359,767

Jumla 1,100,461

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

443,979

Kerugoya 117,570.00

Kiamutugu 40,000.00

Kiangai 142,970.00

Kiangunyi 100,100.00

Kianyaga 55,457.00

Kiriaini 50,000.00

Kitito 20,000.00

Kutus 189,355.00

Makuyu 56,460.00

Maragua 60,000.00

Mariira 90,000.00

Mugoiri 35,000.00

Mukurwe 31,613.00

Mumbi 58,681.00

Muthangari 21,000.00

Mwea 221,000.00

Nguthuru 20,000.00

Piai 46,300.00

Ruchu 100,000.00

Sabasaba 18,350.00

Sagana 45,000.00

Tuthu 25,000.00

Kanyenyeini 56,106.00

Kibingoti 19,250.00

Kagio 128,988.00

Makomboki 26,140.00

SMI 20,550.00

Jumla 3,087,043.00

Fungu lili-lopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

780,000.00

JIMBO LA MARALALInstitutions Kiasi

Suguta Parish 49,999.50

Prison Chaplaincy 10,000

CDM Secretariat/Cartas Maralal 7,750

Good Shepherd Minor Seminary 0

Wamba Parish 136,050

South Horr Parish 61,000

Archers Post Parish 15,250

Maralal CathedralParish

135,075

Tuum Parish 60,000

Lorroki Parish 33,690

Baragoi Parish 60,000

Barsaloi Parish 10,000

Morijo Parish 31,500

Lodokejek Parish 100,000.50

Lodungokwe Mission 14,703

Bishop Philip Perlo Girls’ Secondary 0

Sisters of Mary Immaculate 0

Suguta Girls Rescue Centre 0

Sereolipi Parish 44600

KCB Maralal 50,000

Sererit Parish 29,200

Equity Bank Maralal 5,000

Jumla 853,817

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

212,357

JIMBO LA NAKURUNakuru Deanery

Parokia Kiasi

St Joseph the Worker 143,996

St Francis Kiti 115,243

St Monica Section 58

100,000

Cathedral 97,077

Holy Trinity Milimani 80,000

St Augustine Kiamunyi 79,000

Holy Cross 68,587

Hekima 32,418

Prisons Chaplaincy 10,105

Jumla 726,422

Lanet Deanery

St John’s Muguga 183,057

St Peter Lanet 78,616

St Paul’s Wanyororo 51,060

St Peter and Paul Kip-tangwanyi

48,000

Jumla 360,733

Molo Deanery

St Mary’s Molo 175,000

St Timothy Jumla 40,000

Kamwaura Parish 30,000

St Simon Peter-Turi 17,000

St Kizito Olenguruone 10,000

St Veronica Keringet 10,000

Mwaragania Parish 7,100

Jumla 289,100

Njoro Deanery

St Lwanga Njoro 120,000

Mangu Parish 80,000

St Peters Elburgon 41,700

Larmudiac Parish 30,000

Rongai Parish 30,000

Page 44: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

44

TUME YA HAKI NA AMANI YA AOSKShirika/Taasisi Kiasi

Sisters of Mary of Kakamega - Nairobi 5,000.00

LSOSF, EORV REGION 17,410.00

Kitale District Unit 6,750.00

Nakuru District Unit 13,000.00

Mombasa District Unit 22,000.00

Machakos District Unit 26,550.00

Sisters of Our Lady of Mission 17,300.00

AOSK Justice and Peace Commission 10,000.00

Jumla 121,010.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC 47,620.00

JIMBO LA KERICHOParokia Kiasi (received in diocese)

