ni kutokana na mageuzi makubwa kwenye sekta

26
Toleo Namba 1 AGOSTI 2020 KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI, WIZARA YA MADINI UJUMBE WA WAZIRI UK. 8 Barrick Company responds positively to the government’s management of the mining sector UK. 18 Namna Serikali Inavyowawezesha Wachimbaji Wadogo Kuchimba kwa Tija UK. 13 NDANI/INSIDE Tanzanite zenye Uzito Mkubwa kuwahi kutokea Zachimbwa Mchimbaji Mdogo wa Madini ya Tanzanite, Saniniu Laizer akifurahia Madini ya Tanzanite yaliyozalishwa katika Mgodi wake yenye Uzito Mkubwa kabla ya kuyakabidhi kwa Serikali. Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta Tanzanite zenye Uzito Mkubwa Zachimbwa, Serikali Yazinunua Kasi Ukuaji na Mchango wa UK. 4 Sekta ya Madini kwenye Uchumi wa Nchi wapaa!

Upload: others

Post on 28-Jul-2022

7 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

Toleo Namba 1 AGOSTI 2020

KITENGO CHA MAWASILIANOSERIKALINI, WIZARA YA MADINI

UJUMBE WA WAZIRI

UK.

8

Barrick Company responds positively to the government’s management of the mining sector

UK.

18

Namna Serikali Inavyowawezesha Wachimbaji Wadogo Kuchimba kwa Tija

UK.

13

NDANI/INSIDE

Tanzanite zenye Uzito Mkubwa kuwahi kutokea Zachimbwa

Mchimbaji Mdogo wa Madini ya Tanzanite, Saniniu Laizer akifurahia Madini ya Tanzanite yaliyozalishwa katika Mgodi wake yenye Uzito Mkubwa kabla ya kuyakabidhi kwa Serikali.

Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

Tanzanite zenye Uzito Mkubwa Zachimbwa, Serikali Yazinunua

Kasi Ukuaji na Mchango wa

UK.

4

Sekta ya Madini kwenye Uchumi wa Nchi wapaa!

Page 2: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

2

JARIDA LA MADINI

Kasi Ukuaji na Mchango wa Sekta ya Madini kwenye Uchumi wa Nchi wapaa!

Na Nuru Mwasampeta

Sekta ya madini ni miongoni mwa sekta zilizokua kwa kasi katika uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt. John Joseph Pombe

Magufuli na kupelekea mchango wake kwenye Pato la Taifa kupanda.

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mchango wa sekta ya madini kwenye Pato la Taifa umepaa na kufikia asilimia 5.8 kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2020 ikilinganishwa na mchango wa asilimia 4.2 kipindi kama hicho mwaka 2019.

Katika kipindi hicho, Sekta ya madini iliongeza kasi ya ukuaji kwa asilimia 15.3 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 10.0 katika kipindi cha

Januari hadi Machi mwaka 2019. Kwa kiasi kikubwa pamoja na sababu zingine ukuaji huo umetokana na kuongezeka kwa uzalishaji wa madini ya dhahabu, fedha na chumvi nchini.

Aidha, katika kipindi cha mwaka mzima wa 2019 sekta ya madini ilikua kwa kasi ya asilimia 17.7 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 1.5 mwaka 2018 na ukuaji huo uliifanya sekta ya madini kushika nafasi ya kwanza kwa ikilinganishwa na sekta nyingine za kiuchumi.

Kipindi cha Januari hadi Machi 2019 uzalishaji wa dhahabu uliongezeka kutoka kilo 8,656 na kufikia kilo 12,404 kwa kipindi hicho mwaka 2020 wakati kwa upande wa madini ya fedha (silver) uzalishaji ulifikia kilo 3,128 katika kipindi cha Januari hadi Machi mwaka 2020 kutoka kilo 2,856 kipindi kama

hicho mwaka 2019.Mafanikio haya yalichangia

kuongezeka kwa mchango wa sekta kwenye Pato la Taifa na yametokana na mabadiliko makubwa yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika suala zima la usimamizi wa sekta ya madini.

Awali ya yote, ikumbukwe kwamba mnamo mwezi Februari 2019 Rais Dkt. John Pombe Magufuli alifanya mkutano mkubwa uliomkutanisha na wadau wa madini uliolenga kujadili mbinu zitakazosaidia kuboresha sekta ya madini kuifanya iongeze mchango wake si kwenye Pato la Taifa pekee bali pia kumnufaisha mchimbaji na mfanya biashara ya madini.

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa shukrani Manya akiagana na bilionea wa Tanzanite, Saniniu Laizer mara baada ya kutembelea mabanda wakati wa maonesho ya Kimataifa ya 44 ya Biashara jijini Dar es Salaam.

MAKALA

Endelea Uk. 3

Page 3: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

3

JARIDA LA MADINI

Kasi Ukuaji na Mchango wa Sekta ya Madini kwenye Uchumi wa Nchi wapaa!

Moja kati ya maboresho yaliyofanyika katika sekta ya madini ni pamoja na kuwapunguzia mzigo wa kodi wachimbaji wadogo kwa kufuta kodi ya zuio (Withholding tax) ya asilimia 5 na kodi ya ongezeko la thamani yaani VAT ya asilimia 18 walizokuwa wanatozwa wachimbaji wadogo. Punguzo hilo la kodi liliwavutia sana wachimbaji wadogo na kuwafanya washirikiane vizuri na serikali katika biashara yao ya madini na hivyo kupelekea ongezeko kubwa la mapato ya Serikali kutoka kwa wachimbaji wadogo.Mathalani, kwa mwaka 2019 pekee

makusanyo yatokanayo na wachimbaji wadogo yalifikia shilingi bilioni 102.44 ukilinganishwa na shilingi bilioni 16.23 zilizokusanywa kuanzia Machi 2018 hadi Februari 2019.

Kwa mujibu wa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya, uanzishwaji wa masoko ya madini kila mkoa hapa nchini, ujenzi wa ukuta wa Mirerani, urasimishaji wa wachimbaji wadogo, uelimishaji wa wachimbaji wadogo juu ya namna bora ya uchimbaji na uchenjuaji wa madini unaofanywa na serikali ya awamu ya tano vimeongeza udhibiti na kuchangia sana katika kukuza sekta hii muhimu.

Profesa Manya alieleza hayo hivi karibuni alipokuwa akizungumza mbele ya Bilionea mpya wa sekta ya

madini Bwana Saniniu Laizer katika maonesho ya 44 ya Kimataifa ya Biashara katika viwanja vya sabasaba Jijini Dar es Salaam.

Bwana Laizer kwa mara yake ya kwanza alifanikiwa kuchimba madini ya Tanzanite ndani ya Ukuta wa Mirerani yenye ukubwa wa jumla ya kilo 14.37 na thamani ya Billioni 7,744,152,703.82 kutokana na madini hiyo. Aidha serikali ilikusanya mrahaba wa shilingi milioni 464,649,200.00 na malipo ya ukaguzi kiasi cha shilingi milioni 77,441,550.0, huu ni ushahidi kuwa mazingira ya uchimbaji mdogo yameboreshwa sana na kila mchimbaji hufanya kazi yake kwa uhuru, uwazi na usalama kuliko hali ilivyokuwa hapo awali.

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Prof. Shukrani Manya (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na bilionea wa Madini ya tanzanite Saniniu Laizer (katikati) na waonyeshaji katika banda la Kituo cha Uongezaji Thamani Mandini (TGC) kilicho chini ya Wizara ya Madini.

MAKALA

Inatoka Uk. 2

Page 4: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

4

JARIDA LA MADINI

MAKALA

Asteria Muhozya na Tito Mselem, Mirerani

Hatimaye manufaa ya Ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 uliojengwa na Serikali kuzunguka Migodi ya Tanzanite

Mirerani, yamezidi kuzaa matunda baada ya kuandikwa kwa Historia Mpya duniani ya kuzalishwa kwa Madini ya Tanzanite yenye Uzito Mkubwa kuwahi kutokea katika historia ya uchimbaji wa madini hayo nchini.

Madini hayo yaliyochimbwa na Mchimbaji Mdogo wa Madini Saniniu Laizer tarehe 17 Juni yana uzito wa kilo, 9.27, na kilo 5.108 na jiwe moja lililopatikana tarehe 29 Juni lina kilo 6.33. Aidha, jiwe lenye uzito wa kilo 9.27 limetajwa kuwa na thamani ya shilingi bilioni 4.649,470 na jiwe lenye kilo 5.108 lina thamani ya shilingi bilioni

3.375,280 na hivyo yote mawili kuwa na thamani ya shilingi 4.946,537,271.12.

Kupatikana kwa Tanzanite hizo ambazo zimemfanya Laizer kuwa bilionea zimedhihirisha umadhubuti ya Serikali wa kuweka usimamizi imara wa kuyalinda madini hayo yanayopatikana Tanzania pekee huku jitihada za kudhibiti utoroshaji wa madini, ikiwemo manufaa na maboresho yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano kwenye Sheria ya Madini yakionekana sawia.

Aidha, kuzalishwa kwa madini hayo kupitia kwa mchimbaji mdogo kumedhihirisha namna ambavyo wachimbaji wadogo wanavyoweza kupata kipato kikubwa cha fedha halali kupitia sekta ya madini huhusan pindi wanapopatiwa fursa kama ambavyo serikali imekuwa ikihakikisha wachimbaji wadogo wanarasimishwa na kuwekewa mazingira mazuri na

bora ili kazi zao kuwa na tija na kufanya biashara ya madini kwa manufaa yao na serikali.

Vilevile, dhamira ya serikali kutaka uchimbaji wa madini ya vito kufanywa na wazawa na kama ambavyo sheria inavyotaka pamoja na dhamira ya Rais kutaka uchumi wa madini urudi kwa watanzania na kuwanufaisha wananchi wenyewe na taifa umeonekana.

Akizungumza kwa njia ya simu wakati Serikali ikikabidhiwa madini hayo katika hafla iliyofanyika awali baada ya Serikali kuyanunua madini hayo kutoka kwa mchimbaji Saniniu Laizer, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli alionesha furaha yake kutokana na kile ambacho kimefanywa na mchimbaji mdogo huku madini hayo yakidhihirisha utajiri ambao taifa hili limejaliwa. Alitoa pongezi kwa Waziri wa Madini Doto Biteko, mchimbaji huyo, wananchi wa Simajiro na Gavana

UKUTA WA MAGUFULI WAANDIKA HISTORIA MPYA

Mchimbaji Mdogo wa Madini ya Tanzanite, Saniniu Laizer akifurahia Madini ya Tanzanite yaliyozalishwa katika Mgodi wake yenye Uzito Mkubwa kabla ya kuyakabidhi kwa Serikali.

