buku la 1 kijitabu cha wajumbe

1488
Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na kusambazwa na Jumba la Uchapishaji la Muungano wa Methodisti. Buku la 1 Kijitabu cha Wajumbe

Upload: truongnga

Post on 15-Jan-2017

1.300 views

Category:

Documents


3 download

TRANSCRIPT

  • Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa nakusambazwa na Jumba la Uchapishaji la Muungano wa Methodisti.

    Buku la 1 Kijitabu cha Wajumbe

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 1 3/16/16 12:45 PM

  • Jarida la Kuendeleza Utetezi wa Kikristu wa Kila siku, Advance Daily Christian Advocate, limetafsiriwa ku lahaja tatu tofauti za Kiswahili.

    Kitabu cha Maelezo ya Bajumbe (Kanda ya ADCA la 1), Ripoti (Kanda ADCA ya 2, Sehemu za 1 na 2), Kukumbuka Mauaji ya Kihalaiki ya Sand Creek (Kanda ya ADCA la 2, Sehemu ya 3), na Rasimu ya Ki-tabu cha Mwenendo cha Dunia Muzima ao Jumla (Kanda ADCA ya 2, Sehemu ya 4) byote bimetafsiriwa ku Kiswahili cha Tanzania.

    Karibu zaidi ya (55%) ya Maombi (Kanda ya ADCA ya 2, Sehemu za 1 na 2) byote bimetafsiriwa ku Kiswahili ya Congo/Zaire. Sehemu hizo zingine za (45%) zimetafsiriwa ku Kingwana.

    Maombi yenye ilitafsiriwa ku Kingwana inatambuliswa kama ifuatavio:

    *Maombi hii imetafsiriwa ku Kingwana.

    Maombi yote mengine imetafsiriwa ku Kiswahili ya Congo/Zaire.

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 2 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 3

    Yaliyomo

    Barua kutoka ku Tume ya Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 4

    Ratiba ya Kongamano Kuu. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 5

    Batu ba Kuyua

    Baraza la Maaskofu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 11Meza ya Uunganisho . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 12Baraza la Kimahakama . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 14Tume Kuhusu Kongamano Kuu. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 14Kundi la Ukarimu wa Portland . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 15

    Taarifa Muhimu Juu ya Mkutano Mkuu

    Taarifa Muhimu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 16Ramani ya Portland City Center . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 17Kikao Area Mchoro . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 18Majukumu ya Viti vya Kikao. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 19

    Kile Mungu Anatarajia Kutoka Kwetu

    Sentensi Chache Kuhusu Kongamano za Kikristo. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 22Jinsi ya Kuwa Mjumbe Stadi Katika Tamaduni Mbalimbali

    katika Kongamano Kuu la Mwaka wa 2016 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 23

    Zana za Ripoti na Mambo ya Sheria

    Ripoti ya Tume ya Kongamano Kuu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 42Kongamano Kuu la Kanisa la Muungano wa Methodisti Bajeti

    Iliyopendekezwa kwa Kipindi cha Miaka Minne ch Miaka ya 2017-2020 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 47Mpango wa Mipangilio na Sheria za Utaratibu za Kongamano Kuu la Mwaka wa 2016 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 49Miongozo ya Mazungumzo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 96Mchakato wa Sheria. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 102Chati ya Utaratibu la Kibunge . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 103Mafupisho na Misimbo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 104

    Taarifa ya Bajumbe

    Orodha ya Alfabeti Wajumbe na Akiba wa Kwanza . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 105Wajumbe Wanaopiga Kura na Akiba waliowekwa na Kongamano . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 115Uanachama wa Kamati za Sheria . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 167

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 3 3/16/16 12:45 PM

  • 4 DCA ya mapema

    Tume ya Kongamano Kuu

    Salamu kwa wajumbe na waliojiandikisha kwa Daily Christian Advocate! Tunayo furaha kuwa unasoma gazeti hili la Mapema la Daily Christian Advocate unapojiandaa kwa mkutano wetu kama Kongamano Kuu Portland, Oregon, Mei ijayo.

    Advance Daily Christian Advocate (ADCA) huchapishwa katika majuzuu matatu. Zaidi ya hayo, matoleo ya kila siku yatachapishwa kwenye Kon-gamano Kuu huko Portland, Oregon. Katika Juzuu la 1, kuna orodha za wajumbe (majina ya viongozi wa dini yako katika italiki), majukumu ya kupanga viti, majukumu ya kamati ya sheria, ajenda na ratiba, na ripoti ya Tume ya Kongamano Kuu.

    Juzuu la 2 lina ripoti zilizochapishwa za maajenti wakuu na tume za utafiti, mabadiliko yaliyopendekezwa katika Kitabu cha Nidhamu, maazimio mapya yaliyopendekezwa, marekebisho ya maazimio yaliyopo, na mapendekezo yasiyo-ambatana na ya nidhamu. Wakati lalamiko moja limewasilishwa zaidi ya mara mbili, linachapishwa mara moja pekee na idadi ya malalamiko kama hayo inadokezwa katika kichwa cha lalamiko. Ni maneno 50 pekee ya majadiliano yanayochapishwa. Mambo yanapangwa kwa mujibu wa kamati ya sheria ambayo imepewa jukumu.

    Sehemu ya mwisho ya Toleo la Mapema, Juzuu la 3, ni ripoti ya kipindi cha miaka minne ya baraza Kuu kuhusu Fedha na Usimamizi. Juzuu hili litawe-kwa kwenye meza ya wajumbe, au kuwasilishwa kielektroniki, siku ya ku-fungua Kongamano Kuu. Lazima juzuu hili liwe na ripoti za fedha ambazo haziwezi kutayarishwa hadi vitabu vya 2015 vifungwe, kwa hivyo zinahitaji tarehe ya baadaye ya uzalishaji.

    Ukiwasili Portland, utapewa faili ya kuweka matoleo yako ya kila siku kama utayapokea kwa hali ya karatasi. Ni muhimu kuweka mwongozo huu (Juzuu la I) pamoja na matoleo ya kila siku kwa sababu una taarifa muhimu sana kuhusu ajenda, usajili, orodha za wajumbe, kamati za sheria, na Mpango wa Shirika na Sheria za Mpangilio uliopendekezwa ambao utawasilishwa ili kutumika kwenye kikao cha kwanza.

    Wajumbe na watu wa ziada wa kwanza watapewa nakala bila malipo za matoleo ya kila siku. Ikiwa wajumbe wengine wa ziada wamekaa, wanawe-za kutumia yote yaliyopewa mtu wanayechukua nafasi yake, au wanaweza kununua nakala kwenye kituo cha mauzo cha DCA.

    Matoleo yote ya Daily Christian Advocate yanatolewa na mamlaka ya Tume ya Kongamano Kuu, kwa kusudi kuwa yatawasaidia wajumbe wote kujian-daa na kuelimika kabla ya na wakati wa Kongamano Kuu la 2016.

    Baraka,

    Judi M. KenastonMwenyekiti

    Maafisa

    MwenyekitiJudi M. Kenaston200 Brookwood LaneBeckley, WV 25801Marekani

    Naibu MwenyekitiFrank Beard7160 Shadeland Station WayIndianapolis, IN 46256 Marekani

    Katibu/Mwenyekiti Mwenza/Uwekaji DiraDavid Lux7221 Framton RdLincoln, NE 68516 Marekani

    Kamati ya Kuweka DiraMwenyekiti MwenzaMujinga KashalaUMCS.L.P 22037Kitwe, Zambia

    Mwenyekiti wa Kamatiya MpangoA. Lynn Hill143 5th Avenue SouthFranklin, TN 37064 Marekani

    Mwenyekiti wa Kamati ya SheriaSamuel Duncan McMillan IV3301 Kentyre DriveFayetteville, NC 28303 Marekani

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 4 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 5

    Uandikishaji

    Jumamosi, Mei 7 1:00 Alasiri hadi 5:00 Jioni. Usajili wa Wajumbe wa Kongamano Kuu & Mkalimani katika Kituo cha Mkutano

    Jumapili, Mei 8 12:00 Adhuhuri hadi 4:00 Alasiri. Usajili wa Wajumbe wa Kongamano Kuu & Mkalimani katika Kituo cha Mkutano

    5:00 Jioni hadi 7:30 Usiku. Uandikishaji wa Wajumbe na Washiriki Rasmi kwenye Kituo cha Mikutano

    Jumatatu, Mei 9 8:00 Asubuhi hadi 7:30 Usiku. Uandikishaji (makundi yote) kwenye Kituo cha Mikutano

    Jumanne, Mei 10 8:00 Asubuhi hadi 7:30 Usiku. Uandikishaji (makundi yote) kwenye Kituo cha Mikutano

    Jumatano, Mei 11 8:00 Asubuhi hadi 2:00 Alasiri. Uandikishaji (makundi yote) kwenye Kituo cha Mikutano

    Uandikishaji utafungwa wakati wa ibada ya ufunguzi siku ya Jumanne.

    Uandikishaji baada ya 2:00 Alasiri Jumatano, Mei 11 utakuwa katika Chumba B119, Ofisi ya Katibu wa Kongamano Kuu

    Ajenda na Programu

    Ifuatayo ni programu ya jumla ya Kongamano Kuu la 2016 Portland, Oregon. Kamati kuhusu Ajenda itapanga kwa kina ratiba ya shughuli za kila siku mara Kongamano litakapoanza. Wiki ya kwanza imepangiwa kuwa ya kazi ya kamati ya kutunga sheria hadi Jumamosi, na wiki ya pili ni ya vikao vya mikutano. Nyakati zote zilizoorodheshwa zinasemekana kuwa Taratibu za Siku. Matangazo yatafanywa kabla ya mwisho wa kila Mkutano Mkuu kulingana na uhitaji.

    Jumamosi, Mei 7

    9:00 10:30 AsubuhiUandikishaji Wafanyakazi wa Kibanda na Uelimishaji

    wa Mwendesha Kompyuta10:30 Asubuhi 12:00 Adhuhuri

    Uandikishaji Uelimishaji wa Mwendesha Kompyuta

    Jumapili, Mei 8

    2:00 8:00 UsikuUelimishaji wa Wajumbe wa Kimataifa

    Jumatatu, Mei 9

    8:00 A.M. 5:30 JioniKamati ya Kudumu ya Masuala ya Kongamano Kuu

    9:00 Asubuhi 9:30 UsikuKamati ya Marejeleo

    9:30 11:30 Asubuhi Maelezo kwa Wajumbe Wanawake wa Kongamano la Kati (Sio utendaji rasmi wa Kongamano Kuu)

    10:00 Asubuhi 9:30 UsikuKamati ya Kalenda na Ajenda

    1:30 AdhuhuriKutakaswa kwa Chumba cha Maombi na Safari ya Maombi

    2:00 5:00 JioniMafunzo ya Kompyuta za Mkononi Wajumbe wa Kon-

    gamano la Kati2:00 5:00 Jioni

    Uelimishaji wa Makarani wa Kamati ya Utungaji Sheria4:00 9:30 Usiku

    Uelimishaji wa Mabawabu na Wakaribishaji

    6:30 8:30 UsikuMaelezo kwa Wajumbe Wanawake(Sio shughuli rasmi ya Kongamano Kuu)

    Jumanne, Mei 10

    8:00 9:00 AsubuhiUelimishaji wa Wakuu wa Wajumbe

    9:00 Asubuhi 12:00 Adhuhuri.Mafunzo ya Kompyuta Ndogo Wajumbe wa Kongama-

    no la Kati9:00 Asubuhi Kamati zinaendelea kukutana inavyohitajika

    Kamati ya Kudumu ya Masuala ya Kongamano KuuKamati ya MarejeleoKamati kuhusu Kalenda na Ajenda

    9:00 Asubuhi Mpangilio wa KamatiKamati ya Hisani na Mapendeleo Kamati ya Stakabadhi Kamati ya Jarida Kamati ya Maafisa Wasimamizi

    9:00 AsubuhiUelimishaji wa Wanafunzi wa Seminari

    9:30 11:30 Asubuhi Maelezo (Tazama madokezo mwis-honi mwa Ajenda)

    Maelezo kwa Wajumbe Vijana ya Watu Wazima WachangaMaelezo kwa Wajumbe wa Kimbari na Washirika(Sio shughuli rasmi ya Kongamano Kuu)

    10:30 AsubuhiKamati ya Mahusiano na Marekebisho ya Machapisho

    12:15 1:30 AdhuhuriUelimishaji wa Wajumbe wa Safari ya Kwanza

    Ratiba ya Kongamano Kuu la 2016

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 5 3/16/16 12:45 PM

  • 6 DCA ya mapema

    2:00 3:30 AlasiriIbada ya Ufunguzi na Ushirika Mtakatifu Mhubiri: Askofu Warner Brown, Jr.

