kcseschemes2014.files.wordpress.com · web viewkufafanua umuhimu wa lugha katika jamii kutaja na...
Post on 18-Apr-2018
1.047 Views
Preview:
TRANSCRIPT
KISWAHILI KIDATO CHA 1 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 1
JUMA
KIPINDI
MADAKUU MADA NDOGO SHABAHA/MALENGO MBINU MAREJELEO NYENZO MAONI
1/2 MIALIKO YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA
3 1 Kusoma (ufahamu)
Karibuni wanafunzi
Kifikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kwa matamshi Kutumia msamiati,
misemo na methali kwa ufasaha
Kujibu maswali kwa usahihi
Maswali na majibu
Kusoma kwa sauti
Kujadiliana Kuandika
madftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kilabu cha wanafunzi uk 1-2Mwongozo wa mwalimu
Mwongozo wa mwalimu uk 1-3
Kamusi ya misemo na na nahau (k.w Wamitila)
Kamusi ya Kiswahili Kiswahili fasaha uk 1-
3
Mchoro Kitabuni Ubao Chati Picha
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora: aina za sauti
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja ala za kutamkia Kutamka irabu na
konsonanti kwa usahihi Kuchora mkondo wa
hewa
Kueleza Kuchora Kutamka
sarufi Kujibu
maswali kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 3-5Mwongozo wa mwalimu uk 3-5
Mwongozo wa mwalimu uk 4-5
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk 1-3, 21-23
Mchoro Chati
(irabu/konsonanti) Wanafunzi wenyewe Picha za matamshi
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Dhima na vipashio vya lugha
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua umuhimu wa lugha katika jamii
Kueleza Kujadiliana Kuzingumza Kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 5-8
Chati (vipashio) Wanafunzi (wenywe) Ubao
1
Kutaja na kueleza vipasho vya lugha ya Kiswahili
Kumudu matamshi ya sauti mwambatano
Kujibu maswali kwa usahi
Maswali na majibu
Mwongozo wa mwalimu uk 8-9
Mwongozo wa mwalimu uk 4-5
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk 2-3 Kiswahili fasaha Uk 5
4 Kusoma Ufahamu Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya ufahamu na kutaja aina mbili za ufahamu (kusoma na kusikili\a)
Kutambua vigezo muhimu vya kukabili maswali ya ufahamu
Kueleza Kujadili Maswali na
majibu Kuandika kusoma
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 13Mwongozo wa mwalimu uk 11
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk19-20
Ubao Mwanafunzi
mwenyewe Makala Chati
5 Kuandika Insha Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweza
Kufafanua sehemu/hatua muhimu za uandishi wa insha
Kueleza sifa zan insha nzuri
Kuandika kwa mtiririko mzuri na hati nadhifu
Kueleza Maswali ya
dodoso Kusoma
(maelezo) Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 13Mwongozo wa mwalimu uk 11
Kamusi ya Kiswahili uk
Uhondo wa Kiswahili uk
Insha kabambe (S.J mutali) uk 1-6
Kielelezo kitabuni Ubao Chati
4 1 Kusoma (ufahamu)
Elewa Lugha yako
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweza
Kufafanua dhima ya lugha katika jamii
Kutunga sentensi sahihi kwa misamiati mpya
KuelezaKusoma ghibuKujadiliKuandika madaftariniMaswali na majibu
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 17-18Mwongozo wa mwalimu uk 13-14
Mchoro Kitabuni Ubao Chati
2
Kujibu maswali kwa usahihi
Kamusi ya Kiswahili uk
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
MatamshiKiimbo na mkazo/shadda
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya kiimbo na shadda na mkazo
Kutamka maneno kwa kuzingatia shada na kiimbo
Kutunga sentensi totauti kubainisha maana ya maneno hayo
Cheleza Kutamka kwa
sauti Kusikiliza Kuandika Maswali na
majibu
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 19Mwongozo wa mwalimu uk 14-15
Uhondo wa Kiwahili uk 10-11
Kiswahili fasaha uk 19
Chati (herufi) Mwawnafunzi
mwenyewe Ubao Kanda ya video
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Viambishi Kufikia mwisho wa funzo, mwananfunzi aweze
Kutambua na kutumia viambishi mbali mbali
Kubainisha viambishi awali
Kutambua mzizi wa kitenzi
Kueleza Kusoma Maswali na
majibu (kwa sauti)
Kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 11Mwongozo wa mwalimu uk 9-10
Uhondo wa Kiswahili uk 25-27
Kiswahili fasaha uk 62
Kamusi ya Kiswahili
Chati Ubao
4 Kusoma Kusoma kwa kina: Mashairi ya Arudhi
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kusoma shairi kwa mahadhi murua
Kutambua sifa za shairi la arudhi
Kujibu maswali kwa usahihi
Maswali ya dodoso
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kukariri shairi Kuandika Kujadili
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 22Mwongozo wa mwalimu uk 18-19
Uhondo wa Kiswahili uk 68-69
Kiswahili fasaha uk 94
Magazeti ya taifa leo
Magazeti – taifa leo Diwani ya mashairi Mwanafunzi
mwenyewe Ubao Shairi za ziada
3
Miale ya Ushairi (NES)
5 Kuandika Aina za insha Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja aina zote za insha Kuandika insha kwa
mtiririka na fani ainati za lugha
Kuakifisha kazi ifaavyo
Kueleza Kujadili Kusoma-
ghibu Kuandika Madaftarini Maswwali na
majibu
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 26-27Mwongozo wa mwalimu uk 21
Uhondo wa Kiswahili uk 9
Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
( wamitila)
Ubao Nakala za insha Picha Chati
5 1 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi utangullizi
Kuafikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa kina na kueleza maadili
Kufafanua msamiati na fani za lugha
Kujibu maswali kwa ukamilifu
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kutunga
sentensi Kuandika Kufadili Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 26-27Mwongozo wa mwalimu uk 21
Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
( wamitila)
Picha za punda Ubao Chati Mchoro wa punda
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi utangulizi
Kuafikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza sifa kumi za fasihi (andishi na simulizi)
Kufafanua tofauti vbaina ya fasihi andishi na fasihi simulizi
Kusoma na kufurahia somo la fasihi kwa jumla
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kutunga
sentensi Kuandika Kufadhili Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 28Mwongozo wa mwalimu uk 22-23
Uhondo uk 31 Fasihi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi
Chati Ubao Mwanafunzi
mwenyewe
4
Kiswahili fasaha uk 8-9
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kuakifisha Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi
Kutaja alama za uakifishaji
Kueleza matumizi ya alama za uakifishaji
Kuakifisha fubgo kwa usahihi
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kutunga
sentensi Kuandika Kufadili Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 20/37Mwongozo wa mwalimu uk 31-32
Uhondo uk 47,126,145
Kiswahili fasaha II uk 40
Kamusi ya kiswahili
Bongo (alama za majibu)
Ubao Magazeti (taifa leo Chati (alama na
matumizi Wanafunzi wenyewe
4 Kusoma Kusoma kina: mashairi huru
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza tofauti baina ya shairi huru na shairi arudhi
Kusoma shairi, huru na kujibu maswali kwa usahihii
Kusoma kwa sauti
Kukariri Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 32Mwongozo wa mwalimu uk 27
Kiswahili fasaha II uk 40
Miale ya ushairi (NES)
Diwani ya mashairi Mwanafunzi
mwenyewe Magazeti (taifa leo) Ubao Chati
5 Kuandika Maana na dhima ya utungaji
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza umuhimu wa ufungaji na kuandika
Kutaja aina kumi na sifa za aina hizo za utungaji
Kusoma Kujadili Kuandika
madaftarini Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 33Mwongozo wa mwalimu uk 27-28
Kiswahili fasaha II uk 9
Uhondo wa Kiswahili uk 9
Chati (sentensi Ubao
6 1 Kusoma Hoteli ya Visito Kufikia mwisho wa funzo, Kusoma Chemchemi za Mchoro kitabuni
5
(ufahamu) mwanafunzi aweza Kusoma kwa ufasaha na
kujibu maswali Kutumia msamiati na
misemo iliyomo kwa kutunga sentensi
Kujadili na kudodosa
Kueleza msamiati
kuandika
Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 34Mwongozo wa mwalimu uk 29-30
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo na
nahau Kamusi ya methali
Mwanafunzi mwenyewe
Ubao Picha ya hoteli Vitu halisi (vyakula
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora : p/b na t/d
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutamka kwa sauti p/b na t/d kwa usahihi
Kueleza tofauti kimaana Kutunga sentensi sahihi
wakitumia msamiati uliotumika kwenye taarifa
Kusoma kwa sauti
Kusikiliza na kuandika
Kutamka Kuandika Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 36/45Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk 54
Chati (maneno p/b, t/d)
Mwanafunzi mwenyewe
Ubao Michoro Vitu halisi (taa, doa) Picha (papa,baa)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kupanga sauti na silabi Kuunda maneno yenye
maana Kuendeleza na kutumia
maneno ipasavyo
Maswali na majibu
Kutazama na kuelezea
Kusoma kwa sauti
Kuandika madaftarini
Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 29Mwongozo wa mwalimu uk 23
Kamusi ya Kiswahili Kiswahili fasaha uk
129
Bongo (sentensi Ubao Chati za silabi na
maneno Vitu halisi (kitabu)
4 Kusoma Kusoma kwa mapana (magazeti
Kufikiia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza umuhimu wa magazeti katika jamii
Kupambanua sifa za kuandika magazeti
Kujenga diri ya kusoma magazeti ya kiswahili
Maswali dodoso
Kutaja na kueleza
Kusoma (magazeri na maelezo)
kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 40Mwongozo wa mwalimu uk 34
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk 48
Magazetini (taifa leo) Nipashe, dimba Mwanafunzi
mwenyewe
6
Kiswahili fasaha uk 176
5 Kuandika Insha ya mdokezo
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza muundo na sifa za insha ya mdokezo
Kuandika insha ya mdokezo ifaavyo
Kuandika kwa mtiririko na hati nadhifu
Kusoma Kueleza na
kujadili Kuandika
madaftarini Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 41Mwongozo wa mwalimu uk 35
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk 60-61 Kiswahili fasaha uk
18
Ubao Kielelezo kitabuni Chati
7 1-5 MITIHANI NA LIKIZO YA KATIKATI YA MUHULA
8 1 Kusoma (ufahamu)
Mbuguma na mali ya umma
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kusoma kwa ufasaha na kueleza maadili ya kiatu
kutambua maovu na athari za ufasidi kutoka jamii
kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi
kueleza kusoma kujadili kusoma
kamusi kuandika
madftatini maswali na
majibu
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 43Mwongozo wa mwalimu uk 37
Kamusi ya Kiswahili Kiswahili ya maneno
na nahau
Mchoro kitabuni Picha za ufisadi Ubao Chati- maovu au
athari za ufisadi
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi (vipera vya fasihi simulizi)
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja kwa ufasaha na kueleza maana
Kufafanua sifa na kutoa mfano kwa kila kipera
Kusoma kwa sauti
Kueleza na kujadili
Kusimulia ngano fupi
Kuandika Mwaswali na
majibu
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 45-47Mwongozo wa mwalimu uk 39
Kamusi ya Fasihi Uhondo wa Kiswahili
uk 88 Mwongozo wa
mwalimu uk 47
Vinyago Chati (muainisho wa
fasihi simulizi) Mwanafunzi
mwenyewe Ubao Picha michoro
7
Kiswahili fasaha uk 28,35
Kamusi ya methali
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno (nomino vivumishi na viwakilishi)
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kueleza maana ya nomino vivumishi na viwakilishi
kuainisha aina za nomino viwakilishi na vivumishi
kubainisha aina hizo katika fuungo
kueleza kusoma kujadili kuandika kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 39/48Mwongozo wa mwalimu uk 333/9
Uhondo wa Kiswahili uk 11
Kiswahili fasaha uk 23
Kamusi ya kiswahili
Chati Ubao Vifaa halisi Picha
4 Kusoma Matumizi ya Maktaba
Kufikira mwisho wa funzo, mwanafunzi aweza
Kueleza umuhimu wa makta
Kutaja aina mbalimbali za maktaba
Kupambanua sifa za kila aina
Kutambua maana na dhima ya katalogi
Kusikiliza Kusoma Kuandika Kuuliza
maswali Kwenda
maktabani kuigiza
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 50Mwongozo wa mwalimu uk 43
Uhondo wa Kiswahili uk 85
Kiswahili fasaha uk 42
Kamusi ya kiswahili
Mkutubi Maktaba (ziara) Ubao Chati Mchoro kwenya
kitabu cha mwanafunzi
5 Kuandika (sarufi)
Nyakati (na/li) Kufukia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufanya sentensi za nyakati/wakati uliovyo na iliyopita
Kujibu maswali ya nyakati
Kusoma Kueleza na
kujadili Kutunga
sentensi Kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 48/53Mwongozo wa mwalimu uk 41-47
Uhondo wa Kiswahili uk 85
Kiswahili fasaha Kamusi ya Kiswahili
Chati (viambishi na nyakati)
Ubao Chati Mchoro kwenya
kitabu cha
8
9 1 Kusoma (ufahamu)
Barua ya kindugu
Kufikia mwishoni mwa funzo mwanafunzi aweze
Kutambua maneno na kupata maana katika kamusi
Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
Kutaja na kueleza aina za kamusi
Maswali ya dodoso
Kusoma kwa sauti
Kujadili na kueleza msamiati
Kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 48/53Mwongozo wa mwalimu uk 41-47
Kiswahili fasaha 72 Kamusi ya methali na
misemo Kamusi ya methali Kamusi ya Kiswahili
Kamusi tofauti Ubao Kielelezo cha barua Chati na mwanafunzi
mwenyewe
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora: (k/g na ch/j
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutamka maneno yenye sauti (k/g n ach/j) kwa usahihi
Kueleza maana ya jozi ya maneno yenye vitate hivyo
Kutunga sentensi tofauti ili kubainisha maana ya maneno hayo kwa ufasaha
Kusoma kwa sauti
Kutamka (jozi ya vitate)
Kutunga sentensi kwa sauti
kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 52/59Mwongozo wa mwalimu uk 45-52
Kiswahili fasaha Kamusi ya Kiswahili
Chati (vitate) Ubao Wanafunzi wenyewe Vitu halisi
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno(vitenzi, vielezo, vihisishi)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya kitenzi kielezi na kihisishi
Kutaja na kufafanua aina za vitenzi na vielezi
Kuainisha vitenzi, vielezi na vihusishi kwenya tungo
Kueleza na kujadili
Kusoma maelezo na setensi kitabuni
Kutunga sentensi
Kuandika na kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 53/60/68Mwongozo wa mwalimu uk 46/55/63
Uhondo wa Kiswahili uk 46-55
Kamusi ya Kiswahili
Chati (maneno ya sentensi
Ubao Picha Michoro Vitu halisi
4 Kusoma Mambo Kufikia mwisho wa funzo Kutembelea Chemchemi za Kielelezo(makala)
9
muhimu kuhusiana na maktaba
mwanafunzi aweze Kueleza umuhimu wa
maktaba Kutumia maktaba bila
matatiza Kueleza sheria za
maktaba
maktaba Kuuliza
maswali na kujibu
Kusoma maelezo kitabuni
Kuandika mambo muhimu
Kufanya zoezi
Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 55Mwongozo wa mwalimu uk 49
Uhondo wa Kiswahili uk 85
Kamusi ya Kiswahili
Chati Picha Kanda ya video Picha ya maktaba
5 KuandikaUtungaji wa kisanii(utangulizi)
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza sifa na utungaji wa kisanii
Kufafanua yanayoshughulikiwa katika utungaji wa kisanii
Kutunga kisa cha wizi kwa usanii
Kueleza Kujadili Kusoma na
kufafanua Kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 50Mwongozo wa mwalimu uk 50
Uhondo wa Kiswahili uk 127-130
Kiswahili fasaha uk 160
Kamusi ya Kiswahili
Kielezo (nakala) Chati Picha Kanda ya video
10 1 Kusoma Dawa za kulevya na jamii
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza athari za dawa za kulevya katika jamii
Kupeana msamiati wake Kujibu maswali ya
ufahamu kwa usahihi Kutoa suluhisho kwa
dawa za kulevya Kutaja aina za dawa za
kulevya
Kueleza msamiati ya dodosa
Kusoma wakipokezana
Kujadili Kuandika Maswali na
majibu
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 57-58Mwongozo wa mwalimu uk 51-52
Uhondo wa Kiswahili uk 127
Kiswahili fasaha Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
misemo na nahau
Vifaa halisi (sigara/miraa)
Picha za dawa za kulevya na matumizi
Ubao Chati Mchoro wa athati za
dawa hizo
10
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mamkizi na mazungumzo nyumbani
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweza
Kueleza sajili ya mazungumzo ya nyumbani
Kupambanua mwingiliano wa lugha na muktadha (mahani)
Kutumia lugha kwa msingi wa muktadha (sajihi)
Maswali na majibu
Kusoma kwa nafasi
Kuigiza Kujadili lugha Kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 52Mwongozo wa mwalimu uk 44
Kiswahili fasaha 69 Kamusi ya Kiswahili Isimu jamii kwa shule
za sekondari
Mwanafunzi mwenyewe
Vifaa halisi K.V fanicha
Ubao Picha
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno na viunganishi na vihusishi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya viunganishi na vihusishi
Kuainisha uamilifu wa viunganishi
Kutunga sentensi kwa kutumia viunganish na vihusishi
Kueleza Kusoma Kujadili Kusoma
kamusi Kuandika Maswali na
majibu
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 68/83Mwongozo wa mwalimu uk 63/78
Kiswahili fasaha 69 Uhondo wa Kiswahili
U.K 7,8,9 Kamusi ya Kiswahil
Chati Ubao Vifaa halisi (vikombe,
kitabu, jani)
4 Kusoma Kusoma kwa kina (majarida)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza umuhimy wa kusoma majarida
Kueleza maana ya majarida
Kutaja majarida kadhaa ya Kiswahili
Kueleza sifa za majarida
Kujadili Kusoma Kueleza Kuandika Kujibu
maswali Kuzera
maktaba
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 62Mwongozo wa mwalimu uk 59
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo na
nahau Majarida ya kiswahili
Majarida za Kiswahili Wanafunzi wenywe Chati Mchoro wa maktava
5 Kuandika Utungaji wa kisanii (mashairi Mepesi)
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kusoma na kukariri shairi kwa mahadhiri boora
Keuleza Kujadili Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 63
Kazi za kisawi Ubao Makala za mashairi Magazetini (taifa leo)
11
Kujibu maswali-shairi Kuandika shairi jepesi
Kujibu maswali
Mwongozo wa mwalimu uk 60
Uhondo wa Kiswahili uk 60
Miale ya ushairi
Wanafunzi wenyewe
11 1 Kusoma (ufahamu)
Katiba ya msengangu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa matamshi bora
Kueleza umuhimu wa katiba nzuri nchini
Kupanua msamiati na kujibu maswali kwa usahihi
Maswali ya dodoso
Kusoma kwa kupokezana
Kujadili Kuandika
majibu madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 64-69Mwongozo wa mwalimu uk 61-62
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali na
misemo (K.W wamitila
Wanafunzi wenyewe Makala ya katiba Ubao Chati ya msamiati na
maana
2 Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu wa kusikiliza
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusikiliza kwa makini na kueleza ujumbe na maadili
Kujibu maswali kutokana na ufahamu aliousoma
Kupanua msamiati na farri za lugha
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kusikiliza Kujadili na
kujibu Mawali kwa
sauti
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 59Mwongozo wa mwalimu uk 53-55
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo na
nahau
Makala ya ufahamu Wanafunzi wenyewe ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Nyakati na hali ya (ta, me, hu)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutambua matumizi ya nyakati ta me nah u
Kutunga sentensi kwa kutumia nyakati hizo
Kujibu maswali kwa usahihi
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kusikiliza Kujadili na
kujibu maswali kwa sauti
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 60,82,100Mwongozo wa mwalimu uk 57/76/93
Chati (nyakati) ubao
12
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk 98-99,177 Kiswawhili fasaha uk
82
4 Kusoma Kusoma kwa kinautangulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya fani na maudhuri
Kutambua mbinu za kusoma na kuchambua kazi za fasihi
Kusoma riwaya na kuelezea maudhui na fani zilizomo
Kusoma Kujadili Kueleza Kuandika Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 70-71Mwongozo wa mwalimu uk 67-68
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi Fasihi za Kiswahili Kichochea cha fasihi
Makala kama ya Riwaya
Mwanafunzi mwenyewe
Ubao Chati (fabu za fasihii)
5 Kuandika Utungaji wa kiamilifu Barua
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo na sifa za kimsingi za barua ya kindugu
Kuandika barua ya kirafiki ifaayo
Kueleza Kujadili
muundo Kusoma Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 71-73Mwongozo wa mwalimu uk 68-69
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasaha uk
517 Uhondo wa Kiswahili
uk 78-79
Bango (muundo wa barua)
Barua halisi Ubao Bahasha Chati
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGA SHULE
13
KISWAHILI KIDATO CHA 1 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 2
JUMA
KIPINDI
MADAKUU MADA NDOGO SHABAHA/MALENGO MBINU MAREJELEO NYENZO MAONI
1 1 Kusoma Ufahamu
Uzuraji uhalifi ni bora kuliko tiba
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kifungu na kueleza maadili
Kusoma kwa sauti
Kuandika majibu madaftarini
Kujadili ujumbe
Kutazama video na kuandika
kufafanua
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 74-75Mwongozo wa mwalimu uk 70
Kamusi ya Kiswahili
Kifungu kitabuni Wanafunzi wenyewe Ubao Kanda za video Picha magazeti
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi hurafa
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kueleza maana ya hurafa kusimuliz ngano ya
hurafa darasani kusoma hurafa na kujibu
maswali kuihusu
kueleza kusoma kwa
zamu na sauti
kusimulia ngano
kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Uhondo wa kiswawhili uk 43
Mwongozo wa mwalimu uk 55
Kamusi ya fasaha uk 106-108
Kielelezo vitabuni Mwanafunzi
mwenyewe Vitabu vya hadithi Picha za wanyama
wa pori Michoro ubaoni
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Zoezi la marudio (1-19
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na kuelewa maswali
Kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi
Kusoma ghibu kitabuni
Kuandika majibu
kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 75-78Mwongozo wa
Maswali (zoezi la marudio)
Wanafunzi wenyewe ubao
14
mwalimu uk 70-73
4 Kusoma Maktaba Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kueleza maana ya maktaba na umuhimu wake
kutaja na kufafanua aina za maktaba
kukuza kipawa cha kusomea maktabani
kueleza kusoma
ghibu kwenda
maktabani kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Uhondo wa kiswahili uk kitabu cha mwanafunziMwongozo wa mwalimu uk
Kiswahili fasaha uk 111
Kamusi ya kiswahili
Ziara maktabani Chati Wanafuni wenyewe Swali kitabuni Mchoro Picha ya (maktaba)
5 Kuandika Barua Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa barua
Kupambana aina zote za barua na umuhimu wake
Kuandika barua ya kurafiki
Kueleza Kusoma Kujadili Kuandika
barua
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 78Mwongozo wa mwalimu uk 73
Uhondo wa kiswahili uk 78-79 kitabu cha mwanafunziMwongozo wa mwalimu uk 42
Kiswahili fasaha uk 57
Makala ya barua (rasmi nay a kirafiki)
Chati (muundo) Magazeti (barua
mhariri) ubao
2 1 Kusoma Si maradhini ni kumbakumba
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kujibu maswali na
kusoma kwa sauiti na zamu
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi
Mchoro kitabuni Picha za wagonjwa
wa ukimwi
15
ufahamu Kueleza dalili za UKIMWI kukuza maadili ya
kujikinga dhidi ya ukimwi
kujadili ujumbe na maadili
kujibu maswali
kueleza msamiati
uk 79-80Mwongozo wa mwalimu uk 74
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo na
nahua (K.W wamilitila)
Ubao Kanda za video magazeti
2 2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi hurafu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutamka maneno yenye sauti f/v,Sh/ch, na dh/th
kutunga sentensi kwa kutumia maneno haya
kufanya zoezi kwa usahihi (k.v kutunga vifanza ndimi)
kutamka maneno
kutoa mifano yao
kutofautisha sauti f/v, ch/sh na th/dhi
kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 67, 81/91Mwongozo wa mwalimu uk 62/76/82
Kiswahili fasaha uk 37
Kamusi ya kiswahili
Mchoro kitabuni Wamafunzi wenyewe ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko wa vitenzi ( kutenda, kutendea kutendwa)
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja vitenzi mbali mbali Kunyambua vitenzi katika
kauli ya kutenda na kutendewa
Kujibu maswali kwa usahihi
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kutumia
kamusi Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 69/92Mwongozo wa mwalimu uk 66-67
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili uk 152-157 (Gichohi wailiga)
Chati (mnyambuliko Ubbao Wanafunzi wenywe Vifaa halisi (ndizi,
Kalamu) mchoro
4 Kusoma Kusoma kwa kina ushairi kwa jumla
Kufikia mwisho wa funzo mwanafuzi aweze
kusoma shairi na kukariri kwa madhari
kueleza ujumbe katika
kusoma kwa sauti
kukariri kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa
Diwani ya mashiri Mwanafunzi
mwenyewe Ubao Chati
16
shairi kueleza uhuru/urudhi za
mshairi katika shairi
mwalimu uk Kiswahili fasaha uk
94,105 Nuru ya ushairi Miale ya ushairi (NES) Kamusi ya kiswahili
Kielelezo cha ushairi Magazeti (taifa leo)
5 Kuandika Barua rasmi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kupambanua muundo wa barua rasmi
Kutofautisha barua rasmi na barua nyinginezo
Kuandika barua rasmi ipasavyo
Maswali ya dodoso
Kujadili na kuleza
Kusoma kwa sauti
Kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 84-87Mwongozo wa mwalimu uk 80mwalimu uk 115
Kiswahili fasaha uk 111
Uhondo wa Kiswahili uk 45
Kielelezo kitabuni Bahasha Barua rasmi/halisi Ubao Bamgo ( mchoro wa
muundo)
3 1 Kusoma (ufahamu)
Tangu lini nikawa kiatu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza mtindo wa kishairi
Kusoma na kukariri shairi kwa maudhui
Kutambua umuhimu wa usawa katika jamii
Kujibu maswali ya ufahamy kwa usahihi
Kusoma na kukariri
Kujadili Kujibu
maswali Kufafanua
msamiati na kutunga sentensi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 88Mwongozo wa mwalimu uk 81-82
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamitila)
Kamusi ya kiswahili
Kielelezo kitabuni Ubao Wanafunzi wenyewe
2 Kusikiliza na kuzungumza
Hekaya Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya hekaya Kutofautisha baina ya
hekaya na hurafa Kusimuliza heka ya
kutoka jamii yake
Kueleza na kudodosa
Kujadili Kusoma
kitabuni Kusimulia
hekaya
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 90Mwongozo wa mwalimu uk 83
Kielelezo kitabuni Mwanafuzni
mwenyewe Ubao Mchoro Vifaa halisi (sufuria)
17
Kufanya zoezi kwa usahihi
Kuandika kuigiza
Kiswahili fasaha uk 26,35
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
Uhondo wa Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 116
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko wa vitenzi (kutendwa na kutendeka
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafuzni aweze
Kutaja mnyambuliko wa vitenzi K.V kutenda na kutendeka
Kueleza mnyambuliko wa kutendeka na kutendewa
Kunyambua vitenzi mbali mbali
Kujibu maswali kwa usahihi
Kueleza Kusoma Kujadili Kutumia
kamusi Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 92Mwongozo wa mwalimu uk
Uhondo wa 87 kiswahili uk kitabu cha mwanafunziMwongozo wa mwalimu uk
Kiswahili fasaha uk 111
Kamusi ya kiswahili
Chemchemi za Kiswahili 1
Kitabu cha wanafunzi uk
Mwongozo wa mwalimu uk
Uhondo wa kiswahili uk kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu uk
Kiswahili fasaha uk 111
Kamusi ya kiswahili
4 Kusoma Usomaji wa kina: Ushairi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na kuyachambua mashairi
Kubainisha na kueleza sifa za mashairi K.V matumizi ya lugha, muunda, arudhi
Kuyajibu maswali kwa ufasaha
Kusoma na kukariri
Kujadili Kuandika
madaftarini Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 93-94Mwongozo wa mwalimu uk 88
Kamusi ya Kiswahili Miale ya ushairi
(N.E.S) Kamusi ya misemo na
nahau
Wanafunzi wenywewe
Dieani ya mashiri Ubao Chati Magazeti (taifa leo)
18
5 Kuandika Hadithi fupi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza sifa bainifu za hadithi fupi
(b) Kutofautisha hadithi fupi na tungo zinginezo
(c) Kuandika hadithi fupi
Kueleza Kujadili
vipengele muhimu
Kusoma mfano
Kuandika hadithi fupi
Kuchambua Kuuliza na
kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 94-95Mwongozo wa mwalimu uk 89
Kiswahili fasaha uk 180
Miale ya ushairi (N.E.S)
Kamusi ya methali na misemo nahau (K.W. Wamitila)
Kielezo kitabuni Diwani ya hadithi
fupi teule Magazeti (taifa leo) Nakala ya hadithi fupi Chati
4 1 Kusoma (ufahamu)
Jumakosi alikiona Kufikia mwisho wa funzo
mwanafunzi aweze: Kutambua madhata ya
uhalifu na ujambazi katika jamii
Kueleza msamiati na fani za lugha kufunguni
Kujibu maswali ya ufahamu kikamilifu
Kueleza Kusoma na
kujadili Kutumia
kamusi Kutunga
sentensi Kuandika
madaftarini Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 96-98Mwongozo wa mwalimu uk 90-91
Kamusi ya Kiswahili Miale ya ushairi
(N.E.S) Kamusi ya methali na
misemo nahau (K.W. Wamitila)
Mchoro kitabuni Ubao Magazeti (yenye
picha za uhalifu)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Semi/methali Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya semi na kutaja vipera vyake
Kueleza maana ya methali na umuhimu wake katika jamii
Kueleza Kusoma Kutumia
kamusi mbalimabali
Kutunga sentensi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 99-100Mwongozo wa mwalimu uk 92-93
Kifungu Kitabuni Wanafunzi wenyewe Ubao Vitu halisi Chati
19
Kutaja na kueleza maana ya methali mbalimbali
Kubainisha sifa za methali na semi
Kulinganisha na kutofautisha methali na semi
Kujibu maswali daftarini
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk 124 Kiswahili fasaha uk
52,65,133
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kubainisha maneno katika sentensi (Tashibihi)
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha aina za maneno katika sentensi
Kutaja aina za maneno na ishara za K.V N-Nomino
Kueleza maana ya tashibihi na kutoa mifano
Kufanya mazoezi kikamilifu
Kueleza Kusoma na
kujadili Kutumia
kamusi Kutunga
sentensi Kuandika
madaftarini Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 99-100Mwongozo wa mwalimu uk 92-93
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya vitendawili
na tashibihi Milio na mshangao
(K.W wamitila) Kiswahili fasaha uk
128,45,31
Chati (sentensi Bango ( Tashibihi) Picha (sungura, fisi,
simaba) Ubao Vifaa halisi (siafu,
kupe) Michoro
4 Kusoma Usomaji wa kina: Riwaya
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja viwaya na vitabu kadhaa vya hadithi
Kusoma kwa ufasaha na kueleza ujumbe uliomo
Kueleza Kusoma Kuwasilisha
na kujadili Maswali na
majibu Kuandika
zoezi madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 103Mwongozo wa mwalimu uk 99
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya Fasihi Ijaribu na vikarabati
UK 134-136
Riwaya fupi K.V utengano na mwisho wa kosa
Chati (riwaya na waandishi)
5 Kuandika Insha ya maelezo
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza vipenge
Chemchemi za Kielelezo Kitabuni
20
Kutambua vipengele mbalimbali vya insha ya maelezo
Kuandika insha ya maelezo kwa hati hadhifu na mtiririko mzuri
muhimu Kusoma
kitabuni Kuandika
insha madaftarini
Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo na
nahau Kamusi ya Methali
(K.W wamitila) Ijaribu na likarabati
uk 37
Ubao Chati
5 1 Kusoma (ufahamu)
Peremende za pipi
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza hila zinazotumiwa na walaghai wa dawa za kulevya
Kutumia msamiati na misemo
Kujibu maswali ya ufahamu
Kurejelea Kifungu cha
awali cha dawa za kulevya
Kujadili Kusoma
ghibu Kujibu
maswali madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo na
nahau Kamusi ya Methali
(K.W wamitila) Ijaribu na likarabati
uk 37
Mchoro kitabuni Picha (waathiriwa wa
dawa za kulenga) Ubao Magazeti Chati (dawa hizo Vitu halisi
(miraa/sigara)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maakizi na mazungumzo sokoni (isimu jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma mazungumzo kitabuni na kasha kuigiza
Kuchambua msamiati (sasili) wa mazungumzo ya sokoni
Kujibu maswali kikamilifu
Kusoma kwa sauti
Kuigiza mazungumzo
Kujadili sajili Kuandika Kuyajibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 108-109Mwongozo wa mwalimu uk 102
Kamusi ya Kiswahili Fani ya Isimu jamii
kwa shule za
Mchoro kitabuni Vifaa halisi (matunda,
nguo) Ziara sokoni Cjato (msamiati)
21
sekondari Uk (ipara Isaac Odeo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Ngeli za nomino Kufikia mwisho wa funzo
mwanafunzi aweze Kutaja ngeli zote na
kutoa mifano mitano na nomino
Kutambua umuhimu wa ngeli katika upatinisho wa kisarufi
Kufanya zoezi kwa usahihi
Maswali ya dodoso
Kusoma na kujadili
Kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 109-110Mwongozo wa mwalimu uk 103-104
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
1 uk 24,72,90,108,117,134,151,165
Sarafu fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi.W) Uk 37-95
Chati (Jedwali la ngeli)
Vifaa halisi (kiti, tinda)
Ubao Magazetini (taifa leo) Picha (nomino) Mchoro
4 Kusoma Kusoma kwa kina: Tamthilia
Kufikira mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja na kufafanua sifa za tamthilia
Kuorodhesha vipengele vinavyo tofautisha tamthilia na riwaya
Kusoma tamthilia fupi na kueleza ujumbe
Kueleza tofauri ya tamthilia na riway
Kutaja sifa za tamthilia
Kujibu maswali ya tamthiia kikamilifu
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 111Mwongozo wa mwalimu uk 105
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi Kamusi ya methali
misemo na nahau (K.W wamitila)
Uhondo wa Kiswahili kitabu cha mwanafunzi 1 uk 94-96Mwongozo uk 49
Tamthilia fupi/fupi Picha za jukwaa Wanafunzi wenywe Chati (sifa za
tamthilia
5 Kuandika Utungaji wa kiamilifu Ratibu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Maswali ya dodoso na
Chemchemi za Chati (sifa za ratiba) Vielelezo vya ratiba
22
Kueleza maana ya ratiba Kutambua shughuli
zinazohitaji rativa Kupambanua muundao
wa ratiba Kuandika ratiba kwa
usahihi
kujadili Wasomee
maelezo na kielelezo
Kujadili muundo wa ratiba
Kuandika madaftarini
Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 111Mwongozo wa mwalimu uk 105
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi Kamusi ya methali
misemo na nahau (K.W wamitila)
Uhondo wa Kiswahili kitabu cha mwanafunzi 1 uk 86-87
Mwongozo uk 46
Halisi (harusi matanga)
Kielelezo kitabun Ubao
6 1 Kusoma (ufahamu)
Methali ya johari
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kutaja na kueleza maana ya methali
kusoma kwa sauti na kueleza ujumbe
kujibu maswali ya ufahamu yao sahihi
kueleza na kujadili
wanafunzi wataje methali
wasome kifungu
kufanya zoezi madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 106-108Mwongozo wa mwalimu uk 101-102
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
misemo na nahau (K.W wamitila)
Mchoro kitabuni Picha (waathiriwa wa
dawa za kulenga Ubao Magazeti Chati (dawa hizo Vitabu halisi
(miraa/sigara)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Masungumzo na maakizi shuleni (isimu jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza sifa za mazungumzo shuleni
Kukeza msamiati wake wa mazingira za shuleni
Kujadili kuhusu mazungumzo shuleni waigize
Mazungumzo wawili wawili
Kujadili saili ya
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 114Mwongozo wa mwalimu uk 108
Kamusi ya Kiswahili Fani ya Isimu jamii
kwa shule za
Wanafunzi wenyewe Kielelezo kitabuni Picha za shule Chati Ubao Mchoro
23
mazungumzo Kufanya zoezi Kujisahisha
sekondari uk (Ipara Isaac Odek)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Ukubwa na udogo wa Nomino
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja nomino mbalimbali
Kubadilisha nomino kutoka kwa kawaida hadi ukubwa na udogo
Kufanya zoezi kwa usahihi
Kutaja nomino na kuelekeza kupata ukubwa
Kusoma maelezo kitabuni
Kufanya zoezi na masahihisho
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 115-117Mwongozo wa mwalimu uk 109
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi 1 uk 124-127
Mwongozo uk 62-63
Chati (ukubwa na udogo)
Vifaa halisi (kitabu, rula nguo
Picha ubao
4 Kusoma Matumizi ya kamusi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutumia kamusi bila kutatizika
kutambua umuhimu wa kamusi katika kupanua msamiati
waongeze kujadili kamusi
kutumia kamusi
kufanya zoesi madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 117Mwongozo wa mwalimu uk 110
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
misemo na nahau (K.W wamitila)
5 Kuandika Uandishi wa insha ya masimulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutoa masimulizi ya kasi Fulani
Kueleza tofauti ya aina hii ya insha na nyinginezo
Kuandika insha kuhusu tukio, kisa au jambo
Toa maelezo kwa jumla
Kusoma maelezo kitabuni
Kusimulia kisa kifupi
Kujadili
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 119Mwongozo wa mwalimu uk 111
Kamusi ya Kiswahili
Kielelezo cha insha ya masimulizi
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (sifa)
24
fulani vidokezi Kuandika
insha
(K.W wamitila) Uhondo wa Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi 1 uk 96
Mwongozo uk 467 1-5 MTIHANI WA KATI YA MUHULA NA MAPUMZIKO YA KATIKATI YA MUHULA
8 1 Kusoma (ufahamu)
Fungua Seisame
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa sauti na matamshi bora
Kutumia msamiati katika sentensi
Kujibu maswali kwa usahihi
Maongezi kuhusu visa vya wizi
Kusoma kifungu kwa sauti
Kujadili ujumbe namsamiati
Kufanya zoesi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 120Mwongozo wa mwalimu uk 112-113
Kamusi ya Kiswahili
Vifaa halisi (redio, runinga)
Ubao Chati( na msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Vitendawili mafumbo na chemsha bongo
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya vitendawili na mafumbo
Kutaja umuhimu wa vitendawili na mafumbo katika jamii
Kutegeana vitendawili na kufumbiana mafumbo
Kutega na kutegua vitendawili uk
Kusoma kitabu
Kujadili umuhimu
Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo,
