serikali ya mapinduzi ya zanzibarkwa mujibu wa katiba ya zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 mdhibiti...

101
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MAWIZARA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

Upload: others

Post on 31-Oct-2020

10 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU

WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU

WA HESABU ZA SERIKALI

KWA MAWIZARA YA SERIKALI YA

MAPINDUZI YA ZANZIBAR

KWA MWAKA WA FEDHA

2016/2017

Page 2: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

ii

YALIYOMO

SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1

1.0 UTANGULIZI ......................................................................................................................... 1

1.1 MAJUKUMU YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI .............................. 1

1.2 UPEO NA MADHUMUNI YA RIPOTI YA UKAGUZI .................................................................. 2

1.3 NJIA ZILIZOTUMIKA KATIKA UKAGUZI ............................................................................... 3

1.4 UMUHIMU WA UKAGUZI KATIKA KUIMARISHA UTAWALA BORA ........................................... 4

1.5 MAFANIKIO YALIYOPATIKANA ........................................................................................... 5

1.6 CHANGAMOTO .................................................................................................................. 6

1.7 KAMATI ZA BARAZA LA WAWAKILISHI ................................................................................ 7

1.8 SHUKURANI ...................................................................................................................... 7

SURA YA PILI…….……………………………………………………………………………………………9

2.0 TAARIFA ZA FEDHA ZA MFUKO MKUU WA HAZINA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 .............................................................................................. 9

2.1 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI .............................................................................. 9

2.1.1 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017............... 9

2.1.2 MAPATO NA MATUMIZI KWA KAZI ZA KAWAIDA NA MAENDELEO KWA MWAKA WA

FEDHA 2016/2017................................................................................................................. 9

2.1.3 MAPATO YA KODI YALIYOKUSANYWA NA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA) ...... 9

2.1.4 UKUSANYAJI WA MAPATO YA NDANI ZANZIBAR....................................................... 10

2.1.5 TAARIFA YA MATUMIZI YA KAZI ZA KAWAIDA ......................................................... 11

2.1.6 TAARIFA YA MATUMIZI YA KAZI ZA MAENDELEO ..................................................... 11

2.1.7 TAARIFA YA JUMLA YA MATUMIZI YA SERIKALI ....................................................... 11

2.1.8 TAARIFA YA DENI LA SERIKALI ............................................................................... 12

SURA YA TATU…..…………………………………………………………………………………………..13

3.0 MAMBO YALIYOBAINIKA KATIKA UKAGUZI KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 .................... 13

3.1 UTEKELEZAJI WA HOJA ZA UKAGUZI ULIOPITA WA MWAKA WA FEDHA 2015/2016 ............. 13

3.2 UWASILISHAJI WA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 KWA AJILI YA

UKAGUZI ................................................................................................................................ 13

3.3 UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA MWAKA 2016/2017 ............................................................ 18

3.4 AINA YA HATI ZA UKAGUZI .............................................................................................. 25

SURA YA NNE………………………………………………………………………………………………...31

4.0 MATOKEO YA UKAGUZI KWA MWAKA 2016/2017 ................................................................. 31

4.1 WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ................... 31

4.1.1 FUNGU A 01 - OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI .............. 31

Page 3: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

iii

4.1.2 FUNGU A 02 – OFISI YA RAIS BARAZA LA MAPINDUZI – BLM .................................... 32

4.2 WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA, SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ........... 33

4.2.1 FUNGU D 01 - WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA NA IDARA MAALUM .......... 33

4.2.2 FUNGU D 02 - JESHI LA KUJENGA UCHUMI (JKU) ................................................... 34

4.2.3 FUNGU D 03 – CHUO CHA MAFUNZO ...................................................................... 34

4.2.4 FUNGU D 04 - KIKOSI MAALUM CHA KUZUIA MAGENDO (KMKM) .............................. 35

4.2.5 FUNGU D 05 – KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOZI ................................................. 36

4.2.6 FUNGU D 06 - KIKOSI CHA VALANTIA ...................................................................... 37

4.2.7 OFISI YA USAJILI NA KADI ZA UTAMBULISHO .......................................................... 37

4.2.8 FUNGU D 07 – MKOA WA MJINI MAGHARIBI ............................................................ 38

4.2.9 FUNGU D 08 – MKOA WA KUSINI UNGUJA ............................................................... 39

4.2.10 FUNGU D 09 – MKOA WA KASKAZINI UNGUJA ..................................................... 39

4.2.11 FUNGU D 10 – MKOA WA KUSINI PEMBA ............................................................. 40

4.2.12 FUNGU D 11 - MKOA WA KASKAZINI PEMBA ........................................................ 40

4.2.13 BARAZA LA MANISPAA MJINI ............................................................................. 41

4.2.14 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI - A ............................................................... 42

4.2.15 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI - B ............................................................... 42

4.2.16 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI ‘A’ UNGUJA. ......................................... 43

4.2.17 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI “B” UNGUJA ........................................ 44

4.2.18 HALMASHAURI YA WILAYA YA KATI .................................................................... 45

4.2.19 BARAZA LA MJI CHAKE-CHAKE ............................................................................ 46

4.2.20 BARAZA LA MJI MKOANI ..................................................................................... 48

4.2.21 BARAZA LA MJI WETE ......................................................................................... 49

4.2.22 HALMASHAURI YA WILAYA YA MICHEWENI ......................................................... 51

4.3 WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA ............ 52

4.3.1 FUNGU G 01 - WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI WA UMMA NA

UTAWALA BORA ................................................................................................................. 52

4.3.2 FUNGU G 02 - MAHKAMA KUU ................................................................................. 53

4.3.3 FUNGU G 03 – OFISI YA MWANASHERIA MKUU ........................................................ 54

4.3.4 FUNGU G 04 – OFISI YA MKURUGENZI WA MASHTAKA ............................................. 54

4.3.5 FUNGU G 05 – TUME YA KUREKEBISHA SHERIA ....................................................... 55

4.3.6 FUNGU G 08 - KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA ................................................ 55

4.3.7 FUNGU G 09 - TUME YA UTUMISHI SERIKALINI ...................................................... 56

4.3.8 FUNGU G 07- MAMLAKA YA KUZUIA RUSHWA NA UHUJUMU WA UCHUMI ZANZIBAR 57

4.4 WIZARA YA NCHI OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS ..................................................... 58

4.4.1 FUNGU C 01 - OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS ................................................. 58

4.4.2 FUNGU C 02 - BARAZA LA WAWAKILISHI ................................................................ 58

4.4.3 FUNGU C 03 - TUME YA UCHAGUZI ......................................................................... 59

Page 4: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

iv

4.4.4 FUNGU C 05 – TUME YA UKIMWI ........................................................................... 59

4.4.5 FUNGU C 04 - TUME YA KITAIFA YA KURATIBU NA UDHIBITI WA DAWA ZA KULEVYA 60

4.5 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO .................................................................................... 61

4.5.1 FUNGU F 01 - WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO ...................................................... 61

4.5.2 FUNGU F 02 - HESABU ZA HUDUMA ZA MFUKO MKUU WA SERIKALI ........................ 64

4.5.3 FUNGU F 03 - TUME YA MIPANGO ......................................................................... 65

4.5.4 OFISI YA MTAKWIMU MKUU WA SERIKALI ............................................................... 65

4.6 WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI .......................................................... 66

4.6.1 FUNGU L 01 - WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI ........................... 66

4.7 WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO ................................................................. 67

4.7.1 FUNGU R 01 - WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO .................................. 67

4.7.2 TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) ................................................................... 68

4.8 WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI ...................................................................... 71

4.8.1 FUNGU K 01 – WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI ....................................... 71

4.8.2 MRADI WA ELIMU MBADALA ................................................................................... 73

4.8.3 BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU ........................................................................ 77

4.8.4 MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR .......................................................... 78

4.8.5 SHIRIKA LA HUDUMA ZA MAKTABA ......................................................................... 78

4.8.6 TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA .................................................. 79

4.8.7 BARAZA LA MITIHANI ............................................................................................. 80

4.9 WIZARA YA AFYA ............................................................................................................ 81

4.9.1 FUNGU H 01 - WIZARA YA AFYA .............................................................................. 81

4.9.2 FUNGU H 02 - HOSPITALI YA MNAZI MMOJA ........................................................... 81

4.9.3 WAKALA WA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI .......................................... 82

4.10 WIZARA YA ARDHI, MAKAAZI, MAJI NA NISHATI ........................................................... 83

4.10.1 FUNGU N 01 - WIZARA YA ARDHI, MAKAAZI, MAJI NA NISHATI ............................ 83

4.10.2 BODI YA USAJILI WA WAKANDARASI .................................................................. 84

4.10.3 BODI YA UHAULISHAJI ARDHI ............................................................................. 85

4.11 WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI .................................................. 86

4.11.1 FUNGU P 01 - WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ................. 86

4.11.2 MAMLAKA YA USAFIRI BAHARINI ........................................................................ 92

4.12 WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI, WAZEE , VIJANA, WANAWAKE NA WATOTO .................. 93

4.12.1 FUNGU NAMBA Q 01 - WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI, WAZEE, VIJANA, WANAWAKE

NA WATOTO ....................................................................................................................... 93

4.13 WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO ................................................ 95

4.13.1 FUNGU NAMBA J 01 - WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO ...... 95

4.13.2 FUNGU J 02 - KAMISHENI YA UTALII ................................................................... 96

Page 5: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

1

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

KWA MAWIZARA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

SURA YA KWANZA

1.0 UTANGULIZI

Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi

Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar, pamoja na Miradi mbali mbali ya maendeleo na baadae kutoa taarifa ya

ukaguzi wa hesabu hizo kwa mujibu wa masharti ya Katiba ya Zanzibar.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibu wa kuhakikisha kwamba

fedha zote zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar matumizi yake yameidhinishwa kisheria.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibu wa kikatiba kuidhinisha

matumizi hayo kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

na kufanya Ukaguzi wa hesabu angalau mara moja kila mwaka na kutoa taarifa juu

ya hesabu hizo.

1.1 MAJUKUMU YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA

SERIKALI

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibika kikatiba kukagua

hesabu za Taasisi za Serikali na baadae kutoa taarifa zake za ukaguzi huo kila

mwaka. Taarifa hizo zitaelezea hali halisi za mapato na matumizi ya fedha kutoka

Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na utekelezaji

wa sheria mbali mbali zikiwemo Sheria za fedha, Sheria za manunuzi na sheria

nyenginezo.

Kwa mujibu wa kifungu 112 (3) cha Katiba ya Zanzibar 1984, Mdhibiti na Mkaguzi

Mkuu wa Hesabu anawajibika kufanya yafuatayo:-

“a) Kuhakikisha kwamba fedha zote zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu

wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, matumizi yake yameidhinishwa

Page 6: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

2

kisheria na iwapo atatosheka kwamba masharti hayo yatatekelezwa ipasavyo basi

ataidhinisha fedha hizo zitolewe.

b) Kuhakikisha kwamba fedha zote ambazo matumizi yake yameidhinishwa

yanatokana na fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi

ya Zanzibar au fedha ambazo matumizi yake yameidhinishwa na sheria iliyotungwa

na Baraza la Wawakilishi, na ambazo zimetumika kwa ajili ya shughuli zilizohusika na

matumizi ya fedha hizo na kwamba matumzi hayo yamefanywa kwa kufuata idhini

iliyotolewa kuhusu matumizi hayo; na

c) Angalau mara moja kwa kila mwaka kufanya ukaguzi na kutoa taarifa juu ya

ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hesabu zinazosimamiwa na

watumishi wote wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hesabu za Mahkama zote za

Zanzibar, hesabu za Tume au vyombo vyengine vilivyoanzishwa na Katiba hii na

hesabu zozote zinazohusika na Baraza la Wawakilishi. ”

Ukaguzi wa hesabu umefanywa kwa kuzingatia miongozo na vigezo mbali mbali vya

ukaguzi ili kukidhi matarajio ya wadau wetu na wananchi kwa ujumla. Ofisi ya

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali inaendelea kufanya uchambuzi wa

njia bora zaidi kwa kufanya ukaguzi utakaoleta tija na kuongeza wigo na maeneo

yanayokaguliwa kwa lengo la kuimarisha utendaji na uwajibikaji katika sekta za

umma.

1.2 UPEO NA MADHUMUNI YA RIPOTI YA UKAGUZI

Ripoti hii imekusanya taarifa za ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar yakiwemo Mawizara na Taasisi mbali mbali za Serikali kwa kuzingatia

taarifa za mapato na matumizi ya kawaida, matumizi ya maendeleo pamoja na

michango mbali mbali kutoka kwa Washirika wa Maendeleo, kwa kipindi cha mwaka

ulioishia 30 Juni, 2017.

Ukaguzi ulifanyika kwa mujibu wa viwango vya kitaifa na kimataifa vya Ukaguzi na

kujiridhisha kwamba taarifa zitakazotolewa zitaonyesha sura halisi ili kutoa uhakika

kwamba taarifa za mapato na matumizi zimefuata Sheria, Kanuni na taratibu

zilizopo. Taarifa za hesabu zilizokaguliwa zilijumuisha hesabu za mwisho wa mwaka

pamoja na taarifa mbalimbali zinazohusiana na hesabu hizo.

Page 7: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

3

Miongoni mwa taarifa hizo ni kama zifuatazo:-

I. Mizania ya Hesabu

II. Taarifa ya Mapato na Matumizi

III. Taarifa kuhusu mabadiliko ya mtaji

IV. Taarifa ya mtiririko wa fedha

V. Taarifa ya uwiano na bajeti na kiasi halisi cha matumizi

VI. Sera za uhasibu na maelezo ya taarifa za fedha

Mabadiliko ya mifumo ya ukaguzi na uhasibu yanayotokea kwa mujibu wa viwango

vya kitaifa na kimataifa kumepelekea kuwepo na mafanikio makubwa katika

utendaji na uwajibikaji kwenye sekta za umma katika ukusanyaji wa mapato na

matumizi ya rasilimali za umma. Mafanikio hayo yametokana na kuimarika kwa

mfumo wa fedha pamoja na utekelezaji wa Sheria mbalimbali zikiwemo sheria za

fedha, Sheria ya Manunuzi na Ugavi, pamoja na Sheria nyenginezo na kupelekea

kuimarika kwa uwazi na uwajibikaji katika taasisi za Umma pamoja na utekelezaji wa

miradi mbali mbali ya maendeleo na kuleta tija kwa wananchi na kufanikisha lengo

la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuimarisha dhana nzima ya utawala bora.

1.3 NJIA ZILIZOTUMIKA KATIKA UKAGUZI

Njia mbali mbali za ukaguzi zilitumika katika Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar ambapo taratibu zifuatazo zilitumika: -

Kutoa barua za awali za maandalizi ya ukaguzi (Engagement Letter) kwa Taasisi

inayokaguliwa.

Kuangalia viashiria vya maeneo hatarishi katika taasisi zinazokaguliwa kwa lengo la

kupata uelewa wa mazingira ya taasisi hiyo ikiwemo mfumo wa udhibiti wa ndani na

kubaini viashiria vitakavyoathiri udhibiti wa ndani pamoja na utendaji wa taasisi.

Kuandaa mikakati ya ukaguzi kuanzia mpango wa awali hadi mpango mkuu wa

ukaguzi (Pre Planning, Strategic Planing and detailed Planning) itakayozingatia

muelekeo na upeo wa ukaguzi ambapo utaonyesha dira na dhamira nzima ya

ukaguzi huo.