    3:30 4:30 AlasiriMwito wa UtaratibuMwaliko wa Ushirikiano Halisi na Ustadi wa Tamaduni

    MbalimbaliMakongamano ya KikristoWasilisho la Kamati ya Imani na Utaratibu

    4:30 4:45 AlasiriMapumziko ya Alasiri

    4:45 6:30 JioniMpangilio wa Kongamano Kuu Sajili na Kuweka Viwango vya Kongamano Taratibu za Dharura, Utangulizi wa Kupanga Foleni, na

    Majaribio ya Mfumo wa Upigaji Kura Ripoti ya Kamati kuhusu Kongamano Kuu na Mpango

    wa Mipangilio na Sheria za Kongamano Kuu Uchaguzi o Mratibu wa Kalenda o Kamati ya tawala mbalimbali kuhusu Uaskofu o Kamati za Usimamizi za Kongamano Kuu Ripoti ya Kamati ya Ajenda na Kalenda Kamati ya Maafisa WasimamiziMatangazo

    5:00 jioni Muda wa Mwisho wa Uchapishaji wa DCA Kila Siku6:30 Jioni Ahirisho

    Jumatano, Mei 11

    7:00 AsubuhiKamati ya Kalenda na AjendaKamati ya Marejeleo

    8:00 8:30 AsubuhiIbada

    8:30 10:25 Asubuhi Kipindi cha Kikao KikuuHotuba ya Askofu (dakika 45)Salamu kutoka PortlandOnyesho la Mfumo wa Upigaji KuraUchaguzi wa Kikundi cha Uwezeshaji Ripoti: o Kamati ya Hisani na Mapendeleo o Kamati ya Stakabadhi o Kamati ya Mahusiano na Marekebisho ya

    Machapisho o Kamati ya Jarida o Kamati ya Marejeleo o Kamati ya Ajenda na Kalenda o Kamati ya Maafisa WasimamiziMatangazo

    10:25 10:45 Asubuhi Mapumziko ya Asubuhi

    10:45 Asubuhi 12:45 AdhuhuriMakongamano ya Wakristo: Hali ya Kanisa Kote Ulim-

    wenguni (Vyumba vya Kamati za Sheria)

    12:45 1:45 AdhuhuriMapumziko ya Chakula cha Mchana Wajumbe waan-

    daliwa chakula12:55 1:25 Adhuhuri

    Ibada ya Ushirika MtakatifuMsimamizi: Askofu Beverly Shamana

    1:45 3:45 AlasiriMpangalio wa Kamati za Sheria

    3:45 7:45 Usiku Chakula cha jioni na Mafunzo ya Lazi-ma ya Uongozi kwa ajili ya

    Wenyekiti wa Kamati ya Sheria, Makamu Wenyekiti, Wabunge, Makatibu, Manaibu Katibu, Makarani, na Wenyeki-ti wa Kamati Ndogo

    Viongozi wa Vikundi Vidogo na Kikundi cha Uwezeshaji3:45 Alasiri

    Mapumziko kwa Wengine Wote kivyako5:00 Jioni Muda wa Mwisho wa Uchapishaji wa DCA Kila Siku

    Alhamisi, Mei 12

    7:00 AsubuhiKamati ya Ajenda na KalendaKamati ya Marejeleo

    8:00 8:45 AsubuhiIbadaMhubiri: Askofu Christian Alsted

    8:45 10:10 Asubuhi Kipindi cha Kikao KikuuUtambulisho wa Wawakilishi kutoka Makanisa Huru

    Husiani, Muungano wa Makanisa Husiani na Makanisa ya Makubaliano

    Ripoti: o Kamati ya Hisani na Mapendeleo o Kamati ya Stakabadhi o Kamati ya Mahusiano na Marekebisho ya

    Machapisho o Kamati ya Jarida o Kamati ya Marejeleo o Kamati ya Ajenda na Kalenda o Kamati ya Maafisa Wasimamizi

    10:10 10:30 AsubuhiMapumziko ya Asubuhi

    10:30 Asubuhi 12:30 AdhuhuriKamati za Sheria

    12:30 1:30 AdhuhuriMapumziko ya Chakula cha Mchana Wajumbe Waan-

    daliwa Chakula12:40 Adhuhuri 1:10 Adhuhuri

    Ibada ya Ushirika MtakatifuMsimamizi: Askofu Benjamin Boni

    1:30 4:00 AlasiriKamati za Sheria

    4:00 4:20 AlasiriMapumziko ya Alasiri

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 6 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 7

    4:20 6:20 JioniKamati za Sheria

    5:00 Jioni Muda wa Mwisho wa Uchapaji wa DCA Kila Siku6:20 6:30 Jioni

    Ibada ya Kufunga (Kamati za Sheria)6:30 Jioni Ahirisho6:30 Jioni 8:00 Usiku Mkutano wa Chakula cha Jioni

    Mpangilio wa Kamati ya Tawala Mbalimbali kuhusu Uaskofu kutia ndani uchaguzi wa maofisa na kamati tendaji

    Ijumaa, Mei 13

    7:00 AsubuhiKamati ya Ajenda na KalendaKamati ya Marejeleo

    8:00 8:45 AsubuhiIbadaMhubiri: Askofu Sally Dyck

    8:45 9:55 Asubuhi Kipindi cha Kikao KikuuHotuba ya Washirika (dakika 30)Meza ya Uunganisho: Hali ya Kanisa na Kupanda Maono

    (dakika 15)Ripoti ya GCFA (Dakika 15) Ripoti: o Kamati ya Hisani na Mapendeleo o Kamati ya Stakabadhi o Kamati ya Mahusiano na Marekebisho ya

    Machapisho o Kamati ya Jarida o Kamati ya Marejeleo o Kamati ya Ajenda na Kalenda o Kamati ya Maafisa WasimamiziMatangazo

    9:55 10:15 Asubuhi Mapumziko ya Asubuhi

    10:15 Asubuhi 12:30 AdhuhuriKamati za Sheria

    12:30 1:30 AdhuhuriMapumziko ya Chakula cha Mchana Wajumbe waan-

    daliwa chakula12:40 Adhuhuri 1:10 Adhuhuri

    Ibada ya Ushirika MtakatifuMsimamizi: Askofu Peggy Johnson

    1:30 4:00 AlasiriKamati za Sheria

    4:00 4:20 AlasiriMapumziko ya Alasiri

    4:20 6:20 AlasiriKamati za Sheria

    5:00 Jioni Muda wa Mwisho wa Uchapaji wa DCA Kila Siku6:20 6:30 Jioni

    Ibada ya Kufunga (Kamati za Sheria)6:30 Jioni Ahirisho

    Jumamosi, Mei 14

    8:00 8:45 AsubuhiIbadaMhubiri: Askofu Sudarshana Devadhar

    8:45 10:25 Asubuhi Kipindi cha Kikao KikuuHotuba ya Vijana (dakika 30)Kipindi cha Utambulisho wa Utambuzi wa Kikundi Ripoti: o Kamati ya Hisani na Mapendeleo o Kamati ya Stakabadhi o Kamati ya Mahusiano na Marekebisho ya

    Machapisho o Kamati ya Jarida o Kamati ya Marejeleo o Kamati ya Ajenda na Kalenda o Kamati ya Maafisa WasimamiziMatangazo

    10:25 10:45 Asubuhi Mapumziko ya Asubuhi

    10:45 Asubuhi 12:15 AdhuhuriKipindi cha Kikundi Kidogo 1

    12:15 1:15 AdhuhuriMapumziko ya Chakula cha Mchana Wajumbe waan-

    daliwa chakula12:25 Adhuhuri 12:55 Adhuhuri

    Ibada ya Ushirika MtakatifuMsimamizi: Askofu Eduard Khegay

    1:15 2:45 AlasiriKipindi cha Kikundi Kidogo 2

    2:45 3:05 AlasiriMapumziko ya Alasiri

    3:05 5:30 JioniKamati za Sheria

    5:00 Adhuhuri Muda wa Mwisho wa Uchapishaji wa DCA Kila Siku5:30 Adhuhuri 7:30 Usiku

    Mapumziko ya Chakula cha Jioni kivyako7:30 9:20 Usiku

    Kamati za Sheria9:20 9:30 Usiku

    Ibada ya Kufunga (Kamati za Sheria)(Ahirisho sio baada ya 9:30 usiku)

    Jumapili, Mei 15

    1:00 5:00 Jioni Kikundi cha Uwezeshaji

    Jumatatu, Mei 16

    7:00 AsubuhiKamati ya Ajenda na KalendaKamati ya Marejeleo

    8:00 9:00 AsubuhiIbada

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 7 3/16/16 12:45 PM

  • 8 DCA ya mapema

    Mhubiri: Askofu Cynthia Fierro HarveyUtakaso wa Mashemasi wa Kike na Wamisheni wa

    Nyumbani9:00 10:00 Asubuhi

    Maombi ya Kufungua Ripoti: o Kamati ya Hisani na Mapendeleo o Kamati ya Stakabadhi o Kamati ya Mahusiano na Marekebisho ya

    Machapisho o Kamati ya Jarida o Kamati ya Marejeleo o Kamati ya Ajenda na Kalenda o Kamati ya Maafisa WasimamiziKalenda za IdhiniMaeneo Manne ya Kuangaziwa (dakika 15)Vipindi vya Makutano Muhimu (dakika 5)

    10:00 10:20 Asubuhi Mapumziko ya Asubuhi

    10:20 Asubuhi 12:30 AdhuhuriMaombi ya KufunguaMazoezi ya Mashine za Kupiga KuraUchaguzi: Wadhamini wa Kanisa la John Street Maadhimisho ya 250: Kanisa la John Street (dakika 7)Uchaguzi:Katibu mteule wa Kongamano KuuKamati ya Kongamano KuuMawakala WakuuBaraza la MahakamaSeneti ya Chuo KikuuKamati ya Kudumu ya Masuala ya Kongamano Kuu

    12:30 2:00 AlasiriMapumziko ya Chakula cha Mchana kivyako

    12:40 Adhuhuri 1:10 AdhuhuriIbada ya Ushirika MtakatifuMsimamizi: Askofu Linda Lee

    2:00 4:00 AlasiriMaombi ya KufunguaKanuni za Kijamii za Kimataifa (dakika 10)Vipengee vya Kalenda na Shughuli za Kongamano

    Maadhimisho ya150: Wanawake wa Muungano wa Methodisti

    (3:53 Alasiri) (Dakika 7)4:00 4:20 Alasiri

    Mapumziko ya Alasiri4:20 6:10 Jioni Maombi ya Kufungua

    Vipengee vya Kalenda & Shughuli za KongamanoChuo Kikuu cha Afrika (5:25 Jioni) (Dakika 15)Ripoti ya Elimu ya Juu (5:40 P.M.) (Dakika 30)

    5:00 Jioni Muda wa Mwisho wa Uchapaji wa DCA Kila Siku6:10 6:30 Jioni Maombi ya Kufunga6:30 Jioni Ahirisho

    Jumanne, Mei 17

    7:00 AsubuhiKamati ya Ajenda na KalendaKamati ya Marejeleo

    8:00 9:00 AsubuhiIbadaMhubiri: Askofu Ivan M. Abrahams Katibu Mkuu, Baraza la Kimataifa la Methodisti Kanisa la Methodisti la Kusini mwa Afrika

    9:00 10:00 AsubuhiMaombi ya Kufungua Ripoti: o Kamati ya Hisani na Mapendeleo o Kamati ya Stakabadhi o Kamati ya Mahusiano na Marekebisho ya

    Machapisho o Kamati ya Jarida o Kamati ya Marejeleo o Kamati ya Ajenda na Kalenda o Kamati ya Maafisa WasimamiziKalenda za IdhiniUtambulisho wa Kiekumeni

    10:00 10:20 AsubuhiMapumziko ya Asubuhi

    10:20 Asubuhi 12:30 Adhuhuri Maombi ya KufunguaMaadhimisho ya 200: Kuzaliwa kwa Kanisa la AME

    (dakika 7)Ripoti ya Kikundi cha UwezeshajiVipengee vya Kalenda na Shughuli za Kongamano

    12:30 2:00 AlasiriMapumziko ya Chakula cha Mchana kivyako

    12:40 Adhuhuri 1:10 AdhuhuriIbada ya Ushirika MtakatifuMsimamizi: Askofu William McAlilly

    2:00 4:00 AlasiriMaombi ya KufunguaKutambua Maaskofu WanaostaafuKuwasilisha Jopo Jipya la Uongozi wa UaskofuVipengee vya Kalenda na Shughuli za Kongamano

    4:00 4:20 AlasiriMapumziko ya Alasiri

    4:20 6:10 JioniVipengee vya Kalenda na Shughuli za KongamanoHawaonekani Wanaume wa Muungano wa Method-

    isti (6:03 Jioni) (Dakika 7)5:00 Jioni Muda wa Mwisho wa Uchapaji wa DCA Kila Siku6:10 6:30 Jioni Maombi ya Kufunga6:30 Jioni Ahirisho

    Jumatano, Mei 18

    7:00 AsbuhiKamati ya Ajenda na KalendaKamati ya Marejeleo

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 8 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 9

    8:00 9:00 AsubuhiIbadaMhubiri: Askofu James Swanson, Jr.

    9:00 10:00 AsubuhiMaombi ya Kufungua Ripoti: o Kamati ya Hisani na Mapendeleo o Kamati ya Stakabadhi o Kamati ya Mahusiano na Marekebisho ya

    Machapisho o Kamati ya Jarida o Kamati ya Marejeleo o Kamati ya Ajenda na Kalenda o Kamati ya Maafisa WasimamiziVipengee vya Kalenda na Shughuli za KongamanoAngamiza Malaria (9:48 Asubuhi) (Dakika 12)

    10:00 10:20 Asubuhi Mapumziko ya Asubuhi

    10:20 A.M. 12:30 AdhuhuriMaombi ya KufunguaVipengee vya Kalenda na Shughuli za KongamanoRipoti ya UKIMWI Duniani (12:18 Adhuhuri) (Dakika 7)Vipindi vya Makutano Muhimu (12:25 Adhuhuri)

    (Dakika 5)12:30 2:00 Alasiri

    Mapumziko ya Chakula cha Mchana kivyako12:40 Adhuhuri 1:10 Adhuhuri

    Ibada ya Ushirika MtakatifuMsimamizi: Askofu W. Earl Bledsoe

    2:00 4:00 AlasiriMaombi ya KufunguaVipengee vya Kalenda na Shughuli za KongamanoRipoti ya Halmashauri Kuu ya Pensheni na Mafao ya Afya

    (3:51 Alasiri) (Dakika 7)Maadhimisho ya 30: Mafunzo ya Biblia ya Wanafunzi

    (3:58 P.M.) (Dakika 2)4:00 4:20 Alasiri

    Mapumziko ya Alasiri4:20 6:10 Jioni Maombi ya Kufungua

    Vipengee vya Kalenda na Shughuli za KongamanoRipoti kuhusu Mauaji ya Sand Creek (5:40 Jioni)

    (Dakika 30)5:00 Jioni Muda wa Mwisho wa Uchapaji wa DCA Kila Siku6:10 6:30 Jioni Maombi ya Kufunga6:30 Jioni Ahirisho

    Alhamisi, Mei 19

    7:00 AsubuhiKamati ya Ajenda na KalendaKamati ya Marejeleo

    8:00 9:00 AsubuhiIbadaMhubiri: Askofu John YambasuKuwapa Utume Wamishonari

    9:00 10:00 AsubuhiMaombi ya Kufungua Ripoti: o Kamati ya Hisani na Mapendeleo o Kamati ya Stakabadhi o Kamati ya Mahusiano na Marekebisho ya

    Machapisho o Kamati ya Jarida o Kamati ya Marejeleo o Kamati ya Ajenda na Kalenda o Kamati ya Maafisa WasimamiziVipengee vya Kalenda na Shughuli za KongamanoVipindi vya Makutano Muhimu (9:55 A.M.) (Dakika 5)

    10:00 10:20 Asubuhi Mapumziko ya Asubuhi

    10:20 Asubuhi 12:30 AdhuhuriMaombi ya KufunguaVipengee vya Kalenda na Shughuli za Kongamano

    Maadhimisho ya 200: Kifa cha Francis Asbury (12:29 Adhuhuri)

    (Dakika 1)12:30 2:00 Alasiri

    Mapumziko ya Chakula cha Mchana kivyako12:40 Adhuhuri 1:10 Adhuhuri

    Ibada ya Ushirika MtakatifuMsimamizi: Askofu Jeremiah Park

    2:00 4:00 Alasiri Maombi ya KufunguaKutambua Washiriki Wanaostaafu wa Baraza la Mahaka-

    maUtambulisho wa Washiriki wapya wa Baraza la MahakamaVipengee vya Kalenda na Shughuli ya KongamanoKumtambua Neil M. Alexander (3:58 P.M.) (Dakika 2)

