serikali ya mapinduzi ya zanzibar hotuba ya …

48
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI, MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022-2023/2024 BARAZA LA WAWAKILISHI. (Umetayarishwa na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango – Zanzibar)

Upload: others

Post on 14-Nov-2021

15 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

1

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

HOTUBA YA MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI, MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA

2021/2022-2023/2024 BARAZA LA WAWAKILISHI.

(Umetayarishwa na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango – Zanzibar)

Page 2: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

2

Page 3: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

i

YALIYOMO1 UTANGULIZI .................................................................................................. 12 MAPITIO YA UCHUMI DUNIANI .................................................................... 23 MWENENDO WA UCHUMI WA ZANZIBAR KIPINDI CHA MIEZI SITA(6) (JULAI – DISEMBA 2020) ................................................................................. 23.1MFUMKO WA BEI ....................................................................................... 43.2MWENENDO WA BIASHARA ....................................................................... 53.3MWENENDO WA UINGIAJI WA WATALII 2020 ............................................ 54 UTEKELEZAJI WA MKUZA III .......................................................................... 55 UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA MIEZI SITA (JULAI 2020-DISEMBA 2020) .................................................................... 66 UTEKELEZAJI WA MAENEO YA VIPAUMBELE KWA KIPINDI CHA JULAI -DISEMBA 2020 ............................................................................................... 77 UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA MWAKA 2020/2021 KWA KIPINDI CHA MIEZI SITA (JULAI 2020-DISEMBA 2020) .......................................................... 87.1 UKUSANYAJI HALISI WA MAPATO YA SERIKALI ........................................... 87.1.1 Mapato ya Mfuko wa Miundombinu ...................................................... 97.1.2 Mapato kutoka kwa Washirika wa Maendeleo ...................................... 97.2 UTEKELEZAJI HALISI WA MATUMIZI ........................................................... 107.2.1 Matumizi ya Mfuko wa Miundombinu ................................................... 117.2.2 Matumizi ya Serikali za Mitaa ................................................................. 117.3 DENI LA TAIFA ............................................................................................ 128 MATARAJIO YA MAPATO JULAI-JUNI 2020/2021 ........................................... 128.1 MAPATO YA NDANI .................................................................................... 128.2 MFUKO WA MIUNDOMBINU ..................................................................... 138.3 MAPATO KUTOKA NJE ................................................................................ 149. MATARAJIO YA MATUMIZI JULAI-JUNI/2020/2021 ..................................... 1410 YATOKANAYO NA MAJUKWAA YA UCHUMI NA BAJETI ............................... 1511 MWELEKEO WA UCHUMI WA DUNIA ......................................................... 1712 MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI ZANZIBAR ............................................. 1812.1 SHABAHA NA MALENGO YA UCHUMI KWA 2021-2023. .......................... 1913 MWELEKEO WA MPANGO WA MAENDELEO 2021/2022-2023/2024 ......... 2014 VIPAUMBELE VYA KITAIFA KWA MWAKA 2021/2022 -2023/2024 .............. 2115 VIPAUMBELE VYA KITAIFA KWA MWAKA 2021/2022 .................................. 2316 MWELEKEO WA MAPATO ........................................................................... 2416.1 MAPATO YA NDANI .................................................................................. 24

Page 4: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

ii

16.2 MFUKO WA MIUNDOMBINU ................................................................... 2417 MWELEKEO WA MATUMIZI ........................................................................ 2518 SURA YA BAJETI........................................................................................... 2619 VIGEZO VYA UGAWAJI WA RASILIMALI FEDHA ........................................... 2720 VIAMBATISHO ............................................................................................. 2721 HITIMISHO .................................................................................................. 28

Page 5: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

1

MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI, MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022-2023/2024

1 UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, Nianze na kumshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa Kutujaalia kuwa na afya njema na kuweza kukutana leo katika kikao cha kujadili Mapendekezo ya mwelekeo wa Uchumi, Mipango na Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2022/2023-2023/2024, tunamuomba Mwenyezi Mungu akijaalie kikao hiki kiendeshe shughuli zake kwa utulivu, maelewano na upendo ili tuweze kufikia malengo yaliyokusudiwa kwa Maslahi ya nchi yetu na watu wetu. Aidha napenda kuchukua fursa hii adhimu kuungana na wananchi wote wa Visiwa vya Unguja na Pemba kumpongeza kwa dhati Mhe.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi kwa imani kubwa aliyoipata kwa Wazanzibari kuchaguliwa kuongoza Awamu ya Nane (8) kwa ushindi wa kihistoria. Mwaka huu wa fedha 2021/2022 tunaanza na Awamu ya Nane (8) ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yenye Muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Halikadhalika, hii ni Bajeti ya kwanza inayoanza kutekeleza Dira mpya ya Maendeleo ya 2050.

Mheshimiwa Spika, Naomba kuwasilisha mbele ya Baraza Lako Tukufu, Mapendekezo ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2021/2022-2023/2024. Mapendekezo hayo yatatanguliwa na Mapitio ya mwenendo wa Uchumi 2020, Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa nusu ya kwanza ya mwaka 2020/2021 na Mapitio ya utekelezaji wa Bajeti ya nusu ya kwanza ya mwaka 2020/2021. Tunawasilisha pia Matarajio (likely outturn) ya Mapato na Matumizi hadi kufikia Juni 2021.

Mheshimiwa Spika, Waraka huu unatokana na matakwa ya Kifungu cha 105 cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 (kama ilivyorekebishwa) kinachomtaka Waziri anayehusika na Fedha, kabla ya kumalizika mwaka wa Fedha, kutayarisha na kuwasilisha Baraza la Wawakilishi Makadirio ya Bajeti ya mwaka unaofuata. Aidha, Kifungu cha 39(1) cha Sheria ya Fedha za Umma namba 12 ya mwaka 2016, kinamtaka Waziri anaesimamia Fedha kuandaa Mwelekeo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka unaofuata na kuwasilishwa Baraza la Wawakilishi. Matakwa haya yanaendana na kanuni ya 93 ya kanuni za Baraza la wawakilishi inayoitaka

Page 6: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

2

Serilkali kuwasilisha mbele ya baraza hilo Mwelekeo wa Mpango wa Taifa kwa Mwaka unaofuata katika kikao cha mwezi wa Februari cha Baraza la Wawakilishi.

TAARIFA YA MAPITIO YA HALI YA UCHUMI2 MAPITIO YA UCHUMI DUNIANIMheshimiwa Spika, Kufuatia Mripuko wa maradhi ya korona (Covid19) mwezi wa Disemba mwaka 2019, Uchumi wa dunia unatarajiwa kuporomoka kufikia 3.5% mwaka 2020 kutoka ukuaji wa 2.8%, ukichangiwa na kuporomoka kwa uchumi wa Umoja wa Ulaya (-7. % kutoka 1.3%), Nchi ya Marekani (-3.4% kutoka 2.2%), nchi zinazoibukia kiuchumi (-3.3% kutoka 2.9%) pamoja na nchi zilizoendelea kiviwanda (-2.4% kutoka 3.6%).

Kwa upande wa Afrika, uchumi umeripotiwa kushuka kwa asilimia 1.7 mwaka 2020, ikiwa ni anguko la kutoka asilimia 5.6, huku uchumi wa nchi za Afrika Mashariki kama Tanzania ukitegemewa kufikia asilimia 5.2, Kenya (asilimia 6.0), na Uganda (asilimia 2.5). Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani hadi kufikia tarehe 10 Februari 2021, idadi ya watu ipatayo 106.6 milioni (Afrika 2.7 milioni, Amerika 47.4 milioni, Ulaya 36.0 milioni, Kusini Mashariki mwa Asia 13.1 milioni, nyenginezo 7.4 milioni) imeambukizwa ugonjwa huu duniani kote na kati ya idadi hiyo 2.3 milioni wamefariki dunia. Aidha, kwa taarifa za kitaalamu za afya, maambukizi ya maradhi haya ni ya haraka sana lakini hayasababishi vifo kwa haraka (highly infectious, low mortality), ambapo idadi ya wagonjwa wapatao 78.4 milioni kati ya waliopata maradhi hayo wameweza kupona.

3MWENENDO WA UCHUMI WA ZANZIBAR KIPINDI CHA MIEZI SITA(6) (JULAI – DISEMBA 2020)Mheshimiwa Spika, Katika kukabiliana na athari za janga la maradhi ya COVID19, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeendelea kuchukua hatua mbalimbali katika kuhakikisha inaimarisha uchumi wake na kukabiliana na athari za kiuchumi ambazo zimejitokeza kutokana na kuwepo kwa janga hilo Duniani.Miongoni mwa hatua hizo ni :-

i. Kupunguza masharti iliyoyaweka na kuanza kuruhusu baadhi ya shughuli za kiuchumi na kijamii ziendelee;

ii. Kufungua vyuo vyote vya elimu ya juu;iii. Kufungua shule kwa kuwapa nafasi wanafunzi wa kidato cha nne na

sita ili kujitayarisha na mitihani;

Page 7: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

3

iv. Kuanza kuruhusu kupokea watalii kutoka Nchi tofauti duniani;v. Kuruhusu safari za ndege kuingia na kutoka nje ya nchi;vi. Kuruhusu shughuli za biashara za ndani kuwa wazi kwa nyakati za

kawaida; navii. Kuendelea kutoa tahadhari za ugonjwa na kusaidia kupigana na

kuushinda ugonjwa huo. Hatua nyengine zilizotumika katika kuimarisha mapato ya Serikali na kusaidia kurahisisha shughuli za kibiashara ni pamoja na:

i. Kupunguza kiwango cha kutozea Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kutoka asilimia 18 hadi asilimia 15.

ii. Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa vifaa vya uvuvi ikiwemo boti kubwa za kuanzia urefu wa mita 18 na zaidi, mashine za boti, pamoja na vifaa vyengine vya uvuvi vinavyoingia nchini.

iii. Kupunguza kiwango cha kutozea Ushuru wa Hoteli kutoka asilimia 18 hadi asilimia 12.

iv. Kufuta Tozo na Ada zote kwa wafanyabiashara wadogo wadogo wa masokoni, mama lishe, waanika dagaa na jua kali za TZS 1,000 hadi 2,000 kwa siku wanachotakiwa kulipa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs). Wafanya biashara hao watalipa kiwango kimoja cha Ada ya TZS 30,000 kwa mwaka na kupewa kadi maalumu ya usajili na utambulisho.

v. Kupunguza kiwango cha Ada ya Usajili wa Uwekezaji kinachotozwa Mamlaka ya Kukuza na Kulinda Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) kutoka USD 500 hadi USD 200.

vi. Kupunguza kiwango cha Leseni ya Biashara inayolipwa na Mawakala wa Forodha kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs) kutoka TZS 300,000 hadi TZS 1,000,000 na kuwa kiwango kimoja tu cha TZS 300,000.

Kwa maelezo, Rejea hutuba ya Mh Waziri wa Fedha na Mipango, Kuhusu Makadirio na Mpango wa Matumizi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar mwaka 2020/2021. Ukurasa Na. 53-74.

Page 8: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

4

Hata hivyo, hali ya uchumi wa Zanzibar kwa kipindi hicho iliendelea kuwa kama ifuatavyo: -

3.1 Mfumko wa beiMheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai - Disemba mwaka 2020, kasi ya mfumko wa bei ya bidhaa na huduma imeshuka na kufikia wastani wa asilimia 1.9 kutoka wastani wa asilimia 2.6 kwa kipindi kama hicho mwaka 2019. Bei za chakula zimepanda na kufikia wastani wa asilimia 3.2 mwaka 2020 kutoka wastani wa asilimia 2.7 mwaka 2019, na bei zisizo za chakula zimeshuka na kufikia wastani wa asilimia 0.5 mwaka 2020 kutoka wastani wa asilimia 2.5 mwaka 2019.

Mheshimiwa Spika, Kushuka kwa Mfumko huo wa bei ulichangiwa na bei za vyakula kwa wastani wa asilimia 1.4, bei za nishati kwa wastani wa asilimia 0.6 na bei za bidhaa zisizo za chakula zilichangia kwa wastani wa chini ya asilimia 0.14.

Uingizwaji wa Bidhaa muhimu za chakula nchini katika kipindi cha miezi sita (Julai-Disemba) mwaka 2020. BIDHAA 2019 2020KUTOKA NJE YA NCHI (Tani) Mchele 45,090.0 42,195.2 Sukari 15,210.0 15,169.8 Unga wa Ngano 5,708.0 2,607.5 KUTOKA TANZANIA BARA (Tani) Mchele 2,098.0 1,292.0 Unga wa Ngano 2,003.0 3,195.0 UZALISHAJI NCHINI (Tani) Unga wa Ngano 18,849.0 23,580.0

3.2 Mwenendo wa BiasharaMheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai-Disemba mwaka 2020 nakisi ya biashara imeongezeka na kufikia TZS 440.5 bilioni kutoka TZS 383.9 bilioni mwaka

Page 9: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

5

2019, kuongezeka kwa nakisi ya biashara kumesababishwa na kuongezeka kwa uagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi, katika kipindi cha Julai -Disemba mwaka 2020 uagizaji wa bidhaa umefikia thamani ya TZS 458.7 bilioni ikilinganishwa na thamani ya TZS 417.7 bilioni mwaka 2019. Bidhaa zilizoingia nchini kwa kiwango kikubwa ni bidhaa za biashara (Capital goods) 51.9%, bidhaa za chakula 18.8% na bidhaa za kati (intermediate goods) 29.3%.

Mheshimiwa Spika, Aidha usafirishaji wa bidhaa nje ya nchi umepungua katika kipindi cha Julai-Disemba na kufikia thamani ya TZS 18.2 bilioni mwaka 2020 kutoka thamani ya TZS 33.8 bilioni mwaka 2019. Ununuzi wa zao la karafuu katika kipindi cha Julai- Disemba mwaka 2020 umepungua na kufikia tani 206.5 zenye thamani ya TZS 2.8 bilioni kutoka tani 1,638.5 zenye thamani ya TZS 22.9 bilioni mwaka 2019. Kupungua kwa ununuzi wa zao la karafuu kumesababishwa na kupungua kwa uzalishaji wa zao hilo kutoka kwa wakulima nchini. Usafirishaji wa zao la karafuu nje ya nchi katika kipindi cha Julai-Disemba mwaka 2020 umefikia jumla ya tani 946.4 zenye thamani ya TZS 9.9 bilioni ikilinganishwa na jumla ya tani 1,884.4 zenye thamani ya TZS 20.3 bilioni mwaka 2019.

3.3 Mwenendo wa Uingiaji wa Watalii 2020Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai – Disemba mwaka 2020 idadi ya wageni walioingia nchini imepungua na kufikia wageni 102,746 kutoka wageni 335,374 mwaka 2019 ikiwa sawa na upungufu wa asilimia 69.4. Kupungua kwa uingiaji wa idadi ya wageni nchini kumesababishwa na kuwepo kwa ugonjwa wa maradhi ya korona yaliyopelekea kuwekwa vizuwizi vya kusafiri nje ya nchi kwa nchi nyingi na kuzuiliwa kwa safari za ndege kutoka nchi mbali mbali.

MAPITIO YA MPANGO WA MAENDELEO

4 UTEKELEZAJI WA MKUZA IIIMheshimiwa Spika, Utekelezaji wa MKUZA III ni sehemu ya utekelezaji wa Dira ya Maendeleo 2020. Ambayo imefanikiwa katika maeneo kadhaa yakiwemo: (i) Kupunguza asilimia ya watu wanaoishi chini ya mstari wa umaskini uliokithiri kufikia asilimia 9.3 kwa mwaka 2019/20 ambapo lengo ilikuwa ni kufikia chini ya asilimia 10; (ii) Kufikia kiwango cha Chini cha Nchi zenye Uchumi wa Kati (Low Middle Income Country); (iii) Kuongeza matarajio ya umri wa kuishi kutoka miaka 48 kufikia miaka 65; (iv) Kuimarisha na kudumisha viwango vya juu vya

Page 10: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

6

elimu na kukuza maendeleo ya ujuzi kwa kuzingatia gharama; (v) Upatikanaji wa maji safi na salama umefikia asilimia 98.8; na (vi) Ukuaji wa uchumi umefikia asilimia7.0 mwaka 2019.