Mchimbaji Mdogo Saniniu Lazer akiwa ameshika Hundi yenye thamani ya shilingi bilioni 7,744,152,703.82 ambayo alikabidhiwa na Serikali tarehe 24 Juni, 2020 baada ya Serikali kununua madini yake ya tanzanite aliyoyazalisha

Endelea Uk. 5

Page 5: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

5

JARIDA LA MADINI

MAKALA

wa Benki Kuu ya Tanzania Prof. Florens Luoga kwa kuhakikisha madini hayo yananunuliwa na Serikali na kusisitiza mchimbaji Laizer kutodhulumiwa hata shilingi. ‘‘nilikuwa naangalia hapa nawafuatilia, nimefurahi sana,’’ alisema Rais Magufuli.

Naye, Waziri wa Madini anaelezea ndoto ya Rais Magufuli ambayo wengi waliiona haiwezekani sasa imewezekana na tukio la Laizer kuzalisha madini ya uzito mkubwa ni kielelezo kwamba wachimbaji wanaweza na ndoto za Rais Magufuli kuhusu Sekta ya Madini zinatekelezeka. Aidha, Waziri Biteko anayaelezea madini hayo kuwa tangu yaanze kuchimbwa hapa nchini, tanzanite ya uzito huo haijawahi kuzalishwa.

“Ninawapongeza sana wananchi wa Simanjiro, mengi yalisemwa hawawezi na kwamba wanaoweza ni wageni tu, leo wametuvisha nguo. Tangu kuanza kuchimbwa kwa tanzanite, haijatokea ya uzito na ukubwa huu. Tumefanikiwa sana katika Sekta ya Madini mapato yameongezeka sana, mpaka leo tumekusanya shilingi Bilioni 520 sawa na asilimia 111,’’anasema Waziri Biteko.

Akijibu ombi la wachimbaji kupatiwa eneo la Kitalu C ili wachimbe kama lilivyowasilishwa na Rais wa Shirikisho la Wachimbaji Madini Tanzania (FEMATA) John Bina, Waziri Biteko amewataka wachimbaji kutovamia kitalu hicho wakati serikali ikiweka mazingira ya namna eneo hilo litakavyofanyiwa kazi.

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji alisema kuwa, Rais Magufuli ametengeneza mabilioni kutokana na namna anavyosimamia Sekta ya Madini na kuongeza kwamba, tangu uhuru tanzanite ya kiwango hicho haikuwahi kuzalishwa nchini na kueleza kuwa, Serikali itamkabidhi mchimbaji Laizer fedha zake zote.

Naye, Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo anasema Serikali imepata kodi mbalimbali kupitia shughuli za uchimbaji madini unaofanywa na Laizer, huku katika kipindi chake cha uchimbaji akiwa amezalisha kilo 108.

‘’Naendelea kumshkuru Rais Magufuli kutokana na maelekezo yake anayotupatia ya kusimamia sekta ya madini, Rais wetu ni Game changer na mimi huwa namwita kimoyomoyo, record breaker,’’ anasema Naibu Waziri.

Awali, akizungumza katika tukio

hilo, Mkuu wa Wilaya ya Simajiro Mhandisi Zephania Chaula, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa huo alisema tanzanite hizo zimeonesha matunda ya udhibiti wa rasilimali madini unaofanywa na Rais Magufuli huku tangu kujengwa kwa ukuta huo mapato ya Tanzanite yameongezeka tofauti na ilivyokuwa awali.

Kwa mujibu wa maelezo ya Waziri Biteko tanzanite hizo zimepatikana kwenye eneo la umbali wa zaidi ya mita 1,800.

Tukio la Serikali kukabidhiwa madini hayo lilfanyika tarehe 24 Juni, 2020 katika eneo la Mirerani ndani ya ukuta unaozunguka migodi ya tanzanite, Wilayani Simanjiro, Mkoa wa Manyara na kushuhudiwa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa, Vyama vya Wachimbaji, Wachimbaji, Viongozi wa Dini na wananchi.

Kwa hakika Tanzanite ya Saniniu Laizer zimeonesha matokeo ya Serikali kuwawezesha wachimbaji wadogo na usimamizi madhubuti wa rasilimali madini unaofanywa, hivyo wananchi wa Tanzania hawana budi kuunga mkono juhudi hizi ili madini yazidi kulinufaisha taifa hili.

# Madini Yetu, Uchumi Wetu, Tuyalinde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiwa ameshika mfano wa funguo kuashiria Uzinduzi wa Ukuta wenye urefu wa km 24.5 inazunguka Migodi ya Tanzanite, Mirerani. Kushoto anaayeshuhudia Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujengwa Taifa Dkt. Hussein Mwinyi.

UKUTA WA MAGUFULI WAANDIKA HISTORIA MPYA

Inatoka Uk. 4

Page 6: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

6

JARIDA LA MADINI

Barrick yatekeleza matakwa ya Serikali, yaanza kulipa fidia

ya kodi ya dola milioni 300

Nuru Mwasampetana Tito Mselem,

Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Dkt. John Joseph Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hakika imefanya

maboresho makubwa kwenye Sekta ya Madini nchini, yenye lengo la kuhakikisha rasilimali madini zinawanufaisha watanzania na Taifa kwa ujumla.

Moja ya hatua ambazo Serikali ya Awamu ya Tano ilichukua ili kuhakikisha Watanzania wananufaika na utajiri mkubwa wa madini yaliyopo nchini, ni majadiliano na hatimaye kufikia maridhiano na kampuni kubwa ya uchimbaji dhahabu duniani ya Barrick Gold Corporation.

Majadiliano kati ya Serikali na

kampuni ya Barrick yalifikia tamati tarehe 19 Disemba 2019 na hatimaye kusainiwa rasmi kwa makubaliano hayo tarehe 24 Januari 2020. Kupitia maridhiano hayo, kampuni ya Barrick iliridhia kuipa Serikali Hisa ya asilimia 16 na pia kugawana faida nyingine za kiuchumi kwa miradi hiyo kwa mfumo wa 50/50. Aidha, pande hizo mbili ziliafikiana kwamba, kampuni ya Barrick itailipa Serikali kiasi cha dola milioni 300 kama fidia ya kodi kutokana na ukiukwaji wa sheria na taratibu uliofanywa na kampuni ya Accacia.

Utekelezaji wa makubaliano hayo ulianza kuonekana mnamo tarehe 26 Mei, 2020, ambapo kampuni ya Barrick waliilipa Serikali kiasi cha dola za kimarekani milioni 100 sawa na shilingi bilioni 250 ikiwa ni malipo ya awali ya dola 300 zilizoridhiwa.

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, kwa niaba ya Serikali, alikabidhiwa mfano wa hundi ya malipo hayo na kubainisha kuwa kiasi kilichobaki kitalipwa kwa awamu. Na hapo ndipo serikali ilidhihirisha kwamba iwe usiku, iwe mchana, lije jua, ije mvua, bila uoga itapambana kuhakikisha rasilimali za Taifa zinamnufaisha mwananchi.

Aidha, pamoja na makubaliano hayo, Timu ya Majadiliano ya Serikali iliyokuwa ikiongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Palamagamba Kabudi, ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, iliazimia kuundwa kwa kampuni ya pamoja kati ya Serikali na kampuni ya Barrick itakayosimamia uendeshwaji wa migodi ya Buzwagi, Bulyanhulu na North Mara ambapo Serikali ina hisa ya asilimia 16 na Barrick ina asilimia 84.

“Tulikubaliana kuhakikisha kuwa faida za kiuchumi zinazotokana na migodi ya Bulyanhulu, Buzwagi pamoja na North Mara zigawanywe kwa msingi wa usawa wa asilimia 50 kwa 50 kati ya washirika, ambapo hisa za Serikali zinazotokana na faida za kiuchumi zitatolewa katika mfumo wa mrabaha, kodi pamoja na kupata asilimia 16 ya faida kutokana na makampuni hayo kufanya kazi nchini” Dkt. Mpango alidadavua.

Dkt. Mpango alizidi kufafanua kwamba, mbali na makubaliano hayo, katika majadiliano yao, kampuni ya Barrick ilikubali kutoa kiasi cha dola za Marekani milioni 5 kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu kuhusu ujenzi wa Mtambo wa kuyeyusha madini nchini (smelter).

“Kampuni ya Barrick pia imekubali kuanzisha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, na kuahidi kutoa dola milioni 10 kwa kipindi cha miaka

MAKALA

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango (wa pili kutoka kulia) na (kushoto) ni Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba Kabudi (wa kwanza kulia) wakiwa katika picha baada ya kukabidhiwa hundi ya Dola za Kimarekani milioni 100 kwa niaba ya Serikali kutoka kwa Mwakilishi wa Kampuni ya Barrick Hilaire, Diarra (wa kwanza kushoto)

Endelea Uk 7

Page 7: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

7

JARIDA LA MADINI

kumi kwa ajili ya utoaji wa mafunzo yanayohusu masuala ya madini ili kuzalisha wataalam wengi zaidi kwenye sekta ya madini”, aliongeza Dkt. Mpango.

Hata hivyo, Dkt.Mpango alisema kampuni ya Barrick pia ilikubali kutoa dola 6 kwa kila wakia ya dhahabu itakayouzwa (ikijumuisha mchango kwenye Mfuko wa Mandeleo ulioanzishwa na Kampuni ya Barrick Tanzania), ili kusaidia jamii zinazozunguka maeneo ya migodi pamoja na kutoa kiasi cha dola milioni 40, kwa ajili ya kuboresha kipande cha barabara kati ya Bulyanhulu na Mwanza na kujenga nyumba na miundombinu yake.

Naipongeza Kampuni ya Barrick kwa kuanza kutekeleza makubaliano haya, pia natoa wito kwa kampuni nyingine za madini pamoja na wawekezaji wengine katika sekta hiyo, kuiga mfano mzuri uliooneshwa na Kampuni hii katika kuhakikisha kunakuwa na hali ya usawa katika uendeshaji wa shughuli za madini nchini kwa faida ya pande zote mbili” alisisitiza Dkt. Mpango.

Kwa upande wake, Rais na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick, Dkt. Dennis Mark Bristow ambaye alikuwa akifuatilia makabidhiano hayo kwa njia ya mtandao na kutoa hotuba yake akiwa nchini Afrika Kusini, alimpongeza Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Timu yake kwa kufanikisha majadiliano yaliyosaidia kuanzishwa kwa ushirikiano wa dhati kati ya Kampuni yake na Serikali.

Aliahidi kwamba, wataendeleza ushirikiano wao na serikali ya Tanzania, pia wanaamini kuwa ushirikano huo utakuwa wa mfano wa kuigwa si tu kwa Afrika bali kwa Dunia nzima.