Kufanya kikao cha kuanza kazi za ukaguzi (Entrance Meeting) pamoja na uongozi wa

Taasisi zinazokaguliwa.

Page 8: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

4

Kupitia na kuhakiki nyaraka mbalimbali pamoja na kupata taarifa kutoka kwa

wahusika ili kupata uelewa wa kazi za Taasisi zinazokaguliwa.

Kutumia njia na mbinu mbalimbali za ukaguzi kama ilivyoainishwa kwenye muongozo

wa ukaguzi (Regularity Audit Manual).

Kufanya kikao cha kumaliza ukaguzi (Exit Meeting) na uongozi wa Taasisi

inayokaguliwa baada ya kumaliza ukaguzi ambapo katika kikao hicho hupitia kwa

pamoja hoja zilizojitokeza wakati wa ukaguzi.

Kutoa ripoti ya ukaguzi ya awali (Management letter) kwa uongozi wa taasisi

inayokaguliwa itakayoainisha hoja za ukaguzi pamoja na mambo mbalimbali

yaliyobainika wakati wa ukaguzi na kutoa nafasi kwa uongozi kutoa majibu na

vielelezo kuhusiana na ripoti hiyo kwa muda unaotakiwa kwa mujibu wa sheria.

Kufuatilia majibu ya hoja za ukaguzi yaliyotolewa katika ripoti ya ukaguzi ya awali ili

kuweza kujiridhisha na majibu ya hoja hizo.

Kutoa ripoti ya ukaguzi ya mwisho kwa taasisi zinazokaguliwa inayoonesha hoja za

ukaguzi zilizotolewa katika ripoti ya ukaguzi ya awali ambazo hazikupata majibu

yenye kuridhisha kutokana na hoja zilizotolewa.

Kutoa ripoti kuu ya mwaka kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mujibu wa

Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

1.4 UMUHIMU WA UKAGUZI KATIKA KUIMARISHA UTAWALA BORA

Katika kuimarisha dhana nzima ya Utawala Bora suala la ukaguzi wa hesabu lina

umuhimu wa kipekee katika kuimarisha uwajibikaji katika utumiaji wa rasilimali za

umma. Lengo kuu la kufanya ukaguzi ni kuhakikisha kwamba fedha inayoidhinishwa

kwa mujibu wa sheria inatumika ipasavyo na kwa malengo yaliyokusudiwa kwa

maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla.

Kuimarika kwa utendaji wa kazi za ukaguzi kutapelekea kuongezeka na kuimarika

kwa uwazi na uwajibikaji katika mapato na matumizi ya fedha na rasilimali za umma

ili kuleta tija na ufanisi katika utekelezaji wa malengo yaliyopangwa na Serikali kwa

wakati uliopangwa na kwa kuzingatia hali ya uchumi wa nchi kwa ajili ya maendeleo

ya wananchi na taifa kwa ujumla.

Katika kufanikisha malengo ya Serikali ya kuimarisha utawala bora nchini, Ofisi ya

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imejipanga kutekeleza majukumu

Page 9: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

5

yake ya kikatiba kwa kuongeza ufanisi wa kazi pamoja na kuendelea na jitihada zake

za kuwajengea uwezo wafanyakazi kwa kuwapatia mafunzo na mbinu mbali mbali

za ukaguzi ili kwenda sambamba na mabadiliko ya mifumo ya uhasibu na ukaguzi

pamoja na mabadiliko ya kasi ya teknolojia duniani katika masuala ya udhibiti na

ukaguzi wa hesabu za Serikali.

1.5 MAFANIKIO YALIYOPATIKANA

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali katika kutekeleza

majukumu yake imebaini kwamba kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017

kumekuwa na mafanikio makubwa katika usimamizi wa ukusanyaji mapato pamoja

na uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali za umma. Hata hivyo bado msukumo

unahitajika kwa baadhi ya Taasisi kurekebisha dosari zilizobainika katika ukaguzi

uliofanyika.

Baadhi ya mafanikio hayo ni uwasilishaji wa Taarifa za hesabu za mwisho wa mwaka

ambapo kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017 imebainika kwamba

uwasilishaji wa taarifa za hesabu za Serikali umeimarika ambapo hesabu hizo

zimewasilishwa kwa wakati na kupelekea kuanza kwa kazi za ukaguzi kwa mujibu wa

utaratibu tuliojipangia.

Ukaguzi umebaini kwamba ufungaji wa hesabu za mwisho wa mwaka umeimarika

kwa kiasi kikubwa kutokana na mfumo wa udhibiti wa fedha uliopo, hata hivyo kwa

baadhi ya Taasisi imebainika kujitokeza kwa dosari katika ufungaji wa hesabu hizo.

Mafanikio haya yanatokana na uwajibikaji mzuri wa watendaji na kuendelea kufuata

ushauri na mapendekezo yanayotolewa na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa

Hesabu za Serikali juu ya udhibiti mzuri wa mapato na matumizi ya fedha na

rasilimali za Umma.

Aidha jitihada zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika

utekelezaji na ufuatiliaji wa ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

zimesaidia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa uwajibikaji katika utendaji wa

shughuli za Serikali na kupelekea kuimarika kwa Utendaji katika taasisi za Serikali.

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inachukuwa hatua mbali mbali katika kuimarisha

utawala bora kwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya

Page 10: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

6

mwaka 1984 na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kutekeleza maoni na ushauri

unaotolewa na kamati za kudumu za Baraza la Wawakilishi ikiwemo Kamati ya

Kudhibiti na Kuchunguza Hesabu za Serikali (PAC).

Jitihada hizi zimeleta mafanikio makubwa katika kuimarika kwa uwajibikaji na uwazi

katika utendaji na nidhamu katika matumizi ya rasilimali za umma na kupelekea

kuongezeka kwa kasi ya maendeleo nchini kutokana na kuimarika kwa hali ya

uchumi na kuleta tija kwa wananchi wa Zanzibar.

1.6 CHANGAMOTO

Katika mwaka 2016/2017 Ofisi imekabiliwa na changamoto mbali mbali zinazotokana

na mabadiliko ya mifumo ya uhasibu na ukaguzi kitaifa na kimataifa. Mabadiliko

hayo yamesababishwa na kukuwa kwa teknolojia duniani na kupelekea kuathiri kwa

baadhi ya miongozo ya ukaguzi inayotumiwa na Taasisi mbali mbali za ukaguzi

duniani ikiwemo Ofisi yetu.

Mabadiliko ya mara kwa mara katika mfumo wa malipo wa kielektroniki unaathiri

utendaji wa kazi za ukaguzi na kupelekea kuchelewa kukamilisha Ripoti kuu ya

Ukaguzi kwa wakati muafaka.

Katika kukabiliana na changamoto hiyo Ofisi inaendelea kuchukua hatua mbali mbali

za kimaendeleo na kuongeza wigo wa ukaguzi utakaoleta tija kwa maendeleo ya

wananchi wa Zanzibar na taifa kwa ujumla pamoja na kuendelea kuunga mkono

jitihada mbali mbali zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika

kuimarisha dhana nzima ya Utawala Bora na Uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali

za Umma kwa maendeleo endelevu.

Ofisi imejipanga kuongeza idadi ya wafanyakazi wenye taaluma katika kada

mbalimbali zitakazosaidia kazi za ukaguzi na kuongeza viwango vya taaluma ili

waweze kwenda sambamba na mabadiliko ya sayansi na teknolojia katika kada

mbali mbali ikiwemo uhasibu, ukaguzi na nyenginezo.

Aidha Ofisi itaendelea kutafuta njia na mbinu mbali mbali zitakazosaidia kufanya kazi

za ukaguzi kwa ufanisi zaidi pamoja na kuongeza vifaa vya teknolojia ya kisasa

vinavyokwenda sambamba na mabadiliko hayo.

Page 11: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

7

1.7 KAMATI ZA BARAZA LA WAWAKILISHI

Kamati za Baraza la Wawakilishi ni muhimu sana katika kuimarisha uwajibikaji na

kuleta ufanisi katika kufikia malengo ya Serikali iliyojipangia. Kamati hizi zinatoa

mchango mkubwa katika kujenga na kusimamia misingi ya Utawala Bora na

uwajibikaji wa matumizi ya rasilimali za umma.

Kutokana na umuhimu mkubwa wa Kamati za Baraza la Wawakilishi, Ofisi imekuwa

ikishirikiana na Kamati hizo katika kufuatilia utekelezaji wa bajeti ya Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na kuhakikisha kwamba taasisi za Serikali

zinatekeleza malengo waliyojipangia kama yalivyoanishwa katika Bajeti

zilizoidhinishwa na Baraza la Wawakilishi.

Aidha Kamati ya Kudhibiti na Kuchunguza Hesabu za Serikali (PAC) inatoa mchango

mkubwa katika kusimamia uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali za umma na

Kamati hii imekuwa ikishirikiana na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu katika

kufuatilia ripoti zake na kutoa ushauri na mapendekezo mbali mbali kwa Serikali kwa

lengo la kuimarisha ufanisi, uwazi na uwajibikaji kwa matumizi ya rasilimali hizo kwa

maendeleo ya wananchi wa Zanzibar.

Tunatoa shukurani za dhati kwa wenyeviti na wajumbe wa kamati zote za Baraza la

Wawakilishi kwa jitihada zao wanazochukuwa kusimamia uwajibikaji katika

kutekeleza majukumu yao kwa sekta mbali mbali.

Shukurani za pekee ziwaendee wenyeviti na wajumbe wa Kamati ya Kudhibiti na

kuchunguza Hesabu za Serikali (PAC) pamoja na Kamati ya Sheria,Utawala Bora na

Idara Maalum kwa jitihada mbali mbali wanazochukuwa katika kutoa maoni yao na

ushauri kwa Ofisi pamoja na Serikali ambapo ushauri, maoni na michango yao

imesaidia kuimarika kwa uwajibikaji na nidhamu ya matumizi ya rasilimali za umma.

1.8 SHUKURANI

Napenda kutoa shukurani kwa wote waliochangia kwa namna moja au nyengine

kuanzia kazi za ukaguzi, ufuatiliaji wa maeneo mbali mbali yaliyokaguliwa hadi

kukamilika kwa ripoti hii ya ukaguzi ya mwaka 2016/2017.

Nichukue fursa hii kumshukuru na kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa

Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein kwa jitihada zake

Page 12: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

8

anazozichukuwa katika kufuatilia Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za

Serikali kwa lengo la kusimamia uwajibikaji wa matumizi ya rasilimali za umma na

kupelekea kuimarisha utawala bora nchini.

Aidha, natoa shukurani zangu za dhati kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa

jitihada mbali mbali zinazochukuliwa katika kuimarisha Ofisi hii kiutendaji na

watendaji kwa ujumla. Vile vile napenda kuwapongeza na kuwashukuru

wafanyakazi wote wa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa

juhudi zao wanazochukuwa hadi kufanikisha kukamilika kwa ripoti hii kwa wakati.

Hali kadhalika, ninawashukuru viongozi na watendaji wakuu wa Serikali ya Mapinduzi

ya Zanzibar na watendaji wa taasisi mbali mbali za Serikali kwa mashirikiano mazuri

wanayotupa wakati wa kutekeleza kazi zetu za ukaguzi.

Kwa mara nyengine tena napenda kuzishukuru Kamati ya Kudhibiti na Kuchunguza

Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Sheria,Utawala Bora na Idara Maalum za

Baraza la Wawakilishi pamoja na wale wote waliochangia kwa njia moja au nyengine

katika kuleta maendeleo katika Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za

Serikali.

………………………………...

FATMA MOHAMED SAID

MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

ZANZIBAR

Page 13: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

9

SURA YA PILI

2.0 TAARIFA ZA FEDHA ZA MFUKO MKUU WA HAZINA YA SERIKALI YA

MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

2.1 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI

2.1.1 Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Kwa kipindi cha mwaka 2016/2017 mapato yaliyokadiriwa kukusanywa ni jumla

ya shilingi 814.237 bilioni. Makadirio hayo yalitarajiwa kutoka katika vianzio mbali

mbali ikiwemo mikopo, misaada ya kibajeti na washirika wa maendeleo ambapo

jumla ya shilingi 455.137 bilioni zilitarajiwa kutoka ndani na jumla ya shilingi 326.1

bilioni zilitarajiwa kutokana na misaada ya kimaendeleo kutoka kwa washirika mbali

mbali wa maendeleo pamoja na mikopo ya ndani yenye jumla ya shilingi 33 bilioni.

Taarifa ya Matumizi

Kwa upande wa matumizi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilitarajia kutumia jumla

ya shilingi 841.48 bilioni ambazo shilingi 565.66 bilioni ni kwa kazi za kawaida na

shilingi 275.477 bilioni ni kwa kazi za maendeleo.

2.1.2 Mapato na Matumizi kwa kazi za Kawaida na Maendeleo kwa

mwaka wa fedha 2016/2017

2.1.3 Mapato ya kodi yaliyokusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania

(TRA)

Kwa mwaka 2016/2017 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilikadiriwa kukusanya

jumla ya shilingi 135,052,783,000. Hadi kufikia 30 Juni 2017 makusanyo halisi

yalikua ni shilingi 257,925,155,000 ambapo ni sawa na asilimia 190.98 ya makadirio

ikiwa na ongezeko la shilingi 122,872,372,000 sawa na asilimia 90.98 ya ongezeko.

Ukaguzi umebaini kwamba makusanyo yameongezeka kwa mwaka 2016/2017 kwa

kukusanya jumla ya shilingi 257,925,155,000 ukilinganisha na mwaka wa fedha

2015/2016 ambapo makusanyo halisi yalikuwa shilingi 170,870,794,000 ikiwa na

ongezeko la shilingi 87,054,361,000 ambalo ni sawa na asilimia 51 ya ongezeko.

Page 14: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

10

2.1.4 Ukusanyaji wa mapato ya ndani Zanzibar

2.1.4.1 Mapato ya kodi yaliyokusanywa na Bodi ya Mapato Zanzibar

(ZRB)

Bodi ya Mapato Zanzibar ni taasisi iliyopewa mamlaka na jukumu la kukusanya

mapato ya ndani kisheria na inawajibika kukusanya mapato mbali mbali kupitia kodi

zilizowekwa na sheria zilizotungwa na Baraza la Wawakilishi.

Kwa mwaka 2016/2017 Bodi ya mapato Zanzibar ilikadiriwa kukusanya jumla ya

shilingi 259,676,299,000. Hadi kufikia 30 Juni 2017 mapato halisi yaliyokusanywa na

kuingizwa katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

yalikuwa ni shilingi 296,468,088,000 sawa na asilimia 114.2 ya makadirio ikiwa ni

ongezeko la shilingi 36,791,789,000 sawa na asilimia 14.2 ya ongezeko.

Ukaguzi umebaini kwamba makusanyo yameongezeka kwa mwaka 2016/2017 kwa

kukusanya jumla ya shilingi 296,468,088,000 ukilinganisha na mwaka wa fedha

2015/2016 ambapo makusanyo halisi yalikuwa shilingi 207,661,610,608 ikiwa na

ongezeko la shilingi 88,806,477,392 sawa na asilimia 30 ya ongezeko.

2.1.4.2 Ukusanyaji wa mapato katika Wizara na Taasisi za Serikali

Kwa kipindi cha mwaka 2016/2017 Wizara na Taasisi mbali mbali za Serikali

zilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 34,493,875,000 .Hadi kufikia 30 Juni 2017

makusanyo halisi yalikua ni shilingi 28,027,930,000 ambapo ni sawa na asilimia 81

ya makadirio hivyo kuonyesha upungufu wa makusanyo ya shilingi 6,465,945,000

sawa na asilimia 19 ya upungufu.

