kiswahili schemes f4 final...– onyesho la tatu • kiswahili fasaha, kcm 4, uk. 29-32 •...

45

Upload: others

Post on 27-Jan-2021

30 views

Category:

Documents


3 download

TRANSCRIPT

  • 286

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Kwanza

    Kusikiliza na kuzungumza

    Fasihi

    Ufahamu

    Utu ni bora kuliko mali

    Fasihi yetu: Chimbuko na sifa bainifu za fasihi simulizi

    Ndio msingi wa mangi

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya utu.• kufafanua maadili na mafunzo katika

    somo.• kujadili kwa ufasaha mada waliyopewa.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza chimbuko la fasihi simulizi.• kufafanua sifa bainifu za fasihi simulizi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma shairi kwa ufasaha.• kukariri shairi kwa mahadhi.• kujibu maswali kwa usahihi.• kufafanua ujumbe wa shairi.

    1

    2

    3

    JUM

    A 1

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 1

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 1-3

    • Magazeti au majarida

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 1-3

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 3-4

    • Vielelezo vya sifa bainifu za fasihi simulizi

    • Vielezo vya vipera vya fasihi simulizi

    • Kanda za sauti na video kuhusu fasihi simulizi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 3-4

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 4-5

    • Vielelezo vya maadili yanayohimizwa na shairi

    • Vibonzo vya watu wanaotukanana

    • Wanafunzi wenyewe

    • Maelezo na ufafanuzi

    • Mjadala• Maswali na majibu• Ufahamu na

    kusikiliza• Masimulizi

    • Majadiliano katika makundi

    • Ufaraguzi• Maelezo na

    ufafanuzi• Maswali na majibu• Kazi mradi

    • Kuigiza• Usomaji• Utatuzi wa mambo• Tajriba• Uchunguzi kifani

  • 287

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    4

    5-6

    1

    Sarufi

    Fasihi

    Ufasaha wa lugha

    Upatanisho wa kisarufi

    Tamthilia: Kifo kisimani – Utangulizi

    Lugha ya simu

    • kueleza matumizi ya lugha.• kuzingatia mafunzo ya shairi.Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na manufaa ya

    upatanisho wa kisarufi.• kukamilisha sentensi ili kuleta

    upatanisho wa kisarufi.• kugeuza sentensi za wingi ziwe kwa

    umoja na za umoja ziwe kwa wingi.• kusahihisha makosa katika sentensi.• kutunga sentensi zenye upatanisho wa

    kisarufi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutaja na kugusia yaliyomo katika

    tamthilia.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za lugha ya simu.• kutumia sifa za lugha ya simu katika

    utendaji.

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 4-8

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 5-7

    • Vielelezo• Majedwali • Vitu halisi

    • Kifo kisimani

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 8-9

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 7-8

    • Vielelezo vya mazungumzo ya simu

    • Wanafunzi wenyewe• Vibonzo

    • Tajriba• Maswali na majibu• Mifano

    • Kusikiliza• Kuandika• Kujadiliana• Uchambuzi

    • Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Uigizaji

    JUM

    A 1

    JUM

    A 2

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 288

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    2

    3

    4

    5

    Fasihi teule

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Fasihi

    Chimbuko la mashairi ya arudhi

    Barua ya kirafiki

    Ujirani mwema baina ya nchi

    Kifo kisimani

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza chimbuko la mashairi ya arudhi.• kupambamua sifa za mashairi ya arudhi.• kuhakiki shairi la arudhi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza kanuni za uandishi wa barua ya

    kirafiki.• kubainisha muundo wa barua ya kirafiki.• kuandika barua ya kirafiki kwa usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusimulia hadithi.• kujibu maswali kwa sauti na ufasaha.• kueleza maana ya maneno na misemo.• kuzingatia mafunzo katika hadithi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua vitushi mbalimbali katika

    tamthilia.

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 9-10

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 8

    • Mikusanyo ya mashairi ya arudhi au jadi

    • Chati ya mashairi ya arudhi

    • Kanda za sauti au video kutoka KIE

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 10

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 8-9

    • Vielelezo vya barua za kirafiki

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 11

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 9-12

    • Ramani• Kadi za hoja• Mikusanyo

    magazetini

    • Kifo kisimani – Onyesho la Kwanza

    • Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Uchunguzi • Kazi ya vikundi

    • Mifano halisi ya barua za kirafiki

    • Tajriba • Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Kuandika

    • Masimulizi• Maelezo• Tajriba• Ufahamu wa

    kusikiliza

    • Kusoma • Kuandika• Maelezo

    JUM

    A 2

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 289

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    6

    1

    2

    3

    Fasihi

    Ufahamu

    Sarufi

    Fasihi teule

    Chimbuko na sifa bainifu za fasihi andishi

    Kutegea kazi

    Umoja na wingi

    Chimbuko la mashairi huru

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza asili na maendeleo ya fasihi

    andishi.• kufafanua sifa zinazobainisha fasihi

    andishi.• kujibu maswali kwa usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kukariri shairi.• kujibu maswali kwa usahihi.• kufafanua matumizi ya lugha.• kueleza ujumbe wa shairi.• kuzingatia mafunzo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha maumbo ya maneno katika

    umoja na wingi.• kugeuza sentensi katika umoja na wingi.• kueleza mabadiliko ya viambishi vya

    ngeli na upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua wakati na sababu za

    kuchipuka kwa mashairi huru.• kupambanua pingamizi dhidi ya

    mashairi huru.• kutoa maoni kuhusu mgogoro wa

    mashairi wa jadi na huru.

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 11-12

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 12-13

    • Vielelezo• Vitabu vya fasihi

    andishi• Chati ya sifa bainifu

    za fasihi andishi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 13-14

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 13-14

    • Mabango• Magazeti• Picha au michoro

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 15-17

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 14-15

    • Chati ya viambishi vya ngeli

    • Vielelezo • Majedwali • Ubao

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 19-20

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 16-17

    • Mikusanyo ya mashairi huru

    • Picha za washairi wa kimapinduzi

    • Ramani

    • Mjadala• Maswali na majibu• Uvumbuzi

    • Kuigiza• Usomaji• Utatuzi wa mambo• Uchunguzi kifani

    • Mifano• Maelezo• Ufaraguzi• Tajriba

    • Dayolojia• Maelezo• Utafiti• Tajriba• Mifano

    JUM

    A 2

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa KwanzaJU

    MA

    3

  • 290

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    4

    5

    6

    1

    Utunzi

    Ufasaha wa lugha

    Fasihi

    Kusikiliza na kuzumgumza

    Mchezo wa kuigiza: Njia za kufufua na kuendeleza viwanda nchini

    Muhtasari

    Kifo kisimani

    Imla:Kukonda kupita kiasi

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika mchezo wa kuigiza kwa

    kuzingatia kanuni za utunzi wake.• kubainisha njia za kufufua na

    kuendeleza viwanda nchini.• kutumia alama za uakifishaji ipasavyo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua umuhimu wa muhtasari. • kueleza mambo muhimu ya kuzingatia

    katika ufupisho.• kuandika muhtasari wa taarifa kwa

    usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuelezea mchezo katika onyesho la pili.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusikiliza na kuandika taarifa kwa

    usahihi.• kufafanua ujumbe• kueleza matumizi ya alama za

    uakifishaji.• kuzingatia mafunzo ya ujumbe.

