spots 1-20 swahili transcripts€¦ · web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa...

42
1. Nini maana ya Kuafiki Kwanza, bila Shuruti, baada ya kupewa taarifa kamili? Msemaji 1: 1 Unajua haki ya kupata ridhaa ya bure, kabla ya, and Informed 2 ni nini? Msemaji 1: 3 Bila shaka! Ni haki iliyokuwa nayo jamii yetu 4 kujulishwa na Serikali 5 kuhusu uchimbaji madini, mafuta, maji na mengineo 6 miradi inayoweza kutekelezwa 7 ndani ya jamii zetu. Na zaidi, 8 Serikali ina jukumu la kusikiliza na kuthamini 9 maoni yetu, ili sote tuweze kufikia 10 makubaliano kabla ya mradi wowote haujaanza kutekelezwa. 11 Kwa taarifa zaidi, tembelea tovuti ya cultural survival dot org slash [culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Upload: vuongliem

Post on 15-Apr-2018

249 views

Category:

Documents


3 download

TRANSCRIPT

Page 1: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

1. Nini maana ya Kuafiki Kwanza, bila Shuruti, baada ya kupewa taarifa kamili?

Msemaji 1: 1 Unajua haki ya kupata ridhaa ya bure, kabla ya, and Informed

2 ni nini?

Msemaji 1: 3 Bila shaka! Ni haki iliyokuwa nayo jamii yetu

4 kujulishwa na Serikali

5 kuhusu uchimbaji madini, mafuta, maji na mengineo

6 miradi inayoweza kutekelezwa

7 ndani ya jamii zetu. Na zaidi,

8 Serikali ina jukumu la kusikiliza na kuthamini

9 maoni yetu, ili sote tuweze kufikia

10 makubaliano kabla ya mradi wowote haujaanza kutekelezwa.

11 Kwa taarifa zaidi, tembelea tovuti ya cultural survival dot org slash [culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 2: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

2. Haki ya Asilia

Msemaji 1: 1 Kutoka kuzaliwa, kila binadamu ana haki fulani

2 ambazo haziwezi kuchukuliwa, na kama Watu

3 Asilia, tuna haki ya kuafiki kwanza

4 bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili.

Msemaji 4: 5 Haijalishi ni nchi gani unatokea,

6 hii haki inatuhusu sote na lazima itekelezwe

7 pale Serikali inapoazimia kuchimba

8 maliasili kwenye jamii zetu,

9 hasa kama miradi hii itasababisha

10 mathara kwa ardhi yetu.

11 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 3: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

3. Kuwajibisha Makampuni

Msemaji 1: 1 Kila majira, nina wasiwasi na upungufu

2 wa mavuno, hatuna ardhi ya kutosha tena

3 tangia kampuni ije kwenye jamii yetu.

Msemaji 2: 4 Ni kweli, wamechukua ardhi yetu bila kuafiki kwanza

5 bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili. Hii haki inatulinda sisi

6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka kuwa hakuna kazi

7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

8 au Serikali kutujulisha sisi, kushauriana nasi, na

9 kutusikiliza. Tuchukue hatua ya

10 kujiwajibisha kampuni hii.

11 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 4: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

4. Viongozi

Msemaji 1: 1 Mimi ni Indigenous. Nina

2 nina haki ya kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa

kamili, lakini

3 serikali inatumia mikakati mingi kukwepa

4 kuzingatia haki hii . Moja ya mikakati hiyo ni

5 kuwajua viongozi katika jamii zetu na kuwashawishi

6 kwa kutumia hongo, ahadi za kazi, wengine wanahaidiwa

7 kufanyakazi moja kwa moja kwa niaba ya serikali au

8 kampuni ya maendeleo, badala ya kusimamia

9 maslahi ya jamii nzima wanayoiwakilisha. Kwa

10 sababu hii, ni muhimu sana kama Watu wa Asili, tu

11 chague viongozi wenye ari na nia ya

12 ustawi wa watu wetu na ardhi yetu, na tufanye kazi

13 .karibu na viongozi wetu kusonga mbele kwa umoja

14 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 5: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

5. Azimio la Umoja wa Mataifa, Ibara 10

Msemaji 1: 1 Kwa jamii za kiasili, haki ya

2 kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili inaungwa

mkono na

3 Ibara 10, cha Azimio la Umoja wa Mataifa kwenye

4 Haki za Watu wa Asili,

5 inayosema kwamba serikali zisilazimishe

6 kuhamisha jamii za asili kutoka kwenye ardhi zao

7 au mipaka, hata kuridhia mikataba ya

8 miradi kwenye ardhi ya watu asilia bila ridhaa yao

9 ya kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili..

