nchi 10 kati ya 14 za ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa tanzania _ jamiiforums _ the home of...

14
3/ 31 /2 01 6 Nch i 10 ka ti ya 14 za Ulay a za sitish a msa ad a wa kib aje ti kwa T an za nia | Ja miiForu ms | The Home of Gre at Thin ke rs ht tp: // www .j amiif orums.co m/ th reads/ nch i-1 0-ka ti -ya -1 4-za -ula ya -za sit ish a-msaada-wa -ki baje ti -kwa-t anzania .1 028165/ 1/1 4 30   Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania Tanzania tutegemee kuingia kwenye shida ya kiuchumi. Wale washirika wetu wa maendeleo yaan zile n chi za  u laya. K wa kauli ya pamoja wamesitisha misaada katika nchi yetu. Tukumbuke misaada yao inaingia moja kwa moja kwenye bajet!! Wanaojua hatujitoshelezi. Kimaneno tunajitosheleza kwa 60% kivitendo hatuzid 40%.Ni zaid ya ile MCC. Maamuzi hayo yamekubaliwa na nchi 10 kati ya 14 za Umoja wa ulaya. Swali kwa watawala hata hizo milijua hamtapewa mlijiandaa kujitegemea? Maana ya MCC nilimsik ia msemaji wa wizara ya fedha anasema waljua haztak uja hawakuziweka kwenye bajeti. Je na za washirika wa maendeleo hamkuziweka??? Wananchi mnatwambia tufunge mikanda suruali zetu zinavyotupwaya wakati nyie mnashindwa Hata kufunga vifungo vya makoti kwa vitambi. ================================================== Forums General Forums Jukwaa la Siasa 1 2 3 4 5 6 #1 Today at 10:25 AM tikatika JF-Expert Member Joined: May 6, 2011  353  28 28 T

Upload: david-sabafly

Post on 07-Jul-2018

248 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 1/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/

→ 30

Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania

Tanzania tutegemee kuingia kwenye shida ya kiuchumi. Wale washirika wetu wa maendeleo

yaan zile nchi za ulaya. K wa kauli ya pamoja wamesitisha misaada katika nchi yetu.

Tukumbuke misaada yao inaingia moja kwa moja kwenye bajet!! Wanaojua hatujitoshelezi.

Kimaneno tunajitosheleza kwa 60% kivitendo hatuzid 40%.Ni zaid ya ile MCC. Maamuzi

hayo yamekubaliwa na nchi 10 kati ya 14 za Umoja wa ulaya.

Swali kwa watawala hata hizo milijua hamtapewa mlijiandaa kujitegemea?

Maana ya MCC nilimsik ia msemaji wa wizara ya fedha anasema waljua haztak uja

hawakuziweka kwenye bajeti.

Je na za washirika wa maendeleo hamkuziweka???

Wananchi mnatwambia tufunge mikanda suruali zetu zinavyotupwaya wakati nyie

mnashindwa Hata kufunga vifungo vya makoti kwa vitambi.

==================================================

Forums General Forums Jukwaa la Siasa

1 2 3 4 5 6

#1Today at 10:25 AM

tikatika

JF-Expert Member Joined: May 6, 2011

353 28 28T

Page 2: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 2/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 2

Kundi la watoa misaada 10 kutoka nchi za magharibi wametangaza kusitisha ufadhili wao

kwa bajeti ya serikali ya Tanzania.

Hii inafuatia uamuzi wa shirika la utoaji misaada la serikali ya marekani kuondoa msaada wa

dola 472 wa kufadhili miradi ya maendeleo kutokana na jinsi uchaguzi wa kisiwa cha

Zanzibar ulivyoendeshwa.

Karibu theluthi moja ya bajeti ya Tanzania ilitegemea msaada mwaka uliopita, kwa hivyo

hatua hizo za hivi punde ni pigo kwa mipango ya maendeleo ya serikali mpya.

