16.b – malkia

6
Afya Yako, Haki Yako! 10

Upload: well-told-story

Post on 15-Mar-2016

270 views

Category:

Documents


16 download

DESCRIPTION

Chapta 16 – Malkia: Afya yako,haki yako!

TRANSCRIPT

Page 1: 16.b – Malkia

Afya Yako, Haki Yako!

10

Page 2: 16.b – Malkia

11

Page 3: 16.b – Malkia

MALKIA!

Unaletwa kwa hiii hospitali ya wananchi na uko na

health insurance?!

Hapa hauwezi-treat-iwa vizuri! Wacha nikupeleke kwa private

clinic my daughter.

NURSE!! Kuja unisaidie kumbeba mtoto wangu

nimtoe hapa!

hospitaliuko na

Hapa hauwezi-treat-iwa vizuri! Wacha nikupeleke kwa private

KU-DUFF!!

12

Page 4: 16.b – Malkia

Si uharakishe, hauoni mtoto wangu hajahudumiwa?! Heee! Mtajipanga!

At least tume-manage kuja kwa clinic. Doctor wa hapa ni mzuri sana,

atakupatia very good treatment.

Aki mum kwa ile hosi, hawakuwa wananiskia!

Nilingoja 3 hours kabla daktari afike. Hakunipima,

nurse amenitukana…

eh!wewe tena!

13

Page 5: 16.b – Malkia

Pole sana Stella. Nilikuwa held-up kwa ile hospitali ya

wanachi. Lakini nimefika, hakuna kazi ya maana huko!

Mum, huyu ni yule daktari wa

ile hosi!

Shhh!

Hehe, em, er, sorry daktari, unajua watoto

siku hizi wanapenda kuongea ovyo ovyo…hehe

No problem Stella, naelewa ni madawa

zinamsumbua.

Thank you daktari. Umetusaidia sana. Labda tunaweza patana baadae

tukunywe kahawa au juice?

Ni sawa Stella. Ok, mkihitaji anything, nipigie simu anytime, 24 hours.

Unaezaje ongea hivyo mbele ya daktari? Haujui

yeye ni a very respectable professional?!

14

wananchi.

Page 6: 16.b – Malkia

Niko lucky nina insurance, sasa wale wamebaki kwa public hospital sijui kama walihudumiwa? Wacha

niambie DJB vile ni lazima tu-demand better services kwa hosi zetu!

ya kujua ni ugonjwa gani umepatikana nayo, na ni matibabu gani daktari ana plan kukupa, na matajario ya daktari kulingana na matibabu.ya kuhudumiwa kwa vipoa bila kutukanwa au kudhulumiwa

KaMa uMEdHuLuMiWa HoSi:

0204343074 0728310983 0733689320 [ulizia alice]

Pata info zaidi juu ya hawa wasee kwa

web: www.cfk.unc.edu

Morris Moses foundation ni organization ambae nahimiza wasee wajue haki zao juu ya matibabu kwa hosi.

Medical Practitioners & dentists boardWoodlands Road , P.o box 44839 – 00100 nairobi

Tel: 0722631601

omba copy ya file yako ya matibabuandika barua na complaints zako na u-include copy ya file yako kwa:

Tuma copy ya hii complaint kwa

[email protected]

ili wakusaidie kufuatilia kesi yako.

Pia unaweza kuenda kortini na complaint yako!

usiogope kufuatilia haki yako! Pata info zaidi kutoka Morris Moses foundation:

una RiGHT:

uLiza quESTionS KaMa HauELEWi info aMbayo uMEPEWa KWa HoSi.

15