206167725 maandalizi ya bunge la katiba

Upload: haki-ngowi

Post on 04-Jun-2018

257 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 8/13/2019 206167725 Maandalizi Ya Bunge La Katiba

    1/5

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    BUNGE LA TANZANIA________

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI____________________________________________

  • 8/13/2019 206167725 Maandalizi Ya Bunge La Katiba

    2/5

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

    _____________________________________

    Taarifa inatolewa kwamba, Mhe. Anne Semamba Makinda, (Mb.), Spika wa Bunge

    na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Bunge, mwishoni mwa wiki aliongoa

    u!umbe wa Tume kufanya ukagui wa !engo la Bunge na maeneo ya Bunge ambayo

    yanakusudiwa kutolewa na Bunge la "amhuri ya Muungano wa Tanania kwa Bunge

    Maalum.

    #a!umbe wa Tume ya Utumishi walioambatana na Spika wa Bunge ni Mhe. "ob

    $dugai, (Mb.), $aibu Spika na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Beatri%e

    Shellukindo, (Mb.), M!umbe, Mhe. &amad 'ashid Mohamed, (Mb.), M!umbe, r.

    Maua Abeid aftari (Mb.), M!umbe.

    Tume ya utumishi wa Bunge imeridhika kuona kuwa maandalii yamekamilika na

    imeridhia kutoa maeleo yafuatayo *

    1.0 UKUMBI WA BUNGE

    Ukumbi wa Bunge la "amhuri ya Muungano wa Tanania utatumika kwa

    mikutano ya Bunge Maalum. Ukumbi huo baada ya marekebisho una +iti -

    amba+yo +ina m%hanganuo ufuatao *

    /./. 0iti %ha Mwenyekiti1

    /.2. 3iti +inne (4) +ya Makatibu Meani1

    /.. 3iti +ya magurudumu +iwili (2) (wheelchairs)1

    /.4. 3iti 24 +ya #a!umbe wenye mahita!i maalum1

    /.5. 3iti +ya #a!umbe wa 0awaida 52.

    Aidha, Ukumbi wa Bunge umewekewa mtambo mpya wa kuungumia

    (Digital Congress Network) kwa #a!umbe wote, ambao una uweo wa

    kunakili ma!adiliano (Hansard) na kuweesha upatikana!i wa matangao ya

    tele+isheni. Mitambo hiyo ina uweo pia wa kupiga kura kielektroniki (digital

    voting).

    2

  • 8/13/2019 206167725 Maandalizi Ya Bunge La Katiba

    3/5

    6ia, ukumbi huo umewekewa mifumo mipya ya usalama.

    2.0 KUMBI ZA KAMATI

    7fisi ya Bunge imeandaa na kuratibu upatikana!i wa kumbi kwa a!ili ya 0amati

    kama ifuata+yo *

    NA. UKUMBI MAHALI ULIPO IDADI

    YA WAJUMBE

    /. Ukumbi wa Spika "engo la Utawala 8

    2 Ukumbi $a. / &aina $dogo -8

    . Ukumbi $a. 2 &aina $dogo -8

    4. Ukumbi $a. &aina $dogo /88

    5. Ukumbi $a. 4 St. 9asper &otel /88

    . Ukumbi $a. 5 St. 9asper &otel /88

    :. Ukumbi $a. St. 9asper &otel /88

    -. Ukumbi $a. : St. 9asper &otel 488

    ;. Ukumbi $a. - odoma &otel 288

    /8. Ukumbi $a. ; odoma &otel 288

    //. Ukumbi $a. /8 Msekwa &all 258

    0umbi hio a 0amati itafungwa +ifaa maalum +ya sauti kwa lengo la

    kurekodi ma!adiliano (Hansard) na kupiga kura.

    3.0 MAKTABA

    Tume imeridhia Maktaba yake itolewe kwa matumii ya Bunge Maalum.

    4.0 MKAHAWA WA INTERNET

  • 8/13/2019 206167725 Maandalizi Ya Bunge La Katiba

    4/5

    Tume imeridhia Mkahawa wa Internetulioko katika ghorofa ya pili ya "engo la

    Utawala ambayo baada ya marekebisho ina kompyuta 58 itolewe kwa

    matumii ya Bunge Maalum.

    5.0 ENEO LA UHAPI!HAJI WA NYARAKA

    Tume ya Utumishi wa Bunge imetoa mitambo ya ku%hapisha nyaraka kwa

    matumii ya Bunge Maalum.

    ".0 MAENEO YA KUEGE!HA MAGARI #PARKING$

    0wa kutambua kwamba idadi ya #a!umbe, watumishi na wageni

    watakaokuwa wakitembelea Bungeni ni kubwa, 7fisi ya Bunge imeandaa

    maeneo maalum ya maegesho ya magari ambayo yana uweo wa ku%hukua

    magari /,888 kwa wakati mmo!a ambayo yatawekewa ulini mkali na pia

    huduma a kawaida.

    %.0 ZAHANATI

    Tume ya Utumishi ya Bunge imeridhia kutolewa kwa Ukumbi wa 3iongoi

    katika "engo lenye Ukumbi wa Msekwa kwa matumii ya

  • 8/13/2019 206167725 Maandalizi Ya Bunge La Katiba

    5/5

    "engo la Utawala limefanyiwa Marekebisho na kutoa 7fisi 8 ambao ina

    uweo wa ku%hukua watu 288. 0ati ya hio, 7fisi nne (4) ni kwa matumii ya

    3iongoi wa Bunge Maalum, yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, 0atibu

    na $aibu 0atibu.

    10.0 JENGO LA HABARI

    "engo la &abari ambalo lina 7fisi tisa (;) na Ukumbi wa Mikutano limetolewa

    lote kwa matumii ya Bunge Maalum.

    11.0 MAKAZI YA VIONGOZI

    7fisi ya Bunge imeratibu upatikana!i wa makai ya 3iongoi wa Bunge

    Maalum ambayo watatumia kwa kipindi %hote %ha uhai wa Bunge hilo.

    Taarifa hii inatolewa kuufahamisha umma kuwa maandalii yote ya Bunge Maalum

    yamekamilika na kwamba Tume ya Utumishi wa Bunge ambayo ndio yenye mamlaka

    ya kusimamia mali a Bunge imeridhia kutolewa kwa maeneo na huduma hio kama

    ili+yoainishwa.

    I()*+,)- /

    =dara ya &abari, >limu kwa Ummana Uhusiano wa 0imataifa,

    7fisi ya Bunge,S. ?. 6. ;/,DAR E! !ALAAM.

    10 F) 2014

    5