kumpenda mungu ‘ faida na nguvu zilizopo katika kukua na kuongezeka katika kumpenda mungu. ’
DESCRIPTION
KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’. Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org. IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO. Warumi 8:28 - PowerPoint PPT PresentationTRANSCRIPT
Mwl. Mgisa Mtebe+255-713-497-654
www.mgisamtebe.org
KUMPENDA MUNGU‘Faida na Nguvu zilizopo katika
Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu.’
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:2828 Nasi twajua ya kuwa,
katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na
wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.
NGUVU YA UPENDO
Upendo wa MunguYohana 3:16
Yohana 14:23,21
AINA ZA UPENDO
Yoh 3:16, Rum 1:28-32/5:5-8Kwa maana jinsi hii, Mungu
aliupenda ulimwengu wa watu waovu na wenye ubaya
wa kila namna, akamtoa Mwanaye wa pekee Yesu Kristo, kufa kwa ajili yao.
AINA ZA UPENDO
Yohana 14:23,21Bwana Yesu akasema, ‘Mtu akinipenda, atapendwa na Baba yangu aliye juu; Nami
pia nitampenda; nasi tutakuja kufanya makao
kwake, na kujifunua kwake’.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Tafakari Neno Upendo katika mistari ifuatayo;
Yohana Yohana 3:16 14:21,23
AINA ZA UPENDO
Yyoh 3:16 ; Yoh 14:23,21 Upendo wa Mungu
unaotajwa katika Yoh 3:16 ni tofauti na Upendo wa Mungu unaotajwa ktk Yoh 14:21-23 Kumbe kuna aina tofauti za
Upendo wa Mungu.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Tafakari Neno Upendo katika mistari ifuatayo;
Yoh 3:16 Yoh 14:21-23 Upendo Upendo Usio na Wenye Masharti Masharti
AINA ZA UPENDO
Yyoh 3:16 ; Yoh 14:23,21 Upendo wa Mungu kwa
wanadamu, hauko katika ngazi moja, haufanani.
Mungu anatupenda kitofauti-tofauti.
AINA ZA UPENDO
Yyoh 3:16 ; Yoh 14:23,21 Mungu anatupenda
wanadamu kwa aina tofauti-tofauti za Upendo.
Hii ina maana kwamba, kuna aina mbalimbali za Upendo.
NGUVU YA UPENDO
Aina za UpendoYohana 3:16
Yohana 14:23,21
NGUVU YA UPENDO
Aina za Upendo.
1. AGAPE (Upendo wa Mungu)2. STORGE (Upendo wa Ndugu)3. PHILEO (Upendo wa Kirafiki)4. EROS (Upendo wa Mahaba)
NGUVU YA UPENDO
Aina za Upendo.
1. AGAPE (Godly Love)2. STORGE (Family Love)3. PHILEO (Friendship Love)4. EROS (Romantic Love)
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
1. AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU
Rum 5:8 Yoh 3:16
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Sifa Kuu (4) za Upendo - Agape.
1. Hauangalii hali ya mtu ya nje.
2. Hauna masharti yoyote.3. Hauna kipimo au kiwango.4. Hauna mwisho au kikomo.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
1. AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU
Mfano; Upendo wa Mungu kwa
Wanadamu/Ulimwengu. (Yohana 3:16, Rum 1:28-32)
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
1. AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU
Mfano; Upendo wa Msamaria mwema kwa Mhanga.
(Luka 10:29-37)
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
2. STORGE (Family Love)UPENDO WA KINDUGU
(Upendo wa Damu)
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Sifa Kuu (4) za Upendo - Storge.
1. Hauangalii hali ya mtu ya nje.
2. Hauna masharti yoyote.3. Hauna kipimo au kiwango.4. Hauna mwisho au kikomo.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
2. STORGE (Family Love)UPENDO WA KINDUGU
Luka 15:11-32(Upendo wa Baba kwa
Mwana Mpotevu)
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
2. Storge (Family Love)UPENDO WA KINDUGU
Mfano; Upendo wa Musa kwa
Waebrania. (Kutoka 2:11-12)
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
3. PHILEO (Friendship)UPENDO WA KIRAFIKI
(Upendo wenye Sababu)Mithali 18:24
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Sifa Kuu (4) za Upendo - Phileo.
1. Huangalia hali ya mtu ya nje.2. Una masharti fulani-fulani.3. Una kipimo au kiwango.4. Una mwisho au kikomo.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Jonathan
na Daudi. (1Samwel 18:1-5)
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Yesu kwa Martha,
Mariam na Lazaro. (Yahano 11:1-5)
AINA ZA UPENDO
Kama binadamu wanavyoweza kupendana katika urafiki wa
karibu sana, vivyo hivyo, Mungu ana watu walimpenda
sana hata kujenga naye uhusiano wa karibu sana wa kirafiki. (Mathayo 22:37-38)
AINA ZA UPENDO
Mathayo 22:37-38“Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa
roho yako yote, na kwa akili zako zote. Amri hii ndiyo kuu,
tena ndiyo ya kwanza.”
AINA ZA UPENDO
Yohana 14:23,21Bwana Yesu akasema, ‘Mtu akinipenda, atapendwa na Baba yangu aliye juu; Nami
pia nitampenda; nasi tutakuja kufanya makao
kwake, na kujifunua kwake’.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako
kwa Mungu.
AINA ZA UPENDO
Math 22:37-38, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda
Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha Upendo wa Mungu,
wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.
AINA ZA UPENDO
Mithali 8:17‘Ninawapenda wanipendao,
na wale wanitafutao kwa bidii, wataniona. (nitajifunua
kwao kwa njia ya kipekee).’
AINA ZA UPENDO
3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya
Mungu na Henoko (Enock). (Mwanzo 5:21-24)
AINA ZA UPENDO
3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya
Mungu na Ibrahimu. (Yakobo 2:23)
AINA ZA UPENDO
3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya
Mungu na Musa. (Hes 12:5-10; Kut 33:9-23; )
UPENDO WA KIRAFIKI
3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya Mungu na Mfalme Daudi.
(Mathayo 12:1-8)
HEKALU la Mungu Patakatifu pa
Patakatifu Patakatifu
Uwanda
wa Nje
UPENDO WA KIRAFIKI
3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya Mungu na Mfalme Daudi.
(1Sam 13:13-14, Mdo 13:21-22)
UPENDO WA KIRAFIKI
3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya
Yesu na Yohana. (Yohana 21:15-24)
1 (Yoh 21:15-24) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)
12 (Luka 6:12-15)
2 70 (Luka 10:1,17)
3 120 (Mdo 1:15)
500 (1Kor 15:3-8)
Umati wa Wanafunzi.
NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
4. EROS (Romantic)UPENDO WA MAHABAEfe 5:25; Mhu 9:8-9; Wimbo 7:1-10 / 4:1-7
Sifa Kuu (4) za Upendo - Eros.1. Huangalia hali ya mtu ya nje.2. Una masharti fulani-fulani.3. Una kipimo au kiwango.4. Una mwisho au kikomo.5. Unaelekea kwa mtu 1 tu.6. Ni Mtu wa jinsia tofauti tu.7. Unakuwa na Agano.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
4. Eros (Romantic Love)UPENDO WA MAHABA
Mfano; Upendo wa Mahaba kati ya
Isaka na Rebeca. (Mwanzo 26:11)
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
4. Eros (Romantic Love)UPENDO WA MAHABA
Mfano; Upendo wa Mahaba kati ya
Yakobo na Raheli. (Mwanzo 29:16-20 (10-30)
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
4. Eros (Romantic Love)
Mfano; Upendo wa Bwana Yesu na
Mungu Baba. Yoh 15:9-10, Yoh 10:38,30
Yoh 14:10-11, 20
1 (Math 26:36-41) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)
12 (Luka 6:12-15)
2 70 (Luka 10:1,17)
3 120 (Mdo 1:15)
500 (1Kor 15:3-8) Umati wa Wanafunzi
NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU
MEASURE OF LOVE
Kiwango cha Upendo
Je Unampenda Mungu Kiasi Gani?
Yohana 21:15-17
NGUVU YA UPENDO
Kiwango cha Upendo(Yesu na Petro)
Yohana 21:15-17
NGUVU YA UPENDO
Kiwango cha Upendo(Yesu na Petro)
Yohana 21:15-17‘Simoni Mwana wa Yona,
Je wanipenda kuliko hawa?’
NGUVU YA UPENDO
Kiwango cha Upendo
Mfano;(Yesu, Simoni, Kahaba)
Luka 7:36-50
NGUVU YA UPENDO
Kiwango cha UpendoLuka 7:36-50
‘Wewe, umesamehewa dhambi kidogo, ndio maana umependa
kidogo; lakini mwanamke huyu, amesamehewa dhambi
nyingi, na ndio maana amependa sana.’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,
katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na
wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako
kwa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika
upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye
katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yoh 3:16-18, Yoh 14:23,21Mungu anapokupenda
kwanza kwa Upendo wa Agape, atasubiri kuona kama
utaupokea na kuitikia kwa kumrudishia Upendo.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yohana 3:16-18, Warumi 5:5-8
AGAPE / STORGE
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yoh 3:16-18, Yoh 14:23,21Mtu anapoitikia kwa kumpenda
Mungu kwa vigezo ambavyo Mungu anataka, ndipo Mungu hufungulia Upendo mwingine,
wa ngazi ya pili, Upendo wa Kirafiki (Phileo) tofauti na Agape.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yohana 14:23,21 Mithali 8:17
AGAPE / STORGE PHILEO
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yoh 3:16-18, Yoh 14:23,21Mtu aliyependwa na Mungu
Kirafiki (Phileo), akiitikia upendo huo kwa kumpenda Mungu kwa
zaidi sana, ndipo Mungu naye hufungulia Upendo mzito (Eros),
Upendo wa Ngazi ya Kwanza.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yohana 15:1-15, Yohana 10:30
AGAPE / STORGE PHILEO
EROS
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yohana 15:1-15(Condition) Mkizishika amri
zangu, ndipo mtaweza kukaa katika Pendo langu (Eros); kama vile mimi nilivyozishika amri za
Baba yangu, na kukaa katika Pendo lake (Eros).
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yohana 15:1-15 Mimi ndani ya Baba, na Baba ndani yangu; nami ndani yenu,
nanyi ndani yangu.(Erotic/Romantic Love)
Yohana 10:38, 30
AINA ZA UPENDO
3. UPENDO WA KIRAFIKI
Kwa Mfano;Yesu na Wanafunzi wake.
Luka 6:13-16
1 (Math 26:36-41) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)
12 (Luka 6:12-15)
2 70 (Luka 10:1,17)
3 120 (Mdo 1:15)
500 (1Kor 15:3-8) Umati wa Wanafunzi
NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yohana 15:1-15 Mimi ndani ya Baba, na
Baba ndani yangu; nani ndani yenu, nanyi ndani yangu.(Erotic/Romantic Love)
Yohana 10:38, 30
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Rum 8:28-30, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda
Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,
wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yohana 15:1-15 Mimi ndani ya Baba, na
Baba ndani yangu; nani ndani yenu, nanyi ndani yangu.(Erotic/Romantic Love)
Yohana 10:38, 30
NGUVU YA UPENDO
Kiwango cha Upendo(Quality and Quantity)
Luka 7:36-50
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako
kwa Mungu.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika
upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye
katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina
maana kuu mbili (2);
1. Kukua Kiwango cha Upendo
(Quantitative Growth)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina
maana kuu mbili (2);
2. Kukua ktk Aina ya Upendo (Qualitative Growth)
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika
upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye
katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Math 22:27-28, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda
Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,
wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.
AINA ZA UPENDO
Yohana 14:23,21Yesu alisema, ‘mtu akinipenda,
atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda; nasi
tutakuja kufanya makao kwake, na kujifunua kwake’.
AINA ZA UPENDO
Mithali 8:17, Yeremia 29:11-13Ninawapenda wanipendao, na
wale wanitafutao kwa bidii, wataniona. Utanitafuta, nami
nitaonekana kwako, ukinitafuta kwa bidii na kwa
moyo wako wote.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,
katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na
wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako
kwa Mungu.
AINA ZA UPENDO
2Nyakati 16:9Macho ya Bwana Mungu, hukimbia-kimbia duniani
kote, akitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili
ajionyeshe mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika
upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye
katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.
SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO.
Amri Kuu Mbili (2)1. Kumpenda Mungu wako2. Kumpenda Jirani yako
Mathayo 22:36-40
SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO
1. Kumpenda Mungu.
Mathayo 22:36-40
SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO
Mathayo 22:36-4036 “Mwalimu, katika Torati, ni
amri ipi iliyo kuu? 37 Yesu akamwambia ‘Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote,
na kwa akili zako zote.”
SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO
Mathayo 22:36-4038 “Hii ndiyo amri iliyo Kuu,
tena ni ya kwanza. 39 Na ya pili, yafanana na hii; nayo inasema, hivi; ‘Mpende jirani yako kama
nafsi yako (yaani kama unavyojipenda mwenyewe).”
SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO
Mathayo 22:36-4040 “Torati yote na Manabii
hutegemea katika amri kuu hizi mbili” (Kumpenda Mungu na
Kumpenda Jirani yako.)
SIGNS OF LOVE
Ishara za UpendoUnajuaje kwamba
Unampenda Mungu?
Yohana 21:15-17
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
1. Muda unaotumia.Kitu unachokipenda, ndicho
kinachukua muda wako mwingi zaidi. Vivyo hivyo, na kwa Mtu
unayempenda, utapenda kutumia muda wa kutosha pamoja naye.
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
1. Muda unaotumia.- Uwiano wa Matumizi ya -
Muda wako maishaniKutoka 33:7-11
Mathayo 14:22-23
ISHARA ZA UPENDO
1. Muda Unaotumia katika
(a) Mawasiliano Mazuri.Mtu unayempenda,
utahakikisha kila siku au mara kwa mara, unakuwa na muda
wa kuongea naye.
ISHARA ZA UPENDO
1. Muda Unaotumia katika
(a) Mawasiliano Mazuri.- Maisha ya Maombi -
Yeremia 33:3, Waefeso 6:18Wakolosai 4:2, 1Thes 5:17
ISHARA ZA UPENDO1. Muda Unaotumia katika (b) Kusikia Kutoka Kwake.
Kwa mtu unayempenda, utakuwa na hamu kubwa, ya kila
siku au mara kwa mara; ya kutamani kusikia kutoka kwake; Kusikia mawazo yake, hisia zake,
mipango yake, n.k.