vitendawili, milio tashibihi na mshangao na nahau (K.W wamitila)
Wanafunzi wneyewe Ubao chati
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Ngeli za nomino
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kutaja ngeli na nomino zake
kutumia nomino kwa
maswli ya dodoso
tumia s entensi kueleza
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa
Vitu halisi Mchoro Chati (ngeli) Ubao
25
kuzingatia upatanisho sahihi wa sarufi
kujibu maswali sahihi
kusoma makala kitabuni
waongoze kutambua ngeli
kujibu maswali
mwalimu uk 126-124 Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi 1 uk 81-84
Mwongozo uk 35-36
4 Kusoma Kusoma kwa mapana: Makala na vitabu vya ziada
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutambua umuhimu wa kusoma vitabu zaidi
Kusoma na kueleza yaliyomo
Maswali ya dodoso
Kusoma vitabu vya ziada
Kujadili yaliyomo
Kusimulia hadithi
Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 125-127Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
Uhondo wa Kiswahili kitabu cha mwanafunzi 1 uk 7-9
Mwongozo uk 10
Magazeti Majarida Vitabu mbalimbali Ubao
5 Kuandika Imla Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
Kusikiliza na kuandika anayosomewa
Kuandika kwa hali nadhifu na hijai sahihi
Kusoma na kujadili
Kusikiliza yanoyosomwa
Kuandika madaftarini
Kusahihisha na kufanya marudio
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 152Mwongozo wa mwalimu uk 140
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi 1 uk 144
Mwongozo wa mwalimu uk 70
Ubao Chati Msamiati Michoro picha
9 1 Kusoma Ulimwengu wa Kufikia mwisho wa funzo Maswali ya Chemchemi za Mchoro
26
komputa mwanafunzi aweze kueleza sifa, sehemu na
manufaa ya tarakilishi kusoma msamiati na
kufafanua msamiati unaohusu kompyuta
kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
dodoso kuhusu kompyuta
Kutazama picha au kompyuta halisi
kusoma kifungu kwa zamu
kujadili ujumbe
kufanya zoezi na kusahihisha
Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 127-129Mwongozo wa mwalimu uk 105
Kamusi ya Kiswahili
Kitabuni Tarakilishi halisi Bango (mchoro ya
tarakilishi namajina ya sehemu)
ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mahojiano:Mwalimu na mwanafunzi (Isimu jamii)
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kueleza sifa zinazohusiana na mahojiano
kushiriki katika kuigiza mahojiano (mwalimu na mwanafunzi
kupambanua msamiati wa mazungumzo
kujadili kuhusu uhusiano wa mwalimu na mwanafunzi
kusoma na kuigiza
kueleza sasili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 129Mwongozo wa mwalimu uk 120
Uhondo wa Kiswahili kitabu cha mwanafunzi 1 uk 70-71
Mwongozo wa mwalimu uk 39
Wanafunzi wenyewe Ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa kisarufi: angu, ako, ake, kwa
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutumia vivumishi –angu, - ako, -ake, kwa usahihi
Kujibu maswali yote kwa usahihi
Maelezo kuhusu –angu, ake, ako
Kupitia jedwali kitabuni
Watoe mifano yao
Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 130-131Mwongozo wa mwalimu uk 121-122
Kamusi ya fasaha kitabu cha
Chati (ngeli na vimikisho)
Vifaa halisi (kiti, tunda
Ubao Picha (nomino)
27
na kusahihisha
mwanafunzi uk 156 Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili uk 9-10 (Gichohi waihiga)
4 Kusoma Riwaya Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja riwaya mbali mbali za kiwango chako
Kusoma kwa kina na kueleza kwa ufupi alichosoma
Kupanua msamiati wake
Kueleza na kutaja riwaya
Kusoma yaliyomo kimoyomoyo
Kusimulia kwa ufupi aliyosoma
Kujadili msamiati na fani za lugha
Vitabu vya riwaya K.V utengano, mwisho wa kosa, shamba la wanyama
Kamusi ya fasihi Kamusi ya methali
misemo na nahau (K.W wamitila)
Vifaa halisi Kanda za video Nakala ya vitabu vya
riwaya Chati (sifa za riwaya) wanafunzi wenyewe
5 Kuandika Utungaji wa kisaniiVitendawili Mafumbo na chemsah bongo
Kufikia mwisho wa fumbo mwanafunzi aweze
kutega vitendawili na kuvitegua
kutunga mafumbo na kuyafumbua
kutegeana vitendawili
kueleza utunzi wa vitendawili na mafumbo
kusoma maelezo kitabuni
kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 132-133Mwongozo wa mwalimu uk 123
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya tashibili,
vitendawili, mlio wa mshangao
Kamusi ya fasihi Kiswahili fasaha uk
98,108,59
Vifaa halisi (redio, runinga)
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati
10 1 Kusoma (ufahamu)
Bado ningali kijana
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kusoma shairi na kueleza bahari yake
kufafanua msamiati na ujumbe
kusoma shairi wawili wawili
kujadili maudhui
kutumia
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 134-136Mwongozo wa
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (Bahari)
28
kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi
kamusi, kueleza msamiati
kujibu maswali madaftarini
kusahisha
mwalimu uk 124-125 Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi Kamusi ya methali
misemo na nahau (K.W wamitila)
Nuru ya ushairi kwa shule (S.M kuvuna, M.N Mvita)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Misemo Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya misemo
Kutaja misemo kutoa maana yake
Kutunga sentensi sahihi zenye misemo aliyotaja
Wataje misemo na kueleza maana
Kutumia kamusi
Kutunga sentensi
Kusoma maelezo
Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 136Mwongozo wa mwalimu uk 125
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi Kamusi ya misemo na
nahau (K.W wamitila) Uhondo wa Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi 1 uk 145Mwongozo uk 71
Chati (misemo na maana)
Ubao mchoro
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa Kisarufi (Viwakilishi)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja ngeli na nomino zake
kutunga sentensi za nomino na vimlikisha kwa umoja na wingi
kurejelea funzo la vimilikishi
maswali ya dodoso
pitia jedwali watunge
sentensi kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 137Mwongozo wa mwalimu uk 126-127
Uhondo wa Kiswahili kitabu cha mwanafunzi 1 uk 24-28
Chati Vifaa halisi (kalamu,
wino) Ubao
29
Mwongozo uk 17
4 Kusoma Tamthilia Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kusoma kimoyomoyo na kueleza ujumbe kwa wingi
kupanua msamiati na fani za lugha
kueleza matarajio
kusoma kuwasilisha
kwa ufupi kujadili
tamthilia teule kamusi ya misemo
nahau/ kamusi ya methali (K.W wamitila)
uhondo wa Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 94-96mwongozo wa mwalimu uk 49-50
Tamlilia mbalimbali Magazeti
(mazungumzo) Wanafunzi wenyewe Chati Picha za jukwaa
5 Kuandika Utungaji wa kiamilifu matangazo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza aina mbalimbali za matangazo
Kutambua umuhimu wa matangazzo
Kutunga matangazo kuhusu mada mbalimbali
Kueleza Kusoma
maelezo kitabuni
Kujadili sifa za matangazo
Kufunga matangazo fupi
Kusikiliza Kuandika
zoezi
Chemichemi za Kiswahili 1Kitabu cha mwanafunzi
Mabango Vifunzo vya dawa Michoro vitabuni Ubao redio
11 1 Kusoma (ufahamu)
Magazeti na umuhimu wake( zoezi la marudio II)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kimoyomoyo na kuelewa ujumbe
kujibu maswali kwa usahihi
kukuza msaamiati wake
maelezo mafupi kuhusu maswali ya ufahamu
kusoma ghibu kujibu maswali
kusahihisha na kufanya marudio
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 141-142Mwongozo wa mwalimu uk 130
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi 1 uk 50-51
Magazetini (taifa leo, nipashe)
Wanafunzi wengine Chati (masamiati)
30
Mwongozo wa mwalimu uk 30-31
2 Kusikiliza na kuzungumza
Hurafa Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na kubainisha sifa za hurafa kifunguni
Kujibu maswali kikamilifu
Kusoma kimoyomoyo
Kujibu mwaswali madaftarini
Kusahihisha na kujadili na kuandika ubaoni
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 141-142Mwongozo wa mwalimu uk 130
Kamusi ya Misemo Kamusi ya misemo na
nahau (K.W wamitila)
Kifungu kitabuni Wanafunzi wenyewe ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Jaribio II maswali (1-7)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi
kuandika hati nadhifu
kusoma na kujibu maswali
kusahihisha majibu
kuandika majibu ubaoni
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 143-146Mwongozo wa mwalimu uk 137
Kamusi ya MisemoKamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila
Makala ya maswali kitabuni
Wanafunzi wenyewe Ubao
4 Kusoma Makala Maktasari
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kusoma kimoyomoyo na kuorodhesha hoja muhimu
Kujibu maswali kwa usahihi
Kusoma kifungu kimoyomoyo
Kudondoa hoja muhimu
Kuandika majibu
kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 147Mwongozo wa mwalimu uk 134
Kamusi ya Misemo Uhondo wa Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 169-170Mwongozo wa mwalimu uk 82
Makala kitabuni Wanafunzi wenyewe ubao
31
5 Kuandika Ratiba Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kuorodhesha vidokezi muhimu kuhusu swali
kuandika sifa na muundo wa ratiba
kuandika ratiba usahihi
kujadili muundo wa ratiba
kuandika ratiba
kusahihisha na kurekebisha makosa
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 147Mwongozo wa mwalimu uk 134
Kamusi ya Misemo Uhondo wa Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 86-87Mwongozo wa mwalimu uk 82
Makala ya ratiba halisi (ndoa mazishi)
Ubao Chati (muundo) Mwanafunzi
mwenyewe
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGA MUHULA WA PILI
32
KISWAHILI KIDATO CHA 1 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 3
JUMA
KIPINDI
MADAKUU MADA NDOGO SHABAHA/MALENGO MBINU MAREJELEO NYENZO MAONI
1 1 Kusoma (ufahamu)
Runinga ya mizentwe
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa matamshi bora
Kueleza madili katika taarifa
Kutumia msamiati, misemo na methali kifunguni kwa usahihi
Kujibu mwaswali ya ufahamu kikamilifu
Kueleza Kukariri kwa
zamu Kujadili Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 154Mwongozo wa mwalimu uk 142
Kamusi ya Misemo na nahau
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
(K.W wamitila)
Mchoro kitabuni Wanafunzi wenyewe Ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Ushairi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kukariri shairi kwa lahani nzuri
Kusikiliza shairi na kueleza ujumbe na maadili
Kufafanua baadhi ya msamiati wa kishairi
Kueleza Kukariri kwa
zamu Kujadili Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya kiswahili Kiswahili fasaha uk
Chati (ngeli anba) Ubao Vitu halisi (kikombe,
tunda) Magazeti yenye picha
za nomino Michoro nomino
33
174 Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili (Gichohi waihiga)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kirejeshi ‘amba’
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutambua matumizi ya ‘amba’ na upatanisho wake
Kufafanua uhusiano wa ‘amba’ na o-rejeshi
Kutunga sentensi sahihi kwa kutumia ‘amba’
Maswali ya dodoso
Kusoma kwa sauti na kwa zamu
Kueleza Kujibu
maswali daftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 156Mwongozo wa mwalimu uk 143
Kamusi ya Misemo Kamusi ya Kiswahili Kiswahili fasaha uk
174 Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili (Gichohi waihiga)
Chati (ngeli ‘amba) Ubao Vitu halisi (Kikombe,
tunda) Magazeti yenye picha
za nomino Michoro ya nomino
4 Kusoma Hotuba Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza sifa za hotuba nzuri
Kusoma hotuba kwa matamshi bora
Kutoa hotuba mbele ya darasa
Kueleza Kusoma Kujadili Kuigiza
hotuba
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 159Mwongozo wa mwalimu uk 146
Kamusi ya kiswahili Uhondo wa Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 178Mwongozo wa mwalimu uk 85
Kifungu (Hotuba) Wanafunzi wenyewe Magazeti (Taifa leo)
5 Kuandika Utangaji wa kiamilitu
Kufikia mwisho wa funzo aweze Kueleza muundo/hotuba
Kueleza Kusoma
Chemchemi za Wanafunzi wenyewe Nakala za hotuba
34
(hotuba) za kuandika hotuba Kutambua matumizi ya
lugha katika uandishi wa hotuba
Kuandika hotba kikamilifu
hotuba mbali mbali
Kujadili kuandika
Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 159Mwongozo wa mwalimu uk 146
Kamusi ya kiswahili
(hotuba ya mwalimu mkuu)
ubao
2 1 Kusoma Polisi na dhima yao
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kueleza umuhimu wa kitengo cha polisi katika jamii
kufafanua msamiati na kutumia katika sentensi
kujibu maswali kikamilifu kwa usahihi
kusoma ghibu
maswali ya dodso
kujibu kwa sauti
kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 160Mwongozo wa mwalimu uk 149
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo na
nahau
Mwanafunzi mwenyewe
Ubao Mchoro Picha ya polisi kazini Magazeti (polisi)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Nyimbo Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja na kueleza aina za nyimbo
Kupambanua dhima ya nyimbo
Kuimba wimbo maadili
Kueleza Kusoma Kuimba
wimbo kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 162Mwongozo wa mwalimu uk 149
Kamusi ya Fasihi Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari
Wanafunzi wenyewe Wimbo Radio na randa za
nyimbo Chati (wimbo) Vitabu bya nyimbo
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa kisarufiVimilikishi –enu, etu - ao
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutumia etu, enu na ao pamoja na nomino kwa usahihi
Kutunga sentensi sahihi kwa kutumia e, tu enu na ao
Kueleza Kusoma Kujadili na
kuandika Kufanya zoezi
kwa kujibu maswali
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk 1
Kamusi ya Kiswahili Kiswahili fasaha
Chati (ngeli vimilikishi Ubao Vitu halisi (kitabu,
tawi, tunda, uzi Picha nomino Mchoro
35
kitabu cha mwanafunzi uk 174
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga)
4 Kusoma Sentensi ya kiswahili
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa sentensi za Kiswahili
Kutunga sentensi yenye muundo ufaao
Kusoma Kujadili na
kutunga sentensi
Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 165Mwongozo wa mwalimu uk 163
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili (Gichohi waihiga)
Bango (sentensi) Chati Ubao Magazeti(taifa leo)
5 Kuandika Maagizo maelekezo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Maswali ya dodoso
Kusoma kwa sauti
Kufuata maagizo
Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 166Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Misemo Kamusi ya Kiswahili Kiswahili fasaha uk
85
Mfano kitabuni Mabango yenye
maagizo Karatasi (mtihani
daftarini) Wanafunzi wenyewe Ziara shuleni
3 1 Kusoma (ufahamu)
Siri ya Jirani Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa kina na kutamua maadili
Kubaini msamiati, misemo na methali na kueleza maana
Kujibu mawali usahihi
Kusoma Kujadili Kutunga
sentensi kwa sauti
kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 169-167Mwongozo wa mwalimu uk 155
Kamusi ya Misemo nahau (K.W wamitila)
Mchoro (kitabuni uk 69 Wanafunzi wenyewe ubao
36
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali uk
2 Kusikiliza na kuzungumza
Nyimbo Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja aina za nyimbo kueleza maana ya
bembelezi na kutoa mifano
kuimba bembelezi kwa usahihi (kitabu)
kueleze kusoma kwa
sauti kujadili kuimba kuandika na
kufanya zoesi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 171Mwongozo wa mwalimu uk 156
Uhondo wa Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 150Mwongozo wa mwalimu uk 74
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya Fasihi uk
85
Mwanafunzi mwenyewe
Redio na kanda Picha ya waimbaji Magazeti (michor ya
wimbaji) Chati (nyimbo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Muundo wa sentensi: kirai
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya kirai Kutofautisha baina ya
kirai na sentensi Kubainisha vira katika
sentensi
Kueleza Kusoma Kujadili Kutoa mifano Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 172Mwongozo wa mwalimu uk
Uhondo wa Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 139-140Mwongozo wa mwalimu uk 68Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga)
Chati Ubao Vitu halisi (tunda,
kitabu) Michoro Magazeti (sentensi
tofauti)
Chemchemi za 37
4 Kusoma Kikundi nomino (KN) na kikundi tenzi (KT)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya kundi nomino na kundi tenzi
Kupambanua sentensi kuonyesha KN na KT
Kujibu zoezi kwa usahihi
Kueleza dhana
Kujadili Kusoma
maelezo kitabuni
Kuandika zoezi mda
Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 173-174Mwongozo wa mwalimu uk 158
mwalimu uk 68Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga)
kamusi ya Kiswahili
Chati Ubao Vitu halisi (tunda,
kitabu) Michoro Magazeti (sentensi
tofauti)
5 Kuandika Mahojiano dayolojia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kupambanua maana ya dayalojia na maigizo
Kufanya maigizo mafupi Kuandika dayolojia kwa
muundo ufao
Kusoma kwa sauti
Kujadili Kuigiza Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 167-168Mwongozo wa mwalimu uk 154
Uhondo wa Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 161Mwongozo wa mwalimu uk 79
Kamusi ya kiswahili
Makala ya mahojiano Magazeti (mifano ya
mahojiano) Ubao Chati (muundo)
4 1 Kusoma (ufahamu)
Simu ya mawasiliano ya Binadamu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza umuhimu wa simu katika mawasiliano
Kutambua maendeleo ya simu tangu iasisiwe
Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
Kusoma kwa sauti
Kujadili na kutumia simu
Kueleza msamiati
Kutunga sentensi
Kuandika zoezi madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 177-78Mwongozo wa mwalimu uk 161
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya mehtali,
misemo na nahau (K.W wamitila)
Vifaa halisi (rununu, simu)
Picha kitabuni Ubao Magazeti yenye
michoro ya simy Michoro kwenye
chati
38
2 Kuikiliza na kuzungumza
Maigizo utangulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya maigizo
Kuigiza kuhusu suala lolote
Kutaja aina za maigizo
Kusoma Kujadili na
kueleza Kuiga
maigizo Kusikiliza Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 178Mwongozo wa mwalimu uk 162
Uhondo wa Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 157Mwongozo wa mwalimu uk 77
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Alex ngure)
Radio na filamu Wanafunzi wenyewe Picha (maigizo) Chati (aina )
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kuakifisha Kufikia mwisho wa funzo; mwanafunzi aweze:
Kutaja dama za uakifishaji
Kueleza matumizi ya alama hizo
Kueleza kwa kina matumizi za alama ya kinyota
Kueleza Kutunga
sentensi Kuandika Kujibu zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 180Mwongozo wa mwalimu uk 164
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili (waihiga Gichohi)
Chati (alama na matumizi)
Ubao Bango Magazeti (Taifa leo)
4 Kusoma Utungaji wa Kisanii vitanza ndimi
Kufikia mwisho wa funzu, mwanafunzi aweze:
Kutaja alama za uakifishaji
Kueleza matumizi ya alama hizo
Kueleza kwa kina matumizi ya kinyota
KuelezaKutunga sentensiKuandikaKujibu zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 176Mwongozo wa mwalimu uk 160
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari (Alez Ngure)
Kiswahili Fasaha 1 kitabu cha
Chati Ubao Mwanafunzi
wenyewe magazeti
39
mwanafunzi uk 143
5 Kuandika Utungaji wa kiamilifi taarifa
Kufikia mwisho wa funzo, mwananfunzi aweze
kutoa fasihi ya taarifa kuandika taarifa kwa
usahihi
kueleza kujadili kusoma kwa
kina kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk 156Mwongozo wa mwalimu uk 76
Nakala ya tarifa halisi Ubao Chati (muundo)
5 1 Kusoma (ufahamu)
Uchafuzi wa mazingira
Kufikia mwisho wa funzo, mwananfunzi aweze
Kusoma na kutambua maadili katika kifungu
Kupanua msamiati wake Kujibu maswali ya
ufahamu kikamilifu na kwa usahihi
Maswali ya dodoso
Kusoma kwa zamu
Kujadili Kuandika
zoezi madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 182 Mwongozo wa mwalimu uk 166-167
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya mehtali
(K.W wamitila)
Michoro kitabuni Picha(mabivu ya faka,
miti uliyokatwa) Ubao Kanda ya video
(mazingira) Magazeti (mazingira)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maigizo vipera vyake
Kufikia mwisho wafunzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya maigizo
Kupambanua vipera vya maigizo na kutoa mifano
Kuigiza kielelezo kitabuni
Kueleza, kusoma na kujadili
Kuigiza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 183-184Mwongozo wa mwalimu uk 167-168
Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha fasihi
uk 99 Fasihi simulizi (Alez
Ngure) Uhondo wa Kiswahili
uk 157
Chati (mwainisho wa
vipera) Wanafunzi wenyewe Kielezo kitabuni Picha (waigizaji) Kielezo kitabuni Picha (waigizaji) Magazeti (taifa Leo)
40
Mwongozo uk 77
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Sentensi sahili Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana ya sentensi sahihi
kutunga sentensi sahihi
kueleza kuuliza
maswali kusoma kwa
sauti kujadili kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 185Mwongozo wa mwalimu uk 168
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
kitabu cha mwanafunziuk 172-174Mwongozo wa mwalimu uk 83
Maelezo kitabun Mwanafunzi
mwenyewe ubao
4 Kusoma Sentensi sahihi (uchanganuzi)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kuainisha sentensi sahihi kwa kuzingatia kundi nomino na kundi tenzi
kuchanganua sentensi sahihi kwa kutumia mistari
kueleza kusoma kujadili kuchangamu
a ubaoni kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 186Mwongozo wa mwalimu uk 169-170
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk 172-174Mwongozo wa mwalimu uk 83
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga)
Chati (sentensi sahihi)
Magazeti (taifa leo) Ubao Wanafunzi wenyewe picha
5 Kuandika Muhtasari utangulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana ya muhtasari
kuorodhesha sifa bainifu za muhtasari
kueleza kujadili kusoma kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 186Mwongozo wa
Makala kitabuni Ubao Magazeti Chati (sifa) Ujumbe mfupi
kwenye fununu
41
kufupisha kifungu kwa idadi ya maneneo yaliyoulizwa
mwalimu uk 176 Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo na
nahau (K.W wamiliti) Uhondo wa Kiswahili
uk 169-170Mwongozo wa mwalimu uk 82
Vitu halisi (rununu)
6 1 Kusoma (ufahamu)
Taarifa(Magazetini)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza sajili ya mazungumzo mtaani
Kutambua haja ya kutumia lugha katika mazingira faafu
Maswali ya dodoso
Kusoma na kuigiza
Kujadili Kufanya zoezi
na kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 190-191Mwongozo wa mwalimu uk 173
Kamusi ya Kiswahili
Wanafunzi wenyewe Ubao Magazeti Majarida Chati (msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maamkizi na mazungumzo mtaani (Isimu Jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza sajili ya mazungumzo mtaani
Kutambua haja ya kutumia lugha katika mazingira faafu
Maswali ya dodoso
Kusoma na kuigiza
Kujadili Kutanya
zoezi na kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 190-191Mwongozo wa mwalimu uk 173
Kamusi ya Kiswahili
Mwanafunzi mweinyewe
Magazeti Ubao Chati (Sifa za sajili hii)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Vionyeshi (ngeli A/WA na Ki-Vi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja nomino za ngeli ya A-WA na KI-VI
Kutumia nomino hizo pamoja na viashiria
Kufanya zoezi kwa usahihi
Kudodoso Kueleza Kusoma Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 192-193Mwongozo wa mwalimu uk 174
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk 35-39Mwongozo wa mwalimu uk 23
Vifaa halisi Michoro (vionyeshi) Wanafunzi wenyewe Ubao chati
42
4 Kusoma Ufupisho Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kwa kina kueleza hoja muhimu
kwa ufupi
kusoma kujadili hoja kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 186Mwongozo wa mwalimu uk 176
Kamusi ya Kiswahili
Makala kitabuni Ubao Magazeti (taifa leo)
5 Kuandika Muhtasari Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kifungu na kudondoa hoja muhimu
Kufupisha kifungu kwa kuzingatia hatua za kuandika muhtasari
Kueleza Kujadili Kusoma Kuandika
zoezi Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 193Mwongozo wa mwalimu uk 176
Kamusi ya Kiswahili Uhondo wa Kiswahili
uk 169-170Mwongozo wa mwalimu uk 82
Kifungu kitabuni Ubao Magazeti (taifa Leo)
7 1-5 MTIHANI WA KATI NA MAPUMZIKO YA KATIKATI YA MUHULA WA TATU
8 1 Kusoma Ufahamu
Si urogi ni ugonjwa
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua visababishi na dalili za ukimwi
Kutambua jinsi ya kujikinga dhidi ya ukimwi
Kujibu maswali ya ufahamu
Kupanua msamiati
Kujadili (ukimwi kwa ujumla)
Kusoma kwa kupokezana
Kueleza ujumbe
Kutunga sentensi
Kuandika zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 188-189Mwongozo wa mwalimu uk 172
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Kamusi ya methali Uhondo wa
Mchoro kitabuni Mwanafunzi
mwenyewe Picha za waathiriwa
wa ukimwi Kanda za video Magazeti
43
Kiswahili uk 169-170Mwongozo wa mwalimu uk 82
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora: vitate a/h
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Jozi ya maneno a/h kwa usahihi
Kutaja mifano ya vitate a/h
Kufanya zoezi kwa ukamiifu
Kueleza Kusoma Kutamka
maneno kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 191Mwongozo wa mwalimu uk 174
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanu\i ya
Kiswahili (gichoho waihiga)
Chati (utate) Mwanafunzi
mwenyewe Ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kuakifisha Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja alama za hakifishaji alizofunzwa awali
Kufafanua matumizi ya kistari na ritifaa
Kuakifisha tungo kwa usahihi
Maswali ya dodoso
Kusoma Kueleza Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 196-197Mwongozo wa mwalimu uk 178-179
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi za
Kiswahili (waihiga Gichohi)
Uhondo wa Kiswahili uk 145,174Mwongozo wa mwalimu uk 71,84
Bango (sentensi ubao
4 Kusoma Mashairi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kwa sauti
diwani za mashairi magazeti
wanafunzi wenyewe magazeti (taifa leo)
44
kutaja bahari mbali mbali za mashairi
kusoma shairi na kueleza ujumbe, maadili na mtindo
kujibu maswali yatokanayo na shairi kikamilifu
kughani kujadili
nuru ya ushairi kamusi ya Kiswahili kamusi ya fasihi
ubao chati (bahari)
5 Kuandika Insha ya methali(marudio)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana ya methali
kutambua hatua za kuandika insha za methali
kuandika kisa cha kusisimua kuhusu methali
maswali ya chemsha bongo
kutumia kamusi kueleza maana
kujadili vidokezi
kuandika mdaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 199Mwongozo wa mwalimu uk 180
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
(K.W wamitila)
Ubao Chati 9muundo) Wanafunzi wenyewe
9 1 Kusoma Kisa cha pode Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa ufasaha na kufahamu ujumbe
Kutumia msamiati na fani za lugha zilizo kwa usahihi
Kufanya zoezi kutokana na ufahamu kwa usahihi
Maswali ya kukuza mjadala
Kusoma kwa sauti
Kueleza (ujumbe na lugha)
Kuandika zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 194-196Mwongozo wa mwalimu uk 177
Kamusi ya Kiswahili
Mchoro kitabuni Rami ya dunia Picha za kihistoria Ubao Vitabu by kihistoria
(vyunani)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora: Vitate I/R
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutamka vitate v/I kwa ufasaha
Kueleza maana ya vitate hivyo
Kujibu maswali kwa
Kueleza Kusoma na
kutamka vitate
Kujadili mifano zaidi
Kutumia
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 196Mwongozo wa mwalimu uk 178
Chati (Vitate v/i) Wanafunzi wenyewe Ubao magazeti
45
usahihi Kutunga sentensi za i/r
kamusi Kuandika
(zoezi)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa kisarufi: vionyeshi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
kutumia vionyeshi kwa kuzingatia ngeli
kubainisha vionyeshi vya nafsi tatu
kutunga sentensi sahihi na kufanya zoezi
soma kitabuni maswali ya
dodoso maswali ya
dodoso kutoa mifano
zaidi kuigiza
(kuashiria) kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 196Mwongozo wa mwalimu uk 178
Kamusi ya Kiswahili Kiswahili fasaha
Kitabu cha mwanafunzi uk 164
Chati (viashiria) Vifaa halisi Picha/mchoro Wanafunzi wenyewe ubao
4 kusoma Magazeti (baru kwa mhariri
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
kufafanua muudo wa barua za magazetini
kusoma barua za magazetini
kueleza umuhimu wa barua hizo
kueleza kujadili kusoma
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 199Mwongozo wa mwalimu uk 182
Kamusi ya Kiswahili
Kielelezo kitabuni Magazeti (Taifa leo) Ubao Chati (muundo) Barua halisa Majarida
5 Kuandika Barua ya magazetini
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kuandika barua ya magazetini kwa usahihi
Kuandika kwa hati nadhifu na lugha yakinofu ya mada husika
Kujadili Vidokezo Kusoma na
kueleza Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 199Mwongozo wa mwalimu uk 182
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali)
Magazeti Kielelezo kitabuni Ubao Majarida
10 1 Kusoma (ufahamu)
Tatizo la dawa za kulevya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa kina na
Kusoma ghibu Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha
Maswali kitabuni (zoezi la marudio
Mwanafunzi
46
kupata madili Kujadili maswali
Kujadili majibu
Kufanya masahihisho
wanafunzi uk 201Mwongozo wa mwalimu uk 183
mwenyewe Ubao Vita halisi (sigara,
miraa)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Tanzu kuu za fasihi simulizi- vipera vya fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na kueleza maswali
Kujibu maswali kwa usahihi
Kusoma Kujibu
maswali Kujadili Kufanya
masahihisho
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 201Mwongozo wa mwalimu uk 183
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulia kwa
shule za sekondari (Alex ngure)
Uhondo wa Kiswahili uk 88-89Mwongozo wa mwalimu uk 47
Chati ( tanzu za fasihi simulizi)
Ubao Vitu halisi (ngoma) Picha (wanyama)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Maswali ya zoezi la marudio II
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma maswali na kuelewa
(a) kujibu maswali kwa usahihi
Kufanya masahihisho alikokosea
Kusoma ghibu Kujibu
maswali Kujadili
majibu Kufanya
masahihisho
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 202-204Mwongozo wa mwalimu uk 183-185
Shairi kitabuni Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (arudhi)
4 Kusoma Shairi: Michezo hujenga mwili
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma shairi na kueleze ujumbe na maadili yaliomo
Kujibu maswali kwa usahihi
Kusoma Kujibu
maswali Kujadili
majibu Kufanya
masahihisho
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 204-205Mwongozo wa mwalimu uk 185
Miale ya ushairi
Shairi kitabuni Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (arudhi)
47
(NES) Nuru ya ushairi
5 Kuandika Insha ya kuendeleza
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kuandika insha ya kuendeleza kwa mtiririko mzuri
Kueleza maana ya mafumbo na kutunga mafumbo kadhaa
Kusoma kwa kina
Kujibu maswali
Kujadili majibu
Kufanya masahihisho
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 205Mwongozo wa mwalimu uk 185
Insha kabambe (simon mutali)
Maswali kitabuni Mwanafunzi
mwenyewe Ubao Chati (mafumbo)
11-12 1-5 MTIHANI WA MWISHO WA KUFUNGA SHULE MUHULA WA TATU
KISWAHILI KIDATO CHA 2 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 1
JUMA
KIPINDI
MADAKUU MADA NDOGO SHABAHA/MALENGO MBINU MAREJELEO NYENZO MAONI
1 1 Kusoma (ufahamu)
Ndugu majuu na wakazi wa kibabuu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa matamshi bora
Kueleza maadili katika taarifa
Kutumia msamiati,
Maswali ya dodoso
Kusoma kwa sauti na zamu
Kueleza msamiati
Kujadili
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 154Mwongozo wa mwalimu uk 142
Mchoro Kitabu Wanafunzi wenyewe ubao
48
misemo na methali kifunguni kwa usahihi
ujumbe (maadili)
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Majadiliano Mwanafunzi na mwalimu (Isimu Jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
kuwasilisha mawazo kwa muwala mzuri
kusoma na kuigiza kifungu kitabuni
kujibu maswali yatokanayo na kifungu
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 156Mwongozo wa mwalimu uk 143
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Isimu jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati
3 Sarufi na matumizi
Misingi ya maneno:- mofimu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya mofimu
Kueleza mofimu na maana zinazowakilishwa
Kubainisha mofimu zote katika neno na maana zake
Kufanya zoezi kwa usahihi
Kueleza Kudodosa na
kujadili Kusoma
kitabuni Kutoa mfano kuandika
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha wanafunzi uk 157Mwongozo wa mwalimu uk 144
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili
Chati (mofimu) Ubao
4 Kusoma Utangulizi wa riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza kikamilifu maana ya riwaya
Maswali dodoso
Kusoma kwa sauti ‘maelezo
Chemchemi za Kiswahili 1Kitabu cha
Riwaya/utenganao, mwisho wa kosa
Mwongozo wa riwaya teule
49
kuorodhesha sifa bainifu za riwaya
kufafanua maana ya maudhui na jinsi ya kuyatambua katika riwaya
kitabuni’ Kujadili Kujibu
maswali
wanafunzi uk 8-9Mwongozo wa mwalimu uk 5-6
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi
Chati (sifa)
5 Kuandika Barua rasmi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
Kupambanua muundo wa barua rasmi na sifaa zake
Kuandika barua rasmi kwa njia ifaayo
Maswali ya dodoso
Kujadili Kusoma
maelezo na kielelezo
Kupitia sehemu muhimu
Kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 9-13Mwongozo wa mwalimu uk 6-7
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(Simo-mutali)
Riwaya/utengano, mwisho wa kosa)
Mwongozo wa riwaya teule
Chati (Sifa)
2 1 Kusoma (ufahamu)
Kumekucha Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kusoma na kughani shairi kwa ufasaha
Kueleza maana ya msamiati na semi zilizomo
Kujibu maswali kikamilifi na kwa usahihi
Kusoma ghibu Maswali ya
dodoso Majibu kwa
sauti Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 14-15Mwongozo wa mwalimu uk 8-9
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Shairi Kitabuni Ubao Mwanafunzi
mwenyewe Chati (sifa)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Visasili Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya risasili
Kutaja na kufafanua sifa za visasili na
Kueleza na kudodoso
Kusoma kwa sauti
Kuandika Kujadili
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 15-17Mwongozo wa mwalimu uk 9-10
Chati (Sifa) Ubao Picha (wanyama) Kanda ya video magazeti
50
umuhimu wake Kusimulia kisasili
kutoka katika jamii yake
kielelezo Kusimulia
mbele ya darasa
Kamusi ya fasihi Fasihi simulia kwa
shule za sekondari (Alex ngure)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
viambishi Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kueleza maana ya istilahi kiambishi
kuanisha viambishi awali,mzizi na tamati katika neon
kuonyesha maana mabali mbali zinazowasilishwa na viambishi
maswali na majibu
kueleza na kujadili mifano
kusoma kwa sauti
kuandika na kujibu zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 17-19Mwongozo wa mwalimu uk 10-11
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili
Gazeti (Taifa) Chati ( ubao
4 Kusoma Matumizi ya kamusi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja na kueleza aina za kamusi
kutaja umuhimu wa kamusi
kutumia kamusi kwa usahi
kueleza kusoma
maelezo kutumia
kamusi kujibu
maswali kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 33-34Mwongozo wa mwalimu uk 22
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Makta (ya shule) Kamusi/
ensaikolopedia Atlasi Muktubi Chati (aina za
kamusi)
5 Kuandika Hadhithi fupi Kufikia mwisho wa funzo mwalimu aweze
Kueleza sifa za muundo wa hadithi fupi
Kusimulia na kuandika kisa fupi
Maswali ya dodosa
Kujsoma maelezo kitabuni
Kujadili na kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 34-36Mwongozo wa mwalimu uk 23
Magazeti Yenye hadithi fupi Diwani ya hadithi
fupi ubao
51
Kupitia hadithi zao
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
3 1 Kusoma (ufahamu)
Utamaduni Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza vipengele muhimu vya utamuduni
kusoma ufasaha na kujibu maswali
kukuza msamiati na maadili yake
maswali ya dodoso
kusoma kwa sauti na zamu
kujadili ujumbe
kufanya zoezi kujadili majibu
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Chati (msamiati) Picha za shughuli za
kitamaduni ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza(Isimu jamii)
Mazungumzo hotelini
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma mazungumzo hotelini na kueleza msamiati(safili)
Kueleza sifa za mazungumzo hotelini
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kujadili Kuigiza Kujadili
maswali kwa sauti
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 26-28Mwongozo wa mwalimu uk 16-17
Kamusi ya Kiswahili Isimu jamii kwa
shule za sekondari (Ipare Isaac Odeo)
Chati Vifaa halisi (kiti,
mkoba, dawati) Ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Vivumishi ya maktaba
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya vivumishi
Kutaja aina zote kumi za vivumishi
Kutumia vivumishi vya sifa na vya kuonyesha
Kueleza na kujadili
Kusoma kwa sauti
Kutunga mifano
Kuashiria vitu Kuandika na
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 19-20Mwongozo wa mwalimu uk 12
Kamusi ya Kiswahili
Chati Vifaa halisi (kiti,
mkoba, dawati) ubao
52
kwa usahihi Kujibu maswali kwa
uhakika
kufanya zoezi Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 30Mwongozo wa mwalimu uk 20
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
4 Kusoma Matumizi ya maktaba
