serikali ya mapinduzi ya zanzibarii yaliyomo sura ya...

94
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MAWIZARA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

Upload: others

Post on 22-Jul-2020

21 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU

WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU

WA HESABU ZA SERIKALI

KWA MAWIZARA YA SERIKALI

YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

KWA MWAKA WA FEDHA

2017/2018

Page 2: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

ii

YALIYOMO

SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1

1.0 UTANGULIZI................................................................................................................................................... 1

1.1 MAJUKUMU YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ............................................... 1

1.2 UPEO NA MADHUMUNI YA RIPOTI YA UKAGUZI ....................................................................................... 2

1.3 NJIA ZILIZOTUMIKA KATIKA UKAGUZI ....................................................................................................... 3

1.4 UMUHIMU WA UKAGUZI KATIKA KUIMARISHA UTAWALA BORA ............................................................ 4

1.5 MAFANIKIO YALIYOPATIKANA .................................................................................................................. 5

1.6 KAMATI ZA BARAZA LA WAWAKILISHI ...................................................................................................... 6

1.7 SHUKURANI .............................................................................................................................................. 7

SURA YA PILI………………………………………………………………………....……………………….9

2.0 HATI ZA UKAGUZI .......................................................................................................................................... 9

2.1 AINA YA HATI ZA UKAGUZI............................................................................................................................ 9

2.1.1 HATI INAYORIDHISHA ..................................................................................................................... 9

2.1.2 HATI ISIYORIDHISHA ....................................................................................................................... 9

2.1.3 HATI YENYE SHAKA ......................................................................................................................... 9

2.1.4 HATI MBAYA ................................................................................................................................. 10

2.2 HATI ZA UKAGUZI ZILIZOTOLEWA KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 ............................................... 10

SURA YA TATU…………………………………………………………………………………………….…16

3.0 MFUKO MKUU WA HAZINA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA MWAKA WA

FEDHA 2017/2018....................................................................................................................... 16

3.1 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI ................................................................................................ 16

3.1.1 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 .......................... 16

3.1.2 MAPATO YATOKANAYO NA MAKUSANYO YA KODI ...................................................................... 17

3.1.3 UKUSANYAJI WA MAPATO KATIKA WIZARA NA TAASISI ZA SERIKALI .......................................... 17

3.1.4 TAARIFA YA MATUMIZI YA KAZI ZA KAWAIDA .............................................................................. 18

3.1.5 TAARIFA YA MATUMIZI YA KAZI ZA MAENDELEO ......................................................................... 18

3.1.6 TAARIFA YA DENI LA SERIKALI ....................................................................................................... 18

SURA YA NNE………………………………………………………….………………………….…………19

4.0 MAMBO YALIYOBAINIKA KATIKA UKAGUZI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 .................... 19

4.1 UTEKELEZAJI WA HOJA ZA UKAGUZI ULIOPITA WA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 ................................................ 19

4.2 UWASILISHAJI WA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 KWA AJILI YA UKAGUZI ........................... 19

4.3 UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA MWAKA 2017/2018 .......................................................................................... 25

Page 3: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

iii

SURA YA TANO………………………………………………………………………………………………29

5.0 MATOKEO YA UKAGUZI KWA MWAKA 2017/2018 ................................................................. 29

5.1 WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ...................................... 29

5.1.1 FUNGU A 01 - OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ................................ 29

5.1.2 FUNGU A 02 – OFISI YA RAIS BARAZA LA MAPINDUZI – BLM ....................................................... 30

5.2 WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA, SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ............................ 31

5.2.1 FUNGU D 01 - WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA NA IDARA MAALUM .......................... 31

5.2.2 FUNGU D 02 - JESHI LA KUJENGA UCHUMI (JKU) ....................................................................... 32

5.2.3 FUNGU D 03 – CHUO CHA MAFUNZO .......................................................................................... 33

5.2.4 FUNGU D 04 - KIKOSI MAALUM CHA KUZUIA MAGENDO (KMKM) .............................................. 34

5.2.5 FUNGU D 05 – KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOZI .................................................................... 36

5.2.6 FUNGU D 06 - KIKOSI CHA VALANTIA ........................................................................................... 37

5.2.7 WAKALA WA USAJILI WA MATUKIO YA KIJAMII ........................................................................... 37

5.2.8 FUNGU D 07 – MKOA WA MJINI MAGHARIBI ............................................................................... 38

5.2.9 FUNGU D 08 – MKOA WA KUSINI UNGUJA................................................................................... 39

5.2.10 FUNGU D 09 – MKOA WA KASKAZINI UNGUJA ........................................................................ 40

5.2.11 FUNGU D 10 – MKOA WA KUSINI PEMBA ................................................................................ 41

5.2.12 FUNGU D 11 - MKOA WA KASKAZINI PEMBA .......................................................................... 41

5.2.13 BARAZA LA MANISPAA MJINI .................................................................................................. 42

5.2.14 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI-A .................................................................................... 43

5.2.15 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI – B .................................................................................. 45

5.2.16 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI ‘A’ UNGUJA ........................................................... 46

5.2.17 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI “B” UNGUJA .......................................................... 47

5.2.18 HALMASHAURI YA WILAYA YA KATI ......................................................................................... 48

5.2.19 HALMASHAURI YA WILAYA YA KUSINI ..................................................................................... 49

5.2.20 BARAZA LA MJI CHAKE-CHAKE ................................................................................................. 50

5.2.21 BARAZA LA MJI MKOANI .......................................................................................................... 50

5.2.22 BARAZA LA MJI WETE ............................................................................................................... 51

5.2.23 HALMASHAURI YA WILAYA YA MICHEWENI ............................................................................ 52

5.3 WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA ............................. 53

5.3.1 FUNGU G 01 - WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA

BORA 53

5.3.2 FUNGU G 02 - MAHKAMA KUU ..................................................................................................... 54

5.3.3 FUNGU G 03 – OFISI YA MWANASHERIA MKUU ........................................................................... 55

5.3.4 FUNGU G 04 – OFISI YA MKURUGENZI WA MASHTAKA ............................................................... 55

5.3.5 FUNGU G 05 – TUME YA KUREKEBISHA SHERIA ........................................................................... 56

5.3.6 FUNGU G 08 - KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA ................................................................. 57

Page 4: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

iv

5.3.7 FUNGU G 09 - TUME YA UTUMISHI SERIKALINI ........................................................................... 57

5.3.8 FUNGU G 07- MAMLAKA YA KUZUIA RUSHWA NA UHUJUMU WA UCHUMI ZANZIBAR ............ 58

5.3.9 TUME YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA............................................................................... 58

5.4 WIZARA YA NCHI OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS .......................................................................... 59

5.4.1 FUNGU C 01 - OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS ..................................................................... 59

5.4.2 FUNGU C 02 - BARAZA LA WAWAKILISHI ..................................................................................... 60

5.4.3 FUNGU C 03 - TUME YA UCHAGUZI .............................................................................................. 60

5.4.4 FUNGU C 05 – TUME YA UKIMWI ................................................................................................ 61

5.4.5 FUNGU C 04 - TUME YA KITAIFA YA KURATIBU NA UDHIBITI WA DAWA ZA KULEVYA ................ 62

5.5 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO .......................................................................................................... 62

5.5.1 FUNGU F 01 - WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO ......................................................................... 62

5.5.2 FUNGU F 02 - HESABU ZA HUDUMA ZA MFUKO MKUU WA SERIKALI ........................................ 64

5.5.3 FUNGU F 03 - TUME YA MIPANGO ............................................................................................. 67

5.5.4 OFISI YA MTAKWIMU MKUU WA SERIKALI ................................................................................... 68

5.6 WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI ............................................................................... 69

5.6.1 FUNGU L 01 - WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI .............................................. 69

5.7 WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO ..................................................................................... 70

5.7.1 FUNGU R 01 - WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO .................................................... 70

5.7.2 TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) ......................................................................................... 71

5.7.3 WAKALA WA USAJILI WA BIASHARA NA MALI (BPRA) .................................................................. 72

5.8 WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI ........................................................................................... 73

5.8.1 FUNGU K 01 – WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI ........................................................ 73

5.8.2 BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU ............................................................................................. 74

5.8.3 MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR ............................................................................ 74

5.8.4 SHIRIKA LA HUDUMA ZA MAKTABA.............................................................................................. 75

5.8.5 TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA ....................................................................... 76

5.8.6 BARAZA LA MITIHANI .................................................................................................................... 77

5.9 WIZARA YA AFYA..................................................................................................................................... 78

5.9.1 FUNGU H 01 - WIZARA YA AFYA ................................................................................................... 78

5.9.2 FUNGU H 02 - HOSPITALI YA MNAZI MMOJA ............................................................................... 78

5.9.3 WAKALA WA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI .......................................................... 79

5.9.4 WAKALA WA CHAKULA,MADAWA NA VIPODOZI ......................................................................... 80

5.10 WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI ................................................................................ 81

5.10.1 FUNGU N 01 - WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI .............................................. 81

5.10.2 BODI YA USAJILI WA WAKANDARASI ....................................................................................... 82

5.10.3 BODI YA USAJILI WASANIFU, WAHANDISI, NA WAKADIRIAJI MAJENGO ................................. 83

5.10.4 BODI YA UHAULISHAJI ARDHI .................................................................................................. 83

5.11 WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ....................................................................... 84

Page 5: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

v

5.11.1 FUNGU P 01 - WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI .................................... 84

5.12 WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI, WAZEE , VIJANA, WANAWAKE NA WATOTO .................................... 85

5.12.1 FUNGU NAMBA Q 01 - WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI, WAZEE, VIJANA, WANAWAKE NA

WATOTO 85

5.13 WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO ................................................................... 86

5.13.1 FUNGU NAMBA J 01 - WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO ..................... 86

5.13.2 FUNGU J 02 - KAMISHENI YA UTALII ........................................................................................ 87

Page 6: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

1

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

KWA MAWIZARA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

SURA YA KWANZA

1.0 UTANGULIZI

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibu wa kukagua hesabu zote za Serikali

ya Mapinduzi ya Zanzibar. Ukaguzi huo unafanyika kwa mujibu wa Katiba ya

Zanzibar ya mwaka 1984 Ibara ya 112 . Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi

ya Zanzibar unajumuisha hesabu zote za Serikali kuu, Serikali za Mitaa, Mamlaka na

Taasisi mbali mbali pamoja na Miradi mbali mbali ya maendeleo na baadae kutoa

taarifa ya ukaguzi wa hesabu hizo kwa mujibu wa masharti ya Katiba ya Zanzibar.

Kutokana na mamlaka ya kikatiba Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

anawajibu wa kuhakikisha kwamba fedha zote zinazokusudiwa kutolewa kutoka

Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar matumizi yake

yameidhinishwa kisheria ambapo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

anawajibu wa kuidhinisha matumizi kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar na kufanya Ukaguzi wa hesabu hizo.

1.1 MAJUKUMU YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA

SERIKALI

Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 Ibara ya 112 Mdhibiti na Mkaguzi

Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibika kikatiba kukagua hesabu za Taasisi za

Serikali na baadae kutoa taarifa zake za ukaguzi huo kila mwaka. Taarifa hizo

zitaelezea hali halisi za mapato na matumizi ya fedha kutoka Mfuko Mkuu wa

Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na utekelezaji wa sheria mbali

mbali zikiwemo Sheria za fedha, Sheria za manunuzi na sheria nyenginezo.

Kwa mujibu wa Ibara ya 112 (3) ya Katiba ya Zanzibar 1984, Mdhibiti na Mkaguzi

Mkuu wa Hesabu anawajibika kufanya yafuatayo:-

“a) Kuhakikisha kwamba fedha zote zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu

wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, matumizi yake yameidhinishwa

Page 7: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

2

kisheria na iwapo atatosheka kwamba masharti hayo yatatekelezwa ipasavyo basi

ataidhinisha fedha hizo zitolewe.

b) Kuhakikisha kwamba fedha zote ambazo matumizi yake yameidhinishwa

yanatokana na fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi

ya Zanzibar au fedha ambazo matumizi yake yameidhinishwa na sheria iliyotungwa

na Baraza la Wawakilishi, na ambazo zimetumika kwa ajili ya shughuli zilizohusika na

matumizi ya fedha hizo na kwamba matumzi hayo yamefanywa kwa kufuata idhini

iliyotolewa kuhusu matumizi hayo; na

c) Angalau mara moja kwa kila mwaka kufanya ukaguzi na kutoa taarifa juu ya

ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hesabu zinazosimamiwa na

watumishi wote wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hesabu za Mahkama zote za

Zanzibar, hesabu za Tume au vyombo vyengine vilivyoanzishwa na Katiba hii na

hesabu zozote zinazohusika na Baraza la Wawakilishi. ”

Ukaguzi wa hesabu umefanywa kwa kuzingatia miongozo na vigezo mbali mbali vya

ukaguzi ili kukidhi matarajio ya wadau wetu na wananchi kwa ujumla. Ofisi ya

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali inaendelea kufanya uchambuzi wa

njia bora zaidi kwa kufanya ukaguzi utakaoleta tija na kuongeza wigo na maeneo

yanayokaguliwa kwa lengo la kuimarisha utendaji na uwajibikaji katika sekta za

umma.

1.2 UPEO NA MADHUMUNI YA RIPOTI YA UKAGUZI

Ripoti hii imekusanya taarifa za ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar yakiwemo Mawizara na Taasisi mbali mbali za Serikali kwa kuzingatia

taarifa za mapato na matumizi ya kawaida, matumizi ya maendeleo pamoja na

michango mbali mbali kutoka kwa Washirika wa Maendeleo, kwa kipindi cha mwaka

ulioishia 30 Juni, 2018.

Ukaguzi ulifanyika kwa mujibu wa viwango vya kitaifa na kimataifa vya Ukaguzi na

kujiridhisha kwamba taarifa zitakazotolewa zitaonyesha sura halisi ili kutoa uhakika

kwamba taarifa za mapato na matumizi zimefuata Sheria, Kanuni na taratibu

zilizopo. Taarifa za hesabu zilizokaguliwa zilijumuisha hesabu za mwisho wa mwaka

pamoja na taarifa mbalimbali zinazohusiana na hesabu hizo.