    4:00 4:20 AlasiriMapumziko ya Alasiri

    4:20 6:10 Jioni Maombi ya KufunguaVipengee vya Kalenda na Shughuli za KongamanoRipoti kutoka Kamati kuhusu Amani (6:00 Jioni)

    (Dakika 10)Ushirika wa Korea wa Kanisa la Muungano wa Meth-

    odisti5:00 Jioni Muda wa Mwisho wa Uchapaji wa DCA Kila Siku6:10 6:30 Jioni Maombi ya Kufunga6:30 Jioni Ahirisho

    Ijumaa, Mei 20

    7:00 AsubuhiKamati ya Ajenda na KalendaKamati ya Marejeleo

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 9 3/16/16 12:45 PM

  • 10 DCA ya mapema

    Taarifa:

    Kwa malengo ya Kongamano Kuu, Kamati kuhusu Kongamano Kuu inatoa ufafanuzi ufuatao:UelimishajiNi hatua au utaratibu wa kuwafahamisha wajumbe na washiriki wengine rasmi juu ya michakato na taratibu

    za jinsi Kongamano Kuu linavyofanya kazi na jukumu la washiriki ndani ya kazi ya Kongamano Kuu.MaelezoKitendo au hatua ya kutoa mafunzo au habari za matayarisho kwa wajumbe na washiriki wengine rasmi zin-

    azohusu masuala ya sheria yanayokuja mbele ya Kongamano Kuu.Katibu wa Kongamano Kuu na Kamati kuhusu Kongamano Kuu ana jukumu la msingi la kutoa uelimishaji ili kuwata-

    yarisha wajumbe na washiriki wengine rasmi ili kushiriki kikamilifu katika kazi ya Kongamano Kuu. Mashirika mengine mbalimbali, ambayo ni mashirika rasmi ya Kanisa la Muungano wa Methodisti na vikundi visivyo rasmi, yanaweza pia kutoa uelimishaji na maelezo. Kama hafla ya aina hiyo ina lengo la kuzungumza kuhusu sheria hususa inayofikiriwa na Kongamano Kuu, basi Tume Kuhusu Kongamano Kuu inawatia moyo wadhamini kutumia jina Maelezo badala ya Uelimishaji ili ku-wasilisha kwa matokeo zaidi hali ya hafla hiyo.

    Tume Kuhusu Kongamano Kuu imempa mamlaka Meneja wa Biashara atayarishe nafasi kwenye Kituo cha Mkutano kwa ajili ya maelezo yanayotolewa na mojawapo wa Mawakala Wakuu wa Kanisa la Muungano wa Methodisti kwa kadiri nafasi ipatikanavyo. Taratibu za ajenda na uandikishaji wa Kongamano Kuu zinaweza kutia ndani maelezo maadamu zinatofautisha waziwazi kwamba hizo ni hafla zinazodhaminiwa na wawakala wakuu hususa na wala sio tukio rasmi la Kongamano Kuu chini ya mwongozo wa Kongamano Kuu.

    Maelezo yafuatayo yanatolewa na Mawakala Wakuu nayo sio hafla rasmi ya Kongamano Kuu chini ya mwongozo wa Tume Kuhusu Kongamano Kuu.

    Maelezo kwa ajili ya Wajumbe Wanawake wa Kongamano la Kati na Wajumbe wote Wanawakeyamedhaminiwa na Tume Kuu Kuhusu Hali na Majukumu ya Wanawake na Wanawake wa Muungano wa Methodisti

    Maelezo kwa ajili ya Wajumbe Vijana na Watu Wazima Wachangayamedhaminiwa na Kitengo cha Huduma Pamoja na Vijana cha Halmashauri Kuu ya Uanafunzi

    Maelezo kwa ajili ya Wajumbe wa Kimbari na Washirikayamedhaminiwa na Tume Kuu Kuhusu Dini na Jamii za Watu

    8:00 9:00 AsubuhiIbadaMhubiri: Askofu Elaine J.W. Stanovsky

    9:00 10:00 AsubuhiMaombi ya Kufungua Ripoti: o Kamati ya Hisani na Mapendeleo o Kamati ya Stakabadhi o Kamati ya Mahusiano na Marekebisho ya

    Machapisho o Kamati ya Jarida o Kamati ya Marejeleo o Kamati ya Ajenda na Kalenda o Kamati ya Maafisa WasimamiziVipengee vya Kalenda na Shughuli za KongamanoVipindi vya Makutano Muhimu (9:55 A.M.) (Dakika 5)

    10:00 10:20 Asubuhi Mapumziko ya Asubuhi

    10:20 Asubuhi 12:30 AdhuhuriMaombi ya Kufungua

    Ripoti ya GCFAVipengee vya Kalenda & Shughuli za Kongamano

    12:30 2:00 AlasiriMapumziko ya Chakula cha Mchana kivyako

    12:40 P.M. 1:10 AdhuhuriIbada ya Ushirika MtakatifuMsimamizi: Askofu John Michael Lowry

    2:00 4:00 AlasiriMaombi ya KufunguaKuwatambua Wafanyakazi wa GC (dakika 18)Kumtambua Rev. L. Fitzgerald Reist, II (dakika 2)Vipengee vya Kalenda & Shughuli za Kongamano

    4:00 4:20 Alasiri Mapumziko ya Alasiri4:20 6:30 Jioni

    Maombi ya KufunguaVipengee vya Kalenda na Shughuli za KongamanoUjumbe wa Kufunga (dakika 15)Ibada ya KufungaMhubiri: Askofu Bruce OughAhirisho la Mwisho

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 10 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 11

    Maofisa wa Baraza: Msimamizi Msaidizi:Rais: Warner H. Brown, Jr. Jo Ann McClainRais Mteuliwa: Bruce R. Ough 100 Maryland Ave NE, Suite 320Katibu:: Cynthia F. Harvey Washington, DC 20002Katibu Mtendaji: Peter D. Weaver Tel: 202-547-6270Ofisa wa Kiekumeni: Mary Ann Swenson Fax: 202-547-6272Rais wa Zamani:: Rosemarie Wenner E-mail: [email protected]

    Baraza la Maaskofu la Kanisa la Muungano wa Methodisti

    Maaskofu Watendaji:ALSTED, ChristianARICHEA, Jr., Daniel C.BALL, Sandra SteinerBICKERTON, Thomas J.BLEDSOE, W. EarlBONI, Benjamin BROWN, Jr., Warner H.CARCAO, Minerva G.CARTER, Kenneth H.CHO, Young JinCOYNER, Michael J.DAVIS, G. LindseyDEVADHAR, SudarshanaDOMINGOS, Gaspr JoaoDORFF, James E.DYCK, SallyFRANCISCO, CiriacoGOODPASTER, Larry M.HAGIYA, Grant HARVEY, Cynthia FierroHAYES, Robert E. Jr.HOLSTON, L. JonathanHOPKINS, JohnHOSHIBATA, Robert T.HUIE, Janice RiggleINNIS, John GJOHNSON, Peggy A.JONES, ScottJUAN, Rodolfo A.JUNG, Hee-SooKATEMBO, KaindaKEATON, Jonathan D.KHEGAY, EduardKIESEY, Deborah LiederKING, James R., Jr.KULAH, Arthur F.LEELAND, Paul L.LOWRY, John MichaelMATTHEWS, MarcusMcALILLY, William T.McKEE, MichaelMIDDLETON, Jane AllenMUELLER, GaryNHANALA, Joaquina F.NHIWATIWA, EbenNTAMBO, Nkulu NtandaOUGH, Bruce R.PALMER, Gregory VaughnPARK, JeremiahQUIPUNGO, JoseSCHNASE, Robert

    SCHOL, John R.SORIANO, Leo A.STANOVSKY, Elaine J.W.STREIFF, PatrickTAYLOR, Mary VirginiaTORIO, Pedro M., Jr.TRIMBLE, Julius C.UNDA, Gabriel YembaVXBY, HansWALLACE-PADGETT, DebraWANDABULA, DanielWARD, Hope MorganWATSON, B. MichaelWEBB, MarkWENNER, RosemarieYAMBASU, John K.YEMBA, David K.YOHANNA, John Wesley

    Maaskofu Wastaafu:BASHORE, George WBLAKE, Bruce P. BOLLETER, HeinrichCARDER, KennethCHAMBERLAIN, Ray W.CHAMNESS, BenjaminCHOY, Wilbur W. Y. CHRISTOPHER, Sharon A. BrownCOLAW, Emerson S. CRAIG, JudithCRUTCHFIELD, Charles N.DeCARVALHO, Emilio J. M. DeWITT, Jesse R. EUTSLER, R. Kern FANNIN, Robert E. FERNANDES, Moises Domingos FISHER, VioletGALVAN, Elias G. GAMBOA, Jr., Jose C. GROVE, William BoydGWINN, Jr., Alfred WesleyHARDT, John Wesley HASSINGER, Susan W.HEARN, J. WoodrowHICKS, Kenneth W. HUGHES, JR., H. HasbrouckHUMPER, Joseph C.HUTCHINSON, William W.IRONS, Neil L.IVES, S. CliftonJOHNSON, AlfredJONES III, L. Bevel

    JORDAN, Charles Wesley JUSTO, Benjamin A. KAMMERER, Charlene P.KLAIBER, Walter LEE, Jr., Clay F. LEE, LindaLEWIS, William B.LOONEY, Richard C.LYGHT, Ernest S. MACHADO, Joao SomaneMARTINEZ, Joel N. MAY, Felton Edwin McCLESKEY, J. LawrenceMcCONNELL, Calvin D. MEADORS, Jr., Marshall L. MINNICK, Jr., C.P. MINOR, Ruediger R. MORRIS, William W. MORRISON, Susan MurchMUTTI, Albert FrederickNACPIL, Emerito P.NORRIS, Alfred L. ODEN, William B. OLSEN, ysteinONEMA, FamaOTT, Donald A. PENNEL, Jr., Joseph E.RADER, Sharon ZimmermanRUSSELL, John W. SANO, Roy I. SCHFER, Franz W. SHAMANA, BeverlySHERER-SIMPSON, Ann B.SKEETE, F. Herbert SOLOMON, Dan E. SPAIN, Robert H. SPRAGUE, C. Joseph STITH, Forrest C. STOCKTON, Thomas B. SWANSON, Sr., James E.SWENSON, Mary AnnTALBERT, Melvin G. TOQUERO, Solito K. WEAVER, Peter D.WHITAKER, Timothy W.WHITE, C. Dale WHITE, Woodie W.WHITFIELD, D. MaxWILKE, Richard B. WILLIMON, William H.WILLS, Jr., Richard J. WILSON, Joe A.YEAKEL, Joseph H.

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 11 3/24/16 8:43 AM

  • 12 DCA ya mapema

    Maofisa

    Bishop Bruce R. Ough, Mwenyekiti: 22 West Franklin Ave Suite 200, Minneapolis, MN 55404 MarekaniRal Alegra, Mweka Hazina: 241 Circle View Drive, Franklin, TN 37067 MarekaniRev. Dr. Amy Valdez Barker, Katibu Mtendaji: 8765 W. Higgins Rd, Suite 404, Chicago, IL 60631 Marekani

    Wanachama

    Pete Aguila, Utawala wa Kusini-KatiNeil Alexander, Rais na Mchapishaji, Shirika la Uchapishaji la Muungano wa MethodistiAndy Arant, Utawala wa Kusini-MasharikiRev. Darryl Barrow, Utawala wa Kaskazini-MasharikiRev. Tim Bias, Katibu Mkuu, Halmashauri Kuu ya UanafunziRev. Kennetha Bigham-Tsai, Utawala wa Kaskazini-KatiRev. Ole Birch, Ulaya Kaskazini na Kongamano la Kati la EurasiaRev. Rachel Birkhahn-Rommelfanger, Utawala wa Kaskazini-KatiBarbara Boigegrain, Katibu Mkuu, Halmashauri Kuu ya Pensheni na Mafao ya KiafyaRev. Brad Brady, Utawala wa Kusini-MasharikiFrederick Brewington, Utawala wa Kaskazini-MasharikiRev. Marc Brown, Utawala wa Kusini-MasharikiRev. Dr. Tamara Brown, Utawala wa Kusini-MasharikiRev. Dr. Laishi Bwalya, Kongo la Kati la KongoRev. Dr. Kim Cape, Katibu Mkuu, Halmashauri Kuu ya Elimu ya Juu na HudumaBishop Minerva Carcao, Rais, Tume Kuu Kuhusu Dini na RangiRev. Eduardo Carrillo, Kitengo cha Huduma Pamoja na VijanaDoris Clark, Utawala wa Kaskazini-KatiBishop Michael Coyner, Rais, Baraza Kuu la Fedha na UtawalaRev. Alfred T. Day, III, Katibu Mkuu, Tume Kuu Kuhusu Kumbukumbu na HistoriaJosephine Deere, Utawala wa Kusini-KatiAskofu James Dorff, Rais, Halmashauri Kuu ya Elimu ya Juu na HudumaAskofu Sally Dyck, Rais, Mawasiliano ya Muungano wa MethodistiMargaret Finley, Utawala wa Kusini-MasharikiGil Hanke, Katibu Mkuu, Tume Kuu Kuhusu Wanaume wa Muungano wa MethodistiDawn Wiggins Hare, Katibu Mkuu, Tume Kuu Kuhusu Hali na Wajibu wa WanawakeRichard Harrison, Utawala wa Kusini-KatiErin Hawkins, Katibu Mkuu, Tume Kuu Kuhusu Dini na RangiRev. Dr. Susan Henry-Crowe, Katibu Mkuu, Halmashauri Kuu ya Kanisa na JamiiBishop Robert Hoshibata, Rais, Halmashauri Kuu ya Kanisa na JamiiEmily Innes, Utawala wa Kusini-MasharikiRev. Dr. Beverly Jones, Utawala wa Kusini-KatiThomas Kemper, Katibu Mkuu, Halmashauri Kuu ya Huduma za KimataifaCynthia Kent, Chama cha Kimataifa cha Wamarekani wa AsiliDan Krause, Katibu Mkuu, Mawasiliano ya Muungano wa MethodistiMoses Kumar, Katibu Mkuu, Baraza Kuu la Fedha na UtawalaRev. Andy Langford, Utawala wa Kusini-MasharikiRev. William Meekins, Utawala wa Kaskazini-MasharikiRev. Ronnie Miller-Yow, Wamethodisti Weusi kwa Uhuishaji wa KanisaBenedita Penicela Nhambiu, Kongamano la Kati la AfrikaBishop Jeremiah Park, Rais, Tume Kuu Kuhusu Kumbukumbu na Historia

