16 aprili, 2013 mrema 1.pmd

427

Click here to load reader

Upload: lamtruc

Post on 04-Feb-2017

2.660 views

Category:

Documents


559 download

TRANSCRIPT

Page 1: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

1

BUNGE LA TANZANIA________________

MAJADILIANO YA BUNGE

___________________

MKUTANO WA KUMI NA MOJA

Kikao cha Sita - Tarehe 16 Aprili, 2013

(Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi)

D U A

Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua

HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI

Hati Zifuatazo Zilizowasilishwa Mezani na:-

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YAUTUMISHI WA UMMA, UTAWALA BORA PAMOJA NAMAHUSIANO NA URATIBU:

Randama za Makadirio ya Ofisi ya Rais, Menejimentiya Utumishi wa Umma, Utawala Bora na Mahusiano naUratibu kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014.

Page 2: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

2

MASWALI NA MAJIBU

Na. 43

Kazi za Maafisa wa Mifugo wa Kata

MHE. NEEMA H. MGAYA aliuliza:-

Je, Maafisa wa Mifugo wa Kata wana kazi gani?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:-

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa WaziriMkuu ni naomba kujibu swali la Mheshimiwa Neema HamidMgaya, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa waraka waMaendeleo ya Utumishi Namba 5 wa mwaka 2002,Nyongeza II inayohusu Muundo wa Utumishi wa Mafisa MifugoWasaidizi (Livestock Field Officers), kazi za Maafisa Mifugokatika ngazi ya Kata ni kama zifutazo:-

1. Atafanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo kwawafugaji wa eneo lake.

2. Kwa kushirikiana na wakaguzi wa afya atakaguanyama na usafi wa machinjio mara kwa mara.

3. Atakusanya takwimu za nyama na mazaoyatokanayo na mifugo kama ngozi na kuandika ripoti.

4. Atatibu magonjwa ya mifugo chini ya usimamizi waDaktari wa mifugo na kushauri wafugaji jinsi ya kukinga mifugodhidi ya magonjwa.

5. Atatembelea wafugaji mara kwa mara na kuwapaushauri fasaha wa kifedha katika eneo lake la kazi.

Page 3: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

3

6. Atashauri na kusimamia ujenzi wa majosho,machinjio, vibanio na Miumdo mbinu inayohusiana na ufugajibora.

7. Atasimamia uchanganyaji wa dawa ya josho.

8. Atahusika na uhamilishaji (Artificial Insemination) nauzalishaji (Breeding) wa mifugo kwa ujumla.

9. Atawashauri wafugaji kuhusu mbinu bora zakuzalisha maziwa na utunzaji wa ndama.

10. Atashauri wafugaji umuhimu wa kufuga mifugoyao kulingana na maeneo/malisho.

11. Atasimamia na kuhakikisha utaratibu wa karantiniuliowekwa unatekelezwa ipasavyo.

12. Atahamasisha uundwaji wa vikundi vya wafugajimbalimbali kwa ajili ya ufugaji masoko na kadhalika.

13. Ataandaa mipango ya ufugaji ya mwaka katikaeneo lake.

14. Atafanya kazi nyingine za fani yake kamaatakavyo agizwa na Mkuu wake wa kazi. (Makofi)

MHE. NEEMA H. MGAYA: Mheshimiwa Spika,ninashukuru kwa majibu mazuri aliyoyatoa Mheshimiwa Waziri,lakini nilikuwa nina maswali mawili madogo ya nyongeza,Serikali ina mpango gani katika kuwapitia vitendea kazi hawaMaafisa Mifugo wa Kata kwa sababu mifugo inapatikanambali hivyo Serikali ina mkakati gani katika kuhakikisha kuwawanapatiwa usafiri wa kuweza kuwafikia hawa watu wamifugo. Kwa sababu Afisa Mifugo wa Kata anakuwaanaenda sehemu mbalimbali kwa umbali mrefu lakini vilevile vitendea kazi kama dawa.

Page 4: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

4

Swali la pili, kuna baadhi ya Kata nyingi hapa nchinihuko vijijini hizi kazi za Maafisa Mifugo zinafanywa na MaafisaKilimo.

Je, ni uhaba wa Maafisa Mifugo au ni nini?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): Mheshimiwa Spika,nishukuru kuwa maswali ya nyongeza sasa yameulizwa kwasababu tulijiuliza Mheshimiwa Neema anataka nini lakini sasatumeelewa anachotaka. Hawa Maafisa wanaozungumzwahapa wako pale katika Ward Development Committee nawako katika Halmashauri na hizi shughuli zinazofanyika hapani shughuli kubwa. Ukienda kwenye machinjio ukipelekambuzi mmoja pale unatozwa ushuru na Halmashauri.Ukipeleka ng’ombe pale unatozwa ushuru na Halmashauri.Kwa hiyo, yako mapato yanayotokana na shughulizinazofanyika katika machinjio na hata wale ambaowanapata huduma ambayo hawapitii katika machinjio kwakufuatana na kazi zile nilizozieleza.

Kwa hiyo, ikitokea kuwa wanakwenda kufanya kazi,vifaa na kadhalika, hii ni kazi ya Halmashauri kuhakikishakuwa hawa Watumishi ambao wanafanya kazi hizi ambazonimezieleza hapa Halmashauri inawapatia hivyo vitendeakazi. Ninataka nikiri hapa kuwa anazungumzia pia masualaya usafiri. Ni kweli kabisa kuwa hawa Watumishitunaowazungumzia hapa wengi wao katika kada hiihawajapata usafiri. Kwa sababu sasa hivi tunawahudumiawale Maafisa wa Kata pamoja na Maafisa Tarafa. Kwa hiyo,kidogo kidogo utaona tunajaribu lakini kunapokuwa namatukio makubwa Halmashauri inatoa gari au pikipiki ilikwenda ku- arrest hiyo situation kufuatana na tatizo ambalolitakuwa limejitokeza pale.

Pili, ameuliza hapa na tumemwelewa anasemakwamba inakuwaje unamkuta huyu wakati mwingineanatumika anakwenda kufanya kazi za Afisa Kata kule nakadhalika. Ile ya mwisho tulipoisoma tulisema pia kuwa namaagizo mengine atakayopewa na Mkuu wake wa kazi.

Page 5: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

5

Katika Ward Development Committee mkuu wake wakazi ni mtu anayeitwa Afisa Mtendaji. Ninajua kuwa hapatusingependa kusikia kwamba mtu anayehusika na mifugoanakwenda kuwa Kaimu Mtendaji wa Kata tena kwa mwakamzima wakati anapokuwa ameondoka au amefariki duniaunasema hebu shilikilia mara moja lakini tuna replace maramoja na kurudisha tunafanya haraka tunafanya haraka nahatutaki kusikia.

Mheshimiwa Spika, ninataka kwa niaba yaMheshimiwa Waziri Mkuu nitoe maelekezo hapa kuwahatutaki kusikia mtendaji anahusika na mambo ya mifugoanakaa kwenye kituo tunaambiwa kuwa ni Afisa Mtendaji.

Mwisho, hivi tunavyozungumza Mheshimiwa MamaKombani jana alisema hapa na katika eneo hili piawanafanya kazi hiyo hawa Maafisa wanaohusika hapa waKilimo na Mifugo 2500 wanaandaliwa kwa ajili ya kazi hiyo, ilikuondokana na tatizo hilo ambalo Mheshimiwa Mbungeanazungumzia.

MHE. RITTA E. KABATI: Mheshimiwa Spika, kwa kuwa,Maafisa hawa wa Kata ni wachache katika maeneo mengina waliopo hawawajibiki na huwatoza wananchi kwahuduma hiyo ambayo Mheshimiwa Waziri kasema kuwahuduma hiyo ni bure.

Je, ni nini tamko la Serikali kwa hao Maafisawanapowatoza wananchi wakati wanatakiwa kupatahuduma hii bure?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): Mheshimiwa Spika,sikusikia swali.

SPIKA: Anasema kuwa wanawatoza gharama wakatiwa kutoa huduma.

Page 6: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

6

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): Sijasikia swali swali.

SPIKA: Mheshimiwa Ritta Kabati, hebu rudia swalilako kwa kifupi.

MHE. RITTA E. KABATI: Mheshimiwa Spika, nimeulizahivi, kwa kuwa Maafisa Kata wa Mifugo ni wachache katikamaeneo mengi na waliopo walio wengi wanatumia taalumayao kuwatoza wananchi, na katika jibu lako la msingiumetueleza kuwa kazi nyingi za Maafisa Kata lakini MaafisaKata huwatoza wananchi wakati wananchi hawawanatakiwa kupata huduma hii bure ni nini tamko la Serikalikuhusiana na Maafisa wanaowatoza?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): Nimesikia sasanimesikia, hawa anaowaleza hawa wala hatuwatambuihawa watu wanaofanya kazi hiyo hawezi kutoka hapa Afisawa Mifugo anazungukazunguka anakwenda kumsaidiamama mmoja ng’ombe wake,anatoka hapa na kuingia paleanasaidia halafu anatoza na dawa anapeleka pale. Mimininaelewa kitu ambacho kinajitokeza hapa hii shughuli yamifugo na ninaelewa Mheshimiwa Lekule Laizer na wenzakewananisikiliza na mimi ninataka ku- declare interest hapakuwa 50% ya wapiga kura wangu mimi ni wafugaji.

Kwa hiyo, ninaelewa kinachozungumzwa hapa nikwamba tumekubaliana na private sector kuwa nayoitakuwa inachangia katika suala hili la madawa na matibabuna vitu vingine, linaweza likaleta matatizo kama mgangaamejiingiza pale au mtumishi amejiingiza pale tukashindwakupambanua sasa kuwa ni wakati gani hii shughuliinayofanyika hapa ni ya Serikali kwa maana ya Halmashaurina inapofanyika hapa ni mtu binafsi. Mimi ninamwombaMheshimiwa Ritta Kabati, kama ana watu anawafahamuwanazunguka zunguka huko wanachukua hela ya mtuanakwenda kwenye machinjio pale hatozwi kitu chochoteanachotakiwa kutozwa atuambie.

Page 7: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

7

Mheshimiwa Spika, sisi tunachojua ni kwambatunapotoza tunatoza kwa maana ya kuingiza katika mfukowa Halmashauri. Kwa hiyo, ninamwomba sana kama anawatu wa namna hiyo atuambie. (Makofi)

MHE. ALPHAXARD K.N. LUGOLA: Mheshimiwa Spika,kwa kuwa Maafisa Kilimo kwenye Kata yetu wamepewamlolongo wa majukumu na majukumu mengine ni yaleambayo yanapelekea hizo ofisi zao za Kata ziwe na vyombomaalum vya kisayansi ikiwa ni pamoja na maabara; na kwakuwa amemtaja kwa kazi namba moja ni afisa mchunguziwa magonjwa yote katika Kata.

Mheshimiwa Waziri anaweza kututajia angalau Katamoja tu katika nchi yetu ambayo ina maabara ya kiuchunguzikwenye Kata juu ya magonjwa ya mifugo?

WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI:Mheshimiwa Spika, Maofisa wa Mifugo wa Kata wanapoonakuna hali ya ugonjwa ama dalili yoyote kutokana nawalivyofundishwa, wanatoa taarifa katika ofisi za Kanda nakuna ofisi zetu za Kanda zinaitwa Veterinary InvestigationCenters ambazo ziko saba Tanzania.

Kwa maana hiyo wao hawatakiwi kwasababuhakuna maabara kwenye Kata lakini wanatakiwa kutoataarifa katika vituo vyetu vya Kanda na ndivyowanavyofanya. (Makofi)

Na. 44

Madhara yatokanayo na Uharibifu wa Mazingira

MHE. HENRY D. SHEKIFU aliuliza:-

Uharibifu wa Mazingira nchini umeleta athari kubwaya mabadiliko ya misimu ya kilimo, uhaba mkubwa wa majina kukauka kwa vyanzo vya maji kama ilivyotokea WilayaniLushoto.

Page 8: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

8

(a) Je, Serikali inachukua hatua gani za makusudiza kudhibiti uharibifu wa mazingira hasa ukataji ovyo wa miti?

(b) Ili kuzuia ukataji miti kwa ajili ya kuni na mkaa,Serikali inachukua hatua gani kupata nishati mbadala ili misituisitumike?

(c) Je, Serikali inasema nini juu ya kupanda mitikatika mashamba ya Serikali yaliyovunwa na mpaka sasahajayajapandwa miti mingine kwenye mashamba yamagamba na msitu wa Kandelepaa?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS alijibu:-

Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali laMheshimiwa Henry Daffa Shekifu, Mbunge wa Lushoto, lenyesehemu a, b na c kama ifuatavyo:-

(a)Katika kukabiliana na uharibifu wa Mazingirautokanao na ukataji miti, Serikali iliandaa na kupitisha Mkakatiwa Kuhifadhi Mazingira ya Ardhi na vyanzo vya Maji wamwaka 2006.

Mkakati unaelekeza watumiaji wa kuni na mkaakuandaa mashamba ya miti; kudhibiti uchomaji wa misituna ukataji wa miti kwa ajili ya kuni na mkaa, kuhamasishaupandaji miti kwa watumiaji , kuzitaka Halmashauri za Vijijikuwa na mashamba ya miti kwa ajili ya matumizi ya kuni namkaa.

Aidha, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania kupitiaprogram ya usimamizi Shirikishi wa misitu inahimiza jamiikupanda miti katika mashamba na kutenga hifadhi za misituya jamii.

Page 9: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

9

(a) Mheshimiwa Spika, Serikali ina hamasisha mkakatinilioutaja. Hii ikiwa ni pamoja na kuendeleza matumizi nautafiti kuhusu nishati mbadala na Teknolojia sahihi ilikupunguza matumizi ya kuni na mkaa. Serikali kwa ushirikianona wadau inahimiza matumizi ya mabaki ya mazao nakaratasi (briquettes),umeme wa jua, upepo, gesi asilia,bayogesi, mkaa wa mawe na matumizi ya majiko bunifu.

(b) Mheshimiwa Spika, Serikali imetenga maeneo yamashamba ya miti ikiwemo eneo la shamba la miti laMagamba. Shamba hili lipo kwenye mpango wa miakamitano (5)unaoweka bayana utaratibu wa kuvuna nakupanda miti.

Aidha, msitu wa Kandelepaa ambao uliungua mwaka1997/1998, ulihifadhiwa, ili kuruhusu uoto wa asili (naturalregeneration) hata hivyo sehemu ya aeneo lililoungualimepandwa miti (enrichment planting), ingawa ukuaji wamiti unakabiliwa na changamoto ya kuzidiwa na mimeamingine aina ya ferns. Juhudi zinafanywa za kupunguzamimea hiyo ili miti ya asili istawi.

MHE. HENRY D SHEKIFU: Mheshimiwa Spika, ninafurahikwa majibu ya Naibu Waziri nina maswali mawili madogo yanyongeza.

Kwanza, kwa kuwa Waziri amekiri kuwa eneo laKandelepaa liliungua na kwa bahati mbaya hili ndilo eneotunategemea maji kutoka eneo la Kibohelo na eneo hili kwakuungua kwake maji yameanza kupungua sana.

Je, miti hii ya Mikaratusi Serikali inatamka nini na kwanini Serikali isikubali TANAPA kulinda eneo hili?

Mikaratusi Serikali inatamka nini na kwa nini Serikaliisikubali TANAPA kulinda eneo hili?

Page 10: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

10

Swali la pili, la kitaifa; kuna ukataji wa miti kwa jeurikabisa kwa mfano eneo la Kiteto kwa bahati nzuri nilipokuwaMkuu Mkoa kuna eneo wanakata miti kwa hasira wanatumiadizeli, Serikali inachukua hatua gani kupunguza hili la kukatamiti kwa jeuri?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS:Mheshimiwa Spika, kwanza tuchuku ushauri wa MheshimiwaShekifu ambao anasema kuwa TANAPA ndiyo ipewe jukumula kulinda misitu hii.

Lakini hili linahitaji ushirikiano kati ya Wizara yetu naWizara ya Maliasili na Utalii tutaona ni kwa namna ganitunaweza kuiweka TANAPA kuweza kulinda miti hii kwa kuwakuna issue za kiutawala na issues za kimkakati ambazo inabidituzifanye kanza. Nimuombe Mheshimiwa Shekifu niuchukueushauri wake ili Serikali iweze kuufanyia kazi.

Mheshimiwa Spika, kuhusu ukataji wa miti; Serikalikupitia taasisi yake ya uhifadhi misitu imejiwekea mkakatiambao kwa kweli ni wa kupanda miti pamoja na Wizara yetutunashirikiana nao ambapo, kwa kushirikiana na TAMISEMItumeweka mkakati kuwa kwa kila Wilaya kila mwaka angalaumiti milioni 1.5 iweze kupandwa.

Mheshimiwa Spika, kwa namna hiyo tunawezakuhakikisha kuwa miti hii inapandwa katika maeneo yoteambayo yameharibiwa.

Page 11: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

11

Na. 45

Utatuzi wa Kero za Muungano

MHE. ALI KHATIBU KAI aliuliza:-

Pamoja na kuundwa kwa Tume zaidi ya 20 kwa ajiliya kutatua kero za Muungano, lakini hadi sasa upandemmoja wa Muungano bado unalalamika kuhusu kero hizo.

Je, ni kweli kwamba Serikali ya Jamhuri ya Muunganohaina nia thabiti ya kutatua kero hizi?

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS(MUUNGANO) alijibu:-

Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali laMheshimiwa Haji Khatib Kai, Mbunge wa Micheweni, kamaifuatavyo:-

Napenda kumkakikishia Mheshimiwa Mbunge kuwa,nia ya Serikali zetu zote mbili ni thabiti katika kutatua mamboyote yanaleta vikwazo katika utekelezaji wa masuala yaMuungano.

Hoja zote za Muungano zinatakiwa zipatemashauriano ya kina ili kufikia uamuzi kwa faida ya pandezote za Muungano.

Page 12: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

12

Katika kuthibitisha hili mwaka 2004 Serikali ya Awamuya Tatu iliunda Kamati zilizoweka Utaratibu wa kushughulikiakero za hizo.

Aidha, mwaka 2006 Kamati ya Pamoja ya Serikali yaJamuhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Serikali yaMapinduzi Zanzibar (SMZ) ilianza kusimamia kero hizo. Kati yahoja 13 zilizowasilishwa, hoja 9 zimekamilika na ufumbuzi.

Mheshimiwa Spika, hoja hizo ni :-

Utekelezaji wa sheria ya haki za binadamu Zanzibar,utelekezaji wa Merchant Shipping Act katika Jamuhuri yaMuungano na uwezo wa Zanzibar katika kujiunga naInternational Maritime Organization (IMO), Ushiriki wa Znzibarkatika Jumuia ya Afrika Mashariki, uwepo wa Zanzibarkutozwa kodi mara mbili, uvuvi kwenye Ukanda wa uchumiwa Bahari kuu, ongezeko la gharama za umeme kutokaTANESCO kwenda ZECO, Mfuko wa Maendeleo ya jimbo yaSerikali ya Muungano wa Tanzania na kodi nyinginezo (PAYE).

Mheshimiwa Spika, hoja 4 ziko katika hatua nzuri zakukamilika, nazo ni Mgawanyo wa mapato, utafutaji nauchimbaji wa mafuta na gesi asili, ushirikiano wa Zanzibar naTaasisi za nje na usajili wa vyombo vya moto.

Mheshimiwa Spika, tunatoa wito kwa wananchi wotewavute subira kwani Serikali iko makini kushughulikiachangamoto zote za Muungano. (Makofi)

Page 13: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

13

MHE. HAJI KHATIB KAI: Mheshimiwa Spika ahsante,pamoja na majibu mazuri ya Waziri naomba kuuliza maswalimawili ya nyongeza.

(a) Mheshimiwa Spika, siyo kweli kwamba sualala wafanyabaishara wa Zanzibar limepatiwa ufumbuzi.

Je, Serikali inatoa kauli gani?

(b) Mheshimiwa Spika, katika jibu la msingi laWaziri amesema kero iliyopatiwa ufumbuzi ni uwezo waZanzibar kukopa nje ya nchi, Waziri unaweza kutupa mifanomitatu ya Zanzibar kukopa nje ya nchi bila kushirikisha Jamhuriya Muungano wa Tanzania?(Makofi)

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS(MUUNGANO): Mheshimiwa Spika, masuala yawafanyabiashara sikuweka katika orodha ya mamboyaliyokwishakufanyiwa kazi, yamefanyiwa kazi lakini badoyana utata.

Katika wakati huu Wizara za Fedha mbili SMT na SMZwameweka Makamishna wao na wasaidizi katika sera za kodikulifanyia kazi suala hili na jawabu watatuletea katika kikaocha tarehe 28 Aprili, 2013 kitakachofanyika Dar es Salaam.Kwa hiyo, bado suala hili tunalifanyia kazi.

Mheshimiwa Spika, suala la uwezo wa Zanzibarkukopa nje ya nchi, ni kwamba kabla suala hili kufanyiwakazi Zanzibar walikuwa hawawezi ku-negotiate mkopowenyewe nje ya Tanzania na kwa hivyo walikuwa wanawekamahitaji yao Hazina ya Dar es Salaam, Hazina ina-negotiatehalafu ndiyo wanapata.

Kinachotokea sasa hivi ni kwmaba Zanzibarwanakwenda straight ku-negotiate wenyewe, wame-negotiate na Exim Bank ya China, wame-negotiate na WorldBank, wame-negotiate na mashirika mbalimbali.

Page 14: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

14

Kinachotokea ni kwamba kama United Republic ofTanzania lazima ombi lile la mkopo lipite Hazina ya Dar esSalaam halafu linyooshwe.

Mheshimiwa Spika, nakubali kwamba bado Zanzibarwanalalamika na urasimu uliopo ndani ya Hazina, lakini sualala urasimu siyo kwa Zanzibar peke yake, hata huku TanzaniaBara bado wanalia na urasimu kwenye mikopo uliyopoHazina.(Makofi)

MHE. MTUTURA A. MTUTURA: Mheshimiwa Spika,Muungano wetu huu sasa hivi una takribani umri wa miaka49 toka uanzishwe, lakini mara zote ukiwasikiliza wenzetuWazanzibar wamekuwa wakilalamikia Muungano huu kwakipindi kirefu. Serikali inasita nini kujaribu mfumo wa Munganoambao wenzetu Wazanzibar wamekuwa wakiulilia ili tuonekama malalamiko haya yataendelea angalau kwa miakamiwili halafu baadaye tukiona kwamba mfumo huo unafaabasi tuendelee nao na tukiona kama haufai tukarudiekwenye mfumo ule ambao tunao sasa hivi. (Makofi)

SPIKA: Kwa hiyo umesema tujaribu kwa miaka miwili,Waziri wa nchi majibu. (Kicheko)

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS(MUUNGANO): Mheshimiwa Spika, suala la kujaribu mfumomwingine ni masuala ambayo yataamuliwa katika Katibaijayo, maoni ya wananchi yametolewa na Tume itaangaliamfumo upi kulingana na maoni ya wananchi unafaa kwaMuungano wetu.

Mheshimiwa Spika, lakini lingine ni kwamba Serikalihaiendeshwi kwa ‘try and error’ kwamba tujaribu haikufaaturudi, tujaribu turudi, Serikali haiendeshwi hivyo. (Makofi)

SPIKA: Ingekuwa hivyo ingekuwa ajabu sana.Mheshimiwa Mtinda.

MHE. CHRISTOWAJA G. MTINDA: Mheshimiwa Spikanakushukuru, nina swali moja la nyongeza.

Page 15: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

15

Kwa kuwa, kila mara tumekuwa tukisikia upandemmoja ukilalamika kwamba una kero nyingi na kero zaohazitatuliwi.

Je, upande wa Zanzibar hauoni kwamba umepewaupendeleo wa muhimu hasa hapa Bungeni, kwa sababukuna wawakilishi wengi kutoka Zanzibar mfano, kunawawakilishi kutoka Baraza la Wawakilishi, kuna Wabunge waMajimbo, kuna Wabunge wa Viti Maalum kutoka Zanzibarlakini hakuna hata mmoja huku anayehudhuria Baraza laWawakilishi Zanzibar. Je, hiyo haioneshi kwamba TanzaniaBara haiwakilishwi vizuri hasa katika kutetea mambo yao kuleZanzibar kuliko wao wanavyowakilisha hapaBungeni?(Makofi)

SPIKA: Waziri wa nchi majibu, naona maswali magumuna majibu magumu pia.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS(MUUNGANO): Mheshimiwa Spika, kuwepo kwa Wazanzibarndani ya Bunge siyo upendeleo bali ni matakwa ya Katiba,lakini Katiba hiyo hiyo haikueleza kwamba kuwe na uwakilishikutoka Bungeni kwenda Baraza la Wawakilishi. Kwa hiyo,ningemwomba Mbunge tutakapojadili hapa katika Bungela Katiba penyeza na hilo, ahsante.(Makofi/Kicheko)

SPIKA: Itakuwa imejaa mambo kweli, tunaendelea naWizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi MheshimiwaBlandes atauliza swali hilo kwa niaba yake MheshimiwaChacha Nyangwine.

Na. 46

Ugawaji wa Vitalu Ranchi ya Kitengule

MHE. NYAMBARI C. M. NYANGWINE (K.n.y. MHE.GOSBERT B. BLANDES ) aliuliza:-

Ugawaji wa vitalu vya ufugaji vya Ranchi ya Kitenguleumeonyesha upungufu mkubwa mkubwa ikiwa ni pamoja

Page 16: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

16

na kuvinyima Vijiji vya Katanda, Kihanga, Kibwera, Kishoju,Mlamba, na Mushabaiguru na baadhi ya maeneo kugawiwawageni toka nje, na vingine viligawiwa kwa watu wasio namifugo huku baadhi yao wakishindwa kutimiza masharti yakuwekeza katika vitalu hivyo:-

(a) Je, ni Wawekezaji wangapi wageni kutoka njewalipata vitalu?

(b) Je, ni wawekezaji wangapi wameshindwakuendeleza vitalu hivyo?

(c) Je, ki-utaalamu, vijiji vya Mushabaiguru,Kibwera, Katanda, Kihanga, Kishuru na Mlamba vinahitajieneo kiasi gani kwa ajili ya ufugaji?

WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI alijibu:-

Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali laMheshimiwa Gosbert Begumisa Blandes, Mbunge waKaragwe, kama ifuatavyo:-

(d) Mheshimiwa Spika, wawekezaji wotewaliogawiwa vitalu katika ranchi ya Kitengule ni wazalendona hakuna mwekezaji kutoka nje ya nchi.

(e) Mheshimiwa Spika, mpaka sasa ni kimoja tukitalu Na. 288/14 ambacho uwekezaji haujaanza kutokanana mgogoro wa waombaji toka vijiji vya jirani. Hivi sasamgogoro huo umekwisha.

(f) Mheshimiwa Spika, kitaalamu kulingana nahali ya malisho katika vijiji tajwa, hekta mbili na nusu (2.5)zinahitajika kumtunza ng’ombe mmoja mkubwa (livestockunit) kwa mwaka. Hivyo, Kijiji cha Kibwera chenye ng’ombe3,015 kinahitaji hekta 6,332; Kijiji cha Katanda hekta 2,625;Kijiji cha Kahanga 6,966 na Kijiji cha Kishoju hekta 882. Hivyo,vijiji vyote alivyotaja Mheshimiwa Mbunge vina jumla yang’ombe 8,002 na vinahitaji jumla ya hekta 16,255 kwa idadihiyo ya mifugo.

Page 17: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

17

MHE. NYAMBARI C. M. NYANGWINE: Mheshimiwa Spikaahsante, naomba kuuliza maswali mawili ya nyongeza.

Kwanza; Je, wananchi wa Karagwe hasa wa vijiji vyaMushabaiguru, Kibwera, Kishoju, Kihanga na Mlamba,watanufaikaje na uwekezaji huo?

Pili; kama mgogoro umekwisha ni lini uwekezajiutaanza katika vijiji vilivyotajwa.(Makofi)

WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI:Mheshimiwa Spika, kwanza kufaidika wanafaidika kwasababu uwekezaji na moja ya masharti ya uwekezaji nipamoja na kufuga kisasa, kufuga kitalaamu na kuwekezavilivyo na kuachana na kuchunga bali ni kufuga kisasa. Kwahiyo watajifunza kutokana na ufugaji ule wa kisasaunaoendeshwa katika uwekezaji ule.

Mheshimiwa Spika, Lakini la pili; baada ya mgogorohuo kuisha sasa hivi tunaandaa kumpatia mwekezaji huyosub lease ili aweze kuanza shughuli hii ya ufugaji wa kisasa.

MHE. ESTER A. BULAYA: Mheshimiwa Spika ahsante. Hivikaribuni tumepitisha mpango maalum wa kukuza ajira kwavijana wanaojihusisha na sekta ya kilimo na maeneomengine, ningependa kujua ni nini mpango wa Wizara wakuwawezesha vijana wanaojishughulisha na masuala yakiufugaji kwa kuwagawia vitalu vya ufugaji ili waweze kufugakisasa na pia waweze kujikomboa na ajira.

WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI:Mheshimiwa Spika, mpango wa kuwawezesha vijana kwakuwapatia vitalu huwa haupo, lakini wanachoweza kufanyani kukopa kwenye benki zetu TIB na sasa tupo kwenyemchakato wa kuanzisha benki ya kilimo ili kusudi wawezekupata mtaji wa kuweza kuomba vitalu rasmi na kupatiwa iliwaweze kuwekeza kitaalamu.

Page 18: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

18

Na. 47

Deni Kubwa la Taifa

MHE. THUWAYBA IDRIS MUHAMMED aliuliza:-

Deni la Taifa linaonekana kuwa ni kubwa kiasi chakuwafanya Watanzania kuwa na wasiwasi nalo hasa kwasababu halilipiki na bado Serikali inaendelea kukopa:-

(a) Je, Serikali itawasaidiaje Watanzania wapatekuelewa fedha hiyo iliyokopwa imetumika katika maeneogani?

(b) Je, Serikali ina uhakika upi kwamba fedha hiyoimefanya kazi iliyokusudiwa na si vinginevyo.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. SAADAMKUYA SALUM) alijibu:-

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Fedhanaomba kujibu swali la Mheshimiwa Thuwayba IdrisMuhammed Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, Serikali inapenda kulifahamishaBunge lako Tukufu kuwa fedha zinazokopwa zimekuwazikitumika kugharamia miradi ya maendeleo hususanmiundombinu ya nishati, barabara, maji, afya na elimu.

Mheshimiwa Spika, Fedha zilizokopwa katika kipindicha mwaka wa fedha 2010/2011 na 2011/12 zilielekezwakatika miradi ya ujenzi wa mtambo wa kufua umeme waMW60 Jijini Mwanza tulikopa (Euro Milioni 61, kutoka HSBC),ujenzi wa mtambo wa kufua umeme wa MW 100 Ubungo –Dar es Salaam (dola milioni 1.3.728 kutoka HSBC) Miradimbalimbali ya barabara nchini (dola milioni 103.728 kutokaCredit Suisse).

Page 19: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

19

Aidha, Serikali ilikopa dola za Marekani milioni 178.125kutoka Exim Bank ya India kugharamia miradi mbalimbali yamaji, pia Dola za Marekani bilioni 1.2 kutoka Exim Bank yaChina kugharamia ujenzi wa bomba la kusafirishia gesi kutokaMtwara hadi Dar es Salaam na Dola za Marekani 230 kutokaStandard Bank kugharamia miradi mbalimbali ambayoilikuwa imeainishwa katika bajeti ya maendeleo kwa mwakahusika Kitabu Vol. IV, upande wa Tanzania Bara.

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa Zanzibar, Serikaliilikopa Dola milioni 50 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu yaumwagiliaji kutoka Serikali ya Korea Kusini, Dola 70 kwa ajiliya mradi wa ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Zanzibarkutoka Serikali ya watu wa China, dola milioni 42 kwa ajilikwa ajili ya uimarishaji wa sekta ya elimu kutoka Benki yaDunia, dola milioni 21 kwa ajili ya mradi wa Serikali mtandao(E-Government) na miradi mingine mingi inayotekelezwa kwautaratibu huu.

Mheshimiwa Spika, naomba kusisitiza kuwa ukopaji waSerikali inazingatia mkakati wa kitaifa wa (National DebtBorrowing Strategy) unaoainisha maeneo ya msingi kabla yakukopa. Aidha, Serikali kupitia sheria na mifumo yake yaufuatiliaji na tathmini Monitoring and Evaluation (ME) imekuwaikisimamia matumizi ya fedha ikiwemo mikopo ili kubainikwamba fedha hizo zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa.

MHE. THUWAYBA IDRIS MUHAMMED: Mheshimiwa Spikaahsante. Kwa kuwa, kutokana na uwiano wa pato la Taifana Deni la Taifa linazidi kwa asilimia 40, na kwa kuwa riba yadeni inazidi kupaa kila leo.

Je, Waziri unaweza kuliambia Bunge hili kwamba nijumla ya madeni ya kiasi gani ambayo mpaka sasa hivihayajalipwa, au miaka mingapi mtaweza kulipa madenihayo.

Page 20: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

20

Swali la pili; hivi kuna madeni mangapi mpaka sasahivi ya nje ambayo mmekwishayalipa au bado tu sisi tungalitunakopa na kupunguza kwa kila mwaka?(Makofi)

NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. SAADAMKUYA SALUM): Mheshimiwa Spika, kwanza maswali yakeyame-base katika takwimu halisi, kwa hivyo naomba nipatemuda ili niweze kumletea takwimu halisi hasa za madenimangapi ambayo hayajalipwa na mengine ambayotunaendelea kulipa.

Mheshimiwa Spika, lakini naomba kumfahamishakwamba madeni ambayo tunalipa sasa hivi mengineyalichukuliwa miaka ya nyuma pengine yanawezakuwa nimadeni ya miaka mingi kuliko umri wangu mimi hapaniliyesimama. Kwa hiyo naomba tu nipate hizi takwimu sahihiili niweze kumpatia na yeye atafahamu kiasi halisi.

Mheshimiwa Spika, riba tunayolipa vile vile nyingineinatokana na madeni ambayo bado hatuja-negotiate groupambalo linaitwa Non Paris Club, bado tunaendelea ku-negotiate nao lakini riba ile kwa sababu hatulipi mpakatumalize negotiation zetu ndiyo maana zinakaa. Kwa hiyoninaomba tu kwamba nikupatie takwimu sahihi nanitakuletea kwa ajili ya reference yako.

MHE. LUHAGA J. MPINA: Mheshimiwa Spika nashukurukwa kunipa nafasi. Moja ya sababu kubwa ambayoinasababisha deni la Taifa kukua kila mwaka na kila siku nipamoja na matumizi ya ndani kuwa makubwa zaidi hatakuliko uwezo wa fedha zetu za ndani tunazokusanya kilamwaka.

Page 21: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

21

Kwa mfano mwaka wa fedha 2011/2012 tulikuwa nauwezo wa kukusanya trilioni 7.3 lakini Serikali katika matumiziyake ya kawaida ilitumia trilioni 8.6, gap la trilioni 1.3 maanayake zile tulikopa. Mwaka 2012/13 Serikali ilikusanya trilioni 9lakini matumizi yetu ya kawaida yalikuwa trilioni 10.6 gap latrilioni 1.6.

SPIKA: Hilo ni swali la nyongeza au hotuba? maanayake hatuna muda sasa.

MHE. LUHAGA J. MPINA: Mheshimiwa Spika namaliza,ni lini sasa Serikali itakuwa na uwezo wa kuhakikisha kuwainakuwa na mapato yake ya ndani ya kutosheleza ku-fundmatumizi ya kawaida, na kuhakikisha kwmaba matumizi yakawaida yanakuwa kidogo ili kuweza kuleta maendeleo kwawananchi?

SPIKA: Swali refu sana la nyongeza Waziri naombaujibu kifupi kabisa.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. SAADAMKUYA SALUM): Mheshimiwa Spika, kwa kweli swali lilikuwarefu lakini sikuweza kumpata hasa kitu anachokitaka kiundanikabisa, lakini naomba nimhakikishie kwamba kuwa takwimuzake azifanye sahihi. Serikali matumizi yake ya ndani hayatumiifedha za mkopo za nje kwa ajili ya kugharamia matumizi yandani.

Fedha zetu za ndani zinagharamia matumizi yetu yakawaida ya ndani na kama jibu langu la msingi lilivyosemakwamba fedha ambazo tunakopa nje tunatumia kwa ajiliya miradi ya maendeleo kwa sababu ya kuleta tija na kuwezakuu-service huo mkopo pamoja na riba yake.

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, namhakikishia kwambafedha yetu ya ndani ndiyo ambayo tunatumia kwa ajili yamatumizi ya ndani tu.

Page 22: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

22

Na. 48

Uratibu wa Kutoza Kodi Bidhaa ZinazoingizwaNchini

MHE. HAROUB MOHAMED SHAMIS aliuliza:-

Kuna tatizo kubwa la urasimu katika Idara ya Ushuruwa Bidhaa na Forodha (Import Duty) ya TRA unaoashiriarushwa na kupelekea kupungua kwa mapato.

Je, ni utaratibu gani unatumika kutoza kodi bidhaazinazoingizwa nchini hasa magari?

NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. SAADA MKUYA SALUM)alijibu:-

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziriwa Fedha, naomba kujibu swali la Mheshimiwa HaroubMohammed Shamis, Mbunge wa Chonga, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, Tanzania ni moja ya nchimwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zinazotumiaSheria moja yaani East African Community CustomsManagement Act 2004 katika kutoza ushuru wa forodha.

Aidha, nchi hizi kwa pamoja zinatoza ushuru waviwango vinavyofanana kwa bidhaa zote zinazoingia nchinimwao kutoka nje ya Jumuiya ya Afrika Mashariki. Tathmini yabei ya magari hufanyika na kuhakiki bei iliyosemwa namwingizaji kabla ya kutoza kodi kwa kiwango stahili.

Ili kufanikisha hilo, Idara ya Forodha na ushuru wabidhaa inao mfumo wa kielectroniki unaotunza beimbalimbali za bidhaa (magari) tofauti (transactional pricedata base) na hutumika kuhakiki bei zinazosemwa na

Page 23: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

23

waingizaji mali kwa nia ya kuondoa udanganyifu unaowezakusababisha kulipa kodi kidogo kuliko ilivyostahili.

Mheshimiwa Spika, vituo vyote vikubwa vya kuingiziamagari nchini, isipokuwa Zanzibar, vimeunganishwakielektroniki na kituo cha huduma za forodha kilichoko Dares Salaam, ambapo uthamini na utozaji kodi bila kujali gariilikoingilia hufanyika kwa kutumia...

SPIKA: Unahitajika utulivu ndani ya Bunge.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. SAADA MKUYASALUM): ...transactional price Data au import ExportCommodity DATA Base (IECDB). Utaratibu huu wa uthaminina utozaji kodi mahali pamoja nchini ulioanza Juni, 2011umeleta uwiano ulio sawa kwa vituo vyote nchini na kuondoatofauti ya kodi kwa bidhaa moja inapoingizwa nchini kupitiabandari au mipaka tofauti.

Mheshimiwa Spika, kupitia utaratibu huu, mwagizajianaweza kukokotoa kodi za gari analokusudia kuagiza hatakabla ya kuliagiza ili mradi anafahamu aina ya gari, model,mwaka lilipotengenezwa na nchi linakotoka. Utaratibu huuumewawezesha waagizaji kufahamu kiasi cha kodi kabla yakuagiza na hivyo kufanya maandalizi ya kutoa magari yaoforodhani yanapofika na kwa kiasi kikubwa umepunguzamalalamiko.

Mheshimiwa Spika, hapo awali uthamini wa magariya aina hii ulitoa changamoto kwa TRA kutokana na baadhiya waagizaji kutotoa bei halisi kwa kuwasilisha Ankara(Invoice) sahihi walizopewa wakati wa kununua magari.

Kwa kuliona tatizo hilo TRA ilianzisha ukadiriaji kodikwa kutumia calculator ambayo imewekwa katika tovutiyake www.tra.go.tz. Utaratibu huu unajulikana kama ‘UsedMotor Vehicle Valuation System’ na upo kwenye tovuti yaTRA. (Makofi)

Page 24: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

24

MHE. HAROUB MOHAMED SHAMIS: Mhshimiwa Spika,ahsante sana. Pamoja na majibu ya Mheshimiwa Waziri, ninamaswali madogo mawili ya nyongeza.

Mheshimiwa Spika, kodi inavyolipishwa ni CostInsurance and Freight (CIF). Sasa inakuwaje TRA ya nchi hiiwaweke bei ambazo wamezitoa katika vichwa vyao na sibei halisi za bidhaa zenyewe zinavyouzwa katika soko?(Makofi)

Mheshimiwa Spika, swali la pili. Kama mfumo huu upokweli, ni kwa nini basi usiwekwe wazi? Wafanyabisahara ku-access kuuona na kujua uhalisia wa bei gani watalipa ushuru,ili kuondosha ubabaishaji na rushwa iliyokithiri TRA? (Makofi)

NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. SAADA MKUYASALUM): Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziriwa Fedha, naomba kujibu maswali mawili ya MheshimiwaHaroub, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, tozo inayotozwa pale siyo tu yaCIF, lakini vilevile ina-consolidate bei ya gari ambayoumenunulia pale. Kwa hiyo, ukienda kwenye tovuti pale listza magari pamoja na model zilizoko pale na mwaka kwahivyo, kinachokokotolewa pale ni taxes ambazo zipo,depreciation ipo na kila kitu kinafanyika pale.

Kwa hivyo, hakuna bei ambayo inatolewa na mtuwa TRA kichwani, isipokuwa bei ipo katika DATA Base namnunuaji anaona kabisa popote alipo kwa sababu, ni website ambayo inakuwa accessed around the world kwa hivyo,popote ulipo kabla hujanunua gari lako ama umeshanunuagari lako, ukienda katika tovuti ya TRA katika IECDB, utaonabei halisi ya gari, mwaka na utajua bei halisi ambayo ipo.

Page 25: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

25

Mheshimiwa Spika, kwa hivyo, hilo nalo linajibu swalilako la pili. Mfumo huo upo kweli na pengine tukipata mudaninaweza nikakuonesha. Nina access na internet humu ndani,ninaweza nikakuonesha.

Tuko katika tovuti ya www.tra.go.tz, tukienda paletutaona web site wote. Kwa hivyo, ninatoa wito kwawafanyabiashara kwamba, wanaponunua magari yaowahakikishe kwamba, wamekwenda katika web sitewameona DATA Base ilivyo na watapata uhalisia wa beiambayo wataweza kutumia.

Mheshimiwa Spika, lakini naomba tu nihakikishekwamba, bado kumekuwa kuna wafanyabiashara ambayosiyo waaminifu, wanaleta invoice ambazo siyo zile halisiwalizonunulia gari. Kwa hivyo, Waheshimiwa Wabunge,naomba tushirikiane kwa hili kuhakikisha kwamba, mfumo huuunafanya kazi kwa ajili, ya kukidhi matakwa ya maendeleonchini. (Makofi)

Na. 49

Kukomesha Mauaji ya RaiaYanayofanywa na Polisi

MHE. NAOMI A. M. KAIHULA aliuliza:-

Hivi karibuni kumekuwa na matukio ya mauaji yawananchi wasio na hatia yanayofanywa na Jeshi la Polisikatika Mikutano ya Siasa:-

(a) Je, Serikali, imechukua hatua gani kukomeshana kudhibiti mauaji hayo ya kinyama kwa raia?

(b) Je, Serikali, ipo tayari kukiri kwamba,imeshindwa kuwalinda raia wake kwa kuwa, vyombo vyakendivyo vinavyofanya matukio hayo?

Page 26: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

26

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu:-

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Mamboya Ndani ya Nchi, naomba kujibu swali la Mheshimiwa NaomiAmy Mwakyoma Kaihula, Mbunge wa Viti Maalum, lenyesehemu (a) na (b) kwa pamoja kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, Kifungu cha 29 (1) & (2) cha Sheriaya Jeshi la Polisi na Polisi Wasaidizi Sura 322 na Kifungu 21 (1)& (2) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya JInai Sura ya20, sambamba na Kanuni za Kudumu za jeshi la Polisi, (PGO274) vinampa Askari Polisi uwezo wa Kisheria wa kutumia silahaanapokuwa katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mheshimiwa Spika, hata hivyo, Askari Polisi haruhusiwikutumia silaha hiyo kinyume cha Sheria na kusababisha vifoau madhara mengineyo kwa raia mwema. Pamoja na elimuna mafunzo Serikali, imekuwa ichukua na itaendeleakuwachukulia hatua za Kisheria, ikiwa ni pamoja na kufukuzwakazi na kufikishwa Mahakamani Askari wote watakaobainikakutumia vibaya silaha wanazokabidhiwa wakiwa kazini.

Mheshimiwa Spika, Serikali hii ya Awamu ya IV yaCCM, haijashindwa kutoa ulinzi madhubuti kwa raia wake.Utulivu na amani iliyopo hapa nchini ni ishara kwamba, haliya ulinzi kwa raia na mali zao ni ya kuridhisha.

MHE. NAOMI A. M. KAIHULA: Mheshimiwa Spika,ahsante sana. Pamoja na majibu ambayo hayajazingatiahali halisi, napenda kumwuliza Mheshimiwa Waziri kwamba;ikiwa Sheria ndivyo isemavyo, basi inakuwaje kwamba,matukio ya watu kuuwawa na Polisi kwa risasi au kuumizwayanazidi kuongezeka? (Makofi)

Mheshimiwa Spika, swali langu la pili. Je, Serikali, ikotayari kuunda Tume ya Mahakama Judicial inquiring, ilikuchunguza haya matukio kwa ajili, ya kunusuru nchi yetukuingia katika ghasia? (Makofi)

Page 27: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

27

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI:Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Ndaniya Nchi, napenda nijibu maswali mawali ya nyongeza yaMheshimiwa Mbunge, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, la kwanza kuongezeka kwamauaji. Polisi ni wasimamizi wa usalama wa raia. Usimamiziwao unategemea mazingira ambayo yana-prevail. Iwapoteknolojia zinabadilika mfano, ikiwa attitudes za watuzinabadilika mfano, ni lazima Polisi approach yao na matukioyawe tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzo.

Mheshimiwa Spika, tatizo letu la sasa ni uamuzi wakutokutii Sheria kwa makusudi. Matukio ambayo yalitokeayote, Polisi pro-actively walisema kwamba, maandamano aumikusanyiko hii isifanyike kwa sababu, ya hatari ya kutokeamadhara na bado tukaendelea kufanya; tutaendeleakuyapunguza haya matukio iwapo tu, tutatii Sheria bila shurutiyoyote.

Mheshimiwa Spika, swali la pili. Je, Serikali iko tayarikuunda Tume; utaratibu wa kuunda Tume, mara nyingiunakuwa pale mauaji yana mashaka, hatujui nini kilitokea,hatujui mwuwaji ni nani na mazingira yake yote ni yamashaka. Mauaji ambayo, yametokea kwa bahati au kwasababu, hizo ambazo nimezisema ni mambo ambayo tunajuaame-shoot nani na kapiga risasi ngapi. Kwa hiyo hapahatuhitaji uchunguzi kwa vyo vyote vile.

Na. 50

Uchimbaji wa Makaa ya Mawe Kijiji chaNtundawaro

MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO aliuliza:-

Kampuni ya TANCOAL imeanza uchimbaji wa makaaya mawe katika Kijiji cha Ntundawaro, Kata ya Ruanda,Wilayani Mbinga:-

Page 28: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

28

(a) Je, Serikali, haioni umuhimu wa kufua umemekwa kutumia makaa hayo?

(b) Je, Serikali, haioni umuhimu wa kuyashirikishamashirika kama PPF na TANESCO katika kununua mitamboya kufua umeme huo?

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI (MHE. GEORGEB. SIMBACHAWENE) alijibu:-

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nishatina Madini, napenda kujibu swali la Mheshimiwa GaudenceCassian Kayombo, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:-

(a) Mheshimiwa Spika, Serikali, kupitia Shrika laUmeme (TANESCO), iko kwenye majadiliano ya kuingiamkataba wa ubia na mwekezaji, Kampuni ya Intra EnergyTanzania Ltd., ili kuweka mitambo ya kufua umeme waMegawatt 200 huko Mbinga kwa kutumia makaa ya maweya Ngaka.

(b) Mheshimiwa Spika, Serikali, kupitia NDC,imeingia ubia na kampuni ya Intra Energy Tanzania Ltd.kuunda kampuni ya TANCOAL. Katika ubia huo NDC ina hisa30% na hiyo Intra Energy Tanzania Ltd. ina hisa 70%. Aidha,Serikali, ina mpango wa kuwa na hisa zaidi kupitia mashirikayake kama TANESCO na NDC katika ufuaji wa umeme huowa Megawatt 200 huko Ngaka, Wilayani Mbinga.

MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO: Mheshimiwa Spika,ahsante, lakini kabla sijauliza maswali yangu ya nyongezamawili, ningependa kuiomba Serikali, irekebishe jibu lake la(a). Usahihi ni kwamba, TANESCO ndio kwanza sasawanajadiliana juu ya kuuzianau meme huo na majadilianoyao yanahusu ubia.

SPIKA: Kwa hiyo, swali la pili, uliza?

Page 29: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

29

MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO: Aah haa, sijaulizaswali.

SPIKA: La kwanza si ndio hilo?

MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO: Mheshimiwa Spika,nimemwambia arekebishe jibu lake.

SPIKA: Atarekebisha, maana yake hivyo hivyo; haya,uliza la pili.

MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO: Mheshimiwa Spika, sioswali. Sikutaka kusema tu jibu sio sahihi, ilikuwa ni uungwana.

SPIKA: Uliza la pili bwana.

MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO: Mheshimiwa Spika,TANESCO sasa hivi wanatumia bilioni 5 kila siku kwa ajili yakuendesha yale majenereta. Umeme huu wa makaa yamawe ungeweza kuuzwa pengine kwa senti 10 au 15 ya USD;majadiliano haya sasa yamechukua miaka minne, yataishalini?

SPIKA: Ahsante. Mheshimiwa, la kwanza nalo jibu nala pili jibu.

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI (MHE. GEORGEB. SIMBACHAWENE): Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziriwa Nishati na Madini, napenda kujibu maswali mawili yaMheshimiwa Kayombo, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, swali la kwanza ni kwamba, katikautaratibu wa uwekezaji katika masuala ya umeme kwanamna yoyote ile ni lazima TANESCO waweze kuhusika, ndiobiashara ya umeme iweze kufanyika.

Mheshimiwa Spika, lakini swali la pili ni kwamba, nikweli kwamba, tunatumia fedha hizo katika kuzalisha umeme.Ni kweli kwamba, tunayo makaa ya m awe ambayoyanaweza kuzalisha umeme wa bei rahisi zaidi, lakini masualahaya ni mchakato.

Page 30: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

30

Kwa hivyo, wakati wowote mchakato huuutakapokamilika, mradi huu utatekelezwa kwa sababu, nimiongoni mwa miradi ambayo Serikali, imeiweka kuwa miradiya kipaumbele.

Na. 51

Umeme Hafifu - Kanda ya Kaskazini

MHE. JOSEPH R. SELASINI K.n.y. MHE. PHILEMON K.NDESAMBURO aliuliza:-

Katika Kanda ya Kaskazini, hasa Mkoa wa Kilimanjaro,kuna mtandao mkubwa wa umeme wa gridi ya Taifa, lakiniumeme unaopatikana ni hafifu sana ambao haufai kusomeawala kuwasha hata taa ya mshumaa (tube light):-

Je, Serikali, ina mkakati gani wa kurekebisha umemehuo, ili uwe umeme wa kweli?

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI (MHE. GEORGEB. SIMBACHAWENE) alijibu:-

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nishatina Madini, napenda kujibu swali la Mheshimiwa PhilemonKiwelu Ndesamburo, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, ni kweli kuwa, matatizo mbalimbaliya umeme katika Kanda ya Kaskazini, hasa MkoaniKilimanjaro, yanatokana na ukweli kwamba, mtandao waumeme katika Mkoa huo ni mkubwa na wa muda mrefu sana.Hali hiyo imesababisha kuzidiwa kwa gridi kwa upandemmoja na kuzidiwa kwa vituo vyetu vya kupoozea umemena hivyo husababisha kukatika kwa umeme mara kwa marana kuwa na umeme hafifu kwenye mfumo.

Mheshimiwa Spika, Serikali, kupitia TANESCO,inatekeleza mradi mkubwa wa TEDAP katika Mikoa yaKilimanjaro na Arusha, ili kutatua matatizo ya umeme hafifu.Miradi hii ya kuimarisha umeme katika Mikoa hiyo, inahusisha:-

Page 31: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

31

(i) Ujenzi wa njia kubwa ya kupoozea umeme wamsongo wa KV 66 kutoka Kiyungi hadi Makuyuni.

(ii) Upanuzi wa vituo vya Kiyungi (20 MVA), YMCA(17MVA) na Lawate (10MVA)

(ii i) vituo vipya viwili vimejengwa ambavyo niMakuyuni (20MVA) na KCMC (10MVA) na miradi hiiimekamilika na kukabidhiwa tarehe 18 Februari, 2013.

Mheshimiwa Spika, kuna miradi mingineinayotekelezwa chini ya TEDAP, inayohusisha:-

(i) Kituo cha KIA, kitakachokuwa na ukubwa wa40MVA na kitahudumia baadhi ya maeneo ya Arusha,Kilimanjaro na Manyara – Mererani.

(ii) Ujenzi na uboreshaji wa njia za msongo wa KV33ya kusambaza umeme kutoka kwenye Kituo kipya. Ujenzi wakituo hiki utakamilika mwezi Juni mwaka huu wa 2013.

Aidha, miradi mingine ya TEDAP itakayokamilikamwaka 2014 itahusisha upanuzi wa kituo cha Kiyungi, kwakuweka transfoma kubwa ya 50MVA na kubadilimiundombinu ya Kituo kutoka mfumo wa zamani na kuwawa kisasa.

MHE. JOSEPH R. SELASINI: Mheshimiwa Spika, ilikusaidiana na Serikali kutatua tatizo la umeme katika Kandahii, Mheshimiwa Freeman Mbowe, Mbunge wa Hai, pamojana Halmashauri ya Wilaya ya Hai, wametafuta na kupataMfadhili, ambaye yupo tayari kufufua mitambo ya kufuaumeme iliyoko kule Kikuletwa – Rundugai, kwa thamani yaDola milioni 18.

Je, ni kwanini, Serikali, inaona kigugumizi kukabidhimitambo hii kwa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, ili kuwezakuifufua na kusaidia kutatua tatizo la umeme katika eneohili?

Page 32: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

32

Mheshimiwa Spika, yapo maeneo ambayo TANESCOwameweka nguzo za umeme tangu mwaka 2004, kwa mfanoeneo kutoka kwa Luka – Mchomba hadi Nduweni – Tarakeakatika Wilaya ya Rombo. Mpaka sasa hivi nguzo zilezimesimama na hakuna kinachoendelea.

Je, ni lini Serikali, itapeleka umeme kwenye maeneokama haya ambayo nguzo zimewekwa muda mrefu nahakuna lolote linaloendelea?

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI (MHE. GEORGEB. SIMBACHAWENE): Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziriwa Nishati na Madini, napenda kujibu maswali mawili yanyongeaza ya Mheshimiwa Selasini, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, kuhusiana na chanzo cha hydrondogo ya Kikuletwa, kule Hai, sina taarifa zozote kwamba,Mheshimiwa Mbowe, amewahi kutafuta mfadhili na sijawahikuona document yoyote katika Wizara yetu. Kwenye kileKituo, baada ya maombi ya Chuo Cha Ufundi – Arusha(Arusha Technical College) kuomba kukitumia kituo kile,kwanza kufufua ule mradi ili uweze kutumika kuzalishaumeme, lakini pili wanataka kutumia kwa ajili ya kufanyatraining kwa wanafunzi. Kwa hiyo, kitakuwa ni kituo ambachokitafanya mafunzo kwa vijana wanaojifunza umeme kutokaChuo cha Ufundi - Arusha. Kazi imeshaanza na wanafunzikwa kutengeneza vipuri vyao wenyewe vya Watanzaniahapa hapa, sio kuagiza kutoka nje. (Makofi)

Kuna maeneo ambayo kama ya kwa Luka Mchomba,ambako kuna nguzo zimesimikwa. Naomba hili tuwasilianena Mheshimiwa Mbunge, tuone namna gani zinawezazikawekwa nguzo zikakaa muda wote huo hakujawekwaumeme, tujue tatizo ni nini.

SPIKA: Ahsante Waheshimiwa Wabunge, mudaumekwisha na kama tulivyoona saa imefika kwa hiyo,tunaendelea.

Katibu tuendelee!

Page 33: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

33

HOJA ZA SERIKALI

Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka2013/2014 - Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na

Serikali za Mitaa

(Majadiliano yanaendelea)

SPIKA: Waheshimiwa Wabunge mtaona kwambamajadiliano ya hoja ya Waziri Mkuu leo ndiyo siku ya mwisho.Kwa hiyo, Wabunge mtachangia asubuhi hii wachangiajikumi na tano halafu tutaita baadhi ya Manaibu Waziri wajibuhalafu tutaingia jioni tutaingia kwenye mjadala.

Kwa hiyo watu ambao tulitegemea wachangie katikahotuba hii ni 103 na kwa sababu ya nidhamu tuliyokuwa nayo,hiyo namba imefikiwa. Lakini Waheshimiwa Wabunge sijuijana mlipagawa na kitu gani badala ya kujadili hotubamkajadili matusi mimi naomba kuwashangaeni kabisammevaa suti vizuri kabisa mnatoa matusi midomoni mwenumbona havifanani. Unajua mtu ukivaa rasmi namna hii halafuunatoa matusi yasiyofanana na wewe inakuwa aibu kabisa.(Makofi)

Basi nina ujumbe mmoja ulioletwa kwenye simu yangunimepokea message inasema hivi:

Hilo Bunge lenu sasa limezidi mpakamnaitana..........hata mimi naogopa hata kutaja manenohayo mdomoni mwangu. Sitaji vitu vya namna hii. Anasemahuyo mtu kuanzia sasa sitathubutu kukaa na watoto sebulenikusikiliza tena maana ni aibu inabidi niwe nawasikilizeni ninyichumbani.

Hilo neno alilotaja mimi siwezi kutamka mdomomwangu haupaswi kutamka matusi. Jamani tafadhalimjiheshimu hata kama mnashindana kwa vyama hivi kwelimliunda vyama kushindana kwa matusi jamani. Vitu vinginemuwe mnaona aibu umevaa suti vizuri sijui halafu mnatoamatusi jamani ni aibu kabisa aibu aibu.

Page 34: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

34

Sasa tutakubaliana mimi nina mamlaka kwa mujibuwa Kanuni za Bunge, mtu yoyote anatumia matusi namwitapolisi anachukuliwa humu ndani anakwenda, kwa pandezote atachukuliwa na Polisi kama utakata rufaa ukatebaadaye. Maana kuna watu wanasema mimi sifanyi jambololote jamani tunafikiri watu wazima tukielewanatunaelewana.

Wananchi hawakututuma mtukane jamani nahaiwasaidii kitu. Sasa mjadili vizuri kama mlivyoanza kujadilituendelee namna hiyo kwa heshima kama mnatakakutukana basi tuwatengenezee ukumbi maalum muwemnatukanana peke yenu.

Kwa hiyo, Waheshimiwa Wabunge kutokana namuda uliopo tatizo ni muda Mheshimiwa John Cheyo.

MHE. JOHN M. CHEYO: Mheshimiwa Spika, leo kamaulivyotuambia ndiyo tuna jadili Bajeti hii. Kwa kawaidatunaingia kwa vifungu lakini zana nzima ya kugeuza utaratibuwetu ilikuwa ni kwamba tuwape Wizara, tuipe Serikali mudawa kuweza kuchukua mawazo yetu na kuona wapi ambapowanaweza wakarekebisha mahesabu yao au takwimuambazo wametuletea kwa sababu kuna sehemu zinginetungependa kuona hela nyingi zaidi zinaenda kwaumwagiliaji au kwa maji.

Baadhi ya mikoa ambayo tuliyo nayo wala hatujuifedha gani ambayo tumepewa zaidi katika Wilaya kama vileWilaya ya Ikirima sijui ulikuwa unaonaje wewe MheshimiwaSpika, tukiingia kwa vifungu leo tukapitisha si tutakuwa tutumerudia makosa yale yale kama yale ambayo tumefanyamuda wa miaka hamsini.

Mheshimiwa Spika, isingekuwa vizuri labdatungewapa muda sasa wakaenda wakatafakari halafuwaone ni vitu gani wanaweza wakarekebisha katika voti hiinaomba mwongozo wako.

Page 35: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

35

SPIKA: Mheshimiwa John Cheyo nashukuru kwakusema hivyo ndiyo ukweli utaratibu tuliokubaliana unapasakufanya mawasiliano kabla. Lakini tulipoangalia kwa sababuya muda uliokuwepo Dar es Salaam na hoja nyingi zilizotokakwenye Kamati.

Kwa hiyo, kamati ya Bajeti imeendelea kukaa nanafikiri watakaa baada tu ya hotuba ya Waziri Mkuu watakaamaana yake zile sekta Waziri Mkuu hakuna sekta ya maanasana na hata Kamati yao waliridhiana wakati wanapitishamatokeo katika mambo ya TAMISEMI waliridhiana lakini sektazingine watakaa siku ya Alhamisi yale mengine tunaangaliaupya.

Maana yake kuna maeneo yale ya kisekta ndiyomaana walielewana na Kamati yao hatuna hoja za msingikatika ofisi ndiyo maana tukaona tuanze, lakini tutoe mudakwa Bajeti Committee kupitia yale waliyoleta wenyevitikutoka kwenye Kamati zao ndiyo Bajeti Committee tokatumefika hapa wanaendelea na kufanya kazi hiyo naitakamilika alhamisi. Tutakaa Bajeti Committee na zile sektana Serikali tuweze kusema hayo unayosema.

Kwa hiyo, ni sahihi lakini kwa maana hii Ofisi ya WaziriMkuu kulikuwa hakuna hoja maalum na Ofisi yenyewe ni jumlamno ndiyo sababu. Kwa hiyo namwita Mheshimiwa CatherineMagige atafuatiwa na Mheshimiwa Masoud Nchambi naMheshimiwa Rose Kamili ajiandaye, tusitumie muda bilasababu. Nani anasema mwongozo.

MHE. ALPHAXARD K. LUGOLA: Mheshimiwa Spika,naomba mwongozo wako. Wakati Mheshimiwa Naibu Waziriwa Wizara ya fedha anajibu swali Namba 48 la MheshimiwaHaroub lililokuwa linahusiana na TRA kutoza kodi kwakutofuata zile bei ambazo ni za wale wanaotuuzia magariambayo tunaona hata kwenye website bei zao.

Page 36: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

36

Mheshimiwa Naibu Waziri yeye akawaambiaWatanzania kwamba ukifungua tovuti ya TRA ndiyo utaonapale kuna bei na model na mwaka sasa nataka kujua kamani sahihi kwamba TRA siku hizi nao wanauza magari ili tuwezekujua kwamba tukitaka kununua gari tunafuata bei za TRAkwa sababu Watanzania eneo hili la kununua magariwamekuwa wakipata matatizo. Kwa hiyo, naombamwongozo wako kama ni gari kwa kuangalia tovuti na beiza TRA.

SPIKA: Ahsante sana, tunaendelea MheshimiwaCatherine Magige, atafuata Mheshimiwa Masoud Chambi.

MHE. CATHERINE V. MAGIGE: Mheshimiwa Spika,nashukuru kwa kunipatia nafasi ya kuchangia hotuba hii yaWaziri Mkuu. Naomba nielekeze moja kwa moja katikamchango wangu katika suala zima la ajira.

Mheshimiwa Spika, tumekuwa tukishuhudia nchizinazoendelea na zisizoendelea kukitokea machafuko kwasababu ya ukosefiu wa ajira. Tulishuhudia Ufaransa miakamiwili iliyopita tulishuhudia Tunisia yule kijana ambaye alikuwaamehitimu chuo Kikuu akawa anauza mboga lakini kwa ajiliya unyanyasaji aliamua kujilipua.

Mheshimiwa Spika, vijana wetu wa Kitanzania wanatatizo kubwa la ajira tumekuwa kila siku tukiongelea tatizohili la ajira hapa Bungeni wanasiasa mbalimbali wamekuwawakiliongelea lakini hatuoni mafanikio yoyote.Ninapoongelea suala la ajira naongelea vijana wenyetaaluma na vijana mbalimbali kama wamachinga.

Inasikitisha sana kuona kijana wa Kitanzania anakosamlo mmoja kwa siku kwa ajili ya ukosefu wa ajira huku wageniwakiwa wanafanya biashara ambazo wanaweza kuzifanyakijana wa Kitanzania. Tumeshuhudia wamachinga mpakaKariakoo wamachinga wa kigeni, vijana wetu hawana ajiralakini itapatikana wapi, usalama wa raia utapatikana wapi.(Makofi)

Page 37: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

37

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Spika, vijanawakikosa ajira wanajiingiza katika masuala ya uhalifu.Tunaomba sana Serikali itilie mkazo suala hili la ajira vijanawa Kitanzania wapate ajira na wawe na amani na furahakatika nchi yao. Tumekuwa tunaona watu wanafikia kipindicha kustaafu wanastaafu lakini wanaongezea miaka yakufanya kazi na huku vijana wetu wapo, vijana wazuri wenyetaaluma nzuri tu wakikosa nafasi za kazi. Tunaomba Serikaliiangalie upya suala zima la vijana ili waweze kupata ajira.

Mheshimiwa Spika, nielekee katika afya ya uzazi,mama na mtoto. Tumekuwa tunaona kila siku viongozimbalimbali wanasema tupunguze vifo vya kina mamawajawazito, lakini tunaona sehemu nyingi sana tatizo hili badolinaendelea.

Naomba nitolee mfano katika mkoa wangu waArusha tarehe 13 Lilian Frank alikuwa anaumwa uchungu wakuzaa mtoto wake wa nne akapelekwa katika Hospitali yaDaktari Wanjara, alipofika pale wakamlaza tarehe 14 akawaanafanyiwa operation umeme ukakatika generator likawahalina mafuta mama yule alipoteza maisha na mtoto wake.

Mheshimiwa Spika, hii inasikitisha sana na ni jambo laaibu sana katika Serikali yetu ya Tanzania na Wizara ya Afya.Ina maana hawafanyi ukaguzi katika vituo vya Afya naHospitali hii ipo dakika 10 tu kufikia Hospitali ya Mkoa. SiyoArusha tu, juzi nimeona katika gazeti la nipashe wanaelezaHospitali ya Sinza Palestina wamekimbiza wajawazitoMwananyamala kwa ajili umeme ulikatika generator likawabovu.

Mheshimiwa Spika, hali kama hii inasikitisha sanakatika nchi yetu na inahuzunisha sana, akina mamahawatendewi haki. Akina mama wajawazito wanakufa kilasiku. Tunasema tunapunguza tatizo la watoto yatima, tatizola watoto wa mitaani, lakini kwa hali hii mimi nadhanitunaongeza tu tatizo la watoto wa mitaani.

Page 38: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

38

Vile vile hii Hospitali ambayo ipo Mkoani kwanguArusha ina kashfa nyingi nyingi sana naomba Serikali ijitahidisana kufuatilia vituo hivi vya Afya, maana kila siku tumekuwatunashuhudia wanafunzi wasichana wadogo wadogowakipanga mstari kwenye ile Hospitali hatujui kitu ganikinachoendelea huko tunaomba Serikali izingatie sana hayakatika ile Hospitali.

Mheshimiwa Spika, tumekuwa kila siku tukizungumzakuwa watoto wa mwaka mmoja, mpaka miaka mitano wanahatari kubwa sana ya kufa na Malaria. Tumekuwa tukipatamisaada mbalimbali kutoka kwa wahisani tunaambiwatutumie vyandarua kwa ajili ya Malaria. Lakini cha kusikitishaDar es Salaam kwenye foleni tunauziwa vyandarua kwa beiya 6,500/= ambazo tumepewa na wahisani kabisa vyandaruakimeandikwa hakiuzwi lakini imekatwa na tunauziwa.

Je wahusika ni kina nani? Wizara ya Afya inafanyanini au wenyewe ndiyo wanahusika tunaomba sana Serikaliiangalie kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu suala hili watotowanakufa kwa malaria wahisani wanatusaidia vyandaruavinauzwa vimeandikwa kabisa UK AID. Kwa hiyo ina maanavyandarua vile tumepewa na Serikali ya Uingereza lakinivinauzwa mitaani, naomba sana Serikali iangalie, Wizara yaAfya iangalie suala hili.

Mheshimiwa Spika, naomba nijielekeze moja kwamoja katika Halmashauri ya Wilaya ya Arusha. Halmashauriya Wilaya ya Arusha inakabiliwa na changamoto yamiundombinu ambayo ni barabara na maji. Kina mamawamekuwa wakitembea umbali mrefu wanaamka alfajirikwa ajili ya kutafuta maji. Naomba sana Serikali iangalie sualahili ili wakina mama waepukane na kero hii ya maji.

Mheshimiwa Spika, naomba niingie moja kwa mojakatika suala zima la udini. Kumekuwa kukiendelea kila siku

Page 39: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

39

machafuko ambayo yanatokea katika nchi yetu yameanzakutokea kwa ajili ya haya mambo ya udini. Tangu enzi zaMwalimu Nyerere tumezoea kukaa kwa amani. Tanzania niya Waislamu, Tanzania ni ya Wakristo Tanzania ni yaWapagani, Tanzania ni ya kila Kabila.

Lakini mimi naona kama Serikali inakuwa inaviachiasana mpaka pale linapotokea tatizo ndiyo tunashtuka.Tumeona Masheikh wanatoa DVD mbalimbali, tumeonaMaaskofu wanatoa dini zote zinaleta machafuko, tunapokeamessage kwenye simu TCRA wanafanya nini. Message zaudini machafuko katika nchi yetu watu wamekuwawanatumiana message. Lakini TCRA inatakiwa iwe makinisana kwa message kama hizi kwa sababu message mojaninapoipata mimi nikimtumia mwenzangu ni kosa. Kwa hiyo,iwe strict kwa suala kama hili ama sivyo tutakuja kushtukamachafuko yameshatokea ndiyo tunaangalia tatizo likowapi. Naomba Serikali iwe inaangalia kabla hatujapatamadhara makubwa ndiyo iwe inaangalia vitu kama hivi.

Mheshimiwa Spika, nakushukuru sana naunga mkonohoja, ahsante sana.

SPIKA: Nakushukuru sana kwa kuniachia dakikanitangaze hawa wanaoleta matangazo yao walichelewa.Kwanza Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na MadiniMheshimiwa Victor Mwambalaswa, anaomba niwatangaziewajumbe wa Kamati yake kwamba leo saa saba na robokutakuwa na kikao cha Kamati hiyo katika Ukumbi Namba231 na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya kilimo, mifugo namaji.

Mheshimiwa Profesa Peter Msolla anaombaniwatangazie wajumbe wa Kamati yake kwamba saa sabana robo watakuwa na kikao chumba Namba 219 naMheshimiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge MheshimiwaAndrew Chenge, anaomba niwatangazie wajumbe waKamati yake kwamba leo wenyewe watakutana saa tanokutakuwa na kikao kwenye ukumbi wa Msekwa B.

Page 40: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

40

Halafu tunaambiwa kwamba mamlaka yavitambulisho vya Taifa NIDA inawatangazia Wabunge woteambao hawajachukua vitambulisho vyao wafike katikajengo la ukumbi wa Msekwa. Aidha, Wabunge wanaotakakuthibitisha taarifa zao zilizomo ndani ya chip kwenyekitambulisho, kufanya hivyo kwenye ukumbi huo huo kwasababu juzi kuna mtu …. . ana gender basi mkaangalia kwelikama cha kwako kimebakia jina na gender lakini tunadhanikuna habari nyingi zaidi.

Halafu kuna hizi Kanuni mpya tulizozipitisha vitabu vikokule kwenye pigeon holes Wabunge mkachukue kwa ajili yamatumizi ya humu ndani. Halafu moja WaheshimiwaWabunge wajibu wa Ofisi yangu ni kusimamia ujenzi nakukamilisha Ofisi za Wabunge huko mnakotokea. Sasa kunaOfisi 75 ambazo zilishakuwa zimejengwa na zaidi ya 45 ndiyoangalau ziko katika hali nzuri ya kuweza kukaliwa. Kwahiyo, sisi tulifikiria kwamba furniture tunazotakiwa kuweka kuletusinunue kwenye maduka. Kwa hiyo, tumeomba wenzetuwa Magereza watutengenezee sample ya furniture hizoambazo zitakuwa za Wabunge katika Ofisi zao natulichoangalia ni ule uimara, durability kwa sababuhaiwezekani tuwe tunanunua furniture baada ya mwakammoja yanakuwa matakataka tunatupa huko.

Kwa hiyo, hizo sample ziko hapa chini basementukipata muda pale Mheshimiwa Mbunge nenda ukaangaliekule basement mtakuta hizo sample liko desk la secretary,kwa wewe Mheshimiwa, Viti vya Ukumbi na meza utavikuta.Kwa hiyo, mnaalikwa kwenda kuangalia kule chini kwawakati wenu ni leo na kesho. Wote mnaenda kuangalia hukobasement zimekuwa displayed na magereza halafu nacomment zetu mtapeleka kwa Katibu wa Bunge.Tunaendelea na michango mingine Mheshimiwa SuleimanM. N. Suleiman, atafuatiwa na Mheshimiwa Rose K. Sukumna atafuatiwa na Mheshimiwa Rachel M. Robert.

MHE. SULEIMAN M. N. SULEIMAN: Mheshimiwa Spika,nakushukuru sana kwa fursa ulliyonipatia . Kwanza nianzekwa kutoa pole kwa wananchi wangu wa Jimbo la Kishapu

Page 41: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

41

kwa mafuriko makubwa waliyoyapata, yaliyoleta atharikubwa kwa kaya 232 mbuzi, ng’ombe, kuku wakachukuliwana maji Kata ya Bulambiyu na baadhi yao Kata ya Gubiki,Kitilima na kule Mamwalasa nawapa pole sana wananchiwangu na nataka niwahakikishie uwakilishi wangu kwao upomakini na watapata msaada kama ambavyo Mheshimiwawangu DC Ng’ondiape ambavyo alikimbia haraka sana nakuunda Kamati ya dharura na tayari misaada imeanzakumiminika kwa ajili ya kuwasaidia wanachi walio katikamakambi kutokana na mafuriko hayo.

Nianze kuongelea suala la njaa jimbo la kishapu kilamwaka limekuwa na utaratibu ama mazoea ya kutopatamvua nyingi. Tunalo tatizo kubwa sana la njaa. Nilipelekamaombi yangu ya dharura, nimekwenda na Mkuu wa Mkoakumwona Mkurugenzi wa maafa, Mkurugenzi wa NFRA kwaajili ya kupata chakula cha msaada kwa wananchi wetu.Sasa mimi nilitaka niseme na niwaambie viongozi hawaMheshimiwa Waziri Mkuu nilimwona alinisaidia sana naakanitambulisha kwa hawa watu nikaenda nikawaona nawalipata taarifa kwamba tuna njaa ya dharura vikongwewanapata tabu, lakini tangu nimekwenda leo takribani siku45 dharura ile haijafanyiwa kazi.

Mheshimiwa Spika, mimi nilitaka nitoe angalizokwamba kuna masuala ambayo ni ya msingi. Inapotokeadharura Mheshimiwa Spika hapa kikilia kengele sisi wotetutatoka nje bila kujali umri, bila kujali itifaki lakini wananchiwangu wanamatatizo ya njaa mpaka leo hii, atuwanasuasua. Naomba sana wananchi wa Kishapuhawakupata mvua za kutosha, mvua zimekuja zimeletamafuriko na athari kubwa naomba chakula cha njaa kiendekwa mtindo wa dharura.

Mheshimiwa Spika, suala la pili ni suala la maji ya ziwaVictoria. Suala hili nimelipigia kelele sana Serikali inahitajikutenga bilioni 13 peke yake kukamilisha mradi wa maji waZiwa Victoria yatakayopita Kata ya Songwa, MwaduiLuhumbo, Kata ya Kishapu yatakapoishia wananchi hawawatanufaika na maji. (Makofi)

Page 42: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

42

Mheshimiwa Spika, Bajeti hii inasomwa sasa takribanimara ya tatu. Suala hili halijapewa kipaumbele chakuridhisha. Mheshimiwa Rais ametoa maelekezo, MheshimiwaWaziri Mkuu ametoa maelekezo kwamba maji yaendeKishapu.

Lakini sijui tumekuwa na utaratibu wa kuishi kamaKambale, maana kambale akizaliwa leo, ana ndevu hampishikamoo mkubwa. Kama maelekezo yametoka kwa viongozinaomba tutekeleze Ilani ya Chama chetu na ahadi zaviongozi.

Naomba sana Mheshimiwa Profesa JumanneMaghembe achukulie suala hili la maji. Bunge lililoishaaliniahidi, atakuja Kishapu na atashughulikia masuala yaMabwawa, Visima na Maji ya Ziwa Victoria, na atatoa majibukwa wananchi. Haikufanyika hivyo, najua ni kutokana namajukumu mengi, nina imani baada ya Bunge hili atafikamara moja na kutoa majibu kwa wananchi wangu.

Mheshimiwa Spika, suala la maji lipo pia katika Mji waShinyanga. Tuliomba hizi Taasisi mbili za Kashiwasa na Shiwasaziangaliwe namna ambavyo zitaboreshwa na Taasisi moja,ivunjwe ili wananchi wanufaike na maji kwa bei rahisi.Ninaomba sana Waziri mwenye dhamana, ashughulikie Majiya Mji wa Shinyanga. Sisi hatutakubali wananchi wapatehuduma ya maji kama biashara. Maji ni huduma na ni wajibuwa Serikali kutoa huduma kwa wananchi wake.

Mwaka jana tulipata ahadi angekuja akashughulikia,lakini kama alikuja hakushughulikia suala hilo na bado tatizohilo ni kubwa. Naomba sana Bunge hili na WaheshimiwaWambunge. Maji ni muhimu kwa wananchi wetu, kila mmojaatakaye inuka hapa aunge mkono suala la maji. Ili hatawale wa Tabora, Igunga na maeneo mengine waletewe majiambayo yatakuwa ni ya gharama nafuu. Mkilichukulia sualahili mzaha na ninyi mnaoletewa maji yatakuwa ya bei ya juuna yatakuwa biashara na siyo huduma. (Makofi)

Page 43: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

43

Mheshimiwa Spika, tunalo tatizo kubwa la hosipitaliya Wilaya ya Kishapu. Vigezo moja wapo vya kuwa Wilaya,ni lazima ukidhi mahitaji mbalimbali ikiwemo Hospitali yaWilaya. Wilaya ya Kishapu tangu 2003, haijakamilisha hospitaliyake ya Wilaya kutokana na Historia ya Wilaya ya Kishapu.Tumeleta maombi maalum zaidi ya mara tatu na safari hiitumeleta, ninaomba sana Serikali izingatie, ifikirie na kuthaminiAfya za wananchi wangu wa jimbo la Kishapu. Tupate fedhazile, kwa sababu hata kama tungelikuwa tunatenga kidogokidogo, Bajeti hii mpaka sasa tunavyoongea, pesa tuliyoipatahaizidi 25%. Sasa tutajenga vipi miradi ya maendeleo?

Naomba sana Waziri mwenye dhamana, Hospitaliyetu ya Wilaya, nakuomba sana sana! hatuna hospitali yaWilaya, hatuna Dawa za kutosha, hatuna hata Mortuaryambako tutatunza maiti zetu. Pale kutunza maiti ni kamastoo na mwaka jana niliongea, ninaomba sana sana!

Tunalo tatizo kubwa sana kwenye Migodi ya AlmasiKata ya Songwe. Wananchi wangu wamekuwa wakipigwarisasi, wamekuwa wakiuwawa, wamekuwa wakitendewadhuluma, wamekuwa wakiona migodi ikifanya kazi lakinihakuna chochote katika huduma tano ambazo mwananchiwangu anatakiwa apate za haraka. Maji, Afya, Elimu,Barabara na masuala mengine. Ninaomba sana Waziri waNishati na Madini, pamoja na timu yake, wafike Kishapu,Mgodi ule umeanza kuchimbwa Almasi toka mwaka 1963.

Bado tunayo matatizo makubwa na hata mahusianosiyo mazuri. Wananchi wamekuwa wakipigwa risasi,wanavunjwa miguu, wanakatwa miguu, wanakuwa vilema,matatizo ni makubwa nimepiga kelele sana. Nawaombandugu zangu, najua Wizara imetuahidi kufika na kushughulikiasuala hili, lakini lipewe kipaumbele na wananchi wawezekunufaika na rasilimali ambazo walizitunza tangu enzi na enzi.

Ninalo tatizo jingine ambalo ni kubwa sana, tatizo laubadhirifu wa fedha. Sisi tumepotezewa fedha zetu zaidi yabilioni 6.7, ambazo zingekwenda kwenye miradi yamaendeleo. Aliyepoteza kwa kiasi kikubwa fedha zile ni Benki

Page 44: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

44

ya NMB, awamu iliyoisha Bunge la mwaka jana nilisema, NMBndiye aliyetunza fedha zile. NMB ndiye aliyeshiriki kwa kiasikikubwa na watendaji wa Halmashauri kufanya ubadhirifukwenye fedha zile. Tumekusudia kuishitaki NMB, na naombaserikali isimamie iishitaki NMB kwa sababu ndiyo iliyotunzafedha zetu na ndiyo iliyopoteza fedha zetu. Sisi tulipwe fedhazetu ili tukamilishe miradi ya maendeleo, iliyokusudiwa kwawananchi wa Jimbo la Kishapu.

Suala la kil imo, tunalo tatizo kubwa Kishapu.Nilimwomba Baba Mkwe wangu atume watendaji, kwa ajilikuifanya Kishapu iwe ni miongoni mwa Wilaya ambazozitapata kilimo cha umwagiliaji kutokana na historia yakutokuwa na Mvua nyingi.

Kwa kweli, ninaweza nikaongea kwa masikitikokidogo. Tulikubaliana wafanye tathimini, watutengenezeemichoro kwa sababu leo Mungu anafungua Koki zake, Majiyanamwagika, kesho Mungu akisema stock imeishatutakimbilia wapi?

Mungu anatupa maji, yanamwagika, yanatiririka,yanapotea hatujali, kesho akitujaribu kwa kusema kwamba,niliwapa stock ya miaka mitano mbele, tutakimbilia wapi?Naomba sana, Mheshimiwa Waziri wa Kilimo, moja yamikakati mikubwa itakayo mkomboa Mtanzania, ni kumsaidiakwa suala la kilimo. Asilimia themanini na nane point mbili(88.2%) ya wananchi wa Jimbo la Kishapu, wanategemeaKilimo na ufugaji. Kilimo na ufugaji vinategemea sana Maji.Mito ni Mingi, ardhi yetu ni kavu sana, kwa sababu ndivyoMungu alivyotujalia, lakini tukihifadhi mabwawa,tungeyatumia vizuri.

Mheshimiwa Spika, nakushukuru sana, naombakuunga mkono hoja.

Page 45: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

45

SPIKA: Ahsante sana, Mheshimiwa Rose Kamili Sakum,baadaye atafuatiwa na Mheshimiwa Rachel MashishangaRobert, halafu Mheshimiwa Abbas Z. Mtemvu ajiandaye.

MHE. ROSE KAMILI SAKUM: Mheshimiwa Spika, ahsantesana, lakini pia nashukuru kwa kunipa nafasi niwezekuchangia hotuba ya Waziri Mkuu.

SPIKA: Una dakika tano tu!

MHE. ROSE KAMILI SAKUM: Mheshimiwa Spika,naomba nizungumzie suala la pato la taifa kukuwa kwaasil imia sita point tisa, (6.9%). Sekta zil izochangia niMawasiliano, Fedha, Viwanda, Ujenzi, Madini, Biashara naUtalii. Nasikitika sana kwa serikali hii kutokutambua Mifugokwamba inachangia pia, asilimia kubwa kwa sababuhawaagizi minofu nje ya nchi. Hawaagizi samaki walahawaagizi nyama ya Ng’ombe, wala hawaagizi nyama yaNguruwe kwa wale wanaokula Nguruwe.

Mheshimiwa Spika, naomba serikali itambue hilo naituambie kwamba kwa kutokuagiza nyama nje ya nchi. Je,hawa mifugo au hiyo minofu imechangia kiasi gani chaasilimia kwa kutumia fedha kutoka nje?

Mheshimiwa Spika, napenda pia kuzungumzia sualala kupanda kwa mbegu mbaya ambayo ni ya ubaguzi wakikabila. Utakuta wafugaji au wakulima sasa hivi kwa maeneomengine hufukuzwa. Mfano, Kiteto, Kilosa, Lindi, Kisarawe,Mbeya, Kilombero pamoja na Chunya. Hawa wananchiwanaohamia kule ni kama Watanzania wengine wanaohamia.

Page 46: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

46

Kwa nini sasa ifikie mahali wanaanza kufukuzwa? Hasawafugaji kulipishwa faini kubwa kama Chunya, Mfugajimmoja analipa faini ya milioni 19, hivi kweli ni halali au nimatumizi mabovu ya madaraka ya watumishi wetu kule?

Mheshimiwa Spika, nakuomba Waziri Mkuu, angaliasuala hilo kama linaanzia kwako kwamba, wafukuzwe! Kwasababu utakuta Wakuu wa Mikoa ndiyo wanao waagizakwamba waondoeni hawa wafugaji, sasa waende wapiwakati katika Hotuba yako hapa, hujaweka sehemu yakuwetengea wafungaji, bali umeagiza Halmashauri watengemaeneo.

Sasa Halmashauri watatenga wapi na wakatihawana haya maeneo? Mimi niliuliza wakati uliopita, Bajetiiliyopita kwamba, hebu tusaidieni, kuna hekta zaidi ya milioni60, hebu tuambieni Wafugaji watapewa eneo lipi ili wakakaekwa usalama na utulivu? Hapa umeweka kwenye Bajetikwamba, watatengewa eneo la malisho. Watatengewasehemu ipi wakati wanafukuzwa kila mahali. Sasa hivi Kilindiwameanza kuwafukuza, Kiteto wamewafukuza wakulima nawafugaji, wanabaki Makabila ya huko. Sasa tunafanya nini?

Mheshimiwa Spika, hili naomba liangaliwe sana naserikali kwa sababu tunasema migogoro ya Dini, tunasemamigogoro sijui ya Kisiasa, lakini pia suala la ukabila limekwishaingia hapa nchini kwetu.

Mheshimiwa Spika, naomba nizungumzie suala laTAMISEMI. TAMISEMI ni Wizara ambayo, Wizara nyingine zotezimepitishwa TAMISEMI. Sasa kunatokea matatizo, kwawatendaji wetu kule Halmashauri, kutokusimamia vizurimapato na matumizi, ambayo fedha zinatolewa na serikalikwa ajili ya miradi. Lakini hakuna wa kufuatilia kule chinimasuala ya value for money. Sasa inabidi mfanye vizuri kwamfano, Wizara ya Kilimo isimamie Kilimo, isimamie miradi yakeyenyewe kutoka Wizarani, siyo kwamba inapitia tena kwenyeTAMISEMI, Wabunge tukubaliane na hilo kwa sababu sasalimekuwa janga la Taifa.

Page 47: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

47

Fedha zinapelekwa kwa mfano, bilioni 75 za Voucher,zinatumika vibaya. Mwenyekiti ni DC anayesimamia niMkurugenzi. Sasa nani anayewajibika kwenye hizo fedha?Mimi nashauri serikali, hakuna sababu ya kupeleka zile bilioni75 kwa ajili ya pembejeo. Mimi naomba ziende kwenyeumwagiliaji ili kila mtu aweze kumwagilia, kwa sababu sualala pembejeo, mwananchi mwenyewe au mkulimamwenyewe anaweza kununua hiyo Mbegu yake,walahakuna sababu ya kuwapa burebure, kwa sababu matumiziyamekuwa mabaya sana.

Mheshimiwa Spika, suala la Utawala Bora, inaonekanakwamba sasa hivi wananchi wakitaka kufanya jambo laokatika vijiji, Mtendaji amekula hela na mwenyekiti au serikaliyake. Wananchi wakitaka kumwondoa madarakani,Mwenyekiti au Mtendaji, serikali inaingilia kati kuwakamatawale ambao wanataka kumwondoa madarakani na walewanaokula fedha za umma. Kwa kweli, suala la watumishipia liangaliwe.

SPIKA: Dakika tano zimekwisha! Mheshimiwa RachelMashishanga Robert,

MHE. RACHEL MASHISHANGA ROBERT: MheshimiwaSpika, ahsante sana. Naomba nijikite kabisa kwenye suala laajira. Pamoja na serikali kuwa inakamilisha program ya kitaifaya kukuza ajira kwa vijana na vijana laki tatu na elfu moja,wataweza kuajiriwa na kujiajiri.

Pia ongezeko la asilimia sita nukta saba(6.7%) kwamwaka 2011. Nilikuwa nataka kuomba kwa Waziri Mkuu,mwaka huu ambao unaisha 2012/2013 ajira zikoje? Nikifuatiliahotuba ya Rais ya mwaka 2006 alipokuwa anahitimisha kilelecha Mwenge Ruvuma. Alizungumza kwamba ni Vijana lakisaba wanamaliza vyuo pamoja na Taasisi tofauti na vijanaelfu thelathini mpaka elfu arobaini wanakuwa wananajiriwa.(Makofi)

Page 48: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

48

Mheshimiwa Spika, sasa nilikuwa nauliza, hiyo nimwaka 2006. Lakini sasa hivi idadi itakuwa imeongezeka.Sasa tunawafanya nini hawa vijana? Kwa sababuwamekuwa mitaani, wanamaliza Chuo, lakini kazi hawapati.Hawa vijana wanatia huruma sana, kwa sababu wenginewanaishi kwenye mageto, unaweza ukawakuta ukawaulizautaoa lini? Anajibu kwamba bado yupo yupo! Kwa sababuatamwoa mwanamke atampeleka wapi? Wanakaa kwenyeMageto. Hili suala kwa kweli ni la kuangalia, kwa sababutunatengeneza vijana ambao, mwisho wa siku hatuwezi kujuaathari na madhara ambayo yatakuja kwenye serikali yetu.

Mheshimiwa Spika, naomba nizungumzie suala laupatikanaji wa maji Vijijini. Nashukuru Manispaa paletunapata maji kutoka Ziwa Victoria, lakini kuna maeneomengi sana ambayo ni makame. Visima vinachimbwa virefulakini havitoi maji. Sasa mimi najiuliza hawa Wahandisi waliokokwenye Halmashauri wanafanya Kazi gani? Kwa sababuhuwezi ukachimba sehemu, unahisi kuna maji? Au serikalihaina ving’amuzi vya kugundua hapa kuna maji. Mimi kunahaja sasa, serikali ione kuwa, kuna umuhimu wa kuwekaving’amuzi vya kujua, ukienda kuchimba hapa unapata maji.Unatumia pesa nyingi sana kuchimba visima virefu lakinihavitoi maji, hii inakuwa haitusaidii.

Mheshimiwa Spika, Suala la vyandarua. Nilikuwanaomba nilizungumzie kwa sababu ninaona katika maeneoninayotoka. Hotuba ya mwaka jana ya Waziri Mkuu, alisisitizasana wananchi kutumia vyandarua vinavyotolewa na serikali.Lakini hivi viyandarua havifai! Havifai kabisa, mimi ninahisilabda vinawafaa watani zangu watu wa Morogoro! Kwasababu mtu kama mimi nikiiingia kwenye kile chandarua sifai!(Makofi)

Mheshimiwa Spika, kuna haja ya kuchukua labdavipimo kutoka kanda ya Ziwa mtakuwa mmetusaidia. Lakinihivi vyandarua havifai na wala havifai kwa matumizi. Ndiyo,maana watu wengi siku hizi wanatumia vyandarua hivikufugia kuku. Hata wenye minara ya simu wanatumia kuzuianyuki wasiingie, kwenye mitambo yao waliyo iweka juu.

Page 49: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

49

Kwa kweli hili jambo ni la kusikitisha, kwani nivyandarua ambavyo havina viwango.

Mheshimiwa Spika, pamoja na serikali kutoa madawakwenye vituo vya Afya pamoja na serikali. Juzi nilikuwa katikahospitali ya Mkoa, nimeona Hospitali ya Mkoa wa Shinyangapamoja na baadhi ya Wilaya za Mkoa wa Shinyanga.Nashangaa Hospitali ya Kolandoto imeteuliwa kuwa HospitaliTeule, lakini sikuona kama imepata mgao, wala kupataruzuku! Mimi nashindwa kuelewa, hivi hospitali mnapoziteuwakuwa Hospitali Teule, halafu mnazitelekeza, sielewi maanayake nini! Kwa kweli zinatakiwa, kama ni ruzuku zipate namadawa zipate, kwa sababu mmeshaziteuwa kuwa hospitaliTeule.

Mheshimiwa Spika, lakini pia hili deni la MSD nilikuwanaomba li l ipwe, kwa sababu linachochea dawakutopatikana katika hospitali zetu za Manispaa.

SPIKA: Mheshimiwa Mbunge, naona umemaliza vizuri,ahsante sana, sasa nimwite Mheshimiwa Abbas Z. Mtemvu,atafuatia na Mheshimiwa Deogratious Ntukumazina.

MHE. ABBAS Z. MTEMVU: Mheshimiwa Spika, ahsantesana kwa kunipa nafasi. Kwanza niseme naunga mkonohoja kwa asilimia mia kwa mia Bajeti hii.

Mheshimiwa Spika, mimi nimwombe kwanzaMheshimiwa Waziri Mkuu, kwenye suala la madeni ya walimu.Ni busara kuangalia sasa madeni yote ya wafanyakazi wanchi hii. Ni vyema wakati tukiwa tunazungumzia madeni yawalimu, tuangalie pia umuhimu madeni ya waaguzi,madaktari, wanajeshi, polisi na wafanyakazi wote wa nchihii, tulipe mara moja tuondokane na matatizo ya madeni.

Page 50: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

50

Mheshimiwa Spika, Sensa, inaonyesha Dar es salaamsasa tuko milioni nne. Mimi niwaombe Wabunge kwa heshimazote, hebu tuitazame Dar es salaam kwa jicho la huruma.Maana yake leo, Dar es salaam tunaongezeka tu. Kilamwananchi wa Wilaya tofauti anapenda kuja Dar es salam,na akija hataki kuondoka. Ni muhimu tukaangalia umuhimuwa kuiona Dar es salaam, suala la msongamano linatisha.

Mimi nitoe mfano tu, njia ambayo unapita weweMheshimiwa Spika na Mawaziri na Viongozi wengi. Ukitokeanyumbani kwako na Nyumbani kwa Mawaziri, ukifikaOsterbay Police, kuvuka mjini ni masaa mawili na nusu. Kwahiyo, tuone umuhimu wa kuiongezea uwezo Dar es salaam ilikuondoa msongamano.

Mheshimiwa Spika, huwezi kuondoa msongamanoDar es salaam, kama reli ya kati hujaiimalisha, hujaipa pesaza kutosha. Itasaidia mizingo mingi mikubwa kusafiri kwa njiaya reli. Pia kuna geti namba 13 na 14 bila kuhakikisha magetiyale pale Bandarini yanajengwa vizuri ili mizigo iwezekuchukuliwa, bado msongamano utakuwa haujaondoka Dares salaam.

Mheshimiwa Spika, katika hali kama hii, huweziukaacha ziendelee Wilaya tatu. Mimi niwaombe kabisa,aidha mwongeze Wilaya na Majimbo, si mbaya pia mkifanyaDar es salaam ikawa na mikoa mitatu, siyo mbaya. Dar essalaam, tunazo hospitali ya Temeke, zenye hadhi ya Mikoana Rufaa, lakini cha kusikitisha hakuna dawa yoyotewanayopewa, hakuna vifaa vyovyote wanavyopatakutokana na heshima hiyo ya kupandishwa Daraja.Wanaambiwa bado watumie Bajeti za Manispaa.

Cha kusikitisha leo, kwangu Temeke, pesa zamaendeleo, tulitarajia kupata kutoka Hazina bilioni sita pointmoja (6.1 bilioni) lakini hadi kufikia leo, tumepata bilioni mojapoint moja, sawaswa na asilimia kumi na nane. Tutaendeshakweli nchi namna hii!

Page 51: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

51

Mheshimiwa Spika, suala la msongamano Gereza laKeko na naamini Magereza yote. Keko ilijengwa mwaka 1957,ilitakiwa iwe inachukua Mahabusu 350, lakini hivi leoninavyoongea kuna Mahabusu karibu 950 mpaka 1000.Gereza toka lijengwe halijafanyiwa ukarabati sasa linavujana lina nyufa. Lakini cha kusikitisha kuna Mahabusu mlendani wana miaka saba, nitolee mfano mahabusu mmojaana miaka mitatu, alishikwa na madawa ya kulevya Uwanjawa Ndege wa Dar es Salaam, wakayatoa tumboni madawahayo, lakini hadi leo tunaambiwa ushahidi haujakamilika.

Sasa akaniuliza Mheshimiwa Mbunge, wanachotakaushahidi ni kuhakikisha hili tumbo ni la kwangu au siyo lakwangu. Mahabusu mwenyewe anaongea, dawa wametoakwenye tumbo langu leo wanasema ushahidi haujakamilika,lakini yameuzwa, na ushahidi hakuna. Kwa hiyo, hebutuangalie hawa wapelelezi wetu wanapeleleza nini? Mbonakesi zao wanazozitaka upelelezi unakwenda kwa harakaharaka? Mbona hizo ushahidi unapatikana?

Mheshimiwa Spika, liko suala la kusikitisha pale Dares Salaam, linalohusu UDA. Linasikitisha sana kwa sababusasa linahusisha Ofisi ya Waziri Mkuu na linahusisha Ofisi yaWizara ya Fedha, kwamba zinahusika katika upendeleo huo.Yule mtu wa UDA, Mwekezaji, amewekeza kwa milioni 300,tena milioni 300 zimeingia kwa mtu, lakini leo hata sisi wenyemali pale UDA tunafukuzwa. Kwa hiyo, tulikuwa tunaombaile ripoti ya CAG isomwe hapa Bungeni, ripoti zote zinasomwa,ripoti ile ni kwa nini?

Mheshimiwa Waziri Mkuu tunakuomba sana,Wabunge wa Dar es Salaam na Wananchi wa Dar es Salaamsiyo vyema kusema lakini wako chini ya miguu yako, walikuwawanapenda ile ripoti isomwe na suala la UDA lizungumzwe.

Tumekuwa na vikao vitatu, lakini kila kikao tukifikiasuala la UDA, Kikao kinaahirishwa. Kwa hiyo, tulikuwatunaomba kabla ya Bunge halijaisha, tupate taarifa ya UDAtujue kulikoni! Wapo wanaohusika, wengine ni viongozi wakisiasa nao tunataka wachukuliwe hatua za kisheria.

Page 52: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

52

Mheshimiwa Spika, niipongeze Serikali kwa suala laChina, Tanzania Logistics pale Shimo la Udongo, wananchiwamepokea vizuri, wanatarajia kulipwa kwa haraka ili mradiule uanze. Lakini na wananchi wa Kurasini wanauliza, waowatalipwa lini na watu wa Dar es Salaam, watu wa Temekeni wastaarabu, hawapendi fujo. Kwa hiyo, na wale tuwalipeili waweze kuendelea na shughuli zao.

Mheshimiwa Spika, sasa ni suala la wananchi kujiajiripamoja na shughuli za Vikoba. Wananchi wengi sanawamepokea, lakini tatizo ni uwezo. Kwa hiyo, mimi niiombeSerikali, nimwombe Waziri Mkuu, nimwombe Mama YanguMheshimiwa Mary Nagu, vile vikundi ambavyo viko tayari,pale Temeke. Nina vikundi viko tayari na tumewachangishiakaribu Shilingi milioni sabini (70,000,000/=) tutakwendakuwakabidhi wakati wowote tukiwa na Kiongozi wa Serikali,tukiangalia havikopesheki, kikundi kina milioni karibu sabinibenki, lakini kukopesheka mara mbili ni ngumu. Ndani yaBunge tunaongea hivyo, viongozi wanasema hivyo, lakiniutekelezaji ni tatizo. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, suala la umeme. Dar es Salaamleo umeme umekuwa siyo wa uhakika kama ipasavyo. Leopale Kata 14 wamekaa, wamekaa siku tano jana ndiyowamepata umeme na hali hiyo iko Tambuka Reli, ikoChang’ombe, hali hiyo iko mpaka kwenye Ofisi ya Mkuu waWilaya, sasa sijui kuna tatizo gani kwa Ndugu zetu waTANESCO. Nakushukuru sana, narejea kwa Mzee Pinda nanaunga mkono hoja hii, lakini naomba yote haya, hasa laUDA ulifanyie kazi. (Makofi)

MHE. DEO H. FILIKUNJOMBE: Mheshimiwa Spika,ahsante sana kwa kunipa nafasi hii, mimi nianze kusemabayana kabisa suingi mkono hoja kwa asilimia 100 kwasababu zifuatazo:-

Page 53: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

53

Siungi mkono hoja kwa sababu kila anayeonaatakuwa shahidi kwamba Serikali siyo sikivu kwa vitendo naSerikali yetu imekuwa na tabia ya kufunika kombe ilimwanaharamu apite. Siungi mkono hoja, kwa sababuSerikali yetu imevaa miwani ya mbao na imeziba masikio.(Makofi)

SPIKA: Jamani hebu ondoeni maneno hayo yamiwani ya mbao. Nani anavaa miwani ya mbao? Hebuondoa maneno hayo tafadhali.

MHE. DEO H. FILIKUNJOMBE: Mheshimiwa Spika, mimimiwani yangu niliyovaa ni miwani ya tinted.

SPIKA: Mheshimiwa Mbunge, naomba uondoemaneno tusibishane, uondoe maneno ya miwani ya mbao,wewe sema unachotaka kusema, haya endelea.

MHE. DEO H. FILIKUNJOMBE: Mheshimiwa Spika, Serikaliyetu imekuwa siyo serikali sikivu. Naondoa maneno ya miwaniya mbao. Inasikitisha sana kuona kwamba viongozi wetuwa Serikali yetu wamekuwa wakifanya mambo wanayotakawao, wao viongozi, na hawafanyi mambo wanayotakawananchi na mifano tunayo.

Mheshimiwa Spika, mimi nilikuwepo humu ndani, sikuile wakati Mheshimiwa Waziri Mkuu anaapa, hapa ndani,aliapa siku ile kuilinda Katiba ya Jamuhuri ya Muungano waTanzania, lakini badala yake kinachotokea sasa wamekuwawakilindana wao Mawaziri na Katiba wameiweka pembeni.Tuna Mawaziri 60 hapa, ukitazama kwa harakaharaka,Mawaziri wanofanya kazi ipasavyo, inavyotakikana hawazidikumi (10), na nina weza kuwataja kwa majina.

Page 54: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

54

Mheshimiwa Spika, liko jambo kwamba Elimu yetu nimbovu, elimu yetu imeshuka, ni kweli takwimu zinaonyeshakwamba shule za sekondari zimeongezeka toka 1700 mpaka4000, ni kweli kwamba wanaofaulu wameongezeka toka lakinne mpaka milioni moja na nusu. Lakini mimi niseme niafadhali ukawa na wanafunzi laki nne tu, ni afadhali ukawana shule 1700 tu peke yake kuliko kufaulisha wanafunzi milionimoja na nusu ambao hawajui kusoma na kuandika.Tunawafaulisha, tunapeleka wanafunzi wanaokwendakusoma kidato cha kwanza ambao hawajafaulu.

