nimesikia,bali sasa ninaona - …download.branham.org/pdf/swa/swa65-1127e i have heard but now...

43
NIMESIKIA,B ALI S ASA NI NAONA Mnaweza kuketi. Ni furaha kurudi hapa tena usiku huu. Tunafurahi tunayo nafasi hii tena sasa ya kumtumikia Bwana. Na baada ya kuwaweka kwa muda mrefu sana jana usiku, naona si vizuri kuwaweka kwa muda mrefu tena usiku wa leo. 2 Ndiyo kwanza nitoke huko nyuma kumsikiliza ndugu mwenzetu, katika Bwana, ambaye ndiyo kwanza aje kutoka Indiana, ametiwa wasiwasi na ndoto isiyo ya kawaida. Yeye kwanza hajawahi kwenda huko Shreveport, maishani mwake. Lakini aliota, hivi majuzi, ya kwamba amefika Shreveport, si kwa gari lake. Naye alifika na…ama amefika mahali fulani, kanisani ambako nilikuwa ninahubiri. Akasema, baada ya mimi kuhubiri na kuwaombea watu, kasema, “‘Jambo fulani litatukia.’” Kasema, “akawa amerudi kesho yake.” Basi akasema, yeye “alijua jengo hilo, jinsi lilivyokaa.” Kasema, “Kuna ninii—kulikuwa na ukumbi wa mikutano ya halmashauri ya jiji upande wa pili wa barabara, lakini wao hata hawakuingia kwenye huo ukumbi.” Akasema, “Huo ukumbi ulikuwa upande huu, katika jengo la mawe lililokuwa na chumba cha pembeni, na jengo hilo lilisimama tu namna hii.” Na mvulana hu—huyo ni mwotaji, nimeona ndoto zake na najua ya kwamba ni za kweli. 3 Naye akasema—na akasema, “Basi katika usiku wa mwisho” ambapo mimi “nilikuwa nikizungumza na kuwaombea wagonjwa.” Basi nikasema, “‘Jambo fulani liko karibu kutukia.’ Nalo lilisikika kama mshindo wa ngurumo.” Pia akasema, “Watu wakaanza kupiga mayowe.” Kisha akasema, “Wakati ile ngurumo ilipoanza kuondoka, vema,” akasema “Ilitoa sauti, na ikaanza kunena.” Anasema, “Wakati kunena huko kulipokuwa kunaendelea, yaani kupitia kwenye vioo hivi vya dirisha (madirisha haya hapa juu) ukaja Utukufu wa Mungu, ukiingia, katika umbo la Nguzo ya Moto.” Yeye hajapata kuiona. Ametusikia tukizungumza habari Zake, bali yeye mwenyewe hajawahi kuiona. Ndipo akasema, “Hiyo hapo, ikapitia kwenye madirisha huku juu namna hiyo, na ikafanya Nuru kama unayoona kwenye ile picha, moja kwa moja juu ya wasikilizaji hapa.” Ndipo kasema, “Ilikuwa ikinguruma jambo fulani.” Kisha akasema, mimi “nilisimama, na kusema, ‘Huyo ni Yehova Mungu.’” 4 Basi akasema “alikumbushwa ya (alipokuwa anawaza juu Yake) wakati Musa alipoita ninii…alipowatoa wale watu Misri. Nao wakasema, ‘Acha Musa anene, wala si Mungu, tusije tukafa.’” 5 Akasema, “Watu wote walikuwa wamelala sakafuni, wameinua mikono yao, wakipiga mayowe.” Kasema yeye

Upload: duonganh

Post on 02-Aug-2018

313 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA

Mnaweza kuketi. Ni furaha kurudi hapa tena usiku huu.Tunafurahi tunayo nafasi hii tena sasa ya kumtumikia

Bwana. Na baada ya kuwaweka kwa muda mrefu sana janausiku, naona si vizuri kuwaweka kwa muda mrefu tena usikuwa leo.2 Ndiyo kwanza nitoke huko nyuma kumsikiliza ndugumwenzetu, katika Bwana, ambaye ndiyo kwanza aje kutokaIndiana, ametiwa wasiwasi na ndoto isiyo ya kawaida. Yeyekwanza hajawahi kwenda huko Shreveport, maishani mwake.Lakini aliota, hivi majuzi, ya kwamba amefika Shreveport,si kwa gari lake. Naye alifika na…ama amefika mahalifulani, kanisani ambako nilikuwa ninahubiri. Akasema, baadaya mimi kuhubiri na kuwaombea watu, kasema, “‘Jambofulani litatukia.’” Kasema, “akawa amerudi kesho yake.” Basiakasema, yeye “alijua jengo hilo, jinsi lilivyokaa.” Kasema,“Kuna ninii—kulikuwa na ukumbi wa mikutano ya halmashauriya jiji upande wa pili wa barabara, lakini wao hata hawakuingiakwenye huo ukumbi.” Akasema, “Huo ukumbi ulikuwa upandehuu, katika jengo la mawe lililokuwa na chumba cha pembeni,na jengo hilo lilisimama tu namna hii.” Na mvulana hu—huyo nimwotaji, nimeona ndoto zake na najua ya kwamba ni za kweli.3 Naye akasema—na akasema, “Basi katika usiku wamwisho” ambapo mimi “nilikuwa nikizungumza na kuwaombeawagonjwa.” Basi nikasema, “‘Jambo fulani liko karibu kutukia.’Nalo lilisikika kama mshindo wa ngurumo.” Pia akasema,“Watu wakaanza kupiga mayowe.” Kisha akasema, “Wakatiile ngurumo ilipoanza kuondoka, vema,” akasema “Ilitoasauti, na ikaanza kunena.” Anasema, “Wakati kunena hukokulipokuwa kunaendelea, yaani kupitia kwenye vioo hivi vyadirisha (madirisha haya hapa juu) ukaja Utukufu wa Mungu,ukiingia, katika umbo la Nguzo ya Moto.” Yeye hajapata kuiona.Ametusikia tukizungumza habari Zake, bali yeye mwenyewehajawahi kuiona. Ndipo akasema, “Hiyo hapo, ikapitia kwenyemadirisha huku juu namna hiyo, na ikafanya Nuru kamaunayoona kwenye ile picha, moja kwa moja juu ya wasikilizajihapa.” Ndipo kasema, “Ilikuwa ikinguruma jambo fulani.”Kisha akasema, mimi “nilisimama, na kusema, ‘Huyo ni YehovaMungu.’”4 Basi akasema “alikumbushwa ya (alipokuwa anawaza juuYake) wakati Musa alipoita ninii…alipowatoa wale watuMisri.Nao wakasema, ‘Acha Musa anene, wala si Mungu, tusijetukafa.’”5 Akasema, “Watu wote walikuwa wamelala sakafuni,wameinua mikono yao, wakipiga mayowe.” Kasema yeye

Page 2: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

2 LILE NENO LILILONENWA

alikuwa “anapiga mayowe, pia, ‘Bwana Mungu nakupenda!Nakupenda!’”Ndipomkewake akamtikisa akamwamsha.6 Ninamwona anashuka akipita kwenyemarefu ya kanisa sasahivi, Ndugu Jackson, alikuwa mhubiri wa Kimethodisti. Nayealifadhaika sana, mpaka akashuka akaja huku; naye akasemawakati alipoingia, yeye “alishangaa mno,” ni vile vile hasaalivyoona katika ndoto. Sijui maana yake. Bwana amenifichajambo hilo. Lakini jambo fulani linaweza kutukia, kwa kuwaNdugu Jackson aliota juu ya jambo hilo, tukimjua kama mtumwaminifu, mtumnyofu—mnyofu, mtumishi waMungu.7 Nami ni—ninajua kwamba yeye huota ndoto, anakujakwangu, na Bwana ananipa tafsiri yake, nayo ingekuwa hivyohivyo kabisa. Hata, wakati mmoja, kwenda kwangu Arizona,yeye aliota juu ya hayo.8 Naye amefadhaika sana. Yuko pamoja na mke wake,alimleta. Yeye yuko karibu na kujifungua, na huyo nduguangeweza tu kusafiri kwa ndege. Hakuwa hata na senti mojaya kuja, na mtu mmoja akampa pesa hizo. Na kwa hiyo hilokwa namna fulani, limefanyika kiajabi, kwa hiyo jambo fulanilinaweza kutukia; tunatumainia litatukia. Hatujui ni kitu ganiBwana atatupa.9 Sasa, tunamshukuru Bwana kwamba tunaishi katika sikutunayoishi, kabla tu ya kuja kwa Yesu. Kama nilivyosema hapoawali, ndio wakati mkuu sana wa historia yote. Afadhali niishisasa hivi kuliko wakati wowote, kuninii…duniani.10 Nimeona hapa mbele zetu, tena usiku wa leo, ni rafiki yanguwa dhamani, Ndugu Dauch. Nilimtaja kule kwenye ukumbi wamikutano asubuhi ya leo. NduguDauch ana umriwamiaka tisinina mitatu leo, ni baraka jinsi gani. Yeye huchangia maisha yakemarefu kwa sifa na utukufu wa Mungu, umri wa miakatisinina mitatu leo. Nakutakia “Siku Njema ya Kuzaliwa” kwako,ndugu yangu! Nami ninajua huko nje, huko, kote nchini ambakowanasikiliza usiku wa leo, wao pia wanamtakia Ndugu BillDauch “Siku Njema ya Kuzaliwa.” Yeye ni rafiki halisi wa OralRoberts, wengi, amewasaidia wengi sana katika njia ya Injili, nakila kitu. Yeye ni rafiki yetu mpendwa sana.11 Nina furaha kumwona Ndugu Mann hapa, mhubirimwingine wa Kimethodisti, ameokolewa na amejazwa naRoho Mtakatifu, na katika Jina la Yesu Kristo, ameketi hapa.Yeye, pia, ni mmoja wa washiriki wetu kutoka Indiana. Naminasikia Ndugu Hickerson ameketi hapa karibu naye, mmoja wamashemasi wetu kutoka Jeffersonville, Indiana (wanasikilizahuko usiku huu). Nami nasikia ya kwamba Ndugu Wheeler,mmoja wa hao mashemasi wengine wako hapa mahali fulani.Nami bado si—sijamwona mahali alipo, mtu fulani anaelekezakwa vidole vyake kule na nitamwona baada ya kitambo kidogo;ameketi kule, kule nyuma kabisamkonowa kulia, naam.

Page 3: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 3

Ndugu Banks Wood, kama unasikiliza usiku wa leo, nduguyako alikuwa hapa jana usiku. Nilimwona nilipokuwa nikitoka,Ndugu Lyle. Shahidi wa Yehova; kundi lote liliongolewa. Lylealinaswa kwa sababu ya ono la Bwana.12 Lyle alikuwa ameketi pale kwenye dau siku hiyo, wakatisiku iliyotangulia yeye aliambiwa ya kwamba “kitu fulanikitatendeka kuhusu kufufuka kwa kiumbe fulani.” Yeye alikuwaShahidi halisi wa Yehova, pia! Lakini asubuhi hiyo, akiwaameketi hapo, akivua samaki, naye alimkamata ninii… Vema,yeye alikuwa ana ninii kubwa mno ya kale (ule mtindo waKentucky, unajua)…ndoana kubwa, na samaki mdogo sanaakaimeza. Naye alivuta tu akatoa nje mashavu na matumbo nakila kitu, akavitupa majini (samaki mdogo sana wa jua), ndipoakasema, “Vema, maskini wee, umetupa teke lako la mwisho.”Maskini…akibingirika majini, akafa, upepo ukampeperushakwenye yungiyungi la kidimbwi.13 Na siku moja kabla ya hapo nikiwa nimeketi, nilisema,“Roho Mtakatifu ananimbia ya kwamba ‘kutakuwako na ufufuowa kiumbe fulani kidogo.’ Labda kutakuwako na m— mtoto wapaka, nitakaporudi nyumbani, maana ninii tu…”14 Tulipokuwa tunajitahidi kufukua chambo cha samaki,mimi na Ndugu Wood, anayesikiliza usiku wa leo, msichanawangu ambaye ni kijana mwanamke anayeketi hapa, ambayeameposwa na huyu askari mrefu mwembamba (ninamwona),alikuja, akasema, “Baba…” Yeye na huyo msichana mwinginemdogo, kasema, “Sisi…” Sasa, kila mtu anaweza kuwa nanamna yo yote ya mnyama kipenzi wanayetaka, lakini hakikamimi simpendi paka, kwa hiyo yeye…ama Branham ye yote.Kwa hiyo sisi…yeye akasema, “Loo, tulipata maskini pakamdogo hapa nje, Baba. Ame—ame—amekula kitu fulani naananinii…mtu fulani alimpa sumu, amevimba mwili mzima.”Kasema, “Baba, atakufa muda si muda, je! tunaweza kuchukuakijisanduku na kumweka humo kwa siku chache?”15 Nikasema, “Hebu nimwone huyu paka.” Vema, wakaendawakamleta huyo paka. Niliona kitakachotendeka, kwa hiyonikampa sanduku. Na kesho yake, kulikuwako na vitoto kamasaba ama vinane vya paka mle, mnajua. Kwa hiyo mvulanawangu mdogo, Joe, akamchukua mmoja, na kumkaba nakumwangusha sakafuni; na ni—ninii tu…maskini jamaa huyoalilala hapo akigaagaa, akamwuua.16 Ndipo nikamwambia Ndugu Lyle, ndugu yake,nikasema, “Unajua, huenda ikawa ni kitoto hicho cha pakakitakachofufuliwa, kama vile tulivyomwona Bwana akifanyamambo.”17 Ndugu Lyle, ni mgeni tu katika njia hii. Roho Mtakatifualikuwa ndiyo kwanza amwambie kwamba alikuwa ameoa,na yale aliyokuwa amefanya, na maovu aliyokuwa amefanya,

Page 4: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

4 LILE NENO LILILONENWA

mambo aliyokuwa amefanya. Vema, alidhani Ndugu Banksalikuwa akiniambia mambo hayo. Lakini wakati alipomfichuabarabara, na kumwambia aliyokuwa amefanya usiku uliopita,hilo lili—lilimzidi nguvu. Hangeweza kufahamu.18 Ndipo, asubuhi iliyofuata…Vema, tulivua samaki usikukucha, tukitumia visamaki vidogo, tulikuwa tukishika samakiwachache kwa ajili ya chambo. Lakini yeye alimtupa tu huyosamaki mdogo majini, akatapatapa, akanyongonyea kabisa.Yapata saa moja baadaye tulikuwa tumeketi pale, naminilikuwa…Nikasema, “Ndugu Lyle, ulimwacha huyo samakiameze hiyo ndoana moja kwa moja mpaka tumboni mwake.Unaona?” Nikasema, “Chukua chambo cha nzi hapa, tupia kule,chambo hicho namna hiyo; mara tu atakapoigusa,” nikasema“basi ishikilie tu halafu uivute.” Nikasema, “Yeye…usimvutenama hiyo, usimwache ameze, wewemshike tu huyo.”19 Akasema, “Vema…” Alikuwa na maskini ugwe mkubwamno ulioning’inia juu, kasema, “Hivi ndivyo tunavyofanyajambo hilo,” namna hiyo.20 Kwa hiyo, kwenye wakati tu kama huo, nilisikia kitu Fulanikikija kutokea juu ya mlima kule juu, upepo wa kisulisuli,ukizunguka-zunguka na kuzunguka. Huu hapa ukashukanamna hiyo, ndipo Roho wa Mungu akashuka juu ya kilechombo, kasema, “Simama kwamiguu yako.” Kasema, “Nena nahuyo samaki aliyekufa. Useme, ‘Ninakurudishia uhaiwako.’”21 Na maskini samaki huyo mdogo alikuwa amelala hapokwa nusu saa, huku matumbo yake yako kinywani mwake,na mashavu yake. Nikasema, “Ewe maskini samaki mdogo,Yesu Kristo anakurudishia uhai wako. Ishi, katika Jina la YesuKristo.” Akabingirika akalala chali, na huyoo akazama majiniharaka alivyoweza kwenda.22 Ndugu Lyle, uko hapa mahali fulani? Ni—nilikuona janausiku. Kama yuko ndani, nje, ama po pote alipo, inua mkonowako kama ninaweza kukuona. [Mtu mmoja katika kusanyikoanasema, “Roshani”—Mh.] Ati nini? Rosha-…Loo, naam, juukabisa kwenye roshani, kupitia kwenye yale madirisha kulenyuma.Mtumwenyewe ndiye huyo, Shahidi wa Yehova.23 Akasema, “Ndugu Branham!” Alikuwa amesisimshwasana, akasema, “Loo, ni—ni vizuri kuwapo hapa. Sivyo?”Akasema, “A-ha, una—unaninii…A-ha, unafikiri kwambahilo lilimaanisha mimi, kwamba—kwamba—kwamba, kwambanilimwita maskini samaki huyo mdogo, kasema, ‘Umepiga tekelako la mwisho’?” Kasema, “Hilo—hilo—hilo lilimaanisha jambofulani kwangu?”24 Nikasema, “La, la, ni thibitisho tu.” Alikuwaamefadhaishwa kabisa na jambo hilo.25 Vema, tunatembea namtu unaonamambo hayo yakitendeka,tukijua… Sasa hebu, wazia tu, ilikuwa ni kuonyesha nini?

Page 5: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 5

Nilikuwa na wototo wengi wenye kifafa kwenye orodha yanguya maombi, wa kuombea, lakini wakati ono lilipokuja ilikuwa nikwa ajili ya maskini samaki mdogomrefu hivi, mwenye urefu wakama inchi mbili ama tatu. Ilionekana kama ile ndoana ilikuwasawasawa na samaki huyo. Lakini jambo ni kwamba, ilikuwa nikukuonyesha ya kwamba Mungu huangalia mambo madogo pia.Unaona?26 Siku moja wakati wenye ukoma walipokuwa wamesambaakote nchini, Yeye alitumia nguvu Zake na kulaani mti fulani.Ukaanza kunyauka, wakati kulikuwa na watu wamesambaakila mahali wakihitaji nguvu hizo za uponyaji. Lakini, unaona,alitaka kuonyesha Yeye ni Mungu juu ya kila kitu, kama nikidogo, kama ni kikubwa, cho chote kile. Yeye angali ni Mungujuu ya vitu vyote, viumbe vyote. Kwa hiyo tunampenda Yeye kwasababu…Hilo—hilo hutuwezesha kujua, kama Yeye anatakakunena Neno la uzima ndani ya kijisamaki kisicho na thamaniambacho kimelala pale kimekufa, juu ya maji kwa muda wanusu saa, Yeye bila shaka siku moja anaweza kutamka Uhaindani ya watoto Wake. Haidhuru kama mwili wako si zaidi yakijiko kimoja cha mavumbi, Yeye atanena, nasi tutamjibu sikumoja. Yeye niMungu ambaye anapenda kujua kila kitu, yote yaletufanyayo, yote yale tusemayo, kila kitu. Yeye anapenda kujuahabari zake.