Mheshimiwa Spika, Dhamira (Theme) ya MKUZA III ilikuwa ni “Ukuaji wa Uchumi na Maendeleo ya Kijamii kwa Manufaa ya Wote”. Dhamira hii imeweza kufikiwa, ambapo takwimu zinaonesha kuwa Zanzibar imekuwa na ukuaji wa uchumi endelevu ambao kwa miaka mitatu umekuwa kwa asilimia saba (7%). Mfumko wa bei umefikia kuwa chini ya asilimia tano (5%), ambapo kwa mwaka 2019, mfumko umefikia asilimia 2.7. na kiwango cha watu wanaoishi chini ya mstari wa umaskini kimeshuka kufikia asilimia 25.7 mwaka 2019/20 kutoka asilimia 30.4 mwaka 2014/15.Ujumbe (Mission Statement) wa MKUZA III ni “Kufikia Maendeleo ya kiuchumi na Kijamii yenye Hadhi ya Uchumi wa Kati”. Lengo hili limefikiwa kwani takwimu za mwaka 2019 zinaonesha kuwa Zanzibar imefikia kiwango cha chini cha uchumi wa kati (Low Middle Income Country) kwa kuwa na Kipato cha Mtu mmoja cha US$ 1,114. Ripoti kamili itawasilishwa kwa wadau itakapokamilika hivi karibuni.

5 UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA MIEZI SITA (JULAI 2020-DISEMBA 2020)

Mheshimiwa Spika, Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2020/21 ni umaliziaji wa utekelezaji wa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar Awamu ya Tatu (MKUZA III) ambao umekamilika mwaka 2020. MKUZA III umeendeleza mageuzi ya kiuchumi na kijamii na kupunguza umasikini kwa (i) Kuwezesha ukuaji wa uchumi jumuishi na endelevu; (ii) Kukuza uwezo wa watu; (iii) Kutoa huduma bora kwa wote; (iv) Kuweka mazingira endelevu na uhimili wa mabadiliko ya tabianchi; na (v) Kushikamana na misingi ya utawala bora. Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2020/21 ulilenga kutekeleza jumla ya programu na miradi 94. Jumla ya TZS 609.9 bilioni zilipangwa kutumika kwa ajili ya kugharamia utekelezaji wa Mpango huo ikiwa ni ongezeko la TZS 32.9 bilioni sawa na asilimia 5.7 ikilinganishwa na Bajeti ya Maendeleo ya mwaka 2019/20 ya TZS 577.0 bilioni. Kati ya fedha hizo, Serikali ilipanga kutumia TZS 197.3 bilioni sawa na asilimia 32.3 ya bajeti ya maendeleo kutoka fedha za ndani. Jumla ya TZS 412.6 bilioni sawa na asilimia 67.6 zilipangwa kutolewa na Washirika wa Maendeleo ikiwemo TZS 72.5 bilioni ni ruzuku na TZS 340.5 bilioni ni mkopo.

Page 11: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

7

Mheshimiwa Spika, Hadi kufikia Disemba 2020, jumla ya TZS 139 bilioni sawa na asilimia 22.9 ya lengo la TZS 609.9 bilioni zilitumika katika utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo. Kati ya fedha hizo, TZS 37.6 bilioni sawa na asilimia 19.1 ya lengo la TZS 197.3 bilioni zilitoka Serikalini na TZS 101.74 bilioni sawa na asilimia 24.7 ya lengo la 412.7 bilioni zilitoka kwa Washirika wa Maendeleo.

6 UTEKELEZAJI WA MAENEO YA VIPAUMBELE KWA KIPINDI CHA JULAI -DISEMBA 2020

Utekelezaji wa Maeneo ya Vipaumbele kwa Kipindi cha Julai–Disemba 2020Mheshimiwa Spika, Ili kuhakikisha utekelezaji wa MKUZA III unafanyika kwa ufanisi, miradi mbalimbali ilipewa kipaumbele ili kufikia malengo ya maendeleo na kukuza uchumi na kuimarisha ustawi wa wananchi. Programu na miradi iliyopewa kipaumbele cha juu katika utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo 2020/21 ni 13 kama ifuatavyo: -

(i) Kuimarisha uchumi baada ya athari ya maradhi ya Korona kwa kutekeleza Mpango wa Kuimarisha Uchumi (Economic Recovery Plan – ERP);

(ii) Ukamilishaji wa jengo la tatu la abiria la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume (Terminal III);

(iii) Kuimarisha uchumi buluu kwa kuandaa Mpango wa Matumizi ya Bahari na maeneo yake (Marine Spatial Plan) na kuanza utekelezaji;

(iv) Ujenzi wa Hospitali mpya ya Rufaa ya Binguni; (v) Ujenzi wa Hospitali ya Wete kuipandisha hadhi kuwa ya Mkoa; (vi) Kukamilisha ujenzi wa Mahkama Kuu Tunguu; (vii) Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji

katika mabonde ya Chaani, Kinyasini na Kibokwa kwa Unguja na Makwararani na Mlemele kwa Pemba;

(viii) Ujenzi wa Bandari ya Mpigaduri; (ix) Kuendeleza ujenzi wa mji wa kisasa Kwahani; (x) Kuimarisha sekta ya mafuta na gesi kwa kuendelea na ujenzi wa

miundombinu ya matangi ya kuhifadhia mafuta katika eneo la Bandari ya Mangapwani;

(xi) Kuimarisha ulinzi na usalama;(xii) Ujenzi wa barabara ya Chake Chake – Wete, na (xiii) Ujenzi wa kituo cha Maonesho ya Biashara na Mikutano ya Kimataifa

Page 12: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

8

cha Nyamanzi (Nyamanzi Convention Centre) kwa mfumo wa mashirikiano ya sekta ya umma na sekta binafsi.

Kati ya vipaumbele hivyo, ni vipaumbele tisa (9) sawa na asilimia 69.2 ambavyo vimeanza utekelezaji katika kipindi hicho na kuwepo katika hatua mbalimbali. Mheshimiwa Spika, Jumla ya TZS 256.6 bilioni zilipangwa kutumika kwa ajili ya utekelezaji wa Vipaumbele vya kwanza ambapo kwa kipindi cha Julai -Disemba kiasi cha Fedha kilichopatikana ni TZS 55.9 bilioni sawa na asilimia 21.7 ya bajeti ya mwaka, na kwa upande wa Vipaumbele vya pili Jumla ya TZS 18.5 bilioni zimepangwa kutumika kwa kipindi cha miezi sita kiasi kilichopatikana ni TZS 2.7 bilioni sawa na asilimia 15. Utekelezaji halisi wa programu na miradi hiyo imeambatanishwa katika Kiambatisho namba 2.

7 UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA MWAKA 2020/2021 KWA KIPINDI CHA MIEZI SITA (JULAI 2020-DISEMBA 2020)

7.1 Ukusanyaji Halisi wa Mapato ya SerikaliMheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha 2020/2021 Serikali imekadiria kukusanya jumla ya TZS 1,579.2 bilioni ikijumuisha mapato ya ndani ya TZS 1,050 bilioni, mikopo ya ndani ya TZS 45 bilioni, Mfuko wa Pamoja na Washirika wa Maendeleo TZS 3.8 bilioni , TZS 419.4 bilioni Ruzuku na Mikopo kutoka kwa Washirika wa Maendeleo na TZS 61 bilioni ikiwa kama sehemu ya marejesho ya Ujenzi wa Terminal III kutoka Benki ya Exim ya China.

Mheshimiwa Spika, Kutokana na athari za Covid19, kwa kipindi cha miezi sita (Julai 2020-Disemba 2020) Serikali ilikusanya jumla ya TZS 464.6 bilioni sawa na asilimia 59.6 ya lengo la TZS 779.4 bilioni zikiwemo mapato ya ndani ya TZS 303.3 bilioni sawa na asilimia 58 ya makisio ya TZS 522.7 bilioni kwa kipindi hicho. Mikopo ya ndani TZS 57.3 bilioni sawa na asilimia 126.7 ya makisio ya TZS 50.4 bilioni ya kipindi hicho, na Mapato kutoka kwa Washirika wa Maendeleo ya TZS 104.3 bilioni sawa na asilimia 50.6 ya makisio ya TZS 206.3 bilioni kwa kipindi hicho.

Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa Mapato ya ndani kitaasisi, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilikusanya jumla ya TZS 130.4 bilioni sawa na asilimia

Page 13: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

9

69.4 ya makadirio ya TZS 187.8 bilioni. Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) ilikusanya jumla ya TZS 117.3 bilioni sawa na asilimia 43.7 ya makadirio ya TZS 268.3 bilioni katika kipindi hicho.

Mheshimiwa Spika, Aidha, katika kipindi cha Julai 2020 hadi Disemba 2020, Mapato yasiyokuwa ya kodi yalifikia TZS 34.6 bilioni sawa na asilimia 61.7 ya lengo la TZS 56.1 bilioni. Makusanyo ya Kodi ya Mapato kutoka kwa wafanyakazi wa SMT waliopo Zanzibar yalifikia TZS 21 bilioni sawa na bajeti yote iliopangwa kwa mwaka.

Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka 2020/2021 Jumla ya TZS 44.7 bilioni zilikadiriwa kukusanywa kutoka Mfuko wa Miundombinu ambapo TZS 16.9 bilioni zilikadiriwa kukusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na TZS 27.8 bilioni zilikadiriwa kukusanywa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB). Mapato halisi yaliyopokelewa kwa kipindi cha Julai-Disemba 2020 yamefikia Jumla ya TZS 13.2 sawa na asilimia 58.4 ya makisio ya TZS 22.6 bilioni kwa kipindi hicho. Mapato hayo yanajumuisha TZS 8.6 bilioni kutoka ZRB na TZS 4.6 bilioni kutoka TRA. Mchanganuo wa mapato hayo unaonekana katika Jadweli namba 1.

Jadweli namba 1: Utekelezaji wa Mapato ya Miradi ya Miundo mbinu

7.1.1 Mapato kutoka kwa Washirika wa MaendeleoMheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai-Disemba 2020 Serikali imepokea Jumla ya TZS 104.2 bilioni sawa na asilimia 50.6 ya makadirio ya miezi sita ya TZS 206.2 bilioni zikiwemo Ruzuku TZS 8.5 bilioni na Mikopo ya TZS 95.7 bilioni kwa ajili ya Miradi na Programu za Maendeleo.

13

ilikusanya  jumla  ya  TZS  117.3    bilioni  sawa  na  asilimia  43.7  ya  makadirio  ya  TZS  268.3  bilioni  katika  kipindi  hicho.  Mheshimiwa  Spika,  Aidha,   katika   kipindi   cha   Julai   2020  hadi  Disemba  2020,  Mapato  yasiyokuwa  ya  kodi  yalifikia  TZS  34.6  bilioni  sawa  na  asilimia  61.7  ya  lengo   la   TZS   56.1   bilioni.   Makusanyo   ya   Kodi   ya   Mapato   kutoka   kwa  wafanyakazi  wa   SMT  waliopo   Zanzibar   yalifikia   TZS  21  bilioni   sawa  na  bajeti  yote  iliopangwa  kwa  mwaka.    Mheshimiwa   Spika,   Katika   Mwaka   2020/2021   Jumla   ya   TZS   44.7   bilioni  zilikadiriwa   kukusanywa   kutoka    Mfuko  wa  Miundombinu   ambapo   TZS   16.9  bilioni  zilikadiriwa  kukusanywa  na  Mamlaka  ya  Mapato  Tanzania  (TRA)  na  TZS  27.8   bilioni   zilikadiriwa   kukusanywa   na   Bodi   ya   Mapato   Zanzibar   (ZRB).  Mapato   halisi   yaliyopokelewa   kwa   kipindi   cha   Julai-­‐Disemba   2020   yamefikia  Jumla   ya   TZS   13.2   sawa   na   asilimia   58.4   ya  makisio   ya   TZS   22.6   bilioni   kwa  kipindi   hicho.  Mapato   hayo   yanajumuisha   TZS   8.6   bilioni   kutoka   ZRB   na   TZS  4.6   bilioni   kutoka   TRA.   Mchanganuo   wa   mapato   hayo   unaonekana   katika  Jadweli  namba  1.    Jadweli  namba  1:  Utekelezaji  wa  Mapato  ya  Miradi  ya  Miundo  mbinu    

 Kodi  ya  Miundombinu  TRA  (60%  of  Trade  Levy)  

16.9                       8.3                                         4.6                                           55.4                        

 Kodi  ya  Miundombinu    (ZRB)  

27.8                       14.3                                   8.6                                           60.1                        

Jumla   44.7                     22.6                                   13.2                                     58.4

Utekelezaji  wa  Mapato  ya  Miradi  ya  Miundo  mbinu  kwa  Kipindi  cha  Julai-­‐  

TAX  ITEMS    Bajeti  2020/2021  

 Shabaha  ya  Miezi  sita  

 Makusanyo  Halisi  kwa  miezi  6  

%ya  utekelezaji  

 Chanzo  Ofisi  ya  Rais  Fedha  na  Mipango  

7.1.1 Mapato  kutoka  kwa  Washirika  wa  Maendeleo  Mheshimiwa  Spika,  Katika   kipindi   cha   Julai-­‐Disemba  2020   Serikali   imepokea  Jumla  ya  TZS  104.2  bilioni  sawa  na  asilimia  50.6  ya  makadirio  ya  miezi  sita  ya  TZS  206.2  bilioni  zikiwemo  Ruzuku  TZS  8.5  bilioni  na  Mikopo  ya  TZS  95.7  bilioni  kwa  ajili  ya  Miradi  na  Programu  za  Maendeleo.  Muhtasari  wa  mapato  yanaonekana  katika  jadweli  namba  2.    Jadweli  namba  2:  Utekelezaji  wa  Mapato  kwa  kipindi  cha  Miezi  Sita  

Page 14: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

10

Muhtasari wa mapato yanaonekana katika jadweli namba 2. Jadweli namba 2: Utekelezaji wa Mapato kwa kipindi cha Miezi Sita

7.2 Utekelezaji Halisi wa MatumiziMheshimiwa Spika, Kwa kipindi cha Julai-Disemba 2020/21, Jumla ya matumizi halisi yamefikia TZS 486.7 bilioni sawa na asilimia 76.8 ya makisio ya TZS 634.0 bilioni ya lengo la kipindi hicho. Kati ya matumizi hayo, TZS 353.1 bilioni zilitumika kwa Kazi za Kawaida sawa na asilimia 74.2 ya makisio ya TZS 475.8 bilioni na TZS 133.6 bilioni zilitumika kwa shughuli za maendeleo sawa na asilimia 84.5 ya makisio ya TZS 158.2 bilioni. Kati ya fedha hizo TZS 37.7 bilioni zilitumika kutokana na Fedha za Serikali kwa Miradi ya Maendeleo ambazo ni sawa na asilimia 69.9 ya Makisio ya TZS 53.9 bilioni na TZS 95.9 bilioni zinatokana na Washirika wa Maendeleo sawa na asilimia 91.9 ya makadirio ya TZS 104.3 bilioni. Muhtasari wa matumizi hayo yanaonekana katika jadweli Nambari 3

14

Maelezo Bajeti  2020/2021

Makisio  Julai-­‐  Disemba  2020/21

Halisi  Julai-­‐  Disemba  2020/21

%  utekelezaji  miezi  Sita

%  ya  Utekelezaji  kwa  Mwaka

MAPATO.Mapato  ya  Ndani 1,050.0                                                                 522.7                                           303.3                           58.0 28.9ZRB 516.7                                                                         268.3 117.3 43.7 22.7TRA 383.5                                                                         187.8 130.4 69.4 34.0Mapato  yasiyokuwa  ya  Kodi 128.7                                                                         56.1 34.6 61.7 26.9PAYE  kwa  W/kazi  wa  SMT 21.0                                                                             10.5 21.0 200.0 100.0Mapato  mengineyo 529.2                                                                         256.7                                           161.3                           62.8 30.5Mikopo  ya  Ndani 45.0                                                                             50.4 57.0 113.1 126.7Washirika  ya  Maendeleo 423.2 206.3 104.3 50.6 24.6Exim  Bank  China 61 0.0Jumla  ya  Mapato  ya  Ndani 1,579.2                                                                 779.4                                           464.6                           59.6 29.4  Chanzo  Ofisi  ya  Rais  Fedha  na  Mipango  