ISHARA ZA UPENDO
1. Muda Unaotumia katika
(b) Kusikia Kutoka Kwake.- Kusoma Neno la Mungu -
Kolosai 3:16, Zaburi 19:9-10
ISHARA ZA UPENDO1. Muda Unaotumia katika (c) Kutafuta Kumjua Zaidi.
Kwa mtu unayempenda, utatamani sana, kumjua kwa undani zaidi. Kujua, mawazo
yake, hisia zake, anavyovipenda, asivyopenda, mipango yake, na zaidi, kumjua kitabia/sifa zake.
ISHARA ZA UPENDO
1. Muda Unaotumia katika
(c) Kutafuta Kumjua Zaidi.- Kujenga Uhusiano wa Kina -
1Yoh 1:1-3, Efes 4:11-152Pet 3:18, Ayub 22:21
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo2. Utii na Uaminifu.
Mtu unayempenda, hautapenda kumkwaza wala kumuudhi; utafurahi kufanya
yale anayotaka na kutokufanya yale asiyoyataka.
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
2. Utii na Uaminifu.- Kutii Neno la Mungu -Yoh 14:21-23, 1Yoh 5:3
Zaburi 119:9, 11
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
2. Utii na Uaminifu.- Maisha ya Utakatifu -Isaya 57:15, 1Pet 1:15-16 Waefeso 4:17-25, Zab 16:3
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo3. Kumsifia na Kumtukuza
Mtu unayempenda, utajikuta unapenda kumsifia
na kumtukuza, yeye binafsi au mbele za watu wengine.
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
3. Kumsifia na Kumtukuza- Kumsifu Mungu -
Zab 148:1-13, Zab 150:1-6Zaburi 71:8
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo4. Kutamani Kumgusa. Mguso ni ishara mojawapo ya juu ya uhusiano mzuri kati ya
watu. Mtu unayempenda, una hamu na shauku ya kumshika
au kumgusa kwa upendo.
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
4. Kutamani Kumgusa.- Maisha ya Ibada -
Yoh 4:23-24, Zab 96:5
SIGNS OF LOVEIshara za Upendo
5. Heshima na Adabu.Kwa mtu unayempenda, utajikuta una heshima na
adabu ya kipekee juu yake.
SIGNS OF LOVEIshara za Upendo
5. Heshima na Adabu.- Kumheshimu na -
Kumwogopa MunguMath 15:8, Yoh 5:22-23
Yoh 8:49, Yak 2:19, Yoh 12:26
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo6. Kuujaa Moyo (Mawazo)
Mtu unayempenda, huwa unapenda kumweka mawazoni mwako na moyoni mwako; na huwa anaujaza moyo wako na
mawazo yako popote ulipo.
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo6. Kuujaa Moyo (Mawazo)
- Kumtafakari Mungu -
Warumi 8:5, Wafilipi 4:8, Waebrania 3:1
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo7. Kuzawadia kwa Furaha. Mtu unayempenda, utajikuta una msukumo wa mara kwa
mara wa kumzawadia na kumpa vitu ili kuidumisha furaha yake na kuhakikisha ustawi wake.
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
7. Kuzawadia kwa Furaha.- Utoaji mzuri wa Sadaka -
Luka 7:36-50, Yohana 3:16
SIGNS OF LOVEIshara za Upendo
7. Kuzawadia kwa Furaha.- Utoaji mzuri wa Sadaka -
Mithali 3:9-10, Malaki 3:7-12 Hagai 1:1-11
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo8. Moyo wa Kumtumikia.
Mtu unayempenda, una moyo wa kumtumikia na hata
kujitoa kwa ajili yake; ili kumpendeza, kumtunza na
hata kumlinda.
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
8. Moyo wa Kumtumikia.- Serving God -
Yohana 12:26, 1Wakorintho 4:1-2
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo9. Kumwamini.
Mtu unayempenda, utajikuta una namna ya kipekee ya
kumwamini na kumtegemea.(Believe and Trust)
SIGNS OF LOVEIshara za Upendo
9. Kumwamini. - Belief and Trust -
1Yoh 4:18, Ebr 11:1-6 Warumi 4:17-21
SIGNS OF LOVEIshara za Upendo
9. Kumwamini.- Belief and Trust -
Mfano: Yesu na Petro BahariniMath 14:22-33
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo10. Moyo wa Uvumilivu.
Mtu unayempenda, utajikuta una Neema ya kutosha ya
kumvumilia na kumchukulia vile alivyo, kwa amani na
furaha ya moyoni.
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
10. Moyo wa Uvumilivu.- Kumsubiri Mungu -
Waebrania 6:13-15, 12
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo11. Ujasiri wa Kumlinda.
Mtu unayempenda, utajikuta una ujasiri wa kumtetea na kumlinda, yeye na heshima yake.
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
11. Ujasiri wa Kumlinda.- Kulinda Heshima Yake -
Waebrania 6:13-15, 12
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
11. Ujasiri wa Kumlinda.- Wivu wa Bwana -
Yoh 2:13-17, Yak 4:4-5
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo12. Utamwambia Maneno.
Mtu unayempenda, una hamu ya kumwambia mara
kwa mara kwamba unampenda; japo anajua.
SIGNS OF LOVE
Ishara za Upendo
12. Utamwambia Maneno.- Confess n’ Declare -
Yohana 21:15-17, Zaburi 18:1
AINA ZA UPENDO
Yohana 14:23,21Yesu alisema, ‘mtu akinipenda,
atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda; nasi
tutakuja kufanya makao kwake, na kujifunua kwake’.
AINA ZA UPENDO
Mithali 8:17, Yeremia 29:11-13Ninawapenda wanipendao, na
wale wanitafutao kwa bidii, wataniona. Utanitafuta, nami
nitaonekana kwako, ukinitafuta kwa bidii na kwa
moyo wako wote.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,
katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na
wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako
kwa Mungu.
AINA ZA UPENDO
2Nyakati 16:9Macho ya Bwana Mungu, hukimbia-kimbia duniani
kote, akitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili
ajionyeshe mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Math 22:27-28, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda
Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,
wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.
AINA ZA UPENDO
Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya
Mungu na Ibrahimu. (Yakobo 2:23)
AINA ZA UPENDO
Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya
Mungu na Musa. (Hes 12:5-10; Kut 33:9-23; )
UPENDO WA KIRAFIKI
Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya Mungu na Mfalme Daudi.
(1Sam 13:13-14, Mdo 13:21-22)
UPENDO WA KIRAFIKI
Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI
Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya
Yesu na Yohana. (Yohana 21:15-24)
1 (Yoh 21:15-24) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)
12 (Luka 6:12-15)
2 70 (Luka 10:1,17)
3 120 (Mdo 1:15)
500 (1Kor 15:3-8)
Umati wa Wanafunzi.
NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Math 22:27-28, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda
Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,
wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika
upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye
katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina
maana kuu mbili (2);
1. Kukua Kiwango cha Upendo
(Quantitative Growth)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina
maana kuu mbili (2);
2. Kukua ktk Aina ya Upendo (Qualitative Growth)
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika
upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye
katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.
SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO.
Amri Kuu Mbili (2)1. Kumpenda Mungu wako2. Kumpenda Jirani yako
Mathayo 22:36-40
SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO
2. Kumpenda Jirani.
Mathayo 22:36-40
SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO
Mathayo 22:36-4036 “Mwalimu, katika Torati, ni
amri ipi iliyo kuu? 37 Yesu akamwambia ‘Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote,
na kwa akili zako zote.”
SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO
Mathayo 22:36-4038 “Hii ndiyo amri iliyo Kuu,
tena ni ya kwanza. 39 Na ya pili, yafanana na hii; nayo inasema, hivi; ‘Mpende jirani yako kama
nafsi yako’ (yaani kama unavyojipenda mwenyewe).”
SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO
Mathayo 22:36-4040 “Torati yote na Manabii
hutegemea katika amri kuu hizi mbili” (Kumpenda Mungu na
Kumpenda Jirani yako.)
SIGNS OF LOVE
Kumpenda Mungu kwa Kuwapenda Watu wa
Mungu.
1Yohana 2:7-111Yohana 4:7-12, 18-21
Kuwapenda Watu wa Mungu
1Yohana 4:7-12, 18-2121 Na amri hii tumepewa
na yeye (Mungu), ya kwamba, yeye ampendaye
Mungu, na ampende na ndugu yake.
Kuwapenda Watu wa Mungu
Amri ya Upendo1Yohana 2:7-11
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11
7 Wapenzi, siwaandikii amri mpya, ila mari ya zamani mliyokuwa nayo tangu
mwanzo. Na hiyi amri ya zamani, ni neno lile mlilolisikia.
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11
8 Tena nawaandikia amri mpya, neno lililo kweli ndani
yake na ndani yenu; kwakuwa giza linapita na ile nuru ya kweli imekwisha kung’aa.
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11
9 Yeye asemaye kwamba yuko nuruni, lakini anamchukia ndugu yake, basi mtu huyo bado yupo gizani hata sasa (inangawa yeye anajidhania
yuko nuruni.)
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11
10 Yeye ampendaye ndugu yake, anakaa katika nuru, wala
ndani yake hakuna kikwazo (yaani giza).
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11
11 Bali yeye machukiaye ndugu yake, yu katika giza. Tena
anakwenda gizani, wala hajui aendako, kwasababu giza
limempofusha macho.
Kuwapenda Watu wa Mungu
Mathayo 5:21-2321 Mmesikia watu wa kale walivyowaambia, kwamba
‘usiue’ na ‘mtu akiua’, itampasa hukumu.
Kuwapenda Watu wa Mungu
Mathayo 5:21-2322 Lakini mimi nawaambieni, ya kwamba, ‘kila amwoneaye ndugu yake hasira’, itampasa
mtu huyo hukumu. (kama vile ni mtu aliyeua).
Kuwapenda Watu wa Mungu
Mathayo 5:21-2322 … na mtu akimfyonza
ndugu yake, itampasa mtu huyo kuwekwa katika baraza (kujadiliwa kama vile ni mtu
aliyempiga mwenzake) …
Kuwapenda Watu wa Mungu
Mathayo 5:21-23
22 … na mtu akimwapiza mwenzake, itampasa mtu
huyo, jehanaum ya moto …
Kuwapenda Watu wa Mungu
Mathayo 5:21-2323 Basi, ukileta sadaka yako madhabahuni, ukakumbuka ya kwamba ndugu yako ana
neno juu yako, …
Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:21-23
24 … Basi iache sadaka yako mbele ya madhabahu
(usiitoe), bali nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi kuitoa sadaka
yako kwa Mungu.
Kuwapenda Watu wa Mungu
Amri ya Upendo1Yohana 4:7-12, 18-21
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21
7 Wapenzi, na tupendane; kwakuwa pendo latoka kwa Mungu, na kila apendaye,
amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21
8 Yeye asiyependa wengine, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni Pendo. 9 Katika hili, pendo la Mungu limeonekana
kwetu, kwamba Mungu ametuma mwanye wa pekee...
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21
9 … ili tupate uzima wa milele kupitia yeye (Yesu) 10 Hili
Pendo, sio kwamba sisi tulimpenda Mungu, bali ni
kwamba, yeye ndiye aliyetupenda sisi kwanza …’
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21
10 … akamtuma mwanawe kuwa kipatanisho kwa dhambi zetu. 11 Wapenzi, ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa
(amri) na sisi kupendana (deni).
Kuwapenda Watu wa MunguWarumi 13:8
8 “Msiwiwe (msidaiwe) na mtu kitu chochote, isipokuwa
kupendana (Upendo); kwa maana ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria (Ukamilifu).
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yoh 4:11 ; Rum 13:8Kutokana na kile kitu
ambacho, Mwana wa Mungu ametutendea sisi, tusikie kuwa
na deni la maisha la sisi pia kudaiwa kuonyesha pendo
kama hilo kwa wengine.
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21
12 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote. Lakini
tukipendana, Mungu hukaa ndani yetu na Pendo lake
limekamilika ndani yetu (na kujidhihirisha) (Yoh 14:23,21).
AINA ZA UPENDO
Yohana 14:23,21Bwana Yesu akasema, ‘Mtu akinipenda, atapendwa na Baba yangu aliye juu; Nami
pia nitampenda; nasi tutakuja kufanya makao
kwake, na kujifunua kwake’.
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21
18 Katika pendo, hakuna hofu, kwa maana Pendo lililo kamili
(lililokamilika), huitupa nje hofu; kwa maana hofu ina adhabu, na mwenye hofu,
hakukamilishwa katika Pendo.
Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21
19 Sisi twapenda kwa maana yeye (Yesu) alitupenda sisi kwanza. 20 Mtu akisema,
nampenda Mungu, na wakati huo huo anamchukia ndugu
yake, mtu huyo ni mwongo ...
Kuwapenda Watu wa Mungu
1Yohana 4:7-12, 18-2120 … kwa maana mtu
asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona,
hawezi kumpenda Mungu ambaye hakumwona.
Kuwapenda Watu wa Mungu
1Yohana 4:7-12, 18-2121 Na amri hii tumepewa
na yeye (Mungu), ya kwamba, yeye ampendaye
Mungu, na ampende na ndugu yake.
Kuwapenda Watu wa MunguKumbe;
Upendo sio hisia, Upendo Matendo na Upendo ni amri.
Tunatakiwa kuonyeshana Upendo hata kama hatujisikii kufanya hivyo, kutokana na
tofauti zetu fulani-fulani.
Upendo KwaWatu wa Mungu
AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU
Mfano; Upendo wa Msamaria mwema kwa Mhanga.
(Luka 10:29-37)
Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37
‘Mtu mmoja msafiri, alikutana na wanyanganyi; wakampiga
sana na kumnyang’anywa vitu vyake na mali zake zote, na
kumwachwa barabarani akiwa nusu ya kufa’.
Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37
‘Kwa nasibu, akapita Kuhani (Mpakwa mafuta wa BWANA),
(Mtu wa Kanisani) lakini hakumsaidia kabisa, bali
alimpita kwa mbali asimpe msaada wowote’.
Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37
‘Baada ya muda kidogo, akapita Mlawi (Mpakwa
mafuta wa BWANA), (Mtu wa Kanisani) lakini hakumsaidia
kabisa, bali alimpita kwa mbali asimpe msaada wowote’.
Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37
‘Baada ya muda, akapita Msamaria (Mtu aliye-
dharaulika) (Mtu wa Mataifa), lakini huyu, akasimamisha
punda wake, akashuka kumsaidia yule mhanga.’
Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37
‘Akamfanyia huduma ya kwanza, akamuosha vidonda
vyake, akampaka divai (dawa), akamvifunga, akampakia
katika punda wake na kumkokota hospitalini.
Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37
‘Akamlipia matibabu yote, akamlipia na nyumba ya
wageni, akamlipia huduma zote za chakula na mahitaji yake yote muhimu; na bado
akaacha fedha ya ziada.’
Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37
‘Na bado akadai, akirudi kutoka safari yake, atarudi
kupita hapo tena, na akikuta gharama zimeongezeka,
atazilipa ha hizo zilizozidi.’
Upendo KwaWatu wa Mungu
Yohana 15:1-15, Yohana 10:30
AGAPE / STORGE PHILEO
EROS
Upendo KwaWatu wa Mungu
AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU
Mfano; Bwana Yesu Kuwatumikia
Wanafunzi wake (Yohana 13:3-17)
Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17
‘Yesu hali akijua Baba amempa vyote mikononi mwake …
alionoka chakulani, akatwaa beseni, maji na kitambaa alichokuwa amejifunga;
Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17
‘Yesu akawatawadha wanafunzi wake wote miguu yako …
Alipokwisha kuwatawadha, akaketi na kuwauliliza; Je
mmefahamu hayo niliyoyatenda?’
Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17
‘Yesu akawatawadha wanafunzi wake wote miguu yako …
Alipokwisha kuwatawadha, akaketi na kuwauliliza; Je
mmefahamu na kuelewa na hayo niliyoyatendea?’
Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17
14 ‘Ikiwa mimi niliye Mwalimu na Bwana kwenu, nimewatawadha ninyi miguu, vivyo hivyo na ninyi mnatakiwa kutawadhana miguu
(ili muwe watumishi kila mtu kwa mwenzake)
Upendo KwaWatu wa MunguMarko 10:42-45
42-43 ‘Mwafahamu, wale wakuu wa dunia, huwatawala kwa
nguvu na huwatumikisha; lakini haitakuwa hivyo kwenu. Yeye
atakaye kuwa mkubwa kwenu, atakuwa mtumishi wenu’
Upendo KwaWatu wa Mungu
Marko 10:42-45
45 ‘Kwakuwa Mwana wa Adamu, hakuja kutumikiwa,
bali kutumika’
Upendo KwaWatu wa Mungu
Yohana 15:1-15, Yohana 10:30
AGAPE / STORGE PHILEO
EROS
Upendo KwaWatu wa Mungu
AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU
Mfano; Kuwahudumia Wahitaji.
Mathayo 25:30-46
Kuwapenda Watu wa Mungu
Mathayo 25:30-46Yesu anasema “Nilikuwa na Njaa hamkunilisha, nilikuwa uchi, hamkunivika; nilikuwa
mgonjwa, hamkuja kunitazama, nilikuwa mfungwa, hamkuja
kunitia moyo, nilikuwa mgeni hamknkaribisha.”
Kuwapenda Watu wa Mungu
Mathayo 25:30-46Na watu watauliza, “Bwana, ni
lini tulikuona na njaa hatukukulisha? Ni lini Bwana
tulikuona uchi tukakataa kukuvika? Ni lini ulilazwa
hospitali au kufungwa gerezani na hatukuja kukutazama?”
Kuwapenda Watu wa Mungu
Mathayo 25:30-46Ndipo Bwana atawaambia “Kwa kadri ambavyo hamkuwafanyia wale waliokuwa na uhitaji huo, ndivyo ambavyo hamkunifanyia mimi. Hivyo ondokeni kwangu
ninyi mtendao maovu.”
Kuwapenda Watu wa MunguYakobo 2:15-17
15 Ikiwa ndugu (muumini) yu uchi, na kupungukiwa na riziki
16 na mtu wa kwenu akawaambia, enendeni zenu kwa amani, mkaote moto na
kushiba, lakini asiwape mahitaji ya mwili, yafaa nini?
Kuwapenda Watu wa MunguYakobo 2:15-17
17 “Vivyo hivyo na Imani, isipokuwa ina matendo, Imani hiy imekufa nafsini mwake.”
Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45
43 “Mmesikia kwamba imenenwa, ‘mpende jiani
yako na mchukie adui yako’ 44 Lakini mimi nawaambia, ‘wependeni adui zenu, tena
waombeeni wanaowaudhi”…
Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45
45 “… ili mpate kuwa Wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua
lake, waovu na wema; huwanayeshea mvua wenya
haki na wasio haki.
Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45
46 “Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi,
mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je, nao hawafanyi hayo hayo?
Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45
47 Tena mkiwasalimia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani
la ziadi? Hata watu wa mataifa, je nao, hawafanyi
kama hayo?
Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45
48 Basi ninyi mtakuwa wakamilifu, kama Baba yenu
aliye mbinguni alivyo mkamilifu (kwa kuwatendea
wema wale msiowajua na wale wanaokuudhi).
Kuwapenda Watu wa MunguWaebrania 13:1-4
1 Upendano wa Ndugu na udumu. 2 Msisahau
kuwafandhili wageni; maana kwa njia hii wengine
wamewakaribisha malaika pasipo kujua.”
Kuwapenda Watu wa MunguWaebrania 13:1-4
3 Wakumbukeni hao waliofungwa, kana kwamba
nanyi pia mmefungwa pamoja nao. Waumbukeni pia na wale
wanaodhulumiwa, kwa vile nanyi mlivyo katika mwili.’
Kuwapenda Watu wa MunguYakobo 1:27
Dini iliyo safi, isiyo na takataka (uchafu) mbele za Mungu Baba ni hii, kwenda
kuwatazama yatima na wajane katika dhiki zao, na kujilinda na dunia pasipo
mawaa (utakatifu).
Upendo KwaWatu wa Mungu
AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU
Mfano; Kanisa la Kwanza Kuwahudumia Wahitaji.
Matendo 2:41-47
Kuwapenda Watu wa MunguMatendo 2:41-47
44-45 ‘Na wote Walioamini, walikuwa mahali pamoja, na kuwa na vitu vyote shirika,
wakiuza mali zao na vitu vyao na kuwagawia watu wote kama kila
mtu alivyokuwa na haja.’
Kuwapenda Watu wa MunguMatendo 2:41-47
46-47 ‘Na siku zote walidumisha ushiraka kwa furaha na kwa
moyo mweupe, hata watu wote wakaingiwa na hofu … Na Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale wliokuwa wakiokolewa.’
Kuwapenda Watu wa MunguMatendo 2:41-47
41-42 ‘Na wale waliolipokea Neno la Mungu, wakaongezeka
wapata watu elfu tatu (wa kiume); wakawakidumu katika fundisho la Mitume na Katika
Ushirika na Katika kusali’
Kuwapenda Watu wa MunguKumbuka kwamba;
Upendo sio hisia, Upendo Matendo na Upendo ni amri.
Tunatakiwa kuonyeshana Upendo hata kama hatujisikii kufanya hivyo, kutokana na
tofauti zetu fulani-fulani.