Page 8: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

3

Miongoni mwa taarifa hizo ni kama zifuatazo:-

I. Mizania ya Hesabu

II. Taarifa ya Mapato na Matumizi

III. Taarifa kuhusu mabadiliko ya mtaji

IV. Taarifa ya mtiririko wa fedha

V. Taarifa ya uwiano na bajeti na kiasi halisi cha matumizi

VI. Sera za uhasibu na maelezo ya taarifa za fedha

Mabadiliko ya mifumo ya ukaguzi na uhasibu yanayotokea kwa mujibu wa viwango

vya kitaifa na kimataifa kumepelekea kuwepo na mafanikio makubwa katika

utendaji na uwajibikaji kwenye sekta za umma katika ukusanyaji wa mapato na

matumizi ya rasilimali za umma. Mafanikio hayo yametokana na kuimarika kwa

mfumo wa fedha pamoja na utekelezaji wa Sheria mbalimbali zikiwemo sheria za

fedha, Sheria ya Manunuzi na Ugavi, pamoja na Sheria nyenginezo na kupelekea

kuimarika kwa uwazi na uwajibikaji katika taasisi za Umma pamoja na utekelezaji wa

miradi mbali mbali ya maendeleo na kuleta tija kwa wananchi na kufanikisha lengo

la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuimarisha dhana nzima ya utawala bora.

1.3 NJIA ZILIZOTUMIKA KATIKA UKAGUZI

Katika kufanya ukaguzi wa hesabu za Serikali mbinu na njia mbali mbali za ukaguzi

zilitumika ikiwemo taratibu za ukaguzi zifuatazo: -

1. Kutoa barua za awali za maandalizi ya ukaguzi (Engagement Letter) kwa Taasisi

inayokaguliwa.

2. Kuangalia viashiria vya maeneo hatarishi katika taasisi zinazokaguliwa kwa lengo

la kupata uelewa wa mazingira ya taasisi hiyo ikiwemo mfumo wa udhibiti wa

ndani na kubaini viashiria vitakavyoathiri udhibiti wa ndani pamoja na utendaji

wa taasisi.

3. Kuandaa mikakati ya ukaguzi kuanzia mpango wa awali hadi mpango mkuu wa

ukaguzi (Pre Planning, Strategic Planing and detailed Planning) itakayozingatia

muelekeo na upeo wa ukaguzi ambapo utaonyesha dira na dhamira nzima ya

ukaguzi huo.

Page 9: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

4

4. Kufanya kikao cha kuanza kazi za ukaguzi (Entrance Meeting) pamoja na uongozi

wa Taasisi zinazokaguliwa.

5. Kupitia na kuhakiki nyaraka mbali mbali pamoja na kupata taarifa kutoka kwa

wahusika ili kupata uelewa wa kazi za Taasisi zinazokaguliwa.

6. Kutumia njia na mbinu mbali mbali za ukaguzi kama ilivyoainishwa kwenye

muongozo wa ukaguzi (Regularity Audit Manual).

7. Kufanya kikao cha kumaliza ukaguzi (Exit Meeting) na uongozi wa Taasisi

inayokaguliwa baada ya kumaliza ukaguzi ambapo katika kikao hicho hupitia kwa

pamoja hoja zilizojitokeza wakati wa ukaguzi.

8. Kutoa ripoti ya ukaguzi ya awali (Management letter) kwa uongozi wa taasisi

inayokaguliwa itakayoainisha hoja za ukaguzi pamoja na mambo mbalimbali

yaliyobainika wakati wa ukaguzi na kutoa nafasi kwa uongozi kutoa majibu na

vielelezo kuhusiana na ripoti hiyo kwa muda unaotakiwa kwa mujibu wa sheria.

9. Kufuatilia majibu ya hoja za ukaguzi yaliyotolewa katika ripoti ya ukaguzi ya awali

ili kuweza kujiridhisha na majibu ya hoja hizo.

10. Kutoa ripoti ya ukaguzi ya mwisho kwa taasisi zinazokaguliwa inayoonesha hoja

za ukaguzi zilizotolewa katika ripoti ya ukaguzi ya awali ambazo hazikupata

majibu yenye kuridhisha kutokana na hoja zilizotolewa.

11. Kutoa ripoti kuu ya mwaka kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mujibu wa

Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

1.4 UMUHIMU WA UKAGUZI KATIKA KUIMARISHA UTAWALA BORA

Lengo kuu la kufanya ukaguzi ni kuhakikisha kwamba fedha inayoidhinishwa na

Baraza la Wawakilishi kutoka Mfuko Mkuu wa Serikali kwa mujibu wa sheria

inatumika ipasavyo na kwa malengo yaliyokusudiwa kwa kuleta ufanisi na tija kwa

maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla. Aidha ukaguzi wa hesabu unalenga

kuimarisha uwajibikaji wa matumizi ya rasilimali za umma na kupelekea kuimarika

kwa dhana nzima ya Utawala Bora.

Kuimarika kwa utendaji wa kazi za ukaguzi kunapelekea kuongezeka na kuimarika

kwa uwazi na uwajibikaji katika ukusanyaji wa mapato na matumizi ya fedha na

rasilimali za umma na kuleta tija na ufanisi na kufanikisha kutekeleza malengo

yaliyopangwa na Serikali kwa wakati uliopangwa. Aidha kuimarika kwa utendaji wa

Page 10: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

5

kazi za ukaguzi kunapelekea kuimarika kwa hali ya uchumi wa nchi na kufanikiwa

kuimarika kwa hali za wananchi kwa jumla.

Katika kufanikisha malengo ya Serikali ya kuimarisha utawala bora nchini, Ofisi ya

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imejipanga kutekeleza majukumu

yake ya kikatiba kwa kuongeza ufanisi wa kazi pamoja na kuendelea na jitihada zake

za kuwajengea uwezo wafanyakazi kwa kuwapatia mafunzo na mbinu mbali mbali

za ukaguzi ili kwenda sambamba na mabadiliko ya mifumo ya uhasibu na ukaguzi

pamoja na mabadiliko ya kasi ya teknolojia duniani katika masuala ya udhibiti na

ukaguzi wa hesabu za Serikali.

1.5 MAFANIKIO YALIYOPATIKANA

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 kumekuwa na mafanikio makubwa

katika usimamizi wa ukusanyaji mapato pamoja na uwajibikaji katika matumizi ya

rasilimali za umma ukilinganisha na mwaka wa fedha 2016/2017.

Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017 mapato ya ndani yalikuwa ni shilingi

604.68 bilioni ambapo kumekuwa na ongezeko la mapato ya ndani ya shilingi 627.0

bilioni na kuwa na ongezeko la asilimia 3.7

Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 ukusanyaji wa mapato ya ndani

umeengezeka kwa asilimia 2.15 ambapo makadirio ya makusanyo ya ndani yalikuwa

ni shilingi 613,798,985,000 na mapato halisi kwa kipindi hicho ni shilingi

627,000,000,000 ambazo ni sawa na asilimia 102.15.

Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Serikali ilikadiria mapato ya jumla ya

shilingi 1,087,353,527,000 kutoka vianzio mbali mbali ambapo jumla ya shilingi

913,059,484,000 zilipatikana na kufanya upungufu wa asilimia 16.03 .Upungufu huo

unatokana na sababu mbali mbali ikiwemo kukosekana kwa fedha ambazo

zilitarajiwa kupatikana kwa kipindi hicho.

Uwasilishaji wa taarifa za hesabu za mwisho wa mwaka umeimarika kwa kipindi cha

mwaka wa fedha 2017/2018 ambapo uwasilishaji wa taarifa za hesabu za Serikali

hesabu hizo zimewasilishwa kwa wakati na kupelekea kuanza kwa kazi za ukaguzi

kwa wakati muafaka kwa mujibu wa taratibu za ukaguzi tulizojipangia.

Page 11: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

6

Aidha ukaguzi umebaini kwamba ufungaji wa hesabu za mwisho wa mwaka

umeimarika kwa kiasi kikubwa kutokana na mfumo wa udhibiti wa fedha uliopo.

Mafanikio haya yanatokana na uwajibikaji mzuri wa watendaji kwa kufuata sheria na

taratibu zilizopo pamoja na kufuata ushauri na mapendekezo yanayotolewa na Ofisi

ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali juu ya udhibiti mzuri wa mapato

na matumizi ya fedha na rasilimali za Umma.

Jitihada zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika utekelezaji na

ufuatiliaji wa ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali zimesaidia

kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa uwajibikaji katika utendaji wa shughuli za

Serikali na kupelekea kuimarika kwa Utendaji katika taasisi za Serikali.

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inachukuwa hatua mbali mbali katika kuimarisha

utawala bora kwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya

mwaka 1984 na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kutekeleza maoni na ushauri

unaotolewa na kamati za kudumu za Baraza la Wawakilishi ikiwemo Kamati ya

Kudhibiti na Kuchunguza Hesabu za Serikali (PAC).

Mafanikio haya yanatokana na jitihada mbali mbali zinazochukuliwa na Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar katika kuimarisha uwajibikaji na uwazi katika utendaji na

nidhamu katika matumizi ya rasilimali za umma na kupelekea kuongezeka kwa kasi

ya maendeleo nchini kutokana na kuimarika kwa hali ya uchumi na kuleta tija kwa

wananchi wa Zanzibar.

1.6 KAMATI ZA BARAZA LA WAWAKILISHI

Tunatoa shukurani za dhati kwa wenyeviti na wajumbe wa kamati zote za Baraza la

Wawakilishi kwa jitihada zao wanazochukuwa kusimamia uwajibikaji katika

kutekeleza majukumu yao kwa sekta mbali mbali.

Kamati za Baraza la Wawakilishi ni muhimu sana katika kuimarisha uwajibikaji na

kuleta ufanisi katika kufikia malengo ya Serikali iliyojipangia. Kamati hizi zinatoa

mchango mkubwa katika kujenga na kusimamia misingi ya Utawala Bora na

uwajibikaji wa matumizi ya rasilimali za umma.

Page 12: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

7

Kutokana na umuhimu mkubwa wa Kamati za Baraza la Wawakilishi, Ofisi imekuwa

ikishirikiana na Kamati hizo katika kufuatilia utekelezaji wa bajeti ya Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na kuhakikisha kwamba taasisi za Serikali

zinatekeleza malengo waliyojipangia kama yalivyoanishwa katika Bajeti

zilizoidhinishwa na Baraza la Wawakilishi.

Aidha Kamati ya Kudhibiti na Kuchunguza Hesabu za Serikali (PAC) inatoa mchango

mkubwa katika kusimamia uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali za umma na

Kamati hii imekuwa ikishirikiana na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu katika

kufuatilia ripoti zake na kutoa ushauri na mapendekezo mbali mbali kwa Serikali kwa

lengo la kuimarisha ufanisi, uwazi na uwajibikaji kwa matumizi ya rasilimali hizo kwa

maendeleo ya wananchi wa Zanzibar.

Shukurani za pekee ziwaendee wenyeviti na wajumbe wa Kamati ya Kudhibiti na

kuchunguza Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Sheria,Utawala Bora na Idara

Maalum pamoja na Kamati ya Bajeti kwa jitihada mbali mbali wanazochukuwa katika

kutoa maelekezo,ushauri na maoni kwa lengo la kuimarisha utendaji wa kazi kwa

Ofisi pamoja na Serikali kwa ujumla.

Maelekezo , ushauri, maoni na michango inayotolewa na Wenyeviti na Wajumbe wa

Kamati zote za Baraza la Wawakilishi yamesaidia kwa kiasi kikubwa kuimarika kwa

uwajibikaji na nidhamu ya matumizi ya rasilimali za umma na kuongezeka kwa

ufanisi na tija katika utekelezaji wa mipango ya Serikali na kupelekea kuimarika kwa

hali ya uchumi wa nchi na wananchi kwa ujumla.

1.7 SHUKURANI

Napenda kutoa shukurani kwa wote waliochangia kwa namna moja au nyengine

kuanzia kazi za ukaguzi, ufuatiliaji wa maeneo mbali mbali yaliyokaguliwa hadi

kukamilika kwa ripoti hii ya ukaguzi ya mwaka 2017/2018.

Nichukue fursa hii kumshukuru na kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa

Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein kwa jitihada zake

anazozichukuwa katika kufuatilia Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za

Serikali kwa lengo la kusimamia uwajibikaji wa matumizi ya rasilimali za umma na

kupelekea kuimarisha utawala bora nchini.

Page 13: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

8

Natoa shukurani zangu za dhati kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa jitihada

mbali mbali zinazochukuliwa katika kuimarisha Ofisi hii kiutendaji na watendaji kwa

ujumla. Vile vile napenda kuwapongeza na kuwashukuru wafanyakazi wote wa Ofisi

ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa juhudi zao wanazochukuwa

hadi kufanikisha kukamilika kwa ripoti hii kwa wakati.

Aidha, ninawashukuru viongozi na watendaji wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar na watendaji wa taasisi mbali mbali za Serikali kwa mashirikiano mazuri

wanayotupa wakati wa kutekeleza kazi zetu za ukaguzi.

Kwa mara nyengine tena napenda kuzishukuru Kamati ya Kudhibiti na Kuchunguza

Hesabu za Serikali (PAC),Kamati ya Bajeti na Kamati ya Sheria,Utawala Bora na

Idara Maalum za Baraza la Wawakilishi pamoja na wale wote waliochangia kwa njia

moja au nyengine katika kuleta maendeleo katika Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

wa Hesabu za Serikali.

………………………………...

FATMA MOHAMED SAID

MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

ZANZIBAR

Page 14: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

9

SURA YA PILI

2.0 HATI ZA UKAGUZI

Lengo la kufanya ukaguzi wa mahesabu ya Serikali ni kutoa maoni juu ya mahesabu

hayo kuhusu usahihi wa taarifa za fedha zilizotayarishwa iwapo zimefuata viwango

vya utayarishaji wa taarifa za fedha kitaifa na kimataifa.

Hati za ukaguzi zinatolewa kutokana na matokeo ya ukaguzi uliofanyika ambapo hati

hizo huonesha aina ya hati inayotolewa kulingana na taarifa za hesabu zilizokaguliwa

zenye kuonyesha hali halisi ya hesabu hizo.

2.1 Aina ya Hati za Ukaguzi

Aina tofauti ya hati za ukaguzi zinatolewa kwa mazingira tofauti kulingana na usahihi

wa hesabu zilizokaguliwa. Hati zenyewe ni kama zifuatazo:-

Hati inayoridhisha, Hati isiyoridhisha, Hati yenye mashaka na Hati mbaya.

2.1.1 Hati inayoridhisha

Hati ya aina hii inatolewa pale ambapo ukaguzi umejiridhisha kutokana na kukidhi

viwango vilivyotumika katika uandaaji wa hesabu, usahihi wa taarifa pamoja na

ushahidi uliopatikana wakati wa ukaguzi, na kupelekea kutoa sura sahihi na halisi ya

hesabu hizo.

2.1.2 Hati isiyoridhisha

Hati ya aina hii inatolewa pale ambapo ukaguzi umejiridhisha kwamba taarifa za

hesabu zilizoandaliwa imebainika kuwa zina dosari kubwa na za umuhimu, dosari

ambazo zinaweza kusababisha taarifa za hesabu kupoteza uhalisia wake na hivyo

kutoaminiwa na kupelekea kutokuonyesha sura sahihi na halisi ya hesabu hizo.