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 20

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk.17-18

    • Uandishi wa insha • Waalikwa• Makala magazetini• Picha za

    viwanda na watu waliosimamishwa kazi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 18

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 15-16

    • Kazi za hoja• Vielelezo vya

    ufupisho• Vidokezo ubaoni

    • Kifo kisimani – Onyesho la Pili

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 21

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 18-19

    • Mikusanyo ya picha magazetini na habari kuhusu watu

    • Maigizo• Kazi mradi• Vikundi• Utatuzi wa mambo• Kuandika

    • Maswali na majibu• Majadiliano• Kuandika

    • Kusoma • Kuandika• Kujadiliana• Uchambuzi

    • Mifano• Tajriba• Maelezo na ufafanuzi• Ufahamu wa

    kusikiliza • Imla

    JUM

    A 3

    JUM

    A 4

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 291

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    2

    3

    4

    5

    Fasihi yetu

    Ufahamu

    Sarufi

    Ufasaha wa lugha

    Methali

    Vyama vya ushirika

    Nomino

    Uakifishaji

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupambanua chanzo cha methali.• kufafanua matumizi ya methali. • kutumia methali katika mazungumzo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.• kueleza maana za maneno na methali.• kueleza hasara na manufaa ya vyama vya

    ushirika.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuanisha nomino na kutoa mifano ya

    aina za nomino.• kutumia nomino katika sentensi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha alama za uakifishaji.• kuafisha maandishi.

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 21-22

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 19-20

    • Waalikwa• Mikusanyo ya methali• Miktadha ya

    matumizi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 22-25

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 20-21

    • Mikusanyo kuhusu vyama vya ushirika

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 25-27

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 21-22

    • Mabango ya vyama vya ushirika

    • Vielelezo ubaoni

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 27-29

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 22-23

    • Kanda za sauti na video

    • Chati ya alama za uakifishaji

    • Vielelezo

    • Utafiti• Mifano• Kazi mradi• Uchunguzi

    • Usomaji• Maelezo• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu

    • Tajriba• Mifano• Mashindano• Upambanuzi

    • Mifano• Maelezo na ufafanuzi

    JUM

    A 4

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 292

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    6

    1

    2

    3

    Fasihi

    Fasihi teule

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Kifo kisimani

    Fani katika mashairi ya arudhi

    Insha ya methali

    Haki za wafanyakazi viwandani

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mtiririko wa onyesho la tatu

    kwa muhtasari.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na umuhimu wa fani

    katika mashairi ya arudhi.• kufafanua muundo, mtindo, wahusika

    na matumizi ya lugha ya mashairi ya arudhi.

    • kuchambua fani katika mashairi ya arudhi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya methali.• kufafanua muundo wa insha za methali.• kupambanua sifa za insha za methali.• kuandika insha ya methali.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubadilisha mawazo kwa njia ya

    majadiliano.• kusikiliza kwa makini na kutekeleza.• kueleza haki za wafanyakazi.

    • Kifo kisimani – Onyesho la Tatu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 29-32

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 23-24

    • Mikusanyo ya mashairi ya arudhi

    • Vielelezo• Chati za miundo na

    mpangilio wa vina na mizani

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 32

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 24-25

    • Tarasha• Vielelezo• Mazingira halisi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 33

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 25-27

    • Picha, michoro na vibonzo

    • Taarifa kutoka redio, runinga na mtandao

    • Makala ya gazeti

    • Uchunguzi• Kusoma• Kujadili• Kuandika

    • Udadisi• Uchunguzi• Mifano• Maswali na majibu• Uhakiki

    • Masimulizi• Uchunguzi• Mifano• Kuandika

    • Majadiliano• Uchunguzi na udadisi• Utatuzi wa mambo• Makundi

    JUM

    A 4

    JUM

    A 5

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 293

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    4

    5

    6

    1

    Fasihi yetu

    Ufahamu

    Fasihi

    Sarufi

    Misemo

    Mfinyanzi hulia gaeni

    Kifo kisimani

    Vitenzi: Mzizi na viambishi

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya misemo na umuhimu

    wake.• kutoa mifano ya misemo na kuitumia

    katika sentensi kimantiki na kisarufi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha na usahihi.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno kama

    yalivyotumika katika taarifa.• kuzingatia mafunzo na maadili katika

    taarifa.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza yaliyomo katika onyesho la nne

    na tano.• kueleza matumizi ya lugha katika

    onyesho la nne na tano.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza dhana ya mzizi na viambishi

    katika vitenzi.• kubainisha mzizi na viambishi awali na

    tamati katika vitenzi.

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 33-34

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 27-28

    • Jedwali la misemo na maana zake

    • Vielelezo vya misemo

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 35-37

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 28-29

    • Magazeti na majarida • Taarifa kutoka redio,

    runinga na mtandao• Picha na michoro

    • Kifo kisimani – Onyesho la Nne na

    Tano

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 37-40

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 29-31

    • Jedwali la kubainisha mzizi na viambishi katika vitenzi

    • Kamusi ya Kiswahili Sanifu

    • Vielelezo vya maumbo ya vitenzi

    • Mashindano • Majadialiano katika

    makundi• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu

    • Kusoma• Maswali na majibu• Mjadala• Utafiti• Ufaraguzi

    • Kusoma• Kujadiliana• Kuandika• Kuhakiki

    • Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano katika

    vikundi• Tajriba

    JUM

    A 5

    JUM

    A 6

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 294

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    2

    3

    4

    5

    Ufasaha wa lugha

    Fasihi teule

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Matumizi ya maneno maalumu

    Fani katika mashairi huru

    Insha ya mazungumzo

    Mjadala –Umoja wa Afrika hauna faida

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kubainisha matumizi

    sahihi ya maneno maalumu.• kutunga sentensi kwa kutumia maneno

    maalumu.• kusahihisha matumizi mabaya ya

    maneno maalumu.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na umuhimu wa fani.• kufafanua fani katika mashairi huru.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza insha ya mazungumzo.• kufafanua muundo wa insha ya

    mazungumzo.• kuandika insha ya mazungumzo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuendesha mjadala darasani.• kujadili hoja muhimu kwa ufasaha na

    mantiki.• kuzingatia mitindo ya kujadili.

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 40-43

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 31

    • Magazeti na majarida• Vielelezo vya sentensi

    zenye maneno maalumu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 43-46

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 31-33

    • Vielelezo • Chati ya vipengele vya

    fani• Mikusanyo ya

    mashairi huru

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 46

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 33

    • Mazingira ya wanafunzi

    • Wanafunzi wenyewe• Mikusanyo ya insha

    za mazungumzo

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 47

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 33-34

    • Ramani • Picha • Mikusanyo ya makala

    • Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano katika

    makundi• Tajriba• Maswali na majibu• Mifano

    • Udadisi• Uchunguzi• Mifano • Maswali na majibu• Uhakiki

    • Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Ufaraguzi wa

    mazungumzo• Tajriba• Maswali na majibu• Kuandika

    • Mjadala • Maelezo na ufafanuzi• Kazi ya vikundi

    JUM

    A 6

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 295

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    6

    1

    2

    3

    Fasihi

    Fasihi yetu

    Ufahamu

    Sarufi

    Kifo kisimani

    Mafumbo

    Historia ya Umoja wa Afrika

    Aina za vitenzi

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko wa onyesho la sita na

    yaliyomo katika onyesho hili.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa maana ya mafumbo.• kueleza sifa bainifu za mafumbo.• kupambanua dhima ya mafumbo.• kutoa mifano ya mafumbo.• kufumbua mafumbo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma maandishi kwa ufasaha.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya vitenzi.• kubainisha vitenzi katika sentensi.• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi

    vikuu, visaidizi, vishirikishi, vishirikishi-vipungufu na vitenzi sambamba.

    • Kifo kisimani – Onyesho la Sita

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 47-49

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 34-35

    • Chati za mafumbo• Wanafunzi wenyewe• Kadi za mafumbo• Vielelezo

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 49-51

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 35-36

    • Ramani • Picha za viongozi• Magazeti na majarida• Waalikwa• Tarakimu, grafu na

    chati

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 51-54

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 36-38

    • Mandhari ya shule• Chati ya aina za

    vitenzi na mifano yake

    • Vielelezo

    • Kusoma • Kujadili • Kuandika• Uhakiki

    • Ufumbuzi wa mafumbo

    • Uvumbuzi huria• Michezo ya lugha• Maelezo ya ufafanuzi• Mifano

    • Usomaji• Maswali na majibu• Mahojiano• Utafiti

    • Maelezo • Mifano• Tajriba

    JUM

    A 6

    JUM

    A 7

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 296

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    4

    5

    6

    1

    Ufasaha wa lugha

    Fasihi teule

    Fasihi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Muhtasari: Kiswahili baada ya uhuru

    Maudhui katika mashairi ya arudhi

    Kifo kisimani

    Unene wa kupindukia

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufupisha taarifa kuambatana na

    maagizo.• kueleza maendeleo ya Kiswahili tangu

    Kenya ipate uhuru.• kubainisha matatizo yanayoikabili lugha

    ya Kiswahili na ustawi wake.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya maudhui.• kupambanua hatua za kupata maudhui.• kusoma shairi na kujibu maswali ya

    ufahamu.• kufafanua maudhui ya shairi la arudhi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko wa onyesho la saba

    na kudondoa matukio makuu katika onyesho hilo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza hoja kwa mantiki na ufasaha.• kujadili chanzo na madhara ya unene wa

    kupindukia.• kupendekeza hatua za kukabiliana na

    unene wa kupindukia.

