orodha ya vitabu vya fasihi na waandishi wake · 1983 ukinzani ktk maelezi baina ya ukristo na ....
TRANSCRIPT
ORODHA YA VITABU VYA FASIHI NA WAANDISHI WAKE
HADITHI FUPI
S/N MWANDISHI JINA LA
KITABU MCHAPISHAJI
MWAK
A DHAMIRA
1
Abdallah
Khalfani
Mfalme
Ndevu Na
Mmaskini
Mkata Kuni
Readit books 1995 Dhullma,urasim
na tama
2
Abed, Mehta Anaona
anasikia
Methews books
store and
stationaries
2003 Mathara ya
ukimwi
3
ABED,Mehta Mtego
kabambe
Methews Books
store and
stationary
2003 Elimu na
mafunzo
4
AMIR Alli
Jamaadar
Hadithi
zenye
mafunzo
Oxford
university press
1973 Elimu mafunzo
maadili
5
Arnott,K Ayo
msichana wa
kiafrika
Oxford
University press
1967 Upendo
6
Athuman
Abbasi
Kuku njiwa
kicheche na
hadithi
nyingine
Readits books 1996 Maadili
7
Backman,P.J Hekaya za
mjini
Ndanda Mission
press
1974 Mawaidha
mbalimbali ya
kiroho
nakimwili,Upen
do na uvumilivu
8 Baitu Richard Mkia wa
chura
LDS
PABLISHER
2002 Umoja haki na
upendo
9
Balisdya
Ndyanayo
Ushindi wa
majeruhi na
hadithi
nyingine
DUP 1994 Matatizo ktk
maisha
10
Banzi ALEX Tamaa mbele
na hadithi na
hadithi
nyingine
NMP 1970 Uchumi wa
utajiri,athari ya
tama uchoyo na
urafi
11
Bata,A.A. Chatu Ndanda mission
press
1983 Ukinzani ktk
maelezi baina ya
ukristo na
uislam,Mpenzi
kabla ya ndoa
12 Bwana Jems,H Mganga pazi Heko pablisher 1991 Ulaghai katika
kupata mali
13 Chiraghdin,C Malapa wa
mvita
OUP 1974 Ukombozi
14
Chmbila,M.D Neema jasiri DUP 2005 Moyo wa
kujituma,ujsiri
na upendo
15
Chowo H,T Kisa cha
kuku na
mwewe
MPB enterprisis 2005 Usikivu
16
Chuma,A Fadhili msiri
wa naugua
TPH 1980 Mila na jadi
17 Chuma,A Gongo la
umma
Star Agencies
LTD
1980 Harakati za
ukombozi
18
Chuma,A,K Kunga za
kiswahili
CHEWATA 1980 Mapenzi na
ndoa,Tathmini
ya elimu
19
Chwo,H.T Kipepeo
amnusuru
binadam
MBP enterpresis 2004 Huruma,Upendo
na maadili
20
Dira,D,E Sultani
liyegeuka
korongo na
hadithi
nyingine
The Sheldon
press
1952 Hekaya
mbalimbali za
binaadam ba
ubinadamu
wao,Na matatizo
mengine
yakupendeza na
kustaajabisha
21 Diwai
Ramadhani
Shinikizo la
fedha
Tanzania Book
Club
1996 Mattizo ya urithi
ktk familia
22 Djoreto,Amu Mwezi aliye
mwoga
Heineman
publication
1992 Maonyo kwa
jamii
23 Djoreto,Amu Mapacha
Matatani
Heinemann
Publication
1991 Upendo,umoja
na dhuluma.
24
Ganzel,E Kitanzi Utamaduni
Publication
1984 Upelelezi
25
Getanguthi,E,
N
Aliyebeba
chatu na
hadithi
nyingine
OUP 1987 Miila,miiko,uam
inifu na juhudi
26
Habibu
Mbaruku
Koroingo na
kobe
MBP ENTER
PRISISE
Umuhimu wa
umoja na
kutenda mema
27 Haji,g.Haji Nahodha
Chui
Oxford
university press
2004 Ujasiri
28
Juma Shabani
Alli
Kisa cha
binadamu na
Wanyama
Rafiki
Publishers Ltd
2005 Upendo,Huruma
na juhudi.
29
KAMERA,W,
D na wenzake
Hadithi za
wiraqwi wa
Tanzania
EALB 1978 Mila na
tamaduni za
makabira ya
Tanzania
30 Kamera,W.D
Na wenzake
Si watu? OUP 1989 Ukweli,Upendo
na ushirikiano
31
Kamera.W.D
na wenzake
Elimu kwa
ngano
Maarifa
cooperation
DSM
1982 Visa na hekaya
kuhusu
tamaduni ya
kiafrika na faida
za ngano hizo
kwa kizazi cha
leo
32 Kamoro yuda Usininyonge Long man 1970 Unyonyaji
33 Kana,joachim Masimulizi
ya sebuleni
TMP book
department
1970 Mafunzo na kazi
34
Karago T Kisa cha
nyuki na
Tembo
TPH 1979 Unafki na
uchonganishi
35
Karago,T Kisa cha
mzee wa
kizaramo na
mototo wa
wenzie
TPH 1979 Tibia njema na
msingi wa
maisha
36
Karago,T Ugomvi wa
panzi furaha
kwa kuguru
TPH 1979 Tahadhari ktk
maisha
37
Karago,T, Hadithi
zenye hekima
na maadili
TPH 1979 MAADILI
MEMA
38
Katama bairu Sokoni
kariako
Tamtam book
club
1996 Matatizo ya
mjini kwa
wageni
39 Kezilahabi,E Kijana yule DUP 1991 Umuhimu wa
elimu
40
Kimaro,Jerom
e
Safari ya
MAMA
Tema Ppblisher
LTD
2000 Malezim kwa
watoto na
upendo
41
Kitalambula,F,
H
Lawalawa na
hadithi
nyingine
Premier
publishers
1976 Utamaduni
mafunzo na
malezi
42
Mahimbili,Ren
atusi
Jumanne
moja kando
ya mto
Heinemann
drum publishers
1996 Uharibifu wa
mazingira,Umasi
kini na elimu
43
Mahimbili.Ren
atus
Bibi mwenye
macho
mekundu
Ruvu publishers 2005 Uchawi na
ushirikina
44
Mchana.A,E Marafiki
wawili
Mtulre
educational
publisher
2002 Uaminifu umoja
na ukweli
45
Mkufya,W,E Mbuzi
waliokosa
subira
Mangrove
publisher
2003 Utii na tama
46 Mkufya,W,E Tumbili na
Mkia Wake
2003 Tamaa na
ushirikiano
47
Mkufya,W,E Mtawa wa
binti wa
mfalme
Ruvu publishers 1999 Kutunza
mazingira
48 Mkufya.W,E Androbo na
samba
Mture
publishers
1998 Kulipa fadhila
49
Mlingwa,F,E Haki
itatawala
dunia
Longman 1972 Dhulima tumaini
na ukweli
50 Mlingwa.F,E Kuwa
uyaone
Tanzania Litho
LTD
1971 Elimu maonyo
na maadili
51
Mng’anda,B,S Shukrani za
samba
READIT
BOOKS
1992 Kutodhani utu
na kutoa
shukrani
52 Mnyaka Onge Nani kama Heko publishers 2003 Kjitegemea na
kujituma
53 Mohamoud
Rahman
Malki mroho Ruvu publishers 2004 Uchoyo urafi na
maadili
54 Msewa,O Kifo cha
ugenini
TPH 1974 Haraka za
ukombozi
55 Msokile,M Cha
mnyonge
TUKI 1974 Dhulma na
unyonyaji
56
Msokile,M Nyota TUKI 1974 Athari ya uhuru
usiokuwa na
mipaka
57 Msokile,M KIUMBE TUKI 19741 Athari za kutoa
mamba
58 Msokile.M Ukungu TUKI 1974 Msimamo wa
maisha
59
Mwaipyana
Albert
Simu ya
mwanamwali
Methews Book
store and
stationary
2003 Umuhimu wa
mawasiliano na
maadili mema
60
Mwanga
Mngedia.A
Mti
uliozungumz
a
Ruvu publishers 1996 Malezi maadili
na upendo
61 Rashid
.M,K.Longido
Wawindaji
watatu
UOP 2004 Uchoyo Dhulma
na tama
62 Rashid ALLI
,M
Sungura na
Mbweha
OUP 2004 Ujasiri na ujanja
63
Rashid Alli,M Safari ya
Hamadi
UOP 2004 Utukutu kwa
watoto na elimu
kwa watoto
64 Safari,A Kabwela DUP 1978 Sasa na uchumi
65
Sealay.Patricia Mjuzi
aliyemzungu
ka
Heinmann
publishers
1995 Maadili mem,a
na heshima
66
Seka,B.R Kipeuo na
kipeo
Kapsel
educational
publishers LTD
2002 Kujifunza
hesabu
67
Selengwa,L,S Yowe la
majuto
Ndanda jmission
press
1981 Uaminifu ktk
mapenzi na ndoa
pamoja na tama
ktk maisha
68
Semkiwa.D Mazungumzo
ya babu zetu
OUP 1974 Mila na destuli
za makabila ya
Tanzania
69 Shaabani,K Siri ya bahati BSA LTD 1995 Ndota za
wanaadam
70
Shija Paschal Njiwa na
kinda mkaidi
TBH 1994 Adhali ya ukaidi
kutosikia ya
wakuu
71
Siedle,A,S Paulo na
kalumanzila
T,M.O.book
department
(Tabora)
1980 Mafunzo ya dini
ya kikristo
72
Singija,D Kukopa
harusi kulipa
matanga
Ndanda mission
press
1975 Matatizo yanayo
ikabili jamii
kama vile
umasikini,uhami
nifun ktk
kukopa na
kulipa.
