bunge la tanzania · 2019-06-19 · katika kijiji kile tuone jiografia ya pale na umuhimu wake ili...

182
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) 1 BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Ishirini na Tano – Tarehe 10 Mei, 2019 (Bunge lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Tukae, Katibu. NDG. RUTH MAKUNGU – KATIBU MEZANI: Maswali. MASWALI NA MAJIBU NAIBU SPIKA: Maswali, Waheshimiwa Wabunge tutaanza na Ofisi ya Rais TAMISEMI. Mheshimiwa Joel Mwaka Makanyaga Mbunge wa Chilonwa, sasa aulize swali lake. Na. 200 Kukamilisha Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji – Chilonwa MHE. JOEL M. MAKANYAGA aliuliza:- Je, Serikali ina mpango gani wa kukamilisha ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Chilonwa iliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi ambayo kwa sasa imefikia kwenye linta? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA) alijibu:-

Upload: others

Post on 01-Feb-2020

3 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

1

BUNGE LA TANZANIA________

MAJADILIANO YA BUNGE_________

MKUTANO WA KUMI NA TANO

Kikao cha Ishirini na Tano – Tarehe 10 Mei, 2019

(Bunge lilianza Saa Tatu Asubuhi)

D U A

Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua

NAIBU SPIKA: Tukae, Katibu.

NDG. RUTH MAKUNGU – KATIBU MEZANI: Maswali.

MASWALI NA MAJIBU

NAIBU SPIKA: Maswali, Waheshimiwa Wabungetutaanza na Ofisi ya Rais TAMISEMI. Mheshimiwa Joel MwakaMakanyaga Mbunge wa Chilonwa, sasa aulize swali lake.

Na. 200

Kukamilisha Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji – Chilonwa

MHE. JOEL M. MAKANYAGA aliuliza:-

Je, Serikali ina mpango gani wa kukamilisha ujenzi waZahanati ya Kijiji cha Chilonwa iliyoanzishwa kwa nguvu zawananchi ambayo kwa sasa imefikia kwenye linta?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA) alijibu:-

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

2

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante. Kwa niaba yaWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI naomba kujibu swali laMheshimiwa Joel Mwaka Makanyaga, Mbunge waChilonwa, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Kata ya Chilonwa nimiongoni mwa Kata 36 za Wilaya ya Chamwino, ina vijiji viwilivya Nzali na Mahama, Kata ina huduma za Zahanati mojailiyopo katika Kijiji cha Nzali. Wananchi wa kijiji cha Mahamawalianzisha ujenzi wa Zahanati ya Kijiji ambayo kwa sasajengo limefikia hatua ya lInta. Katika kuunga mkono juhudiza wananchi, Halmashauri ya Chamwino katika mwaka wafedha 2019/2020 kupitia mapato yake ya ndani imetengashilingi milioni 30 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa zahanatihiyo katika Kijiji cha Mahama. Ahsante.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Joel Makanyaga, swali lanyongeza.

MHE. JOEL M. MAKANYAGA: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru. Nashukuru kwa majibu mazuri sana ya Serikaliambayo ameyatoa hapa Mheshimiwa Naibu Waziri, lakinikwa umuhimu wa eneo lile niombe tu Mheshimiwa NaibuWaziri tupate nafasi twende sote kwa pamoja tutembeekatika kijiji kile tuone jiografia ya pale na umuhimu wake iliSerikali iweze kuona inaisaidia vipi Halmashauri ya Chamwinokatika kukamilisha zahanati ile.

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya RaisTAMISEMI, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA): MheshimiwaNaibu Spika, nakushukuru. Namshukuru Mheshimiwa Mbungewa Chamwino Makao Makuu ya Ikulu ya Nchi kwa kukubalina kutupongeza, lakini mimi nipo tayari sana wakati wowotemwezi huu wa Tano twende katika Jimbo lake tukatembee.Ahsante. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

3

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mary Pius Chatanda, swalila nyongeza.

MHE. MARY P. CHATANDA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru kwa kunipa nafasi ya kuuliza swali la nyongeza.Kijiji cha Kitifu kipo Kata ya Mgombezi kimejenga zahanatina kimekamilisha, isipokuwa tu tunaomba mtusaidie majengoya daktari pamoja na majengo mengine ambayohayajakamilika. Kwa hiyo, nilikuwa naomba sana, je,mtakuwa tayari kutusaidia angalau tuweze kupata fedhakwa ajili ya jengo la mganga?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya RaisTAMISEMI, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA): MheshimiwaNaibu Spika, nakushukuru. Naomba kwanza nimpongezeMheshimiwa Mbunge mwanamke wa Jimbo ambayeanafanya kazi kubwa sana pale Korogwe. Naombanimhakikishie kwamba mimi, Wizara na Serikali tupo tayarikuwasaidia Wabunge wanawake ili waendelee ku-maintainMajimbo yao. Tutafanya kazi hiyo. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Alex Gashaza, swali lanyongeza.

MHE. ALEX R. GASHAZA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru kwa kunipa nafasi niulize swali dogo la nyongeza.Wiki tatu zilizopita niliuliza swali kuhusu Zahanati ya Kigaramaambayo wananchi wamejenga kwa nguvu zao, miaka miwiliwamekamilisha OPD, lakini kuna upungufu wa choo nanyumba ya Mganga na haiwezi kufunguliwa kabla ya hivyo.

Mheshimiwa Naibu Spika, ni lini Serikali itawezakukamilisha majengo hayo yanayopungua ili Kituo hiki kiwezekutoa huduma kwa wananchi ambao wanahangaika mudamrefu?

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

4

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais,TAMISEMI, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA): MheshimiwaNaibu Spika, ahsante. Jambo hili tunalifahamu na kamanilivyojibu tangu wiki iliyopita ni kwamba tupo kwenyemchakato wa kupeleka fedha za kumalizia maboma yaZahanati na Vituo vya Afya na naomba jambo hili tulichukuekwa uzito, tutalifanyia kazi, Mheshimiwa Mbunge asiwe nawasiwasi. Ahsante.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana Mheshimiwa Hasna Sudi Katunda Mwilima, Mbunge waKigoma Kusini, sasa aulize swali lake. (Makofi)

Na. 201

Hitaji la Shule ya Kidato cha Tano na Sita – Mwambao waZiwa Tanganyika

MHE. HASNA S. MWILIMA aliuliza:-

Jiografia ya Halmashauri ya Uvinza ni mbaya nakusababisha wanafunzi wanaomaliza Kidato cha Nne kutokamwambao wa Ziwa Tanganyika kusafiri zaidi ya kilometa 200kufuata Shule za Kidato cha Tano na Sita zilizopo katikaukanda wa Reli:-

(a) Je, kwa nini Serikali isianzishe Shule za Kidato chaTano na Sita kwenye Kata nane za Ukanda wa ZiwaTanganyika ili kuwapunguzia usumbufu wanafunzi hao?

(b) Je, Serikali ina mpango gani wa kukarabati nakuongeza miundombinu katika Shule za Kidato cha Tano naSita Rugufu Wasichana na Wavulana ambazo miundombinuyake ni chakavu na haitoshelezi?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA) alijibu:-

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

5

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante. Kwa niaba yaWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, naomba nijibu swali laMheshimiwa Hasna Sudi Katumba Mwilima, Mbunge waKigoma Kusini, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:-

(a) Mheshimiwa Naibu Spika, Halmashauri ya Wilayaya Uvinza inaundwa na Tarafa tatu za Nguruka, Ilagala naBuhingu. Shule za Sekondari za Kidato cha I – IV ziko 20 (18 zaSerikali na 2 za binafsi) zote zikiwa na jumla ya wanafunzi11,622. Shule za Kidato cha Tano na Sita zipo tatu ambazo niLugufu Wavulana, Lugufu Wasichana, zote za Tarafa yaNguruka na Kalenge iliyopo Tarafa ya Ilagala.

Mheshimiwa Naibu Spika, suala la uanzishaji wa Shuleza Kidato cha Tano na Sita ni la kisera, lakini Serikaliinaendelea kuboresha na kupanua miundombinu katikaShule za Sekondari Buhingu katika Tarafa ya Buhingu naSunuka katika Tarafa ya Ilagala ambazo zinatarajiwakupandishwa hadhi na kuanza kutoa elimu ya Kidato chaTano na Sita ifikapo Julai, 2020.

(b) Mheshimiwa Naibu Spika, Shule za Sekondari zaLugufu Wavulana na Wasichana ni miongoni mwa Shule zaSekondari zilizoanzishwa kwenye maeneo yaliyokuwaMakambi ya Wakimbizi Mkoani Kigoma. Serikali kwakushirikiana na Halmashauri imekuwa ikitumia mapato yandani ya Halmashauri na kukamilisha vyumba vitatu vyamaabara za Sayansi.

Vile vile Serikali Kuu kupitia progrmu ya EP4R imepelekafedha za ukarabati wa matundu manane ya vyoo na shilingimilioni 150 kwa ajili ya ujenzi wa mabweni mawili mapyakupitia Mamlaka ya Elimu Tanzania.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Hasna Mwilima, swali lanyongeza.

MHE. HASNA S. MWILIMA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru kwa majibu ya Naibu Waziri na ninaishukuru piaSerikali kwa hiyo fedha ambayo imetuletea.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

6

Mheshimiwa Naibu Spika, nina maswali mawili yanyongeza. Swali la kwanza, ni kweli kwamba tunazo hizo HighSchool mbili kwa maana ya Lugufu Boys na Lugufu Girls. Shulehizi kama alivyosema Mheshimiwa Naibu Waziri, zimeanzishwakwenye majengo chakavu yaliyokuwa yakitumika nawakimbizi. Hali ya hizo shule ni mbaya sana na hata hiyoshilingi milioni 150 waliyoleta, yaani inakuwa haionekaniimefanya nini kutokana na mazingira halisi tuliyonayo pale.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, hata umeme na majikwenye hizi shule, hakuna. Sasa swali langu kwa Naibu Waziri:Je, ni lini sasa Serikali itaweza kutatua changamoto yamiundombinu iliyoko Lugufu Boys na Lugufu Girls sambambana kuwapelekea umeme na maji? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, swali langu la pili ni kwelikabisa kwamba Halmashauri inaangalia uwezekano wakuanzisha Kidato cha Tano na cha Sita kwenye Sekondarizetu za Buhingu na Sekondari ya Sunuka. Kwenye majibu yaMheshimiwa Naibu Waziri ameonyesha kwamba Halmashauriinatumia pesa zake za ndani. Sisi wote ni mashahidi, hali yakipato cha Halmashauri sasa hivi ni mbaya sana. Kwa hiyo,naiomba Wizara; swali langu ni: Je, Wizara haioni sasa nivyema ituletee fedha kwa ajili ya kuendeleza miundombinukwenye Shule ya Sekondari ya Sunuka na Shule ya Sekondariya Buhingu ili tuweze kuwa na Kidato cha Tano na cha Sita?(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais,TAMISEMI, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA): MheshimiwaNaibu Spika, nakushukuru. Kwanza naomba nimpongezeMheshimiwa Mbunge, hawa ni miongoni mwa Wabungejembe wanawake wa Majimbo ambao wanafanya kazikubwa sana kuwatetea Watanzania wenzao na hasa katika

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

7

suala zima la elimu na unaona anazungumza habari yawanawake ili na wao wafikie hatua kama yake.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali lake la kwanzaanataka kujua ni namna gari Serikali imejipanga kuboreshamajengo ya shule hasa ambazo amezitaja ambazo nichakavu. Ni utaratibu wa Serikali kuboresha majengo hayana bahati nzuri kwenye Bunge hili Tukufu ambalo linaendeleatumeishapitisha bajeti ya TAMISEMI na tuna fedha mle karibushilingi bilioni 90 ambayo itakwenda kufanyakazi EP4R. Kwahiyo, tutagawa fedha katika maeneo yale na ninamhakikishiaMheshimiwa Mbunge tutazingatia hili katika kupeleka fedhakwenye eneo hilo kwa shughuli ambayo ameitaja.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali lake la pil i,amezungumza habari ya Kidato cha Tano na Kidato cha Sita.Siyo kwamba Serikali imejitoa kushiriki. Tunachosema nikwamba Halmashauri lazima ianze. Kuna mambo ya msingikwa mfano ardhi, iwe na umiliki hatuna fedha ya kulipa fidia,lakini wachangie kupitia mapato yao ya ndani, nasi kamaWizara tunaongezea pale na kuboresha pamoja na kupelekawataalam na maabara nyingine. Kwa hiyo, tutachangiajambo hili ila walianzishe. Kipaumbele ni kwamba kila Tarafaangalau iwe na High School moja.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kusema kwambani muhimu tungeomba kuhimiza, pamoja na kuanzisha Shuleza Kidato cha Tano na cha Sita, ukweli ni kwamba hizi shuleni za Kitaifa, zikianzishwa maana yake utapeleka watotokutoka nchi nzima. Kwa hiyo, unaweza kubadilishamiundombinu mingine ili watoto wa eneo lile kama ni Uvinza,utaenda kuwasaidia Nguruka. Ni muhimu kuhimiza elimu yamsingi, sekondari, halafu wengine tunaenda huko mbele.

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, niwakumbushekuuliza maswali mafupi ili watu wengi wapate fursa. Ukiulizakwa kirefu maana yake nitakukata hapa mbele. MheshimiwaSelemani Moshi Kakoso.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

8

MHE. SELEMANI M. KAKOSO: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru kwa kunipa nafasi. Halmashauri ya Wilaya yaTanganyika wamejitahidi sana kwa kushirikiana na wananchi,wamejenga shule za sekondari zipatavyo sita, lakini kwabahati mbaya sana bado baadhi ya majengo hayajapatakuezekwa. Kwa hiyo, tulikuwa tunauliza, Serikali ina mchangogani wa kuwasaidia hao wananchi ambao wametumianguvu kubwa ili waweze kukamilisha hayo majengo? (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais,TAMISEMI, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA): MheshimiwaNaibu Spika, ahsante. Mwezi wa Pili mwanzoni tumepelekafedha zaidi ya shilingi bilioni 29.9 kumalizia majengo kwamaana ya maboma katika Shule za Sekondari. NinaaminiHalmashauri karibu zote, kuna baadhi ya maeneo tuhatukupeleka, lakini maeneo mengi tumepeleka.

Mheshimiwa Naibu Spika, kama nilivyosema kwenyejibu langu la msingi, ni kwamba vile vile mwaka huu wa fedhatuna miradi mingi na fedha ambazo zipo kwenda kumaliziamaboma. Sasa kama kuna changamoto katika eneo hilikama alivyosema Mheshimiwa Mbunge, tutazingatiamaombi yake ili tuweze kumalizia majengo haya na watotowetu waweze kukaa sehemu salama na waweze kupataelimu kama ambavyo ndiyo makusudio na matarajio yaSerikali ya Awamu ya Tano. Ahsante.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyoka,swali la nyongeza.

MHE. NAGHENJWA L. KABOYOKA: Mheshimiwa NaibuSpika, ahsante sana kwa kunipa nafasi hii. Hali ya Jimbo laSame Mashariki na Shule za High School haiko tofauti sanana ile ya Kigoma Kusini. Serikali ilishatupa hela ya kujengabweni la wasichana ili Kidato cha Tano kianze na bweni hilola kuchukua wanafunzi 80 limeisha. Sasa hivi wananchiwameshatengeneza matofali na wanaanza ujenzi wa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

9

kupandisha madarasa mawili ili Form Five ianze. Je, Serikaliinaweza kutusaidia katika vile vifaa kama mabati na kumaliziaumeme? Ahsante.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri nadhanimaswali mengi yanahusu nguvu za wananchi ambaowamefikia hatua fulani na kwa hiyo, nadhani ukitoa jibu laujumla ili Wabunge wapate picha kwamba hatua ambazowananchi wamezifikia huko, Serikali itachukua hatua gani?Kwa sababu naona maswali mengi yako hapo kwenyekuhusisha nguvu za wananchi lakini pia kuona mchango waSerikali utakuwa ni nini kwenye hizo nguvu ambazo wananchiwameshazitoa?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA): MheshimiwaNaibu Spika, ahsante. Kama ambavyo umesema,tunaposema Serikali inamalizia maboma, tumepigamahesabu maana yake ni pamoja na kumalizia majengoyenyewe, kuezeka kuweka madirisha na kuweka madawatindani ya vyumba vile. Tumekadiria karibu shilingi milioni12,500,000/= kila boma moja kukamilika.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa sababutumeshapeleka fedha mwezi wa Pili kama nilivyosema,ambapo sasa tunarajia watakuwa wanaendelea kumaliza,kwenye bajeti hii pia kuna mpango wa kupeleka fedha zakumalizia maboma ya Shule za Msingi na Sekondari. Kwa hiyo,nimtie moyo Mbunge kwamba tutapeleka fedha hizo. Hayoaliyozungumza ya umeme na miundombinu mingineitazingatiwa katika kurekebisha. Hiyo ni nchi nzima kwenyeMajimbo yote. Ahsante. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Dkt. Mary Nagu.

MHE. DKT. MARY M. NAGU: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru sana kwa kunipa nafasi. Mara chache nimeulizakwenye sehemu ya Walimu. Nnataka kuuliza, kwa nini kwenyeShule za Halmashauri na nje ya Halmashauri Walimuwanatengwa na wake zao wanapelekwa shule nyingine

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

10

hata zaidi ya kilomita 100? Hamwoni hiyo itaathiri familia ileya Walimu na kwamba ni hatari kwa watoto kupata mimba?(Makofi/Kicheko)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais,TAMISEMI, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA): MheshimiwaNaibu Spika, ahsante. Nia ya Serikali tungependa kila mtuakae na mwenza wake karibu, kwa maana kwamba mumeakae na mke na mke akae na mume. Hayo ndiyo yalikuwamapenzi na matarajio ya Serikali.

Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kwambaWaheshimiwa Wabunge wenyewe mmekuwa mkilalamikakwamba kuna maeneo mengine walimu hawapo kwasababu wanahama sana; na sababu kubwa ni hiyo kwambaanamfuata mume wake au mke wake au sababu nyinginezo.

Mheshimiwa Naibu Spika, tulisema, jambo hili baadaya kupata malalamiko hata kutoka kwa wananchi naWenyeviti wa Halmashauri, Madiwani, Wabunge nawananchi wengine, kwamba kuna upungufu na kwa hiyo,ikama hai-balance katika maeneo yetu. Serikali ikalichukuana kulifanyia kazi.

Mheshimiwa Naibu Spika, tunatengeneza mfumoambao kama Mwalimu anataka kuhama kutoka shule Akwenda shule B, pale anapotoka asilete shida, na hapoanapoenda asiende kujaza watu kuliko mahitaji yake. Mfumohuo unaikaribia mwisho. Ukikamilika, hii shida ya walimukuhama na ku-balance haitakuwa shida, tutaimaliza hilotatizo.

Mheshimiwa Naibu Spika, mfumo; hata Mbungeukiomba, ukiwaambia mkoa mzima usambazaji ukoje,Halmashauri ikoje, hakutakuwa na shida. Kwa hiyo, naombaMheshimiwa Mbunge avute subira. Pia Walimu wanalalamika

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

11

sana, kuna mambo mengi ya uhamisho. Tutayafanyia kaziyote na hii kero itaisha. Ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana Ofisi ya Rais Utumishi ya Utawala Bora. Mheshimiwa ZainabMussa Bakar, Mbunge wa Viti Maalum sasa uulize swali lake.

Na. 202

Haki ya Walimu Kupewa Increment Nchini

MHE. ZAINAB MUSSA BAKAR aliuliza:-

Walimu wote nchini wameingia katika Mkataba naMwajiri ambao pamoja na mambo mengine unaonyeshauwepo wa increment kila ifikapo mwezi Julai; tangu iingiemadarakani Serikali ya Awamu ya Tano Walimu hawajapewastahiki hiyo.

Je, ni lini Walimu watalipwa stahiki hiyo kamamalimbikizo au haki hiyo imeshapotea?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA - MHE. MWITA M. WAITARA (K.n.y. WAZIRIWA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMANA UTAWALA BORA) alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru. Kwa niaba yaWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi waUmma na Utawala Bora, naomba nijibu swali la MheshimiwaZainab Mussa Bakar, Mbunge wa Viti Maalum, kamaifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali imekuwa ikitekelezamiongozo mbalimbali iliyowekwa kuhusu maslahi ya walimuikiwa ni pamoja na kutoa nyongeza za mwaka za mishaharakulingana na utendaji mzuri wa kazi na kwa kuzingatiatathmini ya utendaji kazi ya kila mwaka.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

12

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mujibu wa kanuni E.9(1)ya kanuni za Kudumu katika Utumishi wa Umma za mwaka2009 Toleo la Tatu, Nyongeza ya Mwaka ya Mishaharahaipaswi kuombwa au kudaiwa na Walimu, bali Serikali ndiyoyenye uamuzi wa kutoa au kutotoa nyongeza hiyo kutokanana Sera za kibajeti kwa mwaka husika.

Mheshimiwa Naibu Spika, Watumishi wa Ummawakiwemo walimu wanastahili kupewa nyongeza ya mwakaya mshahara iwapo bajeti ya mishahara inaruhusu. Kutokanana ufinyu wa bajeti, nyongeza hiyo haikutolewa kwawatumishi katika mwaka wa fedha 2003/2004, 2004/2005,2008/2009, 2011/2012, 2012/2013 na 2016/2017. Hata hivyo,kwa kutambua utendaji mzuri wa kazi, Serikali ya Awamu yaTano ilitoa nyongeza ya mwaka ya mshahara kwa watumishiwote wakiwemo walimu katika mwaka 2017/2018.

Mheshimiwa Naibu Spika, ninapenda kuliarifu Bungelako Tukufu kuwa Serikali itaendelea kutoa nyongeza yamwaka ya mshahara kwa watumishi wote kadri uwezo wakulipa utakavyoruhusu. Hata hivyo, walimu hawapaswi kudaimalimbikizo ya nyongeza ya mwaka ya mshahara kwa miakaambayo nyongeza hiyo haikutolewa. Ahsante.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Zainab Bakar, swali lanyongeza.

MHE. ZAINAB MUSSA BAKARI: Mheshimiwa NaibuSpika, ahsante. Sijaridhika na majibu ya Serikali. Swali lakwanza, ni takribani miaka sita au saba huko nyuma, kwambahizo nyongeza hazitolewi na Serikali. Je, hatuoni kwambaSerikali inafanya makusudi kufinya bajeti ili kuwakoseshaWalimu hao nyongeza hizo za mishahara?

Mheshimiwa Naibu Spika, swali langu la pili, kama hiiipo kisheria, ni kwa nini Serikali inashindwa kutoa hiyonyongeza ya mishahara na mara ya mwisho imetoa lini?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, majibu.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

13

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA - MHE. MWITA M. WAITARA (K.n.y. WAZIRIWA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMANA UTAWALA BORA): Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru.Naomba nimjibu Mheshimiwa Mbunge maswali yake yanyongeza kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, nimesoma hapa kwenyejibu la msingi kwamba kulingana na kanuni za kiutumishiambazo watumishi wote Tanzania sio Walimu tu watumishiwote wanajua, kwamba Serikali inapanga kuamka, kwamfano kwaka huu wa fedha 2019/2020 kwenye bajeti yetu,kama hatukuuingiza kipengele cha nyongeza ya mishaharaambapo najua kuna tamko pale litatolewa kwenye Shereheza Mei Mosi, maana yake ni kwamba mwaka huu kamahawataongeza mishahara halipaswi kuwa deni. Hili kwamujibu wa kanunu za kiutumishi watumishi wote wanajua.

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya Serikalikutathimini, tumesema mara ya mwisho nyongeza yamishahara imetolewa mwaka 2017/2018, kwa hiyo hili kimsingisio deni. Serikali inapanga kuinua mapato yake kama kunauwezo wa kuongeza inaongeza na haya hayapaswi kuwamalalamiko.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kuwasilisha.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Zacharia Issaay, swali lanyongeza.

MHE. ZACHARIA P. ISSAAY: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru sana kwa kunipa nafasi. Pamoja na majibu mazuriya Serikali, moja ya tatizo linalopoteza morality ya utendajikazi katika watumishi wetu wa umma ni pamoja nakutokuweka wazi namna ambavyo Serikali italipa madeni yahuko nyuma ya watumishi wetu; na kwa kuwa kwa jambo hiliwatumishi wanakosa moyo wa kufanya kazi, je, Serikali haionisasa ni wakati muafaka wa kukaa na vyama vya wafanyakaziili waweze kuona namna gani ya kutatua tatizo hili la madeniya huko nyuma ili watumishi wetu wote waweze kufahamu

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

14

namna ambavyo Serikali kama mlezi wao na mwajiri waoitawatendea katika jukumu hili la kulipa madeni?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA - MHE. MWITA M. WAITARA (K.n.y. WAZIRIWA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMANA UTAWALA BORA): Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru.Naomba nijibu swali la nyongeza la Mheshimiwa Issaay,Mbunge wa Mbulu Mjini, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali imeshafanyia kazimadai ya Walimu na watumishi wengine na ilishakutana naviongozi wa vyama vya wafanyakazi na utaratibu upo wakuweza kulipa fedha hizi. Kwa sasa hakuna mgogoro katiSerikali na wafanyakazi, madeni yanajulikana. Tunatafutafedha na uwezo wa Serikali kuanza kulipa madeni haya. Hatahivyo tunalipa kila muda, sio kwamba bajeti ni kubwa kiasihicho, kwa hiyo madeni yanalipwa, lakini piatumeshakubaliana namna ya kwenda, deni halisi linajulikanakwamba kila mtu anadai kiasi gani na hilo linafanyiwa kazi.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Masoud Abdallah Salimusiwe unafanya fujo lakini Mheshimiwa Masoud unasimamatu sio lazima upige meza, karibu.

MHE. MASOUD ABDALLAH SALIM: Mheshimiwa NaibuSpika, nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuuliza swali mojala nyongeza. Kukosekana kwa nyongeza ya mwaka kwaWalimu na wafanyakazi wengine (annual increment)kunapelekea wakati wakistaafu wanakosa haki yao ya msingiya mafao ya kijumla, sambamba na pension yao wakatiwatakapostaafu.

Je, Serikali inawaambia nini Walimu ambao tayariwamestaafu mwaka jana na mwaka juzi ndani ya awamu

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

15

hii ambao sasa wamekosa hiyo increment ambapo inaendakuathiri mafao yao ya kustaafu na pension yao ya kila mwezi?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Tawala zaMikoa na Serikali za Mitaa, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA - MHE. MWITA M. WAITARA (K.n.y. WAZIRIWA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMANA UTAWALA BORA): Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru.Naomba nijibu swali la nyongeza la Mheshimiwa Masoudkama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nitoe maelezo kwaufupi sana. Jambo la kwanza kuna tofauti kati ya madai nanyongeza ya mishahara. Tumesema kwenye nyongeza yamshahara Serikali inapanga bajeti kulinga na mwaka husikawa bajeti. Kama hujaongezewa hilo sio deni la hupaswi kudaina nimejibu kwenye jibu la msingi.

Mheshimiwa Naibu Spika, pili, madeni, haya ndio hakiya watumishi kudai na utaratibu wake ni kama nilivyoelezanamna ya kuweza kuyafidia. Walimu hata juzi Waziri wa Nchiametoa tamko hapa, hata kupandisha madarajaimeelekezwa vizuri kwenye Waraka wa Waziri kwamba nimuhimu izingatiwe kama kuna watu wanakaribia kustaafuna hawajapandishwa daraja na wamekidhi vigezo, tuanzena hao.

Kwa hiyo hilo jambo la kuwa karibu na kustaafulimezingatiwa na hakuna mtu atakayenyimwa haki yake, denini deni hata kama mtu atakuwa amestaafu, atapewa natutakapoanza kulipa madeni kimsingi tunaangalia walewenye shida, wale waliostaafu ndiyo tunaanza kuwalipa nawengine wanaendelea. Ahsante.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, MheshimiwaSophia Hebron Mwakagenda, Mbunge wa Viti Maalum, sasaaulize swali lake.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

16

Na. 203

Ujenzi wa Barabara ya Mlima Nyoka-Songwe

MHE. SOPHIA H. MWAKAGENDA aliuliza:-

Je, ni lini ujenzi wa barabara ya mchepuo ya MlimaNyoka - Songwe yenye urefu wa kilometa 48.9 utaanzabaada ya ya usanifu na upembuzi yakinifu kukamilika?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano, majibu.

NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO(MHE. ELIAS J. KWANDIKWA) alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waUjenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, naomba kujibu swali laMheshimiwa Sophia Hebron Mwakagenda, Mbunge VitiMaalum, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, mradi wa ujenzi wabarababa ya mchepuo inayoanzia Uyole yaani Mlima Nyokahadi Songwe kilomita 48.9 ni mahsusi kwa ajili ya kupunguzamsongamano wa magari katika barabara kuu ya TANZAMkatika Jiji la Mbeya.

Mheshimiwa Spika, upembuzi na usanifu wa kina wabarabara hii ulikamilika chini ya usimamizi wa Ofisi ya Rais,TAMISEMI. Hata hivyo, ilionekana kuwa ipo haja ya kufanyamapitio ya usanifu huo ambao katika mwaka wa fedha 2018/2019 kiasi cha shilingi milioni 2.6 kimetengwakwa ajili kupitiana kukamilisha usanifu huo.

Mheshimiwa Naibu Spika, Mradi huu umeingizwakwenye mradi wa ukarabati wa barabara kuu ya TANZAMkuanzia Igawa hadi Tunduma unaofandhiliwa na Benki yaDunia kwa kushirikiana na Serikali.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

17

Mheshimiwa Naibu Spika, mkataba ulisainiwa tarehe18 Disemba, 2018 kati ya Wakala wa Barabara Tanzania(TANROADS) na Mhandisi Mshauri Studio International yaTunisia ikishirikiana na Global Professional Engineering Serviceya Tanzania kwa ajili ya kazi ya mapitio ya usanifu wa kinawa barabara hii. Kazi hii inatarajiwa kukamilika tarehe 18Februari, 2020. Hadi sasa Mhandisi Mshauri yupo eneo lamradi anaendelea na kazi.

Mheshimiwa Naibu Spika, kazi ya upembuzi yakinifuna usanifu wa kina wa barabara hii itakapokamilika na Serikalikupata fedha, ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lamiutaanza.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Sophia Mwakagenda, swalila nyongeza.

MHE. SOPHIA H. MWAKAGENDA: Mheshimiwa NaibuSpika kutokana na jibu la msingi la Wizara nataka kujuakwanza, je, Serikali haioni kwamba inapoteza muda katikautekelezaji wa miradi mbalimbali hususan miradi ya barabarakwa kufanya upembuzi yakinifu, usanifu kwa muda mrefu?

Mheshimiwa Naibu Spika, la pili, barabara hii nibarabara muhimu sana katika uchumi wa Mkoa wa Mbeyana Mkoa wa Songwe. Je, hawaoni kuna umuhimu wakuongeza muda wa kufanya kazi kwa haraka ili hii barabaraiweze kukamilika na wananchi wa mikoa hii miwili wawezekufaidika katika ujenzi wa kiuchumi katika Taifa hili laTanzania?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzina Mawasiliano, majibu.

WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO:Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kujibu maswali mawili yaMheshimiwa Mwakagenda, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, upembuzi yakinifu, usanifuwa kina utaratibu wa manunuzi na ujenzi ni utaratibu wa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

18

kimataifa na maana yake ni kuhakikisha kwamba hiyo kituinaitwa value for money inapatikana vizuri kwa sababumsipofanya taratibu mkaainisha mahitaji yote, matokeo yakendio kufanya upembuzi ambao ni pungufu na mkiingia tendamnaweza msipate value for money.

Mheshimiwa Naibu Spika, hata hivyo, hoja yake yakwenda haraka Serikali inaenda haraka ili kuhakikisha nasehemu kubwa ni msongamano wa pale Mbeya Mjini, ndiomaana tunataka kuchepusha ili tutajenga mchepuo kwa ajiliya malori, lakini pale katikati kwa ajili ya kupanua ilimsongamano usiwe mkubwa pale mjini Mbeya.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Victor KilasileMwambalaswa, swali la nyongeza.

MHE. VICTOR K. MWAMBALASWA: Mheshimiwa NaibuSpika, nakushukuru sana. Pamoja na majibu na mazuri sanaya Mheshimiwa Waziri na Naibu Waziri; kwa kuwa MheshimiwaNaibu Waziri alikuwepo Mbeya kwenye ziara na MheshimiwaRais Mkoani Mbeya na aliona mwenyewe msongamanoulivyo kwa barabara hiyo ya TANZAM, ambayo kwa kweliinahudumia sio Mikoa ya Mbeya na Songwe tu, ni nchi nzimapamoja na nchi ya DRC, Zambia, Malawi pamoja na nchizingine.

Je, Serikali ina mpango gani wa kuanza ujenzi wabarabara hiyo kwa fedha yake yenyewe ikisubiri fedha zaBenki ya Dunia?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzina Mawasiliano, majibu.

WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO:Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kujibu swali moja dogo lanyongeza la Mheshimiwa Mwambalaswa, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, hatuwezi kuanza kabla yakukamilisha usanifu, lakini suala la msongamano wa magarilina solution nyingi pia ukisimamia taratibu za kiusalama na

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

19

ndio maana tuna Jeshi la Polisi bado wanameneji vizuri ilimsongamano ule usiwe mkubwa na ndio maanamsongamano upo kwa muda fulani fulani tu, lakini mudamwingine panakuwa pamekaa vizuri.

Mheshimiwa Mwambalaswa, hili tunalifanyia kazi,Serikali inatambua hiyo changamoto, kwa hiyo asiwe nawasiwasi, baada ya muda mambo yote yatakwenda vizuri.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Allan Kiula, swali lanyongeza.

MHE. ALLAN J. KIULA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru kwa kunipa nafasi hii. Kwa kuwa daraja Sibiti sasalimekamika kwa maana magari yanapita pale juu naMheshimiwa Rais alitoa ahadi ya ile lami, sasa tungependakujua kwamba ujenzi wa hizo kilomita 25 za lami umefikiawapi?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzina Mawasiliano, majibu.

WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO:Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kujibu swali moja dogo lanyongeza la Mheshimiwa Kiula kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kabisa Daraja laSibiti limekamilika na tayari tumesaini mkataba na mkandarasiyule yule ili aweze kujenga zile kilomita 25 za lami. Kwa hiyo,fedha ipo na mkandarasi yupo na mkataba umesainiwa,anaendelea kujenga kwa kiwango cha lami hizo kilomita 25.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana.

Waheshimiwa Wabunge, tunaendelea na Wizara yaHabari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, MheshimiwaLivingstone Joseph Lusinde, Mbunge wa Mtera, swali lakelitaulizwa kwa niaba na Mheshimiwa Felister Bura.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

20

Na. 204

Hitaji la Maktaba ya Kumbukumbu ya MwalimuNyerere – Dodoma

MHE. FELISTER A. BURA (K.n.y. MHE. LIVINGSTON J.LUSINDE) aliuliza

Kwa kuwa Serikali imehamia Dodoma, je, kwa niniSerikali isijenge Maktaba yenye kumbukumbu za kazi za Babawa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambayopia itakuwa sehemu ya utalii kwa watu wa ndani na nje yaMkoa wa Dodoma?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, majibu.

NAIBU WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NAMICHEZO: Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waHabari, Utamaduni na Michezo, napenda kjibu swali naMheshimiwa Livingstone Lusinde, Mbunge wa Mtera, kamaifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali kwa kuzingatiaumuhimu wa kuhifadhi kumbukumbu za Waasisi wa Taifaambao ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na HayatiAbeid Aman Karume, ilitunga Sheria ya Kuwaenzi Waasisi yamwaka 2004. Sheria hii inaelekeza uhifadhi wa kumbukumbuhizo na kuanzishwa kwa kituo cha kutunza kumbukumbu.Aidha, Umoja wa Afrika uliiteua Tanzania mwaka 2011 kuwaMratibu wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrikaambayo, pamoja na mambo mengine, imetoa kipaumbelekatika uhifadhi wa kazi ambazo alifanya Baba wa Taifa namashujaa wenzake katika ukombozi wa Afrika.

Mheshimiwa Naibu Spika, ni katika msingi huo Serikalikwa kushirikiana na UNESCO, imekarabati studio za iliyokuwaRedio Tanzania Dar es Salaam zilizopo barabara ya Nyererena kuwa kituo adhimu cha kuhifadhi na rejea ya kazi za Babawa Taifa. Serikali vilevile, inaunga mkono juhudi za taasisi

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

21

kadhaa nchini katika kuhifadhi amali za urithi wakumbukumbu za Baba wa Taifa. Baadhi ya taasisi hizo ni kamaifutavyo:-

Maktaba ya Taifa, Dar es Salaam; Makumbusho yaTaifa, Dar es Salaam; Makumbusho ya Mwalimu Nyerere,Butiama; Ofisi ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa; Taasisiya Mwalimu Nyerere; na Vituo vya Television vya TBC na ITV.

Mheshimiwa Naibu Spika, katika utekelezaji waProgramu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika, Serikaliimeteua Wilaya ya Kongwa, Dodoma kuwa Kituo Kikuu chaKumbukumbu za Ukombozi wa Nchi yetu ambapomiundombinu kadhaa ya uhifadhi wa historia itajengwazikiwemo kazi adhimu za Baba wa Taifa. Ahsante.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Felister Bura, swali lanyongeza.

MHE. FELISTER A. BURA: Mheshimiwa Naibu Spika,naipongeza Serikali kwa majibu mazuri ambayo tumeyapata.Pamoja na majibu hayo, nina maswali mawili madogo yanyongeza. Swali la kwanza, tunaipongeza Serikali kwa uamuziwa kujenga Kituo Kikuu cha Kumbukumbu Wilayani Kongwakwa sababu Kongwa ina historia ya wapigania uhuru. Je,kituo hicho kitaanza kujengwa lini?

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, kwa kuwaushirikishwaji wa wadau huharakisha shughuli za maendeleona nimeona katika Maktaba ya Chuo Kikuu cha Dar esSalaam wadau wameshirikishwa, Wachina wamejengamajengo mazuri na makubwa pale chuo kikuu Dar es Salaam.Je, Serikali ina mpango wowote wa kushirikisha wadau ilijengo hilo likamike katika uongozi wa Awamu ya Tano?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo.

NAIBU WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NAMICHEZO: Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza nichukue nafasi

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

22

hii kumpongeza Mheshimiwa Felister Bura kwa niaba yaMheshimiwa Livingstone Lusinde kwa maswali yake mazuriya nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, nil ianza na kwanzaameanza kwa kutoa pongezi kwa Wizara, tumepokeapongezi hizo. Vile vile swali lake la msingi la kwanza ametakakujua, je, ni lini kituo hicho kitaanza kujengwa rasmi. Tayariujenzi wa hiyo kituo ulishaanza na tulishaanza tangu mwaka2015 ambapo ukarabati wa hicho kituo ulianza. Hata hivyo,kwa sababu ni suala la kibajeti na kwenye bajeti yetu yamwaka jana kuna fedha ambayo ilitengwa kwa ajili yakwenda kukarabati kituo hicho. Kwa hiyo, naomba nichukuenafasi hii kuweza kumhakikishia Mheshimiwa Bura kwambaukarabati wa hicho kituo na kuweka miundombinu mingineunaendelea.

Mheshimiwa Naibu Spika, hii ni kwa sababu lengo laWizara ni kuhakikisha kwamba hicho kituo kinakuwa piacenter kwa ajili ya masuala mazima ya utalii. Kwa hiyomipango ambayo ipo pale ni mikubwa mpango mmojawaponi kuhakikisha kwamba tunajenga kituo cha ndege lakinivilevile tuweze kujenga hotel za five stars pale ili kiweze kuwakituo kikubwa cha masuala ya utalii.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali lake pili ametaka kujuakwamba kuhusiana na kuweza kushirikisha wadau. Kamaambayo nimejibu kwenye jibu langu la msingi ni kwamba sisikama Wizara suala hili hatufanyi peke yetu tumekuwatukishirikiana na wadau. Kwa hiyo, nitumie fursa hii kuwezakuwahamsisha wadau mbalimbali waweze kushiriki katikakuhakikisha kwamba tunatunza hizi kumbukumbu za MwalimuNyerere. Ahsante.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mwanne Mchemba, swalila nyongeza.

MHE. MWANNE I. MCHEMBA: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante kwa kunipa nafasi ili niweze kuuliza swali la dogonyongeza. Kwa kuwa Serikali imetamka Vituo vya

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

23

Kumbukumbu ya Baba wa Taifa na kadhalika, lakini Mkoawa Tabora una historia kubwa, nilitegemea kwamba leoMheshimiwa Waziri atatamka kwamba Tabora nayo iwemokatika orodha ya Kumbukumbu ya Baba wa Taifa. Nasemahivi kwa sababu uhuru na maelekezo mengine yote ya Babawa Taifa yalitoka Mkoa wa Tabora, karata tatu zimetokaMkoa wa Tabora. Baba Taifa ameacha historia kubwa katikaMkoa wa Tabora kwa kusoma na kadhalika.

Kwa hiyo, kwa kutokuweka orodha ya Kituo chaTabora kukitambua rasmi kwa kweli hawautendei haki Mkoawa Tabora. Je, ni lini sasa Serikali itaingiza katika orodha yaKumbukumbu ya Baba wa Taifa kwenye vituo hivyo ambachovimetamkwa hivi leo?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo.

NAIBU WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NAMICHEZO: Mheshimiwa Naibu Spika, nimshukuru sanaMheshimiwa Mwanne Nchemba, mama yangu kwa maswaliya nyongeza. Napenda nitumie fursa hii kumhakikishiakwamba kwa suala hili la uhifadhi wa Kumbukumbu zaMwalimu Nyerere kitu ambacho kama Wizara tunafanya, kwasababu tulitaka tufanye katika mapana makubwa, tunayosasa hivi Programu yetu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara laAfrika.

Kwa hiyo, kupitia hiyo pragram Mkoa wa Tabora nimkoa mmojawapo kati ya mikoa 15 ambayo imeteuliwa naWizara ili kuweza kuyabaini yale maeneo maalum ambayoyallitumika katika ukombozi wa Bara la Afrika. Kwa hiyo Mkoawa Tabora upo, lakini ni katika ile Program kubwa yaUkombozi wa Bara la Afrika. Ahsante.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, MheshimiwaMohammed Juma Khatibu, Mbunge wa Chonga, sasa aulizeswali lake.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

24

Na. 205

Askari Polisi Kutesa Watuhumiwa

MHE. MOHAMMED JUMA KHATIB aliuliza:-

Je, ni katika mazingira gani Askari Polisi anapaswa auhulazimika kumtesa Mtuhumiwa wa makosa mbalimbaliwakati akiwa mikononi mwake au kwenye Kituo cha Polisi?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Mamboya Ndani ya Nchi, majibu.

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waMambo ya Ndani ya Nchi, napenda kujibu swali laMheshimiwa Mohammed Juma Khatibu, Mbunge waChonga, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mujibu wa Sheria yaMwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura ya 20, kifungu cha 11kinaelekeza namna ya ukamataji. Aidha, kifungu hiki mahsusicha ukamataji, hakimruhusu askari kumpiga au kumtesamtuhumiwa wa makosa mbalimbali wakati akiwa mikononimwa Polisi au kwenye Kituo cha Polisi.

Mheshimiwa Spika, Kanuni za Kudumu za Utendaji waJeshi Polisi la (PGO) zinakataza na kuelekeza utendaji mzuriwa Askari Polisi, ambapo askari yeyote atakapobainikakufanya vitendo vya kumpiga au kumtesa mtuhumiwahuchukuliwa hatua za kunidhamu ikiwepo kufukuzwa kazi naau kufikishwa Mahakamani.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mohammed Khatib, swalila nyongeza.

MHE. MOHAMMED JUMA KHATIB: Mheshimiwa NaibuSpika, pamoja na majibu hayo nina maswali ya nyongeza.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

25

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la kwanza, kwa mujibuwa Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai pamoja naKanuni za Utendaji wa Jeshi Polisi bado jambo hili linaendeleana ni sugu sana.

Je, Serikali haioni kwamba iko haja ya kubadili mfumowa utendaji kazi wa Polisi likaingizwa suala la haki zabinadamu ili kuwa-conscientious Polisi katika utendaji waowa kazi wakazizingatia hizo haki za binadamu? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini swali la pili, kwa kuwaKatiba yetu inakataza uteswaji na pia kwa kuwa kunaMkataba wa Kimataifa wa Convention Against Torture, je,Serikali haioni kwamba iko haja ya kuridhia Mkataba huu ilihawa watu wanaoteswa wakapata fursa ya kwenda kushtakikatika Mahakama za Kimataifa? Ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Mamboya Ndani ya Nchi, majibu.

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI:Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kujibu maswali mawili yanyongeza ya Mheshimiwa Mohamed Khatib, kamaifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusiana na pendekezolake la kuubadili mfumo, tunadhani tatizo siyo mfumo, mfumowa Jeshi letu la Polisi uko vizuri kwani Askari Polisi kablahajaajiriwa tuna utaratibu mzuri wa kutoa mafunzo. Mojakatika mambo ambayo tunayazingatia kuwaelimishakuhusiana na sheria na kanuni pamoja na kutenda kazi zaokwa uadilifu kwa kufuata sheria na kanuni hizo.

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini inapotokeachangamoto ambazo zinahusu ukiukwaji wa sheria, nimatatizo ya baadhi ya Askari mmoja mmoja. Kama nilivyojibukatika swali lake la msingi kwamba tunapogundua kwambakuna Askari ambaye anafanya vitendo hivyo vya kunyanyasaraia huwa tunachukua hatua mbalimbali ikiwemo kuwashtakina kuwafukuza kazi.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

26

Mheshimiwa Naibu Spika, kimsingi kwa maelezo hayonaona nimejibu maswali yake yote mawili kwa pamoja.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Aida Khenani, swali lanyongeza.

MHE. AIDA J. KHENANI: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru. Kumekuwa na malalamiko kutoka kwawatuhumiwa wanaoteswa wakiwa mikononi mwa Polisi kwalengo la kulazimishwa kusema ukweli, hasa ule ambao Polisiwanautaka wakati mtuhumiwa ana haki ya kutoa hoja yakeau kuzungumza ukweli akiwa na Wakili au Mahakamani.

Je, Serikali haioni ni muda muafaka wa kufuatiliamateso haya ambayo watuhumiwa wanapewa na Askari ilikuondoa malalamiko haya?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Mamboya Ndani ya Nchi, majibu.

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI:Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kujibu swali la nyongezala Mheshimiwa Aida Khenani, Mbunge wa Viti Maalum, kamaifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mujibu wa Sheria yaUshahidi ya mwaka 1967, kifungu cha 31, inaeleza kuhusunamna ambavyo Polisi wanaweza kutumia nguvu kiasi katikakumhoji mtuhumiwa ili waweze kupata ushahidi. Pia sheriahiyohiyo inaeleza kwamba ushahidi ambao utapatikana silazima Mahakama uuzingatie, Mahakama itazingatia ukweliwa jambo husika. Tafsiri yake ni nini? Tafsiri yake ni kwambainapelekea kuwa-discourage Polisi kutumia nguvu katikakupata ushahidi.