7.2 Utekelezaji  Halisi  wa  Matumizi  Mheshimiwa   Spika,   Kwa   kipindi   cha   Julai-­‐Disemba   2020/21,   Jumla   ya  matumizi  halisi  yamefikia  TZS  486.7  bilioni  sawa  na  asilimia  76.8  ya  makisio  ya  TZS  634.0  bilioni   ya   lengo   la   kipindi  hicho.  Kati   ya  matumizi  hayo,  TZS  353.1  bilioni  zilitumika  kwa  Kazi  za  Kawaida  sawa  na  asilimia  74.2  ya  makisio  ya  TZS  475.8  bilioni  na  TZS  133.6  bilioni  zilitumika  kwa  shughuli  za  maendeleo  sawa  na   asilimia   84.5   ya  makisio   ya   TZS   158.2   bilioni.   Kati   ya   fedha  hizo   TZS   37.7  bilioni   zilitumika   kutokana   na   Fedha   za   Serikali   kwa   Miradi   ya   Maendeleo  ambazo   ni   sawa   na   asilimia   69.9   ya  Makisio   ya   TZS   53.9   bilioni   na   TZS   95.9  bilioni   zinatokana   na   Washirika   wa   Maendeleo   sawa   na   asilimia   91.9   ya  makadirio   ya   TZS   104.3   bilioni.   Muhtasari   wa   matumizi   hayo   yanaonekana  katika  jadweli  Nambari  3  

Jadweli  Nambari:  3  Utekelezaji  wa  Matumizi  kwa  kipindi  cha  Miezi  Sita  

MAELEZO Bajeti  2020/2021Makisio  miezi  Sita

Halisi  miezi  sita  

%  utekelezaji  miezi  Sita

%  ya  Utekelezaji  kwa  Mwaka

Matumizi  ya  kawaida 958.7                                           475.8                           353.1                             74.2                                   36.8                                              

Mshahara  wa  Mawizara 316.8                                           137.1                           136.9                             99.9                                   43.2                                              

Matumizi  Mengineyo  Mawizara 172.0                                           101.1                           43.0                                 42.5                                   25.0                                              

Matumizi  Mengineyo  Ruzuku 108.2                                           49.8 23.1                                 46.4                                   21.3                                              

Mshahara  Ruzuku 123.8                                           64.8                                 65.5                                 101.1                               52.9                                              

Mfuko  Mkuu  wa  Serikali 237.9                                           123.0                           84.6                                 68.8                                   35.6                                              

Matumizi  ya  maendeleo 620.5                                           158.2                           133.6                             84.5                                   21.5                                              

Fedha  za  Serikali 197.3                                           53.9                                 37.7                                 69.9                                   19.1                                              

Washirika  wa  Maendeleo 423.2                                           104.3                           95.9                                 91.9                                   22.7                                              

Jumla  Kuu 1,579.2                                     634.0                           486.7                             76.8                                   30.8                                              

Utekelezaji  wa  Bajeti  kwa  Kipindi  cha  Julai-­‐  Disemba  2020/2021(TZSbilioni)

 Chanzo  Ofisi  ya  Rais  Fedha  na  Mipango  

Page 15: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

11

Jadweli Nambari: 3 Utekelezaji wa Matumizi kwa kipindi cha Miezi Sita

7.2.1 Matumizi ya Mfuko wa MiundombinuMheshimiwa Spika, Kwa upande wa matumizi ya Mfuko wa Miundombinu jumla ya TZS 44.2 bilioni zilipangwa kutumika kwa ajili ya kugharamia utekelezaji wa miradi kumi na tano (15) kwa mwaka. Kwa kipindi cha miezi sita, jumla ya TZS 10.2 bilioni zimetumika kutoka Mfuko wa Miundombinu kwa kugharamia miradi 8 sawa na asilimia 23 ya makadirio TZS 44.2 bilioni ya fedha zilizopangwa mchanganuo wa matumizi wa miradi hiyo imeambatanishwa katika Kiambatisho namba 3.

7.2.2 Matumizi ya Serikali za MitaaMheshimiwa Spika, Jumla ya TZS 81.2 bilioni zilitengwa kwa ajili ya Ruzuku kwa mwaka 2020/21 ambapo TZS 70.9 bilioni matumizi ya Ruzuku ya Mshahara na TZS10.3 bilioni ni matumizi ya kuendeshea ofisi. Aidha, Matumizi halisi kwa kipindi cha Julai hadi Disemba 2020/21 yamefikia TZS 39.7 bilioni sawa na asilimia 97.8 ya makadirio ya TZS 40.6 bilioni ya lengo katika kipindi hicho. Kati ya matumizi hayo, TZS 38.3 bilioni zilitumika kwa mishahara sawa na asilimia 108 ya makadirio ya TZS 35.4 bilioni na TZS 1.41 bilioni zilitumika kwa matumizi ya kuendeshea ofisi sawa na asilimia 27.3 ya makadirio ya TZS 5.2 bilioni kwa kipindi hicho.

14

Maelezo Bajeti  2020/2021

Makisio  Julai-­‐  Disemba  2020/21

Halisi  Julai-­‐  Disemba  2020/21

%  utekelezaji  miezi  Sita

%  ya  Utekelezaji  kwa  Mwaka

MAPATO.Mapato  ya  Ndani 1,050.0                                                                 522.7                                           303.3                           58.0 28.9ZRB 516.7                                                                         268.3 117.3 43.7 22.7TRA 383.5                                                                         187.8 130.4 69.4 34.0Mapato  yasiyokuwa  ya  Kodi 128.7                                                                         56.1 34.6 61.7 26.9PAYE  kwa  W/kazi  wa  SMT 21.0                                                                             10.5 21.0 200.0 100.0Mapato  mengineyo 529.2                                                                         256.7                                           161.3                           62.8 30.5Mikopo  ya  Ndani 45.0                                                                             50.4 57.0 113.1 126.7Washirika  ya  Maendeleo 423.2 206.3 104.3 50.6 24.6Exim  Bank  China 61 0.0Jumla  ya  Mapato  ya  Ndani 1,579.2                                                                 779.4                                           464.6                           59.6 29.4  Chanzo  Ofisi  ya  Rais  Fedha  na  Mipango  

7.2 Utekelezaji  Halisi  wa  Matumizi  Mheshimiwa   Spika,   Kwa   kipindi   cha   Julai-­‐Disemba   2020/21,   Jumla   ya  matumizi  halisi  yamefikia  TZS  486.7  bilioni  sawa  na  asilimia  76.8  ya  makisio  ya  TZS  634.0  bilioni   ya   lengo   la   kipindi  hicho.  Kati   ya  matumizi  hayo,  TZS  353.1  bilioni  zilitumika  kwa  Kazi  za  Kawaida  sawa  na  asilimia  74.2  ya  makisio  ya  TZS  475.8  bilioni  na  TZS  133.6  bilioni  zilitumika  kwa  shughuli  za  maendeleo  sawa  na   asilimia   84.5   ya  makisio   ya   TZS   158.2   bilioni.   Kati   ya   fedha  hizo   TZS   37.7  bilioni   zilitumika   kutokana   na   Fedha   za   Serikali   kwa   Miradi   ya   Maendeleo  ambazo   ni   sawa   na   asilimia   69.9   ya  Makisio   ya   TZS   53.9   bilioni   na   TZS   95.9  bilioni   zinatokana   na   Washirika   wa   Maendeleo   sawa   na   asilimia   91.9   ya  makadirio   ya   TZS   104.3   bilioni.   Muhtasari   wa   matumizi   hayo   yanaonekana  katika  jadweli  Nambari  3  

Jadweli  Nambari:  3  Utekelezaji  wa  Matumizi  kwa  kipindi  cha  Miezi  Sita  

MAELEZO Bajeti  2020/2021Makisio  miezi  Sita

Halisi  miezi  sita  

%  utekelezaji  miezi  Sita

%  ya  Utekelezaji  kwa  Mwaka

Matumizi  ya  kawaida 958.7                                           475.8                           353.1                             74.2                                   36.8                                              

Mshahara  wa  Mawizara 316.8                                           137.1                           136.9                             99.9                                   43.2                                              

Matumizi  Mengineyo  Mawizara 172.0                                           101.1                           43.0                                 42.5                                   25.0                                              

Matumizi  Mengineyo  Ruzuku 108.2                                           49.8 23.1                                 46.4                                   21.3                                              

Mshahara  Ruzuku 123.8                                           64.8                                 65.5                                 101.1                               52.9                                              

Mfuko  Mkuu  wa  Serikali 237.9                                           123.0                           84.6                                 68.8                                   35.6                                              

Matumizi  ya  maendeleo 620.5                                           158.2                           133.6                             84.5                                   21.5                                              

Fedha  za  Serikali 197.3                                           53.9                                 37.7                                 69.9                                   19.1                                              

Washirika  wa  Maendeleo 423.2                                           104.3                           95.9                                 91.9                                   22.7                                              

Jumla  Kuu 1,579.2                                     634.0                           486.7                             76.8                                   30.8                                              

Utekelezaji  wa  Bajeti  kwa  Kipindi  cha  Julai-­‐  Disemba  2020/2021(TZSbilioni)

 Chanzo  Ofisi  ya  Rais  Fedha  na  Mipango  

Page 16: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

12

7.3 Deni la TaifaNdugu Mwenyekiti, Kwa kipindi cha miezi sita hadi kufikia Disemba 2020/21, Deni la Taifa limefikia TZS 896.2 bilioni, deni hilo lililoongezeka kwa TZS 74.1 biliobi sawa na asilimia 9.0 ikilinganishwa na deni lililoripotiwa katika mwezi wa Disemba 2019, ambapo lilikua TZS 822.5 bilioni.

Mheshimiwa Spika, Kati ya deni hilo, deni la Nje ni TZS 691.5 bilioni ambapo asilimia 95.9 linadhaminiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na asilimia 4.1 liko chini ya udhamini wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Deni la ndani ni TZS 204.9 bilioni ambalo ni kutoka ZSSF (TZS 51.7 bilioni) na hatifungani kutoka BoT (TZS 154.1 bilioni).

Mheshimiwa Spika, Hadi kufikia mwezi Disemba, 2020 wastani wa uwiano wa Deni la Taifa kwa Uchumi (Public debt to GDP ratio) ni asilimia 22, ikiwa ni chini ya kiwango cha ukomo kinachokubalika kimataifa cha asilimia 50. Kiwango hicho cha deni kinaashiria kwamba hali ya deni letu kwa sasa ni himilivu. Hata hivyo, hadhari inapaswa kuendelea kuchukuliwa kwani tayari kuna mikopo iliyokwisha sainiwa na hivyo pindi pesa zake zitakapotolewa zitabadilisha taswira hiyo ya uwiano wa deni na pato la taifa.

MATARAJIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2020/2021

8 MATARAJIO YA MAPATO JULAI-JUNI 2020/2021Mheshimiwa Spika, Mwaka wa Fedha 2020/2021 ulikabiliwa na mambo makubwa ambayo kwa njia moja au nyengine yaliathiri utekelezaji na Matarajio ya bajeti yaliyopangwa hapo awali kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati yakiwemo:

a. Mripuko wa COVID-19;b. Matarajio ya kupokea Fedha za marejesho ya mkopo ya TZS 61 bilioni

kutoka Exim Bank China kwa ajili ya mradi wa Ujenzi wa Jengo la Abiria (Terminal III) ambazo hazikupatikana.

8.1 Mapato ya NdaniMheshimiwa Spika, Kwa mujibu wa mwenendo wa makusanyo, mapato ya ndani katika kipindi cha Julai 2020 hadi Juni 2021 yanatarajiwa kufikia Jumla ya TZS 769.7 bilioni sawa na asilimia 73 ya Makadirio ya TZS 1,050 bilioni, ambapo

Page 17: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

13

utendaji umeathiriwa sana kutokana na athari za mripuko wa Covid-19. Kati ya makusanyo hayo, mapato ya kodi yanatarajiwa kufikia TZS 655.2 bilioni, sawa na asilimia 71 ambapo Mamlaka ya Mapato Tanzania - Zanzibar (TRA), inatarajiwa kukusanya TZS 318.2 bilioni sawa na asilimia 83 ya makadirio ya kukusanya TZS 383.5 bilioni, ikilinganishwa na ukusanyaji halisi wa TZS 279.4 bilioni kwa mwaka wa fedha uliopita 2019/20.

Kwa upande wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) inatarajiwa kukusanya TZS 315.9 bilioni sawa na asilimia 61 ya makadirio ya TZS 516.7 bilioni. Ikilinganishwa na ukusanyaji halisi wa TZS 374.8 bilioni kwa mwaka wa fedha uliopita 2019/20. Kodi ya Mapato kutoka Serikali ya Muungano inatarajiwa kufikia TZS 21 bilioni sawa na asilimia 100 ya lengo.

Mheshimiwa Spika, Mapato yasiyokuwa ya kodi yanatarajiwa kufikia TZS 114.6 bilioni sawa na asilimia 89 ya makadirio ya TZS 128.7 bilioni. Kati ya makusanyo hayo, mapato ya Mawizara yanategemewa kufikia TZS 99.1 bilioni sawa na asilimia 95 ya makadirio ya TZS 104.7 bilioni. Gawio la Mashirika ya Serikali linatarajiwa kufikia TZS 9.0 bilioni sawa na asilimia 86 ya makadirio ya TZS 10.5 bilioni na Gawio la Benki Kuu ni TZS 6.5 bilioni sawa na asilimia 48 ya makadirio ya TZS 13.5 bilioni.

Mheshimiwa Spika, Matarajio hayo ya kukusanya jumla ya TZS 769.7 bilioni ifikapo Juni 2021 ni kutokana na mikakati iliyowekwa na Serikali ya usimamizi na ukusanyaji wa mapato ya Serikali ni kama ifuatavyo; -

a) Kuanza rasmi matumizi ya mfumo wa utoaji wa risiti za kielektroniki ambazo hutoa taarifa juu ya mwenendo wa mauzo halisi ya mfanyabiashara ifikapo mwezi wa machi 2021 baada ya kukamilika kipindi cha majaribio;

b) Taasisi za kodi (TRA & ZRB) kuendelea na zoezi la ukaguzi ili kodi stahiki iweze kulipwa;

c) Kuwa na bei elekezi kwa ajili ya uthaminishaji wa bidhaa zinazoingia nchini.

8.2 Mfuko wa MiundombinuMheshimiwa Spika, Matarajio ya mapato ya Mfuko wa Miundombinu ni kufikia TZS 32.7 bilioni sawa na asilimia 73 ya makadirio ya TZS 44.7 bilioni. Kati ya hizo TRA inatarajiwa kukusanya TZS 11.1 bilioni na ZRB TZS 21.6 bilioni.

Page 18: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

14

8.3 Mapato kutoka NjeMheshimiwa Spika, Hadi kufikia Juni mwaka 2021 matarajio ni kupokea Jumla ya TZS 310.6 bilioni, yakijumuisha Ruzuku ya TZS 44.6 bilioni na Mikopo ya TZS 266.0 bilioni.

Jadweli namba:4 Matarajio ya Mapato kwa Mwaka 2020/2021

9. MATARAJIO YA MATUMIZI JULAI-JUNI/2020/2021Mheshimiwa Spika, Hadi Juni 2021 matumizi ya Serikali yanatarajiwa kufikia jumla ya TZS 1,137.7 bilioni sawa na asilimia 72 ya Bajeti kuu ya Serikali ya TZS 1,579.2 bilioni. Kati ya fedha hizo TZS 734.6 bilioni zinatarajiwa kutumika kwa ajili ya matumizi ya Kawaida na TZS 403.1 bilioni kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. Mchanganuo wa Matumizi hayo yanaonekana katika jadweli namba 5.

Jadweli namba:5 Matarajio ya Matumizi kwa Mwaka 2020/2021

18

Jadweli  namba:4  Matarajio  ya  Mapato  kwa  Mwaka  2020/2021  

MAELEZO Bajeti  2020/2021Halisi  Julai-­‐Disemba  2020

Matarajio  2020/2021

%  ya  Bajeti

Mapato  ya  Ndani 1,050.0                                     303.3                                           769.7                               73.3                  ZRB 516.7 117.3 315.9 61.1TRA 383.5 130.4 318.2 83.0Mapato  yasiyokuwa  ya  Kodi 128.7 34.6 114.6 89.0  PAYE  Transfer    SMT 21 21 21 100.0Mapato  Mengineyo 529.2 161.3 368 69.5Marejesho  ya  Mkopo  kutoka  Exim  Bank 61 0 0 0.0Mkopo  wa  Ndani 45 57 57.4 127.6Mapato  kutoka  kwa  Washirika  wa  Maendeleo 423.2 104.3 310.6 73.4Jumla 1,579.2                                     464.6                                           1,137.7                       72.0

Matarajio  ya  Mapato  Julai  -­‐Juni  Mwaka  2020/2021(TZS  bilioni)

 Chanzo  Ofisi  ya  Rais  Fedha  na  Mipango  

Mheshimiwa  Spika,  Hadi   Juni  2021  matumizi  ya  Serikali   yanatarajiwa  kufikia  jumla  ya  TZS  1,137.7  bilioni  sawa  na  asilimia  72  ya  Bajeti  kuu  ya  Serikali  ya  TZS  1,579.2  bilioni.  Kati  ya  fedha  hizo  TZS  734.6  bilioni  zinatarajiwa  kutumika  kwa  ajili   ya   matumizi   ya   Kawaida   na   TZS   403.1   bilioni   kwa   ajili   ya   Miradi   ya  Maendeleo.   Mchanganuo   wa   Matumizi   hayo   yanaonekana   katika   jadweli  namba  5.    

