13.a – boyie

6
Anarudi bana! Niunganishie kuku tumpikie, at least ka-welcome hivi! ...ksskss... Unakumbuka O.G.? Yule boy alituingiza kwa gang? ...ksskss... oe! tosh!!! kumbe ni wewe, slim? mbona unajificha? Ni kutuliza kiasi, si unajua tunasakwa na makarao mtaani. Hizo risto za gang nilichoka nazo. Ndio job ni hard lakini najitegemea. heh. uko down. Napenda sana ma-electronics na radio. So nimeamua kujenga pirate radio station- Shujaaz.fm! DJ B mwenyewe, ndani ya nyumba! Life ya Gangsta 3

Upload: well-told-story

Post on 22-Mar-2016

251 views

Category:

Documents


4 download

DESCRIPTION

Life Ya Gangsta

TRANSCRIPT

Page 1: 13.a – Boyie

Anarudi bana! Niunganishie kuku tumpikie, at least ka-welcome hivi!

...ksskss...

Unakumbuka O.G.? Yule boy alituingiza kwa

gang?

...ksskss...

oe!

tosh!!!

kumbe ni wewe, slim? mbona unajificha?

Ni kutuliza kiasi, si unajua tunasakwa na

makarao mtaani.

Hizo risto za gang nilichoka nazo. Ndio job ni hard lakini najitegemea.

heh.

uko down.

Napenda sana ma-electronics na radio. So nimeamua kujenga pirate radio station- Shujaaz.fm! DJ B mwenyewe, ndani ya nyumba!

Lifeya Gangsta

3

Page 2: 13.a – Boyie

Ala! Nani huyo

anakuja na hiyo kelele

yote?

Skia vile ndai yake inachuna ngoma!!

Chunga wasichana

wako wasiharibiwe

na huyu!

ati o.g. amehepa

jela mara 10!

wacha?!

ana garikama 20!

Walalala!

sasa amerudi

huku kufanya nini???

aki nataka kuwa kama

o.g. ...

4

Page 3: 13.a – Boyie

Ala! Nani huyo

anakuja na hiyo kelele

yote?

Skia vile ndai yake inachuna ngoma!!

Chunga wasichana

wako wasiharibiwe

na huyu!

ati o.g. amehepa

jela mara 10!

wacha?!

ana garikama 20!

Walalala!

sasa amerudi

huku kufanya nini???

aki nataka kuwa kama

o.g. ...

Eh, Mwas alidedi.

Oh?! Lakini hiyo ndio life ya magangsta

kama sisi.

mwas yuko wapi?

Na Blackie mnamskia?

alishikwa.

Chekini, Godpapa ameni-organiz-ia nitulize huku kiasi.

Nasakwa.

Ni tuff, lakini sisi ni ma-thug.

Hatu-represent-iwi kwa gava, so

wana-expect nini?

Mabuda hawatujali. Lazima sisi mayuts tujitetee kwa hizi gang zetu, ausio?

No mercy!

Msi-mind, elections zina-come, Godpapa ataangusha dooh

ile mbaya.

Sasa acheni niende nicheki mtoi wangu.

Sijamwona kwa miaka kama 15 hivi.

Si sasa mtoi amekusahau?

Sasa ni-do? Lazima aelewe hali ya

u-gangsta! Twende Slim.

baadaye kwa gangheadquarters...

5

Page 4: 13.a – Boyie

Manze ni kama

family yako ilihama!

agh.

Gangsta hahitaji family.

keja ya o.g.

makarao!

tuhepe!!!

LiPA!!!

Hii ni youth group ya aina gani?!

AAAAAAH,Slim!

Hizi mbio zinanikumbusha

operations zetu za tene!

Hehehehe! Ah! Kama hii ndio life

ya u-gangsta wacha

nirudi kwa shamba!

oe! Slim bana, si unionyeshe

kwenye nitajificha kwanza?!

Sema, Slim! Kuna youth group flani nime-join. Si uicheki?

6

Page 5: 13.a – Boyie

LiPA!!!

Hii ni youth group ya aina gani?!

AAAAAAH,Slim!

Hizi mbio zinanikumbusha

operations zetu za tene!

Hehehehe! Ah! Kama hii ndio life

ya u-gangsta wacha

nirudi kwa shamba!

oe! Slim bana, si unionyeshe

kwenye nitajificha kwanza?!

Sema, Slim! Kuna youth group flani nime-join. Si uicheki?

7

Page 6: 13.a – Boyie

Unaweza ni-save na job? Nimechoka na story za gang,

jo! Si uli-help Tosh?

Wazi Slim. Kuwa gangsta ni kuji-waste. Unaskianga DJ B? Ana show flani ina ideas mob za ku-make

dooh.

slim?Sema.

niaje boyie?

Yule wa Shujaaz.FM? Hata wacha nimtumie

sms nimwambie a-show mayuts

vile gangs hazibambi!

ala! kumbe Hii ndio

maisha ya gangsta?!

Ah, shhhh! Makarao

watanipata!

SKIA KUTOKA MSEE WA NGUVU,

JOHN KIRIAMITI.

Ina dooh sana.

Utajibamba, utaweza ku-buy

nguo noma, ndula, kama

wasee wa majuu wa music video.

Uki-get dooh kwa njia illegal, ni rahisi

kupatikana na makarao, hizo dooh

hazi�chiki easily!

Music videos

zime-act-iwa, si real!

Uki-join gang, utafanya

vitu mob dangerous

kabla upate dooh, na

hauta-enjoy hizo dooh

juu utabambwa uishie

jela. Usiamini kila kitu

unaona kwa TV!

“Kuwa kwa gang ndio mwanzo wa kuwa criminal.”

“Ukitaka kutoka kwa gang, toka na usi-communicate na wasee wenye wamebaki huko!

“Kuwa na friends positive.”

“Gang si ‘brotherhood’. Kila mtu atashikwa peke yake, na utaenda jela peke yako!”

SI WORTH KUWA GANGSTA!Kuna njia mob za ku-make

dooh, kaa rada, cheki www.shujaaz.fm.”

BIG UP JOHN KIRIAMITI KWA ADVICE!

REALITY!

REALITY!

CHEKI MAVACO NA REALITY JUU YA GANG LIFE…

8