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kueleza umuhimu wa maktaba
kutaja aina ya vitabu vya marejeleo maktabani
kueleza na kusoma
ziara maktabani
kusoma, kujadili na kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 19-20Mwongozo wa mwalimu uk 12
Kamusi ya Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 30Mwongozo wa mwalimu uk 20
Kamusi ya fasihi Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Miale ya ushairi (NES)
Nuru ya ushairi Sarufi fafanuzi za
Kiswahili (waihiga Gichohi)
Fasihi simulia kwa shule za sekondari
53
(Alex ngure) Uhondo wa
Kiswahili uk 145,174 Mwongozo wa
mwalimu
5 Kuandika Hadithi fupi Kufikia mwihso wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza sifa na muundo wa hadithi fupi
Kusimulia na kuandika kisa kifupi
Maswali majibu
Kusoma maelezo kitabuni
Kujadili na kuandika
Kupitia hadithi zao
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 34-36Mwongozo wa mwalimu uk 23
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 90Mwongozo wa mwalimu uk 54
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
Magazeti yenye hadithi fupi
Diwani ya hadithi fupi
ubao
4 1 Kusoma (ufahamu)
Bwana Aisee na mradi kabambe
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maswala yaliyohusiana na ufisadi
kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali yalioyoulilzwa
kueleza maana ya msamiati, misemo na methali kwa kutunga sentensi
maswali ya dodoso (ufisadi)
kusoma kwa sauti na zamu
kueleza (msamiati) fani za lugha
kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 37-40Mwongozo wa mwalimu uk 25-26
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahuau (K.W wamitila)
Kamusi ya mehtali (K.W wamitila)
Michoro kitabuni Ubao Magazeti Chati (masamiati)
2 Kusikiliza na Methali Kufikia mwisho wa funzo, Kusahihisha Chemchemi za Chati
54
kuzungumza mwanafunzi aweze Kueleza maana na
umuhimu wa methali kama kitanzu cha fasihi
Kufafanua muundo wa methali
Kujibu maswali kuhusu methali
Kueleza na kujadili
Kusoma kwa sauti
Kushindana kukamilisha methali
Kujibu maswali
Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 40-42Mwongozo wa mwalimu uk 25-26
Kamusi ya Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 91-92Mwongozo wa mwalimu uk 56
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Ubao Wanafunzi wenyewe Magazeti Vitu halisi (ua, nguo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mashairi arudhi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja maana ya nomino
Kutaja aina zote na nomino na kutoa mfano
Kutumia nomino mbalimbali katika sentensi
Kueleza Kusoma
kitabuni Kujadili
mifano Kufanya zoezi kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 28/42/52Mwongozo wa mwalimu uk 17/26/33
Johari ya Kiswahili kitabu 2 cha mwanafunzi uk 22-25Mwongozo wa mwalimu uk 14
Chati Muamisho wa
nomino Ubao Viraa halisi (vikombe
ndizi, maji) Picha kwenye
magazeti (nomino)
4 Kusoma Mashairi arudhi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja sifa za shairi la
Maswali ya dodoso
Kusoma
Chemchemi za Kiswahili 2
Diwani ya mashairi Magazeti yenye
mashairi
55
arudhi Kusoma na kukariri
shairi la arudhi kwa mahadhi
Kujibu maswali kuhusu shairi la arudhi kwa usahihi
kitabuni Kitabu cha wanafunzi uk 44-45Mwongozo wa mwalimu uk 28-29
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 122-123Mwongozo wa mwalimu uk 73-74
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Nuru ya ushairi
Shairi kitabuni
5 Kuandika Ratiba Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana na umuhimu wa ratiba
Kutaja vipengele muhimu katika muundo na ratiba
Kuandika ratiba kwa njia ifaayo
Maswal ya dodoso kuhusu ratiba
Kusoma kitabuni
Kutazama na kujadili\vielezo
kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 45-46Mwongozo wa mwalimu uk 29
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 52Mwongozo wa mwalimu uk 31
Insha kabambe (Simon mutali)
Ubao Ratiba halisi ubao
5 1Kusoma(ufahamu)
Mwanamke ana haki
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kusoma kifungu kwa matamshi bora na kupata maadili yaliyomo
Kueleza mabadiliko
Mjadala (jinsia)
Kusomaghibu Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 47-50Mwongozo wa mwalimu uk 30-31
Picha( dhuluma kwa wanawake
Magazeti Ubao
56
katika jamii ya kuleta usawa wa jinsia
Kutumia msamiati methali na misemo katika sentensi
Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
Kamusi ya kiswahili Kamusi ya methali
na kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mjadala Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kushiriki kikamilifu katika mjadala
Kutoa hoja kwa kufuuza na kwa lugha sanifu
Kueleza (mada)
Kuteua makundi mawili ya kushindana
Kujadili na kuandika
Kupongeza washindi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 50-52Mwongozo wa mwalimu uk
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 118Mwongozo wa mwalimu uk 70
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
Kamusi ya kiswahili
Wanafunzi wenyewe Ubao Picha (bunge) Magazeti (picha ya
wanaojadiliana
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kuakifisha Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja alama za uakifishaji na matumizi yake
Kutumia alamz hizo katika sentensi
Kuafikisha sentensi na tungo nyinginezo kwa usahihi
Kueleza Kusoma Kutunga
sentensi Kufanya zoezi
madaftarini kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 30-31Mwongozo wa mwalimu uk 19-21
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 224Mwongozo wa mwalimu uk 135
Kamusi ya kiswahili
Chati (alama na sentensi
Ubao Magazeti matumizi
ya alama hizo
57
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
4 Kusoma Mashairi huru Kufikia mwisho wa funzi mwanafunzi aweze
Kutaja na kueleza sifa za shairi huru
Kutofautisha shairi huru na arudhi
Kusoma shairi huru na kujibu maswali kwa usahihi
Kujadili Kusoma kwa
sauti na kueleza
Kusoma na kughani shairi
Kujibu maswali na kujadili majibu
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 56-57Mwongozo wa mwalimu uk 35-36
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 167-168Mwongozo wa mwalimu uk 97
Kamusi ya kiswahili Miale ya ushairi
(NES) Nuru ya ushairi
Chati (mashairi huru) Diwani ya mashiri
huru Ubao Wanafunzi wenyewe Magazeti (taifa leo)
5 Kuandika Muhtasari Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja na kueleza mambo muhimu katika uandishi wa muhtasari
Kusoma kifungu na kudondoa hoja muhimu
Kuandika muhtasari kwa njia ifaayo
Kueleza na kujadili
Kusoma kitabuni
Kujadili hoja muhimu
Kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk 37
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 39Mwongozo wa mwalimu uk 24
Kamusi ya kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W
Kifungu kitabuni Ubao Magazeti (taifa leo)
58
wamitila) Insha kabambe
(Simon mutali) Kamusi ya methali
6 1 Kusoma (ufahamu)
Chifu somba na mbuzi wa serikali
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kifungu kwa ufasaha
Kutumia msamiati na misemo katika sentensi
Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
Kusoma ghibu maswali na majibu kwa sauti
Kutunga sentensi
Kujadili maadili yaliyomo
Kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Mchoro kitabuni Picha za mbuzi ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Majadiliano: mzasi na mwalimu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma na kuigiza mazungumzo baina ya mzazi na mwalimu
kueleza sifa za majadiliano haya
kukuza msamiati wa heshima na adabu hasa katika mazingira ya shuleni
kueleza na kujadili
kusoma kwa sauti
kuigiza wawili kujadilil
matumizi ya lugha
kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 63 Mwongozo wa mwalimu uk 39
Kamusi ya kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Isimu jamii kwa shule za sekondari
Wanafunzi wenyewe Chati (msamiati) magazetini
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Nyakati na ukanusho
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kutaja nyakati mbalimbali na kuzitungia sentensi
maswali ya dodoso
kusoma maelezo kitabuni
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 43Mwongozo wa
Chati (nyakati na vikanusho)
ubao
59
kukanusha sentensi za nyakati mbalimbali
kufanya zoezi la ukanusho
kutunga na kukunusha sentensi
kufanya zoezi
mwalimu uk 27-28 Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 224Mwongozo wa mwalimu uk 135
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
4 Kusoma Usomaji wa magazeti
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kufanya lugha ya magazeti na sifa zake
kueleza umuhimu wa magazeti katika maisha ya jamii
kujenga ari ya kusoma magazeti
kueleza na kujadili
kusoma kimoyomoyo
kujadili waliyosoma
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 68-69Mwongozo wa mwalimu uk 44
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 151Mwongozo wa mwalimu uk 89
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
na kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
Magazeti (Taifa leo, taifa jumapili)
Dimba n.k Picha ya maktaba
5 Kuandika Muhtasari Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza mambo muhimu katka kuandika mujtasari
Kuandika muhtasari kwa njia ifaayo
Kueleza na kujadili
Kusoma kielelezo
Kusoma kifungu na kuandika ufupisho
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 57-59Mwongozo wa mwalimu uk 37
Johari ya Kiswahili kitabu cha
Kielezo (mawali na ufipisho)
Ubao Magazeti (muhtasari
wa habari)
60
mwanafunzi uk 71Mwongozo wa mwalimu uk 43
7 1-5 MTIHANI NA MAPUMZIKO YA KATIKATI YA MUHULA
8 1 Kusoma (ufahamu)
Haki zetu twazitaka
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kusoma na kughani shairi
Kufafanua haki mbalimbali za watoto
Kufafanua msamiati na kujibu maswali
Kujadili haki Kusoma na
kughani Maswali na
majibu kwa sauti
Kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 82-83Mwongozo wa mwalimu uk 57
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
wanafunzi wenyewe ubao picha (dhuluma kwa
watoto)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu wa kusikiliza
Kufikia mwisho wa funzo, manafunzi aweze
kusikiliza kwa makini na kueleza ujumbe
kujibu maswali kuhusu alichosemwa
kueleza msamiati mpya
kueleza kusikiliza kusoma kuuliza
maswali na kujibu kwa sauti
kujadili msamiati
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 73Mwongozo wa mwalimu uk 49
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila
kifungu cha kusoma ubao chati (msamiati na
maana)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Vielezi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana ya vielezi
kutoa aina ya vielezi na mifano
kutambua vielezi
kueleza kusoma
maelezo vitabuni
kutoa mfano kutunga
sentensi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 51-54Mwongozo wa mwalimu uk 33
Chati (Vielezi) Ubao Magazeti (Sentensi) Picha (Vielezi ala) Wanafunzi wenyewe
61
kwenye tungo kujibu maswali y vielezi
kwa usahihi
kuandika na kufanya zoezi
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 118Mwongozo wa mwalimu uk 70
4 Kusoma Tamthilia utangulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafuzi aweze
Kueleza maana ya tamthilia
Kupambanua muundo wa tamthilia
Kufafanua sifa muhimu katika uchambuzi wa tamthilia
Maswali ya dodoso
Kueleza na kujadili
Kusoma ghibu Kuandika na
kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 78-80Mwongozo wa mwalimu uk 54
Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Kamusi ya Fasihi
5 Kuandika Barua ya miailko
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza umuhimu wa mialiko na shere husika
Kutaja sifa za barua za mialiko
Kuandika mwaliko kuhusu sherehe yoyote
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 70Mwongozo wa mwalimu uk 45
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali) Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 243Mwongozo wa
Nakala halisi za barua Bahasha Ubao magazeti
62
mwalimu uk 151
9 1 Kusoma (ufahamu)
Utalii ni tunu kwa uchumi (jaribio-1)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma ghibu na kupata maadili
kujibu maswali ya ufahamu kikamilifu
kupanua msamiati wake
kueleza kusoma
kumoyomoyo kuandika
majibu madaftarini
kusahihisha na kujadili majibu
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 94-97Mwongozo wa mwalimu uk 65-66
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila
wanafunzi wenyewe ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora d/nd na s/sh
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutamka maneno yenye sauti za S/sh na d/nd kwa usahihi
kuandika maneno yenye sauti hizo kwa hijai nzuri yanapotamka
kuandika ubaoni
kutamka kwa sauti
kuandika sentensi (jumla)
kueleza maana
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 5/85Mwongozo wa mwalimu uk 2/59
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 87,50,9Mwongozo wa mwalimu uk 50,30,8
Chati (vitate) Wanafunzi wenyewe kalamu
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa kisarufi (Ngeli)
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kutaja ngeli zote na
Maswali dodoso
Kusoma
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha
Chati (jedwali la ngeli Vifaa halisi( kiti
dawati mpira)
63
mfano ya nomino kutunga sentensi yenye
nomino na kitenzi kutambua ngeli
kwenye kitenzi
maelezo kwa sauti
Kujadili na kueleza mifano
Kuandika madaftarini
Kufanya zoezi
wanafunzi uk 89-90Mwongozo wa mwalimu uk 62-63
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
kiswahili Kamusi ya methali kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila
kurunzi ya Kiswahili Golden tips:
kiswahili
ubao
4 Kusoma Tamthilia Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza dhana ya fani na maudhui katikka tamthilia
kutaja na kupambanua sehemu mbali mbali zinzaohusiana na fani katika tamthilia
kusoma tamthlia na kutoa mifano ya fani na tamthilia
kueleza na kudodosa
kusoma kimoyomoyo
kujadili waliyosoma
kuandika na kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 89-90Mwongozo wa mwalimu uk 62-63
Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Kamusi ya methali kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila
nakala za tamthilia (k.V teule)
Miongozo mbalimbali ya tamthilia teule
5 Kuandika Insha ya mazungumzo
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kusoma kifungu kwa ufasaha
Kueleza umuhimu wa umoja wa nchi za Afrika masharika
Kueleza na kujadili
Kusoma kwa sauti na kuigiza
Kujadili vidokezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 80-81Mwongozo wa mwalimu uk 55
Wanafunzi wenyewe Magazeti
(mazungumzo) Ubao Picha ya
wazungumzaji Kanda ya video
64
Kujibu maswali na kupambanua msamiati wake
Kuandika insha na kusahihisha
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali) Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 71Mwongozo wa mwalimu uk 43
10 1 Kusoma (ufahamu)
Nchi za Afrika Mashairi na mustakabali wake
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na kujibu maswali kikamilifu
Kutambua alikokosea na kujirekebisha
Kusoma ghibu Kujibu
maswali madaftarini
Kusahihisha na kujadili
Kueleza msamiati, semi na kutunga sentensi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 100-102Mwongozo wa mwalimu uk 70-71
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau
Amani (nchini za Afrika mashariki
Picha(muris wa Africa mashariki
Ubao Chati (msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maswali katika Jaribio 1 (vitendawili)Visasili (methali)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
Kusoma na kujibu maswali kikamilifu
Kutambua alikosea wapi na kujirekebisha
Kusoma kimoyomoyo
Kujibu maswali kwa kukandika
Kujadili majibu kwa sauti darasani
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 97Mwongozo wa mwalimu uk 66-67
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Johari ya Kiswahili kitabu cha
Wanafunzi wenyewe Uao Chati (sifa) Picha (wanyama) Midioro
65
mwanafunzi uk 40-41,91
Mwongozo wa mwalimu uk 25,57
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kuunda nomino kutokana na kitenzi na nomino nyingine
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kuunda nomino kutokana na kitenzi
Kuunda nomino kutokana na nomimo nyingine
Kujibu maswali kwa usahihi
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kujadili na
kutoa mifano Kuandika na
kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 63-68/204Mwongozo wa mwalimu uk 40-44/143
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Golden tips Kiswahili Karunsi ya kiswahili Kamusi ya methali
Chati (kujadili Vifaa halisi Ubao magazeti
4 Kusoma Jaribio 1 fani katika fasihi andishi
Kufikia mwisho wa funzo mwanafuzni aweze
kusoma na kuelewa maswali
kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi
kusoma kimya kimya
kuandika madaftarini
kujadilil majibu na kujirekebisha
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 99Mwongozo wa mwalimu uk 69
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya fasihi
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (fani)
66
5 Kuandika Hotuba Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
Kutaja na kueleza muundo wa insha ya hotuba
Kuandika hotuba kwa njia ifaayo
Maswali ya dodoso
Kusoma kimya kimya
Maelezo kitabuni
Kujadili na kusoma mifano
Kuigiza hotuba darasani
kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 90-93Mwongozo wa mwalimu uk 66
Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Insha kabambe (simon mutali)
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 29
Mwongozo wa mwalimu uk 19
Wanafunzi wenyewe Nakala za hotuba
halisi Kielezi kitabuni Ubao Magazeti (Picha,
hotuba Runinga (hotuba)
11 1 Kusoma (ufahamu)
Kibwana Jaku na nundu ya maisha
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kwa ufasaha na kujiibu maswali ifaavyo
Kueleza maovu ya ufisadi katika jamii
Kupanua msamiati na fani za lugha kutokana na ufahamu
Kusoma kwa sauti na zamu
Kujadili waliyosoma
Kueleza msamiati na kutunga sentensi
Kufanya zoezi madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 110-113Mwongozo wa mwalimu uk 78-79
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Michoro kitabuni Magazeti na picha za
ufisadi Ubao Magazeti (ufisadi
jamii) Picha ya wafisadi Chati (hasara ya
ufisadi)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Vitate (Jaribio 1 s/z,S/Sh
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja jozi za vitate vya
Kusoma maswali
Kujibu
Chemchemi za Kiswahili 2
Chati (jedwali la vitate)
Wanafunzi wenyewe
67
s,z na s/sh Kutunga sentensi kwa
kutumia vitate hivyo Kueleza maana ya
vitate hivyo
madaftarini Kusahihisha
na kujadili majibu
Kitabu cha wanafunzi uk 97Mwongozo wa mwalimu uk 67
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Golden tips Kiswahili Karunsi ya kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 50,121
Mwongozo wa mwalimu uk 30,121
Ubao Magazeti (vitate
kwenye taarifa)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Vivumishi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya neno vivumishi
Kutaja aina za vivumishi na kutoa mifano
Kutumia na kutambua kivumishi katika tungo
Kueleza Kusoma
maelezo kitabuni
Kutunga mifano zaidi
Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 78-89Mwongozo wa mwalimu uk 49/59
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Golden tips Kiswahili Karunsi ya kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 71
Mwongozo wa mwalimu uk
Chati Ubao Magazeti (vivumishi
kwenye taarifa)
4 Kusoma Matumizi zaidi ya kamusi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza umuhimu wa aina mbalimbali za
Kusoma maelezo kitabuni
Kurejelea
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha
Kamusi ya bitate Kamusi ya Kiswahili Kiingereza Kamusi ya methali
68
kamusi Kutumia kamusi yotote
ile bila ya kutatizika
kamusi mbali mbali
Kujadili Kufanya zoezi
wanafunzi uk 107-108Mwongozo wa mwalimu uk 75
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Golden tips Kiswahili Kamusi ya fasihi Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Kamusi mbalilmbali Chati (ainz za kamusi) Picha maktaba
5 Kuandika Maswali ya Jaribio 1( Insha ya maelezo)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutambua sifa za insha nzuri ya maelezo
Kuandika insha ya maelezo kwa mtiriko mzuri lugha komara na hali nadhifu
Kusoma swali na kujadili vidokezi
Kuandika insha
Kusahihisha na kueleza makosa
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 99Mwongozo wa mwalimu uk 67
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Golden tips Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali) Kurunzi ya Kiswahili
Wanafunzi wenyew
MTIHANI NA KUFUNGA SHULE
69
KISWAHILI KIDATO CHA 2 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 2
JUMA
KIPINDI
MADAKUU MADA NDOGO SHABAHA/MALENGO MBINU MAREJELEO NYENZO MAONI
1 1 Kusoma (ufahamu)
Mraha na chupa za karaha
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kusoma kwa sauti na matamshi bora
Kutunga sentensi kwa kutumia mssamiati nahau na misemo kutoka kifunguni
Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
Maswali ya dodoso
Kusoma kwa sauti na zamu
Kueleza msamiati
Kujadili kuhusu ujumbe kifunguni
Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 121-124Mwongozo wa mwalimu uk 86
Kamusi ya methali namisemo na nahau (K.W wamitila)
Mchoro kitabuni Picha walei Ubao Chati (msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Hekaya Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya hekaya na kutambua isomwapo au isimuliwapo
Kutaja sifa za hekaya Kusoma hekaya na
kujibu maswali huihusu
Maswali dodoso
Kusimulia hekaya fupifupi
Kusoma maelezo na kielelezo kitabuni
Kujadili maswali na majibu darasani
Kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 102-104Mwongozo wa mwalimu uk 71-72
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 187Mwongozo wa mwalimu uk 112
Kichocheo cha Fasihi simulizi na Aandishi
Wanafunzi wenyewe Kielezi kitabuni
(hekaya) Vitabu vya hadithi ubao
3 Sarufi na Vivumishi vya Kufikia mwisho wa funzo, maswali ya Chemchemi za Chati ( ngeli na
70
matumizi ya Lugha
pekee mwanafunzi aweze kueleza maana ya
hekaya na kuitambua isomwapo au isimuliwapo
kutaja sifa za hekaya kusoma hekaya na
kujibu maswali kuihusu
dodoso kusimulia
hekaya fupi fupi
kusoma maelezo na kielelezo kitabuni
kujadili maswali na majibu darasani
kuandika madaftarini
Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 78-86Mwongozo wa mwalimu uk 60/62
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 46-48Mwongozo wa mwalimu uk 27
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Golden tips Kiswahili Kurunzi ya Kiswahili
vivumishi pekee) Vifaa halisi ubao
4 Kusoma Majarida Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja aina za majarida na umuhimu wa kuyasoma
kueleza sifa za kimsingi za majarida
kujibu maswali na usahihi
kueleza na kusoma maelezo kitabuni kwa sauti
kujadili (kujadili (aina za majarida)
kusoma majarida na kujadili ujumbe
kuandika na kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 118Mwongozo wa mwalimu uk 84
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi Kamusi ya methali
namisemo na nahau (K.W wamitila)
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Golden tips Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali)
Mjadarida (K.V mulika, kioo cha lugha n.k)
Ubao Chati Sifa/Muundo)
71
Kurunzi ya Kiswahili Ijaribu na ukarabati
5 Kuandika Insha ya maelezo (Jaribio 1)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kuorodhesha vidokezi vya insha
Kuandika insha inayotiririka kwa hali nadhifu
Kusoma swali Kujadili
vidokezi kwa sauti darasani
Kuandika insha
Kusoma na kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 99Mwongozo wa mwalimu uk 69
Kamusi ya Kiswahili Insja kabambe
(simon Mutali) Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 8Mwongozo wa mwalimu uk 7
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Mwanafunzi mwenyewe
Penseli na madaftari ubao
2 1 Kusoma (ufahamu)
Bwana kaukata na shoka ulimwengu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi, aweze
kusoma kimoyomoyo na kupata ujumbe
kueleza msamiati, misemo na methali na kutunga sentensi
kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
maswali dodoso
kujadili (wizi na ufisadi)
kusoma kimoyomoyo
kujibu maswali, kusahihisha na kujadili
kueleza msamiati, misemo na methali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 135-138Mwongozo wa mwalimu uk 94-95
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kamusi ya methali
namisemo na nahau (K.W wamitila)
Mchoro kitabuni Picha (Shoka) ubao
72
2 Kusikiliza na kuzungumza
Ushairi wa fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja na kueleza vitanzo vya usahiri
kufafanua kila utanzu wa ushairi wa fasihi simulizi na uamilifu wake
kupambanua viambishi awali vya kitenzi
maswali ya dodoso
kueleza kusoma kitabuni kuigiza
darasani kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 113-115Mwongozo wa mwalimu uk 79-80
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 73Mwongozo wa mwalimu uk 45
Kichocheo cha Fasihi simulizi na Aandishi
Bango (Tanzu za ushairi)
Mwanafunzi wenyewe
ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Viambishi (vitenzi)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutambua viambishi awali vya kitenzi
kueleza matumizi ya viambishi hivyo
maswali na majibu kwa sauti
kusoma kwa sauti
kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 77-78Mwongozo wa mwalimu uk 53
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Johari ya Kiswahili
kitabu cha
Chati Ubao Vitabu vya ziada Magazeti (vitenzi
katika sentensi)
73
mwanafunzi uk 73Mwongozo wa mwalimu uk 45
4 Kusoma kuandika
Vitabu vya ziada
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza umuhimu wa kusoma vitabu vya ziada
Kupata changamoto y kusoma ziada
Kueleza na kujadili
Kusoma kimoyomoyo
Kueleza aliyosoma
Kuandika msamiati
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 133Mwongozo wa mwalimu uk 79-80
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
na misemo na nahua (K.W wamitila)
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Viatu vya ziada Wanafunzi wenyewe ubao
5 Kusoma (ufahamu)
Matangazo Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja na kueleza sifa za matangazo
kutunga na kuandika matangazo
kueleza na kudodosa
kujadili kusoma
kitabuni na kujadili
kuigiza mfano na kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 108-109Mwongozo wa mwalimu uk 76
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 106Mwongozo wa mwalimu uk 64
Insha Kabambe (Mutali Simon)
Magazet Radio Wanafunzi wenyewe Bango ubao
74
3 1 Kusoma (ufahamu)
Uchafuzi wa mazingira
Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kwa matamshi bora
kueleza madhara ya uchafuzi wa mazingira
kujibu maswali kwa usahihi
kutunga sentensi sahihi kwa kutumia msamiati na fani za lugha kifunguni
maswali ya dodoso
kusoma kwa sauti zamu
kujadili ujambo
kueleza lugha kujibu
maswali na kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 146-148Mwongozo wa mwalimu uk 101
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya mehtali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Mchoro kitabuni Picha au michoro ya
uchafuzi wa mazingira
ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora b/mb
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kutamka sauti b/mb bila kuchanganyikwa
kutunga vitanza ndimu vya sauti b na mb
kueleza maana ya vitate vya b na mb
teua wanafunzi
kusoma kwa sauti (Chati)
kusoma na kuunda vitanza ndimu
kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 115Mwongozo wa mwalimu uk 80
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 14Mwongozo wa mwalimu uk 8
Karunzi ya Kiswahili Golden Tips
kiswahili Kamusi ya kiswahili
Chati (Vitate) Wanafunzi wenyewe Ubao Magazeti
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Maswali ya Sarufi (Jaribio 1)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma maswali na kuyaelewa
Kusoma kimya kimya
Kuandika majibu
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 97-99
Wanafunzi wenyewe ubao
75
Kujibu maswali kikamilifu
Kujadili majibu na kujirekebisha alikokosea
Kusahihisha na kujadili
Mwongozo wa mwalimu uk 68-69
4 Kusoma Makala Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza umuhimu wa kusoma makala
kupambana sifa za makala
kusoma makala na kujibu maswali kuyahusu
Tumia vifaa kujadili
Kusoma maelezo kitabuni
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 143Mwongozo wa mwalimu uk 99
Kamusi ya Kiswahili Golden tips Kiswahili Karunzi ya Kiswahili
Magazeti Majarida ubao
5 Kuandika Tahadhari Ilani na onyo
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kutaja muundo na sehemu muhimu za tahadhari
kuandika tahadhari kwa njia mwafaka
Tumia vifaa kujadili
Kusoma maeleze kitabuni
Kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 119-120Mwongozo wa mwalimu uk 85
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 132,248Mwongozo wa mwalimu uk 79,156
Insha kabambe (Simon mutali)
Mabango ya vibandiko vya tahadhari
Radio na kanda Ubao Vielezo kitabuni Magazeti
4 1 Kusoma (ufahamu)
Runinga na ulimwengu wa leo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma ufahamu wa ufasaha
Kujadili Kusoma kimya
kimya Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha
Runinga halisi Picha ya runinga Mchoro wa running Chati manufaa
76
Kueleza manufaa na ouvu wa runinga
Kujibu maswali na kueleza msamiati
Kueleza msamiati
Kujadili majibu
wanafunzi uk 121Mwongozo wa mwalimu uk 85
Karunzi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Golden Tips kiswahili
Kamusi ya kiswahili
2 Kusikiliza na kuzungumza
Hotuba Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa hotuba nzuri
Kutoa hotuba fupi darasani
Kueleza sifa na matumizi ya lugha katika hotuba
Kueleza maswali ya dodoso
Kusoma kwa sauti kitabuni
Kuandika Kuigiza
hotuba darasani
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 124-126Mwongozo wa mwalimu uk 87-88
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 29Mwongozo wa mwalimu uk 19
Karunzi ya Kiswahili
Mwanafunzi wenyewe
Hotuba halisi (Rais)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Ukanushaji wa wakati ujao-ta
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutunga sentensi z wakati ujao
Kukanusha sentensi za wakati ujao kwa usahihi
Kutambua mabadiliko ya nafsi katika kukanusha
Maswali na majibu
Kusoma kitabuni
Kutunga mifano
Kuandika Kujibu zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 117-118Mwongozo wa mwalimu uk 83
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Golden Tips
Kiswahili
Chati (Sentensi ) Ubao Magazeti (Sentensi)
77
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 224Mwongozo wa mwalimu uk 135
4 Kusoma Aina za kamusi Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja na kueleza aina mbalimbali za kamusi
Kutaja sifa bainifu za ailna za kamusi
Kueleza umuhimu wa aina tofauti tofauti za kamusi
Maswali ya dodoso
Kusoma na kujadili
Ziara maktabani
Kuuliza maswali na kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 154-155Mwongozo wa mwalimu uk 106-107
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya Fasihi Kamusi ya mehtali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W matitila)
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Kamusi za aina mbali mbali
Maktaba Ubao Chati (aina za
kamusi)
5 Kuandika Utungaji wa kisanii mashairi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza sifa za kimsingi za kutunga mashairi mepesi huru
Kusoma na kukariri shairi kwa mahudhi
Kutunga shairi jepesi kwa mpangilio mzuri
Kueleza Kusoma na
kujadili Kughani
mashairi Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 132-134Mwongozo wa mwalimu uk 93
Kamusi ya misemo na nahau (K.W matitila)
Kichocheo cha Fasihi simulizi na Andishi
Wanafunzi wenyewe Diwani ya mashairi
(mepesi) Ubao Magazeti (Taifa leo)
78
Kamusi ya fasihi Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 116Mwongozo wa mwalimu uk 69
5 1 Kusoma (ufahamu)
Mwabisara na siri Kali
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa sanifu na matamshi bora
Kueleza msamiati misemo na tashbihi zilizotumika na kuzitungia sentensi
Kujibu maswali ya ufahamu kikamilifu na kwa usahihi
Maswali ya dodoso (Vyombo vya habari)
Kujadili Kusoma
kifungu kwa sauti na zamu
Kueleza msamiati tashbihi na misemo na kutungia sentensi
Kujibu maswali madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 171-186Mwongozo wa mwalimu uk 118
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya Tshbihi
vitendawili, milio na mshagao
Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W matitila)
Mchoro kitabuni Picha (Vyombo vya
habari ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
misemo Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana ya misemo kama kitanzu cha fasihi simulizi
kubainisha aina mbalimbali za misemo nahau na misimu
kutaja misemo na kueleza maana na kutungia sentensi
maswali ya dodoso
kutaja na kueleza misemo
kutunga sentensi
kusoma na kueleza
kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 138Mwongozo wa mwalimu uk 95-96
Kamusi ya misemo na nahau (K.W matitila)
Kichocheo cha Fasihi simulizi na Andishi
Johari ya Kiswahili
Bango ( misemo na maana
ubao
79
kitabu cha mwanafunzi uk 180Mwongozo wa mwalimu uk 106
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Usemi halisi na usemi taarifa
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana ya useimi halisi/taarifa na sifa zake
kubadilisha usemi taarifa uwe usemi halisi
kutambua mabadiliko yanayohusu ubadilishaji usemi (halisi na taarifa)
Kufanya zoezi wa usahihi
Kueleza na kujadili
Kusoma maelezo kitabuni
Kutunga mifano
Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 126-129Mwongozo wa mwalimu uk 88-89
Kamusi ya fasihi Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Kurunzi ya kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 208-209Mwongozo wa mwalimu uk 125
Chati (usemi halisi) ubao
4 Kusoma Riwaya Kufikia mwish wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza vipengele vya kimsingi katika uchambuzi wa riwaya
kutofautisha fani na maudhui
kutambua mambo muhimy yanoyojenga maudhui
kutambua mambo muhimu yanayojenga maudhui katika riwaya
kueleaza na kujadili
kusoma kwa sauti
kuandika kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 166Mwongozo wa mwalimu uk 116
Kamusi ya misemo na nahau (K.W matitila)
Kamusi ya kiswahili Kichocheo cha Fasihi
Riwaya mbali mbali (mwilsho wa kosa, kipimo cha majina)
Mua huwa mwema Ubao
80
simulizi na Andishi Kamusi ya fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi
5 Kuandika Insha ya mdokezo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo na sifa za insha za mdokezo
Kufpanga mawazo kwa lugha fasaha
Kuandika insha kutokana na mdokezo
Kueleza Kusoma
kitabuni Kusimulia
darasani kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 143-145Mwongozo wa mwalimu uk 100
Insha kabambe (Simon Mutali)
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 100Mwongozo wa mwalimu uk 60
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (Sifa)
6 1 Kusoma (ufahamu)
Lambwina kidumwe-dumbwe mageuzi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa sauti na matamzhi bora
Kufafanua madhara ya uongozi mbaya
Kutumia msamiati mapya kutunga sentensi
Kujibu maswali kwa usahihi
Maswali ya dodoso (uongozi)
Kusoma kwa sauti na zamu
Kujadili msamiati
Kuandika na kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 181-183Mwongozo wa mwalimu uk 126
Kamusi ya misemo na nahau (K.W matitila)wa mwalimu uk 69
Kamusi ya kiswahili
Mchoro kitabuni Picha za viongozi
(magazetini) ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matumishi bora g/ng
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
maswali ya dodoso
Chemchemi za Chati (Vitate) Wanafunzi wenyewe
81
kueleza maneno yenye sauti g/ng
kutamka maneno yenye sauti g/ng kwa matumshi bora
kutnga sentensi zenye sauti g/ng
kusoma kitabuni kwa sauti
kuunda vitaanzi ndimi
mazoezi ya matamsi
Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 139-140Mwongozo wa mwalimu uk 90
Karunzi ya Kiswahili Golden Tips
Kiswahili Ijaribu na uikarabati
Ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Wakati –me- na ukanusho
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutunga sentensi zenye wakati –me-
kukanusha sentensi za –me- kwa kuzingatia ngeli nafsi
maswali na majibu
kusoma kitabuni
kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 131Mwongozo wa mwalimu uk 91
Kamusi ya misemo na nahau (K.W matitila)
Kichocheo cha Fasihi simulizi na Andishi
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Karunzi ya Kiswahili Golden Tips
Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 224Mwongozo wa mwalimu uk 135
Bango (ukanusho wa –me)
Magazeti Ubao
4 Kusoma Mashairi ya Kufikia mwisho wa funzo, Kusoma kwa Chemchemi za Kielelezo kitabuni
82
arudhi mwanafunzi aweze Kusoma na kukariri
shairi la arudhi kwa mahadhi
Kueleza sifa za shairi la arudhi
Kujibu maswali kutokana na shairi kitabuni
sauti Kukariri kwa
mahadhi Maswali ya
dodoso na kujadili
Kufanya zoezi
Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 131Mwongozo wa mwalimu uk
Karunzi ya Kiswahili Golden Tips
Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 122Mwongozo wa mwalimu uk 73
Miale ya ushairi Nuru ya lushairi
Diwani ya mashairi huru
Wanafunzi wenyewe ubao
5 Kuandika Shajara Kufikia mwisho wa funzo.mwanafunzi aweze
(a) kueleza maana ya shajara na muundo wake
(b) kufafanua umuhimu wa shujara maishani
(c) kuandika shajara ifaavyo
kueleza na kujadili
kusoma kitabuni
kutazama shajara halisi na kueleza
kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 156Mwongozo wa mwalimu uk 107
Karunzi ya Kiswahili Insha Kabambe
(Simon mutali) Golden Tips
Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 145Mwongozo wa mwalimu uk 87
Shajara halisi Kadi (muuundo wa