10 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 6: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

6. Azimio la Umoja wa Mataifa, Ibara 19

Speaker 1: 1 (mwangwi wa sauti) ibara 19 ya Azimioa la Umoja wa Mataifa

2 kwenye Haki za Watu wa Asili

3 inasema:

4 (sauti ya kawaida) kuwa mataifa yashikilie/ obtain

5 kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili kutoka kwa

6 Watu wa asilia kabla ya kuchukua na kutumia

7 hatua za kisheria na kiutawala

8 zitakazo waathiri wao.

9 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 7: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

7. Jamii Salama

Msemaji 1: 1 Kama Watu wa asilia, tunahaki ya kuishi kwenye

2 jamii salama, na mabadiliko yanapofanywa

3 katika ardhi yetu lazima tuangalie ibara 29 ya Umoja wa Mataifa

4 kwenye Azimio katika Haki za Watu wa Asilia:

5 Ibara hii inathibitisha kuwa Watu wa Asilia

6 lazima watoe afiki yao kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa

7 kamili kabla vitu vya hatari havijahifadhiwa

8 au kutupwa kwenye ardhi yao.

9 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 8: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

8. Miradi ya Maendeleo

Msemaji 1: 1 (ongea kupitia kinasa sauti) Hakuna mabadiliko kufanyika

2 kwenye ardhi yetu kabla ya kwanza

3 kutumia ibara 32 ya Azimio la Umoja wa Mataifa

4 la haki za Watu wa Asili

5 linalodhibitisha kuwa mataifa ni lazima

6 yashikilie kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili

7 kabla ya kukubali mradi wowote wa maendeleo

8 utakao athiri ardhi na rasilimali za

9 Watu wa Asilia, hasa katika

10 maendeleo, matumizi, au uchimbaji wa

11 madini, maji, au rasiliamali zingine.

12 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 9: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

9. Msaada wa Kimataifa

Msemaji 1: 1 Kama Watu wa asilia tuna haki ya kuamua

2 ni mabadiliko gani yanayowenza kufanywa kwenye

3 ardhi yetu, kama ilivyoainishwa kwenye Azimio la Umojawa Mataifa

4 kwenye Haki za Watu wa Asilia, pamoja na kwenye

5 mkataba 169 wa Shirika la Kazi la Kimataifa

6 na hatua nyingine za kimataifa

7 zinazotambua haki za kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa

8 taarifa kamili. Hizi hatua zinatamka haki za watu

9 wa asilia na kulazimu mataifa kuheshimu hizi haki.

10 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 10: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

10. Haki Isiyoweza Kuondolewa

Msemaji 1: 1 Kwa Watu wa Asilia, haki ya

2 kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili ni haki ya

msingi

3 ya asili, na ni haki isiyopingika. Hii ina maana ni

4 kitu muhimu na cha lazima kwa maendelezo ya mpango

5 unaoa athiri watu wetu hivyo hatuwezi kunyimwa/ kataliwa

6 Kwamujibu wa sheria ya Kimataifa, kuafiki kwanza bila shuruti baada

7 ya kupewa taarifa kamili ina hakikisha kuwa jamii za

8 asili zina amua kwa uhuru ni miradi gani yenye faida

9 kwetu na vizazi vyetu vijavyo, kwa mujibu wa

10 tamaduni zetu, dunia nzima, na maadili.

11 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 11: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

11. Ukiukwaji wa Haki za Binadamu unatosha

Dhibiti: muziki wa asilia

Msemaji 1:

1 Habari ya asubuhi!

Msemaji 2:

2 Mambo yanakwendaje?

Msemaji 1:

3 Vizuri asante. Umesikia kuna

4 kampuni mpya mjini? Wameanza kuajiri wakazi wa hapa

5 kufanya kazi kwenye mradi mkubwa wa ujenzi, hapa

6 kijijini kwetu.

