utangulizi kuhusu ufafanuzi wa korani [q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · web...

26
Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo La 2.0 20060112-20110507) Korani au Kur’an kinachukuliwa kuwa ni kitabu muhimu ambacho ni Agano Takatifu kwa watu wanaofikia takriban bilioni moja. Ni wachache tu kati yao wanaofahamu ujumbe wake asilia na kusudi lake. Hiki ni kama kitabu sahihi kinachoifafanua Biblia kwa Wasabato waamini Mungu Mmoja wa Uarabuni katika karne ya kumi na saba ya Zama za Sasa. Jarida hili linafafanua na kutathmini msingi wenye mashiko ulio nyuma ya imani na lugha iliyotumika kwenye Korani. Christian Churches of God PO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA E-mail: [email protected] (Hati Miliki © 2006, 2011 Wade Cox) (tr. 2014) Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la

Upload: others

Post on 02-Mar-2020

3 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu[Q1]

Utangulizi Kuhusu

Ufafanuzi wa Korani(Toleo La 2.0 20060112-20110507)

Korani au Kur’an kinachukuliwa kuwa ni kitabu muhimu ambacho ni Agano Takatifu kwa watu wanaofikia takriban bilioni moja. Ni wachache tu kati yao wanaofahamu ujumbe wake asilia na kusudi lake. Hiki ni kama kitabu sahihi kinachoifafanua Biblia kwa Wasabato waamini Mungu Mmoja wa Uarabuni katika karne ya kumi na saba ya Zama za Sasa. Jarida hili linafafanua na kutathmini msingi wenye mashiko ulio nyuma ya imani na lugha iliyotumika kwenye Korani.

Christian Churches of GodPO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA

E-mail: [email protected]

(Hati Miliki © 2006, 2011 Wade Cox)(tr. 2014)

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:http://www.logon.org na http://www.ccg.org

Page 2: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Page 2 Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani

Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani

Kumbuka: Muhammadi ni yeye yule kwa kanisa.Ahmed anamtaja kama Roho Mtakatifu.Jina la Mtume lilikuwa ni Kasimu (aliyeitwa Muhammad)

Utangulizi Maneno yaliyotumiwa kwenye Korani yamekuwa yanakanganywa maranyingi na kutumiwa vibaya ili kuficha yale yanayochukuliwa kuwa ni mkundi muhimu ya kidini na yanayozionyesha kanuni ambazo zinauhusiano wa moja kwa moja na maandiko ya kinabii ya Biblia. Korani ya siku hizi (au Kurani) haifanani wala kuhusiana na Maandiko Matakatifu kwenye tafsiri yake na yamekuwa yakipotoshwa na wafafanuzi wake wa mwanzoni kwa kuingiza tamaduni na mapokeo mengi pamoja na maneno mengine ya kizushi na uvumi ambayo yalikuwa yanatumiwa na Mafarisayo mwanzoni mwa Zama Hizi au za Agano Jipya. Yake yaliyofundishwa na kuzushwa na Mafarisayo yalifanyika kuwa ni mapokeo ya marabi yakasababisha kuwepo kwa kile kilichojulikana kama Mishnah, iliyotungwa mwaka 200 BK. Hii Mishnah, ambayo ilikuwa imefunikwa na Maandiko Matakatifu na mapokeo ya wanadamu, kidogokidogo ilienezwa na mapokeo mengine zaidi kwenye ile iliyojulikana kama Talmud, ambayo iliendeleza kuenea kwake vizuri hadi kwenye millennia ya pili ya Zama zetu za Sasa. Yaliendelea na kushamiri kwa kipindi cha zaidi ya miaka elfu moja. Na ndivyo ilivyokuwa pia kwa mapokeo haya mengine ambayo yaliuharibu na kuupotosha uislamu yaliyoitwa na kujulikana kama Hadithi au Ahadithi na ambayo ni mikanganyo ya mwelekeo halisia na mafundisho asilia ya Korani.

Ingawa kulikuwa na mhubiri fulani mkubwa (mursal) huko Uarabuni walioanzisha na kupangilia Sura za Korani kwa Waarabu wapagani na kwa wale ambao karibia Hadithi hizi zote zinatokana kwao na ambao jina lake la asili aliitwa kuwa ni Kasimu ambaye kwa kawaida aliitwa Abu Kasimu au Baba

Kasimu ingawa majaribio yamefanyika sana kushauri kuwa hii huenda ilikuwa inamaanisha Baba wa Kasimu lakini maana hiyo haifanani kabisa. Inaonekana kuwa alikuwa ni Kasisi wa Kikristo aliyekuwa na msimamo wa kuamini na kumuabudu Mungu mmoja kipindi cha kabla ya kubatizwa kwake na kuwa Msabato ambaye korani inaashiria kuwa alikuwa ni mtu wa namna hiyo. Alikuwa ni mmojawapo wa Wasabato waliokuwa kwenye Kanisa la Uarabuni. Katika kuziandika hbari zake, ilikuwa ni vizuri na sahihi zaidi kuacha kumtaja au kumtambulisha yeye kuwa ni Nabii kwakuwa jina hili linahusu hasa wa uzao wenye haki stahiki (Kurani 3:68) wa taifa la Ibrahimu (Kurani 6:161, Kurani 16:120). Pamoja na jamii nyingine iliyoingizwa kwa uwongofu, kizazi hiki kilirithi mamlaka ya matengenezo ya kidini ambayo yalianzia na mafundisho ya Yohana Mbatizaji, na ambayo yalichukuliwa na kuendelezwa na Kristo na mitume. Matengenezo haya yalipelekea kuanzishwa kwa Makanisa ya Mungu kwenye ameneo yao kadhaa na viongozi waliosimamia. Ni shirika hili ambalo linajulikana kama Manaswara (Korani 3:67) AhlulBayt (Korani 33:33) wa Nyumba ya Rasulullah (Korani 33:53) – Wamursalin (Korani Q2:252) wenye Roho ya Unabii. Wanajuliana pia kwenye maandiko kama Al-Ansaar.

Yeyote alazimishaye maneno yanayoifanyiza Korani alimuwa ni nabii au mtume w Waarabu. Kama tutaufungamanisha ujumbe huu moja kwa moja kutoka kwenye Biblia, ndipo tunaweza kumuita yeye kuwa ni kama mutme au nabii wa Mungu kwa Waarabu. Mungu alisema kwa kupitia nabii Isaya kuwa Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana asubuhi (Isaya 8:20). Hicho kimekuwa ni kiwango kumjaribia nabii wakati anapoupokea ufunuo wa Mungu ili kuwapelekea wanadamu kupitia kwa manabii walioorodheshwa na kukubalika. Kwa hiyo mtu huyu na ujumbe wa Korani (Kurani) ambayo aliifundisha, ni lazima ikubaliane au

Page 3: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani Page 3

iendane na mafundisho ya Torati na Ushuhuda ili ichukuliwe na kukubalika kuwa imevuviwa na Mungu, au ina uvuvio wa Mungu. Kwa hakika Korani inadai kuwa ndiyo kitu muhimu ili kuipata imani kwenye sura zake kadhaa wa kadhaa, au kurasa zake, ambazo zinafanyiza kuwepo kwa maandiko yake (mfani ni Korani 3:3, Korani 4:82, Korani 5:47). Uandishi wake umetoa mwito kwa wafuasi kuyakubali na kuyashika yaliyoandikwa na kuagizwa kwenye Biblia amoja na yaliyoandikwa kwenye Injili zake na maandiko mengine yote yaliyokubalika kwa mujibu wa kanuni ya kuyatathimini na kuyapasisha maandiko zilizotumiwa na kukubalika kama Maandiko Matakatifu au Nyaraka za Wakristo (Korani 5:68). Hakuna mtu anayeweza kudai kuwa ni mfuasi wa Uislamu iwapo atakuwa anakataa ama kupinga mafundisho ya Biblia, kama tutakavyoweza kujionea kutoka kwenye maneno ya Korani yenyewe.

Kwenye Sura 10:64 tunasoma: …Hapana mabadiliko katika maneno ya Mwenyezi Mungu…

Kwa hiyo Korani ni kitabu cha ufafanuzi wa Maandiko Matakatifu ya Biblia na ni kama lilivyo vivyohivyo Agano Jipya (AJ) kuwa ni maandiko yanayoyafafanua Maandiko Matakatifu ya Agano la Kale (AK), na linaloweka rekodi au kumbukumbu ya juhudi na matatizo lililokabiliwanalo Kanisa la Kwanza, kama yalivyoandikwa na wanafunzi wake Kristo kwa uvuvio wa Ahmed, Mtukufu au Mwenye Kusifiwa, au Roho Mtakatifu. Kipimo kikubwa na kinachojulikana cha uvuvio ni kwamba unayathibitisha na kuyajenga au kuyaunga mkono maandiko yaliyo kwenye Biblia na hayaikanganyi au kupingana kamwe na kazi au maandiko yaliyovuviwa yaliyoitangulia.

Jina la mhubiri anayetatiza halipaswi likanganywe na matumizi ya jina Muhammadi kwa kuwa huu ni kma mhuri au alama tu au cheo. Ni sawa tu kama kumuita mtu kuwa ni Mstaarabu au Mnyenyekevu ikimaanisha kuwa mwili wa watu wanaokusudiwa na kuaminiwa na Ahmed (Halifa), roho wa Jesu Mwana wa Mungu. Muhammadi kwa kweli ni “Mhuri” wa

manabii 144,000.