73
Tawakal,Alhaj
i
Hadithi
zenye hekime
na maadili
TPH 1979 Madili mema na
malezi
74 Thonya,Z,N Mashairi ni
mtego
BSA LTD 1978 Maisha yenye
msukosuko
75
Yahaya.S.S Pepeta Kenya Litho
LTD
1971 Ujasili uzalendo
na maisha ya
mwafrika
76 Rwechungura
G
Masimulizi
ya Wahenga
Print park
Tanzani Ltd
1972 Umoja mafunzo
na maadili.
76
Rawah F S Zimwi la
mrima
Diamond
Distributors
Services
1951 Uvamizi wa
wakoloni Afrika
na harakati za
ukombozi wa
Kisiasa
77 Omalo L. O Kisa cha
Harusi
Longman 1968 Vita
78
Omari C A
Shariff
Isa Bin Tajiri
na Hadithi
nyingine
High Way Press
Nairobi
1949 Hekaya
mbalimbali za
maisha ya
umwinyi barani
Afrika hasa
pwni ya Afrika
mashariki
79 Richard Deus
M
Mbegu ya
Ajabu
Mwnza Business
Association
1997 Umoja na
uadilifu
80
Ruhumbika G Uwike
usiwike
kutakucha.
Eastern Africa
Publication
1978 Ukombozi dhidi
ya dhuluma
81
Ruhumbika G Wali wa
ndevu na
hadithi
nyingine
Parapanda 1982 Ujenzi wa jamii
mpya.
82
Riwa R L Hadithi za
rafiki saba
The Eagle Press
Nairobi
1951 Mila na Desturi
za Makabila ya
Tanganyika
83
Omari C A
Shariff
Hassan El
Basir
The Eagle Press
Nairobi
1951 Mawaidha juu
ya upendo na
Amanikatika
maisha ya
binadamu
84
Omari C.K Hadithi z
bibi
Print Park
Tanzania Ltd
1970 Wosia kwa jamii
kutoka kwa
wazee
85
Ogejo S. C Mwindaji
hodari
HEB 1974 . Mbinu za
uwindaji na
ujasiri
86 Nuru S. N Ndoa ya
mzimuni
EALB 1974 Mapenzi ya
dhati, uovu
pamoja na
dhuluma
87
Ngole S. Y Fasihi
Simulizi ya
Kitanzania
TUKI 1977 Mkusanyo wa
hadithi zenye
mawaidha ya
kimalezi kwa
vijana chipukizi.
88
Ng’ombo N Hekaheka za
Ulanguzi
Ndanda mission
Press
1982 Matatizo
yaliyolikumba
Azimio la
Arusha.
89
Nyalusia G.P Kisa cha
mwanamke
mjane
Ndanda mission
Press
1984 Jitihada
mbalimbali za
ukombozi wa
wanawake
90 Nyabongo A Upepo wa
mwangaza
EALB 1974 Upendo na
maadili
91
Ngalime JANI Umoja ni
nguvu
Mangrove
Publishers
2005 Ushirikiano na
umoja katika
jamii
92
Mohamed M.S Kcheko cha
ushindi
Shungwaya 1978 Wawaidha
mema na malezi
kwa vijana.
93
Mdoe. C Kilemba cha
Ukoka.
Grand arts
Promotions
1984 Athari za
uwongo na
Unafiki katika
mapenzi.
94 Mkwindu T.S Nimekugund
ua
Ndanda mission
Press
1972 Madhara ya
ujamaa Afrika.
95
Mbawala A 1992 Mapenzi na
Majonzi katika
Maisha.
96
Mbwali L. A Kisa mke Ndanda mission
Press
1984 Madhara ya
kupenda na
kuendekeza
ngono,utengano
na Maradhi.
97
Mandao M Musa Central
Tanganyika
Press
1968 Ukarimu na
Upendo
98
Mbena I,S Ujamaa
utafaulu
Black Star
Agency
1978 Vijiji vya
ujamaa na
uongozi mbaya
99
Muamba B .M Visa vya
Maadili
Ndanda mission
Press
1984 Nukuu za ngano
za makabila
mf,wayao na
Kimakua.
100 Mdoe Fred J Hila za kobe Coulor Print Ltd 1969 Mafunzo kwa
jamii
101
Mwonge E.G.C Wosia wa
baba
EALB 1962 Maadili ya
wazee kwa
vijana
102
Makunja G. C Tha za Mjini Ndanda
Interprises Ltd
Tanzania
1981 Unyonyaji na
unyanyasaji
103
Mnyapala
Bernard
Cheo
dhamana
EAPH 1976 Utumishi mzuri
wa jamii kwa
kuthamini cheo.
104
Mayego P.B Watembelea
Mbuga
MPB Interprises 2003 Utunzaji wa
mazingira
maadili na
udadisi
105
Mohamed ,
Amina A
Paka
asiyependa
Maziwa
OUP 2004 Utukutu na
Elimu kwa
watoto.
106
Mbiro (na
wernzake)
Hila za
bwana simba
Ndanda
Interprises Ltd
Tanzania
1998 Uchoyo, Urafi na
Wivu.
107
Mng’anda B.S Shukurani za
Simba
Readit Books 1992 Kutothamini utu
na kutoa
shukurani.
108 Nahodha
Fikirini
Oxford
University Press
1971 Ujasiri na
ushujaa.