Msemaji 2:

7 Nini? Nilikuwa sina habari… siamini

8 serikali yetu inaendelea kupuuza haki zetu za

9 kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili, ambazo

zinatuhusu sisi

10 kama watu wa asilia. Wanahitaji kutujulisha na

11 kusikiliza mawazo yetu kama tunakubali au kukataa

12 miradi hii. Hasa kwasababu hizi

13 haki zimeandikwa wazi kwenye sheria ya kitaifa

14 na kimataifa.

Msemaji 1:

Page 12: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

15 Upo sahihi kabisa. Ni wazi serikali

16 haifanyi kazi yake ya kutosha kulazimisha hii . Kama hatuta

17 walazimisha waheshimu haki zetu za kuafika kwanza bila shuruti

18 baada ya kupewa taarifa kamili, hizi haki na sheria zitakuwa ni

19 kwenye karatasi tu zenye vumbi makabatini. Makampuni

20 yataendelea kuvunja haki zetu na kutunyonya

21 sisi watu wa asilia

Msemaji 3:

22 Hatuwezi na hatutakubali hili litokee.

23 Ukiukwaji wa haki za binadamu umetosha! Tusimame kwajili ya

24 haki zatu na kwa ulindaji wa mazingira!

Narrator:

25 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 13: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

12. Maana ya "Bila Shuruti"

Dhibiti: muziki

Msemaji 1:

1 Haki ya kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili ni

2 haki inayowahusu watu wote wa asilia

3 wanaokabiliana na miradi ya maendeleo kwenye jamii zetu.

Dhibiti: muziki unakata (sekunde 3)

Msemaji 2:

4 Kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili? Ina

5 maana gani kwa ridhaa kuwa huru?

Dhibiti: muziki unakata(sekunde 3)

Msemaji 1:

6 Sehemu kuhusu “bila shuruti” ina maana serikali

7 inakatazwa kujihusisha na udanganyifu kwa viongozi

8 na wana jamii kuhusu maamuzi yao

9 kuhusu kukubali au kukataa kuruhusuh mradi kwenye

10 jamii yetu. Wakati wa mchakato wa kutafuta muafaka

11 Watu wa Asili hawawezi kulazimishwa kwa namna yeyote

12 kufikia maamuzi ya namna fulani. Hii ina jumuisha vitisho vya moja

kwa moja

13 au visvyo vya moja kwa moja kwa wana jamii, vurugu

Page 14: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

14 kurubuni, hongo, au blackmail. Ni kwa kuhakikisha kuwa

15 maafikiano ya miradi haiingiliwa na aina yoyote ya haya manyanyaso

16 ,ndio serikali itakuwa imeenzi

17 haki ya ukweli “bila shuruti” ya ridhaa

Msemaji 2:

18 Lazima tudai haki ya kuafiki kwanza bila shuruti baada ya

19 kupewa taarifa kamili, iwe bila shuruti kabisa.

msimuliaji:

20 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 15: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

13. Maana ya "kuafiki kwanza"

Dhibiti : <<sauti za umati wa watu kwenye maandamano >>

Msemaji 1:

1 Tusimame! Tuamke! Hakuna muda muafaka

2 zaidi ya sasa kudai serikali kutekeleza

3 haki ya kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili

4 ambayo inatuhakikishia sasa kama Watu wa Asilia!

Dhibiti: muziki unakata (sekunde 3)

Msemaji 2:

6 Unajua. Hiyo inaleta maana maana sana. Itakuwa

7 hatua kubwa mbele kama kweli serikali

8 itazingatia haki ya kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa

9 taarifa kamili kwa kiwango chote. Kitu ambacho hasa

10 kimekosekana ni wazo la kuafiki kwanza. Kufikiwa kwa ridhaa

11 kabla ya kuanza kwa mradi au

12 kuidhhinishwa na serikali ni muhimu. Ina maana kuwa tutakuwa

13 na muda wa kutosha kwa jamii yote ya watu wa asili

14 kutoa matazamo wao kuhusu na maamuzi.

