13.a – boyie
DESCRIPTION
Life Ya GangstaTRANSCRIPT
Anarudi bana! Niunganishie kuku tumpikie, at least ka-welcome hivi!
...ksskss...
Unakumbuka O.G.? Yule boy alituingiza kwa
gang?
...ksskss...
oe!
tosh!!!
kumbe ni wewe, slim? mbona unajificha?
Ni kutuliza kiasi, si unajua tunasakwa na
makarao mtaani.
Hizo risto za gang nilichoka nazo. Ndio job ni hard lakini najitegemea.
heh.
uko down.
Napenda sana ma-electronics na radio. So nimeamua kujenga pirate radio station- Shujaaz.fm! DJ B mwenyewe, ndani ya nyumba!
Lifeya Gangsta
3
Ala! Nani huyo
anakuja na hiyo kelele
yote?
Skia vile ndai yake inachuna ngoma!!
Chunga wasichana
wako wasiharibiwe
na huyu!
ati o.g. amehepa
jela mara 10!
wacha?!
ana garikama 20!
Walalala!
sasa amerudi
huku kufanya nini???
aki nataka kuwa kama
o.g. ...
4
Ala! Nani huyo
anakuja na hiyo kelele
yote?
Skia vile ndai yake inachuna ngoma!!
Chunga wasichana
wako wasiharibiwe
na huyu!
ati o.g. amehepa
jela mara 10!
wacha?!
ana garikama 20!
Walalala!
sasa amerudi
huku kufanya nini???
aki nataka kuwa kama
o.g. ...
Eh, Mwas alidedi.
Oh?! Lakini hiyo ndio life ya magangsta
kama sisi.
mwas yuko wapi?
Na Blackie mnamskia?
alishikwa.
Chekini, Godpapa ameni-organiz-ia nitulize huku kiasi.
Nasakwa.
Ni tuff, lakini sisi ni ma-thug.
Hatu-represent-iwi kwa gava, so
wana-expect nini?
Mabuda hawatujali. Lazima sisi mayuts tujitetee kwa hizi gang zetu, ausio?
No mercy!
Msi-mind, elections zina-come, Godpapa ataangusha dooh
ile mbaya.
Sasa acheni niende nicheki mtoi wangu.
Sijamwona kwa miaka kama 15 hivi.
Si sasa mtoi amekusahau?
Sasa ni-do? Lazima aelewe hali ya
u-gangsta! Twende Slim.
baadaye kwa gangheadquarters...
5
Manze ni kama
family yako ilihama!
agh.
Gangsta hahitaji family.
keja ya o.g.
makarao!
tuhepe!!!
LiPA!!!
Hii ni youth group ya aina gani?!
AAAAAAH,Slim!
Hizi mbio zinanikumbusha
operations zetu za tene!
Hehehehe! Ah! Kama hii ndio life
ya u-gangsta wacha
nirudi kwa shamba!
oe! Slim bana, si unionyeshe
kwenye nitajificha kwanza?!
Sema, Slim! Kuna youth group flani nime-join. Si uicheki?
6
LiPA!!!
Hii ni youth group ya aina gani?!
AAAAAAH,Slim!
Hizi mbio zinanikumbusha
operations zetu za tene!
Hehehehe! Ah! Kama hii ndio life
ya u-gangsta wacha
nirudi kwa shamba!
oe! Slim bana, si unionyeshe
kwenye nitajificha kwanza?!
Sema, Slim! Kuna youth group flani nime-join. Si uicheki?
7
Unaweza ni-save na job? Nimechoka na story za gang,
jo! Si uli-help Tosh?
Wazi Slim. Kuwa gangsta ni kuji-waste. Unaskianga DJ B? Ana show flani ina ideas mob za ku-make
dooh.
slim?Sema.
niaje boyie?
Yule wa Shujaaz.FM? Hata wacha nimtumie
sms nimwambie a-show mayuts
vile gangs hazibambi!
ala! kumbe Hii ndio
maisha ya gangsta?!
Ah, shhhh! Makarao
watanipata!
SKIA KUTOKA MSEE WA NGUVU,
JOHN KIRIAMITI.
Ina dooh sana.
Utajibamba, utaweza ku-buy
nguo noma, ndula, kama
wasee wa majuu wa music video.
Uki-get dooh kwa njia illegal, ni rahisi
kupatikana na makarao, hizo dooh
hazi�chiki easily!
Music videos
zime-act-iwa, si real!
Uki-join gang, utafanya
vitu mob dangerous
kabla upate dooh, na
hauta-enjoy hizo dooh
juu utabambwa uishie
jela. Usiamini kila kitu
unaona kwa TV!
“Kuwa kwa gang ndio mwanzo wa kuwa criminal.”
“Ukitaka kutoka kwa gang, toka na usi-communicate na wasee wenye wamebaki huko!
“Kuwa na friends positive.”
“Gang si ‘brotherhood’. Kila mtu atashikwa peke yake, na utaenda jela peke yako!”
SI WORTH KUWA GANGSTA!Kuna njia mob za ku-make
dooh, kaa rada, cheki www.shujaaz.fm.”
BIG UP JOHN KIRIAMITI KWA ADVICE!
REALITY!
REALITY!
CHEKI MAVACO NA REALITY JUU YA GANG LIFE…
8