Mtume huyu wa Waarabu huenda alikuwa ni Mnasari wa mrengo wa waabudu Mungu mmoja na wa pekee wakati alipomuoa mke wake wa kwanza Mkristo. Inawezekana sana kuwa mtu tunayemuongelea hbari zake alikuwa ni mmojwapo wa waliokuwa na imani ya Kikristo aliyefundishwa na kuelimishwa waumini wazuri waliokuwa kwenye familia yake, au huenda ni kwa moja kwa moj au kwa kupitia ndoa yake. Mapokeo ya zamani yansema kuwa alikuwa ni mjomba wa mke wake ndiye alimfundisha Maandiko Matakatifu. Tabia yake ya kumaanisha sana kuyaonea shauku na bidii ya kutaka kuyajua Maandiko Matakatifu kulimpelekea ajulikane na kuitwa Baba Kasimu, jina ambalo limekatazwa au kutumiwa kwenye imani ya kweli ya Kikristo vinginevyo kama jina hili la Abu Kasimu litamaanisha “baba Kasimu”. Mara, hamu yake hii ya dhati ya kupenda kuitafuta kweli kutoka kwenye Maandiko Matakatifu kulimsababishia matatizo kutokana na mafundisho ya Manasara waabudu Mungu mmoja, ambao walionekana kuendana au kufundisha kinyume na maandiko yenyewe asilia. Kimsingi, twaweza kusema kuwa Roho alikuwa ananza kumuita kwa kupitia pazia, ambayo iliitwa “Evangelion”. Alilitafuta Kanisa la kweli. Maandiko yaliyojulikana kama Purana kutoka India yanaonyesha kuwa alikujakujilakana na Makanisa ya Mungu yaliyokuwepo huko. Kanisa la kwenda kusali Muhammadi alionyeshwa ndotoni, na Mitume wa Uarabuni walionyeshwa ndoto alipokuwa kwenye tafakari pangoni. Ilimtisha sana lakini ilimhamasisha. Ndipo akafanyika kuwa Msabato wa mrengo wa imani ya Mungu mmoja au Myunitari kwenye Kanisa lile la Uarabuni, akabatizwa (tena) mapema kabla ya huduma yake. Akiwa mtu asiyetokana na nasaba ya Haruni wala Lawi, aliiingizwa kwenye kile kilichoitwa AhlulBayt Bibi arusi wa Rasulullah akiwa ni Mnasara Sabi (TheoSebes/ = Mwabudu na Mcha Mungu) Mursal. Hadithi kadhaa zinaelezea ukweli kwamba alifanyika kuwa Sabi. Akiwa Mursal (Bibi arusi wa Rasulullah) alipata hekima nyingi, zaidi na zaidi na zaidi. Hatimaye, kutokana na

Page 4: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Page 4 Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani

kubatizwa kwake, alipata nguvu na ujasiri kutoka kwa Roho Mtakatifu (wau humwite Ahmed) na akafikia daraja la kicheo lililojulikana kama Mahmoodan na akawa Muhammadi akiwa Mkristo wa kweli kwenye Makanisa ya Mungu.

Uasi ulitokea baada ya kufariki kwa Muhammadi (ambaye tunamjua tu kutokana na mapokeo na kimakosa kama “Baba” au Abu Kasimu). Mmanasari mwingine “Baba” (wa) (Abu) Bakr akaliunganisha na kuliongoza Kanisa la Kienyeji na kumteua kuwa Halifa. Kisha Omari akachukua uongozi.

Inaonekana kuwa Mahalifa Wanne Walioongoza na Kuwepo Wakati huo walikuwa wanatokana na Kanisa la kweli la Mungu. Jambo hili linahitaji kufanyiwa utafiti wa makini na uangalifu mkubwa, lakini ni wazi san kutokana na maandiko ya Kurani yenyewe kuhusu msisitizo au umuhimu wa ubatizo, Sabato, historian a maamrisho ya Torati na Injili zote. Walikuwa Wasabato waaminifu na wa mrengo wa waamini Mungu mmoja au Wayunitari na waliitetea sana imani hiyo na ubatizo. Inaonekana kwa namna fulani kuwa Ali, mjukuu wa Mtume Mwarabu, alikuwa ni muumini, na hatimaye naye pia alifikia kwenye cheo cha kuwa Mahmoodu. Hata hivyo, hakuwa ni huyu Ali bali ni Usman aliyechukua uongozi baada ya kifo cha Omari. Alichoma alama zote zinazosuhudiza kuwepo kwa Kanisa ambalo lilienda kinyurne na mipango yake na akaenda mbali zaidi kama alivyoweza kuwadanganya “kondoo” hatua moja kwa wakati mmoja pasipo kukamatwa na waliowengi. Hata hivyo, waliokuwa upande wa Ali walijua kile lilichokuwa kinatokea. Wakati alipokufa Usman Ali alichukua hatamu za uongozi, lakini wafuasi wa Usman walishakuwa na nguvu. Ali akauawa na hatimaye Kanisa likalazimika kuendesha harakati zake kichinichini tena. Korani inasisitiza na kuamini juu ya ubatizo (ghusl) wa Mungu kwa waaminio lakini Hadithi zimebadili na kukangana mafundisho haya kwa kutoelekeza.

Kwa mujibu wa Korani, hawa manabii wote (144,000) walihubiri kuhusu Muhammadi. Mara nyingine kwadhaa Muhammadi anaitwa “Mhuri au Alama” ya manabii (maarufu kama Rasool) aliyewatangulia kupita Rasools wote (Kurani 3:144). Rasool, kwa kawaida ametafsiriwa kama “Mjumbe”, kwa kweli haisimami kwa kitu kingine zaidi kuliko dini ya kweli (Kurani 3:86), ambayo ilifanyika kuwa Bwana arusi (Kurani 33:53), ambaye ni Kristo. Kwa kuwa hawa Mursalin ni bibi arusi wa Rasulullah (Korani 33:53), Rasool wanaweza pia kuwaita (Kurani 63:1, 7:158). Ni kweli, kama hawa Mursalin wengine walivyo Muhammadi, Rasool anaweza pia kuitwa Muhammadi (Korani 33:40, Korani 48:29).

AlAlihatun (Korni 38:5) inamaanisha sifa na tabia ZOTE za (Allah) Mmoja akiwemo Baba Yetu, malaika kama walivyo Elohimu wengine (Korani 6:19) au Wana wa Eloa, na wateule wote kwenye ulimwengu wao ujao. Dhana hiyohiyo inaonekana kwenye Agano la Kale ambako wajumbe wote wa Eloa wanaitwa Yahova (YHVH). Eloa ni Yahova wa Majeshi. Jina linaloelezea uenezi wake ni Elohimu kama uwingi. Eloa ni Ha Elohim au NDIYE Elohim akiwa kama mtu wa katikati, lakini wana wote wa Mungu ni elohimu.

Korani (Kur’an) kwenye Sura ya 3:18 inatangaza: “Mwenyezi Mungu, [Lah] na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana Mungu [Eloa] ila Yeye, ndiye Mwenye kusimamisha uadilifu; hapana Mungu [Eloa] ila Yeye Mwenye nguvu na Mwenye hikima.”

Kwa hiyo, taaluma ya kiimani ya Uislamu (Shahaadah) ni sahihi isemayo kwamba hakuna Eloa ila Eloa (La Elaaha Ella Allah (soma pia 37:35; 47:19)); hata hivyo, wazo hili la msingi limeharibiwa au kupotoshwa na maneno yasemayo: “Na Muhammadi ni Mtume wa Mungu.” Rashad Khalifa anasema: “Waislamu wapotofu wanasisitiza kuhusu kuweka nyongeza ya “Ashahahadu” ya pili kwamba Muhammadi ni Mjumbe au Mtume wa Mungu. Hii inamana ya ‘Shirk’ (ibada ya sanamu) na uasi mkubwa sana kwa Mungu na mjumbe au Mtume wake” (kwa mujibu wa kitabu cha R. Khalifa, cha Koran

Page 5: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani Page 5

The Final Testament [Korani, Agano la Mwisho] (Rev. edition II) Universal Unity Freemont. fn to 3:18 p. 305.) kama wanamtaja mtume wa Kiarabu ndipo wananena kinyume na Korani kwenye ibada ya sanamu kwenye kile Korani kinachokitangaza kuwa imani haifanyi tofauti yoyote kati ya manabii. Manabii wote wapo sawa kwa jinsi walivyovuviwa na Mungu. Khalifa anasema wazi kuwa ni ibada ya sanamu wakati Waislamu wanapoweka nyongeza hii ya ukiri wa imani, uitwao kuwa Muhammadi mjumbe wa Mungu. Hatahivyo, kama wanaongelea juu ya Kanisa kama Muhammadi kisha wanawakumbatia manabii wote kwa jambo hilo na siyo ibada ya sanamu.

Huenda ni sahihi kumuita tu kuwa ni mhubiri Mtume wa Waarabu, hadi tutakapojua zaidi kutoka kwenye tathimini za maandiko yanayomhusu yeye.

Mhubiri alikuwa ni mtu aliyezitoa jumbe hizo kwenye ulimwengu wa Waarabu wapagani. Ulimwengu ule ulikaliwa na mafundisho ya kitabaka na mapotofu na ya kizushi ya Wayahudi na makabila yenye ushawishi waliokataa kuwa Gabrieli ni malaika aliyeasi na alimuabu Ezra kama Mwana wa Mungu. Korani inawaita Wayahudi wa msimamo mkali kuwa ni Alladhina Hadu, lakini wanabaki na neno Alyahudi tu wakimaanisha mafundisho haya ya kizushi peke yake. Dini hii potofu iliwashawishi kwa ulaghai Waarabu na kujaribu kuzipotosha na kuharibu vitabu vya makanisa ya Mungu Wakristo “Wayahudi” na “waongofu” wao”) huko Uarabuni. Kutokana na maandiko halisia ya Korani, inaonekana kuwa mwanaume na kundi lake walikuwa wanahusika na kuwa na sehemu kwenye misukosuko hii mikubwa ya kupigania uhuru na kweli ya Biblia dhidi ya mafundisho ya kizushi ya waamini Utatu ambayo yalitungwa na kuanzishwa na watu wa Magharibi. Walishirikiana na Wakristo Wasabato wa Magharibi. Wasabato hawa walioitwa “Wapaulicians”, waliunda kundi huko Asia Ndogo (hadi kwenye Milima ya Taurus) dhidi ya Waamini Utatu ambao walikuwa wanaitumia Dola ya Mashariki huko Constantinople kama makao au msingi

wao.