15 Hasa! Lazima tuwe na habari kamili na yenye maelezo yote

16 KABLA hii miradi haijaanza, hivyo

Page 16: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

17 tuweze kuchambua na kufanya maamuzi yetu kama

18 watu. Nal la zaidi, lazima watushirikishe sisi

19 kabla ya kila awamu mpya ya mchakato kuanza, kwa mfano

20 katika utafutaji, uchimabji, ufungaji na usafishaji wa

21 miradi ya uchimbaji madini.

Msimuliaji:

22 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 17: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

14. Maana ya "Kupewa taarifa kamili"

Dhibiti: muziki

Msemaji 1:

1 Wewe na mimi, kama wakazi wa jamii ya asilia,

2 tume hakikishiwa haki ya kuafiki kwanza bila shuruti baada ya

3 kupewa taarifa kamili.

Dhibiti: muziki unakata (sekunde 3)

4 Hii ni haki ya msingi kwajili ya uendelevu

5 wa maendeleo ya jamii yeyote. Ndiyo maana ni lazima

6 kutekelezwa. Ngoja tuangalie ina maana gani kutoa

7 afiki baada ya kupewa taarifa kamili.

8 “taarifa kamili” ina maana tuna haki ya kupata habari

9 yote na timilifu kuhusu maendeleo ya

10 mradi uliopendekezwa kwenye jamii yetu. Hii

11 inajumuisha habari kuhusu athari za

12 miradi hiyo kwenye mazingira, pamoja na athari

13 kwetu sisi watu binafsi na jamii yetu. Tafiti

14 zilizofanywa katika kukusanya habari hizi zinajulikana kama

15 Tathmini ya Athari za Kimazingira na Kijamii, au

16 ESIA, ambayo inatakiwa kufanywa na makundi

Page 18: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

17 huru yasiyofungamana na kampuni.

18 Habari zote zitolewazo lazima ziwe kamili,

19 kueleweka, na katika lugha yetu mama,

20 na kwa mujibu wa maadili ya tamaduni zetu

21 na kwa namna tunayofanya maamuzi. Ni jukumu letu

22 kuhakikisha tunaelewa kwa kina kabla maamuzi hayajafanyika

23 ambayo yata athiri watu wetu na ardhi yetu.

Msimuliaji:

24 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 19: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

15. Ni wapi inatumika?

Msemaji 1:

1 Habari za asubuhi, unaendeleaje?

Msemaji 2:

2 Vizuri asante. Mkutano wa jana ulikuaje? Mlizungumzia nini?

Msemaji 1:

3 Ulikuwa mzuri sana. Tulijadili haki ya kuafiki kwanza bila shuruti

baada ya kupewa taarifa kamili.

Msemaji 2:

4 Lakini ni nini hiyo? Unaweza kunifafanulia zaidi?

Msemaji 1:

5 Inahusu haki tuliyokuwa nayo kama Watu wa Asili kutetea ardhi yetu

Na mipaka yetu,

6 haki iliyoainishwa katika sheria za kitaifa na kimataifa.

Msemaji 2:

7 Sawa, lakini tutaitumiaje? Katika hali gani?

Msemaji 1:

8 Tunaweza na tuitumie wakati mradi wowote unapopangwa kwenye

ardhi yetu

9 hasa kama kuna hatari ya uharibifu wa mazingira. Kwani nini ndio

Page 20: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

tunaoishi kwenye

10 ardhi hizi, na ndio tutakaokumbana na athari, hivyo ni juu yetu

kuamua kama miradi hii

11 iendelee. Haki ya kuafiki kwanza, bila shuruti baada ya kupewa

taarifa kamili inaweka wazi kuwa makampuni

12 zinahitaji kushauriana na sisi na kuheshimu maamuzi yetu kabla

hawajaanzisha mradi. Tujifunze

13 zaidi kuihusu, inaonyesha ni kitu muhimu sana kwa jamii yetu!