Jadweli  namba:5  Matarajio  ya  Matumizi  kwa  Mwaka  2020/2021  

MAELEZO Bajeti  2020/2021Halisi  Julai-­‐Disemba  2020/2020

Matarajio  Julai  June  2020/2021

Asilimia  ya  Matarajio  ya  Bajeti

Matumizi  ya  kawaida 969.3                                             353.1                                                             734.6                                           75.8Mshahara  wa  Mawizara 316.8                                               136.9                                                             284.4                                           89.8Matumizi  Mengineyo  Mawizara 182.6                                               43.0                                                                 102.4                                           56.1Malipo  ya  madeni  ya  dharura 6.9                                                                     6.9                                                  Matumizi  Mengineyo  Ruzuku 108.2                                               23.1                                                                 71.8                                               66.4Mshahara  Ruzuku 123.8                                               65.5                                                                 132.3                                           106.9Mfuko  Mkuu  wa  Serikali 237.9                                               77.7                                                                 136.8                                           57.5Matumizi  ya  maendeleo 609.9                                             133.6                                                             403.1                                           66.1Fedha  za  Serikali 197.3                                               37.7                                                                 92.5                                               46.9Washirika  wa  Maendeleo 412.6                                               95.9                                                                 310.6                                           75.3Jumla  Kuu 1,579.2                                       486.7                                                             1,137.7                                   72.0

Matarajio  ya  Matunizi    Julai  -­‐Juni  Mwaka  2020/2021(TZS  bilioni)

Chanzo  Ofisi  ya  Rais  Fedha  na  Mipango            

 

MAELEZO Bajeti  2020/2021Halisi  Julai-­‐Disemba  2020

Matarajio  Julai  June  2020/2021

Asilimia  ya  Matarajio  ya  Bajeti

Matumizi  ya  kawaida 969.3                                               353.1                                                             734.6                                           75.8Mshahara  wa  Mawizara 316.8                                               136.9                                                             284.4                                           89.8Matumizi  Mengineyo  Mawizara 182.6                                               43.0                                                                   102.4                                           56.1Matumizi  Mengineyo  Ruzuku 108.2                                               23.1                                                                   71.8                                               66.4Mshahara  Ruzuku 123.8                                               65.5                                                                   132.3                                           106.9Mfuko  Mkuu  wa  Serikali 237.9                                               84.6                                                                   143.7                                           60.4Matumizi  ya  maendeleo 609.9                                               133.6                                                             403.1                                           66.1Fedha  za  Serikali 197.3                                               37.7                                                                   92.5                                               46.9Washirika  wa  Maendeleo 412.6                                               95.9                                                                   310.6                                           75.3Jumla  Kuu 1,579.2                                       486.7                                                             1,137.7                                   72.0

Matarajio  ya  Matunizi    Julai  -­‐Juni  Mwaka  2020/2021(TZS  bilioni)

 

Page 19: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

15

MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI, MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI KWA MWAKA 2021/2022-2023/2024

10 YATOKANAYO NA MAJUKWAA YA UCHUMI NA BAJETI Mheshimiwa Spika, Jukwaa la Bajeti na Uchumi hufanyika kwa mujibu wa matakwa ya Sheria ya Fedha namba 12 ya mwaka 2016 katika kifungu namba 38 kwa Serikali Kuu na kifungu namba 87 kwa Serikali za Mitaa. Vifungu hivyo vinamtaka Waziri anaehusika na Fedha aongoze jukwaa hilo na taarifa zake zitumike katika kuandaa Mwelekeo wa Bajeti ambao utapelekwa Baraza la Wawakilishi kwa majadiliano na uidhinishaji.

Mheshimiwa Spika, Jukwaa la Uchumi na Bajeti kwa mwaka 2021/2022 limefanyika tarehe 23/01/2021 kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa na tarehe 01/02/2021 kwa Upande wa Serikali Kuu katika Ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania, Kinazini –Zanzibar.

Mada kuu tatu 3 ziliwasilishwa ambazo ni:- 1. Mapitio na Mwelekeo wa Hali ya Uchumi na Mpango wa Maendeleo

2019/20-2021/22. 2. Mapitio na Mwelekeo wa Bajeti ya Serikali 2019/20-2021/22.3. Mapitio na Mwelekeo wa Bajeti ya Serikali za Mitaa 2019/20-

2021/22.

Ifuatayo ni Michango na Ushauri iliyotolewa na kupendekezwa kutoka Majukwaa hayo. Mheshimiwa Spika, Kutokana na changamoto kubwa Iliyojitokeza kwa wafanyakazi wa Sekta ya Afya na Elimu ambao wamegatuliwa kukosa fursa ya nafasi za mafunzo na udhamini (scholarship) kwa kutopangwa Bajeti hiyo kwa Serikali zote mbili imesisitizwa Serikali izingatie wafanyakazi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na sio kwa Sekta zilizogatuliwa tu.

Mheshimiwa Spika, Kuwepo mazingira magumu ya walimu pamoja na wanafunzi wa skuli za maandalizi na msingi, kutokuwepo uwiano mzuri wa walimu kwa wanafunzi sambamba na miundombinu duni ya maeneo yaliyogatuliwa.

Page 20: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

16

Mheshimiwa Spika, Uzingatiaji wa Mgao wa Fedha kwa makundi maalumu, 4%,4%,2%, yaliyotajwa katika miongozo ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ itoe Muongozo na Uelewa wa upatikanaji wa Fedha hizo kwa wadau husika.

Mheshimiwa Spika, Serikali Kupitia OR-TMSMIM imetakiwa kutoa maelekezo na ufafanuzi juu ya matumizi ya mfuko wa jimbo kwa fedha za Uwakilishi kwani utaratibu uliopo sasa wa matumizi ya fedha hizo hazina maelekezo mahsusi. Imesisitizwa, Serikali kufuatilia na kusimamia Matumizi ya fedha za Mfuko wa wawakilishi na wabunge pamoja na kutoa muongozo na maelekezo ya vipaumbele vya matumizi ya fedha hizo ili ziweze kuingizwa katika mpango kazi wa Halmashauri husika wakati wa kupanga bajeti zao kwa Miradi ya Maendeleo ya wananchi yenye tija.

Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa utekelezaji wa Shughuli zilizogatuliwa ambazo fedha zake zinatokana na Washirika wa Maendeleo kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi, Ilishauriwa Ushirikishwaji na kupatiwa vifungu stahiki kwa LGA, kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi hiyo inayofadhiliwa na Washirika wa Maendeleo. Aidha vianzio vya mapato katika maeneo ya ugatuzi vikusanywe na kutumika kwa Mamlaka ya Serikali za Mitaa ambako shughuli husika zinatelekezwa.

Mheshimiwa Spika, Kwa kuwa kuna uhaba mkubwa wa vifaa tiba na madawa, ilishauriwa, Wizara ya Afya wafanye Mapitio juu ya usambazaji wa vifaa tiba na madawa ambavyo vinapelekwa LGA ili kwenda sambamba na mahitaji yaliyopo. Vilevile, ilipendekezwa Ujenzi wa ofisi/nyumba za Wakuu wa Mikoa na Wilaya upewe kipaombele.

Mheshimiwa Spika, Ilishauriwa kwamba, posho na stahiki za Walimu zilipwe sambamba na vocha za Mshahara ili kuondoa malalamiko ya kila siku yanayojitokeza kwa walimu wa maandalizi na msingi sambamba na hilo maposho ya walimu wa TUTU yatafutiwe utaratibu maalumu na kuiingizwa kwenye hesabu zao binafsi. Aidha, ilisisitizwa kuwa, mitihani ya ndani ya majaribio kwa wanafunzi wa Maandalizi na Msingi ni muhimu, changamoto iliyopo fedha kwa ajili ya maandalizi ya mitihani hiyo hazitengwi katika Serikali za Mitaa hivyo, Serikali Kuu ipeleke fungu maalum kwa ajili ya kuendesha mitihani hiyo

Page 21: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

17

Mheshimiwa Spika, Imeshauriwa Vitengo vinavyohusika na Manunuzi viwe makini kuwachagua Wakandarasi wa Miradi ya Ujenzi wenye uwezo wa fedha na taaluma kwa lengo la kutekeleza Miradi yenye ubora na kiwango.

Mheshimiwa Spika, Imependekezwa Bajeti ya mwaka 2021/2022 iongeze kodi za vileo kwa lengo la kupunguza idadi ya vitendo viovu katika jamii.

Vile vile, ilishauriwa Bajeti ya ustawi wa jamii iongezwe ili iwawezeshe waratibu wa wanawake na watoto kusimamia kesi za udhalilishaji kwa ufanisi zaidi.

Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa deni la Taifa Serikali ilishauriwa iwe na tahadhari juu ya ongezeko la Deni hilo pamoja na kusisitizwa kukopa kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo yenye tija kwa kuinua uchumi na kijamii.

Mheshimiwa Spika, Ilipendekezwa Serikali iainishe changamoto ambazo zimepatikana kwenye maeneo yaliyo athirika kutokana na Ugonjwa wa Korona na hatua zilizochukuliwa kukabiliana na athari hizo.

Mheshimiwa Spika, Ilishauriwa kutenga bajeti maalum kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya Utalii kwa kuutangaza na kuutafutia masoko. Vile vile

suala la ajira kwa vijana lifanyiwe kazi ili kufikia lengo la Ilani ya CCM ya ajira laki tatu zilizoahidiwa.

Mheshimiwa Spika, Ilishauriwa, kutokana na umuhimu wa Takwimu Serikali itenge asilimia ya bajeti kwa kila sekta kwa ajili ya kuimarisha upatikanaji wa Takwimu sahihi.

Mheshimiwa Spika, Ilishauriwa kwamba ipo haja ya kutolewa muongozo wa majengo ya ofisi za serikali ili kuwe na kiwango pamoja na kupunguza gharama. Aidha, ilipendekezwa kwamba sheria za ajira kwa wageni ziangaliwe zaidi ili kuweka bayana stahiki zao.

11 MWELEKEO WA UCHUMI WA DUNIAMheshimiwa Spika, Uchumi wa dunia unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.5 katika kipindi cha mwaka 2021. Ukuaji wa uchumi wa Afrika unatagemewa

Page 22: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

18

kufikia wastani wa asilimia 3.0 katika kipindi kama hicho, huku uchumi wa Nchi wanachama wa Afrika Mashariki kufikia wastani wa asilimia 4.5 kwa mujibu wa takwimu za shirika la Fedha la Dunia.

Uchumi wa Dunia 5.5%Ukuwaji mzuri Ukuwaji mbaya India 11.5 Nigeria 1.5China 8.1 Poland 2.7Malaysia 7.0 Saudi Arabia 2.6

Uchumi wa Afrika 3%Ukuwaji mzuri Ukuwaji mbaya Botswana 8.71 South Sudan -2.27Niger 6.91 Congo -0.82Guinea 6.64 Ethiopia -0.02

Uchumi wa nchi za SADC 3.33%Ukuwaji mzuri Ukuwaji mbaya Mauritius 9.9 Mozambique 2.1Zimbabwe 4.16 Malawi 2.5Madagascar 3.16 Zambia 0.6

Uchumi wa Africa MasharikiRwanda 6.32 Uganda 4.93 Kenya 4.67 Tanzania 3.6 Burundi 3.13

Chanzo: Shirika la Fedha la Dunia

12 Mwelekeo wa Hali ya Uchumi ZanzibarMheshimiwa Spika, Mwelekeo wa uchumi kwa mwaka 2021 unategemea kwenda sambamba na utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya 2050, Mkakati wa Maendeleo wa Muda wa Kati pamoja na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2020 - 2025. Kwa mwaka 2021 jambo kuu na la msingi

Page 23: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

19

litakuwa ni kuimarisha sekta za kiuchumi na kijamii ambazo zimeathiriwa na COVID-19, sambamba na kuendeleza hatua za kujenga uchumi imara na mpana zaidi (diversified). Vile vile kuyafanyia kazi maeneo ya msingi ya ukuwaji wa uchumi yakiwemo Uchumi wa Buluu na Viwanda vidogo vidogo. Aidha, huduma za msingi za jamii kama vile afya na elimu zitapewa kipaumbele.

Mheshimiwa Spika, Pato halisi la taifa kwa mwaka 2021 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 5 kutokana na matarajio ya kuongezeka kwa uwekezaji, kuimarisha sekta ya Viwanda pamoja na Uchumi wa Buluu.

Matarajio ya ukuaji wa uchumi yatatokana na kuendelea kuyafanyia kazi mambo yafuatayo; -

i. Kuendelea kuhuisha sekta za kiuchumi na kijamii baada ya mtikisiko wa uchumi kutokana na COVID-19.

ii. Kuimarisha sekta ndogo ya usafirishaji, Serikali pamoja na watu binafsi wanatarajiwa kuongeza meli za mizigo pamoja na abiria.

iii. Kuendelea na juhudi za kuongeza uzalishaji wa vifaranga, utoaji vifaranga kwa wafugaji wadogo wadogo na kuendeleza ufugaji wa samaki.

iv. Kuendelea na uvuvi wa bahari kuu pamoja na kuongeza boti zitakazofanya shughuli zake katika bahari kuu.

v. Kuimarisha vituo vya utafiti vilivyopo nchini (Vituo vya utafiti wa uvuvi, kilimo, mifugo na afya).

vi. Kuendelea kuwawezesha watafiti na wavumbuzi kwa kuwapatia elimu na vitendea kazi.

vii. Kuongezaka kwa usafirishaji wa zao la karafuu kwa matarajio ya mwaka 2021 kuongezeka kwa uzalishaji wa zao hilo na kuongeza usarifu na usafirishaji wa zao la mwani.

viii. Kuongezeka kwa uhamasishaji wa uwekezaji wa ndani na nje ya nchi kwa kutekelezwa miradi mbalimbali ikiwemo miradi ya PPP.

ix. Kuweka mazingira bora na rafiki ya kibiashara.

12.1 SHABAHA NA MALENGO YA UCHUMI KWA 2021-2023.Shabaha na malengo ya uchumi kwa kipindi cha miaka mitatu ni kama yatategemewa kuweko na misingi ifuatayo :

a. Kuwepo kwa Amani na Utulivu;

Page 24: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

20

b. Uwajibikaji katika kazi;c. Kuendeleza kuwajengea uwezo wafanyakazi;d. Kuimarisha Utawala Bora na.e. Kuondoa Ubadhirifu wa Mali za Umma, Wizi, Rushwa pamoja na

Uzembe.

Shabaha za Kiuchumi,a. Kasi ya ukuaji wa Pato halisi la Taifa inategemewa kuwa baina ya

asilimia 5 hadi 7.1.b. Kuendelea kudhibiti kasi ya mfumko wa bei kuwa wastani wa chini ya

asilimia 5.c. Mapato ya ndani kwa kipindi cha miaka mitatu yanakadiriwa kufikia

wastani wa asilimia 25.4 ya Pato la Taifa kwa miaka 2020/21-2022/23 kutoka asilimia 24.4 kwa mwaka 2019/20.

d. Kwa kipindi cha miaka mitatu nakisi ya bajeti kwa Pato la Taifa inakadiriwa kuwa chini ya asilimia 3 ifikapo mwaka 2023 hii ni kutokana na kigezo kilichowekwa na Jumuiya ya nchi za Afrika Mashariki na SADC kuzitaka nchi wanachama nakisi zao za Bajeti kutovuka zaidi ya asilimia 3 ya Pato la Taifa.