Ni afadhali kuwa na wanafunzi wachache wenyeubora kuliko kuwa na uwingi usiokuwa na ubora. Miminimewashangaa Waheshimiwa Wabunge wenzanguwakipiga kelele kwa nini matokeo mwaka huu yamekuwamabovu kidato cha nne. Tulipaswa kupiga kelele mwakajana na mwaka juzi, wakati wanafunzi wamefaulu 11,000,hawajui kusoma na kuhesabu, hawajui K3, yaani kuandika,kusoma na kuhesabu, tulipaswa kushangaa wakati ule.(Makofi)

Kama walioingia Form One wako vile watakaotokaform four watakuwaje? Takwimu zinaonyesha kwambaelimu inashuka, ni takwimu za Serikali, tunacho kitabu hapana Tume zilikwishaundwa, Tume ya Mzee Francis Liboi,imetumia mamilioni ya fedha, 2010/2011. Badala ya watukuwajibika, tunaunda Tume nyingine kufunika kombe ilimwanaharamu apite. (Makofi)

Sasa tunaweza tukasema huu ni upepo utapita, lakiniWatanzania wanajua. Watanzania wanaona elimu yamsingi ni bure lakini siyo bure. Mara ya mwisho tumefutaada ilikuwa shilingi 3000/= kwa mwaka, leo hii michangowanayochanga wazazi baada ya kufuta ada kima cha chiniWilayani kwangu Ludewa ni shilingi 6,000/= inakwenda mpakashilingi 12,000/= . (Makofi)

Page 55: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

55

Ni vyema basi tukarudisha ada ijulikane moja kwamoja kwamba sasa elimu ya Msingi siyo bure tena na wazaziwatajiandaa. Huku tunawaambia wazazi kwamba elimuitakuwa ni bure, lakini huku tunatoza michango mingi kulikoada. Elimu yetu siyo nzuri, nadhani na uwajibikaji haupo,tunaishia kuunda Tume, ukiona imeundwa Tume ujue mamboyameshakwisha, kwa sababu Tume nyingi zinaundwa namatokeo yake hatuayaoni.

Tume nyingi zinaundwa, zinawekwa kwenyeMakabrasha. Tume nyingi ziundwa zikisema huu ni upepo naitapita. Mimi niseme bayana, tufike mahala, WaheshimiwaWabunge wenzangu sisi viongozi, hasa sisi wa Chama Tawalatubadilike, tuache kubeza kila hoja ya Upinzani! (Makofi)

Tusiwabeze, badala yake tuchukue hoja zao tuzipimena tuzifanyie kazi. Kuna msemo unaosema kwamba ukionaKobe yuko juu ya mti ujue amebebwa na kuwekwa pale. Sisitumepewa dhamana na Watanzania, Watanzaniawametupa heshima ya kuwaongoza na kuwatumikia,dhamana hiyo waliyotupa wenzetu tusii-abuse. Tumepewadhamana ya ku-deliver, badala ya ku-deliver tunatumiamuda mwingi kufanya kazi za kuwabeza wenzetu ambao niwachache. ( Makofi)

Mheshimiwa Spika, sisi ambao ni wazazi kimsingi,tukitimiza wajibu, hawa watakuwa siyo wapinzani, watarudi,kipimo chetu kiwe ni utendaji kazi na siyo kulumbana bilahoja za msingi. Tunakuja humu Bungeni tunafanya kazi zaNape Nauye, Nape Nauye atafanya kazi gani sisi tukifanyakazi zake? (Makofi)

Ndiyo maana ninasema kuna matusi, watuwameacha kufanya kazi zao wanafanya kazi za watuwengine! Tuna mifano ya wazi kabisa, kwamba tuki-deliverwapinzani wanaelewa na tuna Mawaziri hapa walikuwaupinzani, wameelewa kwamba tunafanya vizuri, wamerudiCCM, wameacha kuwa wapinzani.

Page 56: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

56

Kwa hiyo, hoja yangu mimi ni kwamba sisi tusiwabezewapinzani, tubadilike, sisi tukiwapenda na kuwaheshimu wao,wataacha kutudharau, wataacha kututukana kila siku. Nchihii ni nchi yetu sote, wananchi watatupima kwa utendaji wetuna kwa ku-deliver.

Mimi jimboni kwangu Ludewa, wanachi wanguwanataka vitu vichache tu, wanataka vitu vidogo tu. Melini ahadi ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, kila mwaka inasomwa, kinachofanyikahakieleweki. MV. Songea, MV Iringa mbovu hazifanyi kazi, Melimpya, hakuna kinachoendelea kule chini na niseme bayanakama hatupati Meli kwa ajili ya wananchi wa Ziwa Nyasakule, na sisi, tutakwenda kuandamana. Tutakusanya Sare zetuza Chama cha Mapinduzi (CCM), tutavaa shirts zetu za kijanina suruali zetu nyeusi, tutakwenda kuandamana barabarani,bila kujali ni Juma tatu, ni Ijumaa au ni Jumapili, ni lazimatuwe na barabara ya lami kutoka Njombe mpaka Ludewa.

Mkoa mzima, Iringa na Njombe, Wilaya zote zinabarabara za lami kasoro Wilaya ya Ludewa tu, wananchiwamefanya nini hawa? Wananchi kule Ziwa Nyasa wanafikamahali wanauliza Joyce Banda atatuchukua lini tuwe sehemuyake, maana yake tunaona ninyi wenzetu mmetutelekeza!Tumewaacha.

Wananchi wa Ludewa, wanataka Chuo cha VETA,hawataki vitu vingi wanataka vitu vichachetu. Badala yakuwapa tunawapiga blaablaa, tunawapa maneno ya bure,ukimwuliza swali Waziri hapa atakujibu natoa wito,mchakato, tumejipanga vizuri, atasema wadau, upembuziyakinifu na kadhalika.

Mimi niseme tumechoshwa na hii staili ya uongozi,tunataka utendaji, tunataka uwajibikaji na nia yetu ni njema.Nchi hii ni lazima wananchi wa Tanzania na wananchi waLudewa wajisikie pia kuwa wao ni sehemu ya Watanzania,ni lazima wananchi wa Ludewa wajisikie pia waowananufaika pia na matunda ya Uhuru kamawanavyofaidika maeneo mengine ya Tanzania.

Page 57: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

57

Mheshimiwa Spika, naomba kusema kwamba suingimkono hoja, kwa niaba ya wananchi wa Ludewa mpakahayo niliyoyasema yatakapotekelezwa na nafuta kauliyangu ya miwani ya mbao kama ulivyonitaka, ahsante sana.(Makofi)

MHE. RUKIA KASSIM AHMED: Mheshimiwa Spika,ahsante sana kwa kunipa nafasi hii ili niweze kuchangia katikahotuba hii ya Mheshimiwa Waziri Mkuu. Lakini kabla yakuchangia ningeomba kusema maneno kidogo.

Mheshimiwa Spika, siku zote Serikali ilikuwa inatafuta,inahangaika sana inapata taabu kutafuta ni naniwanaochochea udini katika nchi hii. Lakini jana kwa sababuMwenyezi Mungu hafichi wale walio na maovu, ilidhilirika naakatuonyesha ni nani wanaochochea udini katika nchi hii.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, Serikali ilishuhudia na Watanzaniawote waliona ni nani wanaoleta udini na kutaka kuitafutiamaangamizi nchi hii. Quran na Biblia inaingia katika jengohili Takatifu siku ya kuwaapisha Wabunge tu, badala ya hapoinakuwa hakuna tena anayeingia nayo. Kwa sababu Raiswetu katika hotuba yake ya mwisho wa mwezialitutahadharisha sana na jambo hili la udini na Mtanzaniayeyote ambaye alikuwa na akili yake timamu aliyesikilizahotuba ile, basi alikuwa na tahadhari kubwa na alijua kuwatukiifanyia kazi, tutaepukana na matatizo haya ya kuingizaudini Bungeni, sisi mambo ambayo yatatufikisha pabaya.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, lakini leo Mbunge anathubutukuingia na Biblia humu, kwa kuja kuikashifu Serikali pamojana kutukashifu sisi wanawake. Nawaomba Waheshimiwawanawake wenzangu ambao ni Wabunge, jambo hilitulikemee.

Page 58: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

58

Mheshimiwa Spika, nadhani wewe upo karibu miaka30 inakaribia katika Bunge hili, ulishawahi kuona Mbungeakiingia humu na Biblia au hii ndiyo mara ya mwanzo kwaajili ya kutukashifu tu na kuikashifu dini?

Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hayo, sasanataka niende kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, nichangiehoja. Tume ya Taifa ya Uchaguzi jengo lake liko katika yaaniofisi ya Tume ya Uchaguzi iko katika jengo ambalolimepangishwa. Tume hii inaigharimu Serikali kutumia karibumilioni 234,387,648/= kwa mwaka, ambapo kwa miaka 10Tume inatumia shilingi za Kitanzania bilioni 2,343,876,680/=.

Mheshimiwa Spika, tunaifanya Serikali iingie katikahasara kubwa. Mimi naishauri Serikali iachane na tabia hii yakupangisha majengo kwa ajili ya ofisi za Serikali. (Makofi)

Serikali yetu bado inakubalika, inaaminika nainakopesheka, naishauri Serikali ijenge ofisi zake yenyewe,kwa sababu tatizo hili haliko katika ofisi ya Tume ya Uchaguzitu. Ofisi nyingi za Serikali ziko katika majengo ya kupangaambayo Serikali inaingia hasara kubwa. Kwa hiyo, naiombaSerikali iachane na mambo haya ya kupangisha katikamajengo.

Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hayo, natakasasa niende kwenye hii hii Tume ya Uchaguzi. Tume ya Taifaiwe na daftari lake Zanzibar! Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwakutumia ZEC kuwa Wakala wake kule, basi inakuwaWatanzania wengine wanakosa haki yao!

Daftari la ZEC lina mapungufu mengi, kwa mfano mimihapa ni Mbunge, ni Mzanzibari, ni Mtanzania, lakini Mamayangu au Baba yangu hayumo katika Daftari la ZEC, kwasababu tu hana Kitabulisho cha Uzanzibari, na Kitabulisho chaUzanzibari huwezi kukipata mpaka uwe na Cheti chakuzaliwa, wazee wengi waliozaliwa kwenye miaka ya 70,hawana vyeti vya kuzaliwa!

Page 59: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

59

Kwa sasa naomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi isitumieZEC kuwa ni Wakala wake, kwa sababu sisi Wabunge tuliomohumu Tumechaguliwa na Sheria mbili tofauti, kuna Wabungewa Zanzibar ambao walitumia Daftari la ZEC wamechaguliwana Sheria nyingine na hao ambao wako Bara walichaguliwana Tume ya NEC, wao wamechaguliwa pia kwa sherianyingine.

Kwa hiyo, ninaomba Serikali kutumike daftari la NECkule Zanzibar kwa sababu tuko katika mchakato wa Katiba,ili Watanzania wote waweze kupata haki yao katika kutoamaoni yao kwenye Katiba hii mpya.

Baada ya kusema hayo, nataka sasa niende kwenyekero ambayo ni sugu kwa Wazanzibari. Kero ya Wafanyabiashara ya Zanzibar kulipishwa kodi mara mbili hili ni kerosugu na tusitafute nani huyu?

Kero hii tunaizungumza siku zote, katika mwaka ulipitatuliizungumza na tukasema kuwa imepatiwa ufumbuzi, kuwabidhaa yeyote inayoingizwa nchini kupitia kituo chochotecha Forodha kilichomo ndani ya Jamuhuri ya Muungano waTanzania.

Basi haitalipishwa tena kodi mara mbili! Lakininamwomba Waziri Mkuu atupe ufafanuzi ni adhabu gani zakisheria na kinidhamu zilizochuliwa kwa Maafisa na Watendajiwa Serikali, wote walioshindwa kutekeleza agizo hili la kisheria,haiwezekani kuwa Serikali iko serious katika hili na watendajiwa Serikali na Maafisa wa Forodha wakalipisha kodi marambili, lakini hii yote ni ya kuwa ni maneno yanayofanywalakini utekelezaji ni kuwa labda wanaambiwa wasitekeleze.(Makofi)

Page 60: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

60

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, hakuna anayekataa Muungano,hakuna anayekataa umoja, lakini kero hii imekuwa sugu nainaudhi na inaumiza pia. Naomba Serikali itupe ufafanuzi dhidiya hili.

Baada ya kusema hayo, mimi sasa nataka nijielekezekwenye hili tatizo au kadhia iliyolikumba nchi yetu katika wikimbili zilizopita.

Mheshimiwa Spika, sitaki nizungumze jambo ambalolipo Mahakamani, lakini nataka niulize; kuna jengo liliangukaChang’ombe kama miaka kumi, wahusika waliosababishajambo lile nataka nijue wamehukumiwa vipi ili tujue ile hukumuwaliyopewa ni ipi? Kuna jengo lilianguka Kisutu likauaWatanzania, tunataka tujue wenye jengo lililosababishamauaji ya Watanzania wale hukumu yao ni ipi? (Makofi)

Hukumu hizi kama zingekuwa wazi ingekuwa pengineni funzo kwa hili lililotokea juzi. Nataka pia niiambie Serikalikuwa, NHC hata wakiruka Kimasai ni wahusika wa hili.Haiwezekani hata siku moja kuwa wao wana ubia na waondiyo waliotoa kiwanja cha kujengwa jengo lile. Jengolijengwe mpaka lifikie ghorofa 16 wakati makubaliano nighorofa kumi wao wasijue; haiwezekani! Haiwezekani hatasiku moja, wala wasitudanganye, ni wahusika wakuu nawawajibike wote waliosababisha maafa yale. NaombaSerikali aliyehusika hata kwa fullstop kwenye matatizo yalebasi tuhakikishe naye anawajibishwa. Iweje Waswahiliwanasema mjenzi na mjengewa iwe wao hawakuwekaEngineer wao wa kukagua jengo lile ambalo na wao pia kunashare yao pale; haiwezekani hata siku moja! Nasema walewote waliohusika na wao wawajibishwe na waingie kwenyemkumbo huu. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hayo, natakanigusie kidogo tu kuhusu TAKUKURU. Ikiwa kweli Serikali ikoserious kupambana na rushwa katika nchi hii, basi TAKUKURUwapewe meno, haiwezekani mtu asiye na meno akaambiwaatafune andazi hata siku moja. (Makofi)

Page 61: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

61

16 APRILI, 2013

SPIKA: Ahsante. Sasa nitamwita Mheshimiwa Kigola,atafuatiwa na Mheshimiwa Idd Azzan.

MHE. MENDRAD L. KIGOLA: Mheshimiwa Spika, kwanzakabisa. Nashukuru kwa kunipa nafasi ili na mimi niwezekuchangia Hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu.

Kabla ya yote, napenda kuunga mkono kwa asilimiamia moja Hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwa sababuamegusa maeneo yote ambayo ni muhimu sana kwa maishaya binadamu.

Mheshimiwa Spika, nianze kwa kusema kwamba,huwa nasema nchi yoyote Duniani ili ipate maendeleo,lazima ijikite kwenye elimu. Sasa tuna tatizo kubwa kuonakwamba kiwango cha elimu cha nchi yetu ya Tanzaniakinashuka chini na hii itasababisha nchi yetu ianze kurudinyuma. Matokeo ya mwaka jana wanafunzi asilimia 60 kufelimtihani kweli hii ni hatari. Sasa nasikitika kidogo kuona kwenyemasuala ya elimu wanaonekana wanasiasa ndiyowataalamu, ndiyo wanaochanganua mambo kumbe elimuina mkondo wake.

Mheshimiwa Spika, natoa ushauri kwa Serikalikwamba, Maprofesa ambao tunao kwenye Vyuo Vikuu nawasomi ambao tunao kwenye nchi yetu, tuwape nafasi iliwaweze kujadili vizuri masuala ya elimu. Utakuta hata kwenyeVyuo Vikuu watu wanapenda kujadili siasa, sasa hivi hataMaprofesa wote wanataka kukimbilia kwenye siasa,Madaktari wote wanataka kukimbilia kwenye siasa. Sasa miminajiuliza; hii nchi yetu inakwenda wapi na elimu inashukachini?

Natoa wito kwamba, hawa wasomi tuwape nafasiwaweze kujadili vizuri na kuunda structure nzuri ya elimu yetutuweze kupanda chart. Sasa hivi tunakoelekea siyo kuzurisana na baadaye tutakuja kupata wanasiasa ambaohawajasoma, matokeo yake tutaanza kugongana sisiwenyewe. Kwa sababu kama mtu hujapata elimu vizurihuwezi kuongoza vizuri hata masuala ya utawala, ni lazima

Page 62: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

62

16 APRILI, 2013

upate elimu nzuri. Sasa, naiomba sana Serikali kwamba,wasomi wetu tuwaheshimu, tuwape nafasi ili waweze kujadilivizuri masuala ya elimu nchi yetu iweze kusonga mbele.

Suala la pili ni kwamba, Wabunge wengi sanawanachangia kuhusu suala la maji. Tatizo la maji ni kubwasana na ukiangalia kila Jimbo na kila Wilaya kuna tatizokubwa la maji. Naiomba Serikali kwamba, kipaumbeletutenge fedha nyingi sana kwenye Wizara ya Maji. Wizara yaMaji kama haitapewa fedha nyingi, hili tatizo la maji tutakuwatunaongea kila mwaka. Mbunge yeyote akienda kwenyeJimbo lake, Wananchi swali la kwanza la kuuliza ni maji. Hatakwenye Jimbo langu, Serikali kwa kushirikiana na Wananchiiliweza kujenga matanki ya maji karibu 12, lakini mpaka leohayatoi maji. Ukienda Sawara kuna tanki la maji, ukiendaKibao kuna tenki la maji, ukienda Nyororo pia kuna tanki lamaji, ukienda Igowole kuna tanki la maji, ukienda Madumakuna tanki la maji na pia ukienda Nyigo kuna tanki la majina yote hayatoi maji. Ukiangalia katika Wilaya ya Mufindikuna mito mingi sana na Serikali ilijitahidi kwa kushirikiana naWananchi, ikaweza kupeleka maji kwenye matanki hayo,lakini ni ya miaka ya 1970, mpaka hivi sasa hakunawataalamu ambao wanaweza wakatengenezamiundombinu ikafanya kazi Wananchi wakapata maji. Sasanataka niiombe Serikali kwamba, Wizara ya Maji lazimaitengewe bajeti ya kutosha ili waweze kufufua miundombinuiliyoharibika. (Makofi)

Suala lingine ambalo naliona kwenye Wizara ya Majini kwamba, bado kuna tatizo kubwa, naomba Wizara ya Majiiiangalie Wizara ya Ujenzi inavyofanya kazi vizuri. Kwa mfano,unaweza ukaona katika Mikoa sasa hakuna Bodi ya Maji.Utakuta katika Mikoa yote hakuna Bodi ya Maji. Kwa hiyo,naiomba Serikali iwe na Bodi ya Maji kila Mkoa ili matatizo yamaji yatatuliwe katika Mikoa. Sasa hivi unaweza ukaona unamlolongo mrefu sana, suala dogo tu la kununua sparewanasema u-apply Wizarani, kumbe ungekwenda kuombatu Wilayani au katika Mkoa ukapewa vifaa vya maji, hivi sasamiundombinu ya maji imeharibika kabisa.

Page 63: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

63

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, naomba nisisitizie masuala ya maji;ni aibu sana kwa kila Mbunge kila siku tunaongelea masualaya maji. Sisi Wabunge tunajitahidi sana kuomba hatawafadhili watuchimbie visima kule kwenye Majimbo yetu,lakini Serikali bado haijapeleka fedha za kutosha kwenyeMajimbo yetu. Unaweza ukaona mwaka mzima unapita lakiniSerikali haijaleta fedha ambayo itaweza kusaidia maji. SisiWabunge tumeomba mpaka tumechanganyikiwa kwasababu kila nchi tunapeleka proposal tunaomba maji;tunaiomba Serikali itusaidie.

Nimetoa mfano mdogo sana, nimesema maji yapo,hatuwezi kusema hayapo, Mungu ameshatupatia maji nahakuna nchi yoyote yenye maji mengi kama nchi yetu yaTanzania. Sasa ni aibu kubwa kuona Wananchi wanakosamaji. Naomba Serikali iweke kipaumbele kwenye suala lamaji.

Suala la pil i ambalo napenda nil iongelee nawenzangu wameliongelea ni la barabara. Barabara nimuhimu. Kwanza, naipongeza Serikali kuna barabaraimejengwa kwa kiwango kizuri cha lami kutoka Iringa mpakaMafinga, ni kizuri! Mkandarasi naomba ajenge hata sehemunyingine kwani ni mzuri, hata ukienda kukagua ile barabaraimekaa vizuri. Sasa naomba kwa Serikali, kuna mpangoambao nilileta swali hapa bahati nzuri Wizara ya Ujenziilishakubali kujenga barabara ya kutoka Nyororo - Igowolempaka Mgololo kwa kiwango cha lami. Sasa naomba Serikalihebu imwangalie yule Mkandarasi ajenge ile barabara ikaevizuri ili Wananchi wangu waweze kusherehekea na ilebarabara. Yule Mkandarasi ni mzuri sana, bahati nzuri Serikaliilishakubali na ninategemea kwenye bajeti inayokuja,Barabara ya Nyororo mpaka Mgololo kwa kiwango cha lamiitakuwa imeshakuwa budgeted.

Mheshimiwa Spika, suala lingine ni kuhusu barabarainayotoka Mafinga mpaka Mgololo, ile barabara mpaka hivisasa haipitiki. Yule Mkandarasi anayeweka vifusi kila mwakana hata mwaka jana nilizungumza, nikasema barabara zakwetu sisi kuna mvua nyingi sana kule huwezi kuweka udongo

Page 64: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

64

16 APRILI, 2013

wa tope weka kokoto. Sasa nawaomba watu wa TANROADS,masuala ya kuweka udongo wa mfinyanzi ambaounasababisha magari kukwama yaishie leo. Serikali inatengafedha kwa ajili ya barabara, sasa baada ya kwendakuchukua kokoto ambazo zinafaa kwenye barabaraunakwenda kuchukua kifusi. Haya ni matumizi mabaya yafedha, tunaanza kuilamu Serikali wakati ukiangalia kwenyebajeti tayari imeshatenga fedha lakini watendajiwanatuangusha. Naomba watu wa TANROADS, mwaka huutukiona mnaendelea kuweka ule udongo ambaounasababisha matatizo na ninyi mnajua kabisa kule kunamvua mvua tutawazuia. Afadhali fedha ibaki isitumike kulikokutumia vibaya wakati Serikali inajitahidi kila siku inatafutafedha halafu mnakwamisha mnaweka udongo ambaohaufai. Hii itakuwa ni aibu, Watendaji wanatuaibisha sanana baadaye tutaanza kuilamu Serikali hapa, kumbe Serikalitumeshatenga bajeti, Wabunge tunatenga bajeti, lakiniwatendaji wanatuletea kitu ambacho sicho. (Kicheko)

Mheshimiwa Spika, suala lingine ni kuhusu umeme nabahati nzuri Waziri wangu alijibu vizuri sana swali nililouliza wikiiliyopita kwamba, Malangali watapewa umeme. Sipendiniongelee sana, lakini naomba utekelezaji kwa sababu sisikule kwetu hata nguzo zipo halafu umeme kutokaMakambako mpaka Malangali nadhani ni kilomita 20 tu.Ninaomba hilo ...

(Hapa kengele ililia kuashiria kwishakwa muda wa mzungumzaji)

SPIKA: Ahsante.

MHE. MENDRAD L. KIGOLA: Mheshimiwa Spika, naungamkono hoja. Ahsante. (Makofi)

SPIKA: Ahsante. Mheshimiwa Iddi Azzan, atafuatiwana Mheshimiwa Salvatory na Mheshimiwa ConchestaRwamlaza ajiandae.

Page 65: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

65

16 APRILI, 2013

MHE. IDDI M. AZZAN: Mheshimiwa Spika, nashukurusana kwa kunipa nafasi ili na mimi nichangie. Nianze tu kwakuungana na Wabunge wenzangu wa Dar es Salaam,ambao walikuwa wanaomba tuangaliwe jinsi ya kuongezaWilaya nyingine ama kuanzisha Mkoa mwingine pale Dar esSalaam kwa sababu tumeelemewa, idadi ya watu ni kubwa,lakini na maeneo yamezidi kupanuka. Ukimwangalia Mkuuwangu wa Mkoa, Mheshimiwa Mecky Sadick, hivi sasaamezeeka siku si zake ni kwa sababu ya mzigo mkubwaalioubeba. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, la pili, nizungumzie suala lamapato ya Halmashauri. Tulikubaliana na Serikali ilikubali naikaruhusu kwamba, Halmashauri sasa ziwe zinakusanya kodiya leseni ama ada ya leseni na zilijipanga vizuri kwa ajili yakukusanya ada hiyo, ikaweka mipango mizuri pamoja naMiradi mingi ya maendeleo il iyowekwa kwa aji l i yamakusanyo ya ada ya leseni. Cha kushangaza, mpaka leohii Halmashauri zimeshindwa kukusanya ada ya leseni, kwasababu ya taratibu ambazo Serikali haijazikamilisha iliHalmashauri ziweze kukusanya ada hiyo. Kwa hiyo, naiombasana Serikali iweze kukamilisha taratibu hizo ili Halmashaurizote nchini ziweze kukusanya ada ya leseni kwa ajili yamaendeleo ya Wananchi wetu. (Makofi)

Jambo lingine ni kodi ya majengo kwa Mkoa wa Dares Salaam, ilitolewa miaka mitano ya majaribio na nafikiriinaisha mwezi Julai, 2013. Ni kweli kazi nzuri imefanywa naTRA, lakini bado tunashauri na tunaitaka sasa Serikali irudisheutaratibu uliokuwepo zamani wa Halmashauri kuwezakukusanya zenyewe kodi ya majengo, kwa sababu tumeonafaida tuliyokuwa tunaipata na hasara ambayo tumeipatabaada ya TRA kuanza kukusanya kodi hii. Naomba TRAwaendelee na kazi zao nyingine za kukusanya mapatomengine, lakini hili la kodi ya majengo ni vyema sasa Serikaliikaanza utaratibu kabla ya mwezi wa saba ili Halmashaurizetu ziweze kuruhusiwa kukusanya kodi ya majengo ili tuwezekupata mapato ya kutosha kwa ajili ya Miradi yetu yaMaendeleo.

Page 66: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

66

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, wenzangu waliotanguliawalizungumzia suala la hospitali zetu ambazo zilipandishwahadhi na mimi nasisitiza kwamba, hospitali zimepandishwahadhi kuwa za rufaa na za mikoa lakini hadi leo hazijapataikama, Madaktari na Madaktari Bingwa hakuna, madawahakuna ni yaleyale ya enzi ya Wilaya, kwa hiyo, Wananchiwanapata tabu sana. Kwa mfano, Hospitali yaMwananyamala ukiangalia kwa siku watoto wanaozaliwani kati ya 65 - 80 lakini vitanda vilivyopo ni 18 tu. Kwa hiyo,bado tuna matatizo makubwa. Tunaomba tupate bajeti hiyoil i tuweze kufanya hospitali zetu hizi zitoe hudumazinazotakiwa kwa Wananchi wetu.

Mheshimiwa Spika, kwenye Hotuba ya MheshimiwaWaziri Mkuu, lilizungumziwa suala la usalama na ikatolewana idadi ya ujambazi ambao umetokea au uhalifu ambaoumejitokeza. Niseme kwamba, uhalifu ambao tumeuonakwenye Hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu ni sawa ndiyohuo, lakini tufahamu kwamba, huo ni uhalifu ambaoumeripotiwa Polisi, lakini yapo matukio mengi sana ya uhalifuyanayofanyika na Wananchi wanashindwa hata kwendakuripoti Polisi kwa sababu hata ukiripoti ni kazi bure tu.

Ujambazi umekuwa wa kutisha sana katika Jiji la Dares Salaam na bahati mbaya sana wapo vijana ambaowamejiajiri kwa kutumia bodaboda na wanafanya vizuri kwamaana ya kupata kipato, lakini wapo ambao wanazitumiabodaboda hizo vibaya. Upo ujambazi ambao unaendeleakwa kutumia pikipiki za bodaboda, wanapora, wanaua nawanakimbia, hakuna hatua zozote ambazo zinachukuliwa.Baya zaidi, tunazo silaha nyingi sana mtaani pamoja nakwamba kwenye Hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuuamesema kwamba, tumedhibiti uingiaji wa silaha holelakwenye mipaka yetu lakini zipo silaha ambazo ziliingia tanguya miaka 1993 - 1994 wakati wa vita au wakati wa machafukoya Rwanda na Burundi, silaha zile zipo nyingi sana mtaani.Siyo ajabu mtu akakutolea bastola ukiwa baa au barabaranianakupora simu. Kwa hiyo, tunazo silaha nyingi ambazozinafanya ujambazi mitaani na kwa kweli kwa hali ambayoipo hivi sasa na wingi wa watu wa Dar es Salaam, Jeshi la

Page 67: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

67

16 APRILI, 2013

Polisi limeshindwa kudhibiti hali hiyo kwa sababu limezidiwa,Askari ni wachache, Wananchi tumekuwa wengi na uhalifuumezidi kupita kiasi.

Mheshimiwa Spika, mwaka 2006 niliwahi kuombakwamba, tuangalie sasa uwezekano kama nilivyoombawakati ule nikichangia Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndanimwaka 2006 kwamba, Serikali iangalie uwezekano wakuwatumia Askari wetu ama wa Jeshi la Wananchi au Jeshila Kujenga Taifa washirikiane na Polisi, kufanywe opereshenimaalum ya kuwasaka majambazi na kusaka silaha ambazozipo mitaani.

Mheshimiwa Spika, hatutakuwa tumefanya dhambina hiyo itatufanya tumuenzi vizuri aliyekuwa Waziri Mkuu wetu,Marehemu Edward Moringe Sokoine. Kama tunakumbuka,miaka ya 1980 wakati anapambana na wahujumu uchumi,ilifikia wakati mtu anachukua hela zake ndani anakwendakuzitupa kwa sababu hakuzipata kihalali anaogopakukamatwa, ilifika wakati watu walitoa vitu vyao kama TVambazo wakati huo zilikuwa haziruhusiwi wanakwendakuzitupa na Jeshi la Kujenga Taifa kwa kushirikiana na Polisiwalifanya kazi nzuri sana kudhibiti hali hiyo. Kwa hiyo,haitakuwa ajabu hivi sasa tukatumia Jeshi la Kujenga Taifakupambana na uhalifu ambao umekithiri katika nchi yetu hivisasa na hasa katika Jiji la Dar es Salaam. Naomba Serikaliiliangalie sana jambo hili na ikiwezekana tuone tunasaidiavipi ili kupambana na uhalifu. Hali ni mbaya sana katika Jijila Dar es Salaam kwani uhalifu unatisha sana.

Mheshimiwa Spika, nichukue nafasi hii pia kulipongezaBunge pamoja na Serikali kwa kurudisha sheria ambayoinawataka wanafunzi wanapomaliza au wanapohitimuKidato cha Sita waende kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa.Ni jambo zuri na hilo limefanyika na kuanza kutekelezwamwaka huu na katika kuliunga mkono jambo hilo nami pianilijiunga na JKT na nimepata mafunzo hayo. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, ninachoomba sasa ni kuhakikishakwamba, Polisi ambao wanaajiriwa ama Askari Magereza,

Page 68: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

68

16 APRILI, 2013

badala ya kuwatoa mitaani ni vyema waangaliwe waleambao wamepitia Mafunzo ya JKT ili waweze kupata ajirahiyo, kwa sababu wapo vijana wengi JKT ambao wanapatamafunzo lakini mwisho wa siku wanashindwa kupata ajira.

Mheshimiwa Spika, jambo lingine ni kuhusu jamboambalo limejitokeza humu Bungeni na umelikemea leo;nashawishika sasa kuiomba Serikali iangalie uwezekano wakuitengeneza tena vizuri sheria hii, badala ya kuwatakawanafunzi waende JKT, sasa tuwatake hata wale wanaotakaUbunge, kabla ya kupata Ubunge nao waende JKT. Wawewamepitia JKT ndiyo waje wagombee Ubunge ili wapateuzalendo, nidhamu, tusije tukapata Wabunge ambaowanakuja kusema ama kuropoka maneno ambayohayastahili kuropokwa humu Bungeni. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, nimalizie tu sasa kwa kuiombaSerikali, hii ni quarter ama ni robo ya nne ya mwaka wa fedhawa 2012/2013, lakini mpaka hivi sasa Halmashauri yangu yaKinondoni fedha ambayo tumepokea haizidi 60%, kwa hiyo,tunaomba pesa hizi ambazo hazijaletwa ziletwe tuwezekukamilisha Miradi yetu ya Maendeleo.

Tunaomba kuondoa msongamano Dar es Salaam,fedha za Mfuko wa Barabara ziandaliwe ili Halmashauri zaMkoa wa Dar es Salaam hususan Halmashauri ya Kinondoni,iweze kupata fedha za kutosha kutoka Mfuko wa Barabaratuweze kukabiliana na hali ya msongamano ambaoumekithiri na unatisha sana.

Naomba pia barabara ambayo iliahidiwa, yaaniBarabara ya Kigogo Dampo kwenda Mandela Road nayokwenye mwaka huu wa fedha iangaliwe ijengwe ili tuwezekuondoa msongamano.

Lakini pia tuangalie barabara...

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda wa mzungumzaji)

Page 69: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

69

16 APRILI, 2013

SPIKA: Ahsante Mheshimiwa Azzan.

MHE. IDDI M. AZZAN: Mheshimiwa Spika, nashukuru naninaomba kuunga mkono hoja. (Makofi)

SPIKA: Ahsante na sasa nitamwita MheshimiwaSalvatory Machemli, atafuatiwa na Mheshimiwa ConchestaRwamlaza, kwa dakika tano.

MHE. SALVATORY N. MACHEMLI: Mheshimiwa Spika,nashukuru sana kwa nafasi hii.

Muda mfupi sana tangu matokeo ya Kidato cha Nneyatoke na nchi yetu bado inaomboleza msiba mkubwa wakufeli kwa wanafunzi hao. Tumepiga kelele sana hasa Kambiya Upinzani, tukimtaka Waziri wa Elimu pamoja na Wasaidiziwake wote wawajibike; tulichokiambulia ni kubezwa. Dawahalisi iliyopo ni kukaa chini tuangalie upya ni wapi tumejikwaana tusiangalie tulipoangukia.

Mheshimiwa Spika, ukiangalia mitaala inayotumikakufundisha katika shule zetu imepitwa na wakati haipo kabisa.Mheshimiwa James Mbatia, alikuja hapa na hoja kwamba,Serikali haina mitaala tukaibeza, tukamwona hafai.

Mheshimiwa Spika, leo mtoto wa darasa la kwanzaanasoma masomo manane mpaka tisa. Kwa kichwa kidogoalichonacho ni kum-overwork. Sisi wakati tunaanza shule woteni mashahidi, tulikuwa tunasoma masomo matatu; maarufukama KKK, Kusoma, Kuandika na Kuhesabu. Hakuna mtotoau kijana anayezaliwa halafu akatembea muda huo huo,tulitakiwa tuwaweke katika mazingira ya kuwaandaa kubebamzigo wa elimu wanaokuja kuubeba juu.

Mheshimiwa Spika, suala l ingine ni vitabuvinavyotumika kufundishia mashuleni; sasa hivi ukiendakwenye shule zetu kuanzia shule za msingi mpaka zasekondari, kila shule ina kitabu chake. Ukienda Shule ya MsingiNansio utakuta wanasoma Kitabu cha Nyangwine, ukiendaShule ya Msingi ya Nyarwengo ambayo ipo kwenye Wilaya

Page 70: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

70

16 APRILI, 2013

ile ile wanasoma Kitabu cha Mutamwega darasa lile lile.Halafu wanaotunga mtihani hawajali kwamba hawawamesoma Kitabu cha Nyangwine na hawa wamesomaKitabu cha Mutamwega. Ndiyo maana wanafunziwanapigwa chenga na tunaanza kuwatupia lawama,tunawaingiza kwenye matatizo na kuwaleta uraiani wanakaabila kazi. Hili ni janga.

Mheshimiwa Spika, Jeshi la Polisi; nimemsikia rafikiyangu Mheshimiwa Idd Azzan pale anakisema kwamba,tuandae Wabunge kabla hawajaenda kugombea, waendekwanza JKT wakanolewe. Hii siyo dawa, kuna wenginewamekwenda JKT, mwenzangu Mheshimiwa LivingstoneLusinde, ameenda lakini alipotoka hakujifunza uzalendoamekuja kutapika matusi humu ndani. Kwa hiyo, kwendaJeshini siyo kujifunza uzalendo. (Kicheko/Makofi)

Bado nipo na Jeshi la Polisi; Jeshi la Polisi linachezasiasa. Naomba kupitia ngoma hii sisi tucheze na wanasiasawenzetu. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, sasa hivi kumekuwa na kesi nyingiza kubambikizwa, nimemsikia Mbunge mmoja akilalamikahapa ndani kwamba kesi inayowahusu upelelezi unafanyikaharaka, kesi isiyowahusu upelelezi bado haujakamilika.Tuwaombe Jeshi la Polisi waachane na siasa, wanalipa kodikwa fedha zetu sisi za walipa kodi wanazolipwa mishaharawasiwe na upendeleo. Kesho sisi tutakuwa watawalawatafuata matakwa ya nani?

Mheshimiwa Spika, jiografia ya Kisiwa changu chaUkerewe kimezungukwa na maji. Jeshi la Polisi linashindwakudhibiti majambazi, matokeo yake linawatetea majambazi.Kuna tukio juzi limetokea, watu wawili wafanyabiashara wasamaki wameuawa katika Kisiwa cha Kyara. Wananchi kwauzalendo wakapeleka majina Polisi, wale watu wakafikishwakituoni, baada ya siku nane wakaondoka wapo uraianiwanatishia kwamba wao wapo juu ya sheria. Wauzamadawa na wengine wanakamatwa siku mbili wanaachiwa

Page 71: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

71

16 APRILI, 2013

kwa sababu wana maslahi ya Jeshi la Polisi. Kwa hiyo, Jeshilitende haki, kimsingi, lisiwe na upendeleo.

Mheshimiwa Spika, usafiri katika Ziwa Victoria ...

(Hapa Kengele ililia kuashiri kwishakwa muda wa mzungumzaji)

SPIKA: Ahsante nashukuru. Mheshimiwa ConchestaRwamlaza.

MHE. CONCHESTA L. RWAMLAZA: Mheshimiwa Spika,ahsante. Naomba niende moja kwa moja ukurasa wa 31 waHotuba ya Mheshimiwa Waziri wa TAMISEMI, ambapoanaongelea kuhusu kuimarisha mapato katika Mamlaka yaSerikali za Mitaa. Sasa hivi Serikali inafanya maongezi naBenki ya Rasilimali ya TIB ili Halmashauri ziweze kukopawaweze kufanya shughuli zao vizuri.

Mheshimiwa Spika, naomba TAMISEMI wawekemwongozo mzuri ili hizi Halmashauri zitakapokopa zihusisheMadiwani wote, zifuate taratibu zinazohusika ili mikopo hiyoisiwe ya siri hatimaye kuleta malalamiko.

Mheshimiwa Spika, sasa hivi kuna mgogoro mkubwakatika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba, ambaoumesababishwa na mambo kama hayo. Mahali ambapoKamati ya Fedha kwa kushirikiana na Meya inakopa fedhaambazo Madiwani wengine hawajui kinachoendelea nahatimaye kuiweka Halmashauri kuwa katika madeni.

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, ninaishauri TAMISEMIisaidie; kukopa ni vizuri , Halmashauri ziweze kujiendesha lakiniuwepo utaratibu ambao utakuwa wazi, utakaowashirikishaMadiwani katika hatua zote, yaani kuanzia maandiko namambo mengine ili kusiwepo na mizozo kama inayotokeakatika Halmashauri yetu ya Manispaa ya Bukoba.

Page 72: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

72

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, napenda pia niongelee gharamaya makisio ya uendeshaji wa Miradi katika nchi yetu, yaaniquotations.

Mheshimiwa Spika, nimeshangaa sana kuonaquotations za Serikali ni kubwa mno kuliko hali halisi yagharama zilivyo katika maduka. Kwa mfano, unaweza kukutamfuko wa sementi, niongelee Bukoba ambako gharama yaujenzi ni kubwa, ni shilingi 20,000, lakini unaweza kukutaHalmashauri au quotations zake za ujenzi au kununua vifaavingine mtu anaandika mfuko wa sementi ni 50,000.

Mheshimiwa Spika, naomba kuiuliza Serikali ni jinsi ganiimeandaa gharama hizi, makisio, yaani quotationszinakuwaje? Mimi ninafikir i hizi quotations ni kigezokimojawapo ambacho kinafanya Miradi mingine ikwamekwa sababu gharama zinakuwa kubwa. Naomba jambo hililiangaliwe. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, haraka haraka naomba niongeleeviporo vya Miradi ambayo ipo katika Halmashauri. Ni jamboambalo limekuwa la kawaida kuona hii Miradi, nasemainaanzishwa kisiasa kwa sababu huwezi kuanza Miradi mipyawakati Miradi mingine haijakamilika.

Mheshimiwa Spika, mimi nipo katika Kamati yaTAMISEMI, Kamati hii imetembelea Hospitali ya Singida,tulikuta Hospitali hii ili ikamilike inahitaji bilioni 150, lakini Serikaliimekuwa ikitoa bilioni mbili tu kila mwaka. Sisi tumefanyamakisio tukaona kwamba, kama Serikali itaendelea kutoabilioni mbili kila mwaka, ina maana inahitaji miaka 75kuikamilisha Hospitali hiyo. Cha kushangaza ni kwamba,unakuta majengo mengine yamekamilika baadayeyanaanza kuwa na nyufa, yanakuwa na popo na mambomengine. Kwa hiyo, Serikali inaingia gharama, lakini piakuwasimamisha wakandarasi mtapaswa kuwalipa kwasababu mnakuwa mmesitisha mikataba yao.

Mheshimiwa Spika, Serikali iliangalie jambo hili,ihakikishe kwamba, Miradi inapoanzishwa basi ipewe muda

Page 73: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

73

16 APRILI, 2013

maalum. Tunaweza tukasema tujenge hospitali moja ya rufaakatika miaka minne ikamilike halafu tunajenga hospitalinyingine. Kwa hiyo, hii Miradi itakuwa na uwezo wakukamilika.

Mwisho, Mheshimiwa Spika, naomba niongeleekuhusu usafiri wa ndege. Kuna swali liliuzwa hapa, tulitakakujua nauli zinapangwaje, Waziri wa Uchukuzi akasema, kunaMashirika ambayo yamepunguza nauli na akalitaja Shirika laFastjet.

Mheshimiwa Spika, ni kweli Shirika la Fastjetlimepunguza nauli, lakini unalipia mizigo, unapolipa mizigokifurushi chochote kile hata kama kina kilo kumi unakilipiashilingi 15,000. Cha kushangaza, hizo fedha hazitolewistakabadhi wanaweka tu ndani ya droo. Sasa mimi natakaSerikali itueleze kama mizigo inalipiwa labda ndiyo utaratibu;hizi fedha zinaunganishwa katika mapato ya Serikali wakatihazitolewi risiti.

Mheshimiwa Spika, mimi nafikiri hata haya mashirikaya ndege, Mheshimiwa Waziri Mkuu kupitia Wizara zakeaangalie namna gani yana-operate katika nchi zetu.Yanaweka utaratibu kama huo watu wanalipia mizigo,wanadhulumiwa, wanakuwa na usumbufu mkubwa, yaanihayatoi hata ile guarantee ya kilogramu 20. Sawa unalipialakini hizo fedha zinahesabiwa vipi? Shirika lile la Fastjetlinabeba watu 150; kwa mfano, katika ndege wote wanalipiamizigo, fedha hizo huwa Serikali inafuatil iaje nazinaunganishwa wapi kama haziko katika tiketi ya ndege nakama hazikatiwi stakabidhi?

Mheshimiwa Spika, ahsante kwa kunisikiliza. (Makofi)

MHE. ZAYNAB M. VULLU: Mheshimiwa Spika, ahsantesana. Mimi naomba nianze kwa kuipongeza Tume yaMabadiliko ya Katiba, kwa kazi nzuri wanayoifanya nakwenda na wakati kama ilivyokuwa imepangwa.

Page 74: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

74

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, nitoe tahadhari moja tu, hatunasababu ya watu kulumbana kusema kwamba sijui Mabarazahuko ya kwenye Kata, CCM wamechakachua, hapana,tusifukuze vivuli vyetu, tuangalie uhalisia. Uhalisia unatokanana kwamba, katika matokeo ya chaguzi tulizokuwatumezifanya za Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Vijiji naVitongoji, Chama cha Mapinduzi kilishinda kwa asilimia zaidiya 90. Halikadhalika, kwenye Udiwani zaidi ya asilimia 70,kwenye Ubunge sina sababu ya kusema picha halisi tunayohumu ndani.

Mheshimiwa Spika, sasa nije kwenye hoja. Mkoa waPwani na Mikoa mingine yote inajikita zaidi kwenye kilimo.Moja ya zao ambalo tunalima sisi Mkoa wa Pwani ni Korosho.Cha kusikitisha zaidi, wakulima wengi na ni Wananchi wengi,asilimia kubwa ya Wakazi wa Mkoa wa Pwani ni Wakulimawa Zao la Korosho. Wanayumba na korosho zao, kila msimuzinakutana mle ndani, wauzaji wanataka kuuza, wanunuziwanakuja na bei ambayo haijapangwa na Serikali. Sasa nilini Serikali itaweka mkakati madhubuti wa kuhakikishakwamba, fedha zinazotolewa kwa ajili ya watu kununuliakorosho zinafanya kazi hiyo na bei inayowekwa inafuata beiile ambayo Wananchi wanaweza wakauza.

Mheshimiwa Spika, watu wengi hawakupelekawatoto wao mashuleni, wanashindwa kununua chakula,wanashindwa kujihudumia huduma za kwenda hospitali kisahawana fedha, mali ipo ndani pesa hazipatikani. Hilo ni tatizokubwa sana. Tunamwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu naSerikali yake, ahakikishe kwamba, tunapata viwanda katikaMkoa wa Pwani. Viwanda vya korosho vitasaidia kwa sababukukiwa na viwanda mtu atakwenda moja kwa mojakiwandani atauza korosho zake kwa bei atakayokubalianana wenye kiwanda, lakini kama bei haiko hadharani naviwanda hakuna, hilo nalo ni tatizo.

Mheshimiwa Spika, sasa sijui jukumu la kiwanda chakorosho liwe kwa nani, ukiwauliza Wizara ya Viwanda naBiashara wanakwambia hili ni suala la Wizara ya Kilimo, Kilimowanakwambia hapana sisi tunashughulikia kilimo, viwanda

Page 75: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

75

16 APRILI, 2013

ni huko huko kwenye Wizara ya Viwanda na Biashara. Basikama ni hivyo ni ombi tu, hata pamba, viwanda vya pambavisiwe chini ya Wizara ya Viwanda ya Biashara iende hukohuko kwenye Kilimo ili tujue wanaosimamia kilimo wasimamiena viwanda vinavyohusika. Kama alizeti iende Kilimo isiendekwenye Wizara ya Viwanda na Biashara.

Mheshimiwa Spika, lingine, mwanzo nimesema asilimiakubwa tuliyoipata Wenyeviti wa Vijiji, Mitaa na Vitongoji, lakiniwatu hawa Serikali inawatazama namna gani? Tunatumiamamilioni ya shilingi katika uchaguzi kuhakikisha tunapataviongozi wa kutusaidia kazi za usimamizi kwenye ngazi ya vijiji,mitaa na vitongoji. Wao ndiyo walinzi wa usalama na amani,wao ndiyo wawakilishi wa jamii katika mikutano ya ngazi zajuu yao, wao ndiyo wanaotoa na kuthibitisha kwambaMwananchi huyu ni mkazi halali wa kijiji au mtaa unaohusika,iwe Polisi, iwe Benki na kadhalika, lakini mtu huyu anafanyakazi kwa kutumia pesa zake mwenyewe. Hivi tunamsaidiaje,tunampa nguvu za aina gani ili aweze kufanya kazi zake vizuri.

Mheshimiwa Spika, naomba Serikali iangalie kamailivyoangalia maeneo mengine ya kuhakikishawanawatengea posho watu hawa, basi isiwe kila mwezi hatakwa mwezi mara tatu au mara nne. Naomba hilo pializingatiwe.

Mheshimiwa Spika, maendeleo yoyote hayaji bila yakuwa na barabara nzuri. Mkoa wa Pwani hatuna barabaraza kutosha na barabara zetu ni mbaya; nyingine zimetolewaahadi ya Rais toka mwaka 2005, leo tupo mwaka 2013barabara hazijaisha, iwe Wilaya ya Bagamoyo, iwe Wilayaya Kisarawe, iwe Wilaya ya Mafia, barabara hizo zotehazijakamilika. Naomba Serikali itenge fungu, iwe na uhakikawa kusema angalau kila mwaka wa fedha ijenge basi hatakilomita moja ili itupe imani na sisi. Kama hazijengwi hizobarabara tunategemea maendeleo yatapatikana na huoMkoa utatokana na umaskini? Naomba Mheshimiwa WaziriMkuu na Wizara zinazohusika basi zinipatie majibu katika hojahizo. (Makofi)

Page 76: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

76

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, suala la umeme, umeme ni adha,umeme ni tatizo, kwa bahati nzuri sitaki kusema bahatimbaya, nguzo kubwa zote za umeme lazima zipite Mkoa waPwani. Siyo mara yangu ya kwanza kulisema hili, tokanimeingia ndani ya Ukumbi huu nalizungumza, naombaSerikali iangalie Wilaya zetu zipate umeme, Kisarawe nguzozimeanza kuwekwa lakini uendelezaji wa Mradi uleunasuasua. Sasa sijui tatizo lipo Wizarani au TANESCO;tunaomba tupatiwe majibu.

Mheshimiwa Spika, hatuna sababu ya Watanzaniakulia njaa kuagiza mchele kutoka nje. Tunawakaribisha katikaMkoa wa Pwani, tuna mabonde mpaka ukipita wewemwenyewe unasikia raha. Tunaiomba Wizara ya Kilimo, kwakuwa ndiyo Wizara hiyo hiyo inayoshughulika na umwagiliaji,tuna wasomi wengi, tuna Wananchi wengi wanalima kwenyemabonde hayo; kwa nini Serikali isihakikishe inachangiakuwawezesha wakulima wa kwenye mabonde hayo iwekeskimu za kutosha?

Mheshimiwa Spika, Rufiji kuna mabonde ya kutosha,Bagamoyo kuna mabonde ya kutosha, Wilaya zote za Mkoawa Pwani zina mabonde ya kutosha, Mungu ametupaneema na utajir i tunashindwa kuutumia. Wananchiwanahangaika kwa kipato chao kidogo, lakini Serikaliikiwawezesha iingie ubia tu na wakulima, iwachukuewanafunzi wanaomaliza UDOM, wamalize kusoma masomoya kilimo wawachukue wawaweke katika kila Wilayawawasaidie Wananchi kuhakikisha wanalima kilimo chakisasa, tuone kama tunaweza tukaenda kuchukua mchelekutoka Thailand, mchele sijui kutoka wapi huko, hatunasababu. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, sidhani kama kuna haja yakufanya hivyo. Niombe tu Serikali, siyo mara ya kwanzakulisema hili na nitaendelea kulisema mpaka nitakapoonamabadiliko ya kilimo yanaingia katika Mkoa wa Pwani.Nawaomba sana tuwaondolee umaskini Wananchi wa Mkoawa Pwani. Tuhakikishe nchi yetu inapata zao la mpunga,

Page 77: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

77

16 APRILI, 2013

inapata zao la mchele, zao la mahindi na matundahalikadhalika.

Mheshimiwa Spika, naomba sana haya niliyoyasematuhakikishe yanafanikiwa. Yakifanikiwa haya sidhani kamakutakuwa na sababu kila mwaka Mkoa wa Pwani uweunahesabiwa kutoka chini kwa umaskini na sisi tunataka tuwehapo juu kidogo.

Mheshimiwa Spika, suala la maji; maji ni tatizo. Mkoawa Pwani kama ulivyokuwa na mabonde, una mito mingisana. Ni vyema tukahakikisha kwamba, Miradi ya Majiinayotengenezwa basi kwanza Waswahili wanasema faidaya mti ni kile kivuli. Sasa sisi tuliokuwa kwenye hiyo mito ndiyotufaidi kivuli cha huo mti, lakini maji yale mabomba yanapitayanakwenda katika maeneo mengine. Sisi pia tunahitajikuwa na maji ya bomba na tunataka maji yanatoka kwautaratibu unaoeleweka, badala ya kupata maji ya shida.Tunapata maji ya visima, tunaishukuru Serikali, lakini maji yavisima mengi yana chumvi. Fanyeni utaratibu wa kutafutadawa ya kutoa chumvi ili na sisi tuone yale maji yawe mazuri,yawe safi na salama.

Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hayo, naombanipatiwe majibu ya mambo ya korosho na viwanda. Vilevilenaomba nipatiwe majibu ya masuala ya mabonde yampunga. Ahsante sana, ninaunga mkono hoja. (Makofi)

SPIKA: Ahsante. Sasa namwita Mheshimiwa DesderiusMipata, atafuatiwa na Mheshimiwa Salvatory Machemli naMheshimiwa Martha Mlata ajiandae.

MHE. DESDERIUS J. MIPATA: Mheshimiwa Spika,ahsante sana kwa kunipa nafasi niweze kuchangia Hotubaya Mheshimiwa Waziri Mkuu. Naanza na suala moja la Kitaifa.

Mheshimiwa Spika, katika Hotuba ya MheshimiwaWaziri Mkuu, ukurasa wa 63, unazungumzia juu ya kuimarishahuduma za afya. Mimi nijielekeze kwenye Hospitali yetu yaTaifa ya Muhimbili.

Page 78: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

78

MHE. DESDERIUS J. MIPATA: Mheshimiwa Spika,ahsante sana kwa kunipa nafasi niweze kuchangiahotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu. Naanza na sualamoja la kitaifa.

Mheshimiwa Spika, katika hotuba ya MheshimiwaWaziri Mkuu ukurasa wa 63 unazungumzia juu yakuimarisha huduma za afya. Mimi nijielekeze kwenyehospitali yetu ya Taifa ya Muhimbili.

Mheshimiwa Spika, katika hospitali ya Taifa yaMuhimbili Kitengo cha Mazoezi, kuna changamotonyingi, na kwa kujua kwamba ni hospitali ambayotunaitegemea nchi nzima, na ni-declare interestkwamba nina mtoto wangu anatibiwa kwa sasa.Nimeziona changamoto ambazo kwa kweli zinatakiwazishughulikiwe kama Taifa. Kitengo kile kimesahauliwasana.

Moja ya changamoto zilizopo ni kwambahawana majengo ya kutosha. Mazoezi wanafanya,hamna privacy, lakini kwa vile hakuna majengo,kiutaratibu yale maeneo ambayo Idara zote zinatakiwazikae pamoja, ikiwa ni pamoja na Idara ya Masikio naKusema, Idara ya Mazoezi ya Miguu na Mgongo,Mazoezi ya Ufahamu na Mikono inatakiwa yote iwepamoja kwa mujibu wa wataalamu wale. Lakini sasaunakuta wako mbali kiasi kwamba hawaendi kwapamoja, wanatakiwa waende kwa pamoja namajengo yawe pamoja.

Mheshimiwa Spika, lakini vilevile utakuta hakunahata choo, mambo madogo kabisa! Choo kiko kimoja,haki-flash, hakina jinsia kwamba kuna mtu wa kike nawa kiume. Ni vitu vidogo vidogo ambavyo kwa kweliunaweza ukakuta vinaleta maambukizi bila ya sababuya msingi.

Page 79: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

79

Vile vile vifaa vya mazoezi hakuna. Unakutaumeme ukikatika hakuna jenereta ambayo inawezaikasaidia. Kwa hiyo, umeme ukikatika, na kwa joto laDar es Salaam, maana yake huduma haziendi.Watumishi wako wachache hasa kwa upande waOccupational Therapy wako wachache wako wannetu na tunawapelekea Watanzania wote hapa kwahospitali yote ya Muhimbili. Kwa hiyo, naomba wahusikawalione hili. Hatuna sababu ya kuacha changamotohizi na kuwepo mahali ambapo tunakusanyaWatanzania wapate huduma.

Mheshimiwa Spika, vilevile Watumishihawaendelezwi, hawasomeshwi. Wakitoka KCMC iliwaweze kuendelea, lazima waende nje. Wakitakakwenda, wanatakiwa wajilipie zaidi ya Shilingi milioni 30.Utapata wapi? Serikali lazima iangalie uwezekano wakuendeleza Kitengo hiki, ni muhimu sana. Nimeona jinsikinavyobadilisha watu akiwepo mtoto wangu.

Mheshimiwa Spika, niende Jimboni. Katikahospitali yetu ya Mkoa zipo changamoto kubwa sana.Nakumbuka hivi karibuni Mheshimiwa Mama Kikwetealitutembelea akatuletea zawadi kubwa kupitia Shirikalake la WAMA. Aliweza kutupatia msaada zaidi wenyethamani ya vifaa zaidi ya Shilingi milioni 700. Sasa tunachangamoto ya wataalamu. Hamna wataalamu wakutumia vile vifaa.

Mheshimiwa Spika, vilevile tunaombaikiwezekana tukubaliwe katika maeneo mbalimbalituwasomeshe wataalamu ambao wanaweza warudi.Tuwa-recruit pale pale na warudi kufanya kazi kwasababu sisi kwetu hatupati watumishi na hii lazima iendepamoja katika Halmashauri zetu na maeneo ambayoyapo mbali na centre.

Page 80: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

80

Mheshimiwa Spika, kwenye hospitali yetu yaWilaya ya Nkansi vilevile ina changamoto hizo hizo.Hakuna Madaktari, hakuna Wauguzi, hakuna Watumishiwa Maabara na ukizingatia hospitali i le ndiyoinategemewa Wilaya nzima. Lakini pia kuna Chuoambacho kina-train Watumishi wa Maabara naWauguzi. Sasa tutawapa mafunzo watu katika hospitaliambao ni sub-standard kama ile!

Naiomba Wizara ihakikishe kwamba inatuleteaWaganga wazuri, wataalamu wa Maabara namadawa yanapatikana ili hata wale ambao wanapataujuzi katika Chuo cha Saint Bakita waweze kupata ujuziunaotosheleza na kukidhi haja kuliko ilivyo sasa.Tumeshamwandikia Katibu Mkuu kumwomba gari.Hatuna gari la wagonjwa kuwafuata kule vijijini. Vifo vyaakina mama na watoto vimeongezeka kwa sababuhatuna gari. Tunaomba majibu katika hili, ukizingatiatuko mbali, tuna haki ya kupata.

Jambo lingine ambalo nililotaka kuzungumzia nisuala la barabara. Tunashukuru Serikali barabara yakutoka Tunduma kwenda Sumbawanga, inakwendavizuri, lakini kuna changamoto kubwa kwa barabaraya kutoka Sumbawanga kwenda Kibaoni, haiendikabisa. Wananchi wanahoji, kuna nini? Mbonaimesimama? Kama imesimama namna hii, maana yakenini? Basi Wizara ituambie, kuna shida gani hapa?Hawamlipi Mkandarasi? Au hana hela? Taratibuzinasemaje? Maana yake wananchi wanaitegemeabarabara kwa haraka, hawaioni.

Mheshimiwa Spika, sambamba na hilo nibarabara za vijijini. Nina barabara moja ambayonilikuwa nikiisema sana hapa ya Kitosua, Mpembe,Kanakala pamoja na Ninde Namanyere. Barabara hizibado ni changamoto. Naishukuru TAMISEMI kwa kusikia

Page 81: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

81

na kunipatia fedha kwa barabara ya Kanakala zaidiya Shilingi milioni 400. Nawaomba wasimamizi wa pesahii wawe makini sana. Hizi hela zitaondoka na mtu.Nitazisimamia kwa karibu shilingi kwa shilingi, natakakuona inafanya kazi gani. Atakayeichezea ataondokanayo. Nasema wazi hadharani. Tumezitafuta kwa jashokubwa sana.

Namshukuru sana Waziri Mkuu, Katibu Mkuu waTAMISEMI na dada pale Engineer Kayanda, amenisaidiasana katika kumpigia kelele za mara kwa mara.Naomba asiishie hapa, angalia na barabara nyingineambazo zinatusumbua. Kwa mfano barabara ya Katanikwenda Chonga mpaka Miula, barabara ya kutokaMilundiko kwenda Kisura, barabara ya kutokaKatongolo, Namansi mpaka Linde, barabara zote nichangamoto kubwa. Naomba sana hizo barabarawatusaidie.

Mheshimiwa Spika, jambo lingine ni mawasilianoya simu. Natambua vizuri sana jitihada ambazozinafanywa na wenzetu wa Wizara hii, lakini naaminikwamba watakuwa wanakwamishwa na utaratibufulani. Kwa sababu nimewapelekea mara nyingi nawanatambua na kwa kweli wanaonyesha nia yakutusaidia.

Wizara hii nadhani wanakwama jambo fulani.Serikali kama Serikali tuangalie, kule Wampembe, Kalana Ninde ni Watanzania ambao wamekosa kupatamawasiliano. Ukisimama Bungeni hujalisema hili,hawaoni kama unawasemea. Bora niseme wasikiekama tunasema, lakini hayatekelezwi.

Naomba Wizara au Serikali iangalie utaratibumzuri zaidi. Huu utaratibu tulioufanya wa UCAF nadhaniutakuwa umefeli mahali. Maana tunapata ahadi ahadi

Page 82: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

82

na ukienda kwa Waziri unakuta kweli ameweka, wakatimwingine Makampuni yenyewe yanayowekezahayataki kuwekeza katika eneo hilo.

Mheshimiwa Spika, Wampembe ni mahaliambapo kuna watu wengi kabisa na Kampuniitakayowekeza pale itaweza kufanya biashara sanahata Kala. Kwa hiyo, ningetoa wito kwa Makampuniyanayotaka kuwekeza waje wawekeze kwetu.

Mheshimiwa Spika, suala la umeme. Umemetumeupata lakini changamoto tunayoipata ni kwambapale pale Namanyere wanatakiwa kutawanyika. Hivininavyosimama hapa nyumbani kwangu hakunaumeme. Kama nusu kilomita kutoka eneo umemeunapopita. Sasa ni changamoto hiyo.

Kwa hiyo, utawanyike sasa pale na vijiji vya njianivya Nkundi, Chala, Kipande, Kasu utawanyike ndiyoutatuletea tija tunayoitarajia. Lakini pale Kilangala kunaKituo cha Afya cha Kulelea Watoto pale, hakunaumeme. Naomba tusogezewe umeme.

Kadhalika, Kalundi, Miula, Chonga, Katani, MiulaChalatila mpaka Kate, tungeweza kupata hapoingetusaida sana. Lakini vilevile Kata ya Isale yote navijiji vyake, kutokea Namanyila ni jirani mno. Nitoe witovile vile kwa wafanyabiashara, tuna umeme sasaNamanyere. Njooni mwekeze kwenye mazao ya kilimoili kilimo chetu kiwe na thamani ya kutosha.

Mheshimiwa Spika, katika kilimo...

(Hapa kengele ililia kuashiria muda waMzungumzaji kwisha)

Page 83: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

83

MHE. DESDERIUS J. MIPATA: Mheshimiwa Spika,nashukuru. Naunga mkono hoja, ahsante sana. (Makofi)

SPIKA: Ahsante. Mheshimiwa Kuruthumatafuatiwa na Mheshimiwa Mshama.

MHE KURUTHUM J. MCHUCHULI: MheshimiwaSpika, awali ya yote, napenda kumshukuru MwenyeziMungu aliyeniwezesha kusimama hapa nikiwa salamakabisa.

Mheshimiwa Spika, nataka nijielekeze kwanzakatika nidhamu ya matumizi ya fedha za Serikali.

Mheshimiwa Spika, tuliwaweka Wakaguzi katikaHalmashauri zetu, tumeweka Wakaguzi Kitaifa kwa ajiliya kukagua nidhamu ya matumizi ya fedha katikaSerikali yetu hata katika Halmashauri. Lakini miminapata kigugumizi na nashangaa sana kuona kwambaWakaguzi wanapokwenda katika Halmashauri zetu,watumishi wa Halmashauri hususan Wakurugenzi,Wahasibu ambao ni Ma-DT, wanakataa kuwapaWakaguzi taarifa muhimu za fedha, zile risiti, zile imprest.Hivi hawa watumishi wa Halmashauri wanapata wapijeuri ya kuwanyima Wakaguzi risiti za malipo?

Mheshimiwa Spika, nasema kwa uzoefu kutokaKamati ya LAAC. Kwa mfano, mwaka 2010/2011takribani Halmashauri 22 zilikataa kuwapa hati za malipoWakaguzi zaidi ya Shilingi bilioni 1.5. Tunafanya nini sasa?Wakaguzi wanafanya kazi gani kama watumishi waHalmashauri wanakuwa na jeuri ya kukataa kutoavipatanishi kwa Wakaguzi wetu?

Mheshimiwa Spika, pia kama haitoshi, vitabu vyamalipo zaidi ya 2,990 za stakabadhi ya malipo katikaHalmashauri zetu Wakaguzi wameshindwa kuzipata

Page 84: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

84

kutoka kwa watumishi wa Halmashauri. Sasa tunawekahizi Mamlaka za Ukaguzi kwa kuangalia nidhamu yamatumizi ya fedha kwa faida gani ikiwa watumishi waHalmashauri wanakuwa na jeuri ya kuwanyimaWakaguzi taarifa muhimu ambazo zinasaidia kujuaubovu wao? Hapo ndio wizi unapofanyika.

Mheshimiwa Spika, hivi kama mtumishi hujaiba,kwa nini ukatae kutoa imprest, vocha? Una tatizo ganikutoa vocha kwa Wakaguzi kama hujaiba? Lakinihaitoshi, utashangaa baada ya miezi mitano, baadaya mwaka imprest voucher zimepatikana. Zinapatikanawapi na mara ya kwanza wanapopata wanazifichawapi? Naomba Mheshimiwa Waziri wa TAMISEMIatueleze, wanazificha wapi na wanazipata wapi?Tusiruhusu wizi. Huu ni wizi wa waziwazi.

Mheshimiwa Spika, nataka niongelee kidogokatika suala la uwekezaji hasa katika ardhi. Kumekuwana mkanganyiko mkubwa ambao unaleta ugomvimkubwa sana katika Halmashauri zetu katika suala laardhi. Watu wanapewa ardhi, wawekezaji wanapewaardhi ambazo hawaziendelezi, lakini pia hata takwimuzetu zinakanganya.

Mheshimiwa Spika, mimi nina kitabu cha Mpangocha Mheshimiwa Wassira mwaka 2013/2014 ametuelezahapa katika kitabu kabisa kwamba Rufiji wawekezaji,anasema kuna Agro Forest. Naomba ninukuu tafadhali.

“Agro Forest wamepewa ekari 20 Muhoro Rufiji;anasema Tawi Utunge kuna watu wa Frontlinewamepewa ekari 20, lakini hapo wapo anasemakwamba kuna watu wa Eco Energy Ruvu wamepewaekari laki mbili na thelathini na saba sijui ngapi elfu. Lakinipale Rufiji kuna Taasisi ya RUBADA ambayo inaendelezabonde la Mto Rufiji, wanakuja na takwimu katika

Page 85: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

85

Halmashauri yetu, anasema Frontline amepewa ekari5,000, anasema Agro Forest wamepewa ekari 6,000 hizitakwimu za mezani zinatoka wapi? Hii ni Serikali ganiambayo inakuja na takwimu hizo? Serikali ni moja,RUBADA ni taasisi ya Serikali, Mipango inatoka Serikalini,ardhi nao wanakuja na takwimu zao. Ardhi wanatakwimu zao, RUBADA wana takwimu zao. MheshimiwaWassira mpango wa nchi nzima, takwimu zinatoka wapiza mezani.

Mheshimiwa Spika, hizi takwimu za mezani ndizozinaleta mkanganyiko kwa wananchi wetu. Hapaanakuja mwekezaji anasema amepewa ekari 20,000,mwingine anasema nimepewa ekari 5,000 wakatitakwimu ziko tofauti. Tunatoa wapi hizi takwimu?Naomba Ardhi, RUBADA, Mipango waje na takwimu zauhakika kwa watu wa Rufiji. Wanaleta mkanganyiko naugomvi. Huu ndiyo usugu mkubwa katika utendaji kazi.

Mheshimiwa Spika, lakini nashukuru umetupelekaUDOM katika lile kongamano la Gender Coalition. Tatizola ardhi linawaathiri sana akinamama. Tumeona watuwa Kanda ya Mashariki, watu wa Mvomero, kunaWaheshimiwa viongozi kule wana maekari, mtu anaekari 10,000, ekari hizo haziendelezwi hata kidogo. Sasahivi wanakodisha kwa wananchi wale wale. He!Tunarudi katika Nyarubanja System! Tumetoka katikaukoloni na tunarudi tena katika system ya zamani yaukoloni! Tumetoka katika ukoloni, tatizo liko wapi? Kwanini watu wachukue ardhi, wapewe ardhi ambayohawaiendelezi, tena wanakuja kukodisha wananchiwetu wale wale wenye ardhi yao?

Hii inasikitisha sana! Viongozi waliochukua ardhiMvomero, Morogoro na sehemu nyingine. Warudishiekwa wananchi! Wananchi wanakosa ardhi ya kulimawao, sasa wanatukodisha. Tunakuwa watumwa,

Page 86: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

86

tunakuwa wakimbizi ndani ya nchi yetu. Akina mamawanalalamika wanahamahama ovyo, ardhi wanayowatu, ni misitu hawaiendelezi. Hao ni wawekezaji auwababaishaji? (Makofi)

Mheshimiwa Spika, napenda sana wawekezajikwa sababu wawekezaji wanaleta ajira, wanaboreshakilimo, lakini kwa nini Serikali inaendelea kuwakumbatiawawekezaji wababaishaji, hawaendelezi chochote?Naomba Serikali iangalie hii ardhi ichukuliwe kwa watuambao hawawezi kuiendeleza warudishe kwawananchi wapate fursa ya kutumia ardhi yao na siyokwamba wafanye ubabaishaji. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, mwenzangu kidogoamegusia TAKUKURU hapa. TAKUKURU wanafanya kazinzuri sana, lakini TAKUKURU sasa wamekuwa kamahawana meno, wanaishia kuchunguza chunguzawanapeleka taarifa kwa DPP kesi haziendi. WenzetuIndia na nchi nyingine TAKUKURU wana fursa yakuchunguza na kushitaki. TAKUKURU wana ushahidi wotewa kutosha. Kabisa umethibitishwa! Lakini tunaambiwakwamba ooh, kesi ipo kwa DPP, miaka sita watuwanaendelea kupeta, watu wanaendelea kutunyonyawanyonge, watu wanaendelea kututambia wanyonge.

Mheshimiwa Spika, TAKUKURU wapewe fursawaweze kuchunguza na kushitaki. Tuache mambo yaubabaishaji kwa kesi ambazo haziishi kwa miaka yote.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, nataka kuzungumzia Shule zaKata. Tumejenga shule nyingi sana za Kata, tunaishukuruSerikali, zimejengwa Shule za Kata nyingi sana kwaminajili ya kwamba watu wasome karibu na maeneoyao. Nataka nitoe mfano kwangu kule Rufiji, watotowanatolewa Kibiti, Ikwiriri wanapelekwa kusoma kilomita

Page 87: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

87

80 Mwaseni kwenye Kata ambayo ipo kwenye mbuga,hakuna umeme, hakuna maji wala hosteli, halafumnasema Shule za Kata hoyee! Watu wanafaulu. Watuwatafaulu wapi?

Mheshimiwa Spika, tunatarajia watapata watuambao wanafaulu kutoka katika shule ile ambayo hainaumeme, haina maji, mwalimu mmoja; unamtoa mtotoIkwiriri ambapo ni mjini kuna umeme, kuna majiunampeleka kusoma Mwaseni ambapo hakunamwalimu, wala hakuna maji.

Shule za Kata tunazipenda lakini pale kuna shuleIkwiriri Kata ya Umwe pale, sasa hivi ina takribani miakasita haiishi, watu wamejenga mpaka madarasayanabomoka.

Kwa hiyo, ni urasimu wa watu wachache tu, kwasababu ya mambo ya kisiasa kwamba Katainaongozwa na watu wa CUF. Tunafika wapi?Tutawapeleka wapi watoto wetu? Tunachukua watotowa wanyonge tunawapeleka porini ili wakapate zerohalafu watoto wetu sisi viongozi tunawapeleka shulenzuri.

Mheshimiwa Spika, mimi naomba sana,tuangalie hili tunadidimiza wanyonge, wenzetu sisi tunapesa tunapeta, hii siyo haki.

Mheshimiwa Spika, tunashukuru tuna umeme wagesi kutoka Somanga Fungu. Lakini sasa tushakuwawababaishaji. Sasa hivi tunakaa pale Rufiji kila sikuumeme unakatika zaidi ya masaa kumi. Umemeukiwaka saa tatu, saa nne haupo. Ukiwaka saa nne saasita haupo. Kuna matatizo gani? Ukiwaambia TANESCOwanakwambia ooh, sijui nini.

Page 88: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

88

Tunaomba zile mashine pale wamepelekamashine ambazo zimechakachuliwa, mashine hazifanyikazi, mashine mbili zimekufa. Watupelekee mashinenzuri wakatengeneze watu wapate umeme. Naombasana msichakachue watu wa Kusini jamani, tumechokakuchakachuliwa. Tunaomba umeme pale mzuri ili watuwapate wafanye kazi zao.

Mheshimiwa Spika, naomba kidogo niendekwenye Maliasili. Nimelalamika kweli humu ndani,Kamati ya Ulinzi imekuja kufanya uchunguzi kule Mloka,lakini mpaka leo hakuna majibu ya msingi. Wamekujawakasema watachimba mabwawa, mabwawa hayoyaliahidiwa na Mheshimiwa Maige.

(Hapa kengele ililia kuashiria muda waMzungumzaji kwisha)

Mheshimiwa Spika, nashukuru kwa kunipa nafasi.(Makofi)

MHE. ASSUMPTER N. MSHAMA: Mheshimiwa Spika,ahsante sana kwa kunipatia nafasi. Kwanza natoashukrani mbele ya Mungu na mbele ya Bunge lakoTukufu kuweza kuchangia hotuba ya Waziri Mkuu.

Mheshimiwa Spika, kwanza nianze na naombatu kwa ruhusa yako niseme na-declare interest kwambamimi ni Mchungaji. Kidogo tu niombe sana kwamba siyovibaya kusema maneno ya Mungu, lakini ni vizurikuyasema yanayopaswa kusemwa.

Kwa mfano, ukisoma Thimotheo ya kwanza mstariwa kwanza sura ya pili, mstari wa kwanza hadi wa piliunasema: “Basi kabla ya mambo yote nataka dua nasala na maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu

Page 89: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

89

wote kwa ajili ya Wafalme na wote wenye mamlaka.Tuishi maisha ya utulivu na amani katika utawa wotena ustahimilivu.”

Mimi nadhani ndiyo maneno mazuri yakuwaambia Watanzania ya kwamba mamlaka yoyoteiliyopo imewekwa na Mwenyezi Mungu na inastahilikuheshimiwa. Hivyo siyo kuwararua. Kazi kubwatuliyopewa ni kuwaombea na ukiona yanakwendavibaya ni kwamba watu hawajaomba. Nasema nahapo na hapo ndipo ninapokwenda kuungana naMama Spika alivyosema kwamba tuwe na heshima,tuheshimu nchi yetu na Watanzania ndipo wataonakweli tumewawakilisha.

Mheshimiwa Spika, naomba tu niongelee sualala uchumi. Katika hotuba ya Waziri Mkuu alituelezakwamba uchumi wa Tanzania umekua na akatajavigezo vya kukua kwa uchumi, lakini naomba tuniongee kuhusu pato la Mtanzania. Amesema pato laMtanzania limetoka Sh. 869,436/= mpakaSh. 965,298/=.

Mheshimiwa Spika, ukimwambia mtu kitu kukuahuwa kinaonekana kwa macho. Unaposema mtiunakua unauona unaongezeka kimo, unapoona mtuamekua unamwona ameongezeka kimo, lakiniunaposema uchumi wa Tanzania umekua wakatiMtanzania wa leo hana uwezo wa kula milo mitatu,nahisi uchumi wa Tanzania haujakua kamainavyosemekana. Uchumi kukua inatakiwa uonekanekwa macho, watu waone kweli uchumi umekua,wapate chakula chao, wale, wanywe, waseme kweliuchumi umekua. Nashindwa kuelewa! Nilikuwa naombakusema, tunaweza kutumia maneno mengine badalaya kusema uchumi umekua ili kusudi iweze kueleweka.

Page 90: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

90

Mheshimiwa Spika, ukiangalia kiwangokinachopatikana kwa Mtanzania ni kwamba anaishikwa Sh. 80,000/= tu ambazo sijui walipokuwawanatafuta hivyo vigezo walichukua Mikoa mingapi.Kwa Mkoa wa Kagera inaonekana kabisa uchumi wetuni Sh. 430,000/=, lakini kwenye maandishi hapainaonyesha kwamba Sh. 900,000/= na kitu. Mimi ninaonakwamba Mikoa mingine inabaguliwa kwa kupimauchumi wao.

Mheshimiwa Spika, naomba sasa Serikali itusaidieiweze kuwa na takwimu za kutosha za mikoa yote nahapo ndipo tulete takwimu za kusema kipato chaMtanzania ni kiasi hiki.

Mheshimiwa Spika, naomba niongee kwambaunaposema Sh. 85,000/= kwa Mtanzania ni kwamba kilaMtanzania kwa siku ana uwezo wa kupata Sh. 2,766/=.Hivi ni kweli?

Nikirudi kwenye Jimbo langu kule NkengeMtanzania hana uwezo wa kupata hata Sh. 500/= kwasiku, hana uwezo wa kupata hata Sh. 300/= kwa siku.Lakini unaleta jumla kwamba Watanzania tunapata Sh.85,000/= au Sh. 2,766/=. Naona inabidi turudie kufanyautafiti.

Nimeuliza kwa mtaalamu wangu wa Wilayakwamba wewe katika Wilaya yetu kila Mwana-Misenyiana pato la namna gani? Hana takwimu. Anasema sisihatujapata fedha za kuweza kujua kila Wilaya ina uwezowa pato la namna gani, kwa sababu tumeombahatujapewa.

Sasa Mheshimiwa Waziri Mkuu niombe tukwamba itakapokuja wakati mwingine, hebu tupewe

Page 91: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

91

taarifa za Watanzania wote, hata kwa Mikoa na Wilayatujue kipato cha kila Mtanzania.

Mheshimiwa Spika, niongelee suala inflation.Kama kweli tunataka kuondoa mfumko wa bei,naomba nishauri ifuatavyo:-

Unaposema mfumko wa bei kwa sasa hivi niasilimia ilikuwa 19, sasa ni 10.4 mimi naona kwamba siyokwa Watanzania wote.

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Waziri Mkuualipotuletea hizi takwimu, alikuwa anasema mfumkoumepungua, lakini nikiangalia kiukweli mfumkohaujapungua. Ukisoma katika ukurasa wake wa namba18 utaona hapo vigezo, lakini hivyo vigezo nikiviangaliaviko tofauti na mfumko wa bei.

Kwa mfano, unaposema kwamba mfumkoumepungua lakini ukakuta mtu Mtanzania huyo hanauwezo wa kununua kilo ya mchele, hana uwezo wakununua kilo ya unga, utakuwa mfumko umepunguavipi?

Mheshimiwa Spika, natoa ushauri, kamatunataka kupunguza mfumko wa bei, ni lazima kuwepochakula cha kutosha kwa wananchi, ni lazima tuangaliekilimo kwanza. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, ukiangalia tatizo kubwa lamfumko wa bei ni kutokana na Watanzania kukosachakula cha kutosha. Kama hakuna chakula hamnanamna yoyote, unaweza ukasaidia mfumko wa bei.

Naomba tu Serikali ya Tanzania, tumekuwa namisemo mingi, tulikuwa na mambo mengi yakitokea,tukaita hata katika wakati huu tukasema Kilimo Kwanza.Kilimo Kwanza hakijatendewa haki. Kilimo Kwanza

Page 92: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

92

hakijafanyiwa yale yaliyotakiwa kufanyika kwenyeKilimo Kwanza.

Mheshimiwa Spika, Tanzania hii, watu wengiwameajiriwa na kilimo zaidi ya asilimia 70. Lakiniukiangalia Watanzania hao hao, leo wenginewanashidwa, wamekaa kwa sababu hawana nyenzoza kilimo, hawana vifaa vya kulimia na kama tukisematupeleke pembejeo zinapelekwa wakati watuwameshakaribia kuvuna. Tukisema tupeleke madawaya kukuzia, tunapeleka wakati wa mavuno. Sasa mimisijaelewa hiki Kilimo Kwanza kinawezaje kuondoainflation, kinawezaje kutufanya Watanzania tuwezekupata chakula cha kutosha.

Mheshimiwa Spika, hapo zamani inflation ilikuwaasilimia tano, lakini leo inflation ni 10.4 yaani ilikuwaasilimia tano, leo ni asilimia kumi. Naomba kuuliza nikitu gani kilifanyika wakati ule hata tukawa na inflationya asilimia tano na ambacho hakiwezi kufanyika leotukarudi kwenye digital moja ya inflation. Naombakuuliza, nini kilitokea ambacho leo hakiwezi kufanyikana tukarudi kwenye asilimia tano? Nauliza, ni mkakatigani mahsusi ambao Serikali inao kuhakikisha kwambatunarudi katika single digit ya inflation.

Mheshimiwa Spika, kama kweli tunaamaanisha,naomba tu nitoe ushauri ni vyema tukarudi kwenyekilimo kweli kweli. Vijana wetu kama sisi watu wa Misenyituna mabonde ya kutosha, tuna maeneo mazuri, mvuaJanuari mpaka Desemba, tuna uwezo wa kulishaukanda wa Ziwa wote. Lakini leo hawapewi trekta, naukiangalia tulikuwa tume-book hata trektatumekwenda trekta hamna. Sasa tunawezaje kuondoainflation wakati inflation inaleta kigezo kikubwa kulikovyote ambacho ni ukosefu wa chakula. Ni aibu Tanzaniakukosa chakula tukaenda kuhemea kwa watu wengine.

Page 93: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

93

Mheshimiwa Spika, niende sasa kwenye elimu.Naomba niipongeze Serikali ya Tanzania ya Chama chaMapinduzi na wananchi kwa ujumla kwa namna yapekee ambavyo wamejitoa kuhakikisha kwambatunapandisha elimu, lakini liko tatizo.

Ningependa kuwajulisha Watanzania kuwa haponyuma tulikuwa watu wachache, tulikuwa watu milioni34, leo tuko milioni 44. Siyo hilo tu, leo hii mtoto wa miakatisa anapata mtoto mwenzake na akishapata huyomtoto anataka Serikali imsomeshe.

Kuna mtu mwingine ana watoto 14, nilikuwanamwuliza mama mmoja katika Jimbo languakaniambia anao watoto 14 na yeye akishawazaaanataka Serikali iwasomeshe. Siyo tu kuna wenzetuambao katika mambo yao na maadili yaowanaruhusiwa kuwa na wanawake zaidi ya wawili,watatu, na akawa na watoto 40 na akishakuwa naoanataka Serikali iwasomeshe. Lakini nilichokuwanaomba Watanzania hebu tusomeshe watoto wetutukishirikiana na Serikali yetu ambayo ina mikakati mizuri.(Makofi)

(Hapa kengele ililia kuashiria muda waMzungumzaji kwisha)

SPIKA: Haya. Ahsante. Ahsante sana.

MHE. ASSUMPTER N. MSHAMA: Mheshimiwa Spika,naunga mkono hoja. (Makofi)

SPIKA: Sasa namwita Mheshimiwa Ahemed AliSalum, atafuatiwa na Mheshimiwa Sara Msafiri.

Page 94: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

94

MHE. AHMED A. SALUM: Mheshimiwa Spika,nakushukuru sana. Kwanza kabisa, naomba nianzekuangalia suala zima la maji katika Jimbo la Solwa nahasa huu mradi wa Ziwa Victoria.

Mheshimiwa Spika, naishukuru sana Serikali kwakazi nzuri inayofanya, mradi huu umekwenda vizuri sanaKahama na Shinyanga kupitia vijiji katika Jimbo la Solwa.Lakini ni pamoja na ahadi ya Rais, ametembelea katikaWilaya yangu mara mbili na kusema kwambaatahakikisha kwamba katika awamu ya pili ya vijiji ndaniya kilomita 12 na vyenyewe vinapata maji. Hivi leonimeongea na Wakurugenzi wa KASHUWASAameniambia hakuna fedha ya aina yoyote iliyokujahata ya upembuzi yakinifu. Sasa huku ni kumdhalilishaMheshimiwa Rais.

Mheshimiwa Spika, wananchi wa Jimbo la Solwana maeneo mengine yote katika mradi huu wa ZiwaVictoria wamekuwa na matumaini makubwa sanakwamba katika bajeti ya mwaka huu angalau vijiji nusuna mwaka unaokuja vijiji vinavyofuatia viweze kupatamaji ya Ziwa Victoria. Kuna Kata nyingi, kuna vijiji vingina kuna maeneo mengi ambayo yanahitaji maji ya ZiwaVictoria. Kata ya Salawe, Isamagazi na nyingine hataKata ya Samuye nayo imo katika mpango huu wa ZiwaVictoria.

Naomba sana Mheshimiwa Waziri Mkuu atizamehili tupate fedha hata Shilingi bilioni tatu za kuanzia iliangalau vijiji hivi ambavyo vina matatizo makubwasana ya maji kwa sababu siyo suala la kutafuta maji nisuala la kuunganisha pipe na kuwapelekea wananchimaji. Maji tayari yapo kwenye bomba kuu.

Mheshimiwa Spika, visima vya World Bank,awamu hii kwa sasa hivi, mimi nashukuru sana tumepata

Page 95: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

95

karibu miradi 10 na sasa hivi mradi huu wa World Bankupo katika Kata ya Didia na ya Mishepo. Lakini mpakahivi ninavyokwambia, documents zote ambazo zikokwenye final stage kwa ajili ya kuwapa Wakandarasizipo Wizara ya Maji. Wizara ya Maji wamezikalia tu ziledocuments sijui hata wameziweka wapi?

Mheshimiwa Spika, naomba sana Waziri Mkuualitafutie ufumbuzi hili. Tunaomba m-release documentshizi, zije Halmashauri wapewe Wakandarasi kazi ifanyikekwenye Kata ya Didia.

Kata ya Didia ni Kata kubwa sasa hivi, ina watuwengi, ina umeme, ina miradi na ina vitu vingi sana.Sasa ikiwa World Bank wametoa fedha, documentszinakaliwa na Wizara, nikienda kwenye Kata ya Didiamaswali ni mengi, nashindwa kujibu.

Kwa hiyo, naomba wananchi wa Kata ya Didia,Mishepo wavute subira na hata Kata ya Ilola na Vidatikwa maana ya kwamba baada ya zamu hii na waowanafuata. Ilola nao wanakuwa na maswali menginaomba wananchi wale wasubiri sasa hivi tunakwendaawamu ya kwao.

Mheshimiwa Spika, tatizo la njaa. Naishukuru sanaSerikali na hasa shukrani za pekee zimwendeeMheshimiwa Waziri Mkuu.

Nakushukuru sana mtoto wa mkulima, umewezasana kunisaidia tukapata chakula, lakini mpaka sasahivi hatujapata ila Waziri Mkuu najua kabisaanashughulikia suala hili. Naomba sana niweze kupata.Mvua zilizonyesha wiki iliyopita, zimeharibu mazaovibaya karibu Wilaya zote kwa maana ya kwambatathmini iliyofanywa mtakuja kufanya tena tathmini yapili mtupe mgao mwingine.

Page 96: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

96

Mheshimiwa Spika, suala la njaa, nashauri, jamanituleteeni mtama ule mweupe tuwatembezee,tuwaeleze wananchi wetu namna ya kulima mtamahuu. Nimeongea na Mkurugenzi amefurahia, amesemawako tayari hata kununua. Kwa hiyo, suala sio tu sualala kuokoa tatizo la njaa ni suala hata la zao la biasharakwa wananchi wa maeneo hayo ambayo yanapatamatatizo ya njaa.

Ushauri wa pili tuzingatie maeneo haya.Hatupendi kuomba chakula kila mwaka. TunaombaSerikali hebu i-focus kwenye suala zima, tunapoletamiradi kupitia Halmashauri kwa ajili ya umwagiliaji aumaeneo mengine kwa ajili ya kulima tuondokane natatizo la njaa hili mtuone. Mnatoa fedha mnapelekakwenye maeneo ambayo yana mvua, hawanamatatizo ya njaa. Hebu tuoneni sisi katika Mkoa waShinyanga, Simiyu na Mikoa mingine inayokumbwa natatizo hili la njaa. Hatupendi!

Mheshimiwa Spika, Hospitali ya Wilaya sina tatizonalo naomba nimkumbushie Mheshimiwa Waziri Wazirianalifahamu, najua kabisa atanisaidia. Kazi anayofanyani nzuri sana Mungu akuweke akupe afya njema. Kwaniaba ya wananchi wa Solwa, kweli nakushukuru kwakipekee kabisa. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, fedha za mwaka 2012/2013mpaka sasa hivi tumepata labda asilimia 30 tu natunaingia kwenye quarter hii ya nne tunakwenda bajetiinayokuja. Wasiwasi wangu ni kwamba tunaingia bajetiya mwaka 2013/2014 hii ya mwaka 2012 hatujaipata.Mtindo huu unaendelea kila mwaka tunakosa asilimia20, 25, 30. Sasa kama tuko Bungeni tunapitisha halafufedha haziji, hivi mantiki yake inakuwaje? Ni boratwende na ile actual budget kabisa moja kwa mojatujue kwamba hapa tunafanya na hapa hatufanyi.

Page 97: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

97

Naomba sana fedha zile ambazo tunazipitisha tuzipate.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, Mkoa wa Shinyanga tangutupate Uhuru tumechangia sana kwenye pato la Taifa.Almasi na dhahabu tumeuza sana, Kahama ni nyingi,kwangu Solwa dhahabu kibao kwa kweli tumechangiakweli kweli katika Mkoa wa Shinyanga. Naomba nanawaambiea Serikali kwamba wala hatutaweza kuwana mtindo wa kufanya maandamano na vurugu kamawalivyofanya maeneo mengine. Ni watu wa heshima,lakini sasa mtuone, siyo kama tunashindwa, hapana,mtuone! Mkoa wa Shinyanga sasa hivi hata Airporttunakwenda kupandia Mwanza. Hivi kweli Airporthatuna Mkoa wa Shinyanga na tunachangia kwenyepato la Taifa! Ukisema pato la Taifa la dhahabu ni billionsof billions of money. Tunakosa Airport, tunakosamiundombinu mizuri. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, hebu tuoneni kwa hili.Mheshimiwa Waziri Mkuu lichukue hili tunahitaji Airportsasa kwa Mkoa wa Shinyanga na miundombinuitakayoweza kutusaidia. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, tuliomba kupandishwa hadhikwa barabara ya Solwa - Didia na tumepitisha kwenyevikao vyote husika pamoja na RCC. Naomba sanaWizara ya Ujenzi itusaidie ili kuondokana tatizo hili.Unajua Jimbo la Solwa ni East. Jiografia yake asilimiakaribu 50 ni mbuga tu.

Kwa hiyo utakuta fedha tunazopata kwa ajili yabarabara zetu hazitutoshi. Mnapochukua hizi barabarana siyo tu kuchukua kwa maana kwamba vinakidhivigezo, mnakuwa mnatusaidia ili sisi twende kujengabarabara kwenye maeneo ya Kata zote ili wakulima

Page 98: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

98

waweze kunufaika na mazao yao kuuza vizuri nakupanda kwa bei ya mazao.

Mheshimiwa Spika, kuna tatizo la magari yaNOAH. Tinde, Kahama daladala NOAH zinafanya kazisana. Tumeambiwa zimepigwa marufuku kwambazinaua watu. Hivi zinaua watu vipi? Juzi tu kutoka hukoKusini kuja huku Mjini, mabasi makubwa yaleyamepinduka karibu sita. Ukitazama pikipiki zinaua watuovyo. Hivi zinazoua watu ovyo ni pikipiki, mabasimakubwa au malori au hizi NOAH? Hebu fanyeni utafitikwa sababu zinaajiri watu wengi sana hasa Tinde,Kahama na Shinyanga, zinaajiri watu wengi, vijanawanasafiri haraka.

Naomba hili mlishughulikie vizuri. SUMATRAwamezuia, kulipia TRA wanalipa lakini ikifika barabaraniMatrafiki wanazikamata eti kwamba zimezuiliwa. Mimisioni kabisa mantiki hii. Waziri Mkuu hebu lichukue hili.SUMATRA wanasema wanasubiria maamuzi ya WaziriMkuu na ndivyo wanavyosema. Sasa Waziri Mkuunimelileta, lifanyieni kazi.

Mheshimiwa Spika, mwisho kabisa ni suala laWalimu. Walimu vijijini wapeni incentive kubwa tu,watakaa vizuri tu. Huu mtindo wa kuhamahamaumeanza kupungua. Lakini waongezeeni incentive namatatizo yao yaondolewe, mishahara kidogoiongozewe, wanaokaa vijijini watakaa tu. Bahati nzurisana sisi huku tumeshaanza kujenga nyumba zao zaWalimu, tumeshaanza ku-focus sana kwenye maeneokama haya ili wasiweze kupata matatizo ya kuishi vizurina kufundisha watoto wetu.

Namshukuru sana Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa,Paul Lufunga anafanya kazi nzuri kwenye Mkoa wangu,Mheshimiwa Waziri Mkuu ulifahamu hili.

Page 99: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

99

Namshukuru sana Mkuu wa Wilaya anafanya kazinzuri, namshukuru sana Mkurugenzi, anafanya kazi vizuri,Madiwani wote na hasa hasa Makamu MwenyekitiMheshimiwa Ngasa anafanya kazi nzuri. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hayonasema ahsanteni sana nashukuru sana. (Makofi)

SPIKA: Ahsante. Sasa nimwite Mheshimiwa SaraMsafiri, atamalizia na Mheshimiwa Anastazia Wambura.

MHE. SARA M. ALLY: Mheshimiwa Spika, napendaniende moja kwa moja kwenye uchangiaji.

Mheshimiwa Spika, napenda kuishukuru Serikaliyangu ya Chama cha Mapinduzi kwa kuamua kutumiateknolojia ya kisasa ambayo inarahisisha upimaji waardhi ambao ni wa gharama nafuu na unaochukuamuda mfupi. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, muda mrefu sana kwenyenchi yetu tulikuwa na migogoro ya ardhi. Kunamigogoro kati ya wakulima na wafugaji, kwa mfanoukiangalia kwenye Wilaya za Morogoro hasa Kilombero,Kilosa na Mvomero; kuna migogoro kati ya wawekezajina wananchi. Hii migogoro imepelekea wananchikupoteza imani na Serikali yao waliyoichagua yaChama cha Mapinduzi.

Kwa hiyo, naamini kabisa kwa sababu Serikaliyetu imeamua kupima ardhi ya nchi ili wananchiwatambue maeneo gani ni ya ufugaji, maeneo gani niya kilimo na maeneo gani ya uwekezaji. Ninaamini sasatatizo la migogoro litakuwa limekwisha na walewachache wetu ambao wanaichonganisha Serikali yaCCM na wananchi wake sasa watapatwa na

Page 100: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

100

kigugumizi watashindwa kuwachonganisha tena.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, napenda nimpongeze sanaMkuu wangu wa Mkoa wa Morogoro Mheshimiwa JoelBendera na timu yake ya Wakuu wa Wilaya. Tumekuwana kama miezi minane, viongozi hao wanashinda nakulala porini.

Mheshimiwa Spika, wafugaji wamevamiaKilombero, wafugaji hawataki kufuatilia sera za nchimaeneo ya uwekezaji, wakulima wamebaki yatima,hawana hela, hawana uwezo, chakula cha mifugo nimahindi na mazao yao. Niwapongeze sana zoezi hilolimekwenda vizuri. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, lakini naomba niseme tukwamba kumekuwa na maneno mengi sana ndani yaBunge hili kwamba kuna maeneo ambayo viongoziwakubwa wamekuja wamechukua maeneo kuleKilombero na Mvomero. Mimi nataka niwaambie tuWatanzania wote kupitia Bunge lako.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa na timu yakeameshaanza kutambua yale mapori ambayo tunaitamashamba pori na mapori haya yatakuja kugaiwaupya. Sisi viongozi wa Morogoro hatuangalii pori ni lanani. Mradi pori l imekaa kwa muda mrefu,halijaendelezwa, sisi tutaligawa tu.

Kwa hiyo, niseme tu wote Watanzania mnajuaMkoa wa Morogoro ni ghala la chakula, wale woteambao wanataka kulima na kufanya uwekezaji wakulima, nawakaribisha Morogoro. Tuache kutumiamajungu kusema kuna watu wana maeneo makubwa,sasa muda umefika mashamba pori yatatambuliwa,mje muwekeze mfuate sera za nchi. (Makofi)

Page 101: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

101

Mheshimiwa Spika, naomba niende kwenyemasuala ya uwezeshaji wananchi kiuchumi nanitaongelea Mfuko wa Vijana na Mfuko wa Wanawake.Mfuko huu wa Vijana tangu mwaka 1993 mpaka mwaka2003 ni miaka 20 imepita. Mfuko huu wa Vijanaumetengewa Shilingi bilioni moja tu na vijana wa nchihii asilimia 68 ya Watanzania wote na vijana hawa ndionguvukazi ya nchi. Tunataka vijana hawa walime,wafanye biashara, wafanye uwekezaji wa ainambalimbali, vijana hawa walee watoto na wazee. LakiniMfuko huu hakuna fedha, tutafanyaje sisi vijana?Tutakwenda wapi? (Makofi)

Mheshimiwa Spika, sisi Wabunge, Madiwani naviongozi wote tumezunguka, tumewahamasishawananchi na vijana wajiunge na vikundi vyaujasiriamali, vijana wameitikia wito wamejiunga kwenyevikundi vya ujasiriamali. Lakini fedha hakuna! Tukiendahuko kwenye Majimbo na kwenye Mikoa yetu vijanawanatuuliza, tumeshajiunga; sasa mtatusaidiaje?Vijana wametoka kwenye familia za kimaskini,wanamiliki elimu yao waliyopewa ya ujasiriamali auvyeti vyao vya Vyuo Vikuu tu.

Mheshimiwa Spika, tunaona kwamba kila mwakakuna vijana zaidi ya laki tano wanamaliza elimu ya VyuoVikuu, wameanzisha Makampuni yao, lakiniwanashindwa kushindana na soko la sasa. Mitajiinayotakiwa ni mikubwa, lakini tumeiona Serikali yetuinatenga mabilioni ya fedha, kwa mfano kuna Shilingibilioni 440 zimetengwa kwenda kuwanunulia watuwenye kaya maskini chakula na kuwapa fedha.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, umaskini hautakwishatukiwapa watu hela mkononi. Tuchukue hizi pesatukawape vijana, tuwafanye vijana waweke dhamana

Page 102: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

102

vyeti vyao hivyo walivyomalizia Vyuo Vikuu.Wakopesheke! Tunapata kigugumizi cha nini? Vijanawamekopa hela zetu, kila siku Waziri wa Elimuanalalamika hapa vijana hawarejeshi mikopo yao.Watarudisha na nini? Hela hakuna, wametoka kwenyefamilia duni? Serikali inapeleka pesa kwenye nyumbaza watu maskini huko. Hebu tuangalie jinsi ya kuwasaidiahawa vijana na hawa ndiyo asilimia 68 ya populationya Watanzania. Mimi naomba tuangalie upya sera zetuza uchumi.

Mheshimiwa Spika, tumeona sensa kwa sasaWatanzania ni milioni 45 na hawa wote wanategemeauzalishaji kupitia vijana. Lakini angalia ripoti yamaambukizi ya UKIMWI aliyozindua Mheshimiwa Rais.Vijana kuanzia umri wa miaka 15 mpaka miaka 45 ndiyowaathirika wakubwa wa maambukizi ya UKIMWI.

Ukiangalia ripoti ya mwaka 2012, vijana 20,449wameathirika na madawa ya kulevya. Hawa vijana niwengi na tena ni wale walioripoti kwenye vituo vyamadawa ya kulevya. Vijana hawa wamepotezamatumaini. Tutakuwaje na Taifa lenye vijana wenyemaradhi, vijana wako kwenye umaskini na tunasemakwamba uchumi wetu tuna u-transform kutoka kwenyeuchumi wa sasa na kwenda kwenye uchumiulioendelea. Mimi nadhani kuna haja ya kuangaliaupya hili kundi la vijana tuweze kulisaidia. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, TACAIDS ndiyo waratibuwakubwa wa masuala ya UKIMWI, lakini utashangaaShilingi bilioni 17 za mapambano dhidi ya UKIMWI ni pesaza nje. Tujiulize, vita gani unapigana silaha unaombakwa jirani jamani? Mimi naomba tuwatendee hakiTACAIDS, tuanzishe ule Mfuko wa maambukizi yaUKIMWI, kuwe na pesa za kuwasaidia vijana ambaondiyo waathirika wakubwa. Taifa linateketea. (Makofi)

Page 103: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

103

Mheshimiwa Spika, kuna mfuko unaitwa Mfukowa Wanawake. Huu Mfuko ulianzishwa mwaka 1993 nawewe ndio ulikuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsiana Watoto.

Naomba unisaidie, Mfuko umekwenda wapi? SisiWabunge hatuna sehemu ya kusemea huu Mfuko. SisiWabunge wa Viti Maalum mmetunyima hela zaMajimbo, basi leteni pesa kwenye Mfuko huu waWanawake ili sisi Wabunge wa Viti Maalum tupite kuletukasimamie huo Mfuko. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, jambo la kushangazaukiangalia kwenye Vote ya bajeti kwenye Benki yaWanawake ile Vote ambayo ilikuwa ndiyo ya kupitishapesa ya Mfuko wa Wanawake imekwenda kwenyeBenki ya Wanawake. Imekuaje? Nani ameleta Azimiola kutengua Azimio la Bunge la Kuanzisha Mfuko waWanawake na wewe ulikuwa ni Waziri?

Tunaomba Wabunge wa Viti Maalum tuambiweMfuko huu nani ameufifisha na kwa lengo gani mpakapesa zinapelekwa kwenye nyumba za watu, sasatunashindwa kuziratibu? (Makofi)

Mheshimiwa Spika, Baraza la Mawaziri liliridhiakwenye Baraza Na. 30 la mwaka 1993 kwamba Mfukohuu uendelee, lakini haupo. Maafisa Maendeleo yaJamii wanawakimbia wanawake. Watakwendakuwaambia nini?

Mheshimiwa Spika, tumeelimisha nakuhamasisha wanawake kujiunga na SACCOS.Wanatuambia hela ziko wapi? Nani anapeleka hizohela? Benki ya Wanawake iko Dar es Salaam.Wanawake wa Ulanga, Kilombero, Malinyi, Mvomero,Tandahimba watafikiwa lini na ile Benki? Bora hiyo Benki

Page 104: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

104

ife. Benki imekuwa ya wanawake wa Dar es Salaam tu,wanawake wengine wote Tanzania wamesahaulika.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja. (Makofi)

SPIKA: Haya, ahsante. Sasa namwitaMheshimiwa Anastazia Wambura. (Kicheko)

MHE. ANASTAZIA J. WAMBURA: MheshimiwaSpika, ahsante sana kwa kunipa nafasi ili na mimi niwezekuchangia siku ya leo. Kwanza kabisa, kamawalivyotangulia wenzangu na mimi naomba nitamkekabisa mapema kwamba naunga mkono hoja kwaasilimia mia moja. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, niende moja kwa mojakwenye Malengo ya Milenia, lengo namba 1, 4, 5 namuda ukiruhusu naweza nikagusia lengo Na. 6.

Mheshimiwa Spika, lengo namba moja, sehemuya umaskini uliokithiri, ambalo linatutaka kupunguza kwaasilimia 50 umaskini ulikithiri kufikia mwaka 2015. Hii nichangamoto kubwa sana na hasa ukizingatia kwambahadi mwaka 2007 takwimu zinatuonyesha wazi kwambaWatanzania ambao wanapata kipato cha chini ya dolamoja ilikuwa ni asilimia 33.6 na wengi wao wakiwa vijijiniambao ni asilimia 74.