Aidha, ukaguzi umebaini kwamba makusanyo yameongezeka kwa mwaka 2016/2017

kwa kukusanya jumla ya shilingi 28,027,930,000 ukilinganisha na mwaka wa fedha

2015/2016 ambapo makusanyo halisi yalikuwa shilingi 22,848,931,000. Ongezeko

hilo ni shilingi 5,178,999,000 ambalo ni sawa na asilimia 22.7 .

Kuongezeka kwa makusanyo kumetokana na jitihada mbali mbali zinazochukuliwa na

Serikali katika kuimarisha usimamizi wa ukusanyaji wa mapato.

Page 15: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

11

2.1.5 Taarifa ya matumizi ya kazi za kawaida

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017 Serikali ilikadiria kutumia kiasi cha

shilingi 565.66 bilioni kwa ajili ya matumizi ya kazi za kawaida kutoka Mfuko Mkuu

wa Hazina ya Serikali ambapo jumla ya shilingi 491.6 bilioni zimetumika kwa kazi

mbali mbali za kawaida sawa na asilimia 86.90 ya makadirio, ikiwa na upungufu wa

shilingi 74.06 bilioni sawa na asilimia 13.10 ya makadirio.

2.1.6 Taarifa ya matumizi ya kazi za maendeleo

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017 Serikali ilikadiria kutumia kiasi cha

shilingi 275.477 kwa ajili ya matumizi ya kazi za maendeleo kutoka Mfuko Mkuu wa

Hazina ya Serikali ambapo jumla ya shilingi 275.477 zimetumika kwa kazi mbali

mbali za maendeleo sawa na asilimia 100 ya makadirio.

2.1.7 Taarifa ya jumla ya matumizi ya Serikali

2.1.7.1 Matumizi ya Kawaida

Matumizi ya Serikali kwa ujumla kwa mwaka 2016/2017 ilikuwa kama ifuatavyo: -

Matumizi ya kawaida yameongezeka kutoka shilingi 402,446,410,000 kwa mwaka wa

fedha 2015/2016 hadi kufikia shilingi 491,600,000,000 kwa mwaka 2016/2017

kukiwa na ongezeko la shilingi 89,153,590,000 sawa na asilimia 22.15 ya ongezeko.

2.1.7.2 Matumizi ya Maendeleo

Matumizi ya maendeleo yameongezeka kutoka shilingi 37,823,042,000 kwa mwaka

wa fedha wa 2015/2016 hadi kufikia shilingi 275,477,000,000 kwa mwaka wa fedha

2016/2017 kwa kiasi cha ongezeko la shilingi 237,653,958,000 ikiwa ni sawa na

asilimia 628.33 .

Aidha, ukaguzi umebaini kwamba kwa ujumla matumizi ya Serikali yameongezeka

kutoka shilingi 440,269,452,000 kwa mwaka wa fedha 2015/2016 hadi kufikia

shilingi 767,077,000,000 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kwa kiasi cha ongezeko la

shilingi 326,807,548,000 sawa na asilimia 74.22 ya ongezeko.

Page 16: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

12

Uchambuzi wa matumizi hayo ni kama ifuatavyo: -

Matumizi

ya Serikali

2015/2016

(TSH)

2016/2017

(TSH)

Ongezeko/

(Upungufu)

(TSH)

Ongezeko /

(Upungufu)

(%)

Matumizi ya

kawaida

402,446,410,000 491,600,000,000 89,153,590,000 22.15

Matumizi ya

Maendeleo

37,823,042,000 275,477,000,000 237,653,958,000 628.33

Jumla 440,269,452,000 767,077,000,000 326,807,548,000

2.1.8 Taarifa ya Deni la Serikali

Ukaguzi umebaini kwamba deni la Serikali katika kipindi cha mwaka wa fedha

uliyoishia 30 Juni, 2017 limefikia shilingi 403,300,000,000 ambalo linajumuisha deni

la ndani la shilingi 129,700,000,000 na deni la nje la shilingi 273,600,000,000 kama

inavyoonekana hapo chini: -

Deni la

Serikali

2015/2016

(TSH)

2016/2017

(TSH)

Ongezeko

(TSH)

Ongezeko

(%)

Deni la

Ndani

116,952,746,000 129,700,000,000 12,747,254,000 10.90

Deni la Nje 268,636,088,000 273,600,000,000 4,963,912,000 1.85

Jumla 385,588,834,000 403,300,000,000 17,711,166,000

Page 17: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

13

SURA YA TATU

3.0 MAMBO YALIYOBAINIKA KATIKA UKAGUZI KWA MWAKA WA FEDHA

2016/2017

3.1 Utekelezaji wa Hoja za Ukaguzi uliopita wa Mwaka wa Fedha

2015/2016

Utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa katika ripoti ya mwaka 2015/2016

imebainika kwamba Wizara za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zimechukuwa hatua

mbali mbali katika kurekebisha dosari za kiutendaji na kupelekea kuimarika kwa

uwekaji wa kumbukumbu na ufungaji wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa wakati

muafaka.

Kutokana na tathmini ya utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa katika hoja za

ukaguzi za mwaka 2015/2016 zilizotolewa kwa Wizara mbali mbali tumebaini

kwamba mapendekezo na ushauri uliotolewa umefanyiwa kazi na kuonesha

kuimarika kwa nidhamu ya matumizi ya fedha na rasilimali za umma na kupelekea

kuleta ufanisi katika utekelezaji wa malengo ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali itaendelea kutoa ripoti za

ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kutoa ushauri na

mapendekezo mbali mbali katika uwajibikaji na usimamizi wa mapato na matumizi

ya rasilimali za umma kwa lengo la kuimarisha dhana nzima ya utawala bora na

kuimarisha uchumi wa nchi kwa maslahi ya wananchi wa Zanzibar .

Tunapongeza juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika

kusimamia nidhamu ya matumizi ya fedha na rasilimali za umma na kupelekea

kuimarika kwa utendaji na uwajibikaji katika Taasisi za umma.

3.2 Uwasilishaji wa hesabu za mwisho wa mwaka wa fedha 2016/2017

kwa ajili ya ukaguzi

Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017 imebainika kwamba uwasilishaji wa

taarifa za hesabu za Serikali umeimarika ambapo hesabu hizo zimewasilishwa kwa

wakati.

Page 18: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

14

Kwa mujibu wa kifungu namba 119(1) cha Sheria ya Usimamizi wa Fedha za Umma

Namba 12 ya mwaka 2016, Wizara na Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

zinatakiwa zitayarishe na ziwasilishe kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za

Serikali, hesabu za mwisho wa mwaka ndani ya miezi mitatu baada ya kumalizika

mwaka wa fedha ambapo hesabu hizo zitajumuisha taarifa za mapato na matumizi

ya Taasisi hizo.

Hesabu za mwisho wa mwaka wa fedha 2016/2017 zilizowasilishwa kwa ajili ya

ukaguzi ni kama ifuatavyo: -

Nam Fungu Wizara/Taasisi Tarehe iliyowasilishwa kwa

ukaguzi

2015/2016 2016/2017

1 A 01 Ofisi ya Rais na Mwenyekiti

wa Baraza la Mapinduzi

21/09/2016 26/09/2017

2 A 02 Ofisi ya Rais Baraza la

Mapinduzi – BLM

17/08/2017 28/09/2017

3 C 01 Afisi ya Makamo wa Pili wa

Rais

9/10/2017 27/09/2017

4 C 02 Baraza la Wawakilishi 03/10/2016 29/09/2017

5 C 03 Tume ya Uchaguzi 27/09/2016 29/09/2017

6 C 04 Tume ya Kitaifa ya Kuratibu

na Udhibiti wa Dawa za

kulevya.

30/09/2016 29/09/2017

7 C 05 Tume ya Ukimwi 30/09/2016 29/09/2017

8 D 01 Wizara ya Nchi (OR) Tawala

za Mikoa,Serikali za Mitaa na

Idara Maalum

30/09/2016 28/09/2017

Page 19: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

15

9 D 02 Jeshi la Kujenga Uchumi –

JKU

30/092016 29/09/2017

10 D 03 Chuo cha Mafunzo 30/09/2016 26/09/2017

11 D 04 Kikosi cha KMKM 27/09/2016 29/09/2017

12 D 05 Kikosi cha Zimamoto na

Uokozi

15/08/2016 28/09/2017

13 D 06 Kikosi cha Valantia 27/09/2016 28/09/2017

14 D 07 Mkoa wa Mjini Magharibi 29/09/2016 26/09/2017

15 D 08 Mkoa wa Kusini Unguja 29/09/2016 26/09/2017

16 D 09 Mkoa wa Kaskazini Unguja 23/09/2016 29/09/2017

17 D 10 Mkoa wa Kusini Pemba 28/09/2016 29/09/2017

18 D 11 Mkoa wa Kaskazini Pemba 20/09/2016 28/09/2017

19 D 12 Afisi ya Usajili na Kadi za

Utambulisho

03/10/2016 29/09/2017

20 F 01 Wizara ya Fedha na Mipango 29/09/2016 29/09/2017

21 F 02 Mfuko Mkuu wa Serikali 18/10/2016 22/01/2018

22 F 03 Tume ya Mipango 30/09/2016 26/09/2017

23 G 01 Wizara ya Katiba na Sheria 06/10/2016 29/09/2017

24 G 02 Mahkama Kuu 27/09/2016 25/09/2017

25 G 03 Afisi ya Mwanasheria Mkuu 30/09/2016 28/09/2017

26 G 04 Afisi ya Mkurugenzi wa

Mashtaka

29/09/2016 28/09/2017

27 G 05 Tume ya Kurekebisha Sheria 30/09/2016 29/09/2017

28 G 07 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa 29/09/2016 29/09/2017

Page 20: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

16

na Uhujumu Uchumi

29 G 08 Kamisheni ya Utumishi wa

Umma

28/09/2016 30/09/2017

30 G 09 Tume ya Utumishi Serikalini 28/09/2016 25/09/2017

31 H 01 Wizara ya Afya 30/09/2016 29/09/2017

32 H 02 Hospitali ya Mnazi Mmoja 30/09/2016 27/09/2017

33 J 01 Wizara ya Habari, Utalii,

Utamaduni na Michezo

29/09/2016 28/09/2017

34 J 02 Kamisheni ya Utalii 30/09/2016 29/09/2017

35 K 01 Wizara ya Elimu na Mafunzo

ya Amali

27/09/2016 28/09/2017

36 L 01 Wizara ya Kilimo, Maliasili ,

Mifugo na Uvuvi

27/09/2016 26/09/2017

37 N 01 Wizara ya Ardhi, Makaazi

,Maji na Nishati

03/10/2016 29/09/2017

38 P 01 Wizara ya Ujenzi

Miundombinu, Mawasiliano na

Usafirishaji

28/09/2016 28/09/2017

39 Q 01 Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,

Wazee, Vijana, Wanawake na

Watoto.

11/10/2016 28/09/2017

40 R 01 Wizara ya Biashara, Viwanda

na Masoko

03/10/2016 29/09/2017

41 Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi

“A”

23/09/2016 28/09/2017

42 Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi 23/09/2016 25/09/2017

Page 21: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

17

“B”

43 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya

Kaskazini ‘A’

6/10/2016 06/10/2017

44 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kati 23/09/2016 29/09/2017

45 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya

Kaskazini ‘B’

26/09/2016 21/09/2017

46 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya

Micheweni

28/09/2016 27/09/2017

47 Ruzuku Baraza la Mji Chake Chake 28/09/2016 02/10/2017

48 Ruzuku Baraza la Mji Mkoani 30/09/2016 28/09/2017

49 Ruzuku Baraza la Mji Wete 21/09/2016 29/09/2017

50 Ruzuku Baraza la Manispaa Mjini 31/10/2016 20/12/2017

51 Ruzuku Shirika la Huduma za

Maktaba

29/09/2016 29/09/2017

52 Ruzuku Mamlaka ya Usafiri Baharini 03/10/2016 29/09/2017

53 Ruzuku Bodi ya Mikopo ya Elimu ya

Juu Zanzibar

23/09/2016

11/09/2017

54 Ruzuku Bodi ya Uhaulishaji Ardhi

Zanzibar

30/09/2016 02/10/2017

55 Ruzuku Bodi ya Usajili wa

Wakandarasi

29/09/2016 28/09/2017

56 Ruzuku Wakala wa Maabara ya

Mkemia Mkuu Zanzibar

27/09/2016 12/09/2017

57 Ruzuku Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa

Serikali

3/10/2016 02/10/2017

Page 22: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

18

3.3 Utekelezaji wa Bajeti kwa Mwaka 2016/2017

Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2016/2017 umebaini kuimarika kwa

udhibiti katika ukusanyaji wa mapato na kupelekea kuongezeka kwa mapato

yanayokusanywa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia vyanzo mbali mbali.

Kuongezeka kwa makusanyo kumepelekea kuimarika kwa hali ya uchumi na

kuiwezesha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutekeleza mipango iliyojipangia kwa

ufanisi mkubwa.

Hali ya matumizi kwa taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilikuwa kama

ifuatavyo:-

Matumizi ya Kawaida

NAM

FUNGU

WIZARA/

TAASISI

MAKADIRIO

(SH)

MATUMIZI

HALISI (SH)

ASILI

MIA

ONGEZEKO/

(UPUNGUFU)

1 A 01 Ofisi ya Rais

na

Mwenyekiti

wa Baraza

la

Mapinduzi

4,998,200,000 5,115,085,859 102.3 116,885,859

2 A 02 Ofisi ya Rais

Baraza la

Mapinduzi –

BLM

1,492,000,000 1,403,455,900 94 (88,544,100)

3 C 01 Afisi ya 16,641,166,000 15,561,845,376 93.5 (1,079,320,624)

58 Ruzuku Baraza la Mitihani 29/09/2016 29/09/2017

59 Ruzuku Taasisi ya Viwango Zanzibar 13/01/2017 27/12/2017

60 Ruzuku Hesabu za Huduma za Mfuko

Mkuu wa Serikali

18/10/2016 29/09/2017

Page 23: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

19

Makamo wa

Pili wa Rais

4 C 02 Baraza la

Wawakilishi

17,138,500,000 16,969,109,649 99 (169,390,351)

5 C 03 Tume ya

Uchaguzi

1,360,200,000 1,328,959,350 97.7 (31,240,650)

6 C 04 Tume ya

Kitaifa ya

Kuratibu na

Udhibiti wa

Dawa za

kulevya.

