academic excellence

Post on 27-May-2015

2.321 Views

Category:

Self Improvement

12 Downloads

Preview:

Click to see full reader

DESCRIPTION

Academic excellence

TRANSCRIPT

MAFANIKIO KATIKA MASOMO

KATIKA MTAZAMO WA KIBIBLIA

ACADEMIC EXCELLENCEIN A BIBLICAL PERSPECTIVE

Mwl. Mgisa Mtebemgisamtebe@yahoo.com

+255-713-497-654

MAFANIKIO KATIKA MASOMOKATIKA MTAZAMO WA KIBIBLIA

Kujifunza namna Mungu anavyoweza kumpa mtu

wake mafanikio, kwa lengo la kumwezesha kuishi ili kulitimiza kusudi lake.

KUSUDI KUU LA MUNGU

Ni kuwawezesha watu wake, Kuimiliki na Kutawala dunia,

ili binadamu aishi maisha mazuri, na kuwa chombo

kizuri cha Ibada, ili kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Wakorintho 4:1-21 Basi, mtu na atuhesabu hivi, kwamba sisi ni watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za Mungu. 2 Na linalotakiwa ni

watumishi na mawakili waonekane kuwa waaminifu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Wakorintho 4:1-2Zingatia neno “Utumishi”

‘Kila mmoja wetu ana wito maalum duniani unaofanya kuwa mtumishi wa Mungu, katika eneo

alilojaliwa zaidi kuliko wengine na kuliko maeneo mengine’.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Wakorintho 4:1-2Zingatia neno “Uaminifu”

‘Kila wito wa mtu, ni maalum’ (specific) katika;

Kusudi, Mpango, Aina, Eneo, Uwezo, Kiasi, Muda, n.k

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-11

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-114 Basi kuna aina mbali mbali za

karama, lakini Roho ni yule yule. 5 Pia kuna huduma za

aina mbali mbali, lakini Bwana ni yule yule.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-116 Kisha kuna tofauti za kutenda

kazi, lakini ni Mungu yule yule atendaye kazi zote kwa watu

wote.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-117 Basi kila mmoja hupewa

ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.

8 Maana mtu mmoja kwa Roho hupewa neno la hekima na

mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-119 Mtu mwingine imani kwa huyo

Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Kwa mwingine

matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa

mwingine kupambanua roho;

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-1110 … kwa mwingine aina mbali

mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha. 11 Haya yote

hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia

kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:4-1110 … kwa mwingine aina mbali

mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha. 11 Haya yote

hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia

kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.

Huduma na Karama

Warumi 12:3-8

Huduma na Karama

Warumi 12:3-83 Kwa ajili ya neema niliyopewa

nawaambia kila mmoja miongoni mwenu, asijidhinie kuwa bora kuliko impasavyo,

bali afikiri kwa busara kwa kulingana na kipimo cha imani

Mungu aliyompa.

Huduma na Karama

Warumi 12:3-84 Kama vile katika mwili mmoja

tulivyo na viungo vingi, navyo viungo vyote havina kazi moja,

5 vivyo hivyo na sisi tulio wengi, tu mwili mmoja katika Kristo, nasi kila mmoja ni kiungo cha

mwenzake.

Huduma na Karama

Warumi 12:3-86 Tuna karama zilizotofautiana kila mmoja kutokana na neema tuliyopewa. Kama ni unabii na

tutoe unabii kwa kadiri ya imani.

7 Kama ni kuhudumu na tuhudumu, mwenye

kufundisha na afundishe,

Huduma na Karama

Warumi 12:3-8 8 kama ni kutia moyo na atie moyo, kama ni kuchangia kwa ajili ya mahitaji ya wengine na

atoe kwa ukarimu, kama ni uongozi na aongoze kwa bidii,

kama ni kuhurumia wengine na afanye hivyo kwa furaha.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Utumishi wetu kwa Mungu

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake

(huduma/karama) 2. Wito wa mtu (Huduma na

Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

KUSUDI LA KANISANi Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira

yake, ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo

kizuri cha Ibada, kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

KWANINI IBADA ?

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza

kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe

“UNAKETI” juu ya sifa za Israel

“Inhabit” “Unaishi”

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Yohana 4:23 Kwa maana Baba anawatafuta watu kama hao, ili wamwabudu;Na saa ipo na sasa saa imefika,

ambapo waabuduo halisi, watamwabudu Baba katika roho na

kweli;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka

katik maisha yako.(Yohana 4:23)

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa

sana na mazingira mazuri.Kumbukumbu 8:6-18

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka, na maisha yakitibuka, ibada kwa Mungu pia, inatibuka.

Hivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira

yake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka duniani.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa

vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa

kulitimiza kusudi la Mungu.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Kila Mtu katika jamii ya watu wa Mungu ana Karama na Kipawa

fulani kilichowekwa na Roho Mtakatifu wa Mungu,

kinavyochomwezesha kutenda kazi duniani ili kulitimiza

kusudi la Mungu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Kipawa hicho, ndicho kinachotenda kazi ili mtu aweze kuishi na

kuyatawala mazingira yake, hata kumwezesha mtu huyo kulitimiza

kusudi la Mungu, yaani kuwa ‘chombo kizuri cha ibada’.

KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU

Kutoka 31:1-5Bwana akamwambia Musa, kwa ajili ya ufundi wa vyombo vyote vya hekalu, nimempaka mafuta

(uwezo) Bezaleli mwana wa Huri, kwa ajili ya kazi zote za kuchora, kuchonga, kukata na ufundi wote

wa fedha na dhahabu.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Kwahiyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira

yake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka duniani

(kwa watoto wa Mungu).(Ufunuo 12:17)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima katika maisha, ili kumwezesha mwanadamu, kumshinda adui

shetani na vizuizi vyake na kumwezesha kutawala maisha

yake na mazingira yake. (Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)

VITA VYA ROHONI

Ni kwamba, kuna mapambano, kuna vita na upinzani

(mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu (kanisa la

Bwana Yesu Kristo).”(Mathayo 16:18-19)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda

wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha

yako (inayotoka duniani).(Yohana 4:23)

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

KUSUDI LA KANISANi Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira

yake, ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo

kizuri cha Ibada, kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO

Kanisa la Mungu ni Ofisi ya Mungu na Ubalozi wa Mbinguni duniani. Hivyo Mungu anataka Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na

watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma bora zaidi kuliko

taasisi zingine za duniani.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO

Mfano wa Kwanza;Kutumika chini ya Kiwango

1Wakorintho 3:10-15

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Wakorintho 3:10-1510 Kwa neema Mungu aliyonipa,

niliweka msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine anajenga juu ya huo msingi. Lakini kila mtu inampasa awe mwangalifu jinsi

anavyojenga juu yake.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Wakorintho 3:10-1512 Kama mtu ye yote akijenga juu

ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, au kwa fedha, au kwa mawe ya thamani, au kwa miti, au kwa majani au kwa nyasi …

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Wakorintho 3:10-1513 kazi yake itaonekana kuwa

ikoje, kwa kuwa siku ile itaidhihirisha kazi yake.

Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya

kila mtu.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO

14 Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu.