Wapagani waliuharibu ujumbe uliokusudiwa na kuandikwa kwenye Korani kama Mafasriayo walivyolifanyia Agano la Kale, na kama Dola ya Rumi ilivyofanya pia kwa kuingiza imani na mafundisho ya Utatu na walivyofanya kwenye kanuni ya Maandiko Matakatifu. Alama za dini ya Uismalu kama vile mwezi mchanga na nyinginezo, zimetokana kwa kiasi kikubwa na imani za kipagani na kuingizwa na Waturuki kwenye miaka ya takriban karne ya 15. Zinapingana kabisa na maana za Korani na Biblia.

Kwa hiyo, migawanyo mikuu miwili, kwenye kile kilichodaiwa kuwa ni msingi mmoja uliotokana na Biblia, zikabuniwa ambazo hakuna hata moja iliyowahi kuwepo kwenye vitabu hivi.

Teolojia kwenye KoraniNeno “Miungu ya kike” (ALHT) limejitokeza takriban mara 15 likimaanisha kuwa ni sanamu. Korani 4:117, 37:149-150 na 43:19 aya hizi zote zinaelezea kuhusu miungu ya kike au viumbe wa kike wa mbinguni, lakini vinginevyo majina ya Mungu yaliyotumiwa kwenye Korani ni yaleyale sawasawa na yalivyo kwenye Biblia; Korani inatumia neno linalomaanisha umoja ALH (linatakwa “ilaha”, au, kama linamtaja tu Mmoja linatamkwa ilahun) kutoka kwenye kiebrania kitu kinachofanana na neno Eloah; na ALHH (linalotamkwa alihatun) kutokana na lugha ya Kiaramu lililo sawasawa na neno Elahh (kwa Kiebrania Elohim) inapomtaja Mmoja tu aliyeko. Kwa mfano, neno ALHH limeonekana kwa mara ya kwanza kwenye Korani 6:19 na muonekano wake wa kwanza wa ALH upo kwenye mstari wa Korani 2:133. Hata hivyo, Korani huyatumia maneno haya kama neno stahiki na lenyekuelezeka (yeye)Lah (Ton-Theon, pasi kubadilika na Allah-Alrahman-Alrahim, na Alrahman-Alrahim, na Huwa, na Alrahman, na Al-Alihatun, na Ilahun Wahidul – Mungu Mmoja, Wapekee na wa Kweli) linatumika kiumashuhuri sana badala yake.

Huyu Lah (Allah) yu tofauti kabisa na yeyote kati ya waliotajwa kwenye manija haya na

Page 6: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Page 6 Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani

kwenye hilo anaelezeka. Kwenye Kiebrania angekuwa anaitwa (Ha)Loah. Inaonekana kuwa kwenye makala inayoelezea, au kusimama peke yake tu chenyewe, na hakina umbo lingine loloate. Neno hili liligunduliwa kwa kuwa maneno yote mengine yanayomtaja Mungu yamepewa uitaji wa uwingi, au yanayotamkwa kwa kike, au yenye asili ya kike. Lakini neno au jina “(Al)lah” halikuwa na uhusiano wowote wa namna hiyo na lilitambilishwa kwa watu walio kwenye jamii yao waliokuwa na moyo mwema na bidii ya kulilinda kutokana na kulibadilisha kwa namna hiyo, na ndilo kuonyesha au kumaanisha Mmoja wa Pekee. Inafanana na kiebrania inayotaja kuwa Eloa kwa Kiebrania.

Kwa Kiebrania “Eloah”, kama neno la Kiaramu ALH wakati linatamkwa “ilaha”, linatumika tu na vitu vingine ambavyo siyo Mungu. Ha Elohim ni la kawaida, linamtaja tu Baba au Elyon, Mungu Liye Juu Sana.

Neno hili ni kweli kabisa kuwa korani inatumia Lh kama shina la chanzo chochote kiwezekanacho kinachomaanisha Eloa. Maana hizo pamoja na maafa ya kusikitisha zinaonyesha /mtafaruku /mkanganyo. Kiteolojia ni “Wa Pekee”, “Chanzo”, “Asiyeweza Kuathirika”, “Wakutisha”, Wakushangaza”, (Ni) Uungu ndiyo tafsiri bora zaidi kuonyosha matumizi yake na maana yake.

Ni kwamba Mungu, Baba yetu anajifunua kwetu sisi. Ni hatima yetu. Hazai wala hajazaliwa na kitu chochote. Ndani yake ndpo tunarejea. Kwa yeye kuna roho njema na takatifu – na kumuwezesha kwa kumtia nguvu za Mungu, Mwombezi. Ni hatima ya kitu inayoweza pengine kuelezewa kuwa: (Huu) Uungu ni Uwezesho au Mwongeza nguvu na ndiye Ahmed au Roro Mtakatifu ni umeme. Eloa anatafsiriwa na kuchukuliwa kuwa ni kama Mungu na (huu) Uungu unaonekana vema kama kiini cha mwingiliano wa kiushirika ambaye ni Eloa. Huenda limetokana kutoka kwenye neno la umoja la Kikaldayo Elahh na kutoka kwenye Kiaramu cha Mashariki, ambacho kilifanywa kuwa neno la ummoja la Kiarabu ilaha pamona na kujineno kilichowekwa cha

“Al-”. Uondoaji wa makusudi kabisa wa kijineno “i-”, au huenda ni kwa mgongano tu, inafana ionekane kama Al-Lah’ (Uungu).

Kuna mambo kadhaa ya kina kuhusu ngazi za kivyeo inayoonekana kwenye Korani (Kur’an). Ahmed ni kitu ambacho kinachofanya mungu mdogo wakati kwamba hakuwezi kuwepo mungu mdogo pasipo Uungu. Ndivyo ilivyo kabisa kwa jinsi hiyohiyo, “Maneno ya Bwana” aliyonena kupitia manabii wa zamani na yalifuatiwa na usemi “Asema Bwana”, Korani imeandikwa kutoka Jina la Mungu aitwaye – Smillahalrahmanalrahim. Kila sura imetanguliwa na maneno haya haya yanayofanana ya “KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU au Kwa jina la Allah-Alrahman-Alrahim” (Korani 1:1). Mwanzo wa sura ya 9 umepotea na kwa hiyo neno Bismillah halionekani hapa. Neno Bismillah sio sehemu ya ufunuo isipokuwa pale inapoonekana kuwa na utata au mabishano. Sehemu kubwa ya Korani, Jina la Mungu linalipa sifa Mungu aliye juu ya kila jambo na kila kitu (Korani 1:5). Zaidi ya yote, Jina la Mungu linabadilika kila mara kati ya kutaja umoja wa nafsi ya kwanza na naïf ya kwanza ya uwingi na kurudi tena hata kwenye sentensi hiyohiyo (Korani 2:38). Mambo haya yanafananishwa moja kwa moja na maneno ya Bwana yanayoshabihiana na maneno ya Elohim kupitia Manabii wa zamani. Ni kama tu ulivyo “alivyosema” Bwana kwenye Kutoka 4:22 na Yeremia 31:9 kuhusu Israeli, Jina la Mungu linatutaja sisi kuwa ni wana wake kutoka kwenye Korani 31:16-19. Kwenye Korani 90:3, Jina hili linaonekana kujiapiza kwa nafsi yake lenyewe na kwa Yesu (Korani 19:15 na 33) likimtaja kwa heshima na unadhifu kuwa ni mzazi na aliyezaliwa kutoka kwenye Waebrania 1:8-9 likiashiria ni “Elohim” fulani (aliye kwenye Zaburi 45:6-7) aliye mdogo na msaidizi wa Mungu Mwenyezi. Kwenye Korani 43:57-60, Jina la Mungu linalonenwa linamwelezea Yesu kuwa ni Mtumishi au Mjumbe wa Khalifa, kwa namna fulani na sio kwa moja kwa moja, ni sawa kama anayehusiana na mambo ya kimbinguni na kiuungu. (Huyu) Mungu kwa namna nyingine na wakati huohuo akiwa pia

Page 7: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani Page 7

ni chanzo au asili ya Roho Mtakatifu (Korani 4:171, Korani 58:22) hazai (Korani 10:68, Korani 17:111, Korani 18:4, Korani 19:35, Korani 19:88-92, Korani 21:26, Korani 23:91, Korani 25:2, Korani 37:152, Korani 43:81, Korani 72:3) – anatunzwa kwa kulelewa (Korani 39:4) – lakini hata hivyo anahitaji kutangazwa kuwa ni mzazi halisi (Korani 33:5). Ingawa wala hana mwanzo wala hakuzaliwa (Korani 112:3) ingawa hakuna mungu yeyote mdogo bila yeye (Korani 2:163). Na wakati sisi tuna mama yetu, Roho ndiye baba yetu, wakati Mungu akiwa hana mke (Korani 6:101). Hata hivy, Jina la Mungu ni Baba yetu na kwa jina lake Mungu ni mlinzi wetu.