109. Lema Elieshi Mwendo E and D Ltd 1998 Athari za
UKIMWI
110. Safari ya
Prospa
E and D Ltd 1995 Werevu, ushujaa
na Ujasiri
USHAIRI
1
Abeid
Amir.K
Sheria za
kutunga
mashairi
nadiwani ya
Amir
EALB 1954 Mawaidha
mema na
maadiri ktk
maisha
2
Akilimali.K.H
.A(Snow
white)
Diwani ya
Akilimali
EALB 1966 Mawaidha
mema na
maadili
mbalimbali
kama vile wema
na upendo
3
Alen .J.W.T Utenzi wa
mwanakupon
a
HEB 1972 Maadili mema
na wosia juu ya
wanawake wa
Pwani na Afrika
Mashariki
4
Alen.J.W.T Ushindi wa
ngamia
HEB 1972 Mila na desturi
mbalimbali za
kitanzania na
Ngano nyingine
5
Amir
Mwinyi.M
Tungo zetu TPH 1977 Mawaidha na
burudani bora
ktk maisha
6
Bashir
Aboud(M.H)
Utenzi wa
mikidadi na
Mayasa
HEB 1972 Habari za
maisha kuhusa
mashujaa
wawili Mikidadi
na Mayasa
7
Chacha.N.Ch
acha
Ushairi wa
Abdilatif
Abdallah,Sau
ti ya utetezi
DUP 1992 Ukombozi wa
kisiasa
8
Chum Haji Utenzi wa
vita vya uhud
EALB 1962 Vita vya
waislam na
Mayahudi wa
Makkah
9
Coronation
printers
Mbombasa
Utenzi wa
maisha ya
nabii
Mohammedi
Coronation
printers
Mombasa
1962 Historia ya
mtume
Mohammad
(SAW)
10
Cory.Hans Sikilizeni
mashairi
Lake printing
works LTD
Mwanza
1961 Upendo,Amani
na ushirikiano
11 Faqihi Mgeni Utenzi wa TPH 1979 Mgongano kati
rasi -lghuli ya mila na
destuli za
kiislam na za
kale huko Saud-
arabia
12
Frenk Wiliam Diwani
yangu
KLB 1979 Mawaidha
mbalimbali ya
kijamii kama
vile siasa
safi,adabu,heshi
ma na upendo
13
Hajji.G,Hajji Kimbunga TUKI 1995 Siasa, uchumi
rushwa na
Utamaduni
14
Harries.L Utenzi wa
mkunumbi
EALB 1967 Mawaidha juu
ya maonyo
mbalimbali
15
Honero.L.N(
NAwenzake)
Matunda ya
Azimio
TUKI 1980 Uongozi,Usawa
na uchumi na
ustawi wa jamii
16
International
language
committee
Mashairi
mamboleo 1
The Sheldon
press
1946 Mawaidha juu
ya maisha hasa
wakati wa
ukoloni
17
Jamaldin,A. Utenzi wa
vita vya
majimaji
supplement
vol.27
IKR 1957 Historiya ya
matokeo ya vita
vya majimaji
18 Kahigi.K.K Maisha ya
kisasa
TPH 1984 Sisa mapenzi na
ndoa
19 Kandoro,S,A Mashairi ya
Saadani
Mwananchi
publication LTD
1972 ELIMU SIASA
NA UCHUMI
20
Kandoro,S,A Liwazo la
ujamaa
TPH 1978 Mapigno dhid
ya unyonyaji,na
mawaidha juu
ya siasa ujamaa
na kujitegemea
21
Karama,S Utenzi wenye
fahari
Macmilan press 1986 Lugha,mafunzo
na maadili
mema
22
Kezilahabi.E. Kichomi Heinman
Nairobi
1974 Mgogoro wa
ushairi,mvutano
kati ya ukale na
usasa pamoja na
ujenzi wa jamii
mpya.
23
Kezilahabi.E. Karibu ndani DUP 1988 Mgogoro kati ya
ukale na
usasa,Falsafa ya
maisha
24 Khatibu, M S Fungate la
uhuru
Education
service center
1988 Uongozi Mbaya
25 Khatibu.M.S Utenzi wa
ukombozi
DUP 1975 Mapenduzi na
ukombozi
26
Khatibu.M.S Pambazuko EAPH 1982 Ujenzi wa jamii
mpya na
uongozi mbaya
27
Kija.P.M Wimbo wa
kandambili
Ndanda mission
preaa
1987 Mawaidha ya
imani ya
kikristo
28
Knepert.J Utenzi wa
fumo liongo
East AFRICAN
KUSWAHILI
COMMITEE
1931 Kukua kwa miji
ya Africa
Mashariki,
tama, Usalitna
Ushujaa wa
Fumo Liongo
29 Lambert.A.E Diwani ya
Libert
EALB 1971 Mapenzi na
ndoa
30
Lesso.Z.H Utenzi wa
zinduko la
ujama
EALB 1972 Historia fupi ya
watanzania
kabla ya
uhuru,baada ya
uhuru,harakati
za kujenga
ujama
31 Lody,A,A Tafkira Writers book
mashine
1986 Huba na siasa
32
Maimbi.E.M Utenzi wa
ccm
TPH 1981 Mazungumzo
juu ya kuundwa
kwa CCm na
harakati za
muamko wa
kisiasa Tanzania
33
Masamba.D.P
.B
Diwani ya
Masamba
NELSON
PUBLISHERS(
CANADA)
1976 Mawaidha juu
ya malezi na
tamaduni za
kiafrika
34
Mayoka.J.A Utenzi wa
vita vya
uhuru wa
Msumbiji
EAP 1978 Harakati z
ukombozi
Msumbiji
35
Mayoka.J.A mizizi
Diwani ya
Mayoka
TPH 1984 Mawaidha juu
ya maadili
mema na sanaa
ya ushairi w
kimapokeo
36
Mbega.Hassa
ni.Mwalimu
Upisho wa
malenga
EALB 1974 Mawaidha
mbalimbali juu
ya maisha ya
mwanadamu,we
ma, dhamana na
uaminifu katika
maisha.
37
Mchimbi.B.R Wachawi wa
Afrika
TANZANIA
LIBRARY
SERVICE DSM
1979 Mila potofu za
kitanzania na
ukombozi wa
watanzania
38
Mdundo.M.O Utenzi wa
JWTZ
TPH 1987 Historia,Mapam
bano na
shughuli za jeshi
la Wananchi
39
Mhina.G.A Utenzi w
kumbukumb
u za azimio
la Arusha
BLACK STAR
AGENCY
1979 Mambo
yaliyofanyika
wakati wa
azimio la
Arusha
40 Mloka
Charles
Diwani ya
Mloka
BENEDICTINE
PUBLICATION
1977 Maadili mema
na maoni
41
Mnyampala.
M.
Diwani ya
mnyapala
EALB 1965 Ukoloni
mamboleo na
umoja
42
Mnyampala.
M.
Waadhi wa
ushairi
EALB 1965 Maadili mema
na umoja katika
jamii
43
Mnyampala.
M.
Ngonjera za
ukuta 1 na 11
OUP 1970 Harakati
mbalimbali za
kulitangaza
azimio la
Arusha
44
Mnyampala.
M.
Sera
mbalimbali
za
kulitangaza
azimio la
arusha
OUP 1971 Sera mbalimbali
za kulitangaza
azimio la
Arusha.
45 Mnyampala.
M.
Fasiri johari
ya maisha
TANGANYIKA
RIPUBLICATI
1964 Mawaidha juu
ya historia ya
ON ushairi na
utakiwavyo uwe
46
Mochiwa,Z Mvumilivu
hula mbivu
DUP 1988 Jinsi subira na
uvumilivu wa
wnanchi
unavyorudisha
nyuma
maendeleo yao
47
Muhamed..Sa
lehe
Utenzi wa
ego lenye
itifaki
EALB 1974 Mawaidha ya
kidini n waosia
bada ya kifo
48
Muhamed.A.
A
Ujenzi w
misha ya
nabii adamu
na Hawa
EAST
AFRICAN
SWAHILI
COMETEE
1971 Kisa cha maisha
ya Adam na
Haw pamoja na
chanzo ch
dhambi kwa
wanaad
49
Muhamed.A.
A na
UKKI.M.J
Utenzi wa
sungura
,turuke
daraja tatu
kwa
kujifunza
lugha yetu
OUP 1996 Umoja na
mshikamano.
Katika hrakati
yeyote ya
kujikomboa.
50
Muhanika,H. Utenzi wa
vita vya
Kagera na
anguko la
Idd Amin
DUP 1981 Ukombozi wa
watanzania na
matatizo ya vita
vya Kagera
51
Mulokozi.M,
M
Malenga wa
bara
DUP 1995 Falsafa na
maana ya
maisha,kifo,map
enzi na ujenzi
wa jamii mpya
52
Mulokozi.M.
M
Utenzi wa
nyakiiru Kibi
ECOL
PUBLICATION
LTD
1997 Mila na desturi
za Watanzania
53
Mulokozi.M.
M
Kahigi.K.K
Kungo za
mashairi na
Diwani yetu
TPH 1979 Siasa,ndoa na
falsafa katika
Maisha.
54 Mvungi.T. Chungu
tamu
TPH 1985 Ujenzi wa jamii
mpya
55 Mvungi.T. Mashairi ya
cheka cheka
EPD LIMITED 1995 Ujenzi wa jamii
mpya
56 Mvungi.T. Raha karaha CONTINENTA
L PUBLISHER
1982 Utetezi wa haki
za wanyonge
57
Mvungi.T. Dawa mirefu KIUTA 1977 Mardhi na
magonjwa
yasiyo tibika.
58
Mwalimu.A.R
ashidi
Utenzi wa
Kunguru
E AND D LTD 2005 Athari za uigaji
mambo kutoka
nje
59
Mwaruka,R Utenzi wa
Jamuhuri ya
Tanganyika
EAPH 1968 Historia ya
Tanganyika
toka enzi za
mwarabu
60
Nassiri. A Malenga wa
mvita
SHUNGWAYA
PUBamuLISHE
RS LTD
1977 Maisha ya
amani madili na
mafunzo
61
Noor.I Utenzi(Utenz
i wa kiama)
HEINMAN
BOOKS
NAIROBI
1972 Mawaidha
mbalimbali ya
siku ya hukumu.