15 Kama kazi ya mtu itateketea, atapata hasara, ila yeye

mwenyewe ataokolewa, lakini kama mtu aliyenusurika kwenye

moto.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO

Mfano wa Pili;Kutumika nje ya Wito

Mathayo 25:14-30

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3014 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni

kama mtu (Bwana) anayetaka kusafiri, akawaita watumishi wake na kuweka mali yake

kwenye uangalizi wao (Uwakili) ili kuitunza na kuizalisha.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3015 Mmoja akampa talanta tano

(5) mwingine talanta mbili (2) na mwingine talanta moja (1), kila mmoja alipewa kwa kadiri

ya uwezo wake. Kisha yeye akasafiri kwenda mbali.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3019 “Baada ya muda mrefu yule

bwana wa wale watumishi akarudi na kufanya hesabu nao.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3020 Yule mtumishi aliyepokea

talanta 5 akaja, akaleta nyingine 5 zaidi. Akasema, ‘Bwana uliweka kwenye uangalizi wangu talanta 5. Tazama,

nimepata faida talanta 5 zaidi.’

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3021 “Bwana wake akamwambia,

‘Umefanya vizuri sana, mtumishi mwema na

mwaminifu …!

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3021 “… Umekuwa mwaminifu kwa

vitu vichache, nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo

ushiriki katika furaha ya bwana wako!”

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3022 “Yule mwenye talanta 2, naye

akaja. Akasema, `Bwana, uliweka kwenye uangalizi wangu talanta 2. Tazama

nimepata hapa faida ya talanta mbili (2) zaidi.’

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-30“Bwana wake akajibu, ‘Umefanya

vizuri sana, mtumishi mwema na mwaminifu, na wewe

nakulipa kama mwenzako wa kwanza kwa kutimiza kusudi la wito wenu kwa kipimo chake.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3024 “Kisha yule mtumishi aliyepokea

talanta 1 akaja, akasema, ‘Bwana, nilijua kwamba wewe ni mtu mgumu, unayevuna mahali

usipopanda na kukusanya mahali usipotawanya.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3025 Kwa hiyo niliogopa, nikaenda,

nikaificha talanta yako ardhini. Tazama, hii hapa ile iliyo mali

yako.’

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3026 Bwana wake akajibu, ‘Wewe

mtumishi mwovu na mvivu! Ulijua yote hayo lakini

hukufanya ulichotakiwa kufanya (wewe ni mpumbavu).

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3027 Basi, ilikupasa kuweka fedha

yangu kwa watoa riba, ili nirudipo, nichukue ile iliyo

yangu na faida yake?

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3030 “Nanyi mtupeni huyo

mtumishi asiyefaa nje, kwenye giza, mahali ambako kutakuwa

na kilio na kusaga meno.’

Viashiria vya Wito wa Mtu

Kipimo (Kiasi) cha Kazi

Luka 12:48 “… aliyepewa vingi, kwake

huyo vitatakwa vingi …”

Viashiria vya Wito wa Mtu

Kipimo (Kiasi) cha Kazi

1Wakorintho 3:13 “… Kazi ya kila mtu itapiwa, tena kwa moto wa Mungu …”

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO

Mathayo 25:14-30Mtumishi huyu wa Mungu hakuwa mwizi au mzinzi au

mchawi, lakini alitupwa nje ya Ufalme wa Mungu kwasababu hakuzalisha faida katika kazi ya

Ufalme wa Mungu …

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHOMathayo 25:14-30

Udhaifu huo ulisababisha kupunguza uwezo wa kazi ya

Mungu ya kutawala dunia.Kwa Mfano;

Injili, Elimu, Afya, Udiakonia, Ukarimu, Utaalamu, Ujuzi, n.k.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO

Kanisa la Mungu ni Ofisi ya Mungu na Ubalozi wa Mbinguni duniani. Hivyo Mungu anataka Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na

watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma bora zaidi kuliko

taasisi zingine za duniani.

KARAMA NA HUDUMA ZA ROHOMathayo 25:14-30

Mungu hawezi kuivumilia jambo lolote linalozuia kazi ya Ufalme

wake duniani; ni lazima atalishughulikia kwa nguvu ili kurekebisha kikwazo hicho na kutoa fundisho kwa wengine.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Kusudi la Somo;Kuwaanda Waaumini

Kutoa Kumtumikia Mungu katika ufanisi na ubora.

Huduma na Karama

2Timotheo 4:6-8 5 Kwa habari yako wewe,

vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiza wajibu

wote wa huduma yako.

Huduma na Karama

2Timotheo 4:6-8 6 Kwa maana wakati umefika, mimi sasa ni tayari kumiminwa kama sadaka ya kinywaji, nayo

saa yangu ya kuondoka duniani imefika.

Huduma na Karama

2Timotheo 4:6-87 Nimevipiga vita vizuri,

mwendo nimeumaliza, Mashindano nimeyamaliza,

imani nimelinda.

Huduma na Karama

2Timotheo 4:6-88 Sasa, nimewekewa taji ya haki

ambayo Bwana, mwamuzi wa haki, atanitunukia siku ile, wala si

mimi tu, bali pia wote ambao wamengoja kwa shauku kuja

Kwake.

Huduma na Karama

Matendo 17:30-3130 Zamani wakati wa ujinga,

Mungu alijifanya kama haoni, lakini sasa anawaamuru watu

wote kila mahali watubu.

Huduma na Karama

Matendo 17:30-3131 Kwa kuwa ameweka siku

ambayo atauhukumu ulimwengu kwa haki, akimtumia mtu

aliyemchagua (Yaani Yesu), kwake huyo amewahakikishia watu

wote, kwa kumfufua kutoka kwa wafu.’’

Huduma na Karama

Ufunuo 22:10-1210 Kisha akaniambia, “Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika

kitabu hiki, kwa sababu wakati umekaribia.

Huduma na Karama

Ufunuo 22:10-1211 Atendaye mabaya na azidi

kutenda mabaya, aliye mchafu na azidi kuwa mchafu, yeye atendaye haki na azidi kutenda haki na yeye

aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu.’’

Huduma na Karama

Ufunuo 22:10-12 12 “Tazama, naja upesi! nikiwa

na ujira (mshahara) wangu, nami nitamlipa kila mtu sawasawa na

alivyotenda.

Huduma na Karama

Mathayo 7:21-23 21 “Si kila mtu aniambiaye,

‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika Ufalme wa Mbinguni bali

ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.

Huduma na Karama

Mathayo 7:21-23 22 Katika siku hiyo, wengi

wataniambia siku ile, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii kwa

jina lako na kwa jina lako kutoa pepo na kufanya miujiza mingi?

Huduma na Karama

Mathayo 7:21-23 23 Ndipo nitakapowaambia wazi,

Sikuwajua kamwe. Ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!’

Huduma na Karama

Mathayo 7:21-23Kumbe, uovu si mpaka umefanya

ambacho hukutakiwa kufanya, kumbe hata kutofanya

ulichotakiwa kufanya, pia ni uovu mbele za Mungu.

Huduma na Karama

Mathayo 7:21-23

Sins of Sins of Commission Ommission

Dhambi za Dhambi za Kutenda Kutokutenda

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Amos 4:1212 “Kwa hiyo hili ndilo

nitakalowafanyia Israeli na kwa sababu nitawafanyia hili,

jiandaeni kukutana na Mungu wenu, Ee Israeli.’’