Uungu ni ushirikiano muhimu ambao kwamba Baba ni muumbaji na nguvu zilindazo za uumbaji wote au viumbe vyote. Na Lah kwa hiyo ni mhusika aliye muhimu na mhimili ambaye pia ni tofauti na Ahmed, ambaye ni mwombezi kama Roho Mtakatikatifu, ambaye anawatia nguvu wateule na kuwawezesha wafanyike kuwa miungu wadogo wadogo wakiwa ni wana wa Mungu Aliye Juu Sana. Kwa hiyo, Roho Mtakatifu nauwanganisha wana wa Mungu na Mungu mwenyewe (ambaye ni kiumbe anayetajwa kama Ha Elohim au Eloah). Kwa hiyo twaweza kuona kuwa Maandiko Matakatifu yananena juu yah ii kama Yohana alivyoandika wakati Kristo anaposema: “…Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu? Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiliwa na neno la Mungu; (na maandiko hayawezi kutanguka); je! Yeye ambaye Baba alimtakasa, akamtuma ulimwenguni, ninyi mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu nalisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?’” (Yohana 10:34-36).

Kanisa limefunuliwa kwenye Korani kwenye aya mblimbali, kama vile Korani 2:252 hadi Korani 48:29; Korani 58:22 na Korani 17:79. Matumizi ya neno “Nawe” siyo ya Muhammad kama mtu bali ni kwa Kanisa na malaika wake kama walivyoelezewa kwenye Kitabu cha Ufunuo. Sufis wengine, na inaelezwa kuwa ni Sufis wa kweli wanalielezea Kanisa kwenye Korani 48:29 na 58:22. Ujumbe muhimu kwa Waislamu

kwenye maelekezo haya ni:

Korani 2:252:“MITUME hao tumewatukuza baadhi yao juu ya wengineo. Katika wao wapo ambao Mwenyezi Mungu alisema nao, na wengine akawapandisha vyeo. Na tukampa Isa mwana wa Mariyam hoja zilizo wazi, na tukamtia nguvu kwa Roho Takatifu. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu alipenda wasingeli pigana walio kuwa baada yao baada ya kuwajia hoja zilizo wazi. Lakini walikhitalifiana. Basi wapo kati yao walio amini, na wengine kati yao walio kufuru. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu alipenda wasingeli pigana. Lakini Mwenyezi Mungu hutenda atakavyo..”

Korani 17:79:“Na amka usiku kwa ibada; ni ziada ya sunna khasa kwako wewe. Huenda Mola wako Mlezi akakunyanyua cheo kinacho sifika”.

Korani 48:29:“MUHAMMAD ni nidi ya Mwenyezi Mungu, na ya WALE waliyonayo (kwenye vipaji vya nyuso zao) ni vigumu dhidi ya wasio amini na wasio na rehema miongoni mwao. Wewe (Ee Mursal) unawaona WAO wakipiga magoti na kuanguka kwa unyenyekevu wakitafuta rehema na huruma za Mungu na kukubalika. Alama YAO (yaani Mhuri wa MUHAMMAD – kwa wale 144,000) upo kwenye vipaji vya nyuso ZAO kutoka kwenye dhamira ya uahirisho’ – ambao ndiyo wa kufanan NAO kwene Torati; na kufanana kwao kwenye Injili au Evangelion ni: kama ilivyopandwa kile kilichopandwa kwa kurusha na kuipa nguvu na kuinuka imara kwa stoku yake ikimhusu mpanzi – ambaye ni kuwaongeza wasioamini kwayo (hekima yake) NAO ambacho Mungu amekihakikisha kwa kama walivyo wao kama walivyoamini na kufana matendo mema kwa msamaha na kupewa thawbu” (msisitizo umeongezwa ili kuweka mwelekeo wa andiko).

Andiko hili linalitaja Kanisa ambalo ni mtumishi wa Mungu aliye hai na limezifanya sheria za Mungu kuwa kipaumbele chake katikati ya macho yao kama ushuhuda kwa watu wote.

Page 8: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Page 8 Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani

Korani 58:22:“Huwakuti watu wanao muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho kuwa wanawapenda wanao mpinga Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hata wakiwa ni baba zao, au watoto wao, au ndugu zao, au jamaa zao. Hao ameandika katika nyoyo zao Imani, na amewapa nguvu kwa Roho itokayo kwake. Na atawaingiza katika Mabustani yapitayo mito kati yake. Humo watakaa daima. Mwenyezi Mungu awe radhi nao, na wao wawe radhi naye. Hao ndio Hizbullahi, Kundi la Mwenyezi Mungu. Hakika Kundi la Mwenyezi Mungu ndilo lenye kufanikiwa.?”

Waislamu kwa wingi wao na wote hawana habari kuwa Ahmed hayupo sawa kama alivyo Abu Kasim bali ni kwamba ni Roho Mtakatifu, kwa kuwa hawaisomi Biblia, na hasahasa andiko la Yohana kwenye lugha ya Kiaramu.

Kwa matumizi haya ya kipande cha taarifa moyoni kwa hiyo yatupasa kujiuliza, “Ni nani basi HUYU aliyeandikwa kwenye kifungu hiki?” Jibu linapatikana kwenye Korani 2:252: ni mmoja kati ya hawa MURSALIN.

Swali tunalopaswa kujiuliza ni: “Je, huyu mmoja wa hawa Mursalin ni Muhammad?”

Kwa mujibu wa Korani 48:29 jibu linapasa kuwa ni hapana, kwa kuwa Neno la Mungu linasema kuwaambia hawa mursal kuhusu habari za Muhammad.

Muhammad ni mhuri au alama ya manabii kwa mujibu wa Korani 33:40.

Muulize Muislamu yeyote yule kuwa kuna idadi gani ya manabii na watakuambia wapo 144,000, lakini hawaelewi idadi hii inamaana gani. Sisi tulio wa Makanisa ya Mungu tunajua hii inamaana gani lakini wao hawajui. Alama ya hawa 144,000 iliyo kwenye vipaji vya nyuso zao ambayo UNAFANANA KABISA kama na “wale wa Muhammad" kwenye Korani 48:29.

Korani 58:22 ni hakikisho kwa kuwa inatuambia sisi kwa wazi kabisa jinsi walivyoonekana pale. Jibu ni sio kwa

kutokna na kuwa na roho kama mursal aliyebatizwa Kanisani lakini ni kwa KUTIWA NGUVU za roho, kiambisho kilichotumika tu kwenye tukio moja lingine kwenye Korani. Andiko lile limetumika kwenye Korani 5:110 kuhusu Yesu Kristo.

Waislamu wanatakiwa kuelewa mchakato huu maendeleo ya imani na ujumbe wa Kanisa (ambao ni Korani), ili kuweza kuendelea vizuri kwenye imani.

Timu imefanya kazi ili kuirejesha Korani yenyewe na kuitafsiri kwa wazi kwa lugha ya Kiingereza, na kuweka mahusiano ya wazi ya biblia hadi kwenye Korani kwenye ufafanuzi huu. Ni mtazamo na matarajio yetu kwamba moja ya wazo la muhimu zaidi katika kushughulika na Korani ni kwamba utajwaji au rejea ya Kristo na Kanisa vimepotoshwa na kufichwa, sio kwenye sehemu kubwa na muhimu kwenye Uislamu, bali pia na Watrinitariani walio nje ya Uislamu, zote mbili zikiwa zimebakia zikilaumiwa na rejea zake.

kwa mfano Sura za 3:144 na 5:75 zinaashiria kuwa hapo mwanzoni kabisa Muhammad halikuwa jina kabisa ila ni jinsi ya kuwaelezea tu wale waliokuwa kwenye ushirika na Kristo. Muhammad siyo jina kwenye 3:144 kabisa. Ni kijisifa tu kinachomaanisha “aliyeombewa au kutetewa”.

3:144: Na haiwezi nafsi kuwa ife ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu kama ilivyo andikwa ajali yake. Na mwenye kutaka malipo ya duniani tutampa; na mwenye kutaka malipo ya Akhera tutampa. Na tutawalipa wenye kushukuru.

5:75: Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume kabla yake. Na mama yake ni mwanamke mkweli. Wote wawili walikuwa wakila chakula. Angalia jinsi tunavyo wabainishia Aya, kisha angalia vipi wanavyo geuzwa.

Hizi ni mara mbili pekee kwenye Korain yote (au Kur’an) ambapo neno hili linatumika. Sura 3:144 ni sehemu kabisa ya wazi ya kifungu kinachoanzia tangia 3:137 kuzungumzia kuhusu kifo cha Kristo. Hitimisho jwa hiyo ni kwamba maneno haya ya aliyetetewa, Kristo, na alrasul (dini) yote

Page 9: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani Page 9

maneno yanatofautiana na hiihii “dini iliyopitilia mbali kwa namna sawasawa tangu kabla ambapo dini zote” – alama au mhuri wa Makanisa walipewa hawa 144,000. Ukweli ni kwamba sio manabii wote anaowaelezea “Muhammad” kuwa Kristo ni mhuri uliotolewa kw hawa 144,000 kuhubiri, hata kama wanashindwa kushiriki hiki wenyewe, hadi ifike siku ile ambayo wote watakuwa wamoja.

Mahali pote panaposema pakitaja "Nawe" palipotumiwa kwenye Korani panamtaja mursal – ambaye ni muumini binafsi wa kanisa kwa ngazi ya kibinafsi – vinginevyo ni kama itafafanuliwa au kurasimishwa na mahudhui ya andiko kama kwa mfano kwenye sura ya 66:1 ambapo Qehilat anakemewa au kulaumiwa kwa kutawaliwa na maamuzi ya mwanamke aliyeolewa badala ya kuuliza ushauri kutoka kwa nabii.