Sasa na tuinamishe vichwa vyetu, kila mahali:27 Sijui sasa, kabla hatujaomba, kama kuna mtu yeyote usiku wa leo aliye na shauku na Yeye, lakini badohujafanya maandalizi bado kwenye Nchi ile nyingineambako tunaenda kumuona Yeye. Unajua, huwezi kuingiabila kufanya maandalizi. Nawe hujayafanya bado, baliungetaka kukumbukwa katika maombi sasa, kwamba kilakitu kitarekebishwa kati yako wewe na Mungu usiku wa leo,tafadhali inua tu mkono wako. Utasema, “Je! utanikumbuka,Bwana”? Wewe ni…hebu tu auone mkono wako. Mungu,tujalie.28 Baba wa Mbinguni, tunaposimama usiku huu kati ya waliohai na waliokufa; na mambo haya yanayotendeka katika sikuhizi, kisiri, hakika ni ya kisiri; lakini Mungu, Wewe unajua kamani ya kweli ama si ya kweli, Wewe ndiwe Hakimu wa kutishawa mbingu na nchi. Nasi tunasema jambo hili, Bwana, kuwatiatu watu moyo (baadhi ya mambo uliyotuonyesha), ili kwambawapate kutiwa moyo kukupenda na kukuamini, kukutumikiaWewe, na kujua ya kwamba haidhuru tendo hilo ni dogo jinsigani, ni zuri ama baya, Wewe unaliona. Ninaomba, Mungumpenzi, ya kwamba Wewe utambariki kila mmoja wa mikonohiyo usiku wa leo, na nafsi na roho zilizoufanya mkono huokuinuliwa. Nami ninaomba, Mungu, yakwamba huu utakuwandio usiku ambapo watafanya maandalizi yao kwa ajili ya hiyoNchi iliyo ng’ambo ya mto. Tujalie.

Page 6: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

6 LILE NENO LILILONENWA

29 Waponye wagonjwa na wanaoteseka, Bwana, hapa, kotenchini ambako ma—ma—matangazo ya simu yanaingia. Barikihao walioko huko sehemu za nje ambao hawajaokolewa, kotekote kutoka California hadi New York, kutoka Canada hadiMexico. Tujalie, Bwana, ya kwamba kila mtu chini ya mlio wasauti yetu, usiku wa leo, wataokolewa na dhambi zao, waponywemagonjwa yao, kwa ajili ya UwepoWakowaKiungu.30 Na huyu Ndugu yetu Jackson, ambaye amesafiri kwandege maelfu haya ya maili hapa, kusudi afike hapa kwasababu jambo fulani la ajabu liliutikisa moyo wake; “Naowataota ndoto, na kuona maono.” Mungu mpendwa, Weweumenificha hilo, kwamba hii ina maana gani; sijui. Lakinikama utatutembelea, Bwana, itayarishe mioyo yetu sasa kwaajili ya kuzuriwa huko. Tupate kuwa na matarajio, bila kujuautakalofanya, na bila kujua kama umeahidi kututembelea kwandoto hii; hatujui. Lakini tuna—tunanukuu tu mambo hayotunayofahamu, kwamba uliahidi kuwazuru watu Wako, natunaomba ya kwamba utajidhihirisha kwetu hapa. Tunaombakatika Jina la Yesu Kristo. Amina.31 Sasa, usiku wa leo, baada ya kuwachelewesha sana janausiku na asubuhi ya leo, na kwa namna fulani ninapwelewa nasauti. Nina kipande kidogo cha nywele nilicho nacho, ninakivaajuu ya upara wangu hapa ninapohubiri. Lakini nilikisahauwakati huu, na hewa hii, inayoingia kupitia kwenye madirishahaya, inaanza kunipa kupwelewa ki— kidogo.Nilikuwa nina-…ingebidi kufunga mikutano, lakini tangu nilipopata hicho,basi hainisumbui tena, ninaendelea tu. Nami nilikisahau, nakina…nina…kwa namna fulani ninaweza kuisikia, kwa hiyonitatamani maombi yenu. Na sasa, hizi ni ibada mbili kila siku,ambazo wao wana…kwa namna fulani zinakuwa…Unajua,wakati umesafiri maili nyingi, ina…unaweza kujua.32 Kwa hiyo sasa kwenu ninyi watu mlio California, nahuko Arizona, sote tunawapelekea salamu kote nchini. NduguLeo na kundi linalomgojea Bwana huko Prescott, mnaalikwasasa, na ninyi watu wote mlio kwenye vitongoji vya Phoenix,juma moja tangu usiku wa leo, tunapaswa kuwapo hukoYuma kwenye karamu. Wameshauza tikiti zao zote kulena wakachukua ukumbi mkubwa zaidi wa mikutano, walahawawezi kuwatosheleza watu. Kwa hiyo njoni mapema, ninyinyote, m—mpate kuingia. Ndipo tutaenda huko Los Angeleskutoka huko, kesho yake…Jumapili ijayo, Jumapili usiku. Nakwa hiyo tunatarajia kuwaona ninyi nyote huko. Baraka kuu zaMungu na zikae juu yenu ninyi nyote.33 Kwenu mlioko huko New York, nanyi mlioko huko Ohio namahali mbalimbali, hivi karibuni ninataka kuhubiri ujumbe waMkondowaNyoka (yulemnyama hapomwanzo, na yulemnyamahuko mwisho), Maskanini. Billy atawatumia muhtasari juu yajambo hilo, kwamba ni wakati gani tutakapouhubiri, maana

Page 7: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 7

mimi hufanya hivyo Maskanini kwa kuwa utaninii, angalau,utachukua masaa manne ama zaidi.34 Kwa hiyo sasa…kwa hiyo ninawataka hapa, hapa na popote mlipo sasa, mfungue Kitabu cha Ayubu. Ni Kitabu chaajabu sana cha kuhubiria, lakini ninataka tu kutumia mihtasarimidogo hapa sasa.35 Na halafu basi, kesho asubuhi, hapamaskanini, kutakuwakona ibada ya Shule ya Jumapili kwenye… Tutaanza hapa saangapi? [mtu mmoja anajibu, “Saa tatu na nusu”—Mh.] Saa tatuna nusu. Ndipo nina majaliwa ya kuzungumza hapa tena kesho.Na Bwana akipenda, nilitaka kuzungumza juu ya somo…kamaakipenda, sasa, nilipokuwa nikisoma alasiri ya leo, kuwaonyeshaya kwamba: kuna mahali pamoja tu ambapo Mungu atakutanana mwabudu. A-ha, ninii tu…Na—na ninaweza kuwaambiamahali hapo ni wapi, na kwamba Jina la mahali hapo ni lipi,ambapoMungu atakutana na mwabudu.36 Na halafu, kesho usiku, nitaomba msaada, hiyo ni kusema,kwa ajili ya ibada ya kuponya. Nami ni—ninataka ibada yamtindowa kale ya uponyaji. Na kamaBwana akipenda, ninatakakuzungumza juu ya somo lililonishangaza sana leo…Wakatimimi na Ndugu Moore tulipokuwa tunazungumza, ndugu zanguwapendwa, tulikuwa tukizungumza juu ya Maandiko. Na jinsililikuwa ni jambo la kupendeza sana kuwa na hao ndugu, kamazile nyakati za kale. Naye akasema, “Unajua, Ndugu Branham,mahubiri yote uliyowahi kutuhubiria hapa Shreveport,Mwana-Kondoo na Hua ulikuwa mmojawapo wa jumbe muhimusana ulizowahi kutuletea hapa Shreveport.” Kasema, “Nadhanipamoja na ya kwamba Ujumbe wako unakulemea sana siku hizi,kamwe huufikii mmoja wa namna hiyo.”37 “Ninapokosa Huo, ninakosa Ujumbewangu”:

Upendo ni Mwana-Kondoo wangu anayekufa,Damu yako ya thamani

Kamwe haitapoteza nguvu zake,Mpaka kanisa lote la Mungu lililokombolewaLitakapookolewa lisitende dhambi tena.

Tangu nilipoona kile kijito, kwa imani,Kinachojazwa na majeraha yakoyanayotiririka,

Upendo wa ukombozi ndio umekuwa wimbowangu,

Na utakuwa hivyo mpaka nitakapokufa.38 Kesho usiku, kama ni mapenzi ya Mungu, ninataka kuhubirijuu ya somo: Juu yaMbawa za HuaMweupe Kama ThelujiKeshousiku: Bwana akishuka kwa mbawa za Hua, hiyo ni kusema,Bwana akipenda, sauti yangu isipoharibika sana. Sasa…kwahiyo, tuombeeni.

Page 8: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

8 LILE NENO LILILONENWA

39 Halafu ninataka mkutano wa mtindo wa kale kamatuliokuwa nao hapo mwanzo, bila ya utambuzi, kumpa tukila mtu kadi yule ambaye anataka kuombewa. Sasa, hunabudi kuwa na kadi, kwa hiyo fikeni hapa mapema ili Billyaweze kuwapa kadi na kuwapanga katika mstari. Msipofanyahivyo, watu wanaendelea tu kuongezeka, na kuongezeka, nakuongezeka, wala hakuna mwisho wa mstari huo. Kila mtuanaweza kuwa na kadi. Ninataka Ndugu Jack usimame pamojanami kwenye mstari wa maombi, kama ulivyozoea kufanya, naNdugu Brown aniletee hao watu badala ya Billy Paul. Na—na—na—nataka—nataka mstari wa maombi wa mtindo wa kizamani,nasi tutaomba tu jinsi tulivyokuwa tunafanya miaka mingiiliyopita.40 Ninafurahi usiku wa leo kuwa na ndugu mwinginemwenzetu pamoja nasi, niliangalia tu kila upande ndiponikamtambua na nikamwona, dakika chache zilizopita, NduguGordon Lindsay. Yeye ni mmojawapo wa watu wa zamani,alikuwa pamoja nasi zamani sana. Anafanya kazi muhimu,kuchapisha, anachapisha kitabu changu sasa: Nya—NyakatiSaba za Kanisa. Tunatumaini kukimalizia tena, Mihuri Saba.Ikiwa atakisoma hicho kabla hajakichapisha, tutakuwa namjadala wa kitheolojia. Ninaweza tu kuhisi jambo hilo likija.Lakini yeye anajuamimi si mwanatheolojia, kwa hiyo…Lakinitunautarajia usiku wa kesho. Kama upo hapa, Ndugu Lindsay,karibu hapa kesho usiku. Kama utakuwapo, huku uwe pamojanasi jukwaani kwa ajili ya mkutano wa maombi wa mtindo wazamani.41 Ni wangapi wangetaka kuona mmoja wa hao watu wazamani tena, ambapo tunawaleta watu mbele? Hilo litakuwani jambo zuri sana. Sasa, waleteni wagonjwa wenu nawanaoteseka, kesho usiku, kwa kusudi hilo wakati huo.42 Sasa, kama una Kitabu cha Ayubu, kifungu cha 42…amamlango wa 42, na vifungu sita vya kwanza vya mlango wa 42wa Ayubu; ni ajabu sana. Ndugu Ted Dudley, kama unasikilizausiku wa leo, huko Phoenix, unakumbuka mimi na wewetukizungumza wakati mmoja, yapata juma moja ama mawiliyaliyopita, nasi tulirejea kwenye jambo hili? Nilikwambia, “Sikumoja hilo litakuwa ni somo kwangu.” Nami nataka kulitumiausiku wa leo:

Ndipo akajibu…Ndipo Ayubu akamjibu Bwana, na kusema,

Sikilizeni kwamakini usomaji huu, sasa.Najua ya kuwa waweza kufanya mambo yote, na ya

kuwa makusudi yako hayawezi kuzuilika.Ni nani huyu afichaye mashauri bila maarifa? kwa

maana, nimesema maneno nisiyoyafahamu; mambo yaajabu ya kunishinda mimi, nisiyoyajua.

Page 9: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 9

Sikiliza, nakusihi, nami nitanena; nitakuuliza neno,nawe niambie.Nilikuwa nimesikia habari zako, kwa kusikia kwa

masikio; bali sasa jicho langu linakuona.Kwa sababu hiyo najichukia nafsi yangu, na kutubu

katika mavumbi na majivu.43 Sasa ninataka kuchukua somo kutoka kwenye hiyo aya ya 5:

Nilikuwa nimesikia habari zako, kwa kusikia kwamasikio; bali sasa jicho langu linakuona.Bwana na abariki Neno Lake.

44 Ayubu, hebu na tuchukue maisha yake kidogo. Ayubualikuwa ni nabii. Alikuwa ni mtu aliyeishi huko nyuma kablaBiblia haijaandikwa. Imedhaniwa ya kwamba Ayubu kilikuwani kimojawapo cha vitabu vya kale sana vya Biblia, kwa sababukiliandikwa kabla ya Kitabu cha Mwanzo kuandikwa. Ayubu,shujaa huyu mkuu na nabii, alikuwa ni mtu mwenye ngu—nguvu katika siku zake. Hapana shaka ya kwamba alikuwaamelelewa na kumtumikia Bwana maishani mwake mwote.Naye alikuwa ameishi maisha ya kishujaa sana kwa watu, wotewalimheshimu.45 Lakini alikuwa amefikia mahali ambapo anaita hapa,kujaribiwa na Bwana. Lakini ningetaka kutumia neno, “kupewamtihani” na Bwana. Na kwa kweli, “Kila mwana anayemjiaBwana hana budi kwanza kujaribiwa, kupewa mtihani, kupatamalezi ya mtoto.” Halafu basi kama majaribu yakiwa nimagumu, nasi tunafikiri ni magumu sana wala hatutasikiliza(kutilia maanani), ndipo Yeye alisema “tunakuwa watotoharamu, wala si mtoto wa Mungu.” Kwa sababu, hakuna kitukinachoweza kumwondoamtotowa kweli waMungu aliyezaliwamara ya pili kutoka kwa Wazazi wake, unaona, yeye ni sehemuYake. Wewe huwezi kukana jambo hilo, unajikana mwenyewe.Unaona, umepata uzoefu, umefundishwa na kujaribiwa.46 Na sasa, mtu huyu kwa kuwa alikuwa ni nabii, alikuwa nafursa ya kukaribia neema ya Mungu, lakini Ayubu hakuwa naBiblia ya kusoma. Yeye…Biblia haikuwa imeandikwa wakatihuo, lakini alikuwa na fursa ya kumkaribia Mungu kwa ufunuona kwa ono. Hiyo ilikuwa ni kabla ya kuandikwa kwaBiblia.47 Sasa, tunaona, na tuchukue sehemu ya maisha yake,wakati Mungu alipombariki na kumfanya mtu mkuu. Mbona,hata kila mtu alimheshimu, hata kwa hekima yake, alikuwaamekuwa mashuhuri sana. Uvuvio wake kutoka kwa Munguulikuwa umemthibitisha kwamba ni mtumishi wa Mungu,dhahiri sana, hata watu wakatoka kila mahali kuja kumsikiliza.Na ndipo Shetani akaanza kumshitaki mtu huyo. Na hivyondivyo anavyomfanyia kila mtumishi wa Mungu aliye nauvuvio, Shetani daima yupo hapo kumshtaki kuhusu kila kituanachofanya kisicho sahihi.