Msimuliaji:

14 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 21: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

16. Wajibu

Dhibiti: rekebisha sauti ya redio ikitafuta matangazo (sekunde 3)

Msemaji 1:

1 Haki ya kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili

2 ni haki tuliyokuwa nayo kama Watu wa Asilia

3 tukiendelea kutetea ardhi yetu. Lazima tudai

4 haki zetu kuheshimiwa.

Dhibiti: muziki unakata (sekunde 3)

Msemaji 2:

5 Babu; sikiliza wanachosema kwenye redio

6 kweli unadhani kuna tija kwa watu wetu

7 kupigania haki ya ridhaa?

Msemaji 3:

8 Bila shaka, mjukuu wangu! Hii haki

9 inalinda maadili yetu; italeta

10 faida kubwa kwa watu wetu na dunia nzima. Ngoja

11 nikuelezee: Kutumia haki hii, tunaweza kulinda

12 mazingira na kujihakikishia maji safi na hewa safi,

13 kuwa watu wetu wataendelea kuishi katika

14 mazingira bora. Tunaweza kuhakikisha tunaongoza

15 miradi ya maendeleo na kuwa mabadiliko yeyote yatakayofanyika

16 ardhi yetu itafaidika, badala ya

17 watu wetu kudhurika.

Page 22: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

Msemaji 2:

18 Sasa naelewa, Babu! Hii ni muhimu. Asante

19 kwa kizazi chenu, nina sehemu nzuri ya kuishi. Nitatimiza

20 wajibu wangu wa kulinda mazingira ili niweze

21 kuacha ardhi nzuri kwa watoto wangu

22 wajukuu, pia.

Msimuliaji:

23 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 23: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

17. Kugawanya and Kutawala

Msemaji 1:

1 Kugawanya na kutawala:

2 hii imekuwa mbinu ya makampuni na

3 serikali ili kuendelea na maendeleo

4 ya miradi kwenye jamii za asili. Ni moja ya mifano mingi

5 jinsi wanavyoshindwa kutekeleza

6 haki ya watu ku kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa

kamili.

7 Sheria za Kimataifa zimeweka dhahiri kuwa serikali

8 isitulazimishe kubadilisha mawazo yetu, maadili yetu, au

9 au mbinu zetu za kitamaduni za kufanya maamuzi. Wakati mwingi

10 makampuni hujaribu kuzunguka mchakato wa kupata

11 kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili

kwasababu wanajua

12 hatutaweza kukubali miradi, hatari, yenye athari za kimaendeleo

13 ambayo haitatuacha na mabadiliko chanya. Badala yake,

14 wanajaribu kujionyesha kama wana idhini ya watu wengi

15 kwa kuvutia watu wenye ushawishi kama walimu,

16 viongozi wa dini, au viongozi wa siasa kwa kutumia

17 habari za uwongo au hongo. Hatuwezi kuvumilia haya.

18 Ni sisi wenyewe kuhakikisha haki ya kuafiki kwanza bila shuruti

19 baada ya kupewa taarifa kamili inatekelezwa. Hatuwezi

Page 24: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

20 kuruhusu amani, usawa, na ustawi wa

21 jamii yetu na mazingira kuwekwa hatarini na

22 mgawanyiko na rushwa.

Msimuliaji:

23 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 25: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

18. Mikutano ya Kijiji

Msemaji 1:

1 (Masikitiko) Habari, mambo yanakwendaje…

Msemaji 2:

2 Vizuri asante! Lakini unaonyesha ulie na huzuni, nini kinaendelea?

Msemaji 1:

3 Nina wasiwasi sana, nimekuwa nikisikia minong’ono kuhusu

4 mradi wa madini kuwa tayari umeshapangwa kufanyika

5 kijijini kwetu. Siyo sahihi kuwa watu walio na mamlaka

6 hata hawakutuambia kinachoendelea. Hawafuati

7 haki ya kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili,

8 ambayo tunayo

9 kama Watu Asilia. Nimejifunza kuwa nchi

10 ina wajibu wa kuzingatia hizi haki

11 wakati miradi ya maendeleo kama huu hapa

12 unapofanyika.

Msemaji 2:

13 Upo sahihi kabisa. Lazima tuhakikishe wanaheshimu

14 haki zetu, kwa kutujulisha, na kupata ridhaa yetu kabla ya kuanza

16 mradi kama huu.