Bomet 30,000.00

Cathedral 15,000.00

Chebangang -

Chebole 20,000.00

Chemelet 26,000.00

Chepseon 12,000.00

Embomos 3,000.00

Fort Ternan 25,000.00

Kabianga 20,000.00

Kaboloin 5,850.00

Kapkatet 10,000.00

Kapkilaibei 8,000.00

Kaplomboi 15,000.00

Kaplong 70,000.00

Kapsigiryo -

Kebeneti 8,000.00

Keongo 15,000.00

Egerton Chaplaincy 20,000

St Francis Lare 15,000

Jumla 336,700

Bahati Deanery

Bahati Parish 142,000

St Michael Kiamaina 90,000

St John’s Upper Subukia 70,000

St Francis Lower Subukia

35,000

All Saints Kabazi 20,000

Jumla 357,000

Koibatek Deanery

Marigat Parish 59,840

St Patricks Eldama Ravine

20,000

Mogotio Parish 15,000

Jumla 84,840

Kabarnet Deanery

St Joseph Kituro 35,000

St Mary’s Kabarnet 35,000

Kipsaraman Parish 17,000

St Peter’s Kaptere 11,350

St Mary’s Tenges 2,200

Kerio Valley Parish- Salawa

Jumla 100,550

Naivasha Deanery

St Xavier Naivasha 83,980

Holy Spirit Gilgil 109,000

St Anthony DCK Parish 68,000

St Stephen Karati Parish 28,500

Kinungi Parish 25,540

Longonot Parish 15,000

Jumla 330,020

East Pokot Deanery

Kositei 2,500

Barpello C Mission

Tangulbei

Rotu

Jumla

Institutions

Christ the King Academy

37,450

St. Clare Girls Sec Elburgon

12,400

Bishop’s House 10,000

Franciscan Missionary Sisters for Africa

2,500

Franciscan Missionary Sisters for Africa- Novi-ciate

2,500

Jumla 64,850

Jumla 2,662,719

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

477,189.00

Page 45: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

45

Kimatisio 10,000.00

Kimugul 15,000.00

Kipchimchim 60,000.00

Kipkelion 18,000.00

Kiptere 20,000.00

Koiyet 24,000.00

Litein 40,000.00

Londiani 39,234.00

Longisa 8,000.00

Makimeny -

Marinyin 37,500.00

Matobo 100,000.00

Magogosiek 10,000.00

Mombwo -

Mugango 12,000.00

Ndanai 34,000.00

Nyagacho 10,000.00

Roret 10,100.00

Segemik -

Segutiet 27,000.00

Sigor 5,000.00

Siongiroi 11,000.00

Sironet 16,000.00

Sotik 58,000.00

Tegat 10,000.00

Telanet 16,540.00

Kapcholyo High 540.00

Kaplong Girls’ Primary

340.00

Queen of Angels Primary

590.00

Kaplong Boys’ Primary

220.00

Kaplong Girls’ High 10,450.00

Queen of Angels High 2,660.00

Kaplong Boys’ High 6,660.00

St. Clare Kaplong School of Nursing

400.00

St. Mary’s Primary Day & Boarding Mixed School

30,000.00

Fr Kaiser 10,000.00

Jumla 926,084.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

473,042.00

JIMBO LA ISIOLO

Parish/Institution Kiasi

Kinna Catholic Mission 3,000.00

Merti Catholic Mission 3,410.00

Our Lady of Assumption Catholic Mission

6,100.00

Garbatulla Catholic Mission 12,340.00

Kiwanjani Catholic Mission 8,000.00

Camp Garba Catholic Mission 7,000.00

Oldonyiro Catholic Mission 15,000.00

St.Francis Xavier Catholic Mission -

St.Eusebius Cathedral Parish 30,550.00

Kipsing Catholic Mission 17,050.00

Ngaremara Catholic Mission 3,000.00

Jumla 105,450.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

70,300.00

Kositei 2,500

Barpello C Mission

Tangulbei

Rotu

Jumla

Institutions

Christ the King Academy

37,450

St. Clare Girls Sec Elburgon

12,400

Bishop’s House 10,000

Franciscan Missionary Sisters for Africa

2,500

Franciscan Missionary Sisters for Africa- Novi-ciate

2,500

Jumla 64,850

Jumla 2,662,719

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

477,189.00

Page 46: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

46

JIMBO LA ELDORETParokia Kiasi

Arror 13,150.00

Burnt Forest 30,000.00

Chemnoet 33,000.00

Cheptarit 15,000.00

Chepterit 50,000.00

Chepterwai 15,000.00

Cheptiret 23,500.00

Chesoi 30,000.00

Chesongoch 20,000.00

Embobut 22,720.00

Endo 11,150.00

Huruma 185,562.00

Iten 40,000.00

Kaiboi 11,500.00

Kabechei 12,150.00

Kabuliot 14,720.00

Kamwosor 6,000.00

Kapcherop 25,560.00

Kapkemich 5,040.00

Kapkeno 15,000.00

Kapsabet 197,727.00

Kapsoya 126,850.00

Kapsowar 50,000.00

Kaptagat

Kapyemit 53,000.00

Kapkenduiywo 24,070.00

Kapkatet 7,100.00

Koptega 14,326.00

Kimumu 202,965.00

Kipsebwa 15,000.00

Kipngeru 10,000.00

Kobujoi 15,200.00

Langas 95,490.00

Lelwak 64,050.00

Majengo 223,350.00

Matunda 60,000.00

Moi University Chaplaincy 70,200.00

Moiben 21,600.00

Moi’s Bridge 71,100.00

Mokwo 23,700.00

Mosop 100,000.00

Nandi Hills 100,000.00

Ndalat 16,420.00

Nerkwo 30,085.00

Ol’Lessos 51,000.00

Ossorongai 80,030.00

Sacred Heart Cathedral 263,221.00

Sangalo 20,100.00

Soy 49,213.00

St.Augustine-Emsea

St John XXIII 102,890.00

St. Gabriel Chaplaincy 10,145.00

Singore Chaplaincy 10,000.00

Tambach 15,000.00

Tachasis 20,000.00

Tembeleo 32,200.00

Timboroa 14,620.00

Tindinyo 35,000.00

Tiryo 30,000.00

Turbo 40,000.00

Yamumbi 75,000.00

Ziwa 39,620.00

C.E.E.A Gaba Campus 15,510.00

School of Law Annex 4,285.00

Eldoret Prison’s Chaplaincy

6,500.00

Sub-Total 3,085,619.00

Shule

Our Lady of Assumption Academy Eldoret

15,485.00

St. Thomas Secondary - Kaiboi 10,000.00

Ancilla Catholic Academy 13,580.00

Jubilee Catholic Primary 8,365.00

lelwak High 1,450.00

Page 47: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

47

Kemeliet Secondary 5,000.00

St. Peter’s High 40,000.00

Immaculate Heart Juniorate 2,141.00

St.Charles Lwanga-Chepkoiyo 2,500.00

St. Agatha Girls Secondary-Mokwo

44,000.00

St. Anthony Kaptumek Secondary 3,000.00

Maraba Secondary 1,100.00

Kapkoros Girls’ Secondary 5,010.00

St. Ann Girls Kapkemich 13,000.00

Christ the King Sambut 2,000.00

Kapkagaon Secondary 5,210.00

St. Josephs Kipsaina 14,400.00

Our Lady of Peace Nandi Hills 6,051.00

Apostolic Carmel Primary/Pre-Primary 50,250.00

Kimaren Secondary 5,000.00

St. Monica Secondary-Kapkoros 10,500.00

Christ the King- Tindinyo Academy 2,300.00

St. Raphael Chepyemit Secondary 20,000.00

Kaptagat Girls Secondary 18,000.00

Kondabilet Secondary 5,000.00

Kiborom Secondary 3,000.00

Kamoi Secondary- Kapcherop 6,000.00

St. Francis Secondary-Kimuron 21,776.00

Holy Cross Education Centre 4,000.00

Chirchir Secondary -Matharu 2,000.00

St. Ansalm Secondary-Matharu 2,100.00

Loreto Convent Girls’ Secondary-Matunda

5,000.00

St. Theresa Primary-Moi’s Bridge 1,005.00

Mogoiywo Primary 130.00

Samoget Primary 600.00

Kapkenduiywo Primary 500.00

Cheptoyoi Primary 1,300.00

St. Michael Kapkenduiywo Secondary 1,100.00

Christ the Kin High- Chepterit 10,000.00

Sambirir Girls High 24,200.00

Holy Trinity Girls’- Kaiboi 20,000.00

Patrician Primary- Kabongo 2,000.00

St. Mary’s Tachasis Girls Secondary

15,700.00

St. Placido Academy 3,000.00

St. Jude Academy-Huruma 10,100.00

St. Peter’s Secondary- Ngoisa 4,311.00

St. Peter-Kapkata 5,000.00

Limnyomoi Primary 800.00

St. Canisius High-Mateget 4,550.00

St. Benedict Seconary- Teber 1,000.00

St. Paul Primary- Kabechei 275.00

St. Patrick Kabirirsus Primary 1,120.00

Kapsergong Primary 550.00

St. Lawrence Academy- Ketigoi 2,000.00

St. John Academy- Setano 450.00

St.James Academy-Enego 250.00

Benedictine Academy-Kabichei 635.00

St. Vincent Academy-Kabirokwo 3,600.00

Ann John Kavuta 1,000.00

Chorwa Primary 1,280.00

St. Teresa Koibarak 5,000.00

Kobujoi Institute 2,300.00

St. Andrew’s Koibarak Secondary 2,010.00

St. Teresa of Avila-Ndalat 38,400.00

St. Augustine Secondary-Emsea 27,730.00

Kipsoen Boys Secondary 15,000.00

Sub-Total 554,114.00

Congregations

Cornelian Carmelite Sisters of Adorable Jesus

4,550.00

A.S.E-Novitiate Community 7,000.00

Carmelite Nuns-Tindinyo 4,000.00

Social Missionary Sisters of Church 2,000.00

Daughters of the Holy Rosary-Langas

1,000.00

Franciscan Sisters of Divine Mercy 3,000.00

Divine Mercy (FCDM) Sisters 500.00

Brothers of St. Joseph Nyeri-Soy Parish 2,000.00

Mary Immaculate Sisters of Nyeri 3,000.00

Sisters of Charity of the Immaculate Conception of IVREA

1,000.00

Page 48: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

48

Apostolic Carmel-Moiben 2,000.00

Little Sisters of St. Francis-Eldoret 1,000.00

Sub-Total 31,050.00

Grand Total 3,670,783.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

1,835,391.00

MILITARY ORDINARIATEParish Kiasi

St. Charles Lwanga - Kahawa Garrison 139,330.00

St. Michael - 21 KR AMISOM 130,000.00

Holy Rosary - Embakasi 93,727.00

Our Lady of Star of the Sea -KN Mtongwe 68,300.00

Mother of Mercy 62,625.00

Saints Peter and Paul - DHQ CAU 61,300.00

St. Ignatius - 7KR AMISOM ( Busar) 56,600.00

St. Michael - AMISOM ( Dhobley) 50,000.00

7KR - AMISOM (Fafadun)