shajara ubao
7 1-5 MITIHANI NA MAPUMZIKO YA KATIKATI YA MUHULA
8 1 Kusoma Kifungu cha Kufkia mwisho wa funzo, wanafunzi Chemchemi za Wanafunzi wenyewe
83
ufahamu Jaribio II mwanafunzi aweze kusoma na kutambua
maadili katika kifungu kujibu maswali ya
ufahamu kikamilifu na kwa usahihi
wenyewe vifaa vya
mtihani ubao
Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 156Mwongozo wa mwalimu uk 107Kamusi ya Kiswahili
ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mazungumzo Posta (isimu jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza sifa za lugha (sajili) ya mazungumzo ya posta
kupanua msamiati wake kuhusu shughuli za posta
kuigiza mazungumzo ya posta na kujibu maswali kuyahusu
maswali dodoso
kusoma na kuigiza mazungumzo kitabuni
kujibu maswali kwa sauti
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 14Mwongozo wa mwalimu uk 102
Karunzi ya Kiswahili Kamusi ya Kiswahili
sanifu (K.W Wamitila)
Isimu ya jamii kwa shule za sekondari
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Picha (bahasha stempu)
Wanafunzi wenyewe Ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Vinyume vya vitenzi
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja vitenzi na vinyume vyake
Kubadilisha sentensi kwa kutumia vitenzi kinyume
Kufanya zoezi kwa usahihi
Kueleza na kujadili
Kutoa mifano Kusoma
maelezo kitabuni
Kufanya zoezi na ksahihisha
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 187Mwongozo wa mwalimu uk 97
Karunzi ya Kiswahili Insha Kabambe
(Simon mutali) Kamusi ya Kiswahili
Bango (sentensi) Shairi Ubao Magazeti (alama hizo
sentensini)
84
sanifu (K.W wamitila)
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Karunzi ya Kiswahili Golden Tips
Kiswahili
4 Kusoma Sentensi zenye ritifaa/kubainisha
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufikia matumizi ya ritifaa
Kutunga sentensi kwa kutumia ritifaa kwa usahihi
Kufanya zoezi kwa usahihi
Kueleza Kusoma
mifano na maelezo
Kuandika na kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 187Mwongozo wa mwalimu uk 130
Karunzi ya Kiswahili Insha Kabambe
(Simon mutali) Kamusi ya Kiswahili
sanifu (K.W wamitila)
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Karunzi ya Kiswahili Ijaribu na vikarabati Golden Tips
Kiswahili
Bango (sentensi) Shairi Ubao Magazeti (alama hizo
sentensini)
5 Kuandika Kutumia mabano/parandesiVifunguo. Herufi (nzito na italiki
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza matumizi ya parandesi
Kuandika sentensi zenye parandesi kwa usahihi
Kujibu maswali kwa
Kueleza na kuuliza maswali
Kusoma maelezo kitabuni
Kutunga sentensi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 187-`88Mwongozo wa mwalimu uk 130-131
Bango (sentensi) ubao
85
usahihi Kutambua matumizi ya
herufi nzito italiki
Kufanya zoezi Insha Kabambe (Simon mutali)
9 1 Kusoma MakatabaniKufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kitabu maktabani
kuelez ujumbe na mujtasari wa kitabu
kupanua msamiati, misemo na methali zake
kusoma keueleza na
kujadili kuandika
msamiati na kutunga sentensi
vitabu vya hadithi, K.V kipimo cha mizani, mwisho wa kosa
kamusi ya methali kamusi ya misemo
na nahau (wamitila) johari ya Kiswahili
cha mwanafunzi uk 114mwongozo wa mwalimu uk 68
kamusi ya kiswahili
maktaba ya shule wanafunzi wenyewe Picha ya maktaba
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maamkizi na mazungumzo: Daktari na mgonjwa
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma mazungumzo na kuyaigiza
Kufafanua sifa za mazungmzo kikamilifu na kupanua msamiati wa hospitalini
Maswali ya dodoso na kueleza
Kusima mazungumzo na kujadili
Kuigiza kwa zamu
Kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 159Mwongozo wa mwalimu uk 110
Kamusi ya Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 73Mwongozo wa mwalimu uk 45
Isimu Jamii kwa shule za sekondari
Wanafunzi wenyewwwe
Ubaooo Picha Magggazzzeti Kanda za video
3 Sarufi matumizi ya lugha
Kukanusha wakati uliopita
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutunga sentensi za wakati uliopita(-li)
Maswali dodoso
Kusoma kitabuni
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk98
Chati (sentensi) Magazeti ubao
86
Kukanusha sentensi za wakati uliopita –li- kwa usahihi
Kutunga sentensi
Kuandika na kujibu maswali
Mwongozo wa mwalimu uk 142
Karunzi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Karunzi ya Kiswahili Ijaribu na vikarabati Golden Tips
Kiswahili
4 Kusoma Maswali ya jaribio II (Kusoma D)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma na kuelewa maswali
kujibu maswali kwa usahihi
kubaini alipokosea na kujirekebisha
kusoma maswali kimoyo moyo
kujibu madaftarini
kusahihisha kujadili majibu
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 195Mwongozo wa mwalimu uk 136
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Wanafunzi wenyewe Kamusi mbali mbali
5 kuandika Imla Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusikiliza kwa makini anaposomewa
Kuandika anayosomewa kwa tahajia nzuri na hati nadhifu
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kusikiliza na
kuandika Kusahihisha
na kujadili majibu
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 166-167Mwongozo wa mwalimu uk 116-117
Insha Kabambe (Simon mutali)
Karunzi ya Kiswahili
Ubao Wanafunzi wenyewe
10 1 Kusoma Ubabe wa Kufikia mwisho wa funzo, Kueleza na Chemchemi za Mchoro kitabuni
87
(ufahamu) fumo liyonya mwanafunzi aweze Kusoma kwa sauti na
matamshi bora Kutunga sentensi kwa
msamiati na misemo kufunguni
Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
kujadili Kusoma kwa
sauti na zamu Kueleza
ujumbe, msamiati na maadili
Kujibu maswali
Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 196-199Mwongozo wa mwalimu uk 138
Kamusi ya misemo(K.W wamitila)
Kamusi ya Kiswahili
ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora p/b
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutamka maneno yenya sauti p/b bila kutatanika
kufanya sentensi sahihi zenye vitate p/b
kujibu maswali kwa usahihi
kutamka vitate p/b
kutunga sentensi za maneno p/b kwa sauti
usoma kwa sauti
kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 160-161Mwongozo wa mwalimu uk 11
Kamusi ya Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 4Mwongozo wa mwalimu uk 4
Chati (vitate) Wanafunzi wenyewe Ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kukanusha nafsi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutunga sentensi za wakati uliopita zenya viambishi nafsi
Kukanusha sentensi za wakati uliopita kulingana na nafsi
Kujibu zoezi kwa usahihi
Kueleza Kusoma
kitabuni Kutunga
mifano Kuandika na
kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 187Mwongozo wa mwalimu uk 98
Karunzi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Karunzi ya Kiswahili
Chati (jedwali la nafsi Sentensi ubaoni
88
Golden Tips Kiswahili
4 Kusoma Matamshi ya maktaba
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza aina tofauti za kadi zinazotumika maktabani
Kubainisha vipengele vilivyomo katika kadi za maktaba
Maswali ya dodoso
Ziara maktabani
Kusoma Kusimulia kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 204Mwongozo wa mwalimu uk 143
Johari ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 114Mwongozo wa mwalimu uk 68
Kamusi ya Kiswahili
Wanafunzi wenyewe Maktaba ya shule Kadi za maktaba
5 Kuandika Taarifa au ripoti fupi
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza maana na umuhimu wa ripoti
Kupambanua muundo wa mambo muhimu katika uandishi wa riposte
Kuandika ripoti kwa kufuata kaicla za uandishi wa ripoti
Kusoma kwa sauti
Kujadili vidokezo
Kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 178-180Mwongozo wa mwalimu uk 125
Kamusi ya Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 169Mwongozo wa mwalimu uk 98
Insha kabambe (Simon Mutali)
Kielelezo (taarifa) Ubao Nakala ya ripoti
11 1 kusoma Mafumo wa jua na sayari
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kifungu kwa sauti na matamshi
kujadili kuhusu sayari
kusoma kwa sauti
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 206-
Mchoro kitabuni Bango (mfumo wa
jua na sayari) Picha (jua na sayari
89
bora kuchora mifumo wa
jua na sayari kupanua msamiati
wake kujibu maswali ya
ufahamu kikamilifu
kueleza msamiati
kuandika na kujibu maswali
208Mwongozo wa mwalimu uk 145
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau Kamusi ya methali
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maigizo Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na kuigiza ngonjera iliyo kitabuni
Kueleza sifa na mabo muhimu katika maigizo kama kitanzu cha fasihi simulizi
Kujibu maswali yaliyoulizwa kwa sauti na usahihi
Kueleza Kusoma
kitabuni Kujadili lugha
na msamiati Kuigiza
darasani Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 171-172Mwongozo wa mwalimu uk 119
Kamusi ya Kiswahili Kamusi Fasihi Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi
Wanafunzi wenyewe Ngojera (kadhaa) ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Matumizi ya hali-nge- ngeli; na – ngali na ukanusho wake
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutunga sentensi za –nge- ngeli na –ngali kwa usahihi
kukanusha sentensi hizo
maswali na majibu kwa sauti
kusoma maelezo kitabuni
kujadili na kutnga sentensi
kuandika na kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 150Mwongozo wa mwalimu uk 103
Karunzi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 157
Chati (-nge, ngeli,-ngali
Ubao Magazeti
90
Mwongozo wa mwalimu uk 92
4 Kusoma Makala Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma makala kwa ufasaha na kueleza sifa zake
Kutambua umuhimu wa kusoma makala
Kujibu maswali kuhusu makala kwa usahihi
Kueleza na kujadili
Kujadiliana kusimulia aliyosoma
Kueleza msamiati mapya
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 213-214Mwongozo wa mwalimu uk 150
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
na kamusi ya misemo na nahau (wamitila)
Makala mbali mbali (magazeti, majarida, ensaiklopedia
Ubao
5 Kuandika Methali Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza hatua muhimu za uandishi wa insha ya methali
Kufafanua sifa muhimu za insha ya methali
Kuandika insha nzuri ya methali kwa hali nadhifu
Maswali dodoso
Kusoma maelezo kitabuni
Kujadii vidokezo
Kuandika insha
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 187Mwongozo wa mwalimu uk 97
Kamusi ya mehtlai (K.W wamitila)
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za sekondali
Johari ya Kiswahili uk 93Mwongozo uk 56
Kielezo kitabuni Chati (muundo wa
insha ya methali ubao
12 1 Kusoma (ufahamu) kusikiliza
Ndizo zipi haki hizo?
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma na kukariri ngonjera kitabuni
kusoma na kikariri shairi
kujadili ujumbe
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 187
Mwnafunzi mwenyewe
Nakala za mashairi (ngonjera)
91
kutaja haki mbali mbali za wattoto
kutunga sentensi za msamiati na kujibu maswali
kueleza msamiati na miundo
kujibu maswali
Mwongozo wa mwalimu uk 97
Kamusi ya kiswahili
ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Vitendawili Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana, sifa na muundo wa vitendawii
kutaja umuhi,u wa vitendawili katika jamii
kutega na kutegua vitendawili mbali mbali kwa usahihi
maswali dodso na kueleza
kusoma maelezo kitabuni
vikundi kushindana (kutegeana na kutegua)
kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 184-185Mwongozo wa mwalimu uk 127-128
Karunzi ya Kiswahili Kamsi ya tashbihi,
milio na mishangao (K.W wamitila)
Johari ya Kiswahili uk 101
Mwongozo wa mwalimu uk 6
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Wanafunzi wenyewe Bango (vitendawili) ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
kuakifisha Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja alama za uakifishaji
kuakifisha sentensi na tungo nyinginezo kwa usahihi
kudodosa kusoma
maelezo kitabuni
kutunga sentensi na kuandika madaftarini
kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 162-163Mwongozo wa mwalimu uk 112-113
Kamusi ya kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Karunzi ya Kiswahili
Chati (viakifishi) ubao
92
Golden Tips Kiswahili
4 Kusoma Makala Kufikia mwisho wa funzo,
mwanafunzi aweze kusoma makala kwa
ufasaha kueleza sifa na
umuhimu wa makala kupanua msamiati na
tajiriba yake ya mawala ibuka
kusoma kimoyomoyo
kueleza ujumbe
kujadili kueleza
msamiati na kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 214Mwongozo wa mwalimu uk 150
Kamusi ya kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya methali
na nahau (K.W wamitila)
Makala mbali mbali (magazeti majarida)
Wanafunzi wenyewe
5 kuandika Jaribio II (kuandika)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza mambo muhimu yanayohusu insha zilizoulizwa
Kuandika insha kwa kutumia msamiati ufaao/sijali) fani za lugha na mtiririko aula
Kaundika kwa hati nadhifu
Kusoma kimoyomoyo
Kuandika madaftarini
Kusahihisha na kujadili
Kuandika ubao (vidokezi)
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 195Mwongozo wa mwalimu uk 137
Kamusi ya kiswahili Insha kabambe
(simon Mutale) Kurunzi ya Kiswahili
(sehemu ya insha) Golden tips Kiswahili
(Sehemu ya insha)MTIHANI WA KUFUNGA SHULE
KISWAHILI KIDATO CHA 2 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 3
JUMA
KIPINDI
MADAKUU MADA NDOGO SHABAHA/MALENGO MBINU MAREJELEO NYENZO MAONI
11 Kusoma Vyombo vya Kufikia mwisho wa funzo, Maswali ya Chemchemi za Vifaa halisi (redio, 93
(ufahamu) habari na jamii leo
mwanafunzi aweze Kusoma kifungu kwa
ufasaha Kutaja vyombo vya
habari na kueleza dhima yake
Kufafanua msamiati uanohusu vyombo bya hatabi
Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
dodoso Kujadili
byombo Kusoma
maswali na kufanya marudi
Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 225-227Mwongozo wa mwalimu uk 159
Kamusi ya misemo na methali na nahau (K.W wamitila)
Kamusi Tashibihi vitendawili, milio na mshangao
runinga, magazeti) Picha (runinga, simu,
taipureta) ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora t/d (vitate
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja vitate vy t/d kwa usahihi
kutamka maneno yenye sauti t/d bila matatizo
maswli na majibu
kutamka vitate
kutunga sentensi
kusoma kwa sauti kitabuni
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 185Mwongozo wa mwalimu uk 128
Kamusi ya Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi 4-5Mwongozo wa mwalimu uk 4
Golden Tips Kiswahili
Kurunzi ya kiswahili
Chati Vitate na sentnesi Ubao Magaxeti
(maneo-t/d)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
vitenzi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya kitenzi
Kutaja na kupambana na aina za vitenzi
Kuainisha na kutambua vitenzi kwenye tungo
Kueleza Kusoma na
kujadili Kufanya zoezi
kwa kuandika Kutafiti zaidi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 172Mwongozo wa mwalimu uk 120
Kamusi ya Kiswahili
Chati (sentensi) Wanafunzi wenyewe Ubao
94
Kamusi ya fasihi Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi 66,73Mwongozo wa mwalimu uk 40,45
Kurunzi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
kiswahili
4 kusoma Usomaji wa riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya neno fani
Kutaja vipengela vinavyounda fani katka lugha
Kutambua fani kadhaa katika riwaya baada ya kusoma
Kueleza na kuzua mjadala
Kusoma maelezo kitabuni
Kusoma riwaya fupi
Kujadili fani
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 223Mwongozo wa mwalimu uk 157
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahua/kamusi ya methali (wamitila)
Kichecheo cha fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya fasihi Mwongozo wa
riwaya teule
Wanafunz wenyewe Nakala za riwaya Ubao Chati (fani-riwaya)
5 Kuandika Michezo ya kuigiza
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza sifa za michezo ya kuigiza
Kuandika michezo mifupi wa kuigiza
Kufanya maigizo mafupi darasani
Kuandika Maswali ya
dodoso Kusoma
maelezo Kuigiza Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 223Mwongozo wa mwalimu uk 157
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahua/kamusi ya
Nakala za tamthila nyepesi
Wanafunzi wenyewe ubao
95
methali (wamitila) Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Insha kabambe
(Simon mutali) Kichecheo cha fasihi
simulizi na andishi Johari ya Kiswahili 2
uk 162
2 1 Kusoma (ufahamu)
Baram mimi na njugu za ngwanje
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kusoma kwa sauti na matamshi bora
kueleza shughuli za uchunguzi na udanyganyifu unaohusiana nazo
kufafanua msamiati na kujibu maswali
kujadili (uchaguzi)
kusoma kwa sauti na zamu
kueleza msamiati
kuandika zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 235-238Mwongozo wa mwalimu uk 166-167
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahua/kamusi ya methali (wamitila)
Mchoro kitabuni Picha magazetini
(uchaguzi) ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mighani Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana na sifa bainifu za mighani
kutoa mfano wa mighani katika jamii yake
kujibu maswali kwa usahihi
kujadili (kifungu cha ubabe wa fumo liyongo)
kusoma na kujadili
kutoa mifano na kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 199Mwongozo wa mwalimu uk 139
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kichochoe cha fasihi
simulizi na andishi Kamusi ya fasihi
Wazee wa kale (utafiti)
Diwani za tendi mbali mbali
Magazeti (taifa leo)
96
3 Sarufi na matumzi ya lugha
Mnyambuliko wa vitenzi
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja vitenzi mbali mbali
Kunyambua vitenzi kwa usahihi
Kutunga sentensi zenye mnyambuliko tofauti tofauti
Kujibu mazoezi kwa usahihi
Kueleza Kusoma
maelezo kitabuni
Kutoa mifano Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 175/219Mwongozo wa mwalimu uk 121/154
Kamusi ya Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 191Mwongozo wa mwalimu uk 113
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Chati (jedwali la mnyambuliko)
Ubao magazeti
4 kusoma Mshairi huru Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza sifa za mashairi huru
kusoma shairi huru na kalifaladi kwa mahadhi
kujibu maswali kutokana na shairi kwa usahihi
maswali ya dodoso
kusoma na kughani shaiti
kujadili ujumbe
kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 231-232Mwongozo wa mwalimu uk 164
Kamusi ya Kiswahili Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 144Mwongozo wa mwalimu uk 85Nuru ya ushairiMiale ya ushairi
Shairi kitabuni Diwani ya mashairi Wanafunzi wenyewe ubao
5 Kuandika Mahojiano Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza utaratibu wa kufanya mohojiano
maswali dodoso
kusoma mahojiano na
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha
Wanafunzi wenyewe Magazeti (sehemu za
mahojiano) ubao
97
kueleza sifa na umuhimu wa mahojiano maishani
kuandika mahojiano kwa utaratibu ufaao
kuyaigiza kandika
mahojiano
wanafunzi uk 214Mwongozo wa mwalimu uk 151
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(Simon mutali) Kurunzi ya Kiswahili Golden tips Kiswahili Ijaribu na uikrabati
3 1 Kusoma ufahamu
Pipo jerebu na moto majini
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kusoma kwa matamshi bora na kupata maadili
kueleza maovu kama wizi na dawa za kulevya
kueleza msamiati, misemo na tashbihi kifunguni
kujibu maswali kwa usahihi
kueleza kusoma kutoa mifano
kwa kutamka kusikiliza na
kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 245Mwongozo wa mwalimu uk 174
Kamusi ya Tashbihi, vitendawili, mlio na msangao
Kamusi ya misemo na nahua/kamusi ya methali (wamitila)
Mchoro kitabuni Picha za dawa za
kulebya ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora vitate ch na f/v
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutamka vitate vyenye sauti ch/j na f/v kwa msamiati bora
kuandika maneno yenye sauti hizo kwa usahihi yanaopotamkiwa
kujibu zoezi kwa usahihi
kueleza kusoma kutoa mifano
kwa kutamka kusikiliza na
kuandika kufanya zoeze
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 223Mwongozo wa mwalimu uk 157
Kamusi ya Kiswahili Johari ya kiswahili
kitabu cha mwanafunziMwongozo wa
Cjati (Vitate) Wanafunzi wenyewe Ubao Magazeti (maneno-
vitate hivyo
98
mwalimu uk Golden Tips
kiswahili Kurunzi ya Kiswahili
3 Sauti na matumizi ya lugha
Viunganishi Kufikia mwisho wa funzo mwanafuzni aweze
Kueleza maana ya kiunganishi
Kutunga sentensi sahihi kwa kutumia viunganishi
Kuunganisha sentensi mbili kwa usahihi
Kusoma maelezo
Kujadili na kutoa mifano
Kuandika Kufanya zoezi
na masahihisho
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 242-243Mwongozo wa mwalimu uk 172
Kamusi ya Kiswahili Johari ya kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 194Mwongozo wa mwalimu uk 117
Kamusi ya fasihi simulizi na andishi
Nakala za tamthilia Wanafunzi wenyewe ubao
4 Kusoma (fasihi) Tamthilia kipengle cha mazungumzo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza matumizi ya mazungumzo na umuhimu wake katika tamthilia
kujibu maswali kutokana na mazungumzo katika tamthilia
maagizo mafupi
kusoma na kujadili maelezo kitabuni
kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 242-243Mwongozo wa mwalimu uk 172
Kamusi ya Kiswahili Johari ya kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 194Mwongozo wa
Nakala za tamthilia Wanafunzi wenyewe ubao
99
mwalimu uk 117 Kamusi ya fasihi
simulizi na andishi Kichoche cha fasihi
simulizi na aandishi
5 Kuandika Maagizo/maelekezo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza sifa na umuhimu wa maagizo mbalimbali
kutaja sehemu ambazo maagizo hutumiwa
kuandika na kufuata maagizo kwa usahihi
maswali dodoso
kueleza kwa kutumia vifaa halisi
kusoma maelezo
kufanya zoezi, kusahihisha na kujadili
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 223Mwongozo wa mwalimu uk 158
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(Simon mutali) Johari ya kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 139Mwongozo wa mwalimu uk 83
Karunzi ya Kiswahili
Vifaa halisi (chupa za dawa)
Karatasi za mtihani ubao
4 1 Kusoma ufahamu
Pimbi na hidaya ya kijiji
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kifungu kwa ufasaha
kueleza msamiati na tamthilia za usemi
kujibu maswali ya ufahamu kikamilifu
kusoma kwa sauti na zamu
kujadili ujumbe na msamiati
kutunga sentensi
kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 253-255Mwongozo wa mwalimu uk 163
Kamusi ya methsli/ksmudi ys midrmo ns nshus (K.W wamitila)
Mchoro kitabun Picha (ushirikiano wa
watu0 Ubao Chati (msamiati)
100
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mazungumzo: kituo cha polisi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuigiza mazungumzo yaliyo kitabuni
Kueleza sifa za lugha ya kituo cha polisi
Kueleza na kuktambua sayiili ya mazungumzo ya sehemu mbalimbali
Maswali ya dodoso
Kusoma na kuigiza mazungumzo
Kujadili matumizi ya lugha
Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 208Mwongozo wa mwalimu uk 146
Johari ya kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 126Mwongozo wa mwalimu uk 76
Karunzi ya Kiswahili Isimu jamii kwa
shule za sekondari
Wanafunzi wenyewe Picha (Polisi) Ubao Magazeti Runinga
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kirai Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya neno kirai
Kutofautisha baina ya kirai na kishazi kutumbua kirai katika sentensi
Kutumia na kutambua kirai katika sentensi
Kueleza Kusoma Kutoa mifano
na kujadili Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 208Mwongozo wa mwalimu uk 146
Johari ya kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 126Mwongozo wa mwalimu uk 76
Karunzi ya Kiswahili Golden tips Kiswahili Ijaribu na uikarabai Darubini ya Kiswahili
kidato 3. Uk 98 Sarufi fafanuzi kwa
shule za sekondari
Chati (sentensi) Ubaoni Magazeti (sentensi) Vitu halisi (nyundo,
kijiko)
101
4 Kusoma fasihi Riwaya wahusika
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza aina ya wahusika na umuhimu wake
Kutaja wahusika katika riwaya anayosoma na kufafanua silfa zao
Kusoma kimoyomoyo
Kujadili wahusika
Kuandika Kufanya zoezi Kujadili
majibu
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 252Mwongozo wa mwalimu uk 181
Johari ya kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 104Mwongozo wa mwalimu uk 62
Mwongozo wa riwaya teule
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Nakala za riwaya Wanafunzi wenyewe ubao
5 Kuandika Mazungumzo dayologia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza muundo wa sifa za dayalojia
kuandika dayalojia kwa usahihi
kueleza na kujadili
kusoma kwa sauti(maelezo kitabuni
kuandika madaftarini
kujirekebisha makosa
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 233Mwongozo wa mwalimu uk 181
Johari ya kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 71Mwongozo wa mwalimu uk 45
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
Nakala/za mazungumzo
ubao
5 1 Kusoma (muhtasari
Magazeti (maktabani
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kusoma magazetini na kueleza ujumbe
kupanua kiwango
ziara maktabani
kusoma ghibu kuandika
ujumbe,
nakala za magazetini (taifa leo, mwannchi nipashe)
kamusi ya Kiswahili kamusi ya methali
maktaba ya shule
102
chake cha msamiati na tamthilia
msamiati na kueleza
kamusi ya misemo na nahau (\K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu wa kusikiliza
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusikiliza kwa makini na kueleza ujumbe anayosomewa
kujibu maswali kutokana na makala atakayosomewa
kutoa maelezo kusoma kwa
sauti kusikiliza kuuliza
maswali kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 233Mwongozo wa mwalimu uk 181
Kamusi ya kiswahili
Makala ya kusoma ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kundi nomino na kundi tenzi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kuelezza maana ya kundi nomino na kundi tenzi
kupambanua sentensi na kutambua kundi nomino na kundi tenzi
kujibu maswali kwa usahihi
maswali ya dodoso
kueleza kusoma kutoa mifano
na kujadilikuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 201-203Mwongozo wa mwalimu uk 141-142
Johari ya kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 170Mwongozo wa mwalimu uk 100
Sarufi fafanuzi kwa shule za sekondari
Bango (sentensi) ubao
4 Kusoma Makala Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kueleza sifa za makala aliyosoma (sajili, muktadha n.k)
kueleza ujumbe na mawazo katika makala anayosoma
kueleza kusoma ghibu kueleza
mawazo na kujadili
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 258-259Mwongozo wa mwalimu uk 187-188
Majaribio Magazeti ubao
103
Johari ya kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 151Mwongozo wa mwalimu uk 89
Kamusi ya Kiswahili
5 Kuandika Risala Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza mana ya risala na inakotumiwa
kupambanua muundo wa risala zake
kuandika risala kwa usahihi
kueleza na kudodosa
kusoma kitabuni
kujadili kuigiza
matangazo K.V tanzia
kuandika risala
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 243Mwongozo wa mwalimu uk 173
Johari ya kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 124Mwongozo wa mwalimu uk 75
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
Magazeti Nakala za risala Redio na kanda
matangazo ubao
6 1 Kusoma (ufahamu)
Bwana Bafe na maradhi ya walalahoi
Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kifungu kwa matamzhi bora
kueleza njia za kuambukiza na jinsi ya kujikinga na ukimwi
kukjibu mwaswali kikamilifu
kujadili kuhusu ukimwi
kusoma kwa sauti na zamu
kueleza matumizi ya lugha
kufanya zoezi na kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 261-264Mwongozo wa mwalimu uk 190
Johari ya kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 71Mwongozo wa mwalimu uk 45
Mchoro kitabuni Picha za wagonjwa
mbalimbali ubao
104
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mafumbo/ chemsaha bongo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleeza maana ya fumbo na sifa zinazohisishwa nayo
kutambua umuhimu wa mafumbo na chemsha bongo
kufamba na kufumbua mafumbo kwa ufasaha
maswali ya dodoso
kusoma maelezo
kushindana kwa vikundi
kufumbua na kufumba mafumbo
kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 227Mwongozo wa mwalimu uk 160
Johari ya kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 155Mwongozo wa mwalimu uk 91
Kamusi ya Tashbihi vitendawili na milio na mishangao (K.W wamitila)
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (sifa) Picha (wanyama na
watu)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Sentensi ambatano na uchanganizi wakie
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya sentensi ambatano
Kufafanua muundo wa sentensi ambatano
Kutunga sentensi ambatano sahihi
Kutaja aina za sentensi
Kusoma maelezo na kufafanua
Kujadili mfano zaidi
Kuandika na kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 210-212Mwongozo wa mwalimu uk 147
Johari ya kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 165Mwongozo wa mwalimu uk 95
Chati (sentensi) Ubao Magazeti (sentensi)
105
Karunzi ya Kiswahili Golden tips Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
kiswahili
4 Kusoma (fasihi) Riwaya wahusika
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza aina mbali mbali za wahusika
Kusoma riwaya na kutaja wahusika na sifa zao
Kusoma maelezo kitabuni
Kujadili Kutaja
wahusika na sifa zao
Kuandika Kazi ya ziada
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 210-212Mwongozo wa mwalimu uk 147
Johari ya kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 165Mwongozo wa mwalimu uk 95
Karunzi ya Kiswahili Kamusi ya Kiswahili Kichecheo cha fasihi
simulizi na andishi
Nakala za riwaya Waanafunzi
wenyewe
5 Kuandika Riwaya wahusika
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma riwaya na kueleza sifa za wahusika
Kupanua mbinu zake za kuchambua wahusika wa riwaya
Kusoma riwaya ghibu
Kuwasilisha darasani
Kujadili Kazi ya ziada
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 35Mwongozo wa mwalimu uk 180
Insha kabambe Mwongozo wa
riwaya Kamusi ya Kiswahili Kichecheo cha fasihi
simulizi na andishi
Wanafunzi wenyewe Riwaya teule ubao
MTIHANI WA KATIKATI WA MUHULA106
8 1 Kusoma (ufahamu)
Shairi la Jaribio III
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma shairi kimoyomoyo kwa ufasaha
kujibu maswali kwa usahihi
kusoma ghibu kuandika
majibu madaftarini na kujadili majibi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 271-272Mwongozo wa mwalimu uk 196
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau
Wanafunzi wenyewe ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Tanakali za sauti
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana na umuhimu wa tanakali za sauti
kutaja tamathali za sauti kwa usahihi
kujibu maswali kitabuni kwa ufasaha
maswali ya dodoso
kusoma maelezo kitabuni
kutoa mifano kujadili na
kuiga saut kuandika kufanya zoezi
na masahihisho
kazi ya ziada
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 238Mwongozo wa mwalimu uk 167
Karunzi ya Kiswahili Kamusi ya Tashbihi,
vitendawili, milio, mishangao (K.W wamitila)
Kichecheo cha fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Golden tips kiswahili Kamusi ya Kiswahili Kichecheo cha fasihi
simulizi na andishi
Wanafunzi wenyewe (kuiga sauti)
Ubao
3 Sarufi na matumizi ya
vihusishi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Maswali na majibu kwa
Chemchemi za Bang(sentensi) zenye tashbihi
107
lugha Kueleza maana ya kihusishi
Kutumia vihusishi katika sentensi kwa usahihi
Kutamba vihusishi kwenye tango
sauti Kusoma
maelezo kitabuni
Kusoma magazeti na kutambua vihusishi
Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 238Mwongozo wa mwalimu uk 167
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Johari ya Kiswahili uk 135-136Mwongozo wa mwalimu uk 80
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti (taifa leo nipashe)
ubao
4 Kusoma (fasihi) Sentensi zenya maana tatanishi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma sentensi kwa matamshi borra
kutofautisha maana ya sentensi tatanishi
kusoma maelezso kitabuni
kutoa mifano na kuijadili
kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 194Mwongozo wa mwalimu uk
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Kamusi fasihi Kamusi ya Kiswahili
Chati (vitate) Wannzi wenyewe ubao
5 Kuandika Mahojiano Kufikia mwisho wa funzo, mwanafuzni aweze
kueleza hali na sifa za mahojiano
kuandika mahojiano kwa mtiririko mzuri na kwa utaratibu ufaao
maswali ya kudodosa
kusoma na kugiza mahojiano kitabuni
kujadili mahojiano hayo
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 259-260Mwongozo wa mwalimu uk 188-189
Fasihi simulizi kwa
Wanafunzi wenyewe Makala za mahojiano
(magazetini) ubao
108
kuandika madaftarini
shule za sekondari Johari ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 170Mwongozo uk 100
Insha kabambe (simon mutali)
9 1 Kusoma (isimu-jamii)
Viwakilishi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana ya kiwakilishi
kutaja aina za viwakilishi na kuto mifano
kutunga sentensi zenye viwakilishi
kusoma maelezo
kujadili na kutoa mifano
kutunga sentensi
kufanya zoezi na kusahihisah
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 241Mwongozo wa mwalimu uk 169
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Kamusi ya Kiswahili
Chati (aina za wakilishi)
Ubao Michoro Picha
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maigizo Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya maigizo na kufafanua vipera vyake
Kutoa vichekesho na kueleza dhima vyao
Kueleza sifa za michezo ya kuigiza
Kusoma maelezo kitabuni
Kushiriki katika kutoa vichekesho
Kufanya maigizo mafupi
Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 259-260Mwongozo wa mwalimu uk 188-189
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Kichocheo cha fFasihi simulizi na andishi
Kamusi fasihi Johari ya Kiswahili
kitabu cha
Chati (Mchoro wa vipera vya maigizo)
Wanafunzi wenyewe ubao
109
mwanafunzi uk 170Mwongozo uk 100
Insha kabambe (simon mutali)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Vielezi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kufafanua maana ya vielezi
kutaja aina zoe za vielezi na kutoa mifano
kutunga na kubainisha vielezi kwenye sentensi
kueleza kusoma
mifano kujadili na
kutoa mifano kufanya zoezi
na kusahisha
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 250-251Mwongozo wa mwalimu uk 178-180
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Kamusi ya kiswahili
Chati (aina za vielezi) Ubao Vitu halisi (nyundo)
4 Kusoma Jaribio IIIKusikiliza na
kuzungumzaSarufi na
matumizi ya lugha
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafuzni aweze
Kusoma maswali na kuelewa kinachotarajiwa
Kujibu maswali kwa kuanika madaftarini
Kusoma ghibu Kuandika
majibu Kufanya
masahihisho
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 272-274Mwongozo wa mwalimu uk 196-197
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Kamusi ya kiswahili
Maswali kitabuni Wanafunzi wenyewe ubao
5 Kuandika Orodha ya mambo
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kueleza sifa za kimsingi na orodha ya mambo
maswali ya dodoso
kueleza kusoma
maelezo kitabuni
kujadili swali kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 252Mwongozo wa mwalimu uk 181
Golden Tips Kiswahili (sehemu
Nakala ya oroha Ubao Vitu halisi
110
orodha ifaayo ya insha) Karunzi ya Kiswahili
(sehemu ya insha) Kamusi ya kiswahili
10 1 Kusoma Swali la muhtasari jaribio III
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kifungu na kudondoa hoja muhimu
Kuandika muhtasari kwa mtiririko ufaao
Kusoma kimoyomoyo
Kujadili vipengele muhimu
Kuandika ufupisho
kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 274Mwongozo wa mwalimu uk 198
Kamusi ya kiswahili
Wanafunzi weneywe Nakala ya majibu ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mjadala: maendeleo ya kisayansi yana manufaa
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kueleza maendeleo ya kisayansi yaliyopatikana
kufafanua manufaa yaliyoletwa na maendeleo ya kisayansi
kueleza mada kuteua
vikundi kushindana
kuandika hoja muhimu
kupitia hoja za pande zote mbili
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 255-258Mwongozo wa mwalimu uk 184
Wanafunzi wenyewe ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Hali ya -po Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kubainisha matumizi ya ‘po’ kimahali na kiwakati
kutunga sentensi za hali ya ‘po’ na kuzikanusha kwa usahihi
kutoa maelezo kusoma
kitabuni kutoa mifano
na kujadili kufanya zoezi,
kusahihisha na kufanya marudio
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 265Mwongozo wa mwalimu uk 191
Chati (sentensi za ‘po)
ubao
4 Kusoma (sarufi) A- Unganifu. Kiwakilisha na kivumishi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutambua matumizi ya ‘a’ unganifu katika ngel yote
Kueleza Kusoma Kujadili
mifano yao Kuandika
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 257-258
Chati (ngeli na a-unganifu
Ubao Michoro
111
Kutumia a- unganifu kama kiwakilishi na kivumishi
Kufanya zoezi kwa usahihi
Kufanya zoezi Mwongozo wa mwalimu uk 186
5 Kuandika Resipe au mwongozo wa mapishi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya resiipe na umuhimu wake
Kuandika kielelezo cha resipe kwa usahihi
Maswali dodoso
Kusoma maelezo na kujadili
Kupitia vitabu vya resipe
Kuandika resipe
Chemchemi za Kiswahili 2Kitabu cha wanafunzi uk 269-270Mwongozo wa mwalimu uk 195
Kamusi ya kiswahili
Vitabu bya resipe Magazeti Ubao
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA NA KUFUNG A SHULE
KISWAHILI KIDATO CHA 3 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 1
JUMA
KIPINDI
MADAKUU MADA NDOGO SHABAHA/MALENGO MBINU MAREJELEO NYENZO MAONI
1 1 Kusoma (Ufahamu)
Mwanakumba na kufura ya Bi.
