kumpenda mungu ‘ faida na nguvu zilizopo katika kukua na kuongezeka katika kumpenda mungu. ’

367
Mwl. Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org KUMPENDA MUNGU ‘Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu.’

Upload: monita

Post on 24-Feb-2016

794 views

Category:

Documents


40 download

DESCRIPTION

KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’. Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org. IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO. Warumi 8:28 - PowerPoint PPT Presentation

TRANSCRIPT

Page 1: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mwl. Mgisa Mtebe+255-713-497-654

www.mgisamtebe.org

KUMPENDA MUNGU‘Faida na Nguvu zilizopo katika

Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu.’

Page 2: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:2828 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

Page 3: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Upendo wa MunguYohana 3:16

Yohana 14:23,21

Page 4: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Yoh 3:16, Rum 1:28-32/5:5-8Kwa maana jinsi hii, Mungu

aliupenda ulimwengu wa watu waovu na wenye ubaya

wa kila namna, akamtoa Mwanaye wa pekee Yesu Kristo, kufa kwa ajili yao.

Page 5: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Yohana 14:23,21Bwana Yesu akasema, ‘Mtu akinipenda, atapendwa na Baba yangu aliye juu; Nami

pia nitampenda; nasi tutakuja kufanya makao

kwake, na kujifunua kwake’.

Page 6: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Tafakari Neno Upendo katika mistari ifuatayo;

Yohana Yohana 3:16 14:21,23

Page 7: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Yyoh 3:16 ; Yoh 14:23,21 Upendo wa Mungu

unaotajwa katika Yoh 3:16 ni tofauti na Upendo wa Mungu unaotajwa ktk Yoh 14:21-23 Kumbe kuna aina tofauti za

Upendo wa Mungu.

Page 8: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Tafakari Neno Upendo katika mistari ifuatayo;

Yoh 3:16 Yoh 14:21-23 Upendo Upendo Usio na Wenye Masharti Masharti

Page 9: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Yyoh 3:16 ; Yoh 14:23,21 Upendo wa Mungu kwa

wanadamu, hauko katika ngazi moja, haufanani.

Mungu anatupenda kitofauti-tofauti.

Page 10: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Yyoh 3:16 ; Yoh 14:23,21 Mungu anatupenda

wanadamu kwa aina tofauti-tofauti za Upendo.

Hii ina maana kwamba, kuna aina mbalimbali za Upendo.

Page 11: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Aina za UpendoYohana 3:16

Yohana 14:23,21

Page 12: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Aina za Upendo.

1. AGAPE (Upendo wa Mungu)2. STORGE (Upendo wa Ndugu)3. PHILEO (Upendo wa Kirafiki)4. EROS (Upendo wa Mahaba)

Page 13: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Aina za Upendo.

1. AGAPE (Godly Love)2. STORGE (Family Love)3. PHILEO (Friendship Love)4. EROS (Romantic Love)

Page 14: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

1. AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Rum 5:8 Yoh 3:16

Page 15: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Sifa Kuu (4) za Upendo - Agape.

1. Hauangalii hali ya mtu ya nje.

2. Hauna masharti yoyote.3. Hauna kipimo au kiwango.4. Hauna mwisho au kikomo.

Page 16: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

1. AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Upendo wa Mungu kwa

Wanadamu/Ulimwengu. (Yohana 3:16, Rum 1:28-32)

Page 17: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

1. AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Upendo wa Msamaria mwema kwa Mhanga.

(Luka 10:29-37)

Page 18: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

2. STORGE (Family Love)UPENDO WA KINDUGU

(Upendo wa Damu)

Page 19: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Sifa Kuu (4) za Upendo - Storge.

1. Hauangalii hali ya mtu ya nje.

2. Hauna masharti yoyote.3. Hauna kipimo au kiwango.4. Hauna mwisho au kikomo.

Page 20: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

2. STORGE (Family Love)UPENDO WA KINDUGU

Luka 15:11-32(Upendo wa Baba kwa

Mwana Mpotevu)

Page 21: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

2. Storge (Family Love)UPENDO WA KINDUGU

Mfano; Upendo wa Musa kwa

Waebrania. (Kutoka 2:11-12)

Page 22: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

3. PHILEO (Friendship)UPENDO WA KIRAFIKI

(Upendo wenye Sababu)Mithali 18:24

Page 23: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Sifa Kuu (4) za Upendo - Phileo.

1. Huangalia hali ya mtu ya nje.2. Una masharti fulani-fulani.3. Una kipimo au kiwango.4. Una mwisho au kikomo.

Page 24: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Jonathan

na Daudi. (1Samwel 18:1-5)

Page 25: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Yesu kwa Martha,

Mariam na Lazaro. (Yahano 11:1-5)

Page 26: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Kama binadamu wanavyoweza kupendana katika urafiki wa

karibu sana, vivyo hivyo, Mungu ana watu walimpenda

sana hata kujenga naye uhusiano wa karibu sana wa kirafiki. (Mathayo 22:37-38)

Page 27: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Mathayo 22:37-38“Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa

roho yako yote, na kwa akili zako zote. Amri hii ndiyo kuu,

tena ndiyo ya kwanza.”

Page 28: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Yohana 14:23,21Bwana Yesu akasema, ‘Mtu akinipenda, atapendwa na Baba yangu aliye juu; Nami

pia nitampenda; nasi tutakuja kufanya makao

kwake, na kujifunua kwake’.

Page 29: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

Page 30: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Math 22:37-38, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda

Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha Upendo wa Mungu,

wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.

Page 31: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Mithali 8:17‘Ninawapenda wanipendao,

na wale wanitafutao kwa bidii, wataniona. (nitajifunua

kwao kwa njia ya kipekee).’

Page 32: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Mungu na Henoko (Enock). (Mwanzo 5:21-24)

Page 33: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Mungu na Ibrahimu. (Yakobo 2:23)

Page 34: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Mungu na Musa. (Hes 12:5-10; Kut 33:9-23; )

Page 35: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

UPENDO WA KIRAFIKI

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya Mungu na Mfalme Daudi.

(Mathayo 12:1-8)

Page 36: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

HEKALU la Mungu Patakatifu pa

Patakatifu Patakatifu

Uwanda

wa Nje

Page 37: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

UPENDO WA KIRAFIKI

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya Mungu na Mfalme Daudi.

(1Sam 13:13-14, Mdo 13:21-22)

Page 38: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

UPENDO WA KIRAFIKI

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Yesu na Yohana. (Yohana 21:15-24)

Page 39: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

1 (Yoh 21:15-24) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)

12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

Umati wa Wanafunzi.

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

Page 40: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

4. EROS (Romantic)UPENDO WA MAHABAEfe 5:25; Mhu 9:8-9; Wimbo 7:1-10 / 4:1-7

Page 41: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Sifa Kuu (4) za Upendo - Eros.1. Huangalia hali ya mtu ya nje.2. Una masharti fulani-fulani.3. Una kipimo au kiwango.4. Una mwisho au kikomo.5. Unaelekea kwa mtu 1 tu.6. Ni Mtu wa jinsia tofauti tu.7. Unakuwa na Agano.