Page 10: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

10 LILE NENO LILILONENWA

48 Na, sasa, tunaona maisha yake na majaribio, na imani yakekuu. Hata Yesu, alipokuja duniani, alitaja subira ya Ayubu.Alisema, “Hivi hamjasoma habari ya subira yake Ayubu?” Imanihungojea kwa subira kusudi Neno la ahadi litimizwe.49 Na sasa, tunaona hapa ya kwamba Ayubu, baada kupitiakatika majaribu yake, mateso yake yote… Alikuwa na familianzuri sana, ikatwaliwa. Alikuwa na afya nzuri, ikaondolewakwake. Kila kitu alichokuwa nacho katika maisha hayakilitwaliwa. Ndipo akaketi kwenye lundo la majivu, akiwa nakigae, akikuna majipu yake. Na hata mke wake mwenyewe,alimpinga, akasema, “Kwa nini usimkufuruMungu, ukafe?”50 Yeye akasema, “Wewe unanena kama mwanamkempumbavu anenavyo.” Akasema, “Bwana alitoa, na Bwanaametwaa, jina la Bwana libarikiwe!”51 Sasa, Shetani alikuwa amekuja mbele za Mungu, maanaangeweza kuja mbele za Mungu, na kuwashtaki Wakristo(ama, waamini) wakati wote. Kwa hiyo akamshtaki Ayubumambo mengi, na kusema ya kwamba “Ayubu, sababu yeyealiweza kumtumikia Mungu, ni kwa kuwa kila kitu kilikuwakikimwendea vizuri.” Lakini akasema, “Kama ukiniruhusu tunimshike, mikononi mwangu, nitamfanya akukufuru mbele zauso Wako.”52 Ninataka uone imani aliyokuwa nayo Mungu kwa mwamini.Unaona? Yeye ni…Kwa maneno mengine, Mungu alimwambiaAyubu…ama alimwambia Shetani, hivi, “Huwezi kufanyajambo lo lote! Yeye ni mtu mwenye haki aliyehesabiwa haki.Yeye ni mtu mzuri. Yeye…hakuna mtu kama yeye dunianikote.” Loo ni mtu wa namna gani; kwamba Mungu Mwenyeweangemwambia adui Wake, “Mtumishi Wangu ni mkamilifusana, hakuna mtu mwingine kama yeye duniani kote.” Loo!Laiti tungalikuwa mtu wa namna hiyo! Kwamba Munguangeweza kuweka imani hiyo juu yetu! Ambapo anajua yakwamba hatutaliacha Neno Lake ama Utu Wake, kwa njiayo yote! Tutadumu jinsi inavyotakiwa, Naye anaweza kuwekamatumaini Yake juu yetu.53 Sasa, Ayubu alikuwa ni mtu aliyetekeleza amri za Mungukikamilifu, sawasawa. Na Shetani alijua jambo hilo, lakiniakasema, “Kama ukiniruhusu tu nimtie mkononi mwangu,nitamfanya akulaani usoni Mwako.”54 Kwa hiyo Mungu akamwambia, akasema, “Sasa, yeye yumomikononi mwako, lakini usiutwae uhai wake.” Na Shetani hataaliendambali kadiri alivyoweza katika jambo hilo. Akamchukuakila rafiki, na kila kitu alichokuwa nacho, karibu maisha yakeyote, bali hakuweza kuutwaa uhai wake. Lakini Ayubu badoaliendelea kushikilia, hakuwa na kurudi nyuma.55 Unaona, wakati mwanamume ama mtu kweli amekutana naMungu, akiwa na hiyo imani halisi, iliyofunuliwa ya kwamba

Page 11: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 11

“Mungu yuko!” Hakuna cho chote, wala wakati, wala mahalipo pote, panapoweza kumtenganisha mtu huyo hata kidogona Mungu wake. Ninaamini Paul ndiye aliyesema, “Hakunaugomvi, wala njaa, wala hatari, wala viumbe vilivyo hai, walamauti, wala cho chote kinachoweza kututenganisha na upendowaMungu ulio katika Kristo Yesu.” Wewe umetiwa nanga ndaniYake kwa sababu ulikwishachaguliwa kwa ajili yaMaisha hayo.56 Lakini Shetani alidhani angemzungusha kidogo, nakumpiga kofi, na kumfanya afanye jambo hilo. Lakini, unaona,Ayubu akiwa na uvuvio wake mkamilifu wa Mungu, nakwamba Mungu alikuwa ni nani, na jinsi Mungu alivyompenda,alingojea! Haidhuru hali ya mambo ilikuwa namna gani,alingojea imani yake ithibitishwe, kwa maana alikuwaamemshikilia Mungu, ufunuo fulani Nilionena habari zakejana usiku.57 Sasa, wakati wagonjwa walio hapa kwenye jengo, watuwaliolemaa, ama ninyi mnaomhitaji Mungu, mnapoweza kupataufunuowa namna hiyo ya kwamba “mmehesabiwa haki,” wakatikweli mmehesabiwa haki katika kuuliza jambo mnalouliza, nakuamini ya kwamba “Yeye huwapa thawabu wale wamtafutaokwa bidii,” hakuna kitu kinachoweza kuwatenganisha na imaniile iliyotiwa nanga kwenu. Unaona? Lakini, kwanza, haina budikufunuliwa kwako.58 Mtu fulani alikuja si muda mrefu uliopita, kundi la watu,baadhi yao wanasikiliza usiku wa leo, na kuniambia, kasema…Nilifululiza kuwaambia, “Nendeni Kentucky, kuna mafutakule.” Nilijua yalikuwako, niliyaona katika ono.59 Vema, Ndugu Demas na hao wengine hawakwenda kwamuda mrefu. Baada ya kitambo kidogo, hatimaye, wakasema…(baada ya Texas kuingia sehemu hiyo)…nao wakasema, “Sasatunaenda huko.”60 Nikasema, “Mlipaswa kwenda muda mrefu uliopita.” Lakinihawakwenda.61 Demas akasema, “Nilifanya kosa kubwa sana katika jambohilo, kwa kutofanya hivyo, Ndugu Branham.”62 Nikasema, “Kamamngalienda huko,mngeyapata yote.”63 Vema, hawangesikiliza hilo. Ndipo la kwanza…ndipokabla hatujaondoka usiku huo (ma—mahali tulipokuwatunakula chakula cha kutwa) Roho Mtakatifu akanionyeshaufa mkubwa kwenye ardhi, na ndani yake umejaa mafuta, nahaya yanayotiririkia Kentucky yalikuwa ni maeneo madogo tuya mafuta ambayo walikuwa wanayavuta kwa pampu, lakinihaya yalitoka kwenye kisima kikuu. Ndipo nikasema, “NduguDemas, yako.”64 Kwa hiyo wakaenda kuyatafuta. Kasema, “Shuka uendeukatwambiemahali—mahali kisima hicho chamafuta kilipo.”

Page 12: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

12 LILE NENO LILILONENWA

65 Nikasema, “Loo, la! La! La!”66 Unaona, hatutumii karama ya Mungu kwa biashara. La!La! Yeye angeweza kuniambia mahali kilipokuwa, lakini sinahaja nacho. Hata singekuwa na imani ya kutosha kumuulizaYeye. Unaona? Kama nilikuwa na haja nacho, ninaamini kamaningemwomba, angeniambia. Lakini kwanza, unaona, nia yakona kusudi lako havina budi kuwa sawa. Huna budi kuwana sababu za jambo hili. Mungu hakupi mambo hayo atikwa sababu tu eti unaomba. Na huwezi kuomba kwa imaniisipokuwa kuwe na kusudi la kweli kwenye jambo hilo, kuwakatika mapenzi ya Mungu. Unaona, kama unataka kupataafya, unataka kupata afya kwa sababu gani? Unaona, kamaunataka kuponywa, sababu ya kutaka kuponywa ni gani?Unamwambia Mungu nini? Unataka kufanya nini na maishayako utakapopona? Unaona, hakuna budi kuwe…huna budikuwa na nia na kusudi, na haya hayana budi kuwa sawasawakulingana na mapenzi ya Mungu. Na hapo ndipo basi wakatiimani hiyo inapofunuliwa kwako, na Mungu kwa neemaYake kuu anaiweka imani hiyo hapo ndani, ndipo kila kitukimekwisha. Unaona? Sasa unaona?67 Sasa, kulifanya hilo Neno kuwa kweli, wakati hao nduguwalipoenda kule, walipata…jamaa mmoja alienda kulena kununua vitu fulani, na kuuza hati za kukodisha, nakudanganya mwingine namna hiyo. Nikasema, “Unaona, jambohilo halitafanikiwa.” Sasa ili kuuthibitisha huo unabii ni kweli,haipati yadi mia moja kutoka mahali watu hawa walipokuwawakichimba visima vyao, mtu fulani akagundua kile kisimakikubwa cha mafuta yanayobubujika. Na kiko pale, mapipaelfu moja mia moja kwa nusu siku, ama kitu kama hicho;kingali kinayatoa, moja kwa moja kutoka kwenye kisimahicho kikubwa. Lakini ili kwamba kuufanya tu huo unabii,Neno lililokuwa limesemwa kwamba yalikuwapo, yalikuwapo.Hivyo vingine karibu vyote vimekauka, kila mahali kote katikaKentucky. Vidimbwi vidogo, wanayavuta kwa pampu kwa mudakidogo, kisha yanakauka. Ni mafuriko tu kutoka katika hiki.Unaona?68 Lakini, kwa sababu ya uchoyo ulioingia kwenye jambo hilo,makusudi yao yalikuwa ni mabaya, kutia sahihi lundo la vitufulani “itakuwa namna hii,” wakati wao waliahidi wangefanyajambo hilo kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, lakini ilionekanakana kwamba ilikuwa ni kwa ajili yaowenyewe. Unaona?69 Wala kitu hicho hakitafanikiwa, hakuna jambo la kichoyolitakalofanikiwa. Nia na makusudi yako havina budi kuwa nivya kweli na kamilifu kabisa, ndipo utapata imani, ya kuomba.“Mioyo yetu isipotuhukumu, basi tuna ujasiri.” Unaona?Unaona, hatuna budi kuwa na ujasiri. “Ninataka jambo hili kwaajili ya heshima na utukufu wa Mungu.” Ndipo imani inapatanji—njia ya kupitia; kama haina, basi una imani ya kiakili,

Page 13: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 13

kielimu, wala si imani halisi kutoka kwa Mungu. Imani hiyo yakiakili haitakupeleka mahali po pote. Inaweza kukupa mhemko,bali haitakupa uponyaji unaotafuta.70 Kwahiyo, Ayubu, akijichunguzamwenyewe kwa imani halisiambayo Mungu alikuwa amempa kwamba alikuwa “mwenyehaki,” kwamba alikuwa amefanya kila kitu ambacho Mungualimtaka afanye. Sasa wakati tunapokwenda kuombewa, kwaajili ya magonjwa yetu, sijui kama tumefanya kila kitu Munguanachotutaka tufanye. Je! tumefuata kila yodi ya Maandiko? Je!tumempa mioyo yetu na maisha yetu kwa utumishi? Ni kwa niniunataka kuponywa? Hiyo ndiyo sababu huwezi kupata imani yakutosha, unaona, kwa maana labda hujafanya jambo hili kwaMungu kwa uaminifu kutokamoyonimwako. Kama vile Hezekiaalivyofanya, alivyompa Mungu sababu, alitaka kuweka ufalmewa—wake sawa. Ndipo Mungu akamtuma nabii Wake arudi nakumwambia, na kwamba angepona. Unaona? Lakini, huna budikuweka mambo hayo sawa, kwanza.71 Ndipo mara unapofikia hali hizi na kujua ya kwambaimefunuliwa kwako kwaNeno laMungu, kwa ufunuo, kwaNenoambaloMungu anakutaka ufanye, basi una imani, imani halisi.72 Sasa, ni kama tu Ibrahimu wakati alipokuwa na umri wamiaka tisini na tisa (ninaamini ni Mwanzo 17), Mungu alimtokeamzee huyu, sasa, mwenye umri wa miaka tisini na tisa, wakatialipokuwa na umri wa karibu miaka mia moja, kwamba alikuwaanangojea ahadi hiyo miaka hii yote. Alimtokea katika jina la ElShaddai, yule “Mwenye Matiti.” Na ilikuwa ni kutiwa moyo kwanamna gani, hata hivyo ahadi hiyo haikuwa imetimizwa wakatihuo. Lakini, “Ibrahimu, mimi ni Mwenyezi Mungu, El Shaddai,‘Mpaji nguvu, MunguMwenye Matiti.’”73 Kama vile nilivyowaambia hapo awali, kama maskini mtotomchanga anayesumbua, na ni mgonjwa, na analia, na analaliamatiti ya mama yake. Na ananyonya nguvu zake kutoka kwake,kwa sababu anashiba wakati anaponyonya, kwa maana njia tualiyo nayo na aijuayo ni matiti ya mama yake. Hajui dozi yo yoteya dawa. Unaweza ukampa dozi ya dawa, angepiga makelelena kulia. Mdunge sindano mkononi, naye angeendelea kupigamakelele. Lakini njia tu ya kumshibisha nimatiti yamama yake.74 Ndipo akasema, “Ibrahimu, wewe ni mzee, nguvu zakozimekwisha, mikono yako imenyauka, ujana-dume wakoumekwisha, lakini mimi ni Mama yako. Hebu chukua tu ahadiYangu, na uridhike wakati ukingojea. Pumzika!”75 Sasa, hivyo ndivyo kila mwamini, haidhuru una kansambaya namna gani, umeketi kwenye kiti cha magurudumu kwamuda gani, yo yote ya mambo hayo, kama tu unaweza kupataufunuo huo kutoka kwa Mungu! Ndipo uridhike, ukijua yakwamba itatendeka, kwa maana imani inangojea ahadi kwasubira. Unaona?

Page 14: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

14 LILE NENO LILILONENWA

76 Ayubu alijua kwamba alikuwa sawa. Tunapoona, hapakwenye Maandiko, ya kwamba kulikuwako…jamaa hawawalimjia; wafuasi wake wa kanisa. Kila kitu ambachohapa kwanza kilionekana ni cha thamani kwake kilikuwakimemgeuka, nao wakajaribu kumshtaki kwamba yeye nimwenye dhambi kwa siri, kwa sababu mambo yote hayayalikuwa yamempata. Unawasikia watu, hata leo, wakisema,“Nilikwambia. Mwangalie! Unaona nini…?” Hiyo kabisa sikweli. Wakati mwingine ni Mungu akiwajaribu watu Wake.Kuhusu jambo hili, ilikuwa ni Mungu akimjaribu Ayubu, mtumzuri kuliko wote waliokuwako duniani wakati huo. Sasa, Yeyealikuwa akimshikilia wakati huo, kwa sababu alijua kwambaAyubu alikuwa ni nabii aliyeona ono kutoka kwa Mungu, yakwamba alikuwa amefanya sawasawa kabisa na yale Mungualiyomwambia kufanya na yeye…Mungu aliwajibika kutimizaahadi yake kwake.77 Loo! Wakristo wote wanapaswa kuwa hivyo. Wakatipambano la mwisho la maisha yetu litakapokuja, na kifokinakoroma kooni mwetu, hatuna budi kushikilia tu nakukumbuka ya kwamba Mungu alisema, “Nitawafufua tenasiku ya mwisho.” Unaona? Hatuna budi kushikilia huo—huo,ushuhuda wetu, mahali petu katika Kristo, mahali petu, kiletulicho, tukijua ya kwamba tumetimiza kila Neno la amriYake. “Heri wale wanaotimiza amri Zake wapate haki yakuingia.” Unaona? Na tunapojua, ya kwamba haidhuru mtuye yote amesema nini, tumetimiza kila amri tunayoona katikaBiblia, ambayo Mungu ametufanyia…ametuambia tufanye,kwa uchaji, na upendo, na kumheshimu Muumba Ambayealiandika Biblia.78 Tunasema, “Mwanadamu aliiandika Hiyo.”79 “Watu wa zamani za kale, wakiongozwa na Roho Mtakatifu,waliiandika.” Unaona? Unaona, Mungu aliiandika kupitia kwamwanadamu. Kama vile nabii akinena Neno Lake, si neno lahuyo nabii, ni Neno la Mungu, unaona, kupitia kwa nabii. Hiyondiyo sababu halina budi kutimia, kama hilo kweli ni Kweli.80 Sasa, tunamwona mtu huyu mkuu. Na, kumbukeni, Ayubuhakuwa na Biblia ya kusoma katika siku yake. La! Yeye aliendakwa uvuvio tu. Alikuwa ni nabii anayejiliwa na Neno la Mungu.Alikuwa—alikuwa tu avuviwe, kwa maana alijua mahali pakeya kwamba alikuwa ni nabii wa Mungu. Sasa, jambo pekeelililopaswa kutukia, lilikuwa tu ni uvuvio umpate. Na ndipoalijua kile alichosema kingetukia, kwa sababu ilikuwa ni kwauvuvio.81 Hivyo ndivyo kanisa, kama liko katika (limekaa katikautaratibu), linaninii tu…mitambo yake iko tayari, basilinahitaji tu nguvu za kuendesha. Usiku wa leo, kama tukiwekamitambo tayari, tuiweke mioyo yetu sawa, mambo tunayowezakufanya, kufuata kila Neno, tumfuate katika ubatizo, tumfuate

Page 15: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 15

katika kila utaratibu aliotuambia tumfuate, tuweke kilamtambo tayari, na kusimama hapo; ndipo tuko tayari kwakutiwa nguvu za kuendesha, na Mungu pekee ndiye anayewezakufanya jambo hilo; na hiyo ni kutia moyoni mwako imani hiyoinayosema, “Sasa nimeponywa.” Ndipo halileti tofauti yo yotejinsi hali ya mambo ilivyo, umeponywa hata hivyo; maana niimani, umeponywa kwa imani.82 Alikuwa na njia ya kuwasiliana na Mungu, aliyokuwaamepata kwa uvuvio. Alikuwa na njia ya kujiondoa, nakumwacha Mungu aingie. Naye alijua ya kwamba alikuwaamehesabiwa haki. Na ilikuwa ni karama, ilikuwa ni karamailiyo kwa ajili ya watu; si kwa ajili ya Ayubu, bali kwa ajili yawatu. Hivyo ndivyo karama zote za Kiungu zilivyo, ni kwa ajiliya kuwatumikia watu wa Mungu. Kila mtu hajapewa kibali chakuwa nabii. Ninyi nyote si…hamjapewa kibali cha kuwaombeawagonjwa. Wote hawajapewa kibali cha kuwa wachungaji, nakadhalika. Lakini ni njia ambayo Mungu amewafungulia. Nawakati tulipokuwa na jambo hili asubuhi ya leo katika lile somo,ya kwamba yeye…Mtu mmoja hana shughuli ya kuingia katikanjia ya mtu mwingine, hata awe amevuviwa namna gani, jinsiinavyoonekana, ni vema jinsi gani… Ni wangapi waliokuwamkutanoni asubuhi ya leo? Hebu tuone mkono wako. Unaona?Unaona, huwezi.83 Huyo hapo Daudi, ametiwa upako tu kama alivyowezakuwa, watu wote wakipiga makelele na kumtukuza Mungu, kwasababu ilionekana ya Kimaandiko kabisa, lakini alikuwa ni mtuasiyepaswa. Uvuvio huo ulipaswa kumjia Nathani, si Daudi.Unaona, hata hakumtaka shauri Nathani. Unaona yaliyotukia?Unaona, tuna-…Mungu alisema, “hafanyi neno lo lote mpakaawafunulie watumishiWakemanabii JamboHilo.”84 Naye Ayubu alikuwa ndiye nabii huyu katika siku hii.Sasa, jambo pekee ambalo Mungu alikuwa amemfanyia Ayubu:Jambo ambalo daima lilimpa hekima na Neno Lake nakuviviwa, hangeweza kupata uvuvio wo wote. Lakini alijuamitambo yake yote (alikuwa ametoa dhabihu ya kuteketezwa,alikuwa amefanya yote aliyojua kufanya), bali hakuweza kupataNeno kutoka kwa Mungu. Lakini ibilisi hakuweza kumtikisa!Haya basi.85 Sasa, hivyo ndivyo ilivyo wakati unapoombewa. Haikubidikurudi nyuma mstarini, ama uende uache mtu mwingineakuombee. Unapojua ya kwamba umetenda sawasawa kabisana yale Mungu aliyokwambia ufanye (unaona?), basi ngojea njiahiyo ya uvuvio ikufungukie na “Sasa nimeponywa!” Wakatiunaposhuka pale, basi kila kitu kimekwisha. Loo, huhitajimistari yo yote ya maombi, huhitaji cho chote kingine, yoteyamekwisha! Imefunuliwa kwako! Unaona?86 Ni kama tu yule nabii wa kale wakati wa kuja kwa BwanaYesu, tunaona ya kwamba ilifunuliwa kwake, yule mzee mwenye