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 55-56

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 38-39

    • Ripoti magazetini• Chati • Historia ya Kiswahili

    (OUP)• Picha na michoro• Ramani

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 57-58

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 39-40

    • Mikusanyo ya visa vya udhalimu magazetini

    • Mikusanyo ya mashairi ya arudhi

    • Kifo kisimani – Onyesho la Saba

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 59

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 41-43

    • Makala• Picha na michoro• Wanafunzi

    • Kuandika• Kufupisha• Utatuzi wa mambo• Mahojiano

    • Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Ugunduzi• Makundi• Uhakiki

    • Kusoma• Kujadili• Kuandika• Uhakiki

    • Mjadala• Makundi• Maelezo• Maswali na majibu• Ufahamu wa

    kusikiliza

    JUM

    A 7

    JUM

    A 8

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 297

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    2

    3

    4

    5

    Fasihi yetu

    Ufahamu

    Sarufi

    Ufasaha wa lugha

    Lakabu

    Usafiri wa umma siku hizi

    Viwakilishi

    Muhtasari: Manufaa ya taka

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya lakabu.• kufafanua sifa za lakabu.• kutoa mifano na kufafanua maana za

    lakabu katika vitabu vya fasihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma ufahamu wa ufasaha.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.• kueleza ujumbe wa taarifa.• kueleza maana za maneno.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya viwakilishi.• kuanisha viwakilishi mbalimbali na

    mifano yake.• kufafanua matumizi ya viwakilishi.• kutunga sentensi sahihi kwa kutumia

    viwakilishi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha na ufahamu.• kudondoa hoja kuu kutoka katika

    taarifa.• kueleza hoja kwa muhtasari bila

    kupoteza au kubadili maana.• kujibu maswali ya ufupisho kwa usahihi

    kulingana na vidokezo.

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 59-60

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 43-44

    • Vielelezo • Wanafunzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 60-63

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 44-45

    • Picha na michoro• Mazingira ya

    wanafunzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 63-66

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 45-46

    • Majedwali • Maandishi kutoka

    magazeti na vitabu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 66-67

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 46

    • Wanafunzi wenyewe• Kielelezo cha hatua za

    kufupisha habari

    • Maelezo • Usomaji• Maswali na majibu• Tajriba• Utafiti • Majadiliano

    • Maelezo• Usomaji• Maswali na majibu• Tajriba• Utafiti

    • Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano • Tajriba

    • Maelezo• Ufafanuzi• Majadiliano• Kutoa mifano• Maswali na majibu• Kusoma • Kuandika

    JUM

    A 8

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 298

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    8

    6

    1

    2

    Fasihi teule

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Mafunzo na tathmini katika mashairi

    Mashairi ya arudhi na huru

    Mawazo

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuonyesha mambo muhimu ya

    kushughulikiwa katika tathmini ya ushairi.

    • kufafanua hatua za kupitia wakati wa kujibu maswali ya mashairi.

    • kujibu maswali ya ushairi kwa usahihi.• kueleza mafundisho katika ushairi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutunga mashairi ya arudhi na

    huru kwa kuzingatia utunzi wao na maudhui waliyopewa.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kusikiliza kwa makini.• kujadili hoja kwa ufasaha.

    • Majadiliano• Makundi• Utendaji• Maswali na majibu• Maelezo na

    ufafanuzi

    • Maelezo • Tajriba• Utafiti• Utungaji wa kisanii

    • Maelezo• Mdahalo• Maigizo• Uchunguzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 68-70

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 46-48

    • Kanda za sauti au video

    • Vielelezo• Mashairi kutoka

    vitabu mbalimbali

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 71-72

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 48-49

    • Vielelezo• Mikusanyo ya

    mashairi• Makala toka

    magazeti

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 73-74

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 49-50

    • Vielelezo• Wanafunzi• Waalikwa• Vibonzo

    JUM

    A 9

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 299

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    9

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 74-76

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 50-52

    • Kamusi ya Sheng• Kanda za sauti na

    video• Idhaa mbalimbali za

    redio• Mikusanyo ya

    misimu• Magazeti, hasa ya

    udaku

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 77-78

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 52-53

    • Magazeti• Vielelezo vya barua

    rasmi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 79-81

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 53-54

    • Chati za vivumishi• Maandishi

    mbalimbali

    • Kifo kisimani – Onyesho la Nane

    • Mifano• Ufaraguzi• Utafiti• Maelezo na

    ufafanuzi• Michezo ya lugha

    • Ugunduzi wa kuongozwa

    • Maswali na majibu• Utafiti• Tajriba• Usomaji

    • Maelezo na ufafanuzi

    • Utafiti• Mifano• Tajriba

    • Kusoma • Kujadiliana • Kuandika• Uhakiki

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza misimu.• kueleza sababu ya misimu kuchipuka.• kufafanua sifa za misimu.• kutoa mifano na maana za misimu.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa makini.• kupambanua sifa za barua rasmi.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza matumizi ya lugha.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza vivumishi.• kuanisha vivumishi.• kutoa mifano ya vivumishi.• kubainisha maumbo ya vivumishi.• kutumia vivumishi katika sentensi

    kwa usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuelezea mtiririko wa onyesho la

    nane.• kutambua matukio makuu katika

    onyesho la nane.

    Misimu

    Barua wazi kwa Mkurugenzi

    Vivumishi

    Kifo kisimani

    Fasihi yetu

    Ufahamu

    Sarufi

    Fasihi

    3

    4

    5

    6

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 300

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    10

    1

    2

    3

    4

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kufupisha habari ipasavyo.• kufafanua wajibu wa Kiswahili.• kueleza maenezi ya lugha ya

    Kiswahili.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika kwa usahihi akizingatia

    muundo, maudhui na hatua za barua rasmi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutetea hoja kikamilifu.• kuwasilisha hoja kwa kuzingatia

    kanuni za kuendesha midahalo.• kuzungumza kwa ufasaha na usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya ngano.• kufafanua muundo na umuhimu wa

    ngano.• kuanisha ngano.• kuhakiki ngano.