    Wanachama wa Meza ya Uunganisho 2013-2016

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 12 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 13

    Rev. Timothy Rogers, Utawala wa Kusini-MasharikiRev. Harald Rckert, Kongamano la Kati la UjerumaniKevin Sauceda, Kitengo cha Huduma Pamoja na VijanaJovito Sermonia, Jr., Kongamano la Kati la UfilipinoRev. Michael Slaughter, Utawala wa Kaskazini-KatiBishop Elaine Stanovsky, Rais, Halmashauri Kuu ya UanafunziBishop Patrick Streiff, Kongamano la Kati la Ulaya ya Kati/KusiniAskofu James Swanson, Rais, Tume Kuu Kuhusu Wanaume wa Muungano wa MethodistiAskofu Mary Ann Swenson, Ofisa wa Ekumeni, Baraza la MaaskofuKunle Taiwo, Utawala wa MagharibiKathleen Thomas-Sano, Shirikisho la Kitaifa la Waasia-Wamarekani wa Muungano wa MethodistiMonalisa Tuitahi, Chama cha Kitaifa cha Wakazi wa Visiwa vya Pasifiki wa Muungano wa MethodistiAskofu Deborah Wallace-Padgett, Rais, Tume Kuu Kuhusu Hali na Wajibu wa WanawakeAskofu Hope Morgan Ward, Rais, Halmashauri Kuu ya Huduma za KimataifaRev. Thomas Williams, Utawala wa Kusini-KatiMatthew Theo Williams, Kongamano la Kati la Afrika Magharibi

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 13 3/16/16 12:45 PM

  • 14 DCA ya mapema

    MaofisaWilliam B. Lawrence, Rais: Box 750133, SMU, Dallas, TX

    75275-0133 or 5915 Bishop Boulevard, Dallas, TX 75275

    N. Oswald Tweh, Sr., Makamu wa Rais: Pierre, Tweh & As-soc., Palm Hotel Building, Suite 101, Broad & Randall Streets, P.O. Box 10-2536, 1000 Monrovia 10, Liberia

    F. Belton Joyner, Jr., Katibu: 1821 Hillandale Road, Suite 1B, PMB 334, Durham, NC 27705

    WanachamaDennis Blackwell: Kanisa la Muungano wa Methodisti, As-

    bury, 2220 Woodlynne Avenue, Woodlynne, NJ 08107

    Beth Capen: 23 Rogers Street, Kingston, NY 12401-6049J. Kabamba Kiboko: Forest Chapel UMC, 680 W. Sharon

    Rd., Cincinnati, OH 45240Sandra W. Lutz: 4751 Helmsworth Drive, N.E., Canton, OH

    44714Kathi Austin Mahle: 1410 Spring Valley Road, Minneapolis,

    MN 55422Ruben T. Reyes: c/o Kanisa la Kati la Muungano wa Method-

    isti, 694 Kalaw Street, Ermita, Manila 1000, Philippines

    KARANI: Sally Curtis Askew: 306 Providence Road, Athens, GA 30606.

    e-Mail: judicialcouncil [email protected].

    Baraza la Kimahakama

    Tume Kuhusu Kongamano Kuu

    Maofisa

    Judi Kenaston, Mwenyekiti, 200 Brookwood Lane, Beckley, WV 25801 Marekani

    Frank J. Beard, Makamu Mwenyekiti, 7160 Shadeland Station Way, Indianapolis, IN 46256 Marekani

    David Lux, Katibu, 7221 Framton Rd., Lincoln, NE 68516 Marekani

    Wanachama

    Reynaldo V. Abdon, Cadena de Amor Street, Dona Manuela Subdivision, Pamplona 3, Las Pinas City 1740 Ufilipino

    Helene Bindl, Schubertstrasse 17, Linz, Austria 4020Frances B. Charley, c/o UMC House, 31 Lightfoot Boston St.,

    PO Box 523, Freetown, Sierra Leone T. Cody Collier, 18312 E. 50 Terr. Ct. S., Independence, MO

    64055 MarekaniDiane Wasson Eberhart, 12321 Hickman Rd., Urbandale, IA

    50323 Marekani Joao Damiao Elias, Kanisa la Muungano wa Methodisti

    Rua Kibiriti Diwane 229, Maputo, Msumbiji Margaret Jane Finley, 416 Black Mountain Rd., Toccoa, GA

    30577 MarekaniChristine Flick, Neuffenstrasse 37/1, Wendlingen, Ujerumani

    D-73240William R. Haden, 624 NW Westover Terrace, Portland, OR

    97210 MarekaniStephanie Henry, 4 Vinal Street, Apt. 6, Brighton, MA 02135

    Marekani Lynn A. Hill, 143 5th Ave S., Franklin, TN 37064 Marekani

    John Edward Hiller, 31600 E 1900 Rd., Ringling, OK 73456 Marekani

    Mujinga Kashala, UMC PO Box 22037, Kitwe, Zambia Stanislas Kassongo Ka Suedi, B.P. 4727, Kinshasa 2, RDC,

    Kongo Jorge A. Lockward, 340 Haven Ave. #1M, New York, NY

    10033 Marekani Samuel D. McMillan IV, 3301 Kentrye Dr., Fayetteville, NC

    28303 MarekaniJoseph Ndala Mulongo, PO Box 20219, Malemba, KongoEllen J. Natt, Ofisi Kuu ya UMC, 13th Street Box 1010,

    Sinkor Monrovia, LiberiaDonna Pritchard, 1838 SW Jefferson St., Portland, OR 97201-

    2463 Marekani Ileana Rosario, PO Box 2266, Suffolk, VA 23432 MarekaniKim Simpson, 3905 Lake Powell Dr., Arlington, TX 76016

    Marekani Audun Westad, Gamlelinja 41 C, Oslo 1254 Norwei.

    Wanachama Wanaoshikilia Nyadhifa Nyingine

    Fitzgerald Reist, Katibu wa Kongamano Kuu, 1292 Stony Fork Road, Wellsboro, PA Marekani

    Moses Kumar, Mweka Hazina wa Baraza Kuu la Fedha na Utawala, PO Box 340029, Nashville, TN 37203-0029 Marekani

    Sara Hotchkiss, Meneja wa Biashara wa Kongamano Kuu, PO Box 340029, Nashville, TN 37203-0029 Marekani

    Minerva G. Carcao, Askofu, 110 South Euclid Ave, Pasade-na, CA 91101 Marekani

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 14 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 15

    Grant Hagiya, Askofu MkaziBill Haden, Mwenyekiti

    Steve Sprecher, Naibu Mwenyekiti

    Jopo la Shughuli za Uenyeji na Usimamizi: Bill Haden Erin Martin Steve Sprecher Greg Nelson Lowell Greathouse Belinda Denicola

    Bill Wendt

    Huduma za JijiKiongozi wa Jopo: Tim Overton-HarrisUkaribishaji Kwenye Uwanja wa Ndege: Kay Pettygrove, Ted MyersHuduma za Wageni za Ekumeni: Sara Hotchkiss, Lowell GreathouseUkaribishaji wa Hoteli: Janice StevensHuduma za Matibabu: Bill BirgeHabari za Eneo: Roz Collins, Terry Neal, Teri WatanabeUkaribishaji wa Mtangulizi Kwenye Kituo: Donna PritchardMakao ya Kujitolea: Carol na David Tinney

    MawasilianoKiongozi wa Jopo: Greg NelsonWajitoleaji: Jessica KimmetUkurasa wa Tovuti: Greg NelsonIshara ya lugha mbalimbali: Anthony Tang

    Huduma za Wageni za Kituo cha KongamanoKiongozi wa Jopo: Eilidh LoweryMratibu wa Ukaribishaji na Usalimiaji wa Wajitoleaji: Ruth MarshKibanda cha Habari: Roz CollinsUkaribishaji na Vyakula Ukumbini: Belinda DenicolaUsajili: Nan OlsonUtegemezo wa Ofisi na Uandishi: Belinda DenicolaUsafirishaji: Jeri SilfiesNW Experience: Karen Nelson

    Huduma za KifedhaKiongozi wa Jopo: Belinda Denicola

    Huduma za ProgramuKiongozi wa Jopo: Brett StrobelUtegemezo wa Maaskofu: Lisa Jean HoefnerIbada ya Ukumbusho na Chakula cha Uaskofu: Marilyn na Jerry Outslay, Donna PritchardMahubiri ya Uaskofu na Umishenari: Jim FrisbieUtegemezo wa Wajumbe wa Kimataifa: David Valera, Paul Extrum-FernandezHuduma za Utafsiri: Elaine LedbetterUtegemezo wa Maombi: Denise McGuiness

    Huduma za KujitoleaUsajili na Ratiba: Jessica Kimmet, Jancie Stevens, Gwyn VollmerMahusiano ya Wilaya: Erin Martin, David Nieda, Peg LofsvoldMafunzo ya Wajitoleaji: Squirrel LoveladyUtangazaji wa Ujitoleaji: Jessica Kimmet, Greg NelsonUundaji na Udumishaji wa Data ya Wajitoleaji: Jessica Kimmet, Bill Wendt

    Jopo la UkaribishajiKongamano Kuu 2016

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 15 3/16/16 12:45 PM

  • 16 DCA ya mapema

    Usajili

    Beji ya jina na mfuko wa taarifa utatolewa katika usajili.

    Usajili wa Wajumbe wa Kongamano Kuu utafanyika Oregon Convention Center.

    Jumamosi, Mei 7 saa 7:00 Mchana hadi saa 11:00 JioniJumapili, Mei 8 saa 6:00 Mchana hadi saa 10:00 Jioni

    Usajili wote wa wajumbe na washiriki rasmi utafanyika Oregon Convention Center

    Jumapili, Mei 8 saa 11:00 Jioni hadi saa 1:30 UsikuJumatatu, Mei 9 saa 2:00 Asubuhi hadi saa 1:30 UsikuJumanne, Mei 10 saa 2:00 Asubuhi hadi saa 1:30 UsikuJumatano, Mei 11 saa 2:00 Asubuhi hadi saa 8:00 Mchana

    Baada ya saa 8:00 Mchana mnamo Jumatano, Mei 11, usajili wa wajumbe na washiriki rasmi utakuwa katika Chumba na. B119.

    Wajumbe na Wajumbe wa Akiba

    Wajumbe na wajumbe wa akiba wanahitajika kuwasilisha stakabadhi zao wakati wa kujisajili. Sehemu ya kadi ya stakabadhi itarejeshewa mjumbe ili kutumiwa kama kitam-bulisho wakati wa Kongamano Kuu endapo beji ya jina itapotea.

    Leseni ya dereva au pasipoti huenda zikatumiwa kujitambu-lisha kadi ya stakabadhi ikipotea au kusahaulika, bora tu ta-arifa iliyoko kwenye leseni yako ya dereva au pasipoti yako inalingana na taarifa iliyoko katika hifadhidata ya wajumbe.

    Kuketi kwa Wajumbe wa Akiba

    Mjumbe wa akiba ambaye rasmi anachukua nafasi ya mjum-be atapewa Kibali cha Kuketi cha Muda, kilichotiwa sahihi na mkuu wa uwakilishi, ambacho kitaidhinisha kukubaliwa kwa mjumbe huyo wa akiba ndani ya chumba cha kongama-

    no kwa kikao mahsusi. Mwishoni mwa kikao, kibali hicho kinafaa kupatianwa kwa mwenyekiti wa uwakilishi.

    Pakiti za Malalamiko

    Wakati wa Kongamano Kuu, pakiti za malalamiko, ikiju-muisha nakala za kila wasilisho maradufu, zitatolewa kwa Kamati ya Marejeleo na kwa kamati za sheria mbazo zime-patiwa. Mjumbe yeyote ambaye angependa kuona pakiti ya malalamiko anaweza kuwasiliana na katibu wa malalamiko.

    Cha Kuleta

    Kadi yako ya stakabadhi Advance DCA, ambayo wajumbe na wajumbe wa akiba wa

    kwanza wanapokea kwa barua Kitabu cha Nidhamu cha Mwaka wa 2012; muhimu wakati

    wa kuzingatia sheria Kitabu cha Suluhu cha Mwaka wa 2012; Rejeleo wakati wa

    kuzingatia suluhu mpya

    Hali ya Anga wakati wa Kongamano Kuu

    Jotoridi la juu wastani: 68 F / 20 CJotoridi la chini wastani: 49 F / 9.2 CMvua wastani ya mwezi: 2.48Mawingu (Siku kwa mwezi): Siku 19

    Hoteli na Kituo cha Kongamano zimedhibitiwa hewa; valia mavazi vifaavyo.

    Vikwazo vya Uvutaji Sigara

    Huruhusiwi kuvuta sigara mahali popote ndani ya Conven-tion Center.

    Matangazo

    Matangazo yatafanywa kupitia Daily Christian Advocate. Matangazo kwa matamshi na yaliyowekwa kwenye skrini yatakuwa tu yanayohusu shughuli rasmi ya Kongamano Kuu na kamati zake za sheria na utawala.