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma Kujieleza
Chemchemi za Mchoro kitabuni ubao
112
sombe Kueleza maudhui ya kifungu
Kufafanua maana ya misemo na kuitungia sentensi
Kujibu maswali kwa usahihi
Kujadili Kujibu
maswali kuandika
Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 1-5Mwongozo wa mwalimu uk 1-2
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau
2 Kusiliza na kuzungumza
Dhima ya fasihi Kufikia mwisho wa funzo mwanafuzi aweze
kueleza maana ya fasihi kueleza aina za fasihi
na kuzifafanua kueleza umuhimu wa
fasihi katika maisha ya jamii
kueleza kusoma kwa
sauti kujadili kujadili
maswali kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 4-5Mwongozo wa mwalimu uk 2-3
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kamusi fasihi Darubiri ya Kiswahili
3 uk 37, 63Mwongozo uk 34
Chati/bango Wanafunzi wenyewe Magazeti (mashairi) Vitabu teule vya
fasihi andishi Vitu halisi (ngoma)
3 Sarufi na matmizi ya lugha
Vitenzi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja aina za vitenzi Kubainisha mizizi ya
vitenzi Kutambua viambishi
awali na tamati katika kiarifa
Kubainisha vitenzi kwa usahihi
Kusikiliza Kueleza Kutunga
sentensi Kujibu
madaftarini kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 5-9Mwongozo wa mwalimu uk 3-4
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Golden tips Kiswahili Karunzi ya kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari
Chati (jedwali za aina za vitenzi)
Ubao michoro
113
4-5 Kusoma (Fasihi)
Msingi wa usomaji wa ufahamu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza umuhimu wa funzo la ufahamu
Kueleza maana ya maudhui fani na maadili
Kutambua njia na mbinu za kujibu maswali ya ufahamu
Kujibu maswali ya ufahamu ifaavyo
Kueleza Kusikiliza Kuuliza
maswali kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 10Mwongozo wa mwalimu uk 5
Golden tips Kiswahili Karunzi ya kiswahili
Ubao Nakala (ufahamu
mfupi) Magazeti Majarida
6 Kuandika Mukhtasari au ufupisho
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kusoma na kudondoa hoja muhimu
Kueleza hatua zinazofuatwa katika ufupisho wa makala
Kueleza umuhimu wa ufupisho
Kusoma Kueleza Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 11-13Mwongozo wa mwalimu uk 5-6
Darubiri ya Kiswahili 3 uk 136-139Mwongozo uk 82
Insha kabambe (simon Mutali)
Ubao Kielezo cha makala
yaliyo fupishwa Chali (hatua ) magazeti
2 1 Kusoma (ufahamu)
Maswaibu na zabuni ya sabuni
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kwa matamshi bora
kufafanua ujumbe na maadili katika kifungu
kupanua msamiati wake
kujibu maswali kwa usahihi
kusoma kusikiliza kujadili kujibu
maswali kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 14-17Mwongozo wa mwalimu uk 7-8
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahu (K.W wamitila)
Bango (miairisho ya fasihi simulizi
Wanafunzi wenyewe ubao
2 Kusikiliza na Uainishaji wa Kufikia mwisho wa funzo kueleza Chemchemi za Bango (miairisho ya
114
kuzungumza fasihi simulizi mwanafunzi aweze kueleza jukumu la
fasihi kwa jumla kuorodhesha na
kueleza vitanzu vyote vya fasihi
kueleza dhima ya fasihi simulizi katika jamii
kusoma makala kitabuni
kujadili kuigiza
Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 17-19Mwongozo wa mwalimu uk 5-9
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Darubiri ya Kiswahili
3 uk 63Mwongozo uk 49
fasihi simulizi Wanafunzi wenyewe ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Vielezi Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kungamua maana ya vitensi
kubainisha aina za vielezo na kutoa mifano
kuonyesha vielezi katika tungo
kusoma kutoa mifano kuandika kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 20-22/35Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Darubiri ya Kiswahili
3 uk 228-230Mwongozo uk 121-122
Chati 9aina za vielezi) Ubao Wanafunzi wenyewe Magazeti Vitu halisi (birika)
4/5 Kusoma (fasihi) Riwaya I(amudhui)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya riwaya na kutaja
Kusoma Kujadili Kuandika Kutafiti (kazi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 25-26
Riwaya teule Ubao Chati (maudhui)
115
mifano Kueleza maana ya
maudhui na vipengele vinavyoshugulikiwa nayo
Kueleza tofauti kati ya vipengele mbalimbali ya maudhui
ya ziada) Mwongozo wa mwalimu uk 11-12
Kamusi ya Fasihi Mwongozo wa
riwaya Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi
6 kuandika Insha ya masimulizi
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufafanua sifa za insha ya masimulizi
Kuandika kisa kinachosimulia jambo Fulani kwa mtiririko ufaao
Kuandika kwa hali nadhifu nakutumia fani za lugha
Kueleza Kujadili
vidokezo kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 26-28Mwongozo wa mwalimu uk 12-13
Insha kabambe (Simon mutali)
Darubiri ya Kiswahili 3 uk 278Mwongozo uk 98
Nakala ya insha ya masimulizi
Picha (magari na watu)
Magaeti (visa vingi) Ubao Wanafunzi wenyewe
3 1 Kusoma (ufahamu)
Pigola yasmin Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kifungu kwaw ufasaha
Kutambua vianzo vya haki na dhiima katika jamii
Kupanua kitembo chake cha msamiati na semi
Kusoma ghibu Kujadili
ujumbe Kujibu
maswali kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 20-22/35Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
(Wamitila) Kamusi ya misemo
na nahau
Mchoro kitabuni Ubao Chati (msamiati) Magazeti chake Katiba halisi
Wanafunzi wenyewe
116
2 Kusikiliza na kuzungumza
Umuhimu wa fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza umuhimu wa fasihi simulizi katika jamii
Kusimuliz kitanzu chochote cha fasihi simulizi mbele ya daras
Kupenda fasihi simulizi
Kueleza Kujadili Kuigiza mifano Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 20-22/35Mwongozo wa mwalimu uk
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za senkondari
Kamusi ya fasihi Kamusi ya misemo
na nahau Kamusi ya methali
(K.W wamitila)
Magazeti (taifaleo) Picha Vitu halisi (ngoma) Ubao chati
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uakifishaji Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
kuelea maana na umuhimu wa uakifishaji
kutambua majina na alama za viakifishi
kuakifisha kifungu kwa njia ifaayo
kueleza kuandika
tungo kusoma kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 22-25
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Darubini ya Kiswahili
uk 13Mwongozo wa mwalimu uk 80
Chati (alama na matumizi)
Ubao Kielelezo cha makala
iliyoakifishwa magazeti
4-5 Kusoma (fasihi) Mashairi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma na kutaja maudhui katika shairi
kueleza sifa bainifu za shairi huru
kusoma kujadili kuandika kujibu
maswali kwa sauti na
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 41-43Mwongozo wa mwalimu uk 18
Diwali ya mashairi Shairi kitabuni Chati (sifa) na
muundo Magazeti (taifa leo)
117
kujibu maswali yatokanayo na shair huru kwa usahihi
madaftarini Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Nuru ya ushairi Miale ya ushairi
(NES)
6 kuandika Mahojiano na dayolojia
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza na kufafanua maana ya mahojiano na dayolojia
Kuigiza mahojiano darasani
Kuandika mahojiano kwa kuzingatia muundo na hatua kuu muhimu
Kueleza Kusoma Kuigiza
mahojiano Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 43-45Mwongozo wa mwalimu uk 19
Darubini ya Kiswahili 3 uk 166Mwongozo wa mwalimu uk 93
Insha kabambe
Ubao Wanafunzi wenyewe Nakala ya mahojiano Picha Magazeti
4 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: jogoo na cheka
Kufikia mwisho wa funzo mwanafuzi aweze
Kueleza madhara ya uchafuzi wa mazingira
Kusoma kwa matamshi bora na kufafanua ujumbe
Kukuza msamiati wake Kujibu maswali ya
ufahamu kwa usahihi
Kusoma Kujadili Kuandika Kufanya
marudio
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 46-49Mwongozo wa mwalimu uk 20-21
Insha kabambe Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau/kamusi ya methali (K.W wamitila)
Mchoro kitabuni Picha uchafuzi na
mazingira Ubao Kanda Wanafunzi wenyewe
2Kusikiliza na kuzungumza
Ushairi simulizi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza tungo mbali
Kueleza Kusoma Kusikiliza
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha
Chati sifa Ushairi simulizi Ubao
118
mbali za ushair simulizi Kueleza sifa za ushairi
simulizi Kuigiza ushairi simulizi
kutoka katika jamii yake
kuigiza wanafunzi uk 32-35Mwongozo wa mwalimu uk 15-16
Miale ya ushairi Taalumu ya ushairi Nuru ya ushairi
Magazeti (taifa leo) Wanafunzi wenyewe
3 Sarufi na matumizi ya lugha
viwakilishi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja aina za viwakilishi
Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi
Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi
Kueleza Kusoma Kujadili Kuandika Kujibu maswli
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 39-41Mwongozo wa mwalimu uk 16,24
Miale ya ushairi Taalumu ya ushairi Nuru ya ushairi
Diwani ya mashairi huru
Ubao Chati (sifa za mashairi
huru) Magazeti (Taifaleo)
4-5 Kusoma (fasihi) Mashairi Huru Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na keuleza maudhui ya shairi huru
Kupabanua sifa za mashiri huru
Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru
Kusoma Kueleza Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 41-43Mwongozo wa mwalimu uk 18
Miale ya ushairi Taalumu ya ushairi Nuru ya ushairi Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kichocheo cha fasihi
Nakala halisi ya shairi huru
Chati (sifa za shairi huru)
Ubao Magazeti (taifa leo)
6 kuandika Barua rasmi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo na sehemu kuu za barua
Kueleza Kujibu
maswali Kujadili
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha
Nakala halisi ya barua rasmi
Ubao Chati (muundo wa
119
rasmi Kupambanua msamiati
wa uandishi wa barua rasmi
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia kanuni zake
vidokezo Kuandika Kufanya zoezi
wanafunzi uk 60-63Mwongozo wa mwalimu uk 26-27
Insha kabambe (simon mutali chesebe)
Darubini ya Kiswahili uk 147Mwongozo wa mwalimu uk 87
barua rasmi)
5 1 Kusoma (ufahamu)
Vitabu vya hadithi (muhtasari)
Kufikia mwisho wa funzo,m wanafunzi aweze
Kusoma kitabu cha hadithi na kueleza maudhui
Kuandika muhtasari wa hadithi husika
Kukuza msamiati wake
KusomaKujadiliKuelezakuandka
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 25/60Mwongozo wa mwalimu uk 24
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (wamithila)
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Kichocheo cha fasihi
Wanafunzi wenyewe Chati (msamiati
maabadini) Makala ya muhtasari Magazeti
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maamkizi : sehemu za kuabudu (Isimu jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
Kueleza sifa za mamkizi katika maabudu tofauti tofauti
Kupambana istilahi za maabadini
Kuigiza mazungumzo ya kitabuni
Kusikiliza Kuandika
tungo Kusooma Kuigiza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 50-53Mwongozo wa mwalimu uk 21-22
Kamusi ya Kiswahili Isimu jamii kwa
shule za sekondari
Wanafunzi wenyewe Chati (sentenzi na
misamiati ya maabadini)
Ubao
120
(ipara Isaac odeo) Darubini ya Kiswahili
uk 318Mwongozo uk 158
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uakifishaji II Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kueleza matumizi ya alama za uakifishaji
Kutumia alama za viakifishaji katika tungo
Kuakifisha tungo ifaayo
Kueleza Kuandika
tungo Kusoma Kuakifisha
tungo Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 57-59Mwongozo wa mwalimu uk 24-25
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
kiswahili Darubini ya Kiswahili
uk 81,133Mwongozo uk 55/80
Magazetini (Taifa leo) Riwaya teule Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (lugha)
4/5 Kusoma (fasihi) Riwaya III Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kueleza fani na matumizi ya lugha katika riwaya
Kufafanua muundo wa riwaya
Kuchambua riwaya teule kifani na kimuundo
Kusoma Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 54-60Mwongozo wa mwalimu uk 25-26
Mwongozo wa riwaya teule
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Magazeti (taifa leo) Riwaya teule Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (lugha)
6 kuandika Barua kwa mhariri
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri
Kusoma mfano kitabuni
Kueleza Kujadili Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 62-63Mwongozo wa
Mchoro kitabuni Ubao Magazeti (taifa leo) Nakala halisi ya barua
121
na gazetini na kufafanua sifa bainifu
Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi
mwalimu uk 27 Insha kabambe
(simon M chesebe) Karunzi ya Kiswahili Golden tips kiswahili Darubini ya Kiswahili
uk 30
6 1 Kusoma (ufahamu)
Mwindo wa vishindo vya shemwindo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na kueleza maadili katika kifungu
Kueleza na kutunga sentensi kwa msamiati mpay
Kujibu maswali ya kifungu kwa usahihi
Kusoma Kutunga
sentensi Kueleza Kuandika
(Zoezi)
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 62-63Mwongozo wa mwalimu uk 27
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya
methali/kamusi ya misemo na nahau
Mchoro kitabuni Ubao Chati (msamiati na
maana)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maghani Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya maghani
Kutaja nakufafanua aina tofauti za maghani
Kuugiza maghani darasani
Kueleza Kusoma Kutoa mifano
na kuigiza Kuandika
(zoezi)
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 53-54Mwongozo wa mwalimu uk 22-23
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (alez ngure
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Darubini ya Kiswahili uk 251-252
Chati (aina za maghani)
Ubao Bango
122
Mwongozo uk 62
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Viwakilishi Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja mifano zaidi ya viwakilishi
Kutumia aina husika za viwakilishi kwa kuzingatia upatanisho wa ngeli na kisarufi
Kueleza Kusoma Kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 69-71Mwongozo wa mwalimu uk 30
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Darubini ya Kiswahili uk 65Mwongozo uk 50
Magazeti (taifa leo) Kielezo kitabuni
4-5 Kusoma (muhtasari)
Makala (gazeti) Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa sauti na matamshi bora
Kupambanua matumizi ya lugha katika makala kitabuni
Kujibu maswali (muhtasari) kwa usahihi
Kueleza Kusoma Kujadili Kuzuru
maktaba
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 72-73Mwongozo wa mwalimu uk 32
Kamusi ya Kiswahili
Mifano halisi Ubao Magazeti Kiara (maktaba) Chati (umuhimu)
6 kuandika Barua meme Kufikia mwisho wa funzo, mwnafunzi aweze
Kueleza maana ya barua meme
Kutambua njia ya kutma barua
Kutofautisha barua meme na barua nyingiezo
Kuandika barua meme
Kueleza Kujadili Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 77-80Mwongozo wa mwalimu uk 33-34
Kamusi ya kiswahili Darubini ya Kiswahili
uk 33Mwongozo uk 29
Mchoro kitabuni Wanafunzi wenyewe ubao
123
7 1-5 MTIHANI WA LIKIZO YA KATIKATI YA MUHULA
8 1 KUSOMA (UFAHAMU)
Umoja wa jamii Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kufafanua muundo wa kifungu
kueleza maudhui katika kifungu
kusoma kwa sauti na matamshi bora
kujibu maswali kwa uhalisi
kudodosa kueleza kusoma kujadili kuandika kuigiza
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 77-80Mwongozo wa mwalimu uk 35-36
Kamusi ya methali (Wamitila)
Kamusi ya kiswahili
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mighani/migani au visakale
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya migani
(a) kutaja na kueleza sifa za mighani
Kutoa mfano wa mighani katika jamii
Kusoma Kusikiliza Kusimuliz Kuandika Kutafsiri (kazi
ya ziada)
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 68-69Mwongozo wa mwalimu uk 29-30
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Darubini ya
kiswahilii 3 uk 224Mwongozo wa mwalimu uk 55
Ubao Picha (mashujaa) Magazeti Chati (mifano ya
visakale)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mwingiliano wa maneno
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja na kueleza aina za maneno
Kuonyesha jinsi neno linavyoweza kubadilika ki-aina kitegemea nafasi
Kueleza Kusoma Kutoa na
kujadili mifano
Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 70-71Mwongozo wa mwalimu uk 31-32
Chati (aina za maneno)
Ubao Mifano ya sentensi Vitu halisi (viti,ndizi)
124
Kubainisha jukumu la neno katika sentensi
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Golden Tips
Kiswahili Kurunzi ya Kiswahili
4-5Kusoma Hadithi fupi Kufikia mwisho wa funzo,
mwanafunzi aweze Kueleza maana ya
hadithi fupi Kutofautisha hadithi
fupi na riwaya Kubainisha/mtindo wa
hadithi fupi Kusoma hadithi fupi na
kueleza kimtindo na kimaudhui
Kueleza Kusoma Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 89-9-Mwongozo wa mwalimu uk 40-41
Kamusi ya Kiswahili Mwongozo wa
uchambuzi (Diwani teule)
Kamusi ya misemo na nahua (wamitila)
Diwani teuule Magazeti yenye
hadithi fupi Chati (mtindo)
6 kuandika kumbukumbu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa kumbukumbu
Kutaja manufaa ya kuandika kumbukumbu
Kuandika kumbukumbu kwa kuzingatia kanuni zake
Kueleza Kusoma Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 92-94Mwongozo wa mwalimu uk 41-42
Kurunzi ya kiswahili Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya
kiswahilii 3 uk 345Mwongozo wa mwalimu uk 178
Nakala ya kumbukumbu halisi
Chati (muundo) Ubao Wanafunzi wenyewe
125
9 1 Kusoma (ufahamu)
Mrushaji na tamtamu mahonda
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kusoma na kutambua ujumbe wa kifungu
Kutumia msamiati na fani za lugha kifunguni
Kueleza njia za kukabili uovu na matendo mabaya katika jamii
Kusoma ghibu Kudodosa Kujibu
maswali kwa sauti
Kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 95-98Mwongozo wa mwalimu uk 43-44
Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (wamitila)
Kifu Mchoro kitabuni Ubao Vifaa halisi
(peremende, Pipi) picha
2 Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu wa kusikiliza
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maadili na maudhui ya kifungu alichosikiliza
kujibu maswali kutokana na aliyosikia
kutambua umuhimu wa kuwa msikivu
kusikiliza kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 80Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
Kamusi ya misemo na nahau (wamitila
Chati (msamiati) Mchoro kitabuni Picha
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko wa vitenzi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kunyambua vitenzi ifaavyo
Kutaja na kueleza aina mbali mbali za mnyambuliko
Kutumia kauli tofauti za mnyambuliko katika sentensi
Kueleza Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 82-86Mwongozo wa mwalimu uk 39-40
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Darubini ya
kiswahilii 3 uk 23,308Mwongozo wa
Chati (msamiati) Mchoro kitabuni picha
126
mwalimu uk 27,90
4/5 Kusoma (fasihi) Hadithi fupi (dhamira ya hadithi fupi katika diwani teule)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma diwani ya hadithi kwa jicho pevu
kuandika muhtasari wa kila hadithi katika diwani kwa kuzingatia dhamira
kutafiti kuwasilisha kusikiliza kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 90-92Mwongozo wa mwalimu uk 40
Kamusi ya Kiswahili Kamusi fasihi Mwongozo wa
diwani teule ya hadithi fupi
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Diwani teule Mwanafunzi
mwenyewe
6 kuandika Kumbukumbu (marudio)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kubainisha makosa katika kubukumbu alizoandika
Kuandika upya kwa hali nadhifu na muundo sahihi
Kusoma Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 93Mwongozo wa mwalimu uk 41-42
Insha kabambe (Simon mutali)
Golden Tips Kiswahili
Kurunzi ya kiswahili Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Darubini ya
kiswahilii 3 uk 345
Nakala za kumbukumbu
Ubao Nakala za wanafunzi
(walizoandika awali
10 1 Kusoma (ufahamu)
Afya nzuri ni msingi wa
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kusoma Kueleza
Chemchemi za Kielezo kitabuni Chati (msamiati)
127
maendeleo Kueleza faida za jamii yenye lishe bora (afya nzuri)
Kufafanua msamiati na semi katika kifungu
Kujibu maswali kwa usahihi
Kujadili kuandika
Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 111-114Mwongozo wa mwalimu uk 51-52
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau Kamusi ya methali
Wanafunzi wenyewe
2 Kusikiliza na kuzungumza
visasili Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana za visashi
Kutambua sifa bainifu za visasili
Kubainisha makala yoyote ya visasili
Kusimuahia kisasili katika jamii
Kueleza Kusoma Kusimulia Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 81-82Mwongozo wa mwalimu uk 38-39
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Kamusi ya fashi
Chati (sifa) Ubao Vitabu teule vya
hadithi Magazeti (hadithi)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko wa vitenzi vyenye asili ya kigeni
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja aina za mnyambuliko wa vitenzi
Kunyambua vitenzi vya kigeni kwa usahihi
Kueleza Kudodoso Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 87-88Mwongozo wa mwalimu uk 39
Kamusi ya Kiswahili Darubini ya
kiswahilii 3 uk 308Mwongozo wa
Magazeti Jedwali/chati Minyambuliko ya
vitenzi Ubao
128
mwalimu uk 152
4-5 Kusoma Tahariri Kufikia mwisho wa funzo,mwanafuzi aweze
Kufafanua tahariri ni nini
Kueleza sifa bainifu za tahariri
Kuandika tahariri kwa muundo sahihi
Kueleza Kusoma
tahariri magazetini
Kuandika zoezi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 82-86Mwongozo wa mwalimu uk 39-40
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Golden Tips
Kiswahili Kurunzi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali)
Nakala ya tahariri Magazeti Ubao Kielezo kitabuni
6 Kuandika Hojaji Kufikia mwisho wa funzo, mwanafnzi aweze
Kueleza maana ya hojaji
Kufafanua aina tofauti za hojaji
Kuandika hojaji sahihi kuhusu mada aliyopewa
Maswali ya dodosa
Kueleeza Kujadili kwa
makundi Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 109-110Mwongozo wa mwalimu uk 48-50
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe Golden Tips
Kiswahili Kurunzi ya kiswahili
Nakala halisi za hojaji Ubao Chait (aina)
11 1 Kusoma (ufahamu)
Mkwiro na mikwaro yake
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa ufasaha Kujibu maswali kwa
Kueleza Kusoma Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 125-
Maswwali kitabuni Wanafunzi wenyewe Ubao
129
usahihi Kuwa tayari kwa
mtihani na ufahamu
Kutunga sentensi
127Mwongozo wa mwalimu uk 56
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mighani dhima ya fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya migani
Kutofautisha mighnai na visasihi
Kueleza dhima ya fasihi katika jamii
Kusoma Kuandika
majibu kujadili
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 128Mwongozo wa mwalimu uk 57
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Kamusi ya fasihi
Picha ya mashujaa Magazeti Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (sifa dhima ya
fasihi simulizi)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mzizi wa kitenziVieleziMnyambuliko wa vitenzi (silabi moja)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutambua mzizo wa kitenzi
Kutaja na kubainisha vitenzi katika tungo
Kunyambua vitenzi vya silabi moja kwa kauli tofauti tofauti
Kusoma maswali
Kuandika majibu
Kujadili majibu
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 128Mwongozo wa mwalimu uk 57
Kamusi ya Kiswahili Darubini ya
kiswahilii 3 uk 23Mwongozo wa mwalimu uk 57
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (maudhi) Magazeti (maadili)
4/5 Kusoma Dhamira Kufikia mwisho wa funzo, Kusoma Chemchemi za Wanafunzi wenyewe
130
Fasihi MaadhuliFalsafaMaadili
mwanafunzi aweze Kueleza maana ya
dhamira na maudhui Kueleza tofauti ya
falsafa na maadili katika kazi ya fasihi
Kuandika Kujadili
majibu kusahihisha
Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 129
Mwongozo wa mwalimu uk 57
Ubao Chati (maudhui) Magazeti (maadili)
6 kuandika Insha Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzo aweze
Kueleza sifa za insha bora
Kuandika insha ya maeleso kwa mtiririko
Kujadili vidokezo
Kuandika madaftarini
kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 129
Mwongozo wa mwalimu uk 57
Insha kabambe (simon mutali)
Golden Tips Kiswahili
Kurunzi ya kiswahili
Nakala za insha bora Chati (aina za insha) Magazeti Vitu halilsi (udongo)
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KUFUNGA SHULE
KISWAHILI KIDATO CHA 3 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 2
1 1 Kusoma (ufahamu)
Huo wazimu gani? (ngonjera
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kusoma shairi kwa matamshi yafaayo
Kufafanua mbinu za ushairi katika (ngojera)
Kueleza msamiati wa kishair uliotumika
Kuijibu maswali kwa usahihi
Kusoma Kukariri shairi Kujadili Kuandika
madaftarini Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 130-133Mwongozo wa mwalimu uk 58-59
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ys misemo
na nahau Kamusi ya methali
(K.W wamitila)
Wanafunzi wenyewe Mchoro kitabuni
131
Fasihi simulizi kwa shule
2 Kusikiliza na kuzungumza
Vitendawili Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa vitendawili
Kutambua dhima ya vitendawili katika jamii
Kutega na kutegua vitrendawili kwa usahihi
Kueleza Kutega na
kutegua Mashindano
kivikundi Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 130-133Mwongozo wa mwalimu uk 58-59
Kamusi ys misemo na nahau
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Wanafunzi wenyewe Chati ( migao ya
vitendawili ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa kisarufi
Kufikia mwisho waw funzo, mwanafunzi aweze
kutaja ngeli na viambishi ngeli
kupatanisha nomino na sifa ifaavyo
kutumia virejeshi ‘O’ na ‘amba’ sawa-sawa kisarufi
kueleza kujadili kutunga
sentensi kwa sauti
kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 101-104Mwongozo wa mwalimu uk 45-46
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Golden Tips Kiswahili
Kurunzi ya kiswahili
Chati (Jedwali la ‘O’ na amba rejeshi
Ubao Vitu halisi (meza,
kitabu) michoro
4/5 Kusoma fasihi Tamthilia Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza tofauti na aina ya tamthilia na riwaya
kueleza kujadili kusimuliz visa kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 119-
Nakala za tamthilia teule
Ubao Chati (sifa zake)
132
kupambana na sifa bainifu za tamthilia
kusoma tamthilia teule
122Mwongozo wa mwalimu uk 54-55
Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya fasihi
6 kuandika Insha ya methali
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja na kueleza maana ya methali mbalimbali
Kusimuliza visa vifupi kuhusu methali mbali mbali
Kutambua muundo wa insha ya methali
Kuandika insha ya methali
Kueleza Kujadili Kusimuliza
visa kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 336Mwongozo wa mwalimu uk 162
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Wanafunzi wenyewe ubao
2 Kusoma (ufahamu)
Mzee kifimbo cheza na visa vyake
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
kusoma kwa kina na ufasaha
kufafanua maudhui, semi na msamiati kifunguni
kutungia sentensi kwa msamiati na semi zilizotumika kifunguni
kujibu maswali kwa usahihi
kujadili mchoro
kusoma kueleza
(maudhui na msamiati
kuandika ( majibu madaftarini)
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 144-147Mwongozo wa mwalimu uk 65
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitiala)
Kamusi ya methali Kamusi ya Kiswahili
Mchoro kitabuni Wanafunzi wenyewe Chati (msamiati) ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uakifishaji Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja alama za
kueleza kutunga
sentensi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha
Chati (alama –jina) Ubao Magazeti (alama hizo
133
uakifishaji kueleza matumizi ya
alama za uakifishaji kuakifisha tengo kwa
usahihi
kusoma kaundika zoezi
wanafunzi uk 167-170Mwongozo wa mwalimu uk 75-76
Kamusi ya Kiswahili Darubini ya Kiswahili
uk 81Mwongozo wa mwalimu uk 56
4/5 Kusoma (fasihi Riwaya III Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya wahusika na sifa muhimu za kuzingatia katika uchunguzi wa wahusika
Kutaja na kuto mfano ya aina za wahusika riwaya
Kutofautisha wahusika wa aina mbali mbali
Kusoma Kuwasilisha na
kueleza Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 139-141Mwongozo wa mwalimu uk 62-63
Mwongozo wa riwaya teule
Kamusi ya fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi
Riwaya teule Ubao Wanafuzni wenyew Kanda ya video Chati (wahusika)
6 kuandika Insha ya maelezo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja sifa za insha ya maelezo
kutoa maelezo kuhusu kitu, tukio au mtu fulani
kuandika insha ya maelezo kwa kufuata kaida zote
maswali ya dodosa
kueleza mambo ya muhimu
kuwasilisha darasani
kujadili vidokezo
kuandika madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 122-124Mwongozo wa mwalimu uk 55
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe Karunzi ya kiswahili Kamusi ya fasihi Darubini ya Kiswahili
Wanafunzi wenyewe Makala ya insha ya
maelezo ubao
134
uk 70-71Mwongozo wa mwalimu uk 52
3 1 Kusoma (ufahamu)
Ajiri ya watoto na maendeleo
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
kusoma kwa matamshi bora
kueleza maudhui na kutolea mifano katika jamii
kufananua na kutungia sentensi semi na msamiati
kusjoma kwa sauti darasani
kujadili vidokezo
kutoa mifano halisi
kuandika msamiati na zoezi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 155-158Mwongozo wa mwalimu uk 71-72
Fasihi simulizi na andishi (alex ngure)
Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)
Kamusi ya kiswahili
Michoro kitabuni Picha nyinginezo
(magazetini Ubao Wanafunzi wenyewe
2 Kusikiliza na kuzungumza
mafumbo Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutoa fasihi ya neno fumbo
Kupambana sifa bainifu za mafumbo
Kufumbanua na kufumbua mafumbo
Kueleza Kusikiliza na
kuuliza maswali ya dodoso
Kushindana, kufumbua mafumbo
Kujibu maswali kwa sauti
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 133-135Mwongozo wa mwalimu uk 59
Fasihi simulizi na andishi (alex ngure)
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Darubini ya Kiswahili uk 50Mwongozo wa mwalimu uk 52
Wanafunzi wenyewe Ubao Picha ya wanyama Michoro Chati (sifa)
3 Sarufi na Upatanisho wa Kufikia mwisho wa funzo, Kueleza Chemchemi za Chati (vivumishi)
135
matumizi ya lugha
kisarufi vivumishi
mwanafunzi aweze Kuteleza maana ya
vivumishi Kutaja aina za
vivumishi na kutumia katika sentensi kwa usahihi
Kujibu maswali kwa upatanisho sahihi wa kisarufi
Kusoma Kutunga
sentensi Kufanya zoezi
Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 116/135/148Mwongozo wa mwalimu uk 53,60
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Darubini ya Kiswahili uk 52,53,78, 186, 216,343,330Mwongozo wa mwalimu uk 56,44,115,176
Picha Vitu halisi
4/5 Kusoma fasihi Matumizi ya lugha katika fasihi
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja tamathali za usemi na umuhimu wake
Kutaja mifano katika kazi fasihi (hasa vitabu teule)
Kujibu maswali kwa kurejelea vitabu teule
Kusoma Kueleza Kujadili Kuandika na
kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 193-199Mwongozo wa mwalimu uk 69
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Kamusi fasihi Mwongozo ya
vitabu teule
Riwaya teule Tamthilia teule Diwali teule Ubao
6 Kuandika Maagizo/maelekezo
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafuzni aweze
Kufafanua maana ya maagizo
Kueleza aina na
Kutoa maagizo darasani
Kutekeleza maagizo
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 141-143
Nakala halisi ya maagizo (paketi za dawa)
Wanafunzi wenyewe Ubao
136
umuhimu wa maagizo kwa wanajamii
Kuandika maagizo kwa njia mwafaka
Kujadili Kuandika Kutazama
maagizo halisi
Mwongozo wa mwalimu uk 63
Chati (maagizo)
4 1 kusoma Fisi na manyoya meupe
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa matamshi bora
Kudondoa msamiati mpya na kueleza
Kueleza sifa za wanyama mbali mbali
Kujibu maswali kikamilifu madaftarini
Kujadili mchoro
Kusoma kwa sauti wakipokezana
Kueleza msamiati na kutunga sentensi
Kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 174-179Mwongozo wa mwalimu uk 79
Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)
Kamusi ya kiswahili Kamusi fasihi
Mchoro kitabuni Picha (ya wanyama)
mbali mbal Ubao Mchoro Chati (sifa)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Vitendawili II Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kuaishisha vitendawili katika makundi kimaudhui
Kutaja vitendawili vyenye muundo mmoja
Kutegua vitendawili aliyoulizwa
Kueleza Kusoma Kutega na
kutegua vitendawili
Kuandika (zoezi)
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 147-148Mwongozo wa mwalimu uk 66
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Kamusi ya Tashbihi, vitendawili, milio na mishangao (wamitila)
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (sifa za
vitendawili)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Vinyume vya vitenzi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja aina mbali mbali za vinyume vya vitenzi
Kuorodhesha vitenzi na
Maswali ya dodoso
Kueleza Kusoma Kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 137-
Chati (vitenzi na vinyume)
Wanafunzi wenyewe Ubao
137
vinyume vyake Kutunga sentensi za
vitenzi na vinyume vyake
Kujibu maswali kwa usahihi
Kufanya zoezi Kugiza mfano,
fumba na fumbua macho, nuna tasamu
139Mwongozo wa mwalimu uk 61
Kamusi ya kiswahili
4/5 Kusoma (fasihi) Mashairi ya Arudhi (sitiari na taswira)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya taswira na sitiari
Kupambanua matumizi ya taswira na sitiari
Kusoma shairi na kubainisha matumizi ya taswira na sitiari
Kueleza Kusoma Kujadili Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 183-186Mwongozo wa mwalimu uk 61
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Miale ya usahiri (NES)
Nuru ya ushairi Taaluma ya ushairi
Diwani ya mashairi Magazeti ya taifa leo Chati Picha Vitu halisi (ua)
6 Kuandika Tahadhari na onyo
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya tahadhari
Kueleza maana ya ilani na zinakopatikana
Kuandika tahadahri na ilani kwa usahihi
Kueleza Kujadili Kusoma Kutazama
picha za ilani Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 133-154Mwongozo wa mwalimu uk 70
Karunzi ya Kiswahili Golden tips Kiswahili Insha Kabambe
(mutalil Simon) Darubini ya Kiswahili
3 uk 57-59 Mwongozo wa
Mchoro kitabuni Kitabu cha ishara
barabarini Mabango (Ilani)
138
mwalimu uk 46
5 1 Kusoma (ufahamu)
Makala magazetini
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kusoma makala magazetini
Kueleza taalumu zinazozungumziwa kwa mfano michezo, siasa, biashara na kilimo
Kufupisha makala aliyosoma
Kueleza na kujadili
Kusoma kwa vikundi