2.1.3 Hati yenye shaka

Hati ya aina hii hutolewa baada ya Ukaguzi kujiridhisha kuwa, kulingana na ushahidi

wa kiukaguzi mambo yafuatayo yamejitokeza.

Taarifa za fedha zilizoandaliwa zina dosari kubwa ambazo zinaweza kuathiri hesabu

endapo zikichukuliwa aidha moja baada ya moja au kwa ujumla wake kwenye taarifa

hizo haitoweza kuleta sura sahihi na halisi za hesabu hizo.

Page 15: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

10

Pale ambapo ukaguzi umeshindwa kupata taarifa, nyaraka na vielelezo vya kutosha

vitakavyosaidia kufanya ukaguzi na kuweza kutoa maoni ya ukaguzi kwa hesabu

hizo.

Kuwepo kwa kiasi kikubwa cha mapato na matumizi yasiyokua na nyaraka muhimu

na kufanya matumizi bila ya kuwa na kibali halali au matumizi ya mapato ambayo

hayakuidhinishwa kutumika.

Kutozingatiwa kwa sheria na kanuni mbali mbali ambapo kunapelekea madhara

makubwa ambayo yanaweza kusababisha kutokutoa sura sahihi na halisi ya hesabu

hizo kwa mfano, kuwa na vitu ambavyo vilitakiwa kuripotiwa kwenye taarifa za

hesabu lakini havikuripotiwa na manunuzi ya vifaa hayakufuata sheria na kanuni za

manunuzi.

Kufanya matumizi ambayo hayakuleta tija kwa taasisi husika.

Kutofanyika kwa usuluhisho wa benki hali inayopelekea kushindwa kupata usahihi

wa salio la fedha mwishoni mwa mwaka wa fedha.

2.1.4 Hati mbaya

Hati hii hutolewa pale ambapo ukaguzi umeshindwa kupata nyaraka na vielelezo vya

kutosha wakati wa ukaguzi ili kuweza kutoa maoni ya ukaguzi kutokana na

mapungufu yaliyojitokeza na kushindwa kugundua mambo ambayo yanaweza

kusababisha madhara makubwa katika Taasisi.

2.2 HATI ZA UKAGUZI ZILIZOTOLEWA KWA MWAKA WA FEDHA

2017/2018

Katika mwaka wa fedha 2017/2018 jumla ya hati za ukaguzi sitini na saba (67)

zimetolewa kwa Mawizara na taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar. Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu

kwa mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za mawizara na taasisi za

Serikali zimeonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na

kimataifa kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni 2018.

Page 16: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

11

Kwa hali hiyo mawizara na taasisi za Serikali zimepata hati zinazoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 kama inavyoonekana katika jadweli

lifuatalo:-

Jadweli nambari 1

Nam Fungu Wizara/Taasisi Aina ya Hati iliyotolewa

1 A 01 Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

Hati inayoridhisha

2 A 02 Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi – BLM

Hati inayoridhisha

3 C 01 Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais Hati inayoridhisha

4 C 02 Baraza la Wawakilishi Hati inayoridhisha

5 C 03 Tume ya Uchaguzi Hati inayoridhisha

6 C 04 Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za kulevya.

Hati inayoridhisha

7 C 05 Tume ya Ukimwi Hati inayoridhisha

8 D 01 Wizara ya Nchi (OR) Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum

Hati inayoridhisha

9 D 02 Jeshi la Kujenga Uchumi – JKU Hati inayoridhisha

10 D 03 Chuo cha Mafunzo Hati inayoridhisha

11 D 04 Kikosi cha KMKM Hati inayoridhisha

12 D 05 Kikosi cha Zimamoto na Uokozi Hati inayoridhisha

Page 17: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

12

13 D 06 Kikosi cha Valantia Hati inayoridhisha

14 D 07 Mkoa wa Mjini Magharibi Hati inayoridhisha

15 D 08 Mkoa wa Kusini Unguja Hati inayoridhisha

16 D 09 Mkoa wa Kaskazini Unguja Hati inayoridhisha

17 D 10 Mkoa wa Kusini Pemba Hati inayoridhisha

18 D 11 Mkoa wa Kaskazini Pemba Hati inayoridhisha

19 D 12 Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii

Hati inayoridhisha

20 F 01 Wizara ya Fedha na Mipango Hati inayoridhisha

21 F 02 Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali Hati inayoridhisha

22 F 03 Tume ya Mipango Hati inayoridhisha

23 G 01 Wizara ya Nchi (OR) Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Hati inayoridhisha

24 G 02 Mahkama Kuu Hati inayoridhisha

25 G 03 Afisi ya Mwanasheria Mkuu Hati inayoridhisha

26 G 04 Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Hati inayoridhisha

27 G 05 Tume ya Kurekebisha Sheria Hati inayoridhisha

28 G 07 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi

Hati inayoridhisha

Page 18: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

13

29 G 08 Kamisheni ya Utumishi wa Umma Hati inayoridhisha

30 G 09 Tume ya Utumishi Serikalini Hati inayoridhisha

31 H 01 Wizara ya Afya Hati inayoridhisha

32 H 02 Hospitali ya Mnazi Mmoja Hati inayoridhisha

33 J 01 Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo

Hati inayoridhisha

34 J 02 Kamisheni ya Utalii Hati inayoridhisha

35 K 01 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Hati inayoridhisha

36 L 01 Wizara ya Kilimo, Maliasili , Mifugo na Uvuvi

Hati inayoridhisha

37 N 01 Wizara ya Ardhi, Makaazi ,Maji na Nishati

Hati inayoridhisha

38 P 01 Wizara ya Ujenzi Miundombinu, Mawasiliano na Usafirishaji

Hati inayoridhisha

39 Q 01 Wizara ya Kazi,Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto.

Hati inayoridhisha

40 R 01 Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko

Hati inayoridhisha

41 Ruzuku Baraza la Manispaa Mjini Hati inayoridhisha

42 Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi “A” Hati inayoridhisha

43 Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi “B” Hati inayoridhisha

44 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘A’ Hati inayoridhisha

Page 19: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

14

45 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘B’ Hati inayoridhisha

46 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kati Hati inayoridhisha

47 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kusini Hati inayoridhisha

48 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni Hati inayoridhisha

49 Ruzuku Baraza la Mji Chake Chake Hati inayoridhisha

50 Ruzuku Baraza la Mji Mkoani Hati inayoridhisha

51 Ruzuku Baraza la Mji Wete Hati inayoridhisha

52 Ruzuku Shirika la Huduma za Maktaba Hati inayoridhisha

53 Ruzuku Mamlaka ya Usafiri Baharini Hati inayoridhisha

54 Ruzuku Mamlaka ya Udhibiti wa Mafuta na Gesi Asilia

Hati inayoridhisha

55 Ruzuku Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar

Hati inayoridhisha

56 Ruzuku Bodi ya Uhaulishaji Ardhi Zanzibar Hati inayoridhisha

57 Ruzuku Bodi ya Usajili Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo

Hati inayoridhisha

58 Ruzuku

Kamati ya Udhibiti wa Ujenzi wa Idara ya Mipango Miji na Vijiji

Hati inayoridhisha

59 Ruzuku

Bodi ya Usajili wa Wakandarasi Hati inayoridhisha

60 Ruzuku Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu Zanzibar

Hati inayoridhisha

Page 20: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

15

61 Ruzuku

Wakala wa Serikali wa Huduma za Matrekta na zana za Kilimo

Hati inayoridhisha

62 Ruzuku

Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali Hati inayoridhisha

63 Ruzuku Wakala wa Chakula na Madawa Hati inayoridhisha

64 Ruzuku Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Hati inayoridhisha

65 Ruzuku Baraza la Mitihani Hati inayoridhisha

66 Ruzuku Taasisi ya Viwango Zanzibar Hati inayoridhisha

67 Mfuko Mkuu wa Serikali Hati inayoridhisha

Page 21: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

16

SURA YA TATU

MATOKEO YA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI

3.0 MFUKO MKUU WA HAZINA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA

ZANZIBAR KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

3.1 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI

3.1.1 Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2017/2018

Taarifa ya Mapato

Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 mapato yaliyokadiriwa kukusanywa

ni jumla ya shilingi 1,087,353,527,000. Makadirio hayo yalitarajiwa kutoka katika

vianzio mbali mbali ikiwemo mikopo, misaada ya kibajeti na washirika wa maendeleo

kama inavyoonekana katika jadweli lifuatalo:-

Jadweli nambari 2

Namba Vianzio vya

mapato Makadirio ya

mapato Mapato Halisi

Asilimia (%)

1 Mapato yatokanayo na kodi

613,798,985,000 627,000,000,000 102.15

2 Misaada kutoka kwa washirika wa maendeleo

381,489,000,000 194,410,000,000 50.96

3 Mikopo ya ndani 30,000,000,000 25,735,320,000 85.78

4 Gawio la Mashirika ya Serikali

3,000,000,000 1,544,867,000 51.50

5 Gawio la Benki Kuu (BOT)

3,000,000,000 13,500,000,000 450.00

6 Mapato yatokanayo na mitaji ya Umma

7,225,542,000 1,913,712,000 26.49

7 Mapato Mengineyo 48,840,000,000 48,955,585,000 100.23

Jumla Kuu 1,087,353,527,000 913,059,484,000

Page 22: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

17

3.1.2 Mapato yatokanayo na makusanyo ya kodi

Kwa mwaka 2017/2018 Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilikadiria kukusanya jumla

ya shilingi 613,798,985,000 mapato yatokanayo na kodi.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 makusanyo halisi yatokanayo na kodi yalikua ni shilingi

627,000,000,000 ikiwa ni ongezeko la shilingi 13,281,013,000 ambapo ni sawa na

asilimia 2.0 ya ongezeko.

Ukaguzi umebaini kwamba makusanyo yatokanayo na kodi yameongezeka kutoka

shilingi 575,393,243,000 kwa mwaka 2016/2017 hadi kufikia shilingi

627,000,000,000 kwa mwaka 2017/2018 ikiwa ni ongezeko la shilingi

51,606,757,000 sawa na asilimia 9.0 ya ongezeko.

3.1.3 Ukusanyaji wa mapato katika Wizara na Taasisi za Serikali

Kwa kipindi cha mwaka 2017/2018 Wizara na Taasisi mbali mbali za Serikali

zilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 42,800,000,000.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 makusanyo halisi yalikua ni shilingi 48,955,585,000

ambapo ni sawa na asilimia 114 ya makadirio hivyo kuonyesha ongezeko la

makusanyo ya shilingi 6,155,585,000 sawa na asilimia 14 ya ongezeko.

Aidha, ukaguzi umebaini kwamba makusanyo yameongezeka kutoka shilingi

28,651,224,000 kwa mwaka 2016/2017 hadi kufikia shilingi 48,955,585,000 kwa

mwaka 2017/2018 ikiwa ni ongezeko la shilingi 20,304,361,000 sawa na asilimia 71

ya ongezeko.

Kuongezeka kwa makusanyo kumetokana na jitihada mbali mbali zinazochukuliwa na

Serikali katika kuimarisha usimamizi wa ukusanyaji wa mapato.

Taarifa ya Matumizi

Kwa upande wa matumizi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilitarajia kutumia jumla

ya shilingi 1,087,300,000,000 kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ambapo shilingi

590,700,000,000 kwa kazi za kawaida na shilingi 496,600,000,000 kwa kazi za

maendeleo.

Page 23: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

18

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilitumia jumla ya shilingi

933,657,507,000. Kati ya hizo shilingi 610,281,192,000 zilitumika kwa kazi za

kawaida na shilingi 301,496,734,000 kwa kazi za maendeleo.

3.1.4 Taarifa ya matumizi ya kazi za kawaida

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Serikali ilikadiria kutumia kiasi cha

shilingi 590,700,000,000 kwa ajili ya matumizi ya kazi za kawaida kutoka Mfuko

Mkuu wa Hazina ya Serikali ambapo jumla ya shilingi 610,281,192,000 zimetumika

kwa kazi mbali mbali za kawaida sawa na asilimia 103 ya makadirio, ikiwa ni

ongezeko la shilingi 19,581,192,000 sawa na asilimia 3.0 ya makadirio.

3.1.5 Taarifa ya matumizi ya kazi za maendeleo

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Serikali ilikadiria kutumia kiasi cha

shilingi 496,600,000,000 kwa ajili ya matumizi ya kazi za maendeleo kutoka Mfuko

Mkuu wa Hazina ya Serikali ambapo jumla ya shilingi 301,496,734,000 zimetumika

kwa kazi mbali mbali za maendeleo sawa na asilimia 61 ya makadirio.

3.1.6 Taarifa ya Deni la Serikali

Ukaguzi umebaini kwamba deni la Serikali katika kipindi cha mwaka wa fedha

uliyoishia 30 Juni, 2018 limefikia shilingi 311,889,976,440 ambalo linajumuisha deni

la ndani la shilingi 153,462,181,000 na deni la nje la shilingi 158,427,795,440 kama

inavyoonekana hapo chini: -

Jadweli nambari 3

Deni la Serikali

2016/2017 2017/2018 Ongezeko/ Upungufu

Asilimia (%)

(TSH) (TSH) (TSH)

Deni la Ndani

129,700,000,000 153,462,181,000 23,762,181,000 18.00

Deni la Nje

273,600,000,000 158,427,795,440 115,172,204,560 42.00

Jumla 403,300,000,000 311,889,976,440 91,410,023,560 23.00

Page 24: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

19

SURA YA NNE

4.0 MAMBO YALIYOBAINIKA KATIKA UKAGUZI KWA MWAKA WA FEDHA

2017/2018

4.1 Utekelezaji wa Hoja za Ukaguzi uliopita wa Mwaka wa Fedha

2016/2017

Katika ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 mapendekezo mbali mbali

yalitolewa kutokana na dosari zilizobainika wakati wa ukaguzi, matokeo ya ukaguzi

wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 yameonesha kuchukuliwa kwa hatua

mbali mbali za kurekebisha dosari hizo.

Kutokana na tathmini ya utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa katika hoja za

ukaguzi za mwaka wa fedha 2016/2017 zilizotolewa kwa Wizara mbali mbali

tumebaini kwamba mapendekezo na ushauri uliotolewa umefanyiwa kazi na

kuonesha kuimarika kwa nidhamu ya matumizi ya fedha na rasilimali za umma na

kupelekea kuleta ufanisi katika utekelezaji wa malengo ya Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar.

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali itaendelea kutoa ripoti za

ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kutoa ushauri na

mapendekezo mbali mbali katika kufuatwa kwa sheria ya Usimamizi wa fedha za

Umma, sheria ya manunuzi na uondoshaji wa mali za Umma pamoja na viwango vya

utayarishaji wa taarifa za hesabu ili kuimarisha uwajibikaji na usimamizi mzuri wa

rasilimali za umma ili kufikia lengo la kuimarisha Utawala bora na kuinua uchumi wa

nchi kwa maslahi ya wananchi wa Zanzibar.