NGUVU YA UPENDO
Kiwango cha UpendoMwanamke Kahaba na
Bwana YesuLuka 7:36-50
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
KUZIDI KUONGEZEKA KATIKA UTUKUFU WA MUNGU
2 Wakorintho 3:18
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
NGUVU YA UPENDO
Kiwango cha UpendoMtume Petro na
Bwana YesuYohana 21:15-17
KIWANGO CHA UPENDO
Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)
Joto Hewa (Heat) (Oxygen)
MOTO
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kiwango maalum cha UPENDO wako kwa Mungu, kitafungulia Nguvu za Mungu kichohitajika
kuleta mabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na katika ulimwengu wa
mwili.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako
kwa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kiwango maalum cha UPENDO wako kwa Mungu, kitafungulia Nguvu za Mungu kichohitajika
kuleta mabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na katika ulimwengu wa
mwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea
sana Kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi
ndani yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo … Kuna baadhi ya mambo
maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, ikiwa hatutengeneza
au hatutazalisha Nguvu za Mungu za kutosha, ndani yetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …***… ikiwa tutatengeneza au
tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,
tutauwezesha mkono wa Mungu, kufanya mambo mengi na makubwa, aliyokusudia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Lakini …***… ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za
Mungu ndani yetu, basi tutauzuia mkono wa Mungu,
kufanya mambo mengi na makubwa aliyokusudia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mfano;Yesu na Pepo SuguMathayo 17:9-20.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-20Yesu aliposhuka kutoka
mlimani, alikuta umati mkubwa wa watu ukimsubiri. Baba mmoja akamwangukia
Yesu miguuni na kumsihi akisema …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-20Bwana Mkubwa, ninaomba
umponye mwanangu, ana pepo la kifafa; na mara nyingi limemwangusha katika maji
na katika moto, ili kumdhuru, lakini amesalimika …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-20… Nimemleta kwa wanafunzi
wako, lakini wameshindwa kumtoa huyu pepo. Ndipo Yesu akaamuru akisema ‘nitakaa nanyi hata lini?
mleteni kwangu’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-20Kijana alipoletwa, Yesu akamkemea
yule pepo, na likamtoka mara moja na kumwacha kijana akiwa
huru na mzima kabisa. Watu wote wakashangaa na kumtukuza
Mungu kwa furaha.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-2019 Kisha wanafunzi wake
wakamwendea Yesu faraghani, mahali pasipokuwa na watu; wakamwuliza, “Bwana, Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa
yule Pepo?”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-20
20 Yesu akawajibu na kuwaambia, ‘‘Ni kwasababu ya upungufu wa Imani yenu; (au ni kwasababu ya imani
yenu kuwa ndogo) …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-2020 “… Lakini kama mkiwa na
imani kama punje ndogo ya haradali, mtaweza kuuambia
milima huu, ‘ondoka hapa uende pale’ nao utaondoka.
Na wala hakutakuwa na jambo lisilowezekana kwenu.’’
Mathayo 17:9-20
Jiuluze kwa namna hii;Amewakemea kwa kuwa na imani kidogo, lakini hapo hapo anawaambia, walihitaji imani
ndogo kama punje ya haradali, kuhamisha mlima!
Yesu alimaanisha nini?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-2020 “… Lakini kama mkiwa na
imani kama punje ndogo ya haradali, (iliyo na tabia na
uwezo wa kukua, kuliko miti yote ya mboga, na kukua hata kuwa mti mkubwa)
(Mathayo 13:31-32)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-2020 “… (hakika mngetembea na
kiwango kikubwa cha nguvu za Mungu) kiasi cha kuweza
kuhamisha mlima, (kwa nguvu ya neno lako),
ungehamia upande ule. (mafafanuzi yameongezewa)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-2020 “… (Nanyi mngetembea
katika kiwango ambacho), hakuna jambo litakuwa la
kushindikana kwenu.
(mafafanuzi yameongezewa)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-2021 Lakini (mapepo) ya namna
hii, hayatoki isipokuwa kwa kufunga na kuomba.
(mafafanuzi yameongezewa)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Maombi = Imani = Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni Muhimu Tujue Kwamba …
Upendo = Imani = Nguvu
NGUVU YA UPENDO
Kiwango cha Upendo(Mwanamke Kahaba)
Luka 7:36-50
NGUVU YA UPENDO
Kiwango cha Upendo(Petro, Yohana)
Yohana 21:15-24
7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18
^ 1st Class ^^^ 2nd
Class ^^^^^^^^^^ 3rd Class
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.
Luka 6:13-16
1 (Math 26:36-41) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)
12 (Luka 6:12-15)
2 70 (Luka 10:1,17)
3 120 (Mdo 1:15)
500 (1Kor 15:3-8) Umati wa Wanafunzi
NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU
NGUVU YA UPENDO
ASILI YA MUNGU NDANI YETU
1Yohana 5:1,4
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”
IMANI YA USHINDI
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (au asili ya Mungu) ambayo inakupa Nguvu ya
ushindi dhidi ya kila upinzani wa adui shetani maishani
mwake.
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37
‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya
kushinda kupitia kwa Kristo Yesu aliyetupenda.’
KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37
Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kwamba ndio
uwe ushindi wetu sisi tuaminio, lakini bado waumini wengi
tunaishi maisha ya kushindwa.
KANUNI ZA KIROHO
Zipo sababu nyingi; Lakini moja ya sababu kubwa,
ni kutokuwa na kiwango cha kutosha cha Upendo wa Mungu, kitu ambacho
kinasababisha kuzimika kwa nguvu za Mungu.
NGUVU YA UPENDO
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Wagalatia 5:6
NGUVU YA UPENDOWagalatia 5:6
“Maana katika Kristo Yesu, kutahiriwa hakufai neno,
wala kutokutahiriwa, bali ni Imani itendayo kazi kwa
Upendo.”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni Muhimu Tujue Kwamba …
Upendo = Imani = Nguvu
KIWANGO CHA NGUVU YA MUNGU
Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,
kinachohitajika kusababisha mtu wa Mungu, aishi maisha
ya ushindi na mafanikio, duniani.
Waefeso 3:20
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye
awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika)
kuliko yote tunayo-yawaza au tunayoyaomba …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha
Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.
KIWANGO CHA IMANI
Kiwango hicho maalum cha Nguvu za Mungu,
kinazalishwa na Kiwango maalumu cha Imani na
kiwango cha Imani, kinazalishwa na kiwango cha Upendo wako kwa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni Muhimu Tujue Kwamba …
Upendo = Imani = Nguvu
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
KANUNI ZA KIROHO ZA MAISHA YA USHINDI
UTANGULIZIKanuni za kiroho, ni mambo
ambayo, tukiyatumia maishani, mwetu, yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu,
zinazohitajika kutupa maisha ya ushindi na mafanikio, katika
ulimwengu wa mwili.
KANUNI ZA KIROHOVitu maalum
vinavyosababisha kuzalishwa kwa Nguvu za Mungu ili tuishi maisha ya ushindi,
vinaitwa ‘KANUNI ZA KIROHO’.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;
Taa na Mwanga
Aina mbili za Nguvu;
Kanuni za Sayansi
Taa (Bulb)Waya
Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)
Kanuni za Sayansi
MwangaWaya (Light)(Wire) Betrii (Battery)
Ziunganishwe (connected)ipasavyo (sawasawa) kwa
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Aina mbili za Nguvu; Nguvu iliyopo
- (Potential Energy)
Nguvu inayotenda kazi - (Kinetic Energy)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Aina mbili za Nguvu; 1. 2. Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)
Aina mbili za Nguvu;
Kanuni za Sayansi
Taa (Bulb)Waya
Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)
Ziunganishwe (connected)ipasavyo (sawasawa) kwa
Kanuni za Sayansi
Taa (Bulb)Waya (Wire) Betrii (Battery)
Kanuni za Sayansi
MwangaWaya (Light)(Wire) Betrii (Battery)
Ziunganishwe (connected)ipasavyo (sawasawa) kwa
NGUVU ZA UMEME
Aina mbili za Nguvu;
Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KANUNI ZA KIROHO Ni mambo ambayo, tukiyaweka
kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho
Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.
NGUVU ZA MUNGU
Kanuni za Kiroho
Neno (Bulb)Maombi (Wire) (Battery) Roho Mtakatifu
Aina mbili za Nguvu za Mungu
Kanuni za Kiroho (Connected)
Neno (Bulb)Maombi (Wire) Roho Mtakatifu (Battery)
Aina mbili za Nguvu za Mungu
Kanuni za Kiroho (Connected)
Nuru (light)Maombi (Wire) Roho Mtakatifu (Battery)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kanuni za Kiroho (Connected);Ushindi, Afya,nk Nuru ya
(Matendo) Ulimwengu Roho Mtakatifu Nguvu za Roho (Potential Energy) (Kinetic Energy)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni jambo moja kuwa na Taa, (bulb) na ni jambo jingine kuwa
na Mwanga (Nuru ya) hiyo Taa (bulb). Pasipo nguvu za Mungu, utabaki taa (bulb) tu,
isiyowaka (isiyo na nuru)
Mathayo 5:14-16
14 “Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani
hauwezi kufichika (kwasababu ya taa zake) ...
Mathayo 5:14-16
16 Vivyo hivyo na ninyi, nuru yenu (ushindi, mafanikio, nk) na viangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mema wamtukuze Baba yenu
aliye mbinguni.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu anataka, tuwe tofauti!Kwamba …
Katikati ya giza, sisi tuwe nuru,Katikati ya kuanguka, sisi tusianguke,Katikati ya kufeli, sisi tusifeli, tufaulu,Katikati ya hasara, sisi tupate faida,
Mathayo 5:14-16 Giza Vs Nuru Kufeli – Kufaulu Hasara – Faida Kushindwa – Ushindi Magonjwa – Afya/Uponyaji Uasi/Uovu – Haki/Utakatifu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 5:14-16 Ni jambo moja kuwa na Taa, na ni jambo jingine kuwa Mwanga. Pasipo nguvu za Mungu, utabaki
kuwa kama buld tu, isiyowaka (isiyotoa mwanga)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni jambo moja kuwa na Jenereta, na ni jambo jingine kuwa na Umeme (Nguvu ya Umeme). Pasipo nguvu za
Mungu, utabaki kuwa Jenereta tu, isiyowaka (isiyozaa umeme)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KANUNI ZA KIROHO Ni mambo ambayo, tukiyaweka
kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho
Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.
KANUNI ZA KIROHO Ni mapenzi ya Mungu tuishi
maisha ya ushindi na mafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maisha
mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu
Mungu.
KANUNI ZA KIROHO Ni mapenzi ya Mungu tuishi
maisha ya ushindi na mafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maisha
mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu
Mungu.
2Petro 1:3-4Tunaishi kwenye ulimwengu
ulioharibika sana kwasababu ya dhambi na uovu. Mtu wa Mungu
akitaka kuishi kwa ushindi na mafanikio katikati ya uharibifu huu, bila kuingia katika uovu
(kujichafua), ni lazima iwe ni kwa nguvu za Mungu tu.
KUKUA KATIKA UPENDO
KANUNI ZA KIROHOWatu wa Mungu wakielewa,
nafasi ya kanuni za kiroho katika maisha yao, wataweka
bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza
kanuni za kiroho.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Hilo Ndilo
Kusudi la MunguWaefeso 4:11-15
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1511 Naye alitoa wengine, kuwa
Mitume na Manabii, Wachungaji, Wainjilisti na
Waalimu;
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1512 Kwa kusudi la
kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma
itendeke.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1514 ili tusiwe tena watoto
wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila za watu, kwa ujanja, tukizifuata
njia za udanganyifu.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1513 Hata na sisi wote,
tutakapoufikia umoja wa imani, na kumfahamu sana
Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata
kufika katika cheo cha Kristo.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika
upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye
katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.
Kusudi la Mungu
TUFANANE NA MWANA WA MUNGU
YESU KRISTO.
Warumi 8:28,29-30
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-3029 Maana wale aliowajua
tangu asili, aliwachagua tangu asili, ili wafananishwe
na mfano wa mwanaye (Yesu Kristo).
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-3030 Na hao aliowajua tangu
asili, aliwaita; na hao aliowaita, akawahesabia
haki; na hao aliowahesabia haki na aliwatukuza.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Kusudi la MunguMathayo 28:18-20
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Mathayo 28:18-20Enendeni ulimwenguni
mwote mkawafanye mataifa yote kuwa ‘wanafunzi’
wangu
“Acollotheo”
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Mathayo 28:18-20
“Acollo + Theo” Kufanywa kwa namna Mungu ile ile
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Mathayo 28:18-20
“Acollo-theo”Kufanywa kwa namna
ile ile ya Mungu.
KUSUDI LA MUNGU
Yohana 1:12, Warumi 8:23Na ni mapenzi na makusudi ya Mungu, kwamba sisi watoto wake, tukue na kuongezeka ki-imani, mpaka tufikie cheo
cha Uana wa Mungu.
KUSUDI LA MUNGU
Yohana 1:12, Warumi 8:23Na mtu akimwamini Yesu
Kristo, anafanyika Mtoto wa Mungu, na kupewa uwezo wa
hatimaye kuja kufanyika Mwana Mungu.
(kuufikia Uana wa Mungu).
KUSUDI LA MUNGU
Warumi 8:19-23, 28-30Kuwa Mwana wa Mungu, ni cheo na sio jinsia. Ni hatima
ya kufikiwa (Graduation)Waefeso 4:11-15
Warumi 8:29
KUSUDI LA MUNGURumi 8:28-30, Efes 4:11-15
Mtoto anapofanyika Mwana, anashuhudia utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu maishani mwake, kinachofanana na cha
Bwana wetu Yesu Kristo (Mwana wa Mungu).
Warumi 8:19-23Tofauti ya Mwana wa Mungu na
Mtoto wa Mungu ipo katika kuaminiwa na Mungu na
kukabidhiwa wajibu unaokupa kibali cha kutembea na kiwango
fulani cha nguvu za Mungu
UKOMBOZI WA MWILI
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
VIGEZO NA MASHARTIWarumi 8:28-30
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,
katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na
wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-3029 Maana wale aliowajua
tangu asili, aliwachagua tangu asili, ili wafananishwe
na mfano wa mwanaye (Yesu Kristo).
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-3030 Na hao aliowajua tangu
asili, aliwaita; na hao aliowaita, akawahesabia
haki; na hao aliowahesabia haki na aliwatukuza.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,
katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na
wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako
kwa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni Muhimu Tujue Kwamba …
Upendo = Nguvu Kwa Mungu za Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Siri ya Uwezo wa Bwana Yesu
Luka 4:14, 18-19
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Luka 4:14, 18-19 Baada ya kushinda majaribu
yote, Bwana Yesu alirudi Galilaya katika Uweza na
Nguvu za Roho Mtakatifu; Habari zake zikaenea pande zote za Uyahudi na Samaria.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Luka 4:14, 18-19… akaingia Hekaluni,
akahubiri akisema “Roho wa Bwana Mungu yuko juu
yangu, na amenipaka mafuta, niwafungue watu
wote walifungwa (na ibilisi).
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Matendo 10:38… Mungu alimpaka Yesu Kristo Mafuta kwa Roho
Mtakatifu na Nguvu, naye akazunguka, akiwaponya
wote walioteswa na kuonewa na ibilisi shetani.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Shauku ya YesuYohana 14:12-14
Yohana 16:7
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Luka 4:14, 18-19 Kwasababu Bwana Yesu ametupa Roho Mtakatifu yule yule aliyemwezesha
yeye Yesu kuwa mtu asiye wa kawaida kati ya watu wa
kawaida, hivyo basi …
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yoh 14:12 Yoh 16:7Amini Amini nawaambia,
kwasababu ninakwenda kwa Baba (kuwaletea Roho
Mtakatifu), basi kila mtu aniaminiaye mimi, hizi kazi
nizifanyazo, na yeye atazifanya.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Luka 4:18 Kwasababu Bwana Yesu ametupa Roho Mtakatifu yule yule aliyemwezesha
yeye Yesu kuwa mtu asiye wa kawaida kati ya watu wa
kawaida, hivyo basi …
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Yoh 14:12 Yoh 16:7 … Shauku ya Bwana Yesu, ni
sisi waumini wake wote, kukue kiroho mpaka tufikie
uwezo wa kufanana na yeye, katika utendaji wa maisha yetu ya kila siku.
2Petro 1:3-4
Kusudi la Somo;TABIA YA KIMUNGU ‘Kuitambua na Kuachilia Asili ya Mungu iliyo Ndani Yako.’
IMANI YA USHINDI
2Petro 1:3-43-4 Mungu ametukirimia ahadi
zake kubwa na za thamani (NENO) ambazo kwahizo,
twaweza kuwa washirika wa Tabia za Mungu, tukiokolewa
na uharibifu wa dunia.
IMANI YA USHINDI
2Petro 1:3-4Tunaishi katika ulimwengu wenye kila aina ya uasi na
uharibifu mkubwa ndani yake. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu hawezi kushi kwa
ushindi na mafanikio.
IMANI YA USHINDI
2Petro 1:3-4, Mwa 1:1-31Siri ya Ushindi wa Mtu wa Mungu, ni kujua namna ya kutumia Nguvu ya Uumbaji
iliyoko katika Neno la Mungu, lililoumba dunia nzuri kutoka
katika ubaya na uharibifu.
IMANI YA USHINDI
2Petro 1:3-43-4 Mungu ametukirimia ahadi
zake kubwa na za thamani (NENO) ambazo kwahizo,
twaweza kuwa washirika wa Tabia za Mungu, tukiokolewa
na uharibifu wa dunia.
IMANI YA USHINDI
Waebrania 11:3Nasi Twajua ya kuwa,
Ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu
vinavyoonekana vilifanywa kwa vitu visivyoonekana.
IMANI YA USHINDI
2Petro 1:3-4, Mwa 1:1-31Siri ya Ushindi wa Mtu wa Mungu, ni kujua namna ya kutumia Nguvu ya Uumbaji
iliyoko katika Neno la Mungu, lililoumba dunia nzuri kutoka
katika ubaya na uharibifu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1-41 Kila mtu aaminiye kwamba
Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu
mdogo duniani).(Zaburi 82:6)
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”
IMANI YA USHINDI
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (au asili ya Mungu) ambayo inakupa Nguvu ya
ushindi dhidi ya kila upinzani wa adui shetani maishani
mwake.
IMANI YA USHINDI
Mathayo 17:20‘Nanyi mtauambia mlima huu (kwa amri) kwamba ng’oka hapa, uende pale,
nao utatii’
IMANI YA USHINDI
Marko 13:23-24‘Amini amini nawaambia,
yeyote atakayeuambia mlima huu ng’oka, ukatupwe baharini, wala asione shaka, bali aamini hayo ayasemayo, yametokea,
yatakuwa yake.
IMANI YA USHINDI
2Petro 1:3-4, Mwa 1:1-31Siri ya Ushindi wa Mtu wa Mungu, ni kujua namna ya kutumia Nguvu ya Uumbaji
iliyoko katika Neno la Mungu, kutoka katika kinywa chake.
(Isaya 55:10-11)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16-17
Andiko + Pumzi = Neno (Hai)
Herufi + Roho = Nguvu Isaya 55:11-12
Mathayo 16:18-19
18 ‘Nami nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya
kuzimu haitaweza kulishinda; kwa maana nitawapa funguo
za Ufalme …
Mathayo 16:18-1919 … na lolote mtakalo-
lifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni, na
lolote mtakalolifungua duniani, litakuwa
limefunguliwa mbinguni.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu
alimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kumiliki na Kutawala mazingira
yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada.
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
KABLA YA DHAMBI
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
KANUNI ZA KIROHO
Bwana Yesu aliomba hivi:Yohana 17:22
‘Baba, Utukufu ule ulionipa, nami nimewapa wao (Kanisa)’; ‘yaani watu walioniamini, walinipokea
maishani mwao na wanaishi kwa kanuni zangu za kiroho’
Uwezo wa roho ya Mtu
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
Kuona Kuelewa Kujua
UTUKUFU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yohana 14:12/16:7-8‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,
hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba
kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,
waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio
duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa
hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za
kawaida za kimwili.Matendo 3:1-16
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Uwezo wa roho ya Mtu
Ndio maana Mitume waliweza kufanya mikubwa (kama Yesu), kitu ambacho si cha kawaida.
Matendo 5:12/19:11Na Mungu akafanya kwa
mikono ya mitume, miujiza ya kupita kawaida …
Uwezo wa roho ya Mtu
Matendo 5:12/19:11… mikono yao, vivuli vyao na
hata leso zao, zilikuwa na nguvu za Mungu zilizowaponya watu
walioonewa na ibilisi.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na wana wa Isarel
wakapita juu ya nchi kavu, katikati ya kuta mbili za maji, kitu ambacho ni
kinyume kabisa na kanuni za kimwili.Kutoka 14:13-31
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Joshua aliweza kuzivunja kuta kubwa na nene sana za mji wa Yeriko, bila kutumia ‘Katapila’ kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Joshua 6:12-27Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia
hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo
kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na
kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Warumi 8:28-3029 Maana wale aliowajua
tangu asili, aliwachagua tangu asili, ili wafananishwe
na mfano wa mwanaye (Yesu Kristo).
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1513 Hata na sisi wote,
tutakapoufikia umoja wa imani, na kumfahamu sana
Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata
kufika katika cheo cha Kristo.
Mathayo 16:18-19
18 ‘Nami nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya
kuzimu haitaweza kulishinda; kwa maana nitawapa funguo
za Ufalme …
Mathayo 16:18-1919 … na lolote mtakalo-
lifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni, na
lolote mtakalolifungua duniani, litakuwa
limefunguliwa mbinguni.
IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO
Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika
upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye
katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.
NGUVU LA NENO LA MUNGU
Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani
mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi
ndani yako.
Mafundisho Mengine
Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa
Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la
Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive
Dar es Salaam.
Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)
Dar es Salaam, Tanzania.+255 713 497 654+255 783 497 654