13 MWELEKEO WA MPANGO WA MAENDELEO 2021/2022-2023/2024

Mheshimiwa Spika, Mwelekeo wa Mpango wa Maendeleo kwa kipindi cha mwaka 2021/2022 hadi 2023/2024 utazingatia malengo na mikakati inayotokana na Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya 2050. Dira hiyo ina lengo la kuifikisha Zanzibar katika Kiwango cha Juu cha Uchumi wa Kati kupitia mihimili mikuu minne ambayo ni:-

(i) Mageuzi ya kiuchumi; (ii) Maendeleo ya rasilimali watu na huduma za kijamii; (iii) Kuimarisha miundombinu; na (iv) Utawala bora na uhimili.

Mheshimiwa Spika, Katika kuhakikisha malengo ya Dira hiyo yanafikiwa, Serikali imeanza kutafsiri malengo hayo na inaendelea na uandaaji wa Mpango wa Maendeleo wa Muda wa Kati 2021-2025. Mbali na Dira ya 2050, nyaraka nyengine zilizozingatiwa ni Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Mwaka 2020-

Page 25: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

21

2025, Hotuba ya ufunguzi wa Baraza la 10 la Wawakilishi, Maelekezo ya Serikali Kiujumla pamoja na ahadi mbali mbali zilizotolewa na Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa wananchi wakati wa kampeni ya Uchaguzi na Hotuba yake katika ziara za makundi mbali mbali. Katika utekelezaji huo, maeneo yaliyopewa kipaumbele yatatekeleza miradi inayojikita zaidi katika kuimarisha hali za wananchi, kukuza ajira na kuongeza mapato ya Serikali.

14 VIPAUMBELE VYA KITAIFA KWA MWAKA 2021/2022 -2023/2024

Mheshimiwa Spika, Vipaumbele vya mwaka 2021/2022-2023/2024 ni kama ifuatavyo:-1. Kuimarisha Miundombinu

a) Ujenzi wa Bandari ya Mangapwani unaojumuisha bandari ya mafuta na gesi, makontena, uvuvi, chelezo, eneo la maghala na mji wa kisasa;

b) Ujenzi wa Uwanja wa ndege Pemba; nac) Kuanza kwa Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi Mpiga Durid) Ujenzi wa daraja la Unguja Ukuu - Uzi;e) Kuendelea na ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 135 Unguja

na Pemba; f) Kuendeleza maeneo ya uwekezaji (Industrials Parks) Chamanangwe,

Dunga na Nungwi;g) Kuimarisha bandari ya Malindi, Mkoani na kuanza Ujenzi mpya wa

eneo la Mkumbuu;h) Kuongeza uzalishaji wa umeme kwa njia ya jua na gesi na kuimarisha

miundombinu ya usafirishaji;

2. Kuimarisha Sekta Kuu za Uchumia) Kuimarisha uchumi buluu ikiwemo viwanda vidogo vidogo na vya

kati vikiwemo vya usarifu wa Mwani, Chumvi na Samaki; Kuendeleza shughuli za uvuvi wa bahari kuu na ujenzi wa mabwawa ya kufugia samaki; Kuendelea na shughuli za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia;

b) Kuimarisha utalii kwa wote; c) Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji;d) Ujenzi wa machinjio ya mifugo;

Page 26: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

22

e) Kuchukua hatua maalum za kusaidia zao la karafuu;f) Kuendelea na utekelezaji wa programu ya ajira kwa vijana; g) Kuimarisha mfumo wa udhibiti wa biashara kwa kuweka chombo

kimoja cha kodi;h) Kuendeleza tafiti na Ubunifu.3. Kuimarisha Huduma za Kijamiia) Ujenzi wa Hospitali Mpya ya rufaa ya Binguni;b) Ujenzi wa hospitali ya Wete kwa kuipandisha hadhi ya Mkoa;c) Kuendeleza ujenzi wa miji ya kisasa;d) Kuimarisha mazingira ya uendelezaji wa Miji midogo midogo (Satellite

cities) ikiwemo Nungwi, Tunguu na miji ya Pemba;e) Kuimarisha upatikanaji wa elimu bora kwa wote kwa ujenzi wa skuli

mpya za ghorofa, dakhalia, maktaba, maabara na upatikanaji wa vifaa vya kisasa;

f) Kuimarisha Vituo vya Amali kwa ajili ya kusaidia uchumi wa buluu na wahitimu kuweza kujiajiri wenyewe;

g) Kuimarisha upatikanaji wa maji safi na salama mijini na vijijini kwa uchimbaji na uendelezaji wa visima;

h) Ujenzi wa viwanja vya michezo na sherehe;i) Kuanzisha Mfumo wa Bima ya Afya.

4. Kuendeleza Rasilimali watu na Fedhaa. Kuendeleza taaluma katika fani mbali mbali ikiwemo mafuta na gesi,

uhandisi, huduma za ugani, udaktari na taaluma za sayansi;b. Kuanzisha na kuimarisha mifumo ya kidijitali ya utendaji kazi kwa

ujumla, ukusanyaji mapato, usimamizi wa matumizi na manunuzi na utunzaji wa kumbukumbu za usajili wa mali za umma.

5. Kuimarisha Utawala Boraa. Kuanza Ujenzi wa Skuli ya sheria na Utafiti;b. Kuanza Ujenzi wa Ofisi ya Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu

wa Uchumi Zanzibar (ZAECA)c. Kuendeleza miji salama kwa uwekaji wa vifaa vya ulinzi na usalama;d. Kuendelea na Ujenzi wa Ofisi za Serikali;e. Kuendelea na juhudi za uhifadhi wa Mji Mkongwe na Mambo ya

Kale;

Page 27: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

23

f. Kuendelea na ujenzi wa nyumba za viongozi wakuu wa Serikali;g. Kuimarisha Usimamizi wa Fedha za Umma.6. Kuimarisha Sekta Mtambukaa. Kukabiliana na athari za mazingira na mabadiliko ya tabia nchi;b. Kupambana na vitendo vya Udhalilishaji.

7. Mashirikiano baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsia) Kuanza utekelezaji wa miradi ya mashirikiano baina ya sekta ya

umma na sekta binafsi ikiwemo: -i. Ujenzi na uwendeshaji wa masoko sita (Mwanakwerekwe, Chuini,

Mombasa, Machomane, Mkokotoni na Jumbi);ii. Ujenzi wa vituo vya daladala Kijangwani, Chuini na Chanjaani;iii. Ujenzi wa Kituo cha Biashara na Mikutano ya Kimataifa Nyamanzi

(Nyamanzi Convention Centre);iv. Ujenzi wa dakhalia ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZAb) Ujenzi wa nyumba za makaazi ya wananchi (Real estate);c) Ujenzi wa viwanda mbali mbali.

15 VIPAUMBELE VYA KITAIFA KWA MWAKA 2021/2022

Vipaumbele kwa mwaka 2021/2022 ni kama ifuatavyo: -1. Kuendelea na matayarisho ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa Pemba;2. Kuanza ujenzi wa barabara ya Chake Chake – Wete (km 22.1); 3. Kuendelea na matayarisho na ujenzi wa bandari ya Mangapwani,

Mpigaduri na Mkoani;4. Kuanza ujenzi wa mabwawa ya kufugia samaki;5. Kuendelea na Ujenzi wa Hospitali Mpya ya rufaa ya Binguni; 6. Kuanza ujenzi wa Hospitali ya Wete;7. Kuendelea na utekelezaji wa programu ya ajira kwa vijana; 8. Kuendeleza viwanda vidogo vidogo vya usarifu wa Mwani, chumvi

na samaki; 9. Kuendeleza miji salama kwa uwekaji wa vifaa vya ulinzi na usalama;10. Kuanza ujenzi wa Ofisi za Serikali zikiwemo i. Ofisi ya Rais - Fedha na Mipango Unguja, ii. Ofisi za Serikali – Dodoma ;iii. Taasisi za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali

Page 28: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

24

iv. Mahanga na Ofisi za Idara Maalum za SMZ nav. Kuandaa Mpango wa kuwepo kwa eneo maalum la mji wa Serikali;11. Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji;12. Kuanza utekelezaji wa Mpango Shirikishi wa Kukuza Uchumi Zanzibar

(Boost Inclusive Growth in Zanzibar- Big Z);13. Kuendelea na utekelezaji wa mradi wa Mageuzi ya Sekta ya Nishati

(Zanzibar Energy Sector Transformation -ZEST);14. Kuanza uzalishaji wa umeme wa jua na gesi;15. Kuanzisha na kuimarisha mifumo ya kidijitali ya utendaji kazi kwa

ujumla, ukusanyaji mapato, usimamizi wa matumizi na manunuzi na utunzaji wa kumbukumbu za usajili wa mali za umma;

16. Kuendelea kutoa huduma za maji safi na salama kwa wananchi na17. Kuimarisha Tafiti na Ubunifu.

16 MWELEKEO WA MAPATO

Mheshimiwa Spika, Kwa kuzingatia hali ya Bajeti kwa mwaka 2021/2022, Mapato ya Serikali yanatarajiwa kufikia Jumla ya TZS 1,506.2 bilioni kati ya fedha hizo jumla ya TZS 1,105.5 bilioni zimekadiriwa kukusanywa kutoka katika vyanzo vya ndani, TZS 50.0 bilioni zinatokana na mkopo wa ndani, Mapato kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa vianzio vya ndani TZS 16.2 bilioni na TZS 334.5 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo ikiwemo mkopo wa TZS 307.9 bilioni na ruzuku ya TZS 26.6 bilioni.

16.1 Mapato ya NdaniMheshimiwa Spika, Jumla ya TZS 1,105.5 bilioni zinatarajiwa kukusanywa kwa mwaka 2021/22 kutoka katika vyanzo vya ndani. Kati ya fedha hizo, TZS 938.2 bilioni ni mapato yatokanayo na kodi na TZS 146.4 bilioni ni mapato yasiyokuwa ya kodi (yanayojumuisha makusanyo ya Mapato ya Mawizara ya TZS 125.4 bilioni, Gawio la Mashirika ya Serikali ni TZS 11.0 bilioni na Gawio kutoka Benki kuu ya Tanzania la TZS 10.0 bilioni) na mapato ya kodi yatokanayo na wafanyakazi kutoka SMT ni TZS 21.0 bilioni.

16.2 Mfuko wa MiundombinuMheshimiwa Spika, kwa mwaka 2021/22, Mfuko wa miundombinu umekadiriwa kukusanya na kutumia jumla ya TZS 49.5 bilioni ambazo zitatumika kugharamia

Page 29: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

25

Miradi mbalimbali ya maendeleo. Bodi ya Mapato (ZRB) inakadiriwa kukusanya TZS 34.9 bilioni na Mamlaka ya Mapato (TRA) inakadiriwa kukusanya TZS 14.6 bilioni.

Muhtasari wa Mwelekeo wa MapatoMheshimiwa Spika, Kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo, Serikali inatarajia kukusanya Jumla ya TZS 1,506.2 bilioni. kwa mwaka wa fedha 2021/22, TZS 1,791.0 bilioni, kwa mwaka 2022/23 na kufikia TZS 1,948.2 bilioni kwa mwaka 2023/24.

Jadweli namba 6: Makisio ya Mapato kwa Mwaka 2021/22-2023/24

17 MWELEKEO WA MATUMIZIMheshimiwa Spika, Kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo, Serikali inatarajia kutumia jumla ya TZS 1,506.2 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/22 yakiwemo Matumizi ya kazi za Kawaida ya TZS 959.3 bilioni, Matumizi ya kazi za Maendeleo ya TZS 546.9 Aidha, Serikali imekadiria kutumia jumla ya TZS 1,791.0 bilioni, kwa mwaka 2022/23 na TZS 1,948.2 bilioni kwa mwaka 2023/24.

29

Muhtasari  wa  Mwelekeo  wa  Mapato  

Mheshimiwa   Spika,   Kwa   kipindi   cha   miaka   mitatu   ijayo,   Serikali   inatarajia  kukusanya    Jumla  ya  TZS  1,506.2  bilioni.  kwa    mwaka  wa  fedha  2021/22,  TZS  1,791.0  bilioni,  kwa  mwaka  2022/23  na  kufikia  TZS  1,948.2  bilioni  kwa  mwaka  2023/24.      Jadweli  namba  6:  Makisio  ya  Mapato  kwa  Mwaka  2021/22-­‐2023/24  

 Chanzo  Ofisi  ya  Rais  Fedha  na  Mipango  

16 MWELEKEO  WA  MATUMIZI  

Mheshimiwa   Spika,   Kwa   kipindi   cha   miaka   mitatu   ijayo,   Serikali   inatarajia  kutumia  jumla  ya  TZS  1,506.2  bilioni  kwa  mwaka  wa  fedha  2021/22  yakiwemo  Matumizi   ya   kazi   za   Kawaida   ya   TZS   959.3   bilioni,   Matumizi   ya   kazi   za  Maendeleo   ya   TZS   546.9   Aidha,   Serikali   imekadiria   kutumia   jumla   ya   TZS  1,791.0   bilioni,   kwa   mwaka   2022/23   na   TZS   1,948.2   bilioni   kwa   mwaka  2023/24.                    

MAELEZO  Mwaka  

2021/2022    Mwaka   2022/202

 Mwaka   2023/2024  

Mapato  ya  Ndani 1,105.5 1,286.2         1,422.0             4.5%  Msaada  wa  Kibajeti 100T 100T 100T  Mapato  ya  Mamlaka  za  Serikali  za   Mitaa  kutoka  Vianzio  vya  ndani   16.2 16.5 16.9

Mkopo  wa  Ndani 50.0 50.0                   40.0                      

Mfuko  wa  Pamoja  wa  Wafadhili 2.0 2.0                       4.0                           Mikopo  na  Ruzuku 332.5 436.3               465.3                   Jumla  ya  Mapato 1,506.2 1,791.0 1,948.2

Makisio  ya  Mapato  -­‐2021/22-­‐2023/24(TZS  bilioni)

MAPATO

Page 30: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

26

Jadweli namba : 7 Makisio ya Matumizi kwa Mwaka 2021/22-2023/24

18 SURA YA BAJETIMheshimiwa Mwenyekiti,Kwa mwaka 2021/2022 mapato ya ndani pamoja na ruzuku na mikopo yanatarajiwa kufikia TZS 1,506.2 bilioni kwa mchanganuo ufuatao;

TZS ‘bilioni’Mapato ya Ndani 1,105.5Mapato ya Mamlaka za Serikali za Mitaa kutoka Vianzio vya ndani 16.2Mfuko wa Pamoja wa Wafadhili 2.0Mkopo wa Ndani 50.0Mikopo na Ruzuku 332.5Jumla ya Mapato 1,506.2

Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa matumizi, jumla ya TZS 1,506.2 bilioni zinatarajiwa kutumika zikiwemo TZS 959.3 bilioni kwa matumizi ya kawaida, ikijumuisha Mishahara ya Mafungu TZS 380.9 bilioni na Mishahara ya Ruzuku

30

Jadweli  namba  :  7  Makisio  ya  Matumizi  kwa  Mwaka    2021/22-­‐2023/24  

MATUMIZI  Mwaka  

2021/2022  

 Mwaka  2022/202

3    Mwaka  

2023/2024  Matumizi  ya  Kawaida   959.3                   1,107.5         1,431.5            Mshahara  Mawizara   380.9                   483.8               667.3                  Mshahara  Ruzuku 130.0                   132.6               134.9                  Matumizi  Mengineyo  Mawizara   139.8                   158.6               250.9                  Matumizi  Mengeniyo  Ruzuku 111.3                   133.5               154.7                  Mfuko  Mkuu  wa  Serikali   181.1                   182.5               206.8                    Matumizi  ya  Mamlaka  za  serikali  za  Mitaa  kutoka  vianzio  vyao   16.2                       16.5                   16.9                      Matumizi  ya  Maendeleo   546.9                   683.5               516.7                  Fedha  za  Serikali   212.5                   245.2               265.4                    Mikopo  na  Ruzuku  Kutoka  kwa  Washirika  wa  Maendeleo   334.4                   438.3               251.3                  Jumla  Kuu 1,506.2             1,791.0         1,948.2            

Makisio  ya  Matumizi  2021/22-­‐2023/24(TZS  bilioni)

                 Chanzo  Ofisi  ya  Rais  Fedha  na  Mipango  

 

17 SURA  YA  BAJETI  

             Mheshimiwa  Mwenyekiti,Kwa  mwaka  2021/2022  mapato  ya  ndani  pamoja  na  ruzuku  na  mikopo  yanatarajiwa  kufikia  TZS  1,506.2  bilioni  kwa  mchanganuo  ufuatao;  

 TZS  'bilioni'  