50,000.00

St. Joseph the Worker - Thika 45,650.00

Our Lady of Assumption - MAB 40,500.00

St. Augustine - DSC 37,700.00

St. Ignatius of Loyola - LAB 21,640.00

St. Monica - Moi Bks 21,410.00

Our Lady Queen of Victory - 3KR 13,990.00

St. Raphael - DFMH 13,450.00

St. Michael - 5KR 10,070.00

St. Benedict’s - Garissa Camp 10,000.00

St. Luke - Kenyatta Barracks 9,050.00

St. Peter - 4 Bde 8,150.00

St. Paul - KMA 7,200.00

St. Thomas Aquinas - Kabete 7,000.00

Our Lady of Mt. Carmel - Manda 5,500.00

Our Lady of Consolata - SOI 5,000.00

St. Francis of Assisi - 78 Tank Battalion 3,820.00

Sacred Heart of Jesus - 77 Arty 3,000.00

Jumla 975,012.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC 975,012.00

Page 49: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

49

JIMBO LA HOMA BAYParokia Kiasi

Sacred Heart-Ang’iya 12,000

St. Theresa’s-Asumbi 123,000

St. Paul of theCross-Awendo 25,000

St. Paul’s Cathedral- Homa Bay 101,000

St. Thomas More- Isibania 83,830

St. Michael-Kadem 23,500

St. Theresa’s-Kakrigu 5,000

St. Gabriel Our Lady of Sorrows-Karungu

13,000

St. Charles Lwanga- Kebaroti 20,015

St. Mathias Mulumba-Kegonga 20,045

Our Lady Queen of Martyrs-Kehancha

40,000

Our Lady of Immaculate Conception-Kendu Bay

12,150

St. Mary’s-Mabera 28,900

Martyrs of Uganda-Macalder 30,000

St. Francis of Assisi-Mawego 25,000

Star of the Sea-Mbita 20,000

St. Linus-Mfangano 7,610

St. Joseph-Migori 63,000

St. John Mary Vianney- Mirogi 10,000

St. Peter and Paul-Ntimaru 12,300

St. Francis of Assisi-Nyagwethe 6,200

St. Arnold-Nyalienga 13,225

St. Mary’s-Nyarongi 2,500

Blessed Sacrament-Oriang 8,000

St. Celestino-Oruba 40,000

Holy Spirit-Osogo 20,000

St.Peter’s-Oyugis 84,000

Our Lady of Fatima-Rakwaro 11,800

St. Monica-Rapogi 39,150

St. Bernadette-Raruowa 11,000

St. Mary’s-Ringa 10,000

St. John-Rodi 20,000

Emmaus-Rongo 36,000

Christ the Good Shepherd-Sindo 13,500

St. Joseph-Tonga 10,000

St. Martin De Porres-Ulanda 23,500

St. Mary’s-Uriri 16,550

St. Andrew’s Wandiji 6,000

Institutions

Asumbi Girls’ National High School 33,000

St. Mary’s Girls School Mabera 10,180

St. John’s Minor Seminary-Rakwaro 2,100

St. Mary Gorrety Dede HighSchool-Rakwaro

8,000

St. Vincent Rongo Univerity Chaplaincy

7,250

St. Benedict Parochial Primary-Migori

10,250

St. Joseph Mukasa Mirogi Girls High School

10,000

St. Augustine Mirogi Boys’ High 10,000

St. Josephine Bakhita Girls’ School-Nyalienga

10,010

St. Stephen Angiro Mixed Secondary-Nyalienga

800

St. Augustine Achego Mixed School-Nyalienga

2,270

St. Paul’s Ligisa Boys’ Secondary-Nyalienga

1,600

St. Pauls Catholic Educational Centre-Homa Bay

2,000

Nyabera Girls’ School-Sindo 2,000

Moi Girls’ Secondary- Sindo 8,000

St. Mary’s Academy-Sindo 700

Ragwe Secondary-Sindo 1,000

Nyakia Secondary-Sindo 600

St. Paul Ageng’a Secondary-Macalder

3,000

Page 50: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

50

St. Gemma Girls Sec. School - Macalder

3,300

YCS Moi Nyatike Boys-Macalder 1,800

St. Francis Kibuon Secondary-Macalder

1,000

St. Gabriel’s Godkwach-Macalder 1,050

St. Gabriel’s Primary-Macalder 2,650

St. Gorrety Mikei High School-Macalder

3,000

St. Jacob Kolanya Secondary-Macalder

1,100

St. Puis Got Orango Secondary-Macalder

500

St. Thomas Diruma Secondary-Macalder

1,000

St. Sabianus Owich Secondary-Macalder

500

St. Claudio Okenge Secondary-Macalder

1,500

Nyakweri Primary-Macalder 350

St. Peter’s Ofwanga Secondary-Rongo 4,000

Minyenga Secondary-Rongo 300

St. Joseph Tuk Jowi Girls’ Secondary-Rongo

3,000

Kangeso Secondary-Rongo 500

Nyagwethe Secondary 1,000

Obanga Secondary-Nyagwethe 2,000

Pini Franco Polytechnic-Nyagwethe 1,000

Mr. Pius O. Sakwenda’s family-Nyagwethe

350

YCS Obanga Secondary-Nyagwethe 300

St. Monica Devotional Group Nyagwethe

2,150

Catechist-Nyagwethe 820

St. Ann Devotinal Group-Nyagwethe 3,000

St. John’s Koyombe Secondary-Nyagwethe

500

Mr. Maurice Opinde’s family-Nyagwethe

500

Mr. Sabiano Otiwa’s family-Nyagwethe

400

CWA-Nyagwethe 1,000

Nyagwethe Primary School 1,200

Youth Group-Nyagwethe 700

Sikri TTI for the Blind andDeaf-Oyugis

10,000

Daughters of Our Lady of Holy Rosary Sisters-Oyugis

1,000

Brothers of OLM-Sikri community 1,000

Brothers of OLM-Oyugis community 1,000

Felician Sisters-Oyugis 2,000

St. Joseph Ombo Hospital 34,500

St. Joseph Rapogi Boys’ 17,615

Mawego TTI 1,720

St. Charles Lwanga Kebaroti Primary 2,000

St. Charles Lwanga Kebaroti Secondary

4,695

St. Cecilia Kebaroti Primary 3,185

Santa Lucia Kebaroti Academy 1,000

Nyabosongo Bena Academy-Kebaroti 3,015

St. Monica Remanyanki Primary 2,555

Fr. Scheffer Boy’s Primary Boarding School, Asumbi

10,000

St Joseph’s Boys 5,000

St Gabrielle Gwasi Girls 5,000

Jumla 1,319,235

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

598,217

Page 51: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

51

JIMBO LA KAKAMEGAParokia Kiasi

St. Joseph’s Cathedral Kakamega 206,015

St. Peter’s Mumias 185,925

St. Joseph the Worker Shibuye 183,160

Christ the King Amalemba 162,470

All Holy Angels Lutonyi 155,915

St. Pius X Musoli 122,060

St. Augustine Eregi 120,000

St. Paul’s Ejinja 115,000

The Sacred Heart Mukumu

108,000

Our Lady of the Holy Rosary Shiseso

97,563

St. Agnes Mukulusu 95,445

St. Kizito Lusumu 82,574

St. Charles Lwanga Hambale 80,000

St. Marks Nzoia 75,000

Our Lady of Assumption Mau-tuma

71,550

St. Joseph’s Kongoni 70,400

Our Lady of the Assumption Shitoli

69,990

St. Paul’s Erusui 68,650

St. Joseph’s Luanda 67,333

Our Lady of the Immaculate Conception Chimoi

65,550

St. Anne Eshisiru 65,530

St. Theresa’s Malava 59,670

St. Caroli Lwanga Lutaso 56,260

St. Ursula Chamakanga 53,220

