10.b - malkia

6
si story za sembe tu 10

Upload: well-told-story

Post on 25-Mar-2016

243 views

Category:

Documents


5 download

DESCRIPTION

Chapta 10 - Malkia: Si Story za Sembe tu!

TRANSCRIPT

Page 1: 10.b - Malkia

C

M

Y

CM

MY

CY

CMY

K

M10_Pg1.pdf 1 11/11/2010 07:42:14

si story za sembe tu

10

Page 2: 10.b - Malkia

achenikupigana!

leo utakipata!

nishakula!maji yakimwagika hayazoleki!

nini kina-happen?

nilikuwa na maziwa kwa bag yangu na ni huyu ameiiba.

sikuiba, imagine nilikuwa naskia njaa.

hatukula supper jana.

kwetu hatuna dooh mob na tuko wengi. food huwaga kitu light kama sukuma na supu mob. si story za sembe tu. yaani ni food ya kudanganya tumbo, leo niliamka nikiskia njaa , supper ilikuwa supu ya beans.

C

M

Y

CM

MY

CY

CMY

K

M10_Pg2.pdf 1 11/11/2010 07:41:19

11

Page 3: 10.b - Malkia

12

Page 4: 10.b - Malkia

karibu, ni poa mme-come! niko na supprise!

karibu lunch! nimewapikia chapati imepikwa na butter, pilau na nyama mob. mtakunywa maziwa kama drink. tudishi wasee!

maziwa huwa na proteins, vitamins na iron.

ding! do

ng!

ding! do

ng!

surprise!

13

Page 5: 10.b - Malkia

hii food ni poa lakini siwezi i-afford.

ulikuwa uki-afford choku ili uiibe? usilete mchezo kwa chakula.

ulikuwa ukisema? meza food tuone nani anaweza mwengine!

sema kile unataka kusema juu mimi ni m-thin, lakini si kupenda kwangu.

ooh, hutaki kula na unataka vita?

aaai, wasee, acheni kupigana! ni kweli hii food ni expensive, lakini si lazima ukule hivi. unahitaji maziwa na nyama kidogo tu kila siku ili kupata nutrients unahitaji kujenga mwili.

chap!

munch! chap!

boof!

Kwanza, uliniibia maziwa, na saa hizi unajifanya hautaki

kula?

14

Page 6: 10.b - Malkia

shika hii kuku. itakupatia mayai ya kula. then utaweza kupata chicks zingine.

asante malkia!

woooi!

na kakuku kameku-like!

chakula imeenda wapi? ilikuwa ya uncle yako! usijali...

uncle yanguni m-fat, ha-need kukula zaidi!

Bwaar !!

a kpo

op!

KULA CHAKULA KUTOKA KWA MIFUGO...Unakuwanga m-sick kila time? Basi labda ni poa

u-change diet yako! Food yenye inatoka kwa animals kama mayai, nyama na fish, zinaweza kuku-help kupona kama wewe ni m-sick, na pia

kukupatia nguvu.

Benefits za kufuga kuku: Ni rahisi kuchunga, na ni cheap kulisha. Kuku

hutaga mayai yenye unaweza kula ama kuuza. Na dooh zenye uta-get

kwa kuuza mayai, unaweza ku-buy nayo nyama na maziwa!

Pia unaweza fuga sungura ama mbuzi.

KAA RADA NA HEALTH YAKO!Wasee wasipokula animal products za kutosha, wanaweza kuwa wa-sick sana. Products za animals zina ma-vitamins na ma-minerals zenye zitakupe nguvu na afya poa.

Usi-worry ati ni expensive. Ukifuga wanyama home, una-get food virahisi, kwanza hapo tu kwako!

Mayai ni poa kwa eyesight na hukinga msee na heart attacks.

Nyama itakupatia nguvu.

Maziwa ina-strengthen mifupa na meno, na skin yako pia itakuwa poa. Itaku-help kujikinga na ma-sickness mob.

Ukikula poa, hauta-need kuenda kwa doki kila time,so uta-save dooh!

* Si lazima ukule animal products kila time. Ukizipata mara chache tu kwa wiki, uta-cheki difference! 15