Aidha, tunapongeza juhudi mbali mbali zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar katika kusimamia nidhamu ya matumizi ya fedha na rasilimali za umma na

kupelekea kuimarika kwa utendaji na uwajibikaji katika Taasisi za umma.

4.2 Uwasilishaji wa hesabu za mwisho wa mwaka wa fedha 2017/2018

kwa ajili ya ukaguzi

Kwa mujibu wa kifungu namba 119(1) cha Sheria ya Usimamizi wa Fedha za Umma

Namba 12 ya mwaka 2016, Wizara na Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Page 25: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

20

zinatakiwa zitayarishe na ziwasilishe kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za

Serikali, hesabu za mwisho wa mwaka ndani ya miezi mitatu baada ya kumalizika

mwaka wa fedha ambapo hesabu hizo zitajumuisha taarifa za mapato na matumizi

ya Taasisi hizo.

Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 imebainika kwamba uwasilishaji wa

taarifa za hesabu za Serikali umeimarika ambapo hesabu hizo zimewasilishwa kwa

wakati kama ifuatavyo:-

Jadweli nambari 4

Nam Fungu Wizara/Taasisi Tarehe iliyowasilishwa kwa ukaguzi

2016/2017 2017/2018

1 A01 Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

26/09/2017 14/09/2018

2 A02 Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi – BLM

28/09/2017 27/09/2018

3 C01 Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais

27/09/2017 26/09/2018

4 C02 Baraza la Wawakilishi 29/09/2017 25/09/2018

5 C03 Tume ya Uchaguzi 29/09/2017 27/09/2018

6 C04 Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za kulevya.

29/09/2017 28/09/2018

7 C05 Tume ya Ukimwi 29/09/2017 12/9/2018

8 D01

Wizara ya Nchi (OR) Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum

28/09/2017 28/09/2018

9 D02 Jeshi la Kujenga Uchumi – JKU

29/09/2017 17/09/2018

Page 26: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

21

10 D03 Chuo cha Mafunzo 26/09/2017 26/09/2018

11 D04 Kikosi cha KMKM 29/09/2017 28/09/2018

12 D05 Kikosi cha Zimamoto na Uokozi

28/09/2017 27/08/2018

13 D06 Kikosi cha Valantia 28/09/2017 28/09/2018

14 D07 Mkoa wa Mjini Magharibi

26/09/2017 29/08/2018

15 D08 Mkoa wa Kusini Unguja 26/09/2017 2/10/2018

16 D09 Mkoa wa Kaskazini Unguja

29/09/2017 28/09/2018

17 D10 Mkoa wa Kusini Pemba 29/09/2017 28/09/2018

18 D11 Mkoa wa Kaskazini Pemba

28/09/2017 28/09/2018

19 D12 Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii

29/09/2017 22/10/2018

20 F01 Wizara ya Fedha na Mipango

29/09/2017 26/09/2018

21 F02 Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali

22/01/2018 3/12/2018

22 F03 Tume ya Mipango 26/09/2017 28/09/2018

23 G01

Wizara ya Nchi (OR) Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora

29/09/2017 28/09/2018

Page 27: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

22

24 G02 Mahkama Kuu 25/09/2017 3/10/2018

25 G03 Afisi ya Mwanasheria Mkuu

28/09/2017 26/09/2018

26 G04 Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka

28/09/2017 1/10/2018

27 G05 Tume ya Kurekebisha Sheria

29/09/2017 27/09/2018

28 G07 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi

29/09/2017 28/09/2018

29 G08 Kamisheni ya Utumishi wa Umma

30/09/2017 18/09/2018

30 G09 Tume ya Utumishi Serikalini

25/09/2017 26/09/2018

31 H01 Wizara ya Afya 29/09/2017 28/09/2018

32 H02 Hospitali ya Mnazi Mmoja

27/09/2017 24/09/2018

33 J01 Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo

28/09/2017 29/09/2018

34 J02 Kamisheni ya Utalii 29/09/2017 28/09/2018

35 K01 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali

28/09/2017 27/09/2018

36 L01 Wizara ya Kilimo, Maliasili , Mifugo na Uvuvi

26/09/2017 8/10/2018

37 N01 Wizara ya Ardhi, Makaazi ,Maji na Nishati

29/09/2017 3/10/2018

Page 28: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

23

38 P01

Wizara ya Ujenzi Miundombinu, Mawasiliano na Usafirishaji

28/09/2017 21/09/2018

39 Q01

Wizara ya Kazi,Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto.

28/09/2017 28/09/2018

40 R01 Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko

29/09/2017 8/9/2018

41 Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi “A”

28/09/2017 28/09/2018

42

Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi “B”

25/09/2017 26/09/2018

43

Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘A’

6/10/2017 26/09/2018

44

Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘B’

21/09/2017 19/09/2018

45

Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kati

29/09/2017 28/09/2018

46 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya

ya Kusini 28/09/2017 29/09/2018

47 Ruzuku

Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni

27/09/2017 28/09/2018

48 Ruzuku

Baraza la Mji Chake Chake

2/10/2017 26/09/2018

49 Ruzuku

Baraza la Mji Mkoani 28/09/2017 26/09/2018

50

Ruzuku

Baraza la Mji Wete 29/09/2017 28/09/2018

51

Ruzuku Baraza la Manispaa Mjini

20/12/2017 25/09/2018

52

Ruzuku Shirika la Huduma za Maktaba

29/09/2017 28/09/2018

Page 29: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

24

53 Ruzuku Mamlaka ya Usafiri Baharini

29/09/2017 27/09/2018

54 Ruzuku Mamlaka ya Udhibiti wa Mafuta na Gesi asilia (ZPRA)

- 30/10/2018

55

Ruzuku Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar

11/9/2017 20/09/2018

56

Ruzuku Bodi ya Uhaulishaji Ardhi Zanzibar

2/10/2017 1/10/2018

57 Ruzuku

Bodi ya Usajili, Wasanifu, Wahandisi, na Wakadiriaji wa Majengo

- 27/08/2018

58 Ruzuku Kamati ya Udhibiti wa Ujenzi Idara ya Mipango Miji na Vijiji

- 28/09/2018

59 Ruzuku Bodi ya Usajili wa Wakandarasi

28/09/2017 28/09/2018

60 Ruzuku Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu Zanzibar

12/9/2017 28/09/2018

61 Ruzuku Wakala wa Serikali wa Huduma za Matrekta na zana za Kilimo

- 28/09/2018

62 Ruzuku Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali (BPRA)

- 17/10/2018

63 Ruzuku Wakala wa Chakula na Madawa (ZFDA)

- 21/11/2018

64 Ruzuku Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali

2/10/2017 28/09/2018

65 Ruzuku Baraza la Mitihani 29/09/2017 28/09/2018

66 Ruzuku Taasisi ya Viwango Zanzibar

27/12/2017 12/11/2018

Page 30: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

25

67 Hesabu za Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali

29/09/2017 28/09/2018

4.3 Utekelezaji wa Bajeti kwa Mwaka 2017/2018

Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 umebaini kuimarika

kwa ukusanyaji wa mapato yanayokusanywa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

kupitia vyanzo mbali mbali, pamoja na kuongezeka kwa udhibiti wa matumizi ya

fedha za Serikali na kupelekea kuimarika kwa hali ya uchumi na kuiwezesha Serikali

ya Mapinduzi ya Zanzibar kutekeleza mipango iliyojipangia kwa ufanisi mkubwa.

Hali halisi ya utekelezaji wa bajeti kwa taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

ilikuwa kama ifuatavyo:-

Jadweli nambari 5

NAM

FUNGU

WIZARA/

TAASISI

MAKADIRIO

(SH)

MATUMIZI

HALISI

(SH)

ASILIMIA

ONGEZEKO/

(UPUNGUFU)

1 A 01 Ofisi ya Rais

na Mwenyekiti

wa Baraza la

Mapinduzi

6,634,700,000 6,688,763,181 100.8 54,063,181

2 A 02 Ofisi ya Rais

Baraza la

Mapinduzi –

BLM

1,707,900,000 1,692,825,552 99.12 (15,074,448)

3 C 01 Afisi ya

Makamo wa

Pili wa Rais

10,587,862,440 9,812,483,641 93 (775,378,799)

4 C 02 Baraza la

Wawakilishi

18,661,700,000 18,370,751,511 99 (290,948,489)

5 C 03 Tume ya

Uchaguzi

2,695,500,000 1,689,124,141 63.0 (1,006,375,859)

6 C 04 Tume ya

Kitaifa ya

602,491,663 511,539,228 84.9 (90,952,435)

Page 31: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

26

Kuratibu na

Udhibiti wa

Dawa za

kulevya.

7 C 05 Tume ya

Ukimwi

846,800,000 823,651,354 97.3 (23,148,646)

8 D 01 Wizara ya Nchi

(OR) Tawala

za

Mikoa,Serikali

za Mitaa na

Idara Maalum

27,325,200,000 26,436,952,521 87 (888,247,479)

9 D 02 Jeshi la

Kujenga

Uchumi – JKU

20,607,409,126 20,596,574,933 99.9 (10,834,193)

10 D 03 Chuo cha

Mafunzo

14,128,600,000 15,040,959,560 106.5 912,359,560

11 D 04 Kikosi cha

KMKM

26,269,042,650 26,178,116,939 99 (90,925,711)

12 D 05 Kikosi cha

Zimamoto na

Uokozi

7,850,500,000 7,600,195,504 97 250,304,496

13 D 06 Kikosi cha

Valantia

10,188,400,000 11,013,140,628 108 824,740,628

14 D 07 Mkoa wa Mjini

Magharibi

7,756,097,775 7,363,331,053 94.0 (392,766,722)

15 D 08 Mkoa wa

Kusini Unguja

2,817,900,000 2,456,757,683 87.2 (361,142,317)

16 D 09 Mkoa wa

Kaskazini

Unguja

1,341,070,350 1,339,022,100 99.85 (2,048,250)

17 D 10 Mkoa wa

Kusini Pemba

3,682,455,000 3,352,582,000 91.0 (329,873,000)

18 D 11 Mkoa wa

Kaskazini

Pemba

3,496,820,090 3,239,157,771 92.6 (257,662,319)

19 D 12 Wakala wa 3,160,800,000 2,150,790,135 68 (1,010,009,865)

Page 32: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

27

Usajili wa

Matukio ya

Kijamii

20 F 01 Wizara ya

Fedha na

Mipango

85,845,248,000 70,691,530,004 82.3 (15,153,717,996)

21 F 02 Huduma za

Mfuko Mkuu

wa Serikali

150,710,000,000 140,163,426,544 93.0 (10,546,573,456)

22 F 03 Tume ya

Mipango

9,430,837,000 5,475,616,341 58.06 (3,955,220,659)

23 G 01 Wizara ya

Katiba,Sheria,

Utumishi wa

Umma na

Utawala Bora

8,359,602,548 7,468,523,373.2 89.34 (891,079,175)

24 G 02 Mahkama Kuu 7,172,000,000 6,576,413,655 92.0 (595,586,345)

25 G 03 Afisi ya

Mwanasheria

Mkuu

1,646,110,000 1,473,234,600.55 89.50 (172,875,399.45)

26 G 04 Afisi ya

Mkurugenzi wa

Mashtaka

2,478,803,180 2,372,872,499 93.63 (105,930,681)

27 G 05 Tume ya

Kurekebisha

Sheria

584,400,000 576,451,840 98.64 (7,948,160)

28 G 07 Mamlaka ya

Kuzuia Rushwa

na Uhujumu

Uchumi

1,334,700,000 1,234,003,046 92.5 100,696,954

29 G 08 Kamisheni ya

Utumishi wa

Umma

940,300,000 818,323,950 87.03 121,976,050

30 G 09 Tume ya

Utumishi

Serikalini

511,800,000 441,000,000 86.1 70,800,000

31 H 01 Wizara ya Afya 72,940,362,000 50,175,548,968.76 69.0 22,764,813,034.76

Page 33: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

28

32 H 02 Hospitali ya

Mnazi Mmoja

11,942,111,040 11,292,015,980 94.56 (650,095,060)

33 J 01 Wizara ya

Habari, Utalii,

Utamaduni na

Michezo

17,807,832,000 11,797,188,503 66.24 (6,010,643,497)

34 J 02 Kamisheni ya

Utalii

1,577,800,000 1,407,224,194.6 90.0 (170,575,805.40)

35 K 01 Wizara ya

Elimu na

Mafunzo ya

Amali

186,587,933,200 175,356,766,286 93 (11,231,166,914)

36 L 01 Wizara ya

Kilimo, Maliasili

, Mifugo na

Uvuvi

70,708,964,575 32,284,054,782 46 (38,424,909,793)

37 N 01 Wizara ya

Ardhi, Makaazi

,Maji na

Nishati

47,508,574,000 24,676,890,364 52.0 (22,831,683,636)

38 P 01 Wizara ya

Ujenzi

Miundombinu,

Mawasiliano na

Usafirishaji

190,218,202,000

129,087,549,180

67.86

(61,130,652,819)

39 Q 01 Wizara ya

Kazi,Uwezesha

ji, Wazee,

Vijana,

Wanawake na

Watoto

14,555,740,000

14,010,507,183

96.25

(545,232,817)

40 R 01 Wizara ya

Biashara,

Viwanda na

Masoko

8,460,037,426 6,868,681,908.2 81.2 (1,591,355,511)

Page 34: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

29

SURA YA TANO

5.0 MATOKEO YA UKAGUZI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

Katika ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 imebainika kwamba

mfumo wa uwekaji wa kumbu kumbu na taarifa mbali mbali za hesabu ikiwemo

fedha na rasilimali za umma pamoja na mfumo wa udhibiti wa ndani umekuwa

ukiimarika ingawa kumejitokeza dosari za kiutendaji mbali mbali.

Katika ukaguzi huo kulijitokeza dosari za kiutendaji kwa baadhi ya Wizara na Taasisi

za Serikali ambapo baadhi ya dosari ziliweza kurekebishwa na kupatiwa ufafanuzi

wakati wa ukaguzi, aidha kuna baadhi ya hoja za ukaguzi ambazo hazikuweza

kupatiwa ufafanuzi hadi ukaguzi unakamilika. Matokeo ya ukaguzi huo ni kama

ifuatavyo:-

5.1 WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA

MAPINDUZI

5.1.1 FUNGU A 01 - OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA

MAPINDUZI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na

Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi umefanywa kwa kuzingatia Sheria,kanuni,

taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na

kimataifa.