Page 16: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

16 LILE NENO LILILONENWA

busara, ya kwamba “hataona mauti hata atakapomwona Kristowa Bwana.” Naye aliamini jamboHilo, na akalingojea. Naowatuwalifikiri alikuwa mwenye kichaa, mzee huyo alikuwa ameendawazimu. Lakini bado angali aliamini jambo Hilo! Hakunakitu kingalimtikisa aondoke katika Hilo, alijua Mungu alikuwaamemfunulia Hilo, kwa kuwa Biblia ilisema, “Alifunuliwa naRoho Mtakatifu.”87 Simeoni akiingia Hekaluni dakika hiyo hiyo, aliendakule na kumpa Mungu sifa, na kusema, “Ruhusu mtumishiwako aondoke katika amani.” Wakati alipomchukua yulemtoto mchanga, “Macho yangu yameuona wokovu Wako.”Unaona, alijua atauona. Haidhuru ni watoto wachanga wangapiangelitembelea kila siku, alijua Mungu alikuwa amemfunuliaya kwamba atamwona Kristo kabla hajafa. Simeoni aliaminijambo hilo.88 Sasa wakati imefunuliwa kwako, ya kwamba wewemwenyewe umepokea ahadi ya Mungu; ule uvuvio, ninyi mkiwani Wakristo, ukiwagusa, hata hamhitaji mstari wa maombi.Jambo…jambo unalohitaji tu ni moyo uliofunguliwa wakatimitambo yote iko tayari, na uruhusu uvuvio ushuke, na ndipohakuna kitu kinachoweza kubadilisha nia yako; umeupata. Njeya jambo hilo, haitakufaa kitu.89 Sasa angalia, Ayubu alihitaji mlango wa uvuvio, alikuwaameufungua. Alikuwa na njia ya kuwasiliana na Mungu, kwauvuvio wake. Alikuwa na njia ya kujiondoa na kuliachaNeno la Mungu liingie. Angalia jinsi wao—jinsi walivyokujakumtaka shauri kutoka Mashariki na kutoka Magharibi, watuwakimtafuta kwa sababu walijua ya kwamba yale Ayubualiyosema yalikuwa ni Kweli. Walijua mtu huyo alisema Kweli.Kwa sababu, alichotabiri, hicho ndicho kilichotokea! Na kwahiyo watu wakaja tokaMashariki naMagharibi.90 Alisema ataenda masokoni, watawala vijana kutokaMashariki wangeinama, wapate kusikia neno moja tu la farajakutoka kwake, hekima yake kuu na yenye uwezo mwingi, maanawalijua mtu huyo alikuwa mwaminifu. Hakutaka kujivuna,hakuwa na nia ya kifichifichi, hakunyanyasa watu, alikuwani nabii mwaminifu tu mbele za Mungu. Nao walikuwa naimani kwake, na kila mtu alitoka Mashariki na Magharibi ilikuzungumza naye kwa muda kidogo tu. Ananenwa, katikaBiblia hapa. Lakini, unaona, alikosa uvuvio wa kumwambiamaana ya haya yote.Mungu aliyaacha yatukie, hakumwambia.91 Ndipo, siku moja, tunaona ya kwamba katika jambo hilo,huo ndio wakati ambapo…Kila mtu, mradi tu unawezakuwasaidia, “Sawa.” Lakini wakati wanapotaka kubishananawe, hapo ndipo shida inapoingia. Lakini yeye pekee ndiyealiyejua ya kwamba alikuwa sawa; mdundo wake wa imani,wa kusikia Neno la Mungu likimzungumzia, alijua ya kwambaHilo lilikuwa ni Kweli. Naam, bwana! Alijua Sauti ya Mungu.

Page 17: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 17

Hakuna mtu angeweza kumpumbaza kwa jambo Hilo, kwamaana aliijua. Ninii…Lakini wakati wo wote wewe…jambofulani likifunuliwa kwako, labda kinyume cha yale watuwanafikiri… Sasa, ninazungumza katika mkondo wa manabii.Wakati Mungu anapofunua jambo fulani, ambapo, kama wakatiwowote kuna siri inayotoka kwaMungu inayopaswa kujulishwawatu, kamwe haitapitia kwenye seminari, kamwe haitapitiakwenye kundi la watu, haijapitia kamwe. Daima itapitia,imepitia, na itapitia, kwa mtu mmoja binafsi, nabii! Amosi 3:7,unaona, “Bwana hafanyi neno lo lote bila kuifunua kwanzakupitia kwa manabii Wake.”92 Na, sasa, Ayubu alikuwa na kasoro fulani, lakini hangewezakupata uvuvio, na jambo hilo lilikuwa linamtatiza, na hilo…unapofikia kwenye matatizo kama hayo, hapo ndipo aduianapoingia kwenye karibu kila rafiki, uliye naye. Nao wakaanzakumshtaki. Loo, lazima lilikuwa ni chungu sana kwakekujua marafiki wake waliomshtaki, ndipo Shetani anaendana kujiunga na adui hao. Hapo ndipo Shetani anapoingia,“Hebu nimshike, nami nitamfanya akufuru ninii…Nitamfanyaaukane Ujumbe wake. Nitamfanya akukufuru. Nitamfanyaarudi nyuma na kusema ‘ilikuwa ni makosa matupu.’” Ndipoakamjaribu kwa kila kitu alichoweza, mpaka watu wotemashuhuri na marafiki aliokuwa nao. Lakini Ayubu alisimamaimara sana, kwa kuwa alijua alikuwa ameisikia Sauti yaMungu!93 Ee Mungu, tusaidie, kesho usiku, kusudi nipate ule Mbawaza Hua. Unaona, nilisikia Sauti ya Mungu iliyosema jambofulani, na litatukia namna hiyo! Kama vile vile na mambo hayamengine yalivyotukia, litatukia!94 Sasa, Ayubu alijua litatukia. Naye alijua ya kwambaMungu alikuwa amemwambia hivyo, ya kwamba alikuwa ni“mwenye haki.” Lakini walimfanya ni mwenye dhambi, kwahiyo basi alingojea uvuvio. Shetani aliingia kwa wa—watuwote naye akaja kwa…wafariji wake, walivyojiita, na hukuwanamshitaki, lakini hilo halikumtikisa hata kidogo. Lakiniwakati Neno la Mungu lilipothibitishwa kwake… Alikuwaamemsikia Mungu kwa kusikia kwa sikio, lakini siku mojaalipokuwa ameketi nje amevunjika moyo kabisa… Na wakatialipokuwa ameketi pale, na kila mtu akimshtaki, hata mkeweakimwambia alikuwa “amekosea,” alikuwa akikuna majipuyake. Ndipo Elihu akaja pale akamkemea kwamba yeye nimtakamakuu, jinsi alivyokuwa akimshutumuMungu na kadhalika.95 Na basi wakati huo ndipo uvuvio ulipomshukia, hapondipo kimulimuli cha radi kilipoanza kumulika, ngurumozikaanza kunguruma, hapo ndipo uvuvio ulipomgusa nabii,ndipo akasimama, na kusema, “Ninajua Mteteaji wangu yuhai! Na siku za mwisho atasimama juu ya nchi hii. Hatamabuu yakiuharibu mwili huu, hata hivyo katika mwili wangunitamwonaMungu, Ambaye nitamwonamimi nafsi yangu.”

Page 18: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

18 LILE NENO LILILONENWA

96 Aliona…Alikuwa akizungumza juu ya miti, uhai wamimea, jinsi huo unavyokufa na kuishi tena; maji hurudishatena, harufu ya maji, harufu kwa maji, matokeo ya majikumwagika juu ya mti ama cho chote kile, mbegu iliyoingiaardhini. Alisema, “Lakini mtu hulala na kuiaga dunia, watotowake wanakuja kutoa heshima zao wala yeye hatambui. Laitiungenificha kuzimuni” (Ayubu 14) “hata ghadhabu Zakozitakapopita.” Akasema, “Lakini mtu akifa, je! atakuwa haitena? Siku zote zilizokusudiwa za maisha yangu, mimi nitangojahata kufunguliwa kwangu kunifikilie. Wewe utaniita, naminitajibu. Umeniwekea mipaka yangu nisiyoweza kuipita,” nakadhalika. Yeye alijua mambo haya yote. Aliangalia mti ukiishi,lakini ilikuwaje kwamtu alipokufa? Hakufufuka tena. Kwa hiyo,Mungu alikuwa anamwonyeshaMkombozi huyu.97 Alitaka kuona kama kulikuwako na mtu ambayeangemwombea. Alikuwa amewaombea watu wengi sana,lakini sasa je! kuna mtu anayeweza kumtetea? Je! kuna mtuangeweza kuweka mkono wake juu ya Ayubu, ama juu yamtu mwenye dhambi na Mungu Mtakatifu, na kumpatanisha?Je! yeye angeweza kwenda nyumbani Mwake na kupiga hodimlangoni? Je! Yeye angeweza kufungua mlango na azungumzenaye kidogo?98 Lakini, basi, wakati uvuvio ulipoingia moyoni mwake, ndipoaliweza kumwona Mungu. Kimulimuli cha umeme kikimulika,ngurumo zinanguruma. Na wakati ilipotendeka, alisimama kwamiguu yake, na akasema, “Najua Mtetezi wangu yu hai! Mteteziwangu, na katika siku za mwisho Yeye atasimama juu ya nchi.”Unaona, alikuwa ameanza kuona urejeo wa Mungu kwenyeimani yake.99 Sasa, tunaduwaa kama tunaweza kumwonaMungu. Je! kunanjia tunayoweza kumwona? Sasa, ilikuwa ndiyo njia pekeeMungu alikuwa nayo, kumjaribu Ayubu. Akasema, “Nimesikiahabari Zako, kwa kusikia kwa sikio, bali sasa ninakuona.Bali sasa ninakuona Wewe, kwa macho yangu.” Ono la kilekisichoonekana lilikuwa limefanywa dhahiri. Aliona wingulikizunguka, akasikia kumulika kwa radi, ama aliiona. Naakaona kunguruma kwa ngurumo, labda kwenye siku angavu,na akaona Mungu alikuwa katika hilo wingu na katika radihiyo. Aliweza kumwona Mungu, kwa macho yake ya kawaida.Unaona, kwa sababu asiyeonekana alifanywa aonekane. Onolinaloweza kuonekana la wengine lilithibitishwa basi, dhahiri,kwa jicho la kawaida.100 Ni kama tu imani na kazi, kama tulivyolizungumzia janausiku. Ibrahimu, la…wala hakuwa na Biblia ya kusoma,lakini alikuwa ni nabii, ono lake na imani yake. Na wenginewaliona ni vibaya kwamba angewazia namna hiyo, kwambaangewazia ya kwamba watapata mtoto. Lakini walipatamtoto, kwa maana ono lake la mtoto mchanga ndilo alilokuwa

Page 19: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 19

anazungumzia, “Nitampata! Nitampata!” Lakini wakati mtotohuyo alipozaliwa, basi hao watu wengine waliweza kuona kwajicho kile yeye alichoona katika ono. Na wakati unapoendakutenda kile unachoamini moyoni mwako, basi watu wanamjuaMungu, na kujua kile kinachokupata, kwa matendo yako. Hivyondivyo unavyomwona Mungu kwa jicho. Lakini kwake, ingawayeye alikuwa ametenda mema, yote aliyokuwa amewatendeawengine, alihitaji mtu wa kumwombea. Wakati kuzaliwakwa huyo mtoto kulipotimia, Isaka, u—uvuvio uliokuwaumemwongoza kwenye jambo hili ulikuwa umethibitisha onolake kufikia mahali ambapo watu wangeweza kuona ya kwambakile alichokuwa ameona katika ono kilikuwa niKweli kabisa.101 Sasa,mara nyingi hayamapigomakubwa ya imani hujamojakwa moja katika wakati wa kipeo cha matatizo. Kwa kawaidajanga ndilo linalotuingiza katika jambo hili. Janga ndilolililomwingiza Ayubu katika hali hii. Mbona, alikuwa amefikiamwisho wa maisha yake. Watoto wake walikuwa wamekufa;ngamia wake. Na mali zake zote zilikuwa zimekwisha nakuangamizwa. Na maisha yake mwenyewe, alikuwa ametokwana majipu kutoka utosi wa kichwa chake mpaka kwenye nyayoza miguu yake. Ilikuwa ni upeo wa matatizo, hapo ndipo uvuvioulipomgusa.102 Enyi wanaume na wanawake, usiku wa leo, kama mngewezakuangalia kote muone jinsi tulivyokaribia kule kuja kwaBwana. Ninyi ambao mmeahirisha ubatizo wa Roho Mtakatifu.Labda ulitegemea mhemko fulani, ama kitu fulani ulichofanyaambacho Shetani anaweza kuigiza, wala huwezi kuwa naRoho halisi ndani yako kwenda njia nzima katika ahadi zaMungu. Mtu anayedai kuwa ana Roho Mtakatifu anawezajekukana Neno moja la Biblia hii, kwamba, “sio kweli”? Huwezikufanya hivyo!103 Haidhuru wewe ni wa kidini namna gani, wewe ni mfuasiwa makanisa mangapi, jina lako limeandikwa katika vitabuvingapi, kama huyo Roho Mtakatifu halisi yuko ndani yako(ambaye ni Neno hili lililodhihirishwa), utaona Ujumbe huu namajira haya, kwa kuwa RohoMtakatifu ndiye anayefanya jambohilo. Lakini hapana budi pawe na kitu fulani kitakachowashahiyo, uvuvio ukushukie. Na endapo kuna…kama ukimiminamaji ardhini, juu ya ardhi, juu ya ardhi, wala hakuna mbeguchini mle ndani ya kuigusa, itawezaje kuchipusha kitu chochote kamwe? Hakuna kitu mle cha kuchipushwa. Hiyo nikusema, ya kwamba Wateule wa Mungu peke yao ndio tuwatakaoliona Hilo.104 Wateule wa Mungu waliliona katika wakati wa Nuhu,wakati wa Musa, wakati wa Yesu, wakati wa mitume, wakatiwa Lutha, wakati wa Wesley, wakati wa Pentekoste, kwasababu hiyo ilikuwa ndiyo Mbegu iliyokuwa katika nchi wakatiuvuvio huu ulipomiminwa. Sasa wakati uvuvio unapomiminwa,

Page 20: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

20 LILE NENO LILILONENWA

kumkusanya Bibi-arusi pamoja, ni Wateule peke yao ndiowatakaouona Huo. Yesu alisema, “Ninakushukuru, Baba, kwakuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili,ukawafunulia watoto wachanga wanaoweza kusikia.” Sasa,uvuvio hauna budi kuigusa.105 Sasa, wakati uvuvio uliposhuka, hilo lilitosha. Ndipolikamfunukia! Sasa, tunaona, unakuja wakati wa dharura hiziwakati janga limepamba moto. Nawe angalia kila mahali leo,angalia hali tunamoishi. Hivi si tunaishi katika Sodoma naGomora ya kisasa? Je! ulimwengu haukurudi? Huo ulikuwa niulimwengu wa Mataifa ulioangamizwa wakati huo, kwa moto.Je! Yesu hakusema, katika Luka Mt., mlango wa 17, kifungucha 28, 29, na 30, ya kwamba, “Kama ilivyokuwa katika sikuza Sodoma, ndivyo itakavyokuwa katika kuja Kwake Mwanawa Adamu, wakati Mwana wa Adamu atakapofunuliwa”?”Kufunuliwa” ni nini? Ni siri kujulikana, ufunuo; ni kufunuaama kufanya siri ijulikane.106 Sasa, mambo haya ambayo yalikuwa yamefichwa zamanizote katika nyakati za kanisa sasa yanafunuliwa, yanafichuliwa.Sasa, tungeweza kusema hivyo, na je! kama Mungu hakuungahilo mkono, hilo ni kosa. Unaona, Mungu hahitaji mtu yeyote kutafsiri Neno Lake, Yeye hujifasiria Mwenyewe. Alisema,“Bikira atachukua mimba,” naye akachukua mimba. Alisema,“Iwe nuru,” na ikawa nuru. Wala hatuishi katika wakatiwa Luther, wakati wa Wesley, wala wakati wa Kipetekoste.Wakati wa Kipentekoste ulikuwa tu ni kurudishwa kwa vipawakanisani, lakini tunaishi katika wakati wa jioni, tunaishi katikawakati wa kuitwa kwa Bibi-arusi atoke.107 Na kama tu vile ilivyokuwa ni vigumu kwa Wakatolikikumwona Luther, na watu wa Luther kumwona Wesley, naWapenteko-…Watu wa Wesley kuona wakati wa Kipentekoste,vivyo hivyo ni vigumu kwa Wapentekoste kuona wakatiHUU. Imekuwa hivyo daima, kwa sababu inamwagwa juuya Uzao ulioteuliwa, na huo peke yake. Hivyo ndivyo Bibliainavyofundisha. Wao hawawezi kuona jambo Hilo, Yesu hataaliwaombea, akasema, “Walikuwa vipofu, hawakujua jambohilo.” Ufunuo unatwambia, katika wakati huu wa kanisala Laodikia, wakati alipotupwa nje ya kanisa, ya kwambawao walikuwa “uchi! maskini! wenye mashaka! vipofu! walahawajui.” Hilo limerudi tena, wao hawawezi kuona jambo Hilo,hawawezi kulifahamu.Wamezama sana katikamapokeo!108 Lakini kumbukeni Neno la Mungu lililoahidiwa kwakinywa cha Yesu Kristo, Mungu Mwenyewe yule aliyenenaviumbe vikawa, Yeye ndiye aliyenena kabla ya kuwekwamisingi ya ulimwengu maneno “Na iwe,” na ikawa. Kwakuwa alisema, “Alikuwako ulimwenguni, na uliumbwa na Yeye,wala ulimwengu haukumjua. Lakini wote waliomjua, aliwapauwezo wa kufanyika wana wa Mungu.” Muumba Mwenyewe,

