11.c - maria kim

6
Manze alisema mimi ni kaa mtoi wake... Lakini saa hizi ameniacha {hic!} Hata amesahau vitu alini-promise….niko alone. ALONE! Siezi trust huyo Godpapa tena. Nita-change nianze life freshi. huyu dem wa mtaa ni orphan anaye-raise bro wake, na huku anang’ang’ana na chuo. Ana-face challenges mob sana, Lakini hakubali anything kumzuia kuzima corruption. mafala pekee ndio hu-try kum-challenge. only the brave hujaribu kum-ask out! Chuxx Arudi Ocha! 18

Upload: well-told-story

Post on 26-Mar-2016

260 views

Category:

Documents


10 download

DESCRIPTION

Chapta 11 - Maria Kim: Chuxx Arudi Ocha!

TRANSCRIPT

Page 1: 11.c - Maria Kim

Manze alisema mimi ni kaa mtoi

wake... Lakini saa hizi ameniacha {hic!} Hata amesahau vitu alini-promise….niko

alone. ALONE!

Siezi trust huyo Godpapa tena.

Nita-change nianze life

freshi.

huyu dem wa mtaa ni orphan anaye-raise bro wake, na huku

anang’ang’ana na chuo. Ana-face challenges mob

sana, Lakini hakubali anything kumzuia kuzima corruption. mafala pekee ndio hu-try

kum-challenge. only the brave hujaribu

kum-ask out!

Chuxx Arudi Ocha!

18

Page 2: 11.c - Maria Kim

Manze alisema mimi ni kaa mtoi

wake... Lakini saa hizi ameniacha {hic!} Hata amesahau vitu alini-promise….niko

alone. ALONE!

Siezi trust huyo Godpapa tena.

Nita-change nianze life

freshi.

huyu dem wa mtaa ni orphan anaye-raise bro wake, na huku

anang’ang’ana na chuo. Ana-face challenges mob

sana, Lakini hakubali anything kumzuia kuzima corruption. mafala pekee ndio hu-try

kum-challenge. only the brave hujaribu

kum-ask out!

Nitakuwa good boy!{hic!}

Wee! Ebu angalia kwenye unaenda!

Ah, msuper! Niaje? Cheki, uliniambia ukweli juu ya Godpapa, huyo

msee hanijali.

Nishaamua, kuanzia saa hizi, nitakuwa good boy.

Nahitaji family. Nimekuchagua ukuwe

wife wangu! Ulijuanga nina shamba ocha? Nita-visit budangu na

ni-mshow ndio niirithi. Manze time yangu

ishafika.

Chuxx ishia. Umelewa!

19

Page 3: 11.c - Maria Kim

Mtoto wangu amerudi!

Nduma! Umerudi? Ah, umenifurahisha

sana!

Nimekuja ku-cheki urithi wangu. Baba, time yangu ikifika, nitaanza works kwa hii shamba.

Lakini unaona kijana, kazi ya shamba si rahisi. Ni lazima utie bidii kabisa.

Manze ina-bore! Nahitaji gauge initulize kiasi… hii ni first time

nimewahi toa hiyo jacket yangu ya

green... eh!!

unajua wase huni-enjoy ati hii

t-shirt yangu maybe haina mgongo?

eh, na hawa...? hawachoki?

acha nipige pose hapa kidogo

Aki Baba, Nduma ni m-lazy tu vile alikuaga. Si-believe

utamwachia shamba.

Rhoda, ndugu yako amechoka tu kwa

sababu ya safari. Mwache apumzike

kidogo.

Shhh…nyamaza wee kuku! Ni kutoka kwako ndio nita-get doh za ku-buy crate mzima ya

gauge bariiiidi!

leta keg! patia kila mtu moja moja!

bosh... {hic!} we ni mshee wa

nguvu!

20

Page 4: 11.c - Maria Kim

Mtoto wangu amerudi!

Nduma! Umerudi? Ah, umenifurahisha

sana!

Nimekuja ku-cheki urithi wangu. Baba, time yangu ikifika, nitaanza works kwa hii shamba.