Taarifa ya matumizi

Wizara ya Nchi Ofisi ya Raisi na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ilikadiria kutumia

jumla ya shilingi 5,904,700,000 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na jumla ya shilingi

730,000,000 kwa ajili ya kutekeleza kazi za maendeleo. Hadi kufikia 30 Juni, 2018

jumla ya shillingi 5,966,763,181 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida sawa

na asilimia 101.05, na jumla ya shilingi 722,000,000 ziliingizwa na kutumika kwa kazi

za maendeleo sawa na asilimia 98.90

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais na

Page 35: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

30

Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018

zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na

kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.1.2 FUNGU A 02 – OFISI YA RAIS BARAZA LA MAPINDUZI – BLM

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Ofisi ya Rais Baraza la

Mapinduzi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Kwa mwaka wa fedha unaoishia 2017/2018 Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la

Mapinduzi ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 1,707,900,000 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 1,692,825,552 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 99 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 36: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

31

5.2 WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA, SERIKALI ZA MITAA NA

IDARA MAALUM

5.2.1 FUNGU D 01 - WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA NA IDARA

MAALUM

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Nchi (OR) Tawala

za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum umefanywa kwa kuzingatia Sheria,

kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya

kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Wizara Nchi (OR) Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 5,620,800,000 kwa kazi za kawaida, shilingi

20,500,000,000 kwa kazi za maendeleo na shilingi 1,605,000,000 kutoka katika

mfuko wa barabara katika kipindi kinachoishia 30 Juni 2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 4,331,952,521 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 77 ya makadirio, na shilingi 20,500,000,000

kwa matumizi ya maendeleo sawa na asilimia 100 ya makadirio na shilingi

1,605,000,000 kutoka katika mfuko wa barabara sawa na asilimia 100 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

5.2.1.1 Kukosekana kwa vielelezo vya matumizi ya fedha za Mfuko wa

Bara Bara shilingi 1,421,579,101.

Ukaguzi umebaini kuwa katika mwaka wa fedha 2017/2018 Wizara ya Nchi Ofisi ya

Rais Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum ilipokea jumla ya shilingi

1,605,000,000 kutoka mfuko wa bara bara kwa ajili ya matengenezo ya barabara za

ndani (Feeder Road) ukaguzi umebaini katika hesabu nambari 021103000697

(feeder Road Account) matumizi halisi yaliofanyika kwa ajili ya kazi za utengezaji wa

bara bara za ndani ni jumla ya shilingi 183,420,899 ukaguzi umeshindwa kukagua

matumizi na vielelezo vya jumla ya shilingi 1,421,579,101 kufanya hivyo ni kwenda

kinyume na Sheria ya Usimamizi wa Fedha za Umma namba 12 ya mwaka 2016,

Maelezo ya matumizi ya fedha hizo yanaonekana katika jadweli;

Page 37: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

32

Jadweli namba 6:

JUMLA YA FEDHA ILIYORIPOTIWA KATIKA TAARIFA YA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA

MATUMIZI HALISI YALIOPATIKANA KWA UKAGUZI.

TOFAUTI AMBAYO HAIKUPATIKANA KWA UKAGUZI

1,605,000,000.00

183,420,899.00

1,421,579,101.00

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Nchi (OR) Tawala za

Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni,

2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na

kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Nchi (OR) Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara

Maalum imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.2 FUNGU D 02 - JESHI LA KUJENGA UCHUMI (JKU)

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Jeshi la Kujenga Uchumi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Jeshi la kujenga Uchumi kwa mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa kukusanya

jumla ya shilingi 84,555,000 kupitia vyanzo vyake vya mapato, hadi kufikia 30 Juni

2018 jumla ya shilingi 55,764,100 zilikusanywa ikiwa sawa na asilimia 65 ya

makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Jeshi la kujenga Uchumi kwa mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa kutumia jumla

ya shilingi 19,407,409,126 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi

1,200,000,000 kwa matumizi ya kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2018, jumla ya shilingi 19,396,574,933 zimeingizwa na

kutumika kwa kazi za kawaida ambazo ni sawa na asilimia 99 ya makadirio na jumla

Page 38: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

33

ya shilingi 1,200,000,000 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo ambazo

ni sawa na asilimia 100 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Jeshi la Kujenga Uchumi kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Jeshi la Kujenga Uchumi limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.3 FUNGU D 03 – CHUO CHA MAFUNZO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Chuo cha Mafunzo

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Chuo cha Mafunzo kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 78,051,000 katika kipindi

cha mwaka 2017/2018, hadi kufikia Juni 2018 Jumla ya shilingi 33,000,000

zilikusanywa sawa na asilimia 42 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Chuo cha Mafunzo kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 14,128,600,000 kati ya hizo shilingi 12,528,600,000 kwa matumizi ya kazi za

kawaida, na shilingi 1,600,000,000 kwa ajili ya kazi za maendeleo. Hadi kufikia 30

Juni 2018, kiasi cha shilingi 13,453,959,560 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za

kawaida ambazo ni sawa na asilimia 95 ya makadirio na shilingi 1,587,000,000

zilitumika kwa kazi za maendeleo ikiwa sawa na asilimia 99 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo cha Mafunzo kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Page 39: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

34

Kwa hali hiyo Chuo cha Mafunzo kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.4 FUNGU D 04 - KIKOSI MAALUM CHA KUZUIA MAGENDO (KMKM)

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Kikosi cha KMKM umefanywa kwa

kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana

na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 22,149,042,650 kwa matumizi ya kazi za kawaida, na

jumla ya shilingi 4,120,000,000 kwa kazi za maendeleo, hadi kufikia 30 Juni 2018,

jumla ya shilingi 22,092,436,090 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida

ambazo ni sawa na asilimia 99 ya makadirio na jumla ya shilingi 4,085,680,849

sawa na asilimia 99 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

5.2.4.1 Dosari katika utayarishaji wa malipo shilingi 1,456,010,000

Ukaguzi umebaini katika hesabu ya matumizi ya maendeleo kikosi Maalum Cha

Kuzuia Magendo kimefanya malipo ya shilingi 1,456,010,000 kwa ajili ya ununuzi wa

vifaa pamoja na gharama za ujenzi wa hospitali ya mama na watoto, dosari

iliyobainika na ukaguzi ni kufanyika kwa malipo ya ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa

njia ya fedha taslimu (Cash Payment) badala ya kutumia hundi zenye jina la

msambazaji wa vifaa husika kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria ya

usimamizi wa fedha za umma sheria nambari 12 ya mwaka 2016, uchambuzi wa

Malipo hayo unaonekana katika jadweli hapo chini.

Page 40: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

35

Jadweli namba 7:

Nambari ya Hati ya Malipo

Nambari ya Hundi

Jumla ya fedha

iliyolipwa Alielipwa Maelezo ya Malipo

1/8

TT 132,231,000 KMKM CANTEEN

Ikiwa ni Malipo ya ujenzi wa bweni [hanga] pamoja na kota guard kambi ya kojani pemba

2/8

TT 262,560,000 KMKM CANTEEN

Ikiwa ni malipo kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya ujenzi wa jingo la hospitali la mama na watoto

3/11

TT 85,125,000 KMKM CANTEEN

Ikiwa ni Malipo ya gharama ya ujenzi wa jengo la hospital la mama wajawazito

1/1

TT 174,595,000 KMKM CANTEEN

Ikiwa ni Malipo ya gharama ya ujenzi wa jengo la hospital la mama wajawazito

2/1

TT 225,405,000 KMKM CANTEEN

Ikiwa ni Malipo ya gharama ya ujenzi wa jengo la hospital la mama wajawazito

1/5

TT 342,000,000 KMKM CANTEEN

Ikiwa ni malipo ya gharama za umalizaji wa jengo la mama waja wazito na watoto KMKM

2/5

TT 234,094,000 KMKM CANTEEN

Malipo ya ujenzi wa hanga la kulala maskari kambi ya makombeni Pemba

Jumla 1,456,010,000

Page 41: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

36

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kikosi cha Kuzuia Magendo kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Kikosi cha Kuzuia Magendo kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.5 FUNGU D 05 – KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOZI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Kikosi cha Zimamoto na Uokozi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Kikosi cha Zimamoto na Uokozi kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 52,034,000

kwa kipindi cha mwaka 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 52,288,300 zilikusanywa na kuingizwa

katika Mfuko Mkuu ambapo sawa na asilimia 100.4 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Kikosi cha Zimamoto na Uokozi kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 7,850,500,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2018, kiasi cha shilingi 7,600,195,504 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambazo ni sawa na asilimia 97 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kikosi cha Zimamoto na Uokozi

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Kikosi cha Zimamoto na Uokozi kimepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 42: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

37

5.2.6 FUNGU D 06 - KIKOSI CHA VALANTIA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Kikosi cha Valantia umefanywa kwa

kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana

na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Katika mwaka wa fedha 2017/2018 kikosi cha Valantia kilikadiriwa kukusanya jumla

ya shilingi 651,061,248 kutoka vyanzo vyake hadi kufikia Juni 30 Jumla ya shilingi

651,061,248 sawa na asilimia 100 ya makadirio

Taarifa ya Matumizi

Katika mwaka wa fedha 2017/2018 Kikosi cha Valantia kilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 9,788,400,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida na shilingi 400,000,000 kwa

kazi za maendeleo, hadi kufikia Juni 30 jumla ya shilingi 10,737,265,628 zilipatikana

ikiwa sawa na asilimia 109 ya makadirio na jumla ya shilingi 248,875,000 kwa kazi

za maendeleo ikiwa sawa na asilimia 62 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kikosi cha Valantia kwa mwaka

wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Kikosi cha Valantia kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.7 WAKALA WA USAJILI WA MATUKIO YA KIJAMII

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Wakala wa Usajili wa Matukio ya

Kijamii umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Katika mwaka wa fedha 2017/2018 Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii

walikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 275,230,000 kutoka vyanzo vyake hadi

kufikia Juni 30 Jumla ya shilingi 240,597,350 sawa na asilimia 87 ya makadirio

Page 43: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

38

Taarifa ya Matumizi

Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 2,660,800,000 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi

500,000,000 kwa kazi za maendeleo. Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi

2,105,790,135 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida ambayo ni sawa na

asilimia 96.4 ya makadirio na jumla ya Shilingi 45,000,000 kwa kazi za maendeleo

ikiwa sawa na asilimia 9 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wakala wa Usajili wa Matukio ya

Kijamii kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii imepata hati inayoridhisha

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.8 FUNGU D 07 – MKOA WA MJINI MAGHARIBI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Mkoa wa Mjini Magharibi

umefanywa kwa kuzingatia sheria,kanuni,taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Mkoa wa Mjini Magharibi ulikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 44,030,000 katika

kipindi cha mwaka 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Mkoa wa Mjini Magharibi ulikusanya jumla ya shilingi

46,053,700 sawa na asilimia 105 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Mkoa wa Mjini Magharibi kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ulikadiriwa kutumia jumla

ya shilingi 2,375,323,060 kwa matumizi ya kazi za kawaida. Aidha Mkoa wa Mjini

Magharibi ulikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 5,380,774,715 ikiwa ni ruzuku kwa

Manispaa za Mkoa wa Mjini Magharibi.

Page 44: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

39

Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 2,230,541,010 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 94 ya makadirio. Aidha jumla ya

shilingi 5,132,790,043 zimeingizwa na kutumika ikiwa ni ruzuku kwa Manispaa za

mkoa wa Mjini Magharibi sawa na asilimia 95 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Mjini Magharibi kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mkoa wa Mjini Magharibi umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.9 FUNGU D 08 – MKOA WA KUSINI UNGUJA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Mkoa wa Kusini Unguja umefanywa

kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika

kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Mkoa wa Kusini Unguja ulikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 13,008,000 katika

kipindi cha mwaka 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Mkoa wa Kusini Unguja ulikusanya jumla ya shilingi

15,825,000 sawa na asilimia 122 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Mkoa wa Kusini Unguja kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ulikadiriwa kutumia jumla

ya shilingi 1,744,500,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida. Aidha Mkoa wa Kusini

Unguja ulikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 1,073,400,000 ikiwa ni ruzuku kwa

Manispaa za Mkoa wa Kusini Unguja.

Hadi kufikia 30 Juni 2018, kiasi cha shilingi 1,426,024,141 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 82 ya makadirio. Aidha jumla ya

shilingi 958,368,752 zimeingizwa na kutumika ikiwa ni ruzuku kwa Manispaa za

Mkoa wa Kusini Unguja sawa na asilimia 89.3 ya makadirio.

Page 45: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

40

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kusini Unguja kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mkoa wa Kusini Unguja umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.10 FUNGU D 09 – MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Mkoa wa Kaskazini Unguja

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ulikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 3,062,500,000. Kati ya Hizo shilingi 1,704,400,000 ikwa ni matumizi

ya kazi za kawaida na shilingi 1,358,100,000 ikiwa ni ruzuku.

Hadi kufikia 30 Juni 2018, jumla ya shilingi 2,804,925,475 zimeingizwa na kutumika

sawa na asilimia 91.5 ya makadirio. Kati ya hizo jumla ya shilingi 1,664,357,625

zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida na shilingi 1,140,567,850 zimeingizwa

na kutumika ikiwa ni ruzuku.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mkoa wa Kaskazini Unguja umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 46: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

41

5.2.11 FUNGU D 10 – MKOA WA KUSINI PEMBA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Mkoa wa Kusini Pemba umefanywa

kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika

kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya mapato

Mkoa wa Kusini Pemba ulikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 11,708,000 kutoka

katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 8,662,000 zilikusanywa sawa na asilimia

73.98 ya makadirio

Taarifa ya Matumizi

Mkoa wa Kusini Pemba kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kutumia jumla

ya shilingi 3,682,455,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi

94,100,000 kwa kazi za maendeleo

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 3,352,582,000 ziliingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 91 ya makadirio na shilingi 70,678,000

kwa kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 75.1 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kusini Pemba kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mkoa wa Kusini Pemba umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.12 FUNGU D 11 - MKOA WA KASKAZINI PEMBA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Mkoa wa Kaskazini Pemba

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 47: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

42

Taarifa ya Matumizi

Mkoa wa kaskazini Pemba kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 3,496,820,090 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi

44,795,000 kwa kazi za maendeleo

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 3,239,157,771 ziliingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 92.6 ya makadirio na shilingi

33,810,000 kwa kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 75.5 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kaskazini Pemba kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mkoa wa Kaskazini Pemba umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni 2018.

5.2.13 BARAZA LA MANISPAA MJINI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Baraza la Manispaa Mjini umefanywa

kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika

kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Baraza la Manispaa la Wilaya ya Mjini lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

6,469,160,843 kati ya hizo jumla ya shilingi 3,535,518,000 ni kutoka katika vyanzo

vya mapato vya Baraza na Jumla ya shilingi 2,933,642,843 ikiwa ni Ruzuku ya

mishahara na ya kazi za kawaida kutoka Serikalini.