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Kila Mtu katika jamii ya watu wa Mungu ana Karama na Kipawa

fulani kilichowekwa na Roho Mtakatifu wa Mungu,

kinavyochomwezesha kutenda kazi duniani ili kulitimiza

kusudi la Mungu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Kipawa hicho, ndicho kinachotenda kazi ili mtu aweze kuishi na

kuyatawala mazingira yake, hata kumwezesha mtu huyo kulitimiza

kusudi la Mungu, yaani kuwa ‘chombo kizuri cha ibada’.

AINA YA WITO

MASAIDIANOMaombeziUimbajiUtoajiUjuziUfundiUratibu UsimamiziUkarimuUhudumu

KARAMANeno MaarifaNeno HekimaKupambanuaKarama UnabiiAina za LughaTafsiri LughaKarama ImaniKaram KuponyaKarama Miujiza

HUDUMAMitumeManabiiWaalimuWachungajiWainjilisti

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Wakorintho 4:1-21 Basi, mtu na atuhesabu hivi, kwamba sisi ni watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za Mungu. 2 Na linalotakiwa ni

watumishi na mawakili waonekane kuwa waaminifu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Wakorintho 4:1-2Zingatia neno “Utumishi”

‘Kila mmoja wetu ana wito maalum duniani unaofanya kuwa mtumishi wa Mungu, katika eneo

alilojaliwa zaidi kuliko wengine na kuliko maeneo mengine’.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Wakorintho 4:1-2Zingatia neno “Uaminifu”

‘Kila wito wa mtu, ni maalum’ (specific) katika;

Kusudi, Mpango, Aina, Eneo, Uwezo, Kiasi, Muda, n.k

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Ishara au Viashiria Wito wa mtu.

(Signals za Huduma na Karama)

Kuthibitisha Wito wako

Kuthibitisha Wito Wako (Comfirmation)

Kuthibitisha Wito wako

1.

Amani na Furaha ya moyoni (Peace n’ Joy)Isaya 55:12, Filipi 4:4-7,

Kolosai 3:15

Kuthibitisha Wito wako

2.

Kupenda na Kuridhika (Passion) Kut 33:12-14, Math 17:1-7

Zab 37:4, Zab 16:11,

Kuthibitisha Wito wako

3.

Bajeti ya Muda zaidi Kut 33:7-11, Math 14:22-23,

Mark 1:35, Yoh 8:1

Kuthibitisha Wito wako

4.

Uwezo mkubwa wa Kazi hiyo (Ability)

Kutoka 33:1-5,Matendo 6:7-10.

Kuthibitisha Wito wako

5.

Matokeo Mazuri Yohana 5:31-36, Marko 16:15-20.

Kuthibitisha Wito wako

6.

Baraka na Mafanikio Zaburi 1:1-3, Mithali 10:22

Mith 17:8, Mith 18:16

Kuthibitisha Wito wako

7.

Ushuhuda mzuri wa Watu wengine

Math 18:16, Yoh 6:11-14Yoh 3:1-2, Mdo 6:1-8.

Kuthibitisha Wito wako

1. Amani na Furaha ya moyoni2. Kupenda na Kuridhika3. Kutumia Muda Zaidi4. Uwezo mkubwa ktk hilo 5. Matokeo Mazuri 6. Baraka na Mafanikio7. Ushuhuda mzuri wa wengine

Huduma na Karama

Namna ya Kutambua Huduma na Karama

yako

Kutambua Huduma na Karama

1. Mwombe Mungu (Omba)Fanya Maombi ya Muda mrefu

Yeremia 29:11-13Isaya 43:26

Wafilipi 4:6-7Zaburi 32:8

Kutambua Huduma na Karama

2. Tumika katika Kazi ya Mungu bila mipaka.

Panda mbegu asubuhi na jioni, hujui ni ipi itakayoota

Mhubiri 11:6

Kutambua Huduma na Karama

3. Sikiliza Sauti ya Mungu (Uongozi wa Mungu) na Uangalie Uwezo Binafsi

ulionao (Neema).Chunguza Eneo unalotumika

vizuri zaidi kuliko mengine.Matendo 6:8

Kutambua Huduma na KaramaUwezo Binafsi (Neema).

Chunguza eneo unalotumika vizuri zaidi kuliko mengine (matokeo mazuri

zaidi).

Matendo 6:8‘Filipo akijaa Neema na Nguvu,

alifanya maajabu na ishara kubwa kati ya watu’

Kutambua Huduma na Karama

4. Mwombe Mungu Tena akupe Uthibitisho.(Comfirmation)

Fanya Maombi ya Muda mrefuLuka 4:1-14,18-19

Luka 6:12-19

Kutambua Huduma na Karama

5. Sikiliza ushauri (Uliza) Sikiliza ushauri kutoka kwa watendakazi na walezi wako

wa kiroho au kihuduma.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Mambo Muhimu Ya Kuombea.

Vipimo vya Aina ya Wito wa mtu.

(Specificacations)

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake

(huduma/karama) 2. Wito wa mtu (Huduma na

Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la Wito2. Mpango wa Wito3. Uwezo na Nguvu (Matokeo)4. Ngazi au Kiwango cha Wito5. Eneo la Wito 6. Kipimo au Kiasi cha Wito7. Muda wa Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili

wa Kristo ) Kinafanya kazi duniani ili kutimiza Kusudi

moja Kuu la Mungu, la Kuujunga Ufalme wa Mungu

duniani.

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la Wito

Kusudi Kuu la Mungu duniani lina sura Kuu Nne (4).

Viashiria vya Wito wa Mtu

Sura Nne za Kusudi la Mungu.1.Kumiliki na Kutawala Dunia2.Kumsifu + Kumwabudu Mungu3.Kufanikiwa na Kuongezeka4.Kuwarudisha na kuwatafuta

walio nje Mungu Walio Nje.

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili

wa Kristo ) Kinafanya kazi duniani ili kutimiza Kusudi

moja Kuu la Mungu, la Kuujunga Ufalme wa Mungu

duniani.

Viashiria vya Wito wa Mtu

1. Kusudi la Wito

Matendo 26:12-18Yohana 4:23-24

Mwanzo 1:26-28Marko 16:15-20

Viashiria vya Wito wa Mtu

2. Mpango wa Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu

Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una mpango

na mchepuo wake maalum, uliowekewa na Mungu, kwa

kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu; lenga kufanya wito

wako katika mchepuo uliopewa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

2. Mpango wa WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili

wa Kristo ) Kimetengenezewa na Mungu, Mpango wake

maalum wa kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani.

Viashiria vya Wito wa Mtu

2. Mpango wa WitoMpango wake maalum wa

kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani, ni Mungu kuweka

Huduma na Karama mbalimbali katika Waumini wa Kanisa lake (Viungo vya Mwili wa Kristo).

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili

ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika

nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

2. Mpango wa WitoMpango wake maalum wa

kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani, ni Mungu kuweka

Huduma na Karama mbalimbali katika Waumini wa Kanisa lake (Viungo vya Mwili wa Kristo).

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2714 Basi mwili si kiungo kimoja,

bali ni viungo vingi. 15 Kama mguu ungesema, “Kwa kuwa

mimi si mkono basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya huo

mguu usiwe sehemu ya mwili.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2716 Na kama sikio lingesema, “Kwa kuwa mimi si jicho, basi

mimi si la mwili,” hiyo isingefanya hilo sikio lisiwe

sehemu ya mwili.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2717 Kama mwili wote ungelikuwa

jicho, kusikia kungekuwa wapi? Au kama mwili wote

ungelikuwa sikio, kunusa kungekuwa wapi?