Alislam, maana yake ni Unyenyekeu au Kujinyenyekeza kwa Kusalimtu Amri, ni neno lililotumika kuutaja mfumo wa kidini na imefanyika kwa maana kubwa sana limefanyika kuwa jina la dini. Hata hivyo, kwa hakika hili ni jina la mfumo halali au Din (Korani 3:19, 85; 5:3; 61:7-9). Imani ya Kweli ni neno. Kwenye Agano Jipya ilikuwa ni dini ya wafuasi wengi iliyoitwa Njia au Imani Waliyopewa Watakatibu Mara Moja tu na huo ni maana inayotumika kwenye Korani 61:7-9. Ni wazi kabisa kwamba kutoka kwenye matumizi ya Korani, na inalinganishwa na Agano Jipya, ambalo KRISTO ameungamanishwa mwili wa dini yetu kama ufunuo toka kwa Mungu kwa Maryamu. Kwenye nyaraka za Paulo kwa mfano tunasoma Kristo kwenye Ukristo. Dini hii inaitwa pia “Ukumbusho wa Allah" na Kweli. Ushuhuda wa Yesu ni “Roho ya Unabii”. Kuna kiumbe mwingine anayeonekana kushabihiana na Gabrieli (Korani 2:97). Gabrieli wakati mwingine anatajwa kimakosa kuwa ni kama Roho Ameen (Korani 26:193) au Roho wa Kweli, ambaye ni Roho Mtakatifu (soma Yohana 14:17, 15:26, 16:13). Malaika wa Bwana alimtokea Yohana kisiwani Patmo kama mmoja aliye kama mwanadmu (Ufunuo 1:13). Baada ya kuzaliwa kwake Kristo, kiumbe huyu anajulikana kama Gabrieli,

Malaika aliyetumwa kwa Manabii na kwa Kanisa (Danieli 8:15-12:13), pamoja na kwa Mtume huyu wa Waarabu alipokuwa pangoni.

kuna sehemu moja tu inapomtaja (Korani 33:53) kwenye Korani yote kwa mabibi arusi wa Kristo kwenye nafsi ya tatu (viumbe wengine wote wameelekezewa moja kwa moja neno “Wewe”). Sehemu zote zilizowataja wake wa manabii kwa upande au namna nyingine panamtaja wanawake walioolewa na Qehilat. Binti za Alnabi wanawake ambao hawajaolewa wa Qehilat, kama ilivyokatazwa kwa wanawake wasioolewa na waaminio ambao wanapaswa kuweka kiapo cha utii ili aungane na Qehilat kama binti. Hii ina maana kwa maana ya kuwa Mabibi arusi wa Rasulullah wanapoitwa waingie kwenye Ufalme wa Mungu.

Mtume au Nabii (Alnabi) inapasa atambulike kama Qehilat (familia ya uzawa na waongofu kamili), ufalme wa Kristo hapa duniani na ndio wa Kanisa. Hii AlBayt inatajwa kuwa ni kama nyumba ya mtume, (yaani ni nyumba ya sheria) na hawa AhlulBayt ni waamuzi au mahakimu, wanasheria, wazee wa mabaraza na familia zao (wa namna zote mbili, yaani Qehilat na sasa walioongoka kikamilifu), wote kwa pamoja ni Mabibi Arusi wa Rasulullah na wanajumuisha Hekalu jipya.

Hawa ni milango muhimu sana katika kuilewa Korani. Kwa kuwa Kanisa na kazi zake zimepotoshwa na waandishi na wafafanuzi wa Hadithi, na kupotosha maana ya Korani (Kur’an) Inapuuzwa na kupotoshwa ili kwamba wafuasi au umma wa Uislamu usikielewe vizuri kitabu hiki.

Inapingwa kuaminika kwamba Kanisa liliangamizwa na kile kilichokuja kuwa Uislamu mpotofu baada ya kupit kwa Mahalifa Wanne Walewale Waliolinda.

Mtakatifu wa Kishia (Shiite), Imamu Husayn sasa ana Washia wengi huko Iraq wanaotembelea wakifanya ziara ya hija kwenye kaburi lake. Alikuwa wa mwisho kuchaguliwa kwene upotoe ambao ulikuwa umeanza kuchukua mkondo wake kwene

Page 10: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Page 10 Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani

jamii nzima yote ya Uislamu moja kwa moja mara tu baada ya Mahalifa Wale Wanne Waliokuw Wanaongoza. Anaonekana huenda kabisa alikuwa ni kiongozi aliyekuwa amebatizwa kwenye Kanisa la Mungu na alikuwa ni mshika Sabato. Baada ya kifo chake kanisa liliiga mtindo au mbingu chafu za kisiasa za kuwanamazisha watu kwa kipindi fulani. Imamu mwingine aliyeitwa Jafari anaonekana kuwa aliunganishwa na vuguvugu la chini kwa chini ingawa hakuwa ameitangaza hii kamwe kwa wazi kwa maneno mengi sana kutokana na hatari iliyoonekana ingetokea. Washia wa Iraq na wale walioibuka moja kwa moja kutoka kwenye vikundi waliomuinua Jafari na kumtukuza kama “afanywavyo papa” na kwa hiyo walijiondoa wenyewe kutoka kwenye kanisa la kweli. Wakiwa wamemaanisha kabisa na miunganiko waliendeleza pamoja na mistari yao wenyewe na ushawishi wa Wasuni wakati Kanisa liliondoshwa na kuhamishiwa kwenye maeneo meingine na kujikusanya au kujiunda na kile kilichokuja kuwa ni vituo vya mila na desturi za Wasufi waliotoka maeneo ya mbali ya Uchina.

Kanisa liliongozwa na kulindwa na Roho Mtakatifu na huyu ndiye Ahmed/Mwombezi aliyetajwa kwenye Korani. Neno Muhammad ni sawa na maana y uwingi ya: waliotetewa. Yesu alikuwa ni Mwana wa Adamu wa kwenye biblia, na Muhammad (au waliotetewa) ni wana wa wanadamu kwenye ufalme wao. Yesu alikuwa ni malimbuko ya Muhammad. Mahmoodan ni kiambishi cha kisifa, kama kusema “kufikia kimo na wasifa wa wa Mahmoodan”. Mahalifa Wanne hadi kufikia kwa Hasan, Husayn na Jafari nao hatimaye walikuwa au waliitwa Muhammad.

Ndipo kwa hiyo tunawasoma hawa Mahmoodan kuwa wametajwa kwa lugha hiyohiyo kama alivyotajwa Kristo:

3:144: Na Muhammad hakuwa ila ni Mtume tu. Wamekwisha pita kabla yake Mitume. Je, akifa au akauwawa ndiyo mtageuka mrudi nyuma? Na atakaye geuka akarudi nyuma huyo hatamdhuru kitu Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu atawalipa wanao mshukuru.

33:40: Muhammad si baba wa yeyote katika wanaume wenu, bali ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na Mwisho wa Manabii, na Mwenyezi

Mungu ni Mjuzi wa kila kitu.

Kwa hili tungeona Isaya 9:6 na Masihi akiwa ni kama baba wa milele anayechukua au kupewa na kustahili heshima kama dini ya Kimungu ya manabii 144,000. Kristo ni mfano (kwa Kiyunani: icon, kwa Kiebrania: Micha) wa Mungu (El).

Ufunuo sura ya 7 inawataja au kuwaonyesha hawa manabii 144,000 na sehemu yao kwenye makabila ya (wakiwa 12,000 kwenye kila kabila) na wakiwa pamoja na Kristo kama makuhani wao wenyewe wakiwa na Makutano Makubwa, ambao ni Kanisa.

47:2: Na walio amini, na wakatenda mema, na wakaamini aliyo teremshiwa Muhammad - nayo ni Haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi - atawafutia makosa yao na ataitengeneza hali yao

Mahala pa hawa Mahmoodan ni kwamba wao ni malaika wa Kristo, na kwa ndivyo Muhammad anamfunua Kristo (ambaye ni kweli) kutoka kwenye Uungu kupitia kwake yeye mwenyewe. Cha muhimu hapa ni kwamba imani inapasa ionekane kwa kupitia matendo. Wazo hili limeendelezwa na Mitume, Yakobo, Yohana, Petro na Paulo. Yakobo anasema kuwa imani bila matendo imekufa (Yakobo 2:14-26). Andiko hili linarudisha nyuma kwenye hisia na mawazo yake kwenye Agano Jipya juu ya imani na matendo.

Tunaona pia kwamba Muhammad ni dini ya Kimungu ambaye ni, mfano wa Mungu wa Pekee na wa Kweli kupitia kwa Roho wa Mungu.

48:29: Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama na kusujudu wakitafuta fadhila na radhi za Mwenyezi Mungu. Alama zao zi katika nyuso zao, kwa athari ya kusujudu. Huu ndio mfano wao katika Taurati. Na mfano wao katika Injili ni kama mmea ulio toa chipukizi lake, kisha ukalitia nguvu, ukawa mnene, ukasimama sawa juu ya ubuwa wake, ukawafurahisha wakulima, ili kuwakasirisha kwa ajili yao makafiri. Mwenyezi Mungu amewaahidi walio amini na wakatenda mema katika wao msamaha na ujira mkubwa.

Andiko hili linaonyesha kuwa wale walio na imani kama wawakilishi wa Makanisa ya

Page 11: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani Page 11

Mungu, ni Malaika wa Ufunuo wa Mungu. Ni mbegu zilizopandwa kwene udongo wa injili. Roho Mtakatifu anawafanya kuwa kama mfano wa Mungu asiyeonekana waliw ni udhihirisho wa dini ya Kimungu. Andiko hili pia linaelezea juu ya kujitoa kimaombi kama ilivyoamriwa na ambavyo mfano wake uko kwenye Torati. Kwa hiyo walifuata sheria ya Mungu kwenye Torati. Kabrasha zinazohusiana na sunnah za Mtume wa Waarabu zinashuhudia ukamilifu wa Torati iliyoshikwa na kuadhimishwa na mwanadamu, na ni hii ndiyo inayomfana yeye aweze kufikia kimo cha Mahmoodan na kuendelea hadi kuwa zaidi ya Mursal wa kawaida.