62
Nuru.S.M Malangomwa
kiswahili
EALB 1975 Kukua kwa
Kiswahili na
tamaduni za
waswahili
63
Nyamume.K.
A
Diwani ya
ustadhi
nyamaume
SHUNGWAYA
PUBLISHERS
LTD
1976 Maadili mema
katika maisha
64
Nyerere.J.K Utenzi wa
matendo ya
mtume
NMP 1996 Maadili na
matumaini
katika maisha
65
Nyerere.J.K Utenzi wa
injili
NMP 1996 Mawaidha
mbalimbali juu
ya imani ya dini
ya kikristo
kuhusu miujiza
ya Yesu kristo
66
Okot,P.Bitek Wimbo wa
Lawino
TPH 1975 Utamaduni wa
kiafrika na
dawa za jadi.
67
Omary.C.K Usawa wa
binaadamu
EASTERN
AFRICAN
PUBLISHERS
LTD
1976 Falsafa juu ya
maana ya usawa
wa
binaadamu,faid
a zake,pamoja
na athari za
kukosekna
kwake.
68
Ridhiwani.P Kisa cha
utenzi
tawafuri
TUKI 1992 Siasa na
mapinduzi
nabii
69
Robert.S Pambo la
lugha
EASTERN
AFRICAN
PUBLISHERS
LTD
1947 Maadili katika
maisha na sanaa
za lugha
70
Robert.S Koja la lugha NELSON 1945 Maadili katika
maiha ,maonyo
n malumbano
71 Robert.S Mwaafrika
aimba
NELSON 1946 Uzalendo na
malumbano
72 Robert.S Almasi za
Afrika
NELSON 1946 Malumbano na
maadili
73 Robert.S Ashiki kitabu
hiki
NELSON 1946
74 Robert.S Masomo
yenye adili
NELSON 1967 Maadili na
maonyo
75
Robert.S Diwani ya
shaabani
Robert
NELSON 1968 Maadili na
maonyo
76
Robert.S Kielelezo cha
fasili
NELSON 1968 Maadili,maonyo
na maana ya
mapenzi
77
Robert.S Mapenzi
bora
EVANS
BROTHERS
LTD
1970 Maadili
78 Robert.S Sanaa ya
ushairi
NELSON 1972 Uzuri wa
ushairi
79
Robert.S Utu bora EASTERN
AFRICAN
PUBLISHERS
LTD
1971 Umuhimu wa
kilimo kama uti
wa mgongo n
uchumi wa
Tanzania
80 Robert.S Insah na
Mashiri.
NELSON 1967 Mawaidha na
maadili mema
81
Robert.S Utenzi wa
vita vya
uhuru
OUP-NAIROBI 1967 Ukombozi wa
kisiasa
82
Robert.S Siku ya
watenzi wote
EVANS
BROTHERS
1992 Sanaa,Wasanii,
umoja na
mshikmano.
83 Salehe.A.A Changamka A.K.KHANA
PRESS LTD
1988 Demokrasia
84
Sayyid,A.A.N Al-Inkishaf UOP-NAIROBI 1972 Kukua na
kuanguka kwa
miji ya Pwani ya
Afrika ya
mashairiki na
falsafa ya
maisha.
85
Sayyid,A.A.N Utenzi wa
Abdulrahma
n sufiani
EALB 1961 Historia ya
Abdulrahman
Sufiyani.
86
Sayyid.A.A.N Utenzi wa
kadhi
Qassim Bin
Jaafar
TUKI 1972 Fitina na
maadili;
87
Sengo.T.S.Y Maisha y
mwezi wa
ramadhani
EAST
AFRICAN
PUBLICATION
1979 Mawaidha juu
ya dini ya
kiislam katika
mwezi wa
ramadhni.
88
Shirika la
uchapishaji
wa lugha za
kigeni
Ukuta mkuu
wa kasri ya
mfalme
SHIRIKA LA
UCHAPISHAJI
WA LUGHA
ZA KIGENI
(BEIGING)
1990 Marudi na
mawaidha
mema.
89
Simganga.F Teuzi za
nafsi
TUKI 1971 Ukombozi wa
wanaonyonywa,
Dini,maadili
mema ppamoja
n uzalendo.
90
Somba.S Uwanja wa
mashairi
LONGMAN 1996 Sheria na
kanuni za
uaandishi wa
mashairi.Umoja
na Mshikamano
91
Stika.R.K Lugha ya
mamba
FORFATTARE
S-
BOKMASKIN(
UPPSALA)
1985 Mapenzi nz
ndoa.
92
Sudi.A.A
(Andanenga)
Diwani ya
ustadhi
BENEDICTINE
PUBLISHERS
1993 Siasa,
elimu,uzalendo
na uchumi.
93
Sudi.A.A
(Andanenga)
Bahari ya
elimu ya
ushairi
BENEDICTINE
PUBLISHERS
2002 Upana wa fani
ya ushairi na
umoja.
94
Takiluki Malenga
wapya
KITUO CHA
EWW,MBWEN
I DSM
1997 Maswala ya
uchumi,
kilimo,Ukomboz
i.
95 Zakwany.A.S Diwani ya
jinamizi
EALB 1970 Maadili mema
siasa na kilimo.
96 A,Abdallah Mashairi ya
miaka kumi
ya azimio la
arusha
UKUTA 1977 Umuhimu wa
qzimio l Arusha
97 E,KIZILAHA
BI
Kichomi HEANMAN
EDUCATION
BOOK(EA)LTD
1974 Maisha,siasa na
uchumi pamoja
na nyanja
nyingine
98 Shaaban
Robart
Malenga wa
bara
EALB NAROBI 1979 Ujenzi wa jamii
mpya
99 Zakariya
Mochiwa
Uvumilivu
hula mbivu
D,SALAAM
UNIVERSITY
PRESS
1981 UVUMILIVU
UNAMWISHO
Salim
S.KIBAO
Utenzi wa
uhuru wa
kenya
Oxford
university press
1972 UMUHIMU
WA
KUPIGANIA
UHURU
TAMTHILIYA
S/N MWANDISHI JINA LA
KITABU MCHAPISHAJI
MWAK
A DHAMIRA
1
Boukheit
Amina
Maalim TPH 1980 Mikinzano ndani
ya Dini na
Maisha ya kila
siku
2 Shungwaya
publishers
1977 Ujenzi wa Jamii
mpya.
3
Boukheit
Amina
Zabibu
Chungu
IUP 1985 Mila na Desturi
4
Chacha C N Mke mwenza Heinemann
Publishers
1982 Matatizo ya
mitaara na Wivu
katika Jamii
5
Chimera R M Mnara
wawaka
moto
NUP Nairobi 1998 Uhalifu,uovu na
fitina.
6
Chogo
Angelina
Wala mbivu EALB 1974 Ukombozi wa
Kiutamaduni na
suala la Elimu
7 Fawah F Zimwi la
Mrima
Diamond
Publication
1991 Dhuluma na
uonevu
8
Ganzel E Ndoto ya
mwendawazi
mu.
EALB 1972 Umasikini
9 Hussein E Kinjekitile OUP 1969 Ukombozi wa
Kisiasa
10 Hussein E Mila na
desturi
OUP 1971 Mila na desturi
11 Hussein E Mashetani OUP 1976 Mapinduzi ya
Kifikra
12 Hussein E Arusi OUP 1980 Mila na desturi
13 Hussein E Wakati
Ukuta
OUP 1970 Mgogoro kati ya
ukale na usasa
14
Hussein E Kwenye
Ukingo wa
Thim
OUP 1998 Ukombozi wa
Kiutamaduni,Nd
oa na Malezi
15
Hussein E Alikiona HEB 1972 Athari za fitin na
uongo katika
jamii
16
Hussein E Jogoo
Kijijini na
Ngao ya Jadi
OUP 1976 Harakati za
ukombozi
17
Hyslop G Afadhali
Mchawi
EALB Nairobi 1957 Mila na
Tamaduni za
Kiafrika suala la
Mapenzi na ndoa
18 Jilala H Giza Angaza initiative
Cooperation Ltd
2004 UKIMWI
19 Kaduma G Z Dhamana
Mabatini
TPH 1980
20 KAHIGI K.K
[na wenzke]
Mwanzo wa
Tufani
TPH 1975 Matabaka
21
Kangula, L
Kung’ala
Heko
Kuanzisha
Chama
OUP 1977 Uhuru wa watu
na uchaguzi wa
viongozi
22
Kezilahabi E Kaptula la
Marx
DUP 1996 Utawala wa
Kiitikadi hasa wa
mafunzo ya
Usoshalisti na
Ubepari.