Mheshimiwa Spika, napata shida sana na hilisuala. Najiuliza, hivi huko vijijini kuna tatazo gani hadiwananchi wengi kiasi hiki wapate shida? Kwa sababukilimo kiko vijijini, mifugo iko vijijini, huduma za chakulazote tunapata vijijini. Lakini ukija kuangalia barabaramijini, maji mijini, afya mijini, umeme mijini mpaka Ofisiza Halmashauri za Wilaya za Vijijini ziko mijini. HiviMKUKUTA unawasaidiaje wanachi wa vijijini? Naiomba

Page 105: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

105

Serikali sasa ielekeze nguvu zake za MKUKUTA katikamaeneo ya vijijini ili tuweze kupunguza umaskini huu wakipato Tanzania. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, malengo Na. 4 na Na. 5ambayo nayo yanatutaka tupunguze vifo vya watotowa chini ya miaka mitano kwa theluthi mbili itakapofikamwaka 2015 na vifo vya uzazi kwa robo tatu itakapofikiamwaka 2015. Kwa mujibu wa takwimu, ukiangaliautaona kwamba vifo vya watoto vinapungua natunaambiwa kwamba vinapungua kwa kasiinayoridhisha. Lakini vifo vya akina mama vinapunguana watafiti wetu wanatuambia kasi ya kupungua kwavifo hivi hairidhishi. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, lakini zipo tafiti piazinazoonyesha kwamba hii hali ya kupungua kwa vifovya watoto pamoja na akina mama siyo hali halisiambayo inajionyesha katika maeneo mengi ya nchiyetu. Naomba nitaje mfano mmojawapo na huuunatoka katika kitabu cha Tanzania Human RightsReports 2010, ukurasa wa 16.

Katika maelezo ya hawa watafiti tunaambiwakwamba inaonekana katika Hospitali ya Mkoa wa yaLigula kulikuwa na ongezeko la vifo vya uzazi kutoka189 kati ya vizazi 100,000 mwaka 2004 hadi 258 kwa vizazi100,000 mwaka 2008. Kwa hiyo, utaona kwamba hii halihalisi inapingana kabisa na takwimu ambazotunaambiwa kwamba vifo vya uzazi vinapungua. Kwamujibu wa utafiti tunaambiwa kwamba sababu kubwaza vifo hivi ni ukosefu au uhaba wa wataalam lakini piani ukosefu wa tiba za dharura au emergence treatment.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, vilevile katika kitabu chaPoverty and Human Development Report 2007 ukurasa

Page 106: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

106

wa 33, tunaambiwa kwamba vifo vya watoto chini yamiaka mitano kwa Mikoa ya Lindi na Mtwara viko juumara tatu hadi nne ikilinganishwa na Mikoa ya Arushana Kilimanjaro. Watafiti hawa wanashauri kwambahuduma nyingi au nguvu nyingi za Serikali zielekezwekatika maeneo haya yenye matatizo makubwa.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, nachukua nafasi hii kuiombasana Serikali izingatie ushauri huu wa wataalam kwasababu wametumia fedha za wananchi kufanya utafiti.Kwa hiyo, tunapopuuza ushauri wao ina maanakwamba pia tumeharibu fedha za wananchi. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, cha kujiuliza zaidi, kila mwakatunapanga bajeti kwa ajili ya kusaidia matatizo ya afya.Lakini: Je, ni kiasi gani kinakwenda kusaidia akina mamana watoto? Naomba Waheshimiwa Wabungewenzangu, tuhakikishe kwamba hili tatizo linafikamwisho wake na litakapofika 2015, basi kweli tuwetumepunguza vifo hivi vya akina mama na watoto kwakiwango ambacho kinatakiwa. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, nijielekeze sasa kwenyemaeneo ya Mkoa wa Mtwara, maeneo machacheambayo nilipata taarifa zake kwa kufika mwenyewemwezi Januari mwaka huu, 2013. Mahuta Tandahimba,ni Kata ambayo ina Kituo cha Afya, tunaishukuru sanaSerikali na wananchi wanaishukuru sana Serikali. Kituocha Afya kimejengwa vizuri sana, kina nyumba yaDaktari na kina-theater. Lakini tatizo ni kwamba wanaishipopo. Hakuna wataalam! Naomba wataalamwapelekwe katika Kituo cha Afya cha MahutaTandahimba, Mahuta.

Mheshimiwa Spika, lakini pia kuna Kata moja yaKwanyama huko huko Tandahimba, huduma za afya

Page 107: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

107

wanazipata katika Kata ya Namikupa. Ni mlima mrefusana, kilomita 27 akina mama wajawazito hawawezikupanda ule mlima. Kwa hiyo, wanalazimika wengikujifungulia nyumbani na wengi wanapoteza maisha.Naomba Ofisi ya Mheshimiwa Waziri Mkuu iliangalie kwakaribu sana hili suala la kupeleka Kituo cha Afya katikaKata ya Kwanyama.

Mheshimiwa Spika, mwezi huo huo Januarikulikuwa na taarifa kwamba katika Hospitali yaTandahimba hakukuwa na fungu la vifaa tiba mpakakufikia mwezi Desemba kwa miaka mitano, na akinamama wanalazimika kununua vifaa tiba katika madukaya madawa. Naiomba Serikali izingatie kupeleka vifaatiba kwa wakati.

Vilevile Hospitali ya Ligula. Ultra Sound machineambayo iko kwenye labour ward Ligula pale inatumikana wagonjwa wote kiasi kwamba akina mamawajawazito wanachelewa kupimwa na inapelekeakupoteza maisha au watoto wachanga kufariki. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, nimalizie kwa lengo la MileniaNa. 7 ambalo linahitaji tuhifadhi mazingira na kipimokimojawapo ni kupunguza matumizi ya mkaa na kuni.Mkoa wa Mtwara sasa hivi umeamka. Kuna maendeleomakubwa ya utafiti wa gesi na mafuta na viwanda, kwamfano kiwanda cha Dangote, na akina mama wengiwanajitokeza kufanya shughuli za lishe. Hii inaonyeshakwamba mahitaji ya mkaa yataongezeka sana. Akinamama wale wamenituma, Serikali iwakopeshe majikoya gesi na mitungi ya gesi ili kupunguza matatizo yauharibifu wa mazingira katokana na matumizi ya mkaana kuni. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, nimalizie kwa kuiomba Serikalisasa iandae mechanism ambayo itawezesha kupima

Page 108: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

108

vizuri utekelezaji wa malengo ya milenia ili kusudiitakapofika 2015 tuweze kujua ni kiasi gani tumewezakuyatekeleza. Lakini baadaye tena nitachangia kwamaandishi mambo mengi ambayo tumeyapata kutokakatika kongamano ambalo limefanyika mwisho wa wikihii. Akina mama wana kilio kikubwa sana kwenyemaeneo ya maji. Kuna mambo yanayotisha sana,sehemu za afya, elimu, kilimo; wananyanyasika nanitachangia kwa maandishi. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, naomba kuunga mkono hoja.(Makofi)

MICHANGO KWA MAANDISHI

MHE. CHRISTOPHER O. OLE SENDEKA:Mheshimiwa Spika, nianze kwa kumpongezaMheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja naMawaziri na Watendaji wanaomsaidia katika ofisi yakekwa kazi nzuri wanayoifanya.

Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufulitakumbuka tatizo kubwa linalowakabili wananchi waSimanjiro la ukosefu wa maji kwa ajili ya watu na mifugoyao.

Naomba Serikali sasa itueleze ufumbuzi wamabishano ya nani atatekeleza mradi wa maji kutokaMto Pangani na Ruvu kwenda Orkesument (MakaoMakuu ya Wilaya ya Semanjiro). Haiingii akilini kuachakuchukua fedha kwa mtu mwenye fedha mkononibadala yake tunaambiwa tusubiri BADEA i lhaliinaeleweka kuwa kwa wakati huu hawana fedha.

Naomba Waziri Mkuu atukutanishe na Wizara yaMaji na Hazina ili tujue tatizo liko wapi.

Page 109: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

109

Mheshimiwa Spika, suala la pili, naomba Serikaliimalize mchakato wa kugawa eneo la Kitalu C kwenyemachimbo ya madini ya Vito (Tanzanite) Mererani.Aidha, nashauri ubia uwe kati ya mwekezaji naHalmashauri ya Wilaya ya Simanjiro kupitia kampuniyake. Nampongeza Waziri wa Nishati na Madini kwauwelewa na dhamira yake njema katika suala hili.

Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Simanjiro katikamsimu huu wa mvua tumepata mvua kubwailiyopelekea kubomoka kwa mabwawayanayotegemewa na wananchi kiasi kwambanawasilisha maombi ya fedha za dharura za kukarabatimabwawa haya. Mabwawa yaliyoathiriwa na mvua nipamoja na Bwawa la Laangai, Bwawa la Irperera laKijiji cha Lerumo, Bwawa la Lengumuma la Kijiji chaLerumo, Bwawa la Narakano kijiji cha Narakamo nakukarabati Bwawa la Leramo.

Mheshimiwa Spika, itakumbukwa kuwa kwamiaka miwili mfululizo Wilaya il itengewa sh.1,800,000,000/= kwenye bajeti bila kupelekewa hatashilingi moja. Naomba niikumbushe Serikali wakati waziara ya Rais 2010, aliahidi kuwa mwezi unaofuata fedhahizo zitakuwa zimefika Simanjiro ili kupunguza makali yaukosefu wa maji Wilayani Simanjiro. Swali langu Serikaliitatuondolea lini kero hii?

Mheshimiwa Spika, barabara ya KIA-Mereranini ahadi ya muda mrefu ya Serikali ya awamu ya tatuna awamu hii pia. Madhali zabuni ya barabara hiiimekwishatangazwa na kufunguliwa, nashauri sasaMkandarasi apewe fedha ili kazi ianze haraka.

Mheshimiwa Spika, naomba nimkumbusheWaziri Mkuu kuwa, wananchi wa Simanjiro wanasubirikifuta machozi na fidia ya mifugo yao iliyokufa wakati

Page 110: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

110

wa ukame kama ilivyofanywa Wilaya ya Monduli,Longido na Ngorongoro. Naomba mtukumbuke.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. MARIAM N. KISANGI: Mheshimiwa Spika,natambua kazi kubwa zinazofanywa na ofisi ya WaziriMkuu, lakini ningependa nipate ufafanuzi wa masualayafuatayo:-

Mheshimiwa Spika, Mkoa wa Dar es Salaam unaidadi kubwa ya watu takribani 4.3 milioni, lakini Mkoahuu una Wilaya tatu tu na Mikoa mingine ina idadindogo ya watu, lakini Wilaya zake ni nyingi.

Mheshimiwa Spika, iwapo Wizara ya Mambo yaNdani wameweka Dar es Salaam kuwa kanda maalumna Wilaya zote kutambua kama Mikoa. Wizara ya Nishatina Madini (TANESCO) nao wamefuata mfumo wakutambua Wilaya kama Mikoa, Wizara ya Fedha (TRA)pia wamefuata mfumo huo huo. Je, iweje leo Serikaliza Mitaa na Tawala za Mikoa zisikate shauri Wilaya tatukuwa Mikoa na kuongeza Wilaya nyingine kupata ufanisina utendaji wa kazi ulio bora. Lakini iwapo Mikoaitashindikana basi Mkoa wa Dar es Salaam uongezweWilaya na Majimbo yote yawe ni Wilaya.

Mheshimiwa Spika, idadi ya watu imeongezekalakini bajeti za fedha za Mkoa kasma ni ile ile. Mkuu waMkoa wa Dar es Salaam ambao ni Kanda Maalum naWakuu wake wa Wilaya, je, wanapewa posho aumshahara maalum unaoendana na kazi kubwawaliyonayo na idadi kubwa ya watu walionao na wingiwa matukio ya mlipuko yanayojitokeza waliyonayo?

Mheshimiwa Spika, napenda nitumie nafasi hiitena kuomba kupata maelezo jinsi gani Serikali

Page 111: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

111

itausaidia Mkoa wa Dar es Salaam katika mpangomzima wa uboreshaji wa barabara miundombinu yamaji taka na maji safi katika Mkoa wa Dar es Salaam.Hali ni mbaya sana maji machafu yamezagaa mitaani.

Mheshimiwa Spika, naomba Ofisi ya Waziri Mkuu,iwaangalie wananchi wa Kata ya Kwembe, eneo laMloganzila bado kuna mgogoro wa wananchi naSerikali, utatuliwe tupate maendeleo.

Mheshimiwa Spika, fidia kwa wananchiwaliobomolewa nyumba zao kupisha ujenzi wabarabara. Wataalam wanakwenda kuhakiki na kufanyautafiti ikiwemo na Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi,taarifa imeonesha wazi wananchi wale walistahili fidiakwa mujibu wa sheria kwani barabara imewafuata nawalifanyiwa tathimini badala yake walilipwa wachachena wengine walilipwa matapeli si wenye nyumba husikana wengine waligundulika na hata fedha hawakuwahikuzichukua kabisa majina yao hayajasainiwa. Je, fedhahizo zimekwenda wapi na zimewekwa akaunti gani? JeSerikali inafikiria nini kuhusu wananchi hao.

Mheshimiwa Spika, naomba Serikali itoe maelezoya kina kwani Vyama vya Siasa ndio agenda yao kuuMbagala, Mtoni na Kongowe kwamba, Serikaliimewadhulumu, hali ambayo inaweza kuletamachafuko na ukosefu wa amani.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja mia kwamia na kuitakia mafanikio mema Ofisi ya Waziri Mkuuna bajeti njema 2013/2014.

MHE. MAIDA HAMAD ABDALLAH: MheshimiwaSpika, naanza na barabara za vijijini na vituo vya afya.Kwa namna ya pekee, naipongeza sana Serikali kwakuendelea kujenga barabara na kufanya ukarabati pia

Page 112: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

112

ujenzi wa zahanati. Ujenzi huu utachangia kwa kiasikikubwa kuongeza kasi ya huduma muhimu zawananchi hasa wale walio vijijini.

Mheshimiwa Spika, suala hili mara nyingi Serikaliimekuwa ikiwashirikisha wananchi kuchangia ujenzi aukuwataka wananchi kuchangia ujenzi kupita nguvu zaowenyewe kwanza, baadaye ndiyo Serikali inatoa fedhakwa ajili ya uendelezaji.

Mheshimiwa Spika, la kusikitisha ni kwamba kunabaadhi ya vijiji wameamua kujitolea nguvu zao kwakuanzisha majengo kama hayo kutokana nawanavyopata tabu ya kufuata vituo vya afya masafamarefu sana. Serikali huchukua karibuni miaka mitatukwa kufanya uchelewashaji wa kuvifungua na kuwekawahudumu wa afya kwa mantiki ya kusajiliwa.

Mheshimiwa Spika, hivi ni kwa nini Serikaliimeweka utaratibu wa namna hiyo wakati katikakuendeleza ujenzi wa vituo hivyo, Serikali inatoamichango yake ya kifedha.

Mheshimiwa Spika, kuhusu sekta ya elimu nchini,Watanzania walio wengi tumeguswa sana na kitendocha wanafunzi wa kidato cha nne kufeli kwa kiwangokikubwa.

Suala hili ingawa Serikali imeshaunda Tume ilikuchunguza suala hili, lakini pamoja na kuunda Tumehiyo, naomba nieleze kwamba, ingawa kuna baadhiya wanafunzi wanafanya vibaya mitihani yao lakinitusibweteke na hilo pia wapo Walimu wanaochangiakwa kiasi kikubwa kutofaulu wanafunzi kwa madaikwamba kiasi cha fedha wanacholipwa na Serikaliyaani mishahara ni midogo mno haifanani na ngazi zao,au kazi wanazozifanya.

Page 113: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

113

Mheshimiwa Spika, pili Walimu hao hujifanyakutokuwa na muda mzuri wa kufundisha darasani kamainavyostahili na badala yake Mwalimu anapoingiadarasani hachukui muda hutoka na kwenda kwenyemazungumzo au haingii darasani na kusema wanafunziwanasumbua au ni wengi darasani.

Mheshimiwa Spika, Walimu kutumia muda wamakusanyo ya fedha za maboresho kinyume nautaratibu.

Mheshimiwa Spika, michango isiyofahamikakisheria shuleni kwa kuwachangisha wanafunzi darasanikila mwezi kwa kisingizio cha kulipa mshahara wa walinziwa shule.

Mheshimiwa Spika, naomba niulize shuleni kunawanafunzi 300 kila darasani michango inayotozwa nikiwango cha shilingi 1,200/= kila mwanafunzi kwa mwezi,mbali ya fedha hizo, sh. 500 kila mwanafunzi zamaboresho, hivi kwa shule yenye vyumba 15. Walimuhao wanakusanya hela kiasi gani na wanafunzi na mlinziwanamlipa kiasi gani? Huu si utaratibu mzuri ni vyemawakaainisha fedha hiyo inakwenda wapi? Hatatungeambiwa kama inajengwa au inafanyiwaukarabati basi tungeridhika lakini mlinzi.

Mheshimiwa Spika, kuhusu UKIMWI, niungane namaoni ya Kamati kwa kuitaka Serikali kuanzisha Mfukowa UKIMWI nchini, utasaidia kwa kiwango kikubwa nahata wale wafadhili waliojitoa wanaweza kuonakwamba sasa ipo haja ya kuendelea kuchangia kamailivyokuwa hapo zamani.

Mheshimiwa Spika, pamoja na kuanzishwa Mfukohuo, Serikali nayo iweke usimamizi ulio bora wa matumiziya fedha za Mfuko huo.

Page 114: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

114

Mheshimiwa Spika, kuhusu madawa ya kulevya,Serikali inafahamu kwamba, kuna changamoto kubwakwa watumishi wa Tume ya Kudhibiti Madawa yaKulevya kwamba baadhi ya wakati palewanapokamata madawa, mpaka kufikia katikavyombo vya sheria, madawa yale hubadilika na kuwakitu kingine. Hivyo, hupelekea watumishi hao kuwawanyonge na kuona kwamba kazi wanayoifanya hainatija mara nyingine kutokuwa na imani na kaziwanayoifanya.

Mheshimiwa Spika, kwa maana hiyo, basinaiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kuleta sheriaBungeni itakavyowapa Tume mamlaka ya kukamatawenyewe na kuwapeleka Mahakamani watuhumiwayaani wapewe mamlaka kama waliyopewa TAKUKURU.Hili litasaidia kwa kiwango kikubwa kuonekana matundakwa kazi wanayoifanya.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. PROF. KULIKOYELA K. KAHIGI: MheshimiwaSpika, katika mchango huu nitajielekeza kwenyematatizo mbalimbali yanayolikabili Jimbo la Bukombe.

Mheshimiwa Spika, sekta ya elimu badoinakabiliwa na matatizo lukuki, kuna upungufu waWalimu katika shule za msingi na sekondari, kunaupungufu wa vyumba vya madarasa, nyumba zaWalimu (shule nyingine hazina nyumba hata moja),shule nyingi za msingi hazina matundu ya vyoo yakutosha, tatizo la madawati ni kubwa, kuna upungufuwa takriban madawati 9,000. Ari ya Walimu imeshukasana kutokana na Serikali kutosikiliza madai yaombalimbali ambayo ni pamoja na kuboreshwamazingira ya kufanyia kazi.

Page 115: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

115

Mheshimiwa Spika, katika shule zote tatizo la vifaa(vitabu na kadhalika) ni kubwa, katika shule za sekondarikuna tatizo la maabara. Zipo zile ambazo hazinavyumba vya maabara na zile zenye vyumba hivyo,hazina vifaa.

Mheshimiwa Spika, swali, Serikali ina mpangogani wa kusaidia kutatua matatizo hayo yahusuyo:-

Vyumba vya maabara, vifaa vya maabarakatika shule za sekondari, vyumba vya madarasa,nyumba za Walimu. Inafaa Serikali ijitahidi ichangiekatika maeneo hayo, wananchi wakiachiwahawataweza kwa sababu uwezo wao kifedha nimdogo.

Mheshimiwa Spika, kuhusu afya, hali ya hospitaliya Wilaya ni mbaya, malalamiko ya wananchi kuhusuhali hiyo ni mengi. Tatizo ni la siku nyingi na hata mwakajana nililisemea.

Matatizo makubwa ni kwamba, hakuna dawa,huduma ni mbovu, wagonjwa wanalalamika kuwahuchelewa kuhudumiwa, kuna rushwa, uongozi nimbovu, Mganga Mkuu na wasaidizi wakewanalalamikiwa kwa muda mrefu, lakini hatuazimechelewa kuchukuliwa na watumishi wana kaulimbaya.

Mheshimiwa Spika, swali, Serikali lini inachukuahatua za kubadilisha uongozi wa hospitali ili hali yahospitali iwe na mabadiliko chanya?

Mheshimiwa Spika, kuhusu maji; maeneo mengiya Wilaya ya Bukombe hayana maji safi na salama.Matatizo yaliyopo ni hakuna Bodi ya Maji; fedhainapotengwa (ya wafadhili au ya ndani) inadaiwa

Page 116: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

116

mchakato wa wazabuni huingiliwa na ufisadi wa asilimiakumi kutoka kwa Mkuu wa Idara hivyo, miradi haikamiliki.

Mheshimiwa Spika, inashangaza kwamba, fedhazinapotengwa kwa mradi mfano mradi wa kilimahewamradi hautekelezwi kwa taarifa kwamba uko nje yawakati na fedha inarudishwa Hazina.

Mheshimiwa Spika, mwaka jana fedha ya mradiwa maji Kil imahewa il ibadilishwa matumizi nakuhamishiwa kwenye mradi wa umwagiliaji waBugelenga bila kibali cha Waziri mwenye dhamana. Je,huu si ukiukaji wa taratibu?

Mheshimiwa Spika, kuhusu suala la ardhi; idaraya ardhi ni kichocheo kikubwa cha migogoro baina yawananchi na Serikali. Afisa Mipango Miji na maafisawengine ni tatizo kubwa kwani wanapima maeneo nakuyauza bila kufuata taratibu. Serikali iitupie jicho idarahii.

Mheshimiwa Spika, kuhusu makusanyo yamaduhuli; watendaji wahusika hawana mpangomadhubuti wa ukusanyaji kodi. Hadi sasa ni 20% yamakusanyo yaliyotarajiwa kukusanywa ndiyoyaliyokusanywa. Kwa kasi hii mipango karibu yoteitategemea fedha ya Serikali Kuu. Halmashauri isaidiwewataalam wenye weledi wa ukusanyaji wa maduhuli ilimapato ya Halmashauri yaongezeke.

Mheshimiwa Spika, barabara kwa ujumla;barabara za vijijini haziridhishi, nyingine ni mbovu sana,ila matatizo makubwa yako katika maeneo yafuatayo:-

Barabara kutoka Namonge hadi Iyamchele,kunahitajika daraja la uhakika kwenye Mto Mlele.

Page 117: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

117

Daraja kati ya Busonzo na Nakayenze, Daraja kati yaMsonga na Ludeba.

MHE. OMARI R. NUNDU: Mheshimiwa Spika,naishukuru na kuipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu kwajitihada za kutekeleza ahadi za CCM zilizoko katika Ilaniyake. Serikali Kuu na watendaji wake wakuu yaani DCna RC inafanya kazi nzuri.

Wilayani Tanga barabara ya Tanga – Horohoroimekamilika na kuzinduliwa tarehe 13/4/2013, hospitaliya Wilaya inajengwa na kadhalika. Naomba mkazouwekwe katika kuimalizia ujenzi hospitali hii na pia ujenziwa barabara ya Tanga- Pangani.

Mheshimiwa Spika, hata hivyo, utendaji waHalmashauri ya Jiji hauridhishi. Matatizo ni mengikuyataja yote hapa, lakini yapo.

Ushauri wangu, Wizara iunde Kamati yakuchunguza na kutafutia utatuzi wa matatizo yaHalmashauri hii kama uthibitisho kwa Halmashaurinyingine Madiwani wote wa CCM wako tayarikushirikiana na Kamati hiyo.

Mheshimiwa Spika, nashauri Mfuko wa Uwekezajiwa PPP uharakishwe. Ukurasa wa 22 wa hotuba ya WaziriMkuu bado inaongelea matayarisho ya uwekezaji chiniya PPP. Miaka mitatu sasa tangu Sheria ya PPP ipitishwena Bunge lako.

Kwa mwenendo huu hatutafaidika kikamilifu kwamfumo huu wa PPP.

Mheshimiwa Spika, amani ya nchi yetuinavurugwa na mambo mengi ya kijamii, ya kikabila naya kidini. Serikali sio tu ikemee bali ishughulikiekukomesha kabisa na kwa nguvu zote:-

Page 118: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

118

(a) Uuaji wa wenye ugonjwa wa ngozi;

(b) Uuaji wa wezi wadogowadogo kwawananchi kujichukulia sheria mikononi mwao; na

(c) Chokochoko za kidini ambapo zinaibukadini mpya ambazo zinaingilia taratibu za ibada za dininyingine, kwa mfano muadhini wa kiislamu kwa swalaya alfajiri anaingiliwa na hotuba ya cassette ya diniisiyojulikana ambayo inahakikisha kukashifu waitwaomisikitini na kujitahidi adhana isiwafikie waumini wa diniya kiislamu kikamilifu.

Mheshimiwa Spika, rushwa imeongelewa kwenyeukurasa wa 70 wa hotuba ya Waziri Mkuu kwaparagraph moja tu. Rushwa ni janga la Taifa, rushwa niadui pekee wa Taifa letu, kuichukia rushwa haitoshi nakupiga kelele kuhusu rushwa haivitoshi. Serikali katikangazi ya juu sana itabidi ionyshe kwa vitendo vya dhatikulishughulikia tatizo hili kama kipaumbele cha kwanzana kama adui wa pekee kwa sasa kwa maendeleoyetu.

Mheshimiwa Spika, naomba uthibitisho kamilikutoka kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu kuwa Serikaliinaichukulia rushwa kuwa ndiyo adui wetu wa kwanza.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. MARIAM N. KISANGI: Mheshimiwa Spika,Serikali iongeze bajeti ya uendeshaji wa hospitali zaTemeke, Amana na Mwananyamala kwani hospitalizimepandishwa hadhi lakini bajeti ni ile ile tu. TunaombaSerikali iangalie bajeti hiyo na umuhimu wa hudumainayotolewa.

Mheshimiwa Spika, idadi ya watoto wanaozaliwakatika hospitali hizi ni 13,000 kwa kila miezi mitatu, idadi

Page 119: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

119

hiyo ni kubwa na huduma inayotakiwa kutolewa nikubwa, vifaa vinavyotakiwa ni vingi, hivyo tuongezewefedha za uendeshaji wa hospitali na hasa Kitengo chaAfya ya Mama na Mtoto.

Mheshimiwa Spika, madeni ya Walimu nawatendaji wa Serikali yafanyiwe kazi ya kulipwa, lakinipia Serikali isimamie madeni mengine yasiongezekekwa makusudi.

Mheshimiwa Spika, Walimu walipwe fedha zalikizo kwa wakati na promotion zao kwa wakati,Wakurugenzi wasirundike madeni.

Mheshimiwa Spika, kuhusu fedha za uhamishokwa wafanyakazi, kama Serikali haina fedha isitoeuhamisho, wanaongeza madeni kwa Serikali.

Mheshimiwa Spika, utendaji wa Serikali katikaWizara; Mawaziri na Manaibu wasaidiwe kazi kwanimambo mengine ni madogo madogo, lakiniunakwenda Wizarani mpaka ukutane na Waziri auNaibu, idara za Serikali ziwajibike na ziwe na majibukwani idara hizi zingefanya vizuri kwa kuwa Wizara nyingizingepungua, lakini mara nyingi majibu hakuna au yausumbufu mkubwa (mabadiliko ni muhimu).

Mheshimiwa Spika, mbona bajeti hazitekelezeki,barabara zilizopitishwa bajeti ya mwaka jana badohazijajengwa kabisa na hatujui nini kimetokea mfanobarabara ya Kawawa ilipitisha na fidia zake mpaka sasafidia imetolewa kwa wachache tu na sioni mwendelezo.Barabara ya Nzasa- Kilungule- Buza, kipandekimewekwa kifusi cha mawe hakuna kinachoendelea.

Mheshimiwa Spika, ujenzi wa barabara Jijini Dares Slaam umezusha changamoto nyingi kwa wananchi.

Page 120: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

120

Tunaomba Wakandarasi wawe makini, mafurikoyamekuwa makubwa na tunahatarisha maisha yawakazi katika maeneo ya Magomeni, Manzese mpakaKimara.

Mheshimiwa Spika, nimalizie kwa kuishauri Serikaliyangu sikivu ya Chama cha Mapinduzi. Suala zima laujenzi wa barabara. Serikali inajitahidi sana kutoa fedhakwa ujenzi wa barabara, fedha ni nyingi zinatumika lakinibarabara zinazojengwa sio imara. Kwa kwelitunachakachukuliwa na wakandarasi mbona barabaraza China na Japan ni nzuri sana na wakandarasi wanje wanatoka huko?

Mheshimiwa Spika, tunahitaji operationkabambe na utafiti kuona fedha zinazotolewa nabarabara zinazojengwa ni sahihi? Ikiwezekana WaziriMkuu aunde Tume ya Kuchunguza Barabara.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. KOMBO KHAMIS KOMBO: MheshimiwaSpika, ukurasa wa 14 katika hotuba ya Waziri Mkuukumezungumziwa suala la Muungano wa Tanganyikana Zanzibar.

Mheshimiwa Spika, hivyo baada ya viongozikukaa na kujadili ni namna gani na njia zipi ambazozitaweza kuuboresha Muungano, wako wale ambaowameanza kuupiga mateke bila ya kuzingatia kasoroambazo zimo kwenye Muungano wenyewe.

Mheshimiwa Spika, tatizo la Muungano wetu nimuundo wenyewe wa Muungano wetu wa Tanganyikana Zanzibar juu ya kutozingatia maamuzi ya wananchiwa pande mbili za Muungano. Hata hivyo, ni matumainiyangu kwamba, kwa kuwa tunaelekea kwenye Bunge

Page 121: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

121

la Katiba mwezi Novemba mwaka huu na baadayekuelekea kwenye kura ya maoni maamuzi ya wananchijuu ya mfumo gani wa Muungano wanaoutakautapatikana. Huo utakuwa ni Muungano wa nchi nanchi, Muungano wa watu na watu na wala sioMuungano wa nchi moja wala mtu na mtu.

Mheshimiwa Spika, licha ya kwamba waasisi waMuungano huu wa Tanganyika na Zanzibar hawakuwawapumbavu wala wenye akili taahira hawakujuawanalolifanya, waasisi wa Muungano huu walielewaukubwa wa Tanganyika na pia udogo wa Zanzibar.Waasisi wa Muungano huu walijua pia uwepo wa idadikubwa ya watu walioko Tanganyika na idadi ndogo yawatu walioko Zanzibar, lakini leo anapotokea mtu auwatu wakatumia vyombo vya habari au hata Bungelako Tukufu kuwakejeli, kuwafedhuli, kuwakebehi nakuwadharau Wazanzibari na Zanzibar kwa sababu yaidadi yao ndogo au kwa sababu ya udogo wa eneo,huo ni umamluki ambao unatumiwa kuvurugaMuungano na pia ni upungufu wa akili wa kutofahamukwamba Muungano huu ni wa nchi mbili huru. Ni budiwatu wa aina hii wakemewe kwani wanatengenezamgogoro mwingine wa Muungano.

Mheshimiwa Spika, suala zima la kero zaMuungano halijatolewa ufafanuzi ni kwa kiasi gani kerohizo zimepatiwa ufumbuzi unaofaa. Tunaombatupatiwe maelezo ni kwa kiasi gani SMT imekubalikuiachia Zanzibar masuala yake ya Mafuta na Gesikama ambavyo tumelidai ili kukuza uchumi wa Zanzibar.

Mheshimiwa Spika, suala la mazungumzo yautatuzi wa kero za Muungano yamekuwa ya mudamrefu kwa nini mazungumzo hayo hayatoi suluhisho namara nyingi majibu yake yanafunikwa funikwa.

Page 122: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

122

Mheshimiwa Spika, kuhusu suala la ugaidi;kumetokea hujuma nyingi na hata mauaji upande waTanzania Bara na upande wa Tanzania Visiwani. Mfanohujuma aliyofanyiwa Dokta Ulimboka, Mwandishi waHabari Kibanda, hujuma aliyofanyiwa Sheikh ShazilSoraga, mauaji yaliyofanyika ya RPC yaliyotokeaMwanza, yote haya hayajawahi kutolewa kauli hata sikumoja na Waziri yeyote kwa Tanzania Bara au Tanzaniaina mtandao wa ugaidi, lakini tukio la kifo cha Padri kuleZanzibar, Waziri alithubutu kutoa kauli kwamba Zanzibarina ugaidi, kuna tofauti gani kati ya aliyofanyiwa RPCMwanza na yale aliyofanyiwa Padri Zanzibar.

Hivyo kweli ndugu zetu washirika wa Muunganowetu mnapotoa kauli kama hizo kutaka kuiangamizaZanzibar kiuchumi na kimaendeleo na kutafuta namnaya kuikosesha misaada kwa jumuiya za Kimataifamnakuwa na malengo gani? Hivyo, Wazanzibaritutaamini kiasi gani kama ndugu zetu mnajenga amanina imani dhidi ya Zanzibar na Wazanzibari.

Mheshimiwa Spika, kuhusu kilimo kwanza, sera hiiimefeli kwa asilimia mia moja, hivyo ili kufikia malengoya angalau asilimia hamsini, basi kwanza tuimarishevyanzo vya maji, tuweke tamko la sera ya maji kwanza.

Mheshimiwa Spika, asilimia 70% ya wakulimawetu wanalima kwa kutumia vijembe vya mkono, kilimoambacho hakina tija. Walioasisi sera ya kilimo kwanzahawakufanya utafiti wa kina kwani hawakuangaliazana zinazotumika katika kukuza kilimo nchini.

Mheshimiwa Spika, endapo Tanzania itaanzishasera ya maji kwanza, ikubali kujenga mabwawa ya kinakirefu yatakayoweza kuhifadhi maji kwa wingi jamboambalo litaleta maendeleo ya uhakika. Sera hii italetamaji ya uhakika mijini na vijijini. Itasaidia kupatikana

Page 123: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

123

umeme wa uhakika, tutakuwa na utunzaji bora wa miji,tutakuwa na utunzaji bora wa mazingira mijini na vijijini,tutaweza kusimamia kilimo bora na cha kisasa lakinikatika hili ni lazima na zana za kilimo ziwe za kisasa.Tutakuza na kuboresha uoto wa kijani uliopo nchinimwetu ambao utaboresha misitu na kuweza kuvutiawatalii na kuliongezea mapato Taifa la Tanzania.

MHE. FELIX F. MKOSAMALI: Mheshimiwa Spika,napenda kuiomba Ofisi ya Waziri Mkuu mamboyafuatayo:-

Mheshimiwa Spika, umeme Wilayani kibondo,napenda kuiomba Serikali ipeleke umeme katika Tarafaya Mabamba yenye wananchi zaidi ya 150,000 wenyeuwezo wa kutumia umeme. Pia eneo hili ni muhimu kwauchumi wa Taifa kwani biashara za Kimataifa hufanyikahapo kati ya Tanzania na Burundi.

Mheshimiwa Spika, pia kuna sababu zote zakupeleka umeme huko kwani Wizara ya Ujenzi imetegapia fedha za usanifu wa barabara ya kwenda huko.Naomba sana sana kwa umuhimu wa eneo hilokiuchumi, kihuduma na kibiashara tupeleke umeme.

Mheshimiwa Spika, barabara Wilayani Kibondo;Mheshimiwa Rais aliahidi ujenzi wa barabara za lamiKibondo Mjini na ahadi hii iko kwenye kitabu cha orodhaya ahadi za Mheshimiwa Rais. Pili, ni barabara yaNyakanazi, Kibondo hadi Kidahwe yenye urefu wakilomita 310. Hizi barabara ndio msingi wa uchumi waMkoa wa Kigoma kwani inaunganisha Wilaya naMajimbo yote Mkoani Kigoma na kadhalika.

Pia kiungo cha nchi za Burundi, Rwanda, Kongona kadhalika.

Page 124: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

124

Mheshimiwa Spika, elimu Wilayani Kibondoinashuka na ni ndio Wilaya ya mwisho Mkoa wa Kigoma.

Mheshimiwa Spika, shule ya sekondari Kibondo,shule hii ni miongoni mwa shule maalum za wasichanazilizokuwa zinachukua watoto kidato cha kwanza hadicha sita lakini baada ya sekondari kutangaza shule hizikubaki na kidato cha tano na sita, shule zimebaki bilawatoto wakati zina madarasa ya kutosha, nyumba zaWalimu, maabara na kadhalika.

Hivyo, naomba Serikali itumie majengo haya namabweni yanayotumiwa na popo.

Mheshimiwa Spika, kuhusu afya, naiomba Serikaliinipatie majibu ni lini vijiji ambavyo havina zahanatikatika Wilaya ya Kibondo vitapatiwa huduma hii yaafya. Mfano, Kijiji cha Kigina, Magarama, Nyarulanga,Nyakabosi na kadhalika.

Mheshimiwa Spika, huduma ya simu na mitandaoKibondo, napenda kuiomba Serikali kupeleka hudumaya simu kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa wote katikaWilaya ya Kibondo ambayo zaidi ya wananchi laki mbilihawapati huduma ya simu.

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.

MHE. SUSAN L. A. KIWANGA: Mheshimiwa Spika,napenda kupata majibu ya Serikali kwa niniimehamasisha wakulima walime na wamepatampunga (mazao ya kutosha). Kwa makusudi Serikaliimeleta mchele kutoka nje ya nchi na kuujaza sokonina matokeo yake mkulima amekosa soko la mchele.Mfano halisi ni wakulima wa mpunga wa Kilomberowameshindwa kuuza mpunga (mchele) hivyo

Page 125: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

125

kushindwa kabisa kujikimu kimaisha. Hivyo napendaSerikali ilete majibu ya kuwakwamua wananchi.

Mheshimiwa Spika, napenda Serikali itoe majibukwa waathirika wa mafuriko ya Kilosa zaidi ya kaya 8000na ahadi ya Serikali, lakini hadi leo hawajasaidiwaingawa hotuba ya Waziri Mkuu amewazungumziawaathirika wa Mabwepande na Gongo la Mboto.

Mheshimiwa Spika, napenda kupata majibu yaSerikali kuhusu wizi wa madini ya shaba tani 200 kwamujibu wa gazeti la Mtanzania, wizi uliofanywa naWachina baadhi ambao sasa wamekwenda MkoaniMbeya.

Mheshimiwa Spika, napenda kupata maelezo yakina kuhusu uchimbaji wa urani huko Namtumbo, lakinikwenye hotuba ya Waziri Mkuu haikuzungumziachochote. Uchimbaji wa urani ni hatari kwa nchi yetuambapo hakuna sera wala tathimini ya kina iliyofanyikana kutolewa kwa Watanzania kwa faida na madharayatakayopatikana. Napendekeza uchimbaji wa uraniusitishwe hadi tukubaliane kama Taifa.

Mheshimiwa Spika, maji ni tatizo sugu pamoja nakuzungumzia maji kwa Jiji la Dar es Salaam, lakini Serikalihaijaeleza kuhusu Bwawa la Kidunda Morogoro namalipo ya wananchi wa eneo la kij i j i ambapowamezuiwa kufanya maendeleo yoyote kwa kuwawatahamishwa. Je, nini hatima ya wananchi hao nalini watalipwa na kupatiwa maeneo mengine yakuendeleza maisha yao?

Mheshimiwa Spika, kuhusu uboreshaji waTAZARA, je nini hatma ya wastaafu wa Shirika la TAZARA,lini watalipwa?

Page 126: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

126

Mheshimiwa Spika, ujenzi wa Barabara ya MikumiIfakara yenye urefu wa kilomita 103, kwa uelewa wangubarabara yenye tatizo kubwa katika Wilaya yaKilombero ni barabara ya Kidatu hadi Mlimba yakilomita 225. Sasa napenda kujua hizo kilomita 103 nibarabara kutoka wapi mpaka wapi?

Mheshimiwa Spika, kuhusu maji Mji wa Ifakaraambao unaongezeka kukua, Halmashauri ilishatumamaombi ya fedha kwa mradi wa kiburubuta yakihusukuendeleza upembuzi ambao ulishatumia pesa nyingipia mchanganuo wa mradi huo, lakini mpaka leohakuna fedha iliyopelekwa. Je, ni lini Serikali itatatuatatizo hilo?

Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Kilombero ina Kata23 na Viji j i 97, lakini ina matatizo makubwa yamiundombinu, barabara hazipitiki na kusababishagharama kubwa za usafiri na usafirishaji mazao.

Mheshimiwa Spika, ukosekanaji wa umemekatika Tarafa nzima ya Mngeta ambapo ndikokunakozalishwa mpunga, kokoa, mahindi na ndizi kwawingi. Je, ni lini Serikali itapeleka huduma ya umeme iliwananchi wapate maendeleo?

Mheshimiwa Spika, elimu ya sekondari na msingi,huwezi kuamini katika shule ya msingi Mtyangimbole nashule ya msingi Kidete katika Kata ya Mngeta wapowanafunzi wa darasa la tano, tatu na la pili, wanaosomachini ya miti kutokana na Serikali kushindwa kupelekapesa za kumalizia madarasa na hata madarasayaliyojengwa kwa nguvu za wananchi yamebomoka.Matundu ya vyoo mawili, nyumba za Walimu hakuna,watoto takribani 40 hadi darasa la nne hawajui kusomana kuandika. Nataka majibu ya Serikali kwa ninihampeleki fedha kama mlivyoahidi?

Page 127: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

127

Mheshimiwa Spika, kuhusu pembejeo; pembejeobado ni tatizo kubwa kwa wakulima wa Wilaya yaKilombero kwani hazikufika kwa wakati, hivyo mpangowa ugawaji urekebishwe mapema.

Mheshimiwa Spika, suala la mfumko wa bei,Serikali imetoa majibu mepesi kwa maswali magumu.Kitendo cha Serikali kuagiza mchele nje ya nchi nakuujaza sokoni, kweli wananchi wa Kilombero wameonahilo ni tendo la kuwahujumu.

Taarifa halisi ni kwamba, hata Benkizinazokopesha wakulima wameshangaa kwani watejawao wengi ambao ni wakulima waliowakopesha kwamatumaini wakivuna watauza na kurejesha mikopo,wamekwama kutokana na kuporomoka kwa bei yampunga. Hivyo Serikali iokoe wananchi.

Mheshimiwa Spika, lipo tatizo, Kiwanda chaSukari Kilombero na Kiwanda kipya cha KonyagiKilombero. Wakulima wanapunjwa wanapouza miwakwa mwekezaji kwa kisingizio kuwa sukari imejaakutokana na kuingizwa sukari toka nje ya nchi namwekezaji kukosa soko. Hivyo ameamua kuwapunja beiya kuuzia miwa.

Mheshimiwa Spika, kuhusu Kiwanda cha Konyagimwekezaji ameajiri wageni wengi kutoka Bara la Asiakwa kazi ambazo Watanzania wanaziweza, hivyoSerikali iingilie kati suala hilo.

Mheshimiwa Spika, kuhusu migogoro ya ardhi;migogoro ya ardhi nchini ni kama wimbo wa Taifa,nachukua mfano Mkoa wa Morogoro, Serikali ni vemaikatekeleza kwa haraka suala la utambuzi wamashamba na mapori na uwazi uwepo katika umilikina ugawaji upya wa mapori na mashamba.

Page 128: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

128

Mheshimiwa Spika, kuhusu uwekaji mipaka yaRamsa, Wilaya ya Kilombero na Ulanga; pamoja najitihada za uwekaji mipaka ya Ramsa, lakini kumekuwana matatizo kwani katika uwekaji wa mkuruzo watendajiwaliotoka Makao Makuu hawakuwashirikisha hatawatendaji wa ardhi katika Wilaya, pia wananchi naviongozi katika vijiji na ushahidi upo.

Mheshimiwa Spika, kingine, pamoja na Serikalikusema wameondoa mifugo hadi sasa bado lipo tatizokubwa la mifugo ambao ni kero na linasababishwa narushwa kwa baadhi ya viongozi wa Serikali.

Mheshimiwa Spika, zoezi zima la uondoaji mifugowasio na maeneo ya malisho Bonde la Kilombero naUlanga lishirikishe wenyeji na sio nguvu kubwa ya Serikalikwa kutumia gharama kubwa.

MHE. DKT. LUCY S. NKYA: Mheshimiwa Spika,napenda kumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuupamoja na Mawaziri wote katika ofisi yake, Katibu Mkuuna watendaji wote kwa hotuba nzuri.

Mheshimiwa Spika, baada ya pongezi, napendakuchangia hotuba hii kwa nia ya kuboresha kamaifuatavyo:-

Kilimo Kwanza, hii dhana ya kilimo kwanza ni nzurina kama itafanikiwa wakulima watapiga hatua kubwaya maendeleo. Napenda kushauri Serikali ifanyemaamuzi magumu ya kuwapatia wananchi matrektamakubwa katika ngazi ya kijiji hasa katika mikoa ileambayo inaonesha uwezo wa kuzalisha, lakini tatizo niukosefu wa matrekta.

Mheshimiwa Spika, Morogoro imepewa jukumula kuwa ghala la chakula. Lakini uwezo huo

Page 129: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

129

utawezekana kama Morogoro watapata matrekta yakukopa kwa masharti nafuu, jembe la mkonolinatuchosha.

Mheshimiwa Spika, kuhusu ujenzi; imeelekeakwamba, Serikali imeweka nguvu nyingi kwenye Trunkroads na madaraja yake na siyo kuzisaidia Halmashaurikatika ujenzi wa madaraja makubwa ambayoHalmashauri hazina uwezo nayo.

Mheshimiwa Spika, naomba Serikali isaidie ujenziwa madaraja katika mito mikubwa inayopita katikamaeneo ya barabara za Halmashauri, kwa mfano,daraja la Gizgiz katika Mto Mbezi na daraja la KisangaStendi katika Mto Ruvu.

Mheshimiwa Spika, katika maeneo hayawananchi wengi wamepoteza maisha yao. Hatamaendeleo ya wananchi wanaoishi ng’ambo ya mitohii wanashindwa hata kwenda hospitali hasa nyakatiza mvua. Naomba Serikali iangalie uwezekano wakurudisha ujenzi wa madaraja makubwa, Serikali Kuuyaani chini ya Wizara ya Ujenzi.

Mheshimiwa Spika, kuhusu elimu na ufundi;naomba Serikali ione umuhimu wa kujenga Vyuo vyaUfundi (VETA) kwenye Wilaya ambazo hazina vyuo hivyoili vijana wanaomaliza darasa la saba na kidato channe waweze kupata stadi ambazo zitawasaidia kujiajiriwenyewe. Pamoja na uwezo wa mafunzo ya ufundi,Serikali iwe na mipango ya kuwapatia mitaji endelevu.Ili hili liweze kufanikiwa ingekuwa jambo la busara kamaSerikali itaanzisha kitengo cha kuwasaidia vijanawanaomaliza mafunzo ya VETA na Vyuo Vikuu wawezekubuni miradi ambayo itawaajiri wao na vijanawengine. Kitengo hiki kijihusishe pia na miradi ya kilimo,ufugaji pamoja na ufugaji wa samaki na nyuki.

Page 130: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

130

Mheshimiwa Spika, hili linawezekana, naombaSerikali iangalie na utekelezaji wake uanze ndani yabajeti hii.

Mheshimiwa Spika, kuhusu ajira ndani yaHalmashauri, napenda kushauri kwamba Halmashaurizipewe mamlaka ya kuajiri watendaji hususan wa kadaya chini kama vile Watendaji wa Vijiji, Kata, Wahudumuwa Afya, Kilimo na Madereva.

Mheshimiwa Spika, aidha, napenda kushaurikwamba Walimu, Maafisa Mifugo na MaafisaMaendeleo wasipewe ajira kama Maafisa Watendajiwa Vijiji na Kata. Kama inavyofanyika sasa hivi. Walimuhawatoshelezi, hivyo wasipewe wajibu mwingine.

Mheshimiwa spika, kuhusu maslahi ya watendaji;naomba Serikali ilipe marupurupu na maslahi ya Walimukwani wamekata tamaa. Aidha, matatizo ya kimaslahiyanawaumiza watoto hasa wazazi kutokana na utitiriwa michango inayobuniwa na Walimu kama njia yakujipatia kipato cha zaidi. Hali hii kwa kiwango kikubwaimechangia sana kufeli kwa wanafunzi wa kidato channe.

Mheshimiwa Spika, kuwaachia wananchi jukumula kujenga nyumba za Walimu, shule za msingi nasekondari ni mzigo mkubwa, hivyo kasi yake itakuwa nindogo na matokeo yake shule za vijijini haziwezi ku-retain Walimu. Naomba Serikali yetu iangalieuwezekano wa kujenga nyumba za Walimu kwa asilimiamia moja katika shule za sekondari za Kata ili wananchiwabebe jukumu la ujenzi katika shule za msingi.

Mheshimiwa Spika, ujenzi wa Makao Makuu yaHalmashauri ambazo bado hazipo kwenye maeneoyao. Napenda kuiomba Ofisi ya Waziri Mkuu isaidie

Page 131: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

131

Halmashauri ambazo kwa sasa zimeshindwa kupatafursa za kujenga Makao Makuu ya Halmashauri zaokama Halmashauri ya Morogoro haina uwezo wakujenga Makao Makuu kwa vyanzo vyao vya mapatokwani hayapo. Hivyo, naomba Halmashauri hii isaidiwe.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja nikiaminikwamba, Serikali itaona umuhimu wa kuwapatiawananchi fursa ya kupata matrekta makubwa ilituboreshe kil imo. Nawatakia utekelezaji wenyemafaniko.

MHE. JOHN J. MNYIKA: Waziri wa Nchi, Sera,Uratibu na Bunge na Waziri Mkuu katika majumuisho,naomba kupatiwa majibu yahusuyo masuala yafuatayojuu ya Sera ya Uratibu na Bunge niliyoyahoji kwa nyakatimbalimbali kati ya mwaka 2011 na 2012.

Mosi, ujenzi wa ofisi ya Mbunge wa Ubungo auupatikanaji wa ofisi mbadala ya muda. Kwa sasa ofisiya Mbunge, Ubungo ni ya chumba kimoja ndani yajengo la Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni ambayo iko njeya Jimbo la Ubungo. Katika ofisi hiyo ya chumba kimoja,Mbunge anakaa pamoja na msaidizi na maafisawengine. Hali hii imekuwa ikilamamikiwa na wananchipale wanapohitaji kuzungumza na Mbunge kwafaragha.

Aidha, ofisi hiyo kuwa katika hali ya mtu kuwezakuingia moja kwa moja na kukutana na Mbunge bilakupitia kwa msaidizi inaweza kutumiwa vibaya aukuhatarisha usalama.

Mheshimiwa Spika, katika mazingira ya sasaambayo Katibu Msaidizi wa Mbunge ameshatoa taarifapolisi juu ya sms anazopokea za kutaka ashiriki mipangoya kumdhuru Mbunge, lakini hakuna hatua

Page 132: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

132

zilizochukuliwa. Masuala haya na matatizo mengine juuya Mbunge ninayaandikia barua kwa Mkuu wa Wilaya,Mkurugenzi wa Halmashauri, Mkuu wa Mkoa na kuhojikatika vikao mbalimbali bila hatua kuchukuliwa. Hatakupatiwa tu vifaa vya kiofisi kama kompyuta, printer nakadhalika toka mwaka 2011; pamoja na kukumbushakwa nyakati mbalimbali.

Pili, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,Uratibu na Bunge na Waziri Mkuu, kwa pamoja nimuhimu kusimamia marekebisho ya mfumo wautolewaji wa fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo(CDCF) na kuongozwa na mfumo ulio sawa na fedhanyingine za ruzuku zingine za Halmashauri.

Mheshimiwa Spika, kuchelewa kwa fedha hizokunafanya Mifuko ya Maendeleo ya Jimbo kusababishahoja toka kwa Wakaguzi (Audit Query). Hivyo, amafedha zitolewe kwa wakati kama ruzuku zinginezinazokuja kwenye Halmashauri au kuwe na mfumotofauti wa fedha kuepusha hoja za ukaguzi wakuwezesha miradi ya maendeleo kufanyika kwa wakati.

Tatu, ni kuhusu sera na uratibu:-

(1) Matokeo ya sensa yaliyotangazwa na Rais2012 na ripoti iliyozinduliwa na Waziri Mkuu 2013, nimuhimu Wabunge tupewe nakala katika Mkutano huuwa Bunge.

Aidha, Serikali itoe maelezo kuhusu sababu yatakwimu ya idadi ya watu katika Manispaa ya Kinondonikuwa chini ya takwimu zilizotolewa na Mamlaka yaVitambulisho (NIDA) 2012 na takwimu za Tume ya Taifaya Uchaguzi (NEC).

Page 133: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

133

(2) Maelezo yaliyotolewa kwenye aya ya 76na 77 kuhusu barabara katika Jiji la Dar es Salaamyanaonesha uchelewaji wa utekelezaji kwa kuwa miraditajwa ilipaswa kukamilika 2011 na sasa ulikuwa wakatiwa kutoa taarifa ya utekelezaji wa barabarazilizoahidiwa wakati wa bajeti 2012/2013. Mathalani,barabara za Kimara – Bonyokwa – Mavurunza,Maramba mawili – Kinyerezi, Goba – Mbezi nakadhalika.

(3) Aya ya 104 na 105; kaya zilizohudumiwampaka sasa kutokana na maafa ya mafuriko hukoMabwepande ni 1007, ambayo ni 10% ya wanaoishimaeneo hatarishi. Lini wahanga wa Mbezi, Mabibo nakadhalika watapewa viwanja?

MHE. ABDULSALAAM S. AMER: Mheshimiwa Spika,naunga mkono hotuba ya Mheshimia Waziri Mkuuyenye ufanisi na matumaini mazuri kwa mwelekeo waSerikali yetu chini ya uongozi wa Chama cha Mapinduzi.

Mheshimiwa Spika, ningependa nielekezekwenye masuala ya uchumi. Hotuba ya Waziri Mkuuimesema kuwa pato la Taifa limeongezeka kwa asilimia6.9 ikilinganishwa na mwaka 2011 la asilimia 6.4. Katikakuchangia kuongezeka kwa pato hilo sekta ya Kilimo,hakuna.

Mheshimiwa Spika, kwa kweli nasikitika sana kwasekta ya kilimo kutochangia katika kukuza pato laMtanzania kiuchumi. Sekta ya kilimo bado ina nafasikubwa sana katika kukuza uchumi wa nchi yetu. Katikamkutano wa nchi za SADC uliofanyika Maputo, Msumbijiulilenga kuhakikisha kuwa kila nchi wanachamawatenge asilimia kumi ya bajeti ambayo ielekezwekatika sekta ya kilimo.

Page 134: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

134

Mheshimiwa Spika, ardhi na maji ni neematuliyopewa na Mwenyezi Mungu, lakini tunakufuru. Leokila mwaka bajeti ya Wizara ya Kilimo uwapunguzie napamoja na bajeti kupungua lakini pesa hawapati kwawakati ili kufanikisha malengo ya Wizara.

Mheshimiwa Spika, suala la uwekezaji katikaSekta ya Kilimo naona bado linasuasua, naomba Ofisiya Waziri Mkuu liliwakilishe suala hili ili wawekezaji wajekwa wingi kuwekeza katika sekta hii ya kilimo.

Mheshimiwa Spika, katika Sheria ya Uwekezaji,suala la kuwashirikisha wananchi au wakulimawanaozunguka mashamba ya wawekezaji lipewekipaumbele katika kulima kwa kuhamasishwa namwekezaji. Kila shamba litakalopewa mwekezaji wawekama outgrowers.

Kama mwekezaji anataka kulima zao fulani naanataka kuzalishia tani kadhaa, naomba apewe ardhiitakayozalisha asilimia sabini na tano (75%) na asilimiaishirini na tano (25%) wawezeshwe wananchi auwakulima wadogo wanaozunguka au jirani na shambala mwekezaji.

Mheshimiwa Spika, pia naomba Serikali katikakuwakaribisha wawekezaji katika Sekta ya Kilimowapewe maeneo ambayo ni pori kabisa ili isiletemgongano au mzozo kati ya wawekezaji na wananchi.Nchi yetu ina maeneo makubwa na mazuri kwa kilimo.Pia wapewe masharti ya kuwapa huduma muhimuwananchi walio jirani hasa maji na masuala ya afya.

Mheshimiwa Spika, nashukuru na kuunga mkonohotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa asilimia miamoja.

Page 135: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

135

MHE. VINCENT J. NYERERE: Mheshimiwa Spika,nashukuru kwa kupata nafasi hii ya kuchangia hojailiyopo hapa.

Mheshimiwa Spika, napenda kuliona Bunge hililikichukua nafasi yake kikatiba kikamili, kwa maana yakuwa upande wa umma (wananchi) kuliko kwa upandewa Serikali. Huu ni wakati wa sisi (Wabunge) kutoa diraya maisha kwa watu wetu kupitia Bunge hili la bajeti.

Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Waziri Mkuu, kamamtendaji mkuu wa Serikali inayo wajibu wa kuyatekelezahaya bila upendeleo wowote, wala kutangulizawengine na kuwaacha wengine nyuma.

Mheshimiwa Spika, ughali wa maisha siyo tuunaongeza umasikini kwa Watanzania walio wengi baliunaleta hofu kwa raia.

Mheshimiwa Spika, ni vizuri Serikali kubinafsishabaadhi ya shughuli zake lakini siyo vizuri kuacha shughulihizo kuachiwa kwa asilimia mia moja.

Mheshimiwa Spika, mfano mzuri ni Bandari, kwahali halisi ni vizuri kupanua wigo wa shughuli hizo kwawatu binafsi wenye uwezo huo, i la tatizo walewaliopewa dhamana ya kuanzisha ICD (InlandContainer Depot). Kweli hali iliyopo kwenye hili ni mbayaambayo inaongeza gharama kwa wanaoagiza bidhaanje na ijulikane kila kinachoongezeka kwenye gharamaza uagizaji zitaongezwa kwa mtu wa mwisho (mlaji).

Mheshimiwa Spika, waliopewa dhamana yakuisaidia bandari na kuweka ICD wamekuwa na hiddencharges nyingi ambazo zimekuwa kero na gharama hizizimekuwa za kushurutisha.

Page 136: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

136

Mheshimiwa Spika, napendekeza kuwepo namaridhiano ya mwagizaji mzigo, ni ICD gani anayoionanafuu kwake ili aweze kuchagua huku wenye ICD wawena ushindni wa huduma na upunguzaji wa gharama.Kuwepo utaratibu wa kujaza fomu maalum kabla yamzigo kufika na mwagizaji ataona ni wapi pa kuamuamzigo wake uende kuliko ilivyo hivi sasa.

Mheshimwa Spika kwa utaratibu huu upo nafuuutakaoonekana kwani wengi watachagua na hiiitawashawishi wenye ICD kushindana kutoa hudumabora na kwa gharama nafuu.

Mheshimiwa Spika, kama mapendekezo yanguhaya yatafanyiwa kazi basi kwa kiasi kikubwa gharamaza maisha zitapungua kwa kuwa asilimia kubwatunatumia bidhaa za kuagiza kutoka nje.

Mheshimiwa Spika, pia kuna tatizo la RegulatoryAuthority, zimekuwa mbali na bandari na hivyomizunguko ya utoaji wa shehena bandarini piaumekuwa na usumbufu mkubwa wenye gharama,tungependekeza Regulatory Authorities zote ziwe underone roof pale bandarini ili kupunguza usumbufu wenyegharama.

Mheshimiwa Spika, kwa heshima na taadhimanategemea kuona matokeo katika hili, kwa kuwa sihitajimajibu ila matokeo.

Mheshimiwa Spika, ipo haja ya kuangalia upyamaamuzi ya Serikali ya kutenga bilioni 440 kwa ajili yakaya masikini kwa kuwapa fedha za chakula, matibabuna elimu, hili ni vizuri likaangaliwa tena.

Mheshimiwa Spika, takwimu zinaonesha tayaritathmini ya kina iliwahi kufanywa na kuorodhesha watu

Page 137: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

137

(Wilaya zipi ni masikini na watu gani wanaishi kwenyemazingira magumu) ikaonekana Bunda inashika nafasiya kwanza.

Mheshimiwa Spika, cha ajabu imefanyikatathmini nyingine na imeanza na utekelezaji wa kero hiikwa Wilaya ya Bagamoyo, hii inaonesha dhahiri kuwakuna tatizo na hili litapelekea kabisa kuleta sintofahamukwa wananchi wa Tanzania ambazo zitapelekeamitafaruku isiyo ya lazima katika nchi yetu. Nadhanimliona matokeo ya propaganda ya kuwa gesiinakwenda Bagamoyo na nini kilitokea.

Mheshimiwa Spika, pengine nia ni nzuri kabisa,lakini utaratibu ni mbaya kabisa. Napendekeza tathminiifanyike haraka kwa nchi nzima na mgawanyo wafedha hizi ufanyike kwa pamoja bila watu wa Wilayafulani kutangulia. Tafsiri yake ni kuwa Rais anatokaWilaya ya Bagamoyo na mwishowe ikanekana nichanzo na mbegu za Ukabila ambao madonda yakeni vigumu sana kuyatibu.

Mheshimiwa Spika, nategemea mchangowangu huo utachukuliwa na kufanyiwa kazi.

MHE. KULTHUM J. MCHUCHULI: MheshimiwaSpika, naipongeza Serikali kwa utaratibu wa kupelekamadaraka kwa umma ili kuwawezesha wananchikutambua kuwa miradi inayotekelezwa katika Kata zao,Vijij i vyao na hata Halmashauri zao ni kwao nawanatakiwa kushiriki moja kwa moja, lakini kunachangamoto zifuatazo ambazo zinatukabili, zinatakiwazipatiwe ufumbuzi ili tuweze kupata mafanikio katikamiradi inayotekelezwa katika Halmashauri zetu.

Mheshimiwa Spika, watumishi wa Halmashaurihususani wahandisi na wasaidizi wao kutoa ushauri kwa

Page 138: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

138

Kamati za Kata za ujenzi pindi wanapotaka kujengamajengo; mfano, soko, zahanati, madarasa katika shuleza msingi na sekondari ili kupunguza uwepo wamajengo yaliyo chini ya kiwango ambayo hayafananina thamani ya fedha iliyotumika.

Mheshimiwa Spika, naishauri Serikali kuendeleakuwakumbusha watumishi juu ya dhana ya uwajibikajina kuwachukulia hatua wote wanaokwenda kinyumena taratibu za kazi.

Mheshimiwa Spika, Serikali kwa makusudi iliamuakuanzisha ujenzi wa shule za sekondari za Kata ilikuhakikisha watoto wanapata elimu ya sekondari katikaKata zao ama maeneo yaliyokaribu na vijiji vyao.

Mheshimiwa Spika, bado kuna changamotokubwa katika shule za Kata, kuna baadhi ya vijijiwanafunzi wanapelekwa kusoma katika shule za Kataumbali kati ya kilomita 80; mfano, katika Tarafa ya Ikwiriri,Kibiti wanafunzi wanapangwa kusoma katika Kata yaMwaseni ni zaidi ya kilomita 80 na hakuna hosteli,umeme, wala maji, wanafunzi wanapanga vyumba navyakula wananunua wenyewe, je, tunategemeawatoto hawa watafaulu mitihani yao?

Mheshimiwa Spika, kuna shule inajengwa katikaKata ya Umwe – Tarafa ya Ikwiriri, sasa ni takribani miakasita haijakwisha kwa sababu ya urasimu wa watuwachache, wananchi wamechangia nguvu zao, lakinihadi leo watoto wanapelekwa kusoma umbali wakilometa 80, 60 au 40 katika vijiji ambavyo havinahuduma muhimu.

Mheshimiwa Spika, je, Serikali inawasaidiajewananchi hawa ambao wananyanyasika kutokana naurasimu wa watumishi na viongozi wengine?

Page 139: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

139

MHE. NEEMA MGAYA HAMID: Mheshimiwa Spika,kuhusu maji; natambua juhudi zinazofanywa na Serikalikatika kuongeza kiwango cha upatikanaji wa maji kwawakazi wa Mijini kutoka 84% mwaka 2010/2011 hadikufikia 86% 2011/2012.

Mheshimiwa Spika, lakini pia nipongezeutekelezaji unaofanyika hivi sasa katika kuboreshaupatikanaji wa maji katika Jiji la Dar es Salaam, ikiwa nipamoja na kupanua mitambo ya Ruvu Chini na RuvuJuu ili kufikia Februari, 2014; tatizo la maji Dar es Salaamlimekwisha. Pamoja na yote haya naishauri Serikaliisimamie kwa makini zoezi hili ili tuweze kufikia malengotuliyojipangia ya kuhakikisha tatizo la maji Dar es Salaamlinakwisha Februari, 2014.

Mheshimiwa Spika, sasa nizungumzie maji vijijini,ndio Serikali imefanya juhudi kubwa kuongeza idadi yawatu vijiji wanaopata maji safi na salama kutoka milioni16.3 mwaka 2006 mpaka kufikia watu 20.6 mwaka 2012.Lakini bado Serikali inahitaji kuweka mkazo mkubwakatika suala la maji vijijini, sababu bado maeneo mengivij i j ini hayana maji. Mfano, Wilaya mpya yaWanging’ombe, kuna Kata ya Saja na Kijombe, Vijijivyote havina maji, vijiji hivi ni pamoja na Igenge, Isimike,Uhenga, Kijombe, Ukomola, Iyadebwe Iyamluku,Mayala na Iyayi, hali ni mbaya pia katika Wilaya yaNjombe.

Mheshimiwa Spika, kuhusu nishati; naipongezaSerikali kupunguza gharama za kuunganisha umemekutoka sh. 385,682 mpaka sh. 150,000 kwa vijijini na Mjinish. 385,682 mpaka sh. 272,000, naipongeza sana Serikali.Lakini umeme vijijini ni tatizo kubwa mfano, Wilaya yaWanging’ombe kuna Vijiji 102; kati ya Vijiji hivi Vijiji kumitu ndio vina umeme, 90% ya Vijiji vya Wilaya yaWanging’ombe havina umeme, tunataka umeme

Page 140: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

140

Wanging’ombe, baadhi ya Vijiji ambavyo havinaumeme ni Dulamu, Igagala, Wangama, Kinenulo,Uhekule, Mambegu, Iyayi, Ulembwe, Kingele nakadhalika.

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa elimu,naipongeza Serikali kwa kuboresha elimu ya msingi nakuongeza idadi ya vijana wanaofaulu kwendasekondari, niipongeze pia kwa kujenga shule nyingi sanaza Kata na kuongeza Walimu. Lakini bado hali mbayakatika elimu ya sekondari, mfano, tumeuona hapo juzitu katika matokeo ya wanafunzi wa kidato cha nne,takribani 60% ya wahitimu wamefeli.

Mheshimiwa Spika, nakubali hili ni janga laWatanzania wote na hivyo basi Watanzania wote tunawajibu wa kutatua tatizo hili, kwa maana ya Serikali,wazazi na wanafunzi wenyewe.

Mheshimiwa Spika, Serikali iboreshe hizi shule zaKata kwa kujenga maabara, vitabu vya kutosha naWalimu pia waongezwe. Wazazi kufuatilia maendeleoya watoto wao, wanafunzi pia kuwa tayari kusoma nakuachana na mambo ya facebook na twitter.

Mheshimiwa Spika, kuhusu udhibiti wamaambukizi ya UKIMWI; kwa mujibu wa utafiti wamwaka 2011/2012 wa viashiria vya malaria na UKIMWI,imeonesha kwamba, maambukizi ya UKIMWIyamepungua kutoka 5.7% mwaka 2007/2008 mpaka5.1% mwaka 2011/2012. Pamoja na kupungua kwatatizo hili, lakini bado Serikali kwa kupitia taasisi husikawajipange katika kundi la vijana wenye miaka 23-24,wasichana ambao grafu ya maambukizi imekua kubwa6.6% ukilinganisha na wavulana wenye umri huo wamiaka 23-24 ni 2.8%.

Page 141: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

141

Mheshimiwa Spika, naona kundi hili ni la walevijana waliomaliza Vyuo Vikuu ambao wakomajumbani. Nina wasiwasi sana na nguvu kazi yaTanzania ambayo itapotea miaka 10 – 20 ijayo. Je,Serikali ina mkakati gani katika kulisaidia kundi hili? Je,hatuna mipango sahihi ya kuwafikia kundi hili? TACAIDSkama TACAIDS wana mkakati gani katika kulifikia kundihili la vijana wenye umri wa miaka 23-24? Naombamajibu katika majumuisho.

Mheshimiwa Spika, kuhusu afya ya mama namtoto, naipongeza Serikali kwa jitihada zilizofanywa kwakupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano.Ushauri wangu kwa Serikali ni kwamba, tuongeze nguvukazi katika rasimali watu na rasilimali fedha, ndio Serikaliinajenga vituo vya afya, imeongeza wafanyakazi katikasekta ya afya na hakika kama tutaendelea hivi tutafikialengo la milenia. Lakini katika kupunguza tatizo la vifovya mama wajawazito pamoja na jitihada zote, badotatizo hili limekuwa changamoto kubwa na sidhanikama tutafikia lengo la milenia.

Mheshimiwa Spika, naomba kuunga mkono hojahii.

MHE. AMINA ABDALLAH AMOUR: MheshimiwaSpika, naanza kuchangia kuhusu wanafunzi wengi kufelikwenye mtihani wa form four, mtihani wa form fourwanafunzi wengi wamefeli huu ni mshituko mkubwa kwaTaifa. Mshituko huu ni kwa wazazi, kwa wanafunzi nakwa Walimu.

Mheshimiwa Spika, baada ya mtihani wa mwakajuzi tulitegemea suala la kufeli kwa wanafunzi wengi,Serikali litalipatia ufumbuzi tatizo hili halitorejea tena,lakini badala yake mwaka jana wamefeli wengi kulikomwaka juzi.

Page 142: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

142

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa Serikali yangu nisikivu, naiomba wanafunzi wote waliofeli warudishwekusoma tena na baadaye wafanye japo kuwaJumamosi na Jumapili na Walimu wapatiwe posho kwahizi siku mbili, bajeti ijayo kipaumbele nambari moja iweelimu.

Mheshimiwa Spika, kuhusu madawa ya kulevya;idadi ya watumiaji madawa ya kulevya inaongezekakila siku na kwa maana hiyo idadi ya uingizaji madawaya kulevya nchini umezidi, watoto wetu wengiwameathirika kwa madawa ya kulevya na wengiwamekufa.

Mheshimiwa Spika, kule kwetu Zanzibar kwa kilanyumba tano, nyumba moja ina mtoto anayetumiamadawa ya kulevya, Serikali imesema inahakikishamilango yote ya kupitisha madawa ya kulevyaimefungwa na kusimamia ipasavyo. Sasa naiulizaSerikali, ongezeko hili la madawa ya kulevya nchini kunamtambo ambao unatengeneza madawa ya kulevyahumu nchini?

Mheshimiwa Spika, imefika wakati hawawanaoingiza madawa ya kulevya wapewe adhabukali, nayo ni kifo, hawa ni wauaji kwa nini na waowasiuliwe, hiki kifungo cha miaka 10 au 20 kibadilike,lakini hawa watu wakinyongwa, basi naamini tatizo hililitapungua au litamalizika kabisa.

MHE. ANNA MARYSTELLA J. MALLAC: MheshimiwaSpika, naanza na suala la madawa ya kulevya. Serikaliyetu haijalichukulia suala hili la madawa ya kulevya kwanguvu zote na kulifanya lionekane la kawaida tu.Madawa ya kulevya yanaathiri nguvu kazi ya Taifaambao hasa ni vijana wetu, yanasababisha kuvunjikakwa ndoa nyingi na kusababisha ongezeko la watoto

Page 143: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

143

wa mitaani, pia ubakaji mwingi na kusababishaongezeko la maambukizi ya UKIMWI.

Mheshimiwa Spika, nchi yetu kusema tuna ulinziwa kutosha katika mipaka yetu huku madawa yakulevya yanapitishwa katika mipaka hiyo hiyo na kuingianchini, hata wale wanaokamatwa na madawa hayohatuoni wanapewa adhabu gani pamoja na Serikalikusema watuhumiwa 45 walikamatwa.

Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali kupitia WaziriMkuu wakati wa kuhitimisha ijibu watuhumiwa hawa wamadawa ya kulevya 45 waliokamatwa wapo wapi nawamechukuliwa hatua gani? Maana kesi nyingizimekuwa zikizimwa kimyakimya.

Mheshimiwa Spika, mwisho nashauri Serikalikuwa, Tume hii ya Kikosi Kazi Maalum cha Kitaifa chaKudhibiti Dawa za Kulevya, kipewe kipaumbele sanakwa kupewa meno ili kifanye kazi ya kudhibiti bilakuogopa kutishwa na wala kuingiwa na tamaa yakupokea rushwa, kwani kazi hii ni hatari, sababuinabeba mabilioni na mamilioni ya fedha nawanaohusika ni watu wetu wa karibu zaidi, wengineambao huwezi kumdhania kama anaweza kufanyabiashara haramu kama hii.

Mheshimiwa Spika, vita dhidi ya rushwa; suala larushwa ni suala mtambuka, Serikali isimamie sana sualala rushwa na kuipiga vita ili kujenga imani na amanikatika nchi yetu kwa Watanzania wote, rushwa ni aduiwa haki, rushwa hupindisha haki, tena ni chukizo kwaMwenyezi Mungu. Ili kuwafanya Watanzania warudisheimani katika nchi yetu, ni kuhakikisha kila Wizarainachukia rushwa na kupambana nayo.

Page 144: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

144

Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaanaonesha vema kupambana na adui rushwa, lakiniwapo baadhi ya viongozi watendaji wanaoendekezarushwa kwa ubinafsi wao na tamaa zao na hivyokuifanya Serikali kwa ujumla ionekane haitilii mkazosuala zima la rushwa.

Mheshimiwa Spika, kuna malalamiko mengikutoka kwa wananchi wakilaumu baadhi ya Wizarazinazoendekeza rushwa kwa kuwanyima wananchi hakina huduma muhimu za kimsingi, mfano, Afya.Wagonjwa wamekuwa wakidaiwa rushwa il iwahudumiwe vizuri katika matibabu na hasawanawake wajawazito. Serikali ilitangaza kuwa,mjamzito hawezi kutoa gharama yoyote anapokwendakujifungua.

Mheshimiwa Spika, leo hii akinamamawanatozwa fedha il i wahudumiwe vizuri katikakuzalishwa.

Mheshimiwa Spika, Wizara nyingine ni Mambo yaNdani, upande wa Polisi, unapopeleka kesi lazima utoechochote kwa askari ndipo mashtaka yakoyatekelezwe, usalama barabarani hivyo hivyo.

Mheshimiwa Spika, Wizara nyingine ni Ardhi.Wizara hii pia inanyanyasa wananchi na kuwafanyawapoteze dira ya maisha yao yote kwa kunyang’anywamashamba yao na kupewa haki watu wengine wenyepesa zao. Hivyo, viongozi au watendaji Serikalini nakatika Halmashauri zote ziwachukulie hatua kali walewote watakaobainika kutesa wananchi kwa kuwatozarushwa na kupokea rushwa.

Mheshimiwa Spika, uchukuzi Serikali iimarishemagati yote ya Bandari za hapa nchini likiwemo gati la

Page 145: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

145

Bandari ya Karema iliyopo katika Ziwa Tanganyikaambayo kwa muda mrefu ujenzi wake umesimama nakuonekana imeanza kuchakaa huku ujenzihaujakamilika. Namwomba Mheshimiwa Waziri Mkuuwakati akihitimisha, atueleze sababu za kusimama ujenziwa gati la Bandari ya Karema na hatima ya usafiri wetuitakuwaje.

Mheshimiwa Spika, ahsante.

MHE. FATUMA A. MIKIDADI: Mheshimiwa Spika,kuhusu korosho; Lindi na Mtwara sasa hivi kuna ugomviwa malipo ya pili ya wakulima baada ya kulipwa 600/=. Kwa hiyo, malipo ya pili, wanalipwa nusu yake,wananchi wamekataa kupokea pesa hizo na sasawananchi wanaandaa fujo kama zile za gesi zakutuchomea moto nyumba, tafadhali tusaidieniwalipwe, tunaishi kwa hofu Lindi na Mtwara, tutauhamamji bila kupenda na chaguzi za mitaa zinakaribia.

Mheshimiwa Spika, kuhusu utalii; vipi MheshimiwaMjusi wetu Dainasoo, mbona hakuna maelezo yoyote,atarudi au harudi?

Mheshimiwa Spika, barabara Kibiti – Lindiitakwisha? Tunaomba maelezo.

Mheshimiwa Spika, kuhusu chumvi/afya; madinijoto tunayoweka katika chumvi ni agizo la Wizara yaAfya ili kuzuia ugonjwa wa goiter, je, Serikali haiwezikusaidia kutoa madini joto bure kwa wakulima wachumvi? Ni ya ghali sana, kuna hatari ya wakulima haokutotia madini joto kabisa.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja kwaasilimia mia moja.

Page 146: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

146

MHE. REV. ISRAEL Y. NATSE: Mheshimiwa Spika,nianze kuzungumzia migogoro ya dini; wajibu wa Serikalini kulinda nchi na watu wake (raia wake) Katiba yaJamhuri ya Muungano imeweka wazi uhuru wakuabudu kwa raia wake.

Mheshimiwa Spika, kwa siku za karibunikumetokea mitafaruku/migogoro kati ya waumini wamadhehebu ya Kikristo na Kiislam, vurugu ambazozilipelekea uharibifu wa mali/na hata mauaji ya viongoziwa dini, matukio kama kuchomwa kwa MakanisaZanzibar na Dar es Salaam inatia mashaka kwa vitendohivi kutokea hali Serikali imekaa kimya. Ni hatari kwaSerikali kukosa kutoa Kauli katika matukio haya yote.

Mheshimiwa Spika, si dhambi kusema kwamba,Serikali kwa namna moja au nyingine ina maslahi nyumayake ndio maana imekaa kimya.

Mheshimiwa Spika, suala la Udini, Serikali ya CCMndio waasisi. Rejea mwaka 2005 kwamba CUF – Chamacha Udini (Uislam) na matokeo yake yaliyokuwamabovu. Mwaka 2010 CHADEMA, Chama cha Udini(Ukristo) hizi propoganda mbovu za kisiasa ziachwemara moja kwa mustakabali wa nchi yetu.

Mheshimiwa Spika, kama Serikali ya CCMhaihusiki kwa nini haichukui hatua?

Mheshimiwa Spika, kuhusu ugatuaji wamadaraka; Serikali ifanye haraka kurudisha suala la ajiraya watumishi wa ngazi za chini (katika Halmashauri)ifanywe kule kwenye Halmshauri zetu kuliko Serikali Kuu.

Mheshimiwa Spika, uchaguzi wa Serikali za Vijijikwa maeneo ambayo wananchi walijiondoa kwatuhuma mbalimbali, kwa mfano, Kijiji cha Chemchem,

Page 147: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

147

katika Halmashauri ya Karatu kwa takribani miaka miwilisasa hakina viongozi, hakina Serikali ya Kijiji na wananchihawakupewa haki ya kuchagua viongozi wao. Hilitunahitaji majibu ya haraka ili wananchi hao wapewehaki yao kwa maendeleo yao.

Mheshimiwa Spika, kushuka kwa kiwango chaufaulu kidato cha nne 2012. Naiomba Serikali iwe nautamaduni wa kuzifanyia kazi tafiti mbalimbali ilikuboresha elimu kinyume na ilivyofanya sasa, kuundaTume ili hali kuna Tume iliyokwishafanya kazi ile ile 2010na ripoti yake kutolewa Juni, 2011. Ripoti hiyo iliainishamambo yote yanayopaswa kuangaliwa. Hii nikuiongezea gharama kubwa nchi na ni matumizimabaya ya fedha za umma yasiyo na tija.

Mheshimiwa Spika, suala la pembejeo liangaliweupya, package iendane na hali ya eneo husika napembejeo itolewe kwa muda muafaka, kuwe na uwazina haki itendeke kwa wanufaika wote.

MHE. YUSSUF HAJI KHAMIS: Mheshimiwa Spika,nami nichukue fursa hii muhimu kwangu kumshukuruMwenyezi Mungu kuwa miongoni mwa Wabungewatakaochangia hotuba hii ya Waziri Mkuu.

Mheshimiwa Spika, nizungumzie msongamanowa mahabusu na wafungwa katika Magereza yetu.Magereza yetu yana msongamano mkubwa sanaambao unahatarisha afya na uhai wao.

Mheshimiwa Spika, wafungwa na mahabusuwamekuwa wakipoteza maisha kunakosababishwa namsongamano. Magonjwa yafuatayo ni hatari nausumbufu kwao; Malaria, UKIMWI, Kipindupindu,Kuharisha, Anemia, Homa ya Uti wa mgongo na TB.

Page 148: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

148

Mheshimiwa Spika, Magereza yetu takwimuzinaonesha uwezo wake ni watu 21,552 kwa wakatimmoja. Hata hiyo, kwa sasa inaonekana wapowafungwa na mahabusu takribani 35,126.

Mheshimiwa Spika, tofauti iliyopo kati ya uwezowa Magereza na watu waliopo sasa ni 4464. Hii ni idadikubwa sana kwa maisha ya watu.

Mheshimiwa Spika, mwaka 2012 – 2013 kwamaelezo ya Kamishna Jenerali wa Magereza JohnMinja, wafungwa na mahabusu 463 wamefarikikutokana na magonjwa mbalimbali niliyoyataja nyuma.

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa mtu ukimwekamahabusu ama ukimfunga umemkosesha uhuru washughuli zake zote ikiwemo udhibiti nafsi yake kimaradhi.Je, Serikali itakuwa na mikakati gani kuondoamsongamano katika Magereza yetu? Je, Serikaliinawaambiaje Watanzania kuhusu magonjwambalimbali yanayoangamiza wafungwa magerezani.

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa katika Magerezayetu wanawake wana sehemu zao maalum naakinababa vile vile na sehemu zote hizo zinalindwasababu zipi za msingi za ongezeko la UKIMWImagerezani?

MHE. DUNSTAN D. MKAPA: Mheshimiwa Spika,kwanza naomba kutoa hoja kuwa, naunga mkono hojahii ya Hotuba ya Waziri Mkuu.

Mheshimiwa Spika, hapa naorodhesha matatizombalimbali yanayohusu hotuba hii.

Mheshimiwa Spika, maji bado ni tatizo kubwaWilayani Nanyumbu. Katika Wilaya nzima yaNanyumbu, kero kubwa kwa wananchi ni suala la maji.

Page 149: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

149

Akinamama wanatembea mwendo mrefu kutafutamaji tena ndoo moja tu ya maji. Tarehe 7 Juni, 2010mama mmoja aliuawa na ndovu Kijiji cha Mafugurukatika harakati za kutafuta maji. Tunaomba Serikaliichimbe mabwawa makubwa Wilayani Nanyumbukupunguza tatizo la maji.

Mheshimiwa Spika, kilimo ndiyo uti wa mgongowa Nanyumbu, lakini nachelea kusema kwamba,dhana ya kilimo kwanza Wilayani Nanyumbu haipokabisa, bado wananchi wa Nanyumbu wanatumiazana duni za kilimo, hivyo kuwafanya wananchi wazidikuwa maskini.

Mheshimiwa Spika, matrekta Wilayani Nanyumbuyanayoweza kuongeza uzalishaji wa tija hakuna.Wilayani Nanyumbu kuna skimu za umwagiliaji. Tunamaji mengi tu ya Mto Ruvuma ambayo yanatiririkakwenda baharini bila faida yoyote. Sambamba na hilobei duni ya mazao ya biashara nalo ni tatizo, wakulimawa zao la korosho wanadhulumiwa sana, wakulima wamazao mchanganyiko nao wanauza kwa bei ya chiniambayo hailingani na gharama ya uzalishaji.

Mheshimiwa Spika, kwa ujumla wananchi waNanyumbu watabakia kuwa masikini kutokana na zanaduni za kilimo na bei ndogo ya mazao yao. Nanyumbutunaomba matrekta, Mheshimiwa Waziri Mkuuatakapojumuisha naomba aniambie Nanyumbututapatiwa matreketa mangapi?

Mheshimiwa Spika, huduma za afya WilayaniNanyumbu ni duni, Wilaya ya Nanyumbu ina vituo vyaafya vitatu na zahanati 15, wananchi walio wengihawapati huduma za afya hasa akinamamawajawazito, watoto na pia wazee hawapati hudumahizi licha ya kuwa na umri wa zaidi ya miaka 65.

Page 150: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

150

Mheshimiwa Spika, kuna uhaba mkubwa wawatumishi katika sekta hii ya afya, naomba Wizarahusika ituletee wahudumu wa afya Wilayani Nanyumbu.Naomba pia tupatiwe gari ya wagonjwa (Ambulance)kwenye kituo cha afya cha Nanyumbu.

Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Nanyumbu kamazilivyo Wilaya nyingine imejitahidi kujenga shule nyingiza Kata, hata hivyo bado tatizo kubwa ni uhabamkubwa wa Walimu wa shule za msingi na za sekondari,hatuna hosteli za wanafunzi na hasa za wasichana,maabara na kuna uhaba mkubwa wa nyumba zaWalimu. Tatizo la uhaba wa hosteli linasababishawasichana kupata mimba. Pia kuna uhaba mkubwawa vitendea kazi na vitabu vya kiada na ziada.

Mheshimiwa Spika, Wilayani Nanyumbu kunatatizo kubwa la mawasiliano ya simu za kiganjani.Minara ya simu ni haba, hivyo kupelekea tatizo kubwala mawasiliano. Naomba Wizara husika kwa kushirikianana Makampuni ya Simu tuwekewe minara ya simuWilayani Nanyumbu.

Mheshimiwa Spika, mwisho, tunaomba kujuamchakato wa kuundwa kwa Mkoa mpyautakaozijumuisha Wilaya za Masasi, Nanyumbu, Tunduruna Nachingwea umefikia wapi? Nakuombautakapofanya majumuisho uwafahamishe wananchiwa Wilaya hizo Mkoa huo utaanzishwa lini.

Mheshimiwa Spika, namalizia kwa kusema,naunga mkono hoja hii.

MHE. DKT. AUGUSTINO L. MREMA: MheshimiwaSpika, naomba Mheshimiwa Waziri Mkuu, wakati wamajumuisho anipatie maelezo ya mambo yafuatayo:-

Page 151: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

151

Kwanza, ukaguzi wa KNCU; yako malalamikomengi kuhusu Chama Kikuu cha Ushirika cha KNCU,Serikali ilituma wakaguzi kuona kufuatilia tuhuma hizo.Nitafurahi kusikia taarifa hiyo itatolewa lini?

Pili, masoko ya Kimataifa; Serikali imeahidikujenga masoko mawili ya Kimataifa, soko la Ndizi namboga mboga njia panda Himo, soko la Nafaka laLokolova. Naomba kujua masoko hayo yataanzakujengwa lini?

Tatu, ujenzi wa Mji Mdogo wa Himo; ingawaSerikali imetangaza Himo kuwa Mji Mdogo lakini hakunauchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika. Bado kunaSerikali za Vijiji na vitongoji katika Mji Mdogo wa Himo.Naomba kujua ni lini Serikali itafanya uchaguzi waSerikali za Mitaa katika Mji Mdogo wa Himo?

Nne, utekelezaji wa ahadi ya Rais ya barabara;ahadi ya kutengeneza barabara za lami Marangu Mtoni– Kilema Sokoni, Kawawa - Nduoni ilitakiwa iweimetekelezwa mwishoni mwa mwaka jana, nitashukurukujua ujenzi huo utakamilika lini?

Tano, usambazaji wa maji katika Kata za MwikaKaskazini na Mwika Kusini; Mashirika ya Kilutheri yaUjerumani yamechanga shilingi milioni 151 kwa ajili yakusambaza maji katika Kata za Mwika Kaskazini naMwika Kusini, Rais alipopita Mwika alitoa ahadi kwambaangeona mipango yetu ya usambazaji maji Mwikaangetusaidia.

Mheshimiwa Spika, nilimpatia Programu ya majiambayo ilionesha kama Serikali itatoa shilingi bilioni 230zingeweza kutatua tatizo la maji Mwika Kaskazini naKusini.

Page 152: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

152

Mheshimiwa Spika, namwomba Waziri Mkuuanisaidie kumkumbusha Rais juu ya jambo hili.

MHE. ENG. STELLA M. MANYANYA: MheshimiwaSpika, awali ya yote nampongeza Mheshimiwa WaziriMkuu pamoja na Wizara zote anazoziongoza kwa kazinzuri zinazoendelea.

Mheshimiwa Spika, kuhusu ukarabati wa jengola Bunge, ni vema jambo hilo likapewa uzito stahiki.Binafsi nimeshiriki ukaguzi wa jengo hili na kubaini baadhiya upungufu ambao ni vema ukapatiwa ufumbuzi waharaka, lakini jengo hili limejengwa kwa mkopo nahalina muda mrefu na matatizo mengine ni ya kiufundi/utekelezaji na naamini mkopo bado haujalipwa. Je,gharama hizo zitagharamiwa na Bunge na Mifukohaitahusika?

Mheshimiwa Spika, lakini pia ni vema jibu litolewekufuatia michango ya Wabunge waliosema (Upinzani)kuwa bilioni sita zitatumika kwa ajili ya kuziba tundudogo tu, ni maneno ya kilofa, lakini yana impact kwawananchi kuiona Serikali yao haina feeling ya matatizoya wananchi wao.

Mheshimiwa Spika, naungana na michango yaWaheshimiwa Wabunge Mheshimiwa Komba naFilikunjombe juu ya umuhimu wa Serikali kuangalia kwajicho la pekee juu ya matatizo ya wananchi wa maeneohayo ya Nyasa na wapewe kipaumbele. Lakini nikiwakama mwananchi wa maeneo hayo Kata ya Kihagara.

Mheshimiwa Spika, sikubaliani kabisa kuwa, sisiwananchi wa Nyasa tunamwomba Rais Banda kuhamiaMalawi, kama matatizo yapo maeneo mengi ikiwemoDodoma, nao hao watahamia wapi? Hiyo si sahihi nani jambo la uchochezi tena kwa nchi ambayo tayari

Page 153: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

153

tuna mtafaruku na mpaka. Ni vema pia suala hililitolewe ufafanuzi.

Mheshimiwa Spika, bajeti ya 2011/2012, niliombajuu ya hospitali ya Kata ya Kihagara, 2012/2013nashukuru ujenzi umeanza angalau jengo mojalinaonekana, lakini fedha ni kidogo za kuendeleza ujenzihuo. Naomba jicho la ziada liongezeke.

Mheshimiwa Spika, maji ni uhai, lakini maji badoni tatizo kubwa hasa maeneo ya vijijini, iko haja yakuharakisha Mfuko wa Maji vijijini kama ilivyo kwaTANROADS. Naamini itasaidia kwa kiwango kikubwakwani itaongeza attention, maji yasiyo salamayanachangia magonjwa mengi kupelekea kuwa najamii hafifu na kupanda kwa gharama za hospitali.

Mheshimiwa Spika, kuhusu mifugo; suala lawafugaji/wakulima lipewe uzito wa Kitaifa kama ilivyokwa Katiba.

Mheshimiwa Spika, kuhufu ufugaji wa nyuki; faidani kubwa, lakini bado elimu inahitajika, watuwamewekeza mawazo yao kwa shughuli nyingine zamazoea, ndio maana hata baadhi ya Wabungewanahoji. Hivi Wabunge walishapata semina ya eneohili?

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja nanaomba kuwasilisha.

MHE. RAMADHAN HAJI SALEH: MheshimiwaSpika, naomba nichangie katika sekta ya elimu, elimundio mkombozi wa mwanadamu katika nchi yetu, sualala elimu bado limekuwa changamoto hali ambayoinaweza kupelekea vijana wengi kutokuwa na kazi zakufanya.

Page 154: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

154

Mheshimiwa Spika, ushauri wangu, Serikaliichukue hatua za makusudi ili kuweza kulikabili tatizohili. Kwa upande wa shule za msingi kumekuwa namatatizo makubwa hali inayopelekea, hata mazingiraya shule bado hayaruhusu, shule nyingi ambazo zikokatika Kata zimekosa huduma za kijamii kama maji,vyoo, Walimu na vitendea kazi hali ambayo hataWalimu hawawezi kufundisha vizuri.

Mheshimiwa Spika, maji ni uhai wa kila kiumbe,lakini katika nchi yetu maji yamekuwa tatizo kubwa kwabaadhi ya vijiji vingi hapa nchini, maendeleo hayawezikupatikana kama miundombinu ya majihaijarekebishwa, watu watatumia muda mwingi katikakutafuta maji badala ya kufanya kazi za kutafutamaendeleo. Nashauri Serikali itenge fedha ambazozinaweza kutosha kujenga miundombinu ya maji nakama bajeti ya Wizara hiyo haitoshi, basi zikopwe katikasehemu yoyote ambayo haitaathiri kazi nyinginekuendelea.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. GRACE S. KIWELU: Mheshimiwa Spika,kupanda kwa gharama za usafiri SUMATRA imetangazarasmi kupanda kwa gharama za usafiri kuanzia mweziAprili, suala ambalo hatimaye limepata baraka zamhusika kwa maana ya Waziri wa Uchukuzi.

Mheshimiwa Spika, sina hakika kama WaziriMwakyembe ametoa baraka kwa jambo kubwaambalo athari zake si kidogo kwa maana ya shilingi 100kama ambavyo wengi wanataka kuwaaminishawananchi na kwamba ni kitu kidogo ambacho hakinaathari kubwa kwenye uchumi wa Mtanzania wakawaida kwa maisha ya kila siku.

Page 155: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

155

Mheshimiwa Spika, ninachomaanisha hapa nikwamba, ongezeko hilo la nauli litakuwa na atharikubwa mno kwa wananchi wetu. Ni wazi kwamba, beiya nauli haiwezi kupanda kama bei ya mafutahaijapanda, bei ya mafuta ikipanda huwainasababisha pia bei za vitu vingine kupanda. Kwa hiyo,tusichukulie kuwa kupanda kwa nauli kama jambo lakawaida. Matokeo yake ni mfumko wa bei ambao kilawakati tunaupigia kelele. Tunaitaka Serikali itafakariupya bei za usafiri ili kunusuru kupanda kwa bei zabidhaa nyingine na kumgandamiza mwananchimwenye kipato cha chini.

Mheshimiwa Spika, kuhusu maafa; hivi majuziTaifa limepata msiba mkubwa kutokana nakuporomoka kwa jengo la ghorofa 16 ambapo watu36 walikufa na wengine 17 kujeruhiwa. Serikali kupitiaWaziri Mkuu imeunda Tume ya kuchunguza chanzo chakuporomoka kwa jengo hilo.

Mheshimiwa Spika, mwaka 2006 MheshimiwaLowasa alipokuwa Waziri Mkuu aliunda Tume yauchunguzi baada ya kuporomoka kwa jengo laChang’ombe Village lilokuwepo Temeke. Taarifa yauchunguzi huo ilibaini kuwa zaidi ya maghorofa 100katika Jiji la Dar es Salaam yamejengwa chini yakiwango.

Kinachonishangaza ni kwamba, ni kwa niniSerikali ilitumia fedha nyingi za walipa kodi wa Tanzaniakuunda Tume ya uchunguzi juu ya kuporomoka kwaghorofa hilo wakati kuna taarifa na mapendekezo yaTume iliyoundwa na Mheshimiwa Lowasa alipokuwaWaziri Mkuu?

Mheshimiwa Spika, hivi karibuni MheshimiwaLowasa mwenyewe amenukuliwa na vyombo vya

Page 156: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

156

habari akiishauri Serikali kuifanyia kazi ripoti ya Tumeiliyoundwa wakati akiwa Waziri Mkuu ili kunusuru vifovya Watanzania wasio na hati vinavyotokana namajanga yanayotokana na uzembe wa watendaji waSerikali katika kazi zao.

Mheshimiwa Spika, hivi kama Serikali hii ya CCMinayojiita sikivu, haisikilizi wala haizingatii ushauriinaopewa na aliyekuwa Mkuu wa shughuli za Serikali,itamsikiliza nani? Kama Waziri Mkuu anapuuza kazializozikuta mezani za mtangulizi wake wa ofisiatamsikiliza nani? Naomba Serikali isitapanye fedhaza umma kwa kuunda Tume ambazo hazina tija kwaTaifa.

Mheshimiwa Spika, kuhusu elimu tumechoka naTume zinazoundwa kuhusu kuporomoka kwa elimu yaTanzania. Kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani,naitaka Serikali iweke hadharani ripoti zote kuhusu elimuili zijadiliwe Bungeni. Mitaala yote ya elimu iletweBungeni ili Bunge kama chombo cha uwakilishi, lijadilina kuamua aina ya elimu tunayotaka Watanzaniawapate.

Mheshimiwa Spika, utaratibu wa kuajiri Walimusasa uangaliwe upya, Walimu wafanyiwe usaili kamakwenye ajira nyingine ili tuwe na Walimu wenye sifa.Kusomea ualimu peke yake kisiwe kigezo pekee chasifa.

MHE. JOHN M. CHEYO: Mheshimiwa Spika, Itilimani mojawapo ya Wilaya mpya na kama ilivyo kawaidayafuatayo tunaomba yashughulikiwe:-

Kwanza, Halmashauri mpya ianzishwe maramoja na bajeti ya Halmashauri itengwe kutoka

Page 157: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

157

Halmashauri ya Bariadi DC. Vitabu vyetu tulivyopewahavionyeshwi bajeti ya Itilima.

Pili, maji ya Lagungabili Makao ya Wilayahayapo, tunaomba kisima kirefu na Mto Simiyu utumikeili kupata maji ya uhakika kwa mji mpya.

Tatu, hospitali ya Wilaya ya muda iliyoko Nkomaipewe watumishi na vifaa tiba il i hospitali hiiiliyofunguliwa na Mheshimiwa Waziri Mkuu itusaidie. Kwamuda mrefu hospitali ya Wilaya ianze kujengwaLagangabili. Aidha, wananchi wamejenga Dispensariya Nanga na Nangali lakini ni Dispensari ya Nanga tuitapewa dawa, watumishi na vifaa tiba, lakini Nangalihaimo. Naomba Nangale pia iongezwe mwaka huu2013/2014.

Nne, umeme tumeahidiwa kwa Viji j i vyaBudalabujiba mpaka Lagangabili na viji j i vyotevilivyofanyiwa ukaguzi na REA. Aidha, kwa bwawa laNkoma nimeomba umeme ili tupate umeme wahospitali na wa pump ya maji kutoka bwawa la Nkoma.

Tano, kuhusu maji kutoka bwawa la Nkoma,dhana ya kukusanya maji bila kujenga miundombinuya kusambaza, kusafisha maji haitawezekana. Bwawala Nkoma lilikamilika mwaka 2000, leo ni miaka kumi natatu maji hayajaja, bado kuwekewa miundombinu yakuhudumia maji haya kwa matumizi ya binadamu nakumwagilia mazao zaidi kwa mbuga yaNg’wambagwa.

Sita, daraja la Ng’waswale ni kiungo kizuri sanakwa Kata hiyo ya Ng’waswale na kwa misingi hiyomadaraja mawili ya Madilima na Bukingwaminziyaliyojengwa kwa fedha ya Mfuko wa Barabara,naomba daraja hili lifikiriwe kwa bajeti ya mwaka huu.

Page 158: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

158

Saba, kusambaza maji ya Nkoma tulizungumzana Waziri Mkuu alipokuja Jimboni. Aidha, nimezungumzana Wizara ya Maji na Katibu Mkuu wa TAMISEMI,nimeangalia katika mipango ya maendeleo hakunafedha za mradi huu. Kutoweka miundombinu yakutumia maji haya ni matumizi mabaya ya fedha zaumma, nami sitaunga mkono bajeti ya TAMISEMI mpakanipate jibu la kuridhisha.

MHE. DKT. PINDI H. CHANA: Mheshimiwa Spika,naomba kuunga mkono hoja.

Mheshimiwa Spika, masuala ya sera nchiniyanahitajika kufafanuliwa vema kwani masuala mengiyakiulizwa majibu huwa hakuna sera

Mheshimiwa Spika, swali, sera ni nini/scope yasera na naomba Wabunge wapewe semina. Masualamengi huenda kienyeji adhoc mfano, masuala yamaafa, sera ya maafa inasemaje? Idara ya sera inampango gani wa kuwa Accessible ili Wizara, Idarazingine za Serikali waweze kuonana nao na kujadilimasuala ya sera. Example utoaji haki kwa mujibu waIbara ya 107 ya Katiba ni suala la mhimili wa Mahakamalakini sera gani inayoruhusu Wizara ya ardhi kusimamiaMabaraza ya Ardhi ya Vijiji?

Mheshimiwa Spika, kuhusu Sera; aidha, Seralazima zitekelezwe, inakuwaje pale ambapo serahazitekelezwi na Wizara na Idara, what is the sanction?

Mheshimiwa Spika, kuhusu Bunge, tumekuwa nautamaduni wa kumtumia AG (Mwanasheria wa Serikali)je, Bunge lina Wanasheria na Mkuu wa Kitengo ni naniambaye anapaswa kujulikana, kuwashauri WabungeAccessible office of the Lawyer of Parliament.

Page 159: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

159

Mheshimiwa Spika, Kamati ya Katiba, Sheria naUtawala itaongezewa lini Expert wa Reseach attachedto Committee ili aweze kufanya utafiti wa masuala yaKatiba.

Mheshimiwa Spika, utaratibu wa kuteua safari zaWabunge kwenda nje ukoje na vigezo gani hutumika?Kwenye file langu miaka (3) sasa sijawahi kuombwa naBunge kuwakilisha mkutano wowote, angalia file langutangu niapishwe? Malalamiko hayo yapo kwaWabunge wengi, tunaomba safari za nje mtupe vigezo/uwazi kama tunavyochangia Bungeni Equality iwepo,Bunge ni mhimili muhimu.

Mheshimiwa Spika, je Makatibu wa Kamati huwawanapewa Training? Namna ya kufanya kazi na kuwa-treat Wabunge? Je, Institution ipo happy na treatmentna behavior za Makatibu Kamati wote?

Je, Wabunge wanapewa semina namna yakuwa-treat Makatibu? Lini itakuwepo semina yaWabunge na Makatibu Kamati wao? Je, Bunge linakitengo cha Reseach? Ni research zipi zinafanyika naWabunge wanaruhusiwaje kushiriki hizo research zaBunge na study mbalimbali. Lini pia jengo la Bungelitakarabatiwa?

Mheshimiwa Spika, kuhusu Government Printers,Serikali itanunua lini mitambo mipya ya mpiga chapawa Serikali hususani tunavyoelekea chaguzi za Serikaliza Mitaa.

Mheshimiwa Spika, je, Serikali inachapisha wapiballot papers na nyaraka za chaguzi za Serikali za Mitaana rasimu ya Katiba mpya. Retention ya 26% ina lengogani? Madhumuni yake ni nini? Lini Serikali itaboreshamazingira ya ofisi ya GP na maslahi ya wafanyakazi

Page 160: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

160

Mheshimiwa Spika, kuhusu CDA; eneo laChinyoya, Kata ya Mlimani lina malalamiko makubwaya wakazi.

Mheshimiwa Spika, ombi, CDA wakakae nawananchi wa Kata ya Mlimani, Chinyoya kusikiliza kerozao mapema, Serikali iwe na utaratibu wa kuwasikilizawananchi, Dialogue, Opinion box na kadhalika.

Mheshimiwa Spika, je, ni lini CDA watakwendakusikiliza hoja za wananchi wa Mlimani Chinyoya kwanikuna kero kubwa Kata ya Mlimani

MHE. DAVID Z. KAFULILA: Mheshimiwa Spika,kwanza ni kuhusu kuongeza Mapato ya Halmashauri;kuna malalamiko kuwa Serikali Kuu imechukua sehemuya kubwa ya vyanzo vya mapato vya Halmashaurinchini. Nashauri hili liangaliwe kuongeza uwezo waHalmashauri.

Mheshimiwa Spika, nashauri Serikali ipatekampuni za wataalam, wapewe kazi ya kutathminivyanzo vya mapato kwa Sheria zilizopo. Tuteuemtaalam mmoja kila mkoa afanye tathmini yaHalmashauri katika mkoa husika, hii itasaidia sanaSerikali kutambua potentials zil izopo badala yaHalmashauri kulalamika.

Mheshimiwa Spika, nashauri Serikali itoe warakakwa kila Halmashauri, iwe na Wakala mmoja tu katikaukusanyaji wa ushuru wa masoko ndani ya Halmashauri.Hii itasaidia uwajibikaji na zaidi itaongeza mapatobadala ya utaratibu wa sasa ambapo Halmashauriyenye masoko 60 inakuwa na Mawakala 60, haliinayopelekea rushwa, uzembe na udhaifu wamakusanyo.

Page 161: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

161

Mheshimiwa Spika, pili, kuboresha ubora waujenzi wa Halmashauri; sehemu kubwa ya mapato yaHalmashauri inatumika katika ujenzi wa barabara,visima, majengo. Ubora wa ujenzi wa namna zote badoni duni sana. Nashauri Serikali ianzishe mamlaka ya ujenzikwa Serikali za Mitaa (Roads and Building Agency forLocal Government). Hii itasaidia sana kusimamia ubora.Mfano mzuri, ni TANROAD ilivyo mfano. Tukiwa na Agentkama hiyo itasaidia sana.