439,900,000 393,608,467 89.5 (46,291,533)

7 C 05 Tume ya

Ukimwi

1,230,728,838 721,560,550 58.6 (509,168,288)

8 D 01 Wizara ya

Nchi (OR)

Tawala za

Mikoa,Serik

ali za Mitaa

na Idara

Maalum

6,103,370,423 5,835,877,704 95.62 (267,492,719)

9 D 02 Jeshi la

Kujenga

Uchumi –

JKU

14,737,814,104 14,594,755,630 99 (143,058,474)

10 D 03 Chuo cha

Mafunzo

9,280,578,000 10,639,961,511 114.65 1,413,383,511

11 D 04 Kikosi cha

KMKM

16,771,028,863 16,768,147,664 99.9 (2,881,199)

12 D 05 Kikosi cha

Zimamoto

na Uokozi

5,068,080,000 5,853,106,302 115.49 785,026,302

13 D 06 Kikosi cha

Valantia

7,776,307,440 7,692,296,415 98.9 (84,011,025)

14 D 07 Mkoa wa

Mjini

1,760,247,600 1,696,799,440 96.39 (63,448,160)

Page 24: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

20

Magharibi

15 D 08 Mkoa wa

Kusini

Unguja

1,336,872,350 1,324,252,633 99.05 (12,619,717)

16 D 09 Mkoa wa

Kaskazini

Unguja

1,341,070,350 1,339,022,100 99.85 (2,048,250)

17 D 10 Mkoa wa

Kusini

Pemba

2,057,578,950 1,972,988,950 95.88 (84,590,000)

18 D 11 Mkoa wa

Kaskazini

Pemba

1,574,300,000 1,573,381,100 99.94 (918,900)

19 D 12 Afisi ya

Usajili na

Kadi za

Utambulisho

2,144,900,000 2,067,297,280 96.4 (77,602,719)

20 F 01 Wizara ya

Fedha na

Mipango

901,338,151,028 547,086,484,884 60.69 (354,251,666,144)

21 F 02 Huduma za

Mfuko Mkuu

wa Serikali

101,129,000,000 101,261,000,000 99.8 (168,000,000)

22 F 03 Tume ya

Mipango

2,157,905,540 2,023,631,312 93.78 (134,274,228)

23 G 01 Wizara ya

Katiba na

Sheria

6,374,731,096 5,239,880,863 82.19 (1,134,850,233)

24 G 02 Mahkama

Kuu

5,399,878,300 5,136,900,000 95.13 (262,978,300)

25 G 03 Afisi ya

Mwanasheri

a Mkuu

1,082,073,727 1,073,511,950 99.2 (8,561,777)

26 G 04 Afisi ya

Mkurugenzi

1,732,698,506 1,701,884,940 98.22 (30,813,566)

Page 25: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

21

wa

Mashtaka

27 G 05 Tume ya

Kurekebisha

Sheria

491,520,504 475,887,580 96.81 (15,632,924)

28 G 07 Mamlaka ya

Kuzuia

Rushwa na

Uhujumu

Uchumi

925,050,000 1,010,923,449 109.3 85,873,449

29 G 08 Kamisheni

ya Utumishi

wa Umma

739,950,000 735,104,050 99.35 (4,845,950)

30 G 09 Tume ya

Utumishi

Serikalini

412,500,000 410,924,050 99.62 (1,575,950)

31 H 01 Wizara ya

Afya

35,747,204,731 36,637,709,265 102.5 890,504,534

32 H 02 Hospitali ya

Mnazi

Mmoja

9,035,992,950 8,951,922,195 99.1 (84,070,755)

33 J 01 Wizara ya

Habari,

Utalii,

Utamaduni

na Michezo

5,907,995,250 5,402,585,264 91.44 (505,409,986)

34 J 02 Kamisheni

ya Utalii

1,112,900,000 1,091,556,976 98.08 (21,343,024)

35 K 01 Wizara ya

Elimu na

Mafunzo ya

Amali

101,895,896,988 98,894,150,775 97.05 (3,001,746,213)

36 L 01 Wizara ya

Kilimo,

Maliasili ,

Mifugo na

18,031,601,555 17,493,023,289 97.01 (538,578,266)

Page 26: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

22

Uvuvi

37 N 01 Wizara ya

Ardhi,

Makaazi

,Maji na

Nishati

9,555,400,000 6,276,825,948 65.68 (3,278,574,052)

38 P 01 Wizara ya

Ujenzi

Miundombin

u,

Mawasiliano

na

Usafirishaji

6,932,012,488

6,704,441,494

96.72

(227,570,994)

39 Q 01 Wizara ya

Kazi,Uwezes

haji, Wazee,

Vijana,

Wanawake

na Watoto

12,804,605,250

11,815,304,233

92.27

(989,301,017)

40 R 01 Wizara ya

Biashara,

Viwanda na

Masoko

3,884,401,000 3,712,962,621 95.59 (171,438,379)

Page 27: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

23

Matumizi ya Maendeleo

NAM FUNGU WIZARA/

TAASISI

MAKADIRIO

(SH)

MATUMIZI

HALISI (SH)

ASILI

MIA

ONGEZEKO/

(UPUNGUFU)

1 A 01 Ofisi ya Rais

na

Mwenyekiti

wa Baraza la

Mapinduzi

500,000,000 500,000,000 100 -

2 D 01 Wizara ya

Nchi (OR)

Tawala za

Mikoa,Serikal

i za Mitaa na

Idara

Maalum

20,272,299,657

20,210,913,847

99.7

(61,385,810)

3 D 04 Kikosi cha

KMKM

1,242,000,000 1,118,561,809 90.06 (123,438,191)

4 F 01 Wizara ya

Fedha na

Mipango

5,855,898,696 5,366,252,356 91.64 (489,646,340)

5 F 03 Tume ya

Mipango

1,255,211,545 1,255,211,545 100 -

6 G 01 Wizara ya

Katiba,

Sheria,

Utumishi wa

Umma na

Utawala

Bora

557,349,000 412,452,543 74 (144,896,457)

7 G 02 Mahkama

Kuu

38,900,000 37,582,000 96.61 (1,318,000)

8 G 03 Afisi ya

Mwanasheria

Mkuu

113,928,226 111,928,225 98.24 (2,000,001)

9 G 04 Afisi ya

Mkurugenzi

49,500,000 49,002,150 98.99 (497,850)

Page 28: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

24

wa Mashtaka

10 G 05 Tume ya

Kurekebisha

Sheria

35,000,000 21,371,420 61.06 (13,628,580)

11 G 07 Mamlaka ya

Kuzuia

Rushwa na

Uhujumu

Uchumi

11,250,000

8,692,201 77.26 (2,557,799)

12 G 08 Kamisheni ya

Utumishi wa

Umma

69,250,000 69,250,000 100 -

13 G 09 Tume ya

Utumishi

Serikalini

13,000,000 13,000,000 100 -

14 H 01 Wizara ya

Afya

18,448,166,270 7,336,411,625 39.76 (11,111,754,645)

15 J 01 Wizara ya

Habari,

Utalii,

Utamaduni

na Michezo

6,149,679,000

2,949,622,929

47.96

(3,200,056,071)

16 K 01 Wizara ya

Elimu na

Mafunzo ya

Amali

1,628,209,600 1,007,086,835 61.85 (621,122,765)

17 L 01 Wizara ya

Kilimo,

Maliasili ,

Mifugo na

Uvuvi

30,946,159,445 7,221,828,728 23.33 (23,724,330,717)

18 N 01 Wizara ya

Ardhi,

Makaazi

,Maji na

Nishati

47,900,786,000 35,349,867,225 73.8 (12,550,918,775)

Page 29: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

25

19 P 01 Wizara ya

Ujenzi

Miundombin

u,

Mawasiliano

na

Usafirishaji

145,294,472,364

7,474,121,864 5.14

(137,820,350,500)

20 Q 01 Wizara ya

Kazi,Uwezes

haji, Wazee,

Vijana,

Wanawake

na Watoto.

275,650,000

38,731,929

14.05

(236,918,071)

21 R 01 Wizara ya

Biashara,

Viwanda na

Masoko

3,000,000,000 2,345,987,028 78.19 (654,012,972)

3.4 Aina ya Hati za Ukaguzi

Hati za ukaguzi zinatolewa kutokana na matokeo ya ukaguzi ambapo hati hizo

huonesha aina ya hati inayotolewa kulingana na taarifa za hesabu zilizokaguliwa

zenye kuonyesha hali halisi ya hesabu hizo.

Aina tofauti ya hati za ukaguzi zinatolewa kwa mazingira tofauti kulingana na usahihi

wa hesabu zilizokaguliwa. Hati zenyewe ni kama zifuatazo:-

Hati inayoridhisha, Hati isiyoridhisha, Hati yenye mashaka na Hati mbaya.

Hati inayoridhisha

Hati ya aina hii inatolewa pale ambapo ukaguzi umejiridhisha kutokana na kukidhi

viwango vilivyotumika katika uandaaji wa hesabu, usahihi wa taarifa pamoja na

ushahidi uliopatikana wakati wa ukaguzi, na kupelekea kutoa sura sahihi na halisi ya

hesabu hizo.

Page 30: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

26

Hati isiyoridhisha

Hati ya aina hii inatolewa pale ambapo ukaguzi umejiridhisha kwamba taarifa za

hesabu zilizoandaliwa imebainika kuwa zina dosari kubwa na za umuhimu, dosari

ambazo zinaweza kusababisha taarifa za hesabu kupoteza uhalisia wake na hivyo

kutoaminiwa na kupelekea kutokuonyesha sura sahihi na halisi ya hesabu hizo.

Hati yenye shaka

Hati ya aina hii hutolewa baada ya Ukaguzi kujiridhisha kuwa, kulingana na ushahidi

wa kiukaguzi mambo yafuatayo yamejitokeza.

Taarifa za fedha zilizoandaliwa zina dosari kubwa ambazo zinaweza kuathiri hesabu

endapo zikichukuliwa aidha moja baada ya moja au kwa ujumla wake kwenye taarifa

hizo haitoweza kuleta sura sahihi na halisi za hesabu hizo.

Pale ambapo ukaguzi umeshindwa kupata taarifa, nyaraka na vielelezo vya kutosha

vitakavyosaidia kufanya ukaguzi na kuweza kutoa maoni ya ukaguzi kwa hesabu

hizo.

Kuwepo kwa kiasi kikubwa cha mapato na matumizi yasiyokua na nyaraka muhimu

na kufanya matumizi bila ya kuwa na kibali halali au matumizi ya mapato ambayo

hayakuidhinishwa kutumika.

Kutozingatiwa kwa sheria na kanuni mbali mbali ambapo kunapelekea madhara

makubwa ambayo yanaweza kusababisha kutokutoa sura sahihi na halisi ya hesabu

hizo kwa mfano, kuwa na vitu ambavyo vilitakiwa kuripotiwa kwenye taarifa za

hesabu lakini havikuripotiwa na manunuzi ya vifaa hayakufuata sheria na kanuni za

manunuzi.

Kufanya matumizi ambayo hayakuleta tija kwa taasisi husika.

Kutofanyika kwa usuluhisho wa benki hali inayopelekea kushindwa kupata usahihi

wa salio la fedha mwishoni mwa mwaka wa fedha.

Hati mbaya

Hati hii hutolewa pale ambapo ukaguzi umeshindwa kupata nyaraka na vielelezo vya

kutosha wakati wa ukaguzi ili kuweza kutoa maoni ya ukaguzi kutokana na

Page 31: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

27

mapungufu yaliyojitokeza na kushindwa kugundua mambo ambayo yanaweza

kusababisha madhara makubwa katika Taasisi.

Hati zilizotolewa ni kama ifuatavyo: -

Nam Fungu Wizara/Taasisi Aina ya Hati iliyotolewa

1 A 01 Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa

Baraza la Mapinduzi

Hati inayoridhisha

2 A 02 Ofisi ya Rais Baraza la

Mapinduzi – BLM

Hati inayoridhisha

3 C 01 Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais Hati inayoridhisha

4 C 02 Baraza la Wawakilishi Hati inayoridhisha

5 C 03 Tume ya Uchaguzi Hati inayoridhisha

6 C 04 Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na

Udhibiti wa Dawa za kulevya.

Hati inayoridhisha

7 C 05 Tume ya Ukimwi Hati inayoridhisha

8 D 01 Wizara ya Nchi (OR) Tawala za

Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara

Maalum

Hati inayoridhisha

9 D 02 Jeshi la Kujenga Uchumi – JKU Hati inayoridhisha

10 D 03 Chuo cha Mafunzo Hati inayoridhisha

11 D 04 Kikosi cha KMKM Hati inayoridhisha

12 D 05 Kikosi cha Zimamoto na Uokozi Hati inayoridhisha

13 D 06 Kikosi cha Valantia Hati inayoridhisha

14 D 07 Mkoa wa Mjini Magharibi Hati inayoridhisha

15 D 08 Mkoa wa Kusini Unguja Hati inayoridhisha

Page 32: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

28

16 D 09 Mkoa wa Kaskazini Unguja Hati inayoridhisha

17 D 10 Mkoa wa Kusini Pemba Hati inayoridhisha

18 D 11 Mkoa wa Kaskazini Pemba Hati inayoridhisha

19 D 12 Afisi ya Usajili na Kadi za

Utambulisho

Hati inayoridhisha

20 F 01 Wizara ya Fedha na Mipango Hati inayoridhisha

21 F 02 Mfuko Mkuu wa Serikali Hati inayoridhisha

22 F 03 Tume ya Mipango Hati inayoridhisha

23 G 01 Wizara ya Katiba na Sheria Hati inayoridhisha

24 G 02 Mahkama Kuu Hati inayoridhisha

25 G 03 Afisi ya Mwanasheria Mkuu Hati inayoridhisha

26 G 04 Afisi ya Mkurugenzi wa

Mashtaka

Hati inayoridhisha

27 G 05 Tume ya Kurekebisha Sheria Hati inayoridhisha

28 G 07 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na

Uhujumu Uchumi

Hati inayoridhisha

29 G 08 Kamisheni ya Utumishi wa

Umma

Hati inayoridhisha

30 G 09 Tume ya Utumishi Serikalini Hati inayoridhisha

31 H 01 Wizara ya Afya Hati inayoridhisha

32 H 02 Hospitali ya Mnazi Mmoja Hati inayoridhisha

33 J 01 Wizara ya Habari, Utalii,

Utamaduni na Michezo

Hati inayoridhisha

34 J 02 Kamisheni ya Utalii Hati inayoridhisha

Page 33: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

29

35 K 01 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya

Amali

Hati inayoridhisha

36 L 01 Wizara ya Kilimo, Maliasili ,

Mifugo na Uvuvi

Hati inayoridhisha

37 N 01 Wizara ya Ardhi, Makaazi ,Maji

na Nishati

Hati inayoridhisha

38 P 01 Wizara ya Ujenzi Miundombinu,

Mawasiliano na Usafirishaji

Hati inayoridhisha

39 Q 01 Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,

Wazee, Vijana, Wanawake na

Watoto.

Hati inayoridhisha

40 R 01 Wizara ya Biashara, Viwanda na

Masoko

Hati inayoridhisha

41 Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi

“A”

Hati inayoridhisha

42 Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi

“B”

Hati inayoridhisha

43 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya

Kaskazini ‘A’

Hati inayoridhisha

44 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kati Hati inayoridhisha

45 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya

Kaskazini ‘B’

Hati inayoridhisha

46 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya

Micheweni

Hati inayoridhisha

47 Ruzuku Baraza la Mji Chake Chake Hati inayoridhisha

48 Ruzuku Baraza la Mji Mkoani Hati inayoridhisha

Page 34: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

30

49 Ruzuku Baraza la Mji Wete Hati inayoridhisha

50 Ruzuku Baraza la Manispaa Mjini Hati inayoridhisha

51 Ruzuku Shirika la Huduma za Maktaba Hati inayoridhisha

52 Ruzuku Mamlaka ya Usafiri Baharini Hati inayoridhisha

53 Ruzuku Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu

Zanzibar

Hati inayoridhisha

54 Ruzuku Bodi ya Uhaulishaji Ardhi

Zanzibar

Hati inayoridhisha

55 Ruzuku Bodi ya Usajili wa Wakandarasi Hati inayoridhisha

56 Ruzuku Wakala wa Maabara ya Mkemia

Mkuu Zanzibar

Hati inayoridhisha

57 Ruzuku Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa

Serikali

Hati inayoridhisha

58 Ruzuku Baraza la Mitihani Hati inayoridhisha

59 Ruzuku Taasisi ya Viwango Zanzibar Hati inayoridhisha

60 Ruzuku Hesabu za Huduma za Mfuko

Mkuu wa Serikali

Hati inayoridhisha

Page 35: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

31

SURA YA NNE

4.0 MATOKEO YA UKAGUZI KWA MWAKA 2016/2017

Katika ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 imebainika kwamba uwekaji wa

kumbukumbu na taarifa mbali mbali za hesabu ikiwemo fedha na rasilimali za umma

pamoja na udhibiti wa ndani .