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2718 Lakini kama ilivyo, Mungu ameweka viungo katika mwili, kila kimoja kama alivyopenda.

19 Kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa

wapi?

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2720 Kama ulivyo, kuna viungo

vingi, lakini mwili ni mmoja. 21 Jicho haliwezi kuuambia

mkono, “Sina haja nawe!” Wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu, “Sina haja na ninyi!”

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-27

22 Lakini badala yake, vile viungo vya mwili

vinavyoonekana kuwa dhaifu, ndivyo ambavyo ni vya muhimu

sana.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2723 Navyo vile viungo vya mwili tunavyoviona havina heshima,

ndivyo tunavipa heshima maalum. Vile viungo vya mwili

ambavyo havina uzuri, tunavipa heshima ya pekee.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2724 Wakati vile viungo vyenye

uzuri havihitaji utunzaji wa pekee. Lakini Mungu

ameviweka pamoja viungo vya mwili na akavipa heshima zaidi

vile vilivyopungukiwa

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-27

25 ili pasiwe na mafarakano katika mwili, bali viungo vyote vihudumiane usawa kila kimoja

na mwenzake.

UMOJA WA KANISA LA MUNGU

1 Wakorintho 12:14-2726 Kama kiungo kimoja kikiumia,

viungo vyote huumia pamoja nacho, kama kiungo kimoja kikipewa heshima, viungo

vyote hufurahi pamoja nacho.

Viashiria vya Wito wa Mtu

2. Mpango wa WitoKila kiungo katika Mwili wa Yesu

(Kanisa), kina uwezo binafsi ambao kimeumbiwa (kimejaliwa) na Mungu, kwa makusudi kamili

ya kutenda kazi kwa kutimiza kusudi maalumu.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake

(huduma/karama) 2. Wito wa mtu (Huduma na

Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Timotheo 2:7Nami kwa kusudi hili

nimewekwa niwe Mhubiri na Mtume na Mwalimu wa watu

wa Mataifa katika imani na kweli.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Yermia 1:5-10Kabla hujaumbika kwenye

tumbo la mamako, nilishakutenga uwe Nabii. Usiseme wewe ni mtoto,

kwamaana nimeshakuandaa kuwa Nabii kwa Mataifa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una mpango

na mchepuo wake maalum, uliowekewa na Mungu, kwa

kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu; lenga kufanya wito

wako katika mchepuo uliopewa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na Nguvu

(Matokeo)

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8

Yohana 20:21-22Luka 24:49Luka 4:1,14

Matendo 10:38

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8

‘Naye Stephano, akijaa Neema na Nguvu za Mungu, alifanya

ishara na miujiza mikubwa miongoni mwa watu’

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuYohana 20:21-22

‘Kama Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi; pokeeni

Roho Mtakatifu’ (Kwa kazi hiyo)

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8

Yohana 20:21-22Luka 24:49Luka 4:1,14

Matendo 10:38

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8-10

Wayahudi wakatoka kujadiliana na Stefano juu ya Yesu; naye

Stefano akijaa neema na uwezo, akahojiana nao kwa nguvu na ishara za miujiza.

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8-10

Nao hawakuweza kumshinda kwa yule Roho aliyekuwa akisema naye; kwakuwa

stefano alijaa neema na uwezo mwingi

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuLuka 24:49

‘Tazama nawaletea ahadi ya Baba; Lakini msitoke mjini

mpaka mtakapovikwa uweza utokao juu.’

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuLuka 4:1,14

‘Baada ya Yesu kujazwa na Roho Mtakatifu, aliingia katika maombi ya siku 40; naye

akarudi katika nguvu za Roho’

Viashiria vya Wito wa Mtu

3. Uwezo na NguvuMatendo 10:38

‘Naye Mungu alimpaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho

Mtakatifu na Nguvu, naye akawafungua wote

walioonewa na ibilisi shetani ’

Viashiria vya Wito wa Mtu

Marko 16:15-2015 Akawaambia, “Enendeni

ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16 Ye yote aaminiye na kubatizwa ataokoka.

Lakini ye yote asiyeamini atahukumiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Marko 16:15-2017 “Nazo ishara hizi zitafuatana

na wale waaminio: Kwa Jina Langu watatoa pepo wachafu, watasema kwa lugha mpya …

Viashiria vya Wito wa Mtu

Marko 16:15-2018 watashika nyoka kwa mikono yao na hata wakinywa kitu cho chote cha kuua, hakitawadhuru kamwe, wataweka mikono yao

juu ya wagonjwa, nao watapona.”

Viashiria vya Wito wa Mtu

Marko 16:15-2019 Baada ya Bwana Yesu kusema nao, alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa

Mungu.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Marko 16:15-2020 Kisha wanafunzi Wake wakatoka, wakahubiri kila

mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha

Neno Lake kwa ishara zilizofuatana nao.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una viashiria vyake maalum, vilivyowekewa na

Mungu kuthibitisha wito huo. Usitafute kufanya kila kitu; lenga

kufanya wito wako katika mchepuo uliopewa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

4. Eneo la Wito(Location + Group)

Viashiria vya Wito wa Mtu

Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una eneo lake maalum, lililowekewa na

Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya wito kila

mahali, lenga kufanya wito wako katika eneo uliopangiwa.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1Timotheo 2:7Nami kwa kusudi hili

nimewekwa niwe Mhubiri na Mtume na Mwalimu wa watu

wa Mataifa katika imani na kweli.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Wagalatia 2:8Aliyemwezesha Petro kuwa

mhubiri wa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha mimi kuwa

mhubiri wa Mataifa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12

7 Walipofika kwenye mpaka wa Misia, wakajaribu kuingia

Bithinia lakini Roho wa Yesu hakuwaruhusu.

Viashiria vya Wito wa Mtu

4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12

8 Kwa hiyo wakapita Misia, wakafika Troa. 9 Wakati wa usiku Paulo akaona maono,

mtu wa Makedonia amesimama akimsihi akisema,

Viashiria vya Wito wa Mtu

4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12

9 … “Vuka uje huku Makedonia ukatusaidie.” 10 Baada ya Paulo kuona maono haya, mara tulijiandaa kuondoka

kwenda Makedonia…

Viashiria vya Wito wa Mtu

4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12

10 … tukiwa tumesadiki kwa sababu tuliona kwa hakika kwamba Mungu ametuita

kuhubiri habari njema huko.

Viashiria vya Wito wa Mtu

4. Eneo la Wito

Yeremia 1:9-10‘Kabla hujaumbika tumboni mwa

mamako, nilikwisha kukutenga uwe Nabii kwa Mataifa’

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2821:4 Baada ya kuwatafuta wanafunzi wa huko, tukakaa

nao kwa siku saba. Wale wanafunzi wakiongozwa na Roho walimwambia Mtume Paulo asiende Yerusalemu.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2810 Baada ya kukaa kwa siku

kadhaa, akatelemka nabii mmoja kutoka Uyahudi jina

lake Agabo.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2811 Alipotufikia akachukua mshipi

wa Paulo akajifunga, akautumia kufunga mikono na

miguu yake mwenyewe akasema, “Roho Mtakatifu

anasema:

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2811 … ‘Hivi ndivyo Wayahudi wa

Yerusalemu watakavyomfunga mwenye mshipi huu na kumkabidhi kwa watu

Mataifa.’