Mheshimiwa Spika, tatu, mpango wa kuondoaVEO na WEO wasio na viwango. Mipango ya sasa yaSerikali hairuhusu mtu mwenye kiwango chini ya elimuya Sekondari kusimamia maendeleo ya Vijiji au Kata.

Natambua umekuwepo mpango wa mudamrefu kutatua tatizo hili, lakini hakuna utekelezaji kwamiaka mingi. Serikali itambue kuwa WEO na VEO ndiowatendaji wa Serikali walio karibu kabisa na wananchi,udhaifu wao una madhara makubwa kwa wananchi.

Mheshimiwa Spika, nne, Wakurugenzi waMashirika na Halmashauri wapewe ajira za Mikataba.Nashauri hil i kama njia ya kuongeza ufanisi waHalmashauri na mashirika nchini. Bado Wakurugenzi waHalmashauri na Mashirika hawafanyi kazi kwa viwangokwa kuwa hawawekewi vigezo vya kimikataba. BadoHalmashauri zinaweza kuzalisha na kuchangia SerikaliKuu.

Mheshimiwa Spika, tano, ushirika na China uwekimkakati; China imeahidi kujenga Kituo cha ViwandaAfrika hapa Tanzania. Eneo lilipangwa la Industrial Basepale Kurasini ilitakiwa Serikali ilipe fidia kiasi cha bilioni60 ili China ianze kazi. Nchi nyingine za Afrika zinapiganiafursa hiyo. Ni aibu kutenga bilioni tano kati ya bilioni 60.

Page 162: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

162

MHE. LIVINGSTONE J. LUSINDE: Mheshimiwa Spika,naomba nikushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangiajapo ni kwa njia ya maandishi. Tumeona kwa kweliSerikali yetu imejitahidi kupeleka huduma za maji, afyana nishati ya umeme kwa wingi sana. Ni wakati sasawa kusaidia Watanzania wanaoishi vijijini nao wana hakiya kupata huduma hizo muhimu sana kwa Watanzania.Masikitiko yangu ni kuona bado vipaumbele vinawekwakwenye Majiji na Mijini tena kwa kiwango cha juu sanana kusahau kabisa vijijini.

Mheshimiwa Spika, naomba Mheshimiwa Waziriaifumue bajeti yake na kuongeza pesa kwa hudumaza maji, afya na umeme vijijini. Ni aibu kubwa kwaTanzania, nchi yenye maji mengi duniani watu wakewanakufa kwa kiu.

Mheshimiwa Spika, naomba Serikali yetukuendelea kuleta matrekta mengi zaidi na kuondoakabisa jembe la mkono.

Mheshimiwa Spika, kuhusu barabara, nashauriSerikali yetu kuweka kipaumbele kwa ujenzi wabarabara ya lami kutoka Dodoma kwenda MvumiMission ambako kuna hospitali teule ya Wilaya yaChamwino ambako kuna kitengo kikubwa cha kutibumacho. Vile vile ni muhimu sana Serikali ikajengabarabara ya lami kuunganisha lami inayotoka Dodomakwenda Iringa katika Kijiji cha Mlowa barabara yakwenda Mvumi Hospitali. Kwa kuwa kujengwa kwabarabara hiyo mpya kutaleta ajali nyingi, pia katikaeneo hilo hakuna Hospitali.

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.

MHE. VITA R. M. KAWAWA: Mheshimiwa Spika, ilikupunguza gharama na matumizi yasiyo ya lazima ya

Page 163: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

163

Serikali, nashauri tuwe tunatazama vifaa vyenyethamani kubwa sana vinavyotaka kununuliwa katikautekelezaji wa majukumu yaliyo mbele yake. Kamakazi ya vifaa/mitambo hiyo/hivyo vinafanana na katikamazingira ambayo Wizara au Taasisi kazi zakezinafanana siyo lazima kununuliwa kwa kila Taasisi pekeyake.

Mheshimiwa Spika, kwa mfano, tuna kazi yavitambulisho vya Taifa, lakini pia kuna uboreshaji wadaftari la wapiga kura, kazi ambazo zitahitaji wananchikupata vitambulisho vya uraia na cha mpiga kura, hivyokazi hizi mbili zitahitaji camera na mashine za kuchukuliaalama za vidole na kazi hizi pia zinatakiwa ziwezimekamilishwa kabla ya mwaka 2015.

Mheshimiwa Spika, sioni ulazima wa kila taasisihizi mbili kununua peke yake vifaa hivyo kwa kuwavinahitaji fedha nyingi, mabilioni kwa vifaa vyake, kwanini visinunuliwe na vitumike kwa pamoja (as a jointmission). Naamini kwa teknolojia iliyopo sasa ya hali yajuu haitashindikana kuzitawanya taarifa zake picha,alama za vidole kwenda katika kila taasisi hizi mbilikufanya kazi zilizokusudiwa.

Mheshimiwa Spika, hii itapunguza Dublication ofDisbursement of Public Fund for the similar mission.Nyingine unakuta, uhamiaji wanataka Boti, Police Boti,mafuta, matokeo yake zinanunuliwa kwa gharamakubwa, halafu zinakosa bajeti za kuzi-run halafu zinaozamajini.

Mheshimiwa Spika, Serikali imefanya kazi kubwachini ya Wizara ya Kilimo na Bodi ya Tumbaku kusaidiakukua kwa zao la tumbaku na kufanya zao hili kufanyamarekebisho mbalimbali ya mfumo wa uzalishaji na sokoambao ulisaidia kuongezeka kwa zao toka tani (40,000)

Page 164: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

164

mwaka 2005/2006 na kufikia tani (129,000) mwaka 2010/2011, kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa tokatumbaku kuanza kuzalishwa nchini na kutoa patokubwa na kuwa la kwanza linaliuza nje na kuingizafedha za kigeni mfululizo. Lakini kumejitokeza jambokupitia Vyama Vikuu vya Ushirika ambalo likiachiwalitawakatisha tama wakulima wa tumbaku kulima zaohili.

Mheshimiwa Spika, jambo lenyewe ni baadhi yaviongozi wa Vyama Vikuu wanagushi mikopo yawakulima na wanayopitisha katika makisio yao yakukopa katika mikutano mikuu ya Vyama vya Msingi nakuiongeza na kwenda kusimamia hadi kupatikana, lakinimgawanyo wa makisio ya Vyama vya Msingiunakwenda kama kawaida, lakini i le ziadawaliyoiongeza bila ridhaa ya wakulima wanaitumia waowanavyojua, lakini deni lote analipa mkulima.

Mheshimiwa Spika, naomba Serikali iingilie katiWilaya yetu na sehemu zote zinazolima tumbakuwakague na wachukuliwe hatua wahalifu hao kwanikuna ubadhirifu mkubwa wa fedha.

Mheshimiwa Spika, jambo hili si la kulicheleweshakwani limewapa mzigo mkubwa wa deni wakulima nakwa kuwa ushirika wana sheria yake ambayo ikogorvern kwa mujibu wa taratibu za ushirika, lakini Serikalikuu inayo uwezo wa kuingilia kati na kuisimamia.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. DIANA M. CHILOLO: Mheshimiwa Spika,napenda kutumia nafasi hii kwa njia ya maandishikumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa hotubayake nzuri yenye kujaa mikakati ya miradi mbalimbaliitakayotekelezwa kupitia bajeti ya mwaka wa fedha

Page 165: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

165

2013/2014 ikiwemo miradi ya maendeleo kadhaa yaMkoa wa Singida.

Mheshimiwa Spika, vile vile nawapongeza Waziriwa TAMISEMI, Mheshimiwa Hawa Ghasia; Waziri waNchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge,Mheshimiwa William Lukuvi; Waziri wa Uwekezaji,Mheshimiwa Dkt. Mary Nagu na Manaibu MawaziriMheshimiwa Agrey Mwanri na Mheshimiwa KassimMajaliwa; Katibu Mkuu na watendaji wote walioshirikikuandaa hotuba nzuri ya Waziri Mkuu na kwa utendajiwao uliotukuka kutekeleza majukumu yao.

Mheshimiwa Spika, ujenzi wa hospitali ya rufaa,Mkoa wa Singida; pamoja na ukweli kuwa Serikaliimekuwa mstari wa mbele kutenga fedha za kuchangiaujenzi wa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Singida, ujenzihuu uli ibuliwa chini ya uongozi wa Mkoa waMheshimiwa Dkt. Parseko Kone, RAS na watendaji wotewa Mkoa bila kuwasahau Wabunge wote wa Mkoa waSingida.

Mheshimiwa Spika, ombi maalum, kwa kuwabajeti ya 2012/2013, Serikali ilitenga shilingi milioni 1.8,lakini fedha ambazo zimekwishapelekwa ni shilingi bilionimoja tu. Kwa heshima na unyenyekevu mkubwanaomba sasa salio la shilingi milioni mia nane ili Mkoauweze kununua samani kuweka kwenye majengoambayo tayari yameshakamilika ili majengo hayoyaweze kufanya kazi.

Mheshimiwa Spika, niendelee kuishukuru Serikalikwa kukubali kutenga shilingi bilioni 3.5 ili ujenzi wa jengokubwa la uchunguzi wa magonjwa yasiyoambukiza,mfano, kansa, kisukari na kadhalika jengo ambalolitagharimu Sh. bilioni nane. Ili jengo hili ujenzi wakeufike nusu tunatakiwa tuwe na sh. bilioni nne. Naiomba

Page 166: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

166

Serikali ikubali kutuongezea shilingi milioni mia tano iliujenzi huu ufike nusu na bajeti ijayo itenge shilingi zinginebilioni nne kumalizia jengo.

Mheshimiwa Spika, ni ukweli usiofichika kuwahospitali hii ikikamilika na kufunguliwa itasaidiawananchi wa Mikoa ya Tabora, Shinyanga, Manyara,Dodoma na Mkoa husika wa Singida. Nina mategemeomakubwa Serikali yetu yenye kuwajali watu wakeitakuwa tayari kuleta sasa shilingi milioni mia nane nakutuongezea shilingi milioni mia tano.

Mheshimiwa Spika, riba kubwa kwenye benkizetu; natambua wazi kuwa ajira bado hazitoshelezi kwawahitimu wote nchini, nawapongeza Watanzania wotewalioamua kujiajiri kwa kuainisha miradi mbalimbali yakujitegemea wakiwemo wanawake na vijana. Tatizolinalowasumbua ni riba kubwa wanayodaiwa kupitiamikopo wanayokopa kwenye mabenki.

Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali kukaa namabenki haya yanayokopesha kupunguza riba iliwanawake na vijana wanaokopa waweze kupatafaida. Sasa hivi faida kubwa yananufaika mabenkimfano CRDB riba ni asilimia 22, ipunguzwe.

Mheshimiwa Spika, harakati za kupambana naUKIMWI bado zinakwamishwa na mambo mbalimbali;hivyo, napenda kushauri kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, fedha za UKIMWI hazinamatumizi mazuri, hii ni kwa sababu Kamati za UKIMWIwajumbe wake hawana dhamira thabiti ya kulindafedha hizi. Ushauri, naomba muundo wa Kamati hizizitazamwe upya wateuliwe wale wenye NGO waliokokwenye Halmashauri husika bila kuwasahau Wabungewa Viti Maalum.

Page 167: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

167

Mheshimiwa Spika, waratibu wa UKIMWI Mikoaniwapatiwe magari ili waweze kufutilia vizuri masuala yaUKIMWI.

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa sera ya kuanzishaMfuko wa UKIMWI Tanzania, tayari Baraza la Mawazirililikwisharidhia, naomba Muswada uletwe Mkutano waBunge la Kumi na Mbili ili Bunge liweze kupitisha Mfukowa UKIMWI uanzishwe.

Mheshimiwa Spika, Serikali iajiri waratibu waUKIMWI wa Wilaya ili waweze kusimamia vema fedhazinazopelekwa kwenye Halmashauri zetu kwani sasa hiviwanaosimamia ni watendaji wenye idara zao, hivyowanakaimu.

Mheshimiwa Spika, Mwenyekiti Mtendaji waTACAIDS aungwe mkono na timu yake kwa juhudi zaonzuri.

Mheshimiwa Spika, kuhusu madawa ya kulevya;ni ukweli usiopingika kuwa UKIMWI na madawa yakulevya, matatizo haya yana uhusiano wa karibu. Ilimapambano haya ya madawa ya kulevya yafanikiwe,ni lazima vita vyake viunganishwe na waratibu waUKIMWI washughulikie pia madawa ya kulevya ilimapambano haya yaende Mikoani hadi Wilayani kulikoilivyo sasa mapambano yako Dar es Salaam wakatimadawa yako nchi nzima.

Mheshimiwa Spika, vile vile Tume hii iongezewefedha ili iweze kukabiliana na wafanyabiashara haramuwa madawa ya kulevya ambao wanayo nguvu yafedha na watendaji wetu maskini vile vile wapewemadaraka ya kujitegemea, hatua zote za ukamatajihadi kuwapeleka Mahakamani kama TAKUKURUinavyofanya. Hii itapunguza tatizo la kupotea kwa

Page 168: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

168

ushahidi mfano, madawa yalikamatwa na Polisi mwishoyakawa sukari.

Mheshimiwa Spika, mwisho, napenda kumaliziakwa kuunga mkono hoja, nikitegemea mchangowangu utafanyiwa kazi na Serikali.

MHE. AUGUSTINO M. MASELE: Mheshimiwa Spika,naunga mkono hoja ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kwahotuba yake yenye hoja za msingi za maendeleo yawananchi wa Tanzania. Ofisi ya Waziri Mkuu ndiyoumma wa Watanzania kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Mheshimiwa Spika, tunaishukuru Serikali kwakutenga maeneo mapya ya utawala ya Mikoa naWilaya. Katika hili, naishauri Serikali itoe kipaumbele chakuyapatia maeneo haya mapya fedha za kutosha kwaajili ya kuyaendeleza, ikiwemo upimaji wa mipango miji.

Mheshimiwa Spika, suala la umeme ni mhimiliwa maendeleo na uwekezaji, katika sekta hii ya madini,ni la kufa na kupona hasa ikizingatiwa kwamba nchiyetu inaendelea kwa kasi katika masuala ya kiuchumina nyanja zinginezo.

Mheshimiwa Spika, uzalishaji wa umeme kwa njiaya maji kwa sasa hautabiriki kutokana na kutokuwa namvua za uhakika, hivyo ni vema tukaanza kuwekezakwa nguvu zaidi katika gesi asilia, makaa ya mawe,nguvu za upepo na nguvu za jua.

Mheshimiwa Spika, kuwepo kwa umeme wauhakika kutasaidia kuvutia wawekezaji wa ndani na njeya nchi na hivyo kuharakisha katika uanzishaji waviwanda ambavyo vitaajiri Watanzania wengi na hivyokupunguza kasi ya ongezeko la upungufu wa ajira kwa

Page 169: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

169

vijana wetu wanaohitimu katika vyuo mbalimbali hapanchini.

Mheshimiwa Spika, suala la ongezeko la watunchini linatisha hivyo ni rai yangu kwa Serikali kwamba,idhibiti ongezeko la watu na ongezeko la mifugo.Matokeo yake ni uhaba wa ardhi na matokeo yake nikukosa chakula na magomvi baina ya wakulima nawafugaji.

Mheshimiwa Spika, MKURABITA badohaujaeleweka vizuri baina ya wananchi na vyombo vyafedha nchini. Wapo wananchi wamemilikishwa ardhizao kwa sheria za kimila lakini hati za Kimila zitumikekuwawezesha kutumia kama dhamana katika vyombovya fedha ili zisaidie wakulima kuboresha maisha yaona pato la Taifa.

MHE. CHRISTOWAJA G. MTINDA: MheshimiwaSpika, kwa kuwa suala la Makao Makuu ya Serikalikuhamia Dodoma ni la miaka mingi, ningeomba sasaSerikali itoe tamko ama iachane na wazo la kuhamiaDodoma au iamue sasa kuhamia Dodoma mapemaiwezekanavyo.

Kwa kushindwa kutekeleza suala hili, Serikaliimejikuta ikiingia gharama kubwa za uendeshaji kwakuhudumia Ofisi mbalimbali, yaani Dar es Salaam naDodoma. Mfano mzuri ni huduma inayotolewa kwaMawaziri na Makatibu Wakuu wa Wizara. Waziri auKatibu Mkuu anapewa nyumba Dodoma na Dar esSalaam, zinazohudumiwa na Serikali kwa asilimia miamoja kuanzia samani mpaka house keeper na housegirl na gharama hizi zinajumuisha makazi yote ya Dares salaam na Dodoma. Haya ni matumizi mabaya yafedha za umma.

Page 170: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

170

Serikali ingeamua moja, kusingekuwa namatumizi haya ya fujo na badala yake fedha hizizingetumika kununua madawa, vifaa tiba, vifaa vyahospitali na zingeweza kuboresha maisha ya walimu,shule na kuinua maisha ya Watanzania kwa ujumla.Naomba kutoa ushauri kwamba, kama Serikali imeonasababu za kuhamishia Makao Makao ya Serikalizimepitwa na wakati na nisisitize ni kweli zimepitwa nawakati, basi siyo dhambi kusema kwamba MakaoMakuu yawe Dar es Salaam.

Mheshimiwa Spika, pamoja na ukweli kwamba,Serikali imekamilisha taratibu za kuanzisha Halmashaurimpya 31 ili kusogeza huduma karibu na Wananchi namoja ya Halmashauri hizo ni ya Wilaya ya Ikungi(Singida); ningeomba Halmashauri hii ipewekipaumbele il i ianze kufanya kazi kwa sababuHalmashauri ya sasa ya Wilaya ya Singida inajumuishamajimbo matatu; Singida Magharibi, Singida Masharikina Singida Kaskazini. Mkurugenzi anaelemewa na uzitomkubwa wa kuendesha Halmashauri hii kutokana naukubwa wa eneo na hivyo shughuli za utawalakutokuwa na ufanisi.

Nahitaji majibu ni lini Halmashauri hii itaanzishwaili kuwahusisha watendaji katika Halmashauri.

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.

MHE. EUSTACE O. KATAGIRA: Mheshimiwa Spika,naipongeza hotuba nzuri, lakini pia ninapongezauendeshaji mzuri wa shughuli.

Mheshimiwa Spika, tunashukuru kupewa Wilayampya. Huku ni kulifanya Jimbo la Kyerwa kuwa Wilayampya ya Kyerwa pamoja na Halmashauri ya Kyerwa.

Page 171: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

171

Tunashukuru mpango wa kuanza shughuli za ujenzi.Tunaomba utaratibu huu wa ujenzi uende haraka.

Mheshimiwa Spika, tunaomba pesa zinazotolewakwa kila Wilaya kwa ajili ya ujenzi zisilingane. Kyerwatoko pembezoni na mfuko wa cement ni shilingi 24,000,Morogoro ni shilingi 14,000, tofauti shilingi 10,000.

Vilevile mafuta ya Diesel Kyerwa ni shilingi 2,600,Morogoro shilingi 2000. Ninapendekeza tupewe hakisawa lakini wa pembezoni tuongezewe hardship factorya kufidia bei ya vifaa.

Mheshimiwa Spika, dawa ya upotevu wa pesadawa kuimarisha Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani(Internal Audit Unit). Mkaguzi wa Nje anafaa lakinihusubiri mambo yaishe ndiyo atuletee kilio wakati pesaimekwishaliwa. Yeye hutuletea yaliyoisha. Anayezuiani Internal Audit. Yupo kwenye shirika. Tuwape nguvu,tuajiri wasomi. Utaratibu wa kuwa na Supreme InternalAuditor ufanye kazi vizuri. Wawe huru.

Mheshimiwa Spika, ninaunga mkono hoja.

MHE. GODBLESS J. LEMA: Mheshimiwa Spika,ninachukua fursa hii kuchangia Hotuba ya Waziri Mkuukatika mambo ya msingi kama nitakavyoandika nakueleza kwa ufupi na umakini.

Mheshimiwa Spika, Dunia inapitia kwenye wakatimgumu sana wa changamoto ya mazingira na Taifaletu kama sehemu ya Dunia, tunaishi katikachangamoto hizi.

Mheshimiwa Spika, kama hatua muhimu na zahakika zisipochukuliwa kuhusu suala la mazingira, hakikani kwamba, Taifa letu na Dunia kwa ujumla, litaingiakwenye wakati mgumu na mbaya siku za usoni.

Page 172: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

172

Mheshimiwa Spika, ningependa niishauri Serikaliitilie mkazo wa makusudi katika suala la mazingira naSerikali kupitia Halmashauri zake itengeneze mikakatiya upandaji miti na itungwe sheria ambayo italazimishakila kaya zenye nafasi katika makazi yao kupanda mitikwa lazima, kwani hakuna sababu tena ya kuangaliaTaifa linakuwa jangwa.

Mheshimiwa Spika, vile vile Halmashauri zetu kotenchini, zitengeneze plan za upandaji miti katikaHalmashauri zao bila kujali aina na location yaHalmashauri husika.

Mheshimiwa Spika, kila kinachofanyika leo katikaTaifa letu, kitaendelea sana kutegemea hali bora yanchi yetu hasa katika Sekta hii muhimu ya Mazingira.

Hivyo basi, ni bora Serikali ikaona umuhimumkubwa wa ustawi wa Taifa letu utathibitika kwakujenga na kuimarisha mazingira katika nchi yetu katikamikakati mbalimbali na suala la mazingira lipewekipaumble muhimu sana. Kwani tofauti na hivi, Taifa letulitapotea na kuwa sehemu mbaya ya kuishi kwa vizazivinavyokuja.

Mheshimiwa Spika, jambo lingine ambaloningependa kuongelea ni uwajibikaji; kuna tatizo kubwasana katika Idara mbalimbali za Serikali na hataMashirika ya Umma.

Mheshimiwa Spika, kwa umakini sana, ukifanyautafiti utagundua kuwa Ofisi mbalimbali za Serikalizinaendeshwa bila kuzingatia sheria, maadili na haki zakazi. Hii inasababishwa na kutokuwepo na dhana yakujitoa na kuwajibika, ambayo pia imesababishwa nauzembe wa matumizi ya akili ipasavyo.

Page 173: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

173

Mheshimiwa Spika, ni rai yangu kuiomba Serikaliitafute njia maalum na muhimu kusaidia kujenga uwezokwa watu wake hasa wafanyakazi kutambua umuhimuwa kufikiri chanya, kwani mambo mengi yanakwamakwa sababu ya uwezo duni wa kufikiri ambaounasababishwa na kutokuwepo na uwajibikaji kwanzakatika fikra ambako ndiko kunakoanzia nguvu ya fikrana uwezo wa kufanya na kushinda.

heshimiwa Spika, maji ni uhai, katika Jimbo langula Uchaguzi la Arusha Mjini, Wananchi wengi takribanasilimia 70 hawana maji safi au hawapati maji bora nasalama.

Mheshimiwa Spika, ninaiomba Serikali itambuekuwa, suala la maji haliwezi kujadiliwa muda mrefu bilaufumbuzi, kwani hakuna mbadala wa maji katikamaisha ya binadamu; hivyo basi, Watanzania wa Arushawamechoka kuvumilia kuishi bila maji. WanaitakaSerikali iwajibike mara moja siyo kutafuta sababu nachangamoto kwa nini watu hawana maji bali kutafutasolution ya kuleta maji haraka iwezekanavyo kwanifamilia na watoto wanateseka sana na mimi kamaMbunge wao nimechoka kuvumilia kuona mateso yao.

Mheshimiwa Spika, ninaamini kabisa kwa vile majini uhai, basi Serikali itaangalia kwa makini suala hiliambalo ni tatizo nchi nzima na hasa Arusha.

MHE. RAYA IBRAHIM KHAMIS: Mheshimiwa Spika,ningependa kuzungumzia suala la kero za Muungano,kwani limeundiwa kamati ambayo ni ya muda mrefuna mpaka sasa si chini ya miaka 40. Cha ajabu, kilakikao hiki kikikaa, hatuambiwi lolote kuhusiana naufumbuzi wa kero hizo. Mfano, katika Hotuba ya Ofisiya Waziri Mkuu, ukurasa wa 14 na 15 ameelezea kuwa,

Page 174: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

174

Tume hiyo imekutana, yaani kutoka SMT na SMZ, lakinihatujui nini kinaendelea mpaka sasa.

Mheshimiwa Spika, ni vizuri tuambiwekinachoendelea katika Tume hiyo il i kujua ninikinaendelea katika Tume hiyo kuhusiana na masualayote ya kero za Muungano ambayo bado ni kerokubwa. Toka Tume iundwe mpaka sasa ni muda mrefu,lakini hakuna hata kero moja iliyopatiwa ufumbuzi, nivyema kujua kinachoendelea.

Mheshimiwa Spika, TAKUKURU imekuwa nachangamoto nyingi katika utekelezaji wake kamaambavyo inaelezwa katika kifungu cha 57 cha Sheriaya TAKUKURU. Kinainyima Taasisi hii mamlaka ya kushtakikatika kesi kubwa kubwa (Nyangumi) na kupewa tumamlaka ya kushitaki vidagaa (kesi ndogo ndogo). Hiini hatari na pia Taasisi hii inahujumiwa haki ama nafasiya kufanya kazi zake kwa kina na upana zaidi.

Mheshimiwa Spika, kifungu cha 27 cha Sheria yaTakukuru kinahusu wanaojilimbikizia mali na katika sualahili kuna kesi zisizopungua 100 Mahakamani. Hivyo nivyema kesi za Taasisi hii ziwekewe mfumo maalum wakumalizwa haraka bila ya kuchukua muda mrefu.

Mheshimiwa Spika, Sheria ya TAKUKURUinayoeleza adhabu dhidi ya mhalifu ina upungufu kwaniadhabu kubwa au faini kubwa mwisho wake ni shilingimilioni 10 tu, wakati wahalifu wanaona pesa hizo amaadhabu hiyo kwao si kitu. Napendekeza sheria hii yaadhabu na faini iangaliwe vizuri na pia adhabu amafaini ithaminishwe na uzito wa kosa au thamani ya kiasiambacho mhalifu amekutwa nacho.

Mheshimiwa Spika, Sheria ya Ushahidi (EvidenceAct), ambayo tunaitumia Tanzania imepitwa na wakati

Page 175: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

175

kwani ni ile ya mwaka 1872 ya India. Hivyo, ni vigumukwa Sheria hii iliyopitwa na wakati kuleta haki naushahidi wake pia upo ki-technically zaidi. Ni vyema piaEvidence Laws tunazotumia ziwe zinalingana na wakatindiyo itatenda haki zaidi.

Hivyo basi, maoni yangu ni kuongezaWafanyakazi wa TAKUKURU kwani ni wachache. Piasheria zote zenye upungufu na hasa nilizozitaja hapojuu, zifanyiwe marekebisho ili kuondoa kero katika Taasisihii na kuongeza ufanisi. Vilevile ipewe mamlaka yakushtaki kesi za aina zote (Nyangumi na Vidagaa) ilikufanya kazi kwa ufanisi zaidi. Bila kuisahau Bajeti yakekwani yote hayo bila ya ongezeko la bajeti hayawezikutekelezeka.

Mheshimiwa Spika, tumeona baadhi ya Kambiza Jeshi zinazalisha chakula lakini bado wanalipamzabuni kwa kuwauzia chakula na kununua toka kwakehali ya kuwa hanunui nafaka ama vyakulavinavyolimwa katika Kambi hizo.

Mheshimiwa Spika, napendekeza kuwe na sheriainayomlazimu mzabuni kununua vyakula kutoka katikaKambi husika; mfano, mahindi, mchele, mayai ya kuku,matunda na kadhalika. Kufanya hivyo, kutapelekeakupungua gharama za kulipia chakula.

Mheshimiwa Spika, katika Kambi za Jeshi ni vizurikuwe na mafunzo ya kiufundi ya VETA ili kuwasaidiavijana waliopo kambini kuwa na ujuzi na endapoanatoka Kambini au kuhitimu mafunzo, aondoke naujuzi wake ambao utamsaidia anapokwenda kuwezakujiajiri na siyo kusubiri kuajiriwa.

Mheshimiwa Spika, namna ya kuajiri vijanawanaomaliza mafunzo yao, kuwe na utaratibu maalum

Page 176: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

176

unaotumika kwani utaratibu uliopo sasa unaonekanakuwa na sura ya upendeleo na kuwakatisha tamaavijana ambao hawana ajira, hali ya kuwa wanafahamuvizuri namna ya kutumia silaha na kubaki mtaani bilaajira yoyote. Hivyo, ni rahisi kwao kuingia katikamagenge yasiyofaa. Kuwajengea VETA wataondokana ujuzi na kuutumia uraiani endapo watakosa kuajiriwana kujiajiri wenyewe.

Mheshimiwa Spika, kumekuwepo na maafambalimbali yaliyopoteza watu wengi kwa muda mfupibila ya kupatiwa ufumbuzi; mfano, kuzama kwa Meliya Mv Bukoba, watu wengi walipoteza maisha bilakuokolewa. Vivyo hivyo katika Mv Spice na Mv Skaget.Isitoshe pia kumekuwa na tatizo la vifaa vya uokoajihata kwa upande wa nchi kavu.

Mfano mzuri, juzi tu kama siku mbili kabla yaBunge hili, watu wawili wamepoteza maisha kwa kukosamsaada wa uokozi. Hivyo basi, mapendekezo yangukwa eneo hili ni suala la kuwa na vyombo vya uokozi.

Katika bajeti hii ya ni vizuri Serikali kutenga kiasimaalum kwa ajili ya maafa, siyo tu kwa kutoa pole aufidia kwa waliopatwa na maafa, bali ni vyombo vyakuokolea watu ambavyo vitatumika kuokolea maishaya watu endapo patatokea suala lolote.

MHE. MARGARET S. SITTA: Mheshimiwa Spika, relini uti wa mgongo wa uchumi wetu. Reli ya Kati haifanyikazi ipasavyo na kusababisha magari makubwa yamizigo kuharibu barabara zilizojengwa kwa gharamakubwa.

Serikali itoe kipaumbele katika kutengeneza Reliya Kati ili pia iongeze mapato kwa kubeba mizigo yanchi jirani za DRC, Rwanda na Burundi na Uganda.

Page 177: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

177

Mheshimiwa Spika, Serikali isaidie wakulimakupata soko la mazao yao, wanahangaika sana kuuzaTumbaku, Pamba, Korosho, Pareto hata mazao yachakula.

Mheshimiwa Spika, pembejeo haziwafikiiwakulima kwa wakati na kuathiri mazao na kukatishatamaa wakulima.

Mheshimiwa Spika, tatizo la maji ni kubwa sanaMkoani Tabora na hasa Wilayani Urambo. Serikali inampango gani wakuwapatia maji?

Mheshimiwa Spika, Wafanyakazi hawatoshikatika Hospitali na Zahanati. Utaratibu uliopo wakuwapata wafanyakazi uangaliwe upya ili wapatikanekatika zahanati hasa vijijini. Urambo kuna zahanati tatuhazina wafanyakazi na zimekamilika zikiwa na nyumbaza wafanyakazi.

MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Spika,Halmashauri zishirikiane na Baraza la Madiwani iliziruhusiwe kuwaajiri watumishi, badala kutegemeaTAMISEMI kuajiri watumishi wa ngazi zote wakatiwanaokuwa karibu na watumishi hao ni Halmashauri.

Mheshimiwa Spika, Halmashauri nyingi kunawatumishi wengi wanakaimu nafasi za Ukuu wa Idarana wanakaimu kwa muda mrefu. Naomba Serikaliiliangalie hili ili walio na sifa waweze kuthibitishwakwenye nafasi hizo.

Mheshimiwa Spika, Tender Board iunganisheMadiwani wote na watoe maamuzi ya pamoja, isiweWakuu wachache wanatoa mapendekezo na kufanyakazi hiyo kuwa ngumu. Wapo baadhi ya watu hutoatender kwa marafiki au ndugu zao na kushindwa

Page 178: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

178

kufanya kazi kama inavyotakiwa na hivyo kuletausumbufu.

Mheshimiwa Spika, naomba vijiji ambavyo vinamatatizo ya umeme ambavyo viliahidiwa kuupatatangu bajeti ya mwaka 2011 vipatiwe umeme.

Mheshimiwa Spika, maji ni kero kubwa; Jimbo laKorogwe Vijijini maji ni kero kubwa sana, naomba Serikaliiangalie suala hili.

MHE. CHARLES M. KITWANGA: Mheshimiwa Spika,nianze kwa kumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu,Waziri wa Nchi (TAMISEMI) na Manaibu wake, pamojana Watendaji wa Wizara kwa kuanza kuifufua Misungwikutoka katika wizi uliokithiri hadi kufikia hati yenyemashaka, kwa sababu ya Audit Queries zaidi ya 100.Vikao vya Halmashauri ya Wilaya sasa vinafanyika kwautulivu na kwa muda mfupi na kwa kujadili issues badalaya mrundikano; tunaomba hali hii i l indwe nakudumishwa.

Mheshimiwa Spika, kwa sababu ya matatizoambayo yamekuwepo kwa zaidi ya miaka 15, naombaWilaya hii iangaliwe kwa jicho la huruma ili Wananchiwaweze kupata huduma ambazo kwa muda mrefuhawakuzipata. Naomba tupewe Wakuu wa Idara katikaeneo la Ujenzi, Afya, Maji na Afisa Elimu Sekondari.

Mheshimiwa Spika, vilevile nashukuru kwa kupataDED, DT na Afisa Mipango, ambao wameoneshaushupavu na mabadiliko yameonekana.

Mheshimiwa Spika, Binadamu hatuishi kuomba,lakini hii inasababishwa na hali halisi; mwaka janatulikuwa na ukame tukawa na njaa, mwaka huutumepata mafuriko na Wananchi wengi hawana

Page 179: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

179

makazi, tunaomba msaada wa haraka. Kuzisaidiafamilia ambazo hazina mahala pa kukaa (zaidi yafamilia 100) vilevile miundombinu ya barabaraimeharibika sana na viji j i vingi havifikiki kabisa.Tunaomba msaada wa haraka kurudisha mawasilianokatika maeneo haya. Vilevile msaada wa haraka wachakula katika maeneo yaliyoathirika utolewe.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja kwaasilimia mia moja.

MHE. PROF. PETER M. MSOLLA: Mheshimiwa Spika,awali ya yote, napenda kumpongeza MheshimiwaWaziri Mkuu, kwa hotuba yake nzuri na yenye kuletamatumaini makubwa kwa maendeleo ya nchi.

Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali iiangalieupya Sheria ya Manunuzi (PPRA) ili kuondoa urasimu,gharama kubwa na kusababisha baadhi ya Miradikutotekelezwa; kwa mfano, uchimbaji wa kisima chamaji chenye gharama halisi kuwa shilingi milioni 40, lakinikwa kupitia Sheria ya Manunuzi (PPRA), gharama hizohufikia shilingi milioni 400! Huu ni upotevu mkubwa wafedha za Serikali.

Mheshimiwa Spika, utaratibu wa kutoa mboleaya ruzuku kwa vikundi kupitia Benki uangaliwe vizuri nausianzishwe mwaka wa fedha wa 2013/2014 ili Serikaliiweze kufanya matayarisho ya kutosha.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. ANDREW J. CHENGE: Mheshimiwa Spika,napenda nichukue fursa hii kusema yafuatayo:-

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja yaMheshimiwa Waziri Mkuu. Naipongeza hotuba yake kwamaelezo mapana na ya kina.

Page 180: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

180

Mheshimiwa Spika, napongeza kwa dhatij itihada za Serikali za kuwaletea maendeleoWatanzania. Hata hivyo, napenda kutoa ushauri kuhusumatumizi ya Serikali ambayo yanakua kwa kasi mwakahadi mwaka ikilinganishwa na mapato ya ndani(mapato yatokanayo na kodi, mapato yasiyotokana nakodi na mapato ya Halmashauri).

Kulingana na sura ya Bajeti ya Serikali kwamwaka 2013/2014, Bajeti itakuwa na nakisi ya shilingitakriban trilioni mbili. Hii inamaanisha kuwa, makusanyoyetu ya ndani hayakidhi hata matumizi ya kawaida nahivyo kutegemea misaada na mikopo ya kibajeti kutokakwa washirika wetu wa maendeleo. Kwa kipindi kirefu,Serikali imekuwa ikiahidi kupunguza matumizi yasiyo yalazima, lakini kwa kiwango kikubwa ahadi hizohaziendani na hali halisi, kwani matumizi ya maendeleohadi sasa hayajafikia asilimia 35 ya matumizi yote kamaMpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano unavyotaka.

Mheshimiwa Spika, nashauri Serikali iangalie upyamatumizi yake, kama ununuzi wa magari ya kifahari,gharama za kuendesha na kutunza magari hayo,semina, kongamano na warsha, posho na kadhalika.Serikali ije na mkakati unaoonesha itakavyopunguzamatumizi mengi yasiyo ya lazima ili savings zielekezwekwenye matumizi ya maendeleo.

Mheshimiwa Spika, sasa nijielekeze kwenye Mradiwa Kuimarisha Miundombinu na uwezo Katika Miji(Urban Local Government Strengthening Project –ULGSP), ambao ulianza kutekelezwa na Serikali katikamwaka huu wa fedha wa 2012/2013. Mradi huo katikaawamu ya kwanza ya miaka mitano, unahusishaHalmashauri za Manispaa kumi na moja na Halmashauriza miji saba ikijumuisha Mji wa Bariadi ambao pia ni

Page 181: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

181

Makao Makuu ya Mkoa waSimiyu.

Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa makubalianokati ya Serikali yetu na Benki ya Dunia, kigezo cha msingicha kugawa rasilimali fedha chini ya Mradi huo ni idadiya watu wanaoishi katika mipaka ya Halmashaurihusika. Wakati Mradi huu unaasisiwa, Mji wa Bariadiulikuwa na wakazi wasiopungua sitini elfu. Jambo lakushangaza na kusikitisha, takwimu zinaoneshakwamba, Mji wa Bariadi ulikuwa na wakazi 15,000 tu.

Mheshimiwa Spika, napenda wakati MheshimiwaWaziri Mkuu atakapokuwa anahitimisha hoja yake,awaeleze Wakazi wa Mji wa Bariadi nini hasa kilichojirina hivyo kupelekea kupindisha kwa makusudi idadi yawakazi wa Mji wa Bariadi.

Mheshimiwa Spika, matokeo ya uamuzi huu waudanganyifu ni kuunyima Mji wa Bariadi na Wakazi wake(watu 154,500 kwa Sensa ya Watu na Makazi 2012),mgao stahiki wa rasil imali fedha. Ukweli huuunadhihirishwa na mgao wa fedha unaopendekezwakwa Halmashauri za Miji saba kwa mwaka wa fedha2013/2014 kama inavyooneshwa katika Vol. IV Part Akama ifuatavyo:-

Mji 2013/2014

Kibaha Sh. 276,864,000/=

Geita Sh. 259,560,000/=

Babati Sh. 229,896,000/=

Mpanda Sh. 168,096,000/=

Korogwe Sh.192,816,000/=

Page 182: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

182

Njombe Sh.121,128,000/=

Bariadi Sh. 54,384,000/=

Mheshimiwa Spika, nashauri Wakazi wa Mji waBariadi watendewe haki kwa kupewa mgao stahiki warasilimali fedha kwa kuzingatia idadi halisi ya Wakazi waMji huo na siyo idadi ya kufikirika ambayo imetumika.

Mheshimiwa Spika, nawasilisha na ninaungamkono hoja.

MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE: Mheshimiwa Spika,naanza kwa kuunga mkono hoja iliyoletwa mbele.Aidha, baada ya kuunga mkono hoja, naombanichangie baadhi ya maeneo kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwakuanzisha maeneo mapya ya kiutawala, yenye tafsiriya kusogeza huduma karibu na Wananchi. Utaratibuhuu umeanzisha Wilaya mpya ya Kalambo naHalmashauri ya Kalambo, yenye Makao Makuu yakeMji Mdogo wa Matoi.

Kwa kuzingatia umuhimu wa ujenzi unaozingatiamakazi bora, Uongozi wa Wilaya ya Kalambo ulisitishaujenzi na kutopimwa viwanja mpaka mpangokabambe (Master Plan) iwe tayari ili kujenga mji wakisasa, wenye kuainisha vizuri maeneo na matumiziyaliyowekwa bayana.

MheshimiwaSpika, pamoja na jitihada nzuri zaWilaya na Halmashauri kuhakikisha ujenzi unaofanyikabaada ya Master Plan kuwa tayari, ni jambo lisiloingiaakilini kwamba, Serikali haijatenga pesa kwa ajili yakutayarisha Master Plan. Cha kushangaza zaidi, pesazimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya Mkurugenzina nyumba za watumishi. Tafsiri yake ni kuomba ofisi

Page 183: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

183

na hizi nyumba zijengwe bila kuzingatia utengaji namatumizi bora ya ardhi na kupanga miji yetu.

Naiomba Serikali ihakikishe kwamba, pesainatengwa ili Master Plan iweze kuandaliwa kwa kutumiaChuo Kikuu cha Mbeya (MUST), kwani tumeshafanyanao maongezi ya awali, lakini pia kwa kushirikiana nawataalamu kutoka Wizara ya Ardhi na Maendeleo yaMakazi ili kufanikisha suala hili.

Mheshimiwa Spika, kupatiwa kinyemela mali yaWatanzania Shirika la Usagishaji la Taifa Arusha; juziniliuliza swali nikitaka Serikali ifanye utafiti juu ya bei halisiya zao la mahindi na bei ya unga wa sembe.

Mheshimiwa Spika, utaratibu wa kuongezathamani kwa kusaga mahindi na kuwafikishia Wananchikwa bei nafuu, hauwezi kufikiwa kwa kuiachia sektabinafsi kwani nguvu ya soko kwa mazingira yetu haiwezikuwa ufumbuzi wa kumhakikishia mlaji bei nafuu.

Mheshimiwa Spika, ni suala lisiloingia akilini,kuchukuwa Shirika la Usagishaji lililokusudiwa kusagamahindi ili kusambaza sembe kwa mlaji kwa bei nafuu,itakayomfikia mlaji wa kipato cha chini na kumkabidhimtu binafsi, ambaye motive kwake yeye ni profitmaximization bila kujali purchasing power ya mlaji.Naiomba Serikali iingilie kati mkataba tata huu kati yahuyo anayejiita mwekezaji asiyekuwa na mtaji wowotena kuchukua miling machine kwa manufaa yake.

MHE. UMMY A. MWALIMU: Mheshimiwa Spika,nianze kwa kuunga mkono hoja hii. Pili, ninapendakumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwa uongoziwake mzuri wa kusimamia vyema utekelezaji wa Ilaniya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2010 – 2015. Hata hivyo,nina hoja mbili ninazopenda kuchangia.

Page 184: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

184

Kwanza, je, kuna mikakati gani mahususi yakupunguza maambukizi ya UKIMWI/VVU kwa wasichanawa umri wa miaka 23 -24?

Hakika nimeshtuka sana na takwimu ya viashiriavya Malaria na UKIMWI 2011/2012 iliyozinduliwa naMheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania mwezi Machi, 2013, ambapo pamoja namengineyo, inaonesha kuwa, maambukizi ya UKIMWI/VVU kwa wasichana wa umri wa miaka 23 - 24 ni asilimia6.6, ukilinganisha na wavulana wa umri huo asilimia 2.8.

Mheshimiwa Spika, hali hii ni hatari sana ya kufikiamaambukizi ‘o’ na ni changamoto kubwa sana katikamapambano dhidi ya UKIMWI Tanzania. Wanawake nawasichana hawa ndiyo hasa wapo katika kipindi chauwezo wa uzazi.

Je, ni vipi tutaweza kufikia maambukizi sifuri? Je,ni kwa nini vijana wa kiume wa umri huu maambukizi nimadogo kuliko kwa wasichana?

Mheshimiwa Spika, ninaomba Ofisi ya WaziriMkuu - TACAIDS itueleze ina mikakati gani mahususi naya haraka ya kupambana na maambukizi ya Ukimwi/VVU kwa wasichana wa umri huu wa miaka 23 - 24?Naomba nipatiwe majibu.

Mheshimiwa Spika, Mfuko wa Maendeleo yaWanawake katika Halmashauri ulianzishwa kutokana naAzimio la Bunge Mwaka 1993 na kupitishwa rasmi naWaraka wa Baraza la Mawaziri wa mwezi Agosti, 1993.

Kwa mujibu wa Waraka wa Serikali, Halmashauriza Wilaya na Mji zina wajibu wa kuchangia asilimia tanoya mapato yao ya ndani kwa ajili ya kuchangia Mfukohuu.

Page 185: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

185

Mheshimiwa Spika, inasikitisha sana kuonaHalmashauri nyingi zinachangia kidogo au hazichangiikabisa Mfuko huu.

Mheshimiwa Spika, sihitaji kueleza umuhimu waMfuko huu kwa maendeleo ya wanawake namaendeleo ya nchi kwa ujumla. Mfuko huu ndiyomkombozi wa kweli wa wanawake hasa walio vijijinikatika kupata mikopo yenye masharti na riba nafuu kwaajili ya kupata mitaji ya kuendesha shughuli mbalimbaliza kujipatia kipato.

Mheshimiwa Spika, ninaomba nipatiwe maelezoOfisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) ina mikakati gani yakuhakikisha Halmashauri za Wilaya na Miji zinachangiaasilimia tano ya mapato ya ndani kuchangia Mfuko waMaendeleo ya Wanawake?

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. NAMELOK E. SOKOINE: Mheshimiwa Spika,uchumi wa nchi nyingi duniani bado haujaimarika nahuenda itachukua miaka mingine miwili ama zaidi haliya kiuchumi iimarike. Pamoja na misukosuko hiyo yakiuchumi, nchi yetu imeweza kuendelea kufanya vizuri,uchumi wetu umekua kwa asilimia 6.9. Hakika tunastahilikujivunia mafanikio hayo. Pamoja na mafanikio hayo,bado kuna changamoto zinazotukabili, kwani ukuaji huowa uchumi haujawafikia Wananchi wote, si wa mijiniwala vijijini. Kwa wastani pato la Mtanzania kwa mwakasasa limekua na kufikia Sh. 995,298.00, yaani Sh. 82,941.50kwa mwezi. Kiasi hiki kikilinganishwa na gharama halisiza maisha ni dhahiri hakitoshi.

Mheshimiwa Spika, naomba nitoe pongezi zanguza dhati kwa Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete, Makamuwa Rais - Mheshimiwa Dkt. Mohamed Bilal, Waziri Mkuu

Page 186: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

186

- Mheshimiwa Mizengo Pinda, Katibu Mkuu Kiongozi -Mheshimiwa Balozi Sefue na Viongozi wote wa Serikali,kwa uamuzi wa kuanzisha utaratibu mpya wa mfumowa kusimamia utekelezaji, ufuatialiaji na tathmini yaMiradi ya Maendeleo (PEMADU).

Tumeelezwa kuwa chini ya Mpango huo nchiitaweza kupata maendeleo ya haraka. Maeneoyaliyojadiliwa na kupewa kipaumbele ni sita. Kilimo nimoja ya maeneo hayo ya kipaumbele. Mpango huuukifanikiwa, pamoja na mikakati mingineinayotekelezwa ya kuinua kilimo, tutaweza kufikiaUsalama wa Chakula (Food Security) na kuwa na ziadaya kuuza nje. Pato la Taifa na la mkulima litaongezeka.

Mheshimiwa Spika, wasiwasi wangu ni kuwa,tusipobadili mikakati yetu, bado tunaendelea kuwawauzaji wa bidhaa ambazo hazijaongezwa thamani.Ni vizuri Serikali ikaangalia umuhimu wa kuongeza Sektaya Viwanda katika Sekta zilizopewa umuhimu wakwanza chini ya utaratibu wa PEMADU.

Sekta ya Kilimo inavyoendelea kukua, Sekta yaViwanda nayo inatakiwa ikue, tuzalishe bidhaazilizoongezwa thamani kwa ajili ya soko la ndani na lanje. Hii itatusaidia kupunguza uagizaji wa bidhaaambazo tunaweza tukazalisha wenyewe na tukaokoafedha zetu za kigeni. Tukabaki kuagiza bidhaa ambazouzalishaji wake nchini ni ghali na ambazo hatuna uwezowa kutengeneza.

Mheshimiwa Spika, Sekta ya Elimu imepewakipaumbele chini ya utaratibu wa PEMADU. Pamoja namikakati mbalimbali iliyopo na itakayobuniwa yakuendeleza Sekta nzima ya Elimu, ningeshauri umuhimuwa pekee uwekwe kwenye mafunzo ya ufundi(Technical Course), kwa kiwango cha Certificate na

Page 187: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

187

Diploma. Nchi kama Ujerumani, Japani na zinginenyingi, hazikuendelea kwa vile zina ma-engineer wengi.Naomba nieleweke kuwa, sina maana ya kuwa tusiwena ma-engineer, la hasha, maana yangu ni kuwa kazikubwa zinafanywa na wenzetu wenye Certificate naDiploma kwani wao wanakuwa wameandaliwa kwa ajiliya hands on the job kwa kufuata maelekezo ya ma-engineer.

Mheshimiwa Spika, tukiweza kuwa na wataalamwengi wenye certificate na diploma, tutaweza kupigahatua kubwa ya maendeleo, kwani uzalishaji viwandanina hata katika Sekta ya Kilimo utaongezeka. Ili kupatawataalam hao, lazima tuwe na utaratibuutakaowavutia vijana wetu wengi kuchukua kozi zacertificate na diploma. Tunatakiwa tuwathamini namishahara yao iboreshwe iweze kuwavutia.

Aidha, tuendeleze mpango uliopo sasa wakuwawezesha vijana kujiajiri wenyewe na kuwezakuanzisha viwanda vidogo vidogo ambavyovitatengeneza bidhaa bora za viwango vya kimataifa.Hatua hiyo itasaidia kupunguza umaskini na tutakuwatumefanikiwa kuongeza Pato la Taifa.

Mheshimiwa Spika, mwaka jana nilipochangiaHotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, nilielezeamatatizo ya ardhi tunayokumbana nayo wenyeji waMkoa wa Arusha. Lipo tatizo la ardhi kati ya Wilaya yaMonduli na Wilaya ya Longido, lipo tatizo la ardhi katiya Wilaya ya Arumeru na Longido, halikadhalika Wilayaya Ngorongoro.

Tunaomba matatizo haya yatafutiwe ufumbuzikwani yanagharimu maisha ya watu.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

Page 188: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

188

MHE. HAROUB MUHAMMED SHAMIS: MheshimiwaSpika, awali ya yote, napenda kumshukuru MwenyeziMungu (S.W.), kwa neema na rehema zake kwangu nanchi yetu kwa jumla.

Mheshimiwa Spika, rushwa ni tatizo kwamaendeleo ya nchi yetu na hasa rushwa kubwa zamikataba na uwekezaji. PCCB pamoja na juhudi zakeza kupambana na rushwa, lakini bado haina nguvu zakisheria za kupambana na rushwa kubwa. Utashi wakisiasa unahitajika sana ili Taasisi hii ipewe nguvu zakisheria kupambana na rushwa kubwa.

Mheshimiwa Spika, udini, yaani ubaguzi katikakutoa haki za raia kwa kuangalia dini zao au watukunyimwa fursa au kutokuwa na uwazi ni tatizo.Kuondoa tatizo hili ni kuweka uwazi katika kila hali kwamaendeleo ya watu wetu na nchi. Haki sawa kwa wotendiyo dawa pekee ya kuimarisha amani na utulivu wanchi yetu hii nzuri ambayo wengi hawaipendelei mema.

Mheshimiwa Spika, ukuaji wa uchumi na umaskiniwa Wananchi wetu; katika Kitabu cha Mpango waMaendeleo 2012/2013, ukurasa wa pili; mwaka 2012uchumi ulikua kwa asilimia 6.8 na mwaka huu 2013 kwaasilimia 7.0. Vigezo hivi ni kwa mujibu wa IMF. Sualahapa ni kwa namna gani uchumi unakua lakini hali yamaisha ya Wananchi inazidi kuwa mbaya au nikulingana na maslahi wanayoyapata IMF kutoka kwetu?Maslahi yao yakiongezeka uchumi umekua nayakipungua uchumi umeshuka?

Mheshimiwa Spika, Jiji la Dar es Salaam na ubovuwa miundombinu. Dar es Salaam ndiyo sura ya nchiyetu, uchafu uliokithiri na mifereji ya maji machafuiliyoziba na isiyokidhi, inatia aibu haiba ya uzuri wa jina

Page 189: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

189

la Jiji letu (Dar es Salaam). Barabara zote zina mashimoyasiyozibwa daima.

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeshindwakazi na badala yake inaongeza tatizo la uchafu Jijinikwa kupandisha zaidi ya asilimia 100 ada ya kuzoa takangumu. Kila kaya sasa (nyumba) ni Sh. 5,000/= kwamwezi badala ya Sh. 200/=; maduka ya rejareja Sh.30,000/= badala ya Sh. 10,000/=; restaurantsSh. 150,000/= badala ya Sh. 30,000/= na maduka yakubadilisha fedha za kigeni Sh. 150,000/= badala ya Sh.30,000/=.

Pamoja na ada hizo kupanda kwa kiwangokikubwa sana, huduma zinazotolewa haziridhishi hatakidogo.

Mheshimiwa Spika, pamoja na tatizo lakutowajibika ipasavyo kwa Halmashauri ya Jiji la Dar essalaam, kuna tatizo la mwingiliano wa kimaslahi kwaTaasisi za Serikali zinazosimamia Jiji la Dar es Salaam. Hiiinasababisha kazi zisifanyike.

Mheshimiwa Spika, nashauri Halmashauri ya Jijila Dar es Salaam ivunjwe na iundwe Taasisi moja tuitakayosimamia shughuli zote za Jiji la Dar es Salaamikiwemo Barabara za Jiji, majengo yote na hata viwanjavilivyoko katika Jiji la Dar es Salaam.

Mheshimiwa Spika, Katiba, Sheria na UtawalaBora; Katiba ni nguzo kuu na dira ya kuongoza nchi.

Mchakato unaoendelea wa kutafuta KatibaMpya, naiomba na kuisihi Serikali iiwekee mfumousiohongeka na Tume isipotoshe wala isijipotosheyenyewe ili jambo hili kubwa, zuri na muhimu sana kwamustakabali wa nchi yetu hii nzuri, liende vizuri na liishie

Page 190: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

190

vizuri ili tupate Katiba mpya nzuri itayotuelekezakubadilisha utawala na uongozi vizuri bila ya chuki, fitna,bugudha na bila kupigana wala kubaguana kwamisingi ya dini, kabila, jinsia na hata eneo.

Mheshimiwa Spika, namwomba MwenyeziMungu, atuongoze katika njia nzuri na atuepushe nashetani.

Mheshimiwa Spika, ahsante sana.

MHE. MOSES J. MACHALI: Mheshimiwa Spika,kimsingi, sababu zinazotolewa kuhusu kutokuanza rasmiHalmashauri ya Mji wa Kasulu ni za kisiasa zaidi. Sababukubwa inayotupiwa kapuni eti idadi ya Madiwani nindogo kutokana na kile wanachodai TAMISEMIkwamba, kuna Kata tano ambazo hazijafanyiwauchaguzi.

Mheshimiwa Spika, hizo Kata tano ni Kata hewa,ambazo zilikuwa zianzishwe mwaka 2010 kabla yauchaguzi, lakini hazikuanzishwa hadi leo hii. Hivyo,madai yataanzishwa rasmi Halmashauri ya Mji wa Kasuluni kutowatendea haki Wananchi wa Kasulu hasaikizingatiwa kwamba, tayari Serikali ilishatangazakuwepo kwa Halmashauri hiyo. Tatizo limebaki kwaTAMISEMI kuipatia Mkurugenzi, Wakuu wa Idara na fullmandate ya kuanza kuisimamia.

Mheshimiwa Spika, hoja ya uchache waMadiwani siyo sahihi na sababu ya kuzuiwa kuanza kwaHalmashauri hiyo hasa kwa sababu Halmashauri ya Mjiwa Kasulu ina Kata nane za uchaguzi wa Madiwani naViti Maalumu, ambao kwa ujumla wao wanawezakufikia 15 au zaidi kwa sasa. Hiyo ni idadi inayowezeshaHalmashauri kuanza na hivyo kuwawezesha Wananchikupata huduma karibu kwa urahisi kuliko ilivyo hivi sasa.

Page 191: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

191

Mheshimiwa Spika, kumekuwa na taarifa zisizorasmi zinazodai kwamba, lengo la kuzuia kwaHalmashauri hiyo ni za kisiasa pamoja na CCM kuhofiakupoteza nafasi za Uwenyekiti za Halmashauri za Wilayaza Kasulu na hii mpya ya Mji wa Kasulu.

Nimeona inawezekana ikawa na ukweli hasaikizingatiwa kwamba, hata ilipokuwa Mamlaka ya MjiMdogo wa Kasulu, bado kulikuwa na mizengwe mingikwa Wenyeviti wa Vitongoji kukosa fursa za kukaa katikaBaraza. Hakuna Baraza la Mamlaka ya Mji Mdogo waKasulu lililowahi kukaa tangu uchaguzi wa Serikali zaMtaa wa 2009 hadi Mamlaka ya Mji wa Kasuluilipotangazwa kwa mara nyingine 2011 kuwa niHalmashauri ya Mji wa Kasulu.

Wenyeviti wa Vitongoji wamehoji sana juu ya halihiyo, ilhali Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kasulu imekuwana Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka isiyokuwa naBaraza. Kwa maoni na uwelewa wangu, hali hiyo nikinyume cha Sheria, ni kama njama za ubadhirifu wafedha na Mali za Umma. Tujiulize huyo Afisa Mtendajiwa Mamlaka ya Mji Mdogo na sasa ni Halmashauri yaMji wa Kasulu anasimamiwa na nani kikamilifu?

Mheshimiwa Spika, naishauri Serikali iachanekabisa na mfumo wa kufanya mambo yake kisiasa, kwakuwa kufanya hivyo ni kukwamisha maendeleo ya nchiyetu. Vyama vya Siasa vitufanye sisi Wanasiasa naWananchi kuwa maadui.

Naomba Mheshimiwa Waziri Mkuu, apimesababu hizi yeye mwenyewe na kisha ajaribu kuwaobjective sana katika kufanya maamuzi juu ya hilo naninaamini atakuwa pamoja nami Mbunge wa KasuluMjini, kwa kuwa nimeelewa kinachoendelea kufanyikadhidi ya kutoanzishwa kwa Halmashauri hiyo ya Kasulu.

Page 192: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

192

MHE. ANNA MARYSTELLA J. MALLAC: MheshimiwaSpika, nianze na uchumi. Tukiangalia takwimu kamazilivyoainishwa kwenye Hotuba ya Mheshimiwa WaziriMkuu na kueleza kuwa mfumko wa bei umepunguakutoka asilimia 19.4 mwezi Februari, 2012-2013.

Sambamba na jitihada za Serikali, lakini badomaisha ya Watanzania ni magumu na gharama zavyakula na bidhaa zinazidi kupanda. Hivyo, ni vyemaMheshimiwa Waziri Mkuu anapofanya majumuisho,alieleze Bunge lako Tukufu na Watanzania kwa ujumla,ni hatua gani ya dharura zitachukuliwa na Serikali ilikupunguza makali ya maisha kwa Watanzania iliangalau kila Mtanzania apate milo miwili kwa siku.

Mheshimiwa Spika, tukiwa tunaendela kujadilimafanikio ya Serikali kupunguza mfumko wa bei nakuona gharama za maisha zinapanda, nauli za usafirizinapandishwa kiasi kwamba hata usafirishwaji wabidha utakuwa wa shida na gharama za bidhaazitapanda bei mara mbili. Namwomba MheshimiwaWaziri Mkuu, ajaribu kuangalia hali halisi ya Watanzaniana suala hili la kupanda kwa nauli liangaliwe upya kwafaida ya Watanzania maskini.

Mheshimiwa Spika, Elimu ni sekta nyeti lakini lenyematatizo makubwa na ambayo yanahitaji utatuzi wadhati na wa haraka ili kukuza Elimu.

Elimu ya msingi, ndiyo elimu mama lakiniimetupwa na haipewi kipaumbele. Kwa manufaa yaTaifa, kama Serikali ingeweza kutatua matatizo naupungufu unaoikabili Sekta hii, nina imani elimuingepanda.

Mheshimiwa Spika, katika Hotuba ya Waziri Mkuu,ameongelea maendeleo ya miundombinu ya elimu

Page 193: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

193

ikiwa ni mafanikio ya MMEM I na MMEM II. Matatizo yaelimu ni mengi na yanaonekana na hatuwezi kusubiriMpango wa MMEM kuboresha na kutatua matatizohayo, kwani hali ni mbaya hasa vijijini. Wanafunziwanasoma katika mazingira magumu sana, walimuwanafundishwa katika mazingira hatarishi; hawanavitendea kazi, hawana nyumba za kuishi, wana madaimengi ambayo hayana ufumbuzi wa kulipwa. Hali hiindiyo huchochea migomo baridi ambayo husababishawatoto kufeli, kwani muda mwingi walimu wanakuwakwenye shughuli binafsi za kutafuta kipato ili waendeshemaisha yao badala ya kuwa darasani kufundishawatoto.

Mheshimiwa Spika, hivyo hivyo kwa Shule zaSekondari, wakiwa na misingi mibovu, wanaendeleakuwa wabovu, hivyo kufanya elimu kushuka kwakiwango kikubwa. Naomba Serikali iangalie upya sualala elimu kwa manufaa ya Taifa, huku ikiboresha Sektaya Ukaguzi. Idara ya Ukaguzi au Kitengo kipewekipaumbele kwa kupewa fungu zuri ifanye kazi yaukaguzi katika elimu na kubaini upungufu inaoikabiliSekta hii ya Elimu. Tusilie na mchawi; mchawi wa Sektaya Elimu ni mipango mibovu ya Serikali.

Mheshimiwa Spika, naomba Serikali ipitie upyaMipango ya MMEM na MMES ili kuboresha utekelezajiwa miundombinu ya elimu kwa faida ya Umma.

Mheshimiwa Spika, tatizo la vituo vya utoajihuduma za afya nchini hasa vijijini bado linahitajiufumbuzi kwani kule ndiyo kuna wazalishaji wakubwakiuchumi. Vituo vingi vya afya havina madawa yakutosha, pia vifaa na vitendea kazi. Hospitali za Mkoahazina mashine za kupimia magonjwa kama Xray nakadhalika. Zahanati za Vijijini ndiyo kabisa, dawazinapelekwa chache na ni wiki moja tu zimekwisha,

Page 194: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

194

Wananchi wanaelekezwa kwenda kununua dawa zilezile za MSD katika maduka ambayo mengine wamilikini madaktari. Je, Serikali inatamka nini kwa madaktariwanaochukua dawa za Serikali na kwenda kuuza katikamaduka binafsi?

Mheshimiwa Spika, naomba Mheshimiwa WaziriMkuu, atakapojumuisha Hotuba hii, nipewe majibumazuri. Ahsante.

MHE. BENEDICT N. OLE-NANGORO: MheshimiwaSpika, katika mwaka 2013/2014, TAMISEMI ij ikitekukamilisha uhakiki wa mipaka ya kiutawala hasa ile yaWilaya ya Kiteto na Chemba, Kiteto na Kilindi, Kiteto naGairo na Chamwino na Kongwa.

Ili kumaliza migongano kati ya Wakulima naWafugaji, kila Halmashuri nchini ipewe time frame yakuandaa framework ya kutenga maeneo ya makazi,huduma, kilimo, ufugaji na hifadhi.

Mheshimiwa Spika, naiomba TAMISEMI iimarisheKitengo cha Ukaguzi ili kudhibiti ubora wa ufundishajina viwango stahiki vya elimu ya sekondari.

Kozi maalumu ianzishwe Hombolo na kilaMtendaji wa Kijiji alazimike kufuata kabla ya kuanzakazi. Kozi hii itumike kujenga weledi kwa Watendaji waVijiji. Hii itasaidia kuongeza ufanisi wa utawala namaendeleo vijijini.

MHE. DKT. TITUS M. KAMANI: Mheshimiwa Spika,nampongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Hotuba nzuri.Hata hivyo, napenda kutaka kujua mamboyafuatavyo:-

1. Kanda ya Ziwa imekuwa tegemezi kwachakula kwa Mikoa ya Kusini licha ya uwingi wa maji

Page 195: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

195

katika Maziwa na Mito; lakini pia kutokana na hatua yakulisha idadi kubwa ya watu walioko Kanda ya Ziwa.Je, ni lini Serikali itaanzisha mpango maalum wa kilimocha umwagiliaji katika Kanda ya Ziwa kama ilivyofanyakwa SAGCOT Kusini mwa Tanzania?

2. Pensheni ya Wazee iliyoahidiwa na Serikalikwa miaka miwili mfululizo lini itatekelezwa?

3. Tangu mwaka 2011 wahitimu wa vyuo vyakilimo hawaajiriwi na Serikali licha ya uhaba mkubwawa wagani katika Vijiji na Kata. Pamoja na uhimizajiwa Sera ya KILIMO KWANZA; ni lini Serikali itatoa ajirakwa vijana hawa?

4. Tatizo la mgongano kati ya wakulima nawafugaji sasa limekuwa sugu katika nchi yetu kama vilehakuna Wataalam wa Mifugo, Kilimo, Ardhi, Maji nakadhalka. Serikali imeshindwa kuitambua Sekta hii najinsi ambavyo ingeweza kulipatia Taifa letu pato kubwakutokana na mauzo ya wanyama hai, nyama, ngozi,maziwa na mazao mengine na hivyo kuishia kwenyeushabiki tu wa wafugaji na wakulima, badala yakutafuta suluhu za kitaalam na kufanya Sekta hiyo ileteutajiri kwa wafugaji na Taifa. Masuala yanayohusumifugo yanagusa Wizara nyingi; ni lini sasa Serikaliitaliangalia suala hili kwa dhati badala ya ushabiki nauonevu wa DCs na RCs?

5. Mipango ya kuendeleza Shule zaSekondari za Kata inachukua muda mrefu sana kiasi chakufanya wanafunzi wengine wasipate elimu bora. Ni linikwa hakika ujenzi wa shule mbili kwa kila Halmashauriutaanza? Ni lini ujenzi wa nyumba za walimu utaanza?Hivi vyote vimesemwa kwenye mipango ya Serikalitangu mwaka juzi. Tunapenda vitendo.

Page 196: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

196

6. Kamati ya Maafa imeonesha udhaifumkubwa katika ugawaji wa chakula kwaninimeshuhudia chakula kikigawiwa bila uwiano. Maeneoya Vyama vya Upinzani ndiyo yanapata chakula; hivinjaa ina ubaguzi? Kuna hujuma katika Kamati hii inabidiimulikwe.

MHE. SAID A. ARFI: Mheshimiwa Spika, nianze nautulivu na amani katika nchi yetu. Ni wajibu wa Serikalikusimamia na kuhakikisha amani inaendelea kuwepo,bila kuogopa kuchukua hatua pale inapobidi ilikunusuru hali hii. Pia ni wajibu wetu sote kama Viongozikuhimiza umoja na mshikamano wetu.

Mheshimiwa Spika, bajeti ambazo tunapitishakatika Bunge lako hazitekelezeki kwa kukosekana kwafedha. Fedha hazipelekwi kwenye Halmashauri yetu;kwa mfano, Hospitali ya Wilaya ya Mpanda imepokeaBasket Fund mpaka mwanzo wa Quarter ya mwisho,shilingi 243 milioni katika shilingi 972 milioni zilizotengwa.Kwa hali hiyo, hatuwezi kuona matokeo tunayotarajia.Aidha, Hospitali ya Mpanda ipo katika hali mbaya yauchakavu wa majengo na upungufu wa wodi. Kwakuwa sasa Mpanda ni Makao Makuu ya Mkoa waKatavi, ipo haja na ulazima wa kujenga Hospitali yaMkoa ili kuinusuru Hospitali ya Mpanda.

Mheshimiwa Spika, Elimu; kuna upungufumkubwa wa vyumba vya madarasa, madawati, vitabuna matundu ya vyoo katika shule nyingi nchini. Kwamfano Shule ya Msingi Mbuguni iliyopo katika Jimbolangu, watoto 262 tu ndiyo ambao wanakaa katikamadawati na watoto 1071 wanakaa chini kwa Shuleyenye wanafunzi 1333. Ipo hoja Serekali kuwa nampango mahususi wa muda mfupi au mrefu wakukabiliana na hali hii.

Page 197: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

197

Upungufu wa walimu katika Shule zetu za Msingina Sekondari ni tatizo ambalo halijapata ufumbuzi, lakinipia maslahi na madai ya walimu kutoshughulikiwa,tunavunja ari kwa walimu wetu na matokeo yakeyanaonekana katika mitihani ya mwisho kwa wanafunzikufeli kwa kupitiliza. Bila kuboresha hali na maslahi yawalimu, tutaendelea kuiona hali na matokeo haya yakufeli kwa watoto wasio na hatia.

Mheshimiwa Spika, wachimbaji wadogowadogo wa Mpanda kwa mapendekezo yaowanataka eneo la kutoka Milupwa, Mpanda Mjini hadiMtisi liwe eneo lao. Nashindwa kujua eneo la Mihamakama lilivyopendekezwa katika Hotuba ya MheshimiwaWaziri Mkuu limependekezwa na nani? Wachimbajiwadogo katika maeneo yao wasiondolewe.

Mheshimiwa Spika, barabara za kuunganishaMkoa wa Katavi na Rukwa – Kigoma – Tabora ni lazimasasa ziwekwe katika mpango wa Serikali kwa umuhimuunaostahili. Kazi ya ujenzi wa barabara yaSumbawanga – Kibaoni umechukua muda mrefu bilakukamilika na kuongeza gharama; ni lini sasa barabarahii itakamilika? Barabara za Mpanda – Kigoma, Mpanda– Tabora zinahitaji matengenezo makubwa na yaharaka baada ya hizi nvua za masika.

Mheshimiwa Spika, maji ni tatizo katika nchi yetu,ningependa kujua mkakati na mpango wa muda mrefuau mfupi wa kukabiliana na tatizo la maji na uvunajiwa maji ya mvua ili kuongeza akiba ya maji.

Mheshimiwa Spika, imefikia wakati sasa wakuhakikisha Wazee wanapata Bima ya Afya ili wawena uhakika wa kupata madawa kama ilivyo sasa, kwaniwana dirisha la kupata matibabu bure, wakati dawaza matatizo yao hazipo katika Hospital zetu. Uwepo

Page 198: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

198

utaratibu wa kupewa kibali cha kuchukua dawa katikamaduka ya dawa maalum na Halmashauri ilipie dawahizo ili nia ya kuwatibu bure wezee iwe imetekelezwa.

Mheshimiwa Spika, matumizi mabaya ya fedhaza Umma na usimamizi wake ni wakati mwafaka sasawa kuwawajibisha watendaji ambao wameshindwakujibu hoja za Mkaguzi na pale inapobidi wafikishweMahakamani. Tusipofanya hivyo, hali hii itaendeleamwaka hadi mwaka na hoja hazina majibu. Hatua hizozichukuliwe sasa.

Mheshimiwa Spika, usafiri na usafirishaji unatumiafedha nyingi katika Halmashauri zetu, lakini hazifahamikikwa kuwa Kitengo cha Usafirishaji kipo chini ya Ofisi yaUtawala, wakati katika kila Halmashauri yupo AfisaUsafirishaji, ambaye anawajibika kwa Mkurugenzi.Kitengo hiki hakina bajeti mahususi ya kukiendesha nawala kushirikishwa katika mipango ya bajeti; hivyo,inapelekea wakati fulani kutoa fedha katika Miradi yaMaendeleo ili magari na vyombo vya moto vipatefedha za kujiendesha, kwa sababu hakuna fedhainayotengwa na kiasi kinachotengwa hakitoshelezigharama halisi ya Kitengo hiki na wala hakuna taarifazinazotolewa katika Mabaraza ya kujua hali halisi yavyombo vya moto katika Halmashauri na gharama zauendeshaji.

Ningependa kujua mkakati wa Serikali kufahamugharama za Kitengo hiki na maelezo kuhusumatengenezo ya magari ya Serikali na Halmashauri.

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa misimu ya kilimoinafahamika; kwa nini sasa pembejeo zinachelewakufika kwa wakati? Vilevile ningependa kujua ni kwanini msimu uliofuata mgawo wa mbolea katikaHalmashauri ya Mji wa Mpanda ulipungua na kuleta

Page 199: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

199

malalamiko mengi kwa Wananchi na nini mpango borawa kupata mbolea za vocha na hususan kwa wakulimawanaoishi mijini?

Mheshimiwa Spika, tatizo la umeme katika Mji waMpanda limekua la kujirudia kwa uchakavu wamitambo ya kuzalisha umeme na upatikanaji wa vipuri.Ningependa kufahamu ahadi ya Serikali kuleta enginempya mbili inatekelezwa lini ili kuondoa adha iliyoposasa ya mgao wa umeme?

Kwa kuwa mahitaji ya umeme yanaongezekakwa kasi na ili kuwa na umeme wa uhakika ni lini sasaSerikali itaunganisha Mji wa Mpanda na Mkoa wa Katavina Rukwa katika Gridi ya Taifa?

Mheshimiwa Spika, ningependa pia kufahamuni lini sasa Miradi ya Umwagiliaji katika Jimbo la MpandaMjini, Kata ya Kakese na Mwamkulu itakamilika kwa ajiliya kuongeza uzalishaji wa mpunga katika eneo letu nakuongeza pato kwa wakulima? Miradi hii imekuwa yamuda mrefu, naiomba Ofisi ya Waziri Mkuu itoe maelezoya kutosheleza na ahadi ya kukamilishwa kwa Miradihii.

Mheshimiwa Spika, nakushukuru sana.

MHE. IGNAS A. MALOCHA: Mheshimiwa Spika,kabla ya yote, naunga mkono hoja.

Mheshimiwa Spika, Elimu; sheria ibadilishwe auifanyiwe marekebisho kulingana na mazingira, kwanishule nyingi za Sekondari za Kata hazina Wajumbe waBodi. Hii ni kutokana na kutokupatikana kwa Wajumbehao, kulingana na sifa zilizoainishwa na pia kukosa fedhaza kulipa Bodi hizo.

Page 200: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

200

Mheshimiwa Spika, Mkoa wa Rukwa hauna hataChuo kimoja cha Ufundi cha VETA, Serikali ijenge Vyuohivyo.

MHE. JOHN P. LWANJI: Mheshimiwa Spika,ninaishauri Serikali itanzue migogoro ya mipaka kwakuzingatia GN ya 1961. Mgogoro wa Sikonge naManyoni pale Kijiji cha Makale, Kitongoji cha Matagatana Kijiji cha Kajui, Kitongoji cha Mwamatiga, naiombaSerikali ichukue hatua za haraka kumaliza tatizo hililililosababishwa na Wilaya ya Sikonge kutwaa maeneohayo kinyume cha utaratibu. Tatizo pia lipo upandewa Chaya mpakani na Wilaya ya Chaya. Taarifa juu yamatatizo ya maeneo hayo imewasilishwa kwa Waziri waNchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikaliza Mitaa (TAMISEMI), muda mrefu sasa. Naombaawaite na kuwaagiza Wakuu wa Mikoa wa Tabora naSingida wamalize tatizo hili mapema.

Mheshimiwa Spika, kusuasua kwa Miradi; mfano,Barabara ya Manyoni – Itigi – Chaya inayojengwa naKampuni ya Sino-hydro-corporation. Barabara hii yenyeurefu wa km 89 inayojengwa kwa kiwango cha lami,inasuasua na iko nyuma ya muda uliopangwa naimepangwa kumalizika Desemba, 2013.

Mheshimiwa Spika, hata hivyo, iko nyumakutokana na Mradi huu kucheleweshewa fedha marakwa mara. Fedha za ndani hazitolewi kwa wakati.Naishauri Serikali itoe fedha kwa wakati au la ikope kwawafadhali kama ilivyofanya kwa Barabara ya Iringa –Dodoma – Kondoa ambapo Japani imekopesha shilingi127 bilioni kuijenga Barabara hii. Aidha, fedha za kigenizinachelewa kutolewa na wafadhili au kutotolewakutokana na watendaji wetu kutowasilisha taarifa yautekelezaji wa Miradi kwa wakati; inasikitisha. NaishauriSerikali iwachukulie hatua watendaji hawa ili wapate

Page 201: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

201

kuwajibika. Ni kweli kuwa bado tunahitaji msaada wawafadhili katika kuijenga nchi yetu, fedha zinapokwamakwa sababu ya uzembe ni kuhujumu juhudi nzuri zaSerikali.

Mheshimiwa Spika, Manyoni kuna maelezo auahadi ya Serikali iliyotolewa kujenga Bandari ya NchiKavu Manyoni, eneo la Iwelewele mpakani mwa Wilayaya Manyoni na Wilaya mpya ya Ikungi. Eneo hilolimepimwa na Wananchi kuarifiwa wajiandae kupisha,lakini inastua kuona Iwelewele au Manyoni haikutajwakabisa.

Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali itupe majibuili tuweze kuwaeleza Wananchi ukweli ni upi. Majengoya kuanza kwa Mradi huu yapo pale mpakani, tuliombatupatiwe Wilaya ya Manyoni kwa ajili ya Chuo chaUfundi, lakini taarifa ikatolewa kuwa yametengwa kwaajili ya Bandari ya Nchi Kavu. Naomba majibu.

Mheshimiwa Spika, Barabara ya Mkiwa – Itigi –Rungwa – Makongolosi – Mbeya, iko kwenye Ilani yaChama na ni ahadi ya Mheshimiwa Rais. Nyumbazimepigwa X muda mrefu sasa, lakini bado hatujaonadalili zozote za maandalizi ya ujenzi wa barabara hiimuhimu sana. Naomba majibu ya suala hili ambalolimegeuka kuwa kero na kuwatia watu wetu wasiwasiwa kama wafanye ujenzi kupisha barabara au la.

Mheshimiwa Spika, Mkoa wa Singida kuwamaskini zaidi ya Mikoa yote nchini, tunaomba takwimusahihi juu ya kauli ya Serikali maana takwimu haziendanina hali halisi ya maendeleo ya Mkoa huu.Umeondokana na nyumba nyingi za tembe na nyasina kilimo cha alizeti na tumbaku kimeinua Wananchiwengi; mfano, karibu nyumba nyingi zina usafiri wabaiskeli na pikipiki.

Page 202: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

202

Mheshimiwa Spika, tunaomba matrekta mengineya Farmtrack na New Holland yaletwe kwa wingi Mkoawa Singida. Wananchi wengi wamejiandaa kununua.

MHE. WARIDE BAKARI JABU: Mheshimiwa Spika,tunaiomba Serikali kutafsiri Sera na Mkakati waKukabiliana na Maafa, ambavyo vimetayarishwa kwaLugha ya Kiingereza. Nyenzo hizo zitafsiriwe kwa Lughaya Kiswahili, tena chepesi, ambacho Watanzaniawataelewa watakapovisoma.

Mheshimiwa Spika, tumeona jinsi gani nchi yetuimefanya vizuri katika mashindano ya kushindanishavivutio vya kitalii kupitia Taasisi ya The seven Naturalwonders.

Mheshimiwa Spika, Mlima Kilimanjaro,Ngorongoro Crater na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti,vilitupatia ushindi lakini tujiulize Tanzania tuna vivutiovingapi? Ni imani yangu kwamba, kama tunawekanguvu katika maeneo yetu ya kitalii, Tanzania itakuwakiongozi Barani Afrika katika utalii. Ukiangalia maeneoya kihistoria ya Mikindani, Mtwara, Kilwa, Kaole naMbuga Kubwa ya Selous, tunaweza kufanya vizurikupindukia. Ni jukumu la Serikali kuwekeza vya kutoshakatika kuboresha maeneo haya ili kukuza uchumi wanchi yetu kupitia utalii.

Mheshimiwa Spika, pia nilikuwa ninaiombaSerikali ianzishe Utalii wa Baharini, tuna Bahari nzuri yaHindi, ambayo itasaidia kuongeza mapato kwa nchiyetu.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO: MheshimiwaSpika, kwa ilivyo sasa, uanzishaji wa Kijiji, Kata, Tarafa,

Page 203: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

203

Wilaya na Mkoa mpya, kunategemea sana aina yaUongozi unaokuwepo wakati huo, kupenda aukutopenda kugawika kwa maeneo na hii inasababishamaeneo mengine kubaki makubwa sana kiutawala.Mfano ulio hai ni Wilaya ya Mbiga.

Nashukuru kwamba tumepata Wilaya ya Nyasa;hata hivyo, Mbinga ya sasa bado ni kubwa, ina Tarafasita, Kata 34 na Vijiji 160. Jimbo la Mbinga Mashariki,mipaka yake ndiyo hiyo. Hivyo, ni Wilaya kubwa naJimbo pia ni kubwa.

Serikali inaweza kuendelea na utaratibu uliopo,lakini napendekeza kwamba, iunde jopo la wataalamwatakaoangalia mipaka ya maeneo ya Wilaya, Mikoana Majimbo ya Uchaguzi na ipendekeze mipaka mipyakuzingatia idadi ya watu na hali halisi ya maeneo.Maeneo mapya yanaanza, Serikali ijiandae kukusanyavitendea kazi na si kugawana samani chakavu namajengo katika Halmashauri mama.

Mheshimiwa Spika, Shirika la TANESCOlinasemekana linatumia karibu shilingi bilioni tano kwasiku; hii inachangiwa na matumizi makubwa ya diesel.Sioni kwa nini Serikali kupitia NDC au Taasisi nyinginezozote ikiwemo TANESCO, isijenge mtambo wa kufuaumeme pale Ntunduwaro Mbinga, pamoja na kujengatransmission lines ili kusambaza umeme vijiji vyote vyaMbinga na ziada kuingiza Gridi ya Taifa na hivyokuachana na Diesel.

Jambo hili siyo vyema tukawaachia wageni pekeyake. Kuhusu wachimbaji wadogo; naomba maeneoya Kitai, Amani Makoro, Paradiso, Ruanda, Ndongosina Mkako, yatangazwe kuwa maeneo ya wachimbajiwadogo.

Page 204: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

204

Mheshimiwa Spika, katika mkutano wa kampeni2010, Mheshimiwa Rais, aliwaahidi Wanambingayafuatayo:-

(i) Ujenzi wa barabara za Mbinga – Litembo(Hospitali); na Nyoni – Maguu – Mkoha, kwa kiwangocha lami;

(ii) Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mbingakupewa hadhi ya kuwa Halmashauri ya Mji wa Mbinga;

(iii) Wakulima wanaodai Chama cha Ushirika– MBICU shilingi milioni 400.4 kulipwa; na

(iv) Kilichokuwa Chuo cha Ualimu Mbinga nasasa Mbinga Day Secondary kuwa tena Chuo chaUalimu.

Mheshimiwa Spika, wakati hatua fulani fulanizimechukuliwa kuanzia (i) – (iii), hakuna chochotekuhusu namba (iv). Naomba chuo chetu kirudishwe.

Mheshimiwa Spika, Wafanyabiashara waKahawa Mbinga wameiomba Serikali ifikirie kuwapafidia ya hasara waliyoingia katika msimu wa 2012/13,baada bei za kahawa kushuka kuliko bei elekezi.

Mheshimiwa Spika, tatizo sugu la maji MbingaMjini na Vijiji vya Kata ya Litumba Ndyosi; chanzo chamaji Mbinga Mjini kina maji mengi lakini Mji hauna maji.Pia Vijiji vya Luhagara, Mabuki, Litumba Ndyosi na Kingolivina adha kubwa ya maji. Wilaya haiwezi, naombamsaada wa Serikali.

Mheshimiwa Spika, hali ya Hospitali ya Wilaya ninzuri hasa Theatre, lakini Wilaya haina magari yawagonjwa (Ambulances) hata Hospitali ya Wilaya hainaAmbulance.

Page 205: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

205

Naomba mgawo ufikirie Mbinga. Mji unakua nauna mahitaji makubwa ya gari la kunyonya majimachafu.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. GODFREY W. ZAMBI: Mheshimiwa Spika,naomba kuchangia kwa maandishi katika Hotuba yaMheshimiwa Waziri Mkuu katika maeneo yafuatayo:-

Mheshimiwa Spika, maendeleo ya kwelihupatikana tu pale ambapo pana amani na utulivu wakweli. Nchi yetu imejaliwa amani na utulivu, hii ni tunutuliyojaliwa na Mwenyezi Mungu.

Zaidi, tuwashukuru sana Waasisi wa Taifa letu,Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Aman Karume, kwakutuachia tunu hiyo ya amani na utulivu.

Hivyo basi, amani na utulivu huo usichezewehata kidogo.

Mheshimiwa Spika, naomba sana Serikaliiwadhibiti wanasiasa wote wanaochochea vurugunchini. Serikali ionekane inatawala, isiruhusumaandamano yanayoitishwa na baadhi ya wanasiasaambayo lengo lake ni kujenga au kuleta chuki kati yaSerikali na Wananchi. Amani na utulivu wa nchi yetuilindwe kwa gharama yoyote ile kwa mustakabali wamaendeleo ya Taifa letu.

Mheshimiwa Spika, viwango vya penshenivinavyolipwa kwa wastaafu wetu ni vya chini sana.Kiwango cha chini kabisa ni shilingi 51,000 kwa mwezi;hebu fikiria mtu ambaye ametumia karibu nusu yamaisha yake katika utumishi wa nchi yake, anastaafuna kuishia kulipwa shilingi 51,000; huyu mtu ataishimaisha gani kama siyo kudhalika?

Page 206: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

206

Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali iliangaliesuala hili upya kwa kurekebisha viwango vya pensheniviendane na hali halisi ya maisha ya wakati huu. Sanjarina hilo, naomba Serikali iendelee kuangalia uwezekanowa kulipa pensheni kwa wazee zaidi ya miaka 60,ambao hawana uwezo na ambao hawakuwaWatumishi wa Maofisini au Serikali, ili nao pia wawezekuendesha maisha yao.

Mheshimiwa Spika, ni wazi kabisa, wapo wazeewengi vijijini ambao hupoteza maisha kwa sababu yakukosa huduma muhimu kama vile matibabu, chakula,malazi na kadhalika.

Mheshimiwa Spika, utaratibu mpya wa mboleaya ruzuku 2013/2014 utakaohusu utoaji wa mikopokupitia vikundi vya wakulima, utakuwa na tija tu iwapowigo wa watakaofaidika utaongezeka. Aidha,utaratibu huo utakuwa na manufaa zaidi iwapo mikopoitakayotolewa itamuwezesha mkulima kulima zaidi yaekari moja. Nataka pia kujua ni kwa kiwango ganiSerikali imejiandaa kuona utaratibu huu mpya hautaletausumbufu kwa wakulima. Je, riba za mabenkihazitakuwa mzigo kwa wakulima; na je, masharti yamabenki hayatakuwa kikwazo kwa wakulima? Hayaniliyoyasema ni baadhi tu ya mambo ambayoyasipoangaliwa, yanaweza kukwamisha utaratibumpya wa mbolea ya ruzuku kwa mwaka 2013/2014.

Mheshimiwa Spika, Serikali iendelee kufanyamazungumzo na Chama cha Walimu (CWT) kuhusumaslahi ya walimu na makundi mengine.

Mheshimiwa Spika, moja ya sababuinayodhaniwa kusababisha matokeo mabaya yaKidato cha Nne mwaka 2012 ni mgomo baridi wawalimu. Inadhaniwa walimu walitumia njia hiyo kueleza

Page 207: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

207

kutoridhishwa kwao na mishahara yao pamoja namarupurupu mengine.

Mheshimiwa Spika, hivi karibuni Mahakamailiagiza kwamba, Serikali iendelee kuzungumza na CWTkuhusu mishahara na marupurupu yao; lakini baadhi yavyombo vya habari vilitoa taarifa kwamba, Serikalihaipo tayari kuendelea na mazungumzo na walimukupitia Chama chao cha CWT.

Kama habari hizo zina ukweli, basi siyo za herisana, maana njia ambayo walimu wanawezakuendelea kuitumia ni mgomo baridi. Sote tunajuakwamba, wanapogoma walimu wanaoathirika niwanafunzi, lawama haziendi kwa walimu bali kwaSerikali.

Mheshimiwa Spika, nashauri Serikali iendeleekuzungumza na CWT na ni imani yangu kwamba, kamaSerikali itawasikiliza na wakakubaliana, basi itakuwa herizaidi kwa wanafunzi. Sanjari na kuangalia mishaharana marupurupu ya walimu, Serikali iendelee kuangaliana kuongeza mishahara na marupurupu kwa Watumishiwote Serikali, kwani ni ukweli mishahara ya Watumishiwengi wa Serikali ipo chini sana, hailingani kabisa nahali halisi ya maisha inayosababishwa na mfumko wabei.

Mheshimiwa Spika, nawasilisha na ninaungamkono hoja.

MHE. RACHEL R. MASHISHANGA: MheshimiwaSpika, naomba kuchangia mambo kadha wa kadhakatika bajeti hii ya Ofisi ya Waziri Mkuu, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, tunaposema hali ya uchumiwa nchi na Mtanzania imekua, tunaamanisha kuna

Page 208: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

208

some indicators ambazo zinaonesha hali ya uchumikukua, lakini nachokiona hapa ni uwingi wa magaribarabarani pengine ndiyo indicator ya uchumi kukua.

Mheshimiwa Spika, tunasema pato la Mtanzanialimeongezeka sijui tunalipima vipi wakati asilimia 80 yaWatanzania hali zao ni mbaya, pengine mpakawameshasahau kunywa chai na pengine hawajuiwalikunywa mara ya mwisho lini. Sukari imezidi kupandahadi kufikia shilingi 1950 kwa kilo, ambapo mwaka janailikuwa shilingi 1500. Mchele nao yale yale na mikatenayo imepanda bei. Hili suala la kupanda pato laMtanzania liko wapi wakati Watanzania wanaahirishakula na kunywa kwa sababu ya mfumko wa bei?

Mheshimiwa Spika, nionavyo mimi, pato hililimeongezeka pengine kwenye mifuko ya matajiri na sikwa Watanzania waishio vijijini na pengine mijini lakinini hohehahe.

Mheshimiwa Spika, suala la upatikanaji wa majivijijini na mijini limekuwa ni kitendawili kisichowezakuteguka. Maeneo mengi ya nchi hasa vij i j ini,yamekuwa yanaongoza kutokuwa na maji safi nasalama. Serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi sanakuchimba visima virefu ambavyo havitoi maji kabisa.

Mheshimiwa Spika, naomba nipate majibu yaSerikali kuhusu kutumia fedha nyingi kuchimba visimavisivyotoa maji. Halmashauri zote zina wahandisi natechnicians ambao wangeweza kusaidia kwakuyatambua maeneo ambayo yanaweza kuchimbwavisima na maji yakapatikana. Sasa hawa wahandisiwanafanya kazi gani? Fedha zinazopotea ni borazikaelekezwa kwenye maeneo ambayo yana ukamelakini visima vikichimbwa maji yanapatikana.

Page 209: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

209

Mheshimiwa Spika, Serikali iangalie sana suala hilikwani fedha nyingi zinapotea bila kuleta tija.

Mheshimiwa Spika, suala la madini ni nyeti sana,lakini l imejaa migogoro baina ya Wananchi nawachimbaji au watafiti pamoja na wachimbaji wadogona wakubwa.

Mheshimiwa Spika, naomba nizungumzie sualala utoaji wa leseni za utafiti na uchimbaji. Kumekuwana matatizo mengi ambayo yanatokana na utoajiholela wa leseni za utafiti, utaratibu unaotumika sasasiyo mzuri kabisa kwani unaleta mgongano kati yaWananchi na Watafiti.

Mheshimiwa Spika, utaratibu wa kutoa leseni siyorafiki hata kidogo, suala la kutoa leseni wakati umekaaofisini na computer yako kwa kuangalia kwenye googleau ramani siyo haki. Ninaomba Serikali ihamishe kitengohiki kwenye Mikoa husika ili zoezi lifanyiwe field kuepukausumbufu na migogoro itakayojitokeza mara baada yautafiti kupewa leseni wakati kuna Wananchi wanaishipale miaka nenda rudi.

Mheshimiwa Spika, vile vile watafiti hawa nawachimbaji hawa wamekuwa wakiripoti kwa Wakuu waMikoa na Wakuu wa Wilaya tu, huku Wabunge naMadiwani wa maeneo husika hawashirikishwi; na hiiinajenga kutoheshimiana kwa wanasiasa hawa namakampuni hayo ya uchimbaji na utafiti.

Kiufupi, wanasiasa wanadhalilika sana mbele yamakampuni haya wakati ndiyo hasa wawakilishi waWananchi kwenye maeneo hayo.

Mheshimiwa Spika, naomba sana, maramakampuni haya yanapokwenda kuripoti kwa Wakuu

Page 210: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

210

wa Mikoa na Wilaya, basi yafanye hivi kwa Wabungena Madiwani.

Mheshimiwa Spika, katika Hotuba yaMheshimiwa Waziri Mkuu ya mwaka wa fedha wa 2011/12, alisisitiza sana Watanzania kutumia vyandaruavinavyotolewa na Serikali (vibajaji), havifai kabisa kwanihavina (TBS). Viwango ni vyandarua ambavyo ni vifupisana, kwa sisi tunaotoka Kanda ya Ziwa ni mtihanikuvitumia kwani miguu yote inakuwa nje.

Mheshimiwa Spika, nafikiri vyandarua hiviwalipimwa watani zangu kutoka Morogoro, maana waovinaweza kuwatosha hata wasipochomekea.

Naiomba Serikali iviangalie upya kwani asilimiakubwa vinatumika kukuzia mboga, kuku (vifaranga) aukufanyia fence kwa ajili ya kuzuia kuku kuharibu mbogakatika bustani.

Siyo hilo tu, hata baadhi ya minara ya simuwamekuwa wakivitumia kuziba mitambo yao ili nyukiwasijenge.

Mheshimiwa Spika, Serikali imekuwa na nia njemakabisa kutoa vyandarua, lakini naomba viwe na uboraunaoridhisha ili hata sisi warefu tuweze kuvitumia bilakuvichomeka jamani!

Mheshimiwa Spika, naomba niishie hapa.Naomba kuwasilisha.

MHE. CONCHESTA L. RWAMLAZA: MheshimiwaSpika, Serikali ina mipango ya kusaidia Mamlaka zaSerikali za Mitaa kuimarisha mapato yake na sasainaongea na Benki ya Rasil imali (TIB), ambayoimeonesha nia ya kuzikopesha Mamlaka za Serikali zaMitaa.

Page 211: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

211

Mheshimiwa Spika, naishauri TAMISEMI iwekeutaratibu na kuzielekeza Halmashauri kuwa wazi nakufuata taratibu zinazotakiwa, zitakazowezeshaMadiwani wote kupata taarifa na kushiriki kupitiaMabaraza ya Madiwani katika hatua zote za ukopaji.Ushiriki wa Madiwani wote utaondoa malalamiko aumigogoro kama inavyotokea katika Halmashauri yaManispaa Bukoba.

Mheshimiwa Spika, vipo viporo vingi vya Miradiya Maendeleo katika Halmashauri zetu na hata Miradiya Kimkoa ambayo imeshindwa kumalizika; mfano,madarasa, vituo vya afya na kadhalika.

Mheshimiwa Spika, Serikali sasa ianze kujikitakatika kuikamilisha kabla ya kupanga Miradi mipya.Miradi inayohitaji fedha nyingi, ipangiwe muda maalumwa kukamilika; hivyo, Serikali itenge fedha za kutoshakatika muda uliopangwa, Mradi ukamilike kabla yakupanga Miradi mipya; mfano ni Hospitali ya Rufaa yaMkoa wa Singida.

Mheshimiwa Spika, itazame upya makadirio yagharama za manunuzi ya vifaa vya ujenzi na matumizi(Quatations) mengine. Makisio haya yanakuwa juukulinganisha na bei za kawaida na hivyo Miradi hutumiagharama kubwa kuliko inavyopaswa kuwa nakushindwa kukamilika.

MHE. RUKIA KASSIM AHMED: Mheshimiwa Spika,nashukuru kwa kupata nafasi hii nami niweze kuchangiakatika Hotuba ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Mheshimiwa Spika, nitaanza na Tume ya Taifa yaUchaguzi. Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya Uchaguziyapo katika nyumba ya kupanga; hii huisababishiaTume kulipa pango la Sh. 234,387,648/= kwa mwaka.

Page 212: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

212

Kwa miaka kumi wanalipa Sh. 2,340,387,648/=. Pesaambazo zinatosha kujenga jengo zuri la ghorofa sitahadi saba. Kwa nini Serikali haitoi fedha likajengwajengo badala ya kupangishwa kwa gharama kubwakiasi hiki? Tatizo hili lipo katika Ofisi nyingi za Serikaliambazo zimepanga kwa gharama kubwa sana. Serikaliifikirie ni namna gani ya kufanya, iwe ni kwa kukopakatika mashirika makubwa ya kimataifa au kutoa fedhayenyewe, lakini iondokane na kupanga majengo kwaajili ya Ofisi za Serikali kwa gharama kubwa kiasi hiki.

Mheshimiwa Spika, sasa napenda niendekwenye kero sugu ya Wafanyabiashara wa Zanzibarkulipishwa kodi mara mbili.

Mheshimiwa Spika, juu ya kuwa suala hil ililizungumzwa mwaka uliopita na kwa kuwa kero hiiilipatiwa ufumbuzi kuwa bidhaa yoyote itakayoingizwanchini kupitia kituo chochote cha forodha kilichopondani ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, basihazipaswi tena kulipa ushuru mara mbili.

Mheshimiwa Spika, naomba Serikali itoeufafanuzi ni hatua gani za kisheria na kinidhamuzilizochukuliwa dhidi ya Maafisa na Watendaji waSerikali, walioshindwa kutekeleza maagizo hayayaliyotolewa kwa mujibu wa sheria.

Mheshimiwa Spika, sasa napenda nizungumziekuhusu Taasisi ya Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).Chombo hiki ni kwa nini hakipewi mamlaka ya kuwezakuchunguza na kupeleka Mahakamani moja kwa mojabadala ya kupeleka kwa DPP? Chombo hiki kikipewamamlaka haya, basi kitaweza kupunguza rushwa nchini.Naishauri Serikali iongeze fedha katika Fungu la Taasisihii ili waweze kufanya kazi katika Mikoa yote nchini.

Page 213: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

213

MHE. REBECCA MICHAEL MNGODO: MheshimiwaSpika, kwa muda mrefu imejulikana kwamba,Makampuni ya Simu au Mawasiliano, hayalipi kodistahiki. Kodi ndiyo inayosaidia katika kuleta maendeleoya nchi yetu. Mfumo wa kuratibu huduma zamawasiliano unaojengwa na Serikali (Traffic MonitoringSystem), uharakishwe kwa kutengewa fedha za kutoshaili kuleta ufanisi katika Sekta ya Mawasiliano kwakudhibiti na kukusanya kodi stahiki kwa Serikali.

Mheshimiwa Spika, suala la ugaidi ambalolimeibuliwa hapa Tanzania, limeichafua Tanzania katikasura ya Dunia. Huenda hata watalii wengi wamepatahofu ya kutembelea Tanzania kwa kuhofia uwepo waugaidi, ambao bado hatuna uhakika kama ni kweli upo.Ni vyema Serikali ikawa makini katika kushughulikiamasuala yote yanayoweza kutupotezea amani kwakutumia utaalam iliyo nayo badala ya ku-shout katikavyombo vya habari kuhusu ugaidi ambaohaujathibitishwa. Hii itasaidia kulinda sifa ya nchi yetuna hivyo kuendelea kuwa na mawasiliano mazuri nanchi nyingine za kimataifa.

Mheshimiwa Spika, hali ya elimu hapa nchini siyoya kuridhisha. Asilimia sitini ya wanafunzi waliofeli nikuwaharibia watoto wetu maisha yao ya baadaye.Kwa kuwa ni jukumu la Serikali kuangalia maisha ya kilaMtanzania yanakuwa bora, Serikali iangalie jinsi yakuwaokoa wanafunzi hao kutoka shimo walilotumbukia.Ikibidi, wanafunzi hao wapatiwe nafasi ya kurudiamwaka mwingine na Serikali iweke mazingira mazuri yakufanya hivyo. Pia inawezekana kabisa wanafunziwakaangaliwa upya maksi zao kwa kulinganishamatokeo hayo na yale ya Mock na hivyo kupataulinganisho wa matokeo hayo ili kuwasaidia watotohawa kwani ni kweli kabisa maisha yao ya baadaye

Page 214: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

214

yanategemea msingi wao ulivyo. Serikali pia iharakishekatika kuweka maslahi mazuri ya walimu ili kuwapamotisha katika kazi yao ambayo ni ya muhimu sanakatika kutujengea wataalamu wa kesho.

Mheshimiwa Spika, pamoja na hayo, hali yamazingira ya utoaji elimu hapa nchini bado hairidhishi.Shule nyingi za Kata, kwa utafiti uliofanywa na TanzaniaCoalition on Debt and Development (TCDD), January2013, zipo katika mazingira ya pori, siyo salama kwawanafunzi kwa kukosa uzio na pia siyo rafiki kwawanafunzi wenye mahitaji maalum. Katika utafiti huo,shule nyingi zilionesha wanafunzi wengi kutembeakuanzia kilometa tano hadi kumi hasa maeneo ya vijijini.Umbali wa kilometa kumi wanaotembea wanafunzi kwasiku ni sawa kilemeta 50 kwa wiki.

Hali hii pia huchangia kuporomoka kwa elimu naongezeko la mimba kwa wanafunzi wa kike. Kunaumuhimu wa kutengeneza utaratibu utakaoondoaadha hii kwa wanafunzi kutembea umbali mrefuikiwemo ujenzi wa mabweni. Maeneo yaliyofanyiwautafiti ni Masasi, Mbarali, Morogoro, Kibaha, Kiteto naIramba. Kimsingi, maeneo mengi ya Tanzania, hali yavijijini hairidhishi; shule nyingi hazina maktaba, maabara,umeme, vyoo vya kutosha, nyumba za walimu,madarasa ya kutosha na majiko ya kupikia.

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa elimu ndiyo msingiwa maisha, Serikali iongeze nguvu na kuweka umuhimumkubwa katika suala la elimu na mazingira bora yaelimu hapa nchini; vinginevyo, tunarudi nyuma badalaya kwenda mbele.

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa fedha nyingi zaSerikali zinazotengwa kwa ajili ya kufanikisha nakutekeleza shughuli za maendeleo, fedha hizo hazitumiki

Page 215: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

215

zote bali asilimia fulani huishia katika mifuko ya maafisawasio waaminifu. Ni vyema Serikali ikazingatia Ripotiya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG), aliyoitoa Juni, 2012 na hivyo kuwachukulia hatuawale wote ambao wamehusika na uzoroteshaji wamaendeleo na ubadhirifu wa fedha za maendeleo yaTaifa letu.

Mheshimiwa Spika, Ripoti ya CAG iko wazi naitakuwa ni jambo la kushangaza kama haitafanyiwakazi. Ni muhimu wale wote waliobainika kutotimizawajibu wao kwa uadilifu, wakachukuliwa hatua zakinidhamu na hata kushitakiwa mahakamani, kwaniushahidi ni Ripoti hii ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu zaSerikali.

Mheshimiwa Spika, Ripoti inasema kwamba,bado mishahara hewa inaendelea kulipwa katikabaadhi ya Halmashauri zetu. Shilingi 693,132,772 zililipwakatika Halmashauri 24, ikiwa kama mishahara kwawastaafu, watoro, watumishi waliofariki, watumishiwalioacha kazi au walioachishwa kazi kupitia akauti zaoza benki.

Mheshimiwa Spika, mapato ya shilingi bilioni 3.9yalipotea katika Halmashauri ya Arusha kutokana naHalmashauri kutoza bei ya chini ambayo ilikuwa natofauti kubwa kulinganisha na bei ya soko na vibandawalivyopangisha ambavyo vinamilikiwa naHalmashauri. Ripoti hiyo inaonesha kuwa, hati za malipoya shilingi 4,996,689 na viambatanisho vyenye jumla yashilingi 1,075,263,998 havikuwasilishwa wakati waukaguzi.

Mheshimiwa Spika, Serikali ichukue hatua kaliharaka kwa wale wote waliohusika kutoza bei ya chinitofauti na bei iliyopangwa katika Halmashauri hii ya

Page 216: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

216

Arusha, kwani ni kuipotezea Serikali mapato ambayoyangeweza kutumika katika kukwamua hali yetu yaelimu, afya na kadhalika.