    Taarifa Muhimu

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 16 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 17

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 17 3/16/16 12:45 PM

  • 18 DCA ya mapema

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 18 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 19

    Makanisa ya # ya Safu Meza VitiMakubaliano WajumbeKaribea & Amerika 2 8 118 4-5Uingereza 4 6 91 1-4Meksiko 2 5 76 4-5Puerto Rico 2 4 68 2-3

    Kongamano # ya Safu Meza Viti WajumbeAlabama-Florida Magharibi 10 10 149 1-5 10 150 1-5Alaska 2 4 58 2-3Arkansas 8 11 181 1-5 11 182 1-3Austraia ya Mpito 2 2 31 3-4Baltimore-Washington 12 5 84 2-5 5 85 1-5 5 86 1-3Bicol Ufilipino ya Mpito 2 1 1 1-2Bulacan Ufilipino 2 2 22 4-5Bulgaria-Romania ya Mpito 2 2 31 5 2 32 1Burundi 8 10 158 1-5 10 159 1-3California-Nevada 6 11 170 2-5 11 171 1-2California-Pasifiki 8 1 10 4-5 1 11 1-5 1 12 1Kongo ya Kati 6 5 82 2-5 5 83 1-2Luzon Ufilipino ya Kati 2 3 49 4-5Naijeria ya Kati 6 3 42 1-5 3 43 1Urusi ya Kati 2 4 64 1-2Texas ya Kati 8 9 135 1-5 9 136 1-3Cote dIvoire 34 7 103 1-5 7 104 1-5 7 105 1-5 7 106 1-5 8 122 1-5 8 123 1-5 8 124 1-4Jamhuri za Cheki na Slovaki 2 2 32 2-3Dakotas 2 9 140 1-2Denmaki 2 5 74 4-5

    Kongamano # ya Safu Meza Viti WajumbeDesert Southwest 2 5 84 5

    5 85 1

    Detroit 6 5 73 3-5

    5 74 1-3

    Afrika Mashariki 4 10 159 4-5

    10 160 1-2

    Kongo Mashariki 12 4 60 1-5

    4 61 1-5

    4 62 1-2

    Mindanao Mashariki Ufilipino 2 1 1 3-4

    Ohio Mashariki 12 8 119 1-5

    8 120 1-5

    8 121 1-2

    Zimbabwe Mashariki 4 2 29 5

    2 30 1-3

    Mashariki ya Angola 2 2 19 1-2

    Mashariki ya Pennsylvania 8 11 178 1-5

    11 179 1-3

    Mashariki ya Urusi na Asia ya

    Kati ya Mpito 2 4 64 3-4

    Estonia 2 5 75 1-2

    Ufini-Kifini cha Mpito 2 5 75 3-4

    Ufini-Uswidi ya Mpito 2 5 75 5

    5 76 1

    Florida 18 1 5 1-5

    1 6 1-5

    1 7 1-5

    1 8 1-3

    Ujerumani Mashariki 2 4 66 1-2

    Ujerumani Kaskazini 2 4 66 3-4

    Ujerumani Kusini 2 4 66 5

    4 67 1

    Great Plains 12 2 27 3-5

    2 28 1-5

    2 29 1-4

    Greater New Jersey 8 11 167 1-5

    11 168 1-3

    Holston 12 1 17 1-5

    1 18 1-5

    2 36 4-5

    Hungaria ya Mpito 2 2 32 4-5

    Illinois Great Rivers 10 1 8 4-5

    1 9 1-5

    1 10 1-3

    Majukumu ya Viti vya KikaoAlfabeti Kulingana na Kongamano

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 19 3/16/16 12:45 PM

  • 20 DCA ya mapema

    Kongamano # ya Safu Meza Viti WajumbeIndiana 16 4 55 1-5 4 56 1-5 4 57 1-5 4 58 1Iowa 12 10 151 1-5 10 152 1-5 10 153 1-2Kasai 2 5 83 4-5Kentucky 10 8 115 1-5 8 116 1-5Kivu ya Mpito 2 4 59 3-4Liberia 12 8 127 3-5 8 128 1-5 8 129 1-4Louisiana 8 11 168 1-2 11 169 1-5 11 170 1Lukoshi 14 4 59 5 5 77 1-5 5 78 1-3 6 92 1-5Malawi ya Mpito 2 2 30 4-5Memphis 4 3 38 4-5 3 39 1-2Ufilipino Kati 2 2 23 1-2Mindanao Ufilipino 2 1 1 5 1 2 1Minnesota 4 9 140 3-5 9 141 1Mississippi 12 2 34 2-5 2 35 1-5 2 36 1-3Missouri 12 9 143 2-5 9 144 1-5 9 145 1-3Msumbiji Kaskazini 2 8 113 1-2Msumbiji Kusini 6 8 113 3-5 8 114 1-3New England 6 9 148 3-5 10 166 1-3New Mexico 2 1 16 4-5New York 8 8 129 5 8 130 1-5 9 148 4-5Alabama Kaskazini 8 4 68 4-5 4 69 1-5 4 70 1Carolina Kaskazini 16 3 46 3-5 3 47 1-5 3 48 1-5 3 49 1-3

    Kongamano # ya Safu Meza Viti WajumbeUfilipino Kaskazini ya Kati 2 3 50 1-2Georgia Kaskazini 22 10 162 1-5 10 163 1-5 10 164 1-5 10 165 1-5 10 166 1-2Katanga Kaskazini 48 4 69 2-5 4 70 1-5 4 71 1-5 4 72 1-2 5 86 4-5 5 87 1-5 5 88 1-5 5 89 1-5 5 90 1-5 6 93 1-5 6 94 1-5Texas Kaskazini 10 11 176 1-5 11 177 1-5Luzon Kaskazini Mashariki ya Ufilipino 2 3 50 3-4Kaskazini Mashariki ya Ufilipino 2 3 50 5 3 51 1Kaskazini mwa Illinois 6 3 52 5 3 53 1-5Kaskazini mwa Nigeria 4 3 43 2-5Kaskazini mwa Ufilipino 2 3 51 2-3Katanga Kaskazini Magharibi 10 5 78 5 5 80 1-5 5 81 1-4Mindanao Kaskazini Magharibi ya Ufilipino 2 1 2 2-3Ufilipino Kaskazini Magharibi 2 3 51 4-5Kaskazini magharibi ya Urusi ya Mpito 2 4 64 5 4 65 1Texas Kaskazini Magharibi 4 1 15 5 1 16 1-3Norwei 2 5 76 2-3Oklahoma 14 7 107 3-5 7 108 1-5 7 109 1-5 7 110 1Umishionari wa Wahindi wa Oklahoma 2 7 107 1-2Oregon-Idaho 2 4 58 4-5Oriental na Equator 2 4 62 3-4Pasifiki Kaskazini Magharibi 2 4 59 1-2Palawan Ufilipino 2 2 23 3-4

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 20 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 21

    Kongamano # ya Safu Meza Viti WajumbePampango Ufilipino 2 2 23 5 2 24 1Pangasinan Ufilipino 2 3 52 1-2Peninsula-Delaware 4 11 180 1-4Ufilipino 2 2 24 2-3Ufilipino Cavite (Pacc) 2 2 24 4-5Polandi 2 2 33 1-2Jiji la Quezon Ufilipino Mashariki 2 2 25 1-2Umishionari wa Red Bird 2 8 117 1-2Rio Texas 10 9 141 2-5 9 142 1-5 9 143 1Rizal Ufilipino Mashariki 2 2 25 3-4Rocky Mountain 6 3 54 3-5 4 72 1-3Serbia-Masedonia ya Mpito 2 2 33 3-4Sierra Leone 12 8 125 1-5 8 126 1-5 8 127 1-2Afrika Kusini ya Mpito 2 8 114 4-5Carolina Kusini 16 2 19 3-5 2 20 1-5 2 21 1-5 2 22 1-3Kongo Kusini 14 7 98 2-5 7 99 1-5 7 100 1-5Georgia Kusini 8 10 160 3-5 10 161 1-5South Nueva Ecija Philippines 2 2 25 5 2 26 5Kusini mwa Nigeria 12 3 44 1-5 3 45 1-5 3 46 1-2Kusini mwa Urusi ya Mpito 2 4 65 2-3Kusini mwa Tagalog Ufilipino ya Mpito 2 2 26 2-3Katanga Kusini Magharibi 6 5 78 4-5 5 79 1-4Ufilipino Kusini Magharibi 2 2 26 4-5Susquehanna 10 7 101 1-5 7 102 1-5Uswisi-Ufaransa-Afrika Kaskazini 2 2 33 5 2 34 1

    Kongamano # ya Safu Meza Viti WajumbeTanganyika 8 7 111 3-5 7 112 1-5Tanzania 6 7 110 2-5 7 111 1-2Tarlac Ufilipino 2 3 52 3-4Tennessee 8 3 37 1-5 3 38 1-3Texas 18 1 12 2-5 1 13 1-5 1 14 1-5 1 15 1-4Ukraini na Moldava ya Mpito 2 4 65 4-5New York ya Juu 12 3 39 3-5 3 40 1-5 3 41 1-4Virginia 22 11 182 4-5 11 183 1-5 11 184 1-5 12 187 1-5 12 188 1-5Visayas Ufilipino 2 1 2 4-5Kongo Magharibi 2 5 81 5 5 82 1Michigan Magharibi 2 5 73 1-2Ufilipino Kati Magharibi 2 2 27 1-2Ohio Magharibi 16 7 95 1-5 7 96 1-5 7 97 1-5 7 98 1Virginia Magharibi 6 8 117 3-5 8 118 1-3Zimbabwe Magharibi 2 2 31 1-2Magharibi ya Angola 10 1 3 1-5 1 4 1-5Magharibi ya Carolina Kaskazini 20 9 131 1-5 9 132 1-5 9 133 1-5 9 134 1-5Magharibi ya Pennsylvania 12 9 145 4-5 9 146 1-5 9 147 1-5Wisconsin 6 12 185 1-3 12 186 1-3Yellowstone 2 3 54 1-2Zambia 6 4 62 5 4 63 1-5

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 21 3/16/16 12:45 PM

  • 22 DCA ya mapema

    Je, tumeshawishiwa jinsi ilivyo muhimu na vigumu kupangilia mazungumzo yetu ipasavyo? Je, huwa ni kwa neema kila wakati? Je, imeongezwa chumvi? Kutana ili kuwapa neema wanaosikia? Je, hatuzungumzi kwa muda mrefu sana kwa wakati mmoja? Je, saa moja kwa wakati haitoshi kikawaida? Je, haitakuwa vyema kupanga mazungumzo yetu mapema? Kuomba kabla na baada yake?

    (Wesley, Kazi, 10:856-857)

    1. Kongamano za Kikristo ni, kwa mujibu wa John Wes-ley, njia ya neemaambayo inamaanisha kuwa Mun-gu huwa katika tendo hili na hutuonyesha neema yake tunapoishiriki.

    2. Madhumuni ya Kongamano za Kikristo ni kukua pamo-ja katika utakatifu kama wanafunzi.

    3. Kupitia Kongamano za Kikristo tunanuia kutambua sauti ya Mungu kupitia kushiriki maarifa na kila mmo-ja.

    4. Kongamano za Kikristo si kutofautiana kiungwana au ustaarabu wa kijuujuu tu wakati wa mabishanotuna-paswa kuzungumza ukweli, kwa uwazi, na kwa heshi-ma na kila mmoja.

    5. Kongamano za Kikristo zinapswa kupangwa kwa uan-galifu.

    6. Kongamano za Kikristo ni mchakato na tendo la kiro-

    ho ambalo halihitaji kufikia hitimisho. Suala linaweza kuwekwa kando na kutulia hadi tutakapolishughulikia wakati ulioteuliwa.

    7. Kongamano za Kikristo zinapswa kuwa katika mtaza-mo wa maombi kila mara.

    8. Kongamano za Kikristo kama njia ya neema ni sehemu ya urithi wetu wa Methodisti na tendo tunalopaswa kusherehekea na kuendeleza.

    Wale wanaofuata Roho pia wanaongozwa naye katika utakatifu wote wa mazungumzo. Matamshi yao huwa katika neema, yakiwa yamekolezwa chumvi, kwa upendo na uwoga wa Mungu. Hakuna maneno mabaya yanayotoka kwenye vinywa vyao, lakini (tu) yale yaliyo mazuri; yale ambayo ni ya kujenga kanisa, ambayo ni kukutana ili kuwapa neema wanaosikia. Na humu ndani vilevile wanajifunza mchana na usiku kufanya tu mambo yanayomfurahisha Mungu; ka-tika tabia zao zote za nje kumfuata yule aliyetuachia mfano ili tufuate nyayo zake; katika maingiliano yote na jirani zao kutenda haki, huruma, na ukweli; na chochote wanachoki-fanya, katika kila hali ya maisha, kufanya yote kwa utukufu wa Mungu.

    (Wesley, Kazi, 1:236)

    Kamati ya Imani na Utaratibu

    Sentensi Chache Kuhusu Kongamano za Kikristo

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 22 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 23

    Jinsi ya Kuwa Mjumbe Stadi Katika Tamaduni Mbalimbalikatika Kongamano Kuu la Mwaka wa 2016

    Ikionyesha vidokezo kutoka GCSRW, YPM, na zaidi!Tuanzel

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 23 3/16/16 12:45 PM

  • 24 DCA ya mapema

    Wapendwa Dada na Kaka:

    Bienvenue Portland!

    Bem-vindo a Portland!

    Bienvenido a Portland!

    !

    Karibu Portland!

    Welcome to Portland!

    Salamu kutoka kwa Tume Kuu ya Dini na Mbari! Tunapojitayarisha kukusanyika pamoja kwa ajili ya Kongamano Kuu la Mwaka wa 2016, ninakumbuka kwamba Kongamano Kuu pengine ni mojawapo ya nyakati chache sana tupatapo nafasi ya kuhisi muunganisho wetu tofauti wa ulimwengu katika hali yake kamilifu. Hii inatoa fursa ya ajabu ya kushiriki, kujifunza, na kuishi ndani ya kinachomaanisha kuwa muunganisho wa kote ulimwenguni, huku tukiwa tumepewa kazi ya, kufanya wafuasi wa Yesu Kristo kwa ubadilishaji ulimwengu. Ingawa hii ni fursa ya ajabu, siyo rahisi. Bado tupo kwenye safari ya kutoka kwenye kigezo cha kanisa ambalo la Kimarekani hadi kuwa la kiulimwengu na kutoka kuwa kanisa la watu weupe kimsingi hadi ambalo ni la mbari. Huku tukisherehekea utofauti uliopo ndani ya Kanisa katika kila nchi na kwenye kila bara, kuutumia utofauti huo kama njia ya kufanyiza husiano za kina zaidi, kueneza jiinjili, na mabadiliko ulimwenguni ni lengo ambalo li-naweza tu kufanikishwa kupitia juhudi za kimakusudi.

    Kitabu hiki cha maelezo kimekusudiwa kumsaidia uwezo wa kila mjumbe kujienga husiano kote katika tamaduni zetu tofauti. Katika GCORR, hiyo tunaiita ustadi wa tamaduni mbalimbali. Umahiri wa kati ya tamaduni, na vilevile usawa wa kitaasisi (kujenga mifumo, sera na michakato inayosawazisha uwanja kwa wote) na mazungumzo muhimu (kuendeleza husiano za kweli ambapo maisha, makanisa na jamii zinabadilishwa), zinatengeneza Kigezo cha Huduma cha GCORR, am-bacho huelekeza kazi yetu ya kuandaa rasilimali na usaidizi wa kimatendo kwa viongozi wa Kanisa. Tunataka kukusaidia kushirikiana na kukumbatia utofauti wa kitamaduni uliopo katika mkutano wako wa waumini na pia jamii yako, taifa lako, na ulimwengu wetu tunaoushiriki.

    Tunatumai kwamba Kongamano Kuu litakupa fursa nyingi za kupanua maarifa na uelewa wako wa utofauti wa Mungu. Mwongozo huu unaweza kukupa zana na rasilimali huku unapowasalimu wengine, kuzungumza nao, na kujadili na kuamua masuala muhimu.