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2812 Tuliposika maneno haya sisi

na ndugu wengine tukamsihi Paulo asiende Yerusalemu.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2813 Lakini Paulo akajibu, “Kwa

nini mnalia na kunivunja moyo? Mimi niko tayari si

kufungwa tu, bali hata kufa huko Yerusalemu kwa ajili ya

jina la Bwana Yesu.”

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2814 Alipokuwa hashawishiki, tukaacha kumsihi, tukasema,

“Mapenzi ya Bwana na yatendeke.”

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2814 Alipokuwa hashawishiki, tukaacha kumsihi, tukasema,

“Mapenzi ya Bwana na yatendeke.”

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21:17-26Askofu Yakobo alijaribu

kumtengenezea Paulo mazingira ya kukubalika kwa Wayahudi, (kwa kufanya ibada kwa sheria za Torati ya Musa) lakini bado

haikusaidia; walimkataa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2830 Mji wote ukataharuki, watu

wakaja wakikimbia kutoka pande zote wakamkamata

Paulo, wakamburuta kutoka mle hekaluni. Milango ya

hekalu ikafungwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2831 Walipokuwa wakitaka kumwua, habari zikamfikia

jemadari wa jeshi la askari wa Kirumi kwamba mji wa

Yerusalemu wote ulikuwa katika machafuko.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2832 Mara yule jemadari

akachukua maafisa wengine wa jeshi pamoja na maaskari

wakakimbilia kwenye ile ghasia …

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2832 … wale watu waliokuwa

wakifanya ghasia walipomwona yule jemadari na

askari wakija, wakaacha kumpiga Paulo.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21:30-32Ulinzi wa Mungu (Baraka za Mungu) hazikuwepo juu yake,

kwasababu Mtume Paolo alitoka nje ya wito wake.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21:30-32Wayahudi wakampiga Paulo kwa

mawe, nusu ya kumuua, ndipo kwa rehema zake, Mungu,

akaamua kumrudisha Paulo katika mwili wake, ila aende

Rumi, kwa Wamataifa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2822:17 “Baada ya kurudi

Yerusalemu, wakati nikiwa ninaomba hekaluni, nilipatwa

na usingizi mzito

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 21-2822:18 nikamwona Yesu

akiniambia, ‘Harakisha utoke Yerusalemu upesi, maana

hawataukubali ushuhuda wako kunihusu mimi.’ (kwasababu Wito wako si kwa Wayahudi)

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 23-26Paulo anahudhuria mahakama;

1. Baraza/Wazee – Jerusalem2. Liwali Felix – Kaisaria3. Gavana Festo – Kaisaria4. Mfalme Agripa - Kaisaria

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 23-26Kesi za Paulo hazikupata suluhu;

hatimaye wakaamua kesi yake ikasikilizwe Rumi (kwa

Wamataifa) na sio Jerusalem (kwa Wayahudi).

Viashiria vya Wito wa Mtu

Matendo 27-28 Paulo anasafirishwa mpaka Rumi kwa pingu, chini ya ulinzi mkali wa binadamu na malaika,

kwenda kutimiza wito wake! Na huko ndipo alipotimiza na

kumalizia wito wake.

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Wagalatia 2:8Aliyemwezesha Petro kuwa

mhubiri wa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha mimi kuwa

mhubiri wa Mataifa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una eneo lake maalum, lililowekewa na

Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya wito kila

mahali, lenga kufanya wito wako katika eneo uliopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

5. Muda wa Wito

Viashiria vya Wito wa Mtu

Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una muda wake maalum, uliowekwa na

Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya wito kila

wakati, lenga kufanya wito wako kwa muda uliopangiwa.

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

5. Kipimo cha mudaYohana 7:37-39

37 Siku ile ya mwisho ya Sikukuu, siku ile kuu, wakati Yesu akiwa

amesimama huko, akapaza sauti Yake akasema, “Kama mtu ye

yote anaona kiu na aje Kwangu anywe.

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

5. Kipimo cha mudaYohana 7:37-39

39 Yesu aliposema haya alimaanisha Roho Mtakatifu ambaye wote waliomwamini wangempokea, kwani mpaka

wakati huo, kwasababu …

ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.

5. Kipimo cha mudaYohana 7:37-39

39 Roho alikuwa hajaletwa, kwa kuwa Yesu alikuwa bado hajatukuzwa (hajaondoka

kwenda katika Utukufu).

Viashiria vya Wito wa Mtu

5. Kipimo cha muda2Timotheo 4:5-8

“…wakati wa kufariki kwangu, umefika, nimevipiga vile vita

vizuri vya imani, mwendo nimeumaliza, imani nimeilinda, sasa naingejea taji ya uzima...”

Viashiria vya Wito wa Mtu

5. Kipimo cha muda

Wafilipi 3:13-14“…sijidhanii kwamba nimekwisha

kufika, bali nakaza mwendo, ili niifikie mede ya thawabu…”

Viashiria vya Wito wa Mtu

5. Kipimo cha mudaYohana 16:12-13

“…bado nina mambo mengi sana ya kuwaambia, lakini kwa sasa,

hamyawezi bado; wakati utafika, Roho atakuja na

kuyaachilia kwenu…”

Viashiria vya Wito wa Mtu

5. Kipimo cha mudaWaebrania 5:11-15

“nashangaa kwamba bado mnahitaji maziwa badala ya

makande, kwasababu wakati mwingi umepita, tangu

mlipoamini…!

Viashiria vya Wito wa Mtu

5. Kipimo cha mudaWaebrania 5:11-15

“saa hii mlitakiwa kuwa waalimu wa watu wengine, lakini bado

ni watoto, mnaotakiwa kulishwa maziwa wala sio

makande…”

Viashiria vya Wito wa Mtu

5. Muda wa WitoWagalatia 4:1-2

“japo mrithi ndiye Bwana wa yote, lakini awapo mtoto, mali zake hawezi pewa, bali zitabaki

chini ya waangalizi, mpaka wakati sahihi utakapofika”

Viashiria vya Wito wa Mtu

5. Muda wa WitoWagalatia 4:1-2

Kuna baadhi ya vitu vyako, hautaviona vinakutokea,

mpaka utakapokua na kufika kiwango fulani cha ukomavu

(maturity)

Viashiria vya Wito wa Mtu

Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una muda wake maalum, uliowekwa na

Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya wito kila

wakati, lenga kufanya wito wako kwa muda uliopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

(Measure/Length) (Standard/Quality)

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

Katika Idadi (Quantity)Mathayo 25:14-30

Viashiria vya Wito wa Mtu

Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una kipimo chake maalum, kilichowekwa na

Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu, lenga kufanya wito wako kwa kipimo

ulichopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3014 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni

kama mtu (Bwana) anayetaka kusafiri, akawaita watumishi wake na kuweka mali yake

kwenye uangalizi wao (Uwakili) ili kuitunza na kuizalisha.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3015 Mmoja akampa talanta tano

(5) mwingine talanta mbili (2) na mwingine talanta moja (1), kila mmoja alipewa kwa kadiri

ya uwezo wake. Kisha yeye akasafiri kwenda mbali.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3019 “Baada ya muda mrefu yule

bwana wa wale watumishi akarudi na kufanya hesabu nao.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3020 Yule mtumishi aliyepokea

talanta 5 akaja, akaleta nyingine 5 zaidi. Akasema, ‘Bwana uliweka kwenye uangalizi wangu talanta 5. Tazama,

nimepata faida talanta 5 zaidi.’