Mheshimiwa Spika, hali ya uwindaji haramu hapandani katika Mbuga zetu za Wanyama badoinaongezeka badala ya kupungua. Ripoti ya CAGinathibitisha kuongezeka kwa uwindaji haramu; je,wanaohusika na usimamizi wa wanyamaporiwamechukuliwa hatua gani za kisheria? Uwindajiharamu haukugundulika leo, hatua za kinidhamuzingekuwa zinachukuliwa dhidi ya wasimamizi wawanyamapori, wasingelegea katika kutimiza wajibuwao. Tembo 110 katika mbuga saba waliuawa mwaka2011/12, jambo ambalo linaathiri sana Pato la Taifa.

Mheshimiwa Spika, hata hivyo, wizi wa fedha zaSerikali umeendelea kuonekana katika baadhi yaHalmashauri kwa kutozingatia Taratibu na Sheria zaManunuzi. Serikali ichukue hatua kali ili iwe fundisho kwawengine na hivyo kutumia kwa usahihi fedhazinazopelekwa katika Halmashauri.

Mheshimiwa Spika, baada ya hayo machache,naomba kuwasilisha.

MHE. PROF. DAVID H. MWAKYUSA: MheshimiwaSpika, zao la chai ni tegemeo la Wananchi wengiWilayani Rungwe. Chai inalimwa na wakulima wakubwaambao wana kiwanda chao kimoja kinachofanya kazina wakulima wadogo ambao pia wana viwanda viwili.Wakulima wadogo wameunda Chama chao chaRDTGA, ambacho kinaendesha viwanda vyake kwaubia na Wakulima Tea Company (WATCO). WATCO auRSTGA inatoa ruzuku ya mbolea, inasaidia ujenzi washule na zahanati na ukarabati wa barabara.Maelewano yametoweka kati ya wakulima wakubwa

Page 217: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

217

na RSTGA, kwa sababu wakulima wakubwawanakwenda vijijini kununua chai (ambayo ni haki yaRSTGA), kwa kisingizio cha soko huria.

Mheshimiwa Spika, mashamba ya wakulimawakubwa yakiangaliwa vizuri, yanaweza kutoa majaniya kutosha kwa kiwanda chao. Matokeo yake nikwamba, Kiwanda cha RSTGA/WATCO kinapata uhabawa majani ya chai na kina hatari ya kufungwa. Sualalimefikishwa Wizara ya Kilimo muda mrefu, napendakupata taarifa ya hatua iliyofikiwa na Serikali katikamgogoro huu.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. KABWE Z. ZITTO: Mheshimiwa Spika,changamoto ya udini ni kansa inayoligawa Taifa letukwa kasi sana. Sentiments za udini is real huko mitaani.Viongozi wa Dini wanaeneza pia sumu hii. Misikiti naMakanisa vinatumika kugawa sumu hii kwa wauminiwao.

Misikiti na Makanisa yametumika kuelekezaWananchi wao kupiga kura kuchagua Wananchiwenzao kwenye Mabaraza ya Katiba. Mfano, ipo na nidhahiri maana sisi Viongozi tunasali na kuswali kwenyeMakanisa na Misikiti hii.

Hapa Bungeni, Wabunge huchagua wawakilishimbalimbali kwa misingi ya dini. Suala hili ni dhahiri. Tatizosuala hili tunalishughulikia kwa kuficha takataka chiniya kapeti. Hatutafika hata kidogo. Suluhisho la suala hilini kuliongelea kwa uwazi ili iundwe Tume ya Uchunguziya Kibunge, kuchunguza kuongezeka kwa mifarakanoya kidini na udini nchini. Lazima tupate ukweli wa sualahili na kupata ufumbuzi wa kudumu. Tuunde sasaParliamentary Inquiry on Religions Tension.

Page 218: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

218

Mheshimiwa Spika, changamoto kubwa iliyopohapa nchini hivi sasa ni Serikali kukosa mapatokugharamia uendeshaji wa reli. Miradi ya Maendeleoinaathiriwa zaidi. Tax evasion hufanywa zaidi naMakampuni makubwa yanayowekeza nchini na hataWafanyabiashara wa Kitanzania. Uwezo wa TRAkudhibiti ukwepaji umekuwa ukiongezeka lakinihautoshi. Kampuni za Simu zinaongoza kukwepa kodikwa kufanya uwekezaji holela ambao hauangaliwi naTaasisi yoyote ile ya Serikali. PAC ilipendekeza kwa Waziriwa Fedha kwamba, katika Financial Act, 2013, tufanyemabadiliko ya Sheria ya Mawasiliano kwa kuwekakifungu kinachoipa TCRA mamlaka ya kufanyauchaguzi kwenye uwekezaji unaofanywa na Kampuniza Simu.

Uzoefu tulioupata kwenye TMAA sasa tuhamishiepia kwenye Sekta ya Mawasiliano. TRA kwa kutumiatakwimu za TMAA wameweza kugundua $431 milioniziliwekwa kimakosa kwenye Kampuni ya BulyanhuluGold Mine peke yake.

Dunia nzima sasa inakabili tax evasion, ni wajibuwa Wananchi wetu kufanya crackdown oninternational tax avoidance and evasion. Tukataekabisa wawekezaji kutoka tax havens. TukataeWatanzania kuweka fedha off shore.

MHE. BETTY E. MACHANGU: Mheshimiwa Spika,napenda kuchangia hotuba ya Waziri Mkuu nanitalenga maeneo machache, yaani elimu, mazingirana afya.

Mheshimiwa Spika, elimu yetu hasa ya msingi nasekondari inazidi kudidimia. Watanzania tulishuhudiaperformance mbaya ya wanafunzi wa Kidato cha Nne.

Page 219: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

219

Mheshimiwa Spika, naomba kushauri mambomachache yafuatayo ili tuweze kunusuru elimu yetu.Ushauri wangu wa kwanza ni kuwa Serikali iwaruhusuwanafunzi waliofeli, waliopata sifuri, warudie mwaka,wafanye tena mtihani wa Kidao cha Nne.

Ushauri wa pili ni uandikishwaji Darasa la Kwanzauoanishwe (wanafunzi watakaoingia Darasa la Kwanzawawe na umri inaolingana), wasiwepo wanafunziwenye umri mkubwa kuliko wengine. Kwa mantiki hii,Wakala wa Vizazi (RITA) hawana budi kuhakikisha kilamtoto anayezaliwa katika karne hii anaandikishwa nahivyo kupata vyeti vya kuzaliwa ambavyo vitasaidiauandikishwaji wa wanafunzi Darasa la Kwanza.

Mheshimiwa Spika, vile vile nashauri Serikaliitathmini upya matumizi ya teknologia kupitia simu zamikononi kwa wanafunzi wa Shule za Msingi naSekondari. Simu zimekuwa chanzo cha kuwafanyawanafunzi kutokuzingatia masomo yao. Inawezekanakabisa Serikali ikapiga marufuku simu zisifikishwe shule,lakini pia zikafikishwa shule na kuwa deposited katikapigeon holes (eneo mahsusi) mpaka muda wamwanafunzi kutoka darasani.

Mheshimiwa Spika, pia Serikali irekebishe mitaalailiyoko kwa Shule za Msingi, iendane na mfumo ulipoduniani. Kama Elimu anayopata mwanafunzi wa Shuleya Msingi na Sekondari impe uwezo wa kufikiri zaidi nakuchambua mambo, kuwa na ubunifu hata kama kwakiwango kidogo.

Mheshimiwa Spika, elimu ya sekondari ndiyomaandalizi ya maisha ya mwanafunzi yeyote. Mitihaniya multiple choice hasa katika Hisabati ipunguzwe hasakwa elimu ya msingi, mitihani impe mwanafunzi fursaya kutumia akili na IQ yake yote.

Page 220: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

220

Mheshimiwa Spika, mitihani ya Darasa la Nne naKidato cha Pili iwekewe umuhimu. Huu ndiyo mchujowa awali. Mitihani hii ionekane vile kuwa pamoja naDarasa la Saba, ndiyo michujo ya mwanzo yakumwandaa mtaalam katika fani yoyote nchini.Mwanafunzi anayeshindwa mchujo huu, aruhusiwearudie darasa. Inawezekana kufeli kumetokana naimmaturity ambapo akirudia darasa inawezekana kwamwaka mzima akakua zaidi na hivyo kujitambua nakuwa makini katika masomo na katika mitihani.

Mheshimiwa Spika, Serikali iweke mkazo katikaukaguzi wa Shule za Msingi na Sekondari. Idara hii ndiyojicho la Serikali kujua yanayofanyika mashuleni.Wakaguzi hawaendi kukagua shule kwa sababuhawana usafiri wa uhakika, na wakiwa nao hawanamafuta. Mara nyingi hata pale wanapokagua taarifazao hazifanyiwi kazi. Wakurugenzi, REOs hawazifanyiikazi taarifa za Wakaguzi ipasavyo. Laiti zingefanyiwakazi, hali ya elimu yetu leo ingekuwa tofauti. Mwaka2012 nilishauri hili na mwaka huu naendelea kushauri.

Mheshimiwa Spika, yapo malalamiko badokuhusu stahili za wataalamu. Kuna umuhimu Serikaliiyafanyie kazi ili lawama ya kufeli kwa wanafunzi isiweni kwa sababu wao kutokulipwa stahiki zao.

Mheshimiwa Spika, Sheria ya PPP inaruhusu sektabinafsi ishirikiane na Serikali katika kuleta maendeleokatika maeneo mengi nchini. Halmashauri ya Wilayazigawe maeneo kwa sekta binafsi katika maeneoyanayozunguka Shule za Msingi na Sekondari kwamakubaliano, wajenge nyumba za kukodisha ambazoWalimu watazikodisha. Kwa mpango huu, kutakuwahakuna uhaba wa nyumba za Walimu za kuishi, tenamaeneo mengi Tanzania wananchi wanaweza kutumiatofali za kuchoma ambazo ni za gharama nafuu.

Page 221: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

221

Mheshimiwa Spika, Serikali iangalie ni kwa namnagani wazazi watashirikishwa zaidi katika elimu ya watotowao. Sasa hivi kila mzazi anajifanya yuko too busy namambo mengine kiasi cha kukosa muda wa ku-inspectdaftari la motto. Serikali itafute namna ya kubanawazazi.

Mheshimiwa Spika, mwaka huu 2013 nchi yetuimepata vivutio vitatu vilivyoingizwa katika MaajabuSaba ya Dunia. Kivutio kimojawapo ni Mlima Kilimanjaro.Mlima Kilimanjaro unakadiriwa kuipatia Serikali yaTanzania Shilingi bilioni 80 kwa mwaka. Athari zamabadiliko ya tabia nchi yameleta athari kubwa katikahifadhi ya mlima huo. Deforestation inafanyika kwa kasikubwa na barafu katika mlima huo inatishiwa kuyeyukaifikapo mwaka 2025.

Maeneo ya kaskazini Manyara, Arusha naKilimanjaro yamekubwa na ukame kwa takriban miakaminne mfululizo. Serikali haijasema ina mkakati gani wakunusuru mlima huo ili Watanzania waendelee kupatapato la Taifa.

Mheshimiwa Spika, ile Mikutano ya Mazingiraimefanyika Cancun na Qatar, 2013 ambayo wafadhiliwaliahidi kuanzisha Mfuko wa Green Climate Fund.Serikali ilifuatilie ili kusaidia kupunguza athari zamabadiliko ya tabia nchi. Serikali ifuatilie ufadhili wa EUkujenga kituo cha mabadiliko ya tabia nchi MkoaniKilimanjaro kama ambavyo EU iliahidi mwaka 2012.

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Rais katikaMkutano uliofanyika London mwaka 2011, ulihusu Azimiola Abuja ambalo nchi zilikubaliana kuweka mkakati wauzazi wa mpango katika nchi husika na Mheshimiwa Raisalikubaliana na Azimio hilo la Uzazi wa Mpango. Sensaya watu na makazi ya mwaka 2012 inaonyesha idadi

Page 222: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

222

ya Watanzania milioni 44.9 na rate ya kuzaa ya 2.7% ikoMikoa ambayo kiwango chao cha kuzaa ni zaidi yawastani wa kiwango cha Taifa cha 2.7% mfano Mkoawa Kigoma Wilaya ya Kasulu kiwango chao cha uzazini 4.8% (utafiti wa asasi ya ACQUIRE, 2010).

Tafiti za mama na mtoto 2010 zinaonyesha uzaziwa watoto sita kwa kila mwanamke mwenye umri wakuzaa. Kiwango cha kukua kwa pato la Taifa ni 6%. Je,ni lini Serikali itafanya tathmini ili kujua kama ongezekola watu linakwenda sambamba na ukuaji wa uchumiwetu? Tafiti hizo pia zinaonyesha 42% ya watoto chiniya umri wa miaka mitano wana utapiamlo(undernourished) na 67% wana upungufu wa damu. Je,Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2011/2012)umeisaidiaje tatizo hili?

Mheshimiwa Spika, naomba ufafanuzi wamaswali mawili niliyouliza, na naunga mkono hoja.

MHE. CLARA D. MWATUKA: Mheshimiwa Spika,kwanza, namshukuru Mungu kwa kunihudhurisha siku hiiya leo. Napenda kuchangia kwa machache kwanzanikianza na Wizara ya Elimu nikianzia na matokeomabaya ya mitihani kuanzia na Darasa la Saba na hatawa Kidato cha Nne. Kwa mawazo yangu, naona ile haliya kutokuwa na vitabu vya kiada sawa kwa nchi nzima,maana vitabu hivi kutofautiana kati ya shule au Wilaya.Matokeo, mitihani ijapo, baadhi ya shule hizo huwa yalewanayoyakuta ni mageni kwao.

Vilevile baadhi ya masomo huwa hawayapatikabisa.

Mheshimiwa Spika, tatizo la maji katika maeneomengi, kilio ni kikubwa sana. Maeneo mengine kamavile Wilaya ya Masasi walipata ule mradi wa visima virefu

Page 223: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

223

kumi. Kwa bahati mbaya visima hivi havitoi maji, hatakama sehemu nyingine vijana kama vile Nangangawanachimba visima vifupi tu na vinatoa maji ambayoinawapa mradi wa kuendeshea maisha yao. Visimahivyo hutumika kuchotwa kwa makopo tu. Inashangazakuona visima virefu visitoe maji. Naiomba Serikali ifuatilievijiji vya aina hii ili itoe na iongezee nguvu ili kutatuatatizo hili. Kwa Wilaya hii ya Masasi, Mto Ruvuma upokaribu kiasi maji yake yanawezakana kusambazwa kwaurahisi.

Mheshimiwa Spika, linguine ni kuhusu afya.Hospital ya misheni Ndanda Wilayani, Masasiwaliahidiwa kuwa itakuwa ni ya rufaa. Niliwahi kuletamadai yao, lakini sijui hadi leo Serikali imechukua hatuaau imefikia hatua gani. Pia watumishi ni wachache,wengi wamehamia Serikali kwa kukimbia mishaharamidogo. Ile ni hospitali mkombozi kwa wananchi waMikoa ya Kusini.

Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali ioneumuhimu wa kutekeleza haya.

Mheshimiwa Spika, utawala bora nijuavyo mimini kwamba, isemwapo Vyama vya Siasa ni pamoja naCCM. Ila hiki kimekuwa madarakani, sasa ajabu nikwamba mara nyingi zitokeapo nafasi za utendaji kamavile zile za utendaji, wakati wa uandaaji wa masualaya uchaguzi, watapewa nafasi wa Chama Tawala kwamadai kwamba nafasi hizo wasipewe watu wa Vyamavya Siasa. Huu ni uonevu. Isitoshe kwa mfano vijijivinavyoongozwa na Vyama pinzani baadhi ya viongozihupuuzia shughuli za ujenzi wa maendeleo na kuziriaChama kilichochukua uongozi pale.

Mheshimiwa Spika, ninao ushahidi wa kutoshakwa kijiji cha Mpulima Lulindi, ni uongozi wa CUF. Shule

Page 224: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

224

iliangushwa na kimbunga viongozi walifika wa Serikalina kushuhudia lakini ikaachwa watoto wanapata shidawakati shule ile hawasomi, CUF tupu. Nilichukua hatuakuwakuta Mkurugenzi na Afisa Elimu na kuwasihi waoneumuhimu wa kujali. Ofisi ya Kijiji pia walijenga wao. Naminilichangia bati nane kumalizia. Hali kama hii siyo nzuri,na siyo hayo tu. Hivyo naomba hali isiwepo, Baraza laKatiba Kata ni kinyemela na ni wa CCM tu. Siyo vizuri!Hali irekebishwe, Katiba ni ya wote.

Mheshimiwa Spika, kwa upande wangu, sinaupande, pamoja na kwamba nipo kwenye Chama chaUpinzani, wala sibagui.

Napenda nichukue nafasi hii kwa nia njemakabisa juu ya hali inayokuwepo Bungeni kati ya CCMna CHADEMA. Waswahili wanasema, mtu ukimjua,hakusumbui. Hawa ni watu wa kuwapuuza na kuwaonani wa kawaida. Wameishiwa na mipango na mawazopia. Kwani hata wenyewe baadhi yao wanakiri kabisakuwa tabia yao siyo mzuri. Ugomvi wa mume kwa mke,kama mke hajibu, matokeo yake mume hujifuma ujinga,mwisho hunyamaza. Na hawa wakipuuzwa bilakuwajali, watajifuma ujinga, wataacha tabia hii.

Mheshimiwa Spika, lingine ni kilimo, kuhusu sualastakabadhi ghalani. Pamoja na maelezo mazuri yaNaibu Waziri, leo kinachoumiza zaidi ni juu ya makatomengi yanayowanufaisha watu wasio na msaadawowote kwa wakulima.

MHE.HIGHNESS S. KIWIA: Mheshimiwa Spika,naomba kupata ufafanuzi wa sababu za msingi zakutokutengewa OC kwa Wilaya ya Ilemela, kwakuzingatia kuwa Ilemela ni Municipal mpya na inahitajinguvu za kutosha katika kutekeleza majukumu yake.

Page 225: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

225

Hii inatokana na taarifa iliyo katika orodha yamajedwali yanayoambatana na hotuba ya Waziri Mkuukatika ukurasa wa 22 inayohusu ni mgawanyo wa ruzukuya fedha za matumizi mengineyo(OC) kwa Halmashaurikwa mwaka wa fedha wa 2013/2014.

MHE. MOSHI S. KAKOSO: Mheshimiwa Spika,nianze kwa kuipongeza Serikali kupitia Ofisi yaMheshimiwa Waziri Mkuu kwa kutoa hotuba nzuri yenyematumaini makubwa kwa Watanzania.

Mheshimiwa Spika, nianze kuishauri Serikali juu yamfumo wa manunuzi uangaliwe upya. Kwani mfumohuu unasababisha Serikali kutumia fedha nyingi ambazohaziendi sehemu husika. Ni vizuri Serikali ikarudi kwenyemfumo wa zamani ambao una unafuu katika kuokoafedha za Serikali.

Mheshimiwa Spika, suala la kilimo, naombaSerikali iongeze bajeti kwenye kilimo, kwani Wizara hiiimebeba Watanzania walio wengi ambao wanatakiwakuwezeshwa na Serikali hasa katika kuweka ruzuku yaSerikali kwenye pembejeo kama mbolea, madawa,pamoja vyombo vya kurahisisha vitendea kazi kamatractor, power tiller na plau.

Jambo lingine ni kuangalia mfumo wa kuwalindawakulima wadogo wadogo kwa kutoagiza mchele njeya nchi. Kufanya hivyo ni kuua kilimo hapa nchini.

Mheshimiwa Spika, naomba sana kusuluhishamigogoro ya wakulima na wafugaji ambaowatasababisha madhara makubwa sana katika nchihii. Naomba Serikali itenge maeneo ya wakulima nawafugaji.

Page 226: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

226

Mheshimiwa Spika, maji suala la matatizo ya majini suala ambalo ni kubwa katika nchi. Naishauri Serikaliichukue hatua thabiti katika kuhakikisha tatizo la majilinamalizwa. Ni vyema Serikali ikaelekeza nguvu kubwakatika kutatua tatizo la maji ambalo ni kero kubwa katikanchi hii hasa maeneo ya vijijini.

Mheshimiwa Spika, lingine ni miundombinu Mkoawa Katavi ni Mkoa Mpya ambao haujaunganishwa naMikoa jirani. Naiomba Serikali itengeneze barabara yaMpanda – Kigoma, ijengwe kwa kiwango cha lami,sambamba na barabara ya Mpanda - Tabora ambayoni muhimu sana katika kuunganisha mtandao wabarabara wa Mikoa ya pembezoni. Ni vyema Serikaliikaongeza kiwango cha fedha ili kufanikisha kumalizatatizo la usafiri kwa kuimarisha barabara.

Mheshimiwa Spika, suala linguine ni mawasiliano.Tuna tatizo kubwa la maeneo ya Jimbo la MpandaVijijini hasa vijiji vya Katuma, Kabungu, Sibwesa,Kasekese, Ifukutwa, Majalila na kadhalika, havinamawasiliano. Naomb Serikali itatue tatizo hili.

Mheshimiwa Spika, mwisho, naunga mkono hoja.

MHE. DKT. PUDENCIANA W. KIKWEMBE:Mheshimiwa Spika, napenda kuchangia katika maeneoyafuatayo:-

Mheshimiwa Spika, kilimo katika eneo la kilimo,Serikali iliamua kutoa ruzuku za pembejeo ikiwemombegu na mbolea. Ruzuku hizi zimekuwa kwanzahazifikii maeneo husika kwa wakati, kupotea kwa vochaama kuharibika. Je, Serikali haioni sasa ni wakatimuafaka wa kubadilisha mtindo huu unaotumika kwasasa? Kwani haumfaidishi mkulima. Lakini pia ruzuku hiiimekuwa ikitolewa kwa ekari moja tu.

Page 227: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

227

Je, Serikali haioni kwamba ni vyema ikaongezaangalau ekari tatu kwa kila mkulima ili kuongeza tija nakuzuia uharibifu wa mazingiara na pia kukifanya kilimokuwa ajira na chenye tija kwa mkulima? Kwani kwakufanya hivyo mkulima atazalisha kwa mfano, mahindimengi na hivyo kuweza kuyaongezea thamani badalaya kuuza mahindi, anaweza akauza unga na kuongezaajira kwa vijana.

Mheshimiwa Spika, kuhusu mafunzo ya JKT,Serikali iangalie namna ya kuwatumia vijanawanaokwenda kwa kujitolea mara wamalizapomafunzo hayo, kwani kuwaacha wakarudi vijijini bilashughuli yoyote ya kueleweka, ni kupoteza pesa zaTaifa.

Mheshimiwa Spika, elimu katika sekta ya elimu nivyema Serikali ikaangalia upya utaratibu wa ada kwaShule za Sekondari, kwani uzoefu unaonyesha wazaziwengi wamekuwa wakishindwa kulipa ada hizo nahivyo kuwafanya wanafunzi kuacha ama kukatizamasomo. Ni vyema Serikali ikafuta ada hizo ili kuwezeshawanafunzi wengi kufikia malengo yao.

Mheshimiwa Spika, pili, asilimia mbili za mshaharaanazokatwa Mwalimu bila ridhaa yake mpaka sasa nikiasi gani, na zinawasaidiaje walimu? Je, wanapostaafu,pesa hiyo wanarudishiwa? Kama sivyo, je, Serikali ikotayari kuleta Muswada wa Sheria ili kujadili kufutwa/kukatwa kwa pesa hiyo?

Mheshimiwa Spika, vile vile napendakuzungumzia kuhusu Wizara ya Mambo ya Ndani.Naomba Serikali iangalie upya likizo za maaskari, yaaniwaende likizo kila mwaka kama watumishi wengine waSerikali badala ya kuwaacha kwa miaka mitatu ndipowaende likizo.

Page 228: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

228

MHE. JUMA SURURU JUMA: Mheshimiwa Spika,napata taabu sana kuona suala la elimu liko katikamihimili miwili. Ikiwemo Wizara husika na nyingineTAMISEMI. Nilichobaini ni kwamba, hakuna usimamizithabiti kwani kila upande unamsingizia mwenzie palesuala linapoharibika. Hivyo nashauri suala la elimuliwekwe katika Wizara moja tu, iwe Elimu ya Juu,Sekondari, Msingi (za Kata) na kadhalika.

Mheshimiwa Spika, kuhusu suala la ukaguziimebainika kwamba Serikali haijalitilia mkazo suala laukaguzi mashuleni, kwani kazi hiyo haipewi nyenzo,hauwezeshwi kifedha, wataalamu wapo kidogo namagari hakuna. Hivyo kukosekana kwa huduma hizokunadumaza usimamizi wa elimu nchini na ndiyosababu ya vijana wetu kufeli kwa idadi kubwa.Kutokana na kadhia hiyo, nashauri Serikali kuwekezakifedha, vifaa na kila kinachohitajika katika suala laukaguzi ili kazi hiyo isisite kila inapohitajika.

Aidha, nashauri kuwa kazi ya ukaguzi iwe niKitengo Maalum kinachojitegemea na kipatiwe fedhaya moja kwa moja. Vinginevyo, ikiwa kukifanya Kitengokwa kazi hiyo, uangaliwe utaratibu wa kutafuta Wakalawa kufanya kazi ya Ukaguzi kwa niaba.

Mheshimiwa Spika, lingine ni suala la Muungano.Kuna suala la malalamiko ya wafanyabiashara waZanzibar ya kutozwa kodi mara mbili na mgawanyo wamapato. Ninavyojua mimi hadi leo na sasa, kodiinatozwa mara mbili hasa Bandarini, unapoleta garilazima ulipe tena kodi ya mapato (TRA), vile vile na kodiza biashara na kadhalika. Hivyo, kutokana na kadhia,naitaka Serikali kufanya kikao cha mwisho cha kutoamaamuzi sahihi ili tatizo hilo liondoke tena, wananchiwamechoka kusikia suala hilo linazungumzwa tu.

Page 229: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

229

Mheshimiwa Spika, kuhusu suala la madai yaWalimu, nasikitishwa sana na Kitendo cha Serikali kuwahadi sasa Walimu wanadai maslahi yao na hawajalipwana Walimu wengine, tayari wameshawasilisha madaiyao Wizarani lakini bado wanapigwa tiktaka na tukijuasuala la madai ni muhimu sana ambapo Walimuwakilipwa wataweza kuingia ari ya kusomesha. Hivyo,naiomba Serikali imalize kulipa madai ya Walimu kablaya kumaliza mwaka 2012/2013.

MHE. RITTA E. KABATI: Mheshimiwa Spika, naombaieleweke kwamba mimi ni Askari mwenye namba AKC4317 SG, Ritta Kabati. Naipongeza Serikali kwa kurudishatena mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa mujibu waSheria.

Mheshimiwa Spika, kurudi kwa mafunzo haya niimani yangu sasa tunarudisha yale maadiliyaliyomomonyoka, vijana wetu watalitumikia Taifa laowakiwa na uzalendo.

Mheshimiwa Spika, naomba kutoa ushauri kwaSerikali, nimehudhuria mafunzo haya katika Kambi yaJKT Msange, kikosi cha 1823 KJ, Tabora. Ili mafunzo hayayaweze kuwa na tija kwa vijana wetu, Serikali inatakiwakutenga pesa ya kutosha katika Makambi haya ili vijanawanaopelekwa katika hizo Kambi wasionekanewanapelekwa kwenye mateso na vifo.

Mheshimiwa Spika, naomba nitoe changamotonilizoziona katika Kambi niliyohudhuria mafunzo yaMsange. Kambi haina umeme kabisa toka imeanzishwa,hakuna gari la usafiri la kikosi wala gari la wagonjwa(Ambulance), Kambi ina ukosefu wa madawa na vifaatiba, Kambi inahitaji marekebisho ya miundombinu yamaji taka na maji safi na kadhalika.

Page 230: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

230

Mheshimiwa Spika, kama Kambi hii ingekuwa naumeme, pamoja na kusaidia hata kuwa na mitamboya kukamua mafuta kwa alizeti na karanga zilizolimwakatika kambi hiyo na kusaidia kujiendesha yenyewe bilakutegemea ruzuku ya Serikali kwa kuuza mafuta yao.

Mheshimiwa Spika, mchango wangu wa pilinitachangia kutoka ukurasa wa 30.

Mheshimiwa Spika, kil imo cha umwagiliajipamoja na mikakati mizuri iliyowekwa na Serikali kwakupanua eneo la kilimo cha umwagiliaji, ningependakupata ufafanuzi wa vigezo vinavyotumika katikakugawa pesa hizo katika maeneo yetu na kwa niniSerikali inaanzisha miradi mipya wakati miradi yazamani, tena mingi haijakamilika.

Mheshimiwa Spika, ipo miradi miwili katikaManispaa ya Iringa ambayo ni Kitwiru Irrigation Schemna Mkoga) Kisaila, Kitwiru unahitaji Sh. 526,480,000/= naMkogwa Sh. 549,256,000/=.

Mheshimiwa Spika, miradi hii ni ya muda mrefusana ambayo tayari kuna nguvu ya wananchi na yaManispaa imeshaanza kutumika. Ningeomba Serikalikutoa kipaumbele kwa miradi hiyo.

Mheshimiwa Spika, mwisho, naombanizungumzie kuhusu Sera ya Taifa ya wazee ya mwaka2003.

Mheshimiwa Spika, sera hii pamoja na kuwa naupungufu mwingi lakini bado mpaka leo haijatungiwasheria. Je, ni lini tutaletewa rasmi?

Mheshimiwa Spika, siyo siri, wazee wengi wa nchihii wanapata matatizo makubwa sana.

Page 231: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

231

Mheshimiwa Spika, naomba ninukuu matamkona maagizo ya Mheshimiwa Waziri Mkuu Siku ya WazeeDuniani, 1St Oktoba, 2009 Dodoma na 2010 hukoMorogoro ya kuwa kila hospitali itenge chumba naDaktari wa Wazee, lakini sehemu kubwahayajatekelezwa hata baadhi ya maeneoyalikotekelezwa, wazee wanaambiwa dawawakanunue, hivyo hulazimika kurudi nyumbani biladawa.

Mheshimiwa Spika, nitachangia ukurasa 50kuhusu ujenzi wa barabara wa madaraja.

Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwa kazinzuri na kubwa iliyofanyika katika ujenzi miradi yabarabara na madaraja nchini.

Mheshimiwa Spika, ningependa Serikali itambuekuwa lipo daraja la Tagamenda katika Manispaa yaIringa, Jimbo la Iringa Mjini ambalo limekuwa ni tatizokubwa. Wananchi wanaozunguka eneo hilo, daraja hiloni kiunganishi kati ya Jimbo la Iringa na Jimbo la Kilolo.

Mheshimiwa Spika, upembuzi yakinifuunaonyesha daraja hilo linahitaji Shilingi bilioni 1.1. Kunawananchi takriban 4000 wakiwemo wanafunzi wa Shuleya Sekondari Tagamenda, Shule ya Msingi na Chuo chaMaendeleo.

Mheshimiwa Spika, Halmashauri haina uwezo wakujenga daraja hilo. Hivyo ningeomba Serikali ichukuetatizo hili ili kunusuru maisha ya wananchi ambayokaribu kila mwaka daraja hili huwa linaleta maafa nakusababisha vifo.

Mheshimiwa Spika, naomba kuunga mkono hoja.

Page 232: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

232

MHE. VICTOR K. MWAMBALASWA: MheshimiwaSpika, ujenzi kwa kiwango cha lami barabara ya Mbeya- Chunya - Makongorosi ulianza mwaka 2007.Mheshimiwa Rais aliweka jiwe la msingi barabara hiyomwaka 2008.

Kwanza, ujenzi huo ilipewa kampuni ya ujenzitoka Kenya. Kampuni hiyo ilishindwa na Tanroads katikautekelezaji. Baadaye zilipewa kampuni mbili toka China.Cha kusikitisha ni kuwa mpaka leo hakuna hata mitamoja ya lami. Kuna miradi mingine iliyoanza baada yamwaka 2007, imekamilika. Kwa nini barabara hiiinasuasua namna hii? Hivi wananchi wa maeneo hayowanajionaje baada ya kuona barabara yao haipewikipaumbele? Naiomba sana Wizara ya Ujenzi angalauimalizie kipande kimoja tu cha Mbeya hadi Chunya.Itasaidia sana kuwaonesha wananchi wa sehemu hizokuwa Serikali yao inawajali.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja ili fedhaipatikane ya ujenzi wa barabara hiyo.

MHE. AZZA HILLAL HAMAD: Mheshimiwa Spika,nashukuru kupata fursa hii ya kuweza kuchangia hotubaya Waziri Mkuu. Kwanza, naunga mkono hoja kwaasilimia mia moja pamoja na changamoto zinazoikabiliOfisi hii.

Mheshimiwa Spika, kumekuwa na ucheweshwajimkubwa wa fedha za miradi ya maendeleo katikaHalmashauri zote nchini, mfano Halmashauri ya Wilayaya Shinyanga mpaka sasa imepokea nusu tu ya fedhazilizopitishwa kwenye bajeti. Suala hili linavunja mioyowananchi ambao wameanzisha ujenzi wa Zahanati,Vituo vya Afya, madarasa, nyumba za Walimu nakadhalika kwa kujua Serikali itawashika mkono.

Page 233: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

233

Mheshimiwa Spika, suala la kuajiri watumishikatika Halmashauri zetu bado ni tatizo kubwa kutokanana urasimu unaofanywa na Wizara ya Utumishi naSekretarieti ya Ajira. Ni kwanini suala hili lisirudishwekwenye Halmashauri husika? Mfano, Halmashauri yaShinyanga imeomba kuajiri madereva zaidi ya miakaminne sasa na Ikama ya mwaka 2012/2013 inaonyeshaHalmashauri itaajiri madereva sita. Taratibu zotezimefuatwa, lakini mpaka sasa kibali hakijatoka.Naishauri Ofisi ya Waziri Mkuu kurudisha suala hili katikaHalmashauri zetu kuliko kuliachia Utumishi na Sekretarietiya Ajira.

Mheshimiwa Spika, naomba pia kuchangiakuhusu Kamati za Kudumu za Halmashauri kutokukaguamiradi ya maendeleo ilhali Kamati moja tu ya Fedha,Utawala na Mipango ndiyo inayokagua miradi yote yaHalmashauri kwa siku mbili tu. Suala hili ni tatizo kubwakatika Halmashauri zote nchini, kwani linasababishamiradi mingi kuwa chini ya kiwango kwa sababuhaikaguliwi kwa wakati. Ni vyema utaratibu wa zamaniwa Kamati zote kukagua miradi husika.

Mheshimiwa Spika, nakushukuru, namaliza kwaumuhimu mkubwa kuomba Serikali itimize ahadiiliyotolewa na Waziri Mkuu Mstaafu 2007 ya kuchimbabwawa la umwagiliaji katika kijiji cha Masengwa.

MHE. HERBERT J. MNTANGI: Mheshimiwa Spika,napongeza utendaji katika Ofisi ya Waziri Mkuu,TAMISEMI. Napenda kutoa maelezo na ushauri katikamaeneo yafuatayo:-

Mheshimiwa Spika, chombo kitakachoanzishwa(President’s Delivery Bureau), lengo la Mawaziri wakisekta na Watendaji kuwajibika kusimamia utekelezaji

Page 234: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

234

wa miradi ya kipaumbele ni muhimu na sehemu yamajukumu yao. Tutamke ongezeko la chombo hicho.

Mheshimiwa Spika, kuorodhesha na kusimamiautekelezaji wa ahadi za Mheshimiwa Rais, tumekuwatukisikia kilio cha Waheshimiwa Wabunge kukumbushiaahadi za Mheshimiwa Rais Bungeni na hata wakati waziara za Mheshimiwa Rais Majimboni. Nashauritupunguze kero hizi.

Mheshimiwa Spika, Wakurugenzi wa fedha waHalmashauri, wamejenga tabia ya kutotoa taarifa halisiza mapokezi ya fedha kutoka Hazina.

Kamati za Fedha na Mabaraza ya Madiwanihawapewi taarifa kwa wakati. Lengo ni kuhodhi fedhahizo na kuzitumia vibaya. Pia hakuna uwazi katikaupelekaji wa fedha katika Kamati za Serikali za Vijiji naShule na hivyo kuwezesha matumizi mabaya ya fedhaza miradi.

Mheshimiwa Spika, lingine ni tatizo la majiMuheza. Maji kutoka Mto Ziggi Tarafa ya Amani WilayaniMuheza ndiyo yanayotumika katika Jiji la Tanga, lakiniMuheza haina maji (Mjini). Ahadi ya Mheshimiwa Raisya mwaka 2005 na 2010 ni kuiwezesha Muheza Mjinikupata maji kutoka chanzo cha Mto Ziggi. Ahadi hiyohaijatekelezwa hadi leo, sambamba na ahadi yakutengeneza barabara ya Muheza Amani kwa kiwangocha lami.

Mheshimiwa Spika, ili kupunguza tatizo la maji,nimeomba Wizara ya Maji, na imeandaa mpango wadharura katika miradi mitatu; Kisima cha Polisi MuhezaSh. 100,000,000/=, kisima kirefu cha KitisaSh. 806,000,000/= na uboreshaji wa chanzo cha sasa –Magoroto/Mkurumizi Sh. 707,000,000/=.

Page 235: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

235

Mheshimiwa Spika, tumetekeleza mradi wakisima cha Polisi. Nimeandika kuomba msaada Ofisi yaWaziri Mkuu na kukabidhi barua kwa Mheshimiwa WaziriMkuu mwezi Februari, 2013. Mheshimiwa Waziri(TAMISEMI), Februari, 2013 hadi leo 16 Aprili, 2013 sijapatahata jibu! Je, ni lini Muheza itasaidiwa kuondoa kero hiiya maji? Upembuzi yakinifu kwa barabara ya MuhezaAmani umeanza, utakamilika lini na ujenzi kuanza lini?

MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Spika,napenda kuongelea suala la udini na taarifa zaUsalama wa Taifa na upelelezi nchini.

Mheshimiwa Spika, Taarifa za Usalama wa Taifa,Maafisa Upelelezi nchini na vyombo vya usalamavimekuwa vikilihusisha hili suala na Vyama vya Siasahususan CHADEMA. Lakini ukweli siyo huo, bali tatizo hililimeasisiwa na Usalama wa Taifa na Serikali kwamalengo ya kisiasa. Taarifa za kulihusisha Taifa na Udinililianza tangu mwaka 2000 wakati Chama cha CUFkilipokuwa kinatuhumiwa kuwa ni Chama cha Kiislamna Chama kinachohusishwa na ugaidi, lakini mpakasasa Serikali haijawahi kukanusha shutuma hizo. Hofuyangu ni kuwa, Taifa linapoelekea siko na matokeo yakupandikiza hilo yameanza kuonekana.

Mheshimiwa Spika, suala la imani halina Chama,halina ndoa wala umri. Itakapofika wakati, kila mtuatalinda imani yake. Serikali imekuwa nzito kuchukuamaamuzi juu ya jambo hili. Hivi ni nini tunachotarajia?Tunaiomba Serikali itoe tamko juu ya nyaraka zaMakanisa (Maaskofu) kama inazitambua amahaizitambui ikiambatana na sababu za kwaniniwanatambua ama hawatambui? Na mpaka sasa sualahili limefikia wapi?

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.

Page 236: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

236

MHE. AHMED A. SALUM: Mheshimiwa Spika,wafugaji wamekuwa wamepata mateso makubwasana kwenye maeneo wanayofuga mifugo yao, tenahii ni pamoja na viongozi wa Serikali, Polisi naHalmashauri kuwakamata, kuwaua wanapoingiakwenye hifadhi. Kwa bahati mbaya, mara nyingiwakikamatwa, wanachukuliwa mifugo yao na kutozwafedha nyingi ikiwemo rushwa. Hivyo, wafugaji wanatakakujua haki yao ya kimsingi kuishi Tanzania.

Mheshimiwa Spika, nashauri kwamba, kwa kuwawafugaji wengi wanatoka Shinyanga na Mwanza namaeneo mengine Tanzania. Serikali ingejitahidi kutengamaeneo ya kulishia mifugo, kuwachimbia mabwawakutokana na ukame wa maeneo yao ili kupata maeneomazuri ya malisho na kuondoa utata huu wa wafugajina Serikali.

Mheshimiwa Spika, maji ya Ziwa Victoria ni mradimzuri na uko katika mkakati wa kuyapeleka kwenye vijijivilivyo ndani ya kilometa 12, lakini mpaka sasa hakunahatua yoyote iliyochukuliwa mpaka sasa. NaombaSerikali kupanga na kutenga fedha ili mradi huu uwezekwisha. Napenda kujua pia mradi wa kutoka Kahamakwenda Nzega utaanza lini?

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Rais aliahidikukamilisha Halmashauri ya Wilaya ya Iselamagaziambayo sasa iko asilimia 30%, tumebakiza 70%.Tukamilishe kwa kutegemea fedha za Halmashauri,Halmashauri haitakuwa na uwezo wa kuikamilishaharaka. Hivyo, matumaini yangu ni mwaka huu,naomba majibu.

Mheshimiwa Spika, Shinyanga kwa muda mrefusana tumekuwa tukichangia pato kubwa sana katikapato la Taifa, lakini tumekuwa tunapata maendeleo

Page 237: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

237

kidogo sana, kwa mfano Airport ya Shinyanga mpakasasa haijajengwa na kukosa huduma ya usafiri kabisana kufanya kwenda Mwanza.

Naomba tupate majibu ya kuyamaliza matatizohaya yote kwa ujumla wake.

Mheshimiwa Spika, nashukuru sana.

MHE. LUHAGA J. MPINA: Mheshimiwa Spika,utoroshaji wa fedha nje ya nchi (Illicit Financial out Flow)katika Bunge la mwezi Februari, Bunge liliazimia kuwaSerikali ilete taarifa ya jinsi ilivyoshughulikia urejeshwajiwa fedha na raslimali za umma zilizotoroshwa nakufichwa nje ya nchi na kwamba Bunge la mwezi Aprilililipewa taarifa. Lakini cha kushangaza, kwa mujibu waratiba iliyopo, suala hili halimo kwenye orodha yashughuli zitakazoshughulikiwa na Bunge. Kwanini taarifaya utoroshaji wa fedha za umma nje ya nchi haimokatika ratiba?

Katika toleo la kwanza (first draft) la Mpango waMaendeleo wa Miaka Mitano, suala la utoroshwaji wafedha nje ya nchi lilielezwa kuwa ni kikwazo kikubwacha kupiga hatua za kiuchumi na maendeleo nchini,lakini toleo la mwisho (final draft) kipengele hichokimeondolewa.

Mheshimiwa Spika, kwanini kipengele hichokiliondolewa katika mpango wa maendeleo wa miakamitano? Kitabu cha hotuba ya Waziri Mkuu kina kurasa82 na kimegusia mambo mengi muhimu kwa ustawi waTaifa letu. Lakini licha ya ukubwa wa tatizo la utoroshajiwa fedha nje ya nchi ambalo limelalamikiwa naWatanzania wengi wakiwemo Waheshimiwa Wabungena Taasisi mbalimbali Waziri Mkuu hajagusia walakuzungumzia suala hili.

Page 238: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

238

Wakati kuna kiasi cha Shilingi trilioni 13 zinadaiwakufichwa nje ya nchi, mfano nchini Uswiss pekeezinadaiwa kufichwa kiasi cha Shilingi bilioni 315.

Mheshimiwa Spika, fedha na raslimali za ummaambazo zingetumika kutoa huduma kukuza uchumi nakuleta maendeleo zinatoroshwa na kufichwa nje ya nchikwa maslahi ya watu wachache na kuwaachaWatanzania wengi katika lindi la umasikini wa kutupwa,lakini Serikali haionyeshi nia ya dhati kuweza kuzirejeshafedha hizo. Kwanini Serikali imegubikwa na kigugumizikikubwa katika kushughulikia suala hili?

Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa Mpango waMaendeleo wa Miaka Mitano (FYDP 1) kwa mujibu wahotuba ya Waziri Mkuu, ni dhahiri kwamba Mpango waMaendeleo wa Miaka Mitano umefeli na hivyo ni mudamuafaka sasa Watanzania wakafahamishwa.

Bunge lilipopitisha Mpango wa Maendeleo waMiaka Mitano mwaka 2011/2012 ilipitisha pamoja navipaumbele vyake. Hivyo kusema kuwa kuna Serikaliimeunda chombo maalum “President’s DeliveryBureau” kitakachochambua vipaumbele ambavyovitatoa matokeo ya haraka. Huu ni mpango ndani yampango, kwani shughuli zilizoainishwa katika FYDP 1ndizo tulizokubaliana kuwa zitatoa matokeo ya harakandani ya miaka mitano.

Kwa mujibu wa mpango, vipaumbelevinafahamika, wala haihitaji wadau kuchambuavipaumbele. Kinachohitajika ni kupeleka fedha zakutosha kutekeleza mpango.

Mheshimiwa Spika, matatizo yanayokwazautekelezaji wa mpango wetu ni kama ifuatavyo:-

Page 239: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

239

- Serikali kutokutenga fedha za kutosha zandani kugharamia mpango kama ilivyokubalika. Mfano,katika mwaka wa fedha 2012/2013, Serikali ilitengaShilingi trilioni 2.2 tu badala ya Shilingi trilioni 2.9 ikiwa nipungufu ya Shilingi bilioni 700.

- Serikali kuendelea kutegemea misaadana mikopo toka nje kutekeleza mpango fedha, ambayoimekuwa hailetwi kwa wakati na mara nyingi huletwapungufu ya fedha iliyoahidiwa.

- Ucheleweshaji wa fedha za miradi yamaendeleo katika kila mwaka wa fedha, Wizara, Taasisina Halmashauri hulalamikia ucheleweshaji mkubwa wafedha za miradi ya maendeleo ambazo kwa wastanihadi kufikia robo ya tatu ya mwaka wa fedha huwazimepokea 30% tu ya fedha zinazostahili kupokea.

Mfano, katika mwaka wa fedha 2012/2013 Shirikala Reli nchini, (TRL) lilitengewa kiasi cha Shilingi bilioni85.27, lakini hadi robo ya pili inamalizika, Serikaliimepeleka Shilingi bilioni 12.2 tu sawa na 14.3%.

- Kutokushirikishwa kikamilifu kwa sektabinafsi katika kutekeleza mpango huu kupitia utaratibuwa PPP. Aidha, Serikali haijaiandaa sekta binafsi na walahaijaweka wazi miradi ambayo inataka ushiriki wa sektabinafsi, licha ya mpango huu kubakiza miaka miwili yautekelezaji.

- Serikali kushindwa kubuni vyanzo vipyavya mapato na kwamba kuna udhaifu mkubwa katikaukusanyaji wa mapato.

Mfano, hata vyanzo vya mapato vilivyoainishwakatika mpango ukurasa wa 82 - 96 Serikali haijaanzakukusanya mapato hayo mpaka sasa.

Page 240: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

240

- Serikali imeendekeza matumizi ya anasahuku miradi ya maendeleo ya wananchi ikitengewafedha kiduchu. Kwa ujumla matumizi ya Serikaliyamegubikwa na ufujaji, wizi na rushwa.

Hivyo hata kama tutakuwa na‘President’sDelivery Bureau’, lakini Serikali ikashindwa kuzishughulikiana kuziondoa changamoto hizo hapo juu, hakikampango hautekelezeki.

Mheshimiwa Spika, kwanini Serikali inapotezamuda na pesa nyingi kubuni mikakati na mipangobadala ya kujikita katika utekelezaji wa mpango?Kwanini Serikali isilete taarifa ya utekelezaji wa mpangokwa miaka yote mitatu iliyopita ili Watanzania kwaujumla waweze kujua na kutathmini hatua iliyofikiwa?

Mheshimiwa Spika, fedha za miradi ya barabarakatika Serikali za Mitaa (Road Fund), fedhazinazotengwa kwa ajili ya matengenezo ya barabarani kidogo na hata kiasi hicho kidogo hakipelekwi chotekatika Halmashauri husika. Kiasi hicho cha fedhahakiendani na mitandao ya barabara iliyopo katikaSerikali za Mitaa.

Kwa mfano, katika mwaka wa fedha 2011/2012Serikali ilitenga Shilingi bilioni 194, lakini ilipeleka Shilingibilioni 73.7 tu na mwaka 2012/2013 hadi kufikia robo yatatu Serikali imetumia Shilingi bilioni 57 tu kati ya Shilingibilioni 128.9 zilizotengwa kwa mwaka huu wa fedha. Huuni mzaha kwa Serikali. Barabara nyingi katikaHalmashauri hushindwa kufanyiwa matengenezo nahivyo kutopitika katika muda wote.

Mheshimiwa Spika, fedha zinatengwa kwa ajiliya matengenezo ya barabara pekee, lakini siyokuchonga barabara mpya. Licha ya Watanzania wengi

Page 241: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

241

waishio vijijini kuendelea kukosa miundombinu yabarabara, Serikali haina mkakati madhubuti wakuwajengea barabara ili kurahisisha utoaji huduma nashughuli za kiuchumi.

Mheshimiwa Spika, fedha ni kidogozinazotengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo katikaHalmashauri za Wilaya. Mamlaka ya Serikali za Mitaaambako ndipo tunatarajia miradi maendeleo iliyokaribu na wananchi, inatekelezwa kama miundombinuya elimu, afya, maji, barabara na kil imo, lakiniimetengewa fedha kidogo sana, yaani Shilingi bilioni640.6 tu kwa nchi nzima.

Mheshimiwa Spika, kwa utaratibu huu mbaya wamgawanyo wa rasil imali za Taifa, tutaendeleakushangaa kwanini uchumi unakua wakati wananchiwanaendelea kuwa katika lindi kubwa la umasikini.

Mheshimiwa Spika, wananchi wataendeleakutushangaa aina ya maendeleo ambayo tunajivuniawakati miradi yao mingi imeshindwa kutekelezwa.

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.

MHE. DEVOTA M. LIKOKOLA: Mheshimiwa Spika,naomba nichangie hotuba ya Waziri Mkuu, hususaneneo la UWEZESHAJI.

Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwakuanzisha vikao vya majadiliano kati ya Baraza laUwezeshaji, Benki Kuu, Wizara ya Fedha, Ushirika naMaendeleo ya Jamii na Taasisi zinazowezesha.

Mheshimiwa Spika, nashauri Serikali vikao hivyovifanyike kila robo mwaka, kwani kwa sasa tunajengamsingi wa kuwezesha wananchi vizuri na kushauriwa nakushauriwa njia bora zaidi.

Page 242: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

242

Mheshimiwa Spika, katika kuwafanya wananchiwengi washiriki shughuli za uchumi, napenda mafunzoyaliyotolewa kwa SACCOS, lakini bado tunahitajimafunzo zaidi.

Mheshimiwa Spika, Sekta binafsi bado ni change,Serikali ijitahidi kukuza sekta binafsi, hususan kwaWatanzania wazawa.

Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.

MHE. FAITH M. MITAMBO: Mheshimiwa Spika,ukurasa wa 31 na 44, Mheshimiwa Waziri Mkuuameeleza wazi mwenendo wa bei za mazao makuuya biashara nchini, jinsi ambavyo umekuwa ukibadilikamara kwa mara na hivyo kuwaathiri sana wakulimawetu pale bei zinaposhuka.

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Waziri ametajakabisa mazao hayo ni korosho, pamba, kahawa, chai,tumbaku na pareto.

Mheshimiwa Spika, “concern” yangu iko kwenyezao la korosho, maana ndiko ninakofahamu jinsiambavyo wakulima wa korosho wanavyopata shida;siyo jinsi ya kupata pembejeo za ruzuku tu, hata jinsi yakuuza korosho za ruzuku imekuwa ni kazi kubwa. Kilamara, kila mwaka tangu niingie ndani ya Bunge hili,tumekuwa tukilalamika jinsi ambavyo wakulima wa zaola korosho wanavyopata mateso makubwa, amakupata pembejeo za ruzuku, ama kuuza koroshozenyewe.

Mheshimiwa Spika, korosho hazinunuliwi kwawakati na hata zikinunuliwa hazipati bei nzuri kamaambavyo Mheshimiwa Waziri Mkuu amezungumziakatika speech yake ukurasa wa 31.

Page 243: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

243

Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Liwale tumevunakorosho mwezi wa Tisa, 2012, korosho zimeuzwa mweziwa Tatu, 2013. Ukihesabu ni miezi saba wakulimawamesubiri korosho zao kununuliwa.

Mheshimiwa Spika, wakulima hawa wanamatatizo yao ya kifamilia, wameshindwa kuyatatua kwakipindi cha miezi saba wakisubiri korosho zao zilizokokatika magodauni kununuliwa kwa kipindi cha miezisaba. Haya ni mateso makubwa sana wakulima hawawanapata.

Mheshimiwa Spika, katika ukurasa wa 31 na 32wa speech ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, ametamkawazi kwamba tatizo la kubadilika mara kwa mara kwabei za mazao ya biashara kunaathiri sana wakulima nakwamba Serikali inaangalia uwezekano wa kuanzishaMfuko Maalum wa kufidia bei za mazao kwa wakulimapale zinaposhuka (price stabilization funds).

Mheshimiwa Spika, namwomba sana WaziriMkuu kwamba Serikali isiangalie uwezekano wakuanzisha Mfuko huu Maalum wa kufidia bei za mazao,bali ni wakati muafaka sasa wa Serikali kuanzisha Mfukohuu Maalum wa kufidia bei za mazao ya biashara maramoja. Ikiwezekana msimu ujao wa korosho, mfuko huuuweze kutumika endapo tatizo la kushuka kwa beilitatokea.

Mheshiwa Waziri Mkuu, sambamba nauanzishwaji wa Mfuko huu Maalum, Serikali iangalieupya Mfuko wa Stakabadhi Ghalani, uboreshwe iliwakulima hawa wa korosho wasiendelee kupatamateso haya ambayo yamekuwa wakiyapata.

Mheshimiwa Spika, boresho mojawapo la Mfumowa Stakabadhi Ghalani linaloweza kufanyika ndiyo hili

Page 244: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

244

la kuanzisha Mfuko Maalum wa kufidia bei za mazaoya biashara. Itasaidia sana.

Kama marekebisho hayatafanywa, suala laStakabadhi Ghalani, huko mbele kuna hatari yawakulima kuukataa mfumo huu, kwa maana kwa sasaunaonekana kushindwa kufanya kazi vizuri, hasa kwaWilaya ya Liwale, Ruangwa na Nachingwea.

Mheshimiwa Spika, la mwisho, kuhusu zao lakorosho, ningependa kufahamu, hivi inakuwaje matajiriwanaokuja kununua korosho kila mwaka wanasumbua?Ni kwa nini kama hawahitaji kununua koroshowanapewa lesseni? Ni kwa nini wanunuzi hawawanabembelezwa kila mwaka kununua korosho?Hatma ya utaratibu huu ni nini?

Mheshimiwa Spika, nitaomba nipate majibukatika majumuisho ya hatuba ya Mheshimiwa WaziriMkuu.

Mheshimiwa Spika, ukurasa wa 59 No. 87,Mheshimiwa Waziri Mkuu amezungumzia Sekta ya Elimu,Idara ya Sekondari.

Mheshimiwa Spika, ni kweli, Serikali imejitahidikuwekeza na kuboresha Sekta ya Elimu. Pamoja na yoteyaliyotajwa ndani ya hotuba hii, hali halisi iliyopo katikaShule za Sekondari bado ni mbaya.

Mheshimiwa Spika, shule zile kubwa kubwatunazozifahamu na ambazo viongozi wengi wa Serikaliwamesoma katika shule hizo, kama vile KibahaSekondari, Mzumbe Sekondari, Kilakala, Ilboru, Msalato,Tosamaganga, Lindi, Mtwara Technical , Pugu,Tanguani, na kadhalika.

Page 245: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

245

Mheshimiwa Spika, shule hizi zina hali mbayakuanzia uchakavu wa majengo, chakula, vifaa vyaMaabara, vitabu mpaka Walimu.

Mheshimiwa Spika, Serikali ijipange upya kufanyamaboresho makubwa. Katika Idara ya Sekondariningependa kuishauri Serikali kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, kwa hali i l ivyo sasa,ningeishauri Serikali, zile shule kubwa zote kwa maanaya zile Shule zenye Form I - VI na zile zenye Form V-VI tuzingerudishwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.Maana yake ni kwamba, shule hizi ziwe chini ya Wizaraya Elimu kama zilivyokuwa mwanzo na shughuli zote zauendeshaji wa shule hizo utafanywa na Wizara ya Elimuna Mafunzo ya Ufundi.

Mheshimiwa Spika, nashauri kwamba Shule zaKata zilizobakia zenye Form I - IV ziendelee kubaki nakuhudumiwa na TAMISEMI. Mgawanyiko huu unawezakusaidia kwa kiasi fulani.

Mheshimiwa Spika, Jimbo la Liwale lina Shule zaSekondari 16 lakini asilimia 90 ya shule hizo zina Walimuwawili wawili tu. Mwalimu wa kwanza – Mwalimu MkuuMsaidizi. Walimu hawa wawili wanafundisha masomosita, kutoka Kidato cha I - IV. Hakuna Mwalimu waPhysics, wala wa Chemistry, biology na mathematics.

Mheshimiwa Spika, unaweza ukaona katika halihii, tutegemee matokeo gani? Bila kujipanga upya,matokeo ya mtihani ama ya Kidato ch IV ama ya Kidatocha VI yataendelea kuleta vilio kwa mwaka.

Mheshimiwa Spika, Wizara ya Elimu, TAMISEMI naSerikali kwa ujumla, hebu pateni takwimu halisi za halihalisi za shule zetu kwa sasa hali ikoje?

Page 246: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

246

Je, kuna facilities za kutosha za bweni, chakula na kadhalika?

Vitabu, vifaa vya maabara na kadhalika?

Vyumba vya Maabara vilivyokamilika vyenye vifaa vya kufanyia practice zote?

Hali ya majengo ikoje?

Je, Walimu wa kutosha kwa masomo yote wapo katika shule hizo?

Mheshimiwa Spika, hali bado siyo nzuri sana.

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa Nishati, lakwangu ni dogo tu. Wilaya ya Liwale ilikuwa na kiliokikubwa sana cha ukosefu wa umeme wa uhakika. Kwajitahada za Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na kwa juhudiza Mheshimiwa Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda,Liwale sasa ina umeme wa uhakika.

Mheshimiwa Spika, tumeweza kuletewagenerators mbili zenye uwezo wa kuzalisha KWs 840ambazo zinatosha kabisa kwa Mji wa Liwale na kubaki.Japokuwa imekatazwa kushukuru wakati wakuchangia, mimi naomba nichukue nafasi hii kwa niabaya wana Liwale kutoa shukrani zangu za dhati kwaSerikali kwa kumaliza tatizo hilo.

Mheshimiwa Spika, tatizo lililoko sasa ni nguzo navifaa vingine kama vile vikombe, nyaya na kadhalika.

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Waziri Mkuu,umeme ulioko pale ni mwingi sana na wananchi

Page 247: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

247

wanahitaji kuingiza umeme katika nyumba zao naumeme ule ili ulete maana na ulipiwe ni lazima utumike.Naomba Serikali pamoja na ndugu zangu wa TANESCO,mefanya vizuri sasa, malizieni zoezi hilo la kupelekanguzo za kutosha pamoja na vifaa vingine ili wananchiwaweze kuingiza umeme huo katika majumba yao.

Mheshimiwa Spika, nguzo pamoja na meter zaLuku ni mali ya TANESCO. Mimi ningeomba nguzopamoja na meter za Luku ziletwe na zifungwe, wananchiwatozwe gharama kidogo tu za kulipia service line,wananchi watapata umeme, watalipia bill zao.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. DKT. ANTONY G. MBASSA: MheshimiwaSpika, napenda kuchukua fursa hii kuchangia hojailiyopo mbele yetu. Napenda nielekeze mchangowangu hasa kwenye migogoro ya ardhi.

Suala la migogoro ya ardhi limekuwa suala aujanga ambalo kila kona ya nchi limekuwa gumzo lakawaida. Suala hili la ardhi ni wazi kuwa ni sualamtambuka na kwa vile ni suala mtambuka, linapaswakughushulikiwa na Wizara zaidi ya moja.

Aidha, pamoja na wataalam hawa kufanya kazipamoja, lakini pia ushirikishwaji wa wananchi wasehemu husika ni muhimu sana.

Mheshimiwa Spika, leo hii, Serikali kama sehemuya jukumu lake la msingi ni kuhakikisha wananchi wakewanaishi katika maeneo ambayo hawabughudhiwi,wanazalisha chakula cha kutosha, wanafuga vizuri.

Aidha, pamoja na shughuli zote zinazohusukuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwaujumla.

Page 248: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

248

Kwa misingi hiyo, Serikali ndiyo maana imepimamaeneo mfano vijiji, maeneo tengefu, hifadhi namaeneo kwa ajili ya shughuli mbalimbali. Miaka zaidiya hamsini wananchi wanaishi eneo husika,wamezaana na kupata wajukuu na vitukuu, lakiniSerikali hii iliyopo madarakani leo wanaambiwawananchi hawa kuwa wanaishi kwenye eneo la hifadhi.Hakika Serikali inawakosea haki wananchi hawa. Sualahili limewafanya wananchi kutokuwa na uhakika wamaisha yao.

Mheshimiwa Spika, katika Kata ya Kanika, Kijijicha Kanika na Mpango ni eneo ambalo Serikalizinapaswa kutoa jibu la haraka sana kuhusu wananchihawa. Hakika wananchi hawa wameishi hata kabla yauhuru, vijiji vyote vimesajiliwa; kuna miundombinuendelevu, shule, barabara na kadhalika; na shule kilamwaka inasajili watoto na wengine wanachelewakuhitimu Darasa la Saba. Swali la kujiuliza: Je, wakatiSerikali inajenga shule hizo, haikujua kuwa eneo lile nieneo la hifadhi? Serikali wakati inajenga barabarahaikujua kuwa eneo lile ni hifadhi?

Mheshimiwa Spika, suala hili linasumbua sanawananchi hawa, kwani mashamba yao yanaharibiwana Askari Maliasili, bado wanaambiwa wasilime mazaokatika eneo lile. Swali ni kwamba, kama wananchiwanakataliwa kulima: Je, wananchi hawa wataishije?Je, Serikali ipo tayari kuwasaidia chakula cha msaadawakati makosa ni ya Serikali? Kama Serikali iliona nakutambua kuwa eneo lile lilikuwa hifadhi, kwaniniwananchi hawa hawakufahamishwa mapemaiwezekanavyo kama ilivyokuwa operation ya vijiji?

Mheshimiwa Spika, napenda kuhitimisha hojayangu kwa kuitaka Serikali kurudia tena maamuzi yakeya kuangalia suala la mipaka.

Page 249: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

249

Aidha, eneo lililotengwa kwa matumizi Fulani,basi matumizi hayo yaheshimiwe. Kabla ya kufanyamaamuzi haya, ni vizuri kurejea kwenye nyaraka zakembalimbali na kurejea kumbukumbu hizo. Hivyo nivyema Serikali ikatoa tamko la haraka kuhusiana nahoja hii ili wananchi wasibughudhiwe.

MHE. HAMAD ALI HAMAD: Mheshimiwa Spika,hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu ukurasa wa 18,imeeleza hali ya uchumi na kwamba pato la Mtanzaniakwa mwaka 2012 ni Sh. 995,298/=. Kwa hesabu hii, nisawa na wastani wa Sh. 2,798/= kwa siku. Hivi matumizi,kilo ya mchele ni Sh. 2,200/= na kwa kuwa lazima ugaliupate mboga, tunawezaje kujidai kwamba hali yauchumi imekua wakati hata mlo mmoja wa Mtanzaniahawezi kumudu, na kwamba, fedha hiyo ni ya vochatu?

Mheshimiwa Spika, napenda kuongelea kuhusuhali ya kisiasa. Kisheria ni lazima tuwe na Wakuu waMikoa na Wilaya, lakini siyo jambo jema watu hawakuwa wanasiasa, maana katika maeneo hayo ndiyowalipo pia wananchi na wapiga kura wote.

Kama hilo halitoshi, viongozi hawa ndiyo ambaowanawateua Watendaji wa Vijiji kwa Bara na Mashehakwa Zanzibar. Lakini watu hawa katika maeneo ya Vijijina Shehia, ndio wanaopewa mamlaka ya kusema huyoanafaa au hafai wakati wa kutolewa haki yakuandikishwa kupiga kura na wanasababisha matatizomakubwa. Lakini huku wakifanya kazi ya kusaidia CCM,hata wakati wa Kamati zao za Ulinzi na Usalamazilizopewa nafasi ya kuwajadili wanaotaka kujiunga namajeshi yetu, JWTZ na Polisi, hapa vijana wengine wenyesifa, lakini ambao sio vijana wa CCM hukosa nafasi.Baya zaidi ni kwamba, viongozi hawa wa Mikoa naWilaya wanafanya kazi ya Chama lakini wanalipwa

Page 250: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

250

fedha za wananchi toka Serikalini. Haiwezekani na huusiyo utaratibu mzuri na ni unyanyasaji mkubwa.

Mheshimiwa Spika, lingine ni hali ya mipaka yanchi. Kuna taarifa kwamba Brigedia Ntaganda alitokeaRuanda na akaingia Kongo na Wakongo wakampanafasi, lakini baadaye aliongoza waasi na alipoonaameshindwa, ndipo aliporudi Rwanda na akajisalimishakatika Ubalozi wa Marekani. Sasa inasadikika kwambaviongozi mbalimbali wa vijiji mbalimbali wamekuwawakiwapa maeneo (wakiwauzia) kwa visingizio vyakuendesha mifugo yao wakimbizi toka nchi mbalimbalijirani. Je, hatuoni kwamba kwa mpango huu tunawezakutengeneza akina Ntaganda hapa Tanzania?

Mheshimiwa Spika, lingine ni ardhi. Siyo utoaji wahati tu na kupima ardhi pekee kunakoleta matatizo katiya Serikali na wananchi. Lakini pia hata Halmashauri zaMiji na Vijiji nazo zinatumia vibaya mamlaka yao kwakuuza kwa nguvu ardhi zinazokaliwa na watu bilakuwapa taarifa na baadhi ya wakazi kuleta taabu,wanaacha ugomvi na mzozo mkubwa baina yao nawaliowauzia ardhi. Mfano, Halmashauri ya Jiji laMwanza waliwauzia NSSF eneo la ardhi lililopo Bugarikana wakalipwa, lakini wakashindwa kuwalipa wakazi waeneo hilo na hadi leo hapajawa na muafaka mzuri nawalikataa kuondoka.

Mheshimiwa Spika, kuhusu Bandari. Pamoja namakubaliano hayo ya kuanza kwa ujenzi wa bandariya Bagamoyo, lakini bado kuna matatizo makubwakatika eneo la Bandari kwa wale wanaoleta au kuingizamizigo yao humu nchini. Watu wananyanyasika, rushwazimetawala, lakini pia bado kungali kuna usumbufu kwawafanyabiashara wa Zanzibar wanapoingiza mizigoyao katika bandari za huku Bara. Jambo hili ni tatizo la

Page 251: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

251

zamani na hadi leo bado linaendelea. Naishauri Serikaliilitatue jambo hili haraka sana.

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.

MHE. HALIMA J. MDEE: Mheshimiwa Spika, mojaya changamoto kubwa zinazozikabili Halmashauri zetuni ukusanyaji wa mapato, hali inayopelekea kushindwakutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleoinayojiwekea. Ni kwa asil imia miamoja namapendekezo ya Kamati ya Bunge, (TAMISEMI) juu yaumuhimu wa Serikali kuweka mkakati madhubuti wakukusanya mapato ya majengo. Bado hatua stahikihazijachukuliwa na Halmashauri zetu licha yamapendekezo mbalimbali ambayo yamekuwayakitolewa ili kuboresha mapato ya ndani.

Mheshimiwa Spika, Halmashauri zetu hazinakabisa kumbukumbu (database) za majengo yaliyopondani ya maeneo yao ya utawala. Maeneo yaliyopona thamani ya majengo husika katika hali kama hii ningumu sana kuweza kufanikisha ukusanyaji wa mapatoya majengo. Halikadhalika, mfumo wa makadirio yakiasi cha fedha kinachotakiwa kulipwa kama kodi yamajengo imepitwa na wakati na hauzingatii kabisa halihalisi na mazingira ya sasa.

Mheshimiwa Spika, ni rai yangu kwa Serikalikuliangalia suala hili kwa umakini mkubwa sana hasakatika Miji/Majiji, kwani yakisimamiwa kwa ufanisi,itapunguza mzigo kwa Serikali Kuu kuhudumiaHalmashauri husika.

Mheshimiwa Spika, changamoto nyingine nimakusanyo ya kodi ya ushuru wa huduma (service levy),ambayo Halmashauri zinatakiwa kutoza 0.3% yamapato (gross turnover) ya kampuni zinazoendesha

Page 252: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

252

biashara katika eneo la Halmashauri. KatikaHalmashauri yetu ya Kinondoni, kumekuwa namalalamiko makubwa sana kutoka kwa watendajikwamba kodi ya ushuru wa huduma imekuwa ikitolewapungufu ya inavyostahili kwa sababu makampunihusika yamekuwa yakishirikiana na watu wa TRA kutoataarifa ambazo siyo sahihi za mapato ghafi yaMakapmuni husika. Wakati mwingine Halmashaurizikitaka taarifa toka TRA, za mapato ya Makampunihusika il i wafahamu kama kinacholipwa ni kilekinachostahili, wamekuwa hawapati ushirikiano auwanazungushwa sana.

Mheshimiwa Spika, ni muhimu Serikali, ikaandaautaratibu, utakaoielekeza TRA kuhakikisha kwambaHalmashauri zetu zinapata taarifa ya mapato yaMakampuni yaliyopo ndani ya Halmashauri husika. Ilikuboresha mfumo wa ukusanyaji wa ushuru wahuduma, na il i kile kinachotozwa ndiyo kiwekinachostahili. Halikadhalika, Serikali inaweza kufanyaukaguzi maalum kwenye Halmashauri chache ilikujiridhisha.

Mheshimiwa Spika, sasa nizungumzie kuhusuTume ya Taifa ya Uchaguzi. Nchi yetu iko katikamchakato maalum sana wa kutengeneza katiba yanchi. Moja kati ya Taasisi ambazo zimepewa jukumu lakuendesha kura ya maoni ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi.Kinyume na majukumu yake mazito, bajeti ya mwaka2013/2014 Fungu la 61 halikidhi uzito wa kazi wa Tumehii.

Daftari la Orodha ya Wapiga Kura, ambalolinatakiwa kufanyiwa maboresho kila baada ya miakamiwili, halijafanyiwa maboresho mpaka sasa (miezi tisaimeshapita). Ni daftari hili hili linatarajiwa kutumika katika

Page 253: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

253

mchakato huu muhimu wa kikatiba na katika UchaguziMkuu 2015.

Mheshimiwa Spika, makabrasha ya Bajeti(Randama) ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Hotuba ya WaziriMkuu, haionyeshi ni wapi fedha za maboresho ya daftarihusika zilipo, zaidi ya kusema tu, kuna malengo yakuboresha daftari husika. Kwa mujibu wa Taarifa zaTume, kiasi kinachohitajika kuboresha daftari siyopungufu ya Shilingi bilioni 294.

Mheshimiwa Spika, naomba niambiwe, fedhahusika ziko wapi?

Mheshimiwa Spika, lingine ni suala la uendeshajiwa Shule za Msingi na Sekondari. Moja ya changamotoambazo zimeelezwa katika hotuba ya Waziri Mkuu nitabia ya kuvamia maeneo ya Shule za Sekondari naMsingi kwa kujenga vibanda na kuendeshwa kwabiashara za nyumba za kulala wageni.

Mheshimiwa Spika, pamoja na changamotohizo, kuna changamoto moja muhimu ambayoinazikabili shule zetu za Umma, nayo ni kutokujua mipakaya maeneo ya shule.

Hali hii inapelekea siyo tu uwepo wa vibanda vyabiashara, bali nyumba za watu za kuishi, Makanisa,Misikiti na kadhalika ndani ya viwanja au maeneo yashule. Na kwa kuwa shule hazina hati, wala hazijuimipaka yake, inakuwa vigumu kwa Walimu Wakuu auKamati za Shule kuhoji.

Mheshimiwa Spika, ni rai yangu kwa Waziri Mkuukuwaelekeza Wakurugenzi wachukue hatua za kupimamaeneo ya shule za Umma haraka iwezekanavyo.

Page 254: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

254

Mheshimiwa Spika, vurugu za kidini na chuki zawazi baina ya Wakristo/Waislamu inazidi kushika kasi.Hakuna hatua za dhahiri zinazoonekana kuchukuliwana Serikali. Sasa hivi imefikia hatua ya mihadhara yawazi wazi ya dini moja kukashifu na kukejeli dini nyingine.Serikali ilisitisha kuiruhusu iendelee.

Mheshimiwa Spika, ni muhimu Serikali ikafahamuhuku uraiani hali ni mbaya sana. Kama hatua za harakani dhahiri kuchukuliwa, Taifa letu liko mbioni kuingiakwenye machafuko ya kidini.

MHE. HAMOUD A. JUMAA: Mheshimiwa Spika,namshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwakuniwezesha kuchangia hotuba ya bajeti ya Waziri Mkuuya mwaka 2013/2014. Naomba kuchukua fursa hii yakipekee kumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwahotuba nzuri ya bajeti ya mwaka 2013/2014 ambayoinalenga kubadilisha maisha ya wananchi hasa wavijijini kwa kuboresha huduma mbalimbali muhimu zakijamii na uchumi kama miundombinu, afya, barabara,elimu, maji safi na salama, utawala bora, usawa katikakutoa huduma, msisitizo katika Sera ya Kilimo Kwanzana mipango mingine mingi ya kuharakisha maendeleokwa wananchi wa Taifa letu.

Mheshimiwa Spika, bajeti hii ya Waziri Mkuu yamwaka 2013/2014 kama itatekelezwa ilivyokusudiwa,nina imani kabisa itabadili maisha ya walio wengiambao hali zao kimaisha na kimaendeleo ni duni napia itapunguza umasikini.

Mheshimiwa Spika, napenda kuanza kuchangiakama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, hospitali zetu hapa nchinikama tunavyojua zina matatizo mengi sana. Hayo

Page 255: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

255

matatizo ni changamoto kubwa kwa Serikali. Tumekuwatukiona jinsi wagonjwa wanavyopata shida palewawapo hospitalini, inawabidi kulala wagonjwa wawilikitanda kimoja na kwa bahati mbaya ikitokea dharulaya wagonjwa kuwa wengi, basi hufikia kiwango chawagonjwa kulala chini, yaani sakafuni.

Hali hiyo ni hatari sana kwa wagonjwa, kwaniinapofikia kulala chini au wagonjwa wawili kitandakimoja, inawafanya wagonjwa wazidi kutokupatanafuu.

Mheshimiwa Spika, matatizo haya pia yapokwenye upande wa upatikanaji wa madawa. Tatizo lauhaba wa madawa ni tatizo kubwa sana katika hospitalizetu nchini na hii inapelekea watu kupoteza maisha kwakukosa dawa kwa wakati. Kwa ujumla, hali siyo nzurikatika Sekta ya Afya na kwa kutambua hilo, napendakuiomba Serikali itilie mkazo wa kutatua tatizo hili nakuboresha hospitali zetu. Kuna tatizo pia la upungufuwa Madaktari Bingwa nchini na hasa Mikoani.

Napenda kuiomba Serikali ipeleke MadaktariBingwa katika hospitali zote ambazo zina upungufu wawataalam hao. Kufanya hivyo itasaidia kupunguzausumbufu kwa wagonjwa kusafiri kuja Dar es Salaamkuonana na hao Madaktari. Pia kuna baadhi ya vipimovinapatikana Dar es Salaam, ingawa Serikali ikiwezakusambaza vipimo hivyo kote nchini, itapunguziawagonjwa hawa kusafiri umbali mrefu na kuja Dar esSalaam kuja kupimwa.

Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hiikuzungumzia hali ya Jimboni kwangu Kibaha vijijini.Tunatambua kila Kata inastahili kuwa na Kituo cha Afya,lakini kule Jimboni kwangu ni Kata chache tu ambazozina Vituo vya Afya.

Page 256: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

256

Naomba jambo hili liangaliwe vizuri na kwamapana. Kata ya Mlandizi tuna Kituo cha Afyaambacho kinapokea wagonjwa wengi wapataomatatizo mbalimbali. Tuliomba kituo hiki kipandishwehadhi na kuwa hospitali. Kwa kuwa kituo hiki ni ahadiya Mheshimiwa Rais ya kupandishwa hadhi kuwahospitali ya Wilaya, cha kusikitisha, mpaka sasa kituohiki hakijapandishwa hadhi kuwa hospitali, sababuhakijakamilisha vigezo, tunajiuliza, ni vigezo gani vyamsingi ambavyo havijakamilika ili kituo hiki kipandishwehadhi? Asil imia themanini (80) ya vigezo vyotevimekamilika.

Mheshimiwa Spika, naomba Waziri Mkuu kwahuruma yake atusaidie Kituo hiki cha Afya kipandishwehadhi na kuwa hospitali. Napenda kunukuu kwa kauliya Mheshimiwa Waziri kuwa hata Roma haijajengwakwa siku moja. Kwa usemi huo, wakazi wa Kibaha Vijijiniwanastahili kubadilishiwa Kituo hicho cha Afya na kuwahospitali, kutokana na Kituo hiki cha Afya, Mlandizi,kutokupandishwa hadhi na kuwa hospitali. Wananchiwanapata taabu pale inapotakiwa kupata huduma zaziada na kutakiwa kusafiri kwenda hospitali ya Tumbi.

Mheshimiwa Spika, wananchi hao hutakiwakuchangia ama kutoa fedha ya mafuta ili yatumikekwenye gari la kubebea wagonjwa kwa ajili yakupelekwa hospitali ya Tumbi. Je, hii ni sheriakuwachangisha wananchi hela ya mafuta? Na kamasiyo sheria, naomba jambo hili lisitishwe mara moja.Tunaomba Serikali iliangalie hili kwa ukubwa wake nakutekeleza ahadi aliyoitoa Mheshimiwa Rais yakupandisha hadhi kituo hiki na kuwa hospitali ya Wilaya.

Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua nafasi hiikuzungumzia mgogoro wa ardhi uliopo kati yamwekezaji na wanakijiji wa Kijiji cha Kipangege na

Page 257: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

257

Kitongoji cha Kifuru Kata ya Soga. Mgogoro huuunahusu li l i lokuwa shamba la mkonge ambaloameuziwa mwekezaji ambaye ni Mohamed EnterprisesLtd. Naomba Serikali iuangalie mgogoro huu nakuutafutia ufumbuzi kwani wanakiji j i wanatakakuhamishwa katika maeneo yao na kumpishamwekezaji.

Mheshimiwa Spika, vile vile tumekuwa namigogoro ya mipaka nchini kote. Nalo hili pia Jimbo laKibaha Vijijini limekua ni tatizo kubwa kati ya Kata yaKwala na Kata ya Ruvu, Kata ya Dutumi na Kitomondo,Kata ya Ruvu na Kikongo, mipaka yake haikuainishwaviizuri wakati wanagawa Kata kwani Ruvu ndiyo katamama. Kwa hiyo, inaleta matatizo makubwa. NaombaSerikali ichukue hatua madhubuti kutatua matatizohaya.

Mheshimiwa Spika, pia tuna migogoro yawafugaji na wakulima Kata ya Gwata, Magindu, Kwala,Dutumi na Kata ya Ruvu, kuna migogoro ya wafugajina wakulima. Wafugaji wametengewa sehemumaalum ya malisho, lakini wamekuwa wakivamiamaeneo ya wakulima na kusababisha uharibifumkubwa wa mazao na kusababisha mgogoro kuanza.

Vile vile matatizo haya hufika Mahakamani ilihatua za kisheria ziendelee, lakini wakulima wamekuwawakizidiwa nguvu katika kupata haki. Tunaomba Serikaliiingilie kati matatizo haya ili kuepusha vurugu zawenyewe kwa wenyewe.

Mheshimiwa Spika, nchi yetu inakabiliwa natatizo kubwa katika mfumo wa elimu. Mfano uliopo nimatokeo mabovu ya Kidato cha Nne. Hii ni aibu kwaTaifa, kwani tunatambua kwamba Taifa lolote ililiendelee lazima liwe na wasomi wazuri. Kwa mfumo huu

Page 258: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

258

ambao tunao hivi sasa, hakika tunahitaji kuubadilishaili tuendane na Mataifa mengine ili na sisi tupatemaendeleo.

Vile vile Jimbo la Kibaha Vijijini tuna matatizomengi sana kwenye Sekta ya Elimu, tuna upungufu waWalimu, madawati, Maabara kwa ajili ya mazoezi yavitendo katika shule zetu, pia vitabu vimekuwa habakwa wanafunzi wetu, vilevile tumekuwa na upungufuwa matundu ya vyoo kwenye shule zetu. Napendakuiomba Serikali kuliangalia hili na kulitafutia utatuzi waharaka.

Mheshimiwa Spika, napenda kuiomba Serikalikuangalia upya suala la ajira kwa vijana, kwani mpakasasa idadi ya vijana wasiokuwa na ajira inazidi kukuasiku hadi siku.

Vijana wanaomaliza Vyuo Vikuu kila mwaka niwengi na wanaobahatika kupata ajira ni wachachemno. Ukiangalia kwa wastani huo utagundua kuwatatizo ni kubwa sana. Naiomba Serikali iweke utaratibuwa kuwajengea elimu ya ujasiriamali vijana hawa tokeawakiwa Vyuoni. Hali hiyo itawasaidia pale wamalizapoelimu zao kujiajiri wenyewe na siyo kusubiria Serikalikuwaajiri.

Mheshimiwa Spika, kuna njia nyingi za kuwezakuwawezesha hawa vijana waliomaliza Vyuo na kufauluvizuri. Nashauri ungewekwa utaratibu mzuri wakuwapatia mikopo midogo midogo kutoka kwenyemabenki yetu ili waanzishe miradi midogo midogo. Kwanjia nyingine, watakuwa wamejiajiri wenyewe.Tunaweza kuweka utaratibu wa kuchukua vyeti vyaovya Vyuo walivyomaliza, yaani (Original Certificate)vikawa kama dhamana kwenye hayo mabenkiambayo watapatiwa hiyo mikopo.

Page 259: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

259

Kufanya hivyo itawasaidia na utaratibu huuutasaidia sana pale tu Serikali itakapokaa na hayamabenki yetu na kuzungumza nayo na kuangaliamahali pa kuboresha utaratibu huu, kwani tatizo hili lakukosa ajira likizidi, litageuka kuwa hatarishi baadaye.Pia tuna mifano mbalimbali toka nchi nyingine kwamatatizo kama haya ya asilimia kubwa ya vijana kukosaajira. Hii imesababisha kutokea vurugu na uvunjifu waamani na nchi kuingia katika majanga makubwa.

Mheshimiwa Spika, najua Serikali ina nia nzurisana na wakulima, kwani inatambua umuhimu waokatika nchi na hata ukizungumzia duniani kiujumlawakulima huthaminiwa sana na wana mchangomkubwa sana katika Taifa.

Kutokana na kuboresha Sekta ya Kilimo, Serikaliilikuja na mkakati wa Kilimo Kwanza, lakini imeonekanamkakati huo wa Kilimo Kwanza kutokufanya vizuri, kwaniwakulima hawana elimu ya kutosha kuhusu kilimo.

Mheshimiwa Spika, napendeza Serikali ianzishemkakati wa elimu kwa kutoa elimu ya kutosha kwawakulima kwa kuwa wakulima hawa wanaokusudiwakatika Kilimo Kwanza hawana elimu ya kutosha kuhusukilimo.

Mheshimiwa Spika, tukija na mkakati wa ElimuKwanza, itasaidia wakulima kupata elimu, kuelimishwakuhusu kilimo bora na ndipo kupata tija na kilimo safi.Kufanya hivyo itasaidia pia kuwapeleka wataalam wetuvijijini na kutoa mafunzo kwa wakulima.

Niikumbushe tu Serikali kwamba tuna wataalamwengi wa fani mbalimbali hapa nchini, lakini tuna tatizomoja; hawa wataalam hawatumii fani zao ipasavyo ilikuisaidia nchi katika maendeleo.

Page 260: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

260

Naomba Serikali iwapeleke hawa wataalamsehemu husika za fani zao na siyo kukaa Ofisi za Mijini.Hapa naongelea zaidi wataalam katika fani za mifugo,Mabwana Shamba na kadhalika. Kwani itasaidia sanakuinua wakulima na wafugaji na kuboresha sekta hizona kuinua uchumi wa nchi na kipato.

Mheshimiwa Spika, miundombinu ni tatizo pialinalokabili nchi yetu. Napenda pia kuipongeza Serikalikwa kujitahidi kuboresha miundombinu yetu, ila kunaukiukaji wa sheria ambao hufanywa na maderevawachache ambao hupitisha magari yenye uzitomkubwa katika baadhi ya barabara zilizokataza uzitohuo ilhali Serikali imetumia kiasi kikubwa cha fedhakuzitengeneza. Naomba usimamizi wa sheria uzingatiwena adhabu kali zitolewe kwa wale wote watakaobainikakuvunja sheria hizo.

Katika Bunge lililopita, nilizungumzia Sekta hii yaBarabara, hususan ujenzi wa barabara ya Makofia -Mlandizi hadi Mzenga ambayo Mheshimiwa Raisaliahidi.

Nilipouliza katika swali langu la msingi katikaBunge lililopita, nilijibiwa kuwa walikuwa wanafanyaupembuzi yakinifu, lakini baada ya mimi mwenyewekufanya uchunguzi wangu wa kina, niligundua kuwahakukufanyika upembuzi yakinifu na hakuna fedhazozote zilizotengwa. Lakini namshukuru MheshimiwaWaziri Mkuu katika hotuba yake, amesema ile barabaraitajengwa kuanzia Bagamoyo mpaka Mlandizi,ikizingatiwa Bandari ya Bagamoyo inayojengwaitafanya hiyo barabara kutumika kwenda Bandari yanchi kavu Mzenga ambako kuna kituo cha Reli yaTazara. Lakini pia hakuna uhakika kama itajengwakutoka Mlandizi mpaka Mzenga; barabara ya Kongowe

Page 261: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

261

– Soga - Kisarawe pia zingepandishwa hadhi kuwabarabara ya Mkoa.

Vilevile barabara za Vigwaza - Kwala na Dutumihadi Kisarawe pia zipandishwe hadhi kuwa barabaraya Mkoa.

Hata hivyo, barabara za Chalinze, Gwata,Magindu, Lukenge hadi Morogoro vijijini, barabara hizizimeunganisha Wilaya tatu zikiwa katika kiwango chalami. Tutakuwa tumefikia lile lengo la kuunganishaWilaya hadi Wilaya na kuwafanya wananchi wa Wilayahizo kufanya shughuli zao za kibiashara kwa urahisi.Naomba bajeti ya mwaka huu itilie mkazo katika hilikwani umuhimu wa barabara hizo ni mkubwa.

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Rais alituahidikujenga soko la kisasa Mlandizi na kiwanda chakusindika nyanya, lakini mpaka leo hakuna utekelezajiwa aina yoyote. Tunaomba maelezo kutoka kwa Waziriwa Viwanda na Biashara atakapoleta bajeti yake hapaBungeni, atuambie hizi ahadi za Mheshimiwa Raiszitatekelezeka lini? Kwani wananchi wa Kibaha vijijinibado wanaendelea kupata hasara kwa kukosa mahalipa kusindika mazao yao kipindi chote hiki.

Pia kuna mradi wa machinjio ya kisasa. Mradi huoulizinduliwa na Mheshimiwa Rais, lakini cha kushangazamradi huo haufanyi kazi yoyote ikizingatiwa kodi zawananchi ndizo zilizotumika kufanikisha mradi huo, lakinimpaka hivi sasa umeachwa bila kufanya kazi yoyoteilhali wananchi walihamasishwa na kuhamasika,wakanunua ng‘ombe wa kisasa ili waanze ufugaji. Lakinihivi leo wanapata hasara kutokana na mradi huokutokufanya kazi na pia kupoteza ajira. Mradi huoungeanza kufanya kazi ungetoa ajira kwa vijana nakusaidia tatizo la ajira kwa kiasi kupungua.

Page 262: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

262

Mheshimiwa Spika, Jimbo la Kibaha Vijijinilinakabiliwa na tatizo kubwa la maji kwa wananchiwake, ingawa wananchi hawa ndio walinzi wakuu wachanzo cha maji kinachotoka Ruvu kuelekea Dar esSalaam. Lakini wananchi hao wana matatizo makubwaya maji. Naomba Wizara husika iwaangalie wananchihawa kwa jicho la huruma ili na wao waondokane naadha hii ya maji.

Mheshimiwa Spika, vilevile miradi mingi inasuasuakatika utekelezaji wake, mfano mradi wa Chalinze,Magindu hadi Lukenge hadi sasa utekelezaji wakeunasuasua. Pia na mradi wa Ngeta ambao unatakiwaupeleke maji katika vijiji vya Kikongo Mwanabwito naSoga na Kipangege. Pia kuna tatizo la muda mrefu laupatikanaji wa maji Kata ya Boko, Mnemela Vijiji vyaBoko Kati, Mpiji na Mkalambati. Tunaomba maelezo yamiradi hii kwa Wizara husika na ikibidi utekelezaji wakeuanze ili wananchi hawa waondokane na shida yakutokupata maji safi.

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Rais alitoa ahadiya kutatua tatizo na kupeleka umeme Kata ya Ruvu.Ufuatiliaji wa utekelezaji wa ahadi hii ulishaanza kwaWaziri wa Nishati na Madini kufanya ziara katika Jimbona akaona ukubwa wa tatizo.

Napenda kujua ni hatua zipi zimefikiwa na ninikinaendelea katika utekelezaji wa ahadi yaMheshimiwa Rais ya kupeleka umeme katika Kata yaRuvu, kwani kupeleka umeme katika Kata ya Ruvukutasaidia kuleta maendeleo ya haraka.

Mheshimiwa Spika, nizungumzie pia upandaji wanauli ulioanza hivi karibuni. Tunatambua kabisa upandajihuu wa nauli unawagusa moja kwa moja wananchi wahali ya chini. Kiwango hiki ni kikubwa mno ukilinganisha

Page 263: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

263

na kipato cha mwananchi wa kawaida. NaiombaSerikali iangalie upya mchakato mzima na kamaikiwezekana nauli za zamani ziendelee kutumika wakatiSerikali inaangalia uwezekano wa kutatua tatizo hili,kwani mwananchi huyu anayepata mshahara mdogona anayeishi mbali, yapata kutumia mabasi mawilimpaka matatu kwa siku, hawezi kumudu nauli hizizilizopandishwa na tayari kuanza kutumika.

Mheshimiwa Spika, katika sera ya uwekezaji,napendekeza Sheria ya Uwekezaji iwekwe bayana kwakumnufaisha mwananchi. Sheria hiyo iboreshwe kwakuzingatia maslahi ya Taifa na wananchi wake.Mwekezaji yeyote wa nje ni lazima awe mbia namwananchi na hasa katika masuala ya madini. Hapakwenye Sekta ya Madini tumekuwa tunapata matatizomengi kutokana na mikataba tunayoingiakutokusimamiwa vizuri na kutokutunufaisha kabisa.

Nashauri Sheria ya Madini iboreshwe ili tufaidikena Madini yetu na tukue kiuchumi, kwani tuna madinimengi sana na mwingine huwezi kuyapata nchi yoyoteisipokuwa hapa kwetu Tanzania. Kwa kuzingatia hilo,kulikuwa hakuna sababu ya umaskini kuendeleakutukandamiza, bali tungekuwa tunafaidika na rasilimalihiyo. Kuna wawekezaji katika Sekta ya Madini,wamekuwa hawatekelezi yale yote waliyoahidikuyafanya kwa jamii i l iyowazunguka na hivyokuwajengea wananchi imani potofu kuona kuwa Serikaliyao haifai kwa kuingia mikataba na wawekezaji kamahao. Naomba wawekezaji wa aina hii wachukuliwehatua kali za kisheria.

Mheshimiwa Spika, suala la foleni jijini Dar esSalaam linazidi kuwa tishio na hivi sasa limeanza kutokeakatika Miji mingine pia kama Arusha, Mwanza ingawakatika Miji hiyo hali haijafikia katika kiwango kama cha

Page 264: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

264

Dar es Salaam. Kwa mfano, hivi sasa Dar es Salaam kunahuu mradi wa mabasi yaendayo kasi. Napenda kwanzakuipongeza Serikali kwa hatua iliyofikia kwa mradi huo,lakini kama tujuavyo, changamoto huwa hazikosekani.

Kwa hiyo, napenda kuishauri Serikali kupitiaWizara husika kuweka utaratibu wa mkandarasi kufanyakazi usiku ili mchana kupisha magari mengine kupita bilakusuasua, kwani kwa hivi sasa kumekuwa namsongamano mkali pale mkandarasi anapofunga njiamoja ama nyingine, foleni huwa kubwa sana nakufanya safari moja kutumia masaa zaidi ya matatumpaka manne. Tukifanya hivyo, itasaidia, kwani mudawa usiku watumiaji wa barabara wanakuwa niwachache ukilinganisha na mchana.

Pia napenda kushauri upande wa Mikoanikuchukua tahadhari mapema kwa kuboreshamiundombinu ili kuepuka hali ambayo inaikumba Mijimingine kwa matatizo ya foleni.

Mheshimiwa Spika, napenda kuwashauri watuwa Mipango Miji kuweka mipangilio mizuri na inayovutiakatika Miji inayokua hivi sasa ili kuleta mandhari nzuri.Kwa kufanya hivyo, itasaidia kwa watoa hudumakupanga kutoa huduma kutokana na Miji hiyoilivyopangwa vizuri na itarahisisha pia kufikika kwaharaka kwenye matukio kama ya moto, kwanitumejionea wenyewe mara nyingi pindi litokeapo jangala moto, ufikaji wa gari la zima moto unakuwa mgumuna pindi linapofika, hufika kwa kuchelewa na lawamakupelekwa moja kwa moja Jeshi la Zimamoto. Lakinitukiwa na Miji iliyopangika itasaidia sana kupunguzaadha hii.

Mheshimiwa Spika, ifahamike kwamba matumiziya fedha za kigeni yanaathiri sana uchumi wetu na watu

Page 265: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

265

wetu pia. Naomba Serikali itilie mkazo na kusimamia hilona kukaza biashara ndani ya nchi zisifanyike kwa fedhaza kigeni na badala yake Shilingi yetu ndiyo itumikekatika matumizi yote. Kufanya hivyo kutaleta heshimaya sarafu yetu na Taifa kwa ujumla.

Mheshimiwa Spika, Jimbo la Kibaha vijijini likombali na Ofisi za Halmashauri ambazo zipo Kibaha Mjini.Wananchi huteseka kutembea umbali mrefu wakilometa 40 kuanzia Kata ya Magindu mpaka KibahaMjini kufuata huduma muhimu. Kwa maana nyinginehuduma wanainunua kwa gharama kubwa huku kipatochao kikiwa ni cha chini, na huacha shughuli zaombalimbali za kujitafutia kipato.

Nashauri Ofisi hizi zihamishiwe Mji mdogo waMlandizi, kwani kuna maeneo hata ya kukodi ilikuwapunguzia wananchi mzigo mkubwa. Ukizingatiahilo, pia kuna tatizo la ukosefu wa Benki. TunaishauriSerikali itoe msukumo il i tuweze kupata Benkikuwapunguzia adha wananchi hawa.

Mheshimiwa Spika, napenda kumalizia kwakugusia lililojitokeza siku za usoni. Nchi yetu tangu hapoawali hatukuwahi kuwa na migogoro ya kidini, lakini sikuza karibuni tumejionea wenyewe kuanza vurugu la hiyomigogoro. Kwa hali hiyo, napenda kuishauri Serikalikuchukua hatua za dhati mapema na kukemeaikibainika ama kikundi au watu wanaosababisha halihiyo, wachukuliwe hatua kali za kisheria mara moja ilikuepusha nchi yetu kuingia katika migogoro hiyo yakidini.

MHE. ESTHER N. MATIKO: Mheshimiwa Spika,naomba kuchangia hoja ya Waziri Mkuu (bajeti yamwaka 2013/2014).

Page 266: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

266

Mheshimiwa Spika, nitachangia katika vipengelevikuu vitatu. Mgawanyo wa fedha (vipaumbele), elimu(anguko la elimu ya Tanzania), na wachimbaji wadogowadogo.

Mheshimiwa Spika, katika kupitia hotuba yaWaziri Mkuu na randama, nimegundua kuwa fedha zamaendeleo ambazo Bunge lako Tukufu likiidhinisha kwamwaka wa fedha 2012/2013, kiasi cha Shilingi bilioni 91.7kwa ajili ya maendeleo ni kiasi cha Shilingi bilioni 10.7 tundizo zilikuwa zimetumika hadi robo, yaani asilimia 11.7tu. Cha kutia mshituko zaidi ni pale fedha za matumiziya kawaida zilivyopewa kipaumbele. Sasa nchi yetuitaendelea lini? Hii inatokana na Majeti ya Maendelokutegemea fedha za wahisani na siyo fedha za ndani.

Mheshimiwa Spika, utaona kuwa hadi Februari,takriban Shilingi bilioni 81 zilikuwa hazijatumika. Hii inamaana hata kufikia mwisho wa mwaka, sana sana 25%tu ndiyo itakuwa imetumika. Hivyo kuacha baki ya zaidiya Shilingi bilion 65. Bila hata kutilia hili maana, bajeti yamwaka 2013/2014 kwa ajili ya maendeleo ni Shilingibilioni 43.8 ambazo ni pungufu kwa asilimia zaidi ya 52tena. Hizi Shilingi bilioni 43.8 hazifiki baki ya mwakaunaomalizikia Juni 31, sasa je, hayo maendeleomengine yamesitishwa au bei/gharama zimeshukachini? Ni kwa nini Serikali inaendelea kutegemea fedhaza wahisani kwa zaidi ya asilimia 86 ilhali ikijua wahisanihawatoi fedha ndani ya muda?

Mheshimiwa Spika, pili, napenda kuzungumziakuhusu fedha kiasi cha Shilingi bilioni moja zilizotengwakwa ajili ya kuendeleza mahali pa kuzikia viongozi wakitaifa. Hivi ni kweli tuna vipaumbele vya kuwasaidiaWatanzania? Tunashindwa adha kubwa ya akinamama kuzalia chini na/au kulala kwenye kitanda kimojazaidi ya wamama watatu.

Page 267: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

267

Vilevile tumeshindwa Watanzania kujitangazakwenye vyombo mbalimbali vya habari wakiombamsaada ili kwenda kutibiwa katika hospitali za Serikalikama Muhimbili na/au kwenda nje ya nchi (India)ambapo wengi wao wamekuwa wakikosa msaada nakufa. Tena fedha zenyewe huwa ni Shilingi milioni mojahadi kumi. Leo tunashindia fedha, zikitengwa kwa ajiliya kuja kuzika viongozi walio hai. Huu ni uchuro namatumizi mabaya ya fedha za Umma.

Mheshimiwa Spika, ikumbukwe kuwa waasisi wanchi yetu wamezikwa kwenye maeneo yao. Natakakujua: Je, ni utashi wa Serikali kufikiri kuendeleza sehemuza kuzikia au kuna viongozi wa kitaifa wameomba marawatakapokufa wazikwe kwenye makaburi ya Shilingibilioni moja?

Mheshimiwa Spika, napenda pia kujua ni vigezovipi vinatumika kujua kaya hii ni masikini na inahitajikupewa msaada wa chakula, lishe bora, huduma yaafya na elimu? Ni kiasi gani cha fedha kimetengwa kwakila kaya kwa lishe, chakula, afya na elimu? Baada yakujua vigezo husika, naomba kutoa ushauri wanguambao utatuomba ili kuondoa mianya ya ubadhirifuau rushwa. Ni bora zitolewe vocha/kadi kwa ajili yahuduma ya afya na elimu kuliko kutoa fedha. Nchi zawenzetu wanatoa vocha kwa ajili ya chakula na lishebora. Pia, hii itasaidia matumizi lengwa ya hizo Shilingibilioni 440, na hasa katika kaya 3,056 ambazo ndizotunaanza nazo katika Halmashauri ya Bagamoyo.

Mheshimiwa Spika, napenda nizungumzie kuhusuwachimbaji wadogo wadogo, na hasa wa Wilaya yaTarime. Ni dhahiri kwamba wachimbaji wadogowadogo ndiyo mojawapo ya kitovu cha uchumi wanchi yetu, na mbaya zaidi baada ya mauaji ya mwaka2011 kule North Mara, Mawaziri wengi, akiwemo Waziri

Page 268: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

268

wa Sera na Mahusiano -Mheshimiwa Wassira waliahidikutenga maeneo ya wachimbaji wadogo wadogo nakuwasaidia elimu na miundombinu ya kuchimbia. Kwamasikitiko, hadi leo hamna maeneo yaliyotengwa kwaajil i ya wachimbaji wadogo wadogo, licha yamwekezaji kuwa tayari kusaidiwa na uwepo wamaeneo mengi kwa ajili ya wachimbaji wadogowadogo. Leo katika hotuba, Mheshimiwa Waziri Mkuuanaonyesha kutengwa kwa eneo la Nyakuru tu, nawakati akijibu swali Mheshimiwa Malima alionyeshakutengwa maeneo mengi ya Nyakunguru, Gamasara,Nyahuguru na kadhalika havikubaliki.

MHE. CECILIA D. PARESSO: Mheshimiwa Spika,kwa kuwa sote tunatambua umuhimu wa kuwa naSerikali za Vijiji na Halmashauri zao zinazowajibika kwawananchi kwa mujibu wa sheria zilizowekwa, hata hivyo,Halmashauri hizo za vijiji zimekuwa hazisomi mapato namatumizi kwa wakati kwa mujibu wa sheria, tatizo hililinalopelekea wananchi kutojua fedha wanazochangaau fedha zinazofika kijijini, kwa mujibu wa mgaowanaopata kijiji husika kutojulikana, ni kiasi ganikimetumika na kiasi gani kimepatikana na kwa ujumlatatizo hili limekuwa sugu na Serikali kupitia Ofisi yaTAMISEMI kuwa kimya bila kuangalia njia nyinginembadala ya (au kurekebisha sheria husika) kufanyaHalmashauri za Vijiji ikiwa ni pamoja na Wenyeviti waokuwajibika kwa wananchi.

Mheshimiwa Spika, dhana ya ugatuaji wamadaraka ifanyike kwa matendo, hivyo iwe ni pamojana kuangalia pia muundo wa Halmashauri zetu nchiniili wananchi wafikiwe na huduma kwa urahisi bilaurasimu wowote. Naitaka Serikali kuangalia upyamuundo huo na kuongeza Idara na Vitengo mbalimbalikama Idara/Kitengo cha Vijana na Habari. Hata hivyo,

Page 269: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

269

kwa kuwa kuna Kitengo cha Utamaduni, ni vyemaikaongezewa suala la michezo.

Mheshimiwa Spika, matumizi makubwa ya fedhaza matumizi ya kawaida, tumeshuhudia fedha nyingizinakwenda katika matengenezo makubwa ya magariya Halmashauri. Kimsingi sipingani na suala la magarikufanyiwa matengenezo, lakini napingana na mfumowa usimamizi wa suala zima la kusimamia na kuandaamalipo ya gharama na ujazaji wa LPO.

Suala hili limekuwa likiachwa lifanyike kati yadereva na mzabuni, ndipo hapa udanganyifuunapofanyika na suala la kutokuwa na Transport Officer(TO) anayefahamu (ujuzi) wa masuala ya ufundi wamagari ndipo udanganyifu unapoendelea kutokea.Halmashauri nyingi huwapa nafasi hizi watumishi katikaIdara nyingine jambo ambalo hawawajibiki moja kwamoja kwa nafasi hiyo ambayo siyo fani yake.

Ni vyema Serikali iifanye Idara hii ya TO iwe namwajiriwa mwenye fani ya utengenezaji magari nakuangalia mali zote za Halmashauri ambazo zipokwenye mfumo wa vyuma, kwa kuwa ni kweli kuwaHalmashauri haziwezi kutekeleza majukumu yake bilakuwa na magari.

MHE. STEPHEN M. WASIRA: Mheshimiwa Spika,naomba Ofisi ya Waziri Mkuu iingilie kati masualayafuatayo:-

Mheshimiwa Spika, mwaka huu wa fedha Wizaraya Ujenzi ilipanga kutumia Shilingi bilioni 1.7 kuanza ujenziwa barabara itokayo Nyamswa hadi Nansio. Tanroadsimetangaza tender ya kutengeneza barabara yakilometa 51 toka Nansio – Bulamba.