Mheshimiwa Naibu Spika, nimezungumza katika jibula msingi la swali kwamba tunapogundua kwamba kuna raiaambaye amefanyiwa vitendo ambavyo si kwa kibinadamuna Polisi basi sisi huwa tunachukua hatua. Tunaomba tutoewito na rai kwa wananchi wote pale itakapotokea wananchi

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

27

kupata madhara kama hayo basi wachukue hatua stahikiza kutoa taarifa ili tuweze kuchukua hatua. Hatuwezikuliruhusu au kukubali wananchi wetu wanyanyaswe nabaadhi ya skari wetu ambao pengine hawafuati maadili yakazi zao.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana swali la Mheshimiwa Daniel Edward Mtuka, Mbunge waManyoni Mashariki.

Na. 206

Ajali za Barabarani Singida

MHE. DANIEL E. MTUKA aliuliza:-

Kumekuwa na ajali za barabarani za kutisha katikaMilima ya Sukamahela eneo la Mbwasa, Manyoni naSekenke Shelui:-

(a) Je kwa kipindi cha miaka miwili yaani 2016 na 2017,ni ajali ngapi zimetokea katika milima tajwa?

(b) Je, ni watu wangapi wamepoteza maisha nawangapi walijeruhiwa katika kipindi hicho?

(c) Je, Serikali inatoa tamko gani ili kupunguza aukukomesha kabisa ajali katika maeneo haya ndani ya Mkoawa Singida?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Mamboya Ndani ya Nchi, majibu.

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waMambo ya Ndani ya Nchi, napenda kujibu swali laMheshimiwa Daniel Edward Mtuka, Mbunge wa ManyoniMashariki, lenye sehemu (a), (b) na (c), kama ifuatavyo:-

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

28

(a) Mheshimiwa Naibu Spika, jumla ya ajali 28zimetokea katika kipindi cha miaka miwili yaani tarehe 1Januari, 2016 mpaka tarehe 31 Disemba, 2017 katika sehemuhiyo ambayo Mheshimiwa Mbunge ameitaja.

(b) Mheshimiwa Naibu Spika, jumla ya watu 33wamepoteza maisha na jumla ya watu 26 walijeruhiwa katikakipindi tajwa.

(c) Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali kupitia Jeshi laPolisi inawataka madereva kuwa makini wanapoendeshavyombo vya moto barabarani na wazingatie sharia, kanuni,taratibu na alama na michoro ya barabarani. Pia waendeshekwa kuzingatia udereva wa kujihami (defensive driving) ilikuepusha ajali, kwani ajali nyingi zinazotokea katika maeneohaya zinasababishwa na uzembe wa madereva, ubovu wamagari, uchovu wa madereva hususani kwenye uwepo wakona kali, milima na miteremko mikali.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Daniel Mtuka, swali lanyongeza.

MHE. DANIEL E. MTUKA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru kwa majibu mazuri ya Serikali lakini nina maswalila nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la kwanza, uzembena uchovu wa madereva, ubovu wa barabara, hii ni kampeniya kila siku ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuzuiaajali lakini katika eneo hili bado ajali zinaendelea kutokea.Nilidhani labda Wizara ya Ujenzi itoe jibu la kiufundi zaidi kwamaana ya kurekebisha eneo hilo. Je, Serikali kupitia Wizaraya Ujenzi iko tayari kufanya usanifu upya katika eneo hilo nakufanya marekebisho ili kupunguza ajali? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, kwa kuwa ajalizimekuwa nyingi sana katika eneo hilo, kwa mfano magariya mafuta yamekuwa yakidondoka pale na moto unalipuka,majeruhi ni wengi lakini tumekuwa na tatizo la magari yazimamoto pamoja na ambulance.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

29

Je, Serikali iko tayari kutuletea magari ya zimamotopamoja ambulance katika Wilaya ya Manyoni? Ahsante.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano, majibu.

NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO(MHE. ELIAS J. KWANDIKWA) Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru kwa kunipa nafasi niweze kujibu swali la nyongezakwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Ndani.

Mheshimiwa Naibu Spika, Mheshimiwa Mbungeatakubaliana nami kwamba kabla ya ujenzi wa barabarakatika eneo ambalo analitaja, ajali zilikuwa nyingi sana kulikoilivyo sasa. Pamoja na ajali kuendelea kutokea, sisi Wizara yaUjenzi baada ya ujenzi mara zote huwa tunaendelea kufanyatafiti ili kuona changamoto mbalimbali zinazojitokeza katikabarabara.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, nikubaliane naMheshimiwa Mbunge eneo ambalo analitaja tutawekamsukumo mkubwa tuone kwa nini hizi ajali zinaendeleakutokea kutokana na hali ilivyo pale ili tuweze kuchukuahatua muafaka. Ni muhimu tu niendelee kusisitiza kama ilivyokwenye jibu la msingi watumiaji wa barabara maeneo yotewazingatie alama za barabarani zinazowekwa kwa sababumaeneo ambayo ni hatari, sisi Wizara ya Ujenzi tumejitahidikuweka alama kutoa tahadhali kwa watumiaji wa barabaraili muda wote tuwe salama tukiwa barabani.

Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kumwambiaMheshimiwa Mtuka kwamba eneo hilo tutaliangalia kwamacho mawili ili tuone nini la kufanya. Hata hivyo, jambo hililazima tushirikiane na watumiaji wengine wa barabara.Ahsante sana.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Fatma Toufiq, swali lanyongeza.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

30

MHE. FATMA H. TOUFIQ: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana kwa kunipa fursa ya kuuliza swali la nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, zipo taarifa kuwa vituovikubwa vinapima ulevi lakini kuna baadhi ya madereva wamagari makubwa wenye kuendesha masafa marefuwanavyopata muda wa kupumzika vituo vya njianiwanakesha wakinywa pombe na kusababisha ajali.

Je, Serikali ina mkakati gani wa kuwadhibiti maderevahawa ili kupunguza ajali za barabarani? (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Mamboya Ndani ya Nchi, majibu.

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI:Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kujibu swali laMheshimiwa Fatma Toufiq, Mbunge wa Viti Maalum, Mkoawa Dodoma, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, hatua ambazo tunachukuakatika kudhibiti madereva walevi, likiwemo kusimamishamagari hasa haya ambayo amezungumza yanayobebaabiria na mizigo na kuwapima vilevi.

Mheshimiwa Naibu Spika, tumekuwa tukifanya kazihiyo maeneo mbalimbali nchini na kwa kiwango kikubwatumefanikiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa aina yamadereva ambao wanaendesha magari hali wakiwawamelewa. Pale ambapo tunawabaini basi hatua za kisheriazinachukuliwa dhidi yao.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana Wizara ya Kilimo, Mheshimiwa Taska Restituta Mbogo,Mbunge wa Viti Maalum, sasa aulize swali lake.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

31

Na. 207

Kupeleka kwa wakati Pembejeo katika Mkoa wa Katavi

MHE. TASKA R. MBOGO aliuliza:-

Mkoa wa Katavi unapata mvua za masika kuanziamwezi Septemba na Oktoba lakini mara nyingi pembejeozimekuwa zikichelewa kupelekwa wakati mwingine hadimwezi Novemba:-

Je, Serikali ina mpango gani wa kupeleka kwa wakatipembejeo Mkoani Katavi?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Kilimo,majibu.

NAIBU WAZIRI WA KILIMO (MHE. OMARY T. MGUMBA)alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waKilimo, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Taska RestitutaMbogo, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inatumia Mfumo waUnunuzi wa Mbolea kwa Pamoja (Bulk Procurement System –BPS) kuagiza mbolea ya kupandia (DAP) na mbolea yakukuzia (UREA). Mfumo huo unawezesha upatikanaji wambolea kwa wakati na kwa bei nafuu na kudhibiti upandishajiwa bei za mbolea kiholela.

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inakamilisha zabuniya kuagiza mbolea tani 280,000 ambapo tani 170,000 nimbolea ya kupandia na tani 110,000 ni mbolea ya kukuziakwa ajili ya msimu wa 2019/2020 kupitia mfumo wa BPS.Mbolea hiyo inatarajiwa kufikishwa hapa nchini mwezi Agosti,2019 na kusambazwa kwa wakulima wa Mkoa wa Katavi naMikoa mingine nchini kabla ya mwezi Septemba.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

32

Mheshimiwa Naibu Spika, vilevile, ziada ya mboleailiyopo nchini inaendelea kusambazwa katika maeneombalimbali kulingana na msimu wa kilimo, ambapo haditarehe 30 Machi, 2019 kulikuwa na mbolea tani 147,913 zambolea zote.

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali kupitia Wizara yaKil imo imeyaelekeza makampuni yanayoingiza nakusambaza mbolea ya Premium Agrochem, OCP na ExportTrading Group kuhakikisha kwamba ifikapo Julai, 2019kampuni hizo ziwe na maghala ya kuhifadhia mbolea namawakala wa kusambaza mbolea katika mikoa inayotumiambolea kwa wingi ukiwemo Mkoa wa Katavi ili kuondoachangamoto ya upungufu wa mbolea kwa wakulima katikamaeneo hayo.

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali imelielekeza Shirikala Reli Tanzania kutoa kipaumbele cha kusafirisha mbolea ilikusafirisha mbolea nyingi kwa wakati mmoja na gharamanafuu ili kumfikia mkulima kwa wakati na bei nafuu.

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inakusanya mahitajiya mbegu bora na viuatilifu katika mikoa mbalimbali ilikuhamasisha kampuni na wafanyabiashara kupelekapembejeo hizo kwa wakulima kabla ya msimu wa kilimokuanza na wakati na kwa kuuza kwa bei ya mauzo na beinafuu.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Taska Mbogo, swali lanyongeza.

MHE. TASKA R. MBOGO: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante. Pamoja na majibu mazuri ya Naibu Waziri wa Kilimo,ninayo maswali maswali mawili ya nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la kwanza, kwa kuwaMfumo wa Uagizaji wa Mbolea kwa pamoja unatumika tukwa mbolea za DAP na UREA. Je, ni kwa nini sasa Serikaliisitumie mfumo huu kwa kuagiza mbolea nyingine za NPK,CAN, SA na pembejeo nyingine? (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

33

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, kwa kuwa Mkoawa Katavi ni umbali wa kama kilimita 1,500 kutoka Dar esSalaam, kwa hiyo, mbolea inaposafirishwa na magariinakuwa na bei juu zaidi.

Ni kwa nini sasa Serikali isiweke utaratibu wa kusafirishambolea hiyo kwa njia ya treni ili mkulima wa Mkoa wa Kataviapate bei nafuu ya mbolea? (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa Naibu Waziriwa Kilimo, majibu.

NAIBU WAZIRI WA KILIMO (MHE. OMARY T. MGUMBA):Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru. Napenda kujibu maswalimawili ya nyongeza ya Mheshimiwa Taska Mbogo, kamaifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Mheshimiwa Taska Mbogoalitaka kujua kwa nini Serikali tusitumie Mfumo huu wa Uagizajiwa Mbolea kwa Pamoja (BPS) kwa mbolea zingine kama NPK,CAN na SA. Kwanza, mfumo huu tumeanza kuutumia mwakajana na umeonyesha matokeo mazuri. Tusingeweza kuingizambolea zote kwa wakati mmoja lakini baada ya mafanikiotuliyoyaona katika mfumo huu, mwaka huu tumeshaanzakuutumia mfumo huu kwa ajili ya mbolea ya NPK kwawakulima wa tumbaku na sasa tutaendelea na utaratibu ilikuingiza mbolea tajwa, viuatilifu na pembejeo zingine katikamfumo wa BPS ili kurahisisha upatikanaji wa mbolea kwaharaka na bei nafuu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, swali lake la pili, anasemakwa sababu Mkoa wa Katavi uko mbali na Dar es Salaam, nivizuri tungesafirisha mbolea hizi kwa njia ya treni ili kupunguzagharama za usafiri. Tunachukua mawazo haya natulishayafanyia kazi, tangu mwaka jana kama nilivyosemahii mbolea ya NPK tuliisafirisha kwa kutumia treni na gharamaza usafiri zilishuka na mbolea hii kufika kwa wakulima kwawakati. Mawazo yake tunayachukua ili tuyahamishie katikamazao mengine. Kama nilivyojibu kwenye swali langu lamsingi, tayari tumeshalielekeza Shirika letu la Reli Tanzania ili

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

34

kutoa kipaumbele kwenye kusafirisha bidhaa ya mbolea ilikushusha gharama za usafiri.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Joram Hongoli swali lanyongeza.

MHE. JORAM I. HONGOLI: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana kwa kunipa nafasi ili niweze kuuliza swali lanyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, zaidi ya asilimia 75 yawananchi wa Tanzania ni wakulima na wanaishi maeneo yavijijini. Hawa wafanyabiashara aliowataja Mheshimiwa NaibuWaziri wenye makampuni wanaonunua mbolea hizi,wamekuwa wakinunua na kuziweka mjini na inawapasawakulima sasa watoke vijijini kwenda kununua hizo mboleamjini kitu ambacho kimekuwa kikiwasababishia gharama zambolea kupanda sana? Je, Serikali ina mkakati gani wakuhakikisha kwamba mbolea hizi zinapatikana kwenya Kataau Tarafa? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mfano, Halmashauri yaWilaya ya Njombe tuna maghala na maeneo mengi yaNjombe kuna maghala kwenye Kata hizi. Je, Serikali inampango gani il i kuhakikisha hawa wafanyabiasharawanapeleka mbolea hizi kwenye Kata ili gharama zausafirishaji ziweze kupungua kwa wakulima? Ahsante sana.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Kilimo,majibu.

NAIBU WAZIRI WA KILIMO (MHE. OMARY T. MGUMBA):Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru. Napenda kujibu swalila Mheshimiwa Joram Hongoli, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli wakulima wengiwanaishi vijijini na kama nilivyojibu kwenye swali la msingi,tumeshayaelekeza makampuni yote yanayoingiza mboleahapa nchini na wasambazaji wawe na mawakala kila Mkoa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

35

na Wilaya na pia wawe maghala ili kuwezesha mbolea hizizinapoingia Dar es Salaam kufika kwenye mikoa yoteinayotumia mbolea kwa wingi. Pia tumevielekeza Vyama vyaMsingi vya Ushirika na Vyama Vikuu, kuwa mawakala kwaajili ya usambazaji wa mbolea kwenye Kata na Vijiji katikaMikoa na Wilaya zinazolima mazao mbalimbali.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana Wizara ya Viwanda na Biashara, Mheshimiwa EzekielMagolyo Maige, Mbunge wa Msalala sasa aulize swali lake.

Na. 208

Ujenzi wa Kiwanda cha Kuunganisha na Ku-coat Mabomba

MHE. EZEKIEL M. MAIGE aliuliza:-

Serikali ya Tanzania ni mdau mkubwa wa Mradi waBomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima (Uganda) hadi Tangana Serikali pamoja na wawekezaji katika mradi huuwalishateua eneo la kujenga kiwanda cha kuunganisha naku-coat mabomba katika Mji Mdogo wa Isaka.

Je, ni hatua gani imefikiwa katika ujenzi wa kiwandahicho?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Nishati kwaniaba ya Waziri wa Viwanda na Biashara, majibu.

NAIBU WAZIRI WA NISHATI (K.n.y. WAZIRI WA VIWANDANA BIASHARA) alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waViwanda na Biashara, napenda kujibu swali la MheshimiwaEzekiel Magolyo Maige, Mbunge wa Msalala, kamaifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, mradi wa ujenzi wa Bombala Mafuta Ghafi kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga(Tanzania) linalojulikana kama bomba la Afrika Mashariki (East

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

36

Africa Crude Oil Pipe – EACOP Project) umeainisha maeneoya ardhi kwa ajili ya kazi za awali. Maeneo hayo yanazingatiavipaumbele vya mradi ikiwa ni pamoja na ujenzi wamiundombinu ya kiwanda cha upigaji rangi mabomba uliopokati ya Kijiji cha Sojo, Kata Igusule, Wilaya ya Nzega, Mkoawa Tabora karibu na eneo la reli inayoenda Isaka.

Mheshimiwa Naibu Spika, ujenzi wa kiwanda hichomuhimu katika mradi wa bomba utaanza mara tu baada yakukamilika kwa zoezi la kuthaminisha na kutoa ardhi husikana kukabidhiwa mkandarsi wa ujenzi. Kwa sasa, taratibu zautoaji ardhi ziko katika hatua za mwisho na zinatarajiakukamilika mapema mwezi Julai, 2019. Mkandarasianatazamia kukabidhiwa eneo la mradi na kupeleka vifaamwezi Septemba 2019. Aidha, mpango wa usimamizi wamazingira na jamii umekamilika na kuidhinishwa na Barazala taifa la usimamizi wa mazingira NEMC.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Ezekiel Maige swali lanyongeza.

MHE. EZEKIEL M. MAIGE: Mheshimiwa Naibu Spika,naomba nimshukuru sana Mheshimiwa Naibu Waziri kwamajibu yake pamoja na majibu hayo naomba niulize maswalimawili ya nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, wakati utafiti wa awaliunafanyika kuhusu maeneo yanayofaa kwa ajili ya mradi huuwaliokuwa wakifanya utafiti walifika pia Isaka na Igusulekama ambavyo jibu limesema na baada ya maamuzikufanyika kwamba mradi huu unajengwa Igusule walisemabado kuna miundombinu muhimu ya Isaka ambayo itatumikaikiwa ni pamoja na Ofisi za TRA, Bandari ya Nchi Kavu, Reli,Umeme pamoja na ofisi zingine za Kiserikali.

Sasa nilitaka kufahamu kwa sababu pia walisemawataweka transit yard pale Isaka nilitaka kujua hatua ganiimefikiwa kwa ajili ya upataji wa eneo hilo la transit yard namaandalizi ya wananchi wa Isaka kwa ajili ya kushiriki katikahuo mradi?

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

37

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili kwa kuwa mradihuu unatoa fursa za kibiashara na ajira kwa wananchiwaliowengi sana wa maeneo hayo. Je, ni maandalizi ganiya kiujumla ambayo yamefanyika kwa ajili ya kuandaawananchi hawa wa Isaka pamoja na Igusule ili wawezekushiriki katika kunufaika na mradi huo?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Nishati kwaniaba ya Waziri wa Viwanda na Biashara majibu.

NAIBU WAZIRI WA NISHATI (K.n.y. WAZIRI WA VIWANDANA BIASHARA): Mheshimiwa Naibu Spika, kwanzanimpongeze sana kwa namna ambavyo amekuwa akifuatiliamradi huu wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima Uganda nanamna gani wananchi wake hususan wa Jimbo la Msalalawatakavyoweza kufaidika na maswali yake mazuri yanyongeza na mara baada ya kukubali uamuzi wa wabia wamradi huu wa eneo la kujenga kiwanda iwe Igusule.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa kwa kuwa maswaliyake ya nyongeza yamehusiana na miundombinu mingineni kweli tafiti mbalimbali zimeendelea kufanyika kuhuishamiundombinu mbalimbali ikiwemo reli, ikiwemo ofisimbalimbali za kiserikali itakavyotumika katika mradi huu nanimthibitishie Mheshimiwa Mbunge kwamba katika eneo laIsaka hapo pia vitajengwa ofisi ya mradi huu ya EACOP namiundombinu mingine.

Mheshimiwa Naibu Spika, pia wananchi wake nayeye mwenyewe anajua eneo la Igusule ni kama kilometa 5tu kutoka Isaka. Kwa hiyo, ni wazi kabisa wananchi wamaeneo ya Isaka na maeneo mengine ya Mkoa waShinyanga pamoja na Mkoa wa Tabora watapata fursamahususi kabisa katika mradi huu ikiwemo ajira na masualamengine ya kibiashara na mpaka sasa mradi huu umeajiritakribani watanzania 229 kwa hizi hatua za awali lakini kunamakampuni nane yanatoa huduma mbalimbali katika mradihuu lakini pia faida zake mojawapo ni utoaji wa ajirautakapoanza.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

38

Mheshimiwa Naibu Spika, nikutaarifu tu kwa sasamazungumzo yanaendelea na kwamba hatua ambayoimefikiwa sasa hivi ni tumefika mbali na tunatarajia mradi huukuanza mwezi septemba 2019. Kwa hiyo, utakapoanzautaleta tija kubwa na faida kwa wananchi wa mikoa naneiliyopitiwa na bomba hili, wilaya 24, kata 134 na vijiji 280.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Ofisi yaWaziri Mkuu.

MHE. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI, SERA, BUNGE,KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU: Mheshimiwa NaibuSpika, pamoja na majibu mazuri sana yaliyosemwa naMheshimiwa Naibu Waziri, naomba niwadhibitishieWaheshimiwa Wabunge Serikali kwa kutambua umuhimu wamradi wa bomba hilo la mafuta na jinsi litakavyoweza kukuzaajira na uchumi wa Taifa letu, Ofisi ya Waziri Mkuu imeandaaprogramu maalum ya local content na tumeanza mafunzomaalum katika mikoa hiyo yote nane ili kuwahabarishawananchi katika mikoa hiyo ni namna gani wanawezawakatumia fursa mbalimbali ambazo zitapatikana katikamradi huo muhimu.

Mheshimiwa Naibu Spika, nitoe wito kwa Wabungewote ambao wanatoka katika mikoa ambayo inapitiwa nabomba hilo tuweze kuwasiliana ndani ya Ofisi ya Waziri Mkuuili kuwaweka pamoja wananchi wao waweze kufaidika namradi wa bomba la mafuta katika fursa mbalimbalizitakazopatikana.

NAIBU SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Ally Salehswali la nyongeza.

MHE. ALLY SALEH ALLY: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante pamoja na majibu yaliyotolewa na MheshimiwaJenista na Mheshimiwa Naibu Waziri suala la Local contentni muhimu sana katika nchi yoyote ili uchumi ubakie ndanina sio utoke nje. Lakini inahitaji maandalizi kama alivyosema.Sasa hivi sasa tuna sectoral individual locally content policies.Je, Serikali iko tayari sasa kuja na sera kubwa na mabadiliko

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

39

ya sheria juu ya local content na pia sheria hiyo iwemo navifungu ambavyo vinaweza kuwawzesha wananchi kifedhaili wafaidi localy content?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Ofisi yaWaziri Mkuu majibu.

MHE. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI, SERA, BUNGE,KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU: Mheshimiwa NaibuSpika, nashukuru kwa swali la nyongeza lililoulizwa naMheshimiwa Ally Saleh na Mheshimiwa Ally Saleh anafahamukwenye Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria tumekuwatukitoa taarifa hizi.

Mheshimiwa Naibu Spika, tumeshaanza hiyo kazi nzuribaadhi ya sheria ambazo zimekwisha kutungwa kwa mfanoSheria ya Mafuta na Gesi, hizo zote zimeshawekewa misingiya kisera ya local content na imeshaanza kufanya kazikwenye kanuni na sheria hizo. Lakini naomba nimhakikishie ilikufanya maandalizi hayo muhimu Ofisi ya Waziri Mkuuimeshatoa mwongozo wa local content katika miradi yoteya kimkakati ambayo inaendelea kwa sasa ndani ya Taifaletu.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo hii miradi yoteujenzi wa reli na miradi mingine yote mikubwa ya kimkakatisasa hivi mwongozo wa local content umekuwa ukitumikana sisi kama Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Baraza la UwezeshajiWananchi Kiuchumi tunasimamia kwa karibu sanakuhakikisha wazawa wanafaidika na miradi hii mikubwa yakimkakati ndani ya Taifa letu.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Zedi.

MHE. SELEMANI J. ZEDI: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante, hil i eneo la Sojo Kata ya Igusule ambakopameamliwa kujengwa kiwanda hiki liko jimboni kwangu nawananchi wametoa hekari 400 ili kupisha ujenzi wa kiwandahichi muhimu. Na kwa kuwa majibu ya Mheshimiwa waziri

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

40

wamesema mwezi wa tisa ambayo ni miezi minne tu kutokasasa mkandarasi anakabidhiwa eneo.

Je, nilitaka kujua kwamba Serikali inaweza kutoacommitment kwamba ndani ya kipindi hichi cha miezi minnekabla mkandarasi hajapewa hilo eneo wananchi wotewaliotoa hekari 400 watakuwa wamelipwa fidia zao?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Nishati kwaniaba ya Waziri wa Viwanda na Biashara Majibu.

NAIBU WAZIRI WA NISHATI (K.n.y. WAZIRI WA VIWANDANA BIASHARA): Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza na yeyepia nimpongeze Mheshimiwa Mbunge kwa kufuatilia mradihuu mkubwa wa ujenzi wa bomba hili la mafuta na tija yakekwa wananchi wa maeneo yake hayo, kwa eneo ambalolimechaguliwa kujenga kiwanda cha kuunganishamabomba.

Mheshimiwa Naibu Spika, nataka nimdhibitishieMheshimiwa Mbunge moja ya kazi muhimu ambayoimefanyika ni kutambua mkuza ambako bomba litapita natunatambua bomba hili ambalo litakuwa na urefu wakilometa 1445 na zaidi ya kilometa hizo 1147 ziko upande waTanzania, Serikali yetu kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba naMakazi na TPDC imetambua ule mkuza na imeshafanyatathimini ya mali mbalimbali ambazo ziko katika huo mkuzaikiwemo eneo hilo la ujenzi wa kiwanda hichi cha courtyard.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, nimthibitishietathmini imekamilika na kwa kuwa tupo katika hatua nzuriya mazungumzo ya Host Government Agreement baada yahapo tutaenda Share Holders Agreement na kasha kufanyamaamuzi ya investment decision na hatua zote hizi zipo katikamchakato wa miezi hii ambayo imesalia.

Mheshimiwa Naibu Spika, nimthibitishie tu MheshimiwaMbunge na kwa utashi wa viongozi wetu Marais wan chi mbilihizi, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli na MheshimiwaYoweri Kaguta Museven wa Uganda kwamba mwezi wa tisa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

41

utakapoanza mradi huu wananchi wote watakaopishamkuza huu wa bomba watakuwa wamefidiwa kwa sababutathmini ile imekamilika na sasa yapo tu mapitio ya mwishoambayo yanafanywa baina ya Wizara ya Nishatuwataalamu, TPDC, Wizara ya Ardhi, Maendeleo Nyumba naMakazi na taasisi nyingine za Kiserikali. Nikushukuru sana.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunamaliziaswali letu la mwisho la Wizara ya Maji, Mheshimiwa MashimbaMashauri Ndaki Mbunge wa Maswa Magharibi sasa aulizeswali lake.

Na. 209

Mradi wa Maji Kutoka Ziwa Victoria KutofikaMaswa Magharibi

MHE. MASHIMBA M. NDAKI aliuliza:-

Usanifu wa Mradi wa maji kutoka Ziwa Victoriakwenda Miji ya Bisega, Bariadi, Itilima, Meatu na Maswaumekamilika kwa kiasi kikubwa lakini utanufaisha watu waMaswa Mjini na baadhi ya vijiji katika Jimbo la MaswaMashariki na kuliacha Jimbo la Maswa Magharibi bila yamaji ya uhakika:-

Je, kwa nini Serikali isichukue maji kutoka mji waAlgudu ambako tayari maji yameshafika na umbali ni mfupiili Wananchi wa Kata za Malampaka, Mataba, Nyabubunza,Badi, Shishiyu, Masela, Sengwa, Jija, Kadoto, Mwanghondoli,Mwabayamla, Isanga, Busagi na Buchambi wawezekunufaika?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri wa Maji, majibu.

WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kujibu swali laMheshimiwa Mashimba Mashauri Ndaki Mbunge wa MaswaMashariki kama ifuatavyo:-

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

42

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali natekeleza mradi wamaji safi kutoka Ziwa Victoria kwenye Miji ya Busenga, Bariadi,Itilima, Mwanhuzi na Maswa na vijiji vilivyo kilometa 12 kutokabomba kuu la maji. Serikali pia inatekeleza mradi wa majisafi kutoka Ziwa Victoria kwenda katika Miji ya Ngudu na vijijivilivyo ndani ya kilometa 12 kutoka bomba kuu. Vijiji hivyo niRunele, Ngatuli, Nyang’onge, Damhi na Chibuji. Mradi huuulihusu ulazaji wa bomba kilometa 25 na sehemu nyingineya bomba kuu ilitumika bomba la zamani la mrai wa visimauliojengwa miaka ya 70. Bomba hilo ni lenye kipenyo chanchi nane na kulingana na usanifu halitoshi kupanua zaidikwenda Malampaka.

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikal kupitia programu yamaendeleo ya sekta ya maji imetekeleza miradi ya maji yaMalampaka, Sayusayu, Mwasayi, Njiapanda naSangamwalugesha ambayo miradi hii imekamilika nawananchi wanapata maji safi na salama. Serikali piaimekamilisha usanifu na uandaaji wa wa makabrasha yazabuni kwa miradi ya maji ya Mwabulindi, Mwamanege naBadi ambao utahudumia vijiji vitatu vya Muhiba Jihu na Badiyenyewe.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mashimba Ndaki swali lanyongeza.

MHE. MASHIMBA M. NDAKI: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru sana kwa kunipa muda niulize maswali mawiliya nyongeza. Nishukuru pia kwa majibu ya Mhshimiwa Wazirilakini nilikuwa na ushauri mmoja na swali moja. Ushauri kwakuwa Serikali imeamua kutoa maji kutoka kwenye maziwamakuu kama Ziwa Victoria na maziwa mengine ili kuwapawananchi wake maji ya kutosheleza ingekuwa vizuri sasainapobuni miradi hii ikafikiria kuwapa maji watu wanaohusika,lakini pia ikafikiria mbele uhitaji wa maji jinsi ulivyo mkubwakwenye nchi yetu.

Mheshimiwa Naibu Spika, mfano Mradi wa Maji waNgudu kama ungebuniwa vizuri ungeweza kabisa kutoa maji

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

43

kwenye vijiji na kata nilizozitaja. Kwa hivyo inapobuni miradiifikirie kupeleka mradi kwa watu wengi zaidi.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali kwa kuwa pianilishapeleka andiko kwaajili ya kupata maji ya Ziwa Victoriakutoka Wilaya Kishapu kwenda Kata ya Sengwa yenye vijijivya Seng’wa, Mwanundi, Mandela, Mwabomba na Seng’wayenyewe. Ni lini sasa wizara itaweka pesa kwenye mradi huuili uweze kutekelezwa?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri wa Maji majibu.

WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI: Mheshimiwa NaibuSpika, ninaomba kujibu maswali mawili ya ziada yaMheshimiwa Ndaki kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza ni ushauritumeupokea ambapo na ni mipango ya Serikali kwambatukianza kutengeneza miradi mikubwa lazima tuangaliemaeneo ya mbali ili kuhakikisha wananchi wengi wanapatamaji safi na salama na ndio maana sasa hivi miradi yotetunayojenga tunaochukua maji kutoka Ziwa Victoria tunatoamaoteo au tunapeleka maji mpaka kilometa 12 inapopitabomba kuu.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali lake la pili ni kwelitumepokea andiko lake na andiko hilo lina gharama takribanishilingi bilioni kwa ajili ya kutoa maji kwenye bomba kuu laKashuasa na kupeleka maji kwenye vijiji vya Manawa,Sengwa, Mwabomba, Mandale na Mwanundi ambaotunalipitia sasa hivi na mara baada ya kulipitia tutafanyautaratibu wa manunuzi ili tuhakikishe kwamba wananchi wamaeneo hayo wanapata maji safi na salama kutoka Bombakuu la KASHUASA.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tumefikamwisho wa kipindi chetu cha maswali na sasa nilete kwenumatangazo ya wageni tulionao Bungeni siku ya leo. Kwanzani wageni walioko Jukwaa la Spika, wapo wageni ambaotulikwishawatangaza jana. Pia yupo mgeni wangu ambaye

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

44

ni Mkuu wa Kitengo cha Mafunzo, Sera, Utafiti na Maandaliziya Makada Idara ya Itikadi kutoka Makao Makuu ya CCMMkoa wa Dodoma Ndugu Mary Mwenisongole, karibu sana.(Makofi)

Tunao pia Wageni wa Waheshimiwa Wabunge na wakwanza ni wageni 40 wa Mheshimiwa Japhet Hasunga Waziriwa Kilimo ambao ni wapiga kura wake kutoka Vwawa Mkoawa Songwe wakiongozwa na Mchungaji Emmanuel Silungwe,karibuni sana. (Makofi)

Tunao pia wageni 49 wa Mheshimiwa Agness MathewMarwa ambao ni madiwani, wenyeviti na makatibu wa UWTkutoka Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara wakiongozwa naNdg. Maria Kisiri na Ndugu Esther Buruma karibuni sana.(Makofi)

Tunao wageni 16 wa Mheshimiwa Joram Hongoliambao ni madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Njombewakiongozwa na Katibu wa CCM Wilaya Ndg. ValentinoHongoli, karibuni sana. (Makofi)

Tunao pia Wageni wawili wa Mheshimiwa Allan Kiulaambao ni Mwenyekiti wa CCM Wilayani Mkalama Ndg. JilalaMhela pamoja na jamaa yake Ndg. Alpha Shukia kutokaMkalama Mkoani Singida, karibuni sana. (Makofi)

Tunao pia wageni 47 wa Mheshimiwa Ritta Kabatiambao ni wanafunzi 41 na walimu 6 kutoka Shule yaSekondari Mlandege iliyopo Mkoa wa Iringa wakiongozwana Ndg. Albert Mwilasi, karibuni sana. (Makofi)

Tunao wageni 10 wa Mheshimiwa Maria Kangoyeambao ni wanafunzi kutoka Chuo cha Mipango cha MjiniDodoma wakiongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM Wilayaya Butiama Ndugu Deusi Wambura, karibuni sana. (Makofi)

Tunao pia wageni wawili wa Mheshimiwa RehemaMigilla ambao ni maafisa elimu kata kutoka Mkoa wa TaboraNdugu Raphaeli Mageni na Ndugu Iddy Migila, karibuni sana.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

45

Tunae pia mgeni wa Mheshimiwa Pauline Gekul ambaye nimpiga kura wake kutoka Babati, Mkoa wa Manyara na huyuni Ndugu Mamboma Bahati, karibu sana. (Makofi)

Waheshimiwa Wabunge, tunao pia wageni waliopoBungeni kwa ajili ya mafunzo wanachuo 100 kutoka Chuocha Utumishi wa Umma Dar es Salaam Magogoni ambaowamelitembelea Bunge kujifunza jinsi linavyofanya kazi zakewakiongozwa na Ndugu Ezekiel Chipembe, karibuni sana.(Makofi)

Waheshimiwa Wabunge hao ndio wageni tulionaosiku ya leo na tutaendelea na ratiba iliyo mbele yetu. Katibu!

NDG. RUTH MAKUNGU- KATIBU MEZANI:-

HOJA ZA SERIKALI

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

(Majadiliano Yanaendelea)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana majadiliano, lakini naona Mheshimiwa Khatibamesimama. Mheshimiwa Khatib.

MWONGOZO WA SPIKA

MHE. MOHAMMED JUMA KHATIB: Mheshimiwa NaibuSpika, ahsante sana. Nimesimama kwa Kanuni ya 68(7)inayokwenda pamoja na ya 46 ambazo zinahusu maswalikujibiwa kwa ukamilifu na Mawaziri katika Bunge. Nilipoulizamaswali mawili, Mheshimiwa Naibu Waziri alinijibu swali moja.

Mheshimiwa Naibu Spika, pili, nilitaka kujua, pamojana kwamba Katiba yetu inakataza Polisi kuwatesawatuhumiwa na kwamba kuna Mkataba ule wa Kimataifa,International Convention Against Torture, kwa nini Serikalihaiuridhii huu? Maana mpaka leo haijauridhia. Kwa nini

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

46

hairidhii huu watu wanaoteswa wakapata fursa ya kushtakikatika Mahakama za Kimataifa pale wanapoteswa?Mheshimiwa Naibu Waziri akajibu yote mawili kwa pamojawakati maswali haya yalikuwa yanajieleza yote,yanajitegemea, yeye akayachanganya kwa pamoja?

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba mwongozo wako.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ikiwa tunapoteza saa mojana nusu humu Bungeni kwa kipindi hiki cha Maswali na Majibuili kuweka mwenendo wa masuala ya nchi sawa, lakiniMawaziri wanakuja wanatuvunga hapa, sijui inasimama vipi!Kwa hiyo, naomba mwongozo wako. Ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, MheshimiwaKhatib alikuwa na swali leo ambalo liko chini ya Wizara yaMambo ya Ndani ya Nchi na kwa maelezo aliyoyatoa ni kanakwamba swali lake la nyongeza la pili halikujibiwa kikamilifuna Mheshimiwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchikwa mujibu wa Kanuni yetu ya 46 ambayo inataka Wazirianayeulizwa swali ajibu kikamilifu. (Makofi)

Waheshimiwa Wabunge, ili niweze kufahamu kamaswali lilivyoulizwa na Mheshimiwa Naibu Waziri alivyojibumaswali yote mawili kwa pamoja halijajibiwa kikamilifu nilazima nipitie Taarifa Rasmi za Bunge. Kwa hiyo, huumwongozo nitautoa baadaye.

Hata hivyo niwakumbushe Waheshimiwa Wabunge,maswali ya nyongeza kwa mujibu wa Kanuni zetu huwayanataka uulize ufafanuzi kwenye majibu yaliyotolewa.Maswali ya nyongeza kwa mujibu wa Kanuni zetu yanatakauwe unaomba ufafanuzi kwenye majibu yaliyotolewa. Huoni mwongozo wa jumla tu kuhusu maswali ya nyongeza, lakinimwongozo alioniomba Mheshimiwa Khatib nitautoa baadaya kupitia Taarifa Rasmi za Bunge kuona maswali mawili yanyongeza yaliulizwa vipi na Mheshimiwa Naibu Waziri alijibuvipi yote kwa pamoja?

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

47

Waheshimiwa Wabunge, tutaendelea nawachangiaji wetu. Nimeshaletewa majina kwa mujibu waKanuni zetu. Tutaanza na mchangiaji wetu wa kwanza,Mheshimiwa Charles Kitwanga atafuatiwa na MheshimiwaDkt. Pudenciana Kikwembe na Mheshimiwa Riziki Lulidaajiandae.

HOJA ZA SERIKALI

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

(Majadiliano yanaendelea)

MHE. CHARLES M. KITWANGA: Mheshimiwa NaibuSpika, nianze moja kwa moja kuchangia ajenda hii muhimusana, lakini nitaiangalia kwa mapana yake zaidi ya badalaya ufinyu unaoangaliwa na baadhi ya watu wengi nanitaiangalia katika upande wa uchumi nikizingatia zaidibalance of payment. Nataka nizungumzie ATC na SGR nakama nitapata muda nitakwenda zaidi katika maeneomengine.

Mheshimiwa Naibu Spika, tukianza na ATC,nizungumzie kimapana katika uchumi hasa tukiangaliatourism. Kwa mwaka 2017 tourism iliingiza shilingi bilioni 2.25sawa sawa na asilimia 27 ya total export zote katika goodsand service kwa nchi yetu. Kwa mwaka 2018 iliingiza Dolabilioni 2.45 sawa sawa na asilimia 29. Sasa tukiangalia ATC,nini mchango wake na utakuwa mchango wake katikatourism?

Mheshimiwa Naibu Spika, tukiangalia sasa hivi, KenyaAirways inafanya safari tano kila siku kutoka Nairobi kuja Dares Salaam na safari tatu kila siku kutoka Kenya kuja Zanzibar.Kwa nini wanafanya hivyo? Kwanini ATC isifanye hilo? Ni kwasababu sisi tuliicha ATC. Sasa tuone umuhimu wa ATC katikakuchangia tourism katika nchi yetu. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

48

Mheshimiwa Naibu Spika, tunapoangalia ATC kwakusema kwamba watu wa Misungwi watapanda ndege,yaani nashindwa kuelewa, ni kufikiri kidogo sana. Tufikirikiupana. Tukiangalia ATC pale itakapoanza kwenda katikafar East kwamba iende India au China italeta watalii. Wataliiwatafika Dar es Salaam watachukuliwa watakwenda KIA,watakapofika KIA wale ndugu zangu wenye Land Rover, walewenye Pick-up watawachukua watalii kufika karibu na MlimaKilimanjaro.

Mheshimiwa Naibu Spika, watakapofika MlimaKilimanjaro wale wananchi wa kawaida kabisa kuleKilimanjaro watakuwa wapagazi, watabeba ile mizigo yawatalii kwenda kupanda Mlima Kilimanjaro. Umemgusa raiawa mwisho kabisa na pale hujazungumzia ATC. Uoneumuhimu ATC itakaosaidia katika uchumi wetu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, tuiangalie sasa ATC katikaumuhimu wake regionally, halafu tutaangaliaintercontinental inachangia vipi? Tutakapokuwa na ATCinaenda India ambayo ni shirika letu, maana yake sasa zilefedha ambazo zinachuliwa na mashirika ya nje kuleta wataliiTanzania zitakuwa zimeingia kwa ATC ambayo ni mali yaWatanzania na zitaongeza hilo pato kwenye tourism katikauchumi wetu. Watu hilo hatuwezi kuliangalia. (Makofi)

Mheshimiwa naibu Spika, siyo hivyo tu, tutakapokuwatumetoka pale kwenye ATC, wale watalii watakapokuwa niwengi zaidi wanakuja kwetu, pato la Taifa litakuwalimeongezeka zaidi. (Makofi)

Nawaomba ndugu zangu, badala ya kushambuliakununua ndege, tumpongeze sana Mheshimiwa Rais wetumwenye mawazo mapana. Anaona mbali zaidi, anaangaliakiupana zaidi lakini sisi tunaangalia kiufinyu kwa kuangaliandege itabeba watu wa Misungwi. Hiyo siyo nia njema yaRais wetu kuweza kuisaidia nchi yetu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nawaomba Watanzaniawote tumuunge mkono Mheshimiwa Rais wetu kwa kufanya

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

49

kazi na kufikiri zaidi katika maeneo yetu. Tusianze kufikiri kidogokidogo. Watanzania na ndugu zangu WaheshimiwaWabunge, niwaombe sasa tuone ni kwa namna ganitunaweza kuisaidia ATC badala ya kuibeza. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa hivi itaanzaintercontinental flights, kwa maana itakwenda India na Chinakuleta watu zaidi, lakini biashara tunayoiangalia, tusiangalieutalii tu, tuangalie je, watu watakaotoka uwanja wa ndegewatakuwa wametoka wapi? Sasa hivi kuna watu wanakujapale Kariakoo kutoka Malawi, Zambia, Congo kufanyabiashara. Sasa kama tutakuwa na ndege yetu ambayoitaifanya Kariakoo iwe ni Guangzhou ya Afrika, Guangzhouya Afrika, maana yake ni nini? Maana yake utalii ambaounasababishwa na ATC utakuwa umeleta uchumi kukua zaidikatika nchi yetu. Kwa hiyo, tuangalie kwa mapana, tuachekuiangalia ATC kiufinyu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, nishauri kwambabadala ya kuwa na hizi ndege chache ATC waangaliaregionally, wa-focus zaidi sasa hivi, ndege hizi Air Bus ziwe niza regional; ziende South Africa, Burundi, Rwanda, lakiniwanunue tena ndege nyingine ambazo zitatusaidia sasa; haowatu wanaokuja kutoka kule watasambaaje katika nchiyetu? Kwa hiyo, waangalie uwezekano wa kununua ndegenyingine za aina hiyo kwa ajili ya local. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, International auintercontinental sasa hivi wameanza ku-focus kule Far Eastbaadaye kwa mipango yao ya kati au ya jinsi wanavyoonawaweze ku-focus Europe. Kwa hiyo, wanunue ndege nyinginekubwa zaidi ambazo ni sawa sawa na hizi Dream Liner ziwezekwenda Europe na sehemu nyingine. Vile vile, kwa baadayezaidi tuweze ku-focus market ya Marekani.

Mheshimiwa Naibu Spika, nisiishie hapo tu, kwasababu ya muda niweze kuzungumzia umuhimu vilevile wareli yetu katika transit trade. Again hii ni mawazo mapana yaMheshimiwa Rais wetu. Mimi nampenda kwa sababu he thinkbig na watu wengi tuna-think low halafu tuna-think very

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

50

narrow hatumwelewi. Sasa niwaombeni, mimi nina-think bigand I think wide, ndiyo sababu leo naamua kutoa shule hiimuweze kuelewa. (Kicheko/Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, transit trade tukiiangaliatuone ni kwa namna gani ita-contribute kwenye uchumiwetu. Tunaposema transit trade tunaangalia nchizinazopakana nazo. Mimi nashangaa wakati mwinginehatuwazi namna gani tunaweza kuzitumia hizi nchitunazopakana nazo kukuza uchumi wetu zaidi.

Mheshimiwa Naibu Spika, tukiwa na reli ambayoitatoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Mwanza na pale Felatukatengeneza Economic Zone, maana yake sasa mizigoitatoka moja kwa moja kwa haraka Dar es Salaam kwendaMwanza. Ikisafika Mwanza pale, ndugu zetu wa Rwanda naBurundi watachukua ile mizigo kutoka pale Fela na kuwezakuisafirisha.

Mheshimiwa Naibu Spika, kama tutakuwa naEconomic Zones, kwa mfano, tuwe na Economic Zone katikatiya Dar es Salaam na Dodoma ambapo tutakuwa na maeneomaalum ambayo biashara mbalimbali zitafanyika natutaitumia hiyo reli sasa kusafirisha products zetu kwendakuziuza. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, tutakuwa na EconomicZone nyingine, yaani business centers pale katika kwa mfanokati ya Dodoma na Tabora, maana maeneo yale sasawakiwemo wafugaji, wakulima na wafanyabiashara wengiwakiwa na productions ambazo zinakwenda kwenye centreambapo kuna businesses wanazozifanya, wasiwe na matatizoya kuweza kusafirisha vifaa vyao au vitu vyao kwa ajili ya rawmaterial kuja kufanya production. Waweze kupata usafiri warahisi na kitu kitakachoweza kutusaidia ni reli yetu hii.

Kwa hiyo, Watanzania tuwaze na tuweze kufikirianamna gani hii SGR itatusaidia.

Mheshimiwa Naibu Spika, nakumbuka reli… (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

51

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Kitwanga, muda wakoumekwisha. Ahsante sana.

MHE. CHARLES M. KITWANGA: Mheshimiwa NaibuSpika, naunga mkono hoja. Nina uhakika wale wanaojuaupande gani nausema wamepata shule yangu. (Makofi/Kicheko)

NAIBU SPIKA: Tumefurahi sana kukuona MheshimiwaKitwanga.