Page 21: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 21

na Muumba yeye yule Mwenyewe, wakati alipomfufua Lazarokatika wafu, alisema, “Msistaajabie maneno hayo, kwa maanasaa yaja ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikiaSauti ya Mwana wa Adamu, nao watatoka.” Mungu yeye yulealiyesema “Iwe Nuru,” alisema, “Sauti ya Mwana wa Adamuitawaamsha hao walio kaburini.” Halina budi kutukia katikamajira yake. Yeye alinena, “Na kuwe na mwanamume namwanamke,” na kadhalika, na haya yote, miaka na mamia yamiaka kabla halijatukia.109 Uvuvio ulimgusa nabii Isaya, akasema, “Kwa ajili yetumtotoamezaliwa, tumepewa mwana. Jina Lake ataitwa Mshauri,Mfalme wa Amani, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa milele.”Miaka ikapita, miezi, miaka, siku, majuma, miaka ikapita,mamia ya miaka ikapita. Miaka mia nane baadaye, Imanueliakazaliwa na bikira! kwa nini? Ni kwa sababu ilinenwa kwakinywa cha nabii wa Mungu aliyetiwa mafuta, mbegu ikatoka.Unaona? “Na kwenye saa hiyo kuu,” kasema, “mtanitafuta…mtaniomba ono ama ishara.”110 Akasema, “Nitawapa ishara, ishara ya milele, ‘Bikiraatachukua mimba,’ ishara ya milele.”111 Sasa, tunaona ya kwamba katika masaa yale ya dhiki halisi,hapo ndipo kwa kawaida Roho wa Mungu anapoingia. Yeyealiwaacha wana wa Kiebrania waingine moja kwa moja kwenyetanuru la moto mkali, kabla hata hajasogeza mkono wake.Lakini anapoingia, anaingia.112 Sasa, tunaona hapa ya kwamba katika Luka, m—mlangowa 17, na aya ya 30, ya kwamba Yeye alisema, “Katikasiku za mwisho, ya kwamba Mwana wa Adamu angejifunuakama alivyofanya kabla tu ya Sodoma na Gomora, na halizile zile zingedumu.” Alisema habari za Musa, juu ya…nasamahani, si juu ya Musa, lakini juu ya Nuhu. Jinsi ambavyowatu walikuwa “wakila, wakinywa, na kadhalika, wakioa nakuolewa.” Ndipo akarudi, akasema, “Sasa, kama ilivyokuwakatika siku za Lutu, ndivyo itakavyokuwa wakati Mwana waAdamu atakapofunuliwa.” Sasa, angalia, Mwana wa Adamualifunuliwa kwa kundi la Ibrahimu, kama mwanadamu, nabiikatika umbo la mwili wamwanadamu, mtu wa kawaidamwenyemavumbi nguonimwake, ndipoAdamu akamwita “Elohimu.”113 Sasa, Yesu anaahidi hapa ya kwamba katika siku zamwisho Mwana wa Adamu atafunuliwa tena kwa kundi lanamna hiyo, Mzao wa kifalme wa Ibrahimu, kabla tu ya motokushuka. Kumbukeni, kanisa halikupokea shahidi mwinginetena, Ibrahimu na hao wengine hawakupokea, huyo mwanawa ahadi waliyekuwa wanamtarajia aliletwa mara baada yahayo. Nalo kanisa linamtarajia Mwana wa Ahadi, Yeye atakujamara baada ya siku za huduma hii, atafunuliwa kutokambinguni. Sasa, tunaona jambo hilo dhahiri sana, halina budikutukia. Sasa, jambo pekee linalopaswa kuwa ni kitu fulani

Page 22: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

22 LILE NENO LILILONENWA

kudunda, kinaingia ndani ya mtu fulani, Mungu anathibitishana kumwambia na kumwonyesha ya kwamba hilo ndilo jambolitakalotukia; na kwamba utaninii…114 Kama vile Musa alivyofanya, yeye hakutaka kuwakomboahao watoto, lakini Mungu alisema naye katika kijiti kilichowakamoto. Hakutaka kwenda, lakini ilimbidi kwenda. Musaalikuwa amemsikia kwamba Yeye ni Yehova mkuu. Lakinibasi aliweza kumwona, Yeye alikuwa katika umbo la Nguzoya Moto. “Nimesikia habari Zako, lakini sasa ninakuona.” Yeyealionekana katika nini? Neno Lake likithibitishwa.115 Mungu alimwambia Ibrahimu ya kwamba “watu wakewangekuwa wageni katika nchi ya kigeni kwa miaka mia nne,lakini Yeye angewatoa kwamkonowenye nguvu.”116 Na, angalia, kijiti hiki kinachowaka moto kilitoa thibitishokwa kile nabii Ibrahimu alichokuwa amesema kingetukia. Musaalisema, “Nimesikia habari zake, lakini sasa ninaiona!”117 Sasa tumesikia ya kwamba katika siku za mwisho Mwanawa Adamu atakuja miongoni mwa watu Wake na kujifunuaMwenyewe kwawatu sawasawa na alivyofanya hapo…kabla tuya kuangamizwa kwa Sodoma. Mwana wa Adamu, Yeye alifanyanini? Alijua siri zilizokuwa katika moyo wa Sara. Pia alimpaIbrahimu ahadi. Ibrahimu alikuwa amesikia sauti ya Mungu,huenda alikuwa amemwona katika njia nyingi mbalimbali (sijuijinsi alivyozungumza Naye, katika ndoto ama katika unabii),lakini wakati huu alimwona. “Nimesikia habari Zako, sasaninakuona.”118 Nalo kanisa limesika habari za Mungu, wamesoma habariZake, na yale aliyofanya, na ahadi alizofanya, lakini sasatunamwona kwamacho yetu (kama tu vile Ayubu alivyomwona),“Nimesikia habari Zako, lakini sasa ninakuona.” Jamani! Nitofauti jinsi gani.119 Musa, katika janga hilo, alilia. Nasi tunaona, katika Kutoka,mlango wa 14, vifungu vya 13 hadi 16, Musa katika ule mfinyomkuu pale akiwa pamoja na wanawa Israeli, uvuvio ulimshukia,naye akasema yale aliyopaswa kusema, bila kujua alisemahayo. Unaona, “Simameni kimya! mwone wokovu wa Mungu.”Mungu alikuwa bado hajasema naye kamwe. Unaona, uvuvioulimshukia.120 Wakasema, “Kwa nini ukatuleta huku? Tulipasa kufia hukoMisri. Hivi ni kwa sababu hakukuwako na makaburi kule?Ukatuleta huku, na kutuacha tufe; tungeweza kuishi kwa amanikamawatumwampaka tulipokufa, lakini ulituleta huku.”121 Musa, nabii, akijua alikuwa na haki ya kumkaribia Mungu,alikuwa amevuviwa, ndipo akasema, “Simameni kimya nanyimtauonawokovuwaMungu; kwa kuwaWamisrimnaowaangalialeo, hamtawaona tena.” Alijuaje litatukia? Alijuaje? Hakujuaalichosema.

Page 23: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 23

122 Lakini mara baada ya kusema jambo hilo, Mungualimwambia jinsi ya kufanya jambo hilo. Kasema, “Musa,usinililie, chukua fimbo yako uliyo nayo mkononi mwakona uinyoshe juu ya bahari, kisha uwaambie wana wa Israeli‘Waende!’” Amina!123 Ule uvuvio! Hivyo ndivyo unavyokugusa kama weweni mgonjwa. Hivyo ndivyo unavyokugusa kama unateseka.Jambo fulani limefunuliwa kwako, na unaona ya kwambalimefunuliwa, unatamka, “Nimepona!”124 Ndipo Mungu anakwambia la kufanya, “Simama na uanzekutembea.” Amina! Ndipo yote yamekwisha, unapowezakufanya jambo hilo hivyo. Hivyo ndivyo Mungu anavyofanya,ndipo unamwonaMungu akidhihirishwa kupitia kwako.125 Mungu ndiye aliyemwambia kufanya jambo hilo. Sasa, basi,wote waliokuwako, Israeli wote waliokuwapo waliona uvuviouliomgusa Musa. Walimwona Mungu, kwa macho yao wenyewe,akiyalipua maji hayo yarudi nyuma kutoka upande mmojahadi mwingine. Na Nguzo hiyo ya Moto ikawaongoza mojakwa moja kuvuka ba—bahari. Alisikia habari za Mungu, kishawakamwona Mungu.126 Yoshua alikuwa katika saa ya janga, wakati jeshililiposhindwa vibaya, na jua lilikuwa linashuka. Yoshuaalikuwa nabii, naye alijua ya kwamba kama hayo majeshiyakipata tu nafasi ya kuungana tena na kuja kupambananaye, angewapoteza watu wengi zaidi, kwa hiyo katika wakatihuo wa hatari ambapo jambo fulani lilipaswa kutendwa…Kuna jambo moja tu, kama angewafanya waendelee kukimbia,angewaangamiza kabisa, kila mmoja wao, kabisa. Lakinihakukuwako na nuru ya kutosha kufanya jambo hilo, kwahiyo Yoshua akasimama, akainua mikono yake, akasema,“Wewe jua, simama kimya! Na wewe mwezi, simama juu yabonde la Aiyaloni mpaka nitakapomaliza vita hivi.” Na halafujua likasimama kimya. Walimsikia Yoshua akinena, ndipowakamwona Mungu (kwa macho yao wenyewe) katika matendo.Kweli!127 Unaona, bila shaka, ilikuwa ni kitendawili kuona jambolililoonekana kwamba haliwezekani, lakini ni kweli. Lakini,“Jua lilisimama kimya,” yasema Biblia. Sijui vile ninyi watumnavyofikiri, mnaofikiri dunia huzunguka, sasa; lakini,haidhuru, “jua lilisimama kimya.” Labda Yoshua kamwehakujaribu kuwazia jinsi alivyokuwa a—afanye jambo hilo, jinsiMungu angefanya jambo hilo, jambo pekee alilosema lilikuwa,“Wewe Jua simama kimya!” Alisema hilo, labda bila kujuaalilokuwa akisema, kwa sababu jambo hilo alipewa na Mungu,Naye Mungu akatenda.128 Ni jambo lile lile katika Marko 11:23, “Ukiuambia mlimahuu ‘ng’oka,’ wala usione shaka moyoni mwako, bali uamini

Page 24: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

24 LILE NENO LILILONENWA

ya kwamba uliyosema yatatimia, litakuwa lako.” Lakini huwezikusimama pale na kuwaziawazia moyoni mwako na uliseme, nilazima uvuviwe upate kulisema. Amina!129 Samahali kwa tamshi hili; lakini siku ile, nikiketi kulemsituni (na Mungu ni hakimu wangu, na ningeweza kuangukanife juu ya mimbara hii), wakati Andiko hilo liliniduwaza sanamaishani mwangu mwote… nikiketi kule asubuhi hiyo hukomwituni, nami nilikuwa nikiwazia juu ya hilo, ndipo Sauti hiyoikasema nami, Yeye akasema, “Andiko hilo ni sawa naMaandikomengine yote, ni la kweli.”130 Ndipo nikawazia, “Vema, ingewezekanaje?”131 Ndipo akasema, “Wewe u…” Nikasema…Yeye akasema,“Nena na itakuwa hivyo. Usilionee shaka.”132 Nami nilikuwa nikizungumza na mtu Fulani, nimeketi hukombali mwituni. Hakuna kuchakuro, nimekuwako huko kwasiku tatu, hakuna kuchakuro kule. Nami nilikuwa nimeketikwenye kichaka cha mkuyu. Kuchakuro hata hawaji…kila mtuanayewinda kuchakuro, anajua hawako kwenye mkuyu. Naminilikuwa nimeketi kule; na upepo unavuma sana, kama saa nneasubuhi, nami nilikuwa nikiwazia tena.133 Ndipo Hiyo ikasema, “Unawinda, nawe una haja yakuchakuro sawasawa tu na vile Ibrahimu alivyohitaji kondoodume.”134 Nikawaza, “Hiyo daima imeniamibia Kweli, lakini hililinaonekana ni la kutatanisha.” Ndipo nikaamka kutoka mahalinilipokuwa nimeketi, nikaangalia kote, “Yuko wapi Mtu huyoaliyekuwa akinena nami?” Hakuna kitu; ni upepo tu unavumakwa nguvu sana. Ndipo nikawazia, “Je! ingewezekana kwambanililala na kuota jambo hilo? La, sikuwa nimelala. Nilikuwanimesimama nimeegemea mti ule pale, nikiangalia, nilipaswakumchukua Ndugu Wood na Ndugu Sothmann mbali nyumahuko, punde si punde, kwenye saa nne asubuhi. Wakulima wotewakiwa huko njewanafanya kazi, wakivunamahindi yao.”135 Nikaisikia Hiyo tena, ikisema, “Unawinda, na unahitajimawindo. Unahitaji wangapi?”136 Ndipo nikawaza, “Sasa, sitaki kuzidisha jambo hili sana,nitaomba tu watatu, kuchakuro watatu. Ninataka kuchakurowatatu wadogo wekundu. Ninawataka.”137 Akasema, “Basi tamka hilo.”138 Nami nikasema, “Nitawapata kuchakuro watatu wadogowekundu.”139 Akasema, “Watatokea wapi?”140 “Vema,” nikawaza, “nimefika umbali huu, kuna kitu Fulanikinachoongea na mimi hapa.” Kama vile tu mnavyonisikia miminikizungumza. Na Mungu Mbinguni, nikiwa na Biblia hii juuya moyo wangu, anajua ya kwamba hilo ni kweli. Naye…

Page 25: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 25

Nami nikasema, “Vema,…” Nikachagua mahali pa kipuuzi,tawi kavu la kale lililoning’inia kule nje (kama yadi hamsini,mahali bunduki yangu ilipolipuka).141 Nikasema, “Wa kwanza atakuwa moja kwa moja pale,” nayehuyoo akatokea hapo.142 Nikasugua macho yangu na kuangalia nyuma (nikageuzakichwa changu), na nikawazia, “Sitaki kupiga ono risasi.”Kwa hiyo nikaangalia kote tena, naye huyo hapo kuchakuroameketi. Nikaingiza risasi ndani ya bunduki yangu, nikalengashabaha, na ningeweza kuona jicho lake jeusi, kuchakuromdogo mwekundu. Nikawaza, “Ni—ni…labda ninalala, ni—nitaamka katika dakika chache. Unaona, ninaota juu ya jambohili.” Vema, nikalenga shabaha, nikampiga yule kuchakuronaye akaanguka kutoka kwenye tawi. Nikawaza, “Vema, sijui.”Nikawaza, “Vema, niende kule nikamtafute?” Ndipo— ndiponikaenda kule, naye huyo hapo amelala pale. Nikamchukuahuku anatoka damu. Ono halitoki damu, mwajua. Kwa hiyonikamchukua, na alikuwa ni kuchakuro. Nikafa ganzi, mwilimzima.143 Ndipo nikaangalia kote, nikasema, “Mungu, huyo alikuwa niWewe!” Nikasema, “Nakushukuru, kwa huyu. Sasa nitaondokaniende zangu na…”144 Akasema, “Lakini wewe ulisema! Je! unatilia shakauliyosema? Ulisema utapata ‘watatu.’ Sasa huyo mwingineatatokea wapi?”145 Nikawazia, “Vema, kama ninaota, nitaendelea.”146 Kwa hiyo ni—nikasema…Nikachagua nguzo chakavu yamti mahali fulani kule, uliokuwa umefunikwa kabisa hapana mwefeu wa sumu. Humpati kuchakuro hata katika huo.Kwa hiyo nikasema, “Huyo mwingine atatoka kwenye ulemwefeuwa sumu,” na hapo aliketi kuchakuromdogomwekunduakiniangalia moja kwa moja. Nikaweka bunduki yangu chini,kisha nikasugua macho yangu. Nikageuka tena, nikawaza…Huyo hapo ameketi, akageuza kichwa chake kando. Nikampigarisasi kuchakuro huyo, kisha nikaanza kwenda nyumbani.147 Lakini akasema, “Ulisema ‘watatu’! Je! unatilia shakauliyosema?”148 Nikasema, “La, Bwana, sitilii shaka niliyosema, kwa kuwaWewe unathibitisha.”

Hili ni Andiko moja lililonitatiza: “Si kama Mimi nikisema,baliwewe ukisema.” Si kamaYesu alisema jambo hilo, bali kamawewe ukilisema.149 Ndipo nikawazia, “Kwa namna fulani nimepenya kwenyekile kiwango, na ninajua Yeye yuko hapa kwa sababu nikokaribu kurukwa na akili.” Nikawaza, “Nitafanya hili kuwa lakipuuzi, haswa.”