Page 42: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

4. Eros (Romantic Love)UPENDO WA MAHABA

Mfano; Upendo wa Mahaba kati ya

Isaka na Rebeca. (Mwanzo 26:11)

Page 43: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

4. Eros (Romantic Love)UPENDO WA MAHABA

Mfano; Upendo wa Mahaba kati ya

Yakobo na Raheli. (Mwanzo 29:16-20 (10-30)

Page 44: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

4. Eros (Romantic Love)

Mfano; Upendo wa Bwana Yesu na

Mungu Baba. Yoh 15:9-10, Yoh 10:38,30

Yoh 14:10-11, 20

Page 45: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

1 (Math 26:36-41) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)

12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8) Umati wa Wanafunzi

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

Page 46: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

MEASURE OF LOVE

Kiwango cha Upendo

Je Unampenda Mungu Kiasi Gani?

Yohana 21:15-17

Page 47: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo(Yesu na Petro)

Yohana 21:15-17

Page 48: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo(Yesu na Petro)

Yohana 21:15-17‘Simoni Mwana wa Yona,

Je wanipenda kuliko hawa?’

Page 49: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo

Mfano;(Yesu, Simoni, Kahaba)

Luka 7:36-50

Page 50: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha UpendoLuka 7:36-50

‘Wewe, umesamehewa dhambi kidogo, ndio maana umependa

kidogo; lakini mwanamke huyu, amesamehewa dhambi

nyingi, na ndio maana amependa sana.’

Page 51: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 52: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

Page 53: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

Page 54: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 55: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 56: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

Page 57: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yoh 3:16-18, Yoh 14:23,21Mungu anapokupenda

kwanza kwa Upendo wa Agape, atasubiri kuona kama

utaupokea na kuitikia kwa kumrudishia Upendo.

Page 58: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 3:16-18, Warumi 5:5-8

AGAPE / STORGE

Page 59: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yoh 3:16-18, Yoh 14:23,21Mtu anapoitikia kwa kumpenda

Mungu kwa vigezo ambavyo Mungu anataka, ndipo Mungu hufungulia Upendo mwingine,

wa ngazi ya pili, Upendo wa Kirafiki (Phileo) tofauti na Agape.

Page 60: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 14:23,21 Mithali 8:17

AGAPE / STORGE PHILEO

Page 61: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yoh 3:16-18, Yoh 14:23,21Mtu aliyependwa na Mungu

Kirafiki (Phileo), akiitikia upendo huo kwa kumpenda Mungu kwa

zaidi sana, ndipo Mungu naye hufungulia Upendo mzito (Eros),

Upendo wa Ngazi ya Kwanza.

Page 62: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 15:1-15, Yohana 10:30

AGAPE / STORGE PHILEO

EROS

Page 63: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 15:1-15(Condition) Mkizishika amri

zangu, ndipo mtaweza kukaa katika Pendo langu (Eros); kama vile mimi nilivyozishika amri za

Baba yangu, na kukaa katika Pendo lake (Eros).

Page 64: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 15:1-15 Mimi ndani ya Baba, na Baba ndani yangu; nami ndani yenu,

nanyi ndani yangu.(Erotic/Romantic Love)

Yohana 10:38, 30

Page 65: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

3. UPENDO WA KIRAFIKI

Kwa Mfano;Yesu na Wanafunzi wake.

Luka 6:13-16

Page 66: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

1 (Math 26:36-41) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)

12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8) Umati wa Wanafunzi

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

Page 67: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 15:1-15 Mimi ndani ya Baba, na

Baba ndani yangu; nani ndani yenu, nanyi ndani yangu.(Erotic/Romantic Love)

Yohana 10:38, 30

Page 68: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Rum 8:28-30, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda

Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,

wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.

Page 69: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 15:1-15 Mimi ndani ya Baba, na

Baba ndani yangu; nani ndani yenu, nanyi ndani yangu.(Erotic/Romantic Love)

Yohana 10:38, 30

Page 70: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo(Quality and Quantity)

Luka 7:36-50

Page 71: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

Page 72: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

Page 73: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina

maana kuu mbili (2);

1. Kukua Kiwango cha Upendo

(Quantitative Growth)

Page 74: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 75: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 76: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina

maana kuu mbili (2);

2. Kukua ktk Aina ya Upendo (Qualitative Growth)

Page 77: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

Page 78: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Math 22:27-28, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda

Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,

wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.

Page 79: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Yohana 14:23,21Yesu alisema, ‘mtu akinipenda,

atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda; nasi

tutakuja kufanya makao kwake, na kujifunua kwake’.

Page 80: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Mithali 8:17, Yeremia 29:11-13Ninawapenda wanipendao, na

wale wanitafutao kwa bidii, wataniona. Utanitafuta, nami

nitaonekana kwako, ukinitafuta kwa bidii na kwa

moyo wako wote.

Page 81: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

Page 82: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

Page 83: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

2Nyakati 16:9Macho ya Bwana Mungu, hukimbia-kimbia duniani

kote, akitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili

ajionyeshe mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

Page 84: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

Page 85: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO.

Amri Kuu Mbili (2)1. Kumpenda Mungu wako2. Kumpenda Jirani yako

Mathayo 22:36-40

Page 86: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

1. Kumpenda Mungu.

Mathayo 22:36-40

Page 87: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4036 “Mwalimu, katika Torati, ni

amri ipi iliyo kuu? 37 Yesu akamwambia ‘Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote,

na kwa akili zako zote.”

Page 88: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4038 “Hii ndiyo amri iliyo Kuu,

tena ni ya kwanza. 39 Na ya pili, yafanana na hii; nayo inasema, hivi; ‘Mpende jirani yako kama

nafsi yako (yaani kama unavyojipenda mwenyewe).”

Page 89: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4040 “Torati yote na Manabii

hutegemea katika amri kuu hizi mbili” (Kumpenda Mungu na

Kumpenda Jirani yako.)

Page 90: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za UpendoUnajuaje kwamba

Unampenda Mungu?

Yohana 21:15-17

Page 91: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

1. Muda unaotumia.Kitu unachokipenda, ndicho

kinachukua muda wako mwingi zaidi. Vivyo hivyo, na kwa Mtu

unayempenda, utapenda kutumia muda wa kutosha pamoja naye.

Page 92: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

1. Muda unaotumia.- Uwiano wa Matumizi ya -

Muda wako maishaniKutoka 33:7-11

Mathayo 14:22-23

Page 93: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

ISHARA ZA UPENDO

1. Muda Unaotumia katika

(a) Mawasiliano Mazuri.Mtu unayempenda,

utahakikisha kila siku au mara kwa mara, unakuwa na muda

wa kuongea naye.

Page 94: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

ISHARA ZA UPENDO

1. Muda Unaotumia katika

(a) Mawasiliano Mazuri.- Maisha ya Maombi -

Yeremia 33:3, Waefeso 6:18Wakolosai 4:2, 1Thes 5:17

Page 95: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

ISHARA ZA UPENDO1. Muda Unaotumia katika (b) Kusikia Kutoka Kwake.

Kwa mtu unayempenda, utakuwa na hamu kubwa, ya kila

siku au mara kwa mara; ya kutamani kusikia kutoka kwake; Kusikia mawazo yake, hisia zake,

mipango yake, n.k.

Page 96: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

ISHARA ZA UPENDO

1. Muda Unaotumia katika

(b) Kusikia Kutoka Kwake.- Kusoma Neno la Mungu -

Kolosai 3:16, Zaburi 19:9-10

Page 97: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

ISHARA ZA UPENDO1. Muda Unaotumia katika (c) Kutafuta Kumjua Zaidi.