Waheshimiwa Wabunge, nil ikuwa nimemwitaMheshimiwa Dkt. Pudenciana Kikwembe, atafuatiwa naMheshimiwa Riziki Lulida, Mheshimiwa David Ernest Silindeajiandae.

MHE. DKT. PUDENCIANA W. KIKWEMBE: MheshimiwaNaibu Spika, ahsante kwa kunipatia nafasi asubuhi hii naminiweze kuchangia katika Wizara hii ya Ujenzi, Uchukuzi naMawasiliano.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza kabisa napendaniishukuru Serikali yangu ya Chama cha Mapinduzi kupitiaWizara hii imeweza kufanya mambo makubwa katika Sektazote hizi za Uchukuzi, Mawasiliano na Ujenzi, hasa katikaununuzi wa ndege, upanuzi wa viwanja vya ndege, ujenziwa reli ya kisasa na mengineyo. Kwa ujumla naombaniwashukuru na niwapongeze viongozi wote wa Wizarakuanzia Waziri na Watendaji wake ambao siyo rahisi kuwatajammoja mmoja, lakini kwa umoja wao wameweza kufanyakazi vizuri. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nianze na sualala barabara ya Tabora mpaka Mpanda. Naiongelea hiibarabara kwa sababu imeanza kusemwa toka mwaka 2005mpaka leo hii. Nami nafahamu kwamba Mheshimiwa Rais,Dkt. John Pombe Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi,

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

52

alishaiombea fedha kupitia Benki ya Afrika. Sasa sielewikunasuasua nini? Kwa sababu ukiangalia kila kipandekipande kina viasilimia; kuna asilimia 12 Kasinde - Mpanda,kuna asilimia 18; Urila kuna asilimia 15.9.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa hizi asilimia hatujuitunazipimaje na hatuelewi hii barabara pamoja na kwambailishapata fedha, itakwisha lini ili iweze kuwasaidia wananchiwa Mkoa wa Katavi, Tabora, Rukwa, Mbeya na wotewatakaopita ile njia pamoja na wananchi wangu wa Jimbola Katavi, Jimbo la Kavuu, (samahani Jimbo la Katavi ni laMheshimiwa Waziri), Jimbo la Kavuu na Wajimbo la Kataviwenyewe kupitia Inyonga ili waweze kupita kwenda mpakaMwanza, mpaka Kahama waweze kufanya biashara zao?(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pia, naomba niongeleesuala la Mfuko wa USCAF. Napenda niwashukuru mfuko huuwameweza kufanya kazi kwa uwazi na kwa namna ambavyowananchi wameweza kuuelewa sasa, kwa sababu mwanzowalikuwa hawauelewi lakini leo wananchi wanaelewa chiniya Eng. Ulanga na wengineo wote wanaofanya nao kazi.

Mheshimiwa Naibu Spika, kama kawaida yangu ndaniya Jimbo la Kavuu, lazima niombe masuala yote yanayohusumaendeleo. Kupitia Mfuko huu wa USCAF naomba Katanzima ya Maji Moto na vitongoji vyake na vijiji vyake iwezekupata mawasiliano ya uhakika. Naomba Kijiji cha Mawiti,Kabunde, Mainda, Lunguya, Ikupa, Luchima, Kanindi,Minyoso, Kwamsisi, kote naomba niweze kupata mawasiliano.Ni vijiji ambavyo havina mawasiliano. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nafikiri Watendaji wakohapa na Mheshimiwa unapafahamu huko kote, naombawananchi hawa wapate mawasiliano ili tueweze na sisikwenda kisasa, tuweze kufanya biashara za kupitia mitandao.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nirudi kwenyesuala la Shirika la Reli. kwenye suala la Shirika la Reli, mimi

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

53

toka nimeingia humu nimekuwa nikiongelea Shirika la Relihasa kwa usafiri wa kutoka Mpanda – Tabora, Tabora –Dodoma, mpaka Dar es Salaam. Jamani, kuna kipindi alikuwaMheshimiwa Waziri Mwakyembe, nikamwambia kule siyomabehewa ya kukaa binadamu. Nilishaongea mwaka 2017kwamba basi waangalie namna bora ya kubadilisha hatamabehewa, wananchi wale waweze kuingia kwenyemabehewa safi na salama. Mabehewa yale ni machafu,yemechoka. Kwa nini yaletwe Mpanda? Kama yamechoka,yakawekwe Morogoro, mtuletee mabehewa mazuri. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba niongee kuhusumpango wa anuani za makazi wa Post Card; mpango huu nimzuri sana. Tumetenga fedha nyingi sana. NawaombaWatendaji tufanye vizuri. Leo ukitoka hapo nje ukienda Chuocha CBE, ile tuliyoweka pale imeshang’oka. Sasa tuwekeimara zaidi. Ni mpango mzuri unaoweza kutambulisha nchiyetu vizuri na ni kwa utaratibu wa maendeleo.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa niwaombe, hebutuongeze ile value for money katika huu mradi kwa sababuhauna impact, hata ukitembea hapa kwenda hapo standKimbinyiko. Bado haijakaa vizuri. Kwa hiyo, naomba sanatuboreshe hili. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nirudi katikabarabara ya Kibaoni – Maji Moto – Inyonga, bado inafanyiwaupembuzi yakinifu na nini. Naomba Mheshimiwa Waziri ajena majibu. Hii pia ni ahadi ya Mheshimiwa Rais ya kutokaMaji Moto mpaka Inyonga kwa kiwango cha lami, lakini piakutoka Kibaoni; siyo Kibaoni tu mpaka Inyonga, mpakaKansansa, Klyamatundu.

Mhesdhimiwa Naibu Spika, najua tumejenga darajala Momba, Serikali yangu imefanya vizuri, nashukurutunaipongeza, lakini hii barabara pia lazima tuifungue iliwananchi hawa wa Jimbo langu la Kavuu waweze kutokaKansansa ama Maji Moto, ama Kibaoni mpaka wawezekufika Mbeya, Mbeya waweze kwenda Kalambo, Kalambowaweze kwenda Kasesha, Kasesha waweze kwenda

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

54

Mpulungu, waingie Zambia, waingie Mozambique wawezekufanya biashara.

Mheshimiwa Naibu Spika, kila siku naliongea hili.Lazima tuangalie sasa ni namna gani tutatanua wigo wakutoka Tunduma na wa kutoka Kalambo ili tuingie mpakaMozambique. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nirudi niongeleesasa daraja langu la Msadya. Daraja hili naomba Wazirianisiki l ize vizuri, nimekwishapeleka maombi, najualinahudumiwa na Ofisi ya TAMISEMI kupitia TARURA, lakiniTARURA hawa ni Wizara hii ndiyo wanawapatia pesa. Leo nimwaka wa tatu wananchi wangu wa Kata ya Mbebe,Mwamapuli, Chamalendi mpaka wanaotoka Kibaonihawawezi kufika Usevya ambako kuna kituo cha afyanilichosimamia mwenyewe na Mkurugenzi wangu chamfano! Pia Mheshimiwa Ummy alishafika pale akakiangalia,ni cha mfano, niwaombe sana wanitengee pesa kwa ajili yahili daraja ili wananchi wangu waweze kupata huduma pale.Hawapati huduma mpaka sasa hivi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba niongelee sualala barabara ya Mpanda mpaka Kahama…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa, kengele ya pil iimeshagonga. Ahsante sana.

MHE. DKT. PUDENCIANA W. KIKWEMBE: MheshimiwaNaibu Spika, naunga mkono hoja na naomba yote hayaniliyoyaeleza yachukuliwe kwa umuhimu wake. Ahsante.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana, nilikuwa nimemtajaMheshimiwa Riziki Lulida atafuatiwa na Mheshimiwa DavidSilinde na Mheshimiwa Balozi Adadi Rajabu ajiandae.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

55

MHE. RIZIKI S. LULIDA: Mheshimiwa Naibu Spika,kwanza nikushukuru sana na niwashukuru Spika, Naibu Spika,Katibu wa Bunge, wafanyakazi wa Bunge na Wabungewenzangu kwa kunisaidia na kunitoa huzuni kipindi kigumucha kupata msiba wa mtoto wangu ambaye alifariki. NaweNaibu Spika ulikuwa mmoja wapo wa waliokuwepo mpakatunasafirisha mwili wa marehemu kupeleka Dar es Salaamna tumezika, nashukuru Alhamdulillah. Mwenyezi Munguawawezeshe na awalinde na Mwenyezi Mungu woteanasema Inna lillah wainnailayhi rajiuun na kila nafsi itaonjaumauti (kullu nafsin dhaikatul–maut.

Mheshimiwa Naibu Spika, niwapongeze Waislamuwote Tanzania na wasiokuwa Waislam kwa mwezi Mtukufuwa Ramadhan, nawatakia Ramadhan Kareem na MwenyeziMungu atujaalie katika Mwezi Mtukufu huu ailinde nchi yetuiingie katika amani, tusidhoofishwe na mabeberu ambaowanataka kutugawanisha na kutuweka katika mazingiramagumu. Tanzania yenye amani inawezekana. Nashukurusana. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kusema haya,nitazungumzia suala la barabara, lakini hasa natakanizungumze kwa dhati ya moyo wangu kuwa, kuna ubaguzimkubwa unatendeka kwa kupitia Mawaziri wetu katikaugawaji wa barabara. Barabara haitakiwi kuonekanaupande mmoja unapewa priority na upande mwingineunaachwa ukiendelea kulalamika kila mwaka. Hii hailetiufanisi na umoja tuliokuwa nao katika Tanzania hii.

Mheshimiwa Naibu Spika, nataka nizungumzie Mkoawa Lindi katika mikoa nane ya ukoloni, tulikuwa katikamojawapo ya province nane za Tanzania, lakini leo kwendaLiwale, Liwale ni Wilaya ya zamani sana, inakuwa kama wakokisiwani. Watu wa Liwale wako Guantanamo. Leo mvuainanyesha inawachukua miezi mitatu mtu wa Liwale awezekuja Dar es Salaam, akipata ugonjwa Liwale hawezi hatakwenda Lindi, jamani tufike mahali tusema basi tufungeukurasa. tumelalamika barabara ya Liwale toka Waziri Mkuuwa Jimbo la Liwale alikuwa Rashid Mfaume Kawawa,

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

56

wanamuenzi vipi Kawawa katika Jimbo lake? Wanachofanyakipindi cha uchaguzi kutumia nguvu kubwa kutaka Jimbo,lakini je, wananchi wa Liwale wanawafanyia nini? KwendaLiwale ni kama adhabu na mfanyakazi wa Tanzania akitakakuadhibiwa mpeleke Liwale. Mfanyakazi wakij ionahawamtaki wampeleke Liwale kwa maana Liwale niGuantanamo. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nimezungumza kwa miaka,nimepewa ahadi na Mawaziri kwa miaka, MheshimiwaMramba mpaka akasema mama mwaka huu ni wa mwishonitakupelekea lami Liwale. Kwa masikitiko nataka nisemekitu kimoja kwamba, Bunge tutengue Kanuni ya kushikaMsahafu au Biblia kwa kusema uongo humu ndani. Watuwanashika Biblia mwaka huu barabara itapatikana lisemwalosilo! Kwa nini tunashika Quran, kwa nini tunashika Bibliaikatuleta katika uongo, ina maana inatuingiza katika uongona laana katika Bunge. Tutengue Kanuni, tutumie Katibabadala ya kutumia Quran maana Quran haitaki kusemauongo wala Biblia haitaki kusema uongo. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, Mheshimiwa Raisamezunguka Mtwara pamoja na mama Janeth, amesemakazi aliyoiona kwa barabara za kule kweli amehakikishakwamba barabara ni mbovu, lakini kuna maeneo yanapataupendeleo, upendeleo kila mwaka, hii mpaka lini? Leokwenda Liwale unaona Liwale mpaka Nachingwea barabarakubwa kiuchumi katika mikoa inayozalisha korosho, ni mikoamiwili ambayo na wa tatu ni Ruvuma. Wa kwanza ni Mtwara,wa pili Lindi na wa tatu ni Ruvuma. Asilimia 80 ya koroshoambayo ni uchumi mkubwa katika nchi hii inatoka sehemuhizo, lakini hakuna barabara. Wanalalamika kuhusukangomba, mtu yuko kijijini, anaitoaje korosho yake kijijinikupeleka katika magulio wakati hakuna barabara, sasa walewalanguzi wanakwenda kuchukua kule kwa ku-risk na magariyao kutoka kule mpaka kufika mjini, leo wanawakamata watukwa ajili ya kangomba, lakini je, wamewawekea barabara?Huwezi kumkata mtu bila kumwekea alternative, kunatakiwakuwepo na alternative, barabara ziwepo vijijini. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

57

Mheshimiwa Naibu Spika, leo mikoa ambayo inauchumi mkubwa sasa hivi tumeona LNG inaenda sasa hivi,miradi inakamilika kutaka kujenga liquefied national gasindustrial area ambayo itawekwa Lindi, lakini hatuna airport!Ni kilometa 20 only kutoka airport kuja Kilikong’o, hakunabajeti ya airport, je, hawa wafanyabiashara wakubwawanaokuja kuwekeza katika mradi mkubwa wa matrilioniwataruka na ndege kutoka Mtwara. Mtwara mpaka Lindiwakati Lindi uwanja wa ndege kwa taarifa ya Bunge wa Lindini wa pili katika Afrika. Ndege ya kwanza ilikuwa inatokaLondon inatua Misri – Alexandria inakuja kutua Lindiinakwenda Afrika Kusini, tuko wapi? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, wanawafanyia niniwananchi wa Mkoa wa Lindi? Kwa nini wanatudhalilishawananchi wa Lindi? Tumefanya nini katika nchi yetu? Kekihii hii ya korosho na vitu vingine wengine wanafaidika zaidikuliko kuyaangalia maeneo ambayo yana uchumi na uchumibora katika nchi hii yametupwa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, Mkoa wa Lindi, Mtwara naRuvuma sasa hivi inabidi iwekewe EPZA yake ifanyiwe kazikwa vile ndiyo mikoa ya kiuchumi, hakuna barabara. Utasikiabarabara zinapeleka maeneo hata uchumi haupo naubaguzi huu wa kupeleka fund nyingi katika maeneomengine unauona kabisa. Tufike mahali bajeti isimame bilakuangalia pale paliposimama na maendeleo makubwapasimame waende kwa maeneo ambayo watu ni maskini ilinao hawa wafaidike na sungura wa Tanzania. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, Bandari ya Lindi ilikuwa nibandari kubwa. Leo je, bidhaa zitaanza kupatikana kutokanana miradi ya LNG, bandari iko wapi? Bandari iko Lindi, ukiendauani huwezi kuona utafikiri kichaka fulani tu, watu hatakuweka bajeti hamna, bajeti za kibaguzi, halafu wanakujakutumia nguvu kubwa wakati wa uchaguzi maana yake ninini? Haiwezekani! Wamefikia mahali wanawafanya watuwanakwazika kujiuliza na inakuwa ndiyo mahali pa watukwenda kupiga vijembe, ninyi maskini, mikoa imetupwa, lakinini kweli mikoa imetupwa. Nenda leo Liwale kuna nini, nenda

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

58

leo Milola kuna nini? Kutoka Lindi kwenda Milola hakunabarabara. Milola kwenda Nangaru na daraja limevunjika huumwaka wa ngapi hakuna kinachosemekana. Nawaombampaka na Mawaziri kaangalieni mazingira, hakuna mtuanaye-take action nini maana yake? Basi tuamueni turudiTanganyika yetu, tukakae na Tanganyika yetu.

Mheshimiwa Naibu Spika, tulifikia mahali tuliamuakuchanga kwa ajil i ya kusaidia Lindi yetu tukasemahaiwezekani, Lindi itachangiwa na Tanzania nzima, kuna niniLindi? Barabara za Lindi ziko wapi? Nenda vijijini huko watuwanatembea kwa mguu, wanajitwika mitenga ndiyo maanahata wanakuwa wafupi kwa sababu kutwa mtu ana tengakichwani. Hali hii ya umaskini wanayoipeleka Lindiinasababishwa na Serikali. Naomba barabara zikasimamiwe,nikitoka hapa nataka mguu kwa mguu na Waziri wa Ujenzitwende tukaangalie barabara Lindi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, tumefika mahali tusemewazi kuwa kuna maeneo mengine imetosha tupeleke mikoaambayo iko maskini na mikoa ile barabara ipatikane, majiyapatikane, afya ipatikane, sio kwingine watu wanaburudikawame-leisure sisi wengine kwetu tunahangaika, tunatembeakilometa nyingi kwa miguu, kwa nini na wakati nchi hii ni yetuwote? Uchumi ni wetu wote, korosho yetu na mapatoyapatikanayo kutokana na korosho ni ya Tanzania nzima,lakini sisi wenyewe tumewekwa nyuma tumekuwa kamaboga, unasuka mkeka mwenyewe unalala chini. Hiihaiwezekani na haikubaliki. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, gesi sasa hivi naona tayarimikataba inapita maana yake naona ninapoona, lakini chakujiuliza gesi ile maendeleo yake yako wapi, barabara zakeza kupitisha vitu hivyo iko wapi? Inapita maporini humohakuna kitu, hakuna barabara, mawasiliano yamekuwamagumu.

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kusema hayo,nasema ahsante imetosha. Tunataka Lindi yetu yenye

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

59

barabara, Lindi yetu yenye afya, Lindi yetu yenye maji na hiiinawezekana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Nilikuwa nimeshamtajaMheshimiwa David Silinde, atafuatiwa na Mheshimiwa BaloziAdadi Rajab na Mheshimiwa Abbas Hassan Mwinyi ajiandae.

MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana kwa kupata nafasi ya kuchangia hotuba yaWaziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kwa Mwaka waFedha 2019/20.

Mheshimiwa Naibu Spika, kabla sijazungumzia miradiya kimkakati ya Kitaifa nitazungumzia mambo mawilimadogo tu ya jimboni kwangu. Jambo la kwanza pamojana shukrani ambazo zimetolewa za ujenzi wa Daraja laMomba ambalo limekamilika kwa karibu asilimia 97 nalinatumika, sisi wananchi wa Momba tumefurahi sana, lakinitunaomba sasa ile barabara ya kutoka Mlowo – Kamsamba– Kiliamatundu ijengwe kwa kiwango cha lami kama ilivyoIlani ya CCM ilivyoahidi, kama ilivyo ahadi ya Rais MstaafuMheshimiwa Jakaya Kikwete na Mheshimiwa Mkapa, wotewaliahidi kujenga hiyo barabara lakini mpaka sasahawajakamilisha. Barabara ya Kakozi – Kapele – Ilongaambayo wameipandisha hadhi na hawajaifanyia kazi mpakasasa, tunaomba ifanyiwe kazi haraka iwezekanavyo.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa nahitai kuzungumziamasuala ya Kitaifa ambayo kimsingi yanaweza yasielewekevizuri na ndiyo maana unajikuta mara nyingi tumekuwatukigongana. Mradi wa SGR, thamani ya mradi wote wa reliya SGR ni dola za Kimarekani 7,000,000,000 na maamuziyameshafanyika ya kujenga reli yetu kutoka Dar es Salaam -Morogoro mpaka Dodoma kwa awamu ya kwanza kablaya kwenda kwa awamu ya pili.

Mheshimiwa Naibu Spika, sisi tulishawaeleza Tanzaniakwamba hatuna shida na reli inayojengwa, shida yetu ninamna mambo yanavyotekelezwa na nikasema hapa reliambayo imejengwa, maamuzi ya awali yaliyofanyika chuma

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

60

chote kinatoka China – nje ya nchi. Chuma kidogo ambachokimekuwa kikinunuliwa hapa ndani ya nchi wamekuja watuwenye viwanda kwetu, watu wa viwanda vya chumawamepewa vile vitani kama vya kudanganyishia, tani 1,000au 2,000 basi, lakini chuma chote kimetoka nje ya nchi.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa haya tunasema nimakosa ambayo tumeshayafanya kabla hatujawazamapema. Nimeamua kulizungumzia hili kwa sabbau najuaawamu ya pili ya kutoka Makutupora kwenda mpakaMwanza itafuatia, lakini kabla hatujaenda katika huo mradituna mradi wa Liganga na Mchuchuma. Liganga naMchuchuma endapo tungewekeza kwenye kutengenezachuma chetu maana yake hii fedha ambayo tunaitumia kwaajili ya reli yetu hapa nchini tungekuwa tunanunua chumandani ya nchi yetu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa juzi ulisikia ripoti ya IMF.Ripoti ya IMF imeshusha uchumi wa Tanzania kutoka kasi yakukua ya asilimia saba mpaka asilimia nne na sababuwalizozitoa nafikiri kila mmoja amejaribu kuzisoma na Serikaliwalituambia hapa tusiwahishe shughuli, tukakubaliana na hilojambo, lakini Serikali wamekuwa wakitaja hizo argument zaohuko mtaani kwamba mbona IMF hawaja-include miradimikubwa kwa mfano reli ya SGR katika uchumi wetu pamojana ndege.

T A A R I F A

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Mheshimiwa NaibuSpika, napenda nimpe Taarifa mzungumzaji. Mikononimwangu nina barua ya IMF ambayo waliniandikia tarehe 18April, 2019. Naomba niisome kwa sababu ni fupi sana.Inasema hivi:

“Dear Minister Mpango, This is to inform you that theIMF’s communication department has been contacted byseveral leading news agencies today informing that theyhave copies of the staff report on the 2019 Article Fourconsultation and seeking comment s on the report. In

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

61

accordance with the fund’s transparency policy, ourcommunications department has responded that the funddoes not comment on leaked report. I would be grateful ifwe could discuss at your earliest convenience. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, hii ni Taarifa iliyovujishwa,sio Taarifa halali ya IMF. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tafadhali.Mheshimiwa Silinde, unaipokea Taarifa hiyo?

MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika,niseme tu kwamba pamoja na kwamba tunapokea taarifaaliyopewa, lakini hicho kilichozungumzwa hakiondoi taarifazilizokuwepo mle ndani, hakiondoi! That’s the fact! Yaanibado ni asilimia nne, haiwezi kuondoa hiyo fact!

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa ambacho nilikuwanajenga, nafikiri Mheshimiwa Waziri ambacho alitakiwaanielewe ni kitu kimoja na hii ndiyo shida ya hili Taifa. Mojaya ambacho nilikuwa nakizungumza maelezo ambayowamekuwa wakiyatoa kwamba kwa nini hiyo miradimikubwa haiwi included kwenye ile Taarifa ni kwa sababukumekuwa na capital outflows kubwa yaani tunatumia fedhaya ndani, tunanunua kila kitu nje ya nchi na ndiyo maanauchumi wetu unashuka kwa sababu hatu-inject fedha ndaniya uchumi wa Tanzania. Tumepata mradi lakini fedha kwenyecirculation haipo! Hiyo ndiyo tofauti ya kwetu sisi na Kenya.Kenya…

NAIBU SPIKA: Sawa, sasa Mheshimiwa Silinde ngojatwende vizuri kwa sababu Taarifa uliyokuwa umeizungumziaumesema ni ya IMF na barua tuliyosomewa ni ya IMF. Miminaomba tuji…

(Hapa Mhe. Esther N. Matiko alikuwa akizungumza naMhe. David E. Silinde)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Esther muache asikilizeTaarifa ninayompa mimi hapa ili aweze kufuata maelekezo,

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

62

ukimwongelesha atakuwa hanisikii, subiri mimi nimalize nawewe utazungumza.

Mheshimiwa Silinde kwa sababu Taarifa uliyokuwaunaizungumza umeanza kwa kusema Taarifa iliyotolewa naIMF imesema hivi. Taarifa aliyotoa Mheshimiwa Waziri inatokahuko huko IMF ikisema haijasema hivyo, kwa hiyo wekamchango wako vizuri ili taarifa zetu zikae sawasawa. Wekamchango wako vizuri Taarifa zetu zikae sawasawa.

MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika,naona hili jambo, labda kama nchi tuna-complicate sanakwa sababu ya facts ambacho kinaelezwa palehawajakanusha kuhusu ukuaji wa uchumi wala hawaja-comment juu ya ile Taarifa na sisi hapa tunachojaribu kutakaku-rescue hili Taifa hapa lilipo, ndicho ambacho tunachohitajikukifanya. Sijui kama umenielewa.

Mheshimiwa Naibu Spika, mimi ningewezakumwambia sijapokea, lakini ni taarifa kutoka IMF, ni baruaameandikiwa. Ukisoma ile taarifa yote utaona Maofisa wotewa Serikali wako pale. Sasa mimi najaribu kueleza kwambatofauti ya kwa nini hawaja-include miradi yetu na ni kwa niniwenzetu Wakenya, mradi wao wao walikopa bilioni 5.5 USdollar wakaingiza kwenye mradi wao, kilichosababishauchumi wao kukua kwa asilimia 1.5 kwa sababu fedha ilitokanje ya nchi ikaingia ndani ya Kenya. Sisi Tanzania ni vice versa,fedha inatoka Tanzania, inakwenda nje ya nchi, hiyo ndiyotofauti yetu sisi na watu wengine.

Mheshimiwa Naibu Spika, kikubwa hapa ambachonataka nishauri, makosa yaliyofanyika awali kwenye kutoafedha nyingi nje ya nchi, ndiyo nataka yasifanyike katikaMradi wa kutoka Makutupora kuelekea Mwanza kwa maanagani? Mradi wa Liganga na Mchuchuma gharama yakeunahitaji kama dola bilioni tatu za Kimarekani, lakiniukishaukamilisha ule mradi kwenye mradi wa Ligangautapata chuma, utapata makaa ya mawe, utapata umemena utachenjua madini mengine. Kwa hiyo tunapoanzakujenga mradi kutoka Dodoma kwenda Mwanza maana

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

63

yake chuma kitakuwa cha ndani ya nchi. Kwa hiyo hela yetuhii ya ndani itatumika hapa hapa, hatutaendelea kununuatena machuma kutoka huko China. Kwa hiyo hapo hata IMFwatakavyokuja watakuambia kwa sababu fedha yoteinabaki kwenye mzunguko, maana yake nchi yetu uchumiwetu utakua

Mheshimiwa Naibu Spika, hapa unaweza ukajiulizaswali dogo, kwa miaka minne mfululizo Wizara ya Ujenzi naUchukuzi mpaka sasa tumeiingizia shilingi trilioni 13.8. Mwakahuu wa fedha wanaomba shilingi trilioni 4.9, maana yake intotal ni karibu shilingi trilioni 18.7, ndani ya miaka minne.Asilimia 40 ya fedha za miradi yote ya maendeleo ya Tanzaniazipo Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini sasa jiulize swali, tume-inject fedha inakwenda kwenye shilingi trilioni 18 lakinimatokeo ya kiuchumi yanakwenda vise versa. Badala yauchumi kutoka asilimia 7 kwenda 8, matokeo yake inatoka 7inakwenda 4, inakwenda vise versa. That is the questiontunahitaji kupata majibu yake. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, tunawashauri Serikalikwamba tumieni fedha ambayo inaingia ndani ya uchumikwa ajili ya kubadilisha maisha ya Watanzania, hicho ndichoambacho tunakitaka. Changamoto ambayo ipo watu wetuhawa hawapendi kusikiliza ukweli. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, SGR bado inaendeleoa,itatoka Dar es Salaam, itakuja Morogoro, returning oninvestment ni nini? Hili ni swali ambalo tunapaswa kujiuliza.Je, itabeba tu watu peke yake mpaka Morogoro? Jibu nikwamba kubeba watu haiwezi kurudisha gharama ya fedhaambayo tumeiweka mle ndani. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, tunachotakiwa kufanya ninini? Ndiyo maana nawashauri, sasa hivi wakati reli inakujajengeni bandari kavu pale Morogoro. Ukishaweka bandarikavu pale Morogoro maana yake mizigo yote ambayoinakwenda nchi za SADC…

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

64

MHE. OMARI M. KIGUA: Mheshimiwa Naibu Spika,taarifa.

MHE. DAVID E. SILINDE: Pamoja na inayokwendaMikoa ya Kusini reli ile itayopita pale itaibeba. Kwa sababumradi wote…

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Silinde, kuna taarifa.

MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika,nilindie muda wangu.

MHE. OMARI M. KIGUA: Mheshimiwa Naibu Spika,nataka nimpe taarifa mzungumzaji kwamba katika hali yakawaida, unapofanya investment yoyote ile, hutegemeireturn ipatikane katika muda mfupi.

WABUNGE FULANI: Aaaaa.

MHE. OMARI M. KIGUA: Mheshimiwa Naibu Spika, kwahiyo, hata hiyo miradi tunategemea investment ipatikanebaada ya miaka 5 au 10 ijayo.

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Silinde, unaipokea taarifahiyo?

MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika,hamna taarifa hapa, hawataki kusikiliza ukweli tu. Sisitunajaribu kuwashauri, shida mliyonayo Chama chaMapinduzi mkishauriwa hamtaki, mkikosolewa hamtaki,mnataka nini? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ambacho najaribukukieleza hapa ni kwamba kwa sasa mnatakiwa mjengebandari ya nchi kavu Morogoro ambayo itasaidia kupelekamizigo yote ya nchi za SADC, hicho ndicho kitu ambachotunakihitaji kwa sasa. Nimesoma ile package ya kwanza yamradi kutoka Dar es Salaam - Morogoro - Dodoma, nimeona

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

65

tuna lengo la kuweka bandari ya nchi kavu hapa Dodoma,sasa kabla hatujaanza hapo, kwa hii awamu ya kwanzatuweke bandari kavu pale Morogoro ili tuhakikishe kwambareturn on investment iweze kujibu mapema kabla ya jambolingine.

Mheshimiwa Naibu Spika, niende kwenye jambolinguine maana kengele ya kwanza imeshalia ni barabara.Tanzania barabara ndiyo chanzo kikubwa cha ajali kulikohata uzembe wa madereva, namba moja hiyo. Kwa sababubarabara zetu ni ndogo lakini hazirekebishwi kwa wakatimuafaka.

Mheshimiwa Naibu Spika, pia tuwe wakweli, Serikalihaiwezi kufanya kila kitu kama ambavyo mmekuwamkijiaminisha mbele za watu, haiwezekani! Kulikuwa na mradihapa wa Dar-Moro Express Way, mradi ule ulitakiwa tuuendeshwe kwa mfumo wa PPP ama kuwapa private sector.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, mimi niwaulize Serikali,unapomleta mtu akakujengea barabara, mkopo amekopamwenyewe akajenga Dar es Salaam - Morogoro, barabaraile wanapita watu hata kwa kulipa fedha. Tunakwenda nchiza watu, tumekwenda South Africa, Ulaya na nchi zote, watuwanalipia gharama (road toll). Sasa mnasema kwa sababuya reli, hatujengi Dar-Moro Express Way kwa sababu imekuwataken by event, kwamba kwa sababu kuna reli basi hiyobarabara haiwezekani, yaani unaona ni thinking ya kurudinyuma. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, mapendekezo yetu,ukijenga barabara kwa kutumia mfumo wa PPP, ukijengamadaraja kama Kigamboni, sifa inabaki kwa Serikali nahaiendi kwa mtu mwingine tofauti. Tofauti yenu na sisi ninyimnafikiri kwamba Serikali italeta maji, itajenga shule nakadhalika na ndiyo maana miaka yote, tangu mmekuwamadarakani kwa miaka 58 mambo yanakwenda polepoletofauti na kasi inayohitajika na mnataka pongezi kwa vituambavyo mnaviweza. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

66

Mheshimiwa Naibu Spika, nafikiri sasa watu wa TISSwafanye vetting ya watu wanaoweza kuongoza hii nchi ilikuhakikisha wanaipeleka mbele. Kuna watu wanafikirikijamaa kuliko miradi inavyotaka kutekelezwa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, la mwisho ni ATCL. Hakunamtu hata mmoja anayepinga ATCL lakini menejimenti lazimaiwe huru, hiyo namba moja, wasiingiliwe wafanye kazikibiashara. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini pili, kuna vituambavyo sisi tutaendelea kuwakosoa kila siku hapa ndani.Wewe Dreamliner imekuja tangu Julai, 2018, karibu mwakamzima imepaki pale, tunakaa tunaiangalia pale, ile ni hasara.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, hii ni sawa na mtuumenunua coaster yako kutoka Japan umeiweka nyumbanikwako unaiangalia, haiingizi kitu chochote. Kwa niniusisemwe, kwamba wewe unafikiri kibiashara au unafikiriaje?Hayo ndiyo tunayolalamikia kila siku. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ukiangalia watu waRwanda, pamoja na kwamba wana Shirika la Rwanda Airlakini menejimenti ya Rwanda wamechukua watu waEthiopia, ndiyo wanao-run lile shirika halafu watu wa chinikule ndiyo watu wa Rwanda. Kwa sababu watu wa Ehiopiandiyo wana uwezo mkubwa wa kuendesha mambo haya.Sasa na ninyi msione aibu kwenda kumchukua mtu Ethiopia,Rwanda akaja kuwasaidia. Hata KQ sasa hivi, miongoni mwamabadiliko yao wamefanya hivyo. Msifanye maamuzimkafikiri kwamba kila kitu kinawezekana. (Makofi)

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

MBUNGE FULANI: Mheshimiwa Naibu Spika, taarifa.

MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana kwa nafasi hii. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

67

NAIBU SPIKA: Ahsante. Tunaendelea na MheshimiwaBalozi Adadi Rajab, atafuatiwa na Mheshimiwa Abbas HassanMwinyi na Mheshimiwa Boniface Mwita Getere ajiandae.

MHE. BALOZI ADADI M. RAJAB: Mheshimiwa NaibuSpika, nashukuru sana kupata nafasi hii kuchangia hoja hiiambayo ni muhimu sana katika nchi yetu.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza, napendakuchukua nafasi hii kuwapongeza sana Mheshimiwa WaziriKamwelwe na Manaibu Mawaziri, Mheshimiwa Kwandikwana Mheshimiwa Nditiye (Mzee wa Minara), Katibu Mkuu naWakurugenzi wote pamoja na Wakurugenzi wa ATCL, TTCL,TCRA, TANROADS na wengine wote. Nawashukuru sana kwasababu Wizara hii kazi ambazo inazofanya ni nzuri sana nanafikiri kila mtu anaziona, katika sekta zote ambazonimezitaja.

Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara hii imebeba Wizaranyingi sana na imefukia mashimo ya Wizara nyingi kutokanana kazi zake nzuri ambazo wanazifanya. Siyo siri kwambamiradi hii mikubwa imeipa sifa sana nchi yetu na ni miradiambayo itabadilisha kabisa taswira ya Tanzania. Ni Wizaraambayo inatakiwa ipongezwe kwa sababu kwanza, Mawazirina viongozi wake sasa hivi wanafanya kazi kubwa sana.Mawaziri hawa wametembea nchi nzima na wameonamiradi ambayo iko kwenye mikoa yetu na wamejitahidi kwakadri ya uwezo kutatua changamoto zilizopo. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nianze kuzungumziaJimboni hasahasa barabara yangu ya Amani - Muhezakilomita 36. Barabara hii imekuwa inatengewa fedha tangumwaka juzi, shilingi bilioni 3, mwaka jana shilingi bilioni 5,mwaka huu karibu shilingi bilioni 2 lakini tatizo ambalo lipo nila mkandarasi kutopatikana. Najua Meneja wa TANROADSMr. Ndumbaro anafanya juu chini lakini kila ukimuulizaanakwambia hapana, bado kidogo, kuna mchakato wamzabuni. Zabuni hii imetangazwa mara tatu, mara ya kwanzamkandarasi hakupatikana, mara ya pil i mkandarasihakupatikana na hii mara ya tatu ndiyo naambiwa sijui kama

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

68

atapatikana na naambiwa mambo yote yako kwaMheshimiwa Waziri.

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara hii ndiyo uchumiwa Muheza. Muheza tunategemea barabara hii iwe kwenyekiwango cha lami ili iweze kuteremsha mazao kutoka Amanikwenda Mjini Muheza mpaka Dar es Salaam kwa ajili yamauzo. Kwa hiyo, naomba uitolee maamuzi ili kabla mwakahuu wa fedha kuisha basi mkandarasi awe site. NakumbukaMheshimiwa Waziri nilikuona na nikakuomba kwamba fedhaambazo zimewekwa mwaka huu ni kidogo na ujaribukuangalia namna ya kuweza kuziongeza. Nakushukuru sanakwa kupokea ombi hilo ambalo naamini utalishughilikia.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na matatizo hayaya barabara ya Amani pia tuna matatizo ambayo tumeombakatika miaka hii miwili, mitatu iliyopita, kufanyiwa upembuziyakinifu katikati ya barabara ya Pangani, junction ya Bozampaka Muheza (kilomita 42) pamoja na Muheza – Maramba(kilomita 45) kwa matayarisho ya kuwekewa lami. Sikuonakwenye kitabu lakini naomba uangalie uwezekano ili ziwezekufanyiwa upembuzi yakinifu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, suala lingine ni mawasiliano.Nimewasiliana sana na Mheshimiwa Nditiye, Naibu Wazirianayeshughulika na mawasiliano, kwa sababu mpaka wakatihuu kiwango hiki tulichokifikia kuwa na sehemu ambazohakuna mawasiliano ni tatizo kubwa sana. Tarafa ya Amanimawasiliano ni tabu sana, ukiangalia Kata zote za Amaniyenyewe, Mbomole, Zirai, Kwezitu, Misarai, Magoroto pamojana sehemu za Kwebada mawasiliano ni mabovu sana. Janatu nilikuwa naongea na wewe Mheshimiwa Naibu Waziri naukanihakikishia kwamba utashughulikia. Napenda niliongeleehilo ulishughulikie ili na wananchi wa maeneo ya Amaniwaweze kusikia kwamba kweli suala hilo linashughulikiwa namawasiliano hivi karibuni yatakuwa ni mazuri. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, suala la SGR, nimeona hapakwenye kitabu cha Mheshimiwa Waziri kwamba mpango wa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

69

kuweka SGR kutoka Reli ya Tanga - Dar es Salaam - Arusha –Msoma upembuzi yakinifu ulishafanyika na sasa hivi mikakatiinafanyika ya kumtafuta mkandarasi kwa njia ya PPP ili na sisireli ya Tanga tuweze kuwa na SGR. Suala hili ni la muhimusana kwa sababu suala la PPP marekebisho yaketulishayafanya kipindi kilichopita na tunategemea kwambasuala hili lingeanza sasa hivi kutangazwa kwa sababuupembuzi yakinifu umeshafanyika ili tuweze kupata SGRTanga line. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nikushukuru kwambaBandari ya Tanga inaendelea kufanyiwa ukarabati. Kwa hiyo,suala hilo ni muhimu sana liendelee na liweze kufanikiwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini suala la ndegekwenda Tanga - Pemba, tulisikia kwamba sasa hivibombardier itatua Tanga na itakwenda Pemba na kurudi Dares Salaam. Mpango huo mpaka sasa hivi naona kimya,ningeshukuru sana kama Mheshimiwa Waziri utakapokujahapa ku-wind up, basi utuambie kwamba na sisi Mkoa waTanga hii ndege ya bombardier itaweza kutua kwenyeuwanja wetu kwa sababu sasa hivi kiuchumi tunakwendakwa kasi kubwa sana. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, la mwisho ambalo natakakuongelea ni suala la express way, hili suala ni la msingi sana.Kila mwaka naongelea kwa nini hatuanzishi road toll kwenyebarabara zetu. Ulimwengu mzima sasa hivi unakwenda naroad toll , hakuna nchi ambayo utakwenda usikuteimefungwa inatengenezewa road toll au kuna watu ambaowanalipa road toll. Hii ni njia mojawapo ya kuinua uchumi.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, juzi tulikuwa Kampala,tumeteremka Entebbe pale, Entebbe mpaka Mjini Kampalakuna express way wameshatengeneza wenzetu, mtuanachagua apite kwenye express way au aende kwenyebarabara ya kawaida. Hivi vitu ni vya msingi na ni muhimusana sijui kwa nini hii barabara ya Chalinze tusianzishe expressway? Kama atapatikana mtu ambaye ana uwezo wa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

70

kutengeneza, akaweka road toll yake, kwa nini tunakataavitu kama hivi? Nashauri sasa hivi tuangalia umuhimu wakuanzisha road toll, express ways ni muhimu sana kwamaendeleo ya miji yetu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, la mwisho ni suala la SGRambalo mwenzangu Mheshimiwa Sil inde hapaamelizungumzia lakini tunajua kwamba hawa watu wetuwenye viwanda vya vyuma, kweli hivi vyuma vilikuwavinatoka nje lakini wewe mwenyewe Mheshimiwa Silindeutakubali kwamba wamekuja tangu juzi kwenye BudgetCommittee na wamekiri wameanza kupewa kazi hizo zakuweza ku-supply vyuma kwenye reli hii ya SGR. Hayo nimafanikio kwamba sasa hivi wameanza na unajua kabisakwamba Kamati ya Bajeti sasa hivi inashughulikia namna yakufufua Mchuchuma-Liganga na jana tulikuwa na…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Kengele ya pil i imeshagongaMheshimiwa.

MHE. BALOZI ADADI M. RAJAB: Mheshimiwa NaibuSpika, naunga mkono hoja, ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Tunaendelea naMheshimiwa Abbas Hassan Mwinyi atafuatiwa naMheshimiwa Boniphace Mwita Getere na MheshimiwaMagdalena Sakaya ajiandae.