Page 26: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

26 LILE NENO LILILONENWA

Nikasema, “Kutakuwako na kuchakulo mwekunduatakayeshuka kwenye kilima kile, aje moja kwa moja hivi, nakupitia karibu sana na mimi, kisha aende zake, na aketi kwenyetawi lile, na kumwangalia yule mkulima.” Huyu hapa anashukamlimani, akatoka moja kwa moja, na kuketi, akamwangaliamkulima. Ndipo nikampiga risasi.150 Shetani akaniambia, “Unajua nini? Hao wamejaa msitumzima, sasa.” Ndipo nikaketi hapo hadi saa sita, walahakuna jambo lingine lililotukia. Inaonyesha ya kwamba wakatiMungu…Yeye ndiye hasaMuumbawaMbingu na nchi!151 Kuna familia inayosikiliza sasa, huko Jeffersonville,inayoitwa Wright. Mimi na Ndugu Wood tulishuka hukokwenda kuwaona. Wao hutengeneza divai ya ushirika kwaajili ya kanisa. Maskini Edith alikuwa ameketi pale chumbani;maskini msichana mdogo kiwete, kwamba alikuwa mgonjwamaishanimwakemwote, na kwa hiyo daima tulitumainiaMunguatamponya. Dada yake, mjane, mumewe alikuwa ameuawa;jina lake lilikuwa ni Hattie, maskini mwanamke mnyenyekevusana. Na wakati mimi na Ndugu Banks tulipoenda kumtafutiasungura, walikuwa wamepika kinyunya kikubwa cha cheri;wakanifanya niketi nile.152 Sote tulikuwa tumeketi mezani, tulikuwa tukizungumza juuya jambo hili, lilitukia tu siku chache zilizopita. Na wakatinilipokuwa nimeketi mezani, nikizungumzia juu ya jambo hili,mara nikasema, “Ni jambo gani lingeweza kutukia?” Nikasema,“Ndugu Wright, wewe ni mzee, umewinda kuchakuro maishanimwako mwote. Ndugu Shelby, wewe ni hodari wa kuwindakuchakuro. Ndugu Wood, na wewe pia. Nimewawinda tangunilipokuwa mtoto. Je! mmepata kuona kuchakuro kwenyekichacka cha mkuyu ama cha nzige?”153 “La, bwana.”154 Nikasema, “Haiwezekani kabisa wakae humo.” Nikasema,“Jambo pekee ninalojua, ni Mungu yeye yule tu. WakatiIbrahimu alipohitaji kondoo dume, Yeye alikuwa Yehova-Yire,Yeye ‘aliweza kujipatia Mwenyewe.’” Nikasema, “Ninaamini nijambo lile lile.”155 Ndipo maskini Hattie aliyeketi pale nyuma, akasema,“Ndugu Branham, hiyo ni Kweli tupu!”156 Yeye alitamka jambo jema! Wakati aliposema jambo hilo,Roho Mtakatifu akaingia kwenye kile kiwango tena, kila mmojawao alimhisi. Nikasimama, nikasema, “Dada Hattie, BWANAASEMA HIVI, ulitamka neno jema kama lile yule mwanamkeMsirofoinike alilosema. Roho Mtakatifu anazungumza na mimisasa, na ameniambia nikupe haja ya moyo wako.” Nikasema,“Sasa, kama mimi ni mtumishi wa Mungu, kama ndivyo ilivyo,litatukia. Kama mimi si mtumishi wa Mungu, basi mimi ni

Page 27: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 27

mwongo, wala halitatimia, mimi ni mdanganyifu.” Nikasema,“Sasa jaribu uone, ni Roho waMungu ama siye.”157 Akasema, “Ndugu Branham,” (kila mtu alikuwa analia),kasema, “niombe kitu gani?”158 Nikasema, “Una dada kiwete anayeketi pale.”159 Nilikuwa nina dola ishirini mfukoni mwangu, za kumpayeye, alizokuwa ametoa katika mchango. Mwanamke huyohawezi kupata mtaji wa kama dola mia mbili kwa mwaka,kutokana na shamba dogo, la kale, lisilo na rotuba, yeye nawanawe wawili. Wanawe wake walikuwa wamekuwa ‘Maricky,’wa kawaida, siku za shule, wajua, na ni wajeuri kwa mamayao; wenye umri wa miaka kumi na tano, kumi na sita. Na, loo,walikuwawamesimamapalewakicheka niliyokuwa nikisema.160 Nikasema, “Una baba na mama walioketi hapa ambao niwazee. Huna pesa. Omba pesa, uone kama hazitakuja pajanimwako. Omba kuhusu dada yako, uone kama hataamka nakutembea.” Nilijua wakati huo, kama Ayubu, kuna jambo tuunalojua wakati unapopata. Kasema, “Ninajua! Mimi hapanimesimama mbele ya watu kama kumi,” nikasema, “kamajambo hili halitukii, basi mimi ni nabii wa uongo.”161 Kasema, “Niombe kitu gani?”162 Nikasema, “Ni juu yako kuamua. Siwezi kukuamulia.”163 Akaangalia kote, maskini mwanamke huyo. Na mara,akasema, “Ndugu Branham, shauku kubwa sana moyonimwangu ni wokovuwawavulana wanguwawili.”164 Nikasema, “Ninakupa wavulana wako, katika Jina la YesuKristo.” Ndipo hao wavulana wenye kucheka kwa dharau,waliokuwa wanacheka, na kufanya mzaha, wakaanguka kwenyepaja la mama yao, na kuyatoa maisha yao kwa Mungu, nawakajazwa na RohoMtakatifu papo hapo.165 Kwa nini? Hiyo ni Kweli! Mungu ana uwezo wa kuniua,mbele ya watu hawa kote nchini. Wengi wenu hapa na hukoJeffersonville, ninaweza kusikia Maskani ikiitikia kwa sauti kuusasa hivi, “Amina!” kwa sababu wao wameketi moja kwa mojakule wakisikiliza jambo hili. Unaona, kwa maana ni Kweli! Nikitu gani? Ni wakati ambapo Mungu, kwa neema yake kuu;linatukia! Nje ya hiyo, halitatukia.166 Katika muda huo muhimu sana…Waza juu ya wanaumena watu ninaowajua. Mungu akiwapita watu wote mashuhuri,na kila kitu, apate kumpa maskini mwanamke mnyenyekevu,ambaye karibu ni vigumu kwake kuandika jina lake; Naye alijuaambacho angeomba. Na hicho ndicho kilichokuwa kitu kikubwasana; kwa kuwa huyo dada yake sasa amekufa, na mama yake nababa yake hawana budi kufa, pesa zingalikwisha, lakini nafsiya mvulana wake ni ya Milele! Na hiyo ilikuwa ndiyo saa yaoya kushika Hilo. Na mara tu niliposema, “Ninakupa wavulana

Page 28: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

28 LILE NENO LILILONENWA

wako, katika Jina la Yesu Kristo,” hao hapo wakaanguka pajanila mama yao. Ni wangapi hapa ndani wanajua kwamba hiloni Kweli, mnalijua hilo? Unaona, hilo hapo. Naam. Kwa nini?Uvuvio!167 Sasa: “Nimesikia habari Zako, ya kwamba Wewe ungewezakuumba kuchakuro; nimesikia habari Zako, ya kwamba Weweungeweza kuumba kondoo dume; lakini sasa ninakuona Wewe,kwa jicho langu mwenyewe!” Dhihirisho hilo, ono kufanywalionekane. Wakati Mungu alipoahidi jambo lo lote, hilo ndiloatakalofanya.168 Angalia, unapokuwa na haja, labda kama Yoshua. Yeyealikuwa na haja; yeye hakufikiria hata kidogo juu ya hali,alinena, na ilikuwa ni Mungu! Je! unaamini jua lilisimamakimya?Namimi pia ninaamini. Lilifanyaje jambo hilo? Usijaribukuliwazia, lakini lilisimama. Yoshua alifanya jambo hilo, kishaakainuamikono yake; katikamuda huomuhimu sana alikuwa nafursa ya kumkaribia Mungu, na hilo ndilo lililotukia. Lilikuwakatika wakati unaofaa. Roho wa Mungu aliye hai alikuwaameona haja ya jambo hilo, ndipo akamsukumaYoshua kutamkahilo. Mungu yuyo huyo aliona haja ya Ibrahimu. Mungu yeyeyule aliona haja ya kuthibitisha Andiko hili kwangu, ya kwambaAndiko hilo ni kweli, pia! Mungu yeye yule aliona haja ya haovijanawawili waliokusudiwa tangu zamani, na ilikuwa ni katikawakati huo ambapo alihakikisha jambo hilo na kuthibitishaNeno Lake.169 MarkoMt. 14, tunaona mwanamke mmoja alimwamini Yeye,alikuwa ana haja na akaona Yeye alikuwa na haja ya miguuYake kuoshwa, ilimbidi tu kuvuviwa apate kutenda kazi. Sasasikiliza kwa makini tunapo-…kabla hatujafunga. Ilimbidi tumwanamke huyo kuvuviwa apate kutenda kazi, kwa sababualikuwa tayari amesikia habari Zake. Alisikia ya kwamba“Yeye alimsamehe mwanamke mmoja dhambi zake, kahaba. Nakusema, ‘Ni nani kati yenu asiye na dhambi? atupe jiwe lakwanza.’” Alikuwa amesikia habari Zake, lakini sasa alimwona.Alivuviwa kumtumikia. Hilo ndilo jambo pekee unalopaswatu kuwa.170 Hebu acha Roho Mtakatifu akwambie ya kwamba “Weweni mwenye dhambi!” Hebu acha Roho Mtakatifu akwambie“Umekosea!” Hebu mwache Roho Mtakatifu akuthibitishie kwaMaandiko ya kwamba “Umekosea Kimaandiko!” Na nini…maana Yeye atahuisha tu kupitia njia moja isiyopindika ya kilaAndiko laMungu, hatapita pembeni bila sababu. Kama ukifanyahivyo, kamwe halitakufaa kitu. Kwa maana Roho Mtakatifuanaweza kulivuvia Kwako, lakini kama nafsi yako haiko sawana Mungu, kama tulivyopitia juma hili, halitafaa kitu haidhuru.Kumbukeni, watiwa mafuta wa uongo watainuka katika sikuza mwisho; si Mayesu wa uongo, makristo wa uongo (watiwamafuta), naowatawapotezawalioWateule kama yamkini.

Page 29: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 29

171 Angalia, alikuwa na huduma ya kumfanyia. Alikuwaamesikia habari Zake, sasa alimwona kwa macho yake. Alikuwana huduma ya kufanya, na hakuwa na kitu cha kuifanyia.Kwa hiyo akatoka mbele haraka hata hivyo, kufanya hudumahiyo, Mungu akampa maji na mataulo ya kumtawadhia miguuYake. Alikuwa amesikia habari za Mungu aliye Hai, maishanimwake mwote, lakini sasa alimwona kwa macho yake. Alijuaalikuwa Ndiye, na uvuvio ulimgusa, ndipo akasema, “Huyundiye yule Mjumbe!” Alihitaji huduma (hakuwa na kitu chakumhudumia nacho), miguu Yake ilikuwa ni michafu. Lakinialikimbia mbele haraka haidhuru, ili amhudumie, kwa maanaalikuwa amevuviwa kufanya jambo hilo.172 Ewe mfuasi wa kanisa aliyerudi nyuma, mwanamumeama mwanamke wa kimadhehebu, hivi huwezi kuona hajaYesu aliyo nayo usiku wa leo? Uvuvio ukikushika tu, huundio wakati wa kufanya jambo hilo. Lakini alimwona kwamacho yake. Hao wengine pale hata walikuwa wakimdhihaki.Hawakuamini Ujumbe Wake. Kwa kweli, mwenyeji Wake,mchungaji-mwenyeji, maskini Simoni, alikuwa amemweka paleapate kumfanyiamzaha. Hawakuamini Yeye alikuwa ni nabii.173 Kwa hiyo basi wakati ilipoonekana kama Ibilisiamemchochea vizuri kabisa kusema jambo hili, yeye alidhanikimoyomoyo, “Kama mtu huyu angalikuwa ni nabii, angejuani mwanamke wa namna gani aliyekuwa miguuni Pake. Kamaalikuwa nabii!” Unaona, hata haikuwa imefunuliwa kwakekwamba Yeye alikuwa ni nani. Hakungeweza kuwe na uvuvio wowote uliomgusa, maana hakuna kitu pale cha kuguswa. Lakiniulimshukia yule mwanamke!174 Macho ya yule mama yalikuwa yameona mbali zaidi yakutafuta makosa. Aliamini alikuwa ni nabii, unaona, Nenola manabii! Alijua ya kwamba Hilo lilikuwa ni Maneno yoteya nabii, yalithibitishwa katika Yeye. Alikuwa amesikia Yeyealikuwako duniani, lakini sasa anamwona. Angalia alilofanyayule mama. Aliona Neno limefanyika mwili, Masihi, yuleImanueli. Wakati alipoachilia imani yake inayodundadunda bilawoga (ya ufunuo wa kwamba Yeye alikuwa ni Nani, katikawakati aliokuwa anaishi, ya kwamba Yeye alikuwa ni Mwana-Kondoo wa Mungu kwa ajili ya wenye dhambi kama alivyokuwayeye), alitoka mbele akaenda kuhudumia haja Zake bila kujuaangezihudumiaje.175 Hivyo ndivyo uponyaji wa kweli unavyokuja, wakatiinapofunuliwa kwako ya kwamba “Alijeruhiwa kwa makosayako, akachubuliwa kwa maovu yako, na kwa mapigo Yakewewe uliponywa.” Wakati unapovuviwa kuona Uwepo Wakehapa, wa Marko Mt. 11…ama Luka Mt. 17:30, ya kwambaatajifunua Mwenyewe katika siku za mwisho (miongoni mwawatu Wake, katika mwili wa binadamu) kama alivyofanya kablaya Sodoma.Unapoona jambo hilo, na jambo fulani linakuvuvia!

Page 30: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

30 LILE NENO LILILONENWA

176 Huenda daktari akasema, “Kansa ingali iko ipo.”177 Mgonjwa anaweza kusema, “Si—si—si—si—si—sijui jinsinitakavyotembea, lakini nitatembea hata hivyo.” Sijui jinsiitakavyotukia.178 Yeye alisogea mbele akamtumikie, kwa kuwa uvuvioulimshukia Yeye…ulimshukia yule mwanamke, ya kwambahiyo ilikuwa ndiyo saa yenyewe, huyo alikuwa ndiye MjumbeMwenywe, huyo alikuwa ndiye Masihi ambaye alikuwa aponye,naye akaamini jambo Hilo. Naye alihitaji kuhudumiwa, ndipohuyo mwanamke akasogea mbele bila cho chote cha kuonyeshaya kwamba angeweza kufanya jambo hilo. Alienda tu kwakuvuviwa kwake. Angalia! Mungu alipasua chemchemi za teziza machozi katika macho yake. Macho yale yale yaliyokuwayamesikia…maskio yaliyokuwa yamemsikia Yeye; machoyaliyoona jambo Hilo, yalibubujikwa na furaha. Halafu hizonyingine, hizo nywele ndefu alizopewa na Mungu, pamoja nahayo machozi yakitiririka. Mungu alimpa taulo (kwa zile nywelezake), na pamoja na machozi yake. Akatimiza haja Zake, hajaza Mungu aliye hai. Alikuwa amesikia jambo Hilo, lakini sasaalimwona, aliweza kumhudumia.179 Ewe mwenye dhambi! Kwa nini usifanye vivyo hivyowakati unapoziona haja siku hizi? Ya kwamba Yeye anahitaji,huduma yako! Sasa unamwona Yule, Ambaye wakati mmojaulisikia habari Zake katika Biblia. Tulimwona Yeye jana usikuakija hapa, na yale aliyofanya. Tunamwona, mkutano baadaya mkutano, na wakati mwingine tunaketi tukiwa baridina wasiojali, tunasema, “Naam, ninajua Maandiko yanasemajambo hilo. Loo, ni—nimeona jambo hilo likitendeka, unaona.”Hatuna shauku, haionekani ikitugusa sawasawa. Hakuonekanikana kwamba kuna kitu, kama vile ulikuwa ukimwaga…180 Kuchukua njiti ya kiberiti na kuiwasha, kama njiti hiyohaina salfa kwenye kichwa chake, hakiwezi kuwaka. Naweunaweza kuwasha na kuwasha na kuwasha, lakini kamakemikali fulani imeua salfa hapa juu, hakitawaka, hakutakuwana nuru. Lakini kama kemikali hiyo, hiyo salfa ikikwaruzwana chuma itaninii…ikiwa ingali pale wakati inapowashwa,itawaka.181 Na wakati thibitisho la kweli la Maandiko ya Ujumbe wasiku hii ya mwisho, nawe unaona Uwepo wa Yesu Kristo,ambapo ulikuwa umesikia yale aliyokuwa amefanya maishaniMwake, na umesikia Maandiko yakisema “Ni yeye yule jana, leo,na hata milele”; na kabla tu ya hali ya Sodoma imechomwamotona ghadhabu yaMungu, umemwona Yesu akirudi miongoni mwawatu Wake, amefanyika mwili wa mwanadamu, na akifanyajambo lile lile alilofanya. Jamani! Hilo linapaswa kuzichomanafsi zetu hata Utukufuni! Linapaswa kutufanyia jambo fulani.Kwa nini? Linashuka kwenye jambo hilo.