Lakini unaona kijana, kazi ya shamba si rahisi. Ni lazima utie bidii kabisa.

Manze ina-bore! Nahitaji gauge initulize kiasi… hii ni first time

nimewahi toa hiyo jacket yangu ya

green... eh!!

unajua wase huni-enjoy ati hii

t-shirt yangu maybe haina mgongo?

eh, na hawa...? hawachoki?

acha nipige pose hapa kidogo

Aki Baba, Nduma ni m-lazy tu vile alikuaga. Si-believe

utamwachia shamba.

Rhoda, ndugu yako amechoka tu kwa

sababu ya safari. Mwache apumzike

kidogo.

Shhh…nyamaza wee kuku! Ni kutoka kwako ndio nita-get doh za ku-buy crate mzima ya

gauge bariiiidi!

leta keg! patia kila mtu moja moja!

bosh... {hic!} we ni mshee wa

nguvu!

21

Page 5: 11.c - Maria Kim

Nduma, amka! Unaaibisha hii familia

sana. Usidhani nitakuachia shamba

yangu hivyo tu. Nimeifanyia kazi ngumu sana!

Ni miaka mob sana mimi na Baba tumekuwa tunafanya job hapa kwa shamba ndio ikuwe

bizna ya maana. Wewe umekuja tu hivi na umetu-

potezea pesa mob sana kwa usiku moja tu!

Wewe ni mnoooono na

uko greedy sana!

Hata nikikufa, Rhoda ndio atarithi hii shamba. Sio wewe. Ameweka bidii

yake kujenga hii shamba.

Mnani-disciminate tu juu nimenona?! mimi ndio first born

son hapa!

Hebu ondoka kabisa!

Nonsense!

22

Page 6: 11.c - Maria Kim

Godpapa hawezi ni-discriminate, yeye ndio msee

wa kabila yangu hapa mtaani…

oh, umerudi? Hebu osha gari yangu!

BOY G Chuxx fanya bidii uwe na shamba yako. Budako akikunyima ni haki yake coz alifanya bidii na niyake. Sasa kama wewe ni mlevi na uko kwenye gang sidhani kama wataka kuji endeleza na hiyo plot. Kuna bob yako hapo kwa plot? Hauoni haya bado chaliii mkubwa una tegemea wazazi? Aibu hiyo bwana!

JARED I Chuxx a-relax a-buy yake coz huyu akipewa hiyo shamba, ataiuza. So buda asimpatie.

PETER B. L Kufikiria hio ploti ndo inafanya mjamaa awe mzembe. Fikiria out of the box; anza kuona vitu zingine muhimu kama kuuza makaa, panda skuma kwa gunia, fuga kuku….ni mob bana! FIKIRIA!

KATHY O. Hio ni sweat ya fathe na anakula sweat yake! Lazima Chuxx a-reap chenye yeye amepanda si ya baba yake! JOHN L. Ni right yake. Buda aachane na vijisababu. Apewe shamba ajiendeleze. Kama sivyo, buda naona yuko taabani. Chuxx ata-terrorise ocha. Maybe anataka ku-invest ama ana-marry.

Niaje DJB? Chuxx ana-complain juu budake alikataa kumpe shamba. Juu ya vile

ako m-lazy, ame-loose opportunity ya kuwa na

bizna ocha. Anajionaje? Ati sis wake hawezi rithi shamba

juu ni dem?!

Mayuts wengi wana-waste dooh mob kwa pombe na mwishowe

wana-lose chances poa in life.

Niliuliza ma-fans juu ya hii noma Facebook na hivi ndio walisema…

Lazima tukuwe responsible as mayuts kama tunataka ku-develop.

Work hard ujitafutie kitu poa badala ya kutegemea wengine. Hatuwezi

kuendelea kutumiwa na ma-leaders ati juu unataka easy money. Ni bidii yetu

ndio itatuinua jo!

Ehe! Kama wewe ndio hao wasee wanangoja tu kurithi vitu, job yako ni pombe tu, ebu acha hiyo tabia mara that! Weka bidii!! Kaa

gangare! Unatuaibisha jo! 23