MHE. CAPT. ABBAS ALI MWINYI: Mheshimiwa NaibuSpika, nakushukuru sana kwa kunipa nafasi ili nami nichangiekatika hotuba ya Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi naMawasiliano. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, awali ya yote, napendanimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia afya njema. Pianichukue fursa hii kumpongeza Waziri Eng. Kamwelwe naNaibu wake wawili kwa kazi nzuri sana wanayoifanya ya

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

71

kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi yamwaka 2015. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, mchango wangu kwaasubuhi ya leo nitajikita katika taasisi mbalimbali ambazo zikochini ya Wizara hii. Nitaanza na Chuo cha Taifa cha Usafirishajiambacho kwa siku za karibuni tulipata fursa kwendakukitembelea na Kamati. Tumeona hatua ya maendeleoiliyofikiwa na chuo hicho lakini tatizo kubwa ni kwambakitendea kazi kikuu hakijapatikana ambacho ni ndege. Kwaheshima na taadhima naomba Waziri atakapokuja kufanyawind-up, aje kutueleza lini hasa fedha ambazo zimeahidiwana Serikali za shilingi bilioni 4.2 zitatolewa kwa chuo hichokwa lengo la kununua ndege single engine aina Cessna 172ambapo mpaka dakika ndege hizo hazijapatikana. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini la pili, tuna taarifa yakwamba chuo hiki kitapata fedha kutoka Benki ya Dunia kiasicha dola milioni 21.5. Fedha hizi pia zitatumika katika ununuziwa ndege tatu, kwa hiyo, pamoja na zile mbili ambazozimeahidiwa na Serikali zitafanya jumla kuwa tano. Mpakaninavyozungumza hawana hata ndege moja katika kitengohicho jambo ambalo kwa kweli linakifanya Kitengo hicho chaUsafiri wa Anga kudumaa, naomba Mheshimiwa Waziri ajekutueleza. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ukweli wa hali halisi ilivyosasa kuhusiana na uwiano wa marubani ambao wamepataleseni uko 60:40 yaani wageni wana asilimia 60 na wazawawana asilimia 40 ya idadi ya marubani. Kwa hali hiyo basi,iwapo tutakisaidia chuo hiki, nafikiri uwiano huu utapunguakwa kiasi kikubwa. Itafika wakati sasa sisi kwa maana yawazawa tutakuwa wengi zaidi kuliko idadi ya foreigners kamailivyo sasa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kitu kingine nilikuwa natakakugusia kuhusiana na Shirika letu pendwa la Air Tanzaniaambapo kwa hali ilivyo hivi sasa linaendelea vizuri. Mengiambayo nilikuwa nayakusudia kuyazungumza kwa siku ya leowenzangu walionitangualia kama Mheshimiwa Kitwanga

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

72

ameyazungumzia, kwa hiyo, sasa hivi nitazungumzia vilevipande ambavyo yeye hakuvigusia. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kweli biashara yandege ni ngumu sana na gharama zake za uendeshaji halihadhalika ni kubwa kupita kiasi. Napenda kukufahamisha tukwamba, Rubani yeyote validity ya leseni yake ni miezi sita,ukimaliza miezi sita ina maana aidha ufanye revalidationcourse ambayo haifanyiki nchini bali ni nje ya nchi katika nchiza Canada, Uingereza au Ethiopia na watu gani wana-incurcost hizo ni shirika lenyewe. Kwa hiyo, wameelemewa namambo mengi sana, cost ya vipuri halikadhalika iko juu sana.Tairi tu lile la Dreamliner linaweza kufika hata dola 10,000, tairitu moja. Kwa hiyo, mnaweza kuona gharama za vipurizilivyokuwa juu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, vilevile napenda nishauriSerikali ni kwamba hatuwezi tukaendesha Shirika la Ndegekwa kutegemea fedha ambazo zinapatikana kutoka katikamauzo ya tiketi peke yake, haiwezekani lazima kuwe namambo mengine, vyanzo vingine vya kupata mapato. Navyanzo hivyo kwa upande wa Serikali wanaweza kutoamsahada hii Air Tanzania ikawa na Ground HandlingCompany yake yenyewe hiyo itafanya wapate fedhambadala inaweza alikadhalika ikapate ile inflight cateringservice zile na hiyo ni chanzo kingine cha fedha. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, vilevile kuwapatia sehemuambayo kama godauni wale abiria ambao wanatoka njeya nchi kuja kwetu wakija na mizigo yao na ile hasa ileambayo iko sensitive kwa temperature inaweza ikahifadhiwakatika sehemu zile na baadaye sasa shirika likipata nafasi zakwenda kuzipeleka mizigo hiyo katika nchi za jirani kamaMalawi na kadhalika na kadhalika. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, jana Mheshimiwa Shangazializungumza ya kwamba kuna haja ya kupata Cargo Planenakubaliana naye kwa hundred per cent, isipokuwa ushauriwangu si lazima iwe cargo plane hundred per cent per servelakini kuna ndege ambayo inaitwa Comb Q4100 ambayo

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

73

inachukua mizigo na abiria kwa wakati mmoja nafikiri ainahii ya ndege itakuwa inafaa zaidi kuliko kupata ile ambayoMheshimiwa Shangazi ame-suggest. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, nichukue tu fursahii kumpongeza Mkurugenzi Mkuu na pamoja na Mwenyekitiwa Bodi kwa kazi nzuri sana ambayo wanaifanya naninaomba nahisihi kwa kuwa shirika letu hili Air Tanzaniahalijaweza kusimama katika miguu yake miwili yenyewelimefufuliwa tu majuzi bado lina mahitaji mengi tungewezakusamehe baadhi ya tozo na hilo si geni Ethiopia Airliner kwamfano hawalipi landing fees, hawalipi parking fees, walahawalipi navigation fees na sisi tungewasamahe hawa kwafees kama hizo kwa sababu kwa mwezi tu kwa aina hiyo kwacalculation zangu ina maana fees hiyo ni zaidi ya milioni 400.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa ni mzigo sana hili shirikabado halijakua kiasi cha kutosha cha sisi kuanza sasakuwanyonya. Kwa hiyo, kwa maana hiyo basi naomba Serikaliiweze kufikiria jambo hili la kuweza kuwasamehe kodi za ainahiyo itapendeza sana. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, jambo lingine ambalonilitaka kulizungumzia leo ni kuhusiana na hifadhi ambayoya Serengeti, asilimia yaani asilimia 90 ya hifadhi hii iko nchinikwetu Tanzania na asilimia 10 iko upande wa Kenya ambaowao wanaitwa Masai Mara. Sasa kwa ufupi katika sehemuMasai Mara peke yake wao wana airfields tatu za lamiambazo zina urefu zaidi wa kilometa 1.8, ambayo zinakuwana uwezo sasa wa ndege aina ya Bombardier Q4100, kuwezakutua katika uwanja ule. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, wanachokifanya wataliiwanapofika katika uwanja wa kimataifa wa Nairobi ambaowanachukuliwa nchi tofauti huko nje ya nchi. Sasa KenyaAirways wanakuwa na kampuni tanzu, nafikiri subsidiarycompany ambayo inaitwa Jambo Jet, inachukua wataliiinawapeleka moja kwa moja Masai Mara. Sasa pale walewatalii hawawi inconvenient hata kidogo, wanakuwawanafurahia safari yao kwa sababu ni rahisi. Lakini kwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

74

mazingira hapa ya kwetu sehemu ambazo watalii wanaingianchini ni Dar es Salaam, Kilimanjaro na Zanzibar, halafuwanakuja kwa makundi makubwa sana. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, kwa maana hiyobasi tungeweza kutengeza uwanja wetu wa ambao ukokatika sehemu ya Tanzania unaitwa Sereneira ambao uwanjawenyewe una kilometa 2.2 ni mrefu kiasi cha kutosha, lakiniunataka maboresho ili wale watalii ambao wanatelemkiaKilimanjaro au Zanzibar wapate fursa au waweze kuchukuliwamoja kwa moja na Bombardier ya Air Tanzania na kupelekakatika uwanja huu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kufanya hivyotutakuwa tumeusaidia uwanja wenyewe kupata mapato,lakini kwa Taifa kwa ujumla siyo watalii wote ambaowanapenda kutelemka uwanja wa Kilimanjaro halafuwakachukua magari kuelekea katika sehemu husika,unakuwa unawasumbua kwa hali ya kutosha. Na hii ndiyonamna ambayo Air Tanzania ingeweza kushiriki moja kwamoja katika kukuza utalii kwa sababu unachukua watuunapeleka kule na wakimaliza shughuli zao wanapandakatika huo uwanja wa Sereneira wanarudi katika sehemu yaAirport kubwa ili waweze kuendelee na safari zao nchi yanje. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa ningeliomba hili sanaupande wa Serikali uboreshwe uwanja ule na hautaki kazikubwa, ni kuuweka tu control tower pale kwa sababu uwanjatayari upo mrefu ikiwa kama hali ya uchumi hairuhusupengine si lazima lami kwa kipindi hichi unaweza ukawekalami baadaYe ukauchonga katika namna ambayo ndegezinaweza kuteremka na kupaki kiurahisi. Hilo linawezekanakabisa nikuhakikishieni pato la Taifa litakuwa kabisa kwakufanya hili jambo ambalo nail-suggest, halafu kingine…(Makofi)

NAIBU SPIKA: Muda wako umekwisha Mheshimiwaahsante sana, Mheshimiwa Abbas umeongezea dakika tatu

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

75

za Mheshimiwa Mwita Getere, kwa hiyo, malizia hojayako.(Makofi)

MHE. CAPT. ABBAS ALI MWINYI: Mheshimiwa NaibuSpika, nilikuwa la mwisho kuhusiana na hali ya Air Tanzaniaambayo nilikuwa nataka kuizungumzia ni kwamba kwandege zetu, hazitumiki yani kuna underutilization na hizo hizondege hazitumiki ipasavyo naweza kusema kama vinatumikakama asilimia 60 underutilization ndiyo inavyofanyika.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa hii inasababishwa nafactors zingine kwa mfano viwanja vyetu vingi havina taa nakwa hali ya kawaida ndege haitakiwi kabisa isimame,wanaobadilishana ni Ma-crew lakini ndege inatakiwa ifanyewakati wote masaa 24 ikiwezekana. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa kutokana ukwelikwamba viwanja vyetu vichache tu vyenye huduma ya taandiyo maana sasa hatufikii ile kiwango cha matumizi yandege zilizokuwepo ya kutosha, lakini hii ni sababu moja.Nyingine ni sababu ya kibiashara ya kwanzaunapowachukua watalii au watu wa nchi mbalimbali kwamaana ya wa hapa karibuni Malawi, au Lubumbashi kwamfano ili kuwaleta Dar es Salaam lazima pengine walewanasubiriwa sasa ndege nyingine ili waende nje, sasa kamahakuna ndege nyingine ambayo inawasubiri wale abiriaambao wanatoka katika nchi jirani inakuwa ni ngumu, hizondiyo sababu za kibiashara ndiyo maana ya kwanza tukawaasilimia 60 tu ya matumizi ya ile ndege ambayo tunayafanyandiyo ambayo yanatokeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kusema hayonaunga mkono hoja, ahsante. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana Abbas Ally Mwinyi,Waheshimiwa Wabunge nadhani tunajifunza mambo mawilihapa, moja siyo lazima uchangia kwa kelele sana la pili nikuchagua eneo moja ambalo unaweza ukachangiakikamilifu. Nimuite sasa Mhehsimiwa Boniphace Mwita Getereambaye atachangia kwa dakika tano, atafuatiwa na

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

76

Mheshimiwa magdalena Sakaya dakika kumi, MheshimiwaOran Njeza ajiandae. (Makofi)

MHE. BONIPHACE M. GETERE: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia, nimpongezeAbbas alivyokuwa anachangia hapa vizuri zaidiamenikumbusha uwezo wa kawaida wa binadamu wa kufikiriule unaitwa argue ni 100 na inaenda mpaka 150. Lakini walewataalam wenye akili nyingi zaidi kama Rais wetu Dkt. JohnPombe Magufuli wanaanza 170 mpaka 220 argue. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, tofauti yetu tulio wengihapa Bungeni na Mheshimiwa Rais wetu Dkt. John PombeMagufuli ni moja tu yeye IQ yake kwa kuwa ni kubwaanawaza Tanzania ya 2050 itakuwaje wakati huo huo sisitunawaza lini tunakuja Bungeni kuendelea na maisha yetundiyo tofauti yetu. Kama unawaza kurudi Bungeni unawezaukazungumza vitu rahisi rahisi vya kufurahisha watu ili ujeBungeni hapa kama unawaza nchi itakavyokuwa hukombele maana yake ni kwamba unawaza mambo makubwabila kujali itakuwaje, waanguke au usianguke, ndiyoMheshimiw Rais Dkt. John Pombe Magufuli anafanya mambokama hayo. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nimeshangaa kuna vituvingine hapa vinakuwa kama mtu anakuja vibaya, auanakuja vizuri sasa tunaambiwa bwana nyie wa CCM sijuiWabunge tunawapa ushauri hamfuati, ushauri siyo agizo,ushauri kuna ushauri mzuri kuna good advice na kuna badadvice. Kwa hiyo, ushauri unaweza ukaufuata kama unaonakama unakufaa au haukufai, ndiyo maana unaitwa ushauri.Tungefuata ushauri huo basi kulikuwa na lugha hapamnajenga ndege za nini mnajenga reli za nini bandari sijuiyameenda, lakini leo tunashauriwa leo nimeona hapaMheshimiwa Silinde anashauri juu ya kuendeleza mapato yandege.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo ina maanaamekubali ndege ni sahihi kuletwa hapa nchini. Kwa hiyo,tunakubaliana, leo tumeona watu wanashauri kujenga

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

77

bandari kavu, ambayo bandari kavu kuijenga ni miezi mitatu,lakini kujenga reli ni zaidi ya mwaka mmoja miaka miwili. Kwahiyo, tumeanza kile kikubwa tunakuja kwenye kile kidogo ilituweze kwenda vizuri kwenye mambo yetu tunayoenda.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, niende kwenye barabaraza Jimbo la Bunda na kwenye barabara za Mkoa wa Mara.Kuna barabara ya kutoka Nyamswa kwenda Bunda, Bundakwenda Buramba, Buramba kwenda Kisolia, kuna barabarahiyo ipo toka mwaka 2000 mpaka leo haijajengwa amekujaMheshimiwa Rais tarehe 4 alikuwa Kibara mwezi wa 9 tarehe6 alikuwa kwenye Jimbo la Bunda ameagiza amefunguaujenzi wa hiyo barabara akaagiza nikitoka hapa kasi yabarabara hii iendelee.

Mheshimiwa Naibu Spika, mpaka sasa ni miezi 9 sasabarabara hii haiendi, barabara ya Buramba kwenda Kisoliahaiendi, barabara ya Nyamswa kuja Bunda haijatangwazahata mkandarasi hajapitiaka, barabara ya makutano kuleSanzati bado inasuasua haiku vizuri, barabara ya kutokaSangati kwenda Natamgumu bado iko vibaya. Sasa najiulizasasa Wizara hii ya ujenzi na miundombinu kama kuna mtualioa Mara halafu mke akamkimbia aje tumrudishie sasa shidaiko wapi? Mbona sisi tunapata shida? Ukienda kwenyeuwanja wa ndege tumeahidiwa mpaka leo haupo ukiendakwenye bandari haipo sasa ni nini kinatokea sasa kwenyeMkoa wa Mara kitu gani kinakuwepo? Tuna hasira sasa namambo kama haya. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, tunaomba sasa Wizaraianze kuona Mheshimiwa Rais ametoa agizo la kujengabarabara hizo na kutangaza wakandarasi shida yetu ikowapi. Kweli tukafikiri kwamba watu waweze kujenga ili tuwezekuona kazi inaenda. Lakini vinginevyo uwanja wa ndege waMusoma umepewa bilioni 10 na hautatolewa mpaka leohaujatolewa, Wizara hii ya Ujenzi kusema kweli nchi ni kubwana wanafanya kazi nzuri niwapongeze kusema kweli,Mheshimiwa Engineer Kamwelwe naomba sasa naombasasa ujitahidi ufanye kazi vizuri, Mheshimiwa Engineer Nditiye

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

78

umsaidie Mheshimiwa Kwandika nawe umsaidie nawatendaji wote wa Wizara hii msaidiane nchi ni kubwatusipoangalia sasa namna ya kupanga hivi vipande vyetuna keki yetu maeneo mengine yatakufa, yataendeleakupata shida sana.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo tuangaliekuangalia Mkoa wa Mara muuangalie, Mheshimiwa Raisameusemea sana alipokuwa kule ndani na mwaka huu tunamaazimisho ya Mwalimu mwezi wa 10 tunataka zile barabarazipitike ili wageni watakavyokuja pale kutoka South Africawawepo.

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Muda wako umeesha Mheshimiwa,kengele imeshagonga, ahsante sana.

MHE. BONIPHACE M. GETERE: Mheshimiwa Naibu Spika,dakika tatu hamna? (Vicheko)

NAIBU SPIKA: Hapana ameongezewa tu MheshimiwaAbbas, wengine wanachangia kwa muda wao, MheshimiwaMagdalena Sakaya atafuatiwa na Mheshimiwa Oran Njeza,Mheshimiwa Fredy Atupele Mwakibete ajiandae.

MBUNGE FULANI: Haya kelele inakuja hiyo sasa.

MHE. MAGDALENA H. SAKAYA: Mheshimiwa NaibuSpika, nakushukuru kunipa nafasi nami niweze kuchangiakwenye hotuba ya Mheshimiwa Waziri ambayo iko mbeleyetu. Pia nimshukuru Mungu pia kunipa kibali kusimama mbeleya Bunge lako Tukufu kwa ajili ya kuendelea kuwatumikiawananchi na kutumikia taifa letu.

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali imeweka sera yakuwasaidia kujenga uwezo kwa makandarasi wa ndani kwamaana ya kwamba zile barabara ambazo ziko chini ya

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

79

kilometa 30 wanapewa wakandarasi wa ndani ili kujengauwezo wao, pia kuendelea kuenzi kazi zao za ndani.

Mheshimiwa Naibu Spika, tumekuwa na tatizo kubwasana la udhaifu mkubwa sana la utekelezaji wa kazizinazofanywa na wakandarasi wa ndani. Na hapa ninasemakwamba hatuwachukuii wakandarasi wa ndanitunawapenda, lakini tunaangalia matatizo tuliyokuwa nayopia miradi ambayo inapangwa iende kwa muda na kaziiende kwa muda unaotakiwa. Leo kazi ya mwaka mmojainafanyika kwa miaka mitatu, wapo wakandarasi ambaokiukweli ni dhaifu uwezo ni mdogo na unapoambiwakwamba washirikiane na wenzao pia wanakuwa ni wagumu,ninaomba Serikali ituambie tutaendelea kuwabebawakandarasi wa aina hii mpaka lini? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, Wantanzania wanapatashida mfano mmoja ni barabara Kaliua Urambo, kilometa 28tu wamepewa wakandarasi wamepewa mwezi wa 4 mwaka2017 ilikuwa ni kazi ya mwaka mmoja, leo ninapoongea nawewe na hapa Bungeni hata robo haijafika na wako site, navisingizio kila siku mara mvua, mara jua mara hiki ukiendapale kazi inayofanyika haieleweki, lakini wakati huo huowenzao wa nje, wenzao wa CHICO walipewa kandarasipamoja wamejenga barabara ya Neuya hapa kwendaTabora kila siku wako kazini na kazi yao ni nzuri.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba Serikali ituambietutaendelea kuwabeba hawa wa ndani mpaka lini? Kamalengo ni kuwasaidia tunawatesa wananchi, tunawaoneawanachi. Kaliua ni Wilaya yenye uzalishaji kubwa sana asilimia60 ya tumbaku yote Tanzania inatoka Kaliua mazao mengimpunga, mahindi, karanga, lakini ukiona barabara ambavyomagari yanapita unaona huruma, pia Kaliua sasa hivi hatunahospitali ya Wilaya, ukiona mtu akipewa rufaa akiendaTabora unamuonea huruma ile barabara jinsi ambavyo nimbaya.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba Serikali ituambiesasa baada ya mkandarasi wa pale barabara ya Kaliua

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

80

Urambo kuongezewa muda tena karibu mwaka mzima ni liniile barabara itakamilika kwa kiwango kinachotakiwa?(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara nyingine nibarabara inayoungasha Mkoa wa Tabora, na Katavi pamojaShinyanga, barabara inayoanzia Katavi inakuja Kaliuainakwenda Uliyankulu inakwenda mpaka Kahama, barabarahii ni barabara muhimu sana kwa uchumi na pia ni barabarakuu ni barabara ambayo iko kwenye TANROADS, lakini kunakilometa 60 kutoka Kangeme kwenda mpaka kilometa 120kwa maana ya mpakani haijaguswa wala kufunguliwakabisa.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba Mheshimiwa Waziriatuambie ni lini sasa kile kipande cha kilometa 60 kutokaKangeme, kwenda mpaka pale mpakani mwa Kataviitafunguliwa? Kilometa 60 zingine zimefunguliwa, lakinibarabara hii ni lini sasa itatengezwa kwa kiwango cha lamisababu ni barabara ya uchumi, barabara kuu, barabara yaMkoa kati ya Mkoa na Mkoa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lingine ni suala la barabarazilizopo pale Kaliua Mjini ahadi Mheshimiwa Rais ambayealituahidi wakati uchaguzi, pia ameahidi 2017 alifanya ziaraKaliua kwamba kilometa saba za pale Mjini zijengwe naaliagiza kwa haraka mpaka leo barabara hizo badohazijajengwa.

Kwa hiyo, naomba Mheshimiwa waziri atakapokujaku-windup atuambie barabara za pale kilometa saba za paleMjini zitajengwa lini?

Mheshimiwa Naibu Spika, suala lingine ni suala lamitandao, maeneo mengi ya Kaliua tena maeneo ambayoyana uchumi mkubwa wa kilimo hayana mawasiliano ya simuhivi tunayoongea kuna watu wanapanda kwenye mti iliaongee hata aseme shida yake apande juu ya mti aongeendiyo Mhehimiwa Mbunge aweze kupata shida yake.(Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

81

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba tuambiwemaeneo mbalimbali ya Kaliua yatapata mitandao ya simulini? Mheshimiwa Waziri nimezungumza sana kwa habari yamaeneo haya, maeneo ya Pandamloka ambapo mchelemwingi unaolimwa Kahama unapatikana Pandamloka,hakuna mawasiliano ya simu, Pandamloka, Mwahalaja,Kombe, Shela, Maboha, Luenjomtoni, Usinga, UkumbiKakonko, Mkuyuni, Mpilipili, Igombe maeneo yote haya nimuhimu kwa uchumi, yanalima sana lakini kwa miaka yotekiukweli wanateseka.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba sana maeneohaya yaingie kwenye bajeti. Naomba tuambiwe sasa ni liniminara itajengwa maeneo yale ili wananchi wa Kaliuaambao wanalima sana, wanachi wa maeneo mengi ya nchihii waweze kupata mawasiliano na waweze kuwa nahuduma nyingine kama wananchi wengine? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru kwa nafasi hii.Ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa Oran Njezaatafuatiwa na Mheshimiwa Fredy Atupele Mwakibete naMheshimiwa Deo Ngalawa ajiandae.

MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru sana kwa kupata hii nafasi ya kucahngia hii Wizaramuhimu ya miundombinu.

Mheshimiwa Naibu Spika, nianze kwanza kwakumpongeza Mheshimiwa Waziri, Eng. Kamwelwe, ManaibuWaziri, Engineer Nditiye na Naibu wake, CPA Kwandikwa kwakazi nzuri walioyoifanya pamoja na Makatibu wao Wakuu.Kwa kweli wanafanya kazi nzuri, hata ukiangalia hii bajetiwaliyopewa nafikiri wanastahili, nasi wachukue maoni yetuwaweze kuboresha zaidi sekta hii ambayo ni mtambukaambayo kwa kiasi kikubwa itatusaidia hata kuboresha kilimo.(Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

82

Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru vilevile kwa ziaraaliyoifanya Mheshimiwa Rais katika Mkoa wetu wa Mbeyana mengi aliyoyazungumzia ni pamoja na miundombinu yabarabara. Napenda kumkumbusha Mheshimiwa Waziri kuwakatika ahadi aliyoifanya siku ile, siku ya mwisho ilikuwa ni ujenziwa barabara ya Mbalizi - Shigamba mpaka Isongole. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, hii barabara ni muhimu sanakwa vile inapitia kwenye maeneo ambayo ni ya kilimo chamazao yanayotuletea pesa za kigeni; kahawa, pareto, viazina pia kwenye mazao ya mbao. Vile vile hii barabarainatuunganisha na wenzetu wa Malawi na vilevile inapitakwenye bonde la Mto Songwe ambao ni ubia wa Serikali yetuya Tanzania na Serikali ya Malawi.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, naombaMheshimiwa Waziri aangalie kwani wananchi wanasubirisana hii ahadi yake ikiwa ni pamoja na barabara ya Isyonje- Kikondo na barabara ya Mbalizi - Chang’ombe kwendaMakongorosi. Hizi ni barabara muhimu sana. Kwa hiyo,nilipenda niliweke hili mwanzoni ili wasije wakajisahau kwavile hizi ni ahadi za Marais waliotangulia na Rais wetu kasisitizakwamba hii barabara ijengwe kwa kiwango cha lami.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, napenda vilevile nichangiereli yetu ya TAZARA. Tunapoangalia ujenzi wa kuimarishamiundombinu ya reli ya nchi hii, naomba Wizara isije ikasahaumiundombinu ya TAZARA. Reli ya TAZARA uwezo wake ni wakubeba mizigo isiyopungua metric tonnes milioni tano, lakinimpaka leo hii nilikuwa naangalia report ya Mheshimiwa Wazirihapa, kwa mwaka 2018 na mwaka 2017 ni wastani wa metrictonnes 150,000 tu. Sasa hii ni chini ya asilimia tatu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ukiangalia uwezo waTAZARA; na hii reli ni ya kimkakati, bila hii reli, mizigo mingiambayo inakwenda kwenye nchi za Zambia, DRC, Malawina kwa kiasi fulani nchi ya Zimbabwe, hatutakuwa katikaushindani mzuri. Sasa hivi ushindani mkubwa wa Bandari yetu

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

83

ya Dar es Salaam ni Bandari za Msumbiji, Bandari za Angolana Bandari za South Africa.

Mheshimiwa Naibu Spika, nilikuwa naangalia Bandarimoja tu ya Msumbiji inaitwa Nakal ambayo wakilinganishana gharama yake na Bandari yetu ya Dar es Salaam waowako chini kwa asilimia 40. Sasa bila kuiboresha TAZARA natukategemea hii mizigo iendelee kupitia kwenye barabara,sisi tutaondoka kwenye hiyo biashata na tutajikuta badalaya ku-create value ya bandari yetu lakini kwa kupitia TAZARA,tutakuwa tunafanya value evaporation. (Makofi)

MBUNGE FULANI: Hongera sana.

MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika,naomba vilevile kwa sababu hii reli ni ya ubia kati ya Zambiana Tanzania, inaelekea wenzetu wa Zambia hawana tenaumuhimu na hii reli. Nguvu wamezipeleka kwenye hizo nchinyingine nilizozitaja na wanaona kuna manufaa zaidi yakutumia hizo bandari nyingine kuliko hii reli yetu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nafikiri Wizara na Serikaliiangalie ni namna gani kuangalia upya huo mkatabatulionao kwa sababu hadi leo tunashindwa hata kuchukuapesa ambazo Serikali ya China iko tayari kutukopesha.Kwenye Itifaki Na. 16 nimeona kwenye report hapa badotunaendelea, tunaangalia namna ya kuharakisha lakinimiaka inaenda, hata kukopa tu hizi pesa nayo bado imekuwakwenye mkakati.

Mheshimiwa Naibu Spika, vilevile nimeona kwenyereport ya Kamati, deni la wafanyakazi ni shilingi bilioni 434,hizo ni pesa nyingi sana. Siamini kama kweli hili deni kubwanamna hii kama ni la wafanyakazi tu na zimehakikiwa nahazijalipwa.

Je, hii TAZARA itakuwa hai au imefilisika? Kwa sababukama deni halijalipwa shilingi bilioni 434 ni la wafanyakazi,limehakikiwa toka 2016, leo 2019 hazijalipwa na ninaaminikwamba wafanyakazi wengi wa TAZARA wako katika umri

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

84

wa kustaafu. Je, mkakati gani ambao unachukuliwakuhakikisha kuwa tunaajiri wafanyakazi wapya wa reli hii?(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na reli hii, ili ifanyekazi vizuri tunahitaji tuwe na Bandari Kavu pale Mbeya navilevile tuwe na reli ya kutoka Mbeya -Inyala kwenda Kyela iliiwe kiungo cha Nchi ya Malawi, Msumbiji pamoja Zimbabwena tuweze kutumia vizuri zile meli zetu tatu ambazo zikokwenye Ziwa Nyasa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, hii ni muhimu sana. Hataukiangalia katika maandiko ya nchi majirani na maandikoya Kimataifa, zinaonyesha ni kiasi gani tutapoteza biasharaya TAZARA kwa nchi majirani kwa sababu reli ya TAZARAilikuwa muhimu wakati ule wa ukombozi. Leo nchi zilezimeshakombolewa, nazo ndiyo zinafanya mikakati yakuhakikisha kuwa watatunyang’anya biashara zetu.

Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na TAZARA, lakinivilevile napenda kuongelea kwa kifupi sana barabara zetunyingine za Mkoa wa Mbeya ikiwemo barabara ya bypassna upanuzi wa barabara ya kutoka Tunduma kuja mpakaIgawa. Hizi barabara ni muhimu sana kwa ajili ya uchumiwetu. Gharama kubwa za kilimo zinachukuliwa na gharamaza usafirishaji ikiwemo usafirishaji wa mbolea na usafirishajiwa mazao yetu.

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Muda umekwisha Mheshimiwa. Kengeleya pili imeshagonga.

MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru sana. Naunga mkono hoja. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa FredyAtupele Mwakibete atafuatiwa na Mheshimiwa DeoNgalawa na Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe ajiandae.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

85

MHE. FREDY A. MWAKIBETE: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante sana kwa kunipa fursa nami niweze kuchangia katikaWizara hii ya Ujenzi, Uchukizi na Mawasiliano. Kablasijachangia, napenda kwanza nimshukuru sana MwenyeziMungu, mwingi wa rehema ambaye ametupa uzima hatakuwepo siku hii ya leo.

Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara hii ya Ujenzi, Uchukuzina Mawasiliano katika nchi nyingine na hata nchi yetu yaTanzania ni muhimu sana kwa uchumi wetu wa Tanzania. Pianianze kwa kumpongeza na kuwashukuru sana Mawaziri,Naibu Waziri, Makatibu Wakuu pamoja na Manaibu KatibuWakuu wote katika Wizara hii ya Ujenzi, Uchukuzi naMawasiliano. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nianze mchango wangukwanza kwa kuzungumzia suala la barabara ambayonimekuwa nikiizungumza humu Bungeni kwa muda mrefu,barabara ya Katumba – Lwangwa – Mbambo yenye urefuwa kilometa 83 na hii barabara ni mkombozi mkubwa sanakwa Jimbo langu la Busokelo pamoja na Majimbo jiraniikiwemo Kyela pamoja na Rungwe. Ni barabara pekeeambayo imeandikwa kwenye Ilani ya Chama chetu chaMapinduzi kwa zaidi ya vitabu vitatu. Iliandikwa 2005,ikaandikwa 2010, iliandikwa 2015.

Mheshimiwa Naibu Spika, namshukuru sana kipekeeMheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hivikaribuni tarehe 29 mwezi huu wa Tano alitembeleaHalmashauri yetu ya Busokelo na kuahidi tena; na kuagizaWizara kwamba sasa hii barabara itengenezwe kwa kiwangocha lami kwa kilomita zote 81.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya wananchi waBusokelo tunamshukuru sana Mheshimiwa Rais na weweMheshimiwa Naibu Spika ulikuwepo, ulishuhudia hali ya hewailivyokuwa, mvua zilikuwa ni nyingi na umuhimu wa barabarahii, kwa maana wananchi wote wanategemea barabara hiikwa sababu kule tuna viwanda vya chai, tuna viwandambalimbali ikiwemo gesi asilia (carbondioxide) lakini

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

86

tunazalisha mazao ya kila aina, kwa sababu msimu wa mvuani zaidi ya milimita 2000 kwa mwaka. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, mbali na barabara hiyo,kuna barabara nyingine ambayo inaunganisha Jimbo langula Busokelo na Mkoa wa Njombe kupitia Makete na barabarahii nakumbuka mwaka 2018 Mheshimiwa Naibu Waziri, Eng.Kwandikwa alikuwa amekubali kwamba ataunga juhudi zawananchi wale kulima kwa jembe la mkono, lakini kwa bahatimbaya naona hakupata fursa hiyo. Naamini alikubali iliaiweke kwenye Bajeti ya Serikali ili sasa iweze nayo kuwakatika mpango mzima wa Serikali. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, cha ajabu, bado sijaionakwenye kitabu chetu hiki na ninaamini atakapokuja ku-windup basi atakumbuka ile ahadi lakini na namna ambavyowananchi wale walimwomba alivyokuja kutembelea ilebarabara ya Mwakaleli mpaka kule Kandete. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, mbali na suala la barabarakuna jambo zima la miundombinu hasa upande wa uwanjawa Songwe wa Kimataifa. Uwanja huu shida kubwa nachangamoto kubwa iliyopo pale ni suala la taa za kuongozeandege. Nimeona kwenye kitabu hiki wameweka shilingi bilionitatu kwa ajili ya kumalizia jengo la abiria pamoja na kuwekataa za kuongozea ndege wakati wa usiku na wakati wamchana hasa wakati wa ukungu kipindi kama hiki, kwambaMkoa wetu wa Mbeya mara nyingi unakuwa na shida yaukungu muda mrefu. Kwa hiyo, ndege zinapata wakatimgumu kutua kipindi kama hiki. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nakumbuka mwaka 2018pia mliweka kwenye bajeti haikutekelezeka, mwaka juziiliwekwa haikutekelezeka. Naomba sana, hii shilingi bilioni 3.6ambayo imewekwa sasa iweze kutekelezeka katika kipindihiki. Nakumbuka mwaka huu alipokuja Mheshimiwa Raiskuzindua Kiwanda cha Maparachichi (Avocado Company)ambacho ni mkombozi mkubwa sana kwa wakulima waMkoa wa Mbeya pamoja na Wilaya ya Rungwe kwa ujumla,lakini maparachichi yale yanasafirishwa kwa njia ya malori

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

87

mpaka Dar es Salaam ili yaweze kusafirishwa kwenda nje yanchi. Siyo hivyo tu, yanasafirishwa mpaka Mombasa kwasababu uwanja wetu wa Kimataifa wa Songwe hauna vigezovya kufanya ndege za mizigo ziweze kutua pale. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, kukamilika kwakiwanja hiki cha Songwe kitafungua malango mengi sanaya fursa za kiuchumi kwa Mikoa ya Nyanda za juu Kusini lakinipamoja na Nchi za SADC kwa maana ya zilizo chini ya jangwala Sahara na nchi jirani. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pia kuna suala zima la hizihizi ndege ambazo sasa hivi tunapanda, wenzetu wanasemapengine hazina faida kwa sasa, lakini kawaida sekta mojainaweza ikawa na multiplier effect kwa sekta nyingine. Kwahiyo, uchumi hauwezi kubadilika kwa sasa mara moja,pengine baada ya miaka mitano, 10, 20, 30 ndipotutakapoona umuhimu wa hizi ndege. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naiomba Wizara kwambaikifungua malango kwa kufungua njia nyingine mpya za routekutoka hapa Dodoma kwenda Mbeya pamoja na Nyandanyingine za juu Kusini ili mtu atoke Mbeya moja kwa mojakuja Dodoma na atoke Dodoma aende Dar es Salaam namaeneo mengine, lakini sasa hivi maana yake inakulazimuuende Dar es Salaam, uende Iringa then uende Mbeya amautoke Dodoma uende Dar es Salaam then uende Mbeyamoja kwa moja. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, jambo lingine ambalonataka nizungumzie ni…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Muda wako umekwisha Mheshimiwa.Ahsante sana.

MHE. FREDY A. MWAKIBETE: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana, naunga mkono hoja. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

88

NAIBU SPIKA: Ahsante Sana. Mheshimiwa DeoNgalawa atafuatiwa na Mheshimiwa Zitto Kabwe naMheshimiwa Munde Tambwe Abdallah ajiandae.

MHE. DEOGRATIAS F. NGALAWA: Mheshimiwa NaibuSpika, ahsante sana kwa kunipa nafasi ya kuongea nakuchangia hotuba. Kwanza naipongeza Serikali kwa kazi nzuriambazo inazifanya hususan maeneo yetu ambako tunatoka.Kwa hiyo, nashukuru. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kuishukuru Serikalihasa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Mheshimiwa Eng. Kamwelwe, Waziri wetu naManaibu wake pia Katibu Mkuu na Watendaji wote waWizara nzima, nianze kuiongelea barabara ya Itoni – Njombe– Ludewa – Manda. Barabara hii imewekwa kwenye Ilani yaChama cha Mapinduzi na barabara hii kwa kweli ina urefuwa kilometa 211.6 mpaka kufika kule Manda. Itajengwakatika lots nne na kwa sasa imeanza ujenzi wa lot Na. 2, Lusitu- Mawengi.

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara hii, hivitunavyoongea toka ilipoanza kujengwa ilipaswa iwe imeishalakini mpaka sasa barabara hii haijaisha. Kwa hiyo, naiombaSerikali sasa ijaribu kufanya jitihada za haraka ili kipande hikikorofi kiishe.

Mheshimiwa Naibu Spika, pia kuna eneo la Lusitukwenda pale Itoni, lot Na. 1, kwa kweli kipande hikikinasumbua sana. Hivi ninavyozungumza, malori mengi sanayamekwama kwenye maeneo ya Njomlole kule, maeneo yaLuponde na kusababisha adha kubwa ya usafiri mpakaikapelekea wiki i l iyopita baadhi ya wenye magarikutokupeleka magari Ludewa kwa sababu ya adha hiyo.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, naiomba sasaSerikali angalau itufikirie kwa kipande cha kutoka Itonikwenda Lusitu na wakati huo huo ile barabara ya Mawengi -Lusitu ikifanyiwa jitihada kubwa. Kwa sababu nakumbukaMheshimiwa Waziri alikuja mwezi wa Nane akaona na akatoa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

89

maagizo, lakini inaonekana kama yale maagizohayakufanyiwa kazi kabisa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pia napenda kuipongezaSerikali kwa ajili ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wabarabara ya kutoka Mkiu – Liganga – Madaba na ule wakutoka Mchuchuma kwenda Liganga. Kwa kweli barabarahizi ni muhimu, upembuzi umefanyika. Sasa naiomba Serikaliiweke jitihada kubwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa lami yabarabara hizi kwa sababu barabara hizi ndiyo zinakwendakwenye ile miradi ambayo tunaita ni flagship projects yaLiganga na Mchuchuma. Kwa hiyo, naiomba Serikali ifanyejitihada za haraka kwa sababu ya umuhimu wa maeneohayo.

Mheshimiwa Naibu Spika, pia naishukuru Serikali kwakuiweka kwenye mpango wake wa Bajeti wa kuifunguabarabara inayopita kando kando ya Ziwa Nyasa; barabarakutoka Lupingu – Makonde - Lumbila mpaka Matema. Kwahiyo, naiomba Serikali sasa iweke misisitizo mkubwa kwasababu eneo hili la Ziwa Nyasa ni eneo la Kitalii na pia nieneo la kiulinzi na usalama. Kwa hiyo, ninaamini kwambakazi hii mtaifanya na mtaifanya kwa kutumia nguvu kubwa.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nizungumzie daraja la MtoRuhuhu. Daraja la Mto Ruhuhu lilipaswa liishe toka mwaka2017, lakini mpaka leo hii daraja hili halijaisha na daraja hililipo kwenye Ilani ya Chama cha Mapinduzi. Kwa hiyo,tunaomba basi mwaka huu hili daraja likamilike ili lipitishewananchi ambao wanatoka Ludewa kuelekea kule Nyasa,kwa sababu kwa mwaka 2018 tu, tayari wananchi zaidi yawatano wameliwa na mamba kwenye mto huu huu kwasababu ya kutokuwepo kwa daraja pale. watu wanapita kwamitumbwi na wakati mwingine hata ile Panton iliyopo paleinakuwa haifanyi kazi.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, naiomba Serikalina kusisitizia kwamba ikiwezekana hili daraja liishe mwakahuu kama ambavyo Mheshimiwa Waziri ameniahidi. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

90

Mheshimiwa Naibu Spika, pia napenda kuipongezaMamlaka ya Bandari Tanzania kwa kazi inayofanya kule ZiwaNyasa. Tumeona Mheshimiwa Nditiye akiwepo pale na bahatinzuri na Mkurugenzi Mkuu wa Bandari tumekuwa tukiwasilianamara kwa mara. Kwa hiyo, nashukuru kwa kunipa tu vile vituovya kupakia na kupakua abiria na mizigo ili kuwezakuwarahisishia wale wananchi wanaoishi Kanda ile, usafiri wakutoka eneo moja kwenda eneo lingine.

Mheshimiwa Naibu Spika, vilevile napenda kushukuruWizara kwa ajili ya minara ya mawasiliano ya simu. Minara hiitayari imeshajengwa na iliweza kuwaka kwa siku tatu tu lakinimpaka sasa hivi imezima. (Makofi)

Kwa hiyo naomba sasa Wizara kupitia mawasilianokwa wote, kazi waliyoifanya ni kubwa na kazi waliyoifanya ninzuri, niwapongeze na nimpongeze Mheshimiwa EngineerUlanga na timu yake yote na nimpongeze Mheshimiwa Waziri,kazi hii ni njema lakini wale watu wanasubiri kwa kiasi kikubwamawasiliano kwa sababu mawasiliano yamekuwa ni tatizokubwa kwao. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pia niiongelee kidogo TTCLni Shirika letu, Shirika la nchi na la umma, kuna haja ya kuwekautaratibu mzuri ili iweze kushindana na taasisi nyingine hasakwenye eneo la manunuzi. Manunuzi inavyoonesha kwambainachukua muda mrefu kiasi ambacho hawawezi ku-compete na wenzao. Wenzao wao private sectors waowanafanya mambo yao kiurahisi, kwa hiyo kuna haja yaSerikali sasa kuipa uwezo wa kujiendesha yenyewe na hizisheria za manunuzi tuweze kuzirekebisha ili hili shirika liwezekujiendesha vizuri.

Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru na naungamkono hoja kwa asilimia mia moja. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa Zitto Kabweatafuatiwa na Mheshimiwa Munde Tambwe Abdallah naMheshimiwa Dunstan Luka Kitandula ajiandae.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

91

MHE. KABWE Z. R. ZITTO: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia Wizara hii. Ninamambo mawili tu ya kuchangia.

Mheshimiwa Naibu Spika, jambo la kwanza ni mamboya jimboni; napenda nitoe shukrani za dhati kwa Mamlakaya Bandari Tanzania kwa miradi ambayo imeanza kuifanyakatika Mkoa wa Kigoma katika Manispaa ya Kigoma Ujiji,Bandari ya Ujiji, Bandari ya Kibirizi na Bandari ya Nchi Kavu yaKatosho. Bandari ya Nchi Kavu ya Katosho umuhimu wake nikuhakikisha kwamba Kigoma inakuwa ni kituo cha biasharakama ambavyo imekuwa siku zote kwamba eneo la Ujiji naKigoma ni eneo la biashara la Maziwa Makuu na hivyokuwezesha mizigo ambayo inatoka Bandari ya Dar es Salaamkwenda Burundi au kwenda Mashariki ya Congo upande waKaskazini ya Mashariki ya Congo watu waweze kuichukuapale Kigoma, kuifanya Kigoma ni plot of destination. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo Mamlaka yaBandari kwa kazi hizi ambazo wanaendelea kuzifanya namaeneo mengine nimeona bajeti wamepanga ya shilingibilioni 548 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya Mamlaka yaBandari nchi nzima, ni kazi ambayo ni nzuri kwa sababumaendeleo yake yanaendana na maendeleo ya jumla.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pili, niombe Wizara itupatiemajibu ni kwa nini kama jinsi alivyoongea MheshimiwaNsanzugwanko jana, ni kwa nini Mradi wa Uwanja wa Ndegewa Kigoma unazidi kucheleshwa? Tunafahamu kwambamanunuzi yameshakamilika toka mwezi Januari, 2018, sasahivi ni mwezi Mei, 2019, hatujaona chochote ambachokinafanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma, viwanjavingine tunaona vikijengwa, vingine vipya havikuwepo kabisavinajengwa, kwa nini mradi ambao tayari una fedha kutokaEuropean Investment Bank unaendelea kucheleweshwampaka sasa hivi? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lingine, tuna mradi mkubwasana wa takribani dola milioni 40 wa upanuzi wa Bandari ya

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

92

Kigoma ambao unafadhiliwa na Shirika la Maendeleo laJapan (JICA). Juzi niliona Mheshimiwa Waziri wa Fedha akiwaamezungumza na watu wa JICA alivyokuwa kule Washington,lakini mpaka sasa hatujaona taarifa yoyote ile kuhusiana namradi huu wa Kigoma. Nilivyofuatilia niliambiwa kwambakuna masuala ya kikodi na kadhalika, nadhani kuna haja yaSerikali kuweza kuona vitu ambavyo msaada huu kutokaJapan wanaomba viingie bila kulipia kodi kama faida yakeni kubwa kuliko mradi wenyewe kwa ujumla wake, kwasababu kuingiza dola milioni 40 katika Mji wa Kigoma kwaajili ya ujenzi wa Bandari ya Kigoma nadhani una faida kubwazaidi kuliko VAT ambayo wanaomba iwe exempted kwa ajiliya kuingiza vifaa vyao. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo naamini kabisakwamba Wizara na hasa Wizara ya Fedha na MheshimiwaWaziri Mpango yupo hapa, watahakikisha jambo hililinakamilika sababu mwezi huu Mei ulitakiwa mradi uweumeanza, mpaka sasa Wizara ya Fedha bado haijasainimkataba na JICA kwa ajili ya mradi huu, zabuni zitangazweili uweze kuanza.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa lingine ni suala la kinchila kiujumla. Mheshimiwa Silinde amezungumza hapa, tokatumeanza Awamu ya Tano fedha ambazo tumeziingizaWizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi ni asilimia 46 yabajeti yote ya maendeleo ya nchi yetu. Jumla ya fedhaambazo tumeziingiza Wizara hii ni trilioni 18.7 na fedhaambazo za ujumla za bajeti ya maendeleo ya nchi ni trilioni40.6. Kwa hiyo 46 percent ya bajeti ya maendeleo anaishikaMheshimiwa Kamwelwe na Manaibu wake wawili. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, Wabunge wana haki yakuuliza kiasi hiki cha fedha ambacho tumekiingiza mpakasasa kimezalisha viwanda vingapi? Kwa sababutunazungumza kuhusu forward and backward linkages,tunazungumza kuhusu namna gani ambavyo fedhatunazoziingiza kwenye miradi kama reli, miradi kama ndegeni namna gani ambazo zinachochea sekta nyingine zauchumi. Kwa hiyo, tungepata maelezo ya Serikali hapa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

93

kwamba tumeingiza trilioni 18.7, nini multiplier effect ya hilina Mheshimiwa Waziri Mpango analijua vizuri sana. Moja yasekta ambayo ina-multiplier effect kubwa ni constructionsekta. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa nini sisi ambaotunaingiza fedha nyingi namna hii bado kasi ya ukuaji wauchumi iwe ni ndogo, leo hii tunabishania makisio ambayohaya IMF wameyatoa ya four percent na kadhalika, IMFMheshimiwa Waziri Mpango hawajakanusha kuhusu makisiohayo, wamekanusha ripped report lakini makisio ni yale yale,lakini hata usipochukua makisio ya IMF chukua makisio yaSerikali ya six percent before Serikali ya Awamu ya Tanokuingia madarakani economy yetu ilikuwa inakua kwa sevenpercent for 10 years. Serikali ya Awamu ya Tano imeingiamadarakani 18 tri l l ion shil l ings zimeingizwa kwenyeconstruction sector, growth rate iko chini kwa nini? Haya ndiomasuala ambayo Wabunge tunapaswa kuiuliza Serikali,(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, Kenya wamejenga ile SGRya mkopo wenyewe ghari sana na wote tunajua, lakinimchango wa ujenzi building construction kwenye growth rateilikuwa 1.5 percent, iweje sisi warithi growth rate ya sevenpercent halafu ndani ya miaka mitatu baada ya ku-inject allthe money tushuke, nimesema waachane na four percentya IMF, waende na six percent ya Serikali, why? Ni kwa sababuutekelezaji wetu wa mipango ya maendeleo yamiundombinu ni utekelezaji unaotoa fedha kwenda nje,hauingizi ndani. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ndio maana mzunguko wafedha ni mdogo sana kwa sababu wamewapa kaziwakandarasi wa nje, wanaagiza raw materials kutoka nje,every single cent amount ya nchi yetu inapelekwa nje,wanakusanya kodi kwa muuza nyanya, wanaenda kumlipaMturuki anapeleka Uturuki, ndio maana uchumi haukui. Hatawajenge argument namna gani. Nimeona argument yaSerikali kwenda IMF kusema makisio haya ni makosa kwasababu tuna miradi mikubwa, tuna SGR, tuna sijui Stiegler’s

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

94

Gorge, argument ile haina maana kwa sababu all the moneyzinaenda nje na debt service yetu, huduma yetu ya Deni laTaifa ni kubwa...(Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Zitto kuna taarifa hapo,Mheshimiwa Waziri wa Fedha.

T A A R I F A

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Mheshimiwa NaibuSpika, nakushukuru sana. Naomba nimpe taarifa MheshimiwaZitto, hapa nimeshika takwimu rasmi za Pato la Taifa na ukuajiwake kwa mwaka 2018 ambayo ipo bayana. Growth ratemwaka 2013 ilikuwa asilimia 6.8; mwaka 2014 ilikuwa asilimia6.7; mwaka 2015 ilikuwa asilimia 6.2; mwaka 2016 asilimia 6.9;mwaka 2017 asilimia 6.8; na mwaka 2018 asilimia 6.9.Mheshimiwa Zitto hiyo growth rate iliyoteremka ni ipi? Kwanini wanatumia taarifa za IMF ambazo hazina ukweli na badoniliwaambia katika Bunge hili kwamba bado tunazungumza,African Development Bank wana project uchumi waTanzania mwaka 2019 utakuwa asilimia 6.8, estimate ya WorldBank asilimia 6.6, sasa hiyo growth rate iliyoteremka nduguyangu ni ipi? Pokea taarifa. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Zitto, unaipokea taarifa yaMheshimiwa Mpango?

MHE. KABWE Z. R. ZITTO: Mheshimiwa Naibu Spika,naipokea taarifa ya Mheshimiwa Waziri Mpango.Ninachotaka kumwambia Mheshimiwa Waziri Mpangokwanza anajua kwamba mamlaka ya economic surveillanceya dunia ni moja, ni IMF na anafahamu kwa sababuamefanya kazi huko, Benki ya Dunia, African DevelopmentBank na hata Wizara yetu ya Fedha makisio wanayoyatumiani makisio ya IMF, sio makisio mengine yoyote na anafahamu,labda atakataa kwa sababu lazima a-defend Serikali hapa,lakini najua anafahamu hivyo. Hata hivyo, point yangu nikwamba, wastani wa over a decade thus why tulikuwa sisi nithe fastest growing economy, wastani wa over a decade niseven percent, sawa we can debate about that... (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

95

NAIBU SPIKA: Nashauri Waheshimiwa Wabungeongeeni huku ili iwarahisishie kwenda na mazungumzomnayotaka kuzungumza, mkianza kutazama wenyewe hukondio hayo mnaanza kujibizana wenyewe, zungumza na mimihuku ili usipate wakati mgumu kuona mtu amekataa jambolako.