Katika ukaguzi huo kulijitokeza dosari za kiutendaji kwa baadhi ya Wizara na Taasisi

za Serikali ambapo baadhi ya dosari ziliweza kurekebishwa na kupatiwa ufafanuzi

lakini kuna baadhi ya hoja za ukaguzi hazikuweza kupatiwa ufafanuzi hadi ukaguzi

unakamilika. Matokeo ya ukaguzi ni kama ifuatavyo:-

4.1 WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA

MAPINDUZI

4.1.1 FUNGU A 01 - OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA

MAPINDUZI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na

Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi umefanywa kwa kuzingatia Sheria,kanuni,

taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na

kimataifa.

Taarifa ya matumizi

Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa mwaka wa

fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 4,998,200,000 kwa kazi za

kawaida na jumla ya shilingi 500,000,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, Wizara imeingiziwa jumla ya shilingi 5,115,085,859 kwa

kazi za kawaida sawa na asilimia 102.3 ya makadirio na shilingi 500,000,000 kwa

kazi za maendeleo sawa na asilimia 100 ya makadirio.

Page 36: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

32

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais na

Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017

zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na

kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.1.2 FUNGU A 02 – OFISI YA RAIS BARAZA LA MAPINDUZI – BLM

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 1,492,000,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 1,403,455,900 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 94 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 37: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

33

4.2 WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA, SERIKALI ZA MITAA NA

IDARA MAALUM

4.2.1 FUNGU D 01 - WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA NA IDARA

MAALUM

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Wizara ya Nchi (OR) Tawala za

Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni,

taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na

kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Nchi (OR) Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara maalum kwa

mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia shilingi 6,103,370,423 kwa kazi za

kawaida na shilingi 20,272,299,657 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2017 Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa,

Serikali za Mitaa na Idara Maalum iliingiziwa na kutumia jumla ya shilingi

5,835,877,704 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 95.62 ya makadirio na shilingi

20,210,913,847 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 99.7 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Nchi (OR) Tawala za

Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni,

2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na

kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Nchi (OR) Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara

Maalum imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 38: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

34

4.2.2 FUNGU D 02 - JESHI LA KUJENGA UCHUMI (JKU)

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Jeshi la Kujenga Uchumi umefanywa

kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika

kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Jeshi la kujenga Uchumi lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 44,400,000 katika

kipindi cha mwaka 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi

45,300,000 zilikusanywa sawa na asilimia 101 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Jeshi la kujenga Uchumi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 lilikadiriwa kutumia jumla

ya shilingi 14,737,814,104 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 14,594,755,630 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambazo ni sawa na asilimia 99 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Jeshi la Kujenga Uchumi kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Jeshi la Kujenga Uchumi limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.3 FUNGU D 03 – CHUO CHA MAFUNZO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Chuo cha Mafunzo

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Chuo cha Mafunzo kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 60,578,000 katika kipindi

cha mwaka 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 30,500,000

zilikusanywa sawa na asilimia 50 ya makadirio.

Page 39: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

35

Taarifa ya Matumizi

Chuo cha Mafunzo kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 9,280,578,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 10,639,961,511 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambazo ni sawa na asilimia 114.65 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

4.2.3.1 Hati ya malipo iliyokosekana kwa ukaguzi shilingi

208,280,945.75

Ukaguzi umebaini kwamba jumla ya shilingi 208,280,945.75zimelipwa kutoka Mfumo

wa malipo wa Wizara ya Fedha kutoka Fungu la Chuo cha Mafunzo kwa

kumbukumbu ya malipo namba 17CR1004 katika mwezi wa Juni 2017.

Ukaguzi umeshindwa kupata hati ya malipo hayo ya shilingi 208,280,945.75ili

kuweza kuthibitisha uhalali wa malipo hayo.

Aidha maelezo pamoja na vielelezo vya malipo hayo havikupatikana kwa ukaguzi,

kufanya hivyo ni kwenda kinyume na Sheria ya Usimamizi wa Fedha za Umma

Nambari 12 ya mwaka 2016.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo cha Mafunzo kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Chuo cha Mafunzo kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.4 FUNGU D 04 - KIKOSI MAALUM CHA KUZUIA MAGENDO (KMKM)

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Kikosi cha KMKM umefanywa kwa

kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana

na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 40: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

36

Taarifa ya Matumizi

Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 16,771,028,863 kwa matumizi ya kazi za kawaida na

shilingi 1,242,000,000 kwa matumizi ya kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 16,768,147,664 ziliingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 99.9 ya makadirio na shilingi

1,118,561,809 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 90

ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kikosi cha Kuzuia Magendo kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Kikosi cha Kuzuia Magendo kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.5 FUNGU D 05 – KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOZI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Kikosi cha Zimamoto na Uokozi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Kikosi cha Zimamoto na Uokozi kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 21,084,000

kwa kipindi cha mwaka 2016/2017, hadi kufikia Juni 2017 jumla ya shilingi

21,250,000 zilikusanywa na kuingizwa katika Mfuko Mkuu ambapo sawa na asilimia

100.1 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Kikosi cha Zimamoto na Uokozi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 5,068,080,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 5,853,106,302 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambazo ni sawa na asilimia 115 ya makadirio.

Page 41: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

37

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kikosi cha Zimamoto na Uokozi

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Kikosi cha Zimamoto na Uokozi kimepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.6 FUNGU D 06 - KIKOSI CHA VALANTIA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Kikosi cha Valantia umefanywa kwa

kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana

na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Kikosi cha Valantia kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kilikadiriwa kukusanya jumla ya

shilingi 18,000,000.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 18,000,000 zimekusanywa sawa na

asilimia 100 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Kikosi cha Valantia kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 7,776,307,440 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 7,692,296,415 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 99 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kikosi cha Valantia kwa mwaka

wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Kikosi cha Valantia kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.7 OFISI YA USAJILI NA KADI ZA UTAMBULISHO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Ofisi ya Usajili na Kadi za Utambulisho

umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 42: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

38

Taarifa ya Matumizi

Ofisi ya Usajili na Kadi za Utambulisho kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 2,144,900,000 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni

2017 jumla ya shilingi 2,068,297,281 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida

ambayo ni sawa na asilimia 96.4 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Usajili na Kadi za

Utambulisho kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi

na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Ofisi ya Usajili na Kadi za Utambulisho imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.8 FUNGU D 07 – MKOA WA MJINI MAGHARIBI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Mkoa wa Mjini Magharibi

umefanywa kwa kuzingatia sheria,kanuni,taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Mkoa wa Mjini Magharibi ulikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 35,989,000 katika

kipindi cha mwaka 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 Mkoa wa Mjini Magharibi

ulikusanya jumla ya shilingi 20,332,000 sawa na asilimia 56 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Mkoa wa Mjini Magharibi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ulikadiriwa kutumia jumla

ya shilingi 1,760,247,600 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 1,696,799,440 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 96 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Mjini Magharibi kwa

Page 43: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

39

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mkoa wa Mjini Magharibi umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.9 FUNGU D 08 – MKOA WA KUSINI UNGUJA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Mkoa wa Kusini Unguja umefanywa

kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika

kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Mkoa wa Kusini Unguja kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ulikadiriwa kutumia jumla

ya shilingi 1,336,872,350 kwa matumizi ya kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni

2017, kiasi cha shilingi 1,324,252,633 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida

sawa na asilimia 99 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kusini Unguja kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mkoa wa Kusini Unguja umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.10 FUNGU D 09 – MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Mkoa wa Kaskazini Unguja

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ulikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 1,341,070,350 kwa ajili ya matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 1,339,022,100 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 99.85 ya makadirio.

Page 44: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

40

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mkoa wa Kaskazini Unguja umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.11 FUNGU D 10 – MKOA WA KUSINI PEMBA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Mkoa wa Kusini Pemba umefanywa

kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika

kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Mkoa wa Kusini Pemba kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ulikadiriwa kutumia jumla

ya shilingi 2,057,578,950 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 1,972,988,950 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 95.88 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kusini Pemba kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mkoa wa Kusini Pemba umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.12 FUNGU D 11 - MKOA WA KASKAZINI PEMBA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Mkoa wa Kaskazini Pemba

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 45: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

41

Taarifa ya Matumizi

Mkoa wa Kaskazini Pemba kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ulikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 1,574,300,000 kwa ajili ya matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 1,573,381,100 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 99.94 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kaskazini Pemba kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mkoa wa Kaskazini Pemba umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni 2017.

4.2.13 BARAZA LA MANISPAA MJINI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Baraza la Manispaa Mjini umefanywa

kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika

kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Baraza la Manispaa Mjini lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 4,532,474,000

kutoka katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 5,218,869,414 zilikusanywa na Baraza

sawa na asilimia 113 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Manispaa Mjini lilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 4,532,474,000 kwa

kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 5,333,234,047

zimetumika kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 118 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Manispaa Mjini kwa

Page 46: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

42

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Manispaa Mjini limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.14 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI - A

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Baraza la Manispaa Magharibi - A

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Baraza la Manispaa Magharibi - A lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

500,000,000 kutoka katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha

2016/2017.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 557,402,000 zilikusanywa na Baraza sawa

na asilimia 111 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Manispaa Magharibi - A lilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 499,006,000

kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 490,584,671

zimetumika kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 98 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Manispaa Magharibi - A

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Manispaa Magharibi - A limepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.15 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI - B

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Baraza la Manispaa Magharibi - B

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 47: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

43

Taarifa ya Mapato

Baraza la Manispaa Magharibi - B lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

1,402,703,098 kutoka katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha

2016/2017.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 1,373,449,767 zilikusanywa na Baraza

sawa na asilimia 98 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Manispaa Magharibi - B lilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 1,402,703,098

kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 1,391,504,233

zimetumika kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 99 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Manispaa Magharibi - B

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Manispaa Magharibi - B limepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.16 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI ‘A’ UNGUJA.

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini

‘A’ Unguja umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja ilikadiriwa kukusanya jumla ya

shilingi 505,500,000 kutoka katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni 2017.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 329,323,463 zilikusanywa sawa na

asilimia 65 ya makadirio.

Page 48: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

44

Taarifa ya Matumizi

Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja kwa mwaka wa fedha 2016/2017

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 545,500,750 kwa kazi za kawaida .Hadi kufikia

30 Juni 2017 jumla ya shilingi 528,372,031 zimetumika kwa kazi za kawaida ambazo

sawa na asilimia 97 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya

Kaskazini ‘A’ Unguja kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura

sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘A’ Unguja imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.17 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI “B” UNGUJA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Halmashauri ya Wilaya ya

Kaskazini ‘B’ Unguja umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo

vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja ilikadiriwa kukusanya jumla ya

shilingi 560,500,000 kutoka katika vianzio vyake mbalimbali kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni 2017.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 672,779,781 zilikusanywa sawa na

asilimia 120 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “B” kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 341,932,180 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi

256,592,820 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 322,293,085 zimetumika kwa kazi za

kawaida sawa na asilimia 94 ya makadirio na shilingi 321,074,632 kwa kazi za

maendeleo sawa na asilimia 125 ya makadirio.

Page 49: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

45

Maoni ya ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya

Kaskazini ‘B’ Unguja kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura

sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘B’ Unguja imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.18 HALMASHAURI YA WILAYA YA KATI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Halmashauri ya Wilaya ya

Kati umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Kati Unguja ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

420,000,000 kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni 2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017

jumla ya shilingi 426,654,636 zilikusanywa sawa na asilimia 102 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Halmashauri ya Wilaya ya Kati kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 273,717,292 kwa kazi za kawaida na shilingi 146,282,708 kwa kazi

za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 397,929,568 zimetumika kwa kazi za

kawaida ambazo sawa na asilimia 145 ya makadirio na shilingi 76,579,331 kwa kazi

za maendeleo sawa na asilimia 52 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya Kati

Unguja kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Kati imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 50: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

46

4.2.19 BARAZA LA MJI CHAKE-CHAKE

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Baraza la Mji la Chake-

Chake umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Baraza la Mji Chake Chake lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 305,000,000

kutoka katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 320,524,600 zilikusanywa sawa na

asilimia 105 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Mji Chake Chake kwa mwaka wa fedha 2016/2017 lilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 196,070,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi

108,930,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 211,438,710 ziliingizwa na kutumika kwa

kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 107.84 ya makadirio na shilingi

103,154,994 kwa kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 94.7 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

4.2.19.1 Malipo yasiokuwa na vielelezo shilingi 10,230,720

Ukaguzi umebaini jumla ya shilingi 10,230,720 zimetumika kwa matumizi mbali

mbali lakini vielelezo husika havikuambatanishwa na hati za malipo ili kuweza

kuthibitisha uhalali wa malipo hayo.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na Sheria Nambari 12 ya Usimamizi wa Fedha na

mali za Umma ya mwaka 2016 ya Zanzibar.

Page 51: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

47

Malipo yenyewe ni kama ifuatavyo:-

Nam Hati Nam Hundi Nam Thamani Aliyelipwa Maelezo

6/8 001850 3,234,000 Abatter Auto

Parts

Ununuzi wa vifaa

kwa ajili ya magari

yanayopeleka fusi

Michakaini.

54/8 001887 354,000 Pemba

General

Supply &

Insurance

Agency.

Ikiwa ni malipo kwa

ajili ya kulipia Bima.

17/10 001929 529,200 Adult Training

Centre.

Malipo ya mwanzo

ya fedha kwa ajili

ya ununuzi wa vifaa

mbalimbali vya

kuandikia kwa

matumizi ya

B/M/Chake na

malipo ya

vitambulisho vya

madiwani.

12/12 002003 1,000,000 Zanzibar

Petroleum

Station.

Ununuzi wa mafuta

kwa matumizi ya

ofisi.

6/4

002195 665,420 Suleiman Seif

Rashid.

Ununuzi wa vifaa

mbalimbali kwa ajili

ya matumizi ya ofisi

ya B/M/Chake.

Page 52: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

48

18/2

002109 937500 Bakar Petrol

Station.

Ununuzi wa mafuta

kwa ajili ya kazi za

Baraza.

20/3

002156 950,600 Khamis

Yussuf

Hamad.

Ununuzi wa mabero

kwa ajili ya usafi

wa maeneo mbali

mbali.

34/3

002166 2,560,000 Hafidh Salum

Rashid.

Malipo kwa ajili ya

kutengeneza alama

za barabarani.

Jumla 10,230,720

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mji Chake Chake kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Mji Chake Chake limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.20 BARAZA LA MJI MKOANI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Baraza la Mji Mkoani

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 53: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

49

Taarifa ya Mapato

Baraza la Mji Mkoani lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 213,000,000 kutoka

katika vianzio vyake mbalimbali kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 201,357,614 zilikusanywa sawa na

asilimia 95 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Mji Mkoani kwa mwaka wa fedha 2016/2017 lilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 148,000,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida na shilingi 65,000,000 kwa

matumizi ya kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 135,146,100 zimetumika kwa kazi za

kawaida sawa na asilimia 91.32 ya makadirio na shilingi 66,105,263 zimetumika kwa

kazi za maendeleo sawa na asilimia 101.7 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mji Mkoani kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Mji Mkoani limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.21 BARAZA LA MJI WETE

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Baraza la Mji Wete

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Baraza la Mji Wete lilikadiriwa kukusanya shilingi 250,000,000 kwa mwaka wa fedha

2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 Baraza limekusanya jumla ya shilingi

138,528,048 sawa na asilimia 55.41 ya makadirio.