Kwa mtu unayempenda, utatamani sana, kumjua kwa undani zaidi. Kujua, mawazo

yake, hisia zake, anavyovipenda, asivyopenda, mipango yake, na zaidi, kumjua kitabia/sifa zake.

Page 98: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

ISHARA ZA UPENDO

1. Muda Unaotumia katika

(c) Kutafuta Kumjua Zaidi.- Kujenga Uhusiano wa Kina -

1Yoh 1:1-3, Efes 4:11-152Pet 3:18, Ayub 22:21

Page 99: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo2. Utii na Uaminifu.

Mtu unayempenda, hautapenda kumkwaza wala kumuudhi; utafurahi kufanya

yale anayotaka na kutokufanya yale asiyoyataka.

Page 100: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

2. Utii na Uaminifu.- Kutii Neno la Mungu -Yoh 14:21-23, 1Yoh 5:3

Zaburi 119:9, 11

Page 101: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

2. Utii na Uaminifu.- Maisha ya Utakatifu -Isaya 57:15, 1Pet 1:15-16 Waefeso 4:17-25, Zab 16:3

Page 102: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo3. Kumsifia na Kumtukuza

Mtu unayempenda, utajikuta unapenda kumsifia

na kumtukuza, yeye binafsi au mbele za watu wengine.

Page 103: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

3. Kumsifia na Kumtukuza- Kumsifu Mungu -

Zab 148:1-13, Zab 150:1-6Zaburi 71:8

Page 104: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo4. Kutamani Kumgusa. Mguso ni ishara mojawapo ya juu ya uhusiano mzuri kati ya

watu. Mtu unayempenda, una hamu na shauku ya kumshika

au kumgusa kwa upendo.

Page 105: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

4. Kutamani Kumgusa.- Maisha ya Ibada -

Yoh 4:23-24, Zab 96:5

Page 106: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEIshara za Upendo

5. Heshima na Adabu.Kwa mtu unayempenda, utajikuta una heshima na

adabu ya kipekee juu yake.

Page 107: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEIshara za Upendo

5. Heshima na Adabu.- Kumheshimu na -

Kumwogopa MunguMath 15:8, Yoh 5:22-23

Yoh 8:49, Yak 2:19, Yoh 12:26

Page 108: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo6. Kuujaa Moyo (Mawazo)

Mtu unayempenda, huwa unapenda kumweka mawazoni mwako na moyoni mwako; na huwa anaujaza moyo wako na

mawazo yako popote ulipo.

Page 109: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo6. Kuujaa Moyo (Mawazo)

- Kumtafakari Mungu -

Warumi 8:5, Wafilipi 4:8, Waebrania 3:1

Page 110: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo7. Kuzawadia kwa Furaha. Mtu unayempenda, utajikuta una msukumo wa mara kwa

mara wa kumzawadia na kumpa vitu ili kuidumisha furaha yake na kuhakikisha ustawi wake.

Page 111: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

7. Kuzawadia kwa Furaha.- Utoaji mzuri wa Sadaka -

Luka 7:36-50, Yohana 3:16

Page 112: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEIshara za Upendo

7. Kuzawadia kwa Furaha.- Utoaji mzuri wa Sadaka -

Mithali 3:9-10, Malaki 3:7-12 Hagai 1:1-11

Page 113: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo8. Moyo wa Kumtumikia.

Mtu unayempenda, una moyo wa kumtumikia na hata

kujitoa kwa ajili yake; ili kumpendeza, kumtunza na

hata kumlinda.

Page 114: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

8. Moyo wa Kumtumikia.- Serving God -

Yohana 12:26, 1Wakorintho 4:1-2

Page 115: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo9. Kumwamini.

Mtu unayempenda, utajikuta una namna ya kipekee ya

kumwamini na kumtegemea.(Believe and Trust)

Page 116: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEIshara za Upendo

9. Kumwamini. - Belief and Trust -

1Yoh 4:18, Ebr 11:1-6 Warumi 4:17-21

Page 117: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEIshara za Upendo

9. Kumwamini.- Belief and Trust -

Mfano: Yesu na Petro BahariniMath 14:22-33

Page 118: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo10. Moyo wa Uvumilivu.

Mtu unayempenda, utajikuta una Neema ya kutosha ya

kumvumilia na kumchukulia vile alivyo, kwa amani na

furaha ya moyoni.

Page 119: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

10. Moyo wa Uvumilivu.- Kumsubiri Mungu -

Waebrania 6:13-15, 12

Page 120: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo11. Ujasiri wa Kumlinda.

Mtu unayempenda, utajikuta una ujasiri wa kumtetea na kumlinda, yeye na heshima yake.

Page 121: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

11. Ujasiri wa Kumlinda.- Kulinda Heshima Yake -

Waebrania 6:13-15, 12

Page 122: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

11. Ujasiri wa Kumlinda.- Wivu wa Bwana -

Yoh 2:13-17, Yak 4:4-5

Page 123: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo12. Utamwambia Maneno.

Mtu unayempenda, una hamu ya kumwambia mara

kwa mara kwamba unampenda; japo anajua.

Page 124: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

12. Utamwambia Maneno.- Confess n’ Declare -

Yohana 21:15-17, Zaburi 18:1

Page 125: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Yohana 14:23,21Yesu alisema, ‘mtu akinipenda,

atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda; nasi

tutakuja kufanya makao kwake, na kujifunua kwake’.

Page 126: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Mithali 8:17, Yeremia 29:11-13Ninawapenda wanipendao, na

wale wanitafutao kwa bidii, wataniona. Utanitafuta, nami

nitaonekana kwako, ukinitafuta kwa bidii na kwa

moyo wako wote.

Page 127: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

Page 128: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

Page 129: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

2Nyakati 16:9Macho ya Bwana Mungu, hukimbia-kimbia duniani

kote, akitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili

ajionyeshe mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

Page 130: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Math 22:27-28, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda

Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,

wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.

Page 131: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Mungu na Ibrahimu. (Yakobo 2:23)

Page 132: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Mungu na Musa. (Hes 12:5-10; Kut 33:9-23; )

Page 133: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

UPENDO WA KIRAFIKI

Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya Mungu na Mfalme Daudi.

(1Sam 13:13-14, Mdo 13:21-22)

Page 134: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

UPENDO WA KIRAFIKI

Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Yesu na Yohana. (Yohana 21:15-24)

Page 135: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

1 (Yoh 21:15-24) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)

12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

Umati wa Wanafunzi.

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

Page 136: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Math 22:27-28, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda

Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,

wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.

Page 137: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

Page 138: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina

maana kuu mbili (2);

1. Kukua Kiwango cha Upendo

(Quantitative Growth)

Page 139: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 140: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 141: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina

maana kuu mbili (2);

2. Kukua ktk Aina ya Upendo (Qualitative Growth)

Page 142: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

Page 143: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO.

Amri Kuu Mbili (2)1. Kumpenda Mungu wako2. Kumpenda Jirani yako

Mathayo 22:36-40

Page 144: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

2. Kumpenda Jirani.

Mathayo 22:36-40

Page 145: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4036 “Mwalimu, katika Torati, ni

amri ipi iliyo kuu? 37 Yesu akamwambia ‘Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote,

na kwa akili zako zote.”