    GCORR ni shirika la kutoa rasilimali kwa matendo la Kanisa, kwa hivyo tunatumai kwamba tovuti yetu (www.gcorr.org) itakuwa tovuti unayotembelea ili kupata taarifa kwa wakati na vilevile zana muhimu. Kwa ziada, mitandao yetu ya kijamii, Facebook na Twitter, inakupa fursa za kila siku za kutangamana na washirika wengine wa Muungano wa Methodisti kutoka kote ulimwenguni.

    Baraka kwa Kongamano Kuu lenye furaha tele na matokeo!

    Erin Hawkins

    Katibu Mkuu wa GCORR

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 24 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 25

    Kujenga Jamii Pendwa

    Ulimwengu unaotuzunguka una tofauti zaidi kuliko wakati mwingine wowote.

    Hata hivyo, mengi ya mikutano ya waumini ya Marekani ni ya watu wa mbari moja na kugawanyishwa na tabaka la kiuchumi. Kanisa la Marekani ni asilimia 90-95 watu weupe, hata ingawa idadi ya watu ya kitaifa, kwa makadirio fulani, ni asilimia 65 tu wtau weupe.

    Kongamano saba kuu za Kanisa la Muungano wa Methodisti ni: Afrika, Kongo, Afrika Magharibi, Ulaya ya Kati na Kusi-ni, Ujerumani, Ulaya Kaskazini, na Ufilipino.

    Ingawa idadi ya watu ulimwenguni inazidi kuwa changa, wanawake kuwa wengi, wa lugha mbili, na maskini, taswira ya Kanisa la Muungano wa Methodisti na watu wake wanaofanya maamuzi muhimu wanaendelea kuwa wazungu, wanaume, wanaozungumza Kiingereza, na wanaozidi umri wa miaka 55, wenye mapato ya kiboma yaliyo juu zaidi kuliko wengi wa watu wanaoishi ulimwenguni.

    Katika mwaka wa 1970, idadi ya wakazi wa Marekani waliozaliwa katika mataifa mengine ilikuwa karibu 1 kati ya 21; kufikia mwaka wa 2020, kulingana na Pew Foundation, mtu 1 kati ya watu 7 wanaoishi Marekani watakuwa wamezaliwa kwingineko.

    Unyenyekevu wa Kitamaduni

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 25 3/24/16 8:44 AM

  • 26 DCA ya mapema

    Unabainishwa na mitazamo na imani na kile ambacho mtu kutoka katika kila utamaduni anaamini kuwa ni kawaida kwa kundi hilo. Mara nyingi utambulisho wa kitamaduni unajumuisha lugha, historia, na jiografia za pamoja. Hata hivyo, utam-bulisho wa kitamaduni na neno pana zaidi, linalozidi utambulisho wa kimbari na kikabila na ufumaji. Watu kutoka usuli mbalimbali za kikabila huenda wakajitambulisha kuwa wa utamaduni mmoja.

    Gurudumu la Utofauti wa KitamaduniKatikati mwa gurudumu unawakilisha vipengee vya ndani ambavyo mara nyingi ni vya kudumu na kuonekana zaidi. Nje

    mwa gurudumu unawakilisha vipengee vinayopatikana na kubadilika maishani. Miunganiko ya vipengee hivi vyote vinaathiri maadili, imani tabia, mazoea, na matarajio yetu, na kutufanya sisi sote wa kipekee kama watu binafsi.

    Je, Utamaduni ni Nini?Utamaduni na tafsiri ya kitabia ya jinsi jamii inavyotekeleza maadili yake ili kuishi na kushamiri.

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 26 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 27

    Tafakari Je, ramani yako ya mwelekeo wa kitamaduni inakusaidia vipi maishani mwako? Je, ramani yako ya mwelekeo wa kitamaduni inakuzuzuia vipi maishani mwako? Je, tofauti katika mwelekeo wa kitamaduni zinaweza kuonekana vipi katika Kongamano Kuu? Je, unaweza kufanya nini ili uwe daraja kati ya mielekeo tofauti ya kitamaduni?

    Kimsingi na utafiti wa Edward Hall, Geert Hofstede, na Aperian Global. Imekusanywa na Natalia Dyba, [email protected]

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 27 3/16/16 12:45 PM

  • 28 DCA ya mapema

    Usawa wa Kimbari

    Usawa wa kimbari ni hali tunayofanikisha wakati utambulisho wetu wa kikabila siyo kitabiri msingi (kitakwimu) cha sifa, ustahili, fursa, wala mafanikio (imetolewa kutoka kwa The Aspen Institute, Septemba mwaka wa 2009). Washirika wa Muungano wa Methodisti wanathibitisha ustahili na thamani takatifu ya watu wote na kuthibitisha kwamba sote tumeumbwa katika mfano wa Mungu.

    Utamaduni/Utambulisho wa Kitamaduni

    Utamaduni unabainishwa kama mitazamo na imani na kile ambacho mtu kutoka katika kila utamaduni anaamini kuwa ni kawaida kwa kundi hilo, kama vile lugha, historia na jiografia ya pamoja. Utambulisho wa kitamaduni unaenea zaidi ya utambulisho wa kimbari na kikabila na ufumaji. Watu kutoka usuli mbalimbali za kikabila huenda wakajitambulisha kuwa wa utamaduni mmoja.

    Umahiri wa Kati ya Tamaduni

    Kuwa na ujuzi na ufahamu wa kujenga husiano kote katika tamaduni mbalimbali.

    Ujumuishaji

    Ujumuishaji ni hatua inayochukuliwa kumkaribisha/kumjumuisha kila mtu ndani ya kundi au mfumo fulani. Tunapotumia neno hilo ni lazima tuepuke dhana au tarajio kwamba wale wanaojumuishwa lazima wajipatanishe na sisi au waige tabia, maadili, lugha, au desturi za jamii au utamaduni ulio na nguvu zaidi.

    Haki na Utofauti

    Juhudi za kutafuta haki kwa wote zinatulazimisha kushughulikia visababishi vya ukosefu wa usawa na kisha kufanya kazi kuelekea suluhu zinazoleta usawa. Haki inaleta uwezo, fursa, kutendewa, athari, na matokeo sawa kwa wote (imetolewa kwa Rinku Sen, katika Fadhili Mikakati ya Haki ya Kimbari, Sio Tu Utofauti). Haki ni tofauti na utofauti. Angazio la utofauti hasa linazingatia dalili za ubaguzi wa rangikwa lengo la kupunguza migogoro ya kimbari na kuzidisha uwezo wa watu wa kuvumilia utofauti na kusikizana. Angazio kwenye haki linalenga masuala ya kimfumo ya ukosefu wa usawa na kujaribu kubadilisha kazi na kuelekeza watu kwenye usawa.

    Kabila la (za) Kimbari

    Kila mtu ana kabila na mbari. Maneno kabila la kimbari ni ufupisho wa usemi wachache wa kikabila-kimbari, ambao wengi huuona kama wa dharau na usio sahihi badala ya kufafanua, kwa kuwa watu ambao si wa asili ya Ulaya ya Kaskazini kwa kweli ndio idadi kubwa zaidi ya raia wa ulimwengu.

    Muungano-Jamii

    Muungano-Jamii unarejelea hali ya kuunganika ya kategoria za kijamii kama vile mbari, tabaka, jinsia kama zinavyohusu mtu binafsi au kundi, huonwa kama kuwa yanaunda mifumo inayopishana na inayotegemeana ya ubaguzi au hasara. Taasisi nyanyasaji ndani ya jamii, kama vile ubaguzi wa rangi, ubaguzi wa kiumri, ubaguzi wa kijinsia, na kuogopa mashoga, hazi-tendi kazi kivyake, bali zinahusiana na hufanyizwa daima za zenyewe.

    Fafanuzi za Kujua

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 28 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 29

    Sheria Msingi za Mazungumzo ya Kweli

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 29 3/16/16 12:45 PM

  • 30 DCA ya mapema

    Muunganisho wetu wa kote ulimwenguni unajumuisha takribani washirika milioni 12.8.

    Je, wewe unatoka wapi? Je, wajumbe wenzako wanatoka wapi?

    58% ya wajumbe wanatoka nchini Marekani. 30% wanatoka Afrika 4.6% wanatoka Ulaya 5.8% wanatoka Ufilipino

    Washirika wa Muungano wa MethodistiKote Ulimwenguni

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 30 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 31

    Kongamano Kuu la Ufilipino linajumuisha Maeneo matatu ya Uaskofu na Kongamano ishirini na tano za Kimwaka, nalo linashughulikia mataifa ya Ufilipino na Nepal.

    Eneo la Uaskofu la DavaoKongamano Tano za KimwakaWashirika 11,017 Wanaokiri Wazi, Jumla ya Washirika na Washiriki 17,535, na Wachungaji 303

    Eneo la Uaskofu la BaguioKongamano Nane za KimwakaWashirika 62,229 Wanaokiri Wazi, Jumla ya Washirika na Washiriki 114,583, na Wachungaji 785

    Eneo la Uaskofu la ManilaKongamano Kumi na Moja za KimwakaWashirika 142,146 Wanaokiri Wazi, Jumla ya Washirika na Washiriki 155,899, na Wachungaji 822

    Chanzo cha Ramani na Takwimu: Mawasiliano ya Muungano wa Methodisti

    Washirika wa Muungano wa Methodisti nchini Ufilipino

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 31 3/16/16 12:45 PM

  • 32 DCA ya mapema

    Demografia za kimbari/kikabila za washirika wa UMC nchini Marekani:

    Waasia 1.3%Wamarekani Waafrika/Weusi 6.1%Wahispania 1%Wamarekani Asilia 0.3%Wakaazi wa Visiwa vya Pasiki 0.2%Wazungu 90.3%Mchanganyiko wa kimbari 0.8%

    Chanzo cha Takwimu: Baraza Kuu la Fedha na Utawala

    Vyama vya kimbari/kikabila vinavyotambuliwa rasmi na Kitabu cha Nidhamu:

    Wanamethodisti Weusi kwa Uwekaji Kanisa Upya (BMCR) Metodistas Asociados Representando la Causa de los Hispano-Americanos (MARCHA) Shirikisho la Kitaifa la Wamarekani Waasia Wahirika wa Muungano wa Methodisti Chama cha Kimataifa cha Wamarekani Asilia Chama cha Kitaifa cha Wakaazi wa Visiwa vya Pasifiki cha Washirika wa Muungano wa Methodisti (PINCUM)

    Washirika wa Muungano wa Methodisti nchini Marekani

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 32 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 33

    Afrika inajumuisha Kongamano tatu Kuu: Afrika Kati, Kongo Kati, na Afrika Magharibi

    Kongamano Kuu la Afrika lina maeneo matato ya uaskofu:

    Afrika Mashariki (Uganda, Kenya, Rwanda, Ethiopia, Sudan Kusini) Mashariki mwa Angola Msumbiji Magharibi mwa Angola Zimbabwe

    Kongamano Kuu la Kongo lina maeneo manne ya uaskofu:

    Kati mwa Kongo Mashariki mwa Kongo Katanga Kaskazini Kongo Kusini

    Kongamano la Afrika Magharibi lina maeneo manne ya uaskofu:

    Cte dIvoire Liberia Nigeria Sierra Leone

    Chanzo cha Ramani na Takwimu: Mawasiliano ya Muungano wa Methodisti

    Washirika wa Muungano wa Methodisti barani Afrika

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 33 3/16/16 12:45 PM

  • 34 DCA ya mapema

    Kanisa la Muungano wa Methodisti barani Ulaya na Eurasia lina zaidi ya washirika na washiriki 128,788 wanaowakilisha takribani nchi 30.

    Washirika wa Muungano wa Methodisti barani Ulaya

    Albania Algeria Austria Belarus Ubelgiji Bulgaria Kroatia Jamhuri ya Cheki Denmaki Estonia Finlandi Ufaransa Hungaria Kazakhstani Kyrgyzstani

    Moldova Afrika Kaskazini Norwei Polandi Jamhuri ya Masedonia Romania Urusi Serbia Slovakia Uswisi Tajikistani Tunisia Ukreini Uzbekistani

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 34 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 35

    Hakuna Myahudi wala Mgiriki; hakuna mtumwa wala mtu huru; wala hakuna wanaume na wana-wake, kwa kuwa nyinyi NYOTE ni kitu kimoja katika Yesu Kristo. Wagalatia 3:28, mkazo umeongezwa

    Tamadamu mbalimbali zinawakilishwa katikaongamano Kuu. Kila moja ya tabia na maadili yetu zinatokana na tamaduni hizi. Kwa sababu sisi sote ni Washirika wa Muungano wa Methodisti, tunaweza kukubaliana na kanuni msingi na maadili yanayotuunganisha. Tunathibitisha umoja wetu katika Yesu Kristo huku tukikiri utofauti katika kutekeleza imani yetu katika miktadha tofuti ya kitamaduni tunapotekeleza injili (Kitabu cha Nidhamu [BOD], uk. 104).

    Vivyo hivyo, kama Washirika wa Muungano wa Methodisti, tunatakiwa kuheshimu sauti za wanawake na hisia zao.

    Washirika wa Muungano wa Methodisti, wanathibitisha wanaume na wanawake kuwa sawa katika kila hali ya maisha yao ya kawaida na kuthibitisha umuhimu wa wanawake katika vyeo vya ufanyaji maamuzi katika ngazi zote za Kanisa na jamii (BOD, 162f).

    Kanisa la Muungano wa Methodisti limejitolea katika wajibu na ushiriki kamili na sawia wa wanawake katika maisha na misheni kamili za Kanisa, wakishiriki kikamilifu katika mamlaka na utungaji sera katika ngazi zote za maisha ya Kanisa (BOD, 2102).

    Onyesho la Roho linapewa kila mtu kwa ajili ya uzuri jumla. 1 Wakorintho 12:7

    Kama wajumbe kwenye Kongamano Kuu, inatarajiwa kwamba kila mtu awakilishe muktadha wake na aheshimu mik-tadha ya wengine. Tunapoendelea kuishi pamoja wakati wa mkutano wa wiki mbili, kama onyesho la kujitolea kwa imani na umoja wetu kama washirika wa Muungano wa Methodisti, ni lazima tukumbuke:

    Wanawake wote (bila kujali rangi ya nywele, mtindo wa nywele, mwonekano wa kibinafsi, uzito, lahaja, mavazi, nchi ya asili, hadhi ya ndoa, hadhi ya uzazi, hadhi ya kitaalamu, umri, rangi ya ngozi, mwelekeo wa kimapenzi, au daraja la kiuchumi-kijamii) wana haki ya kutoa maoni yao wenyewe wakati wa mikutano yote (makundi madogo, kamati ndogo, kamati, kikao, nk. ) bila kuogopa ulipizaji kisasi.

    Wakati wa mjadala na mazungumzo tafadhali kumbuka:

    Hakuna sauti moja bora zaidi, muhimu zaidi, au iliyo na thamani kuliko sauti nyingine. Kila mtu ana maoni ya kushiriki na wengine.