Page 54: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

50

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Mji Wete kwa mwaka wa fedha 2016/2017 lilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 150,000,000 kwa kazi za kawaida na shilingi 100,000,000 kwa kazi za

maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 121,578,048.73 zimetumika kwa kazi za

kawaida sawa na asilimia 81.1ya makadirio na shilingi 16,950,000 kwa kazi za

maendeleo sawa na asilimia 17 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

4.2.21.1 Malipo yasiokuwa na vielelezo shilingi 11,728,956

Ukaguzi umebaini kwamba jumla ya shilingi 11,728,956 zimetumika kwa matumizi

mbali mbali lakini vielelezo husika havikuambatanishwa na hati za malipo ili kuweza

kuthibitisha uhalali wa malipo hayo.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na Sheria Nambari 12 ya Usimamizi wa Fedha na

Mali za Umma ya mwaka 2016 ya Zanzibar.

Malipo yenyewe ni kama ifuatavyo:-

Nam. Nam. ya

Hati

Nam. ya

Hundi

Thamani Alielipwa Maelezo

57/9 668579 3,960,180 Moh’d Khalfan

Adeyoum

Ununuzi wa vifaa

vya usafi kwa kazi

za baraza.

20/3 668762 2,188,776 Chasasa S.

Station.

Ununuzi wa mafuta

kwa matumizi ya

ofisi ya Baraza.

16/4 668795 5,580,000 B/M/Wete Ununuzi wa vifaa

vya ujenzi kwa ajili

ya uezekaji wa skuli

ya Chasasa

sekondari.

Jumla 11,728,956

Page 55: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

51

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mji Wete kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Mji Wete limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

4.2.22 HALMASHAURI YA WILAYA YA MICHEWENI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Halmashauri ya Wilaya ya

Micheweni umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa

kukusanya jumla ya shilingi 150,000,000 kutoka katika vianzio vyake mbali mbali.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 141,111,662.97 zilikusanywa sawa na

asilimia 94 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni kwa mwaka wa fedha 2016/2017 lilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 92,500,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida na shilingi

54,500,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 90,664,465 zimetumika kwa kazi za

kawaida sawa na asilimia 98.02 ya makadirio na shilingi 25,036,310 kwa kazi za

maendeleo sawa na asilimia 45.94 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya

Micheweni kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Page 56: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

52

Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.3 WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI WA UMMA NA

UTAWALA BORA

4.3.1 FUNGU G 01 - WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI

WA UMMA NA UTAWALA BORA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Wizara ya Nchi (OR) Katiba,

Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora umefanywa kwa kuzingatia

Sheria,kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango

vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Nchi(OR) Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora ilikadiriwa

kukusanya jumla ya shilingi 85,604,004 katika kipindi cha mwaka wa fedha

2016/2017.Hadi kufikia 30 Juni 2017 Wizara imekusanya jumla ya shilingi

62,293,578 sawa na asilimia 73 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Nchi(OR) Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mwaka

wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 6,374,731,096 kwa kazi za

kawaida na jumla ya shilingi 557,349,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 5,239,880,863 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambayo ni sawa na asilimia 82.19 ya makadirio na shilingi

412,452,543 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 74

ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Nchi(OR) Katiba,

Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mwaka wa fedha unaoishia 30

Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa

na kimataifa.

Page 57: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

53

Kwa hali hiyo Wizara ya Nchi (OR) Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala

Bora imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.3.2 FUNGU G 02 - MAHKAMA KUU

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Mahkama Kuu umefanywa

kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika

kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Mahkama Kuu ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 301,776,000 katika kipindi cha

mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 Mahkama Kuu ilikusanya

jumla ya shilingi 392,453,470 sawa na asilimia 130 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Mahkama Kuu kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi

5,399,878,300 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi 38,900,000 kwa

matumizi ya kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 5,136,900,000 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 95 ya makadirio na jumla ya shilingi

37,582,000 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 97 ya

makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mahkama Kuu kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mahkama Kuu imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 58: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

54

4.3.3 FUNGU G 03 – OFISI YA MWANASHERIA MKUU

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 1,082,073,727 kwa kazi za kawaida na shilingi 113,928,226 kwa

kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 1,073,511,950 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambazo ni sawa na asilimia 99 ya makadirio na shilingi

111,928,225 zimetumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 98 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Ofisi ya Mwanasheria Mkuu imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.3.4 FUNGU G 04 – OFISI YA MKURUGENZI WA MASHTAKA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Ofisi ya Mkurugenzi wa

Mashtaka umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 1,782,198,506 . Kati ya hizo shilingi 1,732,698,206 kwa

kazi za kawaida na shilingi 49,500,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 1,071,884,940 ziliingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 98.2 ya makadirio na shilingi 49,002,150

zimetumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 99 ya makadirio.

Page 59: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

55

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.3.5 FUNGU G 05 – TUME YA KUREKEBISHA SHERIA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Tume ya Kurekebisha

Sheria umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Tume ya Kurekebisha Sheria kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 491,520,504 kwa matumizi ya kazi za kawaida na shilingi

35,000,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 475,887,580 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 97 ya makadirio na shilingi 21,371,420

zimetumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 61 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Kurekebisha Sheria kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Kurekebisha Sheria imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.3.6 FUNGU G 08 - KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Kamisheni ya Utumishi wa

Umma umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 60: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

56

Taarifa ya Matumizi

Kamisheni ya Utumishi wa Umma kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 739,950,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida na shilingi

69,250,000 kwa matumizi ya kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 Kamisheni ya Utumishi ya Umma iliingiziwa na kutumia

jumla ya shilingi 735,104,050 kwa matumizi ya kazi za kawaida sawa na asilimia 99

ya makadirio na shilingi 69,250,000 kwa matumizi ya kazi za maendeleo sawa na

asilimia 100 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kamisheni ya Utumishi wa Umma

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Kamisheni ya Utumishi wa Umma imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.3.7 FUNGU G 09 - TUME YA UTUMISHI SERIKALINI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Tume ya Utumishi Serikalini

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Katika kipindi cha fedha 2016/2017 Tume ya Utumishi Serikalini ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 412,500,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida na shilingi

13,000,000 kwa matumizi za kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 Tume ya Utumishi Serikalini iliingiziwa jumla ya shilingi

410,924,050 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 99.6 ya makadirio na shilingi

13,000,000 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 100 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Utumishi Serikalini kwa

Page 61: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

57

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Utumishi Serikalini imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.3.8 FUNGU G 07- MAMLAKA YA KUZUIA RUSHWA NA UHUJUMU WA

UCHUMI ZANZIBAR

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Mamlaka ya kuzuia Rushwa

na Uhujumu wa Uchumi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na

vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi kwa mwaka wa fedha

2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 925,050,000 kwa matumizi ya kazi za

kawaida na shilingi 11,250,000 kwa matumizi za kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi

imeingiziwa jumla ya shilingi 1,010,923,449 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia ya

109 ya makadirio na shilingi 8,692,201 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 77

ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu ya Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na

Uhujumu Uchumi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura

sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 62: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

58

4.4 WIZARA YA NCHI OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS

4.4.1 FUNGU C 01 - OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Ofisi ya Makamo wa Pili wa

Rais umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 793,766,000

katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017.Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya

shilingi 856,098,797 zilikusanywa sawa na asilimia 107.85 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais kwa mwaka wa fedha 2016/2017 lilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 16,641,166,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 15,561,445,376 zimeingizwa na

kutumika kwa kazi za kawaida ambazo ni sawa na asilimia 93.51 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.4.2 FUNGU C 02 - BARAZA LA WAWAKILISHI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Baraza la Wawakilishi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Wawakilishi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 lilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 17,138,500,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni 2017,

Page 63: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

59

jumla ya shilingi 16,969,109,649 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida

ambazo ni sawa na asilimia 99 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Wawakilishi kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Wawakilishi limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.4.3 FUNGU C 03 - TUME YA UCHAGUZI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Tume ya Uchaguzi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Katika mwaka wa fedha 2016/2017, Tume ya Uchaguzi ilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 1,360,200,000 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya

shilingi 1,328,959,350 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida sawa na

asilimia 97.7 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Uchaguzi kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Uchaguzi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

4.4.4 FUNGU C 05 – TUME YA UKIMWI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2015/2016 kwa Tume ya Ukimwi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 64: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

60

Taarifa ya Matumizi

Katika mwaka wa fedha 2016/2017, Tume ya Ukimwi ilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 1,230,728,838 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya

shilingi 721,560,550 zilitumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 58.6 ya

makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Ukimwi kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Ukimwi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

4.4.5 FUNGU C 04 - TUME YA KITAIFA YA KURATIBU NA UDHIBITI WA

DAWA ZA KULEVYA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Tume ya Kitaifa ya Kuratibu

na Udhibiti wa Dawa za Kulevya umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu

na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za Kulevya kwa mwaka wa fedha

2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 439,900,000 kwa matumizi ya

kawaida. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shilingi 393,608,467 zimeingizwa na

kutumika kwa kazi matumizi ya kazi za kawaida sawa na asilimia 89.5 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na

Udhibiti wa Dawa za Kulevya kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017

zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na

kimataifa.

Page 65: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

61

Kwa hali hiyo Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za Kulevya imepata

hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.5 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

4.5.1 FUNGU F 01 - WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Wizara ya Fedha na

Mipango umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Fedha na Mipango ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 842,378,200,000

kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kutoka vyanzo vyake vya kodi na visivokuwa vya

kodi. Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 491,213,563,612 zilikusanywa

ambazo ni sawa na asilimia 58 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 901,338,151,028 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi

5,855,898,696 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 547,086,484,884 zimeingizwa na

kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 61 ya makadirio, na shilingi

5,366,252,356 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 92

ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

4.5.1.1 DOSARI KATIKA UJENZI WA JENGO LA WIZARA TATU

GOMBANI PEMBA SHILINGI 7,424,606,610

Ukaguzi umebaini dosari za ukiukwaji wa taratibu za manunuzi kwa ajili ya kumpata

mjenzi wa jengo la wizara tatu liliopo Gombani Pemba ambapo wajenzi tofauti

walishindanishwa kwa vigezo mbali mbali vilivyowekwa katika Zabuni za ujenzi huo.

Kwa mujibu wa taarifa ya kamati ya tathmini ya Zabuni pamoja na Bodi ya Zabuni

juu ya mzabuni aliyeshinda alikuwa ni Kampuni ya M/S Rans Company Ltd ambae

Page 66: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

62

alikidhi vigezo vilivyowekwa kulingana na matakwa ya Zabuni ya ujenzi huo.

Ukaguzi umebaini kwamba kulikuwa na dosari ya kutokufuata maamuzi na ushauri

uliotolewa na kamati ya tathmini ya Zabuni. Dosari zenyewe ni kama zifuatazo:-

(a)Kutokufanyiwa kazi mapendekezo ya Kamati ya Tathmini ya Zabuni

pamoja na Bodi ya Zabuni juu ya Mzabuni alieshinda ujenzi wa Jengo la

Wizara tatu Gombani Pemba.

Ukaguzi uliofanyika ulipitia tathmini ya Zabuni iliyofanywa na kamati ya Zabuni ya

ujenzi wa jengo la Wizara tatu Gombani Pemba kwa wazabuni waliowasilisha taarifa

zao kwa mujibu wa vigezo vilivyowekwa na Wizara. Ukaguzi umebaini kwamba

kamati ya tathmini ilitoa mapendekezo ya kuwa Mshindi wa Zabuni ni Kampuni ya

M/S Rans Company Ltd kwa kukidhi vigezo vyote vitano vya awali na vigezo sita vya

mwisho ukilinganisha na wazabuni wengine.

Kwa mujibu wa vigezo vyote vilivyowekwa na Wizara Kati ya Wazabuni walioingia

katika mchakato wa tathmini ya Zabuni kwa gharama ya shilingi 6,372,856,090

ikijumuisha kodi ya ongezeko la thamani (VAT) na badala yake Zabuni hiyo

ikazawadiwa kwa Kampuni ya Quality Building Contractor Ltd aliyeshika nafasi ya

pili kwa gharama ya ujenzi ya shilingi 7,424,606,610 ikijumuisha kodi ya ongezeko la

thamani (VAT) kukiwa na tofauti ya shilingi 1,051,750,520.

Ukaguzi umebaini kwamba ujenzi huo utatumia jumla ya shilingi 7,424,606,610

badala ya shilingi 6,372,856,090 zilizokubaliwa na Bodi ya Zabuni kwa kampuni

iliyoshinda.Dosari hii imepelekea kuongezeka kwa gharama za ujenzi wa shilingi

1,051,750,520.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na kifungu 28 (1)(j) cha Sheria ya manunuzi na

uondoshaji wa mali za Umma nambari 12 ya mwaka 2016.

(b) Ongezeko la gharama ya Mshauri Elekezi wa Ujenzi wa jengo la Wizara

tatu Pemba( Cost Overrun)

Wizara ya Fedha imeingia mkataba na mshauri elekezi wa ujenzi wa jengo la Wizara

tatu Gombani Pemba kwa gharama za shilingi 69,000,000.

Page 67: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

63

Ukaguzi umebani kwamba gharama za mshauri elekezi imekuwa ikiongezeka hadi

kufikia shilingi 474,124,000 na kufanya ongezeko la shilingi 405,124,000 ambazo ni

zaidi ya gharama za awali.

Aidha imebainika kuwepo kwa ongezeko la mikataba na kupelekea kuengezeka kwa

gharama za mshauri elekezi bila ya kuwepo vielelezo vilivyoidhinishwa na Bodi ya

Zabuni ya Wizara ikiwemo mchanganuo wa gharama za usimamizi pamoja na taarifa

nyenginezo kuhusiana na mikataba hiyo.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na Sheria ya manunuzi na uondoshaji wa Mali za

Umma nambari 12 ya mwaka 2016.

Malipo yaliyolipwa kwa mshauri elekezi ni kama ifuatavyo:-

Nam Mkataba Gharama za

mshauri elekezi

Jumla ya gharama

1 Mkataba wa awali 69,000,000 69,000,000

2 Mkataba wa ziada

namba 1

307,243,000 376,243,000

3 Mkataba wa ziada

namba 2

97,881,000 474,124,000

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Fedha na Mipango

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Fedha na Mipango imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 68: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

64

4.5.2 FUNGU F 02 - HESABU ZA HUDUMA ZA MFUKO MKUU WA SERIKALI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa hesabu za Huduma za

Mfuko Mkuu wa Serikali umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na

vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Hesabu za Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017

ulikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 101,429,000,000. Hadi kufikia 30 Juni 2017

hesabu za Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali imeingiziwa na kutumia jumla ya

shilingi 101,261,000,000 sawa na asilimia 99.8 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

4.5.2.1 Malipo ya kiinua mgongo kwa ajili ya mirathi ambayo

hayakuthibitika kupokelewa Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana,

shilingi 38,110,347

Jumla ya shilingi 38,110,347 zimetolewa kutoka Hesabu ya Huduma za Mfuko Mkuu

wa Serikali kwa ajili ya malipo ya viinua mgongo kwa warithi wa marehemu mbali

mbali ambazo zimehaulishwa kwenda Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana kwa

ajili ya malipo kwa warithi mbali mbali.