    • Kufupisha• Utafiti• Majadiliano• Kazi mradi• Usomaji• Kuandika

    • Mifano• Maelezo• Majadiliano• Uchunguzi• Kuandika

    • Ufafanuzi• Mjadala• Tajriba• Utendaji au uigizaji

    • Maelezo na ufafanuzi

    • Masimulizi• Majadiliano• Maswali na majibu• Makundi• Uhakiki

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 82-83

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 54-55

    • Ramani• Magazeti• Redio na mdahilishi• Vielelezo

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 85-86

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 56-58

    • Vielelezo • Chati • Mikusanyo

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 87

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 58-60

    • Makala• Kanda za sauti• Wanafunzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 87-89

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 60-63

    • Chati za muundo, aina na umuhimu wa ngano

    • Kanda za sauti kutoka KIE

    • Vielelezo

    Ufasaha wa lugha

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Fasihi yetu

    Muhtasari: Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa 1

    Barua rasmi

    Mjadala

    Ngano

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 301

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    10

    5

    6

    1

    2

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 90-92

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 63-64

    • Picha na michoro• Magazeti

    na majarida yanayogusia ubakaji

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 92-94

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 64-66

    • Majedwali • Vielelezo

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 95-96

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 66-69

    • Vielelezo vya wasifu na tawasifu

    • Kanda za sauti au video zenye mada hii

    • Picha na michoro

    • Kifo kisimani – Onyesho la Tisa

    • Usomaji• Majadiliano• Maelezo na

    ufafanuzi• Maswali na majibu

    • Maelezo na ufafanuzi

    • Maswali na majibu• Majadiliano• Mashindano• Makundi

    • Maelezo na ufafanuzi

    • Tajriba na mifano• Maswali na majibu• Majadiliano

    • Kusoma • Kujadiliana• Uchambuzi

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kubainisha maudhui au ujumbe wa

    taarifa.• kueleza maana ya msamiati.• kujibu maswali kwa usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya neno viunganishi.• kubainisha viunganishi vya asili ya

    Kibantu na vya kukopwa.• kufafanua sifa na dhima za

    viunganishi.• kutunga sentensi kwa kutumia

    viunganishi kwa usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya wasifu na tawasifu.• kueleza umuhimu wa wasifu na

    tawasifu.• kutoa mifano ya wasifu na tawasifu.• kufafanua mafunzo kutokana na

    mifano ya wasifu na tawasifu.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko wa onyesho la tisa.

    Ubakaji

    Viunganishi

    Wasifu na tawasifu

    Kifo kisimani

    Ufahamu

    Sarufi

    Ufasaha wa lugha

    Fasihi

    JUM

    A 1

    1

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 302

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    11

    3

    4

    5

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza muundo na hatua za kuandika

    insha za wasifu na tawasifu.• kuandika insha za wasifu na tawasifu

    kwa usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusikiliza kwa makini.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza shughuli za mkutano na

    umuhimu wake.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza miviga.• kufafanua dhima ya miviga.• kueleza sifa za miviga.• kutoa mifano ya miviga.

    • Uchunguzi• Mifano• Tajriba• Maswali na majibu• Maelezo na

    ufafanuzi• Kuandika

    • Mjadala• Makundi• Mifano• Maelezo na

    ufafanuzi

    • Mifano• Tajriba• Utafiti• Maigizo• Maelezo na

    ufafanuzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 98

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 70

    • Vielelezo vya insha za wasifu na tawasifu

    • Magazeti na majarida yenye wasifu au tawasifu

    • Kanda za sauti au video juu ya maisha ya watu maarufu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 99-101

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 70-71

    • Mikusanyo ya kumbukumbu

    • Ripoti za mikutano magazetini

    • Vielelezo

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 101-102

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 71-72

    • Mikusanyo ya miviga• Mwalikwa• Kanda za sauti• Picha za sherehe

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Fasihi yetu

    Insha ya wasifu na tawasifu

    Mkutano Mkuu wa Mwaka

    Miviga

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 303

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    11

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 102-104

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 72-73

    • Picha za maeneo• Ripoti za visa vya

    maonevu kazini• Tarakimu za

    wahasiriwa wa ukimwi

    • Magazeti na majarida

    • Kanda za video

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 104-106

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 73-74

    • Mabango• Ramani• Mandhari katika

    ujirani wa shule

    • Kifo kisimani – Onyesho la Kumi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 106-107

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 74

    • Magazeti• Mdahilishi• Redio• Vielelezo• Historia ya

    Kiswahili (OUP)

    • Ufaraguzi• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu• Usomaji

    • Tajriba• Kazi mradi • Masimulizi• Uigizaji

    • Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uchambuzi

    • Maswali na majibu• Usomaji• Kuandika• Maelezo• Majadiliano• Uchunguzi

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa makini.• kueleza hali ya wahasiriwa wa ukimwi

    katika mazingira ya kazini.• kufafanua maana za maneno.• kujibu maswali kwa usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya vielezi.• kuainisha vielezi vya mahali na idadi.• kutumia vielezi kutungia sentensi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko katika onyesho la

    kumi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kufupisha habari ipasavyo.• kufafanua wajibu wa Kiswahili.• kueleza ufundishaji wa Kiswahili

    katika vyuo vikuu.• kupima matumizi ya Kiswahili katika

    vyombo vya habari.

    Ufahamu

    Sarufi

    Fasihi

    Ufasaha wa lugha

    Kitengo cha ukimwi chazinduliwa

    Vielezi

    Kifo kisimani

    Muhtasari:Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa 2

    6

    1

    2

    3JU

    MA

    12

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 304

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    12

    4

    5

    6

    1

    Utunzi

    Fasihi yetu

    Ufahamu

    Mtihani na kusahihisha

    Kumbukumbu

    Mighani

    Mwacha mila

    Marudio na mazoezi ya stadi zote

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika insha ya kumbukumbu kwa

    usahihi akizingatia mbinu za uandishi wake.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mighani.• kuonyesha sifa za mighani.• kufafanua sifa za mighani kuhusu

    Nyerere.• kusimulia mighani.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa makini na ufasaha.• kutoa maoni kuhusu mila ya kuzika

    maiti ‘kwao’.• kujibu maswali ya ufahamu kwa

    usahihi.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

    • Utatuzi wa mambo• Tajriba• Ufaraguzi• Mazungumzo• Kuandika

    • Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Tajriba• Majadiliano• Masimulizi

    • Mjadala• Maswali na majibu• Mifano • Usomaji • Tajriba• Maelezo na ufafanuzi

    • Tajriba ya wanafunzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 110

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 75-76

    • Vielelezo• Ubao• Mikusanyo

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 111-114

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 79-80

    • Vielelezo vya mighani

    • Magazeti, majarida na makala toka kwenye wavuti yenye mighani

    • Wanafunzi wenyewe

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 114-116

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 79-80

    • Vielelezo• Mikusanyo ya visa

    magazetini

    • Karatasi za mitihani• Kalamu

    JUM

    A 1

    3

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Kwanza

  • 305

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    1

    1

    2

    3

    Sarufi

    Fasihi

    Ufasaha wa lugha

    Vihusishi

    Kifo kisimani

    Uundaji wa maneno

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya vihusishi.• kufafanua dhima ya vihusishi.• kubainisha aina za vihusishi.• kutumia vihusishi katika sentensi kwa

    usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mbinu mbalimbali za lugha

    ambazo zimetumika.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sababu za lugha kuendelea

    kuunda maneno kila wakati.• kutaja mifano ya maneno ambayo

    yamezuka katika nyanja mbalimbali kutokana na maendeleo ya jamii.

    • kueleza mojawapo ya njia ambazo hutumiwa katika kuunda maneno.

    • kufafanua namna maneno yanavyotumiwa kuunda maneno mengine.

    • kutoa maneno yaliyoundwa kutokana na mengine katika sentensi kwa usahihi.

    • Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Tajriba

    • Kujadiliana• Kuandika• Kusoma• Uchambuzi

    • Tajriba• Majadiliano• Mifano• Majibu na maswali• Maelezo na ufafanuzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 116-118

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 80-81

    • Majedwali• Vielelezo• Mikusanyo ya sentensi

    zenye vihusishi

    • Kifo kisimani

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 118-120

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 81-83

    • Chati ya aina za maneno

    • Vielelezo vya maneno yaliyoundwa kutokana na mengine

    • Makala yenye maandishi

    Kiswahili, Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Pili

  • 306

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    1

    4-5

    6

    1

    Fasihi teule

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Fani katika hadithi fupi

    Uandishi wa matangazo

    Hotuba:Balozi wa Umoja wa Mataifa juu ya mazingira

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma hadithi fupi.• kupambanua vipengele vya fani.• kuchambua fani katika mkusanyo wa

    hadithi fupi.• kujibu maswali kwa usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza matangazo. • kueleza umuhimu wa matangazo.• kubainisha aina za matangazo.• kuandika matangazo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusikiliza kwa makini.• kufafanua ujumbe wa hotuba kwa

    ufasaha.• kueleza matatizo ya uharibifu wa

    mazingira na ufumbuzi wake.• kueleza maana za maneno.• kupambanua mchango wa vijana

    katika kuhifadhi mazingira.