Aliahidi kuendelea kuboresha miundombinu ya maeneo ya migodi

wanayomiliki nchini, na kueleza kuwa wanajiolojia wanafanya kazi kwa bidii ili kuirudisha hadhi ya Tanzania kuwa kituo kikubwa cha uzalishaji dhahabu duniani.

Kimsingi, ukiangalia matokeo ya majadiliano haya ni dhahiri yameleta tija kubwa kwa maendeleo ya uchumi wa taifa letu kupitia rasilimali hizi za madini.

Hatua hii kubwa ambayo ni ya kihistoria kwa nchi yetu, juhudi zake zinapaswa kupongezwa na kuungwa mkono na wananchi wote wa Tanzania hususan katika usimamizi madhubuti wa rasilimali madini uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano, ukisimamiwa na Raisi wetu makini na mwenye nia ya kukuza uchumi wa Tanzania maradufu, kongole kwa Dkt.John Pombe Magufuli, pongezi nyingi katika jambo hili.

Lengo kubwa la Mh. Rais Dkt

Magufuli, ni kuhakikisha kwamba taifa hili linakua kiuchumi kupitia Sekta ya Madini na wananchi wake wananufaika ipasavyo huku Serikali ikiweka mazingira bora ya wananchi wake kushiriki katika uchumi wa Madini.

Wadau mbalimbali wa sekta ya madini wameonesha kuridhishwa na mabadiliko yaliyofanywa na serikali katika Sekta ya Madini wakieleza kuwa changamoto zilizokuwa zikiikabili sekta ya madini kutatuliwa kwa asilimia 80.

Wamesema mabadiliko yaliyofanywa kwenye Sekta kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu kufayika kwa mkutano mkubwa baina ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wadau wa Sekta ya Madini hususani wachimbaji wadogo ilithibitisha nia njema ya serikali kuhakikisha watanzania wananufaika na rasilimali madini zilizopo nchini.

Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila (Kulia) na (kushoto) ni Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji wakifuatilia makabidhiano ya hundi Dola za Kimerekani milioni 100 kutoka Kampuni ya Barrick.

Inatoka Uk. 6

MAKALA

Barrick yatekeleza matakwa ya Serikali, yaanza kulipa fidia

ya kodi ya dola milioni 300

Page 8: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

8

JARIDA LA MADINI

Juni 30, 2020 wakati Serikali ya Awamu ya Tano ikikamilisha utekelezaji wa Bajeti yake ya Mwaka 2019/2020 Sekta ya Madini inakamilisha utekelezaji

wa kipindi cha Miaka 2 na Miezi 8 tangu kuanzishwa kwake Mwezi Oktoba Mwaka 2017. Ndani ya kipindi hiki cha miaka Mitano (5) ya Serikali hii, tumeshuhudia historia kubwa ya kimapinduzi katika Sekta ya Madini ambayo mafanikio yake yamekuwa si tu simulizi kwa Tanzania bali ulimwenguni kote kutokana na namna Serikali chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli inavyosimamia kikamilifu Sekta hii na hivyo kulipatia taifa manufaa makubwa ya Kiuchumi, Kijamii na Maendeleo kupitia Sekta ya Madini.

Tumeshuhudia kuongezeka kwa ukusanyaji wa maduhuli kutoka Shilingi bilioni 196.0 kwa mwaka 2015/16 hadi shilingi bilioni 479 mwezi Mei, 30, 2020 na hivyo kuvuka lengo la kukusanya shilingi bilioni 528.2 kwa asilimia 112 Mwaka 2019/2020. Kuongezeka huku kwa makusanyo kumechangiwa na usimamizi mzuri wa Sekta ikiwemo pia na uanzishwaji wa Masoko ya Madini ambayo yameanzishwa katika kila mkoa ambapo hadi sasa kuna jumla ya Masoko 28 na Vituo vidogo vya ununuzi wa madini 28, vilevile,

serikali imekamilisha ujenzi wa Kituo cha Pamoja cha Biashara ya Tanzanite, (One Stop center), Mirerani mkoani Manyara.

Tumeshuhudia Marekebisho ya Sheria ya Madini ambayo yamepelekea mabadiliko makubwa ikiwemo Mikataba ya Uwekezaji, kubwa ikiwa ni kuingiwa kwa makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick Gold ambayo yamepelekea kuanzishwa kwa Kampuni Mpya ya Twiga Minerals Corporation Limited inayomilikiwa kwa ubia baina ya Serikali inayomiliki hisa kwa asilimia 16 na Barrick asilimia 84. Si hivyo tu, mabadiliko hayo pia yamepelekea Serikali kumiliki hisa asilimia 16 kwa migodi mikubwa itakayoanzishwa nchini. Aidha, haya si mafanikio haba kutokana na makubaliano yaliyoingiwa ambapo taifa letu linakwenda kunufaika ipasavyo kama ambavyo makala ndani ya toleo hili inavyoelezea manufaa ya makubaliano hayo.

Kwa upande wa madini ya tanzanite, tangu kujengwa kwa ukuta wa kilomita 24.5 unaozunguka migodi ya tanzanite umezuia utoroshaji wa madini hayo na hivyo kupelekea kuongezeka mapato ya serikali. Takwimu za uzalishaji wa Tanzanite kwa wachimbaji wadogo na wa kati miaka miwili nyuma kabla ya Ukuta mwaka 2016 na 2017 zilikuwa takriban kilo 312.3 zenye thamani ya takribani Shilingi bilioni 4.2 mapato ya serikali yalikuwa shilingi milioni 238, baada ya kujengwa ukuta, mwaka 2018 uzalishaji ulikuwa kilo 781.204 zenye thamani ya takribani Shilingi bilioni 20.1 na mapato ya serikali ilikuwa Shilingi bilioni 1.437. mwaka 2019 uzalishaji ulikuwa kilo 2,772.17 zenye thamani ya takriban Shilingi bilioni 30.075 na mapato ya serikali ilikuwa Shilingi bilioni 2.15.

Aidha, kutokana na umuhimu wa wachimbaji wadogo katika maendeleo na ukuaji wa Sekta ya Madini, na katika kuhakikisha serikali inawawekea mazingira mazuri ili waweze kuchimba kwa tija, serikali imeanzisha vituo 7 vya Umahiri na Vitatu (3) vya Mfano vikilenga kutoa elimu kwa wachimbaji

wadogo ili kuwawezesha wachimbe kwa tija. Matokeo ya mkutano wa wizara na wadau wa madini Mwaka 2019 yalipelekea Serikali kufuta baadhi ya kodi zenye kero katika biashara ya madini kwa wachimbaji wadogo. Kodi hizo ni kodi ya zuio (Withholding Tax – 5%) na kodi ya ongezeko la thamani (Value Added Tax -18%). Kufutwa kwa kodi hizo kunawezesha mazingira bora na wezeshi ya biashara ya madini nchini.

Aidha, katika kipindi hiki tumeshuhudia juhudi za Serikali ya kuanzisha migodi mikubwa ya uchimbaji madini ambayo kwa miaka mingi migodi hiyo haijaanzishwa nchini. Aidha, wizara imehamasisha shughuli za uongezaji thamani madini ya metali, madini ya viwandani, ujenzi na vito kufanyika nchini na katika kipindi cha Mwaka 2019/2020 Leseni mbili za Uyeyushaji Madini (Smelters) na Leseni tatu za usafishaji Madini (Refinery) zimetolewa.

Ukiachia mbali manufaa hayo, Sekta yenyewe imezidi kujiimarisha ambapo kwa Mwaka 2019, Sekta ya Madini iliongoza kwa kasi ya ukuaji wa asilimia 17.7 ikifuatiwa na Ujenzi asilimia 14. 1 Sanaa na Burudani asilimia 11.2 na usafirishaji na uhifadhi wa Mizigo asilimia 8.7.

Haya ni baadhi tu ya mageuzi makubwa ambayo yamefanyika kwa kipindi cha Miaka 5 ya Serikali ya Awamu ya Tano na miaka miwili (2) ya utekelezaji wa Wizara ya Madini. Hakika haya ni mafanikio makubwa ambayo hayana budi kuungwa mkono na wadau wa madini, wananchi na wapenda maendeleo kwa kuwa haina shaka kwa manufaa haya, sasa Sekta ya Madini inajifungamanisha kikamilifu na sekta nyingine kiuchumi kwa mafanikio makubwa.

Aidha, ili kuhakikisha sekta nyingine zinafungamana na sekta hii, watanzania hawana budi kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta hii ili kwa pamoja waweze kushiriki kikamilifu katika uchumi wa madini.

# Tumeboresha Sekta

UJUMBE WA WAZIRIMIAKA MITANO YA JPM,

Uchumi wa Madini Unaonekana

Page 9: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

9

JARIDA LA MADINI

Sekta ya madini inavyochangia ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi

Na Nuru Mwasampeta

Katika kipindi cha uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano Kumekuwa na ongezeko kubwa la makusanyo ya kodi yanayoingizwa

kwenye mfuko wa Serikali kupitia mirabaha, ada ya ukaguzi na ushuru wa huduma inayotolewa na wachimbaji wakubwa kwa wadogo nchini.

Mapato yatokanayo na madini yameongezeka, ambapo kwa mwaka wa Fedha 2018/2019 zilikusanywa shilingi bilioni 346 kutoka shilingi bilioni 194 zilizokusanywa mwaka 2016/2017. Ambapo kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 kuna makadirio ya kukusanya shilingi bilioni 470, ambapo mwezi Aprili 2020 pekee, licha ya kuwepo kwa tatizo la ugonjwa wa corona, zilikusanywa shilingi bilioni 58. Makusanyo ya mpaka kufikia mwezi

mei 2020 jumla ya shilingi ya bilioni 479 sawa na asilimia 102 za lengo la makusanyo.

Ongezeko hili halitakuwa na maana endapo sekta nyingine za kiuchumi zitashindwa kukua kupitia rasilimali madini zinazopatikana nchini, na kwa kuzingatia kuwa mchango wa sekta unapaswa kuwezesha sekta nyingine kukua, Mwezi Julai 2017 Serikali ilipitisha Sheria ya Kulinda Rasilimali za Taifa (The Natural Wealth and Resources – Permanent Sovereignty - Act 2017), ikiwemo madini ili kunufaisha nchi na wananchi.

Kupitishwa kwa Sheria hiyo kumepelekea kuwezesha kwa mara ya kwanza Watanzania kumiliki rasilimali zao kwa nguvu za kisheria. Aidha, Sheria hiyo pia ndiyo imefanikisha kuanzishwa kwa Kampuni ya Twiga Minerals Company, ambayo Serikali yetu inamiliki hisa asilimia 16 na Kampuni ya Barrick asilimia 84 ya Hisa.