Our Lady of the Nativity Mutoma 50,000

St.Luke’s Bumini 47,325

St. Philip’s Mukomari 46,810

St. Mathias Mulumba Matunda 45,000

Holy Family Lubao 43,000

St. John the Baptist Likuyani

42,830

St. Xavier Shikoti 40,060

Holy Trinity Soy 35,307

Holy Spirit Bulimbo 35,190

St. Charles Lwanga Chekalini

33,500

Our Lady of Assumption Indan-galasia

21,800

Our Lady of Fatima Buyangu 15,440

Corpus Christi Irenji 15,240

St. Joseph’s Shirotsa 15,000

Holy Cross Emalindi 10,200

Our Lady of Consolata Bukaya 9,400

St. Patrick Lufumbo 8,640

Sub-Total 2,953,022

Taasisi Nyingine

Eregi TTC 3,000

MMUST Chaplaincy 71,757

Mukumu Hospital 8,200

Mumias CTC 10,200

Bishop’s House Mukumu 4,570

Sub-Total 97,727

Secondary schools

St. Gerald Injira 4,000

St. Elizabeth Bumia 5,000

St. Joseph Ortner Girls’ 10,000

St. Mary Goretti Shikoti Girls’ 59,265

St. John’s Shinoyi 6,300

St. Bonventure Shimanyiro 5,000

St. Francis Xavier Shikoti 10,800

St. Ursula Chamakanga 15,000

Our Lady of Nativity Mutoma 5,000

St. Teresa Bumini 3,850

St. Mary’s Mumias Girls 49,855

Page 52: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

52

St. Peter’s Seminary 9,590

St. Angela Mumias School for the Deaf

24,700

St. Vincent Butende 7,100

St. John’s Museno 6,200

St. Dennis Munjiti 4,000

Eregi Girls’ 80,000

St. Peter’s Mumias Boys’ 28,500

St. Teresa Eshisenye Girls’ 1,500

St. Gerald Shianjero 7,000

St. Gabriel Isongo 8,400

St. Charles Lwanga Koromaiti 8,000

St. Beda’s Bukaya 12,300

St. Teresa’s Emukhuwa Girls’ 1,500

St. Clare’s Maragoli Girls’ 16,000

St. Francis Imalaba 6,700

St. Teresa Itete 23,400

St. Luke’s Lumakanda 23,500

Kaptik 8,000

Eshibinga 5,000

St. Monica Lubao 20,000

St. Anne’s Buyangu Girls’ 5,000

St. Augustine Roasterman 12,785

Malinya Girls’ 4,800

Holy Cross Injira 10,000

St. Joseph’s Shichinji 6,165

Kivaywa Boys’ 830

St. Francis Shipalo 4,000

St. Joseph’s Shirotsa 4,000

St. Anne’s Ikuywa 3,000

Holy Cross Emalindi 10,100

St. Joseph’s Malimili 3,000

St. Anne’s Musoli Girls’ 50,000

Musingu Boys 1,200

St. Mathias Kholera Boys 11,000

St. Monica Soy 2,300

St. Michael Kilimani 1,500

St. Charles Lwanga Mukumu 10,000

St. Bakhita Ebusiratsi 35,000

St. Clare’s Luanda 2,150

Holy Family Musembe 15,000

St. Joseph’s Kogo 7,300

St. Patrick’s Ikonyero 4,000

Eshisiru 6,330

Bulimbo Girls’ 25,000

St. Elizabeth Lureko 4,000

St. Ignatius Mukumu Boys’ 40,000

St. Agnes Shibuye Girls’ 60,000

St. Joseph’s Girls Kakamega 21,000

St. Anthony Kagoi 12,850

St. Francis Majengo 2,000

Bishop Sulumeti Lugari 32,920

St. Cecilia Lufumbo 5,000

St. Henry Saisi Girls’ 7,000

Saisi Girls’ 6,150

Bishop Njenga Girls’ 70,000

ACK Shinamwenyuli 650

St. Philip’s Mukomari grls 15,000

The Sacred Heart Mukumu Girls 154,000

St. Augustine Milimani 8,000

St. Mukasa Boys’ Chimoi 6,000

St. Mukasa Girls’ Chimoi 6,120

Immaculate Heart Lugari 9,000

St. Joseph’s Shirotsa 4,000

St. Benedict Lugulu 5,000

Holy Cross Sango Girls’ 5,400

St. Joseph’s Lukongo 3,755

St. Paul’s Emulakha 3,000

St. Joseph’s Lumino 3,000

St. Michael Kilimani 3,000

St. Teresa Mukunga 2,000

St. Joseph’s Nyorolis 6,000

St, Anne’s Nzoia Girls’ 25,000

St. Peter’s Moi’s Bridge 3,500

Page 53: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

53

St. Benedict Mukoye 3,100

Sub-Total 1,236,365

Primary schools

Mirembe 2,000

St. Albert Shibuye 6,000

St.Angela Bulimbo 3,700

St. Michael Irenji 1,550

St. Gerald Injira 4,000

Lwanda 10,875

Trinity Academy 1,555

St. Peter’s Mautuma 2,300

Maraba 5,000

Kilagiru 2,365

Shikulu 2,000

St. Mary’s Shibuye 3,000

St. Mary’s Mukumu Girls 12,000

Moi’s Bridge Matunda 3,000

Sacred Heart Itenyi 2,600

Ebushibo 3,000

St. Christopher Malimili 4,850

St.Anne’s Mundulu 3,675

St. Michael Chemulele 1,210

Mary Immaculate 3,230

St. Mathew’s Bukhulunya 5,000

St. Christopher Enyapora 11,000

St. Emmanuel Masasuli 2,120

Chirobani Primary 1,330

St. Ursula Museno 4,000

Shikoti Mixed 1,700

Albartos 5,725

St. Angela Eregi 4,500

St. Kizito Shihingo 2,000

Shisenya 1,450

St. Mary Immaculate 400

St. Paul’s Shivakala 2,300

St. Paul’s Shibuye 2,000

St. Louis Mautuma 1,300

St. Mary’s Mautuma 4,000

Itubini 2,000

Shivakala 2,300

St. Kizito Bukusi 3,000

Baharini Pri. Chekalini 1,070

St. Patrick’s Sisokhe 4,335

Simboyi 1,160

Omunoywa 1,450

Adolph Ludiga 500

St. Francis Hambale 24,500

Munasio 1,200

St. Lawrence Ichina 1,400

St. Joseph’s Lusumu 3,000

St. Thomas Musoli Mixed 2,000

St. Peter’s Boys Mumias 25,150

Namelenge 4,520

Kholera 3,200

St. Clare’s Musoli 5,300

Imani Springs Academy 5,000

St. Augustine Lubao 3,000

Eregi Mixed 1,700

St. Gerald Sasala 5,000

St. Peter’s Matundu 2,850

Ebukuluti 1,000

St. Bernard Chamakanga 1,350

St. Patrick’s Mwilitsa 3,310

Sabane 1,775

St. Philip’s Mukomari 1,500

Shirotsa 2,200

Ivono 1,200

Notre Dame 3,000

Ikonyero 1,800

Page 54: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

54

St. Anne’s Mumias 61,450

Chamakanga Special School 1,350

St. Peter’s Ebunayi 3,400

Sub-Total 313,705

Other institutions 97,727

Jumla 4,599,819

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

2,000,000.00

JIMBO LA KITALEParokia Kiasi

Christ the King 177,480.00

Immaculate 68,766.00

Kipsaina 68,300.00

Kibomet 48,000.00

Chepchina 43,400.00

Kwanza 43,000.00

Kachibora 42,055.00

Kiminini 40,400.00

Kaplamai 38,000.00

Sirende 35,290.00

Kapenguria 35,000.00

Endebess 34,000.00

Kolongolo 30,000.00

St. Joseph’s 30,000.00

Ortum 24,250.00

Mbara 18,000.00

Saboti 17,000.00

Chepnyal 15,450.00

St. Kizito Matisi 15,320.00

Tartar 15,000.00

Amakuriat 13,000.00

Makutano 12,800.00

Kacheliba 12,155.00

Chepareria 12,000.00

Kaptabuk 11,100.00

Suwerwa 11,000.00

Sina 7,185.00