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3021 “Bwana wake akamwambia,

‘Umefanya vizuri sana, mtumishi mwema na

mwaminifu …!

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3021 “… Umekuwa mwaminifu kwa

vitu vichache, nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo

ushiriki katika furaha ya bwana wako!”

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3022 “Yule mwenye talanta 2, naye

akaja. Akasema, `Bwana, uliweka kwenye uangalizi wangu talanta 2. Tazama

nimepata hapa faida ya talanta mbili (2) zaidi.’

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-30“Bwana wake akajibu, ‘Umefanya

vizuri sana, mtumishi mwema na mwaminifu, na wewe

nakulipa kama mwenzako wa kwanza kwa kutimiza kusudi la wito wenu kwa kipimo chake.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3024 “Kisha yule mtumishi aliyepokea

talanta 1 akaja, akasema, ‘Bwana, nilijua kwamba wewe ni mtu mgumu, unayevuna mahali

usipopanda na kukusanya mahali usipotawanya.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3025 Kwa hiyo niliogopa, nikaenda,

nikaificha talanta yako ardhini. Tazama, hii hapa ile iliyo mali

yako.’

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3026 Bwana wake akajibu, ‘Wewe

mtumishi mwovu na mvivu! Ulijua yote hayo lakini

hukufanya ulichotakiwa kufanya (wewe ni mpumbavu).

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3027 Basi, ilikupasa kuweka fedha

yangu kwa watoa riba, ili nirudipo, nichukue ile iliyo

yangu na faida yake?

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mathayo 25:14-3030 “Nanyi mtupeni huyo

mtumishi asiyefaa nje, kwenye giza, mahali ambako kutakuwa

na kilio na kusaga meno.’

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

Luka 12:48 “… aliyepewa vingi, kwake

huyo vitatakwa vingi …”

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

1Wakorintho 3:13 “… Kazi ya kila mtu itapiwa, tena kwa moto wa Mungu …”

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

Wafilipi 3:13-14“…sijidhanii kwamba nimekwisha

kufika, bali nakaza mwendo, ili niifikie mede ya thawabu…”

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi2Timotheo 4:5-8

“…wakati wa kufariki kwangu, umefika, nimevipiga vile vita

vizuri vya imani, mwendo nimeumaliza, imani nimeilinda, sasa naingejea taji ya uzima...”

Viashiria vya Wito wa Mtu6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

2Timotheo 4:5-8Kwa Mtume Paulo kusema kwamba,

“mwendo nimeumaliza,” ni hakika ya kwamba, alikuwa anajua kiasi cha umbali alichotakiwa kutimiza

katika wito wake.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una kipimo chake maalum, kilichowekwa na

Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu, lenga kufanya wito wako kwa kipimo

ulichopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

Luka 12:48 12 Nilipokuwa pamoja nao,

niliwalinda, wakawa salama kwa lile Jina ulilonipa. Hakuna hata

mmoja aliyepotea, isipokuwa yule aliyekusudiwa, ili Maandiko

yapate kutimia.

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

Yohana 19:30 30 Baada ya kuionja hiyo siki, Yesu

akasema, “Imekwisha.’’ Akainamisha kichwa chake,

akakata roho.

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha KaziYohana 19:30

30 Bwana Yesu alikuwa na ujasiri wa kumwambia Mungu kwamba ‘Kazi uliyonituma “Imekwisha.’’

kwasababu alijua kwa hakika kipimo cha kazi alichopewa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha KaziYohana 5:30

30 Mimi siwezi kufanya jambo lo lote peke Yangu … kwa kuwa

sitafuti kufanya mapenzi Yangu mwenyewe, bali mapenzi Yake

Yeye aliyenituma.’’

Viashiria vya Wito wa Mtu

Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una kipimo chake maalum, kilichowekwa na

Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu, lenga kufanya wito wako kwa kipimo

ulichopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

Katika Kiwango (Quality)2Wakorintho 3:10-15

Viashiria vya Wito wa Mtu

1Wakorintho 3:10-1510 Kwa neema Mungu aliyonipa,

niliweka msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine anajenga juu ya huo msingi. Lakini kila mtu inampasa awe mwangalifu jinsi

anavyojenga juu yake.

Viashiria vya Wito wa Mtu

1Wakorintho 3:10-1512 Kama mtu ye yote akijenga juu

ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, au kwa fedha, au kwa mawe ya thamani, au kwa miti, au kwa majani au kwa nyasi …

Viashiria vya Wito wa Mtu

1Wakorintho 3:10-1513 kazi yake itaonekana kuwa

ikoje, kwa kuwa siku ile itaidhihirisha kazi yake.

Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya

kila mtu.

Viashiria vya Wito wa Mtu

14 Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu.

15 Kama kazi ya mtu itateketea, atapata hasara, ila yeye

mwenyewe ataokolewa, lakini kama mtu aliyenusurika kwenye

moto.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Muhimu sana!Kila wito wa Mungu una kipimo chake maalum, kilichowekwa na

Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kila kitu, lenga kufanya wito wako kwa kipimo

ulichopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

7. Ngazi ya Wito

(Level)

Viashiria vya Wito wa MtuMuhimu sana!

Kila wito wa Mungu una kipimo cha ngazi yake maalum, kilichowekwa

na Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kuliko ngazi

(level) yako, lenga kufanya wito kwa kipimo cha ngazi uliyopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

7. Kutembea katika kiwango

Waebrania 5:11-14Wagalatia 4:1

Mathayo 17:1-9

Viashiria vya Wito wa Mtu

7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge)

(1Sam 16:13, Zab 23:5) (Matendo 4:31)

Viashiria vya Wito wa Mtu

Kujaa Nguvu za Mungu

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Viashiria vya Wito wa Mtu

7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho

(Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16) Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)

Viashiria vya Wito wa Mtu

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi

katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi

katika viwango vyake maalum.

Viashiria vya Wito wa Mtu

Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.

Kutoka 24:1-18

Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18

^ 1st Class

^^^ 2nd Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

Viashiria vya Wito wa Mtu

NGAZI YA WITO WAKO

Usiridhike kuwa Mwana wa Mungu tu, bali tafuta kuongezeka katika

ngazi ya uhusiano na utumishi wako ndani ya Mungu.

Viashiria vya Wito wa Mtu

KIWANGO CHA WITO WAKO

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13-16

1 (Yoh 21:19-24)

3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

NGUVU YA SADAKA

Viashiria vya Wito wa Mtu

NGAZI YA WITO WAKO

Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu tu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi ya utumishi wako

ndani ya Mungu, katika wito ambao Mungu amekupa.

Viashiria vya Wito wa MtuMuhimu sana!

Kila wito wa Mungu una kipimo cha ngazi yake maalum, kilichowekwa

na Mungu, kwa kusudi lake. Usitafute kufanya kuliko ngazi

(level) yako, lenga kufanya wito kwa kipimo cha ngazi uliyopangiwa.