MHE. KABWE Z. R. ZITTO: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru. Naomba nichukue takwimu za Mheshimiwa WaziriMpango, yeye ni mchumi anajua, panapokuwa nadepression, panapokuwa na mdororo wote wa uchumi kwakutumia fiscal Policy Serikali ina-pump in money kwa ajili yakuchochea uchumi, over the last three years, tume-pump18.7 trillion kwenye construction. Naomba nijibiwe, hii fedhaambayo tumei-pump tumezalisha viwanda vingapi,tumezalisha ajira za kudumu ngapi, sekta ya kil imoimechochewa namna gani, ndio maana ya multiplier effectna ndio swali langu hili na wakati mwingine tunapozungumzawala hatuna nia mbaya, nia yetu ni kuhakikisha kwambatunakwenda pamoja as a country, hakuna mtu ambayehataki nchi yake iendelee, so there is no haja ya kuwadefensive. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ukweli ni kwambautekelezaji wa sera za kiuchumi wa nchi yetu over the lastfour years ni utekelezaji mbovu, ni utekelezaji fyongo, ndiomaana pumping in of money, 20 percent ya developmentbudget tunayoiingiza, haichochei uchumi inavyotakiwa.

T A A R I F A

NAIBU SPIKA: Kuna taarifa nyingine Mheshimiwa Zittokutoka kwa Mheshimiwa Dkt. Ashatu.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: MheshimiwaNaibu Spika, naomba kumpa taarifa Mheshimiwa Zitto,naamini na yeye ni Mchumi aliyeiva kama Mheshimiwa Waziriwa Fedha na anafahamu unapopeleka fedha kwenye sektahii ya ujenzi athari yake sio ya muda mfupi, hilo la kwanzaatambue. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

96

Mheshimiwa Naibu Spika, katika sekta zilizochangiaukuaji wa uchumi aliousema Mheshimiwa Waziri wa Fedhakwa mwaka 2018, sekta ya ujenzi ni sekta ya pili iliyochangiaukuaji wa uchumi wa 6.9. Kwa hiyo aache kuwapotoshaWatanzania mchango wa sekta ya ujenzi unaonekana na niasilimia 12.9 sekta ya ujenzi imechangia kwenye ukuaji wauchumi kwa mwaka 2018. Kwa hiyo, Mheshimiwa Zittoalitambue hilo. (Makofi)

NAIBU SPIKA:Mheshimiwa Zitto, unapokea taarifahiyo?

MHE. KABWE Z. R. ZITTO: Mheshimiwa Naibu Spika,sipokei taarifa ya dada yangu na namtakia mfungo mwemawa mwezi wa Ramadhani na ajiepushe sana kutumiamaneno kupotosha kwa sababu mimi siwezi kutumia hayodhidi yake.

Mheshimiwa Naibu Spika, kuna tofauti kubwa sanakati ya kasi ya ukuaji wa uchumi na uchumi. Sekta ya ujenzini ya pili kwenye kasi ya ukuaji, sio ya pili kwenye uchangiajiwa uchumi. Sekta ya ujenzi inachangia kidogo sana kwenyeuchumi, ni ya pili kwenye ukuaji, we have to pump in all thismoney, lakini huo wa pili wake hauonekani kwenye uchumiwa ujumla wake na ndio argument yangu, kwamba almosthalf mama ya development budget.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Ongea na kiti mwache Mheshimiwa Dkt.Ashatu.

MHE KABWE. Z. R. ZITTO: Mheshimiwa Naibu Spika, nusuya fedha zako za maendeleo unaziingiza kwenye sekta moja,Wizara moja unapaswa uone namna ambavyo sekta zinginezimeinuliwa na ndio maana maswali hapa nimeuliza. Serikaliije kutujibu hii investment ambayo tumefanya imezalishaviwanda vingapi?

Mheshimiwa Naibu Spika, construction sector impactyake sio long term inaanza na short term, mfano mzuri,anaweza akawa ni kijana anatengeneza screw za ujenzi wa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

97

reli, akapata kazi, screw tu ni moja ya kiwanda ambachokinaweza kikatengeneza wakati huo na akiendelea maanayake wawe wamefanya transfer of technology, wameajiri,wame-train ataendelea na ile kazi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ninachokiomba, muundowetu wa mipango ya kiuchumi na utekelezaji wa miradi yetuiangalie backward and forwarding linkages ili fedha ambayotunaiingiza public investment ambayo tunaifanya iweze kuwana faida zaidi kwa nchi yetu kwa ujumla wake. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nimalizie mambo mawili…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Kengele ilishagonga, ahsante sana.

Mheshimiwa Munde Tambwe Abdallah, lakini kablaajaanza kuzungumza Mheshimiwa Munde ili taarifa zikae vizurina waandishi wazipate vizuri maana ndio yale tena yanaanzataarifa zinatoka sio sawasawa. IMF ilivyokataa na hiyo baruamaana yake imeikataa na taarifa iliyotoka kabla haijatokataarifa rasmi. Kwa hiyo, ni lazima hata waandishi wetuwaelewe wanapopeleka taarifa hiyo nje, wamekataa taarifailiyotoka ambayo siyo rasmi ikiwa ni pamoja na hiyo asilimia.

Mheshimiwa Munde Tambwe Abdallah atafutiwa naMheshimiwa Dunstan Luka Kitandula na Mheshimiwa ShabanShekilindi ajiandae. (Makofi)

MHE. MUNDE T. ABDALLAH: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante kwa kunipa nafasi hii ili niweze kuchangia Wizara yaMiundombinu. Umesema leo tujifunze kwa MheshimiwaAbbasi kutokupiga kelele, tunasikika tu, ngoja nianze kujaribu.

Mheshimiwa Naibu Spika, nitoe pongezi zangu zadhati kwa Serikali na Wizara nzima ya Ujenzi pamoja namiundombinu, Mheshimiwa Waziri, Manaibu Waziri,

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

98

Mheshimiwa Nditiye na kaka yangu Mheshimiwa Kwandikwa,tunawapongeza sana kwa kazi nzuri. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nizipongeze pia taasisi zotezilizo chini ya Wizara hii TPA, SUMATRA, TCRA, RAILWAY,TANROADS, TCAA, TASAC, CATCO, ATCL, UCSAF na zinginezote, kwa kweli wanafanya kazi vizuri sana. Nimeingia kwenyeKamati hii ya Miundombinu muda mfupi tu, nimeona kwakweli kazi inayofanyika ni nzuri na ni kubwa, tunawapongezasana na tunataka waendelee kumuuunga mkonoMheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kabla sijaanza kuchangianaomba niongee kidogo kuhusu mdogo wangu MheshimiwaMakamba, jana alichangia akasema kwa nini Serikaliimehamisha kitengo cha Wizara kinachohusika na ununuziwa ndege na kukipeleka Ikulu, wanaficha nini. Naomba tunimwambie hayupo lakini najua taarifa atazipata kwambaMheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaKikatiba anayo mamlaka ya kuhamisha Wizara yoyote,kuhamisha Taasisi yoyote ya Serikali, kuipeleka popoteanapotaka yeye. Anayo mamlaka ya kuanzisha leo mkoampya na kesho kuuvunja, anayo Mamlaka ya kumteua Wazirina kesho kumtumbua na anayo Mamlaka ya kuteuza KatibuMkuu na kesho kuondoa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo kama wanaonakwamba Mheshimiwa Rais alihamisha ile taasisi kwa kufichakitu sidhani kama wanawaza vizuri, nadhani saa nyinginewanaropoka au wamechanganyikiwa, wakijua kabisa kamaMheshimiwa Makamba anajua kabisa Katiba ya Jamhuri yaMuungano inampa uwezo huo Mheshimiwa Rais. Mfanotulikuwa na Wizara ya Nishati na Madini akazitenganisha,anaficha kitu gani yote hiyo ni kutaka efficiency, kazi zakeziende vizuri. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, TAMISEMI ilikuwa chini yaWaziri Mkuu ameihamishia Ikulu anaficha nini? Yote hiyo nikutaka kazi zisimamiwe vizuri. Kwa hiyo, sisi tunaendelea

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

99

kumpongeza Rais na tunamwambia aendelee kufanya kazikadiri atakavyoona mafanikio yatakuwa makubwa na nimazuri. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, wanasema Shirika la Ndegehalina faida wala maana yoyote. Nimeshukuru kaka yanguMheshimiwa Abbas ameelezea vizuri faida zake, lakini shirikahili la ndege ni identity, ni utambulisho wetu Watanzania nalina faida kubwa sana. Faida yake si tiketi tu, Emirates, EthiopiaAirline, Quatar hawajawahi kupata faida kwenye tiketiwanapata faida kwenye mambo mengine, kwenyemzunguko kama alivyosema kaka yangu Mheshimiwa Abbas,siwezi kurudia, ndivyo faida inavyopatikana.

Kwa hiyo, mambo haya ya kusema ndege hazinamaana, ndege zina maana kubwa, naipongeza Serikaliyangu imeweka bajeti ya kuongeza ndege nyingine, naombaiongeze ili tuendelee kufanya vizuri jambo ambalo waohawakutegemea. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, katika kelele zilizopigwanchi hii ni shirika la ATCL kufa. Leo Mheshimiwa Raisamejitokeza kulirejesha shirika hili ni lazima alisimamiekikamilifu ili isije tena ikajitokeza hali ile kama ilivyokuwamwanzo. Kwa hiyo, mimi naungana naye mkono kuhamishakitengo hicho kukiweka Ikulu ili usimamizi wake uwe wa karibuzaidi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, katika legacyatakazoziacha Mheshimiwa Rais wetu ni pamoja na Shirikala Ndege na reli. Leo reli ya Dar-es-Salaam – Morogoro yaStandard Gauge inayojengwa imeshafika asilimia 50, lakinipia kuna Phase II inayojengwa na yenyewe inaendelea vizurina tunaomba Mungu iendelee vizuri na iishe ili na sisi Taboratuingie sasa Phase III. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, Uwanja wa KIA kuna hangarilijengwa muda mrefu, niiombe Serikali iboreshe hangar hiyoili ndege zetu sasa ziweze kutengenezwa Tanzania. Tunahangar kubwa mpaka dreamliner inaingia. Kwa hiyo, sioni

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

100

tena sababu ya kuchukua ndege kuzipeleka nchi za njekwenda kutengenezwa, tuna ma-engineer zaidi ya 60 ambaowana uwezo wa kutengeneza ndege.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, nimwombe Wazirina Serikali kwa ujumla ihakikishe imeboresha hangar ile ndegezetu sasa zifanyiwe ukarabati ndani ya nchi yetu na siokupeleka nje. Hiyo iambatane pia na Uwanja wa Ndege waKIA uendelee kukarabatiwa, uongezwe parking na mambomengine kwa sababu uwanja ule sasa umeshakuwamkubwa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, jana pia waliongeleakuhusu bandari. Mimi niipongeze Mamlaka ya Bandari, kazini nzuri, sasa mizigo inatoka haraka siyo kama ilivyokuwamwanzo, kwa kweli wanajitahidi kwa kiwango kikubwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, hapa nimesikia Mkurugenziwa Bandari amelaumiwa kwa kuwafanyisha watumishi kazimpaka saa 7.00 za usiku; mimi nimpongeze sana, dunia nzimawatu wanafanya kazi saa 24 sehemu kubwa kama zile. Yeyeni kupanga shift zao kwamba nani ataingia mpaka saa 10.00,nani ataingia mpaka saa 5.00 ya usiku na nani ataingiampaka alfajiri ili kuweka mambo sawa na ili bandari yetuiende na wakati.

Mheshimiwa Naibu Spika, kazi kubwa inayofanywa yakupanua hizi bandari inabidi ziende na wakati. Kwa hiyo, kitucha muhimu ni kupanga shift na nawapongeza sana. Yulealiyekuwa analaumu kwa nini wanafanya kazi mpaka saa7.00 ya usiku nadhani hajatembea, atembee duniani, dunianzima watu wanafanya kazi saa 24. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naongea kuhusu SUMATRA.SUMATRA kuna kitengo kimeanzishwa kinaitwa VTS (VehicleTracking System) ambapo sasa hivi mabasi yetu yamefungwakifaa hiki akitembea mbio au akifanya nini anaonekana mojakwa moja kule Dar es Salaam. Haya ni maendeleo makubwasana ya Serikali ya Awamu ya Tano, tunaipongeza Wizara ya

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

101

Ujenzi na Mawaziri na Manaibu wote kwa kazi hii nzuri.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Muda wako umeisha Mheshimiwa,kengele imeshagonga. Ahsante sana.

MHE. MUNDE T. ABDALLAH: Mheshimiwa Spika,ahsante, naunga mkono hoja. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Nilikuwa nimemuitaMheshimiwa Dunstan Luka Kitandula, atafuatiwa naMheshimiwa Shaabani Shekilindi na Mheshimiwa SusanKiwanga ajiandae.

MHE. DUNSTAN L. KITANDULA: Mheshimiwa NaibuSpika, nakushukuru kwa kunipa fursa hii ili na mimi niwezekuchangia hoja iliyopo mbele yetu.

Mheshimiwa Naibu Spika, namshukuru Mungu kwakutupa uhai na uzima na kwamba tunaendelea kuwatumikiaWatanzania. Niendelee kuwashukuru ndugu zangu waMkinga kwa jinsi ambavyo wanaendelea kuniunga mkononinapotimiza majukumu yangu ya kuwatumikia. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nianze vilevile kwakuishukuru Serikali kwa jitihada inazofanya katika kuwezeshamiundombinu ya nchi yetu, hususan Bandari ya Tangatunaiona kazi inayofanyika ya kupanua na kuongeza kinacha bandari ile, tunawashukuru. Tunawashukuru vilevile kwaBarabara ya Tanga – Pangani – Bagamoyo ambayotunaambiwa muda si mrefu itaanza kujengwa kwa kiwangocha lami, tunaishukuru Serikali kwa jitihada hizo. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini nikitoa pongezi hizo,nieleze masikitiko yangu katika maeneo mawili. Kwa muda

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

102

mrefu sasa tumekuwa tukipigia kelele barabara ya kutokaMabokweni – Maramba – Bombo Mtoni – Umba Junction –Mkomazi – Same. Barabara hii ni muhimu sana kwa uchumiwa Mkoa wa Tanga na ni muhimu sana kwa watu waMaramba, Mkinga, Korogwe, Lushoto na Same. Ni barabarainayounganisha Mkoa wa Tanga na Mkoa wa Kilimanjarolakini vilevile na nchi jirani ya Kenya. Ni barabara ya kiusalamakwa sababu ipo kwenye ukanda wa mpakani. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ni barabara ya kiuchumikwa sababu inaunganisha maeneo ya kiutali i.Unapozungumzia utalii unaofanyika Zanzibar fursa hiyo vilevileinakuja kwa upande wa Tanga, unaiunganisha na eneo lilela Bagamoyo lakini vilevile unaunganisha na Mbuga yaMkomazi ambayo inaanzia upande huu wa Mkinga eneo laMwakijembe.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, ni barabaramuhimu sana kwa uchumi wa kiutalii lakini uchumi wakusafirisha mazao, kama walivyosema wenzangu, bidhaa zamazao ya matunda, mbogamboga, karafuu kutoka kuleKigongoi na mazao ya viungo kutoka Muheza na kule Bosha.Kwa hiyo, ni barabara ambayo tukiona kunakuwa nakigugumizi cha kuishughulikia tunapata shida. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, tunaiomba Serikali ihakikishebarabara hii sasa inawekewa fedha ili iweze kufanyiwausanifu. Barabara hii kwa upande wa Kilimanjaro tayariusanifu umekwishafanyika, tunashangaa kwa nini upandehuu wa pili barabara hii haifayiwi usanifu? Tunaomba sualahili liweze kushughulikiwa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa hivi kuna matengenezoyanayoendelea katika barabara hiyo lakini kuna maeneokorofi. Eneo la kwa Mukamba, pale tunahitaji kifereji nakuweka kifusi cha changarawe ili barabara ile iweze kupitikawakati wote. Eneo la Majumba Matatu na lenyewe ni korofi,najua kuna mifereji inaanza kujengwa pale lakini ikamilishwekwa wakati na iongozewe eneo refu zaidi ili barabara ileiweze kupitika kwa wakati wote.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

103

Mheshimiwa Naibu Spika, eneo la pili ni bandari.Mwaka 2014 Kampuni ya Kichina inayojulikana kama Hengiailionesha nia ya kuja kuwekeza katika nchi yetu kiwanda chakuzalisha tani milioni 7 kwa mwaka, uwekezaji wa dola bilioni3, lakini vilevile walisema wataanza na uwekezaji wa bilioni1, hapa unazungumzia trilioni 2.3 hivi zingeweza kuwekezwakatika kujenga kiwanda kikubwa katika Ukanda wa Kusinimwa Jangwa la Sahara. Hata hivyo, pamoja na jitihada zaoza kuomba vivutio mbalimbali vya uwekezaji bado tangumwaka 2014 mpaka leo kiwanda hiki kimekwama kupatavibali kianze kujengwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, watu hawa walitakasambamba na kujenga kiwanda cha kuzalisha simenti vilevilewaweze kupata fursa ya kujenga jet. Tumekuwa na kigugumizicha kuwapa ruksa ya kujenga jet kwa sababu za kiusalama.Ni jambo ambalo unaweza kulielewa ukielezwa lakini maswalitunayojiuliza hivi sisi tumeshindwa kuvi-engage vyombo vyetuvya ulinzi na usalama vikasimamia jet i le hata kamawameijenga wao? Tukawaweka watu wetu wa TRAwakasimamia mapato yetu? Tukaweka vyombo vingine vyabandari vika-manage jet ile ili uwekezaji hu mkubwa tusiwezekuupoteza? Watu wa Mkinga tunahitaji kupata majibu ni linikitendawili hiki kitateguliwa? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, tunapata hofu kwambatunaenda kupoteza uwekezaji mkubwa huu wa trilioni 6.5ambazo zingeingia kwenye uchumi wetu. Tunaiomba Serikaliifanye maamuzi ili watu hawa waweze kuanza ujenzi nakuzalisha simenti. Kama tunadhani hatuwezi kuwaruhusu waokujenga basi twendeni tukajenge sisi jet ile ili uwekezaji huuusiweze kupotea. Naiomba Serikali ifanye maamuzi ya harakaili jambo hili liweze kufanikiwa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa ShaabaniShekilindi, atafuatiwa na Mheshimiwa Susan Kiwanga,Mheshimiwa Ignas Aloyce Malocha ajiandae. MheshimiwaSusan Kiwanga atachangia kwa dakika saba.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

104

MHE. SHAABANI O. SHEKILINDI: Mheshimiwa NaibuSpika, nakushukuru kwa nafasi hii niweze kuchangia Wizarahii ya Miundombinu.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza kabisa, nianzekumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kunipa afyana nguvu ya kuweza kuchangia katika Wizara hii.Niwapongeze Waziri, Mheshimiwa Eng. Kamwelwe, NaibuWaziri Mheshimiwa Nditiye na Naibu Waziri MheshimiwaKwandikwa kwa kazi kubwa wanayoifanya.

Mheshimiwa Naibu Spika, niendelee kuishukuru Wizarahii kwa kunitengea fedha za kujenga kilometa 1 kila mwakaambapo zinajengwa katika barabara ya kutoka Magamba– Mlalo na Magamba - Mlola. Nashukuru Serikali kwa kilometa1 waliyotutengea lakini ni chache sana ambapo sasahatuendi na ile kasi ya kujenga viwanda na kwenda kwenyeuchumi wa kati. Nimuombe Waziri aweze kututengea hatakilometa 4 ili pande zote mbili ziende kilometa 2, Mlalokilometa 2 na Mlola kilometa 2. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, sambamba na hayo piakuna barabara ambayo kila siku nilikuwa naionglea, inaanzaMlalo - Ngwelo - Mlola – Makanya – Milingano - Mashewa.Barabara hii inaenda mpaka kwa Mheshimiwa KitandulaMkinga kule, inaenda mpaka Chongoleani, kwa hiyo,barabara hii ni ya kiuchumi.

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini barabara hiinimeiongelea sana na hii ni bajeti ya nne. NikuombeMheshimiwa Waziri kwamba, itoshe sasa, mimi siyo mtoto wakufikia, mimi ni mtoto wako kabisa, sijawahi kushika shilingi,sijawahi hata kukataa bajeti, ifikie hatua sasa MheshimiwaWaziri hebu barabara hii uichukue ili tuweze kunusuru watuwa Makanya na maeneo mengine niliyoyataja. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na hayoMheshimiwa Waziri anafahamu fika kwamba barabara ile niya kiuchumi. Barabara ile kuanzia Makanya au Mlola kwendamaeneo niliyoyataja hakika tutakuwa tumekuza uchumi. Kwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

105

hiyo, nikuombe sana itoshe, kwa kweli sijui niingie kwa stylegani au nije kwa style gani ili uweze kunielewa barabara ileiweze kupandishwa hadhi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini pia kuna barabaranyingine ya kutoka Dochi – Ngulwi - Mombo ambayo nikilometa 16. Barabara ile Mheshimiwa Waziri niliripoti kwako2017 wakati barabara ile inapata mafuriko. Kwa hiyo,nikuombe nayo barabara hii Mheshimiwa Waziri hebu iingizesasa iweze kutengenezwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara hii walisemakwamba TARURA inaweza lakini TARURA haina fedha zakutosha kila mwaka inatengewa kilometa 1 au 2, kwa hiyo,ni kama vile barabara hii imetelekezwa. MheshimiwaKwandikwa ni shahidi amefika mpaka pale kwa wananchiwa Ngulwi ameongea nao akawaambia kwamba barabarahii sasa itatengenezwa lakini mpaka leo hii barabara ilehaijatengenezwa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara ile pia ni yakiuchumi. Halafu ni barabara ya mchepuko, kamaunavyofahamu Lushoto kuna barabara moja tu kubwaambayo ni ya Mombo – Soni - Lushoto kilometa 32. Kwa hiyo,kukitokea matatizo kama yalivyotokea 2017 na kuzibabarabara ile ya Soni – Mombo basi Wilaya ya Lushototunakosa huduma kabisa. Kwa hiyo, niombe sasa barabarahii iwe barabara mbadala na inawezekana hata barabarahii sasa ikawa ni barabara kwa ajili ya kushuka tu magari nahii ya Soni - Mombo kwa ajili ya kupandisha magari. Hiyo,naamini kwa kweli ukiipanga vizuri Mheshimiwa Waziriinawezekana. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, niende moja kwa moja sasakwenye minara (mawasiliano). Mheshimiwa Nditiye wewe nishahidi nimekuja mara kadhaa kwako kwa ajili ya kukuombaminara. Mfano maeneo yangu mengi ya Wilaya ya Lushotohayana mawasiliano, mfano, Ubiri, Mazumbai, Magului,Makanya, Kireti, Kigumbe na maeneo ya Mlalo ya Makose,Longoi, Mavumo na Kikumbi. Nikuombe chondechonde kaka

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

106

yangu hebu sasa peleka mawasiliano katika maeneo hayaili wananchi wetu waende na wakati. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, niende sasa kwenye Uwanjawa Ndege Tanga, wenzangu wameongea sana kuhusuuwanja huu. Uwanja ule wa Ndege kweli tumeonatumetengewa mashine zile lakini ziende sambamba sasa nakuongeza uwanja ule. Mwaka jana Mheshimiwa Waziri nishahidi wakati wa bajeti wakati ana-wind-up alisema kabisakwamba uwanja ule utaletewa bombardier lakini mpaka leohii bombardier hatuioni, Tanga kumekucha, Tanga kuchele.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, hebu sasa Tanga ionekane,safari hii tuweze kupata bombardier inayotoka Dar-es-Salaamkuja Tanga mpaka Pemba ikiwezekana hata iende mpakaMombasa. Hili naomba sasa nalo ulichukue wakati wa ku-wind-up naamini kabisa utalisemea na ukizingatia Tangatayari tunaongeza kina cha bahari, Serikali imetuona, tunaviwanda pia kama unavyojua.

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

MHE. SHAABANI O. SHEKILINDI: Mheshimiwa NaibuSpika, naona muda umeisha. Naomba kuunga mkono hojakwa asilimia 100, ahsante. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Tunaendelea naMheshimiwa Susan Kiwanga atachangia dakika saba,atafuatiwa na Mheshimiwa Ignas Malocha, kama mudautakuwa bado upo atafuata Mheshimiwa Ngeleja.

MHE. SUSAN L. KIWANGA: Mheshimiwa Naibu Spika,kwa masikitiko makubwa sana hapa nilipo nalia. Silii kwakupenda, nimetuma kwenye ma-group ya Wabunge,nimemtumia Waziri, kama kijiko kimezama barabara yakutoka Ifakara - Mlimba hivi akina mama kutoka Mlimbawataendaje Hospitali ya Ifakara kwenda kujifungua?

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

107

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa hivi kijiko kimezama(excavator) na yule mtoto anayesimamia pale kijiko kilealichokodisha cha baba yake amelazwa hospitali. Barabarahii imeshafanyiwa upembuzi yakinifu, imeisha mwaka 2017lakini mpaka leo barabara hii haijengwi kwa kiwango chalami. Chondechonde, hivi Watanzania wanaoishi Mlimbamnawahesabu wapo katika kundi gani nchi hii?

Mheshimiwa Naibu Spika, hali ni mbaya. Kama ni haliya dharura basi iko Mlimba. Kila mkandarasi akipewa ilebarabara kwa mwaka mzima aihudumie, akimaliza mkatabaharudi tena kwa sababu ile barabara ni hatari, hivi tusemenini mpaka muelewe? Ni dharura, naungaje mkono wakatibarabara yangu haina lami? Naungaje mkono hii bajeti?(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kwa dharura,wataalam mnanisikia mko hapa. Ndugu Mfugale uko hapa,watu wa Mfuko wa Barabara mko hapa nendeni sasa hiviMlimba mumpigie Eng. Makindi yuko Mlimba sasa hivi karibuwiki wanahangaika na barabara hii. Leo vyote mnavyojadilihapa mimi kwangu naona ni kizunguzungu, tunaombabarabara, imeisha upembuzi yakinifu mwaka 2017 kuna hajaya kujenga ile barabara ili kuokoa wananchi wanaotokaMlimba. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nachangia suala linginekuhusu watu wa TAZARA. Leo nimepata taarifa ukaguzi wandani umebaini yule mhasibu na ameshasimamishwa bilionimoja point kadhaa zimeliwa. Watumishi wa TAZARAwanaostaafu sasa hivi wakienda kwa huyo mhasibu kudaimafao yao wanajibiwa mambo ya ajabu, lakini chakushangaza Meneja wa Mkoa wa Tanzania ameongezewamuda wakati ameshindwa kusimamia mpaka mhasibuametafuna hizo hela, sijui wanashirikiana? (Makofi)

Mheshimiwa Waziri, angalia suala la TAZARA. Serikaliinalipa watumishi pesa kwa kodi za watanzania wenginelakini pale pale TAZARA kuna mchwa huyo anakula pesa.Nendeni mkaiangalie TAZARA. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

108

Mheshimiwa Naibu Spika, na wastaafunimeshapeleka faili kwa Mheshimiwa Kijaji, wale 1072 mpakaleo wengine wanakufa, mafao yao haijulikani, walistaafishwakwa lazima wa umri wa miaka 55, mmewapunja, naombamuwape haki zao, tatizo nini? Leo nimeamua kulia na TAZARAna barabara ya Ifakara - Mlimba kilometa 126 point zake,mmeshafanya upembuzi yakinifu.

Mheshimiwa Naibu Spika, nawaomba kwa hali yadharura hata tuma hapa mtaalam aende kule leo, hakunagari inayopita, picha hizi hapa excavator limezama, gari ganiitapita kwenye hiyo barabara ya TANROADS, hiyo ni dharura.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, watu watakufa kule wakinamama na watoto na wagonjwa watakufa kwa sababu tunakituo cha afya kimoja tu Mlimba, basi madaktari wanne!Hospitali ya Wilaya ipo Ifakara, Hospitali ya Rufaa ya St. Francisipo Ifakara, watu watafikaje huko?

Mheshimiwa Naibu Spika, Mheshimiwa Mpango, sawamnaweka hela tu kwenye ndege, kwenye nini hatukataitutaendeleza uchumi lakini wananchi wa Mlimba tuna shidakubwa, naomba mtupe barabara tuendelee na hayamambo mengine. Hizi ni kodi za Watanzania na wananchiwa Mlimba wanalipa kodi kama wanavyolipa wengine.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba, simalizi hatadakika saba kwa uchungu, ninyi wenyewe mnajuanachangiaga mpaka kwa sababu nitamaliza vipi dakikasaba, nataka majibu. Ningeomba Waziri aje na neno ladharura kuhusu barabara ya Ifakara mpaka Mlimbamnawaambiaje wananchi wa Mlimba. Asante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge mniruhusunimpe kazi ya kumnunulia maji, Mheshimiwa Hechekamnunulie maji Mheshimiwa Susan maana kidogo koolimeshuka kidogo. Naamini Mheshimiwa Heche ataifanyahiyo kazi kwa uaminifu. (Makofi/Kicheko)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

109

Waheshimiwa Wabunge tunaendelea, MheshimiwaIgnas Malocha atafuatiwa na Mheshimiwa William MgangaNgeleja, kama muda utabaki basi tutamsikia MheshimiwaSelemani Zedi.

MHE. IGNAS A. MALOCHA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru sana kupata muda kuchangia Wizara hii ya Ujenzi.Kwanza kabisa namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwekahai mpaka siku ya leo. Napenda kabisa kumpongezaMheshimiwa Waziri Engineer Kamwelwe, Naibu MawaziriMheshimiwa Engineer Nditiye na Mheshimiwa Kwandikwa,Katibu Mkuu TANROADS Engineer Mfugale na watendaji wotewa Wizara hii. Vilevile bila kumsahau Meneja wangu waTANROADS Mkoa wa Rukwa na wasaidizi wake wanafanyakazi vizuri sana, nawapongeza sana. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuanza napendakusema kwamba Mkoa wa Rukwa ni mkoa wenye mvuanyingi sana, kwa maana hiyo barabara zake za changaraweni mara nyingi zinaharibika sana lakini fedha tunazopangiwani kidogo sana, hazikidhi mahitaji ya uharibifu wa barabarazile. Nishukuru Serikali kwa ujenzi wa daraja lile la Mto Mombakama wenzangu walivyoshukuru, sasa hivi tumeona urahisihata malori yanayopita sasa hivi yaliyokuwa yanazungukakule Kibaoni yamebeba nguzo, sasa hivi yanakatishayanapita yanaingilia Songwe yanakuja kutokea Kamsambana kuleta nguzo; tunashukuru sana kwa kweli Serikali. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, vilevile, tunaishukuru Serikalikwa kilio cha wananchi wa Mji Mdogo wa Laela walikuwawana kilio cha kivuko lakini kupitia TAMISEMI tumepata milioni163 kujenga kivuko kile, tunashukuru sana Serikali.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nizungumziebarabara ya Kiliamatundu, Muze, Ntendo na Kasansa. Wazirialiyepo sasa hivi ni Waziri ambaye huwezi ukamwambiachochote juu ya barabara hii. Anaifahamu vizuri umuhimuwake na jinsi inavyounganisha mikoa hii mitatu; tunashukurummejenga daraja lakini tunaomba sasa muweke nguvukuiwekea lami. Na mmetenga kiasi cha milioni 180 kwa ajili

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

110

ya usanifu lakini naona fedha hii sidhani kama inawezaikatosha kwa urefu wa ile barabara, ile barabara ni muhimusana.

Mheshimiwa Naibu Spika, Mheshimiwa Eng.Kamwelwe wewe ni mwenyeji wa maeneo yale, tunaombakabisa katika awamu yako hii weka nguvu ile barabara iwezekutengewa fedha ili kupata lami; kama tutakosa katika kipindichako sidhani kama tunaweza tukapata tena. Ni kipindimuhimu kabisa na muafaka kwa sababu unajua umuhimuwa barabara ile kiuchumi, tunakuomba sana utilie maananikatika barabara hiyo. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nizungumzie kipande chabarabara cha Ntendo – Muze. Barabara hii ndiyo inayotumikakatika kuingiza malighafi inayotoka ukanda wa Ziwa Rukwa,ni barabara ambayo ipo busy sana muda wote, malori nimuda wote. Nashukuru Serikali mwaka jana mlitupangia pesatukaweza kutengeneza kilometa 2 za lami lakini nashangaabadala ya kuongeza, mwaka huu mmepunguza badala yakutuongeza kilometa 5 mmetuwekea kilometa 0.8 badalaya kuongeza. Sasa nashindwa kuelewa ni kwa namna ganitena mnarudi nyuma badala ya kwenda mbele, tunaombasana Mheshimiwa Engineer Kamwelwe utuongezee pesa hiibarabara iweze kutanuliwa na kumalizika kwa haraka.

Mheshimiwa Naibu Spika, ukiacha hilo, barabara hiyokilometa 8 za Mlima ambao wakati mwingine barabara nifinyu, kama lori lilikwama lingine haliwezi likapita. Nakumbukamwaka juzi Waziri Mkuu alikwama, tukaanza sisi wote kutafutanamna gani Waziri Mkuu atapita lakini solution ilipatikana,alikuja Katibu Mkuu ambaye sasa hivi hayupo hapo akashaurituipanue lakini nashangaa katika bajeti hii si jaona.Mheshimiwa Engineer Kamwelwe naomba hilo na lenyeweuweze kuliangalia, eneo la Mwilimani linahitaji kabisakupanuliwa na kuwekwa zege sehemu zote.

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara nyingine ni yaKalambanzite – Ilemba kilometa 24; kilometa 12 zipo mlimani.Hii barabara tunashukuru TANROADS ilishaichukua, tunaomba

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

111

na yenyewe basi iweze kujengwa kwa kiwango kizuri chachangarawe na mlima wote uwekwe zege lakini nimeonakwenye bajeti mmetenga pesa kidogo kama milioni 30, milioni30 utatengeneza kitu gani?

Mheshimiwa Naibu Spika, ningeomba sanaMheshimiwa Waziri uweze kuliona hili, tena ahadi ya Rais waAwamu ya Tano aliahidi kuiwekea lami, sasa nashangaa sasahivi suala badala ya lami hata changarawe, hata kuwekazege mlima wa kilometa 12 tunashindwa kuweka fedha.

Mheshimiwa Naibu Spika, nyingine ni barabara yaMiangalua – Chombe…

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa kengele ya pili imegonga.

MHE. IGNAS A. MALOCHA: Mheshimiwa Naibu Spika,naomba kuunga mkono hoja. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa EzekielMagolyo Maige, tutamalizia na Mheshimiwa Selemani Zedi.

MHE. EZEKIEL M. MAIGE: Mheshimiwa Naibu Spika,naomba nikushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia.Kwanza naomba niipongeze sana Serikali yangu ya Awamuya Tano kwa kazi kubwa sana inayofanyika ya ujenzi wamiundombinu mingi mbalimbali nchini na pengine tu kablasijaenda mbali zaidi, nijaribu kugusia kidogo hii hoja iliyotolewana mchangiaji mmoja aliyezungumzia kuhusu suala lamchango wa Sekta ya Ujenzi kwenye uchumi.

Mheshimiwa Naibu Spika, utafiti unaonyesha kwambakatika miradi yote ya ujenzi, asilimia isiyozidi 30 ndiyo huwamchango wa wakati wa mradi, asilimia 70 huwa inapatikanapale mradi unakuwa umekamilika na kuanza kutumika. Janatulimsikia mzee wangu Mheshimiwa Ndassa hapaalizungumzia kwamba Mji wa Ngudu umedumaa kwasababu hauna barabara. Ukienda sehemu zote ambazobarabara zimejengwa, hali ya maisha na shughuli za kiuchumizinakwenda kasi zaidi. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

112

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hivyo,tunavyozungumza kujenga reli ya kiwango cha standardgauge tunategemea reli hii ikikamilika ndiyo itakayoletamanufaa na itakayoonyesha sasa uchumi kukua kwa kasizaidi kuliko wakati wa utekelezaji wa mradi wenyewe. Faidazinazokuwepo wakati wa ujenzi ni kidogo sana kwa wastanihazizidi asilimia 30.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, niseme tu pamojana kwamba Mheshimiwa Zitto namuheshimu sana lakiniukweli huu anaufahamu ni vizuri tukaliona hilo kwambainvestment zinazofanyika leo zina multiply effect kubwa kwabaadaye hasa baada ya sekta tarajiwa kama kilimo naviwanda. Huwezi ukajenga kiwanda leo Kigoma cha cementambayo huwezi ukaisafirisha kuipeleka kwenye soko Dar essalaam; ukishaweka reli ndiyo utawezesha kiwanda kujengwakule. Leo hii muulize Dangote anavyohangaika kufikishacement yake kwenye maeneo ambayo hayanamiundombinu ya barabara. Kwa hiyo, miundombinuinachochea uchumi baada ya kuwa imekamilika. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya ufafanuzi huo napongezi hizo kwa Serikali, niendelee kuipongeza sana Serikaliyangu kwa miradi hii mikubwa ambayo pia inafanyika katikaMkoa wetu wa Shinyanga. Kwa muda mrefu sana nimekuwanikiomba barabara ya kutoka Kahama kwenda Geitaijengwe kwa kiwango cha lami, ninashukuru sana nimeonakwenye hotuba ya Mheshimiwa Waziri aya ile ya 28, amesemataratibu za kupata wakandarasi ndizo zinaendelea na kwabajeti hii ile aya ya 248 ametenga bilioni 5 kwa ajili ya kuanzaujenzi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, niombe sana Mheshimiwa,bahati nzuri Mheshimiwa Naibu Waziri Kwandikwa yupo naanafahamu barabara hii umuhimu wake kwamba mchakatowa kupata wakandarasi ambao sasa tunakwenda mwakawa tatu toka 2016, 2017 na 2018 ukamilike na barabara ianzekujengwa. Ni barabara ya muhimu sana kiuchumi,inaunganisha migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi; ni barabarayenye sifa katika zile barabara za kipaumbele kwa sababu

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

113

inaunganisha Mkoa wa Shinyanga na Mkoa wa Geita. Vilevileni barabara ambayo ipo kwenye ahadi zetu za kipaumbele.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, Mheshimiwa Rais mwaka2017 amefika, ameongea na wananchi wa Segeseakawaahidi wananchi wa Bukoli kwamba barabara hiiitaanza kujengwa kwenye kipindi hiki na hii ndiyo bajeti yamwisho ya utekelezaji tunayofanya, bajeti ijayo tutakujakuipitisha na kwenda kwenye uchaguzi. Ni muhimu sana hizibilioni 5 tulizozisema na mchakato wa kupata wakandarasiambao umeanza miaka mitatu sasa ukamilike ili ujenzi uwezekuanza. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kuna barabara nyingine yakutoka Kahama kwenda Nyang’wale hadi Busisi. Barabarahii haijaguswa kabisa kwenye hotuba ya Mheshimiwa Waziri,tuliahidiwa kwenye bajeti iliyopita kwamba ingeanzakufanyiwa upembuzi yakinifu, sasa hivi hata kutajwahaijatajwa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pia hata ile barabara yakutoka Kahama – Solwa – Managwa ambayo piainaunganisha Mkoa wa Shinyanga na Mkoa wa Mwanza,ilikuwemo kwenye upembuzi yakinifu na ilishakamilika lakinikwenye orodha ya barabara ambazo zimetajwa kwambazimekamilika kufanyiwa upembuzi zinatafutiwa fedha ili zianzekujengwa, haijatajwa. Nilikuwa naomba sana rekodi zikaesawa, muda wote tuwe tunataja tumefika hatua gani ili keshona keshokutwa tusijetukarudi tena kuanza kuzungumzakwamba tunaomba ifanyiwe hatua fulani wakatiilishakamilika. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, niombe la mwisho,Mheshimiwa Waziri Mpango yupo hapa, nimeona kwenyetaarifa ya Waziri kuna ujenzi wa vituo Dakawa na Muhalala;mkandarasi amesimama kwa sababu ya suala la VAT.Nilikuwa naomba suala la VAT ambalo linahusu kuwezeshamiradi ya ujenzi kukamilika kwa wakati, mzungumze mlimalize;Mheshimiwa Rais aliagiza akiwa Mwanza wakati ule wa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

114

uzinduzi wa ujenzi wa vivuko kule, ninaomba mmalizemkandarasi arudi site , kuna hasara tunapata kwakutokumaliza mazungumzo. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nimegongewa kengele yapili, nisingependa kuchukua zaidi muda. Nakushukuru sanakwa nafasi na naunga mkono hoja, ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa SelemaniZedi.

MHE. SELEMANI J. ZEDI: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru kwa kunipa nafasi niweze kuchangia. Kwanza,nianze kwa kuwapongeza Waziri na Naibu Mawaziri wawiliwa Wizara hii kwa kazi kubwa wanayoifanya.

Mheshimiwa Naibu Spika, mwezi uliopita niliuliza swalihapa Bungeni kuhusu barabara ya kilometa 149 inayoanziaTabora kupitia Mambali – Bukene- Itobo na hatimayeKagongwa. Barabara hii ndiyo barabara pekee iliyo badokwenye hali ya changarawe inayotoka Tabora mpakaKahama na barabara hii kwanza ni ahadi ya MheshimiwaRais na pili, imo kwenye Ilani yetu ya uchaguzi. Nichukue fursahii kuipongeza Serikali kwa kutupatia milioni 789 ambazozimekamilisha usanifu wa awali na mwezi uliopita Waziri alijibuswali langu kwamba mwezi wa sita ule usanifu wa kinaunakamilika.

Mheshimiwa Naibu Spika, rai yangu kwamba Wizaraijitahidi kwamba kama ilivyoahidi (commit) kwamba ujenziwa barabara hii kwa kiwango cha lami utaanza kabla ya2020 wakati ambako tutaingia kwenye uchaguzi. Kwa hiyo,nina imani na Serikali yangu najua hili litafanyika lakini niwajibu wangu kulikumbushia.

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara hii wakatitunasubiri iweze kujengwa kwa kiwango cha lami, inapaswaiwe inapitika wakati wote. Ninaipongeza Wizara kwambanimeangalia kwenye kitabu cha hotuba ya Waziri kuna fedhazimetengwa kwa ajili ya kuhakikisha barabara hii wakati wote

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

115

inapitika. Fedha hizo zipo kwenye mafungu mawili; fungu lakwanza ni fedha zinazotoka Mfuko wa Barabara na fungu lapili ni fedha zinazotoka Mfuko wa Serikali Kuu.

Mheshimiwa Naibu Spika, upande wa Mfuko waBarabara, barabara hii imepangiwa milioni 332 na upandewa fedha zinazotoka Serikali Kuu, barabara hii piaimepangiwa milioni 330. Ni rai yangu kwa Wizara kwambafedha hizi zilizotengwa zipatikane na zipelekwe ili barabarahii iweze kuwa inatengenezwa kila wakati na hasa yalematengenezo ya muda maalum (periodic maintenance)wakati wa mvua barabara hii huwa inaharibika vibaya sana.

Mheshimiwa Naibu Spika, kuna fedha ambazozimepangwa kwa ajili ya Mkoa mzima wa Tabora kama bilioni2.4 kwa ajili ya kutengeneza kilometa 1180. Sasa hoja yanguhapo ni kwamba fedha hizi zimepelekwa kwa ujumla,zinasema tu ni za Mkoa wa Tabora kwa ajili ya kutengenezakilometa 1180 lakini Mkoa wa Tabora una Wilaya 7 na zotezina barabara hizi za changarawe. Kwa hiyo, hotuba ya Wazirihaijaainisha kwamba ni kiasi gani kitatengeneza barabarazilizopo Nzega, kiasi gani Sikonge, Kaliua au Urambo. Kwahiyo, imewekwa jumla na hatari yake ni kwamba fedha zotezinaweza zikaelekezwa Wilaya 1 au 2 halafu zingine zikakosa.Kwa hiyo, tuainishiwe kabisa hizi bilioni 2 ni kiasi ganikitakwenda kila Wilaya ili angalau tuwe tunajua ufuatiliajiutakuwaje.

Mheshimiwa Naibu Spika, lingine ni kuhusu Mfuko waMawasiliano kwa Wote. Miaka miwili nyuma hapa niliombaminara ya simu ya Kata 4; Kata ya Kahamahalanga, Kata yaKaritu, Isagehe na Semembela lakini ni kata mbili tu ambazozimepata hiyo minara ya simu; Kata ya semehembela na Kataya Karitu bado hazijapata ingawa zilikuwa kwenye orodhaambayo Mheshimiwa Waziri ali itoa ya kata ambazozitapatiwa minara ya simu.

Mheshimiwa Naibu Spika, wote tunajua kwamba sasahivi maisha ya sasa ni mawasiliano ya simu, kwa hiyo,kunapokuwa na maeneo tunayaacha bila kuyapatia

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

116

mawasiliano ya simu za mkononi kama ilivyo Semembela naKaritu, maana yake ni kwamba tunawaacha nyuma yaulimwengu wa kisasa. Sasa hivi maisha ya kisasa kwa sehemukubwa simu za mkononi zinachangia, ukiwa na simu zamkononi utaweza kulipa ada za watoto, ankara au madaimbalimbali.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa hivi tunapelekaumeme vijijini, tunataka wananchi wetu wa vijijini wawezekulipia LUKU na bili za umeme huko huko wakiwa vijijini. Kwahiyo, kuna umuhimu sana wa maeneo ambayo hayanaminara ya simu yaweze kupatiwa minara ya simu. Nitumienafasi hii kuikumbusha Wizara kwamba Kata ya Semembelana Kata ya Karitu ambayo tangu miaka miwili nyuma ipokwenye orodha, safari hii na yenyewe kupitia Mfuko waMawasiliano kwa Wote iweze kupata mawasiliano hayomuhimu sana ya simu za mkononi.

Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru kwa nafasi hiina ninaunga mkono hoja asilimia mia moja, asante sana.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana, Waheshimiwa Wabungetumemaliza wachangiaji wetu wa kipindi cha kwanza.Niwataje Wabunge wachache tutakaoweza kuanza naomchana, Mheshimiwa William Mganga Ngeleja, MheshimiwaNaghenjwa Kaboyoka, Mheshimiwa Joseph Kizito Mhagama,Mheshimiwa Zakaria Paul Issay, Mheshimiwa Godfrey Mgimwana Mheshimiwa Hasna Mwilima. Wengine wataendeleakutajwa kadri tutakavyokuwa tukiendelea.

Jambo lingine, kulikuwa na uchangiaji katika hikikipindi chetu niwakumbushe tu Waheshimiwa Wabunge,tunapoitana dada, kaka, shemeji sijui babu ama nani humundani tukumbuke tu kwamba tunatakiwa kuitanaWaheshimiwa. Wakati mwingine watu wanasahau akishaitahivyo anaita jina la mtu moja kwa moja. Sasa paletunapoanza kukumbushana inakuwa tabu kidogo. Kwa hiyo,tukumbuke tunapochangia kuwataja Wabunge ambaowameshachangia hata kama unawajibu ama unawajibu

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

117

kwa mchango wao ambao umeshapita kuwaitaWaheshimiwa Wabunge.