Page 146: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4038 “Hii ndiyo amri iliyo Kuu,

tena ni ya kwanza. 39 Na ya pili, yafanana na hii; nayo inasema, hivi; ‘Mpende jirani yako kama

nafsi yako’ (yaani kama unavyojipenda mwenyewe).”

Page 147: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4040 “Torati yote na Manabii

hutegemea katika amri kuu hizi mbili” (Kumpenda Mungu na

Kumpenda Jirani yako.)

Page 148: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

SIGNS OF LOVE

Kumpenda Mungu kwa Kuwapenda Watu wa

Mungu.

1Yohana 2:7-111Yohana 4:7-12, 18-21

Page 149: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

1Yohana 4:7-12, 18-2121 Na amri hii tumepewa

na yeye (Mungu), ya kwamba, yeye ampendaye

Mungu, na ampende na ndugu yake.

Page 150: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

Amri ya Upendo1Yohana 2:7-11

Page 151: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11

7 Wapenzi, siwaandikii amri mpya, ila mari ya zamani mliyokuwa nayo tangu

mwanzo. Na hiyi amri ya zamani, ni neno lile mlilolisikia.

Page 152: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11

8 Tena nawaandikia amri mpya, neno lililo kweli ndani

yake na ndani yenu; kwakuwa giza linapita na ile nuru ya kweli imekwisha kung’aa.

Page 153: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11

9 Yeye asemaye kwamba yuko nuruni, lakini anamchukia ndugu yake, basi mtu huyo bado yupo gizani hata sasa (inangawa yeye anajidhania

yuko nuruni.)

Page 154: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11

10 Yeye ampendaye ndugu yake, anakaa katika nuru, wala

ndani yake hakuna kikwazo (yaani giza).

Page 155: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11

11 Bali yeye machukiaye ndugu yake, yu katika giza. Tena

anakwenda gizani, wala hajui aendako, kwasababu giza

limempofusha macho.

Page 156: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 5:21-2321 Mmesikia watu wa kale walivyowaambia, kwamba

‘usiue’ na ‘mtu akiua’, itampasa hukumu.

Page 157: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 5:21-2322 Lakini mimi nawaambieni, ya kwamba, ‘kila amwoneaye ndugu yake hasira’, itampasa

mtu huyo hukumu. (kama vile ni mtu aliyeua).

Page 158: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 5:21-2322 … na mtu akimfyonza

ndugu yake, itampasa mtu huyo kuwekwa katika baraza (kujadiliwa kama vile ni mtu

aliyempiga mwenzake) …

Page 159: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 5:21-23

22 … na mtu akimwapiza mwenzake, itampasa mtu

huyo, jehanaum ya moto …

Page 160: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 5:21-2323 Basi, ukileta sadaka yako madhabahuni, ukakumbuka ya kwamba ndugu yako ana

neno juu yako, …

Page 161: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:21-23

24 … Basi iache sadaka yako mbele ya madhabahu

(usiitoe), bali nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi kuitoa sadaka

yako kwa Mungu.

Page 162: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

Amri ya Upendo1Yohana 4:7-12, 18-21

Page 163: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

7 Wapenzi, na tupendane; kwakuwa pendo latoka kwa Mungu, na kila apendaye,

amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.

Page 164: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

8 Yeye asiyependa wengine, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni Pendo. 9 Katika hili, pendo la Mungu limeonekana

kwetu, kwamba Mungu ametuma mwanye wa pekee...

Page 165: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

9 … ili tupate uzima wa milele kupitia yeye (Yesu) 10 Hili

Pendo, sio kwamba sisi tulimpenda Mungu, bali ni

kwamba, yeye ndiye aliyetupenda sisi kwanza …’

Page 166: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

10 … akamtuma mwanawe kuwa kipatanisho kwa dhambi zetu. 11 Wapenzi, ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa

(amri) na sisi kupendana (deni).

Page 167: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguWarumi 13:8

8 “Msiwiwe (msidaiwe) na mtu kitu chochote, isipokuwa

kupendana (Upendo); kwa maana ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria (Ukamilifu).

Page 168: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yoh 4:11 ; Rum 13:8Kutokana na kile kitu

ambacho, Mwana wa Mungu ametutendea sisi, tusikie kuwa

na deni la maisha la sisi pia kudaiwa kuonyesha pendo

kama hilo kwa wengine.

Page 169: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

12 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote. Lakini

tukipendana, Mungu hukaa ndani yetu na Pendo lake

limekamilika ndani yetu (na kujidhihirisha) (Yoh 14:23,21).

Page 170: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

AINA ZA UPENDO

Yohana 14:23,21Bwana Yesu akasema, ‘Mtu akinipenda, atapendwa na Baba yangu aliye juu; Nami

pia nitampenda; nasi tutakuja kufanya makao

kwake, na kujifunua kwake’.

Page 171: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

18 Katika pendo, hakuna hofu, kwa maana Pendo lililo kamili

(lililokamilika), huitupa nje hofu; kwa maana hofu ina adhabu, na mwenye hofu,

hakukamilishwa katika Pendo.

Page 172: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

19 Sisi twapenda kwa maana yeye (Yesu) alitupenda sisi kwanza. 20 Mtu akisema,

nampenda Mungu, na wakati huo huo anamchukia ndugu

yake, mtu huyo ni mwongo ...

Page 173: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

1Yohana 4:7-12, 18-2120 … kwa maana mtu

asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona,

hawezi kumpenda Mungu ambaye hakumwona.

Page 174: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

1Yohana 4:7-12, 18-2121 Na amri hii tumepewa

na yeye (Mungu), ya kwamba, yeye ampendaye

Mungu, na ampende na ndugu yake.

Page 175: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguKumbe;

Upendo sio hisia, Upendo Matendo na Upendo ni amri.

Tunatakiwa kuonyeshana Upendo hata kama hatujisikii kufanya hivyo, kutokana na

tofauti zetu fulani-fulani.

Page 176: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa Mungu

AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Upendo wa Msamaria mwema kwa Mhanga.

(Luka 10:29-37)

Page 177: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Mtu mmoja msafiri, alikutana na wanyanganyi; wakampiga

sana na kumnyang’anywa vitu vyake na mali zake zote, na

kumwachwa barabarani akiwa nusu ya kufa’.

Page 178: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Kwa nasibu, akapita Kuhani (Mpakwa mafuta wa BWANA),

(Mtu wa Kanisani) lakini hakumsaidia kabisa, bali

alimpita kwa mbali asimpe msaada wowote’.

Page 179: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Baada ya muda kidogo, akapita Mlawi (Mpakwa

mafuta wa BWANA), (Mtu wa Kanisani) lakini hakumsaidia

kabisa, bali alimpita kwa mbali asimpe msaada wowote’.

Page 180: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Baada ya muda, akapita Msamaria (Mtu aliye-

dharaulika) (Mtu wa Mataifa), lakini huyu, akasimamisha

punda wake, akashuka kumsaidia yule mhanga.’

Page 181: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Akamfanyia huduma ya kwanza, akamuosha vidonda

vyake, akampaka divai (dawa), akamvifunga, akampakia

katika punda wake na kumkokota hospitalini.

Page 182: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Akamlipia matibabu yote, akamlipia na nyumba ya

wageni, akamlipia huduma zote za chakula na mahitaji yake yote muhimu; na bado

akaacha fedha ya ziada.’