23
Kiimbila
J,Saadan
Kandoro
Ubeberu
Utashindwa
na Mashairi
ya PSaadan
TUKI 1971 Harakati za
ukombozi dhidi y
Ubeberu
24
Kithaka wa
Mberia
Kifo
Kisimani
Marimba
Publication
2001 Usaliti na
Harakati za
Ukombozi.
25
Kulia H Nakupenda
Lakini
OUP 1957 Malezi,Mapenzi
na ndoa katika
Jamii.
26
Lihamba
Amandina
Hawala ya
Fedha
TPH Matabaka
,Urasimu katika
Ofisi za Serikali
27
Lihamba
Amandina
Mkutano wa
pili wa Ndege
DUP 1992 Unyonyaji
,Ujinga na
Unyanyasaji
28 Luganda Majira ya
Ukame
EALB 1976 Imani za Jadi
29
Malima V M Uchafu Ndanda Mission
Press
1983 Vita uharifu na
harakati za
Ukombozi
30
Mariam S M Mpaka lini? Angaza initiative
Co.Ltd
2004 Madhara ya
Rushwa,UKIMW
I na
Udanganyifu.
31
Mazrui ALLY Kilio cha
Haki
Longman 1981 Mapambano
dhidi ya
Udhalimu
32
Mbogo E Tone la
mwisho
DUPEducational
service centre
Ltd
1981 Harakati za
Ukombozi,
Usaliti na
Udhalimu
33
Mbogo E Ngoma ya
Ngwanamalu
ndi
TPH 1988 Unyonyaji
Dhuluma na
Ushirikina
34
Mbogo E Giza
limeingia
DUP 1980 Unyonyaji
Mbaya na Hali
ngumu ya maisha
mjini
35
Mbogo E Morani OUP 1993 Hujuma na
Ubadhirifu,Haki
na Moyo wa
Uzlendo
36
Mbonde J B Bwana
Mkubwa
Transsafrica
Publishers
1974 Jitihada za
wazalendo
kupiga vita
Ukoloni
mkongwe,Mamb
o leo na aina zote
za Unyonyaji
37
Medical aid
Foundation
Kilio chetu TPH 1992 Malezi kwa
Vijana hsusani
wazazi kuvunja
ukimya juu ya
swala la
Mapenzi.
38
Mghanga A Kilio cha
Jesca
Angaza initiative
Co. Ltd
2004 UKIMWI,Unyan
yasaji wa Kijinsia
na Mila potofu.
39 Mhanika H Njia panda DUP 1981 Uchawi itikadi na
Uganga wa Jadi
40 Mnyampala M Kila siyesikia DUP 1997 Ubaguzi
41
Mochiwa Z S Hubaki TUKI 1977 Mimba ne ya
ndoa na athari
zake
42
Mohamed S A Kivuli
kinaishi
OUP 1990 Ujenzi wa jamii
mpya Kujitoa
Mhanga , Uchawi
na Ushirikina
43
Mohamed S A Kitumbua
kimeingia
mchanga
OUP 2000 Migogoro
itokanayo na
matabaka
Uongozi mbaya
na Athari zake
katika Jamii.
44
Mohamed S A Amezidi EAPH Nairobi 1995 Mawaidha na
Marudi
mbalimbali
45
Mtande P K Masimulizi
ya kazi
katika kijiji
chetu.
Litho Arusha 1970 Umuhimu wa
kazi,bidii,kujitu
ma.Ukombozi wa
Kiuchumi
46 Muba M M Hukoo
Darisalama
TPH 1980 Umuhimu wa
kazi
47
Muhando p Lina Ubani DUP 1984 Uzembe kazini na
Athari za vita
vya Kagera
48
Muhando p Hatia EAPH 1972 Nafasi za
Mwanamke na
Ujenzi wa Jamii
mpya
49
Muhando p Heshima
yangu
EAPH Migogoro ya
Kijamii hasa
katika swala la
Mapenzi
50
Muhando p Pambo Swala
Publications
1975 Harakati za
Ukombozi
hsusani ukoloni
mkongwe pamoja
na mila na
desturi za
Kitanzania
matatizo
yanayowakabili
wasomi.
51
Muhando p Tambueni
Haki zetu
TPH 1975 Harakati za
Ukombozi
hsusani ukoloni
mkongwe pamoja
na mila na
desturi za
Kitanzania.
52
Muhando p Nguo za
mama
DUP 1982 Migogoro baina
ya wanawake na
harakati za
ukombozi wa
wanawake.
53
Muhando p Taraka si
Mke wangu
DUP 1977 Matatizo katika
maisha na
kuvunjika kwa
Ndoa.
54
Muhando p
Lihamba na
Balisidya N M
Harakati za
Ukombozi
TPH 1980 Ukombozi
55
Mulokozi M
M
Mkwawa na
Uhehe
DUP 1988 Ushujaa na
Ujasiri wa
Mkwawa.
56
Mushi,S S
[Msafiri]
Mfalme
Edipode
OUP 1971 Tofauti kati ya
uwezo wa Kiungu
na wa
kibinadamu
57 Mwiru M S Mpaka lini? Angaza
Initiative Co.Ltd
2004 Athari za Ajira
za Watoto
58 Ndimara
Tegamwage.
Duka la
Kaya
Tausi Publishers 1985 Uhujumu
uchumi
59 Ngakimecha
Ngahyoma
Kijiji chetu. TPH 1985 Uongozi Mbaya
60 Ngakimecha
Ngahyoma
HUKA TPH 1973 Mila na Desturi
61
Ngli
Mwanyengela
Mwana
taabu n
Michezo
mingine.
EALB 1974 Umuhimu wa
Uvumilivu katika
Ndoa
62
Ngozi I Ushuhuda
wa Mifupa.
Inter-Press
Tanzania Ltd
1990 Mmomonyokowa
maadili na Athari
za UKIMWI
katika Jamii
63 Ngozi I Mahozi ya
Mwanamke
TPH 1977 Ukombozi wa
kijinsia.
64
Ngugi G Nimelogwa
nisiwe na
Mpenzi
EAPH 1958 Ukombozi wa
kiutamaduni
Hsusani maswala
ya Ndoa.
65 Ngugi wa
Thiong’o
Mtawa
mweusi
HEB 1970 Ukombozi na
Mapenzi
66
Ngugi wa
Thiong’o na
[wanawake]
Nitaolewa
Nikipenda
HEB 1982 Mila na
desturi,Matabak
a Ndoa na
Mahusiano
67
Nyambura
Mpesha
Kapotei na
Lulu
OUP 1985 Umuhimu wa
kuwaheshimu
wazazi
68 Nyrere J K Julias DUP-DSM 1969 Mauaji, Mapenzi
[msfiri] Kaizari na habari za
Maisha Kifalme.
69
Nyrere J K
[msfiri]
Mabepari wa
Venis
DUP-DSM 1969 Dhuluma ya
Mabepari na
Haki
70
Olagoke DO Hakimu
mwadilifu
Evn Brothers
Ltd
1973 Nafasi ya
mwanamke
katika Jamii na
mapambano yao
dhidi ya Rushwa
71 Paukwa
Theater Group
Chuano DUP 1995 Migogoro katika
Jamii.
72
Paukwa
Theater Group
Ayoubu Documentation
and Publication
1984 Udhalilishaji na
Hali ya unyonge
katika Jamii
73
Paukwa
Theater Group
Ayubu Kampala
Document
Centre
1984 Haki.
74
Rukambelya V Msomi ILOS 1990 Matatizo
wayapatayo
wasoomi.
75
Sehoza M Mwaa katika
Minyororo
University
missionary for
Central Africa.
Zanzibar
1921 Fitna na adha za
kukaa Jela.
76 Seme W Njozi za
Usiku
Longman –DSM 1973 Ukombozi nchini
TANZANIA
77
Semzaba E Ngoswe
Penzi kitovu
cha uzembe
DUP 1988 Hasara za Ulevi
na
Kutowajibika,Ma
penzi na
umuhimu wa
Elimu.
78
Semzaba E Tende Hogo TPH 1984 Utumwa na
Athari zake
katika Jamii.
79
Semzaba E Sofia wa
Gongolambot
o
Benedictine
Publishers
1984 Ukombozi wa
kijinsia na
Mapenzi,Umuhi
mu wa elimu na
Imani z
kishirikina.
80 Sengo T S Y Mtumwa TUKI 1978 Athari zq
utumwa.