Waheshimiwa Wabunge lipo pia tangazo kutokaIdara ya Utawala na Rasilimali Watu ya Bunge. MnatangaziwaWabunge wote kuwa wataalam wa Mamlaka yaVitambulisho vya Taifa (NIDA) wapo hapa Bungeni kwa ajiliya kutoa vitambulisho kwa Wabunge waliokuwawamejiandikisha. Kwa hiyo, huduma hiyo inatolewa katikaviwanja vya Bunge nyuma ya jengo lililokuwa la zahanati yaBunge, lile Jengo la Msekwa kule nyuma kulikokuwa nazahanati zamani. Kwa hiyo, Waheshimiwa Wabungewaliokuwa wamejiandikisha wakachukue vitambulisho vyaona wale ambao hawakupata fursa ya kujiandikisha penginewanaweza kupata hapo maelezo ya nini cha kufanya.

Waheshimiwa Wabunge baada ya kusema hayo,nasitisha shughuli za Bunge mpaka saa kumi kamili Alasiri leo.

(Saa 7.00 Mchana Bunge Lilisitishwa hadi saa 10.00 Jioni)

(Saa 10.00 Jioni Bunge lilirudia)

NAIBU SPIKA: Tukae.

HOJA ZA SERIKALI

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

(Majadiliano Yanaendelea)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana majadiliano, tutaanza na Mheshimiwa Joyce BittaSokombi dakika saba, atafuatiwa na Mheshimiwa WilliamMganga Ngeleja.

MHE. JOYCE B. SOKOMBI: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante kwa kunipatia nami nafasi hii niweze kuchangiaWizara hii ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, hasa kwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

118

manufaa ya wananchi wa Mkoa wa Mara na Watanzaniakwa ujumla.

Mheshimiwa Naibu Spika, bajeti kwa miaka mitatuzimetengwa shilingi trilioni 13. Naitaka Serikali itueleze,tunapata ajira kiasi gani na return yake ni nini?

Mheshimiwa Naibu Spika, fedha nyingi za maendeleokila siku tunaambiwa zinafanya upembuzi yakinifu. Maanatoka nimekuwa Mbunge, sasa hivi ni mwaka wa nne, kilaukiuliza swali unaambiwa ni upembuzi yakinifu, sasa sijui huoupembuzi yakinifu utaisha lini. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa nini nasema hivyo?Sasa hivi Wilaya ya Rorya, TARURA haijapata fedha zamaendeleo ya barabara takribani miaka miwili mfululizo naukiangalia Wizara hii imetengewa pesa nyingi sana. Naombatafadhali Mheshimiwa Waziri asikilize kilio cha wananchi waMkoa wa Mara apeleke fedha zikamalize ujenzi wa barabaraambazo zinatakiwa kujengwa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara ya Musoma –Busekela ina kilometa 42, lakini fedha zilizopelekwa ni zakilometa tano tu, kilometa 37 bado hazijajengwa. Sasa sijuiMheshimiwa Waziri atatuambia ni lini zile kilometa 37 zitaendakumalizwa? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara ya Wanyele –Kitario imekatika na kila siku nimekuwa nikiizungumzia hapakwenye maswali; na majibu yamekuwa ni yale yale yamarudio. Ile barabara ya Wanyele – Kitario ni barabaraambayo inahitaji kuwekwa daraja na ilishasababisha maafa.Kuna takribani watoto 20 walishafariki na nilishasema katikahili Bunge lako tukufu, lakini mpaka sasa hakuna hatua yoyoteambayo imeshachukuliwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, ninaomba tafadhali, hizimvua zinazonyesha, wasije tena watoto wenginewakaendelea kufa tukaendelea kupata maafa katika Mkoawetu wa Mara. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

119

Mheshimiwa Naibu Spika, tuna miradi viporo mingi tu.Kwa mfano, Bunda – Kisoria, Makutano – Sanzate, Mugumu –Tabora B, zinahitajika fedha kuweza kukamilisha miradi hiiviporo. Mpaka leo hii hakuna pesa yoyote ambayoimeshapelekwa na barabara zile zimekaa tu, hatuelewihatma ya hizi barabara. Tunaomba Mheshimiwa Waziri aoneumuhimu wa kwenda kumalizia miradi hii viporo iwezekukamilika. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, vilivile kuna round aboutTarime. Ile round about ya Tarime Mjini mara nyingi imekuwaikisababisha madhara. Imesababisha ajali nyingi sana.Naishauri tu Serikali ihakikishe eneo lile inaweka angalau ziletaa za kuongoza wale watu wa magari, hata wale waendakwa miguu. Kwa mfano, kama ile barabara ya pale Mwengekwenda Mjini, Mwenge kwenda Mikocheni, Mwenge kwendaKawe, Mwenge Kwenda Ubungo, ni taa ambazo zinaongozavizuri sana. Naishauri sana Serikali ione umuhimu kwa sababuile keep left pale ni ndogo na eneo lile ni dogo sana. Naombana kuishauri Serikali ituwekee taa eneo lile.

Mheshimiwa Naibu Spika, tukienda Uwanja wa Ndegewa Musoma, ule uwanja ni mdogo. Sasa hivi wanatakakuutanua ule uwanja uwe mkubwa, lakini kuna wale watuambao wamezunguka lile eneo la Uwanja wa Musoma nawale watu walishawekewa X toka mwaka na miezi mitanommoja sasa hivi. Wale watu walishafanyiwa tathmini, lakiniwatu waliofanya tathmini walifanya bila kuwashirikishawananchi husika. Mpaka sasa wale wananchi hawajui hatmayao kwa sababu wanatembea tu hati, hawawezi kwendabenki kukopesheka wala kufanya kitu chochote chamaendeleo yoyote katika maeneo yao. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba na kuishauri Serikaliwakarudie kufanya tathmini kwa kushirikiana na wananchiwa eneo husika ili mtu anapofanyiwa tathmini ajue nyumbayake inafanywa tathmini kwa kiasi gani? Kwa sababumnapofanya tathmini tu na kuondoka bila kumwambiamhusika kwamba tathmini tumefanya nyumba yako inathamani ya kiasi fulani kwa kweli inasikitisha. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

120

Mheshimiwa Naibu Spika, naenda upande wa TBA.Kwa kweli TBA hawafanyiwi ushindani na makampuni binafsi,ndiyo maana kazi zao zimekuwa ni substandard. Matokeomengi tunaona kazi nyingi za Serikali zinafanywa na TBA nakazi zao nyingi zimekuwa za kiwango cha chini sana.

Mheshimiwa Naibu Spika, naongea hivyo kwa sababugani? Kuna zile nyumba za mradi wa Bunju. Ule mradi, yaanikwa ushauri wangu mdogo tu, sana sana wangeanza kuwekasocial services kwa kuanza kuweka zahanati, wakawekashule, wakaweka barabara nzuri ili mtu anapokwenda kulekwa sababu zile nyumba ziko pembezoni sana, angalau hataziwe ni nyumba za kufikika kwa urahisi.

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

MHE. JOYCE B. SOKOMBI: Mheshimiwa Naibu Spika,zile nyumba malengo ilikuwa ni kwa ajili ya wafanyakazi nawafanyakazi wengi wamehamishiwa Dodoma, kwa maanahiyo zile nyumba zinakaa tu hazina wapangaji. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Kengele ya pili ilishagonga Mheshimiwa,ahsante sana.

Mheshimiwa William Mganga Ngeleja atafuatiwa naMheshimiwa Zacharia Issaay na Mheshimiwa JosephMhagama ajiandae.

MHE. WILLIAM M. NGELEJA: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana kwa kunipa fursa hii ili nichangie hoja iliyokombele yetu. Awali ya yote kabisa naungana na wenzangukuiunga mkono hoja hii ya Mheshimiwa Waziri, EngineerKamwelwe. Pamoja na hayo, nitumie nafasi hii kumpongezayeye, kuwapongeza Waheshimiwa Naibu Mawaziri;Mheshimiwa Engineer Kwandikwa na Mheshimiwa EngineerNditiye, Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu naWatendaji wote katika taasisi ambazo ziko chini ya Wizara hiikwa kazi kubwa wanayoifanya.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

121

Mheshimiwa Naibu Spika, kama ambavyo imejitokezahapa na mjadala unavyoonyesha, ni kwamba Wizara hiiimepata fedha nyingi na imekuwa ikiendelea kupata fedhanyingi kwa sababu ni mhimili wa uchumi wetu kwa kadriambavyo tunaelekea kuifikia nchi ya viwanda. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, tunajadili hoja iliyoko mbeleyetu tukiwa tuko katikati kama Taifa kwenye majonzi ya msibawa Marehemu Mzee Mengi na tunafahamu kwamba janaamelazwa katika makazi ya milele, nasi ndio tunasubiri ratibayetu kwa kadri Mwenyezi Mungu atakavyotujalia. Kwa hiyo,natumia nafasi kuungana na Watanzania wenzangu kutoapole kwa familia ya Mzee Mengi, ndugu na jamaa, lakinikuungana na Watanzania kumwombea Mzee Mengiaendelee kulazwa mahali pema Peponi.

Mheshimiwa Naibu Spika, nataka nizungumzie kuhusuJimbo la Sengerema. Kitabu hiki ambacho kwa ujumla wakekinaomba karibu shilingi trilioni tano, Sengerema ni mojawapoya wanufaika katika miradi ambayo imekuwa ikitekelezwana ile ambayo iko katika hatua za mwisho kabisa kukamilika.

Mheshimiwa Naibu Spika, nataka niwaarifu wananchiwa Jimbo la Sengerema kwamba ile barabara yetu ya kutokaSima kwenda Ikoni inayosimamiwa na TANROADS Mwanza,Barabara yetu ya kutoka Sengerema kwenda Ngoma Azinaendelea vizuri. Pia ile ya Sima – Ikoni, Mkandarasi wetuKASCO anamalizia kipande cha kutoka Sengerema kwendaNyamazugo. Atakapokimaliza kile, anahamia Sima kwendaIkoni kuunganisha na Jimbo la Geita Vijijini. Kwa hiyo, ni kaziinayoendelea vizuri. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ukiingia kwenye Ilani yaChama cha Mapinduzi, Serikali imetukumbusha kupitiahotuba hii kwamba maandalizi ya bajeti hii yamezingatia piaIlani ya Chama cha Mapinduzi, maelekezo ya ViongoziWakuu pamoja na Mpango wetu wa Miaka MItano. Sasakwenye ukurasa wa 60 pale wa Ilani yetu ya Chama chaMapinduzi kuna barabara inayotajwa pale ya Kamanga –Sengerema kilometa 35.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

122

Mheshimiwa Naibu Spika, naishukuru Serikali kwanihatua za awali zilishafanyika; upembuzi na usanifu wa kinatayari na sasa nawaarifu Wana-Sengerema kwambawajiandae kwa sababu mipango yote sasa imeshahamiaSerikalini na hasa kwa Mtendaji Mkuu wa TANROADS, EngineerMfugale. Nimekuwa na mawasiliano naye, iko kwenyempango, tunasubiri muda muafaka utakapofika,itatangazwa tenda kwa ajili ya kupata mkandarasi kuanzaujenzi wa lami kwa barabara ya Kamanga – Sengerema naule mchepuko wake wa Katunguru kwenda Nyamazugo,kilometa 21. Kwa hiyo, naishukuru sana Serikali.

Mheshimiwa Naibu Spika, tunafahamu pia kwambaupembuzi yakinifu unaendelea na usanifu wa kina kwenyebarabara ya Nyehunge kuja Sengerema ama Sengerema –Nyehunge, kilometa 78. Napo tunaishukuru Serikali kwasababu ni kazi inayoendelea.

Mheshimiwa Naibu Spika, nilimsikia MheshimiwaMaige asubuhi na Waheshimiwa Wabunge wenginewamezungumzia barabara inayotuunganisha mikoa mitatu.Nazungumzia barabara ya Busisi kwenda Buyagu – NgomaA mpaka Nyang’hwale ambalo ni Jimbo lililopo ndani yaMkoa wa Geita na kuelekea Jimbo la Msalala ambako niMkoa wa Shinyanga. Hii ni barabara muhimu na tunaombaSerikali iendelee kujipanga vizuri na sisi tunaikumbusha ilikwamba tunapofika mwaka kesho, basi ama maandaliziyake yawe yameshamilika ama ujenzi uwe umeanza.

Mheshimiwa Naibu Spika, namshukuru sanaMheshimiwa Engineer Nditiye, kwa kazi nzuri aliyofanyaalivyotembelea Jimbo la Sengerema kuhusu mawasiliano,ambako bado kuna upungufu, nafahamu kwambaMheshimiwa Kwandikwa amefika na Mheshimiwa Eng.Kamwelwe kama Waziri amekuwa akipita maeneombalimbali pamoja na wasaidizi wake. Pia kwa hili natambuakazi kubwa ambayo Mheshimiwa Engineer Nditiye alifanyaalipofika Jimbo la Sengerema kuhusu maeneo ambayo yanaupungufu wa mawasiliano.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

123

Mheshimiwa Naibu Spika, kuna Daraja la Kigongo –Busisi, daraja kubwa miongoni mwa madaraja makubwakabisa katika Bara la Afrika linajengwa pale. Sasa hivimkandarasi wachambuzi wanaendelea na tathmini yakumpata kwa sababu tenda imeshafunguliwa. TunaipongezaSerikali tunasema ahsanteni sana kwa kazi kubwainayofanyika. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, mambo mengine ambayonilitaka niyakumbushe, wenzangu wamezungumza.Ukiangalia jiografia ya nchi hii, naomba ATC na ninaaminikwamba wanasikiliza hapa, ile mipango yenu ya kuanzisharoute nyingine kutokea hapa Dodoma kwenda Mbeya nakuanzia hapa Dodoma kwenda Mwanza kwa maana yakuhudumia Mikoa ya Kanda ya Ziwa ifanyike haraka, kwasababu tunaamini kwamba itarahisisha sana kuokoa rasilimalifedha nyingi inayotumiwa na watumishi wanaokuja hapakama Makao Makuu ya nchi kwa ajili ya kufanya shughuli zakikazi.

Mheshimiwa Naibu Spika, tumeona kuna ujenzi wameli unaendelea, Ziwa Victoria na maziwa mengine, lakiniviwanja vya ndege ikiwemo Kiwanja cha Mwanza, tunasemaahsante.

Mheshimiwa Naibu Spika, kuna jambo moja natakanizungumze. Tuna miradi mikubwa na ukisoma Hotuba yaMheshimiwa Waziri Mkuu ukurasa wa 67 tulipokuwa tunajadili,katika ajira ambazo zimezalishwa mpaka mwezi wa pilimwaka huu tumeambiwa kwamba asilimia 66 imetokana naajira zilizotokana na uwekezaji wa Serikali kwenye miradimikubwa, hasa ujenzi wa miundombinu na asilimia 34imetokea Private Sector.

Mheshimiwa Naibu Spika, ninachotaka niiombeSerikali katika hili, wanaofuatilia mitandaoni, mwezi wa Pilimwishoni pale kulitokea taarifa iliandikwa na mwandishimmoja akisema asichokijua Mheshimiwa Rais kuhusu ujenziwa SGR. Alichokuwa anasema ni unyanyaswaji wa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

124

Watanzania wanaopata kazi kumsaidia mjenzi mkuu wamiradi hii.

Mheshimiwa Naibu Spika, nataka nizungumze hili kwakina kwamba katika fedha ambazo tunaziingiza katika miradimikubwa hii, lazima tuwe na utaratibu wa kuwasaidiaWakandarasi wetu wadogo ambao ni subcontractors katikamain contractors hawa. Yule mwandishi aliandikaakasambaza mitandaoni akataja na jina lake na nambayake ya simu. Mtu mwingine anaweza kusema tusifuatemambo ya mitandao, lakini mtu anapokuwa ameandika naakataja kinachowakera Watanzania, kinachowasibu katikamaeneo hayo akaweka na jina lake, ule utayari wake lazimautushtue sisi na liwe ni fundisho.

Mheshimiwa Naibu Spika, namshukuru sanaMheshimiwa Eng. Nditiye, namtaja kama Naibu Waziri kwasababu nilisikia alifuatilia kwa kile ambacho wananyanyaswawale subcontractors kwenye ujenzi wa miradi yetu na hasamradi wa SGR. Wanaingia katika kazi hizo, wanapewa kazimalipo hawalipwi ndani ya muda, matokeo yake wanafilisikakwa sababu wameingia katika ujenzi na wenginewanategemea mikopo. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, yule bwana mpaka alitajabaadhi ya makampuni. Sasa sitaki kuwa specific nitajebaadhi ya makampuni kwa sababu sina interest yoyote.Ninachotaka niseme, kama Taifa, kwa fedha ambazotunaziwekeza kwa sababu ni za walipa kodi, lazimatuziandalie utaratibu mzuri wa kuwasaidia Watanzaniawenzetu ambao wameingia kule kusaidia. Kwa kadriwanavyonufaika hawa, ndivyo Taifa l itakavyokuwalinanufaika.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, chagizo langu nikuiomba Serikali tuandae utaratibu mzuri wa kusimamia nahasa kuratibu wale subcontractors kwa maana ya localcontent, wale Watanzania wenyewe hasa ili manufaa hayaya miradi mikubwa tuyaone kwa uhakika na yawe namadhara chanya katika uhai wa uchumi wetu.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

125

Mheshimiwa Niabu Spika, yapo mambo mengiyamekuwa yakizungumzwa hapa. Limezungumzwa denikuhusu TRC na Serikali kwa ujumla wake na baadhi yawachangiaji. Mimi sitaki kujibu, lakini ninachotaka kusema,tuwe makini sana. Unapozungumzia deni linaloihusu TRCinawezekana kukawa na deni ambalo linahusu Serikali kwaujumla kutokana na mkopo ambao tulikopeshwa na Serikaliya Uchina kwa maana ya ujenzi wa Reli ya TAZARA, lakinisiyo malimbikizo kwa ujumla wake kwa fedha ambazozimetajwa hapa kama vile ndiyo zinazostahili kwenda kwawastaafu au wafanyakazi. Kwa hiyo, naomba nitahadharishe,tuyachambue kwa kina haya tusije tukapeleka taarifapotovu.

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kusema hayo,nakushukuru sana. Naunga mkono hoja na Wanasengeremawajiandae kunufaika na mipango mizuri ya Serikali ambayoimeoneshwa hasa katika ujenzi wa miundombinu yabarabara. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa ZachariaIssaay, atafuatiwa na Mheshimiwa Joseph Mhagama,Mheshimiwa Mahmoud Mgimwa ajiandae.

MHE. ZACHARIA P. ISSAAY: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru sana kwa kunipa nafasi. Kwanza nitoe shukraniza dhati kwa Rais mpendwa Mheshimiwa Dkt. John JosephPombe Magufuli, Rais wa Awamu hii ya Tano, kupitia salamuzao kwangu mimi Mbunge wa Jimbo la Mbulu Mjini. Kwa kwelini Serikali iliyofanya kazi kubwa sana katika Tanzania hii nahasa nikizungumzia Jimbo la Mbulu Mjini.

Mheshimiwa Naibu Spika, nilipoingia Bunge hilinilikuwa mkorofi sana, nilikuwa nachangia vibaya pia, lakininilikuwa nafikiri ni lini matatizo haya ya wananchi wa Mbuluyatatatuliwa. Yamefanyika kwa kasi kubwa sana. Nitoesalamu za shukrani pia kwa Mheshimiwa Waziri na timu yakenzima, Naibu Mawaziri na watendaji wote Serikalini.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

126

Mheshimiwa Naibu Spika, natoa shukrani hizi kwasababu kulikuwa na mambo magumu sana yalikuwahayafanyiki, lakini sasa yanafanyika. Nashukru sana kwa timuhiyo kufanya kazi toka walivyoingia madarakani pamoja naTANROADS. Barabara za Halmashauri ya Mji wa Mbulu zilikuwahazipitiki nyakati nyingi za mvua na akina mama walikuwawanapata shida. Kwa sasa ni miaka mitatu barabara hizozinapitika nyakati zote pamoja na mvua hizi ambazozinanyesha za mwezi wa Nne hadi wa mwezi wa Sita; na nihistoria kubwa kwa nchi yetu.

Mheshimiwa Naibu Spika, pia kulikuwa na daraja laMagara. Natoa shukrani za dhati kwa Katibu Mkuu ambayesasa ni Katibu Mkuu wa Wizara ya TAMISEMI. Daraja la Magarani daraja lenye upana wa mita 84, siyo rahisi ingejengwa kwasababu mbele ya hilo daraja kuna mlima ambapo weweMheshimiwa Naibu Spika, ulipita, mlima wenye kona 130,haupo Tanzania nzima kwa maeneo ambayo nimetembea,lakini leo hilo daraja linajengwa liko katika hatua za mwisho.Naishukuru sana Serikali, nasema ahsanteni sana.

Mheshimiwa Naibu Spika, ule mlima uliokuwaumepanda siku ile ulipokuja Mbulu, sasa karibu robo yake auasilimia 30 ya mlima una zege. Kwa hiyo, usiposhukuru wakatifulani utaonekana na wewe huna shukrani na hutambuijitihada za Serikali.

Mheshimiwa Naibu Spika, vile vile mnara uliojengwakatika Tarafa ya Nambis ambako wamehangaika sanaWabunge wenzangu waliotangulia, lakini Tarafa hiyo ambayondiyo asisi ya kabila letu kule Nambis, sasa hivi kuna Halotelwananchi wanawasiliana. Naishukuru kwa dhati sana Serikaliya Awamu ya Tano pamoja na maboresho yoyoteyaliyofanyika katika Mji wa Mbulu hadi sasa yanayoendelea.

Mheshimiwa Naibu Spika, nije sasa kumshukuru sanaMheshimiwa Waziri, Mheshimiwa Eng. Kamwelwe. UtakuwaWaziri wa kwanza kuweka historia katika Halmashauri ya Mjiwa Mbulu kwa kilometa hizo 50 unazofikiri za kutoka Mbulukwenda Haydom.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

127

Mheshimiwa Naibu Spika, hatuna namna nyingine.Jimbo la Mbuli Mjini tunapakana na Jimbo la Karatu,tunapakana na Jimbo la Babati, tunapakana pia wakatifulani na Jimbo la Vijijini, lakini eneo hilo la kilometa kama389 inayozungumzwa, eneo letu ndiyo tuko katikatitumezengukwa na ukanda wa Bonde la Ufa ambako hakunanjia nyingine zaidi kutokea Haydom kuja Mbulu ama kutokeaKaratu - Mto wa Mbu kuja Mbulu. Kwa hiyo basi, hizo kilometa50 ni muhimu sana, ni za thamani. Mheshimiwa Waziritunakushukuru kwa mpango wako unavyofikiri wa hata hizokilometa 50 ili baadaye tuunganishwe kutoka Karatu mpakakule Shinyanga kutokana na umbali huu kupunguzwa kwaawamu kwa sababu ya uwezo wa Serikali yetu.

Mheshimiwa Naibu Spika, niseme ninaishukuru piaSerikali na ninaiomba isibadilishe mpango wake huu wausanifu wa barabara ya Mbuyu wa Mjerumani – Magara –Mbulu ambapo barabara hiyo inaunganisha Mji maarufu waArusha, lakini pia inaunganisha Makao Makuu ya Mji wetuwa Babati. Kwa hiyo, ni shukrani pekee tunazitoa, lakini piatunaomba mpango huu uzingatiwe.

Mheshimiwa Naibu Spika, ninawaomba sana Wizarahii pia iangalie utaratibu wa kuweka minara ile iliyopangakatika bajeti ya mwaka huu unaoisha Juni katika Tarafa yaNambis ambako tulipagiwa minara. Basi tunamwombaMheshimiwa Waziri na timu yake utekelezaji wa ile minaraufanyike.

Mheshimiwa Naibu Spika, pia tunaomba watutumiewataalam wa viwanja vya ndege kwani Mkoa wa Manyarahauna uwanja wa ndege, kwa sababu sisi tulio juu ya bondela ufa kwa maaana ya Mji wa Mbulu huwa usafiri wetu wadharura ni mgumu. Kwa hiyo, hata tukipata uwanja wandege kule Babati, Manyara utasaidia kuunganisha mkoawetu na mikoa mingine ya nchi kwa kadri ambavyoitawezekakana.

Mheshimiwa Naibu Spika, hatua hii ni kubwa, ukisomakitabu cha bajeti kwa kadri ambavyo fedha hizi kidogo

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

128

kidogo ambazo zimewekwa ili kutatua changamoto zilizoko,zipo jitihada kubwa zimefanyika katika kila Wizara katikaJimbo la Mbulu Mjini ndiyo maana wakati fulani nanyamaza,nasema nitoe tu salama za shukrani lakini zaidi kuomba ombaSerikali ihakikishe basi ni kwa namna gani hatua hiiinayokusudiwa ya barabara hizi za Dongobeshi - Daredakupata usanifu na Mbulu - Magara - Mbuyuni kupata usanifu,lakini na hizo kilomita 50 za kwenda Haydom, ambapoitakuwa imepunguza, tutakuwa na kipande cha Mbulukwenda Karatu na kipande Haydom kwenda Shinyanga.

Mheshimiwa Naibu Spika, namwomba MheshimiwaWaziri, eneo hilo ni muhimu sana, naona anasemeshwa, lakinihili ni ombi kwa niaba ya Serikali na nasema Waziri huyu nimsikivu atakuwa ameweka historia, barabara hiyo inawezaikaitwa kwa jina lake, ikaitwa Kamwelwe Road kwa sababuilikuwa haipo, haipatikani, sasa angalau kuna dalil i,tunaishukuru Serikali na tunamshukuru na Rais. NaombaMheshimiwa Waziri afanye ziara alikataa kupita Magara,alisema kona hizo ni nyingi anaogopa, akapita Karatu, safarihii akija apite Magara ili aone huo mlima tunaoulalamikia nahiyo barabara ya Magara ilivyo ngumu na Wanambuluwakiililia wakati wote.

Mheshimiwa Naibu Spika, naishukuru sana Serikali nanaunga mkono hoja kwa asilimia mia moja. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa JosephMhagama, atafuatiwa na Mheshimiwa Mahmoud Mgimwana Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyoka ajiandae.

MHE. JOSEPH K. MHAGAMA: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante kwa kunipa nafasi ya kuchangia katika hotuba yaMheshimiwa Waziri wa Ujenzi. Kwanza kabisa nimshukuru sanaMheshimiwa Waziri pamoja na Manaibu Waziri wote wawilikwa ushirikiano ambao wanatupa wananchi wa Madabakwenye masuala yote ya barabara na mawasiliano na nitoesalam za pekee kutoka kwa wananchi wa Ifinga ambaotangu nchi hii ipate uhuru hawakuwa na mawasiliano kabisa,walikuwa wanasafiri zaidi ya kilomita 30 kwenda kupiga simu,

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

129

lakini sasa tatizo hilo limekwisha, tunawashukuru sana. Piawatu wa Madaba wanamkumbuka sana Mheshimiwa Waziri,alianza utumishi Madaba na leo ameshirikiria Wizara muhimusana katika Taifa letu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ukiifuatilia historia yaMadaba utagundua kwa nini ina matatizo makubwa yabarabara, Madaba ilikuwa ndani ya Halmashauri ya Wilayaya Songea miaka minne iliyopita. Katika kipindi hicho,barabara ambayo ilikuwa inahudumiwa na Serikali kwakupitia fedha za halmashauri ilikuwa kilometa 48 tu na sasaMadaba ni Halmashauri ya Wilaya na ni Jimbo na kilometazinazohitaji kuhudumiwa kwa maana ya mtandao wabarabara Madaba umefikia kilomita 642. Mpaka sasa bajetitunayopata Madaba kwa kupitia TARURA ni ya kilometa 48tu, haizidi shilingi milioni 400.16. Madhara yake barabaranyingi za Madaba ni mbovu hazifai na hazipitiki katika kipindicha masika na hata kiangazi bado kuna makorongo mengi.

Mheshimiwa Naibu Spika, zipo barabara za kimkakatiambazo naamini Mheshimiwa Waziri tumeanza kuzungumzakwenye vikao vyetu ambavyo siyo rasmi na yeye, lakini hapanaongea mbele ya Bunge hili Tukufu kumwomba akubalikupokea baadhi ya barabara zitoke TARURA ziendeTANROADS. Moja katika barabara hizi ni hii barabara yakutoka Wino kwenda Matumbi – Ifinga. Barabara hiiinaunganisha Mkoa wa Ruvuma na Mkoa wa Morogoro nabarabara hii ndiyo barabara ambayo itachangia sanakwenye kuipata Tanzania ya viwanda.

Mheshimiwa Naibu Spika, hivi ninavyozungumza hektaza ardhi zimewekeza kule kwa ajili ya kilimo cha miti na mudasi mrefu kama Mheshimiwa Waziri atatusaidia, hawa watanizangu wa Iringa tutawapita kiuchumi. Uchumi wetuutafafana na uchumi unaouona Mafinga leo kwa kutokanana miti, lakini kinachotuangusha ni hii barabara. Hii nibarabara ya kimkakati, ni barabara yenye uchumi mkubwasana. Barabara hii ina urefu wa kilomita 57, pia inaunganishana mbuga ya Selou ambako tayari kuna vitalu ambavyowawekezaji wamewekeza kwenye kuwinda na kwenye utalii.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

130

Kwa hiyo ina mchango mkubwa sana kwenye uchumi nahatuwezi wana Madaba kushiriki kwenye uchumi wa viwandakama barabara hii Mheshimiwa Waziri hatakubali kuipokea.Namwomba sana kwa niaba ya wananchi wa Ifinga akubalikuichukua barabara hii iende TANROADS ili ijengwe kwenyeviwango tunavyovitaka na matokeo yake ni uchumi ambaoutatokana na kazi kumbwa inayofanyika katika maeneo yale.

Mheshimiwa Naibu Spika, pili, ukiangalia kwenyekitabu cha Mheshimiwa Waziri aghalabu utakuta mahalipameandikwa Madaba, najua kwa sababu labda Madababarabara zake ni fupi na ni barabara ambazo wanadhaniTARURA itazikamilisha, lakini kiuhalisia sivyo hivyo, TARURAhawana fedha za kuweza kumaliza zile barabara.

Mheshimiwa Naibu Spika, tunayo barabara nyingineya kimkakati inayounganisha Madaba na Njombe kwakupitia Kijiji cha Maweso na kama Mheshimiwa Waziri alifanyakazi Madaba wakati ule, ili uje Dar es Salaam ilikuwa unapitaMaweso unaenda Mikongo unatokea Kifanya unakwendaNjombe, ile barabara ya zamani, barabara kubwa ya kutokaDar es Salaam kwenda Madaba, kwa sasa unaweza kwendamwisho Maweso, baada ya pale huwezi kuendelea na ilebarabara. Namwomba Mheshimiwa Waziri barabara hii piaaichukuwe kwa maana ya Mfuko wa TANROADS aihudumieili kukuza uchumi wa wananchi wa Madaba na wananchiwa Maweso, lakini wananchi wa Njombe kwa sababu hilondilo eneo kubwa ambalo lina ardhi kubwa ya uzalishaji, lakinipia lina matukio ya kihistoria. Barabara hii ina kumbukumbuza kudumu za mashujaa wa vita ya Uganda…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mhagama muda wakoumekwisha.

MHE. JOSEPH K. MHAGAMA: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana na naunga mkono hoja. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

131

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa MahmoudMgimwa atafuatiwa na Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyokana Mheshimiwa Maftaha Nachuma ajiandae.

MHE. MAHMOUD H. MGIMWA: Mheshimiwa NaibuSpika, nakushurkuru sana kwa kunipa nafasi. Pia naombanichukue fursa hii kumpongeza sana Waziri, MheshimiwaKamwelwe; Naibu Waziri, Mheshimiwa Nditiye pamoja namtani wangu kwa kazi nzuri wanayoifanya katika Wizara hiiya miundombinu. Vile vile naomba nichukue fursa hii kusemakwamba naungana na taarifa ya Kamati, taarifa ya Kamatiimekuwa nzuri.

Mheshimiwa Naibu Spika, miongoni mwa maoni yaKamati, imeelekeza kwa Serikali na Wizara kwamba umefikawakati kuwe kunatengwa bajeti ya kujenga barabara kwakiwango cha lami kwa barabara zinazounganisha mkoa namkoa. Katika Jimbo la Mufindi Kaskazini nina barabara kubwatatu; barabara ya kwanza inaanzia Kinyanambo C, Itimbompaka Kihansi.

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara hii ni muhimu sanakwa uchumi wa Wilaya ya Mufindi, ndiyo kwenye bwawa laKihansi ambalo linatoa umeme megawatt 180, lakini chakusikitisha barabara hii haina hata kilometa moja ya lami.Pia barabara hii inaunganisha Mkoa wa Iringa na Mkoa waMorogoro kwa maana ya Wilaya ya Mufindi na Wilaya yaKilombero, sasa ufike wakati Serikali ione kuna haja yakupeleka barabara ya lami kwenye eneo hili ambako kunaumeme wa uhakika na siyo umeme tu, hata eneo mkubwawa msitu wa Sao Hill liko katika Tarafa ya Kibengu. Kwa hiyo,uchumi mkubwa katika Jimbo la Mufindi Kaskazini unalalakatika barabara hii.

Mheshimiwa Naibu Spika, eneo la pili ni eneo labarabara kutoka Kinyanambo A, Isalavanu, Igombavanu,Sadani mpaka Ludewa, barabara hii ina kilomita za mraba151. Katika Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2005,sisi CCM tulisema barabara hii itajengwa kwa kiwango chalami, tukarudia 2010 na tukarudia 2015 -2020, lakini cha

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

132

kusikitisha hakuna hata kilomita moja ya lami iliyojengwakatika eneo hili. Kwa hiyo, namwomba sana MheshimiwaWaziri atakapokuwa anahitimisha aje hapa atueleze sababuzipi zinapeleka barabara hii isijengwe kwa kiwango cha lami.Mwaka 2009 ilifanyika tathmini ya kuangalia zile nyumba zoteambazo ziko kando kando ya barabara ambazo mpaka leowananchi wamekaa mkao wa kula lakini miaka kumi imepita,hakuna hata mwananchi moja aliyelipwa fidia. Kwa hiyo,Mheshimiwa Waziri atakapokuja kuhitimisha atatuambia walewatu waendelee kusubiri au kuna utaratibu mwingine ambaoSerikali imejipanga kuhakikisha watu wanalipwa fidia?(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara nyingine ambayoni barabara muhimu inaunganisha tena Mkoa wa Iringa naMkoa wa Morogoro, ni barabara inayoanzia Kijiji cha Mtili,Ifwagi, Mdabulo, Ihanu, Isipii mpaka TAZARA mpaka Mlimba.Barabara hii ina kilometa za mraba 136, lakini barabara hiihaipitiki kabisa, ni tatizo katika Jimbo la Mufindi Kaskazini.Kwenye barabara hii nako kuna uchumi mkubwa, kunabwawa ambalo linatoa umeme megawatt saba, barabarahii kuna uchumi wa chai, uchumi wa msitu na uchumi wapareto, lakini barabara haipitiki kabisa. Sasa ni vyema Serikaliikaona kwamba kuna haja barabara hii kuihamisha kutokaTARURA kuipeleka TANROADS.

Mheshimiwa Naibu Spika, TARURA hawana uwezohata wa kutengeneza kilomita 20 kwenye barabara hii. Kwahiyo hali imekuwa mbaya, hivyo, namwomba sanaMheshimiwa Waziri alione hili. Mheshimiwa Rais alipokuwaWaziri wa Miundombinu alikuwa ameshaanza mkakati wakutaka kuihamisha barabara hii kuipeleka TANROADS, lakinihilo zoezi limekufa ghafla na sielewi tatizo liko wapi.

Vilevile Mheshimiwa Rais alipokuwa amekuja paleMufindi aliahidi kwamba atahakikisha yale maeneo yenyeutata kama barabara hii inachukuliwa na kuwa yaTANROADS. Kwa hiyo namwomba sana Mheshimiwa Waziriatakapokuwaa anahitimisha atuambie anatusaidiaje watuwa Mufindi ili tuendelee kuwa na uchumi uliokuwa imara.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

133

Mheshimiwa Naibu Spika, eneo la pili ambalo natakakulizungumzia ni eneo la mawasiliano. Katika Jimbo la MufindiKaskazini kuna matatizo ya mawasiliano katika Kata tatu aunne hivi; ya kwanza Kata ya Ikweha hakuna mawasilianokabisa; pili Kata ya Mapanda hakuna mawasiliano kabisa;tatu Kata ya Ihanu; na nne Kata ya Mpangatazara.Tumekuwa tunauliza maswali mara kwa mara hapa naWaheshimiwa Manaibu Waziri wameniahidi mara nyingikwamba watakuja kutembelea na kuja kuangalia matatizoya mawasiliano katika hayo maeneo, lakini mpaka leohawajafika. Sasa nataka wanapohitimisha hapawanihakikishie mbele ya Bunge lako Tukufu, ni lini watakujakwenye maeneo haya kusudi waweze kujua matatizo yamawasiliano katika maeneo haya...

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa, Kengele yapili imeshagonga.

MBUNGE FULANI: Sijui wanaweka dakika tatu yaanihii kengele.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyokaatafuatiwa na Mheshimiwa Maftaha Nachuma naMheshimiwa Pascal Haonga ajiandae.

MHE. NAGHENJWA L. KABOYOKA: Mheshimiwa NaibuSpika, ahsante sana kwa kunipa nafasi hii ya kuchangiakidogo katika Wizara hii ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Mheshimiwa Naibu Spika, kabla sijatoa mchangowangu kwa ujumla naomba tu nizungumze kidogo kuhususheria iliyounda mawakala ikiwepo TANROADS maananitazamia kwenye TANROADS. Kifungu namba 12(2)(a) chaSheria ya Wakala wa Serikali Na. 30 ya mwaka 1997 kinatakawakala wote wafanye kazi kibiashara na mapato yaoyatoshe kulipia matumizi yao. Hii sheria imetekelezwa kwakiwango kidogo sana. Kwa mwaka 2015/2016, mapato ya

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

134

ndani ya mawakala wengi yalishuka kutoka asilimia 45 hadikufikia asilimia 16 mwaka 2020. Ni mawakala wachache tuwalioweza kujitegemea, lakini mawakala wengi ikiwemoTANROADS wametegemea Serikali kwa kiwango cha asilimia84.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa nataka Waziriatakapokuja kuhitimisha atueleze tatizo ni nini ambalolinafanya Wakala wa Barabara TANROADS wasiwezekujitegemea angalau kwa kiwango kikubwa. Kama tatizo nisharia, basi sheria iangaliwe upya, lakini kama si sheriatuambiwe tatizo ni nini. Pia TANROADS kwa mwaka uliopitaunaoishia Juni walikuwa na deni la bilioni 833 na kati ya hizobilioni 57 ni riba ambayo inatokana kutowalipa wakandarasikwa wakati. Tatizo hili siyo la TANROADS, ni Wizara ya Fedhaambayo imeshindwa kuwapelekea hela kwa wakati,matokeo yake TANROADS wanadaiwa na wakandarasi kiasikwamba ukiangalia riba ya bilioni 57 ni kubwa sana kiasiambacho ingeweza kutengeneza barabara nyingi. Kwa hiyo,niseme kwamba sisi tuiambie Serikali inakwamisha sanawakala hawa kufanya kazi, maana nia ya kuanzisha hawaWakala ni i l i kazi zetu ziende kwa tija, lakiniunapowakwamisha inapelekea kuonesha kwambamawakala hawa hawafanyi kazi.

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kusema hayo,naomba niingie kwenye hoja yangu ambayo naongea kwaniaba ya Wabunge watano kuhusu barabara ya Same -Kisiwani – Mkomazi. Barabara hii ambayo inatumiwa naMbunge wa Same Magharibi, Mheshimiwa Mathayo ambayopia inatumiwa na Mbunge wa Mkinga, MheshimiwaKitandula; Mheshimiwa Mnzava wa Korogwe Vij i j ini;Mheshimiwa Shangazi wa Mlalo na mimi mwenyewe. Nibarabara ambayo ina ti ja sana kwa Taifa kamaingetengenezwa kwa kiwango cha lami. Ni muda mrefu sanabarabara hii tumeipigia kelele, tangu nilipoingia mara yakwanza. Imeshafanyiwa upembuzi yakinifu mara tatu nampaka mara ya mwisho nimeongea na Engineer Mfugaleambaye anaheshimika Kitaifa na Kimataifa, akaniambiaalikuwa katika hatua ya mwisho ya kufanya design.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

135

Mheshimiwa Naibu Spika, cha ajabu barabara hiiimetengewa milioni 300 kwa kilomita moja. Sasa hebuangalia barabara ambayo inatumiwa na Wabunge watano,wanaume wanne na mwanamke mmoja; wa CCM wane nawa CHADEMA mmoja; Viongozi wa Kamati za Kudumu wawili,bado Waziri haoni umuhimu kwamba hii barabarainategemewa na wapiga kura wengi wanaotokana namajimbo haya matano.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kweli nasemabarabara yoyote ukiitengeneza, unaangalia kwamba inamanufaa gani kwanza kiuchumi because lazima kuwe nareturn to capital, return kwenye investment, hatutengenezibarabara tu kumfurahisha mtu, nimeshaona barabaranyingine inatengenezwa kutoka kata kwenda kata ikawekwalami na ukiangalia ina-produce nini pale, inabeba watuwangapi. Nasema na ndiyo maana nimesema niangalie hiisheria ya kuunda mawakala ili tujue, je, tunafanya kazikibiashara au tunafanya kazi kihasara? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, niombe, Tanzania tutokanena kufanya kazi kana kwamba sisi hatujali uchumi wetu, RaisMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli, anajali sana kwambanchi hii ipige hatua, tuingie nchi ya viwanda, ya uchumi wakati, lakini kwa mtindo huu unampa kabarabara kamojakadogo yaani kilomita moja unaangalia tija yake ni nini.

Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kusemaTANROADS wamejitahidi, lakini kuna barabarazimetengenezwa kwa kiwango cha kutisha kibaya mno,Kamati yangu ilitembelea barabara kutoka Dodoma kwendaIringa, ilikabidhiwa miaka minne iliyopita, inatisha na nafikiriniliona kama imetengewa tena hela. Sasa kama barabarazetu kwa muda mfupi inaharibika inarudi kuanziakutengeneza tena na hii iko katika Great North Road, lakiniimetengenezwa kwa kiwango cha chini kiasi kwambatunaonekana kwamba laissez-faire. Hivyo, nimwombeMheshimiwa Waziri tuangalie utengenezaji wa barabara zetu,ametoka kwenye Maji, ameletwa kwenye eneo lake la kujidaitunaomba aangalie sana wakandarasi alionao.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

136

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa kama barabara zetukwa muda mfupi zinaharibika inaanza kutengenezwa tenana hii iko katika Great North Road lakini imetengenezwakiwango cha chini kiasi kwamba tunaonekana Watanzaniani laissez-faire. Naomba Mheshimiwa Waziri tuangalieutengenezaji wa barabara zetu. Mheshimiwa Waziri umetokakwenye Wizara ya Maji umeletwa kwenye eneo lako la kujidai,tunaomba uangalie sana wakandarasi ulionao. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pia nimeona kule kwenyebarabara hii ninayozungumzia ya Same - Kisiwani - Mkomazimara nyingi inatengewa fedha ambayo mnaziita UpgradingDSD, labda mtanieleza maana yake, inatengewa hela lakinikila nikipita sijaona mahali ambapo pamefanyiwa upgradinghapo hapo hiyo DSD inatengewa hela. Kwa mfano, hiyoupgrading DSD shilingi milioni 175 na mwaka huu imetengewashil ingi milioni 200 lakini nikipita sioni mahalipalipotengenezwa. Labda baada ye utanielimisha maanaya haya maneno ni nini. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kibaya zaidi unpaved roadszinatengewa hela nyingi sana, shilingi milioni 848, mwaka janashilingi milioni mia nane sijui ishirini na ngapi, mwaka juzi shilingimilioni mia nane na kitu. Sasa najiuliza, hivi kwa nini upelekehela nyingi kwenye kuparura barabara wakati hela hizo hizoungeweza kusema uziongezee utengeneze barabara yakiwango cha lami? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kweli kuna mambomengi ya kutafakari, muda wetu wa kuongea ni mdogo lakininafikiri ifike mahali tufanye analysis kwamba hivi hizi barabaratunajenga kisiasa au tunajenga kiuchumi ili uchumi wetuupande? Tukijenga kiuchumi tutapata pesa kutokana nakusafirisha mazao ya kilimo na kusaidia sekta nyingine kamaza afya na maji. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara hii ambayonairudiarudia imechezewa kwa muda mrefu sana. Najuahaitengenezwi kwa kiwango cha lami, maana ni rahisi ku-trace lami inatengenezwaje lakini mkandarasi anapopita

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

137

anaiparura tu barabara hii kwa miaka yote na kila mwakashilingi milioni mia nane arobaini na kitu, kwa kweli nafikirikuna aina ya ufisadi ndani yake.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba Waziriatakapojumuisha anieleze kwa nini barabara hii mojainawekewa pesa nyingi kwenye unpaved road? I do not knowutaita unpaved nini lakini kwenye laki unaweka kilomita 1,kwenye ku-upgrade unaweka nusu kilomita lakini kwa shilingimilioni 200, maana yake ni nini? Mimi napenda nijue hayayote na hii pia ingetusaidia kuangalia kwa nini barabara hiiya Same, Same ina-control 39% ya Mkoa wetu wa Kilimanjarolakini ndiyo wilaya maskini kuliko wilaya zote za mkoa ule.Kwa hiyo, naomba barabara hii iangaliwe kwani Sameingesaidiwa ina sehemu kubwa ya ku-expand socialeconomically hasa kwa upande wa kilimo lakini Same hiihiindiyo imewekwa pembezoni …

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Muda wako umekwisha Mheshimiwa,kengele ya pili imeshagonga.

MHE. NAGHENJWA L. KABOYOKA: Mheshimiwa NaibuSpika, ahsante.

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Tunaendelea naMheshimiwa Maftaha Nachuma atafuatiwa na MheshimiwaPaschal Haonga. Mheshimiwa Paschal Haonga ana dakikasita atafuatiwa na Mheshimiwa Edwin Sannda

MHE. MAFTAHA A. NACHUMA: Ahsante MheshimiwaNaibu Spika, naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijalia afya njema nami niweze kuchangia Wizara hii yaUchukuzi na Mawasiliano.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuanza tu kwanzaniseme kwa moyo wa dhati kabisa kwamba miundombinuni jambo ambalo nchi za wenzetu, nchi zote za Ulaya na kule

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

138

Marekani watumwa walipelekwa nchi hizi kwa ajili ya kwendakujenga miundombinu. Leo hii nchi za Ulaya na Amerikazimeweza kuendelea kwa sababu ya miundombinu.