Watanzania kuweza kumiliki rasilimali zao kisheria na Serikali kuwa na hisa kwenye migodi mikubwa ya

uchimbaji wa madini kunawafaya watanzania kuongeza mapato yao pamoja na mapato ya serikali yanayochangia katika kuboresha sekta nyingine za kiuchumi kwani pesa hizo zinaingizwa katika utekelezaji wa miradi mingine ya maendeleo.

Tumekuwa tukimsikia Waziri wa Madini, Doto Biteko na viongozi wengine wa wizara na Serikali wakitamani mchango wa sekta ya madini kutazamwa kwa namna unavyofungamanishwa na sekta nyingine za kiuchumi kama vile barabara, biashara, utalii, usafirishaji, ajira, ujenzi na nyinginezo.

Kama ambavyo Sheria inatamka na ambavyo viongozi wa Wizara wamekuwa wakisisitiza, uwepo wa madini nchini uwafanye wafanyabiashara wengine nchini kupata soko la kuuza bidhaa zao kama vile vyakula, vipuli, mavazi, uwepo wa madini usaidie kuboresha miundombinu ya barabara na reli.

Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wafanyabiashara wa madini wa Mkoa wa Geita (hawako pichani) hivi karibuni alipofanya ziara ili kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi ya maendeleo inayofanywa kwa fedha za huduma za jamii (CSR) zinazotolewa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) mwezi Juni, 2020

Jengo jipya litakalotumiwa na wafanyabiashara wa madini mkoani Geita ambalo lilijengwa kwa fedha za huduma kwa jamii (CSR) zilizotolewa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) na kusimamiwa kwa ushirikiano baina ya mgodi huo na Halimashauri ya Mji wa Geita. (Picha na Wizara ya Madini).

Endelea Uk. 8

MAKALA

Page 10: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

10

JARIDA LA MADINI

Aidha, Waziri Biteko alipokuwa akizungumza wakati wa ziara yake ya hivi karibuni mkoani Geita aliwataka watanzania kuutazama mchango wa sekta ya madini kwa namna unavyosaidia kuinua sekta nyingine za uchumi na kubainisha kuwa kwa upande wa kuongezeka kwa ukusanyaji wa maduhuli sekta hiyo imeonesha mafanikio makubwa.

Anaendelea kusisitiza kuwa uwepo wa migodi umuwezeshe mkulima wa mchele, mbogamboga, mifugo, wavuvi kuwa na uhakika wa wanunuzi kwa sababu wachimbaji wapo, na kubainisha kuwa huo ndio ufungamanishaji wa uchumi wa madini na sekta nyingine.

Pamoja na hayo, Serikali kupitia Bunge lake tukufu iliridhia na kupitisha mabadiliko ya sheria ya madini sura ya 23 ambayo yamesaidia katika kuimarisha na kukuza Sekta ya Madini na kuiwezesha kuongeza mchango wake katika pato la taifa.

Pia, Serikali kupitia Wizara ya Madini imeendelea kusimamia na kuhakikisha wamiliki wa leseni za uchimbaji mkubwa na wa kati wa madini pamoja na wakandarasi wanawasilisha na kutekeleza Mipango ya Ushirikishwaji wa Watanzania katika

mnyororo wa uchumi wa madini (Local Content).

Mpango huo ni pamoja na kuwataka wawekezaji hao kuweka kipaumbele katika matumizi ya bidhaa na huduma zinazozalishwa hapa nchini, kuajiri watanzania na kuondoa tofauti kubwa ya mishahara kwa kazi zinazofanana na kufanywa

Serikali imeagiza manunuzi yote yafanyike katika maeneo yanayozunguka mgodi isipokuwa endapo bidhaa inayohitajika haipatikani nchini itaagizwa nje ya nchi huku wazabuni wanaotumika kuwa ni wazawa hali itakayoikuza sekta ya biashara nchini na hivyo kukuza uchumii wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

Wakati fulani, Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo aliwatembelea wachimbaji wadogo wa madini katika Mkoa wa Katavi na kuonya kuwa kumekuwa na tabia ya baadhi ya wachimbaji wadogo kukwepa kulipa kodi serikalini na kubainisha kuwa hali hiyo inakwamisha upatikanaji wa huduma nyingine muhimu kama vile elimu, maji, barabara, hospitali na nyinginezo.

Aliendelea kusema mchimbaji ambaye anakwepa kulipa kodi mbalimbali kama Sheria ya Madini na Kanuni zake zinavyofafanua ni

adui namba moja katika ukuaji wa maendeleo ya nchi, na kueleza “hivyo sisi kama Wizara ya Madini tumejipanga kuchukua hatua za kisheria nia ikiwa ni kutaka kila mwananchi anufaike na rasilimali za madini kupitia uboreshaji wa huduma mbalimbali”. Nyongo alisisitiza.

Halikadhalika kama ambavyo Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Maliasili ya Mwaka 2017 (Permanent Sovereignty Act 2017) inawezesha watanzania kuwa sehemu ya wamiliki na washiriki katika uchumi wa madini hivyo ni nafasi sasa kwa watanzania katika kuhakikisha Sekta nyingine zinajifungamanisha na sekta ya madini katika kukuza uchumi wa nchi na wananchi.

Kwa upande, Uwajibikaji wa Makampuni na Wamiliki wa Leseni za Madini katika Jamii inayozunguka migodi yaani (Corporate Social Responsibility –CSR) ambapo katika eneo hili sekta ya madini imeweza kutekeleza miradi ya maendeleo katika Jamii zinazozunguka migodi (host community) kupitia makampuni ya madini.

Aidha, katika mgodi wa Dhahabu wa Geita kwa mwaka 2018 ulitekeleza mpango wake wenye thamani ya shilingi Bilioni 9.2 na shilingi bilioni 9.5 kwa mwaka 2019. Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Masoko ya wajasiriamali, soko la dhahabu, mradi wa ushonaji na kilimo cha mpunga na Alizeti katika vijiji vya Salagurwa na Katundu ambapo miradi imesaidia kukuza uchumi wa wananchi kupitia kilimo na biashara.

Ni ukweli usiopingika kuwa, ikiwa watanzania watatumia vema fursa zilizopo katika sekta ya madini zitawezesha kukuza uchumi wao na wa sekta nyingine na hivyo kunufaika ipasavyo na kuwa sehemu ya wamiliki wa uchumi huo. Kama ambavyo nimeeleza, tayari Serikali imeweka mazingira wezeshi yanayotoa nafasi za kukuza sekta nyingine kupitia uwepo wa rasilimali madini.

Sekta ya madini inavyochangia ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi

Waziri wa Madini, Doto Biteko (wa tatu kutoka kulia) na ujumbe alioambatana nao ikiwa ni pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel (kulia kwake) wakikagua ujenzi wa kiwanda cha kuchakata dhahabu kinachojengwa na mwekezaji binafsi mkoani humo. (Picha na Wizara ya Madini).

Inatoka Uk. 9

MAKALA

Page 11: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

11

JARIDA LA MADINI

Na Tito Mselem, Wizara ya Madini

Mkoa wa Kigoma ni miongoni mwa mikoa iliyobarikiwa kuwa na madini mbalimbali yakiwemo

Madini ya Chumvi na Chokaa ambayo yanapatikana kwa kiwango kikubwa mkoani humo.

Katika kuelekea Uchumi wa Viwanda nchini Tanzania, ikiwa wananchi wa Kigoma watatumia vyema fursa za upatikanaji wa Madini ya Chumvi na Chokaa, yaliyopo katika Mkoa huo, hakika wanaweza kuinua uchumi wa viwanda kutokana na madini hayo kwa kiwango kikubwa na yakawatajirisha.

Akihitimisha ziara yake ya kikazi katika Mkoa huo hivi karibuni, baada

ya kutembelea Migodi mbalimbali ya Madini ya Chumvi na Chokaa ikiwemo Viwanda vya Uvinza Jam Salt Mines (T) Ltd, Nyanza Salt na Makere Lime, Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila anaeleza kuwa upatikanaji wa Madini ya Chumvi na Chokaa ni neema kwa wananchi wa mkoa wa Kigoma kutokana na mahitaji yake makubwa katika maisha ya kila siku.

Imeelezwa kuwa, Kampuni ya kuzalisha Chumvi ya Nyanza Salt, iliyopo Wilayani Uvinza Mkoa wa Kigoma inafanya kazi nzuri katika uzalishaji, lakini zaidi ya asilimia 70 ya bidhaa inauzwa nje ya nchi hususan katika nchi jirani za Kongo na Burundi kitu ambacho wizara inaona si sawa kutokana na mahitaji ya bidhaa hiyo nchini kutojitosheleza.

Prof. Msanjila anasema kuwa,

pamoja na kwamba wawekezaji hao wanalazimika kuuza asilimia kubwa ya chumvi yao nje ya nchi kutokana na sababu za kijiografia na miundombinu ya usafirishaji, Serikali inaona suala hilo si sawa, hivyo inaweka mikakati kuhakikisha wazalishaji hao na wengine wote wanatosheleza soko la ndani ya nchi kwanza ambalo ni kubwa, kabla ya kuuza nje ya nchi.

“Mahitaji ya Chumvi Tanzania bado ni makubwa sana, takwimu zilizopo zinaonesha tunaagiza kiasi kikubwa cha Chumvi kutoka nje ya nchi, hususan nchi jirani ya Kenya, wakati hii ya kwetu tunayozalisha nchini, tunaiuza nje, hii sio sawa hata kidogo, lazima sasa tuweke mikakati itakayowezesha wawekezaji wetu kutosheleza soko la ndani kwanza kitakachobaki ndiyo tupeleke kuuza katika masoko ya nje,” Prof. Msanjila alisisitiza.

Kuhusu mikakati ambayo Serikali inaifanya katika kuboresha Sekta ya Chumvi, Prof. Msanjila anasema kuwa, ni pamoja na kuanzisha Soko la Chumvi katika Wilaya ya Uvinza na kuwawezesha wazalishaji wadogo, waweze kuzalisha chumvi nyingi itakayotosheleza soko la ndani na la Nje ya nchi.

Aidha, Prof. msanjila anasema kuwa, ili kuwawezesha zaidi wawekezaji katika Sekta ya Chumvi na Chokaa, Serikali kupitia Wizara ya Madini inafuatilia suala la kupelekewa nishati ya umeme katika viwanda vya Chokaa na Chumvi visivyo kuwa na nishati hiyo ili kuwapunguzia gharama za uzalishaji wanapotumia nishati ya mafuta katika kuendesha mitambo yao ili waweze kufanya biashara hiyo kwa tija zaidi.

Pamoja na kuwepo kwa ugonjwa Covid-19, Rais Dkt. John Pombe Magufuli ameingoza vyema nchi katika mapambano bila ya kuathiri sekta za kiuchumi ikiwemo Sekta ya Madini.