81 Sengo T S Y Utani kwa
vitendo
DUP 1973 Ukombozi wa
Kifikra na
Mawaidha
82 Senkoro F E Adila Benedictine
Publishers
2002 Mapenzi,rushwa,
ukatili na wizi.
83
Sheraly N
[nawenzke]
Wakti ni huu TPH-DSM 1973 Faida ya Elimu
ya watu wazima
na Kisomo
chenye Manufaa.
84
Topan Farouk MFALME
JUHA
OUP 1971 Tamaa mbele
Mauti
nyuma,Adabu na
Heshima Tabia
njema,Tamaa na
choyo na Mauti.
85
Topan Farouk Aliyeonja
Pepo
TPH 1977 Matabaka na
nafasi ya Dini
katika Jamii.
86 Ubehoma K M Rushwa
Nchini.
TUKI 1978 Dhuluma ,wizi na
Ukombozi.
87
Ugula P Ufunguo
wenye
hazina.
Evan-DSM 1969 Maono na
Maadili katika
Maisha.
88
Wamitila K W Wingu la
kupita.
Spectrum media
Ltd
1999 Uongozi
mbaya,Dhuluma
na Ushirikina.
RIWAYA
S/N MWANDISHI JINA LA
KITABU
MCHAPISHAJI MWAK
A
DHAMIRA
1 A Bedinko Mwasi H.E.B Nairobi 1972 Mgogoro Kati ya
Ukale na Usasa
2
A. M kateti Kiwiliwili
kilichopotea
Ndanda Mission
Press
1994 Ulevi, Uvivu,
Mapenzi,
Unyumba Na
Mauwaji ya
Kinyama
(Maadili Katika
Jamii)
3
A. R. Mhozi Pendo la Kifo T.P.H, DSM 1980 Ukosefu wa
uaminifu na
mapenzi katika
ndoa
4 Abdallah L.
Ajjm
Habari za
Wakirindi
5
Abdallah M.S Mzimu wa
Watu wa
Kale
E.A.L Nairobi 1958 Athari ya
dhuruma na
upelelezi
6 Abdallah M.S Kisiwa cha
Giningi
Evans Brother
Nairobi
1958 Uongozi Mbaya
na ushikina
7
Abdallah M.S Dunia Kuna
Watu
E. A. P .H.
Nairobi
1973 Maadili na
maono kwa
binadamu
8 Abdallah M.S Siri ya Sifuri E. A. P .H.
Nairobi
1974 Upelelezi
9
Abdallah M.S Mwana wa
Yungi
Hulewa
E. A. P .H.
Nairobi
1976 Mila na
tamaduni
mbalimbali za
kitanzania
10 Abdallah M.S Kosa la
Bwana Msa
Africana
Publishers
1984 Upelelezi
11
Abdul Baka Salome T. P.H Dsm 1972 Nafasi ya
mwanamke
katika jamii
12 Ahando V Utaniua O. U P 1973 Hekima
13 Akwisomba B Jero si Kitu T.P.H, DSM 1972 Ujenzi wa jamii
na maendeleo
14
Alli Hassan
Njama
Nazikumbuk
a Ndoto
Jomokenyata
Foundation
Nairobi
2004 Umuhimu wa
elimu katika
jamii
15 Amina H.N Chuki ya
Ndoa
Benedictin
Publication
1981 Unyanyasaji
dhidi ya
wanawake
16
Bairu. K.
Atama
Sokoni
Kariakoo
Tam tam Book
Publication
2004 Matatizo ya
mjini kwa
wageni
17
Banzi Alex Titi la Mkwe T.P.H, DSM 1972 Mapenzi, imani
za ushirikina na
uchawi
( falsafa ya
maisha ya
mwafrika)
Barisidya N.M Shida Foundation
Nairobi
1975 Ujenzi wa jamii
mpya
18 Buyu, John Mtu Geni longman 1971 Ujenzi wa jamii
mpya
19
Chachage C. L Kivuli BCI- Publishers 1981 Ugumu wa
Maisha na
Mapenzi
20 Chachage C. L Sudi ya
Yohana
DUP- DSM 1981 Ujenzi wa jamii
mpya
21 Chachage C. L Almas za
Bandia
DUP- DSM 1991 Unyonyaji dhidi
ya nchi changa
22
Charle M.L Adha ya
Kimwi
TMP Book
Department
2001 Matatizo
yatokanayo na
ukimwi
23 Chiduo, M Mikononi
mwa Maui
EAP 1978 Maisha na
Mwisho wake
24
Chime M. w. Gongo la
Umma
Black Star
Agencies, DSM
1980 Hrakati za
ukombozi za
wandima dhidi
ya wamboya
25
Chiume,M.K Mbutolwe
Mwana wa
Umma
Longman 1973 Ujenzi wa Jamii
Mpya
26
Chuma,K. Fadhiri msili
wnaugua
TPH- DSM 1971 Mvutano baina
ya mila za
kiislam
tamaduni
zingine
27 Eddie, Ganzel Faili Maalum Tamasha
Publishers
1978 Upelelezi
28 Eddie, Ganzel Kitanzi Utamaduni
Publishers
1984 Kisasi
29 Eddie, Ganzel Kijasho
Chembamba
Tamasha
Publishers
1980 Ulinzi na Uhalifu
30 Farsy, M. S Kurwa na
Doto
EAPH 1978 Mila na Destri
za Wakazi wa
Zanzibar
31
Hambwe, J Maisha
Kitendawili
Jomo Kenyatta
Foundation
2000 Ugumu wa
Maisha. Anasa
na Umuhimu wa
kazi katika
Maisha
32
Hammie,
Rajabu
Roho
Mkpnpni
Busara
Publication
1984 Upelelezi
33
Hunga,E Cha moyoni
Mwako
Kisetiri
EALB 1974 Mapenzi Katika
Ndoa
34
Isaya, P Nyumabni
kwa Mchawi
NMP 1961 Imani za jadi na
Athari za
Utamaduni
35 J. Kitsao Bibi Arusi OUP 1980 Mila na Desturi
36 Joachim,
Gatahwa
Mdundiko
wa Maisha
Benedictine
Publication
1990 Migongano
Katika Maisha
37 John, M. S Kivumbi
Uwanjani
Tras Afica 1978 Mapenzi
38 Kageuka,
Frolika
Mbio za
Jasusi
Upendo
Publishers
1992 Ujasusi na
Upelelezi
39 Kapombe, Y.N Usiku wa
Mbalamwezi
TPH- DSM 1979 Harakati za
Ukombozi
40
Kasam, K. M Mpango International
Publishers
Agencies Ltd
1982 Harakati za
Ukombozi
41 Katalambula,
F. H
Simu ya Kifo EALB 1965 Upelelezi
42 Katalambula.
F. H
Pili Pilipili EAP 1977 Tama na
Mapenzi
43 Katalambula.
F. H
Buriani TPH- DSM 1972 Masaibu ya
Maisha
44
Kayamba,
Martine
Tulivyoona
na
Tulivyofanyi
wa na
Uingereza
EALB- Nairobi 1934 Uonevu na
Unyanyasaji wa
Kitaifa na
Kitabaka
45
Kezilahabi, E. Rosa Mistia EALB 1971 Mgongano wa
Mila na Athari
za Malezi
46 Kezilahabi, E. Kichwa Maji EAPH 1974 Falsafa ya
Maisha
47
Kezilahabi, E. Dunia
Uwanja wa
Fujo
EAP- Arsha 1975 Falsafa ya
Maisha
48 Kezilahabi, E. Gamba la
Nyoka
EAP 1979 Falsafa ya
Maisha
49
Kezilahabi, E. Nagona Education
Publication
Centre
1987 Falsafa na
Ukweli kuhusu
Maisha
50 Kezilahabi, E. Mzingile DUP 1996 Falsafa na
Maisha
51
Kiango, S.D Jeraha la
Moyo
HEB 1974 Mapenzi na
Maadili katika
Jami
52
Kibao, S. A Matatu ya
Thamani
Heinemann
Education Books
1975 Dhuruma,
Ufukara na
Utajiri
53
Kiimbila, J. K. Ubeberu
Utashindwa
TUKI-DSM 1971 Harakati ya
Ukombozi
katika Nchi ya
Msubiji
54
Kiimbila, J. K. Lila na Fila OUP
1967 Umuhimu wa
umoja katika
Jamii
55
Kimwaga, H.
A.