Viashiria vya Wito wa Mtu

7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18

Luka 6:12/10:1-2,17-20Matendo 5:12-13Matendo 15:1-22

Wagalatia 1:18-19/2:11-12

HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa

vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa

kulitimiza kusudi la Mungu.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili

ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika

nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.

Huduma na Karama

Lakini katika Kanisa la leo, maswala ya Karama na

huduma yamechanganwa sana na yamechakachuliwa sana

kiasi cha kuleta mvurugano na matatizo makubwa katika

utendaji wa kazi ya Mungu.

Huduma na Karama

1Wakorintho 12:12-31Na kuna waumini wengi sana

katika kanisa, hawajui wito wao, karama zao na huduma

zao katika kanisa la Yesu, japo wana miaka mingi kanisani.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

AINA YA WITO

MASAIDIANOMaombeziUimbajiUtoajiUjuziUfundiUratibu UsimamiziUkarimuUhudumu

KARAMANeno MaarifaNeno HekimaKupambanuaKarama UnabiiAina za LughaTafsiri LughaKarama ImaniKaram KuponyaKarama Miujiza

HUDUMAMitumeManabiiWaalimuWachungajiWainjilisti

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

BASIC PRINCIPLES OF SUCCESS

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Case StudyGenesis 32:9-12.

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

MfanoMwa 32:9-12.

“Nilivuka mto huu nikiwa na fimbo tu, leo hii ninarudi nikiwa

matuo mawili”

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

MfanoMwa 32:9-12.

Tuo 1 = watu 600 (kundi) (Matuo 2 = 600 x 2)(Matuo 2= 1,200)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

MfanoMwa 32:9-12.

“Nilivuka mto huu nikiwa na peke yangu na fimbo tu, lakini

leo hii ninarudi nyumbani nikiwa na wafanyakazi 1,200”

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

MfanoMwa 28:3/32:9-12.

“Nitakubariki na kukuzidisha”

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Mwa 32:9-12

Mwaka 1 Mwaka 20

1 1,200

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Mwa 28:3/32:9-12.

What were His Principles of Success?

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 1. Maono –Vision (Prov 29:18)

‘Without Vision, the people perish’(Prov 29: 18)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 1. Maono –Vision (Prov 29:18)

‘Nawe utakusudia neno, nalo litathibitika kwako; na mwanga

utaziangazia njia zako’ (Ayubu 22:28)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 2. Mpango – Plan (Prov 29:11)

‘For I know the plans that I have for you, the plans to give you hope, success and

victory, in your future.’ (Jer 29:11)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 2. Mpango – Plan (Prov 29:11)

‘I will take your flocks for a 3 day journey; I will keep hem there for 3

years. Afterwards, the spotless will all belong to you”

(Gen 30:36)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 3. Ujuzi – Knowledge (Hosea 4:6)

‘My people perish, for the lack of knowledge.’

(Hosea 4:6)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 3. Ujuzi – Knowledge (Hosea 4:6)

‘My people perish, for the lack of knowledge.’

(Hosea 4:6)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 4. Mtaji – Capital (Math 25:20)

‘Behold, you gave me 5 talents, and I have worked to a profit gain

of 5 more talents.’ (Math 25:20)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 4. Mtaji – Capital (Mith 25:20)

It was by the flocks of his Uncle, Laban, that Jacob worked to his fortune, of 1,200 employees.’

(Gen 32:9-12)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 5. Bidii – Deligence (Mith 10:4)

‘Atendaye mambo kwa mkono mlegevu, atakuwa maskini; bali mkono wake yeye aliye na bidii,

hutajirisha.’ (Mithali 10:4)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 5. Bidii – Deligence (Mith 10:4)

‘mkono wa mwenye bidii, utatawalaBali mvivu, atalipishwa kodi’

(Mithali 12:24)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 5. Bidii – Deligence (Mith 10:4)

‘Lolote mkono wako upatalo kulifanya, lifanye kwa nguvu na kwa bidii;

kwasababu baada ya kufa, hakuna kazi tena’

(Mhubiri 10:19)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)

‘Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea, na jicho langu

litakutazama’ (Zab 32:8)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIOBasic Principles of Success

6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)

37 ‘Hata hivyo, Yakobo, akachukua fito mbichi zilizokatwa wakati huo huo za miti

ya mlubna, mlozi na mwaramoni akazibambua ili mistari myeupe ionekane

katika fito hizo. ’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIOBasic Principles of Success

6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)

38 ‘Kisha akaweka fito alizozibambua kwenye mabirika yote ya kunyweshea

mifugo, ili ziwe mbele ya makundi walipokuja kunywa maji. Wanyama

walipokuja kunywa maji, hali wakiwa wanahitaji mbegu …’

(Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)

39 ‘wakapandwa hizo fito zikiwa mbele yao, wanyama waliopata mimba mbele ya hizo

fito, walizaa wanyama wenye mistari, madoadoa na mabakabaka.’

(Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)

40 ‘Yakobo akawatenga wadogo wa kundi peke yao, lakini akazielekeza nyuso za hao waliobaki kwenye wale wenye mistari na

weusi waliokuwa mali ya Labani …’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)

40 ‘… Hivyo akatenga makundi yake mwenyewe na wala hakuwachanganya

na wanyama wa Labani.’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)

41 ‘Kila mara wanyama wenye nguvu walipohitaji mbegu, Yakobo aliweka zile

fito kwenye mabirika mbele ya hao wanyama, ili wapandwe karibu na hizo

fito zenye michirizi.’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)

42 ‘lakini ikiwa wanyama walikuwa wadhaifu hakuziweka hizo fito. Hivyo

wanyama dhaifu wakawa wa Labani na wanyama wenye nguvu wakawa wa

Yakobo.’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)

42 ‘lakini ikiwa wanyama walikuwa wadhaifu hakuziweka hizo fito. Hivyo

wanyama dhaifu wakawa wa Labani na wanyama wenye nguvu wakawa wa

Yakobo.’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8)

43 ‘Kwa njia hii Yakobo akastawi sana, tena akawa na makundi makubwa, watumishi wa kike na wa kiume na

ngamia na punda.’ (Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 7. Marafiki – Company (1Kor 15:33)

‘Msidanganyike, mazungumzo mabaya (marafiki wabaya) huharibu tabia njema.’

(Mwa 30:37-43)

KANUNI ZA MSINGI ZA MAFANIKIO

Basic Principles of Success 1. Maono – Vision (Prov 29:18) 2. Mpango – Plan (Jer 29:11) 3. Ujuzi – Knowledge (Hos 4:6) 4. Mtaji – Capital (Math 25:20) 5. Bidii – Deligence (Mith 12:24) 6. Mbinu – Technics (Zab 32:8) 7. Marafiki – Company (1Kor 15:33)

MBINU ZA MAFANIKIO KATIKA MASOMO

Techniques for Academic Excellence

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

1.Major in your Divine Calling

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

1.Major in your divine calling

‘For I know the plans I have for you, the plans to give you hope, success

and victory, in your future.’ (Jeremia 29:11)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

1.Major in your divine calling

‘There are many plans in the hearts of men, but the purpose of the Lord

will succeed.’ (Proverbs 19:21)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

2.Do not Miss Lectures

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

2. Do not Miss Lectures/Classes

‘Sow seeds in he morning, sow seeds in the evening, because you dont know which one come-up.’