Page 183: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Na bado akadai, akirudi kutoka safari yake, atarudi

kupita hapo tena, na akikuta gharama zimeongezeka,

atazilipa ha hizo zilizozidi.’

Page 184: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa Mungu

Yohana 15:1-15, Yohana 10:30

AGAPE / STORGE PHILEO

EROS

Page 185: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa Mungu

AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Bwana Yesu Kuwatumikia

Wanafunzi wake (Yohana 13:3-17)

Page 186: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17

‘Yesu hali akijua Baba amempa vyote mikononi mwake …

alionoka chakulani, akatwaa beseni, maji na kitambaa alichokuwa amejifunga;

Page 187: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17

‘Yesu akawatawadha wanafunzi wake wote miguu yako …

Alipokwisha kuwatawadha, akaketi na kuwauliliza; Je

mmefahamu hayo niliyoyatenda?’

Page 188: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17

‘Yesu akawatawadha wanafunzi wake wote miguu yako …

Alipokwisha kuwatawadha, akaketi na kuwauliliza; Je

mmefahamu na kuelewa na hayo niliyoyatendea?’

Page 189: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17

14 ‘Ikiwa mimi niliye Mwalimu na Bwana kwenu, nimewatawadha ninyi miguu, vivyo hivyo na ninyi mnatakiwa kutawadhana miguu

(ili muwe watumishi kila mtu kwa mwenzake)

Page 190: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa MunguMarko 10:42-45

42-43 ‘Mwafahamu, wale wakuu wa dunia, huwatawala kwa

nguvu na huwatumikisha; lakini haitakuwa hivyo kwenu. Yeye

atakaye kuwa mkubwa kwenu, atakuwa mtumishi wenu’

Page 191: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa Mungu

Marko 10:42-45

45 ‘Kwakuwa Mwana wa Adamu, hakuja kutumikiwa,

bali kutumika’

Page 192: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa Mungu

Yohana 15:1-15, Yohana 10:30

AGAPE / STORGE PHILEO

EROS

Page 193: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa Mungu

AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Kuwahudumia Wahitaji.

Mathayo 25:30-46

Page 194: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 25:30-46Yesu anasema “Nilikuwa na Njaa hamkunilisha, nilikuwa uchi, hamkunivika; nilikuwa

mgonjwa, hamkuja kunitazama, nilikuwa mfungwa, hamkuja

kunitia moyo, nilikuwa mgeni hamknkaribisha.”

Page 195: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 25:30-46Na watu watauliza, “Bwana, ni

lini tulikuona na njaa hatukukulisha? Ni lini Bwana

tulikuona uchi tukakataa kukuvika? Ni lini ulilazwa

hospitali au kufungwa gerezani na hatukuja kukutazama?”

Page 196: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 25:30-46Ndipo Bwana atawaambia “Kwa kadri ambavyo hamkuwafanyia wale waliokuwa na uhitaji huo, ndivyo ambavyo hamkunifanyia mimi. Hivyo ondokeni kwangu

ninyi mtendao maovu.”

Page 197: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguYakobo 2:15-17

15 Ikiwa ndugu (muumini) yu uchi, na kupungukiwa na riziki

16 na mtu wa kwenu akawaambia, enendeni zenu kwa amani, mkaote moto na

kushiba, lakini asiwape mahitaji ya mwili, yafaa nini?

Page 198: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguYakobo 2:15-17

17 “Vivyo hivyo na Imani, isipokuwa ina matendo, Imani hiy imekufa nafsini mwake.”

Page 199: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45

43 “Mmesikia kwamba imenenwa, ‘mpende jiani

yako na mchukie adui yako’ 44 Lakini mimi nawaambia, ‘wependeni adui zenu, tena

waombeeni wanaowaudhi”…

Page 200: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45

45 “… ili mpate kuwa Wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua

lake, waovu na wema; huwanayeshea mvua wenya

haki na wasio haki.

Page 201: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45

46 “Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi,

mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je, nao hawafanyi hayo hayo?

Page 202: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45

47 Tena mkiwasalimia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani

la ziadi? Hata watu wa mataifa, je nao, hawafanyi

kama hayo?

Page 203: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45

48 Basi ninyi mtakuwa wakamilifu, kama Baba yenu

aliye mbinguni alivyo mkamilifu (kwa kuwatendea

wema wale msiowajua na wale wanaokuudhi).

Page 204: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguWaebrania 13:1-4

1 Upendano wa Ndugu na udumu. 2 Msisahau

kuwafandhili wageni; maana kwa njia hii wengine

wamewakaribisha malaika pasipo kujua.”

Page 205: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguWaebrania 13:1-4

3 Wakumbukeni hao waliofungwa, kana kwamba

nanyi pia mmefungwa pamoja nao. Waumbukeni pia na wale

wanaodhulumiwa, kwa vile nanyi mlivyo katika mwili.’

Page 206: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguYakobo 1:27

Dini iliyo safi, isiyo na takataka (uchafu) mbele za Mungu Baba ni hii, kwenda

kuwatazama yatima na wajane katika dhiki zao, na kujilinda na dunia pasipo

mawaa (utakatifu).

Page 207: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Upendo KwaWatu wa Mungu

AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Kanisa la Kwanza Kuwahudumia Wahitaji.

Matendo 2:41-47

Page 208: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguMatendo 2:41-47

44-45 ‘Na wote Walioamini, walikuwa mahali pamoja, na kuwa na vitu vyote shirika,

wakiuza mali zao na vitu vyao na kuwagawia watu wote kama kila

mtu alivyokuwa na haja.’

Page 209: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguMatendo 2:41-47

46-47 ‘Na siku zote walidumisha ushiraka kwa furaha na kwa

moyo mweupe, hata watu wote wakaingiwa na hofu … Na Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale wliokuwa wakiokolewa.’

Page 210: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguMatendo 2:41-47

41-42 ‘Na wale waliolipokea Neno la Mungu, wakaongezeka

wapata watu elfu tatu (wa kiume); wakawakidumu katika fundisho la Mitume na Katika

Ushirika na Katika kusali’

Page 211: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kuwapenda Watu wa MunguKumbuka kwamba;

Upendo sio hisia, Upendo Matendo na Upendo ni amri.

Tunatakiwa kuonyeshana Upendo hata kama hatujisikii kufanya hivyo, kutokana na

tofauti zetu fulani-fulani.

Page 212: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha UpendoMwanamke Kahaba na

Bwana YesuLuka 7:36-50

Page 213: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 214: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUZIDI KUONGEZEKA KATIKA UTUKUFU WA MUNGU

2 Wakorintho 3:18

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 215: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha UpendoMtume Petro na

Bwana YesuYohana 21:15-17

Page 216: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KIWANGO CHA UPENDO

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)

Joto Hewa (Heat) (Oxygen)

MOTO

Page 217: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kiwango maalum cha UPENDO wako kwa Mungu, kitafungulia Nguvu za Mungu kichohitajika

kuleta mabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na katika ulimwengu wa

mwili.

Page 218: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

Page 219: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 220: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 221: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kiwango maalum cha UPENDO wako kwa Mungu, kitafungulia Nguvu za Mungu kichohitajika

kuleta mabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na katika ulimwengu wa

mwili.

Page 222: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea

sana Kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi

ndani yako.