Chanzo: BBC Swahili

========================================================

Page 3: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 3/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 3

Magufuli's government hit by more foreign aid cuts

President John Magufuli's still-nascent government has beenhit with substantial external aid cuts just months before it

unveils its maiden budget for fiscal year 2016/17.

It was confirmed yesterday that 10 out of a group of 14

western donor entities have announced their withdrawal of

general budget support to Tanzania, hence potentially losing

the country hundreds of millions of US dollars in foreign

aid.

The four entities that are still thus far supporting the

country's national budget are the European Union (EU), the

World Bank, the African Development Bank (AfDB) and Denmark,

according to the permanent secretary in the Ministry of

Finance and Planning, Servacius Likwelile.

“The number of development partners has decreased but we

remain optimistic to see more partners coming in to support

the national budget," Likwelile told journalists yesterday

in Dar es Salaam.

Apart from the four already mentioned, other members of the

official donor group that provides general budget support

Page 4: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 4/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 4

(GBS) to the Tanzanian government are Finland, Germany,

Britain, Norway, Sweden, Ireland, Canada, and Japan.

Likwelile did not give reasons for their withdrawals.

The announcement came just a day after the Millennium

Challenge Corporation (MCC) programme, a United States

government foreign aid agency, confirmed its cancellation of

a $472 million (over 1 trillion/-) aid package to Tanzania

because of Zanzibar’s disputed election.

In a Twitter message yesterday, outspoken opposition member

of parliament Zitto Kabwe suggested that the EU could soon

follow suit and cut off up to 800 million euros in aid to

Tanzania.

Tanzania has long been one of Africa's biggest per capita

aid recipients, for many years depending heavily on donor

support for development projects.

According to Likwelile, there were initially a total of 14

development partners providing budget support to the

government, a number which later dropped to 12 and has nowbeen cut to four.

“Most of the development partners are encouraged by the

fifth government’s efforts to boost tax collection and

tighten government expenditure ... definitely we will see

more development partners coming back to support the

budget,” the PS said.

He was speaking after participating in the signing of a new

loan agreement with the Japan International Cooperation

Agency (JICA) worth the equivalent of 116.4bn/-, which he

said will be channeled to the government's 2016/17 budget.

Back in 2014, the GBS donor group withheld nearly $500

Forums

Page 5: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 5/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 5

million in budget support to Tanzania over corruption

allegations tied to the infamous Tegeta Escrow account

scandal involving how government monies set aside to pay the

independent power producer IPTL was instead fraudulently

used.

According to Zitto, less than 20 per cent of funds required

for development expenditure in the annual budget are sourced

from internal revenue channels, with the rest coming from

external sources, usually in the form of loans or grants.

The Magufuli administration has announced plans to boost

spending on industrial and infrastructure projects like

better roads and reliable electricity in its first budget,while also cutting the budget deficit.

Under government budget guideline plans released in

February, spending is expected to rise to 22.99 trillion/-

in 2016/17 from 22.49trn/- previously, but the deficit will

shrink to the equivalent of less than 3 per cent of gross

domestic product, from 4.2 per cent.

Magufuli began his presidency back in November with a series

of high profile moves aimed at reining in corruption and

slashing wasteful spending within government.

On Tuesday this week he reiterated his call for Tanzanians

to work hard towards ending the country’s dependence on

donor money.

He is reported to have told a public rally in his home

village in Chato district, Geita region that it was time for

the country to wean itself off foreign aid which comes with

conditions.

The government has already said it plans to borrow the

You are browsing this site as a guest. It takes 2minutes to CREATE AN ACCOUNT and less than 1minute to LOGIN

Page 6: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 6/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 6

equivalent of 1.78trn/- from external commercial sources

during 2016/17, while financial aid and loans from

development partners is expected to fall by 9.3 per cent to

2.1trn/- during the fiscal year.