“Namshukuru Mhe. Rais, Dkt. John Pombe Magufuli kwa kutuongoza vyema katika mapambano ya Covid-19 bila kuathiri sekta za kiuchumi ikiwemo Sekta ya Madini, ndiyo maana tumekuwa tukieleza dhamira ya Wizara

Serikali inavyowajengea Fursa Wazalishaji wa

Chumvi na Chokaa Kigoma

Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof, Simon Msanjila katikati akitoa maelekezo kwa watumishi wa Ofisi ya Madini Mkoani Kigoma mara baada ya kutembelea viwanda mbalimbali vya Chumvi na Chokaa vilivyopo Mkoani humo.

Endelea Uk. 10

MAKALA

Page 12: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

12

JARIDA LA MADINI

ya Madini ya kuhakikisha uchangiaji wa Sekta katika Pato la Taifa unakua zaidi ya ilivyo sasa, kupitia usimamizi mzuri utakaowezesha ongezeko la wawekezaji wenye kulipa kodi na tozo zote stahiki za Serikali,” anasema Prof. Msanjila.

Aidha, Prof. Msanjila anawahamasisha zaidi wananchi wa mkoa huo kuangalia fursa nyingine ikiwemo madini na si kwa mawese na uvuvi peke yake.

Akiwasilisha Taarifa ya Mgodi wa Uvunaji Chumvi wa Uvinza Jam, Salt Mines (T) Ltd kwa Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Marbul Mohamedraza Jaffer, anasema kampuni yake inakabiriwa na changamoto ya miundombinu hususan ubovu wa barabara inayotoka wilayani Uvinza mpaka eneo la kiwanda chake ambapo anatumia gharama kubwa kutengeneza barabara kila wakati badala ya kutumia

fedha hizo kupanua kiwanda chake, pia changamoto ya nishati ya umeme imekuwa ni kigezo kutofikia malengo ya kampuni hiyo na hivyo kuomba serikali kuangalia suala hilo.

Naye, Mkurugenzi wa Kiwanda cha Chokaa cha Makere Lime, Pius Kipeche anaiomba Serikali kupitia Wizara ya Madini kuwasaidia upatikanaji wa vibali vya kuchimba katika hifadhi ya pori lilipo Wilayani Kasulu kwani

hivi sasa wanachimba kwa kutozwa gharama kubwa.

Kutokana na mikakati ya wizara ya kuhakikisha Soko la Madini ya Chumvi linaanzishwa Uvinza Mkoani Kigoma na ikilinganishwa na mahitaji ya madini hayo ndani ya nchi, wananchi wa Kigoma wanapaswa kuiona fursa hiyo ya uzalishaji wa madini ya chumvi kupitia Sekta madini.

Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof, Simon Msanjila mbele kushoto akioneshwa jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Uvinza Jam Salt Mines (T) Ltd, Marbul Mohamedraza Jaffer.

Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Prof, Simon Msanjila wapili kutoka kulia, Mhandisi Mwandamizi Heri Gumbo (wapili kutoka kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Uvinza Jam Salt Mines (T) Ltd Marbul Mohamedraza Jaffer (wa kwanza kulia) , walipotembele mgodi wa Chumvi Uvinza Jam Salt (T) Ltd.

Mtambo wa Kuchakata Chumvi uliopo katika kampuni ya uzalishaji chumvi ya Uvinza Jam Salt (T) Ltd.

Wachimbaji Wadogo wanavyowezeshwa kuchimba kwa tijaInatoka Uk. 11

MAKALA

Page 13: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

13

JARIDA LA MADINI

Wachimbaji wadogo wa madini wakiwa katika shughuli za uchimbaji.

Namna Serikali Inavyowawezesha Wachimbaji Wadogo Kuchimba kwa Tija

Na Nuru Mwasampeta

Serikali ya awamu ya tano imeonesha juhudi kubwa katika kusimamia na kuhakikisha Sekta ya uchimbaji mdogo wa madini

inachangia ipasavyo kukuza uchumi wa nchi na kuchangia kwenye pato la taifa. Aidha imeendelea kuhakikisha wachimbaji wadogo wa madini wanaboresha maendeleo yao kiuchumi kupitia shughuli zao za uchimbaji wa madini.

Kwa kuzingatia utajiri na wingi wa rasilimali za madini aina tofauti ambazo Tanzania imebarikiwa kuwa nazo, Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi wa Raisi John Pombe Magufuli, kila jitihada zimeendelea kufanyika katika kuhakikisha wachimbaji wadogo wa madini nchini wanawekewa mazingira mazuri na wezeshi ili kuwasaidia kufanya shughuli zao kwa tija na ufanisi mkubwa ili kujinufaisha wao binafsi na kuongeza mchango wao kwenye mapato ya serikali.

Aidha, ili kuhakikisha sekta ya madini nchini inaongeza mchango wake katika ukuaji wa uchumi wa taifa, kumekuwa na mikakati iliyowekwa na

Wizara ya Madini pamoja na taasisi nyingine mbalimbali za kiserikali ili kuboresha mfumo wa urasimishaji katika sekta ya uchimbaji mdogo wa madini nchini.

Miongoni mwa maboresho makubwa yaliyofanyika kwenye sekta ya uchimbaji mdogo wa madini, kwanza ni kuwahakikishia wachimbaji wadogo wa madini upatikanaji wa masoko yakudumu ya kuuza madini yao. Mpaka sasa jumla ya masoko 28 yameanzishwa nchi nzima pamoja na vituo 28 vidogovidogo vya kuuzia madini.

Aidha, jambo jingine lililofanyika katika kuhakikisha maboresho kwenye sekta ya uchimbaji mdogo wa madini nchini, ni mfumo wa urasimishaji wa wachimbaji wadogo wa madini.

Kufuatia uratibu uliofanywa na Mshauri Mwelekezi kutoka kampuni ya Godtec, Ndugu Aloyce Midelo, ambaye pia ni Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo ya Godtec wanaofanya kazi chini ya Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara (MKURABITA), taasisi ambayo ndiyo Mratibu Mkuu wa elimu na utambuzi wa wachimbaji katika maeneo yao ya machimbo. Wataalamu hawa

wamekuwa wakijikita katika kufanya utafiti yakinifu ili kutambua mahitaji ya wachimbaji wadogo wa madini na kuwasiliana na watoa huduma mbalimbali ili wafikishe huduma stahiki na kutatua changamoto zinazowakabili wachimbaji wadogo.

Ndugu Midelo, amebainisha kuwa yeye pamoja na jopo la wataalamu anaoambatana nao katika maeneo ya machimbo, wamekuwa wakiendesha mafunzo mbalimbali kwa wachimbaji wadogo ikiwa ni pamoja na namna ya kupata mitaji ya kuendesha shughuli zao, lakini pia elimu juu ya umuhimu wa kujiunga kwenye mifuko ya jamii kwa manufaa yao kwa sasa na kwa baadaye. Pia wanawahamasisha kujiunga na bima za afya pamoja na kuwakutanisha na watoa huduma mbalimbali za kifedha na kijamii zinazohitajika katika maeneo yao.

Kwa mujibu wa Ndugu Midelo, alisema awali ya yote wanawasaidia wachimbaji hao kuunda makundi ya umoja, pia wanatoa elimu

mbalimbali ikiwemo elimu ya afya, kujiunga na mifuko ya jamii, utunzaji wa mazingira. Baada ya

Endelea Uk. 14

MAKALA

Page 14: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

14

JARIDA LA MADINI

mafunzo hayo wachimbaji wanaeleza jambo wanalolihitaji, hivyo Mkurabita inawasaidia kuwakutanisha na taasisi husika ili kuweza kupewa huduma stahiki.

Mshauri Mwelekekezi huyo alitoa mfano wa baadhi ya taasisi walizowasiliana nazo mara baada ya kutoa elimu kwa wachimbaji wadogo wa madini, ni pamoja Aloyce alisema ni pamoja na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF). Wataalamu hao kutoka mfuko wa jamii walikutanishwa na wachimbaji wadogo wa madini na kuwaelimisha juu kazi za mfuko na manufaa anayoyapata mwanachama. Aidha baada ya elimu hiyo wachimbaji wadogo walihamasishwa na baadaye kujiunga na mfuko huo ambapo wachimbaji wengi waliitikia wito wa kujiunga na mfuko wa NSSF.

Taasisi nyingine iliyokutanishwa

na wachimbaji wadogo wa madini ilikuwa ni Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA), ambao walibaini kuwepo kwa changamoto ya miundombinu ya barabara kwa wachimbaji wadogo wa madini, hivyo kufanya taratibu za kuboresha miundombinu ya barabara katika maeneo ya machimbo.

Pia Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), ni miongoni mwa taasisi zilizokutanishwa na wachimbaji wadogo wa madini waliofika kusikiliza changamoto zao na mapendekezo yao ili kuboresha kazi yao ya uchimbaji madini.

Aidha, Tanesco walifanya tathmini ya gharama na nguzo zitakazohitajika ili kuweza kufikisha huduma ya umeme katika maeneo ya machimbo na wako katika mpango wa pamoja kufikisha huduma hizo katika machimbo.

Katika kuhakikisha wachimbaji wadogo wananufaika na uwepo wa huduma mbalimbali katika maeneo

ya machimbo, Bw Midelo alisema “ni vema kujikita katika eneo moja na kuhakikisha huduma zote za msingi zimefikishwa katika eneo hilo na kuleta manufaa kwa jamii husika kuliko kufikisha huduma moja na nyingine za msingi zikakosekana”.

Bw Midelo aliongeza kwamba, ni wajibu wa Serikali kuhakikisha huduma zote za msingi zinafikishwa kwa wananchi hivyo kuwanyima sababu ya kutokuendelea maana kwa kufanya hivyo unawanyima sababu ya wao kutowajibika kwenye kazi na kujiongezea kipato. Hatahivyo, amewataka wananchi kuunga mkono mabadiriko na maboresho mbalimbali yanayofanywa na serikali katika kuhakikisha maendeleo ya kiuchumi yanapatikana kwa maslahi ya taifa.

Ili kuwasaidia wachimbaji wadogo serikali kupitia Mkurabita imeendelea kuratibu utoaji wa elimu ya masuala ya mitaji na biashara kwa kushirikiana na Benki ya Taifa ya Biashara (NMB) benki iliyoonesha nia ya kuwawezesha wachimbaji wadogo kwa kuwapa mikopo ili kuendeleza shughuli zao.

Vilevile, Wizara kwa upande wake, imekuwa ikiendelea kuwezesha mazingira ya kukutana na Mabenki ili kuyaelezea kuhusu fursa za kibenki zilizopo katika Sekta ya Madini ikiwemo kuweka mazingira ya kuzikutanisha benki na wachimbaji kupitia maonesho, mikutano, makongamano lengo kuona nmana pande hizo mbili zinavyoweza kufanya kazi pamoja ili kuleta maendeleo.