Mapato  ya  Ndani     1,105.5  Mapato  ya  Mamlaka  za  Serikali  za  Mitaa  kutoka  Vianzio  vya  ndani   16.2  

Mfuko  wa  Pamoja  wa  Wafadhili     2.0  Mkopo  wa  Ndani     50.0  Mikopo  na  Ruzuku     332.5  Jumla  ya  Mapato     1,506.2    Mheshimiwa   Spika,   Kwa   upande   wa  matumizi,   jumla   ya   TZS   1,506.2   bilioni  zinatarajiwa   kutumika   zikiwemo  TZS  959.3  bilioni   kwa  matumizi   ya   kawaida,  ikijumuisha  Mishahara  ya  Mafungu  TZS  380.9  bilioni    na  Mishahara  ya  Ruzuku  TZS   130.0   bilioni     na   Matumizi   ya   Kawaida   ya   Mawizara   TZS   139.8   bilioni  

Page 31: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

27

TZS 130.0 bilioni na Matumizi ya Kawaida ya Mawizara TZS 139.8 bilioni Matumizi Mengineyo ya Ruzuku TZS 111.3 bilioni, Mfuko Mkuu wa Serikali TZS 197.3 bilioni. Kwa upande wa Matumizi ya Miradi ya Maendeleo jumla ya TZS 546.9 bilioni, ikihusisha TZS 212.5 bilioni fedha za Serikali na TZS 334.4 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo. Mchanganuo wa Matumizi hayo ni kama ifuatavyo;

TZS ‘bilioni’Mtumizi ya Kazi za Kawaida 959.3Mshahara Mafungu 380.9OC Mafungu 337.1Mshahara Ruzuku 130OC Ruzuku 111.3Matumizi ya Kazi za Maendeleo 546.9SMZ 212.5Ruzuku kutoka washirika wa Maendeleo 26.5Mkopo kutoka washirika wa Maendeleo 307.9Jumla 1,506.2

19 VIGEZO VYA UGAWAJI WA RASILIMALI FEDHAMheshimiwa Spika, Ugawaji wa Rasilimali Fedha kwa mwaka 2021/22-2023/24 umezingatia mambo makuu yafuatayo:

i. Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2020-2025;ii. Maeneo ya Vipaumbele vya Mpango wa Maendeleo;iii. Maagizo Maalum ya Serikali kwa mujibu wa vipaumbele vya Taifa;iv. Programu na Miradi ya kimkakati (Flagship Projects) ya kitaifa,

miradi yote ambayo Serikali ina dhima (Commitments) kutoka kwa Washirika wa Maendeleo na Miradi yote iliyokuwa haijakamilika utekelezaji wa shughuli zake kwa bajeti ya mwaka 2020/21.

20 VIAMBATISHOMheshimiwa Spika, Pamoja na mapendekezo haya, tunaambatanisha viambatisho vifuatavyo:-

1. Kiambatisho nambari:1 Makadirio ya mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2021/2022-2023/2024.

Page 32: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

28

2. Kiambatisho nambari:2 Utekelezaji wa Maeneo ya Vipaumbele kwa Kipindi cha Julai – Disemba 2020

3. Kiambatisho nambari:3 Utekelezaji wa Matumizi wa Miradi ya Miundombinu.

21 HITIMISHO

Mheshimiwa Spika, Kabla ya kumaliza naomba kuchukua nafasi hii tena kumshukuru sana Rais wetu Dkt.Hussein Ali Hassan Mwinyi kwa kutuunganisha vyema kasi ya maendeleo aliyoanza nayo pamoja na Amani na Utulivu uliopo ametoa mwanga wa Matumaini ya Uongozi wake. Pia naomba kukushukuru sana wewe, Mheshimiwa Spika wetu wa Baraza hili Zubeir Ali Maulid. Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti Mheshimiwa Saada Salum Mkuya na Kamati yake kiukweli umahiri na umakini wake umeanza kuleta tija na mafanikio , wametupa mashirikiano ya kutosha na miongozo thabiti.

Mheshimiwa Spika, Baada ya maelezo hayo, kwa heshima kubwa, sasa naliomba Baraza lako liidhinishe na hatimae ikubaliane na Mapendekezo ya Mwelekeo wa Makadirio ya Bajeti ya TZS 1,506.2 bilioni na Kuiruhusu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango kutayarisha na kuwasilisha Mwelekeo wa Uchumi, Mpango wa Maendeleo na Bajeti kwa mwaka 2021/2022-2023/2024.

Mheshimiwa Spika, Naomba kuwasilisha.

….……………………………….JAMAL KASSIM ALI

WAZIRI WA NCHI, AFISI YA RAIS FEDHA NA MIPANGO ZANZIBAR.

Februari, 2021.

Page 33: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

29

SMZ

1

TOTA

L D

OM

EST

IC R

EV

EN

UE

1,04

9,97

9,84

5

522,

727,

511

302,

892,

399

58%

769,

769,

115

73%

1,10

5,54

4,38

8

1,25

3,73

8,47

8

1,41

3,46

2,54

5

TOTA

L TA

X R

EV

EN

UE

92

1,26

6,77

5

46

6,60

5,95

6

26

8,30

6,72

7

58

%65

5,15

9,02

9

71

%95

9,15

9,34

7

1,

076,

725,

506

1,

208,

262,

171

TA

X R

EV

EN

UE

FR

OM

TR

A38

3,54

0,76

9

18

7,83

6,46

9

12

9,95

7,15

1

69

%31

8,23

7,94

9

83

%41

3,06

4,25

4

47

5,93

5,29

0

54

0,06

8,58

2

TA

X R

EV

EN

UE

FR

OM

ZR

B

516,

726,

006

268,

269,

487

117,

349,

576

44%

315,

921,

080

61%

525,

095,

093

579,

790,

216

647,

193,

589

PAYE

(TR

AN

SFE

R)

21,0

00,0

00

10,5

00,0

00

21

,000

,000

20

0%21

,000

,000

100%

21,0

00,0

00

21,0

00,0

00

21,0

00,0

00

NO

N T

AX

RE

VE

NU

E12

8,71

3,07

0

56

,121

,555

34,5

85,6

72

62%

114,

610,

087

89%

146,

385,

041

177,

012,

972

205,

200,

373

CU

STO

M D

EPA

RTM

EN

T (T

RA

)Im

port

dut

y61

,609

,867

29

,294

,709

21

,475

,540

73

%51

,802

,624

84

%65

,007

,349

72

,074

,546

83

,175

,223

E

xcis

e D

uty

Impo

rt16

,956

,421

8,

200,

785

5,

652,

977

69%

10,6

31,7

95

63%

18,9

90,8

94

21,3

29,8

91

25,4

75,5

66

Exc

ise

Dut

y Pe

trol

14,8

88,6

71

5,87

8,75

3

3,21

0,26

5

55

%10

,747

,840

72

%16

,648

,198

24

,717

,588

26

,300

,755

V

AT

Impo

rt71

,907

,618

39

,931

,350

26

,925

,972

67

%64

,949

,985

90

%74

,618

,101

85

,341

,942

97

,203

,020

Tr

ade

Levy

14,0

40,5

14

6,74

6,65

0

3,74

8,59

3

56

%9,

042,

238

64

%15

,970

,309

17

,498

,443

22

,640

,679

Fi

ne o

n im

port

507,

403

44

7,00

2

26

0,77

5

58%

406,

087

80%

144,

939

19

2,04

7

212,

118

M

isce

llane

ous

Cus

tom

Fee

2,39

2,71

7

84

7,44

2

55

4,34

2

65%

1,33

7,16

6

56%

2,72

4,57

0

4,

150,

988

5,79

2,14

9

M

/Veh

icle

Lev

y3,

715,

673

1,20

4,30

7

633,

819

53

%1,

528,

878

41

%4,

024,

570

5,65

6,67

0

6,

292,

149

Infr

astr

uctu

re T

ax (6

0% o

f Tr

ade

Levy

)16

,779

,975

8,

324,

361

4,

613,

945

55%

11,1

29,6

14

66%

17,3

56,6

03

19,3

60,2

53

20,7

79,0

33

Cro

ss b

oade

r de

clar

atin

fee

120,

000

0

00%

120,

000

100%

120,

000

12

0,00

0

120,

000

SU

B T

OTA

L20

2,91

8,85

9

10

0,87

5,35

8

67

,076

,228

66

%16

1,69

6,22

8

80

%21

5,60

5,53

4

25

0,44

2,36

8

28

7,99

0,69

1

D

OM

EST

IC R

EV

EN

UE

DE

PAR

TME

NT

(TR

A)

PAYE

73,7

61,4

84

35,5

12,7

49

27,0

68,9

59

76%

70,7

54,4

78

96%

75,7

33,9

68

85,4

13,3

70

97,4

51,2

27

Skill

Dev

elop

men

t Le

vy18

,378

,231

8,

848,

270

5,

284,

371

60%

13,8

12,6

09

75%

20,7

42,5

21

22,7

96,6

07

24,6

01,9

69

Cor

pora

te45

,093

,602

21

,710

,488

12

,615

,482

58

%32

,975

,109

73

%47

,328

,145

57

,821

,080

61

,542

,525

In

divi

dual

12,0

08,8

53

5,78

1,70

8

3,07

2,82

0

53

%8,

031,

923

67

%14

,882

,677

17

,169

,255

19

,620

,925

E

xcis

e D

uty

on L

MG

2,93

4,05

6

1,

412,

613

20

3,18

3

14%

531,

091

18%

3,25

1,18

2

3,

954,

427

4,19

4,59

8

W

ithh

oldi

ng T

ax-I

RM

D28

,445

,684

13

,695

,284

14

,636

,107

10

7%30

,436

,511

10

7%35

,520

,226

38

,338

,184

44

,666

,648

SU

B T

OTA

L18

0,62

1,91

0

86

,961

,112

62,8

80,9

22

72%

156,

541,

721

87%

197,

458,

720

225,

492,

922

252,

077,

891

ZRB

TA

X R

EV

EN

UE

VA

T Lo

cal

213,

653,

785

11

0,05

7,30

7

45

,406

,498

41

%10

5,79

0,44

1

50

%22

5,19

1,10

4

24

5,76

7,48

1

264,

990,

346

E

xcis

e D

uty

- Ser

vice

38,9

02,4

08

20,3

54,2

26

10,8

08,4

15

53%

28,3

13,3

98

73%

32,8

55,2

05

41,1

95,4

10

55,3

14,4

71

Hot

el L

evy

44,2

15,6

85

21,0

99,5

90

2,18

9,44

2

10

%15

,095

,302

34

%43

,053

,274

46

,063

,594

50

,577

,145

R

esta

uran

t Le

vy7,

493,

188

3,52

3,48

3

443,

398

13

%5,

305,

473

71

%7,

238,

236

8,30

3,85

4

10

,006

,366

To

ur O

pera

tion

Lev

y2,

512,

543

1,34

2,42

5

135,

559

10

%1,

391,

097

55

%2,

502,

742

3,50

6,18

5

5,

063,

777

Stam

p D

uty

16,8

94,0

81

8,68

6,96

9

4,55

6,30

3

52

%14

,007

,537

83

%15

,859

,510

16

,533

,223

18

,471

,394

A

irpo

rt S

ervi

ce C

harg

e55

,462

,922

30

,368

,244

5,

157,

189

17%

25,7

97,5

43

47%

56,5

67,8

38

60,3

37,5

41

65,2

87,3

99

Seap

ort

Serv

ice

Cha

rge

3,92

5,74

0

1,

716,

222

1,

093,

736

64%

4,10

4,78

1

105%

5,23

2,26

0

7,

108,

230

9,42

8,36

6

Se

a Tr

ansp

ort

Cha

rge

3,04

3,63

3

1,

494,

910

1,

001,

723

37%

3,47

1,70

1

114%

4,77

2,29

5

5,

896,

830

7,37

8,46

8

La

nd L

ease

9,49

9,02

8

5,

575,

305

3,

118,

174

77%

8,00

8,20

7

84%

9,57

3,00

1

11

,272

,823

12

,972

,772

R

oad

Dev

elop

men

t Fu

nd14

,514

,561

8,

134,

129

6,

480,

405

80%

12,9

75,8

75

89%

14,6

35,4

42

15,9

30,7

98

19,0

37,2

68

Petr

oleu

m L

evy

57,0

71,1

85

29,2

76,4

30

23,1

47,1

53

79%

51,2

63,3

77

90%

58,5

11,9

53

62,9

26,1

00

67,7

31,2

05

Mot

or V

ehic

le R

egis

trat

ion

Fees

2,16

9,98

5

1,

115,

086

71

4,21

5

64%

1,67

0,93

6

77%

1,82

8,49

9

1,

966,

441

2,11

6,60

0

M

otor

Lic

enci

ng F

ees

/ R

oad

Lice

nce

5,51

5,53

3

3,

069,

390

2,

462,

554

80%

4,45

0,83

3

81%

5,48

5,49

1

7,

793,

153

9,23

5,69

7

D

rivi

ng L

icen

ce F

ees

4,28

2,08

9

1,

134,

003

78

5,48

8

69%

2,25

7,64

2

53%

4,56

2,27

9

5,

432,

881

6,44

5,72

1

A

irpo

rt S

afet

y Fe

e9,

850,

687

6,98

8,71

7

1,28

5,52

0

18

%5,

439,

491

55

%10

,072

,289

11

,138

,759

13

,774

,603

In

fras

ctru

ctur

e Ta

x (Z

RB

)27

,718

,953

14

,333

,052

8,

563,

804

60%

26,5

77,4

45

96%

27,1

53,6

74

28,6

16,9

14

29,3

61,9

91

SUB

TO

TAL

516,

726,

006

268,

269,

487

117,

349,

576

44%

315,

921,

080

61%

525,

095,

093

579,

790,

216

647,

193,

589

NO

N T

AX

RE

VE

NU

EM

DA

's c

olle

ctio

n10

4,71

3,07

0

50,2

21,5

55

26,3

42,3

21

52%

99,0

66,7

36

95%

125,

385,

041

152,

012,

972

17

7,70

0,37

3

Div

iden

t fr

om G

over

nem

nt P

aras

tals

10

,500

,000

5,

900,

000

8,

243,

352

140%

9,04

3,35

1

86%

11,0

00,0

00

12,5

00,0

00

14,0

00,0

00

Div

iden

t fr

om B

OT

13,5

00,0

00

00

0%6,

500,

000

48

%10

,000

,000

12

,500

,000

13

,500

,000

SU

B T

OTA

L12

8,71

3,07

0

56

,121

,555

34,5

85,6

72

62%

114,

610,

087

89%

146,

385,

041

177,

012,

972

205,

200,

373

RE

VE

NU

E F

OR

EC

AST

ING

FO

R T

HE

FIS

CA

L YE

AR

202

1/22

- 20

23/2

4 "

000"

TAX

ITE

MS

BU

DG

ET

2020

/202

1 6

Mon

ths

Rev

enue

Tar

get

6 M

onth

s A

ctua

l Rev

enue

C

olle

ctio

n

6 M

onth

s R

even

ue

Perf

Lik

ely

Out

tern

20

20/2

1

Year

ly

Rev

enue

Pe

rf

Rev

enue

Fo

reca

stin

g 20

21/2

2

Rev

enue

Fo

reca

stin

g 20

22/2

3

Rev

enue

Fo

reca

stin

g 20

23/2

4

29

Page 34: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

30

KIAMBATISHO NAMBA2:

UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA JULAI HADI DISEMBA 2020

1. Utekelezaji wa Maeneo ya Vipaumbele kwa Kipindi cha Julai – Disemba 2020

(i) Ukamilishaji wa jengo la abiria la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Zanzibar (Terminal III): Ujenzi wa jengo la abiria la Terminal III umekamilika na umeshazinduliwa. Kazi ndogondogo za ukamilishaji na uwekaji sawa (finishing) zinaendelea.

(ii) Ujenzi wa hospitali mpya ya rufaa ya Binguni: Kazi ya ujenzi wa hospitali ya rufaa ya Binguni imeanza kwa shughuli za usafishaji na kazi za ujenzi wa jengo la Wodi la huduma za dharura (emergency ward). Kazi hiyo inafanywa na Kampuni ya Ujenzi ya Serikali. Katika awamu ya kwanza, jumla ya majengo matano (5) yatajengwa ikiwemo jengo la (i) huduma za dharura, (ii) utawala, (iii) upasuaji na uchunguzi, (iv) mama na mtoto na (v) jengo moja la nyumba ya wafanyakazi.