SOURCE: THE GUARDIAN

Tuko tayari kula nyasi , kuwalamba miguu wazungu sasa basi

ni sawa tu kwakua hata bajeti ile inayosomwa bungeni inakuwa ni hewa,hela nyingi hazitoki

miradi mingi haipati fedha,fedha hazieleweki zinakwenda wapi

CAR FOR SALE: BMW 3 Series 2005 Engine 1900cc Silver

Kama hii taarifa ni ya kweli,hapo sasa tumefika patamu.Tuone hivi viburi vyao vitaishia wapi

ingawa na sisi wananchi wa kawaida tutaumia.

#2Today at 10:27 AM

TataMadiba

JF-Expert Member Joined: Feb 7, 2014

5,314 277 83

#3Today at 10:27 AM

msemakweli2

JF-Expert Member Joined: Jul 28, 2013

832 267 63

#4Today at 10:28 AM

Salary Slip

JF-Expert Member Joined: Apr 3, 2012

11,458 1,422 113S

Page 7: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 7/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 7

Salary Slip said: ↑

Ukawa hamuwezi kutoka kwa sababu ya kushabikia Wazungu, nyie ndo mliongoza kusema

JK ni Ombaomba , sasa mapovu ya nini? Utaumia mwenyewe kwa sababu mvivu wa

kufanyakazi.

TataMadiba said: ↑

Tuko tayari kula nyasi kwa mambo yenye tija kwa wananchi wote lakini Si kwa ajili ya

kikundi kidogo cha watu wanaosigina demokrasia.

Mtu anakuambia anakupa msaada wakati amewekeza kwako. Dawa ya hao watu ni

kuwatimua tu nchini tubaki na wachina.

#5Today at 10:30 AM

TataMadiba

JF-Expert Member Joined: Feb 7, 2014

5,314 277 83

Hapa patamu.Tuone hivi viburi vyao vitaishia wapi ingawa na sisi wananchi wa kawaida tutaumia.

#6Today at 10:30 AM

IlongailungaJF-Expert Member Joined: Jan 18, 2012

918 116 43I

Tuko tayari kula nyasi , kuwalamba miguu wazungu sasa basi

#7Today at 10:32 AM

Mwanapropaganda

JF-Expert Member Joined: Aug 19, 2014

1,240 135 63M

barafuyamoto

JF-Expert Member Joined: Jul 26, 2014

Page 8: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 8/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 8

Mwanapropaganda said: ↑

Tatizo letu waTz hasa viongozi waliopita ni wajinga sana!

Salary Slip said: ↑

Salary slip na uelewa wako wote unaingia mkenge na hii taarifa? umesahau hata mwezi

Oktoba tulipewa matokeo ya uchaguzi na ushindi wa Lowasa na waandishi kama hawa?

walituletea exit poll wanazozijua wao..

tikatika said: ↑

Mtu ukiona anaiwazia nchi mabaya tu ujue mabaya mengi yanamwandama kwenye maisha

yake.

Umepigika kimaisha hadi umekoma.pole

Ila chunga kuwaza vitu vya kufikirika vibaya kwaweza kufanya ukawa kichaa muda si mrefu.

#8Today at 10:35 AM9,231 1,082 113

Mtu anakuambia anakupa msaada wakati amewekeza kwako. Dawa ya hao watu ni kuwatimua tu

nchini tubaki na wachina.

#9Today at 10:36 AM

Mbase1970

JF-Expert Member Joined: Jun 11, 2015

292 64 28M

Kama hii taarifa ni ya kweli,hapo sasa tumefika patamu.Tuone hivi viburi vyao vitaishia wapi ingawa na sisi

wananchi wa kawaida tutaumia.

#10Today at 10:37 AM

YEHODAYA

JF-Expert Member Joined: Aug 9, 2015

2,221 976 113

Tanzania tutegemee kuingia kwenye shida ya kiuchumi. Wale washirika wetu wa maendeleo yaan zile nchi za

ulaya. Kwa kauli ya pamoja wamesitisha misaada katika nchi yetu.