Korani 42:51 inaonyesha Mursal kuhusu mwendelezo kutoka kwenye mambo yake yaliyopita hadi kwenye hali iliyopo sasa. Hii inafanyika kupitia Roho Mtakatifu kutoka ubatizo na kwa imani – Roho wa Ameen (Korani 26:193). Waislamu wengine wanamfanya Roho huyu wa Ameen kuwa ni Gabrieli kutokana na Korani 2:97, wakati kwa ukweli ni uweza wa Mungu unaokuwa ndani ya mtu na huyu mwingine ni mjumbe wa Mungu kwa Kanisa anayemsaidia Kristo.Kwenye andiko lililo kwenye Korani 17:79 tunaona kuwa Korani inasema kuwa kichwa cha Kanisa, yaani Mungu kupitia Kristo, atamfanya Mursal (mshirika wa Kanisa au bibi arusi wa Kristo), kufikia daraja la Mahmoodan au kufanyika kuwa Muhammad, ambavyo ni kuwa mtetezi au kuwa wenye kutetewa kwa kuwa Mursal anashikilia mkesha wa usiku (ilinganishe hii na utawala wa kijamii wa Qumran pia). Mkesha wa Usiku ni utajaji wa moja kwa moja wa Ulinzi wa Usiku ukimaanisha usiku wa Pasaka. Mchakato ulianza kama mwanzo wa siku ya 14 Abibu, ambao ni wa Mlo wa Meza ya Bwana. Ni kama vile Kristo alivyotiwa nguvu kipindi hiki na ndivyo hata pia wakeshaji watatiwa nguvu. Ulikuwa ni usiku huu ndipo Kristo alichukuliwa na kujaribiwa kwa mateso, na kushitakiwa siku iliyofuatia na kuangikwa mtini. Alikuwa ni Mwanakondoo wa Pasaka na aliuawa akiwa kama Mwanakondoo wa Pasaka na usiku ule Kanisa likaifanya mkesha uliyoitwa Usiku wa Kukesha au Usiku wa Kuuangalia sana hadi mapema asubuhi ya Siku Takatifu ya

Mikate Isiyo na Chachu wakati waliporejea kwenye hemani zao (sawa na Kumbukumbu la Torati 16:5-7).

Korani 17:79 inachukua wazo la Makanisa ya Mungu yaliyo kwenye Ufunuo sura ya 2 na 3 katika kuendeleza mchakato wa uchaguzi wa Makanisa Saba. Kipindi hiki ambacho Korani iliandikwa kilikuwa ni zama ya Wapergamo. Kanisa la Mtume wa Waarabu, na kanisa la Wapaulicians ambalo wakati huo walikuwa wanafanya kazi au huduma pamoja walikuwa kama wanapigana na wasingeweza kuchukuliwa na joka hadi kwanye ile iitwayo imani kali au u-orthodoxy. Hata hivyo, hawakuwa wamekamilika na Kristo alisema kuwa walipaswa kutubu vinginevyo angekuja kinyume chao na upanga kinywani mwake.

17:79: Na amka usiku kwa ibada; ni ziada ya sunna khasa kwako wewe. Huenda Mola wako Mlezi akakunyanyua cheo kinacho sifika (yaani kuwa Muhammad).

Neno la Kiyunani paraclete (periklytos/paraklytos) ambalo ni neno linalotumika likimaanisha kama Mfariji ambaye alinenwa kwenye Yohana 14:26 kama Roho Mtakatifu, kwa tafsiri ya moja kwa moja na kimwili “kuita sambamba ya”. Neno lililotumiwa kulitafsiri kwenye maandiko ya lugha ya Kiaramu ya maandiko ya Biblia ni Mahmed, ambalo pia linamaana ya kusifiwa au sherehekewa kutoka kwenye shina au msingi wa kijineno Ahmed. Hii imechukuliwa ili kuyaunga mokono mawazo hayohayo tunayoyaone kwenye neno “Muhammad.”

Kwa hiyo Sura 7:157 inamtaja Roho Mtakatifu:

Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii, asiye soma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika Taurati na Injili, anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyo kuwa juu yao. Basi wale walio muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa.

Kifungu hiki cha maandiko ni cha lazima. Ni wale TU wanaofuata mambo ya dini

Page 12: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Page 12 Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani

watauona ulinzi wa Roho Mtakatifu kupitia kwa Qehilat. Andiko hili halimtaji mtu aliyeitoa sura, na ni kufuru kumlinganisha na mtu yeyote. Linataja moja kwa moja na maelezo yaliyo kwenye Yohana sura ya 14.

Andiko lililo kwenye Yohana 14:26 kuhusu Roho Mtakatifu linatajwa tena kwenye Sura 61:6:

“Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati, na mwenye kubashiria kuja Mtume atakaye kuja baada yangu; jina lake ni Ahmad! Lakini alipo waletea hoja zilizo wazi, walisema: Huu ni uchawi ulio dhaahiri!” (Sura 61:6)

kutajwa kwa Roho Mtakatifu (Ahmed) kunalitaja pia matendo ambayo yalikuwa yanaonekana wakati Roho Mtakatifu alipokuwa anatenda miujiza aliyokuwa akiitenda, na ukweli wa kwamba ilifanyika yenyewe tu kama mazingaombwe na, kwenye mfano wa kwanza alionekana kama ulevi kwa wale mitume. Hii ndiyo maana ya hii aya, au fungu la Sura ya 61.

Wimbo Uliobora wa Sulemani unaleta maana ya kwenye sura ya 5:16. Neno hili limetafsiriwa kama mpendwa kwenye tafsiri ya KJV kwenye kamusi ya Strong’s 4261 Machmad ambalo limetolewa kutoka kwene kijishina cha chamad (SHD 2530), likimaanisha kutangaza au chukua shauku kwenye, kwa hiyo uzuri na inayopendwa sana. Kwa Kiaramu inamaana, kusifu au au kusifu au kuithibitisha. Ni sawa na shina la neno Ahmed, lilivyo kwenye HMD. Matumizi haya yanahusiana na dhana ya Kristo kuwasifia wateule kwenye mkusanyiko au mkutano wa Yeye Aliye Juu Sana. Neno lililo kwenye 5:16 ni Machmadim linamaanisha maana ya jumla ya kitu kinachoathirika.

Machmad au Mahmed maana yake ni ktu kinachotaabika au kuathirika na ndiye mpenzi. Mpenzi anayetajwa kwenye Wimbo Uliobora wa Sulemani sura ya 5:16 inamaanisha ni Kristo kama Wimbo unavyomtaja Kristo na Kanisa (soma jarida la CCG lenye kichwa cha maneno Wimbo Uliobora (Na. 145)). Kwa hiyo maana

kwenye Kiebrania yanaweza kuhamishwa kutokana na kumtaja kwake Kristo na mwili kuonekana kama Mahmed kwenye Kiaramu cha Mashariki na hata kwenye Kiarabu. Muhammad ni Kristo na mpenzi au wenye kusifiwa ni Kanisa.

Ni makubaliano hayohayo iliyanyika kwenye mijadala ya kazi kuhusu muundo wa maandiko ya Korani na ya Biblia.

Kwa mfano, kwenye Torati maneno yanamtaja au kumuonyesha Mungu kwa kutumia maneno mawili “Mimi Niko”; mojo ni ya kiume, "Ani" na linguine ni la kike, "Anki." Ilishauriwa kwamba mfumo huu huenda unaweza kuwa ni wa asili wa miungu miwili ya huko Mesopotamia na ambayo ilikuja kujulikana kama An na Enki. Ani mara zote anamuinua na kumtukuza Anki. Ni sawasawa kabisa kwa namna hiyohiyo ya kumuelezea na kumtamka kwa sauti (Anni Korani 11:2) kwenye Korani yote anamtukuzwa Allah.

Kama tungekuwa tunaiandika Korani kutoka kwenye uandishi wa Kiebrania mapema kabla ya mmwendelezo wa kiteolojia wa kumtofautisha Allah, basi tungelichukua andiko la Kiarabu na kutumia neno Ani (Mimi) na Anki (Niko) badala ya kuandika au kuitamka sauti “Mimi” ya kumtukuza Allah. Kutoka kwenye majarida yanayoelezea kuhusu asili ya Mungu twaweza kuona kwamba “Mimi Niko” aliye kwenye Torati ni yeye yule “Mimi Niko” aliyetumika kwenye Ufunuo wa Yohana, na alimaanishwa kama jina linguine la Allah badala ya kujitaja mwenyewe. Limetokana na andiko lililo kwenye Kutoka 3:14 ‘eyeh ‘asher ‘eyeh au Nitakuwa kama nitakavyo kuwa zaidi kuliko Mimi Niko. Kwa hiyo tunaweza kuwa, "Mimi Niko (ni) Alfa na Omega" kwa moja ya mistari hiyo.

Kipande kingine kinachofanana cha taarifa ni kwamba kama tutayachukua maneno ya Sisi/Sie/Yetu/Chetu (kiini cha lile linaloonyesha msemaji anakiongelea kwa kuunganisha na Elohim wote) waliotumiwa na Umungu wa Sifat (anayeongelewa) kwenye Korani kwenye uandishi wa mtindo wa Kiebrania ingesomeka, "Elohim anasema

Page 13: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani Page 13

Mimi/Mie/Yngu/Changu". Kwenye Biblia mara nyingi tunasikia ina hii ya kujieleza kwa Elohim, lakini kwenye Korani, kwa kuwa ni Elohim peke yake ndiye anayeongea, hatulkioni kabisa fungu hili kwa kuwa fafanuzi zilikuwa hamwe hazijaandikwa ili kuyaongeza maandiko yasiyokuwepo (na hatimaye kuyaruka kwa kutumia ya bandia, ambayo kwa sasa ni kama vidudu vingi kwenye machimbo au mashimo ya giza ya Hadith).