(iii) Kukamilisha ujenzi wa Mahkama Kuu Tunguu: Hadi kufikia Disemba 2020 ujenzi unaendelea kwa hatua za ukamilishaji na upakaji wa rangi umeshaanza. Kwa ujumla ujenzi umefikia asilimia 75.

(iv) Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji katika mabonde ya Chaani, Kinyasini na Kibokwa kwa Unguja na Makwararani na Mlemele kwa Pemba: Ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji kwa mabonde hayo unaendelea kwa hatua mbalimbali kama ifuatavyo:

a) Bonde la Kinyasini. Ujenzi unaendelea na umefikia asilimia 84. Kazi zilofanyika ni ujenzi wa intake tunnel, spillways, ujenzi wa tuta la bwawa, misingi ya saruji na ya udongo na uwekaji sawa wa konde.

b) Bonde la Chaani. Ujenzi unaendelea na umefikia asilimia 76. Kazi zilofanyika ni ujenzi wa intake tunnel, spillways, ujenzi wa tuta la bwawa, misingi ya saruji na ya udongo na uwekaji sawa wa mashamba.

c) Bonde la Kibokwa. Ujenzi unaendelea na umefikia asilimia 66. Kazi zilofanyika ni ujenzi wa misingi ya saruji na ya udongo na uwekaji

Page 35: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

31

sawa wa mashamba pamoja na uchimbaji wa kisima (1) kati ya (6) vilivyopangwa kuchimbwa.

d) Bonde la Mlemele. Kazi za ushafishaji eneo la ujenzi wa intake tunnel na spillways zimeanza pamoja na uchimbaji wa msingi kwa ajili wa ujenzi husika na kufanya kazi kufikia asilimia 0.69.

e) Bonde la Makwararani. Kazi za usafishaji wa eneo la ujenzi hazijaanza ila kumefanyika kazi za surveying na uwekaji wa mipaka ya eneo la mradi.

(v) Ujenzi wa Bandari ya Mpigaduri: Kazi ya upembuzi yakinifu na utafiti wa kijiologia umekamilika. Hata hivyo maelekezo ya Serikali ni kuendeleza Ujenzi wa Bandari ya Mangapwani

(vi) Kuimarisha sekta ya mafuta na gesi kwa kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya matangi ya kuhifadhia mafuta katika eneo la bandari ya Mangapwani: ujenzi wa umeanza pamoja na usafishaji wa eneo. Nyumba kwa ajili ya ulipaji wa fidia wa wakaazi waliohamishwa eneo la Dundua umekamilika na kukabidhiwa kwa wananchi wanaohusika. Aidha, Serikali imetoa maelekezo ya kusimamishwa ujenzi na kuanza mpango mpya (master plan) wa ujenzi.

(vii) Kuendeleza ujenzi wa mji wa kisasa Kwahani: Ujenzi wa majengo matatu ya awamu ya kwanza umekamilika, kazi ndogo za kuweka sawa ardhi na kujenga barabara za ndani zinaendelea.

(viii) Ujenzi wa barabara ya Chake Chake – Wete: Mshauri elekezi amewasilisha ripoti ya upembuzi yakinifu pamoja na tathmini ya nyumba na mali zitakazo athirika na ujenzi wa barabara hiyo.

(ix) Ujenzi wa kituo cha maonesho ya biashara na mikutano ya kimataifa (Convention Centre) kwa mfumo wa mashirikiano ya sekta ya umma na sekta binafsi: utekelezaji wa mradi huu umeanza kwa kufanya kazi ya Tathmini ya kimazingira katika eneo la ujenzi wa mradi imekamilika. Aidha mkutano wa wadau mbali mbali ambao watahusika katika mradi umefanyika wakiwemo wakazi wa Nyamazi pamoja na Taasisi zinazohusika na mambo ya utalii kujadiliana kuhusu mradi huo.

Miradi mengine iliyopewa kipaumbele cha pili kwa mwaka 2020/21 ni kumi na moja (11) kama ifuatavyo: (i) Programu ya ajira kwa vijana; (ii) Kuimarisha utalii kwa kuendeleza maeneo ya kihistoria na utalii kwa wote; (iii) Kuendeleza

Page 36: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

32

maeneo ya uwekezaji (Industrial Park); (iv) Ujenzi wa skuli ya sheria (Law School); (v) Kuanza maandalizi ya ujenzi wa mji wa kisasa kwa Pemba; (vi) Kuanza ujenzi wa Ofisi ya Wizara ya Fedha na Mipango Unguja; (vii) Kuendelea na shughuli za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi; (viii) Kuimarisha elimu kwa ujenzi wa skuli tatu za ghorofa katika maeneo ya Mfenesini na Gamba kwa Unguja na Kifundi kwa Pemba; (ix) Ujenzi wa daraja la Uzi – Ng’ambwa; (x) Ujenzi wa chelezo kwa matengenezo ya vyombo vya baharini; na (xi) Ujenzi wa barabara ya Kisauni – Fumba. Kati ya vipaumbele hivyo, vipaumbele saba (7) sawa na asilimia 63.6 vimeanza utekelezaji katika kipindi hicho na kuwepo katika hatua mbalimbali kama ifuatavyo.

(i) Programu ya ajira kwa vijana: Katika kuhakikisha vijana wanafaidika na ajira za staha Zanzibar, ruzuku imetolewa kwa vikundi 75 vya ukulima wa mbogamboga vimejengewa vitalu nyumba (greenhouses) na kuchimbiwa visima. Jumla ya vitalu nyumba 19 sawa asilimia 100 vimejengwa ili kuendeleza kilimo cha kisasa kwa ajili ya kujikwamua na umasikini katika maeneo mbali mbali ya Unguja na Pemba. Maeneo hayo ni: Koani-1, Dole-1, Makunduchi-1, Kitogani-1, Pangatupu-2, Pangeni-2, Donge Mchangani-1, Fuoni Kibondeni-1 kwa Unguja na Mjini Ole-2, Wambaa-1, Tumbe-1, Shumba Viamboni-1, Chamanangwe-1, Mgogoni-1 na Mbayayani-2 kwa upande wa Pemba. Aidha jumla ya boti sita (6) zimenunuliwa kwa Mabaraza ya Vijana wanaojishughulisha na shughuli za uvuvi. Mabaraza hayo ni kutoka maeneo yafuatao: Shehia ya Mtoni (Wilaya ya Magharibi A), Shehia ya Ng’ambwa (Wilaya ya Kati) Shehia ya Tasani (Wilaya ya Kusini), Shehia ya Nungwi (Wilaya ya Kaskazini A) Shehia ya Sizini (Wilaya ya Micheweni), na Shehia ya Shungi (Wilaya ya Chake Chake).

(ii) Kuimarisha utalii kwa kuendeleza maeneo ya kihistoria na utalii kwa wote: Ujenzi wa Makumbusho ya Bi Hole umeendelea kwa ujenzi wa maduka, vyoo, bustani, njia pamoja na umeme. Ujenzi huu umefikia asilimia 100 ya utekelezaji wake kwa hatua ya kwanza. Vile vile ukarabati wa jengo la Kihistoria la Mvuleni unaendelea ambapo kazi za ujenzi wa kituo cha kutoa taarifa (Information Centre) umefikia asilimia 85 kukamilika.

(iii) Kuendeleza maeneo ya uwekezaji (Industrial Park): Katika kuimarisha sekta ya viwanda, eneo la Chamanangwe limechaguliwa kuwa ndiyo eneo la uwekezaji. Jumla ya watu 110 wameshalipwa fidia kati ya 122. Aidha eneo hilo tayari limeshasafishwa na Mpango Mkuu tayari umeshaandaliwa.

Page 37: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

33

(iv) Kuimarisha elimu kwa ujenzi wa skuli tatu za ghorofa katika maeneo ya Mfenesini na Gamba kwa Unguja na Kifundi kwa Pemba: Hatua za kumtafuta mshauri elekezi kwa ajili ya kuandaa michoro zimekamilika.

(v) Ujenzi wa daraja la Uzi – Ng’ambwa: Kazi ya Upembuzi yakinifu wa ujenzi wa daraja la Uzi – Ngambwa (3.5 km) umekamilika.

(vi) Ujenzi wa chelezo kwa matengenezo ya vyombo vya baharini: Upembuzi yakinifu wa mradi wa ujenzi wa bandarindogo (slipway) eneo la Makao Makuu Kibweni na ujenzi wa Chuo cha Mafunzo ya Uzamiaji KMKM katika kambi ya Kama umekamilika.

(vii) Ujenzi wa barabara ya Kisauni – Fumba: Upembuzi Yakinifu pamoja na tathmini ya nyumba na mali zitakazo athirika na ujenzi wa barabara hiyo umekamilika.

Page 38: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

34

1 U

PATI

KAN

AJI F

EDHA

KW

A PR

OG

RAM

U N

A M

IRAD

I YA

MAE

NDE

LEO

KW

A KI

PIN

DI C

HA JU

LAI -

DIS

EMBA

, 202

0 KW

A M

UJIB

U W

A W

IZAR

A/TA

ASIS

I

(TZS

MIL

ION

I)

Kiam

batis

ho N

amba

ri :2

UPA

TIKA

NAJ

I WA

FEDH

A KW

A PR

OG

RAM

U N

A M

IRAD

I 202

0/20

21, (

TZS

MIL

ION

I)

Wiz

ara/

Taas

isi

Fedh

a Zi

lizop

angw

a Ju

mla

As

ilim

ia

PRO

GR

AMU

/MR

AD

I S

MZ

W

M

JUM

LA

SM

Z

WM

JU

MLA

S

MZ

W

M

JUM

LA

OFI

SI Y

A R

AIS

NA

MW

ENYE

KIT

I WA

BA

RA

ZA L

A M

APIN

DU

ZI

Uim

aris

haji

Nyu

mba

za

Vion

gozi

na

Nyu

mba

za

Serik

ali

1,50

0

1,50

0 1,

250

1,

250

83

83

JU

MLA

YA

FU

NG

U

1,50

0

1,50

0 1,

250

1,

250

83

83

O

FISI

YA

MA

KAM

O W

A P

ILI W

A R

AIS

M

pang

o w

a Ku

nusu

ru K

aya

Mas

ikin

i (TA

SAF

III)

50

21,5

48

21,5

98

46

9 46

9 0

2 2

Kuje

nga

Uw

ezo

wa

Kuk

abilia

na n

a M

aafa

186

186

39

39

21

21

Kuim

aris

ha U

sim

amiz

i wa

Maz

ingi

ra,

Mal

iasi

li na

M

abad

iliko

ya T

abia

nchi

-Zan

ziba

r 30

0 29

0 59

0

0 0

0 Ku

kuza

Uw

ezo

wa

Kita

ifa w

a K

uhim

ili At

hari

za

Mab

adilik

o ya

Tab

ianc

hi (A

DB

-AC

CF)

676

676

62

62

9 9

JUM

LA Y

A F

UN

GU

35

0 22

,700

23

,050

570

570

0 3

2 TU

ME

YA K

ITA

IFA

YA

KU

RAT

IBU

NA

UD

HIB

ITI W

A D

AWA

ZA

KU

LEVY

A

Uje

nzi w

a K

ituo

cha

Tiba

na

Mar

ekeb

isho

ya

Tabi

a 1,

900

1,

900

0

0

JUM

LA Y

A F

UN

GU

1,

900

1,

900

0

0

WIZ

AR

A Y

A F

EDH

A N

A M

IPA

NG

O

Prog

ram

u ya

Uje

nzi w

a O

fisi z

a Se

rikal

i Za

nzib

ar

19,5

00

19

,500

2,

287

2,

287

12

12

Pr

ogra

mu

ya U

kuza

ji U

chum

i Jum

uish

i Zan

ziba

r (B

IG -

Z)

19

,964

19

,964

34,9

73

34,9

73

17

5 17

5

34

Page 39: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

35

2

Prog

ram

u ya

Uje

nzi w

a M

iji M

ipya

20

,000

20,0

00

0

0

Prog

ram

u ya

Mag

euzi

Kat

ika

Usi

mam

izi w

a Fe

dha

(PFM

RP)

1,63

9 1,

639

51

1 51

1

31

31

Uim

aris

haji

wa

Ras

ilimal

i za

Nda

ni n

a U

sim

amiz

i wa

Mal

iasi

li 10

0 4,

541

4,64

1

314

314

0 7

7 M

radi

wa

Kuje

nga

Uw

ezo

Taas

isi z

a Se

rikal

i 20

10

7 12

7

240

240

0 22

5 18

9 U

imar

isha

ji w

a M

aene

o H

uru

Mic

hew

eni P

emba

1,

800

1,

800

0

0

Mta

ndao

wa

Uin

giza

ji w

a Ta

arifa

za

Baj

eti

500

50

0

0

0 JU

MLA

YA

FU

NG

U

41,9

20

26,2

51

68,1

71

2,28

7 36

,038

38

,324

5

137

56

TUM

E YA

MIP

AN

GO

Pr

ogra

mu

ya M

pang

o w

a K

uras

imis

ha R

asilim

ali n

a Bi

asha

ra z

a W

anyo

nge

Tanz

ania

(MKU

RA

BITA

) 55

0 10

0 65

0

0 0

0 M

pang

o w

a Ku

huis

ha U

chum

i (ER

P)

7,00

0

7,00

0

0

0 Ku

pung

uza

Um

asik

ini n

a U

fuat

iliaji

wa

SD

Gs

150

15

0 21

9

219

146

14

6 U

ratib

u na

Usi

mam

izi w

a M

alen

go n

a M

aend

eleo

En

dele

vu (S

DG

s) n

a M

KU

ZA II

I 10

0 80

1 90

1

359

359

0 45

40

Ku

oani

sha

Mas

uala

ya

Idad

i ya

Wat

u ka

tika

Afya

ya

Uza

zi, J

insi

a na

Kup

ungu

za U

mas

ikin

i

286

286

18

0 18

0

63

63

Uen

dele

zaji

wa

Takw

imu

Zanz

ibar

(ZSD

P)

3,

322

3,32

2

697

697

21

21

Ku

ende

leza

Taf

iti n

a U

buni

fu

500

50

0

0

0 JU

MLA

YA

FU

NG

U

8,30

0 4,

509

12,8

09

219

1,23

6 1,

455

3 27

11

W

IZA

RA

YA

KIL

IMO

, M

ALI

ASI

LI, M

IFU

GO

NA

UVU

VI

Prog

ram

u ya

Um

wag

iliaj

i 19

,900

47

,193

67

,093

11,7

82

11,7

82

0 25

18

Pr

ogra

mu

ya K

usai

dia

Kilim

o na

Uha

kika

wa

Cha

kula

(ER

PP)

2,21

1 2,

211

1,

081

1,08

1

49

49

Uim

aris

haji

Uvu

vi w

a Ba

hari

Kuu

2,

000

12,1

52

14,1

52

0

0 0

Kuim

aris

ha U

fuga

ji w

a M

azao

ya

Baha

rini

73

6 73

6

0

0 M

radi

wa

Usi

mam

izi w

a Sh

ughu

li za

Uvu

vi w

a Ka

nda

ya K

usin

i Mas

harik

i mw

a Ba

hari

ya H

indi

(S

WIO

FISH

)

8,65

1 8,

651

2,

888

2,88

8

33

33

Mra

di w

a M

aend

eleo

ya

Kilim

o na

Uvu

vi

2,

141

2,14

1

0

0 Ku

ende

leza

Uta

fiti w

a M

ifugo

1,

000

1,

000

0

0

35

Page 40: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

36

3

Mra

di w

a Ku

dhib

iti N

zi w

a M

atun

da

100

120

220

0

0 0

Kudh

ibiti

Sum

u Ku

vu in

ayot

okan

a na

Ula

ji w

a M

ahin

di n

a N

jugu

932

932

0 0

Uhi

fadh

i wa

Mis

itu k

wa

Faid

a za

Kiu

chum

i

3,80

1 3,

801

0 0

Kilim

o ch

a K

usha

jihis

ha U

kulim

a w

a M

boga

Mbo

ga

na M

atun

da

5,

603

5,60

3

0

0 JU

MLA

YA

FU

NG

U

23,0

00

83,5

41

106,

541

15

,752

15

,752

0

19

15

WIZ

AR

A Y

A B

IASH

AR

A N

A V

IWA

ND

A

Prog

ram

u ya

Maz

ingi

ra B

ora

ya B

iash

ara

300

30

0

0

0 U

imar

isha

ji w

a M

aene

o ya

Viw

anda

(Ind

urst

rial

Park

) 1,

000

1,

000

396

39

6 40

40

Kuim

aris

ha v

iwan

da v

idog

o vi

dogo

na

vya

kati

(SM

IDA)