Page 9: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 9/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 9

Tokea tumeanzwa kupewa hizo fedha hatujatoboa kokote pale ni bora tuishi kimaskin lakinkutokana na uwezo wetu na hao mafarao wale hzo hela zao wenyew

Sinda69 said: ↑

Anayeiumiza Tz ni nani kama sio watendaji wanaoendesha nchi kimaigizo.sasa yana buma.

PAIN KILLER said: ↑

Kwa kuwaunga mkono wazungu, kitaani mnapoteza sapoti sana hasa ukilinganisha na watu

wanavyomkubali JPM, mnajizika taratibu!

#11Today at 10:38 AM

chini ya reli

Senior Member Joined: Aug 25, 2015

52 22 8

#12Today at 10:38 AM

PAIN KILLER

JF-Expert Member Joined: Jun 29, 2015

193 70 28

Ni lengo la upinzani, mafanikio yasipatikane chini ya CCM ila fanyeni yote kuiona ikulu ni vigumu, waumizeni

watanzania ili muingie ikulu.

#13Today at 10:41 AM

barafuyamoto

JF-Expert Member Joined: Jul 26, 2014

9,231 1,082 113

Mmeshazoea maigizo mnashindwa kufikiri nje ya box

#14Today at 10:41 AM

Salary Slip

JF-Expert Member Joined: Apr 3, 2012

11,458 1,422 113S

Page 10: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 10/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 10

TataMadiba said: ↑

Nyie miaka yote mnawaza kushika dola ila mpaka leo hamna vyanzo mbadala vya kodi kwa

nchii.Yaani miaka yote mnategemea kushinda uchaguzi alafa muendeshe nchi kwa misaadaya wazungu!Leo hii mtaipuuza vipi hii misaada kama sio waongo?!

Kwanini kuna watu wanafurahia haya mambo kutokea katika taifa letu kana kwamba wao

wana taifa lao.....watu waache unafiki....nina hakika watu hawa hawa wanaoshangilia nchi

yetu kukosa misaada ndio waliokuwa wakishangaa kwanini nchi yetu haijitegemei baada ya

miaka mingi mingi ya uhuru....walikuwa mstari wa mbele kuiponda misaada hiyo huku

wakiita kuwa ni ya kiudhalilishaji........leo hii ndio hao hao wanaolalamika kwanini hizo nchi

hazitupi misaada....

Nashindwa kuzielewa akili za wanasiasa wa nchi zetu....wanaweka maslahi yao mbele kulikoya taifa.....

TataMadiba said: ↑

Ni Kweli JK ni Ombaomba pia hatukutakiwa kusitishiwa misaada bila kujipanga na kwa

sababu za kijinga.

Ukawa hamuwezi kutoka kwa sababu ya kushabikia Wazungu, nyie ndo mliongoza kusema JK ni Ombaomba ,

sasa mapovu ya nini? Utaumia mwenyewe kwa sababu mvivu wa kufanyakazi.

#15Today at 10:41 AM

KikulachoChako

JF-Expert Member Joined: Jul 21, 2013

9,709 1,588 113

#16Today at 10:42 AM

Jackal

JF-Expert Member Joined: Apr 10, 2012

597 72 28

Ukawa hamuwezi kutoka kwa sababu ya kushabikia Wazungu, nyie ndo mliongoza kusema JK ni Ombaomba ,

sasa mapovu ya nini? Utaumia mwenyewe kwa sababu mvivu wa kufanyakazi.

Page 11: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 11/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 1

Nilijua nitakuta majina ya hizo nchi na kiasi!wanachokitoa kwenye nchi yetu.

Nadhani ni muhimu wataalamu wa uchumi wakaanalyze effects za hichi kitu na washauri wa

Rais wa kisiasa na kiuchumi watafute njia ya kufanya,tusishupaze shingo...wengi tunaelewa

kua kujitegemea ni jambo zuri lakini hiyo njia bado ni ndefu kidogo, hatuwezi tukaanza

ghafla.