17 Kwa mfano, mradi unaofanana kama huu

Page 26: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

18 ulikuja katika jamii yetu, tukafanya mikutano

19 kujua kila kitu kilichokuwa kinaendelea, na

20 bila shaka, lazima tuwe macho katika uwajibikaji wa kampuni

kwenye ahadi zake na

21 kuhakikisha wanatekeleza

22 mradi vile vile kama tulivyo kubaliana

23 kwenye majadiliano yetu. Itakuwa ni mbinu nzuri kutumia

24 kwenye kijiji chako- hatuwezi kuachia miradi iendelee

25 bila ridhaa yetu.

Msimuliaji:

26 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 27: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

19. FPIC Inahusisha nini?

Msemaji 1:

1 Unajua kuafiki kwanza bila shuruti baada ya kupewa taarifa kamili

2 ina maana gani?

Msemaji 2:

3 Ndiyo! Ni haki tuliyokuwa nayo sisi kama watu wa asili

4 Ni watu ndiyo wa kuamnua ni nini kifanyike kwenye ardhi yetu.

Msemaji 1:

5 Na unajua ni jinsi tunavyoweza kuitumia haki hii

6 kwa usahihi kwenye jamii yetu?

Msemaji 2:

7 Hmm sio sana.

Msemaji 1:

8 Kama mwana jamii wa jamii ya asili ni

9 jukumu letu kutafuta habari za kina kuhusu hii

10 haki, hivyo wasilaghaiwe na

11 serikali au makampuni. Ili kufanya hii haki iwe

12 halisi, lazima tuelewe kuwa

13 inaweza kutumiwa na watu wote wa asili, ikiwa ina maana

14 serikali na makampuni lazima waheshimu

15 jinsi tunavyo wasiliana na tunavyofanya maamuzi. Ina

Page 28: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

16 maana kuwa mwakilishi wa serikali, wa

17 kampuni na wa jamii lazima wakae pamoja

18 na kukubaliana vipengele vya mradi na kuwa

19 sisi tuna kauli ya mwisho ili kukubaliana na mpango utakao

20 nufaisha jamii yetu.

Msimuliaji:

21 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]

Page 29: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

20. Vidokezo

Dhibiti: muziki wa asilia nyuma

Msemaji 1:

1 Unajua hatua zinatakiwa kuchukuliwa ili kuweza

2 haki ya kuafiki kwanza bila shuruti

3 baada ya kupewa taarifa kamili kwa watu wa asili inafanywa kwa

usahihi?

Dhibiti: muziki unakata (sekunde 3)

Msemaji 2:

4 Ili kuweza kutambua haki hii kwa idadi yote ya

5 watu, lazima tufikirie hivi vielelezo tunapokabiliana na

6 mradi wa maendeleo katika ardhi yetu. Watu wa asili

7 lazima wafahamishwe kuanzia mwanzo

8 wa hatua za upangani. Muda wa kutosha

9 utolewe kwa jamii nzima kuweza kupata

10 habari zote muhimu kuhusu mradi na

11 athari zake, na kuruhusu mazungumzo na majadiliano ya

12 masuala haya. Habari itolewa

13 kwa mujibu na namna ya tamaduni yetu.

14 Maamuzi yafikiwe bila

15 udanganyifu wowote au shinikizo kutoka kwa wenye mamlaka

Page 30: Spots 1-20 Swahili Transcripts€¦ · Web view6 kama jamii ya kiasili, na inatoa mamlaka. kuwa hakuna kazi . 7 ifanyike kwenye ardhi yetu bila kampuni

16 na mradi. Miafaka yote itakayofikiwa na jamii

17 iandikwe kwa undani. Kama haki yoyote kati ya hii

18 imekiukwa, kumbuka kuna njia

19 tunazoweza kutafutia msaada na kukemea ukiukwaji huu

20 wa haki za binadamu, kwenye taasisi za kimataifa kama

21 Umoja wa Mataifa.

Msimuliaji:

22 Kwa taarifa zaidi, tembelea cultural survival dot org slash consent[culturalsurvival.org/consent or cs.org/consent]