Page 31: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 31

182 Mlisikia katika Biblia yale Yeye aliyofanya, jinsi ambavyoyule mwanamke alivyogusa vazi Lake. Aligeuka na kumwambiashida yake ilikuwa ni nini, na imani yake ikamponya. Sasa,Yeye aliahidi ya kwamba angefanya jambo lile lile tena, kablatu ya ulimwengu haujachomwa moto, na ulimwengu ungekuwakatika hali ya Sodoma. Agano Jipya, yule Nabii, yule Mungu-nabii, Nabii wa manabii, Mungu wa manabii wote, utimilifu waUungu kwa jinsi yamwili, Munguwa…aliyedhihirishwa katikamwili, Muumba, wa Mwanzo. Haleluya! Ni Neno Lake! Alisemaingetendeka! Nasi tunaona hali ya Sodoma, tunaona ulimwenguuko katika hali hiyo, sasa tunamwona Yeye akishuka na kufanyakulingana na yale aliyosema angefanya. Sasa, tumesikia habariZake, sasa tunamwona! “Nimekusikia kwa masikio yangu, sasaninakuona kwamacho yangu.” Amina! “Ninamwona kwamachoyangu mwenyewe.” Inapaswa kuwa ni majira ya jinsi gani!Inapaswa kuwa ni wakati wa jinsi gani! Kuthibitisha NenoLake! Daima wakati Neno linapothibitishwa, huyo ni Munguakinena katikaNenoLake, akijifanya aonekane ili upate kuona.183 Sasa, huyu hapa maskini kahaba ametoka mitaani,anaanguka madhabahuni (mbele za Yesu) na akaosha miguuYake kwa—kwa machozi, na—na kuipangusa kwa nywele zake.Mungu alimheshimu, akasema, “Kila ihubiriwapo Injili hii, najambo hili litajwe kwa kumbukumbu lake.” Kwa nini? Angaliajinsi alivyokuwa mchafu, lakini jambo fulani lilimshukia. Yeyealiona Neno la ahadi, kutoka Bustani ya Edeni, huu, “Mzao wamwanamke utakiponda kichwa cha nyoka.” Alimwona Masihialiyekuwa amezaliwa na bikira.184 Alisikia Yeye atazaliwa na bikira, lakini wakasikiamtu huyo alikuwa yupo duniani. Alisikia kulikuwako narabi kijana, Nabii, ambaye aliwaponya wagonjwa. Huyomwanamke aliamini jambo hilo! Na hapa yuaja mwanamkehuyo barabarani, akitembea, akiangalia kote. Ndipo akaangaliakule na kuona karamu hiyo kubwa ikiendelea. Akanyata uani, naakachungulia, na Huyo hapo. Huyo hapo! Kitu fulani kikasema,“Yule Ndiye!” Unaona, hilo tu ndilo alilohitaji apate kuvuviwa.Unaona jambo lililotukia? Aliona Neno la Mungu lililofanyikamwili. Alikuwa amesikia kwa masikio yake, sasa akaona kwamacho yake.185 Sasa, kila mtu anajua ya kwamba tuna ahadi ya hali yakanisa, katika siku za mwisho. Kanisa, katika hali yake yasasa, haliwezi kamwe kutimiza amri za Mungu, lile agizo kuu,halingeweza kamwe kumwita Bibi-arusi atoke. Ni lipi lingewezakufanya hivyo? Ati la Kipentekoste? Nasema la. Hakuna moja lahayomengine. Hayo ni makapi yaliyo kwenye ngano. Yaliyotoka,yalifanana kabisa na ngano, lakini hayakuwa na ngano.Linafunguka, lakini chembe inatoka katika hilo. Wanaundamadhehebu, wanajiua. Hapo ndipo wanapofia. Wao ni ubua.Lakini ngano imekua kupitia kule, na sasa imeanza kuumbika

Page 32: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

32 LILE NENO LILILONENWA

kwamfano wa Bibi-arusi. Chembe ya ngano iliyoanguka ardhinikupitia nyakati za giza, ilipaswa kufa.186 Yule mtoa makosa anasema, “Kwa nini Mungu wa rehema,aliweza kufungua Bahari ya Shamu, asimame na kuwaachamaskini Wakristo hao waliwe na simba, na wachomwe moto,na kila kitu? Aketi, kana kwamba tu Yeye alicheka jambohilo!” Maskini mpumbavu huyo! Je! yeye hakujua, “Chembeya ngono isipoanguka ardhini”? Ilipaswa kufa kupitia nyakatihizo za giza, kama vile chembe nyingine yo yote ya nganoinavyopaswa kuingia chini ya ardhi na kuzikwa, ipate kuzaakatika yale matengenezo ya kwanza hayo majani mawili yaLuther, ule ubua. Ilipaswa kuchipuka katika ule wa Wawesley,huko ng’ambo, ipate kuchavusha, vile vishada, ule wakatimkuu wa kimishenari. Ilibidi itokee kwenye Pentekoste, kwaajili ya kurudishwa kwa vipawa, karibu kuwadanganya walioWateule. linaonekana kama chembe ya ngano; lifungue, hamnangano mle hata kidogo, ni kapi tu. Lakini nyuma, wakati huo,walianza kuunda madhehebu ya umoja, madhehebu ya utatu,madhehebu ya uwili, na madhehebu ya kanisa la Mungu, na yoteyakaunda madhehebu, na ni mauti tu hasa! Na sasa ni jambogani linalotukia? Lakini ni kitu kinachohifadhi ngano, imekuwaikikulia humo daima.187 Sasa imeanza kuondoka, ngano imeanza kuonekana. Huu siwakati waKipentekoste, huu ni wakati wa Siku za Baadaye, huuni Wakati wa Bibi-arusi, hii ni Nuru ya Jioni. Huu ni wakatiambapo Malaki 4 haina budi kutimizwa kufuata mpangilio waMungu, huku ni kutimizwa kwa Luka 17:30, hiki ni kitabucha…Yeremia na hao wengine wote, ambapo Yoeli alinena juuya siku hizi, hii ndiyo ile siku. “Nimesikia, Bwana, na Hilolilikuwa linakuja, lakini sasa ninaliona kwamacho yangu!”188 Ingawa wengi…ni waigaji wangapi wa uongowatakaotokea, hao Yane na Yambre pamoja na viinimacho vyaovyote kufanya kila kitu ambacho Musa alifanya, halikumtikisawala kumtikisa Haruni hata kidogo. Walijua mahali…kamavile Ayubu, walijua kwamba uvuvio wao unatoka kwa Nani.Walijua ilikuwa ni BWANA ASEMA HIVI. Na Biblia ile ileiliyonena habari zao, ilisema, “Watatokea katika siku zamwisho, waigaji.” Hayo madhehebu ya kidini, wakati jambofulani lilipoanza…Ni nani aliyeanza kwanza? Musa ama hao?Kama ndio waliokuwa wameanza kwanza, Musa angekuwa nimwi—mwigaji.189 Sasa tuna kila namna ya wapambanuzi na cho chote kilekinachojaribu kuondoa moyo wako kutoka kwenye kitu halisicha Mungu, ambacho Mungu amethibitisha kwamba ni Kwelikwa Maandiko Yake. “Tumesikia jambo Hilo kwa masikio yetu,sasa tunaliona kwa jicho letu.” Amina! Unaamini jambo Hilo?Mioyo yetu yote? Uvuvio! Na katika siku hiyo wakati Mwana

Page 33: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 33

wa Adamu anapofunuliwa, Mwana wa Adamu, Yesu Kristoakidhihirishwamiongoni mwawatuWake.190 Mtu fulani alitembea kule mbele ya Ibrahimu na kundilake, mtu tu wa kawaida, mavumbi nguoni mwake. Alikuwaameelekeza mgongo Wake hemani, akasema, “Yu wapi Saramkeo?” (si S-a-r-a-i, S-a-r-a; I-b-r-a-h-i-m-u, si A-b-r-a-m-u).Akaita jina lake, kasema, “Yu wapi?”191 Kasema, “Yumo hemani, nyuma Yako.”192 Kasema, “Kwa muhula wake nitakurudia” (naye akachekakwa siri). Kasema, “Kwa nini akacheka?” (a-ha). Sasa, Yeyealiahidi. Hao watu ndio waliokuwa wakimtazamia mwanaaliyeahidiwa.193 Sasa, sijali watu wanaigiza kiasi gani katika madhehebuhaya, wakisema wao “wanamtazamia Kristo,” matendo yaoyanathibitisha hawamtazamii! Hiyo ni kweli. Matendo yakoyananena kwa sauti kubwa zaidi ya maneno yako. Yotewanayofikiria ni kuwapata wafuasi wa kimadhehebu, lakinikuna baadhi ya watu, mmoja hapa na pale, wanaokutazamiakuja kwa Bwana. Wanakutazamia…haidhuru. Hao tu ndioatakaojifunua kwao, hao tu ndio watakaofahamu.194 Wateule tu ndio waliofahamu kwamba Yeye alikuwani nani. Hebu wazia tu, kuna labda watu milioni tatu,Wayahudi, duniani, hapakuwapo na labda theluthi moja yaowaliowahi kujua Yeye alikuwako mpaka baada ya Yeye kujana kuondoka. Unaona? Lakini alijifunua Mwenyewe kwawale waliokuwa wanangoja: Yohana Mbatizaji, na—na mitumewaliokuwa wameitwa na Yohana, na kadhalika, na kipofu Anahekaluni, kuhani Simeoni ya kwamba “alifunuliwa na RohoMtakatifu ya kwamba atamwona Kristo.” Viongozi hao wote wadini, wanatheolojia na kadhalika, vipofu kupindukia!195 Mvua tu ndiyo inayoweza kuotesha mbegu, kama mbegutayari ipo hapo. Na kama vile ulivyokuwa seli zazi kwanzakatika baba yako, wala yeye hakukujua, hata hivyo ulikuwandani ya baba yako. Lakini kupitia kwa shamba la kuoteshala mama yako, ulidhihirishwa katika mfano wake, ndipo basiyeye akaweza kuzungumza nawe. Mungu, yule Mungu Mkuu;kama una Uzima wa Milele, basi seli zazi ya Uzima wa Mileleilikuwa katika Mungu hapo mwanzo. Nawe ulikuwa huko,ulikuwa katika mawazo Yake, jina lako na kila kitu. Naye,kwa kutangulia kujua, alikuchagua upate kuona Hili. Nanyiambao hamkuchaguliwa, hamtaweza kuliona Hilo kamwe.Lakini, kumbuka, katika Jina la Bwana Yesu, “Saa imewadia!”Mtamwamini? Mpeni maisha yenu. Sina budi kufunga, saa tatuimepita.

Na tuinamishe vichwa vyetu:196 “Nimesikia, Bwana, habari Zako, sasa nakuona Wewe!”Bwana Yesu, wabariki watu hawawanapongojea.

Page 34: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

34 LILE NENO LILILONENWA

197 Sasa nitawaulizeni swali fulani. Nitamwacha RohoMtakatifu (ninatumaini ya kwamba atafanya hivyo)ataichunguza mioyo yenu, akujaribu, ajaribu nafsi yako, aonekama kweli unaamini. Na kama ukiona kuna shaka kidogo pale,unaweza kuinua mkono wako? Useme, “Bwana Yesu, naombanikuone Wewe. Nimekusikia Wewe, lakini kweli sijakuona. Jalianikuone, nitaamini.” Vema. Hilo ni sawa.198 Je! kuna baadhi ya waliopo hapa wasiomjua kama Mwokoziwako? Inua mkono wako, useme, “Kama… Mi— mimi nimwenye dhambi, lakini kama nikininii…kama Wewe—kamaWewe utaniruhusu tu nikuone, Bwana Yesu, dhihirisha Nenohili wanalozungumza juu yake. Ninajua ya kwamba hivyondivyo Ayubu alivyokuona. Ninajua hivyo ndivyo Ibrahimualivyokuona Wewe. Najua hivyo ndivyo hao wengine wotewalivyokuona Wewe, kwa maana ilikuwa ni kuthibitishwa kwaNeno Lako lililoahidiwa. Nimesikia mambo ya kila aina, naviinimacho, na kila kitu, lakini ninasikia kuna Ujumbe wa sikuya mwisho nchini, ulionenwa na Malaika mtoni, katika 1933.Nilisikia habari za ibada za uponyaji zikiendelea, nami najuawakati hilo litakapotukia, haliwezi kukaa katika utaratibu huowa kimadhehebu wa siku nenda siku rudi.” Haukutumwa kwaajili ya huo, haujapata kukaa pale kamwe. [Sehemu tupu kwenyekanda—Mh.]…?…199 Vipi kama Musa angalikuja aseme, “Hebu na tujenge safinakama vile Nuhu alivyofanya, tutoke Misri kupitia mtoni.” Loo,la. Unaona? La! Yeye alikuwa na Ujumbe kutoka kwa Mungu,alikuwa ndiye dhihirisho. Kutokea kwa nabii huyo jukwaani,kulipaswa kuwathibitishie Israeli papo hapo. Hawakuwa nanabii kwa muda wa miaka mia nne, hawakuwa wamempatanabii, na hapa nabii anatokea jukwaani.Walipaswa kujua jambofulani lingetukia.200 Israeli tena hawakuwa na nabii kwa mamia ya miaka, nahuyu hapa Yesu anajitokeza jukwaani. Ndipo yule mwanamkepale kisimani, akasema, “Bwana, naona ya kuwa U nabii. Sasa,hatujakuwa na mmoja kwa miaka mia nne.” Kwa sababu, Yesualijua kilichokuwamoyoni mwake. Unaona?201 Sasa, tumeahidiwa wakati fulani wa kanisa kupitia kwawatengenezaji, na tumekuwa nao. Lakini Yeye aliahidi, katikaMalaki 4, angedumisha mpangilio Wake katika siku za mwisho,yale ambayo yangetukia, “Kuigeuza mioyo ya watoto irudieImani ya baba wa kimitume.” Kwa kusudi lilo hilo! Nakanisa limegawanyika sana katika madhehebu mbalimbalina itikadi, limeraruliwa vipande-vipande mpaka limekufa;limekuwa bebaji. Na ndipo Yeye akaahidi, katika ile saa yaUjumbe wa malaika wa saba, ile Mihuri Saba ingefunuliwa; nasiri za Mungu zingetangazwa (Ufunuo 10) wakati malaika wasaba atakapoanza kutangazaUjumbewake, si ibada za uponyaji,Ujumbe unaofuata ibada za kuponya.

Page 35: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 35

202 Yesu alikuwa “jamaa mashuhuri” mradi tu angewezakuponya wagonjwa. Lakini alisema wakati, “Mimi na BabaYangu ni Mmoja.”203 “A-ha! Hilo lilikuwa ni makosa!”204 Ayubu alikuwa “mashuhuri,” mpaka jambo fulanililipompata. Unaona? Ndivyo ilivyo daima.205 Amini! Je! utamkubali sasa? Inua mkono wako, useme,“Ninaamini. Ninataka kumkubali.” Mungu akubariki. Munguakubariki. Hilo ni sawa.

Sasa ketini kimya kabisa namwombe tu kwamuda kidogo.206 Mungu mpendwa, katika muda huu wenye uchaji, utakuwani wakati kama huu ambapo kweli kutakuwako na mshindowa ngurumo siku moja, na Mwana wa Mungu atashuka kutokambinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya Malaika Mkuu, natarumbeta ya Mungu, wafu katika Kristo watafufuka. Na kilammoja wetu anajua, na anafahamu usiku wa leo, Baba, yakwamba itatupasa kuwajibika kwa kila neno tunalonena, nakila neno tunalosema. Hata mawazo yaliyo mioyoni mwetu,tutawajibika kwayo. Ninakuomba Wewe, Mungu, katika Jina laYesu, ya kwamba utasafisha kila moyo ulio hapa ndani. Safishamoyo wangu, isafishe mioyo ya watu hawa. Na jalia tuwe tayari,Bwana, na jalia macho yetu ya kiroho yafunguliwe usiku waleo tupate kuona Utukufu wa Mwenyezi Mungu. Tumemsikiahabari Zake, Ee Baba, Mungu, tunaomba ya kwamba Weweutaturuhusu kumwona. Tujalie hayo, Baba. Tujalie baraka hizi,ninaomba, kwa Jina la Yesu Kristo. Amina.207 Kumbuka: Katika moyo wako, mahali unapoketi, pafanyemadhehebu yako ndogo. Useme, “Bwana Yesu, ingia moyonimwangu sasa. Nipe kitu fulani cha…kitu ninachowezakushikilia. Jalia nisikie ule uvuvio unaoniambia ya kwambaWewe ‘upo.’”208 Sasa, ni tamshi la namna gani la kuwaambia watu! Nija— jambo lililoje kulitenda! Sasa nitamwomba Bwana Mungu,niombe…209 Ni wangapi wenu wanaochukua kanda? Mlisikia juu ya:Ni Wakati Gani, Mabwana? Je! tulionyesha hayo magazetina kadhalika, mwaka mmoja kabla halijatukia? Sayansiimeduwazwa na jambo hilo. Kulikuwa na Bwana Yesu ametiwataji akiwa amevalia wigi hiyo nyeupe kama unavyoona katikaBiblia, katika Ufunuo 1, na Danieli, Hakimu Mkuu wa Mbinguna nchi. Papo hapo, wakati sayansi hata haiwezi kuona jamboHilo wenyewe. Na katika chumba cha kuchunguzia, huko katikaChuo Kikuu cha Arizona na kote katika Mexico, wanatafuta,wamekuwa wakitafuta kwa miaka miwili iliyopita. Na hapomliambiwa, “litatukia,” hapo kabla.210 Na tetemeko la ardhi la Alaska je? Angalieni Hollywoodikizama baharini! A-ha, angalieni mwone kama haitazama.