Kuripoti waliosoma
Kuandika madaftarini
Kufanya zoezi Ziara
maktabani
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 12Mwongozo wa mwalimu uk 6
Nakala za magazeti K.V taifa leo nipashe
Wanafunzi wenyewe Picha ya maktaba Chati (aina za
magazeti)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Methali Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja methalil mbali mbali kwa usahihi
Kueleza miundo mbali mbali ya methali
Kupambanua ukuruba wa methali na semi nyinginezo
Kudodosa Kusoma Kueleza na
kujadili Kushindana
kukamislisha methli (kivikundi)
kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 158-160Mwongozo wa mwalimu uk 72
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Kamusi fasihi Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Darubini ya Kiswahili
3 uk 197 Mwongozo wa mwalimu uk 46
Wanafunzi wenyewee
Ubao Chati Picha (kuku)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Nyakati na Hali Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutumia viambishi vya nyakati kwa usahihi
Kubadilisha sentensi
Maswali ya dodoso
Kueleza Kusoma Kujibu
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 165/181
Chati (viambishi vya njeo)
Ubao
139
kutoka wakati mmoja hadi mwingine
Kujibu maswali ya nyakati na hali mbali mbali kwa usahihi
maswali kwa sauti
Kuandika na kufanya zoezi
Mwongozo wa mwalimu uk 74/82
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Darubini ya Kiswahili 3 uk 187 Mwongozo wa mwalimu uk 101
4/5 Kusoma (fasihi) Mashairi ya arudhi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa mashiri ya arudhi
Kusoma mashairi ya arudhi kwa mapigo na mahadhi sahihi
Kupambanua ujumbe na matumizi ya lugha katika shairi la arudhi
Kueleza Kusoma Kujadili Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 183-186Mwongozo wa mwalimu uk 84
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Miale ya usahiri (NES)
Nuru ya ushairi Karunzi ya Kiswahili Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi
Diwani ya mashairi Wanafunzi wenyewe Chati (muundo) Chati (muundo) Magazeti (taifa leo)
6 kuandika matangazo Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kupambanua njia tofauti tofauti za kutoa matangazo
Kueleza muundo wa matangazo
Kuandika matanganzo kwa njia mwafaka
Kudodoso na kujadili
Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 204Mwongozo wa mwalimu uk 92
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili
Mabango ya matangazo
Ubao Magazeti Chati (tangazo)
140
3 uk 47 Mwongozo wa mwalimu uk 37-38 (sehemu ya insha)
6 1 Kusoma (ufahamu)
Chinyango ya wilaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma makal na kueleza maadhi yaliyomo
Kueleza maana ya msamiati mpya na kutunga sentensi
Kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma makala
Kujadili ujumbe
Kujibu maswali na kujadili
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 133-154Mwongozo wa mwalimu uk 70
Kamusi ya kiswawhili
Kamusi ya misemo na nahau
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Mchoro kitabuni Ubao Chati (msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu wa kusikiliza
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusikiliza kwa makini akisomewa habari
Kufafanua ujumbe wa habari aliyosomewa
Kubainisha sauti tata na kutaja fani za lugha alizosika
KuelezaKusomaKusikilizaKujadilikuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 191-195Mwongozo wa mwalimu uk 88-89
Kamusi ya methlai Kamusi ya misemo
na naahau (Wamitila)
Mchoro kitabuni Ubao Chati (msamiati)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Ukanushaji na nyakati na hali
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutambua mabadiliko
Kueleza na kudodosa
Kusoma na
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha
Chati (vikanushi) Ubao Magazeti
141
ya viambishi katika kukanusha nyakati/hali
Kubadilisha tungo yakimishi hadi tungo kanushi
Kujibu maswali ya zoezi kwa usahihi
kujadili Kujibu
maswali kwa sauti
Kuandika madaftarini
wanafunzi uk 197/209-227Mwongozo wa mwalimu uk 90/96/103
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Darubini ya Kiswahili 3 uk 187 Mwongozo wa mwalimu uk 101
4/5 kusoma Shairi huru (Afrika)
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kusoma shairi na kueleza ujumbe
Kupambanua sifa za kimuundo na kitamathali katika shairi
Kufafanua msamiati katika shairi
Kusoma Maswali ya
dodoso Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 201-202Mwongozo wa mwalimu uk 91-92
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Miale ya usahiri (NES)
Nuru ya ushairi Karunzi ya Kiswahili Taaluma ya ushairi
Shairi kitabuni Chati (muundo) Ubao Diwani ya mashairi Magazeti (taifa leo)
6 kuandika Mikusanyo ya kazi za fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja njia za kuhifadhi fasihi simulizi
Kutambua njia na mbinu za kukusanya kazi ya fasihi simulizi
Kueleza faida za
Kueleza na kujadili
Kusoma Kuandika Kazi ya
kutafufit
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 186-187Mwongozo wa mwalimu uk 85
Redio na kanda za sauti (KBC)
Wanafunzi wenyewe Vitu halisi (ngoma Chati (tanzu za fasihi
simulizi)
142
ukusanyaji wa kazi za fasihi simulizi
7 1-5 MTIHANI NA LIKIZO YA KATIKATI YA MUHULA
8 1 KUSOMA (UFAHAMU)
Cheko la wakuja
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa ufasaha na kueleza maadili
Kupanua msamiati wake
Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
Kusoma Kujadili
(maadili na msamiati)
Kujibu maswali kwa sauti
kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 205-208Mwongozo wa mwalimu uk 94
Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)
Kamusi ya Kiswahili
Mchoro kitabuni Ubao Chati (msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Ngano Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kupambanua msingi ya uainishaji wa ngano
Kutaja na kufafanua aina tano za ngano
Kusimulia ngano darajani
Kujadili maswali ya zoezi kwa usahihi
Kusoma Kujadili
(maswali na msamiati
Kujibu maswali kwa sauti
kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 205-208Mwongozo wa mwalimu uk 94
Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kichocheo cha
simulizi na radishi Kamusi ya fasihi
Wanafunzi wenyewe Chati (aina za ngano) Ubao Picha
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uundaji nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja nomino na vitenzi mbali mbali
Kuunda nomino kutokana na kitenzi
Kueleza Kusoma Maswali na
majibu kwa sauti
Kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 199-201Mwongozo wa
Chati nomono vitenzi Ubao Vitu halisi (mkimbaji) Picha
143
Kutumia nomino moja kuunda nyinginezo
madaftarini mwalimu uk 91 Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Nuru ya ushairi Karunzi ya Kiswahili Golden tips Kiswahili
4/5 Kusoma (fasihi) Magazeti (habari za kitaifa na kimatailfa)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maudhui ya habari za kimataifa
Kupambana habari za kimataifa
Kutambua umuhimu wa magazet
Kuonyesha na kutazama magazeti
Kujadili kuhusu magazeti
Kusoma ghibu Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 217-218Mwongozo wa mwalimu uk 99
Karunzi ya Kiswahili Kamusi ya Kiswahili
Nakala ya magazeti K.V taifa leo, spoti, taifa jumapilli
Viambatizo kitabuni
6 kuandika Ujazaji na fumu na hojaji
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma fomu na kujaza kwa kufuata maagizo au maswali
Kutaja na kueleza umuhimu wa matumizi ya fomu na hojaji
Kueleza Kujaza kielezo
cha fomu Kusoma na
kuandika Kukfanya
zoezi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 187-190Mwongozo wa mwalimu uk 86
Insha kabambe Nuru ya ushairi Karunzi ya Kiswahili Darubini ya Kiswahili
uk 287/314Mwongozo wa mwalimu uk 145, 155
Fomu za hojaji (kujiunga na shule)
Ubao Fomu magazetini
9 1 Kusoma (ufahamu)
Kitanzi cha maisha (mazungumzo)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa
Kueleza Kusoma kwa
sauti
Chemchemi za Kiswahili 3
Mchoro kitabuni Wnafunzi wenyewe ubao
144
mazungumzo Kusoma na kupata
maadili Kutungia sentensi
sahihi msamiati mpya Kujibu maswali kwa
usahihi
Kuigiza Kujadili
ujumbe na muundo
Kujibu maswali
Kitabu cha wanafunzi uk 221-225Mwongozo wa mwalimu uk 101
Kamusi ya Kiswahili Isimu jamii kwa
shule za sekondari Karunzi ya kiswahili
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maamkizi na mazungumzo: umoja wa kimataifa (isimu ya jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kupambanua lugha(sajili) ya mazungumzo kitabuni
kutambua hasara za utengano
kueleza msamiati mpya na kujibu maswali kwa usahihi
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kuigiza Kujadili
ujumbe na muundo
Kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 195-196Mwongozo wa mwalimu uk 89-90
Insha kabambe Nuru ya ushairi Kamusi ya Kiswahili Isimu jamii kwa
shule za sekondari Darubini ya Kiswahili
uk 269 Mwongozo wa
mwalimu uk 138
Picha (magazetini) Mapigiano ya
kikabila, kampeni Wanafunzi wenyewe Michoro Chati (hasara la
utengano
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kirai Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya kirai Kupambanua aina za
kirai Kutumia na kutambua
virai katika sentensi Kufanya zoezi
kikamilifu
Maswali ya dodoso
Kueleza na kusoma
Kutunga sentensi kwa sauti
Kuandika na kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 213-217Mwongozo wa mwalimu uk 98
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Darubini ya Kiswahili
Chati (aina za virai) Ubao
145
uk 160 Mwongozo wa
mwalimu uk
4/5 Kusoma (fasihi) Hadithi Fupi Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutambua mambo muhimu katika kutambua hadithi fupi
Kusoma hadithi fupi na kujibu maswali kuhusu
Kueleza Kusoma na
kujadili Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 233-236Mwongozo wa mwalimu uk 105
Mwongozo wa diwani teule
Kamusi ya misemo na nahau
Kamusi ya methali (k.w wamitila)
Kielelezo kitabuni Diwani teule ya
hadithi fupi (mayai wasiri wa maradhi)
Magazeti (taifa leo)
6 kuandika Insha ya mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa mazungumzo
Kusoma mfano kitabuni na kufafanua kimtindo na ujumbe
Kuandika insha za mazungumzao kwa njia ifaayo
Kueleza Kujadili Kusoma kwa
sauti na zamu Kuandika Kuigiza
mazungumzo
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 202-204Mwongozo wa mwalimu uk 92-93
Insha kabambe (simon mutali)
Karunzi ya Kiswahili Golden Tips
Kiswahili
Wanafunzi wenyewe Kelelezo kitabuni
10 1 Kusoma Mja huhitaji jamii
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na kutamka maneno vyema
Kujadili (umuhimu wa umoja)
Kusoma kwa
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 242-
Mchoro kitabuni Mwanafunzi
mwenyewe Ubao
146
Kueleza umuhimu wa watu kushirikiana
Kupambanua na kupanua msamiati wake
Kujibu maswali kwa usahihi
kina na kwa sauti
Kueleza msamiati
Kuandika madaftarini
244Mwongozo wa mwalimu uk 108
Kamusi ya Kiswahili
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maamkizi na mazungumzo wataalamu wawili (Isimu jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kifungu na kueleza
Kueleza sifa za lugha (sajiili) ya wataalamu
Kupambanua mazungumzo kitabuni kwa kuzingatia sajili
Kueleza Kusoma Kujadili Kuigiza Kujibu kwa
sauti
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 208-209Mwongozo wa mwalimu uk 95
Kamusi ya Kiswahili Isimu jamii kwa
shule za sekondari Darubini ya Kiswahili
uk 131Mwongozo wa mwalimu uk 80
Wanafunzi wenyewe Taarifa mbali mbali
za kitaaluma Ubao Magazeti Picha(mazungumzo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Vishanzi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya kishazi
Kutaja na kueleza aina za vishanzi
Kutumia kila aina ya vishanzi katika sentensi
Kubainisha aina za vishanzi katika sentensi
Kueleza Kusoma na
kufafanua Kuandika na
kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 208-209Mwongozo wa mwalimu uk 95
Kamusi ya Kiswahili Sarufi ya Kiswahili Darubini ya
Kiswahili3 uk 171Mwongozo wa
Wanafunzi wenyewe Chati /bango (aina) Sentensi ubaoni
147
mwalimu uk 96
4/5 Kusoma Makala (Gazetini)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma makala na kueleza dhamira yake
Kupanua na kukuza msamiati wa taaluma mbali mbali
Kusoma kwa sauti
Kujadili (ujumbe/lugha)
Kuandika Kujibu kwa
sauti darasani
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 251-252Mwongozo wa mwalimu uk 112
Kamusi ya Kiswahili Darubini ya
Kiswahili3 uk 135Mwongozo wa mwalimu uk 81
Magazetini (taifa leo nipashe)
Ubao Chati (aina zake) Picha ya maktaba
6 Kuandika Utunzi wa mashairi huru
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja sheria/arudhi za mashairi
Kusoma kielezo kwa kina
Kuandika shairi la arudhi kwa kufuata kanuni
Maswali ya dodoso
Kusoma na kueleza
Kujadili Kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 219-220Mwongozo wa mwalimu uk 100
Kamusi ya Kiswahili Nuru ya ushairi Miale ya ushairi Darubini ya
Kiswahili3 uk 45-46Mwongozo wa mwalimu uk
Diwani ya mshairi Wanafunzi wenyewe Kielezo kitabuni Magazeti (taifa leo)
11 1 kusoma Mpanda ngazi washika ngazi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa ufasaha na kueleza maadili
Kusoma kwa satui na mahadhi
Kujadili
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 260-
Mchoro kitabuni Picha (ajira ya
watoto) Ubao
148
Kutambua aina ya shairi na kujibu maswali kwa usahihi
kuandika 263Mwongozo wa mwalimu uk 117-118
Kamusi ya methali (Wamitila)
Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Misimu Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya misimu
Kutambua sifa kuu za misimu
Kueleza umuhimu wa misimu katika jamii
Kueleza Kusoma Kujadili Kutoa mifano Kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 225-227Mwongozo wa mwalimu uk 102
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule ya sekondari Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Kurunzi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi
Wanafunzi wenyewe Chati (aina za
misimu)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Muundo wa sentensi
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi(KN na KT)
Kueleza sifa za KN na KT
Kuonesha KN na KT katika tungo
Kueleza Kusoma na
kuuliza maswali
Kutunga sentensi
Kuandika na kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 248-251Mwongozo wa mwalimu uk 110-111
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Bango/chati (sentensi zenye muundo mbali mbali
Chati Ubao
149
Kiswahili Darubini ya Kiswahili
3 uk 199-201Mwongozo wa mwalimu uk 108
4/5 Kusoma (fasihi) Ripoti za mchezo (isimu jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua sifa ya makala magazetini hasa kuhusu michezo
Kusoma makala kwa ufasaha
Kupanua msamiati wa sajili ya michezo
Kueleza Kusoma na
kujadili Kuigiza
mwanahabari kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 267-268Mwongozo wa mwalimu uk 120-121
Kamusi ya Kiswahili
Maagazeti K.V taifa leo nipashe
Wanafunzi wenyewe
6 Kuandika Ripoti Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya ripoti
Kupambanua aina za ripoti na sifa zake
Kuandika ripoti kwa muundo mwafaka
Kueleza na kudodosa
Kujadili kielezo na riposi halisi
Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 236-241Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali chesebe)
Kurunzi ya Kiswahili Golden tips Kiswahili Darubini ya Kiswahili
3 uk 119-121
Vielezo K.V ripoti ua ukaguzi wa pesa
Ubao Wanafunzi wenyewe
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGA SHULE
150
KISWAHILI KIDATO CHA 3 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 3
JUMA
KIPINDI
MADAKUU MADA NDOGO SHABAHA/MALENGO MBINU MAREJELEO NYENZO MAONI
1 1 Kusoma (ufahamu)
Chimbuko la kiswahili
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza chimbuko la Kiswahili
Kufafanua nadharia mbalimbali kuhusu chimbuko/asili ya Kiswahili
Kubainisha uhusiano kati ya Kiswahili na lugha nyinginezo
Kujibu maswali kwa usahihi
Maswali ya dodoso
Kusoma Kujadili Kuandika Kazi ya kutafiti
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 272-275Mwongozo wa mwalimu uk 123
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahua (K.W wamitila)
Darubini ya Kiswahili 3 uk 27-31Mwongozo wa mwalimu uk 28-29
Chati kitabuni Ubao
151
2 Kusikiliza na kuzungumza
Hotuba Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza sifa muundo wa hotuba
Kuandaa hotuba na kutoa mbele ya darasa
Kusoma Kujadili Kuigiza
hotuba mbele ya darasa
Kusiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 244-248Mwongozo wa mwalimu uk 109
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon Chesebe) Darubini ya Kiswahili
3 uk 183-185 Mwongozo wa
mwalimu uk 100
Wanafunzi wenyewe Nakala ya hotuba Chati (muundo) Magazeti (hotuba) Picha (wanaohutubu)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Shamirisho kipozi na kitondo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya shamirisho
Kutaja na kufafanua aina tatu za shamirisho
Kubainisha aina zote za shamirisho katika sentensi
Kueleza Kusoma Kudodosa kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 264-266Mwongozo wa mwalimu uk 118
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
kiswahili Darubini ya Kiswahili
3 uk 212-214 Mwongozo wa
mwalimu uk 108
Chati (jedwali la shamirisho)
Ubao Magazeti (sentensi)
4/5 kusoma Maenezi ya Kiswahili nchini Kenya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza chimbuko la Kiswahili
Kufafanua njia kuu za ueneaji na matatizo yanayozikabili
Maswali ya dodoso
Kusoma Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 284-286Mwongozo wa mwalimu uk 132
Vifaa halisi (magazeti, redio, vitabu)
Ramani ya maneno ya pwani
ubao
152
Kuonea fahari kiswahili Kamusi ya Kiswahili Isimu ya jamii kwa
shule za sekondari (ipara Isaac odeo)
Darubini ya Kiswahili 3 uk 54-56
Mwongozo wa mwalimu uk 45-46
6 kuandika Tahakiki Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kufafanua maana ya tahakiki
kuktambua vigezo vya kuandika tahakiki
kuandika tahakiki ifaavyo
kueleza kusoma kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahua (wamitila) Insha kabambe Darubini ya Kiswahili
3 uk 54-56 Mwongozo wa
mwalimu uk 59
Magazeti (Tahakiki) Miongozo ya riwaya
au tamthilia Ubao Chati (vigezo muhimu
2 1 Kusoma ufahamu
Dafurau ya mauti
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma ufahamu kwa matamsho bora
Kueleza ujumbe na maadili yaliyomo
Kufafanua maswali kikamilifu
Kuanddika (vianzo vya ajali)
Kueleza Kusoma Kujibu
maswali kwa kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 288-291 Mwongozo wa mwalimu uk 134
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahua (wamitila) Kamusi ya methali
Choro kitabuni Picha za ajali Magazeti (picha) Ubao
153
2 Kusikiliza na kuzungumza
Lakaba Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya lakaba
Kueleza sifa zinazohusishwa na lakaba
Kutoa mifano ya lakaba
Kueleza Kusoma na
kujadili Kutoa mifano Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 263-264Mwongozo wa mwalimu uk 118
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Darubini ya Kiswahili 3 uk 343Mwongozo wa mwalimu uk 59
Ubao Mwanafunzi
mwenyewe Chati (lakbu) Magazeti(majina ya
lakabu)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za sentensi (muundo)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja aina tatu kuu za sentensi
Kueleza sifa za sentensi sahihi
Kutnga sentensi sahihi kwa usahihi
Maswali ya dodoso
Kueleza Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili 3Kitabu cha wanafunzi uk 248-251Mwongozo wa mwalimu uk 110
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Kamusi ya Kiswahili Darubini ya Kiswahili
uk 252,270
Bango (muundo wa sentensi sahihi)
Ubao Magazeti (taifa leo)
4/5 Kusoma Usanifishaji wa Kiswahili nchini kenya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze,
Kueleza maana ya usanifishaji
Kutambulisha historia ya usnifishaji wa
Wasilisho la mtaalamu
Kuuliza maswali
Kusoma Kujadili
Chemchemi za Kiswahili 297-298Kitabu cha wanafunzi uk 136Mwongozo wa mwalimu uk 118
Mtaalamu Mwalimu Ubao magazeti
154
Kiswahili Kutaja na kueleza
jahudi za kusanifisha Kiswahili nchini Kenya
maswali kitabuni
Insha kabambe (simon mutali)
Kamusi ya Kiswahili Isimu Jamii kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Darubini ya Kiswahili 3 uk 178Mwongozo wa mwalimu uk 98
6 Kuandika Insha ya mawazo/Hoja fikira
Kufikia mwisho wa funzo,mwananfunzi aweze
kupambanua sifa za insha ya mawazo
kuandika insha kwa kutiririsha hoja ifaavyo
kuandika kwa hati nadhifu
kueleza kusoma kujadili
vidokezo kuandika
Chemchemi za Kiswahili 268-271Kitabu cha wanafunzi uk 136Mwongozo wa mwalimu uk 121
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili 3 uk 178Mwongozo wa mwalimu uk 98
Kielelezo cha insha ubao
3 1 Kusoma (ufahamu)
Maneno ya babu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kupambanua sifa za insha bora ya mawazo
kuandika insha kwa kutiririsha hoja ifaavyo
kuandika kwa hati nadhifu
kueleza kusoma kujadili
vidokezo kuandika
Chemchemi za Kiswahili 275-279Kitabu cha wanafunzi uk 139Mwongozo wa mwalimu uk 118
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau
Mchoro kitabuni Ubao chati
(msamiati)
155
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mahakamani Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani
Kueleza kaida na wafanyi kazi wa mahakamani
Kusoma kifungu na kujibu maswali
Kudodosa Kusoma Kuajdili Kuigiza Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 275Mwongozo wa mwalimu uk 118
Kamusi ya Kiswahili Isimu ya jamii kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odera)
Darubini ya Kiswahili 3 uk 76-77Mwongozo uk 55
Wanafunzi wenyewe Picha za mahakama Runinga na kanda
(mahakama)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Shamirisho ala/kitumizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya shamirisho ala
Kutunga sentensi zenye shamirisho ala
Kubainisha shamirisho ala kwenye sentensi
Kueleza Kusoma Kudodosa na
kujibu masweli
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 280Mwongozo wa mwalimu uk 125
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Darubini ya Kiswahili
3 uk 214Mwongozo uk 115
Chati (sentensi) Ubao Vitu halisi (birika,
nyundo) Magazeti Picha (ala)
4/5 Kusoma (fasihi) Mashairi Huru Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma shairi huru na kufafanua maudhui
Kufafanua mbinu za kilitunzi na kimtindo za sahiri huru
Maswali ya dodoso
Kujadili Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 309-310Mwongozo wa mwalimu uk 142
Diwani ya mashairi Wanafunzi wenyewe Magazeti (Taifa leo) Ubao
156
Kujibu maswali kwa usahihi
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya Fasihi Nuru ya usahiri Miale ya ushairi
6 Kuandika Michezo ya kuigiza
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza vipengele vikuu katika uandishi wa mchezo wa kuigiza
Kuandika mchezo mfupi wa kuigiza
Kueleza Kuigiza Mazungumzo Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 298-301Mwongozo wa mwalimu uk 137
Darubini ya Kiswahili uk 155
Mwongozo uk 89 Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Insha kabambe
(simon mutali)
Picha ya waigizaji Kanda za video
(uigizaji) Runinga (vipindi K.V
papa shirandula) Magazeti Ubao
4 1 Kusoma (ufahamu)
Katiba ni mwongozo nchi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na kupata maudhui kuhusu katiba
Kueleza umuhimu wa katiba nzuri kwa nchi
Kujibu maswali usahihi
Kusoma Kujadili Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 291-293Mwongozo wa mwalimu uk 135
Darubini ya Kiswahili uk 196
Mwongozo uk 106
Nakala ya katiba Ubao Chati (Vipengele vya
katiba)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Matumbano ya utani
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya
Kueleza maswali dodoso na
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha
Chati (vielezo vya malumbano)
Ubao
157
malumbano ya utani Kueleza sifa za utani Kutoa mifano ya utani
kimaigizo
majibu Kuigiza utani Kusoma
mifano Kujadili Kuandika
wanafunzi uk 291-293Mwongozo wa mwalimu uk 135
Darubini ya Kiswahili uk 196
Mwongozo uk 106
Wanafunzi wenyewe Magazeti (taifa leo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uchanganuzi wa sentensi sahili
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutoa fasili ya uchanganuzi wa sentensi
Kupambanua njia tatu za uchangnauzi wa sentensi
Kuchanganua sentensi sahili kwa matawi jedwali na matawi
Kusoma Kueleza Kuchanganua
ubaoni kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 280-284Mwongozo wa mwalimu uk 126
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Darubini ya Kiswahili uk 199Mwongozo uk 110
Chati (uchanganuzi) Ubao Magazeti (mifano ya
sentensi)
4/5 Kusoma Mashairi ya arudhi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma sahiri na kueleza maudhui
Kueleza sifa za mashairi ya arudhi
Kuhakiki shairi
Kusoma Kujadili Kughani kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 323-324Mwongozo wa mwalimu uk 152
Nuru ya usahiri Miale ya ushairi Taaluma ya ushairi Darubini ya Kiswahili
uk 164
Diwani ya mashairi Wanafunzi wenyewe
158
6 Kuandika Wasifu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya wasifu
Kutaja vipengele muhimu katika uaandishi wa wasifu
Kuandika wasifu kwa muundo mwafaka
Maswali ya dodoso
Kueleza Kusoma
maelezo kitabuni
Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 310-311Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali) Kamusi ya methali Darubini ya Kiswahili
3Kitabu cha mwanafunzi uk 290Mwongozo wa mwalimu
Wanafunzi wenyewe Nakala/riwaya za
wasifu Ubao Magazeti Vitabu vya hadithi
5 1 Kusoma (ufahamu)
Mama kapile na kilio chake Kufikia mwisho wa funzo,
mwanafunzi aweze Kusoma kwa matamshi
bora na kueleza ujumbe
Kufafanua msamiati wa tamathali za lugha kifunguni
Kujibu maswali kwa usahihi
Maswali ya dodoso
Kusoma kwa sauti
Kujadili Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 328-331Mwongozo wa mwalimu uk 155
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Wamchoro kitabuni Ubao Chati (msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Miviga Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya miviga
Kufafanua sifa za
Kujadili na kutoa mifano
Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 306-307
Wanafunzi wenyewe Pichs za sherehe K. V
tohara, arusi Kanda za vido (arusi)
159
miviga Kutambua umuhimu
wa miviga katika jamii yake
Kutaja na kuigiza mifano ya miviga
Mwongozo wa mwalimu uk 140
Kamusi ya Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Darubini ya Kiswahili
3Kitabu cha mwanafunzi uk 290Mwongozo wa mwalimu uk 95
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uchanganuzi wa sentensi ambatano
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kupambanua sentensi ambatano (mstari, matawi na jedwali)
Kuchanganua sentensi ambatano kwa usahihi
Kueleza Kujadili Kuandika
madaftarini Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 293-296Mwongozo wa mwalimu uk 136
Darubini ya Kiswahili 3Kitabu cha mwanafunzi uk 252Mwongozo wa mwalimu 134
Chati (mchor ya uchanguzi
Ubao Magazeti (sentensi)
4/5 Kusoma Habari na ripoti za runinga na redio
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo
Kueleza umuhimu wa vyombo vya habari
Maswali ya dodoso na majibu
Kusoma Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 335-336Mwongozo wa mwalimu uk 161
Redio na vinassa sauti
Magazeti (taifa leo, nipashe
ubao
160
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Darubini ya Kiswahili
3Kitabu cha mwanafunzi uk 260Mwongozo wa mwalimu uk 135
6 Kuandika Tuwasifu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kufafanua maana ya tawasifu
kueleza tofauti ya tawasifu na wasifu
kuandika tawasifu ifaavyo
kueleza kusoma na
kujadili kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 311-314Mwongozo wa mwalimu uk 144
Darubini ya Kiswahili 3Kitabu cha mwanafunzi uk 279Mwongozo wa mwalimu uk 140
Ubao Kitabu cha tawasifu Nakal ya tawasifu
halisi
6 1 Kusoma (ufahamu)
Umoja wa mataifa na (zoezi la marudio III
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kusoma kwa kina na kueleza maadithi
Kujibu maswali yote kwa usahihi
Kueleza Kusoma Kucha Ubani Kuigiza kwa
sauti kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 340Mwongozo wa mwalimu uk 164
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (wamitila) Kamusi ya methali
Mchoro kitabuni Ubao Maswali kwenye
kitabu
161
2 Kusikiliza na kuzungumza
Soga na ulumbi Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kutoa fasihi ya soga na ulambi
Kueleza sifa za soga na ulumbi
Kutoa mifano ya soga darasani
Kueleza Kusoma Ubani Kuigiza kwa
sauti kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya fasihi Darubini ya Kiswahili
3Kitabu cha mwanafunzi uk 290Mwongozo wa mwalimu
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (sifa)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uchambuzi wa sentensi changamano
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kuchanganua sentensi chanamano kwa kutumia matawi
Kujibu maswali ifaavyo
Kueleza Kusoma Kuchanganua
ubaoni Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 303-306Mwongozo wa mwalimu uk 141
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Darubini ya Kiswahili 3 uk 270Mwongozo wa mwalimu uk 139
Chati (uchanganuzi) Ubao Magazeti (sentensi)
4/5 Kusoma (fasihi) Muhtasari (riwaya)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma riwaya yeyeote
Kueleza ploti ya riwaya kwa ufupi
Kusoma Kujadili (hela
muhimu) kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 123-125Mwongozo wa mwalimu uk 140
Bango (michoro ya matawi
Ubao Magazeti
162
Kamusi ya Kiswahili Mwongozo wa
riwaya teule (utengano)
Kichocheo cha fasihi andishi na simulizi
6 Kuandika Insha ya kitaaluma
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kueleza uamilifu wa insha kitaaluma
Kupambanua sifa za insha ya kitaaluma
Kuandika insha ya kitaaluma
Kudodosa Kueleza Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 324-327Mwongozo wa mwalimu uk 153-154
kabambe (simon mutali)
Golden Tips ya kiswahili
Karunzi ya kiswahili
Riwaya teule Wanafunzi wenyewe Nakala ya insha ya
kitaaluma Ubao Chati (sifa/muundo)
7 1-5 MTIHANI WA LIKIZO YA KATIKATI YA MUHULA
8 1 Kusoma (ufahamu)
Vifungu zoezi la murudio III
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kusoma vifungu na kueleza ujumbe
Kujibu maswali kwa sheria za ufupisho
Kusoma Kuandika kujadili
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 342-343Mwongozo wa mwalimu uk 164
Kamusi ya Kiswahili Karunzi ya Kiswahili Golden tips kiswahili
Wanafunzi wenyewe ubao
2 Kusikiliza na mawaidha Kufikia mwisho wa funzo, kueleza Chemchemi za Wanafunzi wenyewe
163
kuzungumza mwanafunzi aweze kufafanua maana ya
mawaidha kupambanua vipengele
vya kimsingi katika mawaidha
kujibu maswali ifaavyo
kujadili kuigiza kujibu
maswali kwa kuandika
Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 331-332Mwongozo wa mwalimu uk 156
Darubini ya Kiswahili 3 284-285Mwongozo uk 143
ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uchanganuzi wa sentensi, changamano (matawi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza muudo wa sentensi changamano
kuchanganua setensi changamano kwa matawi
kueleza kusoma kujadili kuandika kunchanganua
ubaoni kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 320-323Mwongozo wa mwalimu uk 148
Darubini ya Kiswahili 3Kitabu cha mwanafunzi uk 290Mwongozo wa mwalimu
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Chati (ucchanganuzi Ubao Magazeti (sentensi)
4/5 Kusoma (fasihi) Muhtasari Tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma tamthilia teule yote
Kueleza dhamira kwa ufuupi
Kueleza maudhui na wahusika kwa ufupi
Kusoma Kueleza Kujadili Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 366Mwongozo wa tamthilia teuleKamusi ya fasihi
Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha fasihi
Tamthilia teule (kifo kisimani)
Kanda za video Wanafunzi wenyewe Chati (maudhui) Ubao
164
simulizi na andishi
6 Kuandika Insha ya methali
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
kutambua vigezo muhimu vya insha bora ya methali
Kuandika insha ya methali kwa mtiririko boara
Kueleza Kusoma Kujadili Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 336-338Mwongozo wa mwalimu uk 162
Karunzi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali) Kamusi ya methali Darubini ya Kiswahili
3Kitabu cha mwanafunzi uk 219Mwongozo wa mwalimu 117
Nakala ya (insha ya methali)
Magazeti ubao
9 1 Kusoma (Isimu Jamii)
Makala ya taaluma mbali mbali (sajili)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana ya sajili kutaja taaluma
mbalimbali kutambua msamiati wa
taaluma mbali mbali
kueleza kujadili kusoma
makala ya taaluma
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 99,112,120Mwongozo wa mwalimu uk 92
Isimu jamii kwa shule za sekondari
Karunzi ya kiswahili
Makala (ubao Chati (taaluma mbali
mbali)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Ngomezi Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya
Kueleza Kusoma na
kujadili
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha
Vifaa halisi (ngoma firimbi kengele
Wanafunzi wenyewe
165
ngomezi Kutaja mifano ya
ngomezi katika jamii yake
Keleza sifa za ngomezi Kufafanua umuhimu
wa ngomezi katika jamii
Kucheza na kuimba ngomz
kuandika
wanafunzi uk 332Mwongozo wa mwalimu uk 157
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Alez ngure)
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Ijaribu na ukarabati
Chati (sifa) Picha za wanaotumia
ngoma
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uchanganuzi wa sentensi changamano (mistari)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa sentensi changamano
Kuchanganua sentensi Changamano kwa
mistari
Kueleza Kusoma Kuchanganua
ubaoni Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 333-335Mwongozo wa mwalimu uk 158-159
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Darubini ya Kiswahili 3Kitabu cha mwanafunzi uk 270Mwongozo wa mwalimu uk 139
Chati (uchanganuzi) Magazeti (sentensi) Ubao Mwanafunzi
mwenyewe
4/5 Kusoma (fasihi) Muhtasari Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kueleza hadithi zilizomo katika diwani ya hadithi fupi teule
Kusoma hadithi na keleza maudhui kwa ufupi
Kueleza Kujadili Kusoma Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 235Mwongozo wa mwalimu uk 158-159
Mwongozo wa
Diwani teule Ubao Chati (maudhui)
166
diwani ya hadithi fupi teule
Darubini ya Kiswahili 3
6kuandika Resipe au
mwongozo wa mapishi
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya resipe
Kupambanua muundo wa resipe
Kuandika resipe kikamilifu
Kueleza na kusoma
Kupika Kuandika
resipe
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 338-339Mwongozo wa mwalimu uk 162
Insha kabambe (simon mutali)
Kurnzi ya Kiswahili Golden tips Kiswahili
Nakala za resipe Vifaa halisi (sufuria,
vikombe Picha ya vyakula
10 1-6 Marudio (a) Zoezi la marudio III
(b) Karatasi za
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na kuelewa maswali
Kujibu maswali ya zoezi ya marudio III kwa usahihi