Page 270: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

270

Mwaka 2013/2014 hakuna fedha yoyoteiliyowekwa katika bajeti. Je, huu ni usanii au nini? Mwaka2012/2013 Wizara ya Ujenzi ilitenga Shilingi bilioni tatukuanza ujenzi wa barabara ya Makutano, Natta,Mugumu, Loliondo hadi Mto wa Mbu. Tender imetolewa,lakini hakuna hata kilometa moja iliyotengenezwa.Mwaka ujao wa fedha, bajeti iliyotengwa ya Shilingibilioni nane: Swali hapa ni kwamba, itatuchukua miakamingapi kutengenezwa barabara yenye kilometa 400?

Mheshimiwa Spika, hapa kuna tatizo linahitajikutazamwa, hapa hakuna anayekomolewa ila CCM!

MHE. HUSSEIN NASSOR AMAR: Mheshimiwa Spika,kwanza naanza na kuipongeza hotuba hii ya WaziriMkuu na ninaunga mkono hoja hii.

Mheshimiwa Spika, napenda kushauri mambomachache yafuatayo:-

Mheshimiwa Spika, kuhusu suala la udini ambaloni hatari sana ambalo linaweza kututumbukiza pabayasana kwa Taifa letu, naishauri Serikali ichukuwe hatuakali kwa wale wote watakaobainika na uchochezi huuili kuokoa kulitumbukiza Taifa katika mgogoro wa kidini.

Mheshimiwa Spika, lingine ni kuhusu migogorokati ya wafugaji na wakulima, tatizo ambalo linazidikujitokeza nchini sehemu mbalimbali. Naishauri Serikaliichukue maamuzi ya haraka kulitafutia ufumbuzi kwawafugaji kuwatengea maeneo rasmi ya kufugia namashamba ya kulishia mifugo yao na kuepusha piauharibifu wa mazingira. Suala la migongano nawakulima, hili pia litampa utulivu mfugaji na kutomfanyaasihame na kumfanya apange mipango endelevukama kusomesha watoto shuleni.

Page 271: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

271

Mheshimiwa Spika, kuhusu janga la madawa yakulevya ni tatizo kubwa ambalo linazidi kukua kwa kasisana na kuwadhuru watumiaji hasa vijana.

Ushauri wangu kwa Serikali, naiomba Serikaliiwashirikishe wananchi wote kuwahamasisha kwa kutoasemia na vyombo vya habari, nyumba za ibada, nakutoa motisha kwa wale wote watakaofanikisha kwakukamatwa kwa madawa hayo na kumlipa angalauasilimia 50 ya thamani ya mzigo. Hili litaleta hamasasana kwa watoa taarifa.

Mheshimiwa Spika, kuhusu janga kubwa lauharibifu wa mazingira, naishauri Serikali ichukue hatuakali zaidi kwa wote ambao wanakata miti ovyo nakuharibu vyanzo vya maji ikiwa ni pamoja na kulimamaeneo ya vyanzo vya maji.

Pia naishauri Serikali iwaangize wananchi wotewapande miti, miche 50 kila kaya, maeneo ya makazina mashambani pia. Miti ni mali.

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa kila Taifa lazimaliwe na wazee: Je, wazee wa Taifa hili wamewekewamipango gani kuhusu hatima yao ili nao wafaidike naTaifa au Serikali yao? Wazee hao hasa waishio vijijini,hali zao ni mbaya sana na kukata tamaa ya kuishiduniani na wengine kufikia kujiua.

Mheshimiwa Spika, kuhusu kushuka kwa elimu,naishauri Serikali iweke msukumo mkubwa kwa Walimu;pia kutoa elimu kwa wazazi kutambua umuhimu waelimu ikiwa pia kuwahamasisha watoto wao kutii sheriaza nchi na shuleni kwao. Pia wazazi kuchangia kwamichango yote kwa wakati, kwa kujitolea kwa ujenziwa madarasa, nyumba za waalimu na madawati; namahusiano mazuri kati ya wazazi na Waalimu. Hayayakifanywa, ni imani yangu kuwa elimu itapanda zaidi.

Page 272: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

272

Mheshimiwa Spika, upungufu ni mwingi sanakatika Vituo vya Afya na Zahanati zote katika Jimbo laNyang‘hwale. Upungufu uliopo ni kama madawa,madakitari, Wauguzi na vifaa tiba. Upungufu huuumekithiri hasa Kituo cha Afya cha Khalumwa. Kituoambacho kinapokea wagonjwa wengi sana.

Mheshimiwa Spika, Jimbo la Nyang‘hwale linamatatizo makubwa sana ya maji safi na salama.Nimewahi kuuliza swali hili na kujibiwa kuwa tayari pesaimetolewa kiasi cha Sh. 20,000,000/= kwa ajili yaupembuzi yakinifu, kutoa maji Ziwani Nyamtukuza, lakinihadi leo hakuna kinachoendelea. Swali, ni lini sasaSerikali itamaliza tatizo la maji Wilaya mpya yaNyang‘hwale?

Mheshimiwa Spika, tatizo kubwa kwa wakulimawa Jimbo la Nyang‘hwale ni pembejeo kutolewa kwawakati na kuletwa kwa mbegu ambazo hazina ubora.Wakulima wanahoji: Je, Serikali haifahamu hili?Naiomba Serikali ifuatilie hili ili wakulima wawe na imanina Serikali yao.

Mheshimiwa Spika, tunashukuru Serikali kwabaadhi ya barabara kufanyiwa matengenezo madogomadogo kama barabara ya kutoka Geita –Nyang‘hwale na kutoka Busisi - Nyang‘holongo.Napenda kuuliza swali. Mheshimiwa Rais alipokuja

Jimbo la Nyang‘hwale mwaka 2010 kwenyeMkutano wa Kampeni pale Khalumwa, aliwaahidiwananchi wa Nyang‘hwale barabara za kutoka – Busisi,Busowa – Nyijundu – Kharumwa – Bukwimba hadiNyang‘holongo – Kahama, na kutoka Geita -Nyang‘ghwale – Kharamwa. Zitajengwa kwa kiwangocha lami. Je, ni lini sasa ahadi hiyo itatekelezwa?

Page 273: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

273

Mheshimiwa Spika, kuhusu suala la nishati yaUmeme, naishukuru sana Serikali kwa kuanza kutekelezahili Jimboni Nyang‘hwale kwa kusimika nguzo nakutandaza nyaya katika Kata ya Nyang‘hwale –Nyijundu, Kalumwa. Leo ni zaidi ya miezi sita, kaziimekamilika. Je, baada ya kukamilika kwa kazi hiyo, nilini umeme huo utawaka?

Mheshimiwa Spika, kuhusu mawasiliano ya simu,naiomba Serikali ifanye hima kuwashauri wenyeKampuni za Simu za Mkononi kuja Wilaya ya Nyag‘hwalekuja kufunga minara Kata ambazo hazina minara kamaBukwimba, Kafita, Izunya, Nyugwa, Kakora, Nyijundu,Busolwa, Nyang‘hwale, Shabaka, Nyabulanda naMwingiro il i Wilaya hiyo mpya ipige hatua yamaendeleo kwa haraka.

Mheshimiwa Spika, Mahakama katika Wilayampya ya Nyang‘hwale majengo ya Mahakama naMahabusu ni mabovu sana. Pia Vituo vya Polisi ni vibovusana. Naishauri Serikali ikarabati majengo hayo nakujenga mapya.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. ZARINA S. MADABIDA: Mheshimiwa Spika,kwanza, naunga mkono hoja.

Mheshimiwa Spika, Serikali inafanya kazi nzuri yakujaribu kutatua msongamano wa magari katika jiji laDar es Salaam, lakini katika utatuzi huu, daraja lasalender, daraja la reli pale Gerezani yameachwa. Kwahiyo, kilichofanyika/kinachofanyika ni kukusanya magarikwa wingi kutoka pande mbalimbali za Wilaya yaKindondoni na makutano, ni katika daraja la Salender.Halikadhalika, magari yanatoka njia nyingizilizofunguliwa kutoka Wilaya ya Temeke – Kurasini na

Page 274: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

274

kukusanyika katika Daraja la Reli Gerezani/Port. Vile vilehali hii ipo kwenye njia panda ya Tazara, Ubungo, VetaChang‘ombe, Ilala Boma na kadhalika.

Mheshimiwa Spika, hali hii inafanya kazi nzuri yaSerikali kutokuzaa matunda yaliyotarajiwa. Ni kama vilekila Wilaya ilifanyiwa kazi peke yake bila kuangaliamiundombinu na mpango wa Ofisi zetu kwamba zotezipo kati, yaani Wilaya ya Ilala na kufanya kila mtulazima aje Wilaya ya Ilala. Reli ya Dar es Salaam inahitajikuimarishwa ifanye kazi sawasawa.

Mheshimiwa Spika, msongamano huu hauishiikwenye barabara tu, lakini hata maofisini Dar es Salaamambayo ina wakazi takribani milion 4.7 nainayotegemewa kwa asilimia zaidi ya 80 ya mapato yaSerikali ina Wilaya tatu tu. Ndiyo maana hata Taasisinyingine zimeona ni vigumu kutoa huduma kwenyeTaasisi zao na kulazimika kuunda Mikoa Maalum. Taasisihizo ni Polisi, TANESCO, TRA na kadhalika. Hii siyo tu kwaTaasisi hiyo, lakini ni adha karibu kwa Ofisi nyingi ikiwa nipamoja na Ofisi za Manispaa zote.

Mheshimiwa Spika, ukichukua idadi ya watu waMkoa wa Dar es Salaam ni takribani asilimia 10 yaWatanzania kufuatana na sensa ya mwaka 2012 naidadi ya Wilaya za nchi yetu ni takribani 162. Ungedhanibasi Dar es Salaam ingekuwa na Wilaya 16 ili iwezekukidhi kuhudumia wananchi wa Mkoa huo ipasavyo.Sasa hivi mwanachi wa Pemba Mnazi, Kimbijiinamchukua siyo chini ya masaa mawili mpaka matatukwa gari kwenda Wilayani Temeke kwa gari binafsi nakama ni kupanda, basi itachukua masaa zaidi na naulisiyo chini ya Sh. 3,000/=. Hivyo hivyo kwa wakazi waMbotele, Msongola kwenda Ilala na halikadhalikawakazi wa Bunju Goba, Malambamawili kwendaKinondoni.

Page 275: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

275

Mheshimiwa Spika, ni kwa nini Dar es Salaam basiaidha iletwe Mikoa mitatu yenye Wilaya tatu kila Mkoa?Au basi kwa kuanzia, tuwe angalau na Wilaya tisa. Hiisiyo tu itasaidia kusogeza huduma kwa wananchi na nihuduma zote, lakini pia itaongeza ufanisi na hivyokuongeza mapato ya Taifa. Sasa hivi kuna mapatomengi sana yanapotea ikiwa ni pamoja na kodi zamajengo, mahoteli na biashara nyingi mbalimbali.

Mheshimiwa Spika, ni kwa manufaa ya Taifazima, kwani wananchi karibu wote wanahitaji hudumaya Dar es Salaam. Naomba nitie mkazo wa utatuzi wamkakati madhubuti na mahsusi wa msongamano wamagari na huduma.

Mheshimiwa Spika, Serikali inao uwezo wakutatua ajira kwa vijana kwa mamilioni ya fursa kwakutumia kilimo, lakini huwezi kusema uwape mkopovijana wakafanye, ni lazima wapate kilimo chenye tija.Ni kwa nini Serikali isiandae maeneo yenye rutuba namaji, ikaandaa mashamba makubwa kwa kulima kwatrekta, ikawapa mbegu bora, mbolea, dawa namagunia, lakini pia wasaidiwe chakula kwa kipindi champito? Hii itahamasisha vijana wengi kujiunga nampango huu. Kuwaambia vijana nendeni bilakuwahakikishia kil imo kisicho na tija hakunaatakayekwenda huko.

MHE. MENDRAD L. KIGOLA: Mheshimiwa Spika,naanza na kuunga mkono hoja. Waziri Mkuu katikahotuba yake amegusa maeneo mengi ambayo Serikaliimefanya kazi kwa manufaa ya Watanzania. Kunachangamoto ambazo napenda kuishauri Serikali iwezekufanyia kazi katika nchi yetu.

Mheshimiwa Spika, maji ni tatizo kubwa sanakatika nchi yetu. Wananchi wanatumia muda mwingi

Page 276: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

276

katika kutafuta maji kwa kutembea kilometa wakitafutamaji.

Naomba Serikali ichukue hatua kubwa katikakutekeleza tatizo la maji katika maeneo yote ambayoyana tatizo kubwa la maji. Katika Jimbo la Mufindi Kusinituna matanki ya maji 10 ambayo yamejengwa naSerikali kwa kushirikiana na wananchi, lakini sasa hiviyote hayatumiki kwa sababu miundombinu imeharibika.

Tunaomba Serikali kufufua au kukarabati matankihayo, nayo ni Tanki la Kijiji cha Sawa, Kibao, Igowole,Nyololo, Maduma, Ndumuka, Nyigo, Idunda, Njojo naMgololo. Vyanzo vyake vipo, lakini ni miundombinuyake, imeharibika. Gharama yake haizidi Shilingi bilionimbili tu. Naomba sana Waziri Mkuu, Serikali isaidie Jimbohili la Mufindi Kusini, wananchi hawana maji.

Mheshimiwa Spika, umeme katika kuinua uchumiwa wananchi wetu ni muhimu sana. Vijiji vingi sanakatika Jimbo la Mufindi Kusini havina umeme.

Vijana wanapenda kujiajiri kwa kuanzishaviwanda vidogo vidogo katika vijiji vya Idetero,Mbalamaziwa, Malangali, Ihowanza, Iramba, Nyigo,Mtambula, Idumka, Kilolo na Ihomasa; kuna Vituo vyaAfya lakini havina umeme kama vile Kituo cha Afya kijijicha Nyololo.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. ROSE K. SUKUM: Mheshimiwa Spika, kwanzanapenda kuongelea kuhusu migogoro ya dini.Chokochoko zinazojitokeza si salama kwa mustakabaliwa nchi yetu. Serikali kuwaachia viongozi wamadhehebu ya dini kuwaelimisha waumini wao si sahihi.Serikali iwachukulie hatua wale wote watakaobainika

Page 277: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

277

kukomesha tabia ya kuuana na kuchoma Makanisa,Misikiti na kuingiliana katika dini zetu.

Mheshimiwa Spika, pia kuna tabia ya ubaguzi wakidini hasa viongozi kubagua watu wa dini fulani katikaajira mfano UDOM. Kufeli kwa mwanataaluma Chuonini kigezo cha kumfukuza kazi au kuwa re-categorizedkama administrative staff. Cha ajabu kuna Waislamwanafeli na wanapewa nafasi ya kusoma upya badalaya kufukuzwa na wakati huohuo Wakristo wanafukuzwa.Hayo ni malalamiko ya wafanyakazi wa UDOM. Mfano,Mwislam Khamis Mkanachi alikuwa anasoma MasterUDSM na akafeli, yeye akapewa nafasi upya UDOM naanaendelea. Mkristo Masebo alikuwa anachukuaMaster UDOM, akafeli yeye akafukuzwa. Je, hamuonipia hilo ni tatizo kwa wanaofanyiwa hivyo au kuona niUdini?

Mheshimiwa Spika, pili ni kilimo. Kilimo kwanza nikauli mbiu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano waTanzania lakini utekelezaji wake una udhaifu mwingiambao unakwamisha kilimo. Naishauri Serikali, nianjema ya kutenga hizo shilingi bilioni 75 kwa ajili yavocha za pembejeo, ni vema kuzipeleka fedha hizoIdara ya Umwagiliaji ili kuondoa adha ya ukame naumaskini. Fedha za vocha za pembejeo hutumikavibaya, kuchelewa kutolewa, makampuni namawakala wasiofaa, matumizi ya vocha za ruzuku yapembejeo kuwa chini ya viwango, wizi na uharibifu wapembejeo.

Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa kifungu cha141 cha Sheria Na. 7 mwaka 1982, Mkutano Mkuu ndiomamlaka yenye madaraka ya juu kabisa kuhusumaamuzi yote ya sera na maendeleo kijijini na ndiyowenye wajibu wa kuchangia na kuwaondoamadarakani wajumbe wa Halmashauri ya kijiji lakini kwa

Page 278: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

278

masikitiko makubwa watendaji wa Serikali, MkurugeziMkuu wa Wilaya, OCD, Mkuu wa Mkoa, badala yakuheshimu maamuzi yanayofanywa na wananchi,wamekuwa wanawatisha na kuwakamata na kuwekwamahabusu. Matokeo yake kuwaachia bila kuwapelekaMahakamani ili wapate haki zao. Huu si utawala borabali kulinda maslahi binafsi.

Mheshimiwa Spika, Mfuko wa Jimbo (CDCF),kifungu cha 12 cha Sheria ya Mfuko wa Jimbo yamwaka 2009 inasema orodha ya miradi inayowezakutekelezwa na Mfuko inatakiwa kuibuliwa na wananchiambao wanaishi katika Jimbo husika. Pia kifungu cha10(4) kinataka kila Kata kuja na miradi inayopewakipaumbele na kuiwasillisha kwenye Kamati ya Mfukowa Jimbo kwa ajili ya kuidhinisha miradi hiyo.

Je, ni kwa nini hakuna uwazi katika usimamizi nauwajibikaji wa Mfuko wa Jimbo na hasa kutumika kwania ya kisiasa? Fedha za Mfuko wa Jimbo Hanangzinagawanywa zaidi wakati wa uchaguzi mfano zaidiwakati wa uchaguzi mfano wakati wa uchaguzi waCCM NEC.

Aidha, kutofuatwa uibuaji wa wananchi kwenyevijiji bali ni kutekeleza ahadi za Mbunge, kugawa nakuwapa vikundi vya Saccos na kadhalika, kuwapatiaviongozi wa CCM badala ya wavijiji. Inatakiwa huuMfuko uwe wazi na watakaobainika wasipewe fedhahizi.

Mheshimiwa Spika, Wabunge wa Viti Maalum piani wawakilishi Mikoani na hufanya au kutekeleza miradiya maendeleo. Ni vema na Wabunge wa Viti Maalumkutengewa fedha za CDCF ili kusaidia miradi hiyo.Wabunge wa Viti Maalum wawe pia katika Kamati yaMfuko wa Jimbo CDCF. Wabunge wa Viti Maalum

Page 279: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

279

wawe kwenye Kamati za Uchumi na Fedha katikaHalmashauri yao.

MHE. HAJI KHATIB KAI: Mheshimiwa Spika, miezikadha imepita tokea Tume ya Kuratibu Maoni ya Katibaya Jamhuri ya Muungano kukamilisha zoezi hilo kwakupita kila sehemu ya nchi ili wananchi na viongozimbalimbali waweze kutoa maoni yao juu ya Katiba hiyo.

Mheshimiwa Spika, nitamwomba MheshimiwaWaziri Mkuu atakapokuja kufanya majumuisho, anipeufafanuzi wa masuala yafuatayo:-

(a) Kwa kuwa kwa mujibu wa Katiba yaJamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 18(1)inasema kwamba kila mtu yuko huru kuwa na maoniyoyote na kutoa nje mawazo yake bila kuathiri sheriaza nchi na kwa kuwa Waziri ni katika watu ambao kwamujibu wa Ibara na kifungu cha Katiba ya Jamhuri yaMuungano nilichokitaja yuko huru kuwa na maoniyoyote na kutoa nje mawazo yake bila ya kuathiri sheriana nchi, Mheshimiwa Waziri Mkuu anatoa kauli gani juuya Chama cha Siasa nchini kinachozuia watu wakekutoa maoni yoyote yakiwemo yanayohusu Muunganowa Tanganyika na Zanzibar?

(b) Kwa kuwa uamuzi uliochukuliwa dhidi yaaliyekuwa Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum katikaSerikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, MheshimiwaMansoor Yussuf Himid wa kuondolewa kwenye Barazala Mawaziri ulitafsiriwa kuwa ulitokana na msimamowake aliouonyesha wa kutoa maoni ya kuuokosoamuundo na mfumo wa Muungano, je, MheshimiwaWaziri Mkuu uamuzi huo dhidi ya Mheshimiwa MansoorYussuf Himid uliheshimu uhuru wake wa kutoa maoniyoyote kama Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania inavyosema?

Page 280: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

280

Mheshimiwa Spika, watu wa Zanzibar walifuatiliakwa karibu sana matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Kenya.Kutokana na mazungumzo yao, inaonekanawamejifunza mengi lakini haijulikani kwa wale ambaohawataki kujifunza kwamba na wao watakuwa tayarikubadilika.

Mheshimiwa Spika, yapo mambo mengiyaliyosababisha watu wa Visiwani kufanya hivyo.Mojawapo ni ujirani na uhusiano wa karibu walionaona watu wa Mombasa, eneo ambalo zamani lilikuwasehemu ya Zanzibar chini ya himaya ya Serikali yaUingereza.

Kubwa zaidi ni kwa sababu Kenya kama Zanzibarilipata mtihani mkubwa tokea kuachana na siasa zachama kimoja na kuja na mfumo wa vyama vingi vyasiasa miongo miwili sasa.

Mheshimiwa Spika, hivi sasa baadhi ya viongoziwa Kenya wamefunguliwa mashtaka ya uchochezi namauaji yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzimwaka 2007, ambapo baada mvutano, yalisababishakuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa. TumwombeMungu viongozi wetu na waandishi wa habariwasijisahau kulazimisha Jumuiya za Kimataifakuwawajibisha kisheria. Nayo Zanzibar labda kwakujifunza kutokana na balaa za uchaguziwalizokumbana nazo na yaliyotokea Kenya ilipatamuafaka uliosababisha kufanyika uchaguzi wa amanimwaka 2010 na baadaye kuundwa Serikali ya Umojawa Kitaifa.

Mheshimiwa Spika, kwa bahati mbaya sanainaonekana wapo ambao hawakufurahia hili na tayaripanasikika na kuonekana chokochoko za kuleta balaa.Badala yake ni Viongozi wa Uamsho tu ndio unasikia

Page 281: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

281

wanachunguzwa na Polisi lakini hatuelezwikinachoendelea juu ya vikaratasi vya uchochezi namatusi yanayoporomoshwa kwa marais wastaafu,Benjamin Mkapa na Amani Karume. Sijui viongoziwaliopo madarakani hivi sasa Bara na Visiwani watajihisivipi na wao wakijakukashifiwa katika vikaratasiwatakapoachia ngazi za uongozi.

Mheshimiwa Spika, sasa Kenya baada ya kuwana Serikali ya Umoja wa Kitaifa imefanya uchaguziambao nao umeleta shaka kutokana na kuwepo madaiya mizengwe wakati wa kuhesabu kura.

Hata hivyo, watu wake wamekataa uchaguzikuwarudisha kwenye vurugu za kutoana roho badalayake malalamiko ya uchaguzi yamepelekwaMahakamani kwa sababu Sheria ya Uchaguzi inatoafursa hiyo tofauti na ilivyokuwa zamani ambapo uamuziwa Tume ni wa mwisho na hauwezi kupelekwaMahakamani.

Mheshimiwa Spika, hili ni eneo ambalo Tanzaniana hasa Zanzibar inafaa kuliona kama ni somo kwa vilekutotoa nafasi kwa uamuzi wa Tume ya Uchaguzikuhojiwa si demokrasi ni udikteta.zuri zaidi ni kuwa kesiza uchaguzi hasa ya kupinga matokeo ya Uraiszitasikilizwa katika kipindi cha sio zaidi ya wiki mbili tokeamatokeo kutolewa. Vilevile kesi zote zinazohusuuchaguzi zitasikilizwa hata siku za mapumziko na hadiusiku.

Mheshimiwa Spika, uchaguzi uliopita wa Kenyaulikumbana na matatizo ya kiufundi ya teknolojia lakinipalikuwepo na uwazi wa kiasi fulani na wananchikuelewa kilichokuwa kikiendelea tofauti na Zanzibarambapo ukimya hutanda na kusababisha kuwepo kilaaina ya uvumi.

Page 282: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

282

Mheshimiwa Spika, ukweli ni kwamba Kenyaimefanya marekebisho makubwa katika kuendeshauchaguzi i japokuwa bado inayo safari ndefu.Hapakuwa na malalamiko ya watu wengi kunyimwahaki yao ya kupiga kura kama inavyoendeleakuonekana Zanzibar na wala hazikusikika habari zawapiga kura mamluki kupelekwa vituoni.

Mheshimiwa Spika, Kenya ilikwenda hatua mojambele zaidi ya hata kuwa wa Jimbo la Uchaguzi waRais kwa raia zake wanaoishi katika nchi za AfrikaMashariki. Hii ni tofauti na Zanzibar ambapo watu zaidiya 40,000 walinyimwa haki hiyo licha ya sio tu kuzaliwaZanzibar bali wengine wakiwa hawajawahi hata kusafirinje ya Visiwa vya Unguja na Pemba.

Mheshimiwa Spika, katika uchaguzi wa Kenya,Maafisa wa Uchaguzi ndio waliokuwa wakifanya uamuzikatika vituo vya kupiga kura tofauti na Zanzibar ambapoMasheha ndio wenye uamuzi wa nani awe na haki yakupiga kura. Masheha hawa walilalamikiwa sana nawachunguzi wa uchaguzi wa ndani na nje kuwa ndiochanzo cha vurugu. Baadhi ya Masheha hao bila yaaibu wamekuwa wakidai hawawajui watu wanaoishimitaani kwao na vijana waliowaozesha binti zao. Niwatu wanafiki sana kiwango ambacho hakieleweki.

Mheshimiwa Spika, kinachosikitisha zaidi, hakunahata Sheha mmoja aliyechukuliwa hatua wala hakunataarifa yoyote ya uchunguzi iliyosema baadhi yaMasheha walitoa taarifa za uongo kwa Maafisa waUchaguzi. Badala yake huonekana mamia ya watuwakifunguliwa kesi bandia ikiwa hata Vizee kudaiwakuwanyang’anya silaha Polisi.

Mheshimiwa Spika, Askari wa Kenya walionekanakila pembe lakini walikuwa hawaingilii shughuli za

Page 283: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

283

uchaguzi au kutisha wananchi. Katika chaguzi zaZanzibar, Askari wa SMZ huwa ndani ya vyumba vyakupigia kura kama wao ni Makarani wa Tume yaUchanguzi.

Mheshimiwa Spika, lingine ambalo Zanzibarinafaa kujifunza ni kwamba uchaguzi wa Kenya ulikuwawa watu wazima wale waliofikia miaka 18 na kuendeleawakati Zanzibar watoto ambao umri wao hauruhusukuwa wapiga kura wanashiriki.

Mheshimiwa Spika, nashukuru.

MHE. SARA M. ALLY: Mheshimiwa Spika, naombakuchangia kuhusu uwezeshaji wa wananchi kiuchumihasa Mfuko wa Vijana. Fedha zinazotolewa na Serikalikuwezesha vijana kiuchumi hazitoshi ikilinganishwa naidadi ya vijana ambao ni 68% ya idadi ya Watanzania,vijana ambao ni nguvu kazi ya nchi lakini hawana mitajiya kutosha ya kujiajiri.

Mfano kila mwaka zaidi ya wahitimu kutoka vyuovikuu 500,000 huingia uraiani lakini hawana ajira zakudumu. Wapo walioanzisha makampuni ya kibiasharana ujasiriamali lakini vijana hawa wanashindwakupambana na soko kwani mitaji yao ni midogo.

Mheshimiwa Spika, Serikali imekuja na mpangowa kuwezesha kaya maskini ambapo shilingi bilioni 440zimetengwa kuzigawia fedha kaya maskini na kuzipatiachakula. Mpango wa kuwezesha vijana kiuchumi ukowapi?

Mheshimiwa Spika, 68% ya Watanzania ni vijanalakini vijana hawa wanakufa kwa maradhi na umaskini.Ripoti ya maambukizi ya HIV/AIDS, waathirika wakubwani vijana kuanzia umri wa miaka 15-45 ambao ni nguvu

Page 284: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

284

kazi ya nchi. Ripoti ya athari za madawa ya kulevya(2012) vijana 20,426 wameathirika, idadi ambayo nisawa na Majimbo manne ya Zanzibar.

Mheshimiwa Spika, katika bajeti, zaidi ya shilingibilioni 17 za mapambano dhidi ya UKIMWI ni fedha zanje. Naiomba Serikali iharakishe uwepo wa Mfuko waUkimwi tuache kutegemea wafadhili.

Mheshimiwa Spika, Mfuko wa Wanawake. Bungelilipitisha Azimio la Mfuko wa Wanawake mwaka 1993ambapo Halmashauri zilikuwa zinachangia 5% ya bajetizao. Mifuko hii haina kitu, wanawake wanapata taabu,Wabunge wao tumewahamasisha wajiunge na vikundivya ujasiriamali na SACCOS lakini hakuna uwezeshajiwa moja kwa moja kutoka kwenye mfuko wao.

Mheshimiwa Spika, Benki ya Wanawake inapatapesa kupitia vote ya Mfuko wa Wanawake. Je, Mfukowa Wanawake umekufa? Nani ametengua Azimio laBunge la mwaka 1993?

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. DUSTAN D. MKAPA: Mheshimiwa Spika,kwanza nasema naunga mkono hoja hii.

Mheshimiwa Spika, maombi maalum.Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu haina hospitaliya Wilaya. Katika juhudi zake za kukipandisha hadhikituo cha Afya cha Mangaka kuwa hospitali ya Wilaya,iliomba shilingi milioni 300 kwenye bajeti yake lakini ombihili llimefutwa. Naomba Mheshimiwa Waziri Mkuuatuonee huruma fedha hii tupatiwe.

Mheshimiwa Spika, Halmashauri ya Wilaya yaNanyumbu iliomba shilingi 300 milioni ili iweze kujenganyumba saba tu za watumishi. Hii ilikuwa na lengo la

Page 285: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

285

kuwapa motisha watumishi wanaohamia Nanyumbuwapate makazi ya kuishi kwani Makao Makuu yalikuwani kijiji tu. Namwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu utupatiefedha hii ambayo imekatwa kwenye bajeti yaHalmashauri tuweze kujenga nyumba hizo.

Mheshimiwa Spika, kwa maombi haya mawili,tunaomba Mheshimiwa Waziri atuonee huruma naanapojumuisha basi atoe ahadi ya Nanyumbukupatiwa fedha hizi.

Mheshimiwa Spika, ninatanguliza shukrani zanguza dhati kwa niaba ya wananchi wa Wilaya yaNanyumbu.

Mheshimiwa Spika, ninaunga mkono hoja hii.

MHE. JENISTA J. MHAGAMA: Mheshimiwa Spika,ni lini Madaba, Songea Vijijini itakuwa Mji Mdogo?

Mheshimiwa Spika, ni lini sheria ya kuruhusuHalmashauri za Wilaya kupewa mamlaka ya kuajiriwatumishi wa kada za chini italetwa Bungeni ili kuruhusumabadiliko kutoka katika hali ya katazo lilivyo sasa.

Mheshimiwa Spika, nawapongeza sana kwa kazinzuri.

MHE. DEOGRATIAS A. NTUKAMAZINA:Mheshimiwa Spika, nianze kwa kumpongezaMheshimiwa Waziri Mkuu, Waziri wa Nchi, TAMISEMIpamoja na wataalamu wote wakiongozwa na KaimuKatibu Mkuu, Jumanne Sagini, kwa kazi nzuriwanayoifanya katika mazingira magumu ya Bajeti finyuna nchi kubwa kieneo.

Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Waziri Mkuu na hasaTAMISEMI ambayo inasimamia Tawala za Mikoa na

Page 286: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

286

Serikali za Mitaa ndiyo Serikali yenyewe katika utekelezajiwa sera tunazojiwekea. Haya ni majukumu makubwasana yanayohitaji uongozi madhubuti kwenye ngazizote (very strong and highly committed Managementand Leadership). Nchi yetu bado ina matatizomakubwa ya kimaendeleo – wale maadui watatu watangu Uhuru (1961) – Umaskini, Ujinga na Maradhi badoni sugu. Kipato cha wastani cha Mtanzania kwa mwaka(GDP per capital) bado ni kidogo sana shilingi 800,000kwa mwaka, Ngara kipato cha mwaka ni kati ya Tshs170,000 – 240,000.

Mheshimiwa Spika, baada ya miaka 12 yaaniifikapo mwaka 2025 nchi yetu inatakiwa iwe nchi yenyeuchumi wa kati (medium income country) – yenye GDPper capital zaidi ya US$3000. Hii ni changamoto kubwasana kwa Serikali na hasa ofisi ya Waziri Mkuu ambayoinasimamia maendeleo huko vijijini – lazima tupige vitaumaskini, ujinga na maradhi ambayo vimekithiri hukovijijini. TAMISEMI inasimamia Elimu na Afya – ambavyoni vipaumbele namba moja.

Ofisi ya Waziri Mkuu sharti iwe na mikakatimadhubuti ya kuharakisha maendeleo ya kiuchumi nakijamii ili tufikie ndoto yetu ya Medium Income Economy.Ni wajibu wa ofisi ya Waziri Mkuu kuhakikisha watendajiwake wanawajibika ipasavyo. Wanawatumikiawananchi kwa uaminifu mkubwa sana ili waondokekwenye dimbwi la umasikini.

Mheshimiwa Spika, niliwahi kushauri viongozimbalimbali wawekewe mikataba ya utendaji – Wakuuwa Mikoa, Ma-DCs, Wakurugenzi wa Halmashauri nahata Wakuu wa Idara. Mikataba hii ingesaidia sanakuimarisha uwajibikaji. Bado ubadhirifu wa mali yaumma ni mkubwa sana kwenye Halmashauri. Wakuuwa Idara ni wabadhirifu. Waheshimiwa Madiwani

Page 287: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

287

hawana ubavu wa kuwakemea. Madiwaniwanawekwa mfukoni kwa kupewa vihela vidogo naWakuu wa Idara. TAMISEMI ibuni mkakati wa kuwadhibitiwatendaji wabadhirifu.

Mheshimiwa Spika, Watendaji wa kata na vijiji nidhaifu sana kielimu. Kwetu Ngara – watendaji hao elimuyao ni ya msingi, hawana upeo. Kwa kuwa kiutumishiinakuwa vigumu kuwa-phase out – kuwaondoa kazini –basi tutathmini chuo chetu cha Hombolo kuwaongezeauwezo watendaji hawa.

Mheshimiwa Spika, kuhusu kuimarisha elimu,narudia ushauri wangu kwamba ni muhimu kwaTAMISEMI kujiimarisha kwa kuchukua baadhi yawataalam wa elimu kutoka Wizara ya Elimu ili kuimarishaTAMISEMI yenyewe na Halmashauri zake.

Mheshimiwa Spika, fedha za uwezeshajizipelekwe sehemu mbalimbali na hasa sehemu zenyeumaskini sana. Wilaya ya Ngara haijapata fursa yakuziona fedha za uwezeshaji.

Ofisi ya Waziri Mkuu inatakiwa isimamiemaendeleo ya nchi nzima. Kusiwepo na upendeleo wabaadhi ya maeneo katika kutoa huduma za maji,barabara na kadhalika.

MHE. LEDIANA M. MNG’ONG’O: MheshimiwaSpika, naanza kwa kuunga mkono hoja ya Waziri Mkuukuhusu mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali namakadirio ya matumizi ya fedha ya ofisi ya Waziri Mkuu.

Mheshimiwa Spika, napongeza juhudi kubwainayofanywa na Serikali katika kuwaletea wananchiwake maendeleo.

Page 288: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

288

Mheshimiwa Spika, pamoja na pongezi hizinaomba kuchangia hotuba hii kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, tatizo la maji limeendeleakuwa kero kubwa hasa vijijini na kuleta mzigo mkubwakwa wanawake na watoto hasa wa kike. Ukosefu wamaji safi na salama unachangia kwa kiasi kikubwakuibuka magonjwa yakiwemo ya mlipuko.

Mheheshimiwa Spika, tatizo la maji ni kubwa kataya Nduli, Iringa Mjini. Je, ni lini watapatiwa maji yauhakika? Pia baadhi ya vijiji vya Tarafa ya Ismani naShule zote zinatakiwa kuwa na maji salama. Hivyo,nashauri visima vichimbwe pale ambapo maji hakunaili kuwapa watoto maji.

Mheshimiwa Spika, barabara za vijijini ni muhimusana katika kuleta maendeleo ya kiuchumi kwawananchi kwa ujumla. Naomba nizungumzie barabaraya Musoma – Majita. Barabara hii ni kiungo cha Wilayatatu yaani Musoma Mjini, Butiama na Wilaya ya Bundakwa kupitia kivuko cha Busekela.

Pia wananchi wa Wilaya ya Ukerewe wanatumiabarabara hii wakati wakienda kutembelea visiwa vyaIlugwa kupitia Bukima. Napenda kujua ni lini barabarahii itajengwa kwa kiwango cha lami ili kuwaondoleawananchi adha kubwa wanayoipata ukitilia maananikwamba biashara ya samaki inategemea barabara hiimuhimu ya kihistoria ya toka Uhuru.

Mheshimiwa Spika, suala la lishe. NapongezaSerikali kwa kuzindua mpango mkakati wa kitaifa walishe, mpango ambao umeanza kutekelezwa ikiwa nipamoja na kuajiri Maafisa Lishe ngazi ya Mkoa naWilaya. Naomba Maafisa hawa waajiriwe kwa kufuatataaluma zao badala ya kujaza nafasi tu. Kuna wahitimu

Page 289: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

289

wengi kutoka SUA pia wapewe vitendea kazi na waweIdara ya Mipango, Halmashauri ya Wilaya badala yaIdara ya Afya. Elimu ya lishe itolewe kwa wananchi wotevijijini kwa kuanzia na Serikali za Vijiji ili waweke mikakatiya kila kijiji.

Mheshimiwa Spika, napongeza juhudi za Serikaliza kuweka virutubisho katika vyakula ikiwemo unga wamahindi, unga wa ngano na mafuta ya kupikia pamojana chumvi.

Mheshimiwa Spika, naomba suala la viwandavidogo vidogo vya chumvi vitizamwe ili kuhakikishakwamba wazalishaji wote wa chumvi wanapewa elimuhasa Mkoa wa Pwani, Lindi, kuweza kuona umuhimuwa kutumia chumvi iliyowekwa madini joto. Taasisi yaTFNC iimarishwe kwa kupatiwa watumishi, vitendea kazina Bodi, Mwenyekiti wake ateuliwe.

Mheshimiwa Spika, naomba kuongelea suala lamadawa ya kulevya. Pombe ikizidi inaathari kubwa.Sasa hivi vijana wetu pamoja na kutumia madawa yakulevya, ulevi pia umekuwa tishio. Pombe iliyowekwakwenye paketi kwa jina maarufu Viroba inanywewaovyo hata asubuhi wakiwemo madereva wa magarimakubwa na pia huongeza ajali barabarani. Nchi yaKenya na Uganda zimepiga marufuku pombe hizi namatokeo yake sasa zinamwagwa hapa nchini. NashauriSerikali ipige marufuku unywaji wa Viroba kwani hatavijana wakiwemo wa vyuo wanakunywa hata asubuhi.Hii ni hatari kwa maendeleo ya nchi yetu.

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa Mikoa ya Iringa naNjombe ina hali nzuri ya mvua na kuzalisha mazaombalimbali yakiwemo mboga na matunda. Vikundi vyavijana na wanawake vipewe mafunzo ya uzalishaji wamboga na matunda na wapewe mitaji kupitia Benki ya

Page 290: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

290

Wanawake, Benki ya Maendeleo na pia Benki ya Vijanainayotegemewa kuanzishwa pia Mifuko mingine katikaHalmashauri ili waweze kunufaika na uwepo wa kiwanjacha Ndege Mbeya.

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha nanaunga mkono hoja.

MHE. ABDUL AZIZ ABOOD: Mheshimiwa Spika,kwanza nichukue nafasi hii kuipongeza Serikali kwa kazinzuri inayoendelea kuifanya katika kutekeleza Ilani yaUchaguzi ya CCM.

Mheshimiwa Spika, napenda kuchangia kwenyeelimu, kilimo na afya. Kilimo ni ajira na ni njia mojawaporahisi ya kuondokana na umaskini kwa mwananchi.Kwenye Jimbo langu la Morogoro Mjini hatuna ardhikwa ajili ya kilimo lakini Serikali katika miaka ya 1970 ilitoaardhi kwa ajili ya kilimo kwa wananchi wa Manispaa yaMorogoro katika maeneo ya Wilaya Mvomero, eneo laMgongola lakini cha kushangaza wananchi haowanalipia mpunga katika bonde hilo la Mgongola,wanafukuzwa na wafugaji na kuonesha hati milikiwaliopewa miaka hii ya 2000. Sasa wananchi ambaowamepewa ardhi miaka ya 1970 hawajapewa HatiMiliki, hao wafugaji wamepewa, kwa kweli hil ilinarudisha nyuma maendeleo ya kilimo kwa wananchiwa Manispaa ya Morogoro, nashauri Serikali iingilie katisuala hilo.

Mheshimiwa Spika, kwenye elimu, shule nyingi zasekondari na msingi hazina nyumba za Walimu,madawati na maktaba kwa ajili ya kujiongezea elimuwanafunzi. Kwa upande wa sekondari maabaraimekuwa ni tatizo kubwa sana, kiasi kwamba wanafunziwanashindwa kupata fursa ya kuelimika katika kusoma

Page 291: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

291

sayansi kwa vitendo badala yake wanakuwa na sayansiya nadharia tu.

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa afya, Katazetu nyingi hazina Zahanati au Vituo vya Afya. NashauriSerikali iongezee nguvu kwenye hizi Zahanati na Vituovya Afya ili viweze kuhudumia kwenye Kata zao nakupunguza msongamano kwenye Hospitali ya Rufaa yaMkoa. Pia nashauri Hospitali ya Wilaya iboreshwe zaidiili iweze kupokea wagonjwa na kina mama wanaotakakujifungua wapate huduma bora na kuweza kufanyiwahata upasuaji katika Hospitali ya Wilaya.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. KABWE Z. ZITTO: Mheshimiwa Spika,napenda kuchangia kuhusu kurejeshwa kwa Jeshi laKujenga Taifa (JKT). Lazima Taifa likiri kwamba tulifanyamakosa makubwa sana kukubaliana na ushauri waShirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na kufuta (kusitisha)JKT. Miaka 19 bila ya kuwapo kwa JKT imekuwa miakaambayo Taifa limeshuhudia mporomoko mkubwa sanawa uadilifu na hata Umoja wa Kitaifa kuwa shakani. JKTni jando la Taifa na hivyo ni makosa kuona matumizi yaJKT kwa jicho la kiuchumi, JKT lazima iangaliwe kwa jichola kijamii na uimara wa Taifa.

Mheshimiwa Spika, hata hivyo haisaidii kuwa naJKT ambapo vijana wanafundishwa utii, uhodari nauaminifu bila ujuzi wowote wa stadi za maisha yao (Skills).Vijana wanafundishwa miaka miwili kutumia silaha,utimamu wa mwili na utimamu wa akili lakini wakimalizawanakuwa hawana kazi wanakaa wanazurura mitaani.Hii inakuwa hatari zaidi maana ni rahisi sana kupataushawishi wa ujambazi na kadhalika hivyoninapendekeza ifuatavyo:-

Page 292: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

292

(1) Kuanzia mwaka huu wa fedha tuwekeutaratibu wa kuhakikisha kwamba kila kambi ya JKTinakuwa na chuo cha VETA ili kuhakikisha kuwa vijanawanaoingia Jeshini hasa wale wa kujitolea wanatokana ujuzi fulani wa kazi. Ni muhimu pia kuhakikisha kuwazile fedha zote zinazotengwa kwa ajili ya Mifuko yaVijana na kadhalika zinaelekezwa katika juhudi hizi zaVETA katika kambi za JKT. Vijana hawa wanapomalizawapewe vifaa vya kazi kama mikopo ya gharamanafuu. Hatua hii itaongeza nguvu kazi kubwa katika nchiyetu.

(2) Serikali ihakikishe kuwa ajira zote za Idara zaSerikali na Mashirika ya Umma zinazotokana na masualaya kiuaskari lazima zipite JKT. Iwe ni marufuku mtukuajiriwa Jeshi la Polisi nje ya JKT. Lazima kuondokanana tabia za kupendelea watoto na ndugu wa vigogokatika ajira na kuacha vijana waliopita JKTwakihangaika bila kazi.

(3) Kuanzia mwaka ujao wa fedha, watumishiwote wa Umma ambao hawakupita JKT wawekeweutaratibu wa kupita JKT japo kwa miezi miwili yaani wikinane tu. Walimu na watumishi wa Idara mbalimbali zaSerikali lazima wapite JKT na huko mbeleni sharti la ajiralazima liwe ni kupitia Jeshi la Kujenga Taifa.

Mheshimiwa Spika, suala la udini tunalichezeasana, litaigawa Tanzania kwa kiwango ambacho tutaliana kusaga meno. Ni lazima sasa kufanya uchunguzi waKibunge kuhusu religious tension nchini kwa kupita nchinzima na kuongea na wananchi kuhusu masuala yaudini na kuja na mapendekezo ya namna bora yakuimarisha Umoja wa Taifa letu. Parliamentary Inquiryon Religious Tension in Tanzania ndio naona kamasuluhisho la kudumu la kupata ufumbuzi wa migogoroya kidini nchini Tanzania.

Page 293: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

293

Mheshimiwa Spika, CAG ameonyesha kuwakatika deni la Taifa hivi sasa kuna zaidi ya shilingi 620bilioni hazina maelezo. Hii inawezekana ni deni lauwongo ambalo limewekwa ili kulipa watu fulani fulani.

Napendekeza kuwa deni zima la Taifa lifanyiweUkaguzi Maalumu. Utoroshaji wa fedha kwenda nje yanchi unaofanywa na watu fulani katika nchi yetusehemu kubwa ni malipo ya deni la Taifa, malipo yadeni hewa na wadai hewa. Suala hili ni lazima Serikaliilichukulie kwa umakini mkubwa sana.

Mheshimiwa Spika, naomba maelezo ya Serikalikuhusu mradi wa Umeme wa Mto Malagarasi wa44.3MW. Mradi huu umefikia wapi?

MHE. JOB Y. NDUGAI: Mheshimiwa Spika, naungamkono hoja.

Mheshimiwa Spika, nachangia jambo moja tu.Kwenye Wilaya jirani ya Kiteto, kuna eneo linaloitwaEmborey Flurtangos ambalo vijiji kadhaa vimeamua liweni hifadhi. Jambo hilo ni jema na ni la kuungwa mkono.Hata hivyo, utekelezaji wa jambo hilo umekuwa naathari kubwa zifuatazo:-

Kwanza, Kongwa tumezika na kuzika watuwaliouawa na wafugaji kinyama kwa sababu inaelekealengo la hifadhi hiyo ni ubaguzi wa kikabila tu.

Pili, hifadhi haiwezi kuruhusu kilimo au ufugaji, nchihii ni Ngorongoro peke yake tena kwa majaribio ndioyenye uhalali huo.

Kwa hiyo, endapo eneo hilo ni uhifadhi basiwakulima watoke, wafugaji watoke kwa vile wotewanaharibu mazingira.

Page 294: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

294

Tatu, ziko habari za kuaminika kuna kikundi chaviongozi wa Kiteto/Manyara kugeuza eneo hilo sikuzijazo kuwa ranchi zao binafsi.

Nne, ubaguzi wa kikabila ni mkubwa sana hadiHalmashauri ya Wilaya inachangisha fedha zaidi yashilingi milioni 150 kwa viongozi wa kabila moja dhidi yakabila lingine. Natahadharisha, yanayoweza kutokeahuko miaka ijayo ni maafa makubwa.

MHE. DESDERIUS J. MIPATA: Mheshimiwa Spika,naanza kwa kuunga mkono hotuba ya Waziri Mkuu namchango wangu ni kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, barabara za Halmashauri yaWilaya ya Nkasi hasa zile zinazoenda mwambao mwaZiwa Tanganyika ni barabara muhimu sana lakinizimeshindikana kutokana na uwezo mdogo waHalmashauri ya Wilaya ya Nkasi nazo ni Nkana – KalaKm.67, Kitosi – Wampembe Km.68 na Namanyere –Ninde, Km.47.

Mheshimiwa Spika, barabara zote ziko kwenyeahadi ya Mheshimiwa Rais wakati wa kampeni zamwaka 2010 kuwa zitaboreshwa. Mimi kama Mbungewa eneo hilo, nimejitahidi kuzisemea sana barabara hizina kupata ahadi lakini hazijazaa matunda. Mkoa kupitiaBodi ya Barabara katika vikao vyake na RCC imeombaSerikali kukubali maombi ya kuzichukua barabara hizina zishughulikiwe na Wakala wa Barabara Mkoa badalaya Halmashauri ya Wilaya lakini mpaka sasahatujasikilizwa.

Mheshimiwa Spika, Waziri Mkuu anazifahamubarabara zote ziendazo mwambao mwa ZiwaTanganyika zilivyo ngumu sana kuweza kushughulikiwana Halmashauri ya Wilaya. Mimi Mbunge wa eneo hili

Page 295: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

295

nimemwona na pia nimemwandikia barua kuwasilishamaombi ya kuomba barabara hizi fedha yakuzishughulikia lakini mpaka sasa sijafanikiwa.

Mheshimiwa Spika, najua jinsi alivyo namajukumu mengi sana lakini wananchi wa Kata yaWampembe wanaona Waziri Mkuu ndio msaada namafanikio yao. Pia aliwaahidi kuwatembelea naombaatimize ahadi hiyo maana itakuwa ni neema za uongoziwa kitaifa. Vilevile itakuwa njia nyingine ya kuelewaeneo hili na sio tu kusikia kutoka kwa wasaidizi wakewanaokwamisha kutekelezwa kwa ahadi zaMheshimiwa Rais.

Mheshimiwa Spika, mtandao wa simu. Eneozinapokwenda barabara hizi tatu hakuna kabisamawasiliano ya simu mfano Kata ya Kala, Kata yaWampembe na Kata ya Ninde. Kata zote hizi hazijapatamawasiliano wala barabara za uhakika.

Naomba Serikali kulivalia njuga suala lamawasiliano ya simu za mkononi katika eneo hili ambalolina changamoto mbalimbali ikiwemo tishio lakiusalama. Natambua jitihada za Wizara inayohusikalakini nina wasiwasi kuwaachia wawekezaji pekee bilaSerikali yenyewe kuona namna ya kuwafikishiawananchi mawasiliano tunaweza kukwama kufikiamalengo.

Mheshimiwa Spika, maji. Katika Jimbo la NkasiKusini kuna tatizo la maji. Miradi ya Benki ya Duniaimekwamia wapi? Maeneo yafuatayo yanatekelezamiradi hiyo lakini hatuoni matunda mfano mradi wa majiChala Mji Mdogo na mradi wa maji Kisura kijijini.Namwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu afuatilie miradihii maana Serikali inaonekana kuwaahidi wananchiahadi hewa.

Page 296: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

296

Mheshimiwa Spika, kilimo. Nkasi ni mzalishaji mzuriwa nafaka ya mahindi ikishika nafasi ya kwanza. Mwaka2011/2012 tulipata mbolea vizuri na mavunoyaliongezeka lakini mwaka 2012/2013 hali yakusambaza pembejeo ilikuwa mbaya sana na kwambaWilaya ilipata kwa asilimia 30% tu ya mahitaji. Sasa kwautaratibu wa kuleta pembejeo 30% ya mahitaji,tutasonga mbele kweli? Mwaka huu naomba dosarihiyo isitokee tena.

Mheshimiwa Spika, umeme. Tumepata umememjini Namanyere lakini changamoto il iyopo niusambazaji wake mjini Namanyere na vijijini. NaombaREA wapewe fedha waweze kutekeleza mipango yaomizuri na naomba wapeleke umeme katika vijiji vyaKilangala, Myula, Kalundi, Katani, Chonga, Ntalamilahadi Makao Makuu ya Jimbo - Kate.

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.

SPIKA: Ahsante. Sasa namwita MheshimiwaJanuari Makamba, atafuatiwa na MheshimiwaMajaliwa na Mheshimiwa Mwanri atafuata.

NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NATEKNOLOJIA: Mheshimiwa Spika, nashukuru kwakunipatia fursa na mimi kuchangia hoja hii na kutoanafasi vilevile ya kutoa baadhi ya majibu ya Serikali kwabaadhi hoja ambazo zimechangiwa.

Mheshimiwa Spika, nitajikita kwenye hotubailiyotolewa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani -Mheshimiwa Freeman Mbowe.

Mheshimiwa Spika, utakumbuka kwambamwaka 1991 Watanzania waliulizwa kwamba nchi yetuaidha iingie kwenye Mfumo wa Vyama Vingi au

Page 297: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

297

tuendelee na Mfumo wa Chama Kimoja? Asilimia 80wakasema tunataka tuendelee na Mfumo wa ChamaKimoja, asilimia 20 wakasema tuingie kwenye Mfumowa Vyama Vingi. Sasa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCMiliyokaa kuanzia tarehe 17 - 20 Januari, 1992 ikapitishauamuzi na kuiagiza Serikali ilete marekebisho ya Katibaili nchi yetu iingie kwenye Mfumo wa Vyama Vingi.(Makofi)

Kwa hiyo, cha kukumbuka tu ni kwamba uamuziwa kuingia kwenye ushindani wa kisiasa na uamuziambao umepelekea hata hawa ndugu zetu wawepohumu, umefanywa na Chama cha Mapinduzi. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, msingi wa uamuzi ule nikwamba nchi yetu itanufaika kwa kupata fikra namawazo mbadala na michango mbalimbali kuhusumaendeleo ya Taifa letu. Ndiyo ilikuwa fikra kwa wakatiule. Mahali kwa kupata fikra hizo, mchango huo na serahizo baada ya uchaguzi, ni Bungeni. Hapa Bungeni njiani kupitia kwenye hotuba zinazotolewa na hawawenzetu.

Sasa tumesikia hotuba ya Mheshimiwa WaziriMkuu ambayo imesheheni mambo ya msingiyanayohusu maendeleo ya Taifa letu; elimu, afya, maji,barabara, umeme, maafa, mazingira na kila kitu.

Mheshimiwa Spika, sasa mimi wakati Kiongozi waKambi ya Upinzani anaanza kuzungumza niliamuakubaki ili nisikilize fikra mbadala kuhusu afya, elimu, maji,barabara, mazingira maafa na kilimo. Ukiitazama hiihotuba ya Kambi ya Upinzani ambayo inajibu hotubaya Mheshimiwa Waziri Mkuu, hakuna mahali hatapamoja kilimo kimetajwa, hakuna maji, hakuna umeme,hakuna barabara, hakuna ajira, hakuna mikopo.(Makofi)

Page 298: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

298

Mheshimiwa Spika, sasa tunapata shida kamakweli dhana ile ya kuingia kwenye Mfumo wa VyamaVingi kupata fikra, falsafa na sera mbadala inatimia kwahotuba za namna hii. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, Baba wa Taifa MwalimuNyerere mwaka 1963 aliandika makala wakati nchi yetusasa inaamua kuingia kwenye chama kimoja alisemapale ambapo mna Vyama Vingi lakini hakuna tofautiza msingi za kisera na kiitikadi, ushindani wa kisiasaunakuwa ni sawasawa na mpira wa miguu.

Mheshimiwa Spika, yote tunayoyaona hapayanayoendelea kutokana na wenzetu kushindwakujipambanua kwa utofauti wa dira na tofauti ya sera,tunachoona hapa kinachoendelea ni sawasawa nampira wa miguu.

Mheshimiwa Spika, dhana ya upinzani wa Vyamasiyo kulalama, siyo kutema cheche, siyo kukebehi nasiyo kukejeli. Ni kutoa dira tofauti. Sasa kwenye hiliwenzetu limewashinda.

Mheshimiwa Spika, ushauri ni kwamba il iwatusaidie na waisaidie nchi yetu, basi wajikite katikamichango yao Bungeni hapa kuwaeleza Watanzaniakwamba vile watakavyofanya tofauti na sisi ni nini?Haitoshi peke yake kusema kipi unapinga. Cha msingikama unataka uongozi wa nchi, vilevile useme ni kipiunasimamia? (Makofi)

Mheshimiwa Spika, umoja wa kitaifa. Kwenyehotuba hii wamesema kwamba CCM ndiyo waasisi wasiasa za udini na CCM ndiyo waasisi wa hii habari yakuchinja. Hakuna tusi kubwa la kuitukana CCM naWatanzania kama kusema kwamba CCM ndiyo waasisiwa siasa za dini. (Makofi)

Page 299: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

299

Mheshimiwa Spika, Umoja wa kitaifa wa nchi hiiumeasisiwa na Chama cha Mapinduzi. Taifa hililimeasisiwa na waasisi wa Chama cha Mapinduzi nalimeasisiwa katika misingi ya umoja. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, sisi viongozi wa Taifa hiliwaliasisi Chama cha Mapinduzi walitaifisha shule za diniili kutuunganisha, waliondoa uchifu ili kutuunganisha,walipigania Kiswahili ili kutuunganisha, walipiganiaUmoja wa Afrika, waliunda Jeshi la Wananchi waTanzania na wakati huo Jeshi hili lilikuwa ni sehemu yaChama cha Mapinduzi. Kulikuwa na Katibu wa Chamawa Jeshi, kulikuwa na Wajumbe wa NEC wa Jeshi,kulikuwa na Makamisaa na kwenye nembo ya Jeshi laWananchi wa Tanzania kuna neno moja tu inaitwaUmoja. Tukaunda jeshi lile tukiwa na dhamira ya kujengaumoja wa Watanzania. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, hakuna chama kinachowezakushinda kwa kutumia dini moja. Tutazame huku tulikokwenye Chama cha Mapinduzi, wako watu wa dinizote, wako watu wa kabila zote na watu wako wa rikazote.

MJUMBE FULANI: Na wa rangi zote.

NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NATEKNOLOJIA: Na watu wa rangi zote. Hatuwezi kuwawaasisi wa siasa za dini na tukawa hivi. UkimwulizaMbunge wa CCM yeyote kwamba kwenye Wabungewa CCM kuna Wakristo wangapi na Waislam wangapi,hakuna anayejua. Kwa sababu ni mambo ambayohatujihangaishi nayo. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, ninawashauriwenzetu kwamba kweli ni chama kichanga lakini katikakauli zao wajielekeze kwenye kutusaidia kujenga umoja

Page 300: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

300

wa kitaifa kwa sababu sisi mchango wetu ni mkubwana tunaamini kwamba wanao watu ambao vilevilewanaweza na wenyewe kusaidia kutoa mchangokatika kujenga umoja wa Taifa na nchi yetu. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, napenda kuwapongezaviongozi wa dini, Maaskofu, Mashehe na Wachungajikwa kuhubiri amani, uvumilivu na utulivu na sisi kamaSerikali tutaendelea kufanya wajibu wetu katikakuhakikisha hayo yanaendelea.

Mheshimiwa Spika, la mwisho, nil ipendakuongelea suala la Katiba. Tumesikia kwenye hotubayao walisema kwamba wamejitoa katika mchakato waKatiba.

Nashangaa sana, tulipitisha Sheria hapa maraya kwanza wakaipinga na wakatoka nje. Bahati nzuriMheshimiwa Rais akawasikiliza na Serikali ikaletamabadiliko ya Sheria hiyo hapa. Katika kuchangia hayomabadiliko na Sheria ambayo tunaitumia mpaka sasa,katika kuchangia mjadala wa yale mabadilikowaliyowasilisha, naomba nisome wasilisho la Kambi hiyo.

(Hapa kengele ililia kuashiria muda waMzungumzaji kwisha)

WABUNGE FULANI: Kha!

NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NATEKNOLOJIA: Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.Kama inawezekana kwa sababu tuna utaratibu wakuazima dakika, kama Waziri mwenzangu anawezakuniazima dakika mbili au tatu nimalizie.

SPIKA: Hakuna. Sijui wenyewe. Anachukuadakika tano za Waziri wa TAMISEMI. (Makofi)

Page 301: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

301

NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NATEKNOLOJIA: Mheshimiwa Spika, nashukuru sana.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, hili ni wasilisho la Kambi yaUpinzani kuhusu Katiba. “Kambi rasmi ya UpinzaniBungeni siyo tu inaunga mkono Muswada waMarekebisho ya Sheria ya Katiba ya 2011, bali pia inatoarai kwa Waheshimiwa Wabunge wote bila kujali thenarrowness of our political affiliations, tuungane naMheshimiwa Rais katika kulipatia Taifa letu kutengenezaKatiba mpya yenye muafaka wa Kitaifa. MheshimiwaSpika, kwa mara ya kwanza naunga mkono hoja hii.”

Mheshimiwa Spika, haya ni maneno yaMheshimiwa Tundu Lissu. Kwa hiyo, Sheria ambayotunaitumia sasa ni Sheria hii ambayo waliiunga mkono,hakuna kilichobadilika. (Makofi)

Sababu ya kujitoa, haipo, labda ni kutafutamgogoro upya. Kule kwa watani zangu Wapare, kwaMheshimiwa Mama Anna Kilango tuna chakula chetukinaitwa pure yaani makande, yanatumia muda mrefusana kuiva, ni masaa manne, matano mpaka sita. Sisitunajenga nyumba pamoja ambayo ni Katiba nawenzetu hawa. Sasa tumetenga pale sufuria la pureambayo ni makande yanaiva baada ya masaa sita,tunajenga nyumba hii Katiba na wenzetu wanasematunataka pure ziive baada ya dakika 10 na zisipoivabaada ya dakika 10 tunajitoa. Ni jambo ambalohaliwezekani. Tuwatendee haki Watanzania ili tupateKatiba mpya na nzuri. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, la mwisho ni mahusiano yetuhumu ndani. Unafahamu kwamba sisi Wabunge humundani tunapendana, tunazikana, tunachangiana nahata kadi za michango ya harusi zinatembea kote huku.

Page 302: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

302

Lakini cha ajabu tunapokuwa hapa tunazungumza,wakati kamera zimewaka tunatukanana,tunashutumiana, lakini tukikutana katika Kamatitunafanya kazi vizuri. Hata kantini kule. Sasa aidha niwanafiki wakati TV zimewaka au ni wanafiki wakati ule.(Makofi)

Maheshimiwa Spika, mahusiano yetu na jinsitunavyo husiana humu ndani tunapeleka taswira kwawatu. Sisi ni viongozi, na wanaotuunga mkonowanapambana huko kwasababu wanatuona sisitunapambana.

Kwa hiyo, tunajenga utamaduni wa siasa ambaosiyo mzuri. Kwa hiyo, ningependa yale mahusianomazuri, mimi nina marafiki zangu wengi humu na walewana marafiki wengi humu, ningependa yalemahusiano mazuri tuliyonayo wakati kamera zimezimwayawepo pia wakati kamera zimewaka ili tujengeutamaduni mzuri wa Taifa letu. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, yapo masuala ya minaraambayo Waheshimiwa Wabunge wameyazungumza,naomba tu nitoe rai kwamba tunarekebisha taratibupale Wizarani ili tufanye kazi hii kwa haraka zaidi.Tumesikia na sisi tuko frustrated sana kuhusu utaratibuule wa World Bank uliopo.

Kwenye matatizo yale yale mnayoyaona kwenyemaji, ya ucheleweshaji, kwa sababu fedha zile ni zaBenki ya Dunia ndiyo matatizo hayo hayo tunayoyapatakwenye masuala ya minara. Tunaamua sasa kuwekautaratibu mpya na ikiwezekana sasa mtusaidie tupatefedha nyingi zaidi sisi wenyewe za kwetu (own source)ili tuweze kulifanya jambo hili kwa haraka na kwa wakatimmoja. (Makofi)

Page 303: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

303

Mheshimiwa Spika, ninapenda kuwahakikishiakuwa ahadi tuliyoitoa kuwa itakapofika 2015, kila mahaliambako hakuna mnara kutakuwa na mawasiliano.Wapo ambao watapata mwaka huu, na wapo ambaowatapata 2014. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja. (Makofi)

SPIKA: Ahsante. Mheshimiwa Majaliwa.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALAZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (ELIMU): MheshimiwaSpika, niko hapa kwa ajili ya kutoa ufafanuzi kwa baadhiya hoja zilizokuwa zinachangiwa na WaheshimiwaWabunge kwenye Sekta ya Elimu chini ya TAMISEMI.Najua maeneo yalikuwa mengi, lakini kwa muda,tumelazimika kuchukua maeneo haya ili kuweza kutoaufafanuzi.

Moja ya maeneo muhimu yaliyowezakuzungumzwa na Waheshimiwa Wabunge wengi ninamna ambavyo TAMISEMI au Serikali inavyoshughulikiastahili za Walimu. Stahili za Walimu zimegawanyika katikamaeneo mengi ikiwemo mishahara. Hili la mishaharalitapata nafasi na Mheshimiwa Waziri wa Nchi Ofisi yaRais (Utumishi) atakapokuja kuonyesha na kwa namnagani Serikali imeweza kufanya mapitio kwa ajili yamishahara ya Watumishi wote wakiwemo Walimu.

Mheshimiwa Spika, lakini katika eneo lamishahara hapa, tatizo tulilonalo sasa ni eneo lamalimbikizo ya Walimu yanatokana na kupanda kwamadaraja na mishahara yao, jambo ambalolinaendelea kuratibiwa na Tume ya Utumishi wa Umma(TSD) pamoja na Halmashauri zetu. Tunakiri kwambatuna tatizo eneo hili, lakini uko utaratibu ambao sasatunataka tuboreshe TSD, na kwenye bajeti ya msimu huu

Page 304: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

304

itaonyesha namna ambavyo TSD itakavyokuwainawezeshwa ili iweze kufanya kazi yake vizuri pamojana Bodi ya Mishahara na Motisha ambayo sasa itafutautaratibu mzuri ambao hautaletea Mtumishi kupandadaraja akachukua muda mrefu kulipwa mshaharawake mpya ili tuwe na malimbikizo kwa muda mfupi.

Eneo lingine ni malipo yasiyokuwa ya mishaharakama kwenye maeneo ya likizo, uhamisho, matibabupamoja na posho za kujikimu, haya yote tumepelekakwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya na sisiTAMISEMI tunapeleka ruzuku. Tunaamini kuwa hazitoshikwasababu tuna idadi kubwa ya Walimu. Lakini piaHalmashauri zenyewe zikiweka bajeti zake na sisitukiweka ile kama top up zimesaidia sana sasakupunguza madai haya ya maeneo ya likizo, matibabu,uhamisho na masomo na sasa kusababisha kupunguakwa migogoro hii.

Mheshimiwa Spika, hali hii tunaendelea kwakuboresha bajeti yetu na lengo kubwa, tunatakatuondoe kwa kiasi kikubwa matatizo yaliyoko kwenyemaeneo haya. Lakini pia liko tatizo ambalo lilikuwalinajitokeza wakati huo kwa Watumishi wanaoendeleana Utumishi kukatika kwa mishahara katikati ya Utumishi.Jambo hili lilijitokeza lakini baada ya kuweka mfumompya wa kulipa mishahara wa LAWSON 8.5 sasa hivihali hiyo tumeweza kuimaliza kwa kiasi kikubwakwasababu kila Halmashauri tumefundisha Watumishiwawili kuhakikisha kuwa wanaweza kuingiza data zaMtumishi anayeondokewa na Mshahara katika yaUtumishi, na hii siyo kwa walimu tu bali kwa ni kwaWatumishi wote ndani ya Serikali za Mitaa.

Mheshimiwa Spika, tatizo kwenye eneo lile lingineni mishahara kwa Walimu wapya. Sasa hivi tumefikawakati mzuri na kama yako malalamiko sasa, basi

Page 305: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

305

Mwalimu yule atakuwa amechelewa kuripoti au ananyaraka tofauti na ambazo haziendani na jina lake,lakini pia tunaendelea kuimarisha mitandao yetu iwezekufanya kazi wakati wote na ili Mtumishi anapoingia tutakwimu zikiingia na mshahara utoke mwishoni mwamwezi.

Mheshimiwa Spika, kwa hali hii sasa kamamnavyoshudia hatuna malalamiko ya Mwalimu mpyaanayeripoti na mshahara wake akashindwa kupatandani ya miezi miwili.

Lakini pia tuna eneo la malipo ya Walimu wapya,nauli na posho zao, eneo hili nalo tumeliimarisha, namwaka huu wa fedha tumetuma Shilingi bilioni 8.1ambazo sasa tunaona maeneo yote Walimuwameripoti, ukimya unaendelea na Walimu haowanaendelea na utumishi wao. Kama yapo ni maeneomachache sana itakuwa au ni kwasababu ya mtandaoambao tumewashauri kwenye Halmashauri waendeHalmashauri nyingine kwasababu mitandao ipo katikaHalmashauri zote nchini.

Eneo la pili ambalo limezungumzwa sana naWaheshimiwa Wabunge katika lugha tofauti niupungufu wa Walimu ambao umejitokeza. Lakinininataka niwaambie Waheshimiwa Wabunge naWatanzania wote kwamba upungufu wa Walimuunaotamkwa hapa siyo kama ulivyo, kwasababu kwasasa hivi Walimu wa Shule za Msingi mahitaji ya nchinzima ni Walimu 2,494,000 na tulionao ni 171,986. Tunaupungufu wa Walimu 28,508, na upande wa Sekondarimahitaji yetu sisi ni Walimu 80,138 na tulionao ni 51,000na mapungufu ni Walimu 28 na hii ni mpaka Desemba,2012. Tumeajiri tena mwaka huu Walimu 26,537tumewapeleka. Kwa hiyo, tumepunguza idadi hiyo.

Page 306: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

306

Tunahitaji ajira mbili tu ili tuweze kupunguza tatizo laupungufu wa Walimu.

Tatizo tulilonalo tunalifanyia kazi ni kwambaWalimu wengi wamelundikwa maeneo ya Miji na kandokando ya barabara. Tumewaagiza Wakurugenzi wotena Maafisa Elimu waende wakapitie ikama zaowaondoe Walimu maeneo yenye mlundikanowawapeleke maeneo ambayo yana upungufu waWalimu. Jambo hili pia tumewataka Makatibu Tawalawa Mikoa waweze kulisimamia ili tuondokane na tatizohili.

Waheshimiwa kwenye eneo hili ambalo pialimezungumzwa ni changamoto ya Walimu wa Sayansi.Ni kweli kuwa tuna upungufu mkubwa wa Walimu waSayansi. Mwaka huu katika ya walimu 2,101 na 2011 tunaWalimu 1,092 tu ambao wamechukua masomo yasayansi Chemistry, Biology na Physics na Mathematics.

Pia tunao mkakati ambao tunaofanya, moja nikwamba tunajenga maabara ambazo tunaendeleakuzijenga, lakini mbili tunanunua mobile laboratory ilibaadaye wanafunzi wetu kule Sekondari wawezekusoma masomo ya sayansi. Ili baadaye wawezekusoma.

Mheshimiwa Spika, lakini pia tumeboresha sasakutoa mikopo kwa wanaodahiliwa kwenda kusomeaUalimu kwenye ngazi ya Vyuo Vikuu. Tunaamini idadihii ikiendelea kuwa ya kutosha tutapata Walimu wengiwa Sayansi, lakini pia sasa na huku tutatafuta utaratibumzuri wa kutoa motisha ya Walimu hawa wa masomoya Sayansi ili kulifanya somo hili liweze kuwa endelevu.

Mheshimiwa Spika, eneo lingine ambalolilijitokeza ni upungufu wa miundombinu kwenyemaeneo ya madarasa, nyumba, madawati na vyoo.

Page 307: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

307

Tumeweza sasa kuongeza kiasi cha fedha,kwenye madarasa mwaka uliopita tulituma Shilingibilioni 1.5, kwenye nyumba tuliongeza Shilingi bilioni 3.5ili kuweza kujenga miundombinu hii kwenye maeneohaya.

Tunachofanya sasa ni kwamba tunaendelea namkakati wetu ule wa kuzifanya shule kuwa functionalschools zile 264 ambazo tayari ujenzi umeshaanza katikakila Halmashauri nchini na Waheshimiwa Wabungemkienda kufuatilia mtakuta kazi imeshaanza.

Tumesisitiza pia ujenzi wa shule hizi mpya, sasahivi tumesitisha ujenzi wa shule mpya mpaka zile zazamani ziwe improved kwanza ili tuweze kuendeleabadala ya kuwa na shule nyingine mpya ambazohazitakuwa na uwezo wa namna hii.

Kwenye maeneo ya madawati na vitabumnatambua kabisa Waheshimiwa Wabunge kuwa tunafedha ile ya rada ambayo sasa tulitenga zaidi ya Shilingibilioni 55.2 kwa ajili ya ununuzi wa vitabu na Shilingi bilioni18.4 kwa ajil i ya madawati ambayo fedha hizitutazituma kwenye Halmashauri zote. Kwa hiyo,tunaamini zikichangia kwenye jitihada za Halmashaurizenyewe hatutakuwa na upungufu mkubwa wamadawati.

Mheshimiwa Spika, lakini pia Halmashauri kwakuwa mnayo misitu na mnaye pia Mwenyekiti wa Kamatiya uvunaji ambaye ni Mkuu wa Wilaya, andaenimipango ya kupata madawati kupitia misitu tuliyonayo,badala ya kukaa na tuna upungufu lakini tuna nafasiya kuimarisha kwenye eneo hilo.

Mheshimiwa Spika, kulikuwa na eneo ambaloWaheshimiwa Wabunge walizungumzia shule zile

Page 308: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

308

ambazo tulizipa hadhi ya Kidato cha Tano tukaondoaO’ Level, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) tumewaandikiaMakatibu Tawala barua kuwa shule zile wazifanyiemapitio na wapeleke sasa O’ Level ili miundombinuiliyobaki ambayo haifanyi kazi iweze kufanya kazi.

Tunaamini sasa uteuzi wa mwaka 2014, shule hizozitakuwa na watu tayari. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kulikuwa na suala la uvamiziwa maeneo ya shule, msimamo wetu bado uko palepale kwamba shule zote maeneo yake yaimarishwe nahaturuhusu kuwa na maduka wala vibanda au nyumbaza wageni na vitu vingine. Yabaki kuwa ni maeneo yataaluma.

Naomba tusimamie kuwa maeneo yote ya shuleyote yabaki kuwa ni ya taaluma ili pia elimu itolewe nakwa hiyo, hatutegemei tena kama kutakuwa na uvamiziwa maeneo haya.

Kulikuwa na watoto wanaozurura Mitaani nakuwa Serikali imejipangaje. Ni kweli kabisa kuwa tunaidadi ya vijana ambao wamemaliza Darasa la Saba, niwachache wanaokwenda Sekondari na wale wenginewanaobaki tumeaandaa utaratibu wa kuwapelekakwenye Shule za Ufundi ambazo tunazo.

Zipo Halmashauri ambazo zimefanya jitihadazake kuwa na Shule zake za Ufundi. Lakini pia tuna Vyuovya Maendeleo ya Jamii chini ya Wizara ya Maendeleo,Jinsia na Watoto ambayo nayo ina Vyuo. Sehemu hizozote tunapeleka vijana wetu. Lakini Wizara ya Elimu piaimeboresha ujenzi wa VETA nchini kote na sasa hiviwameshafikia ngazi ya Mkoa. Kwa hiyo, tuna VETAnyingi, vijana wetu ambao wanashindwa kuendelea naForm One kwenye Sekondari sasa tunawezakuwapeleka pia kwenye Vyuo vya VETA.

Page 309: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

309

Mheshimiwa Spika, nami naunga mkono hoja.Ahsante sana. (Makofi)

SPIKA: Ahsante. Mheshimiwa Mwanri kwa mujibuwa Kanuni inayonipa ruhusa kuongeza dakika,nitaongeza naye amalize na dakika kumi. MheshimiwaMwanri.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALAZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (TAMISEMI):Mheshimiwa Spika, jana Mheshimiwa Kapteni Kombaalipokuwa anazungumza hapa alim-quote Mao Tse-tung na Mimi ninataka niendeleze palepale alipokuwaanasimulia kitabu kile, alisema maneno yafuatayo:-

“Tatua tatizo la msingi kwanza na matatizomengine yote yanaondoka.” Anasema, resolve theprimary contradiction first, the secondary oneszinaondoka automatically. (Makofi)

Mabepari wanajua mgongano ulikuwa ni kati yalabour na capital. Katika nchi zetu changa kama hizitulizonazo mgongano ni kati ya nguvu kazi na kiwangocha vitendea kazi. Ukitatua tatizo la msingi katika nchiyetu la uchumi, maana yake ni kwamba unawezakubeba majukumu yote ambayo tumeyazungumzahapa ndani. Lakini kama tatizo la uchumi hatujalitatua,na Mungu aliyeko juu Mbinguni anatusikia.

Serikali hii ya Chama cha Mapinduzi, moja yamatatizo ambayo imekuwa ina-address ni kuondokanana tatizo hil i la Miundombinu ambalo watuwanashindwa kupita, watu wanashindwa kusafirishamazao.

Hili jambo Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania tumemwona akipanda na kuteremkakuhakikisha kwamba barabara zetu zinapitika,

Page 310: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

310

kuhakikisha kwamba sasa bandari zetu zinafanya kazina hili jambo wanaweza wakabisha jambo lolote lakinijitihada zinazofanyika pale, hakuna anayeweza kujibu.(Makofi)

Max alimalizia kwa kusema hivi “always theeconomic base determine the super structure.” Yotetunayosema hapa juu, kama hatujajenga uwezo wakiuchumi hapa chini, patakataa. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, baada ya kusema manenohayo, yamesemwa hapa habari ya mapato yaHalmashauri. Mheshimiwa Waziri wangu wa nchiatakapokuja hapa ataeleza kwa zaidi na kwa undani.Lakini moja ya jambo ambalo Waheshimiwa Wabungewamelisemea kwa nguvu kubwa, kwanza ni taarifa yamapato na matumizi katika Halmashauri zetu na katikaVijiji vyetu.

Mheshimiwa Spika, tunasimama hapa kwa niabaya Mheshimiwa Waziri Mkuu na tunasema tena, nikinyume cha utaratibu na ni kinyume cha Sheria,Mwenyekiti pamoja na Mtendaji wake wa Kijiji kukataakutoa Taarifa ya Mapato na Matumizi katika kijijikinachohusika. Hilo la kwanza. Yaani pale miezi mitatuikipita ni lazima aweke pale katika Mkutano Mkuu. Sasani jukumu letu Waheshimiwa Wabunge kuhakikishakwamba Mkutano huu unapoitishwa nao unatakiwauwe na 2/3 ya wanakijiji walioko pale.

Pili, imezungumzwa hapa habari ya WakurugenziWatendaji ambao wanapokea hela wananyamazakimya. Hela za Local Government Capital DevelopmentGrant, hawasemi kwamba wamepokea Shilingi ngapi?Utaratibu unamtaka Mkurugenzi Mtendaji a-pin on theboard, aweke pale ukutani na watu wote wajuekwamba hela zilizokuja kwa ajili ya elimu ni kiasi kadhaa,

Page 311: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

311

hela zilizokuja kwa ajili ya maji ni kiasi kadhaa. Hiiitasaidia katika transparency.

Tatu, Waheshimiwa Wabunge, mkiingia katikavikao vya Halmashauri, kila baada ya miezi mitatuMkaguzi wa Ndani anatoa taarifa na Mkaguzi huyuCAG Controller and Auditor General, anapokuja katikaHalmashauri cha kwanza anachodai ni Taarifa yaMkaguzi ya Ndani ndipo anapoanzia. Kwa hiyo,mwende nayo, hiyo mwijue kabisa, hiyo ndiyo yakwanza.

Mheshimiwa Spika, Taarifa ya Mkaguzi wa Ndaniinakusaidia kuangalia mwenendo mzima wa mapatona matumizi ya Halmashauri. Ile ya CAG inafanyapostmoterm kama hela zimeliwa, zimeshaondoka. Hiiya Mkaguzi wa Ndani ambayo tumeimarisha sasa hivina sasa hivi Mkaguzi wa Ndani, wala yule wa paleHalmashauri hawajibiki kwa Mkurugenzi Mtendaji,anawajibika moja kwa moja kwa Mkaguzi yule wa Taifa.Kwa hiyo, ana nafasi nzuri ya kumchongea huyuMkurugenzi wake hapa. Huu utaratibu tukiutimia vizuri,utatusaidia.

Pil i, namna ya kuondoa viongozi katikamadaraka. Mwenyekiti wa Kijiji, wanakuja watu hapawanasema sisi Mwenyekiti huyu hatumtaki. Sharti fupitu linalosemwa pale, mwite Mkuu wa Wilaya awepokwenye Kikao hicho.

Katika mazingira haya tuliyonayo ya sasa yasiasa, mmemwingiza Mwenyekiti pale, wenginewanaweza kutoka upande wa pili wakatengenezamazingira pale wakamchomoa. Lakini mtu pekeeambaye anaweza kusimamia na kudhibiti pale nakuona Sheria na Taratibu zimefuatwa, ni Mkuu waWilaya.

Page 312: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

312

(Hapa kengele ililia kuashiria muda waMzungumzaji kwisha)

SPIKA: Endelea.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALAZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (TAMISEMI):Mheshimiwa Spika, tuhuma zote ni lazima zijitokeze pale.Wakizungumza pale, ni lazima waseme wewetunakutuhumu kwa hiki, uliiba hela za Kijiji, umechukuahela za korosho, umechukua nini, unaeleza yote,unaorodhesha.

Hamtoki tu pale mkasema ondoka, halafuasubuhi mnasema, tunakata, haki zetu, tunaonewa!Ondoka! Haiwezekani hivyo! Hiyo unaweza kuifanyahuko kwenye Kijiwe, lakini ikishakuja kwenye utaratibuhapa inakuwa ni ngumu kidogo. Kwa hiyo, utaratibu nihuo.

Mheshimiwa Spika, sasa kama una matatizo, basituseme wote hapa kwamba utaratibu huo unaonekananao una matatizo. Pili, wale wanaokwenda kukaalazima iwe ni theluthi mbili. Wakienda wachache pale,wakamtoa kikundi cha watu hivi, halafu wakasemakwamba tumemwondoa, bado hiyo nayo itakuwa nibatili.

La tatu, ni kuhusu ajira. Tulichosema hapa,utaratibu huu wa Sekretarieti ya Ajira iliyoko katika Ofisiya Rais hauwaondolei Halmashauri haki yao ile ya kuajiriisipokuwa yafuatayo yanatekelezwa:-

Kwanza, huwezi kuajiri tu hivi hivi, maana ukiajiritu hivi hivi itafumka kule kwenye Halmashauri. Kwa hiyo,anayetangaza kwamba kuna ajira, tunamtaka Fundi

Page 313: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

313

Mchundo, tunamtaka Daktari, tunamtaka mtu fulani nihiyo Sekretarieti ya Ajira.

Anayefanya interview kwasababu hatacapacity ya Halmashauri ukitaka watu wa Halmashauri,ile Tume yao ya Ajira pale ikutafutie Daktari Mkuu,Mganga Mkuu unataka kumpata pale Siha,unawaambia kaeni mtafute, hawana hiyo mechanism.Lazima itoke kule! Lakini akishatoka pale akapitakwenye interview, atakayetoa barua ya ajira, ataletaMama Kombani mpaka pale kwenye Halmashauri,Halmashauri ndiyo itatoa hiyo barua kusema kwambahuyu ameajiriwa.

La mwisho, kuna hawa ambao wanazungumzahabari ya kada ya chini; walinzi, wapishi, Watendajiwetu wa Kata na Vijiji kule.

Mheshimiwa Spika, i l i letwa hapa underMiscellenious Arrangement tukaambiwa kuwahalikufuata taratibu likarudishwa. Liko hapa Mkuuwangu unafahamu kabisa, jambo hilo sisi tulishamaliza,kwasababu hii hoja tumeshaipokea. Lilipokuja hapalikaambiwa kuwa halikufuata taratibu ndiyotukakwama.

Mimi ninachojua, tulipokwenda katika katikaCouncils zilivyokutana, Association of Local Authoritiesof Tanzania Dar es Salaam, alikuja Makamu wa Rais kwaniaba ya Rais kusema kwamba Serikali imekubali jambohili. Sasa waliondoka kwa Sheria, hawawezi wakaachakurudishwa kwa Sheria. Kwa hiyo, kinacholeta tatizohapa nina uhakika kwamba kitawekwa katika mpangona tutakuwa tumeondokana nalo.

Mheshimiwa Spika, Hospitali ya Tumbi. Hospitaliya Tumbi ni muhimu na sisi sote tunafahamu. Accident

Page 314: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

314

zote zinazotokea katika Taifa hili ni pale Tumbi ndipotulipoponea. Pale Tumbi! Tumbi ile Sheria yakehaijabadilika, tumei-consider kwamba ni Hospitali Teule.

Katika bajeti zetu zote tumekuwa tukipelekafedha pale. Imezungumzwa habari ya Mochwari palena zile nyingine.

Katika Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI zimetengwaShilingi milioni 300 na katika bajeti hii mkiangalia kitabucha maendeleo zimetengwa Shilingi milioni 500, ninajuani kidogo, lakini kuna kazi ambayo imefanyika pale,bado tunaendelea kufanya kazi hiyo kuhakikisha kuwahela nyingi zinakwenda pale kwa ajili ya kuisadia Tumbi.

Mfuko wa Vijana 5%, maneno yanayosemwakatika Halmashauri tumeyakataa kwa niaba yaMheshimiwa Waziri Mkuu.

Tumesema 5% ya own source, no matter howsmall the amount is, kwa hiyo, tukienda kwenyeHalmashauri na sasa hivi nikipita wakati ninapotumwana Mheshimiwa Waziri wa Nchi na Mheshimiwa WaziriMkuu, nikienda katika Halmashauri nikakutahawakutenga hela hizo, hata wenzetu wa hapaBungeni, wakienda pale anapigwa tozo yuleMkurugenzi Mtendaji. Tunampiga tozo, kwa ninihukutenga 5% kwa ajili ya akina Mama na 5% kwa ajiliya vijana. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, sauti ikipanda hii mamayangu niwie radhi, ni msisitizo tu hapa, wala siyokwamba nataka kufanya fujo. Ndiyo! (Kicheko/Makofi)

Kwa hiyo, hatutasikiliza tena ngonjera hapatunaambiwa kwamba unajua tena hela zilikuwa nikidogo, 5% ya hizo kidogo yaani hizo kidogo ulizopata

Page 315: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

315

hapo. Tumesema tutakuwa wakali kweli, na Wabungemtusaidie kuwa wakali. Hakuna cha kusema hela nikidogo, 5% haikupatikana.

Pia kuna hela zinazotoka Maendeleo ya Jamii,wako hapa na Waziri anisikia hapa. Tatizo tulilolipatakule ni kwamba hela zile kishakwenda kule zinatakiwakuwa katika revolving fund, kwa hiyo, unatakiwauhakikishe zile hela zinazunguka mzunguko.Hazirudishwi! Zikienda kule zimekwenda moja kwa moja.Nazo tumesema tutawachukulia hatua walewanaohusika.

Mheshimiwa Spika, imezungumzwa habari yaposho ya Wenyeviti wa Vijiji wame-quote na hotubaambazo ametoa Mkuu kwa maana ya MheshimiwaWaziri Mkuu.

Mheshimiwa Spika, ni kweli! Mimi natakanikukubalie kwamba ni kweli. Lakini hela hizi tulisemakwamba hazikutengwa kwa maana hiitunayozungumza. Tukasema hela hapa kuna kitukinachoitwa compensation.

Mheshimiwa Spika, hela zile ambazo tulisemazuia vitumbua visiokotwe, samaki wasiokotwe; hakikishaakina mama, maandazi yale ya kukaanga na ninimsitoze. Halmashauri zote zilizoko hapa tunawapelekeakitu kinachoitwa fidia. 20% tumesema rudisha kule kwaajili ya kujenga uwezo.

Ile hela ambayo inarudi kule kwenye kijiji nakwenye Mtaa 20% kwa ajili ya vifaa na kuendesha Ofisini pamoja na posho ya Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji.

Mheshimiwa Spika, najua kosoa itakayoletwahapa ni kidogo mno, ndiyo maana kwenye hotubatunasema kwamba nalo hili tujaribu kuliangalia.

Page 316: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

316

Kwa hiyo, tunawaomba Waheshimiwa Wabungemnapokwenda katika Halmashauri, mtusaidie kufuatiliahizi hela, hazijitokezi kama zile zinazojitokeza helazilizokwenda kwa Madiwani. Hapa kuna hela zinazoitwaGeneral Purpose Grant zilikuwa hazitoki.

Mwaka huu zipo hizi zote ndizo zinazosaidiakwenda ku-caution up katika haya maeneo. Kwa hiyo,tunawaomba Wabunge mtusaidie twende mbele.

Mwisho, mimi ni Mtanzania na hawa wotewalioko hapa ni Watanzania wenzangu. Mfalme aliwahikuandaa chakula, akasema mle na kila mtu alikuja nakijiko lakini kirefu kama hii kawa iliyoko hapa. Watuwakaambiwa anzeni kula, wakala wakashindwakwasababu kijiko principle siyo ushike mbele lazimaushike huku nyuma. Wakajaribu kula ikashindikana kwakuwa kijiko ni kirefu hakifiki. Baadaye akawaambia vipimbona vyakula vimeandaliwa? Hapa watu wanaita hiini sungura.

Hii siyo sungura, ni ng’ombe. Shilingi trilioni nnena point zimeletwa hapa.

Mheshimiwa Spika, akaja mjanja mmojaakawaambia sikilizeni mkitaka kula hicho chakula, kilammoja amnyooshee mwenzake alimshe mwenzake.Ndani humu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania kama hatutashirikiana, Wabunge wenzangukama tutaondoa misingi ya Kitaifa ya upendo namshikamano tuliojenga katika Taifa letu, hii kazitunayofanya hapa itakuwa ni bure.

Page 317: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

317

Mheshimiwa Spika, zitajengwa barabara hapawatu watakwenda kuzivunja, zitajengwa reli hapa watuwatakwenda kuvunja; Shule za Sekondari zitajengwahapa watu watakwenda kuvunja.

Mheshimiwa Spika, amani na utulivu katika Taifaletu ni kitu cha msingi. Lolote tunalolisema humu ndanini lazima libebe wajibu kwa wananchi wa Tanzania nanchi yetu ya Tanzania na Afrika kwa ujumla.Ninashukuru. (Makofi)

MWONGOZO

MBUNGE FULANI: Mwongozo wa Spika!

SPIKA: Mwongozo kuhusu nini? Kuhusu hotubahii? Utanimbia baadaye.

Waheshimiwa Wabunge, nasitisha shughulizaBunge mpaka hapo saa kumi na moja jioni.

(Saa 7.05 Mchana Bunge liliaahirishwampaka Saa 11.00 Jioni)

Page 318: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

318

16 APRILI, 2013

(Saa 11.00 jioni Bunge lilirudia)

SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla ya kusitishashughuli za Bunge asubuhi tulikuwa tumeanza kuwaitaManaibu Mawaziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI kujaribukujibu baadhi ya hoja. Sasa utaratibu tutakaoutumia nikwamba, mtoa hoja tutampa dakika 50 ambaye ni WaziriMkuu; Mawaziri hasa Waziri wa TAMISEMI, kwa sababu alitoahotuba mwenyewe, tunampa dakika 20; Mawaziri wawiliwengine; Uwekezaji dakika 10 na Waziri wa Nchi, Sera, Uratibuna Bunge dakika 10.

Waheshimiwa Wabunge, kwa hiyo, tutaanza na Waziriwa TAMISEMI i l i kusudi aungane na Naibu Wazirialiyezungumza. Waziri wa Nchi, TAMISEMI.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): Mheshimiwa Spika,napenda nikushukuru na mimi kupata fursa ya kuchangiahoja ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa kutoa ufafanuzi kamaifuatavyo:-

Mheshimiwa Spika, suala ambalo limezungumzwasana na Waheshimiwa Wabunge wengi ni kwamba,wananchi wasiadhibiwe kutokana na uzembe wa Watendajihasa katika Halmashauri ambazo zinapata hati chafu.

Mheshimiwa Spika, siyo nia ya Serikali kuwaadhibuwananchi kutokana na upungufu wa kiutendaji kwenyeHalmashauri. Vigezo vya kupata ruzuku vinazingatia ushirikiwa wananchi katika kusimamia shughuli za maendeleo yaokupitia wawakilishi wao. Ni jukumu la Halmashauri ikiwa namaana pamoja na Baraza la Madiwani kuwachukulia hatuaWatumishi wanaothibitika kuwa wazembe au wabadhirifu.Kwa hiyo, tunafanya hivyo kwa nia nzuri na matundayameonekana baada ya kuupitisha utaratibu huu.

Mheshimiwa Spika, hati chafu zimepungua na taarifaya mwisho ambayo CAG ameitoa, hakuna Halmashauri

Page 319: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

319

16 APRILI, 2013

il iyopata Hati Chafu ukiacha Mbarali ambayo CAGameshindwa kutoa maoni yake kutokana na kutokupataushirikiano wa kutosha kutoka Mbarali.

Mheshimiwa Spika, hata hivyo, upo ushahidi ambaounaonesha kwa namna moja au nyingine katika maeneomengine watendaji wanashirikiana na WaheshimiwaMadiwani katika kuharibu au katika matumizi mabaya yaHalmashauri. Maeneo mengine baadhi ya WaheshimiwaMadiwani wenyewe ni Wakandarasi ambao wanatekelezamiradi iliyo chini ya kiwango. Kwa hiyo, inakuwa ni vigumumtendaji kumsimamia mwajiri wake pale ambapo na yeyeanajiingiza katika kupata tenda za Halmashauri. Kwa hiyo,Serikali imefanya hivyo kwa nia nzuri.

Mheshimiwa Spika, ukichukulia suala mfano laMbarali, tayari hatua kwa Watendaji zimechukuliwa, MwekaHazina amefukuzwa kazi, Afisa Mipango amepewa onyo,Mkurugenzi ambaye amestaafu tayari suala lake lipoTAKUKURU na hatua zinachukuliwa kuhakikisha kwambaanafikishwa Mahakamani.

Mheshimiwa Spika, pia imegundulika kuwa kunaWatumishi wengine ambao walihusika na hawakubainikapale awali lakini mchakato wa kinidhamu sasa hiviunaendelea na Watumishi wengine ambao baada yakwenda kiundani zaidi, kuzamia na kufuatilia, Mkaguzi waNdani wa Mbarari naye pia amesimamishwa kazi, Watendajiwa Kata watatu, nao mchakato wao wa nidhamu pamojana Mtakwimu unaendelea.

Mheshimiwa Spika, kadhalika Mbarali imegundulikakuhusika kwa Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Ubarukuambaye pia suala lake limefikishwa Polisi kwa uchunguzi. Kwahiyo, tunafanya hivyo kwa nia nzuri, tukiamini kwamba,Waheshimiwa Madiwani wamechaguliwa na wananchi iliwawasaidie kusimamia mali zao pale Halmashauri. SasaWaheshimiwa Madiwani nao wanapojiingiza,wanasababisha ubadhirifu.

Page 320: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

320

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, hatuonei, wananchiwanawajibika, Madiwani wanawajibika ikiwa ni pamoja nasisi Wabunge ambao pia ni Madiwani, tunapaswa kusimamiaHalmashauri na pale Mtendaji anapohusika tumchukuliehatua kwa sababu ukiacha Mkurugenzi wengine wote paleBaraza la Madiwani linao uwezo wa kuwafukuza kazi, kuwapaonyo na hata kuwasimamisha kazi.

Mheshimiwa Spika, suala lingine ambalolimezungumzwa sana hapa ni suala la Mkoa wa Dar esSalaam kwamba, una idadi kubwa sana lakini Wilaya ni tatutu na hivyo kuomba kwamba ikiwezekana Mkoa ugawanyweau Wilaya ziongezeke.

Mheshimiwa Spika, pia lipo suala la Mbunge wa Kilwaambaye amelalamika kwamba, Wilaya yake imeanza mudamrefu kuliko hata Wilaya zingine ambazo zimegawanywa.

Mheshimiwa Spika, suala la kugawanywa iwe Kijiji,Kata, Wilaya hata Mkoa ni lazima lianzie kwa wananchiwenyewe. Kwa hiyo, tunawaomba wenzetu wa Mkoa waDar es Salaam na Wilaya ya Kilwa waanzishe mchakato wakugawanya, pamoja na kukidhi vigezo, lakini pia ridhaa yawananchi inahitajika na tunaipata pale tunapopata taarifaza vikao halali ambavyo vimeomba kugawanywa.

Mheshimiwa Spika, suala lingine ambalo limejadiliwa,ni upungufu wa Watumishi katika Halmashauri pamoja nataasisi zingine ambao unasababisha kuwepo na kukaimu.Suala la kupeleka Watumishi katika Halmashauri zetu hasaAfya na Elimu, kwa kweli tunalitilia mkazo. Watumishi wa Kadaza Afya na Elimu wanapomaliza tu wanapangiwa kazi bilahata kufanyiwa usaili na pale kibali kinapotoka, Ofisi ya RaisMenejimenti ya Utumishi wa Umma, basi Sekretariati ya Ajirana yenyewe inafanya mchakato na kujaza nafasi hizo.

Mheshimiwa Spika, kwa wale wanaokaimu Idara sisuala la Ofisi ya Rais, Utumishi wala siyo suala la Sekretariatiya Ajira, tuziombe tu taasisi ambazo Watumishi wake wana

Page 321: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

321

16 APRILI, 2013

sifa na wanakaimu basi watuletee, wenyewe kwanza wateuena wafuate utaratibu il i kuhakikisha kwambawanathibitishwa.

Mheshimiwa Spika, utamaduni wa kuwawajibishaWatendaji wanaofuja fedha za Halmashauri, nadhanikwenye hotuba nimeelezea hatua tunazozichukua kwaWatumishi ambao si waaminifu. Pale inapobainika kwamba,tumemhamisha Mtumishi ambaye kwa kweli alifanya makosakatika eneo lake na ikithibitika ama ikionekana kwambahawezi kuchukuliwa hatua lazima arejeshwe, huwatunafanya hivyo mara moja.

Mheshimiwa Spika, lipo suala ambalo lilipendekezwana Kamati ya TAMISEMI kwamba, iundwe task forceitakayoshughulikia ajira katika sekta ya afya pamoja nakuwajengea mazingira mazuri ya kazi. Suala hil ilinashughulikiwa kupitia mpango wa MMAM. Lakini pia tunaoutaratibu wa Wizara ya Afya, TAMISEMI pamoja na Ofisi yaRais, Utumishi kukutana na kutatua matatizo ambayoyanajitokeza katika sekta zetu ambayo yanatuhitaji kwapamoja tuweze kufanyia kazi.

Mheshimiwa Spika, pia l ipo suala ambalolimezungumzwa sana hasa upande wa pili, kwamba Wakuuwa Mikoa na Wakuu wa Wilaya hakuna sababu yeyote yakuwepo katika mfumo au muundo wa Serikali.

Mheshimiwa Spika, Serikali ya Chama cha Mapinduziimeona umuhimu mkubwa sana wa kuwa na Wakuu waMikoa na Wakuu wa Wilaya na huo ndiyo utaratibu wakugatua madaraka. Rais kwa madaraka aliyonayoamegatua mengine kwa Waziri Mkuu, kwa Makamu wa Rais,kwa Mawaziri na mengine yamegatuliwa kwa Wakuu waMikoa na Wakuu wa Wilaya. Sasa kwa kuwa sisi ndiyotunaotawala, basi sisi ndiyo wenye kuchagua ni muundo upitunaoutaka ili tuende nao. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, sasa wenzetu kama itatokeaMwenyezi Mungu akiwajalia, basi hayo mapendekezo yenu

Page 322: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

322

16 APRILI, 2013

nadhani mtayatekeleza, lakini kwa sisi huu ndiyo muundoambao tunauona unafaa na unasaidia, kwa sababu Raishawezi kuwa katika kila Kijiji, kila Mkoa na kila Wilaya. Kwahiyo, anakuwepo kupitia Wakuu wa Mikoa na Wakuu waWilaya na wengine waliopo katika hizo ngazi za huko chini.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, pia lipo suala limezungumzwakwamba, sera ya ugatuaji wa madaraka imeshindwakutokana na Serikali Kuu kuingilia Serikali za Mitaa, ajirahufanywa na Serikali Kuu, hivyo Serikali za Mitaa hushindwakuchukua hatua za kinidhamu.

Mheshimiwa Spika, Sekretariati ya Ajira inachofanyani mchakato tu wa ajira, lakini mchakato ule ukishakwishamamlaka ya ajira kwa maana ya nidhamu, upandishwaji waVyeo na mengine yote yanakwenda kwa Mwajiri husika natumefanya hivyo kwa manufaa, kwa sababu zipo Wizarawatu walikuwa wanatengeneza succession plan za makabilana tunazijua. Tumefanya hivyo kuondokana na utaratibu huo.

Mheshimiwa Spika, lakini pia yapo maeneo ambayohayawavutii Watumishi, ilikuwa siyo rahisi ukishindanisha namaeneo mengine kuwapata watumishi katika maeneo hayo,lakini kwa masuala ya kada za chini ilishazungumzwakwamba sheria ikirekebishwa tu hapa, kada zile za chiniHalmashauri zitaachiwa, lakini kada zile za juu kwa kweli badoutaratibu uliopo ni mzuri na tunaona unafaa kwa ajili ya kuwana utumishi wa Kitaifa na siyo ule wa kikoo, kikabila au wakidini katika baadhi ya sekta.

Mheshimiwa Spika, pia limezungumzwa suala laukosefu wa mfumo wa ukusanyaji wa mapato ya Halmashauriunaosababisha udanganyifu. Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI,Hazina na wadau wengine wanafanya tathmini yakuhakikisha kwamba kwanza mifumo ipo, lakini pia tunafanyatathmini ya kuhakikisha kwamba tunaiboresha zaidi mifumoiliyopo.

Mheshimiwa Spika, sasa hivi kupitia mradi wa TSCP,

Page 323: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

323

16 APRILI, 2013

ULGSP, GIZ-SULGO zote zinafanya uchunguzi wa kina kwakuhakikisha kila Halmashauri tunafahamu vyanzo vilivyopo nakuweka mfumo ambao utasaidia kukusanya mapato nakufunga mifumo ukiwemo pamoja na e-Tax kuhakikishakwamba kodi zote zinazopaswa kukusanywa, zinafika katikaMifuko ya Halmashauri.

Mheshimiwa Spika, Serikali pia imeshauriwa itoeWaraka kwa Halmashauri zote nchini juu ya ukusanyaji wamapato kutokana na ushuru wa huduma kwa mujibu washeria. Ushauri huo umezingatia na Waraka utaandikwa.

Mheshimiwa Spika, pia imezungumzwa kwamba,Serikali iandae mfumo thabiti wa ufuatiliaji wa utekelezaji wamiradi ya maendeleo katika Mikoa na Halmashauri. Mifumotunayo, upo mfumo wa PLAN REP, LGMD, EPICOR na sasahivi kimeanzishwa chombo cha Presidency PerformanceBureau, chini ya Ofisi ya Rais, Ikulu. Pia sanjali na hilo Ofisi yaRais, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI, Wizara za kisekta pamojana Mikoa imejipanga kuhakikisha kwamba tunafanyaufuatiliaji wa miradi katika Halmashauri ikiwa ni pamoja naCAG, tunao pia Wakaguzi wa Ndani na sasa hivi eneo loloteambalo Halmashauri itabainika kuwa na ubadhirifu mkubwa,mtuhumiwa wetu wa kwanza katika Halmashauri ile niMkaguzi wa Ndani.

Mheshimiwa Spika, kwa kuanzia Mbarali tumeanzautekelezaji huo. Kwa sababu yeye tunamtegemea pale ndiyeawe mfuatiliaji wa siku hadi siku. Kwa hiyo, hakuwezikukatokea ubadhirifu wowote wa kutisha na yeye akawasalama. Kwa hiyo, Wakaguzi wa Ndani na wenyewe kilainapotokea ubadhirifu, yeye ndiye suspect namba moja.

Mheshimiwa Spika, ipo pia hoja kwamba Ofisi yaWaziri Mkuu TAMISEMI ibadili mfumo wa Bajeti ya Maendeleoutakaozingatia fedha za ndani badala ya utegemezi waufadhili kutoka nje. Tutajitahidi kuhakikisha kwambatunatenga fedha za ndani nyingi pale hali inaporuhusu namiradi ya wafadhili pia tunapokuwa na uhakika kwambawatatusaidia basi tutaweka.