    • Tajriba• Maswali• Uhakiki• Kazi mradi• Udadisi• Usomaji • Maelezo na ufafanuzi

    • Tajriba• Maswali na majibu• Uchunguzi• Makundi • Kuandika

    • Mdahalo• Maigizo• Makundi• Utatuzi wa mambo• Kazi mradi• Kuhutubu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 120-123

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 83-84

    • Mandhari halisi• Chati ya vipengele

    vya fani• Kitabu kiteule cha

    hadithi fupi (Mayai Waziri wa Maradhi)

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 123-124

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 84-85

    • Mabango • Mdahilishi, runinga,

    redio• Picha magazetini• Mandhari halisi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 125-126

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 85-86

    • Mabango• Mdahilishi, runinga

    video na redio• Picha magazetini• Mandhari halisi

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa PiliJU

    MA

    2

  • 307

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    2

    2

    3

    4

    Fasihi yetu

    Ufahamu

    Sarufi

    Ulumbi

    Haki za watoto na wanawake

    Vihisishi

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza ulumbi.• kueleza majukumu ya walumbi.• kupambanua sifa za ulumbi.• kutoa mifano ya walumbi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha na makini.• kujibu maswali ya ufahamu kwa

    usahihi.• kueleza maana za maneno na methali.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza vihisishi.• kuanisha vihisishi.• kutoa mifano ya vihisishi katika

    Kiswahili.• kutumia vihisishi katika maandishi na

    mazungumzo.

    • Mifano• Utazamaji• Uchunguzi kifani• Maelezo na

    ufafanuzi

    • Ufaraguzi• Maelezo• Maswali na majibu• Mahojiano na

    majadiliano

    • Maigizo• Utafiti• Mifano• Masimulizi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 127-128

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 86-87

    • Kanda za sauti• Picha• Waalikwa

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 128-130

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 87-88

    • Vibonzo• Waalikwa• Vyombo vya habari • Makala • Kamusi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 130-133

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 88-89

    • Kanda za sauti au video

    • Mikusanyo ya vihisishi

    • Mazungumzo kwenye runinga au redio

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Pili

  • 308

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    2

    5

    6

    1

    Ufasaha wa lugha

    Fasihi teule

    Fasihi teule

    Mwingiliano wa aina za maneno

    Fani katika riwaya

    Maudhui katika riwaya

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kubainisha dhana ya mwingiliano wa

    maneno.• kutambulisha aina za maneno.• kutunga sentensi kudhihirisha

    mwingiliano wa maneno mbalimbali.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya fani.• kubainisha mambo muhimu katika

    fani.• kufafanua umuhimu wa fani.• kuhakiki riwaya teule kifani.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maudhui na dhamira.• kupambanua hatua na vigezo vya

    kupata maudhui. • kufafanua maudhui ya riwaya teule.

    • Mifano• Utafiti• Uchunguzi

    • Maelezo na ufafanuzi

    • Maswali na majibu• Uchambuzi • Majadiliano• Makundi

    • Majadiliano• Makundi• Maswali na majibu• Tajriba• Ugunduzi• Utafiti• Uhakiki

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 130-133

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 89-90

    • Kadi za maneno• Jedwali la aina za

    maneno• Mandhari ya

    wanafunzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 107-110

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 75

    • Riwaya teule• Chati• Kanda za sauti

    kutoka KIE

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 135-136

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 90

    • Kanda za sauti kutoka KIE

    • Riwaya teule• Picha za watu, vitu,

    hali na mandhari mbalimbaliJU

    MA

    3

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Pili

  • 309

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    3

    2

    3

    4

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Fasihi yetu

    Uandishi wa hotuba: Kenya tuitakayo

    Mahojiano: Jopo la waajiri

    Soga

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya hotuba.• kufafanua sifa za hotuba.• kueleza muundo wa hotuba na hatua

    za kuiandika.• kuandika hotuba.• kuzingatia ujumbe katika hotuba.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za mahojiano katika jopo

    la waajiri.• kuendesha mahojiano ya jopo la

    waajiri kwa usahihi.• kuandika insha ya mahojiano ya kazi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya soga.• kufafanua sifa za soga.• kubainisha mafunzo katika soga• kutoa mfano wa soga.

    • Maigizo ya hotuba• Muundo wa hotuba• Jinsi ya kuandika

    hotuba• Ujumbe katika hotuba• Ufahamu wa kusikiliza

    • Maelezo na ufafanuzi• Maigizo• Ufaraguzi• Mahojiano• Majadiliano• Tajriba• Maswali na majibu

    • Maelezo na ufafanuzi• Maigizo • Ufaraguzi• Maswali na majibu• Majadiliano

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 136

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 90-92

    • Vielelezo vya hotuba mbalimbali

    • Magazeti na majarida ya hotuba

    • Picha za mandhari kutoka nchi mbalimbali

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 137-138

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 92-93

    • Vielelezo vya maswali yanayoulizwa na jopo

    • Wanafunzi wenyewe

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 138-139

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 93-94

    • Vielelezo vya soga mbalimbali

    • Jedwali• Kanda za sauti

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Pili

  • 310

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    3

    5

    6

    1-2

    3

    Fasihi

    Ufahamu

    Sarufi

    Ufasaha wa lugha

    Kifo kisimani

    Kazi mbi si mchezo mwema

    Vijenzi vya sentensi 1

    Dayolojia:Uwajibikaji wa viongozi waliochaguliwa

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuzitambua mbinu na fani mbalimbali

    za lugha zilizotumika katika tamthilia.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma ufahamu kwa ufasaha.• kueleza yaliyomo katika taarifa.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza maana za maneno na vifungu. • kuzingatia mafunzo katika taarifa.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kubainisha vijenzi vya sentensi.• kutunga sentensi ili kudhihirisha

    vijenzi maalumu.• kutoa mifano ya vijenzi vya sentensi

    ambavyo vinashughulikiwa.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma na kuigiza dayolojia kwa

    ufasaha.• kujibu maswali kutokana na dayolojia

    kwa usahihi.• kuandika dayolojia nyingine kama

    walivyoelekezwa kwa usahihi.

    • Kujadiliana• Kusoma• Kuandika• Uchambuzi

    • Maelezo na ufafanuzi• Usomaji• Maswali na majibu• Majadiliano• Tajriba

    • Maelezo na ufafanuzi• Uchunguzi• Majadiliano• Maswali na majibu

    • Uigizaji• Makundi• Majadiliano• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu

    • Kifo kisimani

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 140-142

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 94-96

    • Picha na michoro • Makala ya magazeti • Kamusi ya

    Kiswahili Sanifu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 142-146

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 96-97

    • Vielelezo vya vijenzi vya sentensi

    • Mikusanyo ya maandishi, kama vitabu viteule, magazeti na kamusi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 146-148

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 97-98

    • Wanafunzi wenyewe• Vielelezo vya

    dayolojia

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa PiliJU

    MA

    4

  • 311

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    4

    4

    5-6

    1

    2

    Fasihi teule

    Fasihi

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Maudhui katika hadithi fupi

    Kifo kisimani

    Mahojiano

    Wavuti

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maudhui.• kueleza vigezo vya kuzingatia katika

    uchambuzi wa maudhui.• kufafanua maudhui ya hadithi

    mbalimbali katika mkusanyo teule wa hadithi fupi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutambua maudhui yanayoendelezwa

    katika tamthilia.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua muundo wa mahojiano.• kuandika insha ya mahojiano kwa

    usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutumia wavuti ipasavyo.• kuendesha majadiliano kutokana na

    ujumbe katika wavuti kwa ufahasa.• kuzingatia ujumbe katika wavuti.

    • Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Tajriba• Ugunduzi wa

    kuongozwa• Uhakiki

    • Kusoma• Kujadili• Kuandika• Uchambuzi

    • Maelezo • Kuandika • Mahojiano• Kuigiza• Mifano• Maswali na majibu• Makundi

    • Uchunguzi• Tajriba• Majadiliano• Maelezo na ufafanuzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 148-150

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 98-99

    • Kitabu kiteule cha hadithi fupi

    • Kanda za uhakiki kutoka KIE

    • Kifo kisimani

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 150

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 99-100

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 151

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 100-101

    • Wavuti• Ramani• Picha kutoka

    magazeti

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa PiliJU

    MA

    5

  • 312

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    5

    3

    4

    5-6

    Fasihi yetu

    Ufahamu

    Fasihi

    Malumbano ya utani

    Taarifa ya wavuti kuhusu ajira ya watoto

    Kifo kisimani

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuchunguza mifano ya malumbano ya

    utani.• kupambanua aina za utani.• kueleza matumizi ya lugha katika

    malumbano ya utani.• kufafanua dhima ya malumbano ya

    utani.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa makini.• kujibu maswali ya ufahamu kwa

    usahihi.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutambua maudhui yanayoendelezwa

    katika tamthilia hii.

    • Uchunguzi kifani• Mifano• Tajriba• Maswali na majibu• Maswali na majibu

    • Tajriba• Uchunguzi kifani• Maelezo na ufafanuzi

    • Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uchambuzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 151-153

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 101

    • Kanda za sauti• Mikusanyo ya

    malumbano ya utani• Ripoti za utafiti

    kuhusu utani

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 153-155

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 101-103

    • Wavuti• Picha katika

    magazeti na majarida

    • Redio, runinga na video

    • Kamusi ya Kiswahili Sanifu

    • Kifo kisimani

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Pili

  • 313

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    6

    1-2

    3

    4

    5-6

    Sarufi

    Ufasaha wa lugha

    Fasihi teule

    Fasihi

    Vijenzi vya sentensi 2

    Muhtasari: Ponografia na athari zake

    Mafunzo na tathmini katika riwaya

    Kifo kisimani

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza vijenzi vya sentensi.• kubainisha vijenzi mbalimbali vya

    sentensi kama shamilisho, vishazi na virai.

    • kutoa mifano ya vijenzi vya sentensi.• kufunga sentensi kudhihirisha vijenzi

    maalumu vya sentensi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufupisha habari.• kueleza chanzo cha ponografia.• kufafanua sababu na njia za kuenea

    kwa ponografia.• kujadili athari za ponografia.• kupendekeza njia za kukabiliana na

    ponografia katika jamii.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mafunzo na tathmini.• kupambanua vipengele vya mafunzo

    na tathmini.• kufafanua mafunzo ya riwaya teule.• kufanya tathmini ya riwaya teule.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maudhui katika tamthilia ya

    kifo kisimani.

    • Mifano • Uchunguzi • Tajriba• Maelezo na ufafanuzi

    • Maswali na majibu• Uchunguzi kifani• Maelezo na ufafanuzi• Kuandika

    • Tajriba• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Uhakiki

    • Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uhakiki

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 155-159

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 103-104

    • Vielelezo• Mikusanyo ya

    maandishi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 160-161

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 104-105

    • Mifano ya vyombo vya mawasiliano

    • Mwalikwa

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 162-163

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 105-106

    • Riwaya teule• Mwalikwa

    • Kifo kisimani

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Pili

  • 314

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    7

    1-2

    3

    4

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Fasihi yetu

    Memo, baruameme na ujumbe wa rununu

    Mjadala

    Mawaidha katika fasihi simulizi

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya memo, baruameme

    na ujumbe wa rununu.• kupambanua sifa za memo,

    baruameme na ujumbe wa rununu.• kubainisha tofauti na mfanano baina

    ya barua rasmi na memo, baruameme na ujumbe wa rununu.

    • kuandika memo, baruameme na ujumbe wa rununu kwa usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuendesha mjadala darasani.• kujadili hoja muhimu kwa mantiki na

    ufasaha.• kuzingatia mitindo ya kujadili.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana na umuhimu wa

    mawaidha kama kipera cha fasihi simulizi.

    • kufafanua sifa na dhima ya mawaidha.• kuchambua mawaidha waliyopewa.• kuandika mawaidha kwa usahihi.

    • Maelezo na ufafanuzi • Mifano• Uvumbuzi• Kuandika• Utafiti • Maswali na majibu

    • Maelezo na ufafanuzi• Mjadala• Mashindano

    • Ufaraguzi• Utafiti• Majadiliano• Makundi• Maelezo na ufafanuzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 164-166

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 106-107

    • Vielelezo• Mikusanyo ya

    memo, baruameme na ujumbe wa rununu

    • Tarasha za matangazo

    • Mdahilishi • Rununu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 167

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 107-109

    • Kielelezo cha mdahilishi

    • Hoja kuhusu manufaa na madhara ya mdahilishi katika magazeti, majarida na mtandao

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 167-168

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 109-111

    • Vielelezo vya mawaidha

    • Mwalikwa

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Pili

  • 315

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    7

    5

    6

    1

    2-3

    Fasihi teule

    Fasihi

    Ufahamu

    Sarufi

    Mafunzo na tathmini katika fasihi simulizi

    Kifo kisimani

    Utandawazi

    Uchanganuzi wa sentensi

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua mafunzo yanayojitokeza

    katika vipera vya fasihi.• kueleza hatua za kuzingatia wakati

    wa kushughulikia mtihani wa fasihi simulizi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maudhui katika tamthilia.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa kwa ufasaha.• kueleza ujumbe wa taarifa.• kueleza maana ya msamiati.• kujibu maswali kwa usahihi.• kuzingatia mafunzo katika somo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya uchanganuzi wa

    sentensi.• kufafanua sentensi sahili, ambatano na

    changamano.• kuchanganua sentensi mbalimbalai

    kwa njia za majedwali, mistari, mishale na michoro ya matawi.

    • kueleza vijenzi vya sentensi baada ya uchanganuzi.

    • Majadiliano• Makundi• Tajriba• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu

    • Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uchambuzi

    • Uvumbuzi• Majadiliano• Makundi• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu

    • Maelezo• Majadiliano• Mifano• Tajriba• Maswali na majibu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 97-98

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 69

    • Vielelezo vya tathmini ya kazi za fasihi simulizi

    • Kifo kisimani

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 169-171

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 111-113

    • Kamusi ya Kiswahili Sanifu

    • Magazeti na majarida

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 171-175

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 113-124

    • Vielelezo vya sentensi zilizochanganuliwa kupitia kwa majedwali, mistari, mishale na michoro ya matawi

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa PiliJU

    MA

    8

  • 316

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    8

    4-5

    6

    1

    2

    Ufasaha wa lugha

    Fasihi

    Fasihi teule

    Utunzi

    Ukanushaji wa nyakati na hali

    Mtindo wa mwandishi katika tamthilia

    Mafunzo na tathmini katika hadithi fupi

    Insha ya masimulizi

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya ukanushaji. • kufafanua jinsi ya kukanusha kwa

    kutegemea nafsi, nyakati na hali.• kubainisha maumbo ya viambishi vya

    ukanushaji.• kubadilisha sentensi katika hali

    yakinifu au hali kanushi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mtindo wa mwandishi katika

    tamthilia ya kifo kisimani.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua mafunzo yanayojitokeza

    katika hadithi fupi.• kueleza namna ya kushughulikia

    tathmini katika utanzu wa hadithi fupi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua sifa za insha ya masimulizi.• kusimulia kisa kwa sauti.• kuandika insha aliyosimulia kwa

    usahihi.