Kabichbich 1,000.00

P’Sigor 600.00

Lomut -

Jumla 919,551.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

307,520.00

JIMBO LA BUNGOMAParokia Kiasi

Amukura 74,115.00

Buhuyi 67,000.00

Bukembe 80,000.00

Bungoma 862,000.00

Busia 127,370.00

Butula 46,250.00

Butunyi 170,000.00

Chakol 105,000.00

Chebukaka 32,500.00

Chelelemuk 40,000.00

Page 55: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

55

Dahiro 71,950.00

Kabula 102,000.00

Kaptalelio 70,000.00

Kibabii 661,520.00

Kibuk 50,750.00

Kimatuni 220,000.00

Kimwanga 50,008.00

Kimilili 97,150.00

Kisoko 188,685.00

Kochoilia 80,000.00

Magombe 50,000.00

Misikhu 332,100.00

Mundika 93,505.00

Myanga 45,825.00

Naitiri 61,000.00

Nangina 150,000.00

Ndalu 65,000.00

Port Victoria 50,000.00

Samoya 72,460.00

Sikusi 46,000.00

Sirimba 51,405.00

Sirisia 55,000.00

Tongaren 160,020.00

Webuye 204,679.00

Institution

Sacred Heart-Wamalwa Kijana High School

12,000.00

St. Anne’s Kisoko Girls High School

51,545.00

Kisoko Girls Primary School 3,000.00

Little Sisters of St Francis-Kisoko Convent

3,600.00

St. Anne’s- Mukwa Secondary 5,000.00

Mukwa Primary School 1,400.00

Nalondo RC Primary School 1,800.00

St. Mary’s Kibabii High School 56,250.00

St. Mary’s Mundika Boys High 3,000.00

St. Mathias Secondary-Busia 2,000.00

St. Monica-Bukokholo Girls’ High 10,000.00

St. Anthony-Sirisia Secondary 3,000.00

St. Mary Immaculate Mayekwe Secondary

2,000.00

St. Paul-Lwandanyi Primary 2,000.00

St. Charles Kaptoboyi Secondary 500.00

St. Charles Kaptoboyi Primary 500.00

St. Joseph’s Kakala Primary 1,500.00

St. Joseph’s Chemses Primary 500.00

St. Cecelia -Nangina Girls Sec 85,000.00

St. Bennadete-Samoya Primary 2,500.00

St. Mary-Magadeline Siloba RC Secondary

3,000.00

St. Francis of Assisi-Wekelekha Primary

4,120.00

St. Mary-Magadeline Siloba RC Primary

2,150.00

St. Jude-Muanda RC Primary 1,000.00

St. Thomas-Samoya Secondary 6,070.00

St. Jude-Muanda RC Secondary 4,000.00

St. Agnes-Biliso Primary School 1,500.00

St. Elizabeth-Tulumba Primary 1,000.00

St. Antony-Walala Primary 2,000.00

Lwanya Girls Secondary School 10,000.00

Bwake RC Primary School 950.00

Bwake RC Secondary 2,700.00

Sirare RC Primary School 1,000.00

Sirare RC Secondary School 3,000.00

Luuya RC Primary School 1,400.00

Luuya Girls Secondary School 5,000.00

Lurende Secondary School 1,000.00

Lurende RC Primary School 1,000.00

Mabanga RC Primary School 3,755.00

St. Joseph’s-Nalondo Boys Second-ary

7,000.00

Nangili RC Primary School 2,000.00

St. Joseph’s-Nalondo Girls Sec 5,000.00

Page 56: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

56

St. Christopher-Mabanga Girls Secondary

50,000.00

Bishop Phillip Anyolo- Kakamwe Secondary

6,300.00

Chebukwa Primary School 2,500.00

Bukusu Primary School 1,500.00

Khalaba Primary School 710.00

Kibabii Boys’ Primary School 3,000.00

Cardinal Otunga Girls’ Secondary 8,885.00

Chemwa Primary School 3,940.00

St. Jude-Lumasa Primary School 500.00

Namilkelo Primary School 2,000.00

Sango Primary School 2,200.00

Netima Primary School 1,200.00

Kabubero Primary School 2,400.00

Sikata Primary School 2,600.00

Namuninge Primary School 1,000.00

Bosio Primary School 5,000.00

Miluki Primary School 1,200.00

St. Paul’s-Miluki Girls’ Secondary 4,300.00

Chema Academy 18,125.00

Assumption Sisters-KibukConvent

1,500.00

St. Mary’s-Kibuk Girls’ Secondary 10,000.00

St. Agnes-Lapkei Primary School 4,000.00

St. Peter’s-Cheptoon Primary 500.00

St. Jude’s-Kaimugul Primary 1,000.00

St. John’s-Chepyuk Secondar 2,000.00

St. Teresa’s -Cheptoror Secondary 1,200.00

St. Martin’s-Chepyuk Primary 1,000.00

St. Peter’s-Cheptonon Secondary 2,000.00

St. Jude’s-Kaimugul Secondary 500.00

Tendet Primary School 500.00

Sacho Primary School 500.00

Nomorio Primary School 1,000.00

Kapkuseng Primary School 1,000.00

Kashock Primary School 1,000.00

St. Augustine Sec-Nomorio 1,000.00

Chebich Primary School 1,000.00

St. Peter’s-Cheromis Primary 1,000.00

Bumala RC Primary School 2,200.00

Makwara Primary School 200.00

St. Mary’s-Siribo Mixed Sec 5,000.00

St. Romano-Tingolo Mixed Sec 5,000.00

St. Romano-Primary School 1,500.00

Buhuyi Secondary School 3,360.00

Isongo Primary School 500.00

St. Mary’s-Okatekok Secondary School

3,200.00

St. Augustine-Nasira Secondary School

7,330.00

St. Joseph’s-Segero Secondary School

7,000.00

St. Mary Immaculate -Urban Secondary

7,000.00

St. Paul’s-Elwanikha Girls Sec 2,000.00

St. Mary-Assumpter Mabunge Secondary

1,000.00

St. Peter Khwirare Secondary 1,005.00

St. Charles Lwanga-Emukhuyu Secondary

1,500.00

St. Mary Buyofu Secondary School 2,175.00

St. Agather-Kajoro Primary-Kisoko

500.00

St. Martin-Special Sch-Kisoko 1,650.00

St. Charles Lwanga Emukhuyu Primary-Kisoko

1,700.00

St. Joseph’s Primary-Kisoko 9,000.00

St. John-Sibembe Primary-Kisoko 3,200.00

St. Francis-SegeroPrimary-Kisoko 5,400.00

St. Agnes Manyole-Primary 1,350.00

St. Mary Madibo Pri-Kisoko 2,000.00

St. Peter’s-Khulwanda Pri-Kisoko 250.00

St. Veronica- Indoli Pri -Kisoko 1,000.00

St. Peter’s-Nasira Primary-Kisoko 1,000.00

St. Francis-Makongeni Pri-Kisoko 1,570.00

Page 57: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

57

St. Mary Assumpter Mabunge Primary-Kisoko

1,000.00

St. Joseph’s Buyofu Pri-Kisoko 760.00

St. Peter-Khwirale Primary-Kisoko 2,400.00

St. Paul-Elwanikha Pri-Kisoko 1,500.00

St. Alex-Sidende Primary-Kisoko 1,500.00

St. Teresa-Busidibu Primary-Kisoko

1,500.00

St. Peter’s-Sunshine Academy Okatekok

2,000.00

St. Philomena Academy Okatekok 1,100.00

St. Teresa Academy- Okatekok 500.00

St. Clare Academy- Madibo 500.00

St. Benedict Academy-Mungatsi

3,000.00

St. Monica-Chakol Girls Sec 11,620.00