Sauti inayoelezewa ya maandiko Biblia ni Ha-Davar kama Neno la Mungu kwenye Kiebrania cha Agano la Kale, ambalo linachukuliwa kama Logos kwenye maandiko ya Kiyunani. Kama ilivyoelezewa hapo juu, ni Jina la Mungu ambaye ameongelewa au kuelezewa habari zake kwenye Korani. Hii inaindiza mawazoni mapokeo ya Kiebrania, yanayodhani kwamba, “Hapo Mwanzo Kulikuwa na Mungu na Jina” ambaye tunaweza kuhitimisha kuwa yu sawa kwenye maana yake, kwamba “Hapo Mwanzo kulikuwa na Logos na Logos alikuw pamoja na Ton-Theon” (Yohana 1:1).

Jina la Kanisa na imani au muundo wake kwenye Korani inahusiana na kufanyizwa kwa mwili kama ilivyoanzishwa na Yohana Mbatizaji. Hata hivyo, ni makosa makubwa sana kudhania kuwa kuundwa kwa mfumo wa uislamu kulifanywa na shule ile zaidi kuliko kuwa ni mwanzo tu wa hiyo yenyewe na kuendelea mbele kwenye mwili uliokua kutoka kwa Kristo na Mitume baada ya kifo cha Yohana Mbatizaji. Ni mwili huu ambao ndio AhlulBayt. Ubatizo wa Yohana haukupelekea wokovu kama Agano Jipya linavyoonyesha kwa wazi sana. Ubatizo wa Yohana Mbatizaji ulikuwa ni kwa ajili ya toba (Teshuvah). Ubatizo wa Yohana ulikuwa ni wa kuandaa au kutengeneza njia, lakini ulikamilika kwa ubatizo wa Kristo na upokeaji wa Roho Mtakatifu, ambaye anafanyika kuwa ni Kanisa la Mungu, AhlulBayt. Hili ni Kanisa amoja na vile Korani (maana yake "Mjumuisho" au "Tamasha") lilifunuliwa na Kanisa ambalo linaendea kila mara kuwatia mafuta Mursalin wanaotumika na kutenda kazi kama Muhammad wa Masihi.

Huduma ya kikuhani ambayo kwa kweli ni ya wazaliwa wote wa kwanza ndiyo iliwaweka wakfu wanaume na wanawake kuwa wafalme na makuhani, inaitwa Alnabi kwenye Korani na kwa Waislamu. Alnabi ni Israeli kama 144,000. Kanisa linahubiri Injili ya Ufalme wa Mungu na Masihi kwa Mataifa kiliwa kama "The-Jumba la watawa kwa Wamataifa" au "Al-nabi Al-emi." Kuhani wa Kanisa, Al-Nabi, aliyekuwa wa chuo cha zamakale. Kila mtu binafsi yake ni mursal au kwa uwingi ni Mursalin. Washirika wote kabisa hukusanyika. "Hekalu Watu" au "Ahlulbayt". Pia wanaitwa wake wa Alrasul. Nyumba za Alnabi ni nyua za chini na ni kituo cha ibada kwa Waumini. "Dini ya Kimungu” ni Rasulallah.

Kila mmoja wa watu waliotokana na hekalu, watu wanaunda mvumo, ni wale wote waliokuja Kanisani kutafuta kimbilio. Wanaitwa Ma Malikat Alaymen, "wale wa mradi iliyoahidiwa".

wanaume wote walioolewa na kutiwa mafut au kuwekwa wakfu ni mababa (lakini wanaitwa Doddi - “Mjomba Wangu” – na wala hawaitwi Abbi -“Baba Yangu”- wala Abina -“Baba Yetu – ambayo ni majina yanayotumika kwa kumuita hivyo Mungu eke yake), lakini kundi la vijana waliochumbia na ambao wameweka ahadi ya kwanza ya uchumba wanaitwa Wana. Maneno ya lugha ya Anglo Saxon ya Dad na Daddy yamechukuliwa kutoka kwenye neno la Kiebrania la Doddi, ambapo ni kuepuka neno Baba kwa kuwa linatumiwa kwa kumuita hivyo Mungu. Kwa jinsi hiyohiyo Kanisa huko Ulaya, miongoni mwa wa Waldensians, waliwaita makasisi wao Mababa (Barbes) au Wajomba kama sio uvunjifu wa maagizo ya Kristo kuhusu kitendo hiki cha kumuita mwanadamu “baba”

Vijana wa wote wa kiume wasiooa kundini ambao wameweka ahadi ya kwanza ya uchumba wanaitwa Wana wa Mpendwa, wakati wanaume wote waliowekwa wakfu wanaitwa Ndugu au Kaka, na wanaume wengine wote wanaitwa Wajomba au Wana wa Dada Zetu.

Page 14: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Page 14 Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani

Wanawake wote walioweka ahadi ya uchumba ni Wadada, wanawake walioolewa zaidi ya kuwa Wake wa Jumba la watawa wa kike (Mama wa Waaminio) pia, wengine wote wanatajwa tu kama Wanawake waaminio.

Wale waliobatizwa ni mursaleen (Mwanamke = morasulat, Mwanaume = morasuloon). Kama jina linavyoashiria, mursal linaashiria kuwa bibi arusi wa Alrasul (KWELI). Ubatizo unakuwa umefanywa na Alrasul.

Waumini (muminin) wametajwa pia lakini hawa hawajawa Mabibi arusi, wala hawajawa Mursalin, wala hawajawa sehemu ya Ahlulbayt kwa namna yoyote ile, lakini ni wasikilizaji yale Kanisa inayoyahubiri na kujifundisha kwayo. Kuna wale walio kwenye mchakato wa kuitwa kwenye mwili wa Kristo ambao ni Kanisa la Mungu.

Chini ya Waumini kuwa Wapatanishi (Waislamu) ambao ni marafiki au wanalipenda sana Kanisa na wanakusudiwa hatimaue kuwa ni wana wa Mungu ingawa imani haijawaingia bado mioyoni mwao.

ingawa tunamzungumzia mtu mmoja aitwaye Muhammad na ameelezewa kwenye Korani habari zake, jina halifikiriki kuwa hili ni suala la yote. Zaidi sana, tunadhani kuwa Korani ni mkusanyiko wa mamia ya mafunuo yaliyokuja kwa kupitia manabii wa Kanisa kwa kipindi cha miaka mingi. Uhusiano huu ndiyo maana baadhi ya mapokeo mengine yanasema Mtume uyu Mwarabu alikuwa ni Sabi. Sabiyah ni jina la Kiarabu la wale wasio na uhusiano wa kinasaba na Waisraeli na ambao hawajawa waumini walioongoka kikamilifu na kuwa washirika wa Nabi, na inawataja wale tu walioingia Kanisani kwa njia ya ubatizo, lakini inadaiwa kuwataja wanafunzi wa Yohana Mbatizaji. Hata hivyo, madai yaliyofuata baadae hayawezekani kutoka kwenye ushuhuda wa Maandiko Matakatifu na kwenye historia za Kanisa. Hawa Sabiyah wanaotajwa ni \Kanisa la Watunza Sabato la Roho Mtakatifu. Mafunuo haya yote yarikusanywa kwenye kitabu kimoja huko

Uarabuni huenda ni kazi iliyofanyika chini ya Usman.

kwa namna fulani kitendo cha kutafuta na kutukuza daraja la wa Mahmoodan lilikujaeleweka kama mtu mmoja binafsi yake na mkusanyiko wa tamasha ulionekana kwake. Nyingi ya Hadithi hizi zimhusuzo yeye ni hadithi za wazi sana za nabii Musa ambazo zimeandikwa tu tena.

Unenaji wa mqaneno yanayoonekana kwenye Korani 5:75 na 3:144 yanaashiria kuwa Muhammad na Mtoto w Maryam aitwaye Kristo ni huyuhuyu mmoja tu na Yule wa “dini za Madhehebu yaliyotangulia kabla yah ii (au yaliyowatangulia wao?)”. Huenda hii “dini ambayo imepita Dini nyingine nyingi zilizokuwepo hapo nyuma kabla ya hii” yaweza kuwa ni dini isiyoonekana, na huyu Kristo, Mtoto wa Maryamu na Mohamedi wanaelezea tu juu ya watu wawili wa kitu kimoja (yaani Dini) ambayo kwamba moja wapo ndiyo ilikuwa ya huyu (Muhammad au Mohamedi) alidumu na kuifia (3:144), na mwingine (Kristo), ni ya mbinguni. Ulimwengu huu unaelezea jinsi Neno la Mungu linamuongelea Yesu mtu kwenye nafsi ya tatu kwa majina hayahaya ya Muhammad.

ni ukweli kwamba maamlaka mengine fulani au taasisi zinajiita zenyewe “Muhammad” yaliyokuwepo kwa Mabibi arusi wa Rasulullah na ilipeleka barua kwa wa Byzantium na Wachina (ni ushahidi pekee wa kihistoria wa kuwepo kwake unaopatikana kwenye tovuti ya:http://www.islamicresources.com/member/modules.php?name=Sections&op=listarticles&secid=5). Maandishi yaliyo kwenye ngome za Waarabu yanaonyesha kuwa neno hili lilikuwa likitumika pia kwa kuonyesha mamlaka, lkini ni wazi pi asana kwamba serikali hii sio ile isiyoweza kufikia kikomo chake (Korani 3:144).

Ni wazi kwamba kutokana na Korani 17:79 mtu Yule aliinuka na kufanyika kufikia daraja la Mahmoodan ambalo ni lengo analotamani kulifikia kila mursal. Ahmed kwa kweli maana yake ni Mtetezi na

Page 15: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani Page 15

Muhammad (Korani 3:144, 33:40, 47:2, 48:29) na Mahmoodan (Korani 17:79) kwa kweli inaelezea uhusiano wake na Ahmed, lakini wengi wanatofautiana kwa kile tunachotarjiwa kama maneno ambayo hayana uhusiano wa kimuonekano na lugha ya Kiingereza.