Kujiandaa kikamilifu kwa mtihani
Kusoma Kuandika Kujadili Kufanya
marudio (mada zote)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 340-346Mwongozo wa mwalimu uk 164-166
Wanafunzi wenyewe Maswali kibani Ubao Karatasi za mtihani za
awali
11 MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGA SHULE
167
KISWAHILI KIDATO CHA 3 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 3
JUMA
KIPINDI
MADAKUU MADA NDOGO SHABAHA/MALENGO MBINU MAREJELEO NYENZO MAONI
1 1 Kusoma (ufahamu)
Kinyamkela cha chamchela ya mkala
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa matamshi bora
Kueleza maana ya msamiati na kutunga sentensi
Kutaja maadilikatika ufahamu
Kujibu maswali kwa usahihi
Kusoma kwa sauti
Kujadiliana Kuandika Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 1-3Mwongozo wa mwalimu uk 1-2
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahua (K.W wamitila)
Mchoro kiatabuni Ubao Chati (msamiati na
maana)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Sifa bainifu za fasihi simulizi na andishi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana ya fasihi simulizi
Kutaja sifa bainifu za tanzu hizi mbili
Kutaja mifano za fasihi simulizi na andishi
Kudodoso Kueleza Kujadiliana Kuandika Kuuliza
maswali Kuigiza
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 4-5Mwongozo wa mwalimu uk 2-3
Kamusi ya fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Kamusi ya fasihi Darubini ya Kiswahili
Chati (Sifa/mifano) Yatanzu hizi Picha Magazeti (taifa leo
mashairi) Nakala ya
ushairi/vibaya
168
kitabu cha mwanafunzi uk 31Mwongozo wa mwalimu uk 22
3 Sarufi na matumizi ya lugha
nomino Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya nomino
Kuainisha makundi ya nomino na kutaja mifano
Kutumia nomino katika sentensi sahihi
Kueleza Kujadili Kujibu
maswali kwa sauti na madaftarini kwa kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 5-7Mwongozo wa mwalimu uk 4-5
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili (Gichohi waihiga)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 6Mwongozo wa mwalimu uk 23
Chati (aina za nomino)
Vitu halisi (matunda chumvi na kiti
Michoro Ubao picha
4/5 Kusoma (Fasihi)
Riwaya: usuli na maktadha katika riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza usuli na muktadha wa riwaya teule
kutaja vigezo vinavyotumika katika uchamburi wa usuli (jumuiya na muktadha wa riwa)
kueleza kusoma ghibu kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 8-9Mwongozo wa mwalimu uk 5-7
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi Darubini ya Kiswahili
4 kitabu cha mwanafunzi uk 222Mwongozo wa mwalimu uk 148
Riwaya teule (utengano)
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (vigezo vyake Kanda ya video
169
6 kuandika Insha ya masimulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kuandika kwa hati nadhifu na tahajiz sahihi
Kusimulia kisa kwa mtiririko wenye uakifisho ufaao
Kuelezsa Kusimuliz kisa
kwa sauti darasani
Kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 9-11Mwongozo wa mwalimu uk 7-8
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(smon mutali) Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 6Mwongozo wa mwalimu uk 23
Wanafunzi wenyewe Nakala ya insha bora Chati (muundo)
2 1 Kusoma (ufahamu)
Fasihi simulizi uainishaji
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana za fasihi simulizi
Kutaja vipera vya fasihi simulizi
Kutoa mifano ya vipera vya fasihi simulizi katika jamii (yake)
Kueleza Kusoma Kukhadithia
na kuigiza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 15Mwongozo wa mwalimu uk 11
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk 39
Kamusi ya Fasihi Fasihi kwa shule za
sekondari (Alex ngure)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 31Mwongozo wa mwalimu uk 35
Picha (kitabuni uk 14) ubao
170
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi uainishaji
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana za fasihi simulizi
kutaja vipera vya fasihi simulizi
kutoa mifano ya vipera vya fasihi simulizi katika jamii (yake)
kueleza kusoma kuhadithia na
kuigiza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 15Mwongozo wa mwalimu uk 11
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk 39
Kamusi ya Fasihi Fasihi kwa shule za
sekondari (Alex ngure)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 31Mwongozo wa mwalimu uk 35
Chati (vipera vya fasihi simulizi)
Ubao Wanafunzi wenyewe Picha ya wanayama Michoro Vitu halisi
(miti,Makaa) Magazeti (Taifa leo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Viwakilishi vionyeshi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya viwakilishi
Kutaja aina tofauti za viwakilishi
Kubainisha na kutumia viwakilishi vionyeshi katika sentensi
Maswali ya dodoso
Kujadili Kuandika Kusoma Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 17-22Mwongozo wa mwalimu uk 13-14
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga) 15-20
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 282-283Mwongozo wa
Chati (ana za viwakilishi vionyeshi
Ubao Michoro Wanafunzi wenyewe
171
mwalimu uk 145
4/5 Kusoma (fasihi) Riwaya Dhamira na maudhui
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya dhamira na maudhui
Kueleza dhamira ya riwaya teule
Kusoma Kujadili Kuandika Kudodosa
nakujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 22-23Mwongozo wa mwalimu uk 11
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk
Kamusi ya Fasihi Kamusi ya methali Kamus ya Kiswahili Mwongozo wa
riwaya teule Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 222
Ubao Mwanafunzi
wenyewe Riwaya teule
(utengano)
6 Kuandika Uandishi wa barua
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa barua ya kirafiki na rasmi
Kuandika barua ya kirafiki, utaratibu mwafaka
Kudodosa Kujadili Kukeleza Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 23-24Mwongozo wa mwalimu uk 15-16
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 10-
Nakala za barua Chati (muundo) Magazeti (taifa leo)
172
13Mwongozo wa mwalimu uk 25-26
3 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: shairi-utuni nini?
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kubainisha muundo wa shairi wa funzo nyinginezo za ushair
Kuandika kwa lugha nathari
Kueleza maadili na ujumbe wa shairi
Kusoma Kuandika Kujibu
maswali kwa sauti na madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 15Mwongozo wa mwalimu uk 11
Kamusi ya Kiswahili Nuru ya ushairi Miale ya ushairi
Chati Wanafunzi wenyewe ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Hadithi/simulizi Kufikia mwihso wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja vipera vya utanzu wa hadithi
kutamba hadithi darasani
kueleza maadili ya hadithi zinazotambwa
kueleza kusoma kusikiliza redio kujadili kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 16-17Mwongozo wa mwalimu uk 11-12
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk 39
Kamusi ya Fasihi Kamusi ya kiswahili Fasihi kwa shule za
sekondari (Alex ngure)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 89-90Mwongozo wa mwalimu uk 64
Redio na kanda za sauti
Chati (vipera) Wanafunzi wenyewe Kitabu cha hadithi
173
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mzizi wa kitenzi na viambishi awali na tamati
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja vitenzi mbali mbali
Kutambua mizizi ya vitenzi
Kutumia viambishi awali kwa usahihi
Kunyambua vitenzi ili kuvipa viambishi tamati
Kujadili Kueleza Kuandika Kujibu
maswali madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 28-31Mwongozo wa mwalimu uk 20-25
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 33-35Mwongozo wa mwalimu uk 35
Chati (jedwali ) kuhusu vitenzi
Ubao Magazeti na majarida
ya Kiswahili Vitabu halisi
4/5 Kusoma (fasihi) Dhamira na maudhui katika riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja maudhi zaidi ya riwaya teule
Kufafanua maudhui kwa kutoa mifano ya riwayani
Kusoma Kujadili Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 22-23Mwongozo wa mwalimu uk 14-15
Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi
Wanafunzi qwnywe Ubao Mgeni mwalikwa Riwaya teule
(utengano)
6 kuandika Barua rasmi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza hatua kwa hatua muundo (sehemu muhimu) za rasmi
Kuandika kwa hati
Kueleza Kuajdili Kuandika Kusahihisha
na kufanya marudio
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 32-39Mwongozo wa mwalimu uk 23-25
Nakala ya barua rasmi
Chati (muundo) Ubao Wanafunzi wenyewe magazeti
174
nadhifu Kuandika barua rasmi
kwa mtiririko ufaao
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali Insh kabambe
(simon mutali) Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 25-27Mwongozo wa mwalimu uk 33
4 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: Jogoo na cheche
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kumoyomoyo na kuelewa
kubnaini msamiati na fani za lugha na kuzitungia sentensi
kueleza maadili na ujumbe
kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi
kusoma ghibu kujadili kusikiliza kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 34-36Mwongozo wa mwalimu uk 23-25
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
(K.W wamitila) Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)
Picha Ubao chati
(msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Uchambuzi wa ngano za fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja aina za ngano Kubainisha aina za
ngano na kutaja mifano katika jamii yake
Kueleza Kujadili Kuhadithia kusikiliza
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 34-36Mwongozo wa mwalimu uk 23-25
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
Sarufi fafanuzi ya
Mwanafunzi mwenyewe
Mgeni mwalikwa Chati (aina za ngano) Picha Vitabu vya ngano
175
Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 33-35Mwongozo wa mwalimu uk 35
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Vitenzi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja aina za vitenzi Kutumia aina mbali
mbali za vitenzi katika sentensi
Kubainisha kauli za vitenzi
Kueleza Kusoma Kutunga
sentensi Kuandika Kujadili na
kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 39-41Mwongozo wa mwalimu uk 28-29
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 35Mwongozo wa mwalimu uk 21-24
Chati Ubao Vitu halisi Michoro Picha Magazeti (taifa leo)
4/5 Kusoma (fasihi) Fasihi andishi- muundo na mtindo katika riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanusa muundo wa riwaya teule
Kueleza mtindo na vipengele vyake katika riwaya
Kutofautisha baina ya muundo na mtindo katika riwaya
Kusoma Kujadili Kueleza mbele
ya darasa Kuandika Kutafiti
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 31-32Mwongozo wa mwalimu uk 22-23
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya fasihi Kamusi ya methali
Wanafunzi wenyewe Ubao Riwaya teule
(utengano)
176
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
6 kuandika Barua rasmi (marudio)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kuipitia barua rasmi aliyoandika na kubaini makosa
Kuandika upya kwa kuaondoa makosa
Kusoma Kujadili Kuandika kueleza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 32-33Mwongozo wa mwalimu uk 24
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali) Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Nakala ya insha na wanafunzi
Nakala ya kielezo cha insha
Ubao Magazeti (taifa leo)
5 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: kutanda kwa viwanda ni kuwanda kwa uchumi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa kina na kung’amua ujumbe
Kudondoa ilstilahi za kibiashara na kuzitungia sentensi
Kusoma kwa sauti na kwa zama
Kueleza msamiati
Kujadili Kusikilza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 45-47Mwongozo wa mwalimu uk 34-35
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
Picha kitabuni Ubao Picha za viwanda
mbali mbali Michoro ziara
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi semi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja na kueleza vipera vya utanzu wa
kueleza kusikiza kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 37-39
Chati (Vipera vya semi)
Wanafunzi wenyewe Vitu halisi
177
semi kueleza na kutoa
mifano kwa kila kipera kufanya zoezi kwa
ukamilifu na usahihi
kujibu maswali
kutafiti zaidi
Mwongozo wa mwalimu uk 27-28
Kamusi ya misemo na nahua
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Fasihi Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 35Mwongozo wa mwalimu uk 21-24
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa kisarufi umoja-wingi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kumudu matumizi ya viambishi ngeli
Kutumia vimilikishi na vivumishi katika umoja na wing
Kusoma Kueleza Kuandika Kujibu
maswali Kudodosa
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 50-53Mwongozo wa mwalimu uk 36-38
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya Fafanuzi
ya kiswahii uk 37-40 Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 45-46Mwongozo wa mwalimu uk 41-42
Chati (umoja –wingi) Ubao Picha Michoro Magazeti (taifa leo)
4/5 Kusoma (Fasihi)
Fasihi andishi wahusika wa riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
Kubainisha aina za wahusika
Kusoma Kujadili Kuandika Kuigiza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha
Riwaya teule (utengano)
Wanafunzi wenyewe Ubao
178
Kueleza sifa bainifu za aina mbali mbali za wahusika
Kueleza umuhimu wa wahusika mbali mbali
wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya misemo na nahua
Mwongozo wa riwaya teule
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Fasihi
6 Kuandika Barua kwa mhariri/za magazetini
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja magazeti mbali mbali ya Kiswahili na sehemu zake
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri
Kuandika barua kwa mhariri kwa muundo ufaao
Kueleza Kusoma Kujadili Kusoma
magazeti kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 44Mwongozo wa mwalimu uk 31-32
Kamusi ya misemo na nahua
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 223Mwongozo wa mwalimu uk 21-24
Bango (muundo wa barua)
Nakala za magazeti (Taifa leo)
Nakala ya barua kutoka kwa vitabu mbali mbali
Wanafunzi wenyewe
6 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: zingwi zingwi kungwi wa vibarua
Kufikia mwisho waw funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa ufasaha Kuonea fahari lugha ya
kiswahil Kukeleza matatizo ya
maskini katika jamii
Kusoma ghibu Maswali ya
dodosa Kujadili Kuandika Kutunga
sentensi kwa
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 58-60Mwongozo wa mwalimu uk 48-50
Kamusi ya misemo
Ubao Mchoro kitabuni Picha (migomo) Magazeti (picha)
179
sauti darasani Kufanya zoezi
na nahua Kamusi ya methali
(K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Misemo na nahau/misimu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya misemo nahau na misemo
Kutaja na kueleza maana ya baadhi ya misemo, nahau na misimu
Kueleza umuhimy wa semi katika jamii
Kueleza Kusikiliza Kujadili Kuigiza Kutafiti Kafanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 48-50Mwongozo wa mwalimu uk 35-36
Kamusi ya misemo na nahua
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (alez ngure)
Kamusi ya Fasihi Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 43Mwongozo wa mwalimu uk 40
Bango Ubao Wanafunzi wenyewe Vitu halisi (pesa) Michoro (nyumbani) Picha (gari/askari)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Misemo halisi na taarifa
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kupambana muktadha unawakisi matumizi ya usemi halisi na taarifa
Kubadilisha usemi halisi hadi usemi wa taarifa
Kutaja mabadiliko ya maneno katika usemi tofauti tofauti
Kueleza Kudodosa Kujibu
maswali Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 53-54Mwongozo wa mwalimu uk 38
Kamusi ya Fasihi Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Darubini ya Kiswahili
Chati (mabadiliko) Ubao Magazeti (taifa leo)
180
kitabu cha mwanafunzi uk 249Mwongozo wa mwalimu uk 57
4/5 Kusoma (Fasihi)
Fasihi andishi matumizi ya lugha katika Riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza umuhimu wa lugha katika riwaya
Kuchambua lamathali na matumizi ya lugha katika riwaya
Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbali mbali
Kusoma Kuadili Kudodoslo
fani za lugha Kuandika Kuwasilisha
mbele ya darasa
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 55-56Mwongozo wa mwalimu uk 40-41
Kamusi ya misemo na nahua
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Riwaya teule Wanafunzi wenyewe ubao
6 kuandika Ufupisho au muhtasari
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza umuhimu wa kufupisha habari
kudondoa hoja muhimu katika maelezo marefu
kufupisha habari ndefu ifaavyo
kusoma kujadili (hoja
muhimu) kueleza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 56-57Mwongozo wa mwalimu uk 41-42
Kamusi ya kiswahili Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 97-100Mwongozo wa mwalimu uk 91
Ubao Nakala ya kifungu na
ufupisho wake
7 1-6 MTIHANI WA MAPUMZIKO YA KATIKATI YA MUHULA
8 1 Kusoma Ufahamu mradi Kufikia mwisho wa funzo, Kusoma kwa Chemchemi za Ubao
181
(ufahamu) wa zoeni mwanafunzi aweze Kusoma kwa sauti na
matamshi bora Kueleza maudhui na
maadili katika kifungu Kuelewa msamiati
nakujibu maswali kwa usahihi
sauti Kueleza
msamiati Kutunga
sentensi Kujadili Kuandika Kuigiza
Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 37-39Mwongozo wa mwalimu uk 27-28
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Mchoro kitabuni Wanafunzi wenyewe
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi lakabu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya lakabu
Kutaja lakabu wanazojua na kueleza sababu zao
Kufafanua asilia na aina za lakabu
Kusoma kwa sauti
Kueleza msamiati
Kusoma Kujadili Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 60Mwongozo wa mwalimu uk 44-45
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Fasihi Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 279Mwongozo wa mwalimu uk 145
Chati (lakabu na maana)
Wanafunzi wenyewe Michoro
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa Kiswahili umoja na wingi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutumia viambishi ngeli kwa umoja na wingi kwa usahihi
Kumundu matumizi ya ‘a’ unganifu katika umoja na wingi ifaavyo
Kudodosa Kueleza Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 73Mwongozo wa mwalimu uk 56
Kamusi ya Kiswahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili (Gichohi waihiga)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha
Ubao Chati Vifa halisi (kiti, tunda,
kalamu, mpira) Picha mchoro
182
mwanafunzi uk 45Mwongozo wa mwalimu uk 41
4/5 Kusoma (fasihi) Mafunzo ya maadili katika Riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya riwaya
kueleza maana ya anwani na umuhimu wake
kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili
kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa riwaya
kutaja maadili katika riwaya
kusoma kujadili kuwasilisha
mbele ya darasa
kaundika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 65-66Mwongozo wa mwalimu uk 49
Kamusi ya misemo na nahua
Mwongozo wa riwaya teule
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Riwaya teuule (utengano)
Wanafunzi wenyewe Ubao
6 kuandika Insha ya methali
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza kanuni za kuandika insha ya methali
Kuandika insha ya methali kwa kufuata kanuni
Kutumia alama za uakifishaji kwa usahihi
Kueleza Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 66-67Mwongozo wa mwalimu uk 50-51
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Kamusi ya Fasihi Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 145-148Mwongozo wa mwalimu uk 91
Ubao Nakala za insha ya
methali Chati (muundo)
183
9 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: mikakati ya kupunguza umaskini
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kukuza msamiati wake Kusoma na kufahamu
ujumbe Kujibu maswali kwa
usahihi
Kusoma Kujadili Kutunga
sentensi Kutafuta
maana kamusini
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 80-82Mwongozo wa mwalimu uk 60-61
Kamusi ya misemo na nahua
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Kamusi ya kiswahili
Picha za magazeti (mabanda)
Ubao Chati Magazeti (taifa leo)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii: mazungumzo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya isimu jamii
Kufafanua maana ya sajili katika lugha
Kuigiza mazungumzo na kutoa uthibati kuwa ni lugha ya bungani
Kusoma Kuigiza Kujadili Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 60-63Mwongozo wa mwalimu uk 46-47
Kamusi ya Kiswahili Isimu Jamii kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 117-118Mwongozo wa mwalimu uk 78
Mwanafunzi mwenyewe
Kanda ya majadiliano bungen
Magazeti (wabunge walajadili)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa kisarufi vivumishi vya pekee
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja vivumishi vya pekee vyote (sita)
Kutumia vivumishi vya
Kueleza Kutunga
sentensi darasani
Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 83-85Mwongozo wa
Cchati Ubao Wanafunzi wenyewe Magazeti (majina ya
miji na watu
184
pekee kwa upatanisho wa kisarufi ulio sahihi
Kuribainisha katika sentensi
Kujibu maswali
mwalimu uk 63-64 Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 119Mwongozo wa mwalimu uk 153
Picha (miji)
4/5 Kusoma (fasihi) Fasihi andishi muktadha na usuli wa tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma Kujadili Kuwasilisha
darasani Kuuliza
maswali kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 77-78Mwongozo wa mwalimu uk 57-58
Mwongozo wa tamthilia teule
Kamusi ya fasihi Kamusi ya methali
(K.W wamitila) Kichocheo cha Fasihi
simulizi na andishi
Tamthilia teule (kifo kisimani)
Wanafunzi wenyewe Chati (Vipengele
vyake) Vitabu bya tamthilia
K.V viziki, amezidi
6 kuandika memo Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kutaja vipengele muhimu vya ujumbe wa memo
Kueleza muundo wa memo
Kuandika memo kwa muundo sahihi
Kueleza Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 38-39Mwongozo wa mwalimu uk 59
Kamusi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya Kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk 127-129
Nakala ya maneno halisi
Chati (muundo) ubao
185
Mwongozo wa mwalimu uk 82
10 1 Kusoma Ufahamu: kujuma na njama magazeti
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kwa ufasaha na kueleza ujumbe
kueleza maana ya msamiati na kuitungia sentensi sahihi
kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi
kujadili kueleza kusoma kutunga
sentensi kwa sauti
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 92-95Mwongozo wa mwalimu uk 69-70
Kamusi ya misemo na nahua
Kamusi ya kiswahili Kamusi ya methali
(K.W wamitila)
Michoro kitabuni Nakala za magazeti
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi mafumbo (vitendawili
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa aina za vitendawili
Kutega na kutegua vitendawili kwa usahihi
Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika jamii
Kufumba na kufumbua mafumbo
Kujadili Kusikiliza Kuandika Kutega na
kutegua (mashindano)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 71-72Mwongozo wa mwalimu uk 54-55
Kamusi ya tashbihi, vitendawili, mlio na mshangao (K.W Wamitila)
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 175Mwongozo wa mwalimu uk 103
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (mafumbo) Picha ya wanyama Magazeti (taifa leo)
3 Sarufi na Upatanisho wa Kufikia mwisho wa funzo, Kueleza Chemchemi za Chati/jedwali
186
matumizi ya lugha
kisarufi vionyesho
mwanafunzi aweze Kubainisha aina tatu za
mizizi ya vionyeshi Kutumia vionyeshi kwa
usahihi kisarufi
Kusimama na kuashiria
Kusoma Kuandika Kufanya zoezi
Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 83-86Mwongozo wa mwalimu uk 69
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 381Mwongozo wa mwalimu uk 191
(viongeshi) Wanafunzi wenyewe Ubao Magazi (taifa leo)
4/5 kusoma Fasihi Andishi wahusika na uhusika katika Tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi, aweze
Kutofautisha uhusiano wa tamthilia na riwaya
Kutaja wahusika wote kutoka tamthilia teule
Kusoma Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 100-101Mwongozo wa mwalimu uk 74
Mwongozo wa tamthilia teule
Kamusi fasihi Kichochoe cha fasihi
simulizi andishi Karunzi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali)
Tamthilia teule Ubao Chati (wahusika)
6 Kuandika Hotuba Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kuelezea muundo wa hotuba
Kutaja vipengele muhimu vya hotuba
Kueleza Kuajdili Kuhutubu
mbele ya darasa
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 90-91Mwongozo wa mwalimu uk 68
Nakala ya hotuba (Khuri
Wanafunzi wenyewe Magazeti (taifa leo) Chati (muundo) ubao
187
mufti Kuandika hotuba kwa
hati nadhifu
Mwongozo wa tamthilia teule
Kamusi ya kiwahili Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha mwanafunzi uk 36, 342Mwongozo uk 38
Karunzi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali)
11 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: mfumo wa kiuchumi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma na kudodoa hoja muhimu
kueleza maana yua msamiati wa uchumi na kuutungia sentensi
kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
kusoma kujadili kueleza
ujumbe na msamiati
kutunga sentensi kwa sauti
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 104-106Mwongozo wa mwalimu uk 77-78
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Kamusi ya methali Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha mwanafunzi uk 36, 342Mwongozo uk 38
Karunzi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali)
Mchoro kitabuni Picha za wafanya kazi
mbali mbali ubao
2 Kusikiliza na Fasihi simulizi Kufikia mwisho wa funzo, kusikiliza Chemchemi za Mgeni mwalkwa
188
kuzungumza utumbi mwanafunzi aweze kueleza maana ya
ulumbi na kutoa mifano katika jamii
kusoma mifano kitabuni na kuchambua
kutofautisha ulumbi na tanzun yinginezo
kuuliza maswali
kuandika kusoma utafiti (kazi ya
ziada)
Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 82-83Mwongozo wa mwalimu uk 61-62
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 36, 342Mwongozo uk 38
Karunzi ya Kiswahili Isimu ya jamii kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Kanda ya redio kaseti Mwanafunzi
mwenyewe Chati (mifano ya
ulumbi)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Matumizi ya viambishi ‘ndi’ ‘ku’ na ji
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja na kubainisha matumizi ya viambishi ‘ndi’ ‘ku’ na ‘ji’
Kutumia viambishi ‘ndi’ ‘ku’ na ‘ji’ kwa usahihi katika sentensi
Kueleza Kuandika Kutunga
sentensi Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 86-89Mwongozo wa mwalimu uk 65
Kamusi ya kiwahili Sarufu fafanuzi ya
kiswahili Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha mwanafunzi uk 182Mwongozo uk 103
Chati (matumizi ya viambishi hivyo
ubao
4/5 Kusoma (fasihsi)
Wahusika na uhusika katika tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule
kufafanua sifa za
kusoma kutazama kujadili kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 101-106
Tamthilia teule Talamu (maiigizo ya
tamthilia teule Chati (sifa)
189
wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia
Mwongozo wa mwalimu uk 74
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na fasihi andishi
6 Kuandika Maagizo na maelekezo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kubainisha umuhimu wa maagizo
Kufuata maelekezo na maagizo kwa kusoma au kusikiliza
Kuandika maagizo ifaayo
Kuigiza Kueleza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 101-102Mwongozo wa mwalimu uk 75
Karunzi ya kiswahili
11-12 Insha kabambe
(simon mutali Sarufu fafanuzi ya
kiswahili Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha mwanafunzi uk 30Mwongozo uk
Mabango ya maagizo Chati Wanafunzi wenyewe Vitu halisi (dawa-
maagizo) Ubao Magazeti (taifa leo) Picha ya maagizo
12-13
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGA SHULE
190
KISWAHILI KIDATO CHA 4 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 2
1 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu sir aha na karaha
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kubaini kwa kifungu hiki ni ngonjera na aeleze sababu
Kusoma kwa ufasaha na kutaja dhamira na kudondoa mawazo makuu
Kujibu maswali ya ngonjera kwa usahihi
Kuigiza Kusoma Kutunga
sentensi Kuanika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 113Mwongozo wa mwalimu uk 84-85
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahua
Mchoro kitabuni Vifaa haisi (kipeto
cha sigara Wanafunzi wenyewe ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi malumbano ya utano (isimu jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana ya utani kufafanua
mwingililiano wa utani na utamaduni
kutaja aina za utani kutunga utani mbali
mbali
kutamka kueleza kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 95Mwongozo wa mwalimu uk 70-71
Kamusi ya kiwahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Sarufu fafanuzi ya kiswahili
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk Mwongozo uk
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (aina zake)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Viunganishi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja na kutumia
Kueleza Kutunga
sentensi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha
chati (sentensi) ubao vitu halisi9kitabu na
191
viunganishi ifaavyo Kubainisha viunganishi
kwenye tungo
Kufanya zoezi wanafunzi uk 97Mwongozo wa mwalimu uk 72-75
Sarufu fafanuzi ya kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk Mwongozo uk 113
kalamu tunda)
4/5 Kusoma (fasihi) Fasihi andishi muundo namtindo katika tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweaze
kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano
kueleza mtindo katika tamthilia
kutaja kaida za utunzi wa tamthilia
kusoma kueleza kujadili kuandika kutafiti
9ziada)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 77Mwongozo wa mwalimu uk 58
Kamusi ya kiwahili Mwongozo wa
tamthilia teule Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi
Tamthilia teule Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (muundo)
6 kuandika Matangazo na tahadhari
Kufikia mwisho wa funzo, nwanafunzi aweze
Kueleza dhamira ya matangazo na tahadhari
Kutambua vigezo muhimu vya uandishi wa tengazo/tahadhari
Kuandika tangazo na tahadhari kwa usahihi
Kuigiza (matangazo)
Kusoma Kueleza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 102-103Mwongozo wa mwalimu uk 76
Kamusi ya kiwahili Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha mwanafunzi uk 110
Magazeti (tangazo) Chati/ bango ubao
192
Mwongozo uk 75
2 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: maruji na mauji ya maji
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kwa sauti matamshi bora
kufafanua maana ya msamiati
kutumia msamiati na semi mpya katika sentensi
kujibu maswali kwa usahihi
kueleza kusoma ghibu maswali
dodosa kuandika kutunga
sentensi kwa sauti
kufanya zoeze
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 124Mwongozo wa mwalimu uk 71-72
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 110 Mwongozo uk 75
Ubao Mchoro kitabuni Chati (msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mahojiano: mwajiri na mwariwa (isimu jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kubainisha mtindo wa mahojiano
Kufafanua muktadha na wahusika kwa mahojiano
Kuchambua matumizi ya lugha ya wahusika
Kuigiza mahojiano darasani
Kueleza (maana)
Kusoma Kusikiliza Kujadilia kuigiza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 96Mwongozo wa mwalimu uk 71-72
Kamusi ya kiwahili Isimu Jamii kwa
shule za sekondari
Nakala ya mahojiano Ubao Wanafunzi wenyewe Chati (muundo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
vihusishi Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutambua maana ya vihusishi
Kueleza Kuigiza
(mishangao) Kusoma
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha
Chati (aian za vihusishi
Wanaufnzi wenyewe ubao
193
Kutaja aina za vihusishi Kubainisha vihusishi
katika tungo
kuandika wanafunzi 4 uk 108Mwongozo wa mwalimu uk 80
Kamusi ya kiwahili Sarufi ya kiswawhili Karunzi ya kusoma
uk 88
4/5 Kusoma (Fasihi)
Fasihi andishi: matumizi ya lugha katika tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja matumizi ya lugha mbali mbali
kutumia tamthilia teule kutoa mifano
kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe
kusoma kujadili kueleza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 89Mwongozo wa mwalimu uk 66-67
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Mwongozo wa teule
wa tamthilia
Tamthilia teule K.V kifo kisimani
Ubao chati
6 Kuandika wasifu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza kujadili (sifa za
kiongozi Fulani)
kusoma kueleza mbele
ya darasa kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 111Mwongozo wa mwalimu uk 82
Kamusi ya kiwahili Karunzi ya kusoma
uk 88 Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha
Ubao Nakala halisi (wasifu) Wanafunzi wenyewe
194
mwanafunzi uk 327Mwongozo uk 166
3 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu : enzi ya teknohama
Kufikia mwisho wa funzo wanafunzi aweze
Kusoma ufahamu na kueleza ujumbe uliomo
Kudondoa istilahi za kiufundi na mawasaliano
Kueleza matumizi ya baadhi ya vyombo bya teknolojia
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kuandika Kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya kiwahili
Vifaa halisi (rununuu, tarakishi)
Michoro Magazeti (Picha za
vyombo hivyo) Picha ya tarakilishi au
simu Mchoro kitabuni
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi miviga
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya miriga katika jamii
Kubainisha umuhimu wa mirigi katika jamii
Kubainisha miviga mizuri na kuendelza na mibaya kupingwa vita
Kueleza Kusikiliza Kujadili Kusoma
makala kitabuni kwa sauti
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 107Mwongozo wa mwalimu uk 78-79
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (alex Ngure)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 214 Mwongozo uk 145
Ubao Picha (tohara ndoa
mazishini) Chati (aina miviga) Magazeti (Taifa leo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Nyakati na hali Kufikia mwihso wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja nyakati kuu za kutuikia vitendo
Kutumia nyakati kwa usahihi katika
Kutunga sentensi
Kudodosa Kueleza
matukio Kusoma
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 119Mwongozo wa mwalimu uk 87
Chati (jedwali la viambishi vya njeo
Ubao Magazeti (taifa leo)
195
maandishi Kubaini nyakati katika
sentensi
makala ktabuni
Kuandika Kufanya zoezi