Mheshimiwa Naibu Spika, mimi nieleze kwamba kwakasi hii ambayo tunaiona ya ujenzi wa miundombinuTanzania, Wizara hii imefanya kazi kubwa sana. Jambo lakipekee ambalo naweza kuzungumza pamoja na kwambakuna miradi mingi sana sasa hivi imeanzishwa katika baadhiya maeneo ya nchi yetu na ni imani yangu kwamba baadaya miaka 10, 15 Tanzania tutafikia ule uchumi wa kati 2025na kuendelea huko kama kasi ya miundombinu itaenda hivihivi kama ilivyo hivi sasa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nizungumzie suala ambalowenzangu wamezungumza na hasa taarifa ya Kamatiimezungumzia kwa kina sana kwamba ili tuweze kuendeleahivi sasa na hata nchi za wenzetu kama nilivyotanguliakusema waliwekeza kwenye miundombinu na hasamiundombinu ya reli. Kwa muda mrefu imekuwaikizungumzwa takriban miaka mitatu hivi sasa kila mwakakatika vitabu vya bajeti inatajwa Reli ya Kati (StandardGauge) ambayo hii inajengwa lakini Reli ya Kanda yaKaskazini na Kanda ya Kusini.

Mheshimiwa Naibu Spika, Reli ya Kanda ya Kusini nimuhimu sana kiuchumi kwa sababu reli hii itaanzia MtwaraMjini kuelekea Mchuchuma na Liganga ambako kuna makaaya mawe na chuma. Hii reli kwa taarifa tulizokuwa nazompaka hivi sasa kwa sababu Serikali imejipanga kwendakujenga kwa kutumia mfumo wa PPP (Public PrivatePartnership) na kuna wawekezaji wengi wameamuakujitokeza kuwekeza kwenye hii reli, mimi niishauri Serikali isiwena kigugumizi cha ujenzi wa hii reli kwa sababu economicviability yake ni kubwa sana kuliko reli zote Tanzania.

Tunaomba Serikali itenge fedha za kutosha isiwe kilamwaka tunaelezwa kwamba upembuzi yakinifu umekamilika,pesa tunaenda kuzitoa sijui wapi, wapewe hawa wawekezajiambao wako tayari kuwekeza katika hii Reli ya Kusini. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

139

Mheshimiwa Naibu Spika, reli hii ikijengwa maanayake tunaenda kufufua ule mpango unaoitwa SouthernDevelopment Corridor yaani Maendeleo ya ule Ukanda waKusini. Tunaamini reli hii ikiisha kutokea Bandari ya MtwaraMjini tutaenda kufufua uchumi na hata nchi zote za Ukandawa Kusini watatumia reli hii. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, naomba sanakwa sababu Serikali imeweka kwenye mpango kwa mudamrefu kazi iliyobaki ni kutekeleza. Tunahitaji Reli ya Kusini nahata taarifa ya Kamati imeeleza kwa kina sana kwamba relihii inaenda kuleta uchumi mkubwa ndani ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania wananchi waweze kuondokana naumaskini. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, jambo lingine ambalonaomba kuzungumza ni suala hili la usafiri katika bahari zetu.Serikali imekuwa na kizungumkuti, siku zote Serikali haiwekezikwenye uwekezaji wa meli katika Bahari ya Hindi.

Mheshimiwa Naibu Spika, miaka ya nyuma wakati situnakua, sisi tunaishi kule Pwani Mtwara, tulikuwa tunatumiasana usafiri wa meli kutoka Mtwara kuelekea Dar es Salaamna maeneo mengine mpaka kule Zanzibar. Kama kwelitunahitaji kufufua uchumi wa Tanzania tusiwekeze kwenyekujenga tu barabara hizi tununue meli. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, leo hii tunazungumziauwekezaji, kuna ile taasisi ya Serikali inaitwa Marine Serviceambayo inajenga meli katika Maziwa Makuu. Neno marinemaana yake ni bahari, kwa hiyo, nashauri sana Serikali inunuemeli kwa ajili ya kusafirisha cement kutoka pale Mtwara,Mheshimiwa Dangote anatumia magari kusafirisha kwa njiaya barabara ya Kilwa na inaharibika sana. Kama Serikaliingenunua meli au ingewekeza kwenye meli usafiri wa melini rahisi kuliko usafiri wowote duniani.

Mheshimiwa Naibu Spika, kule hakuna kutengenezabarabara, maji Mwenyezi Mungu kayaweka, kazi ya Serikalini kusafirisha tu. Kwa hiyo, cheapest transport duniani ni usafiri

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

140

wa meli, kwamba Serikali ikiwekeza kwenye meli tunaaminikabisa barabara zetu za Ukanda ule wa Kusini hazitaharibikakwa malori makubwa makubwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, jambo lingine naomba sanaMtwara Mjini baadhi ya maeneo hakuna mawasiliano yasimu. Nimekuwa nazungumza kwa muda mrefu nanilimwandikia Naibu Waziri, Mheshimiwa Nditiye ananisikia,nilimweleza kwamba kuna maeneo ya Mtwara Mjini ambapohakuna mawasiliano ya simu yaani ukifika kule mawasilianohakuna. Maeneo kama ya Mkunja Nguo, Naulongo,Mkandala, Dimbuzi na Mwenge mawasiliano ya simu kulehayapo.

Mheshimiwa Naibu Spika, nilimwambia MheshimiwaNditiye kwamba tunahitaji awekeze ili watu wa Mtwarawaweze kupata mawasiliano ya simu kwenye maeneo haya.Baadhi ya maeneo ya pembezoni ya Mtwara Mjini tunahitajiminara ya simu ili wananchi waweze kuwasiliana.

Mheshimiwa Naibu Spika, jambo la mwisho, tunahitajihizi ndege ambazo Serikali imeamua kununua za ATC zifikeMtwara. Taarifa tunazoambiwa kwamba Mtwara hakunaabiria si kweli, Precision kila siku asubuhi wanakuja Mtwarana kurudi na wanajaza iweje leo ATC wanatuambia kwambaeti Mtwara hakuna abiria. Sisi tunahitaji hizi ndege kwasababu ni za bei nafuu, kazi yake ni kutoa huduma kwawananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wana-Mtwara tunahitaji ndege hizi tuweze kuzipanda. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, jambo lingine ambalonataka kulizungumzia ni ucheleweshaji wa miradi. Ni kwelikuna kasi kubwa ya uanzishwaji wa miradi ya barabara lakiniwakandarasi wanacheleweshwa sana kupewa fedha zao.Kwa mfano, barabara ile ya uchumi ambayo inaanzia paleMtwara Mjini – Mnivata - Tandahimba mwaka huu nimeonakwenye kitabu hapa kwamba zimeongezwa kilomita zingine50 lakini hiyo kilometa 50 kutoka Mtwara Mjini - Mnivatazinasuasua sana kwa sababu yule mkandarasi hapati pesakwa wakati. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

141

Mheshimiwa Naibu Spika, nimwombe MheshimiwaWaziri, alikuwa anafanya kazi kubwa sana akiwa kwenyeWizara ya Maji Mheshimiwa Nditiye, Mheshimiwa Kwandikwarafiki yangu kabisa na amekitembelea kipande kile chakutoka Mtwara Mjini – Mnivata mkandarasi anasuasua fedhahapati kwa wakati. Naomba mumpe fedha kile kipande chabarabara kiweze kuisha na kipande kuanzia Mnivata -Tandahimba na maeneo mengine yale tunaomba mwakahuu fedha zitoke kwa wakati yule mkandarasi aweze kumalizaili na sisi barabara hii tuweze kuitumia. Hii barabara ndiyochanzo kikuu cha uchumi, korosho zote zinapita kwenyebarabara hii kutokea Tandahimba - Mtwara Mjini palebandarini. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara nyingine nibarabara ya ulinzi ambayo nimekuwa naizungumzia kwamuda mrefu ambayo inaanzia Mtwara Mjini – Tangazo –Mahurunga – Kitaya - Kiromba na ukanda ule wote mpakaMozambique. Barabara hii ni muhimu sana kwa sababu ndiyochanzo cha ulinzi wa Ukanda ule wa Kusini naomba nayoipewe kipaumbele. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Tunaendelea naMheshimiwa Paschal Haonga, dakika sita atafuatiwa naMheshimiwa Edwin Sannda, Mheshimiwa Hasna Mwilimaajiandae.

MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru sana kwa kunipa nafasi ili na mimi niwezekuchangia hotuba hii ya Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi naMawasiliano.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nianze nabarabara zangu za Jimboni lakini na zile zinazounganishamkoa na mkoa. Barabara inayounganisha mkoa mmoja namwingine hili ni suala la kisera ambapo sera inatakazitengenezwe kwa kiwango cha lami.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

142

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa masikitiko makubwasana na Mheshimiwa Silinde amezungumza lakini pia yukoMbunge hapa wa Kwela amezungumza na nimekuwanikizungumza mara kwa mara, kuna barabara hii ya kutokapale Mloo - Kamsamba, Mloo kwa maana Jimbo la Mbozi,Mkoa wa Songwe kwenda Kamsamba, Wilaya ya Mombalakini pia kwenda Kwela, Mkoa wa Rukwa lakini pia kwendasehemu moja hivi inaitwa Kasansa hadi Kibaoni kwa maanaya Mkoa wa Katavi. Barabara hii inaunganisha karibu mikoamitatu ya Songwe, Rukwa na Katavi na ni muhimu sana.

Mheshimiwa Naibu Spika, bajeti iliyopita walitengafedha kwa ajili ya upembuzi yakinifu naona safari hii tenawametenga fedha kwa ajili ya upembuzi yakinifu, sasa huuupembuzi yakinifu hatujui mwisho ni lini kwa sababu miakayote sasa wanatenga fedha kwa ajili ya upembuzi yakinifu.Barabara hii kwa sababu ya umuhimu wake, tulitegemeakwamba Serikali ingekuwa sasa imeshaanza kujenga hiibarabara kwa kiwango cha lami kwa sababu tayari Darajala Kamsamba lilishaisha.

Mheshimiwa Naibu Spika, eneo hil i ambalonalizungumza mazao yote yanayoingizia pato kubwa Taifakama kahawa, mpunga, kwa maana ya mchele lakini piaujumlishe mazao kama ufuta, alizeti na mazao menginemengi sana ya misitu na kadhalika yanatoka kwenye eneohilo.

Kwa hiyo, kutengeneza barabara hii kwa kiwangocha lami maana yake inaenda kuongeza kipato cha Mikoaya Songwe, Rukwa, Katavi lakini pia pato la Taifa kwa ujumla.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, ili MheshimiwaWaziri kuacha alama Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, nadhanini kuhakikisha kwamba barabara hii inatengenezwa kwakiwango cha lami. Hakuna namna nyingine unawezaukafanya kuwaaminisha watu wa Kanda za Nyanda za JuuKusini kwamba kuna kazi imefanyika kama hii barabaraitabaki kama ilivyo. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

143

Mheshimiwa Naibu Spika, Mheshimiwa Pinda alijitahidisana barabara kutoka pale Tunduma - Sumbawanga,nadhani anaweza akajivunia. Sasa Mheshimiwa Waziri weweunatoka Katavi sijui utawaambia nini watu wa Katavi, Rukwana Songwe kwa sababu barabara hii ni muhimu sana.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, jambo lingine kunabarabara inayotoka Jimbo la Songwe kule kwa MheshimiwaMulugo kuna Kata inaitwa Magamba kuja Magamba yaMbozi, kwa sababu kuna Kata mbili za Magamba, Mbozi kunaMagamba lakini pia Songwe kuna Magamba, watu kutokaJimbo la Mheshimiwa Mulugo wanalazimika kupita Mbalizikwa maana Mkoa mwingine wa Mbeya wakati MakaoMakuu yako Mbozi pale ndani ya mkoa mmoja hakunabarabara inayounganisha kati ya wilaya ya Mbozi na wilayaya Songwe. Kwa hiyo, hili ni jambo ambalo kwa kweli Waziriatakapokuja hapa atuambie wanafanya nini kushughulikiachangamoto hii. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, jambo lingine naombanizungumze kuhusu suala la Wakala wa Ndege za Serikalikuhamishiwa Ofisi ya Rais Ikulu, Fungu 20. Naomba hapaSerikali iweze kuwa makini kusikiliza vizuri sana. Wakala huyuwa Ndege za Serikali kuhamishiwa Vote 20, ukiangaliamajukumu ya Wakala wa Ndege za Serikali, moja nikusimamia mikataba ya ukodishwaji wa ndege kwa kampuniya ndege ya Taifa.

Mheshimiwa Naibu Spika, mbili, kufanyamatengenezo na ununuzi wa vipuli vya ndege za Serikali. LeoIkulu inaenda kusimamia ununuzi wa vipuli vya ndege halafuhaitakaguliwa imenunua vipuli wapi na kwa gharama ganihamna atakayekagua kwa sababu Vote 20 haikaguliwi.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini pia kufanyamatengenezo kwa maana kufanya ukarabati wa karakanaya ndege za Serikali. Yaani leo watafanya ukarabati wakarakana za Serikali maana yake hawatakaguliwa…

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

144

T A A R I F A

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Mheshimiwa NaibuSpika, taarifa.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Haonga, subiri kidogo kunataarifa kutoka kwa Mheshimiwa Waziri wa Fedha.

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Mheshimiwa NaibuSpika, ahsante sana. Naomba nimpe taarifa MheshimiwaMbunge anayezungumza hivi sasa kwamba Fungu 20 kamayalivyo mafungu mengine yote linakaguliwa na lina AuditorResident kutoka Ofisi ya CAG. Kwa hiyo, hakuna sababu kwanini Fungu hilo halikaguliwi, si kweli kwamba halikaguliwi.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Haonga unaipokea taarifahiyo?

MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Naibu Spika,anaposema Fungu 20 linakaguliwa, Wabunge mara kadhaahapa tumetaka watuambie, kwa mfano Vote 20 inahusu piasuala la bajeti yao ya Usalama wa Taifa, mbona Bungenihapa hatujawahi kuambiwa kwamba Usalama wa Taifawanakaguliwa kwa sababu nayo iko kwenye Vote 20.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, Fungu 20 maana yake hataCAG mwenyewe hatakagua na hatutajua nini kinafanyika.Bunge lako Tukufu halitajua fedha za walipa kodi, za wavujajasho, wauza michicha, wauza nyanya zinazoenda palekwenye ndege hamna atakayejua kwamba ni shilingi ngapizinaenda pale na zinafanya kazi gani. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini pia Waziri atuambiekwa sababu wanasema jukumu lingine la kitengo hicho nikulipia gharama za bima za ndege, hakuna atakayejua kwasababu ni kwenye Vote 20 ambayo haikaguliwi. Kwa hiyo,niseme tu kwamba Serikali katika vitu ambavyo wamebugi,kwa mfano, tunasema Serikali hii inafanya kazi na inajali kweli

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

145

kodi za Watanzania hii Wakala wa Ndege za Serikaliwasiipeleke kwenye Vote 20 ili Wabunge tuwe na uwezo wakuhoji, Watanzania wajue fedha zao zinafanya nini na mwishowa siku tujue kwamba tunasonga vipi mbele. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, hoja nyingine ni kuhususuala la TBA. TBA wanapewa miradi mingi sana.

T A A R I F A

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Mheshimiwa NaibuSpika, taarifa.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Haonga, naona Waziriamesimama tena.

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Mheshimiwa NaibuSpika, naomba tena nirudie na Watanzania wote wasikieFungu 20 linakaguliwa kama mafungu mengine. KamaMheshimiwa Mbunge anayezungumza anao ushahidikwamba Fungu 20 halikaguliwi alete ushahidi mbele ya Kitichako Mheshimiwa. Si kweli hata kidogo Fungu 20linakaguliwa. (Makofi)

MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Naibu Spika…

NAIBU SPIKA: Ngoja kidogo Mheshimiwa Haonga.

MHE. PASCAL Y. HAONGA: Sawa.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Haonga, ili tusizikoseeKanuni zetu nadhani umemsikia vizuri Mheshimiwa Wazirialiposimama mara mbili. Katika ule mchango wako kuhusukukaguliwa ama kutokukaguliwa kwa Vote 20 kwa maelezoya Mheshimiwa Waziri nadhani umeyaelewa na matakwaya Kanuni zetu pia unayafahamu.

Kwa hiyo, Mheshimiwa Haonga tunaombautunyooshe vizuri hayo maelezo yako kwa mujibu wa taarifaaliyoitoa Mheshimiwa Waziri.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

146

MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Naibu Spika,ninaomba niseme tu kwamba suala hil i la Fungu 20tunapozungumza kwamba halikaguliwi kwa mfano nisaidiekitu kimoja umeshawahi kusikia matumizi kwa mfano fedhazinazonda TIC kwa maana usalama wa taifa zikajadiliwahapa Bungeni.

MBUNGE FULANI: Taarifa.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa kaboyoka ngoja tulinyoshehili tunakupa fursa. Mheshimiwa Heche naomba unyamazenazungumza. Mheshimiwa Heche naomba ukaenazungumza, nazungumza naomba unyamaze MheshimiwaHeche, toka nje Mheshimiwa Heche naomba utoke njeMheshimiwa Haonga ongea halafu nitampa yeye fursaongea ulichokuwa unataka kuongea. Mheshimiwa Hechenaomba utoke nje ukiwa umeshapewa hiyo taarifa ya kutokanje usiende kuzungumza ukiwa humu ndani funga mlangonyuma yako ondoka. Mheshimiwa Haonga. (Makofi)

MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Naibu Spika,kwa kanuni zetu, kwa kanuni zetu tulizonazo Bungeni hapamtu anayesema anapotosha Mbunge ndio anayomamlakakwa maana ya nafasi yakuweza kuweza ukutuambiakwamba ushaidi ni huu kwa maana haikaguliwi. Ninajuakwamba hapa Bungeni haijawahi kuna kuba baadhi yavifungu havijawahi kuletwa hapa Bungeni kwa mfano kamasuala la taarifa hizi za TIC kwa maana ya usalama wa Taifahazijawahi kujadiliwa Bungeni hapa.

NAIBU SPIKA: Basi Mheshimiwa Kaboyoka.

MHE. NAGHENJWA L. KABOYOKA: Mheshimiwa NaibuSpika, nilitaka kama mwenyekiti wa PAC niweke taarifa vizuri,kwamba Fungu namba 20 linakaguliwa lakini hatujawahikulikagua halijawahi kaguliwa.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Waheshimwa Wabunge tusikilizaneMheshimiwa Haonga ulikuwa unapewa taarifa naMhehimiwa Kaboyoka unaipokea taarifa hiyo.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

147

MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Naibu Spika,naomba niipokee taarifa ya Mheshimiwa Kaboyoka hapana ninaomba niendelee baada ya kupokea.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, BUNGE,KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU: Mheshimiwa NaibuSpika, kuhusu utaratibu.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Jenista naomba ukaekidogo, naomba ukae kidogo nakupa fursa. MheshimiwaHaonga umesema unaipokea taarifa ya MheshimiwaKaboyoka?

MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Naibu Spika,nimesema kwamba baada ya Mheshimwa Kaboyoka kunipataarifa nimeipokea na taarifa ya Waziri pia nimeipokea lakinikwamba haijawahi kuletwa hapa kwa maana yahaijakaguliwa muda mrefu.

NAIBU SPIKA: Sawa naomba ukae tusikie kanuniinayovunjwa. Mheshimiwa Jenista Mhagama.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, BUNGE,KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU: Mheshimiwa NaibuSpika, kuhusu utaratibu nikwenda kanuni ya 64(1) ambayoinaenda sambamba na kanuni hiyo ndogo ya (1)(a)inayokwenda sambamba na kanuni ya 63. Unapotakakuzungumza Bungeni lazima uwe unasema ukweli naunakuwa na uhakika na kile unachokisema. MheshimiwaWaziri wa Fedha ametoa maelezo fasaha hapa, Vote 20inakaguliwa, na Vote 20 sio Vote ya Usalama wa Taifa.(Makofi)

Mheshimiwa Mbunge ameendelea kusisitiza kwambawakala wa ndege za Serikali kuwekwa kwenye vote 20tunakwenda kuficha jambo kwa sababu vote hiyohaikaguliwi. Jambo ambalo si kweli kwa maelekezo ambayotumepewa na Waziri wa Fedha. Mwenyekiti wa Kamati yaBunge ya PAC anasema vote inakaguliwa halafu akasema

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

148

wao hawajawahi kukagua lakini wao hawana mamlaka yaukaguzi wa vote hizo kwa mujibu wa sheria. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ninaomba MheshimiwaHaonga Mbunge anayechangia hoja hii afute kauli yake, nakama hataki kufuta kauli yake tunaomba alithibitishie Bungehili kama kweli ana ushahidi. Suala ukaguzi ni kazi ya CAG siosuala la Mbunge kuthibitisha kwama vote imekaguliwa auhaijakaguliwa.

Mheshimiwa Naibu Spika naomba kutoa hoja.(Makofi)

MBUNGE FULANI: Taarifa.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge naombatusikilizane, Mheshimiwa Jenista Mhagama amesimama kwamujibu wa Kanuni 64 ambayo inazungumza kuhusu mamboyasiyoruhusiwa Bungeni. Mheshimiwa Jenista ametoa hojayake akieleza kwamba mchango wa Mheshimiwa Haongakuhusu ukaguzi wa vote namba 20 namna alivyozungumzakwenye hoja yake ametoa taarifa ambayo haina ukweli.Lakini pia amezungumza kuhusu matakwa ya kanuni ya 63inayozungumza kuhusu kutokusema uwongo Bungeni.

Waheshimiwa Wabunge nadhani wote tumeonamjadala namna ulivyoenda kwanza Mheshimiwa Haongaalikuwa anasema wakala kuhamishiwa pale hatawezakukaguliwa na kwa hivyo Bunge halitaweza kupata taarifayoyote kuhusu jambo hilo.

Mheshimiwa Waziri wa Fedha akasimama kumpataarifa kwamba vote namba 20 inakaguliwa na yeyeakaulizwa kama anaipokea na yote yaliyofutwa baada yahapo nadhani sote tunafahamu alijibu vipi mwanzoni nabaadaye akapewa tena taarifa na Mheshimiwa Mwenyekitiwa Kamati ya Hesabu za Serikali. Baada ya mwenyekiti waKamati Hesabu za Serikali kumpa taarifa Mheshimiwa Haongakwamba vote 20 inakaguliwa isipokuwa Bunge halijawahi

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

149

kukagua ndio maneno Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu zaSerikali.

Mheshimiwa haonga akasema anaipokeaalipoulizwa kwa mujibu wa kanuni zetu alisema anapokeataarifa hiyo ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa kamati ya PAC.Lakini wakati huo huo akiwa anatoa maelezo yake kablasijampa fursa ya kuzungumza Mheshimiwa Jenista akasemapia anaipokea taarifa ya Mheshimiwa Waziri kuhusukukaguliwa kwa vote 20.

Mheshimiwa Jenista amesimama kuomba ufafanuzikwa sababu anaona kanuni ya 64 lakini pia kanuni ya 63imetumika katika matumizi ya maneno ya kutokukaguliwakwa vote 20 na kwa hiyo, Mheshimiwa Jenista anatakatutumie kanuni ya 64 na 63 tukimtaka Mheshimiwa Mbungeatumie uhuru wake uliyowekwa katika kanuni hizi mbili kufutakauli yake kuhusu kutokukaguliwa kwa vote namba 20 nakatika maelezo yake amesema kwamba kuhusu kukaguahiyo ni kazi ya Mkaguzi wetu wa Hesabu za Serikali na si Bunge.Kwa sababu Mbunge huletewa taarifa na CAG.

Kwa muktadha huo na kwa kuwa MheshimiwaHaonga alishaipokea taarifa ya Mheshimiwa NaghenjwaKaboyoka kwamba Vote 20 hata kama mwanzo alisemahakaguliwa sasa kwa kuwa alipokea taarifa amekiriinakaguliwa na pia akakubali maelezo ya Mheshimiwa Wazirikuhusu kukaguliwa. Sasa kuhusu mambo yanayofuata baadaya hapa yale yanayoletwa huku Bungeni PAC na LAACinafanya kazi baada CAG kuwaletea kinachokuwakimeshakaguliwa.

Kwa hiyo jambo lolote ambalo CAG hakulileta maanayake yeye ameona halipaswi kuletwa, kwa muktadha huomaneno aliyoyazungumza Mheshimiwa Haonga kuhusukukaguliwa ama kutokukaguliwa kwa Vote namba 20ameyanyosha hapa mwishoni kwamba anaikubali taarifa yaMheshimiwa Waziri lakini pia Mheshimiwa Mwenyekiti wakamati ya PAC. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

150

Wakati huo huo nitamtaka sasa kwa mujibu wa kanunizetu kuhusu hayo maelezo mengine ya taarifa kuweza kufikaama kutokufika yale sasa sio ya Bunge hili yale anatakiwaayafute kwa sababu hayakuwa sehemu ya taarifa aliyokuwaakipewa. Nadhani utakuwa umeelewa vizuri MheshimiwaHaonga. La kwanza la kuhusu ukaguzi ulilimaliza kwa maelezoyako ya mwisho, lakini lile la taarifa kufika hapa au kutokufikahilo ndio unatakiwa kuliondoa ili umalizie mchango wako.

MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Naibu Spika,ninaomba kwanza nishukuru sana kwa kuweka vizuri nionekwamba umesimamia kanuni vizuri na umeenda vizuri. Nisemekwamba cha msingi ni kwamba hapa nilijaribu kuliwekasawasawa kwamba hii inakaguliwa lakini tangu nimekuwaMbunge kwa miaka hii mingapi hii taarifa haijaletwa hapaBungeni kuhusu Vote 20 nadhani haijaletwa hapakukaguliwa. Lakini hili lingine ulivyoelekeza naona maagizoyako yachukuliwe kama yalivyo kwamba maagizo yakotumeshaweka sawasawa na ninaomba nichangie kitukingine kwenye hilo tumeshamaliza na ninaomba unisaidemuda wangu.

NAIBU SPIKA: Ngoja sasa nitakupa muda wakoumalizie. Kwa hiyo Waheshimiwa Wabunge kwa ajili yakuliweka sawasawa hili la Mheshimiwa haonga hoja yakwanza alishaikubali kwamba Vote namba 20 inakaguliwaile sehemu ya pili kuhusu kuleta taarifa hapa au kutokuletwataarifa huletwa na CAG, kama CAG hakuleta basi hakuonaumuhimu ama hatakiwi kuleta hilo. Na yeye kwa ajili yakupunguza matumizi ya muda amesema maelezo haya ndioambayo yanachukuliwa. Kwa hiyo, sehemu hiyo ya mchangowake inakuwa imeondolewa Mheshimiwa Haonga maliziamuda wako.

MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru sana naomba niendelee kama ambavyoumetaka niendelee. Kuhusu suala la TBA, mheshimiwa TBAwana miradi mingi ambayo wanapewa, wanamiradi mingikaribu miradi 90 wanapewa. Lakini cha ajabu TBAwanaopewa mradi mingi ya ujenzi, miradi mingi haikamiliki

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

151

kwa wakati. Na kama miradi haikamili kwa wakati tafsiri yakeni kwamba fedha za walipa kodi maana yake mwisho wasiku inakuwa zinatumika nyingi sana maana yakeunapochelewesha mradi gharama za mradi zinaongezeka,gharama ya mradi ikiongezeka anayeingia hasara niwatanzania wanaolipa kodi.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, nilikuwa naombaniseme tu kwamba hata kule kwetu Mkoa wa Songwe tunaofisi ya Mkoa wa Songwe zimeanza kujengwa muda mrefusana ni kama miaka minne sasa hizo ofisi zinajengwa na TBAhazijawahi kukamilika na ni muda mrefu mno.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa niomba MheshimiwaWaziri atakapokuja hapa atuambie ana mkakati gani wakuwapunguzia TBA miradi. Kusudi hii miradi wapewa wenginena kuwe na ufanisi wa miradi wanapomrundikia mtu mmojamiradi hii miradi, miradi haiwezi kufanyika kwa ufanisi. Nawakati huohuo fedha za watanzani zitakuwa zinapotea kwahiyo niombe Mheshimiwa Waziri utakapkuja hapa utuambiemna mikakati wa kuwapunguzia TBA miradi ili sasa nawengine waweze kupata miradi na mwisho wa siku iwezekufanyika kwa ufanisi na tuweze kupata ile value for money.

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa kengereimeshagonga shukrani. Ahsante sana Mheshimiwa EdwinSannda atafuatiwa na Mheshimiwa Hasna MlimwaMheshimiwa Godfrey Mgimwa ajiandae.

MHE. EDWIN M. SANNDA: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushuru kwanza kabisa nichukue fursa hii kuipongezaSerikali ya Awamu ya Tano chini ya Jemedari makini kabisaDkt. John Pombe Magufuli, kwa kazi nzuri sana ambayoimeendelea kuifanya na ama kwa hakika watanzaniatunaona mwanga mbele kule kwamba tunaona tunaendakuipata tanzania mpya. Na tanzania mpya kweliinawezekana chini ya Dkt. Magufuli.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

152

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini pia nimpongezeMheshimiwa Waziri na Manaibu wake wote wawili nduguyangu Mheshimiwa Kwandikwa na na mwenzanguMheshimiwa Engineer Nditiye nimpongeze katibu Mkuu waWizara hii architecture mwenzangu Mwakalinga lakinipamoja na watendaji wote pamoja na wakuu wa taasisi zotezilizopo chini ya Wizara hii. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, sambamba na pongezi zotehizo kwa kazi inayoendelea naomba nichangie mambomachache kama ifuatavyo:-

Kwanza kabisa nitapenda kuongelea barabara yetuya kutoka Dodoma kwenda Babati ambayo inapita palekwangu Kondoa Mjini ni barabara nzuri na ya viwangoambavyo havina shaka wakati mwingine unawezakuendesha mpaka unaweka ile cruise control sina hakikakatika nchi ya Tanzania ama na sehemu nyingine barabaranzuri kama ile unaipata wapi nawapongeza sana kwaviwango vizuri. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, hata hivyo karibu kidogonaunafika kondoa mjini lipo daraja moja linaitwa Msangalale.Daraja lile limekaa sehemu ambayo kama inamtego kidogokuna mlima halafu kuna kona kunamteremko wa hatari sanakumekuwa kukisabisha ajali nyingi, watu wamekufa, watuwengi sana wamepoteza maisha pale na wenginewamepata vilema. Sasa niliwahi kuzungumza siku mojakwenye RCC na ninamshukuru sana Engineer wa Mkoa waDodoma Eng.Leonard Chimagu alili-react haraka nawakafanya utaratibu wakweka alama za hatari lakini piawakweka tuta la kupunguza speed.

Mheshimiwa Naibu Spika, bahati mbaya eneolilipowekwa lile tuta na eneo ilipowekwa ile alama ni karibusana na lile daraja matokeo yake bado ajali zimeendeleanakuja mtu huko na spidi yake kwa sababu barabara ipotamu, anakuja na speed yake anaona alama hii hapa ghaflatuta, na tuta lenyewe bahati mbaya pia halina ubora wasahihi ukiligonga lile watu wanarukia mtoni. Mara kadhaa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

153

malori yamedondoka na mara kadhaa gari ndogozimedonga na zimesabisha kupoteza maisha kwa wapita njiapale. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, Sasa basi ushauri wangu ninini, alama zisogeze nyuma na ninaomba sana Wizarailizingatie na kulifuatilia hili, alama isogezwe nyumba na lilebampu lilekebishwe vile viwango vyake vilivyoweka lisiwe lakustukiza wakati mwingine linaharibu hata gari. Halafu kablaya bampu huwa kunakuwa wanaita kama rasta hivi zisogeenyuma kidogo takribani viwango ninyi mnavijua na ninaaminisuala hili kadri nilivyolieleza mtaweza kulirekebisha kwaupande kama unatoka Dodoma na kwa upande kamaunatoka Kondoa sehemu zote mbili alama za hatari ziwekwembali ile kona imekaa vibaya sana hilo ni moja.

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini jambo la pili kwaupande wa barabara nataka niongelee barabarainaoyounganisha Kondoa kwenda mpaka Kateshi mmtengabilioni 50 kwa ajili ya barabara ya Munguri lakini hapa KondoaMjini lipo daraja la mto mkondoa si daraja kuna daraja dogoambalo sio la barabara ya TANROADS maximum ni tani 10malori makubwa hayawezi kupita ili barabara ile yaTANROADS maroli makubwa yapite yanapita korongoni. Sasanapo pale lazima kuweka daraja kwa sababu kunganishausafiri kati ya kondoa mpaka Kateshi lile daraja la MtoMkondoa la lenyewe lazima lifanyiwe kazi.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba sana hilo mlingalievinginevyo magari yatakuwa yanapita halafu yanakwamiapale kwenye Mto Mkondoa. Ukitaka kupitia hili daraja hili latani 10 malori makubwa hayawezi kupita halafu inaingia mjinikuna kona dongo sana malori makubwa hajawezi kupitanaomba sana hilo liangaliwe hilo ni jambo la kwanza. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, jambo la pili Jimbo laKondoa lipo mjini kabisa lakini bado tunazo kata kama sitahivi suala la masiliano ni changomoto kubwa tunazungumziaKata ya Kingare. Mheshimiwa Naibu Waziri Engineer Nditiyeniliwahi kukugusia hii na orodha nilikupa Kata kingare maeneo

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

154

ya Kampori na mengineyo tunazungumzia Kata ya Suruke,tunazungumziea Kata ya Seria maeneo ya Hurumbi na Dumuna Chandimo tunazungumzia Kata ya Koro maeneo ya Chorana Hachwi, tunazungumzia Kata ya Borisa, tunazungumziana Kata ya Kondoa Mjini yenyewe hebu fikiria mjini kwenyekuna maeneo ya Tumbero na Chang’ombe hakunamawasiliano.

Mheshimiwa Naibu Spika, hili nakuomba sanaMheshimiwa Naibu Waziri hebu lifanyie kazi pale mjini tujisikienasi tunaweza kupata huduma muhimu vinginevyo sisi tupoMakao Makuu, kweli tupo Makao Makuu halafu tunakosamawasiliano jamani. Jiji la Dodoma Makao Makuu ya nchihebu naomba tusaidie sana kwenye hili nilitamani sananiseme zaidi lakini naona kama dakika zangu umenipa mbilisijui…(Makofi)

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Muda wako umeshaisha Mheshimiwaahsante sana. Mheshimiwa Hasna Mwilima atafutiwa naMheshimiwa Godfrey Mgimwa Mheshimiwa Omar Kiguaajindae.

MHE. HASNA S. K. MWILIMA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru nianze kwa kumpongeza Waziri, pamoja naManaibu wake Mawaziri na Watendaji wote wa Wizara hiimuhimu sana katika majimbo yetu.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nianzekuzungumzia madaraja, jimbo langu lina eneo moja korofisana tunaita kwenye kivuko cha Malagarasi kwenye ukurasawa 167 nimeona mmeelezea kujenga daraja la MtoMalagarasi sasa nilikuwa nataka ufafanuzi Mheshimiwa Waziriatakapokuja, hapa nione je, hili daraja la Mto Malagarasimnalenga daraja gani, Kwenye ukurasa wa 167? Ndiyodaraja la Ilagala kwa sababu linapita pale kwenye MtoMalagarasi au mnalenga daraja lipi? Kwa sababunilipomwuliza Mheshimiwa Waziri aliniambia niangalie ukurasa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

155

wa 340. Ukurasa wa 340 mnazungumzia kujenga darajakwenye Mto Rwegere. Mto Rwegere upo kwenye Kijiji chaMgambazi, unakwenda mpaka kwenye Kijiji cha Rukoma.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, naona hapa kunacontradiction ambayo ningependa Mheshimiwa Waziri naNaibu Mawaziri mliangalie vizuri, kama mtakuwa mnalengaIlagala, basi nadhani ni hili daraja la Mto Malagarasi. Kwahiyo, naomba kwa faida ya wananchi wa ukanda huo, basiMheshimiwa Waziri atakapokuwa anahitimisha atawezakunifafanulia vizuri. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, la pili nizungumzie suala lagati. Tunazo gati mbili kubwa zinazojengwa; gati ya Sibwesana gati ya Mgambo. Naomba tu gati ile ya Sibwesa sasaikamilike kwa sababu imekuwa ni muda mrefu sana. Gati ilemara kwenye kitabu mmendika ukamilishaji asilimia 91. Bajetiya mwaka 2018 mlisema ukamilishaji asilimia 90. Sasa kilamwaka mnapokuja hapa mnaongeza asilimia fulani yaukamilishaji. Naomba mnisaidie kukamilisha bandari ile.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba pia nizungumziesuala la SGR. Nimeangalia kwenye ukurasa wa 212, ulemtandao wa SGR mnazungumzia tu Dar es Salaam mpakaTabora, Tabora – Isaka, Isaka – Mwanza. Tumekuwa tunaliahapa Bungeni mbona hamwoneshi ule mtandao wa kutokaTabora mpaka Kigoma? Hata kama itachukua miaka mitatu,miaka minne kukamilika lakini tunaomba kwa sababumpango unatambua huu mtandao wa kwenda Tabora, basitunaomba Mheshimiwa Waziri aweze kuzingatia kuonyeshana ule mtandao wa kutoka Tabora kwenda Kigoma. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nizungumziebarabara ukurasa wa 164. Ninayo barabara yangu ya Uvinzampaka Malagarasi kilometa 51.1 na kilometa 36 kutokaChagu mpaka Kazilangwa. Ninajua kwamba kwenye Mfukoule wa Maendeleo ya Abudhabi Mheshimiwa Waziri waFedha alishatia saini kupokea pesa takribani miaka miwiliiliyopita. Sasa ninachoomba ni utekelezaji. Ni lini Serikali

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

156

itatangaza tenda kwa ajili ya Mkandarasi kuanza ujenzi wabarabara hiyo ya kutoka Uvinza - Malagarasi na hichokipande cha Chagu mpaka Kazilambwa? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, namwomba sanaMheshimiwa Waziri, tunayo hii barabara yetu hii ya kutokaSimbo mpaka Kalya ina kilometa 250. Kila mwakamnaitengea fedha shilingi bilioni 1.9, shilingi bilioni 1.8 lakinitusipoteze hizi fedha za Serikali, tunatenga pesa nyingi kwaajil i ya kujenga barabara kiwango cha udongo nachangarawe, sasa kwa nini tusiende kwenye kiwango chalami? Hii barabara tangu mmeanza kuijenga ni takribanimiaka zaidi ya 20. Kwa hiyo, namwomba Mheshimiwa Waziriaangalie namna ya kupandisha hadhi barabara hii iwezebasi kujengwa kwa kiwango cha lami. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nizungumzie bandari yaKigoma. Asubuhi nilimsikia Mheshimiwa Zitto anaongeleabandari. Bandari hii ni kwa faida ya Wabunge wote nawananchi wote ndani ya Mkoa wa Kigoma. Leoninavyoongea, tunao Mkutano mkubwa pale Kigomaambao ulikuwa Mheshimiwa Makamu wa Rais awe MgeniRasmi, lakini amemtuma Mheshimiwa Kandege kumwakilisha.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, tuna wafanyabiasharakutoka Zambia, tuna wafanyabiashara kutoka Burundi, tunawafanyabiashara kutoka Congo na Rwanda; wameanziajana, wako kwenye mkutano mkubwa wa wafanyabiasharawanaozunguka Ziwa Tanganyika. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa naiomba Serikaliwaone umuhimu wa bandari ya Kigoma. Bandari hii inaumuhimu sana. Tunafanya biashara na watu wa Zambia,Congo na Burundi, wanachukua mizigo yao Dar es Salaamwanaipeleka Congo, Zambia na Burundi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa bandari hii, kwasababu Benki ya Afrika iko tayari kutusaidia fedha, tunaomba

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

157

Serikali iangalie kwa jicho la huruma ili basi bandari hii naitaiingizia fedha Serikali, ni chanzo cha mapato, yaani...

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Hasna muda wakoumekwisha.

MHE. HASNA S.K. MWILIMA: Mheshimiwa Naibu Spika,naomba kuunga mkono hoja kwa asilimia mia moja. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa GodfreyMgimwa, atafuatiwa na Mheshimiwa Omari Kigua naMheshimiwa Seif Gulamali ajiandae.

MHE. GODFREY W. MGIMWA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru sana kwa kunipa nafasi ya kuweza kuchangia.

Mheshimiwa Naibu Spika, awali ya yote nitambue kazinzuri ambayo anafanya Engineer Mfugale, kazi nzurianayofanya Engineer Kindole wa pale Iringa na Ma-engineerwote wa TANROADS Tanzania nzima ninawapongeza sanakwa kazi nzuri. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, zaidi ya yote namshukurusana Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi na Manaibu wake wawiliwote kwa kazi nzuri ambazo wanaendelea kufanya. Juu yayote, namshukuru na kumpongeza sana Mheshimiwa Raiskwa kazi nzuri na kubwa ambayo anaendelea kuifanya kwaajili ya mabadiliko ya nchi yetu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nitaanza kwa kuzungumziasuala la Uwanja wa Ndege wa Nduli. Uwanja huu upo MkoaniIringa. Naipongeza sana Serikali kwamba kipindi hiki chabajeti ya 2019/2020, tumetengewa jumla ya zaidi ya shilingibilioni tisa kwa ajili ya ujenzi na uboreshaji wa uwanja huu wandege. Uwanja huu wa ndege, kwa kweli ukifika sasa hivipale Iringa ni burudani tupu. Tunajiandaa kwa ajili ya upanuzina kuelekea sasa kwenye utalii katika upande wa Nyanda

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

158

za Juu Kusini. Kwa hiyo, tumejipanga na tunaishukuru Serikalikwamba kazi inaonekana na tunaendelea kuipongezaSerikali kwa ajili ya kazi nzuri. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nitazungumza pia juu yatakwimu ambazo zimetolewa na Kamati ambayo inahusumasuala ya SUMATRA na ajali kwa ujumla. Ni jambo lakusikitisha sana kwamba unaona ajali kwa kipindi hiki chamwaka 2018/2019 bajeti iliyopita, unakuta inasema makosaya kibinadamu kwenye ajali ilikuwa asilimia 76. Ubovu wamagari asilimia 16, miundombinu na mazingira ni 8%. Sasamimi nataka nijikite kwa 8%. Tuna barabara mbalimbaliambazo zinajengwa na zimeendelea kuboreshwa katika nchiyetu.

Mheshimiwa Naibu Spika, nitazungumza barabarainayotoka Dodoma kuelekea Iringa ambayo imekamilikamiaka minne iliyopita. Barabara hii ukiiangalia katika kipindikifupi imeharibika na haitamaniki tena. Sasa unajiuliza, ni kwanini tunawatafuta Wakandarasi ambao sio waaminifu?Barabara ile ukipita sasa hivi ina makorongo, ina mashimona ndiyo inayosababisha ajali kubwa katika maeneombalimbali hasa katika njia hii kutoka Dodoma kuelekeaIringa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, napenda piakuishauri Serikali kwamba tunapotafuta Wakandarasi, basitutafute Wakandarasi wenye viwango na tuwaadabisheWakandarasi wote ambao wanafanya kazi bila kujali maslahiya Watanzania. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, sisemi kwamba kuwe naWakandarasi wa nje au wa ndani, lakini ninachokisema nikwamba Wakandarasi waweze kutazamwa kwa namna yatofauti, kwa sababu fedha nyingi zinatumika lakini matokeoyanakuwa ni mabovu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nitazungumza pia sualamoja kubwa sana ambalo lipo katika Mkoa wangu wa Iringakwa barabara ambayo inatoka Iringa Mjini kuelekea Ruaha

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

159

National Park, ambayo hata juzi niliongea. Barabara hii ni yamuhimu sana; na umuhimu wake ni kule kwenye mbuga zawanyama za Ruaha National Park. Mbuga hii ya RuahaNational Park, ndiyo mbuga kubwa katika nchi yetu yaTanzania. Vilevile katika ukanda wa Afrika Mashariki ni mbugayenye maslahi makubwa sana, ni mbuga ambayoingetuingizia fedha nyingi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kitakwimu Ngorongoro kwamwaka inaingiza watalii 400,000, Serengeti 150,000, Mikumi70,000, Ruaha National Park ambayo ndiyo mbuga kubwaina watalii 35,000. Sasa sioni kama kuna sababu ya kuendeleakutoijenga barabara hii ya Ruaha National Park, kutoka Iringakwenda Ruaha National Park ambayo ni kilometa 104.Tumetengewa shilingi milioni 650 tu. Hili jambo lina umuhimu,litatuingizia kipato kikubwa nchi yetu ya Tanzania kamatutakuwa makini kuiangalia kwa namna nyingine. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, mwisho, nikumbushekwamba kuna maeneo mbalimbali katika Jimbo langu laKalenga ambayo hayana mawasiliano ya kutosha. Kijiji chaLyamgungwe, Kijiji cha Kihanga, Kijiji cha Magunga, Sadani,Kikombwe, Makota, Ulata, Mwambao, Ikungwe, Kidilo,Kaning’ombe, Makombe, Malagosi, Kihanzi na Lyasa.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ninaomba sana Wizaraiweze kutazama kwa jicho la kipekee tuweze kupatamawasiliano ya simu.

Mheshimiwa Naibu Spika, mwisho, naomba nisemeyafuatayo. Naomba ninukuu Biblia Takatifu, Luka 11:9 inasemahivi, “Nami nawaambieni ombeni nanyi mtapewa.”

MBUNGE FULANI: Kweli.

MHE. GODFREY W. MGIMWA: Mheshimiwa Naibu Spika,nimeomba. Inasema, “tafuteni nanyi mtaona,” nimetafuta;sasa naamini nitapata. “Bisheni nanyi mtafunguliwa,”nimebisha naamini Mheshimiwa Waziri utafungua milango.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

160

Mheshimiwa Naibu Spika, mwisho mstari wa 10inasema: “kwa kuwa kila aombaye hupokea, naye atafutayehuona, naye abishaye atafunguliwa,” jamani naombenimnifungulie. Mstari wa 11 unasema: “maana ni yupi kwenualiye baba ambaye mwanaye akimwomba mkate atampajiwe au samaki? Badala ya samaki atampa nyoka? Auakiomba yai, atampa ng’e.” (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nimeomba barabarainayotoka Iringa Mjini kuelekea Ruaha National Park. Hayayote naomba yaweze kunukuliwa na Mheshimiwa Wazirimuweze kuyafanyia kazi, Iringa tuweze kupata barabara yaRuaha National Park.

Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru sana, Munguawabariki, tuko pamoja sana. Ahsanteni sana. (Kicheko/Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. (Kicheko)

Mheshimiwa Omari Kigua, atafuatiwa na MheshimiwaSeif Gulamali na Mheshimiwa Hussein Amar ajiandae.