St. Teresa-Chakol Girls Primary 10,000.00

St-Thomas-Chakol Boys Primary 8,110.00

St. John’s Alupe Secondary School 7,500.00

St. Joseph Chakol Secondary 5,255.00

St. Paul-Okokor Primary School 4,165.00

St. Lawrence-Ojaamong Primary 4,000.00

St. Paul-Olepito Primary School 3,800.00

St.Francis of Asis-Asing’e Sec 3,500.00

St. Mary-Otimong Primary 3,370.00

St. Saverio-Ong’aroi Primary 3,000.00

St. Marm-Among’ura Secondary School

3,000.00

Alupe University College 2,100.00

St. John Bosco Alomodoi Primary 2,000.00

St. Magadeline-Apegei Primary 1,730.00

St. Peter-Ojaamong Secondary 1,630.00

St. James-Omoloi Primary School 1,110.00

St. Francis of Assisi-Okame Sec 1,000.00

St. Festus-Ong’ariama Primary 1,000.00

St. John-Bosco-Alupe Primary 1,000.00

St. Magadeline-Ongorom Primary 1,000.00

Keriamata Primary School 850.00

St. Jude-Okerebwa Primary School 600.00

St. Karoli Goria Primary School 500.00

St. Anne-Okiporo Primary School 415.00

Akites Primary School 200.00

Ikonzo Secondary School 10,000.00

St. Austine Kingandole Secondary 5,500.00

St. Augustine Boys Butunyi 3,250.00

St. Kizito-Busire Primary 2,640.00

Immaculate Heart Bumala 2,000.00

St. Siomn Elunyiko Primary 2,000.00

St. John Bosco-Butunyi Mixed Pri 1,500.00

St. Jude-Khunyangu Primary 1,300.00

St. Joseph-Bumutiru Secondary 1,050.00

Namwitsula Primary School 1,020.00

St. Melitus Saka Primary School 1,000.00

Butunyi Vocational Training 1,000.00

St. Timothy Bumutiru Primary 1,000.00

Buriya Primary School 1,000.00

St. Teresa Neela Primary School 1,000.00

Kingandole Primary School 1,000.00

St. Lazaru -Ikonzo Primary 1,000.00

St. Christopher Emagombe Pri 1,000.00

St. Francis Masebula Secondary 1,000.00

Bishop Stam Secondary School 1,000.00

St. Michael Musoma Primary Sch 900.00

Burinda Primary School 500.00

St. Andrew Sikoma 500.00

Bukhwaku Primary School 500.00

Bumala Township 200.00

Our Lady of Assumption-Khacho-nge Girls

6,400.00

St. Emmanuel Miruri Secondary 1,500.00

Chebukaka Girls Primary School 2,250.00

Chebukaka Boys Primary School 2,800.00

Matibo RC Primary School 3,620.00

St. Thomas Aquinas Kitayi Pri 2,700.00

Page 58: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

58

Maloho RC Primary School 2,150.00

Nabeki RC Primary School 800.00

Misiri Primary School 1,050.00

Our Lady of Peace-Chebukaka Primary School

5,000.00

St. Joseph Khachonge Primary 3,500.00

Sikimbio RC Primary School 1,500.00

KMTC Sichei 200.00

Sichei Primary School 600.00

St. Elizabeth-Lunao Secondary 18,000.00

Bishop Atundo-Kimaeti Secondary School

4,000.00

St. Peter’s Namaika Secondary l 2,210.00

St. Anthony-Tulukuyi Secondary 1,960.00

St. Stephen Secondary - Kimaeti 1,500.00

St. Joseph’s-Bukirimo Secondary 1,135.00

St. Jude-Napara Girls Secondary 98,600.00

Mt. Carmel Girls Secondary 10,000.00

Kibabii Diploma Teachers College 1,400.00

St. Peter’s-Namaika Primary 650.00

St. Denis-Libolina Special School 2,000.00

St. Stephen Primary-Brothers 1,650.00

St. Anthony- Tulukuyi Primary 1,200.00

Siloba Shine RC Primary School 1,000.00

Myanga RC Primary School 1,250.00

Kimaeti RC Primary School 2,420.00

St. Monica, Kamurumba Primary 2,000.00

Lunao Primary School 2,600.00

St. Stephen, Chiliba Secondary 2,700.00

St. Teresa, Girls High-Kimilili 3,000.00

St. Jan High School-Kimilili 1,200.00

St. Joseph Kamusinde High School-Kimilili

500.00

St. John High Buko-Kimilili

3,500.00

St. Luke Kimilili High School 20,000.00

St. John Buko Primary School 1,500.00

St. Joseph-Kimilili Primary 5,000.00

St. Benedict Primary-Kimilili 1,000.00

Our Lady of Lourdes Primary-Kimilili

1,000.00

St. Joseph’s-Kamusinde Primary 3,000.00

St. Antony-Matili Primary School 1,500.00

Farcon Academy-Kimilili 2,000.00

St. Anne, Royal Academy-Kimilili 1,000.00

Immaculate Academy-Kimilili 1,500.00

Ng’oli Primary-Kimilili 500.00

Ekisegere Primary School 1,700.00

St. Mary’s-Osajai Primary School 300.00

Koruruma Primary School 1,700.00

Kajei Primary School 500.00

Opeduru Primary School 1,000.00

Kapina Primary School 500.00

Akudiet Primary School 1,600.00

Malaba Township Primary School 2,750.00

Okuleu Primary School 700.00

Kasogol Kapel Primary School 1,750.00

Mother Kevin Primary School 22,000.00

Bungoma Prisons 1,200.00

St. Bridgid Nangwe Girls Secondary School

2,300.00

Buhuyi Primary School 4,000.00

Musibiriri Primary School 600.00

St. Ignatius-Esirisia 4,000.00

Bishop Sulumeti Girls Secondary 7,675.00

St. Martin SecondarySchool-Chelelemuk

1,300.00

St. Elizabeth, Kabukuri 2,000.00

St. Antony-Akabuit Girls Secondary School

1,500.00

St. Benard, Kakurikit 5,000.00

Kaejo Primary School 500.00

St. Anne, Kakapel Primary School 1,675.00

Kabukui Primary School 1,000.00

Kakurikiti Primary School 500.00

Kakameri Primary School 1,000.00

Page 59: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

59

St. Luke Special School-Kakameri

1,400.00

Machakha Primary School 1,000.00

Mwari Primary School 2,000.00

Chelelemuk Girls Primary School 1,300.00

Chelelemuk Boys Primary School 1,250.00

St. Mathew Primary School 900.00

St. Charles-Okanya Samoya 1,200.00

Asiriam Primary School 1,000.00

St. Jude-Syoya Primary School 1,400.00

St. Paul-Wamunyiri Primary 1,700.00

St. Peter’s Mwiruti Primary l 2,000.00

St. Charles Lwanga Talitia Primary 950.00

St. Mary’s Mukhuma Primary 2,850.00

St. Peter’s Mwiruti Secondary 4,650.00

St. Joseph Secondary Sch-Bulondo 2,400.00

St. Ann Polytechnic-Bulondo 340.00

St. Mary Kamba Primary School 1,200.00

St. Jude Luyekhe Secondary School 580.00

St. Jude Luyekhe Primary School 1,305.00

ERSF Namwacha Secondary 1,000.00

St. Anne Wamumali Primary 1,500.00

St. Elizabeth Malinda Secondary 3,270.00