Page 223: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo … Kuna baadhi ya mambo

maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, ikiwa hatutengeneza

au hatutazalisha Nguvu za Mungu za kutosha, ndani yetu.

Page 224: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …***… ikiwa tutatengeneza au

tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu, kufanya mambo mengi na makubwa, aliyokusudia.

Page 225: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …***… ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za

Mungu ndani yetu, basi tutauzuia mkono wa Mungu,

kufanya mambo mengi na makubwa aliyokusudia.

Page 226: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano;Yesu na Pepo SuguMathayo 17:9-20.

Page 227: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20Yesu aliposhuka kutoka

mlimani, alikuta umati mkubwa wa watu ukimsubiri. Baba mmoja akamwangukia

Yesu miguuni na kumsihi akisema …

Page 228: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20Bwana Mkubwa, ninaomba

umponye mwanangu, ana pepo la kifafa; na mara nyingi limemwangusha katika maji

na katika moto, ili kumdhuru, lakini amesalimika …

Page 229: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20… Nimemleta kwa wanafunzi

wako, lakini wameshindwa kumtoa huyu pepo. Ndipo Yesu akaamuru akisema ‘nitakaa nanyi hata lini?

mleteni kwangu’

Page 230: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20Kijana alipoletwa, Yesu akamkemea

yule pepo, na likamtoka mara moja na kumwacha kijana akiwa

huru na mzima kabisa. Watu wote wakashangaa na kumtukuza

Mungu kwa furaha.

Page 231: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2019 Kisha wanafunzi wake

wakamwendea Yesu faraghani, mahali pasipokuwa na watu; wakamwuliza, “Bwana, Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa

yule Pepo?”

Page 232: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20

20 Yesu akawajibu na kuwaambia, ‘‘Ni kwasababu ya upungufu wa Imani yenu; (au ni kwasababu ya imani

yenu kuwa ndogo) …

Page 233: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2020 “… Lakini kama mkiwa na

imani kama punje ndogo ya haradali, mtaweza kuuambia

milima huu, ‘ondoka hapa uende pale’ nao utaondoka.

Na wala hakutakuwa na jambo lisilowezekana kwenu.’’

Page 234: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mathayo 17:9-20

Jiuluze kwa namna hii;Amewakemea kwa kuwa na imani kidogo, lakini hapo hapo anawaambia, walihitaji imani

ndogo kama punje ya haradali, kuhamisha mlima!

Yesu alimaanisha nini?

Page 235: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2020 “… Lakini kama mkiwa na

imani kama punje ndogo ya haradali, (iliyo na tabia na

uwezo wa kukua, kuliko miti yote ya mboga, na kukua hata kuwa mti mkubwa)

(Mathayo 13:31-32)

Page 236: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2020 “… (hakika mngetembea na

kiwango kikubwa cha nguvu za Mungu) kiasi cha kuweza

kuhamisha mlima, (kwa nguvu ya neno lako),

ungehamia upande ule. (mafafanuzi yameongezewa)

Page 237: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2020 “… (Nanyi mngetembea

katika kiwango ambacho), hakuna jambo litakuwa la

kushindikana kwenu.

(mafafanuzi yameongezewa)

Page 238: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2021 Lakini (mapepo) ya namna

hii, hayatoki isipokuwa kwa kufunga na kuomba.

(mafafanuzi yameongezewa)

Page 239: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Maombi = Imani = Nguvu

Page 240: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Muhimu Tujue Kwamba …

Upendo = Imani = Nguvu

Page 241: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo(Mwanamke Kahaba)

Luka 7:36-50

Page 242: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo(Petro, Yohana)

Yohana 21:15-24

Page 243: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18

^ 1st Class ^^^ 2nd

Class ^^^^^^^^^^ 3rd Class

Page 244: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13-16

Page 245: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

1 (Math 26:36-41) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)

12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8) Umati wa Wanafunzi

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

Page 246: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

ASILI YA MUNGU NDANI YETU

1Yohana 5:1,4

Page 247: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

Page 248: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (au asili ya Mungu) ambayo inakupa Nguvu ya

ushindi dhidi ya kila upinzani wa adui shetani maishani

mwake.

Page 249: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya

kushinda kupitia kwa Kristo Yesu aliyetupenda.’

Page 250: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kwamba ndio

uwe ushindi wetu sisi tuaminio, lakini bado waumini wengi

tunaishi maisha ya kushindwa.

Page 251: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KANUNI ZA KIROHO

Zipo sababu nyingi; Lakini moja ya sababu kubwa,

ni kutokuwa na kiwango cha kutosha cha Upendo wa Mungu, kitu ambacho

kinasababisha kuzimika kwa nguvu za Mungu.

Page 252: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDO

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Wagalatia 5:6

Page 253: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU YA UPENDOWagalatia 5:6

“Maana katika Kristo Yesu, kutahiriwa hakufai neno,

wala kutokutahiriwa, bali ni Imani itendayo kazi kwa

Upendo.”

Page 254: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Muhimu Tujue Kwamba …

Upendo = Imani = Nguvu

Page 255: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KIWANGO CHA NGUVU YA MUNGU

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachohitajika kusababisha mtu wa Mungu, aishi maisha

ya ushindi na mafanikio, duniani.

Waefeso 3:20

Page 256: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye

awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika)

kuliko yote tunayo-yawaza au tunayoyaomba …

Page 257: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha

Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.

Page 258: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KIWANGO CHA IMANI

Kiwango hicho maalum cha Nguvu za Mungu,

kinazalishwa na Kiwango maalumu cha Imani na

kiwango cha Imani, kinazalishwa na kiwango cha Upendo wako kwa Mungu.

Page 259: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Muhimu Tujue Kwamba …

Upendo = Imani = Nguvu

Page 260: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

KANUNI ZA KIROHO ZA MAISHA YA USHINDI

Page 261: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

UTANGULIZIKanuni za kiroho, ni mambo

ambayo, tukiyatumia maishani, mwetu, yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu,

zinazohitajika kutupa maisha ya ushindi na mafanikio, katika

ulimwengu wa mwili.

Page 262: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KANUNI ZA KIROHOVitu maalum

vinavyosababisha kuzalishwa kwa Nguvu za Mungu ili tuishi maisha ya ushindi,

vinaitwa ‘KANUNI ZA KIROHO’.

Page 263: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;

Taa na Mwanga

Page 264: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Aina mbili za Nguvu;

Kanuni za Sayansi

Taa (Bulb)Waya

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)

Page 265: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kanuni za Sayansi

MwangaWaya (Light)(Wire) Betrii (Battery)

Ziunganishwe (connected)ipasavyo (sawasawa) kwa

Page 266: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina mbili za Nguvu; Nguvu iliyopo

- (Potential Energy)

Nguvu inayotenda kazi - (Kinetic Energy)

Page 267: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina mbili za Nguvu; 1. 2. Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)

Page 268: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Aina mbili za Nguvu;

Kanuni za Sayansi

Taa (Bulb)Waya

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)

Page 269: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Ziunganishwe (connected)ipasavyo (sawasawa) kwa

Kanuni za Sayansi

Taa (Bulb)Waya (Wire) Betrii (Battery)

Page 270: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kanuni za Sayansi

MwangaWaya (Light)(Wire) Betrii (Battery)

Ziunganishwe (connected)ipasavyo (sawasawa) kwa

Page 271: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU ZA UMEME

Aina mbili za Nguvu;

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)

Page 272: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHO Ni mambo ambayo, tukiyaweka

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho

Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

Page 273: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za Kiroho

Neno (Bulb)Maombi (Wire) (Battery) Roho Mtakatifu

Page 274: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Aina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)

Neno (Bulb)Maombi (Wire) Roho Mtakatifu (Battery)

Page 275: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Aina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)

Nuru (light)Maombi (Wire) Roho Mtakatifu (Battery)

Page 276: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za Kiroho (Connected);Ushindi, Afya,nk Nuru ya

(Matendo) Ulimwengu Roho Mtakatifu Nguvu za Roho (Potential Energy) (Kinetic Energy)

Page 277: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni jambo moja kuwa na Taa, (bulb) na ni jambo jingine kuwa

na Mwanga (Nuru ya) hiyo Taa (bulb). Pasipo nguvu za Mungu, utabaki taa (bulb) tu,

isiyowaka (isiyo na nuru)

Page 278: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mathayo 5:14-16

14 “Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani

hauwezi kufichika (kwasababu ya taa zake) ...