Je ni Kisasi? Associated
Graphics Arts
Publication
1982 Dhamana ya
Mapenzi na
Ndoa
56 Kirumbi, S. P Nataka Iwe
Siri
TUKI-DSM 1974 Ukoloni
57
Kitereza,
Anicet
Bwana
Myombokere
na Bibi Bibi
Bugonoka
TPH- DSM 1980 Mila na Desturi,
Mpaenzi na
Unyumba
58 Komanya,
Anthony
Tabu TPH 1992 Matatizo katika
maisha
59 Komba, S. M Pete TUKI-DSM 1978 Dini na Mapenzi
60
Komba, S. M Mchakamcha
ka wa
Maisha
Peramiho
Printing Press
1978 Harakati za
Maisha na
Umoja
61
Korieth, P.M Hadith ya
Vita vya
Majimaji
EAPH 1971 Ukombozi
62 Korieth. P.M Kibuli bila ya
Msalaba
EAPH 1971 Ukombozi na
Imani ya dini
63 Lema, E Mwendo Diamond
Publishers
1980 Malezi
64 Lihamba,
Amandina
Wimbo wa
Sokomoko
TPH 1990 Malezi ya vijana
na Uwajibikaji
65 Liwenga, G Nyota ya
Huzuni
TPH 1981 Mapenzi,
unyanyasaji na
Uwajibikaji
66 Liyoka, H. M Dunia
Imeharibika
Longman 1970 Uozo Duniani
67 Masoza,C.N Zaka la
damu
Dar-es-salaam
Print Park
1972 Mapenduzi ya
kweli Zanzibar
68
Mathius
Mynapala
Mlina asali
na wenzake
wawili
EALB 1961 Maadili
69
Mathius
mnyapala
Kisa cha
bahati na
ndugu zake
Ndanda mission
press
1967 Maadili
70
Mben,I,C Ujamaa
siuwezi
BSA 1975 Umuhimu wa
ujamaa na
umoja katika
jamii
71
Mbogo.E Watoto wa
mama ntilie
HEKO
PABLISHER
2002 Umasikini elimu
nafasi ya
mwanamke ktk
jamii
72
Mbotela
JAMES
UHURU WA
WATUMWA
Sheldon press
London
1934 Ukombozi na
wema wa
waingereza kwa
watumwa
73 Mbwela,H,M Donda ndugu TPH-DSM 1973 Matatizo ya
maisha
74 Mbwelwa,H,M Mtu
aliyefufuka
TPH-DSM 1972 Ushirikina
75 Mdoe,C Kilemba cha
ukoka
Kiuta-DSM 1984 Kejeri na
dhihaka
76 Mfwangavo,D,
S
Zainabu
ghorofani
Ndanda mission 1971 Bidii katika kaz
77 Mhina,G Mtu ni utu TPH-DSM 1971 Unanyasaji na
maadili
78
Mkabarah,J Maisha ya
salum
Abdallah
Tuki DSM 1975 Historiya ya
maisha ya salum
Abdalah
79 Mkangi K,G Mafuta HEB 1984 Maovu na
matabaka
80 Mkangi K,G Ukiwa TPH-DSM 1975 Rushwa na
mapenzi
81 Mkangi,K,G Ukiwa TPH-DSM 1975 Rushwa na
mapenzi
82 Mkufya,W,E Zirael
nazirani
Hekima
publishers DSM
1999 Mgogoro wa dini
83 Mkufya,W.E Ua la furaha TPH 2004 Starehe na
mapenzi
84
Mloka,C Mjini taabu Benedictine
pablication
1985 Matabaka,Rush
wa na
unyanyasaji
85
Mlokozi, M. M Moto wa
Mianzi
ECOL-
Publication
1996 Madhara
yaVitaBarani
Africa
86
Mlokozi, M. M Ngoma ya
Mianzi
TPH- DSM 1991 Uongozi,
Mapenzi, siasa
na Ndoa
87
Mlokozi, M. M Barua za
Shaaban
Robert
TUKI-DSM 2000 Maonyo na
Maadili
88 Mlokozi, M. M Ngome ya
Mianzi
89 Mohamed, S.
Mohamed
Nyota ya
Rehema
UOP 1978 Uongozi Mbaya,
Uwazi na Ukweli
90 Mohamed, S.
Mohamed
Kicheko cha
Ushindi
Shungwaya
Publishers Ltd
1978 Matabaka na
Utamaduni
91
Mohamed, S.
Mohamed
Kiu EAPH- Nairobi 1972 Mirathi,
Mapenzi na
Unyumba
92
Mohamed, S.
Mohamed
Utengano Longman-
Nairobi
1980 Mvutano baina
ya Nguvu za
Kiasili na Jamii
93
Mohamed, S.
Mohamed
Dunia Mti
Mkavu
Longman-
Nairobi
1980 Mvutano baina
ya Nguvu za
Kiasili na Jamii
94 Mohamed, S.
Mohamed
Kina cha
Maisha
Longman 1984 Falsafa ya
Maisha
95
Mohamed, S.
Mohamed
Kiza katika
Nuru
OUP- Nairobi 1988 Mapambano ya
Mila na Itikadi
za Kijamii
96
Mohamed, S.
Mohamed
Tata za
Asumini
Longman 1990 Ukiukwaji wa
Haki za
Binadamu, Fikra
na Hisia
97
Mohamed, S.
Mohamed
Babu
Alipofufuka
J.K Foundation 2001 Utawala wa
Kilimwengu na
Athari za
Maendeleo
98 Mohamed, S.
Mohamed
Asali
Chungu
Shungwaya
Publishers
1978 Mapenzi
99
Mohammed,M
,S
Mchomo wa
kisu
EAP 1970 Kiu ya maisha
na kero ktk
jamii
100 Mohammed,M Kulwa na EAPH 1960 Thamani ya
.S Doto utamaduni ktk
jamii mila na
desturi
101 Mommed.M.S Mbojo simba
mtoto
EALB 1977 Upelelezi wa
simba mla watu
102 Msewa.O Kifo cha
ugenini
TPH 1977 Mauaji
103
Msokile, M. Usiku
utapokeisha
Popular
publication Ltd
1990 Maisha na
mzunguko
wake,Dhulma
athari yake
104 Msokile, M. Nitakuja kwa
siri
DUP 1981 Mapenzi
105 Msokile, M. Dhani ya
ukubwa
DUP 1979 Mapambano
yakitabaka
106
Msokile, M. Dhihaka ya
mume
Meza
pablication
1992 Unjanjasaji
Dhidi Ya
Wanawake
107
Mtendamema,
G.W
Utotole LOGMAN 1974 Imani za uchawi
na kutunza tunu
za maisha
108
Mtobwa, B. R. Tutarudi na
roho zetu
Heko
purblishers
DSM
1987 Upelelezi na
dhuluma
109 Mtobwa, B. R. Dimbwi la
damu
APT 1984 Mauaji na
uharifu
110
Mtobwa, B. R. Harakati za
Joram njuma
ya pazia
Heko publishers 2004 Mauaji na
upelelezi
111 Mtobwa, B. R. Pesa zako
zinanuka
2005 Unafiki na
ukatili
112
Mtobwa, B. R. Dar es
salaam usiku
(Malaika,She
tani)
2004 Uvumilivu
113
Mung’ong’o, C Mirathi ya
hatari
Education
publishers and
distribution
1977 Ushirikiano mila
na desturi
114
Mung’ong’o, C Njozi
iliyopotea
TPH 1980 Usawa wa
binadam dhulma
na unjanjasaji
115 Musiba, A. E Njama Pupular
publication Ltd
1989 Uharifu na
upelelezi
116 Musiba, A. E. Zawadi ya
ushindi
1987 Ukombozi na
mapenzi
117 Musiba, A. E. Hofu Popular 1997 Ukombozi na
publication Lltd upelelezi
118 Musiba, A. E. Kikosi cha
kisasa
Popular
publication Ltd
1989 Uharifu na