Sarufi fafanuzi ya kiswawhili
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91Mwongozo uk 65
4/5 Kusoma (Fasihi)
Fasihi andishi: maadili na mafunzo katika tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule
Kueleza jinsi tamthiliainaafikiana na matukio ya sasa katika jamii
Kusoma Kujadili Kuzama Maswali na
majibu kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 134Mwongozo wa mwalimu uk 98
Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Mwongozo wa teule
wa tamthilia
Tamthilia teule Kanda ya video
(tamthilia teule) ubao
6 Kuandika Tawasifu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza maana ya tawasifu
kutambua aina mbali mbali za tawasifu na umuhimu wake
kuandika tawasifu yake kwa muundo sahihi
kueleza kusimama
mbele na kutoa historia
kutazama na kujadili nakala halisi za tawasifu
kusoma kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 122Mwongozo wa mwalimu uk 89
Kamusi ya kiwahili Karunzi ya Kiswahili
uk 88 Kamusi ya methali Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha mwanafunzi uk 254Mwongozo uk 62
Nakala halisi Wanafunzi wenyewe ubao
196
4 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: haki za binandamu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza haki za binadamu na taasisi zinazozishughulikia
kutambua hali mbali mbali zinazosababisha uvunjaji wa haki za binadamu
kufafanua msamiati na kujibu maswali kwa usahihi
kusoma kujadili kueleza kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 150Mwongozo wa mwalimu uk 110-111
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Nakala ya mgazeti (kuhusu haki)
Nakala ya katiba Mchoro kitabuni Chati (haki zote)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi: Nyimbo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza malengo na dhima ya nyimbo katika jamii
Kubainisha aina tofauti za nyimbo
Kuimba nyimbo mbali mbali
Kusikiliza Kujadili Kuandika kuigiza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139Mwongozo wa mwalimu uk 102-103
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Chati (aina za nyimbo Wanafunzi wenyewe Vitabu bya
nyimbo/tenzi Kaseti ya nyimbo Redio Magazeti
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Ukanushaji: nyakati (li na ta me hu)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kukanusha sentensi zenya nyakati tofauti tofauti
Kubainisha maabadiliko ya viambishi vya wakati katika kukanusha
Kueleza Kusoma Kuandika Kujibu
maswali madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 128Mwongozo wa mwalimu uk 93-94
Sarufi fafanuzi ya
Chati (nyakati na ukanusho
Ubao magazeti
197
Kufanya zoezi kwa usahihi
kiswawhili Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha mwanafunzi uk 91Mwongozo uk 65
4/5 Kusoma(Fasihi) Fasojo Amdosjo: Muktadha na usuli katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kubainisha chanzo cha hadithi fupi
kutumia diwani teule ya hadithi fupi na kueleza mandarin na miktadha
kufafanua tofauti ya riwaya na hadithi fupi
kusoma kueleza kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 196Mwongozo wa mwalimu uk 106
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Mwongozo wa
diwani teule Kamusi ya methali
Diwani teule ya hadithi fupi (K.V) mayai waziri wa maradhi
Ubao Chati (sifa) Magazeti yenye
(hadithi fupi)
6 kuandika Insha ya maelezo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kujieleza kwa mtiririko ufaao
Kutambua hatua za uandishi bora wa insha maelezo
Kuandika insha ya maelezo kwa kutumia fani mbali mbali za lugha
Kueleza Kusoma
makala kitabuni
Kujadili kuhusu vidokezo
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 135Mwongozo wa mwalimu uk 99-100
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 130Mwongozo uk 82
Mfano kitabuni ubao
198
5 1 kusoma Ufahamu : utandawazi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kwa kina na kung’amua ujumbe
kueleza umuhimu wa utandawazi katika jamii
kukuza msamiati wake wa mawasiliano
kusoma kwa sauti
kueleza na kujadili kuhusu ujumbe na msamiati
kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk Mwongozo wa mwalimu uk 118-119
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya methali
Magazeti (picha ya tarakilishi
Ubao Vifaa halisi (tarakilishi
simu) mchoro
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi: Vipera vingine vya maigizo (ngoma na michezo ya watoto
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kufafanua maana ya ngoma
kubainisha ngoma mbali mbali na umuhimu wake
kutaja michezo mbali mbali ya watoto na umuhimu wake
KujadiliKuelezaKugizaKusomakuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 126-127Mwongozo wa mwalimu uk 92-93
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Wanafunzi wenyewe Vifaa halisi
(kamba,ngoma) Magazeti Michoro wa jukwaa Picha za waigizaji Runinga (waigizaji)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Ukanushaji wa h ali Nge, Ngali na ki ya masharti
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua matumizi ya Nge, Ngali, na Ki
Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
Kukanusha sentensi hali hizo tatu
Maswali ya dodoso
Kueleza Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157Mwongozo wa mwalimu uk 116
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Mwongozo wa teule
Diwani teule ya hadithi fupi
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (maudhui)
199
wa tamthilia
4/5 Kusoma (faishi) Dhamira na maudhui katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua dhamira ya hadithi fupi katika diwani teule
Kubainisha na kufafanua maudhui katika diwani teule ya hadithi fupi
Kusoma Kuwasilisha
mbele ya darasa
Kujadili Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157Mwongozo wa mwalimu uk 116
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Mwongozo wa teule wa tamthilia
Diwani teule ya hadithi fupi
wanafunzi wneyewe chati ubao
6 Kuandika Insha ya kitaaluma
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma mifano kitabuni na kujibu maswali kwa usahihi
kuandika insha yakitaalamu kwa ufasaha
kudodosa kueleza kujadili kusoma kujibu
maswali kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139Mwongozo wa mwalimu uk 102-103
Kamusi ya kiwahili Karunzi ya Kiswahili Golden Tips
Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Insha kabambe (simon mutali)
200
6 1 kusoma Ufahamu: nyanyeso la jinsia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma na kung’mua maaudhui ya ushairi
Kusoma mfano kitabuni na kujibu maswali kwa usahihi
Kujibu maswali ya ufahamu
Kuchambua msamiati mpya
Kusoma Kujadili Kukariri Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 173Mwongozo wa mwalimu uk 126-127
Kamusi ya kiwahili uk 88 Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Mchoro kitabuni Picha magazetini ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi ushairi-nyimbo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza sifa za utanzu wa nyimbo
kuimba wimbo kitabuni kuchambua wimbo huo
na kujibu maswali kwa usahihi
kujadili kusikiliza kuimba kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139Mwongozo wa mwalimu uk 102-103
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Wanafunzi wenyewe Kitabu Picha magazetini Ubao
3 Sarufi na matumizi ya
Matumizi ya “kwa”
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Maswali ya dodoso
Chemchemi za Chati (jedwaali la matumiz)
201
lugha Kutaja matumizi ya “kwa”
Kubainisha matumizi ya kwa katika sentensi
Kutunga sentensi sahihi ya matumizi ya kwa
Kusoma Kuandika kueleza
Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 132-133Mwongozo wa mwalimu uk 97-98
Kamusi ya kiwahili Sarufi fafanuzi ya
kiswawhili Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha mwanafunzi uk 91Mwongozo uk 125
Ubao Vitu halisi (nyundo) Picha(gari)
4/5 Kusoma Maudhui katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maudhui ya hadithi fupi
Kutoa mifano katika diwani ili kuyakanisha maudhui
Kusoma Kujadili Kaundika Utafiti (ziada)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157Mwongozo wa mwalimu uk 115-116
Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Mwongozo wa teule wa tamthilia
Diwani teule ya hadithi fupiMayai waziri wa maradhi
6 Kuandika Insha ya mazungumzo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kubainisha muundo wa insha ya mazungumzo
Kueleza sifa za
Kueleza Kusoma Kuigiza Kuandika kusikiliza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 155Mwongozo wa
Wanafunzi wenyewe Chati (muundo) Nakala halisi Ubao
202
mazungumzo mbali mbali
Kuandika insha ya mazungumzo ifaavyo
mwalimu uk 116-117
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91Mwongozo uk
7 1-6 MTIHANI NA LIKIZO YA KATIKATI YA MUHULA
8 1 Kusoma (ufahamu)
Ufupisho kitabu cha hadithi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma hadithi na kuelewa ujumbe
Kudondoa hoja muhimu
Kufupisha hadithi kwa urefu ulioulizwa
Kusoma Kuajdili kuandka
riwaya K.V utengano kipimo cha mizani au shamba la wanyama
kamusi ya Kiswahili kamusi ya methali kamusi ya fasihi
ubao wanafunzi wenyewe
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mazungumzo: viwandani Isimu jamii
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutambua msamiati (sajili) ya viwandani
Kuigiza mazungumzo viwandani
Kusoma kifungu kujibu maswali kwa usahihi
Kueleza Kusoma Kuigiza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 140Mwongozo wa mwalimu uk 104
Kamusi ya kiwahili Isimu ya jamii kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Wanafunzi wenyewe Picha za viwanda
mbali mbali Chati Magazeti (picha ya
viwanda) Vitu halisi vya
viwanda K.V (sukari, )
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko wa vitenzi vya asili ya kibantu
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
Kutaja vitenzi vya asili ya kibantu
Kunyambua vitenzi vya aisli ya kibantu
Kudodosa Kujaidli Kusoma Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 141Mwongozo wa mwalimu uk 106
Ubao Wanafunzi wenyewe Magazeti (mifano
kwenye sentensi)
203
Kutambua viambishi tamati
Sarufi fafanuzi ya kiswawhili
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91
Mwongozo uk
4/5 Kusoma (fasihi) Muundo namtindo wa hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa hadithi fupi kwa kuzingatia diwani teule
Kutofautisha hadithi na kzi nyinginezo na hathari
Kusoma Kujadili Kueleza Kuandika Kujibu
maswali kwa sauti na madaftari
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 142Mwongozo wa mwalimu uk 107
Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi
Diwani teule ya hadithi fupi
Wanafunzi wenyewe Ubao
6 Kuandika Kumbu kumbu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa kuandika kumbukumbu
Kutaja umuhimu wa kuandika kumbukumbu kikamilifu na kwa usahihi
Kueleza Maswali ya
dodoso Kusoma
mifano kitabuni
Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 169Mwongozo wa mwalimu uk 124
Karunzi ya Kiswahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Vielezo kitabuni Vielezo
9 1 Kusoma Magazeti (Isimu Jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma makala mbali mbali magazetini na kueleza ujumbe
Kusoma Kujadili Kuandika Kuzuru
maktaba
Magazeti (K.V Taifa leo, faifa jumapili,nipashe)
Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya methali
Wanafunzi wenyeweMaktabaChati (aina za magazeti)
204
Kueleza sajili katika makala mbal mbali
Kutaja Nyanja mbali mbali zinazoshughulikiwa magazetini
Isimu jamii kwa shule za sekondri (ipara Isaac Odero)
Kamusi ya misemo na nahau (K.W Wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihii simulizi:ngano
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusimulia ngano na kueleza maadili yaliyomo
Kusoma ngano kitabuni na kujibu maswali kwa ufahihi
Kuzungumza kwa matamshi bora na mtiriko ufaao
Kueleza Kuhadithia
ngano Kusoma kwa
sauti Kujibu
maswali kwa sauti na madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 152Mwongozo wa mwalimu uk 112
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Wanafunzi wenyewe Ngano kitabuni Ubao Chati Picha ya wanyama
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko wa vitenzi vya kigeni
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja minyambuliko tofauti ya vitenzi
Kueleza sifa na njia za kunyambua vitenzi vya kigeni
Kujibu maswali kwa usahihi
Kueleza Kujadili Kutunga
sentensi kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 155Mwongozo wa mwalimu uk 114
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha mwanafunzi uk 176-181Mwongozo uk 103
Wanafunzi wenyewe Ngano kitabuni Ubao Chati Picha ya wanyama
4/5 Kusoma (fasihi) Fasihi andishi Kufikia mwisho wa funzo Kusoma Chemchemi za Diwani teule ya
205
Wahusika na uhusika katika hadithi fupi
mwanafunzi aweze Kutaja wahusika katika
hadithi fupi Kutambua sifa za
wahusika wa hadithi fupi
Kuwasilisha kujadili
kuandika
Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179Mwongozo wa mwalimu uk 133-134
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Mwongozo wa teule wa tamthilia
hadithi fupi Wanafunzi wenyewe
6 kuandika Kumbukumbu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha
Kuandika ilnsha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote
Kusoma Kujadili Kueleza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 169Mwongozo wa mwalimu uk 124
Kamusi ya kiwahili Karunzi ya Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya Kiswahili
Insha waliozoziandika Nakala halisi za
kumbukumbu Ubao
10 1 Kusoma Ufahamu: sudi ya sundiata
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kwa sauti na matamshi bora
Kupanua kiwango cha msamiati na semi
Kueleza hoja muhimu baada ya kusoma makala
Kusoma kwa sauti darasani
Maswali ya dodoso
Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 183Mwongozo wa mwalimu uk 137-138
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Michoro kitabuni Wanafunzi wenyewe
(kutoa mifano) K.V Luanda magere
ubao
206
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maadiliana: mabalozi (Isimu Jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kusoma kwa sauti na matamshi bora
Kupanua kiwango cha msamiati na semi
Kueleza hoja muhimu baada ya kusoma makala
Kusoma kwa sauti darasani
Maswal ya dodoso
Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 154Mwongozo wa mwalimu uk 101-113
Kamusi ya kiwahili Isimu jamii kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Mwanafunzi mwenyewe
Makala halisi ya majadiliano (gazeti.kitabu)
Picha (mabalosi) Kanda za video
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uakifishaji wa mazungumzo Dayolojia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja na kueleza matumizi ya alama za uakifisho
Kutumia alama za uakifishaji kwa usahihi katika dayolojia
Kuakifisha dayolojia kwa usahihi
Kueleza Kutunga
mifano Kusoma
mfano kitabuni
Kufanya zoezi madaftarini
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 156Mwongozo wa mwalimu uk 115
Kamusi ya kiwahili Sarufi fafanuzi ya
kiswawhili Karunzi ya kusoma
uk 88 Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 121,218,319,373
Makala ya dayolojia Chati (alama na
majina) Ubao Magazeti (alama na
matumizi)
207
Mwongozo uk 78,118,161,182
4/5 Kusoma Wahusika katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja wahusika katika hadithi fupi za diwani teule
Kueleza sifa na umuhimu wa wahusika hao
Kutafiti na kuwasihisha
Kusoma Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179Mwongozo wa mwalimu uk 133-134
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Diwani teule ya hadithi fupi
Wanafunzi wenyewe ubao
6 kuandika Utunzi wa mashairi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutaja na kueleza vigezo muhimu vya kutunga mashairi (arudhi, beti na mishororo)
kutunga shairi kuhusu mada yoyote
kubainisha aina ya shairi aliyotunga
kueleza kujadili kusoma
mfano (kitabuni na diwani)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 180Mwongozo wa mwalimu uk 134-135
Kamusi ya kiwahili Diwani ya mashairi
mepesi Miale ya ushairi
(NES) Nuru ya ushairi Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Diwani yoyote ya mashairi
Ubao Wanafunzi wenyewe Chati (arudhi) Magazeti (taifa leo
mashairi)
11 1 kusoma Ufahamu: udamisi wa mzee mtari
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua mawazo makuuu katika kifungu
Kueleza msamiati na
Kusoma kwa kupokezana
Kudodosa Kujadili Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 195
Mchoro kitabuni Wanafunzi
wnehyewe Ubao Chati (msamiati)
208
kuutungia sentensi kwa usahihi
Kujibu maswali ya ufahamu kikamilifu
Kujibu maswali
Mwongozo wa mwalimu uk 119
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi mighani
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya mighani
Kubainisha sifa za mighani
Kutoa mifano kwa mighani katika jamii yake
Kueleza Kusikiliza Kuuliza
maswali Kusoma Kuandika Kutafiti (ziada)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 162Mwongozo wa mwalimu uk 102-103
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 38-Mwongozo uk 190
Mgeni mwalikwa Wanafunzi wneyewe Chati (sifa zao)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Matumizi “na”kirai
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja na kueleza matumizi ya ‘na’
Kutumia ‘na’ katika tungo kwa usahihi
Kubainisha matumizi ya ‘na’ katika tungo
Kutaja maana ya kirai na kueleza aina zake
Kueleza Kusoma Kutunga
sentensi kwa sauti
Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157,176Mwongozo wa mwalimu uk 129-131
Kamusi ya kiwahili Sarufi fafanuzi ya
kiswawhili Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha
Chati Ubao Magazeti (sentensi)
209
mwanafunzi uk 315Mwongozo uk 161
4/5 kusoma Wahusika katika hadithi fupi
Kufkika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja wahusika katika hadithi fupi
Kueleza hulka za wahusika hao
Kufafanua umuhimu wa wahusika hao
Kueleza Kujadili Kusoma Kuandika Kutafiti (ziada)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179Mwongozo wa mwalimu uk 133
Mwongozo wa diwani teule (hadithi fupi)
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Diwani teule ya hadithi fupi
Ubao Chati
(wahusika)
6 kuandika Insha ya mawazo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza muundo wa insha ya mawazo
Kufafanua vigezo muhimu vya insha mawazo
Kuandika insha ya mawazo ifaavyo
Kueleza Kujadili Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 181Mwongozo wa mwalimu uk 136
Karunzi ya kusoma uk 88
Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 241Mwongozo uk 127
Ubao Makala kitabu
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KUFUNGA SHULE
210
KISWAHILI KIDATO CHA 4 MIPANGO YA KAZI – MUHULA WA 3
JUMA
KIPINDI
MADAKUU MADA NDOGO SHABAHA/MALENGO MBINU MAREJELEO NYENZO MAONI
1 1 Kusoma Ufahamu-saula la lishe na vv ukimwi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya VVU na ukimwi
Kueleza na kuwa na mtazamo chanya kuhusu mapambano dhidi ya ukimwi
Kujibu maswali kwa usahihi
Maswali ya dodoso
Kujadili Kusoma kwa
sauti Kueleza Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 207-209Mwongozo wa mwalimu uk 154-155
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Michoro kitabuni Picha nyinginezo Wanafunzi wenyewe ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi maigizo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutambua muundo wa ngonjera na vichekesho
kueleza sifa bainisu za vichekesho
kueleza kusoma kuigza kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 176Mwongozo wa mwalimu uk 127-
Nakala (ngonjera) na vichekesho
Wanafunzi wenyewe
211
kuigiza vichekesho na ngonjera
128 Kamusi ya kiwahili Kichocheo cha fasihi
simulizi na andishi Karunzi ya kiswahili Kamusi ya methali
3 Sarufi na matumizi ya lugha
vishanzi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya kishanzi
Kubainisha ailna ya kishanzi
Kutunga sentensi yenye kitanzi
Kutambua vishanzi katika tungo
Kueleza Kusoma Kujibu
maswali kwa sauti
Kuandika Kufanya zoezi
madaftarilni
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 177-178Mwongozo wa mwalimu uk 131-132
Sarufi fafanuzi ya kiswawhili
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 365Mwongozo uk 182
Chati (vishanzi) Ubao Magazeti (taifa leo)
4/5 kusoma Fasihi andishi:matumizi ya lugha katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutambua mbinu za sanaa katika hadithi fupi
Kufafanua mbinu za sanaa na thima yake katika hadithi
Kupanua kitembo chake cha msamiati na fani za lugha
Kusoma Kueleza Kujadili Kuwasilisha
utafiti kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 191Mwongozo wa mwalimu uk 142
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Mwongozo wa diwani teule
Diwani teule Wanafunzi wenyewe Ubao
6 kuandika Uandishi wa Kufikia mwisho wa funzo, Maswali ya Chemchemi za Kielezo halilsi cha
212
simu au telegramu
mwanafunzi aweze Kueleza kanuni za
uandishi wa telegram Kuandaa mfano wa
telegram halisi
dodoso Tumia
telegram halisi Kuleza Kuandika
telegramu
Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 193-194Mwongozo wa mwalimu uk 143
Kamusi ya kiwahili Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya Kiswahili
ya kitabu cha mwanafunzi uk 208Mwongozo uk 113
telegram Kielezo kwenye
bango ubao
2 1 Kusoma (ufahamu)
Maghani na aina zake Kufikia mwisho wa funzo,
mwanafunzi aweze kusoma umuhimu na
asili ya lugha
Kusoma Kujadili Kudodosa na
kujibu maswali
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 219-221Mwongozo wa mwalimu uk 165-166
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila)
Mchoro kitabuni Ubao Chati (msamiati)
2 Kusikiliza Maghani na aina zake
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maghani ni nini?
Kutaja na kufafanua aina za maghani
Kueleza vipinngamizi dhidi ya ukuaji wa
Kueleza Kusikiliza Kujadili na
kuuliza maswali
Kuandika kutafakari
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 185-187Mwongozo wa mwalimu uk 138-
Mgeni mwalikwa Wanafunzi wenyewe ubao
213
Kiswahili Kueleza maneno
mapya na kujibu maswali yote
139 Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kichechocheo cha
Fasihi simulizi na Andishi
Kamusi ya methali Kamusi ya fasihi
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kundi nomino: kundi tenzi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kutambua kundi nomino na kundi tenzi
kuandika sentensi zenye KN na KT kwa usahihi
kujibu maswali kwa usahihi
kueleza kusoma kukandika
madaftarini kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 188-189Mwongozo wa mwalimu uk 139-140
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Golden Tips Kiswahili
Chati Ubao Magazeti (Taifa leo)
4-5 Kusoma Matumizi ya lugha katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza matumizi ya lugha katika hadithi fupi za diwani teule
Kubainisha umuhimu wa lugha katika kuendeleza dhamira na maudhui
Kusoma Kueleza Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi
(kazi ya ziada)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 191-192Mwongozo wa mwalimu uk 142
Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi
Kamusi ya methali Kamusi ya fasihi
Diwani teule Ubao Wanafunzi wenyewe Chati (lugha)
214
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila
6 Kuandika Barua meme Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja vijia mbali mbali za mawasiliano
Kueleza matumizi na muundo wa kuandika barua meme
Maswali ya dodoso
Kujadili Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 188-189Mwongozo wa mwalimu uk 139-140
Karunzi ya kiwahili Insha kabambe
(simon mutali)
Kelezo halisi cha barua meme
Ubao Chati Magazeti (picha za
mawasiliano) Picha (vyombo vya
mawasiliano)
3 1 Kusoma (ufahamu)
Mazoezi (marudio)
1. Kifungu 3
2. Kifungu 3
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma vifungu vya ufahamu (mazoezi ya marudio na kujibu kwa usahihi)
Kupanua uwezo wake kukabili mtihani wa ufahamu
Kusoma ghibu Kuandika
madaftarini Kujadili
majibu
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya methali Kamusi ya kiswahili Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila
Mwanafunzi mwenyewe
Ubao Chati (misamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Soga Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza na kutambua mtindo wa soga
Kutongoa soga darasani
Kueleza na kujadili
Kushiriki katika soga
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 197Mwongozo wa mwalimu uk 146-
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (mtindo wake)
215
Kufafanua umuhimu wa soga
147 Darubini ya Kiswahili
4. Kitabu cha mwanafunzi uk 314Mwongozo wa mwalimu uk 158
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uchanganuuzi wa sarufi
Kufikia mwisho wa funzi mwanafunzi aweze
Kutaja aina na miundo mitatu mikuu ya sentensi
Kutaja na kueleza aina kuu tatu za kuchanganua sentensi (mistari, jedwali na matawi)
Kueleza Kusoma Kujadili
vielezo Kuchanganua
sentensi Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 198-200Mwongozo wa mwalimu uk 147-148
Karunzi ya kiwahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Golden Tips
Kiswahili
Bango (vielezo vya uchanuzi)
Chati (aina)
4-5 Kusoma (fasihi) Usulu, dhamira na maudhi katika mashairi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kubainisha dhamira na maudhi ya shairi
Kueleza sifa na kanuni (arudhi) za sahiri la arudhi
Kubainisha hisia/falsafa tofauti tofauti za mashairi
Kueleza Kuakariri
shairi Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 202-203Mwongozo wa mwalimu uk 151
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila
Diwani ya mashairi (arudhi)
Wanafunzi wenyewe ubao
6 kuandika Ratiba Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza muundo na
kueleza kujadili
kielelezo
Chemchemi za Kiswahili
Nakala halisi za ratiba Wanafunzi wneyewe Ubao
216
dhima ya ratiba kueleza ratiba yoyote
kwa sauti darasani kuandika ratiba ya
shughuli yoyote
kutoa ratiba kwa sauti darasani
kuandika
Kitabu cha wanafunzi 4 uk 216-218Mwongozo wa mwalimu uk 164
Karunzi ya kiwahili Insha kabambe
(simon mutali chesebe)
Golden Tips Kiswahili
4 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu wa jaribio la 3 na la 4
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kimoyomoyo na kuelewa ujumbe
Kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi
Kukuza imani yake kufaulu katika funzo la ufahamu
Kusoma ghibu Kujibu
maswali Kusahisha na
kujadili majibu
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 247-255Mwongozo wa mwalimu uk 186-198
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya methali Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila
Wanafunzi wenyewe Uboa Chati (msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi mawaidha
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua maana ya mawaidha
Kutambua umuhimu wa mawaidha katika jamii
Kuigiza utoaji wa mawaidha
Kujibu maswali
Kueleza Kujadili Kuchanganua
ubaoni Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 188-189Mwongozo wa mwalimu uk 139-140
Fasihi simulizi kwa
Chati (umuhimu wake)
Michoro ubaoni Wanafunzi wenyewe Magazeti Hojaji ya utafiti Picha ya wanaotoa
mawaidha
217
kikamilifu shule za sekondari Kichechocheo cha
Fasihi simulizi na Andishi
Darubini ya Kiswahili 4 uk 104
3 Sarufi na matamuzi
Uchanganuzi wa sentensi ambatano
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutambua viambajengo vya sentensi ambatano
Kueleza muundo wa kuchanganua sentensi ambatano (mistari, matawi, jedwali)
Kuchanganua sentensi ambatano
Kueleza Kujadili Kuchanganua
ubaoni
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 210-213Mwongozo wa mwalimu uk 160-161
Kamusi ya kiwahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili
Chati (uchananuzi Michoro ubaoni Wnanafunzi
wenyewe Magazi (sentensi)
mbali mbali
4/5 Kusoma (Fasihii)
Fasihi andishi: muundo namtindo katika mashairi
Kufiikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza na kufafanua muundo na mtindo wa mashairi huru naya arudhi
Kutofautisha mundo na mtindo kishairi
Kujibu maswali ya mashairi kwa usahihi
Kueleza Kujadili Kughani Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 214-215Mwongozo wa mwalimu uk 162-163
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila
Miale ya ushairi (NES)
Nuru ya ushairi
Mashairi kitabuni Diwani ya mashairi Ubao Magazeti (tailfa leo) Chati (mtindo,
muundo)
218
6 Kuandika Resipe (Ndizi za kuchemsha
Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana
Kueleza Kusoma na
kujadili hoja
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 232Mwongozo wa mwalimu uk 174
Karunzi ya kiwahili Golden Tips
Kiswahili Insha kabmbe
(simon mutali)
Vyakula halisi Vielelezo vya resipe Wanafunzi wenyewe Ubao chati
5 1 Kusoma (muhtasari
Vifungu vya ufupisho. Jaribio la I na II
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua hatua za kukabuli maswali ya ufupisho
Kusoma vifungu na kudondoa hoja muhimu
Kufupisha kwa usahihi
Kueleza Kusoma na
kujadili hoja Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240Mwongozo wa mwalimu uk 175-181
Kamusi ya kiwahili
Wanafunzi wenyewe Ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi au Fasihi ya Ngoma
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya ngomezi
Kuorodhesha na kufafanua sifa za ngomezi
Kutaja ngoma mbali mbali na kuigiza za jamii zao
Kueleza dhima ya ngomezi katika jamii
Kueleza Kujadili Kusoma kwa
sauti na kusikiliza
kuigiza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240Mwongozo wa mwalimu uk 175-181
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Darubini ya Kiswahili 4. Uk 294
Kichechocheo cha
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (sifa zake) Vitu halisi (kengele,
ngoma, simu) Picha ya magari ya
polisi/ambulansi
219
Fasihi simulizi na Andishi
Kamusi ya fasihi
3 Sarufi na matumizi ya lugha
vihusishi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza maana ya vihusishi na kutaja mifano
Kutambua vihusishi tofauti tofauti na utendakazi wavyo
Kueleza Kuigiza hisia
mbalil mbali Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 213Mwongozo wa mwalimu uk 160
Kamusi ya Tashbihi, vitendawili, milio na mshangao (K.W wamitila)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 138Mwongozo wa mwalimu uk 87
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Chati (vihusishi) Wanafunzi wenyewe Kanda ya sauti Ubao Vitu halisi
4/5 Kusoma Matumizi ya lugha na mbinu nyiinginezo katika ushairi (Fasihi andishi)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutaja na kueleza maana ya msamiati wa mashairi
Kufafanua mbinu ambazo ghalabu hutumika katika mashiri
Kusoma shairi na kujibu maswali
Kueleza Kusoma
makala kitabuni
Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 226-231Mwongozo wa mwalimu uk 171-173
ahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari Kichechocheo cha
Fasihi simulizi na
Maashairi kitabuni Diwani ya mashairi Ubao Magazeti (taifa leo) Chati (ushairi)
220
Andishi Kamusi ya methali Kamusi ya fasihi Kamusi ya misemo
na nahau (K.W wamitila
Taaluma ya ushairi Miale ya ushairi
(NES) Nuru ya ushairi
6 Kuandika Insha bora Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kutofautisha baina ya uandishi wa isha na uandishi wa kikamilifu
Kutambua hatua muhimu za kuandika kila aina ya insha
Kuandika insha ya kusisimuliza
Kuandika Kujadili Majibu na
kusahihisha makosa
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk (sehemu ya kuandika)Mwongozo wa mwalimu uk 186
Karunzi ya kiwahili (sehemu za insha)
Isnha kabambe (mutali Chesebe)
Golden Tips Kiswahili
Vyakula kitabuni Diwani ya mashairi Ubao Magazeti (taifa leo) Chati (mtindo
muundo)
6 1 Kusoma (mazoezi ya marudio)
Ufupisho (jaribio III, IV
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma kifungu na kutoa hoja m uhimu
Kufupisha kifungu kwa kuunganisha hoja muhimu
Kusoma Kuandika Kujadilii
majibu na kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 247-255Mwongozo wa mwalimu uk 186-198
Wanafunzi wenyewe Ubao Magazeti
221
Karunzi ya kiwahili(sehemu ya ufupisho)
Kamusi ya Kiswahili
2 Kusikiliza na kuzungumza
Vifungu vya Isimu-jamii majaribio I-IV
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma vifungu kwa makini
Kueleza muktadha na sajili za vifungu husika
Kujibu maswali ya Isimu-jamii kwa usahihi
Kusoma ghibu Kuandika
majibu Kusahihisha Kujadili
majibu na masahihisho
Kuandika majibu sahihi ubaoni
kuigiza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-255Mwongozo wa mwalimu uk 175-198
Kamusi ya Kiswahili Isimu-jamii kwa
shule za sekondari
Mwanafunzi wenyewe
Ubao Chati (muktadha
mbali mbali)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uchanganuzi wa sentensi changamano
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kuchanganua sentensi changamano
Kuunda nomino kutokana na nomino au vitenzi
Kujibu maswali ya vipengele vya ‘a’ na ‘b’ kwa usahihi
Kueleza Maswali ya
dodoso Kujadili Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 225-227Mwongozo wa mwalimu uk 168-170
Karunzi ya kiwahili Kamusi ya Kiswahili Golden Tips
Kiswahili
Michoro ya uchanganuzi
Chati (nomino na vitenzi
Ubao
4/5 Kusoma Maswali ya Fasihi majaribio I-IV
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kusoma maswali na kueleza yanayohitaji
Kujibu maswali kwa
Kusoma ghibu Kueleza Kujadili Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-260
Wanafunzi wenyewe Magazeti Hadithi vitabu teule
vya fasihi Magazeti
222
usanifu Kujirekebisha
alikokosea
Kusahihisha Mwongozo wa mwalimu uk 178-195
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi
Chati (tanzu za fasihi)
6 kuandika Maswali ya insha Jaribio I-IV
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kufafanua uandishi bora wa insha
Kuandika insha kikamilifu
Kubainisha makosa yake na kujirekebisha
Kujadili vidokezo
Kuandika Kujadili
makosa na kujirekebisha
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-260Mwongozo wa mwalimu uk 178-198
Karunzi ya kiwahili Insha kabambe
(simon mutali) Golden Tips
Kiswahili Fasihi simulizi kwa
shule
Maswali kitabuni Ubao Chati (aina za insha Nakala za insha bora
7 1-6 majaribio Jaribio IJaribio IIJaribio IIISarufi na matumizi ya lugha
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
Kufanya masahihisho sahihi kwa maswali ya juma la 6
Kubainisha upungufu wake na kujiimarisha
Kusoma Kuandika
majibu Kusahihisha Kujadili
majibu sahihi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 236,243,250Mwongozo wa mwalimu uk 175-193
Karunzi ya kiwahili
Wanafunzi wenyewe Ubao Chati (vipengele
muhimu)
8 1-6 Marudio Jaribio IV Kufikia mwisho wa funzo, Kusoma Chemchemi za Wanafunzi wenyewe
223
(sarufi)Karatasi za awali za K.C.S.E (hasa ya 2010) na za mwiyo
mwanafunzi aweze kutambua muundo wa
mtihani wa K.C.S.E na jinsi ya kukabili maswali
Kujamini kwa uwezo wa kupasi
Kutoa majibu Kusahihisha Kujadili
matokeo ya majibu sahihi
Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk Mwongozo wa mwalimu uk
Karunzi ya kiwahili Golden Tips
Kiswahili Ijaribu na uikarabati
Nakala za karatasi za awali (k.c.s.e)
Ubao
9-12 MTIHANI WA K.C.S.E NA KUFUNGA SHULE
224
top related