Hadi kufikia Juni 2018 jumla ya shilingi 6,959,873,636.19 zilikusanywa sawa na

asilimia 107 ya makadirio, kati ya hizo jumla ya shilingi 3,537,595,623.19 kutoka

vyanzo vya mapato vya baraza na jumla ya shilingi 3,422,278,013 ni ruzuku ya

mishahara na kazi za kawaida kutoka Serikalini sawa na asilimia 117 ya makadirio.

Page 48: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

43

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Manispaa katika mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 6,469,160,843 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 6,659,873,636 zilitumika ikiwa sawa na

asilimia 103 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

5.2.13.1 Kukosekana takwimu za wafanyabiashara wanaolipia leseni za

biashara

Ukaguzi ulifanya tathmini ya vyanzo vya mapato ya baraza la manispaa ili kubaini

idadi halisi ya wanaopaswa kulipa leseni za biashara na idadi halisi ya kilicholipwa.

Ukaguzi umebaini kuwa katika kitengo cha ukusanyaji wa mapato ya leseni ya

biashara na kitengo cha mabango hakukuwa na takwimu sahihi juu ya idadi ya

wanaopaswa kulipa hivyo ukaguzi umeshindwa kujua idadi halisi ya wafanyabiashara

wanaopaswa kulipia leseni za biashara na huduma ya matangazo kupitia mabango.

Kutokuwa na takwimu halisi ya idadi ya wafanyabiashara wanaopaswa kulipia leseni

za biashara na mabango ya matangazo kunaweza kupelekea baraza kutowatambua

wafanyabiashara wanaopaswa kulipia leseni hivyo kulikosesha baraza mapato.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Manispaa Mjini kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Manispaa Mjini limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.14 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI-A

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Baraza la Manispaa Magharibi-A

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 49: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

44

Taarifa ya Mapato

Baraza la Manispaa la Wilaya ya Magharibi-A lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

1,566,374,523 kati ya hizo jumla ya shilingi 699,980,000 ni kutoka katika vyanzo

vya mapato vya Baraza na Jumla ya shilingi 866,394,523 ikiwa ni Ruzuku ya

mishahara na ya kazi za kawaida kutoka Serikalini.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 1,640,147,656 zilikusanywa sawa na

asilimia 105 ya makadirio, kati ya hizo Jumla ya shilingi 818,147,381 kutoka vyanzo

vya mapato vya baraza na Jumla ya shilingi 802,000,275 ni ruzuku ya mishahara na

kazi za kawaida kutoka Serikalini na Jumla ya shilingi 20,000,000 ni ruzuku kutoka

katika kitengo cha Udhibiti na Usimamizi wa Ujenzi (DCU).

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Manispaa ya magharibi-A katika mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 1,397,054,523 hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi

1,458,364,481 zilitumika ikiwa sawa na asilimia 104 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

5.2.14.1 Kukosekana takwimu za wafanyabiashara wanaolipia leseni za

biashara

Ukaguzi ulifanya tathmini ya vyanzo vya mapato ya baraza la manispaa ya magharibi

‘A’ ili kubaini idadi ya wafanyabiashara wanaopaswa kulipa kodi na idadi halisi ya

kilicholipwa,Ukaguzi umebaini kuwa hakukuwa na takwimu sahihi juu ya idadi ya

wanaopaswa kulipa hivyo ukaguzi umeshindwa kujua idadi halisi ya wafanyabiashara

wanaopaswa kulipia leseni za biashara na huduma ya matangazo kupitia mabango.

Kutokuwa na takwimu halisi ya idadi ya wafanyabiashara wanaopaswa kulipia leseni

za biashara na mabango ya matangazo kunaweza kupelekea baraza kutowatambua

wafanyabiashara wanaopaswa kulipia leseni hivyo kulikoseha baraza mapato.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Manispaa Magharibi-A

Page 50: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

45

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Manispaa Magharibi-A limepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.15 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI – B

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Baraza la Manispaa Magharibi - B

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Baraza la Manispaa la Wilaya ya Magharibi ‘B’ lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

2,509,958,605 kati ya hizo jumla ya shilingi 1,480,000,000 ni kutoka katika vyanzo

vya mapato vya Baraza na Jumla ya shilingi 984,958,605 ikiwa ni Ruzuku ya

mishahara na ya kazi za kawaida kutoka Serikalini.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 2,298,534,312 zilikusanywa sawa na

asilimia 92 ya makadirio, kati ya hizo jumla shilingi 1,390,476,302 sawa na asilimia

94 ya makadirio na jumla ya shilingi 908,058,010 sawa na asilimia 92 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Manispaa ya magharibi B katika mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 2,509,958,605.

Hadi kufikia Juni 30 2018 jumla ya shilingi 2,427,477,723 zilitumika ikiwa sawa na

asilimia 97 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

5.2.15.1 Kukosekana takwimu za wafanyabiashara wanaolipia leseni za

biashara

Ukaguzi ulifanya tathmini ya vyanzo vya mapato ya baraza la manispaa ya magharibi

‘B’ ili kubaini idadi ya wafanyabiashara wanaopaswa kulipa kodi na idadi halisi ya

kilicholipwa,Ukaguzi umebaini kuwa hakukuwa na takwimu sahihi juu ya idadi ya

wanaopaswa kulipa hivyo ukaguzi umeshindwa kujua idadi halisi ya wafanyabiashara

Page 51: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

46

wanaopaswa kulipia leseni za biashara na pamoja na takwimu ya vyanzo vyengine

vya mapato.

Kutokuwa na takwimu halisi ya idadi ya wafanyabiashara wanaopaswa kulipia leseni

za biashara kunaweza kupelekea baraza kutowatambua wafanyabiashara

wanaopaswa kulipia leseni hivyo kulikoseha baraza mapato.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Manispaa Magharibi - B

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Manispaa Magharibi-B limepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.16 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI ‘A’ UNGUJA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini

‘A’ Unguja umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja ilikadiriwa kukusanya jumla ya

shilingi 505,500,000 kutoka katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni 2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 699,307,178 zilikusanywa sawa na

asilimia 138 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja kwa mwaka wa fedha 2017/2018

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 545,500,750 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 528,372,031 zimetumika kwa kazi za

kawaida ambazo sawa na asilimia 97 ya makadirio.

Page 52: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

47

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya

Kaskazini ‘A’ Unguja kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura

sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘A’ Unguja imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.17 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI “B” UNGUJA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Halmashauri ya Wilaya ya

Kaskazini ‘B’ Unguja umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo

vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja ilikadiriwa kukusanya jumla ya

shilingi 1,136,113,071 kati ya hizo shilingi 746,509,000 kutoka katika vianzio vyake

mbalimbali na shilingi 389,523,071 ni ruzuku kutoka Serikalini.

Hadi kufikia Juni 2018 jumla ya shilingi 1,463,600,076 ikiwa sawa na asilimia 129 ya

makadirio, kati ya hizo shilingi 1,023,154,676 ikiwa ni makusanyo kutokana na

vianzio vya ndani na shilingi 440,445,400 ikiwa ni ruzuku kutoka Serikalini.

Taarifa ya Matumizi

Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “B” kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 341,932,180 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi

256,592,820 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 322,293,085 zimetumika kwa kazi za

kawaida sawa na asilimia 94 ya makadirio na shilingi 321,074,632 kwa kazi za

maendeleo sawa na asilimia 125 ya makadirio.

Maoni ya ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya

Page 53: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

48

Kaskazini ‘B’ Unguja kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura

sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘B’ Unguja imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.18 HALMASHAURI YA WILAYA YA KATI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Halmashauri ya Wilaya ya

Kati umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Kati Unguja ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

500,000,000 kutoka katika vyanzo vyake vya mapato na ilikadiriwa kuingiziwa

shilingi 611,263,925 ikiwa ni ruzuku kutoka Serikalini.

Hadi kufikia Juni 30 Halmashauri ya Wilaya ya Kati ilikusanya Jumla ya shilingi

667,184,457 kutoka katika vyanzo vyake ikiwa sawa na asilimia 133 ya makadirio

aidha iliingiziwa jumla ya shilingi 420,476,782 ikiwa sawa na asilimia 68 pamoja na

shilingi 10,000,000 kutoka katika kamati ya Udhibiti na Usimamizi wa Ujenzi (DCU)

kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 2018.

Taarifa ya Matumizi

Halmashauri ya Wilaya ya Kati ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 1,111,263,925

kwa kazi za kawaida kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 2018.

Hadi kufikia Juni 2018 Jumla ya shilingi 1,059,921,182 zimetumika kwa kazi za

kawaida ambazo sawa na asilimia 95 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya Kati

Unguja kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Page 54: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

49

Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Kati imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.19 HALMASHAURI YA WILAYA YA KUSINI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Halmashauri ya Wilaya ya

Kusini umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Kusini ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 369,198,550

kutoka katika vyanzo vyake mbali mbali mapato.

Hadi kufikia Juni 30 Halmashauri ya Wilaya ya Kusini ilikusanya jumla ya shilingi

488,313,205 kutoka katika vyanzo vyake sawa na asilimia 132 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Halmashauri ya Wilaya ya Kusini ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 816,327,100

kwa kazi za kawaida kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 2018.

Hadi kufikia Juni 2018 jumla ya shilingi 664,891,183 zimetumika kwa kazi za kawaida

ambazo sawa na asilimia 81 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya Kusini

Unguja kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Kusini imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 55: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

50

5.2.20 BARAZA LA MJI CHAKE-CHAKE

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Baraza la Mji la Chake-

Chake umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Baraza la mji Chake Chake lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 390,000,000

kutoka katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 440,228,787 zilikusanywa sawa na

asilimia 112.88 ya makadirio

Taarifa ya Matumizi

Baraza la mji Chake Chake kwa mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 1,272,622,900 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi

3,300,000 kwa kazi za maendeleo

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 1,464,165,515 ziliingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 115 ya makadirio na shilingi 3,186,000

kwa kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 96.5 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mji Chake Chake kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Mji Chake Chake limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.21 BARAZA LA MJI MKOANI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Baraza la Mji Mkoani

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 56: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

51

Taarifa ya Mapato

Baraza la mji Mkoani lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 230,000,000 kutoka

katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 295,034,898.26 zilikusanywa sawa na

asilimia 128.28 ya makadirio

Taarifa ya Matumizi

Baraza la mji Mkoani kwa mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 1,178,216,117.73 matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi

175,300,000 kwa kazi za maendeleo

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 1,120,009,160.98 ziliingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 95.1 ya makadirio na shilingi

205,519,200 kwa kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 117.2 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mji Mkoani kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Mji Mkoani limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.22 BARAZA LA MJI WETE

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Baraza la Mji Wete

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Baraza la Mji Wete lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 250,000,000 kutoka katika

vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 257,108,143 zilikusanywa sawa na

asilimia 103 ya makadirio

Page 57: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

52

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Mji Wete kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 100,000,000 kwa matumizi ya kazi za maendeleo na shilingi 600,000,000

ilikadiriwa kwa ajili ya matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 73,000,000 ziliingizwa na kutumika kwa

kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 73 ya makadirio na shilingi

1,173,920,252 kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 195.65 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mji Wete kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Mji Wete limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2018.

5.2.23 HALMASHAURI YA WILAYA YA MICHEWENI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Halmashauri ya Wilaya ya

Micheweni umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni ulikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

170,000,000 kutoka katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha

2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 185,348,155.19 zilikusanywa sawa na

asilimia 109.03 ya makadirio

Taarifa ya Matumizi

Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 660,048,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya

shilingi 249,200,000 kwa kazi za maendeleo.

Page 58: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

53

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 606,581,039 ziliingizwa na kutumika kwa

kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 91.8 ya makadirio na shilingi

228,566,380.80 kwa kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 71.7 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya

Micheweni kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.3 WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI WA UMMA NA

UTAWALA BORA

5.3.1 FUNGU G 01 - WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI

WA UMMA NA UTAWALA BORA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Nchi (OR) Katiba,

Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora umefanywa kwa kuzingatia

Sheria,kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango

vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Nchi (OR) Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora ilikadiriwa

kukusanya jumla ya shillingi 453,600,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha

2017/2018. Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi

1,016,744,611 sawa na asilimia 224.2 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Nchi (OR) Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora iliidhinishiwa

kutumia jumla ya shillingi 8,359,602,548. Kati ya hizo jumla ya shilingi

8,279,602,548 kwa kazi za kawaida na jumla ya shillingi 80,000,000 kwa kazi za

maendeleo.

Page 59: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

54

Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 kiasi cha shillingi 7,468,523,373.2 zimeingizwa na

kutumika sawa na asilimia 89.3 ya makadirio. Kati ya hizo jumla ya shilingi

7,388,523,373.20 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 98 ya makadirio na shilingi

80,000,000 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 100

ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Nchi(OR) Katiba,

Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mwaka wa fedha unaoishia 30

Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa

na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Nchi (OR) Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala

Bora imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.3.2 FUNGU G 02 - MAHKAMA KUU

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Mahkama Kuu umefanywa

kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika

kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Mahakama Kuu ya Zanzibar katika mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa

kukusanya Jumla ya shilingi 500,000,000 ya mapato.

Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Mahkama Kuu ya Zanzibar ilikukusanya Jumla ya

shilingi 499,030,891 sawa na asilimia 99.81 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Mahakama Kuu ya Zanzibar

ilikadiriwa kutumia Jumla ya shillingi 7,966,592,780 kwa matumizi ya kawaida na

shillingi 900,000,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Jumla ya shillingi 6,575,444,546 ziliingizwa na kutumika

kwa matumizi ya kawaida sawa na asilimia 82.5 ya makadirio na jumla ya shillingi

500,000,000 zilitumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 56 ya makadirio.

Page 60: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

55

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mahkama Kuu kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mahkama Kuu imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2018.

5.3.3 FUNGU G 03 – OFISI YA MWANASHERIA MKUU

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilling 1,646,110,000 kwa matumizi ya kawaida.

Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar imeingiziwa na

kutumia Jumla ya shillingi 1,473,234,600 kwa matumizi ya kawaida sawa na asilimia

90 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Ofisi ya Mwanasheria Mkuu imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.3.4 FUNGU G 04 – OFISI YA MKURUGENZI WA MASHTAKA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Ofisi ya Mkurugenzi wa

Mashtaka umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 61: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

56

Taarifa ya Matumizi

Katika kipindi cha mwaka fedha 2017/2018 Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka

ilikadiriwa kutumia jumla ya shillingi 2,534,403,180 kwa matumizi ya kawaida.

Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliingiziwa na

kutumia jumla ya shillingi 2,372,872,499 kwa matumizi ya kazi za kawaida sawa na

asilimia 90 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.3.5 FUNGU G 05 – TUME YA KUREKEBISHA SHERIA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Kurekebisha

Sheria umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Tume ya Kurekebisha Sheria

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 612,042,169 kwa matumizi ya kawaida.