1,

000

1,

000

25

25

3

3

Mra

di w

a Ku

was

aidi

a W

ajas

iriam

ali W

adog

o W

adog

o,W

akat

i na

Wak

ubw

a 4,

500

4,60

0 9,

100

0

0 0

Kuim

aris

ha T

aasi

si y

a Vi

wan

go Z

anzi

bar

3,00

0

3,00

0

0

0 M

fum

o m

pya

wa

Uto

aji L

esen

i kw

a M

aend

eleo

ya

Sekt

a Bi

nafs

i 40

0

400

200

20

0 50

50

JUM

LA Y

A F

UN

GU

10

,200

4,

600

14,8

00

621

62

1 6

0 4

WIZ

AR

A Y

A E

LIM

U N

A M

AFU

NZO

YA

AM

ALI

Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha M

iund

ombn

u ya

Elim

u 1,

000

1,

000

0

0

Uim

aris

haji

wa

Elim

u ya

Maa

ndal

izi

3,

253

3,25

3

1,72

3 1,

723

53

53

U

imar

isha

ji w

a El

imu

ya M

sing

i

402

402

18

18

4 4

Uim

aris

haji

wa

Elim

u ya

Laz

ima

3,50

0 11

,307

14

,807

35

0 8,

369

8,71

9 10

74

59

JU

MLA

YA

FU

NG

U

4,50

0 14

,962

19

,462

35

0 10

,111

10

,461

8

68

54

WIZ

AR

A Y

A A

FYA

Pr

ogra

mu

ya K

umal

iza

Mal

aria

Zan

ziba

r 24

8 5,

586

5,83

4 40

1,

431

1,47

1 16

26

25

Ku

ipan

dish

a ha

dhi H

ospi

tali

ya M

nazi

Mm

oja

1,50

0

1,50

0 5

5

0

0 Ku

zipa

ndis

ha h

adhi

Hos

pita

li za

Wila

ya n

a ho

spita

li za

Vijij

i 5,

000

5,

000

615

61

5 12

12

Aw

amu

ya K

wan

za y

a uj

enzi

wa

Hos

pita

l ya

Ruf

aa

Bing

uni

6,00

0

6,00

0 1,

402

1,

402

23

23

36

Page 41: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

37

4

Uje

nzi w

a Bo

hari

Kuu

ya D

awa-

Pem

ba

2,00

0

2,00

0 10

7

107

5

5 U

jenz

i wa

Maa

bara

ya

Mam

laka

ya

Daw

a na

Vi

podo

zi

2,10

0

2,10

0

0

0 U

jenz

i wa

Hos

pita

l ya

Wag

onjw

a w

a Ak

ili

1,40

0 1,

400

2,80

0 14

14

1 0

1 Ku

imar

isha

Taa

sisi

ya

Uta

fiti w

a Af

ya

2,00

0

2,00

0 16

0

160

8

8 Pr

ogra

mu

Shiri

kish

i ya

Afya

ya

Uza

zi w

a M

ama

na

Mto

to

500

9,57

4 10

,074

523

523

0 5

5 Pr

ogra

mu

ya K

udhi

biti

Mar

adhi

ya

Uki

mw

i, H

oma

ya

Ini,

Kifu

a K

ikuu

na

Uko

ma

248

5,09

0 5,

338

1,

416

1,41

6 0

28

27

JUM

LA Y

A F

UN

GU

20

,996

21

,651

42

,647

2,

343

3,37

0 5,

713

11

16

13

WIZ

AR

A Y

A A

RD

HI,

NYU

MB

A, M

AJI

NA

NIS

HAT

I M

radi

wa

Uhu

isha

ji na

Uim

aris

haji

wa

Mfu

mo

wa

Usa

mba

zaji

Maj

i Zan

ziba

r (IN

DIA

) 46

6 67

,129

67

,596

12,7

92

12,7

92

0 19

19

Ku

ende

leza

Vis

ima

vya

Ras

el K

haim

ah

4,00

0

4,00

0 43

8

438

11

11

U

sam

baza

ji U

mem

e Vi

jijin

i 50

0

500

0

0

Mra

di w

a Ku

ifany

ia M

abad

iliko

Sekt

a ya

Nis

hati

(ZES

T)

17

,850

17

,850

0

0 Ku

jeng

a U

wez

o na

Mat

enge

nezo

ya

Miu

ndom

binu

ya

Um

eme

Zanz

ibar

3,50

0 3,

500

0 0

JUM

LA Y

A F

UN

GU

4,

966

88,4

79

93,4

46

438

12,7

92

13,2

31

9 14

14

W

IZA

RA

YA

UJE

NZI

, MA

WA

SILI

AN

O N

A U

SAFI

RIS

HA

JI

Uje

nzi w

a ba

raba

ra z

a Ki

zim

bani

-Kib

oje

(km

7.2)

na

Ju

mbi

-Koa

ni (k

m 6

.3)

2,00

0

2,00

0

0

0 U

jenz

i wa

bara

bara

ya

Cha

ke-W

ete

8,00

0 8,

990

16,9

90

0

0 0

Uje

nzi w

a Ba

raba

ra z

a B

ubub

u-M

ahon

da -

Mko

koto

ni (3

1 km

), M

kwaj

uni-K

ijini (

9.4

km),

Pale

Ki

onge

le -

Mkw

ajun

i (4.

6 km

), M

atem

we

- Muy

uni

(7.6

km

), Fu

oni -

Kom

beni

(km

8.6

) na

Bub

ubu

Polis

i - C

huin

i (km

3)

1,50

0 8,

334

9,83

4

19,1

82

19,1

82

0 23

0 19

5 U

jenz

i wa

Bara

bara

ya

Joza

ni-C

hara

we-

Uko

ngor

oni

(km

23)

2,

000

2,

000

353

35

3 18

18

Uje

nzi w

a Ba

raba

ra y

a K

itoga

ni -

Paj

e, M

ahon

da -

Don

ge -

Mko

koto

ni, K

inya

sini

- Ki

wen

gwa

na D

unga

- C

hwak

a 2,

000

2,

000

0

0

37

Page 42: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

38

5

Uje

nzi w

a Ba

raba

ra y

a U

nguj

a U

kuu

- Uzi

N

g'am

bwa

5,00

0

5,00

0

0

0 U

jenz

i wa

Bara

bara

ya

Fum

ba -

Kisa

uni (

12 k

m)

1,00

0

1,00

0

0

0 U

jenz

i wa

Jeng

o Ji

pya

la A

biria

Zan

ziba

r 5,

500

124,

586

130,

086

16,9

31

2,44

9 19

,380

30

8 2

15

Uje

nzi w

a U

wan

ja w

a N

dege

wa

Pem

ba

1,00

0

1,00

0

0

0 U

jenz

i wa

Band

ari y

a M

piga

duri

5,00

0

5,00

0 1,

080

1,

080

22

22

U

nunu

zi w

a La

nd C

raft

2,50

0

2,50

0

0

0 JU

MLA

YA

FU

NG

U

35,5

00

141,

910

177,

410

18,3

64

21,6

31

39,9

95

52

15

23

WIZ

AR

A Y

A K

AZI

, UW

EZES

HA

JI,

WA

ZEE,

WA

NA

WA

KE

NA

WAT

OTO

U

saw

a w

a K

ijinsi

a na

Kuw

awez

esha

Wan

awak

e

180

180

0 0

Mra

di w

a Ji

nsia

471

471

15

5 15

5

33

33

Mra

di w

a H

ifadh

i ya

waz

ee

1,10

0

1,10

0

0

0 M

radi

wa

Uje

nzi w

a K

ituo

cha

Kul

ea n

a Ku

toto

lea

Waj

asiri

amal

i (In

cuba

tor)

1,

000

1,

000

140

14

0 14

14

Mra

di w

a H

ifadh

i ya

Jam

ii

121

121

11

11

9 9

Mra

di w

a H

ifadh

i ya

Wat

oto

38

8 38

8

58

58

15

15

JU

MLA

YA

FU

NG

U

2,10

0 1,

159

3,25

9 14

0 22

4 36

4 7

19

11

WIZ

AR

A Y

A K

ATIB

A N

A S

HER

IA

Mra

di w

a U

sim

amiz

i wa

Upa

tikan

aji w

a H

aki

1,50

0

1,50

0 22

22

1

1 JU

MLA

YA

FU

NG

U

1,50

0

1,50

0 22

22

1

1 M

KU

RU

GEN

ZI W

A M

ASH

TAK

A

Uje

nzi w

a K

ituo

cha

Maf

unzo

ya

Sher

ia n

a U

tafit

i 60

0

600

0

0

JUM

LA Y

A F

UN

GU

60

0

600

0

0

OFI

SI Y

A R

AIS

- U

TUM

ISH

I WA

UM

MA

NA

UTA

WA

LA B

OR

A

Prog

ram

u ya

Mag

euzi

ya

Utu

mis

hi w

a U

mm

a - I

I 40

0

400

0

0

JUM

LA Y

A F

UN

GU

40

0

400

0

0

MAM

LAK

A Y

A K

UZU

IA R

USH

WA

NA

UH

UJU

MU

WA

UC

HU

MI

Uje

nzi w

a O

fisi y

a ZA

ECA

1,

000

1,

000

0

0

JUM

LA Y

A F

UN

GU

1,

000

1,

000

0

0

WIZ

AR

A Y

A H

AB

AR

I, U

TALI

I NA

MAM

BO

YA

KA

LE

Prog

ram

u M

jum

uish

o ya

Kue

ndel

eza

Uta

lii

2,70

0

2,70

0 44

3

443

16

16

38

Page 43: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

39

6

Uje

nzi w

a Je

ngo

la O

fisi n

a St

udio

za

Red

io

Mka

njun

i-Pem

ba

1,40

0

1,40

0

0

0 JU

MLA

YA

FU

NG

U

4,10

0

4,10

0 44

3

443

11

11

K

AMIS

HEN

I YA

UTA

LII

Kuim

aris

ha U

talii

kwa

Wot

e 2,

000

2,

000

362

36

2 18

18

JUM

LA Y

A F

UN

GU

2,

000

2,

000

362

36

2 18

18

WIZ

AR

A Y

A V

IJA

NA

, UTA

MAD

UN

I, SA

NA

A N

A M

ICH

EZO

Pr

ogra

mu

ya A

jira

kwa

Vija

na

2,00

0

2,00

0 1,

000

1,

000

50

50

U

jenz

i wa

Viw

anja

vya

Mic

hezo

vya

Wila

ya

2,50

0

2,50

0 64

3

643

26

26

JU

MLA

YA

FU

NG

U

4,50

0

4,50

0 1,

643

1,

643

37

37

O

FISI

YA

RA

IS T

AW

ALA

ZA

MIK

OA

, SER

IKA

LI Z

A M

ITA

A N

A ID

AR

A M

AA

LUM

ZA

SM

Z Pr

ogra

mu

ya U

gatu

zi w

a M

asua

la y

a E

limu

1,00

0 2,

896

3,89

6 35

0

350

35

0 9

Uw

ekaj

i wa

Kam

era

na V

ifaa

vya

Ulin

zi

8,00

0

8,00

0 5,

525

5,

525

69

69

U

jenz

i wa

Kiw

anda

cha

Ush

oni (

ZQTL

) 2,

500

2,

500

610

61

0 24

24

JUM

LA Y

A F

UN

GU

11

,500

2,

896

14,3

96

6,48

4

6,48

4 56

0

45

WA

KA

LA W

A U

SAJI

LI W

A M

ATU

KIO

YA

KIJ

AMII

ZAN

ZIB

AR

M

radi

wa

Kuim

aris

ha M

fum

o w

a U

sajil

i wa

Viza

zi n

a Vi

fo

1,00

0

1,00

0

0

0 JU

MLA

YA

FU

NG

U

1,00

0

1,00

0

0

0 K

IKO

SI M

AA

LUM

CH

A K

UZU

IA M

AGEN

DO

(KM

KM

) Ku

imar

isha

Hud

uma

za U

zam

iaji

na U

okoz

i 4,

800

4,

800

584

58

4 12

12

Uje

nzi n

a U

kara

bati

wa

Kam

bi n

a N

yum

ba z

a KM

KM

700

70

0 35

0

350

50

50

JU

MLA

YA

FU

NG

U

5,50

0

5,50

0 93

4

934

17

17

K

IKO

SI C

HA

VA

LAN

TIA

U

jenz

i wa

Nyu

mba

na

Mah

anga

ya

Maa

skar

i 1,

500

1,

500

0

0

JUM

LA Y

A F

UN

GU

1,

500

1,

500

0

0

CH

UO

CH

A M

AFU

NZO

U

jenz

i wa

Nyu

mba

za

Mak

aazi

na

Mah

anga

1,

500

1,

500

250

25

0 17

17

JUM

LA Y

A F

UN

GU

1,

500

1,

500

250

25

0 17

17

JESH

I LA

KU

JEN

GA

UC

HU

MI

39

Page 44: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

40

7

Uje

nzi w

a Sk

uli y

a Se

kond

ari n

a U

fund

i - M

toni

2,

500

2,

500

619

61

9 25

25

Uje

nzi w

a M

ajen

go y

a Ka

mbi

za

JKU

Pem

ba

2,00

0

2,00

0 54

5

545

27

27

JU

MLA

YA

FU

NG

U

4,50

0

4,50

0 1,

164

1,

164

26

26

K

IKO

SI C

HA

ZIM

AMO

TO N

A U

OK

OZI

U

jenz

i wa

Mah

anga

na

Nyu

mba

za

Maa

skar

i 2,

500

2,

500

0

0

JUM

LA Y

A F

UN

GU

2,

500

2,

500

0

0

JUM

LA K

UB

WA

19

7,33

2 41

2,65

9 60

9,99

1 37

,315

10

1,74

7 13

9,06

1 19

25

23

40

Page 45: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

41

JINA LA PROGRAMU/MRADI Kilichopangwa Kilichopatikana Asilimia

Uimarishaji Uvuvi wa Bahari Kuu 2,000 0 0JUMLA YA FUNGU 2,000 0 0

Kuimarisha Taasisi ya Viwango Zanzibar 3,000 0 0JUMLA YA FUNGU 3,000 0 0

Ujenzi wa Hospital ya Rufaa Binguni (Awamu ya Kwanza) 6,000 1,402 23JUMLA YA FUNGU 6,000 1,402 23

Kuendeleza Visima vya Ras el Khaimah 2,000 438 22Usambazaji Umeme Vijijini 500 0 0JUMLA YA FUNGU 2,500 438 18

Ujenzi wa Daraja la Uzi-Ng'ambwa 5,000 0 0Ununuzi wa Land Craft 2,400 0 0JUMLA YA FUNGU 7,400 0 0

Ujenzi wa Ofisi ya ZAECA 1,000 0 0JUMLA YA FUNGU 1,000 0 0

Kuimarisha Utalii kwa Wote 2,000 362 18JUMLA YA FUNGU 2,000 362 18

Ujenzi wa Viwanja vya Michezo vya Wilaya 2,500 643 26JUMLA YA FUNGU 2,500 643 26

Uwekaji wa Kamera na Vifaa vya Ulinzi 8,000 5,525 69Ujenzi wa Kiwanda cha Ushoni (ZQTL) 1,400 610 44JUMLA YA FUNGU 9,400 6,134 65

Ujenzi wa Skuli ya Sekondari na Ufundi - Mtoni 2,000 619 31JUMLA YA FUNGU 2,000 619 31

Kuimarisha Huduma za Uzamiaji na Uokozi 4,800 584 12JUMLA YA FUNGU 4,800 584 12

Ununuzi wa Vifaa vya Zimamoto 1,600 0 0JUMLA YA FUNGU 1,600 0 0JUMLA KUBWA 44,200 10,183 23

WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI

Kiambatisho Nambari :3UPATIKANAJI WA FEDHA MFUKO WA MIUNDOMBINU, 2020/2021 (TZS MILIONI)

WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI

WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA

WIZARA YA AFYA

KIKOSI MAALUM CHA KUZUIA MAGENDO (KMKM)

KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOZI

WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI

MAMLAKA YA KUZUIA RUSHWA NA UHUJUMU WA UCHUMI

KAMISHENI YA UTALII

WIZARA YA VIJANA, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA, SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ZA SMZ

JESHI LA KUJENGA UCHUMI

Page 46: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

42

Page 47: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

43

Page 48: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA …

44