    • Tajriba• Majadiliano• Mifano• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi

    • Majadiliano• Maswali na majibu • Kuandika• Uchambuzi

    • Majadiliano• Makundi• Maelezo na ufafanuzi• Tajriba

    • Makundi • Majadiliano• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Kuandika

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 176-180

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 124-125

    • Vielelezo vya sentensi katika hali yakinifu na hali kanushi

    • Jedwali la viambishi vya ukanushaji

    • Kifo kisimani

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 180-182

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 126

    • Mkusanyo teule wa hadithi fupi

    • Vielelezo vya hatua za kuzingatia wakati wa kushughulikia tathmini ya hadithi fupi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 182

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 126-127

    • Vielelezo vya insha za masimulizi

    • Kanda za video au sauti zenye masimulizi

    • Chati

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa PiliJU

    MA

    9

  • 317

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    9

    3

    4

    5

    6

    Kusikiliza na kuzungumza

    Fasihi yetu

    Ufahamu

    Fasihi

    Ilani na onyo

    Maigizo

    Tohara

    Wahusika

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza ilani na onyo.• kutoa mifano ya ilani na onyo.• kujadili ujumbe katika ilani na onyo.• kuzingatia ujumbe katika ilani na

    onyo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maigizo.• kufafanua sifa za maigizo.• kutoa mifano ya maigizo.• kuzingatia ujumbe katika maigizo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma shairi kwa mdundo ufaao.• kujibu maswali kwa usahihi.• kuzingatia ujumbe wa shairi• kueleza maana za maneno.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za wahusika wakuu katika

    tamthilia

    • Maigizo• Mifano• Uchunguzi• Maelezo na ufafanuzi• Kuandika

    • Maigizo • Mifano• Ugunduzi• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu

    • Maswali na majibu• Uvumbuzi• Maelezo na ufafanuzi• Makundi• Usomaji na kukariri

    • Majadiliano• Maelezo• Maswali na majibu• Uchambuzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk.183-185

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 127-128

    • Mikusanyo ya ilani na onyo

    • Picha na michoro• Hali halisi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 185-186

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 128-129

    • Vielelezo • Kanda za sauti na

    video

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 187-188

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 129-130

    • Visa vya tohara magazetini

    • Michoro au picha• Wasakatonge

    • Kifo kisimani

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Pili

  • 318

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    10

    1-2

    3

    4

    5-6

    Sarufi

    Ufasaha wa lugha

    Fasihi teule

    Fasihi

    Mnyambuliko wa vitenzi 1

    Muhtasari:Janga la Tsunami

    Chimbuko na usuli wa tamthlia

    Wahusika

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mnyambuliko wa vitenzi.• kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi.• kufafanua maana ya vitenzi katika

    kauli mbalimbali.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa kwa makini.• kufupisha habari.• kufafanua hoja kuhusu janga la

    Tsunami.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza chimbuko na usuli wa

    tamthilia.• kueleza mikondo ya tamthilia.• kufafanua mambo ya kuzingatia katika

    uchunguzi wa usuli.• kupambanua usuli wa tamthilia.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za wahusika wote katika

    tamthilia.

    • Kuandika• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Uchunguzi• Tajriba

    • Utatuzi wa mambo• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Mifano

    • Uvumbuzi• Tajriba• Utafiti• Uchunguzi kifani

    • Majadiliano• Maswali na majibu• Uhakiki • Kuandika

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 188-194

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 130-131

    • Vielelezo• Chati ya viambishi

    vya kauli za vitenzi• Mandhari halisi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 194-196

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 131-132

    • Ramani• Picha

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 196-198

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 132-133

    • Picha• Kanda za sauti• Mikusanyo ya

    tamthilia

    • Kifo kisimani

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Pili

  • 319

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    11

    1

    2

    3-4

    5

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Fasihi yetu

    Ufahamu

    Ratiba ya tamasha ya sanaa za maonyesho

    Wimbo: Ufisadi ukome!

    Nyimbo

    Mgawanyo wa majukumu katika familia

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha sifa za ratiba.• kueleza mambo ya kuzingatia katika

    maandalizi ya ratiba.• kupambanua umuhimu wa ratiba.• kukamilisha ratiba ya mashindano ya

    sanaa ya maonyesho.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuimba wimbo kwa mahadhi

    yanayovutia.• kujadili ujumbe wa wimbo• kuanisha wimbo• kuzingatia mafunzo katika wimbo

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya wimbo. • kupambanua sifa na muundo wa

    nyimbo.• kuainisha aina mbalimbali ya nyimbo.• kuzingatia mafunzo katika nyimbo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma ufahamu kwa ufasaha.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi. • kueleza kwa tafsili maana za maneno

    na vifungu.• kuzingatia mafunzo.

    • Uchunguzi kifani• Kazi mradi• Tajriba• Ufaraguzi• Kuandika

    • Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Utendaji, hasa uimbaji• Vikundi• Tajriba

    • Maelezo na ufafanuzi • Utendaji• Majadiliano• Maswali na majibu• Makundi

    • Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Tajriba• Usomaji• Maswali na majibu

    • Maelezo na ufafanuzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 198-200

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 133

    • Vielelezo vya ratiba• Kalenda• Saa• Orodha ya mambo

    ubaoni

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 201

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 133-135

    • Vielelezo vya nyimbo• Wanafunzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 201-205

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 135-137

    • Kanda za kunasia sauti

    • Ala za muziki• Waalikwa (waimbaji)• Vielelezo vya nyimbo

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 205-207

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 137-139

    • Magazeti na majarida• Kanda za sauti

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Pili

  • 320

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    11

    6

    1

    2-3

    Sarufi

    Ufasaha wa lugha

    Fasihi teule

    Hali ya kuamuru

    Muhtasari:Nyimbo za kazi

    Fani katika tamthlia

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza dhana ya kuamrisha.• kubainisha vigezo vinavyotawala hali

    ya kuamrisha.• kutunga sentensi katika hali ya

    kuamrisha katika umoja na wingi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa kwa ufasaha.• kufafanua ujumbe wa taarifa.• kufupisha taarifa kulingana na

    maagizo.• kufafanua dhima ya nyimbo za kazi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza vipengele vya fani, kama vile

    mtindo na muundo, matumizi ya lugha na usawiri wa wahusika.

    • kufafanua matumizi na umuhimu wa mtindo, muundo, matumizi ya lugha na usawiri wa wahusika katika tamthilia.

    • kuchambua fani katika tamthilia teule.

    • Majadiliano• Uchunguzi• Tajriba

    • Maelezo na ufafanuzi• Uvumbuzi• Tajriba• Maswali na majibu• Usomaji• Kuandika

    • Uchunguzi• Udadisi• Ugunduzi• Maigizo• Maswali na majibu• Uhakiki

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 207-209

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 139-140

    • Jedwali la viambishi vinavyohusika katika hali ya kuamisha

    • Sentensi vielelezo katika hali yakinishi na kuamuru

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 209-211

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 140-141

    • Vielelezo vya nyimbo za kazi

    • Vielelezo vya habari iliyofupishwa

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 211-214

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 141

    • Majedwali ya miainisho tofauti ya tamthilia

    • Vielelezo vya fani• Tamthilia teule

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa PiliJU

    MA

    12

  • 321

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    12

    4

    5

    6

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Fasihi yetu

    Mtihani na kusahihisha

    Maagizo na maelekezo katika mazingira ya kazi

    Mjadala bungeni

    Maghani

    Marudio na mazoezi ya stadi zote

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maagizo na

    maelekezo.• kufafanua umuhimu wa maagizo na

    maelekezo katika mazingira ya kazi.• kueleza sifa au muundo wa maagizo na

    maelekezo.• kuandika maagizo na maelekezo.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuigiza mjadala bungeni ipasavyo.• kufafanua majukumu ya watu

    mbalimbali bungeni.• kutoa maoni kuhusu mjadala bungeni.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maghani.• kutoa mfano wa maghani.• kupambanua sifa za maghani.• kufafanua umuhimu wa maghani.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

    • Maelezo na ufafanuzi• Tajriba• Ufaraguzi• Maswali na majibu• Makundi• Kuandika

    • Uchunguzi kifani• Maigizo• Ziara bungeni• Mifano

    • Maelezo na ufafanuzi • Maigizo• Uchunguzi kifani• Mifano• Maswali na majibu

    • Tajriba ya wanafunzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 214

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 142

    • Vielelezo• Magazeti

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 215-217

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 142-143

    • Picha na michoro ya bunge

    • Mikusanyo ya ripoti za bunge magazetini

    • Nakala za Hansard• Vipindi katika

    redio na televisheni kuhusu bunge

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 217-218

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 143

    • Kanda za sauti• Mikusanyo ya

    mwalimu na wanafunzi

    • Karatasi za mitihani• Kalamu

    JUM

    A 1

    3

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Pili

  • 322

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    1

    Ufahamu

    Sarufi

    Ufasaha wa lugha

    Mfumo wa soko huru haufai

    Viambishi maalumu

    Muhtasari:Matatizo ya Kiswahili

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa makini na kwa ufasaha.• kutoa hoja kwa mantiki na ufasaha.• kueleza faida na hasara za mfumo wa

    soko huru.• kufafanua maana za maneno.• kujibu maswali ya ufahamu kwa

    usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza viambishi maalumu.• kufafanua matumizi ya viambishi

    maalumu vya -ku-, -ndi- na –ji-.• kutoa mifano ya viambishi maalumu.• kutumia viambishi maalumu kutungia

    sentensi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma na kufupisha habari ipasavyo.• kueleza matatizo ya Kiswahili.• kufafanua namna ya kusambaza

    Kiswahili.