Hadi kufikia Juni 30 Juni 2018 Tume ya Kurekebisha Sheria imeingiziwa na kutumia

jumla ya shilingi 576,451,840 sawa na asilimia 94.2 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Kurekebisha Sheria kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Kurekebisha Sheria imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 62: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

57

5.3.6 FUNGU G 08 - KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Kamisheni ya Utumishi wa

Umma umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Kamisheni ya Utumishi wa Umma

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 940,300,000 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2017/2018 Kamisheni ya Utumishi ya Umma imepokea na

kutumia jumla ya shilingi 818,323,950 sawa na asilimia 87 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kamisheni ya Utumishi wa Umma

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Kamisheni ya Utumishi wa Umma imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.3.7 FUNGU G 09 - TUME YA UTUMISHI SERIKALINI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Utumishi Serikalini

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Katika kipindi cha fedha 2017/2018 Tume ya Utumishi Serikalini ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 511,800,000 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Tume ya Utumishi Serikalini ilingiziwa na kutumia

jumla shillingi 441,000,000 sawa na asilimia 86.12 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Utumishi Serikalini kwa

Page 63: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

58

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Utumishi Serikalini imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.3.8 FUNGU G 07- MAMLAKA YA KUZUIA RUSHWA NA UHUJUMU WA

UCHUMI ZANZIBAR

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Mamlaka ya kuzuia Rushwa

na Uhujumu wa Uchumi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na

vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na

Uhujumu wa Uchumi ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 1,334,700,000 kwa kazi za

kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi

imepokea na kutumia jumla ya shilingi 1,234,003,046 sawa na asilimia 92.5 ya

makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu ya Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na

Uhujumu Uchumi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura

sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.3.9 TUME YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Maadili ya

Viongozi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 64: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

59

Taarifa ya matumizi.

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Tume ya Maadili ya Viongozi wa

Umma ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 474,865,000 kwa matumizi ya kawaida

na jumla ya shilingi 25,135,000 na kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Tume ya Maadili Viongozi imeingiziwa na kutumia jumla

ya shilingi 389,363,192 sawa na asilimia 82 ya makadirio, na jumla ya shilingi

25,135,000 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 100 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Maadili ya Viongozi kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Maadili ya Viongozi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.4 WIZARA YA NCHI OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS

5.4.1 FUNGU C 01 - OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Ofisi ya Makamo wa Pili wa

Rais umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 32,521,000

katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 13,815,000 zilikusanywa sawa na asilimia

42 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais kwa mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 10,587,862,440 kwa matumizi ya kazi za kawaida na

maendeleo.

Page 65: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

60

Hadi kufikia 30 Juni 2018, jumla ya shilingi 9,812,483,641 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida na maendeleo ambazo ni sawa na asilimia 93 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.4.2 FUNGU C 02 - BARAZA LA WAWAKILISHI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Baraza la Wawakilishi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Wawakilishi lilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 18,661,700,000 kwa kazi

za kawaida.

Hadi kufikia Juni 2018 Jumla ya shilingi 18,370,751,511 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 98 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Wawakilishi kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Wawakilishi limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.4.3 FUNGU C 03 - TUME YA UCHAGUZI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Uchaguzi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 66: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

61

Taarifa ya Matumizi

Katika mwaka wa fedha 2017/2018, Tume ya Uchaguzi ilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 2,695,500,000 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 1,689,124,141 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 63 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Uchaguzi kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Uchaguzi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2018.

5.4.4 FUNGU C 05 – TUME YA UKIMWI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Ukimwi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Katika mwaka wa fedha 2017/2018, Tume ya Ukimwi ilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 846,800,000 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 823,651,354 zilitumika kwa kazi za

kawaida sawa na asilimia 97 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Ukimwi kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Ukimwi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 67: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

62

5.4.5 FUNGU C 04 - TUME YA KITAIFA YA KURATIBU NA UDHIBITI WA

DAWA ZA KULEVYA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Kitaifa ya Kuratibu

na Udhibiti wa Dawa za Kulevya umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu

na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za Kulevya kwa mwaka wa fedha

2017/2018 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 602,491,663 kwa matumizi ya

kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 511,539,228 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi matumizi ya kazi za kawaida sawa na asilimia 84.9 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na

Udhibiti wa Dawa za Kulevya kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018

zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na

kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za Kulevya imepata

hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.5 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

5.5.1 FUNGU F 01 - WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Fedha na

Mipango umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Fedha na mipango kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kukusanya

jumla ya shilingi 1,044,413,527,000 kutoka katika vyanzo vyake vya kodi na

visivyokuwa vya kodi.

Page 68: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

63

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 875,669,135,400 zimekusanywa kutoka

vyanzo mbali mbali vya kodi na visivyokuwa vya kodi sawa na asilimia 83.5 ya

makadirio. Mchanganuo wa makusanyo ni kama inavyoonekana hapo chini:-

Jadweli namba 8:

Chanzo cha Mapato Makadirio

2017/2018 Tsh.

Milioni

Makusanyo

Halisi

2017/2018

Asilimia Ya

Makusanyo

Bodi ya Mapato (ZRB) 347,289,592,000 346,875,657,136 99.9

Mamlaka ya Mapato

(TRA)

258,723,935,000 255,949,366,000

98.9

Gawio la Mashirika 3,000,000,000 1,775,957,892.30 59.2

Gawio la BOT 3,000,000,000 13,500,000,000 450

Mapato yasiyokuwa ya

Kodi

22,400,000,000 36,948,983,285.86

164.9

Mikopo ya Ndani 30,000,000,000 20,000,000,000 66.7

Mapato kutoka kwa

washirika wa

Maendeleo

380,000,000,000 196,992,000,000

51.8

Jumla 1,044,413,527,000 872,041,964,314

Taarifa ya Matumizi

Katika mwaka wa Fedha 2017/2018 Wizara ya Fedha na Mipango iliidhinishwa

kutumia shilingi 18,519,838,000 kwa matumizi ya kawaida, shilingi 10,210,000,000

kwa kazi za maendeleo ikiwa ni mchango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na

shilingi 27,853,510,000 kwa kazi za maendeleo ikiwa ni mchango wa washirika wa

maendeleo na shilingi 29,263,900,000 ikiwa ni ruzuku kwa taasisi mbali mbali

zilizopo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango.

Page 69: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

64

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 16,208,578,130 zimeingizwa na

kutumika kwa ajili ya matumizi ya kawaida sawa na asilimia 87.5 , shilingi

5,453,975,382 zimeingizwa na kutumika sawa na asilimia 53 ya makadirio kwa kazi

za maendeleo ikiwa ni mchango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, aidha jumla

ya shilingi 19,578,598,508 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo ikiwa ni

mchango wa washirika wa maendeleo sawa na asilimia 70 ya makadirio na shilingi

29,450,377,981 ikiwa ni ruzuku sawa na asilimia 100.6 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Fedha na Mipango

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Fedha na Mipango imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.5.2 FUNGU F 02 - HESABU ZA HUDUMA ZA MFUKO MKUU WA SERIKALI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa hesabu za Huduma za

Mfuko Mkuu wa Serikali umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na

vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Katika mwaka wa Fedha 2017/2018 Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali iliidhinishwa

kutumia shilingi 150,710,000,000 kwa ajili ya utoaji wa huduma mbali mbali za

Mfuko Mkuu zikiwemo ulipaji wa Kiinua Mgongo, Pencheni na malipo ya huduma za

hati fungani.

Hadi kufikia Juni, 2018 jumla ya shilingi 140,163,426,544 zimeingizwa na kutumika

kwa ajili ya matumizi ya huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali sawa na asilimia 93 ya

makadirio.

Page 70: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

65

Aidha Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali ulikuwa na salio la shilingi 706,935,242

mwanzoni mwa mwaka wa fedha 2017/2018 katika hesabu yake ya Amana (Public

Debt Deposit Account) ambazo zilitumika kwa malipo ya Viinua Mgongo na matumizi

mengine maalum ya Serikali. Hadi kufikia Juni, 2018 hesabu hii ya Amana na ilikuwa

bakaa ya shilingi 1,591,510,592.

MATOKEO YA UKAGUZI

5.5.2.1 Malipo yaliyofanywa na Hazina kutokana na adhabu ya kuchelewa

kulipa madeni kwa muda mrefu USD 200,120

Katika mwaka wa fedha 2017/2018, Ukaguzi umebani kuwa hesabu ya huduma za

mfuko mkuu wa Serikali imefanya malipo kupitia hati nambari PV 16/02/2018 yenye

thamani ya USD 200,120.00 aliyolipwa Hassan & Sons kutokana na kuchelewesha

malipo na malimbikizo ya madeni inayodaiwa Serikali kwa muda mrefu.

Aidha ukaguzi haukuweza kupatiwa mkataba baina ya kampuni ya Hassans & Sons

na Serikali ili kuweza kujiridhisha kuwepo kwa adhabu inayotokana na ucheleweshaji

wa malipo hayo.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria ya Usimamizi wa Fedha za Umma

namba 12 ya mwaka 2016.

5.5.2.2 Malipo ya kiinua mgongo yaliyolipwa mara mbili shilingi

264,814,265

Ukaguzi umebaini kufanyika kwa malipo ya kiinua mgongo ambayo yamelipwa mara

mbili kwa watumishi waliofariki, ambapo malipo hayo yalifanyika mwaka wa fedha

2017/2018 na yamerudiwa mwaka wa fedha 2018/2019.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria ya usimamizi wa fedha za umma namba

12 ya mwaka 2016, uchambuzi wa malipo hayo kama unaonekana katika jadweli;

Page 71: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

66

Jadweli namba 9:

Namba Nambari ya Hati

ya Malipo

Tarehe ya

Malipo

Alielipwa Kiasi cha

Fedha

Maelezo

1. F02PVI700000331 25/8/2017 MAREHEMU

CHUM

HASSAN

CHUM

87,243,666 Ikiwa ni

malipo ya

kiinua

mgongo

2. F02PV1800000278 23/8/2018 MAREHEMU

CHUM

HASSAN

CHUM

87,243,667 Ikiwa ni

malipo ya

kiinua

mgongo

3. F02PV1700000435 13/9/2017 MAREHEMU

AMOUR

MOHD ALI

22,147,466 Ikiwa ni

malipo ya

kiinua

mgongo

4. F02PV1800000279 23/8/2018 MAREHEMU

AMOUR

MOHD ALI

22,147,466 Ikiwa ni

malipo ya

kiinua

mgongo

5. F02PVI700000332 25/8/2017 MAREHEMU

KHAMIS

OMAR ALI

23,016,000 Ikiwa ni

malipo ya

kiinua

mgongo

6. F02PV1800000279 23/8/2018 MAREHEMU

KHAMIS

OMAR ALI

23,016,000 Ikiwa ni

malipo ya

kiinua

mgongo

Jumla 264,814,265

Page 72: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

67

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Huduma za Mfuko Mkuu wa

Serikali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo hesabu za Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali zimepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.5.3 FUNGU F 03 - TUME YA MIPANGO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Mipango

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Katika mwaka wa Fedha 2017/2018 Tume ya Mipango ilikadiriwa kutumia shilingi

2,483,200,000 kwa matumizi ya kawaida na shilingi 4,731,237,000 kwa kazi za

maendeleo na shilingi 2,216,400,000 ikiwa ni Ruzuku.

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 2,187,284,431 zimeingizwa na kutumika

kwa ajili ya matumizi ya kawaida sawa na asilimia 88 ya makadirio na shilingi

1,192,292,500 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia

25.2 ya makadirio na shilingi 2,096,039,410 zimeingiziwa na kutumika ikiwa ni

ruzuku sawa na asilimia 94.57 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu Tume ya Mipango kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Tume ya Mipango imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 73: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

68

5.5.4 OFISI YA MTAKWIMU MKUU WA SERIKALI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa

Serikali umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

5,437,594,436 kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kutoka vyanzo vyake vya kodi na

visivokuwa vya kodi.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 2,624,619,610 zilikusanywa ambazo ni

sawa na asilimia 48.3 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa

kupata jumla ya shilingi 2,216,400,000 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi

500,000,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia Juni 2018 Ofisi imeingiziwa jumla ya shilingi 2,096,039,410 kwa kazi za

kawaida sawa na asilimia 94.6 ya fedha zilizoidhinishwa na shilingi 495,000,000 kwa

kazi za maendeleo sawa na asilimia 99 ya makadirio yaliyoidhinishwa.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa

Serikali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 74: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

69

5.6 WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI

5.6.1 FUNGU L 01 - WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Kilimo, Maliasili,

Mifugo na Uvuvi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya

ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

4,930,197,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018 kutokana na vyanzo vyake vya

mapato.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 9,293,567,574 sawa na

asilimia 188.5 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2017/2018

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 23,804,997,580 kwa kazi za kawaida na shilingi

2,754,427,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2018, kiasi cha shilingi 23,147,656,950 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 97.2 ya makadirio na jumla ya

shilingi 1,449,600,000 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 53 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

5.6.1.1 Kukosekana kwa mikataba ya ulinzi shilingi 9,600,000

Ukaguzi umebaini uwepo wa askari 32 ambao walitumika Kulinda viwanjwa vya

maonyesho Dole kwa thamani ya shilingi 9,600,000 kwa muda wa siku 30, lakini

hadi ukaguzi unamalizika hatukuweza kupatiwa mkataba wa ulinzi baina ya walinzi

na Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi ili kuweza kujiridhisha thamani halisi

ya malipo hayo na muda halisi ya ulinzi huo.

Kufanya malipo bila ya kuwepo vielelezo vinavyohusikana na malipo hayo ni kwenda

kinyume na sheria ya fedha nambari 12 ya mwaka 2016.

Malipo yenyewe ni kama ifuatavyo:-

Page 75: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

70

Jadweli namba 10:

Hati

Namba

Hundi

Namba

Thamani Alielipwa Maelezo

82/8 - 9,600,000 K/MKUU Fedha zinazotolewa ikiwa ni

awamu ya kwanza ya malipo ya

walinzi 32 wanaolinda katika

viwanja vya maonyesho Dole.

Jumla 9,600,000

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo

na Uvuvi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi imepata hati inayoridhisha

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.7 WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO

5.7.1 FUNGU R 01 - WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Biashara,

Viwanda na Masoko umefanywa kwa kuzingatia Sheria,kanuni, taratibu na vigezo

vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

455,000,000.00 kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia juni 2018 Wizara ilifanikiwa kukusanya jumla ya shilingi

1,016,744,611.00 sawa na asilimia 223.00 ya makadirio.

Page 76: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

71

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 7,275,461,762 kwa matumizi ya kazi za kawaida na shilingi

1,184,575,664 kwa matumizi ya kazi za maendeleo.