    Tafadhali wasikilize wengine kwa heshima bila kutoa maoni mabaya, kwa kuwa kila mtu ana mitazako yake binafsi. Kama unatoa maoni kuhusu maoni ya mtu mwingine, tafadhali epuka kutumia lugha ya madharau katika kuelezea maoni

    ya mtu huyo. Wazungumzie wanawake kwa heshima. Kwa mfano, ukimtaja mwanamume kwa jina lake la ukoo, mtaje mwanamke

    vilevile kwa jina lake la ukoo. Kumwita mwanamke honey au sweetie haifai. Tafadhali subiri hadi mtu amalize kuongea ndiposa uanze kuongea. Kumkatiza mtu au kuingilia kati ni kukosa heshima.

    Vidokezo kutoka kwa GCSRW

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 35 3/16/16 12:45 PM

  • 36 DCA ya mapema

    Kwa mambo ya mwonekano tafadhali kumbuka:

    Mavazi hutofautiana kwa watu katika kila utamaduni. Mavazi ya wanawake hayamaanishi utoe maoni au madokezo yoyote kuyahusu.

    Tafadhali usimguse mtu yeyote kama hajakuruhusu. Maoni au utani kuhusu wanawake au miili yao hayafai.

    Maisha ya kibinafsi:

    Kuna wanawake wanaofanya kazi muda kamili nje ya nyumba zao na kuna wanawake wanaofanya kazi muda kamili ndani ya nyumba zao. Wote hao ni muhimu. Maoni ya kibinafsi kuhusu ni ipi iliyo bora zaidi au mbaya zaidi ya-sisemwe.

    Hadhi ya ndoa ya wanawake isitumiwe kuwahukumu. Iwe mwanamke ana watoto au la haina msingi wowote yeye ni nani kama mtu.

    Tafadhali mchukuliane kwa heshima, kwa kuwa sisi sote ni Wana wa Mungu, walioumbwa kwa mfano wa Mungu, nasi kwa thamani takatifu.

    Watendee watu kwa njia ambayo ungependa wakutendee. Luka 6:31 na Matayo 7:12

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 36 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 37

    Watu wachanga huja kwenye mikusanyiko wakiwa na hisia zao wenyewe za kipekee za imani na kanisa kama tu mtu yeyote mwingine. Tukiwa na nia, tunaweza kusaidiana kuelewa mapana na marefu ya hisia na matarajio ya kitamaduni yan-ayochangia ukamilifu. Kushiriki taarifa kwa urahisi na uwazi, na kuchukua muda kuhakikisha kwamba taarifa ni wazi kunatoa uwazi ambapo wote wanaweza kusikiwa. Pamoja tunaweza kupunguza vizuizi vinavyosababishwa na utofauti na kuzidisha ufanisi wetu kama wafanyaji waamuzi wenye utambuzi.

    Miongozo ifuatayo inaweza kuathiri vizuri uwezo wa kushirikiana na watu wachanga kwa ufanisi wakati wa Kongamano Kuu na baadaye.

    Wakubali kama wana wa Mungu. Kubalieni roho anayefanya kazi na kuishi ndani yao. Thibitisheni uwepo wao. Watambueni kama washirika kamili wa kanisa ambao wanashiriki katika Kongamano Kuu kwa

    ajili ya upendo wao kwa Kanisa kama tu washiriki wengine. Usitunge dhana kuhusu watu wachanga. Kama washiriki wote kwenye Kongamano Kuu, hisia zao ni za kipekee kwao.

    Wahusisheni katika mazungumzo kama watu binafsi ili mjifunze kuwahusu. Katika mazungumzo: Sikiliza. (Usiingie kwenye mazungumzo na mijadala ukiwa na maoni finyu kuhusu mtu kimsingi na mbari, jinsia, taba-

    ka, umri au eneo lake la kijiografia.) Gundua mambo uliyonayo. (Maadili na upendo wetu tunaoshiriki kwa pamoja kwa Kanisa huandaa hisia za ajabu na

    tajiri.) Watambueni watu wachanga kama rika lenu katika mazingara haya. (Wape heshima wanayotamani.) Epuka maneno hatarishi kama vile honey, sweetie, na baby. Maneno hayo hutenga na kunyimana uwezo. (Ingawa

    huenda wakawa wachanga kutosha kuwa watoto au wajukuu wako, wao ni sawia nawe katika mazingara.) Mwalike mtu mchanga (au kadhaa) kushiriki mlo. Uliza maswali muhimu na yanayoamsha fikira kuhusu hali pana ya Kanisa. (Maswali yako yasiwe tu kuhusu masuala

    ya vijana au watu wazima wachanga. Usiwatarajie kuwa sauti na wataalamu kwa masuala ya vijana na watu wazima wachanga. Kama ilivyo na makundi mengi, kuna fikira mbalimbali miongoni mwa vijana na watu wazima wachanga.)

    Jifunze kutoka kwa wao. (Na, uwaambie wakati wamekuwa kama mwalimu.) Wape changamoto ya kukuelewa. (Kuendeleza husiano nzuri na zenye heshima huhitaji pande zote mbili. Acha wajue

    kwamba wana jukumu katika mchakato huu.) Fanya kazi pamoja nao. Shiriki matarajio. Wale wanaochaguliwa kwenye Kongamano Kuu kila mmoja huja akitaka kuleta tofauti. Zungumza na

    watu wachanga kuhusu matarajio yao kuhusu kile uwepo wao katika Kongamano Kuu utakachomaanisha. Shirikisha watafsiri. Sio kila mtu atazungumza Kiingereza. Utafsiri ni muhimu ili kuwawezesha watu wachanga kujiele-

    za waziwazi wakitumia ukamilifu wa msamiati wao asilia. Watu wachanga kutoka tamaduni tofauti wanajieleza kwa njia tofauti. Huenda wakavalia mavazi rasmi au yasiyo rasmi, nywele iliyotiwa rangi au ya kipekee, kutobolewa, au wana njia

    nyingine za kujieleza kibinafsi/kitamaduni. Huenda wakakuzungumzia kwa njia rasmi au isiyo rasmi. Kuzungumza moja kwa moja na mtu mchanga wa jinsia tofauti haifai katika tamaduni zingine. Tambua kwamba utumizi ya vifaa, inaporuhusiwa, haimaanishi ukosefu wa kujihusisha katika mazungumzo fulani. Kwa

    kweli, huenda ikawa kinyume kabisa, vikitumiwa kutafuta kitu, kuandika maandishi, au kuwaomba wasiliano za mitan-dao ya kijamii kuchangia mawazo.

    Vidokezo kutoka kwa Huduma za Watu Wachanga

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 37 3/16/16 12:45 PM

  • 38 DCA ya mapema

    Baadhi ya vianzilishi bunifu vya mazungumzo:

    Ukiweza anza ukurasa mtupu, je, ni vipi unavyoweza kujibu au kuwaza upya suala lililo mbele yetu? Je, jamii zingine nje ya Kanisa zimesuluhisha vipiu tatizo hili, nao wametumia zana zipi kufanya hivyo? Je, mara ya mwisho ulipohisi kuchochewa kikweli ilikuwa lini? Je, ni matendo yapi ya Kongamano Kuu yanayoweza

    kulisaidia Kanisa la Muungano wa Methodisti kutoa kichocheo kama hicho siku za usoni? Je, shauku yako ya kina zaidi ya misheni ni gani?

    Tambua uwepo na mchango wa mtu mchanga Kanisani. Kutakuwa na watu wachache wachanga katika Kongamano Kuu kwa ulinganisho. Ukubali na uwazi wako kwa watu wachanga waliopo kutaleta uwazi kwa uelewa na heshima ambazo zin-awezesha wote kufanya kazi pamoja kwa ajili ya siku za usoni za kanisa lenye miunganisho mingi zaidi kuliko vizuizi.

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 38 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 39

    Kama washirika wa Muungano wa Methodisti, tunaamini kwamba watu wote wana thamani takatifu ( 4. Kifungu cha IV. Ujumuishaji wa Kanisa). Kwa ziada, tunaamini kwamba Haki fulani msingi za binadamu na uhuru wa watu zinafaa kwa watu wote. Tumejitolea kuunga mkono haki na uhuru huo kwa ajili ya watu wote, bila kujali mwelekeo wa kimapenzi. . . . Zaidi ya hayo, tunaunga mkono juhudi za kukomesha dhuluma na aina nyingine za vitisho dhidi ya watu wote, bila kujali mwelekeo wa kimapenzi (Kanuni Msingi za Kijamii za UM).

    Ifuatayo ni miongozo kwa mazungumzo kuhusiana na mwelekeo wa kimapenzi na utambulisho wa kijinsia:

    1. Watu Wasagaji, Mashoga, Wanaoshiriki Kimapenzi na Wanawake kwa Wanaumme, Waliogeuzwa Jinsia, na/au Wanau-me Mashoga (LGBTQ) ni ndugu zetu katika Kristo nao wanafaa kuchukuliwa kwa ukarimu, hadhi, na heshima.

    2. Tambua uwakilisho tofauti wa mwelekeo wa kimapenzi uliopo pamoja nasi. Wengi huenda wakajitambulisha kama wanaoshiriki ngono na wanawake kwa wanaume, wanaume mashoga, wasagaji, mashoga, au utambulisho mwingine. Epuka kudhania mwelekeo wa kimapenzi wa mtu yeyote.

    3. Usidhanie utambulisho wa kijinsia wa mtu yeyote, hata kama umekutana naye hapo awali. Kumuuliza mtu kiwakilishi nomino chake kabla ya kutumia maneno ya kijinsia kuwaeleza kunahakikisha tunaunda mazingira salama zaidi kwa ajili ya marafiki zetu ambao hawana jinsia, wamegeuzwa jinsia, na ambao hawaambatani na jinsia. Hii ni rahisi kama kumuuliza kila mtu unayekutana naye, je, wewe hutumia kiwakilishi nomino kipi? Unaweza kuiga zoea hili kwa ku-tambulisha jina na kiwakilishi nomino chako unapokutana na mtu mgeni. Ifuatayo ni mifano ya viwakilishi nomino vya jinsia:

    a. Viwakilishi nomino vya kike (she, her, hers)b. Viwakilishi nomino vya kiume (he, him, his)c. Bila jinsia (they, them, theirs)

    4. Kuwaita watu wa LGBTQ makahaba, wazinzi, wadhulumu watoto kimapenzi, wauaji, waliochanganyikiwa, wasio Wakristo, suala fulani, nk. huwaumiza sana wajumbe na watazamaji wenzetu wa LGBTQ. Lugha hii haikubaliki.

    5. Kulinganisha ndoa, agano, na husiano za LGBTQ na matendo ya kimapenzi na wanyama na kulinganisha wanandoa hao na wanyama inaumiza na haikubaliki.

    6. Mtu aliye na wajibu wa kuwezesha mkutano huo (askofu msimamizi, mwenyekiti wa kamati, mkuu wa ujumbe, nk.) ana-faa kufahamu maneno na tabia zenye kuumiza naye awe makini kwa mazungumzo yanayoendelea. Lugha inayoumiza ikitumiwa, mwezeshaji huyo anafaa kuwa tayari na kujitolea kuongea maramoja na kutaja tabia hii kuwa nje ya utarati-bu.

    7. Mwezeshaji huyo asipotaja tabia hiyo kuwa nje ya utaratibu, ni wajibu wako kama mjumbe kuitisha kauli ya utaratibu ili kupinga mtu mwingine kuharibiwa sifa na kukatiza lugha hiyo inayoumiza (inakubaliwa na sheria #8 ya Sheria za Utaratibu za Kongamano Kuu).

    Sheria ya kwanza kati ya sheria tatu kuu za John Wesley ni Usidhuru. Kwa kuambatana na miongozo hii, sisi kama washirika wa Muungano wa Methodisti tunaweza kupunguza madhara tunayowaletea wajumbe, wageni, na rafiki zetu ambao ni LGBTQ.

    Unyeti Kuhusu Kufanya Mazungumzo Kuhusu Mwelekeo wa Kimapenzi na Utambulisho wa Jinsia

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 39 3/16/16 12:45 PM

  • 40 DCA ya mapema

    Kama washirika wa Muungano wa Methodisti, Tunatambua kwamba Mungu aliumba vitu vyote na kuona kuwa ni vizu-ri. Kama watu tofauti wa Mungu waletao vipaji spesheli na ushuhuda wa neema ya Mungu kwa umoja wa Kanisa na jamii, tumeitwa tuwe waaminifu kwa mfano wa huduma ya Yesu kwa [na pamoja na] watu wote. (140, Kitabu cha Nidhamu cha Kanisa la Muungano wa Methodisti, Mwaka wa 2012). Tunatambua kwamba kanisa sio kamili hadi kila mtu akuwepo na awe amejumuishwa.

    Karibu asilimia 20 ya idadi ya watu Marekani wanaishi na aina fulani ya ulemavu, na wengine wengi zaidi wameathirika kama jamaa wa familia. Lakini ni watu wachache sana wenye ulemavu wanahudhuria kanisa angalau mara moja kwa mwezi ikilinganishwa na watu wasio na ulemavu, kwa sababu ambazo huenda zikajumuisha majengo yasiyofikika na hisia za awali za kutokaribishwa.

    Inafaa tumpende jirani yetu tunavyojipenda wenyewe, na yeyote kati yetu ambaye tayari hana ulemavu anaweza, wakati wowote, kupata ulemavu kupitia ugonjwa au ajali.