Page 324: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

324

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, pia tulishauriwa kwamba, pesanyingi sasa tuziweke katika maendeleo kuliko matumizi yakawaida. Ushauri huu unachukuliwa na utazingatiwa katikabajeti zijazo.

Mheshimiwa Spika, suala la mfumo wa EPICORkwamba uunganishwe kwenye mkongo wa Taifa il ikupunguza gharama za uendeshaji katika Halmashauri. Sualahili ni kwamba mfumo wa EPICOR unaotumiwa katikaHalmashauri 133 Tanzania Bara umeunganishwa kwenyemkongo wa Taifa kupitia kituo cha kompyuta kuu kilichopoOfisi ya Waziri Mkuu Dodoma. Gharama za kuendeshamkongo huu ni za Ofisi ya Waziri Mkuu na TAMISEMI na siyoHalmashauri husika.

Mheshimiwa Spika, Bylaws zinachelewa zikipelekewakwa Waziri Mkuu. Kwa kweli kwa wale wanaoleta sheriandogo ambazo zimekidhi vigezo tunazipeleka kwa WaziriMkuu na nyingi zinarudishwa kwa wakati, mara nyingizinazochelewa ni zile ambazo tunarudisha ili kufanyamarekebisho ya hapa na pale. Lakini pia wapo wenginewanapeleka moja kwa moja kwa Waziri Mkuu bila kupitishiaTAMISEMI, kwa hiyo inakuwa ngumu kwa Waziri Mkuukuzifanyia kazi bila kupata ushauri wa TAMISEMI, lakini ushauritunautoa na hatuna sheria nyingi ambazo zimekaa kwenyeofisi yetu bila kufanyiwa kazi.

Mheshimiwa Spika, pia lipo suala ambalo limeelezwakwamba, baada ya maboresho ya Serikali za Mitaa, Serikaliitoe tamko ni kwa nini, hili nilishalijibu la Wilaya ya Kilwa.

Mheshimiwa Spika, pia lipo suala lilizungumzwakwamba Mkoa wa Lindi na Mtwara iliombwa igawanywe ilikuweza kusogeza huduma kwa wananchi na hivyo kuwa naMkoa wa Kusini unaojumuisha Wilaya za Nanyumbu, Masasina Nachingwea. Bado majibu yanabaki yake yale,hatukupata ridhaa ya kutoka Mikoa hiyo, kwa hiyo tunaombamikoa husika ikae kupitia RCC zao, walete ikiwa ni pamojana Wilaya ya Tunduru, tunaomba RCC zao zao waletemapendekezo hayo kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu, hatuoni

Page 325: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

325

16 APRILI, 2013

kwa nini Serikali isiridhie mapendekezo ya wananchi, lakinimpaka sasa hivi ofisi yetu hatujapokea maoni ya kutokakatika Mikoa hiyo.

Mheshimiwa Spika, mwisho, lipo suala limezungumzwakwamba, sheria ndogo zikiidhinishwa na Baraza la Madiwanihaziwezi kutumika hadi pale zitakapoidhinishwa na Wazirimwenye dhamana na kwamba walikuwa wanaomba Mikoaifanye kazi hiyo. Suala hilo linatekelezwa kwa mujibu waKatiba ya Jamhuri ya Muungano, Ibara ya 64 ya Katiba yamwaka 1977, ambayo yenyewe inataka utaratibu huo.

Mheshimiwa Spika, zile sheria ndogo za Vijiji na Mitaa,Mkoa unamaliza, lakini inapokuwa ni sheria ya Halmashaurini lazima iletwe kwa Waziri Mkuu. Lengo ni kuhakikishakwamba sheria hizo ndogo zisikinzane na sheria mama.Tunaamini kwamba Ofisi ya Waziri Mkuu inao watalaamWanasheria wengi sana ambao wanaweza wakamshauriWaziri Mkuu vizuri zaidi kuliko katika Mikoa yetu.

Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hivyo, naombakuunga mkono hoja. (Makofi)

SPIKA: Ahsante. Sasa nitamwita Waziri wa Nchi, Ofisiya Waziri Mkuu, Uwezeshaji na Uwekezaji, dakika kumi.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU – UWEKEZAJINA UWEZESHAJI: Mheshimiwa Spika, naomba nianze kwakuunga mkono hoja ya Mheshimiwa Waziri Mkuu. Naombamajibu yangu yote tutayaweka kwenye Hansard kamasitayakamilisha.

Mheshimiwa Spika, sasa naomba nitoe ufafanuzi wahoja za Waheshimiwa Wabunge, waliochangia Hotuba yaBajeti ya Mheshimiwa Waziri Mkuu zila zinazohusua eneolangu.

Mheshimiwa Spika, baada ya mabadiliko ya Sera yaUchumi tangu miaka ya 90, Serikali imebaki na majukumu yamsingi ya kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi

Page 326: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

326

16 APRILI, 2013

kuchukua nafasi yake kikamilifu ya kuwa mhimili wa ukuajiwa uchumi. Sekta binafsi ikitekeleza majukumu yake kwaufanisi, itatoa mchango mkubwa katika jitihada za kujengauchumi imara na wa kisasa utakaohimili ushindani wa Kikandana Kimataifa.

Mheshimiwa Spika, baadhi ya WaheshimiwaWabunge, wamehoji matokeo ya ukuaji uchumi, hayajaletamaisha bora kwa Watanzania walio wengi. Hii imetokana namsukumo wa uchumi wa soko ambapo ongezeko lauwekezaji limekuwa zaidi katika sekta za madini au utalii namawasiliano, ambazo hazina uhusiano wa moja kwa mojakatika kuleta maisha bora. Serikali, itaelekeza mapatoyanayotokana na sekta hizi katika kuwawezesha wananchikiuchumi kupitia sekta zenye uwezo wa kuajiri kwa wingi kamakilimo.

Mheshimiwa Spika, uwekezaji wa ndani na nje, nimuhimu katika kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi kwa Taifalolote duniani na ndio utakaoleta maisha bora. Ushindani wakiuchumi miongoni mwa nchi mbalimbali duniani,unategemea uwezo wa nchi hizo katika kuzitumia kwa ufanisimaliasili zake. Uwepo wa rasilimali asili nchini, hautoshi pekeyake kuhakikisha maendeleo ya kiuchumi na kijamiiyatakayoleta maisha bora kwa wananchi.

Mheshimiwa Spika, uwekezaji una mchango mkubwakatika kuzibadilisha rasilimali kuwa bidhaa na huduma, hivyokuliwezesha Taifa kukuza uchumi na kuleta maisha bora nakuondoa umaskini. Manufaa yatokana na ongezeko lauwekezaji ni mengi, lakini ni pamoja na ongezeko la mitaji,teknolojia na ujuzi pamoja na ajira kwa vijana wetu.

Mheshimiwa Spika, Waheshimiwa Wabunge,wameitaka Serikali iondoe vikwazo vinavyoathiri utendaji wakituo cha utoaji huduma kwa pamoja katika Bandari ya Dar-es-Salaam. Uanzishwaji wa kituo hicho ni hatua ya awali yakuboresha huduma zinazotolewa na bandari yetu katikakuondoa urasimu. Hivi sasa Serikali, imeandaa Mwongozokuhusu utaratibu unaotumika na utakaofuatwa na wateja

Page 327: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

327

16 APRILI, 2013

wakati wa kutoa mizigo Bandarini; lengo kuu litafikiwakikamilifu baada ya Serikali kufanya marekebisho ya Sheriazilizounda taasisi hizo zilizounganishwa chini ya mfumo huo.

Mheshimiwa Spika, Waheshimiwa Wabunge vile vilewametoa hoja kwamba, Serikali, itoe elimu ya kutosha kuhusuSera, Sheria na Kanuni za Ubia baina ya sekta ya umma nasekta binafsi, maarufu kama PPP. Sera ya Sheria ya PPP inalengo la kuweka mfumo wa Kisheria utakaorahisisha ushirikiwa sekta binafsi katika kujenga uchumi na kutoa hudumabora. Serikali kwa kutambua kwamba, dhana ya PPP ni mpyahapa nchini, imeendelea kutoa mafunzo kwa wadau wotewakiwemo wa Serikali na wa sekta binafsi.

Mheshimiwa Spika, Waheshimiwa Wabunge,wameishauri Serikali, kuendelea kuhamasisha sekta binafsikuwekeza katika sekta ya kilimo na hili ni muhimu sana natunafanya hivyo, kupitia taasisi ya sekta binafsi Tanzania nakwa kauli mbiu ya Kilimo Kwanza, kupitia Baraza la Taifa laBiashara, Mabaraza ya Mikoa na Wilaya, imehamasishakuwekeza kwenye miradi ya kilimo. Kutokana na uhamasishajihuo idadi kubwa ya wawekezaji wa kwenye ukanda wakilimo wa Kusini mwa Tanzania na nina hakika itakuwa hivyokatika Kanda zingine.

Mheshimiwa Spika, napenda kutoa ufafanuzi wa hojakuhusu hatua zilizochukuliwa na Serikali, dhidi ya mwekezajialiyepewa eneo la hekta 10,529 Mkoani Kigoma. Mwekezajialiomba kuwekeza Mkoani Kigoma kwenye sekta ya kilimomwaka 2010, ardhi aliyoomba iko kwenye eneo la shambaNamba 206, lililokuwa Ranchi ya mifugo, likimilikiwa na Serikali,kupitia Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi. Aidha,Ranchi hiyo yenye ukubwa wa hekta 15,000 ilitumiwa naSerikali, kama Kambi ya Wakimbizi ya Rugufu, kutoka Burundi.

Mheshimiwa Spika, kati ya hekta hizo, mwekezajialipewa hekta 10,529 na zilizobaki zimepangwa kutumika kwaujenzi wa Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza,kwa hivyo, Halmashauri haijanyimwa fursa hiyo. Baada yakufuata taratibu zote za Kisheria za kumilikishwa ardhi kupitia

Page 328: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

328

16 APRILI, 2013

Hati isiyo Asili, kupitia TIC, tarehe 23 Februari, 2012, Mwekezajiamepewa umiliki huo wa kuweza kuwekeza kwenye shambahilo.

Mheshimiwa Spika, kumekuwa na dhana potofuinayoenezwa na baadhi ya watu kwamba, wawekezaji wanje wanapokonya ardhi ya wananchi. Hata hivyo, kwa mujibuwa Sheria ya Ardhi, Mwekezaji kutoka nje haruhusiwi kumilikiardhi nje ya utaratibu nilioueleza. Ni juu yetu wananchi naSerikali yetu, kuona kwamba, wawekezaji wa nje hawaitumiifursa hii vibaya. Kuna umuhimu mkubwa kwa nchi yetukuendeleza jit ihada za kuwa na Sera za uwekezajizinazotabirika kuweka vivutio i l i wawekezajiwanaoshindaniwa duniani, waweze kuja huko.

Mheshimiwa Spika, hoja nyingine zilizotolewa naWaheshimiwa Wabunge, ni zile zinazohusu masuala yauwezeshaji wananchi kiuchumi.

Mheshimiwa Spika, Serikali inatekeleza jukumu hili kwakusimamia na kuratibu utekelezaji wa Sera ya Sheria yaUwezeshaji Wananchi ya Mwaka 2004. Uwezeshaji wananchikiuchumi unalenga kuwashirikisha wananchi kikamilifu katikakumiliki, kusimamia, kuendesha na kujenga uchumi wa nchiyetu. Serikali, kupitia usimamizi wa Mifuko ya Uwezeshajiimeongeza mitaji kwenye Mifuko mbalimbali; lakininingependa kuliongelea hilo kuhusiana na vijana nawanawake.

Mheshimiwa Spika, wanawake na vijana ni sehemumuhimu ya jamii hivyo, Serikali, imewapa nafasi ya kipekeendio maana wameundiwa mifuko mbalimbali. Vijana ni zaidiya 60%, ni nguvu kazi ya Taifa ni Taifa la leo na la kesho. Nitegemeo la wazazi, jamii na Taifa, lakini wengi wao hawanaajira ya kudumu, mitaji ya kuanzisha na kuendeleza miradina ujuzi wa kutafuta masoko na kuhimili ushindani. Wanawakeambao ni mama zao, ni masikini na ndio wanaobebaumasikini wa familia, jamii na Taifa. Mifuko waliyoundiwavijana na wanawake ina fedha kidogo, Serikali, inatambuahilo na italipatia ufumbuzi.

Page 329: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

329

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, naahidi Bunge lako Tukufukwamba, changamoto zil izojitokeza na nyinginezilizolalamikiwa vikali na Waheshimiwa Wabunge, zitafanyiwakazi. Napenda kutoa rai kwa wananchi, hususan vijana nawanawake, kujiunga kwenye VICOBA, ili Baraza la UwezeshajiWananchi Kiuchumi kwa kushirikiana na Benki Kuu wawezekuratibu na kusajili na kuweka Sheria, ili hatimaye wenyeVICOBA watambuliwe na mabenki na wakopeshe.

Mheshimiwa Spika, Waheshimiwa Wabunge, piawameshauri kwamba, Baraza la Uwezeshaji wananchikiuchumi liongeze juhudi za kupanua wigo kwa kuwawezeshawananchi kwenye maeneo mengi zaidi; Baraza la Taifa laUwezeshaji Kiuchumi, litazingatia hivyo.

Mheshimiwa Spika, nilitaka niseme vile vile kwamba,amani na utulivu ni mazingira wezeshi kwa wawekezaji. Amanina utulivu ndio itakayovutia wawekezaji wa ndani na wa nje.Naomba sana amani na utulivu uzingatiwe. Kutukananahumu ndani, uzushi unaotokea humu ndani, unaashiriakwamba, kuna uvunjifu wa amani.

Mheshimiwa Spika, naomba sana WaheshimiwaWabunge, wawe wa kwanza kutoa taswira hiyo ili wawekezajiwa ndani wawe na uhakika, wasiwe na hofu na wale wa njevile vile wavutiwe na hawa wa ndani kuwekeza ndani yanchi hii ambapo vijana wanataka ajira, wananchi wanatakamaisha bora na Taifa, linataka uchumi ulio imara. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, baada ya kuyasema hayo, kablakengele haijalia, naunga mkono hoja ya Mheshimiwa WaziriMkuu na nakushukuru sana kwa nafasi hii. (Makofi)

SPIKA: Ahsante. Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Sera,Uratibu na Bunge, kwa dakika kumi!

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU – SERA,URATIBU NA BUNGE: Mheshimiwa Spika, nami naombanichangie kidogo hoja ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwa

Page 330: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

330

16 APRILI, 2013

kueleza machache katika maeneo yatakayowezekana kwadakika kumi. Nianze na Menejimenti ya Maafa.

Mheshimiwa Spika, nataka kuwaarifu tu Wabunge,kwamba, tumeanza mapitio ya Sheria Namba 9 ya mwaka1990, ambayo imelenga zaidi katika kukabili maafa badalaya hatua ya kuzuwia na kupunguza athari zinazotokana namaafa, ili iendane na wakati. Kwa hiyo, changamoto zotetulizozisikia tutazizingatia katika marekebisho ya Sheria hii.Lakini pia Serikali imezindua Mpango wa Kujiandaa KukabiliDharura za Maafa Nchini.

Mheshimiwa Spika, Mpango huo umeanzakutekelezwa kwa kufanya tathmini ya maafa yanayowezakutokea na uwezo wa kuyakabili katika Halmashauri;tumeanza Chamwino, Kondoa na Mpwapwa na zoezi hililinaendelea katika Halmashauri za Maswa, Kwimba, Bunda,Nzega na Kilosa, Mwanga na Same. Nia ni kuwa na utayariwa kukabili maafa katika Wilaya zote nchini.

Mheshimiwa Spika, aidha, mwaka huu wa fedhaSerikali, imetenga shilingi bilioni moja, kwa ajili ya kuanzishakituo cha kuratibu dharura za maafa. Vile vile Serikali,imesogeza huduma za misaada ya dharura za maafa karibuzaidi kwa wananchi, ili yakitokea maafa tuweze kuhudumiakwa ukaribu. Kanda ya Kusini, Kituo tumeweka Mtwara;Mashariki, Dar-es-Salaam; Magharibi, Shinyanga; KaskaziniMoshi na Kanda ya Kati, Dodoma.

Mheshimiwa Spika, katika kufanya hivyo, Serikali,imehudumia mwaka huu 2012/2013, Serikali imetoa zaidi yatani 609,452 za chakula chenye thamani ya shilingi bilioni 26na pia imetoa zaidi ya shilingi bilioni 4.6 kwa maafambalimbali yaliyojitokeza. Nataka kumkumbushaMheshimiwa ndugu yangu wa Kishapu kwamba, mweziDisemba tulitoa tani 1,800 Kishapu na mwezi Februari tumetoatani 1,200 na jana tumepokea maombi mapya ambayo leoameyasema Bungeni, tunayashughulikia.

Mheshimiwa Spika, udhibiti wa dawa za kulevya.

Page 331: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

331

16 APRILI, 2013

Serikali imekuwa ikiongeza bajeti ya Tume, mwaka hadimwaka. Kwa mfano, mwaka 2013/2014, Tume imetengewashilingi bilioni tano ukilinganisha na shilingi bilioni 2.5zilizotengwa mwaka uliopita.

Mheshimiwa Spika, Tume ya Kuratibu Madawa yaKulevya na yenyewe Sheria yake tunaifanyia marekebisho iliangalau ifanane na wakati uliopo, mianya mingi iwezekuzibwa iliyokuwemo katika Sheria iliyopita.

Mheshimiwa Spika, nataka kuwahakikishiaWaheshimiwa Wabunge kwamba, pamoja nawafanyabiashara wa dawa za kulevya kutumia mbinumbalimbali, Serikali kwa kutumia Kikosa Maalum cha KudhibitiBiashara hiyo Haramu, imeendelea kuwasaka, kuwakamatana kuwafikisha kwenye vyombo vya Sheria.

Mheshimiwa Spika, kwa mfano, mwaka 2010 mpaka2012 kiasi cha kilo 714.4 za heroine na 344 za cocainezil ikamatwa na watuhumiwa 162 walikamatwa kwakuhusishwa na biashara hiyo. Aidha, baadhi ya washtakiwawamehukumiwa vifungo vya kuanzia miaka 20 na wenginevifungo vya maisha na kesi zinaendelea. Hivyo, natakakuwahakikishia hakuna watu wanaojihusisha na dawa zakulevya ambao vyombo vya dola vinawafumbia machokama baadhi ya Wabunge, walivyofikiri.

Mheshimiwa Spika, kuhusu Tume ya Uchaguzi; Serikaliimeanzisha maandalizi ya kuiwezesha Tume ya Uchaguzikuwa na jengo lake kwa kutenga kiwanja, kuandaa michoropamoja na kufanya upembuzi yakinifu. Serikali, inalifanyia kazisuala la Tume kuwa na watumishi wake hadi kwenye ngaziya Wilaya. Hata hivyo, kutokana na uzoefu wa nchi nyinginena hali halisi ya utekelezaji wa majukumu yake, Tume badoitalazimika kutumia wafanyakazi wa muda, hususan nyakatiza Uchaguzi Mkuu.

Mheshimiwa Spika, fedha kwa ajili ya uboreshaji wadaftari ziko Hazina. Mwaka huu wa fedha kuna fedha kidogowatapewa za kuanzia, lakini mwaka ujao unaoanza mwezi

Page 332: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

332

16 APRILI, 2013

Julai, fedha zimetengwa Hazina na marekebisho ya Daftarilile la Kupiga Kura, yatafanyika mara mbili kabla ya UchaguziMkuu.

Mheshimiwa Spika, eneo la Bunge, nataka niwaombetu Waheshimiwa Wabunge, tulipata briefing juzi, Viongoziwetu wa Bunge, wataendelea kutoa briefing kwa yaleyanayotuhusu ambayo yameulizwa juu ya Ofisi na samanina kila kitu. Juzi tumepata briefing, kwa hiyo, nisingependakurudia jambo hili.

Mheshimiwa Spika, kuhusu maadhimisho ya Taifa;limezungumzwa suala la eneo la kuzika Viongozi, ambalolimeanzishwa kwa mujibu wa Sheria Namba Moja (1) yaMwaka 2006, inayohusu Mazishi ya Viongozi wa Kitaifa.Sehemu ya IV ya Kifungu cha 16 cha Sheria hiyo kimetamkakuanzisha kwa makaburi ya Viongozi hapa Dodoma.

Mheshimiwa Spika, Serikali, katika kutekeleza Sheriahiyo, imetenga hekta 129 katika eneo la Iyumbu, Manispaahii ya Dodoma katika bajeti ya mwaka huu na Serikaliimetenga shilingi bilioni moja kwa ajili ya kulipa fidia eneohilo ambalo linatayarishwa, ili kutekeleza Sheria hii. HailazimishiSheria hii kila mtu azikwe hapo, wala msiwe na wasiwasi,Sheria hii imeelekeza nani anayestahili kuzikwa katika eneohilo.

Mheshimiwa Spika, eneo lingine ni ustawishaji waMakao Makuu. La kwanza linaloashiria kwamba, tuko seriouskuhamia Dodoma, Serikali, imeandaa na imekamilishamapitio ya mpango kabambe ya Mji wa Dodoma, ili uendanena kasi ya ukuaji wa mji wa Dodoma na ongezeko la watu.

Mheshimiwa Spika, Serikali inaendelea kuboreshamiundombinu na huduma za jamii hapa Dodoma, ili kukidhimahitaji ya sasa. Mwaka 2012/2013, peke yake Serikali,imejenga barabara za kilomita 20.6 za lami na imekarabatimtandao wa maji wenye urefu wa kilomita 15.5 nakusambaza umeme wa msongo mkubwa kilomita 13.5.

Page 333: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

333

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, Serikali pia, inaunganisha Miji yaDodoma/Iringa kupitia Mtera na Arusha kupitia Kondoa naBabati. Ili kufanya suala la kuhamia Dodoma kuwa la Kisheria,tunafanya lile alilosema Mheshimiwa Juma Nkamia la kuletaSheria hapa Bungeni na kupitia miradi yetu ya TanzaniaStrategic Cities, Dodoma imepewa Dola milioni 32 kwa ajiliya kuendeleza miundombinu ya hapa mjini kwa kushirikianana Manispaa. Ni Manispaa pekee iliyopewa fedha nyingikuliko Manispaa zote katika mradi huu, hii ni kutambua tukwamba, mahitaji ya nchi yatakuwa hapa na inahitajimiundombinu iliyokamilika.

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, nataka kuwahakikishiawote pamoja na Mheshimiwa Juma Nkamia, nia ya Serikaliya kuhamia Dodoma iko pale pale na Mwenyekiti wa Bodi nimimi ndio, kama ulivyosema na Serikali, ilifanya makusudikuweka Waziri, ili kuipa uzito Bodi yenyewe. Mwenyekiti waTume ya Ustawishaji wa Makao Makuu ni Waziri Mkuu.

Mheshimiwa Spika, suala la UKIMWI limeingizwakwenye Mitaala ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi nalinafundishwa katika shule kama yalivyo masomo mengine.Ili kuhakikisha mapambano ya UKIMWI yanaendeshwa Serikaliya Marekani inaandaa utaratibu wa kuisaidia Serikali yaTanzania kwa kipindi cha miaka mingine mitano kuanziaOktoba mwaka huu, msaada wa UKIMWI, ambaounakadiriwa utakuwa shilingi bilioni 400 kwa mwaka. Serikali,imeandaa utaratibu mbadala wa kupata fedha hizi na hivisasa tuko kwenye hatua ya mwisho ya kuanzisha AIDS TrustFund; Waraka uko kwenye Baraza la Mawaziri.

Mheshimiwa Spika, lakini pia Serikali inaendeleakuhamasisha sekta binafsi, ambapo kila mwaka sasa naowanachangia karibu shilingi bilioni saba. Mwezi Machi mwakahuu, Mheshimiwa Jakaya Kikwete, alizindua Taarifa ya Utafitiwa Viashiria vya UKIMWI kwa mwaka 2011/2012. Matokeoya utafiti huu yametoa mwanga juu ya janga hili. Kwa ujumlamaambukizi katika mwaka 2011/2012, yameonesha kushukahadi 5.1% ukilinganisha na 5.7% mwaka 2007/2008 na 7%iliyokuwepo mwaka 2003/2004.

Page 334: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

334

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, Mkoa wenye kasi ndogo yamaambukizi ni Kaskazini Pemba kwa sasa, ambayo ni 0.1%wakati Mkoa wenye kasi kubwa ya maambukizi ni Mkoa waNjombe wenye maambukizi, kwa takwimu za sasa, 14.8% namkitaka taarifa zaidi naweza nikaitoa kama muda ukiruhusu.

Mheshimiwa Spika, kuhusu Mpiga Chapa Mkuu waSerikali. Waheshimiwa Wabunge wengi, wamesemea eneohili; nataka kuwahakikishia kwamba, Serikali inaendeleahatua kwa hatua kuongeza fedha za Mpiga Chapa Mkuuwa Serikali, ili kununua mitambo ya kisasa itakayomwezeshakutoa kazi kwa ubora unaotakiwa kwa wakati.

Mheshimiwa Spika, natoa wito tu Taasisi za Serikali,Halmashauri na Mikoa, iendelee kumtumia Mpiga ChapaMkuu, kwani anayo mitambo inayomwezesha kufanya kazizote hizo. Mwaka huu peke yake, kwa mfano, tumemtengeashilingi bilioni moja ukilinganisha na shilingi milioni 500 zamwaka uliopita. Pia Serikali inakusudia kuifanya Idara yaMpiga Chapa kuwa Wakala, ili kuongeza ufanisi.

Mheshimiwa Spika, naomba nimalizie kwakuwashukuru sana Waheshimiwa Wabunge, waliochangiamaeneo mengi. Lakini kama mlivyoona kwenye Hotuba yaMheshimiwa Waziri Mkuu, imechangiwa na hoja zinazogusaWizara zote. Hoja hizi zimekabidhiwa kwa WaheshimiwaMawaziri wanaohusika, ndizo watakazoanza kujibu wakati wamijadala ya hoja zao. Wenyewe wameshajua kwamba,kumbe hoja zetu mwaka huu zina upeo kiasi gain, kwa hiyo,hoja hizi nyingi ambazo zimejadiliwa na WaheshimiwaWabunge kwenye Hotuba ya Waziri Mkuu, zitajibiwa naMawaziri wa Kisekta, sisi tumejitahidi ku-wind up hizi zilizopo.

Mheshimiwa Spika, mwisho, nawaombaWaheshimiwa Wabunge, kama wenzangu walivyotoa wito,nawashukuru sana kwa mshikamano wenu, tuendeleekushikamana katika kutatua kero zetu za Kitaifa. Yaliyopita sindwele, tuliyoyasikia jana na leo, lakini nadhani wotetumejifunza vijana na wazee kwamba, tutumie Bunge hili kwabusara ili kujenga mustakabali mzuri wa Taifa letu.

Page 335: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

335

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, nampongeza sana MheshimiwaMakamba, kwa Hotuba yake ya asubuhi, ambayo natakakuwahakikishieni Mheshimiwa Makamba, tulimpangamakusudi ili atoe mfano, ili awe kama shamba darasa kwahotuba nzuri za vijana, wanazopaswa kutoa ndani ya Bungehili. Lazima aweke tofauti, tulitaka kuweka mfano ulio tofautina ulio wa wazi. Bila shaka watu wote wamefurahia kusikilizahotuba ya Mheshimiwa Makamba. Nampongeza sana.(Makofi/Kicheko)

Mhshimiwa Spika, naunga mkono hoja. (Makofi)

SPIKA: Ahsante. Sasa namwita Mheshimiwa mtoahoja!

WAZIRI MKUU: Mheshimiwa Spika, naomba kwanzanianze kwa kumshukuru sana Mwenyezi Mungu ambayeametuwezesha kukutana leo ili kukamilisha kazi ambayotumeifanya kwa karibu siku tano hadi sasa.

Mheshimiwa Spika, katika mjadala huu WaheshimiwaWabunge 217 walichangia; Wabunge 119 walichangia kwakuzungumza moja kwa moja hapa Bungeni na wengine 98wamechangia kwa njia ya maandishi. Kwa hiyo, ni dhahirikwamba idadi ni kubwa sidhani kama mimi na Mawaziriwangu kwa kipindi hiki tutaweza kutumia muda uliopokuweza kujibu kila kitu. Lakini kama walivyosema tumeziagizaWizara nyingine zote na zenyewe zichukue masuala haya ilina wao waweze kujibu wakati watakapokuwa wanawasilishapaper zao.

Mheshimiwa Spika, niko hapa kwa kutumia Kanuni yaKudumu ya Bunge 99(9) ambayo ndiyo hasa inaniongoza.Naomba pengine nianze na hotuba ya Ndugu yanguMsemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani, Mheshimiwa FreemanMbowe, ilikuwa ndefu lakini tutajitahidi na sisi kupitia baadhiya maeneo kidogo.

Mheshimiwa Spika, lakini kabla sijasema hivyo, natakaniwashukuru Wabunge wote kwa ujumla kwa michango

Page 336: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

336

16 APRILI, 2013

mizuri. Kwa namna ya pekee kabisa niwashukuru sanaWabunge Mheshimiwa Lugola na Mheshimiwa Filikunjombeambao wao waliamua kutokubali hotuba au bajeti ya WaziriMkuu. Nadhani wanazo sababu za kutosha, Bungelingekubali lote kwamba sawa maana yake hata Bungelenyewe tungekosa pesa, kwa hiyo sijui tungefanyaje, Serikalizetu za Mitaa zote zingekosa pesa. Kwa hiyo, nadhani Serikaliyote sasa itafika mahali isifanye shughuli zake, lakininaheshimu sana mawazo yao tutayazingatia katika utendajiwa Serikali.

Mheshimiwa Spika, lakini moja ambalo nimepata tabunalo ni lile la Mheshimiwa Filikunjombe, alilojaribu kunishawishimimi na Serikali yetu, tufike mahali tuwe tunakubaliana namawazo yanayotoka Upinzani. Hili limenisumbua kidogo,limenisumbua si kwa sababu yoyote ile, lakini kwa sababusijawahi hata siku moja kusikia Mbunge wa CHADEMAanaunga mkono hoja yoyote ile ya Serikali. Najua wenginewanatikisa kichwa ninaposema hivi nazungumza hoja zamsingi, sana sana nilichokipata ni watu kutoka nje kwasababu bajeti hawaitaki na kadhalika.

Mheshimiwa Spika, sasa mambo haya ni pande zotembili, tuheshimiane, sisi tutapokea maoni yenu lakinitunaombeni na nyinyi basi mchukue haya ambayo Serikaliinayafanyia kazi tena wakati mwingine kwa pamoja, lakinimnavyofika kwenye hatua ya kupiga kura au kujaribu kuungamkono kila mmoja anasema siungi mkono hoja, siungi mkonohoja, lakini bajeti ikipita tuko pamoja katika mamboyanayoendelea, sasa unajua na yenyewe haina maanasana. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, ndugu yangu Mheshimiwa Mboweananiambia kwamba, tatizo kubwa la Serikali inayoongozwana CCM ni kukosa weledi wa kutekeleza kikamilifuvipaumbele vyake pamoja na kuviainisha kupitia Mpangowake wa miaka mitano, bajeti na program. To be frank,nimeshtuka sana.

Mheshimiwa Spika, Serikali hii tuliamua kwa makusudi

Page 337: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

337

16 APRILI, 2013

kuandaa mpango wa miaka 15, mpango ambaoumegawanywa katika miaka mitano, mitano, tukaombaWabunge, tukakaa pamoja, tukauzungumza, mkatoa maonina sisi tukaahidi kwamba tutayasimamia kwa kadiriitakavyowezekana. Kikubwa katika mpango ule tumesemani kweli tuna mambo mengi tunataka tuyasukume lakini kwauchumi wetu na uwezo wetu ulivyo kiuchumi, haitawezekanakwenda na mambo yote. Kwa hiyo, tuchague machacheyale ambayo yatakuwa na msukumo katika uchumi nakupunguza umaskini wa watu wetu.

Mheshimiwa Spika, tukachagua maeneo machacheyafuatayo:-

Kwanza ni miundombinu, kwa hiyo katikamiundombinu tumechukua nishati, tukachukua usafirishaji,tumechukua TEHAMA, maji safi, maji taka na umwagiliaji,ndiyo eneo tuliloona tulipe nafasi kubwa.

Mheshimiwa Spika, pili, tukasema kilimo kwa maanaya kilimo mazao, mifugo, uvuvi, misitu na ufugaji nyuki.

Mheshimiwa Spika, tatu, maendeleo ya viwanda,tukasema nalo hili tulipe nafasi kubwa na hasa viwanda vileambavyo vitatumia rasilimali za ndani au raw material zandani. Kwa hiyo, tukasema hiki kikifanyika, tunaamini kabisauchumi wetu utakuwa haraka.

Mheshimiwa Spika, lakini nne, tukasema ni maendeleoya rasilimali watu; ujuzi, maarifa kwenye sekta za Afya, majina elimu. Kwa hiyo, sisi tuliamua vipaumbele vikubwa vinnekwa makusudi kabisa, tukiamini kwamba tukijipanga vizuri,hivi vitakuwa na nguvu sana ya kuleta mabadiliko katikauchumi kwa ujumla wake.

Mheshimiwa Spika, sasa tumepanga hivyo, lakinitukaambiwa hatuna weledi na wala hatujui kupanga, tenatulipanga pamoja, tukakubaliana, sasa tatizo hapa linatokawapi? Kwa nini mimi na timu yangu ndiyo tuonekane hatunaweledi? Basi kama ndiyo vipaumbele hivi vinatuongoza, wote

Page 338: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

338

16 APRILI, 2013

hatuna weledi, maana wote tulipanga pamoja. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, lakini, hivi kweli hatuna weledi?Kwenye eneo la uchumi, nchi yetu tumesifika karibu dunianikote kwamba ni miongoni mwa nchi tunaofanya vizuri sanakatika uchumi. GDP yetu 6.9, bajeti ya Serikali tumeiongezakutoka trilioni 4.2, 2005/2006 leo tunazungumza trilioni 16.7,2013/2014. Makusanyo ya kodi 2005/2006, zilikuwa bilioni 117,leo tunazungumza bilioni 680 kwa mwezi. Sasa tusingekuwana weledi jamani haya tungeyaweza? (Makofi)

Mheshimiwa Spika, tukasema tuzamie kwenyebarabara. Mwaka 2000 barabara kuu za lami zenye urefuwa kilomita 3909, ndizo tulizokuwa nazo nchini.

Mheshimiwa Spika, Serikali ya Awamu ya Tatuikaanzisha miradi 14 ya barabara zenye urefu wa kilomita1226, akajitahidi baba wa watu akapiga miradi saba kilomita403 zikakamilika. Alipoingia Jakaya Mrisho Kikwetetukachukua miradi yote iliyobaki, tukaikamilisha yote kilomita823, akaanzisha miradi 26 mipya yenye urefu kilomita 1759.6.Kati ya hizo jumla ya kilomita 1270.8, sawa na asilimia 72zimekamilika kwa kiwango cha lami, tumebakisha kilomita488.8.

Mheshimiwa Spika, Serikali hii ya Awamu ya Nne,imejenga barabara kuu mpya zenye urefu wa kilomita 2093.8,katika kipindi hiki cha miaka saba tu. Sasa tumefanyaukarabati kwenye barabara za lami kilomita 841.2, kilomita650sawa na 77% zimekamilika, 191.2 tunaendelea nazo. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, awamu hii imeibua miradi mingine43, kilomita 5739. Kati ya miradi hiyo 16 yenye urefu wakilomita 3817, ipo katika hatua mbalimbali za kukamilishausanifu, 27 ndiyo inaendelea kufanyiwa usanifu. Tumefanyahivi makusudi kwa kujua na barabara muhimu zenye uwezowa kubeba mizigo kukuza uchumi ni tatizo, tatizo letu kubwani uchumi, barabara ni uchumi mkubwa, ndiyo maanatukapanga kwamba kwenye miundombinu hili jambo tulipekipaumbele kikubwa.

Page 339: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

339

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, tukaanzisha Mfuko wa Barabara,tulianza na shilingi bilioni 85.74, kufikia 2007/2008 tulikuwa nabilioni 218.47 na hii tuliifanya makusudi ili tuongeze uwezo wetuwa matengenezo ya barabara. Sasa hivi ni wastani wa bilioni220 hivi karibu kila mwezi tunakusanya, tunaweka kwenyebarabara. Yote hii ni kulenga kuleta matokeo ya harakakatika uchumi.

Mheshimiwa Spika, kuhusu madaraja; jamani eehunaweza ukajenga barabara hizi, lakini kama huna madarajatabu tupu, tumejitahidi kweli. Sasa hivi tumejenga daraja laUmoja, madaraja ya Nangoo na Nanganga, Mtwara; darajala Ruvu lile; daraja la Mwatisi, Morogoro; Luwekei paleRuvuma; daraja la Sibiti, daraja la Mbutu, daraja la MtoMalagarasi, juzi wote mmeliona pale.

Mheshimiwa Spika, sasa tunakwenda na daraja laKigamboni na lile la Kilombero pamoja na Sumo Kagera. Sasajamani mnataka tufanyeje, sisi tunajitahidi sana kwenye eneohili. Tuna malengo mazuri ambayo yakifanikiwa, tuna hakikakabisa uchumi wa nchi hii utakuwa kwa haraka sana.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, tumejenga vivuko kwenye Awamuhii Nne peke yake na vivuko ambavyo vina uwezo wa kubebamizigo mikubwa, kwenye maziwa, kwenye bahari kote kotetumejitahidi. Vivuko hivyo ni MV. Kilombero, MV. Luhuhu, MV.Misungwi, MV. Magogoni , MV. Kome, MV Pangani, MV. Utete,MV. Ruvuvu, MV. Ujenzi, MV. Kalambo kule Mtwara.

MBUNGE FULANI: Kilambo!

WAZIRI MKUU: MV Kilambo, kule Mtwara. Yote hii nikatika jitihada za kujaribu kuwasaidia watu waweze kwendakwa haraka, wafanye shughuli zao ili kujiletea maendeleo.Haya mnasema hatuna weledi, weledi gani mnaoutafutajamani! (Makofi)

Mheshimiwa Spika, sasa tunahangaika na usafiri wareli, tunafanya jitihada kubwa tu kwa sababu tunatambua

Page 340: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

340

16 APRILI, 2013

ni jambo la msingi sana. Tulikuwa tuna Kampuni ya RITEtukaiondoa, tukasema acha tujidhatiti upya, kwa hiyo,tunakwenda hatua kwa hatua.

Mheshimiwa Spika, sasa hivi tunachojaribu kufanya,kwanza ni kukarabati reli katika maeneo yale ambayotunajua yana shida kubwa hasa maeneo ya Kilosa paleGurwe. Pale tuliweka bilioni 26.36 mwaka 2009-2012, lakinivile vile Serikali ya Marekani nao wametusaidia dola milioni33 kwa ajili ya kununua vyuma vya reli vile, slippers aumataluma na sasa jitihada hizi tumesema hazitoshi, tunatakatuendelee sasa kuboresha reli ya kati ili iweze kubeba mizigomizito zaidi kuliko ilivyo sasa, ndiyo maana tumeibua mradimkubwa ambao tunataka sasa uweze kuhudumia kilomita1661 kutoka Dar es Salaam, Isaka, Keza, Kigali mpaka Msonga.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, upembuzi yakinifu wa mradi huoumekwishakamilika, usanifu wa kina wa mradi huuumeshaanza, kwa hiyo matarajio yetu ni kwamba tukimalizatunaingia katika process sasa ya kuweka fedha kwa ajili hiyo.

Mheshimiwa Spika, TAZARA hatukuisahau, tumepatadola pale 39.9 milioni. Lengo letu sisi ni kuboresha ile reli nayenyewe iweze kufikia mahali pazuri. Tunataka tuanze ujenziwa reli mpya ya Tanga, Arusha, Musoma mpaka Kampala.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, upembuzi yakinifu kwa ajili yakuboresha reli hiyo mpaka Arusha tumeuanza mwaka janana lengo ni kukamilisha jambo hilo mapema iwezekanavyoili sasa tuunganishe nguvu za pamoja za nchi hizo ili tuwezekwenda mbele.

Mheshimiwa Spika, ujenzi wa reli ya ukanda waMtwara; nalo hatukulisahau kwa sababu tumepata chuma,tumepata na makaa ya mawe pale Mchuchuma naLiganga. Kwa hiyo, sasa tumefanya upembuzi yakinifu.Tumepata fedha kutoka Japan kupitia JICA ili tuweze sasakukamilisha ile reli ambayo tunajua itakuwa na manufaa

Page 341: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

341

16 APRILI, 2013

makubwa sana. Reli hii tunataka ituunganishie Bandari yaMtwara mpaka Mchuchuma na Liganga ili tuweze kuwa nauwezo mkubwa wa kubeba ile mizigo pale. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, tumeibua Bandari mpya yaBagamoyo makusudi kwa kutambua kwamba Bandari ya Dares Salaam peke yake haitaweza sasa kukidhi fikra tulizonazoza namna sasa ya kuunganisha Tanzania na nchizinazotuzunguka kwa ujumla wake.

Mheshimiwa Spika, pale Bagamoyo tumepata hekta2518 na jitihada hizi tunadhani zitazaa matunda mazuri chiniya utaratibu wa PPP. Mtwara pale tumetenga hekta 2647kwa ajili ya kupanua ile Bandari ili sasa tuweze kuingia katikaujenzi kwa njia ya PPP na njia zingine zozote ili kuwezeshameli kubwa ziweze kufanya kazi kubwa zaidi.

Mheshimiwa Spika, kwenye mawasiliano hapa nchinitumejitahidi, tumeanzisha mradi mkubwa mkongo wa Taifaule na leo tunavyozungumza tumeshakamilisha kilomita 7560.Hii yote ni katika kuleta chachu kwenye uchumi na sasa hiviwatu wameshaanza kuona, kwa taarifa tulizonazo hata beisasa za simu kwa maana ya matumizi yetu inaanza kushuka,zile tariff, kwa sababu ya matumizi haya mazuri ya mkongowa Taifa. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, tumeunganisha mkongo huu naZanzibar na tunadhani nayo itatusaidia upande wa Zanzibar,lakini si hiyo tu, tunafanya jitihada kubwa sana ili tuunganishenchi zote za jirani na mkongo huu wa Taifa kwa sababu unauwezo mkubwa na tutaweza vile vile kuwa ni chanzo chamapato kwa upande mwingine. Kwa hiyo, jitihada zote hizini za makusudi katika jitihada za kukuza uchumi wa Taifa letu.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, sasa ninachoweza kusema ni nini?Matokeo kwa mfano ya jitihada hizi mpya kwenye mkongowa Taifa, ni ongezeko sasa la matumizi makubwa ya simu zamkononi na hizi zina faida kubwa. Sasa hivi jitihada hizizimeongeza sasa watumiaji kutoka milioni 3,118,157 mpaka

Page 342: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

342

16 APRILI, 2013

milioni 27, 395,650, sawa na 61. Hii imetusaidia sasa kwamambo ya M-pesa, kutuma kwa njia ya tigo na wananchivijijini sasa wanaweza kupata huduma hii ya fedha kwaharaka zaidi.

Mheshimiwa Spika, mtandao wa intaneti hatukusahauhata kidogo na yenyewe imetusaidia sana kuongezawatumiaji kwa sababu TEHAMA ni muhimu sana katikamaendeleo ya uchumi. Watumiaji walikuwa 1,681,012 leotuna watumiaji 7,519,078 ni jitihada nzuri, ni kazi nzuritumeifanya, katika nchi yetu tunafanya kazi nzuri.

Mheshimiwa Spika, sasa hivi 2013 uwezo wa kuzalishaumeme ni megawati 1438. Tumeweka lengo kwenyempango huu tuende mpaka megawati 2780 hadi 3000itakapofika 2015, ipo kwenye mpango na jitihada zoteWaheshimiwa Wabunge wanajua nini tunajaribu kufanya.

Mheshimiwa Spika, Miradi mingine ambayo tumeibuani pamoja na mradi wa Somangafungu ambaounatekelezwa na kampuni ya Kilwa Energy, utazalishamegawati 320.

Mheshimiwa Spika, Mradi mwingine ni ule wa kufuaumeme wa Mchuchuma wa kuzalisha megawati 600 namradi wa makaa ya mawe wa Ngaka unaozalisha megawati40. Sasa jitihada hizi kama ninavyosema ni kwa nia njema.Sasa hivi katika Wilaya 133, Wilaya 117 tayari zina umeme,tumebakiza kidogo, tutazikamilisha baada ya muda si mrefuna nyinyi mnajua manufaa ya umeme kwa maana ya Wilayazetu ni nini. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, katika kilimo tumejitahidi, wengiwanaona kama vile hakijazaa matunda mazuri; lakini siyokweli, mimi natembea sana nchi hii, nimeona jitihada zakuongeza tija. Katika uzalishaji, nimeona sasa wananchiwalivyochangamkia matumizi ya mbegu bora na matumiziya pembejeo kwa ujumla.

Mheshimiwa Spika, kitu ambacho kinatia moyo

Page 343: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

343

16 APRILI, 2013

kwamba, huko tunakokwenda ni kuzuri na tunaweza tukafikamahali tukaondokana na njaa na tukamaliza mambomengine yote. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, hata ule ukanda waKusini tulio uanzisha SAGCOT, lengo lake ni hilo. Walengwawakubwa ni wakulima wadogo wadogo, lakini tunatakatuwaunganishe pamoja na wale wakubwa. Kwa hiyo, sasahivi jitihada hizo tunakwenda nazo.

Mheshimiwa Spika, Benki ya kilimo tumeisema, lakininataka niseme kwamba, benki hiyo tayari imesajiliwa naSerikali, tumeshateua Wakurugenzi wa Bodi wa muda naMtendaji Mkuu wa muda ambao ni mwelekeo mzuri, tunafikiritutakwenda vizuri pale tunapotaka. Tulichofanya sasa,tumetangaza nafasi za kazi za Watendaji Wakuu wa Benkihiyo, mtu yeyote mwenye uwezo atajitokeza ili aweze kushirikikatika zoezi hilo.

Mheshimiwa Spika, tumejitahidi sana kusukuma sualala matumizi ya zana bora za kilimo, tulianza na matrektamadogo, nimehimiza sana maksai, baadaye tumepandatumekuja kwenye matrekta makubwa na sasa hivi kilio nikikubwa zaidi, maana sasa hivi matrekta makubwa namadogo hapa nchini, bado hatujafika tunapopataka.

Mheshimiwa Spika, lakini tunaamini kabisa tutafikahuko kadri muda unavyokwenda; maana jumla sasa hivi nimatrekta makubwa 8466 na madogo 4571. Kwa hiyo, nijitihada ambazo zimetokana na msukumo mkubwa kwenyeeneo hili. Kilimo cha umwagiliaji tumeongeza kidogo maeneo,lakini bado tunajua hatujafikia pale tunapohitaji.

Mheshimiwa Spika, Viwanda vinaendelea kuongezatija katika uzalishaji na hasa vile vikubwa tulivyovizoea Saruji,Bia, Karatasi, Sigara, vina mchango mkubwa sana. Sasatunataka tujielekeze zaidi katika viwanda ambavyo vitatumiarasilimali ya ndani, hasa pamba kwa upande mmoja, lakinihata korosho hizi tungependa sasa zianze kubanguliwa hapanchini. Kwa hiyo, jitihada hizi zote, zinaonesha kwamba,

Page 344: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

344

16 APRILI, 2013

Serikali hii, pamoja na mengine yote mnayoyasema, lakinitumejitahidi. Serikali makini, mahiri, ndiyo maana hayamambo mnayaona yanakwenda hivi. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, sasa niseme kidogo juu ya hili laelimu, kwa sababu wakati mwingine tunafika mahali tunaonakama vile katika elimu yote sasa ni hakuna kitu, ni upuuzi,jamani upuuzi unatoka wapi na sijui mlitaka tufanye nini?Wananchi wanaongezeka, maana mwingine anasema borahata tusingeongeza shule, tungebaki hivyo hivyo. Mimisikubaliani naye, kwa sababu sidhani kama ni sahihi. Kikubwani kutazama changamoto zinazotokana na ongezekeo hilo,tuweze kuzijibu. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, Shule za Msingi jamani,zimeongezeka kutoka shule 14,400 mwaka 2006 mpaka 16331mwaka 2012. Wanafunzi wameongezeka kutoka milioni 7.9,mwaka 2006 mpaka wanafunzi milioni 8.3 mwaka 2012. Sasaongezeko hili siyo dogo kwenye ngazi ya shule za msingi, niwazi litakwenda strain kwenye mambo mengi, kwenyehuduma za msingi, hakuna mashaka katika hili.

Mheshimiwa Spika, lakini tumefanya jitihada vile vilewakati huo huo. Mwaka 2005 tulikuwa na Walimu laki mojathelathini na tano na kumi na tatu(135,013), leo tuna Walimulaki moja themanini elfu mia tisa themanini na saba(180,987)mwaka 2012. Uwiano wa Walimu na wanafunzi ulikuwaMwalimu mmoja kwa wanafunzi 51 angalau tumefikamwalimu mmoja (1) kwa wanafunzi 46, tunataka tufike mpaka40. Jitihada hizi zote ni nia njema kwenye ngazi za shule zamsingi. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kwenye sekondari tulikuwa nashule 1845 mwaka 2006, leo tuna shule 4528 mwaka 2011/2012, ongezeko ni kubwa tunakubali. Lakini ndugu zanguWabunge, mlitaka tufanye nini hapa? Tubaki na shule 1845za mwaka 2006 hizo hizo eti kwa sababu mkiongeza mtazaamatatizo ya elimu, hata kidogo, hatuwezi kwenda hivyo.Lazima Serikali muonekane mna nia njema ya kujaribukusaidia wanafunzi hawa, wakati huo huo mfanye jitihada

Page 345: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

345

16 APRILI, 2013

za kweli kujaribu kupunguza matatizo yake, ndiyo kituambacho tumejaribu kufanya. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, tunajua idadi ya Kidato chakwanza imeongezeka. Mwaka 2006 walikuwa laki moja natisini na sita elfu mia tatu tisini na moja (196,391). leo tunawanafunzi 517,993. Nani asiyejua kwamba, lazima kutakuwana mzigo mkubwa. Inajulikana, lakini hatuwezi kusematuache.

Mheshimiwa Spika, Walimu wakati huo na sisitumejaribu kuongeza, walikuwa (23,805), leo tuna Walimu(65,586) mpaka mwaka 2012. Jitihada nyingine wenzanguwamesema, nini tunataka tufanye mwaka huu kwa ajili hiyo.

Mheshimiwa Spika, kuhusu Vyuo vya Elimu ya Juu.Jamani, mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahadayanatolewa sasa katika Vyuo 34 vya Serikali na Vyuo 82 visivyovya Serikali vyenye uwezo wa kudahili wanachuo 47,898 kwawakati mmoja. Uandikishaji wa mwaka kwa mwaka kwa vyuohivyo ni takribani wanachuo 43,258. Kwa hiyo, tunakwenda,ingawa inaweza ikaonekana kasi ya ongezeko la wanafunzini kubwa, lakini hatujapuuza jambo hili, hata kidogo.

Mheshimiwa Spika, idadi ya Vyuo Vikuu na Vyuo VikuuVishiriki vilikuwa 26 mwaka 2005, leo tuna Vyuo hivyo 46, yotehii ni katika kujibu tatizo ambalo ni la msingi, Serikali inalijua,kama mnavyolijua ninyi.

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo basi, Rais alipoagizatujenge Chuo Kikuu cha UDOM hapa Dodoma, ilionekanakama ndoto, alisema nataka wanafunzi 40,000. Tukasemaeeh Mzee tutaweza? Akasema acha tujitahidi. Kwa hiyo, kaziinayofanyika pale ni kuongeza udahili mwaka hadi mwaka.Sasa matokeo ya hii ni nini?

Mheshimiwa Spika, mwaka 2005, wanafunzi wa VyuoVikuu walikuwa 40,719, leo laki moja sitini na sita elfu, mianne themanini na nne (166,484) mpaka mwaka jana. Sasa

Page 346: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

346

16 APRILI, 2013

tunakubali kwamba wapo wanaobaki, lakini mkubali vile vilekwamba, tumeongeza wasomi, kutokana na jitihada hizimpya. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, sasa tusingefanya hili nalolisingetusaidia sana. Fedha za mikopo tumeongeza sana,mwaka 2005 tulikuwa na bilioni 56, mwaka huu tuna bilioni326, yote hiyo ni katika kusaidia kuongeza idadi ya wanafunzi.Wanafunzi wanaopata mikopo nao wameongezeka, mwaka2006 walikuwa 55,000, leo tunazungumza wanafunzi 98,772mpaka mwaka jana wanaopata mikopo ya Serikali, yote hiyoni kusaidia kukuza elimu hapa nchini.

Mheshimiwa Spika, naweza nikasema mengi, lakini niayangu hapa ilikuwa ni kutaka tu Waheshimiwa wajuekwamba, tulipoamua kutoa kipaumbele kwenye maeneohaya tulikuwa na sababu za msingi. Tulijua ndiyo maeneoyatakayotusaidia sana kuleta chachu ya maendeleo, ndiyomaana hata kwenye sekta ya afya hatukuacha. Ndiyomaana mnaona leo wanasema idadi ya vifo vya watotowachanga na wale wa chini ya miaka mitano vimepunguasana.

Mheshimiwa Spika, hii imetuongezea vile vile fursa yakuwa na watoto wengi. Idadi ya vifo vya akina mama nayenyewe inakwenda inapungua na yenyewe inatusaidiakuwa na watoto wenye afya njema kuliko ilivyokuwa zamani.

Mheshimiwa Spika, Maleria imepungua sana nchi hiikutokana na jitihada zilizokuwepo. Kwa hiyo, yote haya yanania njema. Mheshimiwa Mbowe kauli yako ile ya kwamba,sisi huku hatuna weledi, hakuna nini na nini, kidogoilinisumbua. Ndiyo maana Waswahili wanasema, mnyongemnyongeni, lakini mpeni haki yake. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, naomba niseme kidogo kuhusuTume ya Mabadiliko ya Katiba na Mchakato. Nimejaribukumsikiliza sana Mheshimiwa Mbowe na pengine hapa ndiponiseme kwa sababu kwenye hotuba yeke alipokuwaameamua kukejeli vipaumbele vya Serikali na kutufanya sisi

Page 347: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

347

16 APRILI, 2013

hatuna weledi, akaamua kuja na vipaumbele vyake, kwaniaba ya Upinzani. Kwa hiyo, kipaumbele chake cha kwanzaambacho anasema tulitakiwa sisi Serikali tukifikirie ni Tumeya Mabadiliko ya Katiba na mchakato wa Katiba mpya.

Mheshimiwa Spika, sasa mimi nikajiuliza, mimi natakatuhangaike na uchumi, tusaidie watu waweze kupata uwezomkubwa zaidi. Kwa hiyo, tujikite katika vipaumbele hivikwanza. Akasema hapana, kipaumbele ambacho tulitakiwatuje nacho hapa, ni Tume ya Mabadiliko ya Katiba namchakato wa Katiba Mpya.

Mheshimiwa Spika, nasema hivi ni sawa, naelewa hojahii ni ya msingi, lakini nije hapa Bungeni nitumie muda wanguhapa, nazungumza juu ya jambo hili jambo ambalotunaendelea nalo, tunalijua, matatizo yako wapi tunajua natunaendelea, nikasema hapana. Nadhani MheshimiwaMbowe hapa pengine aliteleza tu, hakiwezi kuwa ndiyokipaumbele ambacho kitatusaidia kukuza uchumi hapanchini, haiwezekani. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, katika hotuba yake amesema hivi,Tume ya Mabadiliko ya Katiba imethibitisha haina weledi wakusimamia mchakato huru usiofungamana na upandewowote. Tume ambayo imechaguliwa kwa utaratibu ambaowote tunaujua anasema haina weledi hata kidogo. Sasanikawa najiuliza, jitihada zote tulizofanya zile, tumewekampaka Maprofesa, tena Profesa mmoja Baregu waCHADEMA! (Makofi)

Mheshimiwa Spika, hivi kweli wote hawa hawanaweledi wa kuweza kusimamia jukumu hili vizuri? Nikasemaokay bwana, maana mtu ukipewa nafasi ya kusema sawa,lakini naomba tu niseme kwamba, kwa mujibu wa sheria ileiliyopitishwa ndani ya Bunge, tulifanya jitihada nzuri sana.Kujaribu kuona Tume ile iundwe na wajumbe wa namnagani? (Makofi)

Mheshimiwa Spika, Vyama vya Siasa vilitoa majina

Page 348: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

348

16 APRILI, 2013

waliyoyaona yatafaa, Jumuia za Kidini zikatoa, Asasi za Kiraiazikatoa, Taasisi nyingine Zisizo za Serikali, wakatoa. Ndani yahilo ndiyo tukapata lile kundi ambalo nasema ni kundi nzuri,la heshima na ambalo kwa kweli linastahili kupongezwa nawala siyo kubezwa! (Makofi)

Mheshimiwa Spika, tulijitahidi sana, tukasema ndaniya kundi hili la wajumbe wa Tume tuchukue na Wazee navijana kutoka Zanzibar, kwa makusudi tu kwa sababu huu niMuungano. Lakini inaonekana kidogo tabu, hawa wotehawana weledi, mbumbumbu wale eeh, jamani! Hivi kweliTimu hii, akina Mzee Warioba, akina Salim, akina Beregu, ijuiakina nani! Hivi kweli hawa wazee ni mbumbumbu kiasi hicho!Hapana. Mimi nafikiri tuwatendee haki wazee hawa! (Makofi)

Mheshimiwa Spika, pili anasema, Tume kutokuwa nania na dhamira ya kusimamia Mchakato huru wa Katiba.Anailaumu kwa kutokuwa na dhamira ya kusimamiamchakato huru wa Katiba. Labda! Lakini sheria hiitumeitunga, Wazee wale wanajitahidi kufuata sheria ilemliyoitunga kwa kadri mlivyokuwa mmeelekeza, hakuna jipyapale waliloliongeza hata kidogo.

Mheshimiwa Spika, kama ni hadidu, ziko kwenyesheria. Hata mfumo wa namna ya kutenda upo kwenyesheria. Sasa ili mradi sheria ile ilitungwa na Bunge hili;tusihamishe lawama hii kupeleka kwenye Tume ambayo kaziyake ni kutekeleza matakwa ya sheria ya Bunge hili, hapana.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, tunaposema hawanadhamira ya kweli, kwa kweli tunawavunja moyo na sanatunawakatisha tamaa. Watu ambao wamejitahidi sanakuzunguka nchi nzima, kwa nia njema ya kujaribu kuleta kitu,ambacho tunadhani kitaweza kuwasaidia Watanzania hukotunakokwenda.

Page 349: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

349

16 APRILI, 2013

Mheshimiwa Spika, imani yangu ni kwamba, Wazeehawatakatishwa tamaa na kauli ya Kiongozi wa Kambi waUpinzani. Kama kauli ile ni kwa niaba ya wenzake, walamsikatishwe tamaa na wenzake na Mheshimiwa ambaye niKiongozi wa Kambi ya Upinzani, badala yake, tendeni kaziyenu, timizeni wajibu wenu. Naamini wapo Watanzaniawengi nyuma yao, ambao wanaona kazi ile inakwenda vizuri.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Mbowe anasema,Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba yaliyokusudiwayanaelekea kuilinda CCM na Serikali yake na kuendelezabaraka za Status quo. Nikasema wapi na wapi! Hivi kwamjumuiko ule wa Wazee waliomo kwenye ile Tume,unasemaje hili? Yaani zile Asasi zilizomo mle za Kiraia, waleWazee wa Madhehebu ya Dini, wale Viongozi wa Vyamamliotuletea pale ndani, wale wote is nothing. Wale wote sasani CCM, aaa wapi! Wapi na wapi! Siyo kweli! (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, nadhani hili jambojamani hebu tulitendee haki, tusianze kuwafanyaWatanzania, waanze kukata tamaa, waone kwamba kwelijambo hili pengine halina maana, hata kidogo! Nadhanituwatendee haki Watanzania, jambo hili ni jema, tuendeleenalo kwa nguvu zetu zote, tuhakikishe linakwenda mpakatufikie mwisho. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, ninachosema ndugu zangu,mchakato mzima huu ni mrefu, bado mtakuwa na Bunge hilila Katiba. Humu ndani Wabunge wote hapa ni wajumbe,toka Zanzibar tuna Baraza la Wawakilishi. Hivi tunaanzakusema haya kwa msingi gani? Ama ni hofu tu, sasa kamammeingiwa na hofu hilo ni jambo lingine. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kwa sababu niliposoma speechyote ya Mheshimiwa Mbowe, unaona kabisa akili zake zote

Page 350: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

350

16 APRILI, 2013

ni Uchaguzi wa mwaka 2015, ndiyo tatizo kubwa liko pale,mwaka 2015, ndiyo! Kwamba pengine tukisema hiliitatusaidia, tukijaribu hivi litatusaidia, hata kidogo! (Makofi)

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Mbowe anasema, etiTume haikuwa na utaratibu madhubuti wa kutoa elimu kwawananchi juu ya masuala yote yanayohusu Katiba Mpya nakwamba haikutoa elimu ya kutosha kwa wananchi ilikuandaa kuchangia maoni yao kwa Tume ya Katiba.Nikasema sawa, lakini wamesoma ile sheria, wakajaribukuitafsiri, ndiyo maana wakaja na kila mbinu, wametumiavyombo vya habari, redio, runinga, magazeti, wametoamachapisho, wamejaribu kuchapisha hata Katiba ile, ilesheria wameitafsir i kwa Kiswahili na Kiingereza,wakaisambaza, hadidu za rejea wamezisambaza.Wamejaribu kuonesha majukumu ya Tume yenyewe ni yapina mambo mengine chungu nzima.

Mheshimiwa Spika, yote yale ilikuwa ni kusaidia ummakwa upana wake waweze kupata kile ambacho Tumeinataka wajue na namna watakavyoweza kuifanya hiyo kazivizuri zaidi. Siyo hivyo tu, usambazaji wala haukuwa Bara tu,tumekwenda mpaka Visiwani, tumefanya hiyo kazi.Tumepeleka Makabrasha haya yote, tumieni redio kadrimtakavyoweza.

Mheshimiwa Spika, sasa aliponikuna zaidi MheshimiwaMbowe ni pale aliposema, eti mfumo ule wa Kenya ni mfanomzuri kwetu. Nikasema hata kidogo, haiwezekani! Kwasababu wale mchakato wao ulikuwa na hatua kubwa mbili;kutoa elimu ya Katiba na pili kwenda kwa wananchikukusanya maoni.

Mheshimiwa Spika, sisi kwenye Sheria ile tuliyotungahapa ina hatua karibu nne; Elimu, ilikuwa kwenda kwawananchi kukusanya maoni, iko kurudi, liko Bunge, badomwishoni kule mtakuwa na kauli, kwenda kwa wananchi tena

Page 351: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

351

16 APRILI, 2013

mnapiga kura kama ni ndiyo au hapana, vitu ambavyosehemu nyingine hawakuwahi kufanya.

Mheshimiwa Spika, sasa nikasema pamoja namengine yote ambayo tunajaribu kukosoa, lakini nadhanikatika hili hapana; lazima tujione kwamba na sisi ubunifu wetukwa mujibu wa Sheria hii haukuwa mbaya kiasi ambachotunataka tuwafanye wananchi waone. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, alifika mahali sasa akatoa tishiola kuitisha maandamano nchi nzima ya kuwataka wananchiwagomee huu mchakato au hii Katiba, nikaogopa kweli!Nikasema, kweli tulikuja hapa kwa nia njema, tukakubalianakwamba tutaungana mkono katika jambo hili jema,tuhakikishe tunafika mpaka mwisho. Hivi katika hatuatuliyonayo hapa, mnataka kwenda kuwataka wananchiwaandamane kwa lipi hasa? Wakati bado fursa za kutakakurekebisha na kufanya yale yote yanayotakiwa kufanyikaipo kubwa tu.

Mheshimiwa Spika, sioni ndani ya Bunge hili ni namnagani tutakuja kukaa hapa, CHADEMA mkubaliane na yalemnayoyaita ya CCM bila ubishi hapa, sioni. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, nadhani bado tunayonafasi kubwa ya kujaribu kuona kila linatakalowezekana ilituweze kufanya inavyotakiwa. Sasa nataka niwasihiWatanzania wenzangu, haya mambo ya kuja kuambia sijuimkaandamane, hapana, kataeni ninyi wenyewe, msikubali;ndiyo akili za kuambiwa, lakini changanya na zako. (Makofi)

Page 352: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

352

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Mbowe anasemaTume kutokuwa huru au kutafsiri uhuru vibaya na kutoa taarifazake kwa Mheshimiwa Rais, haaa! Nikasema jamani! Mambomengine haya tujaribu kidogo kuwa na stahimili. MweziDesemba mwaka jana, Mwenyekiti wa Tume hii yaMabadiliko ya Katiba aliongea na vyombo vya habari, katikakuongea alijaribu kueleza na akatoa hata ratiba ya mpangiliowa mambo yalivyo, wala ratiba ile si siri hata kidogo, ukisomakwenye Sheria ile utaiona ratiba inajiseti yenyewe. Raismwisho wa mwezi alichokuja kufanya kwa kuamini kwambaumma mkubwa unamsikiliza kila mwezi, akaamua kurudia ileratiba ili Watanzania wote waone kitu gani kinakuja.Mheshimiwa Mbowe anasema hapana, hizo ni njama, zaSerikali hii na Tume, mimi nikasema njama gani hapa! Hakunanjama yoyote, alichokuwa anakifanya ni kitu cha kawaidakusaidia wananchi wajue, Tume ile itafanyaje kazi, si siri, kwahiyo, ni vizuri wakajua ni nini kinakuja mbele yao. Sasakumshtaki Rais kwamba yeye katika kufanya hivyo basi kunaAgenda ya sirisiri na Tume, mimi nikasema hapana, miminadhani hatukumtendea haki hata kidogo. Kusema kwambaTume inatoa taarifa zake za utendaji kwa Rais na Serikali tu,siyo sahihi, bali taarifa inatolewa kwa umma wote, ndiyomaana Rais alifanya hivyo. Kwa hiyo, mimi nataka nimwombesana Mheshimiwa Mbowe kwa hili nadhani tuwatendee hakiTume pamoja na Mheshimiwa Rais.

Mheshimiwa Spika, kuna kitu alikisema, miminitakisema kwa kifupi sana, alisema Tume ya Mabadiliko yaKatiba kutowajibika kwa Bunge. Nil i jaribu kuelewaalichokuwa anajaribu kusema ni nini, lakini nikasema hapana,mimi nadhani kwa upande wa Serikali tunadhani halikuwajambo baya kwa Tume kusema hapana maana ndiyokwanza tuko kwenye mchakato, unataka kuipeleka mbeleya Kamati katikati ya mambo wakati bado yanaendelea,tukadhani hili pengine isije ikaonekana tena kama vile Bungemnataka kuanza ku-detect mambo ya Tume na nini na nini!Kwa hiyo, nikafikiri pengine ilikuwa ni busara nzuri tu, sidhanikama ni jambo la kuliwajibisha sana, hapana. (Makofi)

Page 353: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

353

Mheshimiwa Spika, lakini stahili iliyotakiwa ilikuwa niWaziri wa Sheria mwenyewe kumwita, kama kulikuwa najambo lolote ajibu kwa niaba ya Tume pale waziwazi, kulikoTume yenyewe. Ingekuwa ni jambo tofauti kama Kamati yaBunge ingesema aaa, Mzee Warioba tunaomba tujetukutembelee hapo kidogo tupate briefing na nini na nini,lakini mnapokuja kwenye Tume katika jukumu lake la kikazi,ni tofauti kabisa na hilo lingine. Kwa hiyo, inaweza ikaonekanakama pengine hawakutenda lakini nadhani kulikuwa na ileelement ya unyeti kwamba mmh, sisi Waziri wetu si yupo, kwanini asiulizwe kwanza huyo ili kupata majibu yote hata kamaikibidi kulala naye mpaka asubuhi. Kwa hiyo, nadhani jambohili sikutaka sana tulisemee lakini ilikuwa ni kutokana na hiyohali.

Mheshimiwa Spika, hasa limekuja hili la Mabarazaamabalo nadhani lilikuwa ndiyo tatizo kubwa lililojitokeza.Hapa ndiyo kuna mashtaka makubwa kwamba Mabarazahaya yamekaa ki-CCM, CCM hivi, lakini kama ni kosa basi nikosa letu kama Bunge maana ndiyo tuliokubali katika hatuahiyo Ward C ndiyo zitumike.

WABUNGE FULANI: Sio kweli.

WAZIRI MKUU: Ndiyo, ndiyo, eee! (Makofi)

WABUNGE FULANI: Walikimbia.

WAZIRI MKUU: Ndivyo Sheria ilivyo sasa.

WABUNGE FULANI: Hapana!

WAZIRI MKUU: Ngoja bwana! Sasa tunabishana?Wenzangu wananiambia inawezekana siku hiyohamkuwepo, sasa sijui. (Makofi/Kicheko)

Mheshimiwa Spika, anyway, point yangu kubwa ni ninihapa? Ni ile tu kwamba katika hatua hii ya Mabaraza,tulichokuwa tunatafuta ni watu watakaoweza kwendakujumuika katika kutazama maoni ambayo tayari Tume

Page 354: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

354

imeyakusanya, baadaye yatoke pale yaende sasa kwenyeWilaya, baadaye tuje kwenye Taifa. Kwa hiyo, mfumoulioonekana pengine ni mzuri katika hatua hii ni ule wa kupatawatu katika ngazi hiyo wa kwenda mbele. Sasa rai ilikuwa nikwamba wangeacha wote waliojitokeza, waende kwenyemkutano mmoja kwenye Kata kule, wakapige kura za mojakwa moja, sijui, pengine ni mawazo mazuri lakini kiutekelezaji,inawezekana yakawa si rahisi sana. Kwa hiyo, mfumo ule kwasababu ndiyo tunaoutumia kwenye Serikali za Mitaa nakwenye Ward C ndiyo unakuta kuna Wenyeviti wote waSerikali za Vijiji, ndiyo maana inakuwa nyepesi kuiona hivi. Sasainawezekana kweli, kama alivyosema ndugu yangu Mbowe,kwamba Li-CCM hili lina Wenyeviti wa Vijiji wengi, ambalo nijambo zuri tu. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, sasa hilo hatuwezi kulaumu mtu,ndivyo jamii ilivyoamua, kwa niaba ya walio wengi, hatuwezikui-condemn hiyo system kwa sababu hiyo tu, hapana! Kwahiyo, mimi nikafikiri jambo hili, ni kweli inawezekanaikaonekana pengine lina kasoro kasoro hivi, lakini mwisho wayote ni ile tu kwamba bado tuna mwanya mkubwa sanambele ya safari, namna tutakavyoweza kurekebishana ilituweze kufika mwisho. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, Tume kukataa kubadilishamuundo wa Mabaraza ya Katiba hata baada ya kupewamaoni ya wadau. Sasa, sina hakika lakini mimi naambiwaCHADEMA haikutoa maoni yake kwenye Tume…

WABUNGE FULANI: Aaah!

WAZIRI MKUU: Ngoja ngoja, ngoja, kuhusu Mwongozouliokuwa umetolewa. Maana walichofanya Tume, walitoaRasimu ya Mwongozo kwanza, wakataka wapate comments,CHADEMA hawakufanya hivyo, badala yake ilikuja ikatoamaoni yake katika Mkutano wa hadhara baada yaMwongozo kuchapishwa na kusambazwa. (Makofi)

(Hapa baadhi ya Wabunge walikuwawakiongea kwa sauti za juu)

Page 355: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

355

WAZIRI MKUU: Sasa kama hivyo ndivyo ilivyokuwa basitusilaumiane, ni kwamba kulikuwa na opportunity pengineya kuweza kufanya marekebisho, lakini penginehatujayatumia vizuri.

Mheshimiwa Spika, Sheria ya Marekebisho ya Katibaimefanyiwa marekebisho mara moja tu kinyume namakubaliano ya CHADEMA na Mheshimiwa Rais. Tarehe 10Februari mwaka jana, ndipo Sheria yetu ilipopitishwa naBunge hili, tukaja tukafanya marekebisho baadaye, baadayeMheshimiwa Rais akaridhia, baada ya marekebisho hayo,ndiyo Rais akateua ile Tume ianze kazi yake na ilianza mweziMei. Marekebisho yaliyofanyika wakati ule yalitokana namaoni kutoka Serikalini pamoja na wadau wakiwemo vyamavya siasa, CHADEMA walishiriki, CUF walishiriki, NCCR walishiriki,katika hatua ile ya mwanzo wote walishiriki. Katikamajadiliano yaliyojitokeza, wakakubaliana na Serikalikwamba Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katibayafanywe kwa awamu tatu, awamu ya kwanza ilihusu Tumeya Mabadiliko ya Katiba na masuala mengineyanayohusiana na nayo, ikiwa ni pamoja na utaratibu wakupata Wajumbe wa Tume na kuruhusu wanasiasa kuteuliwakuwa Wajumbe wa Tume. Vilevile ilikubaliwa kuwa, awamuya pili ya marekebisho, itahusu Bunge maalumu la Katibapamoja na masuala yote yanayohusiana nayo. Halafu ile yatatu ndiyo tuje tutazame sasa suala la kura za maoni.

Mheshimiwa Spika, hasa jambo hili tumelifanya,kilichotokea ni nini? Katika awamu hii ya pili, mwezi Januari,CHADEMA, CUF, NCCR, waliwasilisha maoni yao kwamaandishi. Kati ya tarehe 4/3/2013 na 8/3/2013, CHADEMA,CUF na NCCR Mageuzi wakakutana na Serikali, AGalikuwepo, Lukuvi alikuwepo, wakazungumza na ilikuwainahusu sasa awamu hii ya pili. Wamezungumza vizuri naCHADEMA walikuwa na maeneo 16 ambayo waliwasilisha,NCCR Mageuzi maeneo 16, CUF maeneo 15 na yoteyalichambuliwa vizuri kwa utulivu, wote kwa pamoja, mwishowakakubaliana waliyokubaliana na sisi tukasema basi hayasasa tunayaingiza kwenye Muswada ambao matumainiyangu ni kwamba tukipata nafasi Bunge hili tutaingiza

Page 356: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

356

angalau usomwe kwa Mara ya Kwanza. Sasa kwamba nimara moja tu kulitokana na makubaliano yaliyojitokeza katikamajadiliano ya awamu ya kwanza, sasa tumekamilisha tenakwa pamoja, tunabakiza awamu ya tatu ambayo itakuwani ya kura za maoni. Kwa hiyo, mimi nadhani hakuna jambohapa ambalo hatujaweza kulitekeleza vizuri.

Mheshimiwa Spika, sasa kulikuwa na maeneoambayo yalikuwa na maneno maneno kidogo, moja ilkuwani ile idadi ya watu 166 na vilevile suala la Rais kushaurianana Rais wa Zanzibar, wenzetu walikuwa wanaonyeshakwamba hakuna sababu, hapa ipo sababu kwa sababu niMuungano na lazima hawa watu wawemo, lazimawashauriane. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, wakaja na wazo lingine kwambahawaoni kwa nini Baraza la Wawakilishi na wenyewe waingiekwenye Baraza lile hapa, tukasema aah, aah, kwa nini?Walijaribu kutoatoa hoja, lakini baadaye wakasema aaah,unajua, Baraza la Wawakilishi likija hapa, litazidi kuongezasasa idadi ya CCM na CUF, nikawaambia wala haina sababuhata kidogo, kwa sababu mwisho wa yote ni lazima mpateTwo-third huku na mpate Two-third upande wa Zanzibar.Kwa hiyo, ile ni ushirikishwaji tu kwa maana ya mfumo wetuwa Muungano ulivyo, ndiyo maana tukasema hapa hakunakil ichoharibika, tunakwenda vizuri, nadhani ni vizuriWatanzania wakaliona hilo na mimi naamini tutafika salama.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, wamesema hakuna Sheriainayompa Mheshimiwa Rais Mamlaka ya kuitisha upya BungeMaalum la Katiba na kulielekeza kuboresha masharti yaKatiba Mpya. Tumejaribu kupitia na wenzangu pale,tukasema mmh, mbona Sheria yenyewe mliyoitunga hapainavyo vifungu vinavyomwezesha Rais kuyafanya haya?Tatizo liko wapi? Kwa hiyo, tukasema hili nalo ni suala tu lakuangalia, kama pengine maneno hayakukaa vizuri,liangaliwe, lakini kwamba hakuna mamlaka, hapana,mamlaka yapo, isipokuwa tu labda kuboresha kama kunahaja.

Page 357: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

357

Mheshimiwa Spika, mwisho, haijulikani uhalali upi wakisheria utakaoiruhusu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kusimamiana kuendesha kura ya maoni. Mimi nasema wakati mwingineni kusoma tu hizi sheria vizuri, tuzisome, mkizisoma vizuri sidhanikama liko tatizo ambalo linajaribu kuonyeshwa pale kwambalipo, sidhani, lakini kama lipo ndiyo maana tunasemalitachukuliwa sasa pengine katika Muswada tutakaouleta ulewa Kura za Maoni, ili kama kutakuwa na mahali pa kuboresha,tuweze kuboresha hivyo kwa kadri itakavyo wezekana.

Mheshimiwa Spika, niliona niyaseme haya kwasababu kwenye hotuba ya Msemaji wa Kambi ya Upinzaniyapo mambo mengi lakini nimeona angalau nichukue hayamachache. Kengele bado inaniruhusu?

SPIKA: Eee, una dakika 10.

WAZIRI MKUU: Bado kidogo, haya!

Mheshimiwa Spika, niseme kidogo tu kuhusu hili laelimu siyo kipaumbele cha Taifa kwa CCM na Serikali yake.Haya ndiyo alisema Mheshimiwa Mbowe, ndivyo alivyosema,alisema siyo kipaumbele na hapa mtakumbuka ndipoalipotumia na ile quotation ya Rais mmoja wa zamani sanahuko nikasema eeeh, hivi unakwenda kote huko kwa jambolili lowazi hivi! Jambo liko clear, j itihada zimefanyika,changamoto zake zinajulikana, kuona tunafanyaje kuzitatua.Sasa mimi nataka niwahakikishie Waheshimiwa Wabunge naWatanzania wote, katika bajeti za Serikali za nchi hii, tangumwaka 2006 mpaka leo tunavyosema hapa, sekta ambayoimekuwa ikipewa bajeti kubwa kuliko zote, ni Wizara ya Elimu.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, tulianza na bajeti ya shilingi bilioni669.5 mwaka 2005/2006 mpaka mwaka jana walikuwa nashilingi trilioni mbili, bilioni mia nane na tisini, wao ndiyowaliokuwa wanachukua sehemu kubwa kabisa ya bajeti.Tatizo hapa jamani, ni changamoto zilizomo ndani ya sektayenyewe, ndiyo maana fedha zile zinaonekana kama vilehazitoshi, lakini pili, ni uchumi wenyewe ambao tunajaribu

Page 358: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

358

kuhudumia kuhudumia sekta hizi zote, bado mdogo na hikikiasi ni kikubwa, mnaona ninyi wenyewe kilio kinavyojitokezatukija hapa, kila Kamati inasema sekta hii inahitaji fedha zaidi,sekta hii inahitaji fedha zaidi, lakini unatoa wapi? Hichitulichofanya ni makusudi, katika kujaribu kujibu matatizo yaSekta hii ya Elimu. Sasa, nimeshatoa takwimu za kutoshakuonyesha tulikotoka, namna tulivyofanya kazi na kwa hiyo,tukafikiri yale yanatosha.

Mheshimiwa Spika, sasa tumepata lawama kidogoSerikalini kwamba, hivi wewe Mheshimiwa Waziri Mkuu,uliunda ile Tume hasa kwa ajili ya nini? Matatizo mbonaunayajua? Il ikuwepo Tume nyingine il iundwa, kablahujamaliza hiyo unakuja na jipya, sawa! Ni kweli tuliunda,tuliunda Kikundi Kazi, kilitokana na Watumishi ndani ya Serikali.Hatukuwa tumepanua wigo kwenda kwa watu wengineambao ni wadau wakubwa katika Sekta ya Elimu. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kilikuwa ni Kikundi Kazi, kilifanyakazi nzuri, mambo waliyoyasema na tukaanza kuyafanyiakazi. Lilipotokea hili baada ya kuona jitihada hizo zote hazizaimatunda, tukasema hapana, inaonekana kuna tatizohatujalijua, lakini kilichotusukuma zaidi, ni baada ya kuonakwamba katika kushuka, tulifikiri ni shule za Serikali tu, lakinihata shule za watu binafsi, mashirika ya dini, sekta binasfi,hata zile zilizokuwa zina-perform vizuri sana na zenyewevilevile zikashuka. Tukasema, hata kidogo, lazima kuna jambolingine ambalo hatujalijua vizuri. Ndiyo maana safari hiimtaona tumeingiza kweli wataalam kutoka Serikalini, kwenyeVyuo Vikuu, Mashirika yasiyo ya Kiserikali, tukaona tuingizena Madhehebu ya Dini, tumeweka Chama cha Walimu mle,tukaona tuweke na Sekta binafsi na Muungano wa Walimutukasema na wenyewe tuwaingize mle, Wakuu wa Sekondari,ili watusaidie kuweza kubaini hasa hasa, kwa nini sasa siSerikalini tu lakini hata Sekta binafsi na Mashirika ya Dini yotesasa safari hii yameshuka. Ndiyo maana tukasema penginebusara nzuri iwe ni hiyo, tukiamini kwamba safari hii wigoumepanuka, itatusaidia zaidi kuweza kubaini mambo yalivyo.Tumemchukua Professor Mchome atusaidie kusimamia ileTume, matumaini yangu ni kwamba watakuja na mambo

Page 359: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

359

mengi ambayo yatatusaidia pengine kuweza sasa kulipajambo hili umuhimu stahiki na tuone namna gani tunawezakufanya vizuri zaidi. Kwa hiyo, niliona kwa hili niseme kwa kifupitu kwa sababu ya jambo hili lilivyojitokeza.

Mheshimiwa Spika, sasa kumekuwa na rai kwambana hili limerudiwa sana na wengi tu, kwamba, hapana,ilitakiwa kwa kweli Mawaziri na Katibu Mkuu wajiudhuru,haikutosha, mwingine akasema hata Waziri Mkuu mwenyewena yeye vilevile ajiudhuru. Mimi nasema, kubwa hapa ni mojatu, unaweza ukamwajibisha rafiki yangu Kawambwa, lakinikama hujapata kiini cha tatizo hili hasa imehusisha maeneoyote mawili, shule za umma na za binafsi, utakuwa badohujafanya kazi ya kutosha. Hawa watawajibika, lakini kwanzatujue kiini ni nini, kama ni uzembe, fine, lakini katika mazingiratuliyonayo, ni lazima kwanza tujiridhishe tuone hasahasachimbuko lake ni kitu gani. Tukifika wakati huo mzuri tutawezakabisa kuona nini tufanye kwa pamoja, kama kwakuwajibishana tutawajibishana tu kwa sababu hilo si tatizokubwa.

Mheshimiwa Spika, kulikuwa na rai kwamba, ushirikiwa wanafunzi wa elimu ya juu katika siasa unaonekanakuipendelea CCM. Msingi wake Mheshimwa Mbowealipokuwa anazungumza anasema kwa nini mmeanzisha kitukinaitwa Mkoa wa Wanafunzi? Sasa si kila chama kina mbinujamani! Hii inawezekana ndiyo mbinu ya Chama chaMapinduzi katika kuvuta hisia za wanafunzi kwenye Vyuo vyaElimu ya Juu! (Makofi)

Mheshimiwa Spika, tunachokataa sisi ni watu kwendakufanya shughuli za chama chochote ndani ya vyuovyenyewe kama ambavyo Mheshimiwa Mboweanavyopendekeza, hilo tumesema hapana. Kwanza naniasiyejua, pale chini pale si mna ofisi ya CHADEMA yawanafunzi pale! Hakuna anayenung’unika na sehemunyingine nyingi tu na sisi tunazo ofisi za namna hiyo, sababuwale wanafunzi huwezi ukasema ni nje kabisa ya mfumo wavyama hivi, hapana, wamo kwenye vyama, tunachokataavisiende kuathiri masomo yao, kwa kuendesha shughuli ndani

Page 360: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

360

ya vyuo vyenyewe. Kwa hiyo, mimi nadhani hili ni jamboambalo tulitazame kwa nia njema, lakini tusiendekuwavurugia taratibu zao pale ndani.

Mheshimiwa Spika, hili la mikopo kwa wanafunzibahati nzuri nimelieleza pale mwanzoni, nisingependakuyarudiarudia, lakini nataka niseme moja tu kwamba,tunafanya jitihada sasa za kuboresha utaratibu wa namnaya kukusanya fedha ambazo ziko mikononi mwa wale ambaotumewasomesha kwa mikopo hiyo. Ni kweli kumekuwakidogo na kutokuwa na kasi ya kutosha, lakini sasa tunafikiritutafanya vizuri zaidi na hasa baada ya kuwa tutapata hivimnaita Vitambulisho vya Kitaifa, nina hakika itatusaidia sanakuweza kufanya vizuri zaidi. Kkwa hiyo, chondechonde tuvutesubira, tutaweza kuifanya kazi hiyo vizuri.

Mheshimiwa Spika, katika kumalizia, niseme hili sasala utulivu na amani, CCM sijui inahusika, jamani tusiende huko!Maana wote tunajuana hapa, nani mwaka 2010 alikuwaanatumia sana udini kutaka apate uongozi, wanajulikana.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, mimi nadhani kubwa hapaambalo nataka wote tukubaliane, tusije tukakubali kuingizaudini kwa namna yoyote ile katika masuala haya ya kujaribukupata viongozi kwa kudhani ukiwa wa dini fulani, itakusaidia,haitakusaidia hata kidogo, haitakusaidia hata kidogo, hatakidogo. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, Watanzania hawa, tupo Wakristo,Waislamu na Wapagani na wote ni Watanzania. Kiongozianayetaka kuja kuongoza nchi hii ni lazima ukubali wotehawa ni watu ambao lazima uwaongoze kwa dhamira moja.Tusikubali hata kidogo kuingia katika mtego wa kutumia udinikwa namna yoyote ile. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, mimi nataka niwasihi sanaWatanzania kwamba kwenye hili tusije tukafanya makosa.Huyu atakayeingia kwa kofia ya dini moja ajue dini nyingineitahakikisha hatawali hata kidogo, hata kidogo! Suluhu ya

Page 361: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

361

kweli tujitahidi tujiepushe na njama ya namna yoyote ile yakudhani udini utakusaidia kukuingiza madarakani,utakuponza, hutaweza! (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kulikuwepo na suala la uuzaji wahisa za Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA). Niseme tu kwakifupi kwamba Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikalialifanya kazi yake vizuri akaleta taarifa Serikalini, tukaichukuataarifa i le tukampa Mwanasheria Mkuu wa Serikali,akaturudishia ushauri vizuri sana na alipokuwa ameturudishiaakashauri kwamba kwa mujibu wa sheria ambayo anaitumiaMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali anayo mamlaka yamoja kwa moja ya kuwezesha kuanzisha mashtaka kwa mtuyeyote ambaye ameona matendo yake ama yakirushwarushwa au ni ya kiwiziwizi na ndicho alichofanya. Kwahiyo, baada ya kukamilisha ushauri ule basi tukaamua sasahatua stahiki zichukuliwe.

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, miongoni mwawatuhumiwa waliofikishwa Mahakamani ni pamoja naMwenyekiti wa Bodi ya Shirika la UDA, Mzee wetu Idd Simba,wajumbe wa Bodi hiyo Bwana Bakari Kingobi na Bwana SalumMwaking’anda na aliyekuwa Meneja Mkuu wa UDA, BwanaVictor Milanzi. Hawa wote walifunguliwa mashtakaMahakamani. Sasa kesi ile namba 137 ya mwaka 2012inaendelea na kesi imeshaanza kutajwatajwa na sasa hivinimearifiwa kwamba tarehe ya kusikilizwa ni tarehe 29 na 30mwezi Aprili, 2013.

Mheshimiwa Spika, nataka niwaombe WaheshimiwaWabunge waliokuwa wamekuja na jambo hili kwamba katikamazingira tuliyonayo kwa vile lipo Mahakamani tayari nawatu wameshafikishwa Mahakamani basi tufanye subirabadala ya kuingiza mjadala huu humu Bunge tusubiri tuoneMahakama hiyo itakachofanya ni nini.

Mheshimiwa Spika, niseme kidogo juu ya wafugaji nawakulima, jambo ambalo limejitokeza sana. Ni kweli lipo tatizokubwa katika eneo hili na ni changamoto moja kubwa sana.Tuna ongezeko kubwa sana la mifugo kama lilivyo ongezeko

Page 362: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

362

la binadamu. Kwa hiyo, iko kazi kubwa sana ya namna yakuwezesha makundi yote mawili kuweza sasa kutumia ardhituliyonayo, maji tuliyonayo na majani au malisho yaliyopo.Kwa hiyo, changamoto ni kubwa lakini mimi nataka nitumienafasi hii kuwaomba sana Watanzania kwamba kwavyovyote vile kwa kiasi kitakachowezekana kuvumiliana sana.Wafugaji hawa ni Watanzania kama sisi, ni kweli wana tatizola kuwa na mifugo mingi lakini ipo leo mifugo hiyo na walasidhani kama kuna mtu atakuja atasema tuichinje ndiyotuipunguze, hata kidogo kwa sababu haitawezekana. Kwahiyo, tunachohitaji hapa ni kukaa chini kwa pamoja ili tuoneni namna gani tutasaidia kundi la wafugaji liweze kufikamahali lione namna ya katumia rasilimali hiyo katikakupambana na kujiwezesha kiuchumi. Upande mmoja waSerikali tutasukuma sana viwanda hasa vya ngozi na nyamakwa sababu ni njia mojawapo lakini upande wa pili ni lazimatuwe vilevile na mfumo wa kuwezesha mifugo kuuzwa hatakama ikiwa ni nje ili mradi iwawezeshe kupata uwezo wakifedha. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, nataka niwaombe sanavyombo vile vinavyohusika na eneo hili yaani Wizara yaMifugo na Uvuvi mchukue jambo hili kwa uzito unaotakiwa,tuwasikilize wafugaji na tuwasikilize na wakulima tuonenamna gani tutawasaidia. Nimepata faraja sana leo kwasababu nimekutana na wawakilishi wa wafugaji Kanda yaZiwa wanne. Walichokifanya kizuri wameamua kuanzishaChama cha Wafugaji Kanda ya Ziwa, wameshasajili tayari.Sasa naamini tumepata chombo ambacho tunawezatukakitumia kuzungumza kwa pamoja. Kwa hiyo, nimewaasakwamba basi tutapata muda ili Wakuu wa Mikoa, wawakilishiwa wafugaji hao, Wabunge wanaotoka kwenye Mikoa yoteya wafugaji tukae pamoja ili tujaribu kulitazama hili jambokwa nia njema ili kama hapana budi kama alivyosemaMheshimiwa Prof. Tibaijuka yale mashamba ambayo hayanawatu au ranch zile tuone kama mkiwa na chombo kama hikitungeweza polepole tukaanza kuchukua makundi hayakuyaingiza kwenye mashamba kama hayo, tuyatengenezeeutaratibu mzuri ili waweze na wenyewe kubadili mfumo wao

Page 363: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

363

wa ufugaji kwa kadri itakavyowezekana. Mimi nadhani jambohili ni la msingi sana. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, lakini nataka Wakuu wa Mikoahebu hakikisheni hata pale mnapojaribu kufanya operationyoyote simamieni jambo hili vizuri. Zipo taarifa za uhakikakwamba baadhi ya watumishi kule wanatumia mwanya huokujitajirisha kwa kiasi kikubwa sana, ndiyo! Wanaomba pesa,wanapewa haziendi Serikalini bali zinakwenda mfuko,hatuwezi kwenda namna hiyo hata kama mlikuwa na nia yakuwaondoa kwenye maeneo ya hifadhi lakini msitumie fursahiyo kujitajirisha au kujipatia fedha kwa njia ambazo si sahihi.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, i le operation i l iyofanyikaBiharamuro kwa sababu kuna watu pale ambapo yapomaelezo ya kuonyesha kabisa kwamba wamepokea fedhakutoka kwa wafugaji kinyume kabisa na utaratibu,nimewaambia Mkuu wa Mkoa lazima achukue hatuazinazotakiwa dhidi ya wale wote ambao wamehusika najambo hili. Hatukuwatuma kwenda kufanya hayo, tuliwatumawakishachukua hatua wapeleke watu wanaohusika kwenyevyombo vya sheria ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa. Kwahiyo, nadhani hili tutahakikisha kwamba linafanya kazi kuwanzuri. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, suala la Bodaboda nimelisikia nalimenisononesha na mimi kwa sababu sikujua kwambakumbe tunapokubaliana hapa vitu vingine haviendi kufanyainavyotakiwa. Nimeshamwambia Mkuu wa Mkoa atupetaarifa tuone kumetokea nini mpaka imetokea hivyo.

Mheshimiwa Spika, Bodi ya Kahawa upande ulenadhani Mheshimiwa Rais ameshalimaliza...

(Hapa kengele ililia kuashiria kwishakwa muda wa mzungumzaji)

WAZIRI MKUU: Time tayari?

Page 364: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

364

SPIKA: Ndiyo.

WAZIRI MKUU: Ooh, sorry, unajua ukinogewa hapataabu! (Makofi)

Mheshimiwa Spika, baada ya kuyasema haya,naomba sasa nimalizie kwa kurejea kuwashukuru sanaWashimiwa Wabunge kwa kazi nzuri ambayo wameifanya,tutafanya kila itakalowezekana kutekeleza yale yotemliyokuwa mmeyashauri na mimi naamini tutakwenda vizurisana.

Mheshimiwa Spika, baada ya kuyasema haya,naomba sasa kutoa hoja. (Makofi)

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA: Mheshimiwa Spika, naafiki.(Makofi)

MWONGOZO WA SPIKA

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mwongozo wa Spika!

SPIKA: Mheshimiwa Mnyika, Mwongozo!

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Spika, naombaMwongozo wako kwa mujibu wa Kanuni ya 68 (7) kuhusujambo ambalo limetokea hivi punde.

Mheshimiwa Spika, wakati wa majumuisho ya hoja hii,Mheshimiwa Waziri Mkuu ametoa maelezo yasiyokuwa sahihina yasiyokuwa ya kweli kuhusiana na suala la Mabaraza yaKatiba. Mosi, Mheshimiwa Waziri Mkuu amesema kwambaBunge hili lilipitisha sheria ikieleza muundo wa Mabaraza yaKatiba kufanyika kwenye ngazi ya Kata. Ukweli ni kwamba,Sheria ya Mabadiliko ya Katiba iliyopitishwa na Bungeinachotamka tu ni kwamba Tume itaunda Mabaraza yaKatiba kwenye maeneo ya kijiografia, yatakayohusishamakundi ya kijamii. Hakuna popote kwenye Sheriailiyopitishwa na Bunge hili, hakuna popote kwenye sheriailiyopitishwa na Bunge hili ambapo sheria inasema...

Page 365: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

365

(Hapa baadhi ya Wabunge walikuwawakiongea kwa sauti za juu)

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Spika, naombanimalize.

SPIKA: Naomba mumsikilize!

MHE. JOHN J. MNYIKA: Hakuna popote kwenye sheriakulipotoa maelekezo ya Mabaraza ya Katiba kuundwakwenye ngazi ya Kata.

Mheshimiwa Spika, pili, Mheshimiwa Waziri Mkuuametoa maelezo yasiyokuwa ya kweli kwamba CHADEMAhaikupeleka maoni yake kuhusu Mwongozo huu waMabaraza. Naomba kushuhudia kwako kwamba mimi ndiyenilikuwa Kaimu Katibu Mkuu wa Chama wakati wa upelekajiwa maoni kuhusiana na Mabaraza, tulipeleka na kunaushahidi kwamba tulipeleka na maoni haya hayakuzingatiwana badala yake Tume ikapitisha muundo ambao wajumbewakichaguliwa kwenye ngazi ya Vijiji wanakwenda kuchujwakwenye ngazi ya Kata ambapo CCM inahodhi kinyumekabisa na mfumo mzima.

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, naomba Mwongozowako, ni hatua gani tunaweza kuchukua pale ambapomajumuisho yanayotolewa na Waziri Mkuu yanakuwayanatoa maelezo ya uongo tukizingatia kwamba hukonyuma tuliwahi kuomba Mwongozo mwingine nahaujafanyiwa kazi. (Makofi)

SPIKA: Sawa, tutatoa majibu kesho, kwa sasa mimi sinamajibu.

Waheshimiwa Wabunge, naamini wote mna kitabucha Kanuni kwa sababu sasa tunakwenda kwenye Kamatiya Matumizi, kwa hiyo, kuna mambo ambayo ningependamyafahamu na yazingatiwe.

Page 366: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

366

Tukiwa katika Kamati ya Matumizi, unayo ruhusa yakuweza kupata ufafanuzi katika kifungu kimoja kimoja. Sasaukishapata ufafanuzi kwa mujibu wa Kanuni zetu hizi unawezakuongea dakika tano lakini huna nafasi ya kurudia, mahaliutakapokuwa na nafasi ya kurudia ni pale utakapotoa hojaya kutoa shilingi. Yule mtoa hoja wa kutoa shilingi atakuwana dakika tano, anaweza kuungwa mkono na wenzakewowote wale yaani wanaokubali na wasiokubaliana na hojawatachangia kwa dakika tatu. Baadaye Serikali itajibu lakinionus ya kujibu mwisho ni yule mwenye shilingi na in case ileshilingi yake imekubalika kwa maana itabidi niwahoji,ikikubalika basi fungu lile litakuwa linapita lakini halina shilingimoja. Iwapo litakataliwa basi tunaendelea na mtu mwingineanaweza kuhoji sehemu nyingine. Kwa hiyo, hii naombamuangalie.

Lakini kuna mabadiliko makubwa kuhusiana namshahara wa Waziri. Siku zote na miaka yote hata Bunge laTisa hata Bunge hili, tumetumia muda wetu wote kwenyemshahara wa Waziri, kwa hiyo unakuta hatuitendei haki kaziya Kamati ya Matumizi kwa sababu tunaishia kifungu chamshahara wa Waziri basi, hatupitishi maendeleo wala kituchochote. Kwa hiyo, hii ilionekana ni udhaifu mkubwa sanakatika uendeshaji kazi zetu. Kwa hiyo, Kamati ya Kanuniikafikia mahali ikasema kwamba mshahara wa Waziri kamatunavyoutumia sasa inakuwa kama ni njia nyingine ya kuanzamjadala upya, kwa hiyo, kifungu kinasema utauliza swalilinalohusika na sera. Kwa hiyo, Kamati tumeshakubalianakwamba dakika zitakazotumika katika mshahara wa Wazirini 25 na muda atakaouliza swali la kisera ni dakika tano. Kwahiyo, tunaweza sana kupata wasemaji watano, watatukutoka Chama Tawala na wawili kutoka Kambi ya Upinzani.Hivyo ndivyo itakavyokuwa. Kwa hiyo, naomba mzingatie hilona itabidi tuangalie lakini itatuwezesha kwenda kwenyevifungu vingine mpaka vile vya maendeleo kwa sababututakuwa na muda ambao unatosha.

Kwa hiyo, Waheshimiwa Wabunge, nategemeamnazo hizi Kanuni kwanza, nategemea pia mnavyo vilevitabu kwa sababu mnaweza kuwa mmekuja na kusema tu

Page 367: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

367

ndiyo, ndiyo, kumbe vitabu vyenyewe havipo. Kwa hiyo, kwakufikia hapo.

Jambo lingine ambalo naomba Mwongozo wenu,leo tuna mafungu ya Mikoa na Mikoa ipo mingi kabisa kamana yenyewe tutakwenda kifungu kwa kifungu basi itabidimlale hapa na muda wenyewe hauruhusu. Uzoefu tuliofanyamiaka yote tunapofika kwenye Mikoa tunasema fungu mojala Mkoa halafu tunalipitisha lakini kama kuna mtu ana jambofulani katika eneo fulani basi atatuambia wapi tuangalie kwasababu tukisema twende kifungu kwa kifungu kwanza mudawenyewe hautoshi na itabidi twende kwa guillotine lakinitukienda kwa mafungu inawezekana. Naomba tuendelee!

KAMATI YA MATUMIZI

MATUMIZI YA KAWAIDA

Fungu 25 - Ofisi Binafsi ya Waziri Mkuu

Kif. 1001 Administration and HR Management... ... ... ... ... ... Tshs. 6,386,889,000/=

(Kifungu kilichotajwa hapo juu kilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila mabadiliko yoyote)

Fungu 27 - Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

MJUMBE FULANI: Hatusikii!

MWENYEKITI: Husikiki!

Kif. 1001 Administration and HRManagement ... ... ... ... ... ... ... Tshs. 19,388,739,000/=

(Kifungu kilichotajwa hapo juu kilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila mabadiliko yoyote)

Page 368: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

368

Fungu 37 - Ofisi ya Waziri Mkuu

Kif. 1001 Administration and HRManagement ... ... ... ... ... ... ... .. Tshs. 4,430,857,000/=

MWENYEKITI: Ndiyo mshahara wa Waziri! Mheshimiwa,Mariam Kasembe, Mheshimiwa Mbowe, Mheshimiwa Ole-Sendeka, Mheshimiwa Barwany na Mheshimiwa Mwijage,tuanze na Mheshimiwa Mbowe!

MHE. FREEMAN A. MBOWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,nashukuru kwa kunipa nafasi ya kwanza ya kuzuia mshaharaau kutoa shilingi ili nijadili suala moja la msingi sana la kiserakuhusu Katiba.

MWENYEKITI: Dakika tano tu!

MHE. FREEMAN A. MBOWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,nalizungumza hili nikijua umuhimu wa Katiba kama jambo lamsingi na kipaumbele cha kwanza kwa Taifa lolote kwasababu Taifa hili linaunganishwa na Katiba.

Mheshimiwa Mwenyekiti, mipango yote ambayotunaweza kuwa nayo iwe ya kiuchumi au kijamii kamahatujaweza kutambua utaifa wetu kwa pamoja kwa msingiwa Katiba, tunaweka msingi mbaya.

Mheshimiwa Mwenyekiti, katika hotuba yangu wakatinikichangia hoja ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, ni kwelinilizungumza Katiba kama jambo la priority na ni kwambailikuwa ni kipaumbele chetu na bado ni kipaumbele chetuna kitaendelea kuwa kipaumbele chetu. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, tunaweza tukatibumajeraha mangapi kama nchi kwa kuheshimu mkataba wakitaifa ambao ni Katiba? Nililizungumza hili kwa niaba yawenzangu nikitambua kwamba sisi kama Taifa tunahitajikutibu makovu ambayo tunayo, tunahitaji kutengenezamshikamano wa kitaifa, tunahitaji kujenga uzalendo na

Page 369: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

369

tunahitaji kuwa wamoja na nilijua hili ni process inawezaikapatikana kwenye Katiba.

Mheshimiwa Mwenyekiti, tunaweza tukatumia wingiwetu ndani ya Bunge tukasema chochote tunachotakakusema, tunaweza tukatumia nguvu na mamlaka tuliyokuwanayo tukasema lolote tunalotaka kusema, tunawezatukabezana sana kwa sababu tuna fursa ya kusema nahatuna fursa ya kutoa majibu ya kutosha lakini tunajengambegu gani katika taifa hili?

Mheshimiwa Mwenyekiti, kubezana hapa na vijembekuhusiana na masuala ya Katiba haya ni masuala ya msingiya Taifa. Nasikitika sana kwamba tunapokwenda kuingiakatika kubezana kwa sababu tu pengine wengine hawanafursa ya kuzungumza sana kama ambavyo Wabunge hapandani wanataka kulifanya, sisi kama Chama, kama wadauna sisi tunazungumza kwa niaba ya Watanzania wengineambao ni kundi lingine. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, tulisema mambo mawili tuya msingi katika hotuba yetu pamoja na mengine mengitukiomba rejeo ya mambo mawili ya msingi na tukasemahatutakuwa na uhalali wa kuendelea kushiriki mchakato huona tuliimaanisha hivyo. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, mambo mawili tu tuliyatakahapa. La kwanza, tulisema utaratibu mzima wa Mabarazaya Katiba umevunjwa na kuna ushahidi ambao haupingiki.Jambo hili limewagawa wananchi wetu ngazi za chini,tunataka kulilfungia macho, tuliburuze hili kwa sababu yawingi wakati tunajenga ufa kwa wananchi wetu kule chini.Halafu tunasema hapa leo tunajenga Taifa. Tulisema sisi huumpango ukiendelea hivyo tuwaachia nyie ambao mnatakakuendelea muendelee, hilo la kwanza. (Makofi)

WABUNGE FULANI: Oooh!