Katika kuhakikisha inaendelea kuboresha mazingira ya kazi ya uchimbaji kwa wachimbaji wadogo wa madini, hivi karibuni Wizara imezindua viwanda viwili vya Mfano vya Kuchenjua madini aina ya

Inatoka Uk. 13

Namna Serikali Inavyowawezesha Wachimbaji Wadogo Kuchimba kwa Tija

Endelea Uk. 15

Waziri wa Madini akiwa katika uzinduzi wa kiwanda cha kuchakata dhahabu cha Katente mkoani Geita.

MAKALA

Page 15: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

15

JARIDA LA MADINI

dhahabu vya Kantente – Bukombe na Lwamgasa- Geita, wakati huohuo wizara inaendelea na ujenzi wa kiwanda kingine cha kuchenjua dhahabu katika eneo la Itumbi Chunya mkoani Mbeya.

Pamoja na shughuli za uchenjuaji wa madini, shabaha ya viwanda hivyo ni kutoa elimu ya uchenjuaji na uchimbaji bora wa madini ili kuwezesha na kufanikisha uchimbaji madini wenye tija na mafanikio kwa taifa.

Licha ya kuwepo kwa viwanda hivyo, pia, Serikali imejenga vituo 7 vya Umahiri, katika Mikoa mbalimbali nchini lengo ni kutoa mafunzo kwa wachimbaji wadogo ikiwemo elimu ya biashara ya madini, jiolojia, utafiti na uchimbaji bora wa madini. Hayo yote yanalenga katika kuwawezesha wachimbaji kukua kimaendeleo ya kiuchumi na kupitia shughuli zao za uchimbaji mdogo mdogo wa madini. Kufuatia juhudi

hizi za Serikali ya Awamu ya Tano, chini ya uongozi makini wa Rais Dkt John Pombe Magufuli, ni wasaa sasa wa wachimbaji wadogo wa madini kushirikiana kinagaubaga na serikali

kuendelea kuboresha zaidi mazingira ya kazi ili kuwawezesha kufanya uchimbaji wa madini wenye tija kwa maendeleo ya uchumi wao na taifa kwa ujumla.

Inatoka Uk. 14

Namna Serikali Inavyowawezesha Wachimbaji Wadogo Kuchimba kwa Tija

Waziri wa Madini akiwa katika uzinduzi wa kiwanda cha kuchakata dhahabu cha Katente mkoani Geita.

Tangu kuanzishwa kwa Masoko ya Madini Mwezi Machi 2019 hadi Mei 2020 makusanyo ya Mapato ya Serikali yatokanayo na uchimbaji mdogo wa Madini yameongezeka kufikia shilingi Bilioni 102.44 ikilinganishwa na sh Bilioni 16.23 zilizokusanywa kuanzia Machi 2018 Hadi Februari 2019.

MAKALA

Page 16: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

16

MADINI BULLETIN

On June 30, 2020 the Tanzanian government, under its fifth phase leadership, completes the implementation of its

Annual Budget for the year 2019/2020. At this time, it is 2 years and 8 months since the Ministry of Minerals was founded in October 2017.

During the five-year period of the fifth phase government, we witnessed revolutionary developments in the Mining Industry, which have led to benefits not only in Tanzania but also worldwide. These beneficial developments have come about as a result of the efforts of the Government under the President of the United Republic of Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli, who has effectively managed the sector and, thus, provided the nation with significant economic, social and development benefits from the Mining Industry.

There has been an increase in revenue collection from TZS196 billion in 2015/2016 to TZS 479 billion in 30th May, 2020, thus exceeding the target of collecting TZS 470 billion which is 101.93 percent in 2019/2020. This increase in collections has been attributed to good management of

the sector, including the formation of Mineral Markets which have been established in each region; to date a total of 28 markets and 28 Mineral purchasing centers have been created. In addition, the construction of a One Stop Centre in Mirerani, Manyara Region has been completed.

We have witnessed the amendment of the Mineral Law which has led to major changes, including the Investment Agreements, with the signing of an agreement between the Government of Tanzania and the Barrick Gold Corporation LTD. The signing of the agreement resulted in the establishment of a new subsidiary, Twiga Minerals Corporation Limited, in which the government owns 16% of stock and Barrick owns 84%. This means that the government now owns 16% of the country’s largest mining investment. This is a significant achievement, due to the agreement entered into, which our nation is going to benefit from accordingly. The articles in this edition of the journal explain the benefits of the agreement.

In the case of tanzanite minerals, the construction of a 24.5 kilometer wall surrounding the tanzanite mines has prevented the illegal distribution of these minerals, resulting in increased government revenue.

Tanzanite production figures for small and medium miners two years before the construction of a wall in 2016/2017 amounted to 312.3 kilograms worth approximately 4.2 billion shillings worth. Government revenue was 238 million after the construction of a wall by 2018 while production was 781.204 kg worth approximately 20.1 billion shillings and government revenue was 1.437 billion Shillings in 2019 while production was 2,772.17 kilograms valued at approximately 30.075 billion shillings and government revenue was 2.15 billion shillings.

In addition, due to the importance of the small-scale miners in the development and growth of the Mining Industry, and to ensure the provision of a better working environment

for them, the government has set up 7 training centres and 3 Centers of Excellence aimed at providing education for small-scale miners to enable them to mine productively. The outcome of the ministry’s conference with mining stakeholders in 2018 was the elimination of annoying taxes on the mining sector for small-scale miners. These taxes are withholding tax (-5%) and Value Added Tax (-18%). The elimination of these taxes enables a better and more efficient mining industry in the country.

During this period, the Government has also made substantial efforts to establish large-scale mining operations, which for many years have not been established in the country. Furthermore, the ministry has encouraged the activities of metallurgy, industrial mining, and construction and jewelry in the country. Moreover, in the year 2019/2020 two smelters mining licenses and three Mining licenses have been issued.

Apart from these benefits, growth in the sector itself has steadily improved. In 2019 the mining industry had a growth rate of 17.7 percent, followed by construction (14 percent), arts and entertainment (11.2 percent) and freight shipping (8.7).

These are just some of the major reforms that have been taken place during the 5 years of the 5th Phase of Government, led by Dr. John Joseph Pombe Magufuli and the implemented over a two year period by the Ministry of Minerals. These are great achievements that need to be supported by mining stakeholders, citizens and development enthusiasts. As these reforms have led to the mining industry fully integrating with other sectors economically the benefits can be seen clearly.

In addition, in order to ensure that other sectors are aligned with the mining sector, Tanzanians must take advantage of the opportunities available to become fully involved in the mining economy.

# We have improved the sector

MINISTER’S MESSAGEFIVE YRS OF JPM,

MINING ECONOMY REVEALED

Page 17: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

17

MADINI BULLETIN

MAGUFULI WALL WRITE A NEW HISTORY

Holding a tanzanite stone, Minister for Minerals, Doto Biteko (second left), Deputy Minister for Minerals, Stanslaus Nyongo, followed by Saniniu Laizer a Billionaire and FEMATA President, John Bina, First Right is Parmanent Secretary for Minerals, Prof. Simon Msanjila during handing over of tanzanite stones mined by small scale miner to the government.

Asteria Muhozya and Tito Mselem, Mirerani

Finally, the benefits of the 24.5 kilometer long wall constructed by the Fifth government around the tanzanite mining area shows

great impact after the production of the largest mineral and form a new history in the country since tanzanite start to be mined in the country.

The mines mined by Saniniu Laizer at the mine have a gross weight of 14.14kg, while one stone weighing 9.27 kg and the second weighing 5.108 kgs. In addition, a stone weighing 9.27 said to be worth of 4.649,470 billion shillings while the one weighing 5.108 have worth of 3.375,280 billion shillings that make both stone to possess a worth of 7,744,152,703.82 shillings.

The discovery of those heavy stones of tanzanite mined by Laizer a billionaire has shown the ability of the fifth government to put in place effective management and security of minerals found in Tanzania.

In addition, the extraction of those heavy stone done by small-scale miner has shown the ability of small scale miners to earn more income through mining industry as long as they got an opportunity to do so and provided with a better environment and ensure they are organized and engage in mining business productively for their and government benefit.

Similarly, the government’s intention to require gemstone mining activities to be owned by indigenous, as long as the intention of president to make sure mining economy owned by Tanzanian citizens has been proved .

Speaking by phone during handing

over of heavy tanzanite minerals to the government, President of Tanzania Dr. John Magufuli expressed his joy at what the miner did while the minerals reflected the nation wealth. He congratulated the Minister of Minerals, Doto Biteko, miners, Simanjiro citizen as well as the governor of Tanzania Bank Prof. Florens Luoga for making sure the minerals are bought by the Government and insisting that Laizer should be given all money as the value of tanzanite stones. “I am watching here and I am so exited”, said President magufuli.

In turn, the Minister of Minerals explains President Magufuli’s dream that many thought was impossible now and Laizer’s prospect of producing heavy metals is an indication that miners can and President Magufuli’s dreams about the Mining Industry are being fulfilled.

FEATURE STORY

Page 18: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

18

MADINI BULLETIN

Barrick started implementing agreement with Government by paying USD 100

million as first tranche of USD 300 million

By, Nuru Mwasampeta & Tito Mselem

The fifth Phase Government under His Excellency Dr. John Joseph Pombe Magufuli, President of the United Republic of

Tanzania has undertaken astonishing reformations in the Mining Sector. The reformations aimed at enhancing control and compliance, ensuring maximum collection of revenues and at large securing national interests.

One of the steps taken by the fifth phase government was to convene the renegotiation of the mining agreements with Barrick Gold Corporation. It has to be noted that the previous mining agreements between the two parties were very unfair to Tanzania.

The renegotiation followed the Government’s ban on the export of minerals concentrates in 2017 after accusing Acacia of tax evasion and much other misconduct. Barrick

inherited disputes from its subsidiary Acacia Mining which Tanzania government in 2017 accused of operating illegally and understating gold exports. However, along the course of the said negotiations, Barrick Gold Corporation bought out Acacia in a $1.2 billion transaction.

During the renegotiation, Barrick Gold Corporation and the government through Government Negotiation Team (GNT) agreed to settle the tax dispute. The deal included payment of $300 million to settle outstanding tax and other disputes, the lifting of the concentrate export ban, and the sharing of future economic benefits from mines on a 50-50 basis. The agreement was officially signed by both parties on 24 of January 2019 at the state house in Dar es Salaam and was witnessed by His Excellency Dr. John Joseph Pombe Magufuli, the President of the United Republic of Tanzania.

In the course of implementing what was agreed and signed by the

parties, on 26th of May, 2020 Tanzania Government received $ 100 million (equivalent to 230 billion shillings) from Barrick Gold Corporation which is a first tranche of $300 million agreed as goodwill gesture to end disputes between the two parties. On behalf of the government of Tanzania, the Minister for Finance and planning honorable Dr. Philip Isdor Mpango received a dummy cheque from the company’s representatives.