    • Mjadala • Tajriba• Maigizo• Maelezo na ufafanuzi• Usomaji

    • Vielelezo• Tajriba• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Majadiliano

    • Maelezo• Mifano• Tajriba• Mjadala• Utatuzi wa mambo

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 218-220

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 144-145

    • Kamusi ya Kiswahili Sanifu

    • Mikusanyo ya taarifa magazetini

    • Picha za viwanda vilivyofungwa

    • Mabango ya bidhaa zilizoagizwa kutoka nje

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 220-223

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 145-146

    • Vielelezo vya viambishi maalumu

    • Jedwali la sentensi na viambishi maalumu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 223-225

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 146

    • Ripoti magazetini• Historia ya Kiswahili

    (OUP)

    1

    2

    3

    Kiswahili, Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Tatu

  • 323

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    1

    Fasihi teule

    Utunzi

    Kusikiliza na kuzungumza

    Fasihi yetu

    Maudhui katika tamthilia

    Insha ya maelezo

    Umuhimu wa utafiti

    Ngomezi

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maudhui na dhamira.• kubainisha vipengele vinavyobeba

    maudhui.• kufafanua maudhui ya tamthlia teule.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua sifa za insha za maelezo.• kubainisha dhana ya magulio.• kuandaa vidokezo vya insha.• kuandika insha ya maelezo kwa

    usahihi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza utafiti ni nini.• kueleza umuhimu wa utafiti.• kufafanua maana ya msamiati.• kuzingatia mafunzo kutokana na mada.• kueleza maana za istilahi.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya ngomezi. • kuainisha ngomezi.• kufafanua matumizi na manufaa ya

    ngomezi katika jamii ya sasa.

    • Tajriba• Mjadala• Maigizo• Maswali na majibu• Kuandika• Uchambuzi

    • Maelezo• Utazamaji• Utafiti• Kuandika• Mahojiano • Ziara

    • Mafunzo • Ufahamu wa kusikiliza• Maelezo • Uchunguzi• Tajriba• Makundi• Majadiliano

    • Maelezo na ufafanuzi • Maigizo • Ufaraguzi• Maswali na majibu• Utafiti• Majadiliano

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 225-227

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 146-147

    • Kifo kisimani• Kanda za sauti

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 111, 227-228

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 76-78, 147-148

    • Picha• Vidokezo ubaoni

    • Kiswahili Fasaha KcM 4, uk. 229

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 148-150

    • Vielelezo • Vyombo vya habari

    na mawasiliano

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 229-230

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 150-152

    • Mikusanyo• Zana halisi• Kanda za sauti• Wanafunzi

    4-5

    6

    1-2

    3

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa TatuJU

    MA

    2

  • 324

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    2

    4

    5-6

    1-2

    Ufahamu

    Sarufi

    Ufasaha wa lugha

    Kuchelewa ni ada ya Mwafrika?

    Mnyambuliko wa vitenzi kutokana na shina 2

    Muhtasari: Mikakati ya kuimarisha Kiswahili

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha.• kufafanua ujumbe wa taarifa.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo ya taarifa.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kubainisha maumbo ya vitenzi katika

    kauli ambazo zinashughulikiwa katika somo.

    • kugeuza vitenzi kutoka kauli moja hadi nyingine.

    • kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi katika kauli zinazoshughulikiwa katika somo.

    • kufafanua maana ya sentensi walizotunga katika kauli mbalimbali.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua mikakati inayoweza

    kutumika ili kukiimarisha Kiswahili.• kueleza mchango wa wanafunzi katika

    kuimarisha Kiswahili.• kuandika muhtasari wa habari

    kulingana na maagizo.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.

    • Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Tajriba• Usomaji

    • Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Tajriba• Majadiliano

    • Utatuzi wa mambo• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Masimulizi• Majadiliano• Kufupisha • Kuandika

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 230-232

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 152-153

    • Kielelezo cha saa• Kamusi ya

    Kiswahili Sanifu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 232-235

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 153-155

    • Vielelezo vya sentensi zilizonyambuliwa katika kauli ambazo zinashughulikiwa

    • Kamusi ya Kiswahili Sanifu (toleo la pili)

    • Jedwali la vitenzi vilivyonyambuliwa katika kauli mbalimbali

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 235-237

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 155-156

    • Kamusi ya Kiswahili Sanifu

    • Ramani • Historia ya

    Kiswahili (OUP)• Chati

    JUM

    A 3

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Tatu

  • 325

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

    MA

    3

    3-4

    5-6

    1-2

    Fasihi teule

    Utunzi

    Mitihani

    Mafunzo na tathmini katika tamthilia

    Barua kwa mhariri wa gazeti

    Mtihani Mwigo 1:Karatasi 1

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza namna ya kupata mafunzo

    katika tamthilia.• kupambanua mafunzo kwenye

    tamthilia teule.• kufafanua mahitaji ya mwanafunzi

    katika kujibu maswali kutokana na tamthilia kwa usahihi na kikamilifu.

    • kueleza yanayolengwa katika tathmini ya tamthilia.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza muundo wa barua kwa mhariri

    wa gazeti.• kufafanua sifa za barua kwa mhariri wa

    gazeti.• kuzingatia mafunzo.• kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

    • Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Uhakiki• Uchanganuzi• Tajriba• Majadiliano

    • Kutoa mifano • Makundi• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Tajriba• Kuandika

    • Tajriba ya wanafunzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 237-240

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 156-157

    • Vielelezo vya maswali ya tamthilia na mafunzo

    • Kifo kisimani

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 240

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 157-158

    • Kurasa za barua kwa mhariri katika magazeti

    • Kanda za kunasia sauti

    • Mazingira ya mwanafunzi yanayoonyesha uzembe kazini

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 241

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 159-160

    • Karatasi• Kalamu

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa TatuJU

    MA

    4

  • 326

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    3-4

    5-6

    1-2

    3-4

    Mitihani

    Mitihani

    Mitihani

    Mitihani

    Mtihani Mwigo 1:Karatasi 2

    Mtihani Mwigo 1:Karatasi 3

    Mtihani Mwigo 2:Karatasi 1

    Mtihani Mwigo 2:Karatasi 2

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

    • Tajriba ya wanafunzi

    • Tajriba ya wanafunzi

    • Tajriba ya wanafunzi

    • Tajriba ya wanafunzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 241-248

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 160-170

    • Karatasi• Kalamu

    • Kiswahili Fasaha KcM 4, uk. 248-252

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 170-175

    • Karatasi• Kalamu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 252-253

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 175

    • Karatasi• Kalamu

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 253-256

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 175-177

    • Karatasi• Kalamu

    JUM

    A 4

    JUM

    A 5

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Tatu

  • 327

    KIPINDI SHABAHANJIA ZA

    KUFUNDISHIANYENZO ZA

    KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

    HAKIUZWI

    Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

    5-6 Mitihani Mtihani Mwigo 2:Karatasi 3

    Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

    • Tajriba ya wanafunzi

    • Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 257-260

    • Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 178-184

    • Karatasi• KalamuJU

    MA

    5

    Marudio na Mitihani ya KCSE

    JUM

    A 6

    -12

    Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

    Muhula wa Tatu