Yesu (au kwa kifupi tu anitwa Yese; na sasa Isa) ni jina ambalo Korani inampa mtu aliyeweza kuishi akiifanya kazi na wajibu wake kwa ajili ya Wokovu wa Mungu. Akiwa kama Wokovu wa Mungu (kwa Kiebrania ni Yahoshua maana yake Yoshua) Je’ses (Yesu) alikuwa ni mubasher wa WAKILI au Ahmed (ambaye wasioelewa waliita mazingaombwe tu au uchawi na ambayo tunadhani ungekuwa ni Nguvu halisi). Yesu alikuwa ni malimbuko, kanisa lililobatizwa. Twaweza kujionea kwamba maana ya wadhifa wa huyu Muhammad kwa kweli ni sawa tu na vyeo au nyadhifa nyingine inayoweza kupewa kwa mtu aliyebarikiwa sawa miongoni mwa Walio Malimbuko. Kwa hiyo Jeses au Yesu alikuwa ni Muhammad wa Kwanza, na tunamuona Muhammad akija kwa nguvu kama jina la jumla la mwli wa Kanisa. Lakini hatima yake ni hitimisho na mwisho wa Mursalin wote kufikia cheo au wadhifa wa Mahmoodan.

Tatizo ni kwamba hawezi kuwa ni mtu mmoja isipokuwa ni yeye Yesu au Isa, ambaye ni Kristo (Korani 3:144 + 5:75 + 61:6), lakini haiwezi kuwa ni huyu Jeses kwa sababu ya ngome zilizoelezwa hapo juu na nyaraka. Kwa hiyo inapasa kuwa ni mwili au bodi yenye mamlaka ya zaidi ya mtu mmoja. Lakini ni bodi gani yenye mamlaka ambayo iko sawa na Kristo Mtoto wa Maryamu na inayodumu kwa kila kizazi NA KWAMBA, kama kila kizazi hufa na kupitilia mbali?

Tunajua kwamba ‘Mtume’ kwene Korani 23:51 inataja mamlaka ya "Muhammad" ambayo tunayatarajia. Mamlaka hii ni ile ile na waliyoitaja Mitume kwenye 1Wakorintho 12:28 kama mamlaka ya juu zaidi kwenye Kanisa. Huyu wa 12 ni mmoja pamoja na Kristo, Mtoto wa Maryamu (Yohana 17:22), na tena wapo kimaadili na wanaweza kukiuka uadilifu, wakapotoka, wakafa, kuuawa na wanaumbwa.

Ni wazi na dhahiri kabisa kutoka kwenye Korani 3:144 kwamba Muhammad na Kristo Mtoto wa Maryam ni “dini za kutoka kwenye dini zilizopita kabla ya hii” na kwamba madaraja yake yote mawili havina kutu kingine zaidi sambamba yake. Ni wazi sana pia kwamba mauti ya ya (malimbuko) na mtetezi kama huyu hayapaswi yachukuliwe au kuhesabiwa kama tatizo kwa kuwa “dini ilitozipita Dini zote za kabla yake” haifi, ingawaje watakatifu mmoja mmoja walioanzisha jambo hili lisilo na mwisho ni dhahiri wanakufa hadi siku ya ufufuo wa wafu. Kwa hiyo viongozi wa Kanisa ni bodi muhimu inayobeba uweza au mamlaka ya Mungu kama Uweza wa Roho Mtakatifu au Mtetezi na Mwombezi. Kwa hiyo uongozi wakati wote ulieleweka na kujulikana kama ni wa wale Kumi na Mbili. Mapokeo au desturi hii ni ya kawaida kwa dini zote mbili, yaani Uislamu na Makanisa yanayoshika Sabato na ndiyo sababu idadi ya watu kumi na mbili ilitumika mara nyingi kwenye muundo wa Makanisa ya Mungu na kuendelea hadi leo. Tuna baraza la wazee na kwakawaoda wako kumi na mbili idadi yao na wanaenea hadi kwenye makundi ya kitaifa kwenye muundo ule.

Maandiko Matakatifu yana baraza la makabila kumi na mbili. Makabila hayo pia yameundwa kwenye makabila ya Ishimaeli, na kwa pamoja yanaunda mzunguko wa ndani na nje wa baraza, na kwa hiyo kufanya taswira ya wazee 24 na viti vyao vya enzi vya mamlaka huko mbinguni. Makabila hayo yamewafanya wateule kuwa wafalme na makuhani na hawa wateule wanafanya ile idadi ya watu 144,000 na Mkutano Mkubwa unaowafuata, ambao ni Kanisa. Mhuri au alama ni kitu cha kawaida katikati yao ambao unawafanya wao kuwa ni mwili wa Kristo kwa njia ya Roho Mtakatifu.

Desturi ya kuwa na idadi ya watu kumi na wawili kwenye dini ya Kiislamu inaonekana kuhusiana pia na idadi kama jambo la siri na inachukuliwa kila mara kama talasimu au hirizi. Mapokeo au desturi ile yawezekena sana kukuta chanzo chake kwa mihuri kumi na mbili ya mitume kama viongozi endelevu wa Kanisa. Mihuri ilikuwa inatumika kwa

Page 16: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Page 16 Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani

kupigia kura na mijadala kwa kipindi chote cha mtume huyu Mwarabu na kipindi cha Uongozi wa Mahalifa Manne wengine waliomfuatia. Kutokakana na Korani hakuna shaka kabisa kwamba Mtume huyu Mwarabu alishika Sabato na alikuwa ni mshirika aliyebatizwa wa Kanisa la Mungu la mrengo wa Kiyunitariani lililokuwa huko Uarabuni. Alifundishwa na kuelimisha na mmoja wa maafisa wenye elimu kubwa ambaye alikuwa ni mjomba yake huyu Mtume. Aliwezeshwa na waumini wa Kanisa ambao walikuwa pia Wasabato wa Makanisa ya Mungu hadi mwishoni mwa kipindi cha Uongozi wa hawa Mahalifa Wanne pamoja na Jafari.

Sura 114 kwenye matamko 26 ya Uislamu ziliwekwa kabla ya hawa kumi na mbili kuwa mitume na ambao roho ya unabii ilikaa ndani yao, matamko yenyewe yalikuwa ni kwamba kutoa mhuri wa mamlaka ya Kanisa kama mafundisho makuu yake.

Ufafanuzi au matamko hayo ni kama yafuatayo:

Eilami Kuna maandiko 6 ya ufafanuzi yanayoitwa Eilami. Ni nakala pekee ambazo Jina la Mungu (linaonekana huenda kama baba wa milele kama ilivyo kwenye Isaya 9:6 na pia ndipo ilipoandikwa kuwa Jina LANGU liko ndani yake) likituelekeza sisi amri kama watoto mara tu baada ya kuelezea kuhusu Lukeman.

Eilamiusu Kuna kitabu kimoja cha ufafanuzi cha Elamus.Eilar Kuna vitabu 5 vya ufafanuzi vya Eilara.Eilamira Kuna kitabu kimoja cha ufafanuzi cha Eilamra.Kahaiyasu Kitabu cha ufafanuzi chaa Kahaiyasu ni kimoja pekee ambapo jina la Mungu wakati wote limepewa kuwa kma Rehema kuliko kuwa ni nguvu au Uweza.Taho Kuna kitabu kimoja tu cha uffanuzi cha Taho.Tuisimi

Kuna vitabu viwili vya ufafnuzi vya Tusimi.Tuisi Kuna kitabu kimoja tu cha ufafanuzi cha Tuisi.Yosi Kuna kitabu kimoja tu cha ufafanuzi cha Yosi.S (Simon)Kuna kitabu kimoja cha ufafanuzi chaa S.Hami na Aisiqa Kuna vitabu 6 vya ufafanuzi vya Hami. Moja ya vitabu hivi vya ufafanuzi pia ni cha Aisiqa.Kitabu cha mwisho cha ufafanuzi kwenye Korani huenda ni Kur’ani yenyewe. Ni mwisho kabisa wa tabia zake na kinaonekana kuchukuliwa kama ni Neno la mwisho la Mungu kwa mkusanyiko wa vitabu vilivyofunuliwa, ambao, ingawa haukukamilika kwenye Tofauti iliyokuwepo kwenye Kanisa la Mungu. Sura ya Nambari (68) sio barua ila ni, kama ilivyo na bado inatamkwa, masalia ya neno Noon maana yake ni koleza wino vizur, na kwenye nakala nyingine za Korani bado zimekolezwa kwa herufi tatu; ambazo hazichukuliwi kama moja ya mihuri.

Kwa hiyo tunaona kuwa Korani (Kur’an) ni kitabu kinachofafanua Maandiko Matakatifu na Makanisa ya Mungu. Kuijaribu dhana hiyo sasa tutathimini au kujaribu maneno halisi ya maandiko na kuyaweka wote hayo kwenye mtazamo na Sheria au Amri na Ushuhuda dhidi ya vile tanavyoweza kuhukumiwa (Isaya 8:20). Kama makatazo ya Korani hayafanyi au hayatokani kwa mujibu sawa na Sheria na Ushuhuda ndipo Korani inabakia kuwa ni ushuhuda wenye uvuvio wa wateule wake Mungu. Kama tutakavyoona, hauanguki wala kushindwa, bali, wakati unapochukuliwa kikamilifu na kufafanuliwa, ndipo kinakwa kitabu sahihi cha ufafanuzi kuifafanua Biblia na kinaonyesha eleo na mahala pa Makanisa ya Mungu huko Mashariki ya Kati yalivyokuwa katika karne ya saba ya Zama Hizi.

Page 17: Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani [Q1]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/q1.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [Q1] Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani (Toleo

Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani Page 17