We agreed to share the economic benefits from Bulyanhulu, Buzwagi and North Mara mining projects on a 50/50 principal based on the life of mine plans. Government shall receive its share of the economic benefits through the payment by Barrick Gold Corporation of taxes, royalties, fees and other fiscal levies as described in fiscal measures and through the government’s 16 percent Free Carried Interest in

Continue Pg. 19

Some of Government Official witnessing the $ 100 million check handover in the function done at the Treasurer’s Hall in Dodoma Region which done by 26th May, 2020

FEATURE STORY

Page 19: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

19

MADINI BULLETIN

Barrick started implementing agreement with Government by paying USD 100

million as first tranche of USD 300 million

the shareholder loans, which together entitle the government to participate in any cash distributions (whether by the repayment of shareholder loans, dividends or returns of capital), elaborated Dr. Mpango.

Furthermore, the Government Negotiation Team (GNT) under the chairmanship of honorable Prof. Palamagamba Kabudi, agreed with Barrick Gold Corporation to form jointly owned Twiga Minerals Limited to manage North Mara, Bulyanhulu and Buzwagi mines. In this newly formed company, Government of Tanzania has 16% non- dilutable Free Carried shares and 84 % shares are left for Parent parties including Barrick.

In addition to that, Barrick Gold Corporation agreed to make an aggregate contribution of USD 5 million to support further studies of the feasibility of in-country beneficiation by the Government.

Barrick also agreed to establish a partnership with University of Dar es Salaam (UDSM) and committing up to USD 10 million in funding over a 10 years period for training and skills development relevant to the mining industry, insisted honorable Mpango.

Honorable Dr. Mpango added that, Barrick will provide local community support by committing upt to USD 6 per ounce of contained gold sold in concentrates and dore from the Mines. Moreover, Barrick has committed up to USED 40 million to upgrade the road currently in use between Bulyanhulu and Mwanza and constructing a hosing compound and related infrastructure, concluded Dr. Mpango.

While concluding his remarks, honorable Mpango congratulated Barrick by starting implementing the agreement and call upon the mining firms to emulate the move in ensuring win – win situation.

On the other hand, the President and CEO of Barrick Gold Corporation Dr. Mark Bristol commended on excellent and visionary leadership

by President Magufuli during the negotiation, that has led into exemplary partnership between his company and the government of Tanzania. Either, Dr. Bristol promised that his company will make sure that the partnership with government exist as agreed and becomes a model in Africa and the whole world. He promised to improve the infrastructures around their mines in Tanzania; and also making sure satisfactory geological information related to gold mineralization is obtained and applied accordingly to make the country one of the main gold producer globally.

The initiatives taken by fifth government under the leadership of His Excellency Dr. John Joseph Pombe Magufuli, President of United Republic of Tanzania to improve performance of the Mining Sector needs to be applauded and supported by all Tanzanians. President Magufuli stood firm throughout the negotiations to make sure the mineral resources benefiting Tanzanians and Tanzania accordingly. We are highly indebted by his extraordinary patriotism and we thank God for having him as our leader.

Under the leadership of President Magufuli, Mining Sector is now one of the highly contributing sectors in our economy. The country has experienced significant increase in revenues collected in miming sector since her independence as well as increased participation of the Tanzania and Tanzanians in the sector.

Most of the interviewed people commended the fifth government by its effort to improve the performance of mining sector. They explained that during this regime much reformation have been done to increase the performance and contribution of the Small Scale Miners in the national economy. This include establishment of Mineral Markets, exemption of withholding and Value added Tax to the Small Scale Miners and demarcation of geologically potential areas to the Small Scale Miners.

From Pg. 18

Some of Government Official witnessing the $ 100 million check handover in the function done at the Treasurer’s Hall in Dodoma Region which done by 26th May, 2020

FEATURE STORY

Page 20: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

20

MADINI BULLETIN

During the Fifth phase Administration there has been a significant increase in tax collections imposed on the government fund

through tariffs, inspection fees and service tax provided by the major miners in the country.

Revenue collection from mining sector increased whereas for financial year 2018/2019 total of 346 billion collected from 194 billion collect in 2026/2017. In this financial year 2019/2020 the ministry Of Minerals was expected to collect total of 470 billion and in April 2020 alone despite the existence of a Covid-19, the ministry collected 58 billion shillings. Collections till May 2020 were Tanzanian Shillings 479 billion equivalent to 102 percent of the target.

This increase will not make sense if other economic sectors fail to grow

through the mineral resources available in the country, and considering that, industry contribution should enable other sector to grow. In July 2017 the Government adopted the National Wealth and Resources – Permanent Sovereignty Act of 2017,) including mining for the benefit of countries and citizens.

The adoption of the Act has, for the first time, enabled Tanzanians to own their resources through legal power. In addition, The Act also facilitated the establishment of the Twiga Mining Company, of which our government owns 16 percent shares and Barrick Company own the remaining 84 percent of shares.

For the Tanzanians’ to have legal right in owning mining resources together with Government owning shares in large – scale mining company enable the Tanzanians’ to increase

their income as well as increase the collection of revenues that contribute to the improvement of other economic sectors as long as the collected revenue used in implementation of other development projects.

We have been hearing the Minister of Minerals, Doto Biteko and other officials of the Ministry of energy aspiring for the contribution of the mining sector to be viewed in a way the sector linked with other economic sector sectors such as roads, trade, tourism, transportation, employment, construction and others.

As the Act and Ministry Officials have been emphasized, the presence of minerals in the country should attribute to other traders in the country to benefit by selling their products such as food, cosmetics, clothing, availability of improved roads and rail infrastructure.

In addition, while Minister of Minerals while speaking recent during an official visit in Geita he urged Tanzanias to look at the contribution of the mining sector in a way that contribute to lift up other economic sector as long as the sector shows great success in revenue collection.

He further emphasized that the presence of mines should enable rice farmers, vegetable, livestock, fishermen etc to be confident of buyers because miners are present, pointing out that there is link between mining and other economic activities

However, the Government through its esteemed Parliament approved the amendment of the Mining Act chapter 23 which has helped to strengthen and grow the Mining industry and enable it to increase its contribution to national income.

In addition, the government through the Ministry of Minerals has continued to regulate and ensure licensees for large and medium mining and contractors submit and implement participation in the local content economic chain.

The plan includes calling on those investors to assure the use of locally produces goods and services, to hire Tanzanians and to divert high salaries for similar jobs.

Mining Sector and its contribution to the growth of other economic sectors

Minister of Minerals, Doto Biteko speaking with Geita Regional Miners recently on a tour to review the development of construction projects for community-based financing (CSR) projects provided by the Geita Gold Mine (GGML) in the region Geita. (Photo by Ministry of Mining).

Continue Pg. 21

FEATURE STORY

Page 21: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

21

MADINI BULLETIN

The government has ordered all purchases to be made in the areas around the mine unless there is no such item within the country but also supplier deemed to be indigenous so as business sector is promoted in the country and thus promote individual and nation-wide prosperity.

At one point, Deputy Minister of Minerals, stanslaus Nyongo visited small-scale miners in Katavi Region and warned that there has been a tendency of some small-scale miners to avoid paying taxes in the government and noted that the situation impedes access to other essential services such as education, water, roads, hospitals and others.

He went on saying that a miner who avoids paying various taxes as the Mining Act and its Regulations

define the number one enemy in the development of the country, explaining “so we as the Ministry of Mines are ready to take legal action with the intention of wanting every citizen to benefit from the mining resources through the improvement of various services”. Nyongo insists.

Similarly as the Permanent Sovereignty Act of 2017 enables Tanzanians to become part of the owners and participants in the mining economy, it is now an opportunity for Tanzanians to make sure that other sectors promotes and be part of the mining industry economy.

On the other hand, corporate Social Responsibility need owners of large and middle scale Mining Company are supposed to implement by engaging in development projects in areas surrounding mining communities.

In addition, the Geita Gold Mine for 2018 implement its plan worth Tanzanian shillings 9.2 billion and

by 2019 they use Tanzanian shillings 9.5 billion. Among the implemented project include Construction of normal market, construction of mining market in Geita Region, involve in a sewing project and invest in rice crop and sunflower farms in Salagurwa and Katundu villages where projects help to boost people’s economy.

It is undeniable fact that, if Tanzanians make good use of the opportunities in the mining sector they will enable them to grow their economy through mining as well as other economic activities and finally become part of beneficial through mining economy. As I have already mentioned, the Government has already created an enabling environment that provides opportunities to promote other sectors through the availability of mineral resources.

Mining sector dared and have been able

Mining Sector and its contribution to the growth of other economic sectors

From Pg. 20

FEATURE STORY

Page 22: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

22

MADINI BULLETIN

Government Initiatives in creating conducive Environment for Salt and

Limestone Producers in Kigoma Region

By Tito Mselem, Ministry of Minerals

Kigoma is among the region in the country endowed with numerous mineral resources including precious and base metals

and industrial minerals. One of the commonest industrial minerals found in the region are table salt (sodium chloride) and limestone.

Presence of these potential industrial minerals in the region will surely accelerate the industrialization and ultimately improve the social-economic well being of the people in the region and country at large.

Speaking as ending his official tour to the region after visiting Jam Salt Mines (T) Ltd, Nyanza Salt and Makere Lime, Prof Simon Msanjila a Permanent Secretary to the Ministry of Minerals said the the presence of salt

and lime deposits in the region it’s a privilege and blessing. In addition, Prof. Msanjila insisted that if these resources are properly utilized could significantly improve the economy of the region.

It was revealed that Nyanza Salt and Makere Lime produce best quality and reasonable amount of salt and lime respectively however, over 70% of its production is exported to the neighboring countries of Congo and Burundi, that make Prof. Msanjila was unhappy with the exportation of over 70% of the products outside the country while there is shortage of these commodities within the country.

Prof. Msanjila argues that, despite the fact that investors are forced to sell their products to the accessible neighboring countries justified by poor

Permanent Secretary for the Ministry of Minerals, Prof. Simon Msanjila provided with report from Nyanza Salt Company Manager shortly after visiting the company

Permanent Secretary for the Ministry of Minerals, Prof. Simon Msanjila speaking to the lime miners in the Makere Lime factory area in Kasulu district in Kigoma.

Continue Pg. 23

FEATURE STORY

Page 23: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

23

MADINI BULLETIN

Government Initiatives in creating conducive Environment for Salt and

Limestone Producers in Kigoma Region

transportation infrastructure within the country, however, the government considers the act as unfair because they are supposed to satisfy domestic demands before they export.