St. Elizabeth Malinda Primary 1,400.00

St. Mary Magadeline Secondary 2,000.00

St. Patrick Lukusi Primary School 800.00

St. Antony Naburereya Primary 500.00

St. Teresa Sang’alo Primary School 2,405.00

St. Paul Shiangwe Primary School 550.00

St. Paul Shiangwe Girls Secondary 1,190.00

St. Patrick Naitiri Secondary 2,000.00

St. Monica, Kamurumba 2,000.00

Tulukuyi RC Primary School 1,300.00

Napara RC Primary School 1,120.00

St. Stephen Chiliba Primary 1,000.00

Namaika RC Primary School 1,000.00

Sihilila RC Primary School 800.00

Siloba RC Primary School 1,000.00

St. Elizabeth BitoboSecondary 2,000.00

St. Anthony Tulukuyi Secondary 600.00

St. Elizabeth Lunao Secondary 16,620.00

St. Marys Mukhuma Secondary 10,000.00

St. Peters Sang’alo Secondary 5,000.00

St. Mary’s Kamba Secondary 2,000.00

St. Anne Sang’alo Institute 2,000.00

Apokor Primary School 1,000.00

Kochek Primary School 2,000.00

Katanyu Primary School 200.00

St. Peters Katanyu Secondary 800.00

Kamolo Primary School 1,600.00

St. Pius Secondary School 1,000.00

Kidera Primary School 500.00

Kamarinyang’ Primary School 770.00

Sidelewa Primary School 2,000.00

St. Jude Onyunyuri Secondary 600.00

St. James Kwang’amor Secondary 5,545.00

St. Patrick Kwang’amor Primary 1,500.00

Alexanda Papa Primary School 2,000.00

St. Michael Apatit 2,000.00

Lupida Primary School 1,000.00

Lupida Secondary School 3,200.00

St. Peter Tulienge 1,000.00

Akoret Primary School 1,450.00

Kamunuoit Primary School 700.00

St. Patrick Busibwabu 2,000.00

St. Teresa Busibwabu 1,500.00

St. Mary’s High School-Webuye 20,000.00

St. Mary’s Kibabii Girls Primary 5,500.00

St. Mary Magadeline Kimatuni Secondary

11,500.00

St. Anthony Mateka Secondary 4,800.00

St. Paul Lubunda Primary School 3,100.00

St. Mary Magadeline Kimatuni Primary

3,010.00

Page 60: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

60

St. Mary Namatotoa Primary 3,000.00

St. Teresa Tabuti/Sudi Primary 2,700.00

St. Stephen Buloosi Primary 2,450.00

St. Mary Namatotoa Secondary 2,300.00

St. Joseph’s Lumboka Seconadry 2,000.00

St.Peter’s Syekumulo Secondary 2,000.00

St. Veronica-Masuno Primary School-Kisoko

1,300.00

Mungore Girls Secondary School 1,210.00

St. Joseph’s Lumboka Primary 1,100.00

St. Jude Namanze Primary School 1,100.00

St. Bartholomayo, Burangasi Primary School

1,000.00

St. Wilfrida Mulukoba Primary 1,000.00

St. John Nakholo Primary School 600.00

St. Aquinas Mateka Preparatory 500.00

St. Peter’s Syekumulo Primary 500.00

Our Lady of Mercy, Chebukaka Girls

20,000.00

St. Joseph’s Primary School-Busia 22,655.00

St. Andrew Bulanda Primary 10,120.00

St. Teresa Primary School-Busia 9,100.00

Our Lady of Mercy Secondary School-Busia

8,000.00

St. Mary ECD/Hostel-Busia 8,000.00

St. John the Baptist Mabale Secondary School

5,300.00

St. Benardette Ojamii 2,455.00

St. Rose Mabale Busia Primary 3,100.00

St. Paul Amerikwai Primary 2,000.00

St. Luke Amoni Primary School 1,550.00

St. Peter’s Bwamani Primary 350.00

St. Anne’s Institute of Science & Technology

2,000.00

St. Mary’s Kamba Secondary 800.00

St. Peter’s Secondary School 5,000.00

St. Martin Primary -Mwibale 1,000.00

St. Martin Secondary -Mwibale 17,000.00

St. Sarah Namisi Secondary School 1,450.00

Chesito Primary School 285.00

Kaptalelio Secondary School 1,000.00

Kaptalelio Primary School 1,300.00

Kongit Secondary School 2,050.00

Kongit Primary School 2,700.00

Chesito Secondary School 515.00

St. Peter’s Nakalira Secondary 10,000.00

St. Thomas Boys Secondary School-Misikhu

14,450.00

Holy Family Misikhu Primary 10,000.00

Holy Family Misikhu ECDE 2,060.00

Sacred Heart Misikhu Primary 7,500.00

Makemo Primary School 1,000.00

St. Francis Makemo Secondary 7,000.00

St. Stephen Bugwanga Primary 2,400.00

St. Michael Namable Secondary 500.00

St. Agnes Bunyala Girls Secondary 26,000.00

St. Peter’s Makunda Secondary 3,000.00

St. Henry Rugunga Primary 2,000.00

St.Joseph’s Busagwa Primary 3,185.00

St. Nicholas Mundika “B” Primary 2,000.00

St. Margaret Mubwaya Primary 1,000.00

St. John Machakha Secondary 2,000.00

St. Peter’s Buyosi 4,600.00

Lung’a Primary School 1,620.00

St. Jude Mundika Boys Primary 1,600.00

Mundika Girls’ Primary School 1,685.00

Grace & Compassion Primary 800.00

Igero Primary School 700.00

Igero Secondary School 3,000.00

Buyende Primary School 900.00

Buyende Secondary School 800.00

Mujuru Primary School 1,000.00

Mujuru Secondary School 1,050.00

Bukalama Primary School 3,000.00

Murende Secondary School 2,000.00

Page 61: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

61

Murende Primary School 5,500.00

St. John Montessori 1,000.00

Maina PAG Primary School 1,430.00

St. Mary’s Mabusi RC Primary 370.00

St. Paul’s Mbirira Primary School 2,200.00

St. Anne Siangalamwe Primary 1,700.00

St. Elizabeth Binyenya Primary 500.00

St. Mary’s Narati RC Primary 450.00

St. Mary’s Mwikhupo Secondary 1,500.00

Bishop Atundo Girls Mabusi 9,030.00

St. Joseph’s Binyenya Secondary 1,500.00

Tongaren Mixed DEB Secondary 2,800.00

St. Augustine Lukhuna Girls’ Sec 13,000.00

St. Anne’s Siangalamwe Secondary 3,000.00

Tongaren Vocational Training Centre

740.00

St. Teresa Kabula Secondary 20,000.00

St. Monica Mungeti \Primary 3,000.00

Buema Primary School 1,500.00

St. Louis Butula Boys High School 10,000.00

St. Clare Butula Girls Secondary 5,000.00

St. Mary Butula Girls Primary 5,050.00

St. Joseph Butula Boys Primary 1,000.00

St. Catherine Special School 3,650.00

St. Paul Bukhuma Mixed Secondary

5,000.00

Madola Primary School 2,200.00

Bwaliro Primary School 500.00

Masendebale Primary School 1,500.00

Elukhari Primary School 500.00

Bwaliro Girls Secondary School 500.00

Bukati Primary School 1,000.00