TataMadiba said: ↑

ila uko tayari kumlamba miguu jecha

#17Today at 10:42 AM

Saint Ivuga

JF-Expert Member Joined: Aug 21, 2008

27,252 1,058 113

#18Today at 10:42 AM

PAIN KILLER

JF-Expert Member Joined: Jun 29, 2015

193 70 28

#19Today at 10:44 AM

Sexer

JF-Expert Member Joined: Oct 22, 2014

1,825 335 83

Umetoa wapi hii taarifa? Tuko tayari kula nyasi , kuwalamba miguu wazungu sasa basi

#20Today at 10:44 AM

PAIN KILLER

JF-Expert Member Joined: Jun 29, 2015

193 70 28

Page 12: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 12/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 12

→ 30 (You must log in or sign up to reply here.)

Tweet 0

barafuyamoto said: ↑

Mnawadanganya watu mtaani kuhusu kujitegemea lakini hii ni process sio kitu cha kuamka

na kuanza tu kujitegemea kwa tz

Acha watu wamezeshwe sumu lakini mwishowe wataelewa kwani effects zitakuja tu kamatukiendelea kushupaza shingo

Similar Threads Forum Date

Tanzania kati ya nchi 10 Africa zinazoongoza kwa demokrasia Jukwaa la Siasa Jan 1,2016

Nchi za Ulaya zinazotoa elimu ya chuo kikuu bure kwa wanafunzi

wa kimataifa!?

Habari na Hoja

mchanganyiko

Oct 17,

2014

Uchaguzi nchi za Jumuia ya Ulaya ni fundisho kwa nchi za Jumuia

ya Afrika Mashariki na TanzaniaJukwaa la Siasa

May 26,

2014

Umoja wa nchi za Ulaya `yaipiga jeki` TanzaniaBiashara, Uchumi naUjasiriamali

Aug 28,2013

Serikali ya tanzania ni moja kati ya nchi za africa zinazo uza aridhi

kwa wageni

Habari na Hoja

mchanganyiko

Jun 20,

2011

Share This Page

Kwa kuwaunga mkono wazungu, kitaani mnapoteza sapoti sana hasa ukilinganisha na watu wanavyomkubali JPM,

mnajizika taratibu!

1 2 3 4 5 6

51 people recommend this. Be the first of your friends.Recommend

Page 13: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 13/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania.1028165/ 13

STAFF ONLINE NOW

ActiveModerator

FORUM STATISTICS

TOPICS

825,671

MEMBERS

327,936

POSTS

15,609,520

FACEBOOK

TWITTER

Forums General Forums Jukwaa la Siasa

Page 14: Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Thinkers

8/18/2019 Nchi 10 Kati Ya 14 Za Ulaya Zasitisha Msaada Wa Kibajeti Kwa Tanzania _ JamiiForums _ the Home of Great Think…

http://slidepdf.com/reader/full/nchi-10-kati-ya-14-za-ulaya-zasitisha-msaada-wa-kibajeti-kwa-tanzania-jamiiforums 14/14

3/31/2016 Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

Style Chooser Terms and Rules Contact Us Help

WHO ARE WE?

Read more...

WHERE ARE WE?

Contact Us Now...

DISCLAIMER

Read more...

FORUM RULES

Read more...

PRIVACY POLICY

Proceed here...

JamiiForums is a 'User Generated Content' site;

anyone can register (MUST)and comment or start a

new topic. You are alwayswelcome!

We have our offices in Dar es Salaam but we still work

virtually. For anythingrelated to this site please

Contact us.

JamiiForums, its partners,affiliates and advertisers are

not responsible for thecontent of threads/topics

that are submitted by users..

JamiiForums is moderatedunder the rules set by users

and moderators tosafeguard you. You MUST

read them and complyaccordingly

We are committed torespecting your privacy

rights when visiting anyJamiiForums.com page,

such as this one. Read our Privacy Policy.