Ukaguzi umeshindwa kuthibitisha kupokelewa kwa malipo hayo ya shilingi

38,110,347 kutoka Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana.

Malipo yenyewe ni kama ifuatavyo:-

Nam. Hati Nam. Tarehe Aliyelipwa Jumla ya Fedha

1. PD/181/8 30-Aug-16 K/Mtendaji

Kamisheni Ya

Wakfu Unguja

37,476,747

2. PD/185/8 30-Aug-16 K/Mtendaji

Kamisheni Ya

Wakfu Unguja

633,600

Jumla 38,110,347

Page 69: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

65

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Huduma za Mfuko Mkuu wa

Serikali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo hesabu za Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali zimepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.5.3 FUNGU F 03 - TUME YA MIPANGO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Tume ya Mipango

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Tume ya Mipango kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 2,157,905,540 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi

1,255,211,545 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 Tume ya Mipango imeingiziwa 2,023,631,312 na kutumika

kwa matumizi ya kazi za kawaida sawa na asilimia 93.7 ya makadirio na shilingi

1,255,211,545 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 100 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu Tume ya Mipango kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Mipango imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

4.5.4 OFISI YA MTAKWIMU MKUU WA SERIKALI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa

Serikali umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 70: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

66

Taarifa ya Matumizi

Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 1,312,000,000 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi

10,845,710,522 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali imeingiziwa jumla ya

shilingi 1,303,249,072 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 99.3 ya makadirio na

shilingi 4,502,435,515 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 41.5 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa

Serikali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.6 WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI

4.6.1 FUNGU L 01 - WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Wizara ya Kilimo, Maliasili,

Mifugo na Uvuvi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya

ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

2,817,599,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni

2017 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 3,995,027,986 sawa na asilimia 142 ya

makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2016/2017

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 18,031,601,555 kwa kazi za kawaida na shilingi

30,946,159,445 kwa kazi za maendeleo.

Page 71: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

67

Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 17,493,023,289 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 97 ya makadirio na jumla ya shilingi

7,221,828,728 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 23.3 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo

na Uvuvi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi imepata hati inayoridhisha

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.7 WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO

4.7.1 FUNGU R 01 - WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2015/2016 kwa Wizara ya Biashara,

Viwanda na Masoko umefanywa kwa kuzingatia Sheria,kanuni, taratibu na vigezo

vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

371,230,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni

2017 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 298,770,089 sawa na asilimia 80 ya

makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 3,884,401,000 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi

3,000,000,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla shilingi 3,712,962,621 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 95.6 ya makadirio na shilingi

2,345,987,028 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia

78 ya makadirio.

Page 72: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

68

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Biashara Viwanda na

Masoko kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko imepata hati inayoridhisha

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.7.2 TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS)

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Taasisi ya Viwango Zanzibar

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Taasisi ya Viwango Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kukusanya

jumla ya shilingi 1,979,000,000. Hadi kufikia 30 Juni 2017 Taasisi imekusanya jumla

ya shilingi 2,887,683,308 sawa na asilimia 146 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Taasisi ya Viwango Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 1,086,425,337 kwa kazi za kawaida, na shilingi 1,183,880,000 kwa

kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shilingi 863,361,585 ziliingizwa na kutumika kwa

kazi za kawaida sawa na asilimia 79.5 ya makadirio na shilingi 1,174,108,552

ziliingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 99.2 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

HESABU YA FEDHA ZA MAPATO NAMBA 051108000122

4.7.2.1 Risiti za mapato ambazo hazikurikodiwa katika daftari la

kuhifadhia Fedha Taslimu shilingi 75,748,950 na USD 11,220

Ukaguzi umebaini kwamba jumla ya shilingi 75,748,950 na USD 11,220

zimekusanywa kwa kupitia risiti mbali mbali za mapato lakini risiti za makusanyo

Page 73: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

69

hayo hazikurikodiwa katika daftari la kuhifadhia fedha taslimu (Cash Book). Kufanya

hivyo ni kwenda kinyume na Sheria ya Usimamizi wa Fedha namba 12 ya mwaka

2016.

Risiti zenyewe ni kama zifuatazo:-

Nam. Stakabadhi Nam.

Fedha zilizokusanywa

(Tsh)

Fedha zilizokusanywa

(USD)

1. 411 305,000 -

2. 412 303,750 -

3. 428 302,500 -

4. 429 271,000 -

5. 430 271,000 -

6. 431 302,500 -

7. 432 273,750 -

8. 433 273,750 -

9. 434 303,750 -

10. 435 303,750 -

11. 436 303,750 -

12. 437 547,000 -

13. 438 30,000 250

14. 439 851,250 -

15. 440 140,000 450

16. 441 577,000 -

17. 442 303,750 -

18. 443 30,000 125

19. 444 851,000 -

20. 445 303,750 -

21. 446 303,000 -

22. 447 303,000 -

23. 448 303,000 -

Page 74: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

70

24. 449 1,392,500 -

25. 450 576,250 -

26. 453 580,000 -

27. 01400 200,000 -

28. 01410 800,000 -

29. 01411 200,000 -

30. 01484 200,000 -

31. 01523 200,000 -

32. 058 303,700 -

33. 059 2,463,750 -

34. 067 1,198,500 -

35. 076 - 75

36. 082 120,000 -

37. 106 - 125

38. 107 30,000 195

39. 118 - 250

40. 126 20,000 500

41. 127 - 800

42. 128 1,125,000 -

43. 130 300,000 -

44. 131 - 500

45. 132 200,000 -

46. 352 – 400 17,155,000 -

47. 01051 – 01100 10,808,000 7,950

48. 01251- 01300 30,119,000 -

Jumla Tsh 75,748,950 USD 11,220

Page 75: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

71

4.7.2.2 Vitabu vya risiti ambavyo havikupatikana kwa ukaguzi

Ukaguzi umebaini kwamba Taasisi inatumia vitabu mbali mbali vya kukusanyia

mapato lakini baadhi ya vitabu hivyo havikupatikana kwa ukaguzi. Kufanya hivyo ni

kwenda kinyume na Sheria ya Usimamizi wa Fedha namba 12 ya mwaka 2016.

Vitabu vyenyewe ni kama vifuatavyo:-

Namba Kitabu Namba Maelezo

1. 151 - 200 Hakikupatikana

2. 701 - 750 Hakikupatikana

3 01301 - 013050 Hakikupatikana

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Taasisi ya Viwango Zanzibar kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Taasisi ya Viwango Zanzibar imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.8 WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

4.8.1 FUNGU K 01 – WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo

ya Amali umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

38,320,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017

Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 79,590,000 sawa na asilimia 207 ya makadirio.

Page 76: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

72

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa

kutumia jumla shilingi 101,895,896,988 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi kwa

1,628,209,600 kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shilingi 98,894,150,775 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 97 ya makadirio, na shilingi 1,007,086,835

zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 62 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

4.8.1.1 Dosari katika zabuni ya ununuzi wa madaftari

Ukaguzi umebaini Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali imetoa zabuni ya ununuzi

wa madaftari kwa ajili ya wanafunzi wa Unguja na Pemba kwa kampuni ya Sabah

Store kwa fedha zenye thamani ya shilingi 2,166,501,948.

Dosari zilizobainika katika utolewaji wa zabuni hiyo ni kama zifuatazo:-

Kutotangazwa kwa zabuni ya wazi ya kimataifa ili kuwepo na ushindani wa wazi kwa

wazabuni wa ndani na nje ya nchi kama inavyoelezwa katika kifungu 2 (4) cha

jadweli ya nne inayotajwa na kifungu namba 73(1) cha Sheria ya Manunuzi na

Uondoshaji wa Mali za Umma nambari 11 ya mwaka 2016.

Thamani ya zabuni husika inatakiwa itangazwe zabuni ya kimataifa kwa mujibu wa

maelezo ya jadweli la tano la sheria ya manunuzi na uondoshaji wa mali za umma

nambari 11 ya mwaka 2016.

Ukaguzi haukupata muhtasari wa kikao cha Bodi ya zabuni hivyo umeshindwa

kujiridhisha kuwa aina ya manunuzi yaliyofanywa kama iliidhinishwa na Bodi ya

Zabuni ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na kifungu namba 28 (1) (j) cha sheria ya

manunuzi na uondoshaji wa mali za umma nambari 11 ya mwaka 2016.

Page 77: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

73

Maelezo ya malipo hayo ni kama yanavyoonekana katika jadweli:-

Hati

namba

Hundi

namba

Jumla ya

fedha

iliyolipwa

Alielipwa Maelezo

OC/E/08

/06 -

05/06/20

17

TT 1,117,662,139 SABAH STORE Ikiwa ni malipo ya awamu ya

kwanza kwa ajili ya ununuzi wa

madaftari kwa ajili ya wanafunzi

wa skuli za Unguja na Pemba

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya

Amali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.8.2 MRADI WA ELIMU MBADALA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Mradi Wa Elimu Mbadala

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Mradi huu unasimamiwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali na kufadhiliwa na

mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Africa (AfDB), Benki ya Maendeleo ya nchi za

Kiarabu (Badea) kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Mradi huu

umeanzishwa kwa ajili ya kutekeleza malengo yafuatayo:-

Kutoa elimu mbadala kwa vijana wenye mahitaji maalum ambao hawakumaliza

elimu ya Lazima

Page 78: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

74

Kujenga uwezo kwa Taasisi zitakazotoa elimu stadi kwa vijana kwa ajili ya kuweza

kujiajiri, Taasisi hizo ni Mamlaka ya Mafunzo ya Amali,Chuo cha Maendeleo ya Utalii

Zanzibar, Taasisi ya Sayansi ya Karume,na Kamisheni ya Kazi ya Zanzibar

Taarifa ya matumizi

Mradi Wa Elimu Mbadala kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ulikadiriwa kutumia jumla

shilingi 26,308,217,285. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shilingi

4,186,778,666.53 zimeingizwa na kutumika sawa na asilimia 15.91 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

4.8.2.1 Udhaifu katika mfumo wa udhibiti wa ndani

Ukaguzi ulifanya tathmini juu ya uimara wa mfumo wa udhibiti wa ndani katika

mradi wa uimarishaji wa elimu mbadala na kubaini dosari ambazo hazikuwa

zimebainika na kitengo cha ukaguzi wa ndani wa Wizara.

Dosari hiyo ni kutolewa kwa hundi zenye thamani ya USD 24,771 na Tsh. 2,000,000

katika hesabu ya mradi bila ya kuingizwa katika daftari la kutunzia hesabu za mradi

(Cash Book) pamoja na maelezo na vielelezo kuhusiana na matumizi hayo.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria ya Usimamizi wa fedha za Umma

nambari 12 ya mwaka 2016 na kunaweza kupelekea kufanyika matumizi kinyume na

malengo yaliokusudiwa na mradi husika.

Hundi zilizobainika kutolewa ni kama zifuatazo:-

Nam Nambari ya

Hundi

Jumla ya fedha

(USD)

Alielipwa

1 000230 3,320 Hakuna maelezo

yaliopatikana

2 000231 5,890 Hakuna maelezo

yaliopatikana

3 000235 5,890 Hakuna maelezo

yaliopatikana

Page 79: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

75

4 000241 3,781 Hakuna maelezo

yaliopatikana

5 000234 5,890 Hakuna maelezo

yaliopatikana

Jumla USD 24,771

6 000601 TZS 2,000,000 Hakuna maelezo

yaliopatikana

Jumla TZS 2,000,000

4.8.2.2 Hati za malipo zilizokosekana kwa ukaguzi shilingi 102,671,186

Ukaguzi umebaini kufanyika kwa malipo ya shilingi 102,671,186 kwa ajili ya

kugharamia shughuli za mradi dosari iliyobainika na ukaguzi ni kukosekana kwa hati

za malipo hayo hivyo ukaguzi umeshindwa kuthibitisha asili na uhalali wa malipo

hayo.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria ya usimamizi wa fedha za umma

nambari 12 ya mwaka 2016. Maelezo ya malipo hayo yanaonekana katika jadweli:-

Tarehe ya malipo Alielipwa Nambari

ya hundi

Jumla ya fedha

iliyolipwa

14-07-16

Vocational Training 000545 12,561,700

29-07-16 Karume Institute of

Science 000453 6,030,000

01-08-16 Vocational Training 000455 12,690,000

14-09-16 Vocational Training 000470 14,060,000

19-9-2016 ALSD II 000467 2,500,000

23-09-16 Project Staff 000475 240,000

04-10-16 Income Tax

000487 533,086.30

Page 80: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

76

Department

31-10-16 Vocational Training 000497 5,474,000

04-11-16 ALSD II PROJECT 000603 1,190,000

03-12-16 ALSD II PROJECT 000611 6,200,000

14-12-16 ALSD II PROJECT 000614 3,970,000

10-01-17 ALSD II PROJECT 000625 662,400

19-01-17 ALSD II PROJECT 000632 2,480,000

19-01-17 ALSD II PROJECT 000632 1,520,000

24-01-17 ZANZIBAR PETROL 000635 5,865,000

01-02-17 Vocational Training 000638 10,715,000

10-02-17

Karume Institute of

Science 000639 9,180,000

10-02-17 Vocational Training 000641 4,510,000

10-02-17

Karume Institute of

Science 000641 2,290,000

Jumla 102,671,186

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mradi wa uimarishaji wa Elimu

Mbadala unaoishia Juni 30 2017 zinaonesha sura halisi na sahihi na kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa

Kwa hali hiyo Mradi wa Uimarishaji wa Elimu Mbadala umepata hati inayoridhisha

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 81: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

77

Mambo ya Kuzingatiwa

Bila ya kuathiri maoni ya Ukaguzi yaliotolewa hapo juu mambo yafuatayo ni ya

kuzingatiwa:-

Hati za Malipo zilizokosekana kwa Ukaguzi shilingi 100,171,186.

Hundi zilizotolewa bila ya kurekodiwa katika daftari la kutunzia hesabu za mradi

USD 24,771.

Kuchelewa kumalizwa kwa kazi ya ujenzi wa vituo vya Elimu Mbadala

Makunduchi na Daya Mtambwe.

4.8.3 BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya

Juu umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

1,073,725,000 katika kipindi cha mwaka 2016/2017. Hadi kufikia Juni 2017 Bodi ya

Mikopo ya Elimu ya Juu ilikusanya jumla ya shilingi 1,117,662,476 sawa na asilimia

104 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 6,119,080,000

kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shilingi 7,034,351,390

ziliingizwa na kutumika sawa na asilimia 115 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 82: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

78

4.8.4 MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Mamlaka ya Mafunzo ya

Amali Zanzibar umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya

ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Mamlaka ya Mafunzo ya Amali ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 1,288,010,000

kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 1,441,569,297.87

zimekusanywa sawa na asilimia 112 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Mamlaka ya Mafunzo ya Amali ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 1,288,010,000

kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 1,393,618,498

ziliingizwa na kutumika sawa na asilimia 113 ya makadirio na shilingi 37,658,063

zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mamlaka ya Mafunzo ya Amali

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mamlaka ya Mafunzo ya Amali imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.8.5 SHIRIKA LA HUDUMA ZA MAKTABA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Shirika la Huduma za

Maktaba umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Shirika la Huduma za Maktaba lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 365,570,000

katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 Shirika la

Huduma za Maktaba lilikusanya jumla ya shilingi 382,620,750 sawa na asilimia 105

ya makadirio.