Mung’abo Primary School 500.00

Enakaywa Primary School 500.00

St. Mary’s Butula Hostel 1,000.00

St. Peter’s Bumala ‘B’ Mixed Secondary

7,500.00

St. Joseph Bunambobi RC Primary 10,521.00

St. Monica Mukuyuni RC Primary 4,600.00

Lwanja RC Primary School 3,140.00

St. Kizito Mayanja RC Primary 1,850.00

Kimwanga RC Primary School 3,365.00

St. Jude Nabuyeywe RC Primary 3,000.00

St. Veronica Tunya Primary School 1,000.00

Khasolo RC Primary School 1,480.00

Nangata RC Primary School 900.00

Nakalira RC Primary School 800.00

St. Peter Siboti RC Primary School 500.00

Tabala RC Primary School 600.00

Kimwanga School for the Deaf 500.00

Nakhwana RC Primary School 500.00

Carmel View Pre-Primary & Primary School

10,000.00

St. Kizito Mayanja Secondary 15,000.00

St. Peter Siboti Secondary School 5,300.00

St. Paul Bunambobi Sec 1,400.00

St. Michael Nakhwana Secondary 1,000.00

Musakasa Technical Training Institute

3,100.00

Apostolic Carmel Sisters-Kimwanga

10,000.00

Our Lady of Mercy-Busia 10,000.00

St. Maurice Namboko Secondary 1,120.00

Eluuya Friends 2,000.00

St. Angela Academy Primary School Webuye

7,131.00

St. John Primary Lutungu Webuye 320.00

St. John Sec. Lutungu Webuye 1,180.00

St. Monica Primary School Murumba, Webuye

500.00

St. John the Baptist Convent Webuye

2,000.00

St. Jude Syoya Secondary Kabula 2,000.00

St. Antony Naburereya Sec, Kabula 25,000.00

Jumla 6,306,574.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

2,800,000.00

Page 62: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

62

JIMBO LA NGONG’Parokia Kiasi

Abosi 10,000

Embulbul 126,870

Enoosupukia 5,650

Entasekera

Ewuaso Kedong 16,015

Fatima 184,150

Kajiado 28,874

Kandisi 10,000

Kibiko

Kilgoris 7,500

Kiserian 93,738

Kisaju 16,310

Lemek 31,200

Lenkisem 7,067

Lolgorien

Loitokitok 49,650

Magadi 11,200

Mashuru

Matasia 53,863

Mulot 40,680

Nairegia Enkare 23,000

Namanga 15,204

Narosura 15,000

St Joseph Cathedral 90,000

Nkoroi 172,800

Noonkopir 80,000

Ololkirikirai 30,000

Ongata Rongai 144,423

Ololulunga 19,000

Rombo

Sultan Hamud 15,000

St Joseph HBVM Narok

St Peter Narok 82,977

Kimana-Christ the King 36,686

Olokurto-St James

Bishop’s office

Jumla 1,455,400

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

606,831.00

JIMBO LA MARSABITParokia Kiasi

Dirib Gombo 15,000.00

Illeret 1,411.00

Karare 26,060.00

Kargi 8,050.00

Korr 45,590.00

Laisamis 18,650.00

Loiyangallani 66,150.00

Maikona 25,000.00

Marsabit Cathedral 70,215.00

Moyale 64,000.00

North Horr 14,850.00

Dukana 14,200.00

Kalacha 18,000.00

Logologo 11,875.00

Jumla 399,051.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

399,051.00

Kiasi remitted to the CJPC

Page 63: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

63

JIMBO LA MALINDIParish/ Institution/ Office Kiasi (Kshs.)

Christ the Sower Parish, Mpeketoni

164,820

St. Francis Xavier’s Parish, Kisumu Ndogo

160,800

St. John the Evangelist, Hindi 135,390

St. John’s Parish, Watamu 134,170

St. Mary’s Assumption Parish, Hongwe

75,770

St. Anthony’s Cathedral Parish, Malindi

74,387

St. Paul’s Parish, Gongoni 70,405

St. Charles Lwanga’s Parish, Muyeye

55,580

St. Joseph Freinademetz Parish, Witu/ Kipini

36,200

St. Francis of Assisi Parish, Baharini

34,500

Mary Mother of Jesus Parish, Lamu

28,290

St. Joseph the Worker Parish, Wema

24,050

St. Catherine’s Parish, Tarasaa 21,290

St. Joseph the Worker Parish, Marafa

20,730

St. Mary Helper of Christians Parish, Lango Baya

20,240

Sacred Heart of Jesus Parish, Garsen

18,150

St. Mary’s Parish, Msabaha 17,370

St. Michael’s Catholic Mission, Mida

7,310

Catholic Mission, Mere 6,135

Our Lady of the Holy Rosary Mission, \Chakama

5,000

Blessed Joseph Allamano Mis-sion, Adu

2,800

Bishop’s House, Emmaus

6,000

Pope Francis Rescue Home Staff

3,550

CJPC Malindi Staff and Friends 2,350

Jumla 1,125,287

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

300,000

RELIGIOUS SUPERIORS CONFERENCE OF KENYACongregations Kiasi (Kshs)

Holy Cross Congregation 25,000.00

St. Bridget (Capuchin) 21,210.00

Order of St. Augustine Friars 20,000.00

Consolata Missionaries 20,000.00

Foreign Mission Society of Quebec

18,000.00

Xaverian Brothers 10,000.00

Kiltegan Fathers 10,000.00

Mont Fort Fathers 10,000.00

Camilians/Servants of the Sick 8,000.00

The Marianist 7,500.00

Hospitalar Order of St. John Brothers

5,000.00

Missionaries of The Poor 5,000.00

Society of Africa Missions (SMA)

5,000.00

Redemptorist Fathers 5,000.00

Sacred Heart Brothers 5,000.00

Canosian Fathers 2,000.00

CMM Brothers 2,000.00

Missionaries of Charity Brothers

2,000.00

Jumla 180,710.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC

50,000.00

Page 64: Yaliyomo...yaliyopo kati ya dunia na ubinadamu, uhusiano unaotegemea usimamizi bora wa vitu vyote vilivyoumbwa. (No.13) 8 Hali ya makao yetu sote inatia hofu. Kubadilika kwa hali ya

64

ST.MATTHIAS MULUMBA SENIOR SEMINARY

ST.MARY’S SENIOR SEMINARY, MOLO

ADMINISTRATION POLICE SERVICE

KENYA WILDLIFE POLICE SERVICE

ST. THOMAS AQUINAS SENIOR SEMINARY

KISII UNIVERSITY

St.Matthias Mulumba Senior Seminary 13,420.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC 13,420.00

St.Mary's Senior Seminary, Molo 15,880.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC 15,880.00

Administration Police Service 42,000.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC 42,000.00

Kenya Wildlife Police Service 13,500.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC 13,500.00

St. Thomas Aquinas Senior Seminary 25,000.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC 25,000.00

Kisii University 12,500.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya CJPC 12,500.00