upelelezi
119 Mvungi, M lwidiko TPH-DSM 1976 Uwajibikaji
Haki na mapenzi
120 Mvungi, T Hana hatia 1975 Maadili na Haki
121
Mwakyembe,H Pepo ya
mabwege
DUP 1974 Uchumi na
nafasi ya
mwanamke ktk
jamii
122 Mwanga, Z. Kiu ya Haki DUP 199 Haki ukweli na
ukombozi
123 Mwanga, Z. Hiba ya
Wivu
OUP 1974 Fina na athari za
wivu ktk maisha
124
Singija D. Pendo la kifo TPH 1972 Kutoaminiana,i
mani za uchawi
na ushirikina
125
Senkoro ,F,E Adila Benedictine
publication
2002 UJENZI WA
JAMII MPYA
MAADILI
MAPENZI NA
ELIMU
126
Senkoro ,F,E Mzalendo Shinywaya
publisher
Nairobi
1977 Harakati na
mbinu za
ukombozi
127
Semela Fedelis Maisha ya
nuksi
Longman 1976 Pupa ya
mafanikio kwa
vijana na ugumu
wa maisha
128
Shija SF BALAA LA
USHANGIN
GI
Ndanda misision
press
1992 Ansa za mapenzi
129 Omolo L.O UHARIFU
HAULIPI
LONGMAN 1971 MAUAJI
130
Omolo L.O MTAKA
YOTE KWA
PUPA
HUKOSA
YOTE
LONGMAN 1973 TAMAA YA
MALI NA
ATHARI ZAKE
131
Omolo L.O MUELEVU
HAJINYOI
HEKIMA
PUBLISHERS
1971 ULEVI
MWINGI
HAUFAI
132 RUHUMBIKA
,G
Milad bubu
ya wazalendo
TPH 1992 HUJUMA NA
UONGOZI
WENYE
URASIMU
133
ROBERT.S Kusadikika Nelson
NAIROBI
1951 ELIMU NA
UONGOZI
MBAYA
134
ROBERT.S Adili na
nduguze
Macmillan 1952 UADILIFU
WIVU NA
TAMAA
135
ROBERT.S Maisha
yangu na
baada miaka
hamsini
Nelson
NAIROBI
1966 MAISHA NA
MAPENZI
136 ROBERT.S Siku ya
watenzi wote
NELSON
NAIROBI
1968 UKOMBOZI
137
ROBERT.S Utu bora
mkulima
NELSON
NAIROBI
1968 UMUHIMU WA
KILIMO
138
ROBERT.S Wasifu wa
siti
bint9Saad
NELSON
NAIROBI
1965 MALEZI
UVUMILIVU
UJASILI NA
ELIMU
139
ROBERT.S Maisha
mapya
HIDARA YA
UCHAPAJI
RADUGA
MASCOW
1987 MAWAIDHA
NA MAONYO
MBALIMBALI
140
ROBERT.S Kufikirika MKUKI NA
NYOTA
PUBLISHERS
DSM
1991 HABARI YA
,MAISHA YA
KIBWENYENY
E NA
KIFALME,JUH
UDI ZA
UKOMBOZI
141
RUTAYISIG
WA,J,
NGUMI
UKUTANI
LONGMAN 1979 MAPENZI,MAL
EZI NA FAIDA
ZA
UVUMILIVU
NA SUBIRA
KTK MAISHA
142
RASHID,H. ROHO
MKONONI
BUSARA
PUBLICATION
1984 UONGOZI
MBAYA,UJASI
RI NA
UWAJIBIKAJI
143
SAYARI ,A.J HARUSI DUP 1993 UKALE NA
USASA
MAPENZI NA
NDOA
144
SAID. S UKOMBOZI EAST
AFRICAN
PUBLICATION
1979 MAPAMBANO
145
SEHZA M MWAKA
KTK
MINYOROR
O
1921 DHULMA NA
UONGOZI
146 SEME,W NJOZI ZA
USIKU
LONGMAN 1973 UKASUKU
147 SALEHE S DIRA OUP 1976 HAKI NA
USAWA
148
SHAFII
ADAM,S
KULI TPH 1979 UNYONYAJI N
DHULMA YA
UKOLONI
TANZANIA
149
MHIMBALI
RENATUS
VISA VYA
YATIMA
CHIBIBI
HEKO
PUBLISHERS
2003 HEKIMA.UJAS
IRI.NA VIPAJI
VYA WATOTO
VILIVYOFICHI
KA
150
MNYAKA
ONGE
KIMBIA”
HELENA
KIMBIA
HEKO
PUBLISHERS
2005 MATATIZO YA
VITA VYO
WENYEWE
KWA
WENYEWE
AFRIKA YA
KATI
151
MUSHI,J,S BAADA YA
DHIKI
FARAJA
TPH UDSM 1969 HARAKATI ZA
KUONMDOA
MATABAKA
UKOMBOZI
152
MUSHI,J,S TUHUMA
ZA
UCHAWI
BPNP 1986 IMANI
POTOFU
153 NGOMOI.J NDOTO YA
NDALIA
TPH 1976 UJENZI WA
JAMII MPYA
154
NKWELA ,F MAZISHI
YA BABA
ANARADHI
EALB 1967 MILA NA
DESTURI
155 NURU,M.S NDOA YA
MZIMU
EALB 1974 USHIRIKINA
156 157
NG’AMBO.A.
H
CHUKI YA
NDOA
BENEDICTINE
PUBLIUCATIO
N
1981 UGANDAMIZA
JI NA
MAPENZI
158 NDIMBALE,C
HARLES
FIMBO YA
ULIMWEN
HED 1974 MATATIZO
KTK JAMII NA
GU UJASIRI
159 NYASURU
GODFREY
LANA YA
PANDU
ELB 1974 MAADILI
160
NCHIMBI BR MAPENZI
YA DAWA
TPH 1974 MAPENZI YA
KWELI NA
YADAWA
161
NSHIKU,T FIMBO YA
MNYONGE
TPH 1978 MIVUTANO
YA KITABAKA
BAINA YA
MATABAKA
YA
WATAWALIW
A NA
WATAWALA
161
162
SHAFI ADAM
SHAFI
KASRI YA
MWINYI
FUNDI
TPH 1`978 Unyonyaji na
Mapinduzi
163
SHAFI
ADM,S.
VUTAN’KU
VUTE
MKUKI NA
NYOTA
PUBLISHERS
1999 Ukombozi wa
Kisiasa
Kiutamaduni na
Dhana potofu.
164
ERICK,J.SHI
GONGO
RAIS
ANAMPEND
A MKE
WANGU
GLOBA
PUBLISHRES
AND
GENERAL
ENTERPRESES
LTD
2003 Mapenzi na
Kisasi
165
ERICK,J.SHI
GONGO
SILI
ILIYOTESA
MOYO
WNGU
GLOBA
PUBLISHRES
AND
GENERAL
ENTERPRESES
LTD
2003 Usaliti katika
Mapenzi,Uhalifu
,Ukatili na
Upelelezi
166 SEMZABA,E FUNGE
BUGEBUGE
DUP 1999 Athari za Umri
ktika Maisha
167
SIMBAMWE
NE,J,M
KWA
SABABU
YAKO
LONGMAN 1972 Ubadhilifu wa
Mali za Umma
168 SIMBAMWE
NE,J,M
KIVUMBI
UWANJANI
TRANS
AFRICA
1978 Mapenzi
169 SIMBAMWE
NE,J,M
RISASI YA
MWISHO
JOMMOSI 1981 Upelelezi
170 SIMBAMWE
NE,J,M
KWELI
UNANIPEN
TRANS
AFRICA
1978 Mapenzi n Ndoa
DA?
171
SIMBAMWE
NE,J,M
KWA
SABABU YA
PESA
LONGMAN 1972 Tamaa ya
Pesa,Uhalifu na
Ujambazi
172 SIMBAMWE
NE,J,M
MAPENZI
YA PESA
NMP 1976 Mapenzi ya
Fedha Hayafai
173
SOMBA.J,N KUISHI
KWINGI NI
KUONA
MENGI
EAPH 1973 Utii Maadili
mema Hekima
na Malezi bora
174
SOMBA.J,N ALIPAND
UPEPO
AKAVUNA
TUFANI
Kiuta Ltd 1969 Usaliti katika
maisha
175
SANGIJA ,D BADO
MMOJA
NDANDA
MISSION
PRESS
1975 UPELEZI
DHULMA NA
MAUAJI
176
THONYA,L.M ULIMWEN
GU WA
NDOTO
BSA 1978 HISTORIYA
YA ,MAISHA
YA
MWANADAMU
ULIMWENGUN
I
177
TUNGANEA,
W.X
…ZA
UMMA
TAMU
LAKINI
TANZANI
BOOK
SELLERS
COMPANY
LTD
1984 HUJUMA
DHIDI YA
RASILIMALI
ZA UMMA
ZIFANYWAZO
NA VIONGOZI
WHITELEY,
W
MAISHA YA
HEMED BIN
MOHAMME
D EL
MUJEBI
YAANI(GIP
PUTIPP)
EALB 1975 MAISHA Y
TIPP TIPP NA
BIASHARA YA
UTUMWA NA
PEMBE ZA
NDOVU
TANZANIA-
CONGO