Page 83: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

79

Taarifa ya Matumizi

Shirika la Huduma za Maktaba ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 355,230,000 kwa

kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shillingi 377,694,467 ziliingizwa

na kutumika sawa na asilimia 106 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Huduma za Maktaba

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Shirika la Huduma za Maktaba limepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.8.6 TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Taasisi ya Karume ya

Sayansi na Teknolojia umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo

vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

1,304,730 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017

Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia ilikusanya jumla ya shilingi

1,300,210,854 sawa na asilimia 99.9 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi

1,304,730 kwa kazi za kawaida.Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shillingi

1,302,175,290 ziliingizwa na kutumika sawa na asilimia 99.9 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Taasisi ya Karume ya Sayansi na

Teknolojia kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Page 84: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

80

Kwa hali hiyo Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia imepata hati inayoridhisha

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.8.7 BARAZA LA MITIHANI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Baraza la Mitihani

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Baraza la Mitihani lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 1,989,553,925 katika

kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 Baraza la Mitihani

lilikusanya jumla ya shilingi 2,036,114,025 sawa na asilimia 102 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Mitihani lilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 1,590,000,004 kwa kazi za

kawaida.Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shilingi 1,973,133,053 ziliingizwa na

kutumika sawa na asilimia 124 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mitihani kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Mitihani limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 85: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

81

4.9 WIZARA YA AFYA

4.9.1 FUNGU H 01 - WIZARA YA AFYA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Wizara ya Afya umefanywa

kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika

kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Afya ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 188,011,000 katika kipindi cha

mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 Wizara ilikusanya jumla ya

shilingi 147,307,173 sawa na asilimia 78 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi

35,747,204,731 kwa kazi za kawaida, na shilingi 18,448,166,270 kwa kazi za

maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 36,637,709,265 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 102.5 ya makadirio na shilingi 7,336,411,625

zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 39.8 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Afya kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Afya imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

4.9.2 FUNGU H 02 - HOSPITALI YA MNAZI MMOJA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Hospitali ya Mnazi Mmoja

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 86: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

82

Taarifa ya Mapato

Hospitali ya Mnazi mmoja ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 1,014,300,000

katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 Hospitali

ya Mnazi Mmoja ilikusanya jumla ya shilingi 449,803,544 sawa na asilimia 44 ya

makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Hospitali ya Mnazi Mmoja kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla

ya shilingi 9,035,992,950 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya

shilingi 8,951,922,195 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida sawa na

asilimia 99 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Hospitali ya Mnazi Mmoja kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Hospitali ya Mnazi Mmoja imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.9.3 WAKALA WA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Wakala wa Maabara ya

Mkemia Mkuu wa Serikali umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na

vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ilikadiriwa kukusanya jumla ya

shilingi 48,000,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30

Juni 2017 Wakala ilikusanya jumla ya shilingi 77,206,919 sawa na asilimia 161 ya

makadirio.

Page 87: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

83

Taarifa ya Matumizi

Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi kwa kazi za kawaida 574,500,000 na shilingi

500,000,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 562,721,705 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 97.95 na shilingi 828,172,020 zimeingizwa na

kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 166 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wakala wa Maabara ya Mkemia

Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura

sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.10 WIZARA YA ARDHI, MAKAAZI, MAJI NA NISHATI

4.10.1 FUNGU N 01 - WIZARA YA ARDHI, MAKAAZI, MAJI NA

NISHATI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Wizara ya Ardhi, Makaazi,

Maji na Nishati umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya

ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

6,100,000,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni

2017 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 4,514,632,801 sawa na asilimia 74 ya

makadirio.

Page 88: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

84

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati kwa mwaka wa fedha 2016/2017

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 9,555,400,000 kwa kazi za kawaida na jumla ya

shilingi 47,900,786,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, jumla ya shilingi 6,276,825,948 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 66 ya makadirio, na shilingi 35,349,867,225

zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 74 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na

Nishati kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati imepata hati inayoridhisha

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.10.2 BODI YA USAJILI WA WAKANDARASI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Bodi ya Usajili wa

Wakandarasi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya

ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Bodi ya Usajili wa Wakandarasi ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 510,144,000

katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017 kupitia vyanzo vyake vya mapato.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 438,448,000 sawa na asilimia 85.94 ya

makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Bodi ya Usajili wa Wakandarasi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 466,235,768 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni 2017 kiasi

cha shilingi 471,050,238.5 zimetumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 101.03

ya makadirio.

Page 89: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

85

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Bodi ya Usajili wa Wakandarasi

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Bodi ya Usajili wa Wakandarasi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.10.3 BODI YA UHAULISHAJI ARDHI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Bodi ya Uhaulishaji Ardhi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Bodi ya Uhaulishaji wa Ardhi Zanzibar ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

1,243,300,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017 kupitia vianzio tofauti

vya mapato. Hadi kufikia 30 Juni 2017 mapato halisi yaliyokusanywa ni shilingi

1,228,160,690 sawa na asilimia 99 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Bodi ya Uhaulishaji Ardhi Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 1,243,300,000 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia tarehe 30

Juni 2017 jumla ya shilingi 1,191,328,840 zimetumika kwa kazi za kawaida sawa na

asilimia 96 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Bodi ya Uhaulishaji Ardhi Zanzibar

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Bodi ya Uhaulishaji ardhi Zanzibar imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 90: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

86

4.11 WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI

4.11.1 FUNGU P 01 - WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA

USAFIRISHAJI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Wizara ya Ujenzi,

Mawasiliano na Usafirishaji umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na

vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

1,762,800,000 kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2017

Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 1,561,113,400 sawa na asilimia 88.6 ya

makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji kwa mwaka wa fedha 2016/2017

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 6,932,012,488 kwa kazi za kawaida na shilingi

145,294,472,364 kwa kazi za maendeleo. Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2017 jumla ya

shilingi 6,704,441,494 zimetumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 96.7 ya

makadirio na shilingi 7,474,121,864 zimetumika kwa kazi za maendeleo sawa na

asilimia 5 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

4.11.1.1 Mapato ambayo hayakupelekwa benki shilingi 29,929,000

Ukaguzi umebaini kwamba Idara ya Leseni imekusanya jumla ya shilingi 30,135,000

na kutumika kinyume na utaratibu.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na Sheria ya Usimamizi wa Fedha namba 12 ya

mwaka 2016.

Page 91: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

87

Mapato yenyewe ni kama ifuatavyo:-

MAKUSANYO YATOKANAYO NA NJIA ZA GARI

Tarehe ya makusanyo

Stakabadhi ya makusanyo

Kiasi kilichokusanywa

8/7/16 276397-276399 30,000

21/7 312407-429 70,000

28/7 323219-224 90,000

29/7 323225-227 30,000

12/8 339849-850 20,000

16/8 336613-616 40,000

24-26/8 445657-683 299,500

31/8 445699-720 20,000

31/8 449101-105 62,000

2/9 449113-118 70,000

23/9 449650-422651 40,000

12-17/10 505483-500 152,000

18/10 578501-523 230,000

22/10 549106-132 310,000

31/10 5491247-549142 80,000

30/10 07015-020 60,000

22/12 407028-037 100,000

27/12 407046-050 52,000

21/2 185440-446 72,000

4-5/1 406323-340 182,000

28/2 185772-750 90,000

15/3 460092-028 360,000

19/4 479884-887 40,000

Page 92: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

88

9/5 470075-050 62,000

5/6 196001-043 448,500

7/6 198101-139 591,000

8/6 198140-150 110,000

8/6 198401-425 250,000

Jumla 3,951,000

MAKUSANYO YATOKANAYO NA MAUZO YA VIBALI

Tarehe ya makusanyo Stakabadhi ya makusanyo

kiasi kilichokusanywa

4-5/7 291765-791 435,000

8/7 291794-520 105,000

8/12 291006-0026 315,000

12-14 291027-047 30,000

8-13/7 291006-0022 255,000

21-22/7 322554-578 375,000

27/7 322599-600 30,000

27-29/7 323051-074 36,000

4/8 337555-559 75,000

25-26/8 449201-221 105,000

22/9 439746-153 120,000

30/9 505774-785 50,000

12-19/10 518101-143 645,000

31/10 549989-997 119,000

20-21/11 406510-550 567,000

22/2 405001-026 405,000

1-6/1 233903-930 370,000

9/1 233931-950 271,000

Page 93: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

89

9/1 238901-918 254,000

11/1 238919-933 225,000

13/1 232352-360 122,000

19-20 231516-548 539,000

8/2 232796-800 165,000

16-21/2 186251-300 752,000

21-22/2 186451-467 255,000

24/2 186478-496 295,000

27-2/3 187901-932 482,000

13/4 461734-737 60,000

Jumla 7,457,000

MAKUSANYO YATOKANAYO NA MAUZO YA BEJI

Tarehe ya makusanyo

Stakabadhi ya makusanyo

Kiasi kilichokusanywa

4/8 337782-729 528,000

16/8 442301-336 432,000

25/8 449574-600 324,000

26/8 449159-188 384,000

31/8 446724-750 324,000

31/8 444901-907 84,000

30/9 505351-365 180,000

18/18 518251-275 384,000

20/10 550101-150 600,000

24/10 549851-894 528,000

27/10 080600-092 396,000

Page 94: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

90

28/10 05601-629 348,000

21/11 09796-379 396,000

25/11 06171-7190 240,000

28/11 06191-131 480,000

30/11 07230-659 360,000

7/12 408851-876 408,000

22/12 406693-177 420,000

4/1 405864-900 444,000

5/1 238601-633 372,000

27/1 233524-540 204,000

2/2 234887-900 168,000

20/1 186901-934 408,000

23/2 187551-580 360,000

28/2 188551-569 228,000

4/5 471179-185 84,000

8/5 471105-117 156,000

Jumla 9,240,000

MAKUSANYO YATOKANAYO NA MAUZO YA LESENI ZA UDEREVA

Tarehe ya makusanyo Stakabadhi ya makusanyo

Kiasi kilichokusanywa

4/10/16 71091 22,000

12/10 71099 22,000

18/10 71100 102,000

18/10 518451 102,000

18/10 518452 22,000

26/10 518453 22,000

27/10 518454 22,000

Page 95: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

91

23/11 518464 22,000

28/11 518465 22,000

2/3 518492 22,000

Jumla 470,000

MAKUSANYO YATOKANAYO NA MAUZO YA MAFUNZO YA UDEREVA

Tarehe ya makusanyo Stakabadhi ya makusanyo

Kiasi kilicho kusanywa

21-22/7 323751-800 418,000

28/7 339030-639 312,000

29/7 339627-708 292,000

10/8 440851-887 376,000

16/8 442201-238 308,000

17/8 442240-450 104,000

25/8 449323-350 234,000

5/9 448183-810 226,000

6/9 448811-850 294,000

16/9 422851-856 58,000

19/9 448578-900 374,000

27/9 505563-600 426,000

12/10 518155-200 468,000

20/10 549372-400 274,000

28/10 08451-500 482,000

31/10 09301-317 150,000

21/11 05266-300 330,000

28/11 409901-950 431,000

5/1 233951-950 338,000

13/2 185251-300 418,000

21/2 188001-050 218,000

Page 96: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

92

23/2 188201-243 368,000

27/2 188805-850 412,000

28/2 187951-976 154,000

11/3 462521-550 280,000

21/3 465001-027 270,000

13/6 194008-4050 490,000

23/6 355357-383 306,000

Jumla 8,811,000

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na

Usafirishaji kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.11.2 MAMLAKA YA USAFIRI BAHARINI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Mamlaka ya Usafiri Baharini

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Mamlaka ya Usafiri Baharini ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 3,642,689,600

kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 Mamlaka imekusanya

jumla ya shilingi 3,565,177,186 sawa na asilimia 97 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Mamlaka ya Usafiri Baharini kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 3,169,414,001 kwa kazi za kawaida.

Page 97: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

93

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 3,169,414,001 zimetumika kwa kazi za

kawaida sawa na asilimia 100 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mamlaka ya Usafiri Baharini kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mamlaka ya Usafiri Baharini imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

4.12 WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI, WAZEE , VIJANA, WANAWAKE NA

WATOTO

4.12.1 FUNGU NAMBA Q 01 - WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI,

WAZEE, VIJANA, WANAWAKE NA WATOTO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji,

Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni,

taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na

kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto ilikadiriwa

kukusanya jumla ya shilingi 487,400,000 kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 jumla ya shilingi 583,466,000 zimekusanywa, sawa na

asilimia 120 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017, Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee,

Vijana, Wanawake na Watoto ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 12,804,605,250

kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi 275,650,000 kwa kazi za

maendeleo.

Page 98: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

94

Hadi kufikia 30 Juni 2017 kiasi cha shilingi 11,815,304,233 ziliingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 92.3 ya makadirio, na shilingi 38,731,929 kwa

kazi za maendeleo sawa na asilimia 14 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

HESABU YA MAENDELEO NAMBA 9928190604

4.12.1.1 Uhaulishaji wa fedha shilingi 233,407,255

Ukaguzi umebaini kwamba jumla ya shilingi 233,407,255 zimehaulishwa kutoka

Hesabu ya Maendeleo Namba 9928190604 kwenda Hesabu ya Amana Namba

9928161804 kwa mujibu wa barua yenye kumbukumbu namba

WUUJVWW/0019/15/VOL.16/10 ya tarehe 24/6/2016 kwa ajili ya awamu ya pili ya

ujenzi wa kituo cha umeme wa jua – Kibokwa. Fedha hizo zilitengwa kwa ajili ya kazi

hiyo zilitengwa katika bajeti ya mwaka 2015/2016 ambapo Wizara ilizitenga fedha

hizo zitumike katika mwaka wa fedha 2016/2017 kwa ajili ya ujenzi wa kituo hicho.

Hadi ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 unakamilika hakuna hatua yoyote

iliyochukuliwa kwa ajili ya ujenzi huo. Aidha hakuna ufafanuzi kuhusiana na

matumizi ya fedha hizo.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na Sheria ya Usimamizi wa Fedha namba 12 ya

mwaka 2016 ya Zanzibar.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Kazi, Uwezeshaji,

Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017

zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na

kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto

imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 99: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

95

4.13 WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO

4.13.1 FUNGU NAMBA J 01 - WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,

UTALII NA MICHEZO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Wizara ya Habari,

Utamaduni, Utalii na Michezo umefanywa kwa kuzingatia misingi, taratibu na vigezo

vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo ilikadiriwa kukusanya jumla ya

shilingi 547,268,000 kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni, 2017

jumla ya shilingi 313,880,045 zimekusanywa sawa na asilimia 57 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo kwa mwaka wa fedha 2016/2017

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 5,907,995,250 kwa kazi za kawaida na shilingi

6,149,679,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shilingi 5,402,585,264 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 91.4 ya makadirio na shilingi 2,949,622,929

zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 47.96 ya

makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Habari, Utamaduni,

Utalii na Michezo kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura

sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 100: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

96

4.13.2 FUNGU J 02 - KAMISHENI YA UTALII

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Kamisheni ya Utalii

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Kamisheni ya Utalii ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 2,000,000,000 katika

kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 Kamisheni ya

Utalii imekusanya jumla ya shilingi 2,198,802,648.25 sawa na asilimia 110 ya

makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Kamisheni ya Utalii kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 1,112,900,000 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya

shilingi 1,091,556,976 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia

98 ya makadirio.

Maoni ya Mkaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kamisheni ya Utalii kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Kamisheni ya Utalii imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 101: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibika kukagua hesabu zote za Serikali ya Mapinduzi

97