Page 36: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

36 LILE NENO LILILONENWA

Hajaniambia jambo lo lote lisilo la kweli bado, itazama.Mnaona? Na angalieni tu mwone kama hatuishi katika masaaya kumalizia ya historia. Hakuna mtu ajuaye kwamba Yeyeanakuja wakati gani. Lakini ninajua jambo moja: ninaamini,katika hali yangu ya sasa, kama niko na akili zangu timamu,na kama sikuwa Mkristo, hakika ningetaka kuwa Mkristo halisiwa Biblia, si wa kimadhehebu. Usitegemee kwamba umepigamakelele. Tumesikia hayo asubuhi ya leo, tukalithibitisha kwaNeno la Mungu; kwa jumla yote yako nje ya mapenzi ya Mungu,hayakufanya jambo lo lote ila kusababisha mauti. Usiwe katikaubua, uwe katika Uzima. Unaona?MwaminiMungu.211 Je! unaamini ya kwamba yule Mungu aliyetoa ahadihii, aliyejitokeza Mwenyewe, katika Kitabu cha Mwanzo, nakumtokea Ibrahimu na kufanya ule muujiza… Mungu yeyeyule alifanyika mwili, mwili wa binadamu, akazaliwa na bikira.Huo ulikuwa mwili wa kiungu pale, bila shaka, lakini wakatiYeye alipokuja katika mwili wa kibinadamu na alikuwa mtuyule yule, na kufanya mambo yale yale,… Je! hamwamini yakwamba kama Mungu angeweza kumpata mtu fulani (jamboambalo aliahidi kufanya, kulingana na Malaki 4), njia fulaniambayo angeweza kuzungumzia, Yeye atafanya jambo lile lilealilosema angefanya pale? Je! mnaamini jambo hilo? Ninaaminiangefanya hivyo, pia.212 Je! unaamini ya kwamba ungeweza kuwa na imani ya kugusavazi Lake, imani Yake kugusa vazi lake? Je! unaamini sasa hivikwamba kitu fulani kinazungumza na moyo wako ambachokingekwambia ya kwamba una imani ya kugusa vazi Lake?Unaamini ungeweza kufanya jambo hilo? Nyosha mkono nauguse kwa imani yako basi, si kwa mhemko, ni kwa imani tuiliyo safi kabisa, isiyoghoshiwa. Sema tu, “Bwana, ninaamini.Ninaamini kwa moyo wangu wote. Ninataka Wewe uniguse,maana ni—nimesikia Wewe ulifanya jambo hilo, sasa natakakuliona kwamacho yangumwenyewe.” Unaona?213 Sasa, siwezi kukugusa, inahitaji Mungu kugusa. Je!unaamini atafanya jambo hilo?214 Ninaangalia moja kwa moja kushoto kwangu hapa.Inaonekana kana kwamba kuna njia, kwa namna fulani, kamanilivyosema, inayovuta huko. Kwa kuwa nimeionyesha huko,sasa inakuja vizuri sana. Ni bibi fulani anayeketi pale pamoja namumewe. Yeye hatoki hapa. Anatoka Texas, Dallas. Anaumwa,pia mumewe anaumwa. Anaumwa ugonjwa ziada, amekwishakufanyiwa upasuaji. Hiyo ni kweli. Mumewe anaumwa ugonjwafulani wa mgongo, maumivu ya mgongo. Bw. na Bibi. Corbet,kutoka Texas; Dallas, Texas. Kama hiyo ni kweli, inua mkonowako. Mimi sikujui. Hiyo ni kweli? Hakuna njia kamwe yamimi kujua jambo hilo. Ni kitu gani? “Nimesikia habari Zakokwa sikio, sasa ninakuona.” Mnaona ninalomaanisha? Sasamuulizeni huyo mtu na mkewe. Sijapata kuwaona maishani

Page 37: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 37

mwangu. “Nimesikia habari Zako kwa sikio, sasa ninakuonaWewe kwa jicho langu.”215 Kama mnaweza kuamini, Mungu anaweza kuwapa hajazenu.216 Yule mtu anayeketi pale amejishika kidevu, mwenye huomsukumo mkubwa wa damu. Unaamini Mungu angekupa afya,bwana? Unaamini? Unayeketi na mkono wako namna hii, je!unaamini Mungu atakuponya msukumo huo mkubwa wa damu?Inua mkono wako, kama unaamini jambo Hilo. Vema, Yeyeanaamini. Sijapata kumwona mtu huyo maishani mwangu,sijui kitu kumhusu. Lakini mlisikia ya kwamba Yesu alisema,hapa katika Biblia, ya kwamba Yeye angefanya mambo haya,sasa unayaona! Mnaona ninalomaanisha? “Ukiweza kuamini,mambo yote yanawezekana.” Ni kwa wale tu wanaoamini!Inatakiwa imani halisi ya kweli kulitenda hilo. Lakini kamaunaweza kuamini Hilo, Mungu atakupa.217 Kuna bibi anayeketi moja kwa moja kule nyuma,akiniangalia, ana tezi kooni mwake.218 Bibi anayeketi karibu naye, anayeketi karibu naye, ilikwamba afahamu, bibi huyo hapa ana msukumo mkubwa nadamu, pia. Hiyo ni kweli.219 Bibi anayeketi karibu naye, ana shi—shida, pia. Naye hatokihapa, anatoka Arkansas. Wanakosa jambo hilo. Binti Philips,mwamini Bwana Yesu Kristo upate kuponywa! Unamwamini?Kwa moyo wako wote? Unakubali? Hilo ni… Basi unawezakuupokea.

Sasa unasema, “Hilo ni fumbo.” La! La!220 Yesu alisema, “Jina Lako ni Simoni, wewe ni mwana waYona.” Hiyo ni kweli?221 Nimesikia habari Zako kwa sikio langu, sasa ninakuona kwajicho langu.” Sasa hamwoni lililotukia? Mtu fulani tu anayeketipale, akiangalia, akiamini, akitumaini,mara linatukia. Unaona?222 Unajisikia nafuu, mwanangu, usiku wa leo, kulikoulivyokuwa jana usiku? Unayeketi chini? Ni sawa sasa, utapatanafuu (a-ha). Aliketi hapa jana usiku, akitikisa kichwa chakena cho chote kile; sasa, usiku wa leo, anaonekana kamamuungwana. Unaona? Alikuwa kidogo amechanganyikiwa namambo, lakini yote yamenyoshwa sasa. Unaona? Hali itakuwazuri. Unaona? “Na siku hiyo, Mwana wa Adamu anafunuliwa,unaona, kabla tu ya Sodoma kuteketezwa kwamoto.”223 “Nimekusikia kwa sikio langu, sasa ninakuona Wewe kwajicho langu. Nilimsikia Yesu Kristo akisema Yeye aliahidijambo hilo, ninaona ahadi hiyo ikiishi sasa hivi.” Unaona?“Nimekusikia kwa siko langu, sasa namwona Yeye kwa jicholangu.” Ni wangapi wanaoamini Huyo kwamba ni Yeye? (EeMungu!)

Page 38: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

38 LILE NENO LILILONENWA

224 Sasa, wakati tukiwa hapa,…muda umeenda. Kesho usikututakuwa na ibada ndefu ya uponyaji. Tunamtarajia NduguMoore pamoja na mimi kusimama hapa na kumwombea kilamtu anayetaka kupita katika mstari. Lakini nilifikiri katikakunena jambo hili usiku wa leo, nilikuwa tu nifanye wito wamadhabahuni. Lakini basi nikawaza, “hapana,” lilisema hapa,“Nimesikia habari Zako kwa sikio langu, sasa ninataka kukuonaWewe kwa jicho langu.” Sasa Yeye yuko hapa. Unaaminijambo hilo?225 Sasa hebu na tuwekeane mikono sisi kwa sisi. Sasa,kumbukeni, yeye yule aliyeahidi angetenda jambo hili, alisema,“Ishara hizi zitafuatana na hao waaminio.” Je! Yeye alisemajambo hilo? Je! wewe ni mwamini? Sema, “Amina.” Vema,basi, Mungu yeye yule aliyefanya ahadi hii ambayo mnamwonaakiitimiza sasa hivi,… Uliza ye yote wa watu hao, sijapatakuwaona, sina habari zo zote juu yao. Nisingewajua sasa hivi,unaona, isingewezekana mimi niwajue. Lakini hayo Maandikohayana budi kutimizwa! Vema, kama hilo limetimizwa,inaonyesha ya kwamba tuko katika nyakati za kumalizia,tutajua mwana wa Adamu yuko tayari kuninii…kuja, kwamaana anajifunua Mwenyewe katika mwili wa kibinadamu. Nikweli?226 Basi tunajua ni kweli, nawe unasema unamwamini Yeye,na mmewekeana mikono. Na kama mmewekeana mikono,Mwana huyo huyo wa Mungu ambaye yuko hapa kufanyajambo hili litimie machoni penu, Mwana yuyo huyo yukohapa kusema, “Watapata afya!” Mwana yeye yule wa Mungu!“Nilisikia kwamba Yeye alisema, ‘Waamini wakiwekeanamikono, watapata afya.’ Nilisikia jambo hilo kwamasikio yangu,sasa hebu nilione kwa macho yangu. Yeye aliahidi kufanyajambo hilo.”

Sasa wakati nikiomba, ninyi ombeni:227 Bwana Yesu, katika Jina la Bwana Mungu wa Mbinguni,Roho Wako na amwagwe ndani ya moyo wa watu hawa; ileimani halisi ya Mungu, itakayowathibitishia ahadi hii, na jaliaMungu wa Mbinguni amponye kila mmoja wao, wanapotii amrizako kwa kuwekeana mikono. Jalia iwe hivyo, Bwana. KatikaJina la Yesu Kristo, jalia kwamba itakuwa hivyo, kwa ajili yautukufu Wako.228 Sasa, unaamini ya kwamba ulipata uliloomba? Kitu fulanindani ya moyo wako kinakwambia? Je! unasikia ile chembendogo ya uvuvio, iliyosema, “Mbona, imekwisha! imetendeka!”?229 Amri ya Mungu ilisema ya kwamba tungeweza kusikia kwasikio letu, sasa tunaweza kuliona kwa jicho letu. Ayubu alisema,“Nimesikia habari Zako kwa kusikia kwa sikio, lakini sasaninakuonaWewe kwamacho yangu.”

Page 39: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 39

230 Sasa, ulisikia jambo hilo kwa Neno, kwa kusikia kwaNeno, “Imani chanzo chake ni kusikia, kusikia Neno.” Sasaunaiona Hiyo ikitenda kazi, kwa macho yako! Sasa, Munguyeye yule aliyesema jambo hilo, wakati mambo haya yalipokuwayakitendeka, ya kwamba “Waaminio wa jambo Hili watawekamikono yao juu ya wagonjwa nao watapona.” Je! sasa limeingiamoyoni mwako ya kwamba “umeponywa”? Inua mikono yakokama limeingia moyoni mwako. Amina! Huo ni uponyaji halisiwa kimitume. Unamaanisha kweli? Unaamini Hayo kwa moyowakowote? Haleluya! Hilo tu ndilo tunalohitaji.

Hebu na tusimame kwamiguu yetu na tumpe sifa, basi:231 Asante, Bwana Yesu. Jina la Bwana na libarikiwe.

Nitamsifu! Nitamsifu!Msifuni Mwana-kondoo aliyechinjwa kwa ajiliya wenye dhambi;

Mpeni utukufu, enyi watu wote,Kwa kuwa Damu Yake imeosha kila waa.

232 Sasa, mnampenda? Sasa hebu, sote pamoja, tumpe utukufu,ninyi watu wote. Sasa, angalia, kama jambo hilo limefunuliwakwako na Mungu, kwenye njia uliyookolewa, njia ile ile yamawasiliano iliyokwambia “umeokolewa,” njia ile ile aliyopitiaMungu, kama alivyofanya akipitia kwa Ayubu na manabii, Yeyeamepitia kwako akipitia kwa njia hiyo kama Mkristo, kwaufunuoWakewaKiungu ya kwamba “umeponywa,” basi hakunakitu kitakacholizuia lisitukie.

Kwa hiyo tunampa utukufu, enyi watu wote,Kwa kuwa Damu Yake imeosha kila…(kilashaka, imeosha kila shaka).

Nitamsifuni! Nitamsifu!Msifu Mwana-kondoo aliyechinjwa kwa ajiliya mwenye dhambi;

Mpeni utukufu, enyi watu wote,Kwa kuwa Damu Yake imeosha kila waa.

233 Loo, je! hamumpendi? Aha, ni ajabu jinsi gani. “Nimesikiahabari Zako, Bwana, kwa sikio langu, na imani chanzo chakeni kusikia; lakini sasa ninakuona Wewe, Mungu akijijulishaMwenyewe miongoni mwa watu Wake kama alivyofanya kwaIbrahimu, kwa ahadi Yake hapa ya kwamba Mwana wa AdamuangejifunuaMwenyewe katika siku ambazo ulimwengu utakuwakatika hali ya Sodoma.”234 Na kulikuwako na wajumbe watatu waliotokea, walioshukakutoka Mbinguni.235 Na kulikuwako na kundi la kimadhehebu huko chini katikaSodoma, na akina Billy Graham na Oral Roberts wakaenda kulechini. Na kumbukeni kama nilivyowaambia, hakuna mahali popote katika historia ya kanisa pamewahi kuwapo na mjumbealiyetumwa kwa kanisa la ulimwengu mzima, mpaka wakati

Page 40: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

40 LILE NENO LILILONENWA

huu, ambaye jina lake linaishia kama lile la Abraham, h-a-m. G-r-a-h-a-m, herufi sita, kwa ulimwengu, namba yamwanadamu.236 Lakini Abraham alikuwa na herufi saba katika jina lake,namba yaMungu ya utimilifu na ya ukamilifu. Unaona?237 Tena angalia vile hao wajumbe walivyofanya ambaowalitoka kwenda kule: walihubiri Neno, wakawaita watoke,wakawaambia watubu.238 Lakini Yule aliyebaki kule nyuma na Ibrahimu, unaona,alifanya muujiza kwa kumwambia Ibrahimu yale Saraaliyokuwa akifanya na kuwazia akiwa hemani nyuma yake.Na Yesu, ambaye Ndiye aliyekuwa katika mtu huyu, alisema,“Wakati ulimwengu utakapokuwa katika hali ya Sodoma,kama ulivyokuwa wakati huo, Mwana wa Adamu atafunuliwatena.” Na Maandiko mengine yote yakithibitisha jambo hilokwamba ni kweli. Ninii…“Hapo mwanzo kulikuwako”[kusanyiko linasema, “Neno!”—Mh.] “Naye Neno alikuwakokwa” [Kusanyiko linasema “Mungu!”—Mh.] “Naye Nenoalikuwa” [Kusanyiko linasema “Mungu!”—Mh.]. “Naye Nenoalifanyika mwili akakaa kwetu.” Hiyo ni kweli? Sasa tunaonaNeno lile lile lililoahidiwa, la Luka, la Malaki, ahadi hizinyingine zote za siku ya leo, zikifanyika mwili, zikikaa katiyetu, ambazo tulisikia kwa masikio yetu; sasa tunamwona Yeye(kwa macho yetu) akifasiri Neno Lake Mwenyewe, hatuhitajitafsiri yo yote ya mwanadamu. Ee kanisa la Mungu Aliye Hai!mlio hapa na kwenye simu! amkeni upesi, kabla hamjachelewasana! Mungu awabariki.

Ninampenda, ninampendaKwani alinipenda kwanza,Na kununua wokovu wanguMtini Kalvari.

239 Mngeweza kuwazia, enyi kanisa, ya kwamba mnaangaliakwa macho yenu wenyewe…Neno Lililo Hai la Mungulikidhihirishwa, ahadi ya wakati huu, katika siku za mwisho,mkiangalia kwa macho yenu wenyewe lile Neno Lililo Hailikifasiriwa katika maumbile ya kawaida, Mungu miongonimwetu! “Ninamwona kwa macho yangu mwenyewe, Yule…Nilisikia ya kwamba atafanya jambo hilo.” Wenye hekima wotewa kale waliitazamia siku hii, sasa tunaiona imedhihirishwakwa macho yetu wenyewe. Ni Wamethodisti wangapi wa kalewanaopaza sauti, Wabatisti, na wapentekoste halisi, wa kweli,katika wakati wao, waliotamani kuona jambo hili likitukia!Wengi wao walijua lingetukia Lakini tunasimama usiku wa leotukiliona likitukia! Loo! Je! hamumpendi?240 Sasa, Yesu alisema, “Hivyo watu wote watatambua ya kuwaninyi mmekuwa wanafunzi Wangu, mkiwa na upendo ninyi kwaninyi.” Kwa hiyo tunampenda Yeye, hebu na tupeane mikono nakuimbaNitamsifu! Nitamsifu! Vema:

Page 41: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA 41

Nitamsifu! Nitamsifu!Msifuni Mwana-kondoo aliyechinjwa kwa ajiliya wenye dhambi;

Mpeni utukufu, enyi…(Unafanyaje?)…watuwote,

Kwa kuwa Damu Yake imeosha kila waa.241 Malkia wa Belteshaza alisema nini mbele ya mfalmewake usiku huo? “Kuna mtu fulani katika ufalme wakoambaye huondoa mashaka.” Na Roho Mtakatifu, usiku waleo, ni mwondoa mashaka! Unaamini jambo hilo? [NduguBranham anazungumza na mtu fulani—Mh.] Mwenye kuondoamashaka! Sasa, Damu ya Kristo huondoa kila waa, waala mashaka. Hakuna dhambi iliyo kuu sana ulimwengunikuliko kutokuamini, “Kwa maana yeye asiyeamini, amekwishakuhukumiwa!” Hiyo ni kweli? “Yeye asiyeamini amekwishakuhukumiwa.” Kuna dhambi moja peke yake, na hiyo nikutokuamini. Kuvuta sigara si dhambi, kulaani si dhambi,kufanya uzinzi si dhambi, kudanganya si dhambi; hayo sidhambi, hayo ni matokeo ya kutokuamini. Kutokuamini!Unafanya hivyo kwa sababu huamini. Kama unaamini, hufanyihilo.242 Loo! Loo! Ni ninii…Zuri sana! Na Damu ya Mwana-Kondoo imeosha kila shaka. Tunaamini Neno Lake, kwadhati. Tunaamini ya kwamba Neno lilifanyika mwili. Natunaamini Neno limefanyika mwili kwa thibitisho la UwepoWake sasa kuthibitisha Neno Lake. Mnaamini jambo Hilo?Mungu awabariki.243 Tunatumaini kuwaona hapa asubuhi, kwa ajili ya wakatimkuu katika Bwana. Inamisheni vichwa vyenu sasa, namininaikabidhi ibada kwa Ndugu Lindsay.

Page 42: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

NIMESIKIA, BALI SASA NINAONA SWA65-1127E(I Have Heard But Now I See)

Ujumbe huu wa Ndugu William Marrion Branham, uliohubiriwa hapo awalikatika Kiingereza mnamo Jumamosi jioni, 27 Novemba, 1965, katikaMaskani yaLife kule Shreveport, Louisiana, Marekani, hapo awali ulitolewa kwenye kandaza sumaku na kupigwa chapa bila kufupishwa katika Kiingereza. Hii tafsiri yaKiswahili ilichapishwa mwaka wa 2003 na Voice Of God Recordings.

SWAHILI

©2003 VGR, ALL RIGHTS RESERVED

VOICE OF GOD RECORDINGS

P.O. BOX 950, JEFFERSONVILLE, INDIANA 47131 U.S.A.www.branham.org

Page 43: NIMESIKIA,BALI SASA NINAONA - …download.branham.org/pdf/SWA/SWA65-1127E I Have Heard But Now … · Naye alifika na…ama amefika mahali fulani,kanisaniambakonilikuwaninahubiri.Akasema,baada

Ilani ya haki ya kunakili

Haki zote zimehifadhiwa. Kitabu hiki kinaweza kuchapishwa kwa matbaa ya nyumbani kwa matumizi ya kibinafsi ama kusambaza, bila malipo, kama chombo cha kuitangazia Injili ya Yesu Kristo. Kitabu hiki hakiwezi kikauzwa, kunakiliwa kwa wingi, kuwekwa kwenye mtandao, kuhifadhiwa kikatolewe tena, kufasiriwa katika lugha zingine ama kutumiwa kuomba fedha bila idhini halisi iliyoandikwa moja kwa moja kutoka Voice Of God Recordings®.

Kwa habari zaidi ama kwa vifaa zaidi, tafadhali wasiliana na:

Voice of God RecoRdinGsP.o. Box 950, JeffeRsonVille, indiana 47131 U.s.a.

www.branham.org