(Ecclesiastes 11:6)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

3. Know your Strong and Weak points

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

3. Know your Strong and Weak points

Do not carry extra load, above your capacity

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

3. Know your Strong and Weak points

‘God is faithful not to let you be tempted/tried above your capacity.’

(1Wakorintho 10:13)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

3. Know your Strong and Weak points

‘To one, he gave 5 talents, to another he gave 2 talents and to another, he

gave 1 talent; each one according to his ability (capacity).’(Mathew 25:15)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

4. Apply Personal Studying Techniques

(Ref: Strong and Weak Points)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

4. Apply Personal Studying Techniques(Ref: Strong and Weak Points)

‘They have deligence in the Lord,

but not in Knowledge.’(Romans 10:2)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

4. Apply Personal Studying Techniques(Ref: Strong and Weak Points)

Best time to studyEnvironment of StudyLength of StudyStyle of Study

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

5. Join up Serious Group discussions

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

5. Join up Serious Group discussions

‘Two are better than one; because as one falls, the other one will pick

him up’(Ecclesiastes 4:9-10)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

5. Join up Serious Group discussions

‘God has granted to each one a special unique gift (revelation), for

the benefit/profit of all’(1Corinthians 12:7)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

6. Maintain Personal Health Requirements

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

6. Maintain Personal Health Requirements

‘Don’t you knw that you have become the temple of the God, and

the Holy Spirit dwells in you?’(1Corinthians 3:16-17/6:19-20)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

6. Maintain Personal Health Requirements

‘If anyone destroys the temple of the Holy Spirit, God will destroy that

person; for the temple of God is Holy, meaning you, therefore Glorify God

through your bodies?’(1Corinthians 3:16-17/6:19-20)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

6. Maintain Personal Health Requirements

‘The Lord made man out of the dust of the ground (Body), and breathed in him

a life giving breath (Spirit), then man became a living Soul.

(Genesisi 2:7, 1Thes 5:23)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

6. Maintain Personal Health Requirements

(Holistic; Body, Soul, Spirit) Adequate SleepAdequate WaterBalanced DietProtection and HygieneSports and Games

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

6. Maintain Personal Health Requirements

(Holistic; Body, Soul, Spirit) Sports and GamesRecreation and hobbiesFun time and good timeWalking and VisitationOpposite Friendship

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

6. Maintain Personal Health Requirements

(Holistic; Body, Soul, Spirit)

Chapel Activities

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

6. Maintain Personal Health Requirements

(Holistic; Body, Soul, Spirit)Praise and WorshipBible StudyingPrayer and IntercessionEvangelistic OutreachActs of Mercy and Charity

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

7. Proper Planning and Time Management

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

7. Proper Planning and Time Management

‘There is season and a time for everything purpose under the sun’

(Ecclesiastes 3:1-8)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

7. Proper Planning and Time Management

‘Sit down before you start construction, to see and plan for the necessary

requirements needed to complete the job, less people laugh at your on your

failure to complete’(Luka 14:28-30)

ULIMWENGU WA ROHO

Kwa Mfano Uumbaji wa DuniaWaebrania 11:3

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili)

havikuumbwa kwa vitu vilivyo dhahiri (wazi wazi)’

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu

visivyo dhahiri (wazi wazi)’- (vitu vya kiroho) -

Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7 33 30 3 ½ 3 ½ 3 ½

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Milele

Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7

33 30 3 ½ 3 ½ 3 ½ 600 Injili Ulimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki 700

Ulimwengu wa Mwili (4) Daniel 7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo 33 AD 33 AD

Milele

ULIMWENGU WA ROHO

Kwahiyo

Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake

Every Physical/Natural thing has its Spiritual Form

1 Wakorintho 15:44

ULIMWENGU WA ROHO

1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili, Basi na mwili wa roho pia”

If there is a Physical/Natural bodyThere is a Spiritual body too.

ULIMWENGU WA ROHO

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina

original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy

yake (yaani kina upande wa rohoni na wa upande wa mwilini).

ULIMWENGU WA ROHO

Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,

wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -

ULIMWENGU WA ROHO

Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko

kama kivuli”- Photocopy -

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu

visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele

(vya kudumu).

ULIMWENGU WA ROHO

2 Corinthians 4:18Do not focus on the visible things (Physical) they are temporary; but

put your focus on the invisible thing (Spiritual) for they are

permanent.

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

7. Proper Planning and Time Management

‘If you fail to plan, then you are planning to fail’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

7. Proper Planning and Time Management

‘God is a God of Purpose, Plan and Strategies’

Mon Tues Wed Thur Fri Sat Sun

Week1

Week2

Week3

Week4

Proper Time Management - Plan

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

8. Build Healthy Personal Relationships

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

8. Build Healthy Personal Relationships(Opposite Sex)

‘For Stronger as death, many waters can not quench love’

(Songs 8:6-7)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

8. Build Healthy Personal Relationships(Opposite Sex)

‘Opposite Sex relationships are very strong relationships, strongly bonded

with ‘Eros’ love. An unstable relationship can very much touch one’s

heart and mind to affect studies and ruin his results’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

8. Build Healthy Personal Relationships

(Room n’ Class mates)‘Strive to live in peace

with all men …’(Hebrews 12:14)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

9. Pray for a Stable Family Relationship

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

9. Stable Family Relationship

‘Family members are connected with a very strong love called ‘Storge’. An unstable home can very much touch

one’s heart and mind to affect studies and results’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

9. Stable Family Relationship

‘Praye for the stability of your family, to have maximum

concentration and good results.’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

10. Proper Financial Management

‘Budgeting’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

10. Proper Financial Management ‘Budgeting’

‘A Budget is an income and expenditure plan. If you fail to plan,

then you are planning to fail’

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

10. Proper Financial Management ‘Budgeting’

‘I have been praying for you, that may the Lord give you the spirit of wisdom

and understanding (revelation), so that you may know …’(Ephesian 1:15-19)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

10. Proper Financial Management ‘Budgeting’

‘Carefully observe how you live, wisely, purposefully and accuratelly; not as the unwise and foolish people, but as wise,

sensible and intelligent people’(Ephesian 5:15)

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

1. Major in You Divine Calling2. Know Strong and Weak Points3. Never Miss Lectures and Classes4. Personal Studying Techniques5. Join Serious Group Discussions

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

6. Maintain a good Health7. Proper Time Management8. Healthy Personal Relationships9. Stable Family Relationship10. Proper Financial Management

MAFANIKIO KATIKA MASOMOTechniques for Academic Excellence

May these Principles help you live a better and succesful life, for the

aim of fulfilling God’s Purpose and Plan over your life.

(Proverbs 19:21)

LENGO KUU LA SOMO;

Kujifunza namna Mungu anavyoweza kumpa mtu

wake mafanikio, kwa lengo la kumwezesha kuishi ili kulitimiza kusudi lake.

KUSUDI KUU LA MUNGU

Ni kuwawezesha watu wake, Kuimiliki na Kutawala dunia,

ili binadamu aishi maisha mazuri, na kuwa chombo

kizuri cha Ibada, ili kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

Mafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa

Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la

Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive

Dar es Salaam.

Kwa mawasiliano zaidi,

Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)

P. O. Box 837,Dar es Salaam, Tanzania.

+255 713 497 654+255 783 497 654

mgisamtebe@yahoo.com

top related