MHE. FREEMAN A. MBOWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,la pili na msimamo wetu upo hapo kwamba utaratibu wa

Page 370: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

370

Mabaraza ya Katiba kama ulivyo leo ni kinyume cha utawalabora na sisi kama CHADEMA hatuukubali. Mabaraza hayahatuyakubali na ninatangaza tena tutajitoa kwenyemchakato wa Katiba mwisho wa mwezi kama jambo hililitapuuzwa.

MBUNGE FULANI: Jitoe mara moja.

MHE. FREEMAN A. MBOWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,la tatu, tulizungumza kuhusu sheria.

MWENYEKITI: Mheshimiwa…

MHE. FREEMAN A. MBOWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,bado muda ninao.

MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbowe muda bado unaolakini suala ni moja.

MHE. FREEMAN A. MBOWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,ni suala moja tu la Katiba na Katiba ina vipengele vingi.

MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbowe, hapana. Suala laKatiba umeeleza, sasa suala la kutunga sheria haliruhusiwina kanuni inasema hivyo.

MBUNGE FULANI: Dakika tano!

MHE. FREEMAN A. MBOWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,nakushukuru. Sasa Waziri Mkuu atakuwa tayari kutoa kauliya Serikali kwamba Mabaraza haya yanafuatwa.

MWENYEKITI: Ahsante. Sasa tunaendelea naMheshimiwa Mariam Kasembe.

MHE. MARIAM R. KASEMBE: Mheshimiwa Spika,ahsante sana na mimi nipo kwenye mshahara huohuo…

MWENYEKITI: Watauliza maswali yote halafu Mawaziriwatajibu.

Page 371: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

371

MHE. MARIAM R. KASEMBE: Mheshimiwa Mwenyekiti,nipo kwenye mshahara Waziri na ninataka kuzungumzia sualala kisera.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Waziri hapa alizungumziasana kuhusu suala la korosho pamoja na mazao mbalimbalilakini na sisi katika michango yetu mbalimbali tuliiombaSerikali wakati wa majumuisho iweze kutueleza hatma yamfumo wa stakabadhi ghalani utakavyokuwa katika msingiujao. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kwa masikitikomakubwa, katika majumuisho yaliyotolewa hapa, sikusikiajambo lolote linalohusu mfumo huu wa stakabadhi ghalanina hatma ya uuzaji wa korosho katika msimu ujao. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa ninachoiomba Serikali,suala hili sasa hivi limekuwa ni kero ndani ya Bunge kwasababu kila wakati sisi Wabunge tunaotoka kwenye Mikoainayolima korosho imekuwa sasa ni wimbo wa Taifa kila sikutunalizungumzia suala la mfumo wa stakabadhi ghalani.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nachoiomba Serikali ituelezeleo hatma ya mfumo huu wa stakabadhi ghalani na jinsiwakulima wetu watakavyouza korosho kwa msimu ujao? Kwasababu majibu bado hatujayapata na vinginevyo kamasitaweza kupata majibu leo, wakati wa hotuba ya Waziri waKilimo, humu ndani hapatatosha. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, naiomba Serikali itueleze juuya mfumo wa stakabadhi ghalani kama umeshindikana leotueleze na kama kuna utaratibu wowote ambao Serikaliimeuweka basi mtufafanulie leo ili na sisi tunavyoondokahapa kurudi Majimboni kwetu, tupate jibu la kuwaelezawakulima wetu ambao hadi leo hii wengine hawajauzakorosho zao, wengine hawajapata fedha zao kupitia mfumohuu wa stakabadhi ghalani. Ahsante. (Makofi)

Page 372: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

372

MHE. CHARLES J.P. MWIJAGE: MheshimiwaMwenyekiti, nakushukuru. Suala langu ni la kisera naninasimamia mshahara huohuo wa Mheshimiwa Waziri Mkuu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, wananchi, Wabunge wote,kila mmoja ni shuhuda, kuanzia Kaskazini mpaka Kusini kilamtu amelalamikia maji lakini si kwa hapa tu hata kuletunakotoka maji hakuna. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, ukipitia katika maandiko yaSerikali, unakuta kila kulipokuwa na tatizo la maji wanaelekezanguvu kwenye World Bank na wahisani wengine. Mimi busarayangu inanituma, kwa nini Serikali msitafute majawabu kwakujaribu kutenga vyanzo vya maji vilivyo vingi kulikokutegemea wahisani. Maji ni uhai, inakuwaje uhai wetu sasatunamwachia world Bank, world bank ni nani? (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi ninazuia mshahara waMheshimiwa Waziri Mkuu mpaka nipate majibu kuhusu sualala maji. Nataka maji kwa nchi hii, maji nyumbani, maji Jimboni.(Makofi)

MHE. SALUM K. BARWANY: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante. Mimi kama wenzangu waliotangulia najielekezazaidi katika suala la kisera katika eneo hasa la uwezeshaji nauwekezaji.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa muda mrefu sasatumekuwa tunazungumzia suala nzima la viwanda vyakorosho katika Mikoa ya Lindi, Mtwara na Pwani ambapoviwanda hivyo vilijengwa zaidi ya miaka 20 iliyopita. Hii ilikuwani hoja ambayo Mheshimiwa Waziri Mkuu hakutoa ufafanuzikatika majumuisho yake lakini amejikita zaidi katika kujibu hojaza CHADEMA. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, viwanda vya koroshoambavyo vipo katika mkopo wa Benki ya Dunia ambapo kwamuda mrefu viwanda hivi vimesimama havifanyi kazi. Mzigomzima wa ulipaji madeni hayo unategemea sekta nyingine

Page 373: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

373

siyo sekta ambayo viwanda hivi vilikusudiwa kujengwa. Kwamaana hiyo, deni la Taifa limeongezeka kwa ajili ya mkopowa deni hili la ujenzi wa viwanda vya korosho katika Mikoahii ambayo nimeitaja. Hivyo basi Mheshimiwa Waziri Mkuukatika hoja yake amezungumzia suala nzima la soko la dunia,amezungumzia korosho ghafi ambako ndiko kunakopatikanamajibu ya bei ya korosho katika maeneo hayo lakinimakusudio ya kujengwa viwanda vile ilikuwa ni kufanyiaprocessing ya korosho zetu ili tuuze katika soko la dunia bilakuuza korosho ghafi katika maeneo mengine. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, tunataka kufahamu, hiviviwanda mpaka sasa vipo mikononi mwa nani? Nanianamiliki viwanda hivi na tuna taarifa kabisa kwambaviwanda hivi sasa hivi vimekopewa fedha katika taasisi zafedha na fedha zilizokopewa katika taasisi hizo za kifedhahazikwenda moja kwa moja katika uwekezaji wa viwandahivi na bado taasisi hizo ni taasisi za wananchi na viwandahivyo bado vilichukuliwa vikawa mikononi mwa watendajiwakuu wa Serikali. Tumekwenda BRELA tumeona majina yaWakurugenzi wa viwanda hivyo. Sasa tunataka Waziri Mkuu,atoe ufafanuzi wake hapa Serikali itakavikamata lini viwandahivi, itavirudisha lini kwa Serikali ili wapewe wawekezajiwengine kwa ajili ya kufanya processing ya korosho hizi ilituachane na mpango huu wa kuuza korosho ghafi na kuuzakorosho ambazo zimefanyiwa uboreshaji ili tupate soko nzurikatika soko la dunia.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ni hayo tu, ahsante. (Makofi)

MHE. CHRISTOPHER O. OLE- SENDEKA: MheshimiwaMwenyekiti, kama sote tunavyojua juu ya dhamira njema yaChama kinachotawala kwenye Ilani yake ya Uchaguzi,tulibainisha kwamba lengo letu kubwa ni kuwatoaWatanzania kutoka katika uchumi ulio nyuma na tegemezina kuwapeleka katika uchumi wa kisasa wa Taifalinalojitegemea.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nimesikiliza sana hotuba yaMheshimiwa Waziri Mkuu japo nilikuwa Jimboni kwa shughuli

Page 374: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

374

zingine za mafuriko ya Jimbo langu na nimesoma sanahotuba yake na hasa ukurasa wa 46 kuhusu suala nzima lagesi asilia. Wabunge wa Bunge hili wanajua na Watanzaniawanajua kwamba nchi yetu imegundua gesi asilia kiasi chafuti za ujazo zaidi trilioni 35 ambazo zikitumika vizuri zinawezakulitoa Taifa letu kutoka hapa tulipo na kutufikisha mahalipazuri kiuchumi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini bahati mbaya sanawakati tunazungumzia haya hatuna sera, hatuna sheria lakinitumewapa watu leseni za kuchimba na kutafiti gesi namafuta katika nchi yetu yanayoweza kujitosheleza.Ningependa kupata maelezo ya Serikali na kwa sababuninamwamini sana Waziri Mkuu na ninamwamini aliyemteuaambaye ni Rais wa nchi yetu, sina haja ya mshahara wakekwa siku ya leo lakini nataka maelezo ya kina kwambahatuwezi kuendelea kuchimba gesi kwa mikataba, tunahitajikuchimba gesi baada ya kuwa na sera, baada ya kuwa nasheria itakayopitishwa na Bunge hili ambayo itabainisha nakuwaongoza watakaoingia katika mikataba kwa manufaamapana ya nchi yetu na kuhakikisha kwamba Taifa hililinanufaika na gesi badala ya hivi sasa ambapo mashakayangu yapo kwamba gesi hiyo wanaoichimba wanawezawakanufaika zaidi. Nataka nijue ni lini watakamilisha sualala sera na lini wataleta sheria katika Bunge hili ili gesi hiiichimbwe kwa manufaa makubwa ya nchi yetu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru. (Makofi)

MWENYEKITI: Ahsante. Mmejipanga namna ganikujibu suala la kwanza la Katiba, Mheshimiwa Waziri waKatiba.

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: MheshimiwaMwenyekiti, nakushukuru sana. Mheshimiwa Freeman Mbowenafikiri ndiye aliyezungumza kuhusu suala la Katiba naakasema kwamba utaratibu wa Mabaraza ya Katiba nikinyume na utaratibu na wao hawaukubali. Waohawaukubali hilo ni jambo lipo wazi lakini utaratibu huuikumbukwe kwamba uliwekwa na Tume ambayo tuliipa

Page 375: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

375

madaraka sisi wenyewe chini ya kifungu cha 18(3). Tumetumeipa madaraka ya kuweka utaratibu itaendesha vipimambo yake. Tume ikaweka utaratibu huu, ikatoamapendekezo kwa umma kwamba tunataka kufanyautaratibu huu, umma wakapata nafasi ya kupeleka maoniyao kwa Tume. CHADEMA niseme tu labda maoni yaohayakubaliwa na Tume, lakini hicho ni kitu cha kawaida tu. Sikila oni unalopeleka lazima likubaliwe na siyo maoni yaopekee yao yaliyokataliwa, inawezekana wapo wengiwalipeleka maoni yao na yakakataliwa. Haya yaliyokubaliwana Tume ndiyo haya yaliyozaa Mwongozo ule na ndiyounaotumika hivi sasa. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, Tume tuipa kazi hiyo lakinipia tuipe uhuru na kinga kwamba isiingiliwe. Sasa Serikalihaiwezi kuingilia Tume kwamba badilisheni utaratibu wenu,hapana, ndiyo kazi tuliyoipa na tumeipa kazi hii kisheria,imefanya hivyo. Sasa kwamba utaratibu huu ni mbaya huwezikuingiza Serikali humu. Tumetunga sheria sisi tukaiambia Tumeunayo madaraka ya kuweka utaratibu utaendeshaje mambohaya. Tume ikaweka utaratibu huo, ikaupeleka kwawananchi, wananchi wakakubaliana nayo, imetoa sasatunatekeleza, kama sisi hatukubaliani nayo basi tujaribu labdakatika hatua zijazo kama alivyopendekeza Waziri Mkuu,tujaribu huko mbele yatakapokwenda Mabaraza hayakuketi, tupeleke maoni yetu zaidi huko, watakapokwendakwenye Bunge la Katiba tupeleke maoni huko. Labda piatutakapokuwa hatukubaliani na mengine yatakayopitishwana Bunge la Katiba tupeleke maoni yetu kwenyereferendarum, bado nafasi za kutoa maoni zipo namnakaribishwa kufanya hivyo. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, kusema kwambahamkubaliani kwa hiyo mnajitoa, well kujitoa ni uamuzi nakama mmeufanya basi mmeufanya lakini mnaufanya uamuzihuo mkiwa mnazingatia kwamba tulipitisha sheria hii sisiwenyewe ndani ya Bunge, tukaipa madaraka Tume hii, Tumehii imefanya kazi yake kwa kuzingatia sheria ile na imekwendazaidi, imekuja hata kuomba ushauri. Tulidhani ni jambo nzuri,Tume hii mnaijua, ina watu wengi, ina watu wenye heshima

Page 376: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

376

zao, wamefanya kitu hiki kizuri. Mimi ningewashauri tu wakaetena waangalie upya waone nafasi yao katika jambo hilo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. (Makofi)

MWENYEKITI: Ahsante. Tunaendelea na hoja ya piliya korosho. Naomba wanaojibu wawe brief la sivyo tunalalahapahapa. Hoja ya korosho ni pamoja na soko na viwanda.

WAZIRI WA KILIMO NA USHIRIKA: MheshimiwaMwenyekiti, naomba nijibu hoja mbili za Mheshimiwa MariamKasembe na Mheshimiwa Barwany kwa pamoja.

Mheshimiwa Mwenyekiti, huu mfumo wa stakabadhighalani wote tunajua ulipoanza miaka miwili ya kwanzaulifanya vizuri sana. Baadaye ukaghubikwa na matatizo…

MWENYEKITI: Nyanyua microphone yako kidogohaisikiki.

WAZIRI WA KILIMO NA USHIRIKA: MheshimiwaMwenyekiti, nasema wote tunajua mfumo huu wa stakabadhighalani ulipoanza ulianza vizuri mwaka wa kwanza na wapili, ulikwenda vizuri wakulima walipata malipo yao kwanza,ya pili na hata majaliwa. Mpaka ulipoingiliwa na wale ambaowaliona maslahi yao yameingil iwa wakaanzakuuchakachua.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini pamoja na hayohakuna kitu kizuri ambacho kinakwenda moja kwa moja hatamodel za kisayansi unapoziweka unazi-test kwanza,unaangalia zinavyo-perform. Sasa mfumo huu wa stakabadhighalani kama ilivyo mifumo mingine kama kilimo chamkataba cha pamba kule, zipo changamoto ambazozimejitokeza, zipo changamoto za kuchelewesha malipo kwawakulima, kuchelewa kununua mazao, upotevu wa korosho,mianya ya wanunuzi na hata matatizo yanayotokana na zilesheria zenyewe za ghalani, fidia upotevu unapojitokeza.

Page 377: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

377

Mheshimiwa Spika, sasa tulivyojipanga ni kwamba sisiSerikali tutaleta Muswada wa Marekebisho ya Sheria ambaoutarekebisha kasoro hizi ambazo ndizo zinazopelekeautaratibu mzima kumchelewesha mkulima. Kwa hiyo,tumejipanga kuleta Muswada huo na tunaamini kabisakwamba wakati huo tunapoleta Muswada huo tutakuwatumeufanyia kazi ili tuondoe kasoro zote hizi ambazo ndizozinaonekana kumleta matatizo mkulima.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu viwanda, viwandavile vya korosho vilipobinafsishwa vyote vilibinafsishwa kwaasilimia 100. Kwa maana hiyo vinamiliki na wenyewe viwanda.Tukienda moja kwa moja tukasema tunawanyang’anyawale, Serikali itajitia katika matatizo mengine. Tulivyojipangasisi ni kuanza kutazama upya, kuhamasisha ujenzi waviwanda vingine na siyo Serikali inayojenga viwanda, sisituhamasisha sekta binafsi ijenge viwanda na kwa sababuhiyo tumeshaanza mazungumzo na wenzetu kwa mfano waNSSF wamekubali kabisa kwamba kama watakuwepo watuwapo tayari kuingia kwenye viwanda wao watachangiaasilimia 60 na yule anayejenga asilimia 40. Kwa hiyo,tutajitahidi sasa kuanza kuwahamasisha wote ambao wapotayari ili tuingie kwenye mfumo wa kujenga viwanda vipyavyenye teknolojia ya kisasa siyo hivi vya kizamani ili angalautuhakikishe kwamba korosho yote inabaguliwa badala yakuuzwa nje.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hayo ndiyo maelezoambayo tumejipanga Kiserikali. (Makofi)

MWENYEKITI: Ahsante. Kuhusu mambo ya maji.

NAIBU WAZIRI WA MAJI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nikweli l ipo tatizo kubwa la maji mijini na viji j ini kamaalivyolielezea Mheshimiwa Mwijage na ni kweli Serikali kwamuda mrefu imekuwa ikitegemea fedha nyingi za kutoka nje.Serikali mwaka 2009 ilitunga Sheria ya Maji, Namba 12ambapo katika Sehemu ya Nane, kifungu cha 44, kinaainishakuanzisha Mfuko wa Maji. Serikali imefanya taratibu zote zamaandalizi za Mfuko na Mfuko huu unaanza katika bajeti ya

Page 378: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

378

mwaka 2013/2014 yaani mwezi wa Julai na Serikali imekubalikutenga fedha zake kuingiza kwenye Mfuko huu. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, sehemu ya pili, Serikali piailitunga Sera ya PPP ambayo inaruhusu Sekta Binafsi kuwekezakwenye sekta ya Maji. Tunawakaribisha walio tayari wawezekuwekeza kusaidia tatizo la maji.

Mheshimiwa Mwenyekiti, sehemu ya tatu, pamoja najuhudi hizo, Serikali inaendelea kuongeza bajeti ya Wizara yaMaji kwa mfano, mwaka 2011/2012 tulikuwa na shilingi bilioni44.6, lakini mwaka 2012/2013 Serikali iliongeza mpaka shilingibilioni 140 na mwaka huu vilevile zimefikia shilingi bilioni 140kwa hiyo, tuna uhakika tatizo la maji litatatuliwa baada yamikakati hiyo yote kuanzishwa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru sana. (Makofi)

MWENYEKITI: Suala la mwisho, Sera ya Gesi.

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: MheshimiwaMwenyekiti, napenda kuchukua nafasi hii kutoa ufafanuzi kwahoja iliyotolewa na Mheshimiwa Ole- Sendeka kamaifuatavyo. Mchakato wa Sera ya Gesi ya Sheria umechukuamuda kwa sababu ya umuhimu na unyeti wa rasilimaliyenyewe. Mtakumbuka kwamba ugunduzi wa rasilimali hiiumekuwa ukiongezeka kila mara kadri tafiti zinapofanyikana nichukue nafasi hii kutamka hapa kwamba kiwangokimeongezeka tena sio TCF 35 bali ni TCF 40 kwa ugunduziwa hivi karibuni. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, rasil imali hii imeletamatumaini makubwa na inajibu tatizo kubwa la uchumi wanchi yetu na kwa hivyo ni vizuri ikawa na sheria na sera imarana madhubuti sana. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, mchakato huu ambaotuliouanza na kwamba umekuwa ukitanuka kadri sikuzinavyokwenda kwa sababu ya ulazima wa kushirikishawadau wengi zaidi na tumefanya hivyo kuanzia kwenye

Page 379: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

379

maeneo ambayo ugunduzi umefanyika lakini na Mikoambalimbali kwa kukusanya maoni ya wadau mbalimbali.Aidha, tumefanya hivyo kupitia kwenye taasisi na tuliwekahii Rasimu ya Sera yetu kwenye websites na kwa hiyo tulipatamaoni mengi sana ambayo yametuchukua muda mrefu sanakuyachambua na ilibidi tujifungie kule Bagamoyo kufanyauchambuzi ambao umechukua muda mrefu sana.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sasa niseme tu kwambatumemaliza kazi hiyo, hivi sasa ilitakiwa tuwe kwenye hatuaya kupeleka kwenye Kamati ya Makatibu Wakuu ili tuwezekupeleka kwenye Baraza la Mawaziri, lakini Kamati ya Nishatiya Madini uliyoiteua wewe Mheshimiwa Mwenyekiti ikaonani vyema na yenyewe ijiridhishe kwa sababu ndio chomboambacho kinawakilisha Bunge. Kwa hiyo, tumewapawatatumia muda mfupi kuturudishia na wakimaliza sisitunaendelea na hatua zilizofuatia. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini niseme tu suala mojala kujivunia katika Sera hii na ambalo wadau wotewamelisema ni kwamba gesi hii ni mali ya Watanzania.(Makofi)

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila Mabadiliko yoyote)

Kif. 1002 - Finance and Accounts ... ... Tsh. 951,780,000/=Kif. 1003 - Policy and Planning ... ...Tsh. 5,120,086,000/=Kif. 1004 - Internal Audit Unit ... ... ... ... Tshs. 244,864,000/=Kif. 1005 - Government Communication

Unit… ... ... ... ... .. ... ... ... ... .Tshs.254,758,000/=Kif. 1006 - Procurement Management

Unit ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... Tshs.264,643,000/=Kif. 1007 - Legal Services Unit ... ... ... ... Tshs. 113,433,000/=Kif. 1008 - Management Information

System Unit ... ... ... ... ... ... ... Tshs.171,366,000/=Kif. 2001 - Civil Affairs and

Contingencies ... ... ... ... ... Tshs. 8,912,467,000/=Kif. 2002 - National Festivals ... ... ... ... ...Tshs. 845,813,000/=

Page 380: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

380

Kif. 3001 - Parliamentary and Political Affairs … ... ... ... ...Tshs.752,526,000/=

Kif. 4001 - Investment and Private Sector Devt. … ... ... ... ... ... Tshs. 7,491,118,000/=

Kif 5001 - Coordination of Government Business ... ... ... Tshs.930,408,000/=

Kif. 7001 - Government Printer... ... ... ... Tshs. 4,601,072,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila Mabadiliko Yoyote)

Fungu 42 – Mfuko wa Bunge

Kif. 1001 - Administration and HR Management… ... ... ... ... ..Tshs. 21,128,541,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila Mabadiliko Yoyote)

Kif. 2001 – National Assembly .... ... ... ..Tshs. 93,372,918,000/=

MHE. GODFREY W. ZAMBI: Mheshimiwa Mwenyekiti,nataka kuzungumza kwa ujumla kuhusu Mfuko wa Bunge…

MWENYEKITI: Kwa ujumla haiwezekani kwa hapatulipofikia.

MHE. GODFREY W. ZAMBI: Ni Fungu hilo ambalotunazungumzia sasa, Mfuko wa Bunge kuhusu fungu 2001,ukurasa wa 229.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hoja yangu...

MWENYEKITI: Sio fungu lote, ni item gani unayotakakuzungumzia?

MHE. GODFREY W. ZAMBI: Nazungumzia kuhusu Mfukowa Bunge.

Page 381: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

381

MWENYEKITI: Mfuko wa Bunge, National Assembly,subvote 2001, subvote ndogo ipi? Tulipofika sasa ni specific.

MHE. GODFREY W. ZAMBI: Mheshimiwa Mwenyekiti,nazungumzia kuhusu 210100.

MWENYEKITI: Sawasawa.

MHE. GODFREY W. ZAMBI: Mheshimiwa Mwenyekiti,hoja yangu ni kwamba, tumezungumza ili Bunge liwezekufanya shughuli zake vizuri, ni vizuri basi fedha zile zikawekwakwenye Mfuko wa Bunge ili Bunge liendelee kufanya vizurikuliko ilivyo sasa ambapo kila mnapokwenda kwenyeShughuli za Bunge lazima muende ku-negotiate na Hazinawakati kimsingi Mfuko wa Bunge upo na Sheria ya Bungeiliyoanzisha Mfuko wenyewe upo. Nini kauli ya Serikali kwambatunapopitisha bajeti hii na Mfuko wa Bunge unaanza kufanyakazi ili tuepukane na kuombaomba hela kutoka Hazina kilawakati? (Makofi)

MWENYEKITI: Nitamwita mtu ajibu lakini sio mahalipake. Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Bunge na Uratibu.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, URATIBUNA BUNGE): Mheshimiwa Mwenyekiti, bahati nzuriMheshimiwa Mbunge ni Mjumbe wa Tume na ni ukweli fedhahizi zikipitishwa huwa tunaomba, ni utaratibu wa kawaidawa cash budget. Kila mmoja anaomba kwa kadri yampango na Hazina huwa wana-release pesa kwa mujibu waMpango wa Bunge. Nataka kuwahakikishia kwa fungu hiloalilolisema hapa ambalo ni basic salaries hakuna hata shilingimoja ambayo Bunge limewahi kuomba Hazina likakosa.Tumepewa kila tunachokihitaji kutokana na mafungu haya.Kwa hiyo, suala la kuleta kulingana na mipango, by numberhazipungui lakini inawezekana Serikali haina uwezo wa kutoafedha hizi zote za miezi 12 lakini huwa zinatoka zote.

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaBunge Zima Bila ya Mabadiliko Yoyote)

Page 382: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

382

Fungu 56 – Prime Minister’s Office – RegionalAdministration and Local Government

Kif. 1001 - Administration and HR Management .... ... ... ...Tshs. 3,193,796,000/=

Kif. 1002 - Finance and Accounts ... Tshs. 514,766,000/=Kif. 1003 - Policy and Planning Division ...Tshs. 1,829,434,000/=Kif. 1004 - Management Information

Systems Division ... ... ... ... Tshs. 717,737,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila Mabadiliko Yoyote)

Kif. 1005 - Legal Services Division ... Tshs. 426,465,000/=

MHE. LETICIA M. NYERERE: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante. Kasma 220100, Office and General Supplies andServices. Nilikuwa naomba tu ufafanuzi kwa nini mwaka huuwa fedha imeongezeka kama mara ishirini.

MWENYEKITI: Mmekiona, kuna kifungu cha 220100 sio?Ndio Mheshimiwa.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaMwenyekiti, figure ile iliyoko pale kama tukiangalia kwenyeile addendum ya 920 ilibadilika na figure ambayo inasomekasasa ni shilingi 16,900,000/=.

MWENYEKITI: Katika subitem hiyo?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): Ndiyo.

MWENYEKITI: Inasomeka nini?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): Shilingi 16,900, 000na tulishaifanyia marekebisho kwenye addendum. Ni makosa

Page 383: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

383

ile ni kwamba imeingia kimakosa pale. Ukiangalia hiyoukitafuta total inakupa hizo zinazoonekana pale.

MWENYEKITI: Ukiangalia hiyo subitem pale mwishoniimekuweko shilingi 426,465,000/= isingekuwa sahihi kwambasub item kana shilingi 900,000,000/=

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaBunge Pamoja na Marekebisho Yake)

Kif. 1006 - Chief Internal Audit Unit ... ... ... Tshs.337,278,000/=Kif. 1007 - Information, Education and

Communications ... ... ... ... ... Tshs. 386,792,000/=Kif. 1008 - Procurement Management

Unit ... .... ... ... ... ... ... ... ...Tshs. 337,876,000/=Kif. 1009 - Infrastructure Development

Unit ... ... ... ... ... ... ... ... ... Tshs. 151,576,895,000/=Kif. 2001 - Regional Administration

Division ... ... ... ... ... ... ... Tshs. 837,625,000/=Kif. 2002 - Local Government

Coordination Division ... ... ... Tshs.21,330,042,000/=Kif. 2003 - Sector Coordination Division ... Tshs. 834,923,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila Mabadiliko Yoyote)

Kif. 2004 - Basic Education Coordination Division ... ... ... ... ... ... ... Tshs. 1,202,188,000/=

MHE. LETICIA M. NYERERE: Mheshimiwa Mwenyekiti,kasma 221200 Comunication and Information. Nauliza kwanini imeshuka sana mwaka huu wa fedha, naomba ufafanuzitafadhali.

MWENYEKITI: Mmekipata kifungu hiki, naombamaelezo.

Page 384: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

384

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaMwenyekiti, kwanza ilikuwa ni suala la kipaumbele, lakinisehemu kubwa ilihamia katika Utawala.

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko Yoyote)

Kif. 2005 - Urban Development Division...Tshs. 528,183,000/=Kif. 3001 - Organisation Development

Division .... ... ... ... ... ... ... Tsh. 10,305,133,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila Mabadiliko Yoyote)

Fungu 61 – Tume ya Uchaguzi

Kif. 1001 - Administration and HR Management ... ... ... ... ... ... Tshs. 1,992,579,400/=

MHE. LETICIA M. NYERERE: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante. Ningeomba tu ufafanuzi kwa nini tofauti imekuwaya shilingi 40.

MWENYEKITI: Kati ya nani na nani?

MHE. LETICIA M. NYERERE: Kati ya bajeti ya mwakajana na ya mwaka huu, tofauti ni shilingi 40 tu. Naomba labdaufafanuzi kwa sababu mimi sielewi kwa nini iwe 40 tu.

MWENYEKITI: Ilitakiwa iwe ngapi? Anayo sababu yaswali, nani anasimamia hiyo Tume?

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, URATIBUNA BUNGE): Mheshimiwa Mwenyekiti, swali lako hajajibualitaka iwe ngapi?

MWENYEKITI: Wewe jibu kwa nini imeongezeka kidogotu. (Kicheko)

Page 385: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

385

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, URATIBUNA BUNGE): Hivyo ndivyo ilivyo Mheshimiwa Mwenyekiti.

MWENYEKITI: Imeongezeka kidogo, ndichoanachotaka kusema kwa nini?

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, URATIBUNA BUNGE): Kwanza, hakusema kifungu gani specifically,amesema fungu hili, sasa ni fungu lote la 1001 au?

MHE. LETICIA M. NYERERE: Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba nirudie.

MWENYEKITI: Tutumie muda kwa jambo ambalonadhani...

MHE. LETICIA M. NYERERE: Mheshimiwa Mwenyekiti, nikasma 220700 rental expenses, mwaka huu wa fedhaimepungua shilingi 40 tu ningeomba ufafanuzi?

MWENYEKITI: Kifungu chenyewe kipo, ya mwakauliopita ni 1,002,279,540/= na sasa ni shilingi 1,002,279,500. Nishilingi 40 sio 40,000/= ni shilingi 40.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, URATIBUNA BUNGE): Hizi fedha zimeombwa kwa ajili ya kulipia pangoza Ofisi ya Tume na hiki ndicho kiwango halisi kinachotakiwakulipwa mwaka huu.

MWENYEKITI: Wasiwasi wake ni shilingi 40 not even40,000/=, ana-feel kwamba labda kuna technical error ausomething.

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko Yoyote)

Kif. 1002 - Planning Monitoring and Evaluation Division ... ... ... ... Tshs. 153,696,000/=

Kif. 1003 - Finance and Accounts Unit ... ...Tshs. 258,134,000/=

Page 386: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

386

MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, kwa mujibu waKanuni naongeza muda wa dakika thelathini ili tuweze kufikatutakapofika.

Kif. 1004 - Internal Audit Unit ... ... ... ... Tshs. 191,613,600/=Kif. 1005 - Legal Service Unit ... ... ... ... .. Tshs. 179,480,000/=Kif. 1006 - Procurement MGT &

Logistics Unit ... .... .... ... ... ... ... Tshs.169,016,000/=Kif. 2001 – Election Management

Division ... ... ... ... .. ... ... ... ... ... ..Tshs.193,094,000/=Kif. 2002 – Permanent National Voters

Reg Syt Dvn .... ... ... ... ... ... ... Tshs.229,102,400/=Kif. 2003 – Voters Educ & Public

Inf Division ... .... .... ... ... ... ... ... Tshs.206,370,800/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 91 - Tume ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya

Kif. 1001 – Administration and HR Mgt ... Tshs 3,002,286,000/=

MHE. BETTY E. MACHANGU: Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba nipitie kifungu kidogo cha 410600 - Acquisition ofOffice and General Equipment. Naomba niulize kamageneral kwa vifungu vingine kwamba Mheshimiwa WaziriMkuu amekuwa akisema kwamba kuanzia sasa hivi Serikaliitakuwa inanunua furniture za nchini hapa. Naomba kuulizahiyo kanuni au sera itaendelea na waraka utatolewa auitakuwaje?

MWENYEKITI: Mheshimiwa Waziri majibu. Helayenyewe ni shilingi milioni moja.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, URATIBUNA BUNGE): Mheshimiwa Mwenyekiti, ni kweli tumeanzakutekeleza na nafurahi kusema kwamba wewe na Bunge lakoTukufu mmeamua kuwa wa kwanza kabisa kutekeleza kwakuchonga samani zake kwa kutumia mafundi wa ndani. Kwa

Page 387: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

387

hiyo, sera hiyo imeanza kutekelezwa na Tume ya Bungeimeamua hivyo. (Makofi)

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 92- Tume ya Kudhibiti UKIMWI - TACAIDS

Kif.1001 – Administration and HR Management... ... ... ... ... ... .. Tshs.159,072,200/=

Kif.1002 – Finance,Admn.& Resource Mobilization … ... ... Tshs.1,379,673,768/=

Kif.1003 – Monitoring, Evaluation, Research and Mis… ... ... ... ... ... Tshs.84,642,000/=

Kif.1004 - Advocacy, Information, Edu and Com … …. ... ... ... ... ... Tshs.63,151,200/=

Kif.1005 – District and Community Response… … … ... .... ... ... ... Tshs.471,130,160/=

Kif.1006 – Procurement Management Unit… … … … ... ..Tshs.76,212,000/=

Kif.1007 - Legal Unit… … … … ... ... ... ... ... Tshs.162,576,000/=Kif.1008 - Management Inf. Systems … …. …Tshs.43,690,800/=Kif.1009 - Internal Audit Unit… . .… … … … Tshs.63,487,872/=Kif.1010 - Special programs… … … … . ... ...Tshs.36,677,000/=Kif.1011- Government

Communication unit… … ... ... ...Tshs.18,777,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

MATUMIZI YA KAWAIDA KWA MIKOA

MWENYEKITI: Tunaenda Volume ya Mkoa, supply vote.Kama tulivyosema tutakuwa tunasoma fungu tu pale juu. Sasakama mtu anahoja awe amejiandaa vizuri.

Page 388: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

388

Fungu 36 – Mkoa wa Katavi

Kif.1001 - Administration and HR Mngt… …Tshs. 723,451,000/=Kif.1002 – Finance and Account ... ... ... ... ... Tshs.18,910,000/=Kif.1003 – Internal Audit ... .... .... .... ... ... ... ... ..Tshs.15,720,000/=Kif.1004 - Procurement Management ... ... ...Tshs.28,074,000/=Kif.1005 – DAS – Mpanda ... ... ... ... ... ... ... ...Tshs.102,337,000/=Kif.1006 – DAS – Mlele ... .. ... .... .... .... .... .... Tshs.120,000,000/=Kif. 1014 – Legal Service Sector ... ... ... ... ... ... ..Tshs.2,335,000/=Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit … … …. Tshs.17,583,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination… … Tshs.121,900,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive

Sector ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... Tshs.64,763,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector … … … … ....Tshs.67,460,000/=Kif. 2005 – Local Govt Mgnt Services …. … …Tshs.33,610,000/=Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.197,065,000/=Kif. 2007 – Water Service. … … … … … ... ... Tshs.11,820,000/=Kif. 3001 -Regional Hospital… … … … … .. ... Tshs.9,412,000/=Kif. 8091- Local Government

Authorities ... ... ... ... ... ... ... Tshs. 29,486,480,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 47 – Mkoa wa Simiyu

Kif.1001 - Administration and HR Mngt… … … … ... ... ... ... ... ... Tshs.461,036,000/=

Kif.1002 – Finance and Accounts Unt... ... ... Tshs.28,329,000/=Kif.1003 – Internal Audit Unt . .... .... ... . ... ... ... Tshs.12,905,000/-Kif.1004 - Procurement Management Unt.. ...Tshs.14,450,000/-Kif.1005 – DAS – Bariadi ... ... ... ... ... .... .... ... .Tshs.183,801,000/-Kif.1006 – DAS – Maswa ... .. .... ... .... .... .... ....Tshs.180,603,000/-Kif.1007 – DAS – Meatu ... ... ... ... ... .... .... ... .Tshs.194,147,000/-Kif.1008 – DAS – Busega .... .... .... .... .... .... ....Tshs.195,209,000/-Kif.1009 – DAS - Itilima ... ... ... ... ... ... ... ... ... .Tshs.177,349,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit ... ... ... ... ... ... ...Tshs.14,775,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit … …. … Tshs.11,705,000/-Kif. 2001 - Planning and Coordination… … Tshs.118,159,000/-

Page 389: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

389

Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ... ... ... ... ... Tshs. 83,896,000/-

Kif. 2003 - Infrastructure Sector … … … … … .Tshs.28,808,000/-Kif. 2004 – Social Sector … .... … … … … … ..Tshs.74,636,000/-Kif. 2005 – Local Govt Mgnt Services …. … …Tshs.77,180,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs. 204,485,000/-Kif. 2007 – Water Service . …. … … … … … .. Tshs.15,360,000/-Kif. 3001 -Regional Hospital … … … … … ..Tshs. 55,500,000/-Kif. 8091- Local Government

Authorities ... ... ... ... ... ... ... Tshs.73,851,203,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 54 – Mkoa wa Njombe

Kif.1001 - Administration and HR Mngt… … … … ... ... ... ... ... ... Tshs.294,406,000/-

Kif.1002 – Finance and Accounts Unt ... . ... .. Tshs.34,983,000/-Kif.1003 – Internal Audit Unt . .... .... ... ... ... ... Tshs.34,589,000/-Kif.1004 - Procurement Management

Unt.. .... ... ... .... ... ... ... ... ... ... .. Tshs.20,368,000/-Kif.1005 – DAS – Njombe ... .. ... ... ... .... .... ... Tshs.180,900,000/-Kif.1006 – DAS – Makete.. ... .... ... .... .... .... ....Tshs.178,735,000/-Kif.1007 – DAS – Ludewa ... ... ... ... ... .... .... .. Tshs.194,925,000/-Kif.1008 – DAS – Wanging‘ombe .... .... .... ....Tshs.133,571,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit ... ... ... ... ... ... ...Tshs. 21,780,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit … …. … Tshs. 35,037,000/-Kif. 2001 - Planning and Coordination … … Tshs.95,511,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector ... ... ... ... ... Tshs.154,376,000/-Kif. 2003 - Infrastructure Sector … … … … … .Tshs.67,680,000/-Kif. 2004 – Social Sector … … … … … … … ..Tshs.90,080,000/-Kif. 2005 – Local Govt Mgnt Services …. … …Tshs.59,366,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.139,551,000/-Kif. 2007 – Water Service … …. … … … … … Tshs.51,674,000/-Kif. 3001 -Regional Hospital … … … … … ..Tshs.209,001,000/-

Page 390: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

390

Kif. 8091- Local Government Authorities ... ... ... ... ... ... Tshs.78,254,332,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko Yoyote)

Fungu 63 – Mkoa wa Geita

Kif.1001 - Administration and HR Mngt … …Tshs.506,756,000/-Kif.1002 – Finance and Accounts Unt . ... ... .. Tshs.50,657,000/-Kif.1003 – Internal Audit Unt . .... .. ... ... ... ... ... Tshs.27,168,000/-Kif.1004 - Procurement Management Unt.. .Tshs. 76,515,000/-Kif.1005 – DAS – Geita ... ... ... ... ... ... ...... ....Tshs.138,258,000/-Kif.1006 – DAS – Bukombe. .. .... ... .... .... .... ...Tshs.123,913,000/-Kif.1007 – DAS – Chato ... ... ... ... ... .... .... ... .Tshs.122,973,000/-Kif.1008 – DAS – Nyang‘hwale.. .. .... .... .... ....Tshs.110,616,000/-Kif.1009 – DAS – Mbogwe . ... ... ... ... ... ... ... .Tshs.117,638,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit ... ... ... ... ... ... ...Tshs.27,559,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit … …. … Tshs. 20,114,000/-Kif. 2001 – Management Support … … … .. Tshs.91,634,000/-Kif. 2002 - Economic and Dvl Support … … Tshs. 81,061,000/-Kif. 2003 - Infrastructure Sector … … … … … .Tshs.45,171,000/-Kif. 2004 – Social Sector … … … … … … … ..Tshs.63,006,000/-Kif. 2005 – Local Govt Mgnt Services … … …Tshs.64,187,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.213,726,000/-Kif. 2007 – Water Service … …. … … … … … Tshs.31,391,000/-Kif. 8091- Local Government

Authorities … ... …. … ... ... ... Tshs.87,067,733,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 70 - Mkoa wa Arusha

Kif. 1001 – Admn and HR Management …Tshs.1,240,317,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts … … … Tshs.148,347,000/-Kif. 1003 - Internal Audit Unit… … … … … … Tshs.40,850,000/-Kif. 1004 – Procurement

Management Unit ... ... ... ... ... Tshs.49,082,000/-

Page 391: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

391

Kif. 1005 – DAS - Arusha … … … … … … ...Tshs.236,320,000/-Kif. 1006 – DAS-Ngorongoro … … … … … Tshs.227,974,000/-Kif. 1007 – DAS – Karatu ... … … … … … … Tshs.294,051,000/-Kif. 1008 – DAS- Arumeru ... … … …. …. … Tshs.244,841,000/-Kif. 1009 – DAS Monduli .. … … … … … … Tshs. 228,483,000/-Kif. 1010- DAS-Longido .. … … … … … … …Tshs. 239,677,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit ... ... ... ... ... ... ...Tshs. 19,076,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit … . …. .. Tshs. 31,500,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination… .. Tshs. 230,262,000/-Kif.2002 - Economic and Productive

Sector … … ... ... ... ... ... ... ... ... Tshs.181,082,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector … … … …. Tshs.199,756,000/-Kif. 2005 – Local GVT. Management

Services … … ... ... ... ... ... ... ...Tshs. 115,101,000/-Kif. 2006 – Education Sector ... … …. …. … Tshs. 297,620,000/-Kif. 2007 – Water Sector … … … … … … ...Tshs. 28,142,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital ...… … … … Tshs. 4,819,804,000/-Kif. 8091 – Local Government … … … Tshs.141,650,637,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Pamoja na Marekebisho yake)

Fungu 71 – Mkoa wa Pwani

Kif.1001 - Admn and Human Resource Mngt… … …. … ... ... ... ... ... ... Tshs.954,209,000/-

Kif. 1002 - Finance and Accounts Units … … Tshs. 84,082,000/-Kif. 1003- Internal Audit Unit … … … … … .. Tshs.17,800,000/-Kif. 1004 - Procurement

Management Unit ... ... .... ... ..Tshs. 73,272,000/-Kif.1005 – DAS-Kibaha … ... … … … … … …Tshs. 230,853,000/-Kif.1006 – DAS-Mafia … … … … … … … …Tshs. 249,827,000/-Kif.1007- DAS-Kisarawe … … … … … … … Tshs. 212,488,000/-Kif.1008 - DAS-Bagamoyo … … … … … Tshs. 278,617,000/-Kif. 1009 – DAS-Rufiji… … … … … … … … ... Tshs.163,441,000/-Kif. 1010- DAS-Mkururanga … … … … … …Tshs.164,376,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit . …. …. …. …. .Tshs.10,340,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit… …. …. ..Tshs.33,153,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.271,380,000/-

Page 392: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

392

Kif. 2002 - Economic and Productive Sector... ... ... ... ... ... ... ... ... Tshs. 277,196,000/-

Kif. 2003 – Infrastructure Sector … … … …Tshs. 230,776,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … …Tshs. 124,730,000/-Kif. 2005 – Local GVT Management

Services ... .... .... ... .... .... .... Tshs. 47,220,000/-Kif. 2006 – Education Sector ... ... ... ... ....Tshs. 181,020,000/-Kif. 2007 – Water Sector … … … … … … ...Tshs. 48,520,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … … ….. … Tshs. 287,920,000/-Kif. 8091 – Local Government… … … … … Tshs. 109,229,733/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu vilipitishwa na Kamati yaBunge Zima Bila Mabadiliko Yoyote)

Fungu 72- Mkoa wa Dodoma

Kif. 1001 – Admn and HR Management … Tshs.759,858,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.111,778,000/-Kif. 1003- Internal Audit Unit … … … … … …Tshs.30,862,000/-Kif.1004–Procurement

Management Unit … … … ... ... ... Tshs.62,506,000/-Kif. 1005 – DAS - Kondoa … … … … … … Tshs.298,837,000/-Kif. 1006 – DAS-Mpwapwa … … … … … … Tshs.187,196,000/-Kif. 1007 – DAS – Kongwa … … .… … … … Tshs.203,062,000/-Kif. 1008 – DAS- Bahi … … … … …. …. … Tshs.219,409,000/-Kif. 1009 – DAS Chamwino … … … … … … Tshs.201,560,000/-Kif. 1010- DAS-Dodoma … … … … … … … Tshs.185,878,000/-Kif.1011 - DAS - Nchemba . …. …. …. … …Tshs.120,000,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit ... .. .… …. …. …. …. …. .Tshs.0/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit .. …. …. ..Tshs.20,000,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.198,373,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. ... ... ... Tshs.235,396,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.150,955,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.259,658,000/-Kif. 2005 – Local GVT Management

Services … … ... ... ... ... ... ... .. Tshs.92,503,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.173,000,000/-Kif. 2007 – Water Sector . … … … … … … ... Tshs.33,127,000/-

Page 393: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

393

Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.4,453,327,000/-Kif. 8091 – Local Government … … … Tshs.130,564,145,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 73 - Mkoa wa Iringa

Kif. 1001 – Admn and HR Management … Tshs.727,150,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.126,230,000/-Kif. 1003 - Internal Audit Unit… … ... … … … Tshs.48,504,000/-Kif. 1004 – Procurement

Management Unit … … … ... ... Tshs.38,554,000/-Kif. 1005 – DAS - Iringa … … … … … … … Tshs. 271,934,000/-Kif. 1006 – DAS-Njombe… … … … … … … … ... ... ... Tshs.0/-Kif. 1007 – DAS – Mufindi … … … … … … …Tshs.271,008,000/-Kif. 1008 – DAS- Ludewa … … … … … … …. ... ... ...Tshs.0/-Kif. 1009 – DAS- Makete … … … … … … … … ... ... ... Tshs.0/-Kif. 1010 - DAS-Kilolo … … … … … … … … Tshs. 239,998,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit …. …. …. …. …. .Tshs.8,755,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. .. Tshs.53,702,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.219,809,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. ... ... ... Tshs.283,289,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.124,206,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.135,880,000/-Kif. 2005 – Local GVT Management

Services ... ... ... ... ... ... ... ... ... Tshs.158,774,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.357,425,000/-Kif. 2007 – Water Sector . … … … … … … ...Tshs.88,796,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.4,050,706,000/-Kif. 8091 – Local Government … … … … Tshs.95,056,844,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Page 394: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

394

Fungu 74 – Mkoa wa Kigoma

Kif. 1001 – Admn and HR Management … Tshs.828,480,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.30,000,000/-Kif. 1003- Internal Audit Unit… … … … … … Tshs.31,437,000/-Kif. 1004 – Procurement Management Unit Tshs.19,000,000/-Kif. 1005 – DAS – Kigoma … … … … … … Tshs.375,209,000/-Kif. 1006 – DAS-Kasulu ... . … … … … … … Tshs.355,969,000/-Kif. 1007 – DAS – Kibondo … … … … … … Tshs.325,033,000/-Kif. 1008 – DAS – Kakonko . … … … … … … Tshs.201,708,800/-Kif.1009 - DAS – Buhigwe …. … … … …. ...Tshs.171,393,000/-Kif. 1010 – DAS Uvinza …. … …. … …. … … Tshs.161,288,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. ..Tshs.15,500,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.248,544,000/-Kif. 2002 - Economic and Productive

Sector ... ... ... ... ... ... ... ... ... T shs.223,730,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.171,373,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.225,530,000/-Kif. 2005 – Local GVT Management

Services … … ... ... ... ... ... ... .Tshs.111,100,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.236,000,000/-Kif. 2007 – Water Sector … … … … … … … ...Tshs.9,000,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.1,803,259,000/-Kif.3002 – Preventive Services … … … … …Tshs.63,144,000/-Kif. 8091 – Local Government … … … … Tshs.96,171,929,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 75 – Mkoa wa Kilimanjaro

Kif. 1001 – Admn and HR Management … Tshs.757,082,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … …Tshs.181,740,000/-Kif. 1003- Internal Audit Unit… … … … … … Tshs.39,242,000/-Kif. 1004 – Procurement Management

Unit ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... Tshs.56,720, 000/-Kif. 1005 – DAS – Moshi … … … … … … … Tshs.307,637,000/-Kif. 1006 – DAS-Hai … … … … … … … … ... Tshs.209,209,000/-

Page 395: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

395

Kif. 1007 – DAS – Rombo …… … … … … … Tshs.225,901,000/-Kif. 1008 – DAS- Same … … … …. …. … …Tshs.225,521,000/-Kif. 1009 – DAS Mwanga… … … … … … … Tshs.235,161,000/-Kif. 1010- DAS-Siha… … … … … … … ... … Tshs.187,331,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit … …. …. …. …. .Tshs. 2,076,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit ... …. …. ..Tshs.20,276,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.323,166,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. .... ... ... Tshs.465,740,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.210,550,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.105,637,000/-Kif. 2005 – Local GVT Management

Services ... ... ... ... ... ... ... ... ... Tshs.38,261,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.275,424,000/-Kif. 2007 – Water Sector . … … … … … … ... Tshs.16,947,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital .. … … ….. … Tshs.4,396,821,000/-Kif. 8091 – Local Government... … … … Tshs.167,310,581,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 76 – Mkoa wa Lindi

Kif. 1001 – Admn and HR Managemen … Tshs.1,261,144,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit… … Tshs.104,342,000/-Kif. 1003 - Internal Audit Unit… … … … … … Tshs.35,138,000/-Kif. 1004 – Procurement

Management Unit … … … … .... Tshs.42,622,000/-Kif. 1005 – DAS – Lindi… … … … … … … … Tshs.284,615,000/-Kif. 1006 - DAS Kilwa … … … … … … … … Tshs.192,708,000/-Kif. 1007 – DAS-Liwale … … … … … … … … Tshs.183,218,000/-Kif. 1008 – DAS – Nachingwea … … … … …Tshs.226,907,000/-Kif. 1009 – DAS- Ruangwa … … … …. …. ...Tshs.194,806,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit . …. …. … …. ....Tshs.40,100,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. .. ..Tshs.36,231,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.110,918,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. . .. ... ... Tshs.271,478,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.118,719,000/-

Page 396: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

396

Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.128,734,000/-Kif. 2005 – Local GVT

Management Services … … ... Tshs.85,301,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.251,812,000/-Kif. 2007 – Water Sector . … … … … … … ... Tshs.50,686,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.1,893,833,000/-Kif. 8091 – Local Government… … … … Tshs.66,136,339,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 77 – Mkoa wa Mara

Kif. 1001 – Admn and HR Management … Tshs.812,411,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.105,653,000/-Kif. 1003- Internal Audit Unit … … … … … … Tshs.52,496,000/-Kif. 1004 – Procurement

Management Unit ... ... .... ... ... Tshs.58,032,000/-Kif. 1005 – DAS – Musoma … … … … … … ...Tshs.205,198,000/-Kif. 1006 – DAS-Bunda ... … … … … … … … Tshs.245,166,000/-Kif. 1007 – DAS – Serengeti … … … … … … Tshs.184,044,000/-Kif. 1008 – DAS- Tarime … … …. …. … … Tshs.266,631,000/-Kif. 1009 – DAS Rorya...… .. … … … …. …… Tshs.272,606,000/-Kif. 1010 – DAS Butiama ...…. …. …. …… …. Tshs.269,050,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit …. …. …. …. … Tshs.37,950,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. ….Tshs.41,828,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.255,017,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. .... ... ... Tshs.197,084,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector … … … … …Tshs.98,746,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.80,774,000/-Kif. 2005 – Local GVT

Management Services … … ... Tshs.103,545,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.312,872,000/-Kif. 2007 – Water Sector . … … … … … … ...Tshs.96,185,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Page 397: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

397

Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.2,720,721,000/-

MHE. DKT. KEBWE S. KEBWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,ni kifungu 3001 Hospitali ya Mkoa. Kisera inaelekeza kwambakila Mkoa iweze kuwa na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa…

MWENYEKITI: Wapi hapo unaposemea?

MHE. DKT. KEBWE S. KEBWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,subvote 3001, Regional Hospital, ukurasa wa 180.

MWENYEKITI: Haiwezekani.

MHE. DKT. KEBWE S. KEBWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,basi kuna tofauti ya kurasa katika vitabu.

MWENYEKITI: Haya tusomee sub-vote.

MHE. DKT. KEBWE S. KEBWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,ni strengthening of referral hospital, fedha iliyotengwa paleni shilingi bilioni mbili lakini kwa mtiririko huo makadirio yahospitali ile itachukua miaka 36…

MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbunge ngoja nikukatishe,hii ni supply vote bado development vote. Ujenzi sio hapa,hizi ni operations, jiandae kwenye kitabu cha maendeleo.

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Kif. 8091 – Local Government… … … Tshs.128,140,802,000/-

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Page 398: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

398

Fungu 78 - Mkoa wa Mbeya

Kif. 1001 – Admn and HR Management ... ... ... .... ... .Tshs.1,382,917,000/-

Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit… … Tshs.114, 263,000/-Kif. 1003- Internal Audit Unit … … … … … … Tshs.25,615,000/-Kif. 1004 – Procurement

Management Unit … … … ... ... Tshs.29,353,000/-Kif. 1005 – DAS – Mbeya … … … … … … Tshs.188,671,000/-Kif. 1006 – DAS-Ileje … … … … … … … … Tshs.197,699,000/-Kif. 1007 – DAS – Kyela … … … … … … … Tshs.215,109,000/-Kif. 1008 – DAS- Chunya… … … … … …. …. Tshs.166,495,000/-Kif. 1009 – DAS Mbozi … … … … … … … … Tshs.180,555,000/-Kif. 1010- DAS-Rungwe … … … … … … … ..Tshs.217,645,000/-Kif. 1011 –DAS –Mbarali …. . …. …. …. …. …Tshs.214,527,000/-Kif. 1012 – DAS Momba … … …. …. … … …Tshs.120,000,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit …. …. …. …. ….Tshs.23,505,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. .. Tshs.28,980,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.182,656,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. .... ... ... Tshs.246,843,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.155,264,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … … … ... ... Tshs .0/-Kif. 2005 – Local GVT

Management Services ... ... ... Tshs.81,695,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.328,784,000/-Kif. 2007 – Water Sector … ... … … … … … ...Tshs.55,995,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital .. … … ….. … Tshs.1,797,939,000/-Kif. 8091 – Local Government... … … … Tshs 227,167,118,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 79 - Mkoa wa Morogoro

Kif. 1001 – Admn and HR Management … Tshs.795,274,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … …Tshs.173,803,000/-Kif. 1003- Internal Audit Unit… … … … … … Tshs.30,010,000/-Kif. 1004 – Procurement

Management Unit … … … ... ... Tshs.61,469,000/-

Page 399: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

399

Kif. 1005 – DAS – Morogoro … … … … … … Tshs.239,594,000/-Kif. 1006 – DAS-Kilosa … … … … … … … … Tshs.320,791,000/-Kif. 1007 – DAS – Kilombero … … … … … …Tshs.249,900,000/-Kif. 1008 – DAS- Ulanga … … … … …. …. … Tshs.243,223,000/-Kif. 1009 – DAS Mvomero… … … … … … … Tshs.240,144,000/-Kif. 1010 –DAS Gairo . …. …. …. ….. …. …. ..Tshs.120,000,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit . …. …. …. …. ...Tshs.20,373,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. .. ..Tshs.34,101,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.250,914,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. . ... ... ...Tshs.219,455,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.215,255,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.125,597,000/-Kif. 2005 – Local GVT

Management Services … … ... Tshs.75,133,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.228,387,000/-Kif. 2007 – Water Sector … … … … … … ... Tshs.48,000,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.5,287,762,000/-Kif. 8091 – Local Government … … … Tshs.159,980,541,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 80- Mkoa wa Mtwara

Kif. 1001 – Admin and HR Management… ... ... .... ... ..Tshs.1,329,490,000/-

Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.12,173,000/-Kif. 1003- Internal Audit Unit … … … … … … Tshs.7,267,000/-Kif. 1004 – Procurement

Management Unit … … … ... ... Tshs.16,826,000/-Kif. 1005 – DAS – Mtwara .. … … … … … … Tshs.165,108,000/-Kif. 1006 – DAS-Newala … … … … … … … Tshs.248,933,000/-Kif. 1007 – DAS – Masasi … … … … … … … Tshs.229,722,000/-Kif. 1008 – DAS- Tandahimba … … …. …. Tshs.226,497,000/-Kif. 1009 – DAS Nanyumbu … … … … … …Tshs.197,276,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit …. …. …. …. …. .Tshs.7,484,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit … …. …. ..Tshs.5,628,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.234,012,000/-

Page 400: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

400

Kif. 2002 - Economic and Productive Sector … …. ... ... ... Tshs.119,367,000/-

Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.144,462,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.128,453,000/-Kif. 2005 – Local GVT

Management Services … … ... Tshs.40,206,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.191,564,000/-Kif. 2007 – Water Sector … … … … … … ... Tshs.17,072,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.2,332,520,000/-Kif. 3002 – Preventive Services …. …. …. …. ..Tshs.29,700,000/-Kif. 8091 – Local Government… … … … Tshs 96,098,626,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 81- Mkoa wa Mwanza

Kif. 1001 – Admin and HR Management…Tshs.2,373,441,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.59,964,000/-Kif. 1003 - Internal Audit Unit … … … … … .. Tshs.33,789,000/-Kif. 1004 – Procurement

Management Unit .... .... ... ... ... Tshs.34,165,000/-Kif. 1005 – DAS – Nyamagana … … … … … Tshs.97,217,000/-Kif. 1006 – DAS-Sengerema … … … … … … Tshs.104,636,000/-Kif. 1007 – DAS – Geita ... ... ... … … … … … … … … Tshs.0/-Kif. 1008 – DAS- Kwimba … … … …. …. … Tshs.104,636,000/-Kif. 1009 – DAS- Magu … … … … … … … … Tshs.104,636,000/-Kif. 1010 – DAS Misungwi … … … … … … … Tshs.104,636,000/-Kif. 1011 – DAS-Ilemela … … … … … … … .. Tshs.97,217, 000/-Kif. 1012 – DAS- Ukerewe … … … … … … ...Tshs.104,636,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit . …. …. …. …. Tshs.27,004,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. ....Tshs.40,532,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.318,696,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. . .. ... ... Tshs.224,645,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.162,639,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.174,446,000/-Kif. 2005 – Local GVT

Management Services … … ... .. Tshs.63,000,000/-

Page 401: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

401

Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.312,441,000/-Kif. 2007 – Water Sector . … … … … … … ...Tshs.37,482,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.3,497,428,000/-Kif. 8091 – Local Government… … … Tshs.187,865,939,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 82- Mkoa wa Ruvuma

Kif. 1001 – Admn and HR Management … Tshs.796,402,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.145,372,000/-Kif. 1003- Internal Audit Unit … … … … … … Tshs.63,199,000/-Kif. 1004 – Procurement

Management Unit ... ... ... ... ... Tshs.72,914,000/-Kif. 1005 – DAS – Songea … … … … … … …Tshs.287,930,000/-Kif. 1006 – DAS-Tunduru … … … … … … … Tshs. 271,841,000/-Kif. 1007 – DAS – Mbinga … … … … … … Tshs.249,383,000/-Kif. 1008 – DAS- Namtumbo … … …. … Tshs.242,330,000/-Kif. 1009 – DAS – Nyasa … … … … … … ..... Tshs.257,094,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit . …. …. …. …. .Tshs.25,702,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. .. Tshs.53,610,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … … Tshs.179,588,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector ... ... ... ... ... Tshs.201,797,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.165,010,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.151,561,000/-Kif. 2005 – Local GVT

Management Services ... ... ..Tshs.119,079,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs. 422,000,000/-Kif. 2007 – Water Sector . … … … … … … ...Tshs.104,194,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … ..Tshs.3,653,400,000/-Kif. 3002 - Preventive Services ... …. …. … … Tshs.36,810,000/-Kif. 8091 – Local Government … … … .Tshs.104,683,486,000/-

MHE. MTUTURA A. MTUTURA: Mheshimiwa Mwenyekiti,Wilaya ya Tunduru…

MWENYEKITI: Sub-item?

Page 402: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

402

MHE. MTUTURA A. MTUTURA: Mheshimiwa Mwenyekiti,bahati mbaya hapa sub-item iko kwenye total subvote.

MWENYEKITI: Lakini hizo za pembeni ndiyo sub-item,sasa tunaenda specific.

MTUTURA A. MTUTURA: Mheshimiwa Mwenyekiti,nashukuru.

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 83 – Mkoa wa Shinyanga

Kif. 1001 – Admn and HR Management… Tshs.1,382,922,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit… … Tshs.150,727,000/-Kif. 1003- Internal Audit Unit… … … … … … Tshs.45,517,000/-Kif. 1004 – Procurement

Management Uni … ... ... ... ... Tshs.61,624,000/-Kif. 1005 – DAS – Shinyanga ... … … … … … Tshs.290,660,000/-Kif. 1006 – DAS-Maswa ... ... … … … … … … … … … Tshs.0/-Kif. 1007 – DAS – Bariadi … … … … … … … … … … Tshs.0/-Kif. 1008 – DAS- Kahama … … … …. …. … Tshs.312,855,000/-Kif. 1009 – DAS Meatu... ... … … … … … … … … … … Tshs.0/-Kif. 1010 –DAS - Bukombe ... ... … … … … …. …. … … Tshs.0/-Kif. 1011-DAS Kishapu … … … … … … … … Tshs.263,124,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit . …. …. …. …. .Tshs.24,674, 000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit ... …. …. ..Tshs.24,674,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.222,156,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. ... ... ... Tshs.201,935,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.207,165,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.137,802,000/-Kif. 2005 – Local GVT

Management Services … … ... Tshs.71,143,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.264,809,000/-Kif. 2007 – Water Sector … ... … … … … … ...Tshs.44,238,000/-

Page 403: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

403

Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.2,884,684,000/-Kif. 8091 – Local Government... … … … Tshs.87,372,910,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 84 - Mkoa wa Singida

Kif. 1001 – Admn and HR Management … Tshs.891,384,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.99,018,000/-Kif. 1003 - Internal Audit Unit… … … … … … Tshs.38,861,000/-Kif. 1004 – Procurement

Management Unit … ... ... ... ... Tshs.61,063,000/-Kif. 1005 – DAS – Singida … … … … … … …Tshs.335,697,000/-Kif. 1006 – DAS-Manyoni … … … … … … ..Tshs.280,513,000/-Kif. 1007 – DAS – Iramba … … … … … … … Tshs.223,563,000/-Kif. 1008 – DAS – Ikungi . …. …. … …. …. …..Tshs.120,000,000/-Kif. 1009 – DAS –Mkalama …. …. …. …. ….. Tshs.120,000,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit …. …. …. …. …. .Tshs.6,000,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. ... Tshs.24,528,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.168,390,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. ... ... ... Tshs.191,118,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.158,756,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.162,769,000/-Kif. 2005 – Local GVT

Management Services ... ... ...Tshs.116,213,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.242,024,000/-Kif. 2007 – Water Sector … ... … … … … … ...Tshs. 83,444,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital .. … … ….. … Tshs.2,676,093,000/-Kif.3002 - Preventive Service … … .. … … …Tshs.48,496,000/-Kif. 8091 – Local Government… … … … Tshs.77,884,286,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Page 404: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

404

Fungu 85 - Mkoa wa Tabora

Kif. 1001 – Admin and HR Mgt… ... ... ... ..Tshs.1,733,385,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.46,886,000/-Kif. 1003 - Internal Audit Unit… … … … … … Tshs.20,500,000/-Kif. 1004 – Procurement Mgt. Unit … ... ... ..Tshs.54,492,000/-Kif. 1005 – DAS – Tabora… … … … … … … …Tshs.80,012,000/-Kif. 1006 – DAS-Nzega… … … … … … … … Tshs.93,164,000/-Kif. 1007 – DAS – Sikonge … … … … … … … Tshs.93,164,000/-Kif. 1008 – DAS- Igunga … … … …. …. … … Tshs.96,452,000/-Kif. 1009 – DAS -Urambo … … … … … … … Tshs.96,452,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Kif. 1010 - DAS – Uyui … … … … … … … … Tshs. 80,012,000/-

MHE. MAGDALENA H. SAKAYA: MheshimiwaMwenyekiti, item 230100 kuhusiana na repair andmaintenance of bridges and roads. Katika Wilaya ya Uyui,Urambo na Kaliua haikuwekewa hela kabisa. Sasa napendakujua ni kwa nini?

MWENYEKITI: Ukurasa gani?

MHE. MAGDALENA H. SAKAYA: Mheshimiwa ukurasawa 205, Wilaya ya Uyui na Urambo, Kaliua ni ukurasa wa 206,hakuna kabisa fedha kwenye hiyo sub item 230100.

MWENYEKITI: Aaah, inawezekana yote, sema sub itemmoja.

MHE. MAGDALENA H. SAKAYA: Routine maintenanceand repair of roads and bridges.

MWENYEKITI: Item gani?

MHE. MAGDALENA H. SAKAYA: Item 230100.

Page 405: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

405

MWENYEKITI: 230100, Routine maintenance and repairof roads and bridges, ndio hiyohiyo?

MHE. MAGDALENA H. SAKAYA: Yes!

MWENYEKITI: Hebu jibuni hapo, nani anajibu?

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU – TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA: Mheshimiwa Mwenyekiti, katikahali ya kawaida DAS hawezi kuwa na pesa kwa ajili yamaintenance ya road and bridge, hiyo itakuwa TAMISEMI naitakuwa kwenye development.

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Kif. 1011 – DAS – Kaliua …. . …. …. …. …. ... Tshs.120,000,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit . …. …. …. …. ...Tshs.17,016,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. .. ..Tshs.32,848,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.278,673,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. ... ... ... Tshs.100,372,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.178,563,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.199,151,000/-Kif. 2005 – Local GVT

Management Services ... ... ... ..Tshs.46,338,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.217,875,000/-Kif. 2007 – Water Sector … … … … …… ... ...Tshs.21,485,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.2,658,227,000/-Kif. 3002 - Preventive Service ... … … ….. ….. Tshs.74,599,000/-Kif. 8091 – Local Government… … … Tshs.114,910,425,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 86 - Mkoa wa Tanga

Kif. 1001 – Admin and HR Mgt… … … … Tshs.1,945,983,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.44,401,000/-Kif. 1003 - Internal Audit Unit … … … … … … Tshs.29,000,000/-Kif. 1004 – Procurement Mgt Unit … … ... ... Tshs.34,000,000/-

Page 406: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

406

Kif. 1005 – DAS – Tanga … … .. … … …. … .. Tshs.75,669,000/-Kif. 1006 – DAS – Kilindi …. …. ….. …. …. …. Tshs.109,239,000/-Kif. 1007 - DAS – Korogwe … … … … … … Tshs.101,135,000/-Kif. 1008 – DAS - Lushoto … … … … … … Tshs.115,042,000/-Kif. 1009 – DAS - Mkinga . … … … … … … … Tshs.90,590,000/-Kif. 1010 – DAS - Muheza … … … …. … … ...Tshs.88,513,000/-Kif. 1011 – DAS – Pangani … … .. ….. .. … … Tshs.79,781,000/-Kif. 1012 – DAS –Handeni … … … … … … ...Tshs.104,089,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit …. …. …. …. …. .Tshs.7,000,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. … .. ...Tshs.14,000,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination… …Tshs.241,650,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. . ... ... ...Tshs.204,848,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.214,844,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.137,770,000/-Kif. 2005 – Local GVT Mgt Services … … ... Tshs.126,012,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.192,689,000/-Kif. 2007 – Water Sector . … … … … … … ...Tshs.15,000,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.4,015,695,000/-Kif. 3002 - Preventive Service … …. …. … … ….. ….Tshs.0/-Kif. 8091 – Local Government … … … Tshs.162,208,759,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Pamoja na Marekebisho yake)

Fungu 87 – Mkoa wa Kagera

Kif. 1001 – Admin and HR Mgt. ... ... ...… Tshs.2,449,213,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.51,833,000/-Kif. 1003 - Internal Audit Unit… … … … … … Tshs.34,615,000/-Kif. 1004 – Procurement Mgt. Unit … … ... ... Tshs.38,654,000/-Kif. 1005 – DAS – Bukoba … … .. … … …. … Tshs.61,995,000/-Kif. 1006 – DAS – Biharamulo ... ….. …. …. …. Tshs.62,607,000/-Kif. 1007 - DAS – Chato ... ... … …. …. … … … … … …Tshs.0/-Kif. 1008 – DAS - Karagwe … … … … … … Tshs.61,452,000/-Kif. 1009 – DAS - Misenyi. … … … … … … … Tshs.61,473,000/-Kif. 1010 – DAS - Muleba ... … … … …. … …. Tshs.61,081,000/-Kif. 1011 – DAS –Ngara … … … .. ….. .. … … Tshs.61,409,000/-Kif. 1012 – DAS –Kyerwa .. … … … …. … … …Tshs.75,000,000/-

Page 407: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

407

Kif. 1014 – Legal Service Unit ... …. …. …. …. .Tshs.15,676,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. ... Tshs.50,045,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.387,391,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector ... ... ... ... ... Tshs.282,814,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.241,809,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.157,031,000/-Kif. 2005 – Local GVT

Management Services … … .... Tshs.79,415,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.218,384,000/-Kif. 2007 – Water Sector … … … … … … ... Tshs.30,572,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital .. … … ….. … Tshs.2,159,810,000/-Kif. 3002 - Preventive Service ... ... .... …. … … ….. ….Tshs.0/-Kif. 8091 – Local Government... … … … Tshs.132,866,485,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 88 – Mkoa wa Dar es Salaam

Kif. 1001 – Admin and HR Management … Tshs.846,067,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.94,500,000/-Kif. 1003 - Internal Audit Unit … … … … … … Tshs.39,966,000/-Kif. 1004 – Procurement Mgt. Unit … … … ... Tshs.57,950,000/-Kif. 1005 – DAS – Ilala … .. … .. … … …. … .. Tshs.251,879,000/-Kif. 1006 – DAS – Kinondoni .... ….. …. …. …. Tshs.268,246,000/-Kif. 1007 - DAS – Temeke . … … … … … … Tshs.242,070,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit …. …. …. …. …. . Tshs.5,560,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. .. Tshs.26,034,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … … Tshs.231,973,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. ... ... ... Tshs.163,548,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.164,322,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.72,262,000/-Kif. 2005 – Local GVT Mgt.Services … … ... Tshs.93,881,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.436,741,000/-Kif. 2007 – Water Sector … … … … … … ... ..Tshs.37,966,000/-

Page 408: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

408

Kif. 8091 – Local Government.. … … … Tshs.283,831,200,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Pamoja na Marekebisho Yake)

Fungu 89 – Mkoa wa Rukwa

Kif. 1001 – Admin and HR Mgt. ... … … Tshs.1,690,201,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit … … Tshs.39,765,000/-Kif. 1003 - Internal Audit Unit … … … … … … Tshs.22,360,000/-Kif. 1004 – Procurement Mgt. Unit … … … ... Tshs.28,865,000/-Kif. 1005 – DAS – Sumbawanga ... … …. … . Tshs.142,380,000/-Kif. 1006 – DAS – Nkasi . …. …. ….. …. …. …. Tshs.109,033,000/-Kif. 1007 - DAS – Mpanda … …. …. … … … … … … ...Tshs.0/-Kif. 1008 – DAS - Kalambo … … … … … ... Tshs.104,860,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit …. …. …. …. …. .Tshs.2,250,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. ..Tshs.23, 910,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.146, 865,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector ... ... ... ... ... Tshs.134,247,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector … … … … …Tshs.85,723,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.104,340,000/-Kif. 2005 – Local GVT Mgt. Services … … ... Tshs.49,290,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs.182,252,000/-Kif. 2007 – Water Sector . … … … … … … ... Tshs.24,543,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … ….. … Tshs.2,404,627,000/-Kif. 8091 – Local Government … … … … Tshs.55,754,166,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 95 – Mkoa wa Manyara

Kif. 1001 – Admin and HR Management … Tshs.699,798,000/-Kif. 1002 – Finance and Accounts Unit… … Tshs.194,710,000/-Kif. 1003 - Internal Audit Unit … … … … … … Tshs.27,412,000/-Kif. 1004 – Procurement Mgt. Unit … … … ... Tshs.60,603,000/-Kif. 1005 – DAS – Babati ... … .. … … …. … .. Tshs.214,923,000/-Kif. 1006 – DAS – Hanang …. ….. …. …. …. Tshs.243,062,000/-

Page 409: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

409

Kif. 1007 - DAS – Kiteto …. … … … … … … Tshs.276,798,000/-Kif. 1008 – DAS - Mbulu … … … … … … … Tshs.223,802,000/-Kif. 1009 – DAS - Simanjiro … … … … … … Tshs.234,877,000/-Kif. 1014 – Legal Service Unit . …. …. …. …. . Tshs.19,200,000/-Kif. 1015 – Info and Com Tech Unit …. …. ... Tshs.30,485,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination … …Tshs.182,428,000/-Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector … …. ... ... ... Tshs.270,758,000/-Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … …Tshs.133,431,000/-Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … …Tshs.191,038,000/-Kif. 2005 – Local GVT Mgt. Services … … ... Tshs.152,420,000/-Kif. 2006 – Education Sector … … …. …. … Tshs. 446,381,000/-Kif. 2007 – Water Sector . … … … … … … ... Tshs.34,400,000/-Kif. 3001 – Regional Hospital … … … ….. … Tshs 543,737,000/-Kif. 8091 – Local Government… … … … Tshs 96,428,580,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

MIPANGO YA MAENDELEO

Fungu 36 – Mkoa wa Katavi

Kif.1001 - Administration and HR Mgt.… …Tshs.1,928,132,000/-Kif. 2002 – Planning and Coordination ... .. ...Tshs. 91,868,000/-Kif. 2006 – Education Sector ... ... ... ... ...... .... .Tshs.51,108,000/-Kif. 2007 - Water Services .... .... ... ... ... ... .... Tshs.62,345,000/-Kif. 8091 - Local Government Authorities ....Tshs.12,217,004/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 37 – Ofisi ya Waziri Mkuu

Kif. 1001 - Administration and HR Mgt. …Tshs.1,500,000,000/-Kif. 1003 – Policy and Planning .... ... .... ... ... Tshs.500,000,000/-Kif. 2001–Civil Affairs and Contingencies...Tshs.1,865,660,000/-

Page 410: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

410

Kif. 2002 – National Festivals . ... ... ... .... ... Tshs.1,000,000,000/-

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Kif. 4001 – Investment Private Sector Dev’t ... ... ... ... ... ... Tshs 6,000,000,000/-

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Mwenyekiti,kifungu cha 4001, kasma 6577, Mwananchi EmpowermentFund. Ningeomba kupata ufafanuzi tu kuhusiana namgawanyo wa fedha hizi ambazo kimsingi ni kwa ajili yakuwawezesha wanawake na vijana, hizi shilingi bilioni mojakwa sababu kumekuwa na malalamiko kuhusiana nautaratibu wa ugawanyaji, sasa kwa mwaka huu hizi shilingibilioni moja zinagawanywa kwa utaratibu gani na tuliambiwakuwa fedha hizi zingeongezwa lakini naona ziko vilevile kamamwaka jana.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (UWEKEZAJINA UWEZESHAJI): Mheshimiwa Mwenyekiti, ninaomba kutoaufafanuzi kuhusu Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi kiuchumini kwamba ni mfuko ambao uko pale na uko chini ya Barazala Uwezeshaji na jukumu lake kubwa ni kuwezesha wananchilakini ni kweli kuwa wanaowezeshwa zaidi watakuwa niwanawake, vijana na wajasiriamali lakini hii ni zaidi ya mifukoya kawaida ya wanawake na vijana. Mfuko wa Wanawake,uko Wizara ya Maendeleo ya Jamii na Mfuko wa Vijana ukoWizara ya Kazi na Maendeleo ya Vijana.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Mfuko huu kazi yake siyokutoa mkopo moja kwa moja, ni mfuko wa dhamana ambaotunauona kwenye mabenki na benki zinatoa mara tatu auzaidi dhamana ambayo tunaiweka. Vilevile mfuko wauwezeshaji wananchi kiuchumi na Baraza, kazi yake kubwa

Page 411: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

411

ni kuratibu na kusimamia mifuko yote na uwezeshaji wotendani ya nchi. Kwa hiyo, siyo huu tu ambao tunategemea, nipamoja na mifuko mingine yote ambayo Baraza inaratibuna kusimamia.

(Kifungu Kilichotajwa hapo juu kilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)

Fungu 42 - Mfuko wa Bunge

Kif. 1001 – Administration and HR Mgt. ... Tshs.1,899,600,000/-

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)

Kif. 2001 – National Assembly ….. …… .. Tshs. 7,000,000,000/-

MHE. ENG. MOHAMED HABIB JUMA MNYAA:Mheshimiwa Mwenyekiti, hizi bilioni tano na mia moja kwaajili ya ukarabati wa jengo la Bunge na mwaka jana zilikuwahivyohivyo lakini hatujaona ukarabati na mvua ziliponyeshatumeona matokeo na mambo mengine, unakuta simuzinaingia humu ndani wakati siyo utaratibu wa kawaida.Ninataka maelezo kulitokea nini mwaka jana na mwaka huuzimetengwa zilezile na jengo halijakarabatiwa.

MHE. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA,UTAWALA NA BUNGE): Mheshimiwa Mwenyekiti, fedha hizihazijatolewa kwa kazi hii. Katika mpango wetu, tunategemeakatika quoter hii ya mwisho tunaweza kupata fedha hizi, lakinimpaka sasa bdo hatujapata.

MWENYEKITI: Haijatolewa hii, umeisoma, hii nisubvote...

MHE. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, (SERA,UTAWALA NA BUNGE): Mwaka jana tulibajeti fedha kama hizikwa sababu kazi hii ni kubwa, inaendelea, mwaka huutumegundua kuwa kuna kazi kubwa ya kuondoa hili paa nakurekebisha, hatukuwa na teknoloji hata ya kubadilisha taa

Page 412: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

412

za kule juu maana ili ubadilishe zile taa ni mpaka uingize hapagari lenye ngazi ndefu haiwezekani. Tumegundua teknojiainahitaji fedha hizi kufanya ukarabati mzima pamoja nakubadilisha hilo paa na hizo taa huko juu na kuondoamaeneo yote haya yanayovuja ndiyo maana tumebajeti hizifedha.

MHE. PAULINE P. GEKUL: Mheshimiwa Mwenyekiti, japomajibu majibu ya Mheshimiwa Waziri hayaridhishi lakinininaomba niongelee kasma hiyohiyo ya 6360 ya marekebishoya miundombinu katika Bunge letu. Mwaka jana zilitengwashilingi bilioni tatu na mwaka huu shilingi bilioni 1.9 lakini hizifedha zilikuwa zinaendana na hizo za juu kwa mwaka huujumla tunaona ni bilioni sita kwa ajili ya ukarabati wa maeneohaya ya Bunge. Ninaomba nipate ufafanuzi ni barabara zipiau ni miundombinu ipi ambayo mnatengeneza kwa fedhahizi wakati mwaka jana ni shilingi bilioni tatu na mwaka huuni shilingi bilioni 1.9

MWENYEKITI: Infrustructure siyo barabara nimiundombinu.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, (SERA,UTAWALA NA BUNGE): Mheshimiwa Mwenyekiti, hatukuwa najina zuri la kuweka miradi ya ofisi za Wabunge kwa sababuvifungu hivi ndivyo vilivyoandikwa, kwa hiyo hizi ni fedhaambazo zitakwenda kushughulikia ofisi zetu za Wabunge nasiyo Infrastructure kwa maana hiyo.

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Mwenyekiti,kifungu hichohicho na kasma hiyohiyo tunayoongelea,naomba kupata ufafanuzi hii shilingi bilioni 1.9 kwa mwakahuu zinajengwa ofisi ngapi za Wabunge na zinajengwa wapi?

WAZIRI WA NCHI,OFISI YA WAZIRI MKUU, (SERA,UTAWALA NA BUNGE): Mheshimiwa Mwenyekiti, mpango waujenzi una mbinu tofauti na pesa hizi, fedha hizi tumeamuakuanza kurekebisha zile ofisi zilizojengwa ili zikamilishwetununue na samani na ndiyo maana magereza ni miongonimwa tuliowateua watakaochonga samani kwa ajili ya ofisi

Page 413: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

413

zetu ili tuwe na standard ya samani inayofanana. Mpangowa jumla wa kujenga ofisi hizi kwa mpigo, bado tunafanyamazungumzo kupata mkopo mwingine na Serikali kwamashirika mengine ili tuweze kujenga ofisi nyingi kwa mpigobadala ya kujenga kwa fedha hizi kidogo kidogo. Kwa hiyo,hizi zitatumika kurekebisha ofisi zilizokwishajengwa.

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)

Fungu 47 – Mkoa wa Simiyu

Kif. 1001- Administration and HR Mgt……….Tshs.744,278,000/-Kif. 2001 – Planning and Coordination........... Tshs.48,100,000/-Kif.2002 – Economic and Productive Sector…Tshs.7,222,000/-Kif.2003 – Infrastructure Sector .......…………….Tshs.1,720,000/-Kif.2006 – Education Sector ………………… ..Tshs.51,108,000/-Kif.2007 – Water Sector ……………………….. .Tshs.78,481,000/-Kif.8091 – Local Gvt. Authorities ...............Tshs.24,377,486,000/-

MHE. JOHN M. CHEYO: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwakuwa ni fungu zima, tumepata hapa majedwali matatukutoka kwa Waziri Mkuu na majedwali mengine, katikajedwali la 13 linasema Mkoa wa Simiyu utapata shilingi bilioni29 hapa ni shilingi bilioni 27. Napenda kujua hizo tofautizimetokeaje.

Mheshimiwa Mwenyekiti, aidha, pia katika fedha yandani ya nchi, inaonekana pesa ya Wilaya kama Itirimahaijaonyeshwa hapa. Sasa hizi pesa zitatokana na nini?

MWENYEKITI: Mmeipata hii?

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaMwenyekiti, pesa ya Wilaya ya Itirima na Busega itaonekanaukurasa wa 74 kwenye subvote 2003, Infrastructure Sector,construction of DCs house, ninadhani ameiona.

Page 414: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

414

MWENYEKITI: Mheshimiwa Chenge, MheshimiwaCheyo hausimami mara mbili ni mara moja tu.

MHE. JOHN M. CHEYO: Hajajibu.

MWENYEKITI: Amesema ukurasa wa 74, kuna shilingibilioni moja.

MHE. JOHN M. CHEYO: Mheshimiwa Mwenyekiti,nimeuliza tofauti ya bilioni mbili halafu nimeonyesha pia kuwamchanganuo wa hizi Wilaya mpya haupo, maana yake nikuwa hiyo yote inatokana na hiyo shilingi bilioni 27 sasawengine wanapata kiasi gani, lakini hajajibu. Mimi sizungumziijuu ya construction ya nyumba za DC’s au nyumba za ReginalCommissioners, mimi ninauliza hizi development ambazoshilingi bilioni 27 na kwenye jedwali tulilopewa ilikuwa ni shilingibilioni 29, sasa hizi shilingi bilioni mbili zimekwenda wapi?

MWENYEKITI: Ahaa! Naomba mumjibu.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaMwenyekiti, kwa maana ya Mkoa wa Simiyu ni shilingi bilioni27 kama ilivyoombwa maana hatuna addendum. Ukiendakwenye ile subvote niliyoisema 2003, kuna 6327 ambayo kunaconstruction of DC’s house ile ya kwanza shilingi 720,400,000/- ni kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya DC ya Maswa na fidiakatika eneo hilo watakalojenga. Halafu 6331 ni ujenzi wanyumba ya DC wa Itilima na Busega kwa sababu nyumbamoja ya DC tumekadiria kujenga kwa shilingi milioni 500, huoni ukurasa wa 74, subvote 2003.

MWENYEKITI: Mheshimiwa Chenge, naomba uwespecific maana muda wa guillotine umeshafika.

MHE. ANDREW J. CHENGE: Mheshimiwa Mwenyekiti,mimi naongelea subvote 8091, subitem 6405, ambapoinahusu mradi wa kuimarisha miundombinu na uwezo katikamiji ile 18. Pale unaona kwa Simiyu ni shilingi milioni 54 na hiibasically kwa mji wa Bariadi. Mimi napenda kuiuliza Serikali

Page 415: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

415

nimeangalia kitabu chote cha maendeleo katika mradi huu,Mji wa Bariadi ndiyo unaopewa pesa kidogo sanaukilinganisha na miji mingine ile sita, ninauliza ni kigezo auvigezo kipi kimetumika katika kugawa fedha hizi?

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaMwenyekiti, suala lake Mheshimiwa alishatuletea natulifuatilia ni kwamba kulikuwa na makosa ya utumiaji waidadi ya watu katika Mji wa Bariadi, ndiyo maana pesawalizozipata wao ni kidogo ukilinganisha na maeneomengine lakini tumemwambia kuwa tulishaliona,tumezungumza na wenzetu wa Benki ya Dunia, hatuwezi sasahivi tukarekebisha hapa kwa kuwa bado tunalifanyia kazi.Kwa hiyo, kwa mwaka huu iko hivi kwa kipindi hiki kamatutakubaliana na takwimu zikarekebishwa, basi tutamjulishataarifa tutaileta.

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)

MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tunaingiakwenye guillotine kwa mujibu wa Kanuni 104(1).

Fungu 54 – Mkoa wa Njombe

Kif. 1001 – Admn and HR Mgt ... ... ... … Tshs. 1,470,001,000/=Kif.2001- Planing and Cordination.....……..Tshs. 350,550,000/=Kif. 2003 – Infrustructure Sector … … … … Tshs.509,999,000/=Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … Tshs.24,245,000/=Kif.2006 - Education Sector ... .. …… ……….. Tshs.51,108,000/=Kif.2007- Water Services …….. ……………….. Tshs.40,312,000/=Kif. 8091 – Local Gvt.Authorities … ... … Tshs.18,007,392,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Page 416: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

416

Fungu 56 - Prime Minister’s Office - RegionalAdministration And Local Government

Kif.1001 - Administration and HR Mgt....…. Tshs.400,000,000/=Kif.1003 - Policy and Planing Division ………………..Tshs.0/=Kif.1004 - Management Information Systems Div...... ..Tshs.0/=Kif.2002-Local Gvt. Cordination Div........Tshs.19,911,337,000/=Kif.2003 -Sector Coordination Division…..Tshs.1,790,785,000/=Kif.2004 - Basic Education

Coordination Div. ....................Tshs.48,791,010,000/=Kif.2005 - Urban Development Division…Tshs13,133,800,000/=Kif. 3001 - Organization Development Div...Tshs.300,000,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 61- Tume ya Uchaguzi

Kif.1002 - Planning Monitoring and Evaluation Division ................…Tshs.1,958,640,000/=

Kif.2002 -Permanent National Voters Reg Sys Division…...............................................Tshs.0/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 63 – Mkoa wa Geita

Kif. 1001 – Admn and HR Mgt. … … … … Tshs. 280,000,000/=Kif. 2001 – Management Support … … … Tshs. 245,000,000/=Kif. 2003- Infrustructure Section… … … … Tshs.1,995,000,000/=Kif. 2006- Education Sector … ….. …………. Tshs. 51,108,000/=Kif. 8091- Local Gvt.Authorities … … … Tshs. 24,795,797,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Page 417: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

417

Fungu 70 – Mkoa wa Arusha

Kif. 1001 – Admn and HR Management …Tshs. 619,551,000/=Kif.2001 - Planing and Cordination…….. …..Tshs.38,465,000/=Kif. 2003 – Infrustructure Sector… … … … … … … …......... 0/=Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … … … …........... 0/=Kif.2006 - Education Sector …….. ………........Tshs.51,108,000/=Kif.2007 - Water Services …………….……….. Tshs.77,042,000/=Kif. 3001- Regional Hospital ……. …………..Tshs.711,358,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities …......... Tshs.28,519,046,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 71 – Mkoa wa Pwani

Kif. 1001 – Admn and HR Management ..…Tshs. 50,000,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. ……Tshs.60,000,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector ….................... Tshs.38,484,000 /=Kif. 2003 – Infrastructure Sector … … … … Tshs.709,410,000/=Kif.2006 -Education Sector ....…….. ……….. Tshs.51,108,000/=Kif.2007 -Water Sector ………. ……………….. Tshs.75,926,000/=Kif. 3001 -Regional Hospital .………………..Tshs. 211,364,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities .. … … Tshs.19,164,257,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 72 - Mkoa wa Dodoma

Kif. 1001 – Admn and HR Mgt. … … … …Tshs. 4,192,263,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. ……Tshs.30,000,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector ........................ Tshs.48,028,000 /=Kif. 2004 – Social Sector … … ……………….Tshs.254,040,000/=Kif.2006 -Education Sector ………… ……….. Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ............……………….. Tshs.45,177,000/=Kif. 3001-Regional Hospital .....……………..Tshs. 600,000,000/=

Page 418: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

418

Kif. 8091 – Local Gvt.Authorities .. … … Tshs.30,591,416,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Pamoja na Marekebisho yake)

Fungu 73 – Mkoa wa Iringa

Kif. 1001 – Admn and HR Mgt. ...… … … …Tshs. 231,341,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. … Tshs.379,600,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector … .... .... ... ...Tshs.109,928,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector........……………………….Tshs.0/=Kif. 2004 – Social Sector … … ……………….Tshs.227,273,000/=Kif.2006 -Education Sector ………… ……….. Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ………. ……………….. Tshs.69,965,000/=Kif. 3001-Regional Hospital …. …………………………..Tshs.0/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities …........ Tshs.16,758,663,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 74 – Mkoa wa Kigoma

Kif. 1001 – Admn and HR Management…Tshs. 2,085,828,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. …… Tshs.80,061,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector …....................... Tshs.6,000,000/=Kif. 2004 – Social Sector … … … … … …… Tshs.30,000,000/=Kif.2006 -Education Sector ………… ……….. Tshs.51,108,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. ……………Tshs.267,191,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities … … Tshs.32,933,104,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Page 419: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

419

Fungu 75 – Mkoa wa Kilimanjaro

Kif. 1001 – Admn and HR Management …Tshs. 456,000,000/=Kif. 1005 – DAS – Moshi … … … … … … ….... Tshs. 5,000,000/=Kif. 1006 – DAS-Hai … … … … … … … … … Tshs. 5,000,000/=Kif. 1007 – DAS – Rombo … … … … … … … Tshs. 5,000,000/=Kif. 1008 – DAS- Same … … … …. …. … … Tshs. 5,000,000/=Kif. 1009 – DAS Mwanga… … … … … … … … Tshs. 5,000,000/=Kif. 1010- DAS-Siha… … … … … … … … … ... Tshs. 5,000,000/=Kif. 1015 – Information and

Communication Unit… … … ... ...Tshs.20,000,000/=Kif. 2001 –Planning and Coordination … Tshs. 355,000,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector ................... Tshs.1,324,598,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector……….....………………….Tshs.0/=Kif. 2004 – Social Sector … … ……………….Tshs.34,698,000/=Kif.2006 -Education Sector ………… ……….. Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ………. ……………….. Tshs.50,177,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. ………… Tshs.611,535,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities …......... Tshs.23,079,778,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 76 – Mkoa wa Lindi

Kif. 1001 – Admn and HR Management ...…Tshs. 45,000,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. ……Tshs.50,825,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector ….................... Tshs.58,,370,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector………………..Tshs.383,377,000/=Kif. 2004 – Social Sector … … … … … ……Tshs.195,455,000/=Kif.2006 -Education Sector …….. ……….. … Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ……………. ………… Tshs.67,903,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. ………………………...Tshs.0/=Kif.3002 – Preventive Services …………………………....Tshs.0/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities …........ Tshs.17,684,701,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Page 420: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

420

Fungu 77- Mkoa wa Mara

Kif. 1001 – Admn and HR Mgt. … … … … …Tshs. 50,000,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. ……Tshs.60,000,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector......................... Tshs.64,299,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector…………… .Tshs.1,555,000,000/=Kif. 2004 – Social Sector … … … … … ……Tshs.195,455,000/=Kif.2006 -Education Sector …….. ……….. … Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ……………. ………… Tshs.83,826,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. …………Tshs.2,379,741,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities ….......Tshs.30,244,345,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 78 – Mkoa wa Mbeya

Kif. 1001 – Admn and HR Mgt. … … … … …Tshs. 618,279,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. … Tshs.373,050,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector… … … ......... Tshs.109,847,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector…………………………….Tshs.0/=Kif. 2004 – Social Sector … … … … … ……………….Tshs.0/=Kif.2006 -Education Sector ………… ……….. Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ..........……………….. Tshs.104,813,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. …………..Tshs.532,161,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities … … Tshs.42,604,475,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 79- Mkoa wa Morogoro

Kif. 1001 – Admn and HR Mgt...............…Tshs. 1,123,000,000/=Kif. 1005 – DAS – Morogoro … … … … … … Tshs. 10,000,000/=Kif. 1006 – DAS-Kilosa … … … … … … … Tshs. 5,00,000,000/=Kif. 1007 – DAS – Kilombero … … … … … Tshs. 5,00,000,000/=Kif. 1008 – DAS- Ulanga … … … …. …. … Tshs. 5,00,000,000/=

Page 421: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

421

Kif. 1009 – DAS Mvomero… … … … … … Tshs. 5,00,000,000/=Kif. 2001 – Planning and Coordination… … Tshs. 32,594,000/=Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector …...................... Tshs.60,088,000/=Kif. 2003 – Infrastructure Sector… … … … … … … … Tshs.0/=Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … Tshs. 195,455,000/=Kif.2006 -Education Sector …….. … ……….. Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ............……………….. Tshs.91,331,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. ……………Tshs.30,000,000/=Kif. 8091– Local Gvt. Authorities … … … Tshs. 29,907,854,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 80 - Mkoa wa Mtwara

Kif. 1001 – Admn and HR Mgt.… … … … …Tshs. 375,000,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. ……Tshs.25,000,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector..........................Tshs.48,103,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector…………………………….Tshs.0/=Kif. 2004 – Social Sector … … ……………….Tshs.30,000,000/=Kif.2006 -Education Sector …….. … ……….. Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ................…………….. Tshs.77,398,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. …………..Tshs.314,852,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities … … Tshs.24,044,545,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 81 – Mkoa wa Mwanza

Kif. 1001 – Admn and HR Management …Tshs. 55,000,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. ……Tshs.39,474,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector… … … ........... Tshs.47,990,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector……………… Tshs.501,246,000/=Kif. 2004 – Social Sector … … … … … ……Tshs.211,764,000/=Kif.2006 -Education Sector …….. ……….. … Tshs.50,707,000/=

Page 422: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

422

Kif.2007-Water Sector ……………. ………… Tshs.96,948,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities ….......Tshs.40,902,299,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 82- Mkoa wa Ruvuma

Kif. 1001 – Admn and HR Management …Tshs. 863,019,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. ……Tshs.30,000,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector… … … ... ... ..Tshs.68,546,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector…………………………….Tshs.0/=Kif. 2004 – Social Sector … … ……………….Tshs.209,546,000/=Kif.2006 -Education Sector …….. ……….. … Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ……………. ………… Tshs.69,248,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ..........………………………..Tshs.0/=Kif.3002- Preventive Services ..............…………. ………Tshs. 0/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities … … Tshs.22,022,249,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 83- Mkoa wa Shinyanga

Kif. 1001 – Admn and HR Management … Tshs. 35,000,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. ……Tshs.40,000,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector… … … ............Tshs.52,610,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector…………… Tshs.1,262,166,000/=Kif. 2004 – Social Sector … … … … … ……Tshs.258,590,000/=Kif.2006 -Education Sector …….. ……….. ……Tshs.51,108,000/-Kif.2007-Water Sector ……………. ………… Tshs.50,404,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. ……………………… Tshs.0/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities … … Tshs.24,095,523,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Page 423: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

423

Fungu 84 – Mkoa wa Singida

Kif. 1001 – Admn and HR Management…Tshs. 1,646,000,000/=Kif.2001- Planing and Coordination…….. … Tshs.55,000,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector… … … ............ Tshs.33,780,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector…………………………….Tshs.0/=Kif. 2004 – Social Sector … … ……………….Tshs.30,063,000/=Kif.2006 -Education Sector ………… ……….. Tshs.51,108,000/-Kif.2007-Water Sector .............……………….. Tshs.47,177,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. …………Tshs.3,702,790,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities … … Tshs.20,812,919,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Pamoja na Marekebisho yake)

Fungu 85- Mkoa wa Tabora

Kif. 1001 – Admn and HR Management …Tshs. 972,242,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. ……Tshs.48,000,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector… … … .......Tshs.1,507,835,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector…………………………….Tshs.0/=Kif.2006 -Education Sector …….. … ……….. Tshs.51,108,000/-Kif.2007-Water Sector ………………............... Tshs.80,037,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. …………..Tshs.395,455,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities … … Tshs.29,840,421,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 86 – Mkoa wa Tanga

Kif. 1001 – Admn and HR Management … Tshs. 200,000,000/=Kif.1015- Information and

Communication Tec Unit …..............Tshs.20,000,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. ……Tshs.54,805,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector… … … ............Tshs.88,107,000/=Kif. 2004 – Social Sector … … … … … ……………….Tshs.0/=

Page 424: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

424

Kif.2006 -Education Sector …….. ……….. … Tshs.51,112,000/=Kif.2007-Water Sector ……………. ………… Tshs.99,141,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. ……………Tshs.393,182,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities … … Tshs.34,851,732,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 87- Mkoa wa Kagera

Kif. 1001 – Admn and HR Management …Tshs. 985,000,000/=Kif.2001- Planning and Coordination…….. Tshs.30,000,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector… … … ... ... ..Tshs.72,310,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector………………….Tshs.70,000,000/=Kif. 2004 – Social Sector … … … … … ……Tshs.227,273,000/=Kif. 2005 – Local Gvt. Mgt. Services................Tshs.16,318,000/=Kif.2006 -Education Sector …….. ……….. … Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ……………….. ............Tshs.97,623,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. …………… Tshs.55,000,000/=Kif. 8091 – Local Gvt.Authorities … … Tshs.33,812,361,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, naombatutumie muda ili tumalize mafungu haya ingawa mudaumepita.

Fungu 88 – Mkoa wa Dar Es Salaam

Kif. 1001 – Admn and HR Mgt. ..............…Tshs. 1,197,556,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. … Tshs.157,367,000/=Kif. 2002 – Economic and

Productive Sector… … … ... ... ... Tshs.9,172,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector............…………………….Tshs.0/=Kif. 2004 – Social Sector … … … … … ……Tshs.147,727,000/=Kif.2006 -Education Sector …….. ……….. … Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ……………. ………… Tshs.63,692,000/=

Page 425: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

425

Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities … … … Tshs.25,139,603,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Pamoja na Marekebisho yake)

Fungu 89- Mkoa wa Rukwa

Kif. 1001 – Admn and HR Mgt.... … … … …Tshs. 944,899,000/=Kif.2001- Planing and Cordination…….. ……Tshs.30,000,000/=Kif. 2002 – Economic and Productive Sector… … … ............Tshs.47,980,000/=Kif.2003- Infrustructure Sector…………………………….Tshs.0/=Kif.2006 -Education Sector ………… ……….. Tshs.51,108,000/=Kif.2007-Water Sector ..............……………….. Tshs.68,229,000/=Kif. 3001-Regional Hospital ……. ………… Tshs.179,546,000/=Kif. 8091 – Local Gvt. Authorities … … Tshs.15,291,624,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 91 – Tume ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya

Kif. 1001 – Admnistration and General … Tshs.2,798,000,000/=

(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 92 – Tume ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS)

Kif. 1001 – Admnistration and General … Tshs.1,550,970,890/=Kif. 1002 – Finance, Admn.and

Resource Mobilization …........ Tshs. 3,938,033,746/=Kif. 1003 – Monitoring, Evaluation, Research

and Mis … … … ........................Tshs.1,140,774,750/=Kif. 1004 - Advocacy, Information,

Education and Com … … … … Tshs.2,187,230,000/=Kif. 1005 – District and

Community Response .............Tshs.1,771,556,226/=Kif. 1006 – Procurement Mgt. Unit …............. Tshs.76,985,000/=Kif.1007- Legal Unit … … …………………….Tshs.435,768,310/=

Page 426: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

426

Kif.1008 – Management Information Systems ….......................................Tshs.814,670,000/=

Kif. 1009 – Internal Unit … … … ……. ………..Tshs.389,968,000/=Kif. 1010- Special Programs … … … ……..Tshs. 1,005,853,578/=Kif.1011- Government Communication

Unit ....................…… ……… …….Tshs.2,032,524,500/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

Fungu 95 – Mkoa wa Manyara

Kif. 1001 – Admn and HR Mgt.… … … … … Tshs.20,000,000/=Kif. 1005 – DAS – Babati … … … … … … … … Tshs.5,000,000/=Kif. 1006 – DAS-Hanang … … … … … … … Tshs. 5,000,000/=Kif. 1007 – DAS – Kiteto … … … … … … … … Tshs. 5,000,000/=Kif. 1008 – DAS- Mbulu … … … … …. …. … Tshs. 5,000,000/=Kif. 1009 – DAS Simanjiro… … … … … … … … Tshs. 5,000,000/=Kif. 2001 – Planning and Coordination … … Tshs. 12,595,000/=Kif. 2002 - Economic and

Productive Sector …..................... Tshs.38,432,000/=Kif. 2003 – Infrastructure Sector....… … … … … … … Tshs. 0/=Kif. 2004 - Social Sector … … … … … … Tshs. 225,455,000/=Kif. 2006- Education Sector ……………………Tshs.51,108,000/=Kif.2007 – Water Sector ……………………… Tshs.77,187,000/=Kif. 3001 – Regional Hospital … … … … Tshs. 1,457,000,000/=Kif. 8091 – Local Government … … … Tshs. 18,899,933,000/=

(Vifungu Vilivyotajwa Hapo Juu Vilipitishwa na Kamati yaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)

(Bunge lilirudia)

WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, URATIBUNA BUNGE): Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya MheshimiwaWaziri Mkuu, napenda kutoa taarifa kuwa Kamati ya Matumizibaada ya kujadili taarifa ya Mapitio na Mwelekeo wa kaziza Serikali, imepitia makadirio ya matumizi ya fedha zamafungu ya ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa pamoja na Mfuko wa

Page 427: 16 APRILI, 2013 MREMA 1.pmd

16 APRILI, 2013

427

Bunge kwa mwaka wa fedha 2013/2014 kifungu kwa kifunguna kuyapitisha pamoja na mabadiliko yake. Hivyo basinaomba sasa Bunge lako Tukufu likubali makadirio hayo.

Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Mheshimiwa Spika,naafika.

(Hoja ilitolewa iamuliwe)(Hoja iliamuliwa na Kuafikiwa)

(Makadirio ya Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Ofisi yaWaziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Ofisi

ya Bunge kwa Mwaka 2013/2014 yalipitishwa na Bunge)

SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, ninaomna nichukuenafasi hii kuwapongeza Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja nawatendaji wote kwa kazi nzuri walioifanya na niwashukurupia Waheshimiwa Wabunge kwa ku-discuss vizuri. Kamati yaMatumizi hatujaimudu vizuri kwa sababu ya vifungu vingi lakinitutafanya vizuri zaidi siku zinazokuja. Nawashukuru sana kwaushirikiano wenu.

Waheshimiwa Wabunge, kwa wale Wabunge ambaowamekuwepo mpaka Bunge la Tisa mpaka 2010, tulikuwana Mheshimiwa Mbunge mwenzetu ambaye tulimpendasana, alikuwa mchangamfu sana, Mheshimiwa Zulekha YunusHaji, kwa masikitiko makubwa sana amefariki. Kwa hiyo,mazishi yake yatafanyika kesho nadhani kulekule Zanzibar.Mwenyezi Mungu aiweke mahali pema peponi roho yamarehemu.

Waheshimiwa Wabunge, kutokana na kuwa hatunamatangazo mengine, naomba niahirishe Kikao cha Bungempaka kesho saa tatu asubuhi.

(Saa 2.25 Usiku Bunge liliahirishwa Mpaka siku ya Jumatano,tarehe 7 Aprili, 2013, saa tatu asubuhi)