The demand for salt in Tanzania is still very high, existing data shows that most of the salt consumed within the country is imported from outside the country mostly from Kenya. He argued to the investor to give a first priority to the domestic market before considering foreign markets.

Regarding government strategy to improve salt industry, Prof Msanjila explained that the government has established salt market at Uvinza to empower small scale producers of salt to have a reliable place to sell their products at reasonable prices.

In addition, Prof. Msanjila assured the investors that the Ministry is working closely with other responsible government organs in making sure that their projects are electrified either from national grid or other available sources.

He believes, once the projects are supplied by reliable power source, it will lower down the operational costs and hence improve productivity and hence profitability.

He also pointed out that, despite the presence of deadly Covid-19 pandemic, His Excellency Dr. John Pombe Joseph Magufuli, The President of the United Republic of Tanzania has successfully led the country evidenced by relatively stability of the most of the economic sectors including Mining Sector.

I humbly thank and congratulate his Excellency Dr. John Pombe Joseph Magufuli, President of United Republic of Tanzania for his outstanding and visional leadership during this terrible period of Covid – 19 pandemic.

He added that, the Ministry of

Minerals is still highly committed in ensuring that the sector contributes remarkably in social-economic development of our people through increased revenue collections and other related social –economic benefits.

In addition, Prof Msanjila encouraged Kigoma residents to fully participate in other available economic opportunities including mining and not just palm oil and fishing industries.

Presenting the progress report on the salt production by the Jam Salt Mines (T) Ltd, the company’s Director Mr. Marbul Mohameddraza Jaffer said his company is facing serious challenges in running the project due to poor transportation infrastructure network from the factory to the Uvinza District and other parts of the country.

He added that, the company has

been spending much of its budget in maintenance of the road as compared to what is allocated in production directly. In addition to that, he also explained the challenges they are facing due to lack of electricity and ask the government to intervene the situation.

In turn, the Director of Makere Lime factory, Mr. Pius Kipeche is appealing to the Government through the Ministry of Minerals to assist them to get permission from the responsible government entities to mine lime within the reserved area in Kasulu District at reasonable charges.

Given the ministry’s strategies to establish reliable salt markets in the area and high demand of salt domestically, Prof. Msanjila encouraged Kigoma residents to utilize this economic opportunity to improve their livelihood.

Some of the participants who participated in the meeting with Permanent Secretary for the Ministry of Minerals, Prof. Simon Msanjila held at Makere Limestone factory while observing social distance.

From Pg. 22

FEATURE STORY

Page 24: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

24

MADINI BULLETIN

How the government enables small-scale miners to work profitably

By Nuru Mwasampeta

Among the efforts of the Fifth Government Phase, under the strong leadership of Dr. John Pombe Magufuli, with

initiative to support small scale miners to work profitably to improve their personal economic status, as well as to boost the country’s economy.

The government, through the Ministry of Minerals with other stakeholders, has made an effort to ensure small miners engage in profitable mining activities, which has not only greatly benefitted the miners themselves but also helped the Government by increasing revenue collection.

In the context of the richness and abundance of mineral resources with which the nation is blessed, the Fifth Government has made every necessary effort to ensure that small scale miners countrywide are provided with a conducive working environment, which is safe and lead to profitable outcome.

Moreover, in ensuring that the contribution of the mining sector to the national income increases, different strategies have been put in place by the Ministry in cooperation with other Government institutions. These strategies ensure that small-scale mining sector improve and contribute fully to the Government’s income through the increase in revenues and various charges collected.

The following are among improvements made by the Government and other stakeholders in shaping the small-scale mining sector in the country. Firstly, to ensure that small-scale mining sector improves, mineral markets have been introduced. To date, a total of 28

markets have been set up across the country and 25 small reservations for miners have been created where they can sell their minerals produced in their mining sites.

The other great government initiative to improve small-scale mining is the formalization of the sector. Through a consultation undertaken by the Institute for Growth and Poverty Reduction in Tanzania (MKURABITA), Mr. Aloyce Midelo, who is also the Chief Coordinator for education and awareness in the mining sector, said their duty is to identify miner’s needs and consult with a responsible service provider to solve different challenges facing miners.

Mr. Midelo further noted that, along with his colleagues in the mining areas, they have been conducting various forms of training for small-scale miners, including courses on how they can earn capital to run mining operations profitably. Moreover, small-scale miners have been trained on the importance of joining community health insurance schemes, as well as connecting with

different service providers to bring services needed in their areas.

According to Mr. Midelo, they are helping miners to form partnership groups and providing them with a wide range of knowledge about different issues including health safety, social security, environmental preservation and investment, as well as business matters.

Citing some of the institutions they contacted soon after starting initiative to transform small-scale miners, Mr. Midelo said they linked miners with some experts from the National Social Security Fund (NSSF). These NSSF specialists described to miners on the benefits of joining the Social Security Fund to protect their health. After the completion of educating them, miners were asked to join the fund and most of them responded positively.

The Urban and Rural Roads Agency (TARURA), was among the institution that has committed itself to support the small-scale mining sector. TARURA has committing

Continue Pg. 25

FEATURE STORY

Page 25: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

25

MADINI BULLETIN

How the government enables small-scale miners to work profitably

itself to finding a solution to poor road infrastructure in small-scale mining areas. TARURA is still in the process of implementing procedures to improve the road infrastructure to enable reliable transportation of products and tools within the area.

Mr. Midelo and his team also linked the Electricity Corporation (TANESCO) with the small miners. TANESCO has listened to the requests of the small-scale miners regarding their need to electrify their mining areas so as to reduce cost during mining operations. TANESCO conducted an assessment to know the costs needed to cover the process of supply electricity services to small-scale mining areas.

In ensuring that small-scale miners benefit from the presence of a variety of services in the mining areas, Mr Midelo said that it is better to focus on one area and ensure all basic services are delivered to the area and bring benefits to the communities rather than committing to support small scale miner in a wide range that will take a long time to accomplish the mission of improving miners working environment.

Furthermore, Mr. Midelo advised that, it is the government responsibility to ensure that small-scale miners have all basic services, so as to produce and increase their income, instead of organizing public demonstrations. He also emphasized those small miners to support the government by following the procedures set to run the sector.

In the process of ensuring a good working environment for miners, the government, through MKURABITA, coordinates separate training courses on use of capital and investment. National Microfinance Bank (NMB)

was responsible for running the training courses.

The Ministry of Minerals has continued to organize separate meetings with the NMB Bank to discuss ways in which the two parties can work together to provide effective support for the small-scale miners. The Ministry, together with the Bank, plans to identify various opportunities in the sector, including setting up a banking network with miners and by using exhibitions, meetings and conferences plan to create awareness programs on the benefits of banking to small miners.

In improving the working environment as well as imparting knowledge on mining to small-scale miners, the Ministry has recently established two gold refineries in Geita Region; one is located at Katente in the Bukombe District and the other is located at Lwamgasa in Geita. Apart from that, the ministry continues with the construction of gold refineries at Itumbi-Chunya, which is in Mbeya region.

The constructed refineries aim at providing better mining knowledge that will help small-scale miners to engage in effective mining and to ensure safety during mineral processing.

In addition, the government has built 7 Centers of Excellence in various regions countrywide for the purpose of transmitting knowledge on geology, research and mineral extraction to small-scale miners. These Centers of Excellence will enable small-scale miners to improve their businesses and boost the wider economy.

Following the fifth Phase Government effort, under the guidance of President Dr. John Pombe Magufuli, there is now a clear case for small scale miners to collaborate fully with the government to further improve their working environment to enable efficient mining, which will increase income for the miners themselves and boost the economic development of the nation as a whole.

From Pg. 24

FEATURE STORY

Page 26: Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

26

MADINI BULLETIN

BODI YA UHARIRI

NUKUU ZA VIONGOZI

Nawaomba wadau wote wa madini nchini kutekeleza shughuli zenu kwa kufuata Sheria na taratibu zilizowekwa na Serikali. Wizara inataka kuona wafanyabiashara wanafanya biashara zao bila kukamatwa kamatwa na itaendelea kuboresha mazingira ya biashara na shughuli za madini kuwawezesha watanzania zaidi kushiriki na kumiliki

uchumi wa madini’’.Ninawahakikishia wawekezaji kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imeweka

mazingira mazuri ya kuwekeza nchini kupitia Sekta ya Madini na ninawasihi kutosita kutembelea maeneo mbalimbali ili kujionea fursa zilizopo na kuwekeza nchini Tanzania.”

Safari ya Maendeleo katika Sekta ya Madini siyo ya siku moja na kama mnavyofahamu Mhe. Rais Dkt. John Magufuli amekuwa Serikalini kwa muda usiopungua miaka 20, kwa hiyo alikuwa anayaona yote yaliyokuwa yanatokea katika Sekta ya Madini, na ukumbuke kwamba anatokea ukanda wenye madini hivyo anajua utajiri uliopo kwenye madini

na alijua akiingia madarakani atafanya nini.’’ “Baada ya Marekebisho ya Sheria ya Madini tukasema hapana sekta hii

inatembea peke yake lazima tuifungamanishe na chumi nyingine kwa maana kwamba kama madini yanachimbwa kwenye eneo fulani basi uchimbwaji huo ukuze aina nyingine za uchumi katika eneo husika’’.

“Rasilimali Madini si kitu kinachojizalisha, yakichimbwa itafika siku yataisha, hivyo lazima tujipangie mikakati ambayo itatusaidia baada ya madini kuisha tuweze kuonesha tumefanya nini kupitia madini hayo. Hatutaki historia ituhukumu’’.

Sekta ya Madini imekua kwa kasi kubwa na kuvuka lengo la ukusanyaji maduhuli ya Wizara kwa kiwango kikubwa na hivyo kuchangia kukuza pato la Taifa kupitia madini. Pamoja na kuvuka lengo la ukusanyaji maduhuli ya Serikali ni wajibu wa kila mchimbaji kufuata Sheria Kanuni na Taratibu zilizowekwa kwa

mujibu wa Sheria’’.“Wizara ya Madini ilijiwekea mkakati wa kuwaendeleza watumishi na

kuwajengea uwezo na baadhi wako nchi mbalimbali kwa ajili ya kujifunza masuala ya Jimolojia ambayo yanahusisha pia masuala ya utambuzi wa madini na uthaminishaji madini na pia, wizara itaendelea kuangalia nafasi zaidi katika nchi nyingine ikilenga kuwajengea uwezo watumishi kuweza kusimamia sekta hii.’’

Mhariri MkuuProf. Simon Msanjila Mhariri MsaidiziAsteria Muhozya

Asteria Muhozya Nuru Mwasampeta Tito Mselem Issa Mtuwa

MHARIRITerence Ngole - Kamishna Msaidizi wa Madini -LC&CSR Nuru Mwasampeta - Afisa Habari

WAKALIMANI WAANDISHI