    Vidokezo kadhaa msingi unapokutana na mtu mwenye mlemavu:

    Salamu za mikono sio za kila mtu. Ikiwa hauna uhakika, MUULIZE huyo mtu mwenye ulemavu wanachopendelea. Ongea moja kwa moja na mtu huyo mlemavu isipokuwa kama umeagizwa usiongee naye. Usimdunishe wala kumdhalilisha watu wenye ulemavu. Wachukulie watu wazima kama watu wazima. Ikiwa haulewi kile mtu anachosema, usijifanye kuwa unaelewa. Omba ufafanuzi. Usisukume, kuegemea, wala kujishikilia kwenye kiti cha magurudumu cha mtu isipokuwa mtu huyo akuombe ufanye

    hivyo. Kiti cha magurudumu ni sehemu ya nafasi yake ya kibinafsi. Panga upya viti au vifaa vya darasa lako kama inahitajika kwa ajili ya mtu mwenye ulemavu kabla mtu huyo kufika. Jua jinsi ya kumwelekeza mtu kwenye vyoo, milango ya kutokea, na mabomba ya maji ndani ya jengo. Unapokutana na mtu mwenye upofu, jitambulishe na uwatambulishe watu wengine ambao huenda wapo. Pia, usiondoke

    bila kujieleza kwanza kwamba unaondoka. Unapoombwa kumuelekeza mtu, usiwahi kumasukuma wala kumvuta mtu huyo. Mpe mkono wako na umruhusu aku-

    fikie, kisha utembea mbele yake kidogo. Taja kuwa kuna milango, ngazi, na mawe unapoikaribia. Usimchezee wala kumkengeusha mnyama anayemhudumia. Mbwa huyo anawajibikia kwa usalama wa bwana wake na

    anafanya kazi. Unapokutana na mtu mwenye uziwi, muache mtu huyo aanzishe mawasiliano nawe uzungumze moja kwa moja na mtu

    huyo hata kama mkalimani yupo. Yeye pia huenda akaamua kusoma midomo yako au kuandika habari. Tumia rejeleo mtu mwenye ulemavu badala ya mlemavu. Watu binafsi wenye ulemavu ni watu kwanza na hawafai

    kubainishwa kwa ulemavu wao. Uliza kabla ya kusaidia. Usidhanie kwamba walemavu kila wakati wanahitaji usaidizi. Mtu mwenye kigugumizi akitoa maneno wakati wa mazungumzo, subiri tu hadi amalize, kisha, uendelee kwa utaratibu.

    Watu wenye ulemavu ni watu wenye familia, kazi, fani, mapendeleo na yasiyopendelewa, na matatizo na raha. Ingawa ulemavu ni sehemu muhimu ya wao ni nani, ulemavu pekee hauwabainishi. Wachukulie watu wote kama watu binafsi.

    Vidokezo kutoka kwa Kamati ya Huduma za Ulemavu ya Kanisa la Muungano wa Methodisti

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 40 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 41

    Semi za Kawaida Unazofaa Kujua

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 41 3/16/16 12:45 PM

  • 42 DCA ya mapema

    Ripoti ya Tume ya Kongamano KuuJudi M. Kenaston, Mwenyekiti

    Utangulizi

    Dunia na Kanisa zimebadilika pakubwa tangu Kon-gamano la Krismasi Baltimore, Maryland, mwaka wa 1784. Hata hivyo, tuna safari ndefu kutoka 1968 katika uunganishaji wa Kanisa la Methodost na Kanisa la Evan-gelical United Brethren kuunda Kanisa la United Method-ist Church. Tunaweza kufikiria kuhusu mabadiliko ambayo yametokea katika makanisa ya maeneo yetu ya karibu na jamii. Si jambo la kushangaza kuona jinsi Kongamano Kuu imebadilika kutoka kwa kuwa mkutano mdogo wa wahubiri siku za zamani hadi kuwa kusanyiko la kimataifa la viongo-zi wa dini na waamini kutoka kwenye nchi, mila, lugha, na tamaduni nyingi. Kwa hayo, muktadha na desturi za kukon-gamana zimebadilishwa na ukweli kwamba sisi ni Kanisa la ulimwengu mzima.

    Tume inatafakari ukweli wa hali ya dunia nzima ya Kani-sa. Ni kikundi chenye utofauti wa watu walio na wawakilishi kutoka katika kila kongamano la maeneo ya kati na mam-laka ya kisheria. Mikutano yetu inakalimaniwa kwa lugha mbalimbali na utofauti wetu katika mawazo na mitazamo ya kitheolojia ni pana kuliko tofauti za lugha zetu. Kwa pamoja, kama taswira ya Kanisa la ulimwengu mzima, tumejitahidi kuwa waaminifu kwa jukumu letu tangu Kongamano Kuu la mwaka wa 2012 kama tulivyojiandaa kwa mkutano wetu ka-tika Portland, Oregon.

    Mbali na watu waliojitolea ambao wanaounda tume, tu-mebarikiwa na usaidizi wa wafanyikazi, wengi wao waki-hudumu kama watu wa kujitolea. Meneja wa Biashara wa Kongamano Kuu, Bi. Sara Hotchkiss; Katibu wa Kon-gamano Kuu, Kasisi Gere Reist; Mratibu wa Kalenda, Dk. Susan Brumbaugh; na Katibu wa Malalamishi, Kasi-si Gary Graves, wameipa tume uongozi na ujuzi wenye tha-mani sana na wanastahili shukrani za kipekee. Unapowasili Portland, utaona ushahidi wa juhudi za Kamati Andalizi, in-ayoongozwa kwa ustadi na Bw. Bill Haden, na kusaidiwa na Kasisi Steve Sprecher. Askofu Grant Hagiya, Eneo Kuu la Maaskofu la Kaskazini magharibi, na Mamlaka yote ya Kisheria ya Magharibi yanafanya kazi ili kujiandaa kwa ukaribisho wetu.

    Wajibu wa Baraza la Maaskofu kwenye Kongamano Kuu unaratibiwa na tume katika sehemu mbalimbali, ikiwe-mo uongozi wao katika kuabudu, anwani ya COB, na usaid-izi unaotolewa na Kanuni zetu kwenye Kamati ya Maafisa Wasimamizi, ambayo inateua watu wanaosimamia katika

    kila kikao. Tume ina mwanachama wa Baraza la Maaskofu kama sehemu ya muundo wake na tumeshukuru sana kwa mi-chango ya Askofu Minerva Carcao na umoja ambao ameun-da kwenye Baraza la Maaskofu. Ili kuhimiza uratibu wetu na baraza, tume hii imemkaribisha askofu wa pili kutoka kon-gamano la maeneo ya kati kama mgeni wa kudumu kwenye mikutano yetu. Askofu Christian Alsted amesaidia kuchagia sana kwenye kazi yetu, haswa katika sehemu ya Sheria na Kongamano la Kikristo.

    Katika kipindi hiki cha muda wa miaka minne, tumeom-boleza vifo vya wanachama wetu wawili. Gloria Holt, wa Kongamano la North Alabama, pamoja na Greg Lara, wa Kongamano la Kila Mwaka la Ufilipino, walikuwa wame-hudumu kwenye tume tangu 2008. Kupoteza uongozi wao ni suala kubwa sana. Juu ya hayo, tume ilimpoteza Maleigh Dunaway-Sherrod, ambaye aliisaidia tume katika kupanga mikutano na maandalizi.

    Kazi ya Tume

    Tume ya Kongamano Kuu imepewa jukumu la kuunda na kupanga Kongamano Kuu la 2016. Kitabu cha Nidha-mu cha 2012 ( 511) kinabainisha vigezo na majukumu ya tume. Hii ni pamoja na kuteua eneo, kupanga tarehe ya Kongamano Kuu, kuunda ratiba ya kila siku, kutoa Daily Christian Advocate, kushughulikia mahitaji ya wajumbe, kuandaa marupurupu la safari, kupanga nambari na maud-hui ya kamati za sheria, na kuweka idadi ya wajumbe waka-ti mpango iliotayarishwa unatoa idadi nje ya kiwango cha katiba.

    Wajibu wa Tume

    Mbali na majukumu ya mwanzo, Kongamano Kuu la 2012 liliomba kwamba tume ishauriane na wajumbe wa 2012 na kupendekeza kwenye malalamishi GC2016 na mare-kebisho ya kikatiba ambayo yatapunguza gharama, kuimari-sha utendaji kazi na kuongeza thamani ya mikutano yetu ya Kongamano Kuu. Pia iliomba matumizi bora zaidi ya te-knolojia kabla ya Kongamano Kuu ili kufahamu maswali na kuanzisha mazungumzo yawajumbe na kuyapa malalamishi kipaumbele, kusogeza mjadala wa Kongamano Kuu kutoka kwenye masuala ya uongozi hadi kujenga makubaliano kuhu-su huduma na kutumia uwekezaji wa dola milioni 12 kama njia za kukuza misheni ya UMC na juhudi zetu za kimataifa ili kubadilisha ulimwengu.

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 42 3/16/16 12:45 PM

  • Kijitabu cha Wajumbe 43

    Tume iliunda chombo cha utafiti cha kutumwa kwa wa-jumbe wote wa Kongamano Kuu la 2012. Kwa bahati mbaya, wakati chombo kilipoundwa na kusambazwa, anwani za ba-rua pepe zilikuwa zimebadilishwa na idadi ya majibu yaliy-orejeshwa haikuwa ya juu kama tulivyotumaini. Huku majibu yakikusanywa na kushirikishwa na kuipa tume mwongozo, manufaa makubwa yatakuwa kwamba chombo cha utafiti sasa kiko tayari kuenda na kinaweza kutumwa pindi tu baada ya Kongamano Kuu lijalo. Hii itaipa tume ijayo hatua bora ya mwanzo itakapokutana kwa mara ya kwanza.

    Kanuni Zinazotuongoza

    Katika kutafakari kuhusu majukumu yetu mengi na wa-jibu kutoka kwenye Kongamano Kuu, tume ilibuni kanuni za kuongoza mapema katika kipindi cha miaka minne ambazo zilitoa mwelekeo tulipofanya kazi yetu. Kanuni hizo za kuon-goza ni:

    Kwa utukufu mkuu wa Mungu na kwa jibu la uaminifu kwa imani takatifu tuliyopewa, tumejitolea, kwa usaidizi wa Roho Mtakatifu, kuunda na kukuza mazingira ya Kongamano Kuu ambayo

    neema ya Mungu inaweza kushuhudiwa katika ukarimu wa pande zote;

    wote wanaweza kujumuika katika Kongamano la Ki-kristo kutambua mwito wa Mungu kwenye UMC kwa wakati kama huu;

    sauti zote zinasikika na kuheshimiwa huku utambulisho wa United Methodist unaundwa na kushuhudiwa

    kutokana na jibu la maono ya Mungu kwetu; watu, wakati, na rasilimali za fedha ambazo Mungu

    ameleta pamoja zinatumika kwa hekima na kwa ufanisi; maamuzi yanayofanywa yanalingana na hali ya ulim-

    wengu mzima wa muunganisho wa The UMC; kazi ya sheria na majukumu yote mengineo yanahusiana

    na kufanya wafuasi wa Yesu Kristo kwa ajili ya kubad-ilisha ulimwengu.

    Madhumuni ya Kongamano Kuu

    Tume ilipokuwa ikichunguza wajibu na kanuni zinazo-tuongoza, ilibainika wazi kuwa Katiba ya Kanisa la United Methodist inaelezea madhumuni ya Kongamano Kuu kama ya kipekee kwa maandalizi na uidhinishaji wa sheria. Tume-jitolea kupanua madhumuni ili kuangazia hatua ya kutoka kwenye uongozi hadi makubaliano kuhusu huduma na uku-zaji wa misheni ya Kanisa la United Methodist. Kutokana na hii sababu, tunapendekeza marekebisho ya kikatiba ambayo yataweka madhumuni ya Kongamano Kuu kama ifuatavyo: Kongamano Kuu litakusanya wajumbe, kama wawakilishi

    wa kanisa, kwa kuabudu, maombi, na ushirika katika roho wa Kongamano la Kikristo. Tume imeunda Miongozo ya Kongamano la Kikristo ambayo itasaidia wajumbe kuandaa na kufanya kazi kwa roho huyo.

    Wakati madhumuni ya Kongamano Kuu yanajumuisha ushirika na Kongamano la Kikristo, basi ukubwa wa Kon-gamano Kuu unakuwa suala. Kwa vipindi kadhaa vya muda wa miaka minne, tume imeuliza Kongamano Kuu kuchungu-za tena idadi ya wajumbe wanaohudhuria Kongamano Kuu. Idadi imeongezeka kwa muda na kwa jumla imekuwa ya juu zaidi kinyume cha idadi ya wajumbe inayohitajika kikatiba. Idadi ilipokuwa imepita kiwango cha kipindi hiki cha muda wa miaka minne, tume ilipiga kura ili kuweka idadi ndogo ya wajumbe, kwa tumaini kuwa idadi ndogo ingaleta fursa ya kukongamana vizuri. Idadi ndogo zaidi inaweza kufanya Kongamano Kuu kuwa na mabadiliko zaidi, kwa mtazamo wa kufanya Kongamano Kuu nje ya Marekani. Hata ingawa huenda idadi ya wajumbe kwenye Kongamano Kuu la 2016 isiwe kiashiria bora cha malengo haya, wajumbe wanahimiz-wa kuwa na maono kwa sura mpya ya Kongamano Kuu siku zijazo.

    Kuongeza manufaa ya Kongamano Kuu

    Mada yetu Basi, Nenda . . . inaangazia misheni ya kani-sa: Kufanya Wafuasi wa Yesu Kristo kwa ajili ya Kubadilisha Ulimwengu. Mada ya Kongamano Kuu ni zaidi ya kaulimbiu ya shati, lakini inakumbusha kongamano jukumu la kibib-lia kutoka kwa Kristo katika Mathayo 28:18-20. Misheni ya kanisa ni ya kibinafsi, jumuiya, na kimataifa. Maneno manne ya msingi, Tangaza, Ongoza, Kuza, na Tuma, yanatupa nguvu kuona hali ya jumla ya mada na tume yetu kama mwili wa Kristo.

    Tume ilimteua Kasisi Laura Jaquith Bartlett kama ki-ongozi wa kuabudu. Roho yake yenye upole na kujitolea katika kuabudu na kuwakilisha Kanisa zima ni ya kuhimi-za. Ingawa kuabudu kunapangwa tofauti kutoka kwenye tume, kumekuwepo na juhudi za pamoja za kuboresha rati-ba ya kuabudu na shughuli itakayoangazia hali mbalimbali za kuabudu za United Methodism. Ushirikiano kati ya tume na wabunifu wa kuabudu unaturuhusu kuwa na kusudio wakati wa kuunda hali ya kongamano ambayo ni ya mshi-kamano na inaangazia mada yetu katika mazungumzo na kuabudu.

    Kuzingatia mabadiliko ya ratiba ya Kongamano Kuu la 2012, ambayo yaliunda wakati wa sabato, katika ratiba yenye uchovu, tume imepanga ajenda inayoruhusu kazi ya kisheria

    9781501810657_INT_KiswahiliHandbook.indd 43 3/16/16 12:45 PM

  • 44 DCA ya mapema

    kukamilishwa huku ikiruhusu mapumziko ya kila siku yan-ayokubalika. Ratiba ya kila siku, hila Jumamosi, itakwisha saa 6:30 jioni. Hili linafaulu kwa kufanya kazi baadaye kido-go kila siku lakini kutoratibu mapumziko ya chajio. Kutaku-wepo muda zaidi wa chajio, mikutano ya wajumbe, au shu-ghuli nyingine bila kuhitaji wajumbe kurejea kwa kikao cha jioni. Hili lilifanywa bila kupunguza muda uliotengewa she-ria, kuabudu, na kikao.

    Katika juhudi zet