Page 279: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mathayo 5:14-16

16 Vivyo hivyo na ninyi, nuru yenu (ushindi, mafanikio, nk) na viangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mema wamtukuze Baba yenu

aliye mbinguni.

Page 280: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu anataka, tuwe tofauti!Kwamba …

Katikati ya giza, sisi tuwe nuru,Katikati ya kuanguka, sisi tusianguke,Katikati ya kufeli, sisi tusifeli, tufaulu,Katikati ya hasara, sisi tupate faida,

Page 281: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mathayo 5:14-16 Giza Vs Nuru Kufeli – Kufaulu Hasara – Faida Kushindwa – Ushindi Magonjwa – Afya/Uponyaji Uasi/Uovu – Haki/Utakatifu

Page 282: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 5:14-16 Ni jambo moja kuwa na Taa, na ni jambo jingine kuwa Mwanga. Pasipo nguvu za Mungu, utabaki

kuwa kama buld tu, isiyowaka (isiyotoa mwanga)

Page 283: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni jambo moja kuwa na Jenereta, na ni jambo jingine kuwa na Umeme (Nguvu ya Umeme). Pasipo nguvu za

Mungu, utabaki kuwa Jenereta tu, isiyowaka (isiyozaa umeme)

Page 284: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHO Ni mambo ambayo, tukiyaweka

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho

Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

Page 285: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KANUNI ZA KIROHO Ni mapenzi ya Mungu tuishi

maisha ya ushindi na mafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maisha

mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu

Mungu.

Page 286: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KANUNI ZA KIROHO Ni mapenzi ya Mungu tuishi

maisha ya ushindi na mafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maisha

mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu

Mungu.

Page 287: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

2Petro 1:3-4Tunaishi kwenye ulimwengu

ulioharibika sana kwasababu ya dhambi na uovu. Mtu wa Mungu

akitaka kuishi kwa ushindi na mafanikio katikati ya uharibifu huu, bila kuingia katika uovu

(kujichafua), ni lazima iwe ni kwa nguvu za Mungu tu.

KUKUA KATIKA UPENDO

Page 288: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KANUNI ZA KIROHOWatu wa Mungu wakielewa,

nafasi ya kanuni za kiroho katika maisha yao, wataweka

bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza

kanuni za kiroho.

Page 289: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Hilo Ndilo

Kusudi la MunguWaefeso 4:11-15

Page 290: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1511 Naye alitoa wengine, kuwa

Mitume na Manabii, Wachungaji, Wainjilisti na

Waalimu;

Page 291: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1512 Kwa kusudi la

kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma

itendeke.

Page 292: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1514 ili tusiwe tena watoto

wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila za watu, kwa ujanja, tukizifuata

njia za udanganyifu.

Page 293: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1513 Hata na sisi wote,

tutakapoufikia umoja wa imani, na kumfahamu sana

Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata

kufika katika cheo cha Kristo.

Page 294: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

Page 295: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kusudi la Mungu

TUFANANE NA MWANA WA MUNGU

YESU KRISTO.

Warumi 8:28,29-30

Page 296: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3029 Maana wale aliowajua

tangu asili, aliwachagua tangu asili, ili wafananishwe

na mfano wa mwanaye (Yesu Kristo).

Page 297: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3030 Na hao aliowajua tangu

asili, aliwaita; na hao aliowaita, akawahesabia

haki; na hao aliowahesabia haki na aliwatukuza.

Page 298: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Kusudi la MunguMathayo 28:18-20

Page 299: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Mathayo 28:18-20Enendeni ulimwenguni

mwote mkawafanye mataifa yote kuwa ‘wanafunzi’

wangu

“Acollotheo”

Page 300: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Mathayo 28:18-20

“Acollo + Theo” Kufanywa kwa namna Mungu ile ile

Page 301: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Mathayo 28:18-20

“Acollo-theo”Kufanywa kwa namna

ile ile ya Mungu.

Page 302: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUSUDI LA MUNGU

Yohana 1:12, Warumi 8:23Na ni mapenzi na makusudi ya Mungu, kwamba sisi watoto wake, tukue na kuongezeka ki-imani, mpaka tufikie cheo

cha Uana wa Mungu.

Page 303: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUSUDI LA MUNGU

Yohana 1:12, Warumi 8:23Na mtu akimwamini Yesu

Kristo, anafanyika Mtoto wa Mungu, na kupewa uwezo wa

hatimaye kuja kufanyika Mwana Mungu.

(kuufikia Uana wa Mungu).

Page 304: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUSUDI LA MUNGU

Warumi 8:19-23, 28-30Kuwa Mwana wa Mungu, ni cheo na sio jinsia. Ni hatima

ya kufikiwa (Graduation)Waefeso 4:11-15

Warumi 8:29

Page 305: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUSUDI LA MUNGURumi 8:28-30, Efes 4:11-15

Mtoto anapofanyika Mwana, anashuhudia utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwake, kinachofanana na cha

Bwana wetu Yesu Kristo (Mwana wa Mungu).

Page 306: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Warumi 8:19-23Tofauti ya Mwana wa Mungu na

Mtoto wa Mungu ipo katika kuaminiwa na Mungu na

kukabidhiwa wajibu unaokupa kibali cha kutembea na kiwango

fulani cha nguvu za Mungu

UKOMBOZI WA MWILI

Page 307: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

VIGEZO NA MASHARTIWarumi 8:28-30

Page 308: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

Page 309: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3029 Maana wale aliowajua

tangu asili, aliwachagua tangu asili, ili wafananishwe

na mfano wa mwanaye (Yesu Kristo).

Page 310: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3030 Na hao aliowajua tangu

asili, aliwaita; na hao aliowaita, akawahesabia

haki; na hao aliowahesabia haki na aliwatukuza.

Page 311: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

Page 312: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

Page 313: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Muhimu Tujue Kwamba …

Upendo = Nguvu Kwa Mungu za Mungu

Page 314: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

Page 315: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Siri ya Uwezo wa Bwana Yesu

Luka 4:14, 18-19

Page 316: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Luka 4:14, 18-19 Baada ya kushinda majaribu

yote, Bwana Yesu alirudi Galilaya katika Uweza na

Nguvu za Roho Mtakatifu; Habari zake zikaenea pande zote za Uyahudi na Samaria.