MHE. OMARI M. KIGUA: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante kwa kunipa nafasi ya jioni ya leo nami niweze kusemamachache juu ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza nichukue fursa hiikumpongeza Mheshimiwa Waziri na Manaibu Waziri wotewawili kwa kazi kubwa ambayo wanaifanya. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kabla sijaanza kuchangianataka nitoe somo dogo tu, dhana ya uwekezaji katika miradimikubwa. Serikali imedhamiria kujenga SGR. Huu ni mradimkubwa sana. Sasa wapo waliozungumza kwambawanatarajia mafanikio ya muda mfupi. Huu ni mradi mkubwasana ambao return yake itapatikana baada ya miaka 50ijayo. Ku-recoup costs zake au payback period ni zaidi yamiaka 20. Kwa hiyo, usitarajie kwamba faida utaipata kwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

161

muda mfupi, lakini lazima tuangalie multiplier effect ya mradihuu. Huwezi ukajenga SGR kwa sababu ya kubeba abiriapeke yake, hapana. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, sisi Tanzania tunapakanana nchi ambazo hazina bahari; Uganda, Burundi na Rwanda.Tunatarajia SGR ndiyo ambayo itakayoweza kupeleka mizigohuko. Kwa hiyo, lazima tutarajie mafaniko makubwa sanakutokana na mradi huu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini kuna mtu amesemahapa kwamba suala la mradi huu halina kitu kinaitwa localcontext, siyo kweli hata kidogo. Naomba nithibitishe kwambaSGR ina mafanikio makubwa sana. Nitataja machache tueneo hili. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, SGR itakapokamilika,tunatarajia viwanda vyetu vya cement vya ndani vitawezakuzalisha takribani mifuko milioni 110.2. Vilevile tunatarajiaviwanda vyetu vya ndani, vitaweza kuzalisha nondo tani115,000. Kama hiyo haitoshi, viwanda vya kokoto vitatoa mitamilioni 2.7. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, la mwisho ni suala la ajira.Ajira mpaka sasa hivi, kutokana na SGR ni takribani watu 9,639wamepata ajira. Hii ni dhana ya local context kwenye SGR.Kwa hiyo, mtu asipotoshe kusema kwamba SGR katika sualala local context haijazingatiwa. Siyo kweli hata kidogo.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya utangulizi huo,sasa naomba nizungumzie suala lingine la ATCL. Umuhimu nimkubwa sana sana. Narudia kusema kwamba faida ya ATCLau katika mambo ya ndege huwezi ukaiona moja kwa mojana wala usitegemee kwamba ATCL irekodi profit katika mudamfupi. Hata Mashirika yale kwa mfano, Rwanda Airlines,Ethiopian Airlines, hawajawahi kurekodi profit hata siku moja,lakini kuna suala la multiplier effect, hili lazima lizingatiwe naumuhimu wa jambo hili ni mkubwa sana. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

162

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya hapo sasanaomba nirudi kwenye barabara ambayo inaunganishaMikoa minne. Barabara hii ni muhimu sana, nayo ni barabaraambayo ipo katika Ilani ya Chama cha Mapinduzi. Barabarahii ina kilometa 460 ya kuanzia Handeni, Kibirashi, Kibaya naSingida. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika,…

MHE. MCH. PETER S. MSIGWA: Mheshimiwa Naibu Spika,taarifa. Taarifa.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Kigua kuna taarifa.Mheshimiwa Msigwa.

MHE. MCH. PETER S. MSIGWA: Mheshimiwa Naibu Spika,mzungumzaji anasema ujenzi wa SGR return yake tutaipatabaada ya miaka 50. Sasa nataka nimpe taarifa, miminimepitia kwenye kitabu cha Mheshimiwa Waziri hapa sijaonahayo anayoyasema, sijui ameyatoa wapi? Anaweza akatupareference? Kwa sababu analipa taharuki Taifa.

(Hapa baadhi ya Wabunge walizungumza bila kufuatautaratibu)

MHE. MCH. PETER S. MSIGWA: Mheshimiwa Naibu Spika,haijasomwa. Hayajaandikwa humu.

(Hapa baadhi ya Wabunge walizungumza bila kufuatautaratibu)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Msigwa, zungumza na mimi,si umeshamaliza. Zungumza na mimi. Usizungumze na…

MHE. JOSEPH K. MUSUKUMA: Mchana huu! Bangi yaIringa hiyo.

MHE. MCH. PETER S. MSIGWA: Mheshimiwa Naibu Spika,ninachosema, naomba unilinde basi.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

163

MBUNGE FULANI: Wakemee wale.

MBUNGE FULANI: Wakemee wale.

MBUNGE FULANI: Wakemee hawa huku.

MBUNGE FULANI: Kwani anaye…

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tusiwashemicrophone.

MBUNGE FULANI: Msukuma.

NAIBU SPIKA: Kwa sababu amepewa nafasi yakuzungumza Mheshimiwa Msigwa, tafadhali. MheshimiwaMsigwa.

MHE. MCH. PETER S. MSIGWA: Mheshimiwa Naibu Spika,nilichokuwa nasema Waziri ametupa kitabu na ndiyotunakijadili. Mchangiaji anasema return ya SGR tutaipatabaada ya miaka 50. Sasa nilikuwa nataka nimpe taarifakwenye kitabu cha Waziri hatuna, hizi data anazitoa wapi?Ili tusiwape taharuki wananchi kwa kitu ambacho anakitoahewani.

(Hapa baadhi ya Wabunge walizungumza bila kufuatautaratibu)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tusikilizane.Mheshimiwa Msigwa anauliza swali, lakini kwa sababualisimama kwa ajili ya taarifa, hulazimiki kujibu swali lake, walahutakiwi kujibu swali lake, lakini je, unaipokea taarifaaliyoitoa?

MHE. OMARI M. KIGUA: Mheshimiwa Naibu Spika,siipokei kwa sababu hili ni suala la kitaalamu zaidi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, unapofanya investment…

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

164

MHE. ALLY SALEH ALLY: Mheshimiwa Naibu Spika,taarifa.

MHE. OMARI M. KIGUA: Mheshimiwa Naibu Spika,unapofanya investment maana yake, return yake hutarajiikupata kwa muda mfupi na maana yake SGR hii faida yakeitakuwa kwetu sisi na vizazi vijavyo.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Kigua kuna taarifa nyingine.Waheshimiwa Wabunge, muda wetu pia ni mfupi, nadhaniwote tunaangalia saa pale na wachangiaji bado niko naohapa kwenye orodha. Kwa hiyo, tutaenda vizuri tu wote kwapamoja. Mheshimiwa Ally Saleh.

MHE. ALLY SALEH ALLY: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante.

Msemaji anayezunguma sasa hivi alisema kwambahata Ethiopian Airlines hawatengenezi faida. Natakanimwambie kwamba mwaka 2017 faida yao imetoka kwenyeDola milioni 233, imepanda mpaka Dola milioni 229 asisemekwamba haipati faida.

MHE. OMARI M. KIGUA: Mheshimiwa Naibu Spika,siikubali taarifa yake kwa sababau hajasema chanzo chataarifa hii ni wapi.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Kigua unaipokea taarifahiyo?

MHE. OMARI M. KIGUA: Mheshimiwa Naibu Spika,siipokei kwa sababu hajataja source ya taarifa ni wapi.

(Hapa baadhi ya Wabunge walizungumza bila kufuatautaratibu)

WABUNGE FULANI: Endelea.

MHE. OMARI M. KIGUA: Mheshimiwa Naibu Spika,naomba niendelee.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

165

MHE. ALLY SALEH ALLY: Reuters, Reuters Financial.(Kicheko)

MHE. OMARI M. KIGUA: Mheshimiwa Naibu Spika,naomba nizungumzie barabara hii ambayo nimesema nibarabara ya Handeni – Kiberashi - Kibaya na Singida.Barabara hii ni muhimu sana. Kama katika hotuba yaMheshimiwa Waziri alivyosema kwamba barabara hii ndiyoambapo bomba la mafuta litapita, nami nataka nisemekwamba pamoja na kwamba bomba la mafuta kutokaUganda kwenda Tanga litapita katika eneo hili, pia barabarahii ina umuhimu mwingine ambapo watu wa mikoa hii minneniliyoitaja wanahitaji barabara hii sana. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nimeona katika hotubayake Mheshimiwa Waziri ametenga kiasi cha shilingi1,450,000,000/=, namshukuru sana na ninampongeza katikahilo. Namwomba Mheshimiwa Waziri, barabara hii ni muhimusana, sana, sana.

Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na kwamba Serikaliya Tanzania imetenga kiasi hicho nilichokitaja, lakini naombatuangalie namna ambavyo inaweza kujengwa kwa kiwangocha lami, kwa sababu eneo hili ambalo barabara hii inapita,ina uzalishaji mkubwa sana, sana, sana; na ukizingatiakwamba kuna matarajio ya kutengeneza Bandari ya Tanga,kwa hiyo, ni matumaini yangu kwamba barabara hiiikitengenezwa kwa kiwango cha lami, basi mizigo yoteambayo inatoka Tanga kwenda Magharibi huko itapitakatika barabara hii. Nina imani kwamba Mheshimiwa Waziriatazingatia katika hilo.

Mheshimiwa Naibu Spika, l ingine naombanizungumzie huku minara. Namshukuru sana MheshimiwaWaziri kwamba Wilaya ya Kilindi ni miongoni mwa maeneoambayo yamepata minara mingi sana, lakini lipo eneo mojaambalo linapakana na Wilaya ya Simanjiro, Kata ya Saunye,haijapata minara. Naomba sana Mheshimiwa Waziri kupitiaMfuko huu wa Mawasiliano wahakikishe kwamba Kata hiyoinapata mawasiliano kwa sababu ni eneo muhimu sana, ni

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

166

eneo ambalo lina mbuga ya utalii, lakini maeneo hayahayasikiki kabisa. Ni matumaini yangu kwamba Serikali itasikiatuweze kupata mawasiliano katika eneo hilo. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kusema manenohayo machache, nakushukuru sana. Naunga mkono hoja.Ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa SeifGulamali atafutiwa na Mheshimiwa Hussein Amar naMheshimiwa Dua William Nkurua ajiandae.

MHE. SEIF K. S. GULAMALI: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru sana kwa kunipa nafasi ya kuweza kuchangiakatika Wizara hii ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza kabisa nipendekuchukua nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa Rais, Dkt. JohnPombe Magufuli, kwa kuamua kuleta mabadiliko katika nchiyetu. Nchi yetu ilikuwa na changamoto na maamuzimakubwa na maamuzi sasa yanafanyika, pongezi kubwasana ziende kwake, hasa ununuzi wa ndege, tunampongezasana Mheshimiwa Rais; ujenzi wa viwanja vya ndege, kazikubwa zinafanyika, sisi wote ni mashahidi katika maeneo yetu;ujenzi wa madaraja na barabara kubwa zinazojengwa ndaniya nchi yetu. Haya yote ni maamuzi ambayo MheshimiwaRais ameamua binafsi na wananchi wa Jimbo la Manongatunampongeza na kumuunga mkono Mheshimiwa Rais natunasema aendelee kuchapa kazi, sisi tuko tayari kumuungamkono mchana na usiku. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pia niwapongeze watendajiwakuu, Mkurugenzi Mkuu wa TANROADS, MheshimiwaEngineer Mfugale; lakini pia nimpongeze mwalimu wangualiyenifundisha chuoni, Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA,Mheshimiwa Mr. Ngewe, pongezi ziende kwake. Amefanyakazi nzuri sana na nimeona juzi kapata hati ya utumishi bora,kwa hiyo nitumie nafasi hii kumpongeza mwalimu wangu kwakazi nzuri anazozifanya. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

167

Mheshimiwa Naibu Spika, vile vile nimpongezeMkurugenzi Mkuu wa Viwanja vya Ndege, Mheshimiwa Dkt.Hamza Johari, Mwalimu wangu, naye anafanya kazi nzuri,hawa wote Walimu wangu wanafanya kazi nzuri sana,nafurahia, naona jinsi gani wanavyo-perform katika maeneoyao, bila kumsahau Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji,naye nampongeza kwa siku ya leo. Nimpongeze MheshimiwaRais kwa kumteua tena kwa mara nyingine aendeleekuhudumu kwa nafasi hiyo ya ukuu wa chuo. Natambuaalikokitoa chuo, hali ilivyokuwa na ilivyo sasa hivi ni chuotofauti sana, pongezi nyingi sana ziende kwako Dkt.Mganilwa, kwa kazi kubwa unazozifanya, tunakupongeza,sisi wanafunzi wako tuko Bungeni tunaona matundaunayoyafanya huko ulipo. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, mwisho, niwapongezeMawaziri; Mheshimiwa Engineer Nditiye pamoja naMheshimiwa Kwandikwa bila kumsahahu Waziri wake,Mheshimiwa Engineer Kamwelwe; Mheshimiwa Wazirianafanya kazi nzuri sana, pongezi nyingi sana ziende kwakemaana yake leo nil isema niwapongeze kwa kaziwanazozifanya. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nisisahau kumkumbushaMheshimiwa Engineer Kamwelwe, Waziri kwamba wananchiwake wa Mpanda kule wanapokuwa wanatoka huwawanapewa rufaa kwenda kutibiwa Tabora, wakienda Taborana kwenyewe wanapewa tena rufaa ya kwenda kutibiwapale Hospitali ya Nkinga lakini wakifika pale Ziba kwendaNkinga barabara ni mbaya sana. Naomba MheshimiwaWaziri aweke lami pale ili wagonjwa wanaotoka Mpanda,Katavi, Majimoto wapate huduma safi pale Nkinga ilikuwarahisishia wananchi wake wapite kwa urahisi zaidi.

Mheshimiwa Naibu Spika, hivyo, naombanimkumbushe Mheshimiwa Engineer Kamwelwe kwambaaanze basi na usanifu; barabara ya Ziba- Nkinga – Puge;barabara ya Ziba – Choma na kwa kutambua kwa sababuChoma Chankola kuna kiwanda kikubwa cha pamba. Kwahiyo kwa sababu tuna kiwanda lazima miundombinu

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

168

tuiboreshe na Serikali hii tunanadi ni awamu ya viwanda. Kwahiyo namwomba sana Mheshimiwa Waziri katika bajeti yakesijaona akitenga angalau usanifu na barabara hii ya Ziba –Choma, Ziba – Nkinga – Puge ni barabara inayomilikiwa naTANROADS, nimwombe Mheshimiwa Waziri aikumbukebarabara hii.

Mheshimiwa Naibu Spika, mwisho, Mheshimiwa Waziri,Engineer Nditiye ile minara…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Muda wako umekwisha Mheshimiwa,kengele ya pili imeshagonga.

MHE. SEIF K. S. GULAMALI: Mheshimiwa Naibu Spika,naunga mkono hoja ya Wizara hii, lakini minara MheshimiwaEngineer Nditiye pale…

NAIBU SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa.

Mheshimiwa Hussein Amar, atafuatiwa naMheshimiwa Dua William Nkurua na Mheshimiwa DanielMtuka ajiandae.

MHE. HUSSEIN N. AMAR: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante kwa kunipa nafasi na mimi niweze kuchangia.Kwanza nimshukuru Mwenyezi Mungu ambayeameniwezesha kusimama mbele ya Bunge lako hili Tukufu.Pia napenda nimpongeze Mheshimiwa Waziri wa Wizara hiipamoja na Naibu Mawaziri na watendaji wote kwa kazi nzuriambazo wanazifanya katika Taifa hili.

Mheshimiwa Naibu Spika, kuna jambo moja ambalonatakiwa nianze kulisema, leo ni mwaka wa nane nikoBungeni, kulikuwa na ahadi ya Mheshimiwa Rais wa Awamuya Nne, aliahidi ujenzi wa barabara ya lami kutoka Kahama– Bukwimba – Nyijundu – Busisi Sengerema na Rais wa Awamuya Tano naye pia ameahidi. Hata hivyo, cha ajabu kwenye

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

169

kitabu hiki nimejaribua kuanzia ukurasa wa kwanza mpakawa mwisho sijaona upembuzi yakinifu wa barabara hiyo. Kwahiyo naomba nijue, ahadi za Marais hawa zimepuuzwa amazitatekelezwa na kama zitatekelezwa ni lini? Kwa sababubarabara hii ina umuhimu sana, inaunganisha mikoa mitatu;inaunganisha Mikoa ya Shinyanga, Geita na Mwanza.Barabara hii ikifunguliwa uchumi wa Nyang’hwale utapanda.Namwomba sana Mheshimiwa Waziri aingize angalau basiniweze kuona kwamba upembuzi yakinifu umeanza tuwe namatumaini, leo miaka nane nazungumzia barabara hii.(Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nimpongeze MheshimiwaWaziri, nimejaribu kuangalia kwenye kitabu chake, amewezakunitengea karibu milioni 900 kwa ajili ya ujenzi wa barabarakwa kiwango cha changarawe kutoka Nyankumbu hadiNyang’hwale, lakini kutoka Nyang’olongo mpakaNyang’hwale. Barabara hii ina kiwango cha changarawelakini imepangiwa kujengwa kwa kiwango cha lami kutokaGeita- Nyankumbu kuja Nyang’hwale. Cha ajabu, miakanane imepita, lakini tumejengewa kilometa tano tu za lamina imesimama. Miaka miwili iliyopita hatukuweza kutengewa,je, 2019/2020 kwa nini tena haikutengewa ama imeondolewakwenye utekelezaji? Naomba Mheshimiwa Waziri aiangaliebarabara hiyo kwa sababu ilishaahidiwa kujengwa kwakiwango cha lami.

Mheshimiwa Naibu Spika, nimpongeze MheshimiwaWaziri, kuna barabara ambayo ameiweka, barabara hii kwakweli ikifunguliwa itakuwa imefungua maendeleo makubwasana katika Wilaya ya Nyang’hwale. Ameweza kututengeapesa kufungua barabara ya wilaya kwa wilaya kutokaMbogwe kuja Nyang’hwale; kutoka Bwelwa – Bukoli –Nyijundu mpaka Bumanda na Makao Makuu Kharumwa,Makao Makuu ya Nyang’hwale, barabara hiyo ikifungukanaamini mambo yatakuwa mazuri. Nimpongeze sana kwahilo, naomba tu utekelezaji ufanyike kwa haraka. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pia Mheshimiwa Wazirianayehusika na masuala ya mawasiliano, kuna kata kama

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

170

tano kwangu zina matatizo ya mawasiliano. Kata hizo zikiwani Shabaka, Nyamtukuza, Nundu, Nyabulanda na Nyugwa,mawasiliano sio mazuri, Mheshimiwa Waziri alitupa fomutukajaza maeneo ambayo hayana mawasiliano mazuri, naminilijaza ile fomu mwaka jana, lakini cha ajabu mpaka leo fomuhii haijafanyiwa kazi na wananchi wangu wanapata tatizokubwa sana la mawasiliano. Namwomba Mheshimiwa Waziriatekeleze ahadi zake, aliahidi kwamba atashughulikiamaeneo yote ambayo yana matatizo ya simu.

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kueleza hayomachache, naunga mkono hoja, ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa Dua WilliamNkurua atafuatiwa na Mheshimiwa Daniel Mtuka naMheshimiwa Charles Mwijage ajiandae.

MHE. WILLIAM D. NKURUA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru sana kwa kunipa nafasi. Natoa pongezi kwa Serikalina Wizara kwa kazi nzuri wanazozifanya.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa sababu muda si rafiki,nakwenda moja kwa moja kwenye Jimbo langu laNanyumbu. Hapa naanza na watu wa ujenzi; napendaniwakumbushe kwamba Mheshimiwa Rais wa Awamu yaNne, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, alitoa ahadiya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami tokaNangomba mpaka Nanyumbu. Barabara hii ni barabarainayoelekea nchi jirani ya Msumbiji, ni barabara muhimu sanakwa uchumi wa Tanzania. Kwa hiyo naomba Serikali katikavipaumbele vyake iiweke barabara ya kutoka Nagombahadi Nanyumbu kwa sababu wananchi wana imani sana naahadi ile na ukizingatia kwamba viongozi hawa wanakuwawakweli. Kwa hiyo, naomba Serikali iiweke katika mpangowake ujenzi wa barabara kutoka Nangomba hadiNanyumbu.

Mheshimiwa Naibu Spika, ukienda Sekta yaMawasiliano, naupongeza sana Mfuko kwa kazi kubwainayofanya na kwenye Wilaya yangu ya Nanyumbu nataka

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

171

niwape maeneo muhimu ambayo kwenye bajeti hiituyazingatie. Kwanza kabisa nataka Kata yangu yaNapacho; kata hii ina shida kubwa ya mawasiliano, hasakwenye Vijiji vya Mpombe, Ndekela, Mburusa, Napacho,Kazamoyo na Chimika, hawa watu mawasiliano ni magumusana, naomba eneo hili tutafute eneo tuweke mnara,tukiweka mnara mmoja katika eneo hili tutahakikishakwamba wananchi watapata mawasiliano.

Mheshimiwa Naibu Spika, pia Kata ya Likokona; katahii pia haina mawasiliano, hata makao makuu ya katamawasiliano ni magumu sana. Kwa hiyo naomba tutafutenamna ya kuhakikisha kwamba Likokona na Vijiji vyake vyaMsinyasi, Namaka na vitongoji vyake vipate mawasiliano yakutosha.

Mheshimiwa Naibu Spika, vile vile naongeza Kata yaMkonona; kata hii ina Kijiji cha Mbangara Mbuyuni naKitongoji chake cha Wanika, mawasiliano hayapatikanikabisa. Kwa hiyo naomba Serikali itupatie mnara kwenye katahii ili wananchi wa kata hii nao wapate mawasiliano.

Mheshimiwa Naibu Spika, eneo la mwisho kwamawasiliano ni Kata ya Maratani katika Wilaya ya Nanyumbu.Kata hii pia ina Vijiji vya Maratani, Malema na Mchangani B,havina mawasiliano kabisa. Naomba tupatiwe mnara katikamaeneo hayo kutokana na viwango vyao vya kutambuawapi tuweke mnara ili vijiji hivi nilivyovitaja vipate mawasiliano.

Mheshimiwa Naibu Spika, ushauri; minara hiiitakayojengwa ijengwe kwa viwango ambavyo tutapelekamawasiliano kama ilivyokusudiwa kwa sababu kuna baadhiya vijiji minara imejengwa lakini haifanyi kazi ilivyokusudiwa.Kwa mfano, ukienda kwenye Kata ya Sengenya, Kijiji chaSengenya, kuna mnara pale lakini mnara ule hata pale kijijinihaufanyi kazi vizuri. Kwa hiyo naomba Serikali tunapowekahii minara tuhakikishe kwamba inafanya kazi tuliyokusudia.

Mheshimiwa Naibu Spika, ukienda Kata ya Mkonona,Kijiji cha Marumba, kuna mnara wa TTCL pale, lakini mnara

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

172

ule haufiki hata kilometa tano, Vitongoji vyake vyaNamaromba network haipatikani kule. Kwa hiyo naombatutakapokwenda kupeleka minara hii, vijiji hivi na vitongojivyake viweze kupata network na wananchi wetu wawezekupata mawasiliano kama tulivyokusudia. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa sababu muda si rafiki,naunga mkono hoja, ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa DanielMtuka atafuatiwa na Mheshimiwa Thimotheo Mzava naMheshimiwa Pauline Gekul ajiandae.

MHE. DANIEL E. MTUKA: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana kwa nafasi hii ili nami angalau kwa dakikachache hizi nitoe mchango wangu katika Wizara hii ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano. Kwanza nimpongeze Rais wanguwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anachapa kazi.Ukiitazama nchi hii ya Tanzania ni kubwa, lakinininavyozungumza kila mahali naona barabara zinajengwa;madaraja, flyovers zinajengwa; na mabwawa, visima, naonavinajengwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, pia hospitali, vituo vya afya,zahanati naona zinajengwa; ukienda Kinyerezi Bonde la MtoRuvu kule mitambo ya umeme inajengwa; REA nguzo naonazinatambaa kila mahali, kila kona ya nchi hii zinachimbiwana umeme unakwenda; Viwanja vya ndege vinakarabatiwa,vingine vinajengwa vipya; lakini kuna ujenzi wa meli, vivuko,magati kwenye maziwa, bahari pamoja na mito yanajengwa;lakini kuna ujenzi wa reli ya kisasa unaendelea; vyumba vyamadarasa vinajengwa; matundu ya vyoo yanajengwa;ukarabati wa shule kongwe unaendelea; ujenzi wa vituo vyaVETA unaendelea; ujenzi wa viwanda mbalimbaliunaendelea; lakini bajeti ya dawa imepanda, kutoka bilioni31 mpaka 270; lakini elimu bure pia shule ya msingi mpakaForm Four.

Mheshimiwa Naibu Spika, vile vile amedhibiti matumziiya fedha; kwa hiyo anapodhibiti matumizi ya fedha maana

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

173

yake ni kwamba ameokoa fedha nyingi. Kwa mfanoamedhibiti sana rushwa, amedhibiti wafanyakazi hewa, kwahiyo pesa ile imeongezeka inakwenda kwenye kazi; naonakasi ya Mheshimiwa Rais ni kubwa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya pongezi hiziniwapongeze pia Waziri na Naibu Mawaziri pamoja na timunzima ya Wizara. Nilete maombi machache kabla sijapigiwakengele; kule Jimboni kwangu Manyoni kuna kituo kikubwasana kile cha kati cha ukaguzi wa mizigo ya magarimakubwa, pale Mhalala. Naona kwenye ukurasa wa 256wametenga bilioni nne sawa, lakini ule ujenzi umesimamatangu Septemba, mwaka jana, naomba ile kasi iongezeke,tunataka kile kituo kikamilike.

Mheshimiwa Naibu Spika, pia kuhusu Daraja la Sanza;nimeona kuna milioni 60 imetengwa hapa. Upembuzi yakinifuumeshafanyika, lakini imebakia tu ile process ya ujenzi ianzena mwaka huu tulitegemea kwamba fedha zile ziwekweujenzi uanze, lakini sioni fedha yoyote hapa, milioni 60 si kitu,yaani ni kama hakuna. Watutenge fedha watuongezeekwenye lile daraja, lile daraja ni muhimu kwa sababu ilebarabara inayotoka kule Manyoni kwenda Sanza na kuvukalile daraja kwenda Dodoma ni ya kiuchumi kwa Wilaya yaManyoni kwa sababu lile eneo lote ndilo linalozalisha chakulakwa Mkoa wa Singida na Mkoa wa Dodoma sehemu piawanapata. Kwa hiyo hilo daraja ni la msingi na la muhimusana.

Mheshimiwa Naibu Spika, pia nimeangalia barabarayetu ya Rungwa – Mkiwa; wenzetu kule wa Chunya tayariwameshapewa hela Chunya – Makongorosi, lakini Mbalizi –Makongorosi pia wameshapewa fedha nimeziona hapa,lakini sijaona Mkiwa kwenda Noranga, hakuna fedha pale,sijui kwa nini na ilikuwa tupewe fedha hizi tangu mwaka jana,hakuna fedha, hatuzioni. Kwa nini sisi hawajatenga ile fedhawanawatengea wenzetu wa upande ule? Nadhani utaratibuulikuwa wakandarasi wakutane katikati, lakini wanatengaupande mmoja, watenge na huku basi ili wakutane katikati.

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

174

Mheshimiwa Naibu Spika, la mwisho, minara ya simu;nimekuwa nikuliza mara nyingi sana, kuna Kata yangu mojainaitwa Makuru, hasa Kijiji kimoja kinaitwa Hika, kule tunahitajiminara. Njia ile ya kutoka Manyoni kwenda Sanza, mule njianiukisafiri hakuna minara, kwa hiyo mawasiliano yanakatika,naomba sana Wizara hii iniangalie. Nimeshauliza mara nyingisana hapa Bungeni, wameshajibu kwamba wataleta minara,lakini nimetazama sioni fedha yoyote iliyotengwa, naombasana sehemu hii ya minara na mawasiliano ili tuwezekuwasiliana kwa sababu mawasiliano ni maendeleo.

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya hayo machache,nashukuru sana, naunga mkono hoja asilimia mia kwa mia.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kwa mujibu waKanuni yetu ya 28(5), naongeza nusu saa ambayohaitakwisha, wachangiaji bado watatu, ili tukamilishe kazi zasiku ya leo kwa sababu mambo yalikuwa mengi kidogo.

Nilikuwa nimeshamwita Mheshimiwa TimotheoMnzava, atafuatiwa na Mheshimiwa Pauline Gekul,Mheshimiwa Janeth Masaburi atamalizia.

MHE. TIMOTHEO P. MNZAVA: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru sana kwa kunipa nafasi. Nianze kumshukuruMwenyezi Mungu, lakini pia nitumie nafasi hii kumpongezaMheshimiwa Waziri na timu yake, wanafanya kazi nzuri, lakinipia nimpongeze Mheshimiwa Waziri kwa hotuba yake nzuri.

Mheshimiwa Naibu Spika, nataka nitumie nafasi hiikuzungumza mambo machache; kule Korogwe tunabarabara inaitwa Korogwe – Dindira – Bumbuli – Soni, nibarabara ya kilometa 77. Kwenye Ilani ya Uchaguzi yaChama cha Mapinduzi ya mwaka 2010 ambayo ninayomkononi hapa, kwenye ukurasa wa 48 kulikuwa na ahadi yakufanya usanifu kwenye barabara hii. Kwenye Ilani yaUchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015, kwenyeukurasa wa 58 kuna ahadi ya chama chetu kwendakutengeneza barabara hii kwa kiwango cha lami. (Makofi)

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

175

Mheshimiwa Naibu Spika, nilipoingia kwenye Bungelililopita, kwa maana ya Mkutano wa Kumi na Nne, niliulizaswali, Mheshimiwa Waziri akaniambia wametenga shilingimilioni 130 kwa mwaka huu wa fedha unaoisha Juni kwa ajiliya usanifu, lakini mpaka sasa hivi hela zile hazijafika, na usanifuumeshafanyika kwenye kilometa 20 za kutoka Soni kwendaBumbuli, bado kipande cha kutoka Bumbuli – Dindira –Korogwe na ahadi hii imekuwa ni ya muda mrefu kwa watuwa Korogwe. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nimepitia kitabu chaMheshimiwa Waziri, nimeona kwenye ukurasa wa 181 kunahela, bilioni sita, wametenga kwa ajili ya barabara pale,wamesema kuanza matengenezo ya lami. Hata hivyo,nilipokwenda ndani zaidi kwenye kitabu, kwenye ukurasa wa275 wametenga shilingi milioni 770 kwa ajili ya ukarabati, lakiniwameweka kwenye ukurasa wa 317 wametenga shilingimilioni 140 kwa ajili ya usanifu. Kwa ukubwa wa kilometazilizobakia, shilingi milioni 140 haiwezi kutosha kukamilishashughuli ya usanifu kwenye barabara ile, hata ile 130 ambayobado haijafika ikija haiwezi kutosha.

Mheshimiwa Naibu Spika, natambua kwambamatengenezo ya barabara hii ni muhimu, lakini kwa kuwawatu wa Korogwe wamekuwa na kiu ya barabara hii kwamuda mrefu na ni ahadi ya chama chetu; ni ahadi ya viongoziwa Serikali akiwemo Mheshimiwa Rais, akiwemo MheshimiwaWaziri Mkuu, nimwombe Mheshimiwa Waziri, kama hatunamahali pengine pa kupata fedha ya kukamilisha usanifu ilituanze kujiandaa kwenda kujenga, basi hizi 770 tupelekekwenye usanifu.

Mheshimiwa Naibu Spika, mwaka huu tumefanyamatengeneo na nimpongeze Meneja wa TANROADS, Mkoawa Tanga, Enineer Ndumbaro, anafanya kazi nzuri sana, sisiWabunge wa Mkoa wa Tanga tunaisifia kazi yake, anafanyakazi nzuri sana. Mwaka huu tumefanya matengenezo,sehemu iliyobakia ni maeneo machache yaliyobaki, ninahakika hizi milioni 140 na zile milioni 60 nyingine wametengazinaweza kutosha kumaliza hii kazi. Hebu hizi milioni 770

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

176

tupeleke kwenye usanifu ili kazi ya usanifu ikamilike, halafutuendelee na kutafuta hela kwa ajili ya kutengenezabarabara kwa kiwango cha lami.

Mheshimiwa Naibu Spika, kuna barabara ya OldKorogwe kwenda mpaka Magoma ambayo inakwendakuunganisha mpaka na wenzetu wa Mkinga, ni barabaramuhimu, lakini haijawahi kufikiriwa kuwekwa kwenye kiwangocha lami. Tunaomba sana Serikali iikumbuke hii barabara.Pia nawakumbusha watu TANROADS wameweka alama zaX kwenye nyumba za watu na kuna wengine wamekaamiaka mingi kama watu wa pale maeneo ya Kerenge Kibaoniwaende wakapewe elimu juu ya hatma ya makazi yao pale.

Mheshimiwa Naibu Spika, nilipongeze sana Shirika laReli kwa kazi kubwa ya kufufua hii reli, reli ya kutoka Tangakwenda mpaka Moshi na sehemu ya Tanga- Sameimeshakamilika. Ninachoomba tu, SGR wakati ukifikawatukumbuke, lakini kwa sasa hivi yale maeneo ambayokuna makazi ya muda mrefu, watuwekee vivuko ili wananchiwaweze kuvuka kutoka upande mmoja wa reli kwendaupande mwingine.

Mheshimiwa Naibu Spika, nimpongeze sanaMheshimiwa Nditiye na kaka yangu Engineer Ulangawamefanya kazi kubwa kule Kizara tulikuwa na shida yamawasiliano, lakini bado yako maeneo nimeyapeleka kwaomaeno ya Lewa, Lutindi, Makumba na Kata ya Mkalamo,tunaomba watupelekee huduma ya mawasiliano kwa ajiliya watu wetu pale.

Mheshimiwa Naibu Spika, muda sio rafiki sana. Kunajambo limezungumzwa hapa na kiti chako kimeshalisemea.Tunazungumza yapo malalamiko kwamba kwa nini Wakalawa Ndege amehamishwa kwenda kwenye Ofisi yaMheshimiwa Rais? Lazima tukumbuke nchi yetu inaongozwakwa mujibu wa sheria za nchi yetu aliyepewa dhamana yakuongoza Taifa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hawa walio chini yake wanamsaidia na hata ukiosomaPresidential Affairs inaeleza, hakuna dhambi kwa Rais

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

177

kuamua kazi ipi ya Serikali isimamiwe chini ya Wizara ipi auofisi ipi siyo dhambi. Ni vibaya kusema kwamba Raisamefanya makosa au ana nia ovu, sheria inamruhusu,hakuna sheria inayovunjwa ni utaratibu wa kawaida. (Makofi)

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda waMzungumzaji)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa, muda wakoumekwisha. Mheshimiwa Pauline Gekul tutamaliza naMheshimiwa Janeth Masaburi

MHE. PAULINE P. GEKUL: Mheshimiwa Naibu Spika,nikushukuru kwa kunipa nafasi na mimi niseme machachekatika Wizara hii kwanza niwapongeze Mheshimiwa Wazirina timu yako kwa jinsi ambavyo wanaipeleka Wizara hii iwezekusonga mbele. Piai niwape hongera sana hasa kwa kaziwanayofanya kwa ATCL wamekuwa na vituo tisa katika nchilakini vitano katika kanda hongereni sana. Vile vilewamekuwa na destinations tano nje ya Nchi za Rwanda,Burundi, Zimbabwe, Zambia, Comoro, lakini mna matarajioya destinations katika nchi tano Thailand, India, Afrika Kusinina China na haya wanayatekeleza.

Mheshimiwa Naibu Spika, niwapongeze pia kwasababu sasa wana mpango wa kuongeza ndege mbili tenadreamliner na bombardier tena ambazo zitaingia mapemamwakani hongereni sana. Pia wanafanya kazi kubwa yakuwafundisha Marubani wetu 51, Wahudumu 66, Wahandisi14, lakini abiria wameongeza kutoka 200,000 mpaka 300,000,hongereni sana. Naomba wasikate tama, hii kazi ni kubwana wameitambulisha nchi yetu katika nchi zingine, jamboambalo lilikuwa halijawahi kufanyika. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nimshukuru sanaMheshimiwa Waziri, nimekuwa nikiongea kuhusu bypass yaBabati kutoka Arusha kuja Dodoma na Singida, sasa nimeonabilioni ambazo ametutengea kwa ajili ya fidia ya walewananchi wa Babati, Mruki, Hangoni, Sigino na hii bypassinakwenda kutekelezwa, jambo ambalo lilikuwa halijawahi

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

178

kufanyika hongereni sana na tunashukuru. Pia niwaombekuhusu suala zima la uwanja wa ndege katika Mkoa wetuwa Manyara. Mheshimiwa Waziri Mkoa wa Manyara hatunauwanja wa ndege, tumesema sana muda mrefu sanatunaomba watuwekee hata kwa changarawe, sio lazimalami kwa sasa, naomba hili walichukue kwa sababu mengitumekuwa tukiyasema na wamekuwa wakiyachukua,naamini na hili pia watalichukua.

Mheshimiwa Naibu Spika, nimwombe MheshimiwaWaziri suala la malipo ya fidia kwa wale ambao mita zabarabara zimeongezeka sasa, nimekuwa nikisema kwambatunahitaji kuwafidia wale ambao nyumba zao sasazimeathirika na zile reserve. Ni vizuri wakaliangalia hili kwasababu neema tuliyoipata ya Babati kuunganishwa nabarabara Singida-Arusha-Dodoma pia imezaa hili linguine,naamini watalifanyia kazi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa sababu watu wa TBAwako nao siku ya leo niwaombe pia maeneo ya NationalHousing yamekabidhiwa kwa TBA pale mjini, MheshimiwaWaziri nilishamjulisha hili tunahitaji eneo la pale mjini kwa ajiliya matumizi ya halmashauri sasa na kuwapanga vijana wetuwale Wamachinga ambao wanahitaji kutumia eneo hilonaamini na hili watatupatia pia.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa ufupi pia barabarayetu ile inayoanzia Singe nishukuru wameiweka nainaendelea na ujenzi kila mwaka kwenda Kiteto, ni vizuri sasawakatuongezea fedha kwa sababu itatupunguzia kilomitazaidi ya 78 kuja Dodoma. Sasa kwa sababu hii imekamilikaya Kondoa- Babati naamini hii ya Singe, Sukulo na maeneomengine inaweza ikaturahisishia sana watu wa Babatikuelekea Dar es Salaam, hii barabara wakiikamilsha kwakiwango cha lami jambo linaendelea sasa.

Mheshimiwa Naibu Spika, pia niwaombe barabaraya Dareda-Dongobeshi kuelekea Hospitali ya Rufaa yaHydom wamekuwa wakiweka, nashukuru pia wamewekahata mwaka huu, lakini sasa ni vizuri tukafikiria kuunganisha

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

179

na hii inayotoka Karatu kuelekea Mbulu na Singida kwakiwango cha lami. Nishukuru hiyo ya Karatu - Mbulu, Hydom- Singida mmeshai-cover lakini sasa hii ya Babati – Dareda –Dongobeshi - Hydom Mheshimiwa Waziri wakiweka piaitatusaidia sana. Otherwise wanafanya kazi nzuri hongerenina niwapongeze wamepokea zaidi ya asilimia 60 ya bajeti,nipongeze Wizara ya Fedha na Wizara yao na wanachapakazi. Pia niwapongeze kwa kuwa wazalendo wameonakwamba wawe na bajeti ambayo inatekelezeka zaidi yatrilioni mbili mpaka 1.5

Mheshimiwa Naibu Spika, naunga mkono hoja naahsante. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, nilikuwanimemwita Mheshimiwa Janeth Masaburi atachangia siku yaJumatatu.

Ninayo matangazo mawili moja ni tangazo la wageniwalioingia jioni hii, tunao wageni 111 wa MheshimiwaSelemani Jafo ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi yaRais,TAMISEMI ambao ni wanafunzi 100 na Wahadhiri 11kutoka Dar es Salaam Institute of Technology (DIT)wakiongozwa na Dkt. Anthony Tomsa. (Makofi)

Tunao pia wageni wawili wa Mheshimiwa VenanceMwamoto ambao ni wawekezaji toka nchini Japan NduguSatoshi Sakamoto na Ndugu Kunihiro Fujishima, karibuni sana.(Makofi)

Tunao pia wageni 47 wa Mheshimiwa VenanceMwamoto ambao ni wanakwaya wa Amkeni kutoka Ilula,Mkoani Iringa wakiongozwa na Mchungaji Philip Kikoti,karibuni sana. (Makofi)

Ninalo pia tangazo kutoka kwa kocha wa Bunge SportClub anawatangazia Waheshimiwa Wabunge kuwa keshokutakuwa na mechi kati ya Bunge na Polisi Jamhuri wotemnakaribishwa, hajasema muda lakini mechi huwa zinaanza

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

180

saa kumi, kwa hiyo Waheshimiwa Wabunge wotemnakaribishwa huko.

Waheshimiwa Wabunge, kwa kifupi mwongozoambao nilikuwa nimeombwa asubuhi utaingia kwenyeTaarifa Rasmi za Bunge lakini kwa kifupi ni kwamba swalilililokuwa limeulizwa na Mheshimiwa Mohamed Khatibuambalo aliliombea mwongozo kuhusu majibu yaliyotolewana Mheshimiwa Naibu Waziri. Mheshimiwa Naibu Wazirialikuwa sawasawa kwa sababu kanuni ya 44(1) inatakamaswali ya nyongeza yatokane na swali la msingi. Kwa hivyoMheshimiwa Mohamed Khatibu anashauriwa kwamwongozo wangu huu wa leo kuleta hilo kama swali la msingiili ajibiwe kuhusu maendeleo ambayo Serikali imechukuakatika mkataba huo unaohusu wengine kunyanyaswa amawengine kuumizwa wakiwa polisi. Kwa hiyo mwongozowangu ni huo na utaingia kwenye Taarifa Rasmi za Bungekama ulivyo.

MWONGOZO WA SPIKA ULIOOMBWA NAMHESHIMIWA MOHAMED JUMA KHATIB (MB)

KUHUSU KUTOJIBIWA KWA UKAMILIFU SWALI LAKE LANYONGEZA LILILOTOKANA NA SWALI LA MSINGINAMBA. 205 KAMA ILIVYOWASILISHWA BUNGENI

________

Waheshimiwa Wabunge, leo asubuhi tarehe 10 Mei, 2019katika Kikao cha Ishirini na Tano, Mkutano wa Kumi na Tanowa Bunge la Bajeti, baada ya kipindi cha Maswali na Majibukumalizika, Mheshimiwa Mohammed Juma Khatib, (Mb)aliomba Mwongozo wa Spika chini ya Kanuni ya 68(7) na 46ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016. Mhe.Mohammed Khatib (Mb) aliomba Mwongozo huo kutokanana kutoridhishwa na majibu yaliyotolewa na MheshimiwaNaibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Swali laNyongeza alilouliza baada ya kupata majibu Swali lake laMsingi Namba 205.

Waheshimiwa Wabunge, Mheshimiwa Mohammed JumaKhatib (Mb) alieleza kuwa alipouliza maswali mawili ya

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

181

nyongeza, Mheshimiwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndaniya Nchi alijibu swali moja tu na kuliacha swali la pili. Vile vilealieleza kuwa Mheshimiwa Naibu Waziri katika majibu yakealidai kuwa aliyajibu maswali yote mawili kwa pamoja. Aidha,alieleza zaidi kuwa katika swali lake la pili la nyongeza alitakakujua kwamba pamoja na Katiba yetu kukataza askari polisikuwatesa watuhumiwa, kuna Mkataba wa Kimataifaunaokataza utesaji (International Convention AgainstTorture), hivyo alitaka kujua ni kwa nini mpaka leo Serikalihaijauridhia?

Waheshimiwa Wabunge, nilitoa majibu kuwa nitapitia TaarifaRasmi za Bunge (Hansard) ili niweze kufahamu kama maswalimawili ya nyongeza yaliyoulizwa na Mhe. Khatibu (Mb)yalijibiwa kwa ukamilifu. Vilevile niliwakumbusha kuhusumasharti ya Kanuni yanayosimamia uulizaji wa maswali yanyongeza kwamba Mbunge anayeuliza maswali hayohutakiwa aulize kutaka kupata ufafanuzi kwenye majibuyaliyotolewa kwenye Swali la Msingi.

Waheshimiwa Wabunge, baada ya kupitia Taarifa Rasmi zaBunge (Hansard), Swali la Msingi Namba 205 liliulizwa kwambani katika mazingira gani askari polisi anapaswa au hulazimikakumtesa mtuhumiwa wa makosa mbalimbali wakati akiwamikononi mwake au kwenye kituo cha polisi?

Mheshimiwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi alijibuswali hilo kuwa kifungu cha 11 cha Sheria ya Mwenendo waMakosa ya Jinai, Sura ya 20 hakimruhusu askari kumpiga aukumtesa mtuhumiwa wa makosa mbalimbali wakati akiwamikononi mwa polisi au kwenye kituo cha polisi. Aliongezakuwa, Kanuni za Kudumu za Utendaji wa Jeshi la Polisi (PGO)zinakataza na kuelekeza utendaji mzuri wa askari polisi,ambapo askari yeyote atakapobainika kufanya vitendo vyakumpiga au kumtesa mtuhumiwa huchukuliwa hatua zakinidhamu ikiwepo kufukuzwa kazi na au kufikishwamahakamani.

Waheshimiwa Wabunge, kama nilivyofafanua awali, Kanuniya 44 (1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge imeweka masharti

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

182

kuhusu maswali ya nyongeza. Kanuni hiyo inasema kamaifuatavyo (nanukuu):-

“Maswali ya nyongeza yanaweza kuulizwa na Mbungeyeyote kwa madhumuni ya kupata ufafanuzi zaidi juu yajambo lolote lililotajwa katika jibu lililotolewa”

Waheshimiwa Wabunge, swali la nyongeza ambaloMheshimiwa Mbunge aliuliza kuhusu uridhiaji wa Mkatabawa Kimataifa wa Kukataza Utesaji (International ConventionAgainst Torture) ni swali jipya ambalo kimsingi halikulengakutaka kupata ufafanuzi wa majibu yaliyotolewa katika swalila msingi kwa mujibu wa Kanuni niliyoitaja. Hivyo, swali hilola nyongeza lilikiuka masharti ya Kanuni ya 44(1) ya Kanuniza Kudumu za Bunge.

Waheshimiwa Wabunge, kwa maelezo hayo na kwa mujibuwa Kanuni ya 44(1), Mheshimiwa Mohammed Juma Khatib(Mb) kama anataka kupata majibu ya Serikali kuhusu uridhiajiwa Mkataba wa Kimataifa kuhusu Kuzuia Utesaji, anapawakuleta Swali la Msingi ili aweze kupata majibu ya Serikali.

Waheshimiwa Wabunge, huo ndio Mwongozo wangu.

Umetolewa leo tarehe 10 Mei, 2019.

———————Mhe. Dkt. Tulia Ackson, (Mb)NAIBU SPIKA

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, baada yakusema hayo naahirisha shughuli za Bunge mpaka siku yaJumatatu saa tatu asubuhi.

(Saa 12.08 Jioni Bunge lilihairishwa hadi Siku ya Jumatatu,Tarehe 13 Mei, 2019, Saa Tatu Asubuhi)