Hadi kufikia tarehe 30 juni 2018 Wizara ilifanikiwa kupokea jumla ya shilingi

5,743,222,852 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 79 ya makadirio na shilingi

1,125,459,055 kwa kazi za Maendeleo sawa na asilimia 95 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Biashara Viwanda na

Masoko kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko imepata hati inayoridhisha

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.7.2 TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS)

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Taasisi ya Viwango Zanzibar

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

3,110,384,198 kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Taasisi hii ilifanikiwa kukusanya jumla ya shilingi

2,181,402,699.30 sawa na asilimia 70 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 5,695,251,648 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Taasisi ya Viwango ilifanikiwa kupokea na kutumia

jumla ya shilingi 2,395,811,374.96 sawa na asilimia 42.07 ya makadirio.

Page 77: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

72

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Taasisi ya Viwango Zanzibar kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Taasisi ya Viwango Zanzibar imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.7.3 WAKALA WA USAJILI WA BIASHARA NA MALI (BPRA)

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wakala wa Usajili wa

Biashara na Mali (BPRA) umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na

vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wakala wa usajili wa Biashara na Mali ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

295,000,000.00 kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Taasisi hii imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi

427,233,613.00 sawa na asilimia 145 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wakala wa usajili wa Biashara na Mali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 223,500,000.00 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Taasisi ilifanikiwa kupokea na kutumia jumla ya

shilingi 183,390,000.00 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 82 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wakala wa usajili wa Biashara na

Mali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wakala wa usajili wa Biashara na Mali imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 78: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

73

5.8 WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

5.8.1 FUNGU K 01 – WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo

ya Amali umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

143,093,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018.

Hadi kufikia Juni 2018 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 75,660,600 sawa na

asilimia 52.9 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali iliidhinishiwa kutumia jumla ya Shilingi

142,109,957,200 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi 44,477,976,000 kwa kazi

za maendeleo.

Hadi kufikia Juni 30, jumla ya shilingi 141,325,365,359 zilitumika kwa kazi za

kawaida sawa na asilimia 99.4 ya makadirio na jumla ya shilling 34,031,400,927

zilitumika kwa kazi za maendeleo ikiwa ni mchango wa serikali na kutoka kwa

washirika wa maendeleo sawa na asilimia 76.5 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya

Amali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 79: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

74

5.8.2 BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya

Juu umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

1,601,845,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018 kutoka katika makusanyo yake

ya ndani na jumla ya shilingi 10,203,700,000 ikiwa ni ruzuku kutoka serikalini.

Hadi kufikia Juni 2018 Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ilikusanya jumla ya shilingi

1,659,241,941 sawa na asilimia 103 ya makadirio kutoka katika makusanyo yake ya

ndani na jumla shilingi 10,193,241,096 ikiwa ni ruzuku kutoka serikalini sawa na

asilimia 99 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 10,203,700,000

kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shilingi 7,528,515,518 ziliingizwa na kutumika

sawa na asilimia 73 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.8.3 MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Mamlaka ya Mafunzo ya

Amali Zanzibar umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya

ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 80: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

75

Taarifa ya Mapato

Mamlaka ya Mafunzo ya Amali ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 26,400,000

katika kipindi cha mwaka 2017/2018.

Hadi kufikia Juni 2018 jumla ya shilingi 22,322,340 zilikusanywa sawa na asilimia 84

ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Mamlaka ya Mafunzo ya Amali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 5,497,300,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

Hadi kufikia Juni 30 jumla ya shilingi 5,137,777,612 zilitumika ikiwa sawa na asilimia

93 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mamlaka ya Mafunzo ya Amali

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mamlaka ya Mafunzo ya Amali imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.8.4 SHIRIKA LA HUDUMA ZA MAKTABA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Shirika la Huduma za

Maktaba umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Matumizi

Shirika la Huduma za Maktaba ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 469,400,000 kwa

kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shillingi 505,601,855 ziliingizwa na kutumika

sawa na asilimia 107 ya makadirio.

Page 81: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

76

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Huduma za Maktaba

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Shirika la Huduma za Maktaba limepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.8.5 TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Taasisi ya Karume ya

Sayansi na Teknolojia umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo

vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia ilikadiriwa kukusanya jumla ya Shilingi

395,000,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018.

Hadi kufikia Juni 2018 Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknologia ilikusanya jumla

ya shilingi 258,344,006 sawa na asilimia 65 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknologia iliidhinishiwa kutumia jumla ya shilingi

1,348,600,000 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shillingi 1, 470,039,440 ziliingizwa na kutumika

ikiwa sawa na asilimia 109 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Taasisi ya Karume ya Sayansi na

Teknolojia kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia imepata hati inayoridhisha

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 82: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

77

5.8.6 BARAZA LA MITIHANI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Baraza la Mitihani

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Baraza la Mitihani kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 137,601,300 katika kipindi

cha mwaka 2017/18.

Hadi kufikia Juni 2018 Jumla ya shilingi 90,316,300 zilikusanywa sawa na asilimia 65

ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Baraza la Mitihani kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 4,598,400,000 kwa matumizi ya kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2018, kiasi cha shilingi 4,513,886,801 zimeingizwa na kutumika

kwa matumizi ya kawaida sawa na asilimia 98 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mitihani kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Baraza la Mitihani limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 83: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

78

5.9 WIZARA YA AFYA

5.9.1 FUNGU H 01 - WIZARA YA AFYA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Afya umefanywa

kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika

kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Afya ilikadiriwa kukusanya jumla ya shillingi 221,143,000 katika kipindi

cha mwaka wa fedha 2017/2018. Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Wizara

imekusanya jumla ya shillingi 179,635,700 sawa na asilimia 81 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Afya ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 37,511,462,000 kwa matumizi ya

kazi za kawaida na jumla ya shilingi 35,428,900,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia tarehe 30 Juni, 2018 jumla ya shillingi 37,963,068,766 ziliingizwa na

kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 101.20 ya makadirio na shilingi

12,212,480,202 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia

34.47 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Afya kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Afya imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2018.

5.9.2 FUNGU H 02 - HOSPITALI YA MNAZI MMOJA

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Hospitali ya Mnazi Mmoja

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 84: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

79

Taarifa ya Mapato

Hospitali ya Mnazi Mmoja ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilling 258,799,395 kwa

kipindi cha mwaka 2017/2018. Hadi kufikia 30 Juni 2018 Hospitali ya Mnazi Mmoja

imekusanya jumla ya shillingi 200,958,145 sawa na asilimia 77.65 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Hospitali ya Mnazi Mmoja ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 11,939,111,040 kwa

kazi za kawaida na jumla ya shilingi 3,000,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shillingi 11,290,015,980 ziliingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 95 ya makadirio, aidha jumla ya shilingi

2,900,000 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 96.67 ya

makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Hospitali ya Mnazi Mmoja kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana

na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Hospitali ya Mnazi Mmoja imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.9.3 WAKALA WA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wakala wa Maabara ya

Mkemia Mkuu wa Serikali umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na

vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ya Zanzibar, ilikadiria kukusanya

jumla ya shillingi 82,423,600 kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia Juni 2018 Mkemia alipokea jumla ya shillingi 99,285,709. Ukusanyaji

huo ni sawa na asilimia 120 ya makadirio hayo.

Page 85: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

80

Taarifa ya Matumizi

Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ilikadiria kutumia jumla ya shilingi 495,823,600

kwa kazi za kawaida na shilingi 1,868,595,250 kwa kazi za mendeleo.

Hadi kufikia Juni 2018 Mkemia aliingiziwa na kutumia jumla ya shilingi 490,328,715

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 98.89 ya makadirio, na shilingi 1,080,315,348

kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 57.81 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wakala wa Maabara ya Mkemia

Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura

sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.9.4 WAKALA WA CHAKULA,MADAWA NA VIPODOZI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wakala wa Chakula,Madawa

na Vipodozi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya

ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wakala wa Chakula, Madawa na Vipodozi wa Serikali ya Zanzibar, ilikadiria

kukusanya jumla ya shillingi 582,014,000 kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wakala alikusanya jumla ya shillingi 594,143,029 sawa na

asilimia 102.08 ya makadirio

Taarifa ya Matumizi.

Wakala wa Chakula, Madawa na Vipodozi wa Serikali ilikadiria kutumia jumla ya

shilingi 116,833,050 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wakala alipokea na kutumia jumla ya shilingi 749,694,381

sawa na asilimia 641.68 ya makadirio.

Page 86: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

81

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wakala wa Chakula, Madawa na

Vipodozi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wakala wa Chakula, Madawa na Vipodozi imepata hati inayoridhisha

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.10 WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI

5.10.1 FUNGU N 01 - WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba,

Maji na Nishati umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya

ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

10,035,000,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 8,456,000,000 sawa na

asilimia 84.3 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati kwa mwaka wa fedha 2017/2018

ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 10,565,138,000 kwa kazi za kawaida na jumla ya

shilingi 4,582,000,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2018, jumla ya shilingi 8,097,632,077.96 zimeingizwa na

kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 76.6 ya makadirio, na shilingi

3,610,765,781.15 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia

79 ya makadirio.

Page 87: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

82

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na

Nishati kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati imepata hati inayoridhisha

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.10.2 BODI YA USAJILI WA WAKANDARASI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Bodi ya Usajili wa

Wakandarasi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya

ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Bodi ya Usajili Wakandarasi ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 510,144,000

katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia Juni 2018 jumla ya shilingi 512,924,010.20 zilikusanywa ambazo ni sawa

na asilimia 100.54 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Bodi ya Usajili ya Wakandarasi ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 433,175,745 kwa

matumizi ya kazi za kawaida kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 411,130,338 ziliingizwa na kutumika

ambazo ni sawa na asilimia 94.91 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Bodi ya Usajili wa Wakandarasi

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Bodi ya Usajili wa Wakandarasi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 88: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

83

5.10.3 BODI YA USAJILI WASANIFU, WAHANDISI, NA WAKADIRIAJI

MAJENGO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Bodi ya Usajili Wasanifu,

Wahandisi na Wakadiriaji Majengo umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni,

taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na

kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Bodi ya Usajili Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo ilikadiriwa kukusanya

jumla ya shilingi 266,000,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 Bodi ya Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo

ilikusanya jumla ya shilingi 268,421,103 sawa na asilimia 101 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Bodi ya Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo kwa mwaka wa fedha

2017/2018 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 406,425,000 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 266,740,781 ziliingizwa na kutumika kwa

kazi za kawaida sawa na asilimia 66 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Bodi ya Usajili Wasanifu,

Wahandisi na Wakadiriaji Majengo kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018

zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na

kimataifa.

Kwa hali hiyo Bodi ya Usajili Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo imepata

hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.10.4 BODI YA UHAULISHAJI ARDHI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Bodi ya Uhaulishaji Ardhi

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Page 89: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

84

Taarifa ya Mapato

Bodi ya Uhaulishaji wa Ardhi Zanzibar ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

1,256,880,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 kupitia vianzio tofauti

vya mapato.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 mapato halisi yaliyokusanywa ni shilingi 1,303,125,499

sawa na asilimia 104 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Bodi ya Uhaulishaji Ardhi Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa

kutumia jumla ya shilingi 1,249,808,750 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 1,282,755,766.96 zimetumika kwa

kazi za kawaida sawa na asilimia 103 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Bodi ya Uhaulishaji Ardhi Zanzibar

kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi

kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Bodi ya Uhaulishaji ardhi Zanzibar imepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.11 WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI

5.11.1 FUNGU P 01 - WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA

USAFIRISHAJI

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Ujenzi,

Mawasiliano na Usafirishaji umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na

vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

2,883,970,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018.

Page 90: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

85

Hadi kufikia Juni 2018 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 2,526,684,207 sawa na

asilimia 87.61 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji iliidhinishiwa kutumia jumla ya shilingi

9,220,800,000 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na na shilingi 44,230,000,000 kwa

ajili ya matumizi ya maendeleo kwa ajili ya utekelezaji wa kazi zilizoainishwa katika

program za Wizara.

Hadi kufikia Juni 2018, jumla ya shilingi 8,626,503,578 zimeingizwa na kutumika kwa

kazi za kawaida sawa na asilimia 93.6 ya makadirio, na shilingi 40,730,000,000

zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 92.1 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na

Usafirishaji kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na

halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.12 WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI, WAZEE , VIJANA, WANAWAKE NA

WATOTO

5.12.1 FUNGU NAMBA Q 01 - WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI,

WAZEE, VIJANA, WANAWAKE NA WATOTO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji,

Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni,

taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na

kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Katika kipindi cha mwaka 2017/2018 Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake

na Watoto ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 891,078,000 kutoka katika vyanzo

vyake vya mapato mbali mbali vya Wizara. Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wizara

Page 91: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

86

ilifanikiwa kukusanya jumla ya shilingi 799,955,190 sawa na asilimia 89.77 ya

makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Katika kipindi cha mwaka 2017/2018 Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake

na Watoto ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 13,580,068,000 zilipangwa kwa kazi

za kawaida na shilingi 975,572,000 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wizara imeingiziwa jumla ya shilingi 13,204,124,043.88

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 97.23 ya makadirio na shilingi 806,383,140

kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 83 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Kazi, Uwezeshaji,

Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018

zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na

kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto

imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.13 WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO

5.13.1 FUNGU NAMBA J 01 - WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,

UTALII NA MICHEZO

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Habari,

Utamaduni, Utalii na Michezo umefanywa kwa kuzingatia misingi, taratibu na vigezo

vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo ilikadiriwa kukusanya jumla ya

shilingi 468,303,000 kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 340,312,239 zimekusanywa na kutumiwa

sawa na asilimia 73 ya makadirio

Page 92: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

87

Taarifa ya Matumizi

Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi

6,189,732,000 kwa kazi za kawaida na shilingi 7,097,500,000 kwa kazi za

maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 5,900,760,237 zimeingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 95 ya makadirio na shillingi 1,500,000,000

zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 21 ya makadirio.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Habari, Utamaduni,

Utalii na Michezo kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura

sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo imepata hati

inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.

5.13.2 FUNGU J 02 - KAMISHENI YA UTALII

Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Kamisheni ya Utalii

umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi

vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Taarifa ya Mapato

Kamisheni ya Utalii ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 4,000,000,000 katika

kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018.

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 Kamisheni ya Utalii imekusanya jumla ya shilingi

2,819,274,925.02 sawa na asilimia 70.5 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

Kamisheni ya Utalii kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kutumia jumla ya

shilingi 1,577,800,000 kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 1,407,224,194.6 ziliingizwa na kutumika

kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 89.2 ya makadirio.

Page 93: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

88

Maoni ya Mkaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa

mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kamisheni ya Utalii kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Kamisheni ya Utalii imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2018.

Page 94: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1 1.0

89