Page 317: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Luka 4:14, 18-19… akaingia Hekaluni,

akahubiri akisema “Roho wa Bwana Mungu yuko juu

yangu, na amenipaka mafuta, niwafungue watu

wote walifungwa (na ibilisi).

Page 318: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Matendo 10:38… Mungu alimpaka Yesu Kristo Mafuta kwa Roho

Mtakatifu na Nguvu, naye akazunguka, akiwaponya

wote walioteswa na kuonewa na ibilisi shetani.

Page 319: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Shauku ya YesuYohana 14:12-14

Yohana 16:7

Page 320: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Luka 4:14, 18-19 Kwasababu Bwana Yesu ametupa Roho Mtakatifu yule yule aliyemwezesha

yeye Yesu kuwa mtu asiye wa kawaida kati ya watu wa

kawaida, hivyo basi …

Page 321: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yoh 14:12 Yoh 16:7Amini Amini nawaambia,

kwasababu ninakwenda kwa Baba (kuwaletea Roho

Mtakatifu), basi kila mtu aniaminiaye mimi, hizi kazi

nizifanyazo, na yeye atazifanya.

Page 322: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Luka 4:18 Kwasababu Bwana Yesu ametupa Roho Mtakatifu yule yule aliyemwezesha

yeye Yesu kuwa mtu asiye wa kawaida kati ya watu wa

kawaida, hivyo basi …

Page 323: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yoh 14:12 Yoh 16:7 … Shauku ya Bwana Yesu, ni

sisi waumini wake wote, kukue kiroho mpaka tufikie

uwezo wa kufanana na yeye, katika utendaji wa maisha yetu ya kila siku.

Page 324: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

2Petro 1:3-4

Kusudi la Somo;TABIA YA KIMUNGU ‘Kuitambua na Kuachilia Asili ya Mungu iliyo Ndani Yako.’

Page 325: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-43-4 Mungu ametukirimia ahadi

zake kubwa na za thamani (NENO) ambazo kwahizo,

twaweza kuwa washirika wa Tabia za Mungu, tukiokolewa

na uharibifu wa dunia.

Page 326: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-4Tunaishi katika ulimwengu wenye kila aina ya uasi na

uharibifu mkubwa ndani yake. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu hawezi kushi kwa

ushindi na mafanikio.

Page 327: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-4, Mwa 1:1-31Siri ya Ushindi wa Mtu wa Mungu, ni kujua namna ya kutumia Nguvu ya Uumbaji

iliyoko katika Neno la Mungu, lililoumba dunia nzuri kutoka

katika ubaya na uharibifu.

Page 328: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-43-4 Mungu ametukirimia ahadi

zake kubwa na za thamani (NENO) ambazo kwahizo,

twaweza kuwa washirika wa Tabia za Mungu, tukiokolewa

na uharibifu wa dunia.

Page 329: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

Waebrania 11:3Nasi Twajua ya kuwa,

Ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu

vinavyoonekana vilifanywa kwa vitu visivyoonekana.

Page 330: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-4, Mwa 1:1-31Siri ya Ushindi wa Mtu wa Mungu, ni kujua namna ya kutumia Nguvu ya Uumbaji

iliyoko katika Neno la Mungu, lililoumba dunia nzuri kutoka

katika ubaya na uharibifu.

Page 331: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-41 Kila mtu aaminiye kwamba

Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu

mdogo duniani).(Zaburi 82:6)

Page 332: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

Page 333: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (au asili ya Mungu) ambayo inakupa Nguvu ya

ushindi dhidi ya kila upinzani wa adui shetani maishani

mwake.

Page 334: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

Mathayo 17:20‘Nanyi mtauambia mlima huu (kwa amri) kwamba ng’oka hapa, uende pale,

nao utatii’

Page 335: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

Marko 13:23-24‘Amini amini nawaambia,

yeyote atakayeuambia mlima huu ng’oka, ukatupwe baharini, wala asione shaka, bali aamini hayo ayasemayo, yametokea,

yatakuwa yake.

Page 336: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-4, Mwa 1:1-31Siri ya Ushindi wa Mtu wa Mungu, ni kujua namna ya kutumia Nguvu ya Uumbaji

iliyoko katika Neno la Mungu, kutoka katika kinywa chake.

(Isaya 55:10-11)

Page 337: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16-17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi + Roho = Nguvu Isaya 55:11-12

Page 338: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mathayo 16:18-19

18 ‘Nami nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya

kuzimu haitaweza kulishinda; kwa maana nitawapa funguo

za Ufalme …

Page 339: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mathayo 16:18-1919 … na lolote mtakalo-

lifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni, na

lolote mtakalolifungua duniani, litakuwa

limefunguliwa mbinguni.

Page 340: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu

alimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kumiliki na Kutawala mazingira

yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada.

Page 341: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Page 342: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Page 343: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KABLA YA DHAMBI

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

Page 344: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

Page 345: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

Page 346: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KANUNI ZA KIROHO

Bwana Yesu aliomba hivi:Yohana 17:22

‘Baba, Utukufu ule ulionipa, nami nimewapa wao (Kanisa)’; ‘yaani watu walioniamini, walinipokea

maishani mwao na wanaishi kwa kanuni zangu za kiroho’

Page 347: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Uwezo wa roho ya Mtu

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

Page 348: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Page 349: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

Page 350: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:12/16:7-8‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,

hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba

kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.

Page 351: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,

waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio

duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8

Page 352: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa

hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.Matendo 3:1-16

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 353: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Uwezo wa roho ya Mtu

Ndio maana Mitume waliweza kufanya mikubwa (kama Yesu), kitu ambacho si cha kawaida.

Matendo 5:12/19:11Na Mungu akafanya kwa

mikono ya mitume, miujiza ya kupita kawaida …

Page 354: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Uwezo wa roho ya Mtu

Matendo 5:12/19:11… mikono yao, vivuli vyao na

hata leso zao, zilikuwa na nguvu za Mungu zilizowaponya watu

walioonewa na ibilisi.

Page 355: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na wana wa Isarel

wakapita juu ya nchi kavu, katikati ya kuta mbili za maji, kitu ambacho ni

kinyume kabisa na kanuni za kimwili.Kutoka 14:13-31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 356: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Joshua aliweza kuzivunja kuta kubwa na nene sana za mji wa Yeriko, bila kutumia ‘Katapila’ kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 6:12-27Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 357: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia

hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 358: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo

kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 359: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 360: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3029 Maana wale aliowajua

tangu asili, aliwachagua tangu asili, ili wafananishwe

na mfano wa mwanaye (Yesu Kristo).

Page 361: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1513 Hata na sisi wote,

tutakapoufikia umoja wa imani, na kumfahamu sana

Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata

kufika katika cheo cha Kristo.

Page 362: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mathayo 16:18-19

18 ‘Nami nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya

kuzimu haitaweza kulishinda; kwa maana nitawapa funguo

za Ufalme …

Page 363: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mathayo 16:18-1919 … na lolote mtakalo-

lifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni, na

lolote mtakalolifungua duniani, litakuwa

limefunguliwa mbinguni.

Page 364: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

Page 365: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

NGUVU LA NENO LA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani

mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi

ndani yako.

Page 366: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Mafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa

Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la

Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive

Dar es Salaam.

Page 367: KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)

Dar es Salaam, Tanzania.+